Maisha Ya Mkristo Ni Nini?

Similar documents
"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu?

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani?

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1

Kiumbe Kipya Katika Kristo

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven)

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1

Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves)

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu.

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai.

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa.

Maisha Yaliyojaa Maombi

Roho Mtakatifu Ni Nini?

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally

MSAMAHA NA UPATANISHO

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI?

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

FORWARD BY DANIEL SZMIOT

United Pentecostal Church June 2017

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA

MAFUNDISHO YA UMISHENI

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema,

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu.

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia

Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI?

Makasisi. Waingia Uislamu

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14).

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

UZAO WA NYOKA. 2 Basi, usiku huu, tuna malimbuko tu ya utukufu huo mkuu. 3 Kwa uchaji tunasimama kwa imani yetu katika Uwepo

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown. General Editors.

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala

LALA. Terry Warford. LALA (Sleep - Terry Warford) 1

MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10.

Rahisi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Kitabu cha mwanafunzi. Rahisi

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU?

Ndugu na dada zangu wapendwa,

IM ETUPASA KUTIMIZA HA KI YOTE

Kiu Cha umtafuta Mungu

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA

PDF created with pdffactory trial version

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele. Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101. Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana

2 LILE NENO LILILONENWA

H. M. Baagil, M. D. WAMY Studies on Islam

Oktoba-Desemba

MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara

UNABII WA HABARI ZA BIBLIA

Kwa Kongamano Kuu 2016

Iliyoendelea sana. Kitengo cha 2. Kitabu cha mwanafunzi Iliyoendelea sana

# 18 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa

Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza

Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 1

MATHAYO MTAKATIFU 1:1 1 MATHAYO MTAKATIFU 1:17 INJILI KAMA ALIVYOIANDIKA MATHAYO MTAKATIFU

KANISA NA UAMSHO Na Mchg. Dkt. Faith Lugazia

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn

Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi

Kuzimu na Kurudi na Dr. Rawlings Documentary Video Transcript, TBN Films

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

Transcription:

Maisha Ya Mkristo Ni Nini? na Ellis P. Forsman Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 1

Maisha Ya Mkristo Ni Nini? na Ellis P. Forsman Oktoba 17, 2011 Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 2

Maisha Ya Mkristo Ni Nini? Math. 16:24-28 Wengi wanakubali wazo la Ukristo bila kujua maana yake ya kweli. Kwa baadhi, wazo la Ukristo ni kubatizwa pekee. Na kwa wengine, wazo la Ukristo ni kwenda tu kanisani. Bali kwa wengine, wazo la Ukristo ni kuwapendeza familia zao au majirani zao tu. Ukristo wa kweli ni zaidi ya hayo ni kuishi maisha ya kipekee. Mkristo wa kweli anajitoa mwenyewe kwa Bwana. Math. 16:24, Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe ajitwike msalaba wake anifuate. Mkristo wa kweli hafanyi kile kinacho mpendeza kufanya, lakini badala yake anafanya kile kinacho mpendeza Mungu. Waru. 6:17-18, Lakini Mungu na ashukuriwe kwa maana mlikuwa watumwa wa dhambi, lakini mliitii kwa mioyo yenu ile namna ya elimu ambayo mliwekwa chini yake; na mlipokwisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mkawa watumwa wa haki. Waru. 10:1-3, Ndugu zangu nitakayo sana moyoni mwangu, na dua yangu nimwombayo Mungu ni kwa ajili yao ili waokolewe. Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa. Kwa maana ikiwa hawaijui haki ya Mungu, na wakitaka kuithibitisha haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu. Waru. 15:3, Kwa maana Kristo naye hakujipendeza mwenyewe Hata hivyo Petro alikuwa na wazo zuri la kujenga vibanda vitatu, moja kwa ajili ya Musa, moja kwa ajili ya Eliya, na nyingine kwa ajili ya Yesu. Mungu hakupendezwa na hili kwa sababu Petro hakujitoa mwenyewe kwa maneno ya Yesu, lakini badala yake akaja na mawazo yake mwenyewe. Lakini Mungu alipendezwa na Kristo. Math. 17:5, Alipokuwa katika kusema tazama wingu jeupe likawati uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye. Katika somo hili tunakwenda kuangalia aina ya maisha maalum inayompendeza Mungu. Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 3

Ukristo ni maisha iliyozungukwa Ayubu alifurahia ukigo la Mungu kuhusu yeye. Ayu. 1:10, Wewe hukumzingira kwa ukigo pande zote, pamoja na nyumba yake, na vitu vyote alivyo navyo? Kazi za mikono yake umezibarikia, nayo mali yake imeongezeka katika nchi. Mungu hakukataa ukigo huu kwa sababu kwanza Ayubu aliishi maisha ambayo yalimpendeza Mungu badala ya kuishi maisha ya kumpendeza mwenyewe. Mungu alafu akamruhusu shetani kumjaribu Ayubu, lakini bado alitunza ukigo kwa ajili yake ili kulinda maisha yake. Ukigo huu haukuwa wa kimapambo, bali ulimzunguka Ayubu ili kumlinda. Maisha ya Ukristo leo ni maisha yaliyozungukwa. Waef. 2:8, Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu. Neema ya Mungu inatufunika tunapoishi maisha yanayompendeza. Neema ni zaidi ya Kristo kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu; ina jumuisha mpango wote wa Mungu wa wokovu. Tito 2:11-12, Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa; nayo yatufundisha kukataa ubaya na tama za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa. Waru. 1:16-17, Kwa maana siionei haya injili kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu kwa kila aminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia. Kwa maana haki ya Mungu inadhihirishwa ndani yake, toka imani hata imani; kama ilivyoandikwa, mwenye haki ataishi kwa imani. Yesu Kristo na Neema yake ni kuu kuliko ulimwengu. 1 Yohana 4:4, Ninyi watoto wadogo mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia. 1 Yohana 2:1, Watoto wangu wadogo nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki. Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 4

Lakini haimaanishi kwamba tuendelee kutenda dhambi makusudi. Waru. 6:1-4, Tuseme nini basi tudumu katika dhambi ili neema izidi kuwa nyingi? Hasha! Sisi tulioifia dhambi tutaishije tena katika dhambi? Hamfahamu ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake? Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima. Neema ya Mungu inatuzunguka na kutulinda pale ambapo kweli tunalipenda neno la Mungu, na kuliweka salama mioyoni mwetu, na kujaribu kuishi kwalo. Zaburi 119:11, Neno lako nimeliweka moyoni mwangu, ili kwamba nisikutende dhambi. Ukristo ni maisha ya utumishi Watu wengi wanapenda kutumikiwa badala ya kuhitaji kutumika. Mfano mkuu wa utumishi ni Mkuu wetu, Yesu. Marko 10:45, Kwa maana Mwana wa Adamu naye hakuja kutumikiwa, bali kutumika na kutoa nafsi yake iwe fidia ya wengi. Paulo alimtumikia Mungu. Matendo 27:23, Kwa maana usiku huu wa leo malaika wa Mungu yule ambaye mimi ni wake, naye ndiye nimwabuduye, alisimama karibu name. Wakristo wanatakiwa kuwa watumishi, pia. Wagal. 6:10, Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio. Math. 10:42, Na mtu awaye yote atakayemywesha mmoja wapo wa wadogo hawa ngaa kikombe cha maji ya baridi, kwa kuwa ni mwanafunzi, amin, nawaambia, haitampotea kamwe thawabu yake. Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 5

Baadhi ya watu wasio na furaha wanasema, Niko hapa, nitumikie! Tunatakiwa tuwe na tabia ambayo Paulo alikuwa nayo kabla ya kuongoka kwake. Matendo 9:6, Lakini simama uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda. Yesu alimaliza kazi Yake kama mtumishi wa Mungu. Yohana 17:4, Mimi nimekutukuza duniani hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye. Tunapotimiza wajibu wetu kama watumishi, matendo yetu yatatufuata. Ufu. 14:13, Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya tabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao. Ufu. 20:12, Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo wamesisimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu, sawasawa na matendo yao. Ukristo ni maisha ya kiroho Tunapaswa kutembea kiroho. Yohana 4:23-24, Lakini saa inakuja nayo sasa ipo ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafu watu kama hao wamwabudu. Mungu ni Roho, nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Waru. 8:1-5, Sasa basi hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu. Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti. Maana yale yasiyowezekana kwa sheria, kwa vile ilivyokuwa dhaifu kwa sababu ya mwili, Mungu, kwa kumtuma Mwanawe mwenyewe katika mfano wa mwili ulio wa dhambi, na kwa sababu ya dhambi, aliihukumu dhambi katika mwili; ili maagizo ya torati yatimizwe ndani yetu sisi, tusioenenda kwa kufuata mambo ya mwili, bali mambo ya roho. Kwa maana wale Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 6

waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili; bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho. Tunapaswa kuishi maisha katika mwili, lakini si kwa kuutegemea. Inamaanisha nini kuishi maisha kwa kuufuata Roho? Kusulubisha (kuua) katika maisha yetu tama za mwili. Wagal. 2:20, Nimesulubiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu; na uhai niliyo nao sasa katika mwili ninao katika imani ya Mwana wa Mungu ambaye alinipenda akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu. Waru. 8:13, Kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili, mwataka kufa, bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho mtaishi. 1 Petr. 2:11, Wapenzi nawasihi kama wapitaji na wasafiri, ziepukeni tama za mwili zipinganazo na roho. Kuweka ufalme wa Mungu kwanza katika maisha yetu. Math. 6:33, Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake, na haya yote mtazidishiwa. Hiyo ni, vitu ambavyo vinahitajika, siyo kimsingi vitu tunavyotaka. Ukristo ni maisha yanayong aa Wakristo lazima wawe mwanga wa Mungu. Yohana 8:12, Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima. Math. 5:14, Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu yam lima. Wakristo lazima wang ae kama nuru ya ulimwengu. Wafil. 2:15, Mpate kuwa wana wa Mungu wasio na lawama, wala udanganyifu wasio na ila kati ya kizazi chenye ukaidi, kilichopotoka; ambao kati ya hao mnaonekana kuwa kama mianga katika ulimwengu. Ishi kama mfano wa jinsi ambavyo Mkrisro mwema anavyopaswa kuishi. Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 7

Ukristo ni maisha ya furaha Lazima tupende kuishi maisha ya kiroho. 1 Petr. 3:10, Kwa maana atakaye kupenda maisha, na kuona siku njema, auzuie ulimi wake usinene mabaya, na midomo yake isinene hila. Mungu anataka watoto wake wawe na furaha, hata katika mazingira magumu. Paulo na Sila walikuwa mfano wa kuwa na furaha wakati wa majaribu. Matendo 16:19-25, Basi bwana zake walipoona ya kuwa tumaini la faida yao limewapotea, wakawakamata Paulo na Sila, wakawakokota mpaka sokoni mbele ya wakuu wa mji; wakawachukuwa kwa makadhi, wakasema watu hawa wanachafua sana mji wetu, nao ni Wayahudi; tena wanatangaza habari ya desturi zilizokuwa halali kwetu kuzipokea wala kuzifuata, kwa kuwa sisi tu Warumi. Makutano wote wakaondoka wakawaendea, makadhi wakawavua nguo zao kwa nguvu, wakatoa amri wapigwe kwa bakora. Na walipokwisha kuwapiga mapigo mengi, wakawatupa gerezani, wakamwamuru mlinzi wa gereza awalinde sana. Naye akiisha kupata amri hii akawatupa katika chumba cha ndani, akawafunga miguu kwa mkatale. Lakini panapo usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakimwomba Mungu na kumwimbia nyimbo za kumsifu, na wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza. Petro na mitume wengine walikuwa mifano ya kuwa na furaha wakati wa majaribu. Matendo 5:26-42, Ndipo yule jemadari akaenda pamoja na watumishi wakawaleta, lakini si kwa nguvu kwa maana waliogopa watu wasije wakawapiga kwa mawe. Walipowaleta wakawaweka katika baraza. Kuhani Mkuu akawauliza, akisema, Je! Hamkuwaamuru ninyi kwa nguvu, msifundishe kwa jina hili? Nanyi, tazameni, mmeijaza Yerusalemu kwa mafundisho yenu, na mnataka kuileta damu ya mtu yule juu yetu. Petro na mitume wakajibu, wakisema, Imetupasa kumtii Mungu kuliko mwanadamu. Mungu wa baba zetu alimfufua Yesu, ambaye ninyi mlimwua mkimtundika katika mti. Mtu huyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kuume awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toba na msamaha wa dhambi. Na sisi tu mashahidi wa mambo haya, pamoja na Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa wote wamtiio. Wao waliposikia wakachomwa mioyo yao; wakafanya shauri kuwaua. Lakini mtu mmoja Farisayo, jina lake Gamalieli, mwalimu wa torati mwenye kuheshimiwa na watu wote, akasiamama katika baraza, akaamuru mitume wawekwe nje kitambo kidogo, akawaambia, Enyi waume wa Israeli, jihadharini jinsi mtakavyowatenda watu hawa. Kwa sababu kabla ya siku hizi aliondoka Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 8

Theudi, akijidai ya kuwa yeye ni mtu mkuu, watu wapata mia nne wakashikamana naye; naye aliuawa na wote waliomsadiki wakatawanyika wakawa si kitu. Baada ya mtu huyo aliondoka Yuda Mgalilaya, siku zile za kuandikwa orodha, akawavuta watu kadha wakadha nyuma yake, naye pia akapotea na wote waliomsadiki wakatawanyika. Basi sasa nawaambia, jiepusheni na watu hawa, waacheni kwa kuwa shauri hili au kazi hii ikiwa imetoka kwa binadamu, itavunjwa, lakini ikiwa imetoka kwa Mungu hamwezi kuivunja; msije mkaonekana kuwa mnapigana na Mungu. Wakakubali maneno yake; nao walipowaita mitume, wakawapiga, wakawaamuru wasinene kwa jina lake Yesu; kisha wakawaacha waende zao. Nao wakatoka katika lile baraza, wakifurahi kwa sababu wamehesabiwa kuwa wamestahili kuaibishwa kwa ajili ya Jina hilo. Na kila siku ndani ya hekalu na nyumbani mwao, hawakuacha kufundisha na kuhubiri habari njema za Yesu kwamba ni Kristo. Manabii wa zamani waliteseka, lakini bado walichukuliwa kuwa na furaha. Yakobo 5:10-11, Ndugu, watwaeni manabii walionena kwa jina la Bwana, wawe mfano wa kustahimili mabaya, na wa uvumilivu. Angalieni twawaita heri wao waliosubiri. Mmesikia habari ya subira yake Ayubu, mmeuona mwisho wa Bwana ya kwamba Bwana ni mwingi wa rehema, mwenye huruma. Sisi pia tunapaswa kuwa na furaha tunapoteseka kwa kufanya kazi ya Bwana. 1 Petr. 3:12-14, Kwa kuwa macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, na masikio yake huyasikiliza maombi yao; bali uso wa Bwana ni juu ya watenda mabaya. Naye ni nani atakayewadhuru, mkiwa wenye juhudi katika mema? Lakini mjapoteswa kwa sababu ya haki mna heri. Msiogope kutisha kwao, wala msifadhaike; bali mtakaseni Kristo Bwana mioyoni mwenu. 1 Petr. 4:12-16, Wapenzi, msione kuwa ni ajabu ule msiba ulio kati yenu, unaowapata kama moto ili kuwajaribu, kana kwamba ni kitu kigeni kiwapatacho. Lakini kama mnavyoyashiriki mateso ya Kristo, furahini; ili na katika ufunuo wa utukufu wake mfurahi kwa shangwe. Mkilaumiwa kwa ajili ya jina la Kristo ni hari yenu; kwa kuwa Roho wa utukufu na wa Mungu anawakalia. Maana mtu wa kwenu asiteswe kama mwuaji, au mwivi, au mtenda mabaya, au kama mtu ajishughulishaye na mambo ya watu wengine. Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya, bali amtukuze Mungu kwa jina hilo. Jishughulishe kama Mkristo na furaha itakufuata. Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 9

Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 10

Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 11

Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 12