TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

Size: px
Start display at page:

Download "TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014"

Transcription

1 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/ JULAI,

2 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA UTANGULIZI Kuhusu Tume Dira ya Tume Dhima ya Tume Malengo Mkakati ya Tume Kuhusu Idara ya Utawala Bora Malengo ya Idara kwa mwaka wa fedha 2013/ SURA YA PILI UPOKEAJI NA UCHUNGUZI WA MALALAMIKO Upokeaji wa malalamiko Masuala yaliyolalamikiwa Taasisi zilizolalamikiwa Uchunguzi wa malalamiko Baadhi ya malalamiko magumu yaliyochukua muda mrefu kupata ufumbuzi Vikao vya Usuluhishi Malamiko yaliyofungwa SURA YA TATU KUHAMASISHA UZINGATIAJI WA UTAWALA BORA Kuanda Kijitabu cha Mwongozo wa Utawala Bora Mikutano ya Hadhara SURA YA NNE USHIRIKIANO NA TAASISI NYINGINE Kitaifa Kimataifa SURA YA TANO RASILIMALI FEDHA Fedha za ndani (OC) Fedha za Mradi SURA YA SITA CHANGAMOTO, MAPENDEKEZO NA MATARAJIO Changamoto Mapendekezo Matarajio Katika Mwaka wa Fedha 2014/ i

3 MUHTASARI Idara ya Utawala Bora katika mwaka wa fedha 2013/2014 kwa kuzingatia mpango kazi wake imetekeleza majukumu manne makubwa ambayo ni kuendelea kupokea, kuchunguza na kuyapatia ufumbuzi malalamiko ya wananchi kuhusiana na ukiukwaji wa misingi nya utawala bora, kuhamasisha uzingatiaji wa utawala bora, na kushirikiana na taasisi za ndani na nje katika maswala ya utawala bora. Idara, mwanzo wa mwaka 2013/14 ilikuwa na jumla ya malalamiko 1,774 (backlogs) na ilipokea jumla ya malamamiko 307 (mapya) na kufanya jumla ya malalamiko kuwa 2,081. Kati ya malalamiko hayo malalamiko 844 yanahusu matumizi mabaya ya madaraka, 655 mafao na 582 ajira na nidhamu. Hadi kufikia mwezi Juni, mwisho wa mwaka wa fedha jumla ya malalamiko 600 yalichunguzwa na kuhitimishwa. Katika kuhamasisha uzingatiaji wa utawala bora, Idara ya Utawala Bora ilitoa elimu kwa wananchi na viongozi katika ngazi ya kata na vijiji kuhusu Sheria, taratibu na Kanuni za masuala ya ardhi. Jumla ya wananchi na viongozi 8,009 kutoka katika mikoa 10, wilaya 18 na kata 65 za Tanzania Bara na 520 kutoka mikoa 4, wilaya 4 za Zanzibar walifikiwa. Ili kuendeleza mashirikiano na wadau mabaliambali, Idara kwa niaba ya Tume ilishirikiana na AOMA kuandaa mchakato wa kinyang anyiro cha kuwania nafasi ya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Dunia wa IOI unaotarajiwa kufanyika mwaka 2016 na Tume ilipata nafasi ya pili kati ya nchi nne zilizoshindana na ushindi ulichukuliwa na nchi ya Thailand. Pia Idara iliandaa mafunzo ya Maafisa Uchunguzi kutoka taasisi za Ombudsman barani Afrika (Regional Training of Anglophone African Ombudsman Institutions) zinazoongea kiingereza. Jumla ya washiriki wapatao 23 kutoka Kenya, Malawi, Nigeria, Lethoto na Tanzania walishiriki. ii

4 Katika kuongeza uzoefu kwenye maswala ya Rushwa, idara kwa kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ilipata fursa ya kukutana na Mkurugenzi Mkuu (Dr. Kuyok) wa Tume ya Kuzuia Rushwa ya Sudan Kusini inayoitwa South Sudan Anti-Corruption Commission (SSACC). Ili kuhakikisha kuwa idara inapata ushirikiano wa ndani, idara kwa mwaka wa fedha 2013/14 ilifanikiwa kukutana na taasisi za Serikali na zisizo za kiserikali kama vile Wizara ya Fedha kwa lengo la kuzidisha kasi ya kutatua malalamiko yanayoelekezwa Hazina. Kwa upande wa Asasi za kiraia wawakilishi wanafunzi kutoka Action Aid Denmark walitembelea Idara kwa lengo la kujifunza jinsi Tume inavyofanya kazi zake hususan upande wa masuala ya utawala bora. Pia kwa ufadhili wa Taasisi ya Policy Forum idara ilifanikiwa kuchapisha nakala 25,000 za kitabu cha Mwongozo wa Utawala Bora ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo kwa maafisa bajeti kumi na tano (15) wa Tume kuhusu jinsi ya kuandaa mpango mkakati wa Tume unaotekelezeka. Pamoja na utekelelezaji wa majukumu yake kama yalivyoanishwa hapo juu, idara iliweza kuwa na mafanikio na changamoto mbalimbali kama zitakavyofafanuliwa kwa udani katika sura ya tano ya taarifa hii. iii

5 SURA YA KWANZA 1.0 UTANGULIZI 1.1 Kuhusu Tume Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (Tume) ni idara ya Serikali inayojitegemea. Imeundwa kwa mujibu wa Ibara ya 129 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka Majukumu ya Tume yameainishwa katika ibara ya 131 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 na Kifungu cha 6 (1) Vifungu vidogo (a) - (o) vya Sheria ya Tume Sura ya 391 ya Sheria za Tanzania. Baadhi ya majukumu hayo ni: (i) (ii) (iii) (iv) (v) (vi) (vii) Kukuza nchini kinga na hifadhi ya haki za binadamu na wajibu kwa jamii kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi; Kupokea malalamiko ya uvunjwaji wa haki za binadamu kwa ujumla; Kufanya uchunguzi juu ya mambo yanayohusu uvunjwaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya utawala bora; Kufanya utafiti katika mambo ya haki za binadamu, utawala bora na kuelimisha jamii kuhusiana na mambo hayo; Kuchunguza malalamiko yanayohusiana na utekelezaji au utendaji wa watu wanaoshikilia ofisi katika utumishi wa serikali, mamlaka za umma au vyombo vya umma, ikijumuisha taasisi binafsi na watu binafsi ambapo malalamiko hayo yanadaiwa kuwa ni ya matumizi mabaya ya madaraka, sio ya haki, huduma za upendeleo kwa mtu yeyote ikiwa ni lalamiko au jambo jingine, katika kutekeleza kazi zao za kiserikali au umma; Kutoa ushauri kwa serikali na vyombo vingine vya umma na taasisi za sekta binafsi juu ya mambo maalum yanayohusiana na haki za binadamu na utawala bora; Kwa kupitia serikalini, kushirikiana na wawakilishi wa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Nchi za Afrika, Jumuiya ya Madola na taasisi nyingine zenye mahusiano baina yao, miongoni mwao au ya kikanda na taasisi za nchi za nje 1

6 ambazo zina uzoefu katika maeneo ya hifadhi na ukuzaji wa haki za binadamu na utawala bora; na (viii) Kuchukua hatua zifaazo kwa ajili ya ukuzaji na uendelezaji wa upatanishi na usuluhishi miongoni mwa watu mbalimbali na taasisi ambazo hufika au kufikishwa mbele ya Tume Dira ya Tume Kuwa na jamii yenye utamaduni ambao unakuza na kulinda haki za binadamu na misingi ya utawala bora wakati Dhima ya Tume Kulinda haki za binadamu na misingi ya utawala bora kwa ushirikiano na wadau Malengo Mkakati ya Tume Ili kuweza kutekeleza majukumu yake na hatimaye kufikia dira na dhima yake kama ilivyoelezwa hapo juu, Tume imekuwa ikiongozwa na Mapango Mkakati (Strategic Plan) wa miaka mitano mitano ambao hubeba malengo makuu ya kiutekelezaji na hatimaye kutengenezewa Mpango Kazi (Action Plan) wa Mwaka husika. Mpango Mkakati wa Tume umezingatia majukumu yake kikatiba na kisheria, Sera ya MKUKUTA (nguzo ya Tatu), Kamusi ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 (Ibara ya 185 (f)), Malengo ya Milenia 2015 na Dira ya maendeleo ya Taifa 2025 (lengo la ii na iii). Mpango Makakati wa mwaka ina malengo makuu nane (8) ambayo ni 1. Lengo A: kuongeza utoaji huduma kwa kuhakikisha kuwa maabukizi ya Ukimwi yanapungua. 2. Lengo B: kuimarisha upambanaji na kupiga vita Rushwa. 3. Lengo C: Kuimarisha uwezo wa uchunguzi na kutafiti wa masuala ya uvunjifu wa haki za binadamu na ukiukaji wa misingi ya utawala bora. 4. Lengo D: Kuongeza uelewa wa haki za binadamu na misingi ya utawala bora kwa wadau. 2

7 5. Lengo E: Kuiwezesha Tume kuwafikia wananchi. 6. Lengo F: Kuimarisha nguvu za kisheria za Tume na kuimarisha utoaji huduma bora. 7. Lengo G: kuimarisha mahusiano na taasisi za kitaifa, kikanda na kitaifa juu ya maswala ya haki za binadamu na utawala bora. 8. Lengo H: Kuimarisha uwezo wa utoaji ushauri na uhamasishaji juu ya sera mbalimbali za kitaifa kuzingatia maswala ya haki za binadamu na utawala bora. Malengo hayo kama yalivyoainishwa hapo juu, ndio yanayosimamia utengenezaji wa vipaumbele vya Tume na hatimaye kutengeneza Mpango-Kazi katika Mfumo wa Muda wa Kati wa Matumizi (MTEF) na hatimaye mpango kazi (Action Plann) wa idara sita za Tume. Kila idara husimamia utekelezaji wa kazi zilizoanishwa kwa mwaka husika kwa kuzingatia rasilimali fedha na watu kwa lengo la kufikia malengo makuu/vipaumbele vya ya taasisi. 1.2 Kuhusu Idara ya Utawala Bora Idara ya Utawala Bora ni moja kati ya Idara Sita (6) za Tume. Idara hii inashughulikia ukuzaji wa utawala bora kwa kuzingatia majukumu ya Tume na malengo mkakati ya Tume. Idara hii imegawanywa kwenye Sehemu (Sections) 3 ambazo ni Sehemu ya Ajira na Nidhamu, Sehemu ya Matumizi Mabaya ya Madaraka na Sehemu ya Mafao ya Kustaafu Malengo ya Idara kwa mwaka wa fedha 2013/2014 Ili kutekeleza mpango mkakati ya Tume, Idara ilijwekea shughuli zifuatazo katika mpango kazi wake wa mwaka wa fedha 2013/14: 1. Kuchunguza na kuyapatia ufumbuzi malalamiko. 2. Kuhamasisha uzingatiaji wa misingi ya utawala bora miongoni mwa viongozi, jamii, na taasisi binafsi. 3

8 3. Kuimarisha ushirikiano na taasisi mbalimbali za ndani na nje kwa kutoa elimu juu ya umuhimu wa utawala bora Ili kutekeleza shughuli hizi, Idara ilitengewa kiasi cha Tshs mia tatu hamsini na saba milioni mia nne arobani elfu (357,440,000/-). Pia katika mwaka huo wa fedha, utekelezaji wa majukumu ya Idara kwa kuzingatia rasilimali fedha ilisimamiwa na rasilimali watu kama ifuatavyo:- Idara ina Maafisa uchunguzi thelathini na saba (37) ambao wamegawanywa kwenye sehemu tatu (3), (section) kama inavyoonesha kwenye jedwali No. 1 hapo chini. Watumishi hawa wana taaluma mbalimbali zikiwemo sheria, walimu, utawala, uandishi wa habari na sociologia. NA. Kielelezo Na. 1: idadi ya maafisa uchunguzi wa idara ya Utawala Bora. SEHEMU IDADI YA WATUMISHI WANAWAKE WANAUME JUMLA YA WATUMISHI 1 Kurugenzi (MUB) Matumizi Mabaya ya Madaraka Ajira na Nidhamu Mafao JUMLA Pia kuna watumishi sita (6) wasidizi wa kazi za idara supportive staff. Kielelezo Na. 2: wasaidizi wa Idara ya utawala Bora Suppotive Staff NA. WAHUDUMU JINSIA WANAUME WANAWAKE JUMLA 1 Ofisi ya Masjala Ofisi ya Mapokezi JUMLA 6 4

9 SURA YA PILI 2.0 UPOKEAJI NA UCHUNGUZI WA MALALAMIKO 2.1 Upokeaji wa malalamiko Hadi kufikia tarehe 30 mwezi Juni, 2014 Idara ilikuwa ina jumla ya malalamiko 2,081 kati ya hayo, malalamiko 307 ni ya mwaka wa fedha 2013/14 na malamiko 1,774 ni ya zamani. Malalamiko haya yanashughulikiwa kama ilivyoainishwa kwenye jedwali hapo chini. Kielelezo Na. 3: mgawanyo wa malalamiko kulingana na Sehemu husika. NA. SEHEMU IDADI YA MALALAMIKO 1 Matumizi Mabaya ya Madaraka Ajira na Nidhamu Mafao 655 JUMLA 2, Masuala yaliyolalamikiwa Katika kipindi cha Julai, 2013 hadi Juni, 2014, Idara ilipokea malalamiko yanayohusu masuala yafuatayo: Kielelezo Na. 4: Masuala yaliyolalamikiwa. MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA Viongozi/watendaji wa Serikali kunyanyasa wananchi MASUALA YA AJIRA Kutopadishwa cheo ULIPAJI WA MAFAO Kutolipwa mafao Kutolipwa mirathi Kutolipwa mshahara Kupunjwa mafao Kupunjwa mirathi Kupunjwa mshahara Kutolipwa bima Kutopatiwa nakala ya hukumu Kutolipwa malimbikizo ya mishahara Kukatwa bima bila ridhaa/mkataba 5

10 Kutolipwa fidia ya ardhi/nyumba Kupunjwa fidia ya ardhi/nyumba Kutolipwa fidia ya ajali Kutolipwa fidia ya mali/mizigo/fedha Kutolipwa fidia ya kuong olewa jino Kutolipwa fidia ya kuumia kazini Kunyang anywa ardhi/mali na serikali Kufungiwa biashara na kunyimwa leseni Kuzidishiwa ankara ya umeme Mamlaka za serikali kutojibu maombi/barua za wananchi DPP kuachia huru watuhumiwa Mamlaka za serikali kutotii amri ya mahakama Kutolipwa posho za mashahidi Kutumia madaraka vibaya Kufutwa majina kwenye pay roll ya mshahara Kutorekebishiwa mshahara Kusimamishwa kazi kwa uonevu Kuachishwa kazi kwa uonevu Kufukuzwa kazi kwa uonevu Kutopewa cheti/barua ya kuacha/kufuzwa kazi Kutopatiwa mkataba wa ajira Kutopewa barua ya kubadilishwa kada Kutopewa uhamisho Kutolipwa posho ya mizigo Kutolipwa likizo Kutolipwa posho ya muda wa ziada Kupunjwa nauli ya uhamisho Matumizi mabaya ya ofisi Kutoshirikisha wananchi Kupewa masharti katika kuleta maendeleo magumu ya likizo ya kusoma Kubambikiziwa kesi; Kushushwa cheo kwa uonevu Kuchelewesha kesi/rufaa kusikiliza Kutopewa nakala ya hukumu Kutosikiliza kesi Kukatwa pesa kwenye mshahara bila ridhaa/mkataba. Kutorejeshwa kwenye daftari la pensheni Kutowasilishiwa michango ya mafao Kutolipwa nauli na gharama za mizigo baada ya kustaafu 6

11 Kuchelewesha hukumu ya kesi watendaji kutofuata sheria Kusainishwa mkataba bila ridhaa Michango mashuleni Polisi kupiga raia kukithiri Kutolipwa fedha zake na serikali Kunyimwa mkopo wa elimu ya juu 2.2 Taasisi zilizolalamikiwa Jedwali lifuatalo linaoneosha baadhi ya taasisi zilizolalamikiwa na idadi ya malalamiko. Kielelezo Na. 5: Taasisi zilizolalamikiwa. S/N TAASISI INAYOLALAMIKIWA IDADI 1 Mamlaka za TAMISEMI Mahakama 20 3 Jeshi la Polisi 17 4 Shirika la Bima la Taifa 11 Mifuko ya Hifadhi ya Jamii 11 5 Wizara ya Fedha na Uchumi 7 Jeshi la Wananchi wa Tanzania 7 6 Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu 6 7 Wizara ya Mambo ya Ndani 6 Jeshi la Magereza 5 1 Ofisi za Wakuu wa Wilaya (Mbarali, Ulanga, Morogoro, Kusini Unguja, Mpanda, Ngorongoro na Loliondo); Ofisi za Wakurugenzi Watendaji wa Wilaya (Korogwe, Mbinga, Hai, Ilala, Muleba, Singida, Luliondo, Mafia, Magu, Tabora Vijijini, Ngara, Mahenge, Ukerewe, Urambo, Kondoa, Babati, Moshi vijijini, Bukoba vijijini, Tabora vijijni, Sumbawanga, Mpwapwa, Biharamulo, Ruangwa, Moshi, Meatu, Kigoma, Kilombero, Mpanda, Bagamoyo, Nachigwea, Njombe, Kahama, Musoma, Lindi, Ukerewe, Serengeti); Wakurugenzi wa Manispaa (Dodoma, Morogoro, Temeke na Kinondoni, Mbeya); Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Korogwe; Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam; Manispaa ya Bukoba na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha. 7

12 9 Wizara ya Ardhi Nyuma na Maendeleo ya Makazi 4 10 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi 4 11 Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii 4 14 Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya 4 15 Wizara ya Maliasili na Utalii 2 16 Wizara ya Uchukuzi 2 17 Ofisi ya Waziri Mkuu 2 Kampuni ya Reli Tanzania 2 Kampuni ya Ranchi za Taifa 2 18 Wizara ya Katiba na Sheria 1 19 Shirika la Nyumba la Taifa 1 20 Consolidated Holding Corporation 1 21 Reli Assets Holding Company 1 22 Tume ya Uchaguzi Tanzania 1 23 Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali 1 24 Shirika la Mzinga 1 25 Chama cha Ushirika Kilimanjaro KNCU 1 26 Bayport 1 27 Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Njombe NJOWASA 1 28 Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) 1 29 Sekretarieti ya Ajira 1 30 Benki ya NMB 1 31 Chuo Kikuu Huria cha Tanzania 1 32 Kampuni ya Chokaa ya Neelkanth 1 33 TOL Gases Ltd. 1 Coast Radiators Ltd 1 Tropical Pesticides Institute (TORI) 1 United Bank for Africa 1 TANESCO 1 General Nile Company 1 8

13 Hospitali ya Taifa ya Muhimbili 1 Shule ya Sekondari Kanyigo 1 Ocean Link Shipping Services 1 Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino 1 Benki Kuu ya Tanzania 1 Korogwe Feeds & Millers 1 Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania 1 Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF 1 Hospitali ya Bombo 1 Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) 1 Wengine 58 Takwimu hizi zinaonesha kuwa taasisi za umma zimelalamikiwa zaidi kuliko taasisi za binafsi. Vile vile, taasisi za uuma zinazoongozwa kwa kulalamikiwa ni zile zilizopo chini ya TAMISEMI (malamiko 102), zikifuatiwa na Mahakama (malalamiko 20) na Jeshi la Polisi (malalamiko 17), Shirika la Bima la Taifa (malalamiko 11), na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (malalamiko 11). Malalamiko dhidi ya taasisi zilizopo chini ya TAMISEMI yanahusu kunyanyasa wananchi, kunyang anya wananchi ardhi bila kufuata utaratibu wa sheria, kutwaa ardhi ya wananchi bila kuwalipa fidia, kutowapandisha watumishi vyeo, kutolipa malimbikizo ya mishahara, kutolipa mafao ya kustaafu na stahili nyingine za kiutumishi, kutojibu barua za wananchi kwa wakati, n.k. Malalamiko dhidi ya Mahakama yanahusu kutopangiwa tarehe ya kusikiliza kesi/rufaa, kutotoa nakala za hukumu, na ucheleweshaji wa kesi. Malalamiko dhidi ya Jeshi la Polisi yanahusu matumizi ya nguvu kupita kiasi, matumizi mabaya ya madaraka, utesaji wa wananchi, kubambikizia wananchi kesi na kutolipa stahili za kiutumishi za maaskari. 9

14 Kwa taarifa hizo na matokeo ya uchunguzi ya awali, Idara inaona kuwa kunahitajika mikakati zaidi ya kukuza utawala bora kwenye taasisi za serikali, hasa katika masuala ya matumizi sahihi ya madaraka, utoaji bora wa huduma, uzingatiaji wa sheria na kuinua viwango vya maadili katika maeneo ya kazi. 2.3 Uchunguzi wa malalamiko Katika mwaka wa fedha 2013/14 Idara ilifanya uchunguzi wa malalamiko yote 2,081 (307 mapya na 1,774 ya zamani). Hadi kufikia tarehe 30 Juni, 2014, Idara ilikuwa imefanikiwa kuhitimishi uchunguzi wa malalamiko 600, na hivyo kubaki na malalamiko Idara imefanya uchunguzi wa malalamiko hayo kwa njia mbalimbali, kama vile mawasiliano ya barua, uchunguzi wa hadharani, na kuwafuata walalamikiwa kwenye ofisi zao Baadhi ya malalamiko magumu yaliyochukua muda mrefu kupata ufumbuzi CASE 1: MSAJILI MAHAKAMA YA RUFAA SHAURI NA.1996/05/06/MAHAKAMA Kutolipwa mirathi Shauri la mirathi ya aliyekuwa marehemu Hakimu wa Mahakama ya Wilaya. Ilielezwa kuwa Hakimu baada ya kufariki mwaka 1990, mirathi Na.6/1991 ilifunguliwa kwa hatua za ufuatiliaji wa malipo ya mirathi. Mwajiri aliwasilisha jalada Hazina kwa ajili ya malipo. Msimamizi wa mirathi (mjane) aliendelea kufuatilia malipo hayo kwa miaka ishirini na moja akisafiri kutoka mkoani Tabora kuja Dar es Salaam bila ya mafanikio. Baadaye ilibainika kuwa katika jalada cheti cha kifo na kiapo cha mjane wa marehemu vilikosekana. Mwajiri aliwasilisha vielelezo hivyo Hazina. Pamoja na hatua hiyo bado mirathi haikulipwa na kupelekea mjane na msimamizi wa mirathi kukata tamaa na kujitoa katika nafasi ya usimamizi wa mirathi. Hivyo mtoto wa marehemu aliyeachwa na umri wa miaka kumi na tatu (13) mwaka 2002 aliteuliwa kuwa msimamizi wa mirathi na kuanza kufuatilia Hazina. Tume ilipokea suala hili baada ya msimanizi wa mirathi kusubiri malipo kwa miaka kadhaa bila mafanikio Uchunguzi wa kina ulifanywa. Taarifa ilionesha kuwa barua ya kuthibitishwa kazini ilikosekana. 10

15 Tume ilifuatilia mkoani Tabora na kuwasiliana na mwajiri. Baada ya jitihada za Afisa wake barua ilipatikana. Pamoja na hatua hiyo bado mirathi ilikwama kutokana na kukosekana kwa jalada la marehemu kutoka kwa mwajiri. Tume ilifanikisha kupatikana kwa jalada hilo na kuliwasilisha Hazina ambapo sehemu ya malipo ya mirathi kwa ajili ya matunzo ya watoto yenye jumla ya Tshs. 663, ililipwa mwezi Disemba, 2013 na mirathi yenye jumla ya Tshs. 3,430, ililipwa mwezi Februari, Msimamizi wa mirathi aliishukuru Tume kwa kufanikisha kulipwa mirathi. Hata hivyo haki iliyochelewa ni sawa na haki iliyonyimwa kwa thamani ya fedha hiyo kwa miaka ya 1990 hailingani na mwaka ilipolipwa CASE 2: KAMISHNA WA ARDHI SHAURI212/05/06/ARDHI Kutolipwa fidia Shauri la kutolipwa fidia lilipokelewa na Tume Mwaka 2005 akilalamikia kutolipwa fidia ya kiwanja Na.192 kilicopo eneo la Mwanagati wilayani Temeke.Tume iliendesha vikao kumi na mbili vya usuluhishi (12) bila kupata mafanikio baada ya Tume kulitembelea eneo kwa zaidi ya mara tatu na kujionea hali halisi ya eneo. Hii ilifuatia maamuzi ya Tume kuweka zuio katika eneo hili wakati shauri liko mbele ya Tume. Mlalamikiwa alikaidi amri ya Tume na ujenzi uliendelea katika eneo hilo, Tume ilimpeleka malamikiwa mahakama ya kisutu kwa kosa la kuakaidi amari ya Tume. Baada kesi kusikilizwa mahakama ililitupilia mbali madai ya Tume kwa kwa ilidai Tume haikupeleka zuio lake mahakamani kupata nguvu ya kisheria na Tume ilishindwa kwenye kesi hiyo. Hta hivyo shauri la msingi bado linaendelea kwa takrbani miaka tisa (9) sasa. Tume haikuishia hapo ilifanya kikao na katibu Mkuu wzara ya Ardhi na kufikia maamuzi ya kuunda Tume ya wattaalamu itakayo pendekeza nini cha kufanya ili shauri hili liweze kupatiwa ufumbuzi na hivi karibuni Kamishna wa Tume aliahidiwa kuwa mwishoni mwa 11

16 mwezi Julai,2014 ripoti hiyo itakuwa imekamilika hivyo bado tume inaendelea kusubiri ahadi hiyo 2.4 Vikao vya Usuluhishi Baada ya kukamilisha uchunguzi, Idara, pale inapoona inafaa, inaweza kufanya usuluhishi na upatanishi kwa kuwaweka pamoja pande zote mbili yaani walalamikaji na walalamikiwa. Mamlaka hayo ni kwa mujibu wa Kifungu cha 15 (2) (a) cha Sheria ya Tume Na. 7/2001. Katika mwaka wa fedha 2013/2014 Idara ilifanya vikao 10 vya usuluhishi, ambapo Sehemu ya Ajira na Nidhamu ilifanya vikao viwili, Sehemu ya Mafao ilifanya vikao viwili na Sehenu ya Matumizi Mabaya ya Maradaraka ilifanya vikao sita. Aidha kwa kutumia njia ya usuluhishi na upatanishi Idara imefanikiwa upatikanaji wa haki za walalamiakaji kama ifuatavyo:- a) Katika shauri Na. UB/S/ 2409/04 /05/ARDHI Mlalamikaji aliweza kulipwa fidia ya ukuta na kisima kiasi cha fedha tasilimu Tshs milioni kumi na laki tano (10,500,000/=) na kupewa kiwanja mbadala eneo la Geza Ulole lenye thamani ya Jumla ya Tshs milioni kumi na mbili na laki nane (12,8000,000/=). b) Aidha kwa upande wa mahusiano kazini kwa kutumia njia ya usuluhishi Tume ilifanikiwa kuleta upatinishi kati ya mwajiri na mtumishi katika shauri Na. UB/S/328/13/14/DED/TEMEKE/DSM ambapo mlalamikaji alirudishwa kwenye payroll baada ya kufutwa alipokwenda masomoni bila idhini ya mwajiri, hata hivyo naye mwajiri hakuwajibika kwa upande wake kwa kuwa naye hakuweza kumjulisha mtumishi kuwa asiende masomoni. 12

17 2.5 Malamiko yaliyofungwa Katika mwaka wa fedha 2013/14, Idara imehitimisha uchunguzi na kufunga malalamiko 600 kwa sababu mbalimbali. Jedwali lifuatalo linaonesha sababu na ufafanuzi wa kufungwa malalamiko hayo na idadi kwa kila sababu. Kielelezo Na. 6: Malalamiko yaliyofungwa na sababu zake. S/N KIGEZO CHA KUFUNGA LALAMIKO UFAFANUZI 1 Kufaulu Walalamikaji wamepatiwa haki zao 2 Kutofaulu Walalamikaji wameshindwa kuthibitisha madai yao 3 Kuachwa Malalamiko kuwa nje ya muda (time barred). Tume kutokuwa na mamlaka ya kuyachunguza. Walalamikaji kushindwa kuipa Tume ushirikiano. 4 Kushauriwa/kuelekezwa Walalamikaji kupewa ushauri wa namna ya kushughulikia madai yao. IDADI

18 SURA YA TATU 3.0 KUHAMASISHA UZINGATIAJI WA UTAWALA BORA Jukumu la kuhamasisha uzingatiaji wa utawala bora lipo kwa mujibu wa kifungu cha 6 (1) (a) cha Sheria ya Tume Na. 7/2001. Katika mwaka wa fedha 2013/14, Idara ilitekeleza jukumu tajwa hapo juu kwa njia mbili, ambazo ni kuandaa Kijitabu cha Mwongozo wa Utawala Bora, na kufanya mikutano ya hadhara. 3.1 Kuanda Kijitabu cha Mwongozo wa Utawala Bora Idara ilishirikiana na Mtandao wa Policy Forum na Idara ya Elimu kwa Umma na Mafunzo kuandaa kijitabu cha Mwongozo wa Utawala Bora. Kijitabu hicho kilizinduliwa rasmi mwezi tarehe 25 Septemba Kwa kuanzia, zilichapishwa nakala elfu ishirini na tano ambazo tayari zimesambazwa kwenye zaidi ya mikoa 30 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kitabu hicho kimeandaliwa ili kuwasaidia wananchi, watendaji na viongozi kufahamu masuala ya utawala bora. Aidha Policy Forum wamekuwa wakitoa vijitabu mbali mbali kwa Tume vinavyozungumzia masuala ya utawala bora ambavyo vimekuwa vikigawiwa kwa wananchi wanaotembelea ofisi za Tume na vijijini Tume inapofanya ziara mikoani kupitia mikutano ya hadhara. Lengo kuu la kijitabu hiki ni kuhamasisha uzingatiaji wa mising ya utawala bora kwa kukuza uelewa wa wananchi, viongozi na watendaji wa ngazi zote kuanzia vijiji hadi taifa. 14

19 Kielelezo Na. 8: Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki akizindua kijitabu cha Mwongozo wa Utawala Bora. Uzinduzi huo ulifayika Makao Makuu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora mtaa wa Luthuli Dar es Salaam 3.2 Mikutano ya Hadhara Kuanzia tarehe 23/9/2013, Idara ilifanya mikutano ya hadhara na watendaji, viongozi na wananchi kwenye mikoa kumi (10) ya Tanzania bara na mikoa mine (4) ya Zanzibar ili kujadiliana na kubadilishana uzoefu na wananchi, viongozi na watendaji kuhusu uzingatiaji wa misingi ya utawala bora katika masuala ya ardhi. Mikoa iliyofikiwa ni Mbeya, Morogoro, Tanga, Shinyanga, katavi, Rukwa, Ruvuma, Njombe, Kagera, Manyara, Kusini Unguja, Kaskazini Unguja, Kusini Pemba na Kaskazini Pemba. Jumla ya wananchi waliofikiwa Tanzania Bara na Zanzibar ni Shughuli hii ilifanywa kutokana na matokeo ya Uchunguzi wa Hadharani wa Tume wa mwaka 2012 ulioonesha kuwa kuna ukiukwaji mkubwa wa misingi ya utawala bora na haki za binadamu pale mamlaka za serikali zinapowahamisha wananchi kutoka kwenye ardhi zao kwa sababu mbalimbali, ikiwemo uwekezaji. 15

20 Kupitia mikutano hii, Idara iliweza kubadilishana uzoefu na taarifa na wananchi, viongozi na watendaji kuhusu haki ya kumiliki ardhi na utaratibu wa kisheria wa kuwahamisha wananchi kutoka kwenye ardhi yao pale ambapo ardhi yao inatwaliwa na Serikali kwa manufaa ya Umma. Kielelezo Na. 9: mwananchi akiuliza swali kama wanawake nao wanahaki ya kumiliki ardhi 16

21 SURA YA NNE 4.0 USHIRIKIANO NA TAASISI NYINGINE Idara ya Utawala Bora imekuwa ikifanya kazi kwa kushirikiana na taasisi mbali mbali za kitaifa na kimataifa. Ushirikiano huo umejikita zaidi katika nyanja za mafunzo, warsha na mikutano yenye lengo la kuongeza uwezo wa wafanyakazi katika kutekeleza majukumu yao. 4.1 Kitaifa a) Ushirikiano na Taasisi za Serikali Taasisi za kitaifa ambazo Idara imeshirikiana nazo kwa karibu ni Wizara na Idara mbali mbali za Serikali mfano Wizara ya Fedha, Kamishna Bernadeta Gambishi akifuatana na mafiasa wa Idara ya Utawala Bora alikutana na Katibu Mkuu wa wizara hiyo Bwana Ramadhani Kija ili kujadili ni namna gani nzuri ya kushughulikia malalamiko ambayo yapo Hazina na hayajibiwi. Kufuatia mkutano huo Katibu Mkuu Hazina aliteua maafisa wawili (2) wa kushughulikia malalmiko yanayo toka Tume kwa wakati.. Ili kuzidisha kasi ya kutatua kero hizo, Tume iliandaa mafunzo kwa maafisa kutoka Hazina na taasisi zinazolalamikiwa na kupewa mafunzo maalum juu ya haki za binadamu na misingi ya utawala bora. b) Ushirikiano na Asasi za Kiraia Mbali na ushirikiano na taasisi za serikali, Idara imekuwa na ushirikiano wa karibu na Asasi za Kiraia. Kama ilivyoelezwa kwenye Sura ya Tatu, Tume imeshirikiana na Mtandao wa Policy Forum katika kuandaa kijitabu cha Mwongozo wa Utawala Bora ikiwa ni jitihada za Tume na wadau katika kukuza utawala bora nchini. Vile vile, Idara ya Utawala Bora Mwezi Septemba, 2013 iliratibu ziara ya wanafunzi walioitembelea Tume waliotoka ndani na nje ya nchi chini ya asasi ya kiraia inayoitwa Action Aid Denmark kwa lengo la kujifunza jinsi Tume inavyofanya kazi zake hususani 17

22 upande wa masuala ya utawala bora. Wanafunzi hao, pamoja na mambo mengine, walijifunza kazi za Tume, jinsi Tume inavyofanya shughuli zake, mafanikio na changamoto. Pia walipata fursa ya kuuliza maswali na kujibiwa. Kwa kupitia ziara hiyo wanafunzi hao waliahidi kuwa mabalozi katika kuitangaza Tume na kusimamia haki za binadamu na utawala bora nchini. Ushirikiano huo na asasi hii ulipelekea idara kupata mwaliko wa kuhudhuria kongamano la wadau juu ya Mkakati wa Kuifanya Elimu ya Tanzania itoe ajira (Contextualizing Education for Employment in Tanzania: Strategies for Getting it Right). Afisa mmoja kutoka idara ya Utawala Bora aliteuliwa kuhudhuria kongamano hilo lililofanyika katika ofisi za Action Aid zilizopo Dar-es-Salaam. 4.2 Kimataifa Taasisi za kimataifa ambazo Idara imeshirikiana nazo kwa mwaka 2013/2014 katika kutekeleza kazi zake ni African Ombudsman and Mediators Association (AOMA), Danish Ombudsman, na International Ombudsman Institute (IOI). a) Ushirikiano na AOMA Kwa kushirikiana na AOMA Idara iliweza kuingia katika kinyang anyiro cha kuwania nafasi ya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Dunia wa IOI unaotarajiwa kufanyika mwaka Idara ya Utawala Bora iliratibu andiko mradi linaloitwa Project Proposal for Hosting of the 11 th IOI Word Conference. Katibu Mtendaji wa Tume alikwenda nchini Vieena ili kilitetea andiko mradi hilo lakini kwa bahati mbaya Tume ilishika nafasi ya pili kati ya nchi nne zilizoshindana na ushindi ulichukuliwa na nchi ya Thailand. b) Ushirikiano na Danish Ombudsman Tarehe 10 na 11 Oktoba, 2013, Idara ya Utawala Bora kwa kushirikiana na Taasisi ya Danish Ombudsman, iliandaa na kufanya Semina kuhusu Utawala Bora. Semina hiyo ilifanyika kwenye ukumbi wa mikutano, makao makuu ya Tume, Dar es Salaam. Semina 18

23 hiyo ilikuwa ni utekelezaji wa kazi zilizoazimiwa kwenye Mkutano baina ya Idara na Danish Ombudsman uliofanyika tarehe on 9 th and 10 th of January 2013 Dar es Salaam. Katika Semina hiyo, washiriki walibadilishana uzoefu kuhusu masuala ya uchunguzi wa matatizo ya kimfumo (systemic investigation), matumizi ya TEHAMA katika kushughulikia mashauri na mchango wa Sheria ya Utawala (Administrative Law) kwenye kazi za Tume. c) Ushirikiano na IOI Kwa kushirikiana na IOI, Idara iliandaa mafunzo ya Maafisa Uchunguzi kutoka taasisi za Ombudsman barani Afrika (Regional Training of Anglophone African Ombudsman Institutions). Mafunzo hayo yalifanyika mnamo mwezi Januari, 2014 katika hoteli ya JB Belmont Dar-es-Salaam, Tanzania na yaligharamiwa na IOI. Washiriki wa mafunzo hayo walitoka nchi za Kenya, Malawi, Nigeria, Lethoto na Tanzania. Washiriki walijifunza chimbuko la Ombudsman na kazi zake, mbinu za kiuchunguzi na hasa masuala ya kimfumo (systemic Investigation). Washiriki walipata ujuzi na kuongeza maarifa kwa kubadilishana uzoefu kutoka nchi wanazotoka. Kielelezo 10: washiriki wa mkutano wa taasisi za Ombudsman uliofanyika katika Hoteli ya JB belmont 19

24 a) Ushirikiano na SSACC Mwezi Mei, 2014 Idara ilipata fursa ya kuratibu na kukutana na Mkurugenzi Mkuu (Dr. Kuyok) wa Tume ya Kuzuia Rushwa ya Sudan Kusini inayoitwa South Sudan Anti- Corruption Commission (SSACC). Mkurugenzi huyo aliongozana na Afisa kutoka Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) aliitembelea Tume ili kujifunza jinsi ambavyo Tume inafanya kazi zake yakiwemo masuala ya Utawala bora. Hii imetokana na shauku aliyokuwa nayo ya kuingiza masuala ya haki za binadamu na utawala bora katika Tume yake ambayo kwa sasa imejikita zaidi katika kushughulikia masuala ya rushwa. Katika kikao hicho Kamishna Ali Hassan Rajab aliueleza ujumbe huo kazi za Tume, mafanikio na changamoto zinazoikabili ambapo naye alipata fursa ya kuuliza maswali na kujibiwa. Kielelezo Na. 11: Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Kupambana na Kuzuia Rushwa Sudani Kusini (South Sudan Anti-Corruption Commission - SSACC), Dkt. Kuyok Abol Kuyok (mwenye tai) alipoitembelea Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora katika picha na maafisa wa Tume 20

25 SURA YA TANO 5.0 RASILIMALI FEDHA 5.1 Fedha za ndani (OC) Kwa mwaka wa fedha 2013/2014 idara ya Utawala Bora ilitengewa kiasi cha Shilingi 850,337,000/= ambapo Shilingi 492,897,000/= ni kwa ajili ya mishahara ya watumishi na Shilingi. 357,440,000/= kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za idara. Hadi kufikia tarehe 30 Juni, 2014, kati ya Shilingi. 357,440,000/= idara ilikuwa imepewa jumla ya Shilingi 96,454,331 ambayo ni sawa na asilimia 27% kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za idara. 5.2 Fedha za Mradi Kwa mwaka wa fedha 2013/2014 Idara ilipewa fedha kutoka mradi wa Legal Sector Reform Program (LSRP) jumla ya Shilingi 71,700,000/= kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa utoaji elimu kuhusu msuala ya haki ya kumiliki ardhi. Katika mikoa kumi na nne (14) ya Tanzania Bara na mitano (5) ya Tanzania Zanzibar. 21

26 SURA YA SITA 6.0 CHANGAMOTO, MAPENDEKEZO NA MATARAJIO 6.1 Changamoto Idara ya Utawala Bora katika kutekeleza majukumu yake inakabiliana na changamoto zinazorudisha nyuma mipango iliyojiwekea na kupunguza ufanisi wa kazi kama inavyoelezwa kwenye mpango kazi wa Idara. Baadhi ya changamoto hizo ni: 1. Uchelewashwaji wa majibu kutoka kwa walalamikiwa. Walalamikiwa wamekuwa wazito katika kujibu hoja za Tume kuhusu malalamiko mbalimbali yaliyowasilishwa na wananchi mbele ya Tume. Hali hii inasababisha ucheleweshaji wa upatikanaji wa haki kwa wakati. Ili kukabiliana na changamoto hiyo, Idara imebuni njia rahisi ya kupata ushirikiano na taasisi zinazolalamikiwa kwa kuanzisha utaratibu wa kuwa na Focal Person kwenye taasisi zote za umma. Idara imepata ufanisi kwa kutumia njia hii kwa kuwa walalamikiwa sugu kama Wizara ya Fedha na Mahakama zimetoa ushirikiano wa haraka na kusaidia kuyamaliza mashauri kwa muda mfupi. 2. Changamoto ya pili ni ukosefu wa rasilimali fedha unaosababisha kutokamilika au kutekelezwa kwa baadhi ya kazi zilizokuwa katika mpango kazi wa Idara wa mwaka 2013/2014 mfano kwa mwaka wa fedha 2013/2014 idara ilipata asilimia 27%. Tu ya kiasi cha fedha kilichopitishwa na Bunge. 3. Changamoto ya tatu ni mawasiliano duni kati ya Idara na Walalamikaji ambapo wengine hukata mawasiliano mara tu baada ya kufikisha malalamiko yao mbele ya Tume. Walalamikaji wamekuwa hawatoi ushirikiano wa kutosha na kwa muda mrefu bila kutoa taarifa iwapo madai yao yamepatiwa ufumbuzi. Hivyo wakati mwingine walalamikaji wanapofanikiwa kuzipata haki zao walizolalamikia wamekuwa hawatoi 22

27 mrejesho hii inaendeleza uwepo wa majalada ya zamani kukaa muda mrefu bila ya kufungwa (backlogs) 4.. Walalamikaji pia wamekuwa wakibadili makazi na anuani zao bila ya kuitaarifu Tume. Hili limekuwa tatizo kubwa kwa Idara kutokupata mawasiliano ya karibu na walalamikaji. Sambamba na hilo, mapendekezo ya yanayotolewa na Idara kwa taasisi na mamlaka zilizo lalamikiwa kutotekelezwa. 5. Changamoto ya tano, ni upungufu wa vitendea kazi. Idara ya Utawala Bora inaupungufu mkubwa wa vitendea kazi kama vile kompyuta za kufanyia kazi, ukosefu wa jenereta umeme unakapokatika. Upungufu wa printers. Idara hii ina printer tatu tu na kati ya hizo mbili zimeharibika moja iliyobaki inafanya kazi chini ya kiwango. hata hivyo Idara imepatiwa photocopy mashine mpya baada ya kukaa kwa muda mrefu bila ya kifaa hicho. 6. Mazingira yasiyorafiki ya kufanyia kazi ni changamoto kubwa inayoikabili Idara ya Utawala Bora iliyo katika Jengo la Twiga/Accacia. Jengo la Ofisi limechakaa pia mfumo wa maji safi na taka ni mbovu, pia mfumo wa umeme umechakaa na mara nyingi umeme huzimika kwa kuwa short: za mara kwa mara zinatokea na kuathiri utendaji kazi mzima. 6.2 Mapendekezo Ili kukuza na kuongeza ufahamu kwa jamii kuhusu utawala bora, idara ya Utawala Bora inapendekeza yafuatayo:- 1. Idara ya Utawala Bora inapendekeza kuwepo na mipango mikakati mbali mbali ya kuelemisha jamii juu ya utawala bora kwa kupitia mikutano ya hadhara kuanzia Dar es salaam na hatimaye mikoani. Hatua hii itaifanya 23

28 jamii kujua kazi na majukumu ya Tume na Utawala bora na hivyo katika mikutano hiyo ya hadhara, kupokea malalamiko mbalimbali yanayohusina na uvunjwaji wa misingi ya utawala bora. zitumike njia mbalimbali ikiwemo za media kama vile vipeperushi, magazeti, mabango pia Televisheni na radio kutoa elimu ya Utawala bora na misingi yake. Wananchi wengi hawana uelewa kuhusu haki zao na misingi ya utawala bora. Hivyo kwa kupitia nyanja hizo wananchi watapata uelewa mkubwa kuhusu utawala bora kwa ujumla. 2. Idara ya Utawala Bora ikishirikiana na Makamishna iwe na mpango wa kufanya mawasiliano na kuzitembelea Taasisi mbalimbali za kiserikali na binafsi zinazolalamikiwa mara kwa mara kwenda kuonana na Wakuu wa Taasisi hizo na kufanya nao mikutano ambayo itasaidia utatuzi wa malalamiko ambayo ni sugu na Taasisi hizo zimekuwa hazijibu barua kwa muda mrefu. Pia inapendekezwa kuwa kuwe na ratiba maalumu ambayo itatoa mwongozo wa muda wa kuzitembelea Taasisi hizo zinazolalamikiwa. 3. Kila mwaka wa fedha inapendekezwa kuwa na na maeneo maalum ya nchi ambayo yatapewa kipaumbele Priorities ni yale yanayokiuka Haki za Binadamu na misingi ya Utawala Bora kwa kiasi kikubwa mfano mikoa ya kanda ya ziwa Msoma, Shinyanga na Mwanza yanalamikiwa siku hadi siku. 4. Suala la elimu ya misingi ya utawala bora lielekezwe katika maeneo yenye migogoro na matatizo ya kiutawala yabainishwe na kupewa kupaumbele na namna ya kuyafikia. Pia inapendekezwa kuwe na utaratibu wa kuwa na mafunzo ya misingi ya utawala bora katika taasisi mbalimbali nchini kama katika secondary na vyuo vikuu kwani hii ni njia ya kuwafikia watu wengi kwa muda mfupi. 24

29 6.3 Matarajio Katika Mwaka wa Fedha 2014/ Idara ya Utawala Bora itaendelea kupokea malalmiko mapya na kuyafanyika kazi malamiko ya zamani kama ilivyoainishwa kwenye mpango kazi wa idara 2. Maafisa wa Idara ya Utawala Bora kwa kushirkiana na Waheshimiwa Makamishna kutembeleataasisi za Serkali na Mashirika ya Umma pamoja na Taasisi Binafsi zinazolalamikiwa kwa kuanzia hapa Dar es Salaam na kujadiliana na wakuu wa Taasisi hizo ili kutatua malamiko ya wananchi na kuyapatia ufumbuzi kwa haraka na kwa wakati 3. Kutoa elimu kwa kutumia njia mbalimbali kama redio,luninga, vipeperushi na majariada pamoja na kuyafikia maeneo yanayolalamikiwa kuongoza uvunjwaji wa haki za binadamu na utawala bora kadri fedha zitakavyoruhusu. 4. Kuendelea kuandika andiko mradi proposal ili kupata fedha kutoka kwa wadau wa maendeleo watakao saidia utekelezaji wa majukumu ya idara kama yalivyoainishwa kwenye mpango mkakati wa Tume 25

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA NGUZO KUMI ZA KWANZA (MFUMO WA UTEKELEZAJI) NGUZO YA 1 DIRA YA TAIFA YA KWANZA 1.1 Kupitisha Dira ya KWANZA SHUGHULI MAJUKUMU MUDA MHUSIKA MKUU 1. AZIMIO LA KWANZA 2. mpango wa utekelezaji wa KWANZA 3.

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

3. Mheshimiwa Spika, 4. Mheshimiwa Spika,

3. Mheshimiwa Spika, 4. Mheshimiwa Spika, HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI, MHESHIMIWA JOHN POMBE MAGUFULI, (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2007/08 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2009/2010 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI TAARIFA YA MAFANIKIO CHINI YA UONGOZI WA MHE. SOSPETER MUHONGO (MB) KATIKA SEKTA NDOGO YA UMEME Disemba, 014 A. MAFANIKIO 1. Kuongezeka kwa uzalishaji

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MHESHIMIWA SOPHIA M. SIMBA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2013/14 DODOMA Mei,

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHESHIMIWA MUSTAFA HAIDI MKULO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

ORDER NO BACKGROUND

ORDER NO BACKGROUND In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) Dar es Salaam Oktoba 2007 YALIYOMO ORODHA YA VIFUPISHO DIBAJI SHUKRANI MUHTASARI RASMI SURA

More information

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment Background 1. On 4 th September, 2012, the Energy and Water Utilities

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) TOLEO LA PILI Dar es Salaam, Oktoba, 2007 i ii JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia HakiElimu & Policy Forum KUUELEWA MCHAKATO.indd a 1/20/10 11:00:56 AM KUUELEWA MCHAKATO.indd b 1/20/10 11:00:57 AM Kuuelewa Mchakato wa

More information

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda WARAKA WA TAARIFA YA MRADI (PID) HATUA YA TATHMINI TAARIFA NA..: AB4376 Jina la Mradi Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda AFRIKA Sekta Madini na Uchimbaji mwingine (100%) Namba ya

More information

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII SHERIA KATIKA LUGHA RAHISI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA (TANGANYIKA LAW SOCIETY) KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA RIPOTI YA HUDUMA ZA AFYA TANZANIA BARA 2004 Imetayarishwa na: Idara ya Tiba Afya Makao Makuu P.O. Box 9083, DAR ES SALAAM June 2005 Yaliyomo Ukurasa Vifupisho

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2018/19 1 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Msingi wa Programu zote za Uimarishaji Ubora Toleo la 1 kwa Lugha ya Kiswahili

More information

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA. Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA. Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel

More information

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI MFUMO WA TATHMINI WA TAARIFA (IRM): TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI 2014 2016 Ngunga Greyson Tepani Mtafiti wa IRM Taarifa ya Mwishoni mwa Utekelezaji 2014-2016 First End-of-Term Report INDEPENDENT

More information

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN KIONGOZI CHA SHERIA Hakimiliki 2008 Kimetolewa na: Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) Waandishi: wa Toleo la 5 Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau Toleo la 5: 2008 ISBN

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

Deputy Minister for Finance

Deputy Minister for Finance ISSN: 1821-6021 Vol XI - No - 34 DID YOU KNOW? A procuring entity is?s required to use suppliers pliers?pliers?pliers?pliers among those awarded ed?ed?ed?ed framework agreements by GPSA for procurement?ents

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized!. viromen-alsc:a.. Environmental & Social MRADI WA UMEME WA GESI YA * Assessment & Management

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NNE Kikao cha Thealathini na Sita Tarehe 29 Julai, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika

More information

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY (LSF) 1 KIMEANDALIWA NA Chama Cha Wanasheria Tanzania

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA MHESHIMIWA

HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA MHESHIMIWA HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA MHESHIMIWA ANNA MARGARETH ABDALLAH, MBUNGE, KUHUSU MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2004/2005 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba sasa Bunge likubali

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU MUHTASARI WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA KLASTA YA MLINGOTI TUNDURU TAREHE 27/07/2017

HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU MUHTASARI WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA KLASTA YA MLINGOTI TUNDURU TAREHE 27/07/2017 HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU MUHTASARI WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA KLASTA YA MLINGOTI TUNDURU TAREHE 27/07/2017 1.0 WAJUMBE WALIOHUDHURIA: 1. Mh. Mbwana Mkwanda Sudi

More information

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI. Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI. Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, 2016 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alikalia Kiti HATI ZA KUWASILISHA

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA Kikao cha Ishirini na Mbili Tarehe 6 Julai, 2009 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika

More information

Draft 03 MWENGE KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MWENGE

Draft 03 MWENGE KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MWENGE MWENGE KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MWENGE MPANGO MKAKATI WA MIAKA MITANO WA MAENDELEO YA KANISA 2013-2017 i YALIYOMO 1. UTANGULIZI... 1 1.1 Lengo kuu... 1 1.2 Historia kwa ufupi... 1 1.3 Malengo ya

More information

13 APRILI, 2012 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

13 APRILI, 2012 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Jenista J. Mhagama) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa

More information

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA 2007 i WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NNE. Kikao cha Nane Tarehe 23 Juni, 2006

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NNE. Kikao cha Nane Tarehe 23 Juni, 2006 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NNE Kikao cha Nane Tarehe 23 Juni, 2006 (Ulianza Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta)

More information

Govt increases vetting threshold of contracts

Govt increases vetting threshold of contracts > ISSN: 1821-6021 Vol IX - No. 19 May 10, Free with Daily News every Tuesday DID YOU KNOW? NEWS IN Numbers?

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MHESHIMIWA DKT. HUSSEIN ALI MWINYI (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2015/16 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika,

More information

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ;II. -~ ~.! ~ l Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ~n.~ SURA YA KWANZA SHERIA YA ARDHI 1 UTANGULIZI Sura hii itaiangalia ARDHI na umuhimu wake katika maisha ya binadamu. Ardhi ni rasilimali

More information

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR.

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR. RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR. SEHEMU YA KWANZA 1.0 UTANGULIZI. Kamati Teule ya Kuchunguza Upotevu wa Nyaraka

More information

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili 1. 2-Muhtasari wa Ukurasa wa Ripoti ya Miaka minne ya Bodi Kuu ya Kanisa & Jamii............................... 2 2. Kamati ya Kawaida ya Malipo ya

More information

DIRA DHIMA. Kuendeleza, kuwezesha, kudhibiti na kusimamia matumizi endelevu ya Rasilimali za Nishati na Madini kwa manufaa ya Watanzania.

DIRA DHIMA. Kuendeleza, kuwezesha, kudhibiti na kusimamia matumizi endelevu ya Rasilimali za Nishati na Madini kwa manufaa ya Watanzania. DIRA Kuwa Taasisi yenye ufanisi na inayojali tija ili kuhakikisha kuwa Rasilimali za Nishati na Madini zinachangia ipasavyo katika maendeleo ya nchi kijamii na kiuchumi. DHIMA Kuendeleza, kuwezesha, kudhibiti

More information

Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania

Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania 2 Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI 2013 Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Dar es salaam, Dodoma na Pwani

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII MUHTASARI WA HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII MHE. PROF. DAVID HOMELI MWAKYUSA, MBUNGE, KUHUSU MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA

More information

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MOJA. Kikao cha Hamsini na Tatu Tarehe 19 Juni, (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi)

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MOJA. Kikao cha Hamsini na Tatu Tarehe 19 Juni, (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Hamsini na Tatu Tarehe 19 Juni, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU

More information