Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Size: px
Start display at page:

Download "Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI"

Transcription

1 David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition for Sustaianable Development) na Kristy Graham (ODI).

2 Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Shukurani: Waandishi wanapenda kutoa shukrani kwa Bwana Mathias Chemonges (wa Tume ya Bonde la Ziwa Victoria) kwa mchango wake muhimu sana katika rasimu ya makala hii. Angalizo Makala hii imechapishwa na mradi wa Mtandao wa MKUHUMI (REDD-net), kwa msaada wa kitengo cha Ushirikiano wa Maendeleo cha Norway (NORAD). Na tafasiri ya makala hii imewezeshwa na shirika la IPAM - Instituto de Pesquisa Ambiental da Amazônia - Amazon Environmental Research Institute, Mitazamo na mapendekezo yaliyomo katika makala hii ni yale ya waandishi na hayana uhusiano wowote wala kuwakilisha mawazo ya wafadhili au taasisi zinazoshiriki katika mradi wa REDD-net. Utafiti wa makala hii ulifanyika katika kipindi cha mwezi Juni hadi Oktoba mwaka Toleo hili limefadhiliwa na kongomano la Maandalizi ya MKUHUMI na Shirika ya kimataifa la Maendeleo la Norway yaani NORAD i

3 YALIYOMO David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Utangulizi 1 1. Kwa nini mwongozo huu 2. Taswira ya mfuko mzunguko wa fedha kama mfumo mmojawapo ya kugawana mapato katika ki kundi cha MERECP 6 3. Uchambuzi wa CRF kama mfumo wa kugawana mapato Wahusika ni wakina nani? 7 Wahusika wakuu ni wakina nani na ni nini majukumu yao? Nani anaweza kupata mapato ya kifedha na yasiyo ya kifedha kutokana na mradi? Ni vigezo gani vinatumika kumruhusu mtu mmoja mmoja kunufaika na mapato haya? Ni vigezo gani vinatumika kuruhusu taasisi za kirahia (CBO) kunufaika na mapato ya mradi. 3.2 Miundo ya kiutawala katika mifumo ya ugawanaji mapato ndani ya MERE CP 10 Nani ni wadau gani muhimu ambao wanahusika katika kupanga, kutekeleza na kuamua juu ya mfumo wa ugawanaji mapato katika mradi? Je makundi haya yanachaguliwaje 10 Je makundi haya yanafanyaje maamuzi? Yaani ni utaratibu gani unatumika katika kufanya maamuzi? Ni taratibu zipi rasmi na zisizo rasmi zinanatumika kuongoza mchakato mzima wa ugawanaji mapato? Ni njia zipi zinatumika katika kugawana mapato, ni namna gani na wakati gani mapato hayo utolewa kwa washiriki? 12 Ni mifumo gani inatumika kugawana mapato katika ngazi za mitaa na kikanda? Je kuna vigezo vya kiufanisi ambavyo ni lazima vitumizwe kwa ajili ya mdau kupata mapato? Ni vipi? Ni taasisi/mashirika yapi ambazo utumika kufikisha mapato haya? Je ni gharama gani ambazo zinaweza kuikumba mifumo ya ugawanaji mapato kama vile CRF na ni nani uzigharamia? 15 Aina za gharama ambazo zinajitokeza katika mifumo ya ugawanaji mapato 15 Ni gharama za kifursa ambazo huzikumba jamii katika miradi ya MKUHUMI 17 Ni gharama gani zinazokumba utekelezaji wa miradi ya jamii ya MKUHUMI? 18 Nini gharama gani za kimuamala zinazoikumba miradi ya jamii ya MKUHUMI Uendelevu 20 Je ni kwa muda gani washiriki wanatakiwa kushiriki katika shughuli hizi? 20 Je Malipo yanafanyika kwa muda gani au faida zisizo za kifedha zinatolewa kwa muda gani? 21 Hitimisho 22 Marejeo na vyanzo vingine kwa ajili ya kusoma zaidi 23 ii

4 Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Dibaji: Mwongozo huu kwa ajili ya kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI umenadaliwa kama sehemu ya malengo ya REDD-Net ya kuimarisha uwezo wa taasisi za kijamii katika kushughulikia maswala ya MKUHUMI ambapo ugawanaji wa mapato ni moja ya nguzo muhimu katika uaandaaji wa sera za MKUHUMI pamoja na miradi hiyo katika ngazi ya kitaifa na kijamii. Mwongozo huu una mihimili sita (5) ambayo ni ya muhimu katika kuongoza mjadala na maamuzi kuhusiana na mambo ya msingi juu ya mifumo ya ugawanaji wa mapato ya MKUHUMI katika ngazi ya kijamii. Mambo haya ni pamoja na: Nani wawe wadau? Ni miundo gani ya kiutawala ambayo ni muhafaka kuhusiana na mifumo ya ugawanaji wa mapato katika mradi wa MERECP? Ni taratibu gani zinatumika katika kugawana mapato na ni kwa jinsi gani na wakati gani mapato hayo utolewa? Ni gharama gani ambazo zinaweza kuikabili mifumo ya ugawanaji mapato na ni nani analipia gharama hizo? Ni kwa jinsi gani miradi ya jamii ya MKUHUMI inaweza kuendelezwa katika siku za usoni? Kila moja ya mihimili hii imeelezewa kwa kina ndani ya makala hii na pale inapowezekana inafafanuliwa na kwa mfano kutoka Mradi wa Hifadhi wa Mlima Elgon (MERECP)-ambao ni mradi wa kikanda wa jumuiya ya Africa Mashariki (EAC) ambao uangalizi, usimamizi na uratibu wake ulikabidhiwa kwa tume ya bonde la ziwa Victoria (LVBC). Mchakato wa kuandaa mwongozo huu ulihusisha mapitio ya nyaraka hususani zile za MERECP kutoka (LVBC); ziara katika maeneo ya mradi wa MERECP nchini Kenya na Uganda; waasha andishi (yaani writeshop) mwezi wa Agosti, 2011 ambapo asasi za kijami (yaani CBO`s) zinazoshiriki katika mradi wa MERECP nchini Kenya (shirikisho la jumuiya ya wana misitu la Cheptais) na Uganda (shirikisho la wakulima Kapachebut katika mlima Elgon) pamoja na wataalamu na wanasiasa kutoka Kenya, Tanzania na Uganda walijadili rasimu iliyowasilishwa na kuiboresha kwa kutumia uzoefu wao ( kutoka katika mradi ya jamii ya MKUHUMI). Kwa sababu hiyo REDD-net inapenda kutoa shukurani kwa LVBC; CBO`s ambazo ni sehemu ya MERECP ambazo zilishiriki katika kuandaa mwongozo huu, pamoja na washirika REDD-net nchini Kenya, Tanzania na Uganda; ODI (UK) kwa mchango wao pamoja na misaada mingine iliyotolewa. Kimbowa Richard Meneja wa Mradi Uganda Coalition for Sustainable Development (UCSD) iii

5 David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Utangulizi: Dhana kubwa juu ya MKUHUMI ni usafirishaji wa motisha za kifedha kutoka nchi zilizoendelea kwenda nchi zinazoendelea kwa ajili ya kupunguza uzalishaji wa hewa ya ukaa kutokana na ukataji wa miti na uharibifu wa misitu. Kiwango cha malipo kinaweza kutegemeana na upunguzaji wa ukataji miti na uharibifu wa misitu. Kwa hiyo MKUHUMI ina nafasi ya kuleta faida za kutosha za kifedha kwa nchi za ktropiki zinazoendelea (REDD-net, 2010). Jinsi gani mapato haya yanapatikana na kugawanywa katika ngazi ya kitaifa imekuwa ndio swala la mjadala mkubwa katika michakato ya MKUHUMI. Hofu zaidi ni kwamba faida hizi (pamoja na garama zake) zinaweza zisigawanye kwa usawa kwa wadau wote na hasa utoaji maamuzi husika. Kwa wakati huu, neno ugawanaji wa mapato linatumika katika namna nyingi na tofauti, hali ambayo ufanya iwe vigumu kutambua changamoto ni zipi pamoja na nji bora za kuzitatua. Mara nyingi haieleweki ni aina gani za mapato ambazo zinaongelewa na zinazotakiwa kugawanywa (kwa mfano faida za kifedha ama mapato mengine kama vile upatikanaji wa huduma) na jinsi gani faidi hizi zinawiana na gharama. Haieleweki ni jinsi wadau halali wanapaswa kutambulika hasa pale ambapo uharibifu wa msitu unatokana na shughuli haramu; au jinsi mifumo ya ugawanaji mapato inaweza kusimamiwa/kuendeshwa katika ngazi mbali mbali (kwa mfano kitaifa, kimtaa na ndani ya jamii). Changamoto zaidi zinajitokeza juu ya jinsi gani wananchi pamoja na jamii asilia (yaani indegeneous people) zinaweza kupata mapato ya MKUHUMI, ni jinsi gani majadiliano yanafanyika juu ya mapato hayo na pia kama kuna makubaliano ya kimkataba kati ya wale wanaotoa na wale wanaopokea mapato hayo. Miradi ya MKUHUMI inalenga kutoa motisha za kifedha kwa wamiliki wa misitu kudhibiti, kikamilifu na katika eneo maalumu, michakato ya ukataji miti na uharibifu wa misitu na hivyo kutengeneza krediti za kaboni (Marie C. at el, 2009). Kutegemeana na namna inavyotekelezwa miradi hii ya MKUHUMI pia hutoa faida zinginezo kama vile; (1) Uhifadhi wa bioanuai(ii) Matumizi endelevu ya bidhaa zisizo mbao (III) Kuimarika kwa uendelevu wa mazingira pamoja na ustahimilivu wa jamii dhidi ya mabadiliko ya tabia ya nchi (IV) Kukuza na kudumisha matendo ya kijadi na kuhifadhi kwa utambulisho wa kiutamaduni na (V) Kuzuia madhara ambayo yanaweza kuharibu tamaduni pamoja na kimazingira (Live & Learn 2010). 1

6 Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Sanduku 1: Ni nini maana ya MKUHUMI na Ugawanaji wa Mapato? Neno MKUHUMI linamaanisha Upunguzaji wa Uzalishaji wa Hewa ya Ukaa kutokana na Ukataji Miti na Uharibifu wa Misitu pamoja Mchango wa Uhifadhi, Usimamizi Endelevu wa Misitu, na Uboreshaji wa hifadhi ya vitita vya kaboni katika nchi zinazoendelea. Ugawanaji wa Mapato unamaanisha makubaliano ya dhati ya kutoa mapato, aidha ya kifedha ama mengineyo kwa washiriki wateule ama jamii zinazoathirika kutokana na utekelezaji wa mradi huu. Sehemu ya mapato ya serikali inarudishwa kwa jamii kupitia mifumo ya moja kwa moja au isiyo ya moja kwa moja ya ugawanaji wa mapato. Mifumo ya moja kwa moja ni ile inayohusu malipo ya kifedha kwa mtu mmoja mmoja au jamii na wakati ile isiyokuwa ya moja kwa moja ni ile inayohusu mapato yasiyo ya kifedha ikiwa ni pamoja na miundo mbinu au huduma za jamii na shughuli za maendeleo za jamii. Ugawanaji wa mapato ni dhana ambayo imekuwa na mvuto wa pekee duniani kote kama njia pekee yenye nguvu kivitendo na dhana ambayo inayoweza kutumika katika usimamizi wa rasilimali za asili. Dhana hii inalenga kufanikisha ushirikiano unaohitajika kuwahusisha watu kikamilifu katika maamuzi ya shughuli za maendeleo ambazo zinawaathiri, na pia ni njia muhafaka kwa ajili ya shughuli za MKUHUMI na usimamizi endelevu wa misitu kuchangia katika maendeleo endelevu. Miradi ya kijamii ya MKUHUMI ni ile miradi ambayo jamii zinahusika moja kwa moja katika kutekeleza shughuli za kupunguza uzalishaji wa hewa ya ukaa. Shughuli hizi pia zinaweza kujumuisha zile za jamii ambazo ni mbadala katika kujipatia kipato lakini ambazo zinasaidia kupunguza shinikizo katika misitu kwa mfano, ufugaji wa samaki, kupunguza malisho ya mifugo katika maeneo ya misituni, matumizi ya gesi itokanayo na kinyesi cha wanyama na mabaki ya vyakula/mazao (yaani biogesi), kilimo cha bustani, uzalishaji endelevu wa mifugo, kilimo cha bustani ya matunda au mbegu na vitendo vya usimamizi endelevu wa ardhi. Shughuli hizi uchangia kukuza pato la masikini walio wengi na hivyo kupunguza shinikizo linalotokana na ukataji miti na uharibifu wa mazingira. Kwa kadri taratibu/mfumo wa kutekeleza MKUHUMI utakavyokuwa wazi kabisa, REDD-Net itatumia uzoefu wa miradi ya asasi za kiraia katika MKUHUMI kuandaa mfumo wa kutathimini na kugawana mapato ambayo yanapendekezwa kwa ajili ya MKUHUMI katika kanda ya Afrika Mashariki pamoja na maeneo mengine. Na kwa sababu hiyo, mwongozo huu kwa ajili ya kutathimini mifumo ya ugawanaji na usambazaji wa mapato katika miradi ya jamii ya MKUHUMI utawasaidia wataalamu, taasisi za kiraia pamoja na watunga sheria katika kutathimini mifumo ya mgawanyo na usambazaji wa mapato ya miradi ya MKUHUMI ambao unahusisha jamii tegemezi za misitu katika shughuli za kupunguza ukataji miti na uharibifu wa misitu. Japokuwa mwongozo huu umeandaliwa kutathimini mifumo ya ugawanaji wa mapato katika miradi ya MKUHUMI, inatarajiwa pia kwamba mwongozo huu unaweza kusaidia katika tathimini ya sera na miradi ya MKUHUMI Kwa Nini Mwongozo Huu? Kwa ujumla mwongozo huu unalenga kuboresha uwezo wa taasisi za kijamii kusimamia shughuli za MKUHUMI na kukabiliana vyema na changamoto za ugawanaji wa mapato. Mwongozo huu una nguzo 5 ambazo ni muhimu katika kuongoza mijadala na maamuzi- kuhusiana na dhana muhimu kwa ajili ya ufanisi wa mifumo muhafaka ya ugawanaji wa mapato ya MKUHUMI katika ngazi ya jamii. Nguzo hizi ni pamoja na: 1. Nani wawe wadau? 2. Ni miundo gani ya kiutawala ambayo ni muhafaka kuhusiana na mifumo ya ugawa naji wa mapato katika mradi wa MERECP? 3. Ni taratibu gani zinatumika katika kugawana mapato na ni kwa jinsi gani na wakati gani mapato hayo utolewa? 4. Ni gharama gani ambazo zinaweza kuikabili mifumo ya ugawanaji mapato na ni nani analipia gharama hizo? 5. Ni kwa jinsi gani miradi ya jamii ya MKUHUMI inaweza kuendelezwa katika siku za usoni? Kila moja ya mihimili hii imeelezwa kikamilifu kwa mifano kutoka mradi wa kikanda wa mlima Elgon (MERECP)- mradi wa kikanda wa upandaji miti na uhifadhi mazingira wa jumuiya ya Africa Mshariki (EAC) ambao uangalizi,uratibu, na usimamizi wake unasimamiwa na

7 David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham tume ya bonde la ziwavictoria (LVBC). Taarifa zaidi juu ya mradi huu wa MERECP kwa nchi za Kenya na Uganda ziko katika jedwali 2. Uteuzi wa mradi wa MERECP (kama kielelezo) cha dhana na sehemu muhimu za mfumo wa ugawanaji mapato ya MKUHUMI unatokana na sababu zifuatazo: Umuhimu wa taratibu za utekelezaji mradi ambazo zinatoa motisha kwa wananchi wanaoshiriki katika kutunza na kuhifadhi mifumo ikolojia ya mlima Elgon pamoja na huduma zake (ikiwa ni pamoja uboreshaji wa usimamizi wa misitu na uhifadhi unaojumuisha wanyamapori, baioanuai, utunzaji wa vyanzo vya maji, na utalii rafiki wa mazingira) Ni mradi unaoendelea kwa sasa ambao ni mtambuka wa usimamizi wa raslimali unaotekelezwa na jumuiya ya Africa Mashariki; ikiwa na maana kwamba ni zao la majadiliano yanayoendelea baina ya nchi za Kenya na Uganda chini ya jumuiya ya Africa Mashariki ambalo linzingatia maswala ya kisiasa, kijamii na kiuchumi. MERECP inazingatia kwa umakini mkubwa sana usambazaji wa mapato kwa jamii. Dhana hii inaonekana muhimu sana na muhafaka katika kujaribu dhana ya MKUHUMI katika ngazi ya jamii na kuwianisha malipo na ufanisi katika hatua za maandalizi ili kuonyesha mifumo ya ugawanaji mapato katika ngazi ya jamii na kujadili mtiririko wa kimataifa wa fedha za mabadiliko ya tabia nchi baada ya mwaka 2012 (LVBC, 2009a). Jedwali namba 2: Rasilimali za mlima Elgon ambazo ni mtambuka na mradi wa MERECP nchini Uganda na Kenya. Mifumo ikolojia ya mlima Elgon unajumuisha maeneo muhimu ya hifadhi ikiwa ni pamoja na mbuga ya taifa ya mlima Elgon na hifadhi ya taifa ya msitu wa Namatale nchini Uganda; misitu mtambuka ya hifadhi ya Nzoia, hifadhi ya msitu ya mlima Elgon na pamoja na hifadhi ya taifa ya chepkitale nchini kenya. Pia inajumuisha maeneo ya wazi na makundi mengine ya ardhi ambayo hayahusiki na shughuli za uhifadhi. Mambo muhimu kuhusu mlima Elgon ni pamoja na urithi wa asili bionanua, vyanzo vya maji (ikiwa ni pamoja na ziwa Victoria) shughuli za kilimo na utalii. Mlima Elgoni ulitangazwa na UNESCO kama hifadhi ya viumbe mwaka 2003 nchini Kenya na pia mwaka 2005 Uganda. Hata hivyo mifumo ikolojia ya mlima Elgon inakabiliwa na changamoto kubwa katika kudumisha na kuboresha rasilimali kutokana na ongezeko la mahitaji ya jamii kwa ajili ya kukidhi maisha pamoja na matarajio yao ya maendeleo na haja ya kutimiza haya katika namna ambayo ni endelevu. Hii kutokana hasa na ukweli kwamba maisha ya watu wanaoishi kando kando ya mifumo ikolojia ya mlima Elgon yanategemea sana kilimo kidogo kidogo na hivyo kutegemea sana maliasili hizo. Matokeo yake ni kwamba rasilimali hizo katika maeneo hayo zinaendelea kuharibiwa. Hali hii inaathiri maisha ya watu na kudhoofisha shughuli za uhifadhi wa raslimali ndani ya maeneo ya hifadhi. 3

8 Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI MERECP ndio mradi anzilishi wa usimamizi wa rasilimali na mazingira mtambuka wa jumuiya ya Afrika Mashariki ambao unatarajiwa kutoa mfano kwa miradi mingine kama hiyo ndani ya ukanda huu. Kanuni na matokeo ya mradi huu vinatarajiwa kutekelezwa kwingineko katika rasilimali mtambuka ndani ya ukanda huu. Mradi wa MERECP ulitekelezwa kwa mara ya kwanza mwaka , na umefanyiwa tathimini ambayo ilikuwa na matokeo yafuatayo; Lengo; ifikapo 2015, matumizi endelevu ya raslimali mtambuka yawanufaishe jamii na kusaidia katika kuzuia mabadiliko na ustahimilivu dhidi ya madhara ya mabadiliko ya tabia nchi katika mifumoikolojia mtambuka ya mlima Elgon katika ukanda wa Afrika Mashariki. Dhumuni; Kuhakikisha kwamba katika kipindi cha muda mfupi (yaani kufikia 2010) usimamizi kamilifu wa raslimali mtambuka pamoja na ugawanaji mapato shirikishi zinajaribiwa katika mifumo ikolojia inayozunguka mlima Elgon nchini (Kenya na Uganda). Katika kipindi cha muda wa kati (yaani kufikia mwaka 2013) shughuli za usimamizi kamilifu wa raslimali mtambuka pamoja na ugawanaji mapato shirikishi zinapanuliwa na kutekelezwa kwingineko katika mifumo ikolojia inayozunguka mlima Elgon kama moja ya majaribio na ukuzaji wa mbinu hizi katika ukanda wa EAC Kwa hiyo, madhumuni mkauuu ya mradi mpya wa MERECP ni:- Mifumo ya usawa na ugawanaji mapato ambayo inatoa fursa za malipo kwa ajili yva huduma za mifumo ikolojia kwa ajili ya kuboresha maisha ya jamii inaandaliwa na kuwa tayari kufikia mwaka 2010 Kuhakikisha kwamba shughuli za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi zinahusianishwa na kuboreshwa kwa maisha ya wanajamii zinajaribiwa kikamilifu kufikia mwaka Kuimarisha taasisi ambazo zinahusika katika usimamizi wa mifumo ikolojia mtambuka kufikia mwaka 2010 Shughuli mhimu katika mradi huu ni zile zinazohusiana na kufanya kazi na asasi za kijamii (CBOs). Kwa mfano uanzishwaji wa mashamba ya miti kwa ajili ya kuboresha maisha; Mwongozo wa kutathimini mifumo iliyopendekezwa kwa ajili ya kuwagana na kutawanya mapato ya miradi ya jamii ya MKUHUMI Idadi kubwa ya wadau mbalimbali uhusika katika mradi, kuanzia katika ngazi ya kan da (yaani EAC) hadi ngazi ya vikun di vya kijamii vinavyofanyakazi katika eneo la mlima Elgon nchini Kenya na Uganda. Kwa hiyo, matumizi ya mfano yanawafaa wataalam na watendaji wengi katika ngazi mbali mbali. Utashi juu ya mradi mpya katika kutoa fedha kwa jamii. Kila taasisi ya kijami imepangiwa dola za kimarekani (US $) 714,000 kwa kipindi cha miaka miwili. Kama sehemu ya MERECP kuna mradi wa MKUHUMI ambao bado uko katika hatua za awali kabisa katika ukanda wa mlima Elgon. Hivyo basi mradi wa MERECP una uwezo mkubwa wa kutoa maarifa na uzoefu wa namna ya kuan zisha taasisi mhimu serikalini, makundi ya wataalam kitaifa, timu zinazoshiriki katika majadiliano ya kimataifa, na asasi za kiraia ili kufanikisha miradi ya MKUHUMI, uratibu na utekelezaji katika nchi nyingine za Afrika pamoja na zile nyingine zinazoendelea. Ujumla wa mwongozo huu ni ishara tosha kwamba mwongozo huu ni sikivu na hivyo unaweza kutumiwa na wadau mbalimbali kulinga na mazingira na mahitaji ya watumiaji. Aidha, mwongozo huu ni waraka hai ambao unakaribisha mrejesho kwenye muundo wake, yaliyomo pamoja na umuhimu wake kwa ujumla. Mtandao wa MKUHUMI unalengo la kuendelea kuboresha mwongozo huu mara kwa mara kutegemea na mirejesho na michango kutoka kwa wataalam pamoja na majaribio mengine ya kivitendo. 4 Kuandaa mikataba shirikishi ya ugawanaji mapato baina ya asasi teule za kijamii zinazoshiriki katika mpango wa mifuko maalumu ya fedha mzunguko (yaani community revolving fund-crfs); na kuendesha zana za ufuatiliaji mazingira na uhifadhi wa taarifa/takwimu kwa kushirikiana na jamii (LVBC,2009a & LVBC,2010).

9 David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham 5

10 Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI 2. Taswira ya mfuko wa mzunguko wa fedha kama mfumo wa ugawanaji mapato katika mradi wa MERECP Mfumo wa mzunguko wa fedha wa jamii ambao unatumika katika mradi wa MERECP inafaa utazamwe kama mfumo unaojilipa wenyewe katika kugawanya ardhi ya misitu pamoja na rasilimali nyinginezo miongoni mwa jamii husika na una kila dalili ya kuondoa umasikini katika ngazi ya jamii (LVBC, 2009). Na kwa sababu hiyo, mfuko wa CRF unaonekana kama mfuko muhafaka kwa ajili ya walengwa kupokea mapato ya kifedha na mengineyo ambayo mlengwa katika ngazi ya kijiji anaweza kuzalisha kupitia shughuli mbalimbali za kiuchumi na mauzo ya bidhaa. Kwa hiyo dhana ya CRF ni mfuko unaozunguka na wala sio ule wa kuzama, ambao fedha uwekwa na hatimaye kupotea kutokana na matumizi katika shughuli nyingine kama inavyoonyeshwa katika mchoro (angalia sanduku namba 3). Wanufaikaji wa mfuko wa CRF wanatakiwa kulipa mkopo waliochukua pamoja na riba. Mapato yatokanayo na ukopeshaji huu (hasa riba) katika taasisi hii utumika kugharimia gharama za uendeshaji wa CRF yenyewe pamoja na gharama ulinzi na matengenezo kama vile dolia kwa ngazi ya jamii na kijiji. Baada ya kurejeshwa fedha hizi uwekwa tayari kwa wajumbe we ajili ya kukopeshwa wanachama wengine wa CBO, na hii ndio maana halisi ya mfuko wa mzunguko wa wa fedha wa jamii. CRF pia upokea malipo kutoka kwenye shughuli za wa uwekezaji katika miradi ya upandaji miti (hadi asilimia 30 ya mapato) katika hatua ya uvunaji wa mashamba ya miti inayokua haraka. Lengo la malipo haya ni kuiwezesha 6 taasisi hii na kaya husika kuwekeza katika mzunguko au hawamu ya pili ya shughuli za upandaji miti na pia kutoa mtaji kwa ajili ya shughuli za kuzalisha kipato. Kila CBO ambayo inatekeleza mpango huu wa CRF upata ruzuku kutoka kwa mradi wa MERECP na hatimaye hutumia ruzuku hiyo kuwakopesha wanachama wake kama ilivyoelezwa katika jedwali namba 3. Kiasi fulani cha fedha kutoka jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Norway, Sweeden hutolewa kwa CBOs teule nchini kenya na Uganda kwa ajili ya kutekeleza shughuli za kuzalisha kipato (IGAs). Kila CBOs moja inaweza kuomba kiasi cha hadi dola 10,000 ambazo hatimaye hukopeshwa kwa wanachama wa CBO hiyo. Aidha MERECP utoa mafunzo elekezi katika ngazi ya CBO/ walengwa juu ya usimamizi wa mfuko wa fedha mzunguko. Wilaya zina jukumu la kusimamia maendeleo na kuthibitisha kama CBOs hizo zinastahili zinasimamia maendeleo Na kudhibitisha kama CBOs zinastahili kupokea fedha (baada ya kuwa zimepokea mafunzo husika na ziko tayari kabisa kuanza kuendesha shughuli za CRF). Uchambuzi wa shughuli za MKUHUMI unaonyesha kwamba nchi husika bado hazijalipa kipaumbele cha kutosha swala la ugawanaji wa mapato miongoni mwa wadau mbali mbali na matokeoyake ni kwamba mifumo mingi inayopendekezwa haiko wazi (IUCN, 2009). Aidha kuna maswala kadhaa ambayo yameibuliwa kuhusiana na madhara ya ujio wa fedha nyingi katika nchi zinazoendelea ambazo zina mapungufu

11 David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham 3. Uchambuzi wa CRF kama Mfumo wa Ugawanaji Mapato katika usimamiaji wa sheria pamoja na uwezo mdogo wa usimamizi wa fedha; na hasa nchi ambako jamii na wanachi asilia hawajahusishwa katika michakato hiyo. Mfuko wa Mzunguko wa Fedha wa Jamii (CRF) ni mpango wa kuboresha maisha chini ya mradi wa MERECP (LVBC 2009) ambao unadhamilia ufadhili wa; Shughuli za kuzalisha kipato (IGAs) katika ngazi ya jamii kupitia uanzishwaji wa mfuko mzunguko katika ngazi za vijiji ambavyo mwanzoni upokea fedha-mbegu ambazo usimamiwa na wanachama waliopewa mafunzo ndani ya CBO husika. Mashamba ya miti (kwa ajili ya matumizi ya binadamu) pamoja na kilimo mitu ambacho husaidia kipato,usalama wa chakula, pamoja na mapato mengine kwa ajili ya kaya. Fedha kwa ajili ya kutekeleza shughuli hizi zinaweza kupitia CRF na kutumika kulipa mishahara kwa ajili ya kuotesha mbegu, maandalizi ya shamba, upandaji pamoja na uendelezaji wa shamba hilo. Ni muhimu kutambua kwamba majadiliano ya kimataifa juu ya MKUHUMI bado yanaendelea namakubaliano ya mwisho kabisa ndio yatakayoamua mchakato halisi wa utekelezaji. Hata hivyo, iwe ni mapato ya kifedha ama yasio ya kifedha, kuna haja ya kuwa na mchakato wa uwazi ili kuweza kupata mfumo wa usawa katika kugawana mapato katika ngazi ya jamii na kitaifa. Ili kuchangia katika hili, seti ya nguzo za msingi ambazo inabidi zizingatiwe katika kuongoza majadiliano na maamuzi kuhusiana na maswala ya msingi ya ufanisi wa MKUHUMI katika mifumo ya ugawanaji wa mapato katika ngazi ya jamii kama ilivuoelezewa hapo katika sehemu namba 2.0. Sehemu hii inatoa seti ya kwanza ya maswali ya mwongozo kwa kuangalia ni jinsi gani mradi wa MERECP umeweza kufanikiwa kutokana na nguzo hizi. Kila nguzo inafuatiwa na maelezo ya kitu kilichojifunzwa kwa ajili ya miradi ya jamii ya MKUHUMI. Hii inategemewa kusaidia watalamu pamoja na jamii husika kufanya maamuzi muhafaka kuhusiana na ushiriki katika mifumo ya ugawanaji mapato ambao unaendana na ule wa CRFs chini ya mradi wa MERECP. 3.1 Nani wanapaswa kuwa wadau? Nani wawe wadau wakuu katika ngazi ya kanda, taifa na mtaa? Nini majumu ya wadau mbalimbali? Ni nani mwenye uwezo wa kupata faida za kifedha na zisizo za kifedha kutoka kwenye mradi? Ni vigezo gani vinatumia kuwapata wadau wanaostahili kupata mapato hayo? Ni jinsi gani jamii au (CBOs) zinafaulu na kupata haki ya kupata mapato? Shughuli za kaboni ya misitu kwa kawaida zina wadau mbalimbali ikiwa ni pamoja na wamiliki ardhi na jamii, taasisi za serikali za mitaa, asasi zisizo za kiserikali 7

12 8 Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI (NGOs), serikali za kitaifa zenye utashi wa kushiriki katika kupunguza hewa ya ukaa na kudumisha uoto wa misitu (Conservation International, 2010). Wakati wadau wote hawa ni muhimu, ushirikishwaji wa watu binafsi na jamii zinazoishi kando kando ya maeneo ya mradi ni muhimu sana, kutokana na ukweli kwamba shughuli zozote za kurejesha msitu au kupunguza ukataji miti na uharibifu wa misitu zitafanikiwa na kuwa za kudumu pale tu ambapo wananchi na wadau wengine husika watashirikishwa moja kwa moja. Nani wadau wakuu na nini majukumu yao? MERECP ni mradi wa kikanda ambao unatekelezwa na tume ya bonde la ziwa victoria ya jumuiya ya Afrika Mashariki. Taasisi za kiserikali zinazohusika na mradi huu nchini Uganda ni wizara ya maji na mazingira (MoWE), mamlaka ya wanyamapori Uganda (UWA), mamlaka ya taifa ya misitu (NFA), mamlaka la taifa ya mazingira (NEMA). Ilihali kule Kenya ne wizara ya mazingira na madini (MEMR) Wizara ya msitu na wanyama, mamlaka la taifa ya mazingira (NEMA), Watumishi wa misitu Kenya, (KFS), Watumishi wa wanyama Kenya (KWS), Mamlaka ya Mlima Elgon, Wilaya ya Trans Nzoia na ya mlima Elgon. LVBC inahusika katika Usimamizi kitaifa. Utekelezaji katika ngazi ya kitaifa unaratibiwa na wizara husika (zilizotajwa hapo juu) nchini Uganda na Kenya ambapo serikali za Kifalme za Norway na Sweden ni wafadhili wa mradi huu. Katika ngazi ya china kuna wilaya zinazoshiriki pamoja na asasi za kijamii (10) kutoka kila nchi. Kuna wilaya 3 na baraza moja la kata kwa upande wa Kenya na wilaya 6 kwa upande wa Uganda. Hizi ni Transnzoia magharibi, Kwanza, wilaya za mlima Elgon na banza la kata la mlima Elgon nchini Kenya; Bududa, Bukwa, Kapchorwa, Manafwa, Mbale na Sironko nchini Uganda (LVBC, 2009b). Husani maeneo madogo nchini Kenya na parokia/kata nchini Uganda Katika hizi wilaya ambazo zinapatikana au ziko sambamba na hifadhi ya taifa ya mlima Elgon (Kenya), hifadhi ya taifa ya mlima Elgon (Uganda) na hifadhi za misitu ni muhimu sana katika utekelezaji wa mradi wa MERECP. Wilaya zinazoshiriki/serikali za mtaa hupokea msaada wa mafunzo ya kiufundi na kundaa mpango wa kufuatilia na kutathimi (M&E) ili miongoni mwa mambo mengine, kuwezesha upangaji na uratibu wa mradi, kutambua CBOs/Vikundi vingine ambavyo vinafanya kazi vizuri na vinafaa kwa ajili ya kupokea mahitaji kwa ajili ya kuanzisha CRFs; kusaidia katika kutambua ardhi kwa ajili ya kupanda miti na ambayo inaangukia katika eneo lililoko chini ya mamlaka ya wilaya lakini liko kando kando ya mbuga za taifa na hifadhi ya misitu katika eneo la mlima Elgon; kutoka misaada ya kitaalamu kwa asasi za kijamii kupitia mawakala wake wa ugani:- kufanya shughuli za M&E na kutoa taarifa juu ya maendeleo; kushiriki katika tafiti na kutoa mapendekezo. Nani ana haki ya kupata mapato ya kifedha na yaisiyo ya kifedha kutoka kwenye mradi? Ni vigezo gani vinatumiwa kuwapata wadau wanaostahili kupata mapato hayo? Na Ni jinsi gani jamii au (CBOs) zinafaulu na kupata haki ya kupata mapato? CRF utoa fursa kwa asasi za kiraia kusaidia miradi midogo midogo ya kaya kwa kuwapatia mikopo yenye mashariti nafuu ili kuwaingizia kipato. Miradi hii ni tofauti tofauti na inaweza kuanzia ufugaji nyuki hadi ufugaji mifugo, kilimo cha uyoga hadi usindikaji na uuzaji wa mazao ya ndani yasiyokuwa ya mbao (NTFPs). Mwanzoni kabisa CRF usaidia jamii (vikundi vya vijiji wanachama katika CBOs husika) kutekeleza shughuli za kiuchumi endapo huu ni utashi na kipaumbele chao ambacho kinawazalishia pesa. Pale ambapo wanajamii huona inafaa, fedha za CRF zinaweza kutumika katika kutekeleza miradi ya pamoja. Wanufaikaji wa CRF wanatarajia kulipa mkopo husika pamoja na riba. Faida inayopatikana kutokana na shughuli za ukopeshaji za CBO hizi inatumika kugharamia shughuli za kiutawala na uendeshaji wa taasisi yenyewe pamoja na gharama za ulinzi na uendelezaji kama vile ulinzi na doria katika vijiji au jamii. Baada ya kurejeshwa malipo hayo ya mikopo huwa tayari kutolewa kwa wanachama wengine wenye nia na mahitaji ya kukopa, na hii ndio maana ya neno mfuko mzunguko wa fedha wa jamii. Katika ngazi ya chini kabisa, wanakikundi hujumuisha walegwa wa moja kwa moja (wanachama waliosajiliwa kutoka ndani ya jamii husika). Mtu anapata haki ya kupata mapato pale tu anapojiandikisha kuwa mwanachama wa kikundi (CBO) husika. Wengi wa watendaji wa makundi haya huwa ni akina mama, vijana na wanaume, pamoja na watu wenye ulemavu kama inavyoonekana kwenye mfano kutoka Umoja wa Wakulima wa Kapchebut (KEFA)-wilaya ya Kapchorwa nchini Uganda (jedwali la 4)

13 David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Jedwali namba 4: Umoja wa wakulima wa Kapchebut Elgon (KEFA)- wilaya ya Kapchorwa nchini Uganda. KEFA inaongozwa na waraka wa makubaliano (MoU) ambao imetiwa sahihi na kila wanachama mpya. Hivi sasa kuna wakulima wanachama 411 wakiwa wameongezeka toka wanachama 10 wakati umoja huu unaanza mwaka 2003 kila. Umoja huu unaongozwa na baraza kuu lenye wajumbe 54 ambao 32 ni wanawake na 22 ni wanaume. Kutokana na kuwa katika eneo la milima milima, KEFA inajihusisha na miradi mbali mbali ambayo baadhi yake inafadhiliwa na MERECP hasa ile inayohusiana na inahifadhi wa udongo na misitu, utoaji wa mikopo chini ya CRF: ujenzi wa kitengo cha biogesi; kuanzisha mizinga 18 ya nyuki; utoaji wa ng`ombe mmoja wa maziwa; Kujenga uwezo; pamoja na kuwafundisha wanachama katika maeneo mbalimbali yanayohusiana na usimamizi wa mradi. Miradi mingine ambayo inafadhiliwa na IUCN na SNV ni pamoja: Uhifadhi wa maji na Udongo: kutokana na asili ya ardhi katika eneo lenyewe ambapo ni mteremko mkali, jitihada za kuzuia mmomonyoko katika maeneo ambayo yako mkabala na hifadhi zimefanyika ili kuongeza mapato na kupunguza maporomoko ya ardhi. Matumizi ya kilimo cha mseto. Ili kukidhi ongezeko la mahitaji ya mazao ya misitu kwa kupanda miti inayokua haraka kama vile Calliandra, Greville katika maeneo yenye ardhi iliyopoteza rutuba na miteremko. Uboreshaji wa kilimo cha bustani kama vile kabichi, nyanya, vitunguu, viazi na mengineyo kupitia CRFs. Mradi wa upandaji mianzi. Hali ya mwinuko katika mlima Elgon inafaa sana ukuaji wa miti aina ya mianzi (Arundinaria alpha) ambayo inategemewa na jamii kwa matumizi mengi sana ikiwa ni pamoja na ujenzi, kuni, kujengea uzio, viwanda vidogo vidogo pamoja mabomba yanayotumika katika umwagiliaji. Ili kupunguza shirikizo katika hifadhi ya taifa kutokana na utafutaji wa mianzi (uvunaji unaozidi kiwango), KEFA ilianzisha mradi wa mianzi ili kuhakikisha kwamba mianzi inapatikana katika ardhi inayomilikiwa na wanajamii wenyewe ingawa bado safari ni ndefu. Maeneo yanayolengwa kwa ajili ya upandaji wa mianzi ni pamoja na: kingo za mto, meneo tifutifu, pamoja namaeneo ya mwinuko kwa ajili ya madhari ya upendezaji na kwa ajili ya madhari na mipaka. Kuongeza uzalishaji wa biogesi ili kupunguza ukataji wa miti kutokana na kupungua kwa matumizi ya kuni kupunguza matumizi ya kuni na gharama kubwa za mafuta ya taa. MERECP ilitoa mtambo mmoja wa biogesi kwa mwanajamii lakini hadisasa mradi huu umepanuliwa na kufikia mitambo 19. Hata wapo wanajamii wengine watatu (ambao sio wanachama wa KEFA) nao wameanzisha mitambo hii ya biogesi. 3.1 Mambo ya kujifunza kwa miradi ya jamii ya MKUHUMI+ a) Pamoja na uhifadhi wa misitu walegwa wanatakiwa kupewa mafunzo ya mara kwa mara kuhusiana na ushiriki muhafaka wa wadau (mawasiliano na majadiliano); utafutaji wa masoko na usimamizi wa mradi. Hii ni kwa sababu CRF kama mkopo ambao unapaswa kulipwa unahitaji maarifa maalum ili kuhakikisha utekelezaaji fanisi wa miradi iliyopagwa. b) Kuwepo kwa wadau wengi katika mradi wa MERECP kunamaanisha kwamba majadiliano ya mara kwa mara juu ya maamuzi ambayo yanaweza kuathiri maisha yao, ugawaji wa rasilimali, utengaji wa rasilimali, upatikanaji wa rasilimali za mbuga pamoja na fursa za MERECP. Hali hii inaweza kusababisha washindi na wapotezaji lakini swala muhimu ni kuendelea kuhakikisha kwamba hatua muhimu zinachukuliwa kwa ajili ya kupunguza madhara kwa wale waliopoteza (kwa mfano kutokana na maamuzi yaliyofikiwa) badala ya kuyapuuza kabisa. c) Vigezo vya uchaguzi wa walegwa lazima viendane na matakwa ya mfumo wa ugawanaji faida ili kuhakikisha ushirikishwaji wa makundi yote ya jamii ambayo ni washika dau katika mapato ya MKUHUMI pamoja na mapato mengineyo. 9

14 Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI 3.2. Miundo ya kiutawala katika mfumo ya ugawanaji mapato katika mradi wa MERECP. Ni wadau wanahusika katika kupan ga, kutekeleza na kufanya maamuzi juu ya mfumo wa ugawanaji mapato? Je makundi haya yalichaguliwaje? Je makundi haya/watendaji hawa hufanyaje maamuzi? Mfano ni hatua au mchakato gani Je ni mfumo gani rasmi na isiyo rasmi ya kisheria inayotumika kuongoza utendaji kazi wa mifumo ya ugawanaji mapato? Ni wadau wanahusika katika kupanga, kutekeleza na kufanya maamuzi juu ya mfumo wa ugawanaji mapato? Awali MERECP iliziomba taasisia zinazotekeleza mradi pamoja na tawala za mitaa (NFA na UWA nchini Uganda: KFS na KWS nchini Kenya, kuchagua/kuwezesha uanzishaji wa asasai 10 za kirahia kutoka Kenya na Uganda ambazo ustahiki au utayari wake ulithibitishwa na taasisi hizo (tazama jendwali la 7) kati ya mwaka 2000 na Jamii ambazo zilikuwa zinashiriki katika mradi wa FACE Foundation ambayo ni kampuni ya kiholanzi iliyosaini mkataba na mamlaka ya wanyamapori Uganda 1994, kwa ajili ya kupanda miti katika eneo la hekta 25,000 ndani ya mlima Elgon nchini Uganda kurejesha maeneo ya hifadhi yaliyoharibiwa. Kampuni ya FACE Foundation inayofanya kazi Na UWA kupanda miti kwa ajili ya kufyonza na kuhifadhi kaboni ili kufidia uzalishaji wa hewa ya ukaa ambayo inazalishwa katika viwanda vya nishati nchini Uholanzi. Mradi huu wa UWA-FACE unapanda miti eneo lenye upana wa kilomita mbili hadi tatu ndani ya eneo la mpaka wa hifadhi ya mlima Elgon lenye urefu wa kilimeta 211. Katika maeneo teule ya mradi, msitu imerejea vizuri kwa kiwango kidogo cha uharibifu na hivyo kuwafanya UWA waone kwamba ni vyema kwa jamii husika kunufaika na kazi yao nzuri ya kujinyima mapato mengine yatokanayo na uharibifu wa misitu. Matokeo yake ni kwamba jamii (kaya ndani ya eneo la mradi kupitia vikundi vya kijamii (vinavyojumuisha vikundi vya watumiaji misitu inayo jumuisha makundi ya watumiaji misitu) katika maeneo teule vilijipanga vyenyewe ili kusudi viweze kutambulika kama taasisi halali kwa ajili ya kutambuliwa kirahisi, ufuatiliaji na usimazi. Aidha katika baadhi ya parokia kuna CBOs zilizosajiliwa (kaya na watu binafsi) ambazo ni wanachama wanaojihusisha na shughuli mbali mbali za uzalishaji mali ambazo zinaimarisha shughuli za uhifadhi (Jedwali la 5). Na kwingineko, kuna makundi ya parokia ya watumiajia raslimali na makundi ya utumiaji na usimamizi wa mipaka ya mbuga. Je makundi haya yalichaguliwaje? Vigezo vya uchaguzi wa CBOs chini ya mradi wa MERECP vinaonyeshwa katika jedwali namba 5. Kwa mfano, mwaka Mamlaka ya wanyama pori wa Uganda (UWA) ilipendekeza baadhi ya parokia zinazozunguka mbuga ya taifa la mlima Elgoni zifaidike na malipo ya uepukaji wa ukataji wa miti na upunguzaji wa kaboni chini ya mpango mpya uliobuniwa na MERECP. Uchaguzi huu ulizingatia sababu zifuatazo:- Jamii za maeneo haya zina historia ndefu ya utegemezi katika mazao yasiyo ya mbao za misitu (NTFPs) kutoka kwenye mbuga kwa maisha yao. Hii iliwalazimu UWA kuingia mikataba na jamii kusudi ziendelee kutumia rasilimali hizi katika utaratibu maalum. Mikataba mingi ilisainiwa Jedwali la 5 : mchakato wa uchaguzi kwa CBOs zinazoshiriki katika miradi ya MERECP Asasi za kijamii (CBOs) zenye sifa ya kupokea ruzuku: Lazima zihusishe kaya na ziwe zinafanya kazi kwenye jamii au vijiji jirani karibu na mbuga za taifa na maeneo ya hifadhi za misitu ndani ya mlima Elgon; zimesajiliwa na mamlaka husika ya serikali za mitaa Zimefungua na zina akaunti inayofanyakazi Ziwe na wigo mpana na mamlaka ya kufanyika shughuli mbali mbali za uzalishaji wa kipato (IGAS) na zisitegemee shughuli moja. Zinajishughulisha na shughuli za ardhi na mashamba Zimepokea au zitapokea msaada wa kiufundi kutoka MERECP au mradi mwingine wowote kwa ajili ya kusi mamia shughuli za mikopo kupitia watoa huduma wenye uwezo wa kutosha waliopitishwa na kitengo cha usimamizi wa mradi (PMU) na wengine. 10

15 David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Je makundi haya/watendaji hawa hufanyaje maamuzi? Mfano, ni hatua au mchakato gani unatumika kufikia maamuzi? Je ni mfumo gani rasmi na isiyo rasmi ya kisheria inayotumika kuongoza utendaji kazi wa mifumo ya ugawanaji mapato? Kwa nje CBOs zimesaini mkataba shirikishi ya ugawanaji wa mapato na taasisi inayoshughulikia maeneo yaliyohifadhiwa (kama vile NFA na UWA nchini Uganda; KFS, MECC na KWS nchini Kenya). Kwa mfano chini ya kifungu namba 3.6 cha muongozo wa MERECP kwa ajili ya utekelezaji wa CRFs, PBSA na mifumo ya utengaji maeneo kama motisha kwa jamii zilizoko katika mifumo ikolojia ya mlima Elgon (LVBC, 2009b) hadidu za kuendesha shuguli chini ya PBSA zinaelezea pamoja na mambo mengine, ni lini na namna gani mamlaka za serikali za mitaa zitatoa malipo ya kifedha kwa ajili ya maandalizi ya ardhi, upandaji na kwa kiasi kidogo shughuli za usimamizi kwa kipindi cha miaka mitatu ya mwanzo ya mashamba ya miti ya maisha (kwa miti inayokuwa kwa kasi inayopandwa katika eneo la hadi hekta 5 za ardhi iliyoharibika karibu na maeneo ya hifadhi) kupitia akaunti ya CRF ya CBO hiyo. Kwa ndani, CBOs zinatakiwa kukidhi kanuni za taratibu zilizokubaliwa. Vikundi vya watumiaji vinashawishiwa kujiunga na CBOs yoyote kati ya 10 kulingana na upendeleo wao kwa kusaini mikataba ya makubaliano/ maelewano. Asasi za kijamii zinazostahili kupokea ruzuku ni lazima zijumuishe kaya zilizopo katika jamii ama vijiji vilivyoko jirani na maeneo ya mbuga za taifa na hifadhi za misitu katika mlima Elgon; ziwe zimesajiliwa na mamlaka husika wa serikali za mitaa; zimefungua akaunti na inafanya kazi, zina wigo mpana na mamlaka ya kutosha ya kufanya kazi mbali mbali kuingiza kipato na hazijafungwa kutekeleza shughuli ya aina moja (kwa mfano uvuvi wa samaki); zinajihusisha na ardhi ama shughuli za shamba; zimekwishapokea au zitapokea msaada wa kitaalam kutoka kwenye MERECP au mpango/mradi mwingine kwa ajili ya kusimamia shughuli za mikopo kupitia msimamizi maalum aliyepitishwa na kitengo cha usimamizi wa mradi (PMU) na wengineo; na zimethibishwa na wilaya kwamba ziko tayari kupokea na kuendesha mfuko huo wa mzunguko wa fedha wa jamii na wilaya kama tayari kwa kupokea mtaji kwa ajili ya kuanzisha na kuendesha fedha za mzunguko (LVBC 2009a). kwa mfano umoja wa misitu ya jamii wa cheptais ambao umekuwa hadi kufikia wanachama 64 Julai

16 Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Jedwali 6: Chama cha Misitu ya Jamii cha Cheptais-Kenya Chama cha misit ya jamii cha Cheptais kina jumla ya vikundi 67 vya watumiaji ambavyo vina lengo la kuotesha mbegu za miti kwa ajili ya kuiuzia taasisi ya misitu ya Kenya (yaani Kenya Forest Services). Utaalamu katika kundi umeboreshwa na maafisa wa misitu ambao ufanya kazi kwa ushirikiano na wanavikundi hawa. MERECP ilipoanza ilikuta kikundi hiki tayari kinafanya kazi na hivyo ikaogezea mafunzo na ujuzi zaidi. Baada ya kuamua kujiunga na mradi wa MERECP, kikundi kulinuia kufanya yafuatayo: Waliamua kuanza na kikundi kimoja cha watumiaji ambacho ni kikundi cha wanawake cha Chemutei ili baada ya hapo waingize vikundi vingine vya watumiaji. Kamati ya mikopo iliundwa ambayo iliandaa fomu inayoweka bayana muda ambao mtu amekuwa mwanachama katika chama hicho pamoja na michango yote kutoka kwa kila kikundi (kwa maana ya kuweka) na kipindi cha kulipa mkopo. Baada ya kushauriana na kujadiliana na wanakikundi wote, ilikubalika kwamba kiwango cha riba kiwe sawa na asilimia 10 kwa mwaka. Walianza kukopesha kuanzia tarehe 3 Februari 2010 kwa vikundi vyenye akibakatika akaunti ya kama kigezo muhimu. Hata hivyo, kiasi cha akiba kilichopo hakimaanishi kiwango cha mkopo kitakao pata kikundi kwa sababu mwisho wa siku ni lazima wanakikundi waweze kugawana kwa usawa. Wengi wa wanakikundi waliwekeza katika kilimo cha mboga mboga. Kutegemeana na akiba ya kila kikundi tayari zimekwishatolewa jumla ya shilingi za Kenya 10,000 hadi 44,000 kwa mwezi, sawa na jumla ya shilingi 680,000 walipoanza mwaka Kwa sasa chama cha misitu ya jamii cha Cheptais kinajihusisha na shughuri za ufugaji wa ng ombe wa maziwa, shughuli za kilimo cha mboga mboga; uhifadhi wa udongo na kingo za maji; pamoja na mipango ya kufuga nyuki baada ya kupata mafunzo yaliyotolewa na shirika la kilimo mseto la SCC VI. Mojawapo ya vikundi vya watumiaji, yaani kikundi cha wanawake cha Chemutei kina wanachama 32 ambao wanashiriki katika miradi ya MERECP. Hii ni kutokana na rekodi yao nzuri ya kuwajibika, kujituma, umoja pamoja na kuwa jirani na hifadhi. Kikundi hiki ni miongoni mwa vikundi vilivyonufaika na mkopo wa kwanza wa CRF kutoka MERECP kwenda kwenye chama cha misitu ya jamii cha Cheptais. Wanachama wa kikundi cha wanawake cha Chemutei wamewekeza katika kilimo cha mboga mboga ambacho kimewawezesha kumudu gharama kama vile ada za shule kwa watoto wao, kununua ardhi, kwa mujibu wa mweka hazina wao-bi Janephiris Tamnai. 12

17 David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Pia taasisi 20 za kijamii (CBOs) zinazohusika na mradi nchini Kenya na Uganda zina katiba yao, kanuni au taratibu ambazo zinatumika kabla ya kusaini mkataba wa makubaliano na MERECP ambao utawala maamuzi yote katika CBO husika (tazama mfano wa umoja wa misitu ya jamii wa Cheptais katika jedwali namba 6). Katiba, sharia au kanuni zina vifungu/ vipengele vifuatavyo: Jina/tarehe ya kuanzishwa/dira/moto/tamko/ anwani/ eneo la kufanyia kazi/hali ya kisheria ya CBO/malengo/ uanachama hisa/ mcahango/kujitoa uanachama /Gawio/ kusimamishwa na kufutwa uanachama/ mikutano/ uchaguzi wa kamati ya usimamizi/muda wa kukaa madarakani/vigezo kwa ajili ya kugombea nafasi fulani fulani/ Koamu/ ukaguzi wa fedha za CBO/uteuzi wa mkaguzi wa mahesabu /uchaguzi mdogo/vitabu/ kumbukumbu za akaunti/kusimamishwa na kuondolewa kwa wajumbe wa kamati/ fedha za CBO/mtia sahihini wa akaunti ya CBO/mikutano ya kamati tendaji/benki ya fedha za CBO/ vyanzo vya fedha za CBO/ kuvunjwa kwa CBO/ mrithi anayefuata/majukumu na wajibu wa washika ofisi/kamati tendaji/wajumbe wa ofisi / mfumo wa usuluhishi wa migogoro/ufuatiliaji na tathimini. Kwa upande wa uzuiaji wa ukataji wa miti, mkataba wa makubaliano/maelewano unasainiwa kati ya CBOs na taasisi husika katika maeneo ya hifadhi na kubainisha majukumu na wajibu wa kila mmoja (LVBC, 2010). Mpango wa ufuatiliaji na tathimini vinatarajiwa kuandaliwa ili kuongoza utekelezaji katika mpango wa kuepuka ukataji miti. Kaya zinazonufaika na miradi hii pia zinatarajiwa kutoa nguvu kazi ya hiari katika kufanya shughuli za ulinzi na kuacha uvamizi katika maeneo tengwa ya hifadhi. 3.2 Mambo ya kujifunza/ujumbe kwa ajili ya miradi ya jamii ya MKUHUMI Kuwepo kwa vikundi ambavyo vimeundwa kisheria na vyenye miundo ya wazi ya uongozi pamoja na mifumo ya utendaji kazi ndio nguzo kuu ya mafanikio. Uendeshaji ni muhimu kwa mafanikio. Hata hivyo kufanikisha haya ni swala linalochukua muda na linahitaji juhudi za uwezo wa maendeleo. Kuongezeka kwa umoja pamoja na maamuzi ya pamoja miongoni mwa vikundi husika ni dhahiri. Hii inaimarishwa zaidi kupitia ushiriki wa jamii katika CBOs, CRF, michakato ya mikopo na ufuatiliaji ambayo kwa kiasi kikubwa huchangia kupunguza migongano miongoni mwa wajumbe kwa vile wajumbe hawa ujenga dira ya pamoja juu ya raslimali mtambuka za mlima Elgon kulingana na faida zinazotarajiwa. Hali hii imesaidia kujenga uwajibikaji wa pamoja na mshikamano wa kijamii pamoja na uaminifu miongoni mwa wajumbe wa kikundi. CRFs ni Kichocheo MERECP imefungua fursa kwa taasisi za kijamii nchini kenya na Uganda kunufaika kupitia miradi ya iliyopo au mpya hasa ile ya serikali zinazoendelea hususani ni zile zinazotoka serikalini (MERECP inaonekana kama mhimili unaovutia shughuli zinazohusiana na ushirikiano wa kikanda Afrika ya mashariki). Hali hii inaongeza thamani katika shughuli za MERECP ambazo hazitoshelezi kukidhi mahitaji ya maendeleo ya walengwa wote pamoja na makundi mengine ambayo yaliwahi kuwa na miradi kama hiyo kabla ya MERECP kuanza. Utambuzi wa mahitaji ya jamii ni jambo muhimu sana: jamii zina ufahamu wa kutosha juu ya mahitaji yao ila tu zinahitaji ushauri na mwongozo kwa ajili ya kuboresha mawazo yao na kuweka vipaumbele vya mahitaji ya uwekezaji. Ushirikishwaji: Mkakati wa MERECP unatoa miongozo ya mifumo ya ushirikishwaji katika kugawana mapato ya mbuga za taifa za mlima Elgon ambayo imesaidia kufafanua wajibu na majukumu ya wadau wote. Aidha wadau kutoka ngazi ya mtaa, ya taifa na kanda wote hu fanyakazi kwa pamoja chini ya mwongozo wa dira. Kwa upande wa mlima Elgon uhitaji wa kutunza raslimali asilia ndio dira inayosukuma mikakati yote. 3.3 Je kuna taratibu gani kwa ajili ya kugawa mapato? ni namna gani na lini zinatolewa? Ni mfumo gani unatumika kugawana ma pato katika ngazi ya mtaa na kanda? Ni mapato gani yanayotolewa? Je kuna vigezo vya kiutendaji ambavyo vinatumika katika kupata mapato haya? Ni vipi? Ni taasisi/shirika gani linahusika na kugawana mapato? Je ni historia yao ikoje juu ya ufanikishaji wa malipo? Je jamii zinaziamini kiasi gani hizi taasisi Je mapato haya yanatolewa kwa muda gani? Je kuna changamoto gani katika kufanikisha utoaji wa mapato haya katika ngazi za mitaa? Na ni jinsi changamoto hizo zaweza kutatuliwa? Na je uko uwezekano wowote wa kuzitatua changamoto hizi? 13

18 Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Mradi wa MERECP umejengeka katika dhana ya kwamba hifadhi ya taifa ya mlima Elgon ni rasilimali mtambuka na hivyo kutafuta fursa ambazo hazileti mtafaruku miongoni mwa jamii na hivyo kuepusha migogoro ya moja kwa moja kutoka kwa zinazoishi jirani na hifadhi hizo. Hii inafanyika kupitia CRF ambayo utumika kutoa fursa mbadala ambazo usaidia kupunguza shinikizo kwenye hifadhi. Je ni utaratibu gani unatumika kugawana mapato katika ngazi ya mtaa na kikanda? MERECP inafadhili mitiririko mitatu katika jamii zilizoko karibu na maeneo lililotuzwa (LVBC 2009b). Mitiririko hii ni: Ruzuku ya moja kwa moja ya dola za ki marekani 10,000 kwa CBOs 10 nchini Uganda na Kenya kwa ajili ya shughuli za uzalishaji wa kipato kwa waana kaya. Ufadhili wa miti inayokua haraka (yenye mzunguko wa miaka 8) katika mashamba ya maisha kwa kaya zinazoshiriki kwa kutumia mfumo wa usawa na ugawanaji wa mapato ambao uziruhusu kaya kupanda miti katika eneo hadi hekta 5 katika maeneo yaliyoharibiwa ambayo kwa sasa yako chini ya mamlaka ya serikali na taasisi za serikali za mitaa katika eneo la mlima Elgon. Hii ufanyika kwa kutoa hati za utumiaji maji kulingana na mkataba shirikishi wa ugawanaji mapato (PBSA) ambayo uruhusu malipo ya kifedha kwa ajili ya upandaji na matunzo na mgawanyo wa mapato yanayofanyika katika hatua ya mavuno kwa uwiano wa asilimia 70:30 ambapo asilimia 70 uenda kwa kaya zinazoshiriki na asilimia 30 zinarudi kwenye mfuko wa fedha mzunguko wa jamii chini ya ruzuku ya moja kwa moja (iliyoelezewa hapo juu) kwa ajili ya upandaji wa miti mpya. Malipo ya kifedha kwa ajili ya upandaji upya wa miti katika maeneo yaliyoharibiwa karibu na maeneo ya hifadhi ya misitu na ukanda wa aina ya miti ya asili yenye kipindi kirefu cha mzunguko (miaka 15-30) na kutoa mapato ya huduma za mifumo ikolojia, bioanuai naa huduma za ufyonzaji wa kaboni ili kukabiliana na athari hasi za mabadiliko ya tabia ya nchi. Kwa upande wa ruzuku ya moja kwa moja, kila CBO hushughulikia utendaji wa ruzuku hiyo kwa ufuatiliaji wa karibu kutoka kwa mamlaka husika za mitaa na taasisi za kiserikali. Kwa upande wa fedha za mashamba ya miti inayokua haraka ya maisha pamoja na malipo ya kifedha kwa ajili ya upandaji upya wa maeneo yaliyoharibiwa, jedwali namba 6 linatoa miongozo ya MERECP juu ya kugawana mapato na kuvuna. Mbali na miongozo hii kwa ajili ya ugawanaji mapato na uvunaji, PBSAs zina miongozo kwa ajili ya kusitishwa au kufutwa kwa PBSA kama ilivyoainishwa katika jedwali la 7 (chini) Je kuna vigezo vya kiutendaji ambavyo vinatumika katika kupata mapato haya? Ni vipi? Ni taasisi/shirika gani linahusika na kugawana mapato? Jedwali namba7: Miongozo kwa ajili ya kugawana mapato na uvunaji (malipo kwa ajili ya mashamba ya maisha ya miti inayoota haraka na malipo ya kifedha kwa ajili ya upandaji upya wa maeneo yaliyoharibiwa). Katika maeneo ya kuni na kilimo cha mseto (ambalo ni shamba mkanda la miti iliyopandwa karibu na makazi) yaliyotengwa na kaya walegwa na hati za matumizi ya ardhi chini ya mkataba huu, kaya walengwa zinaweza kuvuna mavuno na malisho ya wanyama bila gharama yoyote kwa matumizi au mauzo. Kwa kipindi cha miaka mitatu ya mwanzo au kwa kadri inavyofaa, ya mashamba ya miti inayokua kwa kasi katika ukanda wa mashamba ya maisha, ambapo serikali na mamlaka za mitaa zimetoa haki ya kutumia ardhi chini mkataba huu, kaya walengwa zinaweza kushughulika na kilimo mseto na kuzalisha mavuno na miti ya malisho bila gharama yoyote matumizi binafsi na mauzo Mazao yoyote yanayotokana na ukataji miti katika mwaka wa nne au wa tano yanaweza kuvunwa na kaya walengwa bila gharama yoyote kwa matumizi binafsi au kwa ajili ya mauzo. Wakati wa mavuno baada ya miti kukomaa (kwa kawida miaka nane) kaya walengwa zina haki ya kupokea asilimia 70 ya fedha taslimu zote za mapato ya mavuno, wakati asilimia 30 inayobakia uwekwa kwenye CRF kwa ajili ya kufanya shughuli za upandaji upya katika maeneo yaliyotegwa ili kuendeleza kutoa faida kwa kaya husika. Endapo kaya itashindwa kutekeleza majukumu yake kadri ya makubaliano, serikali na mamlaka za mitaa zinaweza kufuta faida za kaya hiyo katika malipo ya mwisho. Mzunguko wa pili na mizunguko mingine inayofuatia katika mashamba ya ukanda wa maisha ni jukumu la CBOs na kaya walengwa wenye haki ya matumizi chini ya makubaliano haya kwa kutumia mapato yatokanayo na CRF. Katika kurejesha faida wanazozipata kaya walengwa chini ya makubaliano, kaya zinatakiwa kutunza na kusimamia raslimali na mifumoikolojia, na kulinda ukanda wa ulinzi wa maeneo ya hifadhi kwa niaba ya mamlaka ya serikali na mamlaka za mitaa. 14

19 David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Vigezo vya kiutendaji kwa ajili ya ugawanaji mapato ndani ya mradi wa MERECP utofautiana kutoka kundi moja hadi linguine. Katika kikundi cha Umoja wa Wakulima wa Kapchebut katika mlima Elgon, uamuzi juu ya jinsi ya kugawana faidi uko wazi ili kuhakikisha kwamba kila mwanachama ana haki na nafasi sawa na hadi wanachama wotewapate. Kwa mfano katika kundi hili, ili mtu afaulu kupata ng`ombe lazima ajenge zizi la ngombe, apande ekari moja ya nyasi za ng ombe na lazima akubaliane na mashariti ya kikundi. Aidha wanakikundi walikubaliana kiwango cha riba cha asilimia 4 kwa kipindi cha miezi 3-4 kulingana na ukubwa wa mkopo uliotolewa kwa mwanachama/kikuindi cha wanachama. Mkopo wa CRF unatolewa kwa vikundi vya jamii kulingana na uwezo wa kutumia vizuri fedha hizo. Katika kikundi cha umoja wa jamii cha Cheptais, uamuzi ulitolewa wa kuacha kikundi cha wanawake cha Chemutei kinufaike kwanza kutoka kwenye CRF ya MERECP kutokana na historia yake nzuri ya uwajibikaji, kujituma, umoja na kuwa jirani zaidi na hifadhi (tazama jedwali namba 4 juu). Katika asasi ya kijamii ya Tubei uamuzi ulitolewa kwamba ukopeshaji wa fedha za CRFs uzingatie zaidi kiwango cha akiba alichonacho. Hata hivyo katika vitendo, kiwango cha akiba alichonacho mkopaji hakiamui kiwango cha mkopo anachostahili kupewa muombaji kwani mwisho wa siku inatakiwa wanakikundi wote wapate mgo wa usawa kutokana na mkopo huo. Kwa hiyo waliunda kamati ya mikopo yenye watu watano ili kusudi iandae taratibu muhafaka za kuedesha mikopo hiyo. Fomu za miko ziliandaliwa na viwango vya riba vilifikiwa baada ya kuangalia taasisi nyinginezo. Katika mradi wa usimamizi wa mali asili wa Bupoto (BUNAMI) kiwango cha malipo ya riba kiliamuliwa na wanachama kama asilimia 3 kwa kipindi cha hadi miezi 6 kulingana na ukubwa wa mkopo wa mwanachama/kikundi na watua ukopa kwa kipindi cha miezi Mambo ya kujifunza/ Ujumbe kwa miradi ya jamii ya MKUHUMI Michakatona taratibu mbali mbali za maamuzi juu ya ugawanaji wa mapato zinaweza kusababisha kujali/kukidhi mahitaji ya jamii. Hata hivyo michakato hii inaweza kusababisha utengwaji wa baadhi ya makundi ya jamii kama vile vijana na wanawake ambayo ni muhimu sana katika kufanikisha malengo ya MKUHUMI. Na kwa sababu hiyo, mfumo wa ugawanaji mapato ya MKUHUMI unaweza kuhitaji kuidhinishwa kabla haujaanza kutumika. Viwango vya riba vinaamuliwa na vikundi vyenyewe bila kutawaliwa na MERECP. Kwa mfano kikundi cha umoja wa misitu ya jamii wa Cheptais ulikubaliana asilimia 10 kwa mwaka; taasisi ya jamii ya Tuibei imepanga asilimia 10 kwa mwaka wakati asasi nyingine za jamii zimepanga chini ya asilimia 10 kwa mwaka. Kwa ujumla riba ikiwa kubwa inaweza kuwakatisha tamaa wanakikundi wasikope na hivyo kupunguza idadi ya wanachama wanaoshiriki katika shughuli za kuzalisha kipato Miongozo juu ya usitishaji au kufutwa kwa PBSA imeegemea upande wa serikali na taasisi za mitaa ikiwa ina maanisha kwamba haiwezi kukosea (na kusababisha hasara ya uwekezaji wa jamii katika miti kwenye ardhi) wala kushitakiwa katika mahakama ya kisheria, jambo ambalo si kweli. Aidha haieleweki ni jinsi gani wadau wote hasa maskini na makundi yaishiyo kwenye mazingira hatarishi yataweza kushirikishwa, hali ambayo inaashiria uhitaji wa mfumo utakaolinda na kuhakikisha ushiriki wao. Kwa mujibu wa LVBC kasi ambayo CBOs zinatumia kutekeleza shughuli zake inatofautiana sana kutegemeana na uelewa wa dhana nzima ya CRF. Kuna taarifa za matukio ya ukiukaji wa taratibu na kushidwa kulipa. 3.4 Je ni gharama gani zinazojitokeza katika mifumo ya ugawanaji mapato kama CRF na ni nani anayezigharamia? Aina ya gharama zinazojitokeza katika mifumo ya ugawanaji mapato Je ni gharama na hatari gani (za kijamii, kiuchumi na kimazingira) ambazo jamii/ vikundi vya kijamii (vinaweza) kukumbana nazo kwa kutokana na kujiunga na mifumo ya ugawanaji wa mapato? Je ni gharama gani za fursa zinazojitokeza katika miradi ya jamii ya MKUHUMI? Je ni gharama gani za utekelezaji katika miradi ya jamii ya MKUHUMI? na je ni gharama gani za kimuamala zinazojitokeza katika miradi ya jamii ya MKUHUMI? Ili kupata fedha za MKUHUMI, nchi ni lazima zipunguze ukataji wa miti na uharibifu wa misitu pamoja na/au kuongeza hifadhi ya kaboni. Hata hivyo, kufanya hayo kuna gharama zake. Gharama hizi zimegawanyika katika makundi makuu matatu: 15

20 Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Gharama zinazotokana na fursa am bazo ukataji wa miti na uharibifu wa misiti ungezalisha kwa watu binafsi na taifa kwa ujumla Gharama za utekelezaji wa shughuli zinazohitajika ili kupunguza ukataji miti na uharibifu wa misitu, na Gharama za uanzishaji na uendeshaji wa wa miradi ya MKUHUMI Pale mradi wa MKUHUMI unapozuia shughuli za kimaisha (ziwe halali ama batili) basi gharama za ki-fursa hujitokeza. Endapo gharama hizi hazitafidiwa kwa namna fulani basi kuna mambo mawili yanayoweza kujitokeza: (1) Shinikizo kwenye misitu litaendelea au (2) gharama za fursa zitasababisha madhara kwa jamii husika, hali ambayo ni ukiukaji wa taratibu za kimataifa za matendo bora (na pia kinga za benki ya dunia za kutokufanya madhara. Gharama za jumla za mradi wa MERECP zinakadiliwa kuwa dola za kimarekani milioni kwa mwaka 2009/2010 (LVBC, 2009). Mkakati mpya wa MERECP umependekeza kupeleka moja kwa moja takribani asilimia 54 (sawa na dola za kimarekani milioni 1.4) ya bajeti nzima ya MERECP kwa asasi za kijamii (CBOs) nchini Kenya na Uganda wakati asilimia 21 itatumika katika zisizo za moja kwa moja katika kujenga uwezo na kuongeza maarifa, kujenga misingi ya takwimu na taarifa (LVBC2009). Kuhusiana na mtiririko wa moja kwa moja wa fedha kwa CBOs walengwa, Kenya na Uganda zinapokea mgawo sawa wa fedha wa dola za kimarekani 714,000 kila moja kwa miaka miwili. Jedwali namba 8: miongozo kwa ajili ya kusitisha/kufuta PBSA Ifuatayo ni miongozo kwa ajili ya kusitisha na/au kufuta PBSA Mkataba huu unaweza kusimamishwa na mamlaka ya serikali kuu na au serikali za mitaa wakati wowote endapo kaya walengwa zitafanya uvunjifu mkubwa wa sheria na masharti husika. Mamlaka ya serikali inaweza kushauriana na CBO na kamati ya usimamizi wa CRF (kama mdau wa tatu), wilaya au jumuisho lingine lililoundwa na washiriki wa kabla ya kusitisha mkataba. Kaya zinazonufaika na mradi huu hazistahili kudai fidia yoyote au kupeleka mahakamani kesi au usurulishi dhidi ya serikali na mamlaka za serikali za mtaa kuhusiana na makubaliano Endapo kaya mnufaikaji itafanya mabadiliko yoyote makubwa katika matumizi ya ardhi katika maeneo ya ukanda ulioteuliwa/ viwanja kwa ajili ya mashamba (kama vile kujenga nyumba za muda ama za kudumu) taasisi husika zitakuwa na mamlaka ya kufuta mikataba hiyo na kaya nufaika zitalazimika kuondoka katika maeneo hayo ndani ya miezi miwili toka siku ya kupokea ilani ya kufukuzwa. Hakuna chochote katika mkataba huu kitakachoweza kitaathiri haki ya mamlaka ya serikali na serikali za mitaa kuingia katika ardhi yoyote wakati wa kutekeleza majukumu yake uangalizi na usimamizi wa ardhi chini ya sheria. Fedha hizi ni kwa ajili ya: Kuanzisha mifuko ya fedha mzunguko ya jamii (CRFs) kwa mtaji wa dola za kimarekani 10,000 kwa kila asasi moja ya kiraia katika parokia 10 nchini Uganda na maeneo madogo nchini Kenya (vitengo vidogo vya utawala wa serikali za mitaa) Kuweza hekta 600 nchini Kenya na Uganda za miti ikuayo kwa kasi kwa ajli ya mashamba ya maisha katika ukanda namba 1 na 2 na ufyonzaji wa kaboni kupitia mimea asilia katika ukanda namba 3 kwa hadi hekta 200 kila nchi na; kutoa malipo kwa ajili ya uepukaji wa ukataji miti chini ya mpango wa majaribio wa MKUHUMI kwa hadi hekta 200 nchini Kenya na Uganda. Michango katika kitengo cha usimamizi wa Mradi (PMU) ni hasa kwa ajili ya kushughulikia masuala y a u f u a t i l i a j i, uratibu na utoaji wa huduma za kitaalam katika mradi. Gharama za ada ya huduma ya LVBC zimechukuliwa katika kiwango kile kile cha silimia 5 ambacho kwa sasa ni dola za Kimarekani 121,132. Kiasi hiki kinalenga kusaidia shughuli za usimamizi, kutoa msaada wa kiutalaam na kisera, uratibu na matumizi mbali mbali ya shughuli mtambuka ambazo ni maalum kwa nchi wanachama EAC. Kiasi cha dharura cha asilimia 4 (sawa na dola za kimarekani 118,000) kimeachwa pembeni kwa ajili ya kuhudumia matukio ya dharura kama vile mfumuko wa bei na matukio mengine yasiyoweza kutabirika (LVBC,2005). 16

21 Je ni gharama zipi za ki-fursa katika miradi ya jamii ya MKUHUMI? Ukataji miti, licha ya madhara yake yote unaweza pia kuleta faida nyingi sana za kiuchumi. Mbao zinaweza kutumika kwa ajili ya ujenzi na ardhi iliyofyekwa inaweza kutumika kwa ajili ya mazao ya biashara au malisho. Kupunguza ukataji miti na kuzuia matumiza mengine ya ardhi kunamaanisha kuachana na faida hizi. Vile vile uharibifu wa misitu pia uleta faida kutokana ukataji mbao, ukusanyaji wa kuni na malisho ya mifugo. Kuzuia uharibifu wa misitu kunamaanisha kuachana na faida hizi. Gharama za kuacha hizi faida (faida halisi ziletwazo misitu iliyohifadhiwa vizuri) zinajulikana kama gharama za ki-fursa (yaani opportunity cost) ni zinaweza kuwa mojawapo ya gharama muhimu sana ambazo nchi itakumbana nazo katika mchakato wa kupunguza kiwango cha uharibifu wa misitu chini ya mkakati wa MKUHUMI. Gharama za ki-fursa ni pamoja na zile za wazi wazi za kuachana faida za kiuchumi zinazotokana na matumizi mbadala ardhi ambazo zinajulikana kama gharama za moja kwa moja shambani. Pia zinaweza kuhusisha gharama za kijamii na kiutamaduni na zile zisizo za moja kwa moja kama zilivyoainishwa katika (jedwali namba 1 juu). Zinaweza kuhusisha pia gharama zilisizo za moja kwa moja za kijamii na kitamaduni. Gharama za kijamii na kitamaduni: kuzuia ubadilishaji wa misitu kwa matumizi mengine ya ardhi kunaweza kuathiri kwa kiasi kikubwa maisha ya wakazi wa vijijini. Mabadiliko hayo katika mfumo wa maisha yao yanaweza kuleta madhara ya kijamii na kitamaduni ambayo hayawezi kupimwa kiuchumi. Mfano wa gharama hizo ni pamoja na athari za kisaikolojia, kiroho au kihisia kuhusiana na mabadiliko ya kimaisha, kupotea kwa maarifa ya asili, kumomonyaka mtaji kijamiii. Gharama hizi zinaweza kupunguzwa endapo njia mbadala za maisha zinakidhi haja za wadau na zinapatikana kwa wadau wote wanaoguswa na utekelezaji wa shughuli za MKUHUMI. Gharama zisizo za moja kwa moja za mbali na sehemu ya mradi. Mabadiliko katika shughuli za kiuchumi kutokana na mbao na kilimo kuelekea kwenye sekta nyingine za uzalishaji yanaweza pia kuathiri wadau wengine wanaotegemea mlolongo wa uzalishaji wa bidhaa hizo. Aidha upungufu wa shughuli za kiuchumi unaweza kuathiri mapato ya kodi ya taifa. Kama zilivyo gharama za ki-fursa, gharama hizi zisizo za moja kwa moja bado sio gharama za jumla lakini zinapaswa kukadiliwa misingi tofauti (yaani ikiwepo dhidi ya bila MKUHUMI). Gharama hizi zisizo za moja kwa moja zinazohusiana na MKUHUMI zinaweza kukadiliwa kwa kutumia modo zenye kuangalia mtiririko wa matokeo na zile zinazoangalia masoko mengi. David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham MKUHUMI yatakuwa tofauti na ile nchi ambayo haina sera ya MKUHUMI. Kwa vile ardhi kubwa itakuwa kwenye misitu yenye shughuli za MKUHUMI, kuna uwezekano mkubwa kwamba bei za mbao na mazao ya kilimo na mifugo zitaongezeka. Madhara ya pamoja ya kutokubadilisha misitu kwa ajili ya kilimo na kurejesha misitu kutokana na shughuli za kilimo ni upungufu wa ardhi kwa ajili ya kilimo, hali ambayo itasababisha ongezeko kubwa la gharama ya chakula, nyuzi, na mafuta. Mabadiliko haya ya bei yanaweza kusababisha gharama kubwa ya ki-fursa. Kukadilia gharama za ki-fursa za MKUHUMI ni muhimu kwani gharama hizi zinakadiriwa kuwa gharama kubwa ya gharama nyingine zote za MKUHUMI kutegemeana na hali halisi ya nchi husika na pia mahali iliko nchi hiyo; kutoa ishara juu ya wa visababishi na sababu za ukataji miti; inaweza kusaidia kutambua athari za miradi ya MKUHUMI katika makundi mbali mbali ya kijamii ndani ya nchi; inasaidia kutambua fidia muhafaka kwa wale wanaobadili matumizi yao ya ardhi kama seheu ya mradi wa MKUHUMI; na taarifa inayokusanywa kwa ajili ya makadirio ya gharama za ki-fursa za MKUHUMI ndio inakuwa msingi wa kuboresha makadirio ya gharama za MKUHUMI. Japokuwa uchambuzi wa gharama za kifursa za MKUHUMI unaweza kusaidia uandaaji wa sera ya taiafa ya MKUHUMI, bado kuna hatari kubwa zinaweza kuibuka. Hatari mbili zinazohusiana na makadirio ya gharama za fursa za MKUHUMI ni pamoja na vikwazo ambavyo inabidi vizingatiwe wakati wa makadilio ya gharama za MKUHUMI. Gharama nyingine zisizo za moja kwa moja ni pamoja na uhusiano wa mrejesho wa kidunia kutokana na sera za MKUHUMI. Matumizi ya ardhi katika nchi chini ya 17

22 Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Kielelezo namba 1: gharama za MKUHUMI Fursa Moja kwa moja kwenye eneo la mradi Tofauti ya faida baina ya kuhifadhi misitu na kuibadilisha katika matumizi mengine ya ardhi hasa matumizi ya thamani ya ardhi. Tofauti katika faida kutokana na kuongezeka kwa kaboni ndani ya misitu au ile kaboni ya misitu iliyorejeshwa kijamii na kiutamaduni Fursa za kujikimu zimefungwa au kubadilishwa Madhara ya kisaikolojia, kiroho na athari za msisimko, Zisizo za moja kwa moja nje ya eneo la mradi Tofauti katika ongezeko la thamani ya shughuli (mabadiliko katika sekta ya kiuchumi yanayotokana na MKUHUMI). Tofauti katika mapato ya kodi Bei za bidhaa za kilimo na misitu kuongezeka kutokana na mirejesho ya kiuchumi (mabadiliko na sio mgando. Utekelezaji Mipango ya matumizi ya ardhi Umiliki wa ardhi/mageuzi ya utawala Uhifadhi wa misitu, usimamizi bora wa misitu na kilimo Mafunzo ya kazi Utawala Manunuzi Maandalizi ya Mradi wa MKUHUMI Makubaliano ya majadiliano Uhakiki wa upunguzaji wa hewa ya ukaa (Upimaji, Utoaji taarifa: kudhibitisha-mrv) Uhimarikaji -kuzuia ukataji miti kuhamia katika nchi nyingine (kuzia uvujaji). Je ni gharama gani zinazojitokeza katika utekelezaji mradi wa jamii wa MKUHUMI? Utekelezaji wa MKUHUMI unahitaji raslimali nyingi za fedha na watu ingawa faida ya kutosha inaweza kupatikana kutokana na raslimali za misitu. Faida zitokanazo na mifumoikolojia ya misitu ni nyingi na haziishii kwenye mapato ya kifedha peke yake. Faida hizi zinaweza kugawanywa katika makundi ya zile zinazoonekana na zisizoonekana kama vile faida za kijamii na kimazingira. Baadhi ya faida zinazoonekana ni bidhaa za kujikimu zinazotumika katika ngazi ya kaya na nyingine ni bidhaa zinazouzwa sokoni ili kuleta kipato. Kwa ujumla makundi matatu ya faida yanaweza kutambulika ambayo ni ya kiuchumi, kijamii na kimazingira. Mbali na faida hizi pia kuna gharama zinazohusiana na utekelezaji wa mradi wa MKUHUMI. Gharama hizi ni zile zinazohusiana na moja kwa moja na shughuli za kupunguza ukataji miti na hivyo kupunguza uzalishaji wa hewa ukaa. Baada ya kuundwa upya, takribani asilimia 54 ya gharama zote za MERECP sawa na dola za kimarekani 1.4 inatarajiwa kutolewa moja kwa moja kwa asasi za kijamii CBOs katika nchi zote mbili wakati asilimia 21 itatumika katika namna ambayo si moja kwa moja katika kukuza uwezo, kujenga ujuzi, kuendeleza misingi ya takwimu na habari na kueneza ujumbe juu ya utaratibu huu. Aslimia 18 ya bajeti iliyopangwa itaenda katika gharama za usimamizi wa mradi ambazo zinajuisha uendeshaji wa kitengo cha usimamizi wa mradi ndani ya LVBC ambacho kinafanya kazi kama kitivo cha uratibu wa miradi mtambuka na pia kugharimia shughuli za ufuatiliaji na tathimini ya mradi katika ngazi ya taifa nchini Kenya na Uganda (LVBC 2009a). Kuhusiana na mtiririko wa fedha, wa asasi za kijamii nchini Kenya na Uganda zinapokea kiasi sawa cha bajeti sawa na dola za kimarekani 714,000 kwa kila moja. Pesa hizi ni kwa ajili ya kuanzisha mfuko wa fedha wa mzunguko wa jamii (CRFs) ambao unakuwa na mtaji wa dola za kimarekani 10,000 kwa kila CBO katika parokia 10 ambazo zinatuma kupanda miti inayokua haraka katika eneo la hekari 600 katika maeneo ya kanda 1na 2, na ufyonzaji wa kaboni kwa kutumia miti ya asili katika maeneo ya ukanda 3 kwa eneo lenye ukubwa wa hadi hekta 200 katika kila nchi na kutoa malipo kwa ajili ya uepushawaji wa ukataji miti chini ya miradi ya majaribio ya MKUHUMI katika eneo lenye ukubwa wa hadi hekta 200 kwa kila nchi (LVBC, 2009a). 18

23 David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Gharama za utekelezaji wa mradi zinatarajiwa kushughulikia mambo yafuatayo (a) mfuko wa fedha mzunguko (CRF)-shughuli za kuzalisha kipato (CBO 10 katika kila nchi. (b) mashamba ya maisha (sawa na dola za kimarekani 530 mpaka 700 kwa kila hekta (ambayo ni sawa sawa na hekta 600 kwa kila nchi (c) malipo ya uepukwaji wa ukataji wa miti kwa ajili ya MKUHUMI (ambapo ni dola za kimalekani 50 kwa ajili ya ulinzi; dola za kimarekani 20 kama nyongeza ya utendaji mwema) kwa hekta 200 katika kila nchi na (d) ufyonzaji wa kaboni ambao ni kati ya dola 550 mpaka 900 kwa hekta kwa miti ya asilia kwa hadi hekta 200 kwa kila nchi (LVBC, 2009a). Je ni gharama gani za kiutendaji zinazojitokeza katika miradi ya jamii ya MKUHUMI? Zaidi ya gharama za ki-fursa na zile za utekelezaji, MKUHUMI inaambatana na gharama za kiutendaji. Gharama za kiutendaji zinajitokeza katika kila kona ya mradi wa MKUHUMI: utambuzi wa mradi wa MKUHUMI, majadiliano ya utendaji, ufuatiliaji, kutoa taarifa na kuthibisha upunzaji wa uzalishaji wa hewa ya ukaa. Gharama za kiutendaji zinabebwa na wetekelezaji wa mradi wa MKUHUMI na watu wengine wanaotoa huduma zinazohusiana na mradi huo kama vile wahikiki, wathibitishaji na wanasheria. Kwa kufafanua gharama za kiutendaji za MKUHUMI utokana na (1) wadau mbalimbali wanaoshiriki katika utekelezaji wa shughuli za MKUHUMI kama vile wanunuzi na wauzaji au wafadhili na mpokeaji na (2) wadau wa nje kama vile wasimamizi wa masoko, au mfumo wa usimamizi wa malipo ambao unaangalia na kuthibisha utimilifu wa taratibu zilizopangwa kama vile kiwango kinachostahili kupunguzwa kwa hewa ya ukaa. Hata hivyo, shughuli hizo na gharama zake ni muhimu ili kuhakikisha uwazi na umakini wa mradi wa MKUHUMI. Kwa kawaida, gharama za kiutendaji uchukuliwa tofauti na gharama nyingine za utekelezaji wa mradi kwa sababu zenyewe kama zenyewe haziusiki na kupunguza ukataji miti na uharibifu wa misitu. Gharama za ki-utendaji pia zinaweza kujumuisha gharama zijulikanazo kama gharama za uimarishaji, ambazo utokana na uhitaji wa shughuli za kuzuia ukataji wa miti kuhamia katika nchi nyingine ambazo hazijihusishi na MKUHUMI. Hata hivyo bado haijaeleweka vizuri kama wadau wa MKUHUMI watakubalina na hizo gharama. Kwa upande wa kujenga uwezo wa kitaasisi, uratibu na ufuatiliaji na tathimini,nchi zote mbili kwa sasa zinapokea kiwango karibu sawa ikiwa kuna ongezeko kidogo kwa nchi ya Uganda kutokana na kuwepo kwa vitengo vingi vya kiutawala (wilaya) vinavyohusika katika mpango wa uratibu na shughuli za M&E (LVBC, 2009a). Gharama zinginezo ni kama zile za huduma za utaalamu, utafiti, vifaa na picha za setilaiti, semina na waisha, uchapishaji na utoaji taarifa na usimamizi wa mradi. Michango katika kitengo cha usimamizi wa Mradi (PMU) ni hasa kwa ajili ya kushughulikia masuala ya ufuatiliaji, uratibu na utoaji wa huduma za kitaalam katika mradi. Gharama za ada ya huduma ya LVBC zimechukuliwa katika kiwango kile kile cha silimia 5 ambacho kwa sasa ni dola za Kimarekani 121,132. Kiasi hiki kinalenga kusaidia shughuli za usimamizi, kutoa msaada wa kiutalaam na kisera, uratibu na matumizi mbali mbali ya shughuli mtambuka ambazo ni maalum kwa nchi wanachama EAC. Kiasi cha dharura cha asilimia 4 (sawa na dola za kimarekani 118,000) kimeachwa pembeni kwa ajili ya kuhudumia matukio ya dharura kama vile mfumuko wa bei na matukio mengine yasiyoweza kutabirika (LVBC,2005). Mwongozo wa kutathimini mapendekezo ya mfumo wa kugawana mapato ya miradi ya MKUHUMI. 3.4 Mambo ya kujifunza kwa ajili ya mired ya jamii ya MKUHUMI Kukosa mwongozo wa kutosha hasa kuhusiana na maarifa na elimu katika kuchangua miradi ya uwekezaji kwa vikundi vya CRF inamaanisha vikundi hivyo vinaingia gharama ambazo zingeweza kuepukika. Kwa mfano umoja wa wafugaji nyuki wa Tagwen-kwigate ambao una mradi mmoja tu wa ufugaji nyuki. Hivyo ili kuweza kupanua kipato utambuzi wa mradi pamoja na tathimini za awali,uteuzi wa taasisi, utekelezwaji wa mradi pamoja na mambo mengine muhimu juu ya utekelezaji wa mradi huu yanapaswa kutolewa kwa jamii usika.. Miundo mbinu ya uasilishaji na uhufadhi inapaswa kuwepo ili kuhakikisha wanajamii wanapata faida ya juu kutokana na juhudi zao katika mrado mradi kwa ajili ya uhifadhi wa misitu. Kwa mfano katika taasisi ya maendelo ya jamii yatuibei-iliyoko kapsokwany (Kenya) kutokana na kubadilikabadili kwa bei wakati wa mavuno, kilo moja ya vitunguuu imeshuka bei hadi Kshs 10 kutoka Kshs 60 wakati wa kipindi ambacho si cha mavuno. Kwa mujibu wa katibu mkuu Bwana Yusufu Kisiero kikundi kimejenga kituo cha kuhifadhi mazao kwa ajili ya bustani zao za matunda- vitunguu na viazi. Na kwa sababu hiyo bei inapobadika na kushuka wakati wa msimu wa mavuno, wanahifadhi mazao baada ya kukausha ili kupata bei nzuri. Mazao yanauzwa kwa wakulima kikundi chao uhifadhi mavuno yao baada ya kuyakausha na kusubiri hadi pale bei inapokuwa nzuri katika msimu unaofuata. 19

24 3:5 Uendelevu Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Je wahusika wanatakiwa kushiriki kwa muda gani katika mradui huu? Je malipo yasiyo ya fedha yanatolewa kwa muda gani? Kama fedha kwa ajili ya malipo au utoaji wa malipo yasiyo ya fedha? Endapo malipo yanakuwepo kwa miaka michache, je ni jinsi gani shughuli za mradi zinaweza kuendelezwa? Je ni urefu/muda gani wa ushiriki ambao unatakiwa? Mradi wa MERECP ulibuniwa na shirika la IUCN ambapo utekelezaji wake ulianza mwezi Septemba mwaka 2005 kwa kipindi cha miaka 4 na kwa bajeti ya hela za serikali ya Norway na Sweden kiasi cha-nok milioni 34.2 milion. Tathimini ya kati ya MERECP ilifanyika mwezi Aprili mwaka 2008 ambayo ilipendekeza kuandaliwa upya kwa mkakati wa mradi (Januari 2009-Desemba 2010) na kuelekeza raslimali kwa asasi za jamii zinazoishi kando kando na hifadhi za taifa na hifadhi za misitu katika eneo la mlima Elgon wa Kenya na Uganda. Kwa sababu hiyo kwa sasa mradi unasisitiza sana ushiriki na umiliki wa mradi huu kutoka serikali ili kuhakikisha umeingizwa katika mifumo ya serikali katikka ngazi ya kitaifa, wilaya na ngazi za mtaa za utawala (LVBC 2009). Kwa mujibu wa LVBC hiki kipindi cha miaka 4 ya awali sio kipindi hasa cha uendelevu na utekelezwaji katika maeneo mengine: badala yake kinaweza kuitwa kipindi cha kuanzia yaani kick off na pia kipindi cha majaribio kwa miaka ndio muda mzuri wa kuweza kupata matokeo mazuri na taswira juu ya uendelevu (LVBC, 2009). Hata hivyo swala la uendelevu litategemea jinsi gani MERECP itaweza kuwawezesha wadau husika chini ya usimamizi shirikishi wa mifumo ikolojia ya mlima Elgon na kuwajengea hisia za umiliki na uwajibikaji. Je malipo ya kifedha na yale yasiyo ya kifedha yanatolewa kwa muda gani? Katika ngazi ya jamii malipo ya kifedha kwa uepukaji wa ukataji wa miti yanatolewa kwa kipindi kisichozidi miaka 5 ambavyo baada ya hapo CBOs na jamii zilizo karibu na msitu zitalazimika kulinda msitu huu kwa hiari ambako mfuko wa fedha za mzunguko wa mjamii (CRF) unatarajiwa kuwa umeishaleta faida kwa waduu na hivyo kuwapa motisha ya kutosha. Matarajio haya yamejengeka katika makisio kadhaa ikiwa ni pamoja na kwamba wanajamii wataendelea kuwa na hamu ya kushiriki kwenye mradi (ikiwa ni pamoja na parokia ambazo hazishiriki kwenye mradi kwa sasa) ili kufanikisha malengo ya mradi bila changamoto zozote kubwa kama vile migogoro, sera za matumizi ya ardhi na ongezeko la mahitaji ya ardhi (hususani ni kwa wale masikini na asilia wanaoishi katika mazingira magumu) kwa miaka ijayo. Aidha ujengaji wa uwezo unaotolewa katika masuala ya ujuzi na mafunzo ni mojawapo ya vitu muhimu katika kuendeleza shughuli za CBOs katika siku za usoni. Kwa mfano kwa mujibu wa LVBC moja ya changamoto ni kwamba CBOs nyingi zinakosa uwezo katika maeneo mbalimbali kama vile maendeleo ya vikundi, uteuzi wa biashara na masoko, usimamizi wa mifuko ya fedha mzunguko, akiba na mikopo na kufanya kibiashara (LVBC 2010). Kama mkakati wa uendelevu wa CBOs ni mhimu kuhakikisha mafunzo pamoja na ziara za mafunzo kwa ajili ya kubadilishana ujuzi na kupata uzoefu katika mazingira halisi ya kidunia. Shughuli mbalimbali za kuzalisha kipato katika MERECP ni aina pia ya uendelevu. Hii inasaidia kuondoa shinikizo katika maeneo ya uhifadhi huku wakiendelea kupata mahitaji yake ya msingi shughuli kutoka kwenye shughuli kama vile ufugaji sama, kilimo cha bustani, na maziwa ambayohayana madhara makubwa. Hata hivyo mojawapo ya makisio hapa ni kwamba mahitaji ya ardhi hayataongezeka, na jamii zitaendelea kutumia ardhi iliyopo/na misitu katika namna nzuri kiikolojia ili kufanikisha mahitaji yao ya sasa na ya baadaye (kwa kuheshimu maeneo ya yaliyotengwa) na kwamba stoko ya kaboni inaweza kuuzwa kwa bei katika soko la dunia. 20

25 David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham 3.5 Mambo ya kujifunza kwa ajili ya miradi ya jamii ya MKUHUMI Kuna haja ya kutambua vikundi ambavyo vinaweza kuwajibika kwa ajili ya miradi ya jamii ya MKUHUMI. Makundi haya yanaweza kuwa ni yale yaliyopo ambayo yanaweza kutathiminiwa na kuboreshwa au yanaweza kuundwa makundi mengine mapya kwa nji shirikishi (miongoni mwa mambo mengine kwanza kwa kuangalia ufaaji kwa jamii husika, viongozi wa mitaani na wengineo ili kupata mshikamano wa jamii) kwa kutumia mifumo ya wazi ya utawala na sharia za usirikiano ( MoUs au katiba) zipo. Mafunzo na maarifa yanapaswa kutolewa kama sehemu ya mradi kulingana na mahitaji yaliyopo ama yanayotazamiwa. Hii inaweza kujumuisha mifumo rasmi ya mafundisho pamoja na njia za ziara za mafunzo katika maeneo mengine ambako uzoefu halisia unaweza kupatikana. Hata hivyo, yote haya yanahitaji uwekezaji endelevu na muda wa kutosha kufanya hivyo. Shughuli za kuzalisha kipato na kuboresha maisha (uhifadhi wa udongo, upandaji wa miti kwa ajili ya kuboreha wa maisha, ufugaji samaki, ufugaji wa mifugo, uzalishiji wa matunda na uzalishaji wa baogesi) vinaweza kusaidia upatikanaji wa faida za mapema kwa jamii kutokana na juhudi zao katika kuhifadhi misitu, wakati pia wananchi hao wakipata mahitaji yao ya kila siku (kama vile chakula, nishati, afya, ada ya shule kwa watoto na huduma bora) Miradi ya MKUHUMI inahitajiuwekeza wa muda mrefu na endelevu kabla haijatoa kikamilifu faida zinazotegemewa. Dhana ya uendelevu katika miradi ya MKUHUMI imejengeka juu ya matarajio ya sera zisizokinzana. Kwa upande wa mlima Elgon, Uganda na Kenya zinadhaniwa kuwa na sera zisizokinza na sheria ambazo hapo mbeleni zinaweza kusaidia kufikiwa kwa malengo ya MERECP. 21

26 Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI 4 Hitimisho Mfumo wa kugawana mapato imekuwa siku zote imehusishwa na utararibu wa kutoa mapato kwa wanajamii ambao mwisho wa siku wanatarajiwa kutekeleza majukumu fulani. Hii inajumuisha mapato ya moja kwa moja na yale yasiyo ya moja kwa moja. Uzoefu na mambo yaliyojifunzwa kutoka katika mradi wa MERECP (kutokana na asili zake mbalimbali) chini ya nguzu zake kuu za miundo ya utawala, wadau wanaoshiriki pamoja na haki zao, majukumu, mahusiano na faida; aina za gharama zinazojitokeza katika mfumo huu; taratibu na michakato ya ugawanaji mapato; na utendaji na uendelevu, vinatoa mwanga kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya jamii ya MKUHUMI ambayo ndo inaanza kushamili katika nchi nyingi za Afrika na kusini mwa dunia. Hata hivyo ni mhimu ikaeleweka kwamba sera bora na mifumo ya mwisho kisheria lazima iandaliwe ili kupunguza mapungufu yanayoweza kujitokeza katika ushiriki wa makundi yote ya kijamii yanayoguswa na MKUHUMI na ushiriki wa wadau hao katika mgawanyo wa usawa wa mapato wakati wanatekeleza miradi ya jamii ya MKUHUMI. Jamii zinajua nini zinachohitaji na hivyo zinahitaji mwongozo na uwezeshaji kwa ajili ya kuandaa miradi ambayo itachangia katika malengo ya uhifadhi kama ilivyokuwa kwa mradi wa MERECP uliyooneshwa. Ili miradi ya MKUHUMI iweze kufanikiwa, kufanikiwa, serikali, washiriki wa maendeleo, asasi za kiraia (CSOs), na sekta binafsi zinapaswa kuzingatia na kupanua uzoefu wa jamii katika kupunguza ukataji miti, uharibifu wa misitu, kuhifadhi misitu na maendeleo ya kijiji. 22

27 David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Rejea na vyanzo vingine kwa ajili ya kusoma zaidi Mtandao wa MKUHUMI (2011) www. Red-net.org Dawati la MKUHUMI (2011) Raslimali Shirikishi kwa Utayari wa MKUHUMI. Mpango wa hifadhi wa kikanda wa mlima Elgon: regionalecosystemconservationprogram accessed August 12, 2011 Harvey C.A, Zerbock O et al., (2010) nini kinachotakiwa kufanyika ili MKUHUMI ifanikiwe katika ngazi za mitaa? Mambo ya kujifunza kutoka kwenye miradi ya majaribio ya misitu ya kaboni. Conservation International. Arlington, Virginie, USA 121 pp. LVBC (2009a). Mradi wa Kikanda wa Uhifadhi wa Mifumoikolojia ya Mlima Elgon (MERECP); Mkakati mpya wa mradi : LVBC (2009b). Mionhgozo kwa ajili ya utekelezaji wa Mifuko ya Fedha ya Mzunguko ya Jamii (CRFs), Mikataba ya Ugawanaji Shirikishi wa Mapato (PBSAs) na Mifumo ya Utengaji wa maeneo kama motisha kwa Wanajamii katika Mifumoikolojia ya Mlima Elgon. Mradi wa Kikanda wa Uhifadhi wa Mifumoikolojia ya Mlima Elgoni (MERECP). LVBC (2010). The Implementation of the Mount Elgon Regional Ecosystem Conservation Programme (MERECP) Annual report. LVBC (2010) Utekelezaji wa Mpango wa Kikanda wa Kuifadhi Mifumoikolojia ya mlima Elgon (MERECP). Ripoti ya Mwaka. LVBC (2011). Uzuiaji wa Ukataji Miti katika Mifumoikolojia ya MlimaElgon katika Bonde la ziwa Victoeia Jarida la Tume ya Bonde la Ziwa Victoria. Mwayafu David (2011). Kutoka kwenye Migongano hadi kwenye Usimamizi wa Pamoja wa Misitu nchini Uganda: Uzoefu kutoka katika Mbuga ya Taifa ya Mlima Elgon (MENP): php?mact=news, cntnt01, detail, 0&cntnt01articleid=61&cn tnt01returnid=63 Pagiolaand Bosquet (2009). Makadirio ya Gharama za MKUHUMI katika ngazi ya nchi. World Bank Forest Carbon PartnershipFacility Version September IUCN (2009). Mifumo ya Kisheria ya MKUHUMI. Ubunifu na Utekelezaji katika ngazi ya Kitaifa Mwayafu D., & Kimbowa R., (2011). Mambo Muhimu na namna za Kugawana Mapato Katika Miradi ya MKUHUMI katika Africa Mashariki: Uzoefu wa Mradi wa Kikanda wa Uhifadhi wa Mlima Elgon: org/regions/east-africa Thor S. Larsen et. al (2008). Tathimin ya Kati Mid Term ya Mradi wa Kikanda wa Uhifadhi wa Mifumoikolojia ya Mlima/Mapitio Mchanganyiko ya NORAD 17/ No/en/_ attachment/106269/binary/5852? Download=trueaccessed August 12, Imefadhiliwa na Ubalozi wa Ufalme wa Norway, Kampala Benki ya Dunia (2011) Makadirio ya Gharama za Ki-fursa the za MKUHUMI. Kitabu cha kufundishia (Version 1.3): worldbank.org/wbi/learning-product/estimating-opportunitycosts-redd accessed August 15, 2011 Marie Calmel et al (2000). MKUHUMI Katika Ngazi ya Mradi. Mwongozo wa Tathimini na Uendelezaji. ONF International. 23

28 KUHUSU REDD-net REDD-net ni jukwaa la maarifa la kimataifa kwa mashirika ya kiraia kusini mwa dunia ambalo huyawezesha kupata habari kuhusu juhudi za Upunguzaji wa Uzalishaji wa hewa ya ukaa kutokana na Ukataji na Uharibifu wa Misitu (MKUHUMI+), na pia kupata fursa ya kubadilishana uzoefu wao wenyewe na kusaidiana kuandaa miradi na sera za kutekeleza miradi ya MKUHUMI+ ambayo inawelenga zaidi maskini. Mtandao wa REDD-net ni ushirikiano kati ya mashirika ya Centro Agrononómico Tropical de Investigación y Enseñanza (CATIE), Taasisi ya Maendeleo ya Ng ambo, RECOFTC - The Center for People and Forest na Uganda Coalition for Sustainable Development (UCSD). REDD-net inafadhiliwa serikali ya Norway yaani Norad. Kwa taarifa zaidi kuhusu REDD- Net tafadhali wasiliana na William McFarland at ODI (w.mcfarland@odi.org.uk au tembelea tovuti ambayo ni org. Kwa taarifa kuhusu REDD-net kwa Africa Mashariki na mwongozi huu tafadhali wasiliana na David Mwayafu (dmwayafu@ugandacoalition.or.ug) 24

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA NGUZO KUMI ZA KWANZA (MFUMO WA UTEKELEZAJI) NGUZO YA 1 DIRA YA TAIFA YA KWANZA 1.1 Kupitisha Dira ya KWANZA SHUGHULI MAJUKUMU MUDA MHUSIKA MKUU 1. AZIMIO LA KWANZA 2. mpango wa utekelezaji wa KWANZA 3.

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wapilipili Tanzania Wildlife Division, Tanzania Wildlife

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment Background 1. On 4 th September, 2012, the Energy and Water Utilities

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia HakiElimu & Policy Forum KUUELEWA MCHAKATO.indd a 1/20/10 11:00:56 AM KUUELEWA MCHAKATO.indd b 1/20/10 11:00:57 AM Kuuelewa Mchakato wa

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

Waangalizi wa Maendeleo Endelevu

Waangalizi wa Maendeleo Endelevu Waangalizi wa Maendeleo Endelevu Vol.1 Issue 4 June - December 2013 Mpango wa Ushauri na Mafunzo Wahamasisha Kujifunza Miongoni mwa jamii katika Eneo Ujenzi wa mabwawa ya maji chini ya mradi wa LVEMPII

More information

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda WARAKA WA TAARIFA YA MRADI (PID) HATUA YA TATHMINI TAARIFA NA..: AB4376 Jina la Mradi Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda AFRIKA Sekta Madini na Uchimbaji mwingine (100%) Namba ya

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

TIST HABARI MOTO MOTO

TIST HABARI MOTO MOTO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. +255784-537720/+255717-062960/+255782-250947, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@tist.org May 2010 Cash Payments for Trees Clean Air Action has developed a way to pay the groups

More information

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MFUMO WA RUZUKU YA MAENDELEO YA MTAJI WA SERIKALI ZA MITAA (LDCDG) UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI Kijitabu cha Mshiriki

More information

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI b Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI 1 Mwongozo wa Uzalishaji

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information

Bustani 10,000 Katika Afrika. Alberto Prina

Bustani 10,000 Katika Afrika. Alberto Prina Bustani 10,000 Katika Afrika Alberto Prina K i j i t a b u Timu ya wahariri: Abderrahmane Amajou, Typhaine Briand, Roba Bulga Jilo, Davide Dotta, Emanuele Dughera, Michela Lenta, Velia Lucidi, Irene Marocco,

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHESHIMIWA MUSTAFA HAIDI MKULO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA

More information

Mipango ya miradi katika udugu

Mipango ya miradi katika udugu Partnerschaftlich Projekte planen Mipango ya miradi katika udugu 2 Dibaji... 3 Utangulizi... 4 I. Nafasi ya (Wajibu wa) Fedha katika Udugu: Mtazamo wa Ki-indonesi... 5 II. Namna UEM Inavyowezesha Miradi

More information

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI TAARIFA YA MAFANIKIO CHINI YA UONGOZI WA MHE. SOSPETER MUHONGO (MB) KATIKA SEKTA NDOGO YA UMEME Disemba, 014 A. MAFANIKIO 1. Kuongezeka kwa uzalishaji

More information

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of

More information

ORDER NO BACKGROUND

ORDER NO BACKGROUND In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND

More information

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kiongozi hiki kimeandaliwa kikiwa ni sehemu ya mradi wa

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2009/2010 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu

More information

Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014

Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014 Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014 Wandishi (Jina la kwanza kiherufi): Edmund Githoro, Simon Fraval, Joanne

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) Dar es Salaam Oktoba 2007 YALIYOMO ORODHA YA VIFUPISHO DIBAJI SHUKRANI MUHTASARI RASMI SURA

More information

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII SHERIA KATIKA LUGHA RAHISI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA (TANGANYIKA LAW SOCIETY) KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Child Abuse & Neglect 43(2015)8 21 Orodha Yaliyomo inapatikana katika ScienceDirect Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Nakala ya Utafiti Mbinu za kuimarisha mifumo ya ulinzi wa mtoto kuanzia chini kwenda

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) TOLEO LA PILI Dar es Salaam, Oktoba, 2007 i ii JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized!. viromen-alsc:a.. Environmental & Social MRADI WA UMEME WA GESI YA * Assessment & Management

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017 TAARIFA Agosti 2017 NGUO MPYA ZA UKOLONI Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika Jumuiya ya Jamii ya 2007: Wajumbe wanaadhamana Nairobi dhidi ya EPAs. SwissInfo Tangu mwaka

More information

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI MFUMO WA TATHMINI WA TAARIFA (IRM): TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI 2014 2016 Ngunga Greyson Tepani Mtafiti wa IRM Taarifa ya Mwishoni mwa Utekelezaji 2014-2016 First End-of-Term Report INDEPENDENT

More information

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu Nyenzo ya Mafunzo Vi Agroforestry Vi Agroforestry ni shirika la ushirikiano la maendeleo la Sweden, linalopambana dhidi ya umasikini na

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

Deputy Minister for Finance

Deputy Minister for Finance ISSN: 1821-6021 Vol XI - No - 34 DID YOU KNOW? A procuring entity is?s required to use suppliers pliers?pliers?pliers?pliers among those awarded ed?ed?ed?ed framework agreements by GPSA for procurement?ents

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI MWONGOZO KWA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA WASTANI WANAOUZA BIDHAA NJE YA NCHI TOLEO LA PILI Geneva 2011 ii IKISIRI YA HUDUMA YA HABARI ZA BIASHARA ID=42653 2011 F-09.03

More information

Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi

Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi PAN AFRICAN PARLIAMENT PARLEMENT PANAFRICAIN البرلمان PAN- PARLAMENTO األفريقي AFRICANO Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi Julai 21 22, 2011 Bunge la

More information

ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO

ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO Mradi wa Kuondoa Madini ya Risasi Katika Rangi Barani Afrika 2015 ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO 2015 SHUKRANI Tunachukua

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA TWN Third World Network 1. WEMA ni nini? Mahindi yanayotumia maji kwa ufanisi yajulikanayo kwa kingereza kama Water Efficient Maize for Africa (WEMA) ni mpango

More information

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Msingi wa Programu zote za Uimarishaji Ubora Toleo la 1 kwa Lugha ya Kiswahili

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA

More information

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Moduli ya kwanza Uhamasishaji Jamii juu ya Afya ya Mazingira Kimechapishwa kutokana na Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Jeff Conant na Pam Fadem i COBIHESA

More information

2 Usimamizi wa Rutuba ya Udongo Tanzania Organic Agriculture Movement

2 Usimamizi wa Rutuba ya Udongo Tanzania Organic Agriculture Movement Mwongozo wa Mafunzo ya Kilimo-Hai Afrika Mwongozo kwa Wakufunzi 2 Usimamizi wa Rutuba ya Udongo Tanzania Organic Agriculture Movement CHAPISHO YALIYOMO Mchapishaji: FiBL, Research Institute of Organic

More information

3. Mheshimiwa Spika, 4. Mheshimiwa Spika,

3. Mheshimiwa Spika, 4. Mheshimiwa Spika, HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI, MHESHIMIWA JOHN POMBE MAGUFULI, (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2007/08 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2018/19 1 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 W N S E Muhtasari Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 Kuinuka kwa Nchi za Kusini: Maendeleo ya Binadamu katika Ulimwengu Anuwai Empowered lives. Hati ya kunakili 2013 na Mradi wa Maendeleo ya Umoja wa

More information

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)

More information

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa

More information

Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu

Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu Kitabu cha Mafunzo Kwa Wakufunzi cha mradi wa Kuwafikia Wadau wa Mabadiliko JUZUU YA 7 Mada ya 13: Kutumia Kitabu cha Kozi ya Mafunzo Kwa Wakufunzi Kuhusu Vyote

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information