Makala ya Mshiriki wa Mafunzo

Size: px
Start display at page:

Download "Makala ya Mshiriki wa Mafunzo"

Transcription

1 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Makala ya Mshiriki wa Mafunzo Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka lugha ya Kiingereza na Benny Muga Lugoe

2

3 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010

4 Mwongozo wa Mwezeshaji WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII, 2010 Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI S. L. P DAR ES SALAAM Kimetafsiriwa kutoka lugha ya Kiingereza na Benny Muga Lugoe ISBN Sehemu yoyote ya kitabu hiki inaweza kunukuliwa na Mashirika yasiyo ya kibiashara ili mradi waitambue na kuitaja Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) Kimeandaliwa na kuchapishwa na WAUJ kwa msaada wa JICA/CDC/AMREF/WHO ii

5 Yaliyomo VIFUPISHO SHUKURANI DIBAJI UTANGULIZI vi viii x xi MODULI 1 Kujitambua 1 Kipindi 1 Utambulisho 2 Kipindi 2 Kujifahamu 3 Kipindi 3 Amali 4 Kipindi 4 Kujielewa 5 Kipindi 5 Stadi za Maisha 6 Kipindi 6 Lugha inayohusiana na VVU 8 MODULI 2 Taarifa Muhimu kuhusu VVU, UKIMWI Ushauri Nasaha na Upimaji 9 Kipindi 1 Taarifa Muhimu kuhusu VVU na UKIMWI 10 Kipindi 2 Kinga ya mwili na VVU 11 Kipindi 3 Hali ya VVU na UKIMWI 12 Kipindi 4 Njia za Maambukizi ya VVU na Mienendo Hatarishi 13 Kipindi 5 Muhtasari wa Uambukizaji Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto na 14 Mpango Wa Kuzuia Uambukizaji wa Mama Kwa Mtoto Kipindi 6 Mikakati ya Kuzuia Maambukizi ya VVU 15 Kipindi 7 Simulizi Zisizo Kweli kuhusu VVU na UKIMWI 16 Kipindi 8 Istilahi Itumikayo katika Upimaji wa VVU 17 Kipindi 9 Nafasi ya katika Kuzuia 18 Maambukizi ya VVU, Kutoa Matunzo na Kuhimili Hali Halisi MODULI 3 Nadharia za Ushauri Nasaha na Mbinu 19 Kipindi 1 Nadharia za Ushauri Nasaha: Muhtasari 21 Kipindi 2 Nadharia ya Uchambuzi Kiakili 22 Kipindi 3 Nadharia ya Kitabia 23 Kipindi 4 Nadharia ya Uelewa 24 Kipindi 5 Nadharia ya Ubinadamu 25 kipindi 6 Stadi za Mawasiliano: Muhtasari 26 kipindi 7 Stadi za Mawasiliano: Mawasiliano Kamilifu 27 Kipindi 8 Mchakato na Taratibu za Ushauri Nasaha: Muhtasari 28 Kipindi 9 Kiwango cha Utoaji Huduma za Upimaji wa VVU na Ushauri 29 Nasaha(KUHU) na Protokali za Ushauri Nasaha Kipindi 10 Mchakato na Taratibu za Ushauri Nasaha: Hatua Kuu za Ushauri Nasaha 30 Kipindi 11 Mchakato na Taratibu za Ushauri Nasaha: Mbinu Saidizi katika Ushauri 31 Nasaha Kipindi12 Mchakato na Taratibu za Ushauri Nasaha: Vikwazo katika Ushauri Nasaha 32 kipindi 13 Sifa za Mshauri Nasaha Bora 33 Kipindi 14 Wajibu wa Mshauri Nasaha Bora 34 Kipindi 15 Ushauri Nasaha: Stadi za Kusikiliza na Kuuliza 35 Kipindi 16 Ushauri Nasaha: Stadi za Kutumia Ukimya 36 Kipindi 17 Ushauri Nasaha: Stadi za Kutumia Lugha ya Mwili 37 Kipindi 18 Ushauri Nasaha kabla ya Kupimwa Muhtasari: 38 Kipindi 19 Ushauri Nasaha kabla ya Kupimwa: Kuchambua Mienendo Hatarishi 39 iii

6 Kipindi 20 Ushauri Nasaha kabla yakupimwa: Kuandaa Mpango wa Kupunguza Hatari 40 Kipindi 21 Ushauri Nasaha kabla ya Kupimwa: Majibu ya Vipimo vya VVU na 41 Yanayoweza Kujitokeza Kipindi Ushauri Nasaha kabla ya Kupimwa: Maigizo Dhima Kipindi 22 Ushauri Nasaha baada ya Kupimwa: Kutoa Majibu Hasi ya Vipimo vya VVU 42 Kipindi 23 Ushauri Nasaha baada ya Kupimwa: Kuendeleza Mikakati ya Kupunguza 43 Hatari ya Maambukizi Kipindi 24 Ushauri Nasaha Baada ya Kupimwa: Kutoa Majibu Chanya ya Vipimo vya 44 VVU Kipindi 25 Ushauri Nasaha Baada ya Kupimwa:Kumwarifu mwenzi hali ya 45 maambukizi ya VVU Kipindi 26 Ushauri Nasaha baada ya Kupimwa: Ushauri Nasaha Saidizi 46 MODULI 4 Ushauri Nasaha kwa Makundi na Hali Maalumu 47 Kipindi 1 Ushauri Nasaha kwa Wenzi 49 Kipindi 2 Wajibu wa katika Ushauri 50 Nasaha kwa Wenzi Kipindi 3 Ushauri Nasaha kwa Familia 51 Kipindi 4 Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii katika Ushauri Nasaha kwa Familia 52 Kipindi 5 Stadi za Ushauri Nasaha kwa Vijana 53 Kipindi 6 Vipengele Vinavyoimarisha Ushauri Nasaha kwa Vijana 54 Kipindi 7 Muhtasari wa Ushauri Nasaha kwa Watoto na Masuala yake ya Kisheria 55 Kipindi 8 Stadi za Ushauri Nasaha kwa Watoto 56 Kipindi 9 Kuwahudumia Watu Wenye Ulemavu Katika Mtazamo wa Ushauri Nasaha 57 na Upimaji wa VVU Kipindi 10 Mbinu za Ushauri Nasaha kwa Makundi Yaliyo Katika Hatari ya 59 Maambukizi ya VVU Kipindi 11 Ushauri Nasaha wakati wa Upeo wa Mgogoro 61 Kipindi 12 Ushauri Nasaha wa Kupotelewa, Majonzi na Makiwa 62 Kipindi 13 Kumsaidia Mteja na Anayemhusu Kuhimili Kupotelewa 63 MODULI 5 Ushauri Nasaha, Matunzo na Matibabu 65 Kipindi 1 Muhtasari wa Huduma za Matunzo na Matibabu katika VVU na UKIMWI 67 Kipindi 2 Ujumla wa Matunzo katika VVU na UKIMWI 68 Kipindi 3 Wajibu wa Mshauri Nasaha kwenye Huduma ya Dawa za Kupunguza 69 Makali ya UKIMWI Kipindi 4 Muhtasari wa Maambukizi ya Kushabihiana kwa Kifua Kikuu na VVU 71 Kipindi 5 Ushauri Nasaha Unaohusu Kifua Kikuu na VVU na Uchunguzi wa awali 72 wa Uambukizo wa Kifua Kikuu Kipindi 6 Muhtasari wa Magonjwa ya Ngono na Magonjwa ya Uzazi 73 Kipindi 7 Muhtasari wa Magonjwa Nyemelezi 74 Kipindi 8 Lishe katika Hali ya Kuishi na VVU na UKIMWI 75 Kipindi 9 Ushauri Nasaha wa Lishe katika Hali ya Kuishi na VVU na UKIMWI 76 Kipindi 10 Unyanyapaa na Kutengwa katika Hali ya VVU na UKIMWI Kipindi 11 Unyanyapaa na Kutengwa katika Hali ya VVU na UKIMWI Kipindi 12 Masuala ya Kisheria na Haki za Binadamu 79 Kipindi 13 Masuala ya Kisheria na Haki za Binadamu kwa Watoto 80 Kipindi 14 Tahadhari ya Jumla na Kuimarisha Kuzuia Maambukizi 81 iv

7 MODULI 6 Usimamizi wa Utoaji Huduma za Ushauri Nasaha na 83 Upimaji wa VVU kwa Hiari Kipindi 1 Njia za Utoaji wa Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU Nchini Tanzania 84 Kipindi 2 Kuanzisha Kituo cha 85 Kipindi 3 Mifumo ya Utoaji wa Huduma ya Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU 86 kwa Hiari Kipindi 4 Usimamizi wa Mtiririko wa Wateja 87 Kipindi 5 Kuunda Mfumo wa Rufaa na Mitandao 88 Kipindi 6 Stadi za Kuingia Ndani ya Jamii 89 Kipindi 7 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU 90 kwa Hiari Kipindi 8 Zana za Kukusanyia Taarifa na Kuandaa Ripoti 91 Kipindi 9 Usimamizi na Mtiririko wa Taarifa 92 MODULI 7 Upimaji wa VVU Katika Huduma ya Ushauri Nasaha na 93 Upimaji wa VVU kwa Hiari MODULI 8 Mbinu za Ushauri Nasaha, Maadili na Usimamizi katika 95 Huduma za Ushauri Nasaha Kipindi 1 Mazoezi ya Ushauri Nasaha: Kujenga Mahusiano Kipindi 2 Mazoezi ya Ushauri Nasaha: Uvumbuzi Kipindi 3 Mazoezi ya Ushauri Nasaha: Uelewa Kipindi 4 Mazoezi ya Ushauri Nasaha: Kupanga Utekelezaji Kipindi 5 Utangulizi wa Maadili katika 97 Kipindi 6 Maadili katika 98 Kipindi 7 Msaada wa Kitaalamu kwa Mshauri Nasaha 99 Kipindi 8 Usimamizi wa Mshauri Nasaha 100 Kipindi 9 Mwongozo wa Kitaifa wa 101 Kipindi 10 Mazoezi Kituoni 102 Kipindi 11 Kubadilishana Uzoefu wa Kituoni 107 v

8 VIFUPISHO AMREF African Medical and Research Foundation CD4 Cluster Differentiation Antigen 4 CD8 Cluster Differentiation Antigen 8 CDC Centres for Diseases Control CHMT Council Health Management Team COUNSENUTH Centre for Counselling, Nutrition and Health Care DNA Diox-Nucleic Acid DOT Direct Observed Therapy (Treatment) HAART Highly Active Anti-Retroviral Therapy IEC Information Education and Communication ITECH International Training and Education Centre on HIV JICA Japan International Cooperation Agency MoHSW Ministry of Health and Social Welfare MUHAS Muhimbili University College of Health and Allied Sciences MUHIC Muhimbili University Health Information Centre MYN Magonjwa ya Ngono NACP National AIDS Control Programme NNRTIs Non- Nucleoside Reverse Transcriptase Inhibitors NRTIs Nucleoside Reverse Transcriptase Inhibitors NTLP National TB and Leprosy Programme ORCI Ocean Road Cancer Institute PIs Protease Inhibitors RHMT Regional Health Management Team RNA Ribo-Nucleic Acid TACAIDS Tanzania Commission for AIDS TFNC Tanzania Food and Nutrition Centre THIS Tanzania HIV and AIDS Indicator Survey UKIMWI Upungufu wa Kinga Mwilini UNAIDS Joint United Nations Programme on HIV and AIDS vi

9 VVU WAVIU WHO Virusi vya UKIMWI Wanaoishi na virusi vya UKIMWI World Health Organization vii

10 SHUKURANI Marejeo ya makala ya kufundisha kuhusu Ushauri Nasaha kwa ajili ya upimaji wa Virusi vya Ukimwi(VVU) kwa hiari na kuandaa juzuu ya Kiswahili ya makala haya ni matokeo ya juhudi zisizo na kifani za watu binafsi,wadau/mashirika na mchango wa, watoa taarifa.. Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) inapenda kutoa shukrani za dhati kwa wale wote waliotoa mchango wao katika kazi hii. Shukrani za kwanza kabisa zinakwenda kwa Shirika la Kimataifa la Misaada la Japani (JICA) kwa msaada wao mkubwa wa kifedha uliowezeshakazi hii kufanyika. Tunatambua na kushukuru mchango wa kitaalamu na uwezeshaji katika mchakato mzima uliotolewa na Bwana Benny Muga Lugoe (the consultant),, Dkt. Roland Swai (NACP), Dkt. Mary Ntiro (NACP), Bibi Peris Urasa (NACP), Bwana Nobuhiro Kadoi (NACP/JICA) na Bibi. Yukiko Sakurai (NACP/JICA). Tunapenda tena kutambua kazi aliyofanya Bwana Benny Muga Lugoe ya kutafsiri makala haya katika lugha ya Kiswahili na Bwana Antoni Keya kwa kupitia na kuhariri tafsiri hiyo. Tunapenda kutoa shukrani za pekee kwa Wawezeshaji wa kitaifa wa Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa hiari kwa mrejesho wao ambao ulituwezesha kupata mahitaji ya kuboresha mafunzo. Pia tunawashukuru wajumbe wa kikundi cha kitaalamu kilichokaa na na kuyapanga mahitaji hayo kwa njia ya kuboresha Kikundi hicho cha wataalamu kiliundwa na Wawezeshaji wa kitaifa wa Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa hiari; wajumbe kutoka katika kitengo cha Ushauri Nasaha na Msaada wa Kijamii cha Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI na wadau mbalimbali wa ifuatavyo: Mr. Aleck Barankena Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma Mr. Ambele Phillip Hospitali ya Mkoa ya Sumbawanga Mr. Anatory Didi AMREF Tanzania Mr. Andrea N. Mwinuka Hospitali ya Mkoa ya Iringa Mr. Elisante P. Mmanyi Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Ms. Fortunata Yambesi Hospitali ya Temeke Mr. Francis C. Mbugi Hospitali ya Mkoa ya Morogoro Dr. Jacob Pallangyo Hospitali ya Babati Mr. Jovin Tesha - PASADA Mr. Joel J. Hoza Hospitali ya Mkoa ya Tabora Ms. Lillian Mnzava Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Ms. Renata Mwanga - CEDHA Ms. Sifaa SAidi Chuo cha Wauguzi cha Bugando Ms. Violot Rugangila ITECH Tanzania Shukrani za dhati ziwafikie Center for Disease Control (Atlanta) kwa ajili ya ushauri wa kitaalamu walioutoa. viii

11 Mwisho, WAUJ inawashukuru wote ambao walitoa mchango wao kwa namna moja au nyingine katika kufanikisha marejeo na uandaaji wa makala haya ya Kiswahili ya kufundishia, kwani siyo rahisi kuwataja wote hapa. Dr. Deo M. Mtasiwa Mganga Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ix

12 DIBAJI Mwaka 2006, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ) ikishirikiana na Shirika la Kimataifa la Misaada la Japani (JICA) na washirika wengine wa serikali kwa pamoja walianzisha mchakato wa kuunganisha na kupata mafunzo yenye kiwango ya ushauri nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari. Kutokana na jitihada hizi, Makala ya kitaifa ya kufundisha Washauri Nasaha ilikamilika mwaka Mwaka huo pia wawezeshaji wote wa kitaifa walipata fursa ya kutumia makala hiyo mpya na matokeo yake yalikuwa ni mafanikio ya kutumia makala hii na washirika wote nchini. Hali hii imeiwezesha wizara kuhakikisha kuwa mafunzo ya ushauri nasaha na upimaji wa VVU ni ya kiwango kimoja nchi nzima. Hata hivyo kumekuwa na kilio kikubwa kutoka kwa wawezeshaji wa kitaifa na washiriki wa mafunzo kutaka kuwa na makala ya Kiswahili ya mafunzo haya. Pia mahitaji ya makundi mbalimbali katika jamii kuhusu ushauri nasaha na upimaji wa VVU yamekuwa yakijitokeza wakati wa tathmini ya kawaida katika mafunzo na wawezeshaji wa kitaifa wamekuwa wakiyafikisha kwenye Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI. Mapendekezo yaliyoainishwa yalichambuliwa na kujadiliwa katika mkutano wa kikundi cha wataalamu ambacho kilikuwa na wataalamu wa ushauri nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari, wawezeshaji wa kitaifa na washirika wa serikali.hivyo akala ya kufundishia imefanyiwa marekebisho kulingana na mapendekezo hayo Baada ya kufanya marekebisho haya,kwa kiingereza ndipo,tafsiri ya Kiswahili ilipoandaliwa. Naamini makala hii ya Kiswahili itakuwa ya manufaa zaidi kwa wawezeshaji na washiriki wa mafunzo. Hivyo tunategemea kwamba makala hii itatumika kwa ukamilifu na kuweka kiwango cha mafunzo ya ushauri nasaha kwa ajili ya kuhakikisha utoaji wa huduma iliyo bora nchini. WAUJ itaendelea kupokea mapendekezo yanayojitokeza kwa ajili ya kuboresha makala hii. Kwa hiyo tutashukuru sana kama utaendelea kuwasiliana nasi katika jambo hili Blandina S. J. Nyoni Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii x

13 UTANGULIZI Madhumuni na Malengo ya Mafunzo ya Madhumuni Kuchangia katika mpango wa taifa katika mapambano na VVU katika nyanja za kuzuia maambukizi, kutoa matunzo na matibabu kwa kutumia huduma za upimaji wa VVU unaoombwa na mteja mwenyewe. Lengo Kuu Kuwapa watoa huduma maarifa na stadi za kutoa huduma yenye ubora wa juu katika Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU unaoombwa na mteja mwenyewe. Usuli Tokea wagonjwa wa kwanza wa UKIMWI walipoonekana Tanzania mwaka 1983, janga la VVU na UKIMWI limeendelea kukua mwaka hadi mwaka. Kulingana na taarifa namba 19 ya uchunguzi uliofanywa na Mpango wa Kudhibiti UKIMWI mwaka 2005, hadi mwaka 2004 watu 1,840,000 (860,000 wanaume na 980,000 wanawake) walikuwa wakiishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI, asilimia themanini ya watu hao wakiwa kwenye umri wa miaka kati ya 20 na 49 ambao ni wenye nguvu ya kufanya kazi na kuzalisha mali. Sambaba na hali hii, huduma za Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU (hasa Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari) zimekuwa zikiongezeka tangu Hadi sasa kuna zaidi ya vituo 1072 vya huduma za Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari ambavyo vimeenea nchi nzima. Utafiti wa viashiria vya hali ya VVU na UKIMWI katika Tanzania (THIS) unaonesha kuwa ni asilimia 15 tu ya wananchi ambao wamekwishapata huduma hii. Hivyo basi bado kuna kazi kubwa zaidi ya kufanya. Hii imeongeza umuhimu wa jitihada za kuandaa makala yenye wiwango sahihi kwa ajili ya kufundisha washauri nasaha wengi zaidi. Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari humpa mtu nafasi ya kupata taarifa sahihi kuhusu VVU na UKIMWI. Ndio mlango pekee wa kuingilia kwenye matunzo, matibabu na taratibu za misaada. Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari humwezesha mtu kutambua kwa njia ya usiri jinsi ambavyo anaweza kuwa katika hatari ya maambukizi ya VVU. Huduma hii pia humwezesha mtu kutambua kwa undani matokeo ya hali yake ya kuwa na maambukizi au la, pamoja na jinsi ya kuishi kwa njia ya kuwalinda wengine ili kuzuia kuenea kwa maambukizi ya VVU. Pia huduma hii humwezesha mtu kufanya maamuzi ya busara kuhusu upimaji wa VVU. Kwa wale ambao tayari wana maambukizi ya VVU, Ushauri Nasaha huwawezesha kuhimili msongo wa hali hiyo, uwezekano wa kfanyiwa unyanyapaa, pamoja na kuweza kukabili masuala ya kisaikolojia na kijamii. Huduma za Ushauri Nasaha huwezesha rufaa kwenda kwenye huduma za matunzo, misaada na matibabu pamoja na kuwezesha maamuzi bora ya maisha ya baadaye. Mafunzo ya Washauri Nasaha Hapo awali mafunzo haya yalitolewa kwa kutumia mitaala tofauti, na muda wa mafunzo ulitofautiana. Makala hii imeandaliwa kutokana na mtaala wa kitaifa uliokubalika unaoendana na Mwongozo wa Kitaifa wa. Makala hii ya kufundishia imaendaliwa kwa ajili ya kufundishia washauri nasaha wanotokana na watoa huduma za afya na wale wasio katika huduma za afya kama vile walimu, wahudumu wa jamii na wahudumu wa masuala ya dini. xi

14 Jinsi ya Kutumia Makala hii Makala hii inaenda pamoja na Makala ya Mwezeshaji. Pia makala hii inasaidiwa na vitini ambavyo hutolewa mara kwa mara wakati wa uwezeshaji Mshirikiwa mafunzo anashauriwa kutafakari juu ya somo la wakati huo kwa kujibu maswali yaliyo ndani ya makala hii. Ni vema mshiriki wa mafunzo akapata wasaa wa kutafakari na na kujitathmini ili kuweza kuelewa mafunzo haya. xii

15 MODULI Kujitambua Muhtasari Kujitambua ni hali halisi na wazi ya kuelewa kuwa wewe unaishi. Kujitambua ni pamoja na kufahamu kuwa wewe unaishi kama mtu binafsi na tofauti na mtu mwingine. Kujitambua kunahitaji ukweli na uthubutu kuhusu mtu anavyofikiri na kuhisi na kuukubali ukweli anaouona kuhusu yeye. Mwanzo wa kujitambua ni kuelewa kuwa wewe ni mtu binafsi na tofauti, na kufahamu jinsi unavyohusiana na watu wengine pamoja na mazingira yako. Kujitambua kunategemea jinsi unavyoweza kujibu kwa uhakika maswali yafuatayo: Mimi ni nani? Niko wapi maishani? Ninakwenda wapi maishani? Kutoa majibu sahihi na ya wazi kwa maswali haya kunamwezesha mtu kupanga kwa urahisi mwelekeo wa maisha yake na kutambua uwezo alio nao. Moduli hii inatarajiwa kuwajengea washiriki wa mafunzo mbinu za kujitambua na kujithamini ili kuelewa wajibu wao kama washauri nasaha katika mchakato wa Ushauri Nasaha. Moduli hii itakuwa na mada zifuatazo Kipindi 1 Utambulisho (M1-1) Kipindi 2 Kujifahamu (M1-2) Kipindi 3 Amali (M1-3) Kipindi 4 Kujielewa (M1-4) Kipindi 5 Lugha Inayohusiana na VVU (M1-5) 1

16 M1-1 MODULI 1 Kipindi 1: Utambulisho (Dakika 120) Mwisho wa kipindi hiki washiriki wa mafunzo wanatarajiwa kuweza: 1. Kuchanganyika na watu wengine kwa njia ya utambulisho 2. Kujitambua wenyewe na uwezo wao wa kuathiri mahusiano 3. Kujithamini kwa uwezo walio nao Maswali ya Kujipima: Wakati utambulisho unaendelea andika uzoefu amabo ungependa kuupata kutoka kwa mtu mwingine pamoja, andika pia jina la mwenye uzoefu huo. Usiandike uzoefu wa vitu vingi sana ila jipangie mikakati ya kuutafuta uzoefu wa hivyo vichache. Tafakuri ya Kipindi: Fikiria ungejisikiaje kama: o Kila unapokutana na watu hutambulishwi kwao? o Wakati mwingi marafiki wanasema mambo mazuri juu yako? o Wakati mwingi marafiki wanasema mambo mabaya kuhusu wewe? Masuala Muhimu ya Kukumbuka: Kila mara watu wanapokuwa pamoja hupeana hisia za kuelewana kwa njia moja au nyingine. Kila mmoja anayo mambo mazuri ambayo angependa kumwambia mwingine. Siku zote tukumbuke kuwambia wengine mazuri. Kusema mambo mazuri kwa mteja kunamhamasisha na kunaimarisha Ushauri Nasaha. Ili kuona mazuri ya mtu mwingine inabidi ujitambue mwenyewe ili uweze kujua kuwa binadamu ana mapungufu. Tambua kuwa kila binadamu ana yale anayoyaweza na yale asiyoyaweza. 2

17 MODULI 1 M1-2 Kipindi 2 Kujifahamu (Dakika 60) Mwisho wa kipindi hiki washiriki wa mafunzo wanatarajiwa kuweza: 1. Kujitathmini na kujua uwezo wao. 2. Kutambua mchango wao katika kuathiri mahusiano. Maswali ya Kujipima: 1. Orodhesha ulichojifunza wakati washiriki walipokuwa wanachangia uzoefu wao. Jadili na jirani yako kuhusu linaloweza kutokea endapo mtu atamweleza mwenzie hali ngumu aliyowahi kupitia. Tafuta muda wa faragha ujitathmini kwa maswali haya 1. Uwezo wangu ni upi? 2. Mapungufu yangu ni yapi? 3. Watu wangine wananisemaje? 4. Je, nakubaliana na wanavyonisema? Kwa nini nakubaliana, ama kwa nini sikubaliani? 5. Ni nyakati zipi mbili nilipokuwa na furaha moyoni? 6. Ni vipengele gani vilivyofanya nikawa na furaha hiyo? 7. Nilipokuwa mdogo nilifurahia kufanya shughuli gani? 8. Ni nini kinachonimotisha? Kwa nini? 9. Ndoto zangu za usoni ni zipi? 10. Nachukua hatua gani kuzikamilisha hizo ndoto zangu? 11. Ninaogopa nini zaidi katika maisha? Kwa nini? 12. Ni sifa gani ninazopenda watu wengine wawe nazo? Kwa nini? 13. Je nina marafiki wengi? Kwa nini ninao, ama kwa nini sina? 14. Miitikio yangu ya kawaida kwa msongo ni ipi? 15. Huwa nafanyaje nisipokubaliana na maoni ya mtu? Kuwathamini wengine kunaanza na kujithamini mwenyewe. Hivyo unajitambua vema. Kujitambua kunatokana na uwezo wa kujitathmini na kukubali jinsi ulivyo. Kujitambua kunaleta furaha katika maisha. Kujitambua kunawezesha kujiamini wakati wa kuchangia mambo na watu wengine. Matokeo na uzoefu kutoka utotoni unachangia kwa kiwango kikubwa kwenye kujitambua. Kuzungumza masuala magumu amabayo yamempata mtu kunasadia kupunguza shinikizo la mawazo. 3

18 M1-3 MODULI 1 Kipindi 3 Amali (Dakika 60) Mwisho wa kipindi hiki washiriki wa mafunzo wanatarajiwa kuweza: 1. Kuainisha wanayoyapenda 2. Kutoa sababu za uchaguzi wanaoufanya 3. Kukubali amali za watu wengine Maswali ya Kujipima: Orodhesha amali zako zinzoongozwa na: Familia Jamii Mteja wako Dini yako Ungejisikiaje kama mteja angekupa zawadi kama ishara ya shukrani kwa kazi yako nzuri? Ungejibu nini? Amali ni ubora wa undani mwako. Amali zinasimamia unayoyapenda na usiyoyapenda. Familia, dini, jamii, mila na mazingira vinachangia katika makuzi ya amali. Mtu akifanya uamuzi kinyume na amali yake dhamira yake inamsuta. 4

19 MODULI 1 M1-4 Kipindi 4 Kujielewa (Dakika 60) Mwisho wa kipindi hiki washiriki wa mafunzo wanatarajiwa kuweza: 1. Kujielezea wao wenyewe, kwa mfano: Jinsi walivyo, wanvyoona wangependa kuwa na mtazamo wa kujithamini 2. Kueleza njia za kuendeleza kujielewa. Maswali ya Kujipima: Maumbile ya mwili wako yanachangiaje kwenye tabia yako? Je umewahi kutamani kuwa mtu wa aina ambayo umeshindwa/umefaulu kuifikia? Je mafanikio/kushindwa kufikia hali hiyo kumeathiri utendaji wako? Ni mara ngapi umeona aibu/umejivuna kwa sababu wewe ni mrefu/mfupi/mnene/mwembamba/ mweupe/mweusi? Umefanikiwa kwa kiasi gani kutaka kuwa mtu unayetamani kuwa? Je umefikia mategemeo yako? Kwa nini? Kujielewa ni njia ambayo watu wanavyojitafsiri na wanavyoishi. Kwenye kujielewa kuna kujifunza, kujipanga na kubadilika. Kila mtu anao uwezo wa kujenga mbinu kubwa za kujielewa. Uwezo huu unatokana na watu, mahali, sera, mipango na mchakato unaowekwa kwa makusudi ili kujenga uwezo huo. 5

20 M1-5 MODULI 1 Kipindi 5: Stadi za Maisha (120min) Mwisho wa kipindi hiki washiriki wa mafunzo wanatarajiwa kuweza: 1. Kuleza maana ya stadi za maisha 2. Kueleza umuhimu wa stadi za maisha 3. Kujadili mtazamo wa stadi za maisha 4. Kueleza stadi za maisha zinazotumika katika Ushauri Nasaha wa VVU na UKIMWI 5. Kufanya maamuzi sahihi Maswali ya Kujipima: Kwa nini tunahitaji stadi za maisha? Taja makundi matatu ya stadi za maisha na stadi zilizomo katika kila kundi Ninahitaji kurekebisha maisha yangu kwa namna gani nikitumia stadi za maisha? Mtazamo wa stadi za maisha hulenga stadi zinazohitajika katika maisha, nazo ni: mawasiliano Kufanya maamuzi sahihi kufikiri kuhimili mihemuko na msongo uthubutu kujithamini Kushinda shinikizo la kundirika mahusiano bora Mtazamo wa stadi za maisha unawezesha kujibu maswali matatu tafuatayo: Mimi ni nani? Ninataka kwenda wapi maishani? Nitafikaje hapo? Ziko stadi kumi ambazo hugawanyika katika makundi matatu : Stadi za kujitambua Kujitambua Kuhimili mihemko Kuhimili msongo Stadi hizi hujanga uwezo wa Kujiamini Uthubutu Kujithamini Stadi za kufikiri Fkra yakinifu 6

21 MODULI 1 M1-5 Fikra bunifu Kutatua matatizo Kufanya maamuzi Stadi hizi hujenga uwezo wa Kujiwekea malengo Kufanya maamuzi sahihi Uwezo wa kutatua matatizo Stadi za mahusiano Mahusiano Ushirikeli Mawasiliano Stadi hizi hujenga uwezo wa Kutatua matatizo Kujenga mahusiano bora Kutetea mabadiliko 7

22 M1-6 MODULI 1 Kipindi 6 Lugha inayohusiana na VVU (Dakika 60) Mwisho wa kipindi hiki washiriki wa mafunzo wanatarajiwa kuweza: 1. Kujadili changamoto zilizopo katika mawasiliano yanayohusu ngono na ujinsia 2. Kuainisha lugha yenye maana chanya kwa watu wanaoishi na VVU 3. Kuainisha lugha yenye maana hasi kwa watu wanoishi na VVU Maswali ya Kujipima: Ainisha hali ambazo kwazo ingekuwa rahisi kuzungumza masuala ya ngono na ujinsia na kwa hiyo kuwa rahisi kuzungumza juu ya VVU na UKIMWI. Unawezaje kutumia nafasi hizo kuwaelimisha watu wengine kuhusu VVU na UKIMWI? Ninawezaje kumweleza rafiki kuhusu VVU na ujinsia bila kuona aibu? Kuzungumzia masuala ya ngono na ujinsia waziwazi ni mwiko katika mila na desturi za makabila mengi Tanzania. Mshauri Nasaha anajifunza kuondokana na miiko hii hasa wakati anapomsaidia mteja. Hii inamsaidia mteja kuwa wazi na hatimaye kufanya uamuzi unaotokana na taarifa sahihi. 8

23 MODULI Taarifa Muhimu kuhusu VVU, UKIMWI Ushauri Nasaha na Upimaji Muhtasari Ongezeko la maambukizi ya VVU katika miaka kumi iliyopita linachangia kwa kiasi kikubwa katika kuharibu hali ya afya na mategemeo ya usoni ya Watanzania. Hali hii inavunja misingi ya maendeleo na jitihada za kuyafikia malengo ya millenia na malengo ya kitaifa. Watu wamekuwa na ufahamu mkubwa lakini hawajaweza kubadili tabia. Yampasa Mshauri Nasaha kuyaelewa haya yote na pia kuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu VVU na UKIMWI, upimaji na Ushauri Nasaha. Upimaji wa VVU na Ushauri Nasaha hufungua mlango wa kuingia kwenye matunzo na matibabu. Kwa hiyo, ili Mshauri Nasaha aweze kumsaidia mteja kutathmini uwezekana wa kuwa kwenye hatari ya maambukizi,hana budi kuwa na taarifa madhubuti kuhusu masuala ya VVU na UKIMWI na mchakato mzima na faida za kupima na Ushauri Nasaha. Moduli hii inatoa nafasi ya kujifunza mambo haya muhimu ili yawe zana kuu ya kazi kwa Mshauri Nasaha Moduli hii itakuwa na mada zifuatazo: Kipindi 1 Taarifa Muhimu kuhusu VVU na UKIMWI Kipindi 2 Kinga ya mwili na VVU Kipindi 3 Hali ya VVU na UKIMWI Kipindi 4 Njia za Maambukizi ya VVU na Mienendo Hatarishi Kipindi 5 Muhtasari wa Uambukizaji Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto na Mpango Wa Kuzuia Uambukizaji wa Mama Kwa Mtoto Kipindi 6 Mikakati ya Kuzuia Maambukizi ya VVU Kipindi 7 Simulizi Zisizo Kweli kuhusu VVU na UKIMWI Kipindi 8 Istilahi Itumikayo katika Upimaji wa VVU Kipindi 9 Nafasi ya katika Kuzuia Maambukizi ya VVU, Kutoa Matunzo na Kuhimili Hali Halisi 9

24 M2-1 MODULI 2 Kipindi1 Taarifa Muhimu kuhusu VVU na UKIMWI (Dakika 60) Mwisho wa kipindi hiki washiriki wa mafunzo wanatarajiwa kuweza: 1. Kueleza maana ya VVU na UKIMWI 2. Kutoa tofauti kati ya VVU na UKIMWI 3. Kujadili aina za VVU zilizopo Maswali ya Kujipima: Herufi VVU zinasimama badala ya maneno gani? Eleza kirefu cha UKIMWI. Eleza tofauti kati ya VVU na UKIMWI. Jeshi lote la nchi likiuawawa na wavamizi kunatokea nini? Linganisha hali hii na mfumo wa kinga ya mwili. VVU ni virusi ambavyo huingia mwilini na kushambulia mfumo wa kinga ya mwili Baada ya hayo kutokea magonjwa menginye hushambulia mwili na mtu huugua na kufa. 10

25 MODULI 2 M2-2 Kipindi 2 Mfumo wa Kinga na VVU (Dakika 120) Mwisho wa kipindi hiki washiriki wa mafunzo wanatarajiwa kuweza: 1. Kueleza maana ya kinga ya mwili 2. Kueleza jinsi VVU vinavyoharibu kinga ya mwili 3. Kueleza hatua za makuzi ya VVU kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani Maswali ya Kujipima: VVU huharibu mfumo wa kinga ya mwili kwa namna gani? Je, seli za CD4 zinaweza kujijenga upya baada ya kuharibiwa na VVU? VVU vinaanza kwa njia gani? Fikiria tabia ya hatari uliyowahi kuwa nayo amabayo inaweza kuwa imekuweka kataika hatari ya maambukizi ya VVU. Leo ungekuwa katika hali hiyo tena,je ungefanya kama uliovyofanya wakati huo? Mfumo wa kinga ya mwili ni njia ya mwili ya kupambana na magonjwa. Chembechembe nyeupe za damu ndizo zinaunda mfumo huo. VVU hingia mwilini na kuharibu seli za CD4. Seli za CD4 zinapoharibiwa magonjwa mengine yote kama kifua kikuu huingia mwilini bila kizuizi. 11

26 M2-3 MODULI 2 Kipindi 3: Hali ya VVU na UKIMWI ilivyo (Dakika 60) Mwisho wa kipindi hiki washiriki wa mafunzo wanatarajiwa kuweza: 1. Kujadili hali ya VVU na UKIMWI ilivyo kwa dunia, Afrika na Tanzania 2. Kueleza hali ya maambukizi ilivyo Tanzania 3. Kujadili athari za VVU na UKIMWI kwa mtu binafsi, familia, jamii na asasi mbaimbali. Maswali ya Kujipima: Hali ya maambukizi ya VVU yakoje katika tarafa, wilaya na mkoa wako? Ni watu wa umri gani ambao wameathirika zaidi na maambukizi ya VVU? Orodhesha baadhi ya matokeo ya VVU na UKIMWI ambayo umeyaona katika jamii yako. Mtu binafsi kama mimi ninaweza kufanya nini katika mapambano dhidi ya maambukizi ya VVU? Wagonjwa wa kwanza wa UKIMWI walionekana Tanzania kwa mara ya kwanza mwaka 1983 katika mkoa wa Kagera. Ilipofika mwaka 1986, mikoa yote ya Tanzania Bara ilikuwa imepata wagonjwa wa UKIMWI. Kufikia Desemba 2004 watu 1,840,000 (wanaume 860,000 na wanawake 980,000) walikuwa wanaishi na VVU. Kiwango cha maambukizi ni asilimia 5.7 wanawake wakiwa juu (6.6) zaidi ya wanaume (4.6). Kiwango pia kinatofautiana kati ya vijijini na mijini. VVU na UKIMWI vina matokeo makubwa sana kwa mtu binafsi na taifa kwa ujumla. 12

27 MODULI 2 M2-4 Kipindi 4: Njia za Maambukizi ya VVU na Mienendo Hatarishi (Dakika 60) Mwisho wa kipindi hiki washiriki wanatarajiwa kuweza 1. Kujadili njia za maambukizi ya VVU 2. Kueleza uhusiano kati ya njia za maambukizi ya VVU, magonjwa ya ngono na magonjwa ya uzazi 3. Kuainisha tabia hatarishi katika maambukizi ya VVU 4. Kujadili makuzi ya VVU. Maswali ya Kujipima: Ainisha vipengele hatarishi katika maambukizi ya VVU Fikiria jinsi ambavyo baadhi ya vipengele hatarishi vipokuweka karibu sana na maambukizi ya VVU. Mtu anaweza kupata maambukizi ya VVU kama majimaji ya mwili wake yakiingiliana na majimaji ya mwili wa mtu aliye na maambukizi ya VVU. Inaweza kuwa kwa. Kufanya ngono bila kinga Kuongezewa damu Kuchangia zana zenye ncha kali Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa ujauzito, kuzaliwa ama wakati wa kunyonyesha. 13

28 M2-5 MODULI 2 Kipindi 5 Muhtasari wa Uambukizaji Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto na Mpango Wa Kuzuia Uambukizaji wa Mama Kwa Mtoto (Dakika 60) Mwisho wa kipindi hiki washiriki wanatarajiwa kuweza 1. Kujadili ukubwa wa maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto 2. Kueleza njia za maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto 3. Kuainisha vigezovinavyohusiana na maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenga kwa mtoto 4. Kueleza malengo ya mpango wa kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto Maswali ya Kujipima: Jadili vigezo vinavyoongeza hatari ya maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto Nini kifanyike ili kupunguza kiwango cha maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto? Ni wasiwasi gani anaokuwa nao mama mjamzito anayeonekana kuwa anaishi na VVU anaokuwa nao akijua kuwa upo uwezekana hata kama ni mdogo wa kumwambukiza mtoto wake? Vipengele vinavyoongeza uwezekano wa maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa uchungu na kujifungua ni pamoja na : - Wingi wa virusi mwilini - Vigezo vinavyotokana na mama mwenyewe - Vigezo na uzazi - Vigezo vitokanavyo na mtoto - Vigezo vya baada ya kujifungua Asilimia ya watoto wanaozaliwa na mama wajawazito wanaoishi na VVU hawapati maambukizi. Ni asilimia tu ya watoto wanozaliwa na mama wanaoishi na VVU wanaoweza kuambukizwa. 14

29 MODULI 2 M2-6 Kipindi 6 Mikakati ya Kuzuia Maambukizi ya VVU (Dakika 120) 1. Kujadili mikakati ya kuzuia maambukizi ya VVU. Maswali ya Kujipima: Ni mikakati gani ya kuzuia maambukizi ya VVU inayoweza kuleta mafanikio zaidi? Kwa nini? Ni mikakati gani ya kuzuia maambukizi inaendana na amali yangu? Kuna mikakati mingi ya kuzuia maambukizi ya VVU. Mikuu kati ya hiyo ni kugunga, kuwa mwaminifu, kutumia kondomu, kumwarifu mwenzi na kuwezeshwa. Mikakati yenyewe ni: Kudhibiti maambukizi ya magonjwa ya ngono Kufanya uraghbishi wa matumizi sahihi ya kondomu wakati wote Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari kwa ajili ya kubadili tabia na kuingia kwenye matunzo na msaada Kupunguza uambukizaji wa mama kwa mtoto Elimu ya stadi za maisha na ngono kwa vijana Kuanzisha mipango ya sehemu za kazi Kuyaangalia makundi yaliyoko hatarini kwa makini zaidi Kutoa damu na mazao ya damu salama Kuhamasisha tohara ya wanaume. 15

30 M2-7 MODULI 2 Kipindi 7 Simulizi Zisizo Kweli kuhusu VVU na UKIMWI (Dakika 60) 1. Kuainisha simulizi na masuala yasiyo ya kweli kuhusu VVU na UKIMWI 2. Kujadili simulizi zisizo za kweli kuhusu VVU na UKIMWI Maswali ya Kujipima: Jadili na jirani yako na kubainisha kama sentesi zifuatazo hapa chini ni kweli ama si kweli. SENTENSI KWELI/SI KWELI Unaweza kupata VVU kwa kumkumbatia anayeishi na VVU Unaweza kupata VVU kwa kuchangia vyombo vya kulia na anayeishi na VVU. Mtu aliye na magonjwa ya ngono yuko katika hatari zaidi ya kupata VVU. Mbu anaweza kueneza VVU. Mama mjamzito anaweza kumwambukiza mtoto wake VVU kabla na baada ya kujifungua. Njia kuu ya maambukizi ya VVU ni ngono. Mtu anaweza kupata VVU kwa kula pamoja na anayeishi na VVU. Ukiongezewa damu yenye VVU ni lazima utapata maambukizi ya VVU. Fikiria similizi ambazo si za kweli kuhusu VVU lakini kwa wakati fulani hata wewe zimekutia wasiwasi. Simulizi mbambali na maelezo yasiyo sahihi mara nyingi huwa kwenye jamii na kuonekana ni za kweli. 16

31 MODULI 2 M2-8 Kipindi 8 Istilahi Itumikayo katika Upimaji wa VVU (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya ridhaa, ridhaa inayotokana na taarifa sahihi, usiri, usiri uliochangiwa na upimaji wa uficho 2. Kujadili maana ya upimaji wa siri na uficho 3. Kueleza maana ya dhana ya usiri na ridhaa inayotokana na taarifa sahihi katika upimaji wa VVU Maswali ya Kujipima: Jadili na washiriki wengine faida za: o Usiri o Kutojulikana o Usiri uliochangiwa Ungejisikiaje kama kila mtu angejua taarifa zako ambazo hutaki watu wajue? Ridhaa inayotokana na taarifa sahihi ni ruhusa anayotoa mteja kwa mtoa huduma wa afya ili kuendelea na utaratibu wa kupima VVU. Kwa kuwa kuna unyanyapaa unaotokana na VVU na UKIMWI, ni muhimu sana wateja wanaokuja kupima VVU watunziwe siri zao. Usiri uliochangiwa ni kutoa taarifa ya hali ya maambukizi ya VVU ya mteja kwa watu wengine kwa ruhusa ya mteja mwenyewe. 17

32 M2-9 MODULI 2 Kipindi 9 Nafasi ya katika Kuzuia Maambukizi ya VVU, Matunzo na Kuhimili Hali Halisi (Dakika 60) 1. Kueleza malango ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari 2. Kujadili ushahidi uliopo kuwa Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari ndio mlango wa kuingia kwenye kuzuia maambukizi, matunzo, matibabu na misaada. 3. Kujadili ushahidi kuwa Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari unawezesha mabadiliko ya tabia 4. Kueleza nafasi ya ushsuri nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari katika kuweleza mwenzi hali ya maambukizi 5. Kujadili ukweli kwamba Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari hupunguza maambukizi ya VVU Maswali ya Kujipima: Huduma za Ushauri Nasaha na upimaji zinaongezaje ubora wa juhudi za kuzuia maambukizi ya VVU? Mabadiliko ya tabia yanawezekana katika jamii yako? Wajibu wa ushauri na upimaji wa VVU katika kuzuia maambukizi na matunzo ni kuwezesha yafuatayo o Kufikia huduma za matunzo na msaada mapema o Kuzuia maambukizi ya VVU o Kupunguza unyanyapaa na kutengwa o Kupanga mipango ya siku za usoni o Kuongeza uelewa na mabadiliko chanya ya tabia o Kuendeleza matumizi ya dawa 18

33 MODULI Nadharia, Mitazamo na Mbinu za Ushauri Nasaha Muhtasari Moduli ya Nadharia za Ushauri Nasaha inalenga kumpa Mshauri Nasaha maarifa, stadi na tabia sahihi unaotokana na uzoefu wa muda mrefu. Moduli hii inalenga kuchambua uhalisia wa kihistoria ili kujenga uelewa wa Mshauri Nasaha kutumia dhana ya nadharia hizi zikiwemo nadharia ya uchambuzi nafsi, nadharia ya kimwenendo, nadharia ya utambuzi na nadharia ya utu. Moduli hii pia ianlenga kumsaidia Mshauri Nasaha kuelewa kuwa kuna njia mbalimbali za kumsaidia mteja na kuainisha pale ambapo nadharia na utendaji vinakwenda pamoja na pale vinapoachana. Moduli hii itamwezesha Mshauri Nasaha kupata maarifa na stadi za kutenda kazi yake kwa kulingana na nadharia zilizopo. Moduli hii itakuwa na vipindi vifuatavyo: Kipindi 1 Kipindi 2 Kipindi 3 Kipindi 4 Kipindi 5 kipindi 6 kipindi 7 Kipindi 8 Kipindi 9 Kipindi 10 Kipindi 11 Kipindi12 Nadharia za Ushauri Nasaha: Muhtasari Nadharia ya Uchambuzi Kiakili Nadharia ya Kitabia Nadharia ya Uelewa Nadharia ya Ubinadamu Stadi za Mawasiliano: Muhtasari Stadi za Mawasiliano: Mawasiliano Kamilifu Mchakato na Taratibu za Ushauri Nasaha: Muhtasari Kiwango cha Utoaji Huduma za Upimaji wa VVU na Ushauri Nasaha(KUHU) na Protokali za Ushauri Nasaha Mchakato na Taratibu za Ushauri Nasaha: Hatua Kuu za Ushauri Nasaha Mchakato na Taratibu za Ushauri Nasaha: Mbinu Saidizi katika Ushauri Nasaha Mchakato na Taratibu za Ushauri Nasaha: Vikwazo katika Ushauri Nasaha 19

34 kipindi 13 Kipindi 14 Kipindi 15 Kipindi 16 Kipindi 17 Kipindi 18 Kipindi 19 Kipindi 20 Kipindi 21 Kipindi Kipindi 22 Kipindi 23 Kipindi 24 Kipindi 25 Kipindi 26 Kipindi 27 Sifa za Mshauri Nasaha Bora Wajibu wa Mshauri Nasaha Bora Ushauri Nasaha: Stadi za Kusikiliza na Kuuliza Ushauri Nasaha: Stadi za Kutumia Ukimya Ushauri Nasaha: Stadi za Kutumia Lugha ya Mwili Ushauri Nasaha kabla ya Kupimwa Muhtasari: Ushauri Nasaha kabla ya Kupimwa: Kuchambua Mienendo Hatarishi Ushauri Nasaha kabla yakupimwa: Kuandaa Mpango wa Kupunguza Hatari Ushauri Nasaha kabla ya Kupimwa: Majibu ya Vipimo vya VVU na Yanayoweza Kujitokeza Ushauri Nasaha kabla ya Kupimwa: Maigizo Dhima Ushauri Nasaha baada ya Kupimwa: Kutoa Majibu Hasi ya Vipimo vya VVU Ushauri Nasaha baada ya Kupimwa: Kuendeleza Mikakati ya Kupunguza Hatari ya Maambukizi Ushauri Nasaha Baada ya Kupimwa: Kutoa Majibu Chanya ya Vipimo vya VVU Ushauri Nasaha Baada ya Kupimwa:Kumwarifu mwenzi hali ya maambukizi ya VVU Ushauri Nasaha baada ya Kupimwa: Kuhimili Ushauri Nasaha baada ya Kupimwa: Maigizo dhima

35 MODULI 3 M3-1 Kipindi 1 Nadharia za Ushauri Nasaha: Muhtasari (Dakika 60) 1. Kueleza nadharia nne za Ushauri Nasaha 2. Kueleza maeneo ambayo kwayo Mshauri Nasaha anaweza kutambua matatizo, masuala na tabia ya mteja Maswali ya Kujipima: Kwa nini kuna nadharia mbalimbali za Ushauri Nasaha? Je, nadharia za Ushauri Nasaha zina uhusiano wowote na taaluma ya Ushauri Nasaha? Ufahamu wa nadharia za Ushauri Nasaha unamsaidiaje Mshauri Nasaha kutenda kazi yake? Je nadharia zitanisaidi kuchagua mbinu sahihi kwa wateja wangu? Nadharia zinanisaidiaje kujitathmini mimi mwenyewe kwa kuhusiana na mteja wangu? Nadharia za Ushauri Nasaha zimewekwa kwa makundi kulingana na misingi yake. Nadharia hizo ni pamoja na; o Nadharia ya udodosinafsi o Nadharia ya kimwenendo o Nadharia ya utambuzi o Nadharia ya utu Nadharia zinatuambia kwa nini watu wanafanya mambo wanayoyafanya. Nadharia zimeweka sababu na misingi ambayo kwayo Ushauri Nasaha unasimama. Mshauri Nasaha anashughulika na watu, hisia zao na unyonge wao. Wanasihi wana wajibu wa kuwaeleza wateja wao ni wakati gani wanaweza na ni wakti upi hawawezi kusaidia. Ushauri Nasaha ni huduma ya kutoa msaada lakini haiwezi kusaidia wakati wote. Ushauri Nasaha ni utaalamu unaosimama juu ya nadharia zilizokomaa na zinazotumia njia zifuatazo: o Ushauri Nasaha unaomlenga mteja o Ushauri Nasaha unaomlenga Mshauri Nasaha o Ushauri Nasaha mchanganyiko 21

36 M3-2 MODULI 3 Kipindi 2 Nadharia za Ushauri Nasaha: Nadharia ya Udodosinafsi (Dakika 60) Mwisho wa kipindi hiki washiriki wanatarajiwa kuweza: 1. Kutoa uwiano wa nadharia ya udodosinafsi na vipengele vya Ushauri Nasaha 2. Kutumia vipengele vya nadharia ya udodosinafsi katika Ushauri Nasaha Maswali ya Kujipima: Nadharia ya uchambuzi nafsi inamsaidiaje Mshauri Nasaha kumsaidia mteja wake? Je, matumizi ya nadharia hii yanasaidia kutambua masuala ya kukana, mteja kumfananisha Mshauri Nasaha na mtu muhimu, na Mshauri Nasaha kumtegemea mteja? Je, hali ya mteja kumfananisha Mshauri Nasaha na mtu muhimu inaathiri uhusiano kati ya Mshauri Nasaha na mteja kwa njia gani? Nitafanyaje kama mteja wangu akiniona kama mtu ambaye amekuwapo katika maisha yake ya nyuma au ya sasa na akawa na hizia za mapenzi kwangu? Kutatokea nini mimi nikimwona mteja wangu hivyo na nikawa na hisia za namna hiyo? Sigmund Freud, tabibukalima wa Austria ( ) ndiye aliyefanya kazi kubwa kwenye nadharia ya udodosinafsi. Kazi yake ilijikita kwenye sehemu ya akili inayofanya kazi bila mtu kutambua na akachunguza ari ya tabia. Nadharia hii inamwona Mshauri Nasaha kama tabibu mwenye wajibu mkubwa wa kumwongoza mteja kutatua tatizo lake kwa kulingana na hisia za Mshauri Nasaha. Nadharia hii inategemea mambo manne o Motisha ya tabia ya mtu hutokana na sehemu ya akili inayofanya kazi bila mtu kutambua, pamoja na mwili. o Matatizo ya mtu yanatokana na uzoefu wake wa utotoni na yana mwitikio wa kingono. o Mshauri Nasaha ni tabibu anayemsikiliza mgonjwa na kumtibu matatizo yake. o Udodosinafsi unachukua muda mrefu kukamilika. 22

37 MODULI 3 M3-3 Kipindi 3 Nadharia za Ushauri Nasaha: Nadharia ya Kimwenendo (Dakika 60) 1. Kueleza uwiano wa nadharia ya kimwenendo na vipengele vya Ushauri Nasaha 2. Kutumia vipengele vya nadharia ya kimwenendo kwenye Ushauri Nasaha Maswali ya Kujipima: Mtu mzima anaweza kubadili tabia? Ni vigezo gani ambavyo mtu mzima anatakiwa kuviangalia ili kubadili tabia za ngono? Natakiwa kuacha nini ili kubadili tabia zangu za sasa za ngono? Mwenzi wangu anatakiwa kuacha nini ili kufanya mabadiliko kama hayo? Nadharia ya kimwenendo inasimama kwenye misingi kuwa ili kuzua maambukizi ya VVU tunatakiwa kuimarisha tabia salama na kubadili tabia hatarishi. Katika Ushauri Nasaha wa kimwenendo, Mshauri Nasaha yuko msitari wa mbele, na anaamini kuwa yupo kwa ajili ya kumsaidia mteja na anacho kitu cha kumsaidia mteja kutatua tatizo lake. Faida za kutumia nadharia ya kimwenendo kwenye Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari: Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari unalenga mabadiliko ya tabia, hivyo nadharia ya kimwenendo inakuwa ya muhimu.. Nadharia ya kimwenendo inasisitiza wajibu wa mteja na inasimamia kwenye kupanga na kujiongoza mwenyewe. Mtazamo huu unatumika kwenye kupanga kupunguza hatari na mikakati yake. Nadharia ya kimwenendo haihusiki na hisia wala na jinsi mambo yaliyopita yanavyoathiri mambo ya sasa. Kwa hiyo inakosa hali ya kiutu. Nadharia ya kimwenendo huleta mafanikio haraka zaidi ya nadharia ya udodosinafsi. Watoa huduma wa kimwenendo wanahitaji kuwaona wateja wao kwa vipindi vingi zaidi wakati wateja wanaokuja kwenye Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari huja mara moja tu. 23

38 M3-4 MODULI 3 Kipindi 4 Nadharia za Ushauri Nasaha: Nadharia ya Utambuzi (Dakika 60) 1. Kueleza uwiano wa nadharia ya utambuzi na vipengele vya Ushauri Nasaha 2. Kutumia vipengele vya nadharia ya utambuzi kwenye Ushauri Nasaha Maswali ya Kujipima: Tabia inabadilika vipi kutokana na kuiga na kukua? Je, mazingira ya mtu yanachangia katika mabadiliko ya tabia hasa katika masuala ya ngono? Mazingira yangu yananisaidia na kunizuia vipi katika kutekeleza mabdiliko ya tabia za ngono wakati wote? Nadharia ya utambuzi inasema kuwa kukua ni mchakato wa kuiga na kuelewa mazingira yako Faida na hasara za kutumia nadharia ya utambuzi katika Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari: Nadharia ya utambuzi inajikita katika mabadiliko ya tabia kama nadharia ya kimwenendo. Nadharia hii inawezesha uchambuzi mpana ikiwa ni pamoja na kuangalia uzoefu wa utotoni. 24

39 MODULI 3 M3-5 Kipindi 5 Nadharia za Ushauri Nasaha: Nadharia ya Utu (Dakika 60) 1. Kueleza uwiano wa nadharia ya utu na vipengele vya Ushauri Nasaha 2. Kutumia vipengele vya nadharia ya utu kwenye Ushauri Nasaha Maswali ya Kujipima: Kujenga uhusiano kunasaidia mchakato wa Ushauri Nasaha kwa njia gani? Nani anafanya uamuzi wa mpango wa kazi katika utaratibu wa Ushauri Nasaha unaofuata nadharia ya utu? Naweza kufanikiwa kwa kiasi gani kama sikujenga uhusiano katika Ushauri Nasaha na nikaenda moja kwa moja kwenye uchunguzi? Masuala muhimu ya kukumbuka Nadharia ya utu inaamini kuwa kila mtu ana nia njema na anajibidisha kupata mafanikio ya juu kwa kadri iwezekanavyo. Nadharia ya utu inatufikisha kwenye Ushauri Nasaha unaomtegemea mteja na unaofanyika kwa hatua nne zifuatazo: o Kujenga uhusiano o Uchunguzi: Mshauri Nasaha anamwezesha mteja kuchunguza masuala yanayomhusu o Uelewa: unatokea baada ya kuainisha masuala husika na kuyapanga kwa ajili ya utekelezaji. o Kupanga utekelezaji: Mshauri Nasaha na mteja kwa pamoja wanaandaa mpango wa utekelezaji. 25

40 M3-6 MODULI 3 Kipindi 6 Stadi za Mawasiliano: Muhtasari (Dakika 60) 1. Kufasili mawasiliano 2. Kuainisha aina za mawasiliano 3. Kueleza vipengele vya mawasiliano 4. Kueleza misingi ya mawasiliano kamilifu Maswali ya Kujipima: Kwa nini mawasiliano ni muhimu katika Ushauri Nasaha? Jadili umuhimu wa mawasiliano kwa Mshauri Nasaha. Je, ninawasiliana kikamilifu na watu wengine kila siku? Nahitaji kufanya nini ili niboreshe mawasilioano yangu? Mawasiliaono ni njia ya kufikisha hisia zako kwa mtu mwingine. Yanaweza kujenga ama kubomoa uhusiano Mawasiliano yanaweza kuwa ya maneno: Hutumia maneno ambayo yanasemwa, yameandikwa, yanasikilizwa ama yanasomwa. Mawasiliano pia yanaweza kuwa kwa ishara, alama, mwonekano wa sura na vitendo. Mawasiliano kamilifu ni yale yanayofikisha ujumbe sahihi kwa mpokeaji. Mawsiliano kamilifu yanategemea uwezo wa kusikiliza, kuwa makini, kuelewa na kufasiri lugha ya mwili. Pia yanategemea kutafuta ufafanuzi na kupata majibu. 26

41 MODULI 3 M3-7 Kipindi 7 Stadi za Mawasiliano: Mawasiliano Kamilifu (Dakika 60) 1. Kujadili vikwazo na madaraja katika mawasiliano 2. Kuainisha stadi za mawasiliano kamilifu Maswali ya Kujipima: Kuingilia mazungumzo kunachangiaje kwenye vikwazo vya mawasiliano? Ni stadi gani zinazohitajika kwa ajili ya mawasiliano kamilifu? Kwa nini maswali ya wazi yanatumika zaidi katika Ushauri Nasaha? Mimi nimewahi kuchangia kwenye vikwazo vya mawasiliano katika hali zipi? Je, katika hali hizo ningeweza kufanya tofauti? Ninaweza kutumia uvumilivu kama daraja la mawasiliano katika hali ipi? Vikwazo vinaweza kukwamisha mawasiliano kamilifu. Ni muhimu kuvitambua na kuviondoa. Kikwazo ni mambo ambayo watu wanasema ama wanafanya yanayokwamisha mawasiliano. Kwa hiyo ni muhimu kwa Mshauri Nasaha kuwa na uwezo wa kutambua vikwazo na kuvishinda. Vikwazo vinaweza kutokana na uelewa, lugha, njia ya mawasiliano na makelele. Madaraja ni mambo ambayo watu wanafanya ama wanasema yanayoimarisha mawasiliano. Madaraja hutumika kuvishinda vikwazo. Katika mawasiliano ya kawaida kunakuwapo vikwazo na madaraja. Ni jukumu la wale wanowasiliana kuongeza madaraja ili waimarishe mawasiliano. 27

42 M3-8 MODULI 3 Kipindi 8 Mchakato na Taratibu za Ushauri Nasaha: Muhtasari (Dakika 120) 1. Kueleza maana ya Ushauri Nasaha 2. Kufasiri dhana za malezi, ushauri na elimu ya afya 3. Kueleza umuhimu wa Ushauri Nasaha kwa wateja 4. Kuainisha aina za Ushauri Nasaha 5. Kutofautisha kati ya Ushauri Nasaha na elimu ya afya. Maswali ya Kujipima: Eleza tofauti kati ya Ushauri Nasaha na malezi. Ushauri Nasaha unatofautiana vipi na elimu ya afya? Ni wakati gani Mshauri Nasaha anatoa elimu ya afya badala ya Ushauri Nasaha? Mara ya mwisho nilipokuwa na tatizo nikaenda kwa rafiki yangu kupata ushauri nilijisikiaje? Yeye aliniambia nini? Nilifanya nini kuhusu aliloniambia? Je, huu ulikuwa Ushauri Nasaha au ushauri? Malezi ni mchakato wa kusaidia mtu ili ajielewe na kupata mwelekeo mpya wa kurekebisha maisha yake nyumbani, shuleni, kazini au kwenye jamii. Ushauri Nasaha ni uhusiano wa kitaalamu wa kuaminiana unaolenga kumsaidia mteja kufanya uamuzi unaotokana na taarifa sahihi. Ushauri Nasaha ni uhusiano wa kusaidia unaokuwapo kati ya Mshauri Nasaha na mteja, familia na wenzi ambao unaanzishwa na kuendelezwa kwa minajili ya kuwezesha mabadiliko ya tabia kwa mteja au wateja. Ushauri ni utaratibu wa kumpa mtu taarifa bila kujali kama zinahitajika ama la. Kwa kawaida malezi yanatolewa ma mtu mkubwa kwa kutumia uzoefu wake. Ushauri unatokana na kujiona. Ninajua tatizo lako; kama ukifuata ninayokuambia utakuwa salama. Hii ndiyo fikra inayoongoza malezi. Mara nyingi watu wameshindwa kufuata ushauri. Kwa wakati mwingine ushauri umeleta hisia za kujiona mnyonge na kujenga chuki. Elimu ya afya ni mchakato wa kutoa taarifa ya afya kwa mtu, familia au kundi na jamii kwa nia ya kubadili tabia (Mzungumzaji anakuwa mtaalamu wa somo). Elimu ya afya ni zana muhimu ya Mshauri Nasaha wakati wa kutoa taarifa ili kutenganisha maelezo ya kweli na yasiyo ya kweli. 28

43 MODULI 3 M3-9 Kipindi 9 Kiwango cha Utoaji Huduma za Upimaji wa VVU na Ushauri Nasaha(KUHU) na Protokali za Ushauri Nasaha (Dakika 60) 1. Kujadili Kiwango cha Utoaji Huduma za Upimaji wa VVU na Ushauri Nasaha (KUHU) na Protokali za Ushauri Nasaha 2. Kuoanisha kiwango cha utoaji huduma za upimaji wa VVU na Ushauri Nasaha na protokali za Ushauri Nasaha na huduma za Ushauri Nasaha wa VVU Maswali ya Kujipima: Kwa nini Mshauri Nasaha anahitaji Kiwango cha Utoaji Huduma za Upimaji wa VVU na Ushauri Nasaha mara kwa mara? Kazi za Protokali za Ushauri Nasaha ni nini katika huduma ya kila siku ya Ushauri Nasaha na upimaji? Je matumizi ya Protokali za Ushauri Nasaha yataongeza ufanisi wangu katika utoaji wa huduma za Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU? Kiwango cha Utoaji Huduma za Upimaji wa VVU na Ushauri Nasaha (KUHU) Kiwango kimetolewa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii mwezi Machi 2008 Humwezesha mtoa huduma kutoa huduma ile ile kwa viwango vitakiwavyo, na kuwa taratibu za utendaji bora Kinahakikisha kuwa huduma zinazotolwa ni za kiwango cha kimataifa na kitaifa Muundo wa Kiwango cha Utoaji Huduma za Upimaji wa VVU na Ushauri Nasaha (KUHU) KUHU imegawanywa katika vipengele sita Kila kipengele kimetoa maelezo kuhusu suala maalumu Hutoa taratibu kwa za utendaji kwa njia muhimu tatu za Ushauri Nasaha: o Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU unaoombwa na mteja o Upimaji wa VVU na Ushauri Nasaha unaoshuriwa na mtoa huduma wa afya o Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa ajili ya wenzi Protokali za Ushauri Nasaha Hutoa protokali za huduma za Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU Humwongoza mtoa huduma katika utaratibu wa utoaji wa huduma husika Huonesha muda wa kila hatua ya protokali hiyo Kuna aina tatu za protokali o Protokali kwa ajili ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU unaoanzishwa na mteja o Protokali kwa ajili ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU unaoshauriwa na mtoa huduma wa afya o Protokali kwa ajili ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa ajili ya wenzi 29

44 M3-10 MODULI 3 Kipindi 10 Mchakato na Taratibu za Ushauri Nasaha: Mbinu Kuu za Ushauri Nasaha (Dakika 60) 1. Kutambua mbinu kuu nne za Ushauri Nasaha 2. Kutumia mbinu kuu katika Ushauri Nasaha Maswali ya Kujipima Kwa nini Mshauri Nasaha anahitaji mbinu kuu? Mbinu za nyongeza zinaboresha Ushauri Nasaha kwa namna gani? Je, jinsi unavyokaa na kuwa na uso wa kukaribisha unaongeza lolote katika amani ya mteja? Tafakuri ya kipindi Nitajisikiaje kama mtu ataniomba taarifa binafsi bila kutafuta kufahamiana nami kwa karibu? Masuala muhimu ya kukumbuka Kuna mbinu kuu nne katika Ushauri Nasaha Kujenga uhusiano Uchunguzi Uelewa Kupanga mpango Unaweza kukumbuka mbinu hizi kwa neno KUUKu K Kujenga uhusiano U Uchunguzi U Uelewa Ku Kupanga mpango Mbinu za kijamii za nyongeza ni pamoja na heshima, kuaminika, amani ya kisaikolojia na mapendo. Wakati wa kumhudumia mteja unatakiwa kukaa mkao wa kumkaribisha. Kaa kwa kukaribisha karibu na mlango. Mpangilio wa V unaonesha kujali. Kuwapo kwako ni muhimu. Kaa mkao wa wazi bila kukunja mikono wa kupandanisha miguu. Inama kidogo kumwelekea mteja. Mwangalie machoni. Kuwa huru 30

45 MODULI 3 M3-11 Kipindi 11 Mchakato na Taratibu za Ushauri Nasaha: Mbinu Saidizi katika Ushauri Nasaha (Dakika 60) 1. Kutambua mbinu saidizi katika Ushauri Nasaha 2. Kutumia mbinu saidizi katika Ushauri Nasaha Maswali ya Kujipima: Kwa nini mbinu kuu hazitumiki peke yake katika Ushauri Nasaha? Mbinu saidizi zinasidia kupata taarifa kutoka kwa mteja kwa njia gani? Ni vipengele gani vinavyoweza kunifanya kuwa na wasiwasi katika mawasiliano yoyote? Kutatokea nini kama nikitumia vipengele hivyo kwa mtu mwingine? Mshauri Nasaha anatumia mbinu saidizi kupata taarifa kutoka kwa mteja ili kujenga uhusiano, kutathmini tatizo lake na kulielewa ili kumwongoza mteja kufikia utatuzi. Mbini saidizi ni pamoja na Kuhudumia Ushirikeli Uchangamfu Kuamini/uaminifu Heshima Uhakika Uhalisia Kuuliza Kutoa muhtasari Kuwa wazi Kurudia maelezo kwa ufupi Kukabiliana Kurejea hisia na kutumia vihamasisho. 31

46 M3-12 MODULI 3 Kipindi 12 Mchakato na Taratibu za Ushauri Nasaha: Vikwazo Katika Ushauri Nasaha (Dakika 60) 1. Kuainisha vikwazo katika Ushauri Nasaha 2. Kutumia mikakati muafaka ya kushinda vikwazo katika Ushauri Nasaha Maswali ya Kujipima: Vipengele gani vinavyomfanya mteja kuwa na ukinzani? Hali ya mteja kutokushirikiana inajitokeza vipi na kwa njia ipi? Je nikiingiwa na hisia za kimapenzi kwa mteja wangu nitamwambia kiongozi wangu au Mshauri Nasaha mwenzangu mara moja au nitanyamaza na kuendelea na Ushauri Nasaha kwa mteja huyu? Mchakato wa Ushauri Nasaha siyo bwelele wakati wote. Wakati mwingine kuna vipengele vinavyozuia mchakato huu. Hali ya ukinzani inaweza kujitokeza wakati wowote katika kipindi cha Ushauri Nasaha. Inajitokeza wakati mteja anapoonekana hataki kushiriki katika kujenga uhusiano wa kusaidiwa ama kuelekea kwenye malengo. Hali hii inapotokea inatakiwa kufanyiwa kazi kwa mtazamo wa mteja. Kamwe mteja asilaumiwe kuwa chanzo cha ukinzani. Kuanza kuwa na hisia za kimapenzi kutoka kwa mteja kwenda kwa Mshauri Nasaha ama kinyume chake ni mwanzo wa kutoshirikiana kwenye Ushauri Nasaha. Hisia za kimapenzi zinapojitokeza ni lazima zikomeshwe mara moja ili uhusiano wa kiushauri Nasaha uendelee. 32

47 MODULI 3 M3-13 Kipindi 13 Sifa za Mshauri Nasaha Bora (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya Mshauri Nasaha 2. Kuainisha sifa za Mshauri Nasaha bora 3. Kueleza amali na tabia za Mshauri Nasaha bora Maswali ya Kujipima: Mshauri Nasaha ni nani? Sifa za Mshauri Nasaha bora ni zipi? Kwa nini ni muhimu kwa Mshauri Nasaha kuwa na tabia nzuri kwa watu? Je nina sifa, tabia na mwenendo wa kunifanya niwe Mshauri Nasaha bora? Ninakosa nini katika sifa, tabia na mwenendo huo? Ni mahali gani ninapohitaji kubadilika na kujirekebisha? Mshauri Nasaha ni mtu anayejali na anapenda kusaidia walio na shida. Ana ujuzi wa Ushauri Nasaha na ana mtazamo chanya kwa binadamu wengine. Mshauri Nasaha ni chachu ya mabadiliko katika VVU na UKIMWI na anahusika katika kuanzisha na kuendeleza mabadiliko ya tabia kwa watu binafsi, wenzi na jamii. Ni lazima Mshauri Nasaha awe na sifa na tabia zinazokubalika ili aweze kufanya kazi yake. 33

48 M3-14 MODULI 3 Kipindi 14 Wajibu wa Mshauri Nasaha Bora (Dakika 60) 1. Kuainisha wajibu wa Mshauri Nasaha bora 2. Kueleza athari ya amali na tabia ya Mshauri Nasaha kwa mteja Maswali ya Kujipima: Amali za Mshauri Nasaha zinaathiri kazi yake kwa namna gani? Mshauri Nasaha anatakiwa kufanya nini ili atenganishe amali yake na mahitaji ya kazi yake? Ni mara ngapi nimewahukumu watu wengine kwa kutumia kigezo cha amali yangu? Je, katika hali hiyo nimetenda haki? Wajibu wa Mshauri Nasaha unatokana na malengo ya Ushauri Nasaha ambayo ni kutoa Ushauri Nasaha kwa ajili ya mabadiliko ya tabia na kuhimili. Mshauri Nasaha hatakiwi kuwahukumu watu wengine kwa kutumia amali yake. Mshauri Nasaha anatakiwa kutenganisha matatizo yake na ya mteja. 34

49 MODULI 3 M3-15 Kipindi 15 Ushauri Nasaha: Stadi za Kusikiliza na Kuuliza (Dakika 60) 1. Kutumia mbinu za kusikiliza na kuuliza katika Ushauri Nasaha. Maswali ya Kujipima: Kwa nini ni muhimu kumsikiliza mtu kwa makini? Je, kusikiliza ni pamoja na kutazama? Tathmini stadi zako za kusikiliza kwa kutumia orodha hii hapa chini N MAELEZO NDIYO/HAPANA 1. Mtu mwingine akianza kuzungumza mara moja nabashiri anachotaka kusema. 2. Wakati wote mtu mwingine akizungumza nasuburi amalize kabla ya kujibu. 3. Mara nyingi ninachoka kusikiliza. 4. Katika mazungumzo mara nyingi naokoa muda kwa kumkatisha mzungumzaji kwa uangalifu. 5. Nikitaka mtu afikirie jambo kwa undani zaidi, ninanyamaza kwa muda na kisha ninaendelea. 35

50 M3-16 MODULI 3 Kipindi 16 Ushauri Nasaha: Stadi za Kutumia Ukimya (Dakika 60) 1. Kutumia ukimya kama njia ya mawasiliano wakati wa Ushauri Nasaha. Maswali ya Kujipima: Je, ukimya unapeleka ujumbe wowote kwa msikilizaji? Ukimya unaleta matokeo gani kwenye mazungumzo? Ninafanya nini kama mzungumzaji akinyamaza ghafla? Mshauri Nasaha asiogope ukimya. Ukimya unatoa muda wa kufikiri na kurejea kwenye maelezo. Ukimya unaweza kutumika kuonyesha umakini na kutoa muda wa kitu kufikiriwa kwa undani. Mshauri Nasaha aelewe kuwa ukimya una matumizi mengi zaidi kwenye mazungumzo na awe tayari kuutumia. Wanaojua kuwasiliana kwa umahiri wanatumia ukimya kwenye hali mbalimbali kama vile kuachana, na kuzidisha ukimya pia unatumika kama zawadi ama alama ya heshima. Fasili ukimya wa watu wengine; elewa matumizi ya ukimya katika mila nyingine. Tumia ukimya kwa uangalifu.. 36

51 MODULI 3 M3-17 Kipindi 17 Ushauri Nasaha: Stadi za Kutumia Lugha ya Mwili (Dakika 60) 1. Kutafsiri lugha ya mwili wakati wa Ushauri Nasaha Maswali ya Kujipima: Lugha ya mwili inasaidia nini katika Ushauri Nasaha? Je mteja anapobadili sauti yake inaashiria nini kwa Mshauri Nasaha? Ni dalili zipi utakazokuwa macho nazo kwa mteja wakati wa Ushauri Nasaha? Je, nina uwezo wa kuongoza mjibizo wa mwili wangu katika nyakati mbalimbali? Je, nahitaji kufanya nini ili kutoa ujumbe sahihi kwa kutumia mwili wangu? Kuwa macho na ujumbe usiosemwa kama vile kubadilika sauti, uso unavyobadilika na mabadiliko mengine ya mwili. Haya yote yanaleta ujumbe kwako. Mjibizo wa mwili katika mawasiliano unatofautiana kati ya mtu mmoja na mwingine. 37

52 M3-18 MODULI 3 Kipindi 18 Ushauri Nasaha kabla ya Kupimwa: Muhtasari (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya Ushauri Nasaha kabla ya kupimwa 2. Kujenga uhusiano wa kuaminiwa na mteja 3. Kutathmini uelewa wa mteja juu ya VVU, UKIMWI, magonjwa ya ngono, kifua kikuu na dawa za kupunguza makali ya UKIMWI. Maswali ya Kujipima: Kwa nini ni lazima kujenga uhusiano wa kuaminika kwa mteja wakati wa Ushauri Nasaha kabla ya kupimwa? Utafanya nini ukigundua kuwa mteja ana uelewa mkubwa sana kuhusu VVU na UKIMWI, kifua kikuu, magonjwa ya ngono, dawa za kupunguza makali ya UKIMWI na mpango wa uzazi? Nitaanzaje kumfahamu mtu ambaye ndiyo mara ya kwanza kukutana naye? Je, ninayo matatizo kujitambulisha kwa mtu nisiyemfahamu? Ushauri Nasaha kabla ya kupimwa ni Ushauri Nasaha unaotolewa kabla ya kipimo cha VVU kufanyika. Wakati wa Ushauri Nasaha kabla ya kupimwa mteja anaandaliwa kisaikolojia kuwa tayari kupokea majibu hasi, majibu chanya ama majibu yasiyojulikana ya kipimo cha VVU. Hatua tatu za mwanzo katika Ushauri Nasaha kabla ya kupimwa ni: o Kujenga uhusiano wa kuaminika. o Kumfahamu mteja vizuri. o Kutathmini ufahamu wake wa VVU na UKIMWI, kifua kikuu, magonjwa ya ngono, dawa za kupunguza makali ya UKIMWI na mpango wa uzazi. 38

53 MODULI 3 M3-19 Kipindi 19 Ushauri Nasaha kabla ya Kupimwa: Kuchambua Mienendo Hatarishi (Dakika 60) 1. Kumsaidia mteja kuweza kuainisha mienendo hatarishi katika maambukizi ya VVU 2. Kumwezesha mteja kuoanisha mienendo hatarishi na maambukizi ya VVU Maswali ya Kujipima: Mshauri Nasaha anapomwongoza mteja kutathmini tabia hatarishi na akagundua kuwa tabia hizo zinafanana na zake, je ana uhuru wa kujua matokeo yanayotegemewa ni yapi? Je, inaniwia vigumu kufahamu taarifa binasi za mtu mgeni kwangu? Najihusisha kwa kiasi gani na taarifa za mtu mwingine ninapozifahamu? Baada ya kuwa karibu na mteja na kuwa Mshauri Nasaha amepata taarifa nyingine za mteja ndipo anapohitaji kutathmini kiwango cha hatari kwa mteja. Hatua hii inahusika na kupata taarifa binafsi za mteja ambazo huenda hajamwambia mtu yeyote. Mshauri Nasaha lazima aonyeshe hali ya utambulifu mkubwa. Mwezeshe mteja kuwianisha ufahamu wake wa VVU na UKIMWI na tabia yake hatarishi. 39

54 M3-20 MODULI 3 Kipindi 20 Ushauri Nasaha kabla ya Kupimwa: Kuandaa Mpango wa Kupunguza Hatari (Dakika 60) 1. Kumwezesha mteja kuandaa mpango wa kupunguza hatari 2. Kutathmini uwezo wa mteja kuhimili mpango aliochagua. Maswali ya Kujipima: Utamwongoza vipi mteja kuandaa mpango unaotekelezeka wa kupunguza hatari? Kama ukiona mpango wa mteja siyo mzuri, je, utamwambia moja kwa moja? Tafakuri ya kipindi Nitajisikiaje kama nikiona mpango aliochagua mteja hautekelezeki lakini yeye akaung ang ania? Mpango binafsi wa kupunguza hatari ni kipengele muhimu katika mabadiliko ya tabia. Mshauri Nasaha ana wajibu wa kumsaidia mteja kuandaa mpango sahihi wa kupunguza hatari. Mwisho Mshauri Nasaha ajitahidi kupata ahadi ya mteja ya kutekeleza mpango huo. 40

55 MODULI 3 M3-21 Kipindi 21 Ushauri Nasaha kabla ya Kupimwa: Majibu ya Vipimo vya VVU na Yanayoweza Kujitokeza (Dakika 60) Malengo 1. Kujadili majibu mbalimbali ya vipimo vya VVU na mteja 2. Kujadili hisia za mteja ambazo zinaweza kujitokeza 3. Kujadili na mteja faida za kupima 4. Kupata ridhaa ya mteja ya kupima Maswali ya Kujipima: Unategemea mjibizo gani kwa mteja anayepata majibu chanya ama majibu hasi? Je, unafikiri kila anayepata majibu hasi anafurahi, anafurahi sana, anashangaa au yote haya hayatokei? Mjibizo wangu utakuwa upi kama mteja akiniambia Nikipata majibu hasi nitagunga Mshauri Nasaha aanzishe mazungumzo kwa kumuuliza mteja anachojua kuhusu: o Kipimo cha VVU o Majibu chanya ya kipimo cha VVU o Majibu hasi ya kipimo cha VVU. Jadili mjibizo unaoweza kujitokeza kutokana na majibu ya vipimo. Jadili faida za kupima VVU. 41

56 M3-22 MODULI 3 Kipindi 22 Ushauri Nasaha baada ya Kupimwa: Kutoa Majibu Hasi ya VVU (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya Ushauri Nasaha baada ya kupimwa 2. Kurejea ufahamu wa mteja kuhusu VVU na UKIMWI pamoja na maana ya majibu ya vipimo vya VVU 3. Kutoa majibu hasi ya vipimo vya VVU pamoja na kurejea umuhimu wa kipindi ficho Maswali ya Kujipima: Kwa nini tunahitaji Ushauri Nasaha baada ya kupimwa? Nini kinaweza kutokea kama mteja akipewa majibu ya kipimo cha VVU bila Ushauri Nasaha baada ya kupimwa? Nitafanya nini kama mteja akipata majibu hasi na akasikitika ama asionyeshe hali yoyote inayoweza kusomeka usoni mwake? Ushauri Nasaha baada ya kupimwa ni majadiliano kati ya Mshauri Nasaha na mteja majibu ya kipimo cha VVU yanapokuwa tayari kutolewa. Madhumuni ya Ushauri Nasaha baada ya kupimwa ni kujadili juu ya majibu ya kipimo, kumsaidia mteja kukubali majibu yake, kuhimili hali yake ya maambukizi ya VVU na kutoa taarifa nyingine muhimu. Unasaidia mteja pia kurejea kwenye uchaguzi wake wa mabadiliko ya tabia waliochagua wakati wa Ushauri Nasaha kabla ya kupimwa na kumhimiza kutekeleza uchaguzi huo. 42

57 MODULI 3 M3-32 Kipindi 23 Ushauri Nasaha baada ya Kupimwa: Kuendeleza Mikakati ya Kupunguza Hatari ya Maambukizi (Dakika 60) 1. Kumwezesha mteja kuendeleza mkakati wa kupunguza hatari ya maambukizi 2. Kutoa rufaa husika kwa mteja Maswali ya Kujipima: Kwa nini wateja wanaacha kutekeleza mipango yao? Utafanya nini ili kumsaidia mteja kuendeleza utekelezaji wa mpango wake? Je, nitaweza kumsaidia mteja kuimarisha mpango wake wa kubaki bila VVU? Jadili changamoto za kubaki bila maambukizi na umsaidie mteja kurejea kwenye mpango wa kupunguza hatari. (Itasaidia kama ukimkumbusha mteja kuwa Muone kila mtu kuwa ana VVU isipokuwa wewe mpaka hapo utakapokuwa na uhakika kuwa hana. Kwa hiyo changamoto za kubaki bila maambukizi ni halisi). Tathmini vikwazo vya nje na ndani vinavyoweza kuzuia mabadiliko; kwa mfano, nia ya kuweleza mwenzi kuwa amepima, ni kwa namna gani na nini kinachoweza kumzuia kuendelea na mpango wake Jadili kama mpango wake unatosha na unawezekana (kumbusha njia za kugunga, kuwa mwaminifu na kutumia kondomu). Mshukuru na kumhimiza mteja. 43

58 M3-24 MODULI 3 Kipindi 24 Ushauri Nasaha baada ya Kupimwa: Kutoa Majibu Chanya ya Vipimo vya VVU (Dakika 60) 1. Kurejea ufahamu wa mteja kuhusu VVU na UKIMWI na maana ya majibu ya vipimo vya VVU 2. Kutoa majibu chanya ya vipimo vya VVU 3. Kujadili na mteja juu ya msaada wa kisaikolojia na kijamii kutoka kwa watu wanaomhusu. Maswali ya Kujipima: Unahitaji maandalizi gani kabla hujamwita mteja kumpa majibu chanya ya kipimo cha VVU? Utashughulikiaje upeo wa mgogoro utakaojitokeza baada ya kutoa majibu chanya? Je, ninao uwezo wa kuangalia mjibizo wa kihisia wa mteja baada ya kumpa majibu chanya? Rejea tofauti kati ya kuwa na VVU na kuwa na UKIMWI. Rejea njia za maambukizi na njia za kuzuia. Rejea maana ya majibu (hasi na chanya) ya kipimo cha VVU. Kumweleza mtu kuwa ana maambukizi ya VVU ni vigumu sana kwa Mshauri Nasaha Toa majibu baada ya maandalizi ya kutosha kwa kutumia Ushauri Nasaha kabla ya kupimwa na Ushauri Nasaha baada ya kupimwa. Kumbuka kuwa wakati wote wateja hawako tayari kupokea majibu chanya hata kama wanaoekana kuwa tayari. Kamilisha hatua zote kabla ya kutoa majibu chanya 44

59 MODULI 3 M3-25 Kipindi 25 Ushauri Nasaha Baada ya Kupimwa:Kumwarifu mwenzi hali ya maambukizi ya VVU(Dakika 60) 1. Kumwezesha mteja kumwarifu mwenzi wake juu ya hali ya maambukizi ya VVU Maswali ya Kujipima: Kwa nini ni muhimu kumwezesha mteja kumwarifu mwenzi wake juu ya hali ya maambukizi ya VVU? Jiweke kwenye nafasi ya mteja, je ungehitaji taarifa gani wakati huo Mteja aali yake ya maambukizi ya VVU, Mshauri Nasaha hana budi kushirikiana naye ili kurejea mpango wa kupunguza hatari waliojadili kabla ya kupima Jadili msauala ya kiutekelezaji kwa ajili ya kubadili mwenendo Jadili yanayoweza kutokea na umweleze na kumsaidia mbinu za kuyakabili 45

60 M3-26 MODULI 3 Kipindi 26 Ushauri Nasaha baada ya Kupimwa: Ushauri Nasaha Saidizi (Dakika 60) 1. Kumwezesha mteja kuimarisha mikakati ya kuhimili 2. Kumwezesha mteja kumwarifu mwenzi wake hali yake ya maambukizi ya VVU 3. Kujadili na mteja faida za kupata matibabu mapema na kupata lishe bora 4. Kujadili na mteja rufaa zilizopo 5. Kutoa rufaa inayohitajika kwa mteja. Maswali ya Kujipima: Kwa nini ni muhimu kumwezesha mteja kwa ajili ya kumwarifu mwenzi wake? Kwa nini unatakiwa kujadili na mteja rufaa zilizopo, lishe na matibabu ya mapema kwa magonjwa nyemelezi? Jiweke katika nafasi ya mteja na ujiulize ungehitaji taarifa gani wakati huo. Mteja akishafahamu hali yake ya maambukizi ya VVU, mrejeshe kwenye mpango wa kupunguza hatari aliochagua wakati wa Ushauri Nasaha kabla ya kupimwa. Jadili yanayowezekana katika kubadili tabia. Jadili yanayoweza kujitokeza katika kutekeleza mabadiliko katika maisha yake ili kubaki na afya. Jadili faida za kupata matibabu mapema na masuala ya lishe. Jadili na mteja rufaa zilizopo. Toa rufaa inayohitajika. 46

61 MODULI Ushauri Nasaha kwa Makundi na Hali Maalumu Muhtasari Madhumuni ya vipindi vya moduli hii ni kuwapa washiriki stadi maalumu za Ushauri Nasaha ambazo zitawawezesha kutoa Ushauri Nasaha kwa makundi ya wateja yenye mahitaji ya kipekee. Vipindi hivi vitawawezesha kujadili na kutoa Ushauri Nasaha kwa makundi yenye mahiatji ya pekee kama wenzi na familia. Wengine ni watoto, wazazi wa watoto wanaoishi na virusi vya UKIMWI, mama wajawazito, watu wenye upeo wa mgogoro na wenye majonzi. Baada ya kukamilisha moduli hii, washiriki watakuwa na maarifa, stadi na tabia ya kuweza kuwasaidia wateja kupata njia za kuhimili hali mbalimbali pamoja na kuwapa uwezo wa kuandaa mpango wa kupata misaada na rufaa kutoka kwenye huduma zilizopo. Njia inayayotumika ya kuwafanya washiriki wachambue uzoefu wao na hisia zao huwawezesha kujua na kutambua njia za kuhimili zinazowezekana na zisizowezekana. Washiriki pia wanawezeshwa kutambua uwezo wao na kile wasichokiweza katika kuwahudumia wale wenye mahitaji ya pekee. Moduli hii itaangalia Ushauri Nasaha kwa wenzi, Ushauri Nasaha kwa familia, Ushauri Nasaha kwa vijana, Ushauri Nasaha kwa watoto, Ushauri Nasaha kwa mama wajawazito, Ushauri Nasaha kwa wenye upeo wa mgogoro, kupotelewa, majonzi na makiwa. Moduli itakuwa na vipindi vifuatavyo: Kipindi 1 Kipindi 2 Kipindi 3 Kipindi 4 Kipindi 5 Kipindi 6 Ushauri Nasaha kwa Wenzi Wajibu wa katika Ushauri Nasaha kwa Wenzi Ushauri Nasaha kwa Familia Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii katika Ushauri Nasaha kwa Familia Stadi za Ushauri Nasaha kwa Vijana Vipengele Vinavyoimarisha Ushauri Nasaha kwa Vijana 47

62 Kipindi 7 Kipindi 8 Kipindi 9 Kipindi 10 Kipindi 11 Kipindi 12 Kipindi 13 Muhtasari wa Ushauri Nasaha kwa Watoto na Masuala yake ya Kisheria Stadi za Ushauri Nasaha kwa Watoto Kuwahudumia Watu Wenye Ulemavu Katika Mtazamo wa Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU Mbinu za Ushauri Nasaha kwa Makundi Yaliyo Katika Hatari ya Maambukizi ya VVU Ushauri Nasaha wakati wa Upeo wa Mgogoro Ushauri Nasaha wa Kupotelewa, Majonzi na Makiwa Kumsaidia Mteja na Anayemhusu Kuhimili Kupotelewa

63 MODULI 4 M4-1 Kipindi 1 Ushauri Nasaha kwa Wenzi (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya wenzi 2. Kuainisha aina za wenzi 3. Kueleza umuhimu wa Ushauri Nasaha kwa wenzi 4. Kueleza mchango wa mila katika Ushauri Nasaha kwa wenzi. 5. Kuonesha stadi za ushauri kwa wenzi Maswali ya Kujipima: Kwa nini Ushauri Nasaha kwa wenzi ni muhimu? Je, kila mmoja wa wenzi anaweza kupewa majibu yake akiwa peke yake? Je, ni lazima mtu kumwarifu mwenzi wake juu ya majibu yake? Kila wenzi wana tabia zao na taratibu zao. Je, ninao uwezo wa kutofuata upande wowote ili kuwasidia wote kubadili tabia? Wenzi ina maana ya watu wawili, kwa kawaida, wenye jinsia tofauti ambao wanaweza kuwa: o Wameoana o Hawala (hawajaoana lakini wanaishi pamoja kama mke na mme) o Marafiki. Ushauri Nasaha wa wenzi ni Ushauri Nasaha kwa watu wawili, kawaida wa jinsia tofauti, walio na au wanaotegemea kuanza uhusiano wa kimapenzi, na wanahitaji kujadili masuala ya maambukizi ya VVU kwa pamoja na kutafuta mbinu ya pamoja ya kukabili hali. Kumwarifu mwenzi ni mchakato wa mtu kuchangia taarifa za VVU na UKIMWI na mwenzi wake na huenda baadaye wakaenda kupata Ushauri Nasaha kwa pamoja. Pia ina maana ya mtu kumweleza mwenzi wake hali yake ya maambukizi ya VVU. Masuala na uhusiano wa kijinsia yana mchango mkubwa kwenye mwelekeo na matokeo ya maambukizi ya VVU. Mshauri Nasaha ana wajibu wa kuelewa mchango huu wa uhusiano wa kijinsia kati ya wenzi ili kuweza kuwalinda na maambukizi ya VVU na hatimaye kuhimili matokeo ya UKIMWI. Ni muhimu kuelewa masuala ya jinsia na mila ndani ya jamii ili kuwezesha Ushauri Nasaha wa kuimarisha mabadiliko ya tabia kwa wenzi. Uelewa wa mtazamo wa kisaikolojia wa masuala ya jinsia utamsaidia Mshauri Nasaha kuwa mtambulifu na kutolalia upande wowote na kulaumu kuwa matatizo yote yanatokana na mwanaume peke yake. 49

64 M4-2 MODULI 4 Kipindi 2 Wajibu wa katika Ushauri Nasaha kwa Wenzi (Dakika 120) 1. Kueleza wajibu wa Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari katika kuzuia maambukizi ya VVU kwa wenzi 2. Kueleza wajibu wa Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari katika kumwarifu mwenzi hali ya maambukizi ya VVU 3. Kutumia stadi za Ushauri Nasaha kwa wenzi. Maswali ya Kujipima: Kwa nini ni muhimu kumwarifu mwenzi juu ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari? Kwa nini ni vema wenzi kuarifiana hali yao ya maambukizi ya VVU? Nitasaidiaje kama mmoja wa wenzi anasita kuarifu hali yake ya maambukizi ya VVU hasa wakati ambapo wenzi wana majibu yasiyofanana ya vipimo vya VVU? Ushauri Nasaha unawawezesha wenzi wanaoishi na VVU pamoja na walio karibu nao kuishi maisha bora kwa kuweka mikakati na mipango ya maisha yao ili kuzuia maambukizi kwa wengine au wao kuambukizwa tena. Hamasisha hali ya kupeana taarifa kunakoleta faida na kuweka mazingira ya kuwawezesha wenzi kupima VVU. Wenzi wapewe uwezo na wahamasishwe kubadili tabia kulingana na matokeo ya vipimo. 50

65 MODULI 4 M4-3 Kipindi 3 Ushauri Nasaha kwa Familia (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya familia 2. Kueleza wajibu wa mila katika Ushauri Nasaha kwa familia. 3. Kueleza wajibu wa familia katika matunzo, matibabu, misaada na kuzuia maambukizi ya VVU. Maswali ya Kujipima Wajibu wa mila na desturi katika Ushauri Nasaha wa familia ni nini? Kuna haja ya kuwa na Ushauri Nasaha wa familia? Kwa nini? Familia ina wajibu gani katika kuzuia maambukizi ya VVU? Tafakuri ya kipindi Nina wajibu gani kama Mshauri Nasaha kwa familia ambayo mmoja wao anaishi na VVU? Masuala muhimu ya kukumbuka Familia ni kundi la watu wawili au zaidi wanaoishi pamoja wakiwa na malengo ya aina moja. Wanachangia wajibu na majukumu. Katika hali ya kawaida familia inakuwa na mme, mke, watoto na jamaa. Tanzania, familia inaweza kuwa na: o Mme, mke/wake, watoto na jamaa. o Inaweza pia kuwa baba au mama peke yake akiishi na watoto wake. Madhumuni ya Ushauri Nasaha wa familia ni kuwahusisha familia katika kusaidia mtu ama wenzi wanaoishi na VVU. Mila na desturi zinawaongoza watu kuwa na fasili, maelezo na mjibizo wao katika maambukizi ya VVU. Kwa hivyo zina mchango mkubwa katika Ushauri Nasaha wa familia. 51

66 M4-4 MODULI 4 Kipindi 4 Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii katika Ushauri Nasaha kwa Familia (Dakika 60) 1. Kueleza mwitikio wa kisaikolojia na kijamii wa wanaoishi na VVU na walio karibu nao 2. Kusaidia wanafamilia kutoa matunzo na msaada kwa wanafamilia wanaoishi na VVU na wanougua UKIMWI. Maswali ya Kujipima: Mjibizo wa kisaikolojia wa familia ya anayeishi na VVU unahusianaje na mjibizo wake yeye anayeishi na VVU? Wajibu wa familia katika matunzo na msaada ni upi? Familia inawezaje kuwa kitovu cha matunzo kwa anayeishi na VVU? Nitawezaje kukubaliwa na familia ya anayeishi na VVU kuwa Mshauri Nasaha wa familia hiyo? Je, amali tofauti za familia zinaleta vikwazo katika Ushauri Nasaha? Familia ikipata taarifa ya mmoja wao kuwa na maambukizi ya VVU wanakuwa na mjibizo wa kisaikolojia. Wanafamilia ndio watu wa kwanza wa muhimu alio nao anayeishi na VVU. Mara nyingi familia humlaumu anayeishi na VVU kuwa amejitakia mwenyewe kwa sababu ya mtazamo kwamba maambukizi ya VVU hutokana na uzinzi ama tabia mbaya. Familia inahitaji taarifa zote sahihi kuhusu VVU na UKIMWI ili kuweza kutoa matunzo na msaada kwa anayeishi na VVU. Mshauri Nasaha anatakiwa kuelewa hali ya uhusiano wa wanafamilia na kuutumia kupata njia bora ya kusaidia. Wanafamilia wanatakiwa kujua kwamba hakuna chanjo wala tiba ya VVU na UKIMWI. Hata hivyo kudumisha afya nzuri na kutibu magonjwa yanayojitikezakutaboresha afya kwa ujumla. 52

67 MODULI 4 M4-5 Kipindi 5 Stadi za Ushauri Nasaha kwa Vijana (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya vijana na wabalehe 2. Kuainisha sababu za kuwalenga vijana katika masuala ya maambukizi ya VVU 3. Kueleza kinachohitajika kufanyika ili huduma ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari iweze kuwanufaisha vijana. 4. Kuainisha mikakati ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari ambayo itapunguza maambukizi ya VVU kwa vijana 5. Kuainisha changamoto za Ushauri Nasaha kwa vijana. Maswali ya Kujipima: Kwa nini ni muhimu kuwalenga vijana katika Ushauri Nasaha wa VVU? Orodhesha changamoto zilizopo katika Ushauri Nasaha kwa vijana. Unashughulikiaje masuala ya mawasiliano kwa vijana? Je, ninawapenda vijana kiasi cha kuweza kuwa Mshauri Nasaha mzuri kwao? Ujana ni kipindi kutoka miaka 10 hadi miaka 24 na balehe ni kutoka miaka 13 hadi miaka 19. Mara nyingi vijana wanapambana na vikwazo katika kupata huduma za afya kwa hiyo wanazitumia kwa kiasi kidogo zaidi kuliko watu wazima. Masuala ya usiri na ridhaa ya mteja yanakuwa magumu zaidi unaposhughulika na wabalehe. Kwa watu wazima uamuzi wa kupima ni wao wenyewe, na mchakato wote pamoja na majibu ni siri. Kwa vijana, mwongozo unabadilika kwa kulingana na umri unaokubalika kwao kutoa ridhaa ya kupima pamoja na wakati gani wazazi ama walezi wanatakiwa kuelezwa nia ya kupima pamoja na majibu ya vipimo. Yampasa Mshauri Nasaha kujua kwamba kuna changamoto nyingi katika kushughulika na vijana. 53

68 M4-6 MODULI 4 Kipindi 6 Vipengele Vinavyoimarisha Ushauri Nasaha kwa Vijana (Dakika 60) 1. Kueleza stadi na tabia zinazoimarisha mawasiliano mazuri na vijana 2. Kuainisha vipengele vya huduma rafiki kwa vijana. Maswali ya Kujipima: Mshauri Nasaha anatakiwa kuangalia mambo gani wakati wa kutoa Ushauri Nasaha kwa vijana? Orodhesha vipengele vya huduma rafiki kwa vijana. Huduma za afya zinahitaji kufanya marekebisho gani ili huduma ziwe rafiki kwa vijana? Je ninao uwezo wa kujiweka katika nafasi ya kijana na hivyo kuwa Mshauri Nasaha bora kwa vijana? Wakati wa kutoa Ushauri Nasaha kwa wabalehe na vijana Mshauri Nasaha anatakiwa kuchunga misingi ya Ushauri Nasaha. Mshauri Nasaha anapaswa kufahamu sifa ambazo zinawafanya vijana kuwa tofauti na watu wazima. Kumbuka kuwa uamuzi wa mbalehe ama kijana kuja kupima unaweza kutokana na mambo mengi likiwamo shinikizo kutoka kwa wazazi. Kumbuka kuwa hata bila kujali sababu zilizomsukuma kuja kupima, huyu kijana amejihimiza sana kuja kupima. 54

69 MODULI 4 M4-7 Kipindi 7 Muhtasari wa Ushauri Nasaha kwa Watoto na Masuala yake ya Kisheria (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya mtoto, umri wa kisheria wa kutoa ridhaa. 2. Kuorodhesha haki za mtoto. 3. Kueleza haja ya kuielekeza huduma ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari kwenye mahitaji halisi ya watoto. 4. Kueleza sababu za kuwalenga watoto katika Ushauri Nasaha wa VVU na UKIMWI. 5. Kuainisha masuala yanayohusu umri wa kisheria wa kutoa ridhaa. Maswali ya Kujipima: Orodhesha haki za watoto. Wianisha haki hizi na haja ya Ushauri Nasaha na kupima kwa watoto. Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari unawezaje kuelekezaw kwa watoto? Je ninayo mapenzi ya kutosha kwa watoto ili kuwa Mshauri Nasaha bora kwao? Mtoto ni binadamu ambaye hajawa mtu mzima. Katika mtazamo wa Ushauri Nasaha kwa watoto, mtoto ni yule aliye kati ya miaka 5 na miaka 14. Mtoto ana haki zake na zimeainishwa na Umoja wa Matifa na Umoja wa Afrika. Haki hizi ndizo zinampa mtoto haki ya kupata Ushauri Nasaha. Mara nyigi watoto hujikuta katika hali ngumu ya kuambukizwa na kuathirika na VVU. Ushauri Nasaha kwa watoto husaidia kuondoa woga na wasiwasi na kuwawezesha kuhimili uzoefu wa mambo ya kutisha yaliyowakuta. Mshauri Nasaha hana budi kuweza kuwatambua watoto walio katika hali ngumu. 55

70 M4-8 MODULI 4 Kipindi 8 Stadi za Ushauri Nasaha kwa Watoto (Dakika 60) 1. Kueleza stadi na tabia zinazoimarisha mawasiliano mazuri na watoto 2. Kujadili mikakati ya kuwasaidia wazazi kujua hali ya maambukizi ya VVU ya watoto wao 3. Kuwasidia wazazi kuhimili mihemuko ya kuwa na watoto wanaoishi na VVU 4. Kueleza mawasiliano kamilifu kwa watoto wenye makiwa Maswali ya Kujipima: Ni mikakati gani inawezesha kuwasiliana na mtoto? Jadili mshituko atakaopata mzazi baada ya kufahamu kuwa motto anaishi na VVU. Ni vigumu kiasi gani kwa mzazi kueleza hali yake ya maambukizi ya VVU kwa watoto wake? Ushauri Nasaha wa VVU na UKIMWI kwa watoto ni mchakato wa mawasiliano ambayo yana nia ya kuchunguza, kutambua na kushughulikia wasiwasi wa kisaikolojia na kijamii wa watoto kwa ujumla na hasa wanaoishi katika hali ngumu ya VVU na UKIMWI. Mchakato wa Ushauri Nasaha kwa watoto unahusisha kuwasaidia watoto kutambua wasiwasi wao, chanzo chake na matokeo yake pamoja na nafasi iliyopo ya kupata suluhisho. Ni mchakato endelevu unaotumia mbinu rafiki na mawasiliano kumsaidia mtoto kuchunguza masuala yanayohusu maisha yake. Mchakato huo unafanyika katika hatua nne o Kujenga urafiki na kuaminiwa o Kuchunguza taarifa kuhusu mtoto o Kumsaidia mtoto kuunda mikakati inayotekelezeka o Kufanya mipango Watoto wadogo wanaweza kupata ugumu wa kuzungumza huenda kwa sababu hawajui maneno ya kusema yanayotakiwa, ama hawawezi kuzungumza na mtu wasiyemfahamu, ama wanaogopa kuzungumza na mtu mzima. Mshauri Nasaha anatakiwa kuwasidia wazungumze. Ushauri Nasaha kwa mtoto hutegemea mawasiliano kamilifu, hivyo kuna sababu nyingi zinazoweza kuzuia mawasiliano na mtoto. Mshauri Nasaha awe macho na sababu hizi na kuziondoa. Ni muhimu kwa Mshauri Nasaha kumsaidia mzazi kuhimili hali ya mtoto wake anayeishi na VVU ama yeye mwenyewe mzazi kueleza hali yake ya maambukizi ya VVU kwa mtoto wake. 56

71 MODULI 4 M4-9 Kipindi 9 Kuwahudumia Watu Wenye Ulemavu Katika Mtazamo wa Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya ulemavu 2. Kuainisha makundi ya watu wenye ulemavu 3. Kueleza mahitaji ya huduma ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa makundi mbalimbali ya wenye ulemavu 4. Kueleza kiwango cha chini cha mahitaji ya kutoa Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa watu wenye ulemavu Maswali ya Kujipima: Kwa nini ni muhimu kuwa mwangalifu unapotoa huduma za ushauri nasaha na upimaji wa VVU kwa watu wenye ulemavu? Je ninao uwezo wa kutoa huduma za ushauri nasaha na upimaji wa VVU kwa watu wenye ulemavu? Kiwango cha chini kwa ajili ya huduma za Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa watu wenye ulemavu Majengo: Kituo cha utoaji huduma kisiwe orofa ya juu ili kwa urahisi. Panapolazimu weka malift ya kupandia kwenda kwenye kituo cha utoaji huduma. Hakikisha milango ni mipana ya kuweza kupitisha viti vya walemavu wa viungo Chumba cha mtoa huduma kiwe kikubwa kiasi cha kuwa na nafasi ya kiti cha walemavu, mfasiri wa lugha ya alama au mlezi Hakikisha chumba kina mwanga wa kutosha kwa ajili ya urahisi wa kuonekana kwa lugha ya alama na kwa wenye uwezo mdogo wa kuona. Mawasiliano: Awepo mfasiri wa lugha ya alama. Watoa huduma wawe na uelewa wa msingi wa lugha ya alama au awepo Mshauri Nasaha Kiziwi anayejua lugha ya alama. Kituo kiwekwe mahali ambapo hapana kelele ili Ushauri Nasaha usiathirike. Viwepo vipeperushi vinavyoeleweka kwa watu wenye ulemavu katika sehemu za mapokezi, chumba cha kusubiri huduma na chumba cha kupimia. Vipeperushi view katika lugha ya alama na maandishi 57

72 M4-9 MODULI 4 ya wasioona (Braille) Vipeperushi view rahisi ili kueleweka kwa watu wenye ulemavu. Michoro inayotoa taarifa ya VVU na UKIMWI iwepo kwa ajili ya walemavu wa akili. Utoaji wa huduma: Watoa huduma wawe na uelewa wa msingi wa masuala ya ulemavu. Watoa huduma wapewe mafunzo ya kutoa huduma ya kiwango cha juu na isiyo na unyanyapaa kwa watu wenye ulemavu. Watoa huduma wawe wabunifu ili kufikisha huduma kwa watu wenye ulemavu. Ubunifu huo ni pamoja na Ushauri Nasaha na upimaji kwa njia ya huduma mkoba, Ushauri Nasaha na upimaji kwa familia. Taratibu na huduma za rufaa kutoka kwenye iwe rahisi na ikiwezekana ziwe bure kwa watu wenye ulemavu. Anzisha vituo vya msaada wa kisaikolojia na kijamii kwa watu wenye ulemavu kwa kutumia waelimishaji rika. Watu wenye ulemavu wahusike kama wahamsishaji, waeleimishaji rika na/au Wanasihi katika utoaji wa huduma. 58

73 MODULI 4 M4-10 Kipindi 10 Mbinu za Ushauri Nasaha kwa Makundi Yaliyo Katika Hatari ya Maambukizi ya VVU (Dakika 60) 1. Kuainisha makundi ya watu walio hatika hatari ya maambukizi ya VVU 2. Kueleza umuhimu wa kuwalenga watu walio katika hatari ya maambukizi ya VVU 3. Kutoa Ushauri Nasaha kwa watu walio katika hatari ya maambukizi ya VVU Maswali ya Kujipima: Kwa nini ni muhimu kuwalenga watu walio katika hatari ya maambukizi ya VVU katika huduma za ushauri nasaha na upimaji wa VVU? Je amali yangu inaweza kukubaliana na haja ya kuwapa huduma makundi mbalimbali ya watu walio katika hatari? Watu walio katika hatari ya maambukizi ya VVU (UNAIDS 2007): Wanaotumia dawa za kulevya kwa kujidunga sindano; Wanaume wanaofanya ngono na wanaume wengine; Watu wanaofanya bishara ya ngono; Wateja wa wanaofanya biashara ya ngono. Makundi mengine yaliyo katika hatari Walio katika majeshi mbalimbali; Wanaume na wanawake wanaojihusisha na shughuli za ngono; Wafungwa; Wanaohamahama (kama, wafanyakazi za msimu, madereva wa malori makubwa yaendayo umbali mrefu); Vijana wa mitaani; Wanaofanya ngono baada ya ulevi. Kwa nini kuwalenga makundi yaliyo katika hatari? Kiwango cha maambukizi katika makundi haya kiko juu Wengi hawapati huduma za afya na nyinginezo Kuwasaidia walio katika hatari kutabadili sura ya maambukizi ya VVU Kwa nini kutoa Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa walio hatarini Makundi ya walio hatarini yako katika nchi zote na kiwango cha maambukizi ya VVU kati yao kiko juu zaidi Huduma kwa makundi haya itasaidia kuwawezesha kufikia huduma nyingine za matunzo na matibabu Kuna haja ya: 59

74 M4-10 MODULI 4 o Kuongeza huduma kwa makundi haya; o Kuweka huduma rafiki ili waweze kuzifikia; o Kuwapa rufaa ili kufikia huduma nyingine; o Kuhusisha jamii inayowazunguka. Stadi za Ushauri Nasaha kwa walio katika hatari Jitambue mwenyewe. Ujiamini. Uwe msikilizaji mzuri. Uwe na ushirikeli na uelewa. Amali yako isikufanye uwe na ubaguzi Uoneshe uvumilivu wa kukubali amali na tabia za watu wengine. Elewa changamoto zinazowakabili makundi ya watu hawa Thamini usawa na utu Usihukumu ili kumhudumia vema mteja 60

75 MODULI 4 M4-11 Kipindi 11 Ushauri Nasaha wakati wa Upeo wa Mgogoro (Dakika 60) 1. Kueleza upeo wa mgogoro wa mteja 2. Kufafanua upeo wa mgogoro wa mteja kuhusiana na Ushauri Nasaha wa VVU na UKIMWI 3. Kujadili aina za upeo wa mgogoro 4. Kutoa Ushauri Nasaha wakati wa mgogoro wa mteja Maswali ya Kujipima: Jadili wajibu wa Ushauri Nasaha katika kuondoa upeo wa mgogoro kwa anayeishi na VVU. Mshauri Nasaha anatakiwa kuangalia vigezo gani katika Ushauri Nasaha wa upeo wa mgogoro? Ushauri Nasaha wa upeo wa mgogoro unahitaji; je, uwezo huo ninao? Upeo wa mgogoro ni tukio la ghafla au lisilotegemewa ambalo humchanganya mtu kihisia. Mara nyingi siyo rahisi kutabiri upeo wa mgogoro. Hali hiyo ndiyo inayoongeza mjibizo wake. Mtu mwenye upeo wa mgogoro hana uwezo wa kufanya mambo yake. Upeo wa mgogoro unajitokeza katika hali kuu mbili: Ama unatokana na hali, ama unajengeka. Vigezo vinavyochangia kwenye upeo wa mgogoro ni: o Kujua hali ya maambukizi ya VVU o Kupata magonjwa kama ukurutu. Mkanda wa jeshi, kuharisha kusikoelezeka o Kifo cha ghafla cha mtoto au mwenzi o Kumpoteza mtu anayetoa msaada kwa anayeishi na VVU o Kukosa makazi ama ajira. Ushauri Nasaha wa upeo wa mgogoro unalenga hisia kuwa VVU na UKIMWI ni hatari kwa maisha, na unyanyapaa wa jamii. Ni mchakato wa kumsaidia aliye na upeo wa mgogoro kurudi kwenye hali ya kawaida. Ni huduma ya msaada inayotokea wakati wote. Madhumuni ya Ushauri Nasaha wa upeo wa mgogoro: o Kumsaidia mteja kurudia hisia za kuweza kuhimili kile kinachotishia maisha o Kumsaidia mteja kuyashinda mambo mengine ya pembeni yanayoendana na tatizo lake o Kumsaidia mteja kuyakubali yanayotokea o Kumsaidia mteja kuuona ukweli na kukubali kuishi na hali hiyo. 61

76 M4-12 MODULI 4 Kipindi 12 Ushauri Nasaha wa Kupotelewa Majonzi na Makiwa (Dakika 60) 1. Kueleza dhana ya kupotelewa, majonzi na makiwa 2. Kueleza hatua za majonzi na makiwa 3. Kueleza hatua za mihemuko anazopitia mteja 4. Kueleza mikakati ya kushughulikia mihemuko 5. Kueleza woga unaoambatana na kifo Maswali ya Kujipima: Kwa nini watu wanajisikia kuwa wamepotelewa kama mmoja wa wanafamilia akionekana ana maambukizi ya VVU? Mshauri Nasaha anawezaje kumsaidia aliye na maambukizi ya VVU kuondoa hisia za kuwa mkosaji? Wajibu wangu Mshauri Nasaha kwa familia yenye makiwa ni upi? Kupotelewa ni hali ya kunyang anywa kile mtu akipendacho. Aina kubwa ni: o Kupotelewa na mtu muhimu o Kupotelewa na umpendaye o Kupotelewa na sehemu ya nafsi o Kupotelewa na vitu vingine o Kifo cha umpendaye. Majonzi ni mjibizo unaofuata kupotelewa na yanajitokeza kwa njia ya makiwa na kuomboleza. Ni wakati wa maombolezo watu wanaokuwa nao baada ya kumpoteza mpendwa wao. Ushauri Nasaha wa majonzi ni msaada wa hisia kwa mtu aliye na hisia za kupotelewa baada ya kumpoteza mwanafamilia. Makiwa ni hisia kali za maumivu zinazoletwa na kupotelewa, ama janga lolote. Makiwa yanajitokeza kwa huzuni kali kupotelewa kunapoonekana kuwa hakutaweza kuvumilika. Makiwa huja kwa machozi na haja ya kuwa peke yako ili kuondokana na watu. Hisia za kujiona mkosaji ni za kawaida kwa mfano Kwa nini siku au ningekuwa nimemtunza vema au ningekwenda kumwona haya yasingetokea. Hatua za makiwa ni za kawaida kwa watu. Zinaweza kujitokeza wakati huo au baadaye. Ni muhimu kawahimiza watu kupitia makiwa. Makiwa ni mchakato wa muda mrefu ambao unaweza kuendelea hata kwa miaka miwili. 62

77 MODULI 4 M4-13 Kipindi 13 Kumsaidia Mteja na Anayemhusu Kuhimili Kupotelewa (Dakika 60) 1. Kueleza umuhimu wa kuendelea kuwa na mawasiliano kati ya mteja na wanaomhusu 2. Kumsaidia mteja na wanaomhusu kuhimili kupotelewa. Maswali ya Kujipima: Ni vigezo gani vinavyomuathiri mtu akipotelewa? Eleza hatua za kutoa Ushauri Nasaha wa kupotelewa na majonzi. Nawezaje kumsaidia mtoto mwenye makiwa? Ushauri Nasaha kwa wenye majonzi hutolewa kwa wateja, watoto wao wenzi wao na wanaowatunza. Katika Ushauri Nasaha kwa wenye majonzi yampasa Mshauri Nasaha: o Kusikiliza kwa makini na kutafuta maana zilizojificha kwa kutumia ukimya, kutikisa kichwa, na kurudia maelezo kwa ufupi o Kuonesha upendo kwani wateja wanajitaji kueleza hisia zao bila woga ama kukemewa na kuonesha hisia za kuumia, huzuni hasira na woga bila kuzuiwa o Kuancha kusema Unavumilia vizuri ; Furahi kwani amepumzika kutoka kwenye maumivu ; Amefika pazuri kwa Muumba wake. Mshauri Nasaha atoe suluhu rahisi kwa machungu haya mazito. o Kuelewa tofauti ya watu katika makiwa kwa kuelewa kuwa kila mmoja ni mtu binafsi. Watu hawaipokei hali ya kifo kwa namna moja ingawa yako mambo ambayo yanafanana kwa wote. 63

78 64

79 MODULI Ushauri Nasaha, Matunzo na Matibabu Muhtasari Matunzo katika hali ya kuishi na VVU yanahusisha vipengele vingi. Hivyo Ushauri Nasaha hauna budi kuangalia masuala yanayowaathiri wanaoishi na VVU kwa njia moja au nyingine. Masuala haya ni pamoja na kuendeleza matumizi ya dawa, maambukizi yanayoshabihiana na ya kifua kikuu na VVU, uhusuano wa karibu kati ya magonjwa ya ngono na VVU, matibabu ya magonjwa nyemelezi,umuhimu wa lishe bora, unyanyapaa na utunzaji wa masuala ya kisheria na haki za binadamu. Mshauri Nasaha ana jukumu kubwa katika yote haya. Hivyo basi, moduli hii inayaangalia yote haya katika uhusiano wa Mshauri Nasaha na mteja. Moduli hii itakuwa na vipindi vifuatavyo: Kipindi 1 Muhtasari wa Huduma za Matunzo na Matibabu katika VVU na UKIMWI Kipindi 2 Ujumla wa Matunzo katika VVU na UKIMWI Kipindi 3 Wajibu wa Mshauri Nasaha kwenye Huduma ya Dawa za Kupunguza Makali ya UKIMWI Kipindi 4 Muhtasari wa Maambukizi ya Kushabihiana kwa Kifua Kikuu na VVU Kipindi 5 Ushauri Nasaha Unaohusu Kifua Kikuu na VVU na Uchunguzi wa awali wa Uambukizo wa Kifua Kikuu Kipindi 6 Muhtasari wa Magonjwa ya Ngono na Magonjwa ya Uzazi Kipindi 7 Muhtasari wa Magonjwa Nyemelezi Kipindi 8 Lishe katika Hali ya Kuishi na VVU na UKIMWI Kipindi 9 Ushauri Nasaha wa Lishe katika Hali ya Kuishi na VVU na UKIMWI Kipindi 10 Unyanyapaa na Kutengwa katika Hali ya VVU na UKIMWI - 1 Kipindi 11 Unyanyapaa na Kutengwa katika Hali ya VVU na UKIMWI - 2 Kipindi 12 Masuala ya Kisheria na Haki za Binadamu 65

80 Kipindi 13 Kipindi 14 Masuala ya Kisheria na Haki za Binadamu kwa Watoto Tahadhari ya Jumla na Kuimarisha Kuzuia Maambukizi

81 MODULI 5 M5-1 Kipindi 1 Muhtasari wa Huduma za Matunzo na Matibabu ya VVU na UKIMWI (Dakika 60) 1. Kuainisha huduma za matunzo na matibabu ya VVU na UKIMWI 2. Kujadili kiungo kati ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari na matunzo na matibabu ya VVU na UKIMWI Maswali ya kujipima: Kuna huduma zipi za matunzo na matibabu kwa ajili ya VVU Tanzania? Wanafamilia wanahusika vipi katika huduma za matunzo na matibabu? Jadili wajibu wa Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari katika matunzo ya WAVIU. Tafakari juu ya wajibu wako kama Mshauri Nasaha katika huduma za matunzo na matibabu kwenye jamii yako. Huduma za matunzo na matibabu ya VVU na UKIMWI zinalenga kuwapa wanaoishi na VVU maisha bora. Madhumuni ya kutoa matunzo, msaada na matibabu ya VVU na UKIMWI kwa pamoja ni kutoa huduma bora ili kuongeza ubora wa maisha ya wanaoishi na VVU na familia zao. Wanaoishi na VVU, familia zao na jamii wanahusika. Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari ni mlango wa kuingia kwenye huduma zote hizi na hutoa nafasi ya kupata taarifa zote za VVU na UKIMWI. 67

82 M5-2 MODULI 5 Kipindi 2 Ujumla wa Matunzo katika VVU na UKIMWI (Dakika 60) 1. Kueleza kwa ujumla dhana ya matunzo 2. Kujadili vipengele vya matunzo 3. Kujadili hatua zinazoweza kutumika katika ujumla wa matunzo 4. Kujadili wajibu wa Mshauri Nasaha katika ujumla wa matunzo Maswali ya kujipima: Faida za ujumla wa matunzo kwa WAVIU na jamii nzima ni zipi? Orodhesha huduma zinazotakiwa kuwepo katika ujumla wa matunzo. Mimi kama Mshauri Nasaha nina nafasi gani katika ujumla wa matunzo katika jamii yangu? Ujumla wa matunzo ni utaratibu wa kuunganisha huduma za kitabibu na huduma nyinginezo ndani ya jamii ili kutimiza mahitaji yote ya wanaoishi na VVU, ambayo ni zaidi ya matunzo na matibabu ya hospitali peke yake. Ujumla wa matunzo unaanza tangu mtu anapopima na kuonekana ana maambukizi ya VVU hadi kufa. Ujumla wa matunzo ni pamoja na matunzo yanayotolewa nyumbani na kwenye jamii hadi kwenye asasi za utoaji huduma kuhusiana na ugonjwa wa mgonjwa. Kuwepo kwa mfumo wa rufaa kunahakikisha kuwa wanaoishi na VVU na walio karibu nao wanapata faida ya huduma mbalimbali kutoka kwenye jamii na asasi za huduma wakati wote wa maambukizi na ugonjwa. Huduma ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari ni njia ya kuingilia kwenye kuzuia maambukizi ya VVU na kifua kikuu. Inasaidia watu kufanya uamuzi unaotokana na taarifa sahihi kuhusu upimaji wa VVU na kifua kikuu. Vile vile inasisitiza jitihada za kubadili tabia, kupunguza unyanyapaa na kutengwa na kurudisha mtazamo wa kawaida kwa jamii kwa VVU na UKIMWI na kifua kikuu. 68

83 MODULI 5 M5-3 Kipindi 3: Wajibu wa Mshauri Nasaha kwenye Huduma ya Dawa za Kupunguza Makali ya UKIMWI (Dakika 60) 1. Kueleza malengo ya mpango wa matibabu kutumia dawa za kupunguza makali ya UKIMWI 2. Kuainisha dawa za kupunguza makali ya UKIMWI kwa makundi yake 3. Kueleza utaratibu wa mchanganyiko wa dawa zinazotumika Tanzania 4. Kujadili wajibu wa Mshauri Nasaha katika Ushauri Nasaha wa matumizi ya dawa za kupunguza makali ya UKIMWI Maswali ya kujipima: Mshauri Nasaha anatakiwa kuangalia masuala gani anapotoa Ushauri Nasaha wa dawa za kupunguza makali ya UKIMWI? Ushauri Nasaha wa dawa za kupunguza makali ya VVU unahusianaje na Ushauri Nasaha wa VVU? Ninahitaji kufanya nini ili kumwezesha mteja wangu aendelee kutumia dawa kwa uangalifu zaidi? Madhumuni ya matibabu ya kutumia dawa za kupunguza makali ya UKIMWI Madhumuniya msingi ya dawa za kupunguza makali ya UKIMWI ni Kupunguza idadi ya VVU mwilini Kuongeza chembechembe na kuongeza kinga Kuboresha thamani ya maisha Kupunguza vifo na magonjwa yanayotokana na VVU. Madhumuni ya nyongeza yanalenga kupunguza kuenea kwa VVU kwa Kuongeza idadi ya wanaopata huduma ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari, wanaojua hali yao ya maambukizi ya VVU na wanaofanya ngono salama Kupunguza maambukizi kwa wenzi ambao mmoja wao anaishi na VVU Kupunguza maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto. Mgawanyo wa dawa za kupunguza makali ya UKIMWI Dawa za kupunguza makali ya UKIMWI zimegawika katika makundi matatu. Kwa matitabu sahihi, inabidi matibabu yahusishe dawa za makundi yote matatu. 69

84 M5-3 MODULI 5 Matibabu kwa dawa za kupunguza makali ya UKIMWI kwa watu wazima na wabalehe Kuanzia mgonjwa anapogundulika ana maambukizi ya VVU, lazima apewe rufaa kwenda kwenye kliniki ya matibabu ya VVU (CTC). Maandalizi ya awali ni muhimu kwa mgonjwa na yanahusisha vipimo vingi. Uamuzi wa matibabu utategemea hatua ya makuzi ya uambukizo ugonjwa. Kipimo cha CD4 kinabaki kuwa muhimu kuangalia kiwango cha kinga za mwili. Wajibu wa Mshauri Nasaha kwenye huduma ya dawa za kupunguza makali ya UKIMWI Kutoa elimu ya huduma ya dawa za kupunguza makali ya UKIMWI kwa wateja Kwa ufupi kuelezea utaratibu wa kuanza kutumia dawa za kupunguza makali ya UKIMWI Kumpatia rufaa mteja aliyepimwa na kugundulika ana VVU kwenda kwenye kliniki ya dawa za kupunguza makali ya UKIMWI Kumpatia rufaa mteja anayesumbuliwa na dawa za kupunguza makali ya UKIMWI kwenda kwenye kliniki ya ART. 70

85 MODULI 5 M5-4 Kipindi 4 Muhtasari wa Maambukizi ya Kushabihiana na Kifua Kikuu na VVU (Dakika 60) 1. Kufafanua maana ya kifua kikuu 2. Kuainisha njia ya maambukizi ya kifua kiuu 3. Kueleza uhusiano kati ya VVU na kifua kikuu Maswali ya kujipima: Dalili za kifua kikuu ni zipi? Taja dalili za kawaida za kifua kikuu cha mapafu. Mjibizo wangu kwa mtu aliye na dalili zote za kifua kikuu ungekuwa upi? Kufua kikuu ni ugonjwa unaoambukizwa na vijidudu vinavyoitwa Mycobacterium tuberculosis. Vijidudu hivi huingia kwenye hewa kama mtu mwenye kifua kikuu cha mapafu akikohoa au akipiga chafya. Huambukiza watu walio katika eneo la kuvuta hewa moja kama familia, marafiki, wafanyakazi wa sehemu moja, wanaokaa chumba kimoja, walio katika sehemu za watu wengi kama usafiri wa umma, jela na sokoni. Watu wenye magonjwa sugu kama kisukari na watoto wenye utapiamlo pia wamo katika hatari ya kuambukizwa. Wafanyakazi katika viwanda kama wachimba madini na viwanda vya nguo na tumbaku pia wako katika hatari ya kuambukizwa. 71

86 M5-5 MODULI 5 Kipindi 5 Ushauri Nasaha Unaohusu Kifua Kikuu na VVU na Uchunguzi wa awali wa Uambukizo wa Kifua Kikuu (Dakika 60) 1. Kujadili uhusiano kati ya VVU na kifua kikuu 2. Kujadili mantiki ya kuwa na mpango wa pamoja wa Kifua Kikuu na VVU 3. Kuainisha wajibu wa Mshauri Nasaha katika kudhibiti kifua kikuu Maswali ya kujipima: Mshauri Nasaha ana nafasi gani katika juhudi za pamoja za mipango ya kifua kikuu na VVU? Je, naijua vizuri nafasi yangu katika mfumo wa matibabu ya VVU na kifua kikuu? Kifua kikuu na VVU ni milipuko inayokwenda pamoja. VVU inaongeza mlipuko wa kifua kikuu nchini Tanzania na kwingineko. Kifua kikuu ndio ugonjwa unaoongoza katika magonjwa nyemelezi ya VVU na UKIMWI. VVU ndiyo kigezo hatarishi kikuu katika maambukizi ya kifua kikuu na inaongeza kiwango cha maambukizi ya kifua kikuu. Karibu asilimia 50 ya wagonjwa wa kifua kikuu wana maambukizi ya VVU (NTLP) na kifua kikuu ndicho chanzo kikuu cha vifo miongoni mwa wanaoishi na VVU. Serikali ya Tanzania imeanzisha mpango wa mgonjwa mmoja, magonjwa mawili. Ili kudhibiti kifua kikuu na VVU iko haja ya kuweka kipaumbele kwenye mipango ya VVU na UKIMWI na kifua kikuu. Malengo ya pamoja ya huduma za VVU na kifua kikuu ni kupunguza kifua kikuu na VVU katika jamii inayosumbuliwa na magonjwa haya mawili. Uchunguzi wa awali wa uambukizo wa Kifua Kikuu Uchunguzi wa awali wa uambukizo wa Kifua Kikuu hutumia maswali matano. Ni wajibu wa Mshauri Nasaha kumuuliza mteja maswali haya matano kama uchunguzi wa awali wa uambukizo wa kifua kikuu. Maswali yenyewe ni haya: Je umekohoa mfululizo kwa majuma mawili au zaidi? Je unatoa makohozi yenye damu? Je umekuwa na homa mfululizo kwa majuma mawili au zaidi? Je umepungua uzito kwa kiwango kinachoonekana katika muda mfupi? Je unatokwa jasho sana usiku? Kama akijibu NDIYO kwa swali moja au zaidi ni vema umpe rufaa kwenda kwenye kliniki ya kifua kikuu kwa uchunguzi zaidi 72

87 MODULI 5 M5-6 Kipindi 6 Muhtasari wa Magonjwa ya Ngono na Magonjwa ya Uzazi (MYN/MYU) (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya magonjwa ya ngono na magonjwa ya uzazi 2. Kujadili aina kuu za magonjwa ya ngono Tanzania 3. Kujadili dalili kuu za magonjwa ya ngono 4. Kueleza njia kuu za maambukizi ya magonjwa ya ngono 5. Kueleza hatua za kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono Maswali ya kujipima: Orodhesha magonjwa ya kawaida ya ngono Tanzania. Ainisha dalili za magonjwa ya ngono kwa wanaume, wanawake na watoto. Amali yangu inaniongozaje kwa mteja anayekiri kwangu kuwa na magonjwa ya ngono? Magonjwa ya ngono huambukizwa kwa kupitia ngono bila kinga. Vijidudu vinavyohusika ni bakteria, virusikuvu, protozoa na ngurukia. Dalili nyingine hutofautiana kwa wanaume na wanawake. Mikakati ya kuzuia ni pamoja na uaminifu kwenye ndoa, ngono salama na kutumia kondomu kwa usahihi wakati wote. 73

88 M5-7 MODULI 5 Kipindi 7 Muhtasari wa Magonjwa Nyemelezi (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya magonjwa nyemelezi 2. Kueleza magonjwa yanayojitokeza mara kwa mara kwa wanaoishi na VVU 3. Kueleza matibabu ya magonjwa ya mara kwa mara kwa wanaoishi na VVU 4. Kueleza matunzo ya uuguzi ya magonjwa ya mara kwa mara kwa wanaoishi na VVU Maswali ya kujipima: Jadili uhusiano uliopo kati ya magonjwa nyemelezi na kushuka kwa mfumo wa kinga ya mwili kutokana na VVU. Nitamwezeshaje mteja kutibu magonjwa nyemelezi kila yanapotokea? Magonjwa nyemelezi hushambulia mwili baada ya kushuka kwa mfumo wa kinga ya mwili kutokana na VVU. Magonjwa hayo ni pamoja na: o Kifua kikuu o Malaria o Kichomi karinii o Kandidia o Mkanda wa jeshi o Saratani kaposi o Toksoplasmosi o Homa ya uti wa mgongo o Ambukizo la kuvu Magonjwa nyemelezi ni lazima yatibiwe mapema iwezekanavyo. 74

89 MODULI 5 M5-8 Kipindi 8 Lishe katika Hali ya Kuishi na VVU na UKIMWI (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya lishe na chakula 2. Kueleza umuhimu wa lishe bora kwa wanaoishi na VVU 3. Kueleza uhusiano kati ya VVU na lishe 4. Kueleza mambo yanayochangia kuwa na utapiamlo Maswali ya kujipima: Jadili jinsi ambavyo lishe duni inavyochangia kwa anayeishi na VVU kufikia hatua ya UKIMWI haraka. Tafakuri ya kipindi Je, ninaweza kueleza uhusiano kati ya lishe na makuzi ya VVU kwa ufasaha? Lishe: sayansi ya matumizi ya virutubisho ndani ya mwili. Virutubisho: Vitu vinavyopatikana ndani ya chakula ambavyo huupa mwili nguvu, humarisha ukuaji, vinasaidia matengenezo ya mwili na kuimarisha kazi za mwili. Utapiamlo: Hali inayoletwa na kuzidi au kupungua virutubisho vya aina moja ndani ya mwili. Hii huleta kwashakoo na marasima. Mlo kamili: Chakula ambacho kikiliwa humpa mtu virutubisho vyote vinavyotakiwa na kwa kiwango kinachotakiwa ili kuleta afya bora. Mtu mwenye utapiamlo akipata maambukizi ya VVU atafika kwenye hatua ya UKIMWI haraka zaidi. Mtu mwenye lishe bora ana mfumo wa kinga wenye nguvu zaidi wa kupambana na VVU na magonjwa. Uhusiano kati ya lishe na mfumo wa kinga: Upungufu wa lishe huathiri kinga ya mwili na kuwezesha VVU kuzaliana kwa wingi. VVU huathiri homoni ambazo zinahusika katika umetaboli wa wanga, protini na mafuta. Maambukizi huathiri hali ya lishe kwa kupunguza ulaji na unyonyaji wa virutubisho kwa kuongeza utumiaji na utoaji wa protini wakati mwili unapopambana na pathojeni aliyevamia. Chanzo cha utapiamlo kwa wanaoishi na VVU ni: Upungufu wa hamu ya kula, ulaji mdogo na upatikanaji mdogo wa chakula Magonjwa sugu, unyonyaji mbaya wa virutubisho, tatizo katika umetaboli na tatizo la misuli Homa, kichefuchefu, kutapika na kuharisha Mfadhaiko Matatizo yanayotokana na matumizi ya dawa. 75

90 M5-9 MODULI 5 Kipindi 9 Ushauri Nasaha wa Lishe katika Hali ya Kuishi na VVU na UKIMWI (Dakika 60) 1. Kujadili mlo kamili unaopatikana kwa vyakula vilivyopo 2. Kujadili upangaji wa mlo kwa hali mbali mbali zinazoweza kumpata anayeishi na VVU 3. Kuainisha makundi ya vyakula 4. Kueleza maana ya mlo kamili Maswali ya kujipima: Kwa nini ni muhimu kusimamia mahitaji ya chakula kwa karibu sana? Virutubisho vya nyongeza vina kazi gani? Wajibu wangu ni upi katika kuainisha lishe bora yenye bei nafuu kutokana na vyakula vinavyopatikana kwenye jamii? Taratibu nzuri za ulaji huleta maisha bora na afya bora. Anayeishi na VVU tayari ana mfumo wa kinga ambao hauna nguvu. Chakula chenye virutubisho vyote husaidia utendaji wa mfumo wa kinga na kuongeza nguvu, na protini na virutubisho vinavyohitajika wakati wote. Angalia masula muhimu yafuatayo: Mlo kamili Mahitaji ya virutubisho kwa anayeishi na VVU (WHO 2003) Kuimarisha ubora wa chakula Virutubisho mbalimbali vya nyongeza Taratibu sahihi za ulaji Taratibu za ulaji na lishe kwa dalili za UKIMWI Hamasisha usimamizi wa taratibu za ulaji kwa dalili za UKIMWI ambazo ni mkakati wa kutumia chakula na taratibu za ulaji kupunguza athari za dalili zinazohusika na UKIMWI kwenye ulaji na unyonyaji wa virutubisho. Kwa hiyo ni muhimu: Kuhakikisha ulaji wa kutosha kwa kuongeza ladha ya chakula, kumhamasisha anayeishi na VVU kula kila baada ya muda mfupi angalau chakula kidogo kidogo na kutengeneza chakula katika hali ya kuweza kuliwa. Hakikisha hali ya raha wakati wa kula. Mpe chakula chenye virutubisho vingi ili kusaidia vinavyopotea. Zuia upoteaji wa maji mwilini unaotokana na kuharisha na homa. Mpe matibabu ikiwa ni pamoja na dawa za kupunguza makali ya UKIMWI. Punguza makali ya dalili kwa kumpa virutubisho maalumu. Ongeza ulaji wa vyakula vinavyosiadia ujenzi wa mfumo wa kinga. Tibu dalili kama kichefuchefu, kutapika, kuarisha na kufunga choo. 76

91 MODULI 5 M5-10 Kipindi 10 Unyanyapaa na Kutengwa katika Hali ya VVU na UKIMWI - 1 (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya unyanyapaa, kutengwa na kukana 2. Kueleza unyanyapaa unaotokana na jamii na mjibizo wake 3. Kuainisha makundi yanayofanyiwa unyanyapaa na kueleza tabia zake 4. Kuainisha chanzo cha unyanyapaa katika asasi mbali mbali 5. Kueleza unyanyapaa katika asasi mbali mbali Maswali ya kujipima: Unyanyapaa unaathiri mapambano dhidi ya VVU kwa namna gani? Adui mkubwa wa jamii ni yupi kati ya VVU na unyanyapaa? Nina taarifa kiasi gani kuhusu masuala ya unyanyapaa katika jamii? Je ninahitaji kujifunza zaidi ili kuwa Mshauri Nasaha bora? Kitendo cha kumhusisha mtu na yale yasiyofaa kwa kumwona kuwa na tofauti inayoaibisha ni tabia isiyokubalika katika hali ya kawaida. Ni kitendo hasi kwa mtu au kikundi cha watu kuwaona walioathirika na VVU/UKIMWI kama wana tofauti isiyokubalika na kuwahusisha na umalaya na uzinzi. Kutengwa ni ile hali ya kumtenga mtu kutokana na kinachoonekana kuwa hakifai. Kutengwa kunatokana na unyanyapaa. Kukana ni kukataa majukumu au kuhusishwa na kitu kinachoonekana ni cha aibu. Unyanyapa katika jamii unajitokeza kama: Unyanyapaa wa kutendewa Unyanyapaa jamii Unyanyapaa binafsi Unyanyapaa wa maneno Makundi yanayofanyiwa unyanyapaa ni: Watu wenye matatizo sugu kama VVU, kifua kikuu, saratani na ukoma Watu wenye ulemavu kama viziwi, wasioona, albino, walemavu wa viungo Wafanya biashara ya ngono Wahudumu katika baa za pombe (mabaamedi) Yatima na watoto walio katika mazingira hatarishi Wanaume wanaofanya ngono na wanaume wenzao Maskini. 77

92 M5-11 MODULI 5 Kipindi 11 Unyanyapaa na Kutengwa katika Hali ya VVU na UKIMWI - 2 (Dakika 60) 1. Kueleza athari za unyanyapaa 2. Kuainisha mikakati ya kupunguza unyanyapaa na kutengwa 3. Kueleza sababu za unyanyapaa wa VVU na UKIMWI Maswali ya kujipima: Wajibu wa Mshauri Nasaha katika kupunguza unyanyapaa kwenye jamii ni upi? Ninaweza kujihusisha kwa kiasi gani katika kupunguza unyanyapaa kwenye jamii? Athari za unyanyapaa kwa mtu binafsi Unyanyapaa wa VVU huwafanya wanoishi na VVU kujiona wana makosa, hivyo kukata tamaa. Wanaoishi na kufanya kazi na wanoishi na VVU kama wahudumu wa afya huusishwa nao kwa hiyo nao wanafanyiwa unyanyapaa. Kupoteza haki za binadamu. Mikakati ya kupunguza unyanyapaa: Uraghbishi dhidi ya unyanyapaa Kujadili masuala ya VVU na ujinsia kwa uwazi Utashi wa kisiasa wa kuweka mazingira ya mawasiliano ya wazi Kuwahusisha wanaoishi na VVU wenyewe. 78

93 MODULI 5 M5-12 Kipindi 12 Masuala ya Kisheria na Haki za Binadamu (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya: masuala ya kisheria; haki za binadamu; na wosia 2. Kujadili haki za binadamu zinazohusiana na VVU na UKIMWI kwa mteja na Mshauri Nasaha 3. Kujadili vipengele vya wosia halali Maswali ya kujipima: Orodhesha haki za binadamu kwa makundi maalumu kama zilivyoainishwa na Umoja wa Mataifa. Nahitaji kujifunza haki za binadamu kwa kiasi gani ili niwe Mshauri Nasaha bora? Kisheria Kitu kinachohusika na sheria. Haki za binadamu Mahitaji ya muhimu kwa binadamu ambayo siyo vizuri kuyakiuka. Kwa kawaida wanaoishi na VVU wanapata matatizo yafuatayo yanayohusika na uvunjaji wa haki za binadamu: Kukatishwa ajira Kukataliwa ndoa Kunyimwa haki ya kuabudu Kukosa msaada wa kisheria Kukosa nafasi ya kuandika wosia Kukosa huduma za kiafya Kukosa elimu Kunyimwa nafasi ya kushiriki kazi za maendeleo kwenye jamii Kunyimwa haki ya kupata taarifa kuhusu maisha yake, VVU na UKIMWI. Mshauri Nasaha: Mshauri Nasaha anapofanya yafuatayo anavunja haki za binadamu kwa mteja wake: Kutopata ridhaa ya mteja kabla ya kumpima Kuvunja usiri na kutawanya taarifa na matokeo ya kipimo cha mteja bila ruhusa Kuchnganya taarifa za wateja tofauti Kutomuheshimu mteja Kumhukumu mteja Wosia - Jumla ya yale yote ambayo mwandikaji wa wosia angependa yafanyike baada ya yeye kufariki. Wosia pia ni andiko lililo na matashi haya. 79

94 M5-13 MODULI 5 Kipindi 13 Masuala ya Kisheria na Haki za Binadamu kwa Watoto (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya mtoto ambaye hajafikia umri wa kutoa ridhaa katika Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU 2. Kueleza jinsi ya kuwashughulikia ambao hawajafikia umri wa kutoa ridhaa ya kupima VVU 3. Kuainisha huduma za misaada kwa ambao hawajafikia umri wa kutoa ridhaa ya kupima kwenye huduma ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU 4. Kujaza fomu ya mzazi/mlezi kwa ajili ya mtoto ambaye hajafikia umri wa kutoa ridhaa au mteja mwenye ulemavu wa mawasiliano Maswali ya kujipima: Kwa nini ni muhimu kumhusisha mlezi kama unashughulika na mtoto ambaye hajafika umri wa kutoa ridhaa? Je, naweza kutathmini kwa uhakika na kuamua kuwa mtoto ana ukomavu wa kutosha kuelewa taratibu za upimaji na matokeo yake? Nchini Tanzania umri wa mtu mzima unaanzia mika 18. Kwa hiyo yeyote mwenye umri huo au zaidi ni mtu mzima na anaweza kutoa ridhaa. Kwa watoto chini ya miaka 18 huduma za Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari zitatolewa kama Mshauri Nasaha atamtathmini na kukubali kuwa ana ukomavu wa kutosha kuelewa taratibu za kupima na matokeo yake au kama ni mtoto mkomavu. Mtoto mkomavu anaruhusiwa kupata huduma za Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari bila kumhusisha mlezi. Huyu ni yule ambaye tayari ameolewa, ama ni mjamzito ama yule ambaye ameshaingia katika tabia za kumweka hatarini au tayari anafanya ngono. Katika kituo cha Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari huduma kwa mtoto zitahusisha mlezi. Huduma saidizi kwa watoto wanaopata huduma za Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari: Nafasi ya kuingia kwenye michezo. Kujiunga na vilabu vya vijana Kujiunga na shughuli za vijana katika sehemu za dini, jamii na kwenye kilabu. 80

95 MODULI 5 M5-14 Kipindi 14 Tahadhari ya Jumla na Kuimarisha Kuzuia Maambukizi (Dakika 60) 1. Kufasiri Tahadhari ya Jumla, Kuimarisha kuzuia maambukizi na usalama wa sindano 2. Kujadili umuhimu wa Kuimarisha kuzuia maambukizi 3. Kueleza njia za utupaji wa taka za huduma ya afya 4. Kueleza hatua sahihi za kuchukua baada ya ajali ya kumwagikiwa damu inayodhaniwa kuwa na maambukizi 5. Kujadili hatua za matibabu ya kinga baada ya ajali Maswali ya kujipima: Kwa nini Tahadhari ya Jumla ni za muhimu huduma za katika ushauri nasaha na upimaji wa VVU? Je Kuimarisha kuzuia maambukizi ni muhimu kwa Mshauri Nasaha? Tahadhari ya Jumla Tahadhari ya Jumla iliandaliwa na Centers for Disease Control (CDC) mwaka Inahusu matumizi ya viwango vya kuzuia maambukizi wakati wa kumhudumia mgonjwa na katika hali nyingine. Inalenga katika kupunguza hatari ya kupata maambukizi yanayotokana na damu na uwezekano wa kuambukizwa VVU. Inaweka mkazo kwenye kuwa waangalifu zaidi wakati wa kushughulika na damu na majimaji ya mwilini ya mtu yeyoye bila kujali hali yake ya maambukizi Tahari ya jumla inajumuisha: Kuwa mwangalifu wakati wa kutumia na kutupa vitu vyenye ncha kali (sindano na vinginevyo) Kunawa mikono kabla na baada ya huduma yoyote Kuvaa mavazi ya kukinga kugusana na damu na majimaji ya mwilini kama glovu, apron, lipiku, na kadhalika. Kutupa kwa njia ya usalama vitu vyote vilivyogusana na damu Kutumia taratibu sahihi za kusafisha kwa dawa ili kuondoa vyanzo vya maambukizi kutoka kwenye vifaa vilivyotumika Kushughulikia nguo zilizochafuka kwa usahihi Kuimarisha kuzuia maambukizi ni mikakati ya kuhakikisa huduma za afya zilizo salama na zenye manufaa. Mbinu hizi huwalinda wafanyakazi wa afya, wagonjwa na jamii ili wasipate maambukizi. Pia mbinu hizi hulinda mazingira yasichafuliwe. 81

96

97 MODULI Usimamizi wa Utoaji Huduma za Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Muhtasari Ushauri Nasaha na aupimaji wa VVU kwa hiari ni kiungo muhimu kati ya matunzo, msaada na kuzuia maambukizi ya VVU. Huduma hii huwezesha na kuendeleza mabadiliko ya tabia. Pia inawezesha kuwa na ufuatiliaji wa kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono, kuzuia na kutibu kifua kikuu na magonjwa mengine nyemelezi. Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari pia unaweka mazingira ya kutoa rufaa kwenda kwenye huduma za matibabu na nyingine za kuzuia maambukizi, matunzo na msaada za kijamii ikiwa ni pamoja na kupata dawa za kupunguza makali ya UKIMWI. Hivyo basi, huduma hii huongeza ubora wa maisha na itasaidia kupunguza unyanyapaa. Kipindi 1 Kipindi 2 Kipindi 3 Kipindi 4 Kipindi 5 Kipindi 6 Kipindi 7 Kipindi 8 Kipindi 9 Njia za Utoaji wa Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU Nchini Tanzania Kuanzisha Kituo cha Mifumo ya Utoaji wa Huduma ya Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Usimamizi wa Mtiririko wa Wateja Kuunda Mfumo wa Rufaa na Mitandao Stadi za Kuingia Ndani ya Jamii Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Zana za Kukusanyia Taarifa na Kuandaa Ripoti Usimamizi na Mtiririko wa Taarifa 83

98 M6-1 MODULI 6 Kipindi 1 Njia za Utoaji wa Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU Nchini Tanzania (Dakika 60) 1. Kueleza historia ya huduma ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU nchini Tanzania 2. Kueleza njia za upimaji na Ushauri Nasaha nchini Tanzania 3. Kueleza faida na changamoto za njia mbalimbali za upimaji na Ushauri Nasaha Maswali ya kujipima: Kaw nini kuna haja ya kutumia njia mbalimbali katika kutoa huduma ya ushauri nasaha na upimaji wa VVU? Je ninao uwezo wa kuhamasisha watu kutumia njia mbalimbali za huduma ya ushauri nasaha na upimaji wa VVU? Njia za Ushauri Nasaha na upimaji katika Tanzania ni pamoja na: Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU unaoanzishwa na mteja mwenyewe = Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Upimaji wa VVU na Ushauri Nasaha unaoshawishiwa na mtoa huduma ya afya Ushauri Nasaha na upimaji nyumbani/kwa familia Upimaji kwa ajili ya utafiti Upimaji wa lazima 84

99 MODULI 6 M6-2 Kipindi 2 Kuanzisha Kituo cha Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari (Dakika 60) 1. Kujadili hatua tatu za kupanga ili kuanzisha kituo 2. Kutambua ngazi tatu za kupanga uanzishaji wa kituo 3. Kupanga na kuanzisha kituo 4. Kuagiza na kununua zana za kufanyia kazi kituoni ikiwa ni pamoja na zana za maabara na dawa za kupima VVU. Maswali ya kujipima: Ni tathmini gani inayofanywa kwenye kituo, wilaya na ngazi ya kitaifa? Ni mambo gani ya kimuundo yanayofanyika kwenye kituo, wilaya na taifa? Utekelezaji gani unafanyika kwenye kituo, wilaya na taifa? Mshauri Nasaha ana mchango gani katika uanzishaji wa kituo cha Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari? Mipango ya kuanzisha kituo cha Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari una awamu tatu: Tathmini Uundaji Utekelezaji. Mipango hiyo hufanyika katika ngazi tatu: Kitaifa Kiwilaya Kwenye kituo Ununuzi na upatikanaji wa vifaa unafanyika kwa kufuata miongozo ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii. 85

100 M6-3 MODULI 6 Kipindi 3 Mifumo ya Utoaji wa Huduma ya Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari (Dakika 60) 1. Kutaja mifumo ya utoaji wa huduma 2. Kueleza faida na hasara za kila mfumo Maswali ya kujipima: Ni vigezo gani vinavyotumika kuchagua mfumo wa Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari? Mshauri Nasaha anayefanya kazi katika mmoja wa mifumo hii anaweza kupata shinikizo gani la kitaalamu? Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari unaweza kufanyika katika mifumo mbalimbali na kila mfumo ukiwa na faida zake na hasara zake. Nchini Tanzania mifumo inayotumika ni; 1. Kituo kinachojitegemea 2. Kituo kilicho ndani ya asasi ya afya 3. Upimaji nyumbani 4. Huduma mkoba ndani ya jamii. Faida na hasara za kila mfumo zimeoneshwa kwenye kitini. 86

101 MODULI 6 M6-4 Kipindi 4 Usimamizi wa Mtiririko wa Wateja (Dakika 60) 1. Kuwezesha mtiririko wenye ufanisi kwa wateja 2. Kuwahudumia wateja wengi Maswali ya kujipima: Kwa nini ni muhimu kusimamia mtiririko wa wateja katika kituo cha Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari? Jukumu langu binafsi kwenye usimamizi wa mtiririko wa wateja ni lipi? Ushauri Nasaha kabla ya kupimwa na Ushauri Nasaha baada ya kupimwa (iwe kwa mtu binafsi, Ushauri Nasaha wa wenzi au kundi) unatoa taratibu za kufuata, lakini ni lazima urekebishwe kulingana na mahitaji ya wateja. Katika sehemu nyingi wateja ni wengi na rasilimali ni chache. Ushauri Nasaha wa makundi unaweza kutumika ili kupunguza muda wa Ushauri Nasaha wa mtu mmoja. Katika Ushauri Nasaha wa makundi taarifa za awali za Ushauri Nasaha kabla ya kupimwa zinaweza kutolewa kwa pamoja na kisha masuala binafsi yakajadiliwa na mtu mmoja mmoja. Wenzi na walio katika ndoa ya wake wengi wahamasishwe kupata Ushauri Nasaha pamoja katika kundi au tofauti wakiwa mume na mke kama wenzi. Wenzi wasilazimishwe kupata Ushauri Nasaha pamoja ila wapewe nafasi ya kufanya uamuzi unaotokana na taarifa sahihi kuhusu kupata Ushauri Nasaha kwa pamoja. 87

102 M6-5 MODULI 6 Kipindi 5 Kuunda Mfumo wa Rufaa na Mtandao (Dakika 60) 1. Kujadili sababu za kuunda mfumo wa rufaa na mtandao 2. Kuandaa zana za kuwezesha utoaji wa rufaa katika kituo cha Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari. 3. Kutoa rufaa kama moja ya kazi kwenye kituo cha Ushauri Nasaha na kupima VVU kwa hiari Maswali ya kujipima: Rufaa inahusianaje na kuzuia maambukizi, kutoa matunzo na matibabu? Je, natimiza wajibu wangu katika kuzuia maambukizi, kutoa matunzo na matibabu? Matatizo yanayotokana na VVU na UKIMWI yana ncha nyingi na hayawezi kumalizika kwa kutumia sekta moja. Rufaa ni mpango wa misaada mingine kwa mteja wakati ambapo hiyo misaada inatakiwa. Rufaa pia ni kitendo cha kumpeleka mteja kwa Mshauri Nasaha mwingine ama shirika jingine ili kupata huduma ambayo haipatikani alipo. Ushirikiano ni kundi la watu ama asasi zinazofanya kazi pamoja kwa lengo moja. Mtandao ni mchakato wa kushirikiana kati ya mashirika, asasi au watu binafsi na mashirika ya kijamii wanaofanya kazi kwa lengo moja. Mshauri Nasaha hawezi kufanya kazi peke yake. Ni lazima awe na utaratibu wa kushirikiana na wengine kwa lengo la kumsaidia mteja kupata huduma za kitaalamu. Ni lazima Mshauri Nasaha ajadili uwezekano wa rufaa na mteja. Utaratibu wa majadiliano uwe mwepesi, wa kirafiki na usiharakishwe. Mshauri Nasaha anayetoa rufaa aeleze zaidi umuhimu wa haja ya rufaa kwa mteja badala ya kwa nini yeye hawezi kutoa huduma hiyo. Mshauri Nasaha anatakiwa kuwa na orodha ya mtandao wa rufaa kwa wateja wake. 88

103 MODULI 6 M6-6 Kipindi 6 Stadi za Kuingia Ndani ya Jamii (Dakika 60) 1. Kufasiri jamii 2. Kuainisha aina ya jamii 3. Kufasiri kuingia ndani ya jamii 4. Kueleza muundo wa jamii 5. Kujadili stadi za kuingia ndani ya jamii Maswali ya kujipima: Kwa nini mbinu za kuingia ndani ya jamii ni za muhimu kwa Mshauri Nasaha? Ninahitaji mabadiliko gani ili niweze kufanya kazi na jamii kwa urahisi? Muundo wa jamii na uongozi Uongozi wa kitawala huwaunganisha jamii katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku. Wana jukumu la kuweka ulinzi na kuhamasisha jamii kutekeleza kazi zilizopangwa. Uongozi wa kitawala ni pamoja na ngazi za wilaya, tarafa, kata, kijiji/mtaa Mifumo ya misaada ndani ya jamii Miundo ifuatayo inapatikana katika eneo lako. Kamati ya Maendeleo ya Kijiji Kamati ya Afya ya Kijiji Viongozi wa serikali wa ngazi mbalimbali (tarafa, kata, vijiji, na vitongoji Makundi ya dini Mashirika yasiyo ya kiserikali na mashirika ya kijamii Watoa huduma za nyumbani Stadi za kuingia ndani ya jamii 1. Ielewe jamii ili ujue mila, lugha, amali imani na mazingira yao nao wakufahamu. 2. Elewa nguvu iliyoko ndani ya jamii (viongozi, watu wenye kukubalika, na wengineo) 3. Fahamu jinsi wanvyofanya shughuli zao pamoja 4. Jenga kuaminika na kukubalika 5. Jifunze tofauti za kijinsia 6. Uwe na mtazamo chanya kwa kila wanachokijua na ujazie penye pengo 7. Timiza ahadi zako 8. Ihusishe jamii katika kupanga, kutekeleza kufanya ufuatiliaji, kutathmini na kutoa mrejesho 89

104 M6-7 MODULI 6 Kipindi 7 Ufuatiliaji na Tathmini ya Huduma za Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya ufuatiliaji na tathmini 2. Kueleza sababu za kukusanya taarifa za Ushauri Nasaha na upimaji 3. Kuainisha viashiria vya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari Maswali ya kujipima: Kwa nini huduma inahitaji ufuatiliaji? Je, ufuatiliaji unaweza kufanyika bila tathmini? Je nina wajibu gani katika mchakato mzima wa tathmini na ufuatiliaji wa huduma hii? Ufuatiliaji ni mfumo uliowekwa ili kufuatilia utekelezaji wa huduma. Tathmini ni kuangalia kama malengo ya huduma yamefikiwa. Katika kuanzisha na kupanua huduma za Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU unashauriwa na mtoa huduma wa afya, ufuatiliaji na tathmini ni muhimu ili kuhakikisha upana, fedha na ubora wa huduma. Ufuatiliaji na tathmini ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU unashauriwa na mtoa huduma wa afya. Nchini Tanzania utafuata misingi iliyowekwa kwa ajili ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari. Taarifa zinahitajika katika ngazi mbalimbali kuanzia kijijini hadi taifa. 90

105 MODULI 6 M6-8 Kipindi 8 Zana za Kukusanya Taarifa na Kuandaa Ripoti (Dakika 180) 1. Kujaza zana za taarifa na kuandaa ripoti Maswali ya kujipima: Kwa nini Mshauri Nasaha apoteze muda muhimu wa kutoa Ushauri Nasaha ili kujaza fomu za kukusanya taarifa? Ni taarifa gani nitakazozipata kutoka kwenye fomu za ufuatiliaji zitakazoniwezesha kutoa maoni ya kuboresha kituo? Mshauri Nasaha ni mmojawapo katika timu ya kukusanya taarifa kwa kujaza fomu husika kwenye kituo. Wakati wote anatakiwa kuwa mwangalifu anapojaza fomu hizo na rejesta ya kituoni. Mwongozo wa kujaza rejesta na fomu mbalimbali uko kwenye kitini. 91

106 M6-9 MODULI 6 Kipindi 9 Usimamizi wa Mtiririko wa Taarifa (Dakika 60) 1. Kujadili mfumo wa usimamizi wa taarifa 2. Kueleza jinsi taarifa na ripoti zinavyotiririka kutoka kituoni hadi ngazi ya taifa Maswali ya kujipima: Kwa nini usimamizi wa data (taarifa) ni muhimu katika Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari? Kwa nini kuna nyakati maalumu za kufikisha taarifa kutoka ngazi moja hadi nyingine? Mshauri Nasaha anatakiwa kufanya maandalizi gani ili aweze kujaza rejesta na fomu nyingine? Matumizi na usimamizi wa taarifa unaanza na kujaza jumla ya mwezi kwa kila ngazi. Fomu za jumla ya mwezi zinajazwa kwa kuonesha mgawanyo kwa makundi ya miaka na jinsia kwa kila kiashiria. Taarifa zinakusanywa kwenye kituo na kupelekwa hadi ngazi ya taifa. Mshauri Nasaha anawajibika kujaza rejesta na kuiwasilisha kwa kiongozi wake mwisho wa mwezi. Kiongozi wa kituo ana wajibu wa kujumlisha na kuandaa nakala mbili za ripoti ya mwezi (moja ya kituoni na moja ya wilayani). Fomu ipelekwe kwa Mganga Mkuu wa Wilaya na imfikie kabla au tarehe 7 ya mwezi unaofuata. Ripoti ya wilaya iwe na nakala mbili (moja ya wilaya na moja ya mkoa). Ripoti imfikie Mganga Mkuu wa Mkoa kabla au tarehe 14 ya mwezi unaofuata. Mganga Mkuu wa Mkoa anapitia ripoti za wilaya zote kuandaa ripoti ya mkoa na kuipeleka Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI kabla au tarehe 21 ya mwezi unaofuata. Zinaandaliwa nakala mbil; moja ya mkoa na nyingine ya Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI. Mrejesho wa ripoti hutoka taifa kwenda mkoa, wilaya na hatimaye kituoni. 92

107 MODULI Upimaji wa VVU katika Huduma ya Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Muhtasari Moduli hii inalenga kuwapa watoa huduma ya afya ambao wanatoa Ushauri Nasaha maarifa na stadi za kupima VVU kwa kutumia vipimo vya haraka. Nchini Tanzania watoa huduma wengine wa afya, na siyo wale wenye utaalamu wa maabara pekee, wanaruhusiwa kupima VVU kwa kutumia vipimo vya haraka baada ya kupitia na kufuzu mafunzo kwa kufuata mtaala ulioandaliwa na WAUJ. Upimaji wa VVU ni hatua muhimu ya kwanza ya kudhibiti mlipuko huo kwa kuwa ndiyo mlango wa kuingia katika kuzuia maambukizi, kutoa matunzo, matibabu na huduma za msaada. Upimaji wa VVU ukiambatana na Ushauri Nasaha unaofaa ni zana muhimu katika kushughulika na VVU na UKIMWI. Mipango ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari imeandaliwa kuwawezesha wateja na jamaa zao kuitikia ipasavyo kwa VVU na UKIMWI kwa kutumia mabadiliko ya tabia. Tekinolojia ya vipimo vya sasa vya VVU imewezesha utoaji wa Ushauri Nasaha na majibu sahihi kwa sku ile ile na hivyo kuongeza ufanisi na upatikanaji wa huduma ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari. Upimaji wa VVU ni hatua muhimu katika kutambua hali ya mtu ya maambukizi ya VVU. Hatua hii inafanyika baada ya kupata Ushauri Nasaha kabla ya kupimwa. Kwa kuwa majibu ya vipimo vya VVU yanahusika na maisha ya watu, ni muhimu yule anayepima awe na ujuzi wa kutosha ili kuweza kutoa majibu sahihi. Kwa hiyo Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imeandaa mafunzo yaitwayo, Training in HIV Rapid Testing for Laboratory and Non-Laboratory Health Workers ili kuendeleza na kuweka viwango vya ujuzi na usahihi unaohitajika na watoa huduma wote watakaotumia vipimo vya haraka kwa kupima VVU. Watoa huduma wote wanaotoa huduma ya kupima VVU kutumia vipimo vya haraka ni lazima wasome na kufaulu mafunzo ya mtaala huu. Wanasihi wa huduma hii pia watatumia mtaala huu wa WAUJ katika moduli ya upimaji wa VVU. Mkoba kamili una Mwongozo wa Mwezeshaji, na Makala ya kufundishia kwa kompyuta. Mwongozo wa Mwezeshaji unatoa mwongozo wa njia bora ya kutumia makala ya kufundishia kwa kompyuta ambayo inatumika katika mafunzo. Vipindi vya Mafunzo ya Upimaji wa VVU Kutumia Vipimo vya Haraka Vipindi katika mafunzo haya vinaitwa moduli. Tofauti hii isimchanganye mwezeshaji. Moduli hizi ni sawa na vipindi katika makala hii ya kufundishia wanasihi. Moduli ya kwanza ya mtaala wa upimaji Muhtasari wa maambukizi ya VVU imefundishwa kwa kirefu katika mafunzo ya Mshauri Nasaha. Mwezeshaji anashauriwa kurejea moduli hii haraka ili kujikumbusha. Mafunzo kamili ya upimaji wa VVU yanaanza na moduli ya pili na yana vipindi vifuatavyo: Uingizaji wa Upimaji VVU kwa vipimo vya haraka katika kuzuia maambukizi, na kutoa matibabu Muhtasari wa tekinolojia za upimaji wa VVU Mikakati na utaratibu wa kupima Kuhakikisha ubora wa upimaji utaratibu wa kufuata mfumo Usalama katika kituo cha kupima VVU Kujiandaa kupima vitendanishi vya maabara 93

108 Kutoa damu Kupima kwa vipimo vya haraka (uoneshaji na mazoezi) Utunzaji mali usimamizi wa mali katika kituo cha upimaji wa VVU Matumizi na matunzo ya vifaa katika kituo cha upimaji Kudhibiti ubora Kukusanya damu DBS Hati na rekodi Maadili ya kitaalamu Angalizo: Makala ya kufundishia upimaji wa VVU kwa vipimo vya haraka inapatikana pia kwenye CD-ROM ya.

109 MODULI Mbinu za Ushauri Nasaha, Maadili na Usimamizi katika Huduma za Ushauri Nasaha Utangulizi Ushauri Nasaha unategemea mbinu ambazo hutumiwa kwa uangalifu kutegemea na mahitaji na hali ya mteja. Mshauri Nasaha anajenga mbinu hizi kwa mazoezi kituoni. Maarifa aliyojifunza darasni anayafanyia mazoezi ili kujenga mbinu zinazohitajika. Wanasihi wanatumia mbinu za aina nyingi ili kupata matokeo chanya katika mchakato wa kumsaidia mteja. Mbinu hizi ziko katika makundi mawili (i) Mbinu kuu (ii) Mbinu saidizi. Mbinu kuu ni pana kwa kuwa zinatumika katika mchakato wote wa Ushauri Nasaha; lakini mbinu saidizi hutumika katika hatua maalumu za mchakato wa kusaidia. Kuna mbinu kuu nne na zinafuatana kwa mtiririko maalumu moja baada ya nyingine kwa utaratibu ufuatao: (i) Kujenga uhusiano (ii) Uchunguzi (iii) Uelewa (iv) Kupanga utekelezaji Unaweza kuzikumbuka mbinu hizi kwa kifupi cha KUUK: Mbinu saidizi ni zile ambazo Mshauri Nasaha anazitumia kupata taarifa kutoka kwa mteja ili kujenga uhusiano, kutathmini tatizo la mteja, kuelewa tatizo na kuweza kumwongoza mteja kufikia ufumbuzi wa tatizo lake au kupanga mikakati ya kuhimili tatizo. Mbinu kuu haziwezi kutumika peke yake bila mbinu saidizi. Ni lazima mbinu saidizi zitumike katika mchakato wa Ushauri Nasaha ili kupata mabadiliko yanayotegemewa kwa mteja. Moduli hii itawawezesha washiriki kujenga mbinu za Ushauri Nasaha na kupata maarifa na tabia chanya inayofaa katika unashi bora wakati wa mazoezi vituoni. Wanasihi watatafsiri maarifa waliyojifunza wakati wa vipindi na kuyatumia katika kazi ya Ushauri Nasaha. 95

110 Kipindi 1 4 Mazoezi ya Ushauri Nasaha (Mazoezi ya Nadharia katika M8) Kipindi 5 Utangulizi wa Maadili katika Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Kipindi 6 Maadili katika Kipindi 7 Msaada wa Kitaalamu kwa Mshauri Nasaha Kipindi 8 Usimamizi wa Mshauri Nasaha Kipindi 9 Mwongozo wa Kitaifa wa Kipindi 10 Mazoezi Kituoni

111 MODULI 8 M8-5 Kipindi 5 Utangulizi wa Maadili katika Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari (Dakika 60) 1. Kueleza maana ya maadili 2. Kueleza maadili ya Mshauri Nasaha 3. Kujadili sababu za kupata ridhaa inayotokana na taarifa sahihi na kuhakikisha usiri. 4. Kujadili usiri uliochangiwa katika ujumla wa matunzo 5. Kujadili umuhimu wa usiri uliochangiwa katika ujumla wa matunzo. Maswali ya kujipima: Kwa nini ni muhiku kupata ridhaa ya mteja kabla ya huduma ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari? Usiri una umuhimu gani katika huduma ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari? Nahitaji kuzingatia masuala yapi katika kutekeleza usiri wa kuchangia katika ujumla wa wa matunzo? Mafanikio ya kipindi cha Ushauri Nasaha yanategemea Mshauri Nasaha anavyofuata maadili ya kitaalamu. Maaadili ya kitaalamu ya Ushauri Nasaha ni mfumo wa misingi inayomwongoza Mshauri Nasaha katika uhusiano wake. Ushauri Nasaha, kama utaalamu mwingine wowote una maadili yaliyoandikwa ama yamejikita katika utendaji. Maadili ya kitaalamu humwongoza na kumlinda Mshauri Nasaha. Orodha ya maadili inaonekana katika kitini M VIII -6 Ridhaa inayotokana na taarifa sahihi: Kabla ya kumpima mteja Mshauri Nasaha hana budi kumweleza mteja maana ya kipimo cha VVU na masuala binafsi, kisaikolojia, kisheria na kijamii yanayoweza kujitokeza baada ya kipimo ili yamsaidie mteja kufanya uamuzi. Usiri: Dhana kuu katika masuala ya maadili Ni pamoja na kutunza taarifa za mteja ndani ya kabati inayofungwa Kuhakikisha Ushauri Nasaha wa kutumia namba za utambulisho Pamoja na kutotoa taarifa za mteja mpaka yeye mwenyewe ametoa ruhusa. Usiri wa kuchangia katika ujumla wa matunzo Mchakato wa kutoa taarifa za hali ya maambukizi ya VVU kwa watoa huduma wengine wa afya, wawakilishi wa kisheria na jamaa zake Mshauri atoe taarifa hizi wakati anapoamini kuwa ni kwa faida ya mteja ama wakati ambapo ni lazima kwa misingi ya kisheria. Kabla ya kufanya hivyo hana budi kumjulisha mteja. Kipindi 11 Kubadilishana Uzoefu wa Kituoni 97

112 M8-6 MODULI 8 Kipindi 6 Maadili katika Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari (Dakika 60) 1. Kujadili masuala ya kimaadili yanayotokea kwenye Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari 2. Kujenga mwitikio sahihi wa matatizo vya kimaadili Maswali ya kujipima: Ni masuala ya kimaadili yanayohusu mteja kutoa taarifa kwa mwenzi wake? Je ni vema Mshauri Nasaha kumhukumu mteja kulingana na maadili yake? Masuala ya maadili yananifunga kwa kiasi gani katika utoaji wa huduma ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari? Masuala ya kimaadili katika huduma za Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari Huwa zaidi kuhusu mwenzi anayeishi na VVU kukataa kumwarifu mwenzi wake Upimaji wa lazima kwa mteja Wateja kutokuja kuchukua majibu yao Wateja kukana majibu yao Mshauri Nasaha kulazimisha mtazamo wake kwa mteja Mshauri Nasaha kuhukumu tabia na uamuzi wa mteja kulingana na mawazo yake Kutoelewa tabia za binadamu Wanasihi wahitaji kuyaangalia matatizo haya kwa kutumia mikakati inayofaa. 98

113 MODULI 8 M8-7 Kipindi 7 Msaada wa Kitaalamu kwa Mshauri Nasaha (Dakika 60) 1. Kuainisha mambo muhimu ya msaada wa kitaalamu kwa Mshauri Nasaha 2. Kutambua umuhimu wa kuhimili msongo na kuzuia kuungua 3. Kuandaa mikakati ya kuhimili mihemuko na kupunguza kuungua Maswali ya kujipima: Kwa nini Mshauri Nasaha anahitaji msaada wa kitaalamu? Ni maandalizi gani yanahitajika ili kumpa Mshauri Nasaha msaada wa kitaalamu? Msaada wa kitaalamu unanijenga kwa kiasi gani ninapotoa huduma ya Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari? Ushauri Nasaha wa VVU unaleta msongo. Kila siku Mshauri Nasaha anakutana na watu walio katika hali ngumu. Kila siku Mshauri Nasaha anakutana na ukweli wa VVU, magonjwa, kifo, makiwa na kupoteza. Anahitaji msaada wa uhakika. Kuungua ni hali inayokua na muda mpaka mhusika anafikia hali ya kuchoka kabisa kimwili, kihisia na kiakili. Msongo ni hali ya kumchangamsha mtu na kuongeza kiwango cha kufikiri. Kuhimili msongo ni juhudi za kudhibiti ama kupunguza hali ya mawazo inayojitokeza wakati wa hali ngumu inayovuka uwezo wa mtu. Mahitaji ya utendaji bora kwa Mshauri Nasaha na kuendelea kufanya kazi katika hali hii yanamfanya apate msongo. Wanasihi hawana budi kujifunza kuona mahitaji yao na hisia zao. Yaani wajue wakati wa kupumzika, kupata usingizi wa kutosha na kufanya mikakati ya kuhimili msongo. 99

114 M8-8 MODULI 8 Kipindi 8 Usimamizi wa Mshauri Nasaha (Dakika 60) 1. Kutambua dhana ya usimamizi wa kitaalamu na usimamaizi wa kiutawala 2. Kutambua wajibu wa msimamizi na msimamiwa Maswali ya kujipima: Kwa nini kuna umuhimu wa kumfanyia usimamizi Mshauri Nasaha? Usimamizi wa huduma hii una umuhimu gani kwangu kama Mshauri Nasaha? Usimamizi ni kwa ajili ya kuelimisha, hivyo wasimamizi wanatakiwa kutoa taarifa ya hakika kwa ajili ya usimamizi. Katika taarifa hii msimamizi aoneshe njia ya usimamizi atakayotumia na maandalizi yanayotakiwa wakati wa usimamizi. Kwa kawaida usimamizi unakuwa wa kitaalamu na kiutawala. Usimamizi wa kitaalamu utajikita katika kumsaidia Mshauri Nasaha kuboresha mbinu za Ushauri Nasaha. Usimamizi wa kiutawala unaangalia ratiba ya kazi ili kuhakikisha kuwa Mshauri Nasaha ana muda wa kutosha kutenda wajibu wake, kama wanahudhuria usimamizi wa kundirika na wana kiwango cha kazi kinachowezekana ili wasichanganyikiwe. 100

115 MODULI 8 M8-9 Kipindi 9 Mwongozo wa Kitaifa wa Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari (Dakika 60) 1. Kujadili mwongozo wa kitaifa wa Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari 2. Kuwianisha mwongozo na Ushauri Nasaha kwa ajili ya VVU Maswali ya Kujipima: Kwa nini tunahitaji mwongozo katika Ushauri Nasaha na kupima VVU kwa hiari? Faida za mwongozo wa Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari katika utendaji ni zipi? Ninahitaji uongozi gani kutoka kwenye mwongozo huo? Mwongozo wa kitaifa unatoa misingi ya utendaji katika kutoa huduma za Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari. Mwongozo unajadili vipengele na hali zote zinazohitajika katika utoaji wa huduma. Maelezo zaidi yanapatikana katika Mwongozo wa, 2005 (NACP). 101

116 M8-10 MODULI 8 Kipindi 10 Mazoezi Kituoni (Dakika 60) MWONGOZO WA MSHAURI NASAHA MSIMAMIZI WA KUTATHMINI MAZOEZI YA KITUONI 1. Kuelewa hatua za kufuata wakati wa mazoezi kituoni Upana wa Mafunzo: Mafunzo yanalenga VVU na UKIMWI na magonjwa ya ngono pamoja na upimaji wa VVU. Katika mambo haya yote watafanyiwa tathmini katika Ushauri Nasaha kabla ya kupimwa, Ushauri Nasaha baada ya kupimwa na Ushauri Nasaha saidizi. Vigezo vya Tathmini: Msimamizi atafanya tathmini kwa kutumia orodha ya vigezo iliyoko hapa chini. Pamoja na tathmini ya Ushauri Nasaha kabla ya kupimwa, Ushauri Nasaha baada ya kupimwa na Ushauri Nasaha saidizi, pia watafanyiwa tathmini kwenye Ushauri Nasaha wa makundi maalumu kama wenzi, familia na vijana. Msimamizi ataandika ripoti fupi kwa kila mmoja akionesha: Utendaji wa kila mmoja akionesha mazuri na mapungufu yake Nidhamu kazini Msimamizi pia atatoa maelezo ya jumla ya utendaji wa mshiriki akionesha mahali panapohitaji msaada. Mshiriki: Mwisho wa tathmini: 1. Ajifanyie tathmini binafsi akianza na mazuri na kuishia na mapungufu yake. 2. Aoneshe mahali anapohitaji msaada. 3. Achague na kuandika kisa mkasa kizuri kwa ajili ya kuwasilisha. 102

117 MODULI 8 M8-10 ZANA YA KUTATHMINI MAZOEZI YA USHAURI NASAHA NA UPIMAJI WA VVU KWA HIARI (ORODHA YA VIGEZO) 1. JINA LA MSHIRIKI: JINA LA MSIMAMIZI: KITUO CHA MAZOEZI TAREHE: AINA YA USHAURI NASAHA BINAFSI/KUNDI 6. TAREHE: MIZANI Istilahi ya Maelezo Alama Daraja kwa herufi HAFIFU 0 49% E WASTANI 50 64% D VIZURI 65 75% C VIZURI SANA 76 85% B VIZURI ZAIDI % A MAELEKEZO1. Weka alama ya kwenye sehemu inayoonesha kiwango cha utendaji (Msimamizi) Mgawanyo wa alama.1. Kifungu (1) = 5% Kifungu (2) kujenga uhusiano 20% Kifungu (3) Mbinu za uchunguzi 30% Kifungu (4) Mbinu za uelewa 30% Kifungu (5) mbinu za kupanga utekelezaji 10% Kifungu (6) Kuweka rikodi 5% Jumla 100% N.B Alama za kila kipengele ziko katika mabano ( ) 103

118 M8-10 MODULI 8 S/N MAMBO YA KUANGALIA HAFIFU WASTANI VIZURI VIZURI SANA 1. Mshiriki anavyoonekana (5) 2. KUJENGA UHUSIANO Ukaribishaji kwa wakati na inavyotakiwa (1/2) Anamsalimu mteja (1/2) Anashikana mikono na mteja (1/2) Kujenga ukaribu (1) Kutoa utambulisho (1) Kueleza wajibu wake (1) Kuhakikisha upekee (1/2) Kuhakikisha usiri (1) Anaonesha mawasiliano na kungalia machoni (1/2) Kusikiliza kwa makini (1/2) Sauti inayofaa (1/2) Anaweka muda wa mazungumzo (1/2) Ukaaji na mpango wa viti mkao wa V (1/2) Hakuna vikwazo kati yao (1/2) Mshauri Nasaha karibu na mlango lakini karibu na mteja (umbali wa kisaikolojia) (1/2) Hana wasiwasi (1/2) Mkao wa wazi (1/2) Kuinama mbele (1/2) Kuangalia machoni (1/2) Heshima (1) Ushirikeli (1) Kuaminika (1 ½ ) 3. MBINU ZA UCHUNGUZI Maswali ya wazi (3) Maswali yaliyofungwa (3) Matumizi ya vihamasisho (3) Kuangalia machoni (3) Kusikiliza kwa makini (3) Ukweli (3) Uhalisia (3) Kutikisa kichwa (2) VIZURI ZAIDI MAONI 104

119 MODULI 8 M8-10 S/N MAMBO YA KUANGALIA HAFIFU WASTANI VIZURI VIZURI SANA Kugumia (2) Ushirikeli (2) Kujibu maswali (3) 4. MBINU ZA UELEWA Kutoa muhtasari (1) Kurudia maelezo kwa ufupi (1) Kurejea hisia (1) Ushirikeli (1) Heshima (1) Kuainisha tatizo la mteja (1) Uwezo wa kujadili masula nyeti (1) Uwezo wa kumsaidia mteja kuelewa taarifa alizopewa (1) Kutoa taarifa sahihi za VVU na UKIMWI na MYN au kama tatizo la mteja (1) Uwezo wa kumsaidia mteja kutengeneza tathmini binafsi ya hatari (2.5) Kuchunguza tabia za mteja kuhusu ngono na mengineyo (1) Kutoa muhtasari wa tabia za mteja kuhusu ngono na mengineyo (1) Mteja kukubali kubadili tabia hatarishi zilizoonekana(1) Uwezo wa kumsaidia mteja kufanya mpango binafsi wa kupunguza hatari (2.5) Mshauri Nasaha atathmini vikwazo katika mkakati binafsi wa kupunguza katari (2) Uwezo wa kujadili vipimo vya VVU na matokeo yake (2) Mtaja kupewa nafasi ya kuchagua mkakati wa kuishi kwa matumaini na VVU na UKIMWI (2) Mshauri Nasaha atoa mbadala wa mkakati wa kupunguza hatari (1) Uwezo wa Mshauri Nasaha kujadili walio karibu na mteja (1) VIZURI ZAIDI MAONI 105

120 M8-10 MODULI 8 S/N MAMBO YA KUANGALIA HAFIFU WASTANI VIZURI VIZURI SANA Mshauri Nasaha kukubaliana na mkakati unaowezekana wa kupunguza hatari (2) Mshauri Nasaha aandika mpango binafsi wa mteja wa kupunguza hatari na kumkabidhi ili kuimarisha utekelezaji (1) 5. KUPANGA UTEKELEZAJI (MBINU) Uhalisia (1) Ukweli(1) Kuaminika(1) Heshima(1) Kuweka tarehe ya kipindi kifuatacho (3½) Kukamilisha kipindi cha Ushauri Nasaha (3½) Kuandika pointi muhimu (4) Uwezo wa kutoa vipeperushi vya mafunzo (1) 6. KUTUNZA RIKODI 7. MAELEZO Fomu ya rejesta (2) Fomu ya ridhaa kwa mtu mwingine (1) Muhtasari wa kipindi cha Ushauri Nasaha (2) VIZURI ZAIDI MAONI 8. ALAMA ALIZOPATA 8.1 Nusu jumla 8.2 Jumla Kuu 8.3 Daraja 9. MAELEZO YA UJUMLA 10. SAINI YA MSHIRIKI... SAINI YA MSIMAMIZI

121 MODULI 8 M8-1 Kipindi 11 Kubadilishana Uzoefu wa Kituoni (Dakika 60) MFUMO WA KISA MKASA KWA KUCHANGIA Mwongozo wa kisa mkasa uwe na: Malezo binafsi ya mteja Historia fupi ya mteja Sababu za kutafuta huduma za Ushauri Nasaha na upimaji wa VVU kwa hiari Aina ya Ushauri Nasaha Maelezo mafupi juu ya Ushauri Nasaha uliotolewa Maelezo mafupi juu ya utaratibu wa Ushauri Nasaha uliofuatwa Vikwazo alivyokumbana navyo Mshauri Nasaha Mafunzo yaliyotokana na kisa hicho. 107

122

123 KIAMBATISHO A

124 (KIAMBATISHO 1-1) RATIBA YA MAFUNZO (WIKI 1) Muda / Siku SIKU 1 SIKU 2 SIKU 3 SIKU 4 SIKU 5 SIKU 6 2:00-2:15 Mrejesho Mrejesho Mrejesho Mrejesho Mrejesho 2:15-3:15 4:15-4:15 Registration and administrative issues and Official opening Zoezi kabla ya mafunzo ;4$1#%&$% '$#67$!"#$%&$%'$$()*+#&#%,$%--.% /$%'#0/0/12%3$4$5#67# Muhtasari wa Uambukizaji Kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto na Mpango Wa Kuzuia Uambukizaji wa Mama Kwa Mtoto!$17$5#$%&$%.67$*5#%!$6$7$8%'*74$6$5#!$17$5#$%,$%.97$()*&#% <#$+#=# '97$+$42%/$%:$5$4#)*% &$%.67$*5#%!$6$7$8% '*74$6$5# <#>$/?2%97$%.42$"#% 3*1*($%&$%.@#($"#% >$%--.%/$%.67$*5#%!$6$7$A<.3.B%%/$% C5242+$=#%&$%.67$*5#%!$6$7$ Weekly Test.67$*5#%!$6$7$8%;4$1#%&$% <*6#+#=#&$%/$%<**=#&$%% 4:15-4:45 CHAI 4:45-5:45.4$()*=#672 D*?7$% #/$,27*6#$/$%/$% --. '#+$+$4#%,$%<*&*#$% '$$()*+#&#%,$%--.!$17$5#$%,$%<#4$)#$ '97$+$42%/$%:$5$4#)*%&$%.67$*5#%!$6$7$8%3$4*$% <**%&$%.67$*5#%!$6$7$.67$*5#%!$6$7$8%;4$1#%&$% <*4*(#$%.+#(,$ :$$5#E$%'*7#(*%!$17$5#$%,$%.0=0>$ '97$+$42%/$%:$5$4#)*%&$% +*7*6*%--.%/$%.67$*5#%!$6$7$8%')#/*% 5:45-6:45 ;$#1#&#%+$4#+$%.67$*5#%.<F'GF!$6$7$ 6:45-7:45 CHAKULA 7:45-8:45 <*"#E$7$(*% <#/?$%,$%(>#=#%/$% --. ;#(*=#&#%H#6#&2% <>0=#%+*7*6*%--.% /$%.<F'GF!$17$5#$%,$%.)#/$1$(* '97$+$42%/$%:$5$4#)*%&$%.67$*5#%!$6$7$8% -#+>$&2%+$4#+$%.67$*5#%!$6$7$.67$*5#%!$6$7$8%;4$1#%&$% <*4*(#$%D*?7$%,$%'>#=# 8:45-9:45 I($=# F64#=$7#%F4*(#+$,2% +$4#+$%.@#($"#%>$% --. ;4$1#%&$%'$>$6#=#$/28% '*74$6$5# ;#E$%&$%'67$*5#%!$6$7$% J25$% 9:45-10:00 CHAI 10:00-11:00 <*"#0=0>$ 3$=#%,$%--.%/$%.<F'GF!$E$6#%,$%.67$*5#%!$6$7$%/$%.@#($"#%>$% --.%+>$%3#$5#%+$4#+$% <*&*#$%'$$()*+#&#%,$% --.K%<*42$%'$4*/&2%/$% <*7#(#=#%3$=#%3$=#6# ;4$1#%&$%'$>$6#=#$/28% '$>$6#=#$/2%<$(#=#E* G$"#)*%>$%'67$*5#%!$6$7$%J25$ B

125 C

126 D

127 E

128

Mwongozo wa Mwezeshaji

Mwongozo wa Mwezeshaji JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Mwongozo wa Mwezeshaji Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka lugha

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

Shabaha ya Mazungumzo haya

Shabaha ya Mazungumzo haya Karibu Katika Mazungumzo Kuhusu Mchakato wa Uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii CCMP/UMOJA Shabaha ya Mazungumzo haya Kuwafahamisha viongozi wa makanisa kuhusu Mchakato wa CCMP ambao umekuwa ukitumika

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Shukrani Ripoti

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 1. Utangulizi Changamoto kuu iliyopo kuhusiana na Elimu ya msingi nchini Tanzania kwa sasa ni namna

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) Dar es Salaam Oktoba 2007 YALIYOMO ORODHA YA VIFUPISHO DIBAJI SHUKRANI MUHTASARI RASMI SURA

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) TOLEO LA PILI Dar es Salaam, Oktoba, 2007 i ii JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Shukrani Ripoti

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu BLOOD PRESSURE UK Shinikizo la damu ndicho chanzo kikubwa cha ulemavu na vifo vya mapema kule Uingereza, kupitia kiharusi, mshtuko wa moyo na maradhi ya moyo.

More information

Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania

Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania 2 Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI 2013 Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Dar es salaam, Dodoma na Pwani

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Martha Qorro 1 1.0 Utangulizi Elimu ni suala la jamii ambalo mipango na taratibu zake zinahitaji kushirikisha wadau

More information

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre Shangazi Stella Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO Training and Research Support Centre Zimbabwe Shangazi Stella Kiongozi cha Mwezeshaji

More information

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma.

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma. This booklet on HIV/AIDS was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at VIRUSI VYA

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA 2007 i WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji! Yaliyomo Kuhusu kitabu hiki Kuhusu kitabu hiki.........................................................1 Unapojisikia vibaya.........................................................2 Unapoanza kuwa mzima

More information

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa

More information

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)

More information

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza 1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI MWONGOZO KWA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA WASTANI WANAOUZA BIDHAA NJE YA NCHI TOLEO LA PILI Geneva 2011 ii IKISIRI YA HUDUMA YA HABARI ZA BIASHARA ID=42653 2011 F-09.03

More information

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health Wasiojua kusoma na kuandika katika karne ya 21 hawatakuwa wale wasiojua kusoma na kuandika lakini wale ambao hawawezi kujifunza, kutojifunza na kujifunza

More information

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI This booklet on Becoming a Parent was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at. MACHAGUO

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

Wewe Maisha Yako Ndoto Zako. Kitabu cha Vijana Balehe

Wewe Maisha Yako Ndoto Zako. Kitabu cha Vijana Balehe Wewe Maisha Yako Ndoto Zako Kitabu cha Vijana Balehe Wewe, Maisha Yako, Ndoto Zako: Kitabu cha Vijana Balehe Catherine Watson na Ellen Brazier Shukurani Kitabu cha Wewe, Maisha Yako, Ndoto Zako ni tafsiri

More information

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Imechapishwa na: The Atlas Alliance Schweigaardsgt 12 SLP 9218 Grønland 0134 Oslo, Norway Simu: +47

More information

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Child Abuse & Neglect 43(2015)8 21 Orodha Yaliyomo inapatikana katika ScienceDirect Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Nakala ya Utafiti Mbinu za kuimarisha mifumo ya ulinzi wa mtoto kuanzia chini kwenda

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Msingi wa Programu zote za Uimarishaji Ubora Toleo la 1 kwa Lugha ya Kiswahili

More information

Ufundishaji wa lugha nyingine

Ufundishaji wa lugha nyingine CHUO CHA ELIMU CHA KIMATAIFA OFISI YA ELIMU YA KIMATAIFA Ufundishaji wa lugha nyingine Na Elizabeth B. Bernhardt ELIMU MAZOEA KITABU NA. 20 1 Chuo cha Elimu cha Kimataifa (The International Academy of

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu Nyenzo ya Mafunzo Vi Agroforestry Vi Agroforestry ni shirika la ushirikiano la maendeleo la Sweden, linalopambana dhidi ya umasikini na

More information

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Gervas Zombwe 1 1. Utangulizi Katika mazingira ya kawaida kabisa ndani ya jamii yetu, Imezoeleka kusikia au kuona watu wakioanisha dhana ya elimu

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE

HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE SAUTIZETU HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE 01 SAUTIZETU HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE SAUTI ZETU Huduma za Afya kwa wote THE OPEN SOCIETY INITIATIVE FOR EASTERN AFRICA (OSIEA) (JAMII WAZI YA MPANGO WA AFRIKA MASHARIKI)

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue? Tufundishane! Let s teach each other! This newsletter is published by The Foundation for Tomorrow and is meant to be a venue for teachers and schools to share and learn from each other s best practices.

More information

Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza

Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania 2015 2016 Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa,

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

Palliative Care Toolkit

Palliative Care Toolkit KISWAHILI TRANSLATION INPATIENT CARE OUTPATIENT CLINIC HOME-BASED CARE DAY CARE SUPPORT HOSPITAL PALLIATIVE CARE TEAM Physical Psychological Spiritual Social Palliative Care Toolkit Improving care from

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

UMRI WA MAKAMO NA KUKOMA KWA HEDHI

UMRI WA MAKAMO NA KUKOMA KWA HEDHI This booklet on menopause was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at http://www.ourbodiesourselves.org/tanzania.

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

ORDER NO BACKGROUND

ORDER NO BACKGROUND In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND

More information

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey

More information

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA Toleo la kwanza 2012 Mwandishi: USAID DELIVER PROJECT Wachangiaji: Gary Steele, John Snow, Inc. and Judith

More information

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia IDARA YA KUFIKIA HUDUMA ZA AFYA VERMONT Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia GreenMountainCare MIASHA YENYE AFYA BORA ZAIDI Jedwali la Yaliyomo Jedwali la Yaliyomo... 2 Karibu kwenye Programu ya

More information

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo Taarifa ya Warsha Kuhusu Elimu-Jumuishi Iliyofanyika Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Kujifunza hakuna mwisho. Kazi ya vikundi imenipa fursa ya kujieleza bila kuhofia kuwa ningekosea.

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MFUMO WA RUZUKU YA MAENDELEO YA MTAJI WA SERIKALI ZA MITAA (LDCDG) UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI Kijitabu cha Mshiriki

More information

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Shule za umma za kata ya Fayette 1 Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Muhtasari wa yale watoto wanastahili kufahamu na kuweza kufanya na njia za familia kuongeza masomo nyumbani. Tunaamini familia ni wenzetu.

More information

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Mazoezi ya wenye umri wa miaka 11-14 Hivi Ndivyo Nilivyo kwa wenye umri wa miaka 11-14 Kuhusu Hivi Ndivyo Nilivyo Ikiwa

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI SIKOMBE YIZUKANJI YORADI TASNIFU YA KISWAHILI KWA MINAJILI YA KUTUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI (MA. KISWAHILI) KITIVO CHA SANAA

More information

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA Maagizo (a) Andika jina lako na namba yako katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (b) Tia sahihi yako na tarehe ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (c) Jibu maswali

More information

Mipango ya miradi katika udugu

Mipango ya miradi katika udugu Partnerschaftlich Projekte planen Mipango ya miradi katika udugu 2 Dibaji... 3 Utangulizi... 4 I. Nafasi ya (Wajibu wa) Fedha katika Udugu: Mtazamo wa Ki-indonesi... 5 II. Namna UEM Inavyowezesha Miradi

More information

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA RIPOTI YA HUDUMA ZA AFYA TANZANIA BARA 2004 Imetayarishwa na: Idara ya Tiba Afya Makao Makuu P.O. Box 9083, DAR ES SALAAM June 2005 Yaliyomo Ukurasa Vifupisho

More information

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI b Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI 1 Mwongozo wa Uzalishaji

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi International Labour Office Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi 1 Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2007 Kimechapwa mara ya kwanza 2007 Machapisho ya Ofisi ya Shirika la

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA

More information

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q 88092387 SWAHILI B HIGHER LEVEL PAPER 1 SOUAHÉLI B NIVEAU SUPÉRIEUR ÉPREUVE 1 SUAHILI B NIVEL SUPERIOR PRUEBA 1 Tuesday 3 November 2009 (morning) Mardi 3 novembre 2009 (matin)

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda WARAKA WA TAARIFA YA MRADI (PID) HATUA YA TATHMINI TAARIFA NA..: AB4376 Jina la Mradi Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda AFRIKA Sekta Madini na Uchimbaji mwingine (100%) Namba ya

More information