MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

Similar documents
Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

TATHMINI YA PAMOJA SHULE ZA UPILI ZA JIMBO LA MACHAKOS.

NAME INDEX SCHOOLDATE USHAIRI

1. UFAHAMU: (Alama 15)

MTIHANI WA MWIGO WA WILAYA YA NANDI KASKAZINI 2013

Early Grade Reading Assessment for Kenya

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q

KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS

ST. GEORGE S GIRLS SECONDARY SCHOOL-NAIROBI

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

JAZANDA YA NJOZI KATIKA BAADHI YA MASHAIRI YA EUPHRASE KEZILAHABI (ONEIRIC IMAGES IN EUPHRASE KEZILAHABI S SELECTED POEMS) 1

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO

MARUDIO K.C.S.E KNEC KISWAHILI KARATASI 102/2 MASWALI NA USAHIHISHO

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

UFASIHI SIMULIZI KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: Mifano kutoka Adili na Nduguze na Wasifu wa Siti Binti Saad. Khatib Khamis Saleh

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

MTIHANI WA PAMOJA WA WEZOJE

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1

TRANS-NZOIA COUNTY KCSE REVISION MOCK EXAMS 2015

UFAHAMU NAME INDEX SCHOOLDATE UFAHAMU

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

(Hati ya kuhitimu kisomo cha sekondari Kenya (K.C.S.E)

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI?

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Lesson 11 Weather and Seasons Hewa Majira

Human Rights Are Universal And Yet...

V\ FANI KATIKA USHAIRI WA HASSAN MWALIMU MBEGA: UHAKIKI WA UPISHO WA UMALENGA NA DAFINA YA UMALENGA DONALD OMWOYO OSIEMO

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA SUBUKIA

SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO

KUCHUNGUZA MCHOMOZO KATIKA FASIHI YA KISWAHILI: UTAFITI LINGANISHI WA USHAIRI KATIKA DIWANI YA USTADHI ANDANENGA

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level

MAKALA: USHAIRI WA KISWAHILI KATIKA NJIA PANDA: KUTUMIA AU KUTOTUMIA METHALI

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven)

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Evaluation of Contextual Teaching of Kiswahili Proverbs in Secondary Schools in Kenya

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14).

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

PDF created with pdffactory trial version

Ndugu na dada zangu wapendwa,

KUCHUNGUZA UFASIHI SIMULIZI UNAOJITOKEZA NDANI YA HADITHI ZA KUSADIKIKA NA ADILI NA NDUGUZE

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE

KUMBUKIZI YA MAREHEMU MWALIMU EDWIN SEMZABA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa.

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn

If a tree falls - Deforestation in Africa"

Maisha Yaliyojaa Maombi

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

UHUSIANO WA MIKAKATI YA UFUNDISHAJI WA FASIHI YA WATOTO YA KISWAHILI NA UMILISI WA KUSOMA KATIKA SHULE ZA MSINGI, KASARANI, KAUNTI YA NAIROBI, KENYA

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO

Usimulizi katika Utenzi wa Swifa ya Nguvumali

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu

Oktoba-Desemba

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

KUCHUNGUZA MASUALA YA KISIASA KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: MFANO WA KUSADIKIKA NA KUFIKIRIKA

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1

FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Elimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini...

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU?

Kiu Cha umtafuta Mungu

United Pentecostal Church June 2017

K. M a r k s, F. E n g e l s

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

Roho Mtakatifu Ni Nini?

Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania

CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania

MADA MATUMIZI YA TAKRIRI NA SITIARI KATIKA UTENZI WA RASI LGHULI JUSTUS MAUNDU NDUMBU C50/65902/2011 CHUO KIKUU CHA NAIROBI IDARA YA ISIMU NA LUGHA

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu.

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI

Makasisi. Waingia Uislamu

Transcription:

Jina Nambari.. Shule... 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI / AGOSTI. 2007 MUDA: SAA 2 ½ MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI / AGOSTI. 2007 MUDA: SAA 2 ½ MAAGIZO Jibu maswali manne Swali la kwanza ni la lazima Usijibu maswali mawili kutoka sehemu moja. Karatasi hii ina kurasa 4 zilizopigwa chapa 1

Watahiniwa lazima wahakikishe kurasa zote zimepigwa chapa sawa sawa na kuwa maswali yote yamo. USHAIRI Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali. 1. Lau dunia nanena, tuseme si ati ati, Mauti kawa hakuna, katika wote wakati, Vipi tungelisongana, tunaoishi tiati? 2. Dunia ingetatana, na kizazi katikati, Huku kwazaliwa bwana, kule kwazawa binti, Vipi tungeliona, na kuzaa hatuwati? 3. Lau mauti hakuna, tungesongana sharuti, Kwa viumbe kukazana, wanadamu na manyati, Vipi tungelijazana, kwa kusitawi umati? 4. Walakini subuhana, kapanga sisi na miti, Ili tusizidi sana, si wengi na si katiti, Maisha ya kupishana, yule ende yule keti, 5. Ndipo dunia kufana, ikawa kama yakuti, Kwa uwezewe Rabana, kaipanga madhubuti, Maisha kugawiana, kayagawa kwa mauti, 6. Njia ingekuwa hapana, pembeni na katikati, Sote tungeambatana, pa kulima hatupati, Na njaa ingetutafuna, pa kulima hatupati, 7. Peleleza utaona, hayataki utafiti, Kama tungelikongana, ingelikuwa ni bahati, 2

Vipi tungelisukumana, katika hiyo hayati? 8. Mbele sitakwenda tena, hapa mwisho nasukuti, Yaeleni waungwana, shauri yake jabaruti, Yote tuloelezana, katenda bila senti, MASWALI a) Shairi hili ni la bahari gani? (alama 2) b) kwa kutoa mifano mwafaka onyesha jinsi mtunzi wa shairi hili alivyotumia uhuru wa utunzi (alama 2) c) Eleza muundo wa shairi hili (alama 4) c) Andika ubeti wa tano katika lugha nathari. (alama 4) d) Tambulisha mbinu zozote mbili za lugha zilizotumiwa na mshairi (alama 4) e) Eleza maana ya maneno haya kama yalivyotumika katika shairi i)katiti ii) yakuti iii) Hatuwati iv) Nasukuti (alama 4) SEHEMU B KIFO KISIMANI: KITHAKA WA MBERIA 2. Eleza jinsi utawala wa mtemi Bokono unavyodhihirisha udikteta. (alama 20) AU 3. --- kimoja hakipo tena kimenyakuliwa na kozi. Mheshimuni kozi. a) Eleza muktadha wa dondoo hili (alama 4) b) Taja na ueleze mbinu mbili za lugha zinazojitokeza katika dondoo hili. 3

(alama 4) c) Kipi kinachonyakuliwa na kina umuhimu upi? (alama 6) d) Fafanua sifa za mnenaji (alama 6) SEHEMU YA C MWISHO WA KOSA 4. Jadili jinsi mwandishi alivyoisawiri jinsia ya kike (alama 20) Au Ninajua hayo. Juu ya hivyo sidhani kuwa tunaweza kufanya lolote. Hatuwezi kuyaingilia, hayo ni maisha yao. Ni yeye tu Muna, atakayeweza kutenda lolote. a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4) b) Mzungumziwa alikuwa na nia gani. (alama 4) c) Kwa vipi msemaji anaweza kulaumiwa kwa kuchangia katika jambo analolishughulikia. (alama 4) d) Eleza visababisho vinne vya ugomvi kati ya Muna na Hasani. (alama 8) SEHEMU YA D HADITHI FUPI: MAYAI WAZIRI WA MARADHI 6. Eleza maswala yafuatayo jinsi yanavyojitokeza katika hadithi ya mayai waziri wa maradhi. AU a) Ukombozi b) Uongozi mbaya c) Elimu d) Ushirikina (alama 20) 7. Majuto ni mjukuu, Onyesha ukweli wa methali hii kwa kurejelea hadithi zifuatazo. a) Uteuzi wa moyoni. b) Ndimi za mauti. c) Pwaguzi d) Fumbo la mwana. (alama 20) SEHEMU YA E FASIHI SIMULIZI 8. a) Taja na ueleze aina zozote tano za Hadithi. (alama 5) b) Tofautisha kati ya (i) Mbolezi na Bembezi (ii) Vitendawili na chemsha bongo. (alama 4) 4

c) Eleza umuhimu wa vitanza ndimi (alama 3) d) Taja na ueleze sifa nne ambazo mtambaji anapaswa kuwa nazo. (alama 4) e) (i) Fafanua maana ya methali. (alama 2) (ii) Taja methali zinazohusu: a) Kilimo b) Kuliwaza. (alama 2) MWISHO 5