JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

Size: px
Start display at page:

Download "JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO"

Transcription

1 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA JANUARI, 2014

2 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, idadi ya watoto Tanzania Bara wenye umri chini ya miaka 18 ilikuwa ni 21,866,258, ambao ni sawa na asilimia 50.1 ya idadi ya watu wote. Kati yao wasichana walikuwa 10,943,846 na wavulana walikuwa 10,922,412. Idadi ya watoto chini ya umri wa miaka minane walikuwa 11,181,278 sawa na asilimia 51.1 ya watoto wote. Pamoja na kuwepo kwa idadi hii kubwa ya watoto wa Tanzania ni kundi kubwa la jamii ambalo linakutana na changamoto nyingi kimaisha. Pamoja na wingi wa kundi hili, haki zao nyingi zinavunjwa na kwa muda mrefu walikuwa hawana chombo maalum cha kuwatetea na sauti zao zilikuwa hazisikiki vya kutosha kwa kuwa walikuwa hawashiriki katika kufanya maamuzi yanayohusu maisha yao licha ya uwepo wa sera na sheria mbalimbali za kuwalinda. Athari kubwa wanayoipata watoto hao ni kukosa haki zao za msingi kama zilivyoainishwa katika Sera ya Maendeleo ya Mtoto ya mwaka 2008, Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009, Mikataba mbalimbali ya Kimataifa na ya Kikanda kuhusu haki za mtoto na hivyo kuathiri ukuaji na ustawi wao na maisha yao kwa ujumla na hata maendeleo ya nchi yetu. Pamoja na juhudi za serikali kuandaa sera, sheria na mipango mbalimbali ya kumjali mtoto, kumekuwepo na changamoto mbalimbali zinazokwamisha utekelezaji wa programu za kumuendeleza na kumjenga mtoto na kulinda haki zake. Changamoto hizo ni pamoja na ukosefu wa rasilimali fedha, ushiriki mdogo wa jamii katika kutatua tatizo la uvunjaji wa haki za watoto, na uelewa mdogo wa jamii kuhusu haki za watoto. Kwa hali hiyo, umuhimu wa suala la ushiriki wa watoto katika kufanya maamuzi yanayohusu maisha yao umekuwa ni kitu cha kupewa kipaumbele ili sauti zao zisikike na mchango wao uonekane katika kutetea haki zao. Kwa hali ilivyo sasa, ushiriki wa watoto katika kufanya maamuzi ya masuala yanayohusu maisha yao ni suala linalotiliwa mkazo sana nchini Tanzania hasa baada ya kuridhia Mkataba wa Haki za Mtoto mwaka Baada ya hapo serikali iliona umuhimu wa ushiriki wa watoto katika kufanya maamuzi mbalimbali kwa utaratibu rasmi na wenye muendelezo mzuri hasa baada ya tukio la ushiriki wa watoto katika Kikao Maalum kwa watoto kilichoandaliwa na Umoja wa Mataifa cha mwaka 2002 na hivyo kupendekeza uwepo wa chombo mahsusi cha Kitaifa cha uwakilishi wa kudumu wa watoto yaani Baraza la Taifa la Watoto chini ya usimamizi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Juhudi nyingine za kuwahusisha watoto katika ushiriki ni pamoja na mabaraza ya watoto mashuleni, na vilabu cha watoto mashuleni na katika jamii au juhudi ambazo zinalenga kwenye kuwahusisha watoto katika masuala mbalimbali yanayowahusu (kama vile Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI wenyewe, malezi na matunzo kisaikolojia na kijamii nk). Kati ya mwaka 2009 na mwaka 2010, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto ilitengeneza Kielekezi cha Taifa cha Ushiriki wa Mtoto ii

3 ambacho kinaelekeza namna ya kufanikishaa ushiriki wa watoto na wanajamii katika kujadili pamoja masuaala ya watoto. Hii ni nyenzo ya kuwawezesha watoto pamoja na wanajamii kutambua na kujadili masuala muhimu yanayogusa maisha ya watoto katika jamii na mazingira husika. Juhudi zote hizi za serikali pamoja na nyinginezo kama vile kuridhia Mkataba wa Afrika wa Haki na Ustawi wa Mtoto mwaka 2003 na kupitishwa kwa Sheria ya Mtoto ya Novemba 2009 pamoja na sera ya Mtoto ya mwaka 2008 zinaonyesha ari na utayari wa serikali wa kukuza haki ya ushiriki wa watoto. Wakati sera ya Mtoto inazingatia uhuhimu wa ushiriki wa mtoto katika shughuli za maendeleo, na maswala yanayohusu watoto wenyewe, sheria ya mtoto inawapa watoto haki ya watoto kujieleza na kutoa maoni yao, kusikilizwa na kushiriki katika maamuzi yanayohusu maisha yao. Ili kuhakikisha sera na sheria tajwa zinatekelezwa ipasavyo, serikali chini ya uongozi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imeonelea ni vyema kuandaa Mpango Kazi wa Ushiriki wa watoto katika kufanya maamuzi. Mpango kazi huu utatoa maelekezo ya namna ya kufanikisha ushiriki wa watoto, uundwaji wa vyombo maalum vitakavyowezesha watoto kushiriki na mwongozo wa jinsi ya kuingiza maoni ya watoto na michango yao katika mipango, mikakati, programu na michakato mbalimbali na pale inapowezekana hata katika kuingiza mchango wao katika taratibu za kutengeneza sheria na taratibu za kimahakama. Uandaaji wa Mpango Kazi huu unadhihirisha mabadiliko makubwa katika azma ya ushiriki wa watoto ambao ni zaidi ya mchango wa maoni tu yanayotumika kama ushauri na hivyo kuleta mafanikio endelevu katika ushiriki wa watoto kwenye michakato na maswala ambayo yanahusu maisha yao. Mpango Kazi huu hata hivyo unahusu Tanzania bara tu lakini kuna uwezekano wa kuupanua hadi Visiwani. Maandalizi ya Mpango huu yalichukua sura shirikishi katika mchakato wake na maoni mbalimbali yaliyotolewa na wadau wakati wote wa maandalizi yamezingatiwa na hivyo kuchukua sura shirikishi ambayo itasaidia katika utekelezaji. Mpango Kazi huu ambao unatarajiwa kuanza mwaka 2014 unalenga kuwafanya watoto watambue kile ambacho jamii inatarajia kutoka kwao kwa maana ya majukumu hasa wakati wanaposhiriki kikamilifu katika majadiliano, kupeana taarifa muhimu na kutekeleza majukumu yanayowahusu kutokana na maamuzi waliyofanya katika ngazi ya familia, jamii, kitaifa na kimataifa. Isitoshe, Mpango huu unalenga katika kuleta ufanisi katika swala zima la ushiriki wa watoto katika kufanya maamuzi yanayohusu maisha yao na ya jamii kwa ujumla na utekelezaji wake. Mpango Kazi huu ni endelevu na katika hilo shughuli mbalimbali zitatekelezwa zikiwemo kuelimisha jamii, watendaji wa serikali, wazazi/walezi wa watoto na watoto wenyewe kuhusu athari zinazotokana na ukosefu wa ushiriki wa watoto kufanya maamuzi kama wadau muhimu wa demokrasia, utawala bora na maendeleo endelevu ya jamii. Mpango kazi huu pia utasaidia watoto kuibua vipaji vyao vya aina mbalimbali na kuwapa fursa watoto kuchangia maoni na ushauri katika utungaji na utekelezaji wa sera na sheria mbalimbali ili kuleta maendeleo yenye uwiano kijinsia na kijinsi. iii

4 Mpango huu pia utatoa fursa kwa wazazi na walezi kujifunza njia bora za mawasiliano na mahusiano mazuri kati yao na watoto wao na namna ya kuwashirikisha watoto katika majadiliano na hata kunufaika na michango ya watoto kimawazo, ushauri na utekelezaji wa maamuzi mbalimbali ya pamoja ya kutatua matatizo ya kipato duni, uvunjaji wa sheria na taratibu mbalimbali na hata kubuni mikakati ya pamoja katika kutatua matatizo hayo ya kijamii na mengineyo. Aidha watoto nao wote watafaidi haki yao ya msingi ya kushiriki katika kufanya maamuzi yaani haki ya kusikika na kusikilizwa. iv

5 Shukrani Katika kuandaa Mpango Kazi huu Shirikishi, wadau mbalimbali walishiriki kwa njia moja au nyingine na hatuna budi kuwashukuru wote kwa dhati. Hawa ni pamoja na watoto wa rika mbalimbali, wanajamii, wizara mbalimbali na idara za serikali, Asasi Zisizo za Kiserikali, wadau wengine wa maendeleo, Mashirika ya Kidini,Wazee wakimila na Wanataaluma. Mchakato mzima kuandaa Mpango Huu ulikuwa chini ya usimamizi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Mpango huu unawakilisha matokeo ya warsha za majadiliano, mikutano, hojaji mbalimbali na mazungumzo na watoto, serikali, asasi zisizo za kiserikali na wawakilishi wa wadau wengine wa maendeleo, wawakilishi wa jamii mbalimbali ikiwa ni pamoja na wazee, na viongozi wa jamii na dini, kati ya mwezi Mei na Julai 2010 kuhusu ushiriki wa Watoto katika maamuzi nchini Tanzania. Shukrani za pekee zinapelekwa kwa Shirika la Kimataifa la Kushughulikia Watoto Duniani (UNICEF) ambalo limechangia kwa hali na mali kuhakikisha kwamba kazi hii inakamilika v

6 VIFUPISHO AZAKI: Asasi Zisizo za Kiserikali BEST: Basic Education Statistics, Tanzania Takwimu za Elimu ya Msingi MKUKUTA: Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania NBS: National Bureau of Statistics Idara ya Taifa ya Takwimu UKIMWI: Ukosefu wa Kinga ya Mwilini WMJW: Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto OWMTMSM: Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa WAUJ: Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii WSK: Wizara ya Sheria na Katiba WMN: Wizara ya Mambo ya Ndani vi

7 Yaliyomo Dibaji Shukrani Vifupisho Ukurasa ii v vi 1.0 UTANGULIZI Usuli na Muktadha wa Mpango Kazi huu Changamoto katika kutimiza haki za watoto kushiriki Tafsiri ya neno Mtoto Umuhimu wa Mpango Kazi Huu na changamoto zake Kwa nini ushiriki ni muhimu? Changamoto za kufanikisha Ushiriki HALI HALISI YA USHIRIKI WA WATOTO KWENYE MAUDHUI YA KITANZANIA Maudhui ya Kisheria Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Sheria ya Mtoto (2009) Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini (2004) Sheria ya Virusi vya UKIMWI/ UKIMWI (Ulinzi na Kinga) (2008) Maudhui ya Kisera Sera ya Maendeleo ya Mtoto (2008) Sera ya Elimu Sera ya Maendeleo ya Vijana Sera ya Taifa ya Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI/UKIMWI (2001) Sera ya Utamaduni Mchakato wa Maboresho ya Serikali za Mitaa Jumuisho la Sera MATEGEMEO YA WATOTO KATIKA USHIRIKI UCHAMBUI WA WADAU, WIZARA/TAASISI Utangulizi Serikali Kuu na Idara zake 24 vii

8 4.2.1 Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Wizara ya Fedha na Uchumi Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Wizara ya Habari, Maendeleo ya Vijana na Michezo Wizara ya Sheria na Katiba Wadau wa Maendeleo na Asasi Zisizo za Kiserikali Familia Baraza la Watoto la taifa Maoni ya ziada kuhusu miundo na majukumu ya watendaji wakuu MKAKATI Mwelekeo Lengo na Madhumuni Lengo/Madhumuni ya jumla Bango Kitita (Mpango wa Utekelezaji) URATIBU, UFUATILIAJI NA TATHMINI YA UTEKELEZAJI Utangulizi Lengo la Ufuatiliaji na Tathmini Malengo mahsusi Uratibu Mchakato wa Ufuatiliaji na tathmini ya Utekelezaji Ufuatiliaji wa mchakato Ratiba ya Utekelezaji na Matukio ya Ziada REJEA 58 viii

9 ix

10 1.0 UTANGULIZI Mpango Kazi Shirikishi wa Ushiriki wa Watoto katika kufanya maauzi yanayohusu maisha yao ni juhudi za serikali katika kutetea haki za watoto na kuimarisha demokrasia nchini kulingana na sera za kitaifa na kimataifa, sheria mbalimbali zinazohusu watoto, demokrasia na maridhiano ya kimataifa kuhusu haki za watoto na usawa wa jinsia. Watoto wa Tanzania na kungineko wanakumbwa na changamoto nyingi ikiwa ni pamoja na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI wenyewe, kazi ngumu kwa watoto, kiwango kikubwa cha kukatishwa masomo, kipato duni katika familia, na ukosefu wa uhakika wa chakula. Matatizo mengine yanayowakumba watoto ni pamoja na elimu duni, unyanyaswaji wa kijinsia, ukatili na kudhalilishwa. Watoto wanakutana na ukatili na udhalilishwaji majumbani, mashuleni, ndani ya jamii zao na kungineko. Matokeo ya awali ya utafiti uliofanyika kitaifa na mashauriano na watoto na vijana kuhusu ukatili dhidi ya watoto yanaonyesha kuwa karibia asilimia 30 ya wasichana na takriban asilimia 15 ya wavulana wamefanyiwa ukatili kabla ya kufikia umri wa miaka 18 na karibia asilimia 70 ya wasichana na 67 ya wavulana wamefanyiwa ukatili wa shambulio la mwili. Wakati wa kuandaa Mpango kazi huu ilibainika kuwa kuna idadi kubwa ya watoto wanaofanya makosa yanayo kinzana na sheria zilizopo au kuwa mashahidi au waathirika wa uvunjaji wa sheria hizo. Idadi kubwa kidogo ya watoto wana aina moja au zaidi ya ulemavu na wengi wao huishi mitaani 1. Kutokana na takwimu za Sensa ya Taifa ya idadi ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, milioni 21,866,258 ambao ni sawa na asilimia 50.1 ya idadi ya watu wote 2 wana umri chini ya miaka 18 kwa Tanzania Bara. Idadi ya watoto wa umri chini ya miaka minane walikuwa 11,181,278. na takriban milioni moja wako chini ya umri wa miaka mitano, takriban milioni nane ya watoto wanaishi kwenye umaskini uliokithiri na mmoja kati ya wasichana wanne wenye umri chini ya miaka 18 tayari wameshaanza jukumu la kuzaa. Aidha asilimia 58 ya watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi sita na asilimia 97.7 ya watoto wenye ulemavu hawapati elimu ya awali (BEST 2012). Takriban wasichana 8,000 wanaacha shule kila mwaka kutokana na mimba za utotoni. Mnamo 2001, makadirio ya vijana wenye umri wa miaka wanaoishi na virusi vya ukimwi/ukimwi walikuwa asilimia 4.3. Mkakati mmojawapo wa kuhudumia watoto ambao wanaishi kwenye mazingira magumu na kuwalinda na kuwawezesha kupata haki zao za elimu, afya na nyinginezo ni kuwawezesha kushiriki katika kufanya maamuzi ya maswala yanayohusu maisha yao. Sababu hizi zinajenga hoja nzito ya uwepo wa Mpango kazi huu ili kufanikisha utekelezaji. Mchakato wa kukusanya maoni ya wadau katika uandaaji wa Mpango Kazi wa Ushiriki wa Mtoto ulilenga kwenye kutathmini hali halisi ya sasa kuhusu ushiriki wa watoto katika maswala yanayowahusu. Ilitambulika kuwa kwa kiasi fulani kuna uelewa 1 URT, NBS, National Population and Housing Sensus Sera ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto Tanzania, Oktoba 2013, uk.1

11 miongoni mwa watoto na hata watu wazima kuhusu ushiriki wa watoto, uelewa ambao unaashiria kuwa mazingira yako mazuri na ni wakati muafaka kuhimiza ushiriki wa watoto katika kufanya maamuzi ya masuala yanayowahusu. Licha ya hali kuwa hivyo, kuna mitizamo hasi miongoni mwa wanajamii inayoashiria vikwazo /pingamizi katika kuelewa kwamba watoto wana haki ya kushiriki katika kufanya maamuzi ya mambo yanayohusu maisha yao na hivyo wanastahili kushiriki sawa na watu wazima katika jukumu hilo la kijamii. Hali zote mbili zinatoa msisitizo wa uwepo wa Mpango Kazi Shirikishi; kuimarisha uelewa uliopo kuhusu ushiriki wao na kujenga mitizamo chanya katika swala hili na pia kutumika kama nyenzo ya kupambana na hisia hizo hasi zinazopinga ushiriki wa watoto kwenye maamuzi muhimu yahusuyo maisha ya watu. Pia kuna viashiria na vitendo vinavyochangia uwepo wa ushiriki wa watoto humu Tanzania, yakiwemo mabaraza ya watoto katika jamii, na mashuleni, vilabu vya watoto, na kamati mbalimbali pamoja na serikali inayojali ikishirikiana na Asasi Zisizo za Kiserikali. Itambulike kuwa kutokana na mila na desturi za Mtanzania, utamaduni ulikuwa kwamba mawasiliano na watoto yalijikita kwenye yale mambo yanayowahusu moja kwa moja kwa kutumia mbinu mbalimbali kuendana na mazingira ya mila zao. Licha ya kwamba mbinu hizi zilikuwa hazifuati kikamilifu taratibu za kidemokrasia za kuwahusisha watoto kwa yale yote yanayohusu maisha yao, kwa kiwango kikubwa, bado hizi mila zinatukumbusha kuwa umuhimu wa ushiriki wa watoto ulikuwa unatambulika na unapaswa kuheshimiwa na kudumishwa ndani ya misingi ya haki za binadamu. 1.1 Usuli na muktadha wa Mpango Kazi Huu Katika kuzingatia umuhimu wa ushiriki wa watoto katika kufanya maamuzi yanayohusu maisha yao na ya jamii kwa ujumla, pamoja na umuhimu wa kuzingatia haki zao, serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa kipaumbele kikubwa kwa watoto. Hata hivyo, Mpango Kazi huu unahusu Tanzania Bara tu ijapokuwa kuna uwezekano wa kupanuka hadi Tanzania Visiwani. Katika ngazi ya kitaifa, na katika kuhakikisha kuwa haki ya mtoto kushiriki katika maamuzi yanayohusu maisha yake inazingatiwa, juhudi nyingi zimechukuliwa na serikali kwa kuzingatia umuhimu wa kutimiza haki za watoto, hivyo serikali imetoa kipaumbele kwa watoto kwenye nyanja mbalimbali kisera na kisheria: a) Serikali ya Jamhuri ya Muungano imeridhia mikataba ya kimataifa na ya kikanda inayohusu haki za watoto. Hii mikataba ni pamoja na: i) Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Watoto ii) Mkataba wa Afrika wa Haki na Ustawi wa Watoto b) Licha ya kuridhia mikataba hii ya kimataifa, serikali imechukua hatua madhubuti kutunga sheria, sera, mikakati na mipango kazi ili kuhakikisha kwamba haki zilizoainishwa katika mikataba hii inatekelezwa: i) Mwaka 2002 Serikali ilisimamia uundwaji wa Baraza la Taifa la watoto na mabaraza ya watoto katika ngazi ya jamii na mashuleni na klabu za watoto pamoja na kamati za kushughulikia masuala ya watoto. 11

12 ii) Baada ya kuunda Sera ya Maendeleo ya Watoto mwaka 2008, mwaka 2009, Bunge la Muungano lilipitisha Sheria ya Mtoto inayobeba dhamira ya serikali kuhakikisha kwamba watoto wote wanapata haki zao zote. iii) 2011 Serikali ilitengeneza kielekezi cha ushiriki wa mtoto Tanzania iv) 2011 Serikali ilitengeneza muongozo wa kuanzisha mabaraza ya vijiji, kata, wilaya na mkoa. v) Mwaka 2011 Serikali imesimamia na kuratibu utafiti wa kitaifa kuhusu ukatili dhidi ya mtoto. Kutokana na matokeo ya utafiti huo, mwaka 2012, Serikali iliandaa Mpango Kazi ulioshirikisha sekta mbalimbali katika kuzuia na kukabiliana na ukatili huo. vi) Mpango wa Kitaifa wa Kupunguza Umaskini, Mkukuta II (2010) unatambua uwepo wa watoto wanaokabiliwa na hali hatarishi na kuweka mikakati ya kuwalinda na kuhakikisha kwamba wanapata haki zao sawa na watoto wengine. Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto (WMJJW) ndiyo yenye jukumu la kusimamia na kuratibu utekelezaji wa mikataba, sera na sheria zinazolenga kutimiza haki za watoto. Mpango kazi huu unalenga katika kuhakikisha kuwa vikwazo vyote vinavyozuia ushiriki wa watoto katika kufanya maamuzi ya masuala yanayohusu maisha yao vinakomeshwa na sauti zao zinasikika na kuzingatiwa katika maamuzi ya kifamilia, kijamii na kitaifa na kimataifa yanayohusu maisha ya watoto na haki zao. Inapendekezwa kuwa, wadau wote ikiwa ni pamoja na serikali na asasi zisizo za kiserikali wapitie mpango kazi huu na kuchagua malengo na shughuli zile zinazolingana na majukumu yao na hivyo kutekeleza kikamilifu ili kupata mafanikio endelevu katika suala hili la ushiriki wa watoto. 1.2 Changamoto katika kutimiza haki za watoto kushiriki Tafsiri ya neno Mtoto Katika kufanikisha suala la ushiriki wa watoto, kuna haja ya kupata tafsiri halisi ya maneno mawili muhimu; mtoto na ushiriki wa mtoto kulingana na sheria na sera za Tanzania. Kisheria, kama ilivyoainishwa kwenye mkataba wa kimataifa wa haki za mtoto, mkataba wa Afrika wa Haki na Ustawi wa Mtoto na Sheria ya Mtoto, mtoto ni mtu yeyote mwenye umri chini ya miaka Kwa kuzingatia mazingira halisia ya kisheria, na kulingana na aina ya majukumu anayopangiwa mtoto, umri unaweza kuwa chini au juu ya miaka 18. Kwa mfano, katika Sheria ya Makosa ya Jinai, umri wa kuwajibika kwa mhalifu ni miaka 10. Katika jamii nyingi, mtu yeyote ambaye bado ni tegemezi kwa wazazi wake huwa anahesabika kuwa ni mtoto hata kama umri wake 3 12

13 unazidi miaka 18. Kwa upande mwingine, msichana ambaye amezaa au mtu yeyote ambaye ametahiriwa au amepitia jando 4 na unyago 5 anaweza asihesabike kuwa ni mtoto hata kama umri wake ni chini ya miaka 18. Hata hivyo, kwa ujumla Mpango Kazi huu unamtambua mtoto kuwa ni mtu mwenye umri chini ya miaka 18 kama ilivyotafsiriwa katika Sheria ya Mtoto (Sehemu ya II, 11) Tafsiri ya ushiriki wa watoto na vijana wadogo katika jamii Zipo tafsiri kadhaa za dhana hii zikizingatia kifungu cha 12 cha Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto ambacho kinasema kwamba kila mtoto ambaye anaweza kuchangia maoni ana uhuru na haki ya kutoa maoni hayo kuhusu masuala yanayomhusu bila woga wowote na kwamba maoni yao yapewe uzito unaostahili kulingana na umri wao. Hii ni mojawapo ya haki ambazo zimeainishwa kama haki ya msingi katika Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Haki ya Mtoto. Haki hii pia inaainishwa katika kifungu cha 5 cha Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto ambacho kinasema kuwa jukumu la kutoa mwongozo katika kujali haki za watoto, wazazi na walezi wa watoto katika ushiriki wa watoto kutoa maamuzi mbalimbali lilenge kwenye mwenendo wa ukuaji wa uwezo wa watoto. Hii inamaanisha kwamba, watoto wanapata uzoefu na ujuzi katika nyanja hii ya ushiriki jinsi wanavyokua na kupata fursa ya kushiriki na kupewa majukumu yanayoendana na ushiriki wao na pia hukomaa wanavyopata utashi wa kuwajibika kwa matendo yao yanayotokana na uchangiaji wao katika kufanya maamuzi yanayowahusu wenyewe. Mojawapo ya misingi mikuu iliyoainishwa kwenye Kamati ya Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto ni ule unaotokana na kifungu cha 3 ambacho kinatambua umuhimu wa kuzingatia matakwa ya mtoto wakati wote wa kufanya maamuzi. Kamati hii inaainisha kuwa kuna kuwajibika kwa pamoja katika kuamua kipi kina maslahi kwa watoto na hili hutokana na majadiliano na makubaliano kati ya watoto na watu wazima ijapokuwa uwajibikaji wa kufikia maamuzi hayo uko mikononi mwa watu wazima. Uwajibikaji huu wa pamoja pia una mipaka yake na muelekeo unaotolewa na wazazi au walezi wa watoto (na hata watu wengine wazima) unapaswa kuzingatia uwezo wa watoto kufanya maamuzi. Aina nyingine ya ushiriki ni ile inayoelezwa katika vifungu 13 hadi 17, ambavyo vinatoa tafsiri ya mwelekeo mwingine wa ushiriki katika jamii ambao unajumuisha uhuru wa kujieleza, uhuru wa dini, utashi, kujiunga kwenye kundi lolote, usiri na taarifa. Vifungu hivi vinazingatia Tamko la Kimataifa la Haki za Binadamu (UN Universal Declaration of Human Rights-UDHR), Kifungu cha 2, 12, 18, 19, 20 na 27. pamoja na mikataba ya kimataifa ya haki za kiraia na kisiasa na mkataba wa kimataifa wa haki za kiuchumi, 13

14 kijamii na kitamaduni ambapo inatambulika na kutamkwa na kukubalika kuwa kila mtu ana haki zote na uhuru zilizotamkwa kwenye matamko haya bila kujali tofauti za kitaifa, rangi, jinsi, lugha, dini, vyama vya siasa au itikadi yoyote au kabila, mahali mtu alipozaliwa au tofauti nyingine yoyote. Kuna misingi mingine ambayo inatukumbushia pia kuwa haki za binadamu ni kwa binadamu wa mataifa yote na hazihodhiwi wala kunyang anywa iwe ni haki za kiraia, kisiasa, kiuchumi, kijamii au kiutamaduni. Uwepo wa haki mojawapo hufanikisha kuwepo kwa haki nyingine na hivyo hivyo uvunjaji wa haki ya aina moja husababisha mlolongo wa uvunjaji wa haki nyingine. Ieleweke kuwa haki hizi hazihamishiki na uvunjaji wake kwa makundi fulani lazima uwe na kibali cha kisheria. Vifungu vya Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto, hasa vile vinavyozungumzia ushiriki inabidi vieleweke kwa kiwango kikubwa. Kwa wakati huu ndani ya jamii ya Kimataifa, umuhimu umewekwa kwenye mlengo wa kuzingatia Haki za Binadamu ili kufanikisha mkakati wa kuziona haki za binadamu kuwa hazihamishiki wala kunyang anywa kutoka mtu mmoja kwenda mwingine. Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto, kama nyenzo ya kufanikisha kutokuvunjwa kwa haki za binadamu pia inatafsiri haki za watoto katika jamii ambapo inajumuisha haki ya ushiriki katika maamuzi. Isitoshe, katika maoni ya jumla ya Kamati ya Haki za watoto No. 12, kamati ilitambua kifungu namba 12 kama kifungu muhimu katika kutambua msingi wa haki ya kushiriki ambao unawahusu watoto wote wenye uwezo wa kuchangia maoni, bila kujali umri wao mdogo, na kuwa haki hii inaainishwa katika nyanja zote za maisha, kuanzia katika ngazi ya familia, nyumbani, katika jamii, mashuleni, sehemu zote zenye makundi ya watu na huduma za jamii na popote pale ambapo sera na huduma za serikali zinahusika. Kamati ilisisitiza umuhimu wa kuwapatia watoto taarifa muhimu katika kupata fursa na muda wa kushiriki kikamilifu na kwa amani bila woga wala kubanwabanwa. Kwa hali hiyo, tafsiri halisi ya ushiriki ni mchakato endelevu ambao watoto wanapata fursa /na wanachangia kikamilifu katika kufanya maamuzi ya maswala yanayohusu maisha yao: Huwapa watoto fursa ya kuchangia maoni kuhusu mwelekeo wa mchakato wa utoaji maamuzi ya mambo muhimu ya maisha na yatokanayo na mchakato huo, Huhitaji kupeana taarifa na kuendesha majadiliano kati ya watoto na watu wazima ambayo yanalindwa na dhana ya kuheshimu mchango wa kila mmoja wao, dhana ambayo inaimarisha kuelewana, kutoa maamuzi ya pamoja na kushirikiana kwa nguvu moja katika kusimamia utekelezaji wa maamuzi hayo. Kuheshimu nguvu ya watoto ya kuchangia katika maamuzi ambayo inakua kila wanaposhiriki, ili kwamba uzoefu na mahitaji yao yanakubalika kama sehemu ya ukuaji na aina ya ushiriki wao. Humu Tanzania, Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009, Sehemu ya 2 Kifungu cha 11, kinaelezea namna ya kufanikisha kufikia malengo ya ushiriki wa mtoto kwa kuzingatia kifungu 12 cha Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto: Mtoto ana haki ya kutoa maoni yake na kusiwe na mtu yeyote kumnyima haki ya kushiriki mtoto ambaye ana uwezo wa kutoa maoni, kusikilizwa na kushiriki katika kufanya maamuzi ambayo yanahusu maisha yake. 14

15 1.3. Umuhimu wa Mpango Kazi Huu na changamoto zake Kwa nini ushiriki ni muhimu? Ushiriki kwa jinsi ilivyoonyeshwa hapo juu ni haki ya msingi, hivyo inatambulika kama haki inayowezesha haki nyingine zote kuwepo. Watoto wote kama ilivyo kwa watu wazima wana haki ya kushiriki na serikali zote duniani huwa zinategemewa kuheshimu haki hii kwa watoto bila kujali tofauti za aina yoyote miongoni mwa watoto. Ni muhimu kuelewa kuwa ushiriki wa watoto unachangia katika kufanikisha mchango wa watoto katika jamii kama wananchi wengine. Kutokana na uzoefu wao katika ushiriki moja kwa moja katika maswala yanayohusu maisha yao, watoto wanajijengea uwezo wa kuchangia katika kudumisha amani na demokrasia katika nchi zao kama raia wanaowajibika.kitendo hiki kinachangia katika kuendeleza utamaduni wa kuheshimiana ambao ni muhimu katika jukumu la kufanya maamuzi kwa kujadiliana badala ya kugombana na kutumia udikteta. Watoto wanajifunza kuwa haki za binadamu ni kwa kila mtu na hudumisha kuheshimiana na sio kushindana na kugombania. Ushiriki wa jamii nzima katika kufanya maamuzi ambao unahusisha watoto unasaidia serikali kuboresha huduma za jamii, na kuwapa wananchi nafasi ya kuwawajibisha watendaji wa serikali, kuhakikisha kuwa mchakato wa utoaji haki na ufuatiliaji wa sheria una tija. Watoto wanaposhiriki wanapata ujuzi, uelewa, na kujiamini, vitu ambavyo wanahitaji katika maisha yao. Hili linachangia katika maendeleo ya watoto kwa kiasi kikubwa kwa mfano huchangia katika kutimiza malengo ya elimu (Kifungu 29 cha Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto, maendeleo yao kikamilifu (kama ilivyoainisha katika kifungu 6 cha Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto) na uwezo wao wa kufaidi haki zao (Kifungu 5). Ushiriki wao pia unachangia katika kujali matakwa yao kama ilivyoainisha katika kifungu 3.1 cha Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto na kile cha 4.1 cha Mkataba wa Kanda ya Afrika wa Haki na Ustawi wa Mtoto. Watoto ambao wanawezeshwa kijamii, kiuchumi na kisiasa wana uwezo pia wa kuwa wahamasishaji na watetezi hodari wa haki zao. Uwezeshaji huu una uwezo mkubwa wa kuchangia katika kujali haki za watoto. Watoto mara nyingi huwa wakimya na wavumilivu tu hata pale wanapofanyiwa ukatili na wanaponyanyaswa na watu wazima au watoto wenzao. Kuwapatia taarifa na kuwahamasisha kuzungumzia matatizo yao, kuna waelimisha kuhusu njia za amani na salama za kuhoji ukatili na unachangia kuwapa watoto ulinzi na kuishi kwa amani na furaha. Isitoshe, watoto wanaopata fursa ya kupata taarifa kuhusu afya na mambo ya afya ya uzazi wana nafasi nzuri ya kujilinda dhidi ya mimba za utotoni, magonjwa ya zinaa, Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Wafanyikazi vijana wanaojiunga kwenye vyama vya kijamii na harakati za maendeleo wana nafasi kubwa ya kujilinda dhidi ya unyonyaji, na udhalilishwaji katika sehemu zao za kazi, wana uwezo wa kudai malipo halali ya jasho lao na mazingira mazuri ya kufanyia kazi. Kwa upande mwingine wana uwezo mkubwa wa kupiga vita ajira za watoto makazini. 15

16 Zaidi ya hayo, ushiriki wa watoto unachangia kutoa na kusambaza taarifa na uelewa ambao unasaidia kuboresha utungaji wa sheria, uandaaji wa sera na bajeti, na utoaji wa huduma za jamii, kwa mfano, unachangia katika kufikia malengo ya Millennia (MDGs) Changamoto za kufanikisha Ushiriki Kuna changamoto nyingi katika kufanikisha ushiriki wa watoto. Kuna madaraja ya kujenga kati ya azma ya ushiriki na uhalisia wake katika maisha ya watoto na katika kufikia malengo mazuri ya sera zinazohusu watoto. Katika Kamati ya Haki za Watoto yafuatayo yaliainishwa: katika kifungu cha 12: Ili kufanikisha mashauriano, taarifa na michakato inatakiwa kuwafikia walengwa. Lakini kujidanganya kuwa watoto wanasikilizwa ni changamoto ndogo ila kukubali maoni yao na kuzipa uzito unaostahili hoja zao ni ishara ya mabadiliko makubwa. Kusikiliza sauti za watoto isichukuliwe kuwa ndio mwisho wa changamoto bali ieleweke kuwa njia tu kwa serikali kuwasiliana na watoto na kujua matendo yao kwa niaba ya watoto ambao wana ari na wamehamasika kulinda haki za watoto. Kifungu cha 12 kinadai uwepo wa mipango endelevu ya ushiriki. Ushirikishi na majadiliano na watoto huhitaji pia kuepuka kuonyesha kujali kwa kiasi kidogo tu na kulenga kwenye kupata uwakilishi wa maoni ya walio wengi. Msisitizo wa masuala yanayowahusu katika kifungu cha 12 (1) unaonyesha kuwa upatikanaji wa waoni ya vikundi mbalimbali vya watoto walio wengi kuhusu masuala yanayowahusu kwa mfano watoto ambao walishawahi kukumbwa na uhalifu kushiriki kutoa maoni kuhusu namna ya kuboresha sheria zinazolenga eneo hilo, au watoto walioasiliwa au wanaoishi katika familia zinazoasili watotokutoa maoni yanayohusu sheria ya kuasili na sera. Ni muhimu na jambo la busara kwa serikali kujenga mahusiano/mawasiliano ya moja kwa moja na watoto, na sio tu mahusiano kupitia asasi zisizo za kiserikali (AZAKI) au taasisi za kutetea haki za binadamu. Katika miaka ya awali ya Makubaliano/Mapatano haya, AZAKI zilichangia kuanzisha utaratibu wa kushirikisha watoto, lakini ni kwa faida ya serikali na watoto kuwa na mahusiano na mawasiliano ya moja kwa moja. Kamati ya Haki za Watoto pia ilisisitiza suala la sauti za watoto kusikilizwa katika ngazi zote kuanzia kwenye familia na hili ni muhimu pia kwa Tanzania: 90. Familia ambazo zinawapa watoto uhuru wa kujieleza na kutoa maoni yao ambayo yanathaminiwa kuanzia wakiwa kwenye umri mdogo zinakuwa za mifano ya kuigwa na humuandaa mtoto kujizoesha katika kutafuta haki ya kusikilizwa na jamii kubwa zaidi. 91. Makubaliano/Mapatano haya pia yanatambua haki na wajibu wa wazazi au walezi wengine kuwapatia watoto wao muelekeo unaoeleweka na ushauri, 16

17 lakini pia inasisitiza kwamba yote haya yafanyike kwa lengo la kumwezesha mtoto kufaidika na haki zake na kusisitiza kuwa muelekeo huo na ushauri utolewe katika mazingira yanayojenga kumwezesha mtoto na sio vinginevyo. 92. Serikali zihimize kwa kupitia sheria na sera wazazi na walezi na wale wanaohudumia watoto kuwasikiliza watoto na kuthamini maoni yao katika masuala yanayowahusu watoto. Wazazi washauriwe pia kuwasaidia watoto wao katika kutambua haki yao ya kujieleza na kuchangia maoni bila woga na kuhakikisha maoni ya watoto yanathaminiwa wakati wote na katika ngazi zote za jamii. 93. Ili kusaidia kuboresha mfumo wa makuzi ya watoto unaoheshimu haki ya watoto ya kusikilizwa, Kamati inapendekeza kuwa serikali na vyombo vyake iandae programu ya mafunzo kutoa elimu kwa kuanzia kuendeleza tabia na mitizamo rafiki kwa watoto iliyopo na kutoa habari na taarifa kuhusu haki za watoto na wazazi zilizoainishwa katika Makubaliano haya. 94. Programu hizo zinapaswa kushughulikia na kufanikisha yafuatayo: Mahusiano yanayothamini mchango wa watoto na wazazi, Ushiriki wa watoto katika kufanya maamuzi, Matokeo ya kuipa uzito unaostahili maoni na michango ya mawazo ya kila mwanafamilia, Uelewa, uwezeshaji na uendelezaji pamoja na uthamini wa ujuzi, uwezo na uzoefu unaokua wa ushiriki wa watotona njia za kupambana na mitizamo na maoni hasi kuhusu haki za watoto ndani ya familia Mapendekezo ya misingi ya namna ya kupambana na mitizamo hii hasi na kujenga mazingira yanayofaa na yenye tija ya majadiliano kati ya watoto na watu wazima ni kama ifuatavyo: 1. Uwazi, ukweli na uwajibikaji 2. Mazingira rafiki kwa watoto 3. Usawa wa fursa 4. Ulinzi na usalama wa watoto 5. Ukereketwa wa kujali watoto na uwezo unaohitajika wa watu wazima Hivyo basi, watu wazima wanaoamua kushiriki na watoto katika majadiliano wanapaswa kufuata njia za uadilifu na kuyapa kipaumbele matakwa ya watoto. Watoto wanatakiwa wajengewe mazingira rafiki ambayo ni salama, mazuri na yenye kuwapa motisha kushiriki miongoni mwa watu wazima bila kuwa na woga wa kudharauliwa na kuzidiwa nguvu. Makundi ambayo yamewekwa pembezoni na ambayo mara nyingi hayahusishwi kwenye mambo mengi kama vile wasichana, au watoto wenye ulemavu ni muhimu wahusishwe. Watoto, kama ilivyo watu wazima ni kundi ambalo lina wahusika wanaotofautiana kwa misingi ya kijinsia, kikabila, kiuwezo, kiuchumi na tofauti nyinginezo. Hatua za makusudi zichukuliwe ili kuhakikisha kuwa makundi yote haya yanashiriki. Na uangalifu uwepo ili wote wajisikie wana fursa sawa bila ubaguzi wala kunyanyasika kwa namna 17

18 yoyote ile au kuathirika aidha kisaikolojia au kimwili. Watu wazima nao wajaribu kuhakikisha kuwa hawajifanyi wao wanajua zaidi na wawe wanawahamasisha watoto kushiriki kikamilifu kama wana uelewa wa kutosha wa jambo wanalolijadili, tabia ya usikivu na kuchangia maoni kwa faida ya wote. Hata hivyo, kwa wale wazee ambao walizoea mfumo wa kidikteta au ukandamizaji na ukali, ambao watoto walikuwa hawapati nafasi kukaa na wazee na kujadili pamoja, mabadiliko haya yatakuwa ni changamoto kubwa kwao. 2.0 HALI HALISI YA USHIRIKI WA WATOTO KWENYE MAUDHUI YA KITANZANIA 2.1 Maudhui ya Kisheria Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa kuanzia, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inajali watanzania wote bila kujali umri (kifungu cha 8 (1). Kulingana na Katiba, serikali inapaswa kuwajibika kwa watu, na watu kushiriki katika maswala yote ya serikali kulingana na misingi ya katiba. Watu wanaotajwa kwenye katiba ni pamoja na watoto na demokrasia na uwajibikaji vinazungumzia haki ya ushiriki hivyo watoto kama raia mwingine wa Tanzania wanafaidika na haki za ushiriki zilizoainishwa katika kifungu cha 18 cha Katiba ambacho kinatamka bayana uhuru wa kujieleza: (1) Bila upendeleo kisheria, kila mtu ana haki ya uhuru kujieleza, na kutoa maoni, kutafuta, kupokea na kusambaza taarifa na mawazo kupitia vyombo vya habari, bila kujali uraia, na pia ana haki ya uhuru wa kutokubughudhiwa kwenye mawasiliano hayo. (2) Kila raia ana haki ya kupata habari/taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali nchini na katika ulimwengu wote ambayo yana umuhimu katika maisha ya watu na pia maswala muhimu yanayohusu jamii. Kifungu 19 (1) kinaelezea haki ya uhuru wa mawazo, utashi, na imani: Kila mtu ana haki ya uhuru wa mawazo, au utashi, imani au dini anayoipenda, na uchaguzi katika maswala ya kidini, pamoja na uhuru wa kubadili dini au imani za kidini Kifungu 20 (1) kinahusu uhuru wa kujiunga na kikundi chochote: Kila mtu ana uhuru wa kujumuika kwa amani, kushirikiana na watu wengine, kutoa maoni yake kwa uwazi bila kificho, na kwa hakika zaidi kujiunga na kundi lolote ambalo limeundwa kwa madhumuni ya kulinda na uendeleza imani yake au matakwa yake au kwa jambo lingine lolote lile. Kifungu 21(2) kinazungumzia ushiriki wa raia. Kila raia ana haki pamoja na uhuru wa kushiriki kikamilifu katika mchakato unaolenga kufanya maamuzi kuhusu maswala yenye athari kwake au yanayomhusu maisha yake na yale ya taifa lake. 18

19 2.1.2 Sheria ya Mtoto (2009) Sheria hii ambayo imeanza kutumika mwezi Aprili mwaka 2010 ndio sheria pekee inayomlenga mtoto na ambayo imeweka misingi imara ya kulinda mtoto na kwa mara ya kwanza kuingiza haki za watoto katika sheria ya nchi. Sheria hii inaweka bayana uhuru wa watoto kujieleza na kutoa maoni yao, kusikilizwa na kushiriki katika kufanya maamuzi kwa mambo yanayohusu maisha yao na ya jamii zao. Pia sheria hii inasisitiza suala la kujali maslahi ya watoto kwanza katika maswala yote na kutokubagua watoto. Katika sehemu ya 15, sheria hii inasisitiza msimamo wa Mkataba wa Kanda ya Afrika wa Haki na Ustawi wa Mtoto, na kuhimiza kuwa watoto wana wajibu wa kuhudumia jamii na taifa lao kwa kutumia uwezo wa nguvu zao na akili zao kulingana na umri na uwezo. Kwa kuzingatia zaidi uchambuzi kuhusu swala la ushiriki wa mtoto katika jamii ya Kitanzania, Sheria hii ya Mtoto katika sehemu ya kwanza, Maelezo ya Awali imetamkwa kuwa: 2. Sheria hii inahusu Tanzania Bara tu katika swala la kulinda, kuendeleza na kusimamia maslahi na haki za mtoto Sheria hii inaendelea kuelezea haki za watoto katika Sehemu ya Pili chini ya kichwa cha habari cha Haki na Maslahi ya mtoto, kifungu kidogo cha (a) kuhusu Haki ya Mtoto ambavyo Kifungu cha 4 hadi 14 kinaelezea lengo la sheria hii. Kifungu cha 11 kinasema kuwa: Kila Mtoto ana haki ya kutoa maoni yake na asitokee mtu kumnyima mtoto mwenye uwezo wa kutoa maoni yake haki ya kujieleza, kusikilizwa na kushiriki katika kufanya maamuzi yanayohusu maisha yake. Kifungu hiki kinafafanua msimamo wa Sheria hii kama ilivyoelezwa katika kifungu cha 18 hadi 21 cha Katiba ya Nchi. Hili pia linaendana na Kifungu cha 12 cha Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto na Kifungu cha 7 cha Mkataba wa Afrika wa Haki na Ustawi wa Mtoto ambacho kinasema: Kila mtoto mwenye uwezo wa kujieleza atahakikishiwa haki yake ya kutoa maoni yake kwa uhuru katika masuala yote na kusambaza maoni yake ili mradi haendi kinyume na sheria zilizopo Mpango Kazi huu ni njia mojawapo ya kuwawezesha watoto kutoa michango yao inayotarajiwa katika jamii na taifa kama ilivyoelezwa katika sheria na mikataba mbalimbali Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini (2004) Hii ni Sheria inayomlinda mtoto katika Sekta ya kazi. Sehemu ya 5 (1) ya sheria hii inakataza ajira kwa watoto wenye umri chini ya miaka 14 ila wale wenye umri huo na kuendelea wanaweza kuajiriwa kwenye kazi nyepesinyepesi ambazo hazina madhara kwa ukuaji na afya yao na wala kuathiri maendeleo yao kielimu. Sheria hii pia inakataza ajira kwa watoto wenye umri wa miaka 18 kwenye ajira/kazi hatarishi. Ili kuwalinda watoto dhidi ya ajira za aina hizo, ni muhimu wao wenyewe 19

20 washiriki katika kuandaa taratibu za kuwalinda na Mpango Kazi huu utasaidia katika kufanikisha hilo. Mwaka 1998 Tanzania imeridhia Mkataba wa ILO wa Mwaka 1973 (Na. 138) kuhusu Umri wa Kuruhusu Mtoto Kuajiriwa and ule wa Ajira Mbaya kwa Watoto wa 1999 (Na. 182) uliridhiwa mwaka Sheria ya Virusi vya UKIMWI/ UKIMWI (Ulinzi na Kinga) (2008) Serikali inatambua wajibu wake kutoa huduma ya tiba, matunzo na msaada kwa watu wanaoishi na VVU na waliokatika hatari ya kuambukizwa VVU kwa kutumia raslimali zilizopo. Sheria hii inatamka kuwa upimaji hiari unapatikana kwa watu wote kwa ridhaa yao.sehemu ya 15 (2) inalenga watoto kwa kutamka kuwa: Mtoto au mtu yeyote ambaye hana uwezo wa kutambua matokeo ya upimaji atapimwa kwa ridhaa ya maandishi ya mzazi au mlezi anayetambulika. Hata hivyo, tamko hili linasahau kuwa siku hizi kuna mabadiliko kwa watoto kuwa wale wenye umri mkubwa kidogo wana uwezo wa kufanya maamuzi sahihi kuhusu upimaji wa Virusi vya Ukimwi na wanaweza kuelewa majibu ya upimaji huo. Msimamo huu unakinzana na nia ya ushiriki wa watoto na unaweza kukiuka haki za watoto katika suala la kupatiwa huduma zinazoendana na Virusi vya UKIMWI/UKIMWI haswa kwa watoto wenye umri mkubwa kidogo ambao wanaweza kuficha taarifa muhimu zakwao na za wenzao wa rika lao. 2.2 Maudhui ya Kisera Sera ya Maendeleo ya Mtoto (2008) Mazingira ya kisera ya kusimamia haki za watoto Tanzania ni mazuri kwa kiasi kikubwa. Ziko sera kadhaa ambazo ni rafiki kwa watoto. Sera ya maendeleo ya Mtoto (2008) kwa mfano hutoa miongozo kwa wadau wote katika kushiriki kwenye utekelezaji wa programu zinazolenga haki za watoto na maisha yao. Sera hii inaandaa utaratibu kwa wadau kuelewa majukumu yao ambayo yanapotekelezwa ipasavyo yanafanikisha utekelezaji wa mipango kuhusu watoto na usimamizi wake. Katika lengo lake la nne kwa mfano, sera hii inatamka wazi suala la ushiriki wa watoto unaolenga kutoa muelekeo kuhusu kuishi, kulindwa, kushiriki, kutokubaguliwa na kuhusu maendeleo ya mtoto kwa ujumla. Mpango Kazi huu kwa hiyo, ni nyenzo mojawapo iliyoandaliwa kutoa muelekeo wa namna ya kuwashirikisha watoto katika kutoa mchango wao na kushiriki katika masuala yanayowahusu ambayo hatimaye yanamuwezesha mtoto kupata maisha yenye ulinzi wa kutosha, usalama na maendeleo. Msimamizi wa sera hii ni Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, ambayo inawajibika kwa masuala ya familia. Wizara hii ina jukumu la kuelimisha na kutoa ujuzi kwa familia na jamii kwa ujumla katika lengo la kuwezesha watoto kuchangia na hivyo kuwa washiriki katika masuala yanayohusu maisha yao, familia zao, jamii zao na ngazi nyingine za shuguli za kiraia. Wizara hii katika Mpango Mkakati wake wa 2007/08 hadi 2009/10 imejidhatiti kujengea uwezo familia na jamii katika swala la ushiriki katika kufanya maamuzi, kupanga mikakati mizuri ya kutekeleza mipango ya maendeleo na kuimarisha uongozi wa kidemokrasia katika ngazi ya serikali za mitaa na taasisi zake. Hatua hizi itachangia kiasi kikubwa kufanikisha utekelezaji wa Mpango Kazi huu. 20

21 2.2.2 Sera ya Elimu Sera ya Elimu inaweka bayana suala la elimu ya msingi kuwa lazima kwa watoto wote na ushiriki wa watoto katika kamati za shule. Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Elimu ( ) inasisitiza malengo ya sera hii katika kulinda haki za binadamu ambazo ni pamoja na haki ya kupata elimu na ushiriki wa watoto katika masuala yote yanayowahusu. Kwa ujumla kila mtoto anapaswa kupitia mfumo wa elimu kabla ya kuwa mtu mzima na hivyo elimu ni sehemu nzuri kwa watoto kuanza kushiriki kwa kujijenga kwa maisha yao ya utoto na baadae ya utu uzima Sera ya Maendeleo ya Vijana Sera ya Maendeleo ya Vijana inalenga katika kuhamasisha vijana kushiriki katika nyanja zote za maendeleo kijamii, kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni na kuhimiza sekta zote za jamii kushiriki katika mipango inayolenga kwenye maeneo haya. Utekelezaji wa sera hii una uwiano mzuri na Mpango Kazi huu wa ushiriki wa watoto ambao utahamasisha na kuongoza vijana katika kuanza kutekeleza majukumu yao kuanzia umri wa chini. Katika Sera hii tafsiri ya neno vijana ni watu wenye umri kuanzia miaka 15 hadi 35. Mpango Kazi huu utahusishwa kwa karibu sana na Mkakati wa Kitaifa wa Ushiriki wa Vijana ambao mipango yake ya utekelezaji inaandaliwa chini ya usimamizi wa Wizara ya Uwezeshaji, na Maendeleo ya Vijana ambayo hivi karibuni jina lake limebadilishwa na sasa inajulikana kama Wizara ya Habari, Maendelo ya Vijana na Michezo Sera ya Taifa ya Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI/UKIMWI (2001) Sera hii inatambua haki za vijana kuhusu usiri, na upimaji hiari na ushauri nasaha / kwa ridhaa ya mlengwa baada ya kupata maelezo kamili. Sera hii pia inawezesha walenga kupata taarifa sahihi kuhusu Virusi vya Ukimwi/UKIMWI, programu za elimu shirikishi ya maswala ya kujamiiana, na taasisi zinazotoa elimu hiyo pamoja na mikakati maalum kwa vijana walio nje ya shule. Mpango kazi huu utawawezesha kufanikisha ushiriki wa watoto na mchango wao katika maswala yanayohusiana na Virusi vya UKIMWI/UKIMWI katika maisha yao, maisha ya wana rika, familia na jamii zao kwa ujumla Sera ya Utamaduni Sera hii inatetea matumizi ya Kiswahili kama lugha ya taifa na kutoa motisha kwa utumiaji wa lugha hii. Kiswahili ni lugha kuu ya mawasiliano katika ngazi zote na lugha inayotumika katika mfumo wa elimu, hasa katika shule za msingi. Matumizi ya lugha moja ya kitaifa yatasaidia sana kufanikisha utekelezaji wa Mpango Kazi huu. Lugha moja ya kitaifa inatoa fursa kwa ushiriki wa watoto unaowawezesha mawasiliano rahisi na yenye tija katika ngazi zote. Hata hivyo, Mpango Kazi huu unatoa nafasi kwa lugha zote mbili, ya Kiswahili na Kiingereza kutumika katika utekelezaji Mchakato wa Maboresho ya Serikali za Mitaa Maboresho ya serikali za mitaa yanayo lengo la kupeleka huduma za serikali karibu na wananchi na kuhamasisha ushiriki mkubwa zaidi wa jamii katika uongozi, hii ikiwa ni pamoja na ushiriki wa watoto. Ongezeko la ushiriki wa jamii katika uendeshaji na uongozi wa kidemokrasia katika taasisi mbalimbali utasaidia kuleta uwiano na usawa katika ugawaji wa raslimali katika serikali za mitaa, na mipango inayolenga maendeleo 21

22 ya watoto. Mpango kazi huu utasaidia kutoa mwongozo zaidi kwa serikali za mitaa na taasisi zinazojali demokrasia katika kufanikisha kuingiza mchango wa watoto na ushiriki wao katika kufanya maamuzi kwa yale yote yanayowahusu watoto na jamii zao Jumuisho la Sera Utekelezaji wa sera zote hizi unachangia katika kufanikisha utekelezaji wa MKUKUTA II (Mpango wa Pili wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania) ambao unatambua umuhimu wa utawala bora kama msingi wa kukua kwa uchumi, maisha bora na katika kundi la III la maeneo muhimu ya MKUKUTA kwa mfano, MKUKUTA unaelezea utaratibu wa kufanikisha utawala bora na ushiriki wa raia katika ngazi zote. Mpango Kazi huu utasaidia katika utekelezaji wa lengo hili la MKUKUTA kwa kutoa miongozo ya ushiriki wa watoto katika utawala. Ushiriki wa raia unaojumuisha ushiriki wa watoto ni msingi wa demokrasia na utawala bora. MKUKUTA II pia unasisitiza suala la kulinda haki za binadamu kwa watu wote, watoto kwa watu wazima, wake kwa waume. Kuhusu haki za watoto, chini ya Lengo la 3 sehemu ya pili MKUKUTA unatambua umuhimu wa kuzilinda haki za watoto: Kuheshimu haki za watoto kunachangia katika kuendeleza utamaduni wakulinda haki za binadamu kwa vile watoto watakua wakiwa wanajua haki zao, majukumu na wajibu wao kama watu wenye haki. MKUKUTA pia unaelezea maudhui ya kuingiza ushiriki hasa wa vikundi vya watoto wenye mahitaji maalum kwa lengo la kuboresha maisha yao kwa kuboresha huduma za jamii kama vile elimu ulinzi na uhai wao, afya na lishe, maji safi na salama, usafi wa mazingira, makazi yenye heshima, na mazingira endelevu. Katika kufanikisha haya, aina na utawala unaothamini ushiriki wa raia wote unatambulika kuwa ndio kiini cha mafanikio. Kwa hali hiyo, ushiriki wa watoto kama inavyotambulika kikatiba, na nafasi yao kama ulivyoelezwa katika Sheria ya Watoto, kuwa hakuna ubaguzi wala kutengwa kwa kikundi chochote, vyote hivi ni fursa kwa watoto kushiriki katika majukumu ya kuleta maendeleo ya nchi kwa ushirikiano na watu wazima. Ukweli ni kwamba, kwa kuwa watoto ni sehemu kubwa ya idadi ya watanzania, mchango wao ni muhimu katika kufanikisha malengo ya MKUKUTA. Kwa kupitia sauti zao, matumaini ya kizazi ambacho hatimaye kitachukua dhamana ya hatma ya utawala na uhai wa taifa yatafikiwa kwa manufaa ya raia wote na hivyo ushiriki wao ni muhimu katika kufikia malengo ya MKUKUTA. 3.0 MATEGEMEO YA WATOTO KATIKA USHIRIKI Mara nyingi ushiriki wa watoto umekuwa unatafsiriwa vibaya. Mfano halisi ni kuhusu mchango wa watoto katika kazi za nyumbani, mahudhurio darasani, na mchango wa majibu kwa maswali wanayouliza waalimu, pamoja na watoto wenyewe kuuliza maswali. Shughuli hizi zinahusiana na dhana ya ushiriki wa watoto kama sehemu ya kuendeleza ushiriki katika shughuli za jamii. Ni vigumu sana kwa watu wengi kuelewa ushiriki katika jamii zaidi ya mifano iliyotajwa hapo juu, na tunapojaribu kuhusisha ushiriki 22

23 katika eneo la kufaidi haki za msingi za raia inawawia vigumu zaidi watu wengi. Kwa mfano, kule tu kufikiria kwamba watoto waruhusiwe kutoa maoni yao katika kufanya maamuzi mbalimbali inaweza kuonekana kwamba ni kitu cha kinadharia tu ambacho hakiwezekani. Ukweli ni kwamba sio kitu kigumu hata kidogo. Kwa ufafanuzi rahisi zaidi, kikundi cha mashirika mbalimbali ya ushiriki wa mtoto Inter-Agency Working Group on Children s Participation 6 kimeelezea msingi mkuu katika suala hili kwamba: Haki za kiraia zinaanzia pale mtoto anapozaliwa, wakati mtoto anaandikishwa katika ofisi ya Uzazi na Vifo, ambapo tendo hili ni msingi wa kufaidi haki nyingine ambazo ni stahili ya mtoto kama vile kupata huduma za afya na elimu, ulinzi dhidi ya aina zote za unyonyaji kiuchumi, na kijinsi, na kutendewa haki wakati mtoto anapotenda kosa au kuvunja sheria Mtoto anavyozidi kukua, mchango wake huongezeka na mazingira yanayomsaidia kutoa mchango huo nayo hubadilika. Hili ni muhimu kueleweka katika Mpango Kazi huu, ambao umejikita kwenye kusimamia haki ya watoto kusikilizwa na kupanua wigo wa jinsi watoto wanaweza kuchangia katika kuandaa mipango na kufanya maamuzi muhimu katika jamii ya kitanzania kwa ujumla. Kwa kuzingatia maudhui ya haki za binadamu, ambapo ushiriki wa watoto ni kiini cha haki za binadamu, kuna haja ya kutambua hili kuwa ni sehemu muhimu ya malezi na makuzi ya watoto, na kujitambua, ambavyo vinaendana na kujenga uwezo wa kufanya maamuzi na maendeleo ya ari ya kujithamini na kujiamini. Kwa mtizamo wa Haki za Binadamu, ambapo ushiriki wa watoto ni miongoni mwa haki hizo, inabidi itambulike kuwa haki hii ni sehemu ya makuzi na humfanya mtu kujitambua na kujithamini na pale inapohusishwa na swala la kufanya maamuzi, huwa ni sehemu ya ukuaji wa ari ya kujiendeleza kwa kujiamini. Kwa ujumla hakuna sababu ya kutenganisha majukumu ya watu wazima na watoto kama ilivyokuwa siku za nyuma. Ili kutambua hili, ni budi ifahamike kuwa haki za watoto sio tofauti na zile za watu wazima. Hivyo basi, wote wanapaswa kufahamishwa haki zao hizo, na watoto wanapaswa kuamini kuwa watapata haki zao ambazo ni pamoja na: Kupata taarifa (kuhusu masuala yote yanayowahusu na mengineyo); Kuweza kupata habari na pia kutafuta habari; Kuwa na maoni yao na uwezo wa kusambaza maoni hayo yasikike (kwa watoto wenzao na watu wazima); Kuwa na uwezo wa kushiriki katika majukumu mbalimbali katika jamii Kuheshimu maoni ya watu wengine na maoni yao kuheshimiwa/kuthaminiwa ; Kushiriki kikamilifu katika majukumu na michakato mbalimbali katika jamii; Kushirikishwa kutoa ushauri katika masuala ya kufanya maamuzi na kuwa wadau wakuu katika kupitisha maamuzi hayo; na 23

24 Masuala yao muhimu kuzingatiwa na hivyo kuingizwa kwenye michakato ya kufanya maamuzi, na wakiwa na taarifa kamili ya maamuzi hayo na matokeo au athari ya maamuzi hayo. Yote haya yafanyike kulingana na uwezo wa watoto kuchangia na kushiriki katika michakato kwa njia ambazo maoni yao yatapewa uzito unaostahili kutokana na uwezo (kifungu cha 5 cha Mkataba wa Kimataifa kuhusu Haki ya Mtoto, na hili lionekane kwa mtizamo chanya na kuwa ni mchakato unaolenga kuleta maendeleo na makuzi, kujitambua na kujieleza. Mchango huu wa watoto uchukuliwe pia kuwa utazidi kuongezeka kila wanapopata fursa ya kushiriki na kutoa nafasi kwa kila mtoto kuchangia kwa uwezo wake. Ni vyema pia kutambua kuwa ukomavu wa watoto katika swala hili unachangiwa kwa kiasi kikubwa na aina ya taarifa anayopata na kuitumia katika kila fursa anayoipata na uzoefu anaoukusanya, mazingira, matarajio ya jamii kulingana na tamaduni, na pia kiwango cha msaada anaoupata kutoka kwa watu wazima na jamii yake. Utekelezaji na viwango vya ushiriki wa mtoto vinapendekeza; kuhakikisha yafuatayo: Kwamba masuala yaliyo na manufaa kwa watoto kushiriki ni yale ambayo watoto wananufaikanayo wakishiriki na yanayotokana na mchango wao, kimaarifa, kiujuzi na kiuwezo; Watoto wanahusishwa katika kuandaa vigezo vya kuchagua wawakilishi wao katika ushiriki Watoto wana muda wa kujiandaa kushiriki na michakato/mifumo inaandaliwa kuhakikisha kuwa wanashiriki kikamilifu kutoa maoni yao na kupata ridhaa kutoka kwa wenzao kwa yale watakayochangia. Watoto wanashiriki kwa ridhaa yao wenyewe, bila shinikizo, na kwamba wana uhuru wa kujitoa kwenye ushiriki wakati wowote watakavyoamua wao. Watoto wanashiriki kwa namna, kiwango na kasi ambayo ni muafaka kulingana na uwezo wao na matakwa yao. Majukumu mengineyo ya watoto yanaheshimiwa na kuzingatiwa ili yasiathirike (kwa mfano majukumu ya nyumbani, shuleni au kazi zao). Utaratibu na mbinu zinazotumika zijumuishe mambo muhimu na kujengeka kwenye misingi ya mifumo rafiki kwa watoto iliyopo, maarifa na uzoefu kwa kuzingatia mazingira ya kijamii, kiutamaduni na mila na desturi. Msaada kutoka kwa watu wazima katika kujenga maisha ya watoto, (kwa mfano msaada wa wazazi/walezi na waalimu), unapatikana kuhakikisha kuwa unahamasisha zaidi ushiriki na kuzingatia ushiriki wa wasichana na wavulana. 4.0 UCHAMBUI WA WADAU, WIZARA NA TAASISI 4.1 Utangulizi Sehemu hii inazungumzia namna Mpango Kazi huu utakavyotekelezwa kwa kuhusisha wadau mbalimbali. Kwa ujumla, ili sauti za watoto zisikike na kuthaminiwa kikamilifu, majukumu mbalimbali yanahusika na watekelezaji ni pamoja na serikali, Asasi zisizo za kiserikali, na wadau wengine wa maendeleo. Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto ambayo ndio msimamizi mkuu wa masuala ya watoto itashirikiana na serikali kuu na idara zake, pamoja na Asasi zisizo za kiserikali kutekeleza mpango kazi huu. 24

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) TOLEO LA PILI Dar es Salaam, Oktoba, 2007 i ii JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) Dar es Salaam Oktoba 2007 YALIYOMO ORODHA YA VIFUPISHO DIBAJI SHUKRANI MUHTASARI RASMI SURA

More information

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Child Abuse & Neglect 43(2015)8 21 Orodha Yaliyomo inapatikana katika ScienceDirect Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Nakala ya Utafiti Mbinu za kuimarisha mifumo ya ulinzi wa mtoto kuanzia chini kwenda

More information

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII SHERIA KATIKA LUGHA RAHISI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA (TANGANYIKA LAW SOCIETY) KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA 2007 i WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Shukrani Ripoti

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa

More information

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Makala ya Mshiriki wa Mafunzo Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Shukrani Ripoti

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia HakiElimu & Policy Forum KUUELEWA MCHAKATO.indd a 1/20/10 11:00:56 AM KUUELEWA MCHAKATO.indd b 1/20/10 11:00:57 AM Kuuelewa Mchakato wa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA NGUZO KUMI ZA KWANZA (MFUMO WA UTEKELEZAJI) NGUZO YA 1 DIRA YA TAIFA YA KWANZA 1.1 Kupitisha Dira ya KWANZA SHUGHULI MAJUKUMU MUDA MHUSIKA MKUU 1. AZIMIO LA KWANZA 2. mpango wa utekelezaji wa KWANZA 3.

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

Shabaha ya Mazungumzo haya

Shabaha ya Mazungumzo haya Karibu Katika Mazungumzo Kuhusu Mchakato wa Uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii CCMP/UMOJA Shabaha ya Mazungumzo haya Kuwafahamisha viongozi wa makanisa kuhusu Mchakato wa CCMP ambao umekuwa ukitumika

More information

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda WARAKA WA TAARIFA YA MRADI (PID) HATUA YA TATHMINI TAARIFA NA..: AB4376 Jina la Mradi Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda AFRIKA Sekta Madini na Uchimbaji mwingine (100%) Namba ya

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MHESHIMIWA SOPHIA M. SIMBA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2013/14 DODOMA Mei,

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Gervas Zombwe 1 1. Utangulizi Katika mazingira ya kawaida kabisa ndani ya jamii yetu, Imezoeleka kusikia au kuona watu wakioanisha dhana ya elimu

More information

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi International Labour Office Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi 1 Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2007 Kimechapwa mara ya kwanza 2007 Machapisho ya Ofisi ya Shirika la

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MFUMO WA RUZUKU YA MAENDELEO YA MTAJI WA SERIKALI ZA MITAA (LDCDG) UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI Kijitabu cha Mshiriki

More information

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 1. Utangulizi Changamoto kuu iliyopo kuhusiana na Elimu ya msingi nchini Tanzania kwa sasa ni namna

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011.

HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011. Saint Augustine University of Tanzania From the SelectedWorks of Daudi Mwita Nyamaka Mr. Winter December 9, 2011 HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

Mwongozo wa Mwezeshaji

Mwongozo wa Mwezeshaji JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Mwongozo wa Mwezeshaji Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka lugha

More information

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition

More information

Ufundishaji wa lugha nyingine

Ufundishaji wa lugha nyingine CHUO CHA ELIMU CHA KIMATAIFA OFISI YA ELIMU YA KIMATAIFA Ufundishaji wa lugha nyingine Na Elizabeth B. Bernhardt ELIMU MAZOEA KITABU NA. 20 1 Chuo cha Elimu cha Kimataifa (The International Academy of

More information

Kuwafikia waliotengwa

Kuwafikia waliotengwa Kuwafikia waliotengwa Kuwafikia waliotengwa Muhtasari Chapisho la UNESCO 2 M U H T A S A R I R I P O T I Y A U S I M A M I Z I W A K I M A T A I F A W A M R A D I W A E L I M U K W A W O T E 2 0 1 0 Ripoti

More information

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Msingi wa Programu zote za Uimarishaji Ubora Toleo la 1 kwa Lugha ya Kiswahili

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Imechapishwa na: The Atlas Alliance Schweigaardsgt 12 SLP 9218 Grønland 0134 Oslo, Norway Simu: +47

More information

Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza

Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania 2015 2016 Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa,

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Martha Qorro 1 1.0 Utangulizi Elimu ni suala la jamii ambalo mipango na taratibu zake zinahitaji kushirikisha wadau

More information

AZAKI PIGA KURA UCHAGUZI MKUU TANZANIA OKTOBA. #TanzaniaTuitakayo OKTOBA 2015 ILANI YA UCHAGUZI YA AZAKI TANZANIA.

AZAKI PIGA KURA UCHAGUZI MKUU TANZANIA OKTOBA. #TanzaniaTuitakayo OKTOBA 2015 ILANI YA UCHAGUZI YA AZAKI TANZANIA. ILANI YA UCHAGUZI YA AZAKI TANZANIA AZAKI. #TanzaniaTuitakay PIGA KURA UCHAGUZI MKUU TANZANIA OKTOBA 2015 Tvuti: http://www.thrd.r.tz/ Barua pepe: thrddefenders@gmail.cm Sanduku la Psta: 105926 Mahali:

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey

More information

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to

More information

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu Nyenzo ya Mafunzo Vi Agroforestry Vi Agroforestry ni shirika la ushirikiano la maendeleo la Sweden, linalopambana dhidi ya umasikini na

More information

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo, HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU, KWENYE SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA HAMSINI YA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, TAREHE 08 JUNI 2008, MSIMBAZI CENTRE, DAR ES SALAAM Mhashamu

More information

HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE

HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE SAUTIZETU HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE 01 SAUTIZETU HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE SAUTI ZETU Huduma za Afya kwa wote THE OPEN SOCIETY INITIATIVE FOR EASTERN AFRICA (OSIEA) (JAMII WAZI YA MPANGO WA AFRIKA MASHARIKI)

More information

Mipango ya miradi katika udugu

Mipango ya miradi katika udugu Partnerschaftlich Projekte planen Mipango ya miradi katika udugu 2 Dibaji... 3 Utangulizi... 4 I. Nafasi ya (Wajibu wa) Fedha katika Udugu: Mtazamo wa Ki-indonesi... 5 II. Namna UEM Inavyowezesha Miradi

More information

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ;II. -~ ~.! ~ l Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ~n.~ SURA YA KWANZA SHERIA YA ARDHI 1 UTANGULIZI Sura hii itaiangalia ARDHI na umuhimu wake katika maisha ya binadamu. Ardhi ni rasilimali

More information

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji! Yaliyomo Kuhusu kitabu hiki Kuhusu kitabu hiki.........................................................1 Unapojisikia vibaya.........................................................2 Unapoanza kuwa mzima

More information

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2009/2010 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu

More information

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo Taarifa ya Warsha Kuhusu Elimu-Jumuishi Iliyofanyika Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Kujifunza hakuna mwisho. Kazi ya vikundi imenipa fursa ya kujieleza bila kuhofia kuwa ningekosea.

More information

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue? Tufundishane! Let s teach each other! This newsletter is published by The Foundation for Tomorrow and is meant to be a venue for teachers and schools to share and learn from each other s best practices.

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information