Waangalizi wa Maendeleo Endelevu

Size: px
Start display at page:

Download "Waangalizi wa Maendeleo Endelevu"

Transcription

1 Waangalizi wa Maendeleo Endelevu Vol.1 Issue 4 June - December 2013 Mpango wa Ushauri na Mafunzo Wahamasisha Kujifunza Miongoni mwa jamii katika Eneo Ujenzi wa mabwawa ya maji chini ya mradi wa LVEMPII Wanawake Wakilima kwa pamoja

2 YALIYOMO Kituo cha KIT kilichopo Siaya Chabadilisha 1 Maisha ya Wakazi Upandaji miti Wazidi kushamili katika utekelezaji 2 wa miradi ya LVEMP II nchini Kenya Mpango wa Ushauri na Mafunzo Wahamasisha 3 Kujifunza Miongoni mwa jamii katika Eneo la Afrika Mashariki Mradi wa LVEMP II Nchini Tanzania Umepiga 5 Hatua Nzuri katika Utekelezaji wa Miradi Inayoendeshwa na Jamii Kikundi cha Kusaidiana cha Litei Chanufaika 9 Kutokana na Miradi Midogo ya LVEMP II inayoendehwa na Jamii Utumiaji wa Takataka za Plastiki Wilayani Masaka: 10 Mfano wa Mradi Unaoendeshwa na Jamii ambao umefanikiwa Bila msaada wa Fedha za LVEMP II Burundi Yaunga Mkono Jitihada za 12 Kuhifadhi Ziwa Rweru Wananchi Wanaoshiriki katika programu ya 13 LVEMP II nchini Burundi Wawezeshwa Mbinu za Kusimamia Rasilimali Mtambuka za maji Vituo vya Uzalishaji wa Kisasa Kuzuia Uchafuzi wa Ziwa Victoria 15 Maendeleo Endelevu Bado ni Safari Ndefu 18 Mradi wa LVEMP II wazidi kupiga hatua miongoni 19 mwa changamoto za kitaasisi na kiutendaji. Usimamiaji wa Fedha za Miradi ya Jamii Mradi wa LVEMP II Wapiga hatua katika Kuokoa Ziwa Victoria Barua kwa Muhariri Pamoja Kwa Nguvu za Kinama katika Eneo la Koru Hera ya Kati Miradi Midogo aina ya CDD kutoka LVEMP II yarejesha Matumaini Magharibi mwa Kenya Picha za ziara ya LVEMP II nchini Burundi Makala ya Picha ya Timu ya EA Su Swatch katika sharehe za Siku ya Mara zilizofanyika Mugumu nchini Tanzania Kalenda ya Nusu Mwaka ya 2014 Picha ya Jarida Takataka za Plastiki katika Kituo cha Makusanyio cha MAPEWE collection huko Masaka-Uganda UHARIRI Mradi wa Uhifadhi wa Mazingira ya Ziwa Victoria awamu ya II (LVEMP II) ni mradi wa Jumuiya ya Aafrika Mashariki (EAC) ambao unatekelezwa katika nchi wanachama watoto ambazo zinashirikiana bonde la Ziwa Victoria- Burundi, Kenya, Rwanda, Tanzania and Uganda. Mradi huu utatekelezwa kwa kipindi cha miaka minane, kutoka Septemba 2009 hadi Juni Mtandao wa Uangalizi wa Uendelevu wa Afrika Mashariki unaendesha mradi unaojulikana kama Waangalizi wa Asasi za Kiraia juu ya LVEMP II ambao unalenga kushawishi juu ya ufanisi katika utekelezaji wa mradi huu wa kanda,miongoni mwa mambo mengine. Jarida hili la nne la Waangalizi wa Uendelevu wa Afrika linalenga zaidi kwenye Maendeleo ya Mradi wa LVEMP II katika Africa Mashariki. Katika makala hii,soma juu ya Miradi Midogo ya Maendeleo ya Jamii ambayo tayari inabadilisha maisha ya watu wengi katika Afrika Mashariki.. Tunaelezea Kikundi cha jamii cha kusaidiana huko Kenya ambacho kinaendeshwa na nguvu za wanawake ambao wanatumia mbinu ya kupinga utawala wa wanaume ambao ndio dhana ambao uwaangusha wanawake. Kinachotia moyo zaidi ni simulizi juu ya kikundi kingine cha kusaiaidiana kilichopo magharibi Kenya ambacho wanachama wake ni waathirika wa HIV lakini bado wanachama hawajakata tamaa: kwa mfano; matharani matumaini juu ya maiasha yanawafanya wajaribu kufanya mambo ambayo ni bora zaidi. Je unafahamu kwamba nchini Tanzania kuna zaidi ya miradi midogo ya jamii ambayo tayari imetekwisha na kumalizika? Rwanda na Burundi zinashika hatamu katika utekelezaji wa APL2. Soma juu ya namna ambvyo wajamii nchini Burundi wako tayari to kutoa ardhi ya mashamba yao katika maeneo ya hifadhi ili kuhifadhi mifumo-ikolojia ya ziwa Rweru. Pia utasoma juu ya vipengeere 3 vya mradi wa LVEMP II ambavvo vinaelnga kuhamasisa juu ya matumizi ya teknoliojia kwa ajili ya maendeleo ya uzalishaji ya viwanda ambayo ina mafaniko katika maendeleo ya viwanda nchini Uganda. Wanajamii nchini Uganda katika eneo la masaka hawajakaa tu; wanatekeleza mradi wa usimamizi wa taka wakati wakiendelea kusubiri hela za miradi mdogo ya CDD kwa ajili ya utekelezaji bora ya. Ubunifu: Salt Concepts Mchapishaji: Mtandao wa Uangalizi wa Maendeleo Endelevu wa Afrika Mashariki c/o Umoja wa Maendeleo Endelevu Uganda Sanduku la Posta Kampala. Tel: Barua pepe: ugandacoalition@infocom.co.ug Tovuti: Timu ya Uhariri: Richard Kimbowa Emily Arayo Ken Oluoch David M.Mwayafu Rebecca Kwagala Nobert Nyandire Velma Oseko Suleiman Okoth Francis Kagolo Flavia Lanyero Gilbert Ngendahabona 2 UCSD UCSD UCSD UCSD UCSD SusWatch Kenya SusWatch Kenya Kenya Uganda Uganda Burundi Anaglizo: Chapisho hili ambalo limeandaliwa na Mtandao wa EA Suswatch, limefadhiliwa na Serikali ya Sweden.Maoni na mitizamo iliyoandikwa na wahariri haiwakilishi maoni na mitizamo ya Serikali ya Sweden ama taasisi ambazo wanazotoka wahariri hawo. Tunabainisha mabadiliko katika matumizi ya nishati katika ngazi ya kitaasisi. Shule ni ya inakoa fedha kwa kutumia kituo cha biogesi. Katika ngazi nyigine ya taasisi mpango wa ushauri na mafunzo ambapo wajumbe wa mtandao utembeleana na kubadilishana mawazo umezisaidia vikundi vya kijamii kujifunza maarifa na mbinu za utekelezaji wa miradi ya maendeleo endelevu katika Afrika Mashariki. Makala hii inawasilisa wasifu wa kusisimua wa picha juu ya kazi ya LVEMP II nchini Burundi. Na katika kuchangia katika mipango yako ya mwaka na taarifa mpya tafadhali kuta kalenda ya nusu mwaka (Kuanzia Januari hadi Juni 2014) ambayo inaonnyesha tarehe zenye sikuku kubwa za kitaifa na kimataifa..

3 Kituo cha Kushughulikia Taka Chaboresha Maisha Katika Shule Zilizoko Siaya Na Suleiman Okoth maji taka pale shuleni. Shule iko katika maeneo ya mabonde na hivyo ukumbwa na matatizo ya mafuriko wakati wa mvua kubwa. Kwa sasa wanafunzi wetu wako salama zaidi kutokana na ukweli kwamba kituo chetu kimewaweza kutoa chaguo zaidi ya usafi wa mazingira. Ujenzi wa kituo cha kushughurikia Taka Shuleni (picha na Suleiman Okoth ) Maeneo ambayo yako mabondeni ambayo yanakabiliwa na mafuriko ya mara kwa mara uenda yakalazimika kutumia mbinu mpya na rafiki wa mazingira kwa ajili ya kushughukikia taka za binadamu. Katika kata ya Siaya, Magharibi mwa Kenya, kituo cha kisasa chenye vyumba 14- kinachohudumia zaidi ya watu 300 kimejengwa katika shule ya msingi ya bweni ya wasichana ya Mbaga. Kituo hiki kilifunguliwa rasmi na mkurugenzi wa elimu wa kata ya Siaya, ndugu Jane A. Omogi, mwezi Novemba 9, mwaka Ujenzi wa kituo hiki ulianza mwaka 2010 lakini ukamilikaji wake ulichelewa kutokana na ukosefu wa fedha za kutosha. Umande Trust, shirika linaloshughulikia masuala ya haki ambalo linatekeleza miradi midogo ya jamii lilitoa msaada wa kiufundi wa ujenzi wa kituo hicho. Fedha nyingine zilizotolewa na chama cha Wazazi na Walimu (yaani Parents- Teacher Association-PTA), Mfuko wa Maendeleo wa Jimbo (CDF) na mchango wa wananchi wenyewe. Vituo hivi ni vituo vya usafi wa mazingira ambavyo utoa ufumbuzi wa aina mbali mbali kwa changamoto za kimazigira mbali na usafi wa mazingira ikiwa ni pamoja na baiogesi inayotokana na taka za binadamu pamoja na taka za maji maji ( maarufu kama Slurry ) ambayo inaweza kubadilishwa na kutengeza mbolea na hatimaye kupunguza gharama za mafuta na uchafu wa mazingira. Kwa sasa, shule yetu inatumia kuni kwa ajili ya kupikia lakini tunalenga kutumia baiogesi kwa ajili ya kupikia na kuwashia pindi mtambo wa kuzalishia gesi utakapokamilika hapo baadae. Kwa mujibu wa Sisita Cornelius Akinyi, mwalimu mkuu wa shule ya Msingi ya Wasichana Mbaga, wanafunzi wake hawako hatarini tena kutokana na kutumia vyoo vya shimo ambavyo uporomoka na miundo-mbinu mibaya ya Kwa sasa kituo cha biogesi ndio kituo pekee shuleni kwetu. Mfuko wa Umande umetusaidia sana katika kukamilisha ujenzi wa kituo hiki kwa kutoa vifaa vyote muhimu na pia umetusaidia katika kuhamasisha usafi wa mazingira katika shule yetu ya msingi ya wasichana. Haya ni mabadiliko makubwa sana kwani vyoo vya shimo vilivyokuwa vinatumika zamani vilikuwa hatari sana kwani vilizoea kuporomoka mara kwa mara wakati wa mvua, alisema Sisiter Akinyi. Vituo hivi vinazingatia kanuni za kampuni ya Ecosan zinazotumika katika utunzaji salama wa taka kupitia uhifadhi, usafishaji na utumiaji tena wa taka husika. Katika kituo cha Chetu, kuna mifumo ya baiogesi ya binadamu ambayo inajumuisha mtambo wa baiogesi, maarufu kama kichakachuzi (digester), vyoo, sehemu za kuogea, mirija ya kupeleka uchafu wa maji maji (Slurry), chumba cha kupanua,mfumo wa bomba wa gesi, pamoja na vifaa maalum vya kuwashia gesi. Kuhusiana na vyoo kuporomoka, vituo vya baiosenta vinajengwa tofauti na vyoo vya kawaida ambavyo vilikuwa vinatumika hapa shule siku za nyuma; hivi ni imara zaidi na vina msingi na muundo imara. Kupitia teknolojia hii mpya, shule yetu haina hofu tena juu ya kuporomoka kwa vyoo vya shimo. Ni matumaini yetu kwamba ujenzi wa kituo hiki katika shule utaongeza upatikanaji wa huduma za usafi wa mazingira kwa shule na kujenga uwezo wa shule na jamii husika za jirani katika kuandaa mipango ya uwekezaji katika usafi wa mazingira. 1

4 Upandaji miti wazidi kushamili katika Utekelezaji wa miradi ya Maendeleo Midogo Inayoendeshwa na Jamii (CDD) nchini Kenya Na Nobert Nyandire miche ya miti limeweza kudhibitiwa na vikundi vya jamii kwa kununua matenki ya maji kwa ajili ya uvunaji wa maji ya mvua. Kwa mfano, kikundi cha kujisaidia cha Wajane Pamoja kimenunua tenki la maji na kinatumia maji ya mvua yaliyovunwa kumwagilia miche ya miti. Wanachama wa Kikundi cha Kusadidiana cha Wajane Pamoja ambacho kinafadhiliwa na mpango wa Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira ya Ziwa Victoria (LVEMP II) wakiwa katika bustani yao ya vitalu vya miti (Picha na Suswatch Kenya) Utekelezaji wa miradi ya LVEMPII nchini Kenya umechangia kwa kiasi kikubwa katika kuongeza hamasa juu ya masuala kadha wa kadha ya mazingira. Kutokana na utafiti wa mwaka uliofanyika ili kufahamu mabadiliko katika maisha ya jamii, makundi mengi ya jamii yanatekeleza miradi inayoendeshwa na jamii zenyewe chini ya ufadhili walvemp II katika maeneo ya mabonde kama vile, upandaji miti, uzuiaji wa mmomonyoko wa udongo, uhifadhi wa chemichemi za maji na shughuri nyinginezo za kimanzigira. Jamii ambazo zinaishi katika bonde la ziwa hawakuwai katika siku za nyuma kuchukua hatua madhubuti za kudhibiti uharibifu wa mazingira katika maeneo ambapo wanaishi. Matokeo yake ni kwamba mvua nzito na mafuriko vimechangia kuleta mmomonyoko wa udongo ambao umeishia kupeleka udongo katika ziwa na kusababisha uchafuzi wa ziwa Victoria. mwa shughuri za makundi yaliyo mengi na hii itasaidia kuongeza uoto wa misitu katika kata hizi lakini pia kwa nchi nzima ya Kenya. Hata hivyo tatizo kubwa linaloathiri jitihada za upandaji miti ni mabadiliko ya hali ya hewa. Mvua za muda mrefu zimefanya baadhi ya maeneo kutofaa kwa ajili ya upandaji wa mbegu za miti. Mara nyingi, msimu wa mvua unafuatiwa na vipindi vya ukame ambavyo usababisha miche ya miti kunyauka. Changamoto hizi zimeathiri kwa kiasi kikubwa utekelezaji wa miradi ya vitalu vya miti. Tatizo hili la upungufu wa maji kwa ajili ya ukuaji wa Tatizo lingine linalotukabili ni muda ambao mbegu zinachukua hadi kuota anaelezea mwenyekiti wa kikunda cha Underit ndugu Barnaba Limo. Mbegu za miti zinachukua muda mrefu kuota hali ambayo inachelewesha utekelezaji wa mradi. Kikundi kingine kilikumbana na changamoto kuhusiana na umiliki wa ardhi ambapo miti ilipaswa kupandwa, hali ambayo ilichelewesha utekelezaji wa mradi. Ni muhimu kufahamu kwamba makundi yaliyo mengi yaliyoanza upandaji miti katika awamu ya kwanza ya ufadhili wa mradi huu yamefanya kazi hiyo kama mchango wa uhifadhi wa mazingira. Awamu nyingine ya ufadhili itaelekezwa katika uboreshaji wa maisha na maslahi ya jamiii kama inavyoonyeshwa kwenye mchoro hapo chini ambapo upandaji miti ndio shughuri kuu inayotumika kuhifadhi mazingira katika kanda ya kati na ya chini kando kando ya mto Nyando. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wataalamu washauri wa kampuni ya Emerald Consultants kwa niaba ya Suswatch Kenya, makundi ya jamii ambayo yamepata ufadhili kutoka LVEMP II yameweza kuanzisha vitalu vya miti na kupanda miti katika maeneo ambayo yameathiriwa sana na mmomonyoko wa udongo. Makundi haya pia yamechangia kuzifanya shule na makanisa kushiriki katika shughuri za upandaji miti kwa kuwapa mbegu za miti na kuhakikisha miti hiyo inapandwa katika shule na makanisa hayo na kutunzwa. Hii ni namna bora kabisa ya kuongeza hamasa juu ya uhifadhi wa mazingira. Kwa kata za Kisumu na Siaya ambazo zinahesabika kama kata zenye mchango mdogo sana katika kuhifadhi maji nchini Kenya kutokana na kuwa na uoto mdogo wa misitu kiasi cha asilimia 0.44, upandaji miti umeshamili sana miongoni Miradi hii ya vitalu vya miti pia imechangia katika kuboresha maisha ya wanavikundi kwani wanauza miche ya miti wanayoipanda na kuapata fedha. Pia kuna taratibu nyingine zinazofanyika ili kuvisaidia vikundi hivi viweze kuuza miche ya miti katika mashirika kama vile wakala wa huduma za misitu Kenya na hivyo kuviodolea vikundi ugumu wa kupata wateja wa miche. Makundi kama vile kikundi cha wanawake cha Kabodo Mashariki kutoka Nyakach, Kisumu, tayari yanafaidika na mradi wake wa vitalu vya miti. Kupitia mradi wa LVEMP II, kikundi hiki kiliweza kupanua shughuri zake za vitalu vya miti na kiliweza kuongeza idadi ya miche ambayo kinaotesha. Kikundi hiki kiliuza miche iliyobaki baada ya kuwapita shule katika jamii zao na hivyo wamejipatia pesa nzuri kutokana na mauzo hayo. Hela wanayoipata inatunzwa katika akaunti ya kikundi na utumika katika matumizi mengine yanayohusiana na mradi. Mradi wa LVEMP II umesaidia uboreshaji wa mazingira katika bonde lla ziwa Victoria, pamoja na kuboresha maisha ya wanajamii. 2

5 Mpango wa Ushauri na Mafunzo Wahamasisha Kujifunza Miongoni mwa jamii katika Eneo la Afrika Mashariki Na Ken Oluoch Mkulima wa Mityana akitunza kitalu cha mti jamii ya machungwa kitalu (Picha na UCSD) Florence Chemurgor kutoka katika kikundi cha kusaidiana kinachoitwa Korosiot kilichopo katika kata ya Nandi nchini Kenya, jumuiya ya wakulima wa machungwa ya Bukananga iliyopo Mityana - Uganda kama mshiriki wa mpango wa ushauri na mafunzo wa Mtandao wa Usimamizi wa Asasi za Kiraia wa LVEMP II alijifunza mambo mengi muhimu kuhusiana na usimamizi endelevu wa mazingira ambayo tayari ameanza kushirikishana na wanajamii wenzake huko Nandi, Kenya. Kama vile msemo usemavyo, mwili ukisafiri, akili nayo usafari. Anasema kwamba mpango wa kubadilishana uzoefu wa ushauri na mafunzo umemsaidia kufahamu kwamba ndizi zinaweza kupandwa pamoja na mazao mengine na hivyo kuongeza kipato kwa wakulima. Mahitaji makubwa ya chakula kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu katika kata ya Nandi kumesababisha uhitaji wa kupata mazao mseto katika uzalishaji wa chakula alifafanua zaidi. Anasisitiza kwamba yeye atawahamasisha wakulima katika kata ya Nandi ambako yeye anatokea katika kuhakikisha wanachanganya ndizi na mazao mengine ili kukabiliana na uhaba wa chakula. Japheth Babu kutoka katika kikundi cha kujisaidia cha Litei kilichopo Kericho - Kenya pia alinufaika na mpango wa kubadilishana uzoefu. Yeye alitembelea eneo la kurukia la Lambu lililoko katika wilaya ya Masaka nchini Uganda na anabainisha kwamba mpango huu wa ushauri na mafunzo ulimpa nafasi ya kukutana na watu na kubadilishana nao uzoefu,taarifa pamoja na changamoto zilizopo katika kuhakikisha maendeleo endelevu katika Bonde la Ziwa Victoria. Japhet anasema Ziara hii ya kubadilishana uzoefu imeniwezesha kuwa na mtandao na kufahamu kinachoendelea katika maeneo mengine. Nimekwisha tembelea sehemu nyingi za Masaka kama vile eneo la kurukia la Lambu na nimevutiwa na kujitolea kwao, kufanya kazi kwa bidii, mipango thabiti na matumizi ya ujuzi sahihi na ufahamu unaohitajika kuendelea kuondoa gugu maji katika ziwa Victoria na kuboresha shughuli za uvuvi, kuongeza upatikanaji wa samaki na kupanua soko kwa njia ya kuongeza thamani ili kuwawezesha watu wanaoishi katika bonde la ziwa kuongeza kipato chao kutokana na uvuvi, kupata samaki wa ziada kwa ajili ya akiba ya chakula, na kuboresha maisha yao. Mradi huu wa LVEMP II-Usimamizi wa Maendeleo Endelevu wa Asasi za Kiraia ambao unatekelezwa na mtandao wa Usimamizi wa Maendeleo Endelevu wa Africa Mashariki (EA SusWatch) unalenga Kujenga uwezo wa taasisi za mtandao kwa ajili ya upelembaji wa pamoja, uhamasishaji pamoja na majukumu ya uangalizi wa mradi wa LVEMP II pamoja na miradi mingine 3

6 Mpango wa Ushauri na Mafunzo Wahamasisha Kujifunza Miongoni mwa jamii katika Eneo la Afrika Mashariki Na Ken Oluoch katika bonde la ziwa Victoria. Ili kufikia lengo hili, mtandao wa EA Suswatch uwajengea uwezo wanachama wake kwa njia ya ziara za mafunzo kwa ajili ya ushauri na mafunzo. Mpango wa ushauri na mafunzo ujumuisha wanachama wa mtandao wa EA Suswatch ndani ya Ziwa Victoria. Mpango huu ambao ni wa kila mwaka kwa sasa uko katika mwaka wa pili, ambapo mpango wa kwanza ulifanywa mwezi Julai mwaka 2012 na ulihusisha washiriki 12 ikiwa ni wanachama 4 kutoka katik kila nchi za Kenya, Tanzania na Uganda. Mchakato wa kufundisha na maendeleo ya kujitokea Ainatoa fursa kwa ajili ya kuboresha utendaji. Ushauri kwa upande mwingine usaidia kuwafundisha wanachama wasio na uwezo kupitia wale wenye uwezo, hali ambayo usaidia katika ufahamu, kazi na hata kufikiri. Ufanisi mkubwa katika utendaji, maandalizi na mitandao ni vitu muhimu kama walivyo wafanyakazi pamoja na wanachama husika. Taasisi hizo mara nyingi uweka mkazo mkubwa juu ya sifa binafsi katika kuchagua na kuendeleza wafanyakazi na kuajiri wanachama. Hata hivyo, hii haiwezi kuja bila changamoto ambazo zinaweza kuwa ni pamoja upungufu mkubwa katika uzoefu, maarifa, mitazamo, ujuzi, matarajio, tabia, au uongozi unaoweza kuhitajika kutekeleza kazi ambazo ni muhimu sana. Kwa sasa, mifumo ya mafunzo na ushauri inaonekana kuwa njia muhafaka ya kuwawezesha watu kwa njia ya kuzungumza, kuongeza kujiamini, kujiheshimu, ufanisi, na mafanikio. Tofauti na mafunzo ya kawaida, ushauri na mafunzo huzingatia mtu husika, na sio somo, uangalia zaidi mbele kuliko kuangalia ndani; uendeleza badala ya kulazimisha ;Utafakari badala ya kuelekeza: ni endelevu- sio matukio ya mara mmoja. Kwa maneno mengine ni kwamba upelembaji na mafunzo aina ya mabadiliko ya uwezeshaji. Mpango wa Ushauri na mafunzo wa mtandao wa EA Suswatch una lengo la kuvibadilisha vikundi vya jamii kuelekea timu zenye ufanisi wa hali ya juu. Kwa hiyo mpango una lengo la kuhamasisha na kuwezesha washiriki na hivyo Kujenga dhamira yao, kuboresha utendaji kazi wao, kukuza vipaji, na kukuza mafanikio. Ushauri na mafunzo vimejitokeza kuwa vipengele muhimu usimamizi wa kisasa. Mpango huu hujijenga juu ya uwezo wa ndani uliopo ndani ya taasisi ili kuhakikisha kwamba ushauri na mafunzo vinalenga kwenye maeneo ambayo ni kivutio kwa washiriki husika, na hivyo kuhakikisha upatikanaji wa maendeleo endelevu katika bonda la ziwa Victoria. Mpango huu unalenga kuwanufaisha washiriki 18 kutoka Kenya, Tanzania na Uganda katika kipindi cha miaka 3 ya mradi wa uangalizi wa LVEMP II CS ambapo watu 6 ushiriki kila mwaka ikiwa ni sawa na watu wawili kutoka kila nchi. Mpango wa ushauri na mafunzo unalenga kuhamasisha mabadiliko na kujifunza kupitia michakato shirikishi - hasa katika ngazi ya taasisi na jamii. Mchakato pia hujijenga katika uzoefu kutoka katika mitandao husika ya kikanda ya CSOs. Kufuatia kuongezeka kwa msisitizo juu ya hatua ya pamoja ya asasi za kiraia katika nchi zote katika kuunganisha na kukabili hali ya dunia ya utandawazi, vikundi vya kijamii havina chaguo lolote zaidi ya kuongeza msisitizo katika kuwa wakufunzi na washauri kwa washirika wao kama njia ya kukabiliana na changamoto na pia kama fursa na changamoto ya sera za maendeleo. Katika siku za nyuma nguvu nyingi zimewekwa juu ya kuimarisha uwezo wa akili, maarifa na ufundi wa mashirika, kulingana na mahitaji yao, kwa ajili ya kufanikisha shughuli zao mbalimbali lakini njia hizi zimeonekana kuwa na mapungufu mengi. Kwa mfano hali ya darasani walimu uficha uzoefu halisia wa dunia ambao mashirika yote ukutana nao katika shughuri zake za kila siku na wakati mwingine utaratibu huu unaweza kuzuia ufanisi wa mafunzo pamoja na dhana muhimu husika katika kukabiliana na hali fulani fulani za kimaisha. Kanda ya Afrika Mashariki na hasa Bonde la Ziwa Victoria bado linakosa kundi kubwa la wataalamu wa ndani kwa ajili ya kushiriki katika mijadala mikubwa ya kiufundi dhidi ya wataalam wa Serikali kama vile Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) pamoja na taasisi nyingine zinazohusiana na ziwa Victoria juu ya masuala maalum ya maendeleo endelevu. Kwa kiasi fulani,hali hii inaweza kuhusishwa na uhaba wa taarifa, na mawasiliano miongoni mwa watendaji husika was CSO na hivyo ushauri na mafunzo vimekuwa na mchango mkubwa katika kuziba pengo hili na kuchochea kubadilishana habari na kukuza matendo ya mfano katika kanda. Zaidi ya hayo, bado kuna mapungufu makubwa katika ubadilishanaji wa taarifa kati ya vikundi vya jamii katika kanda na hivyo kuhathiri ubadilishanaji wa maarifa na kukuza matumizi ya matendo ya mfano. 4

7 Mradi wa LVEMPII Nchini Tanzania Umepiga Hatua Nzuri katika Utekelezaji wa Miradi Inayoendeshwa na Jamii Na Emily Arayo Pamoja na Taasisi husika Makoloni ya mizinga ya mradi wa ufugaji nyuki katika eneo la Busami nchini Tanzania (Picha na LVEMPII Tanzania ) Kamwe sio rahisi kuuhisha ardhi oevu iliyokwisha kuharibiwa na hatimaye kujenga bwawa ambalo linaweza kutoa maji ili kuweza maisha ya watu na mifugo. Hali hii ni kama vile ndoto imegeuka na kuwa kweli nchini Tanzania. Miradi inayoendeshwa na jamii (maarufu kwa kiingereza kama-community Demand Driven Projects) ambayo imefadhiliwa naprogramu ya LVEMPII nchini Tanzania ni zaidi ya mia moja na yote inaendelea vizuri na kuna viashiria vinavyoonyesha utendaji kazi mzuri wa miradi hii na manufaa yake kwa wanajamii. Mratibu wa Taifa wa Mradi huu ndugu Myanzi Omari anasema LVEMPII imekwisha pitisha miradi 176 kwa ajili ya utekelezaji nchinitanzania. kuboresha nyumba zao na wengine wamenunua ng ombe. Na pia kumekuwepo ongezeko la uzalishaji katika kilimo ambapo mavuno ya nafaka yameongezeka tokakilogramu 300kwa hekta hadi kilogramu 1000 kwa hekta. Mradi wa LVEMP II ufanya kazi kwa kushirikiana na taasisi za serikali za mitaa ambazo uhunda kikosi kazi kinachojulikana kamatimu ya wilaya ya uwezeshaji wa mradi wa LVEMP II (yaani District LVEMP II Facilitation Team -DLFT ). Kikosi kazihiki kiko chini ya mamlaka ya Serikali za Mitaa na kazi yake ni kusimamia shughuli zote za LVEMP II katika wilaya hiyo. Kikosi kazi hiki ushiriki katika michakato yote ya miradi inayoendeshwa na jamii kuanzia hatua ya uandaaji wa mradi, utekelezaji na hadi upelembaji wa mradi wenyewe. Wananchi ushirikishwa kupitia mikutano ambapo jamii hizi utambua changamoto zinazokumba juhudi za usimamizi endelevu wa ardhi pamoja na suluhisho zake. Ifuatayo ni orodha ya miradi ya CDD ambayo inatekelezwa miradi katika maeneo mbalimbali ya miradi ya LVEMPII nchini Tanzania. Miradi ya CDD inaendelea vizuri na hadi kufikia sasa miradi 19 imekwisha kamilika utendaji wake. Miradi iliyobakia mingi imekwishafikia asilimia 50 ya utendaji wake na michache michache tu bado haijaanza kutekelezwa. Viashiria ambavyo tayari vinaonekanani mabadiliko katika maisha ya wananchi ambapo baadhi yao wamejenga au Ujenzi wa mabwawa ya maji chini ya mradi wa LVEMPII - Tanzania (Picha na LVEMPII Tanzania ) 5

8 Mradi wa LVEMPII Nchini Tanzania Umepiga Hatua Nzuri katika Utekelezaji wa Miradi Inayoendeshwa na Jamii Na Emily Arayo Pamoja na Taasisi husika Orodha ya miradi CDD nchini Tanzania 1. Ukarabati walambo katika kijiji cha Shishiyu 2. Ukarabati walambo katika kijiji cha Sayusayu 3. Uvunaji wamaji ya mvua katika kijiji cha Ipililo 4. Uvunaji wa Maji ya mvua katika kijiji cha Malekano 5. Ufugaji wa Kukukatika kijiji cha Mwabujiku 6. Ufugaji wa ng ombe wa maziwa katika kijiji cha Mwabayanda 7. Ufugaji wa ng ombe wa maziwa katika kijiji cha Kizungu 8. Ufugaji wa ng ombe wa maziwa katika kijiji cha Kadoto 9. Ufugaji wa ng ombe wa maziwa katika kijiji cha Malita 10. Uboreshaji wa kilimo kwa kutumia trekta katikakijiji cha Mwashegeshi 11. Uboreshaji wa kilimo kwa kutumia trekta katika kijiji cha Mwang anda 12. Uboreshaji wa kilimo kwa kutumia trekta katika kijiji cha Mwamitumai 13. Uboreshaji wa kilimo kwa kutumia trekta huko Dodoma 14. Vitalu vya mbegu za miti huko Sola 15. Upandaji miti katika kijiji cha Mwamgoba 16. Upandaji wa miti katika kijiji cha Salama 17. Upandaji wa miti katika kijiji cha Mwagindi 18. Upandaji mti nauhifadhi wa Ngitilikatika kijiji cha Sayaka 19. Uhifadhi wa udongo na maji katika kijiji cha Lumeji 20. Ukarabati walambo katika kijiji cha Bubinza 21. Ujenzi walambokatika Kijiji cha Mwamkala 22. Uhifadhi wa udongo na maji katika kijiji cha Shigala 23. Ufugaji wa Samaki katika kijiji cha Ijinga 24. Ufugaji wa Samaki katika kijiji cha Ijitu 25. Ufugaji wa nyuki katika kijiji cha Busami 26. Ufugaji wa nyuki katika kijiji cha Mwamgoba 27. Uboreshaji wa kilimo (mashamba ya matunda) kwa kutumia trekta katika kijiji cha Lumeji 28. Uboreshaji wa kilimo (mashamba ya matunda) kwa kutumia trekta katika kijiji cha Kabale 29. Uboreshaji wa kilimo (mashamba ya matunda) kwa kutumia trekta katika kijiji cha Jisesa 30. Ufugaji wa Kuku katika kijiji cha Ihale 31. Ufugaji wa Kuku katika kijiji cha Lutale 32. Kilimo cha Kisasa - Kayenze B 33. Ufugaji wa samaki - Nyakaboja 34. Upandaji wa matunda na miti ya kuni katika kijiji cha Maligisu 35. Upandaji wa vitalu vya miti katika kijiji cha Mwabalatulu Ukarabati walambo katika kijiji cha Kadashi 37. Ukarabati walambokatika kijiji cha Nyashana 38. Usafi wa mazingira katika kijiji cha Bugandando 39. Ufugaji wa nyuki katika kijiji cha Bugandando 40. Ufugaji wa nyuki katika kijiji cha Ng wasweng hele 41. Ufugaji wa nyuki katika kijiji cha Nyanshana 42. Ufugaji wa nyuki ktika kijiji cha Icheja / Welamasonga 43. Ufugaji wa nyuki katika kijiji cha Mwabuchuma 44. Ufugaji wa Nyuki, kikundi cha Mwamafululu - Mwabuchuma 45. Kilimo cha Kisasa - Icheja 46. Kilimo cha bustani za mboga mboga katika kijiji cha Mwabulutago 47. Uzuiaji wa mmomonyoko wa udongo na kilimo cha kontua katika kijiji cha Mwashata 48. Ujenzi walambokatika Kijiji cha Mwabuma 49. Ufugaji wa nyuki katika kijiji cha Mwabuma 50. Ufugaji wa nyuki, kikundi cha Tujaribu, kijiji cha Mwakasumbi 51. Ufugaji wanyuki, Kikundi cha Tukomboe, kijiji cha Mwakasumbi 52. Ufugaji nyuki, Kikundi cha Maendeleo, kijiji cha Mwaukoli 53. Ufugajiwa ng ombe wa maziwa, Kikundi cha Mkombozi, kijiji cha Mwashata 54. Ufugaji wa ng ombe wa maziwa, Kikundi cha Majimaji, kijiji cha Mwakasumbi 55. Ufugaji wa ng ombe wa maziwa, Kikundi cha Mazingira, Mwandu Kisesa 56. Ufugajiwa ng ombe wa maziwa, Kikundi cha Mazingira Bora, kijiji cha Mwabulutago 57. Ufugajiwa ng ombe wa maziwa, Kikundi cha Tutunze Mazingira, kijiji cha Ntobo 58. Kilimo cha bustani, Kikundi cha Baluli B, Baluli 59. Kilimo cha bustani, Kikundi cha Maendeleo, kijijicha Kisesa 60. Kilimo cha bustani, Kikundi cha Malula, kijiji cha Baluli 61. Kilimo cha bustani, Kikundi cha Mwaukoli A, kijijicha Mwaukoli 62. Kilimo cha bustani, Kikundi cha Ushirika, kijiji cha Ng ang a 63. Kilimo cha bustani, Kikundi cha Kisimani, kijiji cha Baluli 64. Kilimo cha bustani, Kikundi cha Sayari, kijijicha Kisesa 65. Kilimo cha bustani, Kikundi cha Tubadilike, kijijicha Mwaukoli 66. Kilimo cha bustani, Kikundi cha Mwabulutago A, kijijicha Mwabulutago 67. Kilimo Bora cha mazao ya Chakula na biashara - Mwasengela

9 Mradi wa LVEMPII Nchini Tanzania Umepiga Hatua Nzuri katika Utekelezaji wa Miradi Inayoendeshwa na Jamii Na Emily Arayo Pamoja na Taasisi husika 68. Kilimo Bora cha mazao ya Chakula biashara - Ng hanga 69. Kilimo cha Bustani ya vitunguu, Kikundi cha Mabondeni - Kisesa 70. Uhifadhi wa maeneo ya vyanzo vya Mto Simiyu katika kijiji Ngeme 71. Uanzishaji wa vitalu vya miti na upandaji miti katika kijiji cha Ng esha 72. Uhifadhi wa eneo la vyanzo vya mto Duma katika kijiji cha Mwamabu 73. Kitalu cha miti na Upandaji wa miti, kijiji cha Gilya 74. Ufugaji nyuki, kijiji cha Madilana 75. Kitalu cha miti na Upandaji wa miti, kijiji cha Kasoli 76. Ukarabati walambo, kijiji cha Kinang weli 77. Kilimo cha bustani za mboga mboga, kijiji cha Nkololo - Itilima 78. Ufugaji nyuki, kijiji cha Isengwa 79. Ufugaji nyuki, kijiji cha Mwanhunda 80. Ufugaji nyuki, kijiji cha Ntagwasa 81. Mashine ya kusaga nafaka, kijiji cha Mkuyuni 82. Kilimo cha umwagiliaji, kijiji cha Mwakibuga 83. Uboreshaji wa kilimo kwa kutumia trekta, kijiji cha Mwamondi 84. Uboreshaji wakilimo kwa kutumia trekta, kijiji cha Ng homango 85. Kilimo Bora cha Alizeti naukamuaji wa Mafuta ya Alizeti - Kilulu 86. Kilimo cha Kisasa - Ngeme 87. Udhibiti wa Gugu maji katika Ufukwe wa Nyamkazi 88. Udhibiti wa Gugumaji katika Mto Kagera nauanzishwaji wa vitalu vya Miti- Kyaka 89. Ufugaji wa Wadudu kwa ajili ya Kudhibiti gugu maji katika ufukwe wa Chato 90. Udhibiti wagugu maji katika ufukwe wa Mlila, Chato 91. Uhifadhi mazingira katika vyanzo vya maji na ardhi oevu - Kagondo kaifo 92. Udhibiti wa gugumaji na kuanzisha kitalu cha miti - Forodhani 93. Udhibiti wa gugumaji na ufugaji wa samaki - Kifungu 94. Udhibiti wa gugumaji Mto Kagera na uanzishwaji wa vitalu vya miti - Murongo 95. Udhibiti wa gugumaji Mto Kagera na uanzishwaji wa vitalu vya miti - Kijumbura 96. Udhibiti wagugu maji katika ufukwe wa Suguti 97. Usindikaji wa Dagaa, Nyarusurya BMU 98. Uondoaji wagugu maji kutoka Ziwa Victoria, ufukwe wa Nyarusurya 99. Udhibiti wa Gugumaji na ujenzi wa choo cha kisasa - Mwalo wa Rwang enyi 100. Udhibiti wa Gugumaji na ufugaji wa samaki - Bwawa la Baraki Sisters 101. Udhibiti wa Gugumaji na ufugaji samaki - Kyamwame 102. Hifadhi ya mazalio ya samaki na ufugaji nyuki - Radienya 103. Udhibiti wa Gugumaji na ujenzi wa soko la samaki - Mugara 104. Udhibiti wa Gugumaji na ujenzi wa soko la samaki - Kisorya 105. Ukarabati ardhi oevu na ufugaji nyuki - Tamau 106. Udhibiti wa Gugumaji na kilimo bora cha nyanya - Nyabisarye 107. Ujenzi wa choo cha kisasa na kuchakata dagaa - Mtaa wa Ziwani Makoko 108. Ufugaji wa Wadudu ufugaji kwa ajili ya kudhibiti Gugu maji, ufukwe wa Nyahiti 109. Ufugaji wa Samaki na udhibiti wa Gugu maji, Mbarika BMU 110. Ufugaji wa Samaki, Nyahiti BMU katika kijiji Mwajombo 111. Udhibiti wa Gugumaji na ufugaji mseto wa samaki - Ilalambogo 112. Udhibiti wa Gugumaji na ufugaji mseto wa samaki - Isesa 113. Udibiti wa Gugumaji na ufugaji mseto wa samaki - Mwalogwabagole 114. Uzalishaji wa Vifaranga vya Samaki - Mwalogwabagole 115. Ujenzi wa choo cha kisasa, udhibiti wa gugumaji na kuchakata dagaa - Mwalo wa Igalagala 116. Udhibiti wa Gugumaji na uchakataji wa dagaa - Sweya 117. Udhibiti wa Gugumaji na ujenzi wa choo cha kisasa - Kirumba Kati 118. Uopoaji Gugumaji na uvuvi endelevu - Katunguru 119. Uopoaji Gugumaji na uvuvi endelevu - Buyagu 120. Uopoaji Gugumaji na uvuvi endelevu - Karumo 121. Ufugaji wa samaki - Bugula 122. Uhifadhi mazingira na uchakataji wa dagaa - Mwalo wa Kamasi, Izinga 123. Upandaji miti na uhifadhi wa Ngitili, kijiji cha Sayaka 124. Uanzishaji vitalu vya miti, kijiji cha Kalemela 125. Kilimo cha bustani, Kikundi cha Azimio, kijiji cha Kisesa 126. Udhibiti Gugumaji na kilimo cha kisasa - Bugwema 127. Upandaji wa miti na Nyuki - Malili 128. Ufugaji Nyuki - Sanga 129. Udhibiti wa Gugu maji na ujenzi wa vyoo - Lamadi 130. Ufugaji Nyuki - Ngogote 131. Ufugaji Nyuki - Sanungu 132. Kilimo cha maua (bustani ya mboga) - Gilya 7

10 Mradi wa LVEMPII Nchini Tanzania Umepiga Hatua Nzuri katika Utekelezaji wa Miradi Inayoendeshwa na Jamii Na Emily Arayo Pamoja na Taasisi husika 133. Kilimo Bora- Gambosi 134. Ufugaji Nyuki - Gibeshi 135. Uanzishaji wa bustani za Maua - Ipililo 136. Ufugaji Nyuki - Inenwa 137. Uanzishaji wa bustani za Maua - Malita 138. Uanzishaji wa bustani za Maua na samaki - Mwabujiku 139. Uanzishaji wa bustani za Maua - Changambuli 140. Umwagiliaji wa bustani za Maua - Jija 141. Uanzishaji wa bustani za Maua (bustani ya mboga) - Jija 142. Ufugaji Nyuki - Ipililo 143. Ufugaji Nyuki nauzalishji Alizeti - Bugandando 144. Ufugaji Nyuki na Uzalishji Alizeti - Maligisu 145. Ufugaji nyuki na Uzalishaji maua - Gukwa 146. Ufugaji Samaki na Nyuki - Mwagimagi 147. Kilimo na ufugaji jumuishi wa samaki, nyuki na kuku - Nyang homango 148. Kilimo cha Kontua- Chole 149. Utunzaji wa Matabaka - Mwogobero 150. Uchakataji Samaki ( Dagaa na Furu ) katika ufukwe wa Chato 151. Uhifadhi wa mazalio ya samaki na ufugaji wa kuku - Muungano 152. Uhifadhi wa mazalio ya samaki na ufugaji wa samaki- Nyamirembe 153. Udhibiti wa Gugu maji na upandaji wa miti - Chitare 154. Ufugaji Nyuki - Nyabange 155. Ufugaji Nyuki - Mwasengela 156. Udhibiti wa Gugu maji katika ghuba ya Rubafu na ufugaji wa kuku - Rubafu ( Ushirikiano ) 157. Uhifadhi wa maeneo ya mazalio ya samaki na uhuishaji wa ardhioevu - Kinesi 158. Uhifadhi wa maeneo ya mazalio ya samaki na upandaji miti - Baraki 159. v - BWASA 160. Uhifadhi wa maeneo ya mazalio ya samaki na ufugaji wa nyuki- Nantare (Bukimwi ) 161. Ujenzi wa vyoo na bafu Kituo cha kurukia cha Malelema( Chifule ) 162. Udhibiti wa Gugu maji na Uhuishaji wa ardhi oevu - Nyatwali 163. Udhibiti wa Gugu maji Bwawa la Kisangwa 164. Udhibiti wa Gugu maji Bwawa la Kibainja 165. Udhibiti wa Gugu maji na uboreshaji sehemu ya kurukia - Kaishebo ( Bushago ) 166. Udhibiti wa Gugu maji na usindikaji Dagaa - Kabindi ( Kashenye ) 167. Udhibiti wa Gugu maji na Ufugaji Nyuki - Kafunjo 168. Udhibiti wa Gugu maji na Upandaji miti - Kitoma 169. Uhifadhi wa ardhi oevu na sehemu ya Kurukia- Kasisa 170. Udhibiti wa Gugu maji na ufugaji Nyuki - Nyakaliro 171. Uhifadhi wa sehemu za mazalio yasamaki Ufukwe wa Nungwe 172. Uhifadhi wa sehemu za mazalio ya samaki, ufukwe wa Kasamwa 173. Marejesho ya uoto wa asili katika Ziwa Victoria na usindikaji wa dagaa- Rwazi 174. Marejesho ya uoto wa asili katika Ziwa Victoria na ufugaji wa samaki - Kihunge ( Ushikiano ) 175. Ujenzi wa vyoo na bafu Eneo la kurukia la Bezi 176. Ujenzi wa vyoo Bango la miradi midogo midogo ya LVEMP II nchini Tanzania (Picha na UCSD) 8

11 Kikundi cha Kusaidiana cha Litei Chanufaika na Miradi Midogo ya LVEMPII inayoendehwa na Jamii By Velma Oseko Takribani kilomta 50 kutoka mjini Kisumu kuna Kata ya Nandi ambayo imebarikiwa kuwa na ardhi yenye rutuba kwa ajili ya kilimo na hali ya hewa ya baridi kwa mwaka mzima. Kata hii ndio chanzo cha mito kadhaa ambayo inamwaga maji yake katika ziwa Victoria. Kikundi hiki cha Litei ambacho ni- asasi ya kijamii kiko katika kijiji cha Kaptebengwo, Nandi Kusini. Kikundi hiko ni moja ya vikundi vya jamii ambayo vilifaidika na fedha za miradi midogo inayoendeshwa na jamii chini ya ufadhli wa LVEMPII. Kikundi hiki kilianzishwa mwaka 2003 kwa ajili ya kushughulikia masuala ya mazingira na afya, kama vile kupunguza umaskini ndani ya jamii yake. Litei ni mojawapo ya makundi ya mwanzo kabisa yalilyofadhiliwa na mradi wa LVEMP II wakati wa utoaji wa kwanza wa fedha kwa vikundi vya jamii nchini Kenya. Kwa kutumia fedha za mradi wa LVEMP II, kikundi hiki kimeanzisha vikundi vingine vya mradi miradi midogo katika ulinzi wa chemichemi za maji, uvunaji wa maji ya mvua na uboreshaji wa mifugo kupitia kukutanisha mbegu za mifugo husika. Kikundi hiki hadi sasa kimekwisha kuhifadhi enero lenye ukubwa wa takribani mita za mraba 400 kando kando ya mto Chebanganga ambayo ni chanzo kikuu cha maji kwa ajili ya jamii inayoishi maeneo hayo; kimejenga matenki ya mita za ujazo wa 950 kwa ajili ya kuhifadhi maji; kimejengea pampu ya hydroliki; kimelaza mabomba kwa ajili ya kusambaza maji kwa jamii nzima na kupanda miche ya miti 1000 kando kando ya kingo za mto ili kuzuia shughuli za kilimo. Pia miti inatarajiwa kuongeza kiwango cha maji katika mkondo. Kikundi kinajivunia mafanikio ikiwa ni pamoja na mafanikio ya ujenzi wa matenki ya kukusanya na kuhifadhi maji, ujenzi wa mtambo wa pampu ya hydroliki, na kuzipatia kaya 50 maji kati ya kaya 200 ambazo zimekusudiwa. Na pia kikundi hiki kimekwisha panda miche ya miti 1000 kando kando ya mkondo wa Chebang ang a. Changamoto Mahitaji makubwa ya maji yanahitaji ongezeko la ukubwa wa tanki lakini kwa bahati mbaya kikundi hakina uwezo wa kifedha wa tenki kubwa. Pampu ya hydroliki inasukuma maji kidogo mno na hivyo kushindwa kujaza tenki ndani ya muda unaotakiwa. Mhandisi wa maji wa wilaya aliwashauri wanunue pampu ya umeme lakini kwa bahati mbaya zaidi kikundi hakiwezi kulipia gharana za kufunga umeme kwa vile wanachama walio wengi wanatoka katika familia masikini. Utaratibu wa kuripoti kwa mfadhili (yaani LVEMP II): Inatakiwa kuwasilisha nyaraka nyingi na pale inapokosekana nyaraka moja tu ripoti nzima inakataliwa. Kuripoti pia kunahitaji ziambatanishwe picha na endapo picha zitakosekana basi hii nayo uleta matatizo. Katika fedha ya mradi hakuna bajeti kwa ajili ya gharama za utawala na hii imeleta changamoto kweli katika utekelezaji wa mradi. Kikundi kililazimika kufungua akaunti ya benki na kulipa gharama zote husika kutoka kwenye fedha zao binafsi kwani fedha za mradi haziwezi kutumika kulipia gharama hizo. Mradi alichukua muda mrefu kuanza sababu ikiwa ni kwamba wadau mbali mbali walihitaji kushirikishwa, mfano, wanajamii, mafundi, maafisa wa LVEMP II na wajumbe wa kikundi. Mipango ya Mbeleni Kikundi kimekamilisha vyema awamu ya kwanza na ya pili ya miradi ya CDD, kilichobakia kwa sasa ni kuboresha mifugo yao kwa kuanzisha upandikizaji wa kisasa na pia kuanzishwa kwa mbuzi wa maziwa katika jumuiya yao katika Kaptebengwo. Kikundi kinatarajia kupata msaada wa kifedha ili kutekeleza mradi yake kama vile mradi wa baiogesi kwa vile wana mifugo kwa ajili ya kuzalisha kinyesi; kujenga vitengo maziwa; kununua mbuzi wa maziwa kwa ajili ya kuboresha maisha ya jamii na pia mradi wa nishati ya jua kwa vile matumizi ya nishati ya jua bado yako chini sana katika kata ya Nandi. Wanajamii wa wakichota maji katika chami chemi mojawapo iliyohifahifadhiwa kupitia ufadhili wa - LVEMP II ma kikundi cha kujitegemea cha Litei (Picha na Suswatch Kenya) 9

12 UtumiajiwaTakatakaza Plastiki Wilayani Masaka: Mfanowa Mradi Unaoendeshwana Jamiia mbao umefanikiwa Bila msaada wa Fedha za LVEMP II Na David Mwayafu Mradi wa Takataka za Plastiki kwa Uchumi wa Kifedha (WAPEWE) wilayani Masaka nchini Uganda umeibuka kuwa chachu ya mapato ya kiuchumi na ajira kwa watu wenye ulemavu na pia kama namna ya kuhifadhi mazingira. Mradi umejikita katika taratibu shirikishi ili kuboresha utendaji kazi na kukuza uzalishaji wa kikundi cha Umoja wa Watu wenye Ulemavu wilayani Masaka (MADIPU), ambacho ni moja ya asasi za kijamii. Mradi wa WAPEWE ukusanya takataka za plastiki na kuzitumia tena katika manisipaa ya Masaka na jamii za jirani katika maeneo ya Kyanamukaka, Kyasiga, Bukakata, Mukungwe. Wananchi wameukubali mradi na kuusaidia kwa kujitolea aneo ambako mradi huu unafanyikia. Mji wa Masaka, kama ilivyo miji mingine inayozunguka ziwa Victoria, unakabiliwa na changamoto ya usimamizi wa taka. Inakadiliwa kwamba katika mji wa Masaka peke yake zaidi ya chupa 900,000 za maji zinatupwa kwa siku kutoka mahotelini, kwenye migahawa, vilabu vya pombe, magari yanayopita barabarani, majumbani, mashuleni na mahospitalini, na takribani chupa 9 kati ya 10 zinaishia katika madampo na 10 Wanachama wa WAPEWE Wakiwa Katika kituo cha Kukusanyia (Picha na UCSD) ardhi oevu ya mto Namajjuzi, ambao ni sehemu ya RAMSAR na unaingiza maji yake ziwa Victoria. Mradi ulipitishwa na LVEMP II kama mradi muhimu wa kimkakati, ambao ulikuwa upate ufadhili mwaka 2011 lakini kwa bahati mbaya fedha hizo hazikufika tangu mwaka huo. Mbali uchelewaji wa fedha hizo kutoka LVEMP II, mradi ulipata fedha mbadala kutoka kampuni ya chupa ya Century (Coca-Cola) ambayo imefadhili ujenzi wa ghala la kuhifadhia taka, manunuzi ya baiskeli 5, vifaa vya kujengea uzio, mizani ya kupima uzito, bango na vifaa vya kujikinga (kama vile viatu na glovu za mikononi). Kwa upande mwingine, manispaa ya Masaka ilitenga ardhi kama sehemu ya kukusanyia takataka. Mradi unalenga kuwa kitovu katika kuokoa na kuhifadhi mazingira ya Masaka kwa kukusanya,kuchambua, na kusambaza tena plastiki zote ili zitumiwe tena. Malengo ya mradi ni kuleta ajira za moja kwa moja na zile zisizo za moja kwa moja kwa watu wenye ulemavu pamoja na familia zao kupitia ukusanyaji, usafirishaji,uchambuaji, usafishaji na uchakataji wa taka za plastiki na kuongeza thamani ili kutoka kwenye hali ya taka za plastiki na kwenda kwenye plasticki zilizothibitishwa kwa ajili ya kutumiwa tena na hivyo kupata soko la kidunia. Mradi pia unalenga kudumisha usafi wa mazingira, na kuhimarisha uwezo wa MADIPU katika kuratibu na kutathimini maendeleo ya mradi. Kukuza uwezo wa serikali za mitaa katika ubia na sekta binafsi, hasa kwa kuzihusisha sekta binafsi zisizo rasmi sana ni mojawapo ya faida za mradi huu. Tangazo katika kituo cha kukusanyia plastiki (Picha na UCSD)

13 Burundi Yaunga Mkono Jitihada za Kuhifadhi Mifumoikolojia ya Ziwa Rweru Na Gilbert Ngendahabona Maafisa wa LVEMP II nchini Burundi. Na kwa nyuma ni Ziwa Rweru Picha na LVEMP II Burundi) Nchini Burundi, uhifadhi wa Ziwa Rweru ni miongoni mwa vipaumbele vya awamu ya pili ya progaramu ya Kuhifadhi Mazingira ya Ziwa Victoria (LVEMPII). Kwa sasa Ziwa Rweru linatishiwa vikali na shughuri za binadamu ndani ya ziwa na kutoka katika maeneo yanayozunguka ziwa hilo. Shughuri haribifu zaidi ni zile za kilimo kando kando ya ziwa pamoja na uvuvi haramu ndani ya ziwa. Katika Ukanda wa Bugesera ambao ni sehemu ya mfumo ikolojia wa ziwa Rweru,wananchi wanakabiliwa na athari za mabadiliko ya tabia nchi kama vile kuongezeka kwa vipindi vya ukame ambao unawalazimisha kutafuta ardhi kwa ajili ya kilimo karibu na vyanzo vya maji na hivyo kusababisha uharibifu fukwe za ziwa Rweru. Wanalima mazao ya mboga, nafaka, na viazi ambavyo haviwezi kulimwa kwenye maeneo ya milimani wakati wa kiangazi. Mikutano ya LVEMP II ya uhamasishaji wa jamii (Picha na LVEMPII Burundi) 11

14 Burundi Yaunga Mkono Jitihada za Kuhifadhi Mifumoikolojia ya Ziwa Rweru Na Gilbert Ngendahabona Mashamba yakiwa jirani kabisa na Ziwa Rweru kabla ya shughuri za LVEMP II (Picha na LVEMPII Burundi) Mradi wa LVEMP II nchini Burundi unazishawishi jamii hizi kuhifadhi fukwe za ziwa pamoja na maeneo yanayozunguka fukwe hizi kupitia shughuri za uhamasishaji. Eneo ambalo programu ya LVEMPII inalenga kulihifadhi kuzunguka ziwa Rweru lina urefu wa kilomita 32. Kulingana na tamko juu maji lililotolewa nchini Burundi mwezi Machi, 2012 eneo la hifadhi litaongezwa hadi kufikia mita hamsini. Kwa kipindi cha mwaka 2013, programu ya LVEMPII nchini Burundi ilichagua eneo la kilomita 160 km ² kuzunguka ziwa kwa ajili ya majaribio ya shughuri za uhifadhi huko Gatare na Nyagisozi. Maeneo ambayo yatatumika kwa ajili ya majaribio yako katika jumuiya ya Busoni. Lengo ni kuanzisha eneo la kinga (buffer zone) ili kuzuia kilimo ktika fukwe za ziwa Rweru. Upandaji wa miti na majani ndio zishughuri zinazotarajiwa katika eneo hili. Katika kuanza mradi huu, LVEMPII iliandaa mikutano kwa ajili ya kuhamasisha serikali za mitaa na jamii kuzunguka ziwa Rweru. Mikutano hii ilisaidia LVEMPII kufahamu kwamba wananchi watakuwa na mchango mkubwa katika utekelezaji wa shughuri mbali mbali zinazohusiana na uhifadhi wa ziwa. Na kwa sababu hiyo, LVEMPII iliahidi kuwasaidia wananchi hao katika kupata vifaa muhimu kwa ajili ya utekelezaji wa shughuri za upandaji miti na nyasi kama vizuizi vya fukwe. Mradi pia utafadhili shughuri za kupunguza kuenea kwa magugu maji katika ziwa hili na kupambana uvuvi harama. Programu ya LVEMPII pia inawashawishi wavuvi kujiunga katika vikundi ili wanufaike na mradi. Uhifadhi wa maeneo ya kinga ya ziwa Rweru na udhibiti na ufuatiliaji wa usambaaji wa magugu maji ni miongoni mwa shughuri za haraka ambazo zimepangwa kutekelezwa na are program ya LVEMPII ya Burundi. Vipengele vya tamko la maji vinatoa mwongozo juu ya kuheshimu na kuhifadhi kingo za mito na maeneo ya kinga ya maziwa nchini Burundi. Lengo ni kuanzisha eneo la kinga lenye urefu wa mita 50 kutoka ziwani. Shughuri zenyewe zitatekelezwa na jamii inayozunguka ziwa chini ya usimamizi wa viongozi wa utawala na wataalamu wa taasisi katika kanda. Wakati wa mikutano ya hamasa iliyoandaliwa katika kanda kuzunguka ziwa Rweru, walengwa wameshirikishwa katika utambuzi wa maeneo ya miradi pamoja na kupanga shughuri zitakazotekelezwa katika kila eneo. Walengwa wameukaribisha mradi na wamehaidi kushiriki katika shughuri zote zilizopangwa. Mikutano ya uhamasishaji katika maeneo ya Nyagisozi na Gatare (Kirundo) imetoa fursa ya kujifunza kuhusu wakulima katika maeneo ya kinga ya ziwa Rweru. Kupitia makubaliano ya hiari, wakulima wametambua kwamba shughuri za kilimo katika eneo hili ni kikwazo katika uhifadhi wa bioanuai katika ziwa Rweru. Wamekubali kuachana na eneo la kinga na kuonda miti ya miwese ambayo walipanda siku za nyuma kabla ya kuelewa kwamba miti hii inanyonya kiasi kikubwa sana cha maji pale inapopandwa karibu na ziwa. 12

15 Wananchi Wanaoshiriki katika programu ya LVEMP II nchini Rwanda Wawezeshwa Mbinu za Kusimamia Rasilimali Mtambuka za maji Emily Arayo na Taasisi husika Kuuhisha na kutunza hifadhi za maji katika maeneo ya ziwa Victoria kunaweza kufikilika kama wajibu wa nchi za Kenya, Tanzania na Uganda kwa sababu nchi hizi ndizo zinazomiliki ufukwe wa ziwa Victoria. Mto Akagera umwaga maji yake moja kwa moja katika ziwa Victoria wakati ziwa Rweru linamilikiwa kwa pamoja na nchi za Rwanda na Burundi; hali ambayo ufanya maeneo hifadhi ya maji mtambuka kuwa yameunganika ndani ya ziwa Victoria. Programu ya LVEMP II nchini Rwanda inatekeleza mradi mdogo wa kuuhisha ardhi oevu ya Rweru-Akagera. Ili kuhakikisha umiliki, mradi ulianza na hatua ya kusaini mkataba wa makubaliano na wadau wa wilaya za Bugesera na Ngoma ambazo zote zinatumia ziwa Rweru. Utekelezaji wa miradi shirikishi katika wilaya za Bugesera na Ngoma kwa ajili ya kuhuisha fukwe za ziwa na ardhi oevu ulianza mwezi wa tatu mwaka Shughuli hizi zinatekelezwa na jamii kupitia kamati za jamii zilizoanzishwa na LVEMP II. Asilimia hamsini ya bajeti nzima ambayo ni takribani Franc za Rwanda 149,844,320 Rwanda kwa ajili ya Ngoma na Franc za Rwanda 49,789,750 kwa ajili ya Bugesera zilitolewa kwa kamati za jamii husika. Kwa leo hekta 155 za ardhi zimetengwa, hekta 70 za magugu maji zimeondolewa kutoka ziwani na kwenye ardhi oevu. Magugu maji yaliyoondolewa yanarundikwa kwa ajili ya kuboresha rutuba ya udongo wa wanajamii. Utengenezaji wa vitalu vya miti nao umeanza. Miche ya miti 600,000 ilikuwa tayari kwa ajili ya kupanda mwezi Novemba mwaka Mradi pia unaendesha kampeni nzito za uhamasishaji na ushawishi miongoni mwa jamii zinazozungula maeneo ya uhifadhi wa maji katika bonde la ziwa Victoria nchini Rwanda. Kutokana na mkopo wenye thamani ya pauni million 15 kwa kipindi cha miaka 7 (2011 to 2017), shughuli za programu ya LVEMP II zinatekelezwa katika wilaya 13. Ziara za usaidizi wa utekelezaji wa mradi zinashauri kwamba msisitizo wa ziada uwekwe katika kuanzisha shughuri za urejeshaji wa fukwe za ziwa. Kuanzia mwezi Julai mwaka 2012 hadi mwezi Octoba 2013, shughuri kadhaa zilitekelezwa chini ya vipengele vinne vikiwemo kuborehsa uwezo wa taasisi wa kusimamia rasilimali mtambuka za maji na samaki, na uratibu na usimamizi wa mradi. Mipango ya kuhifadhi vyanzo vya maji iko kwenye mchakato kwa ajili Afisa Maendeleo wa Wilaya katika Usimamizi wa Ardhi, Umwagiliaji na Uvunaji wa Maji ya Mvua (LWH) Akielezea juu ya Shughuri hizo kwenye Mkutano wa Kamati ya Jamii Kutoka katika Sekta ya Jarama, wilaya ya Ngoma Wakati wa Ziara ya Mafunzo iliyoandaliwa Program ya LVEMPII (Picha na LVEMP II Rwanda) 13

16 Wananchi Wanaoshiriki katika programu ya LVEMP II nchini Rwanda Wawezeshwa Mbinu za Kusimamia Rasilimali Mtambuka za maji Emily Arayo na Taasisi husika ya kutengeneza mipango midogo ya mfumo wa ardhi oevu ya Gikondo na Nyabugogo, ambapo hekta 42 za matuta ya mkingamo yaliazishwa katika vyanzo vya maii katika ziwa Rweru, sekta ya Jarama na wilaya ya Ngoma. Uandaaji wa miradi shirikishi mingine saba kwa ajili kuhuisha maeneo ya hifadhi ya maji ya Nyabarongo,Karongi, Nyamagabe, Huye, Muhanga, Kamonyi, Gakenke na Rulindo iliandaliwa kwa kushirikiana na viongozi wa serikali za mitaa na wanajamii wenyewe ambapo utekelezaji wake bado uko kwenye hatua za awali kabisa. Sambamba na vigezo vya APL II ya LVEMP II juu ya ushirikishwaji na uhusishwaji wa jamii katika shughuli za mradi, viongozi na jamii za Bugesera na Ngoma walifundishwa juu ya: sharia za uhifadhi wa mazingira nchini Rwanda ( No 04/2015 of 08/04/2005); Sheria juu ya uanzishaji uandaaji na ufanyaji kazi wa vyama ya ushirika nchini Rwanda ( No 50/2007 of 18/09/2007); na ziara mbili za kimasomo ziliandaliwa kwa wawakilishi wa jamii za Kayonza na Rwamagana kushuhudia mafanikio ya bidii za dhati za matumizi ya matuta ya mkingamo katika kuhifadhi fukwe. Jumla ya viongozi 66 pamoja na wawakilshi wa jamii walifundishwa na 45 viongozi 45 na wawakilishi wa jamii walishiriki katika ziara ya mafunzo. Mpango huu wa Kujenga uwezo ulijikita katika wilaya za Bugesera na Ngoma pekee ambako ndiko mradi ulikoanzia kutekeleza shughuri za uhifadhi wa maeneo ya vyanzo vya maji na shughuri muambata. Na mpango mkuu wa usafi wa mazingira kwa ajili ya wilaya za Huye, Muhanga na Rwamagana umekwishaandaliwa na tafiti za awali, maandalizi ya kina ya tathimini za mazingira yamakwisha fanyika. Tathimini ya mfumo taka wa pamoja katika wilaya za Kicukiro, Gasabo, Muhanga, Huye na Musanze imekwisha fanyika na tathimini pamoja na mipango ya kudhibiti uchafuzi wa maji kwa wilaya 5 za Huye, Muhanga, Gasabo, Kicukiro na Musanze zimekwishafanyika kama sehemu ya kipengele juu ya udhibiti wa vyanzo vya uchafuzi wa maji. Uhamasishaji wa matumizi ya teknolojia za kisasa na rafiki wa mazingira umewezesha viwanda viwanda 72 kupima na kuchambua taka kutoka kwenye shughuri zao za uzalishaji; na uchambuzi wa mwisho kwa kutumia GIS wa viwango vya uchafu wa maji kutokana na viwanda ulitarajiwa kuwa umepatikana kabla ya mwisho wa mwaka Baada ya kuanzia katika awamu ya pili ya programu ya LVEMP II - APL 2, Rwanda inajifunza kutoka kwa washirika wake ambao ni Kenya, Tanzania na Uganda ambao wanatekeleza APL1 za mradi huo huo wa LVEMP II. Uzoefu ambao unajivuniwa ni pamoja na upandaji miti katika vyanzo vya maji vya bonde la ziwa Victoria, Uzalishaji wa miche ya miti, uanzishaji wa matuta ya mkingamo (terraces), uhamasishaji wa jamii juu mradi wa LVEMP II pamoja na kuanzisha mifumo mizuri ya tathimini na upelembaji. Kwenye mradi wa upandaji miti, LVEMP II imeanzisha utaratibu wa kuzalisha miche kwa ajili ya kupanda kwenye bustani za miti kwenye miteremko mikali ambako mito mingi nchini Rwanda upita chini yake. Shughuri hizi zinafanywa na wakandalasi wa vitalu vya miti ambao wanakodishwa na mradi. Kupitia mradi huu, LVEMP II pia utoa elimu ya mafunzo kwa makundi juu ya uanzishaji wa vitalu vya miti na utunzaji wake. Kabla ya kazi ya vitalu kuanza, mradi ununua miche toka kwa wanachama wa vikundi na kuwagawia jamii. Jamii za miti inayopandwa ni pamoja na Mgrevillea, Kahawa (Robusta), Mkaratusi jamii ya saligna na Mcalliandra spp. Pia uhamasishaji wa jamii na usambazaji wa taarifa ni baadhi ya vitu vya kujifunza kutoka katika nchi zote tatu. Warsha zimeandaliwa na kufanyika kwa viongozi wa wilaya zote kwa ajili ya wataalamu na wanasiasa wa wilaya 13 ambako mradi wa LVEMP II unatekelezwa. Kwa sababu hii kuna ushiriki mkubwa wa wadau katika wilaya. Wawakilishi 300 wa jamii walifundishwa juu ya usimamizi shirikishi wa wadudu na hii imesaidia sana kwani kwa sasa kuna mashamba 9 ya majaribio, manne yako Bugesera na matano yako Ngoma. Kwa sasa mradi umewanufaisha watu wapatao 1,878 ambapo asilimia 35 na asilimia 65 ni wanaume. Binadamu na mifugo wakigawana rasilimali ya maji (Picha na UCSD) 14

17 Vituo vya Uzalishaji wa Kisasa Kuzuia Uchafuzi wa Ziwa Victoria Teknolojia bora za Uzalishaji ni sehemu ya Programu ya LVEMPII, ambayo inafanyika kupitia Wizara za Viwanda katika Nchi za Kenya, Tanzania na Uganda. Ndugu Francis Kagolo Alifanya mahojiano na Bwana Silver Sebaggala ambaye ni mkuu wa kitengo cha Uzalishaji wa Kisasa cha Uganda (UCPC). Zifuatazo ni sehemu za Mahojiano hayo Bwana Silver Sebaggala Q. Ni nini Wajibu wa Kituo cha Uzalishaji wa Kisasa Katika Kupunguza Uchafuzi wa Ziwa Victoria? Uzalishaji wa kisasa unahusisha matumizi endelevu ya mkakati jumuishi na kingifu ya mazingira katika michakato, mazao na huduma ili kuongeza ufanisi wa jumla na kupunguza uharibifu na madhara kwa binadamu na mazingira. Hii upelekea ongezeko la jumla la ufanisi, hasa katika matumizi ya malighafi na nishati, na hivyo kupunguza uzalishaji wa takataka pamoja na madhara ya kimazingira yanayotokana na taka hizo. Mwisho wa siku hali hii uchangia katika kupunguza uchafuzi katika ziwa Victoria. Q. Ni Namna Gani Uzalishaji wa Kisasa Umejumuishwa Kwenye Mradi wa LVEMP II? Katika mradi wa LVEMP II, Uzalishaji wa Kisasa unashughurikiwa na kipengere 2.2 ambacho kinashughurikia maswala ya uhamasishaji wa matumizi ya teknolojia za kisasa katika uzalishaji kwenye viwanda na makampuni. Kipengele hiki kimeandaliwa mahususi kwa ajili ya kushughurikia changamoto za uchafuzi wa maji kutokana na viwanda pamoja na mifumo ya matumizi ya malighafi ambayo sio endelevu ndani ya bonde la ziwa Victoria. Kwa sababu hii matumizi ya teknolojia na mbinu za uzalishaji wa kisasa zinachangia katika kukuza ushindani wa kibiashara kwa kuhamasisha upunguzaji wa takataka na madhara hasi pamoja na kuongeza matumizi mazuri ya malighafi za maji na matumizi ya nishati. Q. Kama Sehemu ya Program ya LVEMPII Katika Kanda, ni Mafanikio Gani ambayo Umekwisha Kuyapata hadi leo na ni Kitu Gani ambacho unaweza kujifunia kama Mchango Wako katika Kuokoa Ziwa Victoria? Maendeleo ya utekelezaji yameonyesha kwamba biashara katika bonde la Ziwa Victoria zinayo nafasi kubwa ya kupunguza uchafuzi wa Ziwa. Idadi kubwa ya changamoto zimekwisha shughurikiwa ikiwa ni pamoja na: Jumla ya viwanda 158 vimekwisha fanyiwa tathimini na kupangwa katika sekta 28 abazo kati yake, sekta 12 zimechaguliwa kwa ajili ya mpango matumizi bora ya malighafi na uzalishji wa kisasa (yaani Cleaner Production-RECPi ntervention). Sekta hizi ni pamoja na Sukali, Chai, Samaki,, vinywaji vigumu, Vinywaji raini, ufugaji wa maziwa, uchakataji chakula, Nguo, Kiwanda cha mbao, Petroli, ngozi (tanneries) na hoteli. Uhamasishaji umefanyika kwa wakuu wa makampuni pamoja na wana viwanda kwa njia za mafunzo na warsha katika ngazi ya biashara. Zaidi ya wafanyakazi 250 wa kiufundi kutoka makumpuni 75 wameweza kufundishwa kama sehemu ya Kujenga uwezo ndani ya makampuni. Marejeo ya Kanda kwa sekta maalumu juu ya Matumizi bora na Uzalishaji wa Kisasa yameandaliwa kwa Sekta 5. Marejeo haya ni kwa ajili ya sekta za Sukari, Chai, Samaki, Ufagaji wa Maziwa na Nguo. Hata hivyo bado kuna upungufu: tunahitaji kutengeneza marejeo mengine 7 kwa ajili ya sekta 12 zilizotambuliwa. Jumla ya tathimini 24 ndani ya viwanda zimekwisha fanyika ambapo masuala zaidi ya 638 ambayo yanapaswa kufanyika ili kuongeza ufanisi yalitambuliwa. Kati ya mambo yaliyotambuliwa, usafi wa kiwanda ulipata asilimia 57.8, mabadiliko ya technolojia yalipata asilimia 6.1, kutumia vitu ambavyo vishatumika kulipata asilimia 1.6, kubadilisha dhana za kazi kulipata asilimia 27.4, udhibiti wa uchakataji ulipata asilimia 0.5 na kubadilisha malighafi kulipata asilimia 6.6. Jumla ya gharama inayohitajika ili kutekeleza mambo yaliyotambuliwa ni takribani dola za kimarekani milioni 2,373,783 ambazo zingepelekea kuokoa zaidi ya dola za kimarekani mil 3,465,402 kwa mwaka. 15

18 Vituo vya Uzalishaji wa Kisasa Kuzuia Uchafuzi wa Ziwa Victoria Kumekuwepo na usambazaji wa matokeo mazuri yanahusiana na utekelezaji wa mradi kwa kuvitambua viwanda ama makampuni ambayo yamefanya vizuri kupitia zawadi ya RECP. Jumla ya makampuni/viwanda 10 vilishiriki katika zawadi za RECP. i. Kwa mujibu wa matokea ambayo tumekwisha kuyapata hadi sasa, baadhi ya makampuni tayari yamekwisha kupata matokeo bora kutokana na utekelezaji wa njia mbali mbali ambazo zilitambuliwa wakati wa tathimini.kwa mfano, Kiwanda cha Sukari cha Kakira kimepunguza uchafu wake wa kibiolojia kwenye maji kwa kaisi cha asilimia 74, na takataka za kemikali kwa asilimia 79. Na matumizi ya maji yamepungua kutoka mita za ujazo10000m hadi 5000 m kwa mwaka kwa siku, hii ikiwakilisha upungufu wa asilimia 50 ambapo lengo ni kupunguza mita za ujazo ii. Kumekuwepo na upungufu mkubwa wa viwango vya BOD na COD kutoka kwenye viwanda vya ngozi vya Uganda,ambapo kwa sasa BOD ni asilimia 47 na COD ni asilimia 37. Matumizi ya maji yamepunguzwa kutoka mita za ujazo 600m/day hadi 200 /kwa siku (mfano masaa 24Hrs) kiwango ambacho ni sawa na punguzo la asilimia Vile vile, kiwango cha kutoa uchafu kimepungua kwa kiasi cha asilimia 30 ya mita za ujazo 196 zinazalishwa kama takataka, asililimia 20.4 (40) inazalishwa kama mbaki ya Chromiumu ambayo inakusanywa vizuri na imeongezeka kwa asilimia11 iii. Na matumizi ya maji kiwanda cha vinywaji laini cha Beverage limited, umeongezeka kwa asilimia 18 na taka maji zimepungua kwa asilimia 17. Q. Ni Namna Gani Hasa Viwanda na Makampuni Unufaika Kutokana na Uzalishaji wa Kisasa? Kupitia uzalishaji wa Kisasa, makampuni na viwanda uweza kupunguza gharama zake za uzalishaji kutokana na kuongezeka kwa ufanisi hasa katika matumizi ya malighafi na nishati. Kwa kupunguza madhara kwenye mazingira na kuzuia takataka, biashara hasa makampuni madogo na ya kati yanaweza kuboresha uzalishaji wake, kuokoa fedha, na kubakia washindani katika soko la dunia ambako maswala ya mazingira na jamiii tayari yanazingatiwa katika manunuzi ya bidhaa na huduma. Q. Katika Kusaidia Ukuaji wa Viwanda vya Ndani katika Kanda ya Afrika Mashariki, ni Jinsi Gani Uzalishaji wa Kisasa Unweza Kuongeza ushindani na Kuongeza Faida kwa Viwanda? Uzalishaji wa kisasa usaidia kupata mapato makubwa zaidi kwa kutumia mtaji mdogo. Kwa kupunguza gharama za malighafi huku uzalishaji ukiongezeka, uzalishaji uongezeka na hivyo faida ambayo ufanya biashara iwe shindani. Kutokana na kuongezeka kwa uzalishaji viwanda vinakuwa na uwezo wa kupanuka ili mradi tu vihakikishe vinaongeza faida. Biashara yenye faida ni biashara endelevu. Mifano ya ongezeko la faida kutokana na uzalishaji wa kisasa ni pamoja na: Kupungua kwa matumizi ya maji katika viwanda vya kusindika samaki kutoka mita za ujazo 14 hadi mita za ujazo 8 kwa tani moja ya samaki waliosindikwa Kupungua kwa matumizi ya nishati katika viwanda vya kusindika samaki kutoka kwh 120 hadi kwh 45 kwa tani moja ya samaki ambayo ni sawa na asilimia 62.5 Kuboreka kwa matumizi ya kuni na mkaa katika usindikaji wa chai kutoka kilo 358 za chai hadi kilo 680 kwa qubic mita moja ya kuni/mkaa Kupungua kwa matumizi ya maji ya mwaka katika viwanda vya maziwa 17 Kupungua kwa matumizi ya maji katika viwanda vya sukari kwa kiasi cha asilimia 36 Kuongezeka kwa kiwango cha jumla cha ubora wa mazingira (mfano BOD na COD zimepungua kwa asilimia 77 na 79 kwa mtiririko huo huo katika viwanda vya sukari) Kupungua kwa matumizi ya nishati katika viwanda vya nguo kwa asilimia Reduced 11 Q. Je hivi vituo vya Uzalishaji Bora vina Umuhimu gani katika Mkakati wa Jumuiya ya Afrika Mashari Juu ya Kuboresha Maisha ya Wanajumiya? Mojawapo ya malengo ya mradi wa LVEMP II is ni kuboresha thamani za kitamaduni na kiuchumi za bonde kwa kuzihusisha jamii husika katika kuhifadhi maliasili kwa kuwianisha uhifadhi wa mazingira na mahitaji ya ukuaji wa kiuchumi na kuboresha ukuaji wa uchumi pamoja na usawa miongoni mwa jamii zinazozunguka bonde hili. Uzalishaji wa kisasa ni moja ya dhana zinazowezesha kufanikisha mbinu ambazo zinachangia katika kufanikisa manufaa ya kiuchumi,kimazingira na kijamii. Vituo vya uzalishaji wa kisasa vinawajibika Kujenga uwezo wa viwanda kwa njia ya elimu, mafunzo ya kiueledi, yaani mafunzo kwa vitendo pamoja na tathimini za uzalishaji bora. Mambo haya yako sambamba na dira ya mkakati wa kanda unaolenga kubalisha viwanda kutoka kwenye utendaji wa kulazimishwa kwenda kwenye utendaji wa hiari. Mbinu za uzalishaji bora zinaweza kupelekea kuboreka kwa viwango vya maisha ya watu husika, usafi wa mazingira, kupunguza uchafuzi wa maji na hewa, usimamizi bora wa kemikali,afya njema na usalama wa watu pamoja na uhakika wa ajira ambazo zinahusiana moja kwa moja na kuondoa viwango vya umasikini. 16

19 Vituo vya Uzalishaji wa Kisasa Kuzuia Uchafuzi wa Ziwa Victoria Q. Je ni kwa jinsi gani vituo vya Uzalishaji Bora katika Jumuiya ya Afrika Mashariki Vinajiusisha na Sekta Nyingine Zinazohusiana na Maisha ya Wananchi katika Kanda, Ukiachilia mbali Sekta ya Viwanda? Dhana ya Uzalishaji Bora ni dhana mtambuka ambayo inaguza sekta zote za Uchumi.Kwa sasa vituo hivi vinalenga viwanda lakini dhana yenyewe inaweza kutumika katika sekta nyingine zote. Q. Je unataraji Kupanuka kwa shughuri za Vituo vya Uzalishaji Bora Katika Awamu ya tatu ya utekelezaji wa programu ya LVEMP II (yaani APL3) Matokeo ya kipengele kidogo cha namba 2.2 ni ya kuvutia sana kwa jumuiya ya Afrika Mashariki katika ngazi zote za kitaifa na kikanda. Ni muhimu sana kwamba shughuri hizi zikuzwe na kusambazwa wakati wa APL3 kwa ajili ya kutimiza mambo yafuatayo: Kwa upande wa Uganda viwanda 158 tu vilifanyiwa tathimini ambapo viwanda 75 vimepewa mafunzo juu ya RECP, na 24 vimekamilosha tathimini ya RECP na kwa sasa viko katka hutua mbalimbali za utekelezaji. Bado kuna kazi kubwa ambayo inapaswa kufanyika wakati wa APL3 kwa ajili ya kupanua na kusambaza haya. Katika APL3 sekta ya huduma za afya inapaswa kufikiriwa kama mbinu jumuishi ya kutatua matatizo ya uchafuzi wa ziwa. Manispaa na serikali za mitaa zinapaswa kuwa sehemu ya mchakato huu kwa kuzingatia kiasi kikubwa cha taka ngumu zinazozalishwa na mamlaka hizi bila usimamizi muhafaka. Kuna haja ya kuzalisha na kusambaza taarifa juu ya mafanikio ya awamu ya kwanza ya mradi, yaani APL 1. Q. Je Mmeandaa Mikakati Gani kwa Ajili ya Kuendeleza Jitihada Zenu Baada ya Kuisha kwa Mradi wa LVEMPII? Utekelezaji wa RECP ni safari na wala sio hitima. Tunahitaji siku zote kutathimini utendaji wetu kwa ajili ya kuboresha. Ili kufanya hili tunahitaji kuwa nyenzo endelevu (kifedha) na mifumo mizuri ya sera ili kuwezesha uwekezaji katika jitihada za uzalishaji bora katika ngazi zote. Kuna haja ya kuingiza masuala ya uzalishaji bora katika sekta mbali mbali ili kusudi kila sekta iandae bujeti kwa ajili ya utekelezaji wake. Pia kuna haja ya kuimarisha utekelezaji wa sharia za mazingira ili kuongeza haja ya matumizi ya uzalishaji bora kama zana ya kuhakikisha to compliance. Kwa sasa UCPC iko kwenye mchakato wa kuandaa taarifa juu ya mifano ya mafanikio kutoka APL 1 ambayo itasaidia Kujenga ufahamu kuhusu manufaa ya kutumia mbinu bora za uzalishaji na hivyo kuongeza mahitaji yake katika ngazi mbali mbali. Mtambo wa kusafisha na kutumia tena maji na vinywaji laini katika Kituo cha Uzalishaji rafiki wa mazingira mjini Mwanza-Tanzania (Picha na UCSD) 17

20 Maendeleo Endelevu Bado ni Safari Ndefu Na Flavia Lanyero kutishia uhai wa vizazi vya sasa na vijavyo, kilimo kinaweza kushindikan katika maeneo mengi ya nchi katika siku zijazo kutokana na uharibifu wa ardhi. Hatuko kwenye mstari, tayari tumekwisha nasa. anasisitiza Bwana Mugyenyi. Takwimu kutoka katika Mamlaka ya Taifa ya Misitu zinaonyesha kwamba Uganda inapoteza takribani hekari 90,000 ha za misitu kwa mwaka ambapo hekari 500 za ardhi oevu zimepotezwa kwa kipindi cha miaka 15 iliyopita. Ukataji misitu.: Ukataji miti kwa ajili ya mashamba (Picha na UCSD) Siku chache zilizopita mnano mwaka 2007, msitu wa Mabira nchini Uganda ulikuwa katika hatari ya kutolewa kwa wawekezaji kwa ajili ya kuotesha mashamba ya miwa lakini shukrani ziwaendee asasi za kiraia zilizopambana vikali na kuuokoa msitu huu mbali na changamoto kadhaa ambazo bado zipo. Ardhi oevu nyingi mjini Kampala na kwa ujumla kando kando ya barabara kuu ziendazo Jinja au Gulu zimejengwa viwanda kwa kigezo cha serikali kudai kwamba maendeleo ya kiuchumi ni bora zaidi kuliko ya maliasili. Hali hii imewafanya wataalamu wawe na hofu juu ya waganda watakaoishi miaka 50 ijayo ambao hawatakuwa na kitu cha kufurahia zaidi ya majanga yatakayotokana na uharibifu wa mazingira na matumizi yasiyoendelevu ya rasilimali asilia kama vile misitu, ardhi oevu, ardhi ya kawaida na wanyamapori. Kitu kingine kinacholeta wasi wasi ni kuhusiana na maamuzi ya serikali ya Uganda hasa wengi wakijiuliza kama kweli serikali ya Uganda inafanya maamuzi muhafaka katika kuchagua maendeleo juu ya maliasili hasa ikizingatiwa kwamba katika siku za usoni Waganda watahitaji maliasili katika kufanikisha maisha yao. Shirika la Umoja wa Mataifa limefafanua Maendeleo Endelevu kama Maendeleo ambayo yanakidhi mahitaji ya vizazi vya sasa bila kuathiri uwezekano wa vizazi vijavyo kupata mahitaji yake muhimu. Katika malengo yake ya Maendeleo Endelevu, ambayo yanajulikana kama Maisha Tunayoyataka, Shirika la Umoja wa Mataifa linaainisha viunga vya Maendeleo Endelevu ambavyo ni pamoja na: mabadiliko ya idadi ya watu, afya, elimu,na utamaduno, maji na usalama wake, ajira na kazi muhafaka, majangwa, uharibifu wa ardhi na ukame, uhaba wa chakula na kuondoa umasikini. Kwa mujibu wa Malengo ya Mendeleo ya Milenia (MDGs) Utendaji kazi wa sekretariati ya taifa ya idadi ya watu nchini Uganda umekuwa wa mafanikio hasa katika kuhakikisha masuala ya uendelevu wa mazingira kwa kipindi cha mwaka 2000 hadi Mathalani, Uganda ilipata alama 69.5 asilimia kwenye kipengele cha maendeleo ambazo ni karibu kabisa na lengo lake la asilimia 70 kufikia mwaka 2015 ila sasa changamooto ni juu ya jinsi gani agenda ya baada ya mwaka 2015 na Malengo ya Maendeleo ya Endelevu ambayo yanatarajiwa kuchukua nafasi ya MDGs kuanzia tarehe 1st Januari mwaka 2016, yataweza kuwa na matokeo hay ohayo. Kwa mijibu wa Bwana Onesmus Mugyenyi ambaye ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa katika shirika Umoja wa Mawakili kwa wa Maendeleo na Mazingira, Uganda kwa sasa imekwama kwa upande wa Maendeleo Endelevu mbali na kuwa na sera ambazo zinaweza kuisaidia katika kufanikisha hili. Bwana Mugyenyi anasema kwamba tayari kuna viashiria ambavyo vinaonyesha kwamba ukuaji wa chi ya Uganda sio endelevu ambavyo ni pamoja na upungufu mkubwa wa maliasili, kushindwa kudhibiti ongezeko la watu, huduma mbovu za utooaji wa elimu, utoaji mbovu wa huduma za afya, pamoja na serikali kukosa uwazi katika utendaji wa shughuri zake. Ardhi oevu imesambaratishwa, uoto wa misitu umetoweka kwa kiasi kikubwa,mito inazidi kukauka, uvamizi wa wanyamapori unazidi kushamiri ndani ya maeneo ya hifadhi, mabadiliko ya tabia nchi yanazidi Bwana Richard Kimbowa ambaye ni meneja wa Mpango wa Muungano wa Maendeleo Endelevu nchini Uganda anasema changamoto kwa sasa ni kwamba: Tunayo maono tofauti juu ya maendeleo endelevu kutokana na kukosa ushirikiano, tama juu ya manufaa ya muda mfupi, na ulafi uliokithiri ambazo unachochewa na mfumo wa ukuaji ambao unazingatia zaidi masoko ambao unatumika. Bwana Kimbowa Richard anaongeza kwa kusema kwamba hali hii imewaacha masikini bila namna nyingine yoyote zaidi ya kuendelea kutegemea maliasili kwa ajili ya maisha yao. Kihalisia, watu masikini wanahitaji upatikanaji wa haraka wa mahitaji yao kama vile chakula, maji, nishati, na ndipo malengo ya muda mrefu kama ufuatia au yanaweza yasiwepo kabisa. Ndugu Kimbowa anaongeza kwa kusema kwamba: Utekelezaji wa sera unapaswa kufanyika kwa njia ya kusimamia matumizi na uhifadhi endelevu wa rasilimali ambapo wilaya zinaweza kuongeza fedha zaidi katika upelembaji wa matumizi ya rasilimali na kuratibu serikali za mitaa. Kwa ujumla ni kwamba kama nchi bado tunayo kazi kubwa ya kufanya kama kama vile ilivyo jumuiya ya kimataifa. Afisa uhusiano wa NEMA, Naomi Karekaho anasema kwamba wamepiga hatua kubwa kuelekea mafanikio. Anasema kwamba taasisi yake inatekeleza mradi wa manispaa wa usimamizi wa taka ngumu ambao una lengo la kusaidia upanuzi wa kilimo kupitia upatikanaji wa mbolea asilia ambayo inaweza kutumika kuboresha mazao ya kilimo kwa wakulima ambao badala yake wangelazimika kuvamia rasilimali nyingine mbali na kuwepo kwa sharia zinazolinda matuizi ya misitu na ardhi oevu. Hata hivyo, pamoja na jitihada hizi, Bi Karekaho anasisitiza kwamba idadi ya watu ni lazima ishughurikiwe kwa vile watu hawa wanategemea kwa kiasi kikubwa uwepo wa maliasili kwa ajili ya kuishi. 18

21 Mradi wa LVEMP II Wapiga Licha ya Kuwepo kwa Changamoto za Kitaasisi na Kiutendaji Na Richard Kimbowa Mradi wa Usimamizi wa Mazingira waziwa Victoria awamu ya II ( LVEMP II ) ni mradi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambao unatekelezwa katika nchi tano ambazo zinachangia Bonde la Ziwa Victoria, yaani Burundi, Kenya, Rwanda, Tanzania na Uganda kwa kipindi cha miaka minane (Kuanzia Septemba Juni 2017 ) Mradi wa LVEMP II ni mradi mtambuka ambao umenadaliwa kufanikisha malengo makuu mawili ya kimaendeleo/kimazingira: kuboresha usimamizi shirikishi wa rasilimali mtambuka za bonde la ziwa Victoria na kupunguza msongo wa kimazingira katika maeneo lengwa na vyanzo teule vya maji kama njia ya kuboresha hali ya maisha ya jamii ambazo zinaishi kwa kutegemea maliasili katika bonde hilo.mradi huu unatekelezwa katika maeneo makuu manne yanayolenga kutoboresha uwezo wa wa kitaasisi wa kusimamia rasilimali za maji na samaki, uzuiaji na udhibiti wa vyanzo vya uchafuzi wa maji, usimamizi wa maeneo ya vyanzo vya maji, pamoja na uratibu na usimamizi wa mradi. Awamu Tatu za Mradi wa LVEMP II LVEMPII is implemented in 3 phases referred to as Adjustable Program Lending (APL). APL1 ( ) currently in a No cost extension period that has involved Kenya, Tanzania, and Uganda, is financed by IDA USD 90 million, Swedish International Development Cooperation Agency (Sida) USD l0 million, GEF USD 7 million, and Borrowers USD 7.8 million equivalent. APL2 involves Burundi and Rwanda since 2012, with additional IDA financing of USD 30 million. APL3, with indicative IDA financing of another USD 90 million, Sida USD 10 million (or SEK62.5 million equivalent), and Borrowers USD 7.9 million equivalent, may be considered to further scale up interventions by Kenya, Tanzania, and Uganda, subject to the implementation performance of APLl and availability of funding from IDA and other sources Mradi walvempii unatekelezwa katika awamu 3 zinazojulikana kama Programu Badilishi za Ukopeshaji (APL). APL1 ya kwanza ( ) ambayo kwa sasa iko katika kipindi cha muda wa nyongeza bila gharama No gharama imehusisha nchi za Kenya, Tanzania, Uganda na ilifadhiliwa na IDA kwa kiasi cha dola za Marekani milioni 90, Kitengo cha Ushirikiano wa Kimataifa wa Maendeleo cha Sweden( Sida ) kwa kiasi cha dola za Marekani milioni l0, GEF kwa dola za Marekani milioni 7, na Wakopaji kwa kiasi cha dola za marekani milioni 7,800,000. APL2 inahusisha nchi za Burundi na Rwanda na imeanza kutekelezwa tangu mwaka 2012, chini ya ufadhili wa IDA kwa dola za Marekani milioni 30. APL3 yenye ufadhili wa fedha za IDA kwa kiasi dola za Marekani milioni 90, Sida dola za Marekani milioni 10 (sawa na SEK milioni 62.5), na Wakopaji kwa dola za Marekanisawa na milioni 7.9, inaweza kutumika kutekeleza shughuri za miradi katika nchi za Kenya, Tanzania, Uganda na, kutegemeana na utendaji utekelezaji wa APLl katika nchi hizo na pia upatikanaji wa fedha kutoka IDA na vyanzo vingine. Mabadiliko Kutoka LVEMP I kwenda LVEMP II Mradi wa LVEMP II ni mwendelezo wa mradi wa LVEMP I, ambao ni jitihada za makusudi za kuboresha usimamizi mtambuka wa ziwa Victoriachini ya ufadhili wa Benki ya Dunia /GEF. Malengo ya mradi wa LVEMP I, ambao ulitekelezwa kuanzia mwezi Machi 1997 hadimwezi Disemba 2005, yalikuwa ni: kukusanya taarifa muhimu kwa ajili ya kuboresha usimamizi wa mifumo ikolojia ya ziwa; kuanzisha mfumo wa usimamizi shirikishi miongoni mwa nchi washirika wa mataifa matatu; Kutambua na kubaisha mbinu za kivitendo na zenye kudumu; na Kujenga uwezo kwa ajili ya usimamizi wa mifumoikolojia. Wakati wa utekelezaji wake, mradi wa LVEMP I uliwekwa katika kundi la miradi yenye hatari kubwa ya kiutendaji baada ya taasisis moja isiyokuwa ya kiserikali kufungua kesi ambayo ilikuja kukaguliwa na jopo (World Bank, 2009). Kwa mujibu wa Benki ya Dunia, taasisi hiyo isiyokuwa ya kiserikali ilidai kwamba mradi wa LVEMP Ulishindwa kuhakikishatathimini madhubuti ya mazingirana kuacha magugu maji yaliyovunwa kuzama chini ya maji ziwa.ili kuzuia madhara ya tathimini za mazingira, uvunaji wa kimakenikali ilibidi usimamishwe,isipokuwa tu katika maeneo ya kuchukulia maji ya ugavi na uzalishaji. Kwa upande wa uzalishaji wa maji, magugu maji yaliyovunwa kimakenikali ilibidi yasafirishwe na kutupwa kwa usalama katika maeneo ya kutupa takataka. Wakati wa ufungaji wa mradi wa LVEMP I, kundi la kujitegemea (IEG) la tathimini na ripoti za ukamilishaji wa utekelezaji (ICRs) kwa pamoja zilielezea ufanisi wa malengo ya mradi wa LVEMP I kuwa ya kuridhisha kwa wastani. Hii ilitokana hasa na ukweli kwamba uoanishaji wa sera, udhibiti wa uchavuzi wa maji na mmomonyoko wa udongo, kuongezeka kwa ubora wa maji, na kutafisri matokeo ya tafiti mbalimbali kwenda kwenye mipango kazi ya kimkakati kwa ajili ya kusimamia rasilimali haikufanikiwa.changamoto hizi ndizo zilizopelekea uandaaji wa mradi wa LVEMP I1. Nani anahusika katika utekelezaji wa mradi wa LVEMP II? Muundo wa utekelezaji wa mradi wa LVEMP II, kwa mujibu wa Benki ya Dunia, ulizingatia uzoefu na mambo yaliyojifunzwa katik mradi wa LVEMP I, pamoja na tahadhari nyingine ikizingatiwa kwamba mradi huu ni jitihada kwa ajili ya usimamizi wa rasilimali mtambuka ambapo ambo kadhaa hayana budi kutimizwa. Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC) chini ya Jumuiya ya Africa Mashariki ilikuwa ndio iliyokubalika miongoni mwa nchi wanachama, kama taasisi muhafaka kwa ajili ya uratibu wa kikanda na uanzishaji wa mradi wa LVEMP 11 chini ya makubaliano kwamba shughuri za uboreshaji wa uwezo wa kitaasisizitatekelezwa kwa ajili ya LVBC chini ya mradi huu kadri itakavyohitajika. Taratibu za utekelezaji wa mradi zimejikita katika muundo wa taasisi mbili ambazo zimebainishwa katiak itifaki ya Maendeleo Endelevu ya LVB, yaani, katika ngazi za 19

22 Mradi wa LVEMP II Wapiga Licha ya Kuwepo kwa Changamoto za Kitaasisi na Kiutendaji Na Richard Kimbowa kikanda na kitaifa kwa mradi wa EAC. Katika ngazi ya kikanda ya EAC, Itifaki inataja uwepo wa LVBC, kamati ya uratibu wa shughuri za LVB,na Baraza la kisekta za Mawaziri. Baraza la Mawaziri ulipoti katika mkutano wa wakuu nchi. Katika ngazi ya kitaifa, itifaki inaeelezea juu ya uteuzi wa Wizara husika(yaani National Focal Point Ministry (NFPM), pamoja na ofisi husika(yaani the National Focal Point Officer (NFPO). Kwa ujumla, muundo wa mradi wa LVEMP I1 umezingatia kanuni za unyongeza ( subsidiarity principle ) ambapo shughuri nyingi zinatekelezwa katika ngazi ya kitaifa. Chini ya kanuni hii, taasisi za kitaifa zinahusika na utekelezaji wa mradi kupitia wizara mama, mamlaka ya serikali za mtaa pamoja na jamii husika. Taasisi za kikanda zinahusika na uratibu wa utekelezaji wa mradi kwa kila nchi pamoja na kutekeleza shuguri chache za kikanda. Ni nini Mafanikio ya Mradi walvemp II Kufikia Leo? Kwa mujibu walvbc, mnamo mwezi Novemba 2013, matokeo mengi ya kikanda kutoka katika vipengele vipengele 4 yalikuwa katika hatua mbalimbali za utekelezaji. Kati ya matokeo 20 yanayotarajiwa katika ngazi hii,ni manne tu ambayo yalikuwa yamekwisha fanikishwa, wakati 12are yalikuwa yanaendelea kutekelezwa na4yalikuwa bado hayajaanza kutekelezwa kabisa kwa kipindi hicho. Mojawapo ya matokeo ya kikanda ni pamoja na mkakati wa kikanda wa bonde kuhusu SLM katika LVB ambao ulikamilishwa, na kupitishwa na Kamati ya Kanda Utekelezaji wa mradi (RPSC) pamoja mkutano wa 10 Baraza la Kisekta la Mawaziri wa LVB. Mkakati huo umefuatiwa na uandaaji wa miongozo ya kikanda ya usimamizi endelevu wa ardhi. Zao lingine muhimu limekuwa ni maandalizi ya miundo mbali mbali kwa ajili ya uanzishwaji wa Mfuko wa Uhifadhi wa Mazingira ya Ziwa Victoria (LVEF) na utambuzi wa vyanzo vya fedha, ambavyo vimepitishwa na RPSC na baraza la kisekta la mawaziri wa LVB. Kufuatia hili, nchi wanachama zinatarajiwa kukutana na kuchagua muundo mmoja wa utekelezaji wa mfuko huu. Pia mkakati wa udhibiti na usimamizi wa magugu maji ulipitishwa na kamati ya kanda ya utekelezaji wa mradi na kukubaliwa na baraza la kisekta la Mawaziri wa LVB. Kufuatia hili, mipango kazi ya kitaifa kwa ajili ya utekelezaji inaandaliwa. Katika ngazi ya kitaifa, mafanikio yameonekana katika vipengele vyote vinne, hasa katika kuanzisha michakato tafiti;tafiti za awali za kudhibitisha maeneo ya miradi, maandalizi ya miundombinuhasa kuhusiana na ujenzi wa mitambo ya kusafisha maji. Bado kuna kazi kubwa mbele kama ilivyothibishwa na matumizi ya jumla ya nchi za APLI ambapo: Kenya imetumia asilimia36.6; Tanzania imetumia asilimia 39.9; na Uganda imetumia asilimia19.5. Burundi na Rwanda zilikuwa zimetumia asilimia 4.6 na 3.7 kwa mtiririko huo huo(lbvc, Septemba2013). Hii ilimaanishawastani wa asilimia 29.7 kwa wote, kiasi ambacho bado ni kidogo kwa ajili ya kudhibitisha hoja ya shughuri za mwendelezo za APL3 katika nchi za Kenya, Tanzania, na Uganda in APL3. Kuhusiana na uhamasishaji wa uzalishaji wa kisasa na matumizi ya teknolojia ambao unaratibiwa kikanda na kituo uzalishaji wa kisasa cha Kenya, yamefanyika maendeleo ya maana hasa kwa upande wa maandalizi ya miongozo juu ya ufanisi wa rasilimali na uzalishaji wa kisasa, uhamasishaji na uelimishaji wa mamlaka zinazohusika na udhibiti, mafunzo kwa viwanda pamoja na hamasa kuhusiana na uzalishaji wa kisasa katika tathimini za mitambo. Kwa ujumla asilimia ya viwando vilivyolengwa vimekwisha kufundishwa juu ya teknolojia za uzalishaji wa kisasa, wakati asilimia ya viwanda walengwa tayari vinatekeleza kanuni uzalishaji wa kisasa katika tathimini zao na/au tayari vimezalisha mazao hayo (katika Kenya, Tanzania and Uganda). Katika nchi za Rwanda na Burundi, tafiti za awali zimefanyika kabla ya mafunzo na shughuri nyingine Kwa upande wa usimamizi vyanzo vya maji (Component 3), kumekuwepo na ucheleweshwaji katika utekelezaji wa miradi midogo inayoendeshwa na jamii (yaani CDDtype) ambayo inalenga kupunguzavyanzo vya uchafuzi wa maji, kupitia udhibiti wa mmomonyoko wa udongo kwa kutekeleza mbinu za usimamizi endelevu wa udongo na maji. Zaidi ya hayo, hii ni mojawapo ya fursa muhimu za moja kwa moja kwa jamii zinazoishi katika bonde la ziwa Victoria kwa kuweza kushiriki katika mradi wa LVEMP II. Uganda inaendelea kushika mkia kwa vile miradi yake 66 iliyopitshwa bado haijatekelezwa kutokana na kufungiwa kwa miaka miwili na benki ya dunia.kenya ina miradiiliyopitishwa129 ambapo mingi ya miradi hii (90) iko chini ya kiwango cha asilimia 50 cha utekelezaji. Tanzania imekwisha kamilisha utekelezaji wa miradi 10 ambayo kwa sasa inasubiri tathimini ya baada ya utekelezaji wa miradi hiyo, na miradi 26 imekwisha tekelezwa kwa kiwango cha zaidi ya asilimia 50, wakati miradi 86 imetekelezwa kwa kiasi cha chini ya asilimia 50. Kwa upande ngazi za jamii, hali hii ya utekelezaji wa miradi imeleta hofu na wasi wasi mkubwa sana pamoja na kukatishwa tamaa na kutokuaminiana baina ya jamii na wafanyakazi wa serikali za mitaa pamoja na wafanyakazi wa sekretariati ya taifa ya mradi wa LVEMPII, kwa upande mwingine. Hali hii imejitokeza zaidi katika nch ya uganda. Je kuna changamoto gani zinazokabili utekelezaji wa mradi wa LVEMP? Kwa mujibu wa LVBC, vikwazo dhidi ya utendaji bora ni pamoja na mzunguko mrefu wa miradi midogo ya inayoendeshwa na jamii (CDD) ambapo muda mwingi ulitumika katika kuahamasisha jamii na pamoja na kuzijengea uwezo; kusitishwa kwa utoaji wa hela kwa timu ya utekelezaji wa mradi nchini Uganda; uwezo mdogo wa makundi ya jamii katika kuandaa na kuwasilisha maandiko bunifu na yenye ubora; timu za wilaya ambazo zimebanwa na mambo mengine;changamoto katika mchakato wa manunuzi ikiwa ni pamoja na 20

23 Mradi wa LVEMP II Wapiga Licha ya Kuwepo kwa Changamoto za Kitaasisi na Kiutendaji Na Richard Kimbowa kutokuwajibika,maandiko yenye bei za juu sana, na kadharika; jitihada za kuwezesha waajiriwa hasa kutokana na mabadiliko ya wafanyakazi ikiwa ni pamoja na mabadiliko katika timu za utekelezaji; uwezo mdogo katika matumizi ya GISna uhaba wa pesa kwa ajili ya shughuri za kiuratibu za kikanda. Urefu wa mchakato wa upitishaji wa miradiya EAC pamoja na matakwa kwa ajili ya shuguri zinazoratibiwa kikanda kama vile shughuri /tafiti za ajabu zinaoenekana wazi wazi. Kwa mfanokwa kutambua kwamba maji yasiyoratibiwa pamoja na ukingaji maji hivi ni vyanzo muhimu vya migogoro. Hii ndio maana mkutano wa ziada wa kumi na tisa wa baraza za mawazili uliamuru LVBC kumalizia sera ya uchapishaji uingizaji na kuandaa mfumo wa kisheria ili kuhakikisha utiifu dhidi ya taratibu zilizopangwa; na ukingaji maji katika leseni ya ukiukwaji mambo na mitiriko. Nchi wanachama pia walikubaliana mfumo wa kisheria itabidi uzungumzie namna ya kutatua migogoro kama vile ilivyofanyika kwenye mkataba kwa ajili ya uazishwaji wa Afrika Jumuiya Mashariiki, utakao pitishwa kwamba wadau hao watashughurikia vipi. Hoja hii inaunganishwa na muda utakaotumika kuhakikisha utekelezaji wa LVEMPII. Hata hivyo, kwa bahati mbaya wakati upokeaji wa sera hiyo muhimu unaonekana unasemekana kuwa umekamilika, ombi la dakikaka za mwisho kutoka kwa mmoja wan chi wanachama yanabidi kuzingatiwa na, pia hii sababu mojwawapo ya kucheleweshwa kwa miradi. Katika ngazi ya taifa kuna idadi kubwa ya vikwazo vya kiutendaji na kitaasisi ambavyo vilitajwa na kamati ya kanda ya mradi mnamo mwezi Septembe, Hivi ni pamoja na ucheleweshwaji katika kupata tamko la NO objection kutoka Benki ya dunia na mpango wa manunuzi wa mwaka 2013; Kuzuia pesa za mradi kwa nchi ya Uganda hali ambayo ilifanya malengo fulani ya kikanda yachelewe. Kuajili wataalamu wa muda mfupi (consultancies) kwa ajili ya shughuri mbalimbali pia umekuwa ukichukua muda mwingizaidi ya ilivyokuwa imekadiriwa wakatiuwezo wa kutumia fedha hasa katika ngazi za kitaifa (NPCTs)has katika kipengele cha 2 (Udhibiti na Uzuiaji wa vyanzo vya Uchafuzi wa Maji) na kipengele namba3 (Usimamizi wa maeneo ya vyanzo vya maji). Mambo haya yamesababisha changamoto kubwa sana kwenye utekelezaji wa mradi na mwisho wa siku yanaweza kuathiri utekelezaji wa APL3. Pia ucheleweshaji wa ununuzi wa vitu ambavyo tayari vimekwisha pitishwa na ulitajwa kama mojawapo ya vikwazo. Zaidi ya hayo, uwezo mdogo wa wilaya kwa ajili ya kuratibu kwa ufanisi utekelezaji wa miradi midogo ya CDD na usimamizi shirikishi wa shughuri zinazoenda sambamba ukijumuishwa nauwezo mdogo wa wajumbe wa NPCT katika kutekeleza shughuri mbali mbali hasa ikizingatiwa kwamba wajumbe walio wengi wanajirudia kutoka sekta mbalimbali na ili makubaliano yaweze kufikiwa ni lazima wawepo basi nalo hili limesababisha changamoto kubwa. Pia kuna uhaba wa msaada wa kiufundi katika ngazi mbalimbali.kwa mfano, miradi midogo yacdd ambayo imeishaanza kutekelezwa hainamsaada wa kutosha wa kiufundi kutokana na changamoto za kiugavi, ambapo msaada wa kiufundi kutoka benki ya dunia kwa nchi za APL2 umekuwa hafifu. Changamoto nyingine ni ile inayohusiana na mawasiliano na mtiririko wa taarifa ambayo imejikita upotoshaji wa habari kuhusu shughuri za mradi hasa miradi ya usimamizi na udhibiti wa magugu maji. Hali hii imepelekea mfadhaiko mkubwa na kuleta migongano baina ya jamii na washikadau wengine. Kwa namna hiyo hiyo, mawasiliano baina ya LVBC na Wizara za taifa pamoa na wadau wengine unahitaji kuboreshwa na katika maeneo mengine kuanzisha kabisa. Mabadiliko ya tabia nchi nayo poa yanaathiri vibaya maisha ya jamii za vijijini yanaweza kurudisha nyuma matokeo ya shghuri za mradi endapo mabadilko hayo hayatazingatiwa katika sghuguri za miradi ijayo. Ni nini kifanyike ili kukabiliana na changamoto hizi? Kuna haja kubwa ya kukuza wigo wa mawasiliano na kujifunza ili kuziwesha jamii kutoa mrejesho, kubadilishana uzoefuna kushirikishakatika ngazi za taifa na kanda. Mtandao wa EA Suswatch, umependekeza kanuni ya huduma kwa mtenja kama mojawapo ya jitihada za LVEMPII katika kukabiliana na hili. Kuna haja ya kuwa na timu wajibifu zaidi kwa ajili ya kushughurikia mara moja masuala yanapotolea kwenye vyombo vya habari. Mojawapo ya njia za kufanya hivi inaweza kuwa ni kukuza ubadilishanaji habari kwa njia ya kielektroniki kwa kutumia mitandao ya jamii, na maandalizi ya majarida ya mara kwa mara, ambayo tunaweza kusambaza kwa CSOs, na vyombo vya habari kwa Afrika Mashariki nzima, na kuchukulia faida ya usherekeaji wa siku maalum za matukio pamoja na mambo mengine katika ngazi ya taifa. Kuna haja ya haraka ya kutoa msaada wa kiufundi katika maeneo mbali mbali, kwa miradi mido ya CDD, kwa timu za wilaya zinazoratibu mradi huu pamoja na NGOs ambazo zina ujuzi husikana zinapatikana karibu ma vikundi vya mradi. Zaidi, utatakiwa kutafutwa mfumo kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za katika upande wa manunuzi pamoja na kushughurikia mapungufu mengine ambayo yote kwa pamojaa huchelewesha maamuzi kutoka Benki ya Duni hadi kwenye ngazi za chini kabisa. Na kwa namba ile ile, taratibu inabidi ziwekwe kwa ajili ya kuzuia yale yaliyotokea nchini Uganda yasitokee sehemu nyingine na kuhakikisha kwamba hilo linagundurika mapema kabisa na kushughurikiwa kwani vinginevyo matokeo yake uchelewesha faida za kikanda za mradiambazo zingewezwa kufurahiwa kwa usawa na jamii walengwa katika bonde la ziwa Victoria.Hoja hii inaweza kuhitaji mapitio ya utaratibu wa usimamizi wa mradi ili kuhakikisha kwamba LVBC inapewa nguvu na mamlaka zaidi kama sehemu ya kuimarisha uwezo wa taasisi katika kutekeleza kwa ufanisi miradi ya kikanda. 21

24 Usimamiaji wa Fedha za Miradi ya Jamii: Ni Jinsi Gani Asasi za Kiraia na Vikundi vya Jamii Vinakidhi Vigezo vya Kupatiwa Fedha za Miradi Inayoendeshwa na Jamii Pale Ambapo Fedha Zinakuwepo? Na Rebecca Kwagala Wanajamii nchini Kenya (Picha na Suswatch Kenya) Vitu vya Kuzingatia Wakati wa Usimamizi wa fedha za Miradi Inayoendeshwa na Jamii Uhalali: Je kikundi cha jamii kinachosimamia fedha kinayo mamlaka rasmi ili kuweza kukidhi matakwa ya kisheria? Ufanisi: Maandalizi na mipango iliyowekwa inapaswa kuwezesha matumizi ya fedha kwa ajili ya malengo yalikusudiwa ambayo ndio chanzo cha fedha hizo Uwajibikaji: Maandalizi na mipango iliyowekwa inabidi ibainishe kwa uwazi maswala ya utawala na uwajibikaji kwa ajili ya kusimamia fedha Uwazi: Mfumo unapaswa kuwa wazi ili kuweza wanajamii kuona na kuelewa mapato yanayoingia na kutoka Ufanisi: Mfumo na utaratibu unaotumika vinapaswa visiwe vya ghari kupitiliza ili kuwezeshasehemu kubwa ya mapato kwenda kwa wanajamii Je ni Vitu Gani Tunahitaji Kuwa Navyo? Mfumo wa kuonyesha fedha zinazoingia na namna zinavyotumika. Kumbukumbu nzuri ya mapato na matumizi ya fedha ambayo inapaswa kufanywa na mtunza fedha au mtu mwingine mwenye elimu ya uhasibu Kumbukumbu hizi za mapato na matumizi zinapaswa kupewa namba kwa mtiririko maalumu na kuhifadhiwa kwenye faili ili ziweze kufikiwa kirahisi Mfumo huu unapaswa kuandaliwa vizuri ili kuzuia matumizi mabaya ya fedha na kuhakikisha matumizi halali kwa ajili y programu husika. Hakikisha kuna mifumo ya udhibiti wa ndani ili kuzuia matumizi mabaya ya fedha za miradi inayoendeshwa na jamii; kwa mfano kuhakikisha kwamba cheque inasainiwa na watu wawili tofauti, malipo yote kuhitaji ruhusu maalum, na kadharika. Uandaaji wa ripoti za mara kwa mara na kuelezea kiasi kilichopokelewa na vikundi vya jamii, namna fedha hizo zilivyotumika na kaisi kilichobaki kufikia tarehe hiyo. Ripoti hizi zinapaswa kuwasilishwa mara kwa mara kwa wadau husika kwa ili kuhakikisha uwazi na uwajibikaji. 22

25 Mradi wa LVEMP II Wapiga hatua, Lakini Jamii Zinapaswa Kushirikishwa Zaidi Mratibu wa Kanda wa LVEMP II Programu ya Kuhifadhi Mazingira ya Ziwa Victoria LVEMP II ni mradi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambao unatekelezwa katika nchi tano ambazo zinagawana bonde la ziwa Victoria ambazo ni Burundi, Kenya, Rwanda, Tanzania na Uganda. Mojawapo ya vipengele vya mradi huu ni kile kinachohusiana na kuboresha uwezo wa taasisi kwa ajili ya kusimamia rasilimali mtambuka za maji na samaki,udhibiti wa uchafuzi wa maji na uhifadhi wa vyanzo vya maji, miongoni mwa mambo mengine. Dr. Raymond Mngodo (Picha na UCSD) Mhariri wa Jarida la Waangalizi wa Maendeleo Endelevu la Afrika Mashariki- Emily Arayo aliongea na Dr. Raymond Mngodo ambaye ni Mratibu wa Kanda wa mradi wa LVEMPII. Majadiliano yanaanza na maelezo juu ya bonde la ziwa Victoria ndani ya muundo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Tume ya Bonde la Ziwa Victoria LVBCni taasisi ya EAC ambayo iko katika bonde la Ziwa Victoria uko Kisumu, Kenya. Taasisi hii imepewa dhamana ya kushughurikia maswala yote ya mazingira pamoja na uwekezaji ndani ya bonde la ziwa Victoria chini ya itifaki ya Maendeleo Endelevu ya Ziwa Victoria. Ni nini Maana ya LVEMP na ni jinsi gani mradi wa LVEMPI unahusiana na mradi wa LVEMPII? Uhusiano uko kwenye kushughurikia maswala ya uharibifu wa mazingira ndani ya bonde la ziwa Victoria.Mradi walvemp I ulianza mwaka 1997 na kuisha mwezi Desemba mwaka2005. Mradi huu ulijikita katika kulielewa bonde la ziwa, kwa kujifunza matatizo ya mazingira ndani ya bonde na Kujenga uwezo wa kuyashughurikia. Kutokana na uzoefu wa mradi huu wa kwanza,ndipo mradi wa pili yaani LVEMP II ikaandaliwa ambao ni mradi wa miaka 3 kuanzia mwaka 2006 hadi 2008; mradi huu wa LVEMP II unayo malengo makuu 2 ambayo ni kuboresha usimamizi shirikishi wa rasilimali asilia ambazo ni mtambuka za bonde la ziwa Victoria, na pia kupunguza shinikizo za kimazingira (environmental stress) katika maeneo lengwa ambayo ni kiini cha uchafuzi wa maji pamoja na vyanzo teule vya maji ambavyo vimeharibiwa kama njia ya kuboresha maisha wa jamii ambazo zinategemea rasilimali za bonde hili.tumeshuhudia shinikizo nyingi ambazo zinatoka kwenye eneo la nchi kavu, maeneo ya pembezoni mwa ziwa, kutoka majini moja kwa moja, pamoja na shinikizo toka nje ya bonde kupitia kutuama kwa mabaki makabi kutoka angani, hasa yale ya phosphate na naitrates, ambayo yote yanaathiri ziwa. Kwa hiyo tunajaribu kuzuia shinikizo hizi za mazingira. Je ni nini maana ya APL1 APL2, APL3? Ni kitu kile kile? Hizi ni awamu za kifedha ndani ya mradi ule ule. APL inamaanisha Mkopo Unaoweza Kubadilishwa kwa ajili ya mradi. Mara tu kikundi cha watu kikiwa tayari basi kinaruhusiwa kujiunga na mradi. Vile vile, mara tu nchi zikiwa tayari zinaweza kujiunga na mradi, hivyo Uganda, Tanzania na Kenyazilijiunga mapema na ndiporwanda na Burundi zikaja kujiunga baadae na kuitwa APL2. Na kwa vile zilijiunga kama APL 2 utaratibu wa mkopo wao ulikuwa tofauti.zile nchi tatu ambazo zilikuwa za kwanza kuwa tayari zilipewa mkopo uliojulikana kama APL1.Na APL3 ndio mkopo utakaofuata, mradi utadumu kwa miaka8, kwa sasa tuko na APL1, APL2 ndo wamejiunga na APL1 na mradi utaendelea hadi zile nchi tatu zitakapoanzamkopo waapl3. Kadri tutakavyoendelea na APL3 tutaendelea pia kuona nchi za APL2zikimalizia. Yaani, mkopo wa kwanza kwa zile nchi tatu, Mkopo wa pili kwa zile nchi mbili na Mkopo wa 3 kwa zile nchi 3. 23

26 Mradi wa LVEMP II Wapiga hatua, Lakini Jamii Zinapaswa Kushirikishwa Zaidi Mratibu wa Kanda wa LVEMP II Je APL3 itajihusisha na shughuri zipi? APL3 itajihusisha zaidi na kukuza shughuri ambazo zimefanyika katika awamu ya APL1ambazo zilijikita katika eneo moja la majaribio kwa kila nchi. APL3 bado iko kwenye maandalizi lakini itajikita katika kukuzashughuri za APL1 ambazo zililenga miradi ya majaribioambazo zitaenezwa na kutekelezwa katika vyanzo vingine vya mito katika bonde Katika APL1 nchi ya Uganda ilitekeleza mradi wa majaribio katika mto Katonga, Kenya ilitekeleza mradi wa majaribio katika mtonyando na Tanzania ilitekeleza mradi wa majaribio katika mto Simiyu. Shughuri hizi zitakuzwa na kusambazwa maeneo mengine japokuwa kuna shughuri nyingine ambazo zilikuwa nje ya mpango kama vile uondoaji wa magugu maji na uvuvi ambazo zilitekelezwa nje ya maeneo ya mradi. Je bajeti ya mradi wa LVEMPII ikoje? Kwa APL1nchi 3za Kenya, Tanzania na Uganda zilitengewa jumla ya dola za kimarekani milioni90 za hela ya IDA.Kihalisia, Tanzania ilipata dola za kimarekani milioni 32,Uganda dola za Kimarekanimilioni 27.5 na Kenya dola za Kimarekanimilioni 20. Tume ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC) ambayo ndio taasisi ya kikanda inayoratibu mradi ilipata fedha kutokagef kiasi cha dola za Kimarekani million 7, na piadola za kimarekani milioni 10 kutoka Kitengo cha Kimataifa cha Maendeleo cha Swideni, S SIDA.APL 2ina jumla ya dola za kimarekani milioni 30, ambapo Rwanda inapata dola za kimarekani milioni 15, na Burundi inapata kiasi hicho hicho cha dola za kimarekani milioni15. Nchi husika pia zinatakiwa kuchangia katika bajeti hii. Kwa mfano, katika APL1,nchi zinatakiwa kuchangia kiasi cha dola za kimarekani milioni 7.8, na katika APL2 nchi husika zilichangia dola za kimarekani million 3. Je Jamii za Wananchi zinachangia katika hatua ipi ya Mradi? Mgawanyo wa fedha uliongozwa na baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki kutokana na sababu kwa mradi ulikuwa umeandaliwa kwa malengo kwamba walao asilimia 50 ya mradi ielekezwe katika kuhifadhi vyanzo vya maji ambazo vinaathiri moja kwa moja maisha ya watu walio wengi wanaoishi kando kando ya bonde.shughuri nyinginezo kama vile kudhibiti uchafuzi wa maji na kuoanisha sera na shughuri nyigine zilitengewa asilimia12.kiasi cha uchangiaji wa jamii kinategemea na muundo wa mradi kwa nchi husika. Baadhi ya jamii zimechangia asilimia 10% hadi 20%, lakini pia inategemea uwezo wa timu za kiufundi katika kushirikisha jamii katika miradi husika inayoendeshwa na jamii (yaani CDDs).Kwa mfano, baadhi 24 ya nchi zina miradi mingi ya CDD wakati nyingine zinayo kidogo kutegemeana na hiyo nchi ilianza lini. Miradi ya CDD uchukua muda mrefu kuandaliwa, kitu ambacho kilikuwa kinatugharimu sana muda wetu, hivo kwa sasa tumechukua modo nyingine ya usimamizi shirikishi ambapo tunafanya kazi sambamba na CDDs. Je maendeleo yakoje katika utekelezaji wa Mradi wa LVEMPII? Nchini Tanzania tayari miradi 19 ya CDD imekwisha kamilika na mingine197 iko katika hatua mbalimbali za utekelezaji na itakamilika kwa wakati tofauti. Nchini Kenya miradi yote ya CDD iko katika hatua ya utekelezaji.mfumo huu mpya wa Usimamizi shirikishi una miradi 12 ambayo inaendelea kutekelezwa nchini Kenya. Nchini Uganda kulikuwa na matatizo yaliyopelekea miradi kusimamishwa lakini miradi hii imerejeshwa mwezi Novemba mwaka jana, Japokuwa miradi yote ilikuwa imekwisha kamilisha michakato yote, utaratibu umebadilika na hivyo kila kitu kinatakiwa kuanza upya. Rwanda na Burundi zilianza mwaka jana na hivyo kwa sasa ziko katika hatua ya kuhamasisha wananchi na kuwajengea uwezo kwa ajili ya kuandaa miradi midogo ya CDD. Je Jamii zinaichukuliaje miradi ya CDD Tulilazimika kufanya marekebisho kwa mfano katika mradi wa kuhifadhi vyanzo vya maji ya mto Simiyu nchini Tanzania katika kuhifadhi kingo za upande mmoja wa mto na hivyo kuhamishia mradi katika kingo za upade wa pili baada ya kugundua kwamba matokeo yasingekuwa mazuri katika upande wa kwanza. Hata hivyo, kwa ujumla ni kwamba inachukua muda mrefu kufahamisha na kuhamasisha jamii. Ila jamii zikishaelewa na kukubali basi wote wanafaidika. Mfano mwingine ni ule wa Malambo nchini Tanzania ambao umefanyika vizuri sana. Tulitembelea mradi huo tukiwa na waziri na ulikubarika sana.una sehemu ya kunyweshea ng ombe, watu,hivyo hakuna uharibifu na uchafuzi wa maji, ni mfano ambao unapaswa kusambazwa kwingineko. Miradi mingine ni kama ile ya ufugaji nyuki,upandaji miti, na miradi mingine midogo ya kiuchumi kama vile ufugaji wa ng ombe wa maziwa.timu za kitaifa zimeshirikisha mashirika yasiyo ya kiserikali katika kusimamia masuala ya upelembaji, utathimini,utendaji wa kifedha,manunuzi na kusimamia kazi maalumu ambazo nchi hizi zinaweza ziwe na utaalamu wa kutosha. Je ni kuna manufaa gani hadi sasa? Manufaa ya miradi ya CDD yanaweza kuchukua muda kuonekana baada ya kumalizika kwa mradi hadi tathimini ifanyike. Hata

27 Mradi wa LVEMP II Wapiga hatua, Lakini Jamii Zinapaswa Kushirikishwa Zaidi Mratibu wa Kanda wa LVEMP II hivyo jamii zinafurahia sana miti ambayo imepandwa, huduma za maji ambazo kwa sasa ziko karibu na makazi yao na ni za uhakika zaidi. Katika siku za usoni jamii hizi zitafaidika zaidi kutoka na miradi hii na hivyo zitabadilisha mienendo yao. Kwa mfano kwa sasa jamii hizi zinafahamu namna ya kutunza mazingira, jamii zinafahamu kwamba zinapaswa kuzuia ng ombe wasifanye malisho kwenye kingo za mto Simiyu. Je inawezekana kwa jamii moja kunufaika na mradi zaidi ya mmoja? Kikundi cha jamii ambacho kina mradi upata ufadhili kwa ajili ya kutekeleza mradi wa CDD ambao umekubalika kwa wakati huo. Kuna jamii nyingi sana ambazo zinahitaji ufadhili wa miradi yao ya CDD. Kwa hiyo pale ambapo jamii ina mradi ambao unalenga kitu tofauti au inahitaji kupanua mradi wake basi inaweza kupata ufadhili mwingine; kwa mfano,uhifadhi wa ukingo wa mto mrefu ambao unapita kwenye jamii nyingi mbali mbali. Je unawezaje kufanya kazi na nchi tofauti na wadau mbali mbali? Mradi wa kikanda ambao una timu za kitaifa ambazo zina wataalamu kwa kila nchi. Taasisi ya kanda ya uratibu ambayo ni ofisi ya LVBC /LVEMP II regional ufanya kazi za uratibu, uandaaji, ufuatiliaji, tathimini na kutafuta suluhisho na ushauri kwa ajili ya kuboreshaji mchakato wa utekelezaji.uwa tunafanya usimamizi, ziko nchi tano, hivyo uwa tunawasiliana nao na kupanga ziara zetu. Muundo wa kazi zetu ni kutoka kwenye kanda hadi kwenye taifa.katika kila nchi kuna kamati tendaji ambayo inaongozwa na Katibu mkuu wa wizara husika. Huyu ndiye anayetoa mwongozo mzima. Pia kuna kamati ya ushauri wa kiufundi ambazo inaundwa na wakurugenzi kutoka sekta mbali mbali. Kamati hii ndio ufanya mapitio yote ya mradi kabla ya kumfikia katibu mkuu. Kama waratibu wa kikanda, tunayo kamati tendaji ambayo unaundwa na makatibu wakuu wawili ambao utoa mwongozo kwa kila mradi.katika ngazi ya taifa na vikundi vya jamii,muundo unaenda unafuata miundo ya wilaya ambapo kikosi kazi cha wilaya ushirikiana na serikali za mitaa na wananchi katika utekelezaji wa miradi ya CDD. Je, shughuri za usimamizi shirikishi zinakinzana na shughuri za miradi midogo inayoendeshwa na jamii? Shughuri za usimamizi shirikishi zimejikita kwenye uhifadhi wa vyanzo vya maji kwa sababu kiwango chake ni zaidi ya viwango vya CDD na utekelezaji wake unafanyika kwa kushirikiana na taasisi za kitaifa ambazi zinaweza kushiriki moja kwa moja kama vile idara ya misitu katika kusaidia upandaji miti. Mbinu hizi mbili zinasaidiana, kwa mfano mradi wa CDD unaohifadhi kingo za mto na ule wa usimamizi shirikishi ambao unaweza ukafanya zaidi za kuhifadhi kingo za mto huo; kwa ujumla hakuna ukinzani.jamii zinawezeshwa kupanda miti na kuhakikisha miti hiyo unakua vizuri. Kama meneja wa kanda, ni nini matokeo ya mradi wa LVEMPII? Kuna shinikizo nyingi katika bonde na lengo letu ni kudhibiti hizo shinikizo. Kuona mabadiliko katika mfumo mkubwa kama huu ni swala ambalo linahitaji muda ila kikubwa ni kwamba ni lazima tuanzie sehemu fulani. Kwa vile tumeamua kufanya kazi kwa umoja na kwa lengo moja, manufaa yake yataonekana tu. Katika miaka ijayo tutaona ubora wa maji ukiongezeka, magonjwa kupungua na maisha ya jamii kuboreka. Ubora maji katika ziwa hili haufanani sehemu zote, sehemu ambazo zina viwanda vingi kuna uchafuzi zaid wa maji. Tunavyo vituo vya teknolojia za kisasa vya uzalishaji ambapo viwanda vingi vimehamasishwa na kuelekezwa kwa ajili ya kupunguza uchafuzi wa maji na wakati huo huo viwanda vyenyewe vinanufaika kutokana na kutumia mbinu bora na safi za utumiaji wa rasilimali katika uzalishaji. Ujumbe kwa watu wanaoishi kando ya Bonde la Ziwa Victoria Watu wanaoishi kando kando ya bonde la ziwa wanatakiwa kufahamu kwamba mazingira hayako salama kutokana na ongezeko la idadi ya watu na kwamba kubadilisha hali hii kutahitaji mchango wao. Sio wajibu wa serikali na tume peke yake;jamii zinahitajika sana kwani bonde hili ni kwa ajili ya jamii pia kama ilivyo kwa serikali. Serikali itaongoza jitihada za kuokoa bonde hili lakini wakati huo huo wananchi nao inabidi watimize wajibu wao kama vile kuwa na vifaa maalumu vya kuhifadhia uchafu ili kupunguza uchafu ziwani. Wananchi wanapaswa kuwa sehemu ya suluhisho na wanapaswa kuwa mstari wa mbele kushiriki na kuboresha mchakato.. Ishara za miradi midogo midogo ya LVEMP wilayani Rakai nchini Uganda (Picha na UCSD) 25

28 Barua kwa Muhariri 1. Ndugu Mhariri, Asante kwa jarida la waangalizi wa maendeleo endelevu la Africa Mashariki. Napenda picha na kufurahia kusoma makala zako. Natamani ungeweza kuweka pia picha za waandishi ili kusudi tuweze kuwafahamu vizuri waandishi wetu wa Suswatch Imeandikwa na Isa Kundu, Kenya 2. Ndugu Mhariri, Asante kwa Kalenda. Inanisaidia sana kupanga mambo yangu.natumaini utaweza kutupatia nyingine kwa ajili ya mwaka Mwandishi wa siri, Mwanza-Tanzania 3. Ndugu Mhariri, Nafurahia kusoma jarida hili na ningependa kufahamu zaidi kuhusu EA SUSWATCH.Je unazo taarifa gani nyingine ambazo unaweza kutushirikisha? Atugonza Amos- Masaka-Uganda 4. Ndugu Mhariri, Salaam! Makara namba 3 ya jarida la EA Suswatchdog ilikuwa yenye kuelimisha sana. Makala juu ya Maumivu ya kiuchumi katika Afrika ya Mashariki ilikuwa imesheheni na yenye kuelemisha. Picha hii ilichukuliwa wakati wa ziara ya kikazi huko Nyakach, Kisumu; Kijana mdogo alikuwa anachota maji katika kisima cha maji yaliyotuama bila kujua madhara ya maji hayo kwa matumizi ya nuymbani. Pongezi kwa timu nzima ya EA SusWatch kwa kubainisha masuala haya kwani-masikini ambao ndio waathirika wakubwa wa mambo hayawanahitaji kuwezeswha kwa kuwa na taarifa hizi. 5. Ndugu Mhariri, Nilipokea durufu jarida la namba 3 la Suswatchdog.Nilivutiwa hasa na taarifa nilizosoma hasa zile zinazohusiana na Agenda ya Maendeleo ya Baada ya mwaka 2015 na Malengo ya Maendeleo Endelevu. Makala juu ya maji na usafi wa mazingira pia ilinivutia sana. Hakika suala la usafi wa mazingira ni swala ambalo linahitaji kushughurikiwa kwa haraka sana na nchi zote za Afrika Mashariki kwa sababu linaambatana na tishio kubwa la kiuchumi. Matumizi ya vyoo vya Eco-san hayana budi kusisitizwa na masikini kuwezeshwa kutengeneza baigesi kutokana na uchafu waq binadamu (uwekezaji kama ilivyoandikwa kwenye makala na bwana Adongo). Hakika nilifurahia sana jarida hili. Asante! Japheth Babu, Katibu-Kikundi cha kujitegemea cha Litei, Nandi, Kenya 26

29 Pamoja Kwa Nguvu za Kinama katika Eneo la Koru Hera ya Kati Na Emily Arayo Wanawake Wakilima kwa pamoja (Picha na EmilyArayo ) Mtoto wa Diane alinukuliwa akisema kuwa mwanamke ni mzunguko kamili. Ndani yake kuna uwezo wa kuumba, kulea na kubadilisha. Msemo huu unawakilisha nia na shabaha ya kikundi cha jamii cha kujisaidia kilichopo Muhoroni, Magharibi mwa Kenya, ambacho kina wanachama wanawake ishirini na tano (25) ishirini ambao wanaendesha mradi mchanganyiko wa upandaji miti na ufagaji wa ng ombe wa maziwa. Kikundi hiki kiko eneo la Koru Hera ya Kati. Wanachama wa kikundi hiki wanaona kila fahari ya kuedlelea kubaki katika umoja huo wa kina mama. Wanaonyesha kuwa hawataki kuona usumbufu unaojitokeza majumbani kwao ukitokea katika uongozi wa kikundi chao. Ili kuzalisha kipato kwa ajili ya wajumbe, kikundi cha Koru Hera Kati kilisajiliwa mnamo mwezi Machi mwaka 2011 na kujengwa katika misingi iliyoanzishwa na kikundi cha Koru Hera. Kihalisia, kikundi hiki kiliundwa kwa malengo ya kufuga ng ombe wa maziwa, kuku na kilimo cha maua. Sifa pekee ya kikundi hiki ipo katika utekelezaji wa mradi mdogo jumuishi wa Ogwethi unaohusiana na upandaji miti na uboreshaji wa ufugaji wa Ng ombe wa Maziwa ambao uko katika kundi la miradi ya maendeleo ya Jamii (CDD) ambayo inafadhiliwa na mradi wa usimamizi wa mazingira ya ziwa Victoria (LVEMP II). Katika utekelezaji wa mradi huu kikundi hiki kina utaratibu wa pekee sana ambao una mpangilio mzuri wa wajibu na majukumu kwa kulingana na kamati husika. Katika utaratibu huu, kikundi hiki kina kamati ya utawaala, Kamati ya Tathmini na Uperembaji, kamati ya manunuzi na kamati ya usuluhishi wa migogoro. Kikundi hiki pengine ni moja ya vikundi vichache vyenye kamati ya utatuzi wa migogoro ambayo imejumuishwa katika mfumo wa uongozi/utawala na uendeshaji wake. Wajumbe wa kila kamati ujumuisha wajumbe kutoka katika kamati ya utawala na wajumbe hawa wanaweza kuwa katika kamati zaidi ya moja. Sababu za kukifanya kikundi kibaki imara zinaeleweka zaidi pale panapokuwepo na malengo ya wazi ya kushughurikia mahitaji na maslahi ya jamii. Kikundi hiki cha wanawake kinaimarishwa zaidi na mtizamo wao wa pamoja kwamba wanaume ni kikwazo cha maendeleo. Utendaji kazi unafanyika kulingana na ratiba ambayo inaonyesha siku ya kazi ya kila mwanachama japo wanachama wengine huwa hawahudhurii kulingana na ratiba. Uwazi na mawasiliano ni sifa ambazo uwafanya wanawake hawa kuendelea kufanya kazi kwa pamoja katika kikundi chao. Uwa wanafanya mkutano mara moja kwa wiki na wakati mwingine wanaweza kufannya mikutano mara tatu kutegemeana na ukubwa wa shughuri za mradi. Shughuli hizi za mradi mdogo ni pamoja na kuanzishwa kwa vitalu cha miti,kujenga uzio, ujenzi wa kivuli, uanzishwaji wa vitanda vya mbegu, ujenzi wa ghala na ujenzi wa tangi la maji. Changamoto za jamii zinawakabili wanawake na wanaume kwa namna tofauti lakini utekelezaji wa mradi unaweza kuwa na malengo ambayo yanaudumia watu wote katika jamii. Mama Rose A. Mjema ambaye ni 27

30 Pamoja Kwa Nguvu za Kinama katika Eneo la Koru Hera ya Kati Na Emily Arayo Uanzishaji wa Kitalu cha Miti cha kikundi cha jamii cha Koru Hera ya Katika Wilaya ya Muhoroni Kenya. (Photo by Suswatch Kenya) mtaalamu wa maendeleo ya jamii kutoka Tanzania anasema kwamba kuna miradi mingi ya maendeleo ya jamii ( CDD ) ambayo inatekelezwa na vijana, wanawake na wanaume katika maeneo mbalimbali ya Afrika Mashariki. Hata hivyo, Rose anasema kuwa wapo baadhi ya wanawake ambao ni waoga na hushindwa kujieleza na kuonyesha hofu au wasiwasi wao wakati wa mikutano ya jamii. Rose anasema hili ni changamoto kubwa kwani wanajamii wanapaswa kutoa maoni yao juu ya kile wanachoona hakifai na kupendekeza ufumbuzi ambao wanaamini utawasaidia zaidi. Unakutana na hali ambapo wanawake wanakaa kimya wakati wa mikutano ya jamii, na kuwaacha wanaume kutawala majadiliano na kisha baada ya mikutano kuisha wanawake hao upiga simu na kueleza malalamiko yao muda mrefu baada ya mikutano kumalizika. Wanaharakati wa kike husisitiza kwamba kujieleza ni kuzuri zaidi kwani kunampa mtu uhuru wa kujieleza na inaweza kuwa ni sauti hii ya kike ambayo inaweza kuwakomboa wanawake wengine ambao hawana sauti na nafasi ya kujieleza. Miradi ya jamii ni kwa ajili ya ukombozi wa wote, hivyo wanawake wasipoongea inamaanisha kwamba masuala yao hayatashughulikiwa ipasavyo. Audre Lorde anasema Tunapoongea tunakuwa na hofu kwamba maoni yetu hayatasikilizwa au kukaribishwa. Lakini pia tukikaa kimya bado tuna hofu. Hivyo ni bora kuongea na kutoa maoni yetu. Nukuu za Uwezeshaji Haijalishi wewe ni nani, au unatokea wapi. Uwezo wa ushindi huanza na wewe menyewe. Siku zote. ~ Oprah Winfrey Namna ya kawaida ambayo watu upotezo nguvu na uwezo wao ni pale wanapofikiria kwamba hawana nguvu na uwezo wowote. ~ Alice 6Walker Ujasiri ni kama misuli. Uimarika zaidi kulingana na matumizi. Ruth Gordon Ilifika wakati ambapo hatari ya kubaki ndani ya kokwa ilikuwa kubwa zaidi kuliko hatari ya kuchanua maua. Anais Nin Unaweza kukata tamaa pale unaposhindwa, lakini utatokomea kabisa pale utakaposhindwa hata kujaribu. Beverly Sills Unaweza kuchukua maisha yako katika mikono yako mwenyewe, nini kitatokea? Jambo la kutisha: Hakuna mtu wa kumlaumu. Erica Jong Matakwa yetu ya ndani kabisa ni ile minongono yetu halisi. Tunapaswa tujifunze kuiheshimu. Tujifunze kuisikiliza. Sarah Ban Breathnach Swali siyo ni nani atakayeniruhusu; Ni ni nani atakayenizuia? Ayn Rand Kumbuka, hakuna mtu anayeweza kufanya kujisikia duni bila idhini yako. ~ Eleanor Roosevelt Kitu ambacho wanawake bado hawajajifunza ni kwamba hakuna anayeweza kukupa ushujaa. Ni wewe kujichukulia tu. Roseanne Barr Sitamani [wanawake] wawe na nguvu juu ya wanaume; Bali juu yao wenyewe Mary Wollstonecraft 28

31 Miradi Midogo Inayoendeshwa na Jamii Yarejesha Matumaini ya Maisha Miongoni mwa Wakazi wa Magharibi mwa Kenya By Emily Arayo Siku chache zilizopita,kuishi na mtu aliyeambukizwa Virusi vya Ukimwi ilikuwa inachukuliwa kama dhana isiyokubalika na unyanyapaaji ulikuwa mkali zaidi kuliko ugonjwa wenyewe wa Ukimwi. Hali hii inabadilika kwa kasi sana Magharibi mwa Kenya ambapo jamii zilizoambukizwa na Virusi vya Ukimwi zinajitokeza na kuibua miradi midogo ambayo inafadhiliwa na Mpango wa Kuhifadhi Mazingira ya Ziwa Victoria (LVEMP II). Mtadao wetu wa Suswatchdog unaviangazia vikundi viwili vya kusaidiana katika wilaya ya Nyakach ambavyo vinanufaika na miradi midogo ambayo inajumuisha uendelevu wa mazingira na shughuri za uboreshaji wa maisha. Mojawapo Upandaji wa Miti wa Agoro Magharibi na mradi mdogo wa ufugaji ng ombe wa maziwa na mwingine ni mradi mdogo wa upandaji miti na nyumba ya kijani wa Kewere Kushoto: Mkutano na Wanawake wa Kikundi cha Siatok, Nyakach Wajane Pamoja ni Kikundi cha Wajane ambacho kimehamasishwa na nia ya kufanya kazi pamoja jambo ambalo kwao limeonekana lenye maana zaidi kuliko kuendelea kuendelea kutegemea misaada kutoka kwa wanajamii wenzao. Kikundi hiki kilianzishwa kwa lengo la kuhamasisha na kuwezesha wanajamii katika kutambua na kusimamia rasilimali za kiuchumi ili kupunguza madhara ya kiuchumi ya ugonjwa wa UKIMWI. Kikundi kinatamani kuona dunia ambako kila mwananchi anahudumiwa kwa usawa ili kuondoa umasikini unaotokana na maambukizi ya ugonjwa wa UKIMWI. Kikundi hiki kinapata ufadhili chini ya miradi midogo inayoendeshwa na jamii (yaani CDD-type) inayotekelezwa chini ya kipengele namba 3 cha Uhifadhi wa Maliasili na uboreshaji wa maisha ambacho kiko chini ya mpango wa LVEMPII. Kikundi kilianzishwa mwaka 2009 kwa muundo wa kusaidiana kwa mzunguko (kukupeshana). Kikiwa na wanachama 30 katika eneo la Agoro Mashariki, Kasikazini Magharibi ya Nyakach katika wilaya ya Nyakach, kimetengeza faida/riba kutokana na mawekezo yake na kuwakopesha wanachama wake kwa ajili ya kutumia katika mambo mbalimbali ya kiuchumi na kijamii. Muundo wa Kikundi hiki cha Wajane Pamoja unayo nguzo kuu ambayo ni Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM), ambayo ndio usimamia miradi yake yote ya jamii. Kamati tendaji na kamati nyingine ndogo zimeundwa juu ya maeneo manne (4). Haya ni pamoja na Yatima na Watoto Walioko Hatarini, VVU/UKIMWI, Shughuri za Uzalishaji wa Kipato, na Utunzaji wa Mazingira. Mkutano Mkuu (AGM) pia ushirikiana na serikali ya Kenya, Mashirika Yasiyo ya Kiserikali, na Asasi za Kidini katika kutekeleza hayo maeneo makuu manne (4). Watu wa kujitolea pamoja na wanajamii wako kwenye kitako cha muundo wa kikundi hiki. Wanajamii wanaajiliwa kama vibarua ambao ni kama viunganishi ambavyo vinasambaza manufaa kwa jamii nzima. 29

32 Miradi Midogo Inayoendeshwa na Jamii Yarejesha Matumaini ya Maisha Miongoni mwa Wakazi wa Magharibi mwa Kenya By Emily Arayo Kisima cha Maji kilichojengwa ikiwa ni sehemu ya mradi mdogo unaoendeshwa na jamii (Picha na Suswatch Kenya) Kikundi hiki ufanya mikutano kila baada ya wiki mbili (2). Mradi wa LVEMP II umejikita katika uzoefu wa dhana ya kuweka na kukopa ambayo ndio iliokuwa chanzo cha Kikundi hiki, ambayo inafahamika kwa kienyeji kama Hologi Kungo. Kwa leo wanachama wamezungushia vitalu vyao vya miti, wamejenga nyumba za kuhifadhia, wamejenga sehemu za vivuli kwa ajili ya kuhifadhia miche yao na tayari wamejenga tenki la maji la plastiki lenye ukubwa wa lita za ujazo10,000. Pia wameanzisha vitalu vya miti katika kituo cha afya cha Katito, hospitali ya Hope, chuo cha mafunzo ya ufundi cha Katito, shule ya msingi ya Magunga na ndani ya jamii zinazozunguka kikundi hiki Wanachama wa kikundi hiki wanathibitisha maendeleo mapya katika jamii zao na kujiendeleza kwa watu binafsi kama vile kujifunza mbinu mpya, fursa mpya za biashara kwa ajili ya kipato, na uhifadhi wa mazingira. Wanasema kwamba mradi huu umeboresha hali zao za kijamii na maisha kwa ujumla kwani kwa sasa wanajitegemea. Wamejifunza pia kuwa wabunifu na kutumia rasilimali ziliopo. Hawana ardhi ya jumla kwa ajili ya kutekeleza mradi wao lakini mwenyekiti wao amejitolea ardhi yake binafsi kwa ajili ya mradi huu. Kikundi cha Wajane na watoto Yatima cha Siatok Kikundi hiki kinaundwa na wanachama ambao wanatoka katika koo nne ambazo ndio zinatengeneza kifupi cha jina la Kikundi chao-siatok, yaani, Sinino, Angango, Tolo and Oketch. Kikundi hiki kilianzishwa mwaka 2004 kwa lengo la kuwasaidia wajane na yatima katika eneo hili. Kikundi kina kamati tendaji ambayo ndio ufanya kazi za kiutendaji, manunuzi, kamati ya utendaji ambayo ukisaidia kikundi kutekeleza miradi inayoendelea kwa sasa ambayo ni upandaji miti katika kitengo cha utunzaji maliasili na kuboresha maisha. Kikundi cha Wajane na Yatima cha Siatok kinao uwezo sitahiki na taaluma ya kutosha kwa ajili ya usimamizi endelevu wa mradi. Mathalani, kikundi hiki kinazo kamati za upelembaji, fedha na utendaji ambazo zinawajibika kukiendesha kikundi chao. Kikundi pia kimejifunza kuhusisha wataalamu katika kazi zake, hasa kupata mwongozo kutoka kwa serikali. Wanapata ushiriki mzuri wa utawala wa kata na uwahusisha machifu wasaidizi katika kazi zao. Idadi ya wanachama imekuwa ikiongezeka taratibu kutoka 12 mnamo mwaka 2004 hadi kufikia 42 mnamo mwaka Kikundi hiki kimejifunza kwamba ili wanachama waweze kubaki pamoja na kufanya kazi kwa ufanisi, wanahitaji kuhakikisha uongozi imara ambao utahakikisha maslahi ya kikundi. Kutokana na uzoefu wa ukame wakati wa kipindi cha Kiangazi, wanakikundi walitambua kwamba wanahitaji kuhifadhi maji kwa ajili ya kipindi kama hicho lakini pia kuhifadhi mazingira kwa njia ya kupanda miti ili kuhifadhi unyevu unyevu na kuhakikisha vyanzo vya maji vinabakia kama vilivyo, waliandika maombi kwenda serikalini kwa ajili ya hili. Matokeo yake ni kwamba ufadhiri ulipatikana kutoka Mpango wa Kuhifadhi Mazingira ya Ziwa Victoria (LVEMPII), ambapo kupitia msaada huu tayari wamejenga ghala,wamenunua tenki la kuhifadhia maji, na wamenunua zana za kilimo ambazo zinatumika kukamilisha vitalu vya miti ikiwa ni pamoja na kitanda cha mbegu ambacho ni sehemu ya kuhamishia miche ya mimea jamii ya Grivellia, Luceana na Paini. Miche ya miti inauzwa kwa wanajamii na hii ni mojawapo ya vyanzo vya mapato kwa kikundi hiki. Ili kikundi chochote kiweze kuishi, mchango wa wanakikundi ni muhimu sana. Kwa Siatok, mchango wa wanachama ni pamoja na mchango wa kifedha na ule usio wa kifedha.tani saba za mchanga, Lori moja la mbolea, pamoja na muda wao ni baadhi wa mchango ambao sio wa kifedha. 30

33 Makala ya Picha ya Kazi za LVEMP II nchini Burundi (Picha za ziara ya LVEMP II nchini Burundi) Mkutano wa kuhamasisha jamii nchini Burundi Mkutano wa jamii ya Nyagisozi community meeting (Picha na LVEMP II Burundi) Magugu maji katika Ziwa Rweru Kushoto ni Mratibu wa taifa wa LVEMP II Mr. Liberat Nihayimana akiwa kwenye mradi Maafisa wa mradi wa LVEMP II wakihudhuria mkutano wa uhamasishaji jamii Ziara ya Mfumo Ikolojia wa Ziwa Rweru 31

34 EA SuSwatch Ikiwa Mugumu Kusherekea Siku ya Mara Tukio hili lilihitimisha shindano la Insha kwa shule za sekondari katika nchi za Uganda, Kenya natanzania. Washindi walisafiri kwenda Mara na kujishindia zawadi mbali mbali za binafsi na za kishule Picha Picha 1: Waziri Mkuu watanzania Mizengo Pinda na Maafisa wengine wakiwasili kwenye Tamasha Picha 2: Ushirikishanaji wa matoleo katika banda la EASUSWATCH Picha 3: Maandamano Wakati wa Sherehe za Siku ya Mara. Picha 5: Bendi ya nyimbo ikiwa katika maandamano 6 Picha 4 /6 : Washindi wa Shindano la Insha kwa Shule za Sekondari Wakiwa na Walimu Wao na Wafanyakazi wa EASUSWATCH 32

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition

More information

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA NGUZO KUMI ZA KWANZA (MFUMO WA UTEKELEZAJI) NGUZO YA 1 DIRA YA TAIFA YA KWANZA 1.1 Kupitisha Dira ya KWANZA SHUGHULI MAJUKUMU MUDA MHUSIKA MKUU 1. AZIMIO LA KWANZA 2. mpango wa utekelezaji wa KWANZA 3.

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda WARAKA WA TAARIFA YA MRADI (PID) HATUA YA TATHMINI TAARIFA NA..: AB4376 Jina la Mradi Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda AFRIKA Sekta Madini na Uchimbaji mwingine (100%) Namba ya

More information

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment Background 1. On 4 th September, 2012, the Energy and Water Utilities

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

Bustani 10,000 Katika Afrika. Alberto Prina

Bustani 10,000 Katika Afrika. Alberto Prina Bustani 10,000 Katika Afrika Alberto Prina K i j i t a b u Timu ya wahariri: Abderrahmane Amajou, Typhaine Briand, Roba Bulga Jilo, Davide Dotta, Emanuele Dughera, Michela Lenta, Velia Lucidi, Irene Marocco,

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI b Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI 1 Mwongozo wa Uzalishaji

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHESHIMIWA MUSTAFA HAIDI MKULO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

TIST HABARI MOTO MOTO

TIST HABARI MOTO MOTO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. +255784-537720/+255717-062960/+255782-250947, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@tist.org May 2010 Cash Payments for Trees Clean Air Action has developed a way to pay the groups

More information

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized!. viromen-alsc:a.. Environmental & Social MRADI WA UMEME WA GESI YA * Assessment & Management

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA TWN Third World Network 1. WEMA ni nini? Mahindi yanayotumia maji kwa ufanisi yajulikanayo kwa kingereza kama Water Efficient Maize for Africa (WEMA) ni mpango

More information

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kiongozi hiki kimeandaliwa kikiwa ni sehemu ya mradi wa

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Moduli ya kwanza Uhamasishaji Jamii juu ya Afya ya Mazingira Kimechapishwa kutokana na Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Jeff Conant na Pam Fadem i COBIHESA

More information

Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014

Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014 Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014 Wandishi (Jina la kwanza kiherufi): Edmund Githoro, Simon Fraval, Joanne

More information

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI TAARIFA YA MAFANIKIO CHINI YA UONGOZI WA MHE. SOSPETER MUHONGO (MB) KATIKA SEKTA NDOGO YA UMEME Disemba, 014 A. MAFANIKIO 1. Kuongezeka kwa uzalishaji

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) Dar es Salaam Oktoba 2007 YALIYOMO ORODHA YA VIFUPISHO DIBAJI SHUKRANI MUHTASARI RASMI SURA

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA

More information

Deputy Minister for Finance

Deputy Minister for Finance ISSN: 1821-6021 Vol XI - No - 34 DID YOU KNOW? A procuring entity is?s required to use suppliers pliers?pliers?pliers?pliers among those awarded ed?ed?ed?ed framework agreements by GPSA for procurement?ents

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wapilipili Tanzania Wildlife Division, Tanzania Wildlife

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12 Human Rights Are Universal And Yet... Episode 07 Title : The right to food drought and famine in Ethiopia Author : Tedla Getachew Editor : Aude Gensbittel, Pendo Paul Translator : Anne Thomas Proofreader:

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) TOLEO LA PILI Dar es Salaam, Oktoba, 2007 i ii JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI

More information

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia HakiElimu & Policy Forum KUUELEWA MCHAKATO.indd a 1/20/10 11:00:56 AM KUUELEWA MCHAKATO.indd b 1/20/10 11:00:57 AM Kuuelewa Mchakato wa

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017 TAARIFA Agosti 2017 NGUO MPYA ZA UKOLONI Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika Jumuiya ya Jamii ya 2007: Wajumbe wanaadhamana Nairobi dhidi ya EPAs. SwissInfo Tangu mwaka

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Msingi wa Programu zote za Uimarishaji Ubora Toleo la 1 kwa Lugha ya Kiswahili

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MHESHIMIWA MHANDISI DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO KWA

HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MHESHIMIWA MHANDISI DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO KWA HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MHESHIMIWA MHANDISI DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO KWA MWAKA 2018/2019 YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 HALI

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Child Abuse & Neglect 43(2015)8 21 Orodha Yaliyomo inapatikana katika ScienceDirect Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Nakala ya Utafiti Mbinu za kuimarisha mifumo ya ulinzi wa mtoto kuanzia chini kwenda

More information

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa

More information

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MFUMO WA RUZUKU YA MAENDELEO YA MTAJI WA SERIKALI ZA MITAA (LDCDG) UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI Kijitabu cha Mshiriki

More information

KILIMO CHA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU TWAUMU (SWAUMU)

KILIMO CHA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU TWAUMU (SWAUMU) 2016/2017 TEMBELEA ACKYSHINE.COM/SHOP KUPATA MAJARIDA MENGINE KILIMO CHA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU TWAUMU (SWAUMU) Kutoka ackyshine.com/shop Melkisedeck Shine KILIMO CHA VITUNGUU (VITUNGUU MAJI) Vitunguu

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MIFUGO NA UVUVI MHESHIMIWA, ENG. DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB.) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA

HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MIFUGO NA UVUVI MHESHIMIWA, ENG. DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB.) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MIFUGO NA UVUVI MHESHIMIWA, ENG. DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB.) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA 2017/2018 YALIYOMO

More information

Shabaha ya Mazungumzo haya

Shabaha ya Mazungumzo haya Karibu Katika Mazungumzo Kuhusu Mchakato wa Uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii CCMP/UMOJA Shabaha ya Mazungumzo haya Kuwafahamisha viongozi wa makanisa kuhusu Mchakato wa CCMP ambao umekuwa ukitumika

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

Ni kwa nini mkulima awe maskini?

Ni kwa nini mkulima awe maskini? Jarida la kilimo endelevu Afrika Mashariki Ni kwa nini mkulima awe maskini? Swali hili limekuwa likijirudia mara kwa mara. Kwa watu walio wengi hata wakulima wenyewe, wana majibu mengi sana ambayo wamekuwa

More information

4. Kanuni za Petroli (Ushiriki wa Watanzania) za mwaka 2017 zilianza kutumika rasmi tarehe 5 Novermba Shughuli za Petroli za kwanza ni

4. Kanuni za Petroli (Ushiriki wa Watanzania) za mwaka 2017 zilianza kutumika rasmi tarehe 5 Novermba Shughuli za Petroli za kwanza ni MWONGOZO WA JINSI YA KUWASILISHA MAOMBI YA KUWEKWA KWENYE KANZIDATA YA WATANZANIA WENYE UWEZO WA KUUZA BIDHAA AU KUTOA HUDUMA (LSSP) KWENYE SHUGHULI ZA MAFUTA NA GESI ASILIA NCHINI Utangulizi 1. Mamlaka

More information

ORDER NO BACKGROUND

ORDER NO BACKGROUND In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

UTANGULIZI. 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote nitumie fursa hii kuungana na

UTANGULIZI. 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote nitumie fursa hii kuungana na HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA, MHESHIMIWA STEPHEN MASATO WASIRA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA KWA MWAKA 2008/2009 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2009/2010 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information

Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi

Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi PAN AFRICAN PARLIAMENT PARLEMENT PANAFRICAIN البرلمان PAN- PARLAMENTO األفريقي AFRICANO Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi Julai 21 22, 2011 Bunge la

More information

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI MWONGOZO KWA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA WASTANI WANAOUZA BIDHAA NJE YA NCHI TOLEO LA PILI Geneva 2011 ii IKISIRI YA HUDUMA YA HABARI ZA BIASHARA ID=42653 2011 F-09.03

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MHESHIMIWA SOPHIA M. SIMBA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2013/14 DODOMA Mei,

More information