Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu

Similar documents
Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu?

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1

Maisha Yaliyojaa Maombi

United Pentecostal Church June 2017

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Maisha Ya Mkristo Ni Nini?

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven)

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1

Roho Mtakatifu Ni Nini?

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai.

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu.

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

LALA. Terry Warford. LALA (Sleep - Terry Warford) 1

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1

Kiumbe Kipya Katika Kristo

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani?

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI?

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Human Rights Are Universal And Yet...

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally

Ndugu na dada zangu wapendwa,

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa.

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema,

Ndugu na dada zangu wapendwa,

FORWARD BY DANIEL SZMIOT

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown. General Editors.

MSAMAHA NA UPATANISHO

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE

MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA

Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves)

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba

Kiu Cha umtafuta Mungu

Ndugu na dada zangu wapendwa,

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele. Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101. Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10.

Oktoba-Desemba

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

Kwa Kongamano Kuu 2016

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB

PDF created with pdffactory trial version

MAFUNDISHO YA UMISHENI

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI?

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

2 LILE NENO LILILONENWA

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU?

UZAO WA NYOKA. 2 Basi, usiku huu, tuna malimbuko tu ya utukufu huo mkuu. 3 Kwa uchaji tunasimama kwa imani yetu katika Uwepo

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia

MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara

IM ETUPASA KUTIMIZA HA KI YOTE

Rahisi. Kitabu cha mwanafunzi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Rahisi

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14).

Iliyoendelea sana. Kitengo cha 2. Kitabu cha mwanafunzi Iliyoendelea sana

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE

H. M. Baagil, M. D. WAMY Studies on Islam

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu.

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi. Iliyoendelea sana

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn

Rahisi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Kitabu cha mwanafunzi. Rahisi

Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine.

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI

Makasisi. Waingia Uislamu

Transcription:

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu na Ellis P. Forsman God) 1

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu na Ellis P. Forsman Oktoba 7, 2011 God) 2

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu Mat. 6:24-34 Yesu alitoa maelezo haya yaliyo rekodiwa katika sura ya 6 ya Mathayo kwamba tunapaswa kumwamini na tusiwe na wasiwasi kuhusu vitu katika maisha haya. Mat. 6:25, Kwa sababu hiyo nawaambieni, nsisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini; wala miili yenu, mvae nini. Maisha je! Si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi? Mat. 6:31, Msisumbuke, basi, mkisema tule nini? Au tunywe nini? Au tuvae nini? Mat. 6:33, Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa. Ni nani anyeishi kwa ajili ya haya? Nani anayeyatenda? Hasa tunapofundishwa kuwa na bidii. Rum. 12:11, Kwa bidii si walegevu; mkiwa na juhudi katika roho zenu; mkimtumikia Bwana. Tunafundishwa kupata kwa wakati ujao. Mit. 6:6, Ewe mvivu, mwendee chungu, zitafakari njia zake ukapate hekima. Hiki ndicho ambacho Yusufu alifanya Misri. Alitafsiri ndoto ya Farao na kusema kutakuwa na miaka 7 ya chakula kingi ikifuatiwa na miaka 7 ya njaa, na akaonyesha kwamba wanapaswa kuweka pembeni kutoka katika miaka 7 ya chakula kingi, ili kutafuta kwa ajili ya miaka 7 ya njaa. Tatizo linakuja kwamba tunapokuwa na wasiwasi na kufanya maamuzi yasiyo sahihi, bila kumuweka Mungu kwanza katika maisha yetu. Hatupaswi kuwa na wasiwasi kuhusu siku zijazo. Tunafanya kile tuwezalo na tusijali kuhusu mengineyo. Katika kifungu chetu cha maandiko, Yesu anahitaji kwamba tuweke ufalme wa Mungu na kazi ya Mungu juu ya vitu vyote katika maisha. Kifungu hiki kiasili inajigawa yenyewe katika sehemu mbili katika Mat. 6:33: Jukumu kuu linahitajika tafuteni kwanza ufalme wa Mungu, na haki yake; Ahadi yenye hisani imewekwa na hayo yote mtazidishiwa. God) 3

Jukumu kuu linahitajika... tafuteni kwanza ufalme wa Mungu, na haki yake; Kifaa cha kutafuta. ufalme wa Mungu Hiki ni nini? Ambacho Yesu anatuambia. Yohana 18:36, Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. Lakini ufalme wangu sio wa hapa. Sio ya ulimwengu huu kwa sababu haukutokana na ulimwengu huu, bali ulitoka mbinguni. Sio sawa na ufalme wa kidunia. Haihusiani na maeneo, mipaka, au nchi. Hakuna mji kuu au makao makuu ya kufikia. Makao yake makuu yako mbinguni, na Yesu ndiye Mfalme wake mkuu. Rum. 14:17, Maana ufalme wa Mungu si kula wala kunywa, bali ni haki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu. Ukristo haupo katika tamaa za wanadamu kwa ajili ya vitu ambavyo vipo katika maisha haya. Luka 17:21, Wala hawatasema, tazama upo huku, au kule kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu. Hiyo ni, kutokea kwake hakuwezi kutazamwa kwa hisia tano. Ufalme wa Mungu hauwezi kuja na muonekano wa kifalme wa dunia au serikali. Ufalme wa Mungu unakaa ndani ya wafuasi wa Kristo. Yoh. 3:5, Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia Ufalme wa Mungu. Ni uzazi wa kiroho. Yesu alikuja kutimiza haki yote. Yesu aliwafundisha wanafunzi wake kuomba katika Mat. 6:10, Ufalme wako uje. Mapenzi yako yafanyike duniani, kama huko mbinguni. Wakati haya yalipokuwa yakisemwa ufalme ulikuwa bado haujaanzishwa, lakini tunayo leo. Ufalme wa Mungu ni utawala wa Mungu katika nyanja zote za shughuli za binadamu; hivyo uzuri huu hauja gundulika katika sehemu yote ya maisha haya leo. God) 4

na haki yake Haki ni tunda la utawala wa Mungu katika moyo. Zaburi 119:172, Ulimi wangu na uiimbe ahadi yako, maana maagizo yako yote ni ya haki. Yesu hatuambii tu kutafuta haki, bali haki Yake. Haki yo yote tuliojitengenezea haina uthamani wowote. Isa. 64:6, Kwa maana sisi sote tumekuwa kama mtu aliye mchafu, na matendo yetu yote ya haki yamekuwa kama nguo iliyotiwa unajisi, sisi sote twanyauka kama jani, na maovu yetu yatuondoa kama upepo uondoavyo. Rum. 10:3, Kwa maana wakiwa hawaijui haki ya Mungu, na wakitaka kuithibitisha haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu. Haki Yake ni ya nguo safi yote na haita haribika. Fil. 3:8-10, Naam, zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kwa ajili ya uzuri usio na kiasi kwa kumjua Kristo Yesu, Bwana wangu; ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nipate Kristo; tena nionekane katika yeye, nisiwe na haki yangu mwenyewe ipatikanayo kwa sheria, bali ile ipatikanayo kwa imani iliyo katika Kristo, haki ile itokayo kwa Mungu, kwa imani; ili nimjue yeye na uweza, wa kufufuka kwake, na ushirika wa mateso yake, nikifananishwa na kufa kwake. Paulo alisema kuwa haki ya Agano La Kale ili kuwa ni kuwekwa pembeni. Imani uja kwa kusikia neno la Mungu. Je ulishawahi kujiuliza kwamba kwa nini Yesu alibatizwa? Mat. 3:13-17, Wakati huo Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Yordani kwa Yohana ili ambatizwe. Lakini Yohana alitaka kumzuia, akisema mimi nahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu? Yesu akajibu akamwambia, kubali hivi sasa; kwa kuwa ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote. Basi akakubali. Naye Yesu alipotokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini, na tazama mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake; na tazama sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninaye pendezwa naye. Hivyo, tunapaswa mkuruhusu Mungu awe na mamlaka juu yetu; atawale pasipopingamizi. God) 5

Mpangilio wa utafutaji tafuteni Kwanza. Kwanza inamaanisha kwamba kuna vitu vingine ambavyo tunavitafuta, lakini vinapaswa kutothaminishwa (shushwa kiwango). Kwanza inamaanisha kwamba kuna mengine. Hatupaswi kuutafuta ufalme wa Mungu kwa kukataa majukumu yetu ya dunia; hataivyo, hatuwezi kuruhusu majuku haya ya kidunia kuingilia majukumu ya mbinguni. Bwana wetu haitaji kwamba tuwe bila mawazo kuhusu vitu vya maisha haya. 1 Tim. 5:8, Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini. Roho ambayo haijali na kuwajibika huondolewa katika roho wa kweli wa Ukristo. Rum. 12:11, Kwa bidii si walegevu, mkiwa na juhudi katika roho zenu; mkimtumikia Bwana; Mkristo wa kweli anachukia uchafu kama anavyochukia ulevi, na kukimbia mambo ya kipuuzi kama anavyo kimbia kutoka katika zinaa. Bali tunapaswa kuweka vitu vya kwanza nambari moja, na tusiruhusu kazi ya Mungu katika maisha yetu yatingwe na mambo ambayo hayana umuhimu. Hatuwezi kuruhusu kazi zetu, masomo ya chuo, michezo, burudani, au kitu chochote kile kije kati yetu na huduma yetu kwa Mungu. Lazima tumuweke awe wa kwanza katika kila jambo tunalofanya. Ujuzi wangu wa kuomba kazi katika shamba la Real Estate. Niliombwa kufanya kazi siku ya juma pili. Niliambiwa, Hufai katika kazi hii. Nikajibu, Hapana hii kazi sio ya kwangu. Ujuzi wangu wa kuomba kazi katika Kiwanda Cha Ndege. Niliwaambia nilikuwa napenda kufanya kazi siku yo yote ya wiki na muda wo wote katika siku, isipokuwa niliitaji kuwa kanisani jumapili asubuhi. Tulikubaliana katika hili na barua ya makubaliano iliwekwa katika faili langu kwamba sitahitajika kazini siku za juma pili asubuhi. Walijaribu hili mara moja tu. Nikawakumbusha makubaliano yetu, na wakanigeuka wakitaka nifanye kazi jumapili moja asubuhi. Nimefanya kazi masaa mengine yote ya siku isipokuwa siku ya jumapili asubuhi. God) 6

Kwa nini tunapaswa tafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake? Kwa sababu ya ubora wake wenye thamani. Mat. 13:44-46, Tena ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyositirika katika shamba; ambayo mtu alipoiona, aliificha na kwa furaha yake akaenda akauza alivyo navyo vyote, akalinunua shamba lile. Tena ufalme wa mbinguni umefanana na mfanya biashara mwenye kutafuta lulu nzuri; naye alipoona lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza alivyo navyo vyote, akainunua. Ufalme wa mbinguni hakipaswi kuwa kitu tupu au ambacho hakina thamani kwetu. Fil. 3:8, Naam, zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kwa ajili ya uzuri usio na kiasi wa kumjua Kristo, Bwana wangu; ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nipate Kristo. Paulo alikuwa na elimu na ujuzi wa jamii ya Kiyahudi. Aliihesabu kama mavi katika kazi yake kwa ajili ya Kristo. Kwa sababu ya kipindi chake cha milele. 1 Yoh.2:16-17, Maana kila kilichomo duniani, yaani tama ya mwili, na tama ya macho, na kiburi cha uzima havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia. Na dunia inapita pamoja na tama zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele. Kwa sababu huu ndio muda tulionao wa kuyapata. 2 Kor. 6:2, (Kwa maana asema wakati uliokubalika nalikusikia, siku ya wokovu nalikusaidia; tazama wakati uliokubalika ndio sasa; tazama siku ya wokovu ndio sasa.) Kwa sabubu hatuna ahadi ya kesho. Leo ndio wakati wetu wa kutumia na kuthibitisha; kesho ni ya Mungu na anaweza kuitoa au asiitoe. Mit. 27:1, Usijisifu kwa ajili ya kesho; kwa maana hujui yatakayozaliwa na siku moja. Yak. 4:13-15, Haya basi ninyi msemao leo au kesho tutaingia katika mji fulani na kukaa humo mwaka mzima, na kufanya biashara na kupata faida; walakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa kitambo, kisha hutoweka. Badala ya kusema Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi. God) 7

Ametoa ahadi ya hisani na hivi vyote mtazidishiwa. Kitu gani? Vitu ambavyo ni vya msingi viwezavyo kutusaidia katika maisha haya, kama chakula na nguo; sio vitu tunavyotamani. Mat. 6:24-26, Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili, kwa maana atamchukia huyu na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali. Kwa sababu hiyo nawaambieni, msisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini; wala miili yenu, mvae nini. Maisha je si zaidi ya chakula, au mwili zaidi ya mavazi? Waangalieni ndege wa angani, ya kwamba hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi ghalani, na Baba yenu wa mbinguni huwalisha hao. Ninyi je si bora kupita hao? Kama tukivitafuta vitu tunavyo vitamani, basi hatumtumikii Mungu. Mat. 6:28-32, Na mavazi ya nini kuyasumbukia? Fikirini maua ya mashamba, jinsi yameavyo; hayafanyi kazi wala hayasokoti nami nawaambia, ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama moja wapo loa hayo. Basi ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya kondeni, yaliyopo leo, na kesho hutupwa kalibuni, je! Hatazidi sana kuwavika ninyi, enyi wa imani haba? Msisumbuke basi mkisema, tule nini? Au tunywe nini? Au tuvae nini? Kwa maana hayo yote mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji hayo yote. Bwana ameahidi ya kuwa atatupatia kila kitu tunachokihitaji katika maisha haya ikiwa tukitafuta kwanza ufalme wa Mungu na haki yake. Ahadi yake inakikomo. Waaminifu hakika wanaweza kubaatika kutimia kwa ahadi hii na hivi vyote mta zidishiwa. Sivyo labda hivyo lakini ata. Hiyo ndiyo ahadi yake. 2 Pet. 3:9, Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengine wanavyokudhani kukawia, bali huvumilia kwenu, maana hapendi mtu yeyote apotee, bali wote wafikilie toba. Hii haimaanishi kwamba hii iliyopo ni rahisi kutengeneza maisha, bali inamaanisha kwamba hii iliyopo inatupatia njia ya uhakika wa kutengeneza maisha. God) 8

Mwisho Je! Unatafuta kwanza ufalme wa Mungu? Kama hapana, siyo kwamba tu utakosa kitu kikubwa katika maisha haya, bali pia utaikosa mbingu siku ya mwisho. Tunafanya kazi na kujisikia tumechoka na kupata maumivu katika maisha haya. Bali kama tukiwa waaminifu na mara zote tunamuweka kuwa wa kwanza katika maisha yetu ndani ya maisha haya, Ameahidi kutujali katika maisha yajayo. Ufu. 21:4, Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita. God) 9

God) 10

God) 11

God) 12