FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO

Similar documents
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI

Kumb.Na.HVEMS/JI/BT/018 Novemba 17, YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE CHINI YA TAASISI YA ROCK MEMORIAL EDUCATION TRUST 2018

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

Kumb.Na.BSS/A.6/33 Tarehe: 18 Juni 2018 YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2018/2019

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA.

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI

YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI WERUWERU HALMASHAURI YA MOSHI MKOA WA KILIMANJARO MWAKA 2018

SHULE YA SEKONDARI KIBAHA S.L.P 30053, KIBAHA SIMU NA Kibaha

ARCHDIOCESE OF MWANZA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU

YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAMISEMI

YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KAREMA KIDATO CHA TANO MWAKA 2018

NAFASI ZA MASOMO MASOMO YA ASUBUHI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. OFISI YA RAIS- TAMISEMI.

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

KAWAWA JKT HIGH SCHOOL PO.BOX 213 MAFINGA IRINGA PHONE MOBILE, , , ,

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA SHULE YA SEKONDARI RUNGWA

JAMHURI YA MUUNGANO IVA TANZANIA

2018/2019 OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

4. Kanuni za Petroli (Ushiriki wa Watanzania) za mwaka 2017 zilianza kutumika rasmi tarehe 5 Novermba Shughuli za Petroli za kwanza ni

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

Early Grade Reading Assessment for Kenya

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

ORDER NO BACKGROUND

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

Muongozo wa utatuzi. Kwa wasimamizi wa malaria RDTs 06/11/16. MALARIA Rapid Diagnostic Test

Human Rights Are Universal And Yet...

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI

Upande 1.0 Bajeti yako

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Deputy Minister for Finance

MTIHANI WA MWIGO WA WILAYA YA NANDI KASKAZINI 2013

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo

# 18 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa

Ufundishaji wa lugha nyingine

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA

Elimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini...

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MUONGOZO WA UTUNZAJI WA URITHI WA UTAMADUNI 1 SECURITY AT MUSEUMS

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4

Mfumo na maelezo ya kina ya mpango wa kimataifa wa viwango vya chakula kwa wenye matatizo ya kumeza (IDDSI) Juni 2017

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2012

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

TATHMINI YA PAMOJA SHULE ZA UPILI ZA JIMBO LA MACHAKOS.

Namba ya moduli 3 Kuangalia sanaa

Transcription:

FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO SEHEMU A (TAARIFA ZA MWANAFUNZI) Picha ya mwanafunzi na aje na picha tatu Jina kamili (majina matatu). Tarehe ya kuzaliwa.. Uraia.. Jinsia Anuani ya mwanafunzi... Shule aliyotoka...simu E-mail. Je ana wazazi wote wawili? Ndiyo/Hapana Anaye baba peke yake Ndiyo/Hapana Anaye mama peke yake Ndiyo/Hapana Hana baba wala mama Ndiyo/Hapana SEHEMU B (TAARIFA ZA MZAZI) Jina la Baba: Hai? Ndiyo/Hapana Jina la Mama:. Hai? Ndiyo/Hapana Wanaishi pamoja/wametengana:... Jina la mlezi: (1) Uhusiano:.. Jina la mlezi: (2)... Uhusiano:.. Je walezi wote wanaishi pamoja?. ANWANI: (a) Mkoa:.. Wilaya.. Kata:. Mtaa.. No. ya nyumba:... (b) S.L. P. (c) No. za simu (i) Mkononi: (ii) Mezani:. MAHALI PAKAZI:.. Kazi yake... Simu:.. Mawasiliano ya dharula: Jina Simu. Uhusiano.. 1

SEHEMU C (UTHIBITISHO WA AFYA YA MWANAFUNZI) Majina matatu ya mwanafunzi Jinsia Tarehe ya kuzaliwa.. Tafadhali mzazi tunaomba umpime mwanafunzi na kushauri hali na mzingira yoyote maalum anayoweza kuhitaji ili kuboresha uwezo wake wa kumudu elimu ya bweni. 1. Kundi la damu 2. Sicle cell anaemia... 3. Uwezo wa kuona. 4. Kifafa... 5. Uwezo wa kusikia 6. Ulemavu wowote. 7. Utapiamlo. 8. Vidonda vya tumbo.. 9. Kisukari. 10. Blood Pressure... 11. Ukoma 12. Urefu 13. Uzito 14. Mzio/allegies.. 15. (a) Je, kutokana na ulemavu alionao, nini mahitaji ya ziada? (b) Je, ni vyakula gani hapaswi kula? (c) Je, ni dawa zipi hapaswi kutumia? 14. Maoni mengineyo ya daktari. Jina na sahihi ya Daktari... Cheo, Simu. Tarehe 2

Mwanafunzi anatakiwa kua na ufaulu wa alama ya A,B, au C (Credit ) katika tahasusi (Combination) anazotaka kusomea. MATOKEO YAKO YA KIDATO CHA NNE Namba uliyofanyia mtihani.. Namba ya shule uliyofanyia mtihani Jina la shule Division. Point.. SOMO HIST GEO KISW CIVI MATH BIO ENG CHEM PHY COMM BK ICS FRNC DARAJA MASOMO MENGINE KAMA ULIFANYA SOMO DARAJA MICHEPUO INAYOTOLEWA GILI HIGH SCHOOL HGE HGK HGL HKL KLF EGM ECA PCM PCB CBG PGM MCHEPUO WA KWANZA (1) ULIOCHAGUA NA MADARAJA YAKE MASOMO DARAJA MCHEPUO WA PILI (2) ULIO CHAGUA MASOMO DARAJA 3

SEHEMU D KANUNI NA TARATIBU ZA SHULE: 1. Mwanafunzi anapaswa kuongea kiingereza muda wote awapo shuleni. 2. Mwanafunzi anapaswa kuhudhuria vipindi vyote na kufanya kazi zote, nadharia na vitendo kama atakavyoelekezwa na mwalimu/msimamizi wake. 3. Mwanafunzi anapaswa kusimama na kusalimia watu wote wanaomzidi umri. 4. Mwanafunzi anapaswa kujifunza kuimba kwa usahihi na ukakamavu nyimbo zote rasmi za Taifa na shule 5. Mwanafunzi anapaswa kutii kwa hiari alama rasmi za Taifa na shule kama vile Bendera. 6. Mwanafunzi anapaswa kutumia lugha rasmi, isiyo na matusi wala kashfa kwa watu wote, wakubwa kwa wadogo. 7. Mwanafuzi anapaswa kutoa taarifa za uharibifu wa mali yake binafsi, wenzake au shule kwa viongozi wake na waalimu. 8. Mwanafunzi haruhusiwi kuwasiliana na mtu yeyote ikiwa ni pamoja na wazazi kwa namna yoyote bila kibali kutoka kwa mwalimu husika. 9. Mwanafunzi haruhusiwi kuuza kitu chochote au kufanya biashara yeyote awapo shuleni. 10. Mwanafunzi haruhusiwi kutoka nje ya eneo la shule bila ruhusa kutoka kwa mwalimu anayehusika, akionekana atachukuliwa hatua za kinidhamu. 11. Mwanafunzi haruhusiwi kutumia kilevi cha aina yeyote kama vile pombe, madawa ya kulevya n.k. 12. Mwanafunzi haruhusiwi kuvaa nguo, viatu au urembo usioruhusiwa shuleni. 13. Ni marufuku mwanafunzi kuwa na simu ya mkononi, vipodozi na silaha ya aina yeyote. 14. Mwanafunzi haruhusiwi kujihusisha na vitendo viovu vifuatavyo:- i. Ngono. ii. Mgomo wa adhabu au vinginevyo. iii. Kuwa na mahusiano ya kimapenzi. 15. Mwanafunzi hapaswi kujihusisha na vitendo vyovyote vya uchochezi. 16. Mwanafunzi hapaswi kubagua wenzake kwa vigezo vya dini, kabila, rangi na utaifa n.k. 17. Mwanafunzi haruhusiwi Kufanya udanganyifu wa aina yoyote katika mitihani kama kuibia kwa mwanafunzi mwenzake; kuingia chumba cha mtihani na karatasi, nguo au vitambaa vilivyo na maandishi; kuwasiliana na mwanafunzi mwenzake kwenye chumba cha mitihani wakati mtihani ukiendelea; n.k. 18. Mwanafunzi haruhusiwi Kupigana na wanafunzi, wafanyakazi au watu wengine 19. Mwanafunzi haruhusiwi kuingia shuleni na chakula chochote labda kwa idhini ya uongozi wa shule. Mwanafunzi akivunja kanuni na taratibu za shule atachukuliwa hatua za kinidhamu Jina la mwanafunzi Sahihi... 4

Tarehe SHULE ILIKO: Shule iko Kibaha Maili moja kilometa mbili (2) kutoka Morogoro Road. NAMNA YA KUFIKA: Kama unatokea Dar es Salaam utapita maili moja na TAMCO, halafu utaelekea barabara ya Bagamoyo ambapo utaona vibao vinavyoelekeza shule ilipo barabara ya machinjioni ya maili moja kwa mbele. MAELEKEZO MUHIMU WAKATI WA KUJIUNGA. 1. Awe amelipa karo yote ya awamu husika. 2. Awe amesoma na kuelewa kanuni na sheria za shule na kusaini kukubaliana nazo. 3. Awe amejaza kwa usahihi hati sehemu ya uthibitisho wa usajili wa mwanafunzi. 4. Awasilishe hati ya uthibitisho wa afya akiambatanisha vyeti muhimu endapo atakuwa na matatizo. 5. Alete vitu/vifaa vyote vilivyoelekezwa katika hati ya mahitaji binafsi ya mwanafunzi. 6. Hairuhusiwi kwa mwanafunzi kusuka wala kuwa na nywele ndefu. 7. Hakuna siku ya kuwatembelea watoto. (Visiting day) mpaka siku za likizo.hii itamsaidia mtoto kuweka akili yake katika hali ya kusoma tu. 8. Alete kivuli cha cheti chake cha kuzaliwa (photocopy). 9. Wastani wa shule ni 51 10. Kwa mwanafunzi aliyefeli haendi likizo anabaki shule kwa ajili ya masomo ya ziada kwa gharama ya mzazi 11. Wanafunzi wanao feli hupatiwa masomo ya ziada, jioni baada ya masomo ya kawaidi kwa gharama ya shule. 12. Darasa la mitihani kidato cha sita na watapatiwa masomo ya ziada asubuhi na jioni kwa gharama ya shule 13. Wanafunzi wanaosoma hesabu,geografia na sayansi waje na scientific calculator aina ya FX-991 MS au FX-991ES 14. Mwanafunzi mwenye kadi ya bima tunaomba aje na kadi yake ili kurahisisha huduma za matibabu. 15. Hatupokei pesa au kiasi chochote mkononi malipo yote yafanyike benki. 20. Nguo zote za mwanafunzi zinatakiwa kuandikwa jina lake kwa kudariziwa na uzi mweupe nguo zote soksi hadi nguo za ndani. 21. Mwanafunzi anatakiwa kuja na cheti cha matokeo(result slip original). Kama cheti cha matokeo hakijatoka utatakiwa kuja na nakala ya matokeo yako ya mtihani kutoka kwenye tovuti ya baraza la mitihani.ukiwa umewekea nyota namba yako na kuandika jina lako karibia na namba yako.. Malipo yote yafanyike benki (HATUPOKEI KIASI CHOCHOTE MKONONI) akaunti namba zifuatazo, MU-GILI COMPANY LTD, ACC.NO 080103000103 NBC. GILI SECONDARY SCHOOL. AKAUNTI NA. 2059960008 BANK OF AFRICA (BOA) 5

N.B Shule itafunguliwa tarehe 08/7/2017. Hakikisha mwanao anaripoti shuleni tarehe husika kwa elimu bora. Mwisho wa kupokea wanafunzi ni saa kumi kamili jioni. Hatupokei wanafunzi siku za Jumapili Asante. HATI YA UTHIBITISHO WA USAJILI WA MWANAFUNZI Mimi. Mwanafunzi wa kidato cha mwaka.. nathibitisha kuwa nimezisoma, nimezielewa na nitazifuata kikamilifu kanuni, taratibu na sheria za shule na nitashirikiana na uongozi wa shule kwa kipindi chote nitakachokuwa shuleni. Sahini ya mwanafunzi Jina la mzazi/mlezi Sahihi Tarehe Tarehe Simu ya mzazi/mlezi.. Sahihi ya Mkuu wa shule... Copy: mzazi/mlezi Faili la mwanafunzi Ndugu mzazi/mlezi.. Tunapenda kukufahamisha kuwa mwanao. Amekubaliwa kujiunga na shule yetu ya Gili Sekondari kidato cha mwaka MKUU WA SHULE 6

MCHANGANUO WA MALIPO YA ADA NA MALIPO YA AWALI. Form V Science. A Ada mwaka mzima Muhula wa kwanza Januari 3,400,000/= 1,140,000/= Muhula wa kwanza Aprili (Baada ya likizo fupi) 1,130,000/= 7 Muhula wa pili Juni 1,130,000/= Mahafali 30,000/= Pesa ya matumizi 50,000/= Mahitaji ya taaluma,sare za 350,000/= shule na huduma za library JUMLA 1,540,000/= 1,130,000/= 1,160,000/= Form V Arts and Business. A Ada mwaka mzima 3,200,000/= Muhula wa kwanza Januari 1,080,000/= Muhula wa kwanza Aprili (Baada ya likizo fupi) 1,060,000/= Muhula wa pili Juni 1,060,000/= Mahafali 30,000/= Pesa ya matumizi 50,000/= Mahitaji ya taaluma,sare za 350,000/= shule na huduma za library JUMLA 1,48 0,000/= 1,060,000/= 1,090,000/= Mwanafunzi atapewa mahitaji ya kujiunga yafuatayo baada ya malipo Sare za shule (Za darasani na zakushindi t-shirt tatu, sketi mbili, shati mbili, kaptula mbili) Kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne Gili secondary watapata punguzo la ada kiasi cha shs 500,000/= Mwanafunzi atakaye pata nafasi atatakiwa kulipa kiasi cha (540,000/= kwa mwanafunzi wa science) na (kiasi cha 480,000/= kwa mwanafunzi wa Arts au Business) ndani ya siku 14 baada ya kupata nafasi kwa ajili ya kushika nafasi na kiasi hichi ni kama ada ya awali. Pia kiasi hiki hakita rudishwa kwa mwanafunzi ambaye hata jiunga nasi kama atakua amshalipa. VITU VIFUATAVYO VINAPATIKANA SHULENI - Shuka nne za Pink. 50,000/= - Madaftari (3quire) 7 @ 3,500 = 24,500/= - Neti ya pembe nne nyeupe 12,000/= - Sweta. 15,000/= - Trakisuti. 25,000/= Karatasi hii ibakie kwa mzazi

- Nguo za michezo 15,000/= - Viatu vya shule 30,000/= Vitu tajwa hapo juu lipia benki kabisa njoo na slip utapewa vitu hivi shuleni SEHEMU D MAHITAJI MUHIMU, BINAFSI YA MWANAFUNZI MAHITAJI KIASI 1. Shuka za Pinki 4 2. Madaftari (counter books) QUIRE 4 7 3. Dawa ya meno kubwa na mswaki 2 4. Mafuta ya kupaka (baby care) 2 5. Neti ya pembe nne nyeupe 1 6. Taulo rangi ya pinki 1 7. Vitambaa vya mkononi (vyeupe ) 4 8. Viatu vyeusi visigino vifupi (Juma na roza mfano huo hapo chini) pea 2 9. Kiwi kubwa nyeusi 2 10. Shower jelly lita 3 11. Kandambili bluu (Bata bata) pea 2 12. Kanga pea 1 13. Begi la madaftari 1 14. Sanduku la nguo (la bati) 1 15. Sweta bluu 1 16. Nguo za kulalia (night dress pink) pea 2 17. Raba za michezo nyeupe pea 1 18. Soksi nyeupe pea 3 19. Ndoo ndogo 2 20. Trakisuti za bluu pea 1 (atapewa shuleni bei yake ipo chini) 21. Nguo za michezo (T-shirt na kaptula za bluu.) Pea 1 (atapewa shuleni bei yake ipo chini) 22. Sahani, kikombe, na kijiko pea 1 23. Pedi za wasichana bunda 4 24. Peni 20 25. Penseli 5 26. Mathematical seti 1 27. Nguo za ndani za kutosha 28. Sabuni ya kufulia miezi mitatu (miche 3 na ya unga omo kilo1 paketi 4) 29. Nguo za ndani za juu zote ziwe nyeupe kabisa. NB: 1. Mwanafunzi wenye kadi za bima tunaomba waje na kadi zao ili kurahisisha huduma ya matibabu. Malipo yote yafanyike benki kwa akaunti namba ifuatayo, Karatasi hii ibakie kwa mzazi MU-GILI COMPANY LTD, ACC. NO 080103000103 NBC. GILI SECONDARY SCHOOL. AKAUNTI NA. 2059960008 BANK OF AFRICA (BOA) 8