Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Size: px
Start display at page:

Download "Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07"

Transcription

1 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007

2 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA (MAIR) ni moja ya matokeo ya Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA. Hivyo ripoti hii ni sehemu ya muundo wa jumla wa utoaji wa taarifa za wadau mbalimbali wanaojihusisha na utekelezaji wa MKUKUTA. Wadau hao ni pamoja na Wizara, Idara, na Wakala wa Serikali, Mamlaka za Serikali za Mitaa,na Asasi Zisizo za Kiserikali. Ripoti hii inatokana na uchambuzi wa utekelezaji wa kila lengo la MKUKUTA na inatoa picha ya mafanikio yaliyofikiwa, changamoto, mambo ya kujifunza, na hatua zinazopaswa kuchukuliwa kwa kila nguzo ya MKUKUTA. Pia ripoti hii inajumuisha hatua iliyopigwa katika michakato na maboresho mengine, na kuonyesha jinsi yanavyochangia katika kufikiwa kwa matokeo ya MKUKUTA yanayotarajiwa. Lengo la ripoti hii ni kuwafahamisha wadau kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa MKUKUTA sanjari na michakato inayohusiana, ikiwa na lengo la kuchochea mijadala juu ya masuala muhimu, na kusaidia kuboresha michakato ya mipango, bajeti na utekelezaji. Msingi wa wazo la kuandaa chapisho hili la lugha rahisi ni lengo la jumla la MAIR 2006/07 liliotajwa hapo juu. Ili kuwezesha ushiriki wa wadau wengi zaidi wa kada mbali mbali, ilionekana ni lazima kuandaa chapisho hili kwa lengo la kujenga ufahamu wa pamoja juu ya maendeleo ya utekelezaji wa MKUKUTA. ii

3 Yaliyomo Dibaji... ii Yaliyomo... iii Ujue MKUKUTA...iv Vifupisho...v Utangulizi...vi 1. Ijue MAIR... 1 Masuala Makuu ya MAIR, Madhumuni, Malengo na Matumizi... 1 Uoanishaji na Kuhusianisha Michakato ya Kitaifa... 2 Ripoti Ilivyoandaliwa... 2 Mapana ya MAIR... 3 Mapana na Mapungufu ya Mwongozo huu wa Lugha Rahisi Changamoto za Nguzo na Hatua za Kuchukua... 5 Nguzo ya Kwanza Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini wa Kipato... 5 Nguzo ya Pili Uboreshaji wa Maisha na Ustawi wa Jamii... 9 Nguzo ya Tatu Utawala Bora na Uwajibikaji Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA Chimbuko la Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA Sekretarieti ya MKUKUTA Makundi Matatu ya Kiufundi Uoanishaji wa Shughuli Shughuli Zinazoendelea Changamoto na Mambo Tuliyojifunza Hatua za Kuchukua Ugharamiaji Utafutaji na Upangiliaji wa Fedha MKUKUTA na Bajeti ya Taifa Kuboresha Michakato ya Bajeti na Ugharamiaji Njia za Kuripoti Bajeti Mapana ya Ripoti ya Bajeti Sera Nyingine Zinazohusiana na Bajeti Muhtasari wa Masuala Makuu na Hatua za Kuchukua Viambatisho Kiambatisho 1: Muundo wa Utekelezaji wa MKUKUTA Kiambatisho 2: Mchakato wa Mapitio ya Kisekta Kiambatisho 3: Viunganishi muhimu vya intaneti Maana za Maneno Makuu Yaliyotumika (Faharasa) Shukrani iii

4 Ujue MKUKUTA Ni Mkakati wa Kitaifa wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini kwa kipindi cha kuanzia 2005/2006 hadi 2009/2010 Ni uzao wa pili wa Waraka wa Mkakati wa Upunguzaji Umaskini. Uliandaliwa kufuatia mapitio ya Mkakati wa kwanza wa Upunguzaji Umaskini wa mwaka 2000 yaliyohusisha mashauriano ya wadau mbali mbali nchini. Uliandaliwa na unatekelezwa kwa njia ya mashaurino endelevu yanayohusisha ushiriki mpana wa wadau wengi. Umekusudiwa kuwa muundo wenye kuoanisha mipango, bajeti, utekelezaji, ufuatiliaji na taarifa za wadau wengi. Hupitiwa na Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA ambao huongozwa na Mpango Mkuu wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA. Huongozwa na Kamati ya Ufundi. Husimamiwa na Sekretarieti. Huendeshwa na makundi matatu ya Kitaalamu Utafiti na Uchambuzi, Tafiti na Takwimu za kila siku na Mawasiliano Unagharamiwa na Serikali, fedha za ndani na msaada wa Wabia wa Maendeleo sanjari na wadau wengine wa MKUKUTA. Umejikita katika nguzo tatu zenye kulenga matokeo badala ya kuzingatia sekta (Tazama jedwali lifuatalo kwa maelezo zaidi) Nguzo ya kwanza: Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini wa Kipato Nguzo ya pili: Uboreshaji wa Maisha na Ustawi wa Jamii Nguzo ya tatu: Utawala Bora na Uwajibikaji Matokeo ya Jumla Matokeo ya Jumla Matokeo ya Jumla Ukuaji wa uchumi wenye msingi mpana na unaozingatia usawa unafikiwa na kuendelezwa Kuboreka kwa maisha na ustawi wa jamii msisitizo wa kipekee ukiwa kwa watu maskini zaidi pamoja na wale walio katika mazingira hatarishi. Utawala bora na Utawala wa Sheria Uwajibikaji wa Viongozi na watumishi wa umma, Kupungua kwa tofauti ya kimatokeo (mfano; elimu, na afya) kwa kuzingatia maeneo ya kijiografia, kipato, umri, jinsia, na makundi mengine Demokrasia na uvumilivu wa kisiasa na kijamii, Amani, Utulivu wa kisiasa, umoja wa kitaifa na mshikamano wa kijamii. Malengo Malengo Malengo Kuhakikisha kunakuwapo usimamizi mzuri wa uchumi Kuchochea ukuaji wenye msingi mpana na endelevu Kuongeza upatikanaji wa chakula Kupunguza umaskini wa kipato kwa wanaume na wanawake vijijini Kuhakikisha upatikanaji sawa wa elimu bora ya msingi na sekondari kwa wavulana na wasichana, elimu ya kufuta ujinga miongoni mwa wanaume na wanawake, na upanuzi wa elimu ya juu, ufundi na ufundi stadi Kuboresha maisha, afya na ustawi wa watoto wote na wanawake hususan makundi yaliyo katika maazingira hatarishi Kuhakikisha kuwa miundo na mifumo ya utawala pamoja na utawala wa sheria ni vya kidemokrasia, shirikishi, uwakilishi, uwajibikaji na ujumuishaji. Kuhakikisha ugawaji sawa wa rasilimali za umma pamoja na kushughulikia rushwa ipasavyo. iv

5 Malengo Malengo Malengo Kupunguza umaskini wa kipato kwa wanaume na wanawake mjini Kutoa nishati ya kuaminika na rahisi kwa watumiaji. Kuongeza upatikanaji wa maji safi, salama nay a gharama nafuu, usafi, malazi mazuri, na mazingira salama na endelevu; na hivyo kupunguza uathirikaji utokanao na hatari za mazingira. Kuhakikisha kunakuwapo hifadhi ya uhakika ya kijamii na utoaji wa mahitaji na huduma za msingi kwa wahitaji na walio katika maazingira hatarishi. Kuhakikisha kunakuwepo mfumo wenye ufanisi unaotoa fursa sawa kwa watu wote kupata na kumudu huduma bora za umma. Kuweka mfumo wa huduma za umma unaofaa kama msingi wa kuboresha utoaji wa huduma na kupunguza umaskini. Kuhakikisha kwamba haki za maskini na vikundi vilivyo katika mzingira hatarishi zinalindwa na kukuzwa katika mfumo wa haki. Kupunguza kutengwa na kutovumiliana kisiasa na kijamii. Kuboresha usalama binafsi na wa mali, kupunguza uhalifu na kuondoa unyanyasaji wa kijinsia na unyanyasaji majumbani. Kuendeleza na kuimarisha utamaduni wa watu kama utambulisho wa kitaifa. Vifupisho AZISE Asasi Zisizo za Serikali JAST Mkakati wa Pamoja wa Misaada ( Joint Assistance Strategy for Tanzania) MAIR Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji MKUKUTA (MKUKUTA Annual Implementation Report) MKUKUTA Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini NACSAP II Mkakati na Mpango Kazi wa Kitaifa wa Kupambana na Rushwa PHDR Ripoti ya Umaskini na Maendeleo ya Watu (Poverty and Human Development Report) PIMA Kadi ya Jamii ya kukusanyia taarifa (Community score cards) PlanRep Programu ya Kompyuta ya kuandalia mipango na Kutoa taarifa inayotumika kwenye Serikali za Mitaa. (Planning and Reporting Takwimubase for local authorities ) RIMKU Ripoti ya Utekelezaji ya MKUKUTA (Programu ya Kompyuta) SBAS Mfumo wa Bajeti wa Upangiliaji Fedha Kimkakati (Strategic Budget Allocation System) UKIMWI Upungufu wa Kinga Mwilini VVU Virusi Vya UKIMWI v

6 Utangulizi Kijitabu hiki kinaelezea Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA (MAIR) 2006/07 kwa lugha rahisi. Kifupisho MAIR, kinachotokana na maneno ya Kiingereza MKUKUTA Annual Implementation Report kitatumika kumaanisha ripoti hii. MKUKUTA uliandaliwa mwaka MKUKUTA ni Mkakati wa Kitaifa wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini. Ulikuwa ni matokeo ya ufuatiliaji uliohusisha marudio na mapitio makubwa ya Waraka wa Mkakati wa Kupunguza Umaskini wa mwaka MKUKUTA ni Mkakati utakaodumu kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia 2005/06 hadi 2009/10. MKUKUTA umejengwa kwenye nguzo kuu tatu za mikakati. Nguzo ya Kukuza Uchumi na Kupunguza umaskini wa Kipato inahusiana kwa karibu na nguzo ya Kuboresha Maisha na Ustawi wa Jamii ambapo zote kwa pamoja zinajengwa kwenye msingi wa Utawala Bora na Uwajibikaji. Hata hivyo mafanikio ya utekelezaji wa MKUKUTA hayategemei kuwepo kwa sera nzuri zinazokubalika na zenye malengo na shabaha zinazoeleweka pekee. Pia unahitajika mfumo bora na wenye ufanisi wa kufuatilia na kutathmini utekelezaji. Kwa hiyo Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA umebuniwa ili kuubadili mfumo wa awali wa Ufuatiliaji wa Umaskini. Maelezo ya kina ya Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA yamebainishwa kwenye Mpango Mkuu wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA. MAIR ni mojawapo ya matokeo yaliyopendekezwa kwenye Mpango Mkuu wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA. Lengo kuu ni kuleta pamoja na kuchambua aina mbali mbali za taarifa za ufuatiliaji kwa makusudi ya (a) kutoa taarifa juu ya kazi zinazofanyika (au kutofanyika) (b) kubainisha changamoto na mambo muhimu ya kujifunza kutokana na utekelezaji (c) kupendekeza hatua za kuchukua katika siku zijazo. Wazo la msingi ni kuifanya MAIR iweze kuwafikia wadau wengi ili kuwahimiza na kuwahamasisha wadau hao kufanya mijadala na midahalo. Hii itasaidia kuboresha michakato ya mipango na utungaji sera kwa siku zijazo katika maeneo mbali mbali ya kiutawala. Hata hivyo, katika muundo wake, MAIR ni kitabu kikubwa na kilichoandikwa kitaalam sana kiasi kwamba wasomaji wengi watashindwa kuelewa, hata kama kingetafsiriwa kwa Kiswahili. Ni kwasababu hiyo ndiyo maana tumeandaa kijitabu hiki cha lugha rahisi. vi

7 1. Ijue MAIR Kwenye sura hii tunaeleza kwa ufupi juu ya masuala makuu ya MAIR, madhumuni na malengo yake na jinsi MAIR ilivyoandaliwa. Kisha tunaelezea mapana ya MAIR na mapana na mapungufu ya mwongozo huu wa lugha rahisi. Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA (MAIR) ni moja ya matokeo ya Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA. Hivyo ripoti hii ni sehemu ya muundo wa jumla wa utoaji wa taarifa za wadau mbalimbali wanaojihusisha na utekelezaji wa MKUKUTA. Wadau hao ni pamoja na Wizara, Idara, na Wakala wa serikali, Mamlaka za Serikali za Mitaa,na Asasi Zisizo za kiserikali. Masuala makuu ya MAIR ni: MAIR imejikita zaidi kwenye uchambuzi wa maendeleo ya utekelezaji wa kila lengo, kwa kuzingatia malengo ya MKUKUTA na kutoa picha halisi ya utekelezaji, changamoto, mambo ya kujifunza na hatua za kuchukua katika siku zijazo kwa kila nguzo ya MKUKUTA MAIR huzingatia kwa karibu uhusiano baina ya makundi makuu ya MKUKUTA Inajumuisha maendeleo ya michakato na maboresho yaliyofanywa na Wizara, Serikali za Mitaa na AZISE na kubainisha mchango wa kila moja katika kufikia matokeo ya MKUKUTA. Inatambua kwamba licha ya mchango wa AZISE kutowekwa bayana mara nyingi, sekta hii ina mchango mkubwa. Katika maeneo mengi uandaaji na utoaji wa taarifa hutegemea taarifa na takwimu za malengo ya utekelezaji. Taarifa hizi zinaweza kuwa za kitakwimu zaidi ama za maelezo kutegemeana na upatikanaji wa takwimu. Utekelezaji wa masuala mtambuka umejumuishwa katika uchambuzi wote wa mafanikio yaliyopatikana. 1

8 MAIR ina Madhumuni Makuu Mawili Kuwafahamisha Watanzania na wadau wote kuhusu mafanikio yaliyofikiwa katika utekelezaji wa MKUKUTA pamoja na michakato inayohusika. Hili linaweza kufanyika moja kwa moja ama kupitia wawakilishi wa wadau au wananchi kama vile Wabunge. Kuchochea mijadala katika masuala ya msingi, na hivyo kusaidia kuhabarisha, kushawishi na kuboresha mipango, bajeti na utekelezaji wake Malengo makuu na matumizi ya MAIR Kupima mafanikio ya vipaumbele vya Serikali kwa ajili ya ukuaji wa uchumi na upunguzaji wa umaskini kama vilivyoainishwa kwenye MKUKUTA Kuwezesha upatikanaji wa taarifa zitakazosaidia kubaini vipaumbele katika sekta mbali mbali na kubuni mikakati thabiti na endelevu. Kuchochea mazungumzo na midahalo zaidi miongoni mwa wadau juu ya masuala muhimu ya kimkakati ikiwemo (a) kuweka na kupanga vipaumbele na utafutaji raslimali; na (b) namna bora ya kutumia michakato ya mijadala siku za baadaye 1 Kubaini masuala muhimu pamoja na fursa zilizopo kwa ajili ya kuinua uwekezaji ili kufikia malengo ya MKUKUTA Kuwezesha upatikanaji wa taarifa zitakazosaidia kuboresha mchakato wa kitaifa wa uandaaji wa bajeti. Uoanishaji na upangiliaji wa michakato ya kitaifa Pamoja na wadau wakuu, serikali imefanyakazi ya kuoanisha na kupangilia michakato mikuu ya (a) mipango ya sera na bajeti (b) ufuatiliaji na utoaji taarifa, na (c) kuoanisha mtiririko wa raslimali fedha kutoka nje ya nchi na malengo na vipaumbele vya Maendeleo ya taifa. Kanuni za kuoanisha na kupangilia masuala ya ubia kuhusiana na misaada zimeelezwa kwenye nyaraka nyingi 2. MAIR inazingatia uoanishaji wa ajenda na hatua iliyokwisha pigwa, changamoto na fursa zilizopo mbele ya safari. Jinsi ripoti ilivyoandaliwa Maandalizi ya MAIR yamekuwa na changamoto kubwa kutokana na kubadilika kutoka utaratibu wa kuzingatia sekta wa mfumo wa awali wa Ufuatiliaji wa Umaskini kwenda kwenye utaratibu unaozingatia matokeo wa Mfumo mpya wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA (. Mabadiliko haya yameongeza mipaka ya ripoti kwa kiasi kikubwa. Hali kadhalika wadau wanaohusika wameongezeka. Idara ya Kuondoa Umaskini Wizara ya Fedha na Uchumi inaratibu maandalizi ya MAIR kwa kushirikiana na wadau wengine wengi. Kamati ya Kiufundi ya MKUKUTA 3 inawajibika na kusimamia uandaaji. Kazi ya kuandaa MAIR ilihusisha kukusanya taarifa kutoka vyanzo mbali mbali (tazama kisanduku 1). Taarifa hizi zilitoa picha ya jumla, jinsi raslimali zilivyotumika, matokeo, na maendeleo katika masuala mtambuka. 2

9 Izingatiwe kuwa ni nchi chache zinazoweza Kisanduku 1: Vyanzo vya Taarifa za MAIR kuandaa ripoti ya kitaifa inayotoa taarifa za Ripoti ya Umaskini na Maendeleo ya Watu (PHDR) jumla zinazohsu serikali nzima. Ripoti za Ripoti za Mapitio ya Matumizi ya Umma (PER) aina hiyo zitakuwa kubwa sana na utakuwa Taarifa ya Hali ya MKUKUTA (2006) ni ufujaji mkubwa wa raslimali za umma. Tafiti za Kiuchumi Badala yake ripoti nyingi huzingatia kutoa Mapitio ya Sekta taarifa za matokeo. Taarifa hizi zinaelezea Ripoti za Wizara mbali mbali juu ya mabadiliko makubwa na mienendo ya hali na huwa zinatumika kutoa mwanga na mwelekeo katika uandaaji wa mipango na sera na uwekaji wa vipaumbele. Inafahamika kwamba hatua muhimu inayofuata nchini Tanzania ni kuimarisha uhusiano baina ya utengaji wa raslimali, matumizi na utoaji wa taarifa za matokeo. Mapana ya MAIR Tangu ilipoanza, MAIR imekuwa na kiu kubwa ya kutaka kutoa taarifa za utekelezaji wa shughuli zilizopangwa, matumizi pamoja na matunda yake kwenye matokeo. Hii ingehusisha utoaji wa taarifa za kina kuhusu mambo ambayo serikali ilipanga kufanya, kiasi cha raslimali kilichopangwa na kutumika, shughuli zilizotekelezwa na hatua zipi zilichukuliwa. Hata hivyo, MAIR 2007 haijakidhi matarajio yote haya kutokana na sababu zifuatazo: Licha ya bajeti za Wizara, Idara, Wakala na Serikali za Mitaa kufungamanishwa na MKUKUTA kwa kiasi kikubwa, njia ya sasa ya utoaji ripoti juu ya namna bajeti inavyotumika haijafungamanishwa kikamilifu na malengo ya kimkakati na matokeo ya MKUKUTA. Kukosekana kwa takwimu kwa baadhi ya viashiria ambapo taarifa hazizalishwi mara kwa mara. Kwa baadhi ya maeneo kama vile utamaduni, mfumo wa ufuatiliaji bado haujaweka viashiria vya matokeo. Hata hivyo, kila inapowezekana, shughuli na michakato inayohusika kwenye maeneo hayo imeripotiwa. Mapana na Mapungufu ya Mwongozo huu wa Lugha Rahisi MAIR huwasilisha muhtasari wa taarifa zilizotolewa kwenye ripoti nyingine nyingi. Nyingi ya hizi hutolewa kama takwimu zinazothibitisha kiwango cha kufikiwa au kutofikiwa kwa shabaha za MKUKUTA. Takwimu hizi hutumika kuzalisha na kuhalalisha orodha ya changamoto, mambo ya kujifunza na mapendekezo kuhusu hatua zinazopaswa kuchukuliwa. Mwongozo huu haujaribu kuufupisha takwimu bali unachukulia kwamba takwimu hizo ni sahihi na kwamba msomaji mwenye kutaka kujua undani wa takwimu hizo anaweza kuzipata kwenye MAIR (au chanzo kingine ambako MAIR imechukua takwimu hizo). Mwongozo huu umejikita kwenye orodha ya changamoto, mambo ya kujifunza na mapendekezo ya hatua zinazopaswa kuchukuliwa. Katika sura inayofuata ya kijitabu hiki, taarifa hizi zimewasilishwa kwa kila nguzo ya MKUKUTA na katika sura mbili zinazofuata zimewasilishwa kulingana na mfumo wa kwanza wa ufuatiliaji na tathmini, na kisha masuala ya ugharamiaji. 3

10 Sura ya mwisho hujumuisha na kutoa muhtasari wa mawazo kutoka kwenye sura zilizotangulia. Izingatiwe kwamba mwongozo huu wa lugha rahisi unatoa vidokezo vingi kwa wasomaji wenye kutaka kufahamu masuala husika kwa kina zaidi. Vidokezo hivi ni pamoja na visanduku vya maelezo, ambavyo vinatoa maelezo ya kina zaidi kwa baadhi ya mada zinazotajwa kwenye kijitabu hiki. 4

11 2. Changamoto za Nguzo na Hatua za Kuchukua Katika sura hii tunafanya mapitio ya mahitimisho makuu kuhusu changamoto zilizobainishwa, mambo ya kujifunza na mapendekezo ya hatua za kuchukua kwenye nguzo kuu tatu za MKUKUTA. Kwa kila nguzo tunaanza kwa kuelezea sehemu za nguzo hiyo. Hii itamsaidia msomaji kuona kiwango na ugumu wa muundo wa MKUKUTA. Kisha tunaendelea kutazama changamoto kuu zilizojitokeza na mambo ya kujifunza yaliyoonekana. Kila sehemu inahitimishwa kwa kueleza mapendekezo ya hatua za kuchukua. Kwa ujumla Maendeleo ya utekelezaji wa MKUKUTA yamechanganyika. Kuna matokeo mazuri katika baadhi ya maeneo, matokeo mabaya katika maeneo mengine wakati masuala mengine yamebaki kama yalivyokuwa. Izingatiwe kwamba kumekuwepo tofauti kati ya mijini na vijijini na baina ya maeneo mbali mbali ya nchi. Watu mbali mbali kutoka sehemu mbali mbali watakuwa na vipaumbele tofauti. Ziko changamoto nyingi zaidi katika hatua za kuchukua kwa siku zijazo! Nguzo ya kwanza Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini wa Kipato Katika sehemu hii kwanza tunaelezea matokeo makuu na malengo ya nguzo halafu tunazungumzia kwa ufupi juu ya sehemu nyingine za nguzo hii. Hii itasaidia msomaji kupata mapana na mipaka ya nguzo hii. Kwa vile huu ni mwongozo wa lugha rahisi hatufanyi mapitio ya takwimu kavukavu ila tonasonga mbele na kudokeza juu ya changamnoto kuu zilizojitokeza na mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa. 5

12 Sehemu za Nguzo ya Kwanza Nguzo ya kwanza hujumuisha shughuli zinazolenga kukuza uchumi na kupunguza umaskini wa kipato. Matokeo ya jumla ni kuhakikisha kuwa Ukuaji wa uchumi mpana na unaozingatia usawa unafikiwa na kuendelezwa Malengo sita ya nguzo ni haya yafuatayo: Kuhakikisha kuwa kunakuwapo na usimamizi mzuri wa uchumi Kuchochea ukuaji wa uchumi wenye msingi mpana na endelevu Kuongeza upatikanaji wa chakula Kupunguza umaskini wa kipato kwa wanaume na wanawake vijijini Kupunguza umaskini wa kipato kwa wanaume na wanawake mjini Kutoa nishati ya uhakika na rahisi kwa watumiaji. Changamoto Kuu Nane za Nguzo ya Kwanza Pamoja na kuwepo Maendeleo mazuri katika kufikia na kuendeleza ukuaji wa Uchumi mpana na wenye kuzingatia usawa katika miaka miwili iliyopita, bado zimekuwepo changamoto nyingi. Sehemu hii inaelezea changamoto kuu nane. Kuharakisha Ukuaji wa Uchumi Kasi ya ukuaji wa uchumi bado iko chini ya shabaha iliyowekwa kwenye MKUKUTA. Kasi ya sasa ya ukuaji wa uchumi haiwezi kupunguza umaskini, hususan kwa kuzingatia kasi ya sasa ya ongezeko la idadi ya watu ya asilimia 3 kwa mwaka. Uharakishaji wa ukuaji wa uchumi unahitajika ili kuongeza wigo wa raslimali za ndani ya nchi na kuongeza uwezo wa serikali kutoa huduma za umma. Mahusiano Bora Zaidi ya Uchumi Mkubwa na Ule wa Ngazi za Chini ili Ukuaji Uweze Kuwanufaisha Zaidi Watu Maskini. Changamoto kubwa ni kuona mafanikio katika Uchumi mkuu yakileta Maendeleo endelevu katika ngazi za chini za jamii. Swali muhimu ni namna gani faida itokanayo na ukuaji inaweza kusambazwa kwa kaya za watu maskini. Hii itahusisha kutafakari upya mifumo (kama vile sera, ya kisheria, taasisi n.k.) katika ngazi ya kati, kwa mfano ya serikali za Mitaa (kama halmashauri za wilaya) ili ziweze kuhudumia ngazi za chini zaidi kama vile ngazi ya jamii. Uoanishaji Bora Zaidi wa Sera Uoanishaji bado unakosekana miongoni na baina ya sekta. Mifano yaweza kuwa Ajira dhidi ya Biashara, Kazi dhidi ya Ubinafsishaji, Elimu, Uwekezaji, Fedha, na Sera zenye kulenga kuwavutia wawekezaji zaidi wa kigeni. Ipo haja ya kuzifanyia mapitio sera hizi na nyingine nyingi, sambamba na sheria zinazohusiana na sera hizo ili ziweze kuoana badala ya kukinzana. Uongezaji wa Mauzo ya Bidhaa Nje ya Nchi Uchumi wa Tanzania bado unategemea kiasi kidogo cha bidhaa zinazouzwa nje ya nchi; na mapato yanayotokana na mauzo ya bidhaa nje ya nchi hayajaongezeka kwa kiwango cha kuridhisha. Hii inaweza 6

13 kuelezwa kuwa imetokana na kushindwa kubaini fursa zilizoko kwenye soko la kimataifa. Fursa zilizoko katika soko la nje hazijaweza kutumika ipasavyo. Kwa hiyo serikali inafanya jitihada za kuongeza wigo wa bidhaa za kuuza nje ya nchi zenye kukidhi viwango vya soko la kimataifa. Kuna changamoto mahsusi katika kuboresha uuzaji nje wa huduma mbali mbali. Hii inahitaji upanuzi wa vivutio vya kitalii sanjari na uboreshaji wa miundombinu inayohusika, kama vile viwanja vya ndege, barabara na reli. Kiwango kidogo cha mauzo ya bidhaa nje ya nchi na kiwango kikubwa cha bidhaa zinazoingizwa kutoka nje ya nchi vimesababisha kukosekana kwa mizania ya kibiashara nchini. Upatikanaji Bora wa Nishati Katika miaka miwili iliyopita Tanzania imekumbwa na uhaba na kutotabirika kwa upatikanaji wa nishati itokanayo na nguvu ya maji. Kwa hiyo kuna umuhimu wa Kupunguza utegemezi katika nishati itokanayo na nguvu ya maji kwa kuendeleza vyanzo mbadala vya umeme. Changamoto inayohusiana na hii ni ile ya kufikisha nishati katika maeneo ya vijijini kwa gharama nafuu. Kuboresha Zaidi Maendeleo ya Vijijini na Katika Kilimo Changamoto ya ukuaji katika Uchumi wa maeneo ya vijijini zina uhusiano wa karibu na zile za sekta ya kilimo. Hizi ni pamoja na: Uzalishaji mdogo wa ardhi na nguvu kazi Utegemezi katika maji ya mvua Kutoendelezwa kwa fursa za umwagiliaji Mtaji mdogo na kutopatikana kwa huduma za kifedha Huduma zisizotosheleza za utaalamu wa kilimo Miundombinu hafifu ya vijijini ambayo hukwamisha ufanisi wa uhusiiano wa Mjini na vijijini. Maambukizi na milipuko ya magonjwa ya mazao na wadudu na magonjwa ya wanyama Mmomonyoko wa raslimali asilia sanjari na uharibifu wa mazingira Vyama dhaifu vya wazalishaji sambamba na uratibu dhaifu na uhaba wa teknolojia sahihi na rahisi Mipangilio Mizuri Zaidi ya Soko la Ajira Soko la ajira linakabiliwa na changamoto kutokana na (a) uhuria unaotarajiwa katika ajira kwa nchi za Afrika Mashariki, na (b) kuwepo kwa utandawazi. Utafiti zaidi unahitajika katika masuala ya ajira, likiwemo suala la uhaba wa ajira miongoni mwa vijana. Matumizi Bora na Endelevu ya Maliasili Hayajapatikana mafanikio ya kuridhisha katika utunzaji wa mazingira na maliasili katika maeneo ya nyanda za juu kusini, misitu ya miombo huko Tabora, na kusini mwa Tanzania kuliko katika maeneo mengine ya nchi. 7

14 Matokeo ya Maendeleo ya viwanda vinavyohusisha mazao ya misitu na uendelevu wa maisha si wa kuridhisha. Hii kwa sehemu imesababishwa na kukosekana kwa fedha za kutosha kunakohusisha kushindwa kwa kuchochea sekta binafsi kuchangia utekelezaji wa Programu ya Taifa ya Misitu. Imebainishwa pia kwamba ongezeko la mapato kutokana na sekta ya maliasili kunatokana na utaifishaji na uuzaji wa mazao haramu ya maliasili yanayokamatwa. Hatua za Kuchukuliwa Hatua zinazopaswa kuchukuliwa zinahusisha kukabiliana na changamoto zilizotajwa hapo juu. Sehemu hii inaorodhesha baadhi ya hatua muhimu zinazopaswa kuchukuliwa: Kilimo Sera ya kilimo haina budi kuwa na malengo ya aina mbili. Lengo moja likijikita katika kuinua uzalishaji mdogo wa kilimo kama sehemu ya mkakati wa kupunguza umaskini. Hii itahusisha kuanzisha shughuli za mashamba madogo madhubuti, na za muda wote zikijumuisha uzalishaji wa kujikimu na kwa ajili ya kukidhi soko. Na lengo la pili ni kutia msukumo na nguvu mpya katika sekta ya kilimo cha kibiashara ili kukuza uzalishaji. Hii moja kwa moja itaongeza ajira na kupunguza umaskini wa vijijini kwa kuajiri nguvu kazi na kupitia viwanda vya usindikaji vinavyohusiana na mazao ya kilimo. Njia nyingine za kuinua uzalishaji wa sekta ya kilimo ni pamoja na kuongeza upatikanaji wa taarifa za masoko ya bidhaa za kilimo na kuongeza kasi ya mwitikio wa sekta binafsi katika kuzitumia taarifa hizo. Juhudi za maksudi zitahitajika katika kuboresha upatikanaji, usambazaji, na wananchi kumudu pembejeo za kilimo, huduma za ugani, na huduma za kudhibiti wadudu waharibifu na magonjwa. Juhudi pia hazina budi kuelekezwa katika kuboresha uzalishaji wa mazao ya sekta ya mifugo na kuhakikisha kwamba kunakuwepo na masoko ya uhakika ndani na nje ya nchi kwa mazao ya mifugo. Shughuli Zisizo za Shamba Vijijini Shughuli za vijijini zisizo za mashambani hususan kwenye usindikaji na utoaji huduma, hazina budi kukuzwa kwani ni fursa muhimu katika kuongeza ajira maeneo ya vijijini. Mkakati wa aina hii unaweza kufanikiwa katika maeneo yenye barabara nzuri, umeme na mawasiliano ya kuaminika.hii inamaanisha kwamba maeneo yenye sifa hizo ndiko viwanda na masoko ya bidhaa kuweza kuwa na ufanisi na gharama za uzalishaji zitakuwa chini zaidi. Viwango vizuri vya elimu na miundombinu ya msingi ndivyo vichocheo muhimu katika kukuza shughuli za kiuchumi zisizo za mashambani kwenye maeneo ya vijijini. Hivyo serikali haina budi kuhakikisha kuwa mambo hayo yanaboreshwa. 8

15 Huduma za Fedha Serikali inapaswa kuongeza kasi ya utekelezaji wa awamu ya pili ya Maboresho ya Sekta ya Fedha. Sekta hii itaendelea kuchochea ukuaji wa uchumi kwa kutoa huduma za kifedha za kutosha za kna ambazo watu wengi wanaweza kuzimudu. Nishati Kuna umuhimu wa kuwa na vyanzo mbadala vya nishati. Hili linaweza kufanikishwa kwa kukuza ushirikiano wa kikanda katika sekta ya nishati, na kwa kutekeleza Mpango Mkuu wa Sekta ya Nishati. Ajira Kuna uhitaji mkubwa wa kutekeleza Sera ya Maendeleo ya Vijana, Sera ya Ajira ya Taifa, na Sera ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii. Utekelezaji wa sera hizi utasaidia kuongeza fursa za ajira sambamba na kuandaa mazingira bora zaidi kwa ajili ya ajira binafsi. Fedha za Umma Hapana budi kuwapo msisitizo (a) katika kufikia na kudumisha kiwango cha kuridhisha cha usimamizi bora wa fedha na uwajibikaji na (b) kuboresha ukusanyaji, upangiliaji na utumiaji wa raslimali. Katika ngazi ya kimataifa, kuna umuhimu wa kuhimiza diplomasia ya kiuchumi kwa lengo la (a) kuvutia masoko na wawekezaji wa nje ya nchi (b) kujadiliana na wahisani juu ya mikopo yenye riba nafuu pamoja na kushawishi kufutiwa madeni. Maliasili na Mazingira Juhudi zinahitajika ili: Kuboresha usimamizi katika sekta hii Kuongeza jitihada za upandaji miti Kutekeleza malengo ya ukusanyaji wa maduhuli (mapato) Kuimarisha Kitengo cha Usimamizi wa Misitu Kuzuia uvunaji haramu wa maliasili Msaada zaidi unahitajika katika kuwezesha ukusanyaji na uchanganuzi wa taarifa kwa kuzingatia uendelevu wa mchango wa maliasili kwa Maendeleo ya Taifa. Nguzo ya Pili Uboreshaji wa Maisha na Ustawi wa Jamii Katika sehemu hii kwanza tunaelezea matokeo makuu na malengo ya nguzo halafu tunazungumzia kwa ufupi juu ya sehemu nyingine za nguzo hii. Hii itasaidia msomaji kupata mapana na mipaka ya nguzo hii. Kwa vile huu ni mwongozo wa lugha rahisi hatufanyi mapitio ya takwimu kavukavu ila tunasonga mbele na kudokeza juu ya changamnoto kuu zilizojitokeza na mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa. 9

16 Sehemu za Nguzo Hii Nguzo ya pili ya MKUKUTA inahusu shughuli zinazochochea Uboreshaji wa Maisha na Ustawi wa Jamii. Matokeo ya jumla yatakuwa (a) Kuboreka kwa maisha na ustawi wa jamii msisitizo wa kipekee ukiwa kwa watu maskini zaidi pamoja na wale walio katika mazingira hatarishi. (b) kupungua kwa tofauti ya kimatokeo (mfano; elimu, kiwango cha kuishi na afya) kwa kuzingatia maeneo ya kijiografia, kipato, umri, jinsia, na makundi mengine Malengo matano ya nguzo hii ni: Kuhakikisha upatikanaji sawa wa elimu bora ya msingi na sekondari kwa wavulana na wasichana, elimu ya kufuta ujinga miongoni mwa wanaume na wanawake, na upanuzi wa elimu ya juu, ufundi na ufundi stadi. Kuboresha maisha, afya na ustawi wa watoto wote na wanawake na hasa makundi yaliyo katika mazingira hatarishi. Kuongeza upatikanaji wa maji safi, salama na ya gharama nafuu, usafi, malazi mazuri, na mazingira salama na endelevu; na hivyo kupunguza uathirikaji utokanao na hatari za mazingira. Kuhakikisha kunakuwapo hifadhi ya uhakika ya kijamii na utoaji wa mahitaji na huduma za msingi kwa wahitaji na walio kwenye mazingira hatarishi. Kuhakikisha kunakuwepo na mfumo mzuri kuwezesha upatikanaji wa huduma safi za umma na zenye gharama nafuu kwa wote Changamoto kuu sita za nguzo ya pili Licha ya kuwepo Maendeleo mazuri katika kufikia na kuendeleza uboreshaji wa maisha na ustawi wa jamii katika miaka miwili iliyopita, bado zimekuwepo changamoto nyingi. Sehemu hii inaelezea changamoto kuu sita. 10

17 Ubora na Upanuzi wa Elimu Ni muhimu kuhakikisha kunakuwa na elimu yenye ubora wa kiwango cha juu katika ngazi zote kadri mfumo unavyozidi kupanuka. Upanuzi wa elimu unajumuisha kuwepo kwa vyumba vingi zaidi vya madarasa ili kukabili tatizo la msongamano wa wanafunzi, vifaa na zana za kufundishia, nyumba za walimu, vyoo, na uwiano unaokubalika wa walimu wenye sifa na wanafunzi. Jinsia na Elimu Bado iko tofauti katika uandikishaji wa wanafunzi katika shule za sekondari na taasisi za elimu ya juu. Katika hili changamoto kubwa ni kuhakikisha wanafunzi wa kike wanaoandikishwa wanaendelea na masomo hadi kuhitimu na kuinua viwango vya ufaulu kwa wanafunzi wa kike. Hali hii inaweza kusababishwa na kukosa uwezo wa kumudu gharama, mahitaji ya soko la ajira na mimba na watoto wa kike kulazimishwa kuolewa mapema. Sababu hizi huchangia kwa kiasi kikubwa wanafunzi wa kike kuacha shule katika maeneo ya mijini na vijijini Afya Juhudi zinahitajika (a) kuendeleza chanjo ya Donda koo, Pepopunda, na Homa ya Ini na kuifikia mikoa yote (b) Kuhakikisha maambukizi mapya ya Kifua Kikuu yanapungua, na (c) kufanya ushauri na upimaji wa VVU na UKIMWI kuwa endelevu. Maji na Usafi wa Mazingira Kuna umuhimu wa kukarabati, kupanua na kujenga mitandao ya mifumo ya miundombinu ya maji na usafi wa mazingira. Juhudi za maksudi zinahitajika katika kuhimiza matumizi sahihi ya vyoo na mifumo ya utupaji wa taka, sambamba na uboreshaji wa makazi holela. Makundi Yaliyo katika Mazingira Hatarishi Kunahitajika juhudi katika kushughulikia ongezeko la makundi maalum ya watu walio katika hatari zaidi ya kuathirika yanayosababishwa na matatizo ya kiafya kama vile magonjwa yanayoenezwa kwa ngono. Ni muhimu kulenga katika (a) hali ngumu ya maisha inayosababishwa na VVU na UKIMWI (b) matatizo mahsusi ya familia zinazoongozwa na watoto na wazee. Wafanyakazi Wenye Sifa Sekta za elimu, afya na kwenye serikali za Mitaa kuna upungufu wa wafanyakazi wenye ujuzi unaohitajika. Wafanyakazi wengi waliopo hawajapewa motisha wa kutosha hususan wale wanaofanyakazi maeneo ya vijijini na maeneo yasiyokuwa na vivutio vingi. Mambo Tuliyojifunza Mtazamo wa MKUKUTA wa kuzingatia matokeo unawezesha kubainisha mwelekeo mtambuka wa juhudi nyingi za kimaendeleo 11

18 Elimu Kuongeza idadi ya walimu wenye sifa zinazotakiwa ni sharti muhimu la kukuza ubora wa elimu. Hata hivyo sharti hili peke yake halijitoshelezi. Afya Kumekuwepo na mafanikio katika kupunguza utapiamlo, vifo vya watoto wachanga na walio chini ya umri wa miaka mitano, na kudumaa. Mafanikio haya yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na utoaji wa chanjo, sanjari na uboreshaji wa lishe. Maji na Nishati Upatikanaji duni wa huduma za jamii kama vile maji na vyanzo mbadala vya nishati hukwamisha juhudi za upatikanaji wa elimu katika ngazi ya familia, hususan kwa wanawake. Muda mwingi unaotumika katika kuchota maji na kutafuta nishati kama vile kuni ungeweza kutumika kwa shughuli nyingine. Wafanyakazi Wenye Sifa Maeneo mengi ya vijijini na yasiyokuwa na vivutio hayana huduma nzuri kwa watumishi, ikiwa ni pamoja na nyumba za kuishi. Hali hii inawakatisha tamaa wafanyakazi katika sekta ya huduma za jamii wenye sifa kufanya kazi katika maeneo hayo. Ushiriki wa Jamii Bila ushiriki wa wananchi malengo mengi ya Nguzo ya pili hayatafikiwa. Mchango wa ushiriki wao katika kupanga, kutoa mchango wa hali na mali katika miradi ya maendeleo ni muhimu sana hivyo taratibu zinapaswa kuwekwa ili kuongeza ushiriki wao. Hatua za Kuchukuliwa Hatua zinazopaswa kuchukuliwa zinahusu namna ya kukabiliana na changamoto zilizotajwa hapo juu. Sehemu hii inaorodhesha baadhi ya hatua muhimu zinazopaswa kuchukuliwa: Ushiriki wa Wadau Changamoto zilizoibuliwa kwenye nguzo hii zinaashiria kuhitajika kwa juhudi za maksudi kwa wadau wote kuchukua hatua zitakazowezesha kufikiwa kwa malengo ya MKUKUTA. Elimu Serikali itaendelea kuboresha na kupanua elimu kupitia programu zinazolenga kuongeza idadi ya walimu wenye sifa, na kuongeza ubora wa vifaa vya kujifunzia na kufundishia ili kuboresha mazingira ya shule. Pia juhudi hazina budi kuelekezwa katika kuondoa tofauti za kijinsia katika ngazi zote za elimu. Watumishi Wenye Sifa Ujengaji uwezo kwa watumishi wa serikali za Mitaa utaendelea kama njia ya kuimarisha usimamizi wa raslimali za umma katika ngazi hiyo. Kutakuwa na mafunzo kwa njia ya masafa kwa watumishi wa sekta ya huduma za jamii, hususan wale walioko vijijini na maeneo mengine yasiyokuwa na vivutio. 12

19 Afya Juhudi za maksudi zinahitajika miongoni mwa wadau wa afya ili kukomesha tatizo la vifo vya kinamama wazazi. Hii itahusisha (a) Muundo wa Kitaifa wa VVU na UKIMWI unaohusisha sekta nyingi (b) kupanua utoaji wa dawa za kurefusha maisha Makundi ya Watu Walio katika Mazingira Hatarishi Miongozo na mifumo ya kuyafanya masuala ya watoto yatima na wale walio katika mazingira hatarishi kuwa mtambuka haina budi kuandaliwa. Miongozo na mifumo hii itapaswa kutumiwa na Wizara, Idara, Wakala wa Serikali na Wadau wasiokuwa wa Kiserikali. Miongozo hiyo inapaswa kuhusisha ujengaji wa uwezo wa maofisa husika katika kushughulikia masuala ya watu wenye ulemavu na wazee. Ugharamiaji wa Huduma za Jamii. Kutakuwa namwendelezo wa juhudi za kuongeza upanuzi na uboreshaji wa huduma za jamii kupitia ubia wa sekta ya umma na ya binafsi. Hifadhi ya Jamii Kuna umuhimu mkubwa wa kuboresha mipango ya hifadhi ya kijamii kwa makundi yaliyo katika mazingira hatarishi. Mazingira Kampeni za utunzaji wa mazingira zinapaswa kupanuliwa ili kuongeza ufahamu wa wadau juu ya hifadhi ya mazingira. Nguzo ya Tatu Utawala Bora na Uwajibikaji Katika sehemu hii kwanza tunaelezea matokeo makuu na malengo ya nguzo, halafu tunazungumzia kwa ufupi juu ya sehemu nyingine za nguzo hii. Hii itasaidia msomaji kupata mapana na mipaka ya nguzo hii. Kwa vile huu ni mwongozo wa lugha rahisi hatufanyi mapitio ya takwimu kavukavu ila tunasonga mbele na kudokeza juu ya changamnoto kuu zilizojitokeza na mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa. Sehemu za Nguzo Hii Nguzo ya tatu ya MKUKUTA inahusu shughuli zinazo lenga kukuza, Utawala Bora na Uwajibikaji. Matokeo ya jumla ni (a) Utawala bora na Utawala wa Sheria (b) Uwajibikaji wa Viongozi na watumishi wa umma, (c) Demokrasia na uvumilivu wa kisiasa na kijamii, na (d) Amani, Utulivu wa kisiasa, umoja wa kitaifa na mshikamano wa kijamii. Malengo saba kwa nguzo hii ni haya yafuatayo: Kuhakikisha kuwa miundo na mifumo ya utawala pamoja na utawala wa sheria ni vya kidemokrasia, shirikishi, uwakilishi, uwajibikaji na jumuishi Kuhakikisha ugawaji sawa wa rasilimali za umma pamoja na kushughulikia ipasavyo suala la rushwa 13

20 Kuweka mfumo wa huduma za umma unaofaa kama msingi wa kuboresha utoaji wa huduma na kupunguza umaskini Kuhakikisha kwamba haki za maskini na makundi yaliyo katika mazingira hatarishi zinalindwa na kukuzwa katika mfumo wa haki Kupunguza hali ya baadhi ya watu kutengwa na kutovumiliana kisiasa na kijamii Kuboresha usalama binafsi na wa mali, kupunguza uhalifu na kuondoa unyanyasaji wa kijinsia na unyanyasaji majumbani Kuendeleza na kuimarisha utamaduni wa watu kama utambulisho wa kitaifa. Changamoto Kuu Saba za Nguzo ya Tatu Licha ya kuwepo mafanikio kuelekea kuboreka kwa utawala na uwajibikaji katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, bado tunakabiliwa na changamoto nyingi. Sehemu ifuatayo inazungumzia changamoto kuu saba zilizojitokeza. Mapungufu katika mfumo wa kisheria Changamoto zinazoukabili mfumo wa kisheria ni pamoja na: upungufu wa miundombinu (yaani Ofisi, vifaa vya ofisini, nyumba, vifaa vya mawasiliano) kwa vyombo vya utekelezaji wa sheria ( yaani jeshi la Polisi, Magereza, Mahakama) mishahara isiyokidhi mahitaji jambo linalowafanya wasimamizi wa utekelezaji wa sheria kutumbukia katika kuchukua rushwa uchache wa raslimali watu na ujengaji wa uwezo katika kufanya yale yanayopaswa kufanyika kukosekana kwa upanuzi wa magereza na hivyo kusababisha msongamano wa wafungwa 14

21 Teknolojia duni katika kupambana na uhalifu mkubwa kama ule wa kimataifa (kama ugaidi, fedha haramu, Biashara ya dawa za kulevya, uhamiaji haramu, n.k) Maboresho ya Sekta ya Sheria Licha ya kuwepo mafanikio katika maboresho ya sekta ya sheria bado ziko changamoto katika kuboresha mfumo wa mahakama. Hizi ni pamoja na: Kutafakari upya na kuwianisha ngazi za mishahara kwa watumishi wa sekta ya sheria Kuongeza kasi ya mfumo wa uendeshaji wa kesi Kuongeza uhuru wa mahakama Kuongeza utolewaji wa taarifa kwa wananchi wa kawaida kuhusu muundo na kazi za mfumo wa mahakama. Usimamizi wa Upelekaji wa Madaraka, Majukumu na Raslimali kwa Wananchi Inaziwia vigumu Serikali za Mitaa kumudu usimamizi wa ongezeko la fedha lililosababishwa na maboresho ya serikali za Mitaa ambapo raslimali nyingi zinapaswa kupelekwa moja kwa moja kwenye mamlaka za serikali za Mitaa. Kuna hitaji la haraka kuwianisha upelekaji wa madaraka, majukumu na raslimali kwa wananchi dhidi ya programu za kuzijengea uwezo mamlaka husika za serikali za mitaa. Hii inapaswa kuhusisha kuongeza uelewa miongoni mwa watumishi wa serikali kuu na serikali za mitaa kuhusu dhana ya Upelekaji wa Madaraka, Majukumu na Raslimali kwa Wananchi Kumekuwepo na uhaba mkubwa wa raslimali katika kufanya ukaguzi wa mahesabu ya fedha za umma. Maeneo ya vijijini zaidi yameathirka zaidi na uhaba huu kwa vile wakaguzi wa mahesabu wenye sifa wamekuwa wakigoma kwenda maeneo hayo pale wanapopangiwa kufanya kazi huko. Usimamizi wa Maliasili Kumekuwa na udhaifu katika kanuni na ushiriki wa wananchi katika kusimamia matumizi ya maliasili. Hali hii imesababisha kuongeza kwa vitendo vya rushwa. Juhudi zaidi zinahitajika katika kuzishirikisha asasi zisizo za serikali katika kutekeleza NACSAP II. Suala lenye umuhimu wa kipekee ni utendaji wa bodi za zabuni chini ya sheria mpya ya manunuzi. Haki za Binadamu Ipo haja ya kujenga uwezo wa watumishi wa haki za binadamu pamoja na kufanya ufuatiliaji wa mara kwa mara. Wazo la kutumia ubia wa serikali na sekta binafsi linaleta changamoto ya kubainisha AZISE zinazoaminika katika ngazi ya wilaya. Pia kumekuwepo na ukosefu wa takwimu za kitaifa zinazohusu masuala ya unyanyasaji wa kijinsia na ukatili wa majumbani. Mbao za Matangazo Kubandika taarifa kwenye mbao za matangazo hakutoshelezi kwa vile hakuwasukumi wananchi katika ngazi ya jamii kusoma na kuzichambua taarifa hizo. Mojawapo ya sababu ya hali hii ni mbao nyingi za 15

22 matangazo kutofikiwa na wananchi walio wengi kwani zinapatikana kwenye makao makuu ya wilaya na siyo vijijini. Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Teknolojia ya kisasa inaweza kutumika vizuri zaidi katika kusambaza taarifa na kuwahamasisha wadau kuhusiana na jambo Fulani. Maeneo ambako huduma hii inahitajika zaidi ni pamoja na magerezani na kwenye makambi ya wakimbizi. Mambo Tuliyojifunza Matumizi hafifu ya taarifa za umma Wizara, Idara, Wakala wa Serikali na Serikali za Mitaa hutoa taarifa kwa umma lakini bado kumekuwapo na hamasa ndogo miongoni mwa wananchi katika ngazi ya jamii katika kuzitumia taarifa hizo. Hili linajidhihirisha zaidi kutokana na taarifa zinazotolewa kwa umma na Serikali za Mitaa. Kuna haja ya kuzirahisisha zaidi taarifa hizi ili ziweze kueleweka kirahisi. Mambo ambayo jamii inapenda kupatiwa taarifa ni mengi ikiwa ni pamoja na: Watu wenye hati za kimila za umiliki wa ardhi katika ngazi ya kaya kwa kuzingatia jinsia Mazingira ya kazi ya watumishi wa vyombo vya dola Vita Dhidi ya Rushwa Hatua za kuchukuliwa ili kupunguza rushwa zinapaswa kuhusisha: Uhamasishaji unaolenga kubadili mitazamo ya watumishi wa umma Kuimarisha shughuli za ukaguzi wa taasisi za umma ili kupunguza matumizi mabaya ya raslimali Kuimarisha uwezo na utayari wa wananchi kuwa makini katika kufuatilia michakato ya uwajibikaji wa ofisi za umma Uoanishaji Masuala yanayohitaji kuoanishwa ni pamoja na: Mchakato wa kupeleka madaraka, majukumu na raslimali kwa wananchi ili kuhakikisha uthabiti, uendelevu na utekelezaji wenye ufanisi. Uratibu rasmi wa maboresho mbalimbali (Sekta ya Sheria, Sekta ya Utumishi wa Umma na Programu za Maboresho ya Serikali za Mitaa n.k.) Migongano ya sheria za kisekta Hatua Zinazopendekezwa Kuchukuliwa Hatua zinazopaswa kuchukuliwa zinahusisha namna ya kukabiliana na changamoto zilizotajwa hapo juu. Sehemu hii inaorodhesha baadhi ya hatua muhimu zinazopaswa kuchukuliwa: Serikali kwa ushirikiano na wadau wengine watapaswa; Kuongeza shughuli za uhamasishaji wa jamii juu ya umuhimu na matumizi ya taarifa za umma. Kutoa mafunzo zaidi juu ya maadili na uaminifu kwa wataalamu ili kuimarisha utawala bora na uwajibikaji 16

23 Kufanya utafiti wa awali wa viashiria vikuu vya utendaji ili kusaidia ufuatiliaji na tathmini za baadaye Kuboresha mazingira na miundombinu ya kazi Kushirikisha wadau wasiokuwa wa kiserikali katika kuimarisha uwajibikaji ikiwemo kupitia matumizi ya mbao za matangazo Kuajiri wafanyakazi wapya na kuwapatia mafunzo kazini kila inapohitajika Kupunguza mrundikano wa kesi mahakamani Kuboresha miundombinu ya mawasiliano Kuweka mfumo uanaoeleweka wa utawala bora, uwajibikaji na uwakilishi. Kushirikisha zaidi jamii katika kusimamia maliasili Kujenga uwezo wa watumishi wa Serikali za Mitaa katika kusimamia raslimali na utoaji wa huduma. Kupanua na kuboresha magereza na kuweka mfumo wa uwekaji wa taarifa za wahalifu Kupanua mifumo katika kudhibiti na kufuatilia mipaka ya nchi Kupanua na kuimarisha Programu ya Huduma za Jamii na ya Zima moto na Uokoaji katika mikoa yote 17

24 3. Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA Katika sura hii kwanza tunaangalia chimbuko la MKUKUTA kwenye mapitio ya Mfumo wa awali wa Ufuatiliaji wa Umaskini. Kisha kwa ufupi tunatazama kazi za sasa za Sekretarieti ya MKUKUTA na Makundi matatu ya Kiufundi. Hii itatupeleka katika kutafakari maendeleo ya uoanishaji wa shughuli mbalimbali. Sura hii inahitimishwa kwa kutoa fikra juu ya changamoto zilizobainishwa, mambo ya kujifunza na mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa. Chimbuko la Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA Mwaka 2001, Serikali iliandaa Mfumo wa Ufuatiliaji Umaskini kwa ajili ya Mkakati wa Kupunguza Umaskini. Mfumo huo ulipitiwa na kuboreshwa mwaka 2005/06 ili uweze kutumika kufuatilia MKUKUTA ambao ni mkakati mpana zaidi na wenye kuzingatia matokeo zaidi kuliko Mkakati wa awali wa Kupunguza Umaskini. Mfumo wa ufuatiliaji uliopitiwa na kuboreshwa uliidhinishwa mwaka 2006 na unajulikana kama Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA.Mabadiliko makubwa yaliyojumuishwa kwenye mfumo mpya ni pamoja na: Kuunganishwa kwa kamati za awali za utendaji na kamati ya ufundi na kuwa Kamati moja ya Kiufundi ya MKUKUTA. Kazi za kamati hii ni (a) kuhakikisha utendaji mzuri wa Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA na uandaaji wa taarifa kutoka kwenye Makundi ya Kiufundi (b) kuarifu ngazi mbali mbali za uwakilishi za serikali (yaani Kamati ya kiufundi ya Makatibu Wakuu wa Wizara, Baraza 18

25 la Mawaziri na Bunge) kuhusu hatua Kisanduku 2: Hali ya Utekelezaji wa Mfumo wa zinazopigwa pamoja na masuala ya sera Ufuatiliaji wa MKUKUTA yanayoibuka kutokana na mfumo wa ufuatiliaji. Kubadilika kutoka Makundi manne ya Kiufundi na kuwa Makundi matatu. Makundi ya Kiufundi ya utafiti na sensa na Taarifa za kawaida za kila siku za Hali ya autekelezaji wa mfumo wa ufuatiliaji wa MKUKUTA inahusu kipindi cha mwaka 2005/06 na 2006/07. hii ni kwasababu mwaka 2005/06 ulikuwa wa mpito ambapo mfumo wenyewe ulikuwa ukifanyiwa mapitio; kwa hiyo mambo mengi kiutawala yameunganishwa kufuatia yaliyofanyika hayakutolewa taarifa. kutambuliwa kwa mchango wa Ofisi ya Takwimu ya Taifa katika kuhakikisha kuwa takwimu rasmi zinakuwa bora. Kundi hilo hivi sasa linaitwa Kundi la Kiufundi la Utafiti na Takwimu za Kawaida za Kila Siku za kiutawala. Makundi ya Kiufundi ya Utafiti na Uchambuzi na ya Mawasiliano yamebakia kama yalivyokuwa, lakini ili kuleta urahisi zaidi, kundi la Mawasiliano limebatizwa jina jipya la Uenezaji, Uhamasishaji na Ushawishi Kuimarishwa kwa uwianishaji na uhusiano baina ya (a) Matokeo ya ufuatiliaji katika ngazi ya kitaifa na tathmini (b) Mipango mikakati ya serikali, Bajeti na mifumo ya utoaji ripoti. Sekretarieti ya MKUKUTA Sekretarieti ya MKUKUTA ina malengo ya (a) kuhakikisha utendaji mzuri wa jumla wa Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA (b) Kuhudumia Kamati ya Kiufundi, Makundi ya Kiufundi, na Kamati ya Ushauri wa Ufuatiliiaji, na (c) kutumia muundo wa MKUKUTA Kuboresha uhusiano na uratibu baina ya michakato ya serikali ikiwemo ya upangaji wa mipango, utoaji wa taarifa na uandaaji wa bajeti ya Wizara, Idara, Wakala wa Serikali na Serikali za Mitaa. Shughuli za hivi karibuni vya Sekretarieti ya MKUKUTA ni pamoja na kufanya mapitio, uratibu na mashauriano. Mapitio Mwaka 2005/06, Sekretarieti ya MKUKUTA ilifanya mapitio ya Mfumo wa awali wa Ufuatiliaji wa Umaskini, na kuandaa Mfumo mpya wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA. Mchakato wa mapitio ulihusisha mashauriano baina na miongoni mwa wadau wengi wanaohusika na mfumo wa ufuatiliaji. Kama sehemu ya mchakato huu, Viashiria vya kitaifa pia vilifanyiwa mapitio ili kupanua wigo wake kutoka kulenga sekta za kipaumbele kwenye Mkakati wa Kupunguza Umaskini, na kuzingatia nguzo tatu za MKUKUTA. Mchakato huu ulihusisha zaidi mashauriano na Wizara, Idara na Wakala wa serikali sambamba na wadau wengine. Orodha ya mwisho yenye viashiria 84 katika ngazi ya kitaifa kwa kiasi kikubwa vinazingatia sekta mbali mbali na vinatambua kuwepo kwa viashiria vingi zaidi kwenye nyingi ya Wizara, Idara na Wakala wa serikali. Changamoto iliyopo sasa ni kuimarisha usimamizi wa mfumo wa taarifa za Wizara, Idara, Wakala wa serikali pamoja na Serikali za Mitaa kwa lengo la kuinua ubora wa taarifa na upatikanaji wa mara kwa mara wa taarifa hizo. 19

26 Uratibu Sekretarieti ya MKUKUTA ilisimamia kupangwa kwa kazi za Makundi matatu ya Kiufundi pamoja na Kamati ya Ufundi. Kalenda ya mwaka ya mikutano ya kamati zote pamoja na Makundi ya Kiufundi ilipitishwa mapema mwaka Sekretarieti ilifanya kazi kwa karibu sana na Makundi ya Kiufundi ili kuhakikisha kwamba (a) Mikutano ilifanyika, (b) mipango kazi ilikuwa na ubora unaokubalika na (c) ripoti za utekelezaji zinaandaliwa kwa wakati. Zaidi ya haya, Sekretarieti ilihakikisha fedha kwa ajili ya Makundi ya Kiufundi zinapatikana na kutumika vizuri. Mafanikio mengine ni pamoja na kuimarishwa kwa mawasiliano na mitandao baina ya Sekretarieti na wadau wengine. Jarida lilopo kwenye tovuti limesaidia kuimarisha mawasiliano baina ya sekretarieti na wadau wengine. Sekretarieti kwa ushirikiano na wizara mbali mbali, zimejumuishwa katika ajenda ya kuoanisha upangaji wa mipango, upangaji wa bajeti na utoaji wa taarifa kwenye michakato mbali mbali ya serikali. Matokeo muhimu ya uoanishaji ni pamoja na Mwongozo wa Upangaji wa Kimkakati wa Mipango ya Muda wa Kati, Uandaaji wa Bajeti na Utoaji wa Taarifa. Mwongozo huu unafafanua uhusiano uliopo kati ya MKUKUTA, Sera za Kisekta, Mipango Mikakati, Muundo wa Mipango ya Matumizi ya Muda wa Kati, na kuzisaidia taasisi mbali mbali kupanga, kuandaa bajeti, kufanya ufuatiliaji, na kutoa taarifa kwa kuzingatia MKUKUTA. Matrix ya MKUKUTA ilifanyiwa mapitio ili kuimarisha usahihi wa upangaji mipango katika ngazi za Wizara, Idara na Wakala wa serikali. Mfumo wa Bajeti wa Upangiliaji Fedha Kimkakati (SBAS) pia ulifanyiwa mapitio ili kwenda sambamba na mfumo mpya uliobainishwa na mwongozo wa mipango, pamoja na kujumuisha Mikakati ya Nguzo za MKUKUTA. Hii imezirahisishia Wizara, Idara, Wakala na Serikali za Mitaa kuhusisha hatua mbali mbali zinazochukua na malengo ya MKUKUTA kupitia mchakato wa uandaaaji wa bajeti. Ili kuziwezesha taasisi kutoa ripoti za MKUKUTA, programu ya kompyuta ijulikanayo kama RIMKU, yaani Ripoti ya Utekelezaji wa MKUKUTA ilitengenezwa. Juhudi zinafanyika kuiboresha na kuioanisha programu hii na programu nyingine za kompyuta za serikali na hivyo kupunguza sana gharama zinazohusiana na utoaji wa taarifa. Shabaha nyingine muhimu inayoratibiwa na sekretarieti ni Zoezi la Kukadiria gharama za MKUKUTA. Hatua muhimu za kuchukuliwa kwenye sekta za msingi za afya, elimu, maji, barabara, kilimo, ardhi, nishati na nguvu kazi tayari zimefanyiwa ukadiriaji. Zoezi hili linatarajiwa kufanya ukadiriaji wa gharama kwa kila mwaka katika kipindi cha zaidi ya miaka mitano. Mashauriano Sekretarieti ya MKUKUTA pia imekuwa ikiratibu maandalizi ya Muundo wa Hifadhi ya Jamii wa sekta Mbalimbali. Mchakato wa kuandaa muundo huu ni shirikishi ambapo unahusisha wadau wengi katika maeneo matatu tofauti ya kiutawala. 20

27 Mapendekezo ya rasimu yalitarajiwa kutumika kama rejea katika hatua ya mwisho ya mashauriano yaliyopangwa kufanyika kati ya Oktoba na Novemba Makundi Matatu ya Kiufundi Makundi ya Kiufundi ni msingi wa uzalishaji wa taarifa, uchambuzi na mawasiliano ya taarifa kwa wadau. Makundi haya ni kiungo kati ya utoaji taarifa za jumla wa Serikali za Mitaa na wizara, Idara na Wakala, na uchambuzi wa matokeo unaotolewa kwenye nyaraka kuu kama vile Ripoti ya Umaskini na Maendeleo ya Watu, Ripoti ya Hali Halisi na dondoo za Sera. Kundi la Kiufundi la Utafiti na Uchambuzi Kundi hili linawajibika na uchambuzi wa takwimu na kuratibu matokeo ya tafiti za kitaifa ambazo hutoa taarifa kwa ajili ya watunga sera na wadau wengine. Matunda makuu ya kundi hili kwa mwaka ni toleo la tatu la Ripoti ya Umaskini na Maendeleo ya Watu, ambalo lilijumuisha dondoo/vidokezo vya Sera kwa lugha za Kiingereza na Kiswahili. Ripoti hii ilitoa uchambuzi wa viashiria vikuu katika ngazi ya wilaya kwa mara ya kwanza. Hili liliwezekana kupitia njia ya kuuchambua Umaskini kupitia taarifa za sensa ya kitaifa na utafiti wa bajeti ya kaya. Kwa nyongeza, Ripoti ya Umaskini na Maendeleo ya Watu ilitoa picha ya Maendeleo kwa viashiria pamoja na uchambuzi wa ukuaji wa Uchumi kwa maeneo ya vijijini. Mwaka 2006, iliandaliwa ripoti ya kwanza ya hali halisi iliyopewa jina la Ripoti ya Halihalisi (2006). Ripoti hii iliandaliwa kwa kuzingatia viashiria vya MKUKUTA vilivyoboreshwa. Mafanikio mengine ni pamoja na uratibu wa Utafiti wa Maoni ya Watu na midahalo ya wazi inayohusu sera ambapo wadau wanapata fursa ya kujadili matokeo ya tafiti mbali mbali. Tafiti hizi mbali mbali zinafanyika kwa lengo la kusaidia kuboresha mchakato wa utungaji sera nchini. Kundi la Kiufundi la Utafiti na Takwimu za Kawaida za Kila Siku za Kiutawala Kundi hili linawajibika na ukusanyaji na uchambuzi wa takwimu zitokanazo na tafiti za kitaifa na zitokanazo na utendaji wa kila siku wa serikali. Mwaka 2005/06, makundi mawili ya kitaalam yaliunganishwa ili kuweka majukumu ya usimamizi wa takwimu chini ya udhibiti wa Ofisi ya Takwimu ya Taifa kama Sekretarieti. Hivi sasa chini ya Kundi hili kuna makundi madogo mawili: utafiti na takwimu za kawaida za kila siku. Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI ni mwenyekiti mwenza wa kundi dogo la takwimu za kila siku kutokana na ukweli kwamba utawala wa serikali za Mitaa ndio unaozozalisha nyingi ya takwimu hizi. Kundi Dogo la Takwimu za Kila Siku za Kiutawala Kabla ya kuunganishwa na kundi la tafiti, majukumu ya kundi la takwimu za kila siku yalilenga katika uelimishaji juu ya mfumo wa ufuatiliaji hususan kuhusu takwimu za kila siku. Mchakato huu ulihusisha kuendesha warsha za kanda na kuendesha mashauriano ya kisekta. Matokeo ya michakato hii yalitumika 21

28 kuandaa Waraka wa Mkakati wa Mfumo wa Takwimu za Kila Siku. Majukumu mengine ya kundi hili yaliahirishwa kusubiri uboreshwaji wa makundi ya Kiufundi uliofanyika mapema mwaka Kundi la Kiufundi la Mawasiliano Kundi hili linaongozwa na Idara ya Kuondoa Umaskini na Uwezeshaji katika Wizara ya Fedha na Uchumi Linajumusha Maafisa Habari kutoka Wizara Mama, Sekta binafsi, Wakala za Wabia wa Maendeleo na wadau wengine wa sekta ya habari. Hii inachochea mijadala na midahalo miongoni mwa wadau na hivyo kusaidia utekelezaji wa MKUKUTA. Kundi hili linatumia mbinu mbali mbali katika kufikisha taarifa kwa wadau wengi. Usambazaji mpana zaidi wa Mpango Mkuu wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA ulifanyika. Taarifa ya Hali halisi ya Utekelezaji wa MKUKUTA (2006) ilisambazwa kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na wadau wengine. Machapisho mbali mbali yanayohusu Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA yalisambazwa sana wakati wa Maadhimisho ya Miaka 45 ya Uhuru wa Tanganyika. Ili kufikia wadau wengi zaidi, hususan maeneo ya vijijini, vipindi vya radio na televisheni viliandaliwa ili kufikisha ujumbe wa MKUKUTA na Malengo ya Millenia ya Maendeleo. Shughuli nyingine ni pamoja na kusambazwa kwa kalenda za MKUKUTA, na semina kwa Wabunge. Kundi hili pia lilishirikiana kwa karibu na kundi la Utafiti na Uchambuzi katika kuandaa Utafiti wa Kukusanya Maoni ya Watu. Uoanishaji wa Kazi MKUKUTA unaozingatia Nguzo, mtazamo wa matokeo hutegemea mchango wa washiriki kutoka sekta mbali mbali katika kukuza uchumi na kupunguza umaskini. Maboresho katika baadhi ya michakato inayoendelea (hususan Mapitio ya Matumizi ya Umma) hayana budi kufanyika ili kuhakikisha kuwa juhudi za watu na wadau mbalimbali (hususan Wizara, Idara, Wakala na serikali za Mitaa) zinaratibiwa na kuoanishwa. Mpangilio mzuri na kwa wakati muafaka wa shughuli na matukio ni muhimu sana. Mwaka 2006/07 kiliundwa Kikundi Maalumu Kisanduku 3: Kikundi Maalumu cha Maofisa kutoka Wizara mbali mbali cha Mipango, Bajeti Kinachohusisha Wizara mbali mbali kwa ajili na Taarifa Kinahusisha watumishi kutoka: ya Mipango, Bajeti na Utoaji taarifa. Lengo la Ofisi ya Waziri Mkuu-Tawala za Mikoa na kikundi hiki lilikuwa ni kuoanisha taratibu za Serikali za Mitaa serikali za utoaji taarifa, ufuatiliaji na tathmini. Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Mafanikio ya kuridhisha yamepatikana katika Wizara ya Fedha na Uchumi ajenda ya uoanishaji wa michakato ya mipango, bajeti, ufuatiliaji na utoaji taarifa na katika kuandaa mifumo ya mijadala na midahalo. Mwongozo wa lugha rahisi uliandaliwa na serikali mwaka Mwongozo huu unaitwa Mwongozo wa Upangaji wa Kimkakati wa Mipango ya Muda wa Kati, Uandaaji wa Bajeti na Utoaji wa Taarifa. Taratibu za upangaji wa mipango, kuandaa bajeti, kufanya ufuatiliaji na kutoa taarifa zimebainishwa kwa kina kwenye chapisho hili. 22

29 Kikundi hiki maalumu pia kimeandaa mahitaji ya utendaji katika utoaji ripoti ambayo yamejumuishwa kwenye Miongozo ya Mipango na Bajeti ya mwaka 2007/08. Mahitaji hayo yanabainisha mlolongo wa ripoti zilizochambuliwa zaidi, na zinazoeleweka vizuri zaidi na watumiaji, na zisizokinzana na mfumo wa utoaji taarifa wa MKUKUTA na mifumo mingine ya kitaifa. Ajenda ya uoanishaji na upangiliaji ina msukumo wa aina tatu: Kwanza kuandaa na kutumia muundo mmoja kwa ajili ya malipo, mahesabu, utoaji taarifa na tathmini ya utendaji. Muundo huu unazingatia mifumo iliyopo ya serikali. Lengo ni kuboresha uwazi na kutabirika kwa misaada kutoka kwa wadau wa maendeleo. Pia mfumo unalenga kuboresha uhakika wa kiwango na muda wa upatikanaji wa mchango wa wafadhili Pili ni kushughulikia suala la kukosekana kwa muunganiko baina ya Mipango ya Maendeleo ya Kisekta na MKUKUTA. Hii inamaanisha kwamba Mipango na Mikakati ya Maendeleo ya Kisekta haina budi kufanyiwa mapitio ili kuhakikisha (a) inaendana na MKUKUTA, na (b) kunakuwepo muunganiko wa kimkakati wa upangiliaji wa raslimali na MKUKUTA. Tatu ni kuoanisha michakato ya kitaifa hususan Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA, Mapitio ya Matumizi ya Umma, na Muundo wa Mipango ya Matumizi ya Muda wa Kati/Miongozo ya Bajeti. Vile vile ni muhimu kuhusisha Misaada ya Bajeti, Mfuko wa Kusaidia Upunguzaji wa Umaskini, na Juhudi za Sekta binafsi (PSI). hii haina budi kufanywa kuwa michakato ya kitaifa badala ya sasa inavyojitegemea na kuonekana kama michakato midogo. Izingatiwe pia kwamba ili kuwezesha ubadilishanaji mpana zaidi wa taarifa baina na miongoni mwa nguzo za MKUKUTA, hapana budi kuandaliwa muundo mpya wa mijadala na midahalo. Muundo huu mpya utaleta pamoja michakato iliyochini ya Misaada ya Bajeti, Mapitio ya Matumizi ya Umma na MKUKUTA. Sekretarieti mbali mbali zimekuwa zikishirikiana kwa karibu katika kufanikisha ajenda ya uoanishaji. Matukio muhimu kama ya mikutano ya mashauri ya Mapito ya Matumizi ya Umma na Wiki ya Sera ya Umaskini hivi sasa yanapangwa na kuandaliwa kwa pamoja. Shughuli Zinazoendelea Mwongozo wa Upangaji wa Kimkakati wa Mipango ya Muda wa Kati, Uandaaji wa Bajeti na Utoaji wa Taarifa unabainisha wazi wazi kazi ya utoaji taarifa za MKUKUTA. Mwongozo huu unaziweka pamoja taarifa binafsi za utendaji kutoka kwenye Wizara, Idara, Wakala na Serikali za Mitaa huku zikitoshelezwa na matokeo ya tafiti zinazojitegemea na kazi za uchambuzi mbali mbali. Utoaji wa ripoti unapaswa kufanywa kwa (a) Ripoti ya Utekelezaji wa MKUKUTA, yaani MAIR itolewayo kila mwaka (b) Ripoti ya Umaskini na Maendeleo ya Binadamu na Ripoti ya Hali Halisi itolewayo kila baada ya mwaka mmoja. Ofisi za serikali zinatoa taarifa za utekelezaji za robo mwaka. Taarifa hizi sasa zitahusishwa na matokeo ya kila nguzo ya MKUKUTA kupitia Mfumo Mpya wa Utoaji Ripoti za Utekelezaji MKUKUTA 23

30 (RIMKU), na pia kupitia Mapitio ya Kisekta, Mapitio ya Matumizi ya Umma na Taarifa za ukaguzi wa mahesabu ya Wizara, Idara, Wakala na serikali za Mitaa. Serikali imedhamiria kuoanisha mifumo mbali mbali ya utoaji taarifa ili kuimarisha uhusisano wa jumla na MKUKUTA na baina ya Mipango, Bajeti na mifumo ya utoaji taarifa. Kuna utafiti unaojitegemea unaoendelea kuhusu Ufuatiliaji na Tathmini kwenye wizara, idara, na wakala 27. Pamoja na mambo mengine utafiti huu (a) utatoa mwanga juu ya hali ya ufuatiliaji na tathmini kwenye wizara, idara na wakala kuhusiana na upatikanaji wa vitendea kazi na watumishi wenye ujuzi unaohitajika (b) utawasaidia watoa maamuzi juu ya namna bora ya kuandaa mfumo wa kisheria wa ufuatiliaji na tathmini. Muundo mpya wa mijadala umebuniwa ili kuwezesha mawasiliano miongoni mwa wadau wa nguzo ya MKUKUTA inayohusika. Hii inaleta pamoja michakato iliyochini ya Misaada ya Bajeti, Mapitio ya Matumizi ya Umma na MKUKUTA. Sekretarieti tatu zinashirikiana kwa karibu katika kufanikisha ajenda ya uoanishaji. Matukio muhimu kama ya mikutano ya mashauri ya Mapitio ya Matumizi ya Umma na Wiki ya Sera ya Umaskini hivi sasa yanapangwa na kuandaliwa kwa pamoja. Changamoto na Mambo Tuliyojifunza Mabadiliko kutoka mfumo wa awali wa Ufuatiliaji wa Umaskini kwenda mfumo mpya wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA yamepanua ajenda ya ufuatiliaji katika (a) ukusanyaji wa taarifa, uchambuzi na usambazaji wa taarifa (b) raslimali zinazohitajika (miundombinu, fedha na watumishi) (c) usimamizi wa mfumo. Kupanuka kwa viashiria kutoka 84 vya awali kunamaanisha kwamba kazi kubwa na yenye kupangiliwa vizuri zaidi inapaswa kufanyika. Mfumo wa MKUKUTA unaozingatia matokeo unahusisha watu na taasisi nyingi zaidi kuliko Mkakati wa awali wa Upunguzaji Umaskini. Kwa hali hiyo; unahitajika (a) mfumo madhubuti zaidi wa Ufuatiliaji na Utoaji taarifa (b) Muunganiko bayana kati ya serikali na wadau wengine muhimu, na (c) Uimarishaji wa michakato ya uwajibikaji. Muunganiko kati ya Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA na shughuli nyingine za ufuatiliaji zinazofanywa na serikali na wadau wengine bado ni dhaifu. Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA haujapata mafanikio makubwa katika kuimarisha mifumo ya takwimu za kila siku na tafiti mbali mbali katika ngazi ya wizara, idara, wakala na serikali za Mitaa. Bado kuna tofauti kati ya viashiria vinavyotumika kwa shughuli za MKUKUTA, na pale vinapokuwepo, katika muundo wa utendaji wa serikali. Pamoja na mafanikio hayo makubwa ya Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA, bado fedha za utekelezaji wake unategemea msaada kutoka kwa Wabia wa Maendeleo kupitia mfuko wa pamoja wa fedha. Hali hii inatishia uendelevu wa mfumo huu. Makundi Mahsusi ya Kitaalam yaliundwa upya Aprili Mafunzo ya utambulisho kwa wajumbe wa makundi haya yalipangwa na kalenda ya mwaka ya vikao vya makundi haya iliandaliwa na 24

31 kukubaliwa. Pamoja na haya yote, vikao vinavyopangwa vimekosa mahudhurio ya kuridhisha na hii imeathiri utekelezaji wa shughuli zilizopangwa. Moja ya sababu za mahudhurio hafifu ni kwamba kazi za makundi hayo hazikujumuishwa kwenye kazi za kawaida za taasisi wanakotoka wajumbe. Ilibainika pia kwamba wajumbe wengi wa makundi ya Kiufundi wanaona kazi yao kama ya ushauri zaidi na siyo utendaji; wanadhani kuwa Sekretarieti itafanya kazi zote. Hali hii imezalisha matarajio ambayo hayawezi kufikiwa. Inapendekezwa kuwa wajumbe wa makundi haya washirikishwe katika utendaji wa baadhi ya kazi badala ya kuwa washauri. Hatua za Kuchukua Juhudi zitaendelea kufanyika kuoanisha mfumo wa Ufuatiliaji na tathmini kwenye taasisi za serikali ili kuhakikisha utoaji taarifa wa kiwango cha juu na utoaji maamuzi ulio bora zaidi Kazi za Ufuatiliaji na Tathmini kwenye wizara, idara, wakala wa serikali na serikali za Mitaa zitabainishwa ili kuzioanisha na Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA. Hii itahusisha uandaaji wa sera ya Ufuatiliaji na Tathmini sanjari na ujengaji uwezo katika ngazi zote. Utafiti umefanyika ili kuondoa Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA kutoka kwenye utegemezi wa Mfuko wa Ufadhili na badala yake kuujumlisha kwenye Bajeti ya kitaifa. Serikali itatekeleza mapendekezo ya utafiti huo hatua kwa hatua. Kamati maalum ya pamoja baina ya Serikali na Wabia wa Maendeleo imeundwa ili kubaini masuala muhimu ikiwa ni pamoja na ugharamiaji na uimarishaji wa Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA. Masuala haya yatashughulikiwa katika kipindi cha mpito ambacho kinaisha mwaka

32 4. Mipango ya Ugharamiaji MKUKUTA unapaswa kugharamiwa na hauna budi kuonekana kwenye bajeti za wadau ili kuhakikisha kuwa utoaji wa fedha unatabirika na kufanyika kwa wakati. Kwenye sura hii kwanza tunaangalia (a) namna fedha zinavyopatikana, kupangiliwa kwa ajili ya nguzo mbali mbali za MKUKUTA (b) jinsi MKUKUTA unavyopatana na bajeti kuu ya kitaifa. Hii inatupeleka kwenye baadhi ya mawazo kuhusu jinsi michakato ya ugharamiaji na uandaaji bajeti inavyoweza kuboreshwa. Kisha tunaangalia baadhi ya changamoto kwenye taratibu za kutoa taarifa za bajeti. Sura hii inahitimishwa kwa kuufanyia mapitio kwa ufupi Mkakati wa pamoja wa Misaada kwa Tanzania na Sera ya mishahara ya utumishi wa umma. Utafutaji na Upangiliaji wa Fedha MKUKUTA unatekelezwa na kugharamiwa na serikali pamoja na wadau wengine nje ya serikali. Si kazi rahisi kupata taarifa kuhusu michango ya wadau wasiokuwa wa kiserikali, kwa hiyo ripoti hii inajikita zaidi kwenye hatua zilizochuliwa na serikali. Mfumo wa bajeti ya Mkakati wa awali wa Upunguzaji Umaskini ulitenga fedha kwa sekta chache tu za kipaumbele. Bali Mfumo mpya wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA unatambua kwamba wizara, idara, wakala wa serikali na serikali za Mitaa kwenye sekta zote zinachangia katika juhudi za kukuza uchumi na kupunguza umaskini. Hali hii imefanya mfumo huu mpya kuwa na mwelekeo wa kutegemea matokeo ambao unachangiwa na wadau wengi na imechochea hatua za kuwepo kwa juhudi nyingine zinazokamilishana kama vile Mkakati wa pamoja wa misaada kwa Tanzania. Hii inalenga kufikia malengo ya MKUKUTA kwa gharama nafuu zaidi. Kumekuwepo na Maendeleo ya kuridhisha kupitia Mkakati wa pamoja wa Misaada kwa Tanzania katika kuoanisha misaada ya wahisani na Kupunguza gharama. Michakato ya Kusaidia Bajeti ya jumla na mapitio ya matumizi ya umma imesaidia kuratibu juhudi za serikali na wadau wa maendeleo katika kuunga mkono upunguzaji umaskini. Miongoni mwa mafanikio makubwa yaliyofikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa misaada ya Wabia wa Maendeleo kwenye bajeti ya kitaifa, na kuongezeka kwa ukusanyaji wa mapato. Ongezeko hili linatokana na (a) maboresho makubwa yaliyofanywa katika taasisi zinazokusanya mapato ya ndani (b) kuboreka kwa usimamizi wa fedha. Hali hii imeongeza imani ya Wabia wa Maendeleo kwa Tanzania. Serikali inaboresha mchakato wa usimamizi wa bajeti (uandaaji na utekelezaji wa bajeti). Kila mwaka uhusiano baina ya vipaumbele vya MKUKUTA na migawo ya fedha inaboreshwa na kuimarishwa. Matumizi yanapangiliwa kufuatana na vipaumbele vya nguzo za MKUKUTA. Hii inafanyika kupitia Mfumo wa Bajeti wa Upangiliaji Fedha Kimkakati (SBAS) katika ngazi ya serikali kuu na kupitia programu dada ya kompyuta ya Upangaji Mipango na utoaji Ripoti (PlanRep) kwa serikali za Mitaa. Mfumo wa Bajeti wa Upangiliaji Fedha Kimkakati uilitumika kwenye Sekretarieti za Mikoa wakati wa 26

33 maandalizi ya bajeti ya mwaka 2006/07. Mifumo hii kwa pamoja inawezesha utengaji wa raslimali kwa kuzingatia MKUKUTA kwa serikali nzima. Hatua hii pia imesaidiwa na zoezi la ukadiriaji wa gharama za MKUKUTA na Malengo ya Millenia ya Maendeleo. Matokeo ya mwanzo ya zoezi hili pamoja na takwimu zinazotokana na nguzo za MKUKUTA kwa ajili ya mashauriano ya Mapitio ya Matumizi ya Umma, yamesaidia katika kuamua maeneo ya kutengewa raslimali. Kukamilika kwa zoezi la ukadiriaji wa gharama za MKUKUTA kutaimarisha juhudi za serikali katika kuweka vipaumbele na kuunganisha utengaji wa raslimali na MKUKUTA. Sekta nane ambazo tayari zimekamilisha ukadiriaji wa gharama ni pamoja na afya, elimu, maji, barabara, kilimo, ardhi, kazi na nishati. Hata hivyo, pamoja na mafanikio yaliyopatikana, bado changamoto kadhaa zimebakia: Kuna umuhimu wa kupima na kujumuisha mchango wa Wadau Wasiokuwa wa Kiserikali kwenye juhudi za Kupunguza Umaskini. Raslimali za umma zinaweza kutumika vizuri zaidi kwa kujumuisha hatua zinazochukuliwa na sekta binafsi na asasi za kiraia kwenye mchakato wa uandaaji wa mipango. Wadau mbali mbali kama vile sekta binafsi, asasi za kiraia, na Wabia wa Maendeleo watahamasishwa kushirikiana taarifa kuhusu harakati zao za Kupunguza Umaskini wakati wa kuandaa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji MKUKUTA itakayofuata. Hii itakuwa hatua ya mwanzo ya ujumuishaji kamili wa taarifa hizi kwenye mipango ya sekta mbali mbali. 27

34 Hakuna raslimali za kutosheleza utekelezaji wa mambo yote yanayopaswa kufanyika. Ukusanyaji wa raslimali ni suala muhimu sana katika mchakato wa upunguzaji Umaskini. Serikali inapaswa (a) kutafuta njia za kuongeza mapato ya ndani yatokanayo na kodi na yasiyotokana na kodi (b) kuwashawishi wadau wa Maendeleo ili waongeze mchango wao kulingana na ahadi zao za kimataifa na za ndani ya nchi (c) kuongeza kasi ya Kukuza Ubia baina ya Serikali na Sekta binafsi (d) kuhakikisha kwamba vyanzo vipya vya mapato vinabuniwa. Ipo haja ya: Kuimarisha kutabirika kwa upatikanaji wa raslimali kutoka nje ya nchi Kutoa miongozo kuhusiana na vikwazo vya raslimali hii itapunguza, kama si kuondoa kabisa maombi yasiyotekelezeka kutoka wizara, idara na wakala wa serikali. Kutoa miongozo juu ya kiwango cha maelezo ya kina kinachotakiwa kutolewa na wizara, idara na wakala wa serikali kwenye mapendekezo ya awali ya bajeti hii itaepusha kutolewa kwa maelezo ya kina sana ambayo mara nyingi hukosa muundo wa kimkakati. Kuboresha (a) uhusiano baina ya bajeti na nyaraka za programu mbali mbali, na (b) uratibu na mamlaka kati ya maofisa wa bajeti na programu ndani ya wizara, idara na wakala husika. MKUKUTA na Bajeti ya Taifa MKUKUTA unatambua kwamba sekta zote na wizara, idara na wakala wa serikali zinachangia katika mchakato wa Kukuza uchumi na kupunguza Umaskini. Kwa vile Ukuaji wa Uchumi na Upunguzaji wa Umaskini vimekuwa nguzo muhimu katika upangaji wa mipango ya serikali, bajeti nzima ya serikali inaweza kuelezwa kwamba ni kwa ajili ya utekelezaji wa MKUKUTA. Hata hivyo kwa makusudi ya uchambuzi na upangaji mipango, ni matumizi yale tu yanayohusiana moja kwa moja na mikakati ya nguzo za MKUKUTA yanayoainishwa kuwa matumizi ya MKUKUTA. Kisanduku 4: Machaguo ya Sekta Matumizi ya kijamii (mfano kwenye elimu na afya) yanaweza kutazamwa kama uwekezaji kwenye raslimali watu ambayo ni ya msingi sana katika kuchochea ukuaji wa Uchumi. Hata hivyo, mapato yanayotokana na uwekezaji huo siyo ya moja kwa moja na ni ya muda mrefu. Uchaguzi wa kimkakati hauna budi kufanyika baina kuelekeza raslimali kwenye sekta za kijamii na sekta za kiuchumi (mfano fedha na kilimo) ambazo matunda yake ni ya moja kwa moja na kwa muda mfupi. Ndani ya Mfumo wa Bajeti wa Upangiliaji Fedha Kimkakati, bajeti iliyopitishwa kutekeleza MKUKUTA mwaka 2006/07 ilikuwa ni asilimia 48 ya bajeti yote. Asilimia 52 iliyobakia ilikuwa kwa ajili ya miradi na programu zisizo na uhusiano wa moja kwa moja na MKUKUTA. Mgawanyo wa bajeti iliyotengwa kwa ajili ya MKUKUTA ulikuwa asilimia 46 kwa nguzo ya kwanza, asilimia 36 nguzo ya pili, na asilimia 18 kwa nguzo ya tatu. mgawanyo huu unashabihiana na lengo la kukuza uchumi na kuongeza kipato cha watu maskini zaidi. 28

35 Serikali inaendelea kuandaa matumizi halisi kwa mwaka 2006/07. Uchambuzi wa awali unaonyesha kwamba ugharamiaji wa shughuli za MKUKUTA ulikuwa wa kutosheleza licha ya kuwepo mchepuko kutoka mafungu yaliyotengwa kwenye bajeti ya awali. Mchepuko huu ulisababishwa kwa Kwa vile Ukuaji wa Uchumi na Upunguzaji wa kiasi kikubwa na serikali kulazimika kupanga Umaskini vimekuwa nguzo muhimu katika upangaji upya mafungu ya fedha ili kukabiliana na wa mipango ya serikali, bajeti nzima ya serikali tatizo la umeme katika nusu ya kwanza inaweza kuelezwa kwamba ni kwa ajili ya utekelezaji ya mwaka wa fedha wa 2o06/07, uhaba wa MKUKUTA. wa chakula, kupanda kwa bei ya mafuta, - MAIR (2007) kuongezeka kwa riba ya deni la ndani. Kwa kipindi cha muda wa kati, mkazo utabaki katika kuweka vipaumbele na kutekeleza shughuli za MKUKUTA zenye matokeo mengi moja baada ya nyingine. Ili kudumisha uthabiti katika vigezo muhimu vya kiuchumi, bajeti itatenga raslimali zaidi kwa ajili ya shughuli zenye kukuza uchumi wenye kujali watu maskini zaidi. Kwa hiyo tunaweza kutegemea bajeti kubwa zaidi kwa ajili ya maendeleo ya miundombinu kwa uwiano wa ongezeko kwenye huduma za jamii. Tunaweza pia kutarajia mikakati yenye kulenga kupunguza tofauti baina ya mikoa na yenye kujumuisha masuala mtambuka. Kuboresha Michakato ya Bajeti na Ugharamiaji Tunahitaji Mkakati mzuri wa kugharamia shughuli za MKUKUTA. Ni muhimu kutenga na kutoa fedha kwa wakati. Ili kufanikisha hili michakato ya utoaji wa mafungu ya fedha haina budi kuboreshwa. Hivi sasa shabaha za MKUKUTA zinaweza kufikiwa kwa vile raslimali za kutosha zinatolewa na ipo mifumo ya kudhibiti ufujaji wa raslimali hizo. Kwa ajili ya shabaha nyingine, kama tulivyoona hapo juu, serikali itachukua hatua kukusanya raslimali zaidi; na hizi zitatumika kwa busara zaidi kwa ajili ya malengo yaliyokusudiwa. Kiwango cha mapato kwa mwaka 2006/07 kiliendana na shabaha za bajeti kwa kiasi kikubwa. Ukusanyaji mzuri zaidi wa mapato ya ndani ulifanyika sambamba na mambo mengine, kutosheleza utekelezaji wa hatua za kodi kwa mwaka wa fedha 2006/07. Kiwango cha matumizi kwa mwaka 2006/07 vile vile kiliendana na shabaha za bajeti. Jumla ya matumizi kwa mwaka 2006/07 yalikuwa sh. 4,761,700 milioni sawa na asilimia 98 ya makadirio ya sh. 4,850,588 million, ikilinganishwa na asilimia 94.4 kwa mwaka 2005/06. jumla ya matumizi kwa uwiano wa pato la ndani lilipungua kutoka asilimia 26.1 mwaka 2005/06, hadi asilimia 25.5 mwaka 2006/07, lakini hii ilibaki kuwa ndani ya mfiko wa shabaha za MKUKUTA. Sababu kubwa za kushuka huku ni upungufu katika mbinu za kupima msaada wa wahisani uliotolewa moja kwa moja kwenye miradi. 29

36 Bado kuna matatizo katika namna mafungu ya fedha yanavyotolewa kwenda kwenye wizara, idara na wakala wa serikali kwa mwaka. Mpangilio wa utoaji mafungu unatofautiana kati ya wizara na wizara, kutegemeana na mahitaji na upatikanaji wa raslimali. Wizara ya fedha imekuwa ikitoa fedha kwenda wizara, idara na wakala wa serikali kila mwezi kwa kutegemea (a) mpango wa mtiririko wa fedha wa wizara, idara na wakala wa serikali (b) fedha ziliopo Hazina. Kulikuwa na utoaji mdogo wa fedha ikilinganishwa na makadirio ya mtiririko wa fedha katika robo ya kwanza ya mwaka 2006/07. Hii ilisababishwa na (a) mapungufu ya Wizara, Idara na Wakala wa Serikali katika kupanga mtiririko wa fedha, na (b) uingiaji hafifu wa raslimali Kisanduku 5: Utolewaji Usio wa Uhakika wa kwenda hazina. Sehemu kubwa ya Bajeti Mafungu ya Fedha ya Maendeleo inagharamiwa na Wabia wa Mwaka 2005/06 Wizara ya Kilimo, na Usalama wa Chakula na Ushirika ilipokea asilimia 47 tu ya bajeti Maendeleo. Makadirio yanaidhinishwa yote ya Maendeleo, asilimia 12 kati ya hiyo ilitolewa mapema lakini changamoto inabaki katika kipindi cha nusu ya kwanza ya mwaka. kukabili ucheleweshaji wa na kutotabirika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa upande kwa utoaji wa fedha hizo (tazama kisanduku 5) mwingine ilipokea asilimia 32 kwa mwaka huo huo, asilimia 22 kati ya kiasi hicho kilikuwa kwa kipindi Changamoto ya kukadiria uhusiano baina cha nusu ya kwanza ya mwaka. ya matumizi ya fedha na matokeo halisi Hata hivyo Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii katika ngazi ya jamii. Changamoto hii mafungu yaliyopokelewa yalikuwa asilimia 81 ya bajeti inazidi kuwa kubwa inapotokea kuwa yote iliyoidhinishwa kwa mwaka huo na asilimia43 zaidi ya mwaka mmoja unahitajika mpaka ilitolewa katika nusu ya kwanza ya mwaka. matokeo kuanza kuonekana. Hili ni tatizo kubwa kwa viashiria vingi vya MKUKUTA na halina budi kuzingatiwa. Njia za Kuripoti Bajeti Utoaji wa ripoti za bajeti na za uwazi vimekuwa vikiboreka kwa muda sasa nchini Tanzania. Bajeti ya taifa huzingatia viwango vya Kimataifa vya Takwimu za za Fedha za Serikali. Mahitaji ya utoaji taarifa yaliwekwa kwenye Sheria ya Fedha za Umma ya mwaka hii husaidiwa na miongozo ya taratibu za mahesabu ya fedha za serikali. MKUKUTA hutumia Mfumo wa Bajeti wa Upangiliaji Fedha Kimkakati (SBAS) katika kubainisha namna unavyotumia raslimali. Hii inamaanisha kwamba takwimu za bajeti za MKUKUTA zinapaswa kubadilishwa ili kuendana na mfumo wa kimataifa wa Takwimu za Fedha za Serikali. Ili kurahisisha mambo, serikali inaandaa mfumo wa MKUKUTA wa uchambuzi wa matokeo ya utekelezaji wa bajeti. Hii itaripotiwa kupitia Mapitio ya Utekelezaji wa Bajeti. Hivi sasa uhusiano wa sera na utekelezaji wa bajeti hupimwa kwa (a) kulinganisha migawo ya SBAS na matumizi halisi (b) kwa kuangalia matokeo yake kwenye umaskini kwa kutumia Mfumo wa Ufuatiliaji wa MKUKUTA. Njia nyingine za kuripoti zinazotumika ni pamoja na: 30

37 Ripoti ya utekelezaji ya robo mwaka inayochapishwa kwenye tovuti ya Wizara ya Fedha. Ripoti hizi hutoa muundo wa jumla wa kifedha. Wizara pia hutoa ripoti za kila mwezi kwa kutumia Mfumo wa jumuishi wa Usimamizi wa Fedha. Ripoti hizi huwa na taarifa kuhusu fedha zilizoahidiwa na kutolewa. Pamoja na taarifa hizi kutolewa kwa wakati, kufikika, kueleweka na kuwa zenye manufaa, bado hazina budi kurekebishwa ili kutoa mtazamo wa programu na muundo wa MKUKUTA. Mapana ya Ripoti ya Bajeti Mapitio ya Utekelezaji wa Bajeti yanahusisha fedha za serikali kwa misingi ya fedha taslimu, lakini (a) hayahusishi fedha zinazopelekwa na Wabia wa Maendeleo moja kwa moja kwenye miradi (b) yanachukulia fedha zinazopelekwa kwenye serikali za Mitaa kama matumizi. Mfumo wa sasa unashindwa kushughulikia ugumu uliopo katika ngazi ya wilaya kutokana na kuwepo vyanzo mbali mbali vya ugharamiaji wa programu katika ngazi hiyo. Ugumu huu kwenye mchakato wa bajeti unahitaji marekebisho katika mtiririko wa fedha na kuhakikisha kuwa mfumo unabaki kuwa wa uwazi. Kwa hiyo, katika mwaka unaofuata wa utekelezaji wa MKUKUTA, mifumo ya uainishaji na utoaji taarifa itaanzishwa ili kurahisisha ukusanyaji na utoaji taarifa jumuishi za fedha. Ili kufanikisha mchakato huu, wadau mbali mbali hususan wabia wa maendeleo na taasisi zinazonufaika zitapaswa kuanza kutumia mifumo jumuishi ya ugharamiaji na utoaji wa taarifa. Serikali inatambua umuhimu wa kuripoti matumizi ya MKUKUTA kila wakati. Kwa ushirikiano wa karibu na wadau wengine, serikali inaandaa mwongozo utakaotumika na Wizara, Idara na Wakala wa Serikali kwa kutoa ripoti za (a) MKUKUTA (b) uhusiano wa Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Fedha na Mfumo wa Bajeti wa upangiliaji fedha Kimkakati. Changamoto kubwa ni kupanga na kusimamia utoaji ripoti juu ya nguzo za MKUKUTA pamoja na shabaha zake. Takwimu zinapatikana kwenye mfumo jumuishi wa usimamizi wa fedha, lakini kuzihusisha takwimu hizi na Mfumo wa Bajeti wa upangiliaji fedha Kimkakati unabaki kuwa changamoto. Serikali inaandaa njia itakayo: (a) wezesha ubadilishanaji wa taarifa wenye ufanisi zaidi baina ya zana, na (b) uchambuzi wa matokeo ya utekelezaji wa bajeti kufanyika kwa wakati. Sera Nyingine Zinazohusiana na Bajeti Serikali ya Tanzania ilianza kutumia Mkakati wa Pamoja wa Misaada ( JAST) mwezi Desemba kwa kuzingatia Mkakati huu, Wabia wa Maendeleo wanaohusika kwa kushirikiana kwa karibu na serikali wameandaa Mwongozo wa Pamoja wa uandaaji wa Programu ambao umefungamana kikamilifu na malengo ya MKUKUTA. 31

38 Kwa kuzingatia Mkakati wa Pamoja wa Misaada kwa Tanzania na Mwongozo wa Pamoja wa Uandaaji wa Programu, serikali itashughulikia tatizo la kutotabirika kwa misaada kutoka nje ya nchi. Itafanya hili kwa kufanya uchambuzi wa pamoja na Wabia wa Maendeleo kuhusu njia mbadala za matumizi na fedha kutoka nje ya nchi. Hii italeta maafikiano ya wazi juu mkakati wa muda wa kati na mipango ya matumizi kabla ya mzunguko wa bajeti ya 2008/09. hatua hii itachochea kuongezeka kwa misaada na hivyo kuharakisha ukuaji wa uchumi na kupungua kwa umaskini. Kisanduku 6: Mkakati wa Pamoja wa Misaada kwa Tanzania (JAST) JAST ni matokeo ya mashauriano yenye wigo mpana yaliyoongozwa na serikali kati ya wabia wa maendeleo na taasisi zisizo za kiserikali. Mkakati huu una akisi nafasi ya serikali katika kuoanisha msaada wa wahisani. Malengo makuu ya JAST ni (a) kupunguza zaidi gharama za uhamishaji fedha (b) kukuza umiliki wa kitaifa na nafasi ya serikali katika kuongoza ajenda ya maendeleo. Tume ya Rais ya Mishahara ya Watumishi wa Umma ilikabidhi ripoti yake Desemba hii ililenga kwenye sera ya serikali ya muda wa kati kuhusu kiwango cha ajira ya serikali na uhusiano wake na bajeti. Serikali inayapitia mapendekezo ya tume kwa kulinganisha na vipaumbele vya utekelezaji wa MKUKUTA na uwezekano wa kuyatekeleza kwa kuzingatia hali halisi ya bajeti. Matokeo yake itakuwa ni kutungwa kwa sera ya muda wa kati kuhusu mishahara ya watumishi wa Umma. 32

39 5. Muhtasari wa Masuala Makuu na Hatua za Kuchukua Kwa ufupi, hatua zinazopendekezwa na MAIR zinalenga katika mchakato. Wito wa MAIR ni juu ya kuwepo kwa mawasiliano bora zaidi yatakayowezesha kuwepo kwa uratibu ulio mzuri zaidi. Hali hii itathibitisha uhalali wa ongezeko la raslimali kwa ajili ya MKUKUTA. Mawasiliano bora zaidi yanahitaji mfumo bora wa ubadilishanaji taarifa na kuwepo kwa mijadala miongoni na baina ya wadau. Pia inamaanisha kuwepo kwa ushiriki bora zaidi wa asasi zisizo za kiserikali katika hatua mbali mbali za mchakato wa maendeleo. Uratibu mzuri zaidi wa kazi utatokana na kuwepo kwa mawasiliano mazuri zaidi. Kazi iliyo mbele ni kuhakikisha kuwa wadau wote wanafanya kazi kwa kulingana na muundo wa MKUKUTA wa bajeti, mipango, ufuatiliaji na utoaji wa taarifa. Mchakato huu utatekelezwa na makundi madhubuti ya kila nguzo ya MKUKUTA na yale yanayojumuisha wadau kutoka nguzo zote tatu katika ngazi mbalimbali nchini. Hali kadhalika, mifumo mbali mbali ya takwimu za kompyuta itasaidia kuwezesha mchakato huu. Kazi muhimu ya usimamizi itafanywa na Kamati maalumu ya Mipango, Bajeti, na Utoaji Taarifa inayoundwa na wajumbe kutoka Wizara mbali mbali. Kuongeza raslimali kwa ajili ya MKUKUTA kutahalalishwa na kuhimizwa na kuwepo kwa uratibu na ulinganifu mzuri zaidi wa mfumo wa utendaji kazi. Michango mingi ya Wabia wa Maendeleo itaweza kushabihiana na taratibu za sasa za bajeti ya serikali.ushiriki wa sekta binafsi utahimizwa zaidi (hususan kupitia Ubia baina ya Sekta ya Umma na sekta Binafsi) Sehemu fupi fupi zifuatazo zinatazama hatua zilizopendekezwa kuchukuliwa kwa ajili ya nguzo tatu za MKUKUTA na kisha masuala ya ugharamiaji, ufuatiliaji na tathmini. Sehemu Hii inajaribu kujazia nyama kwenye mifupa hapo juu. 33

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA NGUZO KUMI ZA KWANZA (MFUMO WA UTEKELEZAJI) NGUZO YA 1 DIRA YA TAIFA YA KWANZA 1.1 Kupitisha Dira ya KWANZA SHUGHULI MAJUKUMU MUDA MHUSIKA MKUU 1. AZIMIO LA KWANZA 2. mpango wa utekelezaji wa KWANZA 3.

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) Dar es Salaam Oktoba 2007 YALIYOMO ORODHA YA VIFUPISHO DIBAJI SHUKRANI MUHTASARI RASMI SURA

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) TOLEO LA PILI Dar es Salaam, Oktoba, 2007 i ii JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia HakiElimu & Policy Forum KUUELEWA MCHAKATO.indd a 1/20/10 11:00:56 AM KUUELEWA MCHAKATO.indd b 1/20/10 11:00:57 AM Kuuelewa Mchakato wa

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHESHIMIWA MUSTAFA HAIDI MKULO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda WARAKA WA TAARIFA YA MRADI (PID) HATUA YA TATHMINI TAARIFA NA..: AB4376 Jina la Mradi Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda AFRIKA Sekta Madini na Uchimbaji mwingine (100%) Namba ya

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MFUMO WA RUZUKU YA MAENDELEO YA MTAJI WA SERIKALI ZA MITAA (LDCDG) UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI Kijitabu cha Mshiriki

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA 2007 i WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA

More information

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment Background 1. On 4 th September, 2012, the Energy and Water Utilities

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 1. Utangulizi Changamoto kuu iliyopo kuhusiana na Elimu ya msingi nchini Tanzania kwa sasa ni namna

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2018/19 1 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA RIPOTI YA HUDUMA ZA AFYA TANZANIA BARA 2004 Imetayarishwa na: Idara ya Tiba Afya Makao Makuu P.O. Box 9083, DAR ES SALAAM June 2005 Yaliyomo Ukurasa Vifupisho

More information

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI MWONGOZO KWA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA WASTANI WANAOUZA BIDHAA NJE YA NCHI TOLEO LA PILI Geneva 2011 ii IKISIRI YA HUDUMA YA HABARI ZA BIASHARA ID=42653 2011 F-09.03

More information

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2009/2010 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Msingi wa Programu zote za Uimarishaji Ubora Toleo la 1 kwa Lugha ya Kiswahili

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized!. viromen-alsc:a.. Environmental & Social MRADI WA UMEME WA GESI YA * Assessment & Management

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MHESHIMIWA SOPHIA M. SIMBA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2013/14 DODOMA Mei,

More information

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 W N S E Muhtasari Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 Kuinuka kwa Nchi za Kusini: Maendeleo ya Binadamu katika Ulimwengu Anuwai Empowered lives. Hati ya kunakili 2013 na Mradi wa Maendeleo ya Umoja wa

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

3. Mheshimiwa Spika, 4. Mheshimiwa Spika,

3. Mheshimiwa Spika, 4. Mheshimiwa Spika, HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI, MHESHIMIWA JOHN POMBE MAGUFULI, (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2007/08 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI MFUMO WA TATHMINI WA TAARIFA (IRM): TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI 2014 2016 Ngunga Greyson Tepani Mtafiti wa IRM Taarifa ya Mwishoni mwa Utekelezaji 2014-2016 First End-of-Term Report INDEPENDENT

More information

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Shukrani Ripoti

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Child Abuse & Neglect 43(2015)8 21 Orodha Yaliyomo inapatikana katika ScienceDirect Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Nakala ya Utafiti Mbinu za kuimarisha mifumo ya ulinzi wa mtoto kuanzia chini kwenda

More information

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI

More information

Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi

Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi PAN AFRICAN PARLIAMENT PARLEMENT PANAFRICAIN البرلمان PAN- PARLAMENTO األفريقي AFRICANO Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi Julai 21 22, 2011 Bunge la

More information

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu Nyenzo ya Mafunzo Vi Agroforestry Vi Agroforestry ni shirika la ushirikiano la maendeleo la Sweden, linalopambana dhidi ya umasikini na

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania

Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania 2 Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI 2013 Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Dar es salaam, Dodoma na Pwani

More information

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI b Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI 1 Mwongozo wa Uzalishaji

More information

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Shukrani Ripoti

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MHESHIMIWA MHANDISI DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO KWA

HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MHESHIMIWA MHANDISI DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO KWA HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MHESHIMIWA MHANDISI DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO KWA MWAKA 2018/2019 YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 HALI

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

Kuwafikia waliotengwa

Kuwafikia waliotengwa Kuwafikia waliotengwa Kuwafikia waliotengwa Muhtasari Chapisho la UNESCO 2 M U H T A S A R I R I P O T I Y A U S I M A M I Z I W A K I M A T A I F A W A M R A D I W A E L I M U K W A W O T E 2 0 1 0 Ripoti

More information

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kiongozi hiki kimeandaliwa kikiwa ni sehemu ya mradi wa

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Martha Qorro 1 1.0 Utangulizi Elimu ni suala la jamii ambalo mipango na taratibu zake zinahitaji kushirikisha wadau

More information

Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014

Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014 Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014 Wandishi (Jina la kwanza kiherufi): Edmund Githoro, Simon Fraval, Joanne

More information

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza 1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa

More information

Govt increases vetting threshold of contracts

Govt increases vetting threshold of contracts > ISSN: 1821-6021 Vol IX - No. 19 May 10, Free with Daily News every Tuesday DID YOU KNOW? NEWS IN Numbers?

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI TAARIFA YA MAFANIKIO CHINI YA UONGOZI WA MHE. SOSPETER MUHONGO (MB) KATIKA SEKTA NDOGO YA UMEME Disemba, 014 A. MAFANIKIO 1. Kuongezeka kwa uzalishaji

More information

HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE

HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE SAUTIZETU HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE 01 SAUTIZETU HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE SAUTI ZETU Huduma za Afya kwa wote THE OPEN SOCIETY INITIATIVE FOR EASTERN AFRICA (OSIEA) (JAMII WAZI YA MPANGO WA AFRIKA MASHARIKI)

More information