Kiumbe Kipya Katika Kristo

Similar documents
"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu?

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani?

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven)

Maisha Ya Mkristo Ni Nini?

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu.

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1

Roho Mtakatifu Ni Nini?

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1

FORWARD BY DANIEL SZMIOT

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa.

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai.

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com

Maisha Yaliyojaa Maombi

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI?

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU?

MSAMAHA NA UPATANISHO

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown. General Editors.

Ndugu na dada zangu wapendwa,

UZAO WA NYOKA. 2 Basi, usiku huu, tuna malimbuko tu ya utukufu huo mkuu. 3 Kwa uchaji tunasimama kwa imani yetu katika Uwepo

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu.

MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI?

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14).

Kiu Cha umtafuta Mungu

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema,

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

MAFUNDISHO YA UMISHENI

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

2 LILE NENO LILILONENWA

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI

United Pentecostal Church June 2017

Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves)

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia

Ndugu na dada zangu wapendwa,

# 18 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA

Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO

IM ETUPASA KUTIMIZA HA KI YOTE

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala

LALA. Terry Warford. LALA (Sleep - Terry Warford) 1

Rahisi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Kitabu cha mwanafunzi. Rahisi

Oktoba-Desemba

H. M. Baagil, M. D. WAMY Studies on Islam

Rahisi. Kitabu cha mwanafunzi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Rahisi

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi

MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi. Iliyoendelea sana

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Kwa Kongamano Kuu 2016

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

PDF created with pdffactory trial version

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele. Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101. Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine.

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

Makasisi. Waingia Uislamu

MATHAYO MTAKATIFU 1:1 1 MATHAYO MTAKATIFU 1:17 INJILI KAMA ALIVYOIANDIKA MATHAYO MTAKATIFU

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

UNABII WA HABARI ZA BIBLIA

Kuzimu na Kurudi na Dr. Rawlings Documentary Video Transcript, TBN Films

Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10.

Transcription:

Kiumbe Kipya Katika Kristo na Ellis P. Forsman Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 1

Kiumbe Kipya Katika Kristo na Ellis P. Forsman Oktoba 15, 2011 Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 2

Kiumbe Kipya Katika Kristo 2 Kor. 5:17 2 Kor. 5:17, Hata imekuwa mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama yamekuwa mapya. Mwanafunzi wa asili ya kibinadamu anahitaji tu kujitazama mwenyewe ili kuona uharibifu na uchafu wa kibinadamu. Anapitia makusudi maovu ya moyo kusababisha aseme na Isaya (Isa. 53:6), Sisi sote kama kondoo tumepotea, na Paulo (Rum. 3:23), Wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu; Hivyo tunaona kwamba mwanadamu lazima apitie mambo magumu na mabadiliko taratibu kabla hajaitwa Mkristo vizuri. Uhusiano wake kwa Mungu, Kristo, na Roho Mtakatifu lazima ubadilishwe kabla hajavaa kimaandiko jina lenye heshima la Mkristo. Badiliko hili ni uhamisho kutoka katika ufalme wa Shetani hadi katika ufalme wa Kristo. Kol. 1:13-14, Naye alituokoa katika nguvu za giza akatuamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake; ambaye katika yeye tuna ukombozi yaani msamaha wa dhambi. Yesu anaiita uongofu na kuzaliwa kupya. Mathayo 18:3, Akasema amini nawaambia, msipoongoka na kuwa kama vitoto hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni. Yohana 3:3-5, Yesu akajibu akamwambia, amin, amini, nakuambia mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuuona ufalme wa Mungu. Nikodemo akamwambia, awezaje mtu kuzaliwa akiwa mzee? Aweza kuingia tumboni mwa mamaye mara ya pili akazaliwa? Yesu akajibu, amin, amin, nakuambia mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuingia ufalme wa Mungu. Katika kifungu inawakilishwa na kuwa kiumbe kipya. Ni nini kinachochangia badiliko hili? Utu wa kale unavuliwa Efe. 4:22-24, Mvue kwa habari ya mwenendo wa kwanza utu wa zamani, unaoharibika kwa kuzifuata tama zenye kudanganya; na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; mkavae utu mpya; ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli. Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 3

Utu wa kale ni nini? Ile Unaoharibika kwa kuzifuata tama zenye kudanganya. Utu wa kale unasulubiwa. Gal. 2:20, Nimesulubiwa pamoja na Kristo lakini ni hai, wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu; na uhai nilionao sasa katika mwili, ninao katika imani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu. Utu wa kale unazikwa. Rum. 6:3-4, Hamfahamu ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake? Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima. Kol. 2:12, Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu. Je mtu aliyekufa au aliye hai wanaweza kuzikwa katika kifo cha kimwili? Katika hali ya kiroho ni ipi ambayo tunaweza kuzika? Paulo anafanya ulinganifu wa maziko ya kitu kimoja na ufufuo wa kingine. Maziko yanahashiria kifo kuifia dhambi. Ufufuo unahashiria uzima uzima wa walio haki. Mtu aliyekufa (aliyefia dhambi) hafufuliwi; sawa na mtu aliye hai (aliye hai katika haki) uzikwa. Kiumbe kipya kinafufuliwa. Rum. 6:3-4, Hamfahamu ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake? Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima. Hakuna sehemu ya utu wa kale utakaofufuliwa. Wana wa Mungu ni watakatifu, na wana wa ibilisi ni wachafu. Mwana wa Mungu aliyemchafu atakuwa hana maana sawa na mwana wa ibilisi. Rum. 6:12, Basi dhambi isitawale ndani ya miili yenu ipatikanayo na mauti, hata mkazitii tamaa zake. Wengi wanajaribu kuwa viumbe vipya na wanaendelea kushikilia utu wa kale, lakini hiyo tu sio sababu, bali pia ni kinyume na maandiko. Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 4

Isa. 35:8, Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia nayo itaitwa, njia ya utakatifu, wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio wajapokuwa wajinga,, hawatapotea katika njia hiyo. Rum. 12:9, Pendo na lisiwe na unafiki lichukieni lililo ovu mkiambatana na lililo jema. 1 Kor. 3:16-17, Hamjui ya kuwa ninyi mmekuwa hekalu la Mungu, nay a kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu? Kama mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu mtu huyo. Kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, ambalo ndilo ninyi. Ufu. 21:27, Na ndani yake hakitaingia kamwe chochote kilicho kinyonge, wala yeye afanyaye machukizo na uongo, bali wale walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana kondoo. Utu mpya lazima uvaliwe Gal. 3:27, Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo. Paulo akasema katika Gal. 2:20, Nimesulubiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu; na uhai nilionao sasa katika mwili, ninao katika imani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu. Siri ya kiumbe kipya ni kwamba Kristo sasa anaishi ndani ya Paulo. Kupitia muunganiko huu wa ajabu pamoja na Kristo, kiujumla Paulo alikuwa mtu mpya pamoja na mawazo mapya na makusudi. Kristo sasa anaishi ndani yake kama Mwokozi, mfano, Muongozo, na Mkuu. Vile vile, uongofu katika Kristo haudhofishi uwezo wa wanadamu na kunyausha juhudi zao. Paulo alikuwa akitenda kazi baada ya kuongoka sawa na jinsi alivyokuwa kabla, lakini hapo nyuma alihusika katika kuwatesa Wakristo; baadaye alitoa talanta zake na nguvu kwa shauku kwa sababu ya Ukristo. Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 5

Kwa vile ubatizo ni muhimu ili kuwa kiumbe kipya, je ni nini? Hebu tuangalie picha iliyowakilishwa katika Biblia: Maji yanahusishwa. Mdo. 8:36, Wakawa wakiendelea njiani, wakafika mahali penye maji; yule towashi akasema tazama maji haya; ni nini kinachonizuia nisibatizwe? Maji mengi yalikuwa muhimu. Yoh. 3:23, Yohana naye alikuwa akibatiza huko Ainoni, karibu na Salimu, kwa sababu kulikuwa na maji tele; na watu wakamwendea wakabatizwa. Wakateremka majini. Mdo. 8:26-39, Malaika wa Bwana akasema na Filipo, akamwambia ondoka ukaende upande wa kusini hata njia ile itelemkayo kutoka Yerusalemu kwenda Gaza nayo ni jangwa. Naye akaondoka akaenda; mara akamwona mtu wa Kushi, towashi, mwenye mamlaka chini ya Kandake Malkia wa Kushi, aliyewekwa juu ya hazina yake yote; naye alikuwa amekwenda Yerusalemu kuabudu, akawa akirejea ameketi garini mwake akisoma chuo cha nabii Isaya. Roho akamwambia Filipo, sogea karibu na gari hili, ukashikamane nalo. Basi Filipo akaenda mbio, akamsikia anasoma chuo cha nabii Isaya; akanena, je yamekuelea haya unayosoma? Akasema nitawezaje kuelewa, mtu asiponiongoza? Akamsihi Filipo apande na kuketi pamoja naye. Na fungu la maandiko alilokuwa akilisoma ni hili, aliongozwa kwenda machinjoni kama kondo, na kama vile mwana kondoo alivyo kimya mbele yake amkataye manyoya, vivyo hivyo yeye naye hafunui kinywa chake. Katika kujidhili kwake hukumu yake iliondolewa. Ni nani atakayeeleza kizazi chake? Kwa maana uzima wake umeondolewa katika nchi. Yule Towashi akamjibu Filipo, akasema, nakuomba nabii huyu anasema maneno haya kwa habari ya nani; ni habari zake mwenyewe au za mtu mwingine? Filipo akafunua kinywa chake, akianza na andiko lilo hilo, akamhubiri habari njema za Yesu. Wakawa wakiendelea njiani wakafika mahali penye maji; tazama maji haya; ni nini kinachonizuia nisibatizwe? Filipo akasema ukiamini kwa moyo wako wote inawezekana. Akajibu, akanena, naamini ya kwamba Yesu Kristo ndiye Mwana wa Mungu. Akaamuru lile gari lisimame; wakatelemka wote wawili majini, Filipo na yule Towashi; naye akambatiza. Kisha walipopanda kutoka majini, Roho wa Bwana Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 6

akamnyakua Filipo, yule towashi asimuone tena; basi alikwenda zake akifurahi. Maziko na ufufuo. Rum. 6:4, Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hiivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima. Kol. 2:12, Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo makfufuliwa pamoja naye, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu. Kupanda kutoka majini. Marko 1:9-10, Ikawa siku zile Yesu alikuja kutoka Nazareti ya Galilaya, akabatizwa na Yohana katika Yordani. Mara alipopanda kutoka majini, akaona mbingu zinapasuka, na Roho kama hua akishuka juu yake. Unaona picha gani uanaposoma vifungu hivi? Kuna maji (maji mengi), wakateremka majini (maziko na ufufuo), na kupanda kutoka majini. Vitu ambavyo umeona katika picha ya Mungu ya ubatizo. Maisha mapya. Kiumbe kipya katika Kristo: Rum. 6:3-4, Hamfahamu ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake? Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu, kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima. Tunafufuka kutoka katika kaburi la maji ya ubatizo katika uzima mpya. Kielelezo kipya. Kristo ndiye kielelezo cha Wakristo. 1 Pet. 2:21, Kwa sababu ndiyo mlioitiwa; maana Kristo naye aliteswa kwa ajili yenu, akawaachia kielelezo mfuate nyayo zake. Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 7

Fil. 2:5, Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu. Kama Wakristo tunapaswa kukumbuka kwamba yeye ni kielelezo chetu. Tunapaswa kujitahidi kuwa, na kujitahidi kuwaongoza wengine wawe Wakristo. Tunapaswa kuangalia matendo yetu kwa Kile ambacho Kristo angefanya? Mtazamo mpya. Kiumbe kipya anapaswa kuwa na badiliko la moyo; kwa vile sasa anapenda haki, na kuchukia maovu. Rum. 12:9, Pendo na lisiwe na unafiki lichukieni lililo ovu, mkiambatana na lililo jema. Ebr. 1:9, Umependa haki umechukia maasi; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta, mafuta ya shangwe kupita wenzio. Kusudi jipya. Chochote ambacho mtu anakusudia katika maisha inaweza kuwa kabla, Mkristo hajawa na kusudi jipya. Fil. 3:13, Ndugu sijidhanii nafsi yangu kwamba nimekwisha kushika; ila natenda neno moja tu; nikiyasahau yaliyo nyuma nikiyachuchumilia yaliyo mbele, Makusudi ya awali yanaweza kuishia katika ubinafsi, bali kusudi jipya ni kutumika. Sasa inakuwa kubarikiwa kutoa kuliko kupokea. Mji mpya. Yoh. 14:1-3, Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi. Nyumbani mwa Baba yangu manamakao mengi kama sivyo ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali. Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi nanyi mwepo. 2 Pet. 3:13, Lakini kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake. Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 8

Kama mwanajeshi aliyeko pembeni mwa kambi ya moto, akifikiria nyumabni, akichukuliwa na usingizi na kuwaota wapendwa wake nyumbani; hivyo ndivyo askari wa msalaba anayefikiri vita anaaswa kukaza mwendo katika vita kwa mtazamo mzuri wa mji ulioko pale. Hitimisho Huwezi kudai ahadi hizi za ajabu kama wewe sio Mkristo. Kama hujafanyika kiumbe kipya katika Kristo, kwa nini usifanye leo kwa utii wako rahisi kwa Kristo? Juu ya imani yako ya kweli katika Yesu Kristo, tubu kwa ndani dhambi zako zote, na juu ya kukiri imai yako katika yeye, uzikwe pamoja naye katika ubatizo. Alafu utafufuliwa ukiwa kiumbe kipya katika Kristo, utembee katika upya wa uzima. Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 9

Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 10

Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 11

Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 12