KAWAWA JKT HIGH SCHOOL PO.BOX 213 MAFINGA IRINGA PHONE MOBILE, , , ,

Similar documents
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. OFISI YA RAIS- TAMISEMI.

Kumb.Na.HVEMS/JI/BT/018 Novemba 17, YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE CHINI YA TAASISI YA ROCK MEMORIAL EDUCATION TRUST 2018

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA.

SHULE YA SEKONDARI KIBAHA S.L.P 30053, KIBAHA SIMU NA Kibaha

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU

FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO

Kumb.Na.BSS/A.6/33 Tarehe: 18 Juni 2018 YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2018/2019

ARCHDIOCESE OF MWANZA

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

2018/2019 OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI WERUWERU HALMASHAURI YA MOSHI MKOA WA KILIMANJARO MWAKA 2018

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA SHULE YA SEKONDARI RUNGWA

JAMHURI YA MUUNGANO IVA TANZANIA

YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAMISEMI

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

NAFASI ZA MASOMO MASOMO YA ASUBUHI

YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KAREMA KIDATO CHA TANO MWAKA 2018

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

Human Rights Are Universal And Yet...

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

Lesson 11 Weather and Seasons Hewa Majira

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

Upande 1.0 Bajeti yako

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI

CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

4. Kanuni za Petroli (Ushiriki wa Watanzania) za mwaka 2017 zilianza kutumika rasmi tarehe 5 Novermba Shughuli za Petroli za kwanza ni

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Siku ya kwanza. Mguso wa ngozi-kwa-ngozi (Ulezi wa kangaruu) Mtoto wako anaweza kuhisi mdundo wa moyo wako

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI. Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA. Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

pages/mkulima-mbunifu/

Early Grade Reading Assessment for Kenya

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

13 APRILI, 2012 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

Deputy Minister for Finance

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA MHESHIMIWA

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

Ufundishaji wa lugha nyingine

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania

KUMBUKIZI YA MAREHEMU MWALIMU EDWIN SEMZABA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E)

Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 People Who Make A Difference Liberia: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia

Transcription:

KAWAWA JKT HIGH SCHOOL PO.BOX 213 MAFINGA IRINGA PHONE MOBILE,0762-785899, 0765 752082, 0758 767533, EMAIL: kawawa.highschool@yahoo.com Kumb Na. 841KJ/KAWSS/2540 6 Namba ya Fomu. Tarehe.. FOMU YA USAJILI WA MWANAFUNZI A. MAELEZO YA MTOTO 1. Jina kamili la mtoto 2. Tarehe ya kuzaliwa 3. Wilaya aliyozaliwa Mkoa wa 4. Raia wa 5. Jinsia ya 6. Shule ya msingi alikomaliza masomo Wilaya ya Mkoa wa 7. Mwaka aliomaliza masomo ya msingi 8. Dini B. MAELEZO YA MZAZI /MLEZI 1. Jina la Mzazi/Mlezi 2. Uraia wako 3. Anwani ya Mzazi/Mlezi 4. Kazi yako 5. Unakofanyia kazi 6. Namba ya simu ya nyumbani 7. Namba ya simu ya kazini 8. Uhusiano na Mtoto C. MAELEZO MUHIMU 1. Masomo yatakayotahiniwa ni kingereza, Hesabu na Maarifa 2. Gharama ya fomu hii ni Tshs 10,000/= (Elfu kumi tu) ambazo hazitarudishwa 3. Majibu ya watahiniwa waliochaguliwa yatapatikana kwenye kituo ulichochukulia fomu mara baada ya shule kufanya uchaguzi 4. Bandika picha ndogo ya mwanafunzi juu (passport size) Tarehe ya kufanya mtihani ni tarehe 27/10/18 D. VITUO VYA KUUZIA FOMU ZA KUFANYIA MTIHANI 1. Kawawa High school - Mafinga 2. Jitegemee High School - Dar es salaam 3. Wilolesi shule ya Msingi - Iringa Mjini 4. Azimio la shule ya Msingi - Makambako 5. Usangila - Mafinga sokoni (EE Sikaponda psc) Maj Mkuu wa Shule

WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA Simu 0655 540230 Kawawa (JKT) High School 0767 785899 Sanduku la Posta 213 Fax 0262 277 144 MAFINGA Tarehe Ndugu MAELEZO YA KUJIUNGA NA SHULE Nafurahi kukukaribisha kujiunga kidato cha kwanza katika shule ya Sekondari Kawawa (JKT) High school. Shule itafunguliwa rasmi tarehe 07 January 2019, mwisho wa kuripoti ni tarehe 14 Januari 2019. 1. UTANGULIZI a. Kawawa (JKT) High school ipo Mkoa wa Iringa Wilaya ya Mufindi katika Mji wa Mafinga. Shule imejengwa katika eneo la kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa Mafinga kilometa (6) toka Mjini Mafinga. b. Mji wa Mafinga upo katikati ya Makambako na Iringa Mjini na km 85 toka Makambako. c. Teremka kituo cha mabasi Mafinga Mjini ambapo ndio kituo kikuu. Kituoni hapo zipo taxi za kukodi. Ambapo karibu wote wanafahamu shule ilipo watakuleta bila wasiwasi wowote gharama za usafiri wa Taxi ni kati ya Tshs 8,000/= na Tshs 9,000/= kutegemea na bei ya mafuta ya magari. 2. USAFIRI KWA WATOKAO NJE YA MKOA a. Watokao Dar es salaam au Morogoro, watumie mabasi yaendayo Mbeya Njombe au Songea kama GALAXY, NYAGAWA, UPENDO SUPER FEO, HAPPY AFRICA, LUWINZO, ABOOD, NEW FORCE. b. Watokao Dodoma watumie mabasi ya ABOOD, ANAOTHER G, KIMBINYIKO, SHABIBY LINE, 3. HALI YA HEWA a. Hali ya hewa Mafinga ipo hivi :- i. Mwezi wa January March ni kipindi cha mvua za masika ambapo wanafunzi hulazimika kuwa na koti la mvua au mwamvuli. ii. Mwezi Aprili August au September ni kipindi cha baridi iii. Mwezi Septemba Octoba au Disemba ni kipindi cha joto na mvua za vuli ambazo huanza mwezi Octoba na Novemba. b. Kwa wanafunzi wenye matatizo ya kifua (Pumu) mahali hapa hapafai kwa yeye kusoma.

c. Kutokana na hali ya hewa ya Mafinga ugonjwa wa malaria upo kwa kiasi kidogo na mara nyingi wale wanaotoka sehemu za joto huja nao. Dawa za magonjwa ya kawaida hutolewa shuleni na Daktari au Nesi wa shule kwa wale wanaohitaji vipimo hupimwa katika hospitali kubwa ya Jeshi ambayo pia ina wodi ya kulaza wagonjwa. 4. MALIPO YA ADA Malipo ya ada kwa mwaka yatakuwa kama ifuatavyo:- a. Kwa mwanafunzi wa Bweni ni Tshs 1,500,000/= (milioni moja laki tano tu kwa mwaka ) Mzazi/Mlezi anaweza kulipa zote kwa mara moja au kwa awamu mbili kama ifuatavyo:- i. Muhula wa kwanza Tshs 800,000/= ii. Muhula wa pili Tshs 700,000/= b. Kwa mwanafunzi wa kutwa ni Tshs 700,000/= (Laki saba) Mzazi/Mlezi anaweza kulipa zote kwa mara moja au kwa awamu mbili kama ifuatavyo:- i. Muhula wa kwanza Tshs 350,000/= ii. Muhula wa pili Tshs 350,000/= NB: Malipo ya ada yalipwe Bank zifuatazo:- NMB 60203500075 AU CRDB 0150350159601 ( Kawawa Sec School) Baada ya kulipia BANK hakikisha UNALETA PAY IN SLIP YA BANK HUSIKA Shuleni ndani ya mwezi huo huo. Pia inasisitizwa mwanafunzi yeyote hatapokelewa shuleni bila kuwa na ada kamili iliyoainishwa hapo juu. 5. GHARAMA ZINGINE a. Gharama za Mitihani na majaribio mbalimbali kwa mwaka Tshs 40,000/= i. Muhula wa kwanza Tshs 20,000/= ii. Muhula wa pili Tshs 20,000/= b. Gharama za Matibabu Tshs 20,000/= kwa mwaka c. Gharama ya Kitambulisho Tshs 5,000/= d. Fedha za tahadhari (Caution money) Tshs 50,000/= endapo haitatumika kufidia uharibifu mwanafunzi atarejeshewa fedha hizo. a. Michango hii iwekwe kwenye akaunti ya benki ya NMB NO 60210021453 KAWAWA REMEDIAL ACCOUNT. b. Kumbuka kutochanganya akaunti inayotumika kulipa Ada, Michango mingine, usichanganye.

6. SARE ZA SHULE (a) Ili mwanafunzi awe nadhifu na mwenye kupendeza, sare zao zitashonwa shuleni kwa gharama ya Tshs 110,000/= ambazo fedha hizo mwanafunzi atakuja nazo wakati wa kusajiliwa, sare hizo ni (included). i. Wasichana: Sketi 2, Mashati 2, ya mikono mirefu, Tai, (njano) Sweta, Tshirt na Nembo ya shule ii. Wavulana: suruali 2, Mashati 2 ya mikono mirefu Tai, ( kijani) Sweta, Tshirt na nembo ya Shule. (b) Gauni na Track suit (Shamba dress) Tshs 60,000/= kwa Bweni tu, fedha ambazo mwanafunzi atakuja nazo wakati wa kusajiliwa. ( pesa hizo ziletwe taslimu shuleni) Wanafunzi hawaruhusiwi kuja na nguo za nyumbani ambazo si za heshima. Hatakiwi kabisa mfano suruali za mtepeto, vizibau (carwash) sketi fupi, nguo zinazoonyesha maumbile, blauzi fupi zinazoonyesha tumbo au vitovu nje. NB Nguo zitakazokamatwa ambazo zimekatazwa zitachomwa moto hadharani na shule haitawajibika kulipa chochote. 7. TAALUMA a. Wastani utakaomruhusu mwanafunzi kuingia kidato kingine ni 41% mwanafunzi ambaye hatafikisha kiwango hicho hataruhusiwa kuingia kidato kingine kinachofuata, atalazimika kurudia darasa. b. Masomo yanayofundishwa shuleni ni :- CIVICS, KISWAHILI, BASIC MATHEMATICS, ENGLISH LANGUAGE, FRENCH, PHYSICS, BIOLOGY, HISTORY, GEOGRAPHY, CHEMISTRY, KOMPYUTA, NA LITERATURE IN ENGLISH (c) VIFAA VYA DARASANI KWA WOTE 1. Madaftari makubwa saba (07) (counter book) 2. Madaftari madogo kumi (10) 3. Kamusi ya kingereza 4. Picha ndogo nne passport size 5. Kalamu ya wino, penseli na rula (d) Inashauriwa kila mwanafunzi awe na vitabu vyake binafsi aweze kujisomea muda wote. Ili kufikia lengo hili shule imeruhusu mawakala wa

vitabu kufungua duka la vitabu na kuviuza kwa bei ya punguzo kati ya 12,500/= hadi 30,000/=. (e) Mwanafunzi anatakiwa kuwa na sanduku la la Posta kwa ajili ya kutumiwa maendeleo ya kitaaluma ya mtoto wake. 8. KWA MWANAFUNZI WA BWENI ANALAZIMIKA KUJA SHULENI NA VIFAA KWA MATUMIZI AMBAVYO NI:- i. Godoro la sponchi upana wa futi 2 ½ kwa urefu wa futi sita ii. Blanketi mbili iii. Mashuka mawili rangi ya pinki iv. Chandarua v. Koti la mvua au mwavuli vi. Sanduku la bati na kufuli lake Masanduku ya aina nyingine hayafai kwa mazingira ya shule (kufuli solex) vii. Ndoo ya maji viii. Vyombo vya chakula sahani, Bakuli, kijiko, na kikombe. Hivi hupatikana pia katika duka la shule. ix. Nguo za michezo raba. Bukta, fulana, sock, au track suit n.k x. Fedha za matumizi na nauli ya kurudia nyumbani wakati shule inapofungwa zitawasilishwa kwa mhasibu wa shule na hazitatolewa kwa mwanafunzi kwa shida yoyote. Fedha hizi hukusanywa mapema ili kupata fursa ya kukodi mabasi kuwarudisha wanafunzi majumbani wakati wa likizo shule itakapofungwa. Maelezo kuhusu viwango vya nauli atapata toka kwa mhasibu. Kwa vile hubadilika kutokana na bei za mafuta au leseni za magari kupanda. 9. UPIMAJI WA AFYA Kila mzazi atalazimika kupima afya ya mtoto wake ili kujua kama ataweza kusoma katika mazingira ambayo ni ya baridi. Imeambatanishwa fomu ya kupeleka kwa daktari ambayo inatakiwa kujazwa baada ya mtoto kupimwa. Inashauriwa kwa watoto wa kike wapimwe kwa uangalifu mkubwa ili kuwa na uhakika na afya zao. NB (i) Gharama za upimaji ni za mzazi mwenyewe (ii) Inashauriwa kupima katika hospitali ya Wilaya, Mikoa au hospitali binafsi zinazotambulika. 10. MUDA WA KUPOKEA WANAFUNZI Muda wa kupokea wanafunzi ni kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 11:00 jioni. Mwanafunzi au mzazi atakayefika zaidi ya muda huo atalazimika kulala mafinga mjini na kuripoti shuleni siku inayofuata ndani ya masaa yaliyoelekezwa hapo juu.

11. TABIA YA MTOTO Kwa mtoto yeyote mwenye matatizo ya nidhamu kwao, ingefaa mazazi aeleze kiundani ili matatizo yaeleweke kwa nia ya kumsaidia mtoto katika kumrekebisha. 12. KUTOKUWA NA SIMU Kutokana na maagizo ya Wizara ya Elimu mwanafunzi haruhusiwi kuwa na simu katika kipindi chote awapo shuleni, Akibainika kuwa nayo atanyang`anywa na kupewa adhabu kali. 13. NIDHAMU Maendeleo na matunda mazuri ya mtu yeyote yatapatikana baada ya nidhamu kupewa kipaumbele, nidhamu ikiwepo pamoja na jitihada. Mafanikio ni dhahiri yatapatikana. Wanafunzi wote wanapaswa kuishi maisha ya nidhamu siku zote ili waweze kufanikiwa vema katika masomo na maisha yao. Wizara ya Elimu imeainisha badhi ya makosa ambayo mwanafunzi akiyatenda anaweza kufukuzwa shule, kushitakiwa mahakamani au adhabu zote kwa pamoja kwa maana hiyo mwanafunzi anapaswa kuwa mwangalifu ili asipatikane na hatia katika makosa yafuayayo. i. Wizi ii. Uasherati, ubakaji na ushoga iii. Ulevi na matumizi ya madawa ya kulevya iv. Uvutaji wa bangi au sigara v. Makosa ya jinai vi. Kupigana au kupiga vii. Kuharibu kwa makusudi mali ya umma viii. Kudharau Bendera ya Taifa ix. Kupata mimba au kusababisha mimba x. Kuoa au kuolewa xi. Kukataa adhabu kwa makusudi xii. Kutoa mimba xiii. Kwenda nje ya eneo la shule bila ruhusa xiv. Utoro na uzembe wa kutofuata ratiba ya shule xv. Kuchelewa kufika shule wakati wa kufungua shule xvi. Kwenda kinyume na sheria za shule (EE Sikaponda psc) Maj Nkuu wa Shule

SHULE YA SEKONDARI KAWAWA (JKT) Sanduku la Posta 213, MAFINGA Simu: 0762785899 0713 821742 Fax: 026 277 2144 Daktari, Hospitali ya. Sanduku la Posta.. FOMU YA UPIMAJI WA AFYA YA MWANAFUNZI Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu Unaombwa kupima afya ya mwanafunzi aitwaye wa kidato cha..mwaka.. ili kufahamu afya yake na kama anaweza kusoma katika mazingira yetu ya baridi. Wako katika Elimu. (EE Sikaponda, psc) Maj Mkuu wa shule IJAZWE NA DAKTARI Mimi Dr.... wa Hospitali ya..... iliyopo.nimempima mwanafunzi hapo juu na kugundua anayo/hana matatizo ya afya. Maoni na mapendekezo ya Daktari.. Sahihi na muhuri