ARCHDIOCESE OF MWANZA

Similar documents
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

Kumb.Na.HVEMS/JI/BT/018 Novemba 17, YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE CHINI YA TAASISI YA ROCK MEMORIAL EDUCATION TRUST 2018

SHULE YA SEKONDARI KIBAHA S.L.P 30053, KIBAHA SIMU NA Kibaha

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Kumb.Na.BSS/A.6/33 Tarehe: 18 Juni 2018 YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2018/2019

FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI

2018/2019 OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA

JAMHURI YA MUUNGANO IVA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. OFISI YA RAIS- TAMISEMI.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

KAWAWA JKT HIGH SCHOOL PO.BOX 213 MAFINGA IRINGA PHONE MOBILE, , , ,

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA.

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA SHULE YA SEKONDARI RUNGWA

YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI WERUWERU HALMASHAURI YA MOSHI MKOA WA KILIMANJARO MWAKA 2018

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KAREMA KIDATO CHA TANO MWAKA 2018

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

NAFASI ZA MASOMO MASOMO YA ASUBUHI

YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAMISEMI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

Human Rights Are Universal And Yet...

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

4. Kanuni za Petroli (Ushiriki wa Watanzania) za mwaka 2017 zilianza kutumika rasmi tarehe 5 Novermba Shughuli za Petroli za kwanza ni

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

Lesson 11 Weather and Seasons Hewa Majira

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA. Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Early Grade Reading Assessment for Kenya

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

Upande 1.0 Bajeti yako

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI. Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

13 APRILI, 2012 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Thelathini na Tisa Tarehe 1 Juni, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

ORDER NO BACKGROUND

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

PDF created with pdffactory trial version

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10.

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

3 FEBRUARI, 2015 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE. Kikao cha Saba - Tarehe 3 Februari, 2015

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Saba Tarehe 13 Aprili, (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

Transcription:

ARCHDIOCESE OF MWANZA Bukumbi Girls Secondary School P.O.Box 561 MWANZA. Tel: No. 0756312183/0755280924/0767643605/0732981368 Email: bukumbigirlssec@gmail.com Website: www.bukumbigss.weebly.com YAH: MWONGOZO WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO MWAKA 2017 Amani na Baraka ya Mungu viwe nawe. Mpendwa.Ninafurahi kukutaarifu kuwa umechaguliwa kujiunga na Kidato cha.. katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Bukumbi. HONGERA SANA! Unatakiwa kufika shuleni tarehe.. ili uanze masomo. Mwanafunzi atakayechelewa kufika shuleni zaidi ya wiki moja hatapokelewa. TAARIFA YA SHULE Sekondari ya Wasichana ni Shule ya Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza. Inaendeshwa na Masista Wabenediktine wa Mtakatifu Agnes. Shule hii iko katika Wilaya ya Misungwi umbali wa kilometa 34 kusini mwa Jiji la Mwanza karibu na Kanisa Katoliki la Bukumbi. Ni shule ya bweni kwa wasichana tu. Katika shule hii tunachukua wanafunzi ambao wamefaulu mtihani wetu NA WENYEE SIFA ZA KUJIUNGA NA Kidato cha Tano. MALEZI YETU ni katika MISINGI YA KIKRISTO (KIKATOLIKI) kama vile kusali pamoja kabla ya vipindi, Misa kwa wote siku zilizopangwa (yaani JUMATATU, JUMATANO, IJUMAA NA JUMAPILI) Mafungo na kadhalika. Mzazi/Mlezi ahakikishe kwamba kiambatanisho No. (i) na (ii) vinajazwa kikamilifu. DIRA YA SHULE Kwa Neema ya Mungu Baba, Munguu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu, wanafunzi wetu wakue kama watumishi wa kuwahudumia watu. 1. MWONGOZO WA KUJIUNGA NA SHULE Soma kwa makini sana mwongozo wa kujiungana shule hii na kama unakubali, tafadhali jaza fomu iliyoambatanishwaa na uje nayo. 2. USAFIRI KUFIKA SHULENI Kwa kutokea Kigongo Ferry unaweza kutembea kwa miguu mpaka shuleni. Kwa kutokea mjini Mwanza kuna magari ya daladala.haya magari husimama katika kituo cha mabasi cha BUHONGWA. 3. TAARIFA YA AFYA YAKO Unatakiwa kupeleka Medical History Sheet kwa Mganga wa Hospitali (isiwe zahanati) yoyote inayotambuliwa na serikali. Fika shuleni na Medical History Sheet hiyo ikiwa 1 Tarehe

imejazwa na kusainiwa na mganga aliyekupima. Uthibitisho wa mganga wa kienyeji au mganga yeyote asiyetambuliwa na serikali hautakubaliwa na itabidi upimwe katika Hospitali ya Bukumbi kwa gharama yako. Ni vema magonjwa ya kudumu, ulemavu ubainishwe na uongozi ukaelewa. Shule haitapokea malalamiko yoyote ya kiafya ambayo hayana uthibitisho wa Mganga anayetambuliwa na serikali (Tumia medical History Sheet iliyoambatanishwa nyuma). 4. SARE YA SHULE Shule hii ina sare za aina mbili ambazo hutumika kwa nyakati tofauti kama ifuatavyo i. Sare za darasani wakati wa masomo: Sketi mbili zitakazoshonwa hapa shuleni ili kuondoa utata wa rangi na mtindo wa mishono. Hivyo njoo na shilingi elfu kumi na nne (Tshs. 14,000/=) kwa ajili ya sketi mbili. Njoo na mashati (Blauzi) mawili meupe ya mikono mirefu ambayo hayabani na wala si mapana sana. Ni marufuku kujishonea sare za shule nje ya utaratibu huu. ii. Sare za nje ya darasa wakati usio wa masomo Njoo na shilingi elfu ishirini (20,000) kwa ajili ya gauni mbili kwa sare ya nje ya darasa. Nazo sawa kama sketi mbili katika No. 4 (i) zitashonwa hapa hapa shuleni. Pia njoo na shilingi elfu saba kwa ajili ya T-shirt ya shule (7,000). iii. Mavazi ya michezo a. Bukta zenye mipira miguuni na gauni fupi (rangi nyekundu) b. Raba za michezo jozi moja. iv. Viatu Njoo na viatu vyeusi vyenye visigino vifupi jozi mbili na soksi nyeupe ndefu jozi mbili. Ndala (kandambili) rangi yeyote jozi moja. v. Aje na shilingi elfu kumi na tano (15,000) za sweta. Ni marufuku kuvaa sweta au jaket tofauti na hilo litakalonunuliwa hapa. vi. Aje na underskirt 2 na shimizi 3 vii. Aje na nguo za ndani za kutosha 5. VIFAA VINGINE Unatakiwa uje na : i. Bakuli, sahani, kikombe na kijiko sio vya udongo ii. Ndoo 1 ya lita kumi itanunuliwa shuleni ( sh.3,500 ) na beseni 1 (sh.2,000) litanunuliwa hapa shuleni. iii. Galoni nyeupe ya plastiki ya lita tano iliyo na mfuniko iv. Mifagio ya chelea 2 kwa usafi wa nje. v. Faili 1 vi. Bunda mbili (2) za ream za karatasi za Photocopy A-4 moja kwa kila muhula vii. Tochi ya betri 2 au taa ya solar, na saa ya mkononi (aina yoyote) kwa ajili ya kutunza muda. 6. MATANDIKO i. Godoro la mpira ft 2½ ii. Mashuka 2 ya rangi ya blue bahari iii. Chandarua 1. 7. VIFAA VYA DARASANI 2

Uje na: i. Daftari kubwa Counter Books za kutosha kadiri ya Tahasusi aliyoichagua ii. Kalamu za risasi mbili au zaidi iii. Kamusi ya Kiingereza(Dictionary). iv. Rula ya sentimeta 30 au 50 v. Kalamu za wino bluu bic zisizopungua tano vi. Mkebe wa vifaa vya hesabu (mathematical set) vii. Aje na vitabu aina vinavyoendana na Tahasusi yake. viii. Aje na Scientific Calculator ( kwa wenye Tahasusi za Sayansi tu yaani CBG NA PCB) 8. KARO YA SHULE i. KARO YA SHULE NI SHILINGI 1,500,000(Milioni moja na laki tano ) tu kwa mwaka. MALIPO YOTE YAFANYIKE KWENYE AKAUNTI ZA SHULE NA SI PENGINEPO, NA UFIKE NA STAKABADHI (BANK PAY-IN-SLIP) ORIGINAL. UNAWEZA KULIPA ADA HIYO KWA AWAMU MBILI,TATU, AU ZOTE ( yaani Tsh.750,000, 500,000 na 1,500,000). ii. AKAUNTI ZA SHULE ZIPO KATIKA BENKI ZIFUATAZO: A. BENKI YA BIASHARA (NBC). TAWI LA NYERERE-MWANZA au sehemu yoyote yenye Tawi la NBC JINA LA AKAUNTI: BUKUMBI SEKONDARI AKAUNTI NAMBA; 015103004258. B. BENKI YA BIASHARA YA MKOMBOZI (MKOMBOZI COMMERCIAL BANK) TAWI LA MWANZA JINA LA AKAUNTI: BUKUMBI GIRLS SECONDARY SCHOOL NAMBA YA AKAUNTI: 00311401611001 Mkombozi Commercial Bank ipo katika jengo lililokuwa zamani Catholic Bookshop, Barabara ya Nyerere Mkabala na Benki ya CRDB iliyoko karibu na Benki Kuu ya Tanzania. Wazazi, walezi wanaoishi Mwanza na yeyote anayeweza kuifikia Benki hiyo kwa urahisi, kuanzia sasa alipie ada (karo) ya shule kwa kutumia AKAUNTI NAMBA iliyopo hapo juu (AKAUNTI NAMBA YA MKOMBOZI COMMERCIAL BANK) iii. Uje na shilingi elfu nne (Tshs. 4,000) kwa ajili ya kitambulisho na picha iv. Uje na tahadhari (caution money) shilingi elfu tano (Tsh. 5,000) v. Uje na sh. 3,000 kwa ajili ya Tai (Tie). vi. Unashauriwa uje na fedha kwa ajili ya matumizi yako binafsi, Ukipenda unaweza kutunzia fedha hiyo kwa Matron au kwa Mhasibu wa shule. vii. Uje na sh.15,000 za Taaluma viii. Uje na sh. 35,000/= za maabara (vifaa na kemikali ) kwa wanafunzi wanaosoma masomo ya Sayansi ix. Uje na sh. 10,000/= za matibabu. 9. MAWASILIANO Mzazi/mlezi atapata taarifa kuhusu mtoto wake kupitia UONGOZI WA SHULE NA SI VINGINEVYO. Ni marufuku mwanafunzi kuwa na simu ya mkononi hapa shuleni. 3

HUDUMA YA KIROHO WAKIWA HAPA SHULENI TANBIHI: Wanafunzi wote wakiwa hapa shuleni watasali katika Kanisa Katoliki ambalo lipo karibu na shule. 1. Kila kifaa kilichoagizwa ni muhimu. Hakikisha unakileta. 2. Mwanafunzi aletwe shuleni siku za kazi au Jumamosi na siyo Jumapili 3. Kutembelewa wanafunzi (visiting day) hakupo kabisa. 4. Ni marufuku kwa mwanafunzi yeyote kuleta au kuletewa aina yoyote ya chakula 5. Mwanafunzi anayejiunga na shule hii anatakiwa:- A. KITAALUMA Kuonyesha juhudi (bidii) katika masomo.elimu anayoipata imsaidie kujikwamua na adui ujinga, maradhi na umasikini. Mwanafunzi itabidi afaulu mitihani yake yote ya mihula miwili yaani mwezi wa Juni na Desemba kwa kiwango cha 50% ili kumruhusu kuendelea na darasa lingine. B: KIMAADILI Kukua katika maadili mema akifuata maelekezo ya walimu na walezi wake, na hatimaye kuwa raia mwema atakayefaa kuishi katika jumuiya yoyote na kujenga moyo wa kuwa tayari kutumikia na siyo kutumikiwa. 6. Mwanafunzi atakayekiuka sheria za shule ataondolewa shuleni mara moja. Tunaomba mzazi/ mlezi uwe na ushirikiano na uongozi wa shule hususani maendeleo ya mwanao kitaaluma na kinidhamu 7. Mwanafunzi yeyote atakayesimamishwa masomo kwa utovu wa NIDHAMU HATARUDISHIWA FEDHA YOYOTE ILE. 8. Mwanafunzi vile vile ataongozwa na sheria/kanuni za shule zilizotungwa kwa kuzingatia maelekezo ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kama zilivyoambatanishwa kwenye fomu hii. Nakutakia maandalizi mema na unakaribishwa sana kusoma katika Sekondari ya Wasichana Bukumbi.. Sr. Yovina F. Haule OSB Mkuu wa shule 4

5