SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO
|
|
- Monica Katrina Summers
- 6 years ago
- Views:
Transcription
1 KISWAHILI SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO
2
3 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO YALIYOMO UTANGULIZI v MPANGILIO WA MASOMO YA KISWAHILI: KIDATO CHA TANO 1 FUNZO: Fasihi (Ukurasa ) 8 Funzo: Vitendawili (Ukurasa) 9 Funzo: Hadithi (Ukurasa 9) 10 Funzo: Methali (Ukurasa 1) 11 Funzo: Nahau (Ukurasa 0) 1 Funzo: Nyimbo (Ukurasa ) 1 Funzo: Tamathali za usemi (Ukurasa8) 1 Funzo: Rejista (Ukurasa ) 1 Funzo: Kunyambua vitenzi (Ukurasa ) 1 Funzo: uhakiki (ukurasa 0) 18 Funzo: Ufupisho (Ukurasa 8) 0 Funzo: Hotuba (Ukurasa ) 1 Funzo: Aina za tungo (ukurasa 9) Funzo: UTUNGAJI: BARUA (ukurasa 81) 9 iii
4
5 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO UTANGULIZI Hiki ni kitabu kipya kilichoandaliwa kwa ajili ya wa waalimu wa Kiswahili kidato cha tano katika shule za sekondari. Ni cha kukidhi haja ya muhtasari wa sekondari nchini Rwanda. Kitabu cha mwalimu kidato cha tano,kina ndani mwake mpangilio wa masomo yatakayofundishwa wanafunzi wa kidato husika,ambayo ni pamoja na: Fasihi, tamathali za usemi, matumizi ya lugha ya Kiswahili, munyambuliko wa vitenzi, uhakiki, ufupisho, hotuba, aina za tungo, kupambanua na kuchambua tungo, na utungaji wa barua mbalimbali. Kitabu hiki kimeandikwa na Bwana NIYIRORA Emmanuel na NDAYAMBAJE Ladislas wote kutoka Chuo Kikuu cha Elimu cha Kigali (KIE). Kitabu hiki kitawasaidia walimu kufundisha lugha ya Kiswahili ambayo ni lugha ya kibantu na iliyopiga hatua kimatumizi, kimsamiati, na yenye kutumiwa na jamii mbalimbali barani Afrika na ulimwengu kwa ujumla. Tunawatakia mafanikio mema walimu wote watakaotumia kitabu hiki. NIYIRORA Emmanuel na NDAYAMBAJE Ladislas, Juni, 01 v
6
7 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO MPANGILIO WA MASOMO YA KISWAHILI: KIDATO CHA TANO MUHULA WA KWANZA WIKI VIPINDI FUNZO SHABAHA VIFAA Ukurasa MAZOEZI YA ZIADA Ukurasa 1 1 Fasihi simulizi na Fasihi Andishi Kuwaongoza wanafunzi kujua tofauti iliyopo kati ya Fasihi Simulizi na Fasihi andishi Ubao kitabu Kutoa tofauti iliyopo kati ya fasihi simulizi na fasihi andishi 1 Tanzu za Fasihi simulizi na za fasihi andishi Kuwaongoza wanafunzi kuzijua na kuzifafanua tanzu za fasihi simulizi na za fasihi andishi ubao vitabu Kutoa na kufafanua tanzu za fasihi 8 1 Vitendawili - Kuwaongoza wanafunzi kujua maana na matumizi ya vitendawili. - Kuwaongoza wanafunzi kujua,kutega na kutegua vitendawili Vitabu ubao Kutega na kutegua vitendawili 8 1 Hadithi - Kuwaongoza wanafunzi kuandika mtungo wa kuendeleza hadithi waliyoisoma. - Kusoma na kufahamu hadithi Vitabu ubao 9 Kusoma hadithi fupi 1 1
8 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI WIKI VIPINDI FUNZO SHABAHA VIFAA Ukurasa MAZOEZI YA ZIADA Ukurasa 1 Riwaya - Kuwaongoza wanafunzi kujua maana ya riwaya na tofauti iliyopo kati ya riwaya na hadithi fupi. - Kuwaongoza wanafunzi kujua vipengele muhimu na tofauti vya riwaya na hadithi fupi Kitabu ubao 1 Kutofautisha riwaya na hadithi fupi 1 1 Methali - Kuwaongoza wanafunzi kujua maana na matumizi ya methali na kutoa mifano ya methali - kuwaongoza wanafunzi kujua kuzitumia methali kimuktadha 1 Kuzifafanua methali na kuzieleza 19 1 Nahau Kuwaongoza wanafunzi kujua maana na matumizi ya nahau kimuktadha 0 Kuzifafanua nahau na kuzitumia katika sentensi 8 1 Nyimbo - Kuwaongoza wanafunzi kujua maana ya nyimbo - kuwaongoza wanafunzi kupambanua tungo kulingana na muktadha Kuimba na kuanisha nyimbo za Kiswahili
9 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO WIKI VIPINDI FUNZO SHABAHA VIFAA Ukurasa MAZOEZI YA ZIADA Ukurasa 9 1 Tamathali za usemi - Kuwaongoza wanafunzi kujua na kutumia tamathali za usemi: sitiari,tashibiha,kejeli,tasfida,dihaka,ta kriri,. - kuwaongoza wanafunzi kujua mafumbo mbalimbali ya kitamathali na kuyafumbua 8 Kutumia tamathali za usemi 10 1 Rejista za kidini, za kortini, hotelini, za jamaa na za sokoni, mahakamani, Kuwaongoza wanafunzi kujua maana ya rejista na matumizi ya rejista mbalimbali za Kiswahili zinazotumiwa katika mazingira mbalimbali kama hotelini, mahakamani, n.k Kutumia rejista mbalimbali 11 MITIHANI YA MWISHO WA MUHULA WA KWANZA 1 MUHULA WA PILI WIKI VIPINDI FUNZO SHABAHA VIFAA Ukurasa MAZOEZI YA ZIADA Ukurasa 1 1 Kunyambua vitenzi Kuwaongoza wanafunzi kujua unyambulishaji wa vitenzi Kitabu ubao Mazoezi kuhusu unyambulishaji 9
10 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI WIKI VIPINDI FUNZO SHABAHA VIFAA Ukurasa MAZOEZI YA ZIADA Ukurasa 1 Kunyambua vitenzi Kuwaongoza wanafunzi kuonyesha viambishi vya nafsi Ubao kitabu Mazoezi kuhusu unyambulishaji 9 1 Kunyambua vitenzi Kuwaongoza wanafunzi kuonyesha viambishi vya njeo Kitabu ubao Mazoezi kuhusu unyambulishaji 9 1 Uhakiki Kuwaongoza wanafunzi kufahamu maana ya uhakiki Kitabu ubao 0 Mazoezi ya kufafanua uhakiki 1 Uhakiki Kuwaongoza wanafunzi kuelewa sababu za uhakiki Kitabu ubao 0 Mazoezi ya kuzingatia sababu za uhakiki 1 Uhakiki Kuwaongoza wanafunzi kujua aina za uhakiki na kuzitumia katika zao za fasihi Kitabu ubao 1 Mazoezi ya kuzingatia aina za uhakiki
11 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO WIKI VIPINDI FUNZO SHABAHA VIFAA Ukurasa MAZOEZI YA ZIADA Ukurasa 1 Uhakiki - Kuwaongoza wanafunzi jinsi ya kufanya uhakiki na namna ya kutumia vipengele muhimu katika uhakiki - kuwaongoza wanafunzi kufahamu sifa za uhakiki na matatizo yanayoweza kupatikana katika uhakiki wa kazi za fasihi Kitabu ubao Mazoezi ya kutumia vipengele muhimu katika uhakiki 8 1 Ufupisho - Kuwaongoza wanafunzi kueleza maana ya ufupisho - kuwaongoza wanafunzi kujua kutumia kaida na taratibu za ufupisho Kitabu ubao 8 Mazoezi kuhusu ufupisho - kuwaongoza wanafunzi kufupisha kazi wanazopewa 9 1 Hotuba - Kuwaongoza wanafunzi kujua na kueleza maana ya hotuba - kuwaongoza wanafunzi kutaja kueleza aina za hotuba Kitabu ubao Kueleza aina za hotuba Hotuba - Kuwaongoza wanafunzi kujua muundo wa hotuba - kuwaongoza wanafunzi kuyunga hotuba Kitabu ubao Kutunga hotuba MITIHANI YA MWISHO WA MUHULA WA PILI
12 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI MUHULA WA TATU WIKI VIPINDI FUNZO SHABAHA VIFAA Ukurasa MAZOEZI YA ZIADA Ukurasa 1 1 Tungo - kuwaongoza wanafunzi kujua maana ya tungo - kuwaongoza wanafunzi kuonyesha sehemu za tungo Kitabu ubao 9 Kutunga tungo mbalimbali na kuziainisha tungo 0 1 Aina za tungo - Kuwaongoza wanafunzi kuzianisha tungo - kuwaongoza wanafunzi kujua maana ya kila aina ya tungo Kitabu ubao 0 Kutofautisha aina za tungo 1 Aina za tungo Kuwaongoza wanafunzi kutunga tungo za kila aina Kitabu ubao 0 Kutunga tungo za aina mbalimbali 1 Uchambuzi wa tungo Kuwaongoza wanafunzi kujua njia mbalimbali za kuchanganua tungo Kitabu ubao Kutofautisha njia ya maneno na njia ya visanduku 9 1 Uchambuzi wa tungo Kuwaongoza wanafunzi namna ya kutumia njia ya maneno Kitabu ubao Kuchanganua tungo mbalimbali kwa kutumia njia ya maneno 9
13 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO WIKI VIPINDI FUNZO SHABAHA VIFAA Ukurasa MAZOEZI YA ZIADA Ukurasa 1 Uchambuzi wa tungo Kuwaongoza wanafunzi kutumia njia ya visanduku Kitabu ubao Kuchanganua tungo kwa kutumia njia ya visanduku 9 1 Uchambuzi wa tungo Kuwaongoza wanafunzi kujua namna ya kutumia njia ya matawi katika uchambuzi wa tungo Kitabu ubao Kuchanganua tungo kwa kutumia njia ya matawi 8 1 Barua za kirafiki -Kuwaongoza wanafunzi kujua maana ya barua -kuwaongoza wanafunzi kuandika barua za kirafiki Kitabu ubao 81 Kuandika barua ya kirafiki Barua za kikazi Kuwaongoza wanafunzi kutunga barua za kikazi na kufuatilia mpangilio wake Kitabu ubao 9 Kuandika barua ya kikazi Barua za kibiashara na za gazetini -Kuwaongoza wanafunzi kuandika barua ya kibiashara na kufuatilia mpangilio wake -kuwaongoza wanafunzi kutunga barua za gazetini kufuatilia kanuni zake Ubao kitabu 9 Kuandika barua za kibiashara na za gazetini 9
14 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI FUNZO: Fasihi (Ukurasa ) SHABAHA: Kuwaongoza wanafunzi kujua tofauti iliyopo kati ya Fasihi simulizi na Fasihi andishi. Taratibu Hatua Kazi ya mwalimu Kazi ya mwanafunzi 1. Kueleza maana ya Fasihi Kuuliza maswali a. Fasihi simulizi Kuandika maelezo madaftarini b. Fasihi andishi Kujibu maswali ya mwalimu c. Tofauti kati ya fasihi hizi. Kutoa vipengele bainifu vyake. Kuuliza maswali 8
15 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO Funzo: Vitendawili (Ukurasa) Shabaha: Kuwaongoza wanafunzi kutegua vitendawili na mafumbo na kufurahia taratibu Kazi ya mwalimu Kazi ya mwanafunzi 1. Kueleza maana ya vitendawili Kutoa mifano. Kutega vitendawili Kuvitegua vitendawili a. Nyumba yangu ina nguzo moja Uyoga b. Ninazitoa zikarudi Nywele c. Anachora bila ya kutumia akili Konokono. Kuwaongoza wanafunzi wategeane vitendawili Kutegeana vitendawili. Kusaidia kukusanya vitendawili Kutaja vitendawili bora. Kupitia mafumbo mengi Kuyasoma na kuyatatua. Kuwashindanisha kwa vitendawili vyao Kushindana kwa makundi Majibu ya vitendawili 1. Nywele. Konokono. Mungu. Moto. Usingizi. Mauti. Kinyonga 8. Muwa 9. Twiga 10. Jua 9
16 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI Funzo: Hadithi (Ukurasa 9) Shabaha Kuwaongoza wanafunzi kujua maana ya hadithi na tofauti iliyopo kati ya hadithi fupi na riwaya. Taratibu Hatua: Kazi ya mwalimu Kazi ya mwanafunzi 1. Kuwaongoza wanafunzi kuandika mtungo wa kuendeleza hadithi yao Kuandika mtungo. Mwalimu asisitize: Kuandika taratibu a. Kiini cha mtungo (Maudhui) Kutilia maanani kazi b. Kupanga kabla ya kuandika Kutumia alama za vituo c. Mawazo tofauti katika aya tofauti d. Lugha sanifu (Sahihi) e. Maendelezo sahihi (Mtiririko sawa) f. Alama za uandishi. Kusahihisha maswali: Tofauti iliyopo kati ya hadithi fupi na riwaya: RIWAYA Ndefu vya kuzidi kiasi Maneno mengi mno Wahusika wengi Mtiririko wa visa vingi na changamani Wahusika wakuu waweza kuwa wengi Mandhari ya mazingira mengi Ploti, muundo na msuko changamani HADITHI FUPI Fupi kabisa Maneno machache Wahusika wachache Mtiririko wa kisa kimoja kisicho changamani Mhusika mkuu ni mmoja Mandhari ya mazingira mamoja Pliti, muundo na msuko wa moja kwa moja 10
17 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO Funzo: Methali (Ukurasa 1) Shabaha Kuwaongoza wanafunzi kujua maana na matumizi ya methali zinazotaja wanyama na wadudu Taratibu Hatua: Kazi ya mwalimu Kazi ya mwanafunzi 1. Kuongoza na kuhimiza Kutoa hadithi fupi. Kushindanisha kuanzisha methali Kumaliza kwa makundi. Kueleza faida za methali Kutambua methali zilizomo a) Ukitaka mtu aandamane na wazuri b) Asifuate kila aambiwalo bila kufikiria. Kuongoza kupitia funzo Kutoa maelezo yake. Kuhimiza na kushirikisha Kuulizana wenyewe. Kusahihisha maandishi yao Kutoa majibu ya mazoezi: a) Haba na haba hujaza kibaba: Kidogo kidogo, kisha huongezeka.polepole ndio mwendo.haraka haraka haina baraka. b) Pole pole ndio mwendo: Usifanye jambo lolote Kwa pupa.haraka haraka haina baraka. c) Aliyeshiba hamjui mwenye njaa: Aghalabu banadamu akishakuwa ameshiba (yaani amejaza tumbo), huwa anaamini kwamba watu wengine nao wameshiba.lakini ukweli ni kwamba nusu (kama si zaidi) ya hao watu awaonao huwa wamo katika njaa kali tena pengine ya kufisha.msemo huu watuhusu sote 11
18 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI tulioshiba na tulio na njaa.kwa wale wasioshiba, msemo unawakumbusha juu ya wajibu wao kwa watu wengine.wawaasa wasiridhike na nafsi zao binafsi, bali pia wajishughulishe na taabu, shida na matatizo ya wengine. Wale wenye njaa ni watu ambao wana taabu, shida na matatizo.hawa wanakumbushwa wasiwaangalie wale wenye uwezo na walioridhika nafsi bali wayaone matatizo na shida kama ni zao tu.baada ya kuuona na kuuelewa ukweli huo, wafanye jitihada wao wenyewe ya kuondoa matatizo yanayowakabili. c) Ajaye hupokewa: Kila mtu ni lazima awe mstahimilivu kwa yoyote yanayomfikia, kwani hayo huwa ni malimwengu yanayomkabili yeye na ambayo hawezi kujikinga nayo. e) Jungu kuu halikosi ukoko: Mtu mkubwa au mzito haishiwi katu katakata.hawezi kuishiwa na vitu vyote kwa kiwango cha kukosa na hata pato dogo. f) Kunguru mwoga hukimbiza bawale: Kujihadhari si hofu.watu wenye nguvu chache hujitenga mbali na wenye nguvu nyingi za ujana kwa woga na tahadhari, ili wasije wakaponzwa. g) Asiyekujua hakuthamini: Yaani, asiyekujua hakujali.kama mtu hakujui aghalabu si rahisi kwake kukufanyia mema. h) Gogo halianguki mara mbili: Mtu mkubwa akianguka, basi ameanguka na kuinuka kwake ni taabu.hivi hakuna nafasi ya kuanguka tena.pia mtu mwenye busara akijikwaa, mara moja haridi tena jambo lilelile.kosa moja latosha kumfundisha mtu kutorudia kosa hilo baada ya dhiki au adhabu ya kosa hilo. i) Mchumia juani hulia kivulini: Mtu anayepanda mbegu zake kwa uchovu, madhara, na machozi atavuna kwa shangwe na miteremo. 1
19 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO Funzo: Nahau (Ukurasa 0) Shabaha: Kuwaongoza wanafunzi kujua matumizi bora ya nahau kimuktadha Taratibu Hatua: Kazi ya mwalimu Kazi ya mwanafunzi 1. Kuongoza na kuhimiza Kuchambua hadithi. Kupitia matumizi ya lugha Kutoa nahau zilizomo. Kutoa hadithi fupi Kuzifafanua nahau hizo. Kushindanisha makundi Kuwaelezea wenzao. Kusaidia na kusahihisha Majibu ya mazoezi a. Kuwa kigori, kuwa mwanamwali b. Kutamani kitu sana kwa kuvutika nacho c. Kwa kila hali d. Kuongea vibaya juu yake (mtu huyo) e. Kuronga mazungumzo ya kupoteza wakati f. Kuwa na mimba g. Kulewa pombe h. kuongeza maneno zaidi ya yaliyokuwepo ili kuchonganisha i. Kujuta, kupata shida j. Kuogopa 1
20 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI Funzo: Nyimbo (Ukurasa ) Shabaha Kuwaongoza wanafunzi kujua aina mbalimbali za nyimbo na matumizi yake ya kimuktadha Taratibu Hatua: Kazi ya mwalimu Kazi ya mwanafunzi 1. Kuongoza na kuhimiza Kuimba. Kuwasaidia wanafunzi kimahadhi Kutunga nyimbo zao wenyewe. Kuwapa kazi za makundi Kuelezeana miktadha ya nyimbo Majibu ya maswali: 1. Bwana mdogo nyamaza, Kipenzi cha roho yangu Kipi unachokiwaza, Kikulizacho mwanangu Tulia na kujilaza Nyamaza mpenzi wangu.. Malaika Malaika, nakupenda Malaika.Nami nifanyeje, kijana mwenzio, nashindwa na mali sina we, oh ningekuoa Malaika. Fedha zasumbua roho yangu. Fedha oh! Zasumbua roho yangu.. Nyimbo za matanga huwa zaimbwa kwenye kilio, kwa maziko/mazishi.. Nyimbo za mapenzi huwa zaimbwa kwa ajili ya mpenzio, hususa mwendani.zile za harusi, kwa upande mwingine, huwa zaimbwa wakati wa kuoza msichana, au kutoa mahari. 1
21 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO Funzo: Tamathali za usemi (Ukurasa8) Shabaha: Kuwaongoza wanafunzi kujua kutumia vizuri tamathali za usemi mbalimbali. Taratibu Hatua: Kazi ya mwalimu Kazi ya mwanafunzi 1. Kuongoza na kuhimiza Kutoa shairi fupi. Kushindanisha makundi Kutaja tamathali za usemi zilizomo. Kueleza umuhumu wa tamathali za usemi Kufafanua maana zake. Kumshirikisha yeyote Kuandika madaftarini. Kupitia funzo pamoja Majibu Tamathali za usemi zilizotumiwa: 1. Takriri neno, Tashihisi.. Takriri neno, Chuku, Tashihisi.. Sitiari. Sitiari. Tashibiha. Tafsida. Chuku 1
22 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI Funzo: Rejista (Ukurasa ) Shabaha: Kuwaongoza wanafunzi kujua maana na matumizi bora na ya kimuktadha ya rejista Taratibu Hatua: Kazi ya mwalimu Kazi ya mwanafunzi 1. Kueleza maana ya rejista Kufuatilia karibu. Kuongoza na kuhimiza Kugundua mojawapo ya rejista. Kuwashirikisha wanafunzi Kutumia rejista kwa kuzungumza. Kufafanua matumizi bora na ya kimuktadha. Kuwapa fursa ya kuzigundua rejista maalum Majibu: 1. Rejista ya kortini. Kuotea, Harusi, Kuunawa mpira, Mpira kuwa mwingi, Kuvisha kanzu.. Hii ni bei gani, Punguza kidogo, Piga bei, Patana bei, Tia bei, Shusha kile. 1
23 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO Funzo: Kunyambua vitenzi (Ukurasa ) Shabaha: Kuwaongoza wanafunzi kuonyesha viambishi mbalimbali vinavyounda vitenzi. Taratibu Hatua: Kazi ya mwalimu Kazi ya wanafunzi 1. Kueleza maana ya unyambulishaji Kufanya mazoezi. Kutoa vitenzi vya kunyambuliwa Kuyasahihisha ubaoni. Kuhimiza wanafunzi na kuwashirikisha Kuonyesha viambishi vya vitenzi. Kutoa mifano elekezi a) Vya njeo. Kusaidia na kusahihisha b) Vya nafsi Majibu: 1. Nafsi Njeo Tu- Ni- Tu- Ta- U- Ta- Na- Ta- A- Ki-. kupigana, kupiganisha Kuchafusha, Kuchafuka Kupikika, Kupikisha Kulewesha, Kuleweka 1
24 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI Funzo: uhakiki (ukurasa 0) Shabaha: kuwaongoza wanafunzi kufahamu maana ya uhakiki, kutumia vipengele muhimu vya uhakiki wa kazi za fasihi, namna ya kufanya uhakiki wa kari mbalimbali za fasihi. Taratibu: Hatua Kazi ya mwalimu Kueleza maana ya uhakiki Kukumbusha kazi zote za fasihi Kazi ya mwanafunzi Kufumbua fumbo la mwalimu Kutaja kazi zote za fasihi Hadithi Shairi Riwaya. Kuwataka na kuhakiki (shairi) kuhakiki shairi kwa kutumia vipengele muhimu vya uhakiki kama muundo, wahusika, na mandhari Majibu ya maswali Muundo BETI: Shairi hili ni la beti tatu. Kila ubeti una mistari mine. Kila mstari una silabi/mizani kumi na sita. Shairi lina vina vya kati -ni-, -ngu-, na -ma-, na vina vya mwisho -we- na -ngu-. 18
25 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO Shairi lina beti zinazojitosheleza na kila ubeti una mstari wa kituo ambao haubadiliki. Mtindo Shairi limetumia mtindo wa kitarbia ama unne. Kila ubeti una mistari mine. Huu ni mtindo wa kitabu kizima cha mshairi akilimali Snowhite. Hata tenzi nazo zimetumia mistari minne. Inasisitizwa kuwa hiki ni kipengele kidogo tu cha mtindo. Kwa maelezo zaidi ya mtindo, rejea uhakiki wa hadithi katika kitabu hiki. Wahusika Tunaweza kusema kuwa shairi hili linaonyesha kutumia wahusika wa aina mbili Kuna wahusika watu na kuna wahusika vitu, k.v. ua. Aidha, uhusika wa ua katika undani wake unasimama badala ya mtu ambate ni kipenzi (cha kike) Mandhari/mazingira Shairi hili limetumia mandhari pana katika maana kwamba inaweza kuwa ya mjini au shambani. Inaweza kuwa ya Tanzania au nje ya Tanzania. Lakini kwa vile mwandishi wa shairi hili ni mwenyeji wa Tanzania na ameiandika kazi hii akiwa hapa na kwa ajili ya wasemaji wa Kiswahili, tunaweza kusema kuwa mandhari ya shairi ni Tanzania. 19
26 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI Funzo: Ufupisho (Ukurasa 8) Shabaha Kuwaongoza wanafunzi kujua maana na taratibu za ufupisho Taratibu Hatua: Kazi ya mwalimu Kazi ya mwanafunzi 1. Kueleza na kuhimiza Kujigawanya katika makundi. Kuwaongoza wanafunzi Kutoa hadithi. Kusahihisha kazi zao Kuisahihisha hadithi hiyo. Kutoa istilahi husika Kuandika madaftarini. Kuandika ubaoni Majibu: Nguvu zake Lazima uanguke chini Anayeogopwa Hakuugua hata mara moja Walishambuliwa na simba Kuparuza Shenzi Anayejivunia uwezo fulani humpata anayemzidi 0
27 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO Funzo: Hotuba (Ukurasa ) Shabaha: Kuwaongoza wanafunzi kuelewa maana, muundo na aina za hotuba Taratibu Hatua: Kazi ya mwalimu 1. Kuwaongoza wanafunzi kuelewa maana ya hotuba Kazi ya mwanafunzi Kutoa hotuba mbele ya darasa. Kueleza aina za hotuba Kuonyesha sehemu za hotuba:. Kufafanua muundo:mwanzo, mwili na mwisho Mwanzo. Kuwasomea hotuba Mwili. Kuwahimiza na kuwashirikisha Mwisho. Kutoa mada za kuvutia Majibu: 1. Hotuba ya kushirikisha, hotuba ya kuarifu, na hotuba ya kuburudisha. a) Mwanzo:yaani sehemu ya kwanza ya hotuba yenye lengo la kuwafanya watu wawe makini, kuonyesha umuhimu wa mada, kueleza lengo la hotuba, kujiotambulisha na kuonyesha mpangilio wa hotuba. b) Mwili: Yaani sehemu ambayo inazingatia mambo muhimu kuhusu mada ya hotuba c) Mwisho: Yaani sehemu ambayo hutaja hitimisho kwa yaliyojadiliwa katika hotuba yote, pamoja na mambo mengine ya msemaji. 1
28 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI Funzo: Aina za tungo (ukurasa 9) Shabaha: kuwaongoza wanafunzi kuainisha na kutofautisha aina za tungo Taratibu Hatua Kazi ya mwalimu Kazi ya mwanfunzi 1. Kuhimiza na kuongoza 1. Kusema mifano ya tungo kadhaa. Kuandika tungo katika ubao. Kusema mifano iliyoandikwa na mwalimu. Kuwauliza maana ya kila tungo. Kueleza maana za kila tungo. Kutaja aina za tungo. kufanya mazoezi madaftarini. Kuandika mazoezi. Kuandika majibu katika madaftari. Kusahihisha majibu ya wanafunzi Majibu 1: A a) Mwalimu anafundisha Kiswahili. b) Wao watakuja kesho asubuhi. c) Yeye anaandika daftarini. d) Fatuma na Alisa wanajua hisabati. e) Sisi sote tulikuwa pamoja hapo Tella Vista. B. Tungo tata 1. Mwalimu Juma anakutafuta. Aje Jumamosi. Ali hali ndiyo sababu hana hali Tungo zisizo na utata 1. Watoto wanacheza mpira. Khamis anasaidia mamake kupika chakula
29 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO Njia za kutatua utata katika sentensi. 1. Kutumia alama za vituo.. Kusisitizia neno katika sentensi.. Kuchunguza aina za maneno katika sentensi. Mfano: Mwalimu, Juma anakutafuta. Mwalimu Juma, anakutafuta. Ali hali ndiyo sababu hana hali. N T U T N Majibu : A 1. Wakati atakapokuja nitaondoka. T.T T.S. Walikuwa wa kwanza waliofika saa moja. T.S T.T. Anayebukua sana si mshindi. T.T T.S Majibu : A 1. Wanafunzi walirudi nyumbani kwa sababu walimukosa mwalimu.. Baba analonga na wageni lakini mama anapika chakula jikoni.. Wanazuoni wote ni wasomi ilhali wasomi wote si wanachuo.
30 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI Majibu : A 1. Waliohudhuria wote wamefaulu mitihani. T.T T.S. Mwanafunyi alieshinda mwaka jana ameenda urusi. T.T T.S. Wote watachaguliwa watakaofika mapema. T.S T.T. Wakati alipopita wote wamemuangilia. T.T T.S. vilikuwa vitamu alivyotupikia. T.S T.T Majibu : A 1. Angemngojea saa tatu angemuona uso kwa uso.. Ungeweka rutuba shambani ungepata mavuno ya kutosha.. Angelienda Marekani angepata alama nyingi. Majibu : A 1. S K KT N T KN Kalisa anamtembelea Kamali N
31 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO. S KN K N V T Mtu mrefu ameondoka. S KN KT N T KN N KV V KN N E Mtoto anamletea mama yake kuni jana
32 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI. S KN KT N KV T KV V V V KN N KE E E Kijana Yule mrefu alimnunulia mwanangu soda jana asubuhi. S KN KT N T KN N KV V E Mawike alipata faranga nyingi mno. S KN KT N V T N Mwalimu mwema anawasaidia wanafunzi
33 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO. S S1 S KN KT KN KT N T N U N T Mama anapika chakula na baba analala 8. S KN KT N T KN N V Ø amemletea gari nzuri 9. S KN KT N T KV V KU U KN N KU U N Rais alisema hayo kwa amri ya jeshi
34 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI 10. S KN KT N T KN KE N KV E E V KN N V Mwalimu aliwapatia wanafunzi wote alama zao leo asubuhi TANBIHI: Ikumbukwe kwamba wakati tunapochambua sentensi vielezi havitangulii sentensi. Vinapotangulia sentensi, lazima viwekwe mwishoni mwa sentensi 8
35 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO Funzo: UTUNGAJI: BARUA (ukurasa 81) Shabaha: Kuwaongoza wanafunzi kujua kuandika barua ya kirafiki. Taratibu Hatua Kazi ya mwalimu Kazi ya mwanafunzi 1. Kuwasomesha barua ya kirafiki Kufurahia barua hiyo.. Kueleza sehemu za barua: a) Anuani ya mwandishi na tarehe kuelewa namna zinavyoandikwa b) Maana kukumbushana yanavyotarajiwa Maamkizi, c) Mwanzo wa barua, d) Kiini cha baru e) Hitimisho na mwisho wa barua. Kuonyesha mfano wa barua ya Kirafiki. Kutambua barua ya kirafiki inavyoandikwa. Kusaidia na kusahihisha. Kuandika barua ya Kirafiki inavyotakikana Majibu: a) Hizi zifuatazo ni sehemu za barua ya Kirafiki: (a) Anuani ya Mwandishi na Tarehe Anuani ya mwandishi huandikwa kwenye pembe ya juu, upande wa kulia wa karatasi 9
36 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI (b) Maamkizi Baada ya kuandika anuani, inampasa anayeandika kuruka msitari mmoja na kisha kuanzia kwenye pambizo la kushoto la kalatasi kuandika maamkizi. (c) Mwanzo wa barua Kwa kawaida, barua ya kidugu huanzia kwa salamu na kumjulia hali anayetumiwa barua. (d) Kiini cha barua Mwanzo wa aya mpya huanzia kwa herufi kubwa kwenye msitari unaofuatia, chini ya alama ya mkato.barua za kirafiki kwa kawaida huanza kwa salamu au kujuliana hali. (e) Hitimisho na mwisho wa barua Barua ihitimishwe kwa maneno ya kuvutia.barua hizi za kidugu humalizika kama vile: Wako mpendwa, Ndimi kakako mpendwa, b) Muundo wa barua ya Kirafiki: Anuani ya Mwandishi Maamkizi Mwisho wa barua Jina la mwandishi. 0
37 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO c) Mpangilio wa mshazari ni mpangilio ambao mahali pa kuanzia msitari ni tofauti na pengine.mf:shule ya Msingi ya Cyintare, S.L.P. MUSANZE, Januari 8, 01. Mpangilio wima ni mpangilio ambao mahali pa kuanzia panelingana.mf: Shule ya Msingi ya Cyintare S.L.P. MUSANZE. Januari 8, 01. MAJIBU (b): a) Shule ya Upili ya Buhuga S.L.P.8 MUSANZE. Wilaya ya Gakenke, Mkoa wa Kasikazini, Nchi ya Rwanda, Machi, 0, 01 Nelson Mpendwa, Habari zako! Ninakuandikia barua hii kwa ajili ya kukujulisha habari zangu na kukualikia kunitembelea. Rafiki ya Nelson, ninakuandikia barua hii ili nikujulishe kuwa ninataka mimi na wewe tutembelee mahali tofauti nchinirwanda.unakumbuka ya kwamba siku zilizopita ulienda bila kujjua mahali pengine isipokuwa kwetu kwa sababu tulikosa fursa. Wakati huu ni wa likizo nina muda wa kutosha ndiyo sababu ni taka uje katika Mwezi wa Julai.Kama nilivyokwambia nchini Rwanda kuna mahali pazuri pa kutembelea.hapo ni:mbuga ya wanyama ya Virunga, ndani mwake utaona Sokwe na pundamilia.nyumba ya hifadhi ya mila na desturi vya Rwanda ndani mwake utona vifaa vya zamani.tutalitembelea 1
38 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI tena Jiwe la Bagenge ammbalo unalisikia sikia katika historia ya wanyarwanda.kwa hiyo ninakungonjea. Rafikio Mpenzi, Emmanuel MANIRAGABA. 1) Anuani ya mwandishi Maamkizi Kichwa cha barua(kuh:) Mwisho wa barua Saini Majina ya mwandishi.
39 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO ) Barua ya Kirafiki Barua rasmi Anuani ya mwandishi Tarehe maamkizi barua yenyewe hitimisho saini jina la mwandishi Anuani ya mwandishi kummbukumbu namba anuani ya mwandikiwa maamkizi kichwa cha barua (kuh:maombi) hitimisho saini jina Cheo cha mwandishi. Tofauti kubbwa zaidi yahii ni kwamba barua ya kikazi inaweza kuandikwa kihorera lakini barua rasmi ina kanuni ambazo ni lazima kuzitimiza, zikikosekana barua hii haitakuwa bado na thamani. MAJIBU(b) Nchi ya Rwanda Mkoa wa Kasikazini Wilaya ya Gakenke y Tarafa ya Kivuruga, Tarehe: Januari, 01. Kumb NO KB//01 Afisa wa Uajiri S.L.P.10 KIGALI, Rwanda. Bwana,
40 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KUH:Maombi ya Kazi ya kuwa Meneja Ninayo heshima ya kukuandikia barua hii kwa ajili ya kukuomba kazi ya kuwa Meneja wahalmashauri yako. Mimi ni mwanamke wa umri wa miaka 0, mimi ni Mnyarwanda, ninamiliki shahada ya Biashara ambayo niliipata kutoka Chuo Kikuu cha Kigali cha Mali na Benki katika mwaka wa 001.Mimi nikimaliza masomo nimekuwa Meneja wa Benki ya Kigali tawi la GAKENKE.Ndiyo sababu ninaomba kazi ya kuwa Meneja katika Halmashauri ya Rwanda. Wako Mtiifu, NIYONKURU Odile Meneji wa BK GAKENKE. Shule ya Upili YA Kabgayi S.L.P.1, MUHANGA, Juni Rafiki Mpenzi, Pokea salamu nyingi kutoka kwangu.natumaini kwamba hujambo na kuwa una afya njemma.nami huku shuleni ni muzima na ninaendelea vizuri na masomo. Paulo mwenzangu, samahani sana kwa kusema haya, lakini nilishituka kwa niliyoyasikia kuhusu namna ulivyofukuzwa shuleni kwa sababu ya kuwa umetumia dawa za kulevya na kushiliki ulevi huko shuleni. Madhumuni yangu ni kukushauri kuhusu mambo mambo hayo mabaya, kwani dawa zile ni kama UKIMWI mwilini na huwafyonza wanadamu na kuwaletea kifo wanaozitumia. Na sitaki kupoteza rafiki tamaniwa kama wewe. Ndiyo sababu, nakuombeni kuepukana na tabia hizo mbaya ili kupata maishamema na matamu.
41 KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO Na hatimaye, dawa zile humtendesha mabaya anayezitumia na kumfanya kama debe tupu. Pia dawa zile ni moja miongoni mwa vitu vinavyoleta nidhamu mbaya sana katika shule na kuathiri vibaya nidhamu za wanafunzi wenzake. Lo! Hivi si kukutisha bali ni kukuonya ili uepukane na hali hii kwani ninakutakia maisha mema na kutimiza masomo yako ipasavyo.kumbuka walivyosema wahenga asiyesikia la mkuu, huvunjika mguu.usitoendelea na masomo yako utakueje?kumbuka kuwa siku hizi Elimu ndiyo raslimali ya binadamu. Hebu nimalizie hapa, ni matumaini yangu kuwa shauri na maonyo haya yakifuatiliwa, yatakupigisha hatua kubwa maishani. Wasaalam, Ndimi Rafikiyo akupendaye, Venuste BAGIRANEZA. MAREJEO Ndalu, A.(199). Mwangaza wa Kiswahili,E.A.E.P Limited: Nairobi. TUKI. (00/00/199/198). Fasihi simulizi: Vitendawili,Chuo kikuu cha Dar es Salaam: Dar es Salaam. Ngure, A. (00/00/00/00/00). Fasihi simulizi kwa shule zasekondari, Phoenix Publishers: Nairobi. TUKI. (00/00/199/1981). Fasihi Simulizi : Methali: Chuo Kikuu cha Dar es Salaam: Dar es Salaam. Wizara ya Mafunzo ya Msingi na Sekondari. (198). Kitabu cha KiswahiliIV-VC: Kitabu cha Mwanafunzi, Regie de l Imprimerie Scolaire: Kigali. Kihore,Y.M.,Massamba, D.P.B., Msanjila,Y.P.(008/00/00). Sarufi Maumbo ya Kiswahili Sanifu (SAMAKISA):Sekondari na Vyuo, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam: Dar es Salaam. MASSAMBA, D.P.B, KIHORE,Y.M, Hokororo, J.I(001/1999). SarufiMiundo ya Kiswahili Sanifu(SAMIKISA): Sekondari na Vyuo, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam: Dar es Salaam
42 KISWAHILI: SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI RWABUSHAIJA,M.(00). Masomo ya msingi wa Kiswahili, Fountain Publishers: Kampala. Bakhressa Salim, K.&Islam K.(1999/1998/199/199/199). Kiswahili Sanifu: Darasa la saba, Oxford University Press: Oxford New York. Mbunda, M.(199). Misingi ya uhakiki wa Fasihi, English Press Limited: Nairobi. DIETSCH, B.M (00/000/1998). Reasoning& writing well, M C Graw Hill Companies: New York. Pearson, J,C& Nelson, P.E&Titsworth,S.&Horter,L.(00). Human communication, MC Graw Hill Companies. TUKI. (00). Kamusi ya Kiswahili Sanifu,Chuo Kikuu cha Dar es Salaam: Dar es Salaam Kitabu cha Kiswahili: kidato cha tano Mwongozo wa mwalimu kimeandikwa na NIYIRORA Emmanuel na NDAYAMBAJE Ladislas wote kutoka Chuo Kikuu cha Elimu cha Kigali (KIE). Kitabu hiki kitawasaidia walimu kufundisha somo la Kiswahili wakifuata mpangilio ambao umeandikwa katika kitabu hiki. Mafunzo na shabaha vitamsaidia mwalimu kujiandaa vizuri kabla ya kufundisha somo.
43
44
Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)
102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako
More informationInformation for assessors (do not distribute this page to participants):
R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment
More informationMTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya
Jina Nambari.. Shule... 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI / AGOSTI. 2007 MUDA: SAA 2 ½ MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya 102/3 KISWAHILI FASIHI
More informationHati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E)
102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI/AGOSTI 2011 MUDA: 2 ½ Kiswahili Fasihi Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) MAAGIZO Jibu maswali manne pekee Swali la kwanza ni lazima Maswali
More informationUNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013
www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper
More informationSANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO
KISWAHILI 5 SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO YALIYOMO YALIYOMO UTANGULIZI iii iv SURA YA KWANZA : FASIHI. 1 SURA YA PILI : TAMATHALI
More informationHuman Rights Are Universal And Yet...
Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,
More informationUsimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya
Nordic Journal of African Studies 9(2): 49-59 (2000) Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya UTANGULIZI Tukichunguza hazina ya uhakiki uliofanywa katika taaluma
More informationMwongozo wa Familia wa Kujifunza
Shule za umma za kata ya Fayette 1 Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Muhtasari wa yale watoto wanastahili kufahamu na kuweza kufanya na njia za familia kuongeza masomo nyumbani. Tunaamini familia ni wenzetu.
More informationHuduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig
KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1
More informationTATHMINI YA PAMOJA SHULE ZA UPILI ZA JIMBO LA MACHAKOS.
www.eeducationgroup.com JINA NAMBA YAKO...... SAHIHI YA MTAHINIWA... TAREHE:...... 102/1 KISWAHILI KARATASI YA 1 INSHA MUDA :SAA 1 ¾ TATHMINI YA PAMOJA SHULE ZA UPILI ZA JIMBO LA MACHAKOS. Hati ya kuhitimu
More informationGOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)
GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited
More informationUfunguo wa Kutaalamika Haraka
0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11
More informationKufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007
Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 1. Utangulizi Changamoto kuu iliyopo kuhusiana na Elimu ya msingi nchini Tanzania kwa sasa ni namna
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI NAMBA ZA SIMU: Mkuu Wa Shule: 0784524029 / 0766805826. Makamu Mkuu Wa Shule: 0714356735 / 0767356735. SHULE YA SEKONDARI
More informationUfundishaji wa lugha nyingine
CHUO CHA ELIMU CHA KIMATAIFA OFISI YA ELIMU YA KIMATAIFA Ufundishaji wa lugha nyingine Na Elizabeth B. Bernhardt ELIMU MAZOEA KITABU NA. 20 1 Chuo cha Elimu cha Kimataifa (The International Academy of
More informationElimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani
Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh
More informationEarly Grade Reading Assessment for Kenya
EDDATA II Early Grade Reading Assessment for Kenya Baseline Instruments: Kiswahili and English EdData II Technical and Managerial Assistance, Task Number 4 Contract Number EHC-E-01-04-00004-00 Strategic
More informationUfanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania
Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey
More informationN09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q
N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q 88092387 SWAHILI B HIGHER LEVEL PAPER 1 SOUAHÉLI B NIVEAU SUPÉRIEUR ÉPREUVE 1 SUAHILI B NIVEL SUPERIOR PRUEBA 1 Tuesday 3 November 2009 (morning) Mardi 3 novembre 2009 (matin)
More informationusudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-
Kusudi la Maisha hawatakuambia nini walihitimisha kupitia uchunguzi au hoja ya uchambuzi. Katika hali nyingi, hakika wao kukuambia nini mtu mwingine alisema... Au wao watakuambia nini kawaida kudhaniwa
More informationUNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level
UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level * 899145 4 672* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2010 Additional Materials: Answer Booklet/Paper READ
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA
More informationEvaluation of Contextual Teaching of Kiswahili Proverbs in Secondary Schools in Kenya
Evaluation of Contextual Teaching of Kiswahili Proverbs in Secondary Schools in Kenya Oduori T. Wamubi Prof. Simala, K. Inyani Profesa Mshiriki Masinde Muliro University of Science and Technology Prof.
More informationAdhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu
Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Nabii Musa alipotoka mlima Sinai kupewa amri kumi za Mungu zilizoko kwenye kitabu cha Kutoka 20:1 17, Mungu alimpa na sharia zingine ambazo lengo lake
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA
SIMU NA: (027) 2642082 TANGA (OFISI) 0784 889 099 TANGA (NYUMBANI) Tovuti: www.tangaschool.sc.tz Barua pepe: tangaschool@yahoo.com JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA
More informationTora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA
SOMO LA KWANZA UTANGULIZI KWA TORA For videos, study guides and other resources, visit Third Millennium Ministries at thirdmill.org. 2014 nathird Millennium Ministries Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu
More informationTufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?
Tufundishane! Let s teach each other! This newsletter is published by The Foundation for Tomorrow and is meant to be a venue for teachers and schools to share and learn from each other s best practices.
More informationTheolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College
Theolojia 1 Ujumla Mike Taylor Semester 1 2014-2015 Munguishi Bible College MIKE TAYLOR 2014 THEOLOJIA 1 i THEOLOJIA Utangulizi! 1 1. Kumfahamu Mungu katika Injili! 3 1.1. Mawazo Makuu 3 1.2. Maana ya
More informationGOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)
GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited
More informationUTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO
UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery
More informationHakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn
TAFSIRI YA BIBLIA Mwandishi Jonathan M. Menn B.A., University of Wisconsin-Madison, 1974 J.D., Cornell Law School, 1977 M.Div., Trinity Evangelical Divinity School, 2007 Equipping Church Leaders-East Africa
More informationUtangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu
Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu BLOOD PRESSURE UK Shinikizo la damu ndicho chanzo kikubwa cha ulemavu na vifo vya mapema kule Uingereza, kupitia kiharusi, mshtuko wa moyo na maradhi ya moyo.
More informationATHARI ZA KIISIMU ZA LAHAJA YA KIMAKUNDUCHI KATIKAKISWAHILI SANIFU KINACHOTUMIKA SHULENI MAKUNDUCHI ZANZIBAR
ATHARI ZA KIISIMU ZA LAHAJA YA KIMAKUNDUCHI KATIKAKISWAHILI SANIFU KINACHOTUMIKA SHULENI MAKUNDUCHI ZANZIBAR SALEH ABDELSALAM MOHAMMED SALEH TASINIFU ILIYOWASILISHWA KWA AJILI YA KUKAMILISHA MASHARTI YA
More informationWIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA 2007 i WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA
More informationV\ FANI KATIKA USHAIRI WA HASSAN MWALIMU MBEGA: UHAKIKI WA UPISHO WA UMALENGA NA DAFINA YA UMALENGA DONALD OMWOYO OSIEMO
gftgff AROGAHA COLLECTION MADA: V\ FANI KATIKA USHAIRI WA HASSAN MWALIMU MBEGA: UHAKIKI WA UPISHO WA UMALENGA NA DAFINA YA UMALENGA NA: DONALD OMWOYO OSIEMO TASNIFU HII IMETOLEWA ILI KUTOSHELEZA BAADHI
More informationJAZANDA YA NJOZI KATIKA BAADHI YA MASHAIRI YA EUPHRASE KEZILAHABI (ONEIRIC IMAGES IN EUPHRASE KEZILAHABI S SELECTED POEMS) 1
SWAHILI FORUM 11 (2004): 69-73 JAZANDA YA NJOZI KATIKA BAADHI YA MASHAIRI YA EUPHRASE KEZILAHABI (ONEIRIC IMAGES IN EUPHRASE KEZILAHABI S SELECTED POEMS) 1 GRAZIELLA ACQUAVIVA This article is based upon
More informationHALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA
HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA E- mail: uchilesekondari@yahoo.com P.O. BOX 582 Mob: +255 (0) 752 476 389 SUMBAWANGA KUMB. NA. USS/JOINING/F.V/03 10 Juni 2017...... YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO
More informationKiu Cha umtafuta Mungu
ZAIDI YA NAKALA MILLION 3 ZIMECHAPISHWA KATIKA LUGHA 59 KOTE DUNIANI K Kiu Cha umtafuta Mungu Huduma ya Daktari Richard A. Bennett ilianza katika mabaraza ya miji. Akiwa mwanafunzi chuoni, alikumbana na
More informationVijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre
Shangazi Stella Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO Training and Research Support Centre Zimbabwe Shangazi Stella Kiongozi cha Mwezeshaji
More informationElimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi
Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Martha Qorro 1 1.0 Utangulizi Elimu ni suala la jamii ambalo mipango na taratibu zake zinahitaji kushirikisha wadau
More informationSautiElimu. Sauti Yako Isikike
SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian
More informationUFASIHI SIMULIZI KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: Mifano kutoka Adili na Nduguze na Wasifu wa Siti Binti Saad. Khatib Khamis Saleh
UFASIHI SIMULIZI KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: Mifano kutoka Adili na Nduguze na Wasifu wa Siti Binti Saad Khatib Khamis Saleh Tasinifu ya Uzamili Katika Kiswahili Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Septemba,
More informationUtumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania
Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted
More informationJHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI
JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika
More informationKENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS
KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS ALLIANCE BOYS HIGH SCHOOL KISWAHILI KARATASI YA 2 SCHOOLS NET KENYA Osiligi House, Opposite KCB, Ground Floor Off Magadi
More informationMITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012
MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012 TASNIFU HII IMEWASILISHWA KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJI
More informationLUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI
LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI SIKOMBE YIZUKANJI YORADI TASNIFU YA KISWAHILI KWA MINAJILI YA KUTUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI (MA. KISWAHILI) KITIVO CHA SANAA
More informationMisamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?
Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.
More informationMATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza
1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa
More informationKUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA
KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa
More informationYaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!
Yaliyomo Kuhusu kitabu hiki Kuhusu kitabu hiki.........................................................1 Unapojisikia vibaya.........................................................2 Unapoanza kuwa mzima
More informationMwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza
Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)
More information"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.
KUJA KWA KRIST0 MARA YA PILI "ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28. Mara nyingi sana kuja kwa Kristo mara ya pili huangaliwa tu kama fundisho la dini. Ni
More informationSERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH
Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017
More informationJifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti
Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu
More informationEllen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar
Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ukristo leo unadhihirisha waumini karibu bilioni mbili katika maelfu ya madhehebu tofauti na tofauti na madhehebu. Kati ya hizi, zaidi ya 500 madhehebu
More informationHaja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (
Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Haja Ya Dini Haja Ya Dini Author(s): Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi [3] Publisher(s): Bilal Muslim Mission of Tanzania [4] Katika kijitabu
More informationTIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO
TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of
More informationUHUSIANO WA MIKAKATI YA UFUNDISHAJI WA FASIHI YA WATOTO YA KISWAHILI NA UMILISI WA KUSOMA KATIKA SHULE ZA MSINGI, KASARANI, KAUNTI YA NAIROBI, KENYA
UHUSIANO WA MIKAKATI YA UFUNDISHAJI WA FASIHI YA WATOTO YA KISWAHILI NA UMILISI WA KUSOMA KATIKA SHULE ZA MSINGI, KASARANI, KAUNTI YA NAIROBI, KENYA NA SELINA RHOBI CHACHA E55/23475/11 TASNIFU HII IMEWASILISHWA
More informationForum:MyElimu Home for Students to Share Knowledge Thread: Dunia Uwanja Wa Fujo
Forum:MyElimu Home for Students to Share Knowledge Thread: Dunia Uwanja Wa Fujo MwlMaeda - June 10, 2017, 9:19 am Dunia uwanja wa fujo ni riwaya iliyoandikwa na Euphrase Kezilahabi mwaka wa 1975. Ni riwaya
More informationKUCHUNGUZA UFASIHI SIMULIZI UNAOJITOKEZA NDANI YA HADITHI ZA KUSADIKIKA NA ADILI NA NDUGUZE
KUCHUNGUZA UFASIHI SIMULIZI UNAOJITOKEZA NDANI YA HADITHI ZA KUSADIKIKA NA ADILI NA NDUGUZE MUHAMMED ALI SALIM TASINIFU ILIYOWASILISHWA KWA AJILI YA KUTIMIZA SEHEMU YA MASHARTI YA KUTUNIKIWA SHAHADA YA
More informationPDF created with pdffactory trial version
المملكة العربية السعودية وزارة التعليم العالي الجامعة الا سلامية بالمدينة المنورة عمادة البحث العلمي قسم الترجمة تعريف موجز بالا سلام بل( لغة السواحلية) ١ بسم االله الرحمن الرحیم MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU
More informationNamba ya moduli 3 Kuangalia sanaa
Rasilimali za Msingi Mafunzo Ya Jamii Na Sanaa Namba ya moduli 3 Kuangalia sanaa Sehemu ya 1 Kuchunguza Kazi za Sanaa zionekanazo Sehemu ya 2 Kuandaa Shughuli za Sanaa kwa Vitendo- Sehemu ya 3 Kutumia
More informationTASFIDA KAMA MKAKATI WA UPOLE: UWIANO WA TASFIDA ZA KISWAHILI NA EKEGUSII
TASFIDA KAMA MKAKATI WA UPOLE: UWIANO WA TASFIDA ZA KISWAHILI NA EKEGUSII NA FLORAH N. OMOSA C50/84117/2012 TASNIFU HII IMETOLEWA KWA MADHUMUNI YA KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJIYA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA
More informationUshindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT
Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT 1 Ushindi Ndani ya Kristo Na W. W. Prescott Mfasiri: M. Mwamalumbili Victory in Christ - Kiswahili 2 Yaliyomo Alinipenda Mimi Aliishi kwa ajili Yangu Mimi Alikufa
More informationKUCHUNGUZA MASUALA YA KISIASA KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: MFANO WA KUSADIKIKA NA KUFIKIRIKA
KUCHUNGUZA MASUALA YA KISIASA KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: MFANO WA KUSADIKIKA NA KUFIKIRIKA BIBIANA MASSAWE AMBROSE TASINIFU ILIYOWASILISHWA KWA AJILI YA KUTIMIZA SHARTI PEKEE LA KUTUNUKIWA DIGRII
More informationAgano Lililofunikwa Kwa Damu
Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The Blood-Sealed Covenant) 1 Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Oktoba 14, 2012 Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The
More informationFANI KATIKA NYIMBO TEULE ZA ANASTACIA MUKABWA MBURU JAMES MUNGAI TASNIFU HII IMETOLEWA ILI KUTOSHELEZA BAADHI YA
FANI KATIKA NYIMBO TEULE ZA ANASTACIA MUKABWA MBURU JAMES MUNGAI TASNIFU HII IMETOLEWA ILI KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJI YA SHAHADA YA UZAMILI (M.A.) KATIKA IDARA YA KISWAHILI CHUO KIKUU CHA NAIROBI 2014
More informationMUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI
MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Mwanzo 1:1 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi. Wakolosai
More informationKiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika
Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to
More informationATHARI ZA KIMOFOFONOLOJIA ZA KIOLUSUBA KATIKA MATUMIZI YA KISWAHILI SANIFU KAMA LUGHA YA PILI
ATHARI ZA KIMOFOFONOLOJIA ZA KIOLUSUBA KATIKA MATUMIZI YA KISWAHILI SANIFU KAMA LUGHA YA PILI MEROLYNE ACHIENG OTIENDE Tasnifu hii imewasilishwa kwa ajili ya kutosheleza baadhi ya mahitaji ya shahada ya
More informationMazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006
Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Imechapishwa na: The Atlas Alliance Schweigaardsgt 12 SLP 9218 Grønland 0134 Oslo, Norway Simu: +47
More informationMpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi
Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari
More informationKUMBUKIZI YA MAREHEMU MWALIMU EDWIN SEMZABA
SWAHILI FORUM 23 (2016): 144-153 KUMBUKIZI YA MAREHEMU MWALIMU EDWIN SEMZABA ELIZABETH MAHENGE & EMMANUEL MBOGO Wasifu wa Marehemu hadi kufika chuoni Mwalimu Edwin Charles Semzaba alizaliwa Muheza tarehe
More informationMafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally
Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo Na Andrew Connally 1 YALIYOMO Milango ya Kitabu: Ukurasa: 1. Mungu-Kuwako kwake na hali yake 03 2. Huyo Kristo-Nafsi yake na kazi yake 12 3. Maandiko Matakatifu ni yenye
More informationHALIYA VITABUVYA WATOTOKATIKA TANZANIA
AAP 68 (2001)- Swahi1i Fomm Vill 171-183 HALIYA VITABUVYA WATOTOKATIKA TANZANIA J S. MADUMULLA Whither is fled the visionary gleam Where is it now, the glory and the dream Wapi kimekimbilia, kianga cha
More informationAzimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu
The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA
More informationNAFASI YA MWANAMKE: JINSI INAVYOTETEWA KATIKA NYIMBO ZA TAARAB ZA ZANZIBAR ELIZABETH KANGOGO YEGO C50/68796/2011 IDARA YA ISIMU NA LUGHA
NAFASI YA MWANAMKE: JINSI INAVYOTETEWA KATIKA NYIMBO ZA TAARAB ZA ZANZIBAR ELIZABETH KANGOGO YEGO C50/68796/2011 IDARA YA ISIMU NA LUGHA CHUO KIKUU CHA NAIROBI TASNIFU HII IMETOLEWA ILI KUTOSHELEZA BAADHI
More informationKISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA
KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA Maagizo (a) Andika jina lako na namba yako katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (b) Tia sahihi yako na tarehe ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (c) Jibu maswali
More informationAMMA KWA AFRIKA RATIBA/ITIKADI. Ratiba Maalum ya Kutibu Magonjwa Maambukizi na Hususan Fikra Zinazoleta Pooza Mwili na Akili
AMMA KWA AFRIKA RATIBA/ITIKADI Ratiba Maalum ya Kutibu Magonjwa Maambukizi na Hususan Fikra Zinazoleta Pooza Mwili na Akili Notisi Maalum Matibabu, kama sayansi, ni somo linaloendeleza uwekezaji. Ujuzi
More informationRoho Mtakatifu Ni Nini?
Roho Mtakatifu Ni Nini? kwa ajili ya mkutano. Mkutano huu utakuwa tofauti, kidogo na ile ya kawaida tunayokuwa nayo hapa. Kwa kawaida, kila wakati tunapokuja pamoja hapa, ni mkutano kwa wa kwa ajili ya
More informationKUCHUNGUZA UJINSIA NA MATUMIZI YA LUGHA KATIKA METHALI ZA WAKURYA
i KUCHUNGUZA UJINSIA NA MATUMIZI YA LUGHA KATIKA METHALI ZA WAKURYA TIMANYWA FELICIAN TASINIFU INAYOWAKILISHWA KWA AJILI YA KUTIMIZA SEHEMU YA SHARTI PEKEE LA KUTUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI (M.A. KISWAHILI)
More informationElimu-Jumuishi Kwa Vitendo
Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo Taarifa ya Warsha Kuhusu Elimu-Jumuishi Iliyofanyika Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Kujifunza hakuna mwisho. Kazi ya vikundi imenipa fursa ya kujieleza bila kuhofia kuwa ningekosea.
More informationMwongozo wa Mwezeshaji
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Mwongozo wa Mwezeshaji Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka lugha
More informationFOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO
FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO SEHEMU A (TAARIFA ZA MWANAFUNZI) Picha ya mwanafunzi na aje na picha tatu Jina kamili (majina matatu). Tarehe ya kuzaliwa.. Uraia.. Jinsia Anuani ya mwanafunzi... Shule
More informationIMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE
IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE IMANI NA MATENDO IMANI NA MATENDO Hotuba na Makala za Ellen G. White Masomo kutoka katika Hotuba zake Kumi na Tisa zilizotolewa Nzima au kwa Sehemu kuanzia mwaka 1881
More informationMARUDIO K.C.S.E KNEC KISWAHILI KARATASI 102/2 MASWALI NA USAHIHISHO
102 1B KISWAHILI KARATASI 1B OCT/ NOV 1995 2 ½ HOURS Jibu maswali yote MARUDIO K.C.S.E KNEC 1995 2010 KISWAHILI KARATASI 102/2 MASWALI NA USAHIHISHO 1. UFAHAMU Soma Makala yatuatayo kisha ujibu maswali
More informationJE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI?
JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? JOE CREWS 1 JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? Na Joe Crews (Hotuba Na. 16 ya Mambo ya Kweli Yanayoshangaza) Mfasiri: M. Mwamalumbili Is It Possible To
More informationDeutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 People Who Make A Difference Liberia: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia
Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 Title: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia Author: Stefanie Duckstein, HA Afrika/ Nahost Editor: Christine Harjes Translator: Tony Dunham Sound
More informationJUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1
The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA
More informationJuni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia
34567 APRILI 15, 2013 Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia UKURASAWA 3 NYIMBO ZA KUTUMIWA: 114, 113 Juni 10-16 Jinufaishe na Uwanufaishe Wengine kwa KutumiaNenolaMungu UKURASAWA 18 NYIMBO ZA KUTUMIWA:
More informationMbinu za Ujenzi wa Wahusika na Usawiri wa Sifa Zao: Uhakiki wa Riwaya ya Dunia Uwanja Wa Fujo ya E. Kezilahabi
38 MULIKA NA. 34 Mbinu za Ujenzi wa Wahusika na Usawiri wa Sifa Zao: Uhakiki wa Riwaya ya Dunia Uwanja Wa Fujo ya E. Kezilahabi Leonard Flavian Ilomo Ikisiri Kipengele cha wahusika ni muhimu katika kuunda
More informationKocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.
Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa mabingwa itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Mkuu Inahitaji dhabihu. Unahitaji kujisukuma hadi mwisho wako. Lakini nakupa ahadi hii,
More informationMakala ya Mshiriki wa Mafunzo
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Makala ya Mshiriki wa Mafunzo Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka
More informationMUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.
MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUHTASARI WA UTANGULIZI WA THIOLOGIA YA USHIRIKA WA NAFSI TATU ZA UUNGU. GRACE COMMUNION INTERNATIONAL LIVING AND SHARING THE GOSPEL MUNGU ANADHIHIRISHWA NA
More informationKUCHUNGUZA MCHOMOZO KATIKA FASIHI YA KISWAHILI: UTAFITI LINGANISHI WA USHAIRI KATIKA DIWANI YA USTADHI ANDANENGA
KUCHUNGUZA MCHOMOZO KATIKA FASIHI YA KISWAHILI: UTAFITI LINGANISHI WA USHAIRI KATIKA DIWANI YA USTADHI ANDANENGA AUGUSTINO TENDWA TASNIFU ILIYOWASILISHWA KWA AJILI YA KUTIMIZA SHARTI PEKEE LA KUTUNUKIWA
More informationTRANS-NZOIA COUNTY KCSE REVISION MOCK EXAMS 2015
TRANS-NZOIA COUNTY KCSE REVISION MOCK EXAMS 2015 KISWAHILI KARATASI YA PILI SAA 2 ½ SCHOOLS NET KENYA Osiligi House, Opposite KCB, Ground Floor Off Magadi Road, Ongata Rongai Tel: 0711 88 22 27 E-mail:infosnkenya@gmail.com
More informationMADA MATUMIZI YA TAKRIRI NA SITIARI KATIKA UTENZI WA RASI LGHULI JUSTUS MAUNDU NDUMBU C50/65902/2011 CHUO KIKUU CHA NAIROBI IDARA YA ISIMU NA LUGHA
MADA MATUMIZI YA TAKRIRI NA SITIARI KATIKA UTENZI WA RASI LGHULI NA JUSTUS MAUNDU NDUMBU C50/65902/2011 CHUO KIKUU CHA NAIROBI IDARA YA ISIMU NA LUGHA TASNIFU HII IMETOLEWA ILI KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJI
More informationTIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees
TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST
More information