LALA. Terry Warford. LALA (Sleep - Terry Warford) 1

Similar documents
MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Maisha Yaliyojaa Maombi

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani?

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

Ndugu na dada zangu wapendwa,

United Pentecostal Church June 2017

Maisha Ya Mkristo Ni Nini?

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai.

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu?

Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves)

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1

Roho Mtakatifu Ni Nini?

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI?

FORWARD BY DANIEL SZMIOT

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven)

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu.

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema,

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa

Ndugu na dada zangu wapendwa,

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown. General Editors.

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010

MSAMAHA NA UPATANISHO

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB

Rahisi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Kitabu cha mwanafunzi. Rahisi

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu.

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa.

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14).

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10.

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala

UZAO WA NYOKA. 2 Basi, usiku huu, tuna malimbuko tu ya utukufu huo mkuu. 3 Kwa uchaji tunasimama kwa imani yetu katika Uwepo

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE

Iliyoendelea sana. Kitengo cha 2. Kitabu cha mwanafunzi Iliyoendelea sana

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI?

Kiu Cha umtafuta Mungu

Oktoba-Desemba

Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele. Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101. Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine.

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW

Kuzimu na Kurudi na Dr. Rawlings Documentary Video Transcript, TBN Films

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

2 LILE NENO LILILONENWA

UNABII WA HABARI ZA BIBLIA

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

Kwa Kongamano Kuu 2016

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU?

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu

Makasisi. Waingia Uislamu

MUHTASARI WA SEMINA YA TAASISI YA BIBLIA NA UTUMISHI MOROGORO TAREHE 18/11/2014

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba

MAFUNDISHO YA UMISHENI

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

2

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA

KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA

MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi. Iliyoendelea sana

IM ETUPASA KUTIMIZA HA KI YOTE

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

KANISA NA UAMSHO Na Mchg. Dkt. Faith Lugazia

Transcription:

LALA na Terry Warford LALA (Sleep - Terry Warford) 1

LALA na Terry Warford Novemba 6, 2011 LALA (Sleep - Terry Warford) 2

LALA Kulala ni sehemu muhimu katika maisha yetu ya kila siku, tukiipa akili zetu mapumziko na miili yetu nafasi ya kupata nguvu. Mungu alitutengeneza ili kupata muda wa kutosha wa kulala kila siku, na zaidi kila wakati, hasa tunapokuwa wagonjwa. Hata Mungu alikuwa na siku ya kupumzika. Inaongelea umuhimu wa kupumzika unapofikiria vitu vyote vya dhamani amabvyo Mungu ameumba kwa siku sita, na hivyo ilikuwa ni siku ya kupumzika akaitakasa. Hebu tusome Mwa. 2:1-3, Basi mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote. Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya. Mungu akaibariki siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya. Kupumzika ni muhimu, na Mungu alifanya usingizi kama njia kuu tunayopata usingizi. Biblia inasema mengi kuhusu kulala, na kupumzika, na tunapaswa kusikiliza neno la Mungu kuhusiana na somo hili. Awali ya yote, Biblia inatupatia msaada wa kupata usingizi mnono wakati wa usiku. Hii ilikuwa muhimu kwangu mimi binafsi, kwa sababu nilipitia nilipitia wakati mgumu wa miezi mingi nikikosa usingizi miaka michache iliyopita. Nilikuwa na matatizo ya ki afya, na niliogopa kwa sababu ilikuwa mbaya zaidi ya ilivyokuwa hapo awali. Uoga na hofu ikaifanya kuwa vigumu kupata usingizi, na kukosa usingizi tu ukaifanya mbaya zaidi, ambayo kwa upande mwingine ukaifanya vigumu kupata usingizi. Dawa zilinisaidia, na nilishukuru kwa hilo. Lakini haikutoa suluhisho la kudumu. Ila wakati wa hali kama hii Bwana akanisaidia kwa maandiko na hakika ikanipa suluhisho na amani ya kudumu Kimsingi, kile ambacho Biblia kuhusu kupata usingizi mnono ni kumtegemea Mungu, kumwamini katika neno lake, na kwa kile anachosema kufanya kupitia neno lake. Moja kati ya vitu muhimu inayosababisha kukosa usingizi ni uoga. Kuamini katika Mungu huondoa uoga wa mambo ya kidunia. Kufanya kile ambacho Mungu anasema katika neno lake na kuamini katika ahadi zake inaweza kutuongoza kukaribisha kurudi kwa Kristo, kupumzisha uoga wetu. Na ni kanuni ambayo ipo katika maandiko yote kwamba kama tutafanya mambo kwa njia ya Mungu atatubariki pamoja, na usingizi mnono wa usiku. Hebu tuangalie Mit. 3:24, Ulalapo hutaona hofu; naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu. Ni nini ambacho kitasababisha usingizi wetu kuwa mtamu? Lazima turudi katika mistari kadhaa ili tupate ni LALA (Sleep - Terry Warford) 3

kwa nini. Tunasoma katika mistari ya 19-24 kwamba ni kwa sababu ya kuamini na kuegemea katika neno la Mungu. Kwa hekima BWANA aliiweka misingi ya nchi; kwa akili zake akazifanya mbingu imara; kwa maarifa yake vilindi viligawanyika; na mawingu yadondoza umande. Mwanangu yasiondoke machoni pako, shika hekima kamili na busara. Basi yatakuwa uzima kwa nafsi yako, na neema shingoni mwako, wala mguu wako hautakwaa. Ulalapo hutaona hofu; naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu. Tunapata wapi hekima ya Mungu, uelewa, na hekika, ili kwamba tuweze kuyatunza katika neno lake. Na kutunza vitu hivi katika neno lake inaturuhu kulala kwa amani pasipo uoga. Sasa, tunapoendelea na mistari 25-26 tunapata kwamba tunapomtegemea Mungu inatuwezesha kushinda uoga wa kidunia, alafu pia inatufanya kupata usingizi. Usiogope hofu ya ghafla, wala uharibifu wa waovu utakapofika. Kwa kuwa BWANA atakuwa tumaini lako, naye atakulinda mguu wako usinaswe. Angalia katika Walawi 26:3-6, hakika tunaelewa kwamba hii ni sehemu ya sheria ya Musa, na hili si agizo kwetu. Bali mfumo uliohusiswa bado inaweza kutusaidia kulala katika upendo wa kujali wa Mungu. Mfumo tunaoupata ni kwamba tunapoishi maisha yetu kama ambavyo Mungu anaagiza atatubariki kwa njia nyingi, ukijumlisha kulala. Kama mkienda katika amri zangu, na kuyashika maagizo yangu, na kuyafanya; ndipo nitazinyesha mvua zenu nyakati zake, na nchi itazaa maongeo yake, na miti ya mashambani itazaa matunda yake. Tena kupura nafaka kwenu kutaendelea hata wakati wa kuvuna zabibu, na kuvuna zabibu kutaendelea hata wakati wa kupanda mbegu; nanyi mtakula chakula chenu na kushiba, na kuketi na kuketi katika nchi yenu salama. Nami nitawapa amani aktika nchi, tena mtalala wala hapana atakayewatia hofu, nami nitawakomesha wanyama wabaya katika nchi yenu, wala hautapita upanga katika nchi yenu. Hebu tusome Fil. 4:6-7, ambayo inatuambia kwamba Mungu katupatia baraka ya maombi, kutupatia amani ya akili. Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu. Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia yenu katika Kristo Yesu. Hatupaswi kuwa na hofu lini tunapaswa kuomba. Zab.3:5, Nalijilaza nikalala usingizi, nikaamka, kwa kuwa BWANA ananitegemeza. Hivyo, kulala ni mufumo wa asili, na neno la Mungu linatupatia muongozo mzuri wa jinsi ya kushinda uoga na hofu ili kwamba tupate usingizi mzuri. Pia inatuambia kwamba tukiishi maisha yetu katika njia ya Mungu atatubariki kwa njia nyingi, pamoja na kulala. Mwongozo tunaoupata ni rahisi kumuamini Mungu, kuamini katika neno lake, na kufanya kile anacho tuamuru kukifanya. LALA (Sleep - Terry Warford) 4

Kwa upande mwingine, Biblia pia inatuonya kwamba tusijiingize sana katika kulala. Hatutaki kuwa wavivu. Mit. 20:13, Usipende usingizi usije ukawa maskini; fumbua macho yako nawe utashiba chakula. Mit. 24:30-34, Nalipita karibu na shamba la mvivu, na shamba la mizabibu la mtu asiye na akili. Kumbe lote pia limemea miiba; uso wake ulifunikwa kwa viwavi; na ukuta wake wa mawe umebomoka. Ndipo nilipoangalia na kufikiri sana; naliona nikapata mafundisho. Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, bado kukunja mikono upate mikono! Hivyo, umaskini wako huja kama mnyang anyi, na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha. Kimsingi hatupaswi kuwa wavivu, na kulala, kiroho. Katika 1 Kor. 11:29-30, tunasoma kwamba kama nia zetu hazipo kwa Kristo tunaposhiriki meza ya Bwana, tumelala (kufa) kiroho. Maana alaye na kunywa isivyostahili, hula na kunywa hukumu ya nafsi yake, kwa kutokuupambanua ule mwili. Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu waliohawawezi na dhaifu, na watu kadha wa kadha wamelala. Katika Marko 13:34-37, Mfano wake ni kama mtu mwenye kusafiri, ameiacha nyumba yake, amewapa watumwa wake amri, na kila mtu kazi yake, naye amemwamuru bawabu akeshe. Kesheni basi, kwamaana hamjui ajapo bwana wa nyumba kwamba ni jioni, au kwamba ni usiku wa manane, au akiwapo jimbi, au asubuhi; asije akawasili ghafla acute mmelala. Na hilo niwaambialo, nawaambia wote, kesheni. Kwa hiyo inaitajika tuamke, na tuwe na shauku na hai katika kazi ya Bwana. Rum. 13:11-12, Nm, tukiiujua wakati kwamba saa ya kuamka katika usingizi imekwisha kuwadia; kwa maana sasa wokovu wetu u karibu nasi kuliko tulipoanza kuamini. Usiku umeendelea sana, mchana umekaribia basi na tuyavue matendo ya giza, na kuzivaa silaha za nuru. Kipengele kingine tunayopata kuhusu kulala ni kwamba kifo cha kimwili kinaongelewa kama kulala kulala kwa muda ambapo tutafufuliwa katika siku hiyo kuu ya hukumu. 1 Wathess. 4:13-18, Lakini ndugu hatutaki msijue habari zao waliolala mauti msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini. Maana ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye. Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti. Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, tulio salia tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele. Basi farijianeni kwa maneno hayo. LALA (Sleep - Terry Warford) 5

Mwisho, sura ya 4 ya Waebrania inazungumzia zawadi yetu ya milele kama kupumzika. Mustari wa 9, Basi imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu. Mustari wa 11, Basi na tufanye bidii kuingia katika raha ile, ili kwamba mtu ye yote asije akaanguka kwa mfano uo huo wa kuasi. Hivyo, Mungu utubariki na usiku wenye usingizi mnono tunapo mwamini, tukiamini neno lake, na kufanya kile anachotuambia kukifanya. Lakini hatutaki kuzidisha usingizi kiasi kwamba tunakuwa wavivu, hasa katika kazi ya Bwana. Kifo cha kimwili inaongelewa kama usingizi wa muda mfupi ambao tutaamka na kuishi naye milele mbinguni, ambayo pia inazungumziwa kama pumziko. Ninatarajia kwamba karatasi hii imekuwa ikifundisha. Tutafunga somo letu pamoja sasa. Ni wakati wa kulala. Usiku mwema, Ndg. Terry Warford LALA (Sleep - Terry Warford) 6

LALA (Sleep - Terry Warford) 7

LALA (Sleep - Terry Warford) 8