MBINU ZA IPM KWENYE KILIMO CHA KAHAWA

Size: px
Start display at page:

Download "MBINU ZA IPM KWENYE KILIMO CHA KAHAWA"

Transcription

1 MBINU ZA IPM KWENYE KILIMO CHA KAHAWA KILIMO BORA CHA KAHAWA 1

2 Yaliyomo Asili...3 Kanuni za uzalishaji bora wa kahawa Kutayarisha Shamba la Kahawa Utunzaji wa Shamba...12 Kukata matawi Kuzuia na kudhibiti Wadudu na Magonjwa ya Kahawa...17 Kimatira (Antestia Bug) Bungua Mweupe wa shina (White Coffee Borer) Uwiwi (Coffee Berry Moth) Ruhuka (Coffee Berry Borer) Vidungata (Mealybugs)...23 Vidugamba (Green Scales)...24 Vithiripi (Thrips) Kidomozi (Leafminer)...26 Viwavi Kibiongo (Giant Loopers) Magonjwa makuu ya Kahawa...28 Chule Buni(CBD) Kutu ya Majani (Coffee Leaf Rust) Mnyauko Fusari Kuvuna Kahawa Utunzaji wa Migomba Magonjwa ya Migomba Panama Disease (Mnyauko) Black Sigatoka (Madoa kwenye majani) Ugonjwa wa Sigara (Cigar end rot)...39 Wadudu wa Migomba Vifukuzi wa Migomba (Banana Weevil) Minyoo Fundo (Nematodes) Kiambatanisho cha picha Design and Layout: Samantha Goodwin & Juma Zaid, Print Production: Colourprint (T) Ltd, PO Box 76006, DSM, Tel: , 2 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

3 Kilimo bora cha kahawa Kahawa Asili: Kahawa ni zao la kudumu ambalo likitunzwa vizuri linaweza kukaa shambani zaidi ya miaka 50 likiendelea kuvunwa. Asili yake ni kwenye misitu ya Ethiopia. Iliingizwa Africa mashariki kwenye karne ya 19 na Wamisionari. Aina: Kuna aina kuu mbili zinazolimwa Tanzania nazo ni: 1. Arabika 2. Robusta Kahawa aina ya Arabika hulimwa zaidi kwenye Nyanda za Juu za Kaskazini (Kilimanjaro, Arusha) na Nyanda za Juu Kusini (Ruvuma, Mbeya) Mikoa mingine inayolima kahawa kidogo ya Arabika ni pamoja na Iringa, Kigoma, Morogoro na Rukwa. Kahawa aina ya Robusta hulimwa zaidi Mkoa wa Kagera (Bukoba). Hali ya hewa: Kahawa hustawi kwenye mazingira mbali mbali, ili mradi mazingira yamedhibitiwa vizuri kwa kupunguza kivuli, kuweka matandazo, kumwagilia maji, kuweka mbolea, kudhibiti wadudu na magonjwa. KILIMO BORA CHA KAHAWA 3

4 Kahawa inayooteshwa kwenye mwiinuko kati ya mita kutoka usawa wa bahari hutegemea sana maji ya kumwagilia. Kwani mvua zinazonyesha hazitoshi kwa zao la kahawa, maana sehemu hizi hupata mvua chini ya milimita 1900 kwa wastani kwa mwaka. Kahawa inayooteshwa kwenye mwiinuko zaidi ya mita 1800 kutoka usawa wa bahari hutegemea zaidi mvua. Mvua: Kahawa huhitaji mvua kiasi cha milimita 1900 kwa mwaka. Hata hivyo mazao huongezeka mvua zinapokuwa kati ya milimita ( ) kwa mwaka. Joto: Kahawa huhitaji kiasi cha nyuzi joto kati ya 15 hadi 25 Udongo: Hustawi kwenye aina mbali mbali za udongo, ili mradi usituamishe maji, uwe na rutuba, unyevu nyevu wa kutosha, kina cha kutosha kama mita 1.8 kwenda chini, na tindikali kiasi cha ph. 4 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

5 Kanuni za uzalishaji bora wa kahawa Mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kuanzisha shamba la kahawa Mahali panapofaa kupanda kahawa Aina ya udongo Kiasi cha mvua Mwiinuko Joto Usafishaji wa shamba Upimaji wa nafasi ya kupanda Uchimbaji mashimo Uchanganyaji mbolea kabla ya kupanda. Nafasi za kupanda Ni muhimu kupanda kwa mistari na kwa nafasi; kutegemeana na aina ya kahawa na zao linalochanganywa. Arabika: futi (9x 9) = (mita 2.7 x 2.7) Robusta: Chotara: futi (9 x 4.5) = (mita 2.7 x 1.4) Njia za kuzalisha miche ya kahawa Mbegu NB: Mbegu zinazotokana na mibuni ya chotara zisitumike kuandaa miche. Vichipukizi KILIMO BORA CHA KAHAWA 5

6 [Kupitia Maabara (Tissue culture)] a. Uzalishaji wa miche bora Miche bora huzalishwa kwenye vituo vya utafiti wa kahawa, au wakulima waliopata ujuzi toka kwenye vituo vya Utafiti wa kahawa kama vile: vikundi mbali mbali vya uzalishaji ambavyo vimethibitishwa na vituo hivyo. b. Jinsi ya kuzalisha miche Mbegu huoteshwa ardhini au kwenye viriba, miche iliyo oteshwa kwenye viriba huwa na nguvu zaidi, hivyo huhimili zaidi mazingira magumu shambani. Sifa zinazofaa kwa kitalu Kitalu kiwe na kivuli na uzio kuzuia upepo mkali Udongo uwe na rutuba ya kutosha. Udongo usiotuamisha maji Kiwe karibu na maji ya kutosha Kiwe karibu na barabara Ukubwa wa kitalu 0.9m (10-12) m 1.2 m 1.2 m 6 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

7 Kupanda mbegu Mbegu zipandwe mapema ili wakati wa kuhamishia shambani zikutane na msimu wa mvua. Nafasi kati ya mche na mche senti mita 15 x 15 Miche hukaa kitaluni kwa muda wa miezi 10-12, wakati huo huwa na wastani wa sentimita (20-30). Wadudu waharibifu na magonjwa kwenye kitalu cha kahawa: Funza weusi (Sota) (cutworm) (Hukata miche usawa wa ardhi). Funza mweupe (Chafer grab) - hushambulia mizizi na kusababisha miche kunyauka. Tuta wa ardhini (Dust surface beetle) Hawa hula mizizi na sehemu ya chini ya shina ambayo hubaki wazi bila ganda. - Uharibifu wao sio mkubwa sana. Uzuiaji (Control) Sumu ya vumbivumbi (dust) iitwayo Baythroid. Magonjwa: Madoa ya kahawia (Brown eye spot) hutokea kama miche haikuwekewa kivuli cha kutosha. Kutu ya majani (Coffee leaf rust) Kutepeta (Damping off) - hutokea kwenye kitalu chenye unyevu nyevu mwingi na kwenye KILIMO BORA CHA KAHAWA 7

8 msongamano wa miche ambayo husababisha miche kunyauka au rangi ya majani na shina kuwa nyeusi. Kudhibiti wadudu na magonjwa ya kahawa kwenye kitalu: Unguza kuni juu ya kitalu ili kuua baadhi ya wadudu kama sota na wengine, pamoja na vimelea vya magonjwa kama ya ukungu. Muda wa kuunguza kitalu uwe mrefu wa kutosha kuivisha kiazi Kilichofukiwa kwa kina cha inchi 3 ardhini. Weka majivu kwenye kitalu ili kupunguza wadudu kama sota (Funza weusi) [Cutworm] na Funza weupe (Chafer grab). Mbolea (samadi) ya kutosha itasaidia miche kukua vizuri na kuhimili baadhi ya mashambulizi ya wadudu na magonjwa. Mwagilia maji kitaluni kama hakuna unyevu nyevu wa kutosha. Epuka kusongamanisha miche kitaluni. Kama ni lazima sana kutumia sumu; nyunyizia mrututu (Blue copper) gram 5-8 kwa lita ya maji ili kudhibiti kutu ya majani. Kagua miche kitaluni mara kwa mara, hivyo bustani iwe safi wakati wote. 8 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

9 Kutayarisha shamba la Kahawa Shamba lililotayarishwa vizuri hufanya kahawa iote na kustawi vizuri na hatimaye hutoa mavuno mengi yaliyo bora. I. Shamba jipya: - Shughuli za kuandaa shamba jipya zifanyike miezi sita kabla ya wakati wa kupanda kahawa. - Fyeka kwanza; kata miti ambayo siyo ya lazima kubaki shambani. - Katua (lima) kisha ondoa magugu yote sugu kama vile ndago, sangari (Digitaria spp) n.k. - Ng oa visiki na mizizi yote kisha choma moto. - Shughuli ya kusafisha shamba yaani kulima na kuchimba mashimo ifanyike miezi mitatu kabla ya kuchimba mashimo ya kahawa. - Kumbuka kuhifadhi ardhi kwa kuweka makingo / matuta (terrace) kuzuia mmomonyoko wa udongo hasa kwenye mteremko. II. Kuandaa mashimo ya kahawa - Mashimo yaandaliwe miezi mitatu kabla ya kupanda kahawa. - Chimba mashimo kwa mistari - Kina; sentimita 60, urefu sentimita 60, na upana sentimita 60. Tenganisha udongo wa juu na ule wa chini. - Changanya udongo wa juu na mbolea kiasi cha debe moja la samadi, weka kijiti katikati ya shimo kisha rudishia kwenye shimo mwezi mmoja kabla ya kupanda. KILIMO BORA CHA KAHAWA 9

10 Shimo la kupanda kahawa: Udono wa chini Udongo wa Juu 60 sm 60 sm 60 sm - Nafasi toka shimo hadi shimo kwa maeneo ya ukanda wa chini ni mita 2.7 kwa 2.7 ambayo huwa na mvua za wastani. Nafasi hii huweza kuwa na miche 1371 kwenye eneo la hekitari moja. - Sehemu za ukanda wa juu shimo hadi shimo ni meta (2.7 x 1.4) ambako mvua ni nyingi. Ambayo ni sawa na miche 2645 kwe hekitari moja Nafasi za miche. 2.7 m.. 2.7m m.. 1.4m.. Kawaida Miti mingi NB: Nafasi nyingine zinazoweza kutumika ni pamoja na 2.7 x 1.3] 2.5 x 1.2] meta 3.0 x 1.0] Miche 1371 Hektari miche 2645 kwa Hektari 10 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

11 III. Jinsi ya kuhamishia miche shambani: Miche huwa tayari baada ya miezi 10-12, yaani inapofikia kimo cha sentimita (20-30) futi moja au ikiwa na jozi 10 za majani. Miche ing olewe pamoja na udongo ili kusiwe na tofauti kubwa ya mazingira ya udongo kitaluni na shambani, pia ili mzizi usipate mshituko mkubwa, hasa kama miche haikuoteshwa kwenye viriba. Miche yenye mizizi mikuu miwili mmoja upunguzwe kwa mkasi wenye makali (au chombo chenye makali). Ni vizuri kung oa na kupanda miche siku hiyo hiyo. IV. Kupandikiza kahawa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kahawa hupandwa miezi ya Disemba/Januari na Machi/Aprili (masika) kwa Nyanda za juu Kaskazini: Miche ipandwe kwa kimo kile kile ilichokuwa kitaluni. Shina Shimo Mi zizi Mzizi mama (tap root) Mizizi inyooke vizuri Mizizi isiachwe nje ya shimo Shindilia udongo vizuri baada ya kupanda Weka matandazo ili kuongeza unyevu nyevu, na kuzuia magugu. Matandazo yawekwe kuzunguka mche; lakini yawe umbali wa sentimita 15 kutoka kwenye shina. Zuia jua na baridi kali kwa kufunika mche kwa matawi au majani ya migomba. KILIMO BORA CHA KAHAWA 11

12 Utunzaji wa shamba - Kagua shamba mara kwa mara. - Palilia shamba. - Magugu aina ya Oxalis spp (misii-chagga) ni hatari sana, husababisha kutu ya majani; sangari hufyonza virutubisho vya mimea na maji. - Wakati wa kiangazi jembe litumike kupalilia kwa uangalifu ili kupunguza upoteaji wa maji ardhini. - Kipindi cha mvua ni vizuri kufyeka nyasi badala ya kutumia jembe. - Ongeza matandazo na mbolea baada ya mvua za masika. - Matandazo huongeza rutuba ardhini * hurekebisha joto la ardhi * huzuia mmomonyoko wa udongo. - Punguza kivuli - Mwagilia maji shamba pale inapowezekana ili kuongeza unyevu nyevu na kutuliza joto ardhini. a. Miti ya kivuli ambayo ina sifa nzuri kwa kahawa ni: - Mruka (Albizzia spp) kama Maranguensis sumatrama - Grevillea robusta n.k. Miti hii ipandwe mita 22 toka mti hadi mti na pembeni mwa shamba. b. Faida za miti ya kivuli: - Huua magugu - Huleta kivuli - Hukaribisha wadudu marafiki - Hupunguza kasi ya upepo - Huongeza rutuba ardhini (majani yanapooza) 12 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

13 Kukata matawi (Pruning) - Matawi yapunguzwe baada ya kuvuna kahawa - Maotea na matawi yote yanayoelekea katikati kwenye shina - Matawi yaliyozeeka, na yenye ugonjwa - Matawi yasiyozaa. Aina ya ukataji wa matawi Mkato wa shina moja Urefu wa mti wa kahawa kwenda juu ni lazima udhibitiwe ili uwe na nguvu na matawi mama (primaries) yawe ya kudumu, yenye uwezo wa kuzaa mazao mengi. Mti wa kawaida unapendekezwa uwe na ngazi tatu yenye urefu wa sentimita 170. Ngazi za kukata ni kama zifuatazo: - Ngazi ya kwanza Mche uliopandwa kwa kuzingatia utaalam ufikiapo miezi 9 hadi 12 tangu kupandwa shambani utakuwa na urefu wa sentimita 70. Urefu huu ufupishwe kwa kuukata na mkasi, sentimita 50 toka ardhini. Hii ni ngazi ya kwanza na matawi haya yasikatwe chini ya miezi 12. KILIMO BORA CHA KAHAWA 13

14 - Ngazi ya pili Chini ya mkato wa ngazi ya kwanza yataota machipukizi mawili au zaidi. Liachwe chipukizi moja lenye nguvu ambalo lifikapo sentimita 15 tawi mama lililopo juu yake likatwe. Acha chipukizi lirefuke hadi kufikia sentimita 130: Fupisha kwenye sentimita 110 kwenye ngazi hii matawi yaachwe kwa miaka miwili bila kukatwa. 14 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

15 - Ngazi ya tatu Kama ilivyo ngazi ya pili chipukizi moja lenye nguvu liachwe hadi kufikia sentimita 15. Tawi mama juu yake likatwe. Chipukizi liachwe lirefuke hadi kufikia sentimita 180, kisha lifupishwe hadi sentimita 170 Tawi mojawapo la pingili ya mwisho likatwe ili kuzuia shina kupasuka. Matawi yasikatwe hadi yafikie miaka miwili. Kukata matawi mwaka hadi mwaka - Muda wake Mkato wa kila mwaka ufanywe mara baada ya mavuno Kukiwa na unyevu wa mvua au na umwagiliaji machipukizi hutoka yakiwa na nguvu, na hua mazuri zaidi. - Lengo Kuondoa matawi yaliyozeeka na yale mengine yasiyozaa na kuhimiza uchipuaji wa matawi mpya yenye nguvu na uwezo wa kuzaa. KILIMO BORA CHA KAHAWA 15

16 - Mambo ya kuzingatia Kata matawi yote yaliyopo umbali wa sentimita 15 toka shina kuu. Ukianza juu kwenda chini toa: matawi yote yanayoelekea kwenye shina, yasiyo na nguvu, yaliyokauka, yaliyolaliana, maotea yanayoelekea juu, viboko, matawi yaliyoinama na matawi mengine yasiyohitajiwa. Mti ukikatwa vizuri utatoa mavuno bora na mengi kila mwaka. Faida za kukata matawi Huwezesha mti kutoa kahawa nyingi kwa mwaka. Hupunguza uwezekano wa wadudu na vimelea vya magonjwa kuongozeka. Huongeza mwanga kwenye matawi ya kahawa ambao husaidia kutengeneza chakula cha mmea. Hurahisisha shughuli nyingine kama uvunaji n.k. Wadudu na magonjwa yanayopungua kwa ajili ya kukata matawi ni pamoja na: - Bungua wa kahawa - Kimatira n.k. Magonjwa ni pamoja na: kutu ya majani, (CLR), Chule buni (CBD). 16 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

17 Shughuli ya kukata matawi iende sambamba na kusugua mashina na matawi makubwa ili kupunguza bungua. Kuzuia na kudhibiti wadudu na magonjwa ya kahawa Wadudu na magonjwa ni adui mkubwa wa ubora na wingi wa kahawa. Wafuatao ni wadudu wakubwa hatari kwa kahawa: - Kimatira (Antestia) - Bungua weupe (Coffee stem borer) - Uwiwi (Coffee berry moth) - Ruhuka (Coffee berry borer) Wengine ni pamoja na: - Vidung ata (Mealybugs) - Vidugamba (Scales) - Vithiripi (Thrips) - Kidomozi (Leafminer). - Viwavi kibiyongo (Loopers) Kimatira (Antestia Bug) Antestiopsis spp Mimea inayoliwa na kimatira ni kahawa aina ya arabika. Kimatira ni mmoja wa wadudu wanaofanya uharibifu na kuleta hasara kwa wakulima wa Arabika. Asili yake ni Ethiopia na ametapakaa katika maeneo yote ya Afrika yanayolima kahawa ya arabika. Kimatira waliokomaa na wachanga hujilisha kwa kutumia mdomo uliochongoka kama bomba ambalo hupenyezwa katika sehemu laini za mti wa kahawa kama:- - Ncha zinazokua. Husababisha kutokea matawi mengi nchani na pingili fupifupi. KILIMO BORA CHA KAHAWA 17

18 - Vikonyo vya maua huwa vyeusi na kukauka. - Matunda machanga huwa dhaifu na kudondoka au tunda kuendelea kukua likiwa na punje iliyooza na kuwa kama uji mweupe. Kuoza husababishwa na vimelea (fungus) vinavyoingizwa na kimatira. Maisha ya Kimatira Kimatira jike aliyekomaa hutaga mayai meupe 12. Utagaji hufanyika chini ya jani au kwenye tawi la kahawa. Mayai huanguliwa baaada ya siku 10. Tunutu (nymphs) wanoanguliwa hujilisha wakiendelea kukua na kukomaa kwa miezi 3-4. Kimatira aliyefikia hatua ya kuzaa ana rangi ya udongo njano na nyeupe. Huishi kwa meizi 3-4 akiendelea kujilisha na kuzaa. (Tazama picha Na. 7 Uk. 43) Kudhibiti Kimatira 1. Punguza matumizi ya sumu za viwandani ili kuendeleza wadudu marafiki. 2. Kata matawi. 3. Punguza kivuli cha miti na migomba. 4. Chunguza mara kwa mara wakati wa asubuhi asilimia ya mibuni, baada ya kukata matawi, maua yanapoanza na wakati wa ukuaji wa matunda mpaka kuanza kwa mvua za masika (Novemba, Disemba, Machi). 5. Uchunguzi ukionyesha wastani wa vimatira 3 kwa mti, nyunyizia sumu za viwandani au jaribu dawa za asili kama Utupa, Mwarobaini. Sumu za viwandani - Fenitrothion 50EC, Dursban 48, Selecron 72 EC zitumike ikibidi. Bungua Mweupe wa Shina (White Coffee Borer) Bungua mweupe huishi kwenye kahawa aina ya arabika. Pia huishi kwenye miti jamii ya mibuni. 18 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

19 Uharibifu Mibuni iliyoshambuliwa na bungua mweupe huwa na majani yaliyobadilika rangi na kuwa njano na baadaye miti hufa. Miti inayoshambuliwa sana ni ile iliyopandwa kwenye maeneo ya shamba yenye mmomonyoko wa udongo au vina vifupi vya udongo. Pia miti iliyoko kwenye vivuli. Uharibifu hufanywa na bungua mweupe ambaye baada ya kuanguliwa hutoboa ganda la mbuni. Bungua hutafuna ndani ya ganda kuelekea chini hadi kufikia eneo la mizizi. Uharibifu mkubwa hutokea anapotafuna ganda kuzunguka shina. Hutoboa kuingia kwenye kina cha mti na kuendelea kutafuna kuelekea juu. Anapotafuna mti hutoa vipande vidogo vidogo vya mti kama maranda (wood shaving). Bungua huongeza njia anayopita kadri anavyokua muda wa bungua wa kula na kukua kabla ya kuwa buu ni miezi 20. Mbawakavu wa bungua mweupe hufanya uharibifu mdogo kwa kula maganda ya matawi. Maisha ya Bungua Mweupe wa Kahawa Mbawa Kavu wa bungua mweupe (Mapembe) ana rangi ya kijivu kichwa na kifua cheusi, alama nyeusi kwenye mabawa (Tazama picha Na. 5 Uk. 42). Hutaga mayai 23. Mayai hutagwa / pachikwa chini ya magamba ya mibuni nusu meta juu ya usawa wa ardhi. Huanguliwa na kutokea bungua mweupe baada ya siku 21. Bungua mweupe hutafuna mti kuelekea ndani na kufanya uharibifu kwa miezi 20 kabla ya kuwa buu. Buu hubadilika kuwa mdudu kamili baada ya miezi 2-4 akiwa ndani ya shina / mti. Mvua zinapoanza mdudu kamili (Mbawa kavu wa bungua mweupe) hutafuna shina na kutengeneza tundu kubwa 8 mm la mviringo la kutokea nje na kuanza tena mzunguko wa maisha. Kudhibiti Bungua Mweupe 1. Ng oa na choma mibuni iliyoshambuliwa sana. KILIMO BORA CHA KAHAWA 19

20 2. Baada ya mavuno kwangua / sugua mashina ya kahawa kuondoa magamba kwa gunzi ili kuondoa mayai na maeneo ya kutaga. 3. Kagua shamba na kukusanya mbawa kavu wa bungua weupe na kuwaua. (kuanzia mwezi Oktoba, Novemba, Disemba, Januari). 4. Ua bungua weupe kwa kuwaondoa kwa waya (Oktoba / Novemba; Aprili, Mei). 5. Weka mafuta ya wanyama kwenye matundu kuvutia sisimizi watakao wala bungua. 6. Paka chokaa, udongo, majivu ili kukausha mayai yasianguliwe kwenye shina na matawi. Changanya mkojo au mfori uliovundikwa kwa siku 14 ili kuua au kufukuza wadudu. 7. Tumia madawa kama Mwarobaini, Utupa, Minyaa, Tumbaku au sumu kama Decis 2% EC, Dursban 48%. Uwiwi (Coffee Berry Moth) Prophantis smaragdina Huyu ni mdudu mharibifu kwenye kahawa ya arabika na miti pori jamii ya arabika. Huwepo kwa wingi katika mashamba yaliyopandwa bila kivuli. Endapo kahawa itazaa kupita kiasi, mdudu huyu huwa wa manufaa kwa kusaidia kupunguza kahawa iliyozidi kwenye shina. Uharibifu Uharibifu hutokea hasa ukanda wa chini ambako miti mingi huweza kushambuliwa na kusababisha hasara. Dalili za mashambulizi ni kuwepo kwa vifurushi vya matunda yaliyoshikamana kwenye tawi. Vifurushi huwa vimezungushiwa nyuzinyuzi kama utandu wa buibui. Matunda yaliyoliwa punje na kuwa matupu hukauka na kuwa na rangi ya udongo. Matunda mchanga huliwa kabisa. Viwavi wakikosa matunda hutoboa ncha changa za matawi ya kahawa. Uharibifu mkubwa hutokea majuma 0-10 toka matunda yanapoanza hadi yanapokomaa na kuwa magumu. 20 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

21 Maisha ya Uwiwi Kiwavi wa Uwiwi hutokana na Nondo jamii ya vipepeo. Nondo aliyekomaa ana umbo dogo, mwenye rangi ya dhahabu. Baada ya kukamilisha mzunguko wake wa ukuaji na kuwa nondo hutaga mayai. Mayai hutagwa moja moja karibu na tunda au juu ya tunda. Viwavi wa nondo huanguliwa baada ya juma moja (siku 6) kiwavi hutoboa tunda na kujilisha ndani ya tunda au kula na kumaliza tunda changa. Tunda kubwa likiwa tupu huamia tunda linalofuata. Hutoboa tundu kwa chini jirani na kishikizo cha tunda kwenye tawi. Huendelea kujilisha na kutengeneza utandu mpaka anapofikia siku 14 toka kuanguliwa. Kiwavi aliyekomaa hutoka kwenye tunda na kudondoka chini, hujipumzisha katikati ya majani mawili makavu akiendelea kubadilika kuwa mdudu kamili (Nondo). Kipindi cha buu (Pupal period) huchukua siku 6 hadi 42 kabla ya kutokea Nondo atakayeendelea na uzazi. Mayai, Buu na Nondo hawana uharibifu kwa kahawa. Nondo huishi siku 14 kabla ya kufa. Kudhibiti Uwiwi Chunguza mibuni inapotoa maua, kama vikonyo au matunda machanga yanaliwa na viwavi. Unyunyiziaji wa sumu ufanyike haraka. Tumia sumu za asili kama Utupa, Mwarobaini na nyinginezo zitakazopendekezwa. Rudia baada ya uchunguzi majuma 5-6. Uharibifu ukiendelea nyunyizia sumu za viwandani kama Fenetrothion, Dursban na Selecron. NB: Viwavi wakianza kujilisha ndani ya punje kubwa zilizozungushiwa nyuzinyuzi huwa vigumu kufikiwa na sumu. Zuia uharibifu kuanzia mwanzo wa matunda hadi wiki 6 baada ya matunda. Ruhuka (Coffee Berry Borer) Hypothenemus hampei Ruhuka huishi kwenye mibuni na jamii zake pamoja na mimea jamii ya mikunde. Ruhuka hushambulia zaidi mibuni aina ya Robusta na Arabika kwenye ukanda wa chini. KILIMO BORA CHA KAHAWA 21

22 Uharibifu Ruhuka hutoboa tundu moja au zaidi kupitia kwenye kovu la ua la tunda la kahawa. Tundu hili huonekana kwenye matunda mabichi au yaliyoiva. Punje zilizoshambuliwa hubadilika rangi na kuwa kijani cha bluu. Viwavi wa ukubwa mbalimbali huwepo ndani ya punje. Wingi wao huweza kufikia 20 kwa tunda. Uharibifu hufanywa na viwavi na ruhuka wapevu ndani ya punje. Matundu yaliyotobolewa huweza kuwa njia ya kupenyeza ukungu na bacteria. (Tazama picha Na. 2 Uk 42). Maisha ya Ruhuka Jamii ya ruhuka huzaa majike mengi; uwiano wa majike 10 kwa dume 1 yenye uwezo wa kuruka kutoka mti hadi mti. Madume hayaruki hubaki ndani ya punje yakiendeleza uzao kwa majike wakitoboa matunda na kutaga mayai ndani ya punje za kahawa. Vizazi vya ruhuka huendelezwa na matunda yanayobakia juu ya mibuni na yale yanayodondokea chini. Pia majike yanaweza kujilisha kwenye matunda machanga. Ruhuka jike hutaga mayai katika kipindi cha majuma 3-7. Mayai hutagwa kwa awamu. Kila awamu mayai 12. Huanguliwa baada ya siku 8. Viwavi wanaotokea hujilisha ndani ya punje. Viwavi wa hatua mbalimbali za ukuaji huwepo ndani ya punje. Viwavi hujilisha kwa siku kabla ya kuwa buu. Buu hubadilika kuwa dudu mzima (Ruhuka) baada ya siku 7. Kudhibiti Ruhuka 1. Ondoa matunda yote yaliyobaki juu ya mibuni, na okota yaliyodondoka shambani mara baada ya kuvuna. Chimba shimo na ufukie matunda hayo. Kwa kufanya hivi kunakatisha mzunguko wa maisha ya mdudu huyo. 2. Chunguza kuwepo kwa ruhuka (Juni, Julai). Akiwepo nyunyizia sumu za asili kama mwarobaini, utupa. 22 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

23 Uchunguzi ukionyesha kuzidi kuwepo kwa ruhuka nyunyizia sumu za viwandani kama; Thiodan 35 au Dursban 48 EC. 3. Weka matandazo ili kuendeleza wadudu marafiki wanao kula ruhuka. Pia matandazo huozesha matunda yaliyodondoka chini. 4. Kata matawi mara kwa mara. 5. Chuma mara kwa mara (kila siku 14) ili kahawa isikaukie juu ya mti. NB: Sumu zitafanya kazi ya kudhibiti kabla ruhuka hajaingia ndani ya punje (majuma 16 kabla ya kuvuna). Vidungata (Mealybugs) Wadudu hawa huonekana kama unga mweupe kwenye matawi machanga, maua na matunda. Wadudu hawa wanaweza kutembea umbali kidogo ingawaje huonekana kama wamegandia sehemu moja. Maisha na Uharibifu Katika hatua za kukua, vidungata watoto hufanana na wale wapevu na ndizo hatua zinazofyonza virutubisho vya mmea. Mti wenye ushambulizi hudhoofika na baadaye hufa. (Tazama picha Na. 1 Uk. 42). Misafara ya sisimizi hufuata makao ya vidungata kwa ajili ya asali wanayozalisha. Udhibiti: Kilimo sango (all cultural practices) kizingatiwe hususani ukataji matawi; kusugua mashina ya kahawa. Kuhimiza wadudu marafiki ambao mara nyingi huwala au kutaga mayai ndani yao. Kuzuia sisimizi wasiwafikie walipo kwa kupaka shina mikorogo ya sumu za asili kama utupa au sumu za viwandani kama Dursban (CC 700 / lita ya maji). KILIMO BORA CHA KAHAWA 23

24 Vidugamba (Green Scales) Hawa ni wadudu walio na umbo bapa la mviringo na hukaa mahali pamoja. Huonekana wamejipanga kwa safu kwenye ncha za matawi na penye mishipa mikuu ya jani. Mara nyingi masizi honekana kwenye majani na matawi na misafara ya sisimizi huelekea mahali walipo ili kujipatia asali wanayozalisha. (Tazama picha Na. 6 Uk. 42). Uharibifu na maisha yake Vidungata wachanga wanaofanana na wazazi wao huanguliwa toka kwenye mayai. Vidungata wapevu na watoto wao hufyonza virutubisho vya mmea ambao hatimae hufa. Wadudu hawa husitawi sana wakati wa ukame. Udhibiti: Kilimo sango Kuhimiza wadudu marafiki (manyigu, ladybirds) Matumizi ya sumu ya asili:- - Mkojo wa Ng ombe 1:4 - Utupa gm 50 / lita ya maji Kudhibiti sisimizi kwenye shina ili wasiwafikie vidungata. Matumizi ya sumu za viwandani:- - Inashauriwa kupaka shina la mti ulioadhirika sumu ili kuzuia sisimizi wasiwafikie vidugamba. - Shina lipakwe sumu ya Dursban kwa mchanganyiko wa mls 35 dawa kwenye kila lita moja ya maji. - Sumu ipakwe urefu wa cm 15. Vithiripi (Thrips) Wadudu hawa ni wadogo sana; wanalo umbo la kuchongoka na hawaonekani kwa urahisi. Mkulima anaweza kuwatambua kwa kuona 24 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

25 dalili za mashambulizi yake upande wa chini wa majani ya kahawa ambayo huwa na mng ao wa rangi ya fedha (Silvery). Pia vitone vyeusi husambaa kwenye majani yaliyoadhirika. Dalili hizi pia huonekana kwenye punje na majani machanga. Uharibifu na maisha yake Mayai ya vithiripi hutagwa ndani ya majani ya kahawa na kwenye magamba ya shina lake. Watoto wa vithiripi (Tunutu) wanaoanguliwa huishi kwa kufyonza utomvu wa mmea kama vithiripi wapevu wafanyavyo. Majani huanguka na hatimae mti mzima unaweza kufa. Hatua ya buu hufanyikia ardhini ambapo mdudu mpevu hutokea na kuendelea na uharibifu. Hali ya hewa ya ukame na joto humwezesha mdudu huyu kustawi sana. Kizazi kimoja kinaweza kukamilika kwa kipindi cha wiki 3. Udhibiti:- Kilimo Sango:- - Matumizi ya matandazo - Kusugua mashina ya kahawa - Kukwatua shamba Matumizi ya Asili:- - Tumbaku - tumia kilo 1 tumbaku / lita 15 za maji - Utupa - tumia gm 750 / lita 15 za maji Matumizi ya sumu za viwandani:- - Dursban CC 30 / solo - DECIS 2.5 % CC 6-10 / solo NB: Matumizi ya mara kwa mara ya madawa jamii ya pyrethroids kama DECIS huongeza tatizo la vithiripi. KILIMO BORA CHA KAHAWA 25

26 Kidomozi (Leafminer) Kidomozi ni kiwavi ambaye ametokana na kuanguliwa kwa mayai ya jamii ya nondo mdogo (mm 3-4) mweupe ambaye mchana hujificha chini ya majani ya kahawa na kuruka usiku. Kama mti ukitikiswa nondo hawa huruka kwa muda mfupi na kisha kujificha tena. Uharibifu na maisha yake Kidomozi hutaga mayai madogo yenye rangi ya kung aa, juu ya majani ya kahawa. Mayai haya huonekana kama yamepangwa kwenye safu na wakati mwingine huwa kwenye vifurushi. Viwavi ni weupe na wadogo (mm 6-8) na mara wanapoanguliwa hupenya ndani ya jani, chini ya ngozi ya juu. Hula kwa kutengeneza mitaro, myembamba kwenye jani zima, ambalo baadaye hufa na kuanguka. Kidomozi anakaa ndani ya jani kwa muda wa wiki (5) tano na baadaye hugeuka kuwa buu ambaye anaweza kujitundika kwa uzi wa utando kwenye jani au huanguka chini. Buu hawana madhara. Nondo hujitokeza baada ya wiki 1-2 na kuanza kutaga tena. Maisha ya nondo ni wiki 2 na anaweza kutaga mayai (75) sabini na tano. Udhibiti: Kilimo Sango:- Usafi wa shamba, kukata matawi, kukwatua shamba na matandazo. Sumu ya asili:- - Mkojo wa Ng ombe 1:4 - Utupa - angalia vithiripi - Tumbaku Sumu ya viwandani:- - Itumike wakati Nondo 35 au zaidi wanaonekana. - Tumia Dursban CC 30 / lita 15 za maji. - Tumia DECIS 2.5 % CC 6-10 / solo. 26 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

27 Viwavi kibiongo (Giant Loopers) Hawa ni viwavi wakubwa (cm 2.5) wanaotokana na kuanguliwa kwa mayai ya nondo wa jamii ya Loopers. Hutambuliwa kwa kupinda mgongo wapotembea. Nondo wana rangi ya kujivu au kahawia, ni wakubwa, wenye urefu wa cm 3-5 cm. Maisha na uharibifu Nondo hawana uharibifu kwa mimea. Mayai hutagwa kwenye magamba ya mashina; viwavi huanguliwa; huishi kwa kula maua matunda machanga na majani ya kahawa. Udhibiti Kilimo sango:- kusugua mashina na palizi; kukata matawi na kupunguza vivuli. Kuhimiza wadudu marafiki. Matumizi ya madawa ya asili kama utupa. Jinsi ya kuthibiti wadudu wa kahawa Usafi wa shamba ni muhimu sana - Kata matawi - Sugua mashina na matawi makubwa - Ondoa masalia ya punje za kahawa baada ya mavuno (stripping off) Punguza kivuli kwenye shamba la kahawa Punje zote zilizodondoka chini zifukiwe kina kirefu. Tumia ndoana (hook) kuondoa bungua wa kahawa Kagua shamba mara kwa mara Jaribu sumu za asili kudhibiti wadudu. Tumia mbinu za udhibiti husishi (IPM) ili kuhifadhi wadudu marafiki. KILIMO BORA CHA KAHAWA 27

28 Sumu za viwandani zitumike pale tu ambapo ni lazima kufanya hivyo na kwa tahadhari zote zinazohitajika. Kutegemeana na hali ya hewa na kiasi cha wadudu na mashambulizi ya magonjwa. Magonjwa makuu ya kahawa - Chule buni (CBD) - Kutu ya majani (Coffee leaf rust) - Mnyauko fuzari (Fusarium) Chule Buni (CBD- Coffee Berry Disease) Chule Buni (CBD) ni ugonjwa wa matunda ya kahawa ambao umeenea sehemu nyingi nchini hasa zile za miinuko ya juu. Ushambuliaji huwa ni mkubwa zaidi wakati wa mvua za masika kwani wakati huu hali ya unyevu unyevu kwenye hewa ni mkubwa na hali ya hewa ni ya baridi. Madhara ya Chule Buni Ugonjwa huu ni mbaya sana na huenea kwa kasi. Mbuni ulioshambuliwa haufi bali mkulima anaweza kupoteza mpaka asilimia 90 ya mavuno kwa mwaka kama hatazingatia namna bora ya kuuzuia. Ugonjwa huu hushambulia mibuni katika hatua tatu muhimu nazo ni: Maua yanapochanua. Punje zikiwa changa na laini. Punje zinazoiva. Madhara makubwa hutokea wakati punje zikiwa changa na laini. Mara nyingi mibuni iliyoshambuliwa na Chule Buni matunda yake huwa na vidonda vyeusi na vilivyobonyea na hudondoka na mengine 28 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

29 hubakia kwenye mibuni. Yale matunda yanayobakia yanakauka na kuwa chanzo cha uambukizaji kwenye mavuno ya msimu unaofuata. Picha ya mbuni ulioshambuliwa na Chule Buni (picha Na. 3 Uk. 42 ) Jinsi ya Kuzuia Ili mkulima aweze kudhibiti vizuri ugonjwa huu anashauriwa: Kupunguza matawi yasiyotakiwa ili sumu iweze kupenya vizuri na kufikia matunda yote. Kutumia sumu sahihi zilizopendekezwa kutumika kwenye kahawa. Kutumia kiasi na kipimo sahihi kilichopendekezwa. Kunyunyizia sumu wakati sahihi yaani: 1. Kabla ya ugonjwa haujatokeza. 2. Unyunyuziaji dawa uanze wiki tatu kabla ya mvua za vuli kuanza (Oktoba - Novemba) na kurudiwa tena mwezi mmoja baadae (Disemba). 3. Unyunyiziaji unaofuata ufanyike tena wiki tatu kabla ya mvua za masika (Machi) na kurudiwa kila mwezi hadi matunda yakomae (Julai) Aelekeze dawa kwenye matunda. Mkulima anashauriwa kunyunyizia sumu mojawapo ya hizi zifuatazo: 1. Jamii ya mrututu - hasa zile nyekundu na za bluu zilizopendekezwa kudhibiti Chule buni. Mfano: Nordox, Cobox, Funguran-OH. 2. Jamii isiyo ya mrututu - hizi mara nyingi ni zile za maji maji zilizopendekezwa kutumika kwenye kahawa mfano: Bravo, Daconil na Dyrene. Faida ya kudhibiti Mkulima akidhibiti vizuri Chule Buni anapata faida zifuatazo: 1. Atakuwa amepunguza uwezekano wa kuendelea kuongeza kasi ya KILIMO BORA CHA KAHAWA 29

30 huu ugonjwa mwaka hadi mwaka. 2. Atakuwa ameongeza wingi na ubora wa kahawa. 3. Atakuwa amejiongezea kipato chake na kuwa na maisha bora zaidi. 4. Atakuwa ameongeza pato la taifa kwa ujumla. Mambo muhimu ya kuzingatia Mwisho wa msimu hakikisha unaondoa matunda yote haswa yale yaliyoshambuliwa na chule buni. Tambua wakati sahihi wa kuzuia huu ugonjwa. Nunua sumu sahihi zilizopendekezwa. Hakikisha matunda yote yanapata sumu vizuri. Epuka ununuzi holela wa sumu kwani unaweza kununua hata zile zilizokwisha muda wake. Mara upatapo tatizo onana na mataalamu wa kilimo aliyekaribu nawe. Kutu ya Majani (Coffee Leaf Rust) Kutu ya Majani ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea vya ukungu jamii ya Hemileia vastariz; Ugonjwa huu ushambulia karibu aina zote za kahawa; hasa katika nyanda za chini ambako kuna joto zaidi. Ugonjwa wa kutu ya majani hujitokeza kabla ya mvua za masika kuanza. Mazingira mazuri ya vimelea vya Kutu ya Majani: Joto lililo ambatana na unyevu nyevu mwingi angani. Kivuli kinachosababishwa na miti mingi shambani au matawi ya kahawa. Magugu jamii ya Oxalis. Kahawa zilizozeeka kupita kiasi nazo hushambuliwa kwa urahisi. 30 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

31 Mashambulizi na dalili za Kutu ya Majani Picha ya kutu ya majani (picha Na.4 Uk. 42.) Kutu au rangi ya machungwa iliyochanganyika na manjano huonekana upande wa chini wa majani ya kahawa. Kudondoka kwa majani yangali bado machanga. Kudumaa kwa matawi. Kukauka kwa ncha za matawi. Hatimaye mavuno hupungua kwa kiasi kikubwa. Ugonjwa wa kutu ya majani unavyosambazwa: Upepo huongeza kasi ya kusambaa kwa vimelea vya kutu ya majani. Wanyama (ndege) wadudu, husambaza vimelea vya kutu ya majani toka mmea mmoja hadi mwingine. Miezi michache kabla ya Vuli vimelea vya kutu ya majani huanza kukua; - Vimelea hivi hujihifadhi kwenye magamba ya shina la kahawa na matawi makubwa (Primary branches) hasa kahawa zilizozeeka. - Kipindi hiki huwa na joto. Vuli husaidia kuongeza kasi ya kukua kwa vimelea hivyo na kusambaza. - Kutokana na unyevunyevu uliopo kwenye majani na kahawa kwa ujumla. Vimelea vya ukungu wa aina hii vinapoendelea kusambaa ndivyo na mashambulizi ya mmea yanavyoongezeka. Mashambulizi huendelea kipindi chote cha joto hadi masika, kipindi ambacho vimelea hukosa nguvu. Nguvu ya vimelea vya kutu ya majani huanza tena kidogo kidogo baada ya masika kwisha. KILIMO BORA CHA KAHAWA 31

32 Kupambana na Kutu ya Majani: Shamba liwe safi wakati wote. - Punguza kivuli cha miti na migomba kwenye shamba la kahawa. - Punguza matawi ya kahawa (pruning); wakati wa kukata matawi kata matawi yote yalivyozeeka; na yaliyo na ugonjwa. - Lima ili kupunguza magugu hasa jamii ya oxalis. Hakikisha udongo una unyevunyevu wa kutosha, wakati wote: (weka matandazo, mbolea na kumwagilia maja) Ondoa magamba kwenye kahawa kwa kutumia brush / magunzi mbalimbali. Jaribu sumu za asili. Sumu za viwandani (mrututu) zitumike pale tu ambapo ni lazima kufanya hivyo kufuatana na hali ya hewa; - mrututu (copper) utumike kama kinga mara baada ya mvua za masika kama joto liko juu likiambatana na unyevunyevu angani. - Endapo kutu ya majani imeshamiri tumia Bayleton kama tiba (control) lakini si zaidi ya mara 2 kwa msimu. NB: Wakati wa kunyunyuzia sumu elekeza bomba chini ya majani. Mnyauko Fusari Ugonjwa huu husababishwa na vimelea vya fusari. Hushambulia mashina, machipukizi na hata punje. Ugonjwa wa mnyauko fusari unashamiri kwenye mashamba ambayo hayatunzwi vizuri inavyopasa. Viini vya ugonjwa huu vinauwezo mdogo sana wa kushambulia mkahawa wenye afya nzuri. Dalili: Machipukizi yaliyoshambuliwa na ugonjwa huu hunyauka, na majani hubadilika na kuwa na rangi ya kahawia. Matawi na mashina yakishambuliwa hunyauka na kufa. Ukitaka kuthibitisha dalili za 32 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

33 fusari kata shina utaona (brown ring) miviringo ya kahawia. (Tazama picha Na. 8 Uk. 43). Jinsi ya kuzuia Palizi ni muhimu kwenye shamba. Ukataji sahihi wa matawi. Matumizi ya mbolea kwa kiwango kinachoshauriwa. Ng oa na choma moto mikahawa iliyokufa. Iwapo ni matawi yanayoonyesha dalili za ugonjwa matawi hayo yakatwe na kuchomwa moto. NB: Miche mingine ya kahawa isipandikizwe sehemu ilikong olewa mikahawa yenye ugonjwa kabla ya miezi sita. Kuvuna Kahawa Ubora wa kahawa hutegemea sana uchumaji Chuma kahawa zilizoiva vizuri tu. (nyekundu). Tenganisha kahawa zilizoiva vizuri na zile ambazo hazijaiva vizuri kabla ya kumenya. Mimina kahawa kwenye pipa lenye maji ili kutengenisha mbovu na nzuri. Jinsi ya kutayarisha kahawa (Parchment) - Kutayarisha kwa mashine ndogo ya nyumbani au mitambo ya kati. Kanuni za utayarishaji kahawa bora 1. Chuma kahawa zilizoiva tu (nyekundu) 2. Koboa/menya kahawa siku hiyo hiyo ya kuvuna 3. Rekebisha mashine ili isitafune punje KILIMO BORA CHA KAHAWA 33

34 4. Tumia maji mengi safi wakati wa kukoboa 5. Ondoa maganda ya kahawa ambayo bado hayaja kobolewa, wakati zoezi la kukoboa linaendelea. 6. Engua maganda na mapepe/maelea kisha osha kahawa iliyo kobolewa, tenganisha mapepe na kahawa nzuri. 7. Vundika kahawa kwenye chombo safi. Geuza asubuhi, mchana na jioni. 8. Osha kahawa kwa maji safi hadi mlenda utengane na punje za kahawa. 9. Loweka kahawa kwenye maji safi kwa masaa Safisha kahawa vizuri, chuja na anika kwenye chekecheke au chandalua mara moja. - Kahawa igeuzwe mara kwa mara ili isipasuliwe na jua kali. - Hifadhi kahawa kwenye magunia safi, epuka kuhifadhi kahawa kwenye chumba chenye manukato kama ya vitunguu n.k., magunia yahifadhiwe juu ya chanja, tayari kwa kupeleka sokoni. 34 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

35 Utunzaji wa Migomba Kuchagua miche: Miche bora lazima ichaguliwe kutoka kwenye mashina mazuri yenye afya ambayo hayajashambuliwa na wadudu wala magonjwa. Miche mbalimbali inaweza kutumika kama ifuatavyo:- Peepers:- Hii ni miche midogo sana yenye urefu wa sm Swordsuckers:- Miche yenye majani kama mkuki yenye urefu wa sm Aina hii ni nzuri sana kwa kupanda. Maidensuckers:- Miche mikubwa yenye majani mapana. Aina hii siyo nzuri ya kupanda kwasababu inachukua muda mfupi kuzaa lakini mkungu unakua mdogo. Tissue culture:- Miche inayozalishwa kwenye maabara yenye urefu wa sm 30. Aina hii ni nzuri sana kwa sababu haina matatizo ya wadudu wala magonjwa. Huzaa mavuno mengi kwa wakati mmoja na kwa muda mfupi. Kwa mfano, KM, Vallery, Willam, Ugandagreen n.k. Aina nyingine ya miche ambayo inaweza kutumika endapo kuna upungufu wa miche ni corm (Tunguu), cormsplits (Tunguu lililokatwa vipande vipande), bullhead (miche inayotokana na mashina yaliyong olewa) na watersuckers (mche mdogo mwembamba wenye majani mapana). KILIMO BORA CHA KAHAWA UTUNZAJI WA MIGOMBA 35

36 Mambo muhimu ya kuzingatia kabla ya kupanda miche ya migomba. i. Kuchonga (Pearing) :- Baada ya kuchagua miche kwa kutumia panga safi au kisu chenye makali, chonga mizizi yote na sehemu zote zinasoonyesha dalili za mashambulizi ya wadudu na magonjwa kiasi cha kutofikia sehemu ambayo mizizi inaanzia (Mengiline layer). Kuchonga kunapunguza matatizo ya wadudu na magonjwa kwa asilimia 80. (Tazama picha Na. 10 Uk. 43). ii. Kutumia joto la jua (Solarization):- Ili kumalizia asilimia 20 ya wadudu waliyobakia tumia karatasi nyeusi ya nailoni kwa kufunika sehemu ya shina la mche kwa muda wa siku mbili. iii. Kwa maeneo ambayo udongo umeathirika na wadudu au magonjwa ni vizuri kutumia aina zinazovumilia au kinzani (resistance). iv. Nafasi:- Hutegemea aina, kupanda migomba peke yake au kuchanganywa na mazao mengine a. Mchanganyiko - 6 x 6m (aina ndefu) au 3 x 6m (aina fupi) b. Migomba peke yake: x 2.7 (aina fupi) - 2 x 3 (aina ya wastani) - 5 x 5 (aina ndefu) v. Matandazo:- Ni muhimu kwa ajili ya kuzuia magugu, kuhifadhi unyevu, kuhifadhi wadudu marafiki na kuongeza rutuba kwenye udongo. Matandazo yanatakiwa yawekwe umbali wa sm 30 kutoka kwenye shina. vi. Palizi:- Mara mbili kwa mwaka. vii. Kumwagilia:- Ni muhimu wakati wa kiangazi. viii.kupunguzia:- Mara moja kwa mwaka. Shina la mgomba linatakiwa liwe na migomba 3-4 kwenye umbo la pembetatu; 36 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

37 a. Mmea ambao umeshazaa (mama) b. Mmea unaokaribia kuzaa (mtoto) c. Mmea mchanga (mjukuu) ix. Usafi wa Shamba:- Ili kupunguza matatizo ya Panama disease(mnyauko), Banana Weevil (Fukusi wa migomba) na minyoo fundo ( Nematodes) ni vizuri, kung oa, kuondoa na kufukia mashina yaliyoshambuliwa. Magonjwa ya Migomba 1. Panama disease (kunyauka) 2. Black sigatoka (madoa kwenye majani) 3. Ugonjwa wa sigara (cigar end rot) Wadudu wa migomba 1. Fukusi wa migomba (Banana weevil) 2. Minyoo fundo (Nematodes) 1. Panama disease (Mnyauko) Ugonjwa huu hushambulia zaidi aina ndefu kama mshare, kisukari n.k. Dalili: - Ugonjwa unaanza kwenye kingo za majani yaliyozeeka. - Majani hubadilika rangi na kuwa njano. - Baadaye majani hufa na kukauka na kuacha shina limezungukwa na majani makavu. (Tazama picha Na. 12 Uk 43). - Shina la mgomba likikatwa linaonyesa mchanyanyiko wa rangi ya kahawia na zambarau. - Shina hupasuka. KILIMO BORA CHA KAHAWA UTUNZAJI WA MIGOMBA 37

38 Kuenea: - Kupitia kwenye udongo na mizizi iliyojeruhiwa. - Miche yenye ugonjwa. - Mgomba mama hadi chipukizi. Kuzuia - Panda aina zinazovumilia kama KM5. - Panda miche ambayo haina vimelea vya ugonjwa kwa mfano Tissue Culture. - Usafi wa shamba. NB: Ugonjwa huu hauna tiba. 2. Black Sigatoka (Madoa kwenye majani) Dalili: - Madoa membamba rangi nyeusi na kahawia kwenye majani yenye urefu wa sm 1 sambamba na mstari (vein) wa majani. (Tazama picha Na. 9 Uk. 43). Kuenea: - Miche iliyoshambuliwa - Upepo Kuzuia: - Panda miche isiyo na vimelea vya ugonjwa. - Ondoa majani yaliyozeeka na kuyachoma. - Punguza kivuli cha miti. - Panda miche inayovumilia - Usafi wa shamba 38 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

39 3. Ugonjwa wa Sigara ( Cigar end rot) Dalili:- Hushambulia maua na ncha za matunda. Ncha ya ndizi huonekana kama sigara inayoungua. Kuenea:- - Kupitia kwenye maua na majani makavu. - Huenea zaidi kukiwa na unyevunyevu. Kuzuia:- - Ondoa majani makavu - Usafi wa shamba - Ondoa ua la ndizi kwa wakati wake NB: Hakuna tiba. Wadudu 1. Vifukusi wa migomba (Banana Weevil) Madhara: - Wadudu hutaga mayai kwenye shina la migomba kukiwa na unyevu. (Tazama picha Na. 11 Uk. 43). - Mayai yakianguliwa hutokea mafunza weupe ambao huchimba mitaro kwenye shina la migomba. Dalili: - Mavuno hupungua. - Majani yanakuwa njano na kukauka. KILIMO BORA CHA KAHAWA UTUNZAJI WA MIGOMBA 39

40 - Mashina huoza na mmea huanguka kwa urahisi kwa kukatika shinani juu ya ardhi. - Machipukizi hudumaa. - Mashina chini ya usawa wa ardhi hutobolewa sana na kuwa na mifereji. Kuzuia: - Unapovuna kata shina la mgomba usawa wa ardhi na sehemu inayobakia ifunikwe kwa udongo. - Usitumie vipande vya migomba kama matandazo kwanza bali vichambuliwe kabla ya kutandaza, matandazo yasambazwe toka kwenye shina au yatumike kutengenezea mboji. - Usafi wa shamba. - Tumia miche ambayo haijashambuliwa. - Tega fukusi kwa kutumia vipande vya shina la mgomba uliokwishazaa vyenye urefu wa futi 1 (sm 30) na kuviweka umbali wa sm 30 kutoka kwenye shina. Ni vizuri kuangalia mitego mara moja kwa wiki. 2. Minyoo fundo (Nematodes) Kuenea: - Kwa maji ya kumwagilia - Kwa vifaa vya shambani kama jembe, panga n.k - Kwa miche yenye wadudu. Dalili: (Juu ya usawa wa ardhi) - Mimea hudumaa. - Mkungu hata matunda hupungua. 40 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

41 - Shina linakuwa jembamba. - Baadaye mgomba kung oka pamoja na mizizi yake. Dalili: (Chini ya usawa wa ardhi) - Mizizi inavimba na kuwa na rangi ya kahawa na nyekundu. - Mizizi inakatika na haikui. - Mizizi hupasuka na kuwa na rangi nyeusi. Kuzuia: - Mzunguko wa mazao kwa muda wa miaka Panda aina inayovumilia - Ondoa mizizi na sehemu zenye alama ya wadudu na magonjwa kabla ya kupanda. - Weka matandazo na mbolea kwa wingi. - Panda miche mipya kwenye eneo lisiloathirika. NB: Kwa maelezo zaidi kuhusu kilimo bora cha migomba soma kitabu cha mwongozo wa kupanda migomba Afrika Mashariki kilichoandikwa na : 1. Mbwana A.S.S, L. Sheshu Reddy, KU Sikora RA Uthibiti wa wadudu na magonjwa Tanzania kilichoandikwa na Mbwana ASS na Rukazambuga NDTM Mwone Bwana Shamba kwa ushauri zaidi KILIMO BORA CHA KAHAWA UTUNZAJI WA MIGOMBA 41

42 2. Coffee Berry Borer 1.Coffee Mealy bug 3. Coffee Berry Disease 5. Coffee Stemborer 42 TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT 4. Coffee Leaf Rust 6. Green Scale

43 7. Antestia 8. Fusarium 9. Sigatoka 10. Pared banana sucker 11. Banana Weevil 12. Panama KILIMO BORA CHA KAHAWA 43

44 Tanzanian - German Project for Integrated Pest Management (IPM) PO Box, 1004, Arusha, Tanzania Arusha: Tel/Fax: Dar es Salaam Tel/Fax: TANZANIAN-GERMAN IPM PROJECT

KILIMO CHA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU TWAUMU (SWAUMU)

KILIMO CHA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU TWAUMU (SWAUMU) 2016/2017 TEMBELEA ACKYSHINE.COM/SHOP KUPATA MAJARIDA MENGINE KILIMO CHA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU TWAUMU (SWAUMU) Kutoka ackyshine.com/shop Melkisedeck Shine KILIMO CHA VITUNGUU (VITUNGUU MAJI) Vitunguu

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Wadudu na magonjwa ya mazao

Wadudu na magonjwa ya mazao Wadudu na magonjwa ya mazao Mwongozo juu ya wadudu na magonjwa muhimu zaidi ya mazao makuu ya chakula yanayokuzwa na wakulima wadogo wadogo katika Afrika Agosti 2015 Africa Soil Health Consortium: Wadudu

More information

Ni kwa nini mkulima awe maskini?

Ni kwa nini mkulima awe maskini? Jarida la kilimo endelevu Afrika Mashariki Ni kwa nini mkulima awe maskini? Swali hili limekuwa likijirudia mara kwa mara. Kwa watu walio wengi hata wakulima wenyewe, wana majibu mengi sana ambayo wamekuwa

More information

2 Usimamizi wa Rutuba ya Udongo Tanzania Organic Agriculture Movement

2 Usimamizi wa Rutuba ya Udongo Tanzania Organic Agriculture Movement Mwongozo wa Mafunzo ya Kilimo-Hai Afrika Mwongozo kwa Wakufunzi 2 Usimamizi wa Rutuba ya Udongo Tanzania Organic Agriculture Movement CHAPISHO YALIYOMO Mchapishaji: FiBL, Research Institute of Organic

More information

4 WADUDU,MAGONJWA NA MAGUGU

4 WADUDU,MAGONJWA NA MAGUGU Mwongozo wa Mafunzo ya Kilimo-Hai Afrika Mwongozo kwa Wakufunzi 4 WADUDU,MAGONJWA NA MAGUGU Tanzania Organic Agriculture Movement CHAPISHO YALIYOMO Mchapishaji: FiBL, Taasisi ya utafiti wa kilimo hai,

More information

Uzalishaji wa mboga na matunda ni muhimu kwa afya na kipato

Uzalishaji wa mboga na matunda ni muhimu kwa afya na kipato Jarida la kilimo endelevu Afrika Mashariki Uzalishaji wa mboga na matunda ni muhimu kwa afya na kipato Toleo la 25 Oktoba, 2014 Kilimo cha papai 3 Magonjwa ya kuku 4 & 5 Kilimo cha kiazi sukari 6 Imekuwa

More information

TIST HABARI MOTO MOTO

TIST HABARI MOTO MOTO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. +255784-537720/+255717-062960/+255782-250947, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@tist.org May 2010 Cash Payments for Trees Clean Air Action has developed a way to pay the groups

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

pages/mkulima-mbunifu/

pages/mkulima-mbunifu/ Jarida la kilimo endelevu Afrika Mashariki Mipango thabiti huleta manufaa Toleo la 10 Januari, 2013 Maziwa 3 Pilipili hoho 4 Maharagwe mabichi 6 Imekuwa ni kawaida kwa wakulima walio wengi kufanya shughuli

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI b Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI 1 Mwongozo wa Uzalishaji

More information

KUZALISHA MBEGU YA MAHARAGE KIJITABU CHA KWANZA

KUZALISHA MBEGU YA MAHARAGE KIJITABU CHA KWANZA KUZALISHA MBEGU YA MAHARAGE KIJITABU CHA KWANZA KIJITABU KWA WAZALISHAJI WADOGO WADOGO WA MBEGU YA MAHARAGE Kijitabu hiki kimetolewa na kituo cha kilimo kinachohusika na Maeneo ya kilimo katika sehemu

More information

Uwepo, Athari na Udhibiti wa Sumu-Suvu Kwenye Vyakula vya

Uwepo, Athari na Udhibiti wa Sumu-Suvu Kwenye Vyakula vya Uwepo, Athari na Udhibiti wa Sumu-Suvu Kwenye Vyakula vya Kuku Tanzania Dr Flora KAJUNA Livestock Training Agency (LITA)-Morogoro Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Utangulizi Sumu-kuvu ni nini? Sumu kuvu

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

MTI KWA MATUMIZI YA KILA AINA HDRA

MTI KWA MATUMIZI YA KILA AINA HDRA MZUNZE MTI KWA MATUMIZI YA KILA AINA HDRA Kwa huduma za Kilimo - hai Moringa oleifera a multipurpose tree Mzunze ni nini? Mzunze au Mrongo au Mronge ni mti uliotokea Kaskazini mwa India. Kwa sasa Mti huu

More information

Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI

Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI C O U N S E N U T H I n f o rmation series No. 6 Toleo la Kwanza, March, 2004 Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI MATUMIZI

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

PYRINEX. 1 Liter INSECTICIDE

PYRINEX. 1 Liter INSECTICIDE PYRINEX GUARANTEE (DHAMANA): Chloropyrifos 480 g/1, EC OPEN HERE A broad spectrum Insecticide/Acaricide with contact, ingestion and fumigant action for control of a wide range of pests on Maize, Coffee,

More information

Shamba Darasa na Stadi za Maisha kwa Vijana (SDSMV) Tanzania. Kiongozi Cha Mwezeshaji. Jaap Van Pol na Francesca Dalla Valle

Shamba Darasa na Stadi za Maisha kwa Vijana (SDSMV) Tanzania. Kiongozi Cha Mwezeshaji. Jaap Van Pol na Francesca Dalla Valle Programu kuhusu msaada wa sera kwa ajira vijijini na kazi yenye heshima kwa uhimizaji maisha sawa endelevu vijijini kulingana na mabadiliko ya tabia nchi Shamba Darasa na Stadi za Maisha kwa Vijana (SDSMV)

More information

Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI VIDOKEZO MUHIMU KATIKA UNUNUZI NA USALAMA WA CHAKULA

Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI VIDOKEZO MUHIMU KATIKA UNUNUZI NA USALAMA WA CHAKULA Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI VIDOKEZO MUHIMU KATIKA UNUNUZI NA USALAMA WA CHAKULA COUNSENUTH NA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA, June, 2004 VIDOKEZO MUHIMU KATIKA UNUNUZI

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

Bustani 10,000 Katika Afrika. Alberto Prina

Bustani 10,000 Katika Afrika. Alberto Prina Bustani 10,000 Katika Afrika Alberto Prina K i j i t a b u Timu ya wahariri: Abderrahmane Amajou, Typhaine Briand, Roba Bulga Jilo, Davide Dotta, Emanuele Dughera, Michela Lenta, Velia Lucidi, Irene Marocco,

More information

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246, P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@ twiga.com 01 June 2001 Benefits of Loan Repayment As the date of repayment nears, 15 June, groups are busy preparing crops, digging

More information

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu BLOOD PRESSURE UK Shinikizo la damu ndicho chanzo kikubwa cha ulemavu na vifo vya mapema kule Uingereza, kupitia kiharusi, mshtuko wa moyo na maradhi ya moyo.

More information

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kiongozi hiki kimeandaliwa kikiwa ni sehemu ya mradi wa

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wapilipili Tanzania Wildlife Division, Tanzania Wildlife

More information

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

Njia Bora za Ukusanyaji na Upimaji Maziwa

Njia Bora za Ukusanyaji na Upimaji Maziwa MODULI 2 Njia Bora za Ukusanyaji na Upimaji Maziwa Mwongozo wa kufundishia wahudumu wa vituo vya kukusanyia maziwa Afrika Mashariki FEBRUARY 2006 MilkHygiene 02 (CS3) swah Fin.indd 1 1/7/10 8:56:12 AM

More information

Teknolojia za Utayarishaji, Usindikaji na Matumizi ya Matunda na Mboga baada ya kuvuna

Teknolojia za Utayarishaji, Usindikaji na Matumizi ya Matunda na Mboga baada ya kuvuna 1 Teknolojia za Utayarishaji, Usindikaji na Matumizi ya Matunda na Mboga baada ya kuvuna Kitabu namba 3 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania W izara ya Kilimo na Chakula i 2 Mfululizo wa vitabu hivi: Kitabu

More information

Picha ni hati miliki ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Watoto(PCD), Imperial College London. Maelezo

Picha ni hati miliki ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Watoto(PCD), Imperial College London. Maelezo Mwongozo wa kufundisha afya katika shule na jamii kupitia wafanyakazi wa afya Hati zifuatazo zimeandikwa kwa ushirikiano kati ya Partnership for child Development (PCD) yani Ushirikiano wa Maendeleo ya

More information

Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014

Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014 Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014 Wandishi (Jina la kwanza kiherufi): Edmund Githoro, Simon Fraval, Joanne

More information

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia : Maelekezo ya kutumia Kupatwa kamili kwa jua Jumatatu, 21 Agosti 2017 Agreement v1.4 Mar 2014 2014-2017 Eclipse2017.org, Eclipse2017.org, inc. inc. TERMS AND CONDITIONS FOR USE OF SOLAR VIEWER Please

More information

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA TWN Third World Network 1. WEMA ni nini? Mahindi yanayotumia maji kwa ufanisi yajulikanayo kwa kingereza kama Water Efficient Maize for Africa (WEMA) ni mpango

More information

Mwongozo huu wa ufugaji kuku wa Asilia umezinduliwa rasmi leo tarehe 1 Agosti 2009 wakati wa sikukuu ya Wakulima Tanzania mjini Mbeya

Mwongozo huu wa ufugaji kuku wa Asilia umezinduliwa rasmi leo tarehe 1 Agosti 2009 wakati wa sikukuu ya Wakulima Tanzania mjini Mbeya Mwongozo huu wa ufugaji kuku wa Asilia umezinduliwa rasmi leo tarehe 1 Agosti 2009 wakati wa sikukuu ya Wakulima Tanzania mjini Mbeya TANZANIA MWONGOZO WA UFUGAJI KUKU WA ASILI KWA WAKULIMA WA TANZANIA

More information

Muongozo wa utatuzi. Kwa wasimamizi wa malaria RDTs 06/11/16. MALARIA Rapid Diagnostic Test

Muongozo wa utatuzi. Kwa wasimamizi wa malaria RDTs 06/11/16. MALARIA Rapid Diagnostic Test Muongozo wa utatuzi Kwa wasimamizi wa malaria RDTs MALARIA Rapid Diagnostic Test Device Umetengenezwa na FIND kwa kushirikiana na Johns Hopkins Bloomberg Shule ya Afya ya Jamii (JHSPH), ubia wa malaria

More information

UMRI WA MAKAMO NA KUKOMA KWA HEDHI

UMRI WA MAKAMO NA KUKOMA KWA HEDHI This booklet on menopause was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at http://www.ourbodiesourselves.org/tanzania.

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Njia bora za ukusanyaji na upimaji maziwa

Njia bora za ukusanyaji na upimaji maziwa MODULI 2 Njia bora za ukusanyaji na upimaji maziwa Mwongozo wa kufundishia wahudumu wa vituo vya kukusanyia maziwa Afrika Mashariki FEBRUARI 2011 KShs 200/= MODULI 2 Njia bora za ukusanyaji na upimaji

More information

Alama za maelezo. mastakimu. dimbwi. kidimbwi. mto. kijito. ndani mchangani / chini ya ardhi. mchana / usiku. mchana. usiku

Alama za maelezo. mastakimu. dimbwi. kidimbwi. mto. kijito. ndani mchangani / chini ya ardhi. mchana / usiku. mchana. usiku 0 cm 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 Alama za maelezo mastakimu dimbwi kidimbwi mto kijito ndani mchangani / chini ya ardhi mchana / usiku mchana usiku mwinuko kutoka ufuo wa bahari nyanda

More information

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma.

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma. This booklet on HIV/AIDS was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at VIRUSI VYA

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

UFUPISHO WA 35. Hali ya kiulimwengu ya Tekinolojia ya kibiashara/ugeuzi jeni na uboreshaji mazao: Clive James Chair, ISAAA Board of Directors

UFUPISHO WA 35. Hali ya kiulimwengu ya Tekinolojia ya kibiashara/ugeuzi jeni na uboreshaji mazao: Clive James Chair, ISAAA Board of Directors I S A A A Huduma ya kinimataifa ya upataji na utumizi wa kiteknolojia ya kuboresha kilimo MUHTASARI WA KIUTEKELEZAJI UFUPISHO WA 35 Hali ya kiulimwengu ya Tekinolojia ya kibiashara/ugeuzi jeni na uboreshaji

More information

Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu

Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu Kitabu cha Mafunzo Kwa Wakufunzi cha mradi wa Kuwafikia Wadau wa Mabadiliko JUZUU YA 4 Mada ya 6: Uzalishaji na Uangalizi wa Viazi Vitamu Mada ya 7: Udhibiti

More information

AMMA KWA AFRIKA RATIBA/ITIKADI. Ratiba Maalum ya Kutibu Magonjwa Maambukizi na Hususan Fikra Zinazoleta Pooza Mwili na Akili

AMMA KWA AFRIKA RATIBA/ITIKADI. Ratiba Maalum ya Kutibu Magonjwa Maambukizi na Hususan Fikra Zinazoleta Pooza Mwili na Akili AMMA KWA AFRIKA RATIBA/ITIKADI Ratiba Maalum ya Kutibu Magonjwa Maambukizi na Hususan Fikra Zinazoleta Pooza Mwili na Akili Notisi Maalum Matibabu, kama sayansi, ni somo linaloendeleza uwekezaji. Ujuzi

More information

Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu

Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu Kitabu cha Mafunzo Kwa Wakufunzi cha mradi wa Kuwafikia Wadau wa Mabadiliko JUZUU YA 5 Mada ya 8: Usimamizi Wakati wa Mavuno na Baada ya Mavuno Mada ya 9: Usindikaji

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

KUPWA NA KUJAA KWA BAHARI. (TIDES AND TIME)

KUPWA NA KUJAA KWA BAHARI. (TIDES AND TIME) KUPWA NA KUJAA KWA BAHARI. (TIDES AND TIME) Ili kuona athari ya mwezi kwa ratiba za kujaa na kupwa kwa bahari na jinsi mawimbi ya bahari yanavyohusika na mwezi mwandamo, nilichukua hatua zifuatazo: Kwanza

More information

Lesson 11 Weather and Seasons Hewa Majira

Lesson 11 Weather and Seasons Hewa Majira Lesson 11 Weather and Seasons Hewa Majira This lesson will introduce you to: - Vocabulary related to weather, seasons, and climate - How to ask for and give temperatures - How to understand the weather

More information

Mwongozo wa Kitaifa wa Ujumbe wa Uzazi wa Mpango

Mwongozo wa Kitaifa wa Ujumbe wa Uzazi wa Mpango Mwongozo wa Kitaifa wa Ujumbe wa Uzazi wa Mpango Octoba 2013 1 w 2 Mwongozo wa Kitaifa wa Ujumbe wa Uzazi wa Mpango Octoba 2013 3 4 Yaliyomo Dibaji 7 Shukurani 8 Utangulizi 10-12 Faida za Uzazi wa mpango

More information

Utunzaji, Uhifadhi na Usafirishaji Bora wa Maziwa

Utunzaji, Uhifadhi na Usafirishaji Bora wa Maziwa MODULI 3 Utunzaji, Uhifadhi na Usafirishaji Bora wa Maziwa Mwongozo wa kufundishia wasafirishaji wa maziwa Afrika Mashariki FEBRUARY 2006 MilkHygiene 03 (CS3) swah Fin.indd 1 1/7/10 11:00:46 AM UTUNZAJI,

More information

Siku ya kwanza. Mguso wa ngozi-kwa-ngozi (Ulezi wa kangaruu) Mtoto wako anaweza kuhisi mdundo wa moyo wako

Siku ya kwanza. Mguso wa ngozi-kwa-ngozi (Ulezi wa kangaruu) Mtoto wako anaweza kuhisi mdundo wa moyo wako Siku ya kwanza Baada tu ya mtoto kuzaliwa ni wakati wa kufurahia, lakini pia ni wa kuchosha. Kujua vitu vichache kuhusu kunyonyesha hufanya siku ya kwanza kuwa rahisi kidogo. Baada ya kujifungua Wakati

More information

Mfumo na maelezo ya kina ya mpango wa kimataifa wa viwango vya chakula kwa wenye matatizo ya kumeza (IDDSI) Juni 2017

Mfumo na maelezo ya kina ya mpango wa kimataifa wa viwango vya chakula kwa wenye matatizo ya kumeza (IDDSI) Juni 2017 VYAKULA VYA KAWAIDA LAINI NA UKUBWA WA TONGE LA KUNG ATA VILIVYOSAGW A NA VITEPE VILIVYO PONDW A VYA MAJIMAJI VIZITO SANA VIZITO KIASI VIZITO KIDOGO VYEPESI VYEPESI SANA VINYWAJI Mfumo na maelezo ya kina

More information

Jamii. ,,,^mm^mmm-<^^^^ illli MA RH-EREN.CE CENTRE

Jamii. ,,,^mm^mmm-<^^^^ illli MA RH-EREN.CE CENTRE ' & y : ' ' ' - ' - /..., ^,. L..... : ; ; ; - ; ; ;.....,......, 203.2 89MA Jamii RH-EREN.CE CENTRE,,,^mm^mmm-

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Moduli ya kwanza Uhamasishaji Jamii juu ya Afya ya Mazingira Kimechapishwa kutokana na Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Jeff Conant na Pam Fadem i COBIHESA

More information

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi International Labour Office Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi 1 Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2007 Kimechapwa mara ya kwanza 2007 Machapisho ya Ofisi ya Shirika la

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya Jina Nambari.. Shule... 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI / AGOSTI. 2007 MUDA: SAA 2 ½ MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya 102/3 KISWAHILI FASIHI

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

muhtasari 37 brief 37 Kiwango cha kiutandawazi cha mazao ya kibiashara ya kibayoteki/ugeuzi jeni: 2007 Clive James Bordi ya wakurugenzi wa ISAAA

muhtasari 37 brief 37 Kiwango cha kiutandawazi cha mazao ya kibiashara ya kibayoteki/ugeuzi jeni: 2007 Clive James Bordi ya wakurugenzi wa ISAAA i s a a a Huduma ya Kimataifa ya Upataji na Utumizi wa Tekinolojia ya Kuboresha Kilimo muhtasari 37 brief 37 Kiwango cha kiutandawazi cha mazao ya kibiashara ya kibayoteki/ugeuzi jeni: 2007 Na Clive James

More information

ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO

ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO Mradi wa Kuondoa Madini ya Risasi Katika Rangi Barani Afrika 2015 ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO 2015 SHUKRANI Tunachukua

More information

Wewe Maisha Yako Ndoto Zako. Kitabu cha Vijana Balehe

Wewe Maisha Yako Ndoto Zako. Kitabu cha Vijana Balehe Wewe Maisha Yako Ndoto Zako Kitabu cha Vijana Balehe Wewe, Maisha Yako, Ndoto Zako: Kitabu cha Vijana Balehe Catherine Watson na Ellen Brazier Shukurani Kitabu cha Wewe, Maisha Yako, Ndoto Zako ni tafsiri

More information

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017 TAARIFA Agosti 2017 NGUO MPYA ZA UKOLONI Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika Jumuiya ya Jamii ya 2007: Wajumbe wanaadhamana Nairobi dhidi ya EPAs. SwissInfo Tangu mwaka

More information

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza 1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to

More information

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 AEG swahili Bahari ya Aegean Brosha ya maelezo hii ni kwa watu wanaofikiria kuvuka bahari ya Aegean kati ya Ugiriki na Uturuki.Kuvuka kihramu ni uhalifu katika

More information

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E)

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI/AGOSTI 2011 MUDA: 2 ½ Kiswahili Fasihi Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) MAAGIZO Jibu maswali manne pekee Swali la kwanza ni lazima Maswali

More information

Mutugi Kamundi. Jemma Kahn. Kiswahili. Demane na pacha wake. Author - South African Folktale

Mutugi Kamundi. Jemma Kahn. Kiswahili. Demane na pacha wake. Author - South African Folktale You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na pacha wake Author - South African Folktale Adaptation -

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA Toleo la kwanza 2012 Mwandishi: USAID DELIVER PROJECT Wachangiaji: Gary Steele, John Snow, Inc. and Judith

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji! Yaliyomo Kuhusu kitabu hiki Kuhusu kitabu hiki.........................................................1 Unapojisikia vibaya.........................................................2 Unapoanza kuwa mzima

More information

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya Nordic Journal of African Studies 9(2): 49-59 (2000) Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya UTANGULIZI Tukichunguza hazina ya uhakiki uliofanywa katika taaluma

More information

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12 Human Rights Are Universal And Yet... Episode 07 Title : The right to food drought and famine in Ethiopia Author : Tedla Getachew Editor : Aude Gensbittel, Pendo Paul Translator : Anne Thomas Proofreader:

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

Usindikaji bora wa maziwa

Usindikaji bora wa maziwa MODULI 5 Usindikaji bora wa maziwa Mwongozo wa kufundishia wasindikaji wadogo wa maziwa Afrika Mashariki FEBRUARI 2011 KShs 200/= MODULI 5 Usindikaji bora wa maziwa Mwongozo wa kufundishia wasindikaji

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu Nyenzo ya Mafunzo Vi Agroforestry Vi Agroforestry ni shirika la ushirikiano la maendeleo la Sweden, linalopambana dhidi ya umasikini na

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu

Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu Kitabu cha Mafunzo Kwa Wakufunzi cha mradi wa Kuwafikia Wadau wa Mabadiliko JUZUU YA 7 Mada ya 13: Kutumia Kitabu cha Kozi ya Mafunzo Kwa Wakufunzi Kuhusu Vyote

More information

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI

More information

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

Waangalizi wa Maendeleo Endelevu

Waangalizi wa Maendeleo Endelevu Waangalizi wa Maendeleo Endelevu Vol.1 Issue 4 June - December 2013 Mpango wa Ushauri na Mafunzo Wahamasisha Kujifunza Miongoni mwa jamii katika Eneo Ujenzi wa mabwawa ya maji chini ya mradi wa LVEMPII

More information

Upande 1.0 Bajeti yako

Upande 1.0 Bajeti yako Upande 1.0 Bajeti yako Bajeti (Budget) ni muhustari wa njisi wewe (na familia yako) mnavyopata na kutumia pesa. Inaunganisha pesa zinazoingia nyumbani kwako (Kipato/ income) na zile unazotumia (matumizi/expenses).

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

UTANGULIZI. 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote nitumie fursa hii kuungana na

UTANGULIZI. 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote nitumie fursa hii kuungana na HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA, MHESHIMIWA STEPHEN MASATO WASIRA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA KWA MWAKA 2008/2009 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Issue No.1 Morogoro school of journalism May Salma :Wanachuo lipeni ada kwa wakati

Issue No.1 Morogoro school of journalism May Salma :Wanachuo lipeni ada kwa wakati voice of voiceless Msj72@ymail.com Msj weekly Issue No.1 Morogoro school of journalism May 19 2017 KEBWE:WAANDISHI TANGAZENI VIVUTIO VYA UTALII UK>>3 SERENGETI BOYS KUIVAA ANGOLA UK>>14 Salma :Wanachuo

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

Njia za upimaji wa mpango wa kimataifa wa viwango vya chakula kwa wenye matatizo ya kumeza (IDDSI) VYAKULA VINYWAJI VYA KAWAIDA

Njia za upimaji wa mpango wa kimataifa wa viwango vya chakula kwa wenye matatizo ya kumeza (IDDSI) VYAKULA VINYWAJI VYA KAWAIDA VYAKULA VYA KAWAIDA LAINI NA UKUBWA WA TONGE LA KUNG ATA VILIVYOSAGW A NA VITEPE VILIVYO PONDW A VYA MAJIM AJI VIZITO SANA VIZITO KIASI VIZITO KIDOGO VYEPESI VYEPESI SANA VINYWAJI Njia za upimaji wa mpango

More information