Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E)

Similar documents
MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

TATHMINI YA PAMOJA SHULE ZA UPILI ZA JIMBO LA MACHAKOS.

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

TRANS-NZOIA COUNTY KCSE REVISION MOCK EXAMS 2015

1. UFAHAMU: (Alama 15)

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya

SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level

MARUDIO K.C.S.E KNEC KISWAHILI KARATASI 102/2 MASWALI NA USAHIHISHO

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

NAME INDEX SCHOOLDATE USHAIRI

MTIHANI WA MWIGO WA WILAYA YA NANDI KASKAZINI 2013

UFAHAMU NAME INDEX SCHOOLDATE UFAHAMU

(Hati ya kuhitimu kisomo cha sekondari Kenya (K.C.S.E)

Early Grade Reading Assessment for Kenya

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

MTIHANI WA PAMOJA WA WEZOJE

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Human Rights Are Universal And Yet...

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

ST. GEORGE S GIRLS SECONDARY SCHOOL-NAIROBI

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn

JAZANDA YA NJOZI KATIKA BAADHI YA MASHAIRI YA EUPHRASE KEZILAHABI (ONEIRIC IMAGES IN EUPHRASE KEZILAHABI S SELECTED POEMS) 1

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

KUCHUNGUZA MCHOMOZO KATIKA FASIHI YA KISWAHILI: UTAFITI LINGANISHI WA USHAIRI KATIKA DIWANI YA USTADHI ANDANENGA

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven)

V\ FANI KATIKA USHAIRI WA HASSAN MWALIMU MBEGA: UHAKIKI WA UPISHO WA UMALENGA NA DAFINA YA UMALENGA DONALD OMWOYO OSIEMO

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 People Who Make A Difference Liberia: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia

Usimulizi katika Utenzi wa Swifa ya Nguvumali

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre

MAKALA: USHAIRI WA KISWAHILI KATIKA NJIA PANDA: KUTUMIA AU KUTOTUMIA METHALI

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa.

UFASIHI SIMULIZI KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: Mifano kutoka Adili na Nduguze na Wasifu wa Siti Binti Saad. Khatib Khamis Saleh

Upekee wa Utenzi wa Swifa ya Nguvumali: Utenzi wa Mpito, Mseto wa Imani za Jadi Na Usasa MWENDA MUKUTHURIA Egerton University, Kenya

MADA MATUMIZI YA TAKRIRI NA SITIARI KATIKA UTENZI WA RASI LGHULI JUSTUS MAUNDU NDUMBU C50/65902/2011 CHUO KIKUU CHA NAIROBI IDARA YA ISIMU NA LUGHA

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1

NAFASI YA MUZIKI ULIOPENDWA KATIKA FASIID YA KISWAHILI PAMELA M. Y NGUGI. Inkisiri. M a kala. AAP 64 (2000): Swahili Forum VII

Nordic Journal of African Studies 23(4): (2014)

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1

Mbinu za Ujenzi wa Wahusika na Usawiri wa Sifa Zao: Uhakiki wa Riwaya ya Dunia Uwanja Wa Fujo ya E. Kezilahabi

MATATIZO YA MATUMIZI YA LUGHA KATIKA VYOMBO VYA HABARI: MIFANO KUTOKA KENYA 1 KITULA KINGE'I. 1. Utangulizi. AAP 64 (2000): Swahili Forum VII 45-56

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU?

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

2

2

Roho Mtakatifu Ni Nini?

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

LBE 2009 Migration Episode 3: Living without documents

KUCHUNGUZA MASUALA YA KISIASA KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: MFANO WA KUSADIKIKA NA KUFIKIRIKA

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

FANI KATIKA NYIMBO TEULE ZA ANASTACIA MUKABWA MBURU JAMES MUNGAI TASNIFU HII IMETOLEWA ILI KUTOSHELEZA BAADHI YA

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

UHUSIANO WA MIKAKATI YA UFUNDISHAJI WA FASIHI YA WATOTO YA KISWAHILI NA UMILISI WA KUSOMA KATIKA SHULE ZA MSINGI, KASARANI, KAUNTI YA NAIROBI, KENYA

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine.

NAFASI YA MWANAMKE: JINSI INAVYOTETEWA KATIKA NYIMBO ZA TAARAB ZA ZANZIBAR ELIZABETH KANGOGO YEGO C50/68796/2011 IDARA YA ISIMU NA LUGHA

Maisha Yaliyojaa Maombi

ATHARI ZA KIMOFOFONOLOJIA ZA KIOLUSUBA KATIKA MATUMIZI YA KISWAHILI SANIFU KAMA LUGHA YA PILI

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA

Evaluation of Contextual Teaching of Kiswahili Proverbs in Secondary Schools in Kenya

Makasisi. Waingia Uislamu

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI?

K. M a r k s, F. E n g e l s

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI

Forum:MyElimu Home for Students to Share Knowledge Thread: Dunia Uwanja Wa Fujo

PDF created with pdffactory trial version

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14).

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

KUMBUKIZI YA MAREHEMU MWALIMU EDWIN SEMZABA

Oktoba-Desemba

TASFIDA KAMA MKAKATI WA UPOLE: UWIANO WA TASFIDA ZA KISWAHILI NA EKEGUSII

Cambridge International Examinations Cambridge Ordinary Level

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

Transcription:

102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI/AGOSTI 2011 MUDA: 2 ½ Kiswahili Fasihi Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) MAAGIZO Jibu maswali manne pekee Swali la kwanza ni lazima Maswali hayo mengine matatu kutoka sehemu nne zilizobaki yaani, tamthilia,riwaya, Ushairi na fasihi simulizi. Usijibu maswali mawili kutoka sehemu moja. Karatasi hii ina kurasa 4 zilizopigwa chapa. Watahiniwa ni lazima waangalie kama kurasa zote za karatasi hii zimepigwa chapa sawasawa na kuwa maswali yote yamo. Nyamira- 11 kidato cha nne 1

SEHEMU YA A: HADITHI FUPI MAYAI WAZIRI WA MARADHI: K.W Wamitila. 1. LAZIMA.. Ni. Nisubiri kidogo mpenzi.. naja hivi punde tuyamaliza uyasemayo. a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (ala 4) b) Anayosema mnenewa yanaashiria matatizo yanayomkumba. Jadili kwa kutoa mifano kitabuni manne ya matatizo hayo ambayo pia ni matatizo yanayoikumba jamii. (ala.8) c) Ni vipi matatizo hayo yanavyoweza kusuluhishwa? (ala.8) SEHEMU YA B : RIWAYA Jibu swali la 2 au la 3 S.A Mohamed : UTENGANO 2. Shoga Futoni ni Futoni kweli, mambo yake ni mfutofuto, hakuna mtaji mkubwa hata hivyo kwa mimi na wewe.... a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (ala.4) b) Eleza jinsi njia alizotumia kujipatia riziki mnenewa zilivyomtia mashakani (ala. 10) c) Eleza jinsi mnenewa hakubadilisha maisha yake. (ala.6) au 3. Huku ukitoa mifano onyesha jinsi mwandishi amefaulu katika matumizi ya mbinu zifuatazo za sanaa: (i) Rejea (ala.10) (ii) Sadfa (ala.10) SEHEMU YA V: USHAIRI 4. Soma shairi hili kisha ujibu maswali yanayofuata. UTII Raia Mwema ni yule, aliyejaa utii, Si ubishi na kelele, akanywalo hasikii, Ni mwasi huyo jinale, achunguzwe kwa bidii, Uonapo uhalifu, usambe huuzuii, Ndio huo uvunjifu, kamawe huzingatii Mwananchi mwadilifu,hilo halikadirii Utii kama haupo,sheria haziagii Nyamira- 11 kidato cha nne 2

Maswali. Imani huwa haipo, na mema hayatujii Usalama hufa papo, mara nchi ikadhii Nia za watu watano, ambazo hazififii Uchao ni tangamano, si chusa hawachukii Hushinda kumi na tano, ambao hawatulii Raia asiyetii, ni fasidi wa nchiye. Kila raia nchini, ni ile au ni hii Ana hisa wastani,ingawa haitumii Hazuiliwi hanani,kusema hatumbukii. (a)taja sifa mbili za raia Mtiifa. (ala. 2) (b) Ni mambo gani ambayo hutokea wananchi wanapokosa utii? ( ala.2) (c) Eleza ubeti wa tatu kwa lugha ya nathari ( ala 4) (d) Onyesha mbinu mbili zilizotumiwa ili kuonyesha uhuru wa mtunzi,kwa kutolea mifano.( ala.2) (e) Hili ni shairi la aina gani? Toa sababu. ( ala.2) (f) Eleza muundo wa shairi. (alam 4) (g) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumiwa katika shairi. (i) Mwasi (ii) haziagii (iii) Tangamano (v) hisa 5. Soma shairi hili kisha ujibu maswali yanayofuata. Wana haramu Hebu nikuulize mama Afrika Kwa nini Mimba changa ukajichukulia Ya haramu sana ilotepetea Ukazaa wana walo jahilia Wasiojijua, wala yao njia? Kuzurura ukamalizikia Bila muruwa, heba kukupotea Ukawa ganda la kupita njia Usije maoni ya kuonelea? Kwa nini.. Ukazaa kizazi kilo kiwete Kilihasirika kwa wakati wote Kilichopagawa kwa kingi kite (ala.4) Nyamira- 11 kidato cha nne 3

Hata utu wake ukakipotea? Ah moyo waumia! Hupigwa na mshangao Niwafikiriapo Wale barobaro wanao Wasaliti wanati walo na vyeo Walomdhidi mama mzazi wao Kwa muradi wao. Lakini sijali Sijali kwani najua Siku moja itawadia Wanaharamu watajihalalia Kila cha haramu kukuondolea Na kukurakasa.. Mama wasikia? Hiyo siku ya siku itakapofika Kila la dhuluma litajikatika Na kila mahali utadhihirika Mwisho wa salata na uharamia. Mama wasikia? Maswali (a) mwandihsi analalamikia mambo yapi katika shairi hili? (b) Mwandishi ametumia mbinu gani katika kutumia maneno. Mama Afriaka? Neno hili ( ala.5) limetumika kumaanisha nini? ( ala. 4) (c) Andika ubeti wa nne katika lugha ya nathari. ( ala.4) (d) Eleza maana ya maneno yafuatatyo: ( ala 5) (i) jahilia (iii) Kilohasirika (v) Barobaro. (ii) Muruwa (iv) kite (e) Mtunzi anamaanisha nini anaposema, ukazaa kizazi kilo kiwete? ( ala. 2) SEHEMU YA C : THAMTHILIA KIFO KISIMANI: Kithaka wa Mberia 6. Huku ukitoa mifano jadili mambo mbalimbali yanayodhinirisha ubaya wa utawala wa Mtemi Bokono. ( ala. 20) Nyamira- 11 kidato cha nne 4

SEHEMU YA D: FASIHI SIMULIZI. 7. (a) Kwa kutoa mifano taja mambo yoyote manne yanayozua lakabu (ala.4) (b) Jadili kwa kutoa mifano, umuhimu wa lakabu (ala.8) (c)el eza sifa zozote nne za lakabu (ala.8) Nyamira- 11 kidato cha nne 5