Govt increases vetting threshold of contracts

Similar documents
GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

Deputy Minister for Finance

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

ORDER NO BACKGROUND

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

The Government is committed to improve marine transport and has a number

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA

3. Mheshimiwa Spika, 4. Mheshimiwa Spika,

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

DIRA DHIMA. Kuendeleza, kuwezesha, kudhibiti na kusimamia matumizi endelevu ya Rasilimali za Nishati na Madini kwa manufaa ya Watanzania.

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

4. Kanuni za Petroli (Ushiriki wa Watanzania) za mwaka 2017 zilianza kutumika rasmi tarehe 5 Novermba Shughuli za Petroli za kwanza ni

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN

Procurement Plan. II. Thresholds for Prior Review, Procurement Approaches and Methods

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Procurement Plan. II. Thresholds for Prior Review, Procurement Approaches and Methods

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

Mipango ya miradi katika udugu

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA. Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili

Kutetea Haki za Binadamu

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

SECTION DESCRIPTION PAGE I. BUDGET INTRODUCTION... 1 II. FISCAL YEAR 2017 BUDGET ANALYSIS... 2 III. FINAL OPERATING BUDGET... 3

Procurement Plan. (Text in italic font is meant for instruction to staff and should be deleted in the final version of the PP)

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

ONDOA MADINI YA RISASI KATIKA RANGI: LINDA AFYA YA WATOTO

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

Procurement Plan. II. Thresholds for Prior Review, Procurement Approaches and Methods

RESOLUTION NOW, THEREFORE, BE IT RESOLVED BY THE BOARD OF SUPERVISORS OF THE CORKSCREW FARMS COMMUNITY DEVELOPMENT DISTRICT:

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI

Maoni ya Wananchi juu ya Huduma za VVU na UKIMWI Nchini Tanzania

Procurement Plan Mozambique: P Greater Maputo Water Supply Expansion Project

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

EXPENDITURE SAMPLES AND FUNDS REQUEST FORM

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA. Procurement Plan

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4

Procurement Plan Template (For Contracts not yet initiated to be entered in STEP)

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

Procurement Plan. 3. Proposed Procedures for CDD Components (as per paragraph of the Guidelines:

SECTION DESCRIPTION PAGE I. BUDGET INTRODUCTION... 1 II. FISCAL YEAR 2017 BUDGET ANALYSIS... 2 III. PROPOSED OPERATING BUDGET... 4

Transcription:

<< The procurement audit report for FY 2014/15 is available on PPRA website, www.ppra.go.tz >> ISSN: 1821-6021 Vol IX - No. 19 May 10, Free with Daily News every Tuesday DID YOU KNOW? NEWS IN Numbers? The legal officer of procuring entity is required to vet all procurement contracts whose value is one billion shillings or less. 1,000,000,000 The maximum value in shillings, of a procurement contract that must be vetted by the legal officer of a procuring entity, for national tenders. Be meticulous when reporting public procurement, PPRA tells journalists inside Govt increases vetting threshold of contracts The Government has increased the vetting threshold of contracts by a procuring entity s legal PPRA has challenged journalists to be thorough and accurate when reporting procurement related news in order to help the public understand complex issues associated with public procurement and management of public funds spent on procurement. Speaking to media practitioners recently in Dar es Salaam during the Excellence in Journalism Awards (Ejat) gala to award journalists who excelled in 2015, Director of Capacity Building of PPRA, Eng. Awadhi Suluo challenged journalists to strive for excellence and to give correct information to the public, saying the quality and number of reported procurement related issues is still low. Eng. Suluo said PPRA, which sponsors the awards in Ejat s public procurement category, was concerned by the lack of winners in the category this year due to lack of stories that met the set criteria. You need to work harder on public procurement issues because to win the award, one has to work hard, ensure their entries are well balanced and multi sourced, he Procurement Opportunities 3 officer from a minimum of 50 million to one billion shillings, it has been learnt. According to Government Notice said, adding that he was hoping to see a significant increase in the number of public procurement stories. Furthermore, Eng. Suluo added that since public procurement consumes a big part of government development budget, the Authority is ready to cooperate with journalists who are interested in covering public procurement for increasing public awareness about issues involved. Media practitioners are one of our key stakeholders in ensuring best value for money in public procurement and this is why PPRA decided to be part of sponsors of this No. 121 issued by the Minister for Finance and Planning, Dr. Philip Mpango, and published on April 22 this year, the Attorney General (AG) would now be vetting international and tenders whose values are above one billion shillings. Previously the AG would vet all contracts whose values were above 50 million shillings. Any formal contract arising out of the acceptance of tender whose value is below one billion shillings shall be vetted by the legal officer of a procuring entity before it is signed by the parties, reads part of the notice signed by the Minister for Finance, Dr. Phillip Mpango on April 17. The notice further says when vetting any formal contract, the legal officer shall be under the obligation to abide by the provisions of the public procurement law, other relevant written laws, code of ethics and professional conduct applicable to legal officers in the public service. The move has been hailed by procurement practitioners who have Dr. Philip Mpango pg 2 Public Notices 5 event through the support of Belgian Technical Cooperation, Eng. Suluo said. For his part, chairman of the Ejat organizing committee, Kajubi Mukajanga said that there is an increase by 31 entrants this year compared to the 53 nominees of 2014 awards. He said two new categories have been introduced raising the number of categories to 22. The new categories are reporting on taxation and public revenue collection and reporting on public procurement. Awarded contracts 10,11,12

2 Govt increases vetting threshold of contracts pg 1 welcomed it wholeheartedly as a timely intervention in addressing shortcomings in the implementation of the Public Procurement Act, No.7 of 2011. Ms Azama Ngwada and Mr. Masero Masiku procurement specialists for Morogoro Urban and Rural district councils respectively, told TPJ yesterday that the Government move was a welcome intervention which will please many practitioners. It s a good decision which will facilitate easy operations of the council s contracts on time Ms Ngwada said. Mr. Masiku said the move couldn t have come at a better time given the dire financial situation district councils find themselves in, saying the previous process was time consuming and costly. We hope the costs associated with the obligatory safaris to Dar es Salaam will now be reduced, he said. According to procurement experts expansion of the vetting scope of an entity s legal officer is expected to expedite procurement process and lessen the AG s task. Currently, procurement stakeholders are awaiting tabling of bill for amendment in the Parliament for further improvement of the public procurement law after the Law Reform Commission submitted its report basing on views collected from members of the public. TAARIFA KATIKA TARAKIMU Procurement Journal Tuesday May 10, 1,000,000,000 Kiwango cha juu kwa shilingi, cha thamani ya mkataba wa manunuzi wa kitaifa, ambao ni lazima uhakikiwe na mwanasheria wa taasisi nunuzi. Procurement News Maombi ya mapitio mahakamani si ruhusa ya kutotekeleza uamuzi unaopingwa Na Hamisi Tika, Wakili na Afisa sheria wa PPAA Awali ya yote, naomba nitoe pongezi zangu za dhati kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya kwa kusikia kilio cha taasisi nunuzi nchini juu ya ugumu au urasimu waliokuwa wanakabiliana nao kuhusu matakwa ya Sheria ya Manunuzi ya Umma ya Mwaka 2011, kutaka mikataba yote ya manunuzi yenye kufikia thamani ya shilingi milioni 50 na kuendelea, kupelekwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kufanyiwa upekuzi au uhakiki (kwa lugha ya kiingereza vetting). Hitaji hili la sheria, kwa kiwango kikubwa, lilisababisha mikataba mingi ya manunuzi nchini kuchelewa kuanza kutekelezwa kutokana na ama kusubiri mrejesho wa mwanasheria mkuu juu ya mkataba husika au kuchelewa kuanza kwa miradi kutokana na ofisi hiyo kulemewa na kazi kubwa ya upekuzi wa mikataba. Hata hivyo, kupitia tangazo la serikali kwenye gazeti la serikali toleo Namba 121 la tarehe 24 Aprili, Waziri wa Fedha na Mipango alirekebisha kanuni inayohusu kiwango cha chini cha thamani ya mikataba inayotakiwa kupekuliwa, kutoka kiwango cha awali cha shilingi milioni 50 hadi shilingi bilioni moja kwa zabuni zote za kitaifa. Kwa mujibu wa tangazo hilo, mwanasheria mkuu atawajibika kufanya uhakiki kwa mikataba ya zabuni za kitaifa yenye thamani inayozidi shilingi bilioni moja na mikataba yote ya zabuni za kimataifa. Wakati mikataba yote ya zabuni za kitaifa yenye thamani ya shilingi bilioni moja au chini yake, itafanyiwa uhakiki au upekuzi na wanasheria wa taasisi nunuzi husika. Mabadiliko haya yatazisaidia taasisi nunuzi kuepuka gharama na kupunguza urasimu katika michakato ya zabuni. Nikirudi kwenye mada yangu, nimeamua kuandika makala hii kutokana na ukiukwaji wa sheria unaofanywa na baadhi ya taasisi nunuzi na wazabuni, wanapopinga maamuzi ya taasisi zilizopewa mamlaka kisheria kutatua au kusuluhisha migogoro, kama vile mabaraza ya ardhi au Mamlaka ya Rufaa ya Zabuni za Umma (PPAA). Kwa leo napenda nijikite zaidi kwenye maamuzi yanayofanywa na PPAA ili kufikisha ujumbe wangu. Kwa mujibu wa Kifungu Namba 101 cha Sheria ya Manunuzi ya Umma ya mwaka 2011, mtu yeyote anayo haki ya kupinga uamuzi wa PPAA mahakama kuu kwa njia ya mapitio ya mahakama (Judicial review). Niweke wazi hapa kwamba maombi ya mapitio kimsingi sio rufani. Mara nyingi katika mapitio mahakama haiangalii hoja zilizoshindaniwa na wahusika wakiwa kwenye baraza lililotoa uamuzi bali huangalia vitu vikubwa vinne. Mosi, kama uamuzi husika ulitolewa kwa kufuata misingi ya haki ya asili, yaani kama kila upande ulipata nafasi ya kusikilizwa; pili, mahakama huangalia kama uamuzi ulitolewa na watu wenye mamlaka ya kufanya uamuzi huo. Mathalani kama sheria husika imeelekeza uamuzi utolewe na waziri, je ni waziri ndiye aliyetoa uamuzi husika au la. Pia huangalia kama mamlaka hayo aliyopewa mtoa maamuzi hayakutumiwa vibaya. Hapa ninamaanisha kama uamuzi ulitolewa ndani ya muda uliowekwa na sheria au la na kama uamuzi ulitolewa kwa kuzingatia miongozo ambayo baraza husika limejiwekea au iliyowekwa na sheria; tatu, mahakama huangalia kama kulikuwa na fasiri sahihi ya sheria kwa suala lililokuwa kwenye ubishani na nne, kama uamuzi husika haukutolewa kwa dhana ya kupendelea upande mmoja. Hii ndiyo misingi mikuu ya maombi ya mapitio. Hivyo, mtu au taasisi inapaswa ijikite katika kuonesha udhaifu katika maeneo hayo kwa hukumu anayoipinga. Hata hivyo, napenda ieleweke kuwa mtu au taasisi inapoomba mapitio mahakamani, siyo kigezo cha mtu huyo au taasisi hiyo kutotekeleza uamuzi anaoupinga. Kwa mujibu wa sheria mbalimbali za nchi, ili mkata rufaa au mwomba mapitio mahakamani asitekeleze hukumu anayoyoipinga, pamoja na kuomba mapitio au rufaa, anapaswa pia kuomba amri ya mahakama ya kumuwezesha kutotekeleza hukumu husika hadi pale shauri lake litakaposikilizwa na kutolewa uamuzi. Kinyume na utaratibu huo, taa- uk 9? Mwanasheria wa taasisi nunuzi anapaswa kuhakiki mikataba yote ya manunuzi yenye thamani ya shilingi bilioni moja au chini yake. Je Wajua?

Tuesday May 10, Procurement Journal Procurement Opportunities 3 This section provides summaries of open tender opportunities in Procuring Entities (PEs). More details of the tenders may be found on PPRA website www.ppra.go.tz. Prospective bidders are required to confirm the information provided hereunder or seek further details from respective PEs. GOODS Name of Procuring Entity: Office of the Parliament IE/06/2015-16/HQ/G/09 Tender Name: Supply Installation of Colored Digital Press Machine for the Office of the National Assembly Method of Procurement: ICB Office of the Parliament, P.O. Box 941, Dodoma Deadline: 1 st June, 14:00HRS Name of Procuring Entity: Dodoma Municipal Council LGA/020//CZN/G/012 Tender Name: Supply of Staff Uniforms for Central Zone Dodoma Municipal Council, P.O. Box 1249, Dodoma Deadline: 27 th May, 14:30HRS Name of Procuring Entity: PO-PSM ME/005/RCIP/2015/16/G/19 Tender Name: System Design, Development, Configuration, Supply, Installation and Commissioning of System Including Software and Hardware for E-Records Management and Preservation System at Directorate of Record and Archives in Source of Fund: IDA Price of Bid Document: TZS. 250,000 Eligible Firms: International Method of Procurement: ICB President Office Public Service Management, P.O. Box 2483, Dar es Salaam Deadline: 27 th May, 10:00HRS Name of Procuring Entity: VETA PA/024/2015//HQ/G/17 Tender Name: Supply, Installation and Commissioning of Aeromechanics Equipment and Tools For Kihonda RVTSC and Arusha VTC Price of Bid Document: TZS. 50,000 Vocational Education and Training Authority, P.O. Box 2849, Dar es Salaam Deadline: 13 th May, 14:00HRS Name of Procuring Entity: VETA PA/024/2015//HQ/G/14 Tender Name: Supply, Installation and Commissioning of Tools & Equipment for Carpentry and Joinery Workshop for Mbeya RVTSC Price of Bid Document: TZS. 50,000 Vocational Education and Training Authority, P.O. Box 2849, Dar es Salaam Deadline: 13th May, 14:00HRS Name of Procuring Entity: TIA PA/094/2012/2013/W/02 Tender Name: Lot 1: Supply of Office Students Furniture at DSM Campus Lot 2: Supply and Installation of Student Desks and Chairs at DSM and Mtwara Campus Price of Bid Document: TZS. 200,000 Tender Board, Institute of Accountancy - TIA, P.O. Box 9522, Dar Es Salaam Deadline: 19 th May, 14:00HRS Name of Procuring Entity: Babati Town Council LGA/058/2015-16/G/02 Tender Name: Supply of Compacting Waste Truck Babati Town Council, P.O. Box 383, Babati Deadline: 25 th May, 14:00HRS Name of Procuring Entity: Auwasa AUWASA/AFDB/G/01/2006 Tender Name: Supply of Lot 1: Hard Tops 9 Seaters, Hard top 12 Seaters, Double Cabin 4WD, Single Cabin 4WD Lot 2: Tipping Truck Lot 3: Motor Cycle Price of Bid Document: TZS. 200,000 Arusha Urban Water Supply and Sewerage Authority, P.O. Box 13600, Arusha Deadline: 17 th June, 10:00HRS Name of Procuring Entity: VETA PA/024/2015//HQ/G/24 Tender Name: Lot 1: Motor Vehicle Tools Lot 2: Motor Vehicle equipment Price of Bid Document: TZS. 50,000 Vocational Education and Training Authority, P.O. Box 2849, Dar es Salaam Deadline: 2 nd June, 14:00HRS Name of Procuring Entity: TTCL PA/032/16/HQ/SIP/002 Tender Name: Supplying, Installing, Testing and Commissioning of Equipment Identity Registry (EIR) Eligible Firms: International Method of Procurement: ICB TTCL, P.O. Box 9070, Dar es Salaam Deadline: 31 st May, 14:00HRS WORKS Name of Procuring Entity: BOT PA/082/2015-16/MWZ/W/82 Tender Name: Proposed Major Rehabilitation of electrical Wiring for the Branch Office Building at Nyerere Road, Plot 1and 2 Bank of, P.O. Box 9924, Mwanza Deadline: 23 rd May, 11:00HRS Name of Procuring Entity: Manyoni District Council LGA/117/2015-16/W/06 Tender Name: Construction of Relief Structure and Gravel Approach Roads 200M along Mwiboo - Makutupora-Dabia Road Price of Bid Document: TZS. 200,000 Manyoni District Council, P.O. Box 60, Manyoni Deadline: 19 th May, 10:00HRS Name of Procuring Entity: Tanroads-HQ AE/001/2015-16/HQ/C/15 Tender Name: Consultancy Services for Detailed Engineering Design, Preliminary Environmental and Social Impact Assessment, Economic Evaluation and Preparation of Tender Documents for the Widening of Mbagala Rangi Tatu Kongowe Road (3.8km) to Four Lane Dual Carriageway Including Mzinga Bridge Price of Bid Document: N/A Eligible Firms: International Method of Procurement: ICB National Roads Agency, P.O. Box 11364, Dar es Salaam Deadline: 18 th May, 10:00HRS Name of Procuring Entity: Rungwe District Council LGA/071/2015//RDC/MI VARF/W/20 Tender Name: Proposed Construction of Warehouse with Storage Facility at Kyimo in Rungwe Rungwe District Council, P.O. Box 148, Tukuyu Deadline: 1 st June, 11:30HRS Name of Procuring Entity: CDA AE/021/2015//W/03,02 Tender Name: Construction of Water Raising Main and 100M 3 Water Storage Tank. Tender 02: Rehabilitation of Kikuyu Flats in Dodoma Municipality - pg 4

4 Procurement Journal Tuesday May 10, Procurement Opportunities pg 3 Editorial Board Chairman Mr. Christopher Mwakibinga Vice Chairman Mr. Yoswam Nyongera Members Mrs. Bertha Soka Mr. Paul Bilabaye Mr. Hamisi Tika Mr. Bunare Daniel Secretary Mr. Nelson Kessy Editor Eng. Nestor Ilahuka Contacts Public Procurement Regulatory Authority (PPRA), PPF Tower, 8th Floor, PO Box 49, Dar es saalam. Tel: +255 22 2121236; Fax: +255 22 2121238; email: ceo@ppra.go.tz; Website: www.ppra.go.tz The Editorial Board of TPJ wishes to invite from the general public, procurement related news and articles for publication in the Journal. The invited articles could be either in English or Kiswahili. Please submit the article through the following e- mail address: ebtechnical@ppra.go.tz The Editorial Board reserves the right to approve articles for publication in TPJ. Let s join hands to create a corruption free public procurement regime - Together it can be done. Phase 1 Capital Development Authority, P.O. Box 913, Dodoma Deadline: 25 th May, 10:00HRS Name of Procuring Entity: Kasulu District Council LGA/040/2015//W/10 Tender Name: Construction of Various Roads in Kasulu District Kasulu District Council, P.O.Box 97, Kasulu Deadline: 25 th May, 10:00HRS Name of Procuring Entity: Tanroads-Manyara AE/001/2015-16/MNR/W/27 Tender Name: Rehabilitation works along Magara Escarpment (Concrete Pavement) - Phase II Price of Bid Document: TZS. 150,000 National Roads Agency, P.O. Box 24, Babati Deadline: 24 th May, 10:00HRS Name of Procuring Entity: Babati Town Council LGA/058/2015-16/W/07 Tender Name: Extension of Mrara Maternity Ward Phase I in Babati Town Council Babati Town Council, P.O. Box 383, Babati Deadline: 25 th May, 14:00HRS Name of Procuring Entity: Babati Town Council LGA/058/2015-16/W/05-06 Tender Name: Periodic Maintenance and Bridge Major Repair/Culverts Works Babati Town Council, P.O. Box 383, Babati Deadline: 25 th May, 14:00HRS Name of Procuring Entity: NBS AE/052/2015- /TSMP/W/01 Tender Name: Consultancy Services for Website Portal with Online Database Development and Training on Content Generation and Upgrading Web Portal and Online Database Source of Fund: World Bank Price of Bid Document: N/A Eligible Firms: International Method of Procurement: ICS The National Bureau of Statistics, P.O Box 796, 11992, Dar es Salaam Deadline: 6 th June, 11:00HRS Name of Procuring Entity: Lake Victoria Environmental Management Project ME/011/2015-16/W/11 Tender Name: Proposed Contractor for Construction of Public Sanitation to Urban Centers and Fish Landing Sites in Mwanza, Mara and Kagera Lake Victoria Environmental Management Project, 426 Morogoro Rd 14473, Dar es Salaam Deadline: 26 th May, 11:00HRS Name of Procuring Entity: Lake Victoria Environmental Management Project ME/011/2015-16/W/12 Tender Name: Proposed Contractor for Construction of House Connections (Lateral Connections) to Central Sewerage System in Mwanza City Contact Address: TB Secretary,Lake Victoria Environmental Management Project, 426 Morogoro Rd 14473, Dar es Salaam Deadline: 26 th May, 11:00HRS Name of Procuring Entity: Kiteto District Council LGA/060/2015-16/W/09 Tender Name: Construction of kiteto Administration Blocks (Substructure, Frame Works, Walling, Roofing, Finishing, Building Services and External Works) Kiteto District Council, P.O. Box 98, Kiteto Deadline: 27 th May, 11:00HRS Name of Procuring Entity: Morogoro Municipal Council LGA/079/2015-16/HQ/W/01, 02, 08 Tender Name: Routine Maintenance of Various Roads, Upgrading Roads and Construction of Storm Water Drains Morogoro Municipal Council, P.O. Box 166, Morogoro Deadline: 17 th May, 10:00HRS CONSULTANCY Name of Procuring Entity: MSD IE/009/2015-16/HQ/NC/19 Tender Name: Provision of Casual Laobur and Casual Labour Supervisor MSD, P.O. Box 9081, Dar es Salaam Deadline: 27 th May, 10:00HRS NON-CONSULTANCY Name of Procuring Entity: MSD IE/009/2015-16/HQ/NC/19 Tender Name: Provision of Casual Laobur and Casual Labour Supervisor MSD, P.O. Box 9081, Dar es Salaam Deadline: 27 th May, 10:00HRS

Tuesday May 10, Procurement Journal Public Notices 5 PUBLIC NOTICE DISSEMINATION OF PUBLIC PROCUREMENT ACT AND REGULATIONS INTRODUCTION The Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) is an autonomous body established under Section 7 of the Public Procurement Act No. 7 of 2011 (PPA 2011). One of the objectives of PPRA as outlined under Section 8 (d) of PPA 2011 is to build public procurement capacity in the United Republic of. PPRA is now organizing a dissemination program on the public procurement law and its regulations to procuring entities and other stakeholders. PUBLIC NOTICE INVITATION TO WORKSHOPS ON PROCUREMENT MANAGEMENT INFORMATION SYSTEM (PMIS) The Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) extends a general invitation to all procuring entities to sponsor their officers to participate in a four-day workshop on Procurement Management Information System (PMIS) to be held in Dodoma in several batches from 2 nd May to 2 nd June, as indicated below:- OBJECTIVE The objective of the program is to impart knowledge and skills on participants in order to assist them in their day to day management of public procurement functions at their work places. SCHEDULE The program has been scheduled as follow: Centre Dates Number of Participants VETA Mwanza 09 13 May, 60 VETA Mbeya 09 13 May, 60 Batch 1 2 3 4 Dates 3 rd to 6 th May, 9 th to 12 th May, 16 th to 19 th May, 23 rd to 26 th May, Maximum No. of Places Deadline for booking 80 Closed 80 Closed 80 80 10 th May, 17 th May, Venue Mount Meru Hall, Treasury Square - Dodoma VETA Morogoro 16 20 May, 60 VETA Mtwara 16 20 May, 60 5 30 th May to 2 nd June, 80 23 rd May, REGISTRATION OF PARTICIPANTS Procuring entities that intend to send their staff are advised to submit their requests indicating name(s) of staff, position in the organisation, his/her role in procurement, his/her mobile number and e-mail address. As there is limited number of participants at each centre, names of those who will be selected will be published on our website, www.ppra.go.tz PARTICIPATION FEE There will be NO PARTICIPATION FEE for this program. Participants will only bear their subsistence allowances and transport costs to their preferred centres. DEADLINE FOR REGISTRATION The deadline for registration is 29 th April,. [Closed] For more information, please contact: Chief Executive Officer, Public Procurement Regulatory Authority, P.O. Box 49, Dar-es Salaam, TANZANIA Tel: +255 22 2133466, 2121236/7 Fax: +255 22 2121238 E-mail: ceo@ppra.go.tz The Workshops are designed for officers working in Procurement Management Units of procuring entities to enable them acquire the necessary skills to use the improved PMIS for submitting Annual Procurement Plans (APPs) and other reports online. There will be no participation fee, but participants will meet their own travel and subsistence costs towards their participation in the workshops in Dodoma. Booking should be made by completing a form available on PPRA website, www.ppra.go.tz and the same sent to PPRA through email address pmis@ppra.go.tz as per the deadline indicated above. Procuring entities are reminded that regulatory measures will be taken against those that will not fully use the system to submit required information to PPRA as per the public procurement law. Issued by:- Dr. Laurent Shirima CHIEF EXECUTIVE OFFICER

6 Procurement Journal Tuesday May 10, 1.0 Utangulizi 1.1 Bajeti iliyoidhinishwa na thamani ya manunuzi Bajeti iliyoidhinishwa kwa mwaka wa fedha 2014/2015 ni shilingi bilioni 271.60. Hata hivyo, fedha iliyopokewa ni shilingi bilioni 165.82, sawa na asilimia 61.05 ya bajeti. Manunuzi yaliyofanywa yalikuwa ya thamani ya shilingi bilioni 77.89, sawa na asilimia 47 ya fedha zilizopokewa. Jumla ya mikataba ya manunuzi ilikuwa 46. REA pia ilifanya manunuzi madogomadogo 129 ya vifaa yenye thamani ya shilingi milioni 654.6. Aina, idadi na thamani kwa mikataba ni kama ifuatavyo: Mikataba miwili ya ujenzi yenye thamani ya shilingi bilioni 5.50; Mikataba 22 ya vifaa yenye thamani ya shilingi bilioni 70.1; Mikataba 20 ya huduma za ushauri wa kitaalam yenye thamani ya shilingi bilioni 1.52; Mikataba miwili ya huduma zisizo za kitaalam yenye thamani ya shilingi milioni 78.3. 1.2 Ukaguzi uliofanyika Jumla ya mikataba iliyokaguliwa ni 22 yenye thamani ya shilingi bilioni 34.72, sawa na asilimia 44.6 ya thamani ya manunuzi yote yaliyofanywa katika Mwaka wa Fedha 2014/15. Mikataba hiyo ni kama ifuatavyo: Mikataba mitatu ya ujenzi yenye thamani ya shilingi bilioni 5.90; Mikataba 14 ya vifaa/bidhaa yenye thamani ya shilingi bilioni 32.98; Mikataba minne ya huduma za ushauri wa kitaalamu yenye thamani ya shilingi bilioni 1.47. Mkataba mmoja wa huduma zisizo za kitaalamu wenye thamani ya shilingi milioni 25.5. 2.0 Matokeo ya Ukaguzi Matokeo ya jumla kuhusu Ukidhi wa Sheria 1.0 Utangulizi 1.1 Bajeti iliyoidhinishwa na thamani ya manunuzi Bajeti iliyoidhinishwa kwa mwaka wa fedha 2014/2015 ni shilingi bilioni 21.86. Hata hivyo, fedha iliyopokewa au kukusanywa ni shilingi bilioni 7.15, sawa na asilimia 32.70 ya bajeti. Ripoti za kaguzi za manunuzi REA kwa mwaka wa fedha 2014/15 Vigezo saba vifuatavyo vilitumika katika kufanya ukaguzi wa ukidhi: Muundo wa taasisi na uwajibikaji; Uandaaji na utekelezaji wa mpango wa manunuzi; Mchakato mzima wa manunuzi; Uandaaji na Utekelezaji wa mikataba ya manunuzi; Uwekaji wa kumbukumbu za manunuzi; Uandaaji na uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa manunuzi kwa kutumia mfumo wa kieletroniki ujulikanao kama PMIS; na Adhabu kwa kutoshughulikia malalamiko ipasavyo. Matokeo ya ukaguzi yanaonesha kwamba halmashauri ilipata wastani wa asilimia 68 ambayo ni chini ya kiwango kilichowekwa cha asilimia 75. 2.1.1 Maeneo yenye upungufu Maeneo ambayo taasisi ilifanya vibaya zaidi ni uandaaji na usimamizi wa mikataba, utunzaji wa kumbukumbu za manunuzi; na matumizi ya mifumo ya taarifa za manunuzi inayosimamiwa na PPRA kama ifuatavyo: a) Uandaaji na usimamizi wa mikataba Upungufu: Kutokuwepo kwa usimamizi wa miradi, kuchelewesha malipo, kuchelewa kuidhinisha masuala mbalimbali kwa mujibu wa vigezo na masharti ya mikataba husika. Athari: Miradi kutekelezwa chini ya viwango; kuchelewa kukamilika kwa miradi; wazabuni kudai fidia na hivyo kuongeza gharama za utekelezaji wa miradi na hatimaye kuondoa uwezekano wa kupata thamani bora ya fedha zilizotumika kwenye manunuzi husika. Mapendekezo: Taasisi izingatie ipasavyo makubaliano ya mikataba na matakwa ya sheria ya manunuzi; pia isipokee bidhaa au miradi isiyo na ubora kutoka kwa wazabuni na isimamie miradi kwa ukamilifu. Manunuzi yaliyofanywa yalikuwa ya thamani ya shilingi bilioni 1.78, sawa na asilimia 24.9 ya fedha zilizopokewa. Jumla ya mikataba ya ujenzi ilikuwa 13 yenye thamani ya shilingi bilioni 1.14. Halmashauri ya Chemba pia ilifanya manunuzi madogomadogo kama ifuatavyo: Manunuzi 214 ya vifaa yenye thamani ya shilingi milioni 602.4; Manunuzi 15 ya huduma zisizo za b) Utunzaji wa kumbukumbu za manunuzi Upungufu: Kukosekana kwa kumbukumbu za manunuzi; na kutokuwepo kwa eneo la kutosha la kuhifadhia vifaa vilivyonunuliwa. Athari: Ugumu wa upatikanaji wa kumbukumbu za manunuzi pale zinapohitajika; kupotea kwa vifaa na bidhaa zilizonunuliwa. Mapendekezo: Kutenga eneo la kutosha kwa ajili ya ofisi ya kitengo cha usimamizi wa manunuzi pamoja na vifaa vya kihifadhia kumbukumbu za manunuzi. c) Matumizi ya mifumo ya taarifa za manunuzi inayosimamiwa na PPRA Mapungufu: Kutotumika ipasavyo kwa mifumo hiyo na kushindwa kutimiza matakwa ya sheria inayozitaka taasisi nunuzi kuwasilisha PPRA taarifa za manunuzi mbalimbali kwa njia ya mtandao. Athari: Kuikwaza PPRA katika kutekeleza jukumu lake la ufuatiliaji na udhibiti wa manunuzi ya umma. Mapendekezo: Taasisi ihakikishe inatumia mifumo iliyowekwa na PPRA na kuwasilisha taarifa zote kwa wakati ili kuiwezesha PPRA kufuatilia utekelezaji wa sheria ya manunuzi. 2.2 Matokeo ya ukaguzi wa miradi ili kupima thamani bora ya fedha 2.2.1 Matokeo ya ujumla Ukaguzi ulijikita kwenye maeneo yafuatayo: Uandaaji, usanifu na utunzaji wa nyaraka za zabuni, mchakato wa zabuni, usimamizi wa mikataba ya ujenzi, ubora na kiasi cha kazi zilizotekelezwa, na taratibu za kurasimisha uhitimishaji wa mkataba wa ujenzi. REA ilipata wastani wa asilimia 64 katika kigezo cha thamani ya fedha, kiwango ambacho hakiridhishi. 2.2.2 Maeneo yenye upungufu a) Utekelezaji wa miradi Upungufu: Usimamizi dhaifu wakati wa utekelezaji wa miradi. kitaalamu yenye thamani ya shilingi milioni 19.74; Mikataba sita ya vifaa na huduma mtambuka yenye thamani ya shilingi milioni 19.5; 1.2 Ukaguzi uliofanyika Jumla ya mikataba 12 ilikaguliwa yenye thamani ya shilingi bilioni 1.51 sawa na asilimia 99.1 ya thamani ya Athari: Kupokewa kwa kazi zisizo na ubora na kusababisha kukosekana kwa thamani halisi ya fedha kwa miradi iliyotekelezwa. Mapendekezo: Taasisi isimamie kikamilifu utekelezaji wa miradi. b) Ubora na kiasi cha kazi zilizotekelezwa Upungufu: Kutotumia vifaa vyenye ubora ulioainishwa kwenye mkataba Athari: Upotevu wa fedha za umma na wananchi kutopata huduma iliyotarajiwa na pia kusababisha malalamiko yasiyo na msingi dhidi ya serikali. Mapendekezo: Taasisi isimamie kikamilifu utekelezaji wa miradi kwa kuzingatia masharti ya mikataba; kuamuru wakandarasi kufanya ukarabati kwenye miradi yote ambayo hauikutekelezwa kwa ubora na kwa mujibu wa mikataba kwa gharama zao. c) Usanifu wa miradi Upungufu: Udhaifu kwenye usanifu wa miradi. Athari: Ongezeko la wigo wa kazi hivyo kusababisha gharama za mradi kuongezeka. Mapendekezo: Taasisi inapaswa kusanifu miradi yake ipasavyo na kuzingatia mipango kazi yake. 4.0 Hitimisho Ni muhimu kwa taasisi nunuzi kuzingatia sheria na taratibu za manunuzi ya umma ili kuwezesha upatikanaji wa thamani bora ya fedha kwenye manunuzi. REA inapaswa pia kutumia kwa usahihi na kwa wakati huduma zinazotolewa na PPRA. Huduma hizo ni pamoja na mifumo na nyenzo zilizoandaliwa kwa ajili ya kusimamia na kudhibiti manunuzi. Aidha, REA inapaswa kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya miradi pamoja na kujengewa uwezo. Halmashauri ya Wilaya ya Chemba kwa mwaka wa fedha 2014/15 manunuzi yote yaliyofanywa. Mikataba hiyo ni kama ifuatavyo: Mikataba 11 ya ujenzi; Mkataba mmoja wa huduma zisizo za kitaalamu. 2.0 Matokeo ya Ukaguzi uk 7

Tuesday May 10, Procurement Journal Ripoti za kaguzi za manunuzi 7 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba kwa mwaka wa fedha 2014/15 uk 6 Matokeo ya jumla kuhusu Ukidhi wa Sheria Vigezo saba vifuatavyo vilitumika katika kufanya ukaguzi wa ukidhi: Muundo wa taasisi na uwajibikaji; Uandaaji na utekelezaji wa mpango wa manunuzi; Mchakato mzima wa manunuzi; Uandaaji na Utekelezaji wa mikataba ya manunuzi; Uwekaji wa kumbukumbu za manunuzi; Uandaaji na uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa manunuzi kwa kutumia mfumo wa kieletroniki ujulikanao kama PMIS; na Adhabu kwa kutoshughulikia malalamiko ipasavyo. Matokeo ya ukaguzi yanaonesha kwamba halmashauri ilipata wastani wa asilimia 51.5 ambayo ni chini ya kiwango kilichowekwa cha asilimia 75. 2.1.1 Maeneo yenye upungufu Maeneo ambayo halmashauri ilifanya vibaya zaidi ni kwenye uandaaji na usimamizi wa mikataba, uandaaji na utekelezaji wa mpango wa manunuzi, utunzaji wa kumbukumbu za manunuzi; na matumizi ya mifumo ya taarifa za manunuzi inayosimamiwa na PPRA kama ifuatavyo: a) Matumizi ya mifumo ya taarifa za manunuzi inayosimamiwa na PPRA Upungufu: Halmashauri haikuandaa 1.0 Utangulizi 1.1 Bajeti iliyoidhinishwa na thamani ya manunuzi Bajeti iliyoidhinishwa kwa mwaka wa fedha 2014/2015 ni shilingi bilioni 23.73. Hata hivyo, fedha iliyopokewa ni shilingi bilioni 5.56, sawa na asilimia 23 ya bajeti. Manunuzi yaliyofanywa yalikuwa ya thamani ya shilingi bilioni 1.36, sawa na asilimia 24.49 ya fedha zilizopokewa. Jumla ya mikataba ya manunuzi ilikuwa 309, kama ifuatavyo: Mikataba saba ya ujenzi yenye thamani ya shilingi milioni 686.55; Mikataba 284 ya vifaa na huduma mtambuka yenye thamani ya na kuwasilisha taarifa za utekelezaji wa manunuzi kwa kutumia mifumo ya taarifa za manunuzi inayosimamiwa na PPRA. Athari: Kushindwa kukidhi mahitaji ya sheria ya manunuzi, na pia kuikwamisha PPRA katika kufuatilia na kusimamia utendaji wa taasisi za umma kwenye manunuzi. Mapendekezo: Halmashauri iandae na iwasilishe taarifa za utekelezaji wa manunuzi kwa kutumia mifumo ya taarifa za manunuzi inayosimamiwa na PPRA. b) Utunzaji wa kumbukumbu za manunuzi Upungufu: Udhaifu katika utunzaji wa nyaraka za zabuni na ufinyu wa nafasi ya kuhifadhia kumbukumbu za manunuzi. Athari: Kukosekana uwazi kuhusu michakato ya manunuzi na kupungua kwa ufanisi katika ufuatiliaji na usimamizi manunuzi. Mapendekezo: Halmashauri iweke kumbukumbu kamili za manunuzi katika jalada moja kwa kila zabuni, na pia ikipatie kitengo cha usimamizi wa manunuzi nafasi ya kutosha kuhifadhia kumbukumbu za manunuzi. c) Usimamizi wa mikataba Upungufu: Bodi ya zabuni kutoidhinisha mikataba ya manunuzi. Kuchelewa na kuongezwa kwa muda wa utekelezaji wa mikataba bila kufuata taratibu. Athari: Ukiukwaji wa sheria ambao huchangia upotevu wa fedha za umma. Kuongezeka kwa gharama za miradi na pia kuwanyima wananchi haki ya kunufaika na matokeo ya miradi au huduma husika. shilingi milioni 321.70; Mikataba 18 ya huduma zisizo za kitaalamu yenye thamani ya shilingi milioni 36.09. 1.2 Ukaguzi uliofanyika Jumla ya mikataba 186 ilikaguliwa yenye thamani ya shilingi bilioni 1.17 sawa na asilimia 86.08 ya thamani ya manunuzi yote yaliyofanywa. Mikataba hiyo ni kama ifuatavyo: (a) Mikataba saba ya ujenzi yenye thamani ya shilingi milioni 686.56; (b) Mikataba 161 ya vifaa na huduma mtambuka yenye thamani ya shilingi milioni 448.38; na Mapendekezo: Halmashauri ihakikishe mikataba yote inaidhinishwa na bodi ya zabuni kabla ya kusainiwa; na ihakikishe mikataba inaanza na kukamilika kwa wakati. d) Uandaaji na utekelezaji wa Mpango wa Manunuzi Upungufu: Kutowasilisha tangazo la jumla la mpango wa manunuzi wa mwaka PPRA kwa ajili ya kuchapishwa kwenye jarida na kwenye tovuti ya PPRA. Athari: Kupunguza wigo wa ushindani, uwazi na haki kwa wazabuni kushiriki zabuni za umma. Mapendekezo: Halmashauri iwasilishe PPRA tangazo la jumla la mpango wa manunuzi wa mwaka. 2.2 Matokeo ya ukaguzi wa miradi ili kupima thamani ya fedha 2.2.1 Matokeo ya ujumla Ukaguzi ulijikita kwenye maeneo yafuatayo: uandaaji, usanifu na utunzaji wa nyaraka za zabuni, mchakato wa zabuni, wakati wa ujenzi, ubora na kiasi cha kazi zilizotekelezwa, na taratibu za uhitimishaji wa mikataba ya ujenzi. Chemba ilipata wastani wa asilimia 52 katika kigezo cha thamani ya fedha, kiwango ambacho hakiridhishi kutokana na upungufu ufuatao; 2.2.2 Maeneo yenye upungufu a) Utekelezaji wa miradi Upungufu: Uhaba wa watumishi wenye sifa za kusimamia miradi. Athari: Miradi kutekelezwa chini ya viwango (c) Mikataba 18 ya huduma zisizo za kitaalam yenye thamani ya shilingi milioni 36.09. 2.0 Matokeo ya Ukaguzi 2.1 Matokeo ya jumla kuhusu Ukidhi wa Sheria Vigezo saba vifuatavyo vilitumika katika kufanya ukaguzi wa ukidhi: Muundo wa taasisi na uwajibikaji; Uandaaji na utekelezaji wa mpango wa manunuzi; Mchakato mzima wa manunuzi; Uandaaji na Utekelezaji wa mikataba ya manunuzi; Uwekaji wa kumbukumbu za manunuzi; Uandaaji na uwasilishaji wa taarifa Mapendekezo: Halmashauri iteue watu wenye sifa za kusimamia miradi na kama haina watu hao itumie watumishi kutoka nje ya halmashauri. b) Ubora na kiasi cha kazi zilizotekelezwa Upungufu: Barabara kujengwa chini ya viwango vilivyoainishwa kwenye mikataba. Athari: Hasara kwa halmashauri na hivyo kupata thamani hafifu ya fedha zilizotumika. Mapendekezo: Halmashauri ihakikishe inazingatia viwango na vigezo vilivyoainishwa kwenye mikataba katika kutekeleza miradi ya barabara. 3.0 Viashiria vya rushwa Halmashauri ya Chemba ilipata asilimia 20.5 ya viashiria vya rushwa, kiwango kinachoonesha uwezekano wa kuwepo kwa vitendo vya rushwa. Viwango vinavyozidi asilimia 20 huwasilishwa Takukuru kwa uchunguzi zaidi na hatua za kisheria. 4.0 Hitimisho Ni muhimu kwa taasisi nunuzi kuzingatia sheria na taratibu za manunuzi ya umma ili kuwezesha upatikanaji wa thamani bora ya fedha kwenye manunuzi. Halmashauri zote zinapaswa pia kutumia kwa usahihi na kwa wakati huduma zinazotolewa na PPRA. Huduma hizo muhimu ambazo ni pamoja na mifumo na nyenzo zilizoandaliwa kwa ajili ya kusimamia na kudhibiti manunuzi. Aidha, halmashauri inapaswa kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya miradi pamoja na kujengewa uwezo. Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo kwa mwaka wa fedha 2014/15 za utekelezaji wa manunuzi kwa kutumia mfumo wa kieletroniki ujulikanao kama PMIS; na Adhabu kwa kutoshughulikia malalamiko ipasavyo. Matokeo ya ukaguzi yanaonesha kwamba halmashauri ilipata wastani wa asilimia 56.33 ambayo ni chini ya kiwango kilichowekwa cha asilimia 75. 2.1.1 Maeneo yenye upungufu Maeneo ambayo halmashauri ilifanya vibaya zaidi ni kwenye usahihi na utendaji katika muundo wa taasisi, uandaaji na utekelezaji wa mpango wa manunuzi, uandaaji na utekelezaji wa mikataba, uwekaji wa kumbukumbu za manunuzi; na uandaaji uk 8

8 Procurement Journal Tuesday May 10, Ripoti za kaguzi za manunuzi Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo kwa mwaka wa fedha 2014/15 uk 7 na uwasilishaji wa taarifa kwa kutumia mifumo inayosimamiwa na PPRA kama ifuatavyo: a) Usahihi na utendaji katika muundo wa taasisi Upungufu: Uelewa mdogo wa sheria ya manunuzi. Athari: Kuisababishia hasara halmashauri. Mapendekezo: Halmashauri ipate mafunzo yanayotolewa na PPRA kuhusu sheria ya manunuzi. b) Uandaaji na utekelezaji wa mpango wa manunuzi Upungufu: Kutotumia mwongozo wa PPRA wa uandaaji wa mpango wa manunuzi; kutowasilisha PPRA tangazo la jumla la manunuzi kwa ajili ya kuchapishwa kwenye tovuti ya PPRA pamoja na jarida la manunuzi. Athari: Kuwa na mpango wa manunuzi usiokidhi matakwa ya sheria na manunuzi yasiyokuwa na mpangilio; kupunguza wigo wa ushiriki wa wazabuni. Mapendekezo: Halmashauri itumie miongozo ya PPRA katika utendaji wake. c) Uandaaji na usimamizi wa mikataba ya manunuzi Upungufu: Udhaifu katika usimamizi wa mikataba; kuchelewa kuanza kwa miradi na kufanya malipo kwa kazi ambazo hazikufanyika. Athari: Kukwamisha tathmini na utekelezaji wa miradi; miradi kuchelewa kukamilika; thamani hafifu ya fedha; na miradi kutekelezwa chini ya viwango. Mapendekezo: Halmashauri iandae na isimamie mikataba kwa ukamilifu. d) Utunzaji wa nyaraka za zabuni Upungufu: Kukosekana kwa taarifa kamili za manunuzi kwenye majalada; na uhaba wa nafasi ya kuhifadhia kumbukumbu za manunuzi. Athari: Kushindwa kukidhi sheria ya manunuzi; kukwamisha upatikanaji wa taarifa zilizokamilika; na kupunguza uwazi kwenye manunuzi. Mapendekezo: Halmashauri itoe nafasi ya kutosha kuhifadhia nyaraka; itunze taarifa kamili ya kila mchakato wa zabuni inayoufanya. e) Utumiaji wa mifumo inayosimamiwa na PPRA Upungufu: Kutowasilisha taarifa za manunuzi kwa kutumia mifumo inayosimamiwa na PPRA. Athari: Kuikwaza PPRA kutekeleza jukumu lake la kufuatilia na kusimamia utendaji wa halmashauri kwenye manunuzi. Mapendekezo: Halmashauri iwasilishe taarifa za manunuzi kwa kutumia mifumo inayosimamiwa na PPRA. 2.2 Matokeo ya ukaguzi wa miradi ili kupima thamani bora ya fedha 2.2.1 Matokeo ya ujumla Ukaguzi ulijikita kwenye maeneo yafuatayo: uandaaji, usanifu na utunzaji wa nyaraka za zabuni, mchakato wa zabuni, wakati wa ujenzi, ubora na kiasi cha kazi zilizotekelezwa, na taratibu za uhitimishaji wa mikataba ya ujenzi. Halmashauri ilipata wastani usioridhisha wa asilimia 46 katika kigezo cha thamani ya fedha. Upungufu huu ulitokana na mambo yafuatayo: 2.2.2 Maeneo yenye upungufu a) Uendeshaji michakato ya zabuni Upungufu: Kutozingatia vigezo wakati wa tathmini za zabuni; Kutounda timu za majadiliano kwa mujibu wa sheria. Athari: Kutoa mikataba kwa wazabuni wasiostahili; ukiukwaji wa sheria. Mapendekezo: Halmashauri ifanye tathmini kwa kuzingatia vigezo; pia iunde timu za majadiliano kwa mujibu wa sheria. b) Utekelezaji wa miradi Upungufu: Udhaifu katika usimamizi wa miradi; kukosekana kwa taarifa za utekelezaji na ukamilishaji wa miradi; kuongeza muda wa mkataba bila sababu za msingi. Athari: Kupokea miradi na huduma zilizo chini ya viwango na upotevu wa fedha. Mapendekezo: Halmashauri isimamie miradi na kuandaa taarifa za utekelezaji wa miradi kikamilifu; na pia izingatie sheria katika kuongeza muda wa mikataba. c) Hatua ya ukamilishaji na ufungaji wa miradi Upungufu: Kukosekana kwa uhalisia kati ya mchanganuo wa kazi na malipo yaliyofanywa; na pia kutokuwapo kwa ripoti za ukamilishaji wa miradi. Athari: Upotevu wa fedha na wananchi kutopata huduma iliyotarajiwa. Mapendekezo: Halmashauri ifanye malipo kulingana na kazi zilizofanyika; na pia iandae ripoti ya uhitimishaji wa mikataba. 3.0 Viashiria vya rushwa Halmashauri ilipata asilimia 24.46 ya viashiria vya rushwa, kiwango kinachoonesha uwezekano wa kuwepo kwa vitendo vya rushwa. Kwa kuwa kiwango hiki kinazidi asilimia 20, ripoti hii iliwasilishwa Takukuru kwa uchunguzi zaidi na hatua za kisheria. 4.0 Hitimisho Ni muhimu kwa taasisi nunuzi kuzingatia sheria na taratibu za manunuzi ya umma ili kuwezesha upatikanaji wa thamani bora ya fedha kwenye manunuzi. Halmashauri inapaswa pia kutumia kwa usahihi na kwa wakati huduma zinazotolewa na PPRA. Huduma hizo muhimu ni pamoja na mifumo na nyenzo zilizoandaliwa kwa ajili ya kusimamia na kudhibiti manunuzi. Aidha, Halmashauri inapaswa kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya miradi pamoja na kujengewa uwezo. Halmashauri ya Wilaya ya Makete kwa mwaka wa fedha 2014/15 1.0 Utangulizi 1.1 Bajeti iliyoidhinishwa na thamani ya manunuzi Bajeti iliyoidhinishwa kwa mwaka wa fedha 2014/15 ni shilingi bilioni 19.27. Hata hivyo, fedha iliyopokewa au kukusanywa ni shilingi bilioni 12.58, sawa na asilimia 65 ya bajeti. Manunuzi yaliyofanywa yalikuwa ya thamani ya shilingi bilioni 4.02, sawa na asilimia 32.10 ya fedha zilizopokewa au kukusanywa. Aina ya manunuzi na thamani yake ni kama ifuatavyo: Manunuzi ya ujenzi yenye thamani ya shilingi bilioni 2.80; na manunuzi ya vifaa vyenye thamani ya shilingi bilioni 1.22. 1.2 Ukaguzi uliofanyika Jumla ya mikataba 20 yenye thamani ya shilingi bilioni 2.9, sawa na asilimia 76.92 ilikaguliwa. Mikataba hiyo ni ya manunuzi ya vifaa na ya kazi za ujenzi. 2.0 Matokeo ya Ukaguzi Matokeo ya jumla kuhusu Ukidhi wa Sheria Vigezo saba vifuatavyo vilitumika katika kufanya ukaguzi wa ukidhi: Muundo wa taasisi na uwajibikaji; Uandaaji na utekelezaji wa mpango wa manunuzi; Mchakato mzima wa manunuzi; Uandaaji na Utekelezaji wa mikataba ya manunuzi; Uwekaji wa kumbukumbu za manunuzi; Uandaaji na uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa manunuzi kwa kutumia mfumo inayosimamiwa na PPRA; na Adhabu kwa kutoshughulikia malalamiko ipasavyo. Matokeo ya ukaguzi yanaonesha kwamba halmashauri ilipata wastani wa asilimia 67 ambayo ni chini ya kiwango kilichowekwa cha asilimia 75. 2.1.1 Eneo ambalo taasisi imefanya vibaya a) Utunzaji wa kumbukumbu Upungufu: Kukosekana kwa nyaraka muhimu kwenye ripoti za tathmini za zabuni. Athari: Kukosekana kwa mtiririko wa mchakato wa zabuni; maamuzi ya mamlaka husika kutozingatia mtiririko wa mchakato wa zabuni. Mapendekezo: Halmashauri izingatie taratibu za uandaaji wa taarifa za tathmini za zabuni. b) Uandaaji na uwasilishaji wa taarifa za manunuzi kwa kutumia mifumo inayosimamiwa na PPRA Upungufu: Kushindwa kutumia mifumo ya uwasilishaji wa taarifa za manunuzi inayosimamiwa na PPRA. Athari: Kuchelewa au kushindwa kuwasilisha taarifa za manunuzi kwa wakati. Mapendekezo: Halmashauri ipate mafunzo juu ya mifumo inayosimamiwa na PPRA; na pia iwasilishe uk 9

Tuesday May 10, Procurement Journal Ripoti za kaguzi za manunuzi 9 Halmashauri ya Wilaya ya Makete kwa mwaka wa fedha 2014/15 uk 8 taarifa za manunuzi kwa kutumia mifumo hiyo. 3.0 Hitimisho 1.0 Utangulizi 1.1 Bajeti iliyoidhinishwa na thamani ya manunuzi Bajeti iliyoidhinishwa kwa mwaka wa fedha 2014/15 ni shilingi bilioni 50.33. Hata hivyo, fedha iliyopokewa/kukusanywa ni shilingi bilioni 44.53, sawa na asilimia 88.4 ya bajeti. Manunuzi yaliyofanywa yalikuwa ya thamani ya shilingi bilioni 2.72, sawa na asilimia 6.13 ya fedha zilizopokewa au kukusanywa. Mchanganuo wake ni kama ifuatavyo: Manunuzi ya vifaa yalitumia kiasi cha shilingi bilioni 1.22 sawa na asilimia 44.82; Kandarasi za ujenzi zenye thamani ya shilingi bilioni 1.10 sawa na asilimia 40.58; Huduma zisizohitaji ushauri wa kitaalamu zenye thamani ya shilingi milioni 398.20 sawa na asilimia 14.6. 1.2 Ukaguzi uliofanyika Manunuzi yaliyofanywa yalikuwa ya thamani ya shilingi bilioni 2.72, sawa na asilimia 24.48 ya fedha zilizopokewa. Jumla ya mikataba ya manunuzi ilikuwa 82 kama ifuatavyo: Mikataba 12 ya ujenzi, mikataba 54 ya vifaa; na mikataba 10 ya huduma zisizo za kitaalam yenye thamani ya shilingi bilioni 2.72 2.0 Matokeo ya Ukaguzi Matokeo ya jumla kuhusu ukidhi wa sheria Vigezo saba vifuatavyo vilitumika katika kufanya ukaguzi wa ukidhi: Muundo wa taasisi na uwajibikaji; Ni muhimu kwa taasisi nunuzi kuzingatia sheria na taratibu za manunuzi ya umma ili kuwezesha upatikanaji wa thamani bora ya fedha kwenye manunuzi. Halmashauri zote zinapaswa pia Uandaaji na utekelezaji wa mpango wa manunuzi; Mchakato mzima wa manunuzi; Uandaaji na Utekelezaji wa mikataba ya manunuzi; Uwekaji wa kumbukumbu za manunuzi; Uandaaji na uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa manunuzi kwa kutumia mifumo inayosimamiwa na PPRA; na Adhabu kwa kutoshughulikia malalamiko ipasavyo. Matokeo ya ukaguzi yanaonesha kwamba halmashauri ilipata wastani wa asilimia 65.17 ambayo ni chini ya kiwango kilichowekwa cha asilimia 75. 2.1.1 Maeneo yenye upungufu Maeneo ambayo halmashauri ilifanya vibaya zaidi ni utunzaji wa kumbukumbu za manunuzi na matumizi ya mifumo ya taarifa za manunuzi inayosimamiwa na PPRA kama ifu- atavyo:- a) Utunzaji wa kumbukumbu za manunuzi Upungufu: Kutokuwepo kwa baadhi ya kumbukumbu za manunuzi; mpangilio mbaya wa taarifa za manunuzi; kukosekana nafasi ya kutosha kuhifadhia kumbukumbu za manunuzi. Athari: Ufuatiliaji hafifu wa miradi na kupunguza uwazi na uwajibikaji. Mapendekezo: Halmashauri itunze kumbukumbu za manunuzi kikamilifu; na pia itenge nafasi ya kutosha kutumia kwa usahihi na kwa wakati huduma zinazotolewa na PPRA. Huduma hizo muhimu ambazo ni pamoja na mifumo na nyenzo zilizoandaliwa kwa ajili ya kusimamia na kudhibiti manunuzi. kuhifadhia kumbukumbu hizo. b) Matumizi ya mifumo ya taarifa za manunuzi inayosimamiwa na PPRA Upungufu: Kukosekana kwa mwongozo ambao huainisha pamoja na mambo mengine, hatua za mchakato wa manunuzi kuanzia hatua za kuanisha mahitaji, kutangaza zabuni, tathmini ya zabuni, kutolewa kwa tuzo hadi utekelezaji wa mkataba. Athari: Halmashauri kushindwa kusimamia manunuzi yake na kurekebisha dosari mbalimbali zilizojitokeza wakati wa mchakato; kuikwaza PPRA katika jukumu lake la kusimamia na kudhibiti manunuzi ya umma. Pendekezo: Halmashauri iandae mwongozo na taarifa zote za utekelezaji wa manunuzi na kuziwasilisha PPRA kwa kutumia mifumo husika. 2.1 Matokeo ya jumla kuhusu thamani ya fedha kwenye miradi ya ujenzi iliyokaguliwa 2.1.2 Matokeo ya jumla Ukaguzi ulijikita kwenye maeneo yafuatayo: uandaaji, usanifu na utunzaji wa nyaraka za zabuni, mchakato wa zabuni, usimamiaji wa mikataba ya ujenzi, ubora na kiasi cha kazi zilizotekelezwa, na taratibu za uhitimishaji wa mkataba wa ujenzi. Halmashauri ilipata wastani wa asilimia 74 katika kigezo cha thamani ya fedha, kiwango cha kuridhisha kiasi. Hata hivyo kulikuwa na dosari katika maeneo yafuatayo: 2.2.2 Maeneo yenye dosari a) Utekelezaji wa Miradi Aidha, halmashauri inapaswa kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya miradi pamoja na kujengewa uwezo. Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa mwaka wa fedha 2014/15 Upungufu: Kutokuwepo kwa ripoti inayoonesha kukamilika kwa mkataba; kushindwa kukokotoa gharama halisi za kazi zilizofanyika. Athari: Kufanya malipo kwa kazi ambazo hazikufanywa; kukosekana kwa gharama halisi za miradi. Mapendekezo: Halmashauri isimamie miradi kikamilifu; na pia idai fedha zilizolipwa kwa wakandarasi kwa kazi ambazo hazikufanyika. b) Ukamilishaji wa Miradi Upungufu: Usimamizi mbaya wa miradi. Athari: Taasisi kushindwa kupata thamani ya fedha kutokana na kushindwa kusimamia miradi; wananchi kutopata huduma iliyotarajiwa kwa wakati. Mapendekezo: Halmashauri isimamie kikamilifu utekelezaji wa miradi. 3.0 Hitimisho Ni muhimu kwa taasisi nunuzi kuzingatia sheria na taratibu za manunuzi ya umma ili kuwezesha upatikanaji wa thamani bora ya fedha kwenye manunuzi. Halmashauri inapaswa kutumia kwa usahihi na kwa wakati huduma zinazotolewa na PPRA. Huduma hizo muhimu ambazo ni pamoja na mifumo na nyenzo zilizoandaliwa kwa ajili ya kusimamia na kudhibiti manunuzi. Aidha, jiji linapaswa kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya miradi pamoja na kujengewa uwezo. Maombi ya mapitio mahakamani si ruhusa ya kutotekeleza uamuzi unaopingwa uk 2 sisi nunuzi au mzabuni anapaswa atii hukumu iliyotolewa kwa ukamilifu wake. Tukumbuke kwamba mwenye mamlaka ya kutengua hukumu ya awali ni mahakama na siyo muombaji. Nimeandika makala hii baada ya kuona kwenye ripoti ya ukaguzi ya manunuzi ya umma iliyotolewa na PPRA kwa mwaka wa fedha 2014/15 ambayo inaonesha kwamba taasisi nunuzi kadhaa hazikutekeleza uamuzi wa PPAA kwa maelezo kuwa wameomba maerejeo ya uamuzi husika mahakamani. PPRA, kwa muktadha huo, huishia kusubiri uamuzi wa marejeo ili hali utaratibu wa kisheria hausemi hivyo. Madhara ya kukubaliana na hoja hizo za tasisi nunuzi ni kwamba taasisi husika mara nyingi huendelea na michakato yao ya manunuzi kwa utaratibu wanaoutaka wao, ambao umeonekana kwenda kinyume na sheria ya manunuzi ya umma kwa kadri PPAA ilivyobaini. Miradi ya namna hii hutekelezwa na taasisi nunuzi hadi hatua za mwisho na hivyo kuufanya uamuzi wa PPAA kuwa wa kinadharia na usiotekelezeka. Mathalani, katika shauri la marejeo lililofunguliwa na Wakala wa Usajili wa Vizazi na Vifo (RITA) dhidi ya PPAA mwaka 2011, pamoja na kuamriwa na PPAA kurejea uk 10

10 Procurement Journal Tuesday May 10, Awarded Contracts Procuring Entity Tender/ Contract Number Description of Supplies/ Services/ Works Procurement Method Suppliers/ Contractors/ Service Providers TPA AE/016/CTB/2015-16/W 133 Relocation of shed no. 3 to copper yard and rehabilitation of the existing dome shed at dar es salaam port AE/016/CTB/2015-16/W 17B Reinstallation of shed no. 2 to fire area at Dar es salaam port. AE/016/2012-13/CTB/C/13 Improvement of Kigoma port additional services in respect of consultancy services for study and detailed engineering design for International Competitive Selection Boya building contractors ltd building works ltd Contract Amount Award Date (dd/mm/yyyy) 910,686,145.60 22/01/ 2,932,784,921.00 22/01/ Royal Haskoning 58,715.00 08/03/ AE/016/2012-13/CTB/C/09 Additional services in respecct of consultancy International Competitive Royal Haskoning 86,840.00 08/03/ services for detailed study and engineeering design for modernization of lake victoria ports of Mwanza, Musoma and Bukoba Selection DPS/35/15/ For supply of 7 portable projectors, 14 printers, 5 utp cables, 50 cd-rw 700mb and 50 dvd. Competitive Quotations Computer Connections 28,934,485.00 09/03/ DPS/74/15/16 For supply of various tonner cartridges Competitive Quotations Dubai Trading co. 28,933,600.00 01/04/ AE/016/2015-16/CTB/W/02 For heavy duty paying of unpaved area at exnasaco yard at dsm port. DPS/79/15/16/ For special procurement of laboratory reagents Skoi Building Contractors Co. Competitive Quotations Medical Stores Department 6,829,542,781.00 08/04/ 52,272,500.00 14/04/ Ubungo Plaza PA/114/HQ/2015/C/02 Provision of tax Consultancies TAC Associates 17,700,000.00 14/02/ PA/114/HQ/2015/W/04 Rehabilitation of fire fighting and alarm detection Installation East African fire Fighting 504,921,882.00 23/02/ PA/114/HQ/2015/G/02 Supply and installation of one lift at UPL Single Source Selection Derm Elevetors 210,266,577.18 24/03/ TBC PA/084/2015-/HQ/W/02 Lot 1 Supply and Installation of Acoustic 7 Sound Proof materials for TBC Lindi Zonal radio Studio Competitive Quotations Electronics & Broadcasting engineering services 33,348,720.00 20/04/ PA/084/2015-/HQ/G/02 Supply of MAC Pro Computer Competitive Quotations Elite Computers 37,950,520.00 20/04/ RITA AE/057/2015-/HQ/G/02 Supply of Office Furniture and Rerated Goods For RITA Tower, Lot I Office table and lot II- Boardroom chairs And tables Maridadi TimberWorks 338,107,993.90 20/04/ SSRA AE/00/2015-16/HQ/G/9 Supply of EPICOR Licenses and Customization Competitive Quotations Soft- tech Consultants 84,418,324.00 22/04/ Tanapa PA/037/2015/16/HQ/G/15 Supply of rangers uniforms and rengers field equipments Amiron Investment 925,668,700.00 05/04/ TCRA Support and maintenance of national Addressing and Postcode system (NAPS) Competitive Quotations Infowise System 66,501,000.00 19/04/ Nacte Service of Air conditioners Competitive Quotations Dar Essentials 15,268,000.00 13/11/2015 Rovision of Couria services Competitive Quotations Wela Courier Services 9,900,000.00 13/11/2015 Maombi ya mapitio mahakamani si ruhusa ya kutotekeleza uamuzi unaopingwa uk 9 mchakato wa manunuzi, RITA iliendelea na utekelezaji wa mkataba wa ujenzi wa jengo lake; na wakati likiwa katika hatua za mwisho wa ukamilishaji, RITA iliondoa maombi yake ya marejeo mahakamani huku ikikataa kutii uamuzi uliotolewa na PPAA. Kitendo cha kukataa kutii kinamaanisha kwamba wazabuni wasio na sifa au michakato isiyofuata taratibu inabarikiwa na maombi ya mapitio yaliyofanywa kwa lengo la kupoteza muda ili taasisi nunuzi ziendelee kubariki udhaifu wao. Kimsingi, muda mrefu unapopita pasipo taasisi nunuzi kusimamisha michakato wanayoiombea mapitio, mikataba huwa imepevuka na hivyo huwa siyo rahisi kwa serikali kukubali kuingia hasara kwa hatua iliyofikia miradi hiyo kwa kuivunja. Mbali na mfano huo, ipo mifano kadhaa ya taasisi za namna hii, ambazo imekamilisha mikataba yake ambayo michakato yake ilikiuka sheria na iliamriwa ama irudiwe au ifutwe na PPAA lakini maombi ya marejeo yametumika kubariki ukiukwaji wa sheria kwa kutekeleza miradi hiyo. Ni wakati muafaka sasa kwa PPRA kuhakikisha kuwa katika ukaguzi wake, kipengere cha kuona matokeo ya maombi ya marejeo ya uamuzi uliotajwa na taasisi nunuzi wakati wa ukaguzi mwingine yanaripotiwa ili kubaini matokeo yake ili iweze kuchukua hatua stahiki. Taasisi nunuzi inaposhindwa mahakamani kwa mchakato uliokamilika, maana yake ni kwamba taasisi hiyo imetekeleza mkataba kwa mchakato wenye upungufu. Hatua inayopendekezwa sasa kwa PPRA, itajenga nidhamu kwa taasisi nunuzi ili ziheshimu uamuzi halali wa PPAA na pia ili zisitumie mwanya wa mahakama kubariki ukiukwaji wa sheria. Taasisi na wazabuni wanapaswa kujua kuwa hakuna njia ya mkato katika kutekeleza wajibu wao ulioainishwa na sheria ya nchi pale wanapodai haki zao.