UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA

Size: px
Start display at page:

Download "UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA"

Transcription

1 UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA

2 Dynamic Churches International Simeon Oyui P. O. Box Bukubura, Nairobi, Kenya EAST AFRICA Dynamic Churches International 164 Stonegate Close Airdrie, Alberta T4B 2V2 Canada. Vifungu vya Biblia vilivyonakiliwa katika kitabu hiki vyote ni kutoka kwa Biblia Habari Njema toleo la 1995, na ile ya muungano wa mashirika 1994, 1952, Dynamic Churches International. Haki zote zimehifadhiwa. ii

3 UKUFUNZI WENYE NGUVU YALIYOMO Ukurasa 1. Kumjua Kristo kama mwokozi wangu Kujua asili ya Mungu Kuzungumza na Mungu Kumtambua Yesu kama Bwana wangu Kudai Yesu kama uzima wangu Vita vya kiroho Kuishi katika jamii ya kanisa langu Kuwafikia wengine Mapenzi ya Mungu kuhusu maisha yangu ya usoni Wakati Wangu na Mungurecodi ya Kusoma Bibilia. 133 Fafanua njia ya Maisha Yenye Nguvu. 135 Sheria za Ujumla kwa Walimu 137 Cheti cha Kuhitimu 143 iii

4 iv

5 MAELEZO YA SOMO LA KWANZA Kwa kukamilisha somo hili la kwanza nita: (Tia alama ya kukamilisha) MATAYARISHO (Hakuna matayarisho muhimu kabla ya mkutano wa somo la kwanza na mwanafunzi wako). KUTANA NA MWALIMU 1. Juaneni. Shirikianeni vile mlivyo kuja kumjua Kristo kibinafsi 2. Shiriki sababu na malengo ya Ukufunzi Wenye Nguvu. wa Mmoja-kwa-Mmoja (ona kanuni za kawaida za walimu). 3. Nakili tarehe, wakati na mahali pa ushirika ili muweze kupitia masomo yote nane. Nakili katika kalenda yako. 4. Pitia orodha ya dibaji na uangalie jinsi kila somo limeweza kujengwa na lingine. 5. Onyesha jinsi Ukufunzi Wenye Nguvu unavyo husiana na njia ya maisha yenye nguvu. Mwalimu atakamilisha na aeleze picha iliyo ukurasa wa pili. 6. Pamoja kamilisheni mafunzo yote ya somo la kwanza. Yawezekana msikamilishe katika mkutano mmoja; endeleeni wakati mtakapo kutana tena). Hakikisha kuwa unajua unao uzima wa milele. 7. Endelea kukamilisha somo la pili. Matayarisho ya kila somo lazima uyakamilishe kabla ya kukutana wakati ujao. Tarehe Saa Mahali 8. Funga kwa maombi. 1

6 Vijana Kuabuda Huduma Zingine Misingi Mfululizo wa Maishi Yenye Nguvu Ukufunzi Kundi Dogo Kundi Dogo Mmoja-Kwa-Mmoja Kikundi cha Uhai = Ushirika Kikundi cha Uhai Kuingizwa katika huduma Kukunzwa kwa Kiongozi + Utembezi wa Wageni Jamii 2

7 UKUFUNZI WENYE NGUVU Somo la kwanza KUMJUA YESU KAMA MWOKOZI WANGU Kumjua Mungu ndilo tendo hasa kamilifu linaloweza kujulikana na mtu. Hebu jaribu kufikiri! Yeye aliye umba mbingu na nchi ametuwezesha tupate kumjua binafsi. Yesu mwenyewe alisema, "Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe, Mungu wapekee wa kweli na Yesu Kristo. Yohana 17:3. Yawezekana kwamba umempokea Kristo kama mwokozi wako ama unajifunza kueleza wengine jinsi ya kumjua Mungu kibinafsi. Somo hili linaweza kukusaidia kuelewa umuhimu wa uhusiano wako na Mungu. Mungu ni mkuu zaidi ya ufahamu wako, ili hali amechagua kujionyesha binafsi kwetu. Kulingana na Mariko 12:30. Yesu anatuamurisha tumpende Mungu kwa nafsi zetu zote. Kujitoa kwa nia yako Kujitoa kwa moyo wako Kujutoa kwa nafsi yako Kujitoa kwa nguvu zako Kwa sababu ya kutii sheria zake, Yesu anasema kwamba atajidhihirisha kwetu". (Yohana 14:21) Kumjua Yesu Kristo ndio ufunguo wa kumjua Mungu. 3

8 1. KUJITOA KWA NIA YAKO - AKILI Tunastahili kuelewa ukweli kuhusu Yesu Kristo. Yesu Kristo alichukuliwa mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu na kuzaliwa na bikira Mariamu karibu miaka elfu mbili iliopita. Mamia ya miaka kabla, manabii wakuu wa Israeli walitabiri kuja kwake. Agano la kale, iliyoandikwa na watu wengi kwa kipindi cha miaka 1,500 lina nakili ya ushahidi 300 kuhusu kuja kwake. MANABII WALITABIRI MAISHA YAKE Mipangilio ya Kristo Unabii Utimilifu 1. Alizaliwa na Isaya 7:14 Mathayo 1: Mahali pake pa kuzaliwa Mika 5:2 Mathayo 2:1 3. Aina ya kifo chake Isaya 53:4,5 Zaburi 22:16 Mathayo 27:26 Luka 23:33 Katika umri wa miaka 30 Yesu alianza huduma yake kamili. Kwa miaka mitatu alitufunza umuhimu kamili na sababu ya maisha. Maneno yake yalikuwa kweli kuhusu maisha, uhusiano, fedha, kifo na zinginezo. JE, WALIOMJUA WALIWAZA NINI KUHUSU KRISTO? Binanu yake Yohana mbatizaji. Yohana 1:29-30 Mtume Yohana. Yohana 1:1-14 Tomaso. Yohana 20:25-28 Je, Yesu alimaanisha nini aliposema hivi? Yohana 14:8-11 4

9 Je, maadui wa Yesu waliweza kutafsiri vipi kuhusu yale Yesu aliyoyasema kujihusu? Yohana 5:18 Kumekuwa na viongozi wengi wakidini katika historia. Yesu alikuwa wakipekee na tofauti. Mohammed alikuwa nabii tu Buddha (kwa ufahamisho wake) alikuwa mtu ambaye hakutambua utaua Confucius alikuwa mwalimu wa maadilili tu. Yesu alidai kuwa "Mungu" WEWE KUWA HAKIMU Je, Wafikiri Yesu alimaanisha nini? Yohana 10:30 Yohana 14:9 Luka 22:70, 71 Je, kufufuka kwake kutoka kwa wafu yamaanisha nini kumhusu Yesu? Warumi 1:3, 4 Je, wasema Yesu ni nani? Kwa nini? KUELEWA MAKUSUDIO YA KUJA KWAKE Je, kulikuwa na hitaji gani kwamba Yesu Kristo atoke Mbinguni na aje ulimwenguni kufa msalabani? Isaiah 52:2; Yohana 17:3 Ni nini iliyo mshawishi kufa? Yohana 3:16 Je, ni gharama gani inayostahili kwa dhambi zetu? Warumi 6:23 5

10 Kwa sababu ya kifo chake, ni dhawabu ipi anayotupa badala ya kifo (Kutengwa na Mungu)? Je, Yesu alitekeleza nini kwa ajili yetu? 1Petro 1:3, 4 na Je, kufufuka kwake kulileta nini kati yetu na Mungu? 1Petro 3:18 Soma Waebrania 9:22. Kama Kristo angekufa kwa ajili ya dhambi zetu, je, ingewezekana wewe kusamehewa na Mungu? Kwa nini? / Kwanini hapana? Maisha bila Kristo Yako na: Dhambi Utengamano Kusumbuka Yesu Kristo Maisha ndani ya Kristo Yako na: Amani Msamaha Uzima wa milele Kwa akili yako lazima uelewe ukweli kumuhusu Yesu Kristo na madai yake na kwa imani, uyatambue kwamba ni ya kweli. Yeye hawezi tu kupokelewa kama mtu mwema. Anapaswa kukubalika kama yulemungu aliyesema ndiye au akataliwe kama mwongo mkubwa ulimwenguni. 2. KUJITOA KWA MOYO WAKO - HISIA Sote tumeumbwa kwa mfano wake Mungu. (Mwanzo 1:26, 27) Kwa hivyo "tumeumbwa kwa jinsi ya ajabu". (Zaburi 139:14) Kila mtu ameumbwa kwa kipekee na hisia tofauti. Utu tofauti na kuishi tofauti. Mtu mmoja aweza kuwa na hisia zenye nguvu zaidi, hali mwingine yawezekana kuwa mtulivu na mpole. Hisia zako zitatofautiana wakati mwingine na hazipaswi kuzingatiwa mno. Watu wengine wanakosa kuwa na uhusiano sawa na Mungu kwa sababu ya kutegemea hisia zao badala ya kile Mungu asemacho kwa neno lake. 6

11 Hebu fikiria watu wawili tofauti na jinsi walivyo chukulia maisha yao walipompokea Kristo. Mtume Paulo. Matendo 22:6-10 Je, ungeeleza vipi kuhusu maisha yake? Je, maisha ya Lidia yalitofautiana vipi na ya Paulo? Matendo 16:14, 15 Je, wote walikuwa na maisha makamilifu mbele ya Mungu? Je, umepitia nini kuja kumjua Kristo zaidi kama Paulo ama Lidia? Imani sio Hisia - Funguo Warumi 1:17 "Mwenye haki ataishi kwa imani" Waebrania 11:6 "Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu" Warumi 14:23 "Kila tendo lisilo toka katika imani ni dhambi" Hisia yaweza ama yaweza kosa kuambatana na maisha yako ya wokovu. Hisia zinatufautiana na wakati; sio yakutegemewa katika imani. Kilicho muhimu ni, Je waweza kuamini kile ambacho Mungu amesema? Imani kwa Mungu inamaanisha kuamini na kusadiki kile anachosema. 3. KUJITOA KWA NAFSI YAKO - AKILI Kutumia akili nikuchagua utakacho. Chaguo lako litakuwa la sawa kama litaambatana na neno la Mungu. Soma Yohana 3:36. Je, changuo la sawa litakuwa lipi? Matokeo yatakuwa gani? Chaguo gani litakalokuwa halifai Ni nini kitakachotokea? 7

12 Je, tunawajibika kutenda nini? 1 Yohana 3:23 Tukiamua kutomuamini Kristo, basi kamwe hatutajua mapenzi yake. (1Yohana 7:17) Chagua kuamini ukweli huu! KRISTO AMEKUJA MAISHANI MWAKO. Soma ufunuo 3:20 Je, mlango ni nani? Ahadi ya Kristo ni nini? Wajibu wetu ni nini? Wajibu wake ni nini? Kulingana na fungu hili, kama, kwa imani, utafungua mlango wa moyo wako na kumkaribisha Yesu Kristo aingie maishani mwako awe Bwana na mwokozi wako, je, ataingia? DHAMBI ZAKO ZILISAMEHEWA Soma Wakolosai 2:12-14 Ni dhambi ngapi zako zilizosamehewa? Jinsi yakukabiliana na hisia za majuto baada ya kuwa na uhakika kwamba Mungu amekusamehe. (a) (b) (c) Tambua yanatoka wapi (Ufunuo 12:10) - Shetani. Dai/Kiri ushindi (Warumi 8:1) hakuna hukumu Ishi kwa imani (1Yohana 1:7) - Tembea katika nuru Unapotenda dhambi, yakupasa kufanya nini? 1Yohana 1:9 Hebu tukome sasa na kwa ukimya kukiri dhambi zetu na tudai ahadi ya Mungu ya msamaha wa dhambi zote ambazo tunazijua maishani mwetu. 8

13 UMEFANYIKA KUWA MWANA WA MUNGU Soma Yohana 1:12, 13 Ni watu gani ambao wamezaliwa kiroho katika jamii ya Mungu? Ulipompekea Kristo, ulifanyika nini? ULIPOKEA UZIMA WA MILELE Soma I Yohana 5:11-13 Kulingana na fungu hii, ni nani aliye na uzima wa milele? (Fungu la 11-12) Kama mtu hajampokea Kristo maishani mwake, je, ni nini lingine anakosa? (Fungu la12) Kulingana na Fungu 13, Je, waweza kujua kana kwamba una uzima wa milele? Je, wajua kwamba una uzima wa milele? Kwa ratibu gani? 4. KUJITOA KWA NGUVU ZAKO - MWILI KILE TUNACHOTENDA KAMA WAKRISTO NI MUHIMU Soma Wakolosai 3:9, 10 Je, sasa hatupaswi kutenda nini? Yatupasa tuwache nini? 9

14 Tumevaa nini? _ Je, twauwishwa kwa ufahamu wa umbo la nani? Kama vile buu anavyogeuka kuwa kipepeo na hamu mpya ya maisha mapya pia sisi tunageuzwa kutoka kwa "ufalme wa giza kuelekea katika ufalme wa Mwana mpendwa wa Mungu ". (Wakolosai 1:13, 14). Warumi 12:2 yasema "Wala msimfuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu". Yatupasa kuishi kama watoto wa Mungu wenye tamanio mpya na maisha mapya. (1 Yohana 4:17) HUWEZI KUOKOKA KWA SABABU YA MATENDO MEMA! Soma Waefeso 22:8-10 Ni kwa ratiba gani ulipokea wokovu? (Fungu la 8) Je, matendo mema yanauhusiano upi na wokovu wako? (Fungu la 9, 10) Kama hauna uhakika na wokovu wako, waweza kumpokea Kristo sasa hivi kwa chaguo lako? Hapa kuna ombi la kuomba. Bwana Yesu, mimi ni mwenye Dhambi na siwezi kujiokoa mwenyewe. Nakushukuru kwa kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu. Sasa ninakukaribisha maishani mwangu na kukupokea kama Mwokozi na Bwana wangu. Asante kwa kusamehe Dhambi zangu na kunipatia uzima wa milele. Sasa ninakupatia usukani wa maisha yangu na kukuamini kuishi "Maisha yako ya milele" kunipitia mimi kama upendavyo. Kama umemkaribisha Kristo maishani mwako, sasa au mbeleni, yuko wapi sasa katika ushirika nawe? Ufunuo 3:20 Ni kwa mamlaka yapi unajua? USHAHIDI WA KUMJUA YESU KAMA MWOKOZI WANGU Marko 12:30 yasema "Nawe umpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote". Tumetazama sehemu yetu, ambavyo ni kujitoa kabisa kwa utu wetu kwa kujitoa kwake katika ukamilifu kwetu. Tutokapo nje kwa imani Mungu ana hahikisha kwamba tumezaliwa kiroho. 10

15 USHAHIDI WA NENO LA MUNGU Tunapokamilisha matarajio ya Mungu yanavyofunuliwa kwa neno lake utajua kwamba umtoto wa Mungu. 1Yohana 5:13 yasema; utajua kwamba una uzima wa milele. USHAHIDI WA ROHO MTAKATIFU. Warumi 8:16 yasema; Roho Mtakatifu anatueleza sisi ni watoto wa Mungu. USHAHIDI WA UPENDO WETU 1Yohana 4:7, 8 na I Yohana 3:14 yasema; kwamba tutajua tumepita kutoka kwa mauti hadi uzima tunapopenda Wakristo wengine. USHAHIDI WA MAISHA YALIYO BADILIKA. Soma 1Yohana 2:3-6 Tunapotii amri zake, inaonyesha nini? (Fungu la 3) Tunapotii neno lake matokeo yatakuwa yapi? (Fungu la 5) Tutajuaje kwamba tuko ndani yake? (Fungu la 5, 6) 11

16 MAWAIDHA ISHI KATIKA UJASIRI WA UHUSIANO WAKO NA KRISTO! Wiki hii nakili ushahidi/mabadiliko yako ya kumjua Kristo kama Mwokozi. Nakili hasa mifano katika. 1. Upendo wako kwa Wakristo wengine. 2. Mabadiliko maishani mwangu. 12

17 MAFUNZO ZAIDI KATIKA SOMO HILI NDANI YA KRISTO MIMI NI: 1. Mtoto wa Mungu kwa sababu nimezaliwa mara ya pili. 1 Petro 1:23 2. Nimesamehewa dhambi zangu zote. Waefeso 1:7; Waebrania 9:14 Wakolosai 1:14; 1 Yohana 1:9, 2:12 3. Mimi ni kiumbe kipya. 2Wakorintho 5:17 4. Mimi ni hekalu la Roho Mtakatifu. 2 Wakorintho 6:19 5. Nimekombolewa na laana ya sheria. 1 Petro 1:18, 19; Wagalatia 3:13 6. Nimebarikiwa. Kumbukumbu la torati. 28:1-4; Wagalatia 3:9 7. Mimi ni Mtakatifu. Warumi 1:7; 1 Wakorintho 1:2; Wafilipi 1:1 8. Mtakatifu na asiye na hatia mbele zake. 1Petro 1:16, Waefeso 1:4 9. Nimechaguliwa. Wakolosai 3:12; Warumi 8: Nimetiwa nguvu hadi mwisho. 1Wakorintho 1:8 11. Nimeletwa karibu kupitia damu ya Kristo. Waefeso 2: Mimi ni mridhi pamoja na Kristo. Warumi 8: Nimetiwa muhuri na Roho Mtakatifu wa ahadi. Warumi 8: Ndani ya Kristo kwa kazi yake. 1 Wakorintho 1: Nimekubaliwa na wapendwa. Waefeso 1:6 16. Nimekamilika ndani yake. Wakolosai 2: Nimepatanishwa na Mungu. 2 Wakorintho 5: Nimeitwa kwa Mungu. 2 Timotheo 1:9 19. Limbuko la viumbe vyake. Yakobo 1: Tumechaguliwa. 1Wathesalonike 1:4; Waefeso 1:4; 1Petro 2:9 21. Kwa mapigo yake Yesu tumepona. 1Petro 2:24; Isaiah 53:5 22. Tunapendwa na Mungu. Wakolosai 3:12; Warumi 1:7; 23. Tumefichwa na Kristo ndani ya Mungu. Wakolosai 3:3 NIMEPOKEA 24. Nimepokea Uridhi. Waefeso 1: Nimepata kumkaribisha Baba kwa Roho Moja. Waefeso 2:18. 13

18 14

19 MAMBO YA KUTIMIZA KWA SOMO LA PILI Kukamilisha somo hili nita: (tia alama ya kukamilisha) MAANDALIZI 1. Tayarisha kunakili kutoka kwa ufahamu wako. Yohana 3:16 2. Soma Zaburi Nakili chini mafundisho ya mchungaji. Ukitumia maandalizi ya ujumbe. 4. Kamilisha matayarisho yote katika somo la pili, "Kujua asili ya Mungu." IKAMILISHE NA MWALIMU (KIONGOZI) 1. Kwa ufupi eleza maelezo muhimu katika somo la Kwanza. Jadilianeni mambo ya kutenda. 2. Nakili kutoka kwa akili yako Yohana 3: Kagua kwa kusoma Zaburi Jadilianeni mafundisho yaliyo nakiliwa katika funzo la mchungaji. 5. Nakili somo la pili. Ukitilia mkazo ukuu wa Mungu wetu. 6. Rudia "Mambo ya kutimiza kwa somo la tatu" "maandalizi " ya somo yastahili kukamilishwa kabla ya mkutano ujao. Tarehe Wakati Mahali 7. Funga kwa maombi. 15

20 16

21 UKUFUNZI WENYE NGUVU Somo la Pili KUJUA ASILI YA MUNGU. Ukweli wa ajabu umepewa kwetu katika Danieli 11:32b. Lakini watu wamjuao Mungu wao watakuwa hodari na kutenda mambo makuu! Sote twapenda kuishi maisha yaliyo na mazao na yenye nguvu katika tabia. Kwa hivyo, yatupasa, "Kumjua Mungu wetu". Kutomjua Mungu ni kuishi maisha kama kipofu, asiye na mwelekeo wa kule aendako na kukosa ufahamu wa kile kinacho endelea miongoni mwetu. Katika somo hili, tutaangalia asili ya Mungu na kutambua kinacho mtenga yeye kando na tofauti nasi. Kumuelewa Mungu kutatusaidia kuelewa maana ya maisha yetu ya kila siku JE, WAMJUA MUNGU KIASI GANI? Je, wang ang ana na mambo ya maisha ama waishi kwa ujasiri kuwa Mungu ameshikilia usukani? Hautakuwa wa kawaida utakapoanza kuishi katika nuru ya yale utakayojifunza kuhusu Mungu wako. Wale ambao wameweza kuishi maisha ya ushindi kupitia wakati mgumu wao ni zaidi ya washindi, kwa sababu wamemjua Mungu wao, wameelewa ukuu wake na wakatii. Kila utu wa uungu - Baba, Mwana na Roho Mtakatifu wanafanana katika hali na asili. Uasili wa mungu unaweza kuonekana kwa njia mbili: 1. TABIA ZINAZO NA UKWELI UNAOMUHUSU MUNGU. NI MKUU NI WA MILELE HABADILIKI MWENYE NGUVU ANAJUA KILA KITU YUKO KILA MAHALI 2. TABIA ZINAZODHIHIRISHA MUNGU ANAPOLINGANISHA NA VIUMBE VYAKE. UTAKATIFU HAKI KUTOBAGUA UPENDO 17

22 Soma vifungu vifuatavyo kisha unakili alama muhimu utakayojifunza kuhusu kila asili ya uungu. Eleza vile utakavyoishi kulingana na kile ulichofahamu kumuhusu Mungu. 1. TABIA ZINAZO MUHUSU MUNGU. NI MKUU - Mungu ni kiongozi mkuu juu ya viumbe vyake vyote. Biblia inasema. Zaburi 103:19 Warumi 9:20, 21 Yamaanisha: Vitu vyote viko mikononi mwake. Mungu hutenda apendavyo na nguvu zake mbinguni na watu wake duniani. Hatuwezi kumsimamisha wala kuwa na mamlaka ya kumuuliza maswali. (Danieli 4:35 na Isaya 55:8, 9) Mungu ananifunza mimi NIWA MILELE Mungu alikuwa wa milele na atakuwa wa milele siku zote. Biblia yaeleza: Isaya 44:6 Ufunuo 1:8 1Timotheo 1:17 Yamaanisha: Kwa kuwa Mungu ni Mungu, njia zake, asili yake, na vitendo vyake viko juu ya Ufahamu wetu. Maelezo yote ya kuishi kwake yako ndani yake. Mungu hana vipimo au mipaka ya aina yeyote katika asili yake au Ufalme wake. 18

23 Mungu ananifunza mimi HABADILIKI - Asili ya Mungu haibadiliki, hali yake na mapenzi yake. Yeye hana sababu ya kubadilika, na hawezi kamwe kubadilishwa. Bibilia yatueleza: Zaburi 102:25-27 Waebrania 13:8 Yamaanisha: Mapenzi ya Mungu kamwe hayatabadilika. Mapenzi yake ni kuwabariki watu wake na kuwavuta watu wote kwake. Twaweza kumuamini yeye kulitimiza neno lake tunapotii kanuni zake. Mungu ananifunza mimi NI MUWEZA YOTE - Mungu anazo nguvu zote. Anaweza kutenda vyote na chochote kulingana na mapenzi yake. Biblia yatueleza: Ayubu 42:2 Waefeso 3:20 Yamaanisha: Nguvu za Mungu zinaonyeshwa kwa; 1. Kuumba Mbingu na Dunia (Mwanzo 1:1) 2. Kutunza vitu vyote (Waebrania 1:3) 3. Kutoa wokovu (Warumi 1:16) 4. Kutujali sisi (I Petro 5:6, 7) 19

24 Mungu ananifunza mimi ANAJUA VYOTE - Mungu nimkamilifu na ana ufahamu kamili kuhusu kile kilicho pita, sasa na usoni. Biblia yatueleza: Zaburi 139:1-6 Waebrania 4:13 Yamaanisha: Mungu anajua mawazo yetu, hisia zetu, tamanio zetu, na siri zetu. Hakuna kinacho mpata Mungu kwa ghafla. Kwa mfano, Mungu alipokukubali kama mwanawe na akakupa uzima wa milele alikuwa na ufahamu kamili wa jinsi utakavyo kuwa na utakayoyatenda. Mungu ananifunza mimi YUKO KILA MAHALI - Mungu yuko kila mahali ulimwenguni wakati wote katika asili yake kamilifu. Bibilia yaeleza: Methali 15:3 Yeremia 23:23, 24 Yamaanisha: Kwa wakati wa hitaji, tunahakika kua Mungu yuko karibu nasi sana hata ijapokua hatumuhisi. Hatuwezi kujificha kutokana na Mungu. Anajua kamili yanayotendeka katika mataifa, katika kanisa na maishani mwetu binafsi. 20

25 Mungu ananifunza mimi 2. TABIA ZINAZOMFUNUA MUNGU ANAVYOSHIRIKI NA VIUMBE VYAKE. MTAKATIFU. Tabia ya Mungu ni kamilifu na safi kabisa katika asili ya utu. Biblia inasema: Ayubu 34:10 Isaya 57:15 I Petro 1:14-16 Yamaanisha: Mungu ni Mtakatifu kabisa katika kila wazo na kitendo. I Petro 1:16 yasema, mtakuwa watakatifu kwa maana mimi ni mtakatifu" Haya yanawezekana tu ninapo mruhusu Roho Mtakatifu aishi ndani yangu apendavyo. Mungu ananifunza mimi NI MWENYE HAKI - Mungu kila wakati hutenda yaliyo ya sawa. Kwa maana yeye ni Mungu. Chochote atendacho ni chema kabisa kwa kuwa yeye ni ukweli mtupu. Matendo yake yanasukumwa na upendo wake. Biblia inasema: Kumbukumbu la Torati 32:3, 4 Warumi 8:28 Yamaanisha: Mawazo ya Mungu kamwe ni mema. Anapo tupatia mwelekeo maishani mwetu, twaweza kuhakikisha kwamba ni ya kweli na 21

26 sawa, hata kama yanaonekana kinyume cha mapenzi yetu na hekima yetu. Mungu ananifunza mimi HABAGUI - Mungu hana ubaguzi na ni mwenye haki katika matendo yake. Katika uamuzi wake (mwamuzi wa haki). Yeye hutunuku haki na kuhukumu dhambi. Biblia yaeleza: Nehemiah 9: Wathesalonike 1:3-10 Yamaanisha: Mungu, aliye hakimu wa wote, atahakikisha kwamba haki yote imetimizwa. Hii ni ya kuwapa moyo wale ambao wanagandamizwa katika maisha haya. Na ni onyo kwa wale watendao maovu. Mungu huchukia uovu na atawaadhibu watendao maovu. Mungu anatuuliza tuishi maisha ya sawa yenye haki na ametuwezesha sisi kupokea haki yake kupitia kifo cha Yesu Kristo. (2 Wakorintho 5:21) Mungu ananifunza mimi UPENDO - Mungu ni mkamilifu na mwenye upendo wa milele. Yeye hutoa upendo wake bure na bila kuangalia wema wa yule ampendae. Tendo kuu la upendo lililo onyeshwa na Mungu kwetu sisi ni kumtuma Yesu afe kwa ajili ya dhambi zetu. (Warumi 5:8) 22

27 Biblia inasema: Yohana 3:16 Warumi 8:37-39 Yamaanisha: Upendo wa Mungu hauna mpaka. Upendo wake haubadiliki, yeye hutupenda kikamilifu. Na ameweka upendo wake ndani yetu. (Warumi 5:5) Yesu Kristo yuaishi ndani yetu na anatuwezesha sisi kupenda wenzetu kama vile atupendavyo sisi. (1Yohana 4:7) Mungu ananifunza mimi JINSI YA KUTENDA KAZI WAJIBU WANGU Sasa rudia somo hili. Chagua kitu kimoja maishani mwako ambacho ungependa kuishi tofauti katika nuru ya ufahamu wa Mungu wako. Juma hili nita Kumbuka "Lakini watu wamjuao Mungu wao watakuwa hodari na kutenda makuu" (Danieli 11:32b) 23

28 MAANDALIZI YA UJUMBE Kichwa Tarehe Mnenaji Kumbukumbu la neno Nakili alama muhimu na maelezo halisi ya kila moja. Kilichonipendeza mimi ni Mungu ananifunza mimi Itikio langu ni 24

29 MAMBO YA KUTIMIZA KWA SOMO LA TATU Kwa kukamilisha somo hili nita: (tia alama ya kukamilisha) MAANDALIZI 1. Jiandae kukariri kutoka kwa ufahamu wako Ufunuo 1:8 2. Soma mlango mmoja kila siku - Yohana 1-7 (Ona ukurasa 35) 3. Nakili jinsi ya kutumia "Itikio langu" baada ya somo la pili. 4. Tayarisha nakala ya ujumbe wa mchungaji. Tumia maandalizi ya Ujumbe. 5. Kamilisha matayarisho ya somo la tatu. "Kuzungumza na Mungu". KAMILISHA NA MWALIMU 1. Kwa ufupi rudia maelezo muhimu katika somo la pili. Furahia kwa kujua kwamba Mungu wetu ni mkuu. 2. Mjadiliane jinsi ya kutumia "itikio langu". Somo la pili. 3. Nakili kutoka kwa ufahamu wako Ufunuo 1:8. 4. Rudia kwa kuangalia usomi wa Yohana Mjadiliane mafunzo ya ujumbe wa mchungaji. 6. Pitia somo la tatu. Tilia mkazo wa umuhimu wa kuwa na wakati na Mungu kila wakati siku zote. 7. Pitia kutazama somo la nne "Maandalizi" ya somo yastahili kukamilishwa kabla ya kukutana wakati ujao. Tarehe Saa Mahali 8. Funga kwa maombi ukitumia nakala yako ya maombi Kuomba Kwingi-Nguvu Nyingi -Sifa Nyingi. 25

30 26

31 UKUFUNZI WENYE NGUVU Somo la Tatu KUZUNGUMZA NA MUNGU Katika somo letu lililopita tulijifunza asili ya Mungu na jinsi alivyo. Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kukua katika uhusiano wetu na Mungu kupitia maombi na kusoma Biblia. Katika somo hili tutajifunza hatua kwa hatua jinsi ya kuzungumza na Mungu. Uhusiano wowote hukua baada ya muda na hali zinazotofautiana. Tutajifunza jinsi ya kuwa na wakati kila siku pekee na Mungu. NENO LA MUNGU NA MAOMBI "Niuishe mimi, ee Bwana NENO LA MUNGU MAOMBI kulingana na neno lako" Zaburi 119:107 Maombi na neno la Mungu MAWASILIANO hazitengamani, na zapaswa YALIYOKAMILIKA kwenda pamoja kwa wakati wa ukimya chumbani. Kwa neno lake Mungu hunena nami; na kwa kupitia maombi mimi hunena na Mungu. Kama kutakuwa na mazungumzo ya kweli, Mungu na mimi yatupasa tuhusike sote pamoja. Kama nitaomba tu bila kutumia neno la Mungu, inanipasa nitumie maneno yangu na mawazo yangu. Kile kinachotia maombi nguvu ni kuchukua wazo la Mungu kutoka kwa neno lake nakumueleza yeye. Hapo basi nawezeshwa kuomba kulingana na neno la Mungu. Haiwezekani kupuuza kutumia Neno la Mungu kwa maombi yalio kweli! Ninapoomba yanipasa ni mtafute Mungu sawa. Ni kwa kupitia neno lake ndipo Roho Mtakatifu ananipatia mawazo sawa kumuhusu yeye. Neno litanifunza pia jinsi nilivyo mchafu na mwenye dhambi. Litanifunulia makuu yote ambayo Mungu atanitendea na nguvu atakayonipa kutenda mapenzi yake. Neno lanifunza jinsi ya kuomba - na tamanio kuu, na imani imara pamoja na uvumilivu usio yumbayumba. Neno halinifunzi tu jinsi nilivyo lakini nitakavyokuwa kupitia neema ya Mungu. Na zaidi ya yote yanikumbusha kwamba kila siku Kristo ni muombezi wangu mkuu na ananiruhusu niombe kwa jina lake. Ewe Mkristo, jifunze funzo hili kuu. Jinsi ya kuuwisha nguvu zako kila siku kwa kupitia neno la Mungu na kwa kuomba kulingana na mapenzi yake. 27

32 Halafu tutangeuka upande mwingine - maombi. Twahitaji maombi tunaposoma neno la Mungu - maombi yakufunzwa na Mungu kuelewa neno lake, maombi ili kwa kupitia Roho Mtakatifu niweze kutumia neno la Mungu kwa sawa na kulijua - maombi kwamba nimjue Kristo ndiye yote ndani ya vyote na atakuwa yote ndani yangu. (Kwa mahali) pangu palipobarikiwa - ambapo nina msongelea Mungu ndani ya Kristo kupitia neno na maombi naweza kujitoa kwa Mungu na kwa kazi yake na kutiwa nguvu na Roho Mtakatifu, ili kwamba upendo wake ukaonekane wazi moyoni mwangu na niweze kutembea kila siku kwa upendo huo. Andrew Murray Mazungumzo na Mungu huanza na tamanio lakutaka kumjua yeye. KUABUDU KWA UBINAFSI - Kila wakati na Mungu. Hatua zifuatazo zitatusaidia kuwa na wakati wakufaa na Mungu, utakaosababisha maisha yamleteao Mungu utukufu. KUJITAYARISHA KUKUTANA NA MUNGU Andaa mahali na saa ambapo utaweza kukutana na Mungu peke yako kila siku. Je, Yesu alitenda nini? Marko 1:35 Hakikisha kwamba umejawa na Roho Mtakatifu na kwamba hauna dhambi ambayo hujatubu maishani mwako (Zaburi 66:18). Uhusiano wenye msimamo na Mungu utazaa matokeo yenye nguvu. Je, Mungu anaahidi nini kuhusu neno lake? Isaiya 55:11 Je, Mungu anaahidi nini kuhusu maombi ambayo yako sawa na mapenzi yake? 1Yohana 5:14, 15 28

33 Kwasababu ya jitihada hii ya kutenda mema. Adui yetu shetani atajaribu yote awezayo kuhakikisha kwamba hatuna wakati na Mungu. Je, vita vyetu ni kinyume na nani? Waefeso 6:12, 13 Soma vifungu vifuatavyo na ueleze baina ya vitu ambavyo vinatuzuia kuwa na ushirika na Mungu. Yakobo 4:2, 3 1Petro 3:5-7 Ayubu 35:12,13 1Yohana 3:21, 22 Yakobo 1:6, 7 Mathayo 5:23, 24 Mathayo 6:5 Yatupasa tuwetayari kukiri makosa yetu na kudai msamaha wa Kristo halafu twaweza kumjia Mungu kwa ujasiri. Soma Waebrania 4:15, 16 Kwa nini twaweza kuja mbele zake Mungu kwa ujasiri? (Fungu la 15) Njoo mbele za Mungu ukiwa na matarajio ya kukutana naye. JINSI YA KUWA NA WAKATI NA MUNGU 1. NENO LA MUNGU SOMA NENO LA MUNGU - BIBLIA Je, kwa kulijua neno la Mungu kutasaidia maisha yako vipi? Zaburi 119:

34 Je, neno la Mungu ni la dhamani kiasi gani kwetu? Zaburi 119:72 Mwimbaji wa Zaburi alifanya nini akapata kuelewa neno la Mungu? Zaburi 119:73 Itakuwa vyema kama utaanza wakati wako wa maombi kwa kusoma Zaburi ya sifa au shukurani. Muabudu Mungu ukiwaza alivyo na yale yote aliyotenda. CHAMBUA NENO LA MUNGU - BIBLIA Lengo letu lapasa kuwa lipi kwa uchambuzi wa Biblia? 2 Timotheo 2:15 Ona nakili ya mfano ya "Wakati wangu na Mungu" katika mwisho wa somo hili. Fungua kitabu cha Biblia ambacho utakuwa ukikisoma kila mara kwa mfano waraka wa Yohana. - Soma vifungu vichache ama mlango mmoja kila siku kisha chambua - Chagua fungu moja au sentensi ambayo imekupendenza. - Kisha uliza ni nini kilicho nipendeza mimi? Je, ninajifunza nini - Tafakari (Kwa ndani) kutokana na somo ulilojifunza. KUMSIFU MUNGU Unapotafakari kile ulicho jifunza, msifu na mshukuru Mungu kwa jinsi alivyo na kwasababu ya kila ukweli unaokuhusu wewe kama mtoto wake. Kuna sababu nyingi sana za kumsifu yeye. Waweza kuimba ama kucheza kanda ya muziki wa sifa ili ikusaidie kumuabudu. 30

35 TUMIA NENO LA MUNGU MAISHANI MWAKO - Fikiria kile unacho funzwa na Mungu. Baada ya kufikiria, je, umejifunza nini, tulia mbele zake Mungu. Sikiza maelezo yake. Nakili kwa maandishi "Mungu ananifunza mimi..." - Wajibu: Wajibu wangu utakuwa upi? Je, nitatumia vipi ukweli huu maishani mwangu? Je, ni lini nitakapo tumia? Je, utanisaidia vipi katika uhusiano wangu na Mungu, wengine na mimi binafsi? - Wajibu yangu ni (ona maelezo katika nakili ya somo hili KARIRI NENO LA MUNGU Unapojua neno la Mungu vyema ndipo utakapoweza kuishi maisha yenye uweza wa kumtukuza yeye. Je, mwimbaji wa Zaburi alisema tutende nini na neno la Mungu? Zaburi 119:11 Kwa nini? Kuificha moyoni mwako ni kuiweka na kuifanya yako. Utakumbuka unachokiwaza. Je, Yesu alitenda nini alipojaribiwa na shetani? Mathayo 4:4, 7, 10 Aliwezaje kutenda hayo? Ili uweze kutumia ukweli wa neno la Mungu unapolihitaji, hakikisha kwamba unakariri kila siku maandiko. Fuatilia mpangilio huu wa kukariri Biblia. 1. Soma aya. 2. Rudia mara kwa mara. 3. Hakikisha umeielewa (tafakari). 4. Eleza mtu mwingine. 5. Ipitie kila wakati kwa muda. 6. Shiriki na rafiki yako kupitia kuikariri bila kusoma kwa Biblia. 7. Wasilisha ukweli huo maishani mwako. 31

36 2. MAOMBI Kulingana na nuru ambayo Mungu amekueleza kupitia neno lake kukuhusu wewe na maisha yako. Tumia wakati ukiombea yale yanayokuhusu. YATUPASA TUOMBEE MAHITAJI YA WENGINE. Kwa nini yatupasa kuombea mahitaji ya wengine? 1Timotheo 2:1-4 Vifungu hivi vyasema tuulize nini kuhusu wengine? Wakolosai 1:9-12 Wakolosai 4:2-4 Mathayo 9:37, 38 OMBEA MAHITAJI YETU BINAFSI Je, Mungu angependa tumuulize yeye akutane na mahitaji yetu binafsi? Yohana 15:7 Kama tunadumu ndani ya Kristo twaweza kumuuliza atupe nini? _ Toa sababu mbili ambazo zinaeleza kwa nini Mungu anataka tumuulize. Yohana 16:24 na Soma I Yohana 5:14, 15 Ni nini kilicho cha muhimu tunapo uliza na kuwa na ujasiri kwamba atakutana na mahitaji yetu? Weka orodha ya mahitaji yako na majibu kwa nakili ya Kuomba Kwingi- Nguvu Tele - Sifa Nyingi (tazama mfano katika somo hili). 32

37 MAOMBI YALIYO NA MAMLAKA Kama umezikwa pamoja, ukafufuka pamoja na ukaketi pamoja na Kristo katika mkono wa kuume wa Mungu baba, uko katika nafasi ya mamlaka. Kwa hivyo yakupasa uombe kama mtu aliye na mamlaka. Kama huamini kwamba Mungu atakujibu wapoteza muda wako. Omba, ukiamini kwamba Mungu atakujibu na omba ukidai mamlaka ulio nayo ndani ya jina la Bwana Yesu Kristo na nguvu iliyomo kwa damu yake Kristo iliyo mwangika. TUNAWEZA KUOMBA KWA UJASIRI TUKIJUA NI MAPENZI YA MUNGU TUKI: Kukaa Ndani Katika Yohana 15:7 Yesu anasema "Ninyi ndani na maneno yangu ndani, ombeni mtakalo lolote nanyi mtatendewa. Kukaa ndani ya Kristo ni kumruhusu Roho Mtakatifu akupe nguvu ya kuishi vile Kristo angeishi. Kuwacha neno lake lidumu ndani yako ni kumjua na kuelewa neno la Mungu ili kwamba usije ukauliza chochote kando ya mapenzi yake. Mungu atafurahia kujibu maombi yako ukidumu ndani yake. Uliza Je, Yesu alituambia tutende nini? Mathayo 7:7, 8 Yohana 14:14 Kuuliza kwa ujasiri. Je, nia yetu haipaswi kuwa vipi? Yakobo 4:2b, 3 Je, nia yetu yapaswa kua vipi? 33

38 Kumuamini Mungu Ni ahadi gani ilioko katika Mathayo 21:22? Kumuamini Mungu ni kusadiki na kuwa na imani kwa Mungu jinsi alivyo na kwa yale anayosema. Imani yetu ukua vipi? Warumi 10:17 Je, tukikosa kumwamini Mungu? Yakobo 1:6, 7 Tutamuamini Mungu tu kwa kiwango tunachomjua. Je, twawezaje kumjua Mungu? Yohana 14:21 Tarajia Majibu Umekwisha kamilisha hitaji la Mungu ambalo ni: - Kukaa ndani ya Kristo na kuleta neno lake likae ndani yako. - Kuuliza na makusudi ya kumtukuza Mungu. - Kumuamini Mungu kwasababu ya upendo wako na ujasiri naye. Kama ndio hivyo unaweza kuishi na matarajio kwamba maombi yako yatajibiwa. Mshukuru Mungu Hata kabla ya kuona jibu la ombi lako anza kumshukuru. Je, Mungu anatuahidi nini tukiomba kwa moyo wenye shukurani? Wafilipi 4:6, 7 Hakikisha kwamba unamsifu na kumshukuru Mungu wakati unapoona jibu la maombi yako. 34

39 JINSI YA KUWASILISHA. Wasilisha tulichojifunza. Soma nakili ifuatayo "Wakati Wangu Na Mungu" hapo chini. Juma hili wasilisha njia hii katika somo lako la waraka wa Yohana 1-7 ukitumia nakili zifuatazo. Tumia nakili zifuatazo kwa kuchambua Biblia na wakati wa Maombi WAKATI WANGU NA MUNGU Juma la hadi 20 Juma hili fungu la kukariri ni: (Rudia kila siku) Mimi ndiye Alpha na Omega asema bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwa na atakayekuwa, Mwenyezi Nakili Ufunuo 1:8 Siku ya kwamza : Nakili ya Biblia Yohana 1:1-51 Fungu muhimu sana Yohana 1:29 Kilicho nipendeza ni Yesu ndiye aliye "kondoo" wa sadaka kwa ajili ya dhambi zangu. Mungu ananifunza mimi kwamba ananipenda sasa na alikufa kuniweka huru kutokana na dhambi zangu. Wajibu wangu ni Nitamuonyesha mapenzi yangu kwake kwa kuishi leo kama aliyesamehewa dhambi na kuwekwa huru. Siku ya pili: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza Wajibu wangu ni 35

40 36

41 WAKATI WANGU KILA SIKU NA MUNGU Juma la hadi 20 Juma hili fungu la kukariri ni: (Rudia kila siku) Nakili: Siku ya kwanza: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi Wajibu wangu ni Siku ya pili: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi Wajibu wangu ni Siku ya tatu: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi 37

42 Wajibu wangu ni Siku ya nne: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi Wajibu wangu ni Siku ya tano: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi Wajibu wangu ni Siku ya sita: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi Wajibu wangu ni 38

43 Siku ya saba: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi Wajibu wangu ni KUOMBA KWINGI - NGUVU TELE - SIFA TELE! MAHITAJI Tarehe TAREHE Tarehe 39

44 MAANDALIZI YA UJUMBE Kichwa Tarehe Mnenaji Kumbukumbu la neno or Nakili ya Biblia (maandiko) Nakili alama muhimu na maelezo halisi ya kila moja. Or Nakili alama muhimu na wazo muhimu kutokana na kila moja Kilicho nipendeza mimi ni Mungu ananifunza mimi Itikio langu ni or Wajibu wangu ni 40

45 MAMBO YA KUTIMIZA KWA SOMO LA NNE Kwa kukamilisha somo hili nita: (tia alama ya kukamilisha) MAANDALIZI 1. Jitayarishe Kukariri kutoka ufahamu wako Zaburi 119:9, Somo na uchambue Yohana 8-14 Ukitumia nakala ya Wakati Wangu na Mungu". Nakili jinsi ya kutumia maitikio ya neno la Mungu. 3. Chukua nakala ya ujumbe wa mchungaji - ukitumia Maandalizi ya Ujumbe". 4. Kamilisha nakala zote za somo la nne, Kumtambua Kristo kama Bwana. IKAMILISHE NA MWALIMU (KIONGOZI) 1. Kwa ufupi rudia alama muhimu za somo la tatu. 2. Kariri kutoka akilini Zaburi 119:9 na Jadilianeni uchambuzi wa Biblia na wakati wa maombi na mawasilisho yoyote au majibu ya maombi. 4. Jadilianeni mafunzo yanayotoka kwa ujumbe wa mchungaji. 5. Pitia somo la nne. Tilia mkazo kwa kujitolea binafsi kuongozwa na Yesu Kristo. 6. Endelea kwa kutazama "Somo la tano". "Maandalizi" ya somo yawe yamekamilika kabla ya kukutana wakati ujao. Tarehe wakati/saa Mahali 7. Funga kwa maombi ukitumia nakala yako ya maombi ya Kuomba Kwingi-Nguvu Tele - Sifa Nyingi. 41

46 42

47 UKUFUNZI WENYE NGUVU Somo la nne KUMTAMBUA YESU KAMA BWANA WANGU Tumekwisha angalia uhusiano wetu na Mungu, na tumejifunza asili ya Mungu na jinsi yakuzungumza naye. Ni faraja jinsi gani tunapoweka tumaini letu lote kwa yule astahiliye kutumainiwa. Katika somo hili, tutaangalia, sisi ninani ndani ya Kristo na umuhimu wa maana ya kuwa "NDANI YA KRISTO" na kuwa na KRISTO NDANI YANGU. Maisha ni hatua ya kukua. Tutajifunza hatua ya maendeleo yetu kadiri tunavyokua kutokana na kumjua Yesu Kristo kama mwokozi na kumtambua yeye kama Bwana wetu, hadi tunapomdai kama maisha yetu yote Hebu turudi pale mwanzo - kwa hakika kabla mwanzo wa wakati. Mungu ndiye wa milele; yeye ni wa milele. (Isaiah 40:28) Yeye aliumba Mbingu na dunia na vyote vilivyomo. (Mwanzo 1) Yeye aliumba mtu (utu) kwa mfano wake. (Mwanzo 1:26) Mtu wa kwanza alikuwa Adamu, mtu wa pili akawa Eva. Waliishi katika mazingira kamilifu na ushirika na Mungu. Wangeendelea hivyo na kwa kweli hawangekufa milele. (Mwanzo 3:22) Lakini walimuasi Mungu. Dhambi zao zikawatenganisha na ushirika wao na Mungu (Isaiah 59:2) na wakafa kiroho (Warumi 5:12). Hebu tutazame jinsi ilivyo muhimu kwetu leo. Soma Warumi 5:12. Je, dhambi iliingia vipi ulimwenguni? Yasema kwamba mauti (kiroho na kimwili) ilitapakaa kwa kila mtu kwa sababu sote tumetenda dhambi. Hii yamaanisha nini? Adamu alipomuasi Mungu, uzao wote wa utu ulikuwa ndani yake Adamu kwa kuwa hakuwa bado na watoto. Adamu alipotenda dhambi mimi na wewe tulikuwa ndani yake. Sisi tulikuwa sehemu yake, (ijapokuwa sehemu ndogo sana lakini, yake). Azimio la kumuasi Mungu lilikuwa sehemu ya chaguo letu na tukafanyika wenye dhambi. Alipokufa, tukafa (Tukatenganishwa na Mungu). Sote tumezaliwa mbali na Mungu. Haukufanyika mwenye dhambi ulipodanganya mara ya kwanza, ama ulipoeleza uwongo kwa mara ya kwanza. La, ulizaliwa mwenye dhambi kwasababu wewe ni uzao wake Adamu. Unatenda vitendo vya dhambi kwa sababu unayo asili ya dhambi. 43

48 Hii siyo rahisi kuelewa wala kukubali, lakini ndivyo Mungu anatueleza. Unapo mpokea Kristo unaokolewa kutoka kwa maisha ya Adamu wa kale na unawekwa katika maisha ya Kristo na Roho wa Mungu. Unapokuwa ndani ya Kristo unakuwa na uzima wa milele wa maisha yasiyo ongozwa na wakati. MAISHA YA KRISTO =UZIMA WA MILELE ADAMU ALITENDA DHAMBI Yesu MBINGUNI MAISHA YA ADAMU = MAUTI NA UTENGANO JEHANAMU Uzima wa milele ni nini? Ni maisha yasiyo na mwisho, lakini huu ni ukweli nusu. Tunapoingia ndani ya Kristo Yesu, tunao uzima wa milele kwa Mungu ambaye hutawala ya kale na yausoni. Kalvari ni tukio la milele. Ukiwa ndani ya Kristo ya maanisha uko ndani yake milele-umilele wa baadaye na umilele wa kale. Maisha yetu ndani ya Kristo ni ushirika wa milele. Milele ni katika hali ya sasa haiambatani na wakati. Kuwa ndani ya Kristo ya maanisha kwamba tulikuwa ndani yake alipo kufa msalabani. Soma Warumi 6:3-11. Kubatizwa yamaanisha kujitambulisha na Kristo kabisa. (Fungu la 3) Kristo alipokufa nili (Fungu la 4) Kristo alipozikwa nili (Fungu la 4, 5) Kristo alipofufuliwa kwa maisha mapya, mimi pia nilifufuliwa kutembea katika (Fungu la 6) Kwa kutambua utu wangu wa kale ulisulubiwa na Kristo Yanipasa kamwe nisiwe (Fungu la 7) Kwa maana nilikufa, sasa mimi ni (Fungu la 11) Yanipasa kuzingatia kwamba mimi ni 44

49 lakini hai kwa ndani ya Kristo Yesu. Kwa kuzingatia ukweli wa kusulubiwa kwetu na kufufuka kwetu pamoja na Kristo ni tendo la changuo. Kwa imani, zingatia lile ambalo neno la Mungu linasema ni kweli, kukuhusu wewe ndani ya Kristo. Mtume Paulo alielewa haya. Katika Wagalatia 2:20, Alisema ni nini yalikuwa matokeo ya yeye kusulubiwa na Kristo? Soma wakolosai 3:1-2. Matamanio yetu mapya yapaswa kuwa yapi? Waefeso 2:5-6 yasema tuko hai na ndani ya Kristo Yesu. Nakili baadhi ya tabia na matendo maishani mwako, ambayo utayakagua tofauti kutokana na nuru ya maana "kuwa ndani ya Kristo". Katika somo la tano tutajadiliana kuhusu kumjua Yesu kama maisha yetu. UFALME MPYA Kama umepokea kile Yesu alichokitenda msalabani kama malipo kamilifu na pekee ya dhambi, basi wewe umekwishapita mauti ukaelekea uzima - "Uzima wa milele", nafasi yako mpya "ndani ya Kristo" si wewe tena bali ni Kristo aishiye maisha yake ndani yako. Umekwishabadilisha uraia. Read Colossians 1:13, 14. To what kingdom did you belong? Je, sasa wewe u wa Ufalme gani? To whose kingdom do you now belong? Katika ufalme wa giza ambako shetani ndiye mfalme, alikuacha uwe na uhuru mwingi. Alijua kwamba ungetenda aliyopenda kwa kuwa ulikuwa mtumwa wa dhambi. Nakili matendo ambayo yanayotokana na ufalme wa shetani. 45

50 Wagalatia 5:19-21 Soma Warumi 6: Ijapokuwa mtumwa wa dhambi, kwa kutii ulimpokea Kristo na ukawekwa huru kutokana na dhambi. Je, umefanyika nini? (Fungu la 18, 22) Matokeo ya mwisho ya maisha yako ya kale yalikuwa yapi? (Fungu la 21) Je, uko huru kutokana na nini? (Fungu la 22) Je, umtumwa wa nani sasa? (Fungu la 22) Matokeo yake ni yapi? (Fungu la 22) Kupitia kifo cha Kristo umewekwa huru kutokana na kudaiwa na nguvu za dhambi. Je, yatupasa kuendelea na dhambi? Warumi 6:1-2 MFALME MPYA. Yesu ni "Bwana". Baada ya Yesu kufa kwasababu ya dhambi zetu, alizikwa na akafufuka tena (1Wakorintho 15:3, 4). Mtume Petro alikuwa akiwahubiria watu wa Yerusalemu. Aliwaeleza waelewe kwa kweli kwamba Mungu alifanya Yesu kuwa Bwana na Kristo. Soma Matendo 2: Majibu yao yalikuwa yapi? (fungu la 37) Je, Petro aliwaeleza watende nini? (Fungu la 38) Wakati huo neno "Bwana", lilimaanisha mamlaka kamili. Walitubu walipotambua kwamba Yesu alikuwa "Bwana" Kwa maana, hii ndio suluhisho la kipekee kwa yeyote yule aaminie kabisa kwamba "Yesu ni Bwana". Kuasi dhidi yake ni jambo wasingelithubutu kufanya. Yesu sasa ndiye Bwana wako, Mfalme na mamlaka yako kamili, nawe ni mtumwa wake. 46

51 Katika karne ya kwanza mtumwa hakuwa na chake duniani. Uhuru wake, mapenzi yake, hata jina lake lilichukuliwa. Alipata kununuliwa sokoni kama mnyama. Akachukuliwa nyumbani kama mali ya mwenyewe, ili kutenda aliyopenda Bwana wake. Alikuwa mtumwa na aliye mnunua ndiye aliyekuwa Bwana wake. Pia sisi tumenunuliwa kama watumwa. Je, gharama ya kununua ni nini? 1Petro 1:18, 19 Wewe ni wa gharama kubwa kwake. Anakupenda sana ndiyo maana alikuweka huru kutoka kwa bwana mkatili, na kukuleta wewe katika Ufalme wake. Usisahau kamwe, Kwamba yeye ndiye Mfalme wako na anahitaji utiifu kamilifu katika njia zote. Je, Biblia yaita nini uasi? Yakobo 4:17 Je, Yesu hufananisha maisha ya mtu ambaye anasikia na kutii neno lake na nini? Mathayo 7:24-27 MAISHA MAPYA Sasa unaishi katika Ufalme mpya, chini ya uongozi wa Kristo aliye Mfalme. Hii inakuweka katika hali ya uhakika, lakini pia yenye madai ya juu zaidi kwako. Kwa ubinafsi hauwezi kukutana na mahitaji yake. Kwa hivyo amekupatia maisha mapya - Uzima wake wa milele. Je, vifungu zifuatavyo vinasema nini kuhusu tunavyopaswa kuishi (kuenenda)? Warumi 6:4 2 Wakorintho 5:17 Waefeso 2:10 Waefeso 5:2 Waefeso 5:8 1Yohana 2:6 2 Yohana 4 47

52 Lengo letu kama Wakristo lapaswa kuwa lipi? 1Petro Wafilipi 3:8-14 Soma Waebrania 12:1-5 Yatupasa kutenda nini ilitukamilishe lengo letu? (Fungu la kwanza) Yatupasa tufuate mfano wa nani? (Fungu la 2) Kama Baba aliyejaa upendo. Je, Mungu atatenda nini kuturekebisha kama watoto wake? (Fungu la 5) Malipo ya Kutotii Soma 1Samueli 5: Je, Samueli alimueleza nini Mfalme Sauli kuhusu uasi wake? Je, uasi wake Mfalme Sauli ulimgharimu nini? Soma 1Yohana 2:3-5. Yamaanisha nini tunapo: Muasi Mungu? Mtii Mungu? 48

53 Malipo ya uasi 1Yohana 2:5 Yohana 14:23 Yohana 15:10 Yohana 15:14 Wakati mwingine neno la Mungu laonekana kupinga mawazo ya mwanadamu. Ona mfano katika Luka 5:4-11. Je, Majibu ya Simoni Petro kwa agizo lake Yesu yalikuwa vipi? Matokeo ya kutii kwake yalikuwa vipi? Yesu alimuuliza Petro maswali yasiyowezekana kwake, kama mvuvi. Yesu akatenda muujiza wakati huo. Petro na wenzake walishangaa sana hata walipoleta mashuwa yao bandarini, walitenda nini? (Fungu la 11) Peana mfano kutoka maisha yako, ambapo Mungu alihitaji kitu kutoka kwako ambacho kiasili hakingewezekana. Majibu yako yalikuwa vipi? Matokeo yalikuwa yapi? 49

54 Toa mfano wa sehemu maishani mwako ambapo Mungu anahitaji uweze kumtumainia yeye wakati huu. JINSI YA KUTENDA KAZI Je, Yesu ni Bwana wa: Mfano Ulio Juu? Jamii Yako? Fedha Zako Kazi Yako? Nyumba Yako Mapenzi Yako? Marafiki Wako Utakayotenda? Maisha yako ya usoni? Fahari yako? Kama Mungu angechangua kubadili au kuondoa moja wapo ya yale yaliotajwa hapo juu, Je, utaweza kusema, "ninakutumainia ewe Bwana kutenda yaliyo ya sawa?" Je, ni kitu kipi kimoja ambacho utaazimia kutenda wiki hii ili upate kujenga tumaini lako kwa Kristo aliye Bwana wako? 50

55 MAFUNZO ZAIDI KATIKA SOMO HILI NDANI YA KRISTO NIME: 1. Wekwa huru.yohana 8: Sulubishwa. Wagalatia 2:20 3. Kufa kutokana na dhambi. Warumi 6:2, 11; 1Petro 2:24 4. Wekwa huru na hukumu. Warumi 8:1 5. Simama imara, nimefungwa, nimethibitika katika imani yangu na ninabubujika kwa shukurani. Wakolosai 2:7 6. Kuwa mwanainchi pamoja na wateule na ni sehemu ya jamii ya Mungu. Waefeso 2:19 7. Jengwa katika misingi ya mitume na manabii, Yesu Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la pembeni. Waefeso 2:20 8. Nimezaliwa na Mungu, na yule mwovu hanigusi mimi. I Yohana 5: Kuwa mwanafunzi wake kwa maana ninaupendo kwa ajili ya wengine. Yohana 13:34, Fufuliwa na nimeketi naye mbinguni. Wakolosai 2:12; Waefeso 2:6 11. Kaliwa na aliye mkuu kwa maana ni mkuu aliye ndani yangu kuliko yeye aliye duniani. 1Yohana 4:4 12. Shinda ulimwengu. 1Yohana 5:4 13. Uridhi wa uzima wa milele, sitahukumiwa Yohana 5:24; Yohana 6: Kuwa mshindi. 2 Wakorintho 2:14. 51

56 52

57 WAKATI WANGU KILA SIKU NA MUNGU Juma la hadi 20 Juma hili fungu la kukariri ni: (Rudia kila siku) Nakili: Siku ya kwanza: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi Wajibu wangu ni Siku ya pili: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi Wajibu wangu ni Siku ya tatu: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi 53

58 Wajibu wangu ni Siku ya nne: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi Wajibu wangu ni Siku ya tano: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi Wajibu wangu ni Siku ya sita: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi Wajibu wangu ni 54

59 Siku ya saba: Nakili ya Biblia Fungu muhimu sana Kilicho nipendeza ni Mungu ananifunza mimi Wajibu wangu ni KUOMBA KWINGI - NGUVU TELE - SIFA TELE! MAHITAJI Tarehe TAREHE Tarehe 55

60 MAANDALIZI YA UJUMBE Kichwa Tarehe Mnenaji Kumbukumbu la neno or Nakili ya Biblia (maandiko) Nakili alama muhimu na maelezo halisi ya kila moja. Or Nakili alama muhimu na wazo muhimu kutokana na kila moja Kilicho nipendeza mimi ni Mungu ananifunza mimi Itikio langu ni or Wajibu wangu ni 56

61 MAMBO YA KUTAZAMA KWA SOMO LA TANO Kwa kukamilisha somo hili nita: (Tia alama unapokamilisha) MAANDALIZI 1. Jitayarishe kunakili Luka 6: Soma na uchambue Yohana ukitumia nakala ya "wakati wangu na Mungu". Tenda yanayo wajibika kwa neno la Mungu. 3. Chukua nakala ya mahubiri ya mchungaji ukitumia "maandalizi ya ujumbe". 4. Kamilisha nakala zote za somo la tano "Kumtambua Kristo kama maisha yangu". 5. Soma "Je, umetambua uzuri wa kuishi Maisha Yaliyojawa na Roho? (Pata nakala yako kutoka kwa kiongozi wako) IKAMILISHE NA MWALIMU (KIONGOZI) 1. Kwa ufupi rudia alama muhimu za somo la nne, ukitilia mkazo kujitoa kwetu kwa uongozi wa Kristo. Jadilianeni tendo la kutia maanani. 2. Kariri kutoka kwa ufahamu wako Luka 6: Jadilianeni uchambuzi wa Biblia na wakati wa maombi na mawasilisho yoyote au majibu ya maombi. 4. Jadilianeni mafunzo yanayotoka kwa ujumbe ya mchungaji. 5. Pitia somo la tano. Na utilie mkazo umuhimu wa kujua kuwa umejwawa na Roho Mtakatifu. 6. Endelea kwa kutazama "Somo la sita". "Maandalizi" ya somo yawe yamekamilika kabla ya kukutana wakati ujao. Tarehe wakati/saa Mahali 7. Funga kwa maombi ukitumia nakala yako ya maombi ya Kuomba Kwingi -Nguvu Tele - Sifa Tele. 57

62 58

63 UKUFUNZI WENYE NGUVU Somo la tatu KUDAI YESU KAMA UZIMA WANGU Kumjua Yesu kama mwokozi wangu ni kutambua kwamba dhambi zangu zimesamehewa na kwamba mimi ni mtoto wa Mungu, anayeridhi uzima wa milele. Kumjua Yesu kama Bwana wangu yamaanisha ni kumtambua kwamba nimesulubiwa na Kristo na kwamba nimehusika katika kifo chake, maziko, kufufuka na kupaa kwake, kwa hivyo ameniweka huru kutoka kwa utumwa wa nguvu za dhambi. Kwa imani nimechagua kumfanya Kristo kama Uzima Wangu. Nimefufuliwa kwa utu upya wa maisha kumtumikia Bwana wangu mpya, Yesu Kristo. Matarajio yake ni ya juu kwamba kuishi kwangu maisha haya ya uungu aliyoniitia niweze kuyaishi yanahitaji rasilmali ya uungu. Na hii pia kutoka kwa Mungu. Katika somo hili tutajifunza kuhusu Roho Mtakatifu na jisi ya kumruhusu Yesu awe uzima wetu kwa kudai ujazo wa Roho Mtakatifu kwa imani. Kumkubali Kristo yamaanisha kwamba tumeinuliwa kwa nafasi ya kiungu kimaisha. Waefeso 2:6 yaeleza kwamba tumeketishwa sasa ktika mkono wa kuume wa Mungu ndani ya Kristo. Tuko hapo sasa hivi ndani yake! Tunanena kuhusu kuingia katika kitu ambacho ni chetu asili - maisha ya Kristo. Uzima wake tuliupokea siku ile tulipookoka, lakini twawajibika kuingia katika ukamilifu wa maisha ya Kristo, ndani ya maisha yaliyojawa na Roho, ana uzima wa milele kama Biblia inavyoeleza katika (Yohana 10:10). Kama mwanafunzi wa Kristo walivyojazwa na Roho Mtakatifu, walipokea nguvu za kiungu zilizo wabadilisha wao kutokana na uoga na kuwa mashahidi wa Krsto wenye ujasiri. Walitumiwa na Mungu kubadilisha hali ya Historia. Na nguvu hizo kwa ajili yako, sikuwezeshe kuishi maisha matakatifu na yenye mazao ndani ya Yesu Kristo. Kudai kwamba Yesu ni Uzima wangu ni kuacha kujaribu kumwishia Kristo au kumtendea yeye kazi katika nguvu zako mwenyewe. Kama Paulo, yanipasa kukiri, kwamba sio mimi bali ni Kristo. Ni kwa nguvu za nani Pualo aliishi na kuhudumu? Wagalatia 2:20 59

64 Wakolosai 1:28-29 Kristo alitupatia ahadi ya ajabu, "Amin, Amin nawaambieni, yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi yeye atazifanya, naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa baba. Nanyi mkiomba lolote kwa jina langu, hilo nitalifanya ". Yohana 14:12-13a Roho Mtakatifu ndiye chanzo cha maisha ya uungu. Kwa kuishi maisha haya mapya, yatupasa kuelewa yeye ni nani na jinsi nguvu zake zinavyoweza kutenda kazi. JE, ROHO MTAKATIFU NI NANI? Soma Matendo 5:3, 4. Petro aliamini kuwa Roho Mtakatifu kuwa Katika Yohana 14:16, Yesu alimwita Roho Mtakatifu Mathayo 28:19 yasema, "Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la baba, na Mwana na Roho Mtakatifu." BABA Roho Mtakatifu ndiye mtu wa tatu katika utatu. Yeye ni sawa na Baba na Mwana. MWANA ROHO MTAKATIFU JE, KAZI ZA ROHO MTAKATIFU MAISHANI MWETU NI ZIPI? Yohana 3:5 Yohana 14:17 Yohana 14:26 Yohana 15:26 Yohana 16:13 Yohana 16:14 Matendo 1:8 Warumi 8:26 60

65 Kujazwa na Roho ni kudumu ndani ya Kristo. KWA NINI KUJAZWA NA ROHO MTAKATIFU? Kujazwa na Roho Mtakatifu ni kumtukuza Mungu (Yohana 16:1-15) Soma Yohana 15:1-8 Je, Mungu utukuzwa maishani mwetu vipi? (Fungu la 8) Tunapozaa tunda la Roho, yadhibitisha nini? (Fungu la 8) Je, twaweza kuzaa tunda la Roho kando ya Kristo? (Fungu la 5) Kama tu vile tawi lililokomaa lizaavyo matunda mengi kuliko tawi changa, hivyo ndivyo tunavyozaa matunda tele ya Roho tunapokomaa. Je, mkulima hutenda nini kuhakikisha kwamba mzabibu huzaa zaidi? (Fungu la 2) Je, nini ambacho Mungu angetenda maishani Mwetu kutufanya tuzae matunda mengi? Je, ni tunda lipi Roho Mtakatifu huzaa katika maisha ambayo yako chini yake? Wagalatia 5:22, 23 Miti ya matunda haizai miti ya matunda; bali huzaa matunda. Tunda (Mbengu) huzaa miti ya matunda. Sawa sawa naye Roho Mtakatifu huzaa tunda la Roho maishani mwetu. Je, matokeo ya tunda hilo litakuwa lipi? Mathayo 4:19 61

66 JE, NI KWANINI WAKRISTO WENGI HAWAZAI TUNDA HILI? 1Wakorintho 2:14-3:3 Yafafanua watu wa kawaida, watu wa kimwili (Kidunia) na watu wa Kiroho. Linganisha miviringo hii na watu aina tatu walioelezwa. K = Kristo N = Nafsi K N N K K N S *Imenakiliwa kutoka kwa kijitabu Je, umekwisha tambua uzuri wa kuishi maisha yaliyojawa na Roho. Na Dr. Bill Bright. Soma kitabu hiki kwa maelezo zaidi. Mtu wa kawaida hajampokea Kristo. Yeye hutawala maisha yake mwenyewe na ili afanye bidii kuishi maisha ya sawa, maisha yake ya kawaida huwa yamejawa na kutokutosheleka na masumbuko. Mtu wa kimwili (wa kidunia) yeye amemkaribisha Kristo maishani mwake lakini yuatilia mkazo (Hung'ang'ana) kuongoza maisha yake binafsi kama mtu wa kawaida, yeye pia hatosheki na husumbuka. Mtu wa kiroho amemkaribisha Kristo kuishi ndani yake na kumuongoza na kumuwezesha. Matokeo ni maisha yenye nguvu ya kumtukuza Mungu. Je, Wakorintho wa kwanza 3:1-3 yafafanua mtu wa kimwili vipi? Suluhisho la kimwili ni nini? Wagalatia 5:16 62

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI Utambulisho Grace Communion International ni muungano wa washiriki kutoka pembe mbali mbali za dunia hasa nchi zenye washiriki kwa sasa ni 100. Wito wetu ni

More information

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Mwanzo 1:1 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi. Wakolosai

More information

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu. Waebrania 9:28. KUJA KWA KRIST0 MARA YA PILI "ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28. Mara nyingi sana kuja kwa Kristo mara ya pili huangaliwa tu kama fundisho la dini. Ni

More information

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT 1 Ushindi Ndani ya Kristo Na W. W. Prescott Mfasiri: M. Mwamalumbili Victory in Christ - Kiswahili 2 Yaliyomo Alinipenda Mimi Aliishi kwa ajili Yangu Mimi Alikufa

More information

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUHTASARI WA UTANGULIZI WA THIOLOGIA YA USHIRIKA WA NAFSI TATU ZA UUNGU. GRACE COMMUNION INTERNATIONAL LIVING AND SHARING THE GOSPEL MUNGU ANADHIHIRISHWA NA

More information

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23 Toleo X Toleo 23 WEWE NI NANI? (Habari ifuatayo ni hadithi ya mambo ambayo yamenakiliwa katika Matendo 19:10-20 SUV). Paulo mtume wa Yesu Kristo alihubiri katika mji wa Efeso kwa miaka miwili. Katika muda

More information

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College Theolojia 1 Ujumla Mike Taylor Semester 1 2014-2015 Munguishi Bible College MIKE TAYLOR 2014 THEOLOJIA 1 i THEOLOJIA Utangulizi! 1 1. Kumfahamu Mungu katika Injili! 3 1.1. Mawazo Makuu 3 1.2. Maana ya

More information

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu 134 Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu Picha tuliyonayo kuhusu Mungu ni mojawapo ya kizuizi kikubwa cha kupata uponyaji wetu. Mara nyingi huwa hatujui vizuri kwamba Mungu anatupenda kwa hivyo angependa

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w MAMLAKA Tunamshukuru Bwana kwa vile alivyo na yale aliyoyatenda. Tukiweza tu kumfikiria hata tukiwa na mahitaji mbalimbali, yeye atatutimizia. Tusiwatazame watu, tusijitazame sisi wenyewe, tumtazame Mungu

More information

United Pentecostal Church June 2017

United Pentecostal Church June 2017 Kwa Nini Tusali? Jarida la Maombi ya Wanawake Kimataifa "Chagua" Ladies Prayer International kwa Facebook United Pentecostal Church June 2017 Tuko na wafuasi Facebook katika Marekani, Hong Kong, Philippines,

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

Agano Lililofunikwa Kwa Damu Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The Blood-Sealed Covenant) 1 Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Oktoba 14, 2012 Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The

More information

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen 1 Index latest update 26. feb. 2008 WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen Wafunaji wa nafsi ABC Mark 16:15-20 Huduma/uiinjilisti Wakristo wachache sana wameitikia mwito wa

More information

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu?

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? (Attitude Towards Christ Do you Honor Him?) Na Ellis P. Forsman (4-Attitude Towards Christ - Do you Honor Him) 1 Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? (Attitude Towards

More information

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1 Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia na Ellis Forsman Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1 Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia na Ellis Forsman Oktoba 8, 2011 Inavyodaiwa

More information

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown. General Editors.

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown.   General Editors. Kanuni Muhimu za Kujifunza Biblia na Mchungaji Drue Freeman General Editors Dan Hawkins & Joseph Brown a publication of www.villageministries.org Kanuni Muhimu za Kujifunza Biblia 2013 na Village Ministries

More information

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu.

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu. Tazama Yuaja Kuhusu Toleo Hili. Kuna makanisa mengi duniani yanayo dai kuwa yanafundisha ukweli. Yote pia yana mafundisho tofauti yaliyo mafundisho na desturi ya watu. Muungano wa makanisa na uwongozi

More information

Rahisi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Kitabu cha mwanafunzi. Rahisi

Rahisi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Kitabu cha mwanafunzi. Rahisi Rahisi kitengo cha 2 Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Rahisi Rahisi Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na Mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho Mtakatifu, na kupigana dhidi ya

More information

FORWARD BY DANIEL SZMIOT

FORWARD BY DANIEL SZMIOT FORWARD BY DANIEL SZMIOT 2017 marks the 40th anniversary of the start of Lighthouse Ministry. As in all wars, soldiers continue to fight the battle for the body, mind, will, and emotions. We as Christian

More information

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman Oktoba 11, 2011 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 2 Kifo

More information

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema,

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema, NGUVU Utangulizi Kwas miaka mingi nimemtafuta Bwana ili aachilie mazingira mazuri ya uwepo wake, nguvu na utukufu wake kudhihirika. Tumeona na kujua matokeo ya yale Bwana ametufunulia. Ikiwa unatafuta

More information

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI?

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? JOE CREWS 1 JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? Na Joe Crews (Hotuba Na. 16 ya Mambo ya Kweli Yanayoshangaza) Mfasiri: M. Mwamalumbili Is It Possible To

More information

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa.

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa. Waefeso Mtaala I. Habari kwa Ujumla A. Mkufunzi: Don Walker na kutafsiriwa na Chris Mwakabanje B. Kila darasa ni takribani dakika 38. II. Maelezo na Kusudi A. Mafunzo haya ni uchambuzi wa kina katika Waefeso,

More information

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE Toleo 10 BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE UBATIZO WA MUUMINI Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa

More information

Kiu Cha umtafuta Mungu

Kiu Cha umtafuta Mungu ZAIDI YA NAKALA MILLION 3 ZIMECHAPISHWA KATIKA LUGHA 59 KOTE DUNIANI K Kiu Cha umtafuta Mungu Huduma ya Daktari Richard A. Bennett ilianza katika mabaraza ya miji. Akiwa mwanafunzi chuoni, alikumbana na

More information

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1 Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) na Ellis P. Forsman Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1 Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) na Ellis P. Forsman Oktoba 15, 2011 Mzabibu

More information

Maisha Yaliyojaa Maombi

Maisha Yaliyojaa Maombi (A Prayer-Filled Life) na Terry Warford (A Prayer-Filled Life) 1 (A Prayer-Filled Life) na Terry Warford Nov 5, 2011 (A Prayer-Filled Life) 2 Sura ya nne nay a tano ya kitabu cha Ufunuo ni vifungu vinavyovutia.

More information

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1 Watumishi Wa Kristo na Ellis P. Forsman Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1 Watumishi Wa Kristo na Ellis P. Forsman Oktoba 14, 2011 Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 2 Sisi ni watumishi Watumishi

More information

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke- Kusudi la Maisha hawatakuambia nini walihitimisha kupitia uchunguzi au hoja ya uchambuzi. Katika hali nyingi, hakika wao kukuambia nini mtu mwingine alisema... Au wao watakuambia nini kawaida kudhaniwa

More information

MAFUNDISHO YA UMISHENI

MAFUNDISHO YA UMISHENI MAFUNDISHO YA UMISHENI UINJILISTI NA UANAFUNZI Muhtasari: Elekeza kwa mada ilioko hapa chini nayo itakuelekeza kwa mada hiyo. I. Lengo la Sehemu Hii II. Uhusiano kati ya Uinjilisti na Uanafunzi III. Kwa

More information

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo Na Andrew Connally 1 YALIYOMO Milango ya Kitabu: Ukurasa: 1. Mungu-Kuwako kwake na hali yake 03 2. Huyo Kristo-Nafsi yake na kazi yake 12 3. Maandiko Matakatifu ni yenye

More information

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ukristo leo unadhihirisha waumini karibu bilioni mbili katika maelfu ya madhehebu tofauti na tofauti na madhehebu. Kati ya hizi, zaidi ya 500 madhehebu

More information

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE IMANI NA MATENDO IMANI NA MATENDO Hotuba na Makala za Ellen G. White Masomo kutoka katika Hotuba zake Kumi na Tisa zilizotolewa Nzima au kwa Sehemu kuanzia mwaka 1881

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

MSAMAHA NA UPATANISHO

MSAMAHA NA UPATANISHO Hakimiliki 2007-2017 na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa. MSAMAHA NA UPATANISHO na Jonathan M. Menn B.A., Chuo Kikuu cha Wisconsin-Madison, 1974 J.D., Cornell Law School, 1977 M.Div., Trinity Evangelical

More information

Roho Mtakatifu Ni Nini?

Roho Mtakatifu Ni Nini? Roho Mtakatifu Ni Nini? kwa ajili ya mkutano. Mkutano huu utakuwa tofauti, kidogo na ile ya kawaida tunayokuwa nayo hapa. Kwa kawaida, kila wakati tunapokuja pamoja hapa, ni mkutano kwa wa kwa ajili ya

More information

Maisha Ya Mkristo Ni Nini?

Maisha Ya Mkristo Ni Nini? Maisha Ya Mkristo Ni Nini? na Ellis P. Forsman Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 1 Maisha Ya Mkristo Ni Nini? na Ellis P. Forsman Oktoba 17, 2011 Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What

More information

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa, UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, MEI 2014 Na Rais Thomas S. Monson Upendo Asili ya Injili Hakika hatuwezi kumpenda Mungu kama hatuwapendi wasafiri wenzetu katika safari hii ya maisha duniani. ninafurahia mawazo

More information

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala Kushangilia Kwa Sala Jarida la Maombi ya Wanawake Kimataifa Kushangilia Kwa Sala Na Wanda Fielder United Pentecostal Church April 2017 Kuwa alimfufua katika kanisa tangu kuzaliwa, daima aliamini Neno la

More information

Rahisi. Kitabu cha mwanafunzi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Rahisi

Rahisi. Kitabu cha mwanafunzi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Rahisi kitengo cha 3 Rahisi Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Rahisi Rahisi Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho Mtakatifu, na kupigana na dhambi

More information

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa na Ellis P. Forsman Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa (Reconciled-Justified-Sanctified) 1 Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa na Ellis P. Forsman Oktoba 14, 2011 Patanishwa,

More information

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO 1 RISALA FUPI copyright Hidaya Creativity, publishing Department. P.O. BOX 44799, 00100, GPO, NAIROBI-KENYA. Haki

More information

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi. Iliyoendelea sana

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi. Iliyoendelea sana kitengo cha 3 Iliyoendelea sana Iliyoendelea sana Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Iliyoendelea sana Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho

More information

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa, UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, MEI 2013 Utiifu Huleta Baraka Elimu ya ukweli na majibu ya maswali makuu huja kwetu tunapokuwa watiifu kwa amri za Mungu. Ndugu na dada zangu wapendwa, nina shukrani jinsi gani

More information

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com katoliki.ackyshine.com SALA ZA ASUBUHI Kwa jina la Baba.. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,Mwana na Roho. Nilinde tena siku hii,niache dhambi nikutii.naomba sana

More information

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa mabingwa itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Mkuu Inahitaji dhabihu. Unahitaji kujisukuma hadi mwisho wako. Lakini nakupa ahadi hii,

More information

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI Toleo 14 BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI Hazina ya maelezo kutoka

More information

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010 Uongozi Siri Na Larry Chkoreff Version 1.2 Desemba 2010 Kimetafsiriwa na kuchapishwa na: Cistern Materials Translation & Publishing Center, Nairobi, Kenya Barua pepe: info@cisternmaterialscenter.com www.cisternmaterialscenter.com

More information

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi kitengo cha 2 Iliyoendelea sana Iliyoendelea sana Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Iliyoendelea sana Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na Mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho

More information

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14).

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14). 41 Uponyaji Wa Laana Ijapokuwa baraka ni kinyume cha laana, kuna mambo yanayofanana katika vitu hivyo. Ni maneno yaliyotajwa, yaliyoamriwa, au kuandikwa katika Biblia kwa nguvu na mamlakao ya kiroh kwa

More information

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven)

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman The Rapture And Millennialism 1 Kifo Na Mbingu Na Ellis P. Forsman Octoba 11, 2011 The Rapture And Millennialism 2 Kifo Na Mbingu Heb. 9:27 Ili kufika

More information

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai.

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai. WAKOLOSAI MTAALA I. MAELEZO KWA UJUMLA. A. Mwalimu: Don Walker B. Mkalimani: Chris Mwakabanje C. Kila darasa linachukua takribani dakika 38. II. III. MAELEZO NA MALENGO. A. Kujifunza kwa kina Waraka kwa

More information

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika (A Summary Of Arguments For And Against Individual Communion Cups) Na J D Logan Communion Cups) 1 Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi

More information

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya Jina Nambari.. Shule... 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI / AGOSTI. 2007 MUDA: SAA 2 ½ MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya 102/3 KISWAHILI FASIHI

More information

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU? KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?, Asante, Ndugu Neville, na habari za jioni, marafiki. Nimerudi tena. Sikupata ila masaa manne asubuhi ya leo. Hiyo ni aibu. Na baada ya

More information

Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu

Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu 61 62 Ufafanuzi wa Jumla Sura ya 7 Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu Kielelezo cha 7 ni picha ionekanayo ambayo inaonyesha Wakristo wakiishi Huduma

More information

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1 Aina Tatu Za Ibada na Ellis Forsman Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1 Aina Tatu Za Ibada na Ellis Forsman Octoba 15, 2011 Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 2 Aina Tatu Za Ibada Yoh.

More information

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI Asante, Ndugu Neville, Bwana akubariki. Bila shaka ni, majaliwa kuwa hapa usiku wa leo. Nina furaha sana ya kwamba Mungu alituruhusu

More information

Kiumbe Kipya Katika Kristo

Kiumbe Kipya Katika Kristo Kiumbe Kipya Katika Kristo na Ellis P. Forsman Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 1 Kiumbe Kipya Katika Kristo na Ellis P. Forsman Oktoba 15, 2011 Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New

More information

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

PDF created with pdffactory trial version

PDF created with pdffactory trial version المملكة العربية السعودية وزارة التعليم العالي الجامعة الا سلامية بالمدينة المنورة عمادة البحث العلمي قسم الترجمة تعريف موجز بالا سلام بل( لغة السواحلية) ١ بسم االله الرحمن الرحیم MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU

More information

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB Tunawezaje kudhihirisha msingi wa Kibiblia wa tumaini letu na kulithibitisha kwa Wakristo na kwa wasioamini walioshirikishwa? Tunawezaje kutamka matumaini yetu kwa Wabunge, kwa wafanya biashara au kwa

More information

MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA

MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA 133 134 MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA Ni heri nione mahubiri kuliko kusikia moja siku yeyote ile. Ni heri mtu atembee nami kuliko kunionyesha njia. Jicho ni mwanafunzi mzuri na mwenye hamu kuliko sikio. Mausia

More information

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka 0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11

More information

Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza

Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza 143 Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza Zaidi ya thuluthi moja ya huduma ya Yesu ya uponyaji ilihusu kuwaweka watu huru kutokana na nguvu za giza. Sisi ambao ni wanafunzi wake, je, tunatarajia

More information

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO Sasa, kama ye yote ana swali lo lote wanalotaka kulileta,, basi, hebu yasogezeni tu juu hapa, acha mtoto fulani ayalete au vyo vyote mtakavyo. Au, labda, tukimaliza

More information

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org ( Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Haja Ya Dini Haja Ya Dini Author(s): Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi [3] Publisher(s): Bilal Muslim Mission of Tanzania [4] Katika kijitabu

More information

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu na Ellis P. Forsman God) 1 Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu na Ellis P. Forsman Oktoba 7, 2011 God) 2 Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu Mat. 6:24-34 Yesu alitoa maelezo haya

More information

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha UTARATIBU WA KANISA Tumemaliza hivi punde ule mkutano mkubwa wa siku, tano usiku kwenye Maskani, ambapo, kwa neema ya Mungu na kwa msaada Wake, nimejaribu sana, kwa Maandiko, kuliweka Kanisa la Bwana Yesu

More information

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI?

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI? Jarida la Dunia Yerusalemu Mpya Mchungaji Tony Alamo Makanisa Ulimwenguni Kote Taifa la Kikristo la Alamo Mchungaji Tony na Susan Alamo, Okestra, na kwaya katika kipindi chao cha kimataifa cha televisheni.

More information

Oktoba-Desemba

Oktoba-Desemba Oktoba-Desemba 2014 1 Habari za Unabii wa Biblia 8 13 24 Katika toleo hili: 25 28 33 3 MwanaFiladelfia wa Karne ya 21 ni nani? Je, Yesu alifundisha kwamba kungekuwepo na tofauti kubwa baina ya Wakristo

More information

Kwa Kongamano Kuu 2016

Kwa Kongamano Kuu 2016 The Upper Room za Kwa Kongamano Kuu 2016 Selected from The Upper Room Disciplines with Invited Writers SIKU 60 ZA SALA Kwa Kongamano Kuu 2016 2016 na Upper Room Books. Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba YEHOVA-YIRE 1 Na tuendelee kusimama tu kwa muda kidogo wakati, tumeinamisha vichwa vyetu kwa maombi. Tunapoinamisha vichwa vyetu, sijui ni wangapi usiku huu wangetaka kukumbukwa katika maombi, una jambo

More information

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani?

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? na Ellis P. Forsman Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? (Why Did Jesus Die On The Cross?) 1 Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? na Ellis P. Forsman Oktoba 17, 2011 Kwa Nini Yesu

More information

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1 Silaha Za Shetani na Ellis Forsman Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1 Silaha Za Shetani na Ellis Forsman Oktoba 15, 2012 Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 2 Silaha Za Shetani 2 Kor. 2:11

More information

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Nabii Musa alipotoka mlima Sinai kupewa amri kumi za Mungu zilizoko kwenye kitabu cha Kutoka 20:1 17, Mungu alimpa na sharia zingine ambazo lengo lake

More information

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa, UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, NOVEMBA 2011 Na Rais Thomas S. Monson Simama Pahali Patakatifu Mawasiliano na Baba yetu aliye Mbinguni pamoja na maombi yetu Kwake na maongozi Yake kwetu ni muhimu ili tuweze

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level * 899145 4 672* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2010 Additional Materials: Answer Booklet/Paper READ

More information

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Ngumu. Ngumu. Kitabu cha mwanafunzi

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Ngumu. Ngumu. Kitabu cha mwanafunzi Unit 1 kitengo cha 2 Ngumu Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Ngumu Ngumu Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na Mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho Mtakatifu, na kupigana dhidi

More information

# 18 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa

# 18 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa 119 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa Kukataliwa ni mojawapo ya mitindo ya Shetani ya ukandamizaji. Kukataliwa kunaweza kumzuia mwenye dhambi kumjia Mungu ili apate wokovu na kumzuia Mkristo kuufikia uwezo

More information

Makasisi. Waingia Uislamu

Makasisi. Waingia Uislamu 1 Makasisi Waingia Uislamu 2 KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU MAKASISI WAINGIA UISLAMU Yaliyomo 1. KASISI YUSUFU ESTES ALIYEKUWA MFANYABIASHARA WA KIKRISTO & MUHUBIRI (USA)...

More information

Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves)

Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves) Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves) Na Ellis P. Forsman Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves) 1 Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu Na Ellis P. Forsman Oktoba 7, 2011 Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu

More information

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi Na Itafunika Wingi Wa Dhambi na Ellis Forsman Na Itafunika Wingi Wa Dhambi (And Shall Hide A Multitude Of Sins) 1 Na Itafunika Wingi Wa Dhambi na Ellis Forsman Oktoba 10, 2011 Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

More information

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia : Maelekezo ya kutumia Kupatwa kamili kwa jua Jumatatu, 21 Agosti 2017 Agreement v1.4 Mar 2014 2014-2017 Eclipse2017.org, Eclipse2017.org, inc. inc. TERMS AND CONDITIONS FOR USE OF SOLAR VIEWER Please

More information

Iliyoendelea sana. Kitengo cha 2. Kitabu cha mwanafunzi Iliyoendelea sana

Iliyoendelea sana. Kitengo cha 2. Kitabu cha mwanafunzi Iliyoendelea sana Iliyoendelea sana Kitengo cha 2 Kitabu cha mwanafunzi Iliyoendelea sana Mungu hutumia neno lake kuongea nasi kila wiki. Je, Mungu anakuambia nini el día de Leo? 1 Suala la spishi zinazotishiwa #01 Oo.

More information

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10.

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10. 6-15 Mei 2005. MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10. Kujenga kifuniko cha maombi juu ya mabara yote ya ulimwengu. Kufurikisha Jamii zetu kwa Maombi. Anzisha vituo vitakavyofukuta

More information

MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara

MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara 1 MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara 1. UTANGULIZI Miaka 500 ya matengenezo ya Kanisa inatufanya tuangalie nyuma na kuona jinsi Mungu alivyotumia wanadamu

More information

LALA. Terry Warford. LALA (Sleep - Terry Warford) 1

LALA. Terry Warford. LALA (Sleep - Terry Warford) 1 LALA na Terry Warford LALA (Sleep - Terry Warford) 1 LALA na Terry Warford Novemba 6, 2011 LALA (Sleep - Terry Warford) 2 LALA Kulala ni sehemu muhimu katika maisha yetu ya kila siku, tukiipa akili zetu

More information

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Shule za umma za kata ya Fayette 1 Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Muhtasari wa yale watoto wanastahili kufahamu na kuweza kufanya na njia za familia kuongeza masomo nyumbani. Tunaamini familia ni wenzetu.

More information

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu.

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu. ALAMA YA MNYAMA Sasa, kesho usiku Daima tunaonyesha jambo moja,, Bwana Yesu Kristo, ni hivyo tu, na lo lote ambalo ni mapenzi Yake ya Kiungu kwetu kufanya. Lakini kama ni mapenzi Yake ya Kiungu kesho usiku,

More information

UNABII WA HABARI ZA BIBLIA

UNABII WA HABARI ZA BIBLIA CCOGAFRICA.ORG Aprili-Juni 2017 UNABII WA HABARI ZA BIBLIA African Conference 2017 in Nairobi Kenya Kutoka kwa Mhariri: Kongamano la Afrika 2017.Kanisa la Mungu Linaloendelea Makabila 12 ya Waisraeli wako

More information

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU?

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU? KWA NINI SISI SI MADHEHEBU? Nimejaliwa kurudi mimbarani tena baada ya kama,, nadhani, karibu kutokuwepo kwa muda wa miezi mitatu. Kindi wamekuwa na wakati mgumu, na mimi pia. Loo, nimeburudika, hata hivyo,

More information

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Ngumu. Ngumu. Kitabu cha mwanafunzi

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Ngumu. Ngumu. Kitabu cha mwanafunzi kitengo cha 3 Ngumu Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Ngumu Ngumu Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho Mtakatifu, na kupigana na dhambi zetu

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

UZAO WA NYOKA. 2 Basi, usiku huu, tuna malimbuko tu ya utukufu huo mkuu. 3 Kwa uchaji tunasimama kwa imani yetu katika Uwepo

UZAO WA NYOKA. 2 Basi, usiku huu, tuna malimbuko tu ya utukufu huo mkuu. 3 Kwa uchaji tunasimama kwa imani yetu katika Uwepo UZAO WA NYOKA Mungu, Mungu aliye mkuu na mwenye nguvu, Yeye, aliyefanya mambo yote kwa nguvu za Roho Wake; na amemleta Yesu Kristo, Mwanawe wa pekee, aliyejitolea akafa kwa ajili yetu wenye dhambi, Mwenye

More information

Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele. Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101. Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana

Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele. Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101. Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana JANUARI 15, 2014 34567 MAKALA ZA FUNZO MACHI 3-9 Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele UKURASA WA 7 NYIMBO: 106, 46 MACHI 10-16 Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101 MACHI

More information

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE Habari za asubuhi, wapendwa. Hebu na tuendelee, kusimama kwa muda kidogo tu. Mungu mpendwa, sisi, tulio kwenye wakati wa mahangaiko na kakara za maisha, tumetulia kwa

More information

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia 34567 APRILI 15, 2013 Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia UKURASAWA 3 NYIMBO ZA KUTUMIWA: 114, 113 Juni 10-16 Jinufaishe na Uwanufaishe Wengine kwa KutumiaNenolaMungu UKURASAWA 18 NYIMBO ZA KUTUMIWA:

More information

Shabaha ya Mazungumzo haya

Shabaha ya Mazungumzo haya Karibu Katika Mazungumzo Kuhusu Mchakato wa Uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii CCMP/UMOJA Shabaha ya Mazungumzo haya Kuwafahamisha viongozi wa makanisa kuhusu Mchakato wa CCMP ambao umekuwa ukitumika

More information