Kumb.Na.HVEMS/JI/BT/018 Novemba 17, YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE CHINI YA TAASISI YA ROCK MEMORIAL EDUCATION TRUST 2018

Similar documents
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI

FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI

YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI WERUWERU HALMASHAURI YA MOSHI MKOA WA KILIMANJARO MWAKA 2018

ARCHDIOCESE OF MWANZA

Kumb.Na.BSS/A.6/33 Tarehe: 18 Juni 2018 YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2018/2019

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA

SHULE YA SEKONDARI KIBAHA S.L.P 30053, KIBAHA SIMU NA Kibaha

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. OFISI YA RAIS- TAMISEMI.

KAWAWA JKT HIGH SCHOOL PO.BOX 213 MAFINGA IRINGA PHONE MOBILE, , , ,

2018/2019 OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA SHULE YA SEKONDARI RUNGWA

YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KAREMA KIDATO CHA TANO MWAKA 2018

JAMHURI YA MUUNGANO IVA TANZANIA

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA.

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

NAFASI ZA MASOMO MASOMO YA ASUBUHI

YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAMISEMI

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

Human Rights Are Universal And Yet...

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Siku ya kwanza. Mguso wa ngozi-kwa-ngozi (Ulezi wa kangaruu) Mtoto wako anaweza kuhisi mdundo wa moyo wako

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

KUMBUKIZI YA MAREHEMU MWALIMU EDWIN SEMZABA

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

4. Kanuni za Petroli (Ushiriki wa Watanzania) za mwaka 2017 zilianza kutumika rasmi tarehe 5 Novermba Shughuli za Petroli za kwanza ni

Banana Investments Ltd

Lesson 11 Weather and Seasons Hewa Majira

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

AMMA KWA AFRIKA RATIBA/ITIKADI. Ratiba Maalum ya Kutibu Magonjwa Maambukizi na Hususan Fikra Zinazoleta Pooza Mwili na Akili

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

Picha ni hati miliki ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Watoto(PCD), Imperial College London. Maelezo

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia

LEARNING BY EAR MGENI KIZABIZABINA MSOALIKWA- VITA VYA FAMILIA MOJA DHIDI YA UGONJWA WA MALARIA

MTIHANI WA MWIGO WA WILAYA YA NANDI KASKAZINI 2013

Upande 1.0 Bajeti yako

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Kuwafikia waliotengwa

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI

HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA MHESHIMIWA

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA

TIST HABARI MOTO MOTO

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA SERIKALI KUTOKA KWENYE SEKTA MBALI MBALI ILIYOWASILISHWA KWENYE KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI MKOA (RCC) TAREHE

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI. Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

LBE 2009 Migration Episode 3: Living without documents

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

TATHMINI YA PAMOJA SHULE ZA UPILI ZA JIMBO LA MACHAKOS.

MUHTASARI WA SEMINA YA TAASISI YA BIBLIA NA UTUMISHI MOROGORO TAREHE 18/11/2014

ORDER NO BACKGROUND

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU MUHTASARI WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA KLASTA YA MLINGOTI TUNDURU TAREHE 27/07/2017

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA

PDF created with pdffactory trial version

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

Early Grade Reading Assessment for Kenya

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA

KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI

Transcription:

Hills View Catholic Diocese of Tanga Magunga District Hospital Road Mob:+255-784808420, +255 718 661681, +255 714901004 www.rmet.ac.tz, email: saroce2013@gmail.com KOROGWE, TANZANIA Kumb.Na.HVEMS/JI/BT/018 Novemba 17, 2017. Mpendwa Mzazi /Mlezi wa YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE CHINI YA TAASISI YA ROCK MEMORIAL EDUCATION TRUST 2018 Ninafurahi kukujulisha kuwa mwanao. amechaguliwa na Baraza la Taaluma la Taasisi ya Rock Memorial Education Trust kujiunga na: Darasa la.katika Shule yake ya Mchepuo wa Kiingeraza Hills View. - Kidato cha I katika shule yake ya Sekondari Hill View Bweni/ Mchanganyiko - Kozi.katika Chuo chake cha Elimu ya Awali cha Mt. Rock 1. Shule ilipo: Tupo km 2 ½ kutoka stendi mpya ya mabasi Kilole pembeni mwa barabara iendayo hospitali ya Wilaya Magunga au Kwamgoma. Mwambie kondakta akushushe CRDB na NMB bank. Unaweza kufika kwa bajaji sh. 1,000/ au pikipiki sh.1000/ 2. Afya: Mtoto apimwe afya na daktari na kumjazia Fomu Na. CHRS iliyoambatanishwa na kuirejesha kwa Msajili kabla au siku ya kuripoti. Juhudi zifanyike za kutibia shida zilizo Bainika kabla ya kuripoti na aje na vyeti vya tiba pamoja na Bima yake ya Afya 3. Kuripoti Shuleni: Mtoto aripoti Jumamosi tarehe 06, Januari kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 11:00 jioni akiwa nadhifu na Ream 1 A4 kila mtoto aletwe na Mzazi, Mlezi au Mfadhili wake. Atakayechelewa siku 3 baada ya tarehe 6, Januari atalipa tozo la usumbufu la shs. 10,000/. 4. Ada : Gharama za Elimu na Malazi kwa mwaka wa kwanza wa masomo ya Pre School ni Tshs. 990,000/; Nursery Tshs. 950,000/ na Baby Tshs. 720,000/ Ada hii ikilipwa yote kabla ya Sept. 30 ya mwaka wa masomo, atapata punguzo la ada Tshs. 100,000/ kwa kipindi chote cha masomo akianzia drs. linalofuatia ili mradi malipo yawe yanafanyika kabla au ifikapo 30/9 kila mwaka.

Jedwali lifuatalo laweza kukuongoza ingawa halizuii mfumo wa ulipaji kwa mikupuo. Awamu za ulipaji kwa mwaka 2018 Awamu za ulipaji kwa miaka inayofuata Darasa Jan Mei Agosti Jan Mei Agosti Baby 300,000/ 220,000/ 200,000/ 250,000/ 220,000/ 150,000/ Nusery 400,000/ 300,000/ 250,000/ 350,000/ 300,000/ 200,000/ Pr. School 400,000/ 350,000/ 240,000/ 350,000/ 320,000/ 220,000/ Malipo yote yafanywe kwa Mmiliki :- Rock Memorial Education Trust A/Cs 41503500031 NMB au OIJ1098887200 CRDB au TIGOPESA namba ya Kampuni 757575 na mlete mwanao na Original Pay in Slip ya fedha hizo ikiwa na jina lake na darasa ili apewe stakabadhi. Ada ikishapokelewa hairudishwi. 5. Sare: Mtoto aandaliwe na sare 2 za darasani (Brown na Cream) Isteem No. 1 na 2 za kushindia kama sampuli ya vitambaa ilivyoambatishwa. Tshirt sh. 10,000/ na Sweta sh. 15,000/, vinapatikana hapa shuleni. Sare zote zifumwe vizuri majina ya mtoto kwa uzi. Sketi za wasichana ziwe inch 5 kutoka kwenye magoti. 6. Matandiko: Shule ina kitanda na godoro. Mtoto aje ana chandarua 3 x 6 mashuka 2 ya rangi kijani au bluu na vyote vifumwe jina la mtoto kwa uzi. 7. Ratiba ya kutembelea watoto katika mwaka: Wazazi wanakaribishwa kuwatembelea watoto wa Nursery - Drs. II ni kila J mosi ya kwanza ya mwezi na Drs. III-VII Machi 3 na Novemba 3, 2018. Si ruhusa mzazi kuja na chakula au kinywaji chochote siku hizo. Siku ya Mahafali Septemba 8 tu ndiyo wazazi wanaruhusiwa kuja na chakula na wanachangia sh. 10,000/. 8. Mwisho: Ni matumaini ya uongozi wa shule hii kwamba utayazingatia maelekezo haya ili kupunguza usumbufu kwa maendeleo ya taaluma na malezi ya mwanao na kuwatakieni sikukuu njema ya Christmas mwaka mpya wa 2018. Karibu Hills View, C. Mhuza Mkuu wa Shule Nakala: Meneja wa Shule

Hills View Catholic Diocese of Tanga Magunga District Hospital Road Mob:+255-784808420, +255 718 661681, +255 714901004 www.rmet.ac.tz, email: saroce2013@gmail.com KOROGWE, TANZANIA Tafadhali jaza fomu hii na uirejesha kwa msajili siku ya kumleta. Weka alama (V) kwa Mafunzo unayoomba: Baby ( ); Chekechea ( ); Awali ( ); Darasa la ( ) 1. Majina matatu kamili ya mtoto.drs. Mwk.. 2. Tarehe ya kuzaliwa.namba ya cheti cha kuzaliwa. Mahali alipozaliwa.. 3. Jina la Baba/Mama/Mlezi. 4. Kazi yake Kijiji/Mtaa..Kata.. Wilaya. Anuani.. Simu ya ofisini. Simu Kiganjani Barua Pepe Simu ya ndugu wa karibu... Uraia....Dini.. 5. Taarifa ya afya ya mtoto: Ijazwe na Daktari, kuzingatia maradhi haya: Donda koo.pepo punda...kisukari. Kifafa.Kifua kikuu. Mapunye Meno....Ukojozi. Minyoo. Pumu Vidonda tumbo: Hernia na ugonjwa mwengine. 6. Mtoto ana mzio (allergy) au ugonjwa mwingine: Eleza:... Mtoto wako anatumia matibabu nyumbani? Ndiyo/Hapana kama ndio ni aina gani ya dawa (tiba). Mtoto wako akiugua Malaria ni dawa gani humtibu? Jina la Daktari. saini Mhuri Tarehe... 7. Uthibitisho: Mimi..Baba/Mama/Mlezi wa. Nathibitisha kwamba kama mwanangu atajiunga na shule hii nitashirikiana kwa karibu na uongozi wa shule katika kustawisha taaluma na maadili ya mtoto wangu. Nitakubaliana na kanuni na sheria za shule na kulipa kwa wakati kama itakavyoelekezwa mara kwa mara.

JinaBaba/Mama/Mlezi saini..tarehe Mwalimu Mkuu..saini..tarehe HILLS VIEW ENGLISH MEDIUM SCHOOL FOMU YA UDAHILI MAJINA KAMILI YA MTOTO Darasa.. Mahitaji Muhimu ya jumla kwa maisha muafaka ya watoto wote shuleni: Shuka 2 (Kijani / Bluu) ( ) Track suit 1...... ( ) Nguo za ndani 6.... ( ) Soksi nyeupe 2.. ( ) Raba na Bukta na Tshirt za michezo 1... ( ) Viatu vyeusi ( vya kuchomeka sio bajaji) 2... ( ) Taulo 1 ( Kijani au Bluu) ( ) Kanda mbili pea 3.. ( ) Mafuta ya kujipaka 2 ( Baby care/ Vaseline). ( ) Dawa ya meno 2Kubwa.. ( ) Miswaki 2.. ( ) Miche ya sabuni ( Jamaa) 4.. ( ) Mkanda mweusi inchi 1 ½ 2. ( ) Sabuni za kuogea 6... ( ) Soap dish 1... ( ) Chandarua 1 ( 3x6)... ( ) Vitana 2... ( ) Ndoo ndogo 1 (Drs. III VII)... ( ) Kiwi kopo kubwa 2. ( ) Ream 1 A4 (Drs. III VII).. ( ) * Kwa mtoto wa kike muandalie Kanga pea 1 NB: Malipo mengine muhimu: - Fedha ya tahadhari sh. 10,000/

- Udahili sh. 10,000/ - Fedha ya matumizi sh. 20,000/