Shabaha ya Mazungumzo haya

Similar documents
Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

Mipango ya miradi katika udugu

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Mwongozo wa Mwezeshaji

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Kutetea Haki za Binadamu

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa

TASFIDA KAMA MKAKATI WA UPOLE: UWIANO WA TASFIDA ZA KISWAHILI NA EKEGUSII

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine.

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA

KUCHUNGUZA MASUALA YA KISIASA KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: MFANO WA KUSADIKIKA NA KUFIKIRIKA

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili

MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

Ufundishaji wa lugha nyingine

CHUO KIKUU CHA NAIROBI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

United Pentecostal Church June 2017

MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA

Draft 03 MWENGE KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MWENGE

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato

CHUO KIKUU CHA NAIROBI IDARA YA KISWAHILI MAMLAKA NA ITIKADI KATIKA NYIMBO TEULE ZA TAARAB

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

Palliative Care Toolkit

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza

NAFASI YA MUZIKI ULIOPENDWA KATIKA FASIID YA KISWAHILI PAMELA M. Y NGUGI. Inkisiri. M a kala. AAP 64 (2000): Swahili Forum VII

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

Human Rights Are Universal And Yet...

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa.

Transcription:

Karibu Katika Mazungumzo Kuhusu Mchakato wa Uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii CCMP/UMOJA Shabaha ya Mazungumzo haya Kuwafahamisha viongozi wa makanisa kuhusu Mchakato wa CCMP ambao umekuwa ukitumika kuliwezesha kanisa kutoa huduma kamilifu kwa binadamu Kuwafamisha viongozi wa makanisa vile Yesu alivyohudumu katika kumkomboa mwanadamu kiroho, kimwili na kiakili Kuleta mtazamo mpya katika huduma zetu CCMP ni Nini? CCMP yasimama kama Church and Community Mobilisation Process, (mchakato wa uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii) hii ni njia mojawapo inayotumika kuleta maendeleo katika jamii badala ya njia zile za kisekta zilizozoeleka ambayo inashabaha ya kumwezesha mtu au shirika kuondokana na umaskini wa kimawazo na ule wa kimwili akitumia raslimali zilizoko katika maeneo anamoishi. Ambapo;- UMOJA ni makala iliyoandaliwa kumwezesha mtu anayehamasisha atoe mafundisho hayo ya uhamasishaji 1

? kiakili Kiroho kijamii Kimwili Maskini ni mtu ambaye hana uwezo wakujiamulia mwenywe hali anayotaka katika maisha yake ya kiroho, kimwili, kijamii ama kiakili. Umaskini huu unaletelezwa na udhaifu wa kimwili, kipato duni, uhusiano mbovu kati yake na Mungu wake na majirani, ushawi mdogo kwa jamii yake, Conversation kutokuwa - Arusha na elimu nk Kanisa lipofahamu maana ya umaskini litahudumu kama Yesu alivyofanya Je huduma ya Yesu ililenga maeneo gani ya maisha ya binadamu? Soma Math 9:35 Maswali ya kujiuliza leo 1. Kanisa limekuwa na mtazamo gani wa huduma kwa leo? 2. Je makanisa yetu leo yanatoa huduma kamilifu kwa watu kama Yesu alivyofanya? Kama siyo 3. Basi ni ujumbe gani leo kanisa lapeleka kwa jamii? Kwa nini ujumbe wetu ni tofauti na ule Yesu alifanya? 4. Je ni mambo gani kanisa leo lapaswa kufanya ili kuhudumia jamii inayolizunguka kwa ukamilifu kama vile Yesu alifanya? 2

Kwa nini njia ya CCMP ni Muhimu kwa Kanisa? Muda mwingi makanisa yamekuwa yakielezea umuhimu wa kutoa huduma kamilifu kwa binadamu kwa nadharia tu. Utaskia wakiongelea habari ya kuwahudumia watu kiroho, kimwili, kiakili na kijamii. Uelewa huu umekuwa ni wa kinadharia pasipo kuelewa hasa maana halisi ya huduma kamilifu kuwa ni kitu gani! Hivyo kupitia mchakato wa CCMP huduma kamilifu imeeleweka wazi kwa wakristo na viongozi wao kama ifuatavyo;- Uelewa wa kawaida wa watu juu ya huduma kamilifu kwa binadamu umekuwa ni;- Upatikanaji wa;- chakula Makazi ya kujistili mavazi Afya njema Elimu Maji, nk. Ambapo mtazamo wa Mungu juu ya maisha ya Mwanadamu ni (Isaya 65:17-25) 3

Kwa hiyo malengo ya CCMP ni yapi? Kusudi la CCMP: - kujenga uwezo wa watu wachukue jukumu la kuamua hatima ya maisha wanayoyatamani wakihoji wanatoka wapi, wako wapi sasa, wakitazama kwa kina visababishi vya umaskini, raslimali walizopewa na Mungu katika mazingira yao, na kuzitumia kutekeleza shughuli zinazopelekea kubadili hali ya maisha yao ya baadaye 2King 7:3-6 Lengo la CCMP: - kuwezesha kanisa la Mtaaa kufanyika nuru na chumvi kwa jamii inayolizunguka kwa kuwakwamua wanajamii waondokane na umaskini Mat 5:13-16 Hatua za mchakato wa CCMP: - mchakato wa CCMP unahatua kuu tano kama inavyoelezwa katika Kitiini cha Umoja. Hatua ya kwanza inashughulika na kuamsha kanisa liwe na maono ya huduma kamilifu kwa binadamu, ya pili ni kuamsha jamii kujitambua hali yake ilivyo, hatua ya tatu ni kuota ndoto za mabadiliko wanayoyatamani na kuweka mipango ya namna ya kuyafikia matamanio yao, hatua ya nne ni kutekeleza mipango waliyojiwekea na mwisho kufanya tathimini kuona kama makusudio yao yamefikiwa. Kanisa linapopitia mchakato wa namna hii huanza kuajibika kwa hali yake na kuchukua jukumu la kuiongoza na kuihamaisha jamii ijiletee mabadiliko kwa kutumia raslimali walizopewa na Mungu ili kukidhi mahitaji yao. Mbinu zipi hutumika katika kuhamasisha jamii na kanisa? Njia kuu zinazotumika kuhamasisha kanisa na jamii hasa hasa ni njia shirikishi na uwezeshaji;- Mitaala ya Biblia hasa hasa hii hutumika kanisani kama vile mitaala ya Msingi, mitaala ya raslimali, mitaala ya kujenga mahusiano nk, (Mat 5:13-16; 2king 4:1-7; Mat 4:12-13,23-25; 9:35-38;) Mbinu zakujieleza na uchambuzi wa taarifa na takwimu, e.g. Mtiririko wa matukio, ramani, ramani ya raslimali, siku ya kawaida, jinsia, maigizo, nyimbo, kalenda ya majira ya mwaka, uchambuzi wa taasis, majedwali, madodoso, mikutano ya hadhara, maswali ya uchambuzi, nk Kupatia mafunzo na mbinu za kuwezesha kanisa/jamii timu yawawezeshaji iliyochanguliwa na dayosisi; hawa ndio wahamasishaji wa maendeleo hasa katika kanisa na jamii wakiwezesha watu kujikwamua kimaisha Waajibikaji wakuu katika kufanikisha mchakato huu ni nani? Uongozi wenye maono yenye huduma kamilifu Wawezeshaji wenye uelewa na ujuzi juu ya huduma kamilifu na CCMP Kanisa la mtaa na jamii ( wanufaikaji na watekelezaji wa mpango wa huduma kamilifu 4

Mihimili au nguzo za CCMP Mabadiliko ya jumla ya maisha ya watu Badiliko la maisha ya mtu kiroho na kimwili Badiliko la utu wa mtu siyo vitu vya juu juu tu Badiliko la kimtazamo au fikra Mungu anayatazamaje maisha yake, uhusiano wake na wengine pia nafsi yake mwenyewe Uhusiano mwema unaotenda kazi Suala la mahusiano bora katika mchakato huu ndio kiini cha mabadiliko halisia yaletayo tija Uhusiano mwema na Mungu. Uhusiano mwema na watu wengine. Uhusiano mwema na mazingira anapoishi ama anamoishi Endelevu Mabadiliko ya muda mrefu. Maendeleo yanayomilkiwa na watu wenyewe, maendeleo yanayoendeshwa na jamii husika. Maendeleo yanayozingatia manufaa kwa vizazi vijavyo. 5

Kujenga uwezo wa watu Watu wajigundulie wenyewe Watu wachukue jukumu la kubadilisha hali ya maisha yao wenyewe. Watu wawe na sauti wakitoa mawazo yao kwa uhuru Watu waamue juu ya hatima ya maisha yao wenyewe. Siyo kuwapunguzia maumivu, bali kuwaachilia!!! (not relief, but realize) Unasisitiza juu ya Mchakato badala ya matokeo Mabadiliko ya watu badala ya vitu. Kuambatana na watu sio kuwaendesha (kuwatumia) katika safari yao ya mabadiliko licha yakuwa itachukua muda mrefu. Kutembea katika mwendo ambao jamii inauweza. Hatua kwa hatua tembea ili wajigundulie. Siyo vitu, bali mabadiliko ya maisha ya watu kwanza Wafikie utambuzi wa fursa walizopewa na mwenyezi Mungu Watambue mabadiliko wanayoweza kuyafikia. Wachukue hatua za utekelezaji ili kusababisha mabadiliko wanayoyatamani yawepo. Wafurahie na kushangilia mafanikio wanayoyapata (wamtukuze Mungu). 6

Kanisa la mtaa kuleta mabadiliko ya maisha ya watu mahali lilipo Kanisa la mtaa kama wakala ama chombo cha Mungu cha kusababisha mabadiliko chanya katika maisha ya watu. Kanisa la mtaa likiwasha moto na kuchochea maendeleo kwa jamii inayolizunguka ile kuleta mabadiliko ya hali ya maisha. Mkristo mmoja mmoja akitekeleza wajibu wake katika kuiwezesha jamii kuwa na maendeleo chanya ya kimaisha Wawezeshaji Mahiri Waliobadilika ili kuwa mawakala wa kubadilisha wengine Wawezeshaji waliofunzwa vyema na wanamzigo wa kuleta mabadiliko kamilifu kwa watu. Wawezeshaji waliobadilishwa na mafunzo na wanashauku ya kuona mabadiliko hayo yanatokea katika maisha ya watu wengine. Wawezeshaji walio na uwezo wa kuzalisha wawezeshaji wengine (2 Tim 2:2). Manufaa yanayoletwa na mchakato wa CCMP 7

Manufaa yanayoletwa na mchakato wa CCMP Manufaa yanayoletwa na mchakato wa CCMP MWISHO Maswali na Majibu Asante kwa kunisikiliza 8