Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1

Similar documents
Agano Lililofunikwa Kwa Damu

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu?

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1

Maisha Yaliyojaa Maombi

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Roho Mtakatifu Ni Nini?

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai.

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Maisha Ya Mkristo Ni Nini?

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu.

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven)

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani?

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE

Kiumbe Kipya Katika Kristo

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu.

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1

Kiu Cha umtafuta Mungu

PDF created with pdffactory trial version

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI?

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa.

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU?

Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 1

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen

Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves)

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown. General Editors.

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB

Oktoba-Desemba

MSAMAHA NA UPATANISHO

FORWARD BY DANIEL SZMIOT

United Pentecostal Church June 2017

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE

UZAO WA NYOKA. 2 Basi, usiku huu, tuna malimbuko tu ya utukufu huo mkuu. 3 Kwa uchaji tunasimama kwa imani yetu katika Uwepo

LALA. Terry Warford. LALA (Sleep - Terry Warford) 1

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14).

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema,

2 LILE NENO LILILONENWA

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA

H. M. Baagil, M. D. WAMY Studies on Islam

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI?

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com

Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania

Ndugu na dada zangu wapendwa,

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato

UNABII WA HABARI ZA BIBLIA

IM ETUPASA KUTIMIZA HA KI YOTE

Makasisi. Waingia Uislamu

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10.

Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele. Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101. Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana

MAFUNDISHO YA UMISHENI

Iliyoendelea sana. Kitengo cha 2. Kitabu cha mwanafunzi Iliyoendelea sana

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

Rahisi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Kitabu cha mwanafunzi. Rahisi

Rahisi. Kitabu cha mwanafunzi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Rahisi

MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara

IBADA NA UMOJA WA KANISA Na Mchg. Dkt. Msafiri Mbilu

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi. Iliyoendelea sana

2

Transcription:

Aina Tatu Za Ibada na Ellis Forsman Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1

Aina Tatu Za Ibada na Ellis Forsman Octoba 15, 2011 Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 2

Aina Tatu Za Ibada Yoh. 4:21-24 Kiasili mwanadamu ni kiumbe kinachoabudu. Popote alipotengeneza historia amekuwa akiabudu kitu. Katika kila nchi, katika kila enzi, akiwa na Biblia au hana, iwe ameishi juu ya nchi kumekuwa na asili ndani yake wazo la ibada. Biblia inatuambia ni nani na jinsi ya kuabudu. Neno ibada inapatikana mara 190 katika Biblia. Mat. 4:10, Ndipo Yesu alipomwambia nenda zako shetani, kwa maana imeandikwa, msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye pekee yake. Ufu. 22:8-9, Nami Yohana ndimi niliyeyasikia na kuyaona mambo hayo. Na hapo nilipoyasikia na kuyaona nalianguka, ili nisujudu mbele ya miguu ya malaika yule mwenye kunionyesha hayo. Naye akaniambia, angalia usifanye hivi; mimi ni mjoli wako, na wa ndugu zako manabii, na wa wale wayashikao maneno ya kitabu hiki. Msujudie Mungu. Katika vifungu hivi tunaagizwa kwamba tumwabudu Mungu. Hatuombi kwa malaika. Hatuombi kwa Mariamu, mama wa Yesu, kama wakatholiki wanavyofanya. Hatuombi pia kwa Yesu, bali tunapaswa kuomba kupitia kwake hadi kwa Mungu. Yesu ni mpatanishi wetu. 1 Tim. 2:5, Kwa sababu Mungu ni mmoja na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu; Yoh. 16:23-24, Tena siku ile hamtaniuliza neno lo lote. Amini, amini, nawaambia, mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu. Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 3

Kuna aina tatu za ibada zilizotajwa katika Agano Jipya. Ibada ya bure. Mat. 15:9, Nao waniabudu bure, wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu. Ibada ya kijinga. Mdo. 17:23, Kwa sababu nilipokuwa nikipita huko na huko na kuyaona mambo ya ibada yenu, naliona madhabahu iliyoandikwa maneno haya, KWA MUNGU ASIYEJULIKANA. Basi mimi nawahubiri habari zake yeye ambaye ninyi mnamwabudu bila kumjua. Ibada ya kweli. Yoh. 4:21-24, Yesu akamwambia mama unisadiki, saa inakuja ambayo hamtamwabudu Baba katika mlima huu wala kule Yerusalemu. Ninyi manaabudu msichokijua sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi. Lakini saa inakuja nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wa mwabudu. Mungu ni Roho nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Ibada ya bure Wayahudi walikuwa na kitu cha kweli cha kuabudu (Mungu), lakini ibada yao ilikuwa bure. Mat. 15:2-3, Mbona wanafunzi wako huyaalifu mapokeo ya wazee, kwa maana hawanawi mikono walapo chakula. Akajibu akawaambia mbona ninyi nanyi huihalifu amri ya Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu? Mat. 15:8-9, Naye Yesu akafahamu, akawaambia mbona mnabishana ninyi kwa ninyi, enyi wa imani chache, kwa sababu hamna mikate? Hamjafahamu bado, wala hamkumbuki ile mikate mitano kwa wale elfu tano, na vikapu vingapi mlivyo viokota? Swali ambalo Waandishi na Mafarisayo walimwuliza Yesu: Mat. 15:2, Mbona wanafunzi wako huyaalifu mapokeo ya wazee, kwa maana hawanawi mikono walapo chakula. Mapokeo ya wazee humaanisha mila za dini au desturi ambazo zilitolewa kwa kizazi hadi kizazi miongoni mwa Wayahudi, na ikaandikwa katika Talmud. Mapokeo haya yalichukuliwa kuwa sawa katika ulinganifu wa Sheria ya Musa. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 4

Mapokeo haya yalishinikizwa miongoni mwa Wayahudi, na adhabu ilitolewa kwa mtu aliyevunja Sheria ya Musa. Mafarisayo wakaona kwamba wanafunzi wa Yesu hawakuosha mikono walipokua wakila mikate. Sheria yao katika Talmud ilisema, atakaye kula mkate bila kuosha mikono ni mchafu kana kwamba amefanya uzinzi. Lakini Yesu anaonyesha utofauti kati ya desturi zao na neno la Mungu, na akajibu swali lao kwa kuuliza, Kwa nini nanyi uihalifu amri ya Mungu kwa mapokeo yenu? (mustari wa 3). Hivyo, Yesu alionyesha kwamba neno la Mungu lishikiliwe kwa dhati zaidi ya mambo yote. Mapokeo yao yalikuwa ni maneno ya wanadamu, lakini sheria ya Musa ilikuwa neno la Mungu. Kwa vile, Yesu anasema kwamba ibada yao ni bure. Mat. 15:8-9, Watu hawa huniheshimu kwa midomo ila mioyo yao iko mbali anmi, nao waniabudu bure wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu. Bure humaanisha tupu, haina faida, haina matunda, haina cho chote, isiyo na maana au ubora. Ibada yao ilikuwaje bure? Walizidisha mapokeo ya wanadamu kwa maagizo ya Mungu. Kuoshwa mikono iliagizwa, na haikudhuru upande wo wote katika maagizo ya Mungu, hiyo ni, hadi walipoiongeza kuwa sheria; hapo ikawa ibada ya bure. Kuongeza katika neno la Mungu ilikuwa ni makusudi kwao. Petro naye alikuwa na makusudi pale alipofikiria wazo la kuabudu kwa njia yake. Mat. 17:1-5, Na baada ya siku sita Yesu akawatwaa Petro, na Yakobo, na Yohana nduguye, akawaleta juu ya mlima mrefu faraghani; akageuka sura yake mbele yao; uso wake ukang aa kama jua, mavazi yake yakawa meupe kama nuru. Na tazama wakatokewa na Musa na Eliya, wakizungumza naye. Petro akajibu akamwambia Yesu, Bwana ni vizuri sisi kuwapo hapa; ukitaka nitafanya hapa vibanda vitatu, kimoja chako wewe, na kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya. Alipokuwa katika kusema tazama wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, huyu ni mwanangu mpendwa wangu, ninaye pendezwa naye; msikieni yeye. Kwa vile, kila tendo ambacho wanadamu wanafanya kama ibada Mungu hajaagiza, hiyo inakuwa ibada ya bure. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 5

Mifano michache ya kisasa (ibada): Kuhesabu lozari. Ubatizo wa watoto wachanga. Vyombo vya mziki katika ibada. Nabii Isaya akizungumzia ufalme wa Kristo: Isa. 28:16-17, Kwa ajili ya hayo Bwana MUNGU asema hivi, tazama naweka jiwe katika Sayuni, liwe msingi, jiwe lililojaribiwa, jiwe la pembeni lenye thamani, msingi ulio imara; yeye aaminiye hatafanya haraka. Nami nitafanya hukumu kuwa ndiyo kanuni, na haki kuwa ndiyo timazi; na mvua yam awe itachukulia mbali hilo kimbilio la maneno ya uongo, na maji yatapagharikisha mahali pa kujisitiri. Ibada ya kijinga Paulo akiongea juu ya Milima Mengi huko Athene. Mdo. 17:23-27, Kwa sababu nilipokuwa nikipita huko na huko na kuyaona mambo ya ibada yenu, naliona madhabahu iliyoandikwa maneno haya, KWA MUNGU ASIYEJULIKANA. Basi mimi nawahubiri habari zake yeye ambaye ninyi mnamwabudu bila kumjua. Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, yeye kwa kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi, hakai katika hekalu zilizojegwa kwa mikono; wala hatumikiwi kwa mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji kitu cho chote, kwa maana ndiye anyewapa wote uzima na pumzi na vitu vyote. Naye alifanya kila taifa la wanadamu kutoka katika mmoja, wakae juu ya uso wan chi yote, akiisha kuwawekea nyakati alizoziamuru tangu zamani na mipaka ya makazi yao; ili wamtafute Mungu, ingawa ni kwa kupapasa papasa, wakamwone ijapokuwa hawi mbali na kila mmoja wetu. Mdo. 17:30-31, Basi zamani zile za ujinga, Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu. Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu. Naliona mahali iliyoandikwa maneno haya, KWA MUNGU ASIYEJULIKANA. (mustari 23). Waathene waliweka minara kwa miungu tofauti walioamini kwamba ilikuwepo; vitu hivi waliviabudu. Lakini kuhakikisha hawakuacha Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 6

mungu ye yote nje ya ibada yao ambayo hawakugundua, wakaweka tena nyingine KWA MUNGU ASIYEJULIKANA. Paulo sasa anapendekeza awafahamishe kuhusu Mungu huyu asiyejulikana. Kwa vile walitambua ukengeufu wao dhidi ya Mungu huyu, angeweza kuwaambia ukweli kumhusu Yeye. Wakati fulani Paulo akatoa tabia ya kweli na asili ya Mungu huyu, iliyo mtofautisha na miungu mingine. Mungu huyu alifanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo. Hii ilijulikana hata miongoni mwa wanafalsafa, lakini wale waliotoka katika shule ya Aristotle waliikataa, na wakabaki kwamba ulimwengu ulianzia umilele, na kila kitu kilikuwa kama kilivyo sasa. Mungu huyu, hakai katika hekalu zilizofanywa kwa mikono Hekalu zilizofanywa kwa mikono hashikamani navyo. Kama hata hekalu la Sulemani, iliyowekwa kwa ajili ya kumwabudia Mungu wa Israeli, hakuweza kushikamana nacho, iweje vitu vya ajabu vya Waathene, iliyotolewa kwa miungu ambayo haikuwa miungu? 1 Fal. 8:27, Lakini Mungu je atakaa kweli kweli juu ya nchi? Tazama mbingu hazikutoshi, wala mbingu za mbingu; sembuse nyumba hii niliyoijenga! Mungu huyu haabudiwi kwa mikono ya wanadamu. Mungu huyu hatumikiwi kwa mikono ya wanadamu hata kama anaitaji cho chote ambacho yanaweza kusaidia, tukiona hilo kutoka kwake wanadamu wakapata uzima na pumzi na vitu vyote. Mungu aliyeufanya ulimwengu ataihukumu. Mdo. 17:30-31, Basi zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu. Kwa maana ameweka siku ambayo atawahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu. Wakati fulani Mungu aliruhusu mataifa watembee katika ukengeufu na kuonyesha kile wanadamu wanaweza kufanya, na kulikuwa na umuhimu kiasi gani la ufunuo kuwaagiza katika ujuzi wa kweli wa Mungu. Hatutakiwi kudhani kwamba Mungu alichukua ibada ya sanamu kuwa ni wema au uhalifu na silaha ambazo ibada ya sanamu huongoza pasipo umuhimu, lakini aliteska ili kwamba nchi hizo waishi pasipo kuwa na hukumu ya moja kwa moja dhidi yao. Lakini mwisho wa ulimwengu, watu wote watakuja mbele zake katika hukumu. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 7

2 Kor. 5:10, Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo ili kila mtu apokee ijara ya mambo aliyotenda kwa mwili, kadiri alivyotenda kwamba ni mema au mabaya. Ibada ya kweli Yoh. 4:21-24, Yesu akamwambia mama unisadiki, saa inakuja ambayo hamtamwabudu Baba katika mlima huu wala kule Yerusalemu. Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wikovu watoka kwa Wayahudi. Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo hali watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu. Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Kipindi kilichopita, kumwabudu Mungu ulifanyika mahali pamoja. Wasamaria walimwabudu katika mlima (msitari 21), huo ni mlima Gerasi. Wayahudi walimwabudu Yerusalemu. (msitari 21). Lakini sasa, Mungu hapaswi kuabudiwa sehemu moja (msitari 23). Mungu anapaswa kuabudiwa katika roho na katika kweli (msitari 24). Hapa Yesu anaonyesha mambo matatu ya ibada ya kweli. Mungu ndiye anafaa kuwa mlengwa wa ibada yetu. Mat. 4:10, Ndipo Yesu alipomwambia, nenda zako shetani, kwa maana imeandika msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye pekee yake. Ufu. 22:8-9, Nami Yohana ndimi niliyeyasikia na kuyaona mambo hayo. Na hapo nilipoyasikia na kuyaona nalianguka, ili nisujudu mbele ya miguu ya malaika yule mwenye kunionyesha hayo. Naye akaniambia, angalia usifanye hivi; mimi ni mjoli wako, na wa ndugu zako manabii, na wa wale wayashikao maneno ya kitabu hiki. Msujudie Mungu. Kuabudu katika roho Nia njema au dhamira ya ibada yetu. Ibada lazima ifanyike kwa nia njema na hamu njema ili kukidhi uthibitisho wa mbinguni. Kuabudu katika kweli njia sahihi ya kuabudu. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 8

Yoh. 17:17, Uwatakase na kweli yako; neno lako ndiyo kweli. Mambo matano yote lazima yawe katika ibada zetu leo. Tunaweza kufanya jaribio katika mambo yote ya ibada zetu: Sala. Kuimba. Kuhubiri. Changizo. Meza ya Bwana. Hitimisho Hebu na tuakikishe kwamba ibada yetu mara zote ni safi na ipo kimaandiko. Hebu tuangalie kwamba ibada yetu siyo hasara; hiyo ni kwamba sio ibada ya kijinga; na kwamba ni ibada ya kweli katika mtiririko wa Agano Jipya. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 9

Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 10

Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 11

Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 12