SautiElimu. Sauti Yako Isikike

Size: px
Start display at page:

Download "SautiElimu. Sauti Yako Isikike"

Transcription

1 SautiElimu Sauti Yako Isikike

2 SautiElimu Sauti Yako Isikike

3 Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian Kallaghe, Kathy Relleen, Godfrey Telli, Mary Nsemwa na Nyanda Shuli; pamoja na wasanii na wapiga picha ambao kazi zao zimetumika katika kitabu hiki. HakiElimu 2006 SLP 79401, Dar es Salaam, Tanzania pub@hakielimu.org Unaruhusiwa kunakili sehemu yoyote ya kitabu hiki kwa minajili isiyo ya biashara. Unachotakiwa kufanya ni kunukuu chanzo cha sehemu inayonakiliwa na kutuma nakala mbili kwa HakiElimu. ISBN:

4 Yaliyomo Utangulizi... 1 Ushiriki wa Jamii katika Elimu (2002)... 2 Elimu Bora (2002/03)... 6 Usimamizi wa Mapato na Matumizi ya Fedha Shuleni (2003) Harakati za Marafiki wa Elimu (2003) Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (2003/04) Rushwa katika Elimu (2004) Ulemavu na Elimu (2004) Wananchi Wanatoa Maoni (2004) Matendo ya Wananchi katika Kuleta Mabadiliko (2004) Demokrasia na Utawala Bora (2005)... 44

5 Utangulizi Taarifa ni muhimu. Lakini umuhimu wake hauwezi kuwa na maana kama taarifa hazitawafikia watu wengi na kuleta mabadiliko katika jamii. Taarifa inapowafikia watu wengi husaidia kuibua mijadala mipana na kuleta mabadiliko. Kwa hiyo taarifa ni chanzo cha maendeleo katika jamii. Kitabu hiki ni toleo la kwanza la mikusanyiko ya Majarida ya SautiElimu namba moja hadi kumi. Lengo lake ni kuweka pamoja taarifa tulizochapisha katika matoleo yetu 10 ya mwanzo ya Jarida la SautiElimu. Hoja nyingi kutoka sehemu mbalimbali nchini za wananchi wa kada zote zimechapishwa. Hii inadhihirisha kwamba watu wakipewa nafasi ya kutoa maoni wanafanya hivyo bila kusita wala kujali gharama za muda wao na za kutuma barua. Mkusanyiko huu pia unaonyesha ni jinsi gani tunavyoweza kujifunza kutoka kwa wananchi. Makala zilizomo zimeandikwa na watu kutoka sehemu mbalimbali nchini wanaofanya kazi kila siku ili kuiona Tanzania inakuwa nchi bora zaidi. Wananchi na viongozi wote kwa pamoja wanaweza kujifunza mengi kwa kusikiliza na kuzitumia taarifa hizi. Katika makala haya watu wametoa hoja za kusisimua juu ya mambo mbalimbali yahusuyo elimu na demokrasia. Hoja hizi zinajumuisha utawala bora katika elimu, elimu bora, demokrasia shiriki, rushwa katika elimu, watu wenye ulemavu na changamoto zao katika elimu, ushiriki wa wanafunzi katika utawala wa shule, miundombinu ya shule, nk. Tunaamini taarifa ni nguvu. Majarida ya SautiElimu ni uwanja mpana kwa wananchi wanyonge na wa kawaida kutoka sehemu mbalimbali za nchi kutoa na kupokea taarifa. Kwa kuzikusanya taarifa hizi pamoja katika kitabu hiki tunaamini kutarahisisha usambazaji na uchanganuzi wa taarifa zilizomo. Pia kutaibua hoja nyingi na nzito zaidi. Kitabu hiki kinakupa changamoto msomaji: changia mawazo yako. Pokea taarifa zilizomo na kuzitafakari. Uliza viongozi wako maswali. Jadili na wenzako kuhusu taarifa zinazokugusa zaidi. Chukua hatua sasa ya kuleta mabadiliko katika jamii yako. Tunakukaribisha na kukutakia usomaji mwema. 1

6 1. Ushiriki wa Jamii katika Elimu (2002) Je, sauti yako inasikika? Na Rakesh Rajani, Mkurugenzi Mtendaji, HakiElimu Wote tunajali elimu. Licha ya hali ngumu, mamilioni ya wanafunzi bado wanahangaika kujifunza na kufurahia maisha ya shule. Zaidi ya walimu 100,000 bado wanajitahidi kufundisha licha ya mishahara midogo na hali duni ya mazingira ya kazi. Na karibu kila mmoja wetu, ama ni mzazi, kaka au dada wa mtoto fulani anayejitahidi kupata elimu. Lakini je, sauti zetu zinasikika katika elimu? Je, sauti yako inasikika? Mara nyingi, shule zina uongozi unaotoa mwanya mdogo kwa watu wa kawaida kuuliza maswali, kutathmini na hata kutoa maoni kuhusu jinsi ya kuboresha elimu. Maagizo hutoka ngazi za juu, bila kutaka ushauri wa watu wa chini ambao ndio huathirika zaidi na maamuzi hayo. Watu wanapokuwa na maoni yao mara nyingi hawapati pa kuyapeleka. Matokeo yake elimu inakosa mchango wa jamii katika kuiboresha. Hali hii haitakiwi kuendelea. Mipango ya Serikali ya Kurekebisha Serikali za Mitaa na Mpango wa Maendeleo wa Elimu ya Msingi (MMEM) inatambua umuhimu wa kukuza ushiriki wa jamii katika elimu na kuimarisha uwazi na uwajibikaji. Pia inasisitiza umuhimu wa kutoa fursa kwa watu wa kawaida hasa wale ambao mara nyingi sauti zao hazisikiki. Kila mtu aelewe bajeti ya shule na jinsi fedha zake zinavyotumika. Kila mtu awe na uhakika kwamba kamati ya shule itasikiliza kero zake. Kila mtu apate nyaraka za msingi za sera za elimu. Kwa hiyo kuzipata na kuzijadili taarifa ni muhimu kwa utawala bora. Jarida la SautiElimu ambalo hutolewa mara tatu kwa mwaka, ni nafasi yako ya kutoa maoni na kujifunza kutoka kwa wengine. Hii ni sauti yako! Ongea na rafiki yako kuhusu wazo la kila jarida la SautiElimu. Waulize viongozi wako kuhusu masuala yaliyojadiliwa humu. Tueleze mawazo yako! Pia tafadhali tupe mawazo yako kuhusu majarida ya SautiElimu, yakoje? Je yanaongelea mambo unayotaka kuyafahamu? Walimu wahusishwe katika uongozi wa shule! Na Ezekiel Oluoch, Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Ili kuboresha elimu, mwalimu hana budi kuhusishwa katika uongozi. Uwakilishi wa walimu kwenye kamati za shule ni muhimu kwani kamati zinatoa maamuzi kuhusu maendeleo ya shule. Ni muhimu wawakilishi wa walimu wachaguliwe na walimu wenyewe bila ya shinikizo kutoka utawala wa juu. Wanaochaguliwa kuwakilisha kwa njia hii huaminiwa na walimu wenzao kuwa wana uwezo wa kuwakilisha matatizo ya wenzao. Uwakilishi wa walimu pia unakuwa na umuhimu wake pale ambapo kero zinazowakatisha tamaa hujadiliwa na kupatiwa ufumbuzi. Katika suala la kuboresha taaluma, wenye nafasi ya kuchangia kwa ufasaha mbinu mbalimbali ni walimu 2

7 wenyewe wenye uzoefu katika utendaji kazi. Vilevile walimu wanahitaji kuwa na uwakilishi katika vikao vya kujadili mapato na matumizi ya fedha zinazotolewa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa na uendeshaji shule. Kiasi cha fedha kinachotolewa na matumizi yake yawe wazi ili kila mwalimu afahamu ni vipi fedha za shule yake zinavyotumika. Kila shule inatakiwa kuwa na uongozi wa wanafunzi uliochaguliwa na wanafunzi wenyewe. Hata hivyo, utafiti unaonyesha kuwa shule chache zina viongozi waliochaguliwa na wenzao kidemokrasia. Viongozi wa shule kadhaa wamekuwa wakiteuliwa na baadhi ya walimu. Je, viongozi wanaoteuliwa na walimu watasimamia maslahi ya nani? Je, hii ndiyo namna ya kufundisha demokrasia? Ni tabia ya binadamu kufurahia anapotekeleza Viongozi wanafunzi kawaida hufanya kazi maamuzi ambayo yeye pia alipewa nafasi ya zifuatazo: kuchangia mawazo yake. Hivyo basi, mwalimu awe na nafasi ya kubuni mbinu za ufundishaji Kuandika majina ya wafanya fujo ili kulingana na mazingira ya mahali alipo. waadhibiwe na mwalimu, Mwalimu ni kiongozi katika jamii na mfano kusimamia wanafunzi katika kufanya bora wa kuigwa na jumuiya inayomzunguka. shughuli za shule kama vile usafi Wa Hata kama anakosea, ni bora apewe nafasi ya mazingira kujitetea katika kamati inayomjadili ili aridhike kupokea maamuzi kutoka kwa walimu kwamba anatendewa haki. na kuyapeleka kwa wanafunzi wenzao Ni hatari kwa jumuiya yoyote ile kupanga kwa utekelezaji, bila majadiliano. mikakati ya elimu na kumuweka kando Je, kazi hizo zinampa mwanafunzi uwezo wa mtendaji wake mkuu ambaye ni mwalimu. kupanua mawazo yake na kuwa mbunifu? Kwa Hiyo ni sawa na kujadili umeme unaotokana na mfumo huo, viongozi wa wanafunzi wanazoea maji bila kuwa na mvua. Bila kumuhusisha kupokea amri tu na kusimamia wenzao. Hali hiyo mwalimu katika mipango ya maendeleo, inawajenga kuwa viongozi wanyapara wasio na hapatakuwa na shule bora. uhusiano bora na wenzao. Wanafunzi wapo katika Utawala wa Shule? Na Zitto Kabwe, Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) Katika uongozi wa shule mara nyingi, kaka mkuu ndie mkubwa na dada mkuu huwa msaidizi wake. Huu ni ubaguzi wa kijinsia! Mtoto anajifunza tangu awali kwamba mwanamme ana uwezo mkubwa ikilinganishwa na mwanamke. Wanafunzi wana haki ya kushiriki katika uendeshaji wa shule kuanzia uongozi wa wanafunzi hadi uwakilishi kwenye kamati za Lengo kuu la elimu ni kumwezesha mwanafunzi shule. Hata hivyo, mfumo wa elimu uliopo kukabili maisha ya baadae na kuindeleza jamii haumwezeshi mwanafunzi kushiriki na kutoa yake. Tutaweza tu kufikia lengo hili iwapo maoni yake katika masuala yanayomhusu tutampa mtoto nafasi ya: kielimu. kujieleza na kutoa maoni yake katika Kwa mujibu wa Mpango wa Maendeleo ya mambo yanayomhusu Elimu ya Msingi (MMEM), Halmashauri ya kuchagua viongozi wake ili kutetea wanafunzi itawachagua wawakilishi wawili maslahi yake bila woga watakaoingia katika kamati ya shule. Ushirikishwaji wa wanafunzi utafanywa katika kushiriki katika kamati za shule njia inayoakisi kanuni za msingi za uwakilishi kuondoa ubaguzi wa kijinsia usio na wa kidemokrasia, usawa na jinsia. maana (mfumo dume) katika nyanja 3

8 ya uongozi wa wanafunzi kuanzia darasani. kuhusu elimu na shughuli za Marafiki wa Elimu nchini Tanzania. kuwa na mfumo wa uongozi ambao Nani anaweza kuwa Rafiki? utawasaidia kuendelea kuwasiliana na wanafunzi wenzao kila wakati Mtu yeyote na kila mtu anaweza kuwa Rafiki wa Elimu! Hakuna masharti. Unaweza kuwa mzee Wezesha wanafunzi kujieleza! Wape nafasi au kijana, mwanamke au mwanaume, shuleni au kushiriki katika uongozi wa elimu! nje ya shule. Licha ya watu binafsi, pia Kuwa Rafiki wa Elimu Sasa! tunakaribisha maombi kutoka kwa vikundi na mashirika. Nini madhumuni ya marafiki wa HakiElimu? Nitakuwaje rafiki? Nitajiunga lini? Mtandao wa marafiki wa HakiElimu una Uanachama ni bure! Ili kujiunga, tafadhali madhumuni ya kuongeza ushirikishaji katika tuandikie jina, umri, jinsia, anwani kamili na maelezo machache kuhusu kwa nini unajali elimu kwa wananchi wote nchini Tanzania. elimu. Tunataraji kwa hamu kupata maoni Mtandao huo utatoa taarifa halisi kwa watu kutoka kwako! wanaojali Elimu nchini Tanzania. Utawasaidia kutoa maoni yao na kero katika vyombo Wasiliana nasi kwa anwani ya: Marafiki vinavyohusika. Pia mtandao utawaunganisha wa Elimu, c/o HakiElimu, SLP 79401, Dar es marafiki waweze kuleta mabadiliko katika salaam. Barua pepe: shule na kuziwezesha kutoa elimu bora kwa watu wote. Baada ya muda wazo ni kwamba mtandao wa marafiki utasaidia kufuatilia na Je, huu ndio utaratibu? Na Mjumbe Mkereketwa, Tabora kutoa mwelekeo wa elimu nchini Tanzania. Mimi ni mjumbe wa Kamati ya shule. Mara kwa Je, utafaidika vipi kwa kuwa rafiki? mara tunapokuwa na vikao vya kamati, mwenyekiti wetu hatupi nafasi ya kuzungumza. Kuwa rafiki wa HakiElimu kutakupa fursa ya Mwenyekiti anakuwa mkali tunapouliza maswali kuelewa nini kinachoendelea kuhusu masuala na kudai kuwa anatakiwa kutupa tu taarifa na ya elimu. Unaweza kutuletea maswali yako na kwamba kila kitu ameshapanga kwa tutajitahidi kukujibu, na kukuunganisha na kushirikiana na mwalimu mkuu. Je, huu ndio watu wenye majibu. Iwapo unataka usikike, utaratibu? tutajitahidi kufikisha mawazo na kero zako kwa viongozi wahusika. Jibu Mtandao wa marafiki pia utakupa fursa ya Mjumbe mkereketwa, Ahsante kwa barua yako. kuchangia au kubadilishana mawazo na Kamati ya shule yako haifuati utaratibu. Kamati uzoefu wa watu wengine wanaojali elimu. inatakiwa kufanya kazi kwa uwazi na kutoa Tutakuza fursa zako za kujifunza kutoka kwa maamuzi kidemokrasia. Wanakamati wote wenzako na kushirikiana ili kuhakikisha wana haki ya kufahamu na kushiriki katika kutoa kwamba kila mtoto anafurahia elimu ya msingi maamuzi yanayoleta maendeleo ya shule. iliyo bora. Wasiliana na uongozi wa elimu katika tarafa au wilaya yako upate miongozo ya jinsi kamati za Utapata nakala za kijarida chetu cha shule zinavyopaswa kuendeshwa. SautiElimu mara tatu kwa mwaka, kalenda Tunakushauri kutoa malalamiko yako kwenye yetu ya mwaka na machapisho mengine. Hii kikao cha kamati ya shule baada ya kujadiliana itakusaidia kuelewa maswala ya kila siku na wanakamati wenye mtizamo kama wako. 4

9 Ukikwama wasiliana na uongozi wa elimu wa mtaa/kijiji kwa ufafanuzi zaidi. Je, tuendelee kutoa michango hadi lini? Na Wazazi, Mwanza Hivi karibuni serikali ilifuta ada za kuandikisha watoto shule na michango mbalimbali. Je, sisi kama wazazi kuna haja ya kutoa michango mingine kama vile ya mitihani na shughuli nyingine za maendeleo? Jibu Ni kweli kwamba serikali imefuta ada. Hakuna tena mtoto atakayefukuzwa shule kwa kukosa ada na michango mingine. Hakuna tena wazazi kulazimishwa kutoa fedha kwa ajili ya michango mbalimbali ya shule. Lakini pia jamii inawajibu wa kuhakikisha kwamba elimu inaboreshwa kwa ajili ya watoto wote. Hivyo michango ya hiari hasa ya nguvukazi bado inatarajiwa kutoka kwa jamii ili kuleta maendeleo na ufanisi wa elimu. Je, tunaweza kuziwajibisha kamati za shule? Na Wanakijiji, Mwalusembe Tumesoma kupitia vyombo vya habari kwamba kamati za shule zina jukumu la kupanga na kutoa tathmini ya mapato na matumizi ya fedha za shule. Je,ni utaratibu gani unaotumika kutoa taarifa? Je, Kamati za shule zinawajibika kwa nani? Wanakijiji wanaweza kuziwajibisha kamati kama zitakwenda kinyume na utaratibu? Jibu Utaratibu wa kutoa taarifa kuhusu mapato na matumizi ni wa kamati za shule. Taarifa zote za mapato na matumizi zinatakiwa kuwa wazi kwa wadau wote wa elimu. Hawa ni pamoja na wazazi, wanafunzi, walimu, viongozi wa serikali za mtaa/kijiji. Kamati zinawajibika kwa wadau hao. Hivyo basi, kama utendaji wa kamati utakuwa na upungufu basi wadau wana haki ya kuwawajibisha wanakamati. Tunaomba ufafanuzi Na Wanafunzi, Mtwara Tumesikia kwamba serikali imetenga shilingi 9,000/- kwa kila mwanafunzi, kwa mwaka. Je, fedha hizo ni kwa ajili ya matumizi yapi? Tunaomba ufafanuzi kwani tunahofu kwamba fedha hizo huenda zisitumike kwa matumizi yaliyokusudiwa. Jibu Kwa mujibu wa MMEM, ni kweli kwamba serikali imetenga shilingi elfu tisa kwa kila mwanafunzi kwa mwaka. Kati ya fedha hizo, shilingi 3,600/- zitakwenda kwenye uongozi wa elimu wa wilaya kwa ajili ya kununulia vitabu vya shule. Salio, yaani shilingi 5,400/- zitakwenda moja kwa moja shuleni kuboresha elimu. Ulizeni kwa viongozi wa shule ili kuhakikisha mnapata fedha hizo. Je, wanafunzi wanashiriki katika kamati ya shule? Na Mwanafunzi, Moshi Mimi ni mwanafunzi wa darasa la saba shule ya msingi umoja, ningependa kufahamishwa kama ni kweli kwamba muundo wa kamati za shule unatoa nafasi kwa wanafunzi kuwa wajumbe. Kama ni kweli, kwa nini basi kamati yetu ya shule haijumuishi wanafunzi? Jibu Ahsante kwa swali lako. Kwa mujibu wa MMEM utaratibu wa ushiriki wa wanafunzi katika utawala wa shule uko wazi. Ni kwamba wanafunzi wawili watatoka katika kila mkondo (mvulana 1, msichana 1) watachaguliwa na vijana wa rika lao kuwa wajumbe wa baraza la wanafunzi. Baraza la wanafunzi litaundwa na mkutano wa wawakilishi wote wa wanafunzi. Uongozi wa baraza la wanafunzi uliochaguliwa kidemokrasia utawajumuisha wawakilishi wawili katika kamati ya shule. Wawakilishi wa wanafunzi katika kamati ya shule watapokea 5

10 2. Elimu Bora (2002/03) Je, unaielewaje maana ya elimu Bora? Na Rakesh Rajani, Mkurugenzi Mtendaji, HakiElimu Sote tunakubali elimu ni ufunguo wa maisha lakini je, inatosha kuwajaza wanafunzi madarasani bila kujali ubora wa elimu? Kwani maana ya elimu bora ni nini? Shule nzuri ni mahali pa usalama na heshima kwa watoto wote. Ni sehemu ambayo watoto hawapigwi au kuadhibiwa kwa njia zinazowadhalilisha. Ni sehemu ambapo watoto wote, hasa watoto wa kike na wenye ulemavu, hawabaguliwi, kuonewa na wala kunyanyaswa na mtu yeyote. Shule nzuri ni ile inayoongozwa vyema kwa njia za kidemokrasia, ni pale ambapo utawala ni shirikishi na unaihusisha jamii kikamilifu. Ni sehemu ambapo watoto wana sauti katika utawala wa shule. Ni mahali ambapo rasilimali zinatumika vizuri kwa uwazi na uwajibikaji. Shule nzuri ni muhimu kwa uraia bora; inahakikisha kwamba watoto wana ujuzi, ubunifu, msukumo na ari ya maendeleo yao wenyewe na maendeleo ya kidemokrasia kwa taifa zima. Toleo hili la SautiElimu linatoa baadhi ya maoni kuhusu elimu bora. Lakini sasa tunataka kukusikiliza wewe. Je, unaielewaje maana ya elimu bora? Tuambie! Baraza la wanafunzi kujadili maendeleo ya shule Sisi tunaamini kuwa kila mtoto Tanzania, bila Na James Mikenze, Ukerewe kubaguliwa, ana haki ya kusoma katika shule Shule ya Msingi Nkilizya, iliyopo wilayani bora. Ukerewe, imeunda Baraza la Wanafunzi ili Shule bora ni ile inayomjali mtoto, yenye kujadili shughuli mbalimbali za maendeleo mwamko wa kujifunza, ambapo kila mtoto shuleni hapo. anashiriki kikamilifu ndani na nje ya darasa. Baraza hilo lililochaguliwa kidemokrasia na Shule nzuri ni ile ambayo inamkaribisha na wanafunzi wenyewe lina kazi ya kujadili kumthamini kila mtoto, kumpa moyo wa kuwa ufundishaji wa walimu pamoja na mahudhurio wazi, kuuliza maswali, kufikiri, kuwa mdadisi yao darasani. na mbunifu. Utoro wa wanafunzi ni moja ya mambo ambayo Shule nzuri ni ile yenye walimu wanaojali, yatafuatiliwa kwa kina na Baraza hilo na wenye uwezo na wanaojituma, wenye kutafutiwa suluhu kwa njia ya mijadala ya kutafakari na kuendelea kujifunza, wanafunzi, walimu, wazazi na jamii wanaovutiwa na mazingira bora ya kazi na inayoizunguka shule. Idadi ya wanafunzi shuleni kuwajibika katika kazi zao. Ni sehemu ambayo hapo ni 760, wa kike 390 na wa kiume ni 370. uhusiano kati ya mwalimu na mwanafunzi unadhihirishwa kwa kuaminiana na Muundo wa kamati ya shule unaozingatia kuheshimiana. Waraka wa Elimu namba 14 wa Juni

11 umeanza kutekelezwa shuleni hapo. Waraka huo unahimiza kuwepo kwa wawakilishi wawili wa wanafunzi, mmoja wa kiume na mwingine wa kike, katika kamati ya shule. Ushirikiano mzuri kati ya shule na jamii ya Nkilizya ni mfano wa kuigwa kwani unatoa fursa kwa wadau wote kushiriki katika mkakati wa kuleta maendeleo ya elimu nchini. Timu ya SautiElimu inawapongeza wana Nkilizya! Wanafunzi waanza kushiriki kamati ya shule Na Mzee Said Omari, Mjumbe Kamati ya Shule, Tandika Mabatini, Dar es Salaam Mwezi Juni mwaka 2002, nilikuwa nikipita katika maeneo ya Upanga jijini Dar es Salaam. Nia ya kuvinjari katika maeneo hayo ilikuwa ni kutafuta ofisi ya HakiElimu. Awali nilipata maelezo ambayo si sahihi kwamba HakiElimu ilikuwa ikitoa msaada wa kifedha kusomesha wanafunzi. Nilifanikiwa kufika katika ofisi za HakiElimu ambapo nilipokelewa na kupewa maelezo ya kina kuhusu shughuli za shirika hilo na kwamba halihusiki kutoa misaada ya kifedha. Hata hivyo, nilivutiwa na habari ambayo ilikuwa ngeni masikioni mwangu kuwa shirika hili linahimiza ushiriki wa umma katika utawala wa elimu. Nikiwa kama mmoja wa wazazi na mjumbe wa kamati ya shule yangu nilipata hamu ya kudadisi zaidi ili niweze kuelewa kwa undani kile nilichokuwa nikielezwa. Nilipata maelezo mengi na moja ambalo lilinigusa zaidi ni ule mfumo wa kamati ya shule. Kamwe sikujua kama wanafunzi nao wanatakiwa kushiriki katika kamati ya shule! Pamoja na maelezo hayo nilipata pia vipeperushi ambavyo vilieleza shughuli za HakiElimu. Nilikwenda katika ofisi ya HakiElimu nikiwa na matarajio tofauti lakini niliondoka na mawazo makubwa ambayo yamesaidia kutoa mtazamo mpya katika uongozi shuleni kwetu. Kwa bahati nzuri niliweza kujadiliana na wazazi na wajumbe wenzangu katika kamati ya shule kwa kutumia maelezo na vipeperushi vya HakiElimu. Hiyo imetuwezesha kuwa na wajumbe ambao ni wawakilishi wa wanafunzi, mmoja wa kike na mwingine wa kiume, katika kamati ya shule yetu. Pia tumeanzisha mikakati ya kuzishawishi shule nyingine katika kata yetu kuhakikisha kuwa zinafuata mwongozo wa serikali kushirikisha wanafunzi katika kamati za shule. Mchango wa wanafunzi ni muhimu katika kuboresha elimu nchini! Kauli ya mzazi kuhusu elimu bora Na Joseph Kulangwa, Dar es Salaam Kuna matatizo mbalimbali yanayoifanya elimu nchini idumae. Hayo ni yale yanayomzuia mwalimu kuhamisha maarifa kwenda kwa mwanafunzi. Kwa upande wa pili mwanafunzi naye hushindwa kutoa mrejesho kwa mwalimu wake na hata kupokea maarifa hayo. Matatizo yanayozumgumziwa kila mara ni kama vile watoto kusomea nje ya madarasa, ukosefu wa madawati, na upungufu au ukosefu wa vifaa vya kufundishia. Yawezekana vitu hivyo vyote vikawepo katika shule lakini kusiwe na walimu wa kutosha wala wenye ujuzi unaostahili. Vilevile walimu wanaweza kuwa wengi lakini elimu inayotolewa ikawa si bora. Twaweza kuuliza, inawezekanaje kuwa na vifaa na walimu wa kutosha na bado elimu ikawa duni? Ili elimu iwe bora nchini, ipo haja ya kujadiliana na wadau wote jinsi ya kumaliza matatizo yanayomkabili kila mdau. Mathalan, maslahi ya walimu yakiboreshwa yatampa motisha mwalimu aweze kufundisha kwa bidii na kuwa makini katika kazi yake. Hii iende sambamba na mafunzo ya mara kwa mara kulingana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia. 7

12 Lakini lililo zito zaidi ili elimu iwe bora ni uhusiano kati ya mwanafunzi na mwalimu wake darasani na nje ya darasa. Uhusiano mzuri utamfanya mwanafunzi kuwa jasiri wa kuweza kuelewa, kutafakari na kutoa mrejesho wa mafundisho ya mwalimu wake. Utampa mwanafunzi uwezo wa kuwa raia bora anayetambua haki zake na kufuata misingi ya haki za binadamu. Mitaala shule za msingi iwe ya vitendo Na Huba Msonga, Shule ya Msingi Mzase, Mpwapwa Elimu inayotolewa kwa sasa katika shule za msingi imeegemea zaidi upande wa nadharia. Hiyo ni moja ya sababu inayochangia kushuka kwa elimu kwani kamwe haimjengi mwanafunzi kuwa mbunifu. Elimu bora ni ile inayomwezesha mtoto kukabiliana na maisha pindi atakapomaliza shule ya msingi. Mitaala ya elimu ya msingi inatakiwa ibadilishwe ili kuwe na masomo ya useremala, ushonaji, ufundi wa umeme na magari, sanaa za mikono na mengineyo yatakayomwezesha mwanafunzi kujiajiri baada ya kumaliza shule ya msingi. Elimu bora pia itapatikana kwa kuzingatia kuwepo kwa vifaa vya kufundishia na walimu wa kutosha wenye uwezo wa kufundisha. Mazingira mazuri ya shule ni moja ya vigezo lakini ni muhimu pia kuzingatia mahitaji ya wanafunzi. Mathalan, kuwapatia chakula shuleni na kutoa kipaumbele kwa michezo ili kukuza vipaji vyao. Muundo wa kamati hii ya shule vipi? Na Anna Maua, Dar es Salaam Nimebahatika kusoma moja ya machapisho yenu, SautiElimu. Nimefurahishwa na mada zilizojitokeza katika jarida hilo pamoja na picha. Nawapongeza kwa kazi yenu ya kuichochea jamii ili iweze kujadili na hatimaye kuboresha elimu nchini. Hata hivyo, nimesikitishwa na picha ambayo kwa mtazamo wangu inaelekea kuwa ni kamati ya shule mojawapo nchini. Picha ya kamati hiyo ina mjumbe mmoja tu mwanamke! Je, huo ndio muundo wa kamati ya shule? Kwa mujibu wa Sheria ya Elimu ya mwaka 1978 rekebisho no. 14 la mwaka 1995, linaeleza kwamba wajumbe wa kamati ya shule ni lazima wawe wa jinsi tofauti. Nashauri mtumie picha ambazo zitawaongoza wananchi badala ya kuwachanganya. Walemavu wapatiwe elimu bora Na Dotto Ajabu, Nachingwea Napenda kutoa maoni yangu kuhusu elimu bora. Kwa ufupi, ni ile ambayo inamjali kila mtoto, awe tajiri, maskini, mwenye ulemavu au wa jinsi yoyote. Kwa bahati mbaya baadhi ya wazazi na walezi nchini hawapendi kuwapeleka shule watoto wenye ulemavu. Anapozaliwa mtoto mwenye ulemavu hunyanyaswa na kuonekana kwamba hana faida katika familia. Ili kupata idadi kubwa ya watoto wenye ulemavu wanaojiunga na shule, nashauri Serikali na jamii kuweka vivutio maalumu shuleni kama vile vifaa vitakavyowasaidia kulingana na maumbile yao. Vile vile kuwe na mpango maalumu wa kuwahamasisha wazazi wa watoto wenye ulemavu kuwapeleka shule. Wanaweza kuhamasishwa kupitia vyombo vya habari na hata taasisi za kijamii. Elimu bora iweje? Na David Rainald, Mtwara Hongera kwa kuibua mjadala wa namna ya kuboresha elimu ya msingi nchini. Kwa maoni yangu, elimu bora ni ile isiyo na ubaguzi. Ni elimu ambapo pia inamwezesha mwanafunzi kuwa mbunifu, mkosoaji panapostahili, huru na makini katika kutoa maoni yake. 8

13 Elimu tunayohita nchini ni ile inayompa fursa mwanafunzi kufahamu haki na majukumu yake katika jamii. Vile vile inamwezesha mtoto kupata ujuzi wa namna ya kuendesha maisha yake. Kwa upande wa walimu, elimu bora ni ile inayompa mwalimu nafasi ya kutafakari na kuendelea kujifunza katika taaluma yake na kukubali kupokea maoni ya wanafunzi hata anapokosolewa. Elimu ya msingi imwandae kijana kujitegemea Na Patrick F. Malando, Dodoma Napenda kutoa ushauri wangu kuhusu elimu ya namna gani inayohitajika nchini. Mara nyingi viongozi wanahimiza vijana kutosubiri ajira ya serikali na kutakiwa wajiajiri wenyewe. Hivi wanaposema vijana wajiajiri wana maana gani? Wamewaandaa vipi na katika nyanja zipi hadi waweze kujitegemea? Elimu ya msingi ambayo ndiyo chanzo cha kujitegemea kwa kijana bado ni daraja tu la kuendelea na masomo ya juu. Kwa bahati mbaya, ni vijana wachache tu wanaopata nafasi ya kuendelea na masomo na wengi wanabaki kuwa kama wazamiaji waliotoswa ndani ya kina kirefu cha bahari na kukosa matumani ya kuokolewa. Kwa kuzingatia wingi wa vijana wanaokosa nafasi ya kuendelea na elimu ya juu, nashauri somo la stadi za kazi liwe la vitendo zaidi na wanafunzi wafundishwe ufundi, kilimo, ufugaji na mbinu za kuendesha na kusimamia biashara. Fedha zinazotengwa na serikali kwa ajili ya somo hilo ziongezwe ili vifaa husika vinunuliwe. Hayo yakitiliwa mkazo yatamkomboa kijana na kumwezesha kujitegemea 9

14 3. Usimamizi wa Mapato na Matumizi ya Fedha Shuleni (2003) Mapato na matumizi ya fedha yanawekwa wazi? Na Rakesh Rajani, Mkurugenzi Mtendaji, HakiElimu Toleo hili la SautiElimu linazungumzia usimamizi wa mapato na matumizi ya fedha za shule. Matumizi mazuri ya fedha za shule yanaleta ufanisi mkubwa; matumizi mabaya yanaathiri haki za watoto kupata elimu. Katika hotuba yake ya tarehe 20 Septemba 2002, Rais Benjamin Mkapa alizungumzia jinsi Serikali ilivyoamua kubeba gharama za elimu ili kila mtoto hapa nchini aweze kupata elimu bure. katika nchi yetu tunataka kila mtoto apate fursa sawa ya kujiendeleza hadi kikomo cha uwezo wake. Hatukubali umaskini uwe sababu ya mtoto kukosa fursa sawa. Ndiyo maana Serikali imeamua kubeba, kwa niaba ya wazazi, gharama za elimu ya msingi, ambayo itakuwa bora zaidi, kutoka katika bajeti yake. Rais Mkapa aliendelea kueleza, Ili kuzipa uwezo wa kifedha shule za msingi, iliamuliwa kwamba fedha zote za maendeleo, yaani za ujenzi wa majengo ya shule na za kufidia ada za shule, zitapelekwa moja kwa moja shuleni. Nimefahamishwa kuwa katika baadhi ya vijiji wananchi wamewawajibisha baadhi ya viongozi wa Kamati za Shule na walimu ambao walitaka kufanya matumizi mabaya ya fedha hizi. Huo ndio uwezeshaji halisi wa wananchi, ndio demokrasia ya kweli, na nawaomba wananchi wasisite kufanya maamuzi na kuwadhibiti watendaji wanaokiuka taratibu. Ili kuimarisha demokrasia, kila shule inawajibika kutoa taarifa ya mapato na matumizi kwa serikali ya kijiji au mtaa kila baada ya miezi mitatu katika Mkutano wa Serikali ya Kijiji au Mtaa.halmashauri na shule wanawajibika kutoa matangazo kuhusu fedha zilizopokelewa, na matumizi yake, katika mbao za matangazo za halmashauri, shule na sehemu za mikusanyiko ya wananchi. Lazima sasa kila mwananchi ajue ni kiasi gani cha fedha kimepokelewa katika halmashauri au shule yake, na jinsi zilivyotumika. Je tunazingatia hayo? Michango shuleni itaendelea hadi lini? Na Dotto Mfaume, Kivulini Mwanza Serikali imefuta michango ya uandikishwaji wa watoto wa darasa la kwanza katika juhudu zake za kuboresha elimu ya msingi kwa kuhakikisha kila mtoto anakwenda shule na anapata elimu bora bila malipo. 10

15 Hatua ya serikali imekuja baada ya kuonekana Taarifa za matumizi ya fedha zinatakiwa kuwa kuna idadi kubwa ya watoto ambao k u w a w a z i k w a w a n a j a m i i w o t e hawapati elimu ya msingi kutokana na sababu wanaoizunguka shule pamoja na uongozi mbalimbali lakini kubwa ni ukosefu wa ada wa kijiji/mtaa. miongoni mwa wazazi wasio na uwezo kifedha. Fedha za Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) zinatoka Serikali Cha kushangaza, pamoja na agizo hilo la Kuu (Hazina) kwenda kwa serikali za mitaa Serikali kuhusu kufuta michango bado k a b l a y a k u p e l e k w a m o j a k w a inaendelea katika shule nyingi jijini Mwanza. moja kwenye akaunti za kila shule. Hali hiyo ni kikwazo kikubwa kwa watu wasio na uwezo na ambao walitegemea sasa Kila shule ya msingi imefungua akaunti wataweza kuwapeleka watoto wao shuleni mbili katika benki ya NMB kwa ajili ya; kwa matumaini ya kupata elimu hiyo bure. a) fedha zitolewazo kulingana na idadi ya wanafunzi walioandikishwa shule Baadhi ya wazazi walilazimika kurudi na (capitation grant) watoto wao nyumbani baada ya kushindwa b) fedha kwa ajili ya maendeleo kulipia michango ya shule kabla ya (development grant) kuwaandikisha. Fedha zilizotozwa ni kati ya shilingi 2,000/= hadi 3,000/=. Mwalimu mkuu anawajibika kuhakikisha Kwa hali hiyo, ni vema hatua muhimu mahesabu yote ya fedha yako sahihi zikachukuliwa kwani athari zake ni kubwa kwa na vitabu vya hesabu vinatunzwa vizuri. jamii na taifa. Je ni hatua zipi zifuatwe ikiwa Katika awamu ya kwanza ya MMEM fedha mzazi anaombwa michango kwanza ili mtoto z i l i z o p a t i k a n a z i l i t u m i k a z a i d i wake aandikishwe? Kuwaona viongozi peke kujengea miundombinu ya shule kama yake haisaidii kwani baadhi yao wanakubaliana madarasa, nyumba za walimu na vyoo na hivyo vikwazo! Kwa nini tuwaache watoto wetu wakose elimu kutokana na ufahamu MMEM inajumuisha maeneo yafuatayo: mdogo au uzembe unaofanywa na watu - Uandikishaji wa wanafunzi darasa la wachache? kwanza Ikiwa suala hili halitapatiwa ufumbuzi wa - Ubora wa elimu haraka hakutakuwa na haki sawa katika - Utawala kupata elimu. Waathirika wengi wataendelea - Mafunzo kwa wadau ili kujenga uwezo. kuwa watoto wa kike ambao bado jamii haiamini kuwa wana uwezo sawa na watoto Kila shule ya msingi ina kamati ya shule yenye wa kiume kielimu. Baadhi ya wazazi huweza k u w a j i b i k a k a t i k a m a p a t o n a kutumia vigezo vya ukosefu wa ada kuwaacha matumizi ya fedha shuleni. watoto wa kike majumbani au kuwaoza Kamati ya shule huchaguliwa kidemokrasia wakiwa na umri mdogo! na kuundwa na wajumbe kutoka Je unayafahamu haya? uongozi wa mtaa/kijiji, wanafunzi, wazazi na Na Godfrey Telli, HakiElimu w a n a j a m i i. K a m a t i y a s h u l e inaratibu matumizi yote ya fedha za MMEM Michango ya fedha yote ya lazima shuleni shuleni. imefutwa lakini jamii inahamasishwa kushiriki kwa hiari na kujitolea nguvukazi. 11

16 Sera ya elimu haifahamiki kwa walengwa Na Marjorie Mbilinyi, HakiElimu Imeelezwa kuwa sera mpya ya elimu haifahamiki kwa wananchi wengi, wakiwemo walimu na baadhi ya watendaji. Hayo yalielezwa na washiriki katika moja ya Midahalo ya saa 1:30 asubuhi iliyoanzishwa ili kuwapa nafasi watu kutoka kada mbali mbali kujadiliana kuhusu masuala ya sera. Walisema kutokuwa na mikakati shirikishi ya usambazaji wa habari, kukosa utawala bora wenye sifa za uwazi na uwajibikaji ni baadhi ya mambo yanayosababisha sera zinazoundwa kutowafikia walengwa hasa wananchi waliopo vijijini. Wakichangia mjadala, washiriki waliichambua MMEM. Ilielezwa kwamba kila shule ya msingi ilipewa fedha kwa ajili ya ujenzi wa madarasa, nyumba za walimu na madawati. Fedha zingine zilitolewa kwa ajili ya kuboresha mafunzo ya walimu, ununuzi wa vitabu, n.k. Kwa mujibu wa washiriki hao, matatizo na migongano ya maamuzi yamejitokeza katika ujenzi wa madarasa, motisha na maslahi ya walimu na mfumo wa serikali za mitaa kutokana na wananchi kutoelewa sera mbalimbali. Ilipendekezwa kwamba kuwe na taratibu za kuhakikisha kuna mfumo wa usambazaji habari kutoka chini kwa wananchi hadi juu, na juu hadi chini. Washiriki walihimiza uwajibikaji wa viongozi na watekelezaji katika ngazi zote. Midahalo hiyo ya saa 1.30 ilianzishwa na Business Times na NGO Policy Forum na inaendeshwa na HakiElimu. Midahalo hufanyika kila Ijumaa ya mwisho wa mwezi. Washiriki ni waunda sera kutoka serikali, taasisi za maendeleo za ndani na nje ya nchi, asasi zisizo za serikali, vyombo vya habari na watu binafsi. Mada katika mdahalo wa kwanza ilikuwa Tunafahamu nini kuhusu fedha katika ngazi ya shule? Watoa mada walikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lyimo na Mratibu wa Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) -TAMISEMI, Bw. Mtui. Harakati za marafiki kuboresha elimu Na Mary Nsemwa, HakiElimu Harakati za Marafiki wa Elimu ni mbinu nzuri ya kushirikisha jamii kuchangia maoni na kubadilishana uzoefu. Hayo yalisemwa na mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Ilala, Joyce Chingalame wakati wa uzinduzi wa Harakati za Marafiki wa Elimu, uliofanyika Machi , katika shule ya msingi ya Buyuni iliyoko kata ya Chanika, Ilala jijini Dar es Salaam. Harakati hizo zinalenga kuwaunganisha wananchi katika kuchangia maoni, kufuatilia na hatimaye kuboresha elimu nchini. Bibi Chingalame aliendelea kusema ushiriki wa wananachi katika mambo yanayowahusu ni moja ya vipengele muhimu vya utawala bora. Ili kufanikisha Harakati hizo alihimiza umuhimu wa kila mdau kutimiza majukumu yake katika kuboresha elimu. Akizungumzia Harakati hizo, mwakilishi wa ofisi ya Waziri Mkuu, ambayo inaratibu shughuli za elimu nchini, Yokobety Malisa alisisitiza umuhimu wa ushiriki wa walengwa katika kuibua masuala muhimu yanayohusu uboreshaji elimu hapa nchini. Naye mwakilishi wa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Ezekiah Oluoch alisema kutowapa motisha walimu kumesababisha elimu bora inayohitajika sana kwa wanafunzi nchini kugeuka kuwa bora elimu. Aliendelea kusema kwamba kuwa na majengo mazuri ya shule pekee bila kuzingatia ufundishaji bora kutaathiri mpango mzuri uliowekwa na 12

17 Serikali wa kuboresha elimu. Ili kupata elimu bora, Bw. Oluoch alisisitizia suala la motisha kwa walimu hapa nchini lipewe kipaumbele hasa katika utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM). Serikali imezindua MMEM katika juhudi zake za kuhimiza ushiriki mpana zaidi wa umma katika utawala wa shule. Kwa kuzingatia MMEM, Harakati za Marafiki wa Elimu zitatoa fursa kwa ajili ya upashanaji habari, kujifunza, uwajibikaji na uwazi katika ngazi zote za mfumo wa elimu. Hata katika hotuba zake, Rais Mkapa amekuwa akisisitiza uwazi na uwajibikaji, umuhimu wa wananchi kupata habari na kutoa maoni juu ya maendeleo yao. HakiElimu ni mraghabishi wa Harakati za Marafiki wa Elimu. Mtu yeyote anaweza kuwa Rafiki wa Elimu! Hakuna masharti yoyote na uanachama ni bure. Marafiki wakijiunga watapokea kifungashi cha habari na muda wote wa uanachama wao watatumiwa habari zingine mara kwa mara na watahimizwa kuwapasha habari hizo watu wengine katika jamii zao. Kwa taarifa zaidi wasiliana na HakiElimu kwa simu namba au 3, barua pepe: au tembelea tovuti Mambo yanayochangia kudumaza elimu Na Cassian P. Mangi, Mwanza Napenda kutoa maoni yangu kuhusu baadhi ya mambo yanayochangia kuwepo kwa matokeo mabaya katika shule zetu. Baadhi ya mambo yanayochangia kudumaza elimu ni idadi ya shule kuwa chache na mbali kutoka maeneo wanayoishi watu. Hali hiyo husababisha watoto kutembea umbali mrefu kufuata shule. Matatizo mengine ni pamoja na uhaba wa vifaa vya kujifunzia pamoja na madawati. Napendekeza wazazi washiriki kwa karibu zaidi katika ujenzi wa madarasa, kuchangia ununuzi wa madawati na vifaa vya kufundishia. Vilevile walimu zaidi waajiriwe na kulipwa mishahara inayolingana na ugumu wa kazi yao. Nashauri pia wazazi, wanafunzi, walimu na jamii kwa ujumla kujitolea zaidi katika masuala yanayohusu elimu. Tunataka utawala bora, shirikishi Na Twilumba Mgohamwende, Dodoma Utawala bora unaofaa katika elimu ni ule ambao ni shirikishi. Kwa maoni yangu, ili kuboresha elimu nashauri wazazi wahusishwe katika kutoa mawazo yao jinsi gani shule iendeshwe. Wazazi na wananchi katika jumuiya inayozunguka shule wawe na tabia ya kuhoji juu ya mapato na matumizi ya fedha na mali zote za shule. Pamoja na hayo, uongozi wa shule usitumie mabavu katika kudai fedha za michango na makusanyo kutoka kwa wazazi. Iwapo wazazi wataamua kuchangia kwa hiari yao, takwimu za matumizi ziandikwe kwa usahihi na uwazi. Wanafunzi wa MEMKWA wasibaguliwe Na Juma W. Kalwani, Bunda, Mara Mpango wa Elimu kwa walioikosa (MEMKWA) bado una utata mkubwa miongoni mwa jamii. Kwa maoni yangu, mpango huo unawabagua na kuwaadhibu watoto ambao walishindwa kuandikishwa shule kutokana na uwezo mdogo wa wazazi wao. Suala la kuwabagua watoto hao na kuwapangia madarasa tofauti na wenzao lingefaa kuepukwa. Kwa mfano, mtoto mwenye umri wa miaka 13, kama ataendelea na masomo yake moja kwa moja hadi kupata shahada ya chuo kikuu atamaliza akiwa na miaka 30 tu! Sasa umri huo umepindukia wapi kiasi cha kijana kushindwa kulitumikia taifa lake? Natoa mwito 13

18 kwa Wizara ya Elimu kuwaandikisha watoto wote sawa, katika madarasa ya kawaida, bila kujali umri, hali ambayo inawabagua bila makosa. Bora kukawia lakini wafike. Tufafanulieni juu ya michango hii Na mzazi, Dodoma Mimi ni mzazi wa mtoto anayesoma katika shule moja ya msingi manispaa ya Dodoma. Kinachonitatiza ni kwamba kila mara kabla ya kufanya mitihani walimu wa shule hiyo wamekuwa wakidai sh. 100 kwa kila somo kutoka kwa wazazi wa wanafunzi. Fedha hizo zinaelezwa kuwa ni gharama ya kutoa nakala za maswali ya mitihani. Ninavyofahamu ni kwamba serikali imefuta michango ya lazima labda iwe midogo midogo tena ya kujitolea. Sipingi kuchangia fedha hizo ila nahoji kwanini tuchangie kiwango hicho kikubwa cha sh. 100 kwa kila mwanafunzi wakati gharama halisi ya kutoa nakala moja ni sh. 30? Je fedha zinazosalia zinakwenda wapi ukizingatia shule ina wanafunzi 1,500? Hongera matangazo ya HakiElimu Luteni Solo, kwa njia ya mtandao Napenda kutoa pongezi kwa matangazo yenu yanayorushwa kwa njia ya televisheni. Matangazo hayo yamegusa mambo muhimu sana na maisha ya mtoto kielimu hapa Tanzania ambayo kwa kweli ni magumu. Ombi langu ni kwamba ongezeni matangazo yanayogusa adhabu zisizo na msingi kwa wanafunzi kama vile viboko na kusitishwa masomo kwa muda (suspension) nk. 14

19 4. Harakati za Marafiki wa Elimu (2003) Usitilie Shaka Uwezo Wako wa Kuleta Mabadiliko Na Rakesh Rajani, Mkurugenzi Mtendaji HakiElimu Mead, aliwahi kutamka Never doubt that a small group of thoughtful, committed citizens can change the world; indeed, it s the only thing that ever has ; akiwa na maana kwamba tusiwe na shaka kwamba kikundi kidogo cha wananchi wenye fikra, wenye kujituma kinaweza kugeuza dunia. Harakati za Marafiki wa Elimu zinamaanisha kwamba watu wa kawaida wanaweza kuungana, kupashana habari, kujifunza, kupanga na kutenda kwa ajili ya kuleta mabadiliko. Toleo hili linaelezea madhumuni ya Harakati za Marafiki wa Elimu, linaarifu kuhusu shughuli za baadhi ya Marafiki wa kwanza, linatoa maoni ya Marafiki juu ya elimu na linakualika kujiunga. Usitilie shaka uwezo wako wa kuleta mabadiliko! Je Wajua Kwamba Marafiki wa Elimu. Mara kwa mara huwa nakutana na watu Na Godfrey Telli, HakiElimu wanaopenda kusema: mimi mtu maskini ni harakati za watu wanaojali, mashirika na siwezi kufanya kitu au sisi wanyonge hatuna taasisi zenye nia ya kuboresha na uwezo wa kuleta mabadiliko au tunaomba kuleta mabadiliko katika elimu nchini? pesa na kujengewa uwezo ili tupate maendeleo. hutoa fursa kubwa zaidi kwa watu wanaojali e l i m u Ta n z a n i a k u s h i r i k i a n a n a Kwa kweli baada ya muda unyonge huu wenzao? Kufanya mijadala na kutoa maoni unaanza kuchusha! y a o k u h u s u k u b o r e s h a e l i m u Ni kweli kuwa tajiri au kiongozi anaweza nchini na kuleta mabadiliko katika jamii? Hii kufanya mambo yake kwa urahisi zaidi. Ni i n a m a a n a k w a m b a n i w e w e kweli kuwa ni vigumu kwa waliofukarishwa au utakayeanza kuleta mabadiliko! kubaguliwa katika kupata fursa ya hutoa fursa kwa kila mmoja wetu kuweza kujiendeleza kufikisha malengo yao. Lakini, k u j i u n g a? H a k u n a v i k w a z o ; u w e bado kila mmoja ana uwezo! Kila mmoja ana kijana au mzee, mwanamme au mwanamke, mawazo, fikra, hisia, ari na nia. Kwa u w e s h u l e n i a u n j e y a s h u l e. kushirikiana na wenzetu, sisi sote tunaweza Pia hakuna gharama yoyote ya kujiunga. kuboresha elimu, kuchangia kuleta usawa na haki, na kujiendeleza. hutoa fursa ya kutoa maoni na kero zako kwa v i o n g o z i h u s i k a w a e l i m u n a Mwandishi maarufu wa Marekani, Margaret kubadilishana mawazo na watu wenye fikra 15

20 n a m a o n i m b a l i m b a l i k u h u s u elimu na utawala bora? hutoa fursa ya kupata machapisho yenye taarifa za mara kwa mara kuhusu sera ya elimu, utawala bora na shughuli za Marafiki wa Elimu kutoka sehemu mbalimbali? wana jukumu la kuongoza harakati hizi na kuleta mabadiliko ya elimu? Kuimarika kwa harakati hizi kunakutegemea wewe, na kwamba HakiElimu ni mraghabishaji tu wa harakati hizi? wameanza kuchukua kasi? Watu wengi w a n a z i d i k u j i u n g a? M i j a d a l a motomoto imeanza kufanyika kila kona ya nchi yetu? Vikundi vya wanaharakati vimeanzishwa? Na wewe usisubiri! Jiunge sasa! Anzisha mijadala! Leta mabadiliko! Kujiunga na Harakati za Marafiki wa Elimu ni rahisi! Tuandikie aya moja kueleza nia yako ya kujiunga, umri, jinsi, anuani ya Posta, Simu, Fax, Barua pepe na saini yako. Anuani yetu ni: Marafiki wa Elimu C/o HakiElimu SLP Dares Salaam Tanzania Barua pepe: rafiki@hakielimu.org Tovuti: Marafiki wa Elimu watafanyakazi kwa niaba yao na kufuata sheria za Tanzania na mikataba ya kimataifa iliyopitishwa na nchi. Wakati wowote, Marafiki wa Elimu hawatafanya kazi kwa niaba ya HakiElimu wala washirika wake. Marafiki wa Elimu watawajibika kwa matendo yao wenyewe. HakiElimu na washirika wake hawatawajibika wakati wowote kutokana na matendo ya Marafiki wa Elimu. Harakati za Marafiki kuboresha elimu zaanza Mwanza Na Godfrey Telli, HakiElimu Harakati za Marafiki wa Elimu zimeanza kupamba moto sehemu mbalimbali. Wanaharakati 34 wa Isamilo Mtaa wa Benki Kuu jijini Mwanza walijadili kwa kina kuhusu elimu waipatayo watoto wao shuleni. Walijadili suala la wazazi kujali na kufuatilia habari za elimu ya watoto wao. Walitafakari juu ya sauti ya wanyonge kusikika katika elimu. Wakajiuliza; je wanapokwenda katika ofisi za serikali kuulizia masuala ya elimu wanapokelewa na kusikilizwa? Wakagundua upungufu mkubwa katika eneo hilo, hasa katika masuala yanayohusu matumizi ya fedha na masomo ya ziada ya wanafunzi wakati wa likizo. Wameona kwamba kwa wazazi masikini elimu ya watoto wao inashuka na kuwa duni zaidi kwa kukosa fedha za masomo ya ziada (tuition). Katika kikao hicho wajumbe pia walijiuliza kama wanafahamu jinsi fedha za shule yao zinavyotumika. Wengi walieleza kwamba suala hilo hawalifahamu vyema kwa sababu kila wanapodadisi kuhusu mapato na matumizi ya fedha shuleni, walimu wanakuwa wakali. Waliazimia kuzidi kulifuatilia jambo hilo kwa msaada wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Mjadala uliendelea kuchambua masuala ya michezo kwa wanafunzi, umuhimu wake na maendeleo ya taaluma ya watoto kwa kufuatilia kila mara wanachojifunza shuleni. Pia waliangalia adhabu za viboko zinavyotolewa shuleni bila sababu za kimsingi. Kwa mfano mtoto anaadhibiwa kwa ajili ya kudadisi utata wa alama za kufaulu mitihani zinapotofautiana kwenye ripoti na kwenye karatasi ya mtihani. Huu ni mfano bora wa Marafiki wa Elimu walioamua kuanza kuleta mabadiliko kwenye jumuiya yao! Na wewe je? Wananchi Wataletaje Mabadiliko ya Sera? Na Marjorie Mbilinyi, HakiElimu Harakati za Marafiki wa Elimu ni nafasi kwa jamii kuchangia maoni yao juu ya elimu na 16

21 demokrasia. Marafiki ni washiriki kutoka vikundi mbalimbali vya kijamii wakiwemo walimu, wanafunzi, watoto na vijana wasio wanafunzi, wazazi, viongozi wa serikali za mitaa na vikundi au taasisi za kijamii. Harakati za Marafiki wa Elimu zinaraghabisha mikakati ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) na sera zinazolenga kuboresha elimu chini. Zinatoa nafasi kwa wananchi kuchangia juu ya utekelezaji wa sera kwa kuchambua na kuainisha zile zilizo bora na zile zenye upungufu katika utekelezaji wake. Kwa mfano, sera ya kuboresha serikali za mitaa kwa kurejesha mamlaka na rasilimali kutoka Serikali Kuu kwenda kwa wananchi. Mkakati wa Kupunguza Umaskini unatoa viashiria vya kupima mafanikio kutoka katika jamii. Serikali inatakiwa kutathmini mafanikio yake na kujua kama rasilimali zinawafikia wananchi kwa kupitia viashiria hivyo. Inahitaji mrejesho kutoka kwa wananchi katika mchakato wa kutathmini. Kwa hiyo maoni ya Marafiki wa Elimu ni muhimu. Kuchangia maoni na kufanya majadiliano ni jambo lililo bora. Lakini je, inatosha tu kuchangia maoni? Wanajamii wanaweza kujenga nguvu za pamoja kama vile vikundi vya hiari vya kiraia. Lakini je na hiyo inatosha? Habari zinazotoka kwa wanajamii, majadiliano yao na nguvu zao za pamoja za kutoa msukumo zinahitaji kufikishwa kwa watunga sera pamoja na umma. Hapa ndipo jukumu letu HakiElimu linapoingia. Tunawasikilizaje? Tunanukuu vipi maoni yao? Tunayafikishaje maoni yao huko juu? Tunapaswa kusambaza maoni na habari zao. Lakini hapa napo je inatosha? Hayo yote hayatoshi. Wananchi wanaongea sana, wanachambua sera na kutoa maoni yao ambayo yanapaswa yasikilizwe na waunda sera, serikali, wafadhili, n.k. Maoni yao yakisikilizwa, yakisambazwa na yakifika kwa wanaohusika, yanafanyiwa kazi? Mabadiliko gani makubwa yametokana na shughuli zao? Tufanyeje kuhakikisha kwamba mfumo wa jamii unabadilika kufuatana na rai ya wananchi? Hiyo ndiyo changamoto iliyoko mbele yetu sisi sote. Utoro Unasababishwa na Nini? Utoro wa wanafunzi shuleni umekuwa moja ya matatizo kubwa hapa nchini. Tatizo hilo linasababishwa na mambo mbalimbali. Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Halwego wilayani Ukerewe wamepata nafasi ya kutoa maoni yao kuhusu sababu za utoro shuleni. Paschazia Victor (12) wa darasa la sita anasema watoto wengi hukosa kwenda shuleni kwa sababu wazazi huwalazimisha waende shambani hata kwa wiki nzima bila kupeleka taarifa kwa walimu. Kwa kufanya hivyo watoto hukosa masomo na hivyo matokeo yake hata kwenye mitihani yao hufanya vibaya. Kutofanya vizuri kwenye mitihani nako husababisha mwanafunzi kuwa mtoro. Paschazia anatoa ujumbe kwa wazazi wasiwazuie watoto wao kwenda shuleni. Adventina Maunda (16) wa darasa la saba anasema utoro unasababishwa na wazazi kutofuatilia watoto wao wanapotoka shule. Mtoto huvaa vizuri nguo kama anakwenda shuleni kumbe akifika huko anakwenda porini kuwinda; muda wa kurudi nyumbani ukifika naye anarudi. Wazazi hawamwulizi kama amesoma au la. Sababu nyingine ni walimu kuwa wakali. Baadhi ya walimu wanapiga bila huruma kiasi kwamba mtoto akimwona mwalimu anajificha hadi saa ya kurudi nyumbani. Anatoa wito kwa walimu kupunguza ukali kwa wanafunzi ili wasiwaogope. Mabusi Ferdinandi (15) wa darasa la nne anasema sababu za utoro shuleni ni kukosa sare za shule na walimu kupiga bila huruma. Anaendelea kusema kuwa wazazi nao huchangia watoto wao kutoroka kwani watoto wakiwaambia wawanunulie sare za shule husema nenda tu wakikufukuza basi! Mabusi anawaomba walimu kuacha kupiga wanafunzi na wazazi kuwanunulia watoto wao sare 17

22 za shule. kurithisha mila, desturi na utamaduni wa jamii husika kwa vizazi vijavyo. Mwalimu ndiye mjenzi Maoni ya Marafiki Kuhusu Elimu wa awali wa taifa. Kutokana na umuhimu huo, ni Jumanne Isike, Kakola - Tabora vyema mwalimu akaandaliwa mazingira yatakayomwezesha kufanya kazi yake kulingana Mimi ni Rafiki wa Elimu kutoka Tabora. na mabadiliko yanayoendelea kutokea katika Ninafurahishwa sana na Harakati za Marafiki jamii. wa Elimu kujali na kutetea haki za kila mtoto kupata elimu bora. Ninaamini kwamba huu ni Walimu wetu walio wengi hapa nchini hasa wale mwamko kwa kila mwanajamii. walioko vijijini hawapati fursa ya kutosha kujifunza na kuyafahamu mabadiliko Lakini kuna jambo moja linalonihuzunisha yanayojitokeza katika utendaji kazi wao wa kila sana. Jambo hilo ni ajira mbaya kwa watoto. Je, siku. Wengi bado wanatumia nyenzo, ujuzi na mnafahamu kwamba watoto wadogo mbinu za kizamani walizojifunza wakiwa chuoni walioajiriwa hawapati muda wa kwenda shule ambazo kwa sasa zimepitwa na wakati. kusoma na pia hawapati muda wa kucheza na watoto wenzao? Ili kuboresha elimu nashauri kwa upande wa walimu wajenge tabia ya kujisomea binafsi Sababu hiyo imenifanya niamue kupambana badala ya kukaa tu na kusubiri nafasi za na ajira mbaya kwa watoto kwa vitendo. kujiendeleza kimasomo. Kwa upande wa serikali Ninawakaribisha Marafiki wa Elimu wengine ningeshauri yafuatayo: kujiunga nami katika vita hii. Mimi ni mwanachama wa shirika moja linalotetea haki Uwepo utaratibu endelevu wa kuwapatia za watoto kupata elimu na kupambana na ajira m a f u n z o k a z i n i w a l i m u w o t e mbaya kwa watoto. wenye muda mrefu kazini. Niko tayari kuwaunganisheni katika shirika hilo Walimu washiriki katika kuandaa mitaala ili tufanye kazi kwa pamoja na kuhamasisha mipya ili kurahisisha utekelezaji upatikanaji wa elimu bora kwa watoto wote wake. nchini! Walimu wapewe fursa ya kujiunga na Ramadhani Lubata, Dar es Salaam kozi nyingine ambazo maarifa yake yanahitajika katika ufundishaji, Mimi ni mwanaharakati namba 176. Napenda mathalan kozi ya ufundi, ushauri kufungua mjadala na kutoa changamoto kwa nasaha, nk. wanaharakati wa Marafiki wa Elimu juu ya haki za watoto. Naamini kwamba mchango wa maoni yangu utasaidia katika jitihada za watanzania Moja ya kifungu katika Mkataba wa Haki za kuboresha elimu. Watoto kinasema kuwa elimu anayopata mtoto imfundishe kuheshimu haki na uhuru Abel Tollage, Njombe wa watu wote. Je, tunawezaje kutekeleza kifungu hicho huku kukiwa na nidhamu ya Nawapongeza wote waliotoa maoni yao kwenye viboko shuleni? Je bila kuheshimu haki ya jarida la SautiElimu, toleo la pili. Sisi walimu tuna mtoto, atajifunzaje kuheshimu haki za mzigo mkubwa wa kurundikiwa vipindi vingi wengine? kupita kiasi. Mfano katika shule yetu kuna walimu watatu tu kwa darasa la kwanza hadi la Patrick F. Malando, Dodoma saba. Je, elimu bora itapatikanaje shuleni hapa? Katika jamii yoyote mwalimu ndiye daraja la 18 Kwa hali hiyo napendekeza kwanza, uwepo

23 mfumo kama unaotumiwa na walimu wa vyuoni. Mwalimu asomee masomo mawili tu na ayafundishe hayo hayo kwa undani. Pili, uwepo muda wa kutosha wa mafunzo kazini kwa walimu ili kuimarisha uwezo wa kufundisha masomo mapya kama vile stadi za kazi. Vilevile ziwepo kozi fupi za mara kwa mara ili kuwawezesha walimu kwenda na wakati. Hayo yote yatawezekana iwapo walimu watashiriki kikamilifu katika kupanga na kutekeleza. Mrisho Francis, Sikonge-Tabora Napenda kuwapongeza waraghabishi wa Harakati za Marafiki wa Elimu kwa kazi kubwa mnayofanya ya kutupasha habari na kutuunganisha na wanaharakati wengine wa elimu nchini. Nawapongeza pia kwa machapisho ambayo y a m e a n d i k w a k w a l u g h a n y e p e s i inayotuwezesha hata watu wenye elimu ya darasa la saba kuelewa sera na masuala muhimu ya elimu nchini. Mfano mzuri ni kipeperushi cha Marafiki wa Elimu ambacho kinatuwezesha kuelewa na kwenda na wakati katika ulimwengu huu wa wasomi. Hongereni! Elias Ngumbilo, Morogoro Napenda kutoa maoni yangu kwa Marafiki wa Elimu nchini kwamba ili kuboresha elimu ni vyema jamii inayoizunguka shule, walimu, wanafunzi, wazazi na viongozi washirikiane kwa kuchambua maeneo yanayokusudia kuimarisha shule. Vilevile kuwepo na ziara za Marafiki wa Elimu wa sehemu moja kwenda sehemu nyingine kuangalia na kujifunza kutoka kwa wengine kuhusu namna ya kuboresha elimu. Kwa upande wa ubunifu kwa wanafunzi, kuwepo na mashindano kupitia michezo mbalimbali, mashindano ya mavazi yaliyobuniwa na wanafunzi wenyewe na usafi wa mazingira. Kwa walimu, ifanyike tathmini ya mara kwa mara ya ufundishaji kwa kila somo. Napendekeza pia walimu wasikae katika shule moja kwa muda mrefu. Mwl. Merian Simon Masangya, Kiomboi Iramba, Singida Mwalimu ninapompiga mwanafunzi najisikia yafuatayo: (a) Sipendi kumpiga wala sipati faida yoyote, isipokuwa inabidi nimrudi mtoto afuate sheria ya shule (b) Unaweza kutoa adhabu nyingine kama kuchimba visiki, kuruka kichura n.k. sasa je, utatoa adhabu hiyo saa ngapi wakati mtoto amefanya kosa hilo wakati unafundisha? Dakika ni 40 tu na watoto ni 120. Nikitoka hapo nasubiri darasa lingine, kwa siku nina vipindi saba! Hapo sijasahihisha kazi za wanafunzi. (c) Hiyo adhabu nitapata muda upi wa kusimamia? Makosa kama hayo yanatokea kila darasa; hata ukisema baada ya vipindi huoni kama utapigisha magoti robo tatu ya shule? Hata hivyo si wewe tu uliyekosewa, yupo na mwalimu mwingine. Hata kama una uwezo wa kudhibiti darasa kweli utaweza kwa mazingira hayo? Ili kupunguza matatizo kama hayo ndiyo maana naweza kumfinya au kumchapa kiboko ili nimalize tatizo la kusumbuka tena kufuatilia watu wa adhabu. Ninakuwa nimerahisisha kazi. Walimu na wanafunzi wanaweza kuheshimiana zaidi iwapo: (a) Mwalimu atakuwa mkali kiasi, asiwe mkali mpaka mwanafunzi amwogope, (b) Mwalimu atamheshimu mwanafunzi na mwanafunzi atamheshimu mwalimu, (c) Mwalimu atasikiliza matatizo ya mwanafunzi, (d) Mwalimu atajiheshimu yeye mwenyewe. 19

24 5. Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) (2003/04) Aliweza kuona kwamba hotuba ilirembwa na kung ara kupita kiasi. Hivyo aliamua kuwauliza watu waliokuwa nyuma kabisa ya kundiwanafunzi, akinamama wazee na mwanaume masikini aliyevaa nguo zenye viraka. Na watu hawa walimwambia ukweli. Walionyesha sehemu zilizoboreshwa. Walizungumzia pia jinsi kulivyokuwa na matatizo ya kweli. Kuhusu jinsi walivyokosa taarifa walizokuwa wakihitaji. Na namna gani viongozi wengine walivyokuwa wakichanganya sera za serikali. Jinsi gani rasilimali zingeweza kutumika vyema. Namna gani walimu wangeweza kupewa motisha. Umwambie nini kiongozi wako? Na Rakesh Rajani, Mkurugenzi Mtendaji, HakiElimu Unafahamu hadithi ya kiongozi mmoja aliyewahi kutembelea kijiji kidogo zaidi, kilichopo mbali sana hapa nchini? Kwa kweli wanakijiji wake walijawa na furaha isiyo kifani lakini walishindwa kuamua waseme nini katika risala yao. Baadhi yao walitaka kumwambia kiongozi huyo matatizo yanayowakabili, na mbinu za kuyatatua. Lakini wengine wakasema Hapana! - Hatutakiwi kumdhalilisha kiongozi wetu, na kwamba ni vizuri kumwonyesha na kumwambia mambo mazuri tu, na kuishukuru Serikali. Na ndivyo walivyofanya. Walianza kukarabati barabara haraka haraka, walipaka rangi majengo, walifanya kila sehemu ikapendeza. Walidiriki hata kuwaambia watu masikini na walemavu kujificha ili wasiharibu ugeni. Katika hotuba yao walimwambia kiongozi huyo kwamba kulikuwa na maendeleo makubwa na hapakuwa na matatizo yoyote. Lakini kiongozi huyo alikuwa na busara sana. Kiongozi aliyashukuru makundi yote mawili. Lakini akasema kwamba licha ya kuridhishwa na nyimbo za kumsifu, aliwashukuru zaidi waliozungumzia matatizo. Akasema kutambua matatizo halisi kwa ukweli na uwazi ni hatua ya kwanza ya kutatua matatizo, kwa manufaa ya wote. Pengine hii ni changamoto kwa MMEM, mpango wa Serikali wa kuboresha elimu ya msingi. Habari na barua zilizoandikwa katika toleo hili la SautiElimu zinasifu mafanikio, lakini zinasisitiza changamoto. Kuwa na matatizo ya utekelezaji ni jambo la kawaida katika mpango mkubwa kama MMEM. Kuhimiza watu kutambua na kufafanua ni hatua ya kwanza ya kuifanya MMEM iwe bora zaidi. Maalbino wasiwe nyuma katika elimu Na Sizya Migila, SLP 4505, Dar es Salaam Kutokana na jamii kukosa elimu ya kutosha kuhusiana na kundi la maalbino na kuendelea kuwabagua, maalbino wengi wameshindwa kushiriki kikamilifu kwa upande wa elimu, kuanzia ya msingi, sekondari hadi elimu ya juu. Idadi ya maalbino si kubwa miongoni mwa Watanzania, lakini pia idadi ya wanaokwenda shule ni ndogo mno. 20

25 Hali hiyo inatokana na kuwepo kwa imani shule. Baadhi ya matatizo hayo ni umbali kutoka potofu kuanzia ngazi ya familia kuhusu albino. makazi ya wananchi hadi zilipo shule. Mfano, Mathalan, kumekuwa na mitazamo katika wilayani Serengeti, watoto kuanzia wa shule za jamii kwamba kupata mtoto albino ni mkosi au chekechea, msingi hadi sekondari hulazimika balaa katika ukoo. Hali hii inajitokeza pale kutembea mwendo mrefu, takriban kilomita 24 wazazi wanapopata mtoto albino. Mtoto huyo kwenda shule, badala ya kilomita 3 kwa shule za huwa ni chanzo cha migogoro katika familia na msingi na kwa sekondari kilomita 6. Umbali huo mara nyingine husababisha hata kuvunjika unasababisha shule kuwa na idadi kubwa ya kwa baadhi ya ndoa. wanafunzi wanaotoroka. Ushauri wangu kwa jamii ni kuwa na mtazamo Matatizo mengine ni kutokuwa na utaratibu wa mpya ambao utasaidia kumuweka albino kutoa chakula cha mchana hasa kwa watoto katika mazingira ya kukubalika katika jamii, wanaoishi mbali na shule na ukosefu wa kuanzia ngazi ya familia ambayo inategemewa mabomba ya maji kwenye maeneo ya shule. kuwa kiini cha mabadiliko. Kukosekana kwa maji shuleni kunawaathiri zaidi wanafunzi wa kike, kwani wanashinda Iwapo jamii itamkubali albino, kumthamini na kutwa wakichota maji ya walimu badala ya kumpa hadhi kama binadamu wengine, kuhudhuria masomo darasani. itamsaidia zaidi kujiendeleza na kutoa mchango wake kamili katika jamii. Hivyo basi, Wasichana wanakabiliwa na kazi nyingi pia kila albino ana haki ya kushiriki kikamilifu wakiwa nje ya shule. Wengi wao hulazimika katika jamii anayoishi bila kujali mizaha na hisia kufanya kazi za nyumbani baada ya saa za tofauti dhidi yake. Albino anaweza kushiriki masomo. Uchovu wa kazi za nyumbani na katika mambo yote kwa mfano michezo, fani shuleni huwapunguzia wasichana uwezo mbalimbali za sanaa, siasa na shughuli za kimasomo na kuwafanya hata wakate tamaa ya kujitolea. kwenda shule. Kwa upande wa wazazi au walezi wanawajibika kujitahidi kuwapa moyo maalbino na kutimiza mahitaji yao muhimu, na hasa elimu, ili waweze kujitegemea hapo baadaye. Kundi hili la maalbino likielimika itasaidia kupunguza wimbi la umaskini na kuwafanya waweze kutoa mchango mzuri kwa maendeleo ya taifa. MMEM isaidie kuvutia wasichana kwenda shule Na Iddi Makongo, SLP 1028, Mwanza Naipongeza serikali kwa mpango mzuri wa kuboresha elimu MMEM ambao umeshirikisha wadau wote kwa karibu, katika utekelezaji wake. Hata hivyo, licha ya juhudi za MMEM kuboresha elimu, bado kuna matatizo ambayo yanawafanya wanafunzi kuendelea kutoroka 21 Upungufu wa vifaa nao ni tatizo ambalo humfanya mtoto aamue kutokwenda shule na badala yake kujishughulisha na biashara ndogo ndogo na hasa kufuatia hali ngumu ya uchumi nyumbani. Wengine huamua kufanya kazi za minada, kujiunga na ngoma za asili kama Litungu ambazo zikipita jirani darasa hubaki tupu kwani waliomo hulifuata. Ili kufanikisha MMEM, serikali kuanzia ya kijiji ishirikiane na kamati za shule na wananchi. Mgawanyo wa fedha za MMEM ufatiliwe kwa makini ili zitumike kubadili mazingira ya shule kuwa bora zaidi na kuwavutia wanafunzi wote, na hasa wa kike. Ijue MMEM Na Godfrey Telli, HakiElimu MMEM ni: Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya

26 Msingi (MMEM) ni programu ya Serikali watoto wote, pamoja na walio masikini, ya kuboresha elimu ya msingi kwa wanapata elimu ya msingi. watoto wote nchini. Hii inajumuisha wasichana na wavulana, matajiri na Kuhusu majukumu ya kamati ya shule: maskini, pamoja na watoto wenye Kuhamasisha, kuhusisha na kuwasilisha ulemavu. h a b a r i z a e l i m u k w a w a z a z i Mpango huu wa kitaifa ni wa miaka wote, wanafunzi,wadau katika jamii na mitano, kuanzia 2002 hadi watendaji na mamlaka za serikali Shule zote za msingi za Serikali nchini za mtaa/kijiji. zitafaidika. Kushughulikia masuala ya shule ya kila siku, pamoja na utekelezaji wa Vipengele vikuu: vipengele vyote vinne vya MMEM. ongezeko la uandikishaji, Kushirikiana na mwalimu mkuu na kuinua kiwango cha ubora, walimu wengine kuweka vipaumbele na kuandaa bajeti na mipango ya kujenga uwezo, maendeleo ya shule. matumizi ya fedha na miundo ya Kufungua akaunti na kusimamia kwa kitaasisi uhakika na uangalifu fedha zilizo Vipengele vyote vina umuhimu sawa, na pokelewa kwa ajili ya utekelezaji, vinategemeana. Mpango huu pia unalenga kuhakikisha uwajibikaji wa hali ya juu katika masuala muhimu ya jinsia na UKIMWI. na uwazi katika mchakato unaotumika, ikiwa ni pamoja na kuweka wazi Kuhusu ada na michango: mapato na matumizi kwa jamii. Serikali imefuta michango yote ya Kuandaa na kutoa kwa usahihi na kwa lazima kwa shule za msingi tangu wakati mwenendo na ripoti ya Januari Hakuna mtoto fedha kwa jamii, kata na halmashauri. atakayezuiwa kuhudhuria shule kwa sababu ya kushindwa kulipa michango. Utekelezaji MMEM usiwaache Shule au uongozi wa kijiji hawaruhusiwi pembezoni Walimu kumlazimisha mtu yeyote kulipa fedha Na Mwalimu Koku Rwehumbiza, kwa elimu ya msingi kwa ajili ya Nshambya, Bukoba karo, madawati, au kwa ajili ya shughuli nyingine yoyote. Tangu mpango wa MMEM ulipoanza, taarifa nyingi za mafanikio zinaelezea ongezeko la Wazazi na wanajamii, wanahimizwa watoto waliosailiwa, madarasa mengi kushiriki kikamilifu na kuchangia yaliyojengwa na idadi ya walimu walioajiriwa. kwa kadri ya uwezo wao; mchango wowote uwe wa hiari. Jamii inaweza Huu ni mwanzo mzuri ingawa wakati huo huo kujitolea nguvukazi katika ujenzi wa bado kuna malalamiko mengi ya walimu. Baadhi nyumba za walimu, vyoo na nyenzo ya malalamiko ni kucheleweshewa au kutolipwa za maji. Wanaweza pia kuwasaidia mishahara, kufundisha watoto wengi darasani walimu kwenye shughuli za mitaala ya na kuwa na vipindi vingi katika juma mmoja. ziada. Kwa upande mwingine, mtiririko wa fedha za Serikali imefanya hivyo ili kuhakikisha kwamba 22

27 MMEM haujaeleweka kwa walimu hali inayosababisha utekelezaji wake kuwa mgumu. Katika utekelezaji wa MMEM kwa sasa, suala zima la elimu bora, utoaji elimu bora na mtoaji elimu bora halijitokezi. Maswali ya kujiuliza ni je, elimu bora ni ipi kwa mtazamo wa mtoto, mtazamo wa mzazi, mtazamo wa jamii na taifa? Je, utoaji elimu bora ni upi? Je, tunatarajia mtoaji elimu bora aweje? Hadi sasa utekelezaji wa MMEM unaelekea kuelemea zaidi kwenye ongezeko la idadi ya wanafunzi na kiasi kidogo kabisa kimewekezwa kwenye ubora wa elimu. Kwa mfano, asilimia 47.8% imewekezwa kwenye majengo ambapo ni asilimia 1.5% tu imewekezwa kwenye kutoa mafunzo kwa kamati za shule na asilimia 1.2% kwenye kutoa mafunzo kwa waalimu. Kipaumbele kimewekwa kwenye ujenzi wa madarasa kuliko mafunzo na motisha kwa walimu. Mpango uzingatie uwiano mzuri wa vitu vyote hivyo. Kama kuna madarasa mazuri lakini mwalimu anahangaika kufuatilia mafao yake, hana nyumba ya kuishi, ni mgonjwa bima inamzungusha, je atatoa elimu bora? MMEM inasema kila mwalimu atapewa Dola za Marekani 40 kwa mwaka kwa ajili ya mafunzo. Je, ndivyo ilivyo? Imeelezwa kuwa silimia 30% ya walimu walio katika mazingira magumu, vijijini na hasa walimu wa kike watajengewa nyumba. Je, hilo limefanyika? Mpango unasema mwalimu asifundishe zaidi ya masaa 20 kwa juma. Akifanya hivyo kuna malipo ya ziada. Je, yako wapi? Walimu wanaoshiriki na watakaoshiriki MEMKWA watalipwa? Je, wamelipwa? Utekelezaji wa MMEM usielemee kwenye ujenzi wa madarasa pekee! MMEM itilie mkazo upatikanaji wa habari Na Mary Nsemwa, HakiElimu Mambo mengi mazuri yamefanyika tangu kuanzishwa kwa Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM). Baadhi ya mambo hayo ni ujenzi wa madarasa, kuongeza uandikishaji wa watoto wenye umri wa kwenda shule na kuajiri walimu wapya. MMEM inalenga kuinua kiwango cha elimu kwa kushirikisha wadau wote katika utekelezaji wake, wakiwemo wanafunzi, walimu, wazazi, Serikali, taasisi mbalimbali na wahisani. Swali la kujiuliza ni kuwa jukumu la wadau mbalimbali ni lipi katika utekelezaji wa MMEM? Wanapataje habari za elimu? Je, wadau hao wanatimizaje wajibu wao? Kiini cha mabadiliko katika elimu ni wanafunzi, walimu na wazazi. Lakini je, ushiriki wao unaridhisha? Mara nyingi makundi haya matatu yamekuwa hayafahamu nini kinaendelea kuhusu sera na mipango ya elimu. Wamekuwa wakipokea maagizo kutoka ngazi ya juu tu. Hata wanapopata habari zinakuwa hazieleweki au zinawachanganya kutokana na jinsi zilivyotolewa na viongozi mbalimbali kwa nyakati tofauti. Mathalan, katika utafiti mmoja, baadhi ya walimu na wanafunzi waliowahi kuulizwa maana ya MMEM walijibu kuwa ni ujenzi wa madarasa ama ni kuhimiza walimu kujiendeleza, na si zaidi ya hapo. Kwa ujumla, wananchi wanahitaji kupata habari ili wajue haki zao na waweze kuwajibika kwa kushirikiana na serikali yao. Mabadiliko ya elimu nchini yatakuwepo iwapo habari zitawafikia wadau wote, na kwa wakati muafaka. Suluhisho la msongamano darasani ni tuisheni? Na Jovenary Edward, Bukoba Napenda kuwapongeza wadau wa elimu waliokaa na kujadili kuanzishwa Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) na kufuta michango yote shuleni. Kwa kweli michango ilikuwa kero miongoni mwa wazazi hususan kipindi cha kuandikisha watoto kuanza darasa la kwanza. Wazazi wenye uwezo ndio waliokuwa wakipeleka watoto wao 23

28 shule. Pamoja na kufurahia mpango huo, wazazi tumeanza kupata wasiwasi juu ya upatikanaji wa elimu bora kwa watoto wetu. Wanafunzi wamekuwa wengi mno madarasani hali i n a y o s a b a b i s h a w a t o t o w a s i e l e w e wanachofundishwa. Badala ya kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo kwa manufaa ya watoto wote, baadhi ya walimu wameanzisha mafunzo ya ziada (tuition). Mafunzo haya kwa kweli yanawanufaisha watoto wa wazazi wenye uwezo pakee. Nashauri mafunzo hayo yatolewe bure kwa wanafunzi wa darasa la saba hasa vijijini ili kila mtoto apate elimu bora bila kubaguliwa. Mchango wa MMEM uwe ni zaidi ya kufuta karo tu Na John Frederick, Mwanza Tumefurahi kwamba serikali imefuta karo na michango yote kwa shule za msingi ili kila mtoto aweze kupata elimu bure. Hata hivyo, serikali pia ingempunguzia mzazi gharama za kununua vitabu, madaftari na za kuchapa mitihani kwa kuhakikisha kwamba ruzuku ya Dola za Marekani 10 zilizotengwa kwa kila mwanafunzi zinafika shuleni kwa wakati na kiwango kinachotakiwa. Takriban asilimia 81 ya Watanzania wana hali ngumu kiuchumi. Familia nyingi zinashindwa kutoa hata yale mahitaji muhimu, hali inayowaathiri watoto kisaikolojia. Kwa kutoa fedha hizo shuleni kwa wakati, mzazi atabaki na jukumu la kugharamia sare za shule na kuwafanya watoto wote, bila kujali uwezo wa familia, kuwa nadhifu na kujisikia vyema wawapo katika mazingira ya shule. Wa n a f u n z i p i a w a t a e p u k a a d h a b u zinazotolewa na baadhi ya walimu pindi wanapokosa ama sare au kushindwa kuchangia ununuzi wa karatasi za mitihani! Hongera MMEM Na Wilix Mahenge, Iringa Naipongeza Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) kwa kuanza kutoa semina kwa kamati za shule kuhusu namna ya kuendesha shule. Kwa kweli wananchi katika eneo letu walifurahia sana mafunzo. Pamoja na hayo tunapendekeza serikali ichapishe na kusambaza miongozo mahsusi ya namna ya kuendesha shule na mengine yanayohusu uboreshaji elimu kwa ujumla. Tunaipongeza MMEM kwa mafanikio yake hasa katika uwazi na uwajibikaji. Tutilie mkazo somo la Stadi za Kazi Na Flora Mpombo, Mbeya Naomba nitoe ushauri wangu kuhusu elimu ya msingi hasa katika somo la stadi za kazi. Somo hili lenye fani za ufundi umeme, useremala, uchoraji, muziki na michezo ni bora kwa kuwaandaa wanafunzi ili waweze kujiajiri baada ya kuhitimu shule ya msingi. I n a s i k i t i s h a k u o n a k w a m b a w a t o t o hawafundishwi kwa vitendo kutokana na walimu wengi kutokuwa na utaalamu wa kutosha katika somo hilo. Vilevile walimu wapya ambao wamepitia mtaala huo wanakiri kuwa hawakupatiwa mafunzo ya kutosha wakiwa vyuoni. Nashauri serikali itoe mafunzo hata ya muda mfupi kwa wakufunzi wa vyuo vya walimu na walimu wa shule za msingi ili somo hilo lifundishwe ipasavyo. Watoto wote wapate elimu bora Na Jamila Ramadhani Nangay, Zanzibar Miaka karibu 15 iliyopita, wazazi wengi walishindwa kuwapeleka watoto wao shule kutokana na kushindwa kulipa ada na michango 24

29 mingine. Sababu nyingine za wazazi kutowapeleka watoto wao shule, hasa wa darasa la kwanza, ilikuwa ni pamoja na umbali kutoka yalipo makazi ya watu. Naipongeza Serikali kwa kushirikiana na wananchi kujenga shule nyingi za msingi karibu na maeneo wanayoishi watu hasa vijijini. Vilevile napongeza hatua ya kuondoa michango yote shuleni isipokuwa ile ya hiari. Hivi sasa hakuna sababu kwa wazazi kushindwa kuwapeleka watoto wao shuleni. Nashauri Serikali itoe adhabu kwa wazazi watakaoshindwa kuwaandikisha watoto wao shule au kuwakatiza masomo ili iwe fundisho kwa wengine. Watoto wote wana haki ya kupata elimu bora bila kubaguliwa, wawe masikini au matajiri. Viongozi amkeni! Na Mariam Amour, Igoma, Mwanza Napenda kuelezea kero ambazo bado zinatukabili katika shule yetu. Kwanza, wanafunzi bado tunakaa chini, vitabu na madawati hayatoshi na mazingira ya shule kwa ujumla hayaridhishi, hasa upande wa vyoo na mashimo ya taka. Licha ya kufutwa ada, bado kuna michango ya mara kwa mara. Je, hiyo elimu bora tutaipataje katika mazingira haya? Viongozi wa elimu mkoani hapa mko wapi? Tunaomba viongozi mshirikiane na jamii kutuondolea kero hizi. Msipofanya hivyo elimu yetu itaendelea kushuka! 25

30 6. Rushwa katika Elimu (2004) Rushwa ni Nini? kila kinachoendelea. Watahisi uchungu wanaoupata masikini na kupambana na rushwa. Hawatatumia madaraka yao vibaya kwa manufaa binafsi. Barua na ripoti tunazopata zinadokeza kuwa viongozi wengi hawaongozi mapambano dhidi ya rushwa. Badala yake baadhi ya viongozi wenyewe wamegeuka kuwa tatizo. Watu wanaopaswa kututetea wametugeuka na kuanza kutuibia. Hali hii inajidhihirisha katika sehemu nyingi ambapo hata maana ya uongozi imepotea na kuoza. 3. Rushwa inakuza maadili yaliyooza. Tunaambiwa mara kwa mara kwamba mambo muhimu katika maisha ni ukweli, sheria, utu na haki. Hayo ndiyo maadili makuu katika jumuiya yoyote. Lakini katika utendaji tunaona kinyume cha hayo. Hayo yanapotokea, watu wanajifunza kuwa yote ni maneno matupu, na kwamba maisha ni Na Rakesh Rajani, Mkurugenzi Mtendaji, rushwa, ulaghai, kukosa haki na unyama. HakiElimu Wanafunzi shuleni wanapoona rushwa Rushwa ni nini? Kwangu mimi, rushwa imetapakaa kila mahali, na hakuna la maana inajitokeza katika sura 3: linalofanyika, wanajifunza kwamba rushwa ndiyo njia ya maisha. Mwalimu Nyerere alikuwa 1. Rushwa ni kuwaibia watu masikini. akisema kwamba maneno matupu hayavunji Watu wengi wanaotoa rushwa ni masikini. mfupa. Kutoa rushwa inamaanisha kipato chao kitapungua na hawataweza kukidhi mahitaji Tunapoikubali rushwa, tumehongwa. Nitafanya yao. Mwalimu ambaye atalazimika kutoa nini kupambana na rushwa? Na je wewe? rushwa ili apate mshahara wake au mzazi wa Utafanya nini? kijijini atakayetoa rushwa kupata nafasi ya sekondari atakuwa na upungufu wa chakula, mavazi na dawa. Wakati mali za umma zinapotumiwa vibaya, kama vile kuiba sementi au kununua vitabu kwa bei ya juu, ina maana watu masikini watapungukiwa. Matajiri wanaweza kujenga madarasa yao na kununua vitabu kwa ajili ya watoto wao; watu masikini hawawezi. 2. Rushwa ni uozo katika uongozi. Palipo na uongozi bora, kiwango cha rushwa kitakuwa kidogo sana. Kwa nini? Kwa sababu viongozi watakuwa karibu na wananchi na kufahamu 26 Rushwa ya ngono inawaathiri zaidi wasichana Na Stellah Mhelela, SLP 253, Mwanza Kati ya rushwa zinazoongoza katika elimu ni pamoja na rushwa ya ngono. Rushwa hii kwa kiasi kikubwa imekuwa ikimuathiri mwanafunzi wa kike. Tatizo la wasichana kupata mimba wakiwa shuleni linatokana na rushwa ingawa haichukuliwi hivyo na jamii. Msichana anapopata mimba akiwa shuleni huonekana

31 hafai na kuwa mzigo kwa familia yake. Jamii pia humtenga bila kuchunguza chanzo cha tatizo. Kwa upande mwingine aliyesababisha msichana kupata mimba hawajibishwi. Msichana anadhalilishwa na kuadhibiwa kama mkosefu. Kuna utata mkubwa katika kufanya maamuzi hasa kwa jinsi adhabu inavyotolewa kwa wahusika. Hadi sasa Serikali imeshindwa kutoa msimamo kuhusu hatma ya msichana anayepata mimba akiwa shuleni. Jambo la kujiuliza ni je, taifa linafaidika vipi kwa kumfukuza shule msichana? Mara nyingi wasichana wanaoathirika zaidi ni wale wanaotoka katika familia masikini. Wazazi wenye uwezo hutumia mbinu mbalimbali ikiwemo kutoa rushwa ili watoto wao warejeshwe shuleni. Wasichana waliopata mimba shuleni wanaponyimwa nafasi ya kuendelea na masomo tunaongeza idadi ya watu wasio na elimu nchini. Ni matumaini yangu kwamba Serikali itatunga sheria za kumlinda msichana anayepata mimba akiwa shuleni ili aweze kuendelea na masomo baada ya kujifungua. Kwa kufanya hivyo Serikali itakuwa imempa msichana, hasa wa kutoka familia masikini, haki ya kupata elimu sawa na watoto wa wenye uwezo. Rushwa imekithiri ununuzi wa vifaa vya shule Na Wadau wa Elimu, Misungwi Sisi wadau wa elimu wilayani Missungwi tunapenda kuwapongeza walimu kwa juhudi wanazofanya katika kuboresha elimu pamoja na mazingira magumu yanayowazunguka. Kinachotusikitisha ni kuona kwamba baadhi ya viongozi wa wilaya wanaendekeza vitendo vya rushwa ambavyo vinazorotesha utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) na kukandamiza haki za walimu na kamati za shule. Katika utekeleza wa mpango wa MMEM walimu wakuu na wenyeviti wa kamati za shule wamekuwa wakilazimishwa kununua vifaa katika maduka fulani. Inasadikiwa kwamba baadhi ya viongozi ngazi ya wilaya wana hisa katika maduka hayo! Mathalan, kuna baadhi ya viongozi ambao kazi yao imekuwa ni kuwasaidia walimu kupata hundi haraka kwa ajili ya kuwalipa wazabuni. Viongozi hao baadaye humlazimisha kila mwalimu mkuu awape Tsh. 40,000/- kama shukrani ya kuwasaidia! Mwalimu atakayekataa kufuata maagizo ya viongozi hao hujikuta akiandikiwa barua za kumtishia kufukuzwa kazi. Tunaiomba Taasisi ya Kuzuia Rushwa (PCB) izunguke wilayani hapa kufuatilia madai haya na kuyafanyia kazi. Bila hivyo, wilaya hii itaendelea kuhujumiwa kielimu! Tunaandika barua hii kwa uchungu sana. Hivi ni sahihi kuwatimizia walimu madai yao ukikaribia uchaguzi? Kwanini tunajadili na kuwatumia malalamiko wahusika lakini hakuna ufuatiliaji? Tunataka mabadiliko! Maoni ya Washiriki wa Shindano la Rushwa katika Elimu Na Godfrey Telli, HakiElimu Shindano la rushwa katika Elimu limeibua taarifa muhimu. Rushwa iliyojitokeza zaidi ni ile ya ngono. Ilionekana kutolewa zaidi na wahusika katika jamii kwa wale wenye mamlaka katika mfumo wa elimu kwa sababu mbalimbali. Mzazi kufanya ngono na mwalimu ili mtoto aandikishwe shule. Mwanafunzi kufanya ngono na mwalimu ili kufaulu mitihani. Mwalimu kufanya ngono na mwalimu mkuu au Afisa Elimu ili kupanda cheo au kuzuia uhamisho. Martin Peter Mkumbo anaeleza; Rushwa ya pesa, ngono pamoja na zawadi mbalimbali zimekuwa zikitolewa na walimu kwa wakubwa 27

32 zao (maafisa na waratibu wa elimu) ili kupandishwa vyeo, kupewa uhamisho au kufutiwa makosa mbalimbali wanayofanya kama; kutowajibika ipasavyo, kufanya mapenzi na kuwapa ujauzito wanafunzi, nk. Idadi kubwa ya washiriki waliongelea rushwa ya fedha na zawadi. Rushwa hii imeenea zaidi katika maeneo ya mijini ingawa ipo pia vijijini. Inajitokeza zaidi katika mfumo wa tuition, kununua mitihani, kulipiwa karo na katika uandikishwaji wa wanafunzi shuleni. Kwa upande wa vijijini inatokea kwa kuwafanyisha kazi wanafunzi kwa walimu, viongozi wa elimu na hata viongozi wengine. Kazi hizo ni kama kukata kuni, kuchota maji, kulisha mifugo nk. Ngikundael E. Mghasse anasema; Sehemu za mijini wakati wa uandikishwaji shule walimu wakuu husema nafasi zimejaa ili mwombaji atoe kitu kidogo. Lakini sehemu za vijijini hususan katika jamii za wafugaji, watu hutoa mbuzi, ng ombe, nk., kwa walimu ili watoto wao wasiandikishwe shule. Wako wengine waliotoa maoni kwamba mishahara na marupurupu ya walimu yaangaliwe upya. Elimu zaidi kwa kutumia vyombo vya habari na madhehebu ya dini pia imeonekana na wengi kama njia muafaka ya kupambana na tatizo la rushwa katika elimu. Wamependekeza adhabu kali zitolewe kwa wale watakaobainika kujihusisha na vitendo vya rushwa. Mwisho, viongozi kuwa wazi na karibu na wananchi na kuwajibika kwao ni muhimu kama anavyosema Padri Michael Kumalija: Viongozi pamoja na watumishi mbalimbali wa umma wamewekwa kwa ajili ya kuwahudumia wananchi na sio kuwachuna kwa njia za udanganyifu. Hivyo wanapaswa kuwa karibu na wananchi ili maamuzi pamoja na vitendo vyao wavifanye bila kificho ili wananchi wayaone waziwazi matendo yao na kutambua kinachoendelea. Nini kifanyike kupambana na rushwa? Na Razack A. Kijumbe, SLP 4 Kilwa - Masoko Baadhi ya njia zinazoweza kutumika kupambana na rushwa katika elimu ni kutoa elimu ya uraia kwa wananchi ili waweze kutambua haki zao. Elimu hiyo inaweza kutolewa kwa njia mbalimbali kupitia redioni, midahalo ya wazi katika jamii na ndani ya mikutano ya kamati za shule. Mbinu nyingine ya kupambana na rushwa ni kuingiza somo la rushwa katika mitaala. Somo la rushwa na madhara yake lifundishwe kuanzia vyuo vya ualimu, shule za msingi hadi elimu ya juu. Kwa hali hiyo walimu na wanafunzi wataanza kuelewa madhara ya rushwa kuanzia awali. Habari ni nguvu. Hivyo basi wananchi wafuatilie habari kuhusu sera mbalimbali za maendeleo. Mfano katika utekelezaji wa MMEM, wananchi wana haki ya kufahamu hesabu za mapato na matumizi. Hesabu hizo ziwekwe wazi, kwenye mbao za matangazo ili kuondoa utata. Njia nyingine ni kuandaa na kutekeleza mikakati ya kupunguza umaskini kote nchini. Umaskini na ufinyu wa kipato vinasababisha watu kushawishika kutoa au kupokea rushwa. Uwazi na uwajibikaji wa viongozi katika kuwatumikia wananchi pia utapunguza au kuondoa rushwa. Pongezi PCB kwa shindano la rushwa Na Mollen Masaka, Itigi-Manyoni Ili kupambana na rushwa katika elimu ni muhimu kwanza mwalimu apate haki zake zote bila kusumbuliwa. Hii itamwezesha kuepuka vishawishi vya rushwa na kuzingatia maadili ya kazi. Kwa upande wa wanafunzi ni muhimu wapate elimu bora itakayowawezesha kujua haki zao za msingi ili wasishawishike kutoa wala kupokea rushwa. 28

33 Mwisho, nawapongeza Taasisi ya Kuzuia Rushwa (PCB) kwa shindano la Rushwa katika Elimu. Shindano hilo limesaidia kuwaamsha wanafunzi, walimu na jamii kwa ujumla juu ya matatizo ya rushwa yanayoshamiri katika jamii. Vilevile shindano limetoa changamoto ya namna ya kukabiliana na rushwa. Rushwa ya ngono inaathiri elimu Na Glory E. Mponzi, Dar es Salaam Rushwa ya mapenzi ni moja ya rushwa mbaya sana ambayo inazidi kushamiri katika elimu. Walimu au wanafunzi hutumia rushwa hii kuweza kufanikisha matakwa yao. Imekuwa jambo la kawaida kwa walimu wa jinsia zote kuwarubuni wanafunzi kutoa rushwa ya ngono. Rushwa hii hutolewa kwa ahadi ya kuwapa majibu ya mitihani au alama za juu katika masomo na hasa wakati wa mitihani. Kwa upande mwingine wanafunzi hasa vyuoni, nao huwashawishi walimu na kuomba msaada wa kielimu huku wakiwaahidi rushwa ya ngono. Kutokana na udhaifu wa kibinadamu, walimu nao hujikuta wameingia katika mtego wa kutembea na wanafunzi wao. Rushwa hii inaathiri elimu nchini kwani hapo baadaye taifa litakuwa na wahitimu wengi wasio na ujuzi. Rushwa ya ngono ni hatari kwani huweza kusambaza virusi vya UKIMWI. Pia itasababisha kupoteza maisha ya walimu na wanafunzi ambao wanategemewa sana na jamii. Ufujaji mali za Shule ni rushwa! Na Chrispin Mukerebe, Dar es Salaam Matumizi mabaya ya pesa na mali za shule ambayo hufanywa na baadhi ya walimu ni aina moja ya rushwa inayochangia kurudisha nyuma maendeleo ya elimu nchini. Walimu hao na viongozi wengine wa shule hutumia vibaya nafasi walizonazo kuziibia shule na kufuja mali kwa manufaa yao binafsi. Nashauri uongozi wa elimu katika ngazi zote kufanya ukaguzi wa mali za shule mara kwa mara. Urasimu uliopo katika ofisi mbalimbali za umma na idara za elimu pia husababisha mianya ya rushwa. Baadhi ya watendaji katika taasisi za elimu wamekuwa wakikwamisha kazi kama vile kushughulikia maslahi na malalamiko ya walimu na wanafunzi kwa makusudi ili wapewe rushwa. Umaskini katika jamii pia ni moja ya sababu kuu inayochangia kuongezeka kwa rushwa. Wadau wengi wa elimu na hasa walimu wamejikuta wakitoa ama kupokea rushwa kutokana na hali ngumu ya maisha. Nashauri wabunge wawe karibu na wananchi ili kuwawezesha kupata habari na kufahamu kwamba hawastahili kulipia haki zao. Elimu ya rushwa imlenge mtoaji, mpokeaji Na Mary I. Maufi, Mpanda, Tabora Napenda kutoa maoni yangu kwamba rushwa katika elimu inatolewa kwa kuanzia na mwanafunzi hadi maafisa wa ngazi za juu katika idara ya elimu. Wanafunzi hutoa rushwa kwa njia nyingi ikiwemo kufanya kazi kwa walimu kama vile kufua nguo, kulima, kuchota maji, kuuza bidhaa mbalimbali na hata kulea watoto ili wapate alama nzuri zitakazowawezesha kushinda mitihani. Wazazi nao wanashiriki katika kutoa rushwa wakati wa kuandikisha watoto shule, kuhamisha wanafunzi, kupatiwa majibu ya mitihani na hata kuchaguliwa kuendelea na elimu ya juu. Baadhi ya watendaji wengine wa Wizara ya Elimu wanahusika na rushwa kwa kudai chochote wakati wa kushughulikia matatizo ya wazazi na walimu kama vile kupanda vyeo na uhamisho, kwa wakaguzi wa miradi mbalimbali, kamati za shule na kupandishwa madaraja. Nashauri elimu ya rushwa kwa umma itolewe kwa kumlenga mtoaji na mpokeaji. Serikali 29

34 iongeze nafasi za shule kuanzia msingi hadi sekondari. Pia maslahi ya walimu na watendaji katika idara mbalimbali za elimu yaboreshwe ili kuepuka tamaa ya kupokea au kutoa rushwa. watakaoshughulikia maslahi ya walimu wilayani. Ukaguzi ufanyike mara kwa mara ili kuona kama madai ya walimu yanatimizwa bila vikwazo na kwa wakati muafaka. Tuition kichocheo cha rushwa Na Zainabu Ramadhani, Kibiti-Rufiji Rushwa inawagawa watoto kulingana na uwezo wa wazazi wao kifedha. Utakuta watoto wenye uwezo wanafundishwa masomo ya ziada (tuition) na kuwabagua watoto wa masikini. Kwa sababu ya kupokea fedha, walimu hufundisha kidogo darasani na kutumia muda na nguvu zao nyingi kufundisha tuition watoto walio na uwezo. Rushwa katika sekta ya elimu husababisha walimu wa jinsi moja kurundikana katika shule moja kwa kisingizio cha kuwafuata wanandoa wenzao. Hii inasababisha baadhi ya shule kuwa na walimu wengi wakati nyingine hazina walimu kabisa, hasa za vijijini. Ushauri wangu ni kwamba majina ya walimu wanaofuata maadili na wenye nidhamu kazini yapendekezwe na kamati za shule wizarani ili wapewe motisha, kupandishwa vyeo na kupewa nafasi za masomo bila usumbufu. Watendaji Elimu wahamishwe vituo mara kwa mara Na Sophia G. Range, Bagamoyo-Pwani Baadhi ya njia zinazoweza kutumika kupambana na rushwa katika elimu ni kubadilishwa mara kwa mara kwa uongozi wa elimu ngazi ya wilaya. Hii itaepusha viongozi kuzoeana sana na walimu na hivyo kushawishika kupokea rushwa. Mfano, katika idara za elimu, rushwa hutolewa na baadhi ya walimu kwa makarani au wahudumu waliowazoea ili waweze kupeleka mafaili ya wahusika kwenye ofisi za maafisa wa ngazi za juu kwa ajili ya kutolewa maamuzi. Napendekeza pia kuwe na maafisa ukaguzi 30

35 7. Ulemavu na Elimu (2004) Salaam, nitapata matatizo. Nitashindwa kufika kileleni, si kwa sababu ya udhaifu, uvivu au kukosa uwezo. Nitashindwa kwa vile sina vifaa sahihi vya kupandia mlima Kilimanjaro. Ninahitaji nguo za baridi, viatu maalum, chupa kubwa za maji na miwani ya jua. Mifano hiyo miwili inadhihirisha kwamba mara nyingi watu hawana matatizo lakini mazingira yanawazuia kuonyesha umahiri wao. Mpe mlemavu asiyeona kitabu chenye maandishi maalum (Braille) na ataweza kukisoma. Jifunze lugha ya ishara na mlemavu asiyesikia ataweza kuwasiliana nawe. Jenga njia maalum za kupanda juu katika majengo ya ghorofa na mlemavu anayetumia baiskeli maalum ataweza kupita bila matatizo. Watu wenye ulemavu wana uwezo. Tatizo ni mazingira yaliyojengwa na jamii ambayo inachukulia kwamba watu wote wana mahitaji sawa, inabagua watu wenye ulemavu. Tatizo lingine ni mtizamo wa jamii unaowadharau watu wenye ulemavu. Watu wenye ulemavu wana uwezo Na Rakesh Rajani, Mkurugenzi Mtendaji, HakiElimu Ikiwa nitakwenda Ufaransa, ninaweza kupata wakati mgumu. Mathalan, sitaweza kufahamu nipande basi gani. Nitahangaika pia kuagiza chakula kwenye mgahawa. Shuleni, sitaweza kufuatilia anachofundisha mwalimu wala kusoma vitabu. Nikikwama, sitaweza hata kuomba msaada. Nitahangaika sana nikiwa Ufaransa si kwa sababu ya ujinga, au kuwa na matatizo au kwamba nina dosari. Nitasumbuka kwa vile siwezi kuongea Kifaransa- hali hiyo inafanya mazingira kuwa magumu kulingana na mahitaji yangu. Nikipanda mlima Kilimanjaro nikiwa nimevalia mavazi ninayotumia kila siku niwapo Dar es Watu wenye ulemavu hawahitaji kuonewa huruma. Wanahitaji heshima na nafasi ya kushiriki kikamilifu ndani ya jamii. Tunafanya nini kuhusu hayo? Tuondoe vikwazo kwa wanafunzi wenye ulemavu Na Palemon Rujwahula, Dar es Salaam Wakati tunajivunia mafanikio ya Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) kwa kiasi fulani, mahitaji ya wanafunzi wenye ulemavu wa viungo bado hayajapewa uzito unaostahili. Kwanza, shule nyingi zilizojengwa chini ya MMEM hazina vyoo maalum kwa ajili ya watoto wanaotambaa kutokana na ulemavu au wanaotumia magongo na viti vya magurudumu. Madarasa mengine yamejengwa sehemu za miinuko na yana ngazi ndefu! Haya yote humfanya mtoto mwenye ulemavu kuiona shule kama sehemu ya mateso. 31

36 Pili, idadi ya wanafunzi wenye ulemavu Baadhi ya makabila huita watu wenye ulemavu wanaoandikishwa kuanza darasa la kwanza na wa akili maiti au zezeta na albino pia huitwa hata sekondari bado ni ndogo. Si rahisi kupata mzungu mwitu. Kwa ujumla, kila kabila lina takwimu zinazoonyesha idadi ya watoto namna yake ya kumtafsiri mtu mwenye ulemavu. wenye ulemavu; wangapi wanazaliwa kila Majina hayo ya kudhalilisha yanaifanya jamii mwaka? Wanaoandikishwa kuanza shule? Ni isione umuhimu wa kuwaendeleza watu wenye wangapi wanaohitimu masomo? Nani ulemavu. anafuatilia? Hapa nchini, ipo dhana potofu kwa baadhi ya Tatizo hilo linaanzia kwenye utambuzi wa idadi makabila kwamba watoto wenye ulemavu ya watoto wenye ulemavu wa viungo waliopo husababisha mikosi katika familia. Ipo mifano katika vitongoji au vijiji. Watoto wengi wenye halisi ambapo watoto wenye ulemavu ulemavu huzaliwa kwenye familia maskini wamekuwa wakiuawa. Wanasayansi pia, kwa sana. Umaskini husababisha watoto hao kile wanachoita kuifanya dunia iwe mahala kukosa elimu. Wazazi wao wanashindwa bora, wanafanya utafiti utakaowawezesha kuwapatia vifaa muhimu kama vile sare, viatu kuharibu mimba zitakazoonyesha watoto na hata nyenzo za kutembelea kama baiskeli watakaozaliwa kuwa na ulemavu. maalum. Huu ni ukiukaji wa haki za binadamu. Je, watu Jamii pia bado ina mtazamo potofu juu ya watu wenye ulemavu hawastahili kuwepo duniani? wenye ulemavu; wanaendelea kuitwa majina Kwa nini binadamu atoe uhai wa mtu mwenye ya kuwadhalilisha! Baadhi ya walimu ulemavu? Je, wewe unamchukuliaje mtu hawafahamu jinsi ya kufundisha watoto wenye mwenye ulemavu? Utajisikiaje ukiitwa majina ya ulemavu kulingana na aina ya ulemavu kukudhalilisha? walionao. Idadi ya walimu wa watoto wenye ulemavu nchini ni ndogo. Nchi nzima kipo chuo kimoja tu cha Patandi, Arusha! Tutaondoaje Tuwajali wenye ulemavu Na Eva Biswalo, Dar es Salaam vikwazo vya kielimu kwa wanafunzi wenye ulemavu? Takwimu za idadi ya watu zinaonyesha kuwa asilimia 10 ya watu duniani ni wenye ulemavu. Unahisi vipi ukiitwa majina ya Kundi hilo linajumuisha aina zote za ulemavu. Katika aina zote hizo wanaoathirika zaidi ni kukudhalilisha? wenye ulemavu wa akili. Na Henry Wimile, Dar es Salaam Asilimia 90 ya watu wenye ulemavu wa akili Makabila mbalimbali hapa nchini yamekuwa hawawezi kuzungumzia hisia wala mahitaji yao yakiwaita watu wenye ulemavu majina wenyewe. Wazazi, walezi na wanajamii ambayo yanawadhalilisha na kufanya jamii huzungumza kwa niaba yao. iwaone kuwa hawana faida. Hata hivyo, mtazamo potofu, imani za uchawi na Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa mwaka ujinga wa baadhi ya watu katika jamii 2000 na Dk. Elly Macha katika mikoa ya vimesababisha kutengwa kwa watu wenye Dodoma na Tabora, walemavu wa viungo ulemavu wa akili. Wazazi wengi, hata walio na huitwa ifuru yaani kobe. Jina la kobe elimu na uwezo kiuchumi, hawatoi huduma limetokana na mwendo wanaotembea watu zinazostahili kwa watoto au ndugu zao wenye wenye ulemavu wa viungo. Mtu asiyeona ulemavu huu. huitwa kivimbi yaani mti. Hii inamaanisha kwamba hawezi kusogea mahala alipo bila Watu wenye ulemavu wa akili wamekuwa msaada. wakionekana kama mzigo katika familia zao. 32

37 Baadhi ya wazazi na walezi hawaelewi haki za watoto wao. Mtu mwenye ulemavu wa akili anaweza pia kupatiwa elimu inayomsaidia kujimudu kadri ya upeo wake. Mitaala iliyopo haizingatii watu wenye ulemavu wa akili; wengi hukaa katika shule za msingi kwa miaka kumi au zaidi wakijifunza kusoma, kuandika na hesabu bila ya kuelewa chochote. Huo ni uthibitisho kwamba wengi wao hawatayaweza masomo hayo hata wakikaa miaka 20! Nashauri kuwa mtaala wa watu wenye ulemavu wa akili uachwe wazi au ulegezwe. Wenye ulemavu wa akili wana vipaji vingi. Hivyo basi, mtoto aangaliwe uwezo wake ndipo aendelezwe katika ujuzi au eneo analoliweza. Wakati umefika kwa jamii kuwajali watu wenye ulemavu wa akili! walimu wanaoweza kufundisha watoto viziwi wasioona. Viziwi wasioona pia hushindwa kuwasiliana na walimu, jamii na hata wenzao kwa lugha ya mpapaso. Nashauri vyuo vya ualimu viwe na kitengo cha viziwi wasioona. Picha na habari kuhusu watoto viziwi wasioona wakiwa darasani ziandikwe na kusambazwa kupitia vyombo vya habari. Hii itawezesha jamii kutambua kuwa watoto hao pia wana haki na wanastahili kupata elimu kama wengine. Jamii inayowazunguka watoto viziwi wasiioona ijifunze na kutilia mkazo lugha ya mpapaso! Jamii ijifunze kuishi na walemavu viziwi wasioona Na Angelica P. Mtwale Ulemavu wa kutoona, kutosikia na kutozungumza haufahamiki kwa watu wengi hapa nchini. Hebu fikiria jinsi ambavyo mtu mwenye ulemavu wa kiungo kimoja anavyopata matatizo kuyakabili maisha. Lipo kundi la watu ambao ni viziwi wasioona na hawawezi kuzungumza. Watu wenye ulemavu wa aina hii wanapata matatizo makubwa! Kutokana na kuwa na aina nyingi za ulemavu, jamii hudhani kwamba watu viziwi wasioona hawawezi kuelimishwa. Lugha ya mawasiliano au mpapaso ni ngumu. Hata pale inapotokea kuwa wazazi wanataka mtoto mwenye ulemavu wa aina hii kupata elimu hujikuta hawana pa kumpeleka. Shule ya Uhuru Mchanganyiko ya jijini Dar es Salaam ndiyo pekee, inayotoa elimu kwa watoto viziwi wasioona. Mtoto akihitimu katika shule hiyo ya Uhuru, hata akifaulu hujikuta hana pa kwenda. Hakuna vyuo wala shule za sekondari zenye 33

38 8. Wananchi Wanatoa Maoni (2004) kujifunza kwa makini haipo. Idadi ya walimu ni ndogo, hailingani na ongezeko kubwa la wanafunzi. Kwa upande wa ufundishaji mbinu bado ni zile zile za zamani ambapo mwalimu pekee ndiye anayesikilizwa badala ya kuwa na majadiliano na wanafunzi darasani. Nyumba za walimu bado ni tatizo. Nyingi ziko katika hali duni na pia mbali na sehemu zilipo shule. Hii inasababisha walimu kuchoka kutembea umbali mrefu na hivyo kushindwa kufundisha vyema wafikapo shuleni. Wananchi wahoji; nini kinaendelea darasani? Na Rakesh Rajani, Mkurugenzi Mtendaji, HakiElimu Wananchi wanahimizwa kushiriki kikamilifu katika kuboresha elimu kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM). Ushiriki huo ni pamoja na kutoa fursa kwa jamii kuchangia mawazo yao. Ili kupanua uwanja wa kuchangia mawazo, toleo hili pia linatoa nafasi kwa wananchi kutoa maoni na kero zao. Hizi ni baadhi tu ya maelfu ya barua zinazotumwa HakiElimu kutoka kwa watu mbalimbali. Lengo ni kuwezesha sauti za watu kusikika na kuchangia mjadala wa namna ya kuboresha elimu na demokrasia nchini. Watoa maoni wengi wanaipongeza MMEM kwa mafanikio yaliyofikiwa. Wanakiri kuwa sura ya majengo mengi ya shule za msingi hapa nchini imebadilika, kutoka hali duni na kuwa bora. Lakini wanahoji, nini kinaendelea darasani? Hivi sasa kuna mlundikano mkubwa wa wanafunzi madarasani. Vifaa vya kufundishia ni vichache. Michezo ambayo ingemwezesha mwanafunzi kuchangamsha akili na kuweza Katika mazingira hayo, elimu bora itapatikanaje? Ni wakati mwafaka kwa MMEM sasa kuangalia kwa undani nini kinaendelea darasani. Elimu bora haitapatikana ikiwa tutakuwa na idadi kubwa ya wanafunzi waliomaliza darasa la saba lakini hawajui kusoma wala kuandika! MMEM sasa iingie darasani! Bila chakula na michezo hakuna elimu Na Esperatus A. Lutalala, Bukoba - Kagera M a o n i y a n g u n i k u h u s u m a m b o yanayosababisha wanafunzi kutoelewa vizuri wanapokuwa darasani. Tatizo kubwa hasa kwenye shule za vijijini ni lishe. Utakuta mwanafunzi anakuja shuleni asubuhi bila kula au kunywa kitu chochote wakati usiku alilala na njaa au kunywa uji tu! Kutokana na njaa ni wazi kwamba hata mwalimu afundishe vipi, mwanafunzi huyo hawezi kuelewa. Atakuwa mchovu na atasinzia darasani. Kufutwa kwa somo la michezo shule za msingi pia kunachangia wanafunzi kutoelewa masomo. Wataalamu wanaeleza kuwa michezo ni muhimu katika ukuaji wa mtoto. Watoto hujifunza zaidi kupitia michezo. Michezo huwafanya watoto wawe na afya bora, kuchangamka akili na kuwaburudisha. Vipaji vya watoto pia hukua kwa njia ya michezo. Ratiba za masomo ya shule za msingi kwa sasa 34

39 zinawabana walimu pamoja na wanafunzi. Mfano, tangu saa 2 asubuhi hadi saa 8.30 mchana, mwanafunzi hapati muda wa kupumzika. Hakuna vipindi vya michezo vya kuwaburudisha na kuwaweka tayari kwa kujifunza. Nawaomba wazazi watimize wajibu wao wa kuhakikisha watoto wanakula kabla ya kwenda shule. Kwa upande wa Serikali pia ifuatilie suala la kurejesha michezo shuleni ili wanafunzi waweze kupenda shule na kuelewa masomo darasani. Kwa nini ni muhimu watoto kuuliza maswali? mambo kwa kina. Udadisi utamwezesha mwanafunzi kuwa raia bora mwenye uwezo mzuri wa kushiriki na kuchangia maendeleo ya nchi yake. Mahudhurio duni ya walimu, wanafunzi yanazorotesha elimu Na Eunice Mathias Lyeme, Dar es Salaam Pamoja na ujenzi wa madarasa, bado mahudhurio ya wanafunzi na walimu hasa katika shule za vijijini ni ya kusikitisha. Kuna watoto ambao wanashindwa kwenda shule kutokana na majukumu makubwa wanayopewa na familia zao. Na Sunday D. Bahngai, Dar es Salaam Watoto wa kike mathalan hupewa kazi nyingi za nyumbani. Katika baadhi ya makabila watoto wa Ushiriki wa mwanafunzi ni muhimu katika kike hulazimishwa kuolewa pindi wanapovunja kumpatia mtoto elimu iwe ya nadharia au ungo, wakiwa na umri mdogo wa miaka 12! vitendo. Watoto wa kiume nao hupewa jukumu la kuchunga mifugo au kufanya biashara Ni muhimu wanafunzi wakashiriki katika ndogondogo badala ya kwenda shule. kufikiri na kuuliza maswali katika masomo. Kutokana na maendeleo ya sayansi na Kutokana na ugumu wa maisha, baadhi ya teknonojia watoto wengi wanapata habari walimu nao wamekuwa wakijishughulisha zaidi kupitia vyanzo mbalimbali. Hii imesaidia na shughuli binafsi za kilimo au biashara. Utoro kupanua mawazo yao na kuwafanya wawe wa walimu na wanafunzi shuleni unaathiri wadadisi zaidi. uboreshaji wa elimu kupitia MMEM. Naomba wadau wa MMEM sasa waelekeze macho yao Vipindi mbalimbali vya redio na televisheni katika tatizo la utoro na kupendekeza namna ya vinasikika na kuonyesha wanafunzi kutoka kulitatua. nchi mbalimbali wakipewa nafasi ya kushiriki katika kutoa maamuzi yanayowahusu. Maoni Mfumo wa elimu ubadilishwe ya watoto yanatolewa kwa njia ya michezo ya Na Beatrice M. George, Dar es Salaam kuigiza, nyimbo na hata mabango. Napenda kuchangia maoni yangu juu ya Mtoto anapokuwa mdadisi darasani isieleweke kuboresha elimu nchini. Kwanza, nashauri kwamba anataka kumdhalilisha mwalimu. mfumo wa elimu ubadilishwe, mathalan, badala Hiyo iwe ni changamoto kwa mwalimu ya mtoto kusoma masomo 7 shule ya msingi hadi kupanua uelewa wake ili aweze kufundisha 15 kidato cha pili, asome machache ya fani yake. kwa ufasaha na kuboresha elimu. Mtoto anapokuwa mdadisi atashiriki vyema na Mfumo huo utampa mwanafunzi muda wa kuelewa zaidi masomo. kusoma kwa makini na undani masomo ya fani yake. Mfano, mtoto anaweza kuulizwa fani Ushiriki pia unasaidia kumfundisha anayoipendelea na kupangiwa darasa kulingana mwanafunzi ujasiri na kumpa uwezo wa na kile anachopenda, iwe ni masomo ya Sayansi, kujenga hoja za msingi na kuweza kuchambua Biashara au Sanaa. 35

40 Hii itaboresha mfumo wa elimu kwani wanafunzi hawatapoteza muda wao mwingi kusoma masomo ambayo hawatayafanyia kazi hapo baadaye. Pili, lugha ya kufundishia ingebadilishwa kuanzia darasa la kwanza hadi vyuo vya elimu ya juu. Badala ya kutumia Kiswahili kitumike Kiingereza. Masomo yanayofundishwa shule za msingi ni yaleyale wanayoyakuta sekondari lakini kinachowababaisha wanafunzi ni Kiingereza. Hiyo itapunguza idadi ya wanafunzi wanaofeli shule za sekondari na itawawezesha Watanzania kusoma, kuzungumza na kuandika kwa ufasaha katika Kiingereza ambacho ni lugha ya mawasiliano duniani. Tatu, tunaweza pia kukuza lugha yetu ya Kiswahili kwa kuigeuza kuwa lugha ya kufundishia kuanzia shule za msingi hadi vyuo vya elimu ya juu. Hilo litawezekana iwapo tutashirikiana vyema na wataalamu wa lugha hiyo. Kwa kutumia lugha mama, wanafunzi wataweza kuelewa zaidi masomo, kujiamini na kujivunia lugha yao wanapojadili hoja mbalimbali popote duniani. Ujenzi wa madarasa sawa, nyumba za walimu je? Na Geofrid B. Mushongi, Karagwe Huu (mwaka 2004) ni takriban mwaka wa tatu tangu kuanza kwa Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM). Tumeshuhudia ujenzi wa madarasa mengi na mazuri yanayoendana na karne ya sasa. Pongezi zangu kwa wadau wote lakini vipi kuhusu nyumba za walimu? Ukweli ni kwamba kuna shule zimejengwa kwa wingi na zina madarasa yasiyopungua saba; ajabu ni kwamba hakuna hata nyumba moja ya mwalimu. Je tunajenga vipi madarasa ya mamilioni na kuyatelekeza porini bila kuwa na nyumba hata moja ya mwalimu? Ni mwalimu gani atapenda kufundisha kwenye madarasa mazuri huku akiishi kwenye nyumba za udongo? Ujenzi wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu iwe ni pande mbili za sarafu moja! Kiasi cha fedha zinazotumwa shuleni kiwe wazi Na Aloys Kasisi Samweli, Nansio Ukerewe Fedha za MMEM zimetolewa na Serikali ili kujenga vyumba vya madarasa na shughuli nyingine za kuboresha elimu kote nchini. Maoni yangu ni kwamba, majengo mengi ni mazuri lakini ubora wake unatia mashaka. Ni nani anawajibika kukagua ubora wa madarasa hayo? Inaelekea mengi hayatadumu kwani viwango vilivyotumika ni vya chini mno. Pili, shule zimepangiwa kupata fedha kwa ajili ya kununua vitabu na vifaa vya kufundishia (capitation grant). Ni kiasi gani cha fedha kila shule inatakiwa kupata kwa mwaka? Je, shule zinafahamu kiasi cha fedha zinazostahili kupokea kwa mwaka? Muda wa kupata mgao wa fedha ni muhimu ili daftari la mwanafunzi likiisha apewe jingine mapema badala ya kusubiri miezi! Vilevile itapunguza migongano kati ya walimu na wazazi kwani hawatalazimika kulipia kuchapa mitihani. Mwisho, kamati za shule zinatakiwa kubandika taarifa za mapato na matumizi hadharani. Nani anawajibika kuhakikisha kamati zinatekeleza hayo? Kamati inaposhindwa kutoa taarifa kwenye vikao vya hadhara, wananchi tufanyeje? Naomba maoni na uzoefu wenu. Kulikoni shule hizi? Na Phillip Komba, Tabora Zipo shule za vijijini ambazo zimetajwa kupitia vyombo vya habari kwamba hazijawahi kufaulisha wanafunzi kwa takriban miaka

41 Inasemekana kuwa walimu ni wachache katika shule hizo. Walimu hao pia hufundisha siku tatu tu katika juma zima. Siku zilitobaki huwa ni za kutafuta maji ambayo hupatika umbali mrefu. Siku nyingine ni za kufuata mishahara na mahitaji mengine ambayo hayapatikani katika maeneo ya vijijini. Hali halisi ya usafiri, mazingira ya shule, nyumba za walimu na vifaa vya kufundishia bado ni kitendawili. Je ni elimu ya namna gani itapatikana katika mazingira ya namna hiyo? Ufundishaji ukoje? Walimu wangapi watapenda kufundisha katika mazingira hayo? Serikali inafuatilia vipi shule ambazo hazijafaulisha wanafunzi kwa miaka mingi? Ni wazi kwamba shule isipofaulisha kwa muda mrefu, wanafunzi wanaathirika kisaikolojia na wataingia darasani kutimiza wajibu kwa vile hawana mtu wa kuwaongoza (role model). Walimu nao watakuwa wakiwaburuza wanafunzi wakati wa kufundisha huku wakiwaza namna ya kukabiliana na hali ngumu ya maisha nje ya shule. Ili kufanikisha zaidi MMEM, iwekwe mikakati ya haraka kuzisaidia shule hizo kuboresha elimu kwa manufaa ya kizazi kijacho. Mpango wa mafunzo kazini kwa walimu umeishia wapi? Na Meshack Mwandolela, Mafinga Iringa Serikali ilianzisha mpango wa mafunzo kwa walimu kazini ili hatimaye wafanye mitihani na kufikia daraja la III A. Vitabu viliandaliwa na wawezeshaji walilipwa fedha lukuki ili kufanikisha kazi hiyo. Ukweli ni kwamba, ufundishaji wa wawezeshaji hao ulikuwa mbovu kwani walitoa maelekezo ya kulipua na kwa muda mfupi sana. Walimu walirudishwa nyumbani kwenda kujisomea huku wakiwa na maswali tele. Hawakujua wa kumwuliza baada ya wawezeshaji hao kuondoka. Vitabu vya kujisomea kwa walimu pia havikutosha! Walimu walipowauliza viongozi wa elimu katika ngazi za wilaya hadi mkoa walijibu kuwa hawana taarifa zozote kuhusu mpango huo! Hivi sasa mpango huo haujulikani hatma yake. Nashauri mpango wowote wa maendeleo unapoanzishwa uhakikishe kwanza maandalizi yamekamilika, wadau wanapata taarifa, wanashiriki kikamilifu na ufuatiliaji wa makini ufanyike kuhakiki utekelezaji. Watoto walioathirika wasibaguliwe Na Euphrase Kezilahabi, Mwanza Watoto wote wanastahili kupata elimu bora bila kujali jinsi, dini, rangi wala maumbile. Katika shule mbalimbali kote nchini lipo kundi la watoto walioathirika na virusi vya UKIMWI (VVU). Ikumbukwe kwamba UKIMWI ni janga la kitaifa. Vitendo vya kuwanyanyapaa watoto walioathirika vinarudisha nyuma azma yetu ya kuhakikisha watoto wote wanapata elimu bila kubaguliwa. Endapo jamii itaendelea kuwaelewa vibaya waathirika wa VVU itakuwa ndio chanzo cha kuwanyanyasa na hatimaye kuwanyima haki zao za kimsingi kama vile kuendelea na masomo, kunyimwa huduma za jamii, kupachikwa majina yasiyostahili na kudharauliwa. Naomba Serikali iweke malengo kuhakikisha kuwa; watoto walioathirika wanapata huduma zote muhimu, wanahudhuria shule na kuhitimu masomo. Fedha za MMEM zitumike kuboresha elimu Na Stephen Shemlinda, Tanga Maoni yangu ni kuhusu utunzaji wa vyanzo vya mapato ya shule na matumizi yake. Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu 37

42 ya Msingi (MMEM) imetoa fedha kwa ajili ya kuboresha elimu nchini. Licha ya nia njema ya Serikali, fedha hizo kwa sasa zimegeuka kuwa chanzo cha migogoro katika kamati za shule. Wazazi, walimu na jamii inayozunguka shule pia wamejikuta katika hali ngumu kutokana na ama kutoielewa vyema MMEM na wahusika kutosimamia vizuri na kuweka wazi mapato na matumizi ya shule. Mifano hai imetokea hapa Tanga ambapo baadhi ya wanakamati walikubaliana na ripoti ya Mwalimu Mkuu na baadhi wakaikataa wakiungana na wazazi. Mvutano wa aina hii unazorotesha maendeleo ya elimu. Badala ya kungalia hali ya ufundishaji kunakuwepo na mabishano kuhusu fedha za MMEM. Nashauri fedha za MMEM zitumike kuboresha elimu na si kukuza migogoro. Kila shule iwe na mwalimu mwenye taaluma ya Uhasibu/ Utunzaji wa Vitabu (Book keeping) ambaye atakuwa akiandaa hesabu za shule badala ya Mwalimu Mkuu. Hiyo itasaidia kuondoa utata pindi wazazi au jamii wanapotaka kufahamu mapato na matumizi ya shule. 38

43 9. Matendo ya Wananchi katika Kuleta Mabadiliko (2004) Ni haki ya wananchi kuuliza maswali, kutoa maoni yao Na Rakesh Rajani, Mkurugenzi Mtendaji, HakiElimu K a t i b a y a n c h i y e t u i n a s e m a Wananchi ndio msingi wa mamlaka yote, na Serikali itapata madaraka na mamlaka yake yote kutoka kwa wananchi kwa mujibu wa Katiba...Serikali itawajibika kwa wananchi... Wazo la kuwa na Marafiki wa Elimu msingi wake ni kwa wananchi wenyewe, kama watendaji wakuu, kushiriki kuleta mabadiliko wao wenyewe na pia kuiwajibisha Serikali kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Habari zilizochapishwa katika jarida hili zinaonyesha wazi matendo ya wananchi katika kuleta mabadiliko. Mathalan; Wananchi wa Musoma walileta mabadiliko kwa kuhoji matumizi ya fedha za MMEM, Arusha wana mkakati wa kuwapa motisha walimu na Ukonga wameanza utaratibu wa kuhakiki ubora wa majengo ya shule. Inaelekea kuwa wazo la wananchi kufanya vitendo vya kuleta mabadiliko linapata upinzani katika baadhi ya sehemu nchini. Unaweza kuulizwa Unafanya hivyo kama nani? au Kwani wewe nani? Jibu ni kwamba; Mimi ni mwananchi mwenye haki kwa mujibu wa Katiba. Tunahitaji kujenga utamaduni Tanzania ambapo wananchi wa kawaida watajisikia huru kuuliza maswali, kutoa mawazo yao na kushiriki kwa vitendo katika kuleta mabadiliko. Harakati za Marafiki wa Elimu Tanzania ni za watu ambao wameshaanza kutekeleza haki yao ya kikatiba. HakiElimu ni mraghabishi wa harakati hizo. Marafiki si mawakala wala wawakilishi wa HakiElimu. Hawafanyi kazi wala hawapokei mwongozo kutoka HakiElimu. Hawasubiri kuambiwa nini cha kufanya. Marafiki wenyewe, kama watu binafsi au vikundi, wanaamua cha kufanya - kwa mujibu wa sheria - kuifanya elimu na demokrasia kuwa hai katika jumuiya zao. Utajiunga nao? Marafiki wa Elimu: Mnafanya nini? Na Walter de Nijs, Babati-Arusha Nasikitika kuona Marafiki wa Elimu wengi wanaoandikia jarida hili wanatoa ushauri tu kwa watu wengine bila kueleza wao wanafanya nini. Naomba fursa na kuelezea sisi Marafiki wa Babati tunafanya nini kuboresha elimu ili kutoa changamoto kwa wengine. Kupitia shirika letu la Local Initiatives Support Organisation (LISO), tumechagua maeneo ya kushughulikia katika harakati za kuboresha elimu. Kwanza, kuna majengo ya madarasa yenye madirisha madogo yasiyopitisha mwanga. Pili, kuna uhaba wa vifaa vya kufundishia, vikiwemo vitabu vya ziada na pia nyumba za walimu hazitoshi. Marafiki wameandaa mikakati ya kuwapa motisha walimu na wanafunzi. Kwa upande wa walimu, hivi karibuni, kamati ya shule iliandaa sherehe ya kuwapongeza walimu (bila walimu kujua). Hii 39

44 iliwapa moyo sana walimu ambao walijisikia Marafiki walizitaja changamoto kuwa ni jamii kwa kweli wazazi wanawajali. Tukumbuke kutotenga muda wa kutosha kujadili masuala kuwa mwalimu ambaye hana raha kazini muhimu ya elimu. Nyingine ni wazazi atapata shida sana kufundisha watoto. kutofahamu sera na miongozo kuhusu ushiriki Upo utaratibu pia wa kuwapa motisha watoto hasa wa wanafunzi katika kamati za shule. ili waache utoro na kupenda kuja shuleni. Marafiki wengi wanashindwa kutofautisha kati Tunatafuta wafadhili wa kutusaidia kununua ya Harakati za Marafiki wa Elimu na HakiElimu. vifaa vya michezo na jezi kwa ajili ya wanafunzi. Wengine hudhani kuwa HakiElimu ni moja kati Vilevile tunatafuta vyombo vya muziki/bendi. ya idara za Serikali. Marafiki pia hukwama Hatua hii tunaamini itawavutia watoto kuja w a n a p o w a h o j i b a a d h i y a w a t e n d a j i shuleni na kuacha utoro. wanaopindisha utekeleza wa sera na mipango ya Ningependa kupata taarifa na uzoefu kutoka Serikali. kwa wadau wengine. Wanafanya nini? Marafiki hukutana na maswali kama wewe Wanajifunza nini? Wanahusisha vipi watoto unauliza kama nani? Wakati mwingine wenye ulemavu? Wanawasaidia vipi watoto hudaiwa vitambulisho vinavyowapa mamlaka ya masikini ambao wanashindwa kwenda shule kufuatilia na kuuliza maswali! Hii inaonyesha kwa kukosa sare au mahitaji mengine ya kuwa haki ya kikatiba ya mwananchi muhimu? Wanafanya nini kuhamasisha wazazi kuzungumza na kutoa mawazo yake bado kushiriki katika kuboresha elimu? haieleweki sehemu nyingi nchini. Marafiki wapania kuboresha elimu Na Mary Nsemwa, HakiElimu Tarehe 10 Machi 2005, Marafiki wa Elimu walikutana jijini Dar es Salaam kujadili ushiriki, wajibu, majukumu, mategemeo na umiliki wa Harakati za Marafiki wa Elimu. Katika mkutano huo, Marafiki walijadili uelewa wao juu ya harakati hizi, mafanikio waliyopata na changamoto zinazowakabili. Baadhi ya mafanikio ya kazi za Marafiki ni kuweza kuhamasisha na kushawishi jamii kufahamu na kujadili mafanikio na matatizo ya sekta ya elimu nchini. Baadhi wameweza kushawishi wazazi kupeleka watoto wao shule. Kwa mujibu wa washiriki, mijadala katika jamii imefanikiwa kutokana na mwongozo mzuri wa Serikali unaotoa uhuru wa kuhoji, kuuliza maswali na kujadili sera mbalimbali zinazowagusa wananchi. Marafiki pia wametoa changamoto kwa watu kusoma machapisho yaliyoandikwa kwa lugha rahisi kuhusu sera mbalimbali, yanayosambazwa na HakiElimu. 40 Ili kukabiliana na changamoto hizo, washiriki wanapendekeza kujenga mitandao madhubuti miongoni mwa Marafiki ili kubadilishana mawazo, uzoefu na habari za elimu. Nyingine ni kuwajibika katika harakati za kuboresha elimu, kuhimiza wazazi kushiriki na kufuatilia maendeleo ya watoto shuleni. Wamependekeza pia kutumia mitandao mbalimbali ya mawasiliano ili kusaidiana wakati wanapopata matatizo. Mathalan kutumia vyombo vya sheria na habari, tovuti na barua. Musoma wahoji matumizi ya pesa za MMEM Na Marafiki wa Elimu, Majita- Musoma Wananchi wa Majita, Musoma wameitaka kamati ya shule kusoma taarifa halisi ya mapato na matumizi ya fedha za shule katika mkutano wa wazazi. Hatua hiyo ilifikiwa na wananchi baada ya kusoma miongozo mbalimbali ya Serikali na kugundua kwamba wana haki ya kuhoji matumizi ya fedha za shule. Miongozo hiyo ilitumwa na HakiElimu kwa Marafiki wa Elimu wa eneo hilo.

45 Baada ya kuyasoma machapisho na kupata mwanga, wazazi na Marafiki, kupitia serikali ya kijiji waliomba uitishwe mkutano wa hadhara. Katika mkutano huo wazazi walidai haki yao ya kusomewa taarifa na hasa za ruzuku kwa kila mwanafunzi (Capitation Grant). Wakati wa kusomewa mahesabu, wananchi waligundua kwamba baadhi ya taarifa za fedha hazikulingana na matumizi na nyingine hazikuwa sahihi. Walishauri Mratibu Elimu Kata apeleke taarifa katika ngazi ya juu ili kuizuia kamati ya shule hiyo isitoe fedha benki mpaka itakapotoa taarifa sahihi za mapato na matumizi ya fedha za shule. Mkutano huo wa wazazi pia ulitoa mapendekezo kwa Ofisi ya Ukaguzi kuzitembelea shule mara kwa mara na kukagua matumizi ya fedha za MMEM. Wananchi walishauri Marafiki wengine kote nchini kushirikiana na Serikali katika kutekeleza mipango ya maendeleo. Moja ya majukumu ya Marafiki wa Elimu ni kuchangia kwa mawazo na vitendo harakati za kuboresha elimu. Fedha za MMEM ni mkopo kwa Serikali ambapo kila mwananchi atawajibika kulipia kwa njia ya kodi. Fedha hizo zisipotumika kwa malengo yaliyokusudiwa kwa sasa, watakaoathirika ni watu masikini ambao watabebeshwa mzigo wa kulipia karo za watoto na kununua vitabu! Marafiki Ukonga wahakikisha vyoo vya shule vinafaa! Na Marafiki wa Elimu, Ukonga, Dar es Salaam Katika harakati za kuleta mabadiliko ya elimu, Marafiki wa Ukonga wamehoji gharama halisi zilizotumika kujenga vyoo vya shule. Hayo yalifanyika katika mkutano wa hadhara wa wazazi kwenye shule moja ya msingi, kata ya Ukonga, jijini Dar es Salaam. Pamoja na gharama za ujenzi, mkutano huo pia ulijadili ubora wa vyumba vya madarasa yaliyojengwa kwa fedha za MMEM. Awali Marafiki waliotembelea shule hiyo waliona kuwa vyoo vilivyojengwa havikuwa na hadhi; havikujengwa kitaalamu na havikuwa na viwango vya ubora. Vilijengwa kwa matofali mabovu na yasiyofaa. Mkutano huo uliitaka kamati ya shule kutoa hesabu za gharama halisi zilizotumika kujenga vyoo hivyo. Baada ya kushindwa kutoa maelezo sahihi, serikali ya kijiji iliipa kamati ya shule siku 14 kufanya marekebisho ya hesabu na kukarabati vyoo ili viwe na ubora unaostahili. Huu ni mfano bora wa namna ambavyo Marafiki wanaweza kuleta mabadiliko na uwajibikaji kwa kushirikiana na Serikali. Je, Marafiki wenzetu popote mlipo, mmeleta mabadiliko gani? Marafiki wasaidia ongezeko la walimu, wanafunzi kufaulu Na Petro M. Mgunda, Njombe Napenda kuwafahamisha Marafiki wa Elimu kote nchini mambo ambayo tayari yamefanywa na wenzao huku Njombe. Kwa kushirikiana na kamati ya shule na Mratibu Elimu Kata tulikaa kikao na kupeleka maombi yetu kuhusu kuongezewa walimu wilayani. Ushirikiano wetu na viongozi umewezesha kupatikana kwa walimu wa kutosha katika shule nyingi wilayani hapa. Tumejiwekea mikakati ya kuhakikisha kwamba kila mtoto anayestahili kwenda shule anaandikishwa. Kama Marafiki, tunafuatilia na kuhakikisha kila mzazi anatekeleza wajibu wake. Tunayo pia mipango ya kumwajibisha mzazi/mlezi atakayemzuia mtoto wake kwenda shule. Matunda mengine kutokana na ushirikiano mkubwa kati ya walimu, wazazi na wanaharakati ni kuwezesha kufaulu kwa kiwango cha juu katika shule yetu. Vilevile 41

46 tumechangia kuwepo kwa vitendea kazi shuleni, majengo, vyoo na viwanja vya michezo. Tumeshirikiana pia na uongozi wa shule na kamati ya shule kuhakikisha fedha zote zilizotolewa katika Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) pamoja na michango ya hiari ya wananchi, zinatumika kulingana na mipango iliyokusudiwa. Tunashauri Marafiki wengine kote nchini waanze kuleta mabadiliko ya elimu kwa vitendo katika maeneo yao. Nawatembelea nyumba kwa nyumba kuhamasisha uandikishaji shule Na Yonafika Dickson, Bulyankulu, Tabora Nimeamua kutembelea shule na familia mbalimbali hapa kijiji kujadilina nao na kuwahamasisha juu ya umuhimu wa elimu kwa watoto. Nimefanya hivyo baada ya kusoma miongozo inayoeleza kuwa kila mtoto ana haki ya kupata elimu. Wapo baadhi ya wazazi ambao bado wanawazuia watoto wao kwenda shule ili wawasaidie katika miradi yao mbalimbali. Nimetembelea shule 4 hapa Bulyankulu na kuzungumza na wanafunzi ambao wengi wao hawakujua kwamba elimu ni haki yao. Nimewapa mbinu mbalimbali za kuweza kuwasaidia watoto wenzao ambao wananyimwa haki yao ya kupata elimu pamoja na wazazi wao. Nimefanya pia ziara katika familia 9 ambazo hawakutaka watoto wao wasome. Familia 3 kati ya hizo 9 hazijawahi kwenda shule hata ya chekechea! Kuanzia baba, mama na watoto wote. Sababu kubwa ni umasikini. Wazazi hawana fedha za kuwanunulia watoto sare na vifaa vingine vya shule. Kwa ujumla, nilifanya majadiliano na familia 23. Matokeo yake, watoto 38 waliandikishwa kuanza darasa la kwanza na wazazi zaidi ya watatu walijiunga na darasa la Elimu ya Watu Wazima. Kwanini fedha za ruzuku kwa kila mwanafunzi zinachelewa? Na Mganga Semwija, Kidugalo, Ngerengere-Morogoro Naipongeza Serikali kwa majengo mazuri ya Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM). Hata hivyo, bado yapo matatizo ambayo yanaathiri upatikanaji wa elimu bora. Baadhi ya matatizo hayo ni ucheleweshaji wa fedha za ruzuku kwa kila mwanafunzi, dola 10 (Capitation Grant). Fedha hizi zinatumwa kwa mafungu na hazifiki kwa wakati mwafaka. Tatizo lingine ni upungufu wa walimu. Mathalan, bado ziko shule zenye wanafunzi 500 lakini walimu ni 7 tu. Kwa hali hiyo walimu watawezaje kutoa elimu bora? Madawati na samani pia bado ni tatizo kubwa. Fedha zilizotolewa hazitoshi kutengeneza madawati ya kutosha. Wananchi wamekuwa wakitoa michango ya hali na mali kukabiliana na tatizo hili lakini michango yao ni kidogo kutokana na ugumu wa maisha. Maslahi ya walimu bado yana utata. Marekebisho ya mshahara baada ya kupanda daraja hayafanyiki kwa wakati. Fedha za uhamisho hazipatikani kwa wakati ama hazipatikani kabisa! Hali hii inasababisha walimu kukata tamaa na kujiingiza katika shughuli binafsi badala ya kufundisha. Matatizo niliyoyataja, kama hayatafanyiwa kazi mara moja, tutaishia kuwa na majengo mazuri bila elimu bora. MMEM isiishie 2006! Na Michael Magoma, Shinyanga Wakati MMEM inaelekea ukingoni nashauri Serikali iweke mikakati ya kuhakikisha kuwa fedha zilizotolewa kote nchini zimetumika kwa madhumuni yaliyokusudiwa. 42

47 Nashauri hivyo kwa sababu kuna uwezekano shule zingine zikaachwa zikiwa katika hali duni kutokana na uzembe wa baadhi ya viongozi. Huenda fedha zinatolewa kwa wakati Wizara ya Fedha lakini hazifuatiliwi kwa makini kuona kama zinafika shuleni kwa wakati. Mambo ya kufuatilia ni: Je, kila shule ina vifaa vya kufundishia, vyumba vya madarasa na vyoo vya kutosha? Nyumba za walimu je? Maji na mazingira ya shule yanaridhisha? Napendekeza pia yawepo maandalizi ambayo yatawezesha MMEM kuwa endelevu. Hii itasaidia sio tu shule ambazo zitakuwa hazijakamilisha mipango yake bali pia kuongeza kiwango cha ubora wa elimu. Fedha za mafunzo kwa walimu zinatumikaje? Na M. Ngurangwa, Masasi-Mtwara Juhudi za kuboresha elimu zinakwamishwa na baadhi ya watendaji wa serikali wilayani. Utakuta sera inasema walimu wapate mafunzo kila baada ya muda fulani ili kuongeza ujuzi na kwenda na wakati. Walimu wengi wanapenda kujiendeleza na elimu ya juu ya diploma lakini wanapata upinzani kutoka kwa baadhi ya watendaji wa wilaya na halmashauri. Wanawawekea walimu vikwazo na kukataa kuwalipia kozi bila sababu za msingi. Ikiwa Serikali inahimiza walimu wajiendeleze lakini wakati huo huo watendaji wake wanaweka vikwazo, tufanyeje? Kwanini halmashauri ambazo zinakaa muda mrefu bila kupeleka walimu kwenye mafunzo hazichukuliwi hatua? Nashauri Serikali ifuatilie kwenye halmashauri kote nchini kujua jinsi fedha za mafunzo ya walimu zilivyotumika. 43

48 10. Demokrasia na Utawala Bora (2005) Mwanza anasema tusisubiri amri kabla ya kuchukua hatua, na anatoa mifano hai. Ayoub Mkumbuki wa Tanga anaeleza namna viongozi wa vijiji wanavyotakiwa kutowakatisha tamaa wananchi walio katika kamati za shule. Mwananchi: Hii ni haki yako! Na Rakeshi Rajani, Mkurugenzi Mtendaji, HakiElimu Waandishi wetu pia wanatukumbusha kuwa si sawa kuridhika na mafanikio ya baadhi ya watu kama walio wengi wanaendelea kuachwa pembeni. Mwendo Mnamba wa Mtwara anaeleza wazi jinsi watoto kutoka familia maskini wanavyokosa elimu ya sekondari. Hivi karibuni Bungeni, Serikali imekiri kwamba suala la elimu ya msingi kwa walemavu halijafanyiwa kazi vya kutosha, na haki inahitajika ili kuleta mabadiliko ya haraka. Hata hivyo, katika makala yake James Mikenze anatuambia namna Biseko Busanya, mwanafunzi mwenye ulemavu Ukerewe anavyotia fora. Hongera Biseko! Na wewe je? Ni nchi yako. Anza leo. Ifanye iwe nchi ya kupendeza. Tusisubiri amri, tulete mabadiliko Na Mathias Leonard Ndeki, Mwanza Mwananchi ni nani? Ni wewe. Ni mimi. Ni familia na jamaa. Jirani. Rafiki. Ni sisi sote. Nchi hii ni ya nani? Ni nchi yetu. Kwa sababu mimi ni mwana-nchi. Na wewe ni mwana-nchi. Sisi sote ni wana- nchi. Wazee. Wadogo. Wanawake. Wanaume. Matajiri. Wanyonge. Wote. Hata ikiwa nchi ni nzuri au mbaya, inatenda haki au haitendi kabisa, inategemea kwa kiasi kikubwa ni nini tunafanya. Inategemea tunavyofikiri na tunavyochukua hatua. Mara nyingi watu wanaongea kana kwamba nchi yetu ni mali ya viongozi tu, au wakubwa- wenye-nchi - na kazi ya mtu wa kawaida ni kupokea anachopewa na kufuata amri. Lakini hii si kweli. Kuwa mwananchi anayewajibika ni kujenga demokrasia na kuleta maendeleo kila siku, tukianza na mimi na wewe. Halafu, kama alivyosema Mwalimu Nyerere, hata viongozi watafuata. Nakala hii ya SautiElimu ina mifano mingi ya wana-nchi wanavyochangia demokrasia na maendeleo kila siku. Mathias Ndeki wa Nasifu na kupongeza jitihada za taasisi mbalimbali katika kuboresha elimu nchini. Jamii imeanza kujitambua na kuelewa mambo yanayohusu upatikanaji wa elimu, umuhimu wake na hata kuwawajibisha viongozi ambao wanasimamia elimu katika maeneo yao. Awali katika maeneo mengi hasa vijijini watoto wa kiume ndio waliopewa elimu. Wasichana hawakupata nafasi, labda katika familia zenye upeo wa elimu. Inatia moyo kuona jinsi ambavyo familia nyingi katika maeneo yetu zimeanza kuwaandikisha na kufuatilia mahudhurio ya watoto wao wa kike shuleni. Hayo ni mafanikio japokuwa kuna maeneo ambayo bado yako nyuma. Ya p o m a t a t i z o a m b a y o t u n a w e z a kuyashughulikia kama jamii bila kusubiri amri za viongozi kutoka juu. Mfano, kudhibiti utoro wa wototo wetu, kupambana na tatizo la mimba kwa watoto wa kike na kutokuwaajiri watoto ili 44

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Elimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini...

Elimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini... Elimu Bora, lakini... Shukrani za dhati kwa wote waliotusaidia katika kutayarisha kijitabu hiki: Nsa Kaisi, Mshauri wa Rais, kwa mchango wake mkubwa wa mawazo Wafanyakazi wote wa HakiElimu 2003-2004 Many

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA

More information

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 1. Utangulizi Changamoto kuu iliyopo kuhusiana na Elimu ya msingi nchini Tanzania kwa sasa ni namna

More information

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA 2007 i WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Shule za umma za kata ya Fayette 1 Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Muhtasari wa yale watoto wanastahili kufahamu na kuweza kufanya na njia za familia kuongeza masomo nyumbani. Tunaamini familia ni wenzetu.

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue? Tufundishane! Let s teach each other! This newsletter is published by The Foundation for Tomorrow and is meant to be a venue for teachers and schools to share and learn from each other s best practices.

More information

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Martha Qorro 1 1.0 Utangulizi Elimu ni suala la jamii ambalo mipango na taratibu zake zinahitaji kushirikisha wadau

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Gervas Zombwe 1 1. Utangulizi Katika mazingira ya kawaida kabisa ndani ya jamii yetu, Imezoeleka kusikia au kuona watu wakioanisha dhana ya elimu

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo Taarifa ya Warsha Kuhusu Elimu-Jumuishi Iliyofanyika Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Kujifunza hakuna mwisho. Kazi ya vikundi imenipa fursa ya kujieleza bila kuhofia kuwa ningekosea.

More information

Ufundishaji wa lugha nyingine

Ufundishaji wa lugha nyingine CHUO CHA ELIMU CHA KIMATAIFA OFISI YA ELIMU YA KIMATAIFA Ufundishaji wa lugha nyingine Na Elizabeth B. Bernhardt ELIMU MAZOEA KITABU NA. 20 1 Chuo cha Elimu cha Kimataifa (The International Academy of

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia HakiElimu & Policy Forum KUUELEWA MCHAKATO.indd a 1/20/10 11:00:56 AM KUUELEWA MCHAKATO.indd b 1/20/10 11:00:57 AM Kuuelewa Mchakato wa

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Imechapishwa na: The Atlas Alliance Schweigaardsgt 12 SLP 9218 Grønland 0134 Oslo, Norway Simu: +47

More information

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MFUMO WA RUZUKU YA MAENDELEO YA MTAJI WA SERIKALI ZA MITAA (LDCDG) UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI Kijitabu cha Mshiriki

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA NGUZO KUMI ZA KWANZA (MFUMO WA UTEKELEZAJI) NGUZO YA 1 DIRA YA TAIFA YA KWANZA 1.1 Kupitisha Dira ya KWANZA SHUGHULI MAJUKUMU MUDA MHUSIKA MKUU 1. AZIMIO LA KWANZA 2. mpango wa utekelezaji wa KWANZA 3.

More information

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI SIKOMBE YIZUKANJI YORADI TASNIFU YA KISWAHILI KWA MINAJILI YA KUTUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI (MA. KISWAHILI) KITIVO CHA SANAA

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu Nyenzo ya Mafunzo Vi Agroforestry Vi Agroforestry ni shirika la ushirikiano la maendeleo la Sweden, linalopambana dhidi ya umasikini na

More information

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of

More information

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre Shangazi Stella Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO Training and Research Support Centre Zimbabwe Shangazi Stella Kiongozi cha Mwezeshaji

More information

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MHESHIMIWA SOPHIA M. SIMBA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2013/14 DODOMA Mei,

More information

ORDER NO BACKGROUND

ORDER NO BACKGROUND In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment Background 1. On 4 th September, 2012, the Energy and Water Utilities

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI NAMBA ZA SIMU: Mkuu Wa Shule: 0784524029 / 0766805826. Makamu Mkuu Wa Shule: 0714356735 / 0767356735. SHULE YA SEKONDARI

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) Dar es Salaam Oktoba 2007 YALIYOMO ORODHA YA VIFUPISHO DIBAJI SHUKRANI MUHTASARI RASMI SURA

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA

More information

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza 1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa

More information

Mipango ya miradi katika udugu

Mipango ya miradi katika udugu Partnerschaftlich Projekte planen Mipango ya miradi katika udugu 2 Dibaji... 3 Utangulizi... 4 I. Nafasi ya (Wajibu wa) Fedha katika Udugu: Mtazamo wa Ki-indonesi... 5 II. Namna UEM Inavyowezesha Miradi

More information

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA E- mail: uchilesekondari@yahoo.com P.O. BOX 582 Mob: +255 (0) 752 476 389 SUMBAWANGA KUMB. NA. USS/JOINING/F.V/03 10 Juni 2017...... YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO

More information

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health Wasiojua kusoma na kuandika katika karne ya 21 hawatakuwa wale wasiojua kusoma na kuandika lakini wale ambao hawawezi kujifunza, kutojifunza na kujifunza

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)

More information

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Mazoezi ya wenye umri wa miaka 11-14 Hivi Ndivyo Nilivyo kwa wenye umri wa miaka 11-14 Kuhusu Hivi Ndivyo Nilivyo Ikiwa

More information

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII SHERIA KATIKA LUGHA RAHISI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA (TANGANYIKA LAW SOCIETY) KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012

MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012 MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012 TASNIFU HII IMEWASILISHWA KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJI

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) TOLEO LA PILI Dar es Salaam, Oktoba, 2007 i ii JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA SIMU NA: (027) 2642082 TANGA (OFISI) 0784 889 099 TANGA (NYUMBANI) Tovuti: www.tangaschool.sc.tz Barua pepe: tangaschool@yahoo.com JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA

More information

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Child Abuse & Neglect 43(2015)8 21 Orodha Yaliyomo inapatikana katika ScienceDirect Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Nakala ya Utafiti Mbinu za kuimarisha mifumo ya ulinzi wa mtoto kuanzia chini kwenda

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji! Yaliyomo Kuhusu kitabu hiki Kuhusu kitabu hiki.........................................................1 Unapojisikia vibaya.........................................................2 Unapoanza kuwa mzima

More information