Uwepo, Athari na Udhibiti wa Sumu-Suvu Kwenye Vyakula vya

Similar documents
TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI VIDOKEZO MUHIMU KATIKA UNUNUZI NA USALAMA WA CHAKULA

Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI

pages/mkulima-mbunifu/

ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO

Ni kwa nini mkulima awe maskini?

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Muhtasari wa taarifa ya warsha ya wataalamu juu ya mfumo wa habari kwa njia ya ramani (PGIS), Morogoro, Juni 30 - Julai 1, 2014

Uzalishaji wa mboga na matunda ni muhimu kwa afya na kipato

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

2 Usimamizi wa Rutuba ya Udongo Tanzania Organic Agriculture Movement

KILIMO CHA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU TWAUMU (SWAUMU)

TIST HABARI MOTO MOTO

KUZALISHA MBEGU YA MAHARAGE KIJITABU CHA KWANZA

4 WADUDU,MAGONJWA NA MAGUGU

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UFUPISHO WA 35. Hali ya kiulimwengu ya Tekinolojia ya kibiashara/ugeuzi jeni na uboreshaji mazao: Clive James Chair, ISAAA Board of Directors

Wadudu na magonjwa ya mazao

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

Shamba Darasa na Stadi za Maisha kwa Vijana (SDSMV) Tanzania. Kiongozi Cha Mwezeshaji. Jaap Van Pol na Francesca Dalla Valle

UTANGULIZI. 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote nitumie fursa hii kuungana na

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

Mwongozo huu wa ufugaji kuku wa Asilia umezinduliwa rasmi leo tarehe 1 Agosti 2009 wakati wa sikukuu ya Wakulima Tanzania mjini Mbeya

HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MIFUGO NA UVUVI MHESHIMIWA, ENG. DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB.) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA

HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MHESHIMIWA MHANDISI DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO KWA

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira

Bustani 10,000 Katika Afrika. Alberto Prina

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013

Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu

muhtasari 37 brief 37 Kiwango cha kiutandawazi cha mazao ya kibiashara ya kibayoteki/ugeuzi jeni: 2007 Clive James Bordi ya wakurugenzi wa ISAAA

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

Upatikanaji wa Silaha Ndogo ndogo na Hisia za Usalama nchini Kenya: Ukadiriaji

MTI KWA MATUMIZI YA KILA AINA HDRA

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA

UMRI WA MAKAMO NA KUKOMA KWA HEDHI

Human Rights Are Universal And Yet...

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Njia Bora za Ukusanyaji na Upimaji Maziwa

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi

PYRINEX. 1 Liter INSECTICIDE

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

MBINU ZA IPM KWENYE KILIMO CHA KAHAWA

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017

Usindikaji bora wa maziwa

Njia bora za ukusanyaji na upimaji maziwa

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

Teknolojia za Utayarishaji, Usindikaji na Matumizi ya Matunda na Mboga baada ya kuvuna

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania

Kuwafikia waliotengwa

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

Utunzaji, Uhifadhi na Usafirishaji Bora wa Maziwa

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

Govt increases vetting threshold of contracts

Mfumo na maelezo ya kina ya mpango wa kimataifa wa viwango vya chakula kwa wenye matatizo ya kumeza (IDDSI) Juni 2017

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Vyote Unavyopaswa Kujua Kuhusu Viazi Vitamu

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Waangalizi wa Maendeleo Endelevu

Muongozo wa utatuzi. Kwa wasimamizi wa malaria RDTs 06/11/16. MALARIA Rapid Diagnostic Test

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma.

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira

ATHARI ZA KIISIMU ZA LAHAJA YA KIMAKUNDUCHI KATIKAKISWAHILI SANIFU KINACHOTUMIKA SHULENI MAKUNDUCHI ZANZIBAR

Upande 1.0 Bajeti yako

Transcription:

Uwepo, Athari na Udhibiti wa Sumu-Suvu Kwenye Vyakula vya Kuku Tanzania Dr Flora KAJUNA Livestock Training Agency (LITA)-Morogoro Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Utangulizi Sumu-kuvu ni nini? Sumu kuvu - kemikali za sumu (mycotoxins) za fangasi (kuvu) - kwenye vyakula Zipo aina nyingi aflatoxins ndio hatari zaidi ukanda wa kitropiki kama Tanzania Fumonisins pia ni hatari Mhadhara huu utajikita zaidi kwa aflatoxins

Utangulizi Mazao ambayo huathirika zaidi Mahindi na bidhaa zake Chanzo kikuu - hutumiwa zaidi kama chakula Mahindi yakikobolewa na kuoshwa pumba huwa na sumu x5 zaidi ya unga (hii inahatarisha afya ya mifugo ambayo hulishwa pumba) Karanga na bidhaa zake Hukusanya sumu nyingi zaidi kuliko mahindi Maeneo zinakotumika sana (mf Dodoma) - chanzo kikuu na huhusika na vifo (acute aflatoxicosis) Zikichambuliwa vizuri sumu inaweza kupunguzwa kwa kaisi kikubwa Mashudu ya alizeti na pamba, mihogo, samaki Mashudu (alizeti, pamba, karanga) kiwango kikubwa cha sumukuvu Mafuta ya alizeti na pamba - kiwango kidogo (kiasi kikubwa hubaki kwenye mashudu) Pia mihogo iliyokaushwa (makopa) na samaki wa kukaushwa (hususani dagaa)

Uwepo (occurrence) wa sumu-kuvu kwenye vyakula vya kuku Kwa mujibu wa tafiti Bidhaa % iliyoathirika % iliyoathirika zaidi ya kiwango kinachoruhusiwa Mahindi 30-50 15-20 Karanga 55-80 20-30 Pumba za mahindi 75-85 50-65 Pumba za ngano 5-15 0-1 Mashudu ya alizeti 50-75 20-30 Mashudu ya mbegu za pamba 50-75 25-30 Mihogo ya kukaushwa 25-35 5-10 Dagaa (fish meal) 45-60 25-30 NB: Viwango hivi ni kwa mujibu wa tafiti kadhaa zilizofanyika Tanzania pamoja na nchi jirani za Kenya, Uganda na Malawi

Uwepo (occurrence) wa sumu-kuvu kwenye vyakula vya kuku Mfano wa utafiti tuliofanya mwaka 2012 (Kajuna et al., 2012)

Uwepo (occurrence) wa sumu-kuvu kwenye vyakula vya kuku Mambo yanayochangia uwepo wa sumukuvu kwenye mazao Upungufu wa mvua Mazao huwa dhaifu, hushambuliwa kirahisi na fangasi Mikoa yenye mvua kidogo na jotoridi la juu huwa na kiwango kikubwa cha aflatoxins (tafiti) Wadudu waharibifu Husaidia fangasi kupenya na kusambaa kwenye mazao Unyevu Wakati wa kuvuna, kusindika na kuhifadhi Ukaushaji wa mazao (hadi unyevu 14% au pungufu) husaidia kudhibiti aflatoxin ghalani Sumu ambayo ilikuwepo tayari haipunguzwi kwa kukausha mazao

Uwepo (occurrence) wa sumu-kuvu kwenye vyakula vya kuku Vyakula vya mifugo huwa na viwango vikubwa vya aflatoxins kuliko vya binadamu kutokana na; Mifugo kulishwa vyakula vilivyoharibika Muonekano (rangi) ya vyakula vya mifugo vigumu kutambua uozo Uhifadhi mbovu wa vyakula vya mifugo wakulima kutozingatia Pumba na mashudu kutumiwa kama chakula cha mifugo Uloweshwaji wa mahindi kabla ya kukobolewa (kisha pumba kutokukaushwa ipasavyo)

Athari za aflatoxins Kwa ujumla sumu kuvu huwa na athari zifuatazo kwa wanyama (na binadamu) Vifo vya ghafla (acute aflatoxicosis) endapo italiwa nyingi kwa muda mfupi Saratani (ini, koo na figo) Kuathirika kinga ya mwili Udumavu kwa watoto Matatizo ya uzazi

Madhara ya aflatoxins kwa kuku Tafiti zimethibitisha madhara mbalimbali kwa kuku yatokanayo na aflatoxins Kudumaa kwa broilers Kutokana na kuathirika uwezo wa utumbo kumeng enya na kusharabu chakula Pia kuku wa aina nyingine huathirika kwa viwango tofauti Kuathirika kwa maini Huweza kupelekea vifo Utagaji kupungua Kuku hupunguza idadi ya mayai Ubora wa mayai (ukubwa na uimara wa kaka) huathirika Uwezekano wa kuanguliwa kwa mayai huathirika Magonjwa nyemelezi Kupungua kinga ya mwili Kushindwa kusharabu virutubisho vya chakula

Average Bird weight (Kg) Birds average weight gain in days 3.50 3.00 2.50 2.00 1.50 1.00 0.50 0.00 0 20 40 60 Time in Days Sundried feed Untreated feed Fungal feed Kajuna F. Observation in Morogoro

Udhibiti wa sumu-kuvu kwenye vyakula vya kuku Udhibiti wa sumu-kuvu Kukinga mazao kupata sumu-kuvu Kudhibiti mazao yenye sumu-kuvu Udhibiti shambani Udhibiti wakati wa kuvuna Udhibiti ghalani Kutolisha chakula chenye sumu Kupunguza sumu Kuvuna nafaka zilizokauka vyema Kukausha nafaka zisizokauka Udhibiti wa mamlaka za chakula Wafugaji kuelimishwa Umwagiliaji Kutumia mbolea Kudhibiti wadudu Kutumia mbegu bora Kupalilia Kutumia ghala imara Kuepuka ghala kuvuja Kudhibiti wadudu Kuchanganya na chakula kisicho na sumu Kutumia binders mfano clays

Udhibiti wa sumu-kuvu kwenye vyakula vya kuku Hali ilivyo kwa sasa Juhudi za wakulima kudhibiti sumu-kuvu ni ndogo na mara nyingi hazipo sasa (Magembe et al., 2016) Udhibiti wa serikali ni mdogo na haukidhi uhalisia (Milicevic et al., 2010) Uelewa wa wataalamu wa ugani, wafugaji na walaji juu ya sumu-kuvu ni finyu (Kimanya et al., 2016) Uwezo wa kitaalamu kwa taasisi za utafiti na serikali unapaswa kuimarishwa (Wu et al., 2010) Mbinu nyingi zinazofahamika kudhibiti sumu-kuvu hazijafanyiwa tafiti kama zinakidhi uhalisia wa mazingira ya Tanzania

Hitimisho Uwepo wa sumu-kuvu kwenye vyakula vya kuku Tanzania ni wa juu Athari za uwepo sumu-kuvu kwa kuku ni dhahiri Juhudi za udhibiti wa sumu-kuvu kwa kuku (na kwa binadamu) nchini zinapaswa kuimarishwa ili kukidhi ukubwa wa tatizo Elimu kwa umma juu ya sumu-kuvu ni muhimu Tafiti zaidi zinahitajika ili kukabiliana na tatizo

Shukrani Napenda kuwashukuru wafuatao kwa kuwezesha mhadhara huu Wizara ya kilimo, mifugo na uvuvi Mkuu wa chuo, LITA-Morogoro Uongozi wa Tanzania Poultry Show Prof Amandus Muhairwa Asanteni wote kunisikiliza References Zain, M. E. (2011). Impact of mycotoxins on humans and animals. J. Saudi. Chem. Soc. 15:129 144 Kajuna F F, Temba B A and Mosha R D (2013). Surveillance of aflatoxin B1 contamination in chicken commercial feeds in Morogoro, Tanzania. Livestock Research for Rural Development. Volume 25 Magembe, K. S., Mwatawala, M. W., Mamiro, D. P., & Chingonikaya, E. E. (2016). Assessment of awareness of mycotoxins infections in stored maize (Zea mays L.) and groundnut (arachis hypogea L.) in Kilosa District, Tanzania. International Journal of Food Contamination, 3(1), 1-8 Wu, F., & Khlangwiset, P. (2010). Evaluating the technical feasibility of aflatoxin risk reduction strategies in Africa. Food Additives & Contaminants. Part A, Chemistry, Analysis, Control, Exposure & Risk Assessment, 27(5), 658 676