Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Similar documents
Information for assessors (do not distribute this page to participants):

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

ORDER NO BACKGROUND

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

4. Kanuni za Petroli (Ushiriki wa Watanzania) za mwaka 2017 zilianza kutumika rasmi tarehe 5 Novermba Shughuli za Petroli za kwanza ni

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Deputy Minister for Finance

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

Upande 1.0 Bajeti yako

FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO

Muongozo wa utatuzi. Kwa wasimamizi wa malaria RDTs 06/11/16. MALARIA Rapid Diagnostic Test

Govt increases vetting threshold of contracts

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

Early Grade Reading Assessment for Kenya

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Kutetea Haki za Binadamu

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN

Newsletter. RC Arusha: I assure you my full support for Zone office. Motto: Fair Regulation for Positive IMPACT NOT FOR SALE SEPTEMBER 2017

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Uzazi wa Mpango. Uzazi wa Mpango. Kulinganisha Ufanisi wa Njia za Uzazi wa Mpango. iwe na ufanisi zaidi. Zenye ufanisi.

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR.

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q

Human Rights Are Universal And Yet...

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre

Mwongozo wa Kitaifa wa Ujumbe wa Uzazi wa Mpango

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA

Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania

Mwongozo wa Mwezeshaji

Kumb.Na.HVEMS/JI/BT/018 Novemba 17, YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE CHINI YA TAASISI YA ROCK MEMORIAL EDUCATION TRUST 2018

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma.

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA MHESHIMIWA

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

Ufundishaji wa lugha nyingine

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

Namba ya moduli 3 Kuangalia sanaa

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA

Transcription:

KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA

YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1 MALIPO YA KUHUISHA VIBALI NA LESENI... 4 Taratibu za malipo ya kuhuisha vibali na leseni Fig 1.0... 5 1.2 UTHIBITISHO WA MALIPO... 6 Muundo wa ujumbe mfupi wa maandishi... 6 1.3. UJUMBE WA KUKUMBUSHA KWA AJILI YA MALIPO MBALIMBALI... 6 Muundo wa ujumbe mfupi wa maandishi wa ukumbusho kwa wanataaluma... 6 Muundo wa ujumbe mfupi wa maandishi wa ukumbusho kwa wamiliki wa maduka... 6 1.4. ORODHA YA WADAIWA... 7 Muundo wa ujumbe huu ni kama ifuatavyo... 7 SEHEMU YA PILI: RIPOTI ZA HUDUMA ZINAZOTOLEWA KWENYE DUKA LA DAWA... 7 Muundo wa Ujumbe... 8 1.5. HATUA ZA KUTUMA RIPOTI ZA HUDUMA ZINAZOTOLEWA KATIKA DUKA LA DAWA KWENDA BARAZA... 8 Utaratibu wa kutoa ripoti ya huduma zinazotolewa kwenye duka la dawa Fig 2... 9 SEHEMU YA TATU: HUDUMA ZA ZIADA ZINAZOPATIKANA KWA NJIA YA SIMU... 10 1.6. HATUA ZA KUFUATA ILI KUPATA HUDUMA ZA ZIADA ZINAZOPATIKANA KWA NJIA YA SIMU KUTOKA BARAZA LA FAMASI... 11 Huduma za ziada zinazopatikana kwa njia ya Simu Fig 3... 12 SEHEMU YA NNE: HUDUMA KWA WATEJA KUPITIA BARUA PEPE NA UJUMBE MFUPI... 12 Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig 4... 13 1

B A R A Z A L A F A M A S I A T A N Z A N I A Mwongozo kwa Mtumiaji MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA Pharmacy Council of Tanzania External Mabibo, Mandela Road/TFDA Dar Es Salaam, Tanzania Phone +255 22-245 1007 Email msajili@pharmacycouncil.go.tz 2

UTANGULIZI Baraza la Famasi ni taasisi iliyoundwa chini ya Sheria ya Famasi Na. 1 ya mwaka 2011. Baraza hili limeundwa kwa madhumuni ya kulinda na kusimamia taaluma ya Famasi na kazi zake, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa huduma zinazotolewa katika vituo vya tiba na maduka ya dawa zinaendeshwa kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Miongozo iliyowekwa. Baraza la Famasi kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la Management Sciences for Health (MSH) na shirika la Invention and Technological Ideas Development Organization (ITIDO) limeweza kutengeneza mfumo wa ukusanyaji na utunzaji wa taarifa (Database) ambao utarahisisha utendaji wa kazi wa Baraza. Mfumo wa matumizi ya simu ya kiganjani ni sehemu mojawapo ya mifumo mbalimbali inayosaidia kuboresha ukusanyaji na utunzaji wa taarifa. Kwa kupitia teknolojia ya mawasiliano ya simu ya kiganjani huduma mbalimbali zitakazotolewa ni kama zifuatavyo; Malipo ya kuhuisha vibali Ripoti za huduma zinazotolewa kwenye Duka la Dawa Huduma za ziada zinazopatikana kwa njia ya simu Kutoa taarifa mbalimbali katika sekta ya dawa kwa wadau(alerts) Taarifa za mrejesho (feedback reports) Huduma kwa wateja kwa ujumbe (web and sms help line) Lengo la kitini hiki ni kumwezesha mtumiaji kuelewa na kuutumia kwa urahisi huduma zinazopatikana kwa njia ya simu ya kiganjani zinazotolewa na Baraza la Famasi. Kitini hiki kimegawanyika katika sehemu kuu nne 1. Sehemu ya Kwanza : Malipo ya kuhuisha vibali 2. Sehemu ya pili: Ripoti za huduma zinazotolewa kwenye Duka la Dawa 3. Sehemu ya tatu: Huduma za ziada zinazopatikana kwa njia ya simu 4. Sehemu ya nne: Huduma kwa wateja kwa ujumbe (web and sms help line). 3

SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI S ehemu hii inafafanua kuhusu taarifa ambazo Baraza la Famasi lingependa kuziwasilisha kwa wamiliki wa maduka la dawa, wataalamu wa dawa na watoa huduma katika maduka ya dawa. Taarifa hizi zinajumuisha taarifa za malipo ya vibali na leseni (malipo mapya, kuhuisha vibali na leseni, usajili wanataaluma, na uthibitisho wa malipo, malipo ya adhabu (penalties), orodha ya wadaiwa. 1.1 MALIPO YA KUHUISHA VIBALI NA LESENI Haya ni malipo yanayofanywa kila ifikapo mwisho wa mwaka ambapo wamiliki wa maduka ya dawa wanatakiwa kuhuisha vibali na wataalamu wa fani ya famasi wanahitajika kuhuisha leseni. Ili kufanikisha hilo zifuatazo ni hatua ambazo mtumiaji anapaswa kuzifuata katika kuhuisha vibali au leseni. Mfumo utakaotumika kwa sasa ni kutumia mfumo wa M-Pesa kupitia simu ya kiganjani. Malipo ya kuhuisha vibali yafanywe kabla ya tarehe 30 Juni ya kila mwaka na malipo ya leseni za wanataaluma yafanyike kabla ya tarehe 31 Disemba ya kila mwaka. Endapo malipo hayatofanyika kwa wakati mhusika atalazimika kulipa kiasi anachodaiwa pamoja na faini ya asilimia 25 ya malipo halisi. Maelezo ya jinsi ya kufahamu kiasi cha malipo yanapatikana katika 3 ya kitini hiki. Hatua: 1. Unapaswa kutumia laini (simcard) ya mtandao wa Vodacom iliyosajiliwa kwenye huduma ya M-Pesa 2. Piga *150*00# 3. Fuata maelekezo ya mfumo wa M-pesa kwa kiswahili 4. - Lipa kwa Mpesa 5. - weka namba ya kampuni 6. Tafadhali weka namba ya kampuni ((eg. 900800) 7. Weka namba ya kumbukumbu ya malipo (FIN au PIN) 8. Weka kiasi 9. Ingiza namba ya siri 10. Bonyeza 1 kuthibitisha au 2 kubatilisha ANGALIZO Kama utakuwa umekamilisha muamala vizuri, utapokea ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo na namba ya risiti ya malipo na pia utapokea ujumbe mfupi kutoka Baraza la Famasi. 4

Taratibu za malipo ya kuhuisha vibali na leseni Fig 1.0 Piga *150*00## *150*00# Lipa Bili Lipa Kwa Mpesa weka Namba ya Sehemu ya business payment kampuni Ingiza namba ya kampuni Ingiza namba ya kumbukumbu Ingiza kiasi unacho lipa Ingiza Namba ya kampuni (e.g.900800) Weka Namba ya kumbukumbu ya malipo (FIN au PIN) Weka Kiasi Ingiza Namba ya Siri Ingiza namba ya Siri Bonyeza 1.Kuthibitisha au 2. Kubatilisha Ingiza 1.Kuthibitisha au 2. Kubatilisha utapokea ujumbe mfupi wa kuthibitisha malipo na namba ya risiti ya malipo na pia utapokea ujumbe mfupi kutoka Baraza la Famasi 02001 confirmed Tsh. 50,000 sent to account 04088162402 on 25/1/2014 at 8:24PM. 5

1.2 UTHIBITISHO WA MALIPO Mara baada ya kufanya malipo husika ujumbe mfupi wa uthibitisho utatumwa kupitia namba ya simu iliyotumika kufanya malipo. Muundo wa ujumbe mfupi wa maandishi Imepokelewa <kiasi> toka kwa<jina>namba ya utambulisho<pin/fin> kwa ajili ya <aina ya malipo>. Uthibitisho wa muamala < uthibitisho wa muamala> Mfano: Imepokelewa < 75,000>kutoka<jina>namba ya utambulisho <2010202020> kwa ajili ya <renewal fee> uthibitisho wa muamala. 1.3. UJUMBE WA KUKUMBUSHA KWA AJILI YA MALIPO MBALIMBALI Huu ni ujumbe mfupi wa maandishi unaotumwa na Baraza la Famasi kupitia simu ya kiganjani kwa wataalamu na wamiliki wa maduka ya dawa kama njia ya kuwakumbusha kufanya malipo yao kwa wakati. Muundo wa ujumbe mfupi wa maandishi wa ukumbusho kwa wanataaluma Tafadhali lipa < aina ya malipo> ya mwaka <kipindi cha malipo> kabla ya tarehe <tarehe husika>. Kumbuka usipolipa kwa wakati, utalazimika kulipa malipo ya ziada kama adhabu. Mfano: Tafadhali lipa <malipo ya kuhuisha usajili wako>ya mwaka<2015> kabla ya tarehe<31-disemba 2014>Kumbuka, usipolipa kwa wakati, utalazimika kulipa malipo ya ziada kama adhabu. Muundo wa ujumbe mfupi wa maandishi wa ukumbusho kwa wamiliki wa maduka Tafadhali lipa < aina ya malipo> kwa mwaka <kipindi cha malipo> kabla ya tarehe <tarehe husika>. Kumbuka usipolipa kwa wakati, utalazimika kulipa malipo ya ziada kama adhabu.. Mfano: Tafadhali lipa <malipo ya kuhuisha usajili wako>ya mwaka<2015> kabla ya tarehe<31-disemba 2014>Kumbuka, usipolipa kwa wakati, utalazimika kulipa malipo ya ziada kama adhabu. 6

1.4. ORODHA YA WADAIWA Mfumo huu utatengeneza orodha ya maduka na wataalamu wanaodaiwa na kisha kutuma ujumbe mfupi kwa mratibu wa Barazawa kanda husika. Muundo wa ujumbe huu ni kama ifuatavyo Orodha ya maduka ambayo yanahitajika kulipia ada ya kuhuisha usajili 1. Duka la dawa 1 <Namba ya Utambuzi, Jina la Duka, Kiasi kinachodaiwa> 2. Duka la dawa 2 <Namba ya Utambuzi, Jina la Duka, Kiasi kinachodaiwa> 3. Duka la dawa 3 <Namba ya Utambuzi, Jina la Duka, Kiasi kinachodaiwa> SEHEMU YA PILI: RIPOTI ZA HUDUMA ZINAZOTOLEWA KWENYE DUKA LA DAWA Hizi ni ripoti zitakazotumwa kwa njia ya ujumbe mfupi wa maandishi ambazo watoa dawa wanatuma kwenda Baraza la Famasi kupitia simu ya kiganjani. Ripoti hizi zitakuwa katika muundo ufuatao: Vifuatavyo ni vifupisho vya maneno yatakayotumika wakati wa kutuma ripoti ya huduma zinazotolewa kwenye duka la dawa. KIFUPISHO MAELEZO 1. FIN Namba ya utambulisho wa duka la dawa 2. PIN Namba ya utambulisho ya mwanataaluma wa Famasi 3. RP Kipindi cha taarifa 4. A Idadi ya wagonjwa 5. B 6. C 7. D Idadi ya watoto wenye umri chini ya miaka mitano Idadi ya watoto wenye umri chini ya miaka mitano wenye malaria Idadi ya watoto wenye umri chini ya miaka mitano waliopata rufaa kwenda kituo cha tiba 8. E Idadi ya wanawake waliopokea vidonge vya uzazi wa mpango 9. F Idadi ya watoto wenye umri chini ya miaka mitano wenye ugonjwa wa kuharisha 7

Muundo wa Ujumbe Namba ya utambulisho <FIN>, Kipindi cha taarifa <Kipindi husika > Alama za utambuzi1 < Alama husika na Idadi>.Alama za utambuzin <Alama husika na Idadin>. MUHIMU: Wakati wa kutuma ujumbe zingatia sana muundo husika wa ujumbe vinginevyo ripoti itakayotumwa haitapokelewa. MFANO: Ufuatao ni mfano wa ripoti itakayotumwa kwenda Baraza kutoka katika Maduka ya dawa kwa kipindi husika cha kutolea taarifa KIFUPISHO CHA KIASHIRIA NAMBA/IDADI 1. FIN 01010400003 2. RP 06 3. B 13 4. C 15 5. D 4 6. E 35 7. A 8 8. F 16 Ripoti hii ya mfano itatumwa kama ujumbe mfupi wa maandishi kupitia simu ikiwa na muundo ufuatao:- FIN01010400003 RP6 A8 B13 C15 D4 E35 F16 1.5. HATUA ZA KUTUMA RIPOTI ZA HUDUMA ZINAZOTOLEWA KATIKA DUKA LA DAWA KWENDA BARAZA 1. Fungua menu kwenye simu yako 2. ujumbe mfupi (message) 3. kuandika ujumbe 4. Ingiza ripoti kwenye muundo sahihi. Mfano; FIN01010400003 RP1 B5 C6. Hakikisha umeacha nafasi kati ya kifupisho na idadi/namba 5. Tuma ujumbe wako kwenda namba kama ilivyoaninishwa kwenye michoro hapo chini. ZINGATIA: Ukishatuma taarifa taarifa yako, utapata ujumbe mfupi wa mrejesho kutoka Baraza la Famasi. 8

Zifuatazo ni aina za ujumbe wa mrejesho TAARIFA UJUMBE WA MREJESHO 1. Iwapo ujumbe umefanikiwa kutumwa Ahsante, Ujumbe umepokelewa kutoka kikamilifu kwenye Duka FIN: 01010400003 Kipindi cha kutoa taarifa:.. tarehe ya kutuma: 2. Iwapo muundo wa ujumbe sio sahihi Samahani, Muundo wa ujumbe sio sahihi tafadhali rekebisha kisha utume tena 3. Iwapo muundo wa ujumbe ni sahihi ila moja kati ya vifupisho vilivyotumika si sahihi. Mfano FN badala ya FIN 4. Iwapo muundo wa ujumbe ni sahihi isipokuwa FIN/PIN ilkiyotumika haitambuliki. mfano FIN: 098889 badala ya 01010400003 Muundo wa ujumbe ni sahihi isipokuwa FN sio kifupisho sahihi Muundo wa ujumbe ni sahihi isipokuwa FIN:098889 haitambuliki Utaratibu wa kutoa ripoti ya huduma zinazotolewa kwenye duka la dawa Fig 2 Fungua menu kwenye simu yako Menu ujumbe mfupi (message) Messages kuandika ujumbe mpya Create Message Ingiza ripoti kwenye muundo sahihi. Mfano; FIN01010400003 RP1 B5 C6. NB: Hakikisha umeacha nafasi FIN0101040 0003 RP6 A8 B13 C15 D4 Tuma ujumbe wako kwenda namba 0786 847 000 Tuma Kwenda 0786 847 000 Utapata ujumbe mfupi wa mrejesho kutoka Baraza la Famasi Thank you. Feedback Report received. Submission date: 16 04-2014:29:45 kati ya kifupisho na idadi/namba 9

SEHEMU YA TATU: HUDUMA ZA ZIADA ZINAZOPATIKANA KWA NJIA YA SIMU Hizi ni huduma ambazo wateja wanaweza kuzipata kutoka Baraza la Famasi. Kwa mfano, mteja angependa kujua vigezo vya kuzingatia wakati wa kuanzisha duka la dawa, taratibu za usajili wa duka la dawa n.k. Ili kupata huduma hizo mteja atahitajika kutuma neno/herufi maalumu kwa kupitia ujumbe mfupi wa maandishi kwenye namba itakayotolewa na Baraza. Ifuatayo ni orodha ya maneno/ herufi zinazoweza kutumika kupata huduma za ziada zinazopatikana kwa njia ya simu NENO/HERUFI MAELEZO 1. P P<Addo/Famasi>Kupata taarifa kutoka Baraza la Famasi kuhusu utaratibu wa kuanzisha duka la dawa 2. PH Kupata taarifa kutoka Baraza kuhusu taratibu za usajili wa mfamasia 3. RF RF<PIN> Kupata taarifa kutoka Baraza kuhusu kiasi cha malipo anachodaiwa mtaalamu ili kuhuisha leseni yake 4. RF RF<FIN> Kupata taarifa kutoka Baraza kuhusu kiasi cha malipo mmiliki wa duka la dawa anachodaiwa ili kuhuisha kibali/leseni 5. PF Kupata taarifa kuhusu kiasi cha malipo mmiliki wa Famasi anachotakiwa kulipia kwa ajili ya kufanya taaluma ya famasi. PA <PIN> = Kupata taarifa kutoka Baraza ili kuweza kujua kama Mfamasia au mtoa dawa fulani yupo huru au anasimamia duka jingine 6. PA PA <Personnel Category code> = Kupata taarifa za upatikanaji wa mwanataaluma ambao hawasimamii maduka kwa wakati huo kwenye kundi husika NB: Hii itaanza na taarifa za wafamasia 7. REG REG<PIN/FIN> = Kupata taarifa kuhusu usajili wa mwanataaluma/duka husika 8. MA Kupata ratiba na upatikanaji wa mafunzo ya ADDO 9. RT RT<FIN> = Kupata taarifa juu ya vyuo vilivyosajiliwa na Baraza la Famasi ED<forensic exam> = Kupata taarifa juu ya tarehe ya kufanya mtihani wa 10. ED forensic ED<certificate exam> = Kupata taarifa juu ya tarehe ya kufanya mtihani wa ngazi ya cheti 11. ER ER<Temp PIN/exam number>kupata taarifa juu ya matokeo ya mtihani 12. NR NR<Temp FIN/PIN> = kupata taarifa juu ya maendeleo ya usajili wa duka jipya/mfamasia mpya 10

1.6. HATUA ZA KUFUATA ILI KUPATA HUDUMA ZA ZIADA ZINAZOPATIKANA KWA NJIA YA SIMU KUTOKA BARAZA LA FAMASI 1. Fungua menu kwenye simu yako 2. ujumbe 3. kuandika ujumbe 4. Ingiza neno/herufi maalumu kwa ajili ya huduma unayotaka kupata taarifa zake (kwa mfano P kwa ajili ya taarifa ya vigezo vya kuanzisha duka la dawa na PR kwa ajili ya taarifa za taratibu za kusajili duka la dawa 5. Bonyeza option 6. send 7. Utaulizwa namba ya simu. Ingiza.. 8. OK kutuma ujumbe ANGALIZO: Ukisha tuma ujumbe mfupi wa maneno utapata taarifa fupi kutoka Baraza la Famasi Zifuatazo ni aina za ujumbe mfupi wa maneno utakazotegemea kutumiwa :- A. Kama neno/herufi P imeandikwa sawasawa; utapokea ujumbe ufuatao For Pharmacy: Kwa Famasi B. Insert correct content (Weka ujumbe sahihi) C. Iwapo neno/herufi limekosewa na kuandikwa K badala ya P tegemea kupata ujumbe ufuatao D. K: si neno/herufi sahihi 11

Huduma za ziada zinazopatikana kwa njia ya Simu Fig 3 Menu Messages Create Message Fungua menu kwenye simu yako ujumbe mfupi (message) kuandika ujumbe mpya Ingiza neno/herufi maalumu kwa ajili ya huduma unayotaka. (kwa mfano P kwa ajili ya taarifa ya vigezo vya kuanzisha duka la dawa na PR kwa ajili ya taarifa za taratibu za kusajili duka la dawa. Mfano Ingiza herufi P Tuma ujumbe wako kwenda namba 0786 847 000 Tuma Kwenda 0786 847 000 Utapata ujumbe mfupi wa mrejesho kutoka Baraza la Famasi Thank you. Feedback Report received. Submission date: 16 04-2014:29:45 SEHEMU YA NNE: HUDUMA KWA WATEJA KUPITIA BARUA PEPE NA UJUMBE MFUPI Hii ni moja kati ya huduma zilizopo kwenye mfumo wa huduma wa simu ya kiganjani wa Baraza la Famasi.Mteja anaruhusiwa kuuliza taarifa yoyote kuhusu utendaji kazi na huduma zinazotolewa na Baraza. Maombi yatatumwa kwa kufuata mfumo maalumu wa ujumbe mfupi wa maandishi kwenda Baraza unaoweza kutumwa kwa njia ya simu au barua pepe. Ujumbe huu utaanza na neno Msaada ukifuatiwa na ujumbe husika. MFANO: <msaada > nafasi<ujumbe husika> ANGALIZO: Ukisha tuma ujumbe mfupi wa maneno utapata taarifa fupi kutoka Baraza la Famasi. 12

Hatua za kutuma ujumbe/msaada kwa njia ya simu ya kiganjani 1. Fungua menu kwenye simu yako 2. ujumbe 3. kuandika ujumbe 4. Ingiza ujumbe sahihi. MFANO: Msaada ningependa kufahamishwa mafunzo ya watoa dawa kwa sasa yanafanyika wapi? 5. Option 6. chagua select 7. chagua send 8. Utaulizwa namba ya simu, 9. Ingiza 10. OK ili kutuma ujumbe Ukisha tuma, utapata ujumbe mfupi wa maneno kutoka Baraza la Famasia. Kama neno ulilotuma ni Msaada utakaopokelewa ujumbe unaosema Asante, tumepokea maombi yako, tunayafanyia kazi. Aina zifuatazo za ujumbe mfupi wa maneno zinategemewa kutumwa kama mrejesho; CASE MESSAGE RECEIVED 1. Ujumbe umetumwa kikamilifu Asante, tumepokea maombi yako, tunayafanyia kazi 2. Kama neno ulilotuma limekosewa kwamfano hope badala ya help au msaada Samahani, hope si neno sahihi tafadhali rekebisha na utume tena Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig 4 Fungua menu kwenye simu yako Menu ujumbe mfupi (message) Messages kuandika ujumbe mpya Create Message Ingiza ujumbe sahihi. Msaada ningependa kufahamishwa mafunzo ya watoa dawa kwa sasa yanafanyika wapi. Tuma ujumbe wako kwenda namba 0786 847 000 Tuma Kwenda 0786 847 000 Utapata ujumbe mfupi wa mrejesho kutoka Baraza la Famasi Asante, tumepokea maombi yako, na punde utapata majibu 13

14

15