2.1.1 Kabla ya Ukoloni

Size: px
Start display at page:

Download "2.1.1 Kabla ya Ukoloni"

Transcription

1 2.1 Historia ya Tamthiliya ya Kiswahili Ukilinganishwa na tanzu nyingine za fasihi ya Kiswahili, utanzu wa tamthiliya ndio mchanga zaidi. Hata hivyo, chimbuko lake kwa upande wa sanaa-tendaji ni la kale mno. Chimbuko lake hasa ni katika fasihi simulizi ya Kiswahili katika mawasilianao ya moja kwa moja baina ya msimulizi wa ngano na hadhira, katika maigizo mbalimbali ya msimulizi wa ngano, katika ushirikiano wa moja kwa moja baina ya msimulizi na hadhira yake, katika majibizano ya kishairi yanayotokea katika hafla mbalimbali, katika nyimbo na ngoma za watoto na watu wazima, katika michezo ya sarakasi na kadhalika. Kwa hiyo, historia na maendeleo ya tamthiliya nchini Tanzania inaweza kuelezwa kwa kurejelea vipindi vitatu muhimu: Kabla ya Ukoloni, Kipindi cha Ukoloni na Kipindi cha Uhuru Kabla ya Ukoloni Tamthiliya zilizoandikwa ili ziigizwe jukwaani hazikuwepo kabla ya ukoloni. Mchezo wa kuigiza ulioandikwa ulikuja na wakoloni (Bertoncini, 1989). Aina za sanaa za maonyesho zilizokuwepo zilitofautiana na tamthiliya hii iliyoingizwa na tamaduni ngeni. Zilikuwepo tamthiliya zisizoandikwa, zilizogezwa au kufaraguzwa (improvised) kwa ajili ya kuonyeshwa kwenye shughuli maalumu, kwa mfano sherehe za jando na unyago, mazishi, kutawazwa kwa mtemi, arusi na michezo ya watoto. Tamthiliya hizo zilikuwa na sifa kadha za tamthiliya, yaani hadithi, vitendo, wahusika na waigizaji wao, na dialojia. Isitoshe, zilikuwa na sifa za Sanaa za Maonyesho kama vile: Dhana Inayotendeka, Uwanja Unaotendewa, Watendaji, Hadhira, Kusudio la Kisanaa, Muktadha wa Kisanaa na Ubunifu (Umithilishaji). Tamthiliya hizo hazikuwa na ploti ya ki-aristotle wala matini yaliyoandikwa. Hivyo hizi zilikuwa tamthiliya-simulizi Kipindi Cha Ukoloni ( ) Tamthiliya ilianza Tanzania wakati ukoloni ulipoingia hasa kuanzia miaka ya Ukoloni unahusu jamii mbili ambapo jamii moja yenye nguvu huitawala jamii nyingine. Katika hali kama hii, hutokea tamaduni mbili utamaduni unaokandamiza na ule unaokandamizwa. Katika kipindi hiki palikuwepo: Tamthiliya za Kizungu, Vichekesho na Tamthiliya ya Kiswahili. 1

2 Tamthiliya za Kizungu Tamthiliya za kizungu zilikusudiwa ama kuwaburudisha maofisa na walowezi (masetla) wa kizungu, au kufundisha Bibilia na imani ya Kikristo.Tamthiliya hizi ziliigizwa kuanzia miaka ya 1920, nyingi zilichezwa mashuleni. Shule ndio hasa zilitumika kuonyeshea tamthiliya zilizojaa ujumi, amali na itikadi ya Kibepari. Kwa sababu tamthiliya inahitaji kusomwa na kukaririwa kabla ya kuonyeshwa kwenye jukwaa, basi usomi ulikuwa kigezo kikubwa cha kufanikisha tamthiliya. Hali hii iliwafanya wala tu waliojua kusoma na kuandika Kiingereza waimudu fani hii. Hawa walipatikana shuleni tu ukiondoa wakoloni wenyewe. St. Joseph Convent School, hivi sasa Forodhani, ilianza kuonyesha tamthiliya za Kiingereza kuanzia Tamthiliya hizo ni kama vile The Sherrif s Kitchen, The Ugly Duckling ya Milne na The Birds of a Feather ya Francis. Nyingi katika tamthiliya hizi zilikuwa zile za wakati wa Victoria huko Uingereza ( ). Tamthiliya hizi zilijulikana kama Drawing Room Drama. Zilijishughulisha na masuala ya kinyumbani, yaani jinsi familia ya Kiingereza huishi, matazamio yake na mambo yafafanayo na hayo. Kwa kifupi, tamthiliya hizi zilitakiwa kuwa na ujumi-taaluma wa tamthiliya, yaani lugha na mtindo wa uonyeshaji uliotakiwa Uingereza wakati huo Four Wall-Bourgeois Theatre. Tamthiliya zote zilikuwa kwenye Kiingereza. Baadhi ya tamthiliya zilitokana na michezo iliyoandikwa na Waingereza, kwa mfano Shakespeare, na baadhi zilikuwa ni za dini ya Kikristo. Takriban tamthiliya zote za kipindi hiki zilikuwa ni za kibwanyenye, yaani zisizopingana na mfumo wa ubepari na ukoloni uliokuwepo. Tamthiliya chache mno zilitafsiriwa kwa Kiswahili, kwa mfano, tamthiliya ya Moliere, Le Medecin Malge Lui Tabibu Asiyependa Utabibu. Mbali na shule, zilianzishwa taasisi zingine zilizojishughulisha na tamthiliya. Hindu Volunteer Corps ambayo ilionyesha tamthiliya za Kihindi ilianzishwa mnamo Baadaye, vilianzishwa vikundi vya kuigiza tamthiliya za kizungu: Dar es Salaam players (Little Theatre, 1947) na Arusha Little Theatre, 1953 (Lihamba, 1985:38). Tamthiliya katika lugha ya Kiingereza ilizidi kushamiri baada ya kufanyika mkutano wa wakoloni wa Kiingereza huko Cambridge mwaka wa 1948 uliojulikana kama Cambridge Summer Conference. Mkutano huu uliongelea suala la kutumia maonyesho kama kipengengele kimoja cha kueneza utamaduni wa Kiingereza kwenye 2

3 makoloni. Kwa hiyo, matombola, brass bendi na tamthiliya vikatiliwa mkazo. Matokeo ya mkutano huu kwenye makoloni ikawa ni uanzishwaji wa mashindano ya tamthiliya shuleni. Mnamo mwaka wa 1957, Baraza la Kiingereza (British Council) lilianzisha mashindano ya uigizaji wa tamthiliya za Kiingereza nchini Tanzania, yaliyoitwa School Drama Competition. Tamthiliya zote zilibidi kuwa kwenye lugha fasaha ya Kiingereza. Mashindano hayo yaliendelea hadi 1963, yalipoanza kusimamiwa na Youth Drama Association. Kuanzia wakati huo, tamthliya za Kiswahili zilianza kuhusishwa katika mashindano hayo, na hivyo kuchochea utuzi wa tamthiliya katika lugha hiyo. Vichekesho Vichekesho 1 ni aina ya tamthiliya-gezwa (zilizotungwa papo kwa hapo bila kuandikwa). Zilianza miaka ya 1920 kwa lengo la kuburudisha wenyeji. Tamthiliya hizo kwa kawaida zilikuwa na vituko vya kuchekesha na ziliwasuta watu waliofikiriwa kuwa washamba, wajinga au wasiostaarabika. Tamthiliya hizo zilimwonyesha mhusika anayetoka shamba na kwenda kuzuzuka mjini. Vichekesho viliendelea hata baada ya uhuru (na bado vipo) ila dhamira zake zilibailika. Tamthiliya-Andishi ya Kiswahili Tangu 1920 mpaka 1960 mambo yaliyowakabili wakabili wanaotawaliwa (Waafrika) yalikuwa ardhi, ukabila na kujipatia uhuru. Hata hivyo, tamthiliya zilizoandikwa wakati huu na waafrika hazikujishughulisha na mambo haya matatu. Katika kipindi hiki, kabla ya kuchapishwa vitabu vyote, ilibidi vipitiwe kwenye Kamati ya Lugha ya Makoloni ya Afrika Mashariki. Hiki kilikuwa chombo cha mtawala cha kusimamia ukuzaji wa lugha ya Kiswahili. Kutokana na hali hii, maandishi yoyote yale ambayo ni kinyume na ukoloni hayangeweza kuchapishwa. Tamthiliya za wakati huu zilihusu mambo ambayo kwa kiasi fulani yalisababishwa na tabaka tawala lakini hayakuchambuliwa kwa kina 1 Katika Muktadha huu dhana hii imetumiwa kwa maana ya Pop-Comedy yaani komedia pendwa au futuhi pendwa. 3

4 kuweza kutoa mwanga wa kuyatatua. Tamthiliya hizi zililenga kwenye masuala yanayohusu rushwa, mapenzi, ukabila na migongano ya utamaduni. Iwapo tamthiliya hizi zingegusia uondoaji wa ukabila, basi zingeweza kuchangia kuleta umoja ambao ungetumika kunyakua ardhi ambayo ilikuwa imechukuwa na mkoloni na hatimaye kuleta vuguvugu la kumtoa kabisa mkoloni. Tamthiliya za kiswahili zilizoandikwa kwanza kabla ya kuigizwa jukwaani zimeanza kutokea miaka ya Tamthiliya za mwanzo zilikuwa za kidini km. Imekwisha (Frank, C The Highway Press, Nairobi). Tamthiliya nyingi za kidini ziliandikwa na kuigizwa tu shuleni na makanisani, lakini hazikuchapishwa vitabu. Tamthiliya za mwanzo zisizokuwa za kidini zilianza kutungwa kati ya 1952 na Shughuli za tamthiliya wakati huo wa Hali ya Hatari 2 zilisimamiwa na Graham Hyslop, mwingereza aliyekuwa katika utumishi wa serikali ya kikoloni Kenya. Hyslop alianzisha kikundi cha maigizo kwa ajili ya askari mwaka wa 1944, na miaka ya 1950 alianza kutunga michezo ambayo iliigizwa na kikundi chake. Michezo yake ya kwanza katika Kiswahili ni Afadhali Mchawi (EALB, 1957) na Mgeni Karibu (EALB, 1957). Michezo hiyo iliigizwa kati ya 1954 na Tamthiliya ya Afadhali Mchawi (Hyslop, 1957) iligusia mgogoro unaoletwa na mahari, mila na umamboleo. Baadaye Hyslop alianza kuzunguka katika shule na vyuo mbalimbali nchini Kenya akifundisha muziki na uigizaji. Miongoni mwa wanafunzi wa mwanzo wa Hyslop waliokuwa wakisoma Alliance High School ni Henry Kuria, Kimani Nyoike, Gerishom Ngugi na B.M. Kurutu. Tamthiliya ya Kuria, Nakupenda Lakini (EALB, 1957) iliigizwa kwa mara ya kwanza mwaka Tamthiliya ya Nyoike, Maisha ni Nini? iliigizwa mwaka Tamthiliya ya Gerishon Ngugi, Nimelogwa Nisiwe na Mpenzi (EALB, 1961) iliigizwa mwaka 1956 na ya Kurutu, Atakiwa na Polisi mwaka Kwa jumla, hadi tulipopata uhuru, tamthiliya zote za Kiswahili zilizochapishwa zilikuwa zimeandikwa na Wakenya. Watanzania hawakujitokeza katika uwanja huu hadi baada ya uhuru Kipindi cha Uhuru Tanzania kuwa jamhuri mwaka wa 1962 kuliashiria mambo mapya kwenye tamthiliya. Kwanza usomi ulipiga hatua kutokana na siasa 2 Wakati wa vita vya Mau Mau nchini Kenya. 4

5 mpya ya wananchi kujitawala wenyewe. Chuo Kikuu cha kwanza nchini kilianzishwa Serikali pia ilianzisha Wizara ya Utamaduni wa Taifa mwaka wa Katika kipindi hiki cha uhuru palikuwepo: Tamthiliya za Kizungu, Vichekesho na Tamthiliya ya Kiswahili. Tamthiliya ya Kizungu Tamthiliya ya kizungu iliendelea kuigizwa hata baada ya uhuru, hasa mashuleni na katika kumbi maalumu za maonyesho kama Little Theatres. Hata hivyo, umaarufu wake ulipungua kiasi, hususan upande wa Tanzania. Baadhi ya tamtiliya muhimu za kizungu zilianza kutafsiriwa na kuigizwa kwa lugha ya Kiswahili ili zieleweke zaidi na wananchi km. tafsiri za J.K. Nyerere za Shakespeare, Juliasi Kaisari (OUP, 1964) na Mabepari wa Venisi (OUP, 1969); tafsiri za S.S. Mushi za michezo ya Shakespeare ya Makbeth (TPH, 1968) na Tufani (TPH, 1969); Moliere, Mchuuzi Muungwana (A. Morrison, EALB 1961) na Mnafiki (L. Taguaba, TPH 1973); Sophocles, Mfalme Edipode (S.S. Mushi OUP, 1971); Gogol, Mkaguzi Mkuu wa Serikali (C. Mwakasaka, HEB 1979), nk. Licha ya tamthiliya za kizungu, kadhalika tamthiliya za Kiafrika zilizoandikwa kwa lugha za kigeni na lugha nyingine za kiafrika, zilifasiriwa kwa Kiswahili km. Mtawa Mweusi (Ngugi wa Thiong o, HEB, 1978); Soyinka W. Masaibu ya Ndugu Jero (Mf. A.S. Yahya OUP 1974); O. Ijimere, Kifungo cha Obatala (HEB, 1978); Ngugi wa Thing o na Ngugi Mirii, Nitaolewa Nikipenda (HEB, 1982); M. Mulokozi (1968), The Tragedy of Mkwawa (Mf. Kahingi, 1970). Vichekesho Baada ya uhuru vichekesho vilichua sura tofauti kidogo. Badala ya kuwasuta washamba vilianza kuwasuta wazungu weusi, yaani waafrika wanaoringia elimu au vyeo na kudharau utamaduni wao (Darlite 2/2: ). Vipengele kama matendo, maonyesho na maongezi vilitumiwa katika uundaji wa vichekesho hivi. Baadhi ya vichekesho, hasa vinavyoonyeshwa kwenye mabaa na sehemu nyingine za burudani na starehe, hujaribu kuzungumzia matatizo ya watu wa kawaida, km. matatizo ya familia, ukosefu wa kazi, ukimwi, uhalifu, udanganyifu wa waganga wa jadi, nk. Vipo pia vichekesho vya kisiasa vyenye kuzungumzia kadhia za kisiasa, ubinafsi wa viongozi, matatizo yanayokumba watu vijijini, mijini, nk. 5

6 Baadhi ya vichekesho vya redio Tanzania, km. Mahoka (kipindi kilichoanza mwaka 1974) na Pwagu na Pwaguzi (kilianza mwaka 1978), hukejeli na kukemea tabia mbovu za baadhi ya watu, wakiwemo viongozi wa kiasa. Siku hizi vichekesho hutangazwa na vituo vya redio na televisheni, na huonyeshwa mijini kwenye kumbi za starehe. Tamthiliya-Andishi ya Kiswahili Baada ya uhuru utunzi wa tamthiliya ulipamba moto zaidi, hasa upande wa Tanzania. Uhuru uliwafanya waandishi wa tamthiliya kuandika mambo ambayo wasingeweza kuyaandika hapo awali. Waandishi walitumia tamthiliya kuelezea matatizo yanayokabili jamii. Mashindano ya utunzi na uigizaji yaliyoendeshwa na Youth Drama Association nchini Tanzania yaliwawezesha watunzi chipukizi kujitokeza, akiwemo Ebrahim Hussein ambaye tamthiliya yake ya kwanza, Wakati Ukuta (EAPH,1969) ilishinda tuzo katika mashindano hayo. Wengine walikuwa Uhinga na Katalambula ambao walitunga tamthiliya za Kiswahili zilizoonyesha maadili katika jamii. Wakati huo pia ndipo walipoanza kutokea watunzi waliohitimu fani ya sanaa za maonyesho katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam km. E. Hussein, P. Muhando, N. Ngahyoma na G. Uhinga. Kwa mujibu wa Mulama (1983) watunzi walianza kuifungamanisha tamthiya na mahitaji ya nchi ya Tanzania. Uzukaji wa tamthiliya ukaambatana na hali maalumu za kiuchumi na kijamii. 6

NAFASI YA MUZIKI ULIOPENDWA KATIKA FASIID YA KISWAHILI PAMELA M. Y NGUGI. Inkisiri. M a kala. AAP 64 (2000): Swahili Forum VII

NAFASI YA MUZIKI ULIOPENDWA KATIKA FASIID YA KISWAHILI PAMELA M. Y NGUGI. Inkisiri. M a kala. AAP 64 (2000): Swahili Forum VII AAP 64 (2000): Swahili Forum VII 145-152 NAFASI YA MUZIKI ULIOPENDWA KATIKA FASIID YA KISWAHILI PAMELA M. Y NGUGI Inkisiri Nyimbo, kama tanzu ya fasihi yeyote ile zina majukumu mbalimbali ambayo hutekeleza

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

KUMBUKIZI YA MAREHEMU MWALIMU EDWIN SEMZABA

KUMBUKIZI YA MAREHEMU MWALIMU EDWIN SEMZABA SWAHILI FORUM 23 (2016): 144-153 KUMBUKIZI YA MAREHEMU MWALIMU EDWIN SEMZABA ELIZABETH MAHENGE & EMMANUEL MBOGO Wasifu wa Marehemu hadi kufika chuoni Mwalimu Edwin Charles Semzaba alizaliwa Muheza tarehe

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

K. M a r k s, F. E n g e l s

K. M a r k s, F. E n g e l s W a (any a kazi wa nchi zote, unganeni! K. M a r k s, F. E n g e l s Maelezo ya chama cha kikomunist Idara ya Maendcleo Moscow Tafsiri hii ya "Maelezo ya Chama cha Kikomunist" inatokana na maandishi

More information

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI SIKOMBE YIZUKANJI YORADI TASNIFU YA KISWAHILI KWA MINAJILI YA KUTUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI (MA. KISWAHILI) KITIVO CHA SANAA

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

HALIYA VITABUVYA WATOTOKATIKA TANZANIA

HALIYA VITABUVYA WATOTOKATIKA TANZANIA AAP 68 (2001)- Swahi1i Fomm Vill 171-183 HALIYA VITABUVYA WATOTOKATIKA TANZANIA J S. MADUMULLA Whither is fled the visionary gleam Where is it now, the glory and the dream Wapi kimekimbilia, kianga cha

More information

UFASIHI SIMULIZI KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: Mifano kutoka Adili na Nduguze na Wasifu wa Siti Binti Saad. Khatib Khamis Saleh

UFASIHI SIMULIZI KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: Mifano kutoka Adili na Nduguze na Wasifu wa Siti Binti Saad. Khatib Khamis Saleh UFASIHI SIMULIZI KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: Mifano kutoka Adili na Nduguze na Wasifu wa Siti Binti Saad Khatib Khamis Saleh Tasinifu ya Uzamili Katika Kiswahili Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Septemba,

More information

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Martha Qorro 1 1.0 Utangulizi Elimu ni suala la jamii ambalo mipango na taratibu zake zinahitaji kushirikisha wadau

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011.

HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011. Saint Augustine University of Tanzania From the SelectedWorks of Daudi Mwita Nyamaka Mr. Winter December 9, 2011 HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU

More information

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E)

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI/AGOSTI 2011 MUDA: 2 ½ Kiswahili Fasihi Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) MAAGIZO Jibu maswali manne pekee Swali la kwanza ni lazima Maswali

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

UHUSIANO WA MIKAKATI YA UFUNDISHAJI WA FASIHI YA WATOTO YA KISWAHILI NA UMILISI WA KUSOMA KATIKA SHULE ZA MSINGI, KASARANI, KAUNTI YA NAIROBI, KENYA

UHUSIANO WA MIKAKATI YA UFUNDISHAJI WA FASIHI YA WATOTO YA KISWAHILI NA UMILISI WA KUSOMA KATIKA SHULE ZA MSINGI, KASARANI, KAUNTI YA NAIROBI, KENYA UHUSIANO WA MIKAKATI YA UFUNDISHAJI WA FASIHI YA WATOTO YA KISWAHILI NA UMILISI WA KUSOMA KATIKA SHULE ZA MSINGI, KASARANI, KAUNTI YA NAIROBI, KENYA NA SELINA RHOBI CHACHA E55/23475/11 TASNIFU HII IMEWASILISHWA

More information

KUCHUNGUZA UFASIHI SIMULIZI UNAOJITOKEZA NDANI YA HADITHI ZA KUSADIKIKA NA ADILI NA NDUGUZE

KUCHUNGUZA UFASIHI SIMULIZI UNAOJITOKEZA NDANI YA HADITHI ZA KUSADIKIKA NA ADILI NA NDUGUZE KUCHUNGUZA UFASIHI SIMULIZI UNAOJITOKEZA NDANI YA HADITHI ZA KUSADIKIKA NA ADILI NA NDUGUZE MUHAMMED ALI SALIM TASINIFU ILIYOWASILISHWA KWA AJILI YA KUTIMIZA SEHEMU YA MASHARTI YA KUTUNIKIWA SHAHADA YA

More information

MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA

MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA KIGODA CHA TAALUMA CHA MWALIMU NYERERE MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA Yamekusanywa na kuhaririwa na: Bashiru Ally Saida Yahya-Othman Issa Shivji CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

More information

KUCHUNGUZA MASUALA YA KISIASA KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: MFANO WA KUSADIKIKA NA KUFIKIRIKA

KUCHUNGUZA MASUALA YA KISIASA KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: MFANO WA KUSADIKIKA NA KUFIKIRIKA KUCHUNGUZA MASUALA YA KISIASA KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: MFANO WA KUSADIKIKA NA KUFIKIRIKA BIBIANA MASSAWE AMBROSE TASINIFU ILIYOWASILISHWA KWA AJILI YA KUTIMIZA SHARTI PEKEE LA KUTUNUKIWA DIGRII

More information

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo, HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU, KWENYE SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA HAMSINI YA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, TAREHE 08 JUNI 2008, MSIMBAZI CENTRE, DAR ES SALAAM Mhashamu

More information

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to

More information

KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS

KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS ALLIANCE BOYS HIGH SCHOOL KISWAHILI KARATASI YA 2 SCHOOLS NET KENYA Osiligi House, Opposite KCB, Ground Floor Off Magadi

More information

MAKALA: USHAIRI WA KISWAHILI KATIKA NJIA PANDA: KUTUMIA AU KUTOTUMIA METHALI

MAKALA: USHAIRI WA KISWAHILI KATIKA NJIA PANDA: KUTUMIA AU KUTOTUMIA METHALI MAKALA: USHAIRI WA KISWAHILI KATIKA NJIA PANDA: KUTUMIA AU KUTOTUMIA METHALI Na Joseph Nyehita Maitaria Mwanafunzi wa Ph.D Idara ya Kiswahili na Lugha za Kiafrika Chuo Kikuu cha Kenyatta Ikisiri Makala

More information

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya Nordic Journal of African Studies 9(2): 49-59 (2000) Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya UTANGULIZI Tukichunguza hazina ya uhakiki uliofanywa katika taaluma

More information

UJAGINA WA MWANAMKE KATIKA PANGO

UJAGINA WA MWANAMKE KATIKA PANGO UJAGINA WA MWANAMKE KATIKA PANGO NA MUNIU GEORGE GITHUCI C50/65581/2011 TASNIFU HII IMETOLEWA ILI KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJI YA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA CHUO KIKUU CHA NAIROBI IDARA YA KISWAHILI NOVEMBER

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

FANI KATIKA NYIMBO TEULE ZA ANASTACIA MUKABWA MBURU JAMES MUNGAI TASNIFU HII IMETOLEWA ILI KUTOSHELEZA BAADHI YA

FANI KATIKA NYIMBO TEULE ZA ANASTACIA MUKABWA MBURU JAMES MUNGAI TASNIFU HII IMETOLEWA ILI KUTOSHELEZA BAADHI YA FANI KATIKA NYIMBO TEULE ZA ANASTACIA MUKABWA MBURU JAMES MUNGAI TASNIFU HII IMETOLEWA ILI KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJI YA SHAHADA YA UZAMILI (M.A.) KATIKA IDARA YA KISWAHILI CHUO KIKUU CHA NAIROBI 2014

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

Nadharia za Uhakiki kama Mchakato wa Kutaalamisha Usomaji wa Fasihi

Nadharia za Uhakiki kama Mchakato wa Kutaalamisha Usomaji wa Fasihi Journal of Linguistics and Language in Education Vol 8, Number 1 (2014): 37-48 Nadharia za Uhakiki kama Mchakato wa Kutaalamisha Usomaji wa Fasihi Richard M. Wafula * Ikisiri Utunzi na uhakiki wa fasihi

More information

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR.

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR. RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR. SEHEMU YA KWANZA 1.0 UTANGULIZI. Kamati Teule ya Kuchunguza Upotevu wa Nyaraka

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Evaluation of Contextual Teaching of Kiswahili Proverbs in Secondary Schools in Kenya

Evaluation of Contextual Teaching of Kiswahili Proverbs in Secondary Schools in Kenya Evaluation of Contextual Teaching of Kiswahili Proverbs in Secondary Schools in Kenya Oduori T. Wamubi Prof. Simala, K. Inyani Profesa Mshiriki Masinde Muliro University of Science and Technology Prof.

More information

Mbinu za Ujenzi wa Wahusika na Usawiri wa Sifa Zao: Uhakiki wa Riwaya ya Dunia Uwanja Wa Fujo ya E. Kezilahabi

Mbinu za Ujenzi wa Wahusika na Usawiri wa Sifa Zao: Uhakiki wa Riwaya ya Dunia Uwanja Wa Fujo ya E. Kezilahabi 38 MULIKA NA. 34 Mbinu za Ujenzi wa Wahusika na Usawiri wa Sifa Zao: Uhakiki wa Riwaya ya Dunia Uwanja Wa Fujo ya E. Kezilahabi Leonard Flavian Ilomo Ikisiri Kipengele cha wahusika ni muhimu katika kuunda

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q 88092387 SWAHILI B HIGHER LEVEL PAPER 1 SOUAHÉLI B NIVEAU SUPÉRIEUR ÉPREUVE 1 SUAHILI B NIVEL SUPERIOR PRUEBA 1 Tuesday 3 November 2009 (morning) Mardi 3 novembre 2009 (matin)

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017 TAARIFA Agosti 2017 NGUO MPYA ZA UKOLONI Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika Jumuiya ya Jamii ya 2007: Wajumbe wanaadhamana Nairobi dhidi ya EPAs. SwissInfo Tangu mwaka

More information

Forum:MyElimu Home for Students to Share Knowledge Thread: Dunia Uwanja Wa Fujo

Forum:MyElimu Home for Students to Share Knowledge Thread: Dunia Uwanja Wa Fujo Forum:MyElimu Home for Students to Share Knowledge Thread: Dunia Uwanja Wa Fujo MwlMaeda - June 10, 2017, 9:19 am Dunia uwanja wa fujo ni riwaya iliyoandikwa na Euphrase Kezilahabi mwaka wa 1975. Ni riwaya

More information

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org ( Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Haja Ya Dini Haja Ya Dini Author(s): Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi [3] Publisher(s): Bilal Muslim Mission of Tanzania [4] Katika kijitabu

More information

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa

More information

MATATIZO YA MATUMIZI YA LUGHA KATIKA VYOMBO VYA HABARI: MIFANO KUTOKA KENYA 1 KITULA KINGE'I. 1. Utangulizi. AAP 64 (2000): Swahili Forum VII 45-56

MATATIZO YA MATUMIZI YA LUGHA KATIKA VYOMBO VYA HABARI: MIFANO KUTOKA KENYA 1 KITULA KINGE'I. 1. Utangulizi. AAP 64 (2000): Swahili Forum VII 45-56 AAP 64 (2000): Swahili Forum VII 45-56 MATATIZO YA MATUMIZI YA LUGHA KATIKA VYOMBO VYA HABARI: MIFANO KUTOKA KENYA 1 KITULA KINGE'I 1. Utangulizi Mwandishi mawufu wa fasihi bwani Afiika, Chinua Achebe

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information

JAZANDA YA NJOZI KATIKA BAADHI YA MASHAIRI YA EUPHRASE KEZILAHABI (ONEIRIC IMAGES IN EUPHRASE KEZILAHABI S SELECTED POEMS) 1

JAZANDA YA NJOZI KATIKA BAADHI YA MASHAIRI YA EUPHRASE KEZILAHABI (ONEIRIC IMAGES IN EUPHRASE KEZILAHABI S SELECTED POEMS) 1 SWAHILI FORUM 11 (2004): 69-73 JAZANDA YA NJOZI KATIKA BAADHI YA MASHAIRI YA EUPHRASE KEZILAHABI (ONEIRIC IMAGES IN EUPHRASE KEZILAHABI S SELECTED POEMS) 1 GRAZIELLA ACQUAVIVA This article is based upon

More information

DHANA NA MATKTIZO YA TAFSIRI:

DHANA NA MATKTIZO YA TAFSIRI: BCStf GFBMAEA COLLECT!*# DHANA NA MATKTIZO YA TAFSIRI: TATHMINI YA RISASI ZIANZAPO KUCHANUA. OMONDI L F. O S A N O Tasnifu hii imetolewa ili kutosheleza baadhi ya mahitaji ya shahada ya M.A. katika Chuo

More information

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA SOMO LA KWANZA UTANGULIZI KWA TORA For videos, study guides and other resources, visit Third Millennium Ministries at thirdmill.org. 2014 nathird Millennium Ministries Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Gervas Zombwe 1 1. Utangulizi Katika mazingira ya kawaida kabisa ndani ya jamii yetu, Imezoeleka kusikia au kuona watu wakioanisha dhana ya elimu

More information

ATHARI ZA KIISIMU ZA LAHAJA YA KIMAKUNDUCHI KATIKAKISWAHILI SANIFU KINACHOTUMIKA SHULENI MAKUNDUCHI ZANZIBAR

ATHARI ZA KIISIMU ZA LAHAJA YA KIMAKUNDUCHI KATIKAKISWAHILI SANIFU KINACHOTUMIKA SHULENI MAKUNDUCHI ZANZIBAR ATHARI ZA KIISIMU ZA LAHAJA YA KIMAKUNDUCHI KATIKAKISWAHILI SANIFU KINACHOTUMIKA SHULENI MAKUNDUCHI ZANZIBAR SALEH ABDELSALAM MOHAMMED SALEH TASINIFU ILIYOWASILISHWA KWA AJILI YA KUKAMILISHA MASHARTI YA

More information

Kuchanganya Maarifa Ya Kimila Na Ya Kisayansi Kwa Mwamko Wa Mazingira

Kuchanganya Maarifa Ya Kimila Na Ya Kisayansi Kwa Mwamko Wa Mazingira Mradi wa Usimamizi wa Rufiji. Usimamizi wa na Uhifadhi wa Viumbe hai Anuai kwenye Misitu, Maeneo ya Miti, na Ardhi Owevu ya Delta na Uwanda wa Mafuriko wa Rufiji 1. Kuchanganya Maarifa Ya Kimila Na Ya

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

NAFASI YA MWANAMKE: JINSI INAVYOTETEWA KATIKA NYIMBO ZA TAARAB ZA ZANZIBAR ELIZABETH KANGOGO YEGO C50/68796/2011 IDARA YA ISIMU NA LUGHA

NAFASI YA MWANAMKE: JINSI INAVYOTETEWA KATIKA NYIMBO ZA TAARAB ZA ZANZIBAR ELIZABETH KANGOGO YEGO C50/68796/2011 IDARA YA ISIMU NA LUGHA NAFASI YA MWANAMKE: JINSI INAVYOTETEWA KATIKA NYIMBO ZA TAARAB ZA ZANZIBAR ELIZABETH KANGOGO YEGO C50/68796/2011 IDARA YA ISIMU NA LUGHA CHUO KIKUU CHA NAIROBI TASNIFU HII IMETOLEWA ILI KUTOSHELEZA BAADHI

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA

More information

ATHARI ZA KIMOFOFONOLOJIA ZA KIOLUSUBA KATIKA MATUMIZI YA KISWAHILI SANIFU KAMA LUGHA YA PILI

ATHARI ZA KIMOFOFONOLOJIA ZA KIOLUSUBA KATIKA MATUMIZI YA KISWAHILI SANIFU KAMA LUGHA YA PILI ATHARI ZA KIMOFOFONOLOJIA ZA KIOLUSUBA KATIKA MATUMIZI YA KISWAHILI SANIFU KAMA LUGHA YA PILI MEROLYNE ACHIENG OTIENDE Tasnifu hii imewasilishwa kwa ajili ya kutosheleza baadhi ya mahitaji ya shahada ya

More information

TASFIDA KAMA MKAKATI WA UPOLE: UWIANO WA TASFIDA ZA KISWAHILI NA EKEGUSII

TASFIDA KAMA MKAKATI WA UPOLE: UWIANO WA TASFIDA ZA KISWAHILI NA EKEGUSII TASFIDA KAMA MKAKATI WA UPOLE: UWIANO WA TASFIDA ZA KISWAHILI NA EKEGUSII NA FLORAH N. OMOSA C50/84117/2012 TASNIFU HII IMETOLEWA KWA MADHUMUNI YA KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJIYA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA

More information

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika (A Summary Of Arguments For And Against Individual Communion Cups) Na J D Logan Communion Cups) 1 Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi

More information

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa mabingwa itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Mkuu Inahitaji dhabihu. Unahitaji kujisukuma hadi mwisho wako. Lakini nakupa ahadi hii,

More information

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ;II. -~ ~.! ~ l Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ~n.~ SURA YA KWANZA SHERIA YA ARDHI 1 UTANGULIZI Sura hii itaiangalia ARDHI na umuhimu wake katika maisha ya binadamu. Ardhi ni rasilimali

More information

CHUO KIKUU CHA NAIROBI IDARA YA KISWAHILI MAMLAKA NA ITIKADI KATIKA NYIMBO TEULE ZA TAARAB

CHUO KIKUU CHA NAIROBI IDARA YA KISWAHILI MAMLAKA NA ITIKADI KATIKA NYIMBO TEULE ZA TAARAB CHUO KIKUU CHA NAIROBI IDARA YA KISWAHILI MAMLAKA NA ITIKADI KATIKA NYIMBO TEULE ZA TAARAB TASNIFU HII IMETOLEWA ILI KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJI YA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA CHUO KIKUU CHA NAIROBI NOVEMBA

More information

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 1. Utangulizi Changamoto kuu iliyopo kuhusiana na Elimu ya msingi nchini Tanzania kwa sasa ni namna

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO

SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO KISWAHILI SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO YALIYOMO UTANGULIZI v MPANGILIO WA MASOMO YA KISWAHILI: KIDATO CHA TANO 1 FUNZO: Fasihi (Ukurasa

More information

April 14, 2016 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 52

April 14, 2016 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 52 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY HANSARD REPORT Thursday, 14 th April, 2016 The House met at 2.48pm. (Hon. Deputy Speaker (Mr. Mswabah Rashid) in the Chair) PRAYERS Hon. Deputy Speaker (Mr. Mswabah Rashid): Kindly

More information

MARUDIO K.C.S.E KNEC KISWAHILI KARATASI 102/2 MASWALI NA USAHIHISHO

MARUDIO K.C.S.E KNEC KISWAHILI KARATASI 102/2 MASWALI NA USAHIHISHO 102 1B KISWAHILI KARATASI 1B OCT/ NOV 1995 2 ½ HOURS Jibu maswali yote MARUDIO K.C.S.E KNEC 1995 2010 KISWAHILI KARATASI 102/2 MASWALI NA USAHIHISHO 1. UFAHAMU Soma Makala yatuatayo kisha ujibu maswali

More information

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN KIONGOZI CHA SHERIA Hakimiliki 2008 Kimetolewa na: Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) Waandishi: wa Toleo la 5 Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau Toleo la 5: 2008 ISBN

More information

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA Maagizo (a) Andika jina lako na namba yako katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (b) Tia sahihi yako na tarehe ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (c) Jibu maswali

More information

Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania

Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania na Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad wa Qadian Masihi Mauʻudi na Imam Mahdi as Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania HOTUBA YA SIALKOT Tafsiri ya Kiswahili ya: Lecture Sialkot (Urdu) Imeelezwa na: Hadhrat

More information

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 AEG swahili Bahari ya Aegean Brosha ya maelezo hii ni kwa watu wanaofikiria kuvuka bahari ya Aegean kati ya Ugiriki na Uturuki.Kuvuka kihramu ni uhalifu katika

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level * 899145 4 672* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2010 Additional Materials: Answer Booklet/Paper READ

More information

Ufundishaji wa lugha nyingine

Ufundishaji wa lugha nyingine CHUO CHA ELIMU CHA KIMATAIFA OFISI YA ELIMU YA KIMATAIFA Ufundishaji wa lugha nyingine Na Elizabeth B. Bernhardt ELIMU MAZOEA KITABU NA. 20 1 Chuo cha Elimu cha Kimataifa (The International Academy of

More information

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12 Human Rights Are Universal And Yet... Episode 07 Title : The right to food drought and famine in Ethiopia Author : Tedla Getachew Editor : Aude Gensbittel, Pendo Paul Translator : Anne Thomas Proofreader:

More information

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu BLOOD PRESSURE UK Shinikizo la damu ndicho chanzo kikubwa cha ulemavu na vifo vya mapema kule Uingereza, kupitia kiharusi, mshtuko wa moyo na maradhi ya moyo.

More information

MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012

MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012 MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012 TASNIFU HII IMEWASILISHWA KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJI

More information

KUCHUNGUZA UJINSIA NA MATUMIZI YA LUGHA KATIKA METHALI ZA WAKURYA

KUCHUNGUZA UJINSIA NA MATUMIZI YA LUGHA KATIKA METHALI ZA WAKURYA i KUCHUNGUZA UJINSIA NA MATUMIZI YA LUGHA KATIKA METHALI ZA WAKURYA TIMANYWA FELICIAN TASINIFU INAYOWAKILISHWA KWA AJILI YA KUTIMIZA SEHEMU YA SHARTI PEKEE LA KUTUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI (M.A. KISWAHILI)

More information

Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 People Who Make A Difference Liberia: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia

Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 People Who Make A Difference Liberia: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 Title: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia Author: Stefanie Duckstein, HA Afrika/ Nahost Editor: Christine Harjes Translator: Tony Dunham Sound

More information

KUCHUNGUZA DHAMIRA ZA NYIMBO ZA UGANGA KATIKA JAMII ZA WASWAHILI WILAYA YA MKOANI KUSINI PEMBA

KUCHUNGUZA DHAMIRA ZA NYIMBO ZA UGANGA KATIKA JAMII ZA WASWAHILI WILAYA YA MKOANI KUSINI PEMBA KUCHUNGUZA DHAMIRA ZA NYIMBO ZA UGANGA KATIKA JAMII ZA WASWAHILI WILAYA YA MKOANI KUSINI PEMBA MUSSA YUSSUF ALI TASNIFU ILIYOWASILISHWA IKIWA NI SEHEMU YA MASHARTI YA KUPATIWA SHAHADA YA UZAMILI YA KISWAHILI

More information

UCHANGANUZI WA NOMINO-MKOPO ZA KIGIRYAMA KUTOKA KIINGEREZA NANCY JUMWA NGOWA

UCHANGANUZI WA NOMINO-MKOPO ZA KIGIRYAMA KUTOKA KIINGEREZA NANCY JUMWA NGOWA UCHANGANUZI WA NOMINO-MKOPO ZA KIGIRYAMA KUTOKA KIINGEREZA NANCY JUMWA NGOWA TASNIFU ILIYOWASILISHWA ILI KUTIMIZA MAHITAJI YA SHAHADA YA UZAMIFU YA CHUO KIKUU CHA PWANI. MEI, 2015 i UNGAMO Tasnifu hii

More information

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA 2007 i WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

More information

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Imechapishwa na: The Atlas Alliance Schweigaardsgt 12 SLP 9218 Grønland 0134 Oslo, Norway Simu: +47

More information

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre Shangazi Stella Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO Training and Research Support Centre Zimbabwe Shangazi Stella Kiongozi cha Mwezeshaji

More information

Upekee wa Utenzi wa Swifa ya Nguvumali: Utenzi wa Mpito, Mseto wa Imani za Jadi Na Usasa MWENDA MUKUTHURIA Egerton University, Kenya

Upekee wa Utenzi wa Swifa ya Nguvumali: Utenzi wa Mpito, Mseto wa Imani za Jadi Na Usasa MWENDA MUKUTHURIA Egerton University, Kenya Nordic Journal of African Studies 16(3): 298 319 (2007) Upekee wa Utenzi wa Swifa ya Nguvumali: Utenzi wa Mpito, Mseto wa Imani za Jadi Na Usasa MWENDA MUKUTHURIA Egerton University, Kenya ABSTRACT Nguvumali

More information

VITENDO USEMI NA ULINGANIFU WA MAANA KATIKA TAFSIRI: MIFANO KUTOKA TAFSIRI ZA KAZI MBILI TEULE ZA BARBARA KIMENYE

VITENDO USEMI NA ULINGANIFU WA MAANA KATIKA TAFSIRI: MIFANO KUTOKA TAFSIRI ZA KAZI MBILI TEULE ZA BARBARA KIMENYE VITENDO USEMI NA ULINGANIFU WA MAANA KATIKA TAFSIRI: MIFANO KUTOKA TAFSIRI ZA KAZI MBILI TEULE ZA BARBARA KIMENYE NAHASHON AKUNGAH NYANGERI Tasnifu hii imetolewa madhumuni ya kutosheleza baadhi ya mahitaji

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

LBE 2009 Migration Episode 3: Living without documents

LBE 2009 Migration Episode 3: Living without documents LBE 2009 Migration Episode 3: Living without documents Author: Marta Barroso Editor: Thomas Mösch Characters: Narrator 1: female Narrator 2: male Inserts (English): male, (42) Voice ( Passport, please!,

More information

MAP ISI YA KISW AHILI

MAP ISI YA KISW AHILI AAP 42 (1995). 104-112 MAP ISI YA KISW AHILI ARMED SHEIKH NABHANY Resumee: Kiswahili, one among the Bantu languages, was formetly called Kingozi, the Waswahili (as they were called by the visiting Arabs)

More information

ULINGANISHI WA KIISIMU KATI YA LAHAJA YA KIPEMBA NA KITUMBATU

ULINGANISHI WA KIISIMU KATI YA LAHAJA YA KIPEMBA NA KITUMBATU ULINGANISHI WA KIISIMU KATI YA LAHAJA YA KIPEMBA NA KITUMBATU BAKARI K. BAKARI TASNIFU ILIYOWASILISHWA KWA AJILI YA KUTIMIZA SHARTI LA SHAHADA YA UMAHIRI YA KISWAHILI (M.A KISWAHILI) i UTHIBITISHO Aliyetia

More information