ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO. Shughuli za Serikali/Jimbo la Mwanakwerekwe.

Size: px
Start display at page:

Download "ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO. Shughuli za Serikali/Jimbo la Mwanakwerekwe."

Transcription

1 ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO 1.Mhe. Kamal Basha Pandu 2.Mhe. Ali Mzee Ali 3.Mhe. Shamsi Vuai Nahodha 4.Mhe. Ali Juma Shamuhuna 5.Mhe. Abubakar Khamis Bakary 6.Mhe. Haji Omar Kheri 7.Mhe. Haji Faki Shaali 8.Mhe. Dr. Mwinyihaji Makame Mwadini 9.Mhe. Hamza Hassan Juma 10.Mhe. Ramadhan Abdulla Shaaban 11.Mhe. Suleiman Othman Nyanga 12.Mhe. Br.Gen. Adam C. Mwakanjuki Naibu Spika/Jimbo la Rahaleo. Mwenyekiti wa Baraza/Uteuzi wa Rais. MBM/Waziri Kiongozi/ Kiongozi wa Shughuli za Serikali/Jimbo la Mwanakwerekwe. MBM/Naibu Waziri Kiongozi/Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo/ Jimbo la Donge. Kiongozi wa Upinzani/ Waziri Kivuli Afisi ya Waziri Kiongozi/Jimbo la Mgogoni. Mnadhimu wa Upande wa Serikali/Jimbo la Tumbatu. Waziri Kivuli Wizara ya Nchi (AR) Katiba na Utawala Bora/Mnadhimu wa Upande wa Upinzani/Jimbo la Mkanyageni. MBM/Waziri wa Nchi (AR) na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Anaeshughulikia Masuala ya Fedha na Uchumi/ Jimbo la Dimani. MBM/Waziri wa Nchi, Afisi ya Waziri Kiongozi/ Jimbo La Kwamtipura. MBM/Waziri wa Nchi (AR) Katiba na Utawala Bora/Uteuzi wa Rais. MBM/Waziri wa Nchi (AR) Tawala za Mikoa na Vikosi Vya S.M.Z./Jimbo la Jang ombe. MBM/Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi/Uteuzi wa Rais. 13. Mhe. Machano Othman Said Waziri wa Nchi, (AR) Mawasiliano na Uchukuzi./Jimbo la Chumbuni. 14.Mhe. Samia Suluhu Hassan 15.Mhe. Burhan Saadat Haji 16.Mhe. Asha Abdalla Juma 17.Mhe. Haroun Ali Suleiman MBM/Waziri wa Utalii/Biashara na Uwekezaji/Nafasi za Wanawake. MBM/Waziri wa Kilimo, Mifugo na Mazingira/ Jimbo la Kikwajuni. MBM/Waziri wa Kazi Maendeleo ya Vijana,Wanawake na Watoto/ Uteuzi wa Rais. MBM/Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali/Jimbo la Makunduchi.

2 18.Mhe. Sultan Moh d Mugheiry 19.Mhe. Mansoor Yussuf Himid 20.Mhe. Zainab Omar Moh d 21.Mhe. Idi Pandu Hassan MBM/Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii/ Uteuzi wa Rais. MBM/Waziri wa Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi/Jimbo la Kiembesamaki. MBM/Waziri wa Nchi (AR) Kazi Maalum/ Nafasi za Wanawake. Mwanasheria Mkuu wa Serikali. 22. Mhe. Mahmoud Thabit Kombo Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo/Jimbo la Mpendae. 23. Mhe. Mzee Ali Ussi Naibu Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi/Jimbo la Chaani. 24. Mhe. Khatib Suleiman Bakari Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Mazingira/Jimbo la Bububu. 25.Mhe. Khamis Jabir Makame 26.Mhe. Shawana Bukheti Hassan 27.Mhe. Tafana Kassim Mzee 28.Mhe. Zahra Ali Hamad 29.Mhe. Zakiya Omar Juma 30.Mhe. Said Ali Mbarouk 31.Mhe. Abdulla Juma Abdulla 32.Mhe. Mtumwa Kheir Mbarak 33.Mhe. Hamad Masoud Hamad 34.Mhe. Omar Ali Shehe 35.Mhe. Rashid Seif Suleiman 36.Mhe. Mohamed Ali Salim Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali/Jimbo la Mtoni. Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii/Jimbo la Dole. Naibu Waziri wa Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi/Jimbo la Uzini. Waziri Kivuli Wizara ya Nchi, Afisi ya Waziri Kiongozi/Nafasi za Wanawake. Waziri Kivuli -Wizara ya Nchi (AR) na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi/Nafasi za Wanawake. Waziri Kivuli Wizara ya Nchi (AR) na MBLM Fedha na Uchumi/Jimbo la Gando. Waziri Kivuli Wizara ya Nchi (AR) Tawala za Mikoa na Vikosi Vya SMZ/Jimbo la Chonga. Waziri Kivuli Wizara ya Nchi (AR) Kazi Maalum/Nafasi za Wanawake. Waziri Kivuli Wizara ya Maji,Ujenzi, Nishati na Ardhi/Jimbo la Ole. Waziri Kivuli Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi/Jimbo la Chake-Chake. Waziri Kivuli Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii/Jimbo la Ziwani. Waziri Kivuli Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali/Jimbo la Mkoani.

3 37.Mhe. Asaa Othman Hamad 38.Mhe. Aziza Nabahan Suleiman 39.Mhe. Najma Khalfan Juma 40.Mhe. Muhyddin Moh d Muhyddin Waziri Kivuli Wizara ya Kilimo, Mifugo na Mazingira/Jimbo la Wete. Waziri Kivuli Wizara ya Kazi, Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto/Nafasi za Wanawake. Waziri Kivuli Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo/Nafasi za Wanawake. Waziri Kivuli Wizara ya Utalii, Biashara na Uwekezaji/Jimbo la Mtambile. 41. Mhe. Abass Juma Muhunzi Jimbo la Chambani. 42.Mhe. Abdulla Mwinyi Khamis 43.Mhe. Ali Abdalla Ali 44.Mhe. Ali Denge Makame 45.Mhe. Ali Haji Ali 46.Mhe. Ali Moh d Bakari 47.Mhe. Ali Suleiman Ali 48.Mhe. Ame Mati Wadi 59.Mhe. Ame Ussi Juma 50.Mhe. Amina Iddi Mabrouk 51.Mhe. Anaclet Thobias Makungila Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja. Jimbo la Mfenesini. Jimbo la Amani. Jimbo la Mkwajuni. Jimbo la Tumbe. Jimbo la Kwahani. Jimbo la Matemwe. Jimbo la Nungwi. Nafasi za Wanawake. Jimbo la Fuoni. 52. Mhe. Asha Moh d Hilal Jimbo la Magogoni. 53.Mhe. Ashura Abeid Faraji 54.Mhe. Bihindi Hamad Khamis 55.Mhe. Dadi Faki Dadi 56.Mhe. Fatma Abdalla Tamim 57.Mhe. Fatma Abdulhabib Fereji 58.Mhe. Haji Mkema Haji 59.Mhe. Hasnuu Moh d Haji 60.Mhe. Hija Hassan Hija 61.Mhe. Major Juma Kassim Tindwa 62.Mhe. Makame Mshimba Mbarouk Nafasi za Wanawake. Nafasi za Wanawake. Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini, Pemba. Nafasi za Wanawake. Jimbo la Mji Mkongwe. Jimbo la Koani. Uteuzi wa Rais. Jimbo la Kiwani. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba. Jimbo la Kitope.

4 63.Mhe. Mkongwe Nassor Juma 64.Mhe. Moh d Kombo Mkanga 65.Mhe. Mustafa Moh d Ibrahim 66.Mhe. Mwanajuma Faki Mdachi 67.Mhe. Omar Ali Jadi 68.Mhe. Pembe Juma Khamis 69.Mhe. Ramadhan Nyonje Pandu 70.Mhe. Raya Suleiman Hamad 71.Mhe. Said Khelef Ali 72.Mhe. Salim Abdulla Hamad 73.Mhe. Salmin Awadh Salmin 74.Mhe. Subeit Khamis Faki 75.Mhe. Suleiman Hemed Khamis 76.Mhe. Thuwaybah Edington Kissasi Ndg. Ibrahim Mzee Ibrahim Nafasi za Wanawake. Jimbo la Chwaka. Mkuu wa Mkoa wa Kusini, Unguja. Nafasi za Wanawake. Jimbo la Kojani. Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini, Unguja. Jimbo la Muyuni. Nafasi za Wanawake. Jimbo la Bumbwini. Jimbo la Mtambwe. Jimbo la Magomeni. Jimbo la Micheweni. Jimbo la Konde. Nafasi za Wanawake. Katibu wa Baraza la Wawakilishi.

5 Kikao cha Kumi na Tatu Tarehe 8 Julai, 2009 (Kikao kilianza saa 3:00 asubuhi) DUA Mhe. Spika ( Pandu Ameir Kificho) alisoma dua TAARIFA Mhe. Spika: Kabla ya kumwita Katibu kwa shuhuli za leo, Waheshimiwa Wajumbe mnaweza mkashtuka kidogo maana pale kuna Makamanda mbali mbali waliingia katika ukumbi huu pamoja na askari wengine ambao wana unifomu na wengine askari kanzu. Sasa mnaweza kusema kuna nini leo katika Baraza lenu hili tukufu la Wawakilishi wa Zanzibar. Waheshimiwa Wajumbe mtakumbuka kwamba kunako tarehe 7/4/2009 niliituma kamati yangu kwenda Kigoma, Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi, ikiwa chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Ramadhani Nyonje Pandu na msaidizi wake Mhe. Hamad Masoud Hamad. Lakini pia kamati hiyo ikiwa pamoja na wajumbe wake mbali mbali ilifuatana na Mhe. Naibu Waziri wa Maji, Ujenzi Nishati na Ardhi. Mhe. Tafana Kassim Mzee. Wakati wa kurudi kwenye shughuli yao hiyo tuliyowatuma wakapatwa na mkasa sote tunakumbuka tarehe 7/4/2009. Katika mkasa huo wenzetu hawa Wajumbe wa Kamati tulisikia sote kwamba walitaka kuvamiwa na majambazi katika eneo moja wakiwa wanatokea Kasulu. Katika mkasa huo walipokuwa ndani ya gari kulikuwa na askari wetu walikuwa wanawasaidia waheshimiwa wajumbe walifanya kazi moja kubwa, nzuri ya kupambana na majambazi wale na hatimaye wakafanikiwa kuokolewa kutokana na kadhia ile. Hatimaye wakafanya mawasiliano na Kigoma, ikabidi ukaja msafara mwengine escort ya kuwachukua ili warudi mjini Kigoma. Hatimaye utaratibu wa safari ya kurudi hapa Zanzibar ufanyike na ulifanyika kwa ndege kutoka Kigoma hadi Dar-es-Salaam. Kwanza nichukue nafasi hii kuwapongeza sana Wajumbe wote wa Kamati kwa ustahamilivu mkubwa waliokuwa nao. Tukio kwa taarifa halikuwa dogo lilikuwa kubwa, kulikuwa na mapambano hasa ya kivita ya risasi. Basi lilivunjwa viyoo kutokana na risasi, akiwemo Naibu Spika, wangu. Hali ilikuwa ni nzito kidogo. Kutokana na kazi kubwa hiyo Mhe. Naibu Waziri wa Maji, Nishati na Ardhi kwa makubaliano na Waziri wake Mhe. Mansour Yussuf Himid waliniarifu kwamba kwa furaha yao na kwa shukurani kubwa ambazo ni shukurani zetu sote wanataka wawaalike mashujaa wetu wale waliowaokoa wajumbe wetu wa Kamati pamoja na Naibu Waziri ili waje hapa siku ambayo hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi, itawasilishwa. Wageni wetu hao walifika juzi na wapo hapa Zanzibar na leo hii ndio tumewakaribisha katika ukumbi wetu wa Baraza la Wawakilishi. Naomba niwakaribishe kwa kuwataja wote waliokuwemo katika msafara huo. Msafara huo umeongozwa kutoka Kigoma na Kaimu Kamanda wa Mkoa wa Kigoma wa Polisi naye ni: - Acting RPC Kigoma ACP Twaha Ali Ramadhan. Amefuatana na ndugu OC -CID Kasulu SP Yussuf Sarungi. Karibu sana ndugu Sarungi. Huyu baada ya taarifa kwamba kumetokea matatizo yale ndiye aliyechukua gari nyengine ya escort kwenda kuwachukuwa Waheshimiwa Wajumbe ili kuwaongoza mpaka Mjini Kigoma. Waliokuwepo katika mapambano hayo ni pamoja na:- F.9019 PC Juma Salum Samjaila Huyu ndiye aliyechupa akapambana na majambazi. Ametoka kwenye gari akapambana. Aliyetoa taarifa kwamba sasa tumeshatekwa ni ndugu yetu askari F PC Swaibu Othman Kataye. Alitoa taarifa na kumuamuru dereva geuza gari ili turudi na dereva bila ya kukawia akazungusha pale pale akarudi kule alikokuwa anatoka. Gari hiyo ilikuwa inaendeshwa na ndugu Amour Salum Seif. Kwa umahiri wake baada ya kupata amri kutoka kwa ndugu Juma hapo hapo alibadilisha na akazungusha na kurudi kule walikotoka. Dereva huyu alikuwa na msaidizi wake ndani ya basi hiyo ndugu Omar Hussein Mdowe. Huyu yeye ndiye aliyekuwa msaidizi kama Ndugu Amour Salum anataka kupumzika yeye amsaidie katika kazi ile. Ujumbe huu umefika juzi kama nilivyosema kabla na hapa umepokelewa na wenyeji wetu. Ikiwa ni pamoja na ACP Hamdani Omar Makame. Pamoja na ACP Makame Omar Makame ndiyo walioupokea ujumbe huo kutoka Kigoma na watakuwepo mpaka

6 tarehe 11. Wageni wetu kutoka Kigoma karibuni sana na wenyeji mliowapokea wageni hao karibuni sana katika Ukumbi wetu wa Baraza la Wawakilishi. Leo ndio siku ambayo ile kazi kubwa mliyowaokoa wajumbe wangu wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi pamoja na Naibu Waziri mtaona kazi yao katika Baraza hili. Karibuni sana. Waheshimiwa Wajumbe, nakushukuruni kwa kunisikiliza. HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Mhe. Waziri wa Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi: Mhe. Spika, naomba kuwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara ya Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. Naomba kuwasiliana. Mhe. Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi: Mhe. Spika, kwa mujibu wa kanuni ya 33 ya Baraza la Wawakilishi, naomba kuwasilisha Mezani Hotuba ya Maoni ya Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi kwa Mwaka huu wa fedha wa 2009/2010. Mhe. Spika, naomba kuwasilisha. Mhe. Waziri Kivuli wa Wizara ya Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi: Mhe. Spika, naomba kuwalisha Mezani hotuba ya Waziri Kivuli ya Wizara ya Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi kuhusu Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka 2009/2010. Naomba kuwasilisha. Mhe. Ali Suleiman Ali: Aliuliza:- MASWALI NA MAJIBU Nam. 89 Ujenzi wa Mitaro Katika Jimbo la Kwahani Mhe. Spika, kabla sijauliza swali langu na kwa kuwa nimekuwa mtu wa mwanzo wa baada ya kutupa utambulisho wa wenzetu wa askari wenzangu. Nachukua fursa hii kuwapongeza kwa dhati kabisa kwa niaba ya majeshi wenzangu wastaafu pamoja na kwa niaba ya wananchi wangu wa Jimbo la Kwahani kwa kazi nzuri waliyoifanya, karibuni. Mhe. Spika, naipongeza Wizara ya Nchi (AR) Tawala za Mikoa na Vikosi vya SMZ kupitia Baraza la Manispaa Zanzibar juu ya ujenzi wa mitaro mbali mbali ya mji wetu wa Zanzibar. (a) (b) Kwa kuwa mitaro ya maeneo ya Kwahani na Mwembenjugu imo katika ujenzi huo, lakini ujenzi wake unaendelea kidogo kidogo mno, Je, Mhe. Waziri ni lini mitaro hiyo inategemewa kukamilika. Ni kitu gani kinachopelekea kuchelewa kukamilika kwa mitaro hiyo. Mhe. Waziri wa Nchi (AR) Tawala za Mikoa na Vikosi vya SMZ - Alijibu:- Mhe. Spika, naomba kumjibu Mhe. Mwakilishi swali lake Nam. 89 lenye vifungu (a) na (b) kama ifuatavyo:- a) Mhe. Spika, kwanza napenda kumshukuru Mhe. Mwakilishi kwa kuipongeza wizara yangu pamoja na Baraza la Manispaa juu ya ujenzi wa mitaro mbali mbali ya mji wetu wa Zanzibar. Pili napenda kumuarifu Mhe. Mwakilishi pamoja na Baraza lako tukufu kuwa ujenzi wa mitaro wa maeneo ya Kwahani na Mwembenjugu hivi sasa umekamilika na tunatarajia kukabidhiwa rasmi baada ya mwaka mmoja wa majaribio. Kwa hivyo suala la kuwa ujenzi huo unaendelea kidogo kidogo mno halipo. b) Mhe. Spika, hapana kitu kilichopelekea kuchelewa kukamilika kwa mitaro hiyo kwani Kampuni ya ujenzi imeweza kukamilisha kazi hiyo ndani ya muda wa miaka miwili iliopewa. Mhe. Ali Suleiman Ali: Ahsante sana Mhe. Spika, pamoja na majibu mazuri ya Mhe. Waziri wa Nchi (AR) Tawala za Mikoa na vikosi vya SMZ kwa ruhusa yako naomba kumuuliza swali la nyongeza.

7 Mhe. Spika, bado naongeza kutoa shukurani au pongezi kwa wizara pamoja na Baraza letu la Manispaa Zanzibar kwa ujenzi huo ambao tunategemea ile shida ya muda mrefu iliyokuwepo itaondoka na wananchi wetu pindi ikitokezea mvua watalala salama bila ya wasi wasi. Mhe. Spika, kwa kuwa Mhe. Waziri amesema kwamba mradi huu umekamilika, nataka kumuuliza maswali mawili kama ifuatavyo:- (a) Lini tutafanya ziara mimi na yeye tukakague uimara wa mradi huu au michirizi hii ambayo baadhi ya maeneo haiyonyeshi uimara wa ujenzi wenyewe. (b) Kuna maeneo katika Uwanja wa Farasi wanaotoka mtaa wa pili yaani Kwaalamsha kuja kwenye Msikiti Mkubwa Kwahanimchangamwingi huwa wanapata shida ya kuvuka katika eneo lile baada ya kukosa macalvat katika maeneo yale. Je, Mhe. Waziri atafanya vipi na wataalamu wanaohusika ili kuondoa tatizo hili. Mhe. Waziri wa Nchi (AR) Tawala za Mikoa na Vikosi vya SMZ: Mhe. Spika, kwanza nazipokea tena shukurani nyengine ambazo umetupa. (a) Mimi kuanzi sasa hivi na wakati utakaouchagua Mheshimiwa kwa kuyatembelea maeneo ya mitaro hiyo katika maeneo mbali mbali mimi niko tayari. Utayari wenyewe kwa kuwa mimi na wewe sio maengineer inabidi tupate ma- engineer wa kufatana nao ili kuangalia sehemu ujenzi vipi ulivyokwenda. Uzuri wenyewe kwamba huo mtaro kwanza tumakabidhiwa utawahi mvua za vuli, utawahi mvua za masika. Kwa hivyo huo ni wakati mzuri ili kuweza kuangalia hali ya umadhubuti wa mtaro huo. (b) Jibu la (b) nimelichanganya na ziara ambayo tutakayofuatana na ma- engineer ili kukagua sehemu gani ambazo zina athari yoyote. Mhe. Ali Abdalla Ali - Aliuliza:- Nam. 75 Ujenzi wa Barabara ya Wete-Gando Wete-Konde na Wambaa Naipongeza serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi kwa kuziweka katika mpango wa ujenzi wa barabara, barabara tatu za Pemba, ambazo ni barabara ya Wete - Gando, Wete - Konde na Wambaa, ambapo kukamilika kwake kutawaondoshea wananchi wa maeneo hayo shida ya muda mrefu. (a) (b) (c) Je, Mhe. Waziri kuna ukweli gani kwamba Kampuni ya MECO ya Dar es Salaam ndiyo iliyopewa kazi ya ujenzi wa bara bara hizo. Kama ni kweli, Je, Wizara imezingatia vigezo gani vya kuipa Kampuni hii kazi hiyo huku ikifahamika kwamba, Kampuni hii ilipewa tenda ya Uwanja wa Karume, Pemba na kuwashinda. Je, Mhe. Waziri ujenzi wa bara bara zote hizo tatu, utagharimu kiasi gani. Mhe. Naibu Waziri wa Nchi (AR) Mawasiliano na Uchukuzi - Alijibu:- Mhe. Spika, awali ya yote kwanza sina budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia kuwa Waziri na kuhudhuria katika Kikao cha Baraza ili kuweza kutekeleza majukumu ambayo tumepangiwa. Mhe. Spika, kabla sijamjibu Mhe. Mwakilishi swali lake naomba kutoa maelezo yafuatayo. Katika suala la Mhe. Ali amejumuisha katika hizi Barabara tatu za Kaskazini Pemba kuna barabara ya Wambaa aliitaja. Nataka niweke mawahihisho hakuna barabara ya Wambaa katika barabara hizo bali kutakuwa na barabara ya Wete Chake badala yake. Mhe. Spika baada ya maelezo hayo naomba kumjibu Mhe Mwakilishi swali lake nambari 75 lenye kifungu (a) na (b) kama ifuatavyo.

8 Kwa niaba ya serikali kupitia wizara yangu namshukuru Mhe. Mwakilishi kwa kuipongeza serikali kwa kuziweka katika mpango ujenzi wa barabara tatu za Wete Chake, Wete Konde na Wete Gando. Aidha namhakikishia Mhe Mwakilishi kuwa tayari serikali imesaini mkataba na Kampuni ya MECCO ya Dar-es- Salaam kwa ujenzi wa barabara hizo tatu. Aidha Kampuni ya MECCO imepewa kazi hii baada ya kushinda zabuni ya kimataifa kati ya Makampuni sita yaliyoshindanishwa katika zabuni hiyo. Kama taratibu za tenda zilivyo vigezo vinanavyotumika katika kumpata mjenzi ni uzoefu, wataalum vifaa na bei ya ujenzi. Hata hivyo napenda kumhakikishia Mhe. Mwakilishi kwamba kampuni ya MECCO ilioshindwa kufanya kazi Uwanja wa Ndege Pemba, sio MECCO ya sasa hivi. MECCO hii kwa kushirikiana na kampuni ya Specon imeweza kukamilisha vyema ujenzi wa barabara ya Mkwajuni - Nungwi na Pongwe-Matemwe na hivi sasa inaendelea vyema ujenzi wa barabara ya Mazizini Fumba ujenzi ambao unaendelea vizuri. Mhe. Spika gharama halisi za ujenzi wa barabara zote unatarajia kugharimu jumla ya T.shs bilioni 43. Mhe. Said Ali Mbarouk: Ahsante Mhe. Spika, nami naomba nimuulize Mhe. Naibu Waziri swali moja la nyongeza. Mhe. Spika, mwaka jana katika mwaka unaomaliza Juni 30 mwaka huu, serikali ilipanga kutumia kama milioni 850 kwa ajili ya ujenzi wa barabara hizi. Je, wakati kampuni ya MECCO imepewa hii kandarasi ya ujenzi wa barabara hizi haijaanza kazi milioni 850 hizi zimetumika kwa ajili gani. Mhe. Naibu Waziri wa Nchi (AR) Mawasiliano na Uchukuzi: Mhe. Spika, matumizi ya fedha hizi yanatoka serikalini ni matumizi hasa yanayolipa zile gharama za composition katika maeneo ya barabara zinazojengwa. Mhe. Salim Abdalla Hamad: Mhe. Spika, na mimi nashukuru kupata nafasi ya kuuliza swali moja la nyongeza. Mhe. Spika, tukirudi nyuma kidogo kuna Kampuni ya PRISMO iliyopewa kazi ya kutengeneza barabara ya Chake/Mkoani Pemba, tulilalamikia kuwa haifanyi kazi yake vizuri na kazi yake iko chini ya viwango. Lakini pamoja na kulalamika kwetu ikapewa sifa zote na ikapewa utengenezaji wa baadhi ya barabara zilizokuwepo kisiwani Unguja, hatimaye ikafanya vibaya sana na kufukuzwa. Wakati huo huo kampuni hii ya MECCO imeshaanza vibaya kwa utengenezaji wa Kiwanja cha Ndege cha Karume Pemba. Lakini Mhe. Waziri anasema Kampuni hiyo ya MECCO ya zamani sio ya leo. (a) Je, Mhe. Waziri atakuja kutujibu kitu gani ikiwa kampuni hii itashindwa kufanya kazi inavyotakiwa kama ilivyokuwa ile ya PRISMO wakati tayari imeshaanza vibaya. (b) Mhe. Spika, kwa sababu kuna barabara ambazo hivi sasa hazipitiki kama barabara ya Bahanasa Mtambwe, ambayo tunasikia tu kuwa ishashughulikiwa na MCC katika matengenezo yake. Je, Mhe. Waziri ana mpango wowote kwa wakati huu kwa hizi barabara ambazo hazipitiki kabisa japo kuwa zimeshapata wafadhili kuzifanyia matengenezo angalau zikaweza kupitika kwa muda mpaka wakati utakapofika. Mhe. Naibu Waziri wa Nchi (AR) Mawasiliano na Uchukuzi: Mhe. Spika, kama nilivyojibu swali katika jibu la msingi ni kwamba kampuni hii ambayo inajenga hivi sasa sio ile kampuni ambayo ilishindwa kujenga pale Uwanja wa Ndege. Nikatoa vigezo ambavyo nafikiri na Mheshimiwa mwakilishi kama atakubaliana nami basi tufuatane nae ili aone barabara zilizojengwa Kati ya Mkajuni/Nungwi, Matemwe/Pongwe na barabara ambayo inaendelea kujengwa hivi sasa.. Kamati yangu imeridhika vizuri na ujenzi wa barabara hizo na nafikiri yeye mwenyewe binafsi kama atatembelea barabara hizo hatokuwa na mashaka hayo. Kuhusu barabara zile ambazo hazipitiki. Mhe. Spika, wiki iliyopita kuanzia Ijumaa tulikuwa Pemba pamoja na Mhe. Waziri na watendaji wangu tulizitembelea barabara nyingi za Pemba na kuona matatizo ambayo yaliyokuwepo. Tulichoamua kuwa tutazifanyia matengenezo barabara zote ambazo hazipitiki kwa hivi sasa.

9 Nataka nichukue nafasi hii kuwapongeza wenzetu Pemba na hasa Afisi Mdhamini kwa kuzifanyia matengenezo barabara hizo ikiwemo barabara ya Mkumbuu ambayo tuliitembelea, barabara hiyo ilikuwa mbaya sana. Mhe. Rashid Seif akiitembelea anaweza kusema hali ni nzuri kwa hivi sasa. Ahsante sana. Mhe. Muhammed Ali Salim: Ahsante Mhe. Spika, naomba nimuulize Mhe. Waziri swali moja lenye vifungu (a, (b), (c) na (d). Mhe. Spika, kwa kuwa Mhe. Waziri katika jibu lake kasema kuwa fedha aliyoitaja imetumika kwa fidia kwa wananchi, naomba anijulishe. (a) ni wananchi wangapi waliopata fidia hii, (b) Ni mali gani na gani zilizofidiwa. (c) Je, hizi MECCO ziko ngapi ikiwa hii ni nyengine na ile liyotengeneza kiwanja ni nyengine. (d) Ni kampuni zipi zilizokuwa na tenda katika barabara hizi. Mhe. Naibu Waziri wa Nchi (AR) Mawasiliano na Uchukuzi: Mhe. Spika, kwa kuanza alizungumza kuhusu kulipa zile composition ni wangapi na nini. Haya masuala yanahitaji takwimu, kwahivyo ningemuomba kwanza tupate hizo takwimu. Jibu langu sio kwamba nimesema tayari tumelipa ama laa. Kwa sababu hii lazima upate jibu sahihi kutoka kwa watendaji kwamba tayari wameshaanza kulipa au vipi. Mara nyingi tunapofanya tathmini huwa hatuleti pale pale. Pia aliniuliza MECCO zipo ngapi. MECCO kwa hivi sasa iliyokuwepo hapa Zanzibar ni moja tu kwa sababu wao wamechukua lile jina tu la MECCO. Hivi sasa wanafanya kazi hapa ikiwa MECCO moja tu ambayo inafaka kazi hapa Zanzibar. Maswali yale mawili naomba ayareje, Mhe. Spika.. Mhe. Spika: Kampuni zilizoingia katika tender zilikuwa ngapi? Mhe. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi: Mhe. Spika, katika jibu la msingi nilipojibu nilieleza kwamba ni kampuni sita ambazo zenye tender. Mhe. Spika: Ni mali gani ambazo zinalipiwa fidia? Mhe. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi: Mhe. Spika, mali ambazo zinalipiwa fidia kwa kawaida ni nyumba pamoja na miti iliyopo kando kando ya barabara inayojengwa. Mhe. Ali Denge Makame: Ahsante Mhe. Spika, kwa ruhusa yako kwanza kabla ya yote niwapongeze majenerali wa kivita ambao wamewaokoa Wajumbe wako wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi akiwemo Mhe. Ali Denge Makame pamoja na wajumbe wenziwe, ingelikuwa leo hii huko nao. Mhe. Spika, kwa idhini yako naomba sasa nijibiwe swali langu Nam 35. Mhe. Ali Denge Makame - Aliuliza:- Nam. 35 Mikakati ya Kuimarisha Uchumi wa Zanzibar Kwa kuzingatia kwamba nchi mbali mbali duniani, hivi sasa zinashuhudia kuanguka kwa uchumi ambao umesababishwa na kuanguka kwa uchumi wa dunia. (a) Je, Zanzibar imeathirika kwa kiasi gani na mtikisiko huo wa uchumi duniani? (b) Je, wizara yako imeandaa mikakati ipi ya kuimarisha uchumi wa Zanzibar ili kupunguza athari za mtikisiko huo?

10 Mhe. Waziri wa Nchi (AR) na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Anayeshughulikia Masuala ya Fedha na Uchumi - Alijibu:- Mhe. Spika, na mimi kwa niaba ya wenzangu pia hatuna budi kutambua ugeni huu mzoto uliokuja hii leo, kwa kweli kama mashujaa wetu walioweza kuwahami wenzetu. Na mimi niungane na wenzangu kuwapongeza sana mashujaa hawa. Mhe. Spika, kwa ruhusa yako naomba kumjibu Mhe. Mjumbe swali lake namba 35 (a) na (b) kwa pamoja kama ifuatavyo:- Mhe. Spika, kama ambavyo nchi nyingi duniani zikiwemo, nchi jirani zimeathirika kwa msukosuko wa kiuchumi. Zanzibar nayo ni miongoni mwa nchi hizo. Mapitio ya hali ya uchumi na mapato ya serikali yamedhihirisha kuwepo athari kwa uchumi wa Zanzibar inayotokana na msukosuko wa kiuchumi duniani ikiwa ni pamoja na kuanguka kwa bei za karafuu na mwani. Mhe. Spika, kwa kipindi cha mwaka wa 2008, tulishuhudia kupanda kwa kasi bei ya chakula nchini. Hali hiyo pamoja na kupanda kwa bei ya mafuta, vile vile ilichangiwa na bei kubwa ya chakula iliyotokana na upungufu wa chakula duniani. Ongezeko hilo lilichangia ukuaji wa mfumko wa bei hadi kufikia asilimia 20.6 mwaka 2008 kutoka asilimia 13 mwaka Aidha, idadi ya watalii walioingia nchini kwa kipindi cha mwaka uliopita ilipungua kwa asilimia 10 ikilinganishwa na mwaka Hali hiyo imeathiri sekta ya utalii ambayo imepunguza kasi ya ukuaji wa sekta hiyo pamoja na mchango wake katika uchumi. Kwa ujumla ukuaji wa uchumi Zanzibar ulishuka hadi asilimia 5.4 kutoka asilimia 6.3 mwaka Ukuaji wa pato la taifa unatarajiwa kupungua zaidi mwaka 2009 hadi kufikia asilimia 4.5. Aidha, mapato yatokanayo na utalii, mauzo mengine ya biashara za nje pamoja na uwekezaji kutoka nje unatarajiwa kupungua katika mwaka Mhe. Spika, katika kujihami na msukosuko huo, serikali imekuwa ikiendelea na mikakati mbali mbali. Miongoni mwa mikakati hiyo ni pamoja na kuongeza bajeti ya huduma za kilimo ili kuwalinda wananchi walio wengi, kulinda na kuendeleza programu na miradi muhimu. Mikakati mingine ni pamoja na kuweka mazingira mazuri ya biashara pamoja na uwekezaji wa ndani na nje. Aidha, kuharakisha utekelezaji wa miradi ya umeme na maji safi na salama na kugharimia uimarishaji wa miundo mbinu huku serikali ikihakikisha utulivu wa uchumi. Suala la msingi ni kujitahidi kudhibiti maendeleo tuliyokwisha kufanikiwa, ili tusiporomoke hasa kwenye suala la miundombinu. Mhe. Ali Denge Makame: Ahsante Mhe. Spika, kwa kunipa ruhusa ya kuuliza swali la nyongeza. Kwa kuwa Mhe. Waziri amezungumza kuwa masuala ya uchumi duniani yameporomoka, hususan kwetu sisi uchumi wa mwani na karafuu. Je, Mhe. Waziri ana matayarisho gani kwa baadhi ya uchumi ambao unaanza kujitokeza kama wa Bahari Kuu na Mambo ya Mafuta. (Kicheko) Mhe. Waziri wa Nchi (AR) na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Anayeshughulikia Masuala ya Fedha na Uchumi: Mhe. Spika, kuhusu Bahari Kuu, serikali iko tayari na iko mbioni kuwatafuta wawekezaji watakaokuja hapa kuweza kuwekeza katika uvuvi wa Bahari Kuu. Tukimaanisha kuja kihalali, wakate leseni, waje na meli zao kubwa waweze kuvua, ikiwezekana kuanzisha kiwanda cha kusindika samaki hapa hapa kwetu ili tuweze kuwasafirisha. Huo ndio mwelekeo na mtizamo wetu. Kwa hivyo, tunaomba sana pamoja na Mhe. Ali Denge najua Jimbo la Amani anao wawekezaji pale ambao wana hamu hiyo. Hivyo, naomba tuwahamasishe waje wawekezaji milango yetu iko wazi. Kuhusu suala la mafuta nafikiri hili tumeshalizungumza na leo mwenyewe Mhe. Waziri wa Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi atakuja kuweka sawa njia ya wazi kabisa mwelekeo wetu wa suala la mafuta katika uchumi wa Zanzibar. Mimi sitaki nim-pre-empty atakayoyasema, naomba tuwe na subira kidogo tu, baada ya robo saa atakuja kumwaga vitu Mhe. Waziri. Mhe. Hija Hassan Hija: Mhe. Spika, nakushukuru kwa kunipa nafasi hii ya kuuliza swali la nyongeza lenye vifungu a na b.

11 (a) Mhe. Spika, nchi nyingi duniani kutokana na kuanguka kwa uchumi wa dunia zimeamua kutenga fedha maalum kwa ajili ya kujihami na kuokoa wananchi wake. Ningetaka kujua Zanzibar je, kutokana na janga hili wametenga kiasi gani cha fedha ili kuokoa uchumi wetu? (b) Mhe. Waziri angenambia ni kwa kiasi gani Zanzibar imeathirika kulingana na Tanzania Bara? Mhe. Waziri wa Nchi (AR) na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Anayeshughulikia Masuala ya Fedha na Uchumi: Mhe. Spika, kuhusu kujihami kwa ujumla sisi Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tumepata msaada maalum kutoka World Bank. Mhe. Spika, nafikiri tuna kama one million dollars. Pesa hizo zinaingia katika Benki Kuu na zimewekwa pale ili kama mitikisiko hiyo itapotokea ya kifedha tuweze kuwa na fursa ya kuzitumia pesa zile kuweka sawa mambo yetu kama ni balance of payment. Kwa hivyo, na sisi kama wenye hisa katika Benki Kuu tunayo fursa hiyo, uwezo na pesa hizo tutakuwa na fursa ya kuzitumia. Kwa hivyo, suala la kama itatokezea kujihami au kuzitaka pesa hizo basi fursa hiyo ipo kabisa. Hizo zimewekwa wazi toka tulipokwenda kwenye mkutano wa kilimwengu uliofanywa Dar es Salaam wa uchumi. Pia Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipokwenda London kwenye mkutano wa G20 alipeleka package ya Afrika kama balozi wa Afrika, lakini tukahakikishiwa package huyo kuwepo. Kuhusu Zanzibar kuathirika kiuchumi kama nilivyosema, tumeathirika kiutalii, zao la karafuu pamoja na zao la mwani. Sasa hatuwezi kuwa peke yetu, lazima na athari nyengine ndogo ndogo kwa sababu shilingi nayo ina variation. Kama umesikiliza taarifa ya habari leo au vipindi vyengine Bara wenzetu wa URA tayari wameshapandisha bei ya mafuta kutokana na kuporomoka kwa shilingi. Kwa hivyo, hayo ndio matokeo ya misukosuko yote ya kiuchumi. Mhe. Ame Mati Wadi: Ahsante Mhe. Spika, pamoja na majibu mazuri ya Mhe. Waziri naomba kuuliza swali moja la nyongeza. Mhe. Spika, kwa kuwa nchi yetu inachouza na inachoagiza ina urari mkubwa, yaani pana pengo kubwa na kwa kuwa nchi zenye kuzalisha kwa wingi ndizo zinazosafirisha katika soko la dunia na kwa kuwa Zanzibar hutegemea sana bidhaa zake kutoka nje. Kimtizamo wa kawaida mwananchi wa Zanzibar amefaidika na mporomoko huu wa hali ya kifedha duniani au amekula hasara kwa kiasi gani? Pia ni tofauti ipi baina ya nchi kubwa zinapopata msukosuko wa kiuchumi, wakati nchi ndogo zenye kuagiza zinapata unafuu. Pana tofauti ya kiasi gani kwa pato la Mzanzibari kwa sasa. Mhe. Waziri wa Nchi (AR) na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Anayeshughulikia Masuala ya Fedha na Uchumi: Mhe. Spika, nakubaliana naye kwamba kweli kuna urari mkubwa wa biashara kutokana na kuwa Zanzibar hatuna bidhaa nyingi tunazozalisha nyingi tunategemea kuagiza. Sasa changamoto yetu kama nilivyosema mwanzo kwamba tuwahamasishe wafanyabiashara na wawekezaji waje waweke viwanda hapa kwetu. Nafikiri pengo hili litasaidia sana kupunguza huu urari wa kuagiza. Lakini lazima tukubali kwamba kuna baadhi ya bidhaa lazima tuziagize, kwa hali yetu hatuwezi kuzitengeneza lazima tuziagize na nature yenyewe ya nchi yetu ni kisiwa. Kuhusu suala lake la msingi mwananchi kaathirika vipi? Niseme kwamba kwa baadhi ya bidhaa wananchi wamefaidika, kama mfano wa saruji, saruji tulifikia mpaka mfuko ukafika shilingi 17 elfu, leo mfuko wa saruji shilingi 12 elfu. Kwa sababu viwanda huko nje nasikia malighafi wengine wanapata tabu na uzalishaji umekuwa mwingi, ujenzi umepungua, kwa hivyo ile saruji imelundikana na matokeo yake sisi huku bado wawekezaji wanakuja basi wanaitumia saruji ile na bei imekuwa afuweni kidogo. Lakini kuna baadhi ya vifaa kwa kweli vimepanda, nafikiri sote tunakwenda sokoni tunaviona. Sasa niseme siwezi kutaja hasa vitu vipi, lakini niseme kwa baadhi ya vifaa. Hata chakula ukitizama leo kidogo chakula kimepunguka bei, mapembe yalivyokuwa tulifika shilingi 50 elfu mpaka 60, leo shilingi elfu tena unachagua aina gani unayotaka. Kwa hivyo niseme baadhi ya bidhaa tumefaidika kwa hali hii na baadhi ya bidhaa bado zinaendelea kupanda. Ahsante.

12 SHUGHULI ZA SERIKALI Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka 2009/2010 Wizara ya Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi Mhe. Waziri wa Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi: Mhe. Spika, kwa ruhusa yako naomba kuwaeleza Wajumbe wa Baraza hili tukufu kwamba hotuba ya wizara yangu imefuatana na ripoti ya mwisho kabisa ya Mshauri Mwelekezi wa Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta kama tulivyoahidi. Mhe. Spika, ripoti hiyo bado ni siri na wamepewa Wajumbe wa Baraza lako tukufu wakiwa viongozi wa wananchi. Kwa hivyo, tuifanyie kazi kwa misingi hiyo. Pili, tumeambatanisha pia Gazeti Rasmi la Serikali Nam. 5,785 la mwezi Agosti, 1998 linaloonesha mipaka ya maeneo ya utalii ya Unguja na Pemba kwa uelewa na ufahamu wa Waheshimiwa Wajumbe na maelezo tutayatolea. Mhe. Spika, la mwisho kwamba hotuba ya wizara yangu ni kubwa, kurasa 115 nitaisoma kwa muhtasari. Mhe. Spika, naomba kutoa hoja kwamba Baraza lako tukufu sasa liingie katika Kamati ya Matumizi ili niweze kutoa maelezo kuhusu shabaha na malengo yaliyomo katika Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji Ujenzi, Nishati na Ardhi kwa mwaka wa fedha 2009/2010. Mhe. Spika, napenda nichukue nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu (SW) kwa kutujaalia afya njema na uzima na kuniwezesha kwa niaba ya wafanyakazi wenzangu kuwasilisha hotuba ya wizara yangu mbele ya Baraza lako tukufu. Mhe. Spika, tarehe 14 Aprili 2009, katika maeneo baina ya Tanga na Pemba, jahazi lililokuwa na wananchi kadhaa lilizama baada ya kupata ajali ya moto. Aidha, tarehe 29 Mei mwaka huu, tulipata msiba mwengine wa kuzama kwa meli MV Fatih. Ningelipenda kutoa salamu za pole kwa jamaa wa marehemu na kwa wale wote waliyookolewa au kupoteza mali katika ajali hizo. Kwa nafasi hii, natoa pongezi kwa jitihada zilizochukuliwa na taasisi zote pamoja na serikali katika kufanikisha jitihada za uokoaji katika majanga yote mawili. Wazanzibari wenzetu waliopoteza maisha yao Mwenyezi Mungu awalaze pahala pema. Mhe. Spika, ndani ya kipindi cha miezi 6, Baraza hili tukufu limeondokewa na wajumbe wenzetu wawili. Marehemu Daud Hassan Daud aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magogoni amefariki dunia tarehe 19/12/2008. Mimi na kwa niaba ya wafanyakazi wa wizara yangu tunatoa salamu za pole kwa familia ya marehemu,wakaazi wa Jimbo la Magogoni na wananchi wote kwa jumla. Marehemu Soud Yussuf Mgeni aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Wawi amefariki dunia tarehe 22/05/2009. Mimi na kwa niaba ya wafanyakazi wa wizara yangu tunatoa salamu za pole kwa familia ya marehemu,wakaazi wa Jimbo la Wawi na wananchi wote wa visiwa hivi. Tunamuomba Mwenyezi Mungu azilaze roho za Marehemu hawa mahali pema Peponi. AMIN Mhe. Spika, kwa upande mwengine, naomba kuchukuwa nafasi hii adhimu kumpongeza kwa dhati kabisa Mhe. Asha Mohammed Hilal kwa kuchaguliwa kwake kuwa Mwakilishi wa Wananchi wa Jimbo la Magogoni kufuatia Uchaguzi Mdogo wa Jimbo wa mwezi Mei, Mhe. Spika, mnamo mwezi wa Mei 2009, Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza hili tukufu ilifanya ziara maalum kutembelea Mitambo ya Kuzalishia Umeme wa Dharura Mkoa wa Kigoma. Kwa bahati mbaya, katika safari hiyo Wajumbe wa Kamati walipata msukosuko wa kuvamiwa na majambazi katika eneo la daraja la Malagarasi. Ujasiri wa walinzi na dereva wa basi lililotumika katika safari hiyo pamoja na ukakamavu wa wajumbe kulipelekea kuepukana na maafa ya ujambazi huo ambayo yangekuwa makubwa sana kwa nchi yetu hii. Aidha, nachukua nafasi hii kuwapa pole sana Wajumbe wote wa Kamati hii kwa tukio hilo. Vile vile, wizara yangu inatoa heshima kubwa kwa Askari Polisi waliokuwa ndani ya msafara huo pamoja na Dereva wa basi kwa ushujaa wao. Tunamuomba Mwenyenzi Mungu awalinde na mabaya na awaepushe na mengine wanakamati wote pamoja na maaskari wetu hawa na dereva pamoja na msaidizi wake.

13 Mhe. Spika, nakushukuru sana kwa kazi iliyoifanya kwa niaba yetu kuwapongeza na kuwatambulisha askari na madereva hawa. Matumizi na Mapato Mhe. Spika, katika mwaka wa fedha 2008/2009 bajeti ya wizara yangu ilikuwa ni shilingi 6,019,292,000. Kazi za Maendeleo zilipangiwa Shilingi2,000,000,000 na kazi za kawaida zilipangiwa Shilingi 4,019,292,000. Hadi kufikia tarehe 31 Machi 2009 wizara yangu ilikwishapatiwa shilingi 1,237,942,505 kwa kazi za Maendeleo sawa na asilimia 65 na shilingi 2,613,699,526.7 kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 61 ya makadirio, hivyo kufanya jumla ya fedha zote tulizozipata kuwa ni Shilingi 3,851,642, sawa na asilimia 64 ya makisio yote. Mhe. Spika, suala la ukusanyaji wa mapato ni kiashiria muhimu sana katika kupima mafanikio ya utekelezaji. Wizara yangu katika mwaka wa fedha 2008/2009 ilipangiwa kukusanya jumla ya shilingi 1,972,600,000 kutokana na vyanzo mbali mbali vya taasisi zake. Hadi kufikia tarehe 31 Machi 2009 jumla ya shilingi 1,201,802, tayari zilikwishakusanywa sawa na asilimia 61 ya makadirio. Matarajio ya wizara yangu ni kufikia hatua nzuri ifikapo Juni 2009 hasa kwa kuzingatia kuwa mapato mengi hukusanywa baada ya mwezi wa Machi. Kwa ufafanuzi zaidi angalia kiambatanisho A, B1 na B2 Mhe. Spika, baada ya kukamilisha muhtasari huu wa Matumizi na Mapato kwa wizara yangu, sasa naomba uniruhusu kueleza kwa kina utekelezaji halisi wa kazi za kawaida na za maendeleo kwa kipindi chote cha mwaka wa fedha 2008/2009 kupitia kila taasisi iliyomo ndani ya Wizara hii ya Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi. IDARA YA MIPANGO NA SERA Mhe. Spika, kutokana na juhudi, mashirikiano ya karibu na uwajibikaji mzuri, Idara ya Mipango na Sera imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kusimamia utekelezaji wa miradi mbali mbali ya maendeleo iliyo chini ya wizara hii kwa lengo la kupunguza umasikini kwa Wazanzibari. Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kupitia Mpango Mkakati uliotayarishwa na wizara yangu (Strategic Plan) unaongozwa na Dira ya Taifa ya Zanzibar (Vision 2020), Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi , Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar (MKUZA). Yote haya kwa pamoja yanalenga kutekeleza Malengo ya Milenia (MDG S) kwa maslahi ya Wazanzibari wote. Mhe. Spika, katika mwaka wa fedha 2008/2009 Idara hii ilisimamia Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ifuatayo: 1. Usambazaji Maji Vijijini 2. Uhuishaji na Upanuzi wa Shughuli za Maji Mijini 3. Mradi wa Kuijengea Uwezo Mamlaka ya Maji 4. Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Maendeleo Michenzani na Mpapa 5. Mradi wa Kuukuza na Kuutambulisha Mji Mkongwe 6. Mradi wa kupeleka Umeme Pemba kutoka Tanga 7. Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini Awamu ya Nne 8. Mradi wa Kuweka Line ya pili ya Umeme Ubungo hadi Mtoni 9. Mradi wa Kufunga Mita 20,000 za TUKUZA Unguja na Pemba 10. Mradi wa Kuliimarisha Shirika la Umeme kifedha 11. Mradi wa Kupeleka Umeme Tumbatu 12. Mradi wa Kuandaa Sera ya Nishati Zanzibar 13. Mradi wa Kuhuisha Bustani ya Forodhani 14. Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Ardhi na Mazingira( SMOLE) 15. Mradi wa Kuijengea Uwezo Idara ya Mipango na Sera Mradi wa Kuijengea Uwezo Idara ya Mipango na Sera Mhe. Spika, katika mwaka wa fedha 2008/2009 wizara yangu kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) imetekeleza mradi wa kuijengea uwezo Idara ya Mipango na Sera kwa kuimarisha miundo mbinu ikiwemo ununuzi wa jenereta la dharura, vyombo vya usafiri, vitendea kazi vya ofisini pamoja na kuipatia wizara mitandao ya mawasiliano ya ndani na nje kati yake na taasisi zake (Local Area Network and

14 Internet). Hatua hiyo, imeiwezesha Wizara kupata uwezo mkubwa zaidi katika utekelezaji wa kazi zake inazozikabili kwa sasa. Kwa upande mwengine wizara imekuwa ikifanya jitihada kubwa katika kutafuta mshiriki wa maendeleo ili kugharamia sehemu ya pili ya mradi huu ambao bado haujapatiwa ufadhili baada ya kukamilisha sehemu ya kwanza ya utekelezaji wake kwa asilimia 45 iliyofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP). Hatua kadhaa juu ya mradi huu tayari zimeshachukuliwa na idara hii ikiwemo kufanya mapitio ya uchambuzi wa mradi (Review of the Project Proposal) ili kwenda sambamba na hali halisi ya mahitaji na gharama zinazohitajika. Aidha, idara tayari imeanzisha mazungumzo na washirika mbali mbali wa maendeleo ili kuangalia uwezekano wa kuufadhili mradi huu unaohusisha ununuzi wa vifaa mbali mbali vya kutendea kazi,ufuatiliaji katika utekelezaji wa shughuli za kila siku ndani ya Idara na Mafunzo ya Wafanyakazi hasa baada uamuzi wa serikali kutoa agizo la kupewa kipaumbele suala la Mafuta na Gesi Asilia. Uendeshaji wa kazi za Utumishi Mhe. Spika, katika kipindi cha mwaka wa fedha 2008/2009, seksheni ya Utumishi imekuwa na changamoto katika uendeshaji wa shughuli zake ndani ya wizara hii ikilinganishwa na mwaka wa fedha 2007/2008. Bila shaka mafanikio ya changamoto hizi yamechangiwa na jitihada kubwa zinazofanywa na viongozi wa wizara hii kwa mashirikiano na wakuu wa taasisi zake katika kujali zaidi haki na maslahi ya wafanyakazi wao pamoja na kuwapatia fursa mbali mbali. Wizara yangu itaendelea kuhakikisha kuwa maazimio hayo yanaendelezwa kwa kadri hali itakavyokuwa inaruhusu. Aidha, kufuatia changamoto hizo suala la kuongezeka na kupungua kwa wafanyakazi wa wizara yangu ndani ya mwaka huu wa fedha lilikuwa kama inavyoonekana katika jaduweli nambari 1. Jaduweli nambari 1 S/N MAELEZO 2007/ / Wafanyakazi walioajiriwa Wafanyakazi waliostaafu kwa kutimiza umri wa lazima 3. Wafanyakazi waliostaafu kwa hiari Wafanyakazi waliofukuzwa kazi Wafanyakazi waliomaliza muda wa Mikataba yao 3 3 Mhe. Spika, vile vile naomba kulitaarifu Baraza lako hili tukufu kwamba ndani ya mwaka huu wa fedha 2008/2009 wizara yangu imeondokewa na wafanyakazi wake sita (6) kwa kufariki dunia. Napenda kulihakikishia Baraza hili tukufu kwamba wizara yangu inathamini sana michango iliyokuwa ikitolewa na marehemu hao katika kipindi chote cha utumishi wao ndani ya wizara hii. Tunamuomba Mwenyezi Mungu aziweke roho za Marehemu hao mahali pema peponi. AMIN Ukusanyaji wa Takwimu Mhe. Spika, mafanikio ya utekelezaji wa Mipango na Sera mbali mbali nchini hupimwa kutokana na viashiria tofauti vinavyotumika vikiwemo ukusanyaji wa takwimu za sekta husika. Wizara yangu kwa kipindi hichi cha mwaka wa fedha 2008/2009 imefanikiwa kutoa ripoti ya takwimu ya mwaka 2007 ambayo sio tu inatoa picha halisi ya mafanikio ya sekta zetu bali pia itatoa mwelekeo mzuri wa shughuli za sekta za Maji Ujenzi Nishati na Ardhi nchini pamoja na kutoa mchango mkubwa katika Mpango wa Utekelezaji wa Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Zanzibar (MKUZA). Aidha, katika kuhakikisha upatikanaji wa takwimu sahihi na za wakati, Viongozi wa Wizara na taasisi zake kwa kushirikiana na Afisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali wamekuwa wakikutana ili kujadili changamoto zinazo zikabili kitengo cha Takwimu pamoja na hatua muafaka zinazohitajika kuchukuliwa katika kukabiliana na changamoto hizo. Miongoni mwa mikakati inayopangwa ni pamoja na kuanzishwa kwa mfumo wa data-base utakaowezesha kudhibiti takwimu zote za mafuta yanayoingizwa nchini kwa kuhakikisha viwango na ubora wake vinafikiwa kama inavyotakiwa.

15 Usimamiaji na Uimarishaji wa Sera na Sheria za Wizara Mhe. Spika, suala la usimamiaji na uimarishaji wa sera na sheria mbali mbali za nchi yetu ni muhimu sana katika kutekeleza mipango na mikakati ya Kitaifa na Kimataifa kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu na wananchi wake. Kwa mwaka wa fedha 2008/2009 wizara yangu imefanikiwa kusimamia matayarisho na marekebisho ya Sera na Sheria za sekta zilizo chini ya wizara hii ili kuzifanya sekta husika ziwe na mwelekeo unaokubalika katika kuendeleza mipango ya sekta hizo. Jukumu hilo limetekelezwa kwa hatua tofauti kama inavyoonekana katika jaduweli nambari 2. Jaduweli nambari 2 SERA/ SHERIA MALENGO HATUA ILIYOFIKIWA MATARAJIO Sera ya Nishati Sera Ardhi ya Sheria ya Condomi nium Act Sheria ya Matumizi ya Ardhi Kuandaa Sera itakayotoa muongozo sahihi wa matumizi ya Nishati mbalimbali kwa maendeleo ya nchi Kuifanyia Mapitio ili iweze kwenda sambamba na changamoto zinazojitokeza za matumizi ya Ardhi kwa Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii. Kuandaa Sheria itakayolinda haki ya wakaazi wa majengo makubwa yenye umiliki zaidi ya mtu mmoja. Kuifanyia Marekebisho ili kwenda sambamba na Sheria ya Condominium Act Rasimu ya Sera imeshaandaliwa na kazi inayoendelea ni kuandaa mikakati ya Sera Kushirikisha wahusika mbalimbali ili kutoa maoni na mapendekezo yao Kamati ya wanasheria wa Wizara wanaendelea na utaratibu wa uandaaji wa Sheria husika Kushirikisha wahusika mbalimbali wa Sera ili kutoa maoni na mapendekezo juu ya marekebisho husika Kufikishwa katika Baraza la Wawakilishi ifikapo mwezi Oktoba 2009 Kufikisha marekebisho ya Sera katika kamati ya Makatibu Wakuu ifikapo Novemba 2009 Kufikisha rasimu ya sheria hiyo katika Baraza la Wawakilishi ifikapo Oktoba 2009 Kufikisha marekebisho ya Sheria katika kamati ya Makatibu Wakuu ifikapo Oktoba 2009 Sheria ya Mji Mkongwe Kuifanyia Mapitio ili kwenda sambamba na maendeleo ya mji na matakwa ya sheria za miji iliyo chini ya urithi wa Kimataifa. Kushirikisha wahusika mbalimbali ili kutoa maoni na mapendekezo juu ya marekebisho husika Kufikisha katika Baraza la Wawakilishi ifikapo Oktoba 2009 Sheria ya Kudhibiti Kodi za nyumba Kuifanyia marekebisho Sheria husika ili kwenda sambamba na hali halisi ya mazingira ya ukodishaji. Kamati ya wanasheria wa Wizara imeanza na utaratibu wa marekebisho ya Sheria husika Kufikisha rasimu ya marekebisho hayo katika Kamati Tendaji ya Wizara ifikapo Oktoba 2009

16 Mhe. Spika, tumewaeleza humo Waheshimiwa Wajumbe sera na sheria ambazo tunazifanyia kazi, malengo ya wizara, hatua iliyofikia na matarajio ya wizara yangu jadweli Nam.2 zinatoa ufafanuzi wa kina. Mhe. Spika, mbali ya kazi hizo zilizokwisha kufanywa, wizara yangu pia imefanikiwa kutekeleza mambo ya kisheria yafuatayo ili kwenda sambamba na mahitaji ya sheria husika:- 1) Kufanya marekebisho ya Kanuni za Kodi ya Ardhi (The land Rent Ammendment) kwa kuingiza kifungu cha kumi (10) kwa lengo la kuweka utaratibu wa usimamizi mzuri wa ukusanyaji wa kodi hiyo ili kuongeza mapato ya serikali. 2) Kuendelea na kazi ya utungaji wa Kanuni za Bodi ya Uhaulishaji wa Ardhi ambayo kwa sasa imefikia hatua nzuri ya ukamilishaji bodi hiyo inaendelea na kazi zake vizuri. Mafunzo kwa Wafanyakazi Mhe. Spika, katika mwaka wa fedha 2008/2009 wizara imeendeleza jitihada zake katika kuwapatia nafasi za masomo wafanyakazi wake kwa mujibu wa mahitaji ya wizara na taasisi zake. Jumla ya wafanyakazi arubaini (40) wanaendelea na masomo yao ya muda mrefu katika vyuo mbali mbali vya ndani na nje ya nchi kwa viwango tofauti vya elimu. Aidha, kuhusu mafunzo ya muda mfupi, wizara imefanikiwa kuwapeleka masomoni wafanyakazi wake 24, ambao wengi kati yao wamebahatika kupatiwa nafasi hizo kwa ufadhili wa Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa katika taasisi zao kwa kuwa sehemu ya malengo ya miradi hiyo ni kuzijengea uwezo taasisi hizo kwa njia ya mafunzo kwa wafanyakazi wake. Kwa ufafanuzi zaidi nakuombeni muangalie kiambatanisho C1 na C2 Kwa upande wa elimu ya kupambana na janga la ukimwi, Wizara yangu kwa kushirikiana na Tume ya ukimwi ya Zanzibar imekuwa ikifanya jitihada kubwa katika kutekeleza mipango na mikakati iliyoainishwa katika Sera ya Ukimwi ya Zanzibar ili kuhakikisha kwamba malengo yaliyomo katika Sera hiyo yanafikiwa na hatimae kaulimbiu ya ZANZIBAR BILA YA UKIMWI INAWEZEKANA inafanikiwa. Miongoni mwa shughuli zilizotekelezwa katika kipindi cha mwaka wa fedha 2008/2009 ni hizi zifuatazo: 1. Kuendesha mikutano ya viongozi waandamizi wa wizara kwa lengo la Kutathmini utendaji wa shughuli za elimu ya kupambana na ukimwi na maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa wafanyakazi. 2. Kuendelea kuwaelimisha wafanyakazi pamoja na familia zao kuhusu athari za maambukizi ya ukimwi. Jumla ya wafanyakazi 620 walipatiwa mafunzo hayo. 3. Kueneza elimu ya ukimwi kwa makundi mbali mbali ya jamii wakiwemo Watoto, wanandoa na wajumbe wa kamati za maji zilizoko mijini na vijijini kwa Unguja na Pemba. 4. Kufanya zoezi la kuweka mabango yaliyobeba ujumbe kwa jamii kuhusu Kupambana na maradhi ya ukimwi. Jumla ya mabango matano yaliwekwa katika maeneo mbali mbali, matatu Unguja na mawili Pemba ambapo uzinduzi rasmi wa uwekaji wa mabango hayo ulifanywa na Naibu Waziri wa Maji Ujenzi Nishati na Ardhi Mheshimiwa Tafana Kassim Mzee kwa kuweka bango moja katika eneo la Mwanakwerekwe sokoni. Aidha uwekaji wa mabango mengine unatarajiwa kuendelezwa katika mwaka wa fedha 2009/2010. MAMLAKA YA MAJI Mhe. Spika, Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka imeeleza kwa kina kuhusu lengo la uimarishaji na uendelezaji wa huduma ya maji kwa wananchi wa Zanzibar mijini na vijijini. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, katika kwenda sambamba na lengo hili, inatekeleza mipango na mikakati madhubuti ya kuhakikisha kwamba lengo hili la Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi linafikiwa ifikapo mwaka Miongoni mwa mipango hiyo ni Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Zanzibar na Dira ya Maendeleo ya mwaka 2020 ambayo kwa pamoja inalenga kutekeleza Malengo ya Maendeleo ya Milenia ambayo shabaha yake kubwa ni kupunguza umaskini katika nchi zinazoendelea ikiwemo ya kwetu. Mhe. Spika, ili kufanikisha mikakati hiyo ya Kitaifa na Kimataifa, Mamlaka ya Maji Zanzibar kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2008/2009 imeendelea kutekeleza Mpango Mkakati wa Sekta ya Maji Nchini kwa kuendeleza miradi ya maji ifuatayo: 1. Usambazaji wa Maji Vijijini 2. Uhuishaji na Upanuzi wa Shughuli za Maji Mijini

17 3. Kuijengea Uwezo Mamlaka ya Maji Usambazaji wa Maji Vijijini Mhe. Spika, mradi huu umekuwa ukipata mafanikio zaidi kila mwaka, kutokana na jamii ya wanavijiji nchini kuwa na mwamko mkubwa, katika kuchangia baadhi ya gharama za ujenzi wa mradi, hatimaye Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kukamilisha sehemu ya gharama hizo zinazobakia katika kukamilisha mradi husika. Katika mwaka wa fedha 2008/2009, utekelezaji wa kazi za usambazaji wa maji vijijini umetofautiana kutoka mradi mmoja hadi mwengine, ambapo kati yao mengine imekamilika, mengine inaendelea na mengine haikuwahi kutekelezwa kutokana na uhaba wa fedha, kama inavyoonekana katika jaduweli nambari 3: Jaduweli nambari 3 UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAJI VIJIJINI 2008/2009 JINA LA MRADI KAZI UTEKELEZAJI HALISI Dunga Ufungaji wa mabomba na uwekaji wa pampu Kazi zimekamilika na mradi unatoa huduma Pongwe Uroa Ufungaji wa mabomba, Kazi zimekamilika na mradi unatoa upelekaji umeme na ufungaji huduma wa pampu Ukutini Uchimbaji wa Kisima Kazi imekamilika Mfumbwi-Kikadini Ujenzi wa tangi na ufungaji wa mashine na mabomba Kazi zimekamilika na mradi unatoa huduma Bumbwini, kitope, Mfenesini, Uchimbaji visima, ujenzi wa Kazi inaendelea Mkadini tangi na ununuzi wa mabomba Kigongoni Upelekaji umeme na ufungaji wa pampu Kazi inaendelea Kianga - Ole Uwekaji wa mashine na Mradi umekamilika ufungaji wa pampu Konde Ufungaji wa mabomba Kazi inaendelea Tumbatu Uchimbaji wa kisima na ulazaji wa mabomba Miwani Uchimbaji wa kisima na ulazaji wa mabomba Nungwi ( Kilindi) Uchimbaji wa kisima, upelekaji umeme na uwekaji pampu Fuoni, Ziwani, Matuleni, Jumbi, Michamvi, Shumbaviamboni, Kangagani na Kisiwani Fuoni (ulazaji wa mabomba upelekaji umeme, na ununuzi wa pampu), Matuleni (ujenzi wa Tangi), Michamvi (uchimbaji wa kisima, ulazaji wa mabomba na upelekaji umeme), Ziwani (ujenzi wa Tangi), Shumba viamboni (Uanzishaji wa mradi), Kangagani (ujenzi wa Tangi), na Kisiwani (kisima, mabomba na pampu). Kazi ya uchimbaji wa kisima Kipange inaendelea, ulazaji wa mabomba Kisiwani umekamilika na kazi itakayoendelea ni kuyajengea. Ufungaji wa mabomba pia utaendelea kwa maeneo ya Tingatinga (Kipange) Kisima kimekamilika kazi itakayoendelea ni ufungaji wa mabomba baada ya kupatikana fedha. Mradi umekamilika Shughuli zinazohusiana na ujenzi wa miradi hii hazijaweza kutekelezwa kutokana na ukosefu wa fedha. Aidha, katika kuunga mkono jitihada za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar za kuimarisha huduma ya maji safi na salama nchini, Jumuiya ya Kimataifa katika Mpango wa Pamoja (Joint Program No. 5 JP5) ikishirikiana na wizara yangu, zimetekeleza kazi ya kupeleka maji katika maeneo ya Micheweni na Nungwi Matemwe.

18 Kwa upande wa Micheweni, jumla ya Tsh. 268,473,320 zilitolewa kwa mradi kwa maeneo ya Kiuyu na Maziwa ng ombe na kuhusisha shughuli za uchimbaji wa kisima, ununuzi na ufungaji wa mabomba yenye urefu wa mita 7,100, ununuzi wa pampu pamoja na vifaa vya kufanyia kazi ambapo utekelezaji wa kazi hizo ulifikia kiasi cha asilimia 80 ya lengo. Bado kazi inaendelea ili kukamilisha mradi. Mradi wa Nungwi Matemwe ambao utafaidisha vijiji vya Matemwe, Mkwajuni na Potoa katika Wilaya ya Kaskazini A, ulihusisha uchimbaji wa visima viwili, ununuzi wa pampu pamoja na ulazaji wa mabomba yenye urefu wa mita 600 katika eneo la Kiashangwe, ili kuongeza kiwango cha uzalishaji maji yanayosukumwa kuelekea katika maeneo hayo, ambapo fedha zilizotolewa chini ya JP5 ni shilingi 183 Milioni. Hatua inayoendelea kuchukuliwa na wizara yangu kwa mradi huu, ni kuweka transfoma na kujenga vituo kwa ajili ya kusukumia maji. Mhe. Spika, wizara yangu imesimamia ipasavyo miradi mengine iliyochaguliwa na wananchi kupitia Awamu ya Pili ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF II), kwa vile ujenzi wa miradi ya maji unahitaji utaalamu wa kutosha ili kuweza kujengwa kwa ufanisi na pale palipotokea upungufu wa vifaa, wizara ilitoa vifaa hivyo ili kufanikisha ujenzi wa mradi na kukidhi viwango vya kazi na masharti ya TASAF. Miradi iliyosimamiwa katika kipindi cha mwaka wa fedha 2008/2009, ni kama inavyoonekana katika jadweli nambari 4. Jaduweli nambari 4 JINA LA MRADI KAZI ZILIZOHUSISHWA KATIKA UTEKELEZAJI MRADI UNGUJA Melinne Usambazaji wa mabomba Umekamilika Mwanakwerekwe Usambazaji wa mabomba Umekamilika Magogoni Usambazaji wa mabomba Umekamilika Welezo Usambazaji wa mabomba Umekamilika Uroa-Pongwe Ufungaji mabomba na uwekaji pampu Umekamilika Kizimkazi Mkunguni Ujenzi wa tangi Unaendelea Kizimkazi Dimbani Ujenzi wa tangi Unaendelea Kidimni Usambazaji mabomba Unaendelea Koani Usambazaji mabomba Unaendelea Ubago Usambazaji mabomba Unaendelea Chaani kubwa Uchimbaji kisima na ufungaji mabomba Unaendelea PEMBA Wingwi Njuguni Usambazaji mabomba Umekamilika Kijichame (Sizini) Uchimbaji kisima na ufungaji mabomba Umekamilika Mlindo Usambazaji mabomba Umekamilika Michungwani (Wesha) Uchimbaji kisima na ufungaji mabomba Unaendelea Mwambe Usambazaji mabomba Umekamilika Shamiani Usambazaji mabomba Umekamilika Mtambwe Kusini Uchimbaji kisima na ufungaji mabomba Umekamilika Kiuyu Mbuyuni Uchimbaji kisima na ufungaji mabomba Umekamilika Kiuyu Minungwini Uchimbaji kisima na ufungaji mabomba Umekamilika Shumba Mjini Ufungaji mabomba Umekamilika Kwale Ufungaji mabomba Umekamilika Uhuishaji na Upanuzi wa Shughuli za Maji Mijini Mhe. Spika, utekelezaji wa mradi huu unahusu kazi za maendeleo ya maji katika maeneo ya miji yetu ya Unguja na Pemba. Kwa upande wa Mkoa wa Mjini Magharibi, kazi ya kukamilisha awamu ya mwanzo ya ujenzi wa mradi wa maji unaosaidiwa na Serikali ya Japan ulihusisha uchimbaji wa visima 6, ujenzi wa matangi mawili yenye uwezo wa kuhifadhi lita 4,000,000 kila moja pamoja na uchimbaji na ulazaji wa mabomba makubwa yenye urefu wa kilomita Awamu ya Kwanza iliyokamilisha kazi zake Machi 2008, ilifunguliwa rasmi Agosti Wizara yangu iliendelea na juhudi za kufuatilia ujenzi wa Awamu ya Pili ya mradi huu ambayo ilishindwa kuanza kutekelezwa Disemba 2007, kama ilivyopangwa kutokana na tofauti ya bei ya vifaa mbali mbali vilivyohitajika. Katika kukabiliana na changamoto hiyo, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ililazimika kuomba

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHESHIMIWA MUSTAFA HAIDI MKULO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO. Rais.

ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO. Rais. ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO 1.Mhe. Kamal Basha Pandu 2.Mhe. Ali Mzee Ali 3.Mhe. Shamsi Vuai Nahodha Naibu Spika/Jimbo la Rahaleo. Mwenyekiti wa Baraza/Uteuzi

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI TAARIFA YA MAFANIKIO CHINI YA UONGOZI WA MHE. SOSPETER MUHONGO (MB) KATIKA SEKTA NDOGO YA UMEME Disemba, 014 A. MAFANIKIO 1. Kuongezeka kwa uzalishaji

More information

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment Background 1. On 4 th September, 2012, the Energy and Water Utilities

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO. Rais.

ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO. Rais. ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO 1.Mhe. Kamal Basha Pandu 2.Mhe. Ali Mzee Ali 3.Mhe. Shamsi Vuai Nahodha Naibu Spika/Jimbo la Rahaleo. Mwenyekiti wa Baraza/Uteuzi

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2018/19 1 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA NGUZO KUMI ZA KWANZA (MFUMO WA UTEKELEZAJI) NGUZO YA 1 DIRA YA TAIFA YA KWANZA 1.1 Kupitisha Dira ya KWANZA SHUGHULI MAJUKUMU MUDA MHUSIKA MKUU 1. AZIMIO LA KWANZA 2. mpango wa utekelezaji wa KWANZA 3.

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

DIRA DHIMA. Kuendeleza, kuwezesha, kudhibiti na kusimamia matumizi endelevu ya Rasilimali za Nishati na Madini kwa manufaa ya Watanzania.

DIRA DHIMA. Kuendeleza, kuwezesha, kudhibiti na kusimamia matumizi endelevu ya Rasilimali za Nishati na Madini kwa manufaa ya Watanzania. DIRA Kuwa Taasisi yenye ufanisi na inayojali tija ili kuhakikisha kuwa Rasilimali za Nishati na Madini zinachangia ipasavyo katika maendeleo ya nchi kijamii na kiuchumi. DHIMA Kuendeleza, kuwezesha, kudhibiti

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma

More information

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Thelathini na Tisa Tarehe 1 Juni, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Thelathini na Tisa Tarehe 1 Juni, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA Kikao cha Thelathini na Tisa Tarehe 1 Juni, 2017 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA:

More information

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized!. viromen-alsc:a.. Environmental & Social MRADI WA UMEME WA GESI YA * Assessment & Management

More information

3 FEBRUARI, 2015 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE. Kikao cha Saba - Tarehe 3 Februari, 2015

3 FEBRUARI, 2015 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE. Kikao cha Saba - Tarehe 3 Februari, 2015 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Saba - Tarehe 3 Februari, 2015 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA

More information

3. Mheshimiwa Spika, 4. Mheshimiwa Spika,

3. Mheshimiwa Spika, 4. Mheshimiwa Spika, HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI, MHESHIMIWA JOHN POMBE MAGUFULI, (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2007/08 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MOJA. Kikao cha Hamsini na Tatu Tarehe 19 Juni, (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi)

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MOJA. Kikao cha Hamsini na Tatu Tarehe 19 Juni, (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Hamsini na Tatu Tarehe 19 Juni, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Saba Tarehe 13 Aprili, (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Saba Tarehe 13 Aprili, (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA Kikao cha Saba Tarehe 13 Aprili, 2017 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge naomba

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MBILI. Kikao cha Tatu Tarehe 6 Septemba, (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MBILI. Kikao cha Tatu Tarehe 6 Septemba, (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao cha Tatu Tarehe 6 Septemba, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Mussa A. Zungu) Alisoma Dua MWENYEKITI: Tukae,

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NNE Kikao cha Thealathini na Sita Tarehe 29 Julai, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NNE. Kikao cha Nane Tarehe 23 Juni, 2006

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NNE. Kikao cha Nane Tarehe 23 Juni, 2006 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NNE Kikao cha Nane Tarehe 23 Juni, 2006 (Ulianza Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta)

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

ORDER NO BACKGROUND

ORDER NO BACKGROUND In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA. Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA. Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2009/2010 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao cha Ishirini na Tatu - Tarehe 14 Julai, 2003 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Naibu

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

13 APRILI, 2012 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

13 APRILI, 2012 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Jenista J. Mhagama) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA Kikao cha Ishirini na Mbili Tarehe 6 Julai, 2009 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA ISHIRINI KIKAO CHA KUMI NA MBILI TAREHE 22 JUNI, 2005

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA ISHIRINI KIKAO CHA KUMI NA MBILI TAREHE 22 JUNI, 2005 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA ISHIRINI KIKAO CHA KUMI NA MBILI TAREHE 22 JUNI, 2005 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika ( Mhe. Pius

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda WARAKA WA TAARIFA YA MRADI (PID) HATUA YA TATHMINI TAARIFA NA..: AB4376 Jina la Mradi Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda AFRIKA Sekta Madini na Uchimbaji mwingine (100%) Namba ya

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) TOLEO LA PILI Dar es Salaam, Oktoba, 2007 i ii JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI

More information

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI. Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI. Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, 2016 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alikalia Kiti HATI ZA KUWASILISHA

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) Dar es Salaam Oktoba 2007 YALIYOMO ORODHA YA VIFUPISHO DIBAJI SHUKRANI MUHTASARI RASMI SURA

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

28 JUNI, 2018 MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MOJA. Kikao cha Hamsini na Tisa Tarehe 28 Juni, (Mkutano Ulianza Saa 3.

28 JUNI, 2018 MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MOJA. Kikao cha Hamsini na Tisa Tarehe 28 Juni, (Mkutano Ulianza Saa 3. BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Hamsini na Tisa Tarehe 28 Juni, 2013 (Mkutano Ulianza Saa 3.00 Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR.

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR. RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR. SEHEMU YA KWANZA 1.0 UTANGULIZI. Kamati Teule ya Kuchunguza Upotevu wa Nyaraka

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MHESHIMIWA DKT. HUSSEIN ALI MWINYI (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2015/16 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika,

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA Kikao cha Thelathini na Nne - Tarehe 27 Julai, 2004 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika

More information

April 14, 2016 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 52

April 14, 2016 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 52 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY HANSARD REPORT Thursday, 14 th April, 2016 The House met at 2.48pm. (Hon. Deputy Speaker (Mr. Mswabah Rashid) in the Chair) PRAYERS Hon. Deputy Speaker (Mr. Mswabah Rashid): Kindly

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

Deputy Minister for Finance

Deputy Minister for Finance ISSN: 1821-6021 Vol XI - No - 34 DID YOU KNOW? A procuring entity is?s required to use suppliers pliers?pliers?pliers?pliers among those awarded ed?ed?ed?ed framework agreements by GPSA for procurement?ents

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia HakiElimu & Policy Forum KUUELEWA MCHAKATO.indd a 1/20/10 11:00:56 AM KUUELEWA MCHAKATO.indd b 1/20/10 11:00:57 AM Kuuelewa Mchakato wa

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

TANGA CEMENT PLC ANNUAL REPORT TAARIFA YA MWAKA.

TANGA CEMENT PLC ANNUAL REPORT TAARIFA YA MWAKA. TANGA CEMENT PLC 2016 ANNUAL REPORT TAARIFA YA MWAKA www.simbacement.co.tz ANNUAL REPORT 2016 ANNUAL REPORT2016 TAARIFA YA MWAKA 2016 TAARIFA YA MWAKA 2016 02 ANNUAL REPORT 2016 Chairperson s Statement

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

2 FEBRUARI, 2015 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE. Kikao cha Sita - Tarehe 2 Februari, 2015

2 FEBRUARI, 2015 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE. Kikao cha Sita - Tarehe 2 Februari, 2015 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Sita - Tarehe 2 Februari, 2015 (Mkutano Ulianza Saa tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa

More information

UTANGULIZI. 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote nitumie fursa hii kuungana na

UTANGULIZI. 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote nitumie fursa hii kuungana na HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA, MHESHIMIWA STEPHEN MASATO WASIRA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA KWA MWAKA 2008/2009 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MHESHIMIWA SOPHIA M. SIMBA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2013/14 DODOMA Mei,

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017 TAARIFA Agosti 2017 NGUO MPYA ZA UKOLONI Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika Jumuiya ya Jamii ya 2007: Wajumbe wanaadhamana Nairobi dhidi ya EPAs. SwissInfo Tangu mwaka

More information

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo, HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU, KWENYE SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA HAMSINI YA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, TAREHE 08 JUNI 2008, MSIMBAZI CENTRE, DAR ES SALAAM Mhashamu

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA MHESHIMIWA

HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA MHESHIMIWA HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA MHESHIMIWA ANNA MARGARETH ABDALLAH, MBUNGE, KUHUSU MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2004/2005 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba sasa Bunge likubali

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12 Human Rights Are Universal And Yet... Episode 07 Title : The right to food drought and famine in Ethiopia Author : Tedla Getachew Editor : Aude Gensbittel, Pendo Paul Translator : Anne Thomas Proofreader:

More information

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI MFUMO WA TATHMINI WA TAARIFA (IRM): TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI 2014 2016 Ngunga Greyson Tepani Mtafiti wa IRM Taarifa ya Mwishoni mwa Utekelezaji 2014-2016 First End-of-Term Report INDEPENDENT

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information