MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

Size: px
Start display at page:

Download "MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza"

Transcription

1 1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Phone:

2 2 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Yaliyomo MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA... 1 Sehemu 1: Utangulizi Kuhusu Facebook... 3 Utangulizi... 4 Ni nini Facebook... 6 Kwanini unatakiwa kujali... 6 Misamiati ya Facebook... 7 Sababu za kutumia Facebook... 8 Sehemu 2 : Kurasa ya Biashara Kiundani... 9 Kurasa binafsi VS Kurasa ya biashara Kuanzisha Kurasa ya biashara Ongeza ubora wa kurasa yako Kurasa VS Kikundi Kujitangaza kwenye Facebook Mkokotoo wa ubora wa taarifa Mambo 10 bora kwa Bashara yako Jinsi ya kupima matokeo ya Facebook Makamilisho na maarifa zaidi... 25

3 3 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Sehemu 1: Utangulizi Kuhusu Facebook

4 4 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Utangulizi Kama unasoma Makala hii, utakuwa umeshawahi kusikia kitu kinachoitwa mitandao jamii (Social Media), vitu kama Twitter, Facebook, LinkedIn nk ndivyo vinavyoitwa Mitandao Jamii. Wengi wetu tumekuwa tukitumia mitandao jamii kusasisha (updates) juu ya yanayojiri kwenye maisha yetu kama kutuma picha au taarifa za matukio mbakimbali. Je umeshawahi kujiuliza ni jinsi gani biashara yako inaweza kunufaika na mitandao jamii? Makala hii ni mahususi kwa hilo. Mitandao jamii imekuwa moja ya nyenzo imara kabisa ya kujitangaza na kuwafikia walengwa wengi kwa uharaka na mapana zaidi kwa njia ya mtandao. Jiulize swali dogo tuu, je kwa siku za karibuni umekuwa ukitumia njia gani kufahamu juu ya bidhaa au huduma fulani. Je kwa kutumia tangazo la kwenye TV au Radio ambapo hauna uhakika hata saa ngapi wataonesha tangazo unalohitaji? Au kwa kupitia gazeti ambapo wengi wetu sasa inapita hata mwezi bila kusoma gazeti lililochapishwa? Au ni mara ngapi umetumia muda wako kusoma lundo la s kwenye sanduku la za matangazo (Junk s)? Siku hizi watu wamebadilika sana, wateja hupendelea kutafuta huduma toka mahali ambapo wanapata taarifa zote kwa upamoja tena pindi wanapohitaji, baadhi ya njia watumiazo kwa sana ni kama; kwa kutumia mitambo ya utafutaji (search engines) au toka kwa marafiki zao walio kwenye mitandao jamii (Social networks). Na huko ndiko kunakoshibisha njaa ya huduma na kujibu maswali yao yote. Je wewe ni mmoja wa watoa huduma wanaoshibisha njaa ya taarifa za huduma au kujibu maswali ya wateja? Facebook siyo sehemu ya kupotezea muda kama wengi wanavyofikiria, pia siyo sehemu ya vijana peke yake na wala siyo sehemu ya kukimbiwa na wafanyabiashara makini. Facebook ni sehemu inayounganisha watu pamoja, na wewe kama mfanyabishara makini, Facebook ni sehemu sahihi itakayokuwezesha kujitanua na kukutana na wateja wengi wa sasa na wa baadae. Ndiyo, Facebook inaweza kuwa na changamoto nyingi sana kwa mfanyabishara, ni ngumu sana kumshawishi mkurugenzi wako juu ya faida za Facebook kibiashara kumpelekea kuiingiza Facebook kwenye mipango kazi ya kujitangaza (Marketing Strategies), ila kama utajipanga huku ukiwa na uelewa mzuri, kuvifahamu na kuvitumia vizio (metrics) thabiti, basi utafurahia matunda yatokanayo na Facebook.

5 5 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Twende kazi, ili kuwasaidia wafanyabiashara na Wakurugenzi juu ya matumizi thabiti ya Facebook kibiashara, kitabu hiki kimelenga na kujikita moja kwa moja kukuongoza kwenye kila kitu muhimu unachotakiwa kukifahamu kwenye matumizi thabiti ya Facebook kwa biashara yako. Utakapomaliza kitabu hiki, basi utakuwa na uelewa mzuri siyo tuu kuhusu Facebook yenyewe, bali pia mahusiano yake na biashara yako.

6 6 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Ni nini Facebook Facebook ni mtandao jamii unaowaunganisha watu pamoja, mtandao huu unawakutanisha marafiki, wanafamilia, wafanyakazi na hata wapenzi. Kiufupi, Facebook inakukutanisha na wengine wenye vitu munavyofanana au kuingiliana (interest). Tangu kuanza kwake ambapo ilikuwa haswa kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo, Facebook imeendelea kupanuka zaidi na siku hadi siku umeweza kuteka makundi mbalimbali ya watu likiwemo la wafanyabishara tunaloliongelea hapa leo. Kwanini unatakiwa kujali Takwimu za Machi 2014 zinaonesha kuwa, Facebook ina watumiaji Bilioni 1.3, na namba hii inaendelea kuongezeka siku hadi siku. Kulingana na takwimu za kwenye Wikipedia.com, Facebook ni mtandao wa pili kwa umaarufu duniani baada ya Google na pia ni mtandao jamii wa kwanza kwa umaarufu na kutembelewa, hivyo kuacha kutumia Facebook ni kutokuitendea haki boashara yako. Je ulidhani mteja wako hatumii Facebook? Takwimu zinaonyesha kuwa kuna idadi ya kutosha (zaidi ya 45%) ya watembeleaji wa Facebook Tanzania (Tamaza kulia) ambao hawapo kwenye kundi la wanavyuo. Hili ni kundi lenye uwezo mkubwa wa kutumia na kufanya maamuzi. Pia, idadi hii inazidi kuongezeka siku hadi siku na kuifanya Facebook kuwa ni sehemu muhimu kwa wanafanyabiashara. Kitu cha muhhimu kuzingatia ni kuwa, Facebook imekuwa ikitanuka siku hadi siku na mapokeo yake miongozi mwa watanzania yamezidi kuwa makubwa sana. Pia, ukweli ni kuwa, kwenye jamii nyingi za Kitanzania, vijana ndiyo wenye uelewa na matumizi makubwa ya Intaneti na huku wazazi (watu wazima) wakiwategemea kama daraja la kufikia kwenye ulimwengu wa.com, hivyo hata kwa wale walio chini ya miaka 24, hawawezi kupuuzwa moja kwa moja. Na pia inategemea aina ya biashara unayofanya, kuna baadhi ya biashara, kama mavazi hawa ndiyo walengwa wakuu.

7 7 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Misamiati ya Facebook Jua maneno yatumikayo Facebook na maana zake; Application Ni program inayowawezesha watumiaji kugawana Makala, picha nk na kujichanganya na wengine. Fan Mtumiaji wa Facebook aliyependa (Like) kurasa wa kampuni au mtoa huduma. Friend 1.) (n) Uhusiano kati ya mtu na mtu kwenye Facebook; 2.) (v) Kumuongeza mtumiaji wa Facebook kuwa rafiki. Friend List Orodha ya marafiki. Group Ni kikundi cha watumiaji wa Facebook wenye mlengo unaofanana, mfano wanachuo, wajasiriamali nk. Mtu yoyote kwenye Facebook anaweza kutengeneza kikundi na kualika wengine. Kikundi kinaweza kuwa cha wazi au kilichofungwa, kwa kikundi kilichofungwa inamaana; wanakikundi tu ndiyo wanaweza kuona yanayoendelea kikundini. Like(s) 1. (v) kwenye Facebook ina maanisha umependa na unakuwa mpenda (Fan) kurasa hiyo; 2. (v) kwenye Facebook inamaanisha umependa makala, picha nk ya mtu mwingine.; 3. (n) Idadi ya watumiaji waliopenda kurasa. Page Kurasa rasmi kwa jili ya mtu maarufu, kikundi, bendi, bisahara, mahali, bidhaa au kitu chochote ambacho kitawezesha waliopenda (fans) kujumuika na kupata masasisho (Updates). Profile Kurasa binafsi ya mtu kuweza kugawana taarifa na wengine na pia kujumuika nao. Wall Uso wa mbele wa kurasa binafsi (profile) ambapo mtu anaweza kutuma kitu chochote kama taarifa (status), kupenda (like) kurasa (becoming a fan of a page) nk. Following Kufuatilia kurasa au mtu, hii inamaanisha, kila kitu kitakachofanyika na muhusika au wahusika, utaweza kukiona kwenye kurasa yako bila hata kwenda kwao. Page Likes Idadi ya watu waliopenda kurasa.

8 8 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Sababu za kutumia Facebook Kuna sababu nyingi sana kwa mfanyabiashara zitakazompelekea kuamua kutumia facebook, baadhi ya sababu hizo ni kama; Kuweza kupatikana na watu wanaotafuta huduma/ bidhaa unayouza Kuwa karibu na wateja wa sasa na wale wa baadae Kutengeneza jamii ya wateja wa biashara yako kwa njia ya mtandao Kutangaza Makala, taarifa na vitu vingine muhimu kwa biashara yako Kuongeza mapato ya biashara Kwenye kitabu hiki, tutaangalia ni jinsi gani utaweza kutumia Facebook kufika malengo haya.

9 9 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Sehemu 2 : Kurasa ya Biashara Kiundani

10 10 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Kurasa binafsi VS Kurasa ya biashara Kwenye Facebook, Profile imetengenezwa kwa ajili ya mtu binafsi wakati Pages ni kwa ajili ya Biashara Kama unataka kuitumia Facebook kwa matumizi binafsi, basi tengeneza kurasa binafsi (Profile), na baada ya hapo utatakiwa kuifanyia mabadiliko na kuichunga ili kuzuia watu kujitumia vitu usivyovipenda. Na kama unataka kwa ajili ya biashara, basi kurasa wa biashara (pages) ndiyo chaguo bora kwako. Epuka kutengeneza kurasa binafsi (Profile) kwa ajili ya biashara. Profile ni kwa ajili ya matumizi ya mtu binafsi wakati page ni kwa ajili yamatumizi ya kibiashara. Kitu cha muhimu kuzingatia ni kuwa, Profiles zimetengenezwa mahususi kwa ajili ya watu na Pages kwa ajili ya biashara, hivyo kutumia Profile kwa ajili ya biashara utakuwa unajinyima fursa nyingi ambazo ungeweza kuzitumia kwa ajili ya biashara yako. Tutaziangalia fursa hizi kwa mapana yake kwenye sehemu zinazofuata. Tofauti muhimu kati ya Profile (Kurasa binafsi) na Page (Kurasa ya biashara) Kurasa ya biashara inakuwezesha kutoa uwezo wa uchungaji wa kurasa kwa mtu zaidi ya mmoja, hivyo kurasa moja inaweza kuongozwa na watu wengi. Hii inamaanisha, hata kama administrator aliyefungua kurasa wa Page akaacha kazi, utaendelea kuwa na umiliki wa kurasa. Pages huwa zinaonekana na kila mtu, pia zinaingia moja kwa moja kwenye mitandao ya utafutaji (search engines) na uthaminishaji, na nzuri zaidi, wateja wanao uwezo wa kuthaminisha ubora wa huduma / bidhaa yakokitu kinachoweza kuongeza imano kwa wateja. Pages huwa zimegawanyika kwenye makundi ambapo itasaidia siyo tu kujiweka sehemu inayokuhusu, bali pia matokeo mazuri ya utafutwaji. Kwa kutumia Pages, unao uwezo siyo tu wa kualika marafiki binafsi kuja kuupenda (like) ukurasa wako, bali pia watu wengine walioupenda wanaweza kuwaalika marafiki zaidi hivyo kutengeneza mtandao mpana zaidi. Kwa kutumia Page, unao uwezo wa kujitangaza kwa kulipia hivyo kuongeza Likes zadi na zaidi.

11 11 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Profile ni kwa ajili ya marafiki, hivyo mtu yoyote hawezi kuwa rafiki yako mpaka ukubali maomboi yake, wakati kwenye Pages, mtu yoyote anaweza kulike kurasa ya biashara na kuwa fan. Kwa kutumia pages, unao uwezo wa kupata takwimu (analytics) juu ya mwenendo wa utumiaji wa kurasa yako hivyo kuwa katika sehemu nzuri zaidi ya kujipanga au kuandaa mipango ya kujitangaza na kujiboresha (Continual Service Improvement). Je unaogopa kuhusu habari za usalama juu ya matumizi ya Facebook? Au umetishwa na wale watu wanaotuma mambo ya hovyohovyo bila ridhaa yako? Usiogope, Facebook imekuja na mfumomzuri wa uchungaji wa taarifa binafsi (Privacy Setting), kitu cha muhimu ni wewe kujua ni jinsi gani utaamua nini kionekane kwa nani, unaweza kujichunga na kuzuia matumizi yasiyo sahihi kwenye Facebook iwe kwa ajili ya wewe binafsi au kwa ajili ya biashara.

12 12 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Kuanzisha Kurasa ya biashara Kurasa ya biashara inafanana sana na ile binafsi (profile) isipokuwa hii ya biashara awali ya yote inaonekana na kila mtu, na mtu yoyote anaweza kuipenda na akawa fan bila hata kukubaliwa na mmiliki. Kuanzisha kurasa ya kampuni ni bure, ila inahitaji muda kuweza kuifanya iwe hai na yenye manufaa. Kuanzisha jurasa mpya nenda (Kumbuka: Unatakiwa kwanza ume umeshaingia kwenye Facebook kwa kutumia akaunti yako ya kawaida ili uweze kuanzisha akaunti ya biashara), baada ya hapo Facebook itakuongoza hatua kwa hatua. 1. Chagua aina ya kurasa Unatakiwa kuchagua aina ya kurasa unayotaka kutengeneza, kwa sasa kuna aina sita za kurasa unazowea kutengeneza kwenye facebook.

13 13 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara 3. Anzisha kurasa yako 2. Andika jina na kundi la biashara Hapa unatakiwa kuandika jina la biashara yako (mara nyingi ni jina la kampuni) na kundi la biashara. Kama ulichagua Local Business kwenye hatua ya kwanza, basi kutakuwa na sehemu nyingi zaidi zaidi ya kuandika. Fuatisha kidirisha kinachofuata ambacho kitakutaka uelezee kwa uchache kuhusu kurasa yako. Baada ya hapo kutaenda kidirisha kitakachokutaka upandishe picha (hapa unashauriwa kutumia Logo ya kampuni). Pia kuna vidirisha vingine kama cha kualika marafiki wako nk. Sehemu ya Add to Favorite inamaanisha kurasa yako itaoneka kwenye sehemu kuu na kukupa urahisi wa kuitembelea. Unapochagua add to favorite, kurasa yako itaonekana hapa. Kama usipochagua basi itaonekana chini yake. (Kumbuka: Unaweza kuruka (skip) kama unaona hautaki kufanya kwa sasa na utarudi tena baadae kuja kukamilisha).

14 14 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara 4. Maelezo ya kampuni Hapa andika maelezo mafupi yenye maana juu ya kampuni au biashara yako 5. Weka Website ya Kampuni Hapa utaweza kuweka website ya kampuni / biashara. Link hii itaonekana kwenye kurasa yako ya Facebook na Watu wataweza kuitembelea kupitia huko. 7. Kamilisha au Ruka 6. Andika jina la kurasa Hapa utaandika jina la kurasa yako, hakikisha unatumia jina fupi lenye kukumbukika kwani baada ya kumaliza, tovuti yako ya facebook itajulikana kama facebook.com/jinauliloweka. Pia jina hili linaweza kubadilishwa mara moja tu. Hivyo umakni unahitajika hapa. Unashauriwa jina lifanane na lile la website, mfano Dudumizi. Baada ya hapo, kamilisha hatua zilizobaki au kuziruka na uende kwenye kurasa yako. Kama tunavyofanya kwenye kurasa zetu, pia unaweza kuhariri (edit) kurasa ya biashara kwa kwenda kwenye setting kama inavyoonekana. Kuhariri kurasa Kila kitu kitatumwa kama Dudumizi, kama unataka kubadili kutuma kwa jina lako basi bonyeza change to (jina lako) Kumbuka, endapo wewe ndiye kiongozi (administrator) wa kurasa hii ya biashara, lakini kitu chochote utakachokituma kitatokea kama kimetumwa na kurasa na si wewe. Mfano, Mkata ni Admnistrator wa Dudumizi Tanzania, hivyo anapoingia kwenye kurasa ya Dudumizi Tanzania na kutuma Makala au kitu chochote, basi kitu hicho kitaonekana

15 15 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara kimetumwa na Dudumizi Tanzania na si Mkata. Ila, Facebook inakuwezesha kubadili mtindo huu na kutuma kama wewe kwa kubonyeza (change to..) kama inavyoonekana kwenye picha juu.. pia, unatakiwa kufahamu kuwa,ingawa wewe ni administrator wa kurasa yako, lakini unatakiwa kuupenda (Like), hii itasaidia kurasa yako kuonekana zaid kwakuwa jina lako litaonekana katika watu walioipenda kurasa hiyo. Bonyeza like kuupenda kurasa na kufuatilia kwa pamoja, au chagua Follow kwa kufuatilia pekee. Wewe kama mmiliki, unashauriwa kulike, kuna usemi wa kingereza unaosema charity starts at home (mambo mema yaanzie kwako)..

16 16 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Ongeza ubora wa kurasa yako Hadi sasa tayari umeshakuwa na kurasa kwa ajili ya kampuni au biashara yako, kilichobaki ni kuitangaza ili kuweza kupata fans wengi zaidi. Unaweza kufanya vifuatavyo ili kuweza kungeza idadi ya fans; Wape sababu ya kuwa Fans. Watu wengi wamekuwa na kurasa za biashara au kampuni na kuishia patupu. Ili kuvutia watu wengi zaidi kuipenda kurasa yako, unatakiwa kuwapa sababu ya kufanya hivyo, mfano ni kutumia application zilizomo kwenye Facebook zinazokuwezesha kuweka video, chat nk. Pia hakikisha kurasa yako haifi njaa kwa kuwa tupu kwa siku nyingi. Pia andaa baadhi ya zawadi, mapunguzo au habari ambazo zinapatikana kwa walioipenda kurasa tu. Itambulishe kurasa yako. Je tayari unayo orodha ya au namba za simu za wateja? Watumie kuwataarifu juu ya kurasa yako ya Facebook. Hakikisha kurasa yako inapatikana kwenye mitandambo ya utafutaji. Ingawa kurasa zote za biashara zinakuwa wazi kwa mitambo hii, ila inawezekana ulikosea na kubadilisha machaguo fulani ambayo yanaweza kuifanya kurasa isionekane kwenye mitambo ya utafutaji. Hivyo, pitia kurasa yako haswa kwenye setting ili kuhakikisha kurasa yako ipo wazi kwa kila mtus. Tumia matangazo (Facebook Ads). Hii ni njia mojawapo ya kuongeza Fans, ila inatakiwa ifanyike kwa umakini sana, kwani lengo la kutumia Facebook siyo tu kuwa na Fans wengi, bali kuwa na Fans ambao wapo kwenye kundi la wateja wako na siku ya mwisho watakuwa ni wateja wako (Likes to Leads). Hivyo, hakikisha unapata ushauri toka kwa wataalamu juu ya njia sahihi za kuchunga matangazo kwenye Facebook. Kwenye kitabu hiki tumeelzea kwa uchache wake. Hakikisha tangazo lako limechunjwa kulingana na umri, eneo na hata elimu ya watu unaotaka kuwafikia, Facebook inayo uwezo wa kufanya haya yote. Unganisha Facebook na Website; Kama tayari unayo Website, hakikisha umeweka kitufe (icon) cha Facebook kinachowawezesha watembeleaji wa website kuja moja kwa moja kwenye kurasa yako ya Facebook. Pia, kama Website yako inayo nafasi ya kutosha, weka kadirisha kinachoonesha watu waliopenda kurasa yako hivyo kuvutia watu wengine zaidi kuipenda. (Kumbuka: Epuka kuwalazimisha watu kuipenda kurasayako, kuna baadhi ya Website huweka kadirisha kanachopop na kulazimisha kupenda la sivyo hautoweza kufanya lolote. Mtindo huu huweza kuwakimbiza watembeleaji au kupata Likes nyingi zisizo na maana.) Tembelea kurasa ya Dudumizi juu ya njia mbalimbali za kuifanya Facebook yako iwe hai.

17 17 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Kurasa VS Kikundi Mara nyingi, unatakiwa kutengeneza kurasa kwa ajili ya bashara yako, ila kuna wakati, unaweza kufikiria kutengeneza kikundi kiwe ama nyongeza ya kurasa ama njia mbadala ya kurasa. Tofauti kumbwa kati ya kikundi na Kurasa ni kuwa, Kikundi (Facebook Group) ni kwa ajili ya watu wenye malengo yanayofanana wakati Kurasa ni kwa ajili ya Kampuni kujiunganisha na wateja (Fans) Faida kubwa ya Kurasa ukilinganisha na Kikundi ni kuwa, kurasa huwa inakuwa matokeo bora ya utafutwaji. Moja ya faida ya kikundi ni kuwa, Admin anaonekana kwa wana kikundi hivyo inarahisisha kwa wao kuwasiliana naye moja kwa moja. Pia kwenye kikundi admin anao uwezo wa kuchunga nani anaweza kuwa mwana kikundi kwa kukifanya kikundi kuwa cha faragha kwa waalikwa tu, au watu wote wanatakiwa kuhakikiwa na admin kabla hawajawa wana kikundi. Ingawa kwenye kurasa pia unaweza kuzuia mtu Fulani kujiunga na kurasa, ila ni kazi ya ziada kwani unatakiwa kujua ama jina lake ama atakayojiunga nayo, hivyo kazi inakuwa ngumu zaidi. Kurasa ya biashara inakupa faida nyingin zaidi ya kikundi, hivyo ni mara chache mno unapoweza kufikiria kuwa na kikundi badala ya kurasa kwa ajili ya biashara.

18 18 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Kujitangaza kwenye Facebook Facebook kama ilivyo mitandao mingine, inakuwezesha kujitangaza na kuwafikia watu wengi zaidi, kwenye Facebook unaweza kujitangaza kwa kuitangaza kurasa ili kuhamasisha watu wengi waipende (Likes), kutangaza makala, kutangaza ofa, kutangaza tukio au picha na hata kuitangaza Website yako ambapo mtu akibonyeza anapelekwa moja kwa moja kwenye wavuti au tovuti uliyoweka. Ili kuweza kutangaza, unatakiwa kwanza uwe umeingia (login) kwenye Facebook, baada ya hapo bonyeza Bonyeza manage Your Ads kama tayari ulishawahi kutengeneza tangazo hapo awali, kama hauna basi bonyeza Create Ads. Kutatokea kidirisha kinachokutaka uchague aina ya tangazo. Kama tulivyoainisha aina ya matangazo hapo juu, kwa mfano sisi tunataka kuongeza Likes, hivyo tunachagua ya pili (Page Likes) Chagua aina ya matokeo unayoka, kila tangazo linaweza kukuletea matokeo tofauti, iwe kuongeza Like, iwe kuongeza watembeleaji wa Wavuti nk.

19 19 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Chagua machaguo yanayoendana na matakwa yako kama; eneo unalotaka tangazo litokee, umri wa walengwa, wanachopenda nk. Hii ndiyo sehemu muhimu kuhakikisha tangazo lako linawafikia walengwa na kukidhi malengo yako yako. Hakikisha unachagua kulingana na malengo na wigo wa huduma yako, kama wewe unapamba maharusi Tanzania, bas wigo wako unaweza kuishia Tanzania. Hakikisha unaangalia na kuhakiki muonekano wa tangazo kwenye kompyuta, simu na yale matangazo ya kulia. Kumbuka, kama wewe unawalenga watumiaji wa simu za mkononi basi hakikisha tangazo linaonekana vyema kwenye simu hizo.

20 20 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Uzoefu unaonesha kuwa, kwa gharama hiyohiyo, tangazo moja linaweza kukuletea Likes nyingi ukilinganisha na lingine. Hii inategemeana na mvuto wa tangazo. Mvuto huletwa na picha au ujumbe utakaoandika kwenye tangazo lako, hivyo hakikisha unatengeneza tangazo lengu kuvutia, sawa na matangazo ya Tv kuwatumia watu maarufu. Ila, epuka kuandika ujumbe unaovutia ila umetoka njie ya mipaka ya huduma yako, hii itakupelekea kupata Fans wasio kwenye wigo wa huduma, hivyo siku ya mwisho tangazo au kampeni yako haitokuwa na matokeo bora. Mwisho chagua bajeti ya tangazo kulingana na mipango yako. Kumbuka kila bajeti ina kikomo cha matokeo. Chagua mfumo wa kutangaza, kuna aina mbili, moja ni kwa siku, inamaanisha kila siku kutakatwa kiasi ulichochagua, kikiisha, basi itasubiri siku inayofuata, lifetime ina maana tangazo litakuwa hewani muda wote haijalishi siku ngapi, pesa uliyochagua ikiisha ndiyo tangazo limeishia. Makadirio ya watu watakaofikiwa na tangazo Chagua mfumo wa makato, je ukatwe pindi mtu anapolike, ama pindi tangazo linapotokea ama mtu anapobofya bila kujalisha amelike au la, hapa kama kurasa yako haina vitu vingi vya kuvutia, basi chaguo la kwanza (Optimized for Page Likes) ndiyo chaguo bora Baada ya hapo unaweza bonyeza Review Ads au Place Ads na tangazo lako litakuwa hewani. Kumbuka kufuatilia mwenendo wa tangazo lako.

21 21 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Mkokotoo wa ubora wa taarifa Moja ya kitu kinachoifanya Facebook iwe sehemu pekee ni idadi kubwa ya watuiaji wake, Bilioni 1.3. Lakini Facebook inacho kitu kingine cha kipekee kabisa, jinsi gani wanavyoweza kutumia tekinolojia kufikisha taarifa kwa mabilioni ya watu wake. Facebook inatumia mkokotoo wa EdgeRank kujua makala ipi ionekane kwenye kurasa ya nani. Bila ya mkokotoo huu, maisha yangekuwa magumu sana maana tungekuwa tunaona tani za taarifa kwenye kurasa zetu za Facebook. Athari za EdgeRank kwa Biashara yako Kwanini EdgeRank ni kitu cha muhimu? Hii ni kwa sababu, ni EdgeRank ndiyo inayowezesha kutambua taarifa gani uliyotuma ionekane kwa nani, na ukiwa kama mfanyabiashara, lengo lako kubwa ni kuhakikisha taarifa za huduma / bidhaa yako zinawafikia watu wengi zaidi. Taarifa yoyote inapotumwa kwenye Facebook, inaonekana kama Kitu (Object), na muingiliano wowote wa hiyo taarifa, iwe Like, maoni, kushare nk inachukuliwa kama Ukingo (Edge), Hivyo, jinsi kingo zinavyozidi kuwa nyingi, basi ndivyo hiyo taarifa itaonekana kwa watu wengi zaidi. EdgeRank huwa inaangalia marudio (Frequency) ya taarifa, na umuhimu / ubora wake (jinsi gani taarifa imependwa, imeaangaliwa, imetumiwa maoni nk). Hivyo, kuna umuhimu wa kuwa na kitufe cha Like kwenye Website yako na hiyo itaongeza marudio ya makala na kuifanya ionekane kwa wau wengi zaidi na zaidi. Hivyo jitahidi sana kuuliza maswali kwenye kurasa yako, tuma makala zitakazoleta majibishano (yaliyo bora) na hata vijimichezo vya kuumiza akili ili kuongeza marudio ya taarifa za kurasa na kuongeza EdgeRank Makala toka kurasa ya facebook inavyoonekana kwenye ukuta (wall) ya mtu aliyependa na kufuatilia 9follow) Dudumizi. Ukiwa na EdgeRank kubwa, inamaana Makala hii itawafikia watu wengi zaidi na zaidi..

22 22 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Mambo 10 bora kwa Biashara yako Facebook ilianza kama ni website kwa ajili ya wanafunzi wa chuo, lakini leo hii imekuwa ni moja ya website muhimu kwa wafanyabiashara dunian. Hivyo, tuangalie mambo 10 muhimu wewe kama mfanyabiashara unatakiwa kuyafanya kwa matokeo bora ya matumizi ya Facebook. 1. Shiriki, kuwa mcheshi na mwenye msaada. Kumbuka kuwa, watu wanakuja kwenye kurasa yako ya Facebook kwa ajili ya lengo Fulani kuhusiana na biashara yako, hivyo usiwaangushe, tumeona makampuni mengi yamekuwa yakiwasaidia Fans wake na kwa muda mchache wameweza kuwa na Likes nyingi tu. 2. Jumuika kwenye Facebook, kama una video ambayo unataka kuituma, usiishie kwenye Youtube tuu, ipachike (embed) kwenye Facebook na kuchezeka humo. Video zinaongeza sana muingiliano kati ya Fans na Kurasa. 3. Tengeneza uhusiano kati ya Facebook na dunia ya nje. Jaribu kufikiria vitu ambavyo vitaipeleka kurasa yako kukumbukika na kuthaminika hata nje ya Facebook. Kwa mfano, una tukio fulani au sherehe, unaweza kuifanya kwenye Facebook, au unaweza kuandaa sherehe kwa ajili ya Fans tu. 4. Anzisha mashindano kwenye Facebook. Mashindao haya yatashindanishwa kwenye Facebook tu na washindi watatangazwa kwenye Facebook tu, hii itaongeza ushiriki na kukufanya uwe na Fans wengi walio hai. 5. Unganisha njia mpya na za zamani. Mfano, logo ya facebook inajulikana sana na wengi, hivyo unaweza kuitumia kwenye vipeperushi unavyochapisha na watu wakiiona Logo ya Facebook watajua kurasa yako, na kama ulichagua jina rahisi, basi wataweza kuipenda moja kwa moja siku wakiingia Facebook. Hivyo andika kurasa kurasa yako kwenye kila chapisho. 6. Tumia Facebook kuongeza wanaojiunga na mlisho wa , pia tumia mlisho wa kuongeza wanaojunga na kurasa yako ya facebook. 7. Kwa mara ya kwanza, tambulisha baadhi ya bidhaa / huduma kwenye Facebook. Watu wengi wamekuwa wakijiunga na kurasa yako ya Facebook ili wawe wa kwanza kupata taarifa ya huduma au bidhaa fulani (ukizingatia wengi wetu tummekuwa tukitumia simu kuingia facebook, na muda wote tupo na simu mikononi), kwa kufanya hivi, kutawafanya wajione wa thamani na kuvutia wengine wengi zaidi. 8. Penda kurasa nyingine, usisahau upo kwenye mitandao jamii, na uzuri wa wanajamii ni kujumuika, hivyo kama ilivyo huku nje, jinsi unavyotembelea wengine ndivyo wao nao watakutembelea. Jenga mazoea ya kulike kurasa za biashara nyingine ambazo hazina ushindani wa moja kwa moja na biashara yako.

23 23 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara 9. Epuka kusababisha mafuriko ya taarifa, ingawa watu wamejiunga kwa ajili ya taarifa, lakini pindi zinapokuwa nyingi, zitawakela wengine na kujitoa. Na si kila siku uwe unatuma matangazo tuu, lazima uwe unabadilisha aina na taswira za taarifa ili kutowachosha wasomaji. 10. Hudumia wateja kupitia Facebook. Siku hizi watu wengi wamekuwa wakitumia Facebook kama njia mojawapo ya kuwahudumia wateja, usiisahau Facebook, ifanye iwe moja ya kituo cha kupokea na kutolea taarifa kwa wateja. Hakikisha unasoma Messages zote kwenye kurasa, na pia hakikisha Makala za watu wengine wasio admin hazitokei kwenye mlisho wa taarifa kuepuka kuwachanganya watumiaji.

24 24 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Jinsi ya kupima matokeo ya Facebook Kupima matokeo ya kampeni ni kitu cha lazima kwenye mpango kazi wowote, Ingawa unaweza kutumia program kama Google Analytics kupima idadi ya watembeleaji waliotokea Facebook, lakini Facebook yao yenyewe inayo uwezo wa kukupatia takwimu nzuri kabisa. Kwa kutumia program ya Facebook Insights, unaweza kujua takwimu na maendeleo kwenye Facebook. Kwakutumia ulinganisho wa vizio, unaweza kujua maendeleo ya kampeni zako, muingiliano wa makala, waliotaja kurasa yako, walioitembelea nk.

25 25 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara Makamilisho na maarifa zaidi Kitu cha muhimu kukumbuka ni kuwa, hakuna fomula moja ya kufanikiwa kwenye matumizi ya Facebook, ila kuna kanuni bora na ndizo hizi tulizogawana nawe. Pia, Facebook inabadilika sana hivyo inawezekana taarifa za leo zisiweze kufanya kazi kesho. Walenga walisema elimu haina mwisho, hivyo kuna mengi sana ya kujifunza juu ya matumizi sahihi ya teknolojia kwa biashara yako, kwa kutembelea blogu yetu utaweza pata Makala mbalimbali zenye mlengo wa biashara na IT Mwandishi: Mkata Nyoni (ITIL), MSc Information Economics & IT Management MD, Co Founder Dudumizi Technologies LTD Address: Gates of Paradise, 2 nd Floor, Mbezi Beach Dar es Salaam Web: mnyoni@dudumizi.com Simu:

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

Upande 1.0 Bajeti yako

Upande 1.0 Bajeti yako Upande 1.0 Bajeti yako Bajeti (Budget) ni muhustari wa njisi wewe (na familia yako) mnavyopata na kutumia pesa. Inaunganisha pesa zinazoingia nyumbani kwako (Kipato/ income) na zile unazotumia (matumizi/expenses).

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia : Maelekezo ya kutumia Kupatwa kamili kwa jua Jumatatu, 21 Agosti 2017 Agreement v1.4 Mar 2014 2014-2017 Eclipse2017.org, Eclipse2017.org, inc. inc. TERMS AND CONDITIONS FOR USE OF SOLAR VIEWER Please

More information

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Mazoezi ya wenye umri wa miaka 11-14 Hivi Ndivyo Nilivyo kwa wenye umri wa miaka 11-14 Kuhusu Hivi Ndivyo Nilivyo Ikiwa

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji! Yaliyomo Kuhusu kitabu hiki Kuhusu kitabu hiki.........................................................1 Unapojisikia vibaya.........................................................2 Unapoanza kuwa mzima

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka 0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 AEG swahili Bahari ya Aegean Brosha ya maelezo hii ni kwa watu wanaofikiria kuvuka bahari ya Aegean kati ya Ugiriki na Uturuki.Kuvuka kihramu ni uhalifu katika

More information

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre Shangazi Stella Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO Training and Research Support Centre Zimbabwe Shangazi Stella Kiongozi cha Mwezeshaji

More information

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu BLOOD PRESSURE UK Shinikizo la damu ndicho chanzo kikubwa cha ulemavu na vifo vya mapema kule Uingereza, kupitia kiharusi, mshtuko wa moyo na maradhi ya moyo.

More information

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)

More information

Ufundishaji wa lugha nyingine

Ufundishaji wa lugha nyingine CHUO CHA ELIMU CHA KIMATAIFA OFISI YA ELIMU YA KIMATAIFA Ufundishaji wa lugha nyingine Na Elizabeth B. Bernhardt ELIMU MAZOEA KITABU NA. 20 1 Chuo cha Elimu cha Kimataifa (The International Academy of

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia IDARA YA KUFIKIA HUDUMA ZA AFYA VERMONT Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia GreenMountainCare MIASHA YENYE AFYA BORA ZAIDI Jedwali la Yaliyomo Jedwali la Yaliyomo... 2 Karibu kwenye Programu ya

More information

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI This booklet on Becoming a Parent was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at. MACHAGUO

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA Toleo la kwanza 2012 Mwandishi: USAID DELIVER PROJECT Wachangiaji: Gary Steele, John Snow, Inc. and Judith

More information

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 1. Utangulizi Changamoto kuu iliyopo kuhusiana na Elimu ya msingi nchini Tanzania kwa sasa ni namna

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of

More information

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke- Kusudi la Maisha hawatakuambia nini walihitimisha kupitia uchunguzi au hoja ya uchambuzi. Katika hali nyingi, hakika wao kukuambia nini mtu mwingine alisema... Au wao watakuambia nini kawaida kudhaniwa

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Imechapishwa na: The Atlas Alliance Schweigaardsgt 12 SLP 9218 Grønland 0134 Oslo, Norway Simu: +47

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to

More information

Elimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini...

Elimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini... Elimu Bora, lakini... Shukrani za dhati kwa wote waliotusaidia katika kutayarisha kijitabu hiki: Nsa Kaisi, Mshauri wa Rais, kwa mchango wake mkubwa wa mawazo Wafanyakazi wote wa HakiElimu 2003-2004 Many

More information

ORDER NO BACKGROUND

ORDER NO BACKGROUND In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND

More information

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health Wasiojua kusoma na kuandika katika karne ya 21 hawatakuwa wale wasiojua kusoma na kuandika lakini wale ambao hawawezi kujifunza, kutojifunza na kujifunza

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya Nordic Journal of African Studies 9(2): 49-59 (2000) Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya UTANGULIZI Tukichunguza hazina ya uhakiki uliofanywa katika taaluma

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania

CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania Questionnaire for Individual Household Members/Dodoso kwa mwanakaya binafsi This questionnaire will be administered to

More information

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 W N S E Muhtasari Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 Kuinuka kwa Nchi za Kusini: Maendeleo ya Binadamu katika Ulimwengu Anuwai Empowered lives. Hati ya kunakili 2013 na Mradi wa Maendeleo ya Umoja wa

More information

Deputy Minister for Finance

Deputy Minister for Finance ISSN: 1821-6021 Vol XI - No - 34 DID YOU KNOW? A procuring entity is?s required to use suppliers pliers?pliers?pliers?pliers among those awarded ed?ed?ed?ed framework agreements by GPSA for procurement?ents

More information

Wewe Maisha Yako Ndoto Zako. Kitabu cha Vijana Balehe

Wewe Maisha Yako Ndoto Zako. Kitabu cha Vijana Balehe Wewe Maisha Yako Ndoto Zako Kitabu cha Vijana Balehe Wewe, Maisha Yako, Ndoto Zako: Kitabu cha Vijana Balehe Catherine Watson na Ellen Brazier Shukurani Kitabu cha Wewe, Maisha Yako, Ndoto Zako ni tafsiri

More information

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Gervas Zombwe 1 1. Utangulizi Katika mazingira ya kawaida kabisa ndani ya jamii yetu, Imezoeleka kusikia au kuona watu wakioanisha dhana ya elimu

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu. Waebrania 9:28. KUJA KWA KRIST0 MARA YA PILI "ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28. Mara nyingi sana kuja kwa Kristo mara ya pili huangaliwa tu kama fundisho la dini. Ni

More information

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA SOMO LA KWANZA UTANGULIZI KWA TORA For videos, study guides and other resources, visit Third Millennium Ministries at thirdmill.org. 2014 nathird Millennium Ministries Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College Theolojia 1 Ujumla Mike Taylor Semester 1 2014-2015 Munguishi Bible College MIKE TAYLOR 2014 THEOLOJIA 1 i THEOLOJIA Utangulizi! 1 1. Kumfahamu Mungu katika Injili! 3 1.1. Mawazo Makuu 3 1.2. Maana ya

More information

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA Maagizo (a) Andika jina lako na namba yako katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (b) Tia sahihi yako na tarehe ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (c) Jibu maswali

More information

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q 88092387 SWAHILI B HIGHER LEVEL PAPER 1 SOUAHÉLI B NIVEAU SUPÉRIEUR ÉPREUVE 1 SUAHILI B NIVEL SUPERIOR PRUEBA 1 Tuesday 3 November 2009 (morning) Mardi 3 novembre 2009 (matin)

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ukristo leo unadhihirisha waumini karibu bilioni mbili katika maelfu ya madhehebu tofauti na tofauti na madhehebu. Kati ya hizi, zaidi ya 500 madhehebu

More information

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Shule za umma za kata ya Fayette 1 Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Muhtasari wa yale watoto wanastahili kufahamu na kuweza kufanya na njia za familia kuongeza masomo nyumbani. Tunaamini familia ni wenzetu.

More information

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246, P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@ twiga.com 01 June 2001 Benefits of Loan Repayment As the date of repayment nears, 15 June, groups are busy preparing crops, digging

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Martha Qorro 1 1.0 Utangulizi Elimu ni suala la jamii ambalo mipango na taratibu zake zinahitaji kushirikisha wadau

More information

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA

More information

Kiu Cha umtafuta Mungu

Kiu Cha umtafuta Mungu ZAIDI YA NAKALA MILLION 3 ZIMECHAPISHWA KATIKA LUGHA 59 KOTE DUNIANI K Kiu Cha umtafuta Mungu Huduma ya Daktari Richard A. Bennett ilianza katika mabaraza ya miji. Akiwa mwanafunzi chuoni, alikumbana na

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level * 899145 4 672* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2010 Additional Materials: Answer Booklet/Paper READ

More information

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI MWONGOZO KWA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA WASTANI WANAOUZA BIDHAA NJE YA NCHI TOLEO LA PILI Geneva 2011 ii IKISIRI YA HUDUMA YA HABARI ZA BIASHARA ID=42653 2011 F-09.03

More information

Palliative Care Toolkit

Palliative Care Toolkit KISWAHILI TRANSLATION INPATIENT CARE OUTPATIENT CLINIC HOME-BASED CARE DAY CARE SUPPORT HOSPITAL PALLIATIVE CARE TEAM Physical Psychological Spiritual Social Palliative Care Toolkit Improving care from

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Moduli ya kwanza Uhamasishaji Jamii juu ya Afya ya Mazingira Kimechapishwa kutokana na Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Jeff Conant na Pam Fadem i COBIHESA

More information

Shabaha ya Mazungumzo haya

Shabaha ya Mazungumzo haya Karibu Katika Mazungumzo Kuhusu Mchakato wa Uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii CCMP/UMOJA Shabaha ya Mazungumzo haya Kuwafahamisha viongozi wa makanisa kuhusu Mchakato wa CCMP ambao umekuwa ukitumika

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa mabingwa itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Mkuu Inahitaji dhabihu. Unahitaji kujisukuma hadi mwisho wako. Lakini nakupa ahadi hii,

More information

Mipango ya miradi katika udugu

Mipango ya miradi katika udugu Partnerschaftlich Projekte planen Mipango ya miradi katika udugu 2 Dibaji... 3 Utangulizi... 4 I. Nafasi ya (Wajibu wa) Fedha katika Udugu: Mtazamo wa Ki-indonesi... 5 II. Namna UEM Inavyowezesha Miradi

More information

Oktoba-Desemba

Oktoba-Desemba Oktoba-Desemba 2014 1 Habari za Unabii wa Biblia 8 13 24 Katika toleo hili: 25 28 33 3 MwanaFiladelfia wa Karne ya 21 ni nani? Je, Yesu alifundisha kwamba kungekuwepo na tofauti kubwa baina ya Wakristo

More information

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika (A Summary Of Arguments For And Against Individual Communion Cups) Na J D Logan Communion Cups) 1 Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Makala ya Mshiriki wa Mafunzo Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

Mwongozo wa Mwezeshaji

Mwongozo wa Mwezeshaji JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Mwongozo wa Mwezeshaji Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka lugha

More information

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org ( Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Haja Ya Dini Haja Ya Dini Author(s): Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi [3] Publisher(s): Bilal Muslim Mission of Tanzania [4] Katika kijitabu

More information

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wapilipili Tanzania Wildlife Division, Tanzania Wildlife

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

Banana Investments Ltd

Banana Investments Ltd Toleo la 21 Jarida litolewalo na; Banana Investments Ltd TOLEO NAMBA 21 HALIUZWI APRIL JUNE HALIUZWI BODI YA WAHARIRI YALIYOMO Augustine Minja Mwenyekiti 078 5451 004 Gerald Lyimo Mjumbe Beatha Anthony

More information

UMRI WA MAKAMO NA KUKOMA KWA HEDHI

UMRI WA MAKAMO NA KUKOMA KWA HEDHI This booklet on menopause was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at http://www.ourbodiesourselves.org/tanzania.

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue? Tufundishane! Let s teach each other! This newsletter is published by The Foundation for Tomorrow and is meant to be a venue for teachers and schools to share and learn from each other s best practices.

More information

Uzazi wa Mpango. Uzazi wa Mpango. Kulinganisha Ufanisi wa Njia za Uzazi wa Mpango. iwe na ufanisi zaidi. Zenye ufanisi.

Uzazi wa Mpango. Uzazi wa Mpango. Kulinganisha Ufanisi wa Njia za Uzazi wa Mpango. iwe na ufanisi zaidi. Zenye ufanisi. Uzazi wa Mpango MPANGO WA UZAZI WA W.H.O. MWONGOZO WA WATOA HUDUMA YA AFYA DUNIANI Kitabu hik nachukua nafasi ya kitabu cha Mambo ya Msingi katika Teknolojia ya Njia za Kuzuia Mimba SHIRIKA LA MISAADA

More information

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn TAFSIRI YA BIBLIA Mwandishi Jonathan M. Menn B.A., University of Wisconsin-Madison, 1974 J.D., Cornell Law School, 1977 M.Div., Trinity Evangelical Divinity School, 2007 Equipping Church Leaders-East Africa

More information

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w MAMLAKA Tunamshukuru Bwana kwa vile alivyo na yale aliyoyatenda. Tukiweza tu kumfikiria hata tukiwa na mahitaji mbalimbali, yeye atatutimizia. Tusiwatazame watu, tusijitazame sisi wenyewe, tumtazame Mungu

More information

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma.

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma. This booklet on HIV/AIDS was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at VIRUSI VYA

More information

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu Nyenzo ya Mafunzo Vi Agroforestry Vi Agroforestry ni shirika la ushirikiano la maendeleo la Sweden, linalopambana dhidi ya umasikini na

More information

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI SIKOMBE YIZUKANJI YORADI TASNIFU YA KISWAHILI KWA MINAJILI YA KUTUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI (MA. KISWAHILI) KITIVO CHA SANAA

More information

Siku ya kwanza. Mguso wa ngozi-kwa-ngozi (Ulezi wa kangaruu) Mtoto wako anaweza kuhisi mdundo wa moyo wako

Siku ya kwanza. Mguso wa ngozi-kwa-ngozi (Ulezi wa kangaruu) Mtoto wako anaweza kuhisi mdundo wa moyo wako Siku ya kwanza Baada tu ya mtoto kuzaliwa ni wakati wa kufurahia, lakini pia ni wa kuchosha. Kujua vitu vichache kuhusu kunyonyesha hufanya siku ya kwanza kuwa rahisi kidogo. Baada ya kujifungua Wakati

More information

TIST HABARI MOTO MOTO

TIST HABARI MOTO MOTO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. +255784-537720/+255717-062960/+255782-250947, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@tist.org May 2010 Cash Payments for Trees Clean Air Action has developed a way to pay the groups

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWA WANANCHI, TAREHE 31 JULAI 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWA WANANCHI, TAREHE 31 JULAI 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWA WANANCHI, TAREHE 31 JULAI 2001 Leo napenda nizungumze nanyi kuhusu umuhimu wa kuweka akiba, na umuhimu wa kulipa

More information

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E)

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI/AGOSTI 2011 MUDA: 2 ½ Kiswahili Fasihi Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) MAAGIZO Jibu maswali manne pekee Swali la kwanza ni lazima Maswali

More information