Adai kupigwa teke na mwalimu akienda kuswali Wanafunzi Wakristo wasimama kidete kumtetea

Size: px
Start display at page:

Download "Adai kupigwa teke na mwalimu akienda kuswali Wanafunzi Wakristo wasimama kidete kumtetea"

Transcription

1 Sauti ya Waislamu ISSN Na SHAABAN 1434, IJUMAA, IJUMAA JULAI 12-18, 2013 BEI TShs 500/=, (22) AHLU SUNNA WAL JAMAA Inawatangazia Waislamu wote kuwa imeanza maandalizi yake kwa ajili ya HIJJA 2013 kwa lengo la KUONGEZA UFANISI KATIKA IBADA ZA MAHUJAJI WETU kwa gharama za Dola Lengo letu ni kukamilisha mipango yetu kabla ya kumaliza mwezi mtukufu wa Ramadhani.Tafadhali wasiliana nasi ifuatavyo: Tanzania Bara: ; ;Unguja: ;Pemba: Mwanafunzi aliza waumini Mtambani Adai kupigwa teke na mwalimu akienda kuswali Wanafunzi Wakristo wasimama kidete kumtetea MWANAFUNZI Abubakar Ally. KATIBU Mkuu wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ramadhan Sanze akiongea na vyombo vya habari katika kongamano la kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani lililofanyika katika Hoteli ya Golden Jubilee Tower jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kesi ya Victor imeishia wapi? Wakumbukeni kwa Dua Tanzania tusimame Masheikh walioko ndani imara kuinusuru nchi Tuzingatie aliyosema DCI Manumba Uk. 7 Allah awape Subra, malipo mema Wanaodhulumu wajitathmini upya Wakumbuke, ipo siku ya Hukumu Uk. 3 Mwenzako akinyolewa, tia kichwa chako maji Tutizame Pakistan ilikofikishwa sasa inatukanwa Ilianza na kudai Masheikh, Uamsho ni magaidi Sasa Taifa la nyuklia, limegeuzwa mwanasesere Uk. 3

2 2 S.L.P , Simu: Cel: , , , DSM. Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam MAONI YETU Tanzania tusimame imara kuinusuru nchi MAPEMA wiki hii tume iliyokuwa imeundwa kuchunguza tukio la k i k o s i m a a l u m c h a M a r e k a n i k u v a m i a m a k a z i y a l i y o d a i w a kuwa ya Usamah Bin Laden na kumuuwa (The Abbo abad Commission) imetoa taarifa yake. Katika uvamizi huo uliofanyika usiku wa tarehe 1 Mei, 2011, inadaiwa kuwa serikali ya Pakistan ilikuwa haina habari kabisa kwamba tukio kama hilo litafanyika, wala kuwa na taarifa kuwa Usama Bin Laden alikuwa akiishi eneo hilo. Pamoja na taarifa ya Tume kuonyesha kuwa viongozi wa Serikali kuanzia Rais na hata Waziri wa Ulinzi hawakuwa na habari wala kuarifiwa rasmi baada ya uvamizi kufanyika, taarifa hiyo ya kurasa 336 inasema kuwa hata polisi waliofika eneo la tukio baada ya kufanyika m a u w a j i w a l i z u i w a kufanya chochote kwa hiyo hapakuwa na taarifa yoyote ya kipolisi kuhusu uvamizi na mauwaji hayo. Katika taarifa hiyo imeelezwa kuwa kitendo cha askari wa Marekani kufanya uvamizi katika ardhi ya Pakistan bila ya kuomba ruhusa wala kuarifu vyombo vya kiusalama na kijeshi, ni kitendo cha uhalifu wa kivita na kukiuka sheria za kimataifa. Lakini pia ni kitendo kinachodhihirisha k u wa Pakistan k u n a serikali kama hakuna, kuna jeshi na Idara ya Usalama kama hakuna. Wote, wanasiasa, viongozi wa serikali na taasisi za kijeshi na usalama wa nchi, zimefanywa kuwa hazina maana yoyote. Kaputi! Serikali imelaumiwa, I d a r a y a U s a l a m a i m e l a u m i w a, P o l i s i wamelaumiwa na kila waliokuwa wangeweza kuhusika kwa namna moja au nyingine. Ufupi wa maneno, taarifa imesema kuwa Pakistan, taifa lililofikia kuwa na silaha za nyukili, limegeuzwa kuwa mwanasesere na kiroja cha karne. Limekosa heshma na kudharaulika kabisa kiasi cha watu kutoka nchi nyingine, kuingia na kufanya harakati za kijeshi bila kujali kuwa hiyo ni nchi huru yenye serikali na Rais wake. R i p o t i h i y o inayopatikana katika mtandao wa Aljazeera na iliyochambuliwa kwa marefu na mapana katika kituo cha televisheni cha Aljazeera kuanzia Jumanne hadi hii leo, inamnukuu Waziri wa Ulinzi wakati huo Chaudhry Ahmed Mukhtar, akisema kuwa hakujua chochote juu ya uvamizi wa Marekani na wala hakuambiwa kilichotokea baada ya uvamizi. Akihojiwa na Tume hiyo alisema kuwa yeye alijua kuwa kikosi cha makomandoo wa Marekani wameingia na kufanya uvamizi na kumuuwa Usama Bin Laden kupitia magazeti. Anasema baada ya kusikia kilichotokea kupitia vyombo vya habari, akapata pia simu kutoka kwa binti yake anayeishi New York, Marekani akimuuliza juu ya tukio hilo. R i p o t i i n a f i c h u a z a i d i k u w a h a t a b a a d a y a u v a m i z i, Serikali ya Marekani haikushughulika kutoa taarifa kwa Serikali ya Pakistan. Kilichofanyika ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Marekani (US Chairman of the Joint Chiefs of Staff Commi ee) Admiral Mike Mullen, kunyanyua simu na kumwarifu Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Pakistan, (Pakistani Chief of Army Staff ) General Ashfaq Pe ve z K a ya n i. S a s a Tahariri/Makala ilikuwa ni kazi ya Kayani kumwarifu Rais wake au kuacha. Kwa mujibu wa taarifa ya Tume, Generali Kayani alitoa taarifa kwa serikali masaa kadhaa baada ya tukio na kuongeza kuwa uchunguzi wao umebaini kuwa serikali yote na vyombo vyake vya dola vilikuwa kizani na waliofanya uvamizi, walifanya kana kwamba hakuna serikali au Idara za Usalama na Ulinzi za Pakistan. Kama kuna aliyetumika, anasema C h a u d h r y A h m e d Mukhtar, alitumika kama kachero ; mtumishi wa CIA na unaweza kusema kuwa msaliti wa Pakistan. Kama alivyonukuliwa Mkuu wa Idara ya Usalama (ISI), Lt-Gen Ahmed Shuja Pasha akisema, yote hayo ikijumuishwa na madai kuwa Usama Bin Laden aliweza kuishi Pakistan kwa miaka 9 bila serikali kujua mpaka alipouliwa na Wamarekani, ni ushahidi tosha kuwa serikali na vyombo vyake vimelemaa na kufeli kabisa. Akionyesha wasiwasi wake kuwa huenda hiyo i n a t o k a n a n a w e n g i katika watendaji muhimu kununuliwa na kutumikia masilahi ya nchi nyingine badala ya kuitumikia Pakistan, anatoa mfano wa Saeed Iqbal, Kanali wa jeshi mstaafu ambaye alionekana akivinjari eneo lililodaiwa kuwa makazi ya Usama akipiga picha huku akitembea na gari lisilopenya risasi. Anasema Iqbal alitoweka mara baada ya tukio na uchunguzi unaonyesha kuwa alikuwa mtumishi wa CIA. Akielezea ilichovuna Pa k i s t a n k a t i k a h i k i kinachodaiwa kuwa urafiki na ushirikiano na Marekani ambao ndio kilichopelekea haya ya Abbo abad, Pasha anasema: We are a very weak state, also a very scared state. Taifa ambalo limefikia h a t u a y a k u w e z a kutengeneza bomu la nyukilia, limefanywa kuwa very weak and very scared state. Na kwamba kufeli huku: not so much of specific individual or institutional failure, but with a problem of collective and systemic failure. Lakini la kutisha zaidi mkuu huo wa Idara ya Usalama ya Pakistan, Lt-Gen Ahmed Shuja Pasha, anasema kuwa baada ya kufanywa nchi yao ifikie mahali kuwa sasa ni taifa na serikali iliyofeli na iliyodhalilika, hao hao waliowafikisha hapo sasa wanawakejeli na kuwatukana. Anasema, wanada kuwa serikali yote ya Pakistan na vyombo vyake vya usalama imenunuliwa na CIA na wanatamba wakisema kuwa kila mmoja wao ana bei yake, tena rahisi sana. He also claimed that the US CIA had been able to deeply penetrate Pakistani society, quoting a US intelligence officer as having allegedly told him: You are so cheap we can buy you with a visa, with a visit to the US, even with a dinner we can buy anyone. Amenukuliwa Pasha akitoa ushahidi katika Tume hiyo iliyoundwa na serikali ya Pakistan. We are a failing state, even if we are not yet a failed state. Luteni Generali Ahmed S h u j a Pa s h a a l i s e m a akihitimisha maelezo yake. Swali la msingi ni je, Pakistan imefikaje hapo? Mchezo wote huu umeanzia katika inayoitwa vita dhidi ya ugaidi. Serikali ya Pakistan wakati huo chini ya Generali Perves Musharaff, iliaminishwa kuwa ndani ya Pakistan kuna magaidi na ikatakiwa kufungua milango yake kwa makachero na askari wa Marekani kusaidia kupambana na magaidi hao. Pakistan ikasifiwa sana na Marekani kuwa ni mshirika muhimu katika vita dhidi ya ugaidi. Na ikawa inapewa misaada mbalimbali mingi ikiwa ya kikachero na kijeshi. Ikafikia mahali askari na makachero wa Marekani kufanya Pakistan kama uwanja wao wa nyumbani. Wanaweza kufanya lolote bila kuulizwa. Kupitia ushirika huu, wa n a n c h i w e n g i wa Pa k i s t a n wa m e u l i wa wakiwemo watoto wa M a d r a s a, wa n a f u n z i shuleni, akina mama mitaani, sokoni na mahali pengi ambapo yalifanywa mashambulizi ikidaiwa kuwa wanaopigwa ni magaidi. Ni kupitia ushirikiano h u u, m a k a c h e r o n a a s k a r i wa M a r e k a n i walifunguliwa milango na kufanya wanavyotaka huku matukio yaliyodaiwa kuwa ni mashambulizi ya kigaidi nayo yakizidi. Kwa maana nyingine, ushirikiano huo, ndio uliozua balaa zaidi kwani wameuliwa watu wengi wasio na hatia, hasa katika kipindi hiki cha kutumia ndege zisizo na rubani (drone). Kabla ya hapo hapakuwa na mauwaji ya kiwango hicho. Na hii ni moja ya vielelezo kuwa kila ushirika huu ulipoanzishwa, ndio ulileta balaa zaidi kama ambavyo h i v i s a s a I r a q k u n a mauwaji zaidi ya kikabila na kidini, mambo ambayo hayakuwepo kabisa wakati wa Saddam Hussein. Tumelieleza tukio hili kwa urefu kwa sababu kwa muda mrefu sasa kumekuwa na jitihada za kuisajili nchi yetu kuwa ni nchi yenye makundi ya kigaidi. Juhudi hizi zilianza kwa vitisho na tahadhari zilizokuwa zikitolewa na baadhi ya balozi za nje hapa nchini au serikali zao. Wakati huo, serikali z e t u, k wa m a a n a ya muungano na Zanzibar, zilikuwa zikifanya juhudi kukanusha habari hizo za kuwepo kitisho cha ugaidi wakisema Dar es Salaam na Zanzibar ni salama kwa hiyo watalii waje. Hali hiyo imekwenda mpaka sasa imefikia mahali viongozi wetu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinaimba wimbo huo huokuwa kuna kitisho cha ugaidi! Nchi si salama! Jambo la kukumbukwa na kuzingatia hapa ni kuwa vitisho hivi vilianza, hata al Shabab wenyewe hawakuwepo. Lakini ukiacha vitisho na tahadhari iliyokuwa ikitolewa kupitia balozi na nchi za nje juu ya hatari ya ugaidi Tanzania na Afrika Mashariki, kulikuwa na zile taarifa ambazo zilikuwa zikipandikiza chuki kati ya Waislamu na Wakristo. Hicho ni kipindi ambapo tulikuwa tukisikia habari za Waislamu kuingiza majambia, mara Waislamu wanataka kulipua hospitali ya Muhimbili na mambo kama hayo. Na karibuni hivi ndio yakaibuliwa haya ya al Shabab na tuhuma za kulipua makanisa na kuangamiza watu wa dini nyingine. Tunachotaka kusema hapa ni kuwa ukitizama taarifa kama zile za madai ya mtoto wa Kiislamu kuingia ubalozi wa Marekani na kigaloni cha mafuta ya taa, madai ya kuingia nchini waliodaiwa magaidi akina Fazul na haya ya sasa hivi ambapo jitihada zimekuwa zikifanyika kuunganisha baadhi ya Masheikh na taasisi za Kiislamu na kinachoitwa ugaidi wa al Shabab au Boko haram; Inaendelea Uk. 4

3 3 Habari Mwanafunzi aliza waumini Mtambani Na Bakari Mwakangwale M W A N A F U N Z I Abubakar Ally, amewaliza Wa i s l a m u b a a d a y a kuelezea mkasa wa udini unaowakumba wanafunzi wa Kiislamu katika shule ya Sekondari Kahororo, Mkoani Kagera. Abubakar alisimama mbele ya Waislamu katika Msikiti wa Mtambani, Ijumaa wiki iliyopita, baada ya kutakiwa na Imam Hamza Omari, kutoa ushahidi jinsi kadhia ya Udini, ilivyokithiri shuleni hapo dhidi ya wanafunzi wa Kiislamu. Katika maelezo yake Abubakar, aliye muhitimu wa k i d a t o c h a s i t a, amesema kuwa kuna baadhi ya walimu ambao kinyume kabisa na maadili ya kazi yao, wamekuwa wakidhihirisha chuki dhidi ya wanafunzi Waislamu. Akitoa mfano alisema k u w a y e y e b i n a f s i alipigwa teke bila ya kosa hali iliyosababisha hata wanafunzi Wakristo kuingilia kati kumtetea. Alisema, siku ya tukio alikuwa akienda msikitini kuswali Ijumaa lakini akazuiwa na mwalimu kwa madai kuwa hakutakiwa kuvaa kanzu. Alisema, mwalimu wa nidhamu ( Jailo) ndiyo kero kwa wanafunzi wa Kiislamu shuleni hapo, kwani hataki hata kuona Waislamu wakiswali. Pale Shuleni kuna Kanisa kubwa sana kwa sababu shule hiyo zamani ilikuwa ni ya Kanisa, lakini sisi kuna chumba tu na hata hiyo adhana yenyewe huadhiniwa taratibu bila kutumia spika lakini bado iinaonekana kuwa ni kero. Alisema. Alisema, siku ya Ijumaa h u a m b i wa wa s i t o k e kwenda Msikini mpaka wapate kibali maalum na mwalimu ana uwezo w a k u w a r u h u s u a u kuwakatalia. Lakini alidai, wenzao Wakristo siku za jumamosi na jumapili ni ruksa kutoka tu kwenda kwenye ibada bila kibali chochote. Ila sisi Waislamu huambiwa siku ya Ijumaa mpaka tuombe ruhusa kwanza na kupatiwa kibali maalumu kwa ajili ya kwenda kuswali swala ya Ijumaa. Alisema Abubakar. Alisema, wakati wao wakikatazwa kuvaa Kanzu na kofia (Baraghashia) iwe nje au darasani, wenzao Wakristo huvaa rozali wakiwa nje na darasani, bila bughudha yoyote. A k i e l e z e a m k a s a uliomkumba, Abubakar a l i s e m a, a l i p o k u w a anatoka bwenini akiwa ndani ya kanzu yake, kabla hajamaliza mazingira ya shule alikutana na mwalimu aliye mtaja kwa jina moja la Jailo. Alisema, aliulizwa na mwalimu huyo kwamba anakwenda wapi, naye alimjibu kwamba leo (siku hiyo) ni Ijumaa hivyo anaelekea kuswali. Abubakar, aliendelea kusimulia mahojiano na mwalimu huyo kwamba alimuuliza kuwa hilo alilovaa ni vazi gani, naye alimjibu kuwa hiyo ni kanzu. Akaniuliza, kwani hilo vazi limeruhusiwa kuja nalo hapa shuleni? Nikamwambia, katika fomu ya kujiunga hapa shule imeeleza tuje na nguo za nyumbani za heshima, hivyo na hii kanzu ni miongoni mwa vazi la heshima. Alisema akirejea mahojiano yake na mwalim Jailo. Akasema, baada ya kumjibu hivyo mwalimu huyo alihamaki, na kuhoji kwa kusema, hilo ni vazi la heshima? ambapo alimjibu ndiyo ni vazi la heshima na ndio maana naenda nalo katika ibada, Alisema, mwalimu huyo akaendelea kumhoji kama hajawahi kupewa maelezo kuhusu vazi hilo shuleni hapo, huku akimjibu kuwa hajaona sehemu ambayo wamezuiliwa kuvaa vazi kanz Mwalimu yule, akaona sasa amwite mwalimu wa nidhamu, alipofika pale nae kwa ukali aliuliza hilo ni vazi gani, nami nikamjibu hii ni kanzu, hapo hapo alirusha teke na kunishambulia katika sehemu za korodani, nikaanguka chini, yeye akaondoka. Alisema huku alikilia na kufanya Waislamu waliokuwa wakimsikiliza kugugumia kwa vilio. A b u b a k a r, a l i s e m a alisikia maumivu makali, jambo ambalo lilifanya w a n a f u n z i w e n z a k e wengi wakiwa Wakrtisto, kufika katika eneo la tukio na kumuinua na kwenda kumuombea ruhusa ili wampeleke hospitali. A l i s e m a, w a l i m u walionyesha kutokuwa tayari kutoa ruhusa. Waligoma k u t o a r u h u s a, j a m b o ambalo liliamsha hasira za wanafunzi. Kwa tukio lile hata Wakristo hawakufurahishwa nalo na ndio walikuwa mstari wa mbele kwa kuwa Waislamu wengi walitoka kwenda kuswali, walisimama kidete wakisema lazima niende hospitali, kwani nilikuwa nalalamika maumivu makali. Alisema Abubakar. Alisema, baada ya muda, alipewa ruhusa na kupewa kiasi cha shilingi elfu kumi kwa ajili ya matibabu huku baadhi ya walimu wakimtaka kutosema kuwa amepigwa na mwalimu bali alieleze kuwa amepigwa na mpira. A l i s e m a w a l i p o f i k a walieleza ukweli kuwa amepigwa teke na mwalimu, akatakiwa kwenda Polisi kwa ajili ya kupata fomu ya matibabu (PF3), na alipofika Polisi alipewa kisha akarudi hospitali. Kufika hospitali, PF3, i l i z u i l i wa k u m b e y u l e mwalimu aliyenipiga alikuwa ameshafika hapo hospitalini cha ajabu wahudumu (manesi) walianza kunishawishi kuwa yaishe tu, kwa kuwa mimi ni mwanafunzi tena nipo kidato cha sita. Alisema Abubakar. Alisema, katika mazingira hayo, hakupewa fomu hiyo ya Polisi na alipoingia kwa daktari baada ya kumueleza tatizo lake alipinga kunipa matibabu bila PF3, na kumtaka aende kuidai. Aliniambia niifuate, kwa kuwa wanafunzi wenzagu walikuwepo pale, wote tulirudi kwa mhudumu yule (nesi) na kumzonga atoe PF3, akaitoa ndipo nilipoendelea kupata matibabu. Alisema. Pamoja na madai hayo, hadi tunakwenda mitamboni, mwandishi wa habari hizi hakuweza kufanikiwa kupata maelezo ya upande wa pili kwa maana ya uongozi wa shule na mwalimu Jailo mwenyewe. Wakumbukeni kwa Dua Na Mwandishi Wetu WAISLAMU wametakiwa kuleta dua kwa wingi kuwaombea Masheikh wa Uamsho waliowekwa ndani, Allah awape subra na malipo mema kutokana na mtihani uliowakuta. Wakitoa wito huo kwa nyakati tofauti, baadhi ya Waislamu jijini Dar es Salaam wamesema kuwa kwa mujibu wa mafundisho ya Qur an, Sheria na katiba ya nchi, Masheikh hao hawajapatwa na hatia yoyote na hivyo hawastahiki kuadhibiwa, na kinachowakuta ni moja ya mitihani ambayo Allah ndiye atakayewalipa. Kwa mujibu wa Sheria za Kiislamu, kama wanadamu wangesikilizwa kwa madai yao, wangedai damu na mali za watu wengine. Kwa hiyo ni wajibu wa mdai kuleta ushahidi kuthibitisha madai yake. Amesema Ustadh Shakir akisisitiza kuwa mpaka sasa hakuna ushahidi wowote uliotolewa kuwatia hatiani Masheikh hao na kwamba kuwashikilia bila ya dhamana ni kama kuwaadhibu bila ya kosa kuthibiti. Katika hali hiyo akasema kuwa, ingekuwa ni vyema kwa walioshikilia mpini na wenye madaraka ya kuwazuiya Masheikh hao, wakatizama upya Sheria zilizopo, iwapo wanachowafanyia Masheikh wa Uamsho ni sawa, haki na ubinadamu. Akasema, anayasema hayo akihofia kuwa kama kuna namna yoyote ya dhulma, wenye madaraka wasidhani kuwa dhulma hiyo itapita bure bure, lakini wajue kuwa yupo Mfalme wa Siku ya Malipo na huyo ndiye Hakimu wa mahakimu. Ustadh huyo akiongea na mwandishi anasema ameona atoe wito na nasaha hizo kwa sababu hata kama wa n a o wa s h i k i l i a wa n a mamlaka kwa mujibu wa sheria kuamuru mtu awekwe ndani bila ya dhamana, lakini wenye mamlaka hayo wangetakiwa kutizama pia ubinadamu. Masheikh wetu wanafunga R a m a d h a n i w a k i w a korokoroni, hatujui hali ya futari, daku na ibada zao za tarawehe na witri, zitakuwaje; n a h a ya wa n a f a n y i wa wakiwa ni watuhumiwa tu, pengine kwa Ramadhani hii wangetakiwa hao wenye madaraka, kama ni Waislamu, wakati wakifuturu na wake zao, wakumbuke kuwa kuna watoto ambao wamekosa huduma ya futari kutoka kwa baba zao na kuna wake ambao wamekosa furaha ya kufuturu na waume zao. A m e s e m a m u u m i n i mwingine aliyejitambulisha kwa jina moja la Mustafa na kuongeza kuwa kama mtu amepatwa na hatia na kufungwa, hilo ni jambo jingine, lakini sio katika hali hii ambayo mtu ananyimwa dhamana huku kukiwa na malumbano ya kisheria iwapo ni haki na ni katika sheria kuwafanyia hivyo. Mi nadhani katika hali kama hii ya malumbano, kama ilivyojitokeza katika kesi hii juu ya suala la dhamana, nadhani wenye mamlaka wangeshika ile busara kuwa ni bora ukafanya kosa la kumuacha huru mkosaji (kama ushahidi una utata), kuliko ukamuadhibu mtu asiye na hatia. Wanajisikiaje wakisimama katika tarawehe wanaswali huku katika fikra zao ikiwajia picha ya watu walio ndani kutokana na kauli na amri zao? Alisema na kuhoji. Kwa upande mwingine Ustadh Shakir ambaye a m e s e m a k u w a y e y e hazungumzi kama mtu mwenye wadhifa katika taasisi yoyote ya Kiislamu, bali kama Muislamu wa kawaida, amesema kuwa anadhani itakuwa vyema kwa taasisi za Kiislamu kutafuta namna ya kusaidia katika jambo hili. A m e s e m a, l e n g o s i o kuingilia uhuru na mamlaka ya mahakama wala kuvunja sheria, bali kujaribu kufanya kazi ya kiwakili kuona kama kuna uwezekano wa kurahisisha Masheikh hao kupata haki yao ya dhamana. Moja ya mafunzo ya Ramadhani ni kujenga moyo wa huruma, hebu tuwahurumie wenzetu walio ndani kwa kutizama ni kwa vipi tunaweza kuwasaidia kupata haki yao ya dhamana, itakuwa haionyeshi udugu na mshikamano wa Kiislamu kama tutakaa kimyaa bila kufanya juhudi yoyote. Amesema. Waislamu ni kama mwili mmoja ambapo kiungo kimoja tu kikipata tatizo, mwili mzima hupata maumivu, basi tukifutari tuhakikishe kuwa na familia za Masheikh walio ndani nao wamefuturu. Aidha, kama sheria na taratibu zinaruhusu, basi tuhakikishe kuwa Masheikh na Maimamu wetu walio ndani, nao wanafutari vizuri kama tunavyofutari sisi.

4 4 HABARI Misikiti iimarishe umma sio kuleta faraka-imam Na Bakari Mwakangwale Mtume (s a w) aliingia Msikiti yake kiasi kwamba akamkera kukuta vikundi viwili, kimoja mwingine. WA I S L A M U w a m e a s w a kikimtaja Mwenyezi mungu, Sasa ikiwa tu kuisoma kujenga Misikiti kwa ajili ya ikiwa si jambo dogo hata kidogo Qur an, kwa kunyanyua sauti kuimarisha umma wa Kiislamu na kikingine kikijisomea. Mtume hapendi vipi sasa ikiwa na si kubomoa, kwani Misikiti Mtume (s a w) baada ya utanyanyua sauti kwa mizozano kama hiyo isipewe nafasi katika kuwaona alichagua kundi la na faraka ndani ya Msikiti, jamii. wanaosoma na akasema hao kosa kubwa sana hatuna budi Hayo yamesemwa na Sheikh wa n a m u o m b a M we n ye z i Waislamu kuepukana nalo. Abdulkadir Mohammed, akitoa Mungu, huenda wakakubaliwa Aliasa. nasaha zake mbele ya Waislamu au wasikubaliwe katika wanayo A k i e l e z e a n a f a s i y a katika uzinduzi wa Masjidi yaomba, lakini hawa wanaosoma Msikiti katika Uislamu, Shkh. Taqwa, Ilala Jijini Dar es Salaa, nafasi ya kukubaliwa ni kubwa Mohammed, alisema mara tu mwishoni mwa wiki iliyopita. zaidi, kwa sababu wanachofanya baada ya Mtume kufika Madina, Alisema, Misikti ambayo ipo ni kitu bora. Alisema Shkh. akitoka katika mji wa Makka, kwa ajili ya kuweka mikakati Mohammed. cha kwanza alichokifanya ni ya kubomoa jamii, Misikiti hiyo A i d h a a l i s e m a, n a f a s i kujenga Msikiti. haina nafasi katika jamii, bali nyingine ya Msikiti ni kujenga Hii ni kuonyesha kwamba msikiti ijengwe kwa ajili ya amani kwani Uislamu unahimiza Msikiti ni kituo kikuu cha watu, manufaa kwa umma na jamii sana amani kutona na Mwenyezi kwani maswahaba kama Ally, kwa ujumla. Mungu kushusha aya kadhaa Othama na Abubakar walijengwa Misikiti ijengwe kwa ajili zikitaja amani. kiimani Msikitini. Alisema ya kuimarisha umma na si Sheikh Mohammed, alisisitiza Shkh. Mohammed. kubomoa, kwani hata Mtume kwamba Misikiti isiwe sehemu Alisema, ukiona Msikiti alisema, Misikiti hiyo haina ya mizozano, magomvi na umeimarishwa ujue watu hao nafasi katika jamii. Alisema mifarakano, kuvurugana baiana ni wale waliojengeka kiimani, Sheikh Mohammed. ya Waislamu kwa Waislamu au kwani katika surat Tawba Shkh. Mohammed, alisema na wanajamii. Allah anasema kuwa wale Msikiti ni sehemu ya kujenga Alisema, Mtume katika wanaoimarisha Miskiti ya Allah watu kielimu, kwamba iwe ni kuonyesha heshima ya Misikiti ni wale ambao wameamini siku kituo cha elimu isiwe ni sehemu alifika akasema kwamba ndani ya mwisho na kusimamisha ya kiibada tu. ya Msikiti anayesoma Qur an na swala na hao ndio wanaoimarisha Alisema, katika tukio moja aisome pasi ya kunyanyua sauti Misikiti. Tufanye mema katika Ramadhani Na Bakari Mwakangwale WAISLAMU wametakiwa kuupokea Mwezi Mtukufu w a R a m a d h a n i, k w a kuzingatia mafundisho ya Uislamu na miiko ya ibada hiyo ili waweze kuwa wachamungu. Wito huo umetolewa n a I m a m w a M a s j i d i Mtambani, Ustadhi Suleiman, akiwahutubia Waislamu Kongamano Masjid Tungi - Temeke Baraza Kuu la Wanawake wa Kiislamu Tanzania linawaalika wanawake wote wa Kiislamu katika Kongamano litakalo fanyika Inshaallah Msikiti wa Tungi Temeke Jumamosi Tarehe 13/07/2013 Saa 2:30 hadi saa 7:00 Mchana,Mada swaumu. Tuzingatie Muda. Ukipata Taarifa hii Mwaambie na mwenzio. Naibu katibu Taifa Bi. Mayasa Sadallah. katika hotuba yake ya swala ya Ijumaa wiki iliyopita. Imam Suleima, alisema Waislamu tayari wameukabili M w e z i M t u k u f u w a Ramadhani hivyo ni wajibu wao kuzingatia na kufuata misingi ya ibada hiyo ili waweze kufikia lengo la funga. Waislamu mwezi wa Ramadhani umetukabili, mwezi ambao umekusanya kila aina ya kheri ambazo unazozijua na usizo zijua, tuupokee Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa bashasha ili mwisho tuwe ni wenyewe kufutiwa madhambi na kufikia lengo la funga. Alisema Imam Suleiman. Alisema, ukifuatilia katika Qur an, kheri za Mwezi wa Ramadhani, zilizomo kwa siku moja, mbili hata mwezi mzima hutoweza kuzielezea zikaisha, hivyo ni wajibu kwa Waislamu kuhimizana, kukumbushana na kuhamasishana ili kuweza kuzipata kheri hizo. Akisherehesha hadithi ya Mtume (s a w), Imam S u l e i m a n, a m e s e m a miongoni mwa anayepata khasara katika Mwezi huu ni yule ambaye inamdiriki R a m a d h a n i, m p a k a inamalizika hakufutiwa madhambi yake. Mimi na wewe, je tutakuwa katika kundi hili au tutakuwa ni wenye kushindana katika kheri ili tuweze kuepukana kuwa katika kundi la wenye kupta hasara. Alisema Imam Suleiman. Alisema, Mwezi huu kila ulipokuwa ukimfikia Mtume (s a w), alikuwa akiacha shughuli zake zote akifunga kibwebwe kufanya ibada kuliko alivyokuwa akifanya siku za kawaida. Tanzania tusimame Inatoka Uk. 2 u t a o n a k u wa k i l e kilichofanyika Pakistan n d i o k i n a t a k i k a n a kufanyika Tanzania. Zinasambazwa habari kuwa kuna mtandao wa magaidi wa al Shabab, lakini hakuna maelezo kuwa wapo wapi, ni akina nani na hawakamatwi n a k u f i k i s h w a m a h a k a m a n i. Tafsiri yake ni kuwa ukishajenga hoja hiyo, siku yoyote panaweza kufanyika shambulio na kumkamata yoyote na kudai kuwa ndio yale makundi ya kigaidi yaliyodaiwa kuwepo nchini. Na hili, hakuna litakapotupeleka ila kwenye machafuko na mauwaji ambayo p e n g i n e i t a k u w a rahisi kuona mwanzo wake, lakini hatma yake itakuwa ngumu kufikiwa. Mwandishi Murtaza Hussain akiandika kutoka Toronto, Canada anatukumbusha akisema kuwa ni wakoloni wa Kibeligiji waliokuwa wakitawala Rwanda waliopandikiza chuki za kikabila kati ya Watutsi na Wahutu, ambapo baadae walipatikana w a p u m b a f u waliozichochea zikazaa mauwaji ya Kimbari m w a k a n a kuangamiza takribani roho milioni moja za Wanyarwanda. Katika nchi ambazo ukabila hauna nguvu kama nchi za Kiislamu (Kama Pakistan na Iraq) anasema wanatumia u-shia na u-usunni. Ambapo kwa nchi kama Tanzania, watatumia Ukristo na Uislamu. Sasa ni wajibu kwetu s o t e, t u n a p o s i k i a baadhi ya wenzetu wakija na madai kuwa wamekamata komputa mpakato zenye maneno y e n y e k u c h o c h e a kuangamizwa watu wa d i n i n y i n g i n e, t u w a a m b i e, watuonyeshe na sisi tuyasome maneno hayo na watuthibitishie kuwa hawakuandika wao. Yote hii ni katika kuchukua tahadhari za kuinusuru nchi yetu maana tunajua kuwa kama kuna mtu anataka kuleta balaa la vita ya wenyewe kwa wenyewe, mlango wa kupitia Tanzania utakuwa wa kidini. Ni kwa sababu hii, sisi kama chombo cha habari, tunaona tuna dhima kubwa na deni kubwa kwa nchi hii, kuhakikisha kuwa kama kuna chochote tunachoweza kufanya kuiepusha nchi hii na balaa hili, tunalifanya. Ndio maana tunatoa wito kwa Waislamu na Watanzania wote, kuwa macho na wapiga filimbi hawa wa ugaidi pamoja na watu watakaopita mitaani na Misikitini wakitangaza sera za ki-al Shabab. Kuyasema haya ndiyo Jihad na zawadi yetu An nuur kwa nchi hii, kwa Waislamu na Watanzania wote kwa ujumla. Na kama kutakuwa na baya lolote litakalotufika, basi ni kwa ajili ya kuiepusha nchi hii na balaa tunaloliona mbeleni. Mwenyezi Mungu ndiye Mjuzi. Allah anashuhudia kuwa tumefikisha. Na hatukufanya haya kwa nia ya kuleta uchochezi, bali kwa lengo la kuinusuru nchi hii na maafa. T u m e f a n y a h a y a kuwanusuru waja wa Allah wasitumbukizwe katika mchezo wa kuuwana au kuuliwa ili kutimiza malengo ya mabeberu kama inavyotokea Syria, Iraq, Afghanistan, Pakistan, Yemen na Somalia. Tu m e ya s e m a h a ya tukihofu, isije kuwa na sisi tukachezewa k a m a i l i v yo c h e z e wa Pakistan, mwisho wa y o t e w a n a t u k a n w a wakiambiwa: You are so cheap we can buy you with a visa, with a visit to the US, even with a dinner we can buy anyone. Tu n a a m i n i k u wa Watanzania ni watu na heshma zao, wazalendo w e n y e k u j a l i u t u wao na ubinadamu wao. Hawatakubali kufikishwa huko. Tumefikisha. Isije k u s e m w a hatukusema. Wabillahi Tawfiq k u w a

5 5 Habari za Kimataifa/Tangazo AU yasitisha uanachama wa Misri zao wakipinga kitendo hajatokea hadharani tangu c h a k u p i n d u l i wa R a i s alipopinduliwa, lakini Tarehe ya Uchaguzi yatangazwa Muhammad Morsi. imearifiwa kuwa amewataka Watu walioshuhudia wafuasi wake kupigania wameeleza kuwa, jeshi haki yao kwa kiongozi ElBaradei apingwa, ajitoa lilitumia silaha za moto wa l i ye m c h a g u a k a t i k a kuwatawanya wafuasi wa uchaguzi wa kidemokrasia. REUTERS Waziri Mkuu wa serikali ya Wakati huohuo, Msemaji Muhammad Morsi katika Tayari Umoja wa Afrika Msemaji wa kiongozi wa mpito ya nchi hiyo. wa Rais wa serikali ya mpito mji wa Nasr, Mashariki mwa AU umesitisha uanachama mpito nchini Misri, Adly M b a l i n a k u k a t a a wa Misri amesema kuwa, Cairo. wa Misri katika Umoja huo Mansour, amearifu kuwa pendekezo hilo, Al-Baradei matukio yaliyojiri jana mjini Jeshi nalo limetupa lawama na kusema, hautambui mchakato wa kumpata amependekeza wadhifa huo Cairo hayawezi kuzuia kwa makundi waliyoyaita m a p i n d u z i h a y o k w a Waziri Mkuu wa taifa hilo uchukuliwe na Ziyad Bahaud- uundwaji wa serikali mpya. ya kigaidi. Nacho chama sababu Morsi alichaguliwa bado unafanyika. Din. Aidha kiongozi huyo wa Ahmad al Musalmani, cha upinzani Freedom and kidemokrasia baada ya Wakati kiongozi huyo upinzani, ametaka kuchukua amesema kuwa mapigano kuondolewa kwa Rais wa Justice (FJP), kimetoa wito akitoa kauli hiyo kumekuwa wadhifa wa Naibu wa Waziri yaliyotokea kati ya wafuasi zamani Hosni Mubarak. wa kupinga wale wote na tetesi za kutaka kuteuliwa Mkuu katika masuala ya wa Harakati ya Ikhwanul Wakati Katibu wa Umoja wanaojaribu kuiba mapinduzi Dk. Mohamed Elbaradei, kisiasa. Muslimin na vikosi vya wa Mataifa UN Ban Ki yao kwa nguvu. ambaye amekosolewa vikali Wakati hali ikiwa hivyo, usalama mbele ya makao Moon, akiwataka viongozi Wa f u a s i wa M u s l i m kuhakikisha waandamanaji kwa kudaiwa kutofaa kushika Rais wa serikali ya mpito ya Gadi ya Rais Mashariki Brotherhood wameapa kuzidi wa n a l i n d wa n a k u wa wadhifa huo. ya Misri Adly Mansour, mwa Cairo, hayawezi kuzuia kuendesha maandamano salama, serikali ya Marekani Taarifa za ndani zilimtaja a m e t a n g a z a k w a m b a juhudi za kuundwa serikali ya amani mpaka kiongozi na mataifa makubwa nayo Dk. ElBaradei, ambaye mpya au kutekelezwa alikuwa kiongozi wa zamani uchaguzi wa Bunge nchini wao atakaporejeshwa katika imeingilia kati kwa kuwataka mpango uliobuniwa na jeshi wa masuala ya usimamizi humo utafanyika mwaka nafasi yake. Waandamanaji viongozi wa Misri kukomesha la nchi hiyo. wa nyuklia katika Umoja wa pia wametaka aachiliwe huru ghasia. Ta k r i b a n w a t u 5 3 Mataifa-UN kushika wadhifa Rais Mansour ameongeza yeye na baadhi ya viongozi N a ye R a i s V l a d i m i r wameuliwa wengi wao huo. k u wa, m a r a b a a d a ya wa Ikhwanul Muslimin Putin wa Urusi, ameonya wakiwa ni wafuasi wa chama Ta a r i f a z a k u t a k i wa kufanyika uchaguzi wa wanaoshikiliwa na jeshi la juu ya hatari ya machafuko cha Muslim Brotherhood kuteuliwa kwake zimekuwa Bunge, itatangazwa tarehe nchi hiyo. ya n a y o e n d e l e a n c h i n i na kiongozi aliyeondolewa zikikosolewa kwa madai ya kufanyika uchaguzi wa FJP kimeiomba Jumuia M i s r i k u wa ya n a we z a madarakani Mohamed Morsi, kuwa kiongozi huyo asingefaa Rais. Rais wa serikali ya ya Kimataifa kuingilia kuitumbukiza nchi hiyo nje ya kambi ya Jeshi jijini kwa chochote. mpito ya Misri ana kipindi kati kuhakikisha mauaji k w e n y e m a p i g a n o y a Cairo mwanzoni mwa wiki. Hata hivyo Dk. Mohamed cha miezi sita cha kuifanyia yanakoma nchini humo na wenyewe kwa wenyewe. Chama cha Morsi, Muslim al Baradei ambaye ni kiongozi marekebisho katiba ya kuzuia hali ya mambo kwani Rais Putin amesema Brotherhood, kilichoongoza wa upinzani nchini humo, nchi hiyo ambayo hivi sasa inaonekana itakuwa mbaya tayari Syria imetumbukia maandamano dhidi ya Jeshi amekataa pendekezo la kuwa imesitishwa. zaidi kama ilivyo nchini vya kutosha katika vita vya na Mapinduzi dhidi ya Syria. ndani na kuwa, jambo la Kiongozi wao, wamelitupia Katibu Mkuu wa Umoja kusikitisha ni kuona hatari lawama Jeshi na Polisi kwa Matumaini ya Snowden wa Mataifa, Ban Ki Moon ya kutumbukia Misri katika kupoteza maisha ya watu amekemea mauaji yaliyotokea mgogoro kama huo. hasa wafuasi wa Chama nchini Misri na kutoa wito Hata hivyo wachunguzi wa kupata hifadhi yaongezeka chao. mambo ya siasa wanabainisha kufanyika uchunguzi ulio I k h wa n u l M u s l i m i n kuwa, kuangushwa kwa huru ili kuwafikisha mbele imesema kuwa, wafuasi serikali ya Morsi imekuwa ya vyombo vya Sheria wake wameuawa wakati jeshi ni faraja kwa mataifa ya waliohusika. la Misri lilipoushambulia Magharibi kwani hawakuwa M o r s i a n a y e d a i w a umati wa watu waliokuwa wakimuunga mkono Morsi k u s h i k i l i wa n a j e s h i, wameketi chini nje ya kambi na wala hakuwa chaguo lao. MILANGO yafunguka kwa Edward Snowden ya kupata hifadhi katika mataifa kadhaa ya Amerika Kusini. Bolivia imekuwa nchi ya tatu kujitolea kumuhifadhi Edward Snowden, huku Rais wa nchi hiyo Evo Morales, akisema yupo tayari kumuhifadhi mkimbizi huyo kama akihitaji. Bila sjaka hatua hiyo ya Rais Morales, ambaye ni mpingaji mkubwa wa siasa za mataifa ya kibeberu, inakuja kufuatia ndege yake kukamatwa na kukaguliwa nchini Ufaransda hivi karibuni, ikidaiwa kuwa ilikuwa inasadikiwa kumbeba Bw. Snowden. Hatua hiyo iliwakasirisha s a n a w a n a n c h i w a Bolivia, wakidai Rais wao kadhalilishwa. Hali hiyo i l i i l a z i m i s h a U f a r a n s a kuomba radhi kwa Bolivia kufuatia tukio hilo. Hatua hiyo ya Bolivia inaongeza matumaini kwa Snowden kwamba huenda akaweza kuondoka Moscow, ambapo amekwama kwa zaidi ya siku 14, kufuatia kutafutwa na Marekani kwa kosa la kuvujisha siri za kijasusi za Taifa hilo. Nafasi hiyo inakuja ikiwa ni muda mfupi tu, tangu Rais wa venezuela Nicolas Maduro, kuthibitisha uamuzi wa serikali yake kumpatia hifadhi ya kisiasa mfanyakazi huyo wa zamani wa shirika la kijajusi la CIA, Edward Snowden, anayesakwa baada ya kuvujisha siri za ndani za Marekani. Maduro ameweka wazi uamuzi huo wakati wa maadhimisho ya siku ya uhuru wa Venezuela, yaliyofanyika Ijumaa iliyopita. Rais wa Nicaragua Daniel Ortega, naye amesema kuwa nchi yake inaweza kumpa hifadhi salama Bw. Edward snowden akihitaji. Mlolongo wa nafasi za kupata hifadhi kwa jasusi huyo wa zamani, unakuja baada ya kukataliwa na mataifa mengi kati ya 21 ambayo Bw. Snowden aliomba hifadhi juma lililopita. Snowden amekuwa katika Jijini Moscow toka alipowasili akitokea Hong Kong kwa takribani majuma mawili yaliyopita. Snowden anayejitahidi k u e p u k a m k o n o w a Marekani, alituma maombi ya hifadhi kwa takribani nchi 27, lakini nchi nyingi za Ulaya zimekataa ombi lake huku zile za Amerika Kusini zilizoonyesha nia ya kumpokea. S a k a t a l a S n o w d e n limeendelea kuzua utata katika siku za hivi karibuni, ambapo Marekani imeendelea k u h a h a k u h a k i k i s h a inamtia nguvuni ili akajibu mashtaka yanayomkabili kufuatia kuvujisha siri za ndani za shirika la kijasusi la CIA, kwamba limekuwa likirekodi mawasiliano mbalimbali yanayofanywa ya ki-electronic. Ahlul Daawa Hajj And Travel Agency INAPENDA KUWA TAARlFU MAHUJAJI WAKE WOTE NA WAISLAMU KWA JUMLA KUA:- IDADI YA MAHUJAJI WAO WA MWAKA HUU 2013 IMEPUNGUZWA KUTOKA MIA TATU MPAKA MIA MOJA NA SABINI TU. KWA HIVYO;- (a) WALE WOTE W ALIOJIANDIKISHA W A WAHl KUMALIZA KULIPIA GHARAMA ZAO. (b) W ALIOJIANDIKISHA TU NA HAW AJALIPIA W AJE KULIPIA AU TUT A WAONDOSHA KWENYE ORODHA NA KUW APA NAFASI W ALIOKUW A TAYARI. KUWASILISHA PASSPORT AU KOPI ZA PASSPORT KWA MUDA HUU. PICHA MBILI PASSPORT SIZE KW A AJILI Y A VISA. (c) (d) 2. (a) BEl YETU NI US DOLA 3550 TU. (b) UKIWAHI KULIPIA SA SA NA KUMALIZA TARATlBU ZOTE PUNGUZO NI ASILIMIA SITA KWA HIVYO UT ALIPIA US DOLA 3337 TU NA KABLA Y A TAREHE 25 JULAY KWA MAWASILIANO ZAIDI FIKA OFISINI KWAO;- (a) DAR ES SALAAM MTAA W A DOSI NA MKADINI NYUMBA NAMBA 26 MKABALA NA SHOW ROOM Y A MAGARI TEL AU AU (b) ZANZIBAR MTAA WA RAHA LEO TEL AU AU WASILIANA NA. ( c) MAALIM SElF HUMOUD KIJICHI ZANZIBAR TEL (d) ABDALLA SALEH MAZRUI (HOKO) TEL AU AU (e) SHEIKH DAUDI KHAMIS SHEHA PEMBA (f) SHEIKH ABUBAKARI MAULANA MARKAZ KIWALANI NA BEl NAFUU KULIKO WOTE NA HUDUMA BORA KULIKO WENGI USISAHAU AHLUL DAAWA HAJJ AND TRAVEL AGENCY

6 6 TANGAZO Ramadhan Kareem Tunawatakia mwezi wa Kheri na Baraka Katika mwezi Mtukufu wa Ramadhan matawi yetu yatafanya kazi kuanzia Saa 3 asubuhi hadi Saa 9 alasiri kila siku Dar es Salaam Main Branch Golden Jubilee Tower Tel: Fax: NE W Tawi la Tandamti Kariakoo (Mkabala na soko) Tel: Fax: Tawi la Nyerere Jengo la DRTC Tel: Fax: Tawi la Lumumba Kariakoo Tel fax NE W Arusha Tawi la Arusha Jengo la Hugo Plaza Tel: Fax: NE W Mwanza Tawi la Mwanza Barabara ya Kenyatta Tel Fax:

7 7 Makala/Tangazo Bomu Kanisani Arusha: Kesi ya Victor imeishia wapi? Uchunguzi tulioahidiwa umebaini nini? Tuzingatie aliyosema DCI Manumba Na Omar Msangi K AT I K A jumla ya habari kubwa zilizopewa umuhimu mkubwa mwishoni mwa wiki iliyopita ni ile ya kukamatwa mtu mmoja katika mpaka wa Tanzania na Malawi akituhumiwa kwa kosa la ki-uhamiaji. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba, mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa na hati mbili za kusafiria, moja ya Tanzania na nyingine ya Uingereza. Katika hati ya Tanzania, AB , mtuhumiwa ametajwa kwa jina la Adili Ally Patel wakati katika ile ya Uingereza jina ni Iqbal Hassan Ally. Habari zaidi za DCI Manumba zinasema kuwa waliwasiliana na Serikali ya Uingereza ikathibitisha kuwa Iqbal Hassan Ally ni raia wa Uingereza na kwamba mtu huyo anatafutwa kwa tuhuma za ugaidi. DCI Manumba aliendelea kudai kuwa mtuhumiwa Iqbal Hassan Ally alikutwa na komputa mpakato (lap top) ambayo ilipochunguzwa ilikutwa na maneno ya kukashifu dini nyingine. Baada ya kushukiwa na kupekuliwa, alikutwa na komputa mpakato yenye maandishi mengi ya kichochezi dhidi ya dini asizoziabudu. Maneno katika komputa yake yanasisitiza kuteketezwa kwa watu wa dini nyingine (hakuzitaja). Amenukuliwa Kamishna Robert Manumba akidai. DCI Manumba akaongeza kudai kuwa maneno kama hayo ya uchochezi na kutaka kuteketezwa watu wa dini nyingine, yalikutwa pia kwa mwanafunzi a n a y e d a i wa k u s o m a Inaendelea Uk. 8 Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba.

8 8 Makala Kesi ya Victor imeishia wapi? Inatoka Uk. 7 Sudan ambaye anadaiwa pia kuwa mshirika wa Iqbal. Katika kutoa tahadhari juu ya kitisho cha ugaidi, tukio la kukamatwa M u i n g e r e z a h u y o, liliunganishwa na mabomu yaliyolipuliwa Arusha na DCI Manumba akaenda mbali kwa kuunganisha na kitisho cha Al Shabab na Boko Haram. Alisema, habari za kiintelijensia zinaonyesha k u w a Ta n z a n i a s i o salama kutokana na kuwepo vikundi vya kigaidi vinavyojificha chini ya mwavuli wa dini na kwamba hivi sasa kuna taarifa za kuwepo kikundi cha kigaidi cha al Shabab, ambacho kimekuwa kikizunguka A f r i k a M a s h a r i k i, kutafuta mwanya wa udhaifu na kushambulia. (HABARILEO) Kutokana na taarifa hizi za DCI Robert Manumba, Shirika la Utangazaji BBC nalo liliremba habari hizo kwa mtindo wake na kuziunganisha na mabomu ya Arusha. Authorities in Tanzania are concerned at the growth of an Islamist movement accused of links to Somalia s al-shabab. Zilisema taarifa kama zilivyopatikana katika mtandao zikisherehesha habari za kukamatwa Ally na kuzihusisha na mabomu ya Arusha na kuhitimisha kwa madai kuwa mwisho wa siku ni kitisho cha Islamists (Waislamu) walio na uhusiano na al Shabab. Kwa upande mwingine baadhi ya vyombo vya h a b a r i h a p a n c h i n i, Jumamosi viliibuka na habari vikidai kuwa gaidi limekamatwa Tanzania. G a i d i m b a r o n i, n d i v yo l i l i v yo r i p o t i gazeti la NIPASHE huku likikoleza na kichwa kidogo kinachosema, M t a n z a n i a a d a k wa akidaiwa kumsaidia. H a t a h i v y o, k w a mujibu wa taarifa ya gazeti la HabariLeo la Jumamosi Julai 6, 2013 ukurasa wa 31 ambao kwa kawaida ni ukurasa wa michezo, imeelezwa kuwa Muingereza huyo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, akiunganishwa katika kesi ya wizi wa hati 26 za kusafiria. Iqbal anaunganishwa katika kesi hiyo kwa sababu hati aliyokuwa nayo inadaiwa kuwa m i o n g o n i m wa h a t i zilizoibwa kutoka Idara ya Uhamiaji jijini Dar es Salaam. Wakati hayo yakijiri, bado Watanzania wapo kizani juu ya lile bomu lililolipuliwa katika Kanisa Arusha na kuuwa watu watatu. Katika tukio hilo lililotokea Mei 5, 2013 Mabomu London 7/7 JULAI 7, 2005 yalifanyika Uingereza, katika ulimwengu na kuvuja habari kutoka mashambulizi yaliyodaiwa huu wa leo wa crusade Ofisi ya Waziri Mkuu, ya kigadi katika jiji la iliyotangazwa na Geoge W Uingereza, kwamba George London. Mashambulizi hayo Bush baada ya Septemba 11, Bush, aliliongopea Bunge yaliyotokea katika vituo 2001; London Bombing la Congress katika madai vya gari moshi, tena katika ndio tukio pekee kubwa yake kuwa Saddam Hussein muda uliokuwa na watu linalopigiwa ngoma sana. ana silaha za maangamizi ili wengi, yalidaiwa kufanywa Hata hivyo, hata kabla kupata kibali cha kuvamia na Waislamu watatu raia wa ya sherehe ya vyombo vya Iraq. Uingereza wenye asili ya habari vyenye mrengo wa Ni baada ya kuvuja Pakistan na mmoja mwenye kuchangamkia habari za habari hizo, wananchi wa asili ya Jamaica aliyefanya kuwabambika Waislamu Uingereza walizidi kupaza kusilimu. ugaidi haijamalizika, watu sauti wakitaka wanajeshi Tukio hilo lilipigiwa wenye akili zao huru, wao warejeshwe nyumbani. zumari sana na likafanya ule walianza kuhoji na kuonyesha Blair alikuwa katika hali mshikamano wa Marekani mashimo yanayozua wasiwasi ngumu na Bush naye alikuwa na Uingereza katika vita wa kuwepo usanii katika katika wasiwasi mkubwa dhidi ya ugaidi kuimarika tukio hilo. wa k u m k o s a m s h i r i k a zaidi. Viongozi wa Uingereza Wachambuzi mbalimbali wake mkuu kule Iraq na wakatamba na kupata wa n a j e n g a h o j a k u wa Afghanistan. kupumua wakijenga hoja shambulio hilo lilikuwa la Ni katika mazingira kuwa wana kila sababu kupangwa ili kuwaunganisha hayo, likatokea shambulio ya kupigana huko Iraq na Waingereza katika kuunga la 7/7 London na kwa muda Afghanistan ili kuzuiya mkono Serikali yao katika likabadili hali ya hewa. magaidi kuingia London na vita Iraq. Katika kujenga Waingereza wakawa na Ulaya kwa ujumla. hoja zao wanasema kuwa hasira dhidi ya Waislamu na Unapozungumzia ugaidi shambulio hilo lilitanguliwa Inaendelea Uk. 9 Nani al Shabab KUMEKUWA na kauli nyingi sana kuhusu al Shabab, lakini nyingi zikitoa taswira kuwa hiki ni kikundi cha kigaidi ambacho kimeanzishwa rasmi kwa lengo la kufanya ugaidi Pembe ya Afrika na Afrika Mashariki, na hata kimataifa. Al Shabab p a m o j a n a a l Q a i d a, i m e k u w a m i s a m i a t i inayotumiwa kuwakilisha unaodaiwa kuwa Ugaidi. Ukisikia maneno Islamists au Waislamu wenye siasa/ msimamo mkali, basi hao mara nyingi utasikia ikidaiwa kuwa wanahusiana na ama al Shabab au al Qaidah. Taarifa ya Mkurugeni wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini, Robert Manumba kwamba Tanzania kuna kitisho cha magaidi wa al Shabab wanaovinjari kutafuta shabaha za kupiga, ni ushahidi kuwa hapa nchini, rasmi inachukuliwa kuwa al Shabab ni kundi la kigaidi lililosambaa Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika kufanya ugaidi na kwa namna nyingine kwamba wana washirika wao nchini ambao ndio hao wanaodaiwa kubeba komputa mpakato zinazohimiza kuangamizwa watu wa dini nyingine. Katika hali kama hii kuna kila sababu kwa Waislamu kwanza kujua hali hii, pili kujua kwa uhakika nani al Shabab na tatu kuchukua tahadhari, wasije wakajikuta wakitumiwa bila kujua na kujiangamiza kwa mikono yao wenyewe. Nani al Shabab, tujiulize k a m a a n a v y o j i u l i z a C h r i s t o p h e r A n z a l o n e anapouliza: Who are Somalia s al-shabab? (Wednesday, August 3, 2011). Christopher Anzalone ambaye ni mtafiti katika kitengo cha Islamic Studies, Chuo Kikuu cha McGill, amejiuliza swali hili kufuatia kauli nyingi zinazotolewa kuwahusisha al Shabab na ugaidi pamoja na madai kuwa wao ni ndugu moja na al Qaida. Baada ya utafiti wake Christopher anasema kuwa k u n a u wo n g o m w i n g i unasambazwa kuhusu al Shabab ikilinganishwa na ukweli juu ya kundi hilo. Ukweli unaoepukwa na wengi wanaopiga propaganda ya al Shabab ni wa namna mbili: Moja ni kuwa al Shabab ni taasisi ndani ya Somalia ambayo inapigania Somalia kutawaliwa na Wasomali wenyewe na muhimu zaidi itawaliwe na Sheria za Kiislamu (Shariah). Al Shabab hawataki kuona serikali kama iliyopo hivi sasa wanayodai kuwa ni serikali kibaraka inayowakilisha masilahi ya mabeberu. Na kwa hiyo hawataki kuona majeshi ya nje yakiingia Somalia kusaidia kuiweka na kuilinda serikali hiyo wanayodai kuwa ni kibaraka wa madui wa Somalia. U k w e l i w a p i l i usiozungumzwa ni kuwa waliopandikiza machafuko yaliyopo hivi sasa Somalia pamoja na kuibuka al Shabab, ni mabeberu wakiitumia Ethiopia. Ni maarufu kwa walimwengu wote kuwa baada ya vurugu, ujambazi, mapigano, mauwaji na kukosekana serikali kwa zaidi ya miaka 15, ambapo juhudi za kikanda na kimataifa zilifeli kabisa kuleta amani; Wasomali wenyewe walifikia mahali wakapata ufumbuzi. Kabla ya kurejea amani kwa muda, Somalia ilikuwa imeshikiliwa na wababe wa kivita (warlords) jumuiya ya kimataifa ikiwa imeshindwa kabisa kuleta amani. Ilikuwa ni baada ya Jumiya ya Kimataifa na jeshi Victor Ambrose Calist alikamatwa akituhumiwa kurusha bomu kwenye K a n i s a K a t o l i k i l a Mtakatifu Joseph, Parokia ya Olasiti, Jimbo Kuu la Arusha, na alifikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha na kusomewa mashitaka 21 ya kuua na kujaribu kuua. Mbele ya Hakimu Mkazi, D e v o t h a K a m u z o r a, mtuhumiwa huyo, Victor Ambrose (20), dereva wa Bodaboda na mkazi wa eneo la Kwa Mromboo, A r u s h a a l i s o m e w a mashitaka hayo yakiwamo matatu ya mauaji ya watu watatu waliofariki katika tukio hilo lililotokea Mei 5, mwaka huu. Mawakili wa Serikali, Zachariah Elisaria na H a r u n a M a t a g a n e walidai kuwa Calist pia anatuhumiwa kwa makosa 18 ya kujaribu kuua. Kuacha taarifa hizo za awali za kufikishwa mtuhumiwa mahakamani, bila kuathiri mwenendo wa kesi mahakamani, bado hakujasikika taarifa zozote za uchunguzi kama Serikali ilivyokuwa imeahidi kuwa itafanya uchunguzi na kutoa taarifa kamili juu ya tukio hilo la kigaidi. Mtuhumiwa ni nani, amefanya peke yake au kuna mtandao wa ndani pekee au ndani na nje ya nchi. Mtandao una ukubwa gani na unawahusisha watu gani. Je, nini malengo, siasa za ndani au za kimataifa au kutaka tu kuleta vurugu. Je, bomu hilo linahusiana kwa namna yoyote na taarifa zinazotolewa kila uchao kuwa kuna chuki za kidini na hizi za sasa za DCI Manumba kuwa kuna komputa mpakato zenye maneno y e n y e k u h a m a s i s h a kuangamizwa watu wa dini za watu wengine. Hayo ni baadhi ya mambo yaliyotakiwa kufanyiwa uchunguzi na kufahamika. Lakini mpaka leo kimyaa!! Na hata huko mahakamani, haijulikani nini kinaendelea maana inaonekana jambo lenyewe limekuwa siri kubwa toka siku ya mwanzo mtuhumiwa alipofikishwa mahakamani. Baadhi ya taarifa zinadai kuwa Inaendelea Uk. 9 Inaendelea Uk. 9

9 9 Inatoka Uk. 8 mtuhumiwa alishapewa dhamana. Pengine badala ya kutegemea taarifa za kupewa na Uingereza na washirika wao na kisha kuibuka na taarifa za kuwatisha Watanzania juu ya al Shabab na komputa mpakato zenye habari za kutaka watu wa dini nyingine kushambuliwa n a k u a n g a m i z w a, tungezingatia kwanza taarifa zilizotokana na uchunguzi wetu wenyewe k a t i k a k u k a m a t w a mtuhumiwa Victor Calist Ambrose na uchunguzi wa lile bomu lililolipuka katika mkuano wa CHADEMA Arusha na kuuwa watu watatu. Nani Victor, bomu analotuhumiwa kurusha kalipata wapi, kapewa na nani, nani wapo nyuma yake na mambo kama hayo. Au kama si yeye aliyelirusha kutokana na ushahidi utakaowasilishwa m a h a k a m a n i, l a k i n i ukweli unabaki kuwa kuna bomu lilirushwa Kanisani likauwa watu. Nani alihusika? Kwanini? Kwa malengo gani? Kama tuna nia ya kujua ukweli juu ya kitisho cha ugaidi Tanzania, na hakuna agenda ya siri, uchunguza juu ya bomu la Arusha, na tukiufanya sisi wenyewe bila kutegemea akili na maelekezo ya watu wengine, ingetusaidia sana kuliko hizi habari za kuambiwa na Uingereza/ FBI. Na sababu yake ni moja tu lakini ya msingi na yenye kujitosheleza: H a wa t u n a o d h a n i kuwa wana utaalamu hata tukawaita kutusaidia, washapoteza sifa ya kuaminika, hasa katika m a t u k i o k a m a h a ya yanayodaiwa kuwa ya kigaidi. Mpaka hivi sasa lile tukio la London bombing limekuwa mwiba kwa serikali ya Uingereza kutokana na maswali na ushahidi unaoibuka kujenga wasiwasi kuwa huenda tukio lile lilikuwa la kupangwa na serikali yenyewe. Terror Expert: London Bomber Was Working For MI5 Khan used as informant for security services. What s Behind the London A acks?. Report: Israel Was Warned Ahead of First Blast. 7/7 links with British intelligence agencies don t Makala Kesi ya Victor imeishia wapi? end with Khan. Terror The bombing of the wakihoji na kutoa hoja expert John Loftus told London Underground zao madhubuti kuonyesha Fox News. was a false-flag operation kuwa kuna uwezekano Dayside show that designed to keep the West mkubwa kwamba tukio alleged London bombing mired in war. Don t believe linalodaiwa la kigaidi m a s t e r m i n d H a r o o n otherwise. lililotokea London Julai Rashid Aswat was an Hivi ni baadhi ya 7, 2005 ni la kupangwa MI6 intelligence asset that vichwa vya habari na na kwamba lengo kubwa British security helped baadhi ya sehemu za ilikuwa ni kuwaunganisha protect and hide before the makala na uchambuzi wa wananchi wa Uingereza bombings. wataalamu mbalimbali na Ulaya kwa ujumla Mabomu London 7/7 Inatoka Uk. 8 ya Fox News, ikisema kuwa nyaraka mbalimbali anasema wakati vyombo vya dola vya al Qaida ni taasisi bandia ya Waarabu. Blair akapumua Uingereza vikisema kuwa kigaidi (a fake terrorist front kidogo. vinahangaika kumtafuta organization) iliyobuniwa They are trying to use the mtuhumiwa namba moja na mashirika ya kijasusi ya slaughter of innocent people wa ulipuaji bomu London, CIA, ISI na MI-6. Na kwamba to cow us, to frighten us out Haroon Rashid Aswat, kwa lengo ni kutumia taasisi hiyo of doing the things that we upande mwingine vyombo kupandikiza ugaidi, mauwaji, want to do. They should not hivyo vilikuwa vikimlinda vurugu na ghasia ili kuupiga and they must not succeed, na kumhifadhi mtuhumiwa vita Uislamu na kuzuiya huyo anayedaiwa kuwa kabisa kupatikana kwa umoja Tony Blair. ni mtumishi wa Shirika la miongoni mwa mataifa ya The war on terror goes on. - kijasusi la Uingereza MI-6. Kiislamu. Bush K a t i k a m a k a l a n a K a m a a m b a v y o Walinukuliwa viongozi uchambuzi wake, Kurt imeandikwa na Paul Joseph hao na vyombo vya habari Nimmo, ananukuu pia gazeti Watson akinukuu taarifa ya wakionyesha walivyofaidika la The Times likisema kuwa gazeti la Guardian, Usamah na tukio hilo la 7/7. Aswat alitumiwa kufanya kazi bin Laden mwenyewe alikuwa B a a d h i y a t a a r i f a na Osama bin Laden katika akipewa fedha kutoka MI6 zinafahamisha kuwa Israel kambi ya mafunzo iliyokuwa na kwamba pamoja na ilikuwa inajua juu ya kutokea imeanzishwa na CIA-ISI, kuwa Abu Qatada anatajwa kwa shambulio hilo siku moja kama kituo cha mafunzo cha kuwa mmoja wa viongozi kabla na kwamba Waziri al Qaida (al-qaida training wakubwa wa al Qaida, lakini wake wa Fedha Binyamin camp, Afghanistan). aliwahi kuhifadhiwa na MI-6 Netanyahu, ambaye alikuwa Gazeti hilo likasema kuwa kama ilivyoripotiwa na BBC London, alibaki hotelini limepata nyaraka za FBI mwaka kwake na hakutoka kabisa zikionyesha kuwa Haroon Ni kutokana na taarifa kuendelea na program zake Rashid Aswat, alipelekwa kama hizo, mwandishi Griffin za siku hiyo. Marekani mwaka 1999 Tarpley, anasema kuwa: K a t i k a m a k a l a ya k e ambapo alipewa mafunzo ya There is every reason to Bombing Mastermind matumizi ya silaha na kuuwa believe that London is one of A s wa t Wo r k s f o r M I - kwa kutumia sumu. the main recruiting grounds 6 (August ), Kurt Uchambuzi wa mwandishi Nimmo, ananukuu habari Inaendelea Uk. 10 Kurt Nimmo akitumia Nani al Shabab Inatoka Uk. 8 la kulinda amani kutoka Marekani kuondoka Somalia katika miaka ya mwanzo ya 1990s, na kuiacha nchi mikononi mwa wababe wa kivita, hali ilizidi kuwa mbaya. Kila koo ikiwa na wanamgambo wake na mahakama yake. H a r a k a t i z a k u p a t a ufumbuzi wa ndani zilianza zikiwaunganisha vijana na wafanyabiashara waliokuwa wamechoshwa na vitendo vya kiharamia. Harakati hizo zikashika kasi miaka ya 2003 na 2004 ambapo vijana waliunganisha koo wakipigania kusimamisha Sheria za Kiislam. Kwa muda mfupi kabisa wakafanikiwa k u v u n j a m i t a n d a o ya kijambazi na kiharamia nchi ikawa na amani. Kutokea hapo ndio wakapata kuungwa sana mkono na wananchi mpaka wakafanikiwa kuunda serikali. Hata hivyo, hali hiyo haikuifurahisha Marekani. Ikitumia kisingizio kuwa ICU itakuwa serikali ya kigaidi itakayogeuza Somalia mahali pa kuzalisha magaidi, Serikali ya Marekani ilianza kuwapa silaha wababe wa kivita waliokuwa wameshindwa na Umoja wa Mahkama za Kiislamu (ICU). Mwaka 2006 aliyekuwa msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wakati huo Sean McCormack, alidai kuwa kamwe Marekani haitakubali kuona Somalia ikigeuzwa kuwa kiwanda cha kuzalisha magaidi ikiwa ni kama namna ya kujibu lawama zilizokuwa zikitolewa ni kwa nini Marekani inaunga mkono wababe wa kivita dhidi ya Serikali ya UIC iliyofanikiwa kuleta amani Somalia. Ili kuwa kama kiini m a c h o n a u s a n i i w a kisiasa kwa propaganda za kimataifa, wababe wa kivita wanaosaidiwa na Marekani wakatakiwa kuanzisha kitu kinachitwa: Alliance for the Restoration of Peace and Counter-Terrorism (ARPCT) ili ionekane kuwa ni watoto wazuri wanaopambana na ugaidi. Hata hivyo katika h a r a k a t i z a o wa k a wa wanashambulia nyumba za Maimamu wa misikiti na wale wanaowakamata wakawa wanawakabidhi kwa Wamarekani. Ilikuwa ni katika kipindi hicho, Februari 2006, Umoja wa Mahakama za Kiislamu (ICU) nao wakatangaza Jihad dhidi ya ARPCT. Ilichukua muda mfupi sana ARPCT kushindwa. Kutokana na matokeo ya kazi iliyofanywa na ICU, ilikuwa sio rahisi tena kuwatumia Wasomalia kupambana na ICU, ndio wa k a t u m i wa E t h i o p i a kuvamia nchi hiyo. Serikali ya Umoja wa Mahakama ya Kiislamu ikaondolewa madarakani na baadae Marekani ikatangaza kuwa al Shabab ni kundi la kigaidi. Kilichotokea nini? Vijana waliokuwa ndani ya serikali ya Islamic Courts Union (ICU), wakashika silaha kupambana na serikali iliyowekwa madarakani pamoja na majeshi ya nje yaliyoko Somalia kulinda serikali h iyo. N a k wa Inaendelea Uk. 10 w a m u u n g e m k o n o Waziri Mkuu Tony Blair katika kuendelea kuweka wanajeshi wa Uingereza kule Iraq na Afghanistan. Wakati huo wananchi wa Uingereza walikuwa wameanza kuchachamaa kupinga vita Iraq. K w a m u j i b u w a wachambuzi hao, kipigo cha kweli cha kigaidi, n a u k a w a h u s i s h a watuhumiwa wa Kiarabu/ Wahindi, (Waislamu), kingeweza kuwafanya Waingereza kuona mantiki na umuhimu wa wanajeshi wao kupigana Iraq. Wiki iliyopita niliandika makala nikisema kuwa k u t o k a n a n a h a l i inavyokwenda hivi sasa juu ya kinachoitwa vita dhidi ya ugaidi, Waislamu wanatakiwa kuchukua tahadhari kubwa juu ya watu wanaojitokeza na kuweka darsa za siri na kuanza kujadili harakati za al Shabab au vikundi vyovyote ambavyo hivi sasa vinatumiwa na Marekani kama kisingizio cha kuwabamiza Waislamu. Na hii ni kwa sababu kumekuwa kukifanyika mchezo wa kupandikiza makachero misikitini na katika taasisi za Kiislamu wakijifanya mujahidina, kisha kupandikiza silaha na mashambulizi (false terror attacks) ambapo vijana wa Kiislamu hukamatwa na kupachikwa kesi za ugaidi. Baada ya makala ile mtu mmoja alinipigia simu akiongea huku kakasirika sana. Yeye yote yaliyosemwa katika makala ile hakuyaona wala kuzingatia nini yalikuwa maudhui ya makala ile. Yeye aliloona ni pale tu niliposema Waislamu waepuke darsa za siri. Alitumia muda mrefu sana akidhani ananipa darsa juu ya Darul Arqam. Kilichonisikitisha ni ule ufinyu wa uelewa wa mambo na kutokufahamu watu wanaishi katika mazingira gani, kuelewa MUKTADHA wa sasa na wapite wapi ili wasalimike n a wa f a n ye D a wa h yenye manufaa kama inavyodhihiri katika Sira ya Mtume (s.a.w). Bomu limelipuliwa K a n i s a n i, A r u s h a. Limeuwa na kujeruhi watu wasio na hatia. Taarifa ya Serikali imesema kuwa ni shambulio la kigaidi. Vyombo vya Dola vimetoa kauli kali lakini za matumaini kwa wananchi, vikiahidi kuwa uchunguzi Inaendelea Uk. 10

10 10 Inatoka Uk. 9 wa k i n a u t a f a n y i k a ili ukweli ujulikane. Amekamatwa Victor Calist Ambrose kwa kudaiwa kuonekana akirusha bomu hilo. Hakuna hata taarifa moja, iwe ya Polisi au ya vyombo vya habari i l i y o s e m a : G a i d i lililorusha bomu Kanisani lakamatwa. Kama ni kutajwa Victor, alitajwa kama mtuhumiwa na hata alipofikishwa m a h a k a m a n i, a m e s h i t a k i w a k w a mauwaji. Ila kwa kukamatwa mtuhumiwa wa kughushi pasi ya kusafiria, Iqbal Hassan Ally, tunaambiwa Gaidi mbaroni. Halafu a n a u n g a n i s h w a n a mabomu Arusha huku tukiambiwa kuwa habari za ki-intelijensia zinaonyesha kuwa magaidi wa al Shabab wapo mitaani wakitafiti sehemu za kushambulia! Nilichosema katika makala ile na ambacho nazidi kusisitiza hapa ni kuwa kwa muda sasa kumekuwa na jitihada za kupandikiza kitisho cha ugaidi wa al Qaida na al Shabab. Na yote hii, japo inaonekana katika sura yake ya nje ni kuwatafutia sababu Waislamu na k u wa b a m i z a. L a k i n i itatuathiri Watanzania wote kama ambavyo mabomu ya ndege zisizo na rubani (drone) yasivyochagua mtu wa kuuwa kule Pakistan, Yemen na Somalia. T u j u e n j a m a z a kupandikiza kitisho cha ugaidi kikifanikiwa, tutakuwa na kibarua kingine cha kukidumisha ili wenye agenda yao wazidi kupata sababu ya kuendeleza malengo yao. Kila uchao maguruneti na mabomu yatakuwa yakichukua ushuru wa roho za Watanzania wasio na hatia. J e, h a y a n d i y o w a n a y o y a l i l i a w a l e wanaoshabikia kuwepo ugaidi Tanzania kwa vichwa vyao vya habari, G a i d i l a k a m a t w a Tanzania? Mahmoud, kijana wa Kisomali anatumikia kifungo Marekani baada ya kushitakiwa kwa kesi ya ugaidi. Lakini kama n i l i v y o e l e z a k a t i k a makala iliyopita, ugaidi ule ulikuwa mchezo wa kuigiza uliofanywa na watu wanaotumiwa na FBI wakaja misikitini na kuanzisha darsa za jihad kisha kuwaahidi vijana kuwapeleka katika kambi Makala Kesi ya Victor imeishia wapi? za siri na kuwapa silaha. Darsa za namna hii na mfano wake ndio Mabomu London 7/7 Inatoka Uk. 9 for patsies, dupes, fanatics, double agents, and other roustabouts of the terrorist scene. (9/11: Synthetic Terror, p. 156). Akimaanisha kuwa kuna kila sababu ya kuamini kuwa Uingereza imekuwa moja ya kambi kubwa ya kutoa mafunzo kwa magaidi bandia, ambao baadae hutumika kupandikiza kitisho cha ugaidi (false terror a acks) sehemu mbalimbali duniani. Na tukumbuke kuwa kwa hapa Tanzania wanatuambia kuwa: Authorities in Tanzania are concerned at the growth of an Islamist movement accused of links to Somalia s al-shabab. Kwa sababu hii, nilisema katika makala yangu iliyopita kuwa Waislamu tuwe makini sana na watu wanaopita Misikitini au mitaani na agenda za kuanzisha darsa za siri za kuhamasisha Jihad, kwani wanaweza kuwa ni akina Haroon Rashid Aswat na Abu Qarada. Na ieleweke wazi hapa kuwa hoja sio kujadili dhana ya Jihad kama ilivyokuja katika Uislamu, bali namna m a a d u i w a U i s l a m u wanavyowatumia baadhi ya watu wenye majina ya Inatoka Uk.9 kuamini kuwa wanapigana kwa niaba na kwa masilahi ya Wasomali, al Shabab wamekuwa wakifanya juhudi kuwahusisha viongozi wa koo mbalimbali na kila kada katika jamii. Kwa mujibu wa tafiti za waandishi mbalimbali na wasomi ambao wametafiti na kuandika juu ya al Shabab, kila ambapo al Shabab wamefanikiwa kuweka uongozi wao, huweka gavana (wali) kama mkuu wa wilaya, mahakama (Shari a court), ofisi ya Zakat na idara ya ulinzi na polisi. Kunakuwa pia na idara za huduma kwa jamii na uchumi zikihusika na ujenzi na ukarabati wa barabara na madaraja, shule, hospitali na kilimo. Katika kipindi cha njaa miaka ya 2009 na 2010 al Shabab walifanya kazi kubwa kukusanya chakula, sadaka na Zaka kutoka kwa matajiri na kuwasaidia wananchi we n ye n j a a. Wa l i p i g a m a r u f u k u m i s a a d a ya Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) kuingia Somalia wakisema kuwa WFD walikuwa wakisambaza chakula kilichopita wakati wa kutumiwa (expired) na pia kutumia misaada hiyo kwa masilahi ya mabeberu nilizosema tujihadhari nazo isije ikawa ndio yale yale ya kutaka mambo Kiislamu au hata baadhi ya wanaharakati wa Kiislamu, kuuangamiza Uislamu na Waislamu. Jana gazeti la RAI, katika ukurasa wake wa mbele lilichapisha habari iliyokuwa na kichwa cha habari: Siri nzito Arusha. Kisha kufuatiwa na vichwa vidogo vinavyosema: Mamia ya vijana wapelekwa Somalia, Darfur, Watajwa kupewa mafunzo ya kigaidi. Wakati Jiji la Arusha likiwa bado na kumbukumbu ya milipuko miwili ya mabomu, imebainika kuwa zaidi ya vijana 200 wapo nchini Somalia na jimboni Darfur, Sudan, kwa ajili ya kupewa mafunzo ya kigaidi. Limesema gazeti hilo katika ufunguzi wa habari hiyo na kuongeza likisema kuwa: Chanzo cha habari kutoka katika duru za usalama mkoani Arusha kimesema kuwa, vijana wanaodaiwa kwenda Somalia kwenye kambi za kundi (la) Al- Shabab na Darfur ni wenye umri kuanzia miaka 15 na kuendelea. L i l i l o l a u h a k i k a n i kuwa, hakuna uwezekano wakatoka vijana 200 hapa ya kuthibitisha yale yaliyosemwa na DCI Robert Manumba kwamba zipo taarifa za kuwapo na kwenda kusomea ugaidi Somalia na Darfur, bila ya vyombo vya dola kujua. Kwa hiyo kama kungekuwepo na vijana wanaokwenda Somalia na Darfur kwa ajili ya kujifunza ugaidi, vyombo vya usalama vingekwisha w a k a m a t a w a h u s i k a kuanzia waliopekekwa mpaka wanaowarubuni na kuwapeleka. Na kama vinajua, h alafu havija wa k a m a t a m p a k a R A I inaripoti, ni kwamba hao ni watu wao wanaowaandaa kwa kazi maalum. Maana kama habari hizi ni kwa mujibu wa duru za usalama, kama gazeti lilivyodai, ni kuwa Idara ya Usalama inajua. Sasa swali ni je, kwa nini haijachukua hatua na badala yake ikaona ivujishe taarifa kwa gazeti? Ta a r i f a k a m a h i z i zinachoeleza bila kusema ni kuwa kuna uwezekano wa vijana kuchukuliwa na kupelekwa katika kambi zinazodaiwa kuwa ni za al Shabab, kisha baada ya kukusanya ushahidi na vielelezo, ndio wahusika wa k a m a t w e n a k u t o a vielelezo hivyo kuwa kweli kuna watu wanasomea ugaidi. Lakini ukweli ukiwa Nani al Shabab na vibaraka wao. Kuhusu madai kuwa Al- Shabab ina uhusiano na Al- Qaeda, watafiti mbalimbali wanasema kuwa, al Shabab sio al Qaida, bali kama ni kuhusiana ni kutokana na ukweli kuwa baadhi ya viongozi wake walikuwa wapenzi wa kauli na wito wa Usama, ila ukweli unabaki kuwa al Shabab ni taasisi ya Somalia yenye malengo ya kuiokomboa Somalia kwa mtizamo wao. Wanasema pia kuwa hata kama kuna wapiganaji wa nje, basi ni wapiganaji walioingia kwa kuona wanataka kusaidiana n a a l S h a b a b k a t i k a kusimamisha Shariah. M a e l e z o z a i d i yanasema kuwa hata pale ilipodaiwa kuwa al Shabab walishambulia nje ya Somalia kama ilivyodaiwa kuwa walifanya Kampala (kama ni kweli walipiga wao) 2010, basi itakuwa walifanya vile kwa kupata mafanikio ya ndani, kwa maana ya kuishinikiza Uganda itoe jeshi lake Somalia. M t a f i t i C h r i s t o p h e r Anzalone akihitimisha uchambuzi wake anasema kuwa pamoja na kuwa hivi sasa al Shabab wanakabiliwa na changamoto nyingi, lakini bado wanashikilia sehemu kubwa ya nchi ya Somalia na hakuna dalili kwamba watatoweka kwa siku za karibuni. Anasema, moja ya changamoto ni kutengwa na jumuiya ya kimataifa, kukosa msaada wa maana kutoka kwa jumuiya hiyo na kuingia kijeshi kwa nchi za Afrika Mashariki. Hata hivyo anasema kuwa udhaifu ndani ya serikali (TFG), unaotokana na rushwa, ufisadi, ugomvi wa wenyewe kwa wenyewe na kukosa uoni unaotoa uongozi na matumaini kwa Wasomalia, bado al Shabab wataendelea kupata uhalali wa kuwepo na kutegemewa na Wasomali wengi. Propaganda kuwa ni magaidi na kwamba wanatawala kwa sheria kali za Kiislamu, inashindwa kufanya kazi katika maeneo wanayotawala na ndani ya Somalia kwa ujumla, kwa sababu haionekani nafuu yoyote kutoka kwa TFG. Bali kudumu kwa TFG ni kutokana na msuli wa kijeshi wa majeshi ya Kenya, Uganda, Ethiopia na Burundi. (Makala hii imeandikwa kwa kutumia utafiti wa mtafiti Christopher Anzalone (Institute of Islamic Studies at McGill University), makala za wasomi mbalimbali na taarifa za Aljazeera) kikundi cha kigaidi cha a l S h a b a b, a m b a c h o kimekuwa kikizunguka Afrika Mashariki kutafuta mwanya wa udhaifu na kushambulia. kuwa vijana hao wamefanya kupandikizwa na pengine kwa kuzugwa wakiaminishwa kuwa wanapekewa kupigana Jihad. K w a c h a m b o h i k i wakatokea watu watakaojiona kuwa wameiva tayari kwa Jihad wakanaswa. Na hawa ndio baadhi ya waandishi wa kimataifa wanawaita kuwa ni Wapumbavu wenye kudanganyika kwa wepesi (gullible idiots). Kama wapo watu walioiva barabara, tunataka kuwaona wakija na miradi ya kuwa na hospitali kila mkoa na kila wilaya, vyuo vikuu, televisheni na magazeti ya kila siku, miradi ya kilimo na uchumi ili kuwatoa Waislamu na Watanzania kwa ujumla katika njaa na umasikini. Tu n a t a k a k u w a o n a wakielekeza Jihad yao kukabiliana na ujinga wa baadhi ya watu wanaokataza mabinti na vijana wao k u s o m e a u d a k i t a r i n a utaalamu mwingine, lakini wenyewe wanapeleka wake zao kwa John wakatibiwe magonjwa ya wanawake huku wenyewe wakikaa nje kwenye benchi! L a k u s i s i t i z a h a p a kwa Watanzania wote ni kuwa kama tutakubali kupandikiziwa kitisho cha ugaidi, tutaumia sote. Kwanza ili kitisho hicho kikubalike, itabidi kiwe cha kweli. Watu wauliwe na mali kuharibiwa. Lakini baada ya hapo, itabidi pia kiendelezwe. K i l a b a a d a y a m u d a tutakuwa tukikumbana na mashambulizi ya maguruneti na mabomu kudumisha kitisho kwa manufaa ya wenye malengo yao. Kwa wale wanaoshabikia taarifa za gaidi adakwa, inapokuwa mtuhumiwa ni Ally, lakini wakigwaya anapokuwa ni Victor, wajue kuwa hili linalotakiwa l i k i t i m i a, h a t a w a o hawatasalimika. K u l e Pa k i s t a n, j a p o inadaiwa kuwa walengwa ni magaidi, lakini makombora kutoka Drone, yameuwa m a e l f u ya wa n a wa k e, wazee, wanafunzi wa shule na watoto wasio na hatia wakati waliodaiwa kuwa wanalengwa idadi yao hata 20 haifiki. K o m b o r a l a d r o n e halichagui nyumba wala roho ya kuangamiza. Na maadhali ugaidi unaoliliwa kupandikizwa ni wa kidini, hapana shaka tutaumia sote Waislamu na Wakristo.

11 11 Makala Mafunzo kutoka mapinduzi ya Misri Na Said Rajab MPAKA alipopinduliwa Rais Morsi wa Misri wiki iliyopita, watu wengi waliounga mkono njia iliyotumiwa na Ikhwan M u s l i m i n k u i n g i a m a d a r a k a n i, a m b a y o walidhani ni mafanikio makubwa kwa kundi hilo la harakati za Kiislamu, sasa wameshatia akili kwamba njia hiyo haikuwa muafaka, na ilikuwa ni kupoteza tu malengo sahihi ya waasisi wa kundi hilo. Mwaka jana niliandika makala ya kutahadharisha kuhusu methodolojia hii na changamoto zake na jinsi ilivyowaangusha Waislamu wa Algeria, Uturuki na Palestina (Hamas). Watu wengi, ama hawakuelewa au walijifanya hawaelewi. S h a n g w e y a u s h i n d i n a m a t u m a i n i h e w a, iliwaondolea maarifa hata ya kuona ukweli ulio wazi. Methodolojia iliyotumiwa na Ikhwan Muslimin ya kuingia kwenye uongozi wa dola kupitia mlango wowote, na kisha kuanza kutekeleza Uislamu baada ya kuingia madarakani inafahamika vyema. Njia hii inamaanisha kuwaandaa watu hatua kwa hatua kiitikadi, kisaikolojia, kimaadili na kijamii, ili wakubali na kisha kutekeleza sheria za Mwenyezi Mungu katika nyanja zote za maisha yao. Wanaoshabikia njia hii wana hoja zao ingawa hazina mashiko ya kisheria. Msingi mkuu wa hoja yao ni kwamba Uislamu haukufunuliwa kwa Mtume Muhammad (saw) wote kwa mara moja. Kwa hiyo, kila hatua ya Uislamu ilivyokuja wakati ule, inatumika kama ushahidi wa matumizi ya methodolojia hii. Mifano inayotumika zaidi ni jinsi Swala ilivyoshuka, Funga na amri ya kukataza ulevi. Kwa hiyo, wanasema, Mwenyezi Mungu Mtukufu ameteremsha sheria yake kwa binadamu kidogo kidogo. Basi na sisi tukitaka kuirejesha, inabidi tufanye hivyo. Hapo maana yake binadamu ndiyo wanaoamua jinsi gani na lini sheria ya Mwenyezi Mungu itekelezwe! Hilo ni kosa. Taasisi za utawala wa umma hazikuanguka wakati Hosni Mubarak alipoanguka nchini Misri. Na Morsi alikabiliana na upinzani mkali kutoka Mahakama ya nchi hiyo, vyombo vya habari vya umma, jeshi na polisi. Taasisi ambazo kimsingi hazipaswi kupingana na mkuu wa dola, isipokuwa zinatakiwa kumtii. Hakuwa na uwezo wa kuzifanyia marekebisho taasisi hizi kama kiongozi mkuu wa nchi. N c h i i l i k a b i l i wa n a migogoro mikubwa ya kiuchumi wakati Morsi alipoingia madarakani, lakini masikini ya mungu, hakuwa na nyenzo wala mamlaka anayopaswa kuwa nayo Rais, katika kurekebisha uchumi wa nchi. Wapinzani wake wa kisiasa wa kisekula, walitilia shaka sifa zake za kidemokrasia, na wapinzani wake wengine wa kisiasa Waislamu walitilia shaka sifa zake za Kiislamu. Ikawa ugali moto, mboga moto kwa Mohammed Morsi! Hali ya kisiasa na kiuchumi nchini Misri, ingeweza kumpa wakati mgumu kiongozi yeyote mahiri wa kisiasa, ambaye taasisi zote za dola ziko chini yake, wachilia mbali Mohammed Morsi, ambaye hakuwa na uwezo hata wa kuamrisha jeshi, wakati yeye ni Amiri jeshi mkuu! Kwa hiyo kushindwa kwake kusimamia baadhi ya mambo, lilikuwa ni jambo la wazi kabisa. Lengo la siasa katika Uislamu ni kushughulikia na kusimamia masuala ya umma. Uislamu umeweka misingi ya kisiasa na kiuchumi na taratibu madhubuti za kushughulikia matatizo ya kijamii. Misri inakabiliwa na mgogoro mzito wa kiuchumi pamoja na matatizo ya kiusalama na ufisadi wa kisiasa. Kwa kugeukia ufumbuzi wa kibeberu wa matatizo hayo (kama vile mikopo ya IMF), ili kutatua mgogoro wa kiuchumi nchini Misri, Serikali ya bwana Morsi imejenga mtazamo mbele ya umma, kwamba ubeberu ndiyo wenye fikra sahihi za kuimarisha uchumi wa Misri. Sasa kama Uislamu hautekelezwi wakati wa kutatua migogoro kama hiyo, utatekelezwa wakati gani? Dhana kwamba matatizo y a n a w e z a k u t a t u l i w a kwa kutumia ufumbuzi usiokuwa wa Kiislamu, ili baadaye Uislamu uweze kutekelezwa kikamilifu siyo sahihi. Kujiamini kunaweza kujengwa kwenye ufumbuzi wa Kiislamu, kwa kuona ufumbuzi huo ukifanya kazi na siyo ufumbuzi huo kutupwa wakati wa matatizo. Tatizo lolote linalopatiwa ufumbuzi kwa kurejea mfumo usio wa Kiislamu, maana yake ni kujenga mtazamo kwamba Uislamu hauhitajiki. Serikali ya Misri chini ya bwana Morsi, ilionekana k u t o a u m e m e wa b e i nafuu Gaza, wakati Cairo ikikabiliwa na changamoto ya kukatika umeme mara kwa mara. Mwaka mmoja umepita, Misri imekumbwa na upungufu wa chakula, petroli, umeme, maji na ukosefu wa ajira, wakati hali ya usalama ikidorora. Serikali ya Misri chini ya M o h a m m e d M o r s i, haikutekeleza hata ufumbuzi mmoja wa matatizo ya kiuchumi kwa kuzingatia fikra ya Kiislamu, lakini bado taswira inayojengwa duniani ni kwamba Uislamu wa Morsi ndiyo ulioporomosha uchumi wa Misri. Matatizo na changamoto zote za Misri sasa anabebeshwa Morsi na Uislamu wake, wakati inajulikana wazi alipokuwa Rais, hakuweza kutekeleza Uislamu hata kidogo katika ngazi ya dola, kutokana na mfumo ulioshindwa wa kisekula unaotawala Misri. Kiuhalisia, kushindwa kwa bwana Morsi kuitawala Misri Kiislamu, ingawa aliingizwa madarakani na umma unaotaka kutawaliwa Kiislamu, kulimfanya Rais h u yo k u wa k i b o g o yo. Ndiyo maana ameondolewa madarakani kirahisi mno na kujenga picha duniani kwamba Uislamu haufai kutawala. Lakini tathmini sahihi ya kufaa au kutofaa `Kumi la kwanza Ramadhani M W E Z I m t u k u f u w a yalikatazwa. Kiislamu kupitia kwa Mtume Ramadhani umegawanyika R a m a d h a n i u m e a n z a. Hii ni Ramadhani mwezi Muhammad (S.A.W). katika makundi matatu Ramadhani ni fahari kwa wa s wa u m u u n a h i t a j i Amri hiyo ya Mwenyezi ambayo yana siku kumi kila mja na anapaswa kuipokea mazingatio ndani yake na Mungu imetajwa katika aya moja. Kila kundi moja la kumi, hidaya hii vyema ili apate hata baada ya kwisha kwake. ya 182 ya sura ya pili Baqarah lina faida zake kwa mwenye malipo mema kutoka kwa Ni wakati wa Muislamu 183, ndani ya kitabu kitukufu kutimiza kile kilichoagizwa Allah (sw). kutulia, kufikiri na kisha cha Qur-an. na Mwenyezi Mungu. Katika aya hii, Allah (SW) K u m i l a k w a n z a Ramadhani ni siku 29 au kupima matokeo ya matendo anawaambia Waislamu linajulikana kwa jina la Rehma 30 tu, katika mwaka. Na kumi yake. Mola wetu tutakabalie kupitia Mtume Muhammad (rehema), la pili Magh-fira la awali la mwezi ni la Rehma swaumu zetu na utukunjulie ( S. A. W ) k u w a, E n y i (kusamehewa madhambi) na panapo majaliwa Mwenyezi rizki ya halali, Amin. mlioamini, mmelazimishwa lile la mwisho linaitwa kumi Mungu atuvushe salama. Kufunga mwezi mtukufu kufunga (swaumu) kama la kuachwa huru na moto. Katika mantiki yake, w a l i v y o l a z i m i s h w a Tumeianza Ramadhani wa Ramadhani ni nguzo ya nne waliokuwa kabla yenu kwa kuanzia na kumi la mwezi huu ni wa kujifunza, kati ya tano zinazosimamia ili mpate kuwa wacha Rehma. Katika kipindi kujisafisha na kujizoesha dini ya Kiislamu, ambapo Mungu. mja hurehemewa sana na kuendelea kufanya mema mtu mwenye kubalehe au Kwa mujibu wa aya hii, Allah (sw) kwa kila jema kutokana na matokeo mema kuvunja ungo hutakiwa utagundua kuwa lengo analolifanya. Kwa kifupi ni yanayopatikana ndani yake. kuitimiza. k u b wa k wa Wa i s l a m u kwamba kumi la kwanza ni Ramadhani humfanya Mwezi huu una historia kulazimishwa kutekeleza kumi la mja kurehemewa na mja kuongoka na kuwa ya kipekee katika dini ya ibada hii ya funga ni kwa Mola wake. n a m wa n z o m z u r i wa wao kuweza kufikia ngazi Kiislamu, kwa sababu ndiyo I t o s h e k u f a h a m i k a kubadilisha maisha yake, au daraja la ucha Mungu wa mwezi ambao kitabu kitukufu kikwelikweli. kwamba kila jema analofanya kuanzia mtazamo, tabia na cha Qur-an kilishushwa Kwa maana kwamba mja, hulipwa zaidi kuliko matendo yake. Mwezi huu katika usiku unaoitwa Lailatul Kadir. hii kwa kufuata sharti zote endapo mja ataitekeleza ibada ambavyo analipwa katika unazowesha mfungaji kurejea siku za kawaida. Ndiyo yale mema na yaliyoridhiwa Swaumu au kufunga ni kikamilifu, dhahiri kiwango maana wakati huu unaweza na Mola wake na kuachana amri ya Mwenyezi Mungu chake cha imani kitapanda. kushuhudia watu wakifurika na yale yote mabaya na kwa waumini wa dini ya M w e z i m t u k u f u wa katika nyumba za ibada. k wa U i s l a m u k w e n y e utawala na uongozi wa dola, haiwezi kutolewa na wale wanaopinga Uislamu nchini Misri! I n a f a h a m i k a v y e m a kwamba wafuasi wengi wa Ikhwan Muslimin nchini Misri walikuwa wakitumai kuanzishwa kwa utawala wa Kiislamu nchini humo, ingawa walijua wazi kwamba utawala wa Morsi usingeweza kuwafikisha kwenye malengo hayo. Kujua kwamba malengo yako makuu ya kisiasa yanatofautiana kabisa na sera za kisiasa unazotekeleza, inakufanya wakati wote u e n d e s h e m a m b o k wa mashaka. Hali hii imejitokeza zaidi kwenye kipindi cha mwisho cha utawala wa Ikhwan Muslimin nchini Misri, ambao ulikuwa ukituhumiwa vikali kwa Uislamu wa Siasa Kali, hata pale sera walizotekeleza zilipokuwa Usekula wa Siasa Kali. Kwa hiyo kusimamisha Uislamu kidogo kidogo katika ngazi ya dola, kama walivyofanya I k h w a n M u s l i m i n, kunaashiria udanganyifu, ingawa nia inaweza kuwa njema. Qur an imetuonya kuhusu utekelezaji nusu nusu wa sheria za Mwenyezi Mungu: Na (baadhi ya) ambao tuliwapa Kitabu wanafurahia uliyoteremshiwa. Na katika makundi yao mengine w a k o w a n a y o y a k a t a a baadhi ya haya. Sema: Nimeamrishwa kumuabudu M w e n y e z i M u n g u t u wa l a n i s i m s h i r i k i s h e. Ninaita Kwake viumbe wenzangu waongoke (kama nilivyoongoka). Na ni kwake marejeo yangu Qur(13:36). N a n a m n a h i v i tumeiteremsha (hii Qur an), hali ya kuwa ni hukumu (ya Mungu iliyoteremka) kwa (lugha ya) Kiarabu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya kukufikia Ilimu hii, hutakuwa na rafiki wala mlinzi mbele ya Mwenyezi Mungu Qur(13:37). Mara nyingi Mwenyezi Mungu anatupigia mifano ya Waislamu wa mataifa ya l i yo p i t a, i l i t u we z e kujifunza kutokana na makosa yao. Wanaharakati wa Kiislamu duniani, lazima walinganie Utekelezaji wa Uislamu Wote kama mfumo, na watafute ufumbuzi wa matatizo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii yanayowahusu binadamu kutoka ndani ya mfumo huo. Kusiwe na matarajio hewa kwamba tukishika madaraka, basi Katiba itakuwa ya Kiislamu na mambo yote yataendeshwa Kiislamu. Hilo halijawahi kuwa na wala halitakuwa!

12 12 MAKALA 12 Imam Hamza ahimiza Waislamu kutetea haki Na Bakari Mwakangwale IMAM Hamza Omar, amewahimiza Waislamu kusimama imara katika kutetea haki. A m e s e m a, wanalotakiwa kufahamu Waislamu ni kuwa katika kupigania haki kuna gharama zake na kwamba hilo lisiwatishe. Imam Hamza, amebainisha hayo, Ijumaa ya wiki iliyopita akiwahutubia Waislamu mara baada ya swala ya Ijumaa, katika Msikiti wa Mtambani, Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Katika mawaidha yake Imam Hamza amesema kuwa anaamini kuwa kisa cha yeye kukamatwa, kufunguliwa kesi huku dhamana yake ikizuiliwa, ni kutokana na msimamo wake na juhudi aliyokuwa akifanya kupigania haki. Akitoa mfano juu ya yale yaliyojiri wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alipofika Geita kufuatilia mgogoro wa uchinjaji, alisema kuwa Waislamu akiwemo yeye mwenyewe, walisimama kusema kweli na kueleza wazi kuwa hawapo tayari kuona wakibaguliwa na kudharauliwa. Akasema kuwa ilikuwa pale Mheshimiwa Waziri Mkuu alipoonyesha kuwa hayupo tayari kusikiliza madai ya Waislamu, ndipo walipoamua kutoka katika kikao na hiyo ikiwa ni kuonyesha hisia zao kuwa hawaridhiki na mambo yanavyoendeshwa. Imam Hmzana alisema, baada ya kikaoa na Waziri Mkuu, haikupita muda alikamatwa, na kuwekwa ndani huku dhamana yake ikizuiliwa. Akasema, yeye binafsi anahisi kuwa kuzuiliwa huko kwa dhamana kunatokana na msimamo wake wa kusema kweli na kupigania haki. 2nd floor, Red Cross Bldg, Bibi Titi / Morogoro Rd, PO Box 7079 DSM Phone: / info@taqwaorphanstrust.org Website: TAQWA ORPHANS TRUST TANZANIA inawakaribisha waislamu wote kushiriki na kuchangia katika program maalum ya futar kwa yatima -Pemba na Pwani kwa mwaka 1434A.H /2013. Kwa maelezo zaidi: Piga simu namba; / / au tembelea ofisi zetu zilizopo kwenye jengo la Red Cross lililopo kwenye makutano ya barabara ya Morogoro na Bibi Titi, mkabala na jengo la NSSF. IMAM Hamza Omar. Maimamu Tanga waichambua rasimu ya katiba Na Abu Ayub MAIMAMU wa misikiti mbali mbali ya jijini Ta n g a w a m e k u t a n a kwenye ukumbi wa Simba Mtoto katikati ya jiji hilo kwa madhumuni ya kuangalia makosa yaliyomo kwenye rasimu ya katiba mpya na kutoa mapendekezo yao yatakayopelekwa kwenye Baraza la Katiba la Kiislamu litakalokaa tena huko jijini Dar es Salaam siku za mbele. Wa k i o n g o z w a n a mwakilishi wa Baraza hilo kwa mkoa wa Tanga, S h e i k h A l i N a s s o r, Maimamu hao baada ya mada ya ufunguzi iliyotolewa na mtaalamu wa masuala ya katiba, Sheikh Salim Barhiyaan walikaa vikundi vikundi kuvijadili vipengele 21 vilivyotajwa kuwa ni kandamizi zaidi kwa imani ya Kiislamu nchini. Baada ya kamati hizo kuangalia vipengele h i v yo wa s e m a j i wa o walisimama mbele na kueleza kwa hamasa kile kila kikundi kilichokiona kwenye rasimu hiyo. Kikundi kilichoitwa A b u b a k a r S i d i q r. a kilisema kinataka katiba mpya kuruhusu maeneo yenye Waislamu wengi kama Zanzibar kuwa huru kujitawala kwa Sheria za Kiislamu na kusema kuwa kwa uzoefu wa nchi nyengine kama Nigeria jambo hilo wala halitozikwaza haki za raia mwengine yoyote. Zaidi ni kuwa utaratibu huo utapunguza manung uniko kwa raia wa eneo husika wanaopenda kujitawala kwa imani za dini zao. Kikundi cha Omar ibn Khattab r.a kilisema kifungu cha 5 cha ibara ya 31 ya rasimu kuhusu kilichoitwa uchochezi kwa kutetea imani ya dini kinapingana na kifungu cha 2 chenye kutoa uhuru wa kuchagua na kutangaza imani ya mtu. Yale yote yanayoruhusiwa na kifungu cha 2 ndiyo hayo hayo yanayopingwa na kifungu cha 5 cha ibara hiyo. Awali katika mada ya ufunguzi, Sheikh Salim alisema kuwa ibara hiyo Pichani ni kiongozi wa kikundi kimojawapo akiwa na maimamu wenzake. ya rasimu inaonekana kama imewekwa kutetea imani ya Kikristo akigusia huko nyuma katika kesi iliyomuhusu Rajabu Dibagula. Dibagula alipewa h u k u m u ya k u t u m i a kifungo jela kwa kusema kuwa Yesu si Mungu jambo linaloitwa ni kashfa kwa Wakristo. Baadae hukumu hiyo ilitenguliwa pale Waislamu walipokata rufaa wakitumia kipengele cha katiba inayomalizika. Ilibainishwa kuwa kabla hata rasimu hiyo haijapita, t a ya r i k u m e k u wa n a kamatakamata ya kuhusisha mawaidha ya Waislamu yanayopatikana kwenye mikanda ya aina mbali mbali zikiitwa ni kanda za kichochezi na kashfa. Katika maelezo yake, Sheikh Salim Barhiyaan a l i s e m a Wa i s l a m u hawatakiwi kukata tamaa hata kidogo kwani Mwenyezi Mungu s u b h a a n a h u wa t a a l a anaona kila walifanyalo hivyo mafanikio yanaweza kuja hata dakika za mwisho. Lakini hata hivyo ikiwa kutakuwa na matokeo kinyume chake basi kila mwenye kufanya juhudi ajue atalipwa na hataulizwa kwa kukosekana mafanikio. Alikumbusha kwamba M t u m e s wa l a L l a a h u alayhi salaam aliendelea kumlingania Ami yake, bwana Abu Talib hadi wakati wa sakaraatul mauti. Pamoja na hivyo ami yake huyo alikufa katika imani ya kishirikina na kwa hilo hatoulizwa juu ya ami yake huyo kufa katika ukafiri. Baada ya kumalizika kwa mijadala hiyo na majumuisha wawakilishi wa Baraza la Katiba la Waislamu walichukua mapendekezo hayo na kuahidi kuyaweka sawa kwa ajili ya kuyapeleka mbele kunakohusika. Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P Dar es Salaam.

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY (LSF) 1 KIMEANDALIWA NA Chama Cha Wanasheria Tanzania

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke- Kusudi la Maisha hawatakuambia nini walihitimisha kupitia uchunguzi au hoja ya uchambuzi. Katika hali nyingi, hakika wao kukuambia nini mtu mwingine alisema... Au wao watakuambia nini kawaida kudhaniwa

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR.

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR. RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR. SEHEMU YA KWANZA 1.0 UTANGULIZI. Kamati Teule ya Kuchunguza Upotevu wa Nyaraka

More information

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka 0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 AEG swahili Bahari ya Aegean Brosha ya maelezo hii ni kwa watu wanaofikiria kuvuka bahari ya Aegean kati ya Ugiriki na Uturuki.Kuvuka kihramu ni uhalifu katika

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ukristo leo unadhihirisha waumini karibu bilioni mbili katika maelfu ya madhehebu tofauti na tofauti na madhehebu. Kati ya hizi, zaidi ya 500 madhehebu

More information

HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011.

HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011. Saint Augustine University of Tanzania From the SelectedWorks of Daudi Mwita Nyamaka Mr. Winter December 9, 2011 HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU

More information

Piganieni haki zenu Bungeni

Piganieni haki zenu Bungeni Mpenzi msomaji ANNUUR linapatikana kwa Shs 800/= tu Sauti ya Waislamu AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST ISSN 0856-3861 Na. 1167 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA, MACHI 6-12, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs

More information

Kamanda Boko Haram Mkristo-Prof. Ojobi

Kamanda Boko Haram Mkristo-Prof. Ojobi facebook: annuurpapers@yahoo.com Sauti ya Waislamu AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST ISSN 0856-3861 Na. 1168 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA, MACHI 13-19, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= (2) HIJI, UFE

More information

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu. Waebrania 9:28. KUJA KWA KRIST0 MARA YA PILI "ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28. Mara nyingi sana kuja kwa Kristo mara ya pili huangaliwa tu kama fundisho la dini. Ni

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Spika,

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Spika, HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, WASANII NA MICHEZO, MHESHIMIWA JOSEPH OSMUND MBILINYI (MB), KUHUSU BAJETI YA WIZARA HIYO KWA MWAKA WA FEDHA

More information

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya Nordic Journal of African Studies 9(2): 49-59 (2000) Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya UTANGULIZI Tukichunguza hazina ya uhakiki uliofanywa katika taaluma

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

K. M a r k s, F. E n g e l s

K. M a r k s, F. E n g e l s W a (any a kazi wa nchi zote, unganeni! K. M a r k s, F. E n g e l s Maelezo ya chama cha kikomunist Idara ya Maendcleo Moscow Tafsiri hii ya "Maelezo ya Chama cha Kikomunist" inatokana na maandishi

More information

Tanzania, sasa kondoo anayesubiri kuchinjwa

Tanzania, sasa kondoo anayesubiri kuchinjwa facebook: annuurpapers@yahoo.com Sauti ya Waislamu AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST (9) UOMBEZI WA MTUME(SAW) ISSN 0856-3861 Na. 1176 RAJAB 1436, IJUMAA, MEI 8-14, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

More information

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika (A Summary Of Arguments For And Against Individual Communion Cups) Na J D Logan Communion Cups) 1 Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi

More information

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

Agano Lililofunikwa Kwa Damu Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The Blood-Sealed Covenant) 1 Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Oktoba 14, 2012 Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The

More information

PDF created with pdffactory trial version

PDF created with pdffactory trial version المملكة العربية السعودية وزارة التعليم العالي الجامعة الا سلامية بالمدينة المنورة عمادة البحث العلمي قسم الترجمة تعريف موجز بالا سلام بل( لغة السواحلية) ١ بسم االله الرحمن الرحیم MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU

More information

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to

More information

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org ( Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Haja Ya Dini Haja Ya Dini Author(s): Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi [3] Publisher(s): Bilal Muslim Mission of Tanzania [4] Katika kijitabu

More information

SUALA NYETI NI VURUGU Mashambulizi dhidi ya Wana LGBT katika Pwani ya Kenya H U M A N R I G H T S W A T C H

SUALA NYETI NI VURUGU Mashambulizi dhidi ya Wana LGBT katika Pwani ya Kenya H U M A N R I G H T S W A T C H SUALA NYETI NI VURUGU Mashambulizi dhidi ya Wana LGBT katika Pwani ya Kenya H U M A N R I G H T S W A T C H Suala Nyeti ni Vurugu Mashambulizi dhidi ya Wana LGBT katika Pwani ya Kenya Copyright 2015 Human

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level * 899145 4 672* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2010 Additional Materials: Answer Booklet/Paper READ

More information

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine.

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine. HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWENYE IBADA YA KUWEKWA WAKFU NA KUINGIZWA KAZINI ASKOFU MARTIN FATAELI SHAO WA DAYOSISI YA KASKAZINI YA KANISA LA

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo, HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU, KWENYE SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA HAMSINI YA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, TAREHE 08 JUNI 2008, MSIMBAZI CENTRE, DAR ES SALAAM Mhashamu

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2012

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2012 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *7784196332* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2012 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

April 14, 2016 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 52

April 14, 2016 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 52 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY HANSARD REPORT Thursday, 14 th April, 2016 The House met at 2.48pm. (Hon. Deputy Speaker (Mr. Mswabah Rashid) in the Chair) PRAYERS Hon. Deputy Speaker (Mr. Mswabah Rashid): Kindly

More information

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Nabii Musa alipotoka mlima Sinai kupewa amri kumi za Mungu zilizoko kwenye kitabu cha Kutoka 20:1 17, Mungu alimpa na sharia zingine ambazo lengo lake

More information

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA SIMU NA: (027) 2642082 TANGA (OFISI) 0784 889 099 TANGA (NYUMBANI) Tovuti: www.tangaschool.sc.tz Barua pepe: tangaschool@yahoo.com JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA

More information

United Pentecostal Church June 2017

United Pentecostal Church June 2017 Kwa Nini Tusali? Jarida la Maombi ya Wanawake Kimataifa "Chagua" Ladies Prayer International kwa Facebook United Pentecostal Church June 2017 Tuko na wafuasi Facebook katika Marekani, Hong Kong, Philippines,

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa mabingwa itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Mkuu Inahitaji dhabihu. Unahitaji kujisukuma hadi mwisho wako. Lakini nakupa ahadi hii,

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA SOMO LA KWANZA UTANGULIZI KWA TORA For videos, study guides and other resources, visit Third Millennium Ministries at thirdmill.org. 2014 nathird Millennium Ministries Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

Ufundishaji wa lugha nyingine

Ufundishaji wa lugha nyingine CHUO CHA ELIMU CHA KIMATAIFA OFISI YA ELIMU YA KIMATAIFA Ufundishaji wa lugha nyingine Na Elizabeth B. Bernhardt ELIMU MAZOEA KITABU NA. 20 1 Chuo cha Elimu cha Kimataifa (The International Academy of

More information

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUHTASARI WA UTANGULIZI WA THIOLOGIA YA USHIRIKA WA NAFSI TATU ZA UUNGU. GRACE COMMUNION INTERNATIONAL LIVING AND SHARING THE GOSPEL MUNGU ANADHIHIRISHWA NA

More information

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College Theolojia 1 Ujumla Mike Taylor Semester 1 2014-2015 Munguishi Bible College MIKE TAYLOR 2014 THEOLOJIA 1 i THEOLOJIA Utangulizi! 1 1. Kumfahamu Mungu katika Injili! 3 1.1. Mawazo Makuu 3 1.2. Maana ya

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE Toleo 10 BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE UBATIZO WA MUUMINI Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa

More information

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ;II. -~ ~.! ~ l Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ~n.~ SURA YA KWANZA SHERIA YA ARDHI 1 UTANGULIZI Sura hii itaiangalia ARDHI na umuhimu wake katika maisha ya binadamu. Ardhi ni rasilimali

More information

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN KIONGOZI CHA SHERIA Hakimiliki 2008 Kimetolewa na: Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) Waandishi: wa Toleo la 5 Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau Toleo la 5: 2008 ISBN

More information

MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA

MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA KIGODA CHA TAALUMA CHA MWALIMU NYERERE MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA Yamekusanywa na kuhaririwa na: Bashiru Ally Saida Yahya-Othman Issa Shivji CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

More information

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Imechapishwa na: The Atlas Alliance Schweigaardsgt 12 SLP 9218 Grønland 0134 Oslo, Norway Simu: +47

More information

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Martha Qorro 1 1.0 Utangulizi Elimu ni suala la jamii ambalo mipango na taratibu zake zinahitaji kushirikisha wadau

More information

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT 1 Ushindi Ndani ya Kristo Na W. W. Prescott Mfasiri: M. Mwamalumbili Victory in Christ - Kiswahili 2 Yaliyomo Alinipenda Mimi Aliishi kwa ajili Yangu Mimi Alikufa

More information

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017 TAARIFA Agosti 2017 NGUO MPYA ZA UKOLONI Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika Jumuiya ya Jamii ya 2007: Wajumbe wanaadhamana Nairobi dhidi ya EPAs. SwissInfo Tangu mwaka

More information

Roho Mtakatifu Ni Nini?

Roho Mtakatifu Ni Nini? Roho Mtakatifu Ni Nini? kwa ajili ya mkutano. Mkutano huu utakuwa tofauti, kidogo na ile ya kawaida tunayokuwa nayo hapa. Kwa kawaida, kila wakati tunapokuja pamoja hapa, ni mkutano kwa wa kwa ajili ya

More information

ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO. Rais.

ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO. Rais. ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO 1.Mhe. Kamal Basha Pandu 2.Mhe. Ali Mzee Ali 3.Mhe. Shamsi Vuai Nahodha Naibu Spika/Jimbo la Rahaleo. Mwenyekiti wa Baraza/Uteuzi

More information

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma

More information

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23 Toleo X Toleo 23 WEWE NI NANI? (Habari ifuatayo ni hadithi ya mambo ambayo yamenakiliwa katika Matendo 19:10-20 SUV). Paulo mtume wa Yesu Kristo alihubiri katika mji wa Efeso kwa miaka miwili. Katika muda

More information

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 People Who Make A Difference Liberia: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia

Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 People Who Make A Difference Liberia: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 Title: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia Author: Stefanie Duckstein, HA Afrika/ Nahost Editor: Christine Harjes Translator: Tony Dunham Sound

More information

Makasisi. Waingia Uislamu

Makasisi. Waingia Uislamu 1 Makasisi Waingia Uislamu 2 KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU MAKASISI WAINGIA UISLAMU Yaliyomo 1. KASISI YUSUFU ESTES ALIYEKUWA MFANYABIASHARA WA KIKRISTO & MUHUBIRI (USA)...

More information

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha UTARATIBU WA KANISA Tumemaliza hivi punde ule mkutano mkubwa wa siku, tano usiku kwenye Maskani, ambapo, kwa neema ya Mungu na kwa msaada Wake, nimejaribu sana, kwa Maandiko, kuliweka Kanisa la Bwana Yesu

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MHESHIMIWA DKT. HUSSEIN ALI MWINYI (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2015/16 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika,

More information

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12 Human Rights Are Universal And Yet... Episode 07 Title : The right to food drought and famine in Ethiopia Author : Tedla Getachew Editor : Aude Gensbittel, Pendo Paul Translator : Anne Thomas Proofreader:

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen 1 Index latest update 26. feb. 2008 WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen Wafunaji wa nafsi ABC Mark 16:15-20 Huduma/uiinjilisti Wakristo wachache sana wameitikia mwito wa

More information

Mutugi Kamundi. Jemma Kahn. Kiswahili. Demane na pacha wake. Author - South African Folktale

Mutugi Kamundi. Jemma Kahn. Kiswahili. Demane na pacha wake. Author - South African Folktale You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na pacha wake Author - South African Folktale Adaptation -

More information

ORDER NO BACKGROUND

ORDER NO BACKGROUND In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND

More information

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

Elimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini...

Elimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini... Elimu Bora, lakini... Shukrani za dhati kwa wote waliotusaidia katika kutayarisha kijitabu hiki: Nsa Kaisi, Mshauri wa Rais, kwa mchango wake mkubwa wa mawazo Wafanyakazi wote wa HakiElimu 2003-2004 Many

More information