Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI

Size: px
Start display at page:

Download "Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI"

Transcription

1 Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI C O U N S E N U T H I n f o rmation series No. 6 Toleo la Kwanza, March, 2004

2 Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI MATUMIZI YA VIUNGO VYA VYAKULA KATIKA KUBORESHA LISHE NA AFYA ISBN C O U N S E N U T H, 2004 K i m e t aya ri s h wa na: Center for Councelling, N u t rition and Health Care (COUNSENUTH) n a Ku fa d h i l i wa na: M p a n go wa Ta i fa wa kudhibiti UKIMWI ( NACP) - Wi z a ra ya A f ya 1

3 Shukrani Kituo cha Ushauri Nasaha, Lishe na Afya (COUNSENUTH) kinatoa shukrani za pekee kwa Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI (NACP) kwa kufadhili utayarishaji na uchapishaji wa kijitabu hiki. Shukrani za dhati kwa WAMATA, TAHEA, SHDEPHA+, NACP na watu binafsi walioshiriki katika kutayarisha na kuboresha kijitabu hiki. Asanteni sana. 2

4 UTANGULIZI Hali bora ya lishe huchangia katika kuongeza ubora wa afya na maisha ya mtu anayeishi na virusi vya UKIMWI. Pamoja na ulaji wa chakula mchanganyiko na cha kutosha, viungo mbalimbali vimeonekana pia kusaidia kuboresha lishe na afya. Hata kabla ya ugonjwa wa UKIMWI, viungo vimekuwa vikitumika katika mapishi mbalimbali ili kuongeza ubora wa chakula na hivyo kuchangia katika kuboresha lishe na afya ya mtu yeyote. Viungo hutokana na sehemu fulani ya mmea kama majani, mizizi, maua, mbegu au magome. Viungo huweza kuongezwa katika chakula ili kukipa ladha nzuri hivyo kuongeza hamu ya kula. Viungo huweza pia kusaidia uyeyushwaji wa chakula na usharabu (ufyonzwaji) wa virutubishi mbalimbali. Baadhi ya viungo huweza kutumika kuhifadhi baadhi ya vyakula ili visiharibike mapema. Wakati mwingine viungo huweza kutumika katika kutuliza au kutibu baadhi ya matatizo madogo madogo ya afya kama kichefuchefu, fangasi, kutapika, kuharisha, mafua au flu. Mtu anayeishi na virusi vya UKIMWI hukabiliwa na matatizo mbalimbali yakiwemo kukosa hamu ya kula, uyeyushwaji duni wa chakula na usharabu (ufyonzwaji) duni wa virutubishi. Matumizi ya viungo mbalimbali kwa kiasi yameonekana kupunguza baadhi ya matatizo hayo. Kijarida hiki kimeweka pamoja taarifa zilizopo hivyo kumpa mtu chaguo kubwa ili aweze kutumia vile viungo anavyovipata kwa urahisi. Kijarida hiki kinazungumzia matumizi ya kawaida ya viungo kama sehemu ya mlo na katika kupunguza makali ya baadhi ya matatizo. Baadhi ya watu baada ya kusikia kwamba viungo vinasaidia, wamekuwa wakivitumia kwa kiasi kikubwa mno na wakati mwingine kuwaletea matatizo. Ni muhimu kutumia viungo kwa kiasi, katika mapishi ya kawaida au katika vinywaji kama inavyoshauriwa. 3

5 Kinywaji cha viungo: MSAMIATI Hiki ni kinywaji chochote ambacho kimetengenezwa kwa kuwekwa viungo. Kinywaji hiki kinaweza kuwa cha moto au cha baridi. Kinywaji cha baridi kinapotengenezwa, yatumike maji yaliyochemshwa. Chai: Hiki ni kinywaji ambacho hutengenezwa kwa kutumia maji ya moto na majani ya chai. Wakati mwingine sukari na maziwa huongezwa. Mara nyingine watu wanapotengeneza vinywaji vya viungo huviita chai hata kama havina majani ya chai. Ukweli ni kwamba chai ni yale majani ya chai. Katika kijitabu hiki vinywaji vya viungo havikuitwa chai. BAADHI YA VIUNGO, MATUMIZI NA FAIDA ZAKE Kitunguu saumu (Garlic) Kitunguu saumu ni kiungo ambacho kimekuwa maarufu kwa matumizi mbalimbali. Vipo vitunguu saumu vya rangi nyeupe ambavyo mara nyingi huwa na tumba kubwa ambazo ni chache. Vingine ni vile vyenye rangi ya zambarau au pinki ambavyo huwa na tumba ndogo na nyingi. Vitunguu hivi vina ubora sawa. Kitunguu saumu hufaa katika matatizo mengi kama kusaidia kuzuia maambukizi yatokanayo na bakteria, baadhi ya virusi na fangasi hasa katika utumbo, mapafu na sehemu za ukeni. Vilevile husaidia katika uyeyushwaji wa chakula, kuzuia kuharisha na pia hupunguza fangasi za kinywani, maambukizi katika koo na hata mkanda wa jeshi. 4

6 Kitunguu saumu kinaweza kutumika katika mapishi ya chakula, chai au kinywaji chochote cha baridi au cha moto. Mtu anapotumia vitunguu saumu atumie kwa kiasi. Inashauriwa kutumia vitumba visivyozidi sita kwa siku hasa kama vitatumika vibichi. Tangawizi (Ginger) Tangawizi ni kiungo ambacho kinatokana na mizizi ya mmea wa tangawizi. Kiungo hiki huweza kutumika kikiwa kibichi au kikiwa kimekaushwa na kutengenezwa unga. Ta n g a w i z i inaweza kutumika katika vinywaji vilivyochemshwa. Pia huweza kuongezwa kwenye vinywaji vingine au kwenye chakula. Tangawizi husaidia kuongeza hamu ya kula, kupunguza kichefuchefu, kutapika, kuharisha, maumivu ya tumbo na gesi tumboni. Pia husaidia uyeyushwaji wa chakula tumboni. Vilevile husaidia wakati wa matatizo ya mafua au flu. Iliki (Cardamom) Iliki ni mbegu zinazotokana na mmea wa iliki ambazo hutumika kama kiungo. Mbegu hizi huweza kusagwa au kutwangwa na kuongezwa kwenye chakula au katika vinywaji. Iliki ni nzuri katika kusaidia kupunguza maumivu, kichefuchefu au kutapika. Pia husaidia uyeyushwaji wa chakula na huongeza hamu ya kula. Mdalasini (Cinnamon) Mdalasini ni kiungo kinachotokana na magome ya mmea wa mdalasini. Kiungo hiki huweza kusagwa au kutumika bila kusagwa. Vilevile mdalasini h u weza kuongezwa kwe n ye chakula au katika vinywaji vilivyochemshwa au baridi. 5

7 Mdalasini huweza kusaidia kupunguza matatizo kama mafua au flu, vidonda vya kinywani na hata fangasi za ngozi. Vilevile kiungo hiki huongeza hamu ya kula, pia husaidia kupunguza baadhi ya matatizo katika mfumo wa chakula kama kichefuchefu, kutapika au kuharisha. Kinywaji kilichochemshwa chenye mchanganyiko wa mdalasini na tangawizi kinaweza kutuliza kikohozi. Giligilani (Coriander) Giligilani ni aina ya kiungo ambacho majani na mbegu zake huwez a kutumika kama kiungo katika mapishi ya vyakula mbalimbali kama nyama, supu au mchuzi. Kiungo hiki husaidia kuongeza hamu ya kula na kupunguza gesi tumboni. Pia husaidia kuzuia maambukizi ya bakteria na fangasi. Kotimiri (Parsley) Kotimiri ni aina ya mmea ambao majani yake na mbegu zake huweza kutumika kama kiungo katika vyakula. Majani ya kotimiri husaidia kupunguza msokoto wa tumbo ambao mara nyingi hausababishi kuharisha. Vilevile kiungo hiki huchochea vimeng e n yo tumboni na hivyo kuongeza hali ya kuhisi njaa. Mbegu za kotimiri huweza kusaidia kuondoa maji ya ziada katika mwili. Kiungo hiki huweza kuongezwa katika chakula wakati wa kupika au wakati wa kula. Karafuu (Cloves) Karafuu hutokana na mmea wa mkarafuu. Kiungo hiki huweza kutumika peke yake au kwa kuchanganya na viungo vingine. Kiungo hiki husaidia kuleta hamu ya kula na kubore s h a 6

8 uyeyushwaji wa chakula tumboni. Vilevile karafuu husaidia kupunguza kichefuchefu, kutapika na kuharisha. Ni nzuri ikitumiwa katika supu, mchuzi, juisi ya matunda yenye uvuguvugu au vinywaji vingine vilivyochemshwa. Binzari (Turmeric/Yellow Root) Binzari halisi hutokana na mizizi ya mmea wa binzari manjano ambao hufanana na ule wa tangawizi. Mizizi ya binzari huweza kukaushwa, kusagwa na kutengeneza unga wa binzari ya manjano ambao hutumika kama kiungo cha chakula. Vilevile binzari mbichi inaweza kutwangwa na kutumika kwenye mapishi mbalimbali. Binzari ikitumiwa katika chakula, hukifanya kuwa na rangi ya njano. Binzari inaweza kutumika kwenye mapishi ya wali au vyakula vingine vya nafaka, pia kwe n ye mchuzi au maharagwe. Binzari husaidia katika uyeyushwaji wa chakula na pia husaidia mwili usiharibiwe na kemikali mbaya. Ni vizuri kuwa waangalifu tunaponunua binzari ile ya unga kwani wakati mwingine wauzaji huuza binzari ambayo si binzari halisi. Binzari hii ambayo si halisi hutengenezwa kwa kutumia aina za unga wa nafaka ambao huchanganywa na rangi ya manjano na binzari kidogo. Limau (Lemon) Limau linaweza kutumika kama kiungo katika chakula na vinywaji kama chai au vinywaji vingine. Limau husaidia kuboresha uyeyushwaji hasa wa protini na mafuta. Limau pia huweza kutuliza vidonda vya kooni, kikohozi, homa na kuondoa msongo. 7

9 Binzari nyembamba (Cumin seeds) Hizi ni mbegu nyembamba ambazo hufanana na mbegu za giligilani. Mbegu hizi huweza kusagwa na kutengeneza unga ambao hutumika kama kiungo katika mapishi mbalimbali mfano; supu, mchuzi, wali, n.k. Mrehani (Basil) Kiungo hiki husaidia kuongeza hamu ya kula, kupunguza maumivu ya tumbo na hata kuharisha. Mrehani ni aina ya kiungo ambacho huweza kutumika kwa kuongezwa katika chakula. Kiungo hiki husaidia kupunguza kichefuchefu na kusaidia uyeyushwaji wa chakula na kutuliza maumivu ya kichwa. Kwa vidonda vya kinywani mrehani unaweza kutumika kwa kusukutua. Calendula Vikonyo vya maua ya calendula vina kemikali inayozuia kukua kwa vijidudu kama bakteria katika jeraha, ngozi na pia kupunguza hali ya mwako wa moto (anti-inflammatory function). Vilevile c a l e n d u l a hupunguza maambukizi mbalimbali katika mfumo wa chakula. C a l e n d u l a inaweza kutumika kutibu vidonda. Vilevile inawez a kutumiwa kama kinywaji kilichochemshwa ili kuboresha uyeyushwaji wa chakula tumboni. Pilipili (Cayenne) Cayenne ni mchanganyiko wa aina za pilipili za jamii ijulikanayo kama capsicum. Pilipili hizi huwa ndefu na nyembamba, mara nyingi huwa ni kali na zina rangi nyekundu. Jamii hii ya pilipili huweza kukaushwa na kusagwa na hivyo kutengeneza unga laini ambao huwa na rangi nyekundu. 8

10 Cayenne huweza kuongeza hamu ya kula. Pilipili hii inaweza ikatumika kwa kuongezwa kwenye chakula wakati wa kupika au wakati wa kula. Pia huweza kuongezwa katika juisi au maji ya kunywa. Hata hivyo ni vyema pilipili itumiwe kwa kiasi. Shamari (Fennel) Shamari ni kiungo ambacho mbegu zake hufanana na zile za binzari nyembamba. Kiungo hiki husaidia kuongeza hamu ya kula na kupunguza gesi tumboni. Shamari inaweza kutumika kama kiungo kwenye chakula. Mbegu za shamari zinawez a kutumika kuandaa chai au kinywaji chochote cha moto. Ni vizuri ikitumiwa kwa kiasi. Nanaa (Mint) Nanaa ni majani ya mnanaa ambayo hutumiwa kama kiungo. Nanaa husaidia katika kuzuia hali ya mwako wa moto tumboni, kupunguza kichefuchefu, kuzuia kutapika na kuharisha. Pia huweza kupunguza maumivu ya tumbo na mkakamao wa misuli. Vilevile nanaa husaidia katika uyeyushwaji wa chakula tumboni. Nanaa iliyooshwa vizuri kwa maji safi na salama inawez a kutafunwa. Vilevile inaweza kutumika kutengeneza kinywaji cha moto au kusukutua wakati mtu anapokuwa na vidonda kinywani. Meti (Methi) Meti ni majani ya mmea uitwao kwa Kiingereza Fenugreek. Hii ni aina ya kiungo ambacho huchochea uvunjaji wa kemikali mwilini yaani umetaboli. Majani ya meti yanaweza kukaushwa na kutumika kama kiungo au kutumika yakiwa mabichi. Vilevile mbegu za Fenugreek huweza 9

11 kukaushwa, kusagwa na kutumika katika kutengeneza unga wa viungo yaani curry powders. Meti inaweza kutumika kama kiungo katika vyakula mbalimbali ikiwa ni pamoja na mboga za majani na vilevile katika mapishi mbalimbali ya samaki. Thyme T h y m e inaweza kuzuia maambukizi yanayosababishwa na bakteria au fangasi. Vilevile kiungo hiki husaidia kupunguza kikohozi na kulainisha koo. Zaidi ya hayo thyme husaidia ukuaji wa bakteria wazuri wanaosaidia katika uyeyushwaji wa chakula tumboni. Inaweza kutumika kama kinywaji cha moto au kusukutua. JINSI YA KUTAYARISHA BAADHI YA VINYWAJI VYA VIUNGO Kinywaji cha mdalasini Mahitaji: Robo ( ) kijiko cha chai cha unga wa mdalasini; Kikombe kimoja cha maji safi. Matayarisho: Chemsha maji vizuri, na kisha ongeza unga wa mdalasini; Baada ya hapo unaweza kuongeza asali au sukari kidogo ili kuongeza ladha; Na hapo kinywaji ni tayari; kinaweza kunywewa muda wowote. Kinywaji cha tangawizi Mahitaji: Kikombe kimoja cha maji; Kijiko kimoja cha tangawizi mbichi iliyopondwa; Sukari kidogo. 10

12 Matayarisho: Osha tangawizi na ponda ponda; Changanya tangawizi na kikombe kimoja cha maji safi; Chemsha mchanganyiko huo ukiwa umefunikwa; Acha kwenye moto mdogo kwa dakika 5 hadi 10; Ongeza sukari kidogo (kama unapenda); Kinywaji ni tayari. Kinywaji cha kitunguu saumu Mahitaji: Tumba 3 hadi 4 za kitunguu saumu kilichopondwa au kukatwa vipande vidogo vidogo; Kikombe kimoja cha maji safi; Asali au sukari kidogo. Matayarisho: Chemsha maji vizuri; Ongeza kitunguu saumu kilichopondwa au kukatwa vipande vidogo vidogo, kwe n ye maji yanayochemka, funika na kisha acha mchanganyiko huo uchemke kwa muda wa dakika 10; Ipua na acha mchanganyiko huo upoe; Unaweza kuongeza asali au sukari ili kuongeza ladha; Kinywaji ni tayari. Kinywaji cha tangawizi na mdalasini Mahitaji: Nusu ( ) kijiko cha chai cha tangawizi mbichi iliyopondwa au kukatwa vipande vidogo vidogo; Robo ( ) kijiko cha chai cha unga wa mdalasini; Kikombe kimoja cha maji safi. Matayarisho: Chemsha maji kisha ongeza tangawizi, funika na acha vichemke kwa dakika 10; 11

13 Baada ya hapo ongeza unga wa mdalasini na acha mchanganyiko huo uchemke kwa muda wa dakika 5 zaidi; Ipua na kisha chuja kinywaji hicho. Sasa kinywaji ni tayari kwa kutumia; Unaweza kuongeza sukari kidogo ili kuongeza ladha. Kinywaji cha Limau Mahitaji: Limau moja; Nusu ( ) kikombe cha maji safi; Sukari kidogo. Matayarisho: Osha limau kwa maji safi kisha kamua ili kupata maji ya limau; Chemsha maji vizuri; Ongeza maji ya limau kwenye maji hayo; Ongeza sukari kidogo (kama unapenda); Ni vizuri kunywa kinywaji hiki kingali cha moto. 12 Kinywaji cha Nanaa (Mint) Mahitaji: Majani ya nanaa; Kikombe kimoja cha maji safi; Sukari kidogo (kama unapenda). Matayarisho: Osha nanaa vizuri na kisha katakata vipande vidogo vidogo; Weka vipande hivyo kwenye kikombe; Chemsha maji vizuri na ongeza maji hayo kwenye kikombe chenye nanaa; Funika vizuri na acha kwa dakika 5. Ongeza sukari kidogo (kama unapenda) na sasa kinywaji ni tayari. Kumbuka kutumia vyombo safi na maji safi na salama wakati wote.

14 HITIMISHO Inashauriwa kutumia viungo mbalimbali kwa kiasi ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na matumizi yaliyozidi kiasi. Hata hivyo bado hakuna ushahidi wa kitaalamu wa kutosha kuonyesha ni jinsi gani viungo vinaweza kutibu baadhi ya matatizo yanayoambatana na kuishi na virusi vya UKIMWI. Taarifa nyingi kuhusu namna viungo vinavyoweza kupunguza matatizo mbalimbali zimetokana na ripoti z i l i zo t o l ewa na watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI ambao wamejaribu kutumia viungo hivyo na kuona vinasaidia. Mtu anayeishi na virusi vya UKIMWI anapoamua kutumia viungo kama tiba anashauriwa kujaribu na kuona kama vinamsaidia. Baadhi ya viungo kama vile nanaa, kitunguu saumu, tangawizi, binzari manjano na vinginevyo vinaweza kuoteshwa nyumbani katika bustani ndogondogo au vyombo kama makopo, madebe au vyungu na hivyo kurahisisha upatikanaji wake. Ikumbukwe kuwa viungo vitachangia kuboresha afya na lishe ya mtu yeyote kwa kuboresha uyeyushwaji wa chakula na usharabu (ufyonzwaji) wa virutubishi mbalimbali vilivyomo kwenye chakula. Zaidi ya hayo viungo huongeza ladha nzuri kwenye chakula na hivyo kumwezesha mtu ale chakula cha kutosha ili kukidhi mahitaji ya mwili. Viungo vingi vinaweza kuoteshwa katika bustani za nyumbani. Baadhi ya vungo ambavyo mimea yake ni midogo huweza kuoteshwa katika vyombo kama makopo, madebe au vyungu. 13

15 VYANZO 1. Bijlsma, M., Living Positively: Nutrition guide for People with HIV/AIDS, Muntare City Health Department, Zimbabwe, Second Edition, COUNSENUTH, Nutritional Care for PLHA: Training and Reference Manual (DRAFT), September, Davidson S., Passmore R., Brock J.F., Truswell A. S,. Human Nutrition and Dietetics; Seventh Edition. Wilture Enterprises, (International) Ltd FAO, Living Well With HIV/AIDS, A manual on nutritional care and support for people living with HIV, Food and Nutrition Technical Assistance (FANTA), HIV/AIDS: A Guide for Nutrition, Care and Support. Academy for Educational Development, Washington DC, therapy.htm 7. Ministry of Health, The United Republic of Tanzania. A National Guide on Nutrition Care and Support for People Living with HIV/AIDS, TFNC (DRAFT), May, Morris, S. and Macklley, L. The Spice Ingredients cookbook. Lorenz Books The Netwok of African people living with HIV/AIDS (NAP+). Food for people living with HIV/AIDS, July,

16 VIJITABU VINGINE KUHUSU LISHE NA ULAJI BORA KWA WATU WANAOISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI VILIVYOTOLEWA NA COUNSENUTH 1. Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI: Vidokezo muhimu, COUNSENUTH Information series No. 2, Toleo la Pili, January, Lishe na Ulaji bora kwa Watu Wanaoishi na Vi rusi vya UKIMWI: Maswali yanayoulizwa mara kwa mara, COUNSENUTH Information series No. 3, Toleo la Pi l i, January, Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Vi rusi vya UKIMWI: Vyakula vinavyoboresha uyeyushwaji wa chakula na u f yonzwaji wa virutubishi mwilini, COUNSENUTH Information series No. 4, March, Ulishaji wa Mtoto Mchanga kwa Mama mwenye Virusi vya UKIMWI: Vi d o k ezo Muhimu kwa Washauri Na s a h a, COUNSENUTH Information series No. 1, Toleo la Pi l i, January,

17 16

18 Kwa maelezo zaidi wasiliana na: M k u r u g e n z i Kituo cha Ushauri Nasaha,Lishe na A f ya ( C O U N S E N U T H ) S. L. P. 8218, Dar es Salaam, Ta n z a n i a Simu: (22) au Fax: (22) Kijarida hiki kimetayarishwa na kutolewa na: The Centre for Counselling, N u t rition and Health Care ( C O U N S E N U T H ) United Nations Rd./ Kilombero Str. Plot No. 432, Flat No.3 P.O. Box 8218, Dar es Salaam Ta n z a n i a. ISBN Kimefadhiliwa na: Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI S. L. P Dar es Salaam, Ta n z a n i a. Designed & printed by: Desktop Productions Limited P.O. Box 20936, Dar es Salaam, Tanzania 17

Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI VIDOKEZO MUHIMU KATIKA UNUNUZI NA USALAMA WA CHAKULA

Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI VIDOKEZO MUHIMU KATIKA UNUNUZI NA USALAMA WA CHAKULA Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI VIDOKEZO MUHIMU KATIKA UNUNUZI NA USALAMA WA CHAKULA COUNSENUTH NA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA, June, 2004 VIDOKEZO MUHIMU KATIKA UNUNUZI

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu BLOOD PRESSURE UK Shinikizo la damu ndicho chanzo kikubwa cha ulemavu na vifo vya mapema kule Uingereza, kupitia kiharusi, mshtuko wa moyo na maradhi ya moyo.

More information

MTI KWA MATUMIZI YA KILA AINA HDRA

MTI KWA MATUMIZI YA KILA AINA HDRA MZUNZE MTI KWA MATUMIZI YA KILA AINA HDRA Kwa huduma za Kilimo - hai Moringa oleifera a multipurpose tree Mzunze ni nini? Mzunze au Mrongo au Mronge ni mti uliotokea Kaskazini mwa India. Kwa sasa Mti huu

More information

KILIMO CHA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU TWAUMU (SWAUMU)

KILIMO CHA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU TWAUMU (SWAUMU) 2016/2017 TEMBELEA ACKYSHINE.COM/SHOP KUPATA MAJARIDA MENGINE KILIMO CHA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU TWAUMU (SWAUMU) Kutoka ackyshine.com/shop Melkisedeck Shine KILIMO CHA VITUNGUU (VITUNGUU MAJI) Vitunguu

More information

Uwepo, Athari na Udhibiti wa Sumu-Suvu Kwenye Vyakula vya

Uwepo, Athari na Udhibiti wa Sumu-Suvu Kwenye Vyakula vya Uwepo, Athari na Udhibiti wa Sumu-Suvu Kwenye Vyakula vya Kuku Tanzania Dr Flora KAJUNA Livestock Training Agency (LITA)-Morogoro Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Utangulizi Sumu-kuvu ni nini? Sumu kuvu

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Mfumo na maelezo ya kina ya mpango wa kimataifa wa viwango vya chakula kwa wenye matatizo ya kumeza (IDDSI) Juni 2017

Mfumo na maelezo ya kina ya mpango wa kimataifa wa viwango vya chakula kwa wenye matatizo ya kumeza (IDDSI) Juni 2017 VYAKULA VYA KAWAIDA LAINI NA UKUBWA WA TONGE LA KUNG ATA VILIVYOSAGW A NA VITEPE VILIVYO PONDW A VYA MAJIMAJI VIZITO SANA VIZITO KIASI VIZITO KIDOGO VYEPESI VYEPESI SANA VINYWAJI Mfumo na maelezo ya kina

More information

PYRINEX. 1 Liter INSECTICIDE

PYRINEX. 1 Liter INSECTICIDE PYRINEX GUARANTEE (DHAMANA): Chloropyrifos 480 g/1, EC OPEN HERE A broad spectrum Insecticide/Acaricide with contact, ingestion and fumigant action for control of a wide range of pests on Maize, Coffee,

More information

Picha ni hati miliki ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Watoto(PCD), Imperial College London. Maelezo

Picha ni hati miliki ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Watoto(PCD), Imperial College London. Maelezo Mwongozo wa kufundisha afya katika shule na jamii kupitia wafanyakazi wa afya Hati zifuatazo zimeandikwa kwa ushirikiano kati ya Partnership for child Development (PCD) yani Ushirikiano wa Maendeleo ya

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

2 Usimamizi wa Rutuba ya Udongo Tanzania Organic Agriculture Movement

2 Usimamizi wa Rutuba ya Udongo Tanzania Organic Agriculture Movement Mwongozo wa Mafunzo ya Kilimo-Hai Afrika Mwongozo kwa Wakufunzi 2 Usimamizi wa Rutuba ya Udongo Tanzania Organic Agriculture Movement CHAPISHO YALIYOMO Mchapishaji: FiBL, Research Institute of Organic

More information

Jamii. ,,,^mm^mmm-<^^^^ illli MA RH-EREN.CE CENTRE

Jamii. ,,,^mm^mmm-<^^^^ illli MA RH-EREN.CE CENTRE ' & y : ' ' ' - ' - /..., ^,. L..... : ; ; ; - ; ; ;.....,......, 203.2 89MA Jamii RH-EREN.CE CENTRE,,,^mm^mmm-

More information

AMMA KWA AFRIKA RATIBA/ITIKADI. Ratiba Maalum ya Kutibu Magonjwa Maambukizi na Hususan Fikra Zinazoleta Pooza Mwili na Akili

AMMA KWA AFRIKA RATIBA/ITIKADI. Ratiba Maalum ya Kutibu Magonjwa Maambukizi na Hususan Fikra Zinazoleta Pooza Mwili na Akili AMMA KWA AFRIKA RATIBA/ITIKADI Ratiba Maalum ya Kutibu Magonjwa Maambukizi na Hususan Fikra Zinazoleta Pooza Mwili na Akili Notisi Maalum Matibabu, kama sayansi, ni somo linaloendeleza uwekezaji. Ujuzi

More information

Siku ya kwanza. Mguso wa ngozi-kwa-ngozi (Ulezi wa kangaruu) Mtoto wako anaweza kuhisi mdundo wa moyo wako

Siku ya kwanza. Mguso wa ngozi-kwa-ngozi (Ulezi wa kangaruu) Mtoto wako anaweza kuhisi mdundo wa moyo wako Siku ya kwanza Baada tu ya mtoto kuzaliwa ni wakati wa kufurahia, lakini pia ni wa kuchosha. Kujua vitu vichache kuhusu kunyonyesha hufanya siku ya kwanza kuwa rahisi kidogo. Baada ya kujifungua Wakati

More information

Njia Bora za Ukusanyaji na Upimaji Maziwa

Njia Bora za Ukusanyaji na Upimaji Maziwa MODULI 2 Njia Bora za Ukusanyaji na Upimaji Maziwa Mwongozo wa kufundishia wahudumu wa vituo vya kukusanyia maziwa Afrika Mashariki FEBRUARY 2006 MilkHygiene 02 (CS3) swah Fin.indd 1 1/7/10 8:56:12 AM

More information

TIST HABARI MOTO MOTO

TIST HABARI MOTO MOTO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. +255784-537720/+255717-062960/+255782-250947, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@tist.org May 2010 Cash Payments for Trees Clean Air Action has developed a way to pay the groups

More information

Uzalishaji wa mboga na matunda ni muhimu kwa afya na kipato

Uzalishaji wa mboga na matunda ni muhimu kwa afya na kipato Jarida la kilimo endelevu Afrika Mashariki Uzalishaji wa mboga na matunda ni muhimu kwa afya na kipato Toleo la 25 Oktoba, 2014 Kilimo cha papai 3 Magonjwa ya kuku 4 & 5 Kilimo cha kiazi sukari 6 Imekuwa

More information

Bustani 10,000 Katika Afrika. Alberto Prina

Bustani 10,000 Katika Afrika. Alberto Prina Bustani 10,000 Katika Afrika Alberto Prina K i j i t a b u Timu ya wahariri: Abderrahmane Amajou, Typhaine Briand, Roba Bulga Jilo, Davide Dotta, Emanuele Dughera, Michela Lenta, Velia Lucidi, Irene Marocco,

More information

Ni kwa nini mkulima awe maskini?

Ni kwa nini mkulima awe maskini? Jarida la kilimo endelevu Afrika Mashariki Ni kwa nini mkulima awe maskini? Swali hili limekuwa likijirudia mara kwa mara. Kwa watu walio wengi hata wakulima wenyewe, wana majibu mengi sana ambayo wamekuwa

More information

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza 1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa

More information

UMRI WA MAKAMO NA KUKOMA KWA HEDHI

UMRI WA MAKAMO NA KUKOMA KWA HEDHI This booklet on menopause was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at http://www.ourbodiesourselves.org/tanzania.

More information

Njia bora za ukusanyaji na upimaji maziwa

Njia bora za ukusanyaji na upimaji maziwa MODULI 2 Njia bora za ukusanyaji na upimaji maziwa Mwongozo wa kufundishia wahudumu wa vituo vya kukusanyia maziwa Afrika Mashariki FEBRUARI 2011 KShs 200/= MODULI 2 Njia bora za ukusanyaji na upimaji

More information

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma.

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma. This booklet on HIV/AIDS was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at VIRUSI VYA

More information

4 WADUDU,MAGONJWA NA MAGUGU

4 WADUDU,MAGONJWA NA MAGUGU Mwongozo wa Mafunzo ya Kilimo-Hai Afrika Mwongozo kwa Wakufunzi 4 WADUDU,MAGONJWA NA MAGUGU Tanzania Organic Agriculture Movement CHAPISHO YALIYOMO Mchapishaji: FiBL, Taasisi ya utafiti wa kilimo hai,

More information

Muongozo wa utatuzi. Kwa wasimamizi wa malaria RDTs 06/11/16. MALARIA Rapid Diagnostic Test

Muongozo wa utatuzi. Kwa wasimamizi wa malaria RDTs 06/11/16. MALARIA Rapid Diagnostic Test Muongozo wa utatuzi Kwa wasimamizi wa malaria RDTs MALARIA Rapid Diagnostic Test Device Umetengenezwa na FIND kwa kushirikiana na Johns Hopkins Bloomberg Shule ya Afya ya Jamii (JHSPH), ubia wa malaria

More information

Teknolojia za Utayarishaji, Usindikaji na Matumizi ya Matunda na Mboga baada ya kuvuna

Teknolojia za Utayarishaji, Usindikaji na Matumizi ya Matunda na Mboga baada ya kuvuna 1 Teknolojia za Utayarishaji, Usindikaji na Matumizi ya Matunda na Mboga baada ya kuvuna Kitabu namba 3 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania W izara ya Kilimo na Chakula i 2 Mfululizo wa vitabu hivi: Kitabu

More information

Shamba Darasa na Stadi za Maisha kwa Vijana (SDSMV) Tanzania. Kiongozi Cha Mwezeshaji. Jaap Van Pol na Francesca Dalla Valle

Shamba Darasa na Stadi za Maisha kwa Vijana (SDSMV) Tanzania. Kiongozi Cha Mwezeshaji. Jaap Van Pol na Francesca Dalla Valle Programu kuhusu msaada wa sera kwa ajira vijijini na kazi yenye heshima kwa uhimizaji maisha sawa endelevu vijijini kulingana na mabadiliko ya tabia nchi Shamba Darasa na Stadi za Maisha kwa Vijana (SDSMV)

More information

MTIHANI WA MWIGO WA WILAYA YA NANDI KASKAZINI 2013

MTIHANI WA MWIGO WA WILAYA YA NANDI KASKAZINI 2013 JINA:. SAHIHI: NAMBARI:. TAREHE:.. 102/2 KISWAHILI LUGHA KARATASI YA PILI JULAI / AGOSTI 2013 MUDA: SAA 2 ½ MTIHANI WA MWIGO WA WILAYA YA NANDI KASKAZINI 2013 Cheti cha Kuhitimu Kisomo cha Sekondari KISWAHILI

More information

Mwongozo wa Kitaifa wa Ujumbe wa Uzazi wa Mpango

Mwongozo wa Kitaifa wa Ujumbe wa Uzazi wa Mpango Mwongozo wa Kitaifa wa Ujumbe wa Uzazi wa Mpango Octoba 2013 1 w 2 Mwongozo wa Kitaifa wa Ujumbe wa Uzazi wa Mpango Octoba 2013 3 4 Yaliyomo Dibaji 7 Shukurani 8 Utangulizi 10-12 Faida za Uzazi wa mpango

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of

More information

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wapilipili Tanzania Wildlife Division, Tanzania Wildlife

More information

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Mazoezi ya wenye umri wa miaka 11-14 Hivi Ndivyo Nilivyo kwa wenye umri wa miaka 11-14 Kuhusu Hivi Ndivyo Nilivyo Ikiwa

More information

pages/mkulima-mbunifu/

pages/mkulima-mbunifu/ Jarida la kilimo endelevu Afrika Mashariki Mipango thabiti huleta manufaa Toleo la 10 Januari, 2013 Maziwa 3 Pilipili hoho 4 Maharagwe mabichi 6 Imekuwa ni kawaida kwa wakulima walio wengi kufanya shughuli

More information

KUZALISHA MBEGU YA MAHARAGE KIJITABU CHA KWANZA

KUZALISHA MBEGU YA MAHARAGE KIJITABU CHA KWANZA KUZALISHA MBEGU YA MAHARAGE KIJITABU CHA KWANZA KIJITABU KWA WAZALISHAJI WADOGO WADOGO WA MBEGU YA MAHARAGE Kijitabu hiki kimetolewa na kituo cha kilimo kinachohusika na Maeneo ya kilimo katika sehemu

More information

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia IDARA YA KUFIKIA HUDUMA ZA AFYA VERMONT Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia GreenMountainCare MIASHA YENYE AFYA BORA ZAIDI Jedwali la Yaliyomo Jedwali la Yaliyomo... 2 Karibu kwenye Programu ya

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

Mwongozo huu wa ufugaji kuku wa Asilia umezinduliwa rasmi leo tarehe 1 Agosti 2009 wakati wa sikukuu ya Wakulima Tanzania mjini Mbeya

Mwongozo huu wa ufugaji kuku wa Asilia umezinduliwa rasmi leo tarehe 1 Agosti 2009 wakati wa sikukuu ya Wakulima Tanzania mjini Mbeya Mwongozo huu wa ufugaji kuku wa Asilia umezinduliwa rasmi leo tarehe 1 Agosti 2009 wakati wa sikukuu ya Wakulima Tanzania mjini Mbeya TANZANIA MWONGOZO WA UFUGAJI KUKU WA ASILI KWA WAKULIMA WA TANZANIA

More information

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Makala ya Mshiriki wa Mafunzo Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka

More information

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji! Yaliyomo Kuhusu kitabu hiki Kuhusu kitabu hiki.........................................................1 Unapojisikia vibaya.........................................................2 Unapoanza kuwa mzima

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

Wewe Maisha Yako Ndoto Zako. Kitabu cha Vijana Balehe

Wewe Maisha Yako Ndoto Zako. Kitabu cha Vijana Balehe Wewe Maisha Yako Ndoto Zako Kitabu cha Vijana Balehe Wewe, Maisha Yako, Ndoto Zako: Kitabu cha Vijana Balehe Catherine Watson na Ellen Brazier Shukurani Kitabu cha Wewe, Maisha Yako, Ndoto Zako ni tafsiri

More information

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika (A Summary Of Arguments For And Against Individual Communion Cups) Na J D Logan Communion Cups) 1 Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi

More information

Utunzaji, Uhifadhi na Usafirishaji Bora wa Maziwa

Utunzaji, Uhifadhi na Usafirishaji Bora wa Maziwa MODULI 3 Utunzaji, Uhifadhi na Usafirishaji Bora wa Maziwa Mwongozo wa kufundishia wasafirishaji wa maziwa Afrika Mashariki FEBRUARY 2006 MilkHygiene 03 (CS3) swah Fin.indd 1 1/7/10 11:00:46 AM UTUNZAJI,

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

Palliative Care Toolkit

Palliative Care Toolkit KISWAHILI TRANSLATION INPATIENT CARE OUTPATIENT CLINIC HOME-BASED CARE DAY CARE SUPPORT HOSPITAL PALLIATIVE CARE TEAM Physical Psychological Spiritual Social Palliative Care Toolkit Improving care from

More information

Wadudu na magonjwa ya mazao

Wadudu na magonjwa ya mazao Wadudu na magonjwa ya mazao Mwongozo juu ya wadudu na magonjwa muhimu zaidi ya mazao makuu ya chakula yanayokuzwa na wakulima wadogo wadogo katika Afrika Agosti 2015 Africa Soil Health Consortium: Wadudu

More information

Upande 1.0 Bajeti yako

Upande 1.0 Bajeti yako Upande 1.0 Bajeti yako Bajeti (Budget) ni muhustari wa njisi wewe (na familia yako) mnavyopata na kutumia pesa. Inaunganisha pesa zinazoingia nyumbani kwako (Kipato/ income) na zile unazotumia (matumizi/expenses).

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246, P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@ twiga.com 01 June 2001 Benefits of Loan Repayment As the date of repayment nears, 15 June, groups are busy preparing crops, digging

More information

Njia za upimaji wa mpango wa kimataifa wa viwango vya chakula kwa wenye matatizo ya kumeza (IDDSI) VYAKULA VINYWAJI VYA KAWAIDA

Njia za upimaji wa mpango wa kimataifa wa viwango vya chakula kwa wenye matatizo ya kumeza (IDDSI) VYAKULA VINYWAJI VYA KAWAIDA VYAKULA VYA KAWAIDA LAINI NA UKUBWA WA TONGE LA KUNG ATA VILIVYOSAGW A NA VITEPE VILIVYO PONDW A VYA MAJIM AJI VIZITO SANA VIZITO KIASI VIZITO KIDOGO VYEPESI VYEPESI SANA VINYWAJI Njia za upimaji wa mpango

More information

Elimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini...

Elimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini... Elimu Bora, lakini... Shukrani za dhati kwa wote waliotusaidia katika kutayarisha kijitabu hiki: Nsa Kaisi, Mshauri wa Rais, kwa mchango wake mkubwa wa mawazo Wafanyakazi wote wa HakiElimu 2003-2004 Many

More information

Usindikaji bora wa maziwa

Usindikaji bora wa maziwa MODULI 5 Usindikaji bora wa maziwa Mwongozo wa kufundishia wasindikaji wadogo wa maziwa Afrika Mashariki FEBRUARI 2011 KShs 200/= MODULI 5 Usindikaji bora wa maziwa Mwongozo wa kufundishia wasindikaji

More information

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI b Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI 1 Mwongozo wa Uzalishaji

More information

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre Shangazi Stella Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO Training and Research Support Centre Zimbabwe Shangazi Stella Kiongozi cha Mwezeshaji

More information

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA TWN Third World Network 1. WEMA ni nini? Mahindi yanayotumia maji kwa ufanisi yajulikanayo kwa kingereza kama Water Efficient Maize for Africa (WEMA) ni mpango

More information

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya Nordic Journal of African Studies 9(2): 49-59 (2000) Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya UTANGULIZI Tukichunguza hazina ya uhakiki uliofanywa katika taaluma

More information

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI MWONGOZO KWA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA WASTANI WANAOUZA BIDHAA NJE YA NCHI TOLEO LA PILI Geneva 2011 ii IKISIRI YA HUDUMA YA HABARI ZA BIASHARA ID=42653 2011 F-09.03

More information

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi International Labour Office Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi 1 Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2007 Kimechapwa mara ya kwanza 2007 Machapisho ya Ofisi ya Shirika la

More information

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka 0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014

Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014 Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014 Wandishi (Jina la kwanza kiherufi): Edmund Githoro, Simon Fraval, Joanne

More information

Mwongozo wa Mwezeshaji

Mwongozo wa Mwezeshaji JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Mwongozo wa Mwezeshaji Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka lugha

More information

ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO

ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO Mradi wa Kuondoa Madini ya Risasi Katika Rangi Barani Afrika 2015 ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO 2015 SHUKRANI Tunachukua

More information

Uzazi wa Mpango. Uzazi wa Mpango. Kulinganisha Ufanisi wa Njia za Uzazi wa Mpango. iwe na ufanisi zaidi. Zenye ufanisi.

Uzazi wa Mpango. Uzazi wa Mpango. Kulinganisha Ufanisi wa Njia za Uzazi wa Mpango. iwe na ufanisi zaidi. Zenye ufanisi. Uzazi wa Mpango MPANGO WA UZAZI WA W.H.O. MWONGOZO WA WATOA HUDUMA YA AFYA DUNIANI Kitabu hik nachukua nafasi ya kitabu cha Mambo ya Msingi katika Teknolojia ya Njia za Kuzuia Mimba SHIRIKA LA MISAADA

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

MBINU ZA IPM KWENYE KILIMO CHA KAHAWA

MBINU ZA IPM KWENYE KILIMO CHA KAHAWA MBINU ZA IPM KWENYE KILIMO CHA KAHAWA KILIMO BORA CHA KAHAWA 1 Yaliyomo Asili...3 Kanuni za uzalishaji bora wa kahawa... 5-8 Kutayarisha Shamba la Kahawa... 9-11 Utunzaji wa Shamba...12 Kukata matawi...

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 AEG swahili Bahari ya Aegean Brosha ya maelezo hii ni kwa watu wanaofikiria kuvuka bahari ya Aegean kati ya Ugiriki na Uturuki.Kuvuka kihramu ni uhalifu katika

More information

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Moduli ya kwanza Uhamasishaji Jamii juu ya Afya ya Mazingira Kimechapishwa kutokana na Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Jeff Conant na Pam Fadem i COBIHESA

More information

Ufundishaji wa lugha nyingine

Ufundishaji wa lugha nyingine CHUO CHA ELIMU CHA KIMATAIFA OFISI YA ELIMU YA KIMATAIFA Ufundishaji wa lugha nyingine Na Elizabeth B. Bernhardt ELIMU MAZOEA KITABU NA. 20 1 Chuo cha Elimu cha Kimataifa (The International Academy of

More information

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI This booklet on Becoming a Parent was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at. MACHAGUO

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania

Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania 2 Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI 2013 Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Dar es salaam, Dodoma na Pwani

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu

Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu Kitabu cha Mafunzo Kwa Wakufunzi cha mradi wa Kuwafikia Wadau wa Mabadiliko JUZUU YA 5 Mada ya 8: Usimamizi Wakati wa Mavuno na Baada ya Mavuno Mada ya 9: Usindikaji

More information

KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS

KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS ALLIANCE BOYS HIGH SCHOOL KISWAHILI KARATASI YA 2 SCHOOLS NET KENYA Osiligi House, Opposite KCB, Ground Floor Off Magadi

More information

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA Toleo la kwanza 2012 Mwandishi: USAID DELIVER PROJECT Wachangiaji: Gary Steele, John Snow, Inc. and Judith

More information

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII SHERIA KATIKA LUGHA RAHISI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA (TANGANYIKA LAW SOCIETY) KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY

More information

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Early Grade Reading Assessment for Kenya

Early Grade Reading Assessment for Kenya EDDATA II Early Grade Reading Assessment for Kenya Baseline Instruments: Kiswahili and English EdData II Technical and Managerial Assistance, Task Number 4 Contract Number EHC-E-01-04-00004-00 Strategic

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

TASFIDA KAMA MKAKATI WA UPOLE: UWIANO WA TASFIDA ZA KISWAHILI NA EKEGUSII

TASFIDA KAMA MKAKATI WA UPOLE: UWIANO WA TASFIDA ZA KISWAHILI NA EKEGUSII TASFIDA KAMA MKAKATI WA UPOLE: UWIANO WA TASFIDA ZA KISWAHILI NA EKEGUSII NA FLORAH N. OMOSA C50/84117/2012 TASNIFU HII IMETOLEWA KWA MADHUMUNI YA KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJIYA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA

More information

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12 Human Rights Are Universal And Yet... Episode 07 Title : The right to food drought and famine in Ethiopia Author : Tedla Getachew Editor : Aude Gensbittel, Pendo Paul Translator : Anne Thomas Proofreader:

More information

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q 88092387 SWAHILI B HIGHER LEVEL PAPER 1 SOUAHÉLI B NIVEAU SUPÉRIEUR ÉPREUVE 1 SUAHILI B NIVEL SUPERIOR PRUEBA 1 Tuesday 3 November 2009 (morning) Mardi 3 novembre 2009 (matin)

More information

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kiongozi hiki kimeandaliwa kikiwa ni sehemu ya mradi wa

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org ( Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Haja Ya Dini Haja Ya Dini Author(s): Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi [3] Publisher(s): Bilal Muslim Mission of Tanzania [4] Katika kijitabu

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information