JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI

Similar documents
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. OFISI YA RAIS- TAMISEMI.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA SHULE YA SEKONDARI RUNGWA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA

SHULE YA SEKONDARI KIBAHA S.L.P 30053, KIBAHA SIMU NA Kibaha

YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KAREMA KIDATO CHA TANO MWAKA 2018

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

Kumb.Na.BSS/A.6/33 Tarehe: 18 Juni 2018 YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2018/2019

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI WERUWERU HALMASHAURI YA MOSHI MKOA WA KILIMANJARO MWAKA 2018

YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAMISEMI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

2018/2019 OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

Kumb.Na.HVEMS/JI/BT/018 Novemba 17, YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE CHINI YA TAASISI YA ROCK MEMORIAL EDUCATION TRUST 2018

JAMHURI YA MUUNGANO IVA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA.

ARCHDIOCESE OF MWANZA

KAWAWA JKT HIGH SCHOOL PO.BOX 213 MAFINGA IRINGA PHONE MOBILE, , , ,

FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

NAFASI ZA MASOMO MASOMO YA ASUBUHI

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Human Rights Are Universal And Yet...

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Early Grade Reading Assessment for Kenya

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

13 APRILI, 2012 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Upande 1.0 Bajeti yako

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

Banana Investments Ltd

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E)

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA. Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO. Rais.

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI. Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Ufundishaji wa lugha nyingine

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO

CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania

ORDER NO BACKGROUND

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

Namba ya moduli 3 Kuangalia sanaa

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo

Elimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini...

Bustani 10,000 Katika Afrika. Alberto Prina

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

3 FEBRUARI, 2015 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE. Kikao cha Saba - Tarehe 3 Februari, 2015

Mwongozo wa Mwezeshaji

Transcription:

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI Namba za simu Shule ya sekondari Mkingaleo Mkuu wa shule -0716544244 S.L.P 1802 Makamu Mkuu wa shule -0713788225 Tarehe Matroni/Patroni-0764435107/0718495791 Mzazi/Mlezi wa Mwanafunzi. S.L.P YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI MKINGALEO HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA MKOA WA TANGA MWAKA 2017 1. Nachukua fursa hii kukujulisha kuwa umechaguliwa kujiunga na kidato cha Tano mwaka2017/2018 katika shule ya sekondari Mkingaleo.Nkupongeza sana kwa kupata bahati hii na ninaamini kua utaitumia vizuri kwa manufaa ya Taifa.Utakua mkondo. Shule ipo mkoa wa Tanga Wilaya ya Mkinga,ili uweze kufika utapaswa kupanda magari stendi kuu ya mkoa wea Tanga [kange],hapoi utapata magari yanayokwenda Mkinga na utashuka shule ya sekondari Mkingaleo utakua umefika. 2. Kwa muda wote utakaokua hapa shuleni unategemewa kuonesha bidii kubwa sana katika masomo.na shughuli nyingine utakazokua unazifanya.vile vile unatarajiwa kuonesha nidhamu ya hali ya juu na kuzingatia sharia za shule na kanuni za shule.vitendo vya uvivu,utovu wa nidhamu na kutozingatia sharia na kanuni za shule hazitovumiliwa kamwe. 3. Muhula wa wamasomo utaanza tarehe.. hivyo Mwanafunzi anatakiwa kuripoti shuleni tarehe... Mwisho wa kuripoti ni tarehe

MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA. Sare za shule:- unapaswa kufika na sare zifuatazo;- [i] Sare ya darasani Sketi ndefu yenye slips [malinda ya box] kiunoni na upana wa inchi 15.Mashati yaenye mikono mirefu mawili [2] moja la rangi ya pinki na jingine jeupe,nusu kanzu ya pinki na nyeupe na juba la pinki na nyeupe [ii] Sare baadea ya saa za darasani;- Gauni lenye marinda madogo yakuvuta,nusu kanzu na juba kitambaa cha drafti yenye rangi nyeupe na blue Fulana rangi ya kijivu utaipata shuleni - Tsh 7000 Sweta la rangi ya kijivu Kanga pea mbili [2] [iii] Nguo za michezo Track Suit ya rangi ya purpe [zambarau] Raba nyeupe pamoja na soksi nzito [iv] Viatu vya rangi nyeusi visivyo na urembo wala kisigino kirefu NB Kwa wale watakaoshindwa kushona sare [uniform] zinapatikana shuleni ADA NA MICHANGO YA SHULE [a] Ada kwa mwaka ni shilling Tsh 7000/= na 3500/= kwa muhula [b] Michgango inayotakiwa kulipwa na kila mzazi ni;- i. Shilingi 15000/= kwa ajili ya ukarabati wa thamani. ii. Shilingi 6000/= kwa ajili ya kitambulisho. iii. Shilingi 20000/= kwa ajili ya taaluma. iv. Shilingi 30000/= kwa ajili ya kuwalipia wapishi,walinzi na vibarua wengine. v. Shilingi 2000/= kwa ajili ya nembo ya shule vi. Shilingi 10000/= kwa ajili ya huduma ya kwanza Tsh.5000/=na Bima ya afya [wanafunzi washauriwe kujiunga na mfuko wa Bima ya Afya CHF kikaya] vii. Shilingi 20000/=mitihani ya kujipima MOCK viii. Shilingi 5000/=kwa ajili ya fedha ya tahadhari[haitarudishwa] ix. Shilingi 10000/=kwa ajili ya jiko.

[C] Mahitaji ya muhimu ambayo mwanafunzi anapaswa kuleta shuleni i. Ream ya karatasi moja [1] kwa mwaka ii. Vitabu vya kujisomea vinavyoendana na mchepuo wake. iii. Scientific calculator iv. Godoro 2.5 ft [futi mbili na nusu] v. Mashuka mawili[2] ya pinki vi. Chandarua moja [1] rangi ya blue vii. Vyombo vya chakula [sahani,bakuli,kijiko na sahani] viii. Ndoo mbili [2] ndogo ix. Pasi ya mkaa x. Ndala za kuogea xi. Sanduku la bati trank/sanduku imara analoweza kufungia vifaa vyake kwa usalama. xii. Kwanja 1 na fagio moja [SOFT BLOOM] xiii. Picha passport size 2000/= atapigia shuleni. xiv. Kalamu za wino,rule ndefu na pencil xv. Aje na cheti cha kuzaliwa na result slip original NB:-Vitu ambavyo haviruhusiwi kuwa navyo Simu ya kiganjani Redio Laptop Pasi ya umem Heater Nguo za nyumbani Vyakula au kinywaji cha aina yeyote ile.

3. MAKOSA YATAKAYOSABABISHA MWANAFINZI KUFUKUZWA SHULE i. Wizi ii. Kutohudhuria masomo kwa zaidi ya siku 90 bila taarifa iii. Kugoma na kuhamasisha mgomo iv. Kutoa lugha chafu kwa wanafunzi wenzake,walimu/walezi na jamii kwa ujumla. v. Kupigana mwanafunzi kwa mwanaunzi,kumpiga mwalimu au mtu yeyote Yule. vi. Wanafunzi wote wanatakiwa kua na nywele fupi wakati wote wawapo shuleni. vii. Ulevi au unywaji wa pombe na matumizi ya madawa ya kulevya. viii. Uasherati,uhusiano wa jinsia moja,kuolewa. ix. Kupata ujauzito au kutoa mimba x. Kushiriki matendo ya uhalifu,siasa na matendo yeyote yale yanayvunja sharia za nchi. xi. Kutembelea majumba ya starehe na nyumba za kulala wageni. xii. Kudharau bendera ya Taifa xiii. Kufanya jaribio lolote la kutaka kujiua au kutishia kujiua kama kunywa sumu n.k. xiv. Uhareibifu wa mali ya Umma kwa makusudi. VIAMBATANISHO NA FOMU MUHIMU. [a] Fomu ya uchunguzi wa afya [Medical Examination Form] ambayo itajazwa na M gaga wa hospitali ya serikali. [b] Form ya maelezo binafsi kuhusu historia ya mwanafunzi/mkataba wa kutoshiriki katika mgomo,fujo, na makosa ya kijinai. [c] Fomu ya mzazi kukili kukubaliana na sharia,kanuni, kilipa ada, michango na maelekezo mengine yatakayotolewa na shule. [d] Picha nne (4) za wazazi na ndugu wa karibu na wanafunzi wanaoweza kumtembelea mwanafunzi pamoja na namba zao za simu. 5. Tafadhali soma kwa makini maelezo/maagizo haya na kuyatekeleza kikamilifu. KARIBU SANA KATIKA SHULE HII Saini ya Mkuu wa Shule Jina la Mkuu wa Shule

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA REQUEST FOR MEDICAL EXAMINATION MKINGA LEO SECONDART SCHOOL P.O BOX 1802 DATE... MEDICAL OFFICER,.. GOVN. HOSPITAL..... OFISI YA RAISI TAMISEMI. NAME OF PUPIL. Please examine the above girl to ascertain her fitness for further studies. MEDICAL CERTIFICATE (To be completed by the medical officer) I have examined the above named with regard to: HEADMISTRESS. Skin... Eyes....... Ears... Chest. Spleen... Abdomen.. Urine. Stool.. Hemoglobin..

And I considered: 1. She is good health, free from infections disease, worms, bilharzias and fit to go to school. 2. She is now fit to return to school having treatment for.. NAME AND SIGNATURE OF MEDICAL OFFICER.. DATE.

KITAMBULISHO B SHULE YA SEKONDARI MKINGALEO FOMU YA KUKUBALI NAFASI ULIYOPEWA. SEHEMU A: HABARI ZA MWANAFUNZI (Ijazwe na mwanafunzi) 1. Jina kamili... 2. Tarehe ya kuzaliwa Dini Dhehebu 3. Mahali alipozaliwa Mji/Kijiji 4. Mahali anapoishi sasa hivi 5. Anuani KUKUBALI NAFASI (ijazwe na mwanafuzi) Mimi.. ambaye maelezo yangu ni hayo hapo juu: Nimesoma maagizo yote ya kujiunga na shule ya Sekondari mkingaleo na ninakubali kutimiza masharti yote yaliyoaagizwa na kutii sharia za shule. Nina ahidi kwamba niwapo shuleni nitajitahidi kuzingatia maelezo yote yanayotolewa mara kwa mara na walezi wangu ili kupata taaluma bora na inayotakiwa. Sahihi ya Mwanafunzi Tarehe SEHEMU B: Habari za Mzazi/Mlezi (Ijazwe na Mzazi/Mlezi) 1. Jina kamili..... 2. Mzazi/Mlezi wa. 3. Kazi.. 4. Mahali unapoishi.. 5. Anuani... 6. Sahihi ya Mzazi/Mlezi... 7. Tarehe....