HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

Similar documents
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI

2018/2019 OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA SHULE YA SEKONDARI RUNGWA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA

Kumb.Na.BSS/A.6/33 Tarehe: 18 Juni 2018 YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2018/2019

YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KAREMA KIDATO CHA TANO MWAKA 2018

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. OFISI YA RAIS- TAMISEMI.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

SHULE YA SEKONDARI KIBAHA S.L.P 30053, KIBAHA SIMU NA Kibaha

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU

YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI WERUWERU HALMASHAURI YA MOSHI MKOA WA KILIMANJARO MWAKA 2018

ARCHDIOCESE OF MWANZA

FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO

JAMHURI YA MUUNGANO IVA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAMISEMI

KAWAWA JKT HIGH SCHOOL PO.BOX 213 MAFINGA IRINGA PHONE MOBILE, , , ,

Kumb.Na.HVEMS/JI/BT/018 Novemba 17, YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE CHINI YA TAASISI YA ROCK MEMORIAL EDUCATION TRUST 2018

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

NAFASI ZA MASOMO MASOMO YA ASUBUHI

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

4. Kanuni za Petroli (Ushiriki wa Watanzania) za mwaka 2017 zilianza kutumika rasmi tarehe 5 Novermba Shughuli za Petroli za kwanza ni

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

Human Rights Are Universal And Yet...

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

Deutsche Welle, Learning by Ear 2009 Seite 1 People Who Make A Difference Liberia: Anita Varney Health Facilitator, Fishtown/Liberia

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E)

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

13 APRILI, 2012 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MTIHANI WA MWIGO WA WILAYA YA NANDI KASKAZINI 2013

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

Upande 1.0 Bajeti yako

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

LBE 2009 Migration Episode 3: Living without documents

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN

Deputy Minister for Finance

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA. Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010

3 FEBRUARI, 2015 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE. Kikao cha Saba - Tarehe 3 Februari, 2015

TIST HABARI MOTO MOTO

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

ORDER NO BACKGROUND

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

MTIHANI WA PAMOJA WA WEZOJE

Picha ni hati miliki ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Watoto(PCD), Imperial College London. Maelezo

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo

CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania

PDF created with pdffactory trial version

Transcription:

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA E- mail: uchilesekondari@yahoo.com P.O. BOX 582 Mob: +255 (0) 752 476 389 SUMBAWANGA KUMB. NA. USS/JOINING/F.V/03 10 Juni 2017...... YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO KATIKA SHULE YA SEKONDARI UCHILE WILAYA YA SUMBAWANGA MKOA WA RUKWA 2017/2018. Ninafurahi kukuarifu kuwa umechaguliwa kujiunga na kidato cha tano katika shule ya sekondari Uchile mwaka 2017 kwa mchepuo wa HGK/CBG. Shule ipo katika mji mdogo wa Laela umbali wa kilometa 88 kutoka Sumbawanga Mjini kufuata barabara ya kwenda Mbeya, Upo usafiri wa mabasi kila siku, Unaweza kupanda magari yaendayo Mbeya na kushuka Laela au panda magari yanayoishia Laela. Nauli ni Tsh. 5,000/= toka Sumbawanga Mjini. Kama unatoka Mbeya kwenda sumbawanga shuka Laela, shule ipo Kilomita moja upande wa mashariki kutoka stand ya mabasi Laela. Unatakiwa kuripoti shuleni kuanzia tarehe 17/7/2017, mwisho wa kuripoti ni tarehe 30/7/2017. Aidha, hakuna mwanafunzi atayepokelewa baada ya tarehe hiyo. 1:0 MAAGIZO MUHIMU YA KUZINGATIA 1:1 SARE YA SHULE i. Sketi Mbili. Moja rangi ya khaki na nyingine ya damu ya mzee mshono wa kawaida ii. Mashati mawili meupe ya mikono mirefu iii. Tai mbili. moja rangi ya khaki na nyingine ya damu ya mzee iv. Viatu vya kamba jozi mbili rangi nyeusi v. Soksi nyeupe vi. Sweta rangi ya bluu vii. T-shirt nyeusi yenye kora nyeupe. viii. Raba pamoja na trucksuit nyeusi kwa ajili ya michezo. ix. Gauni lefu yenye kitambaa cha draft ya bluu na nyeusi ambalo litavaliwa baada ya vipindi vya darasani (shamba dress). MUHIMU: Kwa waislamu njoo na hijab yenye rangi nyeupe itakayovaliwa sambamba na sare ya shule. Aidha, mwanafunzi haruhusiwi kuja na nguo nyingine tofauti na maelekezo.

2:3 ADA NA MICHANGO YA SHULE. a) Ada ya shule ni Tsh 70,000/= kwa mwaka, unaweza kutoa Tsh. 35,000/= kwa kila muhula. b) Michango muhimu inayotakiwa kulipwa na kila mzazi. i. Tahadhari sh. 5,000/= ii. Kitambulisho na picha shilingi. 6,000/= iii. Nembo ya shule shilingi 2,000/= iv. Mchango wa Taaluma shilingi.20,000/= v. Ukatarabati wa samani shilingi. 15,000/= vi. Mchango wa mpishi,ulinzi na vibarua wengine shilingi. 30,000/= vii. Huduma ya kwanza shilingi. 10,000/= viii. Mtihani wa mock shilingi 20,000/= (fedha hii ilipwe muhula wa kwanza kidato cha sita) ix. Kukodisha godoro shilingi 10,000/= kwa muhula kwa mwanafunzi atakayependa. NB. Fedha zote za michango ziwekwe kupitia Benki NMB Sumbawanga kwa akaunti za shule zifuatazo: AINA YA NAMBA YA JINA LA JINA LA AKAUNTI MCHANGO AKAUNTI BENKI Ada ya Shule 62101100106 NMB Uchile Secondary School Revenue Collection Account Michango mingine 62110007595 NMB Uchile Secondary School E.K Account C. MAHITAJI MUHIMU AMBAYO KILA MWANAFUNZI ANAPASWA KULETA SHULENI. i. Godoro la ft 2 1 2 ii. Aje na madaftari ya kutosha iii. Dissecting kit kwa wanafunzi wa biolojia iv. Scientific calculator v. Aje na fedha za kutosha kwa ajili ya matumizi vi. Shuka mbili rangi ya bluu na blanketi moja kwa ajili ya kujikinga na baridi. vii. Chandarua viii. Kijiko, sahani, bakuri na kikombe kwa ajili ya chakula. ix. Aje na vifaa vya usafi binafsi kama ndoo n.k x. Ream ya karatasi 1( A4) kwa mwaka xi. Jalada 1 xii. Kila mwanafunzi aje na vifaa vya usafi yaani Jembe lenye mpini, Fyekeo, Fagio, ndoo yenye ujazo wa lita 20,Mopa, dryer na ndoo yake MUHIMU: Kila mwanafunzi anapokuja kuripoti ni lazima aje na Original Result Slip na Leaving Certificate.

3:0. SHERIA NA KANUNI MUHIMU ZA SHULE. 3:1. Shule ya Sekondari Uchile inaendeshwa kwa mujibu wa sheria ya elimu namba 25 ya mwaka 1978. Aidha inazingatia miongozo yote inayotolewa na wizara yenye dhamana ya elimu nchini. Unatakiwa kuzingatia mambo yafuatayo ambayo yatafafanuliwa kwa maandishi na utapewa nakala mara baada ya kuripoti shuleni. i. Heshima kwa viongozi, wazazi, wafanyakazi wote, wanafunzi wengine na jamii kwa ujumla ni jambo la lazima ii. Mahudhurio mazuri katika kila shughuli utakazopewa ndani na nje ya shule iii. Kutimiza kwa makini maandalio ya jioni (Preparation) iv. Kuwahi katika shughuli za shule na nyingine utakazopewa v. Kufahamu mipaka ya shule na kuzingatia kikamilifu maelekezo juu ya kuwepo ndani na nje ya mipaka hiyo wakati wote wa uanafunzi wako katika shule hii. vi. Kutunza usafi wa mwili na mazingira ya shule. vii. Kuvaa sare ya shule wakati wote unapotakiwa viii. Kuzingatia ratiba ya shule wakati wote 3:2 MAKOSA YAFUATAYO YANAWEZA KUSABABISHA UKAFUKUZWA SHULE. i. Wizi ii. Uasherati na ushoga iii. Ubakaji iv. Ulevi na matumizi ya madawa ya kulevya kama vile bangi, cocaine, n.k v. Kupigana au kupiga vi. Kuharibu kwa makusudi mali ya umma vii. Kudharau bendera ya Taifa viii. Kupata ujauzito au kutoa mimba ix. Kuoa au kuolewa x. Kugoma, kuchochea au kuvuruga amani na usalama wa shule au watu. xi. Kukataa adhabu kwa makusudi xii. Mwanafunzi kuwa na simu ya mkononi xiii. Kutohudhuria masomo kwa muda wa siku 90 bila taarifa xiv. Kutoa lugha chafu kwa wanafunzi, walimu, walezi na jamii kwa ujumla xv. Kutembelea majumba ya starehe na nyumba za kulala wageni. xvi. Kufanya jaribio lolote la kujiua au kutishia kujiua kama kunywa sumu n.k N:B Mwanafunzi atajaza fomu maalumu ya kutii na kufuata sheria na kanuni za shule mara atakaporipoti shuleni. Muhimu: Mwanafunzi atapokelewa iwapo atakuwa amekamilisha michango yote ya shule na kujaza fomu zote zilizoambatishwa na barua hii. KARIBU SANA SHULE YA SEKONDARI UCHILE W.J. LUCAS MKUU WA SHULE.

SHULE YA SEKONDARI UCHILE FOMU YA KUKUBALI KUJIUNGA NA SHULE Mimi nimesoma kwa makini maagizo yote na ninatambua kuwa kuchaguliwa kwangu kuingia shule ya Sekondari ni bahati na zawadi kubwa kwa kuwa wengi wamekosa nafasi si kwa kuwa wameshindwa ila kwa sababu ni chache. Hivyo, nakubali kujiunga na shule ya Sekondari Uchile. Nitatii na kufuata sheria na taratibu zote za Shule. Nitajitahidi kufanya kazi/kusoma kwa juhudi na maarifa na nitajitahidi kushirikiana na wenzangu kweli daima. Nitalinda hadhi/heshima ya Shule ya Sekondari Uchile na nitashirikiana na wenzangu kujenga misingi na historia nzuri ya shule. Sahihi ya mwanafunzi..tarehe Mimi..(Jina la mzazi/mlezi) Nimeshuhudia mtoto wangu..(jina la mwanafunzi) akikubali kwa hiari kujiunga na shule ya sekondari Uchile, ninaamini mtajitahidi kumfunza na kumlea vizuri. Mimi pia naahidi kushirikiana nanyi kikamilifu katika kumlea mtoto wangu naamini tutakuwa tunawasiliana katika kuhakikisha mwanafunzi anafanya vizuri katika masomo yake. Sahihi ya Mzazi/Mlezi Tarehe..

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE, TECHNOLOGY AND VOCATIONAL TRAINING MEDICAL OFFICER UCHILE HIGH SCHOOL P.O. BOX 582 SUMBAWANGA. DATE RE: REQUEST FOR MEDICAL EXAMINATION FOR ( NAME OF STUDENT) Please examine the above named as to his/her fitness as indicated below. Arrange the necessary treatment so that the certificate may be brought to school by the student. This certificate must be signed by a qualified Medical Officer of a recognized Government hospital. 1. Hemoglobin 2. P.v Blooding.. 3. (a) Blooding... (b) Hearing. 4. Blood pressure... 5. Stool for routine examination... 6. Urine for sugar... 7. Skin diseases.. 8. Leprosy. 9. Pulmonary tuberculosis 10. Asthma. 11. Epilepsy.. 12. Deformity 13. Mental problem 14. Comment...... Name of medical officer. Signature. Date Official stamp