TRANS-NZOIA COUNTY KCSE REVISION MOCK EXAMS 2015

Similar documents
Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E)

KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

MTIHANI WA MWIGO WA WILAYA YA NANDI KASKAZINI 2013

(Hati ya kuhitimu kisomo cha sekondari Kenya (K.C.S.E)

MARUDIO K.C.S.E KNEC KISWAHILI KARATASI 102/2 MASWALI NA USAHIHISHO

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

Human Rights Are Universal And Yet...

MTIHANI WA PAMOJA WA WEZOJE

TATHMINI YA PAMOJA SHULE ZA UPILI ZA JIMBO LA MACHAKOS.

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Ufundishaji wa lugha nyingine

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

1. UFAHAMU: (Alama 15)

Early Grade Reading Assessment for Kenya

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA SUBUKIA

Kiu Cha umtafuta Mungu

TASFIDA KAMA MKAKATI WA UPOLE: UWIANO WA TASFIDA ZA KISWAHILI NA EKEGUSII

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS

UFAHAMU NAME INDEX SCHOOLDATE UFAHAMU

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 People Who Make A Difference Liberia: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

Mutugi Kamundi. Jemma Kahn. Kiswahili. Demane na pacha wake. Author - South African Folktale

SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO

Evaluation of Contextual Teaching of Kiswahili Proverbs in Secondary Schools in Kenya

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

JAZANDA YA NJOZI KATIKA BAADHI YA MASHAIRI YA EUPHRASE KEZILAHABI (ONEIRIC IMAGES IN EUPHRASE KEZILAHABI S SELECTED POEMS) 1

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma.

DHANA NA MATKTIZO YA TAFSIRI:

Roho Mtakatifu Ni Nini?

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

UMRI WA MAKAMO NA KUKOMA KWA HEDHI

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

Rahisi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Kitabu cha mwanafunzi. Rahisi

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

2

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012

Nordic Journal of African Studies 23(4): (2014)

Mbinu za Ujenzi wa Wahusika na Usawiri wa Sifa Zao: Uhakiki wa Riwaya ya Dunia Uwanja Wa Fujo ya E. Kezilahabi

Ndugu na dada zangu wapendwa,

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2012

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

Picha ni hati miliki ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Watoto(PCD), Imperial College London. Maelezo

AMMA KWA AFRIKA RATIBA/ITIKADI. Ratiba Maalum ya Kutibu Magonjwa Maambukizi na Hususan Fikra Zinazoleta Pooza Mwili na Akili

April 14, 2016 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 52

UHUSIANO WA MIKAKATI YA UFUNDISHAJI WA FASIHI YA WATOTO YA KISWAHILI NA UMILISI WA KUSOMA KATIKA SHULE ZA MSINGI, KASARANI, KAUNTI YA NAIROBI, KENYA

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn

Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele. Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101. Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana

Cambridge International Examinations Cambridge Ordinary Level

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

ATHARI ZA KIMOFOFONOLOJIA ZA KIOLUSUBA KATIKA MATUMIZI YA KISWAHILI SANIFU KAMA LUGHA YA PILI

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

Makasisi. Waingia Uislamu

Palliative Care Toolkit

NAFASI YA MUZIKI ULIOPENDWA KATIKA FASIID YA KISWAHILI PAMELA M. Y NGUGI. Inkisiri. M a kala. AAP 64 (2000): Swahili Forum VII

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu

Transcription:

TRANS-NZOIA COUNTY KCSE REVISION MOCK EXAMS 2015 KISWAHILI KARATASI YA PILI SAA 2 ½ SCHOOLS NET KENYA Osiligi House, Opposite KCB, Ground Floor Off Magadi Road, Ongata Rongai Tel: 0711 88 22 27 E-mail:infosnkenya@gmail.com Website: www.schoolsnetkenya.com

UFAHAMU Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali :- Ingawa wenye hekima walisema kuwa macho hayana pazia, ni muhimu kuyatumia macho ulivyojaaliwa na muumba wako. Ndio maana ninaamini pia kuwa macho hayafilisi duka! Mimi hupenda kuyafumbua macho pima kila nitembeapo barabarani au hata ninapokaa nyumbani kusakura yaliyo karibu nami. Lakini kuna matukio ambayo hunisumbua na kunisikitisha. Hunisumbua kwa sababu sipati majibu kwayo ; hunisikitisha kwa sababu ya athari zake na mihemko yanayoleta katika hisia zangu za ndani. Kila mara hujiuliza : Kwa nini watu wengi huteseka namna hii duniani? Kwa nini mtu adamke mafungulia ng ombe akielekea kibaruani kila siku bila kusita huku wachache wakistarehe? Kwa nini ugonjwa unaweza kumvamia mtu ghafla bin vuu na kumlemaza ama kumtaabisha kwa muda mrefu kabla ya kumuua? Kwa nini? Mbona kila mara mtu anapokuwa akisikitika, kuna mwenzake huwa anacheka? Ama maisha ni kitendawili tu? Hata hivyo, linalonishangaza sana wakati mwingine ni jinsi wale ninaowafikiria kuwa wanataabika wanavyochukulia hali zao. Utawaona akina yakhe wakitabasamu kila mara na kucheka hata matumbo yakiwaguruma. Utawasikia wakiulizana : Umeshindaje? Kana kwamba wamejishindia chochote kwani unapoangalia vizuri unakuta kwamba wameshindwa karibu kwa kila hali. Mbona wasiulizane : Umeshindwaje? Hii ndio sababu wakati mwingi moyo wangu huanza kuhisi kuwa labda siku ya kiyama inakaribia zaidi. Wewe hebu fikiria, wanasayansi wanapotuambia kila mara kuwa wamevumbua hiki ama kile ambacho kitafanya maisha ya wanadamu kuwa rahisi zaidi, ndivyo tunavyojitumbukiza katika majanga na matatizo zaidi maishani. Hii ndio sababu hata ile dhana iliyokuwepo miaka ya nyuma kuwa maradhi ya Ukimwi ambayo yamekosa tiba hadi sasa kando na kuwaua mamilioni ya watu yalitokana na ajali ya kisayansi huko Marekani inaweza kupata mashiko. Swali la kujiuliza ni : Ni kwa nini maisha yanaposemekana kuwa yamebadilika na kuwa mazuri Siku hizi ikilinganishwa na zamani mimi naona kinyume? Au wewe waonaje? Mbona zamani kabla ya majilio ya kile siku hizi kinaitwa maendeleo watu walikuwa wakitembea tu na kula matunda namimea, watoto wakicheza na kucheka kwa furaha bila bughudha yoyote? Au hata mbona watu hawakuwa na ubinafsi niuonao siku hizi? Maendeleo hayo tunayotaja kila siku nayaona kama ongezeko la chuki, magonjwa, ubinafsi, vita, ufisadi na hujuma dhidi ya mazingira ambamo mwanadamu anafaa kufurahia maisha. Ukweli ni kwamba maendeleo hayo yamepelekea watu wengi zaidi ulimwenguni kuishi katika mitaa ya mabanda, kuwa na nyuso za Sitaki mchezo na karibu lakini usidowee. Ninapozama zaidi katika bahari ya luja kuhusu hali hii ya duniani ndivyo ninavyochanganyikiwa zaidi kuhusu ukweli halisi. Maajuzi nimeishitakia hali hii kwa Mola ingawa sijajaaliwa jibu. Hata hivyo, ninavyoendelea 2015 Kamati ya Tathmini Eneo la gatuzi La Trans-Nzoia 2 Kidato cha Nne Kiswahili 102/2

kulingoja jibu ndivyo ninavyoendelea kuelewa ile dhana kuwa ulimwengu ni kokwa ya fuu huishi utamu, anayekwisha ni binandamu. Maswali (a) Tolea makala haya kichwa mwafaka. (alama.1) (b) Kwa nini mwandishi anadai kuwa labda siku ya kiyama imefika? (alama 2) (c) Unafikiri ni kwa nini mwandishi anayaona madai kuhusu maendeleo duniani kuwa nikinaya? (alama 3) (d) Mwandishi wa taarifa anamaanisha nini kwa kusema : (i) Sitaki mchezo (ii) Karibu lakini usidowee. (alama 2) (e) Yalinganishe maisha ya kabla ya maendeleo na ya sasa ambayo mwandishi anadai ni duni kuliko ya zamani (alama 2) (f) Je, unakubaliana na msimamo wa mwandishi kuwa madai kuhusu maendeleo ni kinaya? (alama 2) (g) Eleza maana ya vifungu vya maneno kama vilivyotumika katika taarifa. (alama 3) (i) Kusakura (ii) Bahari ya luja.. (iii) Ulimwengu ni kokwa ya fuu huishi utamu, anayekwisha ni binadamu. 2015 Kamati ya Tathmini Eneo la gatuzi La Trans-Nzoia 3 Kidato cha Nne Kiswahili 102/2

2. MUHTASARI Soma taarafa ifuatayo kisha ujibu maswali Miongoni mwa starehe ambazo Waswahili wamezihifadhi mpaka leo ni kutoleana hadithi na kutegeana vitendawili. Starehe hizo ambazo kwa kawaida hufanywa nje huwa njiani au uani, ama ndani chumbani au ukumbini, aghalabu hufanywa wakati wa magharibi au usiku baada ya kila mtu kumaliza kazi za nyumbani, dukani, shambani, ofisini na kadhalika. Mambo haya yakitazamwa sana itaonekana kuwa hayakufanywa vivi hivi. Tangu zamani wazee wa Kiswahili waliwakataza wana wao kucheza mchana. Hawakupenda vijana wajizoeshe uvivu kwa kupiga malapa. Walisadiki kuwa mwana ambaye hakukanywa dhidi ya utiriri huu hangeweza kujifaa yeye mwenyewe na wala hata watu wengine. Isitoshe nani asiyejua kuwa ajizi ni nyumba ya njaa? Vijana walihimizwa kusaidia katika makazi mbali mbali yanayofanywa majumbani, mashambani na mahali popote palipohisiwa kuwa mtu angalifanyiwa jambo la kumpa riziki. Ndiposa ungesikia wazee wakiwaambia watoto wao, ukisimulia hadithi mchana utaota mkia. Ingawa kwa watu wazima maneno haya yangekuwa masihara, kwa watoto yaliaminika sana kwa hivyo wazazi wakapata mradi wao. Hi ndiyo maana Waswahili wanasimuliana hadithi na kutegeana vitendawili jioni au usiku. Wazazi ambao hawataki watoto wao watembeetembee au wacheze michezo ambayo itawafanya wakimbiekimbie na kujihasiri huwatia ndani ili wawe nao kuanzia magharibi. Waswahili wana itikadi nyingi zinazohusiana wakati wa magharibi. Ni ajabu kuwasikia wakisema kuwa magharibi huwaleta pamoja na kutoleana hadithi. Na hata kama si hivyo hii ni fursa nzuri kwa wazazi kuzungumza na watoto wao ambao kutwa nzima huwa hawakupata nafasi kuwa nao. Starehe hizi pia huongeza elimu, na kama wahenga wasemavyo, elimu ni mwanga uangazao.. Kwa mfano watoto watategewa vitendawili, jambo hili litawafanya wafikiri. Na kufikiri huku kutawafanya wavumbue mambo mengi ambayo mengine hapo awali hawakuyajua na kuyathamini. Vile vile huwafunza werevu wa kufumba na kufumbua mafumbo ambayo ni elimu inayohitaji kiwango kikubwa cha busara. Kutoleana hadithi ni miongoni mwa starehe ambazo kwazo hujifunza mambo mengi sana. Katika hadithi watoto wanaweza kujifunza mambo yanayohusu mila na desturi, katika mambo haya watu hujifunza tabia nzuri, heshima, uvumilivu. Pia katika hadithi mtu anaweza kujifunza mambo ya historia na pia ya mazingira aliyoyazoea na hata mambo ambayo hayajui. Aidha hadithi ni chombo ambacho wazee hukitumia kuwafundisha watoto mbinu za kuzungumzia. Wazee wenye busara aghalabu huwapa nafasi watoto wao wabuni na wasimulie hadithi zao. Wakati mwingine jamaa mbili jirani huweza kukutana kufanya mashindano ya kutambiana hadithi. Mazoezi kama haya huwawezesha vijana kufikia viwango vya juu vya ufasaha na matumizi ya lugha na ujasiri na ukakamavu wa kuweza kusema mbele za hadhira kubwa katika maisha yao. Baadhi ya watambaji wakubwa waliopata kusifiwa haikosi mwanzo wao ulikuwa wa namna hii. Hadithi pia 2015 Kamati ya Tathmini Eneo la gatuzi La Trans-Nzoia 4 Kidato cha Nne Kiswahili 102/2

huwafundisha watu kuhusu maisha duniani. Zinaweza kuwafunza jinsi ya kuishi na ndugu, majirani, marafiki, wake au waume. Ulimwenguni humu tunamoishi mna mambo mengi yanoyomtatiza binadamu kwa namna mbalimbali. Hadithi zinaweza kupendekeza mambo ya kufanya na kuonyesha njia zenye mapato mema tunapofikiwa na adhawa kadha. Zinaweza pia kukanya kiburi na kuonyesha faida ya kutosema uwongo ama kuishi katika maisha yasiyo muruwa, yaliyojaa kiburi na majivuno. Hapana shaka hadithi zinaweza kuongoza na kuwafanya wawe watiifu na raia wema katika nchi zao. Maswali a) Kwa nini mwandishi akaoanisha utambaji wa hadithi na wakati wa jioni? (Maneno 40) (al. 5) Nakala chafu Nakala safi b) Kwa maneno kati ya 70 na 90 eleza umuhimu wa kutambiana hadithi na kutegeana vitendawili, kulingana na mwandishi. (al. 17) Nakala chafu 2015 Kamati ya Tathmini Eneo la gatuzi La Trans-Nzoia 5 Kidato cha Nne Kiswahili 102/2

Nakala safi..... 3. MATUMIZI YA LUGHA (ALAMA 40) (a) Eleza sifa mbili mbili za sauti zifuatazo. (al. 2) (i) (ii) /i/.... /o/.... (b) Onyesha mahali mkazo unapowekwa kwenye neno Tenganisha. (al. 1) (c) Eleza matumizi manne ya kiimbo. (al.2) (d) (i) Eleza dhana ya mofimu. (al. 1) (ii) Huku ukitolea mfano, taja aina mbili za mofimu. (al. 2) (e) Ainisha vipengele vya kisarufi katika sentensi hii. Aliyekusamehea... (al.3) (f) Ainisha nomino katika sentensi hii. Juma, na jeshi lote walikula chakula cha raha (al.2. 2015 Kamati ya Tathmini Eneo la gatuzi La Trans-Nzoia 6 Kidato cha Nne Kiswahili 102/2

(g) Andika kwa udogo wingi. Njia hii yetu inapitiwa na mtu mnene. (al.3) (h) Bainisha aina za vishazi katika sentensi hii. (al.2) Katiba ambayo inapingwa na wengi haitetei maslahi ya walio wachache. (i) Onyesha chagizo katika sentensi ifuatayo. (al. 1) Alipiga mpira teke ukaruka juu juu zaidi.. (j) Changanua sentensi hii kwa kutumia kielelezo cha matawi. Tulimtembelea mgojwa jana hospitalini (al.4) (k) Tumia kireshi O tamati katika sentensi ifuatayo. (al.2) Kalamu ambayo alinunua ni ile ambayo anaipenda. (l) Andika sentensi hii katika usemi wa taarifa. Msiposoma kwa bidii wakati huu, mtaanguka mtihani mwaka ujao. Mwalimu akawaambia wanafunzi wake. (al.3). (m) Tunga sentensi ukitumia kitenzi kifuatacho kauli ya kutendeka. (al.2) nywa. 2015 Kamati ya Tathmini Eneo la gatuzi La Trans-Nzoia 7 Kidato cha Nne Kiswahili 102/2

(n) Eleza matumizi mbalimbali ya ni katika sentensi ifuatayo. (al. 4) Nendeni mkamwite Kanini ambaye ni mwanafunzi wangu niliyemwacha maktabani..... (o) Tunga sentensi moja kuonyesha tofauti ya kimaana kati ya Husuni na Huzuni. (al.2). (p) Tunga sentensi kwa kutumia vihisishi vifuatavyo. (al. 2) (i) Alhamdulilahi (ii) Laiti. (q) Eleza maana mbili za sentensi hii. (al. 2) Alinichezea na Baniani 4. ISIMU JAMII (ALAMA 10) Karua: Mheshimiwa Spika, naomba nipewe fursa kutoa maoni yangu kuhusu hoja iliyowasilishwa Bungeni na mbunge wa Cherengany mheshimiwa Isaac Salat... (a) Yaweke makala haya katika muktadha wake. (al.1) (b) Eleza sifa za mazungumzo yanoyofanywa katika muktadha huo uliotaja. (al. 4) (c) Eleza sababu tano zinazowafanya watu kubadili msimbo. (al. 5) 2015 Kamati ya Tathmini Eneo la gatuzi La Trans-Nzoia 8 Kidato cha Nne Kiswahili 102/2