Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu

Size: px
Start display at page:

Download "Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu"

Transcription

1 Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu 61

2 62

3 Ufafanuzi wa Jumla Sura ya 7 Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu Kielelezo cha 7 ni picha ionekanayo ambayo inaonyesha Wakristo wakiishi Huduma ya Upatanisho katika ulimwengu wenye uhasama wa Ufalme wa Giza. Upande wa kushoto wa picha, unaweza kuona watu ambao bado wanaishi katika Ufalme wa Giza wakiwa wameinua ngumi zao kumwelekezea Mungu na kuelekezeana. Upande wa kulia wa picha, unaweza kuona picha ya kiroho ya kanisa na waamini wakiwa wameshikana pamoja na kumfanyia Mungu makao matakatifu. Wamepata msamaha wa Yesu anaoutoa kupitia dhabihu Yake, na wamepatanishwa na Mungu na wao kwa wao. Juu ya ukurasa ni picha katika mviringo, na miviringo midogo iendayo hadi kanisani. Miviringo hii inawakilisha fikira za wale ambao wamezaliwa kiroho katika Ufalme wa Nuru. Wakristo wanaweza kuishi maisha ya kupatanishwa na Mungu na wao kwa wao kwa sababu ya msamaha anaoutoa Mungu. Kushoto juu ya mviringo, ni utoaji wa msamaha chini ya Agano la Kale. Unawaona watu wakitoa sadaka za wanyama ili Mungu awasamehe dhambi zao. Dhabihu moja iko juu ya madhabahu, nyingine hutolewa kwa kuwachilia mbuzi itoke nje ya malango ya mje, ikiashiria kuchukua dhambi na kwenda nazo. Upande wa kulia wa mviringo, unaona msalaba. Yesu alijitoa Mwenyewe kama sadaka mara moja basi, kwa ajili ya dhambi zetu. Sasa tunaweza kusamehewa dhambi zetu kwa kumkubali Yeye kama Bwana na Mwokozi. Kwa kuwa Yesu ametusamehe, ametupatia huduma ya upatanisho. Unaweza kuona ndani ya picha watu wakitoka nje ya kanisa na kuingia ulimwenguni. Mungu ametupatia jukumu la kuwa Wahudumu wa upatanisho! Tunapaswa kuwatangazia wengine msamaha anaotoa Mungu kwao, na sisi tunapaswa kusameheana kama vile alivyotusamehe. Picha zilizo juu ya paa la kanisa zinatukumbusha kwamba kuna mambo mengine tunayoweza kufanya ili tusaidie kuponya wale tuliowaumiza. Moja ni kuungama dhambi (mtu anayeongea). La pili ni kuwarejesha watu wanaotaka kutubu (hadithi ya pete ya Mwana Mpotevu). Na la mwisho ni kuwafidia wale tuliowakosea (pesa-hadithi ya Zakayo). Yesu anasema kwamba tukue katika kupendana huku tukitii amri Yake ya kupenda kama Alivyotupenda. Alitupenda na kutufia wakati tulikuwa wenye dhambi bado na wahasama kwa Mungu. Wakristo wanapoishia msamaha wa Yesu, wengine wanaguswa na kupendana kwao. Sote tumepewa huduma ya Kupatanisha. Na ni huduma hii ambaye inachukua kiini cha Injili, msamaha na upatanisho kwa ulimwengu kupitia maneno na matendo yetu. Tunaposamehe na kupatana, huwa tunaupatia ulimwengu picha ya Injili iliyo wazi. Tunapokuwa na kutosamehe na kukosa uwezo wa kupatanisha na kurejeza upya, huwa tunazuia kuabudu ndani ya mwili wa Kristo na pia tunazuia kazi ya huduma. Kwa kweli maneno lazima yafuatane na matendo. Malengo ya Sura ya 7 Kutambua uhasama na uadui kama tabia katika Ufalme wa Giza. Kusaidia watu waone dhambi dhidi ya Mungu au dhidi ya watu kama chanzo cha uhasama. Kutoa uelevu wa Kibiblia wa Msamaha wa Mungu, kama unavyoonekana katika Agano la Kale na Agano Jipya. Kutambua utaratibu wa Biblia unaohusika na kuleta ungamo, mapatano, kurejeshwa upya, na kuponywa kwa wale ambao wamekosea wengine au waliokosewa. Kuwapa waamini changamoto wapende na kusamehe kama alivyofanya Yesu. Kuwatia nguvu waamini katika huduma ya upatanisho. Sura Zinazohusiana Sura ya 1: Shetani na pepo hufanya kazi ili wasababishe utengano, kutosamehe, kudhania kubovu, na mvutano baina ya waamini ili kuzuia wengine wasiuone ujumbe wa Injili. Sura ya 5: Watu katika Ufalme wa Giza wamenaswa katika ukabila, ubaguzi, na tofauti nyingenezo kati ya watu. Watu katika Ufalme wa Nuru wanaishi maisha ya kupatanishwa na Mungu na wao kwa wao kama wanavyoweza. Sura ya 10: Kuweni waangalifu muepukane na njia ya chuki na fujo. Sura ya 11: Kanisa siku zote linatakiwa liwafikie wale walio katika Ufalme wa Giza ili liwalete katika Ufalme wa Nuru, kama watumishi wazuri wa Injili. Sura ya 12: Kueni katika Kupendana. 63

4 Ufafanuzi wa Picha Somo La 1 Uhasama na Ufalme wa Giza Picha na Maelezo Sehemu ya 1a: Watu katika Ufalme wa Giza wanaweza kuwa na uhasama dhidi ya Mungu na njia zake, na dhidi ya wale wawakumbushao juu ya njia za Mungu. Vichwa Vya Masomo, Biblia, na 1. Watu katika Ufalme wa Giza wanaweza kuwa na uhasama dhidi ya Mungu na njia zake 2. Watu katika Ufalme wa Giza wanaweza kuwa na uhasama dhidi ya yeyote anayewakumbusha juu ya Mungu na njia Zake. Uhasama dhidi ya Mungu au dhidi ya Waadilifu *Hasira ya Nebukadneza Dhidi ya Watu Watatu Waadilifu- Danieli 3: *Kaini na Habeli- Mwanzo 4:1-16. *Hasira ya Hamani- Esther 3:5-6. *Mfalme Herodi- Mathayo 2:16. *Hasira ya Herodia Dhidi ya Yohana Mbatizaji- Marko 6: *Maisha ya Saul ya Awali- Matendo 26:11. *Mafarisayo wanakuwa Wahasama Dhidi ya Yesu- Luka 11: *Chuki dhidi ya Stefano kwa kupinga matendo ya Wayahudi-Matendo 6:8-7:60. Watu wawili wanampigia Mungu kelele kwa hasira- * Watu katika Ufalme wa Giza wamemkasirikia Mungu (na waadilifu) kwa sababu sheria Zake ziko kinyume na mambo wanayotaka kufanya. Hawataki kujiweka chini ya sheria za Mungu. Badala yake wanaishi maisha na kushughulikia mambo yao wenyewe kama wapendavyo. Watu katika kundi hili wakati mwingine wanatawaliwa na uchungu, hasira, na chuki ambayo dhambi za watu wengine ama dhambi zao wenyewe zimewaletea. Pia wanaweza kuongozwa na tamaa zao wenyewe za kupata nguvu, utajiri, upendo, na starehe. Biblia inasema kuwa, Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili; bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho. Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani. Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu (Warumi 8:5-8). Sehemu ya 1b: Watu katika Ufalme wa Giza mara nyingi huwa katika mapigano yasiyo na mwisho na watu wengine au makundi ya watu. Watu wawili wanapigana- Watu walio katika Ufalme wa Giza huwa na uadui kati yao na Mungu, na kati yao wenyewe. Hili ni moja wapo ya maswala tuliyojadili katika Ufalme wa Giza katika Sura ya 5.Tulijifundisha hapo mwanzoni kwamba watu walio katika Ufalme wa Giza hupenda kujitambua kwa kutegemea kabila, rangi, mbari, taifa wanalotoka na hata kwa misingi ya jinsia zao. Wakati mwingine watu huonyesha uhasama wao kwa kupigana, *Fikira Juu ya Mwili Ina Uhasama Dhidi ya Mungu; na haiwezi kuwa chini ya Sheria Zake - Warumi 8:7-14; Kol. 1:21. *Yule aichukiaye Nuru, hukaa mbali na nuru - Yohana 3: *Kama Ulimwengu unawachukia na kuwatesa, jueni kuwa Yesu pia ulimchukia na kumtesa - Yakobo 4:4-5*Ni nani Aliyemwua Bwana Yesu na Pia Manabii, na Kututoa Nje. Hawampendezi Mungu, Lakini wana Uhasama na Watu Wote - 1 Wathesalonike 2:15. *Mtu Mwovu hufanya hila Dhidi ya Mwadilifu na Kusagia Meno. Bwana Hucheka, Siku Yake inakuja- Zaburi 37: *Utachukiwa Na Wote Kwa Sababu Ya Jina Langu, vumilia- Mathayo 10:22; Marko 13:13. *Maana mtafakarini sana yeye aliyeyastahimili mapingamizi makuu namna hii ya watendao dhambi juu ya nafsi zao, msije mkachoka, mkizimia mioyoni mwenu- Waebrania 12:3. *Usiwaogope wale wakukasirikiao- Isaya 41: Watu katika Ufalme wa Giza mara nyingi huwa katika mapigano yasiyo na mwisho na watu wengine. 2. Maisha yao yanaweza kuwa na tabia za umbeya, matusi, ubaguzi, ukabila, kutaka vyote, ubinafsi, na mawazo na matendo ya uuaji. 3. Matendo haya huwafanya makundi ya watu kuwapigana na mtu fulani, au kundi moja dhidi ya kundi lingine. 4. **Tasama mafunzo ya njia katika Sura ya 10. *Wakati mwingine Yesu Alisababisha migawanyiko- Luka 12:51-53; Yohana 7:37-53; 9:16; Yohana 10(vs. 19). *Paulo Anaandika juu ya Migawanyiko Kanisani- 1 Wakorintho 1:11-31; 3:1-9. *Ushuhuda unaweza Kusababisha Migawanyiko- Matendo 14:1-7. *Yakobo na Yohana Wanasababisha Mvutano Kati Ya Wanafunzi- Marko 10: *Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, 64

5 kuuana, kubaka, na aina nyinginezo za fujo. Watu wengine huonyesha wengine hasira na hukosa kuona uwepo wao kama ni wa maana. Huwasengenya watu wengine na hali hii hufanya shaka na ugomvi kuanza. Moja ya matokeo ya tabia hii ni kwamba watu hutengana na kushutumiana.. Chanzo cha uhasama na chuki baina ya watu ni dhambi. Vita na chuki hutokea kati ya watu wakati wanapozivunja sheria za Mungu kama jamii au kama mtu binafsi. Mtu anapomtendea mwingine dhambi, uhadui na ukatili huingia kati ya watu hao. Ikiwa hali hii haitasuluhishwa, watu hawa huanza kuwa maadui, na shina la uchungu huchipuka na kuenea kwa watu na hatimaye watu hao huanza kupigana. Katika lugha ya Kiebrania, neno linalowakilisha uadui lina uhusiano wa Karibu na neno lenye maana ya uadui. Uadui maana yake ni kutoaminiana, kutengana, au uhasama. Watu huwatendea wengine maovu kwa sababu kadhaa mbalimbali. Wanaweza kuchochewa na ubinafsi, faida ya kibinafsi, ubaguzi, hamu ya kulipiza kisasi, anasa, wivu, ulafi na tamaa au hamu ya mamlaka. Ubinafsi ndicho chanzo hasa cha uhasama. Hasira yaweza kuwafanya watu kuwaangalia wengine kwa mtanzamo fulani mbaya, halafu wakaanza kuwafanyia vibaya wakifikiria kwamba kwa kufanya hivyo wanafanya jambo lililo sawa na la haki. Lakini kitu kimoja cha kukumbuka ni kwamba mapigano na mizozo si mambo ambayo yanapaswa kuendelea kutendwa na watu wa Mungu. Sehemu ya 2a: Waamini wameunganishwa pamoja katika familia moja ya kiroho, wakifanya makao matakatifu ya Mungu. Watu wanaungana pamoja kutengeneza kuta za kanisa- Inaonyesha umoja anaotaka Mungu kati ya waamini. Waamini hawa wamesameheana, kama vile Mungu alivyowasamehe dhambi zao. Katika kitabu cha Waefeso, tunapata kwamba umoja wa waamini kwa pamoja humjengea Mungu makao matakatifu. Fikira zao ni kupendana kama vile Yesu alivyowapenda. Alitoa uhai wake kwa ajili ya watu wakati walipokuwa maadui wa Mungu bado. Agano la Kale na Agano Jipya yanaonyesha jinsi msamaha huu unavyopatikana. ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.- Wagalatia 5: * Na ninyi, mliokuwa hapo kwanza mmefarikishwa, tena adui katika nia zenu, kwa matendo yenu mabaya, amewapatanisha sasa; katika mwili wa nyama yake, kwa kufa kwake, ili awalete ninyi mbele zake, watakatifu, wasio na mawaa wala lawama - Col. 1: *Watu wenye dharau huwasha mji moto; Bali wenye hekima hugeuzia mbali ghadhabu - Mithali 29:8. *Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika- kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.- Yakobo 1: [Ilani: Ulimwengu wote ukiwa katika mashaka haya, Mungu akatoa njia ambayo kwa hiyo watu wangeweza kupatanishwa na Mungu na wenyewe kwa wenyewe. Utaratibu huo unaitwa, upatanisho.] Fasili ya Upatanisho Upatanisho maanake ni, kuufanya uhusiano uwe sawa. Mabadiliko haya ni kuleta pamoja mahasimu wawili wawe marafiki. Lakini upatanisho ni kipawa na pia ni jukumu katika daraja la kibinadamu. Mungu ametufanyia kazi tayari, lakini ni lazima tuache kazi hiyo ilete amani katika sehemu za ndani ya mioyo yetu. Inavutia kuwa neno la patana halikupatikana katika chanzo cha dini yoyote ya kwanza ya kipagani nje ya Biblia. Upatanisho ni moja wapo ya hulka zilizo msitari wa mbele kabisa za imani ya Kikristo. Inaonyesha mapenzi ya Mungu. Yesu alisema, Hivyo watu wote watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa wanafunzi wangu, mkiwa na upendo ninyi kwa ninyi " (Yohana 13:35). Yesu alipotuamuru tupatane sisi kwa sisi katika Mathayo 18, Alitumia neno la upatanisho lenye nguvu kuliko yote yaliyokuwako katika lugha ya Kigriki. Kwanza lina nguvu zaidi kuliko neno alilotumia Paulo katika Waefeso 2, aliposema tunapatanisha watu na Mungu, na tumepewa huduma hii ya upatanisho! Ni mapenzi ya Yesu kwamba tuwapatanishe watu ambao wametufanya dhambi, kama vile Yeye alivyotupatanisha kupitia kwa kifo Chake mwenyewe. Somo La 2 Msamaha na Mapatano katika Ufalme wa Nuru 1. Waamini wanapaswa kuishi pamoja na upendo wa pamoja, akili, moyo, na umoja kuonyesha maisha yaliyobadilika anayowapatia Mungu. 2. Waamini wanaungana pamoja kuvuka vizuizi vyote vya kibinadamu vya ulimwengu na kutengeneza pahali pamoja patakatifu pa kukaa Mungu. 3. Waamini wanajitahidi kupenda na kusamehe kama Yesu alivyofanya. 4. Kumbuka Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi za kila mtu. Kama anasamehe watu wengine, na sisi pia tutasamehe. *Ombi la Yesu la Ukuhani Mkuu kwamba waamini wawe kitu kimoja- Yohana 17. *Yesu alikuja kuwapatanisha hawa wawili (Wayahudi na Mataifa) na kuwafanya kuwa mwili mmoja, na wajengewe ili wawe makao matakatifu ya Mungu - Waefeso 2: * Yohana anaandika juu ya upendo na umoja wa Wakristo - 1 Yohana. *Paulo anaandika juu ya uhusiano wa mwili - Warumi 14. *jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu, mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi. Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndio kifungo cha ukamilifu. Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani- Kol. 3: *ijalizeni furaha yangu, ili mwe na nia moja, wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, mkinia mamoja. Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake. Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine.- Wafilipi. 2:2-4. *Miili Yetu Ni Hekalu- 1 Wakorintho 3:16-17; 6: *Mungu Na Mwanakondoo (Yesu) Ndio Hekalu Huko Mbinguni- Ufunuo 21:22. 65

6 Sehemu ya 2b: Chini ya Agano la Kale Mungu alitoa njia ya mda ambayo kwa hiyo msamaha na kurejeshwa upya kuliweza kufanyika kati ya watu na Mungu; na kati ya watu na watu. Madhababu- Chini ya Agano la Kale, wanyama walitolewa sadaka juu ya madhabahu kulipia (kufunika) dhamb za watu, na kuwaletea msamaha kutoka kwa Mungu. Madhabahu haya ni kama yale yaliyotumiwa na Waisraeli walipoleta sadaka zao kwa Mungu. Msamaha siku zote ulihitaji sadaka ya damu. Utaratibu huu wa kutoa sadaka, kulipia au kurekebisha. Dhambi au sababu ya makosa iliondolewa na sadaka, kulikuwa hakuna uadui tena kati ya Mungu na watu. Utoaji wa maisha yaliyo safi kwa ajili ya maisha machafu mtu anaweza kuonyesha ugumu wa sadaka ni nini. Kutoa sadaka sio rahisi. Kama vile sadaka ya kusafisha dhambi zetu haikuwa rahisi! Ilikuwa Mwana wa Mungu. Wakati mwingine inatubidi kukabiliana na ugumu sisi wenyewe kwa vile ni lazima tutoe sadaka hitaji letu la kulipiza kisasi ili tupende kama Yesu alivyopenda. Ni lazima tuamini kuwa Mungu ataleta haki kwa kila hali katika wakati, na ni lazima tufanye mambo ya sawa. Mara nyingi sana, tunalipiza kisasi na duara la ulipizaji wa kisasi na chuki linaanza ambalo husambaa kwa wengine rahisi na kushinda kuthibitiwa. Linaweza kusababisha mgawanyiko mkubwa katika makanisa. Msamaha unaanza wakati mmoja wa mahasimu au wote wanapotoa matakwa yao ya kulipiza kisasi juu ya madhabahu. 1. Angalia Sheria za Dini kutoka Sura ya 4, kama itakiwavyo. 2. Chini ya Agano la Kale, watu walipaswa kuleta wanyama kama sadaka ili walipe fidia ya kuvunja Sheria za Mungu. 3. Bila sadaka ya damu, kulikuwa hakuna msamaha wa dhambi. 4. Sadaka ilipaswa iwe bila kasoro. 5. Sadaka iliondoa au kutupa sababu ya makosa, na kufanya msamaha au ukombozi (kununua tena) kuwa halisi. 6. Mara tu sadaka inapotolewa, mtu alirejeshwa katika uhusiano wa sawa na Mungu. 7. Wakati ambapo watu wanataka msamaha kwa ajili ya dhambi zao dhidi ya wao wenyewe, fidia pia ilikuwa lazima ifanywe. 8. Mbuzi iliyo hai ya kuwekelewa makosa ilikuwa picha ya kutupilia makosa mbali kwa kuwa watu waweka dhambi zao juu ya mbuzi kiishara na kisha wakaipeleka jangwani ikafe huko. Upatanisho (kuweka sawa) and *Musa anafanya upatanisho kwa ajili ya Watu- Kutoka 32. *Abigaili Anaweka mambo sawa- 1 Samueli 25:18. *Sadaka za upatanishpo- Mambo ya Walawi 1-17; 26: Sadaka ya ukombozi (Kununua Tena) na *Sheria Za Ukombozi- Mambo ya Walawi 25. *Ee Israeli, Umtumaini BWANA; Kwa Maana Kwa BWANA Kuna Fadhili, Na Kwake Kuna Ukombozi Tele/mwingi- Zaburi 130:7. Maneno Ya Biblia tupaswayo kuyaelewa: Patanisha/Suluhisha- Kusafisha au kutakasa; kufanya uhusiano uwe sawa. AJ- kugeuza kutoka kwa uadui hadi urafiki.. Katika AJ, neno apokatallasso limetumika katika Waefeso 2:16, kuhusu kupatanishwa kwa Wayahudi na Mataifa na kuwa mwili mmoja. Neno hili maalumu kwa ajili ya kupatanisha maanake ni kupatanisha kabisa, ili kuondoa viwango na aina yote ya makosa ili umoja uweze kupatikana kikamilifu. Komboa- maanake ni kununua tena, au kumfanya mtu aachiliwe kwa kumlipia fidia. Upatanisho- maanake ni kupatanisha kwa ajili ya makosa yaliyofanyika, au kufunika. Kusamehe- maanake ni kuondoa au kumwia mtu radhi. Kurejesha- kurudisha mahali, hadhi, mali, au uhusiano. Kurekebisha. Kufidia- Kulipia jambo ambalo ni makosa, kulipa. Kurudisha ilivyokuwa, kujaza. People around a goat- Juu ya sadaka ya kuteketeza hapo juu, watu wangeweka mikono yao juu ya beberu aliye hai, ili kuondolewa kwa dhambi zao na kupakaziwa yule beberu. Baada ya kila mtu kumwekea mikono, mbuzi huyo aliachiwa huru kuyoyomea nyikani kwenda kufa. Hii ilikuwa picha ya kuondoa dhambi za watu. Mbuzi huyu alipewa jina na kuitwa beberu aondoaye dhambi. Msamaha ni kufunika na kuondoa dhambi kabisa. Agano la Kale linatusaidia kuona kwa macho jinsi ya kuwasamehe wengine. Mbuzi wa kuondolea dhambi/msamaha (kuondoa) na *Sadaka ya Mbuzi msingiziwa Kwa Kuondoa Dhambi- Mambo ya Walawi 16:7-10 (Azazeli).*Sadaka ya Dhambi Ni Nje Ya Kambi- Kutoka 29:10-14; Mambo ya Walawi 4: *Ibrahimu Na Isaka, Mungu Anatoa Sadaka (haitajwi kama mbuzi ya kuondolea dhambi, lakini imefanana)- Mwanzo

7 Sehemu ya 2c: Chini ya Agano Jipya kupitia kifo cha Yesu na kufufuka kwake, Mungu alitoa njia ya kudumu ya msamaha na upatanisho. Kielelezo hiki ni picha ya kiroho ya huduma ya upatanisho ambayo Mungu amewapatia waamini katika ulimwengu huu. Yesu alipokufa msalabani na kufufuka kutoka kwa wafu, Alivunja kuta ambazo dhambi ilikuwa imejenga kati ya watu na Mungu. Kisha akatupatanisha na Mungu. Upatanisho huu haukuwa upatanisho wima tu kati yetu na Mungu, lakini pia ulikuwa upatanisho mlalo kati yetu na watu wengine. Kwa sababu Mungu ametusamehe dhambi zetu na kurejesha uhusiano wetu na Yeye, tunapaswa kupatanishwa na watu waliotuzunguka, tukiwasamehe kama vile Mungu alivyotusamehe. Hili ni tendo kuu la upendo na kujitolea, na inaonyesha upendo ule ule ambao Yesu yuko nao kwetu. Tunapokuwa tukipatanisha watu waliotuzunguka, tunajenga Ufalme wa Mungu na sio ufalme wetu wenyewe. Tukifanya kazi kwa ajili ya amani katika ulimwengu wetu, tunamheshimu Mungu. 1. Hakiki: Kifo cha Yesu msalabani kilitimiza sheria za sadaka za Agano la Kale. 2. Sadaka ya Yesu ilikuwa kamilifu na isiyo kasoro ya wakati wote na watu wote wanamfuata kama Bwana na Mwokozi. 3. Tunapaswa kupenda na kusamehe kama Yesu, kwa vile Alilipa bei ya dhambi za kila mtu. Ukombozi wa Yesu *Yesu alikuja kutoa Uhai Wake kama Fidia Kwa Ajili ya Wengi- Mathayo 20:28. *Unabii wa Zakaria- Luka 1: *Ukombozi katika kifo cha Yesu - Warumi 3: *Lakini wakati ulipotimia Mungu alimtuma Mwanwe, aliyezaliwa na mwanamke, aliyezaliwa chini ya sheria, ili awakomboe wale waliokuwa chini ya sheria, ili tupate kufanywa wana - Wagalatia 4:4-7. *Maana Kristo aliteseka mara moja tu, mwadilifu kwa ajili ya waovu, wakosaji, ili apate kumleta kwa Mungu- 1 Petro 3: *Yesu Ni Mfalme Wa Amani- Isaya 9:6. * za Sadaka ya Yesu- Mathayo 27; Marko 15; Luka 23; Yohana 19. *Mafundisho Juu ya Sadaka ya Yesu- Waebrania *Maana Yeye ni Amani yetu, aliyefanya makundi yote ya kundi moja (Wayahudi na Mataifa) na kuvunja ukuta wa uhasama uliowagawanya basi sasa ninyi si wageni tena, bali raia pamoja na watakatifu, na watu wa familia ya Mungu. -Waefeso 2:14 na kuendelea. Yesu Kama Mbuzi Aondoaye Dhambi *Yesu Kama Dhabihu Inayotolewa Nje ya Kambi - Luka 23; Mathayo 24-27; Marko 15; Yohana 19. *Yesu Pia, Ili Apate Kuwatakasa Watu Kwa Damu Yake Mwenyewe, Aliteseka Nje Ya Lango - Waebrania 13: [Ilani: Mtindo unaoendelea au uhasama ulivyo unaweza kutulizwa kabisa katika uhusiano na Yesu Kristo. Swali ni je hivi vitakuwaje? Msamaha ni kazi ngumu kwa sababu ya kina cha dhambi ya wanadamu na hamu yetu ya kutaka haki itendeke. Mungu amekuwa wa rehema sana kwa kutoa njia ya msamaha ili alete uponyaji na amani kwa watu. Kwa hiyo tunapokabiliana na masuala magumu ya msamaha, jambo ambalo ni lazima tujue na kukubali mioyoni mwetu ni kwamba tayari Yesu amelipa bei. Kama vile alivyokufa kwa ajili ya dhambi zetu, Pia amekufa kwa ajili ya mtu yule au kundi la watu ambao wametukosea. Kitu anachotuhimiza Yesu ni kusamehe na kupenda kama alivyofanya. Hapa kuna hatua fulani za kuleta uponyaji na upatanisho kati ya watu. Somo La 3 Kuleta Ukamilifu kwa Msamaha na Upatanisho Kati ya Watu Sehemu ya 3a: Ungameni dhambi zenu mmoja kwa mwengine na muombe ili mpate kuponywa. Mtu anasema- *Sisi ni wahudumu wa upatanissho, tunawapatanisha watu na Mungu na watu na watu. *Hii ni picha ya moja wapo ya mambo tunayohitaji kufanya ili tulete uponyaji kwa wale tuliowaumiza. Tunahitaji kuungamiana dhambi zetu mmoja kwa mwingine. Biblia inasema twende kwa mtu yeyote tuliyemkosea na tupatane naye. Inavutia kwamba neno la nguvu kabisa la kupatanisha katika Biblia limetumiwa katika Waefeso ambapo Paulo anajadili jinsi Yesu alivyovunja KILA UKUTA kati ya watu ili wapate kupatanishwa wao kwa wao. Kupatanishwa na Mungu ndiyo sehemu rahisi. Kupatanishwa na watu wakati 1. Yesu anasema ni lazima twende kwa yule aliyetukosea, na twende kwa yule mwenye jambo dhidi yetu kabla kuanza kuabudu. 2. Njia moja ya kuleta uponyaji kati ya watu ni kuomba na kuungama. 3. Ni lazima tusamehe katika mfuatano wakati watu wenngine watuombapo msamaha- 70 X Kwa kumtii Yesu tunaweza kujifunza kusamehe bure kama Yeye alivyotusamehe bure. 5. Taratibu za kanisa za nidhamu pia lazima ziwe na misingi katika njia ya Yesu ya upatanisho, kurejeshwa upya na kufidia. *Kisa cha Yusufu- Mwanzo *Yesu Anawasamehe Wale Wamwuao- Luka 23:34. *Stefano anasamehe Wale Wanaompiga Mawe, Usiwahesabie Dhambi Hii - Matendo 7 (v. 60). *Paulo Anasamehi kama Stefano na Yesu, Usiwahesabie Dhambi hii - 2 Timotheo 4:16. *Yesu Anamsamehe Kahaba- Luka 7: *Yesu Anatuamuru Tupende Kama Apendavyo- Yohana 15:12. Petro anauliza ni mara ngapi tutawasamehe watu wanaoendelea kutufanyia dhambi- Mathayo 18: *Fumbo la mtumishi asiyesamehe- Mathayo 18: * Basi, Kama Ulikuwa Tayari Kutoa Sadaka Yako Madhabahuni, Ukakumbuka Kuwa Ndugu Yako Amekukasirikia, Acha Sadaka Yako Papo Hapo, Uende Kwanza Ukapatane Naye - Mathayo 5: * Kwa hivyo, Ungameni Dhambi Zenu Nyinyi Kwa Nyinyi Na Kuombeana Ili Mpate Kuponywa - Yakobo 5:16. *Yesu ameleta amani kwa vitu vilivyo 67

8 mwingine kuna utata sana na kuna ugumu. *Yesu alisema tunapaswa kusamehe hata kama mtu atakuja kutuomba msamaha sabini mara saba. *Ni lazima tusamehe bure kama Yesu anavyofundisha katika Fumbo la Mtumishi asiyesamehe. Tumepokea msamaha kutoka kwa Yesu bure, kwa hiyo ni lazima tutoe msamaha bure. *Tunapaswa kuombeana ili uponyaji upate kufanya kazi mahali palipoumia. Wakati mwingine uponyaji na uwezo wa kusamehe kabisa hufanyika kwa mda, Mungu anapoiponya mioyo yetu. Ni lazima tuchunge tusiweke mawazo mioyoni mwetu, chuki, au kukariri makosa mioyoni mwetu. Badala yake ni lazima tukariri kuondoa dhambi za watu wengine. Baada ya mda, hivi vitatusaidia kusamehe. Sehemu ya 3c: Kurejeshwa Upya Pete- Mwana Mpotevu aliporudi nyumbani kwao, babake alimvisha pete. Na pia alimvisha viatu miguuni mwake na kanzu. Vitu hivi vyote viliashiria kurejeshwa upya. Tunahitaji kuwarejesha watu waliotufanyia dhambi, na ambao wamerudi kuomba msamaha. Mabadiliko ya mtindo wa maisha au matendo kawaida yanatakiwa ili kurejeshwa upya kuweze kufanyika. kama mabadiliko tunayoyaona katika hadithi ya Mwana Mpotevu katika toba na mtindo wa maisha. Rejesha upya- kurudisha mahali, hadhi, mali, au uhusiano. Kurekebisha. Mwelekeo wa ulimwengu ni kutorejesha kamwe. *Wakati mwingine, tunataabika kwa sababu ya dhambi za watu wengine. Wakati mwingine tunapata taabu kwa sababu ya makosa yetu wenyewe. Aina hizi zote za mateso zinaweza kukombolewa. Kujifunza kutoka kwa makosa yetu wenyewe kunakomboa. Na kuwapatia watu wakati wa kujifunza kutokana na makosa yao pia kunakomboa. Siku zote lazima tuache nafasi ya watu kurudi. Upendo wetu unakamilika tunaposamehe na kuwapenda wengine katika utiifu. Katika mambo haya yote tunajifunza kuwa kama Yesu zaidi. Sehemu ya 3d: Kulipa Fidia Pesa- Katika kisa cha Zakayo, Yesu anaenda nyumbani kwa Zakayo. Zakayo anamwamini Yesu, na anataka kurudisha pesa kwa watu aliowaibia. Tendo hili tunaliita kulipa fidia. Mbinguni na duniani - Kol. 1: * Kadiri Inavyowezekana Kwa Upande Wenu, Mwe Na Amani - Warumi 12:18. *Mtumishi Aliyeteseka- Isaya 53. *Unapoteseka kama mwamini uweke moyo wako kwa Mungu- 1 Petro 3. *Heri ninyi watu wanapomtesa kwa sababu ya Yesu- Mathayo 5: * Ndugu Zangu, Mtu Akighafilika Katika Kosa lo lote, Ninyi Mlio wa Roho Mrejezeni Upya Mtu Kama Huyo Kwa Roho ya Upole, Ukijiangalia Nafsi Yako Usije Ukajaribiwa Wewe Mwenyewe - Wagalatia 6:1. 1. Kurejeshwa upya ni moja wapo ya hatua muhimu sana za kukamilisho ili uponyaji ufanyike katika Mwili wa Kristo. 2. Kurejeshwa upya kunawezakuwa kurejeshwa kwa hadhi, mahali au uhusiano. 3. Kurejeshwa upya kuko katika misingi ya kupenda na kusamehe kama Yesu alivyopenda na kutusamehe. Siku zote weka nafasi. 4. Kurejeshwa upya kunategemea toba ya kweli. na *Zaburi ya Kurejeshwa upya Baada Ya Kufanya Dhambi- Zaburi 107. *Yususu Anawasamehe Ndugu Zake- Mwanzo *Yakobo na Esau Wanaungana Tena- Mwanzo *Mtumishi Asiyesamehe- Mathayo 18: *Mwana Mpotevu- Luka 15: *Mungu Anawaahidi Wenye Dhanbi walio Uhamisho kurejeshwa upya- Kumbukumbu La Torati 30; Yeremia 15:16; 27:22; 29:14. Paulo anafundisha juu ya kurejeshwa upya- 2 Wakorintho 2:1-11. *Yesu Anamrejesha Petro Baada ya Petro Kumsaliti- Yohana 21: *Zaburi ya Kurejeshwa upya- Zaburi 126. *Kupenda Kama Yesu Alivyopenda Ni Kutoa Maisha Yetu Kwa Ajili Yetu Wenyewe kwa Wenyewe- Yohana 15:13; 1 Yohana 3:16. *Kuweni na akili moja, Ishini kwa Amani; Na Mungu Wa Upendo Na Amani Atakuwa Pamoja Nanyi- 2 Wakorintho13: Fidia ni kitendo cha kulipia makosa ambayo yamefanyiwa mtu mwingine. 2. Katika Agano la Kale, fidia ililipwa mbele za Mungu. Sadaka ililetwa, na pia malipo ya kupewa mtu aliyekosewa. Ukweli kwamba sadaka kwa Mungu ilikuwa lazima itolewe, inaonyesha kuwa kuwafanyia dhambi wengine pia ni dhambi kwa Mungu. 68

9 Fidia- kulipia jambo lililofanyika makosa, kurudisha. Kujaliza, kulipiza. Sehemu ya 4: Tumepewa Huduma ya Upatanisho tuuambie ulimwengu. Waamini wanaenda ulimwenguni- Picha ya watu wakiishi Huduma ya Upatanisho kwa ulimwengu. Yesu alitupatia Mwito Mkuu mda mfupi kabla ya kupaa Mbinguni. Alitwambia twende ulimwenguni kote na kufanya wanafunzi tukiwafundisha kila kitu alichowafundisha. Lakini Injili si maneno tu, ni vitendo. Yesu alitwambia tuwapende wengine kama alivyotupenda. Tunapaswa kusamehe na kupatanisha, kurejesha na kuponya uhusiano kama tu alivyotufanyia. Injili inaweza kuzuiwa na kutoishi maisha ya kupatanishwa mbele za wengine, kama vile kuabudu kwetu kunavyozuiwa wakati hakuna mapatano kati ya watu katika mwili wa Kristo. *Kisa cha Zakayo- Luka 19. *Paulo Anampatia Yohana Marko Nafasi Nyingine Katika Huduma- Matendo 15:37-39; 2 Timotheo 4:11. Sheria za Fidia za Agano la Kale- Kutoka 21:34; na Kutoka 22. Somo La 4 Huduma ya Upatanisho na Mwito Mkuu 1. Mungu ametupatia Huduma ya Upatanisho. 2. Ili tupate kuleta matokeo yatarajiwayo zaidi katika huduma hii, ni lazima tuishi huduma hii katika uhusiano wetu wa kibinafsi. 3. Tunapoishi maisha ya kupatana na Mungu na wenyewe kwa wenyewe, huthibitisha ushuhuda wetu juu ya Injili kwa ulimwengu. *Yesu Anavunja Kila Ukuta Wa Utengano Kati ya Wanadamu Na Mungu, Yeye ndiye Amani Yetu- Waefeso 2: * Hivyo Watu Wote Watatambua Ya Kuwa Ninyi Mmekuwa Wanafunzi Wangu, Mkiwa na Upendo Ninyi Kwa Ninyi - Yohana 13:35. * Mkutano Mkubwa Sana, Watu Wa Kila Taifa, Na Kabila, Na Jamaa, Na Lugha, Wamesimama Mbele Ya Kile Kiti Cha Enzi, Na Mbele Za Mwana-Kondoo - Ufunuo 7:9-10. *Mungu alitupatanisha na Yeye Mwenyewe, akatupatia Huduma ya Upatanisho, sisi ni mabalozi Wake- - 2 Wakorintho 5: *Tulipatanishwa wakati tulikuwa maadui, na zaidi sana tutaokolewa na uhai Wake -Warumi 5:

10 Sura ya 8 Kielelezo : Jinsi ya Kutambua Dini za Uongo 70

11 71

12 Sura ya 8 Jinsi ya Kutambua Dini Ya Uongo Ufafanuzi wa Jumla wa Picha: Kielelezo cha 8 ni mwongozo uonekanao wa kuchanganua dini za uongo. Dini za uongo hutokea wakati watu wanapokataa Ufunuo wa Mungu wa Jumla juu Yake Mwenyewe kupitia kwa Uumbaji (Warumi 1). Safu ya kushoto inaonyesha uendelezaji wa jamii iliyogeukia miungu ya uongo, kwa kukataa Ufunuo wa Jumla wa Mungu. Safu ya kulia imekusanya mafundisho ya uongo ya jumla. Mafundisho haya ni matokeo ya kukataa Ufunuo Maalumu wa Mungu unaotolewa kupitia kwa Biblia, Roho Mtakatifu, na Yesu. Kujifunza sifa za jumla za dini za uongo kutasaidia watu kujua na kutambua dini za uongo kutoka vyanzo vyote. Malengo ya Sura ya 8: Kuwafundisha waamini kutambua sifa na mafundisho ya dini za uongo. Kutambua jinsi kuabudu sanamu kulivyo kuharibifu. Kujenga msingi imara wa mafundisho ya Biblia ili waamini wasipotoke kwenye imani. Kutoa nyenzo za kufundishia kwa viongozi, wazazi, na watoto kufundishana wanavyoendelea kukariri picha na mafundisho ya yaliyojumuishwa katika sura hii. Sura Zinazohusiana Sura ya 1 na ya 2: Mungu amejifunua Mwenyewe kupitia uumbaji. Shetani anafanya kazi ulimwenguni ili awafanye watu wamwabudu na kumtumikia. Anawajuza watu mafundisho ya uongo, tambiko, na anawataka watu waishi katika hofu ya mapepo. Sura ya 3: Mungu amefunua mafundisho maalumu juu yake Mwenyewe kupitia kwa Neno, Yesu, na Roho Mtakatifu. Sura ya 4: Hatuwezi kuabudu au kutumikia miungu kando na yule Mungu mmoja na wa kweli. Sura ya 8: Dini za Uongo hupotosha mafundisho kuhusu Yesu na uungu Wake. Sura ya 5: Watu katika Ufalme wa Giza wamenaswa katika ukabila, fujo, uzinzi, kutumikia tamaa zao wenyewe Sura ya 9: Ufanisi katika Vita Vya Kiroho hutegemea ukuaji wa kiroho wa mwamini. Sura ya 10: Mila na desturi za nchi yoyote zinahitaji kupimwa kwa Neno la Mungu. Sura ya 12: Wapinga-krisma na wale wawafuatao siku ya mwisho watatupwa katika Ziwa la Moto. Ufafanuzi wa Picha Somo La 1 Sifa za Wale Wanaokataa Ufunuo wa Jumla wa Mungu Picha na Maelezo Vichwa Vya Masomo, Biblia, and Sehemu ya 1: Watu wanageukia miungu ya uwongo kwa sababu wamekataa ufunuo wa jumla wa Mungu kupitia uumbaji. 1. Upande wa kushoto kwenda chini unaonyesha mafundisho ya Paulo katika Warumi 1 juu ya kuharibika kwa jamii wakati wanapomkataa Mungu wa Kweli. 2. Mungu hujifunua kupitia uumbaji wake, lakini watu wengine wameukataa ufunuo huu na kujitengenezea miungi yao wenyewe. Warumi 1:18-21 inasema, Kwa maana ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wa wanadamu waipingao kweli kwa uovu. Kwa kuwa mambo ya Mungu yanayojulikana yamekuwa dhahiri ndani yao, kwa maana Mungu aliwadhihirishia. Kwa sababu mambo yake yasiyoonekana tangu kuumbwa ulimwengu yanaonekana, na 72

13 Msitari unaopita kati ya watu na dunia Chanzo hasa cha dini za kufahamika kwa kazi zake; yaani, uweza wake wa milele na Uungu wake; hata wasiwe na udhuru. uwongo ni kuukataa ufunuo wa jumla wa Mungu alioufunua katika mioyo yao, na ulimwenguni. Upande wa kushoto Mfululizo wa matokeo ya kuukutataa ufunuo wa Mungu wa jumla, kulingana na Warumi 1. Sehemu ya 1a: Watu wanapokataa ufunuo wa Mungu kupitia uumbaji wake, hujitengenezea miungu yao wenyewe. 1. Watu hutengeneza miungu yao kwa mfano wa vitu vilivyoumbwa, na na kufuatisha imani zao kulingana na tamaa zao. Miungu mingine hufanana na wanyama, watu, wadudu, au mchanganyiko wa baadhi ya viumbe hivyo. 2. Warumi 1:22-23 inasema, Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika; wakaubadili utukufu wa Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na ya vitambaavyo. 3. Baadhi ya ibada za sanamu kawaida na nyingine ni za aibu. 4. Aina mbalimbali za uchawi ni ni sehemu ya kuabudu sanamu. Mungu amewakataza waamini kuiga au kujiingiza katika uchawi wa aina yoyote ile. 5. Watu huandaa sherehe na matambiko kama sehemu ya kuabudu sanamu kwao. 6. Lakini Mungu ndiye aliyeanzisha sherehe (lazima ziwe ninamletea heshima), Mwezi na Jua Viliumbwa Kuashiria Sherehe, Siku na Miaka - Mwanzo 1: Angalia Mafundisho ya Biblia ya Ziada juu ya uchawi mwishoni mwa sura hii. Sanduku la 2: sanamu- Nyingine zinafanana na watu, nyingine zinafanana na viumbe vya kipepo, nyingine zinafanana na wanyama na vitu vingine vilivyoumbwa watu wanapokataa kile Mungu alichofunua juu yake katika uumbaji, huegeukia sanamu walizozitengeneza wao wenyewe. Kuabudu sanamu huingiza mtu katika uchafu. *Sheria Juu ya Sanamu Na Kuingia Katika Nchi ya Ahadi - Kutoka 34: *Mungu Aaiadhibu Israeli kwa Kuabudu Sanamu - Kumbukumbu La Torati 32. *Mfalme Ahazi aliwaendea miungu ya mataifa mengine kwa sababu ya ufanisi wao wa kijeshi. Lakini ikawa chanzo cha kuanguka kwake na Israeli yote - 2 Mambo Ya Nyakati 28:23. *Watu wanamkataa Mungu kama Mfalme Wao, Kama wanavyoifuata Miungu ya Sanamu - 1 Samueli 8 (kifungu cha 8). *Waisraeli wapelekwa uhamishoni kwa sababu ya kuabudu sanamu; Waisraeli wanajaribu kumtumikia Mungu na sanamu - 2 Wafalme 17. *Sanamu zilikuwa mtego kwa Gideoni hata baada kuwashinda Wamidiani Waamuzi 8: (angalia Waamuzi 6-8 uone hadithi hii). *Sanamu ya Dagoni yaanguka mbele ya Sanduku La Agano -1 Samueli 5:3-5. *Nebukadneza Anajitangaza kuwa Mungu (kuwaabudu watawala)- Danieli 6. *Mfalme Manase anamwacha Bwana, na kutoa sadaka kwa miungu ya sanamu - 2 Mambo Ya Nyakati 33:15.*Mungu ni Bwana wa Milima na Mabonde - 1 Wafalme 20 (kifungu 28). *Paulo na Barinaba Wanadhiwa Kuwa Miungu- Matendo 14:8-24 (vifungu vya 1518). *Mfalme Yehoshafati Anajivunia Njia za Bwana, Anaziondoa sanamu na sehemu zilizoinuka - 2 Mambo Ya Nyakati 17. *Mfalme Sulemani Anajenga Hekalu Kwa Jina la Bwana, lakini si kwa mfano unaomwakilisha yeye - 2 Mambo Ya Nyakati 6:5,6,7,10. *Mfalme Yosia Ali Anapiga Marufuku Kuabudu Sanamu - 2 Wafalme *Paulo Anatambua hali ya kiroho ya wale wanaobudu sanamu, lakini anahuburi juu ya Mungu mmoja wa Kweli - Matendo 17: *Kuabudu Sanamu Huambatana Na Uchawi - 2 Wafalme 21; Nahumu 3:1-19. *Amri ya Mungu Juu ya Uchawi - Kumbukumbu La Torati 18:9-18; Kutoka 22:18. Imeendelezwa hapo chini Kuendelea Kujifunza Yanayohusu Kuabudu Sanamu Sherehe na Matambiko Huwakilisha Dini za Uwongo: *Waabuduo Sanamu Waliketi na Kula na Kunywa, na Kucheza - 1 Wakorintho 10:7; linganisha na Kutoka 32:5-6. *Haruni anamkosea Mungu kwa kutangaza sherehe kwa ajili ya Ndama wa Dhahabu - Kutoka 32. *Waisraeli Wanamkosea Mungu kwa kujiingiza katika uzinzi na kutolea sadaka miungu ya Moabu - Hesabu 25:1-9. *Mfalme Yeroboamu Anamtenda dhambi Mungu kwa kuanzisha Sherehe ya Ndama Wawili wa Dhahabu Aliowatengeneza Ili Waabudiwe -1 Wafalme 12:25 kuendelea. *Msiige Matendo Ya Mataifa - Kutoka 34:11-17.*Kuabudu Sanamu ni Mtego - Kumbukumbu La Torati 7:16, *Mungu anaonyesha uzito wa kuabudu sanamu na wa kuabudu nyota, jua, na mwezi - Kumbukumbu La Torati 17:2-3. *Desturi za watu ni Danganyifu, Sanamu ni Kazi Ya Fundistadi, Lazima Zibebwe Kwa Sababu Haziwezi Kutembea; Wajinga Hutengeneza Sanamu, Mungu ndiye Mungu wa Kweli Yeremia 10:3-10; 12-15; 51:17-19; Isaya 44:10-20; Hosea 13:2. *Miungu ya Uwongo Itaangamia Ulimwenguni - Yeremia 10:11, 15. *Miungu haiwezi kujibu maombi yetu - Isaya 46:5-11. *Miungu yote itamwinamia Bwana - Zaburi 97:7. *Kuabudu Kazi ya Mikono Yako ni ujinga, Lakini BWANA yu katika hekali lake takatifu; kila mtu duniani anyamaze mbele zake - Habakuki 2:18. *Wale Wanaotengeneza Sanamu Wafanana na Sanamu Hizo - Zaburi 115: 4-8. *Huzuni Itaongezeka Kwa Wale Wanaoenda Kwa Miungu Wengine - Zaburi 16:4. *Wanaomchokoza Mungu - Yeremia 11:17; 32:29. *Watenda dhambi husema kwamba wataendelea kufuata itikadi zao walizoachiwa na mababu zao, wafalme, maafisa wa serikali, n.k. - Yeremia 44 (angalia pia 2 Wafalme 17:40-41; na Ufunuo 8:20-21). *Uchawi/Uaguzi, 73

14 Kuabudu Sanamu ni Tendo La Mwili - Wagalatia 5:20. Maagizo kwa waamini juu ya sherehe za kipagani: *Mungu ndiye aliyeanzisha sherehe (lakini sharti zimpe yeye utukufu), Juan a Mwezi Viliumbwa Kama Ishara za Sherehe/Sikukuu, Siku Na Miaka - Mwanzo 1:14. *Petro Anawahimiza Wakristo Wasijiingize Katika ibada za sanamu, lakini watarajie kusemwa vibaya na wale wanaojiingiza katika hizo - 1 Petro 4:3-5. *Waisraeli Wanaanzisha Sherehe Zao Wenyewe Kwa Msingi Wa Yale Aliyotenda Mungu Katika Historia - Kumbukumbu La Torati 6:10-25; Kutoka 12; 13:1-22; Mathayo 26:17-30; 1 Wakorintho 11: *Paulo Anashughulikia Swala la Sherehe Kwa Waamini - 1 Wakorintho *Mungu analihukumu kanisa la Pergamo kwa ajili ya uzinzi na kula nyama iliyotolewa kama sadaka kwa sanamu - Ufunuo 2:14. *Mungu analihukumu kanisa la Thiatira kwa ajili ya uzinzi na kula nyama iliyotolewa kama sadaka kwa sanamu - Ufunuo 2:20. Sikukuu Mbili Zilizompa Utukufu Mungu: *Mfalme Hezekia na Sikukuu ya Pasaka - 2 Mambo Ya Nyakati 30. *Mfalme Yosia na Sikukuu ya Pasaka - 2 Wafalme 23; 2 Mambo Ya Nyakati 35. Mafundisho Muhimu ya Ziada Katika Biblia Juu Ya Uchawi: Za Biblia Zinazoonyesha Kwamba Uchawi Haupaswi Kutumiwa na Wakristo. Simoni Mchawi alitaka kununua nguvu hizi, lakini akaitwa adui wa haki - Matendo 8:9-24. Watu wa Efeso walichoma vitabu vyao vya uchawi - Matendo 19: Pepo wa uaguzi alitolewa kutoka kwa msichana - Matendo 16: Paulo anamkemea mchawi aitwaye BarYesu - Matendo 13:6-12. Katika Agano la Kale, mchawi ama mwaguzi alipaswa kuuawa - Kutoka 22:18. Za Biblia Zinazoonyesha Kwamba nguvu za Mungu ni kuu kuliko zile za pepo. Mungu anaweza kuzifanya nguvu za uchawi kushindwa - Isaya 44: Gideoni Anavunjavunja madhabahu za Baali- Waamuzi 6: Uwezo wa Yusufu wa kutafsiri ndoto - Mwanzo 41:8-36. ya Musa na Wachawi wa Misri - Kutoka 9:11 (Angalia mapigo yote: Kutoka 7: Mapigo Yalikuwa dhidi ya Miungu ya Misri -Kutoka 12:12; Hesabu 33:4. Uwezo wa Danieli kueleza na kutafsiri ndoto ulikuwa mzuri mara kumi zaidi ya ule wa wachawi wa Misri - Danieli 1:20; 2. Yesu alitoa pepo - Luka 11: Mfalme Ahazi anamwacha Mungu na kuwaendea mingine akidhani itamsaidia - 2 Mambo Ya Nyakati 28:9-27. Simoni Mchawi Alifikiri Anaweza Kununua Nguvu za Roho Mtakatifu - Matendo 8:9-25. Barnaba na Paulo Wanakabiliana na Nabii wa Uwongo wa Kiyahudi - Matendo 13:6 kuendelea. *Kufanya Laana Za Wenye Kiburi Kutofaulu, Kuwafanya Waaguzi Kuwa Wajinga, Mimi Ndimi Nilieyembia Kilindi cha Bahari, Kauka! Na Nitakausha Mito Yako - Isaya 44: Uchawi unaonyeshwaje katika Biblia? Uchawi ni sawa na dhambi ya uasi. 1 Samueli 15:23. Unaenda pamoja na kuabudu sanamu na ukahaba. 2 Mambo Ya Nyakati 33:6; 2 Wafalme 9:22. Ni kazi za mwili. Wagalatia 5:20. Wale wanaotenda uchawi watatupwa katika ziwa la moto. Ufunuo 21:8. Je, tuna nguvu gani dhidi ya pepo? Yesu alikuja kuzivunja nguvu za Shetani. 1 Yohana 3:8. Yesu alikufa ili kuharibu nguvu za giza. Wakolosai 2:15. Yesu ameketi juu ya nguvu zote. Waefeso 1:20 Ametuketisha pamoja naye na anatupa nguvu kupita kwake. Waefeso 2:6. Hatupaswi kuzungumza na pepo moja kwa moja. Yuda 9-10; 2 Petro 2:9-22. Lakini mwite Yesu awafunge na kuwatoa. Sehemu ya 1b: Mungu aliwaacha Wafanye uzinzi Na Kuikosea Heshima miili yao. 1. Mungu aliwafanya watu waabuduo sanamu kufuata uzinzi ili waikosee heshima miili yao. 2. Warumi 1:24-32 says, Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima miili yao. Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa milele. Amina. Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili; wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao. Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa. Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya, wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao, wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema; ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao. Sanduku la 3: Mwanamke akiwa kitandani, na mwanamume akimwegemea pembeni/mapenzi nje ya ndoa - Mungu aliwaacha wafanye uzinzi ili waikosee heshima miili yao miongoni mwao. 3. Kuabudu Sanamu Kunahusiana na uzinzi wa kiroho, na kila aina ya uzinzi katika. *Sodomu na Gomora- Mwanzo 18-19:29. *Yuda na Kahaba wa Hekaluni - Mwanzo 38. *Eliya Anakabiliana na Manabii wa Baali (Mungu wa rutuba)- 1 Wafalme 18: *Uzinzi unashutumiwa na Ezekieli - Ezekieli 22:9-11. *Waisraeli Waliungana na Baali wa Peori -Hesabu 25:1-9. *Kuabudu Sanamu ni Sawa na Kufanya Ukahaba na Mataifa - Ezekieli 16; 23; Isaya 57. *Vipawa vyote, uzuri wote, dhahabu, nguo, manukato, mkate, n.k ambavyo Waisraeli walipewa na Mungu walivitumia kuabudia miungu ya kigeni - Ezekieli 16. *Watu Waliendelea Kujiingiza Katika Ukahaba - Hosea 4. *Watu wa Yuda Walimtupia Mungu Kisogo na kufuata sanamu; Makahaba wa kiume Yuda - 1 Wafalme 14 (angalia vifungu vya 9 na 22-24). *Asa Anawaondoa makahaba wa Kiume na Sanamu Katika Nchi - 1 Wafalme 15:8-24. *Nabii Ezekieli Anakemea 74

15 Uasherati - Ezekieli 23. *Kahaba Mkuu Wa Kitabu cha Ufunuo - Ufunuo 17. *Kujaamiana kwa maharimu katika Kanisa La Korintho - 1 Wakorintho 5:1. *Msishirikiane na ndugu yeyote wa Kikristo ambaye anaabudu sanamu - 1 Wakorintho 5: *Baba na Mwanawe Walala na Msichana Mmoja - Amosi 2:7. *Kuabudu Sanamu ni Sawa na Kuzini Kiroho na Jiwe na Mti Yeremia 3:9; Yeremia 5:7-8. *Mungu Aliwaacha Kufuata Tamaa Zao - Warumi 1: *Orodha Ya Dhambi Za Zinaa na Kuabudu Sanamu -1 Wakorintho6:9. *Ushoga na Kulala na Wanyama ni Machukizo Mbele za Mungu - Mambo ya Walawi 18: *Kuzini na Mke Wa Jirani Yako, Mkaza Mwanao, Dada yako, yote yanahusiana na kuabudu sanami - Ezekieli 22:9-11. *Nini Hatima Ya Miungi ua Uwongo - Yeremia 10: * Mengine Yanayohusiana na Haya - Kutoka 32:6, 25 (linganisha na 1 Wakorintho 10:7-8); Hesabu 25:1-3; 1 Wafalme 14:24; 15:12; 23:7; Amosi 2:8. Sehemu ya 1c: Kisha Mungu Aliwaacha Kufuata Tamaa zao na kutenda kila aina ya uovu. Sanduku la 4: Kuua; kuwanyasa wanawake au watu; kuharibia watu majina; au mazoea mabaya kama vile kunywa pombe; ngono, au dawa za kulevya Mungu aliwafanya wafuate nia zao potovu na kutenda kila aina ya uovu. Sehemu ya 1d: Matokeo yake ni kwamba watu huamini kwamba matendo mema katika jamii yatawasaidia katika maisha yajayo. Sanduku la 5: Familia moja ikitunza familia nyingine katika jamii Watu huona mambo mabaya yakitendeka katika ulimwengu wao, kwa hiyo hufikiria kwamba wakitenda mema katika jamii yao, wataishi vyema katika maisha yajayo. Hawatambui kwamba dhambi imewatenganisha na uwepo wa Mungu Mtakatifu. Matendo mazuri hayawezi kufuta dhambi. Sehemu ya 1e: Dini za uwongo zinaweza kuwa na vipengele vya kutofuata nadharia moja au vya kuchanganya imani za dini nyingine (hata Ukristo). 1. Kisha Mungu aliwaacha kufuata tamaa zao na kutenda kila aina ya uovu. 2. Warumi 1:28-32 inasema, Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa. Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya, wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao, wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema; ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao. na yanayohusu vichwa mbalimbali Uchawi: *Mfalme wa Israeli aitwaye Manase ajiingiza katika Uchawi -2 Wafalme 21:1-18 (kifungu cha 6). *Waisraeli wanatenda machukizo kwa siri wahusika katika Uchawi - 2 Wafalme 17 (kifungu 9). *Mungu anahukumu Ninawi kwa sababu ya Uchawi - Nahumu 3:1-19 (kifungu 4). *Mfalme Sauli Anamwasi Mungu: Uasi ni Sawa na Dhambi ya Uaguzi - 1 Samueli 15:1-23 (kifungu 23). *Wale wanatenda Uchawi Watatupwa katika Ziwa La Moto - Ufunuo 21:8. Ulevi: *Walikunywa Mvinyo wa Ukahaba - Ufunuo 17; 18:3; Yeremia 51:7. *Haruni Anatangaza Sikukuu Kwa Ajili ya Ndama wa Dhahabu - Kutoka 32. *Kunywa na Ukutani - Danieli 5. *Mvinyo una Hila - Mithali 20:1. *Maelezo ya Mlevi - Mithali 23: Kuua: *Ahabu na Yezebeli wanapanga kumuua Nabothi- 1 Wafalme 21. *Farao- Kutoka 1. *Mlawi na Suria Waamuzi 19. *Uchawi/Uaguzi, Kuabudu Sanamu ni Tendo la Mwili - Wagalatia 5:20. : *MolekiMambo ya Walawi 18:21. *Watu Miongoni mwenu wanaopenda kuharibia wengine majina, au Kupokea Hongo Ili Wamwage Damu - Ezekieli 22:9, 13. *Kuua watu Wasio na Hatia, Bonde La Machinjoi - Yeremia 19:4ff. *Wenye Haki Wanaangamia Ili Kuondolewa Kutoka kwenye Uovu Isaya 57. Matendo ya mwili - Wagalatia 5: *Kupenda fedha ndicho chanzo cha uovu - 1 Timotheo 6: Matokeo yake ni kwamba watu huamini kwamba matendo mema katika jamii yatawasaidia katika maisha yajayo. (Tambua kwamba hii haifuati yale yaliyotajwa katika Warumi 1, lakini ni mambo ya kawaida kabisa katika dini za kipagani.) 2. Dini nyingi za uwongo zinaamini kwamba wokovu hupatikana kupitia kwa matendo. 3. Sanduku hili sharti vilevile lifundishwe pamoja na msitari ufuatao, kwa kuwa linahusu mafundisho maalum ya wokovu. and *Ibrahimu, Haki Huja Kwa Imani - Mwanzo 15; Wagalatia 3:6-29; Warumi 4:3-*Hatuwezi Kwenda Mbinguni Kwa Bidii Zetu - Waefeso 2:8-9. *Kila Mtu ametenda Dhambi - Warumi 3:23. *Wokovu Ni Karama Ya Mungu Kupitia Kwa Yesu - Warumi 6:23. *Ikiwa Wokovu na Haki Vinaweza Kupatikana Kupitia Kwa Sheria, Basi Kristo Alikufa Bure- Wagalatia2: *Haki Yetu Ni Sawa Na Matambara machafu - Isaya 63:6.25; Yakobo 2: Dini za uwongo zinaweza kuwa na vipengele vya kutofuata nadharia moja au vya kuchanganya imani za dini nyingine (hata Ukristo!). 2. Dini nyingine zinahitilafiana hizo zenyewe, lakini katika kuabudu miungu wengi hili ni jambo la kawaida. 75

16 3. Msitari huu wa mwisho unaweza kutumiwa kufundishia kukataliwa kwa ufunuo maalum wa Mungu kwamba Yesu ndiye njia pekee ya wokovu. Sanduku la 6: Sanamu ikiwakilisha dini za uwongo, Biblia ikiwakilisha imani ya Kikristo (lakini inaweza kuwakilisha imani yoyote nyingine inayoongezwa katika imani ya Kikristo )- Watu hupenda kuchanganya tamaduni zao na imani na dini nyingine. Paulo aliwapongeza Wathesalonike kwa kuacha kuabudu sanamu na kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli. *Waisraeli waliabudu sanamu Misri hata ijapokuwa walimjua Mungu, Mungu aliamua Kuwakomboa kutoka utumwani ili kuwaonyesha yeye ni nani - Ezekieli 20:6-10. *Waisraeli wana mashaka na Mungu na Musa, na kuamua kutengeneza Sanamu ya Ndama wa Dhahabu - Kutoka 32. *Wafalme wa kigeni wanajaribu kufuata miungu yao na wakati huo huo kujaribu kumtumikia Mungu wa Israeli kwa wakati mmoja walipokuwa Samaria; watu walifuata mfano huu na katika kutenda hivyo, wakamwasi Mungu - 2 Wafalme 17: *Yakobo anaiondoa miungu ya Kigeni Mwanzo 35. *Stefano anajitetea, Waisraeli wanaabudu sanamu jangwani baada ya kutoka Misri Matendo 7: *Sulemani apotoshwa na Wake wa Kigeni - 1 Wafalme 11:1-11. *Yoshua anawaambia watu waiweke kando miungu waliyoitumikia awali, hata ile ambayo mababu zao waliabudu zamani. Sasa anawahimiza wamtumikie Mungu Mmoja wa Kweli aliyewatoa kutoka utumwani - Yoshua 24: *Safari ya Ezekieli Kwenda Katika Hekalu lililojaa Sanamu Ezekieli 8-9. *Watu wana sanamu zilizokita mizizi katika mioyo yao - Ezekieli 14. *Hosea Anaoa mwanamke kahaba /taswira ya kuabudu sanamu kwa Waisraeli - Hosea. *Kuabudu Sanamu ni nembo ya Kila Kitu Kinachmpinga Kristo -Wakolosai 3:5-7. *Jiepusheni na sanamu - 1 Yohana 5:21. *Waamini Waacha Kuabudu Sanamu na Kumgeukia Mungu - 1 Wathesalonike 1:9. *Waamini Wachoma vitabu vyao vya uchawi - Matendo 19:19. *Makanisa katika Kitabu cha Ufunuo Yanahukumiwa kwa Sababu ya Kuabudu sanamu - Ufunuo 2: *Msiongeze wala kupunguza Yale yaliyosemwa katika Amri za Mungu - Kumbukumbu La Torati 12:32. Somo La 2 Sifa Za Wale Wanaokataa Ufunuo Maalum Wa Mungu Sehemu ya 2: Msitari huu unaonyesha sifa za wale wanaokataa Ufunuo Maalum wa Mungu (kupitia Biblia, Roho Mtakatifu, na Yesu). Upande wa kulia: Biblia, Roho Mtakatifu, na Yesu, vyote vina 1. Msitari huu unaonyesha sifa za wale wanaokataa Ufunuo Maalum wa Mungu kupitia Biblia, Roho Mtakatifu, na kupitia Yesu. 2. Msitari huu pamoja n picha za mwisho upande wa kushoto, zinaonyesha chanzo na mambo yaliyomo katika mfundisho fulani ya dini za kipagani, ambayo yamegeuza Ufunuo Maalum wa Mungu. msitari unaopitia kati yao Dini za uwongo hukataa ufunuo maalum unaotolewa katika Biblia, Roho Mtakatifu; na Yesu. Ufunuo maalum ni ni mafundisho yaliyo katika Biblia kuhusu imani zote zilizoko. Sehemu ya 2a: Wapinga Kristo wainuka wakifundisha kwamba Yesu si Masihi na mafundisho mengine ya uwongo. 1. A Wapinga Kristo wainuka wakifundisha kwamba Yesu si Masihi na mafundisho mengine ya uwongo. 2. Katika siku za mwisho, mpinga Kristo mkuu atajitokeza ikiwezekana audanganye ulimwengu mzima. 3. Yule anayemkana Yesu ni mwongo na ni mpinga Kristo. 4. Mtu yeyote akijitokeza kusema kwamba yeye ni Yesu, msimwamini. Yesu atarudi duniani katika mawingi ili wote wamwone. Sanduku la 2: Kondo weusi- Dini za uwongo kwa kiasi kikubwa ni kazi za wapinga kristo. Kuna wapinga kristo wengu tangu zamani. Yule mkuu kati ya wote ni yule aliyetajwa na mtume Paulo na waandishi wengine wa Agano Jipya. *Watu Watainuka Hata Kutoka Miongoni Mwa Waamini wa Kanisa na Kujitafutia Wanafunzi wao Wenyewe - Matendo 20:28-31; Wagalatia 2:4. *Yesu Anaongea Juu Ya Manabii wa Uwongo: "Kisha Mtu Akiwaambia, 'Tazama, Masihi Yuko Hapa,'Au 'Yuko Pale,' Msimwamini. "Kwa maana Masihi wengi na manabii wengi wa uwongo watainuka na kufanya ishara na maajabu, ili wawadanganye, ikiwezekana hata wateule. "Tazama, Nimewaambieni mapema. "Wakimwambia, Tazama, yuko jangwani,'msiende, Au, Tazama, Yuko Chumbani, 'Msiwaamini. "Kwa maana kama umeme utokavyo Mashariki na Kung aa hadi Magharibi, Ndivyo Kuja Kwa Mwana wa Adamu Kutakavyokuwa - Mathayo 24:1-27; Marko 13; Luka 21. *Simoni Mchawi, Nguvu Kuu Ya Mungu -Matendo 8:5-12. *Mfalme wa Tiro Alijitangaza Kuwa Mungu - Ezekieli 28. *Kutainuka Manabii wa Uwongo Miongoni Mwenu - 2 Petro 2:1-3. *Anayemkana Yesu ni Mwongo na Mpinga Kristo - 1 Yohana 2:22-23; 1 Yohana 4:2-6; 2 Yohana 1:7. *Msiwapokee 76

17 manabii wa uwongo nyumbani mwenu? Fire- Ufunuo *There are many antichrists- 1 Yohana 2: *Kila anayemjua Mungu Hutusikiliza Sisi - 1 Yohana 4:6. *Wale wasiofundisha kwamba Yesu alikuja katika mwili ni wapinga Kristo, msiwakaribishe manabii wa uwongo majumbani mwenu - 2 Yohana Sehemu ya 2b: Baadhi ya dini za uwongo huanzishwa na kudumishwa na pepo wanaojitokeza na mafundisho yao. 1. Baadhi ya dini za uwongo huanzishwa na kudumishwa na pepo wanaojitokeza na mafundisho yao. 2. Tambueni kwamba baadhi ya pepo hujitokeza kama malaika wa nuru kuwadanganya watu waamini na kufuata dini za uwongo. 3. Zijaribuni roho. 4. Shetani mara kwa mara hujitokeza kama malaika wa nuru kuwadanganya watu wajiingize katika dini za uwongo. Sanduku la 3 Malaika wa nuru akimtokea mtu - Dini za uongo zinaweza kujitokeza kwa watu kupitia malaika wa nuru. Pepo hawa hujitokeza na kuwafundisha watu mafundisho ya uongo ili wawatumikie na kuwaogopa badala ya kumwogopa Mungu. Mifano ni kama: MohammedIslam; Joseph Smith-Mormons, na dini. Sehemu ya 2c: Dini Za Uongo Hulenga Sana Moja kati ya Mafunzo HayaKuhusu Uungu: Kukataliwa kwa Uungu Wa Kristo, Kuamini kwamba Mtu *Pepo Hufundisha Mafundisho ya Uwongo - 1 Timotheo 4:1. *Pepo amtokea Elifazi usingizini, na kumpa habari za uwongo juu ya - Ayubu 4: *Akija malaika akihubiri Injili Nyingine, Ni Alaaniwe - Wagalatia 1:6-12; 2 Wakorintho 11:1-4. *Zijaribuni roho mjue ikiwa Zinatoka Kwa Mungu; Roho inayokiri Kwamba Yesu Alikuja, Imetoka Kwa Mungu; Roho isikiri kwamba Yesu Alikuja, haitoki kwa Mungu - 1 Yohana 4:1-6. *Shetani mara nyingi hujigeuza malaika wa nuru 2 Wakorintho 11: Dini Za Uongo Hulenga Sana Moja kati ya Mafunzo HayaKuhusu Uungu: Kukataliwa kwa Uungu Wa Kristo, Kuamini kwamba Mtu Anaweza Kuwa Mungu, Kutoamini Kwamba kuna Mungu kabisa, au Kuamini Katika Miungu Wengi. and Anaweza Kuwa Mungu, Kutoamini Kwamba kuna Mungu kabisa, au Kuamini Katika Miungu Wengi *Nebukadneza Anajiinua Kama Mungu - Danieli 6. *Petro Anajitetea, Yesu Ndiye Njia Pekee Matendo 4:1-12. *Yesu is on trial for blasphemy- Mathayo 26-27; Luka *Kushtakiwa kwa Stefano, Mafarisayo wanakataa Ukweli - Matendo 7. *Yesu Anarudi- Ufunuo 19: *Yesu Ndiye Njia Kweli Na Uzima - Yohana 14:6. *Yesu Ndiye Njia Pekee Iendayo kwa Mungu Matendo 4:12. *Msimkufuru Roho Mtakatifu - Mathayo 12: *Paulo Anaongea na Watu wa Kolosai juu ya kuwafuata watu wanaoshikilia itikadi na desturi za wanadamu au dini za kujitengenezea -Wakolosai 2: *Yule asiyekiri kuja kwa Yesu katika mwili ni Mpinga Kristo - 2 Yohana Saduku la 4: Mtu kwenye kiti cha Enzi, mviringo umepigwa msitari Yesu akiwa katikati-inawakilisha mafunzo ya uongo kwamba Yesu hakuwa Mungu na kwamba watu wanaweza kuwa miungu. Pamoja na upotovu huu ni kule kuamini katika miungu wengi au kuamini kwamba hakuna Mungu. Sehemu ya 2d: Dini Za Uongo Zinaweza Kutumia Biblia pamoja na Kitabu Kingine kitatifu 1. Dini Za Uongo Zinaweza Kutumia Biblia pamoja na Kitabu Kingine kitakatifu. Saduku la 5: Biblia na kitabu kingine-dini za Uongo hutumia Biblia na kitabu kingine kitakatifu. Si makundi yote yanayofundisha kuhusu Yesu *Wokovu Unapatikana Kupitia kwa Yesu Pekee - Matendo 4:12. *Usingeze Neno Katika Maneno yake, asije Akakulaumu Ukaonekana u Mwongo - Mithali 30:6. *Msiliongeze neno niwaamurulo wala msilipunguze, mpate kuzishika amri za BWANA - Kumbukumbu La Torati 4:2. * Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima,- Ufunuo 22: *Msilichafue Neno la Mungu - 2 Wakorintho 4:1-7. * Kama watoto wachanga, tamanini maziwa ya kiroho yasiyoghoshiwa, ili mweze kukua kwayo katika wokovu wenu - 1 Petro 2:1-3. Ukitumia kwa Halali Neno la Mungu- 2 Timotheo 2:15. *Mtu yeyote asiyebaki katika mafundisho ya Kristo, lakini anayapita, mtu huyo hana Mungu. Yule anayebaki katika mafundisho hayo, huyo ana Baba na Mwana. Mtu akija kwenu na asije na mafundisho haya, msimruhusu kuingia katika nyumba zenu - 2 Yohana

18 ambayo yanazingatia Biblia au ukweli. Ni sharti upime mafundisho yao na neno la Mungu. Mtume Paulo hata alisema kwamba wanafunzi bandia huja kanisani ili kuweza kuwapotosha watu wasiufuate Ukweli. Mfano ni wa watu kama hao ni kama: Uislamu, Mashahidi Wa Yehova, na Wamomoni. Muhtasari :* Msilichafue Neno La Mungu- 2 Wakorintho 4:1-7. Kuchafua maana yake ni kuchanganya kitu kimoja na kingine. Katika, utashangaa kuona kwamba kuabudu sanamu kunatajwa kuwa uzinzi wa kiroho dhidi ya Ukweli wa Mungu kwa kuchanganya Neno la Mungu na dini za kipagani au falsafa za kipagani. Sehemu ya 2e: Dini Za Uongo Zinaamini Kwamba Kuna Njia Nyingi Za Kumfikia Mungu. 1. Dini za uwongo zinaamini kwamba kuna njia nyingi za kumfikia Mungu. **Angalia Sura ya 3, 9, na 10 juu ya Neno la Mungu. na Saduku la 6: Kiti cha Enzi kikiwa na njia nyingi-dini nyingi za uongo hufundisha kwamba unaweza kutumia njia nyingi sana kumfikia Mungu. Mfano wa dini hizo ni: Imani Ya KiBaha i au Dini ya Kihindu.. *Watu wa kidini wa Athene - Matendo 17: *Kuna njia Ionekanayo Kuwa Swa, Lakini mwisho wake ni Mauti - Mithali 14:12. *Yesu alisema yeye ndiye Njia, Kweli na Uzima, hakuna ajaye kwa Baba pasipo kupitia kwake - Yohana 14:6. *Hakuna jina jingine chini ya mbingu ambalo mtu anaweza kuokolewa kwalo, isipokuwa jina la Yesu- Matendo 4:12. *Mafundisho katika kitabu cha Yohana 10 juu ya Yesu kama mlango wa kondoo - Yohana

19 Sura ya 9 Kielelezo: Ukuaji wa Kiroho wa Kibinafsi na Vita Vya Kiroho 79

20 80

21 Sura ya 9 Ukuaji wa Kiroho Wa Kibinafsi na Vita Vya Kiroho Ufafanuzi wa Jumla Mfano wa 9 ni picha inayohusu ukuaji wa kiroho na jinsi ukuaji huo unavyotutia nguvu kwa ajili ya kuvipiga vita vya kiroho. Picha ilioko katikati ni ya mtu ambaye amevaa silaha. Mtu huyu amevalia chepeo (ya wokovu), dirii (ya haki), ukanda (wa Ukweli), viatu maalum vya kivita (vya kuitangaza Injili), na vilevile amebeba Biblia na ngao (ya Imani). Kila kimoja cha vitu hivi kinawakilisha sehemu ya nidhamu ya kiroho au nguvu katika maisha ya mwamini, ambayo kinakomaa kupitia kwa Neno la Mungu, maombi, na kwa Roho Mtakatifu. Mtu huyu anatembea kwenye njia nyoofu na kuepuka njia za upotevuni (angalia sura ya 10). Mbele yake kuna Kiti cha Enzi. Jinsi anavyoendelea kukua kila siku ya maisha yake, anajitahidi kufanana na Yesu katika tabia yake. Kiti cha Enzi kinatukumbusha Ubwana au utawala wa Kristo katika moyo wa mwamini. Nyuma yake kuna jalala la takataka, hapo ndipo anapotupa mambo fulani yasiyompendeza Mungu katika maisha yake. Ikiwa matendo ya giza katika maisha yetu hayajatupiliwa mbali, hatutakua kiroho kiasi cha kuweza kupigana vita vya kiroho na kushinda. Tambua kwamba ulimwengu hipiga vita vya kiroho kwa njia tofauti, hususan katika maeneo ambayo dini za jadi zimeshamiri. Katika maeneo kama hayo, watu huvipiga vita vya kiroho kwa kujaribu kudhibiti roho hizo kwa matambiko, sadaka na kwa kuwaendea waganga wa kienyeji, na vilevile na matabano. Kama unavyoona, hii ni tofauti na kumwita Yesu, kukua kiroho, na kuyaacha matendo ya giza ili kupiga vita vya kiroho. Tunavyoendelea na safari ya maisha, kuna mambo kadhaa tofauti tutakayokumbana nayo ili imani yetu iweze kujaribiwa na tuweze kutiwa nguvu kiroho. Kwanza kabisa tutakumbana na pepo. Pepo hawa wameonyeshwa kwenye picha wakitupa mishale kuwalenga watu, pia watajaribu kutukandamiza na kutuvunja mioyo. Jambo la pili ni kupata mateso kama Yesu alivyopata mateso. Kwenye picha mateso yamewakilishwa na msalaba ulioko mgongoni mwa mtu. Jambo la tatu ni nyakati za nidhamu ambazo Mungu huzileta maishani mwetu. Kwenye picha hali hii inawakilishwa na Mchungaji na kondoo waliopotea njia. Hatimaye, kuna dhiki na masumbufu ya jumla ambayo hutujia sote maishani. Kwa sababu ya mambo haya yote maishani mwetu, tunahitaji kuombeana (imeonyeshwa na watu waliosimama kando ya njia wakiomba). Tunahitaji kuomba ili tuweze kuwa uthabiti ili tuweze kusimama kidete wakati tunapokumbana na dhiki na mambo magumu. Tunapotembea njiani, tunahitaji kuzingatia sana yale mambo ambayo yatatuongoza katika kutenda na kunena. Moja ya mambo hayo ni zile Amri Mbili Kuu, zisemazo kwamba tumpende Mungu na tuwapende majirani zetu kama tunavyojipenda sisi wenyewe. Jambo la pili ni Roho Mtakatifu, ambaye ndiye hutuongoza, kututia nguvu na hutufariji. Malengo Ya Sura ya 9 Kufundisha kwamba vita vya kiroho vinaweza kufaulu wakati tunapokuwa katika uhusiano wetu na Kristo. Kufundisha kwamba Yesu ndiye mwenye nguvu dhidi ya nguvu za ulimwengu huu. Kufundisha vipengele vyote vya ukuaji wa kiroho kweli, haki, vipengele vyote vya wokovu, Neno la Mungu na kuihibri Injili. Kufundisha jinsi Mungu anavyotutia nguvu na kutusaidia kukua kupitia kwa maombi, mateso, na nidhamu. Kutusaidia kukumbuka kuweka azimio letu katika kumtii Mungu na kufuata mwongozo wa Roho Mtakatifu katika maisha yetu. Sura Zinazohusiana Sura ya 1: Shetani na pepo hulenga kuwakandamiza watu ili maisha yao ya Ukristo yasizae matunda. Sura ya 4: Ni lazima tuzishike amri za Mungu, zilizofupishwa hivi: Kumpenda Mungu na jirani. Sura ya 5: Ni lazima tutambue kuwa vita vya kweli maishani ni dhidi ya Ufalme wa Giza na Shetani, na wala sio dhidi ya watu ambao wamepofushwa na Shetani. Ni lazima tuwaonyeshe njia ya Ufalme wa Nuru. Sura ya 6: Wakati mwingine tunateseka kwa sababu ya dhambi za wengine, kama Yesu alivyofanya. Tunaweza kuwasaidia wengine kuufahamu Wokovu. Sura ya 10: Kukua kiroho na kupigana vita Vita vya Kiroho ndio njia ambayo tunaweza kukaa kwenye njia nyoofu na kuepuka njia za upotevuni. Sura ya 12: Ni lazima tudumu hadi Yesu arudi duniani. Wakati huo, Yesu atawaangamiza wote watakaokuwa kwenye Ufalme wa Giza. 81

22 Ufafanuzi wa Picha Somo La 1 Ukuaji wa Kiroho na Kufanikiwa Kuvipiga Vita Vya Kiroho Sehemu ya 1: Ukuaji wa Kiroho Huanza Wakati Tunapoweka Kando Nira Zisizo za Kiungu na Zinazoleta uharibifu. Jalala la Taka Ukuaji wa kiroho huanza wakati tunapoyaweka kando matendo ya mwili na kuanza kumwishia katika utakatifu, haki, na ukweli. Angalia pia Sura ya 10, jalala la taka. 1. Jinsi dini za uwongo zinavyopigana vita vya kiroho ni tofauti na jinsi Wakristo wanavyovipiga. [Tambiko (kipagani) dhidi ya ukuaji wa kiroho (Wakristo).] 2. Mungu ndiye ambaye hatimaye yuko juu ya vita vya kiroho vinavyoendelea duniani. Lazima tumtegemee yeye kutusaidia wakati wa mateso. 3. Hatua yetu ya kwanza katika vita vya kiroho ni kuweka kando matendo ya giza (kuabudu sanamu, uzinzi, ugomvi, wivu, ulevi, uchungu, masengenyo, hasira, kutosamehe, uovu, wizi, uwongo, lugha chafu/matusi, n.k.), na kukua kiroho. *Wathesalonike Waliacha kuabudu Sanamu na Kuanza Kumtumikia Mungu aliye Hai - 1 Wathesalonike 1:9. *Paulo na Barnaba Wanawahimiza watu waache kuabudu Sanamu na Wamgeukie Mungu huko Listra - Matendo 14:6-19 (v.15). *Paulo Anawakemea Wagalatia Kwa kurudia Mambo Yaliyowafanya Watumwa - Wagalatia 4: *Usiku umeendelea sana, mchana umekaribia, basi na tuyavue matendo ya giza, na kuzivaa silaha za nuru. Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu. Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake.- Warumi 13: *Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee - Waefeso 5: *Tupilieni mbali nanyi makosa yenu yote mliyoyakosa; jifanyieni moyo mpya na roho mpya;.- Ezekieli 18:31-32.*Mvue kwa habari ya mwenendo wa kwanza utu wa zamani, unaoharibika kwa kuzifuata tamaa zenye kudanganya; na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake. Mwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka; Mwibaji asiibe tena; bali afadhali afanye juhudi, akitenda kazi iliyo nzuri kwa mikono yake mwenyewe, apate kuwa na kitu cha kumgawia mhitaji. Neno lo lote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, bali lililo jema la kumfaa mwenye kuhitaji, ili liwape neema wanaosikia. Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matukano yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya- Waefeso 4:22-32; Wakolosai 3:8-15. Somo La 2 Vipengele Vya Ukuaji wa Kiroho na Vita vya Kiroho Sehemu ya 2a: Kua katika Kuijua na Kuifuata Kweli. UMshipi/Ukanda-Ukanda wa Kweli.*Neno la Mungu ndilo chanzo cha Kweli na imani zetu. Ukanda huu hushikilia mavazi mengine pamoja. *Wakristo wanapaswa kuwa wa kweli katika kuishi kwao duniani. Hawapaswi kujihusisha na upotofu wowote wa kimaadaili au danganifu. Unganisha na Sura ya 3 na ya 10kupima kila katika mizani ya Ukweli. Sehemu ya 2b: Kua Katika Haki. 1. Kujua na Kukua Katika Ukweli wa Neno La Mungu ni Muhimu katika Kuishi Maisha ya Kumpendeza Mungu. 2. Uwe na nia moja. 3. Sema ukweli kwa upendo. 4. Udanganyifu na uwongo chanzo chake ni Shetani. 5. Uweke mbali uwongo na mwambiane ukweli. *Daudi anamfundisha mwanawe, Sulemani, Wafalme Wanapaswa Kuenenda Katika Kweli - 1 Wafalme 2:1-4. *Yesu alisema mimi ndimi Njia Kweli na Uzima - Yohana 14:6. *Yohana anapata habari za Gayo jinsi alivyokuwa mwaminifu katika kuifuata Kweli,na jinsi alivyoenenda katika Kweli - 3 Yohana 3-4. *Sanamu zifuatazo zimegeuza Ukweli wa Mungu kwa uwongo - Warumi 1:25. *Neno la Mungu ni Kweli - Yohana 17:17. *Neema na kweli vilikuja kupitia kwa Yesu - Yohana 1:17. *Mwabudu Mungu katika roho na kweli - Yohana 4:23. *Ee Bwana, unifundishe njia yako; Nitakwenda katika kweli yako; Moyo wangu na ufurahi kulicha jina lako- Zaburi 86:11. *Jumla ya neno lako ni kweli, Na kila Hukumu ya Haki Yako ni Ya Milele- Zaburi 119:160. *Nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo. Bali wewe, uwe na kiasi katika mambo yote timiliza huduma yako. - 2 Timotheo 4:4-5. *Fundisha Neno La Kweli - 2 Timotheo 2:15. *Nena ukweli kwa upendo - Waefeso 4:15. *Tukisema ya kwamba twashirikiana naye, tena tukienenda gizani, twasema uongo, wala hatuifanyi iliyo kweli; bali tukienenda nuruni... twashirikiana sisi kwa sisi - 1 Yohana 1: Utaua na Haki yanatokana neno moja la Kiebrania. 2. Haki inafunika sehemu za maisha yetu, na hutulinda kutokana na njia mbaya. 3. Mungu anapenda tuhukumu kwa haki, si kwa kutegemea upendeleo ama faida za kibinafsi. 82

23 4. Tunahitaji kusimamia kile kilicho cha kweli na cha haki mbele za Mungu na mwanadamu. 5. Haki ni karama (tunavikwa haki yake 2 Wakorintho 5:21), na vile vile ni Fulana- Dirii ya Haki kifuani. *Haki ya Mungu hutujia wakati tunapomwamini Yesu.*Vilevile ni jukumu letu kuishi maisha ya haki duniani. Tunapaswa kuepuka kufungwa nira na mazoea mabaya na uzinzi, upotofu wa kimaadili; uzembe na kutojali; na fujo na chuki. Unganisha na Sura ya 10, mfunzo ya njia. jukumu letu sisi binafsi kujichagulia jinsi tutakavyoishi (1 Yohana 1:6-7). 6. Wema ni kusamimia kile kilicho sawa. *Imani ya Ibrahimu ilihesabiwa kuwa haki - Mwanzo 15:6; Warumi 4:3; Yakobo 2:23. *Yesu anafundisha juu ya haki ya uwongo - Mathayo 5:17-20; Mathayo 23; Luka 11: *Mtazamo wa Agano la Kale wa haki (kiasi fulani cha mtazamo huo kinatuhusu sisi)- Mambo ya Walawi 19. *Hukumu za Haki - 2 Mambo Ya Nyakati 19:8-10. Yesu Ndiye Haki Yetu - Yeremia 23:6; 1 Yohana 2:1; Warumi 5:19. *Haki Itokanayo na Imani - Warumi 10. *Msifungwe nira na wasioamini. Kuna ushirika gani kati ya haki na uasi - 2 Wakorintho 6: *Mtu hahesabiwi haki kupitia kwa Sheria, bali kwa imani ka tika Kristo Wafilipi 3:8-11. *Mwenye haki ataishi kwa imani - Warumi 1:17; Waebrania 10:38; Wagalatia 3:11. *Heri wenye njaa na kiu ya haki - Mathayo 5:6. *Tafuteni ufalme wa Mungu na Haki yake - Mathayo 6:33. *Sheria ya Agano la Kale Inatuonyesha lile ambalo ni haki machoni mwa Mungu - Warumi 7:12. *Tafakarini mambo yaliyo ya haki na matakatifu Wafilipi 4:8. Sehemu ya 2c: Kua katika Kuihubiri Injili. Viatu-Miguu uliyotayarishwa kwenda kuihubiri Injili. Kuna Injili (Habari Njema) mbili katika Agano Jipya. *Kiatu cha kwanza ni Habari Njema ya Ufalme wa Mungu. Yesu aliihubiri hii Habari Njema hii wakati alipoanza huduma yake, na akatuagiza katika Ule Mwito Mkuu tuipeleke kila mahali mkiwafundisha kuyashika yote niliyowaagiza ninyi. *Kiatu cha Pili ni Habari Njema ya Wokovu. Hii maana yake ni kuwahubiria watu juu ya kifo, kuzikwa na kufufuka kwa Yesuambako kulituletea msamaha wa dhambi zetu, na kuimarisha uhusiano wetu na Mungu. Unganisha na Sura ya 11 Uwakili wa Injili. Sehemu ya 2d: Kua katika Imani yako Kwa Mungu. 1. Yesu alikuja akihubiri Habari Njema ya Ufalme wa Mungu, yaani masomo ya Ufalme wa Mungu. 2. Habari Njema ya wokovu ni ujumbe unaohusu kifo cha Yesu, kuzikwa na kufufuka kwake. 3. Wakristo wanapaswa kuhubiri Habari Njema za Ufalme wa Mungu na Habari Njema za kama tulivyoamriwa katika Mwito Mkuu (hubirini Injili yangu, wafanyeni watu kuwa wanafunzi mkiwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru, yaani wokovu na uanafunzi). *Yesu Anawatuma mashahidi 70- Luka 10:1-20. *Kitabu cha Matendo. *Paulo anahubiri yale yaliyofunuliwa kupitia kwa manabii, lakini hafundishi kitu kingine zaidi - Matendo 26:22. *Mtakuwa mashahidi wangu Yerusalemu, Uyahudi, Samaria, na katika pembe zote za ulimwengu Matendo 1:8. *Mwito Mkuu Mathayo 28: *Waliihubiri Habari Njema Kila Siku - Matendo 5:42. *Tusihubiri Zaidi Ya Ujumbe Tuliopewa - Matendo 26: *Huhitaji Ufasaha wa maneno Au Maarifa yasiyokuwa ya kawaida - 1Wakorintho 2:1-2. *Paulo alihubiri kwamba watu watubu, wamgeukie Mungu, na waonyeshe Toba yao kwa Matendo- Matendo 10:39-43; 26: *Hubiri Neno; Uwe tayari wakati Ufaao Na Wakati Usiofaa; Onya, Kemea, Himiza, Kwa uvumilivu Mkuu na Kuwafundisha - 2 Timotheo 4:1-5. *Kwa maana Hatuhubiri Habari Zetu Bali Kristo Yesu kama Bwana, Na Sisi wenyewe kama Watumwa Kwa ajili ya Yesu - 2 Wakorintho 4:5-6. *Bali Kama Vile Tulivyopata Kibali Kwa Mungu Tuwekewe amana Injili, Ndivyo Tunenavyo; si Kama Wapendezao Wanadamu, Bali Wampendezao Mungu Anayetupima Mioyo Yetu. Maana Hatukuwa na Maneno ya Kujipendekeza Wakati wo wote, Kama Mjuavyo, Wala Maneno ya Juujuu ya kuficha choyo; Mungu ni shahidi. Hatukutafuta utukufu kwa wanadamu - 1 Wathesalonike 2:4-7.. *Mtindo wa Paulo Katika Kuwafikia Waliopotea - 1 Wakorintho 9: *Bwana Hutoa Nguvu Za Kutusaidia Kuhubiri na Hututoa Mdomoni Mwa Simba - 2 Timotheo 4:17. *Injili: Yesu Alikufa Kwa Ajili Ya Dhambi Zetu, Alizikwa, Akafufuka, Na Akawatokea Wengine - 1 Wakorintho 15:1-5. *Injili Haikutengenezwa na Wanadamu, Lakini Ililetwa na Mungu Wagalatia 1: *Wahubiri Wenye Hekima Na Wajinga, Hubirini Makabila Yenu na MengineWarumi 1: Vichwa Vya Masomo 1. Imani yetu katika Mungu Huwa Kama Ngao Dhidi Ya Uvamizi wa Kihisia, kimwili, na wa kiroho kutoka wka adui. 2. Imani ni kuamini kwamba Mungu Atafanya Kile Alichoahidi Hata Ikiwa Ishara za Nje Hazitoi kidokezo chochote kuonyesha kwamba ahadi hizo zitatimizwa. Ngao-Ngao ya Imani ambayo hutukinga na mishale ya moto ya Shetani. Shetani huturushia mishale ya mashaka, kukata tama, mfadhaiko na hisia za kupoteza matumaini. Tunaweza kuzilinda akili zetu kwa kuweka imani yetu katika Mungu hata hali ziwe ngumu namna gani. *Watu Waliokuwa na Imani Kubwa: Abeli, Nuhu, Ibrahimu, S ara, Isaka, Yakobo, Musa, Rahabu, Gideoni, Baraka, Samsoni, n.k- Waebrania 11. *Bwana Anamsaidia Asa Dhidi Ya Kundi La Watu - 2 Mambo Ya Nyakati 14 & 15 (14:11-12; na aya yote ya 15). *Yoshua na Kalebu Wamwamini Mungu - Hesabu 14. *Yesu Anafundisha Juu Ya Vizuizi Vya Imani - Mathayo 6:25-34; Luka 12: *Imani ya Ibrahimu, kumtoa Isaka - Mwanzo 22; Waebrania 11: *Yesu Anamtokea Tomaso- Yohana 20. *Imani Ya Hezekia- 2 Wafalme 18:5-8. *Daudi na Goliathi- 1 Samueli 17. *Shadraki, Meshaki na Abedinego- Danieli 3. *Naamini ya kuw a nitauona wema wa BWANA Katika nchi ya walio hai. Umngoje B WANA, uwe 83

24 Tazama. Angalia Waebrania 11. hodari, Upige moyo konde, naam, umngoje BWANA- Zaburi 27: *Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako. - Mithali 3:5-6. *Ole wao watelemkao kwenda Misri wapate msaada, na kutegemea farasi; watumainio magari kwa kuwa ni mengi, na wapanda farasi kwa kuwa ni hodari sana; lakini hawamwangalii Mtakatifu wa Israeli, wala hawamtafuti Bwana! - Isaya 31:1. *Naam, sisi wenyewe tulikuwa na hukumu ya mauti katika nafsi zetu ili tusijitumainie nafsi zetu, bali tumtumaini Mungu, awafufuaye wafu- 2 Wakorintho 1:9-10. *Ajaponiua, Nitamngojea Vivyo - Ayubu 13:15. *Wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni, Ambao hautatikisika, wakaa milele - Zaburi 125:1. *Msiwaogope Wale Wanaoweza Kuua Mwili - Mathayo 10: *Tunaonyesha imani yetu kwa yale tunayowafanyia ndugu zetu, wageni, na watenda kazi wenzetu katika ufalme - 3 Yohana 5-8. *Tazama, roho yake hujivuna, haina unyofu ndani yake; lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake.- Habakuki 2:4. Sehemu ya 2e: Vaeni Chepeo ya Wokovu, Kukua na kuwa kama Yesu Kila Siku katika Kila tunachosema na kutenda. 1. Kuna vipengele vitatu vya wokovu: Kuhesabiwa haki, Kutakaswa, na Kutukuzwa. 2. Kuhesabiwa haki hufanyika wakati tunapompokea Yesu kama Bwana na Mwokozi wetu. Yeye hutupatanisha na Mungu wetu, hutusamehe na kuziondoa dhambi zetu. 3. Kutakaswa ni ile hali ya kukua katika kuzijua njia za Mungu na kumfahamu yeye wakati tunapompokea Yesu kama Bwana na Mwokozi wetu, hali hii huendelea hadi tutakapokufa. 4. Kutukuzwa hutendeka wakati tunapokufa na kupokewa mbinguni kutawala pamoja na Yesu. Ni wokovu wa mwisho kutokana na dhambi na mauti, na kupata Uzima wa milele. Chepeo-Chepeo ya Wokovu. Vipengele vitatu vya Wokovu: *Kuhesabiwa haki-tunapokuwa waumini. *Kutakaswa-kufanana na Yesu katika hali zote za maisha iwe ni kwa maneno au matendo. *Kutukuzwa-hali yetu ya baadaye Mbinguni. Sehemu ya 2f: Kua Katika Kulijua Neno la Mungu Biblia-Upanga wa Roho. Hii ndiyo Silaha moja ya waamini wanayoweza kupigia vita. *Neno la Mungu liko hai na linafanya kazi. *Kulisoma Neno La Mungu kila siku hutunawirisha kiroho. *Yesu alitumia Neno kukabiliana na majaribu ya Shetani. Unganisha na Sura ya 3, kupima kila kitu katika mizani ya Neno la Mungu. *Yesu Anafundisha Juu Ya Wokovu (Nikodemu; Mwanamke Msamaria; Mashahidi wanne kwa Yesu; Mkate wa Uzima)- Yohana 3-7. *Kijana Tajiri Wa Kifalme - Mathayo 19:16-22; Marko 10:23-31; Luka 18: *Mkiri Yesu kama Bwana na Mwokozi wako - Warumi 10:9-10. *Vaeni Tumaini la Wokovu, Mungu Ametupangia kupata wokovu kupitia kwa Yesu.- 1 Wathesalonike 5:8-11. *Kama Musa alivyomwinua yule nyoka wa shaba jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa,ili kila amwaminiye apate Uzima wa milele.kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila amwaminiye asipotee bali awe na Uzima wa milele - Yohana 3: *Wokovu haupatikani kwa yeyote mwingine - Matendo 4:12. *Utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka (kutakaswa)- Wafilipi 2:12. *Wokovu ni wa Mungu wetu - Ufunuo 7:10. *Kuhesabiwa haki kupitia kwa Yesu - Warumi 4:25. *Hakuna anayehesabiwa haki kupitia kwa sheria - Wagalatia 2: Tunahitaji chakula cha kiroho kila siku sawa na vile tunavyohitaji chakula cha mwili kila siku. Neno la Mungu hutulisha kiroho tunapolisoma na kujifunza. 2. Biblia ndiyo silaha ya pekee ya kupigana vita iliyotajwa katika Waefeso Tunapaswa kulitumia Neno la Mungu kututia nguvu wakati tunapojaribiwa. *Kujaribiwa Kwa Yesu - Mathayo *Paulo Anamkemea Petro Juu Ya Kufundisha Mafundisho Yasiyokwua sahihi Wagalatia 2. *Waberoya Wanachunguza - Matendo 17: *Kurudi Kwa Yesu - Ufunuo 1:12-2:20; 19: *Kanisa la Pergamo - Ufunuo 2:12-17.*Ushuhuda wa mwandishi wa Zaburi juu ya Neno La Mungu - Zaburi 119. *Mungu aliwaacha Waisraeli waone njaa ili awajaribu katika njia zake, na pia ili waweze kutambua kwamba wanahitaji chakula cha kiroho kila siku kutoka katika Neno la Mungu - Kumbukumbu La Torati 8:1-4. * Kama watoto wachanga yatamanini maziwa ya kiroho yasiyoghoshiwa, ili mweze kukua kwayo katika wokovu wenu - 1 Petro 2:1-3. *Maana Neno la Mungu li Hai na lenye nguvu, ni kali kuliko upanga ukatao kuwili - Waebrania 4:12. * yote Yameandikwa kwa Pumzi ya Mungu na Yanafaa kwa Mafundisho, kwa Kukaripia, kwa kurekebisha makosa, kwa kufundisha watu katika haki - 2 Timotheo 3: *Lihubiri Neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti; nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo. - 2 Timotheo 4:2-5. *Kwa hiyo wekeeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, na kupokea kwa upole neno lile lililopandwa ndani, liwezalo kuziokoa roho zenu. Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu - Yakobo 1: *Liwekeni Neno la Mungu mioyoni mwenu ili msimtende dhambi - Zaburi 119:11. *Neno la Mungu ni taa miguuni mwetu - Zaburi 119:

25 Somo La 3 Mambo Yanayotia nguvu au Kuzuia Ukuaji Wetu Sehemu ya 3a: Kutambua Kwamba Vita vyetu vya kibinafsi ni Dhidi ya Nguvu za Giza. 1. Wakati tunapokumbana na mambo magumu tunaweza kuyaruhusu mambo hayo kututia nguvu kiroho, au tunaweza kuitikia magumu hayo kwa njia ambayo inazuia ukuaji wetu. 2. Paulo alipitia dhiki nyingi za kijamii na za kimwili, zikiwemo kukataliwa, kupigwa, njaa, kusingiziwa, kuharibiwa jina, na adhabu mbalimbali. Katika mambo haya yote, Alionyesha tabia halisi ya Ukristo, akawa na lengo katika huduma yake na akaendelea kulifuata Neno la Mungu. Pepo wakiwa na pinde na mishale, na mtu asiyekuwa na silaha zozote mwilini, ngao ya imani-shetani huwarushia mishale waumini wanaomfuata Yesu kikamilifu na pia wale ambao hawakui kiimani. Mtu asiye na silaha huishi maisha ya Ukristo wa kushindwa. Paulo anaorodhesha mambo magumu katika maisha kuwa sababu za sisi kuchukua silaha za kiroho. *Kumbuka Mfalme Daudi ambaye alililazimika kuishi nyikani kwa muda wa miaka 14 kwa sababu Sauli alimwonea wivu na kutaka kumuua. Daudi alijitia nguvu katika Bwana na akawa na nguvu kumshinda Sauli. Mungu hatimaye alimpa Daudi kiti cha enzi. Wakati mwingine ni wale ambao wamepitia changmoto nyingi ndio ambao baadaye Mungu huwainua na kuwaweka mahali pa ushawishi mkubwa. Lakini lazima tuendelee kusimama imara. Sehemu ya 3b: Tambua Kwamba Kuteseka Kwetu kama Yesu, ni sehemu ya maisha ya Ukristo. *Yesu anakabiliana na majaribu ya Shetani kwa kutumia Neno la Mungu- Mathayo 4:1-11. *Daudi anajitia nguvu katika Bwana wakati watu walipoinuka dhidi yake 1 Samueli 30 (kifungu cha 6); watenda maovu, maadui, mashahidi wa uwongo, - Zaburi 27. *Daudi anamshinda mwanawe Absalomu wakati alipojaribu kumpindua kutoka kwenye kiti chake cha enzi na kutaka kumuua - 2 Samueli *Kutafuta mapenzi ya Mungu wakati wa dhiki kuu, Yesu akiwa katika Bustani Ya Gethisemane- Luka 22: *Eliya baada ya kuwaua manabii wa Baali - 1 Wafalme 19 (kifungu cha 9-18). *Mfalme Hezekia anaomba juu ya barua iliyotoka kwa Senakeribu - Isaya 37: *Ushuhuda wa Paulo, Naam, sisi wenyewe tulikuwa na hukumu ya mauti katika nafsi zetu ili tusijitumainie nafsi zetu, bali tumtumaini Mungu, awafufuaye wafu- 2 Wakorintho 1:9-10. *Tunapaswa kutumia silaha za haki, Neno, na Roho Mtakatifu kukabiliana na hali ngumu kama vile mateso, dhiki, shinikizo, mapigo, kufungwa jela, fujo, kazi ngumu, kukosa usingizi, njaa, kudharauliwa, kunenwa vibaya, kushutumiwa kuwa waongo - 2 Wakorintho 6:3-10. *Siku ya hofu yangu nitakutumaini Wewe; - Zaburi 56:3-4. *Nafsi yangu yamngoja Mungu peke yake kwa kimya, Wokovu wangu hutoka kwake - Zaburi 62:1. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama Mithali 18:10. *Mungu atakuwa na nguvu kupitia kwa udhaifu wetu, kutukanwa kwetu, masumbufu yetu, mateso, na dhiki - 2 Wakorintho 12: Wale wanaopenda kuishi maisha ya kiungu watateswa na wengine. 2. Tunapopitia mateso ya Kristo, tunakomaa katika uthabiti, uaminifu, na katika uwezo wa kusamehe, na utakaso. Msalaba mgongoni mwa mtuwaumini wote hushiriki katika mateso ya Kristo. Mateso haya hutufanya kufanana na Yesu na hutusaidia kujifunza utiifu. Yesu aliteseka bila kosa kama sisi wakati mwingine tunavyoteseka bila hatia yoyote. Yesu alikataliwa na watu, viongozi wa kidini na makundi ya watu. Sisi vilevile tunaweza kuteswa kwa kutusiwa, kukataliwa, kusingiziwa makosa, na hata kushambuliwa kimwili. Tunapoteseka kama Yesu, basi huwa tuko katika hali ya kufanana *Mtumishi Aliyeteseka - Isaya 42:1-4; 49:1-6 50:4-9; 52:13-53:12. *Danieli katika tundu la simba Danieli 6. *Paulo Anateseka Kwa sababu ya Ushahidi wake - Matendo *Yesu Alikamilishwa kupitia mateso - Waebrania 2:10. *Mateso ya Paulo Yanaorodheshwa - 2 Wakorintho 11: *Mateso ya Mitume, njaa na kiu, kukosa nguo, kutendewa vibaya, kukosa makao, kazi ngumu, kufanya kazi kwa mikono yetu wenyewe, kutukanwa lakini sisi tunabariki, kuteswa lakini tukavumilia, kunewa vibaya lakisi sisi tunawasihi watu, tumekuwa kama jaa la taka, chafu kuliko vyote - 1 Wakorintho 4:8-13. *Paulo Anamwandikia Timotheo Juu Ya Mateso na Kuvumilia, shiriki katika kuteseka kwa Injili, na kutegemea nguvu za Mungu - 2 Timotheo 1:6-12. *Imani ya wale walioteseka kabla wakati wa Yesu - Waebrania 11. *Yohana yuko katika kisiwa cha Patimo kwa sababu ya ushuhuda wake wa Yesu - Ufunuo 1:9. *Wakristo ambao sasa wako Mbinguni - Ufunuo 6:9; 20:4. *Shetani anapigana vita na waamini duniani, mwanamke, mwana, na joka - Ufunuo 12:1-18. *Heri nyinyi watu wanapowatukana na kuwatesa na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu, furahini na kushangalia, maana thawabu yenu ni kubwa Mbinguni.- Mathayo 5: *Mungu hutufariji katika mateso yetu ili na sisi tuwezi kuwafariji wengine. Katika mateso tunajifunza kumtegemea Mungu na kuwaomba watu kutuombea - 2 Wakorintho 1. *Kuteseka hutusaidia kukua kitabia - Warumi 5:3-5. *Wale wanaoteseka wameacha dhambi; mkumbuke Ayubu; wale wanaoteseka kulingana na mapenzi ya Mungu, jikabidhini kwa muumba mwaminifu - 1 Petro 4:1-2; *Wakati unakuja ambapo watakaokuwa wakiwaua watafikiri kwamba wanamtumikia Mungu kwa kufanya hivyo.yohana 16:1-2. *Mateso ya wakati huu hayawezi kulinganishwa na utukufu ujao - Warumi 8: * Kwa maana sisi tulio hai, siku zote twatolewa tufe kwa ajili ya Yesu, ili uzima wa Yesu nao udhihirishwe katika miili yetu ipatikanayo na mauti..- 2 Wakorintho 4: *Simameni Imara, Msiwaogope Maadui 85

26 naye. Sehemu ya 3c: Tambua kwamba Mungu Huturudi ili aweze kutusaidia kukua kiroho. zenu, Maana mmepewa kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, ila na kuteswa kwa ajili yake- Wafilipi 1: *Ili Nimjue Yeye, na Uweza Wa Kufufuka Kwake, na Ushirika wa mateso yake- Wafilipi 3: *Sasa nayafurahia mateso niliyo nayo kwa ajili yenu; tena nayatimiliza katika mwili wangu yale yaliyopungua ya mateso ya Kristo, kwa ajili ya mwili wake, yaani, kanisa lake; - Wakolosai 1:24. *Hata na sisi wenyewe twaona fahari juu yenu katika makanisa ya Mungu kwa ajili ya saburi yenu, na imani mliyo nayo katika adha zenu zote na dhiki mnazostahimili. Ndiyo ishara hasa ya hukumu i liyo haki ya Mungu, ili mhesabiwe kuwa mwastahili kuuingia ufalme wa Mungu, ambao kwa ajili yake mnateswa. Kwa kuwa ni haki mbele za Mungu kuwalipa mateso wale wawatesao ninyi. 2 Wathesalonike 1:4-10. *Na Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele katika Kristo, mkiisha kuteswa kwa muda kidogo, yeye mwenyewe atawatengeneza, na kuwathibitisha, na kuwatia nguvu - 1 Petro 5:10. *Kwa kuwa mtu atakaye kuiponya nafsi yake, ataiangamiza, na mtu atakayeiangamiza nafsi yake kwa ajili yan gu na kwa ajili ya Injili, huyu ataisalimisha - Marko 8: Mungu huwarudi wale anaowapenda. 2. Anaweza kuruhusu tupitie hali ngumu ya maisha ili aturudi au kututia nguvu. 3. Kufunga na kuomba hutusaidia kumwelekea Mungu na kuwa na kiasi wakati tunapokuwa tukimwomba Mungu kutuonyesha njia au kukabiliana na mazoea mabaya yaletayo uharibifu. *Mtoto wa Mfalme Daudi Anaaga Dunia - 2 Samueli 12. *Bwana Wanawafundisha Waisraeli Juu ya Nidhamu/kuadhibiwa - Kumbukumbu La Torati 11:2-7. *Mungu Wakati Mwingine Hutumia Waamini Kutuadhibu - 2 Wakorintho 2; 7:8-16. *Mungu Anamwadhibu Humenayo na Aleksanda - 1 Timotheo 1: Mchungaji akimvuta kondoo asifuate njia mbayabwana hutuadhibu kwa sababu anatupenda na anatamani tuishi maisha matakatifu. Usikatae kuadhibiwa na Bwana. Sehemu ya 3d: Tambua Umuhimu wa kuomba bila kukoma. Askari kando ya barabara-askari hawa wanaomba na kufunga kwa ajili ya mtu aliye njiani. Maombi yanapaswa kuwa sehemu ya maisha yetu ya kila siku. Tunapopitia hali ngumu, tunapaswa kuwashirikisha wenzetu kutuombea. Kwa njia hii, Mungu hupokea utukufu zaidi wakati anapoyajibu maombi yetu. Tunaweza pia kufunga kwa ajili ya wale wanaoishi kwenye Ufalme wa Giza, vilevile kwa ajili ya sehemu za maisha yetu zinazohitaji kutiwa nidhamu zaidi. Pia tunaweza kufunga na kuomba ili kupata mwongozo wa Mungu katika kufanya uamuzi fulani. Kufunga hutusaidia kuweza kuwa na kiasi katika sehumu nyinginezo za maisha yetu. Tambua: Katika Agano la Kale, *Mwanangu, usidharau kuadhibiwa na BWANA, Wala usione ni taabu kurudiwa naye. Kwa kuwa BWANA ampendaye humrudi, Kama vile baba mwanawe ampendezaye. - Mithali 3: *Kila adhabu wakati wake haionekani kuwa kitu cha furaha, bali cha huzuni; lakini baadaye huwaletea wao waliozoezwa nayo matunda ya haki yenye amani. Kwa hiyo inyosheni mikono iliyolegea na magoti yaliyopooza, mkaifanyie miguu yenu njia za kunyoka, ili kitu kilicho kiwete kisipotoshwe, bali afadhali kiponywe. - Waebrania 12: *Mungu Huijaribu Mioyo na Akili - Zaburi 7:9. *Maa na Unachukia Adhabu, Na Uliyatupilia Mbali Maneno Yangu - Zaburi 50: *RMaana maagizo hayo ni taa, na sheria hiyo ni nuru, Na maonyo ya kumwadilisha mtu ni njia ya uzima. Yakulinde na mwanamke mwovu, asikupate, Na kukuponya na ubembelezi wa mgeni - Mithali 6: *Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama. - Mithali 12:1. *Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu. - Ufunuo 3:19. *Kabla sijateswa mimi nalipotea, Lakini sasa nimelitii Neno lako - Zaburi 119: Maombo ni ile hali ya kuonyesha uhusiano unaondelea baina yako na Mungu. 2. Hatupaswi kuongea na pepo katika maombi, lakini tumwite Yesu wakati wa ukandamizaji wa kiroho. 3. Mungu hutukuzwa wakati tunapoombean. 4. Tunapaswa kuomba sawa na asili na tabia ya Mungu. 5. Hatupaswi kuombea mambo yanayohusu tamaa zetu wenyewe. 6. Tunaweza kuombea mahitaji ya kihisia, kimwili na ya kiroho ya watu. 7. Mifano katika inayohusu maombi ni kama vile kuombea Injili ihubiriwe, kuombea wahubiri watiwe ujasiri wanapohubiri Injili, waamini wakue katika ufahamu wao wa Mungu, wapendane, na wakue katika maisha ya katika Mungu. 8. Angalia Sura ya 3 Juu ya Jinsi Mungu Anavyowasiliana Nasi Kupitia Maombi. *Bwana Anatufundisha Jinsi Ya Kuomba - Mathayo 6:5-15. *Yesu Anaomba Katika Bustani Ya Gethsemane Mapenzi ya Mungu Yatendeke- Mathayo 26: *Daudi Aliomba Asubuhi, Mchana, Na Usiku Kwa sababu ya adui zake - Zaburi 55: *Hana Anaomba Kupata Mtoto - 1 Samueli 1-2. *Paulo Anaomba Aondolewe Mwiba wa Mwilini - 2 Wakorintho 12:1-10. *Eliya Anaombea Mvua - 1 Wafalme 18: *Manabii wa Baali Wanaomba Bila Mafanikio - 1 Wafalme 18. *Epafra, Aliye Mtu wa Kwenu, Mtumwa wa Yesu Kristo, Awasalimu, Akifanya Bidii Siku Zote Kwa Ajili Yenu Katika Maombi Yake, ili Kwamba Msimame Wakamilifu na Kuthibitika Sana Katika Mapenzi Yote ya Mungu. Maana namshuhudia kwamba ana juhudi nyingi kwa ajili yenu, na kwa ajili ya hao walioko Laodikia, na kwa ajili ya hao walioko Hierapoli. - Wakolosai 4: *Musa Anawaombea Wale Waliotengeneza Sanamu ya Ndama wa Dhahabu - Kutoka 32 (kifungu cha 11-14). *Waisraeli Wanaomba Kinafiki, Maisha Yao Hayaakisi Kujitoa Kwao kwa Mungu - Hosea 7:14. *Mungu Anatuma Mjumbe Kwa Kornelio Kwa sababu ya Maombi - Matendo 10. *Danieli Aliomba Wakati Alipohitaji Msaada Wa Mungu Na 86

27 neno, Shemah maana yake ni, kusikia na kuitikia. Hutumika kumrejea Mungu na jinsi anavyoyasikia maombi ya watu. Endapo watu walikuwa waaminifu, Mungu angesikia na kujibu maombi yao. Lakini endapo watu walikuwa wakiabudu miungu mingine, angesikia, lakini asingejibu kwa sababu ya dhambi zao. Zaburi 34 inasema kwamba Mungu husikia maombi ya wenye haki, lakini uso wake u kinyume na waovu. Vita Vya Kiroho na Maombi: *There are no examples in of individuals personally addressing Shetani or demons. Instead, believers call upon Yesu to act on their behalf. Zech 3:1-10; Jude 8-11; 2 Wathesalonike 3:3. Alipokuwa Akiwaombea wengine - Danieli 6 na 9. *Mungu Anawaambia Marafiki Wa Ayubu Wamwombe Ayubu awaombee, kisha Mungu alimrudishia Ayubu Vyote Alivyopoteza - Ayubu 42:8-10. *Hezekia anaombea ukombozi ili mataifa wajue kwamba Mungu ni Mungu - 2 Wafalme 19: *Eliya anamwombea mtoto - 1 Wafalme 17: *Daudi Aliomba Ili Ushauri wa Ahithofeli uwe ubatili - 2 Samueli 15:31. *Yakobo Anaomba Akombolewe Kutoka Kwa Ndugu Yake - Mwanzo 32:11. *Mafumbo Yaliyotolewa ili tuombe bila kukata tamaa - Luka 18:1-14. *Musa Anawaombea wale walioasi juu ya Kuingia katika Nchi ya Ahadi - Hesabu 14: *Musa anafanya maombezi, Bwana, nakuomba, Bwana, uende kati yetu, maana ni watu wenye shingo ngumu; ukasamehe uovu wetu na dhambi yetu, ukatutwae tuwe urithi wako. - Kutoka 34:8-9. *Samueli anaomba akombolewe kutokana na Wafilisti - 1 Samueli 7:45. *Lakini Yesu mwenyewe angeondoka kisiri na kwenda Nyikani Kuomba - Luka 5:16; 6:12. *Usiongee na pepo au Shetani moja kwa moja, mwite Yesu, anayetulinda kutokana na yule mwovu - Yuda 8-11; Zech. 3:1-10; 2 Thess 3:3. *Mungu s power toward those who believe - Waefeso 1:18 21.*Wabarikini Wanaowalaani, Waombeeni Wale Wanaowaudhi - Luka 6:28. *Kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote; pia na kwa ajili yangu mimi, nipewe usemi kwa kufumbua kinywa changu, ili niihubiri kwa ujasiri ile siri ya Injili;- Waefeso 6: *O mbeni kwamba Upendo Wenu Uongezeke Zaidi na Zaidi katika Kumjua Mungu na Katika Utambuzi -, Wafilipi 1:9-11. *Kuyajua mapenzi yake, hekima yote ya kiroho na ufahamu, mkienenda katika njia inayompendeza yeye -Wakolosai 1:9-12. *Ombeni bila kukoma - 1 Wathesalonike 5:17-28.* Ili Mungu wetu awahesabu kuwa mmekustahili kuitwa kwenu, akatimiza kila haja ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu;- 2 Wathesalonike 1: *Ombeni ili Neno la Mungu lienee kwa haraka, na pia niepushwe na watu waovu - 2 Wathesalonike 3:1-3. *Ombeni pasipo hasira - 1 Timotheo 2:8. *Mjue kila lililo jema kwa ajili ya Kristo Filemoni 1:6-7. *Ombeni mwe na dhamiri njema, mwe na shauki ya kuwa na tabia njema katika kila jambo - Waebrania 13:18. *Msifadhaike, lakini ombeni ili amani ya Mungu ilinde mioyo yenu - Wafilipi 4:6-7. *Roho hutuombea - Warumi 8: Somo La 4 Mambo Ya Kuzingatia Unapotembea Kwenye Njia Sehemu ya 4a: (Rudia Sura ya 4-kutangulia Amri Kuu Mbili Za Mungu). Mpende jiarani yako kama unavyojipenda mwenyewe. 1. Kufuata Amri Kuu Mbili hutusaidia kukua kiroho wakati tunapoendelea kukumbana na changamoto mbalimbali za maisha. 2. Amri kuu: Kumpenda Mungu kwa moyo wako wote, nafsi yako, na akili zako zote. 3. Ambri ya Pili kuu: Kumpenda jirani yako kama unavyojipenda. Kumbuka Amri Kumi-Amri mbili kuu za kukumbuka tunavyoendelea kuishi na wenzetu humu duniani ni kumpenda Mungu kwa mioyo yetu yote, nafsi zetu, akili zetu, nguvu zetu zote na pia kuwapenda majirani zetu kama tunavyojipenda sisi wenyewe. Sehemu ya 4b: (Rudia Sura ya 1) Ishi Kwa Kuongozwa na Roho Mtakatifu. The Roho Mtakatifu- Believers must follow the leading of the Roho Mtakatifu in their lives. We must learn to listen to His still small voice in our hearts, rather than the voice of human desires or Shetani. Do not grieve the Roho Mtakatifu by rejecting His voice. *Mwanasheria Anamuuliza Yesu, Amri Iliyokuu ni gani Kisa cha Msamaria Mwema - Luka 10: *Yesu Anampa Petro changamoto- Yohana 21:17. *Jinsi Paulo Anavyowapenda watu wa Nchi yake Warumi 9:3. *Yesu Anatufundisha Kuwapenda Maadui zetu, tukomae na kuwa wakamilifu katika upendo kama alivyo Mungu - Mathayo 5: *Yesu Anatufundisha Kuwapenda Maadui zetu - 1 Yohana 3:1617. *Kumpenda Mungu Kunahusiana na Kumtii - 1 Yohana 2:3-6; 5:2-3.. *Utampenda BWANA Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa Nguvu zako zote. Wafundishe watoto wako uketipo, rise up, utembeeapo, na unapolala chini, n.k - Kumbukumbu La Torati 6:5-9. *Wapende adui zako, wasalimie, hii ni tofauti ikilinganishwa na wale wasiomjua Mungu, mna thawabu. Mwe wakamilifu, Kama Baba Yenu wa Mbinguni Alivyomkamilifu - Mathayo 5: Roho wa Mungu hutuongoza katika kufanya maamuzi yafaayo katika maisha. 2. Msimhuzunishe Roho. *Paulo anasema kwamba hutenda lile asilopenda kutenda - Warumi 7: Enendeni kwa Roho Nanyi Hamtazitimiza tamaa za mwili - Wagalatia 5: *Tunda la Roho- Wagalatia 5:

28 Sura ya 10 Kielelezo: Kufuata Njia ya Mungu, Kuishi Maisha Ya Kiungu katika Jamii 88

29 89

30 Sura ya 10 Kufuata Njia Ya Mungu, Kuishi Maisha Ya Kiungu Katika Jamii Ufafanuzi wa Jumla Mfano wa 10 unaonyesha picha ya jinsi ya kuishi maisha ya Kikristo na kuepuka njia za upotevuni katika Ufalme wa Giza. Kiti cha Enzi cha Mungu kiko juu ya kurasa kutukumbusha kwamba yeye anastahili kuwa Bwana wetu. Nyumba ya mwamini imechorwa chini, msingi wake Neno la Mungu. Maisha matakatifu huanza kwa kuhusiana na Mungu nyumbani, na kisha kupanuka hadi kila mahali duniani. Njia ambayo iko katikati ya mviringo ni nyoofu na nyembamba ambayo ndio tunayopaswa kufuata na kumpendeza Mungu. Kwenye njia hiyo katika picha ni waumini ambao wanawakilisha kanisa. Waumini wote ulimwenguni wanahimizana na kusaidiana kudumisha usafi wa mafundisho ya Ukristo kadri wanavyoendelea kushirikiana na kujifunza Biblia pamoja. Watu wale wanaotembea kwenye njia nyoofu pia wanawagawanyia watu chumvi. Biblia inatufundisha kwamba tunapaswa kuwa kama chumvi katika dunia, tukihifadhi njia za Mungu, na kutakasa au kutoa uchafu wote. Njia moja ya kuifadhi njia za Mungu ni jinsi tunavyosherekea mila na tamaduni zetu (imeonyeshwa kwenye picha katikati mwa mviringo upande wa kulia). Watu wengine huhifadhi itikadi na tamaduni madala ya njia za Mungu. Kwa hiyo ni sharti tuwe waangalifu katika kusherehekea matukio maalum ya maisha ya watu kama vile kuzaliwa kwa mtoto, kifo cha jamaa, matambiko ya tohara na ndoa badala yake tunastahili kumheshimu Mungu na njia zake. Mazoea haya yote ni sharti yaletwe kwa Yesu, kwa Neno lake na kwa Roho Mtakatifu ili kuwa na uhakika kwamba matambiko haya maalum husika si ya kumuudhi Mungu. Waumini wengine walio njiani kwenye picha, wanawakilisha kanisa njiani pia wanatusaidia kabaini mambo yaliyo ya Mungu na mambo yasiyo ya Mungu. Makanisa yanaweza kuanzisha tamaduni na desturi mpya kuhusiana na yale matukio maalum maishani, ambayo yanampendeza na kumheshimu Mungu. Juu upande wa kushoto kuna mtu ambaye anahubiri au kutoa unabii. Mafundisho yote yanapaswa kupimwa katika mizani ya Neno la Mungu, ya Roho Mtakatifu na ya Yesu, pasipo kujali ni nani anayefundisha mambo yanayoonekana kuwa ya Kikristo. Vikapu vilivyo vichwani mwa watu vinawakilisha vitu ambavyo wanaweka kwa sababu haviegemei upande wowote au vinaambatana na Mungu na njia zake. Kwa mfano, tunapoajaliwa mtoto mchanga katika familia, huwa ni wakati mzuri wa kusherekea. Lakini, katika kusherekea tukio hili, tusijumuishe matambiko na kafara kwa pepo. Tunaweza kuweka wazo la kusherekea kuzaliwa, lakini tunaweza kuhitaji kubadilisha mtindo wa kusherekea ili kumpa Mungu. Wakati waumini wanapoendelea na maisha, wanapima matendo yao, shauku zao, desturi au mila, matambiko, mahubiri na kadhalika kwa Neno la Mungu, kama inavyoonekana katika mikono yao ya kulia. Kitu chochote ambacho hakimpatii heshima Mungu kinapaswa kutupwa katika jalala lililoko chini upande wa kushoto. Kwenye njia kuu,kuna njia nyingine ndogo ambazo zinaelekea mbali na Mungu. Hizi ni njia za uaribivu na zinaelekea mautini, na ni ziepukwe na wamini.njia hizi zinajulikana kama njia za Kulaghai/Kushawishi au Kutawaliwa; Njia ya Utumiaji Nguvu na Chuki; Njia ya Uvivu na Kutojali;na Njia ya Upotofu wa Kimaadili. Malengo Ya Sura ya 10 Kuonyesha umuhimu wa kuzifuata njia za Mungu katika kila sehemu ya maisha yetu. Kusaidia kutambua na mitindo miharibifu katika maisha yetu. Kusaidia kujenga hali ya utambuzi na uaminifu katika maisha ya waamini. Sura Zinazohusiana: Sura ya 1: Shetani, pepo wake na wafuasi wake wa kibinadamu huunda imani, tamaduni za kupotosha na vitu vya uharibifu katika jamii yenyewe. Sura ya 2: Kusudi la familia ni kuwalea watoto kuishi kwa kufuata maagizo ya Mungu. Sura ya 3: Sharti kupima kila kitu kwa Ufunuo Maalum wa Mungu-Biblia, Roho Mtakatifu na Yesu. 90

31 Sura ya 4: Kuzifuata amri za Mungu kwa kuwa na uhusiano mzuri naye na watu wengine kutatusaidia kuepeuka njia mbaya njia mbaya. Sura ya 5: Mafundisho yanayohusiana na Dini za Uongo-ni sharti tuzipime mila, tamaduni na matambiko kwa Neno la Mungu. Sura ya 7: Tunajifunza jinsi Ufalme wa Giza unavyofanya kazi duniani, kuharibu. Sura ya 9: Tunavyokua kiroho, tuna uthabiti wa kuweza kuendelea kukaa kwenye njia ya kweli. Sura ya 11: Tunastahili kuwa mawakili wazuri wa kile Mungu tulichopatiwa na Mungu, tusiharibu rasilimali zetu kwa anasa haribifu. Sura ya 12: Hakuna njia yoyote mbaya ambayo hatimaye itatuelekeza kwa Mungu. Ufafanuzi wa Picha Somo La 1 Kutembea Katika Kweli (Marudio Yaliyopanuliwa) Sehemu ya 1a: Rudia (Sura ya 2). Maisha yetu ya nyumbani sharti msingi wake uwe ni mafundisho ya Neno la Mungu. 1. Rudia (Sura ya 2): Tunapaswa kuishi maisha ya kiungu majumbani mwetu. 2. Maisha yetu ya nyumbani sharti yajengwe kwenye msingi wa Neno la Mungu. 3. Rudia (Sura ya 2): Tunapaswa kuishi maisha ya kiungu katika jamii. 4. Tunapaswa kuwa chumvi na nuru, tukihifadhi njia za Mungu kwa njia ambayo watu wataweza kuona Nuru ya Kristo ndani yetu. Nyumba iliyo na Msingi wa Biblia-Fanya marudio kutoka Sura ya 2. Biblia inapaswa kuwa msingi wa jinsi tunavyoishi nyumbani na duniani. Sehemu ya 1b: Rudia (Sura ya 2). Tunapaswa kuishi maisha ya kiungu katika jamii, tukihifadhi njia na mafundisho ya Mungu. Sehemu ya 1c: Rudia (Sura ya 3). Lazima tupime kila kitu kwenye mizani ya Neno la Mungu, kwa Yesu, na Roho Mtakatifu. Mwanamke akigawanya chumvi. Amejitwika kikapu kichwani na Biblia mkononi mwake. Anatembea kwenye njia nyembamba-waumini hutembea kwenye njia nyembamba, wakiepuka njia zinazoelekea upotevuni. Sharti wawe kama chumvi duniani, kuhifadhi mafundisho ya Neno kwa jinsi wanavyoishi maisha yao ya kila siku. Kikapu kilichoko kichwani ni cha kuweka vitu ambavyo ni vizuri na vinavyoambatana na njia za Mungu. Biblia katika mkono wao wa kulia ni ya kupimia imani, matendo, mafundisho, Maisha ya nyumbani na *Fumbo la Nyumba Iliyojengwa juu ya Mwamba - Mathayo 7: *Waamini Wanakubali Biblia Kama Neno la Mungu- 1 Wathesalonike 2:13. *Pandeni Neno Ndani Ya Mioyo yenu - Yakobo 1:21. *Yatamanini Maziwa Yasiyoghoshiwa Ya Neno la Mungu, Mkue katika Wokovu - 1 Petro 2:2. *Wenye Haki Ni Kama Mti Uzaao Matunda Wakati wote - - Zaburi 1:1-3. *Wenye Haki Hupenda Kulitafakari Neno La Mungu - Zaburi 119:148. *Nyumba Hujengwa Kwa hekima, ufahamu, na maarifa - Mithali 24:3-4. Maisha Ya Kijamii and *Njia Za Wenye Haki Dhidi Ya Njia za Waovu - Zaburi 1. *Kwa nini mnasema, Bwana, Bwana, Na Hamtendi Kile Ninachosema - Luka 6: *Njia Kuu Ya Mwenye Haki Ni Kujitenga na Uovu; Yeye Ashikaye Njia Yake Huihifadhi Nafsi yake. - Mithali 16:17. *Mungu Hutuongoza Kwenye Njia za Haki - Zaburi 23:3. *Marafiki wabaya huharibu maadili mema - 1 Wakorintho 15: *Mungu Hutufundisha Juu Ya Njia Tunayopaswa Kuifuata - Zaburi 50:23. *Heri Walio Kamili Njia Zao - Zaburi 119:1. *Ulisawazishe pito la mguu wako - Mithali 4:26. *Ishi Kama Yesu Alivyoishi - 1 Yohana 2:6. *Ishi Katika Upya Wa Maisha - Warumi 6:4. *Yesu Anafundisha Juu Ya Mlango Mwembamba - Luka 13:18-30; Mathayo 7: *Enenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali Rafiki wa Wapumbavu Ataumia - Mithali 13:20. *Masikio yako yatasikia neno nyuma yako, likisema, Njia ni hii, ifuateni.- Isaya 30: Waamini Hutumia Neno La Mungu Kama Nuru Katika Njia Zao *Mfalme Yosia pamoja na watu wanalisikia Neno la Mungu Kwa mara ya kwanza na kutubu dhambi zao - 2 Mambo Ya Nyakati 34: *Neno la Mungu ni Taa Ya Miguu Yetu Zaburi 119:105. * Yote Yana Pumzi ya Mungu,Yanafaa kwa Mafundisho, Kurekebisha Makosa, Kukemea, na Kuwafundisha Watu katika Haki - 2 Timotheo 3: *Biblia Ndio Mwongozo wetu, Tunapotafakari Mafundisho Yake - Zaburi 1:2. *Nuhu Alitenda Yote Aliyoagizwa na Mungu - Mwanzo 6:22. *Neno La Mungu Hutenda Kazi Ndani Yetu - 1 Wathesalonike 2:13. Waamini Wanapaswa Kuwa Chumvi, Wakihifadhi, Kutia ladha, Na Kutakasa. *Yosia Anakuwa Mfalme - 2 Wafalme 22. *Paulo Akiwa Efeso - Matendo 20: *Paulo Alijifunza Na Kumtafuta Mungu Kabla Hajakwenda Katika Huduma - Wagalatia 1-2. *Huduma Ya Paulo Ilikuwa Ni Kumtia Nguvu Kila Mwamini -Wakolosai. 1:28. *Jiepushe na hadithi ya uwongo - Tito 1:14; 1 Timotheo 1:4; 2 Timotheo 4:4. *Yesu Anafundisha Juu Ya Kulishika Neno Lake - Yohana 14: *Sisi ni Chumvi Ya Dunia - Mathayo 5:13. *Mwe na Chumvi Ndani Yenu, Na Mwe na 91

32 wahubiri, ndoto, mila, desturi na kitu kingine kinachohusiana na matendo ya kila siku na Ukweli. Sehemu ya 1d: Waamini waungana katika jamii kutetea njia za Mungu. Watu wakitembea kwenye njia nyoofu na nyembamba-waumini wanatembea kwenye njia nyembamba, wakitoa ushuhuda kwa ulimwengu. Wanawasaidia waumini wengine kudumu kwenye njia nyembamba na kuzungumzia kuhusu mila, itikadi, na mafundisho ya uongo. Waumini wanaweza kuanzisha tamaduni na desturi mpya ambazo zinaonyesha imaniyao kwa Mungu wa kweli. Sehemu ya 1d: Waamini wanaacha nyuma mambo yale yanayowazinga na kuwazuia kumfuata Yesu. Amani Miongoni Mwenu- Marko 9:50. *Utoeni Uovu Kati Yenu - Kumbukumbu La Torati 19:18-19; 22:21-24; 24:7. *Ninyi Nanyi Mmejaa Wema, Mmejazwa Elimu Yote, Tena Mwaweza Kuonyana. - Warumi 15:14. *Wema wa Mungu na Kweli Itaendelea Kutuhifadhi - Zaburi 40:11; 61:7. *Shikeni Hukumu, Mkatende Haki - Isaya 56:1. *Kwa Maana Yapasa Midomo ya Kuhani Ihifadhi Maarifa - Malaki 2:7. *Na Kujitahidi Kuuhifadhi Umoja wa Roho Katika Kifungo cha Amani - Waefeso 4:3. *Kwa Maana Hekima ni Ulinzi, Kama Vile Fedha Ilivyo Ulinzi; Na Ubora wa Maarifa Ni ya Kwamba Hekima Humhifadhi Yeye Aliye Nayo - Mhubiri 7:12. *Sisi ni Manukato Ya Kristo Kwa Mungu miongoni mwa wale wanaokolewa na wale wanaoangamia - 2 Wakorintho 2: *Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu - Warumi 12:1-2. Waamini wanapaswa Kuwa Nuru Ya Ulimwengu *Yesu anasema sisi ni nuru ya ulimwengu - Mathayo 5: *Yesu alikuwa Nuru Yohana 8:12. Waamini huungana pamoja katika jamii na kutetea njia za Mungu. (Angalia Sura ya 4 juu ya Sheria na Sherehe). Waamini wanaacha nyuma mambo yale yanayowazinga na kuwazuia kumfuata Yesu. *Wathesalonike Waliacha Kuabudu Sanamu na Kumtumikia Mungu Aliye hai - 1 Wathesalonike 1:9. *Paulo Na Barnaba Wanawatia moyo Waamini Huko Listra Kuacha Kuabudu Sanamu Na Kumtumikia Mungu - Matendo 14:6-19 (kifungu 15). *Paulo Anawakemea Wagalatia kwa Kurudia Vitu Vilivyowafanya Watumwa - Wagalatia 4: Biwi la takataka-hapa ni mahali ambapo tunaacha vitu ambavyo vinatuzinga tusiweze kuishi maisha matakatifu na ya kujitoa kwa Mungu. Vitu hivi vinaweza kuwa kama mafundisho ya uongo, matambiko, mila, itikadi, sanamu, dawa za kulevya, matusi au matendo mabaya, utumiaji wa nguvu, upotovu wa maadili, au uzinzi miongoni mwa mengine mengi. *Usiku umeendelea sana, mchana umekaribia, basi na tuyavue matendo ya giza, na kuzivaa silaha za nuru. Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu. Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake. - Warumi 13: *Wala Msishirikiane na Matendo Yasiyozaa Ya Giza, Bali Myakemee. - Waefeso 5: *Tupilieni mbali nanyi makosa yenu yote mliyoyakosa; jifanyieni moyo mpya na roho mpya.- Ezekieli 18: *Mliuvua utu wenu wa kale, mtu yule wa zamani ambaye ameharibiwa na tamaa mbaya; mnafanywa upya katika nia zenu kwa maana mmeuacha uwongo, ambieni ukweli; mnaweza kukasirika lakini jua lisitue mkiwa bado mmekasirika; Msiibe; maneno machafu yasitoke vinywani mwenu; uwekeni kando uchungu; hasira; gadhabu; matukano, chuki na uovu; mwe wakarimu, wenye huruma, mkisameheana - Waefeso 4:22-32; Wakolosai 3:815. *Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu. - Warumi 12:1-2. Somo La 2 Kuzipima Itikadi, Mila, na Viongozi Wa Kikristo Katika Mizani Ya Neno La Mungu (Marudio Yaliyopanuliwa) Sehemu ya 2a: (Kupanua Sura ya 3 juu ya kupima kila kitu kwenye mizani ya Neno la Mungu, kwa Yesu, na kwa Roho Mtakatifu) Pima itikadi, Mila kwenye mizani ya Neno La Mungu. 1. Waamini wanahitaji kupima itikadi na mila za kabila lao katika mizani ya Neno la Mungu, Yesu, na kwa Roho Mtakatifu. Sharti Tusiigize Yale Yanayotendwa na watu wa mataifa. Tunaweza kutengeneza itikadi nyingine na sherehe za Kikristo zinazomtukuza Mungu. Waamini katika jamii wanapaswa kuungana pamoja ili waweze kusaidiana kuanzisha mambo mapya kama vile (mazishi ya Kikristo, sherehe za kuzaliwa kwa mtoto, ndoa, n.k.) Zingatia kwamba makanisa mengine huenda yakachanganya matambiko ya kipagani na imani ya Kikristo. Hayo ni machukizo mbele za Mungu. 92

33 Picha mbalimbali zinaonyesha itikadi na mila za watu (mazishi, kubalehe, mfumo wa imani za kipagani)- Sharti kupima mila na itikadi za mahali tunapoishi kwa mizani ya Neno la Mungu. Shetani huchanganya mafundisho yake ya uongo na matendo yake na kuviingiza katika mila za watu. Kwa hiyo ni lazima tujifunze kufumua vitu ambavyo Shetani ameviweka kwenye mila zetu, na kuanzisha nyingine mpya ambazo msingi wake ni Neno la Mungu.unapaswa kuzipima itikadi na mila za nchi tunayoishi katika mizani ya Neno la Mungu.. Waamini Wanazipima itikadi na mila na matambiko kwenye mizani ya Neno la Mungu and *Nadabu na Abihu Wanaleta Moto wa Kigeni Kwa Bwana - Mambo ya Walawi 10:1-7. *Paulo Anajadili Kuhusika Kwa Jamii Katika Sikukuu za Kipagani - I Wakorintho 8-10 (Angalia 10:14-22). *Yoshua anawapa changamoto watu wachague ikiwa watamtumikia Mungu au mababu zao, miungu ya nchi watakayoishi, au watamtumikia Bwana - Yoshua. 24. *Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije akakemewa. Bali yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru, ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwa yametendwa katika Mungu. - Yohana 3: *Pepo Hufundisha Mafundisho Ya Uwongo 1 Timotheo 4:1-8. *Msiongeze wala Kupunguza Amri - Kumbukumbu La Torati 12:32. *Msiige Matendo ya Mataifa Yanayomchukiza Mungu, Mungu Ametukataza Kuyatenda - Kumbukumbu La Torati 18:9-15. *Kimbieni Kuabudu Sanamu - 1 Wakorintho 10: Kuna umuhimu wa kupima kwa sababu si kila mtu moyo wake uko kwa Bwana. *Mfalme Abijamu hakuwa amejitoa kikamilifu kwa Mungu - 1 Wafalme 15:1-8 (kifungu 3; angalia pia 1 Wafalme 11:4 juu ya Sulemani ). *Gideoni anawashinda Wamoabu kwa msaada wa Mungu, lakini baadaye anafanya naivera na watu wanarudia uzinzi wao, ni mtego kwake - Waamuzi 8:27. Sherehe Zilizowekwa na Mungu *Mungu anapanga majira na wakati wa sherehe - Mwanzo 1:14. *Pasaka- Hesabu 28:16-25; Mathayo 26: *Pentekote (Malimbuko Au Wiki )- Kumbukumbu La Torati 16:9-1. *Tarumbeta- Hesabu 29:1-6. *Siku ya Utakaso - Mambo ya Walawi 23:26-32; Waebrania 9:1-28. *Mahema/Vibanda- Hesabu 29:12-40; Mambo ya Walawi 23:33-444; Nehemia 8:1318; Yohana 7:2. *Kuwekwa Wakfu- Yohana 10: *Purimu- Esta 9: Sherehe za Kipagani: *Haruni Anatengeneza Sanamu ya Ndama Wa Dhahabu - Kutoka 32. *Yeroboamu anaanzisha sherehe ya kipagani - 1 Wafalme 12: *Solomon Apotoshwa Na Wake zake - 1 Wafalme 11:1-13. Sherehe za Kikristo: *Krismasi- Mathayo 1-2; Luka 2. *Pasaka/Siku Ya Kufufuka - Mathayo 28; Markoo 16; Luka 24; Yohana 20-21; Matendo 1:1-11. Kuongezea, Sherehe Zifuatazo Zinaweza Kusherehekewa kwa Njia Ya Kikristo: *Ndoa. *Siku ya Kuzaliwa. *Mazishi. Sehemu ya 2b: Rudia (Sura ya 3, pila kila kitu unachosikia kutoka kwa mhubiri yeyote au mshirika kwenye mizani ya Neno la Mungu, Yesu, na Roho Mtakatifu. 1. Waamini sharti wapime unabii wote, maono, na mafundisho ya wengine na yao wenyewe kwa Neno La Mungu, Yesu, Roho Mtakatifu. Mtu akihubiri-sharti tupime kila kila kitu tunachokisikia kwa Neno la Mungu.Wahubiri sharti wafanywe wawajibike kwa lolote wanalolifundisha. Ikiwa mtu anahubiri kinyume cha Neno la Mungu, basi sharti tusiwe chini ya uongozi wao. Sifa za Viongozi wa Uwongo: Wakuu wake huhukumu ili wapate rushwa, na makuhani wake hufundisha ili wapate ijara, na manabii wake hubashiri ili wapate fedha; ila hata hivyo watamtegemea BWANA, na kusema, Je! Hayupo Bwana katikati yetu? -Mika 3: *Yesu Anafundisha Juu Ya Manabii wa Uwongo - Mathayo 7:15-23; 12:38-42; Luka 17: *Ezekieli Anawakemea *Paulo Na Sila Watembelea Berea- Matendo 17: *Yesu Anajizungumzia Katika Sheria na Manabii - Luka 24: *Kipimo cha Nabii wa Kweli /Mwotaji- Kumbukumbu La Torati 13. *Waamini Wanayapima Maneno Ya Manabii Huko Efeso - Ufunuo 2:1-7. *Mitume Walimtii Mungu Kuliko Wanadamu - Matendo 5: *Mambo Yanayotoa Ushahidi wa Yesu ni Nani - Yohana 5: *Nabii Nathani anayapima maneno yake mwenyewe kwa kutumia Maneno ya Mungu. Ilimbidi arudi kwa Daudi na kumwambia yale aliyosema Mungu - 1 Mambo Ya Nyakati 17:1-15. *Paulo alikuwa na bidii kufuata itikadi za mababu zake, lakini sasa anamtumikia Mungu - Wagalatia 1: *Roho alimtokea Elifazi katika ndoto na kutoa habari za uwongo juu ya Ayubu- Ayubu 4: *Hakuna Unabii wa Ambao Unatokana na Ufasiri wa Mtu binafsi - 2 Petro 1:1921.* Jilindeni Nafsi Zenu, Msije Mkachukuliwa na Kosa La Hao Wahalifu Mkaanguka na Kuuacha Uthibitifu wenu. Lakini, Kueni Katika Neema, na Katika Kumjua Bwana Wetu na Mwokozi Yesu Kristo. - 2 Petro 3: *Manabiii Walitutumikia kwa Kutabiri juu Ya Yesu - 1 Petro 1: *Kutatokea Manabii wa uwongo Miongoni Mwenu - 2 Petro 2; 1 Yohana 4:1-3. *Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo. Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili.- Wakolosai 2:8-9. *Manabii walio kati yenu, na wabashiri wenu, wasiwadanganye ninyi, wala msisikilize ndoto zenu, mnazootesha. Kwa maana kwa jina langu hutabiri maneno ya uongo kwenu; mimi sikuwatuma, asema BWANA.- Yeremia 93

34 Manabii ambao Hunena Kwa Roho Zao wenyewe, badala ya Roho wa Mungu Ezekieli 13. *Yeremia ananena dhidi ya Shemaya Mnehelami kwa Kutoa Unabii wa Uwongo - Yeremia 29: *Yesu Anatufundisha Kwamba Manabii wa Uwongo Watakuja Wakivalia Ngozi ya Kondoo, Lakini Ndani ni Mpya mwitu. Mtawatambua Kwa Matunda Yao - Mathayo 7: *Yesu Anatufundisha Tusiache Amri za Mungu na Kufuata desturi za wanadamu - Mathayo 15:1-9; Markoo 7:3-13. *Yeremia Anazungumzia Mahubiri Yasiyo na nguvu za Mungu - Yeremia 6: *Yeremia Anazungumzia Waotaji wa Uwongo, wale wanaoligeuza Neno la Mungu - Yeremia 23:25-40; 27:9; 29:8. *Zekaria Anawashutumu Manabii wa Uwongo Zekaria 10:2. 29:8-9. *Ndugu zangu, nawasihi, waangalieni wale wafanyao fitina na mambo ya kukwaza kinyume cha mafundisho mliyojifunza; mkajiepushe nao. Kwa sababu walio hivyo hawamtumikii Bwana wetu Kristo, bali matumbo yao wenyewe; na kwa maneno laini na ya kujipendekeza waidanganya mioyo ya watu wanyofu. Maana utii wenu umewafikilia watu wote; basi nafurahi kwa ajili yenu, lakini nataka ninyi kuwa wenye hekima katika mambo mema, na wajinga katika mambo mabaya. Naye Mungu wa amani a tamseta Shetani chini ya miguu yenu upesi. - Warumi 16: *Msichukuliwe na mafundisho ya namna nyingine nyingine, na ya kigeni; maana ni vizuri moyo ufanywe imara kwa neema. - Waebrania 13:9. *Makuhani wake wameihalifu sheria yangu, wametia unajisi vitu vyangu vitakatifu; hawakuweka tofauti ya vitu vitakatifu na vitu vya kutumiwa sikuzote; wala hawakuwafundisha watu kupambanua vitu vichafu na vitu vilivyo safi, nao wamefumba macho yao, wasiziangalie sabato zangu, nami nimetiwa unajisi kati yao. Watu wa nchi wametumia udhalimu, wamenyang'anya kwa nguvu; naam, wamewatenda jeuri maskini na wahitaji, nao wamewaonea wageni bila haki.- Ezekieli 22: Somo La 3 Kuepuka Njia Za Upotevuni Sehemu ya 3a: Kuepuka vishawishi na Mazoea mabaya. Watu wakiwa wamekaa baa wakinywa 1. Epuka Njia za vishawishi na Mazoea mabaya. 2. Mazoea mabaya yabaweza kujumuisha: uzinzi, ulevi, utumiaji mbaya wa dawa, kupenda kula/matatizo ya ulaji, kuwazoea watu kupita kiasi, kununua vitu bila mpaka, mazoea ya kuiba vitu vya watu. 3. Watu huifuata njia hii wakati wanapohisi kuna hitaji fulani, wakiwa wameumizwa, au wakiwa na shauku fulani. pombe,wanawake kadhaa kwa mwanamme mmoja, mwanamke na mwanamume wakielekea kwenye danguro-hii inawakilisha Njia ya Ushawishi mbaya na Mazoea mabaya. Inaweza Kujumuisha ulafi, ulevi wa kupindukia, utumiaji mbaya wa dawa, uzinzi (picha za ngono, uasheratu, ushoga, nk), kuzoea vitu vibaya, televisheni, watu, shughuli nyingi, michezo,nk. *Jinsi ya Kuepuka Njia za Uzinzi - Mithali 1-2. *Binti za Lutu washika Mimba - Mwanzo 19: *Roho ya uwongo Yamshawishi Ahabu- 1 Wafalme 22:20-38; 2 Mambo Ya Nyakati 18: Ulevi wa Nuhu- Mwanzo 9: *Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.- Yakobo 1: *Tangu Sasa Msiendelee Kuishi Katika Tamaa za Wanadamu, Bali Katika Mapenzi ya Mungu, Wakati Wenu Uliobaki Wa Kukaa Hapa Duniani. Maana Wakati wa Maisha Yetu Uliopita Watosha Kwa Kutenda Mapenzi ya Mataifa; Kuenenda Katika Ufisadi, na Tamaa, na Ulevi, na Karamu za Ulafi, na Vileo, na Ibada ya Sanamu Isiyo Halali; mambo ambayo wao huona kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadi ule ule usio na kiasi, wakiwatukana. Nao Watatoa Hesabu Kwake Yeye Aliye Tayari - 1 Petro 4:2-5. *Enendeni kwa Kiasi - Warumi 13: * Lakini Zikimbie Tamaa Za Ujanani; Ukafuate Haki, Na Imani, Na Upendo, na Amani, Pamoja Na Wale Wamwitao Bwana K wa moyo safi.- 2 Timotheo 2:22. *Ole Wao Walio Hodari Kunywa Kileo Chenye Nguvu- Isaya 5:22. *Maaskofu wasilewe Mvinyo - 1 Timotheo 3:3, 8; Tito 1:7. *Usinywe Divai Wala Kileo Cho chote, Wewe, Wala Wanao Pamoja Nawe, Hapo Mwingiapo Ndani ya Hema ya Kukutania, Ili Kwamba Msife- Mambo ya Walawi 10:9. *Mvinyo Hudhihaki, Kileo Huleta Ugomvi; Na Akosaye Kwa Vitu Hivyo Hana Hekima. - Mithali 20:1. *Ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapate kufuata kileo; wakishinda sana hata usiku wa manane mpaka mvinyo imewaka kama moto ndani yao! Na kinubi, na zeze, na matari, na filimbi, na mvinyo, zote ziko katika karamu zao; lakini hawaiangalii kazi ya Bwana wala kuyafikiri matendo ya mikono yake - Isaya 5: *Lakini Hawa Nao Wamekosa Kwa Diva i, Wamepotea Kwa Kileo; Kuhani Na Nabii Wamekosa Kwa Kileo, Wamemezwa Kwa divai, Wamepotea Kwa Kileo; Hukosa Katika Maono, Hujikwaa Katika Hukumu.- Isaya 28:7-9. *Kwa Maana Mlevi Na Mlafi Huingia Umaskini, Na Utepetevu Humvika Mtu Nguo mbovu. - Mithali 23:21. 94

35 Sehemu ya 3b: Kuepuka Njia za Chuki na Fujo. Watu waliokasirika wakipigana na kuumizana-hii njia inawakilisha njia ya Fujo na Chuki. Huku wanaume wakiwa hupenda kuwanyasa wengine kimwili na kwa maneno,wanawake wanaweza kuwaumiza wengine kwa masengenyo yao, kashfa, au maongezi ya kudunishiana, haswa wakati wakiwa wanaozungumzwa hawapo. 1. Epuka njia za fujo chuki na fujo. 2. Yesu alisema kuwa na hasira dhidi ya ndugu yako ni sawa na kuua moyoni. 3. Wanaume hupenda kutekeleza fujo ya kimwili; wanawake hupenda fujo ya maneno. 4. Chanzo cha ugomvi ni wivu na kutaka kujifurahisha. 5. Fujo ya maneno inajumuisha: masengenyo, chukir; kuwanena wengine vibaya; lugha yenye matusi; unyanyapaa; kulaani; kuwatendea watu ukatili; na kuwashuhudia wengine uwongo. 6. Fujo na chuki ni utumwa na hurudia rudia, na hutuondoa kwenye mwelekeo tunaopaswa kuwa nao katika jamii na kanisa. 7. Yesu Anataka Tuwaonyeshe Watu Upendo na Msamaha. *Fumbo la Mwanakondoo wa kike - 2 Samueli 12. *Fuji katika Nchi - Hosea 4. *Saul Alikuwa Adui wa Daudi Wakati Wote; Lakini Daudi Hakumuua Sauli - 1 Samueli 18:2829; 1 Samueli 24; 26. *Paulo Anatoka Kwenye Fujo na Kufanya Huduma - 1 Timotheo 1:12-14; Matendo 9:1-2. *Fujo inayotokana na vizazi - Mathayo 23: *Fujo Dhidi ya Waamini- Waebrania 11. *Mambo Anayochukia Mungu - Mithali 6: *Esau Anamchukia ndugu Yake Kwa Kumwibia Haki Ya Mzawa wa Kwanza; Lakini Baadaye Wakapatana - Mwanzo 27, 33. *Ahabu Anamchukia Nabii Kwa Kutoa Unabii Mbaya Juu Yake - 1 Wafalme 22:8. *Herodia Anakasirishwa na Yohana- Markoo 6: *Ni nani atakayekaa Katika Kilima Chako Kitakatifu? Asiyesingizia Kwa Ulimi Wake. Wala Hakumtenda Mwenziwe Mabaya - Zaburi 15. *Paulo ana wasiwasi huenda akifika Korintho, atapata watu wana fitina, wivu, ghadhabu, na ugomvi na masingizio, na manong onezo, majivuno na ghasia - 2 Wakorintho 12:20. *Yakobo anasema kwamba ulimi huwashwa moto na jehanamu, hakuna anayeweza kuufuga - Yakobo 3:6-18. *Chanzo cha mafarakano na michafuko na anasa za kibinafsi, na tamaa. Kwa hiyo uuaji unatendeka. Wivu huleta ugomvi na magombano. Badala yake nyenyekea mbele za Mungu - Yakobo 4:1-10. *Anayemsingizia jirani yake, huyo nitamwangamiza. Macho ya Mungu yako juu ya waaminifu katika nchi - Zaburi 101:5; 11:5. *Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake - Mithali 13:3. *Ulimi wao ni mshale ufishao; husema maneno ya hadaa; mtu mmoja husema maneno ya amani na mwenzake kwa kinywa chake, lakini moyoni mwake humwotea - Yeremia 9:8. *Mtu Mkali Humshawishi Mwenzake; Humwongoza Katika Njia Isiyo Njema.- Mithali 16: *Jeuri ya Wabaya Itawaondolea Mbali; Kwa sababu Wamekataa Kutenda Hukumu - Mithali 21:7. *Kwa Neno La Midomo Yako Nimejiepusha Na Njia Za Wenye Jeuri. - Zaburi 17:4-5. *Damu na uovu - Mika 3:10. *Wamenichukuza Mabaya Badala Ya Mema Na Chuki badala ya upendo wangu - Zaburi 109:5. *Anayemchukia Ndugu Yake Hawezi Kumpenda Mungu - 1 Yohana 2:9; 4:20. *Siku za Mwisho, Ndugu Atamsaliti Ndugu Auawe; Watoto Watainuka Kinyume cha Wazazi wao - Marko 13:12. *Maangamizi Yanawasubiri Wale Walio adui wa Msalaba Wafilipi 3: *Adui Yako Akiwa na Njaa, Mpe Chakula, Akiwa na Kiu, Mpe Maji Anywe - Mithali 25: *Wapendeni Adui Zenu, Watendeeni Mema, Wabarikini Mathayo 5: *Msiichague Njia Ya Fujo - Mithali 3:31. Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Bali asiye mwepesi wa hasira hutuliza mashindano - Mithali 15: *Maneno Yetu Yakolee Munyu -Wakolosai 4:6 Sehemu ya 3c: Kuepuka Njia ya Uzembe na Kutojali.. 1. Epuka Njia ya Uzembe na Kutojali. 2. Uzembe na Kutojali ni dhambi za kutotenda (kinyume cha dhambi za kutenda). 3. Uzembe huleta ufukara. *Mafunzo Kutoka Kwa Chungu - Mithali 6:6-11. *Muokaji Mikate Anamsahau Yusufu Mwanzo 40:23. *Paulo Anafundisha Wathesalonike Juu Ya Uvivu - 2 Wathesalonike 3:1016. *Fumbo la Talanta Kumi - Mathayo 25: Fumbo La Wanawali Kumi - Mathayo 25:1-13. *Kutoijali Nyumba Ya Mungu - Hagai 1:2-15. *Kuipuuza Injili - Mathayo 22:4-14. *Kupuuza Njia za Mungu - Mathayo 23: *Kutowajali Maskini - Mathayo 25: *Kutojali Kutoa Ushuhuda wakati unapoona, kusikia au kupitia jambo fulani - Mambo ya Walawi 5:1. *Hesabu gharama zako kabla haujajenga jengo; Fikiria juu ya vita; fikiria juu ya kumfuata Yesu - Luka 14: *Paulo Anawahimiza Warumi Juu Ya Bidii Katika Huduma Ya Kikristo - Warumi 12:4-21. *Fumbo La Msamaria Mwema - Luka 10:

36 Mtu akilala kwa saa nyingi-hii inawakilisha njia ya uzembe/uvivu na kutojali. Watu wanaweza kuwatenda dhambi watu wa familia zao na wengine, si tu kwa kutenda bali pia kwa kutotenda. Uzeme huleta umaskini. Sehemu ya 3d: Kuepuka Njia Ya Upotovu wa Maadili. Watu wakidanganyana, mtu fulani akiibahii inawakilisha Njia ya Upotovu wa Maadili. Kuna aina zote za ufisadi. Msingi wa ufisadi ni kupenda pesa, moyo wa mlafi, na ubinafsi. Msingi wa ufisadi ni kupenda fedha, ulafi of moyo na choyo. *Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa. - Mithali 19:1516. *Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha. Akusanyaye wakati wa hari ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha. - Mithali 10:4-5. *Njia ya mtu mvivu ni kama boma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu. - Mithali 15:19. *Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharabu. - Mithali 18:9. *Matakwa yake mtu mvivu humfisha, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi. Kuna atamaniye kwa choyo mchana kutwa; Bali mwenye haki hutoa wala hanyimi. - Mithali 21: *Mungu Will Not Forget The Work We Have Done For Him- Waebrania 6:1020. *Do Not Withhold Good From Those To Whom It Is Due, When It Is In Your Power To Do It. Do Not Say To Your Neighbor, "Go, And Come Back, And Tomorrow I Will Give It," When You Have It With You- Mithali 3: Epuka njia ya upotovu wa maadili. 2. Ufisadi mkuu katika Biblia ni kugeuza na kutafusiri vibaya Neno la Mungu au Sheria ya Mungu (angalia Israeli ya zamani, Manabii, Mafundisho Ya Yesu dhidi ya Mafarisayo, na maonyo juu ya wapinga Kristo). 3. Kupenda fedha ndicho chanzo cha uovu. 4. Udanganyifu, uwongo, kutokuwa waaminbifu, na kutokuwa waaminifu katika mahusiano ni aina ya upotovu wa maadili. 5. Hukumu za uwongo, ushahidi wa uwongo, na rushwa kama aina za upotovu wa maadili katika mfumo wa kutekeleza haki. 6. Mizani za uwongo, vipimo vya uwongo, na uwakilishi wa uwongo ni mifano ya upotovu wa maadili katika fani ya biashara. 7. Kuiba, kutapeli, na kudanganya watu na kuwapora pesa zao na mifano ya upotovu wa maadili katika hali ya kibinafsi. 8. Kama waamini tunahitaji, tunapaswa kuishi kwa uaminifu ndani na nje. *Mafarisayo wanaitia najisi Sheria - Mathayo 15: *Sauli Anakosa Kuyafuata Maagizo ya Mungu kwake - 1 Samueli 15. *Joka lina mashaka na amri za Mungu na linamdanganya Hawa - Mwanzo 3. *Yakobo anamdanganya ndugu yake - Mwanzo 27. *Maelezo ya njia ya ufisadi - Mithali 1: *Samsoni na Delila- Waamuzi 16. *Mizani na Vipimo vya Haki - Ezekieli 45:9-12. *Daudi Na Bathsheba- 2 Samueli *Ufisadi Katika Kutoa Hukumu kitabu cha Habakuki. *Ufisadi wa ndani wa Waandishi na Mafarisayo - Mathayo 23:23-25; Luka 11:44. *Askari wanahongwa - Mathayo 28: *Anania na Safira Wanawadanganya watu na Mungu /ushuhuda bandia - Matendo 5. *Mafarisayo Wanajaribu Kumtega Yesu - Mathayo 22: *Wabadilishaji Pesa Katika Hekalu - Yohana 2: *Yuda Anamsaliti Yesu - Mathayo *Msilitie najisi neno la Mungu - 2 Wakorintho 4:1-2. *Waepukeni wale wanaofundisha uwongo - Warumi 16: *Elakini watu wabaya na wadanganyaji wataendelea, na kuzidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika. Bali wewe ukae katika mambo yale uliyofundishwa na kuhakikishwa, kwa maana unajua ni akina nani ambao ulijifunza kwao 2 Timotheo 3: *mvue kwa habari ya mwenendo wa kwanza utu wa zamani, unaoharibika kwa kuzifuata tamaa zenye kudanganya; na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli. Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake - Waefeso 4:22-28.*Ole wao wasemao kwamba uovu ni wema, na kwamba wema ni uovu; watiao giza badala ya nuru, na nuru badala ya giza; watiao uchungu badala ya utamu, na utamu badala ya uchungu! Ole wao walio wenye hekima katika macho yao wenyewe, na wenye busara katika fikira zao wenyewe! Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, watu waume wenye nguvu kuchanganya vileo; wampao haki mwenye uovu, ili wapewe ijara, na kumwondolea mwenye haki haki yake! - Isaya 5:20, 23.*Moyoni Ndiko Kunakotoka Ufisadi - Mathayo 15:19-20.*Chakula cha uongo ni kitamu kwa mtu; Lakini halafu kinywa chake kitajaa changarawe. - Mithali 20:17. *Kupenda fedha Ndicho chanzo cha Maovu Yote - 1 Timotheo 6:9-11. *Kuanzia kwa mdogo hadi mkubwa, kila mtu ana tamaa ya kufaidika. Hata makuhani ni wadanganyifu - Yeremia 6:

37 Sura ya 11 Kielelezo: Neema Ya Mungu, Uwakili Wetu 97

38 98

39 Sura ya 11 Neema Ya Mungu, Uwakili Wetu Ufafanuzi wa Jumla Mfano wa 11 ni picha ya majaliwa ya Mungu kwetu, na jukumu letu la kuwa mawakili wazuri wa yale aliyotupa Mungu. Ukiangalia juu ya ukurasa utaona Kiti cha Enzi cha Mungu kikiwa na utatu Mtakatifu-Yaani Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu. Mishale inayotoka Mbinguni ni ishara ya yale mambo mbalimbali ambayo Mungu hutukirimia. Mishale ile inayoelekea kwa Mungu ni inaonyesha kwamba tunastahili kumtumikia Mungu kwa vipawa vile alivyotupa kwa kuwa mawakili waaminifu. Kuna sehemu nne ambazo Mungu hutupatia mahitaji yetu, mbili ni za kimwili na mbili ni za kiroho. Ya kwanza ya mahitaji ya kimwili hali asili. Mungu hutupatia jua, mvua, na rasilimali za chakula, mavazi, na huwasitiri watu wote. Sehemu hii ya utoaji wa Mungu inaonyeshwa kwa milima na miti katika sehemu ya nyuma ya picha. Shehemu ya pili ya mambo ya kimwili ni kwa familia zetu. Mungu hutupatia kazi, ufundistadi, talanta, au ardhi ya kuzalisha vyakula ili kwamba tuweze kukimu mahitaji ya familia yetu. Picha ya nyumba upande wa kushoto inawakilisha vitu ambavyo Mungu hupatia jamii zetu. Ndani ya nyumba kuna picha kadha ndogo zinazoonyesha jinsi tunavyopaswa kuwa mawakili wa vipaji vya Mungu. Sehemu mbili za upaji wa kiroho zimeonyeshwa kwa picha za makanisa. Upande wa kulia wa picha kuna kanisa kubwa. Kanisa hii linawakilisha vipawa vya kiroho ambavyo Mungu humpa kila mtu ili avitumie kumtumikia yeye. Picha ndogo ndogo ndani ya kanisa zinawakilisha aina kadhaa za vipawa vya kiroho ambavyo Mungu huwapatia waumini. Ukiangalia kwa makini, utaona makanisa mandogo juu milimani. Makanisa haya yanawakilisha aina ya pili ya vipawa vya kiroho kwetu, yaani Injili. Uwakili Injili, au Huduma ya Upatanisho, vilipewa waumini wote kabla Yesu hajapaa kwenda Mbinguni. Uwakili huu huitwa Mwito Mkuu. Tambua kwamba kuna sehemu nyingi hapa duniani ambazo hazina majengo ya kanisa kanisa lililotajwa hapa ni yale makao ya kiroho ambayo waamini hutengeneza kutokana na uhusiano wao na Mungu na uhusiano wao, wao kwa wao (kanisa la kweli, wale walioitwa, mwili wa Kristo -angalia Waefeso 2:22) katika maeneo wanayoishi. Katika upaji wote Mungu, kuna uhitaji wa sisi kudumu kwenye njia za Mungu kwa kutumia upaji wake na rasilimali kwa njia inayomtukuza yeye (imechorwa kama njia nyembamba ikielekea juu kwa Mungu). Chini ya ukurasa kuna wale ambao wametembea kuelekea upotevuni, kama ilivyo orodheshwa katika Sura ya 10, kwa sababu wametumia vipawa vya Mungu kwa kufurahisha tamaa zao. Njia moja kubwa ambayo Shetani hutumia kutufanya tusiwe mawakili wazuri ni ile ya kutuvunja mioyo kwa dhiki za maisha na utendaji kazi wa Ufalme wa Giza ulimwenguni (imeonyeshwa kama pepo wakirusha mishale). Mtume Paulo alikata tamaa hata ya maisha (2Wakorintho1), lakini alijifundisha vitu kadhaa ambavyo vilimfanya aendelee kuwa mwaminifu kwa Mungu. Vitu hivi vimechorwa kwenye mstatili juu ya ukurasa. Paulo alijifundisha kumwamini Mungu, hata kwa maisha yake (mkono); alijifundisha kuwahusisha wakristo wakomavu kumwombea (watu wakiomba); vilevile alijifundisha kutumia uzoefu wake kuwafariji wengine walio katika hali kama yake (mtu mmoja akimhudumia mwingine); pia alijifundisha kwamba Mungu alimtia nguvu kupitia dhiki na kasoro zake (mwiba na kidole). Kwa hiyo kama mawakili tunastahili kuwa waaminifu. Malengo Ya Sura ya 11 Kutusaidia kuelewa maana ya kuwa mawakili wazuri wa karama za Mungu na upaji wake. Kufundisha jinsi Mungu anavyotupatia mahitaji yetu kupitia kwa mali asili, na jinsi tunavyopaswa kutunza mali asili. Kufundisha jinsi Mungu anavyokutana na mahitaji ya familia zetu na jinsi ya kuzitawala nyumba zetu. Kufundisha jinsi anavyokutana na mahitaji ya kanisa, na jinsi tunaweza kutumia karama zetu kuhudumiana na kumtumikia Bwana. Kufundisha wajibu wetu wa kuipeleka Injili ulimwenguni kote. Kutusaidia kutumia rasilimali zetu vizuri kwa kuepuka vizuizi fulani. Kutuhimiza kuendelea kumtumikia Mungu wakati wa shida kwa kutumia karama zetu katika huduma. Sura Zinazohusiana Sura ya 7: Ni lazima tuwe waangalifu kudumu kwenye njia nyoofu, na tusifuate njia za upotevuni. Sura ya 8: Waumini hutumia vipawa vya kiroho kujengana katika mwili wa Kristo hadi wote wafikie ukomavu katika Yesu. 99

40 Tukiishi kwa kupatana na watu wengine na Mungu tutakuwa tunadumu katika mwito wetu kwa Mungu. Sura ya 9: Shetani hurusha mishale kwa waumini na kwa wasioamini vilevile. Tunapaswa kukua kiroho ili tuweze kupigana vita vya kiroho. Kukua kiroho kutatusaidia kudumu katika njia ya Mungu. Sura ya 12: Tunapaswa kumtumikia Mungu kwa unyenyekevu kwa vipawa alivyotupatia na kuhubiri Injili kila mahali hadi Yesu arudi. Ufafanuzi wa Picha Somo La 1 Neema ya Mungu, Shukrani Yetu Sehemi ya 1: Mungu hutupa neema, na humrudishia shukrani. Mistari inayotoka Mbinguni kuelekea duniani na inayotoka duniani hadi Mbinguni-Maana ya neno neema kwa Kiyunani ni mara mbili. Neema inamaanishakipawa kilichotolewa na shukrani zinazopewa Mungu. Mungu hutupatia vipawa na tunamrudishia yeye shukrani zetu. Kuna sehemu nne kuu ambazo Mungu ametupatia kitu. Sehemu hizi zote zinahitaji uwakili wetu. 1. Mungu hutupa neema, nasi humrudishia shukrani. 2. Neno la Kiyunani la neema hutafsiriwa kwa maneno mawili ya Kiswahili, karama/zawadi na shukrani. [angalia muhtasari pembeni] 3. Uwakili ni ile shukrani ya utumishi anayopewa Mungu kwa zile karama anazotupa. 4. Mungu hukimu mahitaji yetu kupitia kwa mali asili, lazima tutunze mali asili. 5. Mungu hukimu mahitaji yetu nyumbani, lazima tusiwe wavivu, wabadhirifu, waabudu sanamu, au upuuzaji. 6. Mungu hutupa karama ili kanisa lake liweze kujengwa kiroho, tunapaswa kutumia na kuendeleza karama zetu za kiroho. 7. Mungu ametupatia ujumbe wa Injili, tunapaswa kuipeleka kila mahali duniani. *Mungu alijali ile nchi ambayo Waisraeli walikuwa wataenda kuingia (Nchi ya Ahadi).Macho yake yalikuwa juu ya nchi hiyo - Kumbukumbu La Torati 11: *Ezra anazungumzia neema ya Mungu katika kujiwekea watu waaminifu - Ezra 9:8. *Mungu hutoa karama ya neema kupitia kwa sadaka ya Yesu kwa ajili ya dhambi zetu - Warumi 5: *Kwa maana mambo yote ni kwa ajili yenu, ili neema hiyo ikiongezwa sana, kwa hao walio wengi shukrani izidishwe, na Mungu atukuzwe. - 2 Wakorintho 4:15. *Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa wingi, ili ninyi, mkiwa na riziki za kila namna siku zote, mpate kuzidi sana katika kila tendo jema; - 2 Wakorintho 9:8. *Kwa kuwa Bwana, Mungu, ni jua na ngao, Bwana atatoa neema na utukufu. Hatawanyima kitu chema Hao waendao kwa ukamilifu. - Zaburi 84:11. *Watu wale walinusirika kutokana na upanga walipokea neema jangwani Waisraeli walipokwenda kutafuta pumziko - Yeremia 31: 2. *Nami nitawamwagia roho ya neema na kuomba; nao watamtazama yeye ambaye walimchoma; - Zekaria 12:10. *Yule mtoto akakua, akaongezeka nguvu, amejaa hekima, na neema ya Mungu ilikuwa juu yake. - Luka 2:40. *Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali, kwa kadiri ya neema mliyopewa, tunapaswa kuzitumia; - Warumi 12:6. Somo La 2 Upaji wa Mungu Kupitia Mali Asili na Uwakili Wetu Sehemu ya 2: Mungu anakutana na mahitaji yetu kupitia mali asili. Milima, miti na mawingu-njia moja ambayo Mungu hutupatia mahitaji yetu ni kwa kupitia uumbaji wake. Yeye hutupatia mvua na mimea ya chakula pamoja na maji. Vilevile hutupatia miti ya kujengea nyumba. Kwa hiyo sharti tutunze vitu vyote alivyoviumba Mungu. Kwa mfano, hatupaswi kuchafua maji tunayokunywa au hata kuwatendea vibaya wanyama. Tunapaswa kuuheshimu uumbaji wa Mungu. *Tunapaswa kuiheshimu miili yetu. Dawa za 1. Tunapaswa kuwa mawakili wazuri wa uumbaji wa Mungu. 2. Tunapaswa kutunza mali asili. 3. Tunapaswa kuitunza miili yetu, kula vizuri, kupumzika, na kujitenga na vitu ambavyo vinaweza kuidhuru miili yetu. 4. Tunapaswa kujua jinsi ya kuishi maisha matakatifu kama apendavyo Mungu, tusijiingize katika uzinzi. Tunza Uumbaji wa Mungu *Maagizo ya Mungu kwa Adamu na Hawa- Mwanzo 1:26-30; 2:15. *Mungu Aliwafanya watu kutawala Uumbaji wake - Mwanzo 1:26. Zaburi 8:5-8; 115:16. *Yesu Anafundisha juu ya upaji wa Mungu-Luka 12:22-34; Mathayo 6: *Barnaba na Paulo wanadhaniwa kuwa miungi. Wanawahimiza watu Kumwona Mungu awapaye mvua, matunda na furaha kwa ajili ya vitu hivyo. Matendo 14: *Yeremia anaeleza kwa nini Mungu Ameamua Kutowabariki Waisraeli kwa sababu hawakumtii Bwana aliyewapa mavuno na Mvua - Yeremia 5:19-31 (kifungu 24). *Mungu alikimu mahitaji ya Eliya - 1 Wafalme

41 kulevya, pombe, na mazoea mabaya ya kula yanaweza kuharibu miili yetu. Kwa kuongezea, tunapaswa kujua jinsi ya kuishi kwa heshima na maisha masafi, si kwa kujiingiza katika uzinzi. *Je! Katika vitu vya ubatili vya mataifa, kiko kitu kiwezacho kuleta mvua? Je! Mbingu zaweza kutoa manyunyu? Je! Si wewe, Ee Bwana, Mungu wetu? Kwa sababu hiyo tutakungoja; kwa kuwa wewe umevifanya vitu hivi vyote. - Yeremia 14:22. *Mungu Anakimu Mahitaji ya Mimea na Miti ili izae matunda -Mambo ya Walawi 26:4-5. *Mungu Huwapa Ng ombe Nyasi -Kumbukumbu La Torati 11: *Mungu huwapa chakula wale wanaomcha -Zaburi 136:25. *Mungu Anakimu mahitaji ya Mimea, Wanyama, Watu- Zaburi 65:9-13; Zaburi19; Zaburi 104. *Mungu hutoa Chakula - Zaburi 147. Kutunza Miili Yetu *Paulo Anafundisha Kwamba Miili Yetu Ni Ya Bwana - 1 Wakorintho 3:18-20; 6:1120. *Watu Wameumbwa kwa Mfano Wa Mungu - Mwanzo 1: *Mungu alitoa mana jangwani - Nehemia 9:15. *Nitakushukuru, Kwa maana Nimeumbwa Kwa Njia ya Ajabu - Zaburi 139: Usishirikiane na mlafi au mlevu. Wote watumbukia kwenye umaskini. - Mithali 23:2021. Somo La 3 Upaji wa Mungu Kwa Familia Zetu na Uwakili Wetu Sehemu ya 3: Mungu Hukimu mahitaji ya familia zetu. Nyumba na vitu vingi ndani yake-mungu hukutana na mahitaji ya familia zetu. Jinsi tunavyotumia upaji wake ndivyo tunavyoonyesha shukrani zetu. Sehemu ya 3a: Tunapaswa kuichunga nyumba ambayo Mungu ametupatia. 1. Tunapaswa kuwa mawakili wazuri wa upaji wa Mungu kwetu na kwa familia zetu. 2. Tunapaswa kutumia rasilimali anazotupa Mungu kwa makazi, chakula, nguo, na vile vile kwa matibabu na elimu ya familia zetu. 3. Mungu pia hutupatia vitu ili tuweze kutoa kanisani na kuwasaidia maskini. 4. Mungu hutupa kwa lengo la kututunza, na ili tuweze kushiriki na wengine baraka zake. 5. Yesu anachukulia kuwasaidia maskini kuwa ni kumtunza yeye. 6. Wakristo wengi hutumia asilimia 10% ya mapato yao kumpatia Mungu sawa na kigezo cha Agano La Kale. Mahitaji ya Familia *Umaskini na Shamba la Mvivu - Mithali 24: *Yesu Anafundisha Juu ya Upaji wa Mungu kwa Familia - Mathayo 6: *Utajiri wa Ibrahimu - Mwanzo 13; 24:35. *Ibrahimu ananunua shamba na pango la kuwazikia watu - Mwanzo 23. *Waisraeli Wanunua Chakula na Maji Kutoka Seiri- Kumbukumbu La Torati 2:1-8. *Akani anakutana na mahitaji ya familia kwa njia mbaya, kupitia sanamu - Yoshua 7. Sehemu ya 3b: Tupaswa kufanya kazi ili kuzipatia chakula familia zetu na kumshukuru Mungu kwa ajili ya chakula chetu cha kila siku. Sehemu ya 3c: Tunapaswa kuzipatia familia zetu nguo. *Epuka kuvaa nguo kwa kutegemea hadhi yako. Sehemu ya 3d: Tunapaswa kuweka akiba ya pesa kwa ajili ya elimu ya watoto wetu. * Lakini mtu Ye yote Asiyewatunza Walio Wake, Yaani, Wale Wa Nyumbani Mwake Hasa, Ameikana Imani, Tena Ni Mbaya Kuliko Mtu Asiyeamini. - 1 Timotheo 5:8. * Tena mjitahidi kutulia, na kutenda shughuli zenu, na kufanya kazi kwa mikono yenu wenyewe, kama tulivyowaagiza; ili mwenende kwa adabu mbele yao walio nje, wala msiwe na haja ya kitu cho chote. - Mhubiri 10:18. *Mkono wa mwenye bidii utatawala; Bali mvivu atalipishwa kodi - Mithali 12:24. *Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu. - Mithali 20:4. *Pesa ni ulinzi Mhubiri 7:12. *Usitumie pesa kwa kile kisichoweza kukutosheleza - Isaya 55:1-3. *wazazi hukimu mahitaji ya watoto wao - 2 Wakorintho 12:14. Kutoa Kanisani * Watu Wanaishi Vizuri, Kanisa Limebomoka - Hagai 1. *Yehoashi Analijenga Upya Hekalu - 2 Wafalme 12; 2 Mambo Ya Nyakati 24. *Mfalme Yosia Analirudisha Hekalu mahali pake - 2 Wafalme 22; 2 Mambo Ya Nyakati 34. *Mpeni Kaisari Vilivyo Vya Kaisari, Na Mpeni Mungu Vilivyo vya Mungu - Mathayo 22: *Ezra Anakusanya Pesa Kulijenga Upya Hekalu - Ezra 3; 7-8. *Wanafunzi Walitoa Kulingana na Uwezo Wao - Matendo 11:29. *Waamini wote walikuwa na nia moja na walikuwa na vitu vyote shirika - Matendo 4: *Waamini Makedonia na Akaia Walichanga Kuwasaidia Waamini Maskini - Warumi 15:25-27; 2 Wakorintho 8:1-15; 2 Wakorintho 9:1-13. *Kila mmoja sharti atoe kulingana na alivyoamua moyoni mwake, si kwa 101

42 kushinikizwa, Mungu hupenda yule atoe kwa moyo mkunjufu - 2 Wakorintho 2 Wakorintho 9:6-11. Sehemu ya 3e: Tunapaswa kuweka akiba ya pesa kwa ajili ya mahitaji ya dharura. Sehemu ya 3f: Tunapaswa kutoa sehemu ya mapato yetu ya kifedha kanisani (kawaida ni 10%). Sehemu ya 3g: Tunapaswa kuwasaidia maskini. Kutoa Kwa Kwenye Mahitaji *Waisraeli walipaswa kukimu mahitaji ya wale waliokuwa maskini miongoni mwao Kumbukumbu La Torati 15:7-11. *Boazi- Ruthu 2-3. *Yesu Anafundisha Juu ya Kuwatunza Wale Walio na Njaa, au Kiu, au Wageni, Au Wasiokuwa na nguo, Au wagonjwa au waliofungwa, sawa na vile tungalivyomtendea yeye - Mathayo 25: *Sheria juu ya Majirani - Kumbukumbu La Torati 23: *Kufunga kunakompendeza Mungu ni kuwaweka huru waliofungwa na uovu, waweka huru wote walioonewa, kugawa mkate na wale walio na njaa - Isaya 58:4-12. *Neema ya Mungu ilikuwa juu ya kanisa na kila mmoja wao alitoa kwa ajili ya wale waliokuwa na mahitaji - Matendo 4: *Kuchanga Kuwasaidia Waamini, Kutenda Ukarimu - Warumi 12: *Lakini Mtu Akiwa Na Riziki Ya Dunia, Kisha Akamwona Ndugu Yake ni Mhitaji, Akamzuilia Huruma Zake, Je! Upendo wa Mungu Wakaaje Ndani Yake Huyo? Watoto Wadogo, Tusipende Kwa Neno, Wala Kwa Ulimi, Bali Kwa Tendo na Kweli. - 1 Yohana 3:1718; Yakobo 2: *Upendano wa ndugu na udumu. Msisahau kuwafadhili wageni; maana kwa njia hii wengine wamewakaribisha malaika pasipo kujua. Wakumbukeni hao waliofungwa kana kwamba mmefungwa pamoja nao; na hao wanaodhulumiwa, kwa vile ninyi nanyi mlivyo katika mwili. - Waebrania 13:1-3. *Kwa Hiyo Kadiri Tupatavyo Nafasi Na Tuwatendee Watu Wote Mema; Na Hasa Jamaa Ya WaaminioWagalatia 6:

43 Lesson 4 Upaji wa Mungu Kwa Kanisa na Uwakili Wetu Sehemu ya 4a: Roho Mtakatifu Hutoa karama kwa watu ili wazitumie kuujenga mwili wa Kristo kwa kazi ya huduma. Kanisa na vitu kadhaa ndani-mungu hutoavipawa vya huduma kwa wale ambao wamemkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi wao. Vile tunavyotumia vipawa hivyo kumtumikia Mungu na vile tunavyoviendeleza ndiyo zawadi yetu kwa Mungu. *Vipaji vya kiroho hupewa watu kwa ajili yakujenga mwili wa Kristo ili ufanye huduma ya Mungu. 1. Mungu hutupa neema/karama za kiroho kwa ajili ya kanisa. 2. Mungu hutupa karama za kujenga kwa ajili ya kanisa (kuhubiri, kufundisha, kutia moyo, kuhimiza). 3. Mungu hutoa vipawa vya kimisionari, kiinjili kwa kanisa (utume, uinjilisti, na ndimi {zinazotolewa kwa ajili ya wasioamini, tambua kwamba makanisa mbalimbali yana mafundisho tofauti juu ya mada hii. Mafundisho yote juu ya ndimi yanahitaji kupimwa na yote }). 4. Mungu hutoa karama za utawala kwa kanisa. 5. Mungu hutoa karama za utumishi kwa kanisa. 6. Mungu hutoa karama za kutoa kwa kanisa. 7. Mungu hutoa karama za uponyaji kwa kanisa (unaweza kujumuisha uponyaji wa kimwili, kihisia, kiroho-tambia pia, makanisa yana ufasiri tofauti tofauti juu ya uponyaji, ufasiri wowote sharti upimwe na ). 8. Roho hutoa karama kwa kanisa kama apendavyo. and *Paulo Anafundisha Juu Ya Matumizi ya Karama - Warumi 12:6-8. *Basi pana tofauti za karama; bali Roho ni yeye yule. Tena pana tofauti za huduma, na Bwana ni yeye yule. Kisha pana tofauti za kutenda kazi, bali Mungu ni yeye yule azitendaye kazi zote katika wote. Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana... Lakini Roho yule yule ndiye anayetenda kazi katika haya, akigawa karama kwa kila mtu kibinafsi, kama apendavyo - 1 Wakorintho 12:4-11. Karama za Kufundisha/Kuhubiri/Kutangaza /Utume *Maafisa na Walawi Wanawafundisha Watu kutoka mji mmoja hadi mwingine - 2 Mambo Ya Nyakati 17:7-9. *Ezra Anajitoa Kufundisha Mafundisho ya Bwana - Ezra 7:10. *Wakristo wa Kwanza Walijitoa Kwa Mafundisho na Kwa Maombi - Matendo 5:42. *Watu wa Kuporo na Kirene Walienda Antiokia wakihubiri na wengi wakaokoka kwa neema ya Mungu - Matendo 11: *Unabii unatumiwa Kuwatia moyo watu na kuwafundisha - 1 Wakorintho 14:31. *Kipimi cha Nabii wa Kweli - Kumbukumbu La Torati 13; 18:22. *Debora kama Nabii na Mwamuzi - Waamuzi 4. *Miriam The Prophetess- Kutoka 15:20. *Hulda nabii wa kike - 2 Wafalme 22; 2 Mambo Ya Nyakati 34. *Nabii wa kike aitwaye Ana - Luka 2: *Philip's Daughters- Matendo 21. Sehemu ya 4b: Mungu huwapa watu vipawa vya kutangaza kama vile kufundisha, kuhubiri, utambuzi, maarifa, na unabii ili kuujenga mwili wa Kristo kwa ajili ya huduma. Midomo-Mungu huwapatia watu wengine vipaji vya kujenga kama vile kufundisha, kuhubiri, *Maonyo Juu Ya Manabii wa Uwongo - 2 Petro 2; 1 Yohana 4. *Maana Midomo ya Kuhani Sharti Ijae Maarifa - Malaki 2:7. *Lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo. Bali wewe, uwe na kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiliza huduma yako. - 2 Timotheo 4:2-5. *Kwa Maana Mafundisho Yetu Hatokani na Makosa wala uchafu Au kwa udanganyifu; Tunanena, si Kwa kuwapendeza wanadamu, Lakini Mungu Anayechunguza Mioyo. Kwa maana Hatukuja na Ufasaha wa Maneno, Kama Mjuavyo, Au Kwa Ulafi -- Mungu ni Shahidi Hatukutaka Utukufu Kwa Wanadamu, tuliwatangazia Injili ya Mungu. Kama Mnavyojua Tuliwahimiza na Kuwatia moyo na Kuwachukulia Kama Baba Anavyowatunza Watoto Wake - 1 Wathesalonike 2:3-13. *Ndugu Zangu, Msiwe Waalimu Wengi, Mkijua Ya Kuwa Mtapata Hukumu Kubwa zaidi. - Yakobo 3:1. *Kwa Maana, Iwapasapo Kuwa Waalimu, (Maana Wakati Mwingi Umepita), Mnahitaji Kufundishwa Na Mtu Mafundisho Ya Kwanza Ya Maneno ya Mungu; Nanyi Mmekuwa Mnahitaji Maziwa Wala Si Chakula Kigumu. Kwa Maana Kila Mtu Atumiaye Maziwa Hajui Sana Neno La Haki, Kwa Kuwa Ni Mtoto Mchanga. Lakini Chakula Kigumu Ni Cha Watu Wazima, Ambao Akili Zao, Kwa Kutumiwa, 103

44 uinjilisti, uongozi, utume, na unabii-kuwarudisha watu katika njia za Mungu. Karama hizi zote lazima zitumiwe kwa uangalifu katika kulihubiri Neno la Mungu kwa kanisa na ulimwenguni ili ujumbe usiweze kuharibiwa. Zimezoezwa Kupambanua Mema na Mabaya. - Waebrania 5: *Naye Alitoa Wengine Kuwa Mitume, na Wengine Kuwa Manabii; Na Wengine Kuwa Wainjilisti na Wengine Kuwa Wachungaji na Waalimu Kwa Kusudi La Kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe - Waefeso 4: *Hubiri Kwa Nia Njema - Wafilipi 1: Sehemu ya 4c: Mungu huwapa watu karama za utume ili kujenga ufalme wa Mungu duniani. Mafunzo Maalum Kunena Kwa Lugha: Ndimi Zilidhirishwa Katika Maeneo Ambayo Injili Ilikuwa Inahubiriwa Kwa Mara ya Kwanza: *Pentekote (Wayahudi)- Matendo 2. *Kujumuishwa kwa Mataifa (Mataifa)- Matendo 10:45-46; 11: *Wanafunzi wa Yohana (Walijua tu Ubatizo Wa Yohana)- Matendo 19:6. *Probable Tongues, But Not Mentioned (Samaritans)- Matendo 8:4-8; Wokovu Mahali ambapo Ndimi Hazijatajwa: Viatu- Karama za utume, uinjilisti, umisionari. In the book of Matendo, the New Testament also Katika kitabu cha Matendo kinataja habari za kunena kwa lugha nyingine kuihubiri Injili. Sehemu ya 4d: Mungu hutoa karama za kutia moyo, kuhimiza, na aina mbalimbali za uponyaji ili kuujenga mwili wa Kristo wa huduma. Mtu mmoja akimsalimia mwingine kwa mkono-mungu huwapatia watu wengine vipawa vya huruma, kutia moyo na kufundisha. Kutia moyo ni kuwafariji watu na kuwatia ujasiri,na kuhimiza ni kuwahamasisha watu kuishi kwa kuzifuata njia za Mungu. Wengine huwapatia vipawa vya uponyaji. Uponyaji huu unaweza kuwa wa kihisia, kiroho, au wa kimwili. Uwe mwangalifu na watu wanaojifanya waponyaji, wakiwafanya watu kuwategemea wao, na kuwapora pesa zao, ili kuongeza umaarufu wao, mamlaka, na mali zao. Lengo la uponyaji katika Agano Jipya lilikuwa ni kuonyesha Yesu ni nani wala sio kumuinua mtu fulani. Sehemu ya 4e: Mungu huwapa watu karama za kutoa ili kuujenga mwili wa Kristo kwa huduma. *Watu 3,000 waokolewa- Matendo 2:41. *Watu 2,000 walioshuhudia Uponyaji Yerusalemu Wampokea Kristo - Matendo 4:4. *Kuokoka kwa Paulo- Matendo 9. *Toashi wa Ethiopia- Matendo 8: *Antiokia Ambako Watu Waliitwa Wakristo Kwa Mara Ya Kwanza - Matendo 11:19-21; 13:1-3. *Lidia na Familia Yake - Matendo 16: *Askari Jela wa Filipi na Familia Yake - Matendo 16: *Wayahudi, Mataifa Waliomcha Mungu, Wanawake Maarufu Kutoka Thesalonike - Matendo 17:14. *Waberoya Wenye Haiba Kubwa - Matendo 17: *Hotuba ya Athene, Kwenye Kilima - Matendo 17: *Waamini wa Kwanza Huko Korintho, Akiwemo Krispo, Mkuu wa Sinagogi Na Familia Yake - Matendo 18:7-8. Karama za Kutia Moyo, Kuhimiza, Na Uponyaji *Yonathani Amtia Moyo Daudi - 1 Samueli 23:16. *Maombi Ya Yesu Kwa Petro Luka 22:32. *Badala ya Kutoa Pesa, Petro Anamwomba Mungu Kumponya Mtu Matendo 3. *Musa Anamtia Moyo Yoshua- Kumbukumbu La Torati 3: *Barnaba Anawatia Moyo Waamini Kusimama Imara -Matendo 11: *Viongozi wa Kanisa Wanawatia Moyo Waamini Huko Kolosai -Wakolosai 4:7-18. *Timotheo Anatumwa Kwenda Kuwatia Moyo Wathesalonike - 1 Wathesalonike 3:2. *Yesu Anamtia Moyo Mariamu - Luka 10: *Paulo Anamtia Moyo Petro - Wagalatia 2. *Stefano Alijaa Neema na Alitenda Miujiza Mingi Miongoni mwa Watu - Matendo 6:8. *Paulo Anaamini Kwamba Watu Wanaweza Kuhimizana na Kufundishana Warumi 15:14. *Paulo na Barnaba Hawabebi Sifa Kwa Matendo Yao Ya Nguvu (Kumponya Mtu), Wala Hawapendi Watu Wamulike Swala Hilo. Badala Yake, Wanaongea Juu ya Kuwepo Kwa Mungu Kupitia Kwa Matendo Yake Mazuri ya Upaji, na Furaha Anayowapa watu - Matendo 14:8-18. *Msamaria Mema - Luka 10. *Watie Moto waliolemewa, Na Kuwatia Nguvu Waliowadhaifu - Isaya 35:3-6. *Farijianeni na kujengana kila mtu na mwenzake,- 1 Wathesalonike 5:11. *Ndugu, Twawasihi, Waonyeni Wale Wasiokaa Kwa Utaratibu; Watieni Moyo Walio Dhaifu; Watieni Nguvu Wanyonge; Vumilieni Na Watu Wote. - 1 Wathesalonike 5:14. *Wanawake Wazee Wawatie Moyo Wanawake wa Makamu - Tito 2:3-5. *Tianeni Moyo Ili Asije Yeyote Kati Yenu Akaingia Katika Mtego wa Dhambi - Waebrania 3:13. Karama ya Kutoa *Waamini Yerusalemu Walikuwa na Vitu Vyote Shirika - Matendo 2:44-45; 4: *Ukarimu wa waamini wa Antiokia - Matendo 11: *Barnaba ni Mkarimu Matendo 4:36. *Waamini Wa Mekedonia na Akaia walikuwa wakarimu - Warumi 15:25-28; 2 Wakorintho 8:1-5. *Wakorintho Walikuwa Miongoni Mwa Watu wa Kwanza Kutoa - 1 Wakorintho 16:1-3; 2 Wakorintho 8:9-24. * ya Mjane Maskini - Marko 12: *Wanawake na Wanaume wanatoa Kujenga Hema Kutoka 35: *Vichwa vya nyumba na makabila, makamanda, na maafisa watoa sana kwa ajili ya kazi ya Bwana - 1 Mambo Ya Nyakati 29:1-9. Pesa kwenye saduku-mungu huwatunuku watu vipawa vya kutoa fedha au mali. Vilevile huwapa wengine vipawa vya uongozi.. Tambua hii si kusema kwamba si kila mtu anapaswa kutoa pesa kanisani. *Kwa Kuwa Ye Yote Atakayewanywesha Ninyi Kikombe Cha Maji, Kwa Kuwa Ninyi ni Watu Wa Kristo, Amin, Nawaambia, Hatakosa Thawabu Yake. - Marko 9: na -Utawala *Musa Anachagua Viongozi- Kutoka 18. *Danieli Na Marafiki Zake watawala Danieli 2:49; 3:12. *Kutawala Katika Kanisa La Kwanza - 2 Wakorintho 8. *Na Mungu Amechagua Watu makanisani, kwanza Mitume, Pili Manabii, Tatu Walimu, Kisha Miujiza, Karama za Uponyaji, Kusaidia watu, Utawala, Aina tofauti za Ndimi 1 Wakorintho 12:

45 Sehemu ya 4f: Mungu huwapa watu wengine karama za utumishi ili kuujenga mwili wa Kristo kwa huduma. Utumishi *Simoni Mkirene Anamtumikia Yesu- Marko 15: *Nyumba Ya Stefano Ilijitoa Kutumika - 1 Wakorintho 16: *Kanisa La Thiatira Lamtumikia Bwana - Ufunuo 2: PMtu akiwa akishikilia nyundo-mungu huwatunuku watu wengine vipawa vya kufanya kazi au vya kuwasaidia watu. Kuna njia nyingi ambazo watu wanaweza kumtumikia Mungu kwa karama hii. Sehemu ya 4g: Mungu huwapa watu talanta maalum ili waweze kufanya huduma maalum katika ufalme. *Kama Vile Mwana Wa Adamu Asivyokuja Kutumikiwa, Bali Kutumika, Na Kutoa Nafsi Yake iwe fidia ya wengi- Mathayo 20:28. *Yesu was one who served among usluka 22: *Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na mawakili wa siri za Mungu. Hapo Tena Inayohitajiwa Katika Mawakili, Ndiyo Mtu Aonekane Kuwa mwaminifu. - 1 Wakorintho 4:1-2. *Kama Walio Huru, Ila Wasioutumia U huru Huo Kwa Kusitiri Ubaya, Bali Kama Watumwa wa Mungu. Waheshimuni watu wote. Wapendeni ndugu. Mcheni Mungu. Mpeni Heshima Mfalme. - 1 Petro 2: Talanta Maalum *Fumbo La Talanta - Mathayo 25. *Mungu anawapa Watu Karama Ya Ufundistadi Kutoka 31:1-11. *Hiramu wa Kutoka Tiro- 1 Wafalme 7 (v.13). MAla ya mziki-mungu huwapa watu wengine vipawa au talanta ili wamtumikie yeye. Hii inaweza kujumuisha vipawa kama; ufundi wa mikono, mziki, kushona, kupika au kuchora. *Kila Mmoja Kwa Kadiri Alivyoipokea Karama, Itumieni Kwa Kuhudumiana; Kama Mawakili Wema Wa Neema Mbalimbali za Mungu. Mtu Akisema, na aseme Kama Mausia ya Mungu; Mtu Akihudumu, Na Ahudumu Kwa Nguvu Anazojaliwa Na Mungu; ili Mungu Atukuzwe Katika Mambo Yote Kwa Yesu Kristo. Utukufu na Uweza Una yeye Hata Milele na Milele. Amina- 1 Petro 4: Somo La 5 Kazi za Karama Katika Kanisa [Tambua: hakuna picha kwa somo hili. Rejea kanisa na karama hapo juu.] 1. Karama zimetolewa ili kulijenda kanisa kwa ajili ya huduma, si kutumia karama hizo kuwatawala wengine. 2. Mungu anapenda tuwe waaminifu kwa madogo, tukionyesha kwamba tunaweza kukabidhiwa mambo makubwa. 3. Tunapaswa kuwaruhusu watu kutumia karama zao kwa ajili ya Mungu. 4. Mamlaka na uongozi katika kanisa vinahitaji kutekelezwa kwa lengo la kujenga siyo kubomoa. Lengo la karama ni Kuujengana kwa ajili ya Huduma, na sio kwa ajili ya kujenga uongozi ili kupata mamlaka na nguvu. *Malaki Ananena Juu ya Kufanya Huduma Vibaya - Malaki 2:7-17. *Ezekieli Ananena Juu ya Kufanya Huduma Vibaya - Eze. 22: *Sulemani alipewa Hekima - 1 Wafalme 3. *Mungu ametoa karama ili zimjenge kila mwamini akomae na kufanya huduma - Waefeso 4: *Mungu Anampango Maalum Kwa Kila Mmoja Wetu - Zaburi 139: *Bali yeye ahutubuye, asema na watu maneno ya kuwajenga, na kuwafariji, na kuwatia moyo. - 1 Wakorintho 14:3, 12. *Basi, Farijianeni na Kujengana Kila Mtu Na Mwenzake, Vile Vile Kama Mnavyofanya. - 1 Wathesalonike 5:11. *Ndugu, Twawasihi, Waonyeni Wale Wasiokaa Kwa Utaratibu; Watieni Moyo Walio Dhaifu; Watieni Nguvu Wanyonge; Vumilieni Na Watu Wote. - 1 Wathesalonike 5:14. *Wale wadhaifu hamkuwatia nguvu, wale wagonjwa hamkuwaponya, waliovunjika hamkuwafunga, waliotawanyika hamkuwarudisha, wala hamjawatafuta waliopotea; lakini mmewakandamiza kwa lazima. Wachungaji waovu hawawatii nguvu wadhaifu, kuwafunga bandeji waliojeruhiwa, kuwaleta wale waliopotea, au kutafuta waliopotea, badala yake waliwatawala kwa fujo, walijilisha badala ya kuwalisha kondoo, waliwalisha wale walionenepa na kuwanyima chakula wale wadhaifu - Ezekiel 34:1-31. Kila Mtu Lazima Awe Mwaminifu Kwa Madogo, na kisha apewe majukumu makubwa zaidi na *Fumbo la Talanta - Mathayo 25: *Maana Mungu si Dhalimu Hata Aisahau Kazi Yenu, Na Pendo Lile Mlilolidhihirisha Kwa Jina Lake, Kwa Kuwa Mmewahudumia Watakatifu, na Hata Hivi Sasa Mngali Mkiwahudumia. Nasi Twataka Sana Kila Mmoja Wenu Aidhihirishe Bidii Ile Ile, Kwa Utimilifu Wa Matumaini Hata Mwisho; Ili Msiwe Wavivu, Bali Mkawe Wafuasi Wa Hao Wazirithio Ahadi Kwa Imani na uvumilivu. - Waebrania 6: *Kwa sababu ninamjua Yule Niliyemwamini Na Nina Hakika Kwamba Anaweza Kukilinda Kile Nilichomwekea Amana Hadi Siku Ile. Endelea na Maneno Yale Ambayo Umeyasikia Kutoka Kwangu, Katika Imani Na Upendo Ulioko Katika Kristo Yesu. Linda, Ile Hazina Uliyopewa, Kupitia Kwa Roho Mtakatifu Akaaye Ndani Yetu - 2 Timotheo 1:8-14. Kila Mtu Sharti Awarusu Wengine Kutumia Karama Zao Za Kiroho. na *Paulo Anafundisha Juu Ya Matumizi Ya Karama Kanisani - 1 Wakorintho 12: *Diotrofe- 3 Yohana. *Kupanda na Kuvuna

46 Wakorintho 1; 3. *Kila mtu sharti sharti awaruhusu wengine kutumia karama zao za kiroho. La sivyo, mtu huyo ataumia, na uchungu huo utaenea mwili mzima - 1 Wakorintho 12: *Usiipuze karama ra roho iliyo ndani yako - 1 Timotheo 4: Mamlaka Na Uongozi vinahitaji kutekelezwa kwa njia ifaayo. [Uongozi kanisani sharti wakati wote msingi wa kanuni zake, taratibu zake, mtindo wake uwe katika njia za Mungu. Uongozi sharti ufanye mambo ambayo yanawajenga wale walio chini ya uongozi huo; kushughulikia ugomvi katika njia ya haki na ya upendo; na kuujenga mwili badala ya kuubomoa.] na *Mwenye kutawala akisikiliza uongo; Basi watumishi wake wote watakuwa waovu. - Mithali 29:12. *Paulo hakuja na maneno matamu, ulafi, na kutafuta utukufu kwa wadamu. Lakini, aliwajali kama mama anavyowatunza watoto wake au baba anavyowajali watoto wake - 1 Wathesalonike 2:5-12. *Mamlaka ya Paulo yalitumiwa kwa ajili ya kujenga si kubomoa. Alikuwa ni yule yule alipokuwa nao, na alipokuwa mbali nao. Si yule anayejipendekeza ambaye anapewa kibali, lakini yule anayethibitishwa na Bwana - 2 Wakorintho 10:8-18. *Mawakili wanapaswa kuwa waaminifu - 1 Wakorintho 4:2. Somo La 6 Uwakili wa Injili Sehemu ya 6: Mungu ametupa uwakili wa Injili. Makanisa milimani-mungu ametukabidhi uwakili wa Injili. Wakati tunapoendelea na maisha yetu, tunapaswa kuwaambia watu wengine ujumbe wa Injili. Kumbuka kuwa Injili inajumuisha habari ya wokovu na habari njema ya utawala wa Kristo katika maisha ya mtu. Mafundisho haya yote yanajumuisha mafundisho yote tuliyofunzwa na Yesu. *Mungu anawaita watu binafsi kumtumikia yeye. Paulo aliitwa na Mungu kupeleka Injili kwa Mataifa. Alimtumikia Mungu kwa njia hii, alishirikiana na kanisa, lakini vilevile aliweza kujitegemea. Sharti kuwe na tofauti ya huduma duniani. Huduma nyingine zinaweza kuanzishwa kupitia kwa kanisa, nyingine na watu binafsi, na nyingine kupitia kwa mashirika ya umisionari, au mashirika yasiyokuwa ya kibiashara. Mungu hawekewi mipaka na mwito wa mtu ama vyombo vya huduma. 1. Mungu ametupa uwakili wa Ujumbe, yaani Injili. 2. Kuna aina mbili za Injili ikatika Agano Jipya. Moja ni ile Habari Njema Ya Wokovu, na ile nyingine ni ile Habari Njema Ya Ufalme wa Mungu (Ufalme = Ubwana). 3. Tunapaswa kuutekeleza Mwito Mkuu hadi pale Yesu atakaporudi (kuihubiri Injili na kuwafanya watu kuwa wanafunzi). Habari Njema ya Wokovu *Filipo Anaenda Samaria Kuhubiri - Matendo 8:5. *Makanisa Yanatuma Wamisionari - Matendo 13:1-3. *Lidia Anampokea Yesu; Askari wa Magereza Ampokea Yesu Matendo 16: *Mahubiri Ya Petro- Matendo 2. *Kupaa Kwa Yesu Kwenda Mbinguni - Matendo 1:1-11. *Siku hadi Siku Wakristo wa Kanisa la Kwanza Walihubiri Injili - Matendo 5:42. *Mwito Mkuu - Mathayo 28: Nami Nitakushika Mkono, na Kukulinda, na Kukutoa Uwe Agano La Watu, Na Nuru Ya Mataifa; Kuyafunua Macho Ya Vipofu, Kuwatoa Gerezani Waliofungwa, Kuwatoa Wale Walioketi Gizani Katika Nyumba ya Kufungwa. - Isaya 42:6-8. *Kwa Maana Jinsi Hii Mungu Aliupenda Ulimwengu, Hata Akamtoa Mwanawe Pekee, Ili Kila Amwaminiye Asipotee Bali Awe na Uzima wa Milele - Yohana 3: Habari Njema ya Ufalme wa Mungu *Yesu Anawafundisha Wanafunzi wake - Mathayo 10; Marko 6:1-13; Luka 9. *Filipo Alihubiri Habari Njema ya Ufalme - Matendo 8:12.. *Mafumbo Ya Ufalme - Mathayo 13; 20; 25; Marko 4. *Paulo Anawashawishi Watu Juu Ya Ufalme wa Mungu Matendo 19 (v.8). *Kiwango cha Kuhubiri Ufalme - Matendo 28. Je, Mungu anakuitia nini? *Mwito Mkuu kuwafanya watu kuwa wanafunzi, kuwafundisha yote niliyowaagiza - Mathayo 28: * Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali. - Matendo 2: *Kuanzia wakati huo Yesu Alianza Kufundisha na Kusema, "Tubuni, Kwa Maana Ufalme wa Mungu Umekaribia - Mathayo 4:17. *Yesu Alienda Galilaya Yote, Akifundisha katika Masinagogi na Kuhubiri Injili ya Ufalme - Mathayo 4:23. *Basi Mtu Ye Yote Atakayevunja Amri Moja Katika Hizi Zilizo Ndogo, Na Kuwafundisha Watu Hivyo, Ataitwa Mdogo Kabisa Katika Ufalme Wa Mbinguni; Bali Mtu Atakayezitenda Na Kuzifundisha, Huyo Ataitwa Mkubwa Katika Ufalme wa Mbinguni. - Mathayo 5:1920. *Utafuteni Kwanza Ufalme wa Mungu - Mathayo 6:33. *Si Kila Aniitaye Bwana, Bwana Ataingia Katika Ufalme wa Mbinguni - Mathayo 7: *Injili Hii ya Ufalme Itahubiriwa Ulimwenguni Kote Kama Ushahidi kwa Mataifa Yote, Kisha Mwisho Utakuja - Mathayo 24:

47 Somo La 6 Marudio: Kuendelea Kuifuata Njia Nyofu Katika Uwakili Sehemu ya 6: Kaa katika njia ya Mungu Njia nyembamba inayoenda kwenye Kiti cha Enzi-Kumbusho tu ni kuwa kila kitu tunachofanya nyumbani, katika jamii na kanisani lazima kilingane na njia za Mungu. Kutembea kwetu ni kama ishara ya watu wanaotembea kwenye njia nyoofu na nyembamba nyumbani kwetu, makanisani na katika ulimwengu. 1. Njia nyembamba inatoka Sura yas 9 na 10. Sharti tufuate njia za Mungu majumbani mwetu, kanisani, na ulimwenguni. 2. Pepo wakifyatua mishale inatoka Sura ya 9. Shetani hujaribu kutupotosha kwa kujaribu kutufanya tusimwangalie Yesu. 3. Njia pana za upotevuni zinatoka Sura ya 10. Njia hizi zitatufanya tusiwe mawakili wazuri wa karama alizotupa Mungu. **Angalia Kutoka Sura ya 9 na 10 kwa marudio ya sehemu hii. Pepo wakirusha mishale-shetani hujaribu kutuvunja moyo, kutuvuruga akili au kutupotezea mwelekeo wa yale tunayopaswa kuwa tunafanya kumtumikia Mungu. Watu wakitembelea katika njia ya upotevuni-watu wengine wameyaacha kabisa majukumu yao na kufuata njia za upotevuni kama tulivyosoma katika sura ya 10. Somo La 7 Kumtumikia Mungu Katika Dhiki Sehemu ya 7a: Unapopitia wakati mgumu mtegemee Mungu. Mkono-Huu ni mkono wa Mungu. Wakati tunapopitia wakati mgumu, huwa tunajifunza kumtumaini Mungu. Paulo alikata tamaa maishani lakini akajua kumtumaini Mungu ambaye hufufua wafu. Sehemu ya 7b: Unapopitia wakati mgumu endelea kudumu katika Neno la Mungu na uwaombe watu wengine wakuombee 1. Unapopitia dhiki simama imara na uyashinde hayo yote. 2. Unapopitia wakati mgumu, kua katika kumtegemea Mungu. 3. Wakati wa shida, waombe marafiki walio karibu na Wakristo waliokomaa wakuombee. 4. Geuza dhiki zako ziwe ni nafasi za kumtumikia Mungu. 5. Kumbuka Kwamba Mungu ana nguvu kupitia udhaifu wetu. 6. Dumuni kuwa watumishi wa Mungu ili huduma zenu zisikose heshima. 7. Nawirishwa katika Neno la Mungu kila siku ili upate nguvu na hekima ili uweze kukabiliana na mambo magumu kwa njia ifaayo. *Paulo anasimulia mateso aliyopata huko Asia na jinsi alivyokabiliana nayo katika njia ya kiungu, Tunapaswa kuyaona mateso yetu kama faida kwa wengine, kwa kuwa watapokea upendo wa Mungu kupitia kwetu kukaa nao - 2 Wakorintho 1:8-14. *Paulo anasimulia jinsi alivyomwomba Mungu kumwondolea mwiba katika mwili wake, na jinsi Mungu alivyofanya kazi kupitia kwa udhaifu wake - 2 Wakorintho 12:7-11. *Tunapaswa kuendelea kuwa watumishi wa Kristo hata tunapopitia kila aina ya mateso 107

48 Watu wakiomba-katika wakati mgumu, tunapaswa kuwaomba rafiki zetu na waumini waliokomaa kutuombea. Kufanya hivyo kunaleta utukufu kwa Mungu wakatianapojibu maombi kwa wakati wake mwenyewe. Sehemu ya 7c: Unapopitia wakati mgumu, endelea kuwa mtumishi wa Mungu na utumie uzoefu wako kuwahudumia wengine. na dhiki, ikiwemo kutendewa vibaya - 2 Wakorintho 6:3-10. *Mateso hudhihirisha imani yetu kwa wengine - 1 Petro 1:6-7. *Musa anamtia moyo Yoshua kuwapeleka watu katika Nchi ya Ahadi - Kumbukumbu La Torati 3: *Paulo anawatia moyo waamini kwa kumtuma Timotheo, ili mateso yale anayopi tia Paulo yasiwavunje moyo katika imani yao - 1 Wathesalonike 3:2-13. *Tunapaswa kushiriki mateso ya Yesu Waebrania 10: *Neno la Mungu hutuburudisha, hutuongoza, hututia nguvu na kutupa hekima - Zaburi 119. *Tunapopitia jangwani, tunaweza kupata nguvu katika Neno la Mungu. Kaa katika njia zake hata unapopitia shida - Kumbukumbu La Torati 8:2-4. * Watie moyo waliochoka, na watie nguvu waliodhaifu kwa sababu Mungu ndiye anayelipiza na atageuza udongo uliokauka ububujike kwa maji mengi. Atatengeneza njia kuu ya utakatifu, na watu watakuja kwake na furaha ya milele Isaya 35:3-10. Mtu akimfariji mwenzake-tunapaswa kuwafariji wengine na upendo ule ule kama Mungu anavyotufariji sisi. Kufanya hivyo hufungua milango ya huduma mpya. Sehemu ya 7d: Kumbuka Mungu ana nguvu katika udhaifu wetu. Mtu akiugusa mwiba-nguvu za Mungu zinaweza kudhihirishwa katika udhaifu wetu.. Paulo alikuwa na mwiba katika mwili wake kutoka kwa shetani. Mwiba huu ulimzuia kujiinua. Paulo aliodhoresha mambo aliyokumbana nayo kama masumbufu, majaribu, dhiki na mafadhaiko. Haya yote yalimfanya Mungu kuonyesha uwezo wake katika udhaifu huo. 108

49 Sura ya 12 Kielelezo : Ufalme Ujao 109

50 110

51 Sura ya 12 Ufalme Ujao Ufafanuzi wa Jumla Kielelezo cha 12 ni picha ionekanayo ya Mbinguni, Uaminifu na Uthabiti wa Mwamini, na Ziwa la Moto. Picha ya juu ya ukurasa ni mandhari kutoka Mbinguni. Imekusudiwa kutumiwa kufundisha hatima ya wale wamkubalio Yesu kama Bwana na Mwokozi. Kama vile kitabu cha Ufunuo kitufunzavyo kuvumilia hadi mwisho, na tuendelee kumtumikia Mungu mpaka arudi, sura hii ya mwisho, ni himizo la kutufanya tubaki kuwa waamini thabiti wa Bwana Katikati ya Mbingu ni Kiti cha Enzi cha Mungu (kutoka Sura ya 1, 2, 3, 7, 8, 10, na 11). Kiko katikati mwa utendaji na matukio huko Mbinguni. Malaika wamekizunguka Kiti cha Enzi, na pia waamini kutoka kila kabila, taifa, mbari na wakati. Kutoka katika Kiti Cha Enzi kuna tiririka mto, unaoashiria Uzima wa milele. Mti wa uzima, kutoka Bustani ya Edeni, uko pande zote za mto ukitoa uponyaji kwenye majani yake. Mungu anafuta machozi kutoka machoni mwa mtu ambaye ameingia Mbinguni sasa hivi. Kando ya Kiti cha Enzi ni kitabu cha uzima, chenye majina ya wale waliomkubali Yesu kama Bwana wao na Mwokozi. Kuta, malango, na mahali pa kukaa mtu binafsi pa mji pamezunguka watu. Mji umejengwa na dhahabu na mawe masafi ya thamani, na malango yaliyotengenezwa na lulu moja moja. Watu wote na malaika wanamwabudu Mungu Kumbuka kuwa maelezo mengine kuhusu siku ya mwisho yameachwa nje kwa sababu ya nadharia tofauti na fasiri yalizo nazo makanisa na madhehebu mbali mbali. Kama vile mengi ya maandiko kuhusu siku za mwisho katika Biblia yalivyokuwa ya kuwatia moyo waamini waliopitia mateso makali, hapa yamejumuishwa kama njia ya kushawishi na kuhimiza. Yesu ametuahidi kwamba siku moja Atarudi, na kwamba kila jicho litamuona Akija mawinguni. Kishoroba kidogo cha picha katikati ya ukurasa, ni marejeo ya vitu tulivyojifunza katika mafunzo haya yote ambayo tunapaswa kufanya mpaka Yesu arudi. Kila kitu kati ya hivi kinaweza kupatikana chini ya chati Chini ya ukurasa ni picha ya Ziwa la Moto. Hapa ndio pahali pa mateso ya milele ya Shetani, mapepo, na wote ambao wamemkataa Yesu kama Bwana na Mwokozi. Malengo Ya Sura ya 12 Kuwahimiza waamini kuendelea kumtumikia Mungu katikati ya dhiki na mateso. Kuonyesha kushindwa kwa mwisho na hatima ya Shetani na pepo wake Kuelezea jinsi Biblia inavyosema Mbinguni kutakavyokuwa. Kuwatahadharisha watu juu ya ukweli wa Ziwa la Moto, na kuwahimiza waamini watumtumainie Mungu kwamba siku moja atakabiliana na adui zao. Kuwahimiza waamini wautekeleze Mwito Mkuu mpaka Yesu arudi. Sura Zinazohusiana Sura ya 1: Hatima ya viumbe wa kiroho. Sura ya 2: Kazi ya kufanya wanafunzi lazima iendelee. Sura ya 3: Mafundisho yote kuhusu siku za mwisho yanatakiwa yapimwe na. Sura ya 4: Tunapaswa tuwe tunajitahidi kumtii Mungu kwa sababu tunampenda. Sura ya 5: Wapinga-Krisma wote watatupwa katika Ziwa la Moto. Sura ya 6: Siku moja Yesu atarudi na tutamuona. Sura ya 7: Siku moja tutapatanishwa kabisa sisi kwa sisi na sisi na Mungu, kwani hatutakuwa katika miili yetu ya nyama tena. Sura ya 8: Shetani na mapepo wake, wale waendelezao dini za uongo, watatupwa katika Ziwa la Moto. Sura ya 9: Tutaendelea kukua kiroho mpaka tufikie kiwango cha ukomaavu ndani ya Yesu. Sura ya 10: Ishini kama viumbe vipya katika Kristo, badala ya kuishi katika njia za Ufalme wa Giza.. Sura ya 11: Tunatakiwa tuwe imara katika utumishi wetu kwa Mungu katika maeneo yote ya utumishi. Ufafanuzi wa Picha Somo La 1 Hatima ya Wale walio katika Ufalme wa Nuru Sehemu ya 1: Mbinguni ndio Hatima ya wale waliomkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi wao. 1. Mbinguni ndio Hatima ya wale waliomkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi wao. 111

52 2. Yesu anatuandalia mahali huko Mbinguni. 3. Kiti cha Enzi cha kiko katikati, na makutano ya malaika wamekizunguka. Mto unaotoa uzima unatiririka kutoka kwenye Kiti cha Enzi na Mti wa Uzima uko pande zote mbili za mto. Watu kutoka kila kabila, taifa, lugha jinsia, na wakati wamevaa mavazi meupe, wanamwabudu Mungu. Majani ya Mti wa Uzima ni kwa ajili ya kuyaponya mataifa. Yesu anafuta kila chozi machoni mwetu, hakuna kifo tena, uchungu, na mateso. Maelezo ya Mbinguni Mji una malaika, kiti cha enzi, mto, miti, kuta picha ya Mbingu kama ilivyoelezewa katika Ufunuo 19. *Kuabudu kule Mbinguni- Ufunuo 7:9-17. *Ni Nani Asitahiliye Kufungua Kitabu Cha Uzima- Ufunuo 5:1-14. *Mto na Mti wa Uzima- Ufunuo 22:15; Mwanzo 2:9; 3:24. *Mwishowe Mungu analeta haki- Isaya 60: *Yesu Anatuandalia Mahali- Yohana 14:2,3. *Mwanamke Kisimani, Yesu Ni Maji Ya Uzima- Yohana 4: * Kuna Mto, Vijito Vyake Vyaufurahisha Mji wa Mungu, Patakatifu pa Maskani Zake Aliye juu. Mungu yu Katikati Yake Hautatetemeshwa; Mungu Atausaidia Asubuhi na Mapema - Zaburi 46:4-5. *Mungu Ni Chemchemi Ya Maji Ya UzimaYeremia 2:13; 17:13. *Tunajua Kwamba Nyumba Zetu Za Huku Duniani Zikiharibiwa, Tunalo Jengo Kwa Mungu, Jengo Ambalo halijajengwa Kwa Mikono, Na Jengo Hilo Liko Mbinguni Na Ni La Milele. Inapendeza Kutoka katika mwilii huu na kwenda kuishi na Mungu Mbinguni- 2 Wakorintho 5:1-8. Sehemu ya 1a: Yesu anatuandalia mahali. Kuta zenye malango na nyumba zilizoshikamana na hizo kuta- Biblia inasema mji umejengwa na dhahabu mawe ya thamani. Yesu ametuandalia mahali. Sehemu ya 1b: Kiti cha Enzi katikati ya Mbingu. Kiti cha Enzi- Kiko katikati ya mji. Tazama Sura ya 1. Sehemu ya 1c: Malaika wengi sana wamekizunguka Kiti cha Enzi na wanamsifu Mungu na Mwanakondoo (Yesu). Malaika wamekizunguka Kiti cha Enzi- Biblia inasema maelifu ya malaika wamezunguka kiti cha enzi cha Mungu. 112

53 Sehemu ya 1d: Mto-utoao uzima unatiritika kutoka kwenye Kiti cha Enzi, na Mti wa Uzima unakua pande zote za Mto. Sehemu ya 1e: Watu kutoka kila kabila, taifa, wakati, jinsia, ukoo, nk. Wataishi kwa amani wao kwa wao na watamtumikia na kumwabudu Mungu pamoja huko Mbinguni. Mto na miti- Mto unaotiririka kutoka kwenye Kiti cha Enzi cha Mungu unawakilisha Uzima wa milele na Usafi. Miti ni Mti wa Uzima ulioko pande zote za mto kule Mbinguni. Majani yake yako kwa ajili ya kuponya mataifa. Waamini katika umoja- Watu kutoka kila kabila, taifa, wakati, jinsia, ukoo, nk. Wataishi kwa amani wao kwa wao na watamtumikia na kumwabudu Mungu pamoja huko Mbinguni.. Sehemu ya 1f: Yesu atatufuta kila chozi machoni mwetu. Hakutakuwa na uchungu tena, kilio, au mateso. Mtu analia mbele za Kiti cha Enzi- Yesu atatuponya na kufuta kila chozi. Somo La 2 Hatima ya Mwisho kwa wale walio katika Ufalme wa Giza Sehemu ya 3a: Kila goti litapigwa mbele za Yesu. Na kila mtu atasimama mbele za Mungu katika Hukumu ya Kiti Kikuu cha Enzi Cheupe. Kitabu kilicho kando Kiti cha Enzi- Kitabu cha Uzima. Yeyote ambaye jina lake liko katika Kitabu cha Uzima anaingia katika Uzima wa milele na Mungu. Wale wote ambao majina yao hayakuandikwa ndani yake, watatupwa katika Ziwa la Moto. *Mjue Yesu kibinafsi kabla hajarudi, kabla hujachelewa. Sehemu ya 3b: Mtu yeyote ambaye jina lake halitapatikana katika Kitabu cha Uzima, atatupwa katika Ziwa la Moto. 1. Siku moja Mungu atawahukumu watu wote katika Hukumu ya Kiti Kikuu cha Enzi Cheupe. 2. Kila goti litapigwa na kila ulimi ukiri kwamba kwa kweli Yesu ndiye Bwana. 3. Watu watahukumiwa kulingana na matendo yao na uhusiano wao na Yesu. 4. Yeyote ambaye jina lake halikuandikwa katika Kitabu cha Uzima atatupwa pamoja na Shetani na malaika wake katika Ziwa la Moto ambako kutakuwa na kulia na kusaga meno. 5. Majina katika Kitabu cha Uzima yanajumuisha tu wale ambao wamemkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi. Hawa wataruhusiwa kuingia Mbinguni. 6. Usiache kumjua Yesu kama Bwana na Mwokozi wako. *Yohana tells of the Great White Throne Judgment- Ufunuo 20:11-1. *The separation of the sheep and the goats- Mathayo 25: *It Is Appointed Unto Men That They Die Once, And After This Comes The JudgmentWaebrania 9:27. *When the Bwana Returns, He will Repay With Affliction those who have Afflicted believers, and deal out retribution to those who do not know Mungu with Eternal destruction- 2 Wathesalonike 1:3-12 (v. 6). 1. Mtu yeyote ambaye jina lake halitapatikana katika Kitabu cha Uzima, atatupwa katika Ziwa la Moto. 2. Wale waliomkataa Yesu kama Bwana na Mwokozi wao, Shetani, pepo, Wapinga-Kristo, 113

54 wauaji, walozi, wale wanaofanya uchawi, na wazinzi watatupwa katika Ziwa la Moto milele yote 3. Roho za watu ni za milele. Wale katika Ziwa la Moto wataishi katika mateso milele. Shetani, mapepo, na watu wengine ndani ya motoziwa la Moto. Hii ndiyo hatima ya mwisho ya Shetani, wapinga-kristo, na wale wamukataao Yesu kama Bwana na Mwokozi wao. * Yesu Anafundisha Juu Ya Kushindwa Kwa Mwisho Kwa Shetani Mathayo 25:41. * Yuda Anafundisha Kuhusu Mwisho Wa Pepo - Jude 1:67. * Mfano Wa Wanawali Kumi - Matt 25:1-13. * Mfano Wa Tajiri Na Lazaro - Luka 16: * Yesu Na Mwizi - Luka 23:43. * Shetani, Pepo, Wapinga Kristo, Wauaji, Wachawi, Wazinzi, Wote Wanatupwa Katika Ziwa La Moto wa Milele - Ufunuo 20:10; 21:8; Ufunuo 21:8; Mathayo 25:41,46; 2 Wathesalonike 1:8-10. *Siku ya Bwana itakuja kama mwizi usiku. Wengine watakuwa wanasema amani, lakini hawatapona. Msilale kama walalavyo wengine, bali kuweni macho, na kuishi katika njia zinazompendeza Mungu - 1 Wathesalonike 5:1-11. Somo La 3 Uthabiti/Kuimarika Hadi Mwisho Sehemu ya 3a: Endeleeni kuwa Imara katika ukuaji wa kiroho na kumtumikia Bwana hadi Arudi. Picha kutoka sura za awali (Kuangalia tena sura zilizotangulia): maelezo ya vitu vyote tutakiwavyo kufanya hadi Yesu arudi. Kufundisha familia zetu kuwa wanafunzi, kufuata amri za Mungu, kutembea katika njia nyembamba, kuwa chumvi na nuru, Yesu kama Bwana mioyoni mwetu, Kuteseka kwa ajili ya Yesu, kuwapatanisha watu na Mungu na watu na watu; vita vya kiroho, kutumia vipawa vyetu kumtumikia Bwana na kujitumikia sisi kwa sisi. Mafundisho kwa ajili ya Somo La 3a: 1. Endeleeni kuwa imara katika ukuaji wa kiroho na kumtumikia Bwana hadi arudi. 2. Kueni katik kupendana ninyi kwa ninyi. 3. Kueni katika Kumjua Mungu. 4. Kueni katika Uchanganuzi. 5. Kueni katika Usafi. 6. Ambieni watu juu ya imani yenu na kufanya mataifa wawe wanafunzi. **Tazama pointi hapo chini. Kuendelea kuwa Imara hadi mwisho * Lakini zikumbukeni siku za kwanza, ambazo, mlipokwisha kutiwa nuru, mlistahimili mashindano makubwa ya maumivu. pindi mlipotwezwa kwa mashutumu na dhiki, na pindi mliposhirikiana na wale waliotendewa hayo. Maana mliwaonea huruma wale waliokuwa katika vifungo, tena mkakubali kwa furaha kunyang'anywa mali zenu, mkijua kwamba nafsini mwenu mna mali iliyo njema zaidi, idumuyo. Maana mnahitaji saburi, ili kwamba mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu mpate ile ahadi. Kumbukeni siku za kwanza mlipovumilia pingamizi kali, mliwaonea huruma wale waliokuwa katika vifungo na mkakubali kunyang anywa mali zenu mkijua kulikuwa na mali njema zaidi huko Mbinguni. Basi msiutupe ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kuu. Yeye hapendezwi na wale warudio nyuma, bali hufurahishwa na wale waishio kwa imani - Waebrania 10:32-36.*Wale Waaminio Huendelea Kuwa na Bidii Maishani Mwao- Waebrania 11. *Lakini Yule Atakayevumilia Hadi Mwisho, Ataokolewa- Mathayo 24:13; Ufunuo 2:10.Somo La 2.a Kuendelea kuwa Imara*Vumilieni na mwendelee kuamini katikati ya mateso na dhiki. Hukumu ya Mungu Adilifu itakuona unastahili kuingia Ufalme wa Mungu, ambao unautabikia- 2 Wathesalonike 1:3-10 (v.5). *Mungu hatasahau yale yote tunayomfanyia, kwa hiyo msilegee, bali waigizeni wale ambao kupitia kwa imani na saburi hurithi ahadi Waebrania 6: * Lakini Roho Anasema Wazi Kwamba Siku Za Mwisho Wengine Wataanguka Kutoka kwa Imani, Wakifuata Roho danganyifu na Mafundisho ya mapepo - 1 Timotheo 4:1-2. *Paulo anaonyesha uaminifu Wake na utumishi katikati ya shutuma za uongo- 2 Wakorintho 6. +Kwa Kukua katika Upendo wa Sisi kwa Sisi * Wageni wanatoa ushuhuda kanisani kuhusu upendo wa waamini Yohana 1:5-6; Filemoni 1:5; 1 Wathesalonike 3:6; 2 Wathesalonike 1:3; Col. 1:4, 8; Waefeso 1:15. * Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikilia upendano wa ndugu usio na unafiki, basi jitahidini kupendana kwa moyo. - 1 Petro 1:22. *Kuweni na saburi kama mkulima mkingojea kuja kwa Bwana. Msinung unikiane. Kumbuka matokeo ya kuvumilia kwa Ayubu. Msiape- Yakobo 5:7-12. * Yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, na matusi vinywani mwenu. Hapo hapana Myunani wala Myahudi, mtumwa wala mwungwana, bali Kristo ni yote, na katika yote. jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu. Sameheaneni. Amani Ya Kristo naitawale mioyoni mwenu. Tumeitwa katika Mwili Mmoja- Col. 3:5-15. *Paulo anaomba kwamba pendo letu lizidi kuwa jingi sana, katika ufahamu wote wa Mungu- Philp. 1:9-11. *Kila Mmoja Amchukiaye Ndugu Yake Ni Mwuaji, Na Mnajua Kwamba Hakuna Mwuaji Mwenye Uzima wa milele Kukaa Ndani Yake. Yatoeni maisha yenu kwa ninyi kwa ninyi- 1 Yohana 3: *Bwana naaelekeze mioyo yenu katika kumpenda Mungu na katika uthabiti wa Kristo- 2 Wathesalonike 3:5. +Kwa Kukua katika Kumjua Mungu *Kornelio- Matendo 10: *Apolo- Matendo 18: * Yesu anafasiri kwa Wanafunzi wake - Luka 24:27.*Kukua katika Ujuzi/Ufahamu- Waebrania 5:11-6:2. *Mtu Mwenye Hekima Atasikiliza na Aongeze Kujifunza Kwake, Na Mtu Mwenye Ufahamu Atapata Ushauri Wenye Hekima- Mithali 1:5. +Kwa Kukua katika Utambuzi 114

55 * Petro akiri Kwamba Yesu Ndiye Kristo - Mathayo 16: * Mwanamke Mkanaani anaongea na Yesu - Mathayo 15: * Mwanamke mwenye hekima wa Tekoa - 2 Samueli 14. * Ombi la Sulemani la Utambuzi - 1 Wafalme 3; 4: Paulo anaombea utambuzi wa waamini ukue- Philip. 1:9. Kila mwenye utambuzi huenenda katika njia za Bwana, waovu hukwaa katika njia hizo- Hos. 14:9. Neno la Mungu huleta hekima, lilieni utambuzi, tafuta hekima kutoka kwa Mungu, na hofu ya Bwana, kisha utaweza kutambua uadilifu na haki- Mithali 2: Kwa Kukua katika Utakaso kama Yesu * Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo. Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu - 1 Yohana 3:2-3. *Vijana wanapaswa kuwa mfano wa imani kwa utakaso wao- 1 Timotheo 4:12. +Hubiri Injili na kufanya wanafunzi. *Yesu Anatoa Mwito Mkuu- Mathayo 28: * Mungu anawaambia Waisraeli wawafundishe watoto wao njia zake kwa bidii kila siku - Kumbukumbu La Torati 6. * Tunamhubiri habari zake tukimwonya kila mtu, na kumfundisha kila mtu katika hekima yote, tupate kumleta kila mtu mtimilifu katika Kristo - Col. 1: Sehemu ya 3b: Mungu atahukumu ubora wa kazi yetu na kutupa thawabu kwa kila kitu tulichomfanyia. 1. Mungu atahukumu ubora wa kazi yetu tuliyomfanyia. 2. Mungu atatupatia thawabu kwa kila kitu tulichomfanyia. 3. Taji ya Uadilifu. 4. Thawabu ya Urithi. 5. Taji ya Uzima. 6. Watu kuletwa kwa Kristo. 7. Taji ya Utukufu. 8. Thawabu kwa kupitia mateso kwa ajili ya uadilifu. * Zawadi Katika ShereheYa Harusi Ya Mbinguni - Luka 14: Taji kando ya Kiti cha Enzi- Kule Mbinguni tutapokea thawabu fulani. Thawabu hizi zinajumuisha: taji ya uzima, taji ya uadilifu, taji ya utukufu, na thawabu kwa kuwaleta watu kwa Kristo. *Ubora wa utumishi wetu utapewa thawabu. *Taji Ya Uzima- Yakobo 1:12; Ufunuo 2:10. *Taji Ya Utukufu- 1 Petro 5:4. *Watu Walioletwa Kwa Kristo Ni Taji- 1 Wathesalonike 2:19; Philip. 4:1. *Taji Ya Uadilifu- 2 Timotheo 4:8. *Zawadi ya Urithi- Col. 3: *Zawadi ya kupitia mateso kwa ajili ya uadilifu- Mathayo 5: *Mungu Atapima Ubora Wa Kazi Yetu. Ikiwa Kutabaki yoyote, Atapokea zawadi. Ikiwa yoyote itachomeka, Atapata Hasara; Bali Yeye Mwenyewe Ataokolewa - 1 Wakorintho 3: Yule Aliyeanza Kazi Nzuri Ndani Yenu Ataikamilisha Mpaka Siku ile Ya Kristo Yesu- Wafilipi. 1:6. *Msiweke hazina hapa duniani, bali wekeni Mbinguni. Mahali itakapokuwa hazina yako, hapo moyo watu pia utakuwa - Mathayo 6:1921. *Kuweni Imara bila kutikisika katika kazi ya Mungu, kutaabika kwenu sio bure- 1 Wakorintho 15:

56 Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike, msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote, kwa kuwa mwajua ya kwamba taabu yenu siyo bure katika Bwana. 1 Wakorintho 15:58 Juu ya Mwandishi: Tammie Friberg ana Shahada ya Uzamili ya Uungu katika Lugha za Biblia kutoka Southwestern Baptist Theological Seminary. Ameandika na kuongoza mafunzo ya Biblia kwa ajili ya Wycliffe Bible Translators katika Summer Institute of Linguistics kule Duncanville, TX, na mashirika mengine mbalimbali na makanisa kule Dallas, Ft. Worth, Eneo la Texas Kwa sasa zaidi, yeye na mumewe, Joe, ni waanzilishi na wakurugenzi wakuu wa Equip Disciples, shirika lisilo la kibiashara la 501 ( c ) 3 la misheni ya kuwafanya watu kuwa wanafunzi wa Yesu. Wanaongoza makongamano ya kufanya wenyeji wanafunzi na ya uongozi kule Costa Rica kwa ajili ya Wahindi wa Cabecar, kule Ghana, Kenya, Rwanda, na DR Congo. Kwa sasa kazi hii iko katika lugha nne, Kingereza, Kihispania, Kiswahili, Kinyarwanda, na hivi karibuni itakuwa KiCabecar na Kichina. Wana watoto watatu, Joel, Michael, and Jessica. EquipDisciples.org 116

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

Agano Lililofunikwa Kwa Damu Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The Blood-Sealed Covenant) 1 Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Oktoba 14, 2012 Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The

More information

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Mwanzo 1:1 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi. Wakolosai

More information

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu. Waebrania 9:28. KUJA KWA KRIST0 MARA YA PILI "ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28. Mara nyingi sana kuja kwa Kristo mara ya pili huangaliwa tu kama fundisho la dini. Ni

More information

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI Utambulisho Grace Communion International ni muungano wa washiriki kutoka pembe mbali mbali za dunia hasa nchi zenye washiriki kwa sasa ni 100. Wito wetu ni

More information

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUHTASARI WA UTANGULIZI WA THIOLOGIA YA USHIRIKA WA NAFSI TATU ZA UUNGU. GRACE COMMUNION INTERNATIONAL LIVING AND SHARING THE GOSPEL MUNGU ANADHIHIRISHWA NA

More information

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT 1 Ushindi Ndani ya Kristo Na W. W. Prescott Mfasiri: M. Mwamalumbili Victory in Christ - Kiswahili 2 Yaliyomo Alinipenda Mimi Aliishi kwa ajili Yangu Mimi Alikufa

More information

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College Theolojia 1 Ujumla Mike Taylor Semester 1 2014-2015 Munguishi Bible College MIKE TAYLOR 2014 THEOLOJIA 1 i THEOLOJIA Utangulizi! 1 1. Kumfahamu Mungu katika Injili! 3 1.1. Mawazo Makuu 3 1.2. Maana ya

More information

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Nabii Musa alipotoka mlima Sinai kupewa amri kumi za Mungu zilizoko kwenye kitabu cha Kutoka 20:1 17, Mungu alimpa na sharia zingine ambazo lengo lake

More information

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown. General Editors.

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown.   General Editors. Kanuni Muhimu za Kujifunza Biblia na Mchungaji Drue Freeman General Editors Dan Hawkins & Joseph Brown a publication of www.villageministries.org Kanuni Muhimu za Kujifunza Biblia 2013 na Village Ministries

More information

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23 Toleo X Toleo 23 WEWE NI NANI? (Habari ifuatayo ni hadithi ya mambo ambayo yamenakiliwa katika Matendo 19:10-20 SUV). Paulo mtume wa Yesu Kristo alihubiri katika mji wa Efeso kwa miaka miwili. Katika muda

More information

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani?

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? na Ellis P. Forsman Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? (Why Did Jesus Die On The Cross?) 1 Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? na Ellis P. Forsman Oktoba 17, 2011 Kwa Nini Yesu

More information

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w MAMLAKA Tunamshukuru Bwana kwa vile alivyo na yale aliyoyatenda. Tukiweza tu kumfikiria hata tukiwa na mahitaji mbalimbali, yeye atatutimizia. Tusiwatazame watu, tusijitazame sisi wenyewe, tumtazame Mungu

More information

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ukristo leo unadhihirisha waumini karibu bilioni mbili katika maelfu ya madhehebu tofauti na tofauti na madhehebu. Kati ya hizi, zaidi ya 500 madhehebu

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

FORWARD BY DANIEL SZMIOT

FORWARD BY DANIEL SZMIOT FORWARD BY DANIEL SZMIOT 2017 marks the 40th anniversary of the start of Lighthouse Ministry. As in all wars, soldiers continue to fight the battle for the body, mind, will, and emotions. We as Christian

More information

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu.

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu. Tazama Yuaja Kuhusu Toleo Hili. Kuna makanisa mengi duniani yanayo dai kuwa yanafundisha ukweli. Yote pia yana mafundisho tofauti yaliyo mafundisho na desturi ya watu. Muungano wa makanisa na uwongozi

More information

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai.

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai. WAKOLOSAI MTAALA I. MAELEZO KWA UJUMLA. A. Mwalimu: Don Walker B. Mkalimani: Chris Mwakabanje C. Kila darasa linachukua takribani dakika 38. II. III. MAELEZO NA MALENGO. A. Kujifunza kwa kina Waraka kwa

More information

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1 Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia na Ellis Forsman Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1 Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia na Ellis Forsman Oktoba 8, 2011 Inavyodaiwa

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu?

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? (Attitude Towards Christ Do you Honor Him?) Na Ellis P. Forsman (4-Attitude Towards Christ - Do you Honor Him) 1 Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? (Attitude Towards

More information

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman Oktoba 11, 2011 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 2 Kifo

More information

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI?

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? JOE CREWS 1 JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? Na Joe Crews (Hotuba Na. 16 ya Mambo ya Kweli Yanayoshangaza) Mfasiri: M. Mwamalumbili Is It Possible To

More information

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1 Aina Tatu Za Ibada na Ellis Forsman Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1 Aina Tatu Za Ibada na Ellis Forsman Octoba 15, 2011 Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 2 Aina Tatu Za Ibada Yoh.

More information

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA Dynamic Churches International Simeon Oyui P. O. Box 798-00515 Bukubura, Nairobi, Kenya EAST AFRICA Email: ncc_africa@yahoo.com Dynamic Churches International 164 Stonegate

More information

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI Toleo 14 BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI Hazina ya maelezo kutoka

More information

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika (A Summary Of Arguments For And Against Individual Communion Cups) Na J D Logan Communion Cups) 1 Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi

More information

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo Na Andrew Connally 1 YALIYOMO Milango ya Kitabu: Ukurasa: 1. Mungu-Kuwako kwake na hali yake 03 2. Huyo Kristo-Nafsi yake na kazi yake 12 3. Maandiko Matakatifu ni yenye

More information

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1 Silaha Za Shetani na Ellis Forsman Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1 Silaha Za Shetani na Ellis Forsman Oktoba 15, 2012 Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 2 Silaha Za Shetani 2 Kor. 2:11

More information

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema,

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema, NGUVU Utangulizi Kwas miaka mingi nimemtafuta Bwana ili aachilie mazingira mazuri ya uwepo wake, nguvu na utukufu wake kudhihirika. Tumeona na kujua matokeo ya yale Bwana ametufunulia. Ikiwa unatafuta

More information

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi Na Itafunika Wingi Wa Dhambi na Ellis Forsman Na Itafunika Wingi Wa Dhambi (And Shall Hide A Multitude Of Sins) 1 Na Itafunika Wingi Wa Dhambi na Ellis Forsman Oktoba 10, 2011 Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

More information

Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves)

Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves) Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves) Na Ellis P. Forsman Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves) 1 Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu Na Ellis P. Forsman Oktoba 7, 2011 Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu

More information

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14).

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14). 41 Uponyaji Wa Laana Ijapokuwa baraka ni kinyume cha laana, kuna mambo yanayofanana katika vitu hivyo. Ni maneno yaliyotajwa, yaliyoamriwa, au kuandikwa katika Biblia kwa nguvu na mamlakao ya kiroh kwa

More information

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa.

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa. Waefeso Mtaala I. Habari kwa Ujumla A. Mkufunzi: Don Walker na kutafsiriwa na Chris Mwakabanje B. Kila darasa ni takribani dakika 38. II. Maelezo na Kusudi A. Mafunzo haya ni uchambuzi wa kina katika Waefeso,

More information

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1 Watumishi Wa Kristo na Ellis P. Forsman Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1 Watumishi Wa Kristo na Ellis P. Forsman Oktoba 14, 2011 Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 2 Sisi ni watumishi Watumishi

More information

United Pentecostal Church June 2017

United Pentecostal Church June 2017 Kwa Nini Tusali? Jarida la Maombi ya Wanawake Kimataifa "Chagua" Ladies Prayer International kwa Facebook United Pentecostal Church June 2017 Tuko na wafuasi Facebook katika Marekani, Hong Kong, Philippines,

More information

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE Toleo 10 BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE UBATIZO WA MUUMINI Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa

More information

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB Tunawezaje kudhihirisha msingi wa Kibiblia wa tumaini letu na kulithibitisha kwa Wakristo na kwa wasioamini walioshirikishwa? Tunawezaje kutamka matumaini yetu kwa Wabunge, kwa wafanya biashara au kwa

More information

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen 1 Index latest update 26. feb. 2008 WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen Wafunaji wa nafsi ABC Mark 16:15-20 Huduma/uiinjilisti Wakristo wachache sana wameitikia mwito wa

More information

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha UTARATIBU WA KANISA Tumemaliza hivi punde ule mkutano mkubwa wa siku, tano usiku kwenye Maskani, ambapo, kwa neema ya Mungu na kwa msaada Wake, nimejaribu sana, kwa Maandiko, kuliweka Kanisa la Bwana Yesu

More information

MSAMAHA NA UPATANISHO

MSAMAHA NA UPATANISHO Hakimiliki 2007-2017 na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa. MSAMAHA NA UPATANISHO na Jonathan M. Menn B.A., Chuo Kikuu cha Wisconsin-Madison, 1974 J.D., Cornell Law School, 1977 M.Div., Trinity Evangelical

More information

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa, UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, MEI 2014 Na Rais Thomas S. Monson Upendo Asili ya Injili Hakika hatuwezi kumpenda Mungu kama hatuwapendi wasafiri wenzetu katika safari hii ya maisha duniani. ninafurahia mawazo

More information

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE IMANI NA MATENDO IMANI NA MATENDO Hotuba na Makala za Ellen G. White Masomo kutoka katika Hotuba zake Kumi na Tisa zilizotolewa Nzima au kwa Sehemu kuanzia mwaka 1881

More information

Rahisi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Kitabu cha mwanafunzi. Rahisi

Rahisi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Kitabu cha mwanafunzi. Rahisi Rahisi kitengo cha 2 Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Rahisi Rahisi Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na Mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho Mtakatifu, na kupigana dhidi ya

More information

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi kitengo cha 2 Iliyoendelea sana Iliyoendelea sana Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Iliyoendelea sana Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na Mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho

More information

Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza

Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza 143 Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza Zaidi ya thuluthi moja ya huduma ya Yesu ya uponyaji ilihusu kuwaweka watu huru kutokana na nguvu za giza. Sisi ambao ni wanafunzi wake, je, tunatarajia

More information

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu 134 Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu Picha tuliyonayo kuhusu Mungu ni mojawapo ya kizuizi kikubwa cha kupata uponyaji wetu. Mara nyingi huwa hatujui vizuri kwamba Mungu anatupenda kwa hivyo angependa

More information

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA ONYO LA MWISHO KWA DUNIA Mpango wa Ulimwengu Mpya Unakuja!. Viongozi wa Ulimwengu. Jinsi ya kuukwepa usiwe wanautaka mhanga. Unaungwa mkono na. Kuanguka kwake ghafula wengi na kwa ukamilifu. Ulitabiriwa

More information

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke- Kusudi la Maisha hawatakuambia nini walihitimisha kupitia uchunguzi au hoja ya uchambuzi. Katika hali nyingi, hakika wao kukuambia nini mtu mwingine alisema... Au wao watakuambia nini kawaida kudhaniwa

More information

PDF created with pdffactory trial version

PDF created with pdffactory trial version المملكة العربية السعودية وزارة التعليم العالي الجامعة الا سلامية بالمدينة المنورة عمادة البحث العلمي قسم الترجمة تعريف موجز بالا سلام بل( لغة السواحلية) ١ بسم االله الرحمن الرحیم MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU

More information

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven)

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman The Rapture And Millennialism 1 Kifo Na Mbingu Na Ellis P. Forsman Octoba 11, 2011 The Rapture And Millennialism 2 Kifo Na Mbingu Heb. 9:27 Ili kufika

More information

Maisha Yaliyojaa Maombi

Maisha Yaliyojaa Maombi (A Prayer-Filled Life) na Terry Warford (A Prayer-Filled Life) 1 (A Prayer-Filled Life) na Terry Warford Nov 5, 2011 (A Prayer-Filled Life) 2 Sura ya nne nay a tano ya kitabu cha Ufunuo ni vifungu vinavyovutia.

More information

Maisha Ya Mkristo Ni Nini?

Maisha Ya Mkristo Ni Nini? Maisha Ya Mkristo Ni Nini? na Ellis P. Forsman Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 1 Maisha Ya Mkristo Ni Nini? na Ellis P. Forsman Oktoba 17, 2011 Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What

More information

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi. Iliyoendelea sana

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi. Iliyoendelea sana kitengo cha 3 Iliyoendelea sana Iliyoendelea sana Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Iliyoendelea sana Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho

More information

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com katoliki.ackyshine.com SALA ZA ASUBUHI Kwa jina la Baba.. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,Mwana na Roho. Nilinde tena siku hii,niache dhambi nikutii.naomba sana

More information

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO 1 RISALA FUPI copyright Hidaya Creativity, publishing Department. P.O. BOX 44799, 00100, GPO, NAIROBI-KENYA. Haki

More information

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa, UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, MEI 2013 Utiifu Huleta Baraka Elimu ya ukweli na majibu ya maswali makuu huja kwetu tunapokuwa watiifu kwa amri za Mungu. Ndugu na dada zangu wapendwa, nina shukrani jinsi gani

More information

Uponyaji wa Vitu na Mahali

Uponyaji wa Vitu na Mahali 77 Uponyaji wa Vitu na Mahali Watu wengine huwa hawaamini kwamba vitu au mahali panaweza kuingiliwa na athari za uovu. Kwa watu hao wasioamini, itakuwa vigumu kubishana na watu ambao wameishi mahali palipoingiliwa

More information

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka 0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11

More information

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1 Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) na Ellis P. Forsman Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1 Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) na Ellis P. Forsman Oktoba 15, 2011 Mzabibu

More information

Rahisi. Kitabu cha mwanafunzi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Rahisi

Rahisi. Kitabu cha mwanafunzi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Rahisi kitengo cha 3 Rahisi Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Rahisi Rahisi Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho Mtakatifu, na kupigana na dhambi

More information

Kiu Cha umtafuta Mungu

Kiu Cha umtafuta Mungu ZAIDI YA NAKALA MILLION 3 ZIMECHAPISHWA KATIKA LUGHA 59 KOTE DUNIANI K Kiu Cha umtafuta Mungu Huduma ya Daktari Richard A. Bennett ilianza katika mabaraza ya miji. Akiwa mwanafunzi chuoni, alikumbana na

More information

MAFUNDISHO YA UMISHENI

MAFUNDISHO YA UMISHENI MAFUNDISHO YA UMISHENI UINJILISTI NA UANAFUNZI Muhtasari: Elekeza kwa mada ilioko hapa chini nayo itakuelekeza kwa mada hiyo. I. Lengo la Sehemu Hii II. Uhusiano kati ya Uinjilisti na Uanafunzi III. Kwa

More information

# 18 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa

# 18 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa 119 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa Kukataliwa ni mojawapo ya mitindo ya Shetani ya ukandamizaji. Kukataliwa kunaweza kumzuia mwenye dhambi kumjia Mungu ili apate wokovu na kumzuia Mkristo kuufikia uwezo

More information

Roho Mtakatifu Ni Nini?

Roho Mtakatifu Ni Nini? Roho Mtakatifu Ni Nini? kwa ajili ya mkutano. Mkutano huu utakuwa tofauti, kidogo na ile ya kawaida tunayokuwa nayo hapa. Kwa kawaida, kila wakati tunapokuja pamoja hapa, ni mkutano kwa wa kwa ajili ya

More information

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa mabingwa itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Mkuu Inahitaji dhabihu. Unahitaji kujisukuma hadi mwisho wako. Lakini nakupa ahadi hii,

More information

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010 Uongozi Siri Na Larry Chkoreff Version 1.2 Desemba 2010 Kimetafsiriwa na kuchapishwa na: Cistern Materials Translation & Publishing Center, Nairobi, Kenya Barua pepe: info@cisternmaterialscenter.com www.cisternmaterialscenter.com

More information

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala Kushangilia Kwa Sala Jarida la Maombi ya Wanawake Kimataifa Kushangilia Kwa Sala Na Wanda Fielder United Pentecostal Church April 2017 Kuwa alimfufua katika kanisa tangu kuzaliwa, daima aliamini Neno la

More information

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia 34567 APRILI 15, 2013 Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia UKURASAWA 3 NYIMBO ZA KUTUMIWA: 114, 113 Juni 10-16 Jinufaishe na Uwanufaishe Wengine kwa KutumiaNenolaMungu UKURASAWA 18 NYIMBO ZA KUTUMIWA:

More information

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI Asante, Ndugu Neville, Bwana akubariki. Bila shaka ni, majaliwa kuwa hapa usiku wa leo. Nina furaha sana ya kwamba Mungu alituruhusu

More information

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU?

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU? KWA NINI SISI SI MADHEHEBU? Nimejaliwa kurudi mimbarani tena baada ya kama,, nadhani, karibu kutokuwepo kwa muda wa miezi mitatu. Kindi wamekuwa na wakati mgumu, na mimi pia. Loo, nimeburudika, hata hivyo,

More information

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Ngumu. Ngumu. Kitabu cha mwanafunzi

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Ngumu. Ngumu. Kitabu cha mwanafunzi Unit 1 kitengo cha 2 Ngumu Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Ngumu Ngumu Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na Mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho Mtakatifu, na kupigana dhidi

More information

MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA

MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA 133 134 MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA Ni heri nione mahubiri kuliko kusikia moja siku yeyote ile. Ni heri mtu atembee nami kuliko kunionyesha njia. Jicho ni mwanafunzi mzuri na mwenye hamu kuliko sikio. Mausia

More information

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa na Ellis P. Forsman Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa (Reconciled-Justified-Sanctified) 1 Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa na Ellis P. Forsman Oktoba 14, 2011 Patanishwa,

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Oktoba-Desemba

Oktoba-Desemba Oktoba-Desemba 2014 1 Habari za Unabii wa Biblia 8 13 24 Katika toleo hili: 25 28 33 3 MwanaFiladelfia wa Karne ya 21 ni nani? Je, Yesu alifundisha kwamba kungekuwepo na tofauti kubwa baina ya Wakristo

More information

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu na Ellis P. Forsman God) 1 Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu na Ellis P. Forsman Oktoba 7, 2011 God) 2 Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu Mat. 6:24-34 Yesu alitoa maelezo haya

More information

UNABII WA HABARI ZA BIBLIA

UNABII WA HABARI ZA BIBLIA CCOGAFRICA.ORG Aprili-Juni 2017 UNABII WA HABARI ZA BIBLIA African Conference 2017 in Nairobi Kenya Kutoka kwa Mhariri: Kongamano la Afrika 2017.Kanisa la Mungu Linaloendelea Makabila 12 ya Waisraeli wako

More information

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10.

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10. 6-15 Mei 2005. MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10. Kujenga kifuniko cha maombi juu ya mabara yote ya ulimwengu. Kufurikisha Jamii zetu kwa Maombi. Anzisha vituo vitakavyofukuta

More information

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO Sasa, kama ye yote ana swali lo lote wanalotaka kulileta,, basi, hebu yasogezeni tu juu hapa, acha mtoto fulani ayalete au vyo vyote mtakavyo. Au, labda, tukimaliza

More information

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org ( Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Haja Ya Dini Haja Ya Dini Author(s): Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi [3] Publisher(s): Bilal Muslim Mission of Tanzania [4] Katika kijitabu

More information

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA SOMO LA KWANZA UTANGULIZI KWA TORA For videos, study guides and other resources, visit Third Millennium Ministries at thirdmill.org. 2014 nathird Millennium Ministries Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

H. M. Baagil, M. D. WAMY Studies on Islam

H. M. Baagil, M. D. WAMY Studies on Islam Mazungumzo ya Mwislamu na Mkristo H. M. Baagil, M. D. WAMY Studies on Islam 1 YALIYOMO Muhtasari wa Mtunzi... 4 Utangulizi... 6 MAZUNGUMZO... 8 Biblia Takatifu... Error! Bookmark not defined. Imani ya

More information

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn TAFSIRI YA BIBLIA Mwandishi Jonathan M. Menn B.A., University of Wisconsin-Madison, 1974 J.D., Cornell Law School, 1977 M.Div., Trinity Evangelical Divinity School, 2007 Equipping Church Leaders-East Africa

More information

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Ngumu. Ngumu. Kitabu cha mwanafunzi

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Ngumu. Ngumu. Kitabu cha mwanafunzi kitengo cha 3 Ngumu Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Ngumu Ngumu Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho Mtakatifu, na kupigana na dhambi zetu

More information

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU? KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?, Asante, Ndugu Neville, na habari za jioni, marafiki. Nimerudi tena. Sikupata ila masaa manne asubuhi ya leo. Hiyo ni aibu. Na baada ya

More information

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu.

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu. ALAMA YA MNYAMA Sasa, kesho usiku Daima tunaonyesha jambo moja,, Bwana Yesu Kristo, ni hivyo tu, na lo lote ambalo ni mapenzi Yake ya Kiungu kwetu kufanya. Lakini kama ni mapenzi Yake ya Kiungu kesho usiku,

More information

KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA

KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA Kimechapishwa na Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu la Siku za Mwisho Mjini Salt Lake, Utah 1992, 1999, 2001, 2006 na Intellectual Reserve, Inc.

More information

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI?

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI? Jarida la Dunia Yerusalemu Mpya Mchungaji Tony Alamo Makanisa Ulimwenguni Kote Taifa la Kikristo la Alamo Mchungaji Tony na Susan Alamo, Okestra, na kwaya katika kipindi chao cha kimataifa cha televisheni.

More information

Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania

Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania na Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad wa Qadian Masihi Mauʻudi na Imam Mahdi as Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania HOTUBA YA SIALKOT Tafsiri ya Kiswahili ya: Lecture Sialkot (Urdu) Imeelezwa na: Hadhrat

More information

PICHA JALADANI. Naye ataona ni upuuzi usiopimika akiambiwa radio haikutengenezwa na yeyote bali ilijitengeneza:

PICHA JALADANI. Naye ataona ni upuuzi usiopimika akiambiwa radio haikutengenezwa na yeyote bali ilijitengeneza: PICHA JALADANI Mwamini mageuzi (evolution) huamini viumbe na hayawani, hata mimea vyote vilifikia hali yake kwa ugeukaji wa karne nyingi: Havikuumbwa, vilijiumba. Naye ataona ni upuuzi usiopimika akiambiwa

More information

Wanawake katika Uislamu

Wanawake katika Uislamu Wanawake katika Uislamu Ukilinganisha na Wanawake katika Mafundisho ya Kiyahudi-Kikristo: Hadithi za kubuni na uhakika DR. SHERIF ABDEL AZIM Ph.D. - QUEENS UNIVERSITY, KINGSTON, ONTARIO, CANADA Yaliyomo

More information

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa, UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, NOVEMBA 2011 Na Rais Thomas S. Monson Simama Pahali Patakatifu Mawasiliano na Baba yetu aliye Mbinguni pamoja na maombi yetu Kwake na maongozi Yake kwetu ni muhimu ili tuweze

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara

MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara 1 MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara 1. UTANGULIZI Miaka 500 ya matengenezo ya Kanisa inatufanya tuangalie nyuma na kuona jinsi Mungu alivyotumia wanadamu

More information

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE Habari za asubuhi, wapendwa. Hebu na tuendelee, kusimama kwa muda kidogo tu. Mungu mpendwa, sisi, tulio kwenye wakati wa mahangaiko na kakara za maisha, tumetulia kwa

More information

Kwa Kongamano Kuu 2016

Kwa Kongamano Kuu 2016 The Upper Room za Kwa Kongamano Kuu 2016 Selected from The Upper Room Disciplines with Invited Writers SIKU 60 ZA SALA Kwa Kongamano Kuu 2016 2016 na Upper Room Books. Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato 1 Mafungu yote yaliyonukuliwa kwa ruhusa kutoka katika Biblia ya Kiswahili Union Version 1952 (Ilishahihishwa 1989) ISBN 978 Haki miliki 2013 Haki zote zimeifadhiwa

More information

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine.

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine. HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWENYE IBADA YA KUWEKWA WAKFU NA KUINGIZWA KAZINI ASKOFU MARTIN FATAELI SHAO WA DAYOSISI YA KASKAZINI YA KANISA LA

More information

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba YEHOVA-YIRE 1 Na tuendelee kusimama tu kwa muda kidogo wakati, tumeinamisha vichwa vyetu kwa maombi. Tunapoinamisha vichwa vyetu, sijui ni wangapi usiku huu wangetaka kukumbukwa katika maombi, una jambo

More information