Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 1

Size: px
Start display at page:

Download "Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 1"

Transcription

1 Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 1 na Ellis P. Forsman Lord's Supper - Part 1) 1

2 Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 1 na Ellis P. Forsman Decemba 18, 2012 Lord's Supper - Part 1) 2

3 Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 1 Utangulizi: Luka 22:1-20 Miaka mingi iliyopita, nilifanya kazi na mwajiri mwingine aliyekuwa Myahudi wa Kiorthodox. Akiwa amezingatia sana desturi nyingi za Kiyahudi na kuzishika nilimuuliza baadhi ya maswali, hasa ya Pasaka. Habari aliyonipa ilikuwa inatoa mwanga. Miaka kadhaa baada ya hapo, mimi na mke wangu tukakutana na mwanamke ambaye pia alikuwa ni Myahudi wa Kiorthodox; ujumbe aliyotupa ilifanana na kile ambacho tayari nilikuwa nimeshajifunza. Mwanamke huyu baadaye akafanyika Mkristo wa Kanisa la Kristo. Kujifunza mara kwa mara kwa upande wangu kuhusu Pasaka ilijaza sehemu za nafasi katika uelewa wangu. Sehemu ya kwanza ya nakala hii ni matokeo ya uchunguzi wangu wa Sehemu ya 2 imejaa na mambo mengi kuhusu Meza Ya Bwana pamoja na uchunguzi wa Pasaka katika akili. Kama wengi wenu mnavyojua, Bwana alipoanzisha kile kinachoitwa Meza Ya Bwana alikuwa anasheherekea chakula na wanafunzi wake kwa kile tunachokijua kuwa ni Pasaka. Wayahudi waliita chakula hiki kama Sikukuu ya Mikate Isiyochachwa, na Kupita Juu", na Kupita Juu 1. Kauli ya mwisho ndiyo iliyokuwa ikitumika, hata miongoni mwa Wayahudi. Maelezo yapo katika sura ya 12 ya Kutoka, wakati malaika wa kifo alipowaua wazaliwa wa kwanza ambao nyumba zao hazikupakwa damu ya Mwana kondoo; alipita juu ya nyumba hizi. Unaweza kusoma matukio haya katika sura ya 12 ya kitabu cha Kutoka. Mungu aliwaamuru Wayahudi kuichunguza siku hii katika Kutoka 12:14 kama ifuatavyo: Na siku hii itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mtaifanya iwe sikukuu kwa BWANA; mtaifanya iwe sikukuu katika vizazi vyenu vyote, kwa amri ya milele. 1 Arthur U. Michelson, Pasaka ya Kiyahudi na Meza ya Bwana, uk. 80. Lord's Supper - Part 1) 3

4 Neno Milele inamaanisha hadi wakati wa kutoweka katika Kiebrania. Haimaanishi haina mwisho kama jinsi inavyofikiriwa. 2 Hatua ya kutoweka kwa Pasaka ilitokea wakati Yesu alipokufa msalabani. Hivyo, Wayahudi wakawa wakitunza sikukuu hii kila mwaka katika vizazi vyote kwanzia wakati wa Musa hadi msalaba wa Yesu. Kiongozi wa familia ya Kiyahudi alipaswa kuhakikisha wanaichunguza sikukuu hii kila mwaka muda wa jioni ya siku ya 14 ya mwezi wa Nisani (inawea kuwa Machi au Aprili, inategemeana na mwezi katika mwaka uliopo). Miezi ya Kiyahudi ilianza na mbalamwezi uliokamilika, hivyo ilikuwa rahisi kwa Wayahudi kuhesabu siku ambayo Pasaka ilichunguzwa. Pasaka ingeweza kutokea katika siku yo yote ya wiki. Bila kujali ni siku gani ya wiki ambayo Pasaka ilitokea, ilijulikana kama Sabato Kuu na Jumamosi ya kwanza ikifuatiwa na Pasaka ilijulikana kama Sabato ya kawaida. 3 Hakika, Wayahudi wana siku saba za mapumziko wanaichukulia kama Sabato Kuu, wakitumia tafsiri ya Sabato kumaanisha siku ya mapumziko na siyo siku ya saba ya wiki. Hizi ni: 4 Siku ya 1 ya Pasaka. Siku ya 7 ya Pasaka. Siku ya Pentekoste. Rosh Hashanah. Yom Kippur. Siku ya 1 ya Mavazi ya magunia. Siku ya 8 ya mavazi ya magunia. Tunafahamu kwamba kanisa lilianzishwa Siku ya Pentekoste ambayo kila mara ilikuwa siku ya kwanza ya juma. Wayahudi waliangalia Pentekoste kama Sikukuu ya Wiki kwa sababu kila mara 2 Mfumo wa Uchunguzi wa Biblia, Kuchunguza msitari, Kamusi ya Strong James Burton Coffman, Komentari Juu ya Marko, uk Sabato Kuu, Wikipedia The Free Encyclopedia, Agost 4, Lord's Supper - Part 1) 4

5 ilikuwa wiki ya mawiki ukiongeza siku moja baada ya Sabato ya kawaida iliyofuatia Sabato Kuu (Pasaka), hivyo, siku 50 (penta). Kwa mfano, kama ikiwa wakati wa mwezi wa Wayahudi wa Nisani Wayahudi walipochunguza Pasaka, mbalamwezi iliyokamilika ilitokea siku ya Juma tano ingeitwa Sabato Kuu; jumamosi ya kwanza ikifuatiwa na Pasaka ingeitwa Sabato ya kawaida. Siku ya Pentekoste ingehesabiwa siku 50 (wiki 7 ukiongeza siku moja) kutoka katika Sabato ya kawaida. Kila mara ingeweza kutokea katika siku ya kwanza ya juma, ambayo ni Jumapili. Sherehe Ya Pasaka Mgawanyiko wa Wayahudi Kama jinsi kulivyo na mgawanyiko katika ulimwengu wa Kikristo (Wabaptist, Assembly of God, Katholiki, Methodisti, nk.), hivyo ndivyo ilivyo miongoni mwa Wayahudi. Kuna Waorthodox wa Kiyahudi, Wayahudi wakarimu, Wayahudi waliorejeshwa, Wayahudi waliohuru katika kufikiri, na Wayahudi ambao hawaamini kwamba Mungu yupo. 5 Kulikuwa na migawanyiko mikuu miwili ya Wayahudi wakati wa Yesu: Mafarisayo na Masadukayo. Masadukayo walifanana na Wayahudi wasiomwamini Mungu wa leo kwa sababu hawakuamini katika ufufuo wa wafu. Muyahudi asiyemwamini Mungu alikuwa ni Myahudi kwa utaifa pekee, hawaamini katika uwepo wa Mungu. Makundi haya yaliojibagua leo wanatofautiana katika imani yao na matendo; uchunguzi wa Pasakahauna udhuru. Myahudi wa Kiorthodox leo anachunguza Pasaka zaidi kwa ukaribu na kwa kutilia maanani kwa ile ya wakati wa Agano Jipya, lakini hata wamepotoka katika uchunguzi wao. Tutaangalia hili baadaye; hataivyo, tutaka kuangalia desturi za Kiyahudi kuhusu Pasaka kama jinsi ilivyotokea wakati wa Kristo. Maandalizi Ya Pasaka Kuendeleza Pasaka mwenye nyumba wa Kiyahudi ananza kwa kusafisha nyumba kwanzia juu hadi chini kutoka katika chachu yote. 6 Chachu kwa Wayahudi inawakilisha dhambi. Kila sehemu inapata 5 Michelson. loc. cit. 6 Michelson, op. cit., uk. 9 Lord's Supper - Part 1) 5

6 tahadhari. Hakuna uchafu unaopaswa kuachwa na jiko la tambi, birika, na nguo lazima zichunguzwe kwa makini; hakuna kipisi cho chote cha chachu ambayo ingeachwa popote. Zulia zilipelekwa nje na kupigwa, mifuko ya nguo zote ziligeuzwa nje ndani na kusafishwa kwa makini; kama mapambo ya ukutani yaliwekwa, yalipaswa kuchanwa na ukuta kusafishwa na kupakwa rangi, kwa sababu gundi ilikuwa na chachu. Majiko ya umeme yalichemshwa maranyingi ili kuweza kuangamiza chachu. Sahani maalum zilizotumika katika sherehe maalum; sahani za kawaida ziliwekwa na kutolewa kwenye nyumba hadi Pasaka iishe. Maji yaliyokuwemo yalimwagwa nje na maji safi yakaingizwa ndani kutoka katika chemchemi ikiwa ndani ya chombo kisafi na kufunikwa ili kuepuka uchafu. Chachu yote iliyokusanywa ilipelekwa nje ya nyumba na kuandaliwa kwa ajili ya kuchomwa asubuhi iliyoelekea Pasaka. Baada ya nyumba kusafishwa kabisa na katika siku kabla ya Pasaka, mwanamke wa nyumba hiyo hukabidhi nyumba kwa kiongozi wa familia kwa ajili ya ukaguzi. 7 Anatembea nyumba nzima akikagua na kuangalia wakati wanafamilia wakiwa wameshikilia mshuma uliowashwa ili kusaidia katika utafutaji. Kabla hajaanza ukaguzi wake anasema yafuatayo, Ubarikiwe, O Yehova Mungu wetu, Mfalme wa Anga, Anayetutakasa kwa Maagizo yako na ametuagiza kutoa chachu yote. Wakati kiongozi wa familia anatimiza wajibu wake, kuna ukimya mkali kwa wanafamilia. Hakuna anayeruhusiwa kusema neno. Kama akipata chachu yo yote inatolewa ndani ya nyumba na kuwekwa pamoja na chachu iliyokusanywa awali. Utafutaji huu ukikamilika kama hajapata chachu yo yote anasema maneno haya, Aina yo yote ya chachu iliyoko katika sehemu yangu ambayo sijaiona, na ihesabiwe kuwa ni tupu, na izingatiwe kama mavumbi ya nchi. 8 Wakati wa saa 10 asubuhi katika mwendelezo wa Pasaka, chachu yote waliokusanya inachomwa na sala ifuatayo husemwa: Aina yo yote ya chachu iliyoko katika milki yangu, ambayo nimetoa, na aina yo yote ya chachu ambayo sijaona na sijaitoa, na iwe tupu na ihesabiwe kama mavumbi ya nchi. Hii huitwa Beur Chametz, au Maangamizi ya 7 Michelson, loc. cit. 8 Michelson, loc. cit. Lord's Supper - Part 1) 6

7 chachu. Wako huru kutoka katika dhambi na wako tayari kuchunguza sikukuu ya mkate usiochachwa. 9 Paulo alitambua kuwa Wayahudi wangemwelewa aliposema katika 1 Kor. 5:7-8, Basi jisafisheni mkatoe ile chachu ya kale, mpate kuwa donge jipya, kama vile mlivyo hamkutiwa chachu. Kwa maana Pasaka wetu amekwisha kutolewa kuwa sadaka, yaani Kristo; basi na tuifanye karamu, si kwa chachu ya kale, wala kwa chachu ya uovu na ubaya, bali kwa yasiyochachika, ndio weupe wa moyo na kweli. Chachu inatumiwa kama kuelezea dhambi. Nyumba inawakilisha mioyo yetu ambayo inapaswa kusafishwa kuotoka katika dhambi zote. Pasaka Ilikuwa ni Sikukuu ya Nyumbani Siyo Ya Hadhara Kwa sehemu kubwa, Wayahudi walichunguza sherehe zao za kidini katika sinagogi kila mtu akiwepo. Pasaka ilikuwa tofauti; ilikuwa inachunguzwa kama sherehe ya nyumbani na watu wachache wakiwepo. Idadi ya chini ya watu walioudhuria sikukuu ya Pasaka ilikuwa ni 10 na hawakuzidi Hakuna Mtaifa aliyeruhusiwa. Ni tofauti sana leo kuliko ilivyokuwa kipindi cha Kristo. Sasa, wageni wasiyo Wayahudi wanaokaribishwa ili kushiriki tendo la Pasaka wanapangwa kwa masinagogi. Kitabu cha Kiyahudi kiitwacho Talmud imeweka ukomo kutoka katika nambari 10 hadi 20 ya wale walioudhuria. Kutoka 12:3-4, Semeni na mkutano wote wa Israeli, mkawaambie, siku ya kumi ya mwezi huu kila mtu atatwaa mwanakondoo, kwa hesabu ya nyumba ya baba zao, mwanakondoo kwa watu wa nyumba moja; na ikiwa watu wa nyumba ni wachache kwa mwanakondoo, basi yeye na jirani yake aliye karibu na nyumba yake na watwae mwana kondoo mmoja, kwa kadiri ya hesabu ya watu; kwa kadiri ya ulaji wa kila mtu, ndivyo mtakavyofanya hesabu yenu kwa yule mwana kondoo. Walipaswa kuhakikisha kwamba hakukuwa na wachache wao kuweza kula mwana kondoo wote na sio wengi sana kwamba kusiwe nay a kutosha kuweza kuwazunguka. 9 Michelson, loc. cit. 10 Michelson, op. cit., uk. 10 Lord's Supper - Part 1) 7

8 Meza ya Pasaka Meza ilifunikwa na nguo safi laini ambapo mishumaa iliwekwa. 11 Katika sahani tofauti ziliwekwa nakala zifuatazo: mikate mitatu isiyochachwa iliyofunikwa kwa kitambaa binafsi, vitu kama mmea wenye harufu nzuri, chachndu, muonekano wa ngamia, (Maror ishara yam boga chungu), bakuli ya maji ya chumvi, mayai mawili magumu yaliyochemshwa, tunda lililosagwa (mengine yaliwekwa katika vyombo vidogo vidogo), mwana kondoo aliyechomwa, na vikombe vinne vya uzao wa mzabibu (Ya makundi ya Wayahudi waliojaribu kuchunguza Pasaka kama ilivyoelezwa katika kitabu cha Talmud, wengine wana vikombe vinne tofauti wakati wengine wana bakuli kubwa na walitumia kikombe kimoja pekee kwa matukio yote manne). Unaweza kuwa umegundua vitu vilivyoorodheshwa hapa havionyeshwi katika Agano la Kale. Nataka kuweka wazi kwamba Wayahudi wanasema kwamba Musa aliwapa sheria ya mdomoni aliyotenganishwa kwa mdomo hadi katika karne na baba wa Kiyahudi. Baadaye hii iliwekwa katika maandishi iliyoitwa Talmud (pia iliitwa Mishna) karne nyingi kabla ya wakati wa Yesu. 12 Kusudi halisi ya Talmud ilikuwa ni kuweka wazi zaidi vipengele vya desturi za dini ya Kiyahudi. Kwa mfano, Musa aliwaambia wana wa Israeli kwamba walipaswa kula mboga chungu wakati wa chakula cha Pasaka. Pembeni ya hilo, labda kulikuwa na pendekezo tofauti ya kile kilichoitwa mboga chungu. Sasa kwa kuwa wazi Talmud inaeleza kwamba harufu ya manukato, hyssop, na horseradishi vinapaswa kutumiwa kwa ajili ya mboga chungu. Talmud pia inaongelea desturi nyingi za kidini na mila zake. Yosephus (mwana historia wa Kiyahudi wakati wa Kristo) alifanya nukuu katika Talmud, Mafarisayo walipitishia watu desturi zilizotolewa na kizazi kilichokuwepo kipindi hicho na haijaandikwa katika Sheria ya Musa." 13 Yosephus aliandika zaidi kuhusu vita vya Wayahudi lakini pia anakubaliana na uwepo wa Kristo wakati wa maisha yake katika kitabu chake cha historia. 11 Michelson, loc. cit. 12 W. White, Jr, Talmud, The Zondervan Pictorial Encyclopedia ya Biblia, vol. 5, uk White, loc. cit. Lord's Supper - Part 1) 8

9 Nyanja tofauti ya Talmud ziliitwa Maagizo zilizo gawanywa katika nyanja iliyoitwa Tractates zilizokuwa 63 katika idadi. 14 Tractate ya kumi na nne inaongelea maagizo yao na sheria kuhusu Pasaka: Utafutaji wa chachu. Ukusanyaji wa chachu. Keki ya Pasaka na mboga chungu. Kazi ya kufanya kabla ya Pasaka Kuuawa kwa kondoo wa pasaka. Kazi ya Pasaka inaishinda uhakikisho wa Sabato. Kupika Pasaka. Watu walioruhusiwa kula Pasaka. Watu ambao hawakuruhusiwa kula Pasaka. Matukio ambayo si ya kawaida. Hatua ya kula Pasaka. Talmud ilipitishwa kwa njia ya mdomo na wazee wa Kiyahudi na kuwekwa katika mfumo wa maandishi miaka 584 kabla ya Kristo. 15 Kumekuwa matoleo tofauti au mfumo unaoendelea kwanzia hapo: Toleo la Bavlin kati ya 499 A.D. na wasomi wa Kiyahudi. Baadhi ya Tractate halisi ziliondolewa. Pilpal Iliyoundwa katika karne ya Poland na Lithuania. Matumizi yake yalisitishwa katika karne ya 18. Sephardic Iliyoundwa karne ya 15 na zaidi ikatumiwa na jamii ya Wahispania na Wataliano. Bado ni maarufu leo kwa vikundi vingi vya Kiyahudi; hataivyo desturi ya Pasaka ilikuwa tofauti katika toleo hili ukilinganisha na ile ya wakati wa Yesu. Critical Iliyoundwa katika karne ya White, op.cit., uk Talmud, Wikipedia The Free Encyclopedia, Machi 2, Lord's Supper - Part 1) 9

10 Brisker Iliyoundwa baadaye karne ya 19 Jamii ya Wayahudi wa Kiorthodox walichunguza Pasaka zaidi sana kwa ukaribu katika Talmud ya Kiyahudi halisi, hataivyo hivi karibuni nimegundua Waorthodox wa Kiyahudi leo pia wanatumia toleo la Sephardic. Maagizo Kuhusu Pasaka Mwanzo wa Pasaka kawaida mama anawasha mshumaa na kuuweka mezani. Mgeni ambaye ni mwanafamilia wa Kiyahudi aliyepo wanakaribishwa baadaye. 16 Wanafamilia walikuwa wanahutubiwa wakiwa katika nguo zao bora za safari pamoja na viatu vya wazi miguuni mwao utafikiri walikuwa tayari kwenda katika safari ya haraka, kama walivyokimbia Misri pamoja na Musa. Mkate ulikuwa unatengenezwa na unga usiowekwa amira. Ilikuwa hairuhusiwi kukawizwa, bali ilikuwa inakandwa haraka ili kuepusha kuumka. Kuna kutokukubaliana leo kati ya washirika wa kanisa kuhusu vifaa ambavyo vinapaswa kutumiwa katika kutengeneza mkate usiochachwa. Wengine wananukuu baadhi ya mistari ya Agano la Kale wakati wengine pia wananukuu mustari ulio na maan nyingine kuhusu kutengeneza mkate usio chachwa. Ni muhimu kuelewa kwamba maandalizi ya mkate usiochachwa inategemea na dini inayoichunguza katika kuitumia. Katika kuwaweka wakifu makuhani (Kutoka 29 na Walawi 7), mkate usiyotiwa chachu ulitengenezwa kwa mafuta. Katika matoleo ya nyama (Lawi 2 na Lawi 6) mkate usiotiwa chachu ulitengenezwa kwa mafuta na kugeuzwa geuzwa na kukaushwa kwa chumvi. Katika matoleo ya makosa (Lawi. 5), mkate usiotiwa chachu ungetengenezwa bila mafuta au manukato. Katika Pasaka (Kutoka 12 na Lawi. 23), mkate usiotiwa chachu tu ndiyo uliyotajwa; mafuta na manukato havikutajwa. Katika 16 Michelson, op. cit., uk. 12 Lord's Supper - Part 1) 10

11 website ya Wayahudi wa Kiorthodox iliyokusudiwa kwa ajili ya wasikilizaji wa Kiyahudi kulikuwa na kauli ya msisitizo kwamba mafuta na manukato hazikupaswa kutumika katika mkate usiochachwa wakati wa Pasaka. Hii inakubaliana na maandishi ya zamani ya Kiyahudi kuhusu matengenezo ya mkate usiochachwa kwa ajili ya Pasaka na ya kwamba maji na unga ngano pekee vilitumika. 17 Kulikuwa na keki tatu za mikate isiyochachwa vilivyounganishwa pamoja mezani. Kama ukimuuliza Muyahudi leo kwamba vitu hivi vitatu viliwakilisha nini, wengine watasema, Ya juu ni ukuhani, ya katika ni Walawi, na ya chini ni ya Waisraeli wote." 18 Kwa wakati fulani zilimuwakilisha Mungu, Masihi, na Roho Mtakatifu. Kwa sababu ya umbali wa Wayahudi maana Kristo anatazamwa kama Masihi, Wayahudi hawa walibadilisha maana ya keki. Sherehe ya Pasaka mkuu wa familia aliweka keki ya katikati (iliyowakilisha Masihi) chini ya mto kana kwamba anaificha. 19 Maana ilikuwa ni kwamba ilipaswa ifichwe au izikwe, ikiashiria kifo, maziko, na ufufuo wa Masihi kama ilivyotabiriwa. Mdo. 26:22-23, Basi kwa kuwa nimeupata msaada utokao kwa Mungu nimesimama hata leo hivi nikiwashuhudia wadogo kwa wakubwa, wala sisemi neno ila yale ambayo manabii na Musa waliyanena, kwamba yatakuwa; ya kwamba Kristo hanabudi kuteswa na ya kwamba yeye kwanza kwa kufufuliwa katika wafu atatangaza habari za nuru kwa watu wake na kwa watu wa mataifa. Mkate huu uliyofichwa uliitwa Aphikomen, ikimanisha mana iliyofichwa. Baadaye, baada ya maombi fulani keki hii ilitolewa chini ya mto, inavunjwa vipande viwili, na nusu nyingine ilipitishwa kwa wanafamilia ili wale. Nusu nyingine iliwekwa katika sahani iliyokuwa tupu kwa ajili ya Eliya au Masihi. Hii ilitendeka kwa karne nyingi kabla ya kuja kwa Kristo. Leo, wengi wanafanya mchezo wa kuficha mana na watoto. Wanatumwa nje ya chumba, mana ilifichwa sehemu fulani kwenye chumba, na watoto waliitwa kurudi ndani ili kuitafuta mana. Mtazamo katika tendo la kuficha mana ilitolewa katika Ufu. 2:17, Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, Keki zingine mbili zililiwa wakati wa Pasaka. 17 Michelson, loc. cit. 18 Michelson, op. cit., uk Michelson, loc. cit. Lord's Supper - Part 1) 11

12 Tunapokula mkate uliovunjwa katika meza ya Bwana tunatangaza mauti ya Bwana hata ajapo. 1 Kor. 11:26, Maana kila mwulapo mkate huu na kukinywea kikombe cha Bwana mwaitangaza mauti ya Bwana hata ajapo. Mwili wa Yesu uliotobolewa ilitimiza keki ya katika kwa ajili yetu. Mboga chungu na Maji ya Chumvi Wayahudi walikuwa na mboga chungu katika Pasaka mezani kulingana na Kutoka 12:8, Watakula nyama yake usiku ule ule imeokwa motoni pamoja na mkate usiotiwa chachu; tena pamoja na mboga zenye uchungu. Mayai magumu yaliyochemhswa na maji ya chumvi hazionyeshwi katika Agano la Kale lakini zimeonyeshwa katika Talmud iliyo na kanuni zote na maagizo yote ya huduma hii, sawa na zingine. 20 Talmud inazingatiwa na Wayahudi kama sheria sawa na kitu kilicho heshimiwa. Sasa, je Talmud imeshindwa? Hapana. Ilianza kwa kuelezea desturi na mila. Baadaye, Wayahudi wakaichukua kama sheri. Wayahudi walimshutumu Yesu kwa kutokutii kile kilichoandikwa katika Talmud. (Katika yafuatayo baadhi ya tafsiri inasema ngano; nyingine zinasema mahindi). Luka 6:1-5, Ikawa siku ya sabato moja alikuwa akipita katika mashamba, wanafunzi wake wakawa wakivunja masuke na kuyala, wakiyapukusa pukusa mikononi mwao. Basi baadhi ya mafarisayo wakawaambia, mbona mnafanya lisilo halali siku ya sabato? Yesu akawajibu akawaambia, hamkulisoma hata hilo alilolifanya Daudi, alipokuwa na njaa yeye na wale aliokuwa nao? Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, akaitwaa mikate ile ya wonyesho, akaila akawapa na wale wenziwe, ambayo si halali kuila ila kwa makuhani peke yao. Akawaambia Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato. Baadhi ya tafsiri husema ngano zingine husema mahindi. Sheria ambayo Mafarisayo waliongelea ilikuwa katika Talmud, siyo sheria ya Musa. Talmud ilitofautiana na kile Musa alichowaambia katika Kumb. 23:25, Uingiapo katika mmea wa jirani yako waweza kuyapurura masuke kwa mkono wako; ila usiongeze mundu katika mmea wa jirani yako. 20 Michelson, op. cit., uk Lord's Supper - Part 1) 12

13 Kulingana na sheria ya Musa Yesu hakufanya chochute kibaya. Wayahudi walifanya desturi katika Talmud kuwa sheria yao. Wakti mwingine desturi hizi uchanganya Sheria ya Musa. Mt. 15:1-3, Ndipo Mafarisayo na waandishi toka Yerusalemu walipomwendea Yesu wakisema, mbona wanafunzi wako huyalifu mapokeo ya wazee, kwa maana hawanawi mikono walapo chakula. Akajibu akawaambia, mbona ninyi nanyi huihalifu amri ya Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu? Wakati wowote unapoona neno katika Biblia, mapokeo ya wazee, inaongelea Talmud. Je Yesu alikataa yaliyoko katika Talmud? Hapana. Baadhi ya vitu alivyotumia katika Pasaka vilionyeshwa katika Talmud. Alivyovikataa vilikuwa ni vitu vile katika Talmud ambavyo vilichanganya Sheria ya Musa. Kila Myahudi alipaswa kula kipande cha mboga chungu (horseradishi, parsley, na hyssop) na mayai mawili yaliyomkumbusha maisha magumu ambayo wazee wake waliyaishi utumwani. Hivi vilikuwa vinachoviwa katika bakuli la maji ya chumvi waliita kichovio kichovio kwa Myahudi ilikuwa ni chombo ambacho viakula vilikuwa vina chovyapo; inaweza kuwa kimiminio izito, mchuzi, au kimiminio chochote. Matumizi mengine ya chombo hiki katika chakula ilikuwa ni kuchovya mkate uliochachwa katika kiminio kizito alafu inaliwa. Mkate uliochachwa ulikuwa hauruhusiwi wakati wa Pasaka, hivyo hii haikuwa kusudi la chombo hiki kwa wakati huo. Kifaa kilichotumika katika Pasaka ilikuwa ni maji ya chumvi. Mboga chungu na mayai mawili zilichovyiwa katika chombo hiki (maji ya chumvi) kwa mikono yao na kuila; hii iliwakumbusha macho na machozi ya mababu zao. Yesu pia alifanya hili wakati wa kuichunguza Pasaka. Mt. 26:23, Akajibu akasema yeye aliyetia mkono wake pamoja nami katika kikombe, ndiye atakayenisaliti. Yoh. 13:21-27, Naye alipokwisha kusema hayo, Yesu alifadhaika rohoni, akashuhudia akisema, Amin, amini, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti. Wanafunzi wakatazamana huku wakiona shaka ni nani amtajaye. Na palikuwapo mmoja wa wanafunzi wake, ameegama kifuani pa Yesu, ambaye Yesu alimpenda. Basi Simoni Petro akampungia mkono, akamwambia uliza ni nani amtajaye? Basi yeye hali akimwelekea Yesu kifua chake akamwambia, Bwana ni nani? Basi Yesu akajibu ndiye mtu yule nitakayemtowelea tonge na kumpa. Akatowlea tonge, akalitwaa akampa Yuda, mwana wa Simoni Iskariote. Na baada ya hilo tonge shetani alimwingia. Basi Yesu akamwambia uyatendayo yatende upesi. Lord's Supper - Part 1) 13

14 Chombo hiki hakikutumika kama cha kunawia kama wengine leo wanavyoamini, ilitumika kama sehemu ya chakula. Ingeweza kuwa kimiminio, mchuzi au kimiminio kizito ambayo mtu alichovya chakula chake kwa kula. Kimiminio cha Pasaka mara zote ilikuwa maji ya chumvi ambamo walichovy mboga chungu na mayai mara mbili kabla ya kula. Katika hili tunaona kwamba Yesu alichunguza sherehe za Pasaka kama ilivyoandikwa katika Talmud. Yuda alichovya mkono wake pamoja na Bwana katika bakuli na kutoka nje. Pia kumbuka kwamba wale waliokuwapo katika Pasaka hii walikuwa wanaegemea upande walipokuwa wakila. Yuda hakuwepo Yesu alipoanzisha Meza ya Bwana. Tunda la epo iliyozamishwa Tena, hitaji hili halikuwa katika Biblia, bali ilikuwa ni desturi iliyochunguzwa na Wayahudi. 21 Kiongozi wa familia alikata epo vipande katika mtindo wa mraba (moja kwa kila mtu aliyekuwapo) ikiwakumbusha Wayahudi kuhusu vyuma na matofari ambayo wazee wao walitengeneza katika kujenga miji ya Farao. Kila mtu alihitajika kula kipande cha mraba. Mwanakondoo wa Pasaka Kulingana na Kutoka 12:1-5, kulikuwa kunapaswa kuwepo na mwanakondoo katika meza ya Pasaka. Mwanakondoo huyu hakupaswa kuwa na doa au ila na ilipaswa kuchaguliwa katika siku ya 10 ya mwezi Nisan, au siku tano kabla ya Pasaka. Kutoka 12:1-5, Bwana akanena na Musa na Haruni katika nchi ya Misri akawaambia, mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi kwenu; utakuwa ni mwezi wa kwanza wa mwaka kwenu. Semeni na mkutano wote wa Israeli, mkawaambie siku ya kumi ya mwezi huu kila mtu atatwaa mwanakondoo, kwa hesabu ya nyumba ya baba zao, mwana kondoo kwa watu wa nyumba moja; na ikiwa watu wa nyumba ni wachache kwa mwana kondoo, basi yeye na jirani yake aliye karibu na nyumba yake na watwae mwana kondoo mmoja, kwa kadiri ya hesabu ya watu; kwa kadiri ya ulaji wa kila mtu, ndivyo mtakavyofanya hesabu yenu kwa yule mwanakondoo. Mwana kondoo wenu atakuwa 21 Michelson, loc. cit. Lord's Supper - Part 1) 14

15 hana ila, mume wa mwaka mmoja; mtamtwaa katika kondoo au katika mbuzi. Ilipaswa kuwa mzaliwa wa kwanza; ilipaswa kuchomwa kwa moto; na hawakuruhusiwa kuvunja mfupa wowote. Maumivu makali yalitokea ili kuwezesha zoezi hili. Ilipaswa kuuawa, kuchomwa, na kuliwa yote wakti wa jioni ya siku ya 14 ya mwezi Nisan. Kutoka 12:8-10, Watakula nyama yake usiku ule ule, imeokwa motoni, pamoja na mkate usiotiwa chachu; tena pamoja na mboga zenye uchungu. Msiile mbichi, wala ya kutokoswa majini, bali imeokwa motoni; kichwa chake pamoja na miguu yake, na nyama zake za ndani. Wala msisaze kitu chake cho chote hata asubuhi, bali kitu kitakachosalia hata asubuhi mtakichoma kwa moto. Ni jinsi gani nyakati zimebadilika. Leo hii wanamchukua mwana kondoo aliyechoka (siyo mwana kondoo mzima) buchaani hasa siku kabla, lakini wengine wanaruhusu kununuliwa wakati mwingine wiki moja kabla. Inaweza kuthibitishwaje na mkuu wa familia kwamba haina doa wala ila na pia kama ilikuwa mzaliwa wa kwanza? Kuwa tu na kondoo dhaifu mifupa haiwezi kuwa imevunjwa, lakini ilitenganishwa na kiwiliwili. Rafiki yangu mpendwa wa kanisa la Kristo aliniambia kwamba mke wake alikaribishwa kula Pasaka na rafiki yake wa Kiyahudi. Badala ya mwanakondoo, walikaribishwa kula kuku! KUKU!? Hapa kulikuwa na matatizo mawili: Ilikuwa ni kinyume na sheria ya Musa kwa mtu ye yote ambaye hakuwa Myahudi kuila Pasaka. Wayahudi waliamriwa kuandaa mwana kondoo, siyo kuku. Katika toleo la Sephardic la Talmud Wayahudi waliruhusiwa tu kuwa wale sehemu ya juu kati ya kiuno na paja kwenye meza. Lakini Mungu aliamuru kwamba mwanakondoo wote pamoja na kichwa, miguu, na utumbo. Je hawata jifunza? Yesu ndiye mwanakondoo wetu asiye na hila aliyetolewa dhabihu na hakuna mfupa katika mwili wake uliovunjika. Yoh. 1:29, Siku ya pili yake amwona Yesu anakuja kwake, akasema tazama Mwana kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu. Yoh. 19:31-36, Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio, miili isikae juu ya misalaba siku ya sabato, maana sabato ile ilikuwa siku kubwa), walimwomba Pilato miguu yao ivunjwe, wakaondolewe. Basi askari wakaenda wakamvunja miguu wa kwanza, na wa pili, aliyesulubiwa Lord's Supper - Part 1) 15

16 pamoja naye. Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa, hawakumvunja miguu; lakini askari mmojawapo alimchoma ubavuni kwa mkuki; na mara ikatoka damu na maji. Naye aliyeona ameshuhudia, na ushuhuda wake ni kweli naye anajua ya kuwa anasema kweli ili ninyi nanyi mpate kusadiki. Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, hapana mfupa wake utakaovunjwa. Mifupa ya Kristo haikuvunjika, lakini mwili wake ulipigwa. Zekar. 12:10, Nami nitawamwagia watu wa nyumba ya Daudi na wenyeji wa Yerusalemu, roho ya neema na kuomba nao watamtazama yeye ambaye walimchoma nao watamwombolezea kama vile mtu amwombolezeavyo mwanawe wa pekee nao wataona uchungu kwa ajili yake kama vile mtu aonavyo uchungu kwa ajili ya mzaliwa wake wa kwanza. Yoh. 19:34, Lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu kwa mkuki na mara ikatoka damu na maji. Baadhi ya makanisa ya Kristo wanadai kwamba hatupaswi kuvunja (kumega) mkate eti kwa sababu mifupa ya Kristo haikuvunjwa. Nitaongelea hili swala katika nakala ya pili. Kikombe Kulingana na sheria ya kirabi kulikuwa na vikombe vinne vya uzao wa mzabibu mezani. 22 Hakuna mtu aliyekuwa na kikombe chake mwenyewe. Zilikuwa ama vikombe vinne tofauti vilivyotumika au kulikuwa tu na kikombe kimoja kilichotumika, lakini ikajazwa kwa vinne kwa nyakati tofauti ya Pasaka (kutegemeana na kundi la Kiyahudi lililoshiriki katika Pasaka). Katika maswala yote hayo wote walinywea katika kikombe hicho katika kila Pasaka ilipokuwa inatokea. Uzao wa mzabibu pekee ambao haukuandaliwa ndio uliotumika kama chachu yote na iliondolewa ndani ya nyumba. Kinywaji kilichotumika katika Pasaka ilikuwa ni uzao wa mzabibu ambao haukuzidishiwa kitu hakuna chachu iliyoruhusiwa katika Pasaka; hiyo inamanisha kwamba uzao wa mzabibu ambao ungetumika ilikuwa haina chachu. Kunywa uzao wa mzabibu iliwakumbusha damu ya mwana kondoo iliyopakwa katika miimo ya milango na juu ya mlango ili kwamba pigo la kufa lipite juu ya nyumba hizo. Kut. 12:13, Na ile damu itakuwa ishara 22 Michelson, op.cit uk Lord's Supper - Part 1) 16

17 kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo; nami nitakapoiona ile damu, nitapita juu yenu lisiwapate pigo lo lote likawaharibu nitakapoipiga nchi ya Misri. Kwa nini vikombe viwili? Kila kikombe kilishikiliwa kwa nyakati nne tofauti ya Pasaka; vitatu vilinywewa na washiriki, na cha nne kilitunzwa kwa ajili ya Eliya au Masihi. 23 Kikombe cha kwanza ni Kiddush, ikimaanisha utakaso. 24 Kikombe cha pili kiliitwa kikombe cha mapigo. Kikombe cha tatu kiliitwa kikombe cha ukombozi. Kikombe cha nne kiliitwa hallel ikimaanisha sifa. Wakati mwingine huitwa kikombe cha kukubaliwa, au kikombe cha Eliya. Pia uitwa kikombe cha baraka. Paulo anaonyesha kikombe ambacho Kristo alianzishia meza ya Bwana kiliitwa kikombe cha baraka. Baadhi ya makundi ya Kiyahudi wanaita kikombe cha tatu kuwa ni kikombe cha baraka na wanakinywea badala ya kuiweka katika sahani iliyotunzwa kwa ajili ya masihi, kama ilivyokuwa desturi wakati wa Kristo. Kiongozi wa familia alichukua kikombe cha kwanza, akanywa kidogo, na akaipitisha kwa wengine, ambao wote walikinywea. 25 Kila mtu alikula mboga chungu na hesabu ya Pasaka ya malaika wa kifo ilisomwa kwa sauti. Mtu mwenye umri mdogo aliyekuwepo aliuliza, Kwa nini usiku huu ni tofauti na siku zingine? 26 Mkuu wa nyumba alafu akaeleza maana yake na kuishia na, Katika kila umri mwanadamu amefungwa kuzingatia kana kwamba alitoka katika Misri Ni kwa sababu ya kile Bwana alichonifanyia wakati nilipotoka Misri. 23 Michelson, loc. cit. 24 David Brickner, Kikombe cha maajabu ya Pasaka, Jewsforjesus.org/uhariri/gazeti/2002_03/maajabu website. 25 William Sanford LaSor, Maisha ya kila siku Nyakati za Biblia, uk Pasaka Seder Wikipedia The Free Encyclopedia, Sep 2, Lord's Supper - Part 1) 17

18 Wakati wa Pasaka mtoto pia aliuliza maswali yafuatayo ambayo kiongozi wa familia alitoa majibu: 27 Ni kwa nini katika siku zingine hatuchovyi chakula chetu hata mara moja, lakini katika usiku huu tunachovya mara mbili? Kwa nini katika siku zote tunakula mkate uliochachwa, lakini leo tunakula ambao siyo (mkate usiotiwa chachu)? Kwa nini katika kila usiku tunakula kila aina ya mboga lakini usiku huu tunakula mboga chungu? Ni kwa nini katika kila usiku tunalala tukiwa tumeegemea au kusimama wima au tukiwa tumelala chini, lakini katika usiku huu wote tumelala chali? Ilikuwa ni meza isio na miguu. Walipaswa kuchunguza pasaka kama jinsi babu zao walivyofanya katika Pasaka halisi, iliyomaanisha milki yao binafsi iliandaliwa kwa ajili ya safari; hivyo hamna meza iliyo na miguu. Meza ya Pasaka ilifunikwa na nguo ya kitani iliyowekwa sakafuni. Kikombe cha pili kili barikiwa, wakanywa kidogo, na kuipitisha kwa wengine, na wote wakakinywea. Alafu Zaburi 113 na 114 iliimbwa. 28 Alafu chakula kililiwa, ikijumuishwa na mwanakondoo aliyeokwa. Kikombe cha tatu kilipitishwa na mkuu wa kaya, akanywa kidogo, na kuwapa wengine. Keki mbili ambazo hazikutiwa chachu zililiwa na chakula. Ilikuwa ni baada ya kikombe cha pili mkuu wa familia alichukua mkate usiotiwa chachu chini yam to, akaomba baraka za Mungu kwa ajili yake, inavunjwa nusu kwa nusu na kuweka nusu moja katika sahani yake ilioko wazi kwa ajli ya Masihi; nusu nyingine ililiwa na wale walioudhuria. 29 Kikombe cha nne mara zote kiliwekwa na sahani tupu ambayo ilitunzwa kwa ajili ya masihi (baadhi ya tafsiri husema Eliya). Wengine wanaamini kwamba Eliya atakuja kabla ya Masihi. 27 Passover seder, loc. cit. 28 Lasor, op. cit. uk Michelson, loc. cit. Lord's Supper - Part 1) 18

19 Kikombe hiki kiliitwa kikombe cha baraka;. Paulo aliongelea kikombe hiki cha nne iliyotumiwa wakati Yesu alipoanzisha meza ya Bwana. 1 Kor. 10:16, Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, je sio ushirika wa damu ya Kristo?mkate ule tuumegao, je sio ushirika wa mwili wa Kristo? Nawaulizeni, ni wapi katika Agano la Kale ambapo neno kikombe cha baraka imetumika? Unaweza kutafuta kadiri jinsi unavyoweza, lakini huwezi kupata popote pale katika Biblia. Hapana, neno kikombe cha baraka haipatikani katika Biblia lakini ilitajwa katika Talmud kama ile iliyotunzwa kwa ajili ya Masihi. Mkuu wa familia alafu anawaita nje katika sehemu ya wazi, Wewe ndiwe Mungu wa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, tumeisubiri ahadi yako kwa muda mrefu. Tunakuomba sasa, umtume mpakwa mafuta wako mwana wa Daudi. Kuwa na huruma juu ya watu wako Israeli. Tukusanye kulingana na neno lako na tutakuwa watu wako nawe utatuuisha kama zamani. Tazama vitu vyote viko tayari na tunasubiri." 30 Alafu anasema kwa sauti kubwa, Mapito yako yabarikiwe, Eliya. (au Masihi). Baada ya sekunde fupi za kusubiri mlango ufungwe. Mkuu wa familia anamsihi Mungu, Tutasubiri kwa muda gani, O Bwan! (ufupisho wa kile alichokisema). Pasaka ina hitimishwa kwa kusoma Zaburi na kuimba Zaburi 136. Yesu na Wanafunzi wake waliimba nyimbo baada ya chakula cha Bwana kuanzishwa na Yesu: Mt. 26:30, Nao walipokwisha kuimba, wakatoka nje kwenda mlima wa mizeituni. Makala hii inaendelea katika sehemu ya pili 2 ya Pasaka na Meza ya Bwana. 30 Michelson, op. cit., uk. 20. Lord's Supper - Part 1) 19

20 Bibliografia Mwandishi Hajulikani Sabato Kuu, Wikipedia The Free Encyclopedia, August 4, Mwandishi Hajulikani Pasaka ya Seder, Wikipedia The Free Encyclopedia, September 2, Mwandishi hafahamiki Talmud, Wikipedia The Free Encyclopedia, Machi 2, Mwandishi Hajikani, kuchambua kifungu, Bible Research Systems, Austin, Texas, Brickner, David, The Mystery of the Passover Cup, jewsforjesus.org/publication/newsletter/2002_03/mystery website. Coffman, James Burton, Commentary on Mark, A. C. U. Press, Abilene, TX, lasor, William Sanford, Daily life in Bible Times, Standard Publishing, Cincinnati, Ohio, Michelson, Arthur U., The Jewish Passover And The Lord s Supper, The Jewish Hope Publishing House, Los Angeles, CA, White, Jr., W., Talmud, The Zondervan Pictorial Encyclopedia of the Bible, Vol. 5, Regency Library, Zondervan Publishing House, Grand Rapids, Michigan, Lord's Supper - Part 1) 20

21 Lord's Supper - Part 1) 21

22 Lord's Supper - Part 1) 22

23 Lord's Supper - Part 1) 23

24 Lord's Supper - Part 1) 24

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika (A Summary Of Arguments For And Against Individual Communion Cups) Na J D Logan Communion Cups) 1 Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi

More information

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

Agano Lililofunikwa Kwa Damu Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The Blood-Sealed Covenant) 1 Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Oktoba 14, 2012 Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu?

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? (Attitude Towards Christ Do you Honor Him?) Na Ellis P. Forsman (4-Attitude Towards Christ - Do you Honor Him) 1 Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? (Attitude Towards

More information

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu. Waebrania 9:28. KUJA KWA KRIST0 MARA YA PILI "ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28. Mara nyingi sana kuja kwa Kristo mara ya pili huangaliwa tu kama fundisho la dini. Ni

More information

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman Oktoba 11, 2011 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 2 Kifo

More information

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1 Aina Tatu Za Ibada na Ellis Forsman Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1 Aina Tatu Za Ibada na Ellis Forsman Octoba 15, 2011 Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 2 Aina Tatu Za Ibada Yoh.

More information

Roho Mtakatifu Ni Nini?

Roho Mtakatifu Ni Nini? Roho Mtakatifu Ni Nini? kwa ajili ya mkutano. Mkutano huu utakuwa tofauti, kidogo na ile ya kawaida tunayokuwa nayo hapa. Kwa kawaida, kila wakati tunapokuja pamoja hapa, ni mkutano kwa wa kwa ajili ya

More information

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Mwanzo 1:1 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi. Wakolosai

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Nabii Musa alipotoka mlima Sinai kupewa amri kumi za Mungu zilizoko kwenye kitabu cha Kutoka 20:1 17, Mungu alimpa na sharia zingine ambazo lengo lake

More information

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven)

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman The Rapture And Millennialism 1 Kifo Na Mbingu Na Ellis P. Forsman Octoba 11, 2011 The Rapture And Millennialism 2 Kifo Na Mbingu Heb. 9:27 Ili kufika

More information

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ukristo leo unadhihirisha waumini karibu bilioni mbili katika maelfu ya madhehebu tofauti na tofauti na madhehebu. Kati ya hizi, zaidi ya 500 madhehebu

More information

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1 Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia na Ellis Forsman Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1 Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia na Ellis Forsman Oktoba 8, 2011 Inavyodaiwa

More information

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23 Toleo X Toleo 23 WEWE NI NANI? (Habari ifuatayo ni hadithi ya mambo ambayo yamenakiliwa katika Matendo 19:10-20 SUV). Paulo mtume wa Yesu Kristo alihubiri katika mji wa Efeso kwa miaka miwili. Katika muda

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa.

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa. Waefeso Mtaala I. Habari kwa Ujumla A. Mkufunzi: Don Walker na kutafsiriwa na Chris Mwakabanje B. Kila darasa ni takribani dakika 38. II. Maelezo na Kusudi A. Mafunzo haya ni uchambuzi wa kina katika Waefeso,

More information

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo Na Andrew Connally 1 YALIYOMO Milango ya Kitabu: Ukurasa: 1. Mungu-Kuwako kwake na hali yake 03 2. Huyo Kristo-Nafsi yake na kazi yake 12 3. Maandiko Matakatifu ni yenye

More information

Maisha Yaliyojaa Maombi

Maisha Yaliyojaa Maombi (A Prayer-Filled Life) na Terry Warford (A Prayer-Filled Life) 1 (A Prayer-Filled Life) na Terry Warford Nov 5, 2011 (A Prayer-Filled Life) 2 Sura ya nne nay a tano ya kitabu cha Ufunuo ni vifungu vinavyovutia.

More information

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke- Kusudi la Maisha hawatakuambia nini walihitimisha kupitia uchunguzi au hoja ya uchambuzi. Katika hali nyingi, hakika wao kukuambia nini mtu mwingine alisema... Au wao watakuambia nini kawaida kudhaniwa

More information

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown. General Editors.

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown.   General Editors. Kanuni Muhimu za Kujifunza Biblia na Mchungaji Drue Freeman General Editors Dan Hawkins & Joseph Brown a publication of www.villageministries.org Kanuni Muhimu za Kujifunza Biblia 2013 na Village Ministries

More information

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi Na Itafunika Wingi Wa Dhambi na Ellis Forsman Na Itafunika Wingi Wa Dhambi (And Shall Hide A Multitude Of Sins) 1 Na Itafunika Wingi Wa Dhambi na Ellis Forsman Oktoba 10, 2011 Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

More information

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT 1 Ushindi Ndani ya Kristo Na W. W. Prescott Mfasiri: M. Mwamalumbili Victory in Christ - Kiswahili 2 Yaliyomo Alinipenda Mimi Aliishi kwa ajili Yangu Mimi Alikufa

More information

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w MAMLAKA Tunamshukuru Bwana kwa vile alivyo na yale aliyoyatenda. Tukiweza tu kumfikiria hata tukiwa na mahitaji mbalimbali, yeye atatutimizia. Tusiwatazame watu, tusijitazame sisi wenyewe, tumtazame Mungu

More information

Oktoba-Desemba

Oktoba-Desemba Oktoba-Desemba 2014 1 Habari za Unabii wa Biblia 8 13 24 Katika toleo hili: 25 28 33 3 MwanaFiladelfia wa Karne ya 21 ni nani? Je, Yesu alifundisha kwamba kungekuwepo na tofauti kubwa baina ya Wakristo

More information

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College Theolojia 1 Ujumla Mike Taylor Semester 1 2014-2015 Munguishi Bible College MIKE TAYLOR 2014 THEOLOJIA 1 i THEOLOJIA Utangulizi! 1 1. Kumfahamu Mungu katika Injili! 3 1.1. Mawazo Makuu 3 1.2. Maana ya

More information

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE Toleo 10 BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE UBATIZO WA MUUMINI Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa

More information

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO Sasa, kama ye yote ana swali lo lote wanalotaka kulileta,, basi, hebu yasogezeni tu juu hapa, acha mtoto fulani ayalete au vyo vyote mtakavyo. Au, labda, tukimaliza

More information

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu.

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu. Tazama Yuaja Kuhusu Toleo Hili. Kuna makanisa mengi duniani yanayo dai kuwa yanafundisha ukweli. Yote pia yana mafundisho tofauti yaliyo mafundisho na desturi ya watu. Muungano wa makanisa na uwongozi

More information

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai.

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai. WAKOLOSAI MTAALA I. MAELEZO KWA UJUMLA. A. Mwalimu: Don Walker B. Mkalimani: Chris Mwakabanje C. Kila darasa linachukua takribani dakika 38. II. III. MAELEZO NA MALENGO. A. Kujifunza kwa kina Waraka kwa

More information

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU? KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?, Asante, Ndugu Neville, na habari za jioni, marafiki. Nimerudi tena. Sikupata ila masaa manne asubuhi ya leo. Hiyo ni aibu. Na baada ya

More information

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUHTASARI WA UTANGULIZI WA THIOLOGIA YA USHIRIKA WA NAFSI TATU ZA UUNGU. GRACE COMMUNION INTERNATIONAL LIVING AND SHARING THE GOSPEL MUNGU ANADHIHIRISHWA NA

More information

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1 Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) na Ellis P. Forsman Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1 Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) na Ellis P. Forsman Oktoba 15, 2011 Mzabibu

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba YEHOVA-YIRE 1 Na tuendelee kusimama tu kwa muda kidogo wakati, tumeinamisha vichwa vyetu kwa maombi. Tunapoinamisha vichwa vyetu, sijui ni wangapi usiku huu wangetaka kukumbukwa katika maombi, una jambo

More information

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn TAFSIRI YA BIBLIA Mwandishi Jonathan M. Menn B.A., University of Wisconsin-Madison, 1974 J.D., Cornell Law School, 1977 M.Div., Trinity Evangelical Divinity School, 2007 Equipping Church Leaders-East Africa

More information

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE Habari za asubuhi, wapendwa. Hebu na tuendelee, kusimama kwa muda kidogo tu. Mungu mpendwa, sisi, tulio kwenye wakati wa mahangaiko na kakara za maisha, tumetulia kwa

More information

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI Asante, Ndugu Neville, Bwana akubariki. Bila shaka ni, majaliwa kuwa hapa usiku wa leo. Nina furaha sana ya kwamba Mungu alituruhusu

More information

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa, UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, MEI 2013 Utiifu Huleta Baraka Elimu ya ukweli na majibu ya maswali makuu huja kwetu tunapokuwa watiifu kwa amri za Mungu. Ndugu na dada zangu wapendwa, nina shukrani jinsi gani

More information

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu na Ellis P. Forsman God) 1 Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu na Ellis P. Forsman Oktoba 7, 2011 God) 2 Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu Mat. 6:24-34 Yesu alitoa maelezo haya

More information

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA SOMO LA KWANZA UTANGULIZI KWA TORA For videos, study guides and other resources, visit Third Millennium Ministries at thirdmill.org. 2014 nathird Millennium Ministries Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen 1 Index latest update 26. feb. 2008 WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen Wafunaji wa nafsi ABC Mark 16:15-20 Huduma/uiinjilisti Wakristo wachache sana wameitikia mwito wa

More information

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani?

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? na Ellis P. Forsman Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? (Why Did Jesus Die On The Cross?) 1 Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? na Ellis P. Forsman Oktoba 17, 2011 Kwa Nini Yesu

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka 0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11

More information

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha UTARATIBU WA KANISA Tumemaliza hivi punde ule mkutano mkubwa wa siku, tano usiku kwenye Maskani, ambapo, kwa neema ya Mungu na kwa msaada Wake, nimejaribu sana, kwa Maandiko, kuliweka Kanisa la Bwana Yesu

More information

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa, UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, MEI 2014 Na Rais Thomas S. Monson Upendo Asili ya Injili Hakika hatuwezi kumpenda Mungu kama hatuwapendi wasafiri wenzetu katika safari hii ya maisha duniani. ninafurahia mawazo

More information

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1 Watumishi Wa Kristo na Ellis P. Forsman Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1 Watumishi Wa Kristo na Ellis P. Forsman Oktoba 14, 2011 Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 2 Sisi ni watumishi Watumishi

More information

Kiu Cha umtafuta Mungu

Kiu Cha umtafuta Mungu ZAIDI YA NAKALA MILLION 3 ZIMECHAPISHWA KATIKA LUGHA 59 KOTE DUNIANI K Kiu Cha umtafuta Mungu Huduma ya Daktari Richard A. Bennett ilianza katika mabaraza ya miji. Akiwa mwanafunzi chuoni, alikumbana na

More information

Mutugi Kamundi. Jemma Kahn. Kiswahili. Demane na pacha wake. Author - South African Folktale

Mutugi Kamundi. Jemma Kahn. Kiswahili. Demane na pacha wake. Author - South African Folktale You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na pacha wake Author - South African Folktale Adaptation -

More information

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI?

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI? Jarida la Dunia Yerusalemu Mpya Mchungaji Tony Alamo Makanisa Ulimwenguni Kote Taifa la Kikristo la Alamo Mchungaji Tony na Susan Alamo, Okestra, na kwaya katika kipindi chao cha kimataifa cha televisheni.

More information

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa mabingwa itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Mkuu Inahitaji dhabihu. Unahitaji kujisukuma hadi mwisho wako. Lakini nakupa ahadi hii,

More information

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO 1 RISALA FUPI copyright Hidaya Creativity, publishing Department. P.O. BOX 44799, 00100, GPO, NAIROBI-KENYA. Haki

More information

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU?

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU? KWA NINI SISI SI MADHEHEBU? Nimejaliwa kurudi mimbarani tena baada ya kama,, nadhani, karibu kutokuwepo kwa muda wa miezi mitatu. Kindi wamekuwa na wakati mgumu, na mimi pia. Loo, nimeburudika, hata hivyo,

More information

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI?

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? JOE CREWS 1 JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? Na Joe Crews (Hotuba Na. 16 ya Mambo ya Kweli Yanayoshangaza) Mfasiri: M. Mwamalumbili Is It Possible To

More information

UZAO WA NYOKA. 2 Basi, usiku huu, tuna malimbuko tu ya utukufu huo mkuu. 3 Kwa uchaji tunasimama kwa imani yetu katika Uwepo

UZAO WA NYOKA. 2 Basi, usiku huu, tuna malimbuko tu ya utukufu huo mkuu. 3 Kwa uchaji tunasimama kwa imani yetu katika Uwepo UZAO WA NYOKA Mungu, Mungu aliye mkuu na mwenye nguvu, Yeye, aliyefanya mambo yote kwa nguvu za Roho Wake; na amemleta Yesu Kristo, Mwanawe wa pekee, aliyejitolea akafa kwa ajili yetu wenye dhambi, Mwenye

More information

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI Utambulisho Grace Communion International ni muungano wa washiriki kutoka pembe mbali mbali za dunia hasa nchi zenye washiriki kwa sasa ni 100. Wito wetu ni

More information

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010 Uongozi Siri Na Larry Chkoreff Version 1.2 Desemba 2010 Kimetafsiriwa na kuchapishwa na: Cistern Materials Translation & Publishing Center, Nairobi, Kenya Barua pepe: info@cisternmaterialscenter.com www.cisternmaterialscenter.com

More information

United Pentecostal Church June 2017

United Pentecostal Church June 2017 Kwa Nini Tusali? Jarida la Maombi ya Wanawake Kimataifa "Chagua" Ladies Prayer International kwa Facebook United Pentecostal Church June 2017 Tuko na wafuasi Facebook katika Marekani, Hong Kong, Philippines,

More information

MSAMAHA NA UPATANISHO

MSAMAHA NA UPATANISHO Hakimiliki 2007-2017 na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa. MSAMAHA NA UPATANISHO na Jonathan M. Menn B.A., Chuo Kikuu cha Wisconsin-Madison, 1974 J.D., Cornell Law School, 1977 M.Div., Trinity Evangelical

More information

Kuzimu na Kurudi na Dr. Rawlings Documentary Video Transcript, TBN Films

Kuzimu na Kurudi na Dr. Rawlings Documentary Video Transcript, TBN Films Kuzimu na Kurudi na Dr. Rawlings Documentary Video Transcript, TBN Films (Mathayo7:13-14) 13 Ingieni kwa kupitia mlango mwembamba. Kwa maana njia inayoongoza kwenye maangamizi ni pana, na mlango wa kuingilia

More information

H. M. Baagil, M. D. WAMY Studies on Islam

H. M. Baagil, M. D. WAMY Studies on Islam Mazungumzo ya Mwislamu na Mkristo H. M. Baagil, M. D. WAMY Studies on Islam 1 YALIYOMO Muhtasari wa Mtunzi... 4 Utangulizi... 6 MAZUNGUMZO... 8 Biblia Takatifu... Error! Bookmark not defined. Imani ya

More information

Maisha Ya Mkristo Ni Nini?

Maisha Ya Mkristo Ni Nini? Maisha Ya Mkristo Ni Nini? na Ellis P. Forsman Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 1 Maisha Ya Mkristo Ni Nini? na Ellis P. Forsman Oktoba 17, 2011 Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What

More information

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI Toleo 14 BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI Hazina ya maelezo kutoka

More information

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala Kushangilia Kwa Sala Jarida la Maombi ya Wanawake Kimataifa Kushangilia Kwa Sala Na Wanda Fielder United Pentecostal Church April 2017 Kuwa alimfufua katika kanisa tangu kuzaliwa, daima aliamini Neno la

More information

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu.

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu. ALAMA YA MNYAMA Sasa, kesho usiku Daima tunaonyesha jambo moja,, Bwana Yesu Kristo, ni hivyo tu, na lo lote ambalo ni mapenzi Yake ya Kiungu kwetu kufanya. Lakini kama ni mapenzi Yake ya Kiungu kesho usiku,

More information

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya Jina Nambari.. Shule... 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI / AGOSTI. 2007 MUDA: SAA 2 ½ MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya 102/3 KISWAHILI FASIHI

More information

Makasisi. Waingia Uislamu

Makasisi. Waingia Uislamu 1 Makasisi Waingia Uislamu 2 KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU MAKASISI WAINGIA UISLAMU Yaliyomo 1. KASISI YUSUFU ESTES ALIYEKUWA MFANYABIASHARA WA KIKRISTO & MUHUBIRI (USA)...

More information

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE IMANI NA MATENDO IMANI NA MATENDO Hotuba na Makala za Ellen G. White Masomo kutoka katika Hotuba zake Kumi na Tisa zilizotolewa Nzima au kwa Sehemu kuanzia mwaka 1881

More information

Early Grade Reading Assessment for Kenya

Early Grade Reading Assessment for Kenya EDDATA II Early Grade Reading Assessment for Kenya Baseline Instruments: Kiswahili and English EdData II Technical and Managerial Assistance, Task Number 4 Contract Number EHC-E-01-04-00004-00 Strategic

More information

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA Dynamic Churches International Simeon Oyui P. O. Box 798-00515 Bukubura, Nairobi, Kenya EAST AFRICA Email: ncc_africa@yahoo.com Dynamic Churches International 164 Stonegate

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14).

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14). 41 Uponyaji Wa Laana Ijapokuwa baraka ni kinyume cha laana, kuna mambo yanayofanana katika vitu hivyo. Ni maneno yaliyotajwa, yaliyoamriwa, au kuandikwa katika Biblia kwa nguvu na mamlakao ya kiroh kwa

More information

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema,

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema, NGUVU Utangulizi Kwas miaka mingi nimemtafuta Bwana ili aachilie mazingira mazuri ya uwepo wake, nguvu na utukufu wake kudhihirika. Tumeona na kujua matokeo ya yale Bwana ametufunulia. Ikiwa unatafuta

More information

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org ( Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Haja Ya Dini Haja Ya Dini Author(s): Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi [3] Publisher(s): Bilal Muslim Mission of Tanzania [4] Katika kijitabu

More information

KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA

KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA Kimechapishwa na Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu la Siku za Mwisho Mjini Salt Lake, Utah 1992, 1999, 2001, 2006 na Intellectual Reserve, Inc.

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA ONYO LA MWISHO KWA DUNIA Mpango wa Ulimwengu Mpya Unakuja!. Viongozi wa Ulimwengu. Jinsi ya kuukwepa usiwe wanautaka mhanga. Unaungwa mkono na. Kuanguka kwake ghafula wengi na kwa ukamilifu. Ulitabiriwa

More information

FORWARD BY DANIEL SZMIOT

FORWARD BY DANIEL SZMIOT FORWARD BY DANIEL SZMIOT 2017 marks the 40th anniversary of the start of Lighthouse Ministry. As in all wars, soldiers continue to fight the battle for the body, mind, will, and emotions. We as Christian

More information

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya Nordic Journal of African Studies 9(2): 49-59 (2000) Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya UTANGULIZI Tukichunguza hazina ya uhakiki uliofanywa katika taaluma

More information

LALA. Terry Warford. LALA (Sleep - Terry Warford) 1

LALA. Terry Warford. LALA (Sleep - Terry Warford) 1 LALA na Terry Warford LALA (Sleep - Terry Warford) 1 LALA na Terry Warford Novemba 6, 2011 LALA (Sleep - Terry Warford) 2 LALA Kulala ni sehemu muhimu katika maisha yetu ya kila siku, tukiipa akili zetu

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

UNABII WA HABARI ZA BIBLIA

UNABII WA HABARI ZA BIBLIA CCOGAFRICA.ORG Aprili-Juni 2017 UNABII WA HABARI ZA BIBLIA African Conference 2017 in Nairobi Kenya Kutoka kwa Mhariri: Kongamano la Afrika 2017.Kanisa la Mungu Linaloendelea Makabila 12 ya Waisraeli wako

More information

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia 34567 APRILI 15, 2013 Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia UKURASAWA 3 NYIMBO ZA KUTUMIWA: 114, 113 Juni 10-16 Jinufaishe na Uwanufaishe Wengine kwa KutumiaNenolaMungu UKURASAWA 18 NYIMBO ZA KUTUMIWA:

More information

PDF created with pdffactory trial version

PDF created with pdffactory trial version المملكة العربية السعودية وزارة التعليم العالي الجامعة الا سلامية بالمدينة المنورة عمادة البحث العلمي قسم الترجمة تعريف موجز بالا سلام بل( لغة السواحلية) ١ بسم االله الرحمن الرحیم MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU

More information

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10.

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10. 6-15 Mei 2005. MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10. Kujenga kifuniko cha maombi juu ya mabara yote ya ulimwengu. Kufurikisha Jamii zetu kwa Maombi. Anzisha vituo vitakavyofukuta

More information

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa na Ellis P. Forsman Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa (Reconciled-Justified-Sanctified) 1 Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa na Ellis P. Forsman Oktoba 14, 2011 Patanishwa,

More information

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com katoliki.ackyshine.com SALA ZA ASUBUHI Kwa jina la Baba.. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,Mwana na Roho. Nilinde tena siku hii,niache dhambi nikutii.naomba sana

More information

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza 1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2012

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2012 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *7784196332* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2012 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato 1 Mafungu yote yaliyonukuliwa kwa ruhusa kutoka katika Biblia ya Kiswahili Union Version 1952 (Ilishahihishwa 1989) ISBN 978 Haki miliki 2013 Haki zote zimeifadhiwa

More information

Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza

Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza 143 Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza Zaidi ya thuluthi moja ya huduma ya Yesu ya uponyaji ilihusu kuwaweka watu huru kutokana na nguvu za giza. Sisi ambao ni wanafunzi wake, je, tunatarajia

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level * 899145 4 672* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2010 Additional Materials: Answer Booklet/Paper READ

More information

Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 People Who Make A Difference Liberia: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia

Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 People Who Make A Difference Liberia: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 Title: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia Author: Stefanie Duckstein, HA Afrika/ Nahost Editor: Christine Harjes Translator: Tony Dunham Sound

More information

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Mazoezi ya wenye umri wa miaka 11-14 Hivi Ndivyo Nilivyo kwa wenye umri wa miaka 11-14 Kuhusu Hivi Ndivyo Nilivyo Ikiwa

More information

MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara

MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara 1 MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara 1. UTANGULIZI Miaka 500 ya matengenezo ya Kanisa inatufanya tuangalie nyuma na kuona jinsi Mungu alivyotumia wanadamu

More information

Kwa Kongamano Kuu 2016

Kwa Kongamano Kuu 2016 The Upper Room za Kwa Kongamano Kuu 2016 Selected from The Upper Room Disciplines with Invited Writers SIKU 60 ZA SALA Kwa Kongamano Kuu 2016 2016 na Upper Room Books. Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI This booklet on Becoming a Parent was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at. MACHAGUO

More information

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1 Silaha Za Shetani na Ellis Forsman Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1 Silaha Za Shetani na Ellis Forsman Oktoba 15, 2012 Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 2 Silaha Za Shetani 2 Kor. 2:11

More information