Tanzania, sasa kondoo anayesubiri kuchinjwa

Size: px
Start display at page:

Download "Tanzania, sasa kondoo anayesubiri kuchinjwa"

Transcription

1 facebook: Sauti ya Waislamu AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST (9) UOMBEZI WA MTUME(SAW) ISSN Na RAJAB 1436, IJUMAA, MEI 8-14, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Mtume(saw) amesema, Mwenye kuja kunizuru mimi kwa kutaraji ujira kwa Allah, basi mimi nitakuwa muombezi na shahidi wake (siku ya Kiama). Wahi sasa kuja kulipa ujihakikishie kuombewa na Mtume wako(saw). Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara: ; ; Zanzibar: ; ; Tanzania, sasa kondoo anayesubiri kuchinjwa Magazeti yanalitoa Jini katika chupa Polisi, JWTZ hawamuwezi subiani huyu Hoja ni afya ya muungano sio umri wake- Awadh Said MWAKA 1984 katika kuunusuru Muungano, ilibidi Serikali nzima ya Zanzibar iondolewe madarakani. Aliondolewa Rais Aboud Jumbe Mwinyi, Waziri Kiongozi wake Ramadhan Haji Faki na Baraza lake lote la Mawaziri. Mwanasheria Mkuu wa Serikali hiyo aliyekuwa Raia wa Ghana,Bashir Swanzy alitimuliwa nchini na kurejeshwa kwao. Orodha ya waliopata majeraha katika harakati za kuudumisha Muungano ni ndefu. (Soma Uk. 9) ZBIGNIEW Brzezinski. Soma Uk. 11 Serikali yetu inasikitisha! Watoto wetu wanafundishwa Imezoeya kulea matatizo Historia ya kughushi shuleni Wananchi wakikwama, nayo AWADH Said Inakwama katika namna mbaya WA T A N Z A N I A wamekwama, na wale ambao wanawategemea kuwakwamua nao wamekwama. Hii ndiyo hali inayowakabili Watanzania kwa sasa. Maisha yamezidi k u wa m a g u m u k wa o. Umeme ambao ndio nyenzo muhimu angalau ya kuwaongezea pumzi ya kuishi, nao hivi sasa umekuwa wa katakata, hauwasadii. Shilingi ambayo wanaifukuzia kula uchao, nayo imezidi kuporomoka thamani yake. Mfumuko wa bei umeshapiga hodi. (Soma Uk.12.) Ni kutokana na chuki za kidini Mzungu ageuzwa kuwa Muarabu Soma Uk. 6

2 2 S.L.P , Simu: Cel: , , , DSM. Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam Tunahitaji wasomi wenye kuutambua ulimwengu wa leo NDANI ya Katiba ya Mtume (s.a.w) akiwa mtawala wa City State ya Madina, moja ya mambo yaliyoelezwa, kufafanuliwa na kuwekewa misingi na kanuni, ni mahusiano ya waumini na wasio kuwa Waislamu, hasa Mayahudi. Nini haki zao na nini wajibu wao katika Dola ya Kiislamu. Ilikuwa ni Katiba iliyoweka mazingira ya kuishi kwa amani baina ya Waislamu wa kabila mbalimbali halikadhalika mazingira ya kuishi kwa amani baina ya Waislamu na Mayahudi. Haikuwa Katiba ya kuwatangazia ukafiri na azimio la kuchinjwa makafiri, muda wa kuwa hawajawashikia silaha waumini. Ilikuwa Katiba iliyotambua uwepo wa makundi yote na kuweka utaratibu wa namna yatakavyoishi kwa amani, pamoja na tofauti zao za kiimani (lakum diinu waliyadiin na ile kanuni kuwa hakuna kulazimishana katika dini). Hii ndiyo hoja ya msingi tunavyozungumzia tunapojibu madai ya wanaosema kuwa kuwa na Katiba ni ukafiri. Kwa bahati mbaya kabisa, wengi wa watu wetu ile tu kutambua hoja inayozungumziwa, imekuwa mtihani kidogo. Yupo msomaji wetu mmoja, kama ni kutajirisha kampuni za simu za mkononi, inawezekana anaongoza kwa wiki hii. Katutumia ujumbe wa kutosha, zinapishana meseji kila baada ya sekunde akijitahidi kuonyesha ukafiri wa Katiba na Demokrasia. Lakini ukafiri wenyewe anaonyesha madhaifu yaliyomo katika Katiba ya Tanzania. Kama kwa mfano Katiba ya Tanzania itasema kuwa inatambua ushoga kuwa ni haki ya mtu, huwezi kusema kuwa, Katiba yenyewe ni haramu, haifai kuwa nayo. Huko ni kuchanganya mambo. Tunachosema ni kuwa kama ambavyo Mtume (s.a.w) alitambua umuhimu wa kuwa na kanuni za msingi kuongoza jamii, Qur an ikiwa pale kama Mwongozo, ndivyo ambavyo jamii yoyote duniani, lazima iwe na Sheria Mama ya kuongoza nchi. Sasa kama Waislamu wameshindwa kuwa makini, wamekuwa wazembe, waoga na dhaifu, kiasi cha kuruhusu mambo yaliyo kinyume na Uislamu kuingizwa katika Katiba ya Tanzania, haifanyi kuwa dhana ya kuwa na Katiba ni jambo haramu. Waislamu ndio wanatakiwa wajiulize, walikuwa wapi Katiba ikaingiza mambo yaliyo kinyume na Dini yao. Mbona Wakristo walichachamaa wakazuiya suala la Mahakama ya Kadhi kuingizwa katika Katiba. Mbona walichachamaa na kuzuiya OIC! Sasa kama ni haramu, basi haramu itakuwa udhaifu wetu Waislamu. Jambo la pili ambalo tungependa kulikariri mara kwa mara ni kuwa ulimwengu wa sasa hivi ni wa utandawazi. Ukafiri umekuwa ni wa kidunia kama ambavyo Uislamu unatakiwa uwe Tahariri/Habari ni wa kidunia. Wakati makafiri wamejizatiti na kuwa wamoja katika ukafiri wao, Waislamu wametupwa mbali sana katika hilo. Na kwa bahati mbaya, linapoibuka jambo la Waislamu ambalo linatakiwa kuwa na msimamo wa pamoja, hata zinazoitwa nchi za Waislamu huwa katika kundi la makafiri na kujumuishwa katika, kwa mfamo kuipiga nchi ya Kiislamu. Katika hali hiyo, huwezi leo wewe ukadhani utapambana katika jiji chako, mji wako au nchi yako usimamishe Dola ya Kijiji cha Kiislamu, Dola ya Mji wa Kiislamu au Dola ya Nchi ya Kiislamu halafu ulimwengu wa kikafiri ukutizame tu. KWA hakika, tukiyaangalia mambo kwa kina kirefu, zama za leo siyo tofauti sana na zile zilizotajwa katika Hadithi Tukufu ya Mtume wa Mwenyezi Mungu. Dini ya Uislamu imekuwa ngeni, ufisadi na vurumai kila mahali. Sunna ya Mtume wa Mwenyezi Mungu imepotoshwa na Uislamu umefungiwa ndani ya Misikiti. Kweli kabisa, hata mimbari nyingi za Misikiti yetu haziwakilishi Uislamu. Kwa upande mwingine, nguvu za mabeberu kwa kushirikiana na watawala wa nchi zetu, zimeendesha vita kali dhidi ya Uislamu. Katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita, mikakati ya vita hii ilianza kwa kuipaka matope dhana ya Kiislamu ya Jihad. Na sasa wanajaribu kuifuta kabisa dhana ya Dola ya Kiislamu kwenye vichwa vya Waislamu. Mtume wa Mwenyezi Mungu amesema: "Uislamu ulianza kama mgeni, na utarudi ukiwa mgeni kama ulivyoanza..." Kwa hakika, tukiziangalia zama za leo, hazina tofauti sana na zile zilizotajwa kwenye Hadithi Tukufu ya Mtume. Uislamu Sasa unapozungumzia Jihad ya kusimamisha Uislamu, ni lazima uyazingatie yote hayo. Je, umewekeza kiasi gani katika kuandaa umma wa kupigania na kuihami hiyo Dola ya Kiislamu? Tunavyoona sisi, kuna mambo mengi ya msingi ambayo kama umma wa Kiislamu tunatakiwa kuyafanya, lakini hatupo tayari. Tunajidanganya kuwa umma upo tayari na Mujahidina wapo tayari, tukitangaza tu, Dola itasimama. Tunataka kuvuna tusichopanda. Lakini baya zaidi, pengine kwa makafiri kujua kuwa kuna ujinga mwingi miongoni mwetu, sasa wanatutumia katika yao, huku sisi tukijiaminisha "Allah amewaridhia, nao wamemridhia.." Said Rajab leo umekuwa mgeni kabisaa duniani! Lakini hata hivyo, Mwenyezi Mungu ashukuriwe sana! Hisia miongoni mwa Waislamu kwamba Uislamu unashambuliwa, kwa mara nyingine tena, imewaunganisha Waislamu na kuwafanya wajitambue zaidi. Waislamu sasa wanajaribu kuuhuisha tena Uislamu na kusafisha matope yaliyopakwa kwenye fikra zake karne nyingi zilizopita. Wanataka kuurejesha mti wa Uislamu kwenye heshima yake ya awali. Waislamu wako njiani kuelekea tena kuwa Umma bora, ambao utaifanya Itikadi ya Kiislamu kuwa juu ya Itikadi zote. Hata hivyo, hii siyo kazi rahisi. Kwenye njia hii, kuna ugumu na mitihani mingi. Vipi Makafiri wanaweza kuvumilia kusimamishwa tena Uislamu duniani, ambao walifanikiwa kuusambaratisha kwa gharama kubwa? Leo, Muislamu yeyote duniani, anayesimamia wito huo, mahali popote alipo, nguvu ya Makafiri itamuandama na hatimaye atafungwa mdomo kabisa. Kama kuzungumza, basi azungumzie udhu, talaka, kuoga janaba, kufanyia watoto Hakika, Khitma, Maulid, kuosha maiti, (tukijidanganya) kuwa tunapigania Dini. Hili nalo limekuwa msiba mkubwa kwa Waislamu kwa sababu ndio kafiri analitumia hivi sasa kuwatangazia Waislamu ugaidi na kuwa sababu ya kuwapiga na kuwafitinisha kuuwana wenyewe kwa wenyewe kama inavyotokea Syria hivi sasa. Kwa hakika kuna haja kwa wasomi wa Kiislamu kukaa kitako na kutafakari kwa kina hali ya ulimwengu ilivyo hivi sasa na kuweka mipango inayoweza kuleta manufaa kwa Waislamu. Vinginevyo tukienda hovyo kama ilivyo hivi sasa, tutabaki kupiga porojo za kuwatangazia wengine ukafiri, na haitatusaidia kitu. umuhimu wa kupiga mswaki, basi! Kwa hiyo, Muislamu yeyote anayejaribu kuutekeleza Uislamu kama Itikadi na Mfumo wa Utawala, basi atakuwa mgeni katika ulimwengu huu, kama alivyosema Mtume wa Mwenyezi Mungu. Leo hii, mwanaharakati wa kweli wa Kiislamu lazima ajiandae na ukweli kwamba anahitajika kwenda kinyume kabisa na mwelekeo wa jamii yake. Yale masuala ambayo siyo muhimu mbele ya Mwenyezi Mungu, ndiyo yamefanywa kuwa muhimu. Tena ndiyo hasa msingi wenyewe wa maisha yetu. Lakini yale masuala ambayo ndiyo ya kufa na kupona yanachukuliwa kuwa siyo muhimu. Hiyo ndiyo athari ya Mfumo wa Kibeberu ambao umetekelezwa kwenye Ulimwengu wa Waislamu kwa miongo mingi iliyopita. Hiyo ndiyo sababu utawakuta Waislamu katika nchi za Waislamu wanahangaikia dunia tu. Watu wanaonekana kufanikiwa ni wale wenye maisha mazuri ya hapa duniani. Wanaharakati halisi wa Kiislamu, ambao walifanikiwa kusimamisha Sheria ya Mwenyezi Mungu katika ardhi, waliipa kisogo Inaendelea Uk. 3

3 3 Na Bakari Mwakangwale IMEELEZWA kuwa, Tanzania imekuwa na idadi ndogo ya Mahujaji wanaojisajili kwenda kufanya Ibada ya Hijja nchini Saudia Arabia, ikilinganishwa na idadi waliyopangiwa ya Mahujaji 25,000 mwaka Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Taasisi za Hijja Tanzania (TAHAFE) Dk. Ahmed Twaha, akiongea na An nuur mapema wiki hii na kuzungumzia yaliyojiri katika kikao chao na Wizara ya Hijja nchini Saudia Arabia, Februari 8-21, Dk. Twaha, alisema lengo la mkutano huo lilikuwa ni kutathmini kwa pamoja mafanikio na changamoto za utekelezaji wa ibada ya Hijja kwa mwaka 2014 (1435 Hijiria), sambamba na kupata utaratibu wa maandalizi ya Hijja ya Mwaka 2015 (1436 Hijiria). Changamoto kwa upande wa Tanzania ni kwamba tumekuwa na idadi ndogo ya Mahujaji wanaojisajili ikilinganishwa na idadi tuliyopangiwa (HISA), ambayo ni takriban Mahujaji 25,000. Kwa hivi sasa Tanzania hatujafikia zaidi ya asilimia ishirini (20%) ya HISA tulizopangiwa. Hata hivyo mwaka huu tumepewa idadi ya HISA 3,000 kwa Tanzania nzima. Alisema Dk. Twaha. Aidha alisema, katika Hijja ya mwaka huu 2015 (1436 Hijiria), jambo la kuzingatia kwa Mahujaji watarajiwa ni kuhakikisha wanaanza kujiandikisha mapema iwezekanavyo katika taasisi zao wanazozipenda, ili wasishindwe kufanya ibada kwa sababu ya kuchelewa kujiandikisha. Natoa wito kwa Mahujjaji wote watarajiwa, tujisalili Habari Wanaokwenda hija wachache Ni ikilinganishwa na kiwango kinachotolewa na Saudia MSIKITI wa Mtume (s.a.w.) Masjid Nabawwi, Madina Saudi Arabia. mapema katika Taasisi zetu kwa kila mmoja ile anayoipenda kabla ya Mfungo wa mwezi wa Shaaban 20, sawa na Tarehe 10, 2015, ili kufanikisha hijja kama ilivyokusudiwa. Alishauri Dk. Twaha. Aliwatanabasha Mahujaji hao watarajiwa kuwa wanatilia mkazo kuwa utaratibu na mpango wa kujiandikisha kupitia kimtandao ni endelevu kwa kila mwaka, kwani nchi za Asia na za Magharibi, wanaendelea na utaratibu huo kwa siku nyingi. Akitoa mwongozo kwa Taasisi mbalimbali zenye jukumu la kusafirisha Mahujaji humu nchini, alisema kila Taasisi ni lazima Mahujaji wake wasajiliwe na kuingiza taarifa za Hujaji kulingana na Hati zao za Kusafiria kupitia Mtandao, kabla ya Juni 10, 2015 ( Shaaban 20, 1436). Alisema, hatua hiyo inalengo la kuwawezesha Mahujaji kupata huduma stahili ikiwemo VIZA, na kwamba malipo ya huduma stahili yanapaswa kupitia Benki zilizoanishwa na Wizara ya HIJJA, Saudia Arabia. Taasisi zote zinatakiwa kufunga mikataba rasmi ya huduma zote za Makazi, Chakula na Usafiri kupitia mtandao kwa Mawakala, Mashirika na Makampuni yaliyosajiliwa na Wizara ya Hijja nchini Saudia Arabia. Alisema. Dr. Twaha, alisema Taasisi itakayoweza kutekeleza hayo na kuthibitishwa ndiyo itakayoruhusiwa kupeleka Mahujaji kwa mwaka huu, 2015, ambapo alisema kwamba safari za Hijja zinatarajiwa kuanza rasmi, Agosti 16,2015. Alisema, Taasisi hizo pia zinatakiwa kuwapima afya Mahujaji watarajiwa mapema mwanzoni mwa mwezi Agost, 2015 au kabla ya hapo sambamba na kujaza fomu maalum zitakazotolewa na BIITHA kisha kuingizwa kwenye mtandao. Alisema, ni jukumu la Taasisi kuhamasishaji na kuelimisha Waislamu nchini kufahamu umuhimu wa Ibada ya Hijja na Umra ikiwa ni moja ya nguzo 5 za Kiislamu. "Allah amewaridhia, nao wamemridhia.." Inatoka Uk. 2 ambavyo visipopatikana, Dini ya Mwenyezi Mungu, dunia na raha zake. Wao basi malipo hayapo. ili nasi tukamilishe zaidi waliangalia malipo Inahitajika kujitoa, jukumu hilo kupitia ya Akhirah. Waislamu umakini, Ikhlasi na 'focus' mfano na mwenendo kama hawa ukiwaambia kama walivyokuwa wao. Mara zote Masahaba Masahaba wa Mtume. waliuelekea Uislamu na kuhusu dunia na raha Tabia na mwenendo wa wala hawakujiweka nyuma zake, wanahisi hukumu Masahaba wa Mtume wa kwa sababu ya kuogopa za Kiislamu, mahitaji Mwenyezi Mungu, lazima changamoto na mitihani yake, Sunna ya Mtume na vizingatiwe kikamilifu kwa kutoka kwa maadui. mwenendo wa masahaba, kuwa hili ni kundi la watu Jambo la msingi kwa vyote vimekuwa vigeni! ambao Mwenyezi Mungu wanaharakati wa leo Masahaba wa Mtume mwenyewe amelithibitisha kutambua ni ukweli wa Mwenyezi Mungu ndani ya Qur'an kutokana kwamba mazingira ya sasa walipokuwa katika na Imani yao, Ikhlasi, Subira ni tofauti sana. Kwa mtu mazingira ya kuchagua na Uvumilivu. Mwenyezi muaminifu na muadilifu, kati ya Dini na dunia, basi Mungu anasema: kujipatia kipato kwa njia za wakati wote walichagua "Na wale waliotangulia halali inazidi kuwa jambo Dini ya Mwenyezi wakawa wa kwanza gumu. Mifumo iliyowekwa Mungu. Mujahidina hawa katika (Uislamu) - imefungua milango kwa walichukulia suala la Muhajiri na Ansari, na taratibu ambazo mtu unalazimishwa kujipatia wale waliowafuata kwa kueneza na kusimamisha riziki kwa njia za haramu! mwendo mzuri - Mwenyezi Uislamu kama lengo la Watawala wa nchi zetu Mungu atawapa radhi nao maisha yao hapa duniani. wanatekeleza sera za Benki wamridhie (kwa hayo ya Dunia na Shirika la Insha-Allah, Waislamu mazuri atakayowapa) na Fedha la Kimataifa IMF, waliochagua kuishi kama amewaandalia Mabustani ili kufanya maisha ya wageni katika hii ardhi yapitayo mito mbele yake, wananchi yawe magumu na wakazipa kisogo wakakae humo milele. zaidi. Lakini hata hivyo, raha za dunia, ikiwa ni Huku ndiko kufuzu mipango yao isiwafanye pamoja na kufanya juhudi kukubwa" Qur(9:100) wanaharakati wapoteze za kusimamisha Dini ya Ni muhimu sana kwetu msimamo wao. Shetani kusoma kwa makini Allah, Mwenyezi Mungu maisha ya Masahaba asibadili vipaumbele vyao atawalipa. Lakini malipo ambao pamoja na Mtume vya Kiislamu na kuwafanya haya yana vigezo vyake waliweza kusimamisha waisujudie dunia.

4 4 Na Rashid Abdallah MANENO yangu ni kama mwango. Mwango ni sauti ya pili baada ya sauti ya kwanza ambayo ni halisi kutoka na kusikika, sasa ukisikia sauti ya kwanza imeshatoka lakini kuna sauti ya pili ambayo inafanya kurudia ile sauti ya kwanza, basi huo ndio mwango. Maneno yangu ni mwango kwani narudia tu yale ambayo yameshasemwa na yanasemwa, na wanasiasa, viongozi wa kidini, wananchi wa kawaida na kila mtu anayejua ubaya wa muungano huu. Tuendelee! Wacha moshi ufuke, harufi itande, ongeza na ubani, kisha waalike wazee wa pande zote za Zanzibar, tunataka tusome dua ili maadhimisho ya Muungano wa aina hii yawe ndio mwaka wake wa mwisho huu. Tukiwa tunaikumbuka siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, pia tunaikumbuka kuwa ni siku ambayo Zanzibar ilitiwa kitanzi cha roho na ndio ulikuwa mwanzo wa kutojiweza, hadi leo kamba za kukosa uhuru kamili zimekaza bara`bara. Sasa upo ugumu wa kujinasua, kwani wanaotaka mamlaka kamili inaonekana ni kana kwamba ghafla wamekuwa wahaini! Sasa kuna kila hali ya kutetea mfumo wa Muungano uliopo, hata wakati mwengine wanatumia njia haramu kuhakikisha muungano unaendelea kubaki kama Ni nchi ya Wazanzibari sio ya wana-ccm, CUF RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein. ulivyo. Na malengo yao hasa ni kuelekea serekali moja. Huko ni kuelekea kubanwa zaidi. CCM bado wao wanataka serekali mbili kuelekea moja, maana yake tunatoka kwenye umasikini tunaingia hatua nyengine ya kuwa mafukara. Ikiwa hapa tulipo hali ni mbaya kwenye serekali mbili, vipi tukielekea serekali moja, hali si itazidi kuwa mbaya? Ulevi wa madaraka si mwema, inaumiza kiongozi au viongozi wanapolewa hata wakadhani kuwa kuna mtu aliwauzia nchi wanayoiyongoza na wala si mali ya wananchi waliowaweka madarakani. Baada ya kuamini hivyo wanaanza kuamua kana kwamba wako peke yao, na maamuzi yao ndio ya mwisho na wala hakuna anayepaswa kuleta fikra mpya. Viongozi wakifikia kuamini hivyo, huo unakuwa ni wakati mgumu sana kwa waongozwaji. Baadhi ya nchi zinaonekana ni kama mali za urithi, viongozi walirithishwa kutoka kwa wakoloni, hawana hata nia ya kuondoka sio kwa nguvu lakini hata kwa kutumia katiba MAKAMU wa kwanza wa Rais Zanzibar, Seif Sharif Hamad. ambayo walishiriki wenyiwao kuiweka, hilo halipo hapa petu lakini lipo Afrika, lililopo kwetu ni viongozi kupuuza matakwa ya wananchi na kuhesabu sera ya chama chao kuwa ndio muhimu zaidi. Sera za Chama zinapokwenda kinyume na matakwa ya msigi ya wananchi, unadhani kweli chama hichi kitakuwa kipo kwa sababu ya wanachi? Unajua kuwa mfumo huo hauna faida lakini bado tu umo umo kwa kuwa unapata tonge. Matatizo ya Zanzibar mengi yanajulikana, na matatizo ya Zanzibar anayeyajua hasa ni wananchi wa nchi hiyo. Wao ndio wanajua kwa siku wanapata pato gani, mlo wao unakuwaje, lipi ni tatizo la kudumu katika maisha yao, kiufupi wao ndio wanapitia hali hizo zote. Iwapo utawakatalia lile ambalo wao wanahisi dio litaleta unafuu katika maisha yao huko kutakuwa ni kuwaonea. Na wala haitokuwa ndio munawapenda na kuwatendea haki. Sera za nyumbani kwako zitofautiane na za kazini, pia sera za Chama chako zisikinzane na matakwa ya watu wote. Muungano huu wa MAKAMU wa pili wa Rais Zanzibar, Balozi Idd Seif. sasa umepigiwa kelele nyingi mno, wasomi na wasiokuwa wasomi pia, hata hali ya kimaisha tu inamuonesha mtu kuwa kuna mapungufu katika jambo fulani. Sera za CCM Zanzibar zinakinzana kwa kiasi kikubwa na matakwa ya msingi ya watu wa nchi hiyo. Na ndio tatizo linalowakabili Wazanzibari wanaotaka mamlaka kamili, kwa CCM hakuna mabadiliko ambao wao wanayataka. Hata ukiwaeleza kwamba tuwe huru zaidi ya hapa tulipo kwao wao haliingii akilini. CCM kama chama tawala bado hawajataka Zanzibar kuwa huru, wao ndio wameshika mpini mukizingua wanawaweka ndani, au vigongo vya kutosha kutoka kwa vyombo vyao vya dola. Huenda kunahitajika wataalamu wa saikolojia, ili waende kutoa matibabu kwa wahafidhina kuwa zama za kutawaliwa zimepita. Pengine kutawaliwa na Muingereza na Mreno kumeleta athari hata za kisaikolojia kwa baadhi ya watu ndani ya Zanzibar. Mtu hawezi tena kuishi bila ya kutawaliwa, ni kama mvuta sigara asiyeweza kuacha tena. Ikifikia hatua mvuta sigara hawezi kuiacha, basi tunaweza kuwatafuta wataalam wakatusaidia. Nadhani pia tupate wataalam wa kueleza athari za kutawaliwa, wapo watu wamelala, akili zao zimeathirika na ukoloni wa Muigereza. Muandishi wa mashairi na hadithi, Michael Bassey Johnson anasema usizungumze uwongo ili upendwe, ni bora kusema ukweli na ukachukiwa Hata wale ambao wanazungumza ukweli kuhusu kanuni mbovu za chama cha CCM wanaishia kufukuzwa, lakini ni ubora kama alivyosema Michael kuwa bora tu useme ukweli, na ndio jambo la msingi, usijali na wala usiumie kipi kitatokea kwa kusema ukweli la msingi ni kuuweka wazi. Faida zilizopo za Muungano kwa Zanzibar ni kama kuuza nazi za elfu kumi, ukakosa hata mtaji. Hasara ni nyingi kuliko faida, lakini kwa wale ambao unawapa faida, hasara zake kwa wananchi wa kawaida wanajifanya hawazioni. Naamini uchaguzi mkuu huenda ukawa ndio suluhisho la Muungano kwa upande wa Zanzibar, naamini huu ndio utakuwa mwaka wa mwisho kusherehekea aina hii ya Muungano. Upepo wa mabadiliko unavuma kila kona ya visiwa vya Zanzibar, na kengele pia zimeshalia. Ni nchi ya watu wa Zanzibar na wala si nchi ya chama chochote kile. Nafsi zinazoamini kuwa utumwa ndio uhuru basi waamke na waungane na wenzi wao kudai mamlaka huru ya Zanzibar. Sogeza kietezo cha udongo, weka na makaa ya moto ya kutosha, mwaga na ubani tunyanyue mikono juu, wacha moshi utande na hewa unukie. Inshallah wa Jango mbe, Micheweni, Wete, Kizimkazi na maeneo mengine tumuombe Allah azifanye kumbukumbu hizi za Muungano wa aina hii ziwe ndio za mwisho, tena kwa amani kabisa.

5 5 W A K A T I mashambulizi ya ndege za kivita za Saudi Arabia na washirika wake ikiwemo Marekani na Israel yakiendelea nchini Yemen, vyombo vya habari vimefichua kuwa Washington ilificha siri kwa miaka mingi juu ya kuwepo kisima kikubwa zaidi cha mafuta duniani nchini Yemen. Televisheni ya Sky News imethibitisha taarifa hiyo na kuongeza kuwa, serikali ya Marekani ilishirikiana na serikali zilizopita nchini Yemen katika Habari za Kimataifa Siri kubwa ya vita Yemen yafichuka Mabeberu wamezea mate kisima cha mafuta Ni kikubwa zaidi duniani. Hakuna mfano wake Kiligunduliwa siku nyingi ikawa siri ya Marekani Rais kibaraka akaambiwa asiseme kwa wananchi kuficha siri hiyo. Kwa mujibu wa habari hiyo, Washington iliitaka serikali ya Ali Abdullah Saleh na ile ya Abd Rabbuh Mansur Hadi, kutotangaza kwa wananchi taarifa ya kuwepo hazina hiyo kubwa ya mafuta duniani. Inaelezwa kuwa kisima hicho cha mafuta kinaanzia Saudia na baadhi ya sehemu za Iraq huku sehemu kubwa zaidi ikiweko nchini Yemen na kwamba, Washington ilifanya njama kubwa kuhakikisha kuwa wananchi wa Yemen hawapati taarifa hiyo. Imeelezwa kuwa kufuatia kubainika kwa siri hiyo, Weledi wa mambo mbali na kukosoa hatua hiyo, imeleta shaka kubwa kwamba hata mashambulizi ya Saudia na Marekani dhidi ya taifa hilo ni njama za kujaribu kuwazuia Wayemen kufaidika na utajiri huo wa mafuta. Hii ni katika hali ambayo ndege za utawala wa al Saud, zikiendeleza mauaji ya umati nchini Yemen huku raia wasio na hatia wakiathirika zaidi na mashambuklizi hayo katika maeneo tofauti ya nchi hiyo. Hizbullah wahakikisha usalama wa Lebanon WANAMGAMBO wa Chama cha Hizbullah nchini Lebanon wamefanikiwa kudhibiti eneo la al-qalamuni linalotenganisha nchi ya Syria na Lebanon, kutoka kwa wanachama wa kundi la Kiwahabi. Taarifa iliyotolewa na Hizbullah imesema wanaharakati hao wamedhibiti eneo hilo bila mapigano yoyote kutoka upande wa pili uliokuwa katika eneo hilo. Kwa mujibu wa Shirika la habari la Reuters, imeelezwa kwamba wiki iliyopita jeshi la Lebanon lilitangaza kuhusu mpango wa kuanzisha operesheni kali ya jeshi kwa kushirikiana na wanamgambo wa Hizbullah, dhidi ya magaidi waliopo katika maeneo ya mpakani kati Syria na Lebanon. Taarifa zinaeleza kuwa kufuatia kuenea taarifa za mpango huo, hatimaye magaidi hao walipata wasiwasi na kuondoka eneo hilo la al- Qalamuni na kukimbilia maeneo mengine usiku wa kuamia Jumamosi wiki iliyopita. Habari zinaeleza kuwa, vikosi vya Hizbullah vimechukua udhibiti wa eneo hilo baada ya waasi hao kutoroka usiku wa Wadhibiti eneo la al-qalamuni kuamkia Jumamosi wili iliyopita. Chama cha Hizbullah kimesisitiza azma yake ya kudhibiti maeneo yote muhimu ya nchi kutoka kwa makundi ya Jab hatu Nusra na Daesh. Kwa upande mwingine, jeshi la Syria nalo limepeleka askari wengi katika maeneo muhimu ya miinuko WANAMGAMBO wa Chama cha Hizbullah ambao wamekuwa ni ngome ya Lebanon. ya mji wa al-zabadan, karibu na mpaka wa Lebanon kwa lengo la kuwaangamiza wale iliyowaita kuwa ni magaidi katika maeneo hayo.

6 6 Tanzania na Propaganda za Udini Profesa Ibrahim Noor Shariff TANZANIA ni nchi iliyojaaliwa kuwa na utajiri mkubwa wa maliasilia na hali ya hewa ya wastani yenye kupendeza, mvua zinazonyesha na kustawisha miti, mito na maziwa ya maji safi, ardhi pana za kulimia zenye rutuba, misitu mikubwa, mbuga zenye wanyama mwitu wengi na bahari yenye samaki wa kila aina. Katika maliasilia kuna migodi ya maadini kutoka dhahabu hadi almasi na tanzanite. Hali kadhalika ni nchi inayosifika duniani kwa usalama na kwa Serikali inayojinata ulimwenguni kuwa haina dini na kuwa inazihishimu dini zote bila ya mapendeleo. Lakini, kwa sababu ya nguvu na sauti kubwa walizonazo Wakristo wenye msimamo mkali wa udini, tunashuhudia kuwa Serikali imelazimishwa kuwa na mapendeleo makubwa kwa watu hawa na msimamo wao mkali dhidi ya Uislamu na Waislamu. Hii ni khatari kubwa inayoisukuma Tanzania mahala pabaya sana. Katika kitabu hiki tutaonesha waziwazi kadiri gani Serikali ya Tanzania imeachilia siasa za huo msimamo mkali wa udini dhidi ya wananchi wa Kiislamu kutapakazwa mpaka katika shule bila ya kizuwizi chochote. Tokea Waislamu walipokuwa wananung unika pembeni mpaka imefika hadi ya kulalamika hadharani. Kama hawa wachache wenye nguvu za dola wenye msimamo mkali wa udini wataachiliwa waendelee kutapakaza sumu za siasa zao dhidi ya Waislamu, na Serikali itaendelea na mwendo wa mbuni wa kuyafumbia macho mambo haya ambayo ni ya khatari iliyoikabili nchi, basi tusistaajabu tukija kushtukia vita vya maneno kugeuka ghafla na kuwa hali mbaya baina ya wananchi wa dini hizi mbili kubwa kama ilivyokwisha kutokea na vinavyoendelea kutokea katika nchi mbalimbali ulimwenguni. Mambo ya dhulma hayawezi kuendelea, lazima patatokea mripuko iwapo hapatatokea wenye busara na uadilifu watakaoyaondosha haya kwa upesi sana; na kama haya niliyoyaelezea kwa mukhtasari juu ya hali ya udini iliyotanda Tanzania na khatari zake hayakutwangi akilini mwako, basi endelea kusoma asaa ukaelewa. Kwa muda mrefu sana nimekuwa nasikiliza na kusoma madukuduku ya Waislamu Tanzania na mijadala baina yao na Wakristo, na kutokana na haya nikawa ninajadiliana baina yangu mimi na nafsi yangu nini cha kufanya. Mimi nilikuwa najiambia kuwa hii khatari unayoiona iliyoikabili Tanzania isikushughulishe kwani huna uwezo wa kubadilisha chochote, maana Watanzania wameshaingia katika vita vya maneno na hawana budi mwishowe watoane roho. Kwa upande mwingine, nafsi yangu inaniambia kuwa ni dhambi kubwa kumwona mtu anaelekea kutumbukia shimoni na ukanyamaza kimya usimtahadharishe na khatari na maafa yaliyomkabili, na kama utasikilizwa au utapuuzwa hayo si yako wewe tena maana umeshatimiza wajibu wako wa kutahadharisha. Wala kuwa katika watakaokusoma wako watakaokupigia makofi na kutaka upewe tunza kubwa na pia kuna watakaokushambulia vikali sana na kutaka utokomee, haya pia si yako tena na yasikushughulishe. Iwapo Yesu aliyekuja na ujumbe wa salama na amani walimtenda waliyomtenda, wewe ni nani mbele yake? Basi timiza wajibu wako. Katika kitabu hiki tutaonesha wazi kabisa mifano ya propaganda za siasa kali za udini zenye mwelekeo wa Vita vya Msalaba zilipoanzia na kupaliliwa, lakini hatutayajadili sana maandishi ya kipropaganda yaliomo vitabuni na kwingineko, kwani haya yatahitajia kuandikwa kitabu kingine. Tutazungumzia zaidi kukhusu picha ambazo nyingi si za kamera bali ni za ubunifu wa kuchora. Picha ambazo zimo katika vitabu vya shule za Tanzania zinazotumiwa kusomeshea vijana historia yenye ukweli finyu na mengi yasiyokuwa ya kweli kwa lengo la kupalilia fitina dhidi ya Waislamu na dini yao. Wavyele wetu hawakukosea walipotuachia msemo usemao, kuona si kusikia kwani picha aghlabu huacha athari kubwa zaidi katika bongo za watazamaji kuliko maelezo ya jambo hilohilo, khasa picha hizo zikionesha waziwazi ukhabithi hata ukiwa unatokana na ubunifu wa kipropaganda wa mchoraji na hauna msingi katika matokeo ya kweli. Na hivi ndivyo propaganda zinavyofanya kazi kubwa khasa katika bongo za vijana wadogo shuleni. Halikadhalika, hawakukosea wavyele wetu waliponena, udongo upatilize uli maji. Mimi binafsi nashindwa kuelewa vipi Serikali ya Tanzania, ambayo inajinata ulimwenguni kuwa haipendelei dini yoyote bali inazihishimu dini zote sawasawa bila ya mapendeleo, ikafika hadi ya kuwaachilia wachache wenye msimamo mkali wa udini kutapakaza sumu zao kali za kipropaganda mpaka shuleni! Hii ndiyo sababu moja ya kukiandika kitabu hiki. Natumai baada ya wahishimiwa wakhusika kunisoma kwa makini niliyoyaandika watachukua khatua za busara, haki na uadilifu na kuyaondosha yote yale yasiyokuwa na ukweli pamoja na yale yaliyokuwa na ukweli finyu na uwongo mwingi na pia yenye fitina za kipropaganda zilizotopea dhulma na khatari. Tuombe kuwa wakhusika hao hawatakuwa katika washiriki ambao wanaipendelea Tanzania izidi kutekwa na wenye siasa kali za udini zinazoitokomeza Tanzania kubaya. Ninaelewa fika kuwa wenye siasa kali za udini hawatakubali kwa urakhisi kuuwacha mwendo wao muovu na tusistaajabu wakifika hadi ya kunishambulia mimi binafsi. Mkiyaona haya yanatokea, basi juweni kuwa hiyo ni alama kubwa ya kuwa watu hao ni muflis wa hoja na kweli hawaitakii amani Tanzania, kwani ni wapungufu wa akili na hawana mapenzi ya kweli na Tanzania. Tanzania haikukumbwa na siasa kali za udini tu peke yake, bali imekabiliwa pia na siasa chafu za ugozi, yaani kumbagua mtu kwa sababu ya asili yake. Tutaelezea na kuyanakili maneno yao wenyewe magogo wa siasa wa Tanganyika ambao hutapakaza chuki za ugozi zinazopalilia fitina baina ya Wazanzibari ili wapate kuendelea kuitawala Zanzibar vizuri ili, hatimaye, waimeze kabisakabisa na kuigeuza Zanzibar mkoa wa Tanganyika; na kwa mujibu wa kauli zao wenyewe, sababu yao kubwa ni kuwa Zanzibar ina Waislamu wengi sana; na ni huo Uislamu wao Wazanzibari ndilo jambo kubwa linaowachukiza wenye siasa kali za udini. Kwa hivyo tutaigusia mada hii na kuonesha kadiri ya athari zake zilivyokuwa mbaya kwa watu wa Zanzibar na nchi yao. Kwa dasturi yangu huwa sipendi kuzungumza juu ya ukabila ila pale ninapoona kuwa haki za watu fulani zinadhulumiwa kwa siasa chafu za ubaguzi. Tutaonesha humu vipi uonevu huu na dhulma za siasa za kigozi zilivyotumiwa vibaya Zanzibar hata ikafika kuuwawa bure watu wengi sana wasiokuwa na hatia yoyote kwa sababu ya kutokana na asili fulani; pia watu wengi wameuwawa kwa sababu walikuwa wanachama wa vyama vya Zanzibar Nationalist Party (ZNP) na Zanzibar and Pemba People s Party (ZPPP). Hivi karibuni tumeshuhudia maradhi haya yalivyomwagwa hata katika Bunge Maalumu la Katiba. Yale ya wananchi kubaguliwa, ambayo ni wajibu yakemewe vikali sana, yamekuwa yanapaliliwa na kupigiwa makofi na wanasiasa waovu. Pengine kuna watakaopendelea kuujua msimamo wangu wa imani umeelekea wapi? Mimi ni Mwislamu mwenye kuamini Mungu Mmoja na tokea utotoni mwangu, waalimu wangu vyuoni na skuli na wazee nyumbani wamenifunza kuwa Wakristo na Mayahudi wameteremshiwa Vitabu kutoka kwa Mwenyezi Mungu huyo huyo Mmoja, na wameteremshiwa Mitume wa kuwafundisha watu maagizo yake; hivyo basi, wote wanaofuata maagizo ya Mwenyezi Mungu sawasawa ni ndugu wa kiimani, na huu ni udugu mkubwa zaidi kuliko wa kidamu au hata wa kudai wanafuata dini moja huku hawafuati amri na maagizo yake Mola Mkwasi. Kuna watu wema wanaofuata dini zao sawasawa na pia kuna watu waovu ambao hudhania kuwa wanafuata amri zake Mola wetu, lakini kwa kweli ni wafuasi wa mafunzo ya Sheitani. Watu wema ni watu wema wawe wa dini yoyote na watu waovu ni waovu wawe wa dini yoyote ile. Kama watu wema wenye kupendelea viumbe wenzao mema hawashikamani, basi waovu wenye kumfuata Shetani watashinda na watatawala. Pili, nimekulia na kuishi zaidi Shangani, Unguja ambako tulikuwa na majirani wengi wa Kigoa ambao walikuwa Wakristo na pia Wahindu na Maparisi na Wasiloni (Wasrilanka) na wengineo wenye dini mbalimbali. Tukicheza pamoja na kuingia nyumbani mwetu na nyumbani mwao bila ya ubaguzi. Wengine mpaka leo tunaandikiana kidugu kabisa. Pia nilikuwa na marafiki wa kila kabila Ng ambo ambao tukisoma pamoja na tukitembeleana sana. Pia nimeishi na kusoma skuli Wete Pemba na shambani Donge Unguja. Nimeishi na kusoma Uganda pia na nimefanya kazi Kenya na Marekani na kujuana na watu wengi na kuishi nao kirafiki. Lakini lililonisaidia sana ni msingi nilioupata utotoni kwa wazee na vyuoni kwa waalimu unaopendelea haki sawasawa kwa binadamu wote na kukataza maovu na ubaguzi na dhulma. Kwa hivyo sina chuki na mtu yoyote ambaye ana imani yoyote yenye kufuata maamrisho mema yenye kuwatakia watu wote mema, na sina udugu na wale wenye siasa za ubaguzi na za udini. Naamini hivi sasa Tanzania ipo haja kubwa sana, khususan kwa Waislamu na Wakristo wema wenye kufuata maagizo mema ya dini zao, kuungana na kupinga propaganda za udini na za ubaguzi. Bila ya shaka yoyote ile, wanayoyakhubiri na kuyatapakaza wenye siasa kali za udini yanakwenda kinyume na kiini cha Maamrisho ya Mwenyezi Mungu na mafunzo ya Yesu Kristo na Mtume Muhammad (s.a.w). (Huu ni utangulizi wa Kitabu cha Profesa Ibrahim Noor Shariff alichokipa jina Tanzania na Propaganda za Udini. Kinapatikana Ibn Hazm Media Centre Msikiti wa Mtoro na Manyema. Phone: , Tanzania Publishing House (TPH) Dar es Salaam, Phone , TAMPRO, Magomeni Area along Morogoro Road, Adjascent to Kinondoni Municipal, Plot no. 169 block R, Kinondoni Dar es Salaam. Phone: , KEF Kalamu Education Foundation, Magomeni Kinondoni District, Dar es Salaam. Phone: na Masomo Bookshop, behind the Central Market, Zanzibar. Phone: )

7 7 PROFESA Ibrahim Noor Shariff ametunga kitabu kipya cha Kiswahili kuhusu udini na ugozi Tanzania. Mtungaji kakusudia kutunga kitabu chake kwa Kiswahili ili ukweli uwafikie wale watu wengi ambao kila siku wanatiwa sumu za udini Tanazania. Inawajibika kitabu hiki kisomwe na kila Mtanzania hasa wakubwa wa serikali na wanasiasa na mapadri na mashekhe wa dini zote. Makusudio ya kitabu hiki ni kuihifadhi nchi yetu na sumu za chuki za udini zinazopaliliwa kwenye masomo ya vijana wa leo ambao ni viongozi wa kesho. Inatakiwa kila wenye uwezo wafanye juhudi kuondoa propaganda shuleni mwetu na washikilie kusomeshwa historia ya ukweli. Kitabu Tanzania na Propaganda za Udini kina milango mitatu na sahifa 152. Mlango wa Kwanza unahusu Taarikh Ya Kuwasili Kwa Wabantu, Washirazi Na Waarabu Pwani Ya Afrika Ya Mashariki. Hapa anaeleza kwa ushahidi wa taarikh usiokatalika kwamba Waarabu wamefika Pwani ya Afrika Mashariki maelfu ya miaka iliopita na Wabantu wamefika Pwani hiyo katika Karne ya 16 B.K. Makusudio ya mlango huu ni kuonesha kwamba Waarabu si wageni, bali ni wenyeji wenye haki hapa sawasasa na wenyeji wengineo. Mlango wa Pili unazungumzia Propaganda Za Siasa Za Chuki Na Athari Zake. Humo tunaona uovu wa propaganda za udini zilizowatuhumu Waarabu na Waswahili Waislamu peke yao kukamata, kuuza na kumiliki watumwa. Propaganda hizo zimepelekea kuuliwa maelfu ya Waislamu bure bila ya sababu ilipovamiwa Zanzibar, nchi yenye Waislamu wengi, na kumezwa na Tanganyika Katika Mlango wa Tatu Tanzania Na Propaganda Za Udini Sumu za Chuki za Udini-1 Watu wema ni watu wema wawe wa dini yoyote na watu waovu ni waovu; wawe wa dini yoyote ile. Kama watu wema wenye kupendelea viumbe wenzao mema hawashikamani, basi waovu wenye kumfuata Shetani watashinda na watatawala. Ibrahim Noor Shariff Picha hii iliyochapishwa 1861 inaonesha waziwazi kuwa wakamataji wa Waafrika na kuwatia utumwani ni Wazungu. Picha hii iliyochorwa 1866 inaonesha kuwa ni Waafrika na Wazungu waliowakamata Waafrika dhaifu na kuwatia utumwani Shuleni mtungaji, ambae ni Profesa wa Sanaa, anaonesha ubingwa wake wa kuchambua picha. Anatunakilia picha za kuchorwa kutokana na vitabu vya shule za Tanzania zinazoonesha Waarabu na Waswahili Waislamu wanawakamata na kuwapiga na kuwauwa wanyonge wa Kiafrika ili kuwafanya watumwa. Hapo hapo Profesa Ibrahim anaonyesha uzushi wa picha hizo zilizokopiwa na kubadilishwa kutoka picha za wauzaji watumwa wa Kizungu huko Amerika. Pia ameonesha kwamba bila ya shaka picha nyingine zimebuniwa na wachoraji na hazina ukweli. Profesa Ibrahim Noor anakazia katika kitabu chake hiki kuyapitia na kuyatengeneza masomo ya taarikh (historia) katika shule za Tanzania. Anataka masomo haya yajengwe kwenye misingi ya taarikh ya kweli, sio misingi ya uongo wa siasa za udini unaotokana na ukoloni. Ibrahim Noor anahadharisha Watanzania wote na hatari ya kuendelea kupanda mbegu za chuki dhidi ya Waarabu, Wahindi na Waswahili na khasa Waislamu katika mipango ya masomo Tanzania. Hizi chuki za udini zitaleta balaa kubwa kuliko mauwaji ya Zanzibar ya Na watakaoumia na chuki hizi, ni wafuasi wa kila dini na kila kabila nchini Tanzania. Kitabu hiki kinahitajia kimfikie kila mwenye uwezo wa kubadilisha mambo Tanzania, kwa mfano: Wahishimiwa memba wa Bunge Tanzania, memba wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mawaziri wa serikali ya Muungano na wa Zanzibar, wakubwa wa makanisa na wakubwa wa vyama vya Kiislamu, wakubwa wa vyama vya siasa, wakubwa wa magazeti nchini Tanzania, wakubwa wa TV na radio zote, na kabla ya wote hao waliotangulia ni mimi na wewe, wananchi ambao tunapiga kura kuwachagua viongozi wema. Tanzania na Propaganda za Udini Shuleni Katika sehemu hii tutaonesha na kuzungumzia baadhi ya picha za propaganda kukhusu utumwa zilizochorwa khasa katika vitabu vya shule za Tanzania na athari zake. Kwa muda mrefu sana mabingwa wa saikologia wameelewa kuwa picha za michoro na za kamera zinaweza kuwa na taathira kubwa katika kuufikisha ujumbe uliokusudiwa kwani picha haikwepeki jichoni. Picha inahifadhika haraka katika akili na ni kigezo kikubwa cha kuamsha hisia. Baada ya kufahamu nguvu ya picha katika kufikisha ujumbe, vikundi au watu mbalimbali wamekuwa wakizitumia picha kwa malengo na makusudio tafauti kwa maslaha yao. Lakini, lililo muhimu ni kuwa sio kila picha inaelezea ukweli wa matokeo. Picha nyingine zinakusudia kupotosha ukweli na kubadilisha fikra za walengwa zikubaliane na fikra au propaganda zao. Hali kadhalika picha nyingi aghlabu hutokana na tasnifa zake mwenyewe mpigaji au mchoraji picha na jinsi anavyotaka kufikisha ujumbe wake. Tokea Karne ya Kumi Inaendelea Uk. 8

8 8 Inatoka Uk. 7 na Tisa lengo la Wazungu wakoloni wenye siasa kali za udini lilikuwa kuwapiga vita Waislamu na kuwaonesha katika maandishi na michoro yao kama kwamba Waislamu ni sawa na masheitani weusi. Angalia tena mfano wa picha tuliyoionesha iliyochorwa katika gazeti la Punch, or The London Chariovari tarehe 30 November 1889, wakati mataifa ya Ulaya walipoamua kuupiga vita Uislamu wakiamini kuwa Uislamu ndio sababu ya kuwazuia wao kutimiza malengo yao ya kikoloni na kidini katika Afrika ya Kati na Mashariki. Katika mazingaombwe yao walitumia kigezo cha utumwa, na ili kuufikisha ujumbe wao kwa jamii na kupata kuungwa mkono, waliuchora Uislamu kwa sura ya shetani mweusi mwenye pembe na manyoya kama mnyama ambaye lazima auwawe na Wakristo. Hapohapo, dola za Ulaya za Kikristo zimechorwa kwa sura nzuri na maumbile mazuri, wameshika panga zao za misalaba tayari kuzishindilia na kuuwa Uislamu. Michoro inayotokana katika ndoto za akili ya mchoraji wao. Sidhani kama panahitajia hapa kuelezea maana ya Mtu Mweusi tena mwenye manyoya kama kima katika karne hizo ambazo Wazungu waliziona rangi zao ni bora kuliko za wengineo na naamini mtazamaji mahiri hana haja ya kuele-zewa dharau ya kumwotesha pembe binadamu. Ishara hizo ziko wazi katika akili, batra na ubora waliojiona wanao Wazungu hao pamoja na dini yao. Hali kadhalika, miongoni mwa waandishi wa vitabu vya historia vinavyo-fundishwa shuleni Tanzania, wamefahamu nguvu na uwezo wa picha katika kufikisha ujumbe na kuelewa taathira kubwa iliyonayo picha katika kuba-dilisha fikra, na watungaji wa vitabu wameitumia fursa hiyo kuingiza agenda zao za Sumu za Chuki za Udini-1 BAADA ya miaka 140 wanapropaganda wa Tanzania wenye siasa kali za udini wameona wazibadilishe picha za zamani zinazowalaumu Wazungu na Waafrika kwa ukamataji wa watumwa na badala yake kumpachika Mwarabu kuwa ndiye aliyefanya uovu huo. Ukiangalia vizuri utaona picha ni ileile, lakini wachoraji ndio waliobadilika na kubadilisha muundo wa uchoraji. siri ambazo zimelenga kuzipandikiza chuki zao katika jamii. Kwanza ukivipitia vitabu vya historia vinavyofundishwa shuleni utaona picha nyingi zilizochorwa za biashara ya utumwa zinawaonesha Waarabu au Waswahili kuwa ndio wafanya biashara hiyo. Iko haja mtu aiulize nafsi yake: Jee utumwa Afrika Mashariki na Kati ulifanywa na Waarabu na Waswahili tu? Au kuna jamii nyingine pia zinakhusika? Na kama zipo, kwa nini basi michoro yenye kuonesha jamii hizi hazimo? Jee hawa waandishi wa vitabu vya historia vinavyofundishwa shuleni Tanzania, wameipata wapi dhamana na haki hii ya kuwafunza wanafunzi wa Tanzania historia yenye ukweli finyu na uwongo mwingi? Na kama hawana haki hiyo, kwa nini wasiwajibishwe kuuelezea ukweli mtupu wa mambo yalivyokuwa? Angalia mifano hii miwili ya picha zilizochorwa na Wazungu. Picha ya kwanza imechapishwa 1861 na inaonesha waziwazi kuwa wakamataji wa wanyonge wa Kiafrika ni Wazungu wenyewe. Wameonesha bila ya kificho: Picha ya pili inayofuata imechorwa na Mzungu mwingine miaka mitano tu baadaye, yaani Mchoraji ameichora tena picha ileile iliyotangulia na kuibadilisha kidogo, badala ya mkamataji kuwa ni Mzungu peke yake wamemchora Mzungu Mreno (kavaa heti na suruali) na Mwafrika kuwa wote walikuwa ni wakamataji: Historia ya kweli inatuambia waziwazi kuwa wote Wazungu Wakristo na Waafrika walishiriki pakubwa sana katika kuwasaka, kuwauwa kwa idadi kubwa sana, kuwakamata wengineo na kuwatia wanyonge wa Kiafrika utumwani na kuwasafirisha kwa mamilioni wanyonge hao katika makoloni yao Wazungu. Picha hii imeitwa Kikundi cha mateka [watumwa] waliokutwa Mbambe wakielekea Tete. Haya matokeo yametokea Msumbiji na wala sio Afrika Kaskazini na yalifanywa na Mzungu Mreno. Sasa angalia katika ukurasa wa 24 wa kitabu cha History for Secondary Schools, Form Two, kilichoandikwa na Parazia Kaloli na Felix Kiruthu na kuchapishwa 2009 na Oxford University Press, utaona propaganda za siasa kali za udini zilivyofanya kazi kwa namna zilivyobirua ukweli huu. Utaiona picha hiyo hiyo imechorwa tena baada ya miaka 138. Katika picha hii tunaona waziwazi kuwa mkamataji, kwa ishara ya mavazi yake, ni Mwarabu Mwislamu: Baada ya miaka 140 wanapropaganda wa Tanzania wenye siasa kali za udini wameona wazibadilishe picha za zamani zinazowalaumu Wazungu na Waafrika kwa ukamataji wa watumwa na badala yake kumpachika Mwarabu kuwa ndiye aliyefanya uovu huo. Ukiangalia vizuri utaona picha ni ileile, lakini wachoraji ndio waliobadilika na kubadilisha muundo wa uchoraji. Kimsingi, picha zote tatu ni ileile. Jee mchoraji wa picha iliyomo katika kitabu cha kusomeshea historia Tanzania aliyekopi picha za zamani alidhani, katika wakati huu tulionao wa utandawazi na kuwa ni mara moja mtu kutambulikana wapi amenyakuwa fikra au picha zisizokuwa zake, kuwa kujepa kwake na kubadilisha ukweli ndiyo hatatambulikana? Jiulize mwenyewe, ni kwa makusudio gani mchoraji wa leo akabadilisha wakamataji waliokuwa ni Wazungu Wakristo na Waafrika na kumweka Mwarabu Mwislamu badala yake katika kitabu cha kuwasomeshea historia wanafunzi wa Tanzania leo? Asili ya mchoro huo unatokana na masimulizi ya David na Charles Livingstone katika safari yake ya Zambezi na sehemu nyingine, na katika ugunduzi wa Ziwa Shirwa na Nyasa. Inakhusu kikundi cha wanaume watumwa waliounganishwa kwa magogo ya miti, na watoto na wanawake wamefungwa pamoja kwa kamba na minyororo, wakiwa pamoja na walinzi wao Waafrika. Watumwa hawa walikuwa wakipelekwa Afrika Mashariki. Tukio hili lilishuhudiwa July Kwa mara ya kwanza picha hii ilichapishwa katika gazeti la Harper`s New Monthly Magazine (vol: 32, Dec 1865 May 1866). Inasikitisha mwandishi wa kitabu cha Historia cha Form Two cha Tanzania ya leo, kughushi na badala ya picha ya mtu unayemuona aliyekuwa akiusindikiza msafara huo ambae alikuwa Mzungu, kaweka picha ya mtu anaefanana na Mwarabu au Mswahili, na badala ya kusema watumwa hawa ni wa Tete ilioko mto Zambezi kasema ni Afrika Kaskazini. Kwa nini kafanya hivi? Kwa nini uongo huu? Nini faida yake? Na nini anapata kwa kuleta fitina hii? Nini sababu ya chuki hii? Kwa nini anataka kuwasafisha Wazungu Wakristo kwa kuwaondosha pichani wasiwemo na kupotosha historia? Nini alichopata mchoraji wa Kitanzania hata akauza hadhi, heshima na utu wake? Wangapi wamedhulumika na kudhalilishwa kwa uongo huu na kwa mifano mingi mingineyo ya kama huu?

9 9 Miaka 51 ya shuruti la muungano wa Tanganyika dhidi Zanzibar FAKHARI iliyozoeleka katika maadhimisho ya kila mwaka ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 kwa kusainiwa Hati za Makubaliano ya Muungano kulikofanywa na Marais wa Mataifa huru ya Tanganyika na Zanzibar, ni kuhisabu umri wa Muungano wenyewe na kujipa maliwazo kuwa Muungano umeendelea kudumu. Hatuna mazowea ya kutathmini afya na uimara wa kweli wa Muungano wenyewe. Pengine kufanya hivyo kunaweza kuhesabiwa kuwa ni sawa na kuunyanyapaa Muungano. Lakini ukweli mchungu ni kuwa Muungano huu umedumishwa kwa gharama kubwa katika muktadha wa maendeleo ya kisiasa katika Tanzania na khususan kwa upande wa Zanzibar. Tokea kuasisiwa kwake hadi leo, ikiwa sasa ni zaidi ya nusu karne, Muungano na khasakhasa muundo wake, umebaki kuwa ndio ajenda kuu ya kitaifa katika siasa za Zanzibar. Muungano unaendelea kudumu ukiwa unalindwa kwa nguvu kubwa za kisiasa na kidola pengine kuliko jambo lolote katika uwanja wa kisiasa hapa Tanzania. Katika umri wake, Muungano huu umepitia misukosuko mingi. Mwaka 1984 katika kuunusuru Muungano ilibidi Serikali nzima ya Zanzibar iondolewe madarakani. Aliondolewa Rais Aboud Jumbe Mwinyi, Waziri Kiongozi wake Ramadhan Haji Faki na Baraza lake lote la Mawaziri. Mwanasheria Mkuu wa Serikali hiyo aliyekuwa Raia wa Ghana,Bashir Swanzy alitimuliwa nchini na kurejeshwa kwao. Mwanasheria Mkuu wa kwanza wa Zanzibar baada ya Mapinduzi, Marehemu Wolfgang Dourado alikamatwa Zanzibar na kupelekwa magereza ya Tanzania Bara kwa kile kilichodaiwa ukosoaji wake wa Muungano. Orodha ya waliopata majeraha katika harakati za kuudumisha Muungano ni ndefu. Hivi karibuni tumeshuhudia kufutwa kazi kwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar na kufukuzwa uanachama kwa aliyekuwa Waziri katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mansour Yussuf Himid na hivyo kupoteza nafasi zake zote za kisiasa AWADH Ali Said kutokana na misimamo yao ya kutokukubaliana na mambo mbalimbali katika Muungano wakati wa Mchakato wa Katiba Mpya. Viongozi wa kidini wa Jumuiya ya Uamsho takriban 20 ambao wamekamatwa Zanzibar na kushitakiwa katika Mahkama za Tanzania Bara na kuzuiliwa katika magereza ya Tanzania Bara kwa makosa ya ugaidi, nao kabla ya kukamatwa kwao waliendesha harakati kubwa ambazo ziliungwa mkono na wafuasi wengi zilizolenga kuukosoa Muungano. Hata yale maeneo ambayo tunajivunia kuwa ni mafanikio ya Muungano, kama kukua kwa biashara baina ya pande mbili hizi, nako kila uchao tunasoma ripoti za vikwazo katika uendeshaji wake. Mathalan vilio vya kila leo vya utozwaji kodi mara mbili kwa bidhaa zinazotokea Zanzibar na kuingia katika soko la Tanzania Bara. Biashara inaendelea kwa mtindo wa kila kilema kina mwendo wake Yote hayo ni matokeo ya Muundo wa Muungano ambao kwa maumbile yake, muundo huo milele hauwezi kujenga Muungano unaotoa haki, hadhi na fursa sawa baina ya washirika wa Muungano. Huu ni muundo wa Muungano wa Nchi mbili unaoendeshwa na Serikali mbili. Serikali moja, ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imebeba na kuyachanganya kwa pamoja mambo ya Tanzania Bara na yale mambo ya Muungano ambayo kimsingi ni mambo ya ushirika wa pamoja baina ya pande mbili za Muungano; na Serikali ya pili, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imebakishiwa yale mambo ambayo si ya Muungano. Muundo huu uliobuniwa kama muundo maalum wa kipindi cha mpito cha mwaka mmoja kutokea 1964 hadi 1965 kama ilivyoelezwa kwa ufasaha ndani ya Hati ya Makubaliano ya Muungano ukafanywa kuwa Muundo wa Kudumu. Kila muda unavyokwenda, Muungano ulikuwa UNADUMISHWA kwa kuongeza orodha ya Mambo ya Muungano, ilianza yakiwa mambo 11 na sasa yako 22; na hii maana yake ni kuyamega mamlaka ya Zanzibar katika eneo fulani. Mathalan suala la fedha na sarafu (1965) na mafuta na gesi (1969) na kuyaingiza katika himaya ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano ambayo kimsingi ni Serikali ya Tanganyika iliyobaki na mambo yake yote na ikaongezewa mamlaka juu ya baadhi ya mambo ya Zanzibar na baada ya ongezeko hilo ikabadilishwa jina na kuitwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kiuhalisia Tanganyika ilijibakisha kama ilivyo na ikajiongezea mambo ya Zanzibar. Haikumega chochote kutoka kwenye mamlaka yake na kuyapeleka kwengine. Aliyeuita muundo huu kuwa ni kiinimacho alikuwa amefikiri vyema. Muundo huu utadumisha misukosuko daima. Mfano chukua eneo la mapato na matumizi ndani ya muundo huu wa Serikali mbili. Baada ya miaka 50 ya Muungano huu, eneo hili linafukuta mgogoro. Na utata uko wazi. Na msingi wa utata huu ni muundo wenyewe wa Muungano. Jiulize uko wapi mfuko wa mapato na matumizi kwa ajili ya mambo ya Tanzania Bara yasiyohusu Muungano (ambayo hayo Zanzibar haihusiki asilani), na uko wapi mfuko wa mapato na matumizi wa mambo ya muungano (ambao katika mfuko huo Zanzibar inahusika kikamilifu na ingestahiki kuchangia na kupata gawio kama kuna bakaa). Lakini ni wazi kwa muundo huu kamwe huwezi kutofautisha kuwa mapato haya yametokana na vyanzo vya Tanzania Bara au yametokana na vyanzo vya Muungano. Yote yamo mfuko mmoja tu. Pia huwezi kutofautisha kuwa matumizi haya ni kwa ajili ya shughuli za Tanzania Bara au kwa ajili ya shughuli za Muungano tu. Yote yanatumiwa kwa pamoja tu. Katika hali hii, huwezi kutegemea utulivu kwa sababu uwazi na utambuzi wa maeneo na mipaka katika mapato na matumizi ni jambo nyeti katika ushirikiano wowote. Tuchukue mfano mwengine, uchumi si jambo la Muungano, Zanzibar ina uchumi wake na Tanzania Bara ina uchumi wake na kiukweli hizi ni chumi mbili tofauti, mmoja ni uchumi mkubwa na mwengine ni uchumi mdogo LAKINI ni chumi shindani ( competing economies na ushahidi wa hilo ni utozaji kodi mara mbili kwa bidhaa za Zanzibar) hasa katika maeneo ya biashara ya bidhaa, uwekezaji na utalii. Kwa upande wa Zanzibar uchumi huu ambao ndio unaopaswa kuiendeleza na kuihudumia Zanzibar NYENZO KUU za uchumi,ambazo ni SERA ZA FEDHA (monetary policies) na SERA ZA KODI (fiscal policies) zimeondoshwa na kufanywa ni mambo ya muungano na hivyo Zanzibar haiwezi kusarifu uchumi wake bila misukosuko. Wakuu wa Benki Kuu na Mamlaka ya Mapato Tanzania, Taasisi ambazo kimsingi zinasimamia uchumi wa Tanzania Bara hawawezi kuandaa sera zitazoendesha chumi mbili zenye mgongano wa kimaslahi na kwa vile huwezi kuokoa chungu cha mwenzako wakati chako kinawaka pia, Taasisi hizi zinatumika kuimarisha uchumi wa Tanzania Bara. Katika jambo pekee lililo kwenye orodha ya mambo ya Muungano na Zanzibar ikaliwekea Wizara na Waziri basi ni suala la fedha lakini ni wazi Waziri huyu hana uwezo wowote katika maamuzi ya sera za fedha na kodi. Athari za kiuchumi zinazotokana na muundo huu zipo za kila aina. Hivi karibuni kuliibuka kashfa ya ESCROW ambayo kimsingi imetokana na mambo yasio na uhusiano wowote na mambo ya Muungano, ni mambo ya Tanzania Bara. Kufuatia mzozo huo, wafadhili wakazuia misaada ya fedha na hii ikapelekea kuadimika kwa fedha za kigeni katika soko la ndani. Kwa vile mahitaji ya fedha za kigeni yalibaki palepale au yaliongezeka thamani ya fedha za kigeni ikapanda. Wakati wafadhili wanazuia misaada tunaambiwa thamani ya dola moja ilikuwa ni tshs 1635 hivi sasa thamani ya dola ni tshs 1900 ikiwa ni ongezeko la thamani kwa asilimia zaidi ya 15. Hii maana yake ni kuwa thamani ya sarafu ya Tanzania ambayo ni jambo la Muungano imeporomoka kwa asilimiaa 15 kutokana na matendo ya upande mmoja wa Muungano na kupelekea kuyumba kwa uchumi sio tu wa upande huo, bali na wa upande wa Zanzibar kwa kosa lisiloihusu. Na katika mtanziko kama huu wa kiuchumi haijawahi Taasisi za kifedha na kiuchumi za Tanzania kuinusuru (bail out) Zanzibar. Kwa hali ya mwenendo wa Muungano wetu ni sahihi alivyowahi kusema Prof. Yash Ghai, mwanasheria mashuhuri wa mambo ya Katiba aliyeongoza Mchakato wa Katiba Mpya ya Kenya aliposema kuwa haishangazi kuwa Muungano huu unakumbwa na matatizo, bali kinachoshangaza ni kuwa umeweza kudumu ( the surprise is not that the Union has run into difficulties, but that it has survived at all ) (Issa G. Shivji,Tanzania The Legal Foundations of the Union, Second Expanded Edition, 2009, pg xviii, Foreword by Yash Ghai)

10 10 Mjue Abdurahman Ali Msham Na Mohamed Said ABDULRAHMAN Ali Msham sasa ni mtu mzima na ana umri wa miaka 65. Wakati TANU inaasisiwa Dar es Salaam mwaka 1954 yeye alikuwa mtoto wa miaka minne. Majuma machache yaliyopita, alikisikia kipindi kilichorushwa na Radio Kheri FM kuhusu safari ya Mwalimu Nyerere UNO mwaka Kwa kauli yake mwenyewe anasema kipindi kile kilimrudisha nyuma sana akamkumbuka marehemu baba yake Ali Msham ambaye alikuwa moja wa wazalendo waliokuwa mstari wa mbele katika kupambana na ukoloni. Abdulrahman Ali Msham akawa na hamu kubwa ya kukutana na aliyekuwa akieleza safari ile ya kihistoria. Alikuwa na hamu k wa k u wa n a ye ye alikuwa na machache angependa kueleza nini baba yake Mzee Ali Msham alifanya katika TANU katika ile miaka ya Abdulrahman alianza kwa kueleza kuwa baba yake alikuja Dar es Salaam kutoka Kilwa katika miaka ya 1950 akiwa fundi seremala na alikuwa akifanya shughuli zake za kutengezeza samani Mtaa wa Kariakoo n a C o n g o. TA N U ilipoasisiwa mwaka wa 1954 baba yake alijiunga na kuwa mwanachama kwa kukata kadi ya TANU. Makazi yake yalikuwa Mtaa wa Jaribu Magomeni Mapipa ambako alikuwa akiishi kwenye nyumba yake mwenyewe. Katika hamasa zile za kupambana na u k o l o n i, b a b a ya k e alitoa chumba kimoja katika nyumba yake akafungua tawi la TANU n a ye ye mwe nye we a k i wa m w e n y e k i t i. Katika harakati zile za kupambana na ukoloni alisikitishwa na hali ya ofisi ya Mwalimu Picha inamwonyesha Mwalimu Nyerere akipokea samani hiyo iliyotengezewa na Mzee Ali Msham. Aliyesimama wa kwanza kulia ni Mzee Ali Msham mwenyekiti wa tawi la TANU Magomeni Mapipa wakati TANU inawaunganisha wananchi kupigania uhuru wa Tanganyika. Ofisi ya TANU Mtaa wa Jaribu Magomeni Mapipa kama ilivyokuwa ikionekana katika miaka ya 1950 ikiwa imezungikwa na wanachama wake. Kushoto: John Rupia, Julius Nyerere, Zuberi Mtemvu Waliosimama nyuma yao ni BANTU Group Vijana Walinzi wa Viongozi wa TANU Ali Msham aliyekaa katikati katika moja ya mikutano ya ndani ya TANU aliyokuwa akifanya uani nyumbani kwake Mtaa wa Jaribu, Magomeni Mapipa Ali Msham aliyekaa katikati katika moja ya mikutano ya ndani ya TANU aliyokuwa akifanya uani nyumbani kwake Mtaa wa Jaribu, Magomeni Mapipa Nyerere pale New Street kwa kuwa hakuwa na samani za maana katika ile ofisi yake. Baba yake alirejea kwenye kiwanda chake pale Mtaa wa Kariakoo na Congo akatengeneza meza ya ofisi ya hadhi ya rais wa TANU pamoja na viti kadhaa. Mzee Ali Msham alimwalika Mwalimu Nyerere kwenye tawi la TANU la Magomeni Mapipa ili akabidhi samani mpya kwa ajili ya ofisi yake. Mwalimu Nyerere alifika pale kwenye tawi la TANU na katika sherehe fupi Mwalimu Nyerere akakabidhiwa samani ile. K u m a l i z a mazungumzo yetu Abdulrahman Msham alikabidhi picha za baba yake za wakati ule wa kupigania uhuru. Picha hizo nami naziweka hapa kwa ajili ya kuhifadhi na kuthamini mchango wa wazee wetu mashujaa waliopigania uhuru wa Tanganyika lakini kwa bahati mbaya michango yao haijathaminiwa.

11 11 Tanzania, sasa kondoo anayesubiri kuchinjwa Na Omar Msangi KATIKA Filamu, Mzee wa Swaga, JB kuna mahali anampasha mshirika wake katika utapeli kwamba, ashapata kondoo ambaye yupo tayari kwa kuchinjwa. Kondoo mwenyewe ni mwanadada mwenye pesa ambaye ashawekewa mazingira ya kuingia katika mtego wa kutapeliwa. Na kweli alitapeliwa. Ndiyo hali tuliyo nayo Watanzania hivi sasa. Kama hatutatanabahi, tukasema hapana, kwa hakika ni Mwenyezi Mungu peke yake anaweza kutunusuru. Kwa hapa tulipofikishwa, yale ya Garissa, Mpeleketoni na ya Boko Haram, wala hayana muda mrefu. Na lazima tuseme na mapema kwamba MCHAWI WETU MKUU, ni vyombo vya habari. Mchawi namba mbili tutakuwa sisi wenyewe ambao tulivifumbia macho vyombo vyetu vya habari vikitulisha propaganda za kitisho cha ugaidi mpaka tukaziamini, tukatishika na wakatupora akili, fahamu na uwezo wetu wa kuyatafakari mambo. Terrorized by 'War on Terror', ni makala na uchambuzi ulioandikwa mwaka 2007 na Kachero Zbigniew Brzezinski, ambaye aliwahi kuwa Mshauri wa Mambo ya Usalama (National Security Adviser) wa Rais Jimmy Carter. Lakini pia alikuwa mtu muhimu sana katika vita ya Afghanistan wakati ikipigana na mvamizi Urusi. Huyu alifanya kazi kubwa katika kuandaa jeshi la Mujahidina waliopigana na Mrusi kwa niaba ya Marekani. Kwa hiyo anasema kitu anachokijua. Katika uchambuzi wake huo, Zbigniew Brzezinski, anasema kuwa, magaidi na inayoitwa vita dhidi ya ugaidi ("war on terror"), imebuniwa ili kujenga utamaduni wa hofu na kutafuta adui wa kubuni ili kutimiza maslahi ya wanasiasa (siasa za ubeberu) kama ilivyokuwa katika vita baridi. Hebu msikilize katika moja ya maneno yake. Anasema: The phrase itself (war on terror) is meaningless. It defines neither a geographic context nor our presumed enemies. Terrorism is not an enemy but a technique Magazeti yanalitoa Jini katika chupa Polisi, JWTZ hawamuwezi subiani huyu MKUU wa Majeshi, Jenerali Devis Mwamunyange. of warfare -- political intimidation through the killing of unarmed noncombatants. Kwa hiyo kama anavyosema Zbigniew Brzezinski, ugaidi sio adui lakini mbinu, njama chafu za kufikia malengo fulani ambapo watu wasio na hatia huuliwa. Zaidi anasema kuwa msemo huo umefanywa usiwe na maana inayoeleweka sio kwa bahati mbaya, bali umefanywa hivyo makusudi na walioubuni na wanaoendeleza vita hiyo ili kufikia malengo yao ya kusimika kitisho (culture of fear). Kwa nini imekuwa ni lazima kuwatisha watu? Kachero Zbigniew Brzezinski anafafanua akisema kuwa: Fear obscures reason, intensifies emotions and makes it easier for demagogic politicians to mobilize the public on behalf of the policies they want to pursue. Kwamba ukishawatisha watu, unaondoa uwezo wao wa kufikiri, unawaburuza unavyotaka kwa sababu, badala ya kuyatizama mambo kwa akili na kutafakari na kuhoji, wanaongozwa na MKUU wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Ernest Mangu. mihemko (emotions). Nilikuwa napata tabu sana, inakuwaje watu wenye akili zao timamu, wakiwemo Wahariri wetu katika vyumba vyetu vya habari, wanashindwa kuona kuwa tukio kama lile la Westgate na hata hili la juzi la Garissa, hakuna namna ya kuwa limefanywa na wanaoitwa magaidi kutoka Somalia. Lakini jibu ni hili analosema Zbigniew Brzezinski. Watu wametishwa kuhusu magaidi wa Al- Qaida na Al-Shabaab, sasa akili hazifanyi kazi tena. Wakiambiwa kuna magaidi wamepiga mahali fulani na jeshi nzima la nchi limeshindwa kuwapata, wala hawapigi mahesabu mepesi ya uwezekano wa kufanyika hilo. Emotions huwapelekea kuamini tu moja kwa moja na kama ndio katika vyumba vya habari, basi hugeuka vipaza sauti. Akielezea ubaya wa utamaduni huu wa kuwatia watu hofu, Zbigniew Brzezinski anasema kuwa: The culture of fear is like a genie that has been let out of its bottle. It acquires a life of its own -- and can become demoralizing. Kwamba ukiwekeza katika kuwatia watu hofu, basi ujue kuwa hofu hiyo ni kama jini. Ukishalitoa katika chupa, linajipatia uhai wa kivyake vyake. Hutaliweza tena. Ndio unaona hii leo Boko Haram, inakuwa jinamizi linaloshinda polisi, jeshi na vyombo vyote vya usalama vya nchi kubwa (The Giant of Africa) Nigeria. Leo Kenya, pamoja na kuuwa Masheikh kikatili wakituhumiwa kwa ugaidi, na pamoja na kuwa na vikosi katili vya mauwaji vinavyopewa mafunzo na Marekani na Israel, ikidaiwa ni vya kupambana na magaidi, lakini wanapata kipigo Westgate, Mepeleketoni, Mandera na Garissa juzi. Pengine ambalo hakulifafanua vizuri Zbigniew Brzezinski katika uchambuzi wake ni kuwa hiki KITISHO CHA UGAIDI ndio mtaji wenyewe wa mabeberu. Mkishatishwa na mkaaminishwa kuwa miongoni mwenu kuna magaidi wenye uwezo wa kufanya hili na lile, basi yatakayofuatia wala hamtakuwa na uwezo nayo, wala atakayefanya hamtamjua ila nyinyi mtabaki mkiimba tu Al- Shabaab, magaidi, Al- Qaida na mambo kama hayo. Litakuwa ni jinni ambalo, si Afande Mangu wala JWTZ watakaoweza kupambana nalo. Tutabaki tukiwalaumu bure, kama ambavyo hivi sasa Uhuru Kenyatta na serikali yake wanalaumiwa au kama ambavyo Jeshi na vyombo vya usalama vya Nigeria vinalaumiwa kuhusu Boko Haram. Tunalotakiwa kufahamu hapa ni kuwa ukishafanya kosa la kwanza, mengine yanajiendea tu. Ni Jini ambalo kamwe hamtaliweza. Ni lenyewe tu liamue kurejea baharini au msituni lilikotokea. Ukirejea yaliyojiri katika nchi ambazo zimetutangulia katika kuingizwa katika mchezo huu mbaya, kinachotangulia kinakuwa ni matukio ambayo kila ukiyatizama yanakuwa na sura ni mambo ya kupangwa (staged, false flag), lakini kana kwamba vyombo vya habari ni sehemu ya mkakati huo, hufanya kazi ya kupiga propaganda kuwa hayo ni matukio ya kweli ya ugaidi. Vyenyewe vinaweza kujifanya kuwa vinatoa tahadhari na kuhimiza vyombo vya dola kuchukua tahadhari, lakini kwa hakika kazi wanayofanya ndio ile ya kusimika kitisho kisichokuwepo. Siku ya Mei Mosi ilidaiwa kuwa kuna watu walijeruhiwa huko Morogoro baada ya kurushiwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono. Sasa soma kichwa hiki cha habari: Ugaidi tena Moro. (Mtanzania Toleo Na la Jumapili Mei 3, 2015) Habari yenyewe inasema, Watu watano wamejeruhiwa vibaya katika tukio lenye sura ya kigaidi baada ya kulipuliwa na kitu kinachohisiwa kuwa ni bomu lililorushwa kwa mkono wakiwa katika sherehe za maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) Mtu unajiuliza, kinacholifanya tukio hilo liwe la kigaidi ni nini? Habari inasema Ugaidi tena Moro. Maana yake ni kuwa ulishawahi kufanyika tena ugaidi Morogoro. Ugaidi huo ni upi? Mtanzania likielezea ugaidi huo linasema: Tukio hilo limetokea karibu kabisa na eneo ambalo wiki mbili zilizopita Jeshi la Polisi liliwakamata watu 10 wanaodhaniwa kuwa ni magaidi wakiwa na milipuko 30 ndani ya Msikiti wa Sunni uliopo katika Tarafa ya Kidatu wilayani Kilombero. Watu wamekamatwa wakiwa na milipuko, nini kinafanya wadhaniwe kuwa ni magaidi? Kwa nini wasidhaniwe kuwa ni wahalifu na kwamba pengine milipuko hiyo ni ya kufanyia uvuvi haramu wa samaki! Lakini, je, ni Polisi waliowakamata waliodai kuwa huenda ni magaidi au ni mwandishi? Ukisoma uchambuzi huu wa Kachero Zbigniew Brzezinski na ule wa mwandishi Arda Bilgen, aliouita Terrorism and the Media: A Dangerous Symbiosis, na wengine wengi walioandika juu ya mada hii, inaelezwa wazi kuwa vyombo vya habari Inaendelea Uk. 12

12 12 MAKALA/MASHAIRI 12 Tanzania, sasa kondoo anayesubiri kuchinjwa Inatoka Uk. 11 vimetumika vibaya mno katika kusimika kitisho hewa cha ugaidi kiaminike kuwa kipo ili wenye malengo yao wafanye yao. Na inaelezwa wazi pia kuwa yanaweza kufanyika mambo mengi (staged) ili kuthibitisha kuwa ugaidi upo. Kwa hiyo taarifa kama hizi za gazeti letu Mtanzania, ndio katika yale anayosema Zbigniew Brzezinski, their task is to convince the public that it faces new threats. Kwamba waiaminishe jamii kuwa wanakabiliwa na kitisho cha ugaidi. Na matukio kama yale tuliyoambiwa kule Msikiti wa Suni, Kidatu kwamba watu wamekamatwa na milipuko, kombati za jeshi na bendera ya Al-Shabaab, ni vitu Brzezinski alivyoita kuwa ni viwakilishi vinavyotoa salamu kuwa matukio ya kutisha ya kigaidi yanakuja. Halafu likitokea (kwa kupangwa) hao hao wa magazeti watasema tulisema, tulitahadharisha. Ni kana kwamba walikuwa wamepewa kazi ya kuwatayarisha Watanzania kisaikolojia kupokea kipigo. Akizungumzia jamii ya Kimarekani, Brzezinski anasema kuwa kwa bahati mbaya Amerika kumekuwa na mambo ya kipuuzi ya kuwapachika Waarabu na Waislamu ugaidi wa kupandikiza, hali inayofanya jamii kugawanyika na kujengeana chuki zisizo na maana wala faida kwa taifa. Vitu kama bendera hizo zinazodaiwa kukutwa Msikiti wa Suni na kwamba katika matukio hayo hutumiwa watu wenye kuvaa kanzu na vibandiko, bendera hizo na vibandiko hivyo hutumiwa kama alama kwamba likitokea shambulio baya, tayari ishajengwa picha kuwa wafanyaji ni Waislamu. Kwa namna hiyo anasema kuwa hivi sasa Marekani kuna chuki kubwa dhidi ya Waislamu na Waarabu, jambo ambalo anadhani kuwa halina faida na nchi. Lakini kwa upande mwingine anasema kuwa upumbafu huu wa kujitisha kupitia vyombo vya habari, kumezalisha upumbafu mwingine wa hofu na kuweka taratibu nyingi za kiusalama ambazo na zenyewe ni upumbafu mtupu. Ni upumbafu kwa sababu, ni matokeo ya upumbafu wa kujitisha wenyewe mkajitia wazimu wa kudhania kuwa kila kona kuna gaidi lililo tayari kuwapiga. Ni upumbafu pia kwa sababu gaidi la kweli haliwezi kuzuiwa na njia hizo. Anatolea mfano kuwa alikuwa akienda katika ofisi moja kule New York City, ambapo ilibidi apitie katika alichoita absurd security checks". Anasema ni "absurd security checks" kwa sababu, wewe unaweka machine ya kukagua watu wakiingia ofisini, kama lengo ni kuzuiya gaidi asiingie na bomu, je wale wanaopanda daladala unawakagua? Je, wanaoingia sokoni Kariakoo! Ukienda Zanzibar, pale bandarini unakuta kuna machine ya kupekuliwa. Unajiuliza, hivi walioweka mashine hii, lengo lao nini? Hata wale wanaofanya kazi pale, unawatizama, unabaki tu kujinyamazia. Unajua kuwa ndio kile alichosema Zbigniew Brzezinski kwamba: "Security" procedures have become routine, wasting hundreds of millions of dollars and further contributing to a siege mentality. Kama tunaona starehe na kwamba labda ndio biashara itanoga ya magazeti kila uchao kuibuka na habari ya watu wenye madevu, wavaa kanzu wenye bendera nyeusi kuwa ndio magadi wauwaji, tujue pia kuwa tukishalitoa jinni hilo katika chupa, linaweza pia kuanza na kunyonya damu za wavaa tai na misalaba shingoni kama tulivyoaminishwa kuwa ndio ilivyotokea Garissa. Na kama alivyosema Dr. Preston James, Ph.D, katika uchambuzi wake WAR ON TERROR: The World s Biggest New Business, Ugaidi ni zimwi lenye njaa (hungry monster) wala msidhani kuwa mnaweza kulishibisha au kuliuwa kwa polisi na jeshi lenu. Undeni vikosi hivi na vile vya kupambana na ugaidi, lakini mkishajikubalisha kuwa lipo, kosa. Ni jinni subiani mmelitoa katika chupa. Mtauwa watu wenu kama walivyouliwa akina Sheikh Roggo na Sheikh Makaburi, lakini lenyewe lipo tu linaendelea na Westgate na Garissa zake. Imefika mahali tuseme basi kwa mpagao huu wa wazimu wa kuona magaidi kila kona na kuyapepea. Hata kama ni kuchukua tahadhari, basi tuonyeshe kutumia akili japo kidogo tu. Tuyatizame mambo kwa usahihi wake. Tusitumike tu kijinga. Hakuna nchi iliyolifungulia jini hili ugaidi ikasalimika. Kwanza wenye jinni lao ndio watakupa silaha, pesa na mbinu za kupambana nalo ambazo zitakuwa kama 'damu' ya kulishibisha 'subiani' na kulifanya litishe zaidi na kuwa hatari zaidi. WATANZANIA wamekwama, na wale ambao wanawategemea kuwakwamua nao wamekwama. Hii ndio hali inayowakabili Watanzania kwa sasa. Maisha yamezidi kuwa magumu kwao, usafiri hakuna, umeme ambao ndio nyenzo muhimu angalau ya kuwaongezea pumzi ya kuishi nao hivi sasa umekuwa wa katakata, hauwasadii. Shilingi ambayo wanaifukuzia kula uchao ili kuganga hayo maisha japo ni duni, nayo imezidi kuporomoka thamani yake ikilinganishwa na thamani ya sarafu za kigeni. Mfumuko wa bei umeshapiga hodi. Wakati watanzania walio wengi wakiendelea kugugumia maumivu makali ya kimaisha wanayopata kutokana na matatizo haya, ambayo kwa kweli yamekosa mtatuzi, mvua zinazoendelea kunyesha nazo zimewazawadia janga la mafuriko katika maeneo mbalimbali ya nchi. Nyumba zimeezuliwa, mazao yamezolewa, chakula hakuna, msaada wa uhakika hakuna. Serikali ni taasisi kuu inayosimamia maslahi ya wananchi kimaisha. Ndicho chombo kilichosimikwa kisheria na kimamlaka kuwashughulikia wananchi, ili kuhakikisha maisha yao yanastawi. Iwapo chombo hicho kitashindwa kusimamia na kuwahakikishia wananchi ustawi wao wa kimaisha, ina maana chombo hicho kimekwama. Waliopewa mamlaka ya kukiendesha wamekosa mbinu yakinifu za kuendesha chombo na matokeo yake kila janga linaloibuka linawatesa watu kwa kuwa hakuna kinga yeyote iliyoandaliwa ya kuzuia majanga hayo. Ninaelewa kwamba yapo majanga au matatizio ambayo ni vigumu kuyazuia kirahisi pale ayanapotokea. Na sehemu kubwa ya majanga hayo ni ya asili kama vile mafuriko kama yale yaliyotokea Ni mazoea mabaya kulea matatizo Tukikwama, wa kutukwana nao hukwama Na Shaban Rajab Msumbiji, ukame, kimbunga kama cha Tsunami kule Indonesia, tetemeko la ardhi kama lililoikumba Nepal siku za hivi karibuni, magonjwa kama ebola kule Liberia na Sierra Leone nk. Haya ni majanga ambayo hayatokani na nguvu au uwezo wa watu bali ni kwa uwezo wa Muumba wa mbingu na ardhi. Hata kuyakabili kwake ni kugumu kwa kuwa yanadhuru sehemu kubwa kwa wakati mmoja na kwa nguvu kubwa zaidi. Lakini yapo majanga ambayo kwa serikali yenye watendaji makini, wanaotimiza wajibu wao kulingana na dhamana waliyopewa, wanaweza kujipanga na kujiandaa vizuri kuzuia majanga ambayo kwa kiasi kikubwa husababishwa na binadamu wachache wenye kibri. Tena wanaweza kufanya hivyo kwa muda mfupi na kwa gharama ndogo alimuradi wanawajibika kwa wananchi, wakiamini huo ni wajibu wao kusimamia ustawi wa watu chini ya mwavuli wa serikali. Serikali au dola yeyote kushindwa kuyakabili majanga ya namna hii, (haya madogo yanayosababishwa na watu wachache) ni kipimo tosha kwamba serikali imekwama na haina utaratibu wa kuzuia kabla ya tatizo kutokea na kusababisha madhara. Nimelazimika kuanza na muhtasar huo kidogo tu, kuonyesha picha halisi ni kwa namna gani Watanzania hivi sasa wanateseka kutokana na serikali kushindwa kuchukua hatua mapema kudhibiti matatizo yanayowakabili Watanzania kwa sasa hasa hili la usafiri. Kuanzia Jumatatu hadi Jumanne wiki hii, madereva wa magari ya abiria nchi nzima waligoma kusafirisha abiria. Hakuna basi linalosafiri kuanzia yale yanayofanya safari za mikoani na nchi jirani na yale ya safari fupi yaani daladala. Watanzaia wengi ambao kipato chao ni cha kikabwela, waliteseka kwenda na kurejea katika shughuli zao mbalimbali za kujikimu. Uwezo wao kimapato ni mdogo, hawawezi kupanda ndege, hawawezi kukodi taksi, hawawezi kukodi boda boda wala bajaji kutokana na gharama kubwa ya nauli, sehemu ya kwenda kwa shilingi 400, mtu analazimika kulipa shilingi Shughuli za wengi zilisimama, wakashinda majumbani kwa kukosa nyenzo ya kutoka sehemu moja kwenda nyingine, uchumi wao umeanguka. Wanafunzi hawaendi shule, tena wale wa kidato cha sita wakiwa katika kipindi cha mitihani ya mwisho ya kuhitimu. Hali hiyo inatokea huku kukiwa hakuna usafiri mbadala na wa uhakika kama wa gari moshi, ambao kwa muda mrefu umekuwa ni haba na usiokidhi, lakini pia unaishia mikoa na maeneo machache. Kwa ujumla wananchi walikwama na hakuna aliyeweza kuwakwamua. Ni jambo linalofahamika kwamba sekta ya usafirishaji ni miongoni mwa sekta muhimu sana kwa uchumi wa Taifa lolote lile. Lakini ni sekta ambayo inahitaji jitihada za ziada kuhakikisha usalama wa maisha. Kupuuza au kudharau matatizo yaliyopo au yanayoibuka katika sekta hii, ni kuchangia kuporomosha uchumi wa mtu mmoja mmoja na uchumi wa taifa kwa ujumla, lakini pia kudharau matatizo yanayoweza kugharimu maisha. Mzozo uliopo katika sekta ya usafirishaji kiasi cha kusababisha madhara na hasara iliyopatikana kwa kiasi kikubwa umesababishwa na serikali yenyewe kutojali. Katika sekta hii mara kwa mara kwa nyakati tofauti kumekuwa na matatizo kati ya madareva na serikali, wakati mwingine tatizo kati ya wamiliki wa vyombo Inaendelea Uk. 16

13 13 Habari Shambulio la Wahouthi laua askari wa Saudia SAUDI Arabia imesema wanajeshi wake wamewauwa na waasi wa Yemen waliofanya shambulizi lao la kwanza kubwa dhidi ya nchi hiyo tangu kuanza mashambulizi ya angani yanayoongozwa na Saudia nchini Yemen mwezi uliopita Wizara ya ulinzi ya Saudi Arabia imesema kuwa wanajeshi wake watatu wameuliwa katika mapambano hayo baada ya waasi wa Houthi kuvilenga vituo vyao vya uangalizi, ambapo jeshi lilijaribu kuzuia shambulizi hilo. Kwa muda sasa kumekuwa na mapambano makali kati ya wanajeshi wa Saudia na washirika wake na wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen lakini hii ni mara ya kwanza kwa jeshi la Saudi Arabia kuripoti kuhusu shambulizi la waasi wa Houthi katika mipaka yake. Katika mji mkuu Sana a, mashambulizi mapya kutoka angani yanayoongozwa na Saudia yalifanywa katika uwanja wa ndege, ikiwa ni siku chache tu baada ya ndege za kivita kuilipua njia ya ndege katika uwanja huo ili kuzuia ndege moja ya Iran kutua. Wakati huo huo, mawaziri wa mataifa ya Ghuba Jumatatu wiki hii walipinga pendekezo la kuandaa mazungumzo katika nchi isiyounga mkono upande wowote katika mzozo wa kisiasa nchini Yemen. Umoja wa Mataifa unajaribu kumaliza operesheni ya angani iliyodumu wiki kadhaa, na kuzirejesha pande zote mbili katika meza ya mazungumzo. Baada ya mkutano wa mjini Riyadh, mawaziri wa nchi za Ghuba walisisitiza kuwa mazungumzo baina ya makundi hasimu ya kisiasa nchini Yemen yaandaliwe nchini Saudi Arabia, ambayo ndiyo inayoongoza muungano wa nchi za Kiarabu dhidi ya waasi wa Kishia Yemen tangu Machi. Iran kwa upande wake inapendekeza kuandaa mazungumzo ya Umoja wa Mataifa katika taifa lisiloegemea upande wowote, ambalo Tofauti Iran na Waarabu kuathiri mazungumzo ASKARI wa Saudi Arabia wakiwa wamebeba mwili wa mwenzao aliyeuawa kutokana na vita vinavyoendelea nchini Yemen. wa Kihouthi katika jimbo Machi 26 mwaka huu. la Najran lililopo Kusini Hata hivyo mashambulizi mpakani mwa nchi hizo. hayo yanafanyika bila April 3, askari wengine idhini ya bila idhini ya wawili wa Saudi waliuliwa UN yakiwa ni jitihada za katika kutupiana risasi kurejesha mamlaka ya mpakani kati ya askari wa Rais Abd Rabbuh Mansur Saudia na wapiganaji wa Hadi, ambaye amekimbilia kikundi cha Ansarullah, Saudia na rafiki mkubwa ikiwa I siku moja baada wa serikali ya Riyadh. ya askari mwinginwe Ingawa idadi kamili kupoteza maisha na bado haijatolewa, lakini wengine kumi kujeruhiwa mpaka sasa mamia ya raia katika mapigano mpakani wa Yemen, wakiwemo hapo. wanawake na watoto Mashambulizi ya anga wameuliwa katika ya Saudi Arabia dhidi ya mashambulizi hayo wapiganaji wanaopinga aya anga, huku maelfu serikali ya Yemen yalianza wakijeruhiwa. haliwakilishwi katika muungano unaoongozwa na Saudia ili kumaliza vita nchini Yemen. Hata hivyo Baraza la Ushirikiano wa Ghuba lenye nchi sita wanachama limesisitiza kuunga mkono juhudi kali zinazofanywa na serikali halali ya Yemen za kuandaa mkutano chini ya mwamvuli wa Baraza hilo mjini Riyadh. Katibu Mkuu wa Baraza hilo Abdullatif al- Zyani, amesema mkutano huo utahudhuriwa na pande zote za Yemen na zinazounga mkono uhalali na usalama na uimara wa Yemen. Mkutano wa nchi za Ghuba ambazo ni Bahrain, Kuwait, Oman, Qatar na Umoja wa Falme za Kiarabu, ulilenga kuweka msingi wa mkutano mkuu wa viongozi wa Baraza hilo utakaoandaliwa Jumanne wiki ijayo, na ambao pia utahudhuriwa na Rais wa Ufaransa Francois Hollande. Mgogoro huo umeongeza mivutano katika kanda hilo. Iran inayotuhumiwa kwa kuwapa silaha waasi wa Houthi, imesema meli zake mbili zilizotumwa katika Ghuba ya Aden zimefika mlango wa Bab al-mandab, njia muhimu ya bahari baina ya Yemen na Djibouti. Iran inasisitiza kuwa meli zake hizo hazitafika katika mipaka ya bahari ya nchi nyingine. Umoja wa nchi za Kiarabu umekuwa ukiishutumu Iran kuwa imekuwa ikiwapa silaha waasi wa Houthi tangu mwaka wa (DW) Mwezi uliopita, wapiganaji wa makabila ya Yemeni yaliwaua makumi ya wanajeshi wa Saudia na kuwakamata wengine mateka walipoishambulia kambi ya kijeshi iliyopo jirani na mpaka wa Yemeni na Saudia. Ripoti kutoka Yemen zilieleza kuwa muungano wa wapiganaji wa Makabila ya Takhya na Houthi walifanya shambulio la kushtukiza katika kambi ya Saudia ya al-minare iliyopo jirani na mji wa Sa ada siku ya Jumapili. Shambulio hilo lime4elezwa kuwa ni kulipa kisasi cha mashambulio ya anga ya jeshi la Saudia dhidi ya makabila hayo na kuua. Wapiganaji hao pia walikamata idadi kubwa ya silaha na magari kadhaa kutoka kambi hiyo. Siku ya Ijumaa askari watatu wa Saudia waliuliwa kwa roketi na wengine wawili kujeruhiwa na wapiganaji MSAADA WA KULIPIWA ADA Mimi ni Binti wa Kiislamu HAMIDA RASHIDI. Pia ni yatima, ambaye ninasoma Chuo cha Ualimu Ununio (Ununio Teacher s College) mwaka wa pili. Nimesimamishwa masomo kwa kutolipa ada na kushindwa kuendelea na masomo. Mpaka sasa nipo nyumbani. Mlezi aliyekuwa ananilipia ada ameshindwa kufanya hivyo kutokana na hali yake kuwa mbaya kiuchumi. Naomba kila atakae guswa na habari hii anisaidie kwa kile atakacho jaaliwa na Muumba wake kwani kutoa ni moyo. Toa kile alicho kuruzuku Allah (S.w) hakika hutopoteza utayakuta malipo yako mbele ya muumba wako. Kiasi cha ada ambayo nadaiwa ni Shilingi laki Nane (800,000). Unaweza ukatuma kwa namba ya mlezi wangu Yassin M. Mwagamile au unaweza wasiliana na uongozi wa chuo , au unaweza lipia Benki ya KCB Account Namba kwa jina la Ununio Teachers' College kwa jina la Mwanachuo HAMIDA RASHIDI. Ukituma kwa akaunti ya chuo ni vyema ukatujulisha kwa namba ya mlezi wangu.

14 14 Mchango wa Waislmau katika maendeleo ya Dunia - 10 Na Ben Rijal Na Ben Rijal I B N Z u h r anatafautiana kidogo na wasomi wenzake waliomtangulia katika ilimu. Ibn Zuhr alijishughulisha zaidi na taaluma ya utibabu ingawa haimanishi alikuwa mbumbumbu katika taaluma kama hesabati, ilimu ya nyota n.k. Ibn Zuhr jina lake kamili ni Abu Marwan Abdal Malik Ibn Zuhr na katika nchi za Ulaya alibatizwa jina la Avenzoar. Msomi huyu wa elimu ya utabibu aliozama katika upasuaji alizaliwa katika mji wa Seville nchini Uspaini (Spain) katika mwaka wa Alifuzu somo la utabibu katika Chuo wa Cordoba na kutakhasus na elimu ya utibabu. I b n Z u h r anatafautiana na wasomi wenzake wa nyakati hizo kwani alizaliwa kutokana na ukoo wa watu waliokuwa wakijiweza na kuweza kusomeshwa yeye na dada zake wawili katika Chuo cha Cordoba na hao dada zake wawili baadaye wakawa ndio madaktari katika kasri ya mtawala Almohad. Baada ya kuhitimu masomo yake ya utibabu huko Seville na kuwa anafanya kazi ya utabibu, alitokea kuwa sio wenye kupewa uso na mtawala hilo lilimfanya kuikimbia nchi yake na kuangukia Morocco lakini alifwatwa huko na kuwekwa korokoroni kwa muda mrefu. Kukaa kwake kifungoni kulimpanua mawazo na baada ya utawala Almohad kuanguka katika mwaka wa 1162 Ibn Zuhr alifunguliwa jela Ibn Zuhr na kufunga virago na kurudi Seville; hapo moto uliwaka kwani alikuwa akisomesha akifanya utafiti na akifanya kazi ya upasuaji kwa wagonjwa. Upeo wake wa kufahamu na kumuangalia m w a n a d a m u katika mwili wake kulimpelekea kuikataa nadharia ya hali ya kiakili ambayo magwiji wa Kiyunani Hippocrates na Galen walishikamana nayo na hata Ibn Sina naye alikuja kuikumbatia na badaye kuiwacha. Akiwa kama daktari alikuwa anafanya majaribio yake mengi kwanza kwa wanyama kisha ndio huwafanyia wanadamu na kuaminika kuwa ndio mtu wa mwanzo kuanzisha jambo hili katika fani ya udaktari. Aliweza kugundua mengi kati yaliokuwa yakiwasibu wanadamu katika tafiti zake. Alikuwa ni mtu wa mwanzo kuelewa upele kuwa unasababishwa na vimelea na kuelezwa kuwa ndio mtu wa mwanzo kukubalika kama Parasitologist. Aliweza kutumia mbinu ya kumlisha mgonjwa kwa njia ambayo kinyume na ile ya kawaida ya kula kupitia mdomoni. Alifanya kazi ya kuweza kuelewa uvimbe unaotokana na saratani, uvimbe katikati ya mashikio na matatizo mbalimbali ya magonjwa kwa mwanadamu. Ibn Zuhr alifika kusema yafwatayo Yoyote Yule atakayejishughulisha na somo la ndani ya maumbile ya viumbe (anatomy) basi imani yake kwa Allah itazidi. Kazi nzito na ilioleta tija kubwa ni kile kitabu alichokiandika kwa anuwani Kitab al- Taisir fi al-mudawat wa al-tadbir. Kitabu hiki kiliwafanya Sarton, Guthrie na Ulman wote hao ni watu wa Ulaya ya Magharibi kusema kitabu hicho kilikuwa ni kitabu kilichokamilika katika fani ya utabibu. Kitabu hichi kilifanyiwa tafsiri haraka baada ya kukiandika kwa lugha Gwiji la Utibabu Ibn Zuhr ya Kiyahudi na ya Kilatino. Kitabu hichi kilifanyiwa tafsiri kwa mara 8 baina ya mwaka wa 1490 na Tafsiri zake hizi za Al Taysir zilikuwa zinachapishwa sambamba na kazi za Ibn Rushd. Ibn Zuhr katika kazi ya usomeshaji alisisitiza kuwa somo la upasuaji liwe somo lenye kujitegemea kuweza kuwasaidia madaktari watakaotaka kufanya takhasus katika somo hilo. Siku zote Ibn Zuhr hakuwa anafanya majaribio ya upasuaji wala wa matumizi ya dawa moja kwa mojawa binadamu, bali alikuwa akifanya utafiti kupitia wanyama na kuangalia matokeo yake, akiona kuwa majaribio yake yameleta mafanikio kwa wanyama ndipo anapotumia kwa mwanadamu. Akipendelea kuwatibu wagonjwa wake kwa kuwashauri kutumia vyakula aina maalumu na aliweza kufanikiwa kwa hili ambalo hivi sasa kuna madaktari ambao fani yao ni kushauri malaji ili kuweza kuepukana na kuongezeka uzito na kupata maradhi mbalimbali. Matatizo ya mkojo katika nyakati zake yalikuwa hayakuwa yakijulikana. Ni yeye alioanza kutibu wagonjwa wa matatizo ya mikojo kwa mafanikio. Aidha katika suala la wagonjwa wa akili, alikuwa ndio mtu wa mwanzo wa kumsaidia mgonjwa kwa kumpa dawa ya kumtuliza. Alitibu kwa kujuwa nini anachokifanya ugonjwa wa thrombophlebitis pamoja na meningitis. Aliweza kuandika kitabu juu ya ufundi wa kutumia kuchanganya madawa, kitabu chake hicho kilitumika kwa muda mwingi katika usomeshaji. Utumiaji wa nusu kaputi (anesthesia) kumlaza na kumtoa fahamu mgonjwa ulianzishwa na magwiji wa Kiislamu katika fani ya utibabu huko Andalusia (Spain) alikuwa Ibn Zuhr na al-zaharawi waliotoa mchango mkubwa katika fani hii. Inaelezwa kuwa Ibn Zuhr alikuwa fundi wa kujua dose ipi apewe mgonjwa na wengine kueleza kuwa Ibn Zuhr ndio muasisi wa anesthesiology somo la matumizi ya nusu kaputi. Kati zama za kati kuanzia karne ya 7 kuendea 11 ilikuwa mwiko kufanyiwa upasuaji kwa mgonjwa. Alikuwa Ibn Zuhr aliokuja kuvunja mwiko huo na kuanza kufanyia wagonjwa upasuaji. Aidha alikuwa akifanya utafiti wa mgonjwa anapofariki kutaka kujua chanzo cha kifo cha mgonjwa. Aliandika kitabu kwa jina la Kitab al- Iqtisad fi Islah al- Anfus wa al-ajsad kikielezea maradhi, njia za kutibu na usafi. Kitabu ambacho kiliwezwa kusomwa na wataalamu na hata kina pangu pakavu kuweza kuelewa aliokuwa akiyaelezea. Kitabu chake kingine ambacho kilikuwa ni muhimu, ni Kitab al-aghziya kilokuwa kinaelezea juu ya matumizi ya vyakula mbalimbali, dawa za kutumia na athari kutokana na mwanadamu. Ibn Zuhr akipenda kuchunguza, kufanya utafiti na kuiweka upande dhana nzima ya kuwa unadhani kisha unamponesha mgonjwa, aliweka upande njia hio na moja ya sababu ya vitabu vyake kutumika kwa nchi za Mashariki na Magaharibi. Ibn Zuhr ameandika sana lakini vitabu vyake hivi vitatu vinatosha kuwa amefanya kazi kubwa ya utibabu na upasuaji, navyo ni: Kitab al-iqtisad fi Islah Al-Anfus WA al-ajsad kitabu alichokiandika akiwa bado kijana, Kitab al-aghdhiya juu ya matumizi ya vyakula vyenye siha na vyakula hatarishi kwa siha ambacho alikiandika akiwa korokoroni nchini Morocco na Kitab al-taysir ambacho kwa lugha ya vijana wa leo hicho ndicho kilikuwa mwisho. inayofwata yatakuwa makala mawili mfululizo nitayomwangalia Ibn Khaldun. Fatilia kuandama kwa Mwezi Leo Ijumaa ni tarehe 19 Rajab 1436 AH sawa na tarehe 8 May 2015 Tutaangalia kuandama kwa mwezi wa Shaban tarehe May 18, 2015 Tutaangalia kuandama kwa mwezi wa Ramadhani tarehe June 16, 2015 Kutoka leo Ijumaa ya tarehe 8 May 2015 hadi kufika Ramadhani tumebakisha siku 40 UWANJA WA VIJANA - JIONGEZEE MAARIFA CHEMSHA BONGO namba 4 MAJIBU CHEMSHA BONGO NO:4 1.Taja katika Qur an Sahaba aliyotajwa kwa jina katika Sura ipi? Al-Ahzab 33:37, Al-Baqara 2:50, Al-Kahf 18:33. Jawabu: Al-Ahzab 33:37 2. Siku ipi iliokaririwa sana katika Qu ran? Ijumaa, Qiyama, Ramadhani. Jawabu: Qiyama 3. Surah ya kwanza iliteremshwa katika mji gani? Jawabu: Mji wa Makka. 4. Inakisiwa Qu ran imetafsiriwa kwa lugha ngapi ikiwa Kiswahili ni lugha mojawapo? 50, 103, 85, Jawabu: 103, 5. Neno Allah limekaririwa mara ngapi katika Qu ran? 2,698, 11, 585 Jawabu: 2, Mwezi gani wa mwaka uliotajwa katika Quran? Ramadhan, DhulQada, Jamadul Thani. Jawabu: Ramadhan 7. Katika Surah Rahman ni mara ngapi kalima 'fabi ayye aalahi rabbikuma tukazziban' limekaririwa? Mara 50, 125, 31 Jawabu: Ni nani aliozaliwa pasi kuwa na mama? Jawabu : Bibi Hawa 9. Mtume yupi alikuwa na ujuzi wa Usaremala? Idriss, Ebrahim, Nuh. Jawabu: Mtume Nuh 10. Mtume gani alikuwa akisarifu vyuma? Suleiman, Daud, Yahya. Jawabu: Mtume Daud

15 15 Na Ben Rijal Dini ni ufunguo na humuongoza mwanadamu kiroho kuweza kujiepusha na mengi ambayo ni yenye dhara kwake. Wengi wakazi wa sayari hii tunayoishi ni waumini wa dini mbalimbali ambazo humkomboa m w a n a d a m u kiroho. Wengi kati UWANJA WA VIJANA JIONGEZEE MAARIFA CHEMSHA BONGO NO: 5 Weka duara kwenye jawabu ilio sawa, Jawabu kamili wiki ijayo. Majanga, matokeo na imani - 2 ya wenye kuamini dini, wapo katika nchi zinazoendelea na sio kwenye nchi zilizoendelea. Dini humzuia mja kufanya mabaya iwe kuiba, kuzini, kudhulumu, kufitini, ubaguzi, M A S A H A B A W W E B R A H I M K I N Y A N G U M I A F E I N I M R O D O Y H L A L I U A E B O I A L I S G K J M C D E F A K N A B U B A K A R O A M U H A R R A M P T 1. Mtume gani alikabiliana na Mfalme Nimrod? Yusuff, Ebrahim, Issa. 2. Mwezi wa mwanzo wa mwaka Kiislamu ni mwezi wa : Muharram, Ramadhan, Mfungo Mosi, 3. Mtume Mussa alipoitupa Fimbo yake iligeuka: Nge, Ndege, Nyoka. 4. Waliomfwata Mtume wakati yupo hai wakiitwa: Marafiki, Wenzani, Masahaba. 5. Sura ngapi zimeanza na kalima Bismillahi Rahman Rahim? 114, 113, Harufu gani imetumika zaidi katika Quran? Alif, Taa, Yee. 7. Mwaka katika Uislamu una siku ngapi? 365.4, 354, Mtume Muhamad SAW alihama Makka kwenda Madinah mwaka gani? 9. Mtume Younus alimezwa na: Nyangumi, Papa, Ndowaro. 10. Ni Sahaba yupi mwanamue mtu mzima alikuwa wa mwanzo kumkubali Mtume SAW na Sahaba yupi aliokuwa mtoto wa mwanzo kumfwata Mtume SAW? Jee unajua? 1. Bibi Khadija ndio mwanamke wa mwanzo kuukubali Uislamu? 2. Jina la Ngamia aliopanda Mtume SAW akijulikana kama Al-Kaswa. 3. Abdul Malik bin Marwan ndio alioweka nukta katika Quran na Hajjaj bin Yusuff ndio alioweka Irabu (Fatha, Dhuma, Ksara, Sakna, Mada, Shada) katika Qu ran. 4. Mitume 25 imetajwa kwa majina katika Qu ran. 5. Ilipofika mwaka wa 1143 Theodore Bailey aliitafsiri Quran kwa lugha ya Ki-Latino. 6. Kuwa Mita moja sawa na Futi 3.28 (I meter is equal to 3.28 foot). 7. Mjumbe wa Allah Mtume SAW ametuambia: Allah hatoiondoa ilimu kwa watu wake (ndani ya moyo), bali ataiondoa ilimu kwa kuondoka Ulamaa, baada ya hapo hakutakuwa na wasomi, wajinga ndio watakuwa viongozi, wataulizwa na kutoa Fatwa pasi na kuwa na ilimu, watafanya makosa na kuwatia makosani watu-ibn Majah. (Jee wakati huu haujafika?) 8. Mzunguko wa duara (Round about) uliovunja rikodi duniani ni katika nchi ya Ufaransa, ikiwa na round about nyingi. 9. Idadi ya Wachina waliouwawa mikononi na mwa Wajapani ni kubwa kuliko idadi ya Mayahudi waliouliwa na Hitler katika muaji ya halaiki. 10. Wanasayansi mara nyingi huwa ni watu wa mughafala, mwanasayansi maarufu duniani wa somo la Fizikia Albert Einstein, alitumia alama ya kuweka katika kitabu pale unapomaliza kusoma (Bookmark) cheki ya Dollar 1,500 baadaye akalipoteza buku pasina kujua alipoliweka. uchochezi wa shari za kila aina n.k. Kukata tamaa kunachangia pakubwa mtu kuamua bora aondoke duniani kuliko kuishi. Lakini mtu akiwa muumini wa dini yoyote ile, maamrisho ya dini humzuia kujinyonga na kumuelekeza kuwa yote yalio mazuri na mabaya yapo katika kuandaliwa mwanadamu na kuangaliwa imani yake ikoje katika kukabiliana na mazuri na yalio mazito kwa maisha kwa jumla. Unapoangalia nchi kumi zinazoongoza kwa watu kujiua, ni nchi ambazo maongozi ya dini hayazingatiwi kikamilifua na watu kukata tamaa na kushindwa kurudi kwa Mola wao. Khati ya kumwaga mtu juu ya kujiua Lithuania ndio nchi inayoongoza watu wake kujiua katika kila watu 31 watu 100,000 hujinyonga, ikifuwatiwa na Korea Kusini watu 28.1 kwa kila watu 100,000, Guyana watu 26.1 kwa kila watu 100,000, Kazakhstan watu 25.6 kwa kila watu 100,000, Slovenia watu 21.8 kwa kila watu 100,000, Hungary watu 21.7 kwa kila watu 100,000, Japan watu 21.4 kwa kila watu 100,000, Sri Lanka watu 21.3 kwa kila watu 100,000, Latvia watu 20.8 kwa kila watu 100,000 na Belarus watu 20.5 kwa kila watu 100,000. Sababu kubwa ya watu hao kujiua ni kukata tamaa, ulevi, madeni, migongano ya kifamilia n.k. Ijumapili iliopita ya tarehe 3 mwezi wa Mei, kisiwa cha Unguja kilikumbwa na janga kubwa la kimaumbile ikiwa ni mafuriko kwa mvua ilionyesha kwa masaa manne mfululizo na kufikia ukubwa wa nchi ambayo mvua kubwa kama hio ilinyesha mwaka wa 1972 na kufikia inchi Nyumba 354 ziliathirika, nyumba mbili zilizama kabisa na nyengine kuta zao kuharibika au kuvunjika. Muumini wa Kiislamu hutakiwa kufwata Sheria na Qadar(kipimo)- Mafuriko katika mitaa ya Unguja Qadhaa na Qadar ni katika nguzo za Imani katika Uislamu. Imani ya Muislamu haitokamilika ikiwa hatokuwa mja anaamini qadar kwani qadar ndio anayo mwenyewe Mola. Allah katika Sura Al-Qamar anaeleza: Kwa hakika Sisi tumekiumba kila kitu kwa kipimo. 54: 9. Mola ameumba kila kitu kwa kipimo na anahitajika mwanadamu kuelewa kuwa majanga yote yanayotokea duniani iwe kwa mtu mmoja mmoja au familia, kijiji, nchi ni kuwa hayo tayari yameshaandikwa kwenye Al-Lawh Al- Mahfoodh, Mola mwenyewe kishajua hilo litatokea na sio kitu kigumu hicho kuweza kukifahamu, ikiwa hivi sasa kuna mbinu (model) mbalimbali duniani ambazo hutumika kutabiri iwe mvua, matetemeko ya ardhi, kupatwa kwa jua na mwezi n.k. Hayo hutabiriwa na kutokea kama yalivyotabiriwa verejee Muumba wa mwanadamu asiweze kuelewa yatayotokea? Katika Sura Al-Hadiid inaelezwa bayana: Hautokei msiba katika ardhi wala katika nafsi zenu ila umekwisha andikwa katika Kitabu kabla hatujauumba. Hakika hayo kwa Mwenyezi Mungu ni mepesi. 57:22 Katika Suratul Tawba Mola anatueleza kuwa: Sema: Halitusibu ila alilo tuandikia Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye Mola wetu Mlinzi. Na Waumini wamtegemee Mwenyezi Mungu tu 9:51. Msiba wowote ule hutokea ikiwa Allah anatambua na anapotaka usitokee hautokei lakini Allah huwacha utokee na unapotokea Allah hutuambia katika Sural Attaghaabun: Haufiki msiba wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu huuongoa moyo wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu. 64:11 Mja anapoamini kuwa misiba hutokea kwa uwezo na muongozo wa Allah, kwa hio unapomtokea anatakiwa awe na subira na utulivu, kwa kufanya hivyo tunzo lake atalolipata ni kupata Pepo alioandaliwa baada ya kufa, kama inavyoelezwa kwenye Surat Al-Insan: Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri. 76:12. Subira ni kipimo kikubwa kwa mwanadamu na siku zote mwanadamu hutakiwa awe na subira wala asiseme kuwa subira ina kikomo au mipaka kwa kukata tamaa. Nafasi ya subira katika imani ni mfano wa kichwa katika kiwiliwili cha mwanadamu, kichwa kinapoondoka kiwiliwili huwa hakipo na maisha kumalizika na hakika kuna jazaa kubwa kwa wale wenye subira kama inavyoelezwa kwenye Surat Azzumar: Sema: Enyi waja wangu mlio amini! Mcheni Mola wenu Mlezi. Wale wafanyao wema katika dunia hii watapata wema. Na ardhi ya Mwenyezi Mungu ni kunjufu. Hakika wenye subira watapewa ujira wao bila ya hisabu. 39:10. Mtume SAW anatueleza katika Hadithi iliopokewa na Muslim Uzuri ulioje kwa muumini kwa matendo yake yote kuwa mazuri na yanapomtokea mazuri hufurahi na hili ni jambo jema kwake na linapomtokea baya hulikubali na kuwa na subira nalo na hili ni jambo jema kwa mja. Muslim. Mola anatuelekeza katika Qur an nini tuseme pale msiba utapotutokea kama inavyoelezwa katika Sura Al-Baqara: Hapana shaka tutakujaribuni kwa chembe ya khofu, na njaa, na upungufu wa mali na watu na matunda. Na wabashirie wanao subiri, 2:155 na Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea. 2:156. Tunafaidika vipi kiroho tukijijenga kwenye Imani kwenye majanga na misiba? 1. Utullivu wa nafsi: Muumini wa Kiislamu ambaye anaikubali qadari (kipimo) na makadirio aliyowaweka Muumba, siku zote yakimtokea majanga hupata utulivu kwa kuwa anaelewa hayo yaliomtokea ni kutokana na Allah SW na huwa hatetereki. Hivyo ndivo mja atakiwavyo awe, akifika katika nukta hio basi huwa hatetereki kwa lolote lile linalomtokea. 2. Kuridhika: Yanapomtokea majanga na kuridhika na tokeo hilo hufaidika, sio kama wale ambao yakiwatokea majanga huanza kusema kama ingekuwa hivi basi ningefanya hili tokeo lisingelikuwa, mfano mwengine mtu kapata ajali ya gari, akatamka ingekuwa ningebakia nyumbani isingetokea, mja mwema janga likimtokea anatakiwa alipokee na wala asitetereke kwa kuwa ashafahamu katika program yake ya maisha hilo tayari lipo. 3. Humfanya kutotetereka: Mja alio na imani na kuijua qadar siku zote janga likimtokea huwa Inaendelea Uk. 18

16 16 /SHAIRI Inatoka Uk. 12 vya usafiri na serikali na madereva na waajiri wao. Pamoja na kwamba tatizo kati ya wamiliki wa vyombo vya usafiri (matajiri) na seriikali ni tuli kwa sasa, lakini bado na lenyewe halijapata tiba ya kudumu. Mara nyingi mzozo kati ya wamiliki wa mabasi na malori na serikali umekuwa ni katika maeneo ya kupanda na kushuka kwa nauli, faini, ushuru mbalimbali nk. pamoja na kwamba hali ni tuli, lakini bado serikali haijachukua hatua madhubuti kupata muafaka wa kudumu katika eneo hili. Kwa kuwa hakuna suluhu ya kudumu hapa, wakati wowote kunaweza kutokea tatizo kati ya pande hizi pili na watakaoumia ni wananchi. Kwa serikali yenye watendaji makini, ili kuepusha uwezekano wa kutokea mtafaruku katika eneo hili, ilipaswa kuhakikisha kwamba inamaliza tatizo lililopo Awali ninabtadi, Kuzitoa tahamidi, Kwa Muumba wa abidi, Na vyote vilosaliya. Kadhalika Mfishaji, Makhaluku duniani, Pamwe na Mhuishaji, Yaumul-hashariya. Thuma swala na salamu, Kwa Tumwa muhtaramu, Muhammadu muadhamu, Imamu wa manabiya. Zende na kwa aalize, Kadhalika swahabaze, Na wafwatao nyayoze, Hadi mwisho wa duniya. ALLAH ametuumbiya, Uhai pamwe manaya, MULKU ya pili aya, Malengoye rejeleya. Mauti dunia nzima, Kuyaonja ni lazima, Si mimi ninayesema, Muumba atuambiya. Durusuni IMRANI, Aya mia themanini, Na tano kwa tamakuni, Hilo mtajioneya. Mwaka umetimilika, Tangu alipotutoka, Si mwingine mtajika, Ilunga nakusudiya. Rajabu mwaka wa jana, Mwezi tano si mnana, Aliitwa na Rabbana, Ilunga nakumbukiya. Siku alipotutoka, Nyuso zilihuzunika, Si Zenji si Tanganyika, Umma ulimliliya. Yu alikuwa makini, Mfunda kaumu dini, KUMBUKIZI YA ILUNGA Ni mazoea mabaya kulea matatizo na si kulifanya liwe tuli tu kama ilivyo sasa, na wakati wowote kuweza kulipuka tena. Kwa mfano kuna sintofahamu kuhusu kushuka nauli kufuatia kushuka bei ya mafuta. Hili halikuwekwa sawa na muafaka haukupatikana hadi sasa ambapo mafuta yameanza kupanda tena. Wahusika wamepiga kimya. Lakini eneo lenye matatizo sugu yanayoonekana kama yameshindikana ni kati ya madereva na waajiri wao na madereva na serikali. Hitilafu hizi za muda mrefu na kukosekana suluhu na msuluhishi ndizo zinawaumiza wananchi wasio na hatia hivi sasa. Kwa mfano, kutokana na kukithiri ajali za barabarani nchini, kauli ya Darsani na shuleni, Mwanza tulishuhudiya. Thaqibu msikitini, Iqra madrasani, Mafunzo ya yetu dini, Ndiko aliyatoleya. Kadhalika mashuleni, Nako kafundisha dini, Taqwa,Thaqafa jijini, Bismark ongezeya. Nako makongamanoni, MFUMO kuubaini, Si Bara si Visiwani, Kote alizungukiya. Elimu mtandaoni, Pamoja na kasetini, Waaidha sidiini, Yake tunajipatiya. Tuyatie matendoni, Alotufunda ya dini, Yapate kutuauni, kwa maisha baadiya. Kifo faradhi yakini, Isiyo na walakini, Kwacho tujiandaeni, Kwani sote yetu njiya. Mwisho ninakuombeni, Dua tumuombeeni, Dhunubuze RAHMANI, Aweze 'mghufiriya'. Na kwa memaye MANANI, Airudufu mizani, Palipo na nuksani, Apate kumjaziya. Allahuma aamini, Muepushe na nirani, Mlaze pema peponi, Kwa yako ALLAH mashiya. ABUU NYAMKOMOGI- MWANZA. uongozi wa NIT ilimtaka kila dereva wa chombo cha abiria, anapohaisha (renew) leseni yake lazima akasome kwanza, na kusoma kwenyewe si kwingine bali lazima iwe ni Chuo cha Usafirishaji- NIT kilichopo Dar es Salaam. Kwamba dereva yeyote wa chombo cha abiria hawezi kupata leseni ya daraja la C inayomruhusu kuendesha chombo hicho kuanzia abiria 30 hadi awe amepitia chuo hicho. Baadae Waziri wa Kazi naye akaja na tofauti juu ya jambo hilo, lakini wakati kauli inatolewa na mtendaji wake hakupinga wala kukanusha. Sipingi madereva wetu kwenda shule ili kuboresha taaluma zao au kupata ujuzi zaidi. Ninachoona ni tatizo la ukiritimba katika kusoma kwenyewe. Utaratibu wa lazima kusoma NIT, lazima anayehaisha leseni yake arejee tena kisomo cha NIT ni utaratibu mbovu, ambao kwa namna moja au nyingine utachangia zaidi ajali badala ya kuzipunguza. Kwanza utaratibu huu ni wazi kwamba utawanyima watu wengi wanaohitaji fani ya udereva au wale wanaohaisha leseni zao kutimiza haja zao kwa kushindwa kufika NIT Dar es Salaam kusoma taaluma hiyo. Yaani hata wale ambao walishafika NIT na kufuzu, wanalazimika kurudi tena chuoni kusoma kitu kile kile walichosoma awali na kupata leseni zao. Sote tunafahamu kwamba vyuo vya Ufundi Stadi (VETA), ni taasisi rasmi za kiserikali zinazotoa elimu ya ufundi inayokidhi na kukubalika kitaaluma. Ni vyuo vya kitaaluma vinavyosimamiwa na kuendeshwa na serikali. Kwa bahati nzuri, vyuo hivi kwa muda mrefu vimekuwa vikitoa mafunzo ya taaluma ya udereva na kwa kutumia nyenzo sahihi za mafunzo. Tena wahitimu wakipimwa ufahamu wao na wakaguzi wa magari (Vehicle inspectors) kutoka jeshi la polisi kuthibitisha kama wamewiva na kufuzu udereva waliojifunza. Kwa urasimu huu usio wa lazima wa lazima dereva wa abiria asome NIT maana yake ni mwanya kwa watu kuishia kujifunza mitaani na waajiri kuwachangamkia kama cheap labour na kuwapa kazi. Hapa tutarajie ajali zaidi. Hasa ikizingatiwa kwamba hata hizo leseni bandia zinazolalamikiwa, watoaji ni serikali yenyewe kupitia maafisa wake wanaoitwa wasio waaminifu!. Tunahoji, kwanini serikali inadharau vyuo vyake yenyewe vya ufundi stadi na kuwalazimisha madereva wanaotaka kubeba abiria lazima kusoma NIT? Mbona mafunzo ni yale yale, wakaguzi ni wale wale, mitaala ni ile ile, sharia ni zile zile, nyenzo za mafunzo ni zile zile. Vipi ule mkakati wa kuhakikisha vyuo vya VETA vinajengwa hadi ngazi za Wilaya, ili kuwapa vijana wengi zaidi fursa za ujuzi ili waweze kujiajiri ulikuwa na maana gani kama udereva lazima NIT? Ifike mahali tuwapime watendaji wetu serikalini, kama utendaji na maamuzi yao ni kwa kustawisha maisha ya Watanzania au ni ya kibinafsi zaidi na kwa maslahi ya wateule wachache. Pamoja na NIT, VETA wana kila sababu ya kuaminiwa kwamba wanaweza kutupatia madereva wazuri wa abiria, wenye utaalam stahiki. Tukiwawezesha na kutumia vizuri, vitatoa fursa kwa madereva wengi zaidi kupata ujuzi stahiki kwa kuwa vyuo ni vingi na kupunguza hizi ajali za kizembe. Hapa kwa nama moja au nyingine tutakuwa tumeondoa hitilafu kati ya madereva na serikali. Kuna shida ya kimaamuzi kuhusu tatizo la miaka mingi la madereva kuhusu kupatiwa mikataba ya ajira kutoka kwa waajiri wao. Kwa muda mrefu madereva, si wa abiria au magari ya mizigo, wamekuwa wakifanya kazi kama vibarua na kuishi kwa ujira wa posho. Hili ni tatizo ambalo serikali inalifahamu lakini imeendela kulifuga na kushindwa kuchukua hatua na kuweka mambo sawa na mapema. Lau kama hatua zingechukuliwa mapema kwa kuzingatia umuhimu wa sekta hii ya usafirishaji, basi leo yawezekana tatizo linalousibu umma wa Watanzaia lisingekuwepo. PPT inaonekana kuzungumzwa zaidi kisiasa na si kiutendaji. Kuna Wizara nzima ya Uchukuzi, kuna Wizara ya Kazi, Wizara mbili lakini matatizo ya usafiri hayaishi. Serikali ndio iliyoweka sheria za kazi na serikali hiyo hiyo ndiyo msimamizi wa sheria zenyewe. Ni ajabu kuona Taifa linakwama kwasababu tu, serikali imeshindwa kuwashinikiza wenye vyombo vya usafiri kutimiza matwakwa ya sheria. Kama kweli serikali ingetaka kumaliza tatizo hili, yenyewe ndiyo inayotoa vibali vya usafirishaji, ingetosha kuwawekea utaratibu kwa wasafirishaji (matajiri) kwamba, moja ya masharti ya kupata kibali, kuwasilisha wizarani mikataba ya ajira ya wafanyakazi wake. Mashirika ya Mifuko ya Hifadhi za Jamii kama NSSF, PPF nk, bila shaka nayo ingependa kuona wanapata wanachama na kuwalindia kwa maisha yao ya baadae. Nao wangefuatilia makampuni ya usafirishaji kuhusu makato ya ya wafanyakazi. Hapa wenye mabasi, malori wangelazimika tu kuajiri na hapo madereva, makondakta, makarani wa kukata tiketi nk. wangehakikishiwa ajira zao. Leo mgomo ungekuwa wa nini? Kama suala la kuwekwa ukiritimba huo ni kukithiri ajali za barabarani, basi dawa si kuwabana tu madereva. Serikali nayo kwa upande mwingine inalazimika kujibana kwa kuwa imekuwa moja ya sababu za ajali nyingi nchini. Kwa mfano lile korongo lilikuwa katika barabara ya kwenda Mbeya pale Mafinga, barabara ya TANROADS, korongo ambalo limekuwepo kwa muda mrefu bila kufukiwa na kuwa chanzo dhahiri cha ajali nyingi katika barabara hiyo, nalo ni tatizo la madereva? Vipi kuhusu mawimbi ya muda mrefu yaliyopamba barabara ya Mlandizi Chalinze, ambayo hadi sasa yameendelea kuwa chanzo cha ajali katika barabara hiyo. Tusemeje kuhusu mashimo ya muda mrefu katika barabara nyingi za jiji la Dar es Salaam, tena katikati ya mji ambazo zimekuwa adha kubwa kwa wenye magari na watembea kwa miguu. Nayo wakazibe na madereva?

17 17 MAKALA/TANGAZO Kampeni za kueneza madawa ya kulevya katika filamu za Magharibi Na Salum Bendera FILAMU ni moja ya sanaa muhimu katika maisha ya mwanadamu kwani athari yake katika akili na fikra na mtazamaji ni kubwa na yenye kubakia. Mfumo wa utengenezaji na uzalishaji filamu nchini Marekani unasimamiwa na taasisi na kituo mashuhuri cha utengezaji filamu cha Hollywood, kituo ambacho kimejipatia umashuhuri mkubwa ulimwenguni kutokana na kutengeza filamu nyingi mno. Taasisi ya filamu ya Hollywood ina uzoefu na tajiriba ya karne moja na ndicho kituo muhimu kabisa cha kuzalisha na kutengeneza filamu tofauti nchini Marekani na ulimwenguni kwa ujumla. Hollywood ambayo huzalisha takribani filamu 700 kwa mwaka, katika miongo ya hivi karibuni taasisi hiyo imepoteza ile nafasi yake ya kisanaa na kuondoka katika ule mkondo wake kama kituo cha utamaduni na kijamii kutokana na kuzalisha filamu chafu ambacho zinakinzana na maadili mema ya kijamii. Filamu za kushajiisha ngono, ulevi, wizi, utumiaji mabavu na kadhalika ni baadhi tu ya filamu zinazotengenezwa na Hollywood ambazo huwa na taathira mbaya mno katika fikra hasa kwa tabaka la vijana. Mwenendo huo umekuwa mkubwa mno kiasi kwamba, hata wataalamu na wakosoaji wengi ulimwenguni wamefikia kuilalamikia taasisi hiyo Hollywood. Kutokana na thamani za kimaadili kupungua katika filamu za Marekani, jambo hilo limepelekea kuzuka wasiwasi mkubwa hata nchini Marekani kwenyewe na hata wakazi wa Hollywood wenyewe wamefikia hatua ya kulilalamikia suala hilo. Moja kati ya mifano ya wazi ya kulalamikia mfumo wa utengenezaji filamu nchini Marekani ni ripoti ya miaka ya hivi karibuni ya Shirika la Afya Duniani (WHO) pamoja na timu yake ya madaktari bingwa. Ripoti hiyo inasema kuwa, kitengo cha utengenezaji MCHEZA Filamu maarufu wa Marekani Sylvester Stallone (Rambo) filamu cha Hollywood ndicho kituo kikubwa kabisa cha utangazaji miamala mibaya na mahusiano haramu ya kijinsia pamoja na madawa ya kulevya kiasi kwamba, athari nyingi za filamu za Hollywood zimekuwa na taathira kubwa katika kuenea maradhi ya ukimwi, magonjwa zinaa pamoja na utumiaji wa madawa ya kulevya. Utafiti wa timu ya madaktari bingwa wa Shirika la Afya Duniani (WHO) unaonyesha katika ripoti yao hiyo kwamba, katika filamu za Hollywood ambazo huakisi mahusiano haramu ya kijinsia na utumiaji madawa ya kulevya; watengenezaji wa filamu hizo huwa hawaonyeshi madhara ya vitu hivyo suala ambalo huwashajiisha vijana kujihusisha na mambo hayo kutokana na kutoonyeshwa madhara na taathira mbaya zinazotokana na mtu kujihusisha na masuala hayo. Nalo Shirika la Kupambana Matumizi ya Tumbaku limeituhumu Hollywwod kwamba, imekuwa ikiendesha kampeni zisizo za moja kwa moja na wakati mwengine kwa njia ya moja kwa moja za kushajiisha utumiaji wa madawa ya kulevya. Ripoti ya shirika hilo inaashiria filamu na michezo ya kuigiza ya televisheni ambayo ni ya mfululizo na mfuatano ambapo wachezaji wake asili wa athari hizo wanatumia madawa ya kulevya na visa katika michezo na filamu hizo kwa nama fulani vinaunga mkono vitendo hivyo. Mchezo wa mfululizo unaojulikana kwa jina la Woods ambao una watazamji wengi na filamu ya Pineapple Express ya David Gordon Green, ni baadhi ya michezo na filamu ambazo wachezaji wake wa asili wanatangazwa na kuonyeshwa kuwa ni watumiaji wa madawa ya kulevya. Nukta hiyo kwa hakika imezifanya asasi nyingi za kutetea misingi ya familia na harakati za kupambana na utumiaji wa madawa ya kulevya kuingiwa na wasi wasi mkubwa. Wanasema kuwa, filamu na michezo hiyo ina taathira mbaya kwa watoto na vijana wanaoinukia na inawashajiisha kutumia madawa hayo ya kulevya. Hata hivyo watayarishai na waongozaji wa filamu pamoja na michezo hiyo ya kuigiza ya televisheni wanapinga vikali madai hayo na kudai kwamba, filamu zao zinaakisi yale mabadiliko yaliyotokea katika jamii na kwamba, wanachofanya wao ni kuakisi ukweli halisi wa mambo ulioko katika jamiii. Baadhi ya weledi wa mambo wanaamini kuwa, kuonyeshwa filamu zinazoakisi na kwa namna fulani kufanya kampeni za kutangaza utumiaji wa madawa ya kulevya ni hatua zinazokwenda sambamba na siasa za uzembe na kupuuza mambo za serikali ya Marekani. Hii ni katika hali ambayo, miaka michache iliyopita kazi hiyo halikuwa jambo jepesi. Mfumo wa upangaji wa filamu ambao hadi katika miaka ya hivi karibuni ulikuwa ukizingatiwa na hata ulikuwa na wafuasi wakubwa baina ya wanasiasa nchini Marekani, hivi sasa haufuatwi na hata kumekuwa na ulegezaji kamba mkubwa wa sheria katika uwanja huo. Hata wachezaji wanaopata tuzo kutokana na filamu zao kushinda utapata filamu nyingi kati ya hizo zinazopata tuzo hizo, ni zile ambazo hazina maadili na wala hazina chochote cha kumfunza mwanajamii maadili, bali ni filamu chafu na zenye kueneza ufisadi katika jamii na utumiaji wa madawa hatari ya kulevya pamoja na kuonyesha wazi matendo ya ngono, hatua ambayo bila shaka haijengi, bali inabomoa na hushajiisha vijana kuelekea katika mkondo huo mbaya hasa inapotekea kuwa, mchezaji wa filamu hiyo ni maarufu na anayependwa na wengi. Ukweli wa mambo ni kuwa, matukio ya kiutamaduni yana uhusiano wa moja kwa moja na masuala ya kisiasa. Msemaji wa kituo cha kuachisha uraibu na utumiaji wa madawa katika jimbo la Pennsylvania nchini Marekani anasema kuwa, kuna mirengo miwili ya kisiasa na kiutamaduni katika jamii ya Marekani ambayo inafanya harakati kwa pamoja na ina taathira ya moja kwa moja. Katika siku hizi katika kila medani hizo mbili kuna anga nzito inayotanda na huwezi kutenganisha masuala ya utamaduni na ulimwengu wa kisiasa. Uonyeshwaji wa wazi wa utumiaji madawa ya kulevya katika filamu za Marekani umechukuliwa kutoka katika anga jumla ya jamii ya Marekani na tadibiri za waandaaji sera na siasa nchini humo. La kusikitisha zaidi ni jinsi sanaa ya filamu Afrika hususan katika eneo la Afrika Mashariki, kuiga filamu za Kizungu katika utengenezaji wa filamu zao. Tunaona filamu zinazotengenezwa leo nchini Tanzania jinsi zilivyojaa utovu wa maadili huku zikishajiisha pombe, ngono na utumiaji madawa ya kulevya. Televisheni ambayo ingepaswa kutumiwa kwa ajili ya kurusha vipindi vya maana vyenye mafunzo kwa jamii, leo hii imekuwa haitazamiki, imejaa vipindi vingi vya miziki ambayo wanenguaji wake wamevaa nusu uchi kama sio wako uchi kabisa. Kwa mfano mfano vipindi vingi katika televisheni za Tanzania, mtu mwenye kuheshimu maadili hawezi kukaa na kutazama baadhi ya vipindi kama sio akthari yake akiwa pamoja na familia yake. Mlolongo na mwenendo huu unaonesha jinsi mmonyoko wa maadili katika filamu za Magharibi ulivyofanikiwa kuwa na taathira kwa sanaa ya filamu katika nchi nyingine na matokeo yake ni kutoa mafunzo machafu kwa jamii hasa tabaka la vijana ambao ni taifa la kesho. Katika hili bila shaka taasisi za Kiislamu na viongozi wa dini wana nafasi ya kuiamsha jamii ambayo inaonekana kulala usingizi fofofo wa mghafala.

18 18 Kwa sababu hii, tunaona kwamba mfano wa vitabu hivi ingawa vimeandikwa kwa niya ya kuutumikia Uislamu, lakini majibu haya kumeongezea kuzibabaisha fikra na yamepelekea kwenye mvurugiko wa kifikra, na vigumu kuutawala. Kwa sababu hiyo kumekuwa ni jambo muhimu sana kutafuta njia ya kuathiri yenye nguvu. Kwa hiyo, imekuwa ni jambo la lazima kwa mwenye kufikisha ujumbe kujipamba na sifa ya ikhlasi ya kina sana na ya hakika ubavuni mwa elimu na kuishi kwa kufuatana na elimu hii na ukijuwa njia za kufikisha na kuongoza na kumwelewa yule anayeambiwa na kujuwa nini anasema na kwa namna gani anasema na wapi anasema. Hapa kunapasa kukumbusha jambo jingine, nalo ni kuja uwezekano wa kuifahamu kimakosa aya hii: Ni kwa nini mnasema yale ambayo hamyatendi? [A-ssaf 2]. Aya hii haifahamishi maana ya kuwa tahadhari kulikumbusha jambo ambalo huishi nalo kwa sababu kuishi ni ibada na kufikisha ni ibada nyingine. Yule ambaye hakuyatekeleza yote mawili, amebeba dhambi mbili na amekaa mbali na nguvu za kuathiri kwa hatua mbili, na ambaye hakulitekeleza moja la hayo mambo mawili, atabeba dhambi moja, na amekuwa mbali na kuathiri kwa hatua moja. Kwa sababu nguvu ya kuathiri kama tulivyosema inategemea juu ya kutekelezwa yale yanayofikishwa. Ndiyo, kwa hakika kuwaamrisha watu wengine kwa kufanya mema na kuwakataza na maovu na kuacha kuyatekeleza hayo juu ya nafsi huko, ni kuvunjana kuliko wazi. Na mfano wa utendaji huu wenye makosa, unapunguza taathira ya mambo chanya mengi, kama vile nguvu ya balagha na kuweka wazi na elimu. Haya ndiyo ambayo yanatajwa na aya hii. Ila asije akatumbukia mtu yeyote mwenye akili katika mfano wa kupinga huku na unamtaka binadamu umakini na kufikiri katika kuishi, na kufikisha na yasiyo kuwa hayo miongoni mwa upuuzi na maneno mengi yanayoondoa haiba ya mwenye kuzungumza. Na hili lina maana kwamba yeye ameiacha nafsi yake kikamilifu. Kwa sababu hiyo, imekuwa ni juu ya mtoaji wa mawaidha, na juu ya mtoaji wa nasaha na mwenye kuongoza, na mwenye kufikisha na mwenye kuandika, na mwenye kupanga mambo, awe ni mkweli katika matendo ambayo anasimama nayo ili yachukuliwe machukuo ya ukweli na kwa ajili yasipate kivuli chochote cha shaka juu ya zile maudhuu ambazo anazizungumzia na kuzitoa. Mafundisho ya Qur an-4 Kwa sababu hawakuweza kuishi katika muungano mmoja kati ya maneno na matendo, ehee ni kama hivyo, wamezingazinga na wameyumba na wamewatumbukiza wale wanaowafuata katika shaka na katika matatizo. Asibakie kwa matendo yake yaliyokombo, katika uwanja wa kuongoza, akawa mwenye kushindwa juu ya mambo yake, mbele ya maneno yenye kupambwa kwa wale wenye kulingania kwenye njia ya upotevu. Na kumbuka aliposema Mussa kwa watu wake, Enyi watu wangu hakika nyinyi mmezidhulumu nafsi zenu, kwa kumfanya kwenu ndama kwa hiyo tubieni kwa Muumba wenu kwa hiyo jiuweni nyinyi wenyewe. [Al-Baqarah 54] Yamefasiriwa maneno Ziuweni nafsi zenu katika aya hii kwa: Ziuweni nafsi zenu au na wasiwasi wale ambao hawakumwabudu ndama, kwa kuwauwa wale ambao wamemwabudu ndama. Isipokuwa panawezekana kuyafasiri maneno haya kama ifuatavyo vile vile: Muda wa kuwa mmesimama kwa kuubomoa umoja wa kidini, kijamii na kifikra, kwa kumwabudu kwenu ndama, na kumfanya kuwa Mungu na kwa kuyaandaa mazingira ya kutofautiana na kuhasimiana, mambo yakiwa ni hayo, basi uwaneni au kufeni kwa upande wa nafsi na umimi ili muwe hai kwa upande wa roho na maadili au kufuatana na maelezo ya kitaswawwufi, Ziuweni katika nafsi zenu, hisia mbaya mifano ya nguvu za matamaniwa na za kughadhibika na kadhalika na zizingatieni kuwa ni hisia hasi za umimi, ili muwe mnafaa kwa ufufuo mpya kwa ajili ya maisha yenu ya kiroho na kimoyo. Vyovyote yatakavyokuwa, makusudiwa kutokana na kuwaita wale ambao wamemwabudu ndama au hawakumwabudu kwa kuzimwa nafsi zao, kwa hakika kumwita kila mtu kwenye mfano wa kufikiri huku na kujisafisha kwa wale ambao wamemwabudu ndama kwa sababu ya ukafiri wao wa wazi kabisa na kwa wale ambao hawakumwabudu kwa sababu ya kunyamaza kwao (wasiwaonye wenzao walioabudu ndama), kunabeba mafahamisho na maana mbalimbali. Pambizoni mwa haya kwa hakika ni kitendo cha kujitakasa kwenye kubarikiwa huku na huu mtihani ni mgumu katika kuiangamiza nafsi na kwa sababu ya kupita kwake ndani ya dhati, kumekuwa na maumivu mengi sana na katika mambo ambayo yanasababisha mtazamo uwe makini sana. Ni kwamba badala ya kuamrishwa kusema piganeni ambayo ilikuwa inakuja katika suala la kuwapiga wengine, imetoka amri isemayo ziuweni nafsi zenu jambo ambalo linaelezea, kufanya maradufu maumivu ya ndani na kero la nafsi kama sababu ya kujitakasa na kuzitakasa, hizo nafsi zenye madhambi. (Imenukuliwa kutoka Kitabu: Miyangaza ya Qur an katika mbingu ya hisia, cha Muhammad Fethullah Gullen kilichotafsiriwa kwa Kiswahili na Sheikh Suleiman Amran Kilemile) Majanga, matokeo na imani - 2 Inatoka Uk. 15 hatetereki na husonga mbele na imani yake huongezeka, Ibn Abass anatueleza kuwa Mtume SAW kasema Ikiwa Ummah wote utakusanyika kwa kutakia mafanikio kwa lile Allah alishaliandika na Ummah wote wakikusanyika kutakia baya ambalo Allah kishaliandika basi ufahamu kuwa kalamu itakuwa imeandika na wala haitakauka (maana yake kuwa alilokuwa kishalitabiri Mola litakuwa hakuna atakaye weza kuligeuza) At- Tirmithi. 4. Hupata funzo la kuwa mneyenyekevu: Unyenyekevu ndio Muumini atakiwavyo kujivika guo hilo pasi kuwa na kiburi. Mja linapomtokea janga arudi kwa Allah na kuwa kwake na unyenyekevu hupata fungu kubwa kwa Muumba. 5. Kujikurubisha kwa Mola: Siku zote mja anatakiwa kujikurubisha kwa Mola kwa lolote lile, mja hatokamilika akiwa anayumba kwa yale yanayomtokea. Mola anatueleza kwenye Surat An-Nissai: Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha. 4 :79 Muislamu siku zote atakuwa katika mafanikio linapomtokea janga ikiwa yeye binafsi au Taifa kwa jumla kujuwa hayo ni kutokana na yaliopangwa na kujuwa kuwa yeye kama ni mja yaliotokea ni katika majaribio, atapoelewa hayo na kutotereka ajue atakuwa katika waliofuzu na kuandaliwa Pepo za Firdaws. Mja hatakiwi kuona kuwa janga lilomtokea kaonewa na kwanini wengine hawapati majanga, wengine hufika kusema yeye ni mtu wa nuksi kwa kuwa kila siku yupo kupambana na majanga, ukisema hayo ujuwe nikuwa umo kwenye imani dhaifu na upotofu. Wakazi wa visiwa vya Unguja na sehemu mbalimbali za maeneo ya Tanzania Bara hivi sasa bado wamo kupambana na majanga ya kimaumbile na moja lililoshtadi kwa hivi sasa ni mvua za Masika zinyeshazo na kuleta mafuriko, hasara mbalimbali wananchi zinawatokea lakini Muumini wa Kiislamu hutakiwa saa zote kurudi kwa Mola wake kama aya mbalimbali nilizokwisha kuzinukuu na kumuomba Allah atusahilishie mvua hizi zilizokuja kwa wingi na atupe utulivu kwenye nyonyo zetu pale misiba ya mufuriko yanapotokea. Nimalizie na baiti za Shairi ulioandkiwa na Sheikh Muhyiddin Bin Sheikh mwaka wa 1278 (1862) Shairi lenyewe asili lilikuwa Dua ya kuomba mvua lakini baiti mbili za mwisho zinaendana na hali hii tulionayo. 6. Wengi waaayisi (wamekata tamaa), Kwa mateso kuwa tawili (marefu). Wana wasi wasi, Kwa madhambi yao thaqili (mazito). Rabbi tunafisi, Mola wetu uso mithali Na yawe mepesi, Iwe KUN yako kalima. 7. Rabbi twafikie, Toba njema yenye nadama (majuto) Utughufurie, Kuu dhambi ziwe lamama (ndogo) Wewe unenee, Ud-uni yako kalima Tuwasalie, Kwa isimu yako adhima Dua na ipae, Na qabuli ije kwa hima. Ameen.

19 19 Na Abuu Numan Hassan KILA sifa njema zinamstahiki Allah (s.w) Bwana na Mlezi wa viumbe vyote. Rehma na amani zimuendee Mtume Muhammad (s.a.w), Aali zake, sahaba zake na wote wanaofuata mwenendo wake mpaka siku ya Kiyama. Pale unapowauliza wengi miongoni mwa viongozi na waumini wa misikiti mbalimbali kuhusu msikiti ni nini; jambo kuu hujitokeza. Wengi kati yao husema kwamba msikiti ni nyumba ya Mwenyezi Mungu ambapo Waislamu hukusanyika kwa ajili ya kutekeleza ibada. Maelezo haya ni kweli ingawa hayajitoshelezi kwa mnasaba wa nafasi halisi ya msikiti katika jamii. Hii inatokana na ukweli kuwa neno ibada linaeleweka katika maana finyu. Waislamu wengi wa sasa wanaposema neno ibada wanakusudia swala tano za faradhi tu. Maana hii ya ibada ni finyu mno kwa kuzingatia upana na ujumla wa mfumo wa maisha ya Kiislamu ambao umeenea katika kila kipengele cha maisha ya mwanadamu ya kibinafsi na kijamii. Kutokana na kuubakisha msikiti kuwa mahali pa kukusanyika kwa ajili ya swala tano pekee; jamii inaendelea kukosa huduma muhimu ambazo ingelizipata kama angalau msikiti ungepewa tafsiri yake halisi na viongozi wakajituma mwisho wa juhudi zao kuweza kuitafsiri maana hiyo katika utendaji wao wa kila siku. Hali mbaya tuliyonayo leo katika maeneo ya imani, elimu, uchumi, afya kwa kutaja machache imechangiwa kwa kiwango kikubwa na tafsiri hii ya msikiti ni kitu gani! Hatuuoni msikiti ukijishughulisha na kukinga baadhi ya matatizo na majanga yasitokee, badala yake tunaukuta msikiti mara nyingi kama sio zote ukisubiri kuletewa mambo ya kufanya kutoka kwenye jamii kwa kuwa umeshindwa kuyashughulikia matatizo katika hatua zake za awali kabisa. Ipo mifano mingi inayoelezea upogo huu na hapa tutataja michache tu. Kwa nini msikiti uletewe taarifa za msiba unapotokea bila kupewa taarifa za ugonjwa na maendeleo ya tiba yake? Vipi tuwe wepesi kuunda mabaraza ya usuluhishi wa ndoa ilihali hatuelekezi namna bora ya kuyaendea maisha ya ndoa kwa wanandoa na wanaotarajia kufunga ndoa? Misikiti haijawa kimbilio la kweli la changamoto ya uchumi katika jamii, kwa nini hali iko hivyo? Tunachojaribu kusisitiza hapa ni kwamba msikiti tusiubakishe kuwa ni sehemu ya kufanyia ibada ya swala tano pekee, bali kiwe ni kitovu cha jitihada za kuinusuru jamii katika nyanja zote za maisha ya kila siku ili hatimaye neno la Allah liwe juu na neno la twaghuti liwe chini kama ulivyokuwa msikiti wa Mtume Muhammad (s.a.w). Kwa Nini Hii? Nafasi ya Msikiti katika jamii MASJID Mussa uliopo Kenya. Msikiti ndiyo taasisi ya mwanzo kabisa ambapo familia mbalimbali za Waislamu zinaanza kukutanishwa kwa namna bora kabisa ili kujenga msingi imara utakaobeba jengo la ummah wa Kiislamu. Ummah huu ukiwa na jukumu adhimu la kuhakikisha Uislamu unakuwa juu ya mifumo yote ya maisha. hii imekusudia kuweka jukwaa ambapo Maimamu watapata fursa ya kujadili hali halisi ya misikiti yetu hivi leo. Miongoni mwa mambo hayo ni kutathmini uimara na udhaifu uliopo katika misikiti yetu hivi leo. Pia kubaini fursa zilizopo na changamoto zinazoikabili misikiti yetu; ili kuweza kujenga uwezo wa kuzitumia vizuri fursa na kuleta utatuzi bora wa changamoto. Mambo haya ni lazima yafanyike ili kujipanga upya kuweza kuibadili misikiti yetu. Tuibadili misikiti kwa namna ambayo itaweza kutekeleza ule wajibu wake katika jamii kama ulivyokuwa msikiti wa Mtume Muhammad (s.a.w) ambaye ndiye kiigizo chema kwetu. Mfululizo wa makala hizi, In sha Allah, umekusudia kukizindua kizazi kilichopo cha uongozi wa misikiti ili kiweze kujipanga upya kuweza kujitathmini uimara wake na udhaifu wake wa ndani. Halikadhalika safu ya uongozi iweze kubaini fursa zilizopo na namna bora ya kuzitumia. Pamoja na hayo, kizazi cha sasa cha uongozi kiwe na uwezo wa kugundua hatari zinazoukabili msikiti na kuchukua hatua muafaka kukabiliana na hatari hizo; aidha kwa kuziondosha kabisa au kupunguza athari zake. Kukosekana kwa uwezo wa kujikagua uimara na udhaifu wa ndani, kubaini na kutumia fursa, na kubaini na kuziondosha hatari, katika safu za uongozi misikitini mwetu, kunasababisha misikiti yetu kushindwa kufikia malengo yanayotarajiwa ya uwepo wa msikiti ndani ya jamii yetu. Misikiti imesalia kuwa ni majengo ambayo hayana athari na ule ushawishi wa kutosha katika maisha ya Waislamu na jamii nzima kama ulivyokuwa msikiti wa Mtume Muhammad (s.a.w). Kitu ambacho muislam anasoma, anafikiri nini na yepi yanayoingia kwenye bongo yake, ni aina gani ya maisha ya binafsi, familia na jamii anayofuata, uchumi wake uko kwenye misingi gani? Haya ni baadhi ya maswali ambayo misikiti yetu mingi kama siyo yote haina majibu ya kiutendaji muwafaka na hali halisi. Badala yake kumekuwapo na fikra nzuri katika baadhi ya misikiti bila utekelezaji stahiki. Na kwa msingi huo, ni vituo visivyokuwa misikiti ndivyo vyenye ushawishi mkubwa kwenye maisha ya kila siku ya wanajamii. Ni matarajio yetu, kwa idhini ya Allah (s.w), makala hizi zitajadili mapungufu haya kwa kiasi ambacho kitamuwezesha kila kiongozi wa msikiti aweze kubaini pahala ambapo msikiti wake umekwama katika harakati za kuuweka Uislamu juu ya mifumo yote ya maisha; na kujipanga kuondosha vikwazo hivyo ili msikiti uweze kuihudumia jamii ya mwanadamu na kuifikisha katika furaha na amani ya kweli hapa duniani, kaburini na kesho akhera. Kwa Nini Misikiti Haifikii Malengo Kadiri Inavyotarajiwa? Misikiti ambayo haifikii malengo kwa wakati na kiwango kinachotarajiwa, mara nyingi huwa haina uongozi wenye ujuzi stahiki wa kuongoza ambao ungeweza kuunganisha dira na mkakati ili kuweza kuyafikia malengo. Viongozi wa msikiti wanatakiwa kuifafanua vizuri dira ya msikiti kwa waumini wote na kuweka mikakati ya kuwezesha dira hiyo kufikiwa kwa wakati. Kwa utaratibu huu, viongozi na waumini watatekeleza majukumu yao maalumu kwa kuzingatia mikakati na kutathmini utendaji wao. Dira ya pamoja itawapa uelekeo wa pamoja wahusika wote. Viongozi na waumini huenda wakawa na malengo yao binafsi katika maisha ambayo yanaweza yakasigana na malengo ya msikiti. Ili ufikiwaji wa malengo yao binafsi usije ukachukua nafasi ya kufikia malengo halisi ya msikiti, msikiti unatakiwa kujenga mazingira kuhakikisha Imam anakuwa na uwezo wa kuwaongoza viongozi na waumini wote namna nzuri ya kuoanisha malengo yao binafsi na malengo ya msikiti na kuwashajiisha kuweka juhudi ya kutosha katika ustawi wa msikiti. Katika muktadha wa uongozi, yapo mambo mengi yaliyochangia hali hii ya misikiti yetu kubakia kuwa ni pahala pa kufanyia ibada pekee; miongoni mwa mambo hayo ni pamoja na haya yafuatayo: Kukosa Dira iliyodhahiri, Kukosekana kwa stadi/mbinu za uongozi, Mazingira yanayokatisha tamaa, Urasimu wa hali ya juu, Kukosa ubunifu, Mawasiliano duni, Ushirikiano mdogo, Udhaifu katika kufanya kazi kama timu, na Uratibu dhaifu wa fikra na maarifa mbalimbali. Mambo haya yatajadiliwa hatua kwa hatua ili safu ya uongozi wa msikiti iweze kufanya tathmini ya kina ya pale ilipokwama na namna bora zaidi ya kunasuka kwenye mkwamo huo, In sha Allah. (Kwa maoni: Abuu Numan Hassan Ubaguzi wa rangi Inatoka Uk. 20 4:00 usiku, ambapo maafisa wanasema amri hiyo huwenda ikaendelea kwa siku chache zijazo. (VOA). Matukio ya kuuliwa vijana wenye asili ya kiafrika nchini Marekani kumewafanya mamilioni ya Wamarekani weusi au wenye asili ya Afrika kumeweka picha kwamba kwa makusudi wananyanyaswa na kufanyiwa ukatili wa maafisa wa usalama na polisi wazungu. Katika kipindi cha mwaka moja uliopita, kumeshuhudiwa visa kadhaa vya polisi wazungu wakiwafyatulia risasi na kuwaua kiholela Wamarekani wenye asili ya Afrika. Katika vitendo hivyo vya unyama na ukatili, polisi huwalenga na kuwafyatulia risasi washukiwa ambao aghalabu huwa vijana na mabarobaro. Katika kitendo cha hivi karibuni cha ukatili huo wa polisi, Freddie Gray, Mmarekani mweusi baada ya kutiwa nguvuni na polisi mzungu, alipigwa na kuadhibiwa vikali ndani ya gari la polisi na kisha kukimbizwa hospitali kutokana na majeraha aliyoyapata kutokana na kipigo. Akiwa hospitalini alifariki dunia. Kufuatia tukio hilo, mji wa Baltimore umeshuhudia machafuko makubwa zaidi mitaani, ambapo wananchi wenye hasira wamejitekeza kwa wingi kulalamikia ubaguzi na ukatili wa polisi ya Marekani. Machafuko hayo yametajwa kuwa mabaya zaidi katika miaka ya hivi karibuni nchini Marekani. Ikumbukwe kuwa katika historia ya Marekani kumeshuhudiwa uasi na maandamano ya Wamarekani weusi wakilalamikia ubaguzi wa rangi nchini humo. Kilele cha malalamikio hayo kilikuwa katika miongo ya 1950 na 1960 ambapo mashinikizo yalisababisha kuidhinishwa sheria kadhaa, ikiwemo sheria ya kuwapa Wamarekani weusi haki ya kupiga kura. Pamoja na hayo, hivi sasa baada ya kupita zaidi ya miaka 50 tangu kuibuka mapambano ya haki za kijamii Marekani, Wamarekani wenye asili ya Afrika wangali wanakabiliwa na ubaguzi mkubwa na dhulma zisizo na kikomo. Hali imekuwa mbaya kiasi kwamba hivi sasa maafisa kadhaa wazungu katika kikosi cha polisi Marekani, wamekuwa wakifyatuliwa risasi katika kile kinachotajwa kuwa ni ulipizaji kisasi.

20 20 MAKALA 20 Safari ya Hijja Hijiria 1436 Tanzania Muslim Hajj Trust, uandikishaji unaendelea, gharama za Hijja ni US Dollar 4400, tarehe za Safari ni: 11 na 13 Septemba, kurudi 7 Oktoba, Wahi kujiandikisha sasa Kwa mawasiliano: ; website info@hajjtrust.or.tz Maalim Seif atoa shutuma nzito Na Salma Alghaithiyyah Zanzibar MAKAMO wa Kwanza wa R a i s wa Z a n z i b a r, Maalim Seif Shariff Hamad amesema kuwa baadhi ya viongozi wa upande wa Tanzania Bara hawana nia njema kwa Zanzibar. Amesema, kauli na vitendo vyao ni wazi nia yao ni kuona Zanzibar inafutika kabisa katika ramani ya dunia. Wanaonekana nia yao ni kuimeza Zanzibar, lakini dua zenu zimesaidia, imekuwa kama tembo aliyemeza chura na amemkaa kooni, lazima atamtema tu, alisema Maalim Seif. Akizungumza katika h a f l a i l i y o a n d a l i wa n a kamati maalum ya (CUF) Zoni ya Mjini iliyokwenda kumdhamini kugombea nafasi ya Urais huko nyumbani kwake Mbweni, Maalim Seif akizungumzia Muungano, amesema, iwapo ataingia madarakani, wa n a n c h i wa Z a n z i b a r watapata fursa ya kuulizwa iwapo wanataka Muungano huo na uwe wa aina gani. Na akasema, hiyo ni muhimu ili kuwepo usawa kati ya pande mbili za Muungano huku akisema mfumo uliopo una kasoro nyingi ambazo zimekuwa zikiwaumiza wananchi na kuulalamikia. Kwa upande mwingine, Makamo huyo wa Kwanza wa Rais na Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), ametangaza rasmi katika hafla hiyo nia yake ya kugombea tena nafasi ya Urais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu ujao. Katika kutoa tamko hilo, akasema na kusisitiza kwamba suala la yeye kuingia madakarani atakaposhinda, halitakuwa na mjadala safari hii. Nimekuwa nikiulizwa sana na waandishi wa habari vipi nitagombea tena urais, Naam ndio nitagombea na leo ndio nasema kwamba nitagombea tena katika kinyanganyiro hiki mimi sio kama CCM kama nitaogopa kutangaza nia wao wanaogopana alisema Maalim Seif. Alisema tokea mwaka 1995 ulipofanyika uchaguzi wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi chama hicho kimekuwa kikiibuka mshindi katika chaguzi zote, lakini hakikupata kutangazwa hata mara moja kuwa ndicho kilichoshinda, jambo ambalo halitatokea kwa uchaguzi wa Oktoba mwaka huu. Adai Bara inataka kuifuta Zanzibar Asisitiza, abadan haitawezekana Asema, Safari hii hataporwa Urais MAALIM Seif Sharif Hamad, Katibu Mkuu wa CUF. Maalim Seif alisema CUF hakijapata kufanya maandalizi makubwa na yenye ufanisi katika chaguzi zote zilizofanyika, kama kiliyofanya kwa ajili ya uchaguzi wa Oktoba mwaka huu na hakuna sababu chama hicho kisichukue uongozi wa nchi. Tumejiandaa, watake wasitake tutachukua Kufuatia kuongezeka ghasia zinazotokana na ubaguzi wa rangi nchini Marekani, Spika wa Bunge la Baraza la Wawakilishi nchini humo John Boehner, amesema uhusiano kati ya Wamarekani wenye asili ya Afrika na maafisa wa polisi sasa umegeuka kuwa mgogoro wa kitaifa. Marekani hivi sasa imekumbwa na mgogoro wa kitaifa. Hiyo ni kauli ya kiongozi nambari tatu Marekani baada ya Rais na Makamu wake. Bw. John Boehner alitoa msimamo huo katika mahojiano na Televisheni ya NBC, ambapo amesisitiza kuwa maafisa wa usalama wa umma hawapaswi kujihusisha na vitendo vya utumiaji mabavu. Hivi karibuni Mwendesha Mashtaka Mkuu katika mji wa Baltimore katika jimbo la Maryland nchini Marekani, Marilyn Mosby, alitangaza kuwa kuna sababu ya msingi ya kufungua mashtaka ya uhalifu dhidi ya maafisa sita wa polisi waliohusika katika kumkamata Fredddie Gray, akisema uchunguzi wa kitabibu katika kitengo cha serikali umegundua kwamba kifo chake kilichotokea mwezi uliopita akiwa mikononi mwa polisi ni mauaji. Mwanasheria Marilyn Mosby alisema Ijumaa kwamba Gray alitaabika na majeraha mabaya kwenye shingo wakati akiwa ndani ya gari la polisi hapo April 12. Alisema kwamba kijana huyo hakufungwa mkanda kama ambavyo sheria inavyosema kwa abiria yeyote kufunga mkanda kabla ya safari kuanza na kwamba maafisa hawakutoa msaada wowote wa kiafya hata wakati Gray aliposema alihitaji msaada wa huduma ya afya. Mosby pia alisema kisu kilichopatikana kwa Gray mwenye umri wa miaka 25 hakikuwa kisu kinachoweza kuhatarisha maisha na kwamba kisheria alistahiki kukibeba. Mashtaka dhidi ya maafisa polisi hao inajumuisha kuuwa bila kukusudia, shambulizi, utendaji mbaya wa watuhumiwa wakiwa kazini na ukamataji holela. Polisi nao kwa upande wao waliwasilisha ripoti yao ya kifo katika ofisi ya Mwanasheria wa Jimbo siku ya Alhamis, siku moja nchi, iwapo wananchi wa Zanzibar watatuchagua katika uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu, alisema Maalim Seif. Wa h e s h i m i wa m a r a h i i t u m e ya u c h a g u z i ikitutangaza au usitutangaze sisi tunachukua serikali inshaalah, na sisi CUF tokea uchaguzi wa mwanzo wa 1995 tunashinda lakini tume ya uchaguzi haitutangazi na mie mara zote nakubali lakini mara hii nasema hilo halitatokea tena alisisitiza Maalim Seif. Aidha aliwaambia wanachama wake kwamba katika kuhakikisha chama hicho kimejiandaa vizuri kwa kwenda Ikulu katika uchaguzi huu kumekuwepo n a m a t a ya r i s h o m b a l i mbali ambayo yameanza kuonekana ikiwemo wagombea wa chama hicho kujipanga katika kuwania nafasi mbali mbali za ubunge, uwakilishi na udiwani. Wenyewe mmeona jinsi tulivyojiandaa kuchukua serikali na si mmeona tulivyojitayarisha na hatutaki mchezo matayarisho yetu tuloyafanya mara hii ni m a k u b wa k wa s a b a b u s u a l a l a k u wa M a a l i m Seif ataendewa ataombwa akubali matokeo mara hii nasema haliwezekani, aliongeza Maalim Seif. Hata hivyo hakusema watafanya nini iwapo Tume ya Uchaguzi itamtangaza mgombea kutoka Chama cha Mapinduzi, huku wao CUF wakiamini kuwa ndio walioshinda. Ubaguzi wa rangi mgogoro wa kitaifa Marekani kabla ya tarehe ya mwisho ya kutangazwa hadharani ripoti ya kifo cha Gray. O f i s i ya s e r i k a l i ya uchunguzi wa kitabibu ilisema Ijumaa iliyoita kuwa nayo ilipeleka ripoti ya kifo cha Freddie Gray kwa waendesha mashtaka. Polisi kwa siri walizunguka eneo lililokuwa likitumika kutoa ripoti ya kifo cha Gray, huku wengi wakilalamika maafisa hawakuwa wakweli kuhusu kifo cha Gray, ambaye alifariki kutokana na majeraha kwenye uti wa mgongo hapo April 19. Waandamanaji Alhamis walifanya maandamano mengine makubwa kati kati ya Baltimore. Lakini mitaa ilikuwa wazi kufuatia amri ya kutotoka nje kuanzia Inaendelea Uk. 19 Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke- Kusudi la Maisha hawatakuambia nini walihitimisha kupitia uchunguzi au hoja ya uchambuzi. Katika hali nyingi, hakika wao kukuambia nini mtu mwingine alisema... Au wao watakuambia nini kawaida kudhaniwa

More information

PDF created with pdffactory trial version

PDF created with pdffactory trial version المملكة العربية السعودية وزارة التعليم العالي الجامعة الا سلامية بالمدينة المنورة عمادة البحث العلمي قسم الترجمة تعريف موجز بالا سلام بل( لغة السواحلية) ١ بسم االله الرحمن الرحیم MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Martha Qorro 1 1.0 Utangulizi Elimu ni suala la jamii ambalo mipango na taratibu zake zinahitaji kushirikisha wadau

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

K. M a r k s, F. E n g e l s

K. M a r k s, F. E n g e l s W a (any a kazi wa nchi zote, unganeni! K. M a r k s, F. E n g e l s Maelezo ya chama cha kikomunist Idara ya Maendcleo Moscow Tafsiri hii ya "Maelezo ya Chama cha Kikomunist" inatokana na maandishi

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine.

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine. HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWENYE IBADA YA KUWEKWA WAKFU NA KUINGIZWA KAZINI ASKOFU MARTIN FATAELI SHAO WA DAYOSISI YA KASKAZINI YA KANISA LA

More information

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA

More information

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ukristo leo unadhihirisha waumini karibu bilioni mbili katika maelfu ya madhehebu tofauti na tofauti na madhehebu. Kati ya hizi, zaidi ya 500 madhehebu

More information

HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011.

HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011. Saint Augustine University of Tanzania From the SelectedWorks of Daudi Mwita Nyamaka Mr. Winter December 9, 2011 HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

Adai kupigwa teke na mwalimu akienda kuswali Wanafunzi Wakristo wasimama kidete kumtetea

Adai kupigwa teke na mwalimu akienda kuswali Wanafunzi Wakristo wasimama kidete kumtetea www.annuurpapers.co.tz Sauti ya Waislamu ISSN 0856-3861 Na. 1079 SHAABAN 1434, IJUMAA, IJUMAA JULAI 12-18, 2013 BEI TShs 500/=, (22) AHLU SUNNA WAL JAMAA Inawatangazia Waislamu wote kuwa imeanza maandalizi

More information

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org ( Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Haja Ya Dini Haja Ya Dini Author(s): Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi [3] Publisher(s): Bilal Muslim Mission of Tanzania [4] Katika kijitabu

More information

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College Theolojia 1 Ujumla Mike Taylor Semester 1 2014-2015 Munguishi Bible College MIKE TAYLOR 2014 THEOLOJIA 1 i THEOLOJIA Utangulizi! 1 1. Kumfahamu Mungu katika Injili! 3 1.1. Mawazo Makuu 3 1.2. Maana ya

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12 Human Rights Are Universal And Yet... Episode 07 Title : The right to food drought and famine in Ethiopia Author : Tedla Getachew Editor : Aude Gensbittel, Pendo Paul Translator : Anne Thomas Proofreader:

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

TIST HABARI MOTO MOTO

TIST HABARI MOTO MOTO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. +255784-537720/+255717-062960/+255782-250947, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@tist.org May 2010 Cash Payments for Trees Clean Air Action has developed a way to pay the groups

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya Nordic Journal of African Studies 9(2): 49-59 (2000) Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya UTANGULIZI Tukichunguza hazina ya uhakiki uliofanywa katika taaluma

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu. Waebrania 9:28. KUJA KWA KRIST0 MARA YA PILI "ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28. Mara nyingi sana kuja kwa Kristo mara ya pili huangaliwa tu kama fundisho la dini. Ni

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka 0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 AEG swahili Bahari ya Aegean Brosha ya maelezo hii ni kwa watu wanaofikiria kuvuka bahari ya Aegean kati ya Ugiriki na Uturuki.Kuvuka kihramu ni uhalifu katika

More information

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Nabii Musa alipotoka mlima Sinai kupewa amri kumi za Mungu zilizoko kwenye kitabu cha Kutoka 20:1 17, Mungu alimpa na sharia zingine ambazo lengo lake

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

Agano Lililofunikwa Kwa Damu Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The Blood-Sealed Covenant) 1 Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Oktoba 14, 2012 Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Mazoezi ya wenye umri wa miaka 11-14 Hivi Ndivyo Nilivyo kwa wenye umri wa miaka 11-14 Kuhusu Hivi Ndivyo Nilivyo Ikiwa

More information

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika (A Summary Of Arguments For And Against Individual Communion Cups) Na J D Logan Communion Cups) 1 Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi

More information

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of

More information

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)

More information

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017 TAARIFA Agosti 2017 NGUO MPYA ZA UKOLONI Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika Jumuiya ya Jamii ya 2007: Wajumbe wanaadhamana Nairobi dhidi ya EPAs. SwissInfo Tangu mwaka

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level * 899145 4 672* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2010 Additional Materials: Answer Booklet/Paper READ

More information

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA Maagizo (a) Andika jina lako na namba yako katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (b) Tia sahihi yako na tarehe ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (c) Jibu maswali

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23 Toleo X Toleo 23 WEWE NI NANI? (Habari ifuatayo ni hadithi ya mambo ambayo yamenakiliwa katika Matendo 19:10-20 SUV). Paulo mtume wa Yesu Kristo alihubiri katika mji wa Efeso kwa miaka miwili. Katika muda

More information

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA SOMO LA KWANZA UTANGULIZI KWA TORA For videos, study guides and other resources, visit Third Millennium Ministries at thirdmill.org. 2014 nathird Millennium Ministries Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 People Who Make A Difference Liberia: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia

Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 People Who Make A Difference Liberia: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 Title: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia Author: Stefanie Duckstein, HA Afrika/ Nahost Editor: Christine Harjes Translator: Tony Dunham Sound

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

United Pentecostal Church June 2017

United Pentecostal Church June 2017 Kwa Nini Tusali? Jarida la Maombi ya Wanawake Kimataifa "Chagua" Ladies Prayer International kwa Facebook United Pentecostal Church June 2017 Tuko na wafuasi Facebook katika Marekani, Hong Kong, Philippines,

More information

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E)

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI/AGOSTI 2011 MUDA: 2 ½ Kiswahili Fasihi Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) MAAGIZO Jibu maswali manne pekee Swali la kwanza ni lazima Maswali

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII SHERIA KATIKA LUGHA RAHISI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA (TANGANYIKA LAW SOCIETY) KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

Shabaha ya Mazungumzo haya

Shabaha ya Mazungumzo haya Karibu Katika Mazungumzo Kuhusu Mchakato wa Uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii CCMP/UMOJA Shabaha ya Mazungumzo haya Kuwafahamisha viongozi wa makanisa kuhusu Mchakato wa CCMP ambao umekuwa ukitumika

More information

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO 1 RISALA FUPI copyright Hidaya Creativity, publishing Department. P.O. BOX 44799, 00100, GPO, NAIROBI-KENYA. Haki

More information

Kamanda Boko Haram Mkristo-Prof. Ojobi

Kamanda Boko Haram Mkristo-Prof. Ojobi facebook: annuurpapers@yahoo.com Sauti ya Waislamu AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST ISSN 0856-3861 Na. 1168 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA, MACHI 13-19, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= (2) HIJI, UFE

More information

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w MAMLAKA Tunamshukuru Bwana kwa vile alivyo na yale aliyoyatenda. Tukiweza tu kumfikiria hata tukiwa na mahitaji mbalimbali, yeye atatutimizia. Tusiwatazame watu, tusijitazame sisi wenyewe, tumtazame Mungu

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA

MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA KIGODA CHA TAALUMA CHA MWALIMU NYERERE MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA Yamekusanywa na kuhaririwa na: Bashiru Ally Saida Yahya-Othman Issa Shivji CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

More information

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo, HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU, KWENYE SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA HAMSINI YA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, TAREHE 08 JUNI 2008, MSIMBAZI CENTRE, DAR ES SALAAM Mhashamu

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWA WANANCHI, TAREHE 31 JULAI 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWA WANANCHI, TAREHE 31 JULAI 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWA WANANCHI, TAREHE 31 JULAI 2001 Leo napenda nizungumze nanyi kuhusu umuhimu wa kuweka akiba, na umuhimu wa kulipa

More information

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY (LSF) 1 KIMEANDALIWA NA Chama Cha Wanasheria Tanzania

More information

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 1. Utangulizi Changamoto kuu iliyopo kuhusiana na Elimu ya msingi nchini Tanzania kwa sasa ni namna

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza 1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 W N S E Muhtasari Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 Kuinuka kwa Nchi za Kusini: Maendeleo ya Binadamu katika Ulimwengu Anuwai Empowered lives. Hati ya kunakili 2013 na Mradi wa Maendeleo ya Umoja wa

More information

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUHTASARI WA UTANGULIZI WA THIOLOGIA YA USHIRIKA WA NAFSI TATU ZA UUNGU. GRACE COMMUNION INTERNATIONAL LIVING AND SHARING THE GOSPEL MUNGU ANADHIHIRISHWA NA

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania

Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania na Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad wa Qadian Masihi Mauʻudi na Imam Mahdi as Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania HOTUBA YA SIALKOT Tafsiri ya Kiswahili ya: Lecture Sialkot (Urdu) Imeelezwa na: Hadhrat

More information

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT 1 Ushindi Ndani ya Kristo Na W. W. Prescott Mfasiri: M. Mwamalumbili Victory in Christ - Kiswahili 2 Yaliyomo Alinipenda Mimi Aliishi kwa ajili Yangu Mimi Alikufa

More information

Roho Mtakatifu Ni Nini?

Roho Mtakatifu Ni Nini? Roho Mtakatifu Ni Nini? kwa ajili ya mkutano. Mkutano huu utakuwa tofauti, kidogo na ile ya kawaida tunayokuwa nayo hapa. Kwa kawaida, kila wakati tunapokuja pamoja hapa, ni mkutano kwa wa kwa ajili ya

More information

Mipango ya miradi katika udugu

Mipango ya miradi katika udugu Partnerschaftlich Projekte planen Mipango ya miradi katika udugu 2 Dibaji... 3 Utangulizi... 4 I. Nafasi ya (Wajibu wa) Fedha katika Udugu: Mtazamo wa Ki-indonesi... 5 II. Namna UEM Inavyowezesha Miradi

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information