KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI

Size: px
Start display at page:

Download "KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI"

Transcription

1 Swahili TANGAZO LA MATARAJIO NA JUKUMU KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI Lengo letu ni kuwezesha mazingira ya jumuiya ya ushirikiano yanayowapatia wanafunzi wote kwa kila kiwango fursa ya kufikia malengo ya juu na kufuzu wakiwa tayari kutia fora kwa ulimwengu mzima kijumla.

2 HUU UKURASA UMEACHWA WAZI KWA MAKUSUDI.

3 YALIYOMO TANGAZO LA MATARAJIO & JUKUMU: KANUNI ZA MAADILI KWA WANAFUNZI (FCPS) 1.0 UTANGULIZI BARUA YA WAKURUGENZI FILOSOFIA YA KUDHIBITI TABIA MATARAJIO KUHUSU TABIA YA WANAFUNZI KIWANGO CHA KATA NZIMA KIWANGO CHA SHULE KIWANGO CHA CHINI YA SHULE MAELEZO KUHUSU KUDHIBITI TABIA JUKUMU ZA WASIMAMIZI JUKUMU ZA WAALIMU JUKUMU ZA WAZAZI MUHTASARI WA MATARAJIO (WAZAZI) MUHTASARI WA MATARAJIO (WANAFUNZI) RUFAA ZA NIDHAMU KWA OFISI YA WAKUU UKIUKAJI WA KANUNI ZA MAADILI KWA WANAFUNZI FAFANUZI NA MIFANO VIKIUKAJI VYA DARAJA YA I VIKIUKAJI VYA DARAJA YA II VIKIUKAJI VYA DARAJA YA III VIKIUKAJI VYA DARAJA YA IV ILANI NAAMIZI (VIKIUKAJI VYA KANUNI) VURUGU KWA BASI SHULE ZILIZOFUNGWA UPATIANAJI WA DAWA VIDUDE VYA BINAFSI KAMA SIMU KUCHELEWA, KUACHILIWA MAPEMA, NA KUTOHUDHURIA VIKIUKAJI VYA KANUNI KUHUSU TEKNOLOJIA SILAHA ZA UCHESHI NA VIDUDE VYA KUASHIRIA ZA LASER KUTOFIKA SHULENI HAPA NA PALE NA KITABIA ILANI NAAMIZI (UVUNJAJI WA SHERIA) UHALIFU VILEO, MADAWA YA KULEVYA NA AINA ZINGINE ZA VITU VINAVYOLEWESHA UNYANYASAJI USUMBUAJI/UBAGUZI HATIA DHIDI YA WAFANYIKAZI WA SHULE VITISHO VYA VURUGU, USHAMBULIZI NA VITISHO VYA UGAIDI SILAHA NA VIFAA VINGINE HATARI SULUHU ZA UBADILISHAJI WA TABIA FAFANUZI NA MIFANO MIITIKIO YA USAIDIZI (ISIYO RASMI; KWA SHULE) MIITIKIO YA USAIDIZI (RASMI; DARAJA LA KATA) ADHABU ZA KAWAIDA (ISIYO RASMI; DARAJA LA SHULE) ADHABU ZA KAWAIDA (RASMI; DARAJA LA SHULE) ADHABU ZA KAWAIDA (RASMI; DARAJA LA KATA NZIMA) ILANI NAAMIZI ADHABU KALI CHUMBA CHA I.S.S/CHUMBA CHA S.A.F.E MASHARTI YA KUSHIRIKI KWA SHUGHULI ZA KIMICHEZO UTENGUAJI WA LESENI YA KUENDESHA GARI CHATI ZA UDHIBITI WA TABIA TARATIBU ZA USIMAMIZI WA TABIA TARATIBU ZIFAAZO (HATUA ZISIZO RASMI) TARATIBU ZIFAAZO (SASPENSHENI) TARATIBU ZIFAAZO (KUFUKUZWA) ILANI NAAMIZI MIKUTANO YA WAZAZI SASPENSHENI/KUFUKUZWA KWA WANAFUNZI WALIO NA ULEMAVU HAKI YA KUWAKILISHWA MANUNG UNIKO NA RUFAA MANUNG UNIKO YA WANAFUNZI RUFAA ZA SASPENSHENI MAELEZO ZAIDI... 61

4 8.01 UANGALIZI WA MBINU YA ELEKTRONIKI USAJILI KUPITIA MSIMAMIZI/MZAZI ASYEISHI NA MTOTO KWA WANAOISHI NJE YA MIPAKA YA ENEO LA SHULE ZAO KUZUIWA NA KUTENGWA MICHEZO ILIYOKUBALISHWA NA ISIYOKUBALISHWA UCHUNGUAJI WA ENEO NA MTU BINAFSI MASHARTI YA KUMWONDOA MTOTO SHULENI MATANGAZO NA ILANI ZA MWAKA FERPA/KFERPA MAREKEBISHO KUHUSU ULINZI WA HAKI ZA WATOTO KUTOBAGUA ELIMU SPESHELI NA HAZINA YA WATOTO UTUMIZI WA FAIDA ZA UMMA AMA BIMA (MEDICAID) FOMU SARAKA YA FERPA NA MAAGIZO KUHUSU KUJIONDOA KUJIONDOA KUTOKA KWA MEDIA KUJIONDOA KWA MAMBO YA JESHI MAAGIZO KUHUSU KUWASILIANA NA SHULE/MFUMO... 77

5 1.0 KITANGULIO 1.01 BARUA KUTOKA MKURUGENZI Agosti 2017 Wapenzi Jamii na Wanafunzi: Katika Mashule ya Umma ya Kata ya Fayette, tunazichulia jamii zetu kama washiriki muhimu. Mnawafahamu watoto wenyu vizuri kushinda mtu mwingine yeyote na ningetaka kuchukua hii fursa kuwashukuru kwa juhudi zenu kuwasaidia watoto nyumbani ili wafanikiwe maishani. Kutoka wakati wa kuzaliwa, safari ya elimu ya mtoto huanza. Kila tukio wanalokabiliana nalo iwe nyumbani, michezoni na darasani hujumuika na matukio mengine kuchangia fanaka ya kimasomo na maisha. Mambo mazuri hufanyika wakati wazazi na shule wanaposhirikiana kwa niaba ya watoto wote. Tuna jukumu moja ya kuwapa wanafunzi fursa na usaidizi zinazohitajika kuwawezesha kuhitimu kutoka shule za upili wakiwa tayari kufanikiwa kwa viuo vikuuu na kazini baadaye. Fanaka ya kimasomo na kimaisha huenda sambamba. Kuhakikisha mazingara yaliyo salama na kuweka matarajio ya juu na yaliyo Dhahiri kwa kila mwanafunzi ni hatua muhimu za kwanza. Ni hasara kwa kila mhusika wakati tabia haribifu zinapoingilia kati hatua na kufundisha na kusoma. Tukizingatia kwa uangalifu mipangilio, mawasiliano, na kujitolea, tunaweza kufanya mabadiliko ambayo yataleta manufaa makuu kwa watoto wetu sasa na baadaye maishani yao. Sawa na vile waalimu wanavyoweka matarajio dhahiri darasani, Bodi ya Elimu imepitisha baadhi ya sera za kulinda tabia ya wanafunzi. Sababu ya Kanuni za Maadili ni kuwasilisha kwa njia moja Dhahiri na ya uwazi, sera zote kuhusu tabia ya wanafunzi wa wilaya yetu kwa manufaa ya wanafunzi, jamii na waalimu. Yaliyomo: Inaonyesha sharia na sera mwafaka kuhusiana na tabia ya wanafunzi; Inawasilisha matarajio ya juu tunayotarajio kutoka kwa wanafunzi wetu; Inaelezea hatua waajiriwa wanazofuata kuhakikisha tabia inayofaaa; na Inaelezea adhabu za kutozingatia hizi sera. Ninahimiza kila jamii kusoma kwa uangalifu na kujadili hizi kanuni za maadili. Wanafunzi wana mujibu wa kuelewa amri zote zilizomo kwa Kanuni, pamoja na, haki zake na masharti yanayokidhi tabia zao shuleni. Wakati wowote ukiwa na swali hukusu hatua za kinidhamu, tafadhali mpigie simu Mwalimu mkuu wa shule ya mtoto wakol. Tuna hamu ya kuhudumia jamii yako. Kwa dhati, Emmanuel Caulk Mkurugenzi 1

6 1.0 KITANGULIO-KUENDELEA BARUA KUTOKA KWA BODI-KUENDELEA. HUU UKURASA UMEACHWA WAZI KWA MAKUSUDI. 2

7 1.0 KITAMBULIO-KUENDELEA FILOSOFIA YA KUDHIBITI TABIA Usalama wa shule na fanaka kimasomo huendelezwa na huimarishwa wakati wanafunzi wanaposhiriki kikamilifu na kwa dhati kwa masomo, na wakati uhsiano baina yao na wafanyikazi shuleni, na wakati jamii na jumuiya youte inaposhiriki kuwasaidia wanafunzi kutimiza malengo yao. Kwa Mashule ya Umma ya Kata ya Fayette (FCPS) tumejitolea kutoa masomo ya hali ya juu kwa wanafunzi wote kwa kuhimiza utumizi wa mfumo wa Positive Behaviamaal Interventions na Suppamats (PBIS). Tunaamini kuwa ni muhimu kuunda mazingara ndani ya shule zetu ambapo matakwa kwa wanafunzi yanatimizwa, matarajio yanaeleweka, muelekeo unapatianwa, na usalama na uadilifu upo. PBIS ni kitengo cha tabia kutoka mfumo wa Multi-Tiered System of Suppamats (MTSS) ambao umeundwa wa minajili ya kufikia malemgo ya kiumma na kimasomo ya wanafunzi wote. Muundo wa mfumo wa MTSS hutumia mbinu ya kufunza ya hali ya juu inayotumia ushahidi wa matokeo. Pia, huu mfumo hutumia mwingilio na utahini ambao nia yake ni kuhimiza matokeo ya juu zaidi sambamba na malengo yao. Mfumo wa MTSS/PBIS unahusisha ngazi tatu za uingiliaji: Ngazi ya 1 inahusu huduma zote ambazo wanafunzi hupokea kwa namna ya masomo na tabia. Kwa hii ngazi, wanafunzi wote wanapata huduma kwa shule mzima ama darasani kuzuiya tabia mbaya, kuhimiza tabia za ushiriki, na kusaidia kwa shida spesheli za kimasomo, kitabia na hata kihisia katika shule yoyote ile. Uingiliaji wa Ngazi ya 2 unaelekezwa kwa wanafunzi wanaohitaji ufunzi na usaidizi maalum. Huduma hizi zinaweza kupatianwa kwa vikundi vidogo ndani ama nje ya darasa. Nia ya ufunzi na usaidizi wa Ngazi ya 2 ni kuimarisha matokeo ya wanafunzi na kupunguza adhara kwa masomo na maendeleo ya mtoto kwa jumla. Miingilio ya Ngazi ya 3 huwapatia wanafunzi usaidizi wa ziada kwa wanafunzi kulingana na na haja zao maalum. Hizi huduma zinaweza kutolewa kwa mwanafunzi binafsi ama kwa vikundi vidogo. Lengo la mafunzo ya Ngazi ya 3 ni kuwasaidia wanafunzi kushinda vikwazo/vizuizi dhidi ya masomo ama ujuzi unaotakikana kufaulu kwa shule. Hili azimio lilipitishwa na Bodi ya Elimu ya Kata ya Fayettekwa sabau ya kusaidia shule kutoa mazingara yaliyo salama na ambapo heshima inapewanwa kwa wanafunzi na wote wanaotumika shuleni. Tunatambua kuwa mazingara ya usomi shuleni na tabia ya wanafunzi huimarika wakati wanafunzi: Wanaelewa kinachohitjika kutoka kwao shuleni; Wanaamini kuwa wanoa ujuzi wa kimasomo na ujamaa kufanikiwa; Wanatambuliwa na kupongezwa wanapofanya kazi nzuri na kujikimu kwa heshimay; na Wanafahamu kuwa kuna mtu shuleni anayewajali na kuwatia moyo kwa kazi yao. Wanafunzi waliosajiliwa kwa Shule za Umma za Kata ya Fayette wana wajibu wa kujua na kuheshimu haki za wote. Mahakama Kuu ya Marekani imeamua kuwa si halali kumnyima mwanafunzi yeyote nafasi ya kupata masomo kwa shule ya umma bila sababu mwafaka na bila kufuata sheria. Ili kuhakikisha kuwa haki za wengine zinaheshimiwa, ni wajibu wa kila mtu kuwa na mwenendo ambao kautishi, kuingilia kati, au kunyima wengine nafasi za masomo. Toleo la kwanza la Tangazo kuhusu Matarajio na Jukumu: Kanuni za Maadili kwa Wanafunzi ( Mwongozo ) liliundwa na kamati ya wanafunzi, wazazi/wasimamizi, waalimu, na wasimamizi walioteuliwa na mkurugenzi. Kuna kamati simamizi ambayo imeundwa na watu wa vikundi hivi amabayo kazi yake ni kufanya ukaguzi wa Mwongozo kulingana na sera za bodi. 3

8 1.0 KITAMBULIO-KUENDELEA FILOSOFIA YA KUDHIBITI TABIA-KUENDELEA. Kazi ya kuendeleza na ukaguzi huhusisha: Kamati ya watu wanaowakilisha hivi vikundi. Kufuatana na mwongozo wa Idara ya Elimu ya Kentucky. Kufuatana na mwongozo wa sheria za jimbo. Ukaguzi wa wanasheria. Ukaguzi na kuidhinishwa na Bodi ya Elimu ya FCPS. Kanuni zinaweza kubadilishwa na Bodi ya Elimu ya Fayette wakati wowote. Taratibu za kawaida kuhusu ubadilishaji wa sera pia utatumika kufanya mabadiliko kwa Mwongozo. Mapendekezo ya mabadiliko yanaweza kuwasilishwa na wanachama wa bodi, mkurugenzi, waalimu wakuu, waalimu, wanafunzi, na wazazi/wasimamizi. Uwiano baian ya Mwongozo na sera zilizoazimiwa ukiwepo, sera na taratibu za bodi zitaongoza. Kila Mwalimu mkuu ana jukumu la kutoa mwelekeo wa Mwongozo kwa waalimu, wafanyi kazi, na wanafunzi kila mwaka. Wazazi/wasimamizi na wafanyikazi wote watapata nakala ya Mwongozo. Nakala ya Mwongozo pia inapatikana katika mtnaao wa FCPS na kwa kila shule. Sera zinazonaamana na Mwogozo zinaweza kupatikana hapa: Kata itafanya juhudi kuwasiliana na wanafunzi walio na ulemavu na wale ambao lugha yao ya kwanza si Kiingereza. Wazazi wao pia watahusishwa hivi. Maswala, wasiwasi na yoyote yale kuhusu Mwongozo yanaweza kuelekezwa kwa Mwalimu mkuu. Kwa mujibu wa Mwongozo, masharti yanahusu tabia ya wanafunzi sio tu kwa eneo la shule ama wakati mwanafunzi anaelekea shuleni, bali pia kwa shughuli zinazojihusisha na shule ziwe ni kwa shule yenyewe ama nje. Matarajio ya Mwongozo huu pia yanahusu tabia ya wanafunzi nje ya eneo la shule kama hiyo tabia inaweza kudhuru usalama na ustawi wa wanafunzi wengine ama wafanyikazi ama kuchangia kufanya mazingara hayo kuwa mabaya kwa kusoma na kufunza. Mwongozo hauwezi kushughulikia kila aina ya tabia, kwa hivyo kuna uwezekano wa hali kutokea ambayo hautaweza kutatua. Hali kama hii ikitokea, basiara na makini ya viongozi itatoa mwongozo ufaao. Sheria ijulikanayo kama Kentucky Elimu Refamam Act imeidhinisha mfumo unaoitwa Shule-Based Decision Making (SBDM) unaowapa viongozi wa shule uwezo wa kutatua migogamao shuleni bila kuwafikia watu wengine nje ya shule. Kufuatana na huu mfumo, baraza za shule zinahitajika kuunda sera zinazotekelezwa na Mwalimu mkuu. Shule zina sera maalum kuhusu uchaguzi na utekelezaji wa nidhamu na mbinu za kusimamia madarasa, yakiwepo pia jukumu za wanafunzi, wazazi/wasimamizi, waalimu, washauri na Mwalimu mkuu; hata hivyo, sera na nidhamu za baraza ya SBDM ni lazima ziwe ndani ya mipaka iliyonaikwa kwa Mwongozo [KRS ]. Nia ya hii hati ni kuwa kiellezo cha kusaidia wanafunzi kuwa na tabia nzuri na kupunguza visa vya tabia mbaya. Ni jukumu la kila mtu pamoja; wanafunzi, wazazi/wasimamizi, waalimu na viongozi kushirikiana, kutoka siku ya kwanza ya shule hadi ya mwisho, kuchangia kuhakikisha mazingara yaliyo salama kwa usomi ili wanaffunzi waweze kufakikiwa. Tukifanya kazi pamoja, tutajenga mazingara salama yanoyowawezesha wote kufanikiwa! 4

9 2.0 MATARAJIO YA TABIA ZA WANAFUNZI Eneo letu la shule lina mamlaka na jukumu ya kuhakikisha matarajio ya tabia ambazo zitachangia kusaidia wanafunzi kuchagua vitendo na tabia ambazo zinatimiza hizi lengo: kuchangia mazingara yaliyo salama na yasiyo na vurugu ili kuwawezesha wote kufikia viwango vya juu kimasomo [KRS , , , , na ; 704 KAR 7:050; FCPS 05.4 na ]. matarajio ya kitabia kwa wanafunzi yatakuwa lazima katika viwango vyote; kata, shule na hata darasani KIWANGO CHA WILAYA/KATA Matarajio ya tabia kwa kiwango cha wilaya pia yatakuwepo kwa kiwango cha darasa kila wakati. Kwa sababu za Mwongozo, maneno ya kwa eneo la shule yatakuwa na baadhi ya hii maana: Wakati wanafunzi wanapoenda ama kutoka shuleni ama shughuli zinazohusu shule. Wakati wanafunzi wako shuleni. Wakati wanafunzi wanahudhuria shughuli zinazodhaminiwa na shule (kama safari au michezo). Pia, matarajio ya tabia ya kiwango cha wilaya yanaweza kutumiwa nje ya eneo la shule kama inaweza kuonyeshwa kuwa tabia ya mwanafunzi ama vitendo vyake vinaweza kuwa na hizi adhara: Usalama wa huyo mwanafunzi. Usalama wa wengine (kama wanafunzi wenzake ama wafanyi kazi). Mpangilio laini wa wilaya. Kwa sababu za Mwongozo, maneno nje ya eneo la shule itamaanisha eneo lolote nje ya yaliyotajwa hapa awali. MATARAJIO YA JUMLA Kama mwanafunzi, ni jukumu lako kuiga hizi tabia: Kuhakikisha usalama kila wakati. SALAMA Kuhakikisha milango ya shule imefungwa na kufuata taratibu za kuingia shuleni. Kuwajulisha wasimamizi mara moja ukipata habari kuhusu vitisho, silaha/vifaa hatari kwa eneo la shule ama maswala yoyote yale kuhusu usalama, mali ya shule ama ukiukaji wowote wa Mwongozo. WAJIBIKA Kujua na kufuata sheria zote za shule na taratibu za kutumia usafiri wa basi. Kuhudhuria shule na darasa kwa kawaida na bila kuchelewa. Kufanya kila juhudi kushiriki na kufuata matakwa ya kila darasa. Kupata alama kwa mtihani kwa halali bila kuibia ama kudanganya. kuchunga mali yako. * * Mali iliyopotea ama kuibiwa ni jukumu la mwanafunzi mwenyewe ama mzazi na hazitafidiwa na bima ya wilaya ya shule. Kuheshimu mali binafsi na ya shule. HESHIMA Kuheshimu maombi ya basiara kutoka kwa wafanyikazi wa wilaya na waalimu wanafunzi. Kuishi kwa njia ambayo haileti vurugu, mchafulo ama kuvunja haki za wengine. 5

10 2.0 MATARAJIO YA TABIA ZA WANAFUNZI-KUENDELEA KIWANGO CHA WILAYA-KUENDELEA. MATARAJIO KWA BASI Kama mwanafunzi, unatarajiwa: KWA KITUO CHA BASI Kuwasili kwenye kituo cha basi dakika tano (5) kabla ya basi kufika. Dereva hana ruhusa kuwangojea wanafunzi. Kuondoa vitu vyote kutoka kwa barabara na kujiondoa kwa barabara. Kuheshimu mali ya wenyewe. Kupunguza kelel ili kuepuka kuwasumbua wanaoishi karibu. Kungoja mpaka basi isimame halafu kutembea kwa mlango kwa njia laini. Kungoja kwa upnae wako wa barabara mpaka basi ifike na dereva akuashirie kuvuka kama unaishi kwa ng ambo ya barabara. Kutumia tu kituo kilicho karibu na makazi yako, isipokuwa umepata ruhusa kutoka kwa Mwalimu mkuu na dereva anajua. KWA BASI Kufuata maagizo ya dereva ama msaidizi wake kila wakati. Kuketi kwa kiti kilichoteuliwa na dereva, kama ni tabia ya dereva kuteua kiti. Kuketi na wenzako kufuatana na maagizo ya dereva. Kuhakikisha kuwa kiwiliwili chako na chochote unachokibeba kimo ndani ya basi. Kuepuka kuchangia hali inayoweza kuhatarisha maisha ya wenzako ama kujijeruhi au kuwajeruhi wengine. Kuweka chakula na vinywaji ndani ya mikoba/mifuko, ama kontena (kula na kunywa ndani ya basi yaweza kuadhiri usalama). Kuongea na kujimudu kwa njia ya heshima wakati wote unapoingiana na wanafunzi na watu wazima. Zuia kuleta hivi vitu haramu kwa basi: o Bidhaa za tubako, sigara za mvuke ama stima. o Silaha, vilipuzi ama bidhaa zingine hatari. o Madawa, vyombo vya madawa ama vileo. o Wanyama wa aina yoyote. o Bidhaa zingine ambazo zaweza kuogofwa wasafiri wengine ama kuvuruga makini ya dereva. KUSHUKA KUTOKA KWA BASI Kushuka kutoka kwa basi kwa kituo pekee, isipokuwa umepata rbarua ya uhusa kutoka kwa mwalimu mkuu na dereva anajua. Kuenda karibu hatua kumi-futi (10) kumi- mbele ya basi na kungoja dereva akuashirie uvuke barabara kama unaishi ng ambo ya barabara kutoka kituo cha basi. Kaa angalau futi kumi kutoka pnae zote za basi. Kuepuka kuvuka nyuma ya basi iliyosimama. KUHAMISHWA KUTOKA KWA BASI Kuepuka kutumia lango la nyuma la dharura isipokuwa kwa kuamriwa na dereva ama mtu mwingine aliye na idhini na ujuzi ufaao. Kuepuka kutumia dirisha kuondoka kwa basi. 6

11 Kushiriki kwa mazoezi ya uhamisho wa dharura kufuata maagizo ya dereva ama wafanyikazi wengine wa shule. ILANI: Mazoezi ya uhamisho wa dharura utafanyika mara 4 (nne) kila mwaka. Kila zoezi litahusisha matumizi mwafaka ya milango ya dharura kwa basi kwa minajili ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafamu jinsi ya kuitumia wakati wa dharura. KUENDESHA Kusimama kabisa ukiulizwa kila wakati ukiwa karibu na basi KIWANGO CHA SHULE Matarajio ya ziada kuhusu tabia ya wanafunzi yapo na yanahusu wanafunzi kwa kila shule na kituo chochote ndani ya hizo shule. Wafanyikazi wa shule watapeana haya matarajio kwa wanafunzi na wazazi/wasimamizi mwanzo wa mwaka ama wakati mwanafunzi anaposajiliwa. Kwa hali zingine, matarajio yataonyeshwa kwa vibao vya matangazo kulingana na sera za bodi KIWANGO CHINI YA SHULE Matarajio ya ziada kuhusu tabia yapo kuhusu wanafunzi kwa kila darasa ama kituo cha masomo. Wafanyikazi wa shule watapeana haya matarajio kwa wanafunzi na wazazi/wasimamizi mwanzo wa mwaka ama wakati mwanafunzi anaposajiliwa. Kwa hali zingine, matarajio yataonyeshwa kwa vibao vya matangazo kulingana na sera za bodi. 7

12 2.0 MATARAJIO YA TABIA ZA WANAFUNZI-KUENDELEA KIWANGO CHINI YA SHULE-KUENDELEA. HUU UKURASA UMEACHWA TUPU KWA MAKUSUDI. 8

13 3.0 MUHTASARI WA KUSIMAMIA TABIA Hapa FCPS, ni azimio letu kutumia suluhu za nidhamu zinazohusu usimamishaji ama ufukuzo kama njia ya mwisho. Tunaamini kuwa mazingara ya shule yanafaa kuwa yale ya husiano bamaa baina ya watu wote-baina ya wanafunzi wenyewe na baina ya wanafunzi na wafanyikazi. Kabla ya kuwaadhibu wanafunzi, kila juhudi itafanywa kuhakikisha kuwa wanafunzi wamepewa nafasi ya kupata ujuzi ufaao kuchangia mazingara ya uhusiano mwema na kuepuka tabia zinazoadhiri. Shules will teach positive shule rules na social skills, positively reinfamace mwafaka mwanafunzi behaviama, provide early intervention na suppamat strategies fama misconduct, na use logical, meaningful consequences, incuding restamaative practices. Wafanyikazi wa shule wanahimizwa kutumia mbinu tofauti kuwasaidia wanafunzi kujisimamia kibinafsi kuepuka tabia mbaya na kujaribu kuzuiya utovu wa nidhamu kabla ya kutokea. Ushahid ukionyesha kuwa hizi juhudi hazikufaulu kuepuka utovu wa nidhamu, itabidi hatua za adhabu zichukuliwe bila kusita. Wanafunzi na wazazi/wasimamizi wana haki ya kutaraji heshima, uungwana na uthabiti kila wakati hatua zimechukuliwa kuhusu uvunjaji wa sheria hizi. Sehemu za Mwongozo zifuatazo zitaelezea kwa undani sabau za haya matarajio zinazoelezewa na Muhtasari ufuatao JUKUMU (VIONGOZI) Kila kiongozi wa shule ana jukumu la: Kufafanua, kufunza, kutia nguvu, kuonyesha, na kupitia matarajio ya tabia ya kiwango cha shule ili kuhakikisha mazingara yaliyo salama, yanayohimiza uraia na heshima kwa namana hizi:1) yanaimarisha usomi; na 2) huchangia haki za wengine. Kuwasiliana na wafanyikazi wa shule, wazazi/wasimamizi, wanafunzi na vikundi vya umma (kama vipo) kuhusu:1) Matarajio ya tabia kwa kiwango cha shule 2) Taratibu na ratiba zinazofunza, kuimarisha, kuigiza na kupitia matarajio ya tabia sawa ya wanafunzi; na 3) Mapendekezo yanayotiwa nguvu na ushahidi, kuhusu kutia nguvu masomo yanayowasaidia wanafunzi kuunda tabia na ujuzi ufaao. Kuwatia motisha wafanyikazi wote wa shule, wazazi/wasimamizi, wumrini, na wafanyikazi wa hiari kuimarisha tabia bamaa ya wanafunzi. Kuwajulisha watekelezaji wa sheria wa FCPS kama inavyohitajika kulinda usalama, afya na ustawi wa wanafunzi na waajiriwa. Kuzingatia sheria inayowahusu walemavu-individuals with Disabilities Elimu Act (IDEA), Sehemu ya 504 na masharti sawa ya jimbo la Kentucky kuhusu jinsi za kuwaadhibu wanafunzi walemavu. Kufanya kila juhudi kadiri ya uwezo, kukutana na wazazi/wasimamizi na kusikiza kwa makini maoni yao. Kunaika hatua zilizochukuliwa kukabiliana na tabia mbaya ya wanafunzi. Kutumia data kuangalia na kukagua maendeleo na ubamaa wa hatua za kumudu tabia JUKUMU (WAALIMU) Kila mwalimu na jukumu la: Kufafanua, kufunza, kutia nguvu, kuonyesha, na kupitia matarajio ya tabia ya kiwango cha darasa ili kuhakikisha mazingara yaliyo salama, yanayohimiza uraia na heshima kwa namana hizi:1) yanaimarisha usomi; na 2) huchangia haki za wengine. Kuzindua taratibu za kutia nguvu na kutambua tabia bamaa. Kuwaelezea wanafunzi tabia duni na zisizokubalika. Kuzindua taratibu za kuvunja moyo wa tabia duni na isiyokubalika. Kuchukua hatua kubadilisha, kubadilisha mwelekeo ama kusuluhisha tabia duni na isiyokubalika. Kufuata sera na taratibu zote za shule. Kudumisha mazingara mema, utaalamu na mtazamo mwema kwa wanafunzi wote. 9

14 3.0 MUHTASARI WA USIMAMIAJI WA TABIA-KUENDELEA JUKUMU (WAZAZI) Kunaika hatua zilizochukuliwa kukabiliana na tabia mbaya ya wanafunzi. Kutumia data kuangalia na kukagua maendeleo na ubamaa wa hatua za kumudu tabia. Kama mzazi/msimamizi, una jukumu la: Kusistiza umuhimu wa elimu na masomo ya mwanao. Kuhakikisha kuwa mwanao anahudhuria shule bila kuchelewa kila siku. Kujulisha shule, na kuonyesha hati zozote, kila wakati ulinzi wa mwanao unapobadilika. Kumpa mwanao vyombo na usaidizi ili amalize kazi yake ya darasani na nyumbani. Kushiriki kwa shughuli za shule. Kujifahamisha kwa kuendelea, kuhusu jinsi mwanao anavyoendelea kwa shule. Kuwasiliana na waajiriwa wa shule na wila kwa ungwana. Kushiriki kwa mikutano ya wazazi/wasimamizi na mikutano mingine itakayoitishwa na shulekuhusu tabia ama masomo ya mwanao. Kushirikiana na shule kama hatua za kinidhamu zitahitajika. Kuijulisha shule kama mwanao amekumbwa na hali yoyote (kama shida za kimatibabu, shida za kijamii ama jumuiya) ambazo zawewa kutisha usalama wa mwanao, watoto wengine ama waajiriwa wa shule. Kuendelea kujifahamisha na Mwongozo, sera na sheria za wilaya na shule MUHTASARI WA MATARAJIO (WAZAZI) Kama mzazi/msimamizi unaweza kutarajia: Kuheshimiwa kibinafsi bila kujali rangi, nchi ya asili, umri, dini, jinsia, mwelekeo wa ngono, ama ulemavu. Kuhudumiwa kwa hisani/heshima na wanachama wote waajiriwa wa shule. Kujulishwa kuhusu matakwa ya kimasomo, programu za shule, usahihishaji wa mitihani, na taratibu za kupnaishwa cheo/darasa, na kuweza kupata ripoti za baraza inayohusika na uundaji wa sera na taratibu za shule. Kushiriki katika mikutano ya wazazi/waalimu. Kuweza kupata ripoti za jumla kuhusu mwanao, kazi aliyoinaika, na miradi yake, kuomba kutolewa ama kurekebishwa kwa mabo yoyote yasiyo ya kweli ama yanayopotosha, ama kuomba upatiwe makina na anwani za watu wote wa nje wanaopata habari kuhusu mwanao (ona Sehemu 9.01). Kupata habari kuhusu program za watoto walio na vipawa vya juu na kushiriki kwa maamuzi kuhusu kumweka mwanao kwa darasa spesheli, ikihitajika. Kupata usaidizi wowote uliopo kumwezesha mwanao aendelee na masomo yake na aimarishe matokeo yake. Kutaraji nidhamu ndani ya darasa idumishwe na kujulishwa kuhusu ripoti yoyote iliyonaikwa kwa sabau ya shida za kinidhamu kuhusu mwanao. Kupata mawasiliano yafaayo na bila kuchelewa kuhusu mwanao. Kupata fadhila ya kushiriki kwa vikundi vya kiwango cha shule (PTA, PTSA, SBDM, na kadhalika.) ambazo huhusika nasera za shule, uundaji wa programu na uchambuzi za uwasiliaji wa habari MUHTASARI WA MATARAJIO (WANAFUNZI) Kama mwanafunzi, unaweza kutarajia: Kuheshimiwa kama binadamu aliye na dhamana bila kujali rangi, taifa ya asili, umri, dini, jinsia, jinsia, mwelekeo wa ngono, ama ulemavu. Kuhudumiwa kwa heshima bila kujali rangi, taifa ya asili, umri, dini, jinsia, jinsia, mwelekeo wa ngono, ama ulemavu. 10

15 3.0 MUHTASARI WA USIMAMIAJI WA TABIA-KUENDELEA MUHTASARI WA MATARAJIO (WANAFUNZI)-KUENDELEA. Kuwa huru kutodhuriwa kwa hizi namna -matusi, kimwilil, kijinsia- ama kutishwa kwa moja au zaidi ya hizi njia na wanafunzi ama waajiriwa wa Fayette County Umma Shules. Kupata elimu ya umma inayofaa na bila malipo (Free Mwafaka Umma Elimu (FAPE) mpaka darasa la 12th, ukihitimu ama mpaka umri wa 21 (ishirini na moja). Huwezi kunyimwa hii haki bila hatua zifaazo kisheria. Kupata alama za kitaaluma kulingana na juhudi yako kimasomo, knao na kuonyesha adhabu yoyote kwa ukiukaji wa sheria/sera. Ni haki yako pia kupata maelezo khusu jinsi alama zako zilifikiwa kwa kila darasa. Kupewa usaidizi wa kitaaluma na kitabia kukuwezesha kufanikiwa. Kujulishwa kuhusu sheria, sera na taratibu zote za shule. Kuona rekodi yako ya shule (kulingana na sheria za jimbo na za taifa nzima) na kujibiwa maswali namakosa kurekebishwa. Rekodi zako za shule ni siri. Knao na waajiriwa wa shule na watu wengine walioidhinishwa kwa sheria za nchi, hakuna mtu ambaye anaweza kukagua, pitia, ama hamisha hizi rekodi bila ruhusa yako, kama una umri wa miaka 18 (kumi na nane), ama bila ruhusa ya mzazi wako, kama uko chini ya umri wa miaka 18 (kumi na nane) ama wewe ukiwa ni mtegemezi wa mzazi wako, ama bila kibali rasmi cha kamati ama ombi rasmi la kamati (ona Sehemu 9.01). Kufanaya kazi ya ziada baada ya kurudi shuleni baada ya kutokuweko shuleni kwa ruhusa (ona Sehemu 4.02). Ni jukumu lako ama la mzazi wako kuwasiliana na mwalimu/waalimu kuhusu hiyo kazi ya ziada wakati usio wa masomo ama baada ya shule. Ukirudi shuleni baada ya kukosekana kwa ruhusa, utapata siku sawa na zile hukuweko, na siku 1 (moja) ya ziada kumaliza na kuwasilisha hiyo kazi ya ziada. Mitihani iliyotangazwa, miradi mikuu, ama karatasi ndefu amabazo ulikuwa na muda wa kutosha kujitayarisha, itafanywa siku yako ya kurudi. Kufurahia haki yako ya kujieleza, pamoja na matamko, kukusanyika/kukutana, kuonekana, kuchapisha, na usambazaji wa malalamiko, kama utekelezaji wa hizi haki hautaingilia kati ratiba ya masomo shuleni ama kuhatarisha afya na ustawi wa waajiriwa na wanafunzi wengine. o o o Unaweza kupanga ama kushiriki kwa program za mkusanyiko, vikao vya umma, mikusanyiko ya vilabu, na mikutano mingine ya aina hizi mradi tu kuwa viongozi wa shule wawe wamekubali na hapana ukiukaji wa sera za shule. Vikundi na vilabu ni lazima vifuate taratibu zilizoundwa na bodi, hazina ruhusa kuvuruga ratiba za masomo, na hazina ruhusa kubagua mwanafunzi yeyote kwa misingi ya rangi, asili ya taifa, umri, dini, jinsia, mwelekeo wa ngono, ama ulemavu. Unaweza kuvaa, kuonyesha, ama kusambaza vifungo na ishara ili mradi ujumbe wake haukejeli, hauaibishi, ama hauchochei wengine kwa misingi ya rangi, taifa la asili, umri, dini, jinsia, mwelekeo wa ngono, ama ulemavu, hauna matusi machafu, ama uwe na maneno ya kukashifu, kuharibu jina; hata hivyo, kufurahia hii haki hakutavuruga ratiba za masomo shuleni ama kuhatarisha afya na ustawi wa waajiriwa na wanafunzi wengine. Shule inaweza kuunda sheria kuhusu mavazi na kuonekana. Sheria hama hizi, hata hivyo, ni lazima ziwe na uhusiano wa moja kwa moja na lengo maalumu la elimu kama afya, usalama, kushiriki kikamilifu kwa madarasa na shughuli zingine za shule, ama uzuizi wa vurugu kwa ratiba ya masomo. Una haki ya kusambaza kurasa, gazeti, ama fasihi zingine kwa eneo la shule na kwa shule ili mradi utafuata mwongozo wa shule kuhusu usambazaji wa aina hii. Usambazaji wa aina hii hauruhusiwi kuingilia kati shughuli za kawaida za shule au kukiuka haki za wengine. Shule inaweza kuunda sera zake kuhusu uchapishaji wa nakili rasmi za shule ikiwepo sera kuhusu uchapishaji wa fasihi za kashfa, vurugu, ama uchafu/pyamaamao. Hizi sera ni lazima zilingane na viwango mwafaka za sheria na masharti ya bodi. Wanafunzi ambao ni waajiriwa wa sehemu ya 11

16 3.0 MUHTASARI WA USIMAMIZI WA TABIA-KUENDELEA MUHTASARI WA MATARAJIO (WANAFUNZI)-KUENDELEA. uchapishaji ya shule wana jukumu la kujua kanuni zinazohimidi uchapishaji na adhabu za kukiuka hizo kanuni. Kuwa huru kutosakwa kibinafsi ama mali kusakwa bila sababu ya kutosha ama mali yako kuchukuliwa bila sabau za kutosha. Maafisa wa shule wana haki ya kukusaka wewe na mali yako kama wana sabau ya kutosha kushuku kuwa una kitu amabacho ni kinyume na sheria za shule ama kinachohatarisha maisha ya wengine (ona Sehemu 8.07). Kutoshtakiwa ama kuletewa mashtaka bila uchunguzi kamili kukamilishwa. Uchunguzi kamili ni haki ya kila raiya. Iwapo utashtakiwa, una haki kupata usaidizi wote ambao unawezakana (ona Sehemu 6.0) KUPELEKA MAMBO YA NIDHAMU KWA OFISI Waajiriwa wa shule wataleta mambo haya kwa viongozi wa shule. Masharti ya kuchukua hii hatua yatafuata: Kila wakati kuna shuku kuhusu vitendo kinyuma cha sheria ama kutishia usalama; Kila wakati hatua zilizochukuliwa kusahihisha tabia ya mwanafunzi zimekosa kutimiza hilo lengo; ama Kila wakati tabia haswa tunayojaribu kusahihisha itahitaji usaidizi zaid kutoka nje ya shule. Kabla ya kuchukua hatua kama hii kwenda ofisini, ni muhimu kwanza kujuaribu kuwasaidia wanafunzi kupata ujuzi unaofaa kustawi kwa mazingara ya shule n kuepuka tabia duni. Kanuni elekezi zinazoonyesha matarajio kwa uwazi na hatua tofauti za kufuata mfumo wa (MTSS) amabazo huongezeka kwa ukali kulingana na haja ya mwanafunzi, zitawezesha waajiriwa kuchunguza na kusahihisha hizi tabia kwa urahisi. Kwa kila hali, anayepeleka mambo ofisini atawasiliana na wazazi na ajaze fomu zinazohitajika kulingana na sera za shule. Nyaraka ya ukiukaji na adhabu itakayotolewa, kama inavyoonyeshwa kwa fomu, zitalindwa na msimamizi aliyeteuliwa, zihifadhiwe kwa komputa ya FCPS (Infinite Chuo), na kuwa tayari kusambazwa kwa, kukiwa na haja, kwa waalimu, viongozi, washauri, mwanafunzi ama mzazi kulingana na kanuni za FERPA na KFERPA. Kazi ya kupeana adhabu kwa kiwango cha msingi, kati, na shule ya upili ni jukumu la mwalimu mkuu ama mtu mwingine aliyeteuliwa na mwalimu mkuu kulingana na kanuni za utaratibu wa Behaviama Manumriment Charts (ona Sehemu 5.03). 12

17 4.0 UKIUKAJI WA KANUNI ZA MAADILI NA WANAFUNZI 4.01 FAFANUZI NA MIFANO Fafanuzi na mifano ya ukiukaji wa wa kanuni za maadili na wanafunzi zimeamaodheshwa kwa kurasa zofuatazo. Kiukaji zimetengwa kwa vikundi vine kulingana na ukali wa ukiukaji mwenyewe. Tengo la chini kabisa ni la makossa yasiyo kali sana (Daraja la I) na tengo la juu kabisa ni la makossa kali (Daraja la IV). KIUKAJI ZA DARAJA LA I Ukiukaji wa Daraja la I unahusisha makosa ambayo kwa nadra sana huzusha matokeo ambayo nidhamu yake inabidi uingiliaji kati wa watu nje ya wilaya. TABIA YA USUMBUFU: Huu ukiukaji husababisha usumbufu hivi: 1) Njiani kwelekea ama kutoka darasani ama shughuli ingine; ama 2) Kwa darasa ama shughuli ingine licha ya juhudi za waajiriwa kujaribu kukosoa/kusuluhisha. Mifano ya huu ukiukaji, pamoja na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kuendelea kuongea kwa muda usiostahili wakati wa somo au shughuli ingine (mfano, wakati Mwalimu anapomwongelesha mwanafunzi mwingine ama kundi la wanafunzi). Kuwasiliana kwa namna isiyofaa (mfano, kuendelea kuongea kwa sauti kubwa, kupiga kilio, kufanya sauti zisizo mwafaka kwa mdomo ama vyombo; ama kuiga/kurudia ameno ya mwalimu). Kuwasumbua wanafunzi wenzake wakati wanafanya kazi yao. Kuendelea na tabia sumbufu ambazo hazina uhusiano wowote na somo licha ya juhudi za kukosoa ama kurekebisha (mfano, kuendelea kutoketi na kuwaita wenzake darasani bila ruhusa). UKIUKAJI WA KANUNI ZA MAVAZI: Huu ukiukaji unamaanisha kuvalia kwa njia ambazo: 1) husababisha uwachaji wa shughuli; 2) Huzusha usumbufu; ama 3) Huvunja kanuni za shule kuhusu mavazi mwafaka. Mifano ya huu ukiukaji, pamoja na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kuvaa mavazi yanayohusishwa na vikundi haramu ama marufuku, pamoja na mavazi ambayo yanataja, yanaonyesha kuunga mkono, yanaashiria, ama yanapendekeza uhusika na shughuli za uhuni, ama vikundi vya aina hiyo (mfano, marangi, bnaana/skafu, bendera, neti za nywele, ama aina za sigha). Kuvaa mavazi ambayo yanataja shughuli ambazo si halali ama marufuku kwa wenye umri wa watoto (mfano, nguo zinazosifu matumizi ya madawa ya kulevya, vileo/pombe, ama tumbako ama vitendo vingine visivyo halali). Kuvaa mavazi ambayo yanaonyesha ama kusifu shughuli/maneno amabayo hukeresha kwa viwango vya jumuia, pamoja na nguo ambazo zinaonyesha vitendo vya mabavu, ngono, ama lugha chafu (mfano, lugha, matamshi, semi, picha, michamao, ama ishara). Kuvaa mavazi yanayoonyesha ubaguzi, pamoja na kuwa na ujumbe unaosifu ama kuonyesha kukubaliana na ubaguzi kwa misingi ya rangi, kabila, asili, itikadi, dini, mwelekeo wa ngono, ama ulemavu. Kuvalia nguo zinazobeua/onyesha sana, zinazotamanisha, za pyamaamao, pamoja na nguo amazo zinaweza kuonyesha sehemu za mwili mtu akitembea (mfano, blauzi iliyokatwa, sketi fupi sana ama zilizo na mkato mrefu zaidi ama vinyasa vilivyokatwa hadi kwa kiuno), zinazohimiza ama kuonyesha vibonde na miinuko ya mwili ama sehemu za siri (mfano, shati za mkato ama zizazoonyesha utumbo), na zile zilizoshonwa na vitambaa angavu (mfano, zinazoonyesha wazi ama za neti) ama zile ambazo hazijahifadhiwa vizuri. Kuvalia mavazi ambayo yanaweza kuficha sura ama hali ya mwanafunziakiwa ndani ya jumba, darasa, ama basi (mfano, kofia, koti, ama miwani bila amri ya daktari ambayo iko kwa faili shuleni). 13

18 KUWA NJE YA ENEO LILILOTEULIWA; KURUKA DARASA: Huu ukiukaji unamaanisha kuwa chuoni lakini kukosa sehemu ya darasa ama shughuli iliyoteuliwa bila ujuzi na idhini ya kiongozi, ama mmoja wa waajiriwa wa shule. KUWA NJE YA ENEO LILILOTEULIWA; KUCHELEWA KWENDA DARASANI: Huu ukiukaji unamaanisha kuwa chuoni lakini kukosa sehemu ya darasa ama shughuli iliyoteuliwa bila ujuzi na idhini ya kiongozi, ama mmoja wa waajiriwa wa shule NJE YA ENEO ILILOTEULIWA; ZINGINE: Huu ukiukaji unamaanisha: 1) Kuwa chuoni lakini nje ya eneo, darasa, ama shughuli iliyoteuliwa kwa mwanafunzi; ama 2) Kuwa kwa eneo marufuku. ILANI: Angalia sera zinazohusu kuchulewa na kuruka darasa za kila shule. Mifano ya huu ukiukaji, pamoja na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kufika kwa darasa ama shughuli kama lishaanza. Kuchelewa kurudi darasani baada ya shughuli. Kukosa darasa ama shughuli nzima. Kutoka darasani bila ruhusa. Kukosa kuwa na pasi ifaayo kuingia kwa ukumbi. Kuwa pahali pasipokubalishwa (ama chumba kingine au eneo) ambalo huhitaji ruhusa kutoka kwa waajiriwa. Kutoka kwa darasa, uwanja, ama chumba cha maankuli kwenda kwa eneo linguine chuoni kwa wakati usiofaa au bila ruhusa kutoka kwa msimamizi wa eneo hilo. Kukosa kufika kwa darasa lililoteuliwa, programu, ama shughuli baada ya kuwa chuoni bila ruhusa ama Mwalimu kujua. VIDUDE VYA KIBINAFSI VYA ELEKTRONIKI: Huu ukiukaji unamaanisha kumiliki ama kutumia (kuwakisha) kidude kinachotoa sauti, kinatikisha, kinaonyesha ujumbe, ama hushika au hutuma ujumbe kwa mwenyewe [KRS (2)] kwa wakati usiokubalishwa ama kwa namna amabayo huzusha vurugu kwa kikao. Mifano, pamoja na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kutumia simu ya mkononi, tableti, komputa ya kushikia, visomi elektroniki (mfano, ChromeBook ) ama dude la kuitana bila ruhusa. Kutumia kifaa kisichotumia waya wireless bila ruhusa (mfano, Bluetooth na vifaa vingine vya kusikizia). Kutumia dude sabili la elektroniki (mfano, laptop, ipad, ipod, kicheza muziki cha aina ya MP3, kicheza muzuki cha aina ya CD player, radio, pumrir, ama walkie-talkie ). Kuleta kameras (mfano, kamera ya milimita35, kamera ya kawaida, au kamera dijitali), vidude vya kuchezea vya elektroniki ama michezo (mfano, Gameboy ama PSP) ama vitu vingine vya kuchezea shuleni. UONYESHAJI WA UPENDO HADHARANI: Huu ukiukaji unamaanisha kugusa, kukumbatia, kubasiu ama kuingia maungoni kwa umma kwa njia ambayo ni nyepesi na ambayo ina uawezo wa kusababisha rabsha kwa shule. Mifano, pamoja na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kujihusisha kwa tabia ya hiari ya aina ya siri ambayo huleta vurugu kwa mizingara ya masomo na amabayo inashuhudiwa na mtazamaji mmoja au zaidi (mfano, kumkalia mwanafunzi mwingine, kumpapasa ama kumbasiu mwanafunzi mwingine). Kumgusa mwanafunzi mwingine kwa njia isiyofaa (mfano, kuguzana kimwili kwa namna ya kusukumana kwa karibu sana- grinding ama kutingiza matako kwa densi- twerking ). 14

19 KIUKAJI ZA DARAJA LA II Ukiukaji wa Daraja la II unahusu tabia ambayo si mbaya sana na ambayo muda kwa muda, ahabu yake hubidi hatua nje ya wilaya zichukuliwe. UDANGANYIFU; USIO HALIFU (UIBIAJI): Huu ukiukaji unamaanisha kunakili/kutumia kazi na maneno ya mwingine bila kupata idhini ya mwenyewe kwa njia rasmi. UDANGANYIFU; USIO HALIFU (RIPOTI YA UWONGO): Huu ukiukaji unamaanisha: 1) Kupatiana ripoti ya uwongo kwa afisaa wa shule; ama 2) Kugeuza ama kuharibu hati rasmi, kinaiko, ama sahihi. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kutumia simu ya mkononi kusambaza mtihani ama sehemu za mtihani, majibu ya mtihani ama habari/ mambo mengine yasiyo ya wazi kwa wengine, ama kupata habari/mambo kutoka kwa Mwalimu ama mwanafunzi mwingine kwa njia ya udanganyifu ama isiyo halali. Kunakili zoezi/kazi ya nyumbani ama majibu kutoka mwanafunzi mwingine. Kuomba, kutoa, kupeana, ama kupokea ujumbe/maneno wakati wa mtihani. Kuwasilisha kazi, lugha, umbile ama mada za wengine na kujifanya ni yako asili. Kupata habari kwa mtnaao ambayo haijahalalishwa ama isiyo na ruhusa. Kusambaza, kugawa, kunakili, kuchapisha ama kuunda miigizo ya fikara ama kazi ya wengine bila idhini. Kukosa kusema ukweli baada ya kuulizwa na afisaa wa shule. Kuleta mashtaka ya uwongo kuhusu shughuli zisizo halifu. Kujifanya mzazi na kupiga sahihi kwa niaba yake kwa ripoti ya maendeleo ama kujifanya Mwalimu na kuiga sahihi yake kujifanya kuwa umefuzu bila kufuzu. Kubadilisha muda wa mwisho wa pasi ya ukumbi. KUTOZINGATIA USALAMA: Huu ukiukaji unamaanisha kitendo chochote ama tabia iliyo na uwezekano wa kuumiza mwanafunzi ama wengine. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kuanzisha kitendo cha utani (mfano, kusukuma ama kutega). Kujihusisha kwa mchezo ambao si mwepesi- hamaseplay ama- roughhousing (mfano, mieleka ama kukimbia kwa maeneo yaliyo na watu wengi). Kumiliki ama kuwa na vifaa ambavyo vyaweza kuleta madhara (mfano, viberiti ama vifaa vya kuwasha moto). Kuacha mlango wa nje wazi wakati wa shule. Kuweka vifaa haramu kwa dawati kinyume na sera za dawati shuleni. Kutumia sketibodi, rolabledi, ama viatu vilivyo na magurudumu- roller shoes chuoni. Kuvuka barabara kwa miguu kwa sehemu zenye magari mengi chuoni kwa namna isiyo salama ama kwa vivukio visivyo halali. Kuegeza baiskeli, pikipiki ama gari mahali pasipo halali chuoni ama bila kibali rasmi ama cheti cha uezekaji. Kuweka kizuizi kwa njia ya basi ama sehemu za abilia kushuka kutoka kwa magari chuoni. KUKOSA HESHIMA/KUKOSA KUFUATA MAAGIZO YA WAAJIRIWA: Huu ukiukaji unamaanisha hatua yoyote ya usemi, kimwili ama kiishara: 1) Kukataa kufuata maagizo ya kawaida ya waajiriwa wa shule; 2) Kukataa kukomesha tabia haribifu; ama 3) Kukosa kukubali adhabu inayopatianwa shuleni. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kuendelea kukataa kufuata kanuni za darasani ama maagizo ya waajiriwa wa shule. Kupuuza maagizo ya kutopiga kelele kwa basi la shule. Kupuuza onyo la kuondoka pahali fulani. 15

20 Kukosa kuzima simu ama dude linguine linalotumiwa kinyume na kanuni hizi baada ya kuombwa na mwajiriwa wa shule. Kukabiliana kwa upinzani ama kupinga amri ya afisaa wa shule. Kukataa, kwa kunena, kushiriki kwa somo au shughul zilizoteuliwa. Kukataa kujitambulisha ama kuonyesha Kitambulisho cha shule baada ya kuulizwa kufanya hivyo. Kupinga amri ya ya mwalimu darasani. Kukataa kutekeleza zoezi. Kukosa kushiriki kwa mtihani unaoidhinishwa na jimbo. Kukataa kufuata mfumo wa S.A.F.E. USEMI WA KUKERA/VITENDO; VITENDO VYA UHUNI (KUENDELEZA): Huu ukiukaji unamaanisha kuonyesha, sahihi, ishara, ama kuashiria kwa mikono/kichwa kuonyesha uhusiano na kundi la uhuni, chama ama shirika linalisifu vurugu ama kutumia mabavu. USEMI WA KUKERA/VITENDO; MATAPISHI AMA MATULE: Huu ukiukaji unamaanisha kutumia matapishi, yasiyoelekezwa kwa mtu binafsi, pamoja na kuapa ama kutumia maneno ya matule ama yasiyopendeza, vyombo ama ishara zinazosababisha vurugu ama hofu. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kutumia maneno ya kukera (lakini yasiyobagua/yasiyotishia) (mfano, kuapa kwa kuongea ama kunaika, lugha chafu, matapishi ama uchafu wakati wa mlipuko wa hasira ama mshtuko) ambayo hayaelekezwi kwa mtu binafsi. Kutumia ishara (lakini yasiyobagua/yasiyotishia) (mfano, ishara za mikono zilizo na maana hususa) kwa njia sawa. UKIUKAJI WA SERA ZA TUMBAKO; MILKI AMA MATUMIZI: Huu ukiukaji unamaanisha miliki ama matumizi ya tumbako ama bidhaa zake na mwanafunzi. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kumiliki ama kutumia aina za tumbako za kuvuta (mfano, sigara, biri, na kiko). Kumiliki ama kutumia aina za tumbako zisizovutwa (mfano, tumbako ya kutafuna ama ugamao). Kumiliki ama kutumia sigara za elektroniki. Kumiliki bidhaa zitumiwazo pamoja na tumbako (mfano, makaratasi ya kusokota au viko). KUTOHUDHURIA BILA IDHINI; UKIUKAJI CHUO KIKIWA KIMEFUNGWA (KUTOKA CHUONI): Huu ukiukaji unamaanisha kuondoka kutoka chuoni uliposajiliwa bila idhini ya Mwalimu mkuu. KUTOHUDHURIA BILA IDHINI; KURUKA SHULE: Huu ukiukaji unamaanisha kutokuweko shuleni bila idhini ya shule. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hi: Kuondoka chuoni bila kupata ruhusa kutoka kwa viongozi kabla ya masaa ya shule kuisha (mfano, wakati wa chakula cha mchana). Kuondoka chuoni baada ya kuwasili lakini kabla ya kunakikwa kuwepo chuoni. Kuondoka chuoni bila kufuata taratibu sawa za kutoka. Kukataa kuhudhuria shule. KIUKAJI ZA DARAJA LA III Ukiukaji wa Daraaja la III ni ukosaji ambao kwa mara nyingi nidhamu yake inahusisha wengine nje ya wilaya. UDANGANYIFU; WA UHALIFU (KULIA MOTO KWA UWONGO): Huu ukiukaji unamaanisha [KRS (1)]: 1) Kwa hiari, kusababisha kilio cha uwongo kuhusu moto au tukio linguine la dharura kusambazwa kwa ama ndani ya kundi lolote, afisaa ama mjitoleaji, amabaye hushughulikia matukio ya 16

21 dharura yanayohusu uhatarishaji wa maisha ama mali; ama 2) Kuanzisha ama kusambaza ripoti ama onyo kuhusu tukio linaloning inia ama lilalotisha kutendeka, la moto ama tukio linguine la dharura ambalo linauwezekano wa kuzusha hofu ama vurugu, akijua kuwa hiyo habari ni ya uwongo ama haina msingi wowote. UDANGANYIFU; WA UHALIFU (REPOTI YA UWONGO): Huu ukiukaji unamaanisha [KRS (1)]: 1) Kuripoti kwa walinda sheria kosa ama tukio ambalo kwa kawaida lingekuwa kazi yao ukijua kuwa ni uwongo halikutukia; 2) Kuwapatia walinda sheria habari/madai kuhusu uvunjaji wa sheria ukujua vizuri kuwa huna habari yoyote kuhusu hatia kama hiyo ama kitendo hicho; ama 3) Kumpatia mlinda sheria habari ya uwongo kwa kusudi la kumletea mtu mwingine shida. UDANGANYIFU; WA UHALIFU (UBINI): Huu ukiukaji unamaanisha kuunda, kujaza, ama kugeuza nakala yoyote kwa makusudi ili kuibia, kudanganya ama kudhuru [KRS through ]. UDANGANYIFU; WA UHALIFU (KUIBIA): Huu ukiukaji unamaanisha kupokea pesa ama mali kwa njia za uwongo. UDANGANYIFU; WA UHALIFU (UZUIAJI): Huu ukiukaji unamaanisha kutatiza ama kuzuia kazi ya kiserikali kwa makusudi kwa kutumia ama kutishia kutumia mabavu/fujo ama utatizaji wa aina ingine [KRS (1)]. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kuanzisha tisho la moto kwa uwongo (mfano, kupuliza kilio cha moto bila moto kuwepo). Kukosa kunaikisha ripoti rasmi (mfano, kukosa kuwajulisha waajiriwa wa shule kuhusu ukiukaji wa kihalifu wa maadili wa mwanafunzi mwingine). Kunaikisha ripoti rasmi kwa uwongo (mfano, kuwa mdanganyifu wakati wa kujibu maswali ya polisi; kuleta mashtaka ya uwongo; ama kutumia Kitambulisho bnaia). Kuunda, kujaza ama kubadilisha nakala yoyote (mfano, kuunda Kitambulisho bnaia; ama kuweka sahihi ya mzazi kwa cheti/cheki). Kupata pesa au mali kwa njia ya uwongo (mfano, kutumia kadi ya ununuzi ya mwalimu; ama kutumia kifaa cha kuibia utambulisho wa wapitaa njia). Kujaribu kubadilisha cheti rasmi (mfano, kubadilisha rekodi ya uhudhuriaji; ama kugeuza/kufuta alama ama matokeo ya mtihani). Kutatiza shughuli rasmi (mfano, kuficha ushahidi, kumtatiza shahidi ama kutatiza Uchunguzi kwa njia ingine ile; ama kujaribu kumhonga afisaa wa shule). TABIA TATIFU: Huu ukiukaji unamaanisha kuwa kwa pahali pa umma kwa sababu ya kusababisha utatizi, ukeraji, ama hofu, ama kusababisha hatari kwa makusudi [KRS (1)]: 1) Kufanya vita ama kuhusika kwa fujo ama tabia inayotia hofu na wasiwasi; 2) Kufanya kelele zisizo za kawaida; 3) Kukataa kufuata ombi rasmi la kujiondoa lililotolewa ili kuhakikisha usalama kwa kuwa karibu na tukio la dharura; ama 4) Kusababisha hali ya hatari ama tatifu kwa kitendo ambacho haakina maana halali. Mifano, ma mingine isiyokuwepo, ni hii: Kushiriki kwa kitendo tatifu amabacho hutatiza kwa kiasi kikubwa shughuli za masomo ama kazi zingine shuleni (mfano, kukimbia majumbani ukipiga milango mateke, kutoka darasani kwa kikundi kwa sababu za kunaamana, kuketi kwa vikundi kwa sababu za kunaamana, ama kususia masomo na shughuli za shule). Kushauri, kuhimiza, amakuchochea wengine kuanzisha ama kuchangia kitendo tatifu. Kukosa kutawanyika kutoka kwa kikundi baada ya kuombwa na afisaa wa shule ama polisi. KUHATARISHA WENGINE; HAZING: Ukiukaji huu unamaanisha kushauri, kuhimiza, ama kulazimisha mwingine kushiriki kwa kitendo ambacho hujeruhi ama huaibisha mshiriki ama mtu mwinngine. 17

22 KUHATARISHA WENGINE; UHATARISHAJI WA MAKUSUDI: Huu ukiukaji unamaanisha kujihusisha na vitendo ambavyo huchangia kwa kiasi kikubwa hatari ya kifo ama jeraha kwa mtu mwingine [KRS (1) na (1)]. Mifano, ma mingine isiyokuwepo, ni hii: Kusababisha hali ya hatari kwa kutumia vyombo (mfano, chombo cha kuchomea cha Bunsen burners, glasi, ama kemikali za rangi). Kumkimbiza mwanafunzi mwingine ukiwa umeshika chombo hatari (mfano, makasi). Kunaaa, kuendeleza, ama kushiriki kwa uanzishwaji kwa shirika, kundi ama kilabu cha siri, ama kinachohatarisha washiriki ama wengine. Kuendesha gari kwa ama karibu na eneo la shule kwa njia isiyo salama. Kuendesha gari kwa kasi kuzindisha viwango halali vya chuoni ama shuleni. Kuweka kizuizi kwa njia ya basi ama maeneo yanayotumiwa na abiria kushuka shuleni. KUPIGANA: Ukiukaji huu unamaanisha kujihusisha na vitendo vinavyokubalika kuwa vya kitishia, pamoja na uguzaji ambao waweza kusababisha jeraha. ILANI: Kujilinda kutafuata uamuzi wa mkuu wa shule baada ya kushughulikia maswala haya: mwanafunzi alichukua hatua hii kujilinda au alionyesha hamu ya kushiriki kwa pigano. Mifano, ma mingine isiyokuwepo, ni hii: Kuhusika kwa pigano la moja kwa moja (mfano, uguzaji wowote baina ya wanafunzi unaohusu kugonga, kukwaruza, kupiga mateke, kuvuta nywele, kupigana mieleka, ama kutumia ngumi; ama kushiriki kwa kilabu cha kupigana ). Kujihusisha ndani ya rabsha inayowahusu wanafunzi kadhaa ama kitendo kingine chochote kinachokaribia kuzuka kuwa fujo ambapo kundi moja ama zaidi limechangia hiyo rabsha kwa matamshi ama kimwili bila kujali ni nani aliyeanzisha hiyo rabsha. UCHEZAJI KAMARI: Ukiukaji huu unamaanisha kuhatarisha kitu cha thamana na matokeo ya mashindano, mchezo, mfano wa mchezo, ama kidude cha kuchezea kulingana na bahati, makubaliano ama kuelewa kuwa mtu fulani atapokea tuzo fulani ya dhamani kama tokeo litalingana na ombi lake, kwa eneo la shule ama shughuli ya shule. ILANI: Huu ukiukaji hauhusu vitendo vya bahati vilivyoidhinishwa na shule. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kunaaa ama kuhusika kwa mchezo wowote, kitendo, tukio, ama igizo linalotegemea, ujuzi ama bahati, amabayo kwa kawaida, huhitaji washiriki kuhatarisha pesa ama mali kwa tegemeo la kushinda bila kujali kama dau ni halali ama la. Kucheza mchezo wa ujuzi ama bahati (mfano, craps ama poker). Kuingia kwa maeneo ya Kamari (mfano, kama yale yamo kwa mtnaao). Kuweka dau kwa tukio lisilohitaji ushiriki wa moja kwa moja (mfano, matokeo ya michezo ya kitaalamu au viuo vikuu). Kufanya kazi ya kushikilia dau za wachezaji mpaka mchezo uishe kwa kusudi la kuwalipa washindi ama kunakili alama kwa sababu za malipo ya baadaye). MAZINGARA YA UHASAMA; UONEVU: Ukiukaji huu unamaanisha vitendo vya makusudi kuudhi mara kwa mara kwa kutumia maneno ama vitendo vingine vinavyohusu wenye nguvu juu ya wadhaifu. MAZINGARA YA UHASAMA; UNYANYASAJI (USIOHUSU JINSIA): Ukiukaji huu unamaanisha kutenda baadhi ya haya kwa lengo la kutisha, kunyanyasa, kukera ama kuhofisha mtu mwingine [KRS (1)]: 1) Kugonga, kusukuma, kupiga teke ama kumguza mtu mwingine bila idhini; 2) Kujaribu ama kutishia kugonga, kusukuma, kupiga teke, ama kuguza mtu mwingine bila idhini; 3) Kutoa tamko 18

23 linalokera sana, ishara, onyesho, ama hotuba inayotumia lugha inayomtusi mtu yeyote kwa eneo la umma ; 4) Kumfuata mtu ndani ama karibu na eneo ama maeneo ya umma; 5) Kujihusisha, tena na tena, kwa tabia ambayo hukera ama huudhi sana watu wengine bila maana halali; ama 6) Ukiwa umesajiliwa kama mwanafunzi wa wilaya ya shule, na ukiwa kwa eneo la shule, kwa usafiri uliodhaminiwa na shule, ama tukio la shule: Kuharibu ama kuiba ukiwa kwa hilo eneo; Kuvuruga, kwa njia kubwa, shughuli za shule; ama Kuchangia mazingara ya uhasama kwa kutumia ishara yoyote, manaishi, semi, ama vitendo ambavyo kwa kawaida mtu wa kawaida anafaa kujua vitendo vya aina hiyo vyaweza kumfanya mwanafunzi mwingine kuogopa kujeruhiwa, kuogofya, ama kuaibishwa. MAZINGARA YA UHASAMA; MAWASILIANO YA UNYANYASAJI: Ukiukaji huu unamaanisha kufanya baadhi ya hivi vitendo kwa lengo la kuhofisha, kunyanyasa, kukera ama kuogopesha mtu mwingine [KRS (1)]: 1). Kuwasiliana na mtu mwingine, bila kujitambulisha ama kwa uwazi, kwa simu, simu ya upepo, barua ama aina ingine ya mawasiliano ya unaishi kwa naman ambayo husababisha usumbufu ama hofu na hauna maana halali; 2) Kupiga simu, kama kuna maongeo ama hamna, bila maana ya mawasiliano halali; ama 3) Kuwasiliana, ukiwa umesajiliwa kama mwanafunzi wa wilaya ya shule, pamoja ama karibu na mwanafunzi mwingine shuleni, bila kujitambilisha ama kwa uwazi, kwa simu, kwa mtnaao, barua, ama aina ingine ya mawasiliano-elektroniki ama ya unaishi- kwa njia namna amabayo mtu wa kawaida anajua kuwa inaweza kusababisha hofu ama jeraha, kitisho, udhalilishaji, ama aibu bila maana halali ya mawasiliano. MAZINGARA YA UHASAMA; OGOFYA: Huu ukiukaji unamaanisha kumweka mtu mwingine, kwa makusudi, kwa hali ya kuogopa kujeruhiwa wakati wowote [KRS (1)]. MAZINGARA YA UHASAMA; KUFUTA BILA IDHINI: Ukiukaji huu unamaanisha kutenda kwa makusudi, ukimwelekeza mtu maalum, kwa hizi namna: 1) Huogofya sana, hukera, hutia hofu ama hunyanyasa mtu ama watu; na 2) Huwa haina maana halali [KRS (1)]. MAZINGARA YA UHASAMA; UCHOKOZI WA KIMWILI: Ukiukaji huu unamaanisha kitendo cha umiliki, mabavu ama ushambulizi ambacho nje ya njia za ajali, huumiza mtu mwingine ama mnyama. Kitendo chochote ambacho si ajali na kinachosababisha jeruhi kwa mtu mwingine kinakusudiwa kuunganishwa ndani ya ufafanizi huu ama ule wa kisheria wa Uchokozi [KRS mpaka ]; hizi fafanuo zitasomwa kwa upana na kueleweka kutosheleza maana ya tabia za aina hii. MAZINGARA YA UHASAMA; TISHO: Huu ukiukaji unamaanisha kutumia manaishi ama vitendo viinavyowasilisha tisho la uguzaji ambao waweza kusababisha jeruhi. MAZINGARA YA UHASAMA; MATUSI: Huu ukiukaji unamaanisha kutumia lugha ya matusi kwa kutumia maneno amabayo: 1) Hushambulia ama hudhuru mtu; 2) Husababisha mtu kuamini uwongo; ama 2) Kuongea uwongo kuhusu mtu fulani. ILANI: Vitendo vinavyohamasishwa na rangi, asili ya kitaifa, umri, dini, jinsia, mwelekeo wa ngono, ulemavu, ama sababu ingine isiyo na uhusiano wowote na vipawa vya mwanafunzi binafsi zaweza kudhuru afya, usalama, ustawi ama haki ya kuhudhuria shule ama kushiriki kwa shughuli za shule, hautavumiliwa. Vitendo zaidi vya aina hii: 1) Zitachunguzwa kulingana na kanuni za wilaya kuhusu uchokozi/ubaguzi; na 2) Vyaweza kuwa na adhabu kisheria. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Matusi, kuhadithia ama kufanya matani, ama kutumia picha ama vifaa vinavyokejeli rangi, asili ya kitaifa, umri, dini, ama ulemavu wa mtu mwingine. Kuchekelea kwa njia katili, kutishia, ama kubagua mwanafunzi mwingine. Bezo, kutishia, ama kuogofya mwanafunzi mwingine. Kujihusisha na uonevu mtnaaoni cyber-uonevu wa mwanafunzi mwingine (mfano, midea za ujamaa, kwa kutuma ujumbe mfupi kwa simu, ama kwa picha). 19

24 Kuchamaa ama kuchukua picha, kunaika ujumbe mfupi, ama kuonyesha ishara inayosambaza ujumbe wa madhara, uaibishaji, ama kutisha mpokeaji. Kutoa Maoni kuhusu mwanafunzi mwingine kwa misingi ya rangi, asili ya kitaifa, umri, dini, jinsia, mwelekeo wa ngono, ulemavu, ama sababu ingine isiyo na uhusiano na uwezo wa mwanafunzi binafsi, na ambayo yaweza kuzusha hitilafu kwa afya, usalama, ustawi wa mwanafunzi, ama haki ya kushiriki kwa shughuli za shule. Kusukuma, kuvuta, kugonga karibu na, kupiga karibu na mtu, kwa njia ambayo: 1) Hudumisha mazingara ya bezo; 2) Husababisha jeraha la mwili ama kisaikologia; ama 3) Husambaza dhamira ya kutumia fujo dhidi ya mtumwingine ama kuharibu mali yake. Kunyakua, kuguza, kupiga kofi, ama kuvuta nywele (mfano, kujaribu kumwingiza mtu asiyetaka kuingia kwa pigano). Kuonyesha nguvu (mfano, kumsukuma mtu kwa ukutal, kumzuia mtu kutembea ama kuvamia eneo binafsi la mtu mwingine). Kujihusisha na tabia ya kutishia ambayo husambaza dhamira ya kutumia fujo, nguvu ama shambulio la kufanya fujo ama husababisha hofu ya kushambuliwa kwa sababu mshambulizi ana uwezo wa kufaulu kutekeleza hilo shambulio (mfano, kuinua na kurudisha mkono au ngumi ili kufanya wazi kwa huyo mtu mwingine kuwa ako tayari kumpiga kofi ama ngumi; ama kurusha mkono ukimwelekeza mtu mwingine mpaka ahepe, ashtukeama ainue mkono akitarajia kugongwa). Kufanya fujo ama tabia isiyotabirika ukiwa karibu na mtu mwingine (mfano, kuchukua na kukirusha kiti ndani ya chumba). Kutumia lugha isiyo na heshima (mfano, kutumia lugha ambayo, mwanafunzi wa kawaida akiisikia, anahisi kuwa amedunishwa, amekosewa heshima ama ameshambuliwa; kutumia maneno ambayo hutusi mtu ama humsababisha kuamini uwongo; kuongea na waajiriwa kwa njia ya kupambana; kushiriki kwa kikao cha kifidhuli; kuwasiliana na mwalimu kama kwamba ni wa rika moja; ama kuongea bila heshima kwa waajiriwa). Kunaika manaisi ya kukeresha (mfano, ujumbe wa kunaikwa kwa mkono ama michamao; barua za kuchapishwa; habari kwa gazeti; michamao ama graffiti; barua pepe, jumbe fupi kwa simu; kurasa kwa mtnaao). Kufanya mashambulizi ya kibinafsi (mfano, kujihusisha na kitendo cha kukachifu kimatusi mwanafunzi mwingine ama mwajiriwa). Kutumia maneno ya pyamaamao dhidi ya mtu mwingine (mfano, kuapa dhidi ya mwanafunzi; ama kutumia lugha chafu dhidi ya msimamizi wa basi ama mwalimu). Kutisha ama kulipiza kisasi kwa njia yoyote dhidi ya mtu yeyote ambaye amepiga ripoti ama kushuhudia kitendo cha unyanyasaji, kuogofya ama ukiukaji mwingine wa Kanuni za Maadili kwa Wanafunzi. MAZINGARA YA HASAMA; UNYANYASAJI (JINSIA): Ukiukaji huu unamaanisha kitendo chochote kisicho cha kushemiana ama kutokubaliana kinachohusu jinsia au ngono kinachoonekana na mpokeaji, mtu wa tatu ama yeyote yule asiye wa akili punguani, kuwa kali au wa kuzidi kiasi, usiokubalika, usiokaribishwa, unaonyanyasa au kugagua kwa msingi wa jinsia. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kutusi, kuhadithia ama kufanya matani, au kutumia picha ama vyombo vinavyodunisha jinsia, utambulishi wa kingono, ama mwelekeo wa ngono ya mwingine Kukusudia kufanya ngono bila kukaribishwa kama kumguza mtu kwa mda mrefu bila idhini. Kufanya maombi ya kushiriki ngono yasiyo karibishwa ama kujaribu kumshurtisha mwingine kufanya mapenzi. Kusisitiza kuwa pamoja na mtu mwingine zaidi ya urafiki hata nyuma ya kujulishwa kuwa huyo mtu hataki urafiki wa aina hiyo. Kufanya mzaha/utani wa kimapenzi unaomkera mpokeaji. Kufanya matamshi yanayopendekeza mapenzi bila kukaribishwa. Kuongea kwa lugha inayopendekeza ngono/mapenzi. Kuuliza kuhusu mwelekeo wa kingono wa mwingine. 20

25 Kuonyesha picha za uchi ama picha za ngono, vyombo/vifaa, barua pepe, jumbe fupi za simu, ama faksi. Kuangalia kwa njia ya kingono, kupiga mbinja, ama kutumia ishara za mikono au uso zinazopendekeza ngono. Kusema maneno yanoyodunisha maumbile ya mtu mwingine. UKUIKAJI WA SERA KUHUSU MADAWA YASIYO HARAMU: Huu ukiukaji unamaanisha kumiliki, kutumia, kusambaza ama kuuza bidhaa ambayo yaweza kununuliwa kwa duka la dawa ama lingine lile lisilotaka idhini ya daktari ( OTC ) kwa njia kinyume na taratibu za shule. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kuweka dawa yoyote ya OTC (mfano, aspirin, Tylenol, madawa dhidi ya mzio kama Benadryl, ama madawa ya kulainisha kinyesi ama madawa yasiyohitaji idhini ya daktari prescription (mfano, kiuaviajisumu ama dawa la kohoozi) kwa mkoba au dawati. Kutumia madawa ya OTC bila kwanza kupata ruhusa ya maafisa wa shule. Kugawa, kuuza, kupeana, ama kupokea bidhaa kama ile kwa/kutoka kwa mwanafunzi mwingine (bila ushahidi kuwa hukudanganya kuhusu ujuzi wa kuwa ni au si dawa). TABIA YA KUKERA; TABIA YA KINGONO ISIYOKUBALIKA: Huu ukiukaji unamaanisha kujihusisha kwa ngono kwa makubaliano na heshima ya washiriki. TABIA YA KUKERA; KUJIFICHUA KIAIBU: Huu ukiukaji unamaanisha kufichua sehemu za siri kwa makusudi kwa hali ambayo mwanafunzi anajua, ama anafaa kujua, kuwa tabia kama hiyo inaweza kusababisha aibu ama hofu kwa mtu mwingine [KRS (1) na (1)]. TABIA YA KUKERA; PICHA ZA UCHI NA MANENO YA PYORORO: Huu ukiukaji unamaanisha kumiliki au kupata vitu/mambo yoyte, yawe ni kwa manaishi, ya kuchapishwa, ama ya elektroniki, ambayo: 1) Yanaonyesha ama kuashiria uchi ama ngono; na 2) Haina maana yoyote ya usomi, Sanaa, ama lolote lile. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kujifichua ama kumfichua mtu mwingine kwa mtu mmoja au zaidi (mfano, kuonyesha matiti, matako ama sehemu za siri; ama kuvuta suruari ya mwingine chini mara moja kimchezo- de-pantsing ). Kuwa na, kuonyesha, kusaambaza, kugawa ama kutengeneza filamu za kufanya mapenzi (mfano, kuleta vitu vya kutamanisha kingono shuleni; kutumia mtnaao kupata mambo ya kutamanisha kingono, ama kuunda vitu kama hivo darasani). Kufanya mapenzi ukiwa shulenil, ukielekea shuleni ama ukitoka shuleni, ama kwa shughuli inayodhaminiwa na shule. UHARIBIFU WA MALI AU UPAGAJI; UTUNDU HALIFU: Ukiukaji huu unamaanisha mtu [KRS to ]: 1) Kuumbua kwa makusudi, kuvunja ama kuharibu mali yoyote bila kuwa na haki ya kufanya hivyo ama msingi wowote wa kuamini kuwa ana hiyo haki; ama 2) Kugeuza mali kwa sababu ya kuweka maisha ama mali ya mwingine kwa hatari kimaksudi. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kuumbua eneo ama mali ya shule (mfano, tagging ). Kubomoa ishara, majani, vidude vya kumwaga maji, dirisha ama milango. Kuharibu samani (mfano, kukata manaishi kwa madawati), zana (mfano, vyoo) ama vifaa (mfano, mbwawa za kuweka vitu). kuhujumu (mfano, kuharibu mifereji). Kuharibu vitu vinavyotumiwa na kuisha (mfano, kurarua vitabu vya kusoma). Kuharibu mali ya binafsi kwa kisasi (mfano, kukata gurudumu za gari ya Mwalimu kwa kupata alama mbaya). 21

26 Kukata vifaa vya kushikanisha komputa, kubadilisha sehemu za komputa bila ruhusa, ama kuweka mifumo ya komputa ndani bila idhini. Kupelelza sehemu za siri, kuingiza virusi vya komputa, ama kubadilisha vibali vya watumizi wa mitambo. Kugeuza program za komputa ama data bila ruhusa. ILANI: Vitendo vinavyochochewa na rangi, asili ya taifa, umri, dini, jinsia, utambulishi wa jinsia, mwelekeo wa ngono, ulemavuy, ama sabau yoyote ile isiyohusiana na uwezo binafsi wa mwanafunzi unaweza kuwa kizuizi kwa afya, usalama, ustawi ama haki ya mwingine kuhudhuria shule ama kushiriki kwa shughuli za shule na hautavumiliwa. Juu ya hayo, vitendo kama hivyo: 1) Zitachunguzwa kulingana na kanuni za wilaya kuhusu uchokozi/ubaguzi; na 2) Vyaweza kuwa na adhabu kisheria. WIZI; KUIBA: Huu ukiukaji unamaanisha, kinyuma na sheria, kuchukua, kumiliki, kubeba, kuondoka na ama kuendesha gari na mali ya wilaya ama ya mtu mwingine bila tisho, mabavu, ama madhara ya kimwili. WIZI: KUMILIKI MALI YA KUIBIWA: Huu ukiukaji unamaanisha kununua, kuuza, kupokea ama, kwa njia ingine ile, kumiliki mali iliyoibiwa kwa wilaya ama mtu mwingine. ILANI: Mali yote ya binafsi na usalama wake ni wajibu wa mwenyewe yakiwa chuoni. Wilaya haina wajibu ka mali ya binafsi yanayoletwa viuoni. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kuchukua mali ya binafsi ya wengine (mifano, kuiba muziki, vidude vya elektroniki, mikoba, pochi, mfuko wa vitabu, bidhaa za dhamani, simu za mkononi, ipads, komputa za kubebea, vifaa vya muziki vya MP3 na za CD). Kutoa mali kutoka mamlakal, udhabiti ama utunzi wa wilaya ya shule, mwajiriwa, mwanafunzi ama mtu mwingine kwa njia isiyotumia mabavu, ya siri ama udanganyifu. Kuchukua mali ya shule ma wilaya (mfano, kutoka kwa maabara na kidude cha kuhifadhia data kwa mkoba ama kutoa vifaa kutoka kwa chumba cha kubadilisha mavazi). Kuchukua mali ya binafsi ya mwanafunzi ama mwajiriwa (mfano, kutoa pesa kutoka mkoba wa mwalimu, kunakili maneno kuhusu utambulisho wa mtu kwa maana ya kuiba utambulisho wake; ama kuficha mambo kuhusu kitu kilichouzwa, kubadilishwa). Kumsaidia mwanafunzi mwingine kwa kitendo kama hiki (mfano, kumwekea rafiki simu ya mkononi iliyoibiwa kwa chumba cha kubadilisha mavazi, ama kifaa kingine kwa gari kwa kusudi la kukiondoa chuoni baadaye). ILANI: Vitendo vinavyochochewa na rangi, asili ya taifa, umri, dini, jinsia, utambulishi wa jinsia, mwelekeo wa ngono, ulemavuy, ama sabau yoyote ile isiyohusiana na uwezo binafsi wa mwanafunzi unaweza kuwa kizuizi kwa afya, usalama, ustawi ama haki ya mwingine kuhudhuria shule ama kushiriki kwa shughuli za shule na hautavumiliwa. Juu ya hayo, vitendo kama hivyo: 1) Zitachunguzwa kulingana na kanuni za wilaya kuhusu uchokozi/ubaguzi; na 2) Vyaweza kuwa na adhabu kisheria. KIUKAJI ZA DARAJA LA IV Ukiukaji wa Daraja la IV ukiukaji unashughulikia ukosaji wa kiasi cha juu hivi kwamba karibu kila adhabu yake inahusu watu nje ya wilaya ya shule karibu kila wakati. POMBE AMA KILEO; KUMILIKI AMA KUTUMIA: Huu ukiukaji unamaanisha kumiliki ama kutumia bidhaa yoyote ambayo ni marufuku kwa mujibu wa sera za bodi (ona Sehemu 4.03). ILANI: Matumizi ya madawa yaliyoagiziwa ama kwa amri ya daktari (wa mwili ama meno) hayatachukuliwa kuwa kinyume cha azimio la FCPS KILEO AMA BIDHAA YOYOTE ILEWESHAYO; UGAWAJI, UHAMISHAJI AU KUUZA: Ukiukaji huu unamaanisha kuhamisha ama kuuza bidhaa yoyote marufuku kama inavyotambuliwa kwa sera za bodi (ona Sehemu 4.03). KILEO AMA BIDHAA YOYOTE ILEWESHAYO; KUWA MLEVI: Huu ukiukaji unamaanisha, kuonyesha tabia, kuonekana ama kuwa na harufu amabayo kwa kawaida huhusishwa na matumizi ya 22

27 pombe, madawa ya kulevya, ama bidhaa zingine ambazo hulewesha; pamoja na hatia zingine za ulevi isipokuwa kuendesha gari ukiwa umelewa (ona Sehemu 4.03). ILANI: Hapa Kentucky, ukiukaji huu ni sawa na kulewa pombe na/au kuwa mlevi kwa umma, ambao hutokea wakati mtu anapokuwa kwa pahali pa umma akiwa, kwa dhahiri, mlevi wa pombe, madawa ama kileo kingine chochote. Kumiliki, kusafirisha, kupokea, kubadilisha, kuuza, kuhamisha, kugawa, kuonyesha, kutumia ama kuwa mlevi kutokana na bidhaa kama: 1) Vinywaji vya aina ya pombe, vinavyotengenezwa kwa njia asili za kugnaisha (mifano, bia, mvinyo), vinywaji vingine kutoka kama hivi (mifano, mvinyo uliotongezewa nguvu ) ama vinywaji vinavyotengenezwa kwa kukenesha (mifano, vodka ama huiski); 2) Vivutaji vinavyoweza kulewesha (mifano, gundi, bidhaa za kuosha rangi, mfukizo wa nywele na bidhaa zingine zilizo na vipeperushaji tete); 3) Dawa ya aina ya OTC iliyo na kileo (mfano, dawa ya kukohoa); ama 4) Bidhaa zingine halisi amabazo zaweza kulewesha (mifano, chumvi za kuogea, salvia, K2 ama Spice ). UCHOMAJI WA MAKUSUDI: Ukiukaji huu unamaanisha kitendo, kinyume cha sheria, kinachohusu kuanzisha ama kujaribu kuanzisha moto ndani ya jumba la shule ama mali ya shule kwa makusudi. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kuanza moto ama kujaribu kuchoma mali ya shule ama wilaya (mifano: kuwasha vitabu, makaratasi, takataka, kurusha kifaa kichomaji kilicho na kipeperusha ndani ya chumba, ama kuwasha kifaa kilipuzi kinachoanzisha moto baadaye). Kuchoma ama kujaribu kuchoma mali ya binafsi (mfano: kutumia kiwashaji moto kuwasha moto ndani ya gari lililoegezwa). SHAMBULIZI: Huu ukiukaji unamaanisha kitendo chochote kinyume cha sheria ambacho husababisha jeraha kuu kwa mtu mwingine kwa njia isiyo ya ajali. Tabia yoyote isiyo ya ajali inayosababisha jeraha kwa mtu mwingine umeshughulikiwa na uko ndani ya fafanuzi za kisheria za Shambulizi [KRS mpaka ] ama ufafanuzi wa Mazingara ya Uhasama; Uchokozi wa Kimwili na hizi fafanuzi zitasomwa kwa upana kuhusisha tabia zote kama hizo. ILANI: Wahasiriwa wa shambulizi wana haki ya kujlinda. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kujeruhi wanafunzi ama waajiriwa wa shule. Kujeruhi mtu wa tatu ukiwa kwa vita (mfano: kumgonga mwalimu anayejaribu kukomeza hiyo vita). Kujihusisha za ugongaji wa mtazamaji (kujiunga na vita kama mtu wa tatu kama vita ishaanza). Kulipiza kisasi dhidi ya mgogamao usio wa kimwili. Kumwangazia mtumwingine hatari ya kiafya (mifano: kutema mate, kuuma, ama kumwagia ugiligili wa mwili mtu mwingine). Kufanya ushambulizi wa hatari (shambulizi kwa Silaha Hatari ama Kifaa Hatari; kusababisha jeruhi hatari kwa mtu mwingine; kufanya shambulizi ukijua, ama ukifaa kujua, kuwa mhasiriwa alikuwa afisaa wa Amani ama mwajiriwa wa shule akiwa kwa shughuli za shule). ILANI: Vitendo vinavyochochewa na rangi, asili ya taifa, umri, dini, jinsia, utambulishi wa jinsia, mwelekeo wa ngono, ulemavuy, ama sabau yoyote ile isiyohusiana na uwezo binafsi wa mwanafunzi unaweza kuwa kizuizi kwa afya, usalama, ustawi ama haki ya mwingine kuhudhuria shule ama kushiriki kwa shughuli za shule na hautavumiliwa. Juu ya hayo, vitendo kama hivyo: 1) Zitachunguzwa kulingana na kanuni za wilaya kuhusu uchokozi/ubaguzi; na 2) Vyaweza kuwa na adhabu kisheria. WIZI (KUINGIA KWA NYUMBA KWA MABAVU KWA NIA YA KUIBA): Ukiukaji huu unamaanisha kuingia ama kubaki ndani ya nyumba (au gari) kwa makusudi kinyume cha sheria kwa lengo la kufanya uhalifu [KRS to ]. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kuingia kwa nyumba kuchukua mali ya shule, wilaya ama ya binafsi (mfano: kujificha chuoni mpaka jioni kwa lengo la kuiba pesa iliyowachwa kwa dawati ambalo halijafungwa ama kutumia nguvu kufungua mlango wa gari ili kuiba mkoba ulioachwa kwa kiti cha mbele). 23

28 Kuingia kwa nyumba kwa lengo la kuharibu mali (mfano: kuingia kwa chumba spesheli usicho na idhini kuingia kuharibu waya za simu ama kutumia chombo cha kukata chuma kuvunja lango ili kuchamaa graffiti kwa ukuta wa jumba). Kuingia kwa chumba kwa lengo la kufanya uhalifu wa aina nyingine (mfano: kuingia kwa chumba kabla ya masaa ya shule ili kubadilisha alama ya mtihani ama kuvunja dirisha usiku ili kuharibu ndani ya shulel). Kuvunja na kuingia kwa mali ya watu wengine (mfano: kuharibu kifuli cha mashine ya kuuza vinywaji na kuiba pesa zilizomo). KIFAA HATARI: Huu ukiukaji unamaanisha kumiliki, kubeba, kupokea, kubadilishana, kuuza, kuhamisha, kugawa, kuonyesha, ama kutumia kifaa chochote, pamoja na sehemu za mwili (wakati jeraha hatari linapotokea moja kwa moja kutokana na kutumia hiyo sehemu ya mwili), kitu, ama kifaa ambacho, kwa sababu ya kilivyotumiwa, kilijaribiwa kutumiwa, ama kilitishiwa kutumiwa, kinaweza kusababisha kifo ama jeraha hatari kwa urahisi [KRS (3)] (ona Sehemu 4.03). ILANI: Huu ukiukaji unahusu fataki pia. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Risasi za bunduki. Vifaa vya michezo ama burudani bila ruhusa (mifano: bunduki aina ya BB, Air Soft, ya mpira wa rangi paintball, ya pellet, kombeo, upinde, n.k.). Fataki ama vifaa vingine vinavyoweza kushika moto (mifano: sparklers, roketi za pop bottle ama Black Cats ). Vifaa vya kuchimeka (mfano: petrol, mafuta taa). Vifaa vinavotoa gesi zinazonuka vibaya (mifano: gesi ya kutoa machozi, bomu ya moshi, ama bomu ya kunuka). Vifaa vilivyo na ubapa ama zaweza kukata (mfano: kisu cha mfukoni ama cha kuwinda). Vidude vinavyouma kama nyuki (mfano: dude lataser ). Vyombo vya kawaida (mifano: wembe ama kisu cha kukata makaratasi magumu). Vifaa vinavyofanana na vya kweli Miigizo (mfano: kisu cha mpira, raba). Vyombo vichukizi (mifano: mace, mvuke wa pilipili, na kemikali zingine za aina hii). Vifaa vya ofisini (mfano: kifungua barua ama kalamu). Kifaa cha kumulika cha aina ya laser. SILAHA HATARI: Huu ukiukaji unamaanisha kumiliki, kusafirisha, kupokea, kubadilishana, kuuza, kuhamisha, kugawa, kuonyesha, ama kutumia kifaa chochote kinachoguziwa ndani ya KRS (4) ama pahali pengine kwa sheria za jimbo (ona Sehemu 4.03). SILAHA HATARI; MFANO: Huu ukiukaji unamaanisha kumiliki, kusafirisha, kupokea, kubadilishana, kuuza, kuhamisha, kugawa, ama kuonyesha mfano wowote wa, Silaha Hatari ama kifaa cha kucheza kinachofanana nayo kama inavyofafanuliwa hapa juu (ona Sehemu 4.03). Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Silaha yoyote inayoweza kuua watu wengi mara moja [KRS (4)(a)] pamoja na, bila kuepua, kifaa kiharibifu (mifano: kilipuzi, kiwasha moto bomu ya gesi ya sumu, guruneti, bomu ya mtego, kombamaa, ama kifaa kingine kama hicho amoja na vifaa ambavyo havijaunganishwa pamoja) [KRS (1)] ama silaha ya mtego kitu ama kifaa kilichoundwa kuwa kwa siri, kuhatarisha maisha ama kuharibu mali) [KRS (2)]. Silaha yoyote amabayo risasi kutoka kwake, yaweza kuuwa kwa urahisi ama kusababisha jeraha kubwa, [KRS (4)(b)] pamoja, na bile kuepua, bunduki ya mkono (kama pistoli ama bastola ilyoundwa kufyatuliwa kwa mkono mmoja, ama silaha ingine yoyote ile ilyoundwa kufyatuliwa kwa mkono mmoja) [KRS (1) na (5)], bunduki refu [KRS (2) na (4) na (4)]. Vijenzi vya silaha hizi (kama sehemu ya nyuma, sehemu ya kuweka risasi, na kadhalika). Vifaa vingine vinavyonaamana na hizi silaha (kama kifaa cha kudunisha kelele/sauti). 24

29 Kifa ama vifaa vyovyote ambacho kitatumiwa, ama ambacho chaweza kubadilishwa kwa urahisi kufyatua risasi kwa nguvu za kilipuzi ama kepeperushi kingine, na ambacho kina sehemu ambayo yaweza kuwekewa risasi kilicho na upana unaozidi nusu ya inchi. Muungano wowote wa vijenzi vilivyoundwa ama kukusudiwa kutumiwa kubadilisha kifaa chochote kuwa kifaa kiharibifu kilichoelezewa kwa mifano miwili iliyotangulia hapa juu, na ambayo kutoka kwake, kifaa kiharibifu chaweza kuundwa kwa urahisi. Vifaa vinavyowakilishwa kama silaha (kama kifaa kilichofichwa na ambacho umbile lake linafanana na bunduki na kinachotambulishwa kama bunduki ama kitu kingine chochote kama kijiti au kidole kilichofichwa ndani ya nguo na kinachoonyeshwa kuwa kama bunduki). Vilipuzi vya kibiashara (mifano: baruti, vifaa vingine vya kulipua ama kemikali za ulipuzi). Miigizo ya silaha kama hizo (kama bunduki za kitoto/ za kuchezea). Kisu chochote bali na kisu cha kawaida cha mfuko ama cha kuwinda KRS (4)(c)]. Bakamaa, fimbo, ama rungu [KRS (4)(d)]. Aina ya fimbo ya Blackjack ama slapjack [KRS (4)(e)]. Vijiti vya karate vya Nunchaku [KRS (4)(f)]. MADAWA; KUMILIKI AMA KUTUMIA: Huu ukiukaji unamaaniha kumiliki ama kutumia bidhaa iliyo marufuku kulingana na sera za bodi (ona Sehemu 4.03). ILANI: Kutumia madawa yaliyoagiziwa na dakatari wa kawaida ama wa meno kama ilivyoagizwa hakutachukuliwa kama ukiukaji wa hiyo sera [FCPS ]. MADAWA; USAFIRISHAJI AMA UUZAJI: Huu ukiukaji unamaanisha kuhamisha ama kuuza bidhaa marufuku kulingana na sera za bodi (ona Sehemu 4.03). MADAWA; KUWA CHINI YA ADHARA ZA: Huu ukiukaji unamanishakuonyesha tabia kiwazi, kuonekana kimwili ama harufu kawaida kutoka kwa kutumia pombel, madawa ama vileo vingine; pamoja na hatia zote za ulevi bali na kuendesha gari chini ya adhara za ulevi (ona Sehemu 4.03). ILANI: Hapa Kentucky, ukiukaji huu ni sawa na kulewa pombe na/au kuwa mlevi kwa umma, ambao hutokea wakati mtu anapokuwa kwa pahali pa umma akiwa, kwa dhahiri, mlevi wa pombe, madawa ama kileo kingine chochote. Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kumiliki, kusafirisha, kupokea, kubadilishana, kuuza, kuhamisha, kugawa, kuonyesha, kutumia ama kuwa chini ya adhara ya bidhaa yoyote asili ama iliyotenegenezwa na binadamu iliyo kwa ratiba ya madawa yanayolindwa kwa karibu na serikali na idaraya serikali ya kusimamia madawa-united States Drug Enfamacement Umrincy (DEA) inayopatikana kwwa KRS 218A ama bidhaa yoyote inayoweza kuongezewana wizara ya serikali ya Kentucky Cabinet fama Families na Children kufuatana na sheria ya KRS 218A.020 ama (2) amabayo kwa kawaida huhusika na hali, mtazamo wa tabia, ikiwa na ama bila agizo rasmi la daktari ama ambalo haliwezi kuwa na sabau rasmi ya kuagiziwa na daktari, kama: 1) Madawa ya kupunguza uchungu ya nguvu zaidi (kama, heroini ama mamaphine) ; 2) Halusinojeni na psychedelics (kama, Bangi, LSD, na MDMA ama ecstasy ); 3) Madawa ya kuzindua huzuni (kama, dawa za kusaidia kulala na benzodiazepines ); 4) Madawa ya kutia chachamavu (kama, amphetamines, methamphetamines, cocaine na crack ); ama 5) Madawa ya kuongeza misuli nguvu (kama, dehydroepinarosterone ama DHEA). Kuwa na vifaa vinavyohusika na haya madawa (kama, sondano, viko, mifereji ya maji, makaratasi ya kukunjia sigara, wembe, tochi, ratili, ama mifuko). Kuwakilisha bidhaa ingine yoyote (kama, sukari ama amaegano) kama dawa aina hiyo. ULANGUZI: Huu ukiukaji unamaanisha upokeaji wa mali ya mwingine kwa kutishia kufanya: 1) Kumjeruhi yeye ama mtu mwingine ama kutenda kitendo kingine kinyume na sheria; 2) Kumshtaki mtu yeyote kuwa ni mhalifu; 3) Kufichua siri ambayo, kwa kuifunua, inamfungua mtu kwa uhasama, kejeli, dharau, ama kumharibia jina kwa jumla ama kibiashara; ama 4) Kutoa ushahidi ama kusema mambo au kuficha mambo ambayo ni muhimu kujitetea kamatini [KRS (1)]. 25

30 Mifano, na mingine isiyokuwemo, ni hii: Kutishia kumjeruhi mwanafunzi mwingine kama hatakuruhusu upate kitu anachokimiliki kwa hiari yake. Kutishia kumjeruhi rafiki wa kike wa mwanafunzi mwingine kama hatajiunga na genge. Kutishia kumshtaki Mwalimu kiuwongo kama hatabadilisha alama kwa mtihani. WIZI: Ukiukaji huu unamaanisha kutumia ama kutishia kutumia nguvu mara moja kwa lengo la kumwibia mtu [KRS na 030]. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Kudai mwanafunzi mwingine akupe pesa au mali yake na kuzitoa mfukoni mwake mwennyewe akikataa. Kumsukuma mwanafunzi mwenzako kwa ukuta kumlazimisha akupatie pesa ama mali yake. Kumgonga mwanafunzi mwenzako mara kadhaa baada ya kukataa kukupatia pesa ama mali yake. Kutumia silaha ama mwigizo wake kumlazimisha Mwalimu akupe pesa ama mali yake. HATIA YA KINGONO; SHAMBULIZI AMA UNAJISI: Huu ukiukaji unamaanisha kitendo chochote kinachohusu ngono kinyume cha sheria kama inavyoelezewa kwa KRS ambacho: 1) Kinahusu kumwingiza mtu mwingine kwa kitendo cha kingono (kuguza sehemu za siri) kwa nguvu; ama 2) Kuwa na mtu ambaya hana uwezo, kisheria, wa kutoa idhini ya kukubali kwa sababu za upungufu wa akili, upungufu wa kimwili, ama umri wake ni mdogo kiasi cha kutoweza kupeana ruhusa. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Kuguza ama kuondoa nguo zinazofunika sehemu za siri za mtu; kupapasa ama kututusa sehemu za siri za mtu (kama mbamao, kinena, titi, ama matako); kuguza mtu mwingine na sehemu yako ya siri; kumlazimisha mtu mwingine kuguza sehemu zako za siri. Kumlazimisha mtu mwingine kushiriki kwa ngono ama kitendo cha kingono. TISHIO LA KIGAIDI: Huu ukiukaji unamaanisha [KRS (1)]: 1) Kusema, kwa makusudi, mambo ya uwongo kuhusu uwakaji wa silaha ya kuwa watu wengi maramoja kwa mali yenyewe ama jumba lolote la shule ya msingi ama ya upili ya umma ama kibinafsi, shule ya kujifunza kazi fulanil, ama chuo cha masomo baada ya shule ya upili, basi la shule ama gari lolote linalimilikiwa, linaendelezwa, ama linalokodishwa na shulel, ama mali yenyewe ama jumba lolote linalomilikiwa ama kukodishwa na shule na linalotumiwa kwa shughuli rasmi za shule, ama mali yenyewe ama jumba lolote linalimilikiwa ama kukodishwa na idara ya serikali [KRS (1)(a)]; 2) Kuweka mwigizo wa silaha ya kuwa watu wengi mara moja, kinyume cha sheria na bila idhini anayofaa, pahali popote ama kwa chombo chochote Kufuatana na kanuni zinazoelezewa kwa KRS (1)(a) [KRS (1)(b)]; 3) Kutishia, katika shughuli ya shule, kufanya kitendo chochote kilicho na uwezo wa kusababisha, kifo ama jeraha hatari kwa kundi lolote la wanafunzi, mwalimu, mfanyikazi wa kujitolea, ama mfanyikazi wa shule ya msingi ama ya upili ya umma ama ya kibinafsi, shule ya kujifunza kazi, ama chuo cha masomo baada ya shule ya upili, ama kwa mtu yeyote, amabaye kwa kawaida, anatarajiwa kuwa, kisheria, kwa eneo/mali ya shule ama kwa shughuli inayodhaminiwana shule, kama hilotishio lina uhusiano na uajiriwa wake kwa shule, ama kazi ama kuhudhuria shule ama shughuli ya shule [KRS (1)(a)]; 4) Kusema maneneo ya uwongo kwa makusudi kuhusu kuweka silaha ya kuwa watu wengi mara moja kwa sehemu yoyote ile ambayo haijaelezewa kwa KRS [KRS (1)(b)]; 5) Kuweka, kwa makusudi, na bila idhini kisheria, mwigizo wa silaha ya kuwa watu wengi mara moja kwa sehemu ingine yoyote ambayo haijaelezewa kwa KRS [KRS (1)(c)]; 6) Kutishia kufanya uhalifu wowote ambao waweza kusababisha kifo ama jeraha hatari kwa mtu mwingine ama kusababisha adhara kubwa kwa mali ya mtu mwingine [KRS (1)(a)]; ama 7) Kusema maneno ya uwongo kwa makusudi kwa lengo la kusababisha uhamizi kutoka kwa jumba, pahali pa mkutano, jingo ama tengo la usafiri wa umma [KRS (1)(b)]. ILANI: Tishio linaloelekezwa kwa mtu ama watu ama shule halina haja ya kumtambua mtu ama watu hususan ama shulel ndio ukiukaji wa daraja hili kufanyika [KRS (1)(a)]. 26

31 Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Kuwasilisha barua, ILANI ya kuandikwa kwa mkono, barua pepe, ama jumbe fupi lililo na tishio la kifo. Kuunda ukurasa kwa mtandao kusema kuwa uchomaji wa makusudi utafanyika kwa eneo fulani la shule. Kuweka kilipuzi halisi ama mwigizo, kitu cha kuchomeka, barua, moja kwa moja, kilichofichwa, ama kifaa kinachotumia saa hadi mlipuko pamoja na ilani inayotishia mlipuko. Kufanya tishio lolote la aina hii (kama, kitendo chochote kinachotishia fujo ya kiwango cha juu kwa mwanafunzi, waajiriwa, ama mambo mengine ya shule ama wilaya kinachoandamana ama kisichoandamana na mawasiliano ya usemi, maandishi, ama ishara zinozoonyesha kuwa tukio kama hilo liko karibu ama tayari linafanyika). 4.0 KIUKAJI ZA KANUNI ZA MAADILI KWA WANAFUNZI-KUENDELEA ILANI ANDAMANAJI (KIUKAJI ZA SERA) Maelezo ya ziada kuhusu kiukaji halisi kanuni za maadili kwa mwanafunzi ama wanafunzi na wazazi/wasimamizi ni pamoja na haya: USUMBUFU KWA BASI Fadhila ya kusafiri kwa basi la shule inapatiwa wanafunzi wanaohitimu kwa mujibu wasera za Bodi ya Elimu ya Kata ya Fayette. Wanafunzi watakaopatikana kuwa wamekiuka taratibu za usafiri kwa basi waweza kuchuliwa hatua za adhabu kwa mujibu wa Mwelezeo na kwa tabia sawa shuleni, pamoja na, bila kuepuka, usimamishaji wa fadhila za kubebwa kwa basi kwa muda mfupi ama daima. Wanafunzi wanahitajika kuwa na heshima kwa basi za shule na kumwezesha dereva kuendesha kwa usalama bila kuhitilafishwa. Wanafunzi wanawajibika kufuata kanuni zote zilizoko kwa basi ya shule. Madereva wa basi za shule na wasaidizi wao wana mamalaka juu ya wanafunzi wasafiri. Ripoti kuhusu tabia mbaya basini zitaandikwa na dereva ama msaidizi wake na kuwasilishwa kwa Mwalimu mkuu. Tabia isiyofaa ni pamoja na, bila kuepuka, ukiukaji wa kanuni za kubebwa kwa basi zilizochapishwa kwa basi pamoja na tabia mbaya ya wanafunzi kwa kituo cha basi. Dereva wa basi ama msaidizi wake wakiona ukiukaji kwa mara ya kwanza, watamshauri huyo mwanafunzi kurekebisha hiyo tabia. Kama hatarekebisha tabia, dereva ama msaidizi wake wanaweza kuuliza huyo mwanafunzi atolewe kwa basi mara moja. Mwanafunzi atakayetolewa kwa jinsi hii anaweza kusafirishwa kwa basi linguine mpaka kituo cha usafirishaji. Mzazi/msimamizi atajulishwa aje kumchukua huyo mwanafunzi na ripoti ya tabia mbaya inayotayarishwa na dereva itawasilishwa kwa Mwalimu mkuu. ILANI: Ni lazima magari yote yasimame kwa sababu za wanafunzi kuingia kwa na kushuka kutoka kwa gari. Basi zilizosimama ili wanafunzi waingie ama washuke itapandisha ishara zake za kando zisemazo simama na mataa yake yatamenuka kwa ghafla. Haikubalishwi, mpaka kwa eneo la shule, kupita basi la shule wakati wanafunzi wanapoingia ama kushuka. Wakati pekee ambao si lazima kufuata hii kanuni ni wakati basi liko kwa barabara kubwa iliyo na vibarabara kadha, magari yanayoenda kwa njia tofauti na basi hazina budi kusimama. Madereva wa basi wanahimiziwa kujulisha kituo cha polisi cha karibu kama watu wanakiuka ishara ya simama. Mtu akipatikana na hatia hii, kwa kawaida korti hutoa adhabu ya alama 6 (sita) kwa leseni ya dereva, pamoja na faini na gharama za korti. VIUO VILIVYOFUNGWA Wanafunzi watabaki chuoni waliposajiliwa na katika sehemu zao rasmi kutoka wakati wanapowasili mpaka mwisho wa siku ya shule. Ruhusa kwa mwanafunzi kuondoka chuoni yaweza kupatianwa na Mwalimu mkuu peke yake ama msaidizi aliyemteuwa. Wanafunzi waweza kuwa chuoni ambako hawajasajiliwa ikiwa tu wako na idhini kutoka Mwalimu mkuu wa hiyo shulel. Adhabu za kukiuka na sera hii ni pamoja na, bila kuepuka, kusimamishwa ama kutupiliwa mbali vibali vya mwanafunzi huyo kuegeza gari chuoni. 27

32 4.0 KIUKAJI ZA KANUNI ZA MAADILI KWA WANAFUNZI-KUENDELEA ILANI ANDAMANAJI (KIUKAJI ZA SERA)-KUENDELEA KUPEANA DAWA Hakuna mwanafunzi atakayeruhusiwa kugawana madawa kutoka kwa daktari, madawa ya kununua kwa duka, ama dawa aina yoyote ile na mwanafunzi mwingine. Mwalimu mkuu atamnyang anya hiyo dawa na kumjulisha mzazi ua msimamizi wa huyo mwanafunzi. Hiyo dawa itawasilishwa kwa wanaofaa. Waajiriwa wa shule waliochaguliwa na Mwalimu mkuu watapeana dawa kamu tu hiyo dawa iliagizwa na daktari, daktari wa meno, ama mwuuguzi ajulikanaye kama Advanced Practice Registered Nurse (APRN). Antiseptiki na madawa/vifaa vingine vya dharura vitahifadhiwa kwa visanduku vya huduma ya dharura kwa mujibu wa sera za bodi Ruhusa ya Mzazi: Wanafunzi wanaweza kunywa dawa kutoka nyumbani na ruhusa, kwa maandishi, kutoka kwa mzazi, kama haya masharti yamezingatiwa. Dawa zitaletwa shuleni ndani ya vyombo halisi, pamoja na maagizo ya daktari, daktari wa meno, ama APRN kwa kunywa, ama ndani ya chombo halisi kutoka dukani pamoja na maagizo yaliyoandikwa na daktari, daktari wa meno, ama APRN yakiwemo. Habari itakayohitajika kuwa kwa hicho chombo ni pamoja na jina la mwanafunzi, jina la dawa na kiasi cha kunywa. Uwekaji: dawa zote zitakazopewa wanafunzi na waajiriwa wa shule walioidhinishwa zitawekwa shuleni kwa pahali salama, na panapolindwa kufuata maagizo ya Mwalimu mkuu. Juu ya haya, waajiriwa wa shule wataratibu kwa fomu zilizoidhinishwa, kila wakati wanapowapatia mwanafunzi dawa. Kwa hali zingine, ruhusa iliyoandikwa na mtaalamu wa afya itamruhusu mwanafunzi kubeba dawa ambazo anaweza kujipatia (kama kalamu ya epi-pen ama dawa ya hunusa ya pumu) [KRS na ]. VIDUDE VYA KIBINAFSI VYA ELEKTRONIKI Vidude vya kibinafsi vya elektroniki vyaweza kutumiwa na wanafunzi wakati wa shule, kwa ruhusa ya mwalimu, kwa sababu zinazohusiana na masomo. Kusambaziana data baina ya wanafunzi kupitia kebo, ushirikiano uitwao peer-to-peer ama ule wa infra-red wakati wa shughuli za darasa unaruhusiwa tu kwa idhini ya mwalimu. Vidude havitatumiwa kwa njia yoyote inayotatisha shughuli za elimu, pamoja na, bila kuepuka, kutishia uadilifu wa kimasomo ama kukiuka usiri ama haki za faragha za wengine. Mwalimu mkuu ana amri ya kuepuka haya mahitaji baada ya kukagua kila kesi kwa uangalifu. Mwalimu mkuu ama msaidizi wake anaweza kumnyang anya mwanafunzi kidude kama hicho (pamoja na kadi yoyote ya aina ya SIM). Hizi adhabu zinaweza kutumiwa kama mwongozo wa kiukaji za hii sera: Ukiukaji wa kwanza: Ukiukaji wa pili: Ukiukaji wa tatu: Ukiukaji wa nne na kiukaji za ziada: Kunyang anya kidude na kukirudisha kwa mzazi wa mwanafunzi. Kidude chaweza kurudishiwa mwanafunzi baada ya mawasiliano baina ya mzazi na Mwalimu mkuu. Kunyang anya kidude na kukirudisha kwa mzazi wa mwanafunzi baada ya siku 3 tatu) za shule. Kunyang anya kidude na kukirudisha kwa mzazi wa mwanafunzi baada ya the end of siku (tano) za shule. Adhabu mwafaka kufuata uamuzi wa Mwalimu mkuu ama mteule wake kulingana na Behavioral Manumriment Charts (ona Sehemu). ILANI: Kukosa kupatiana kidude ukiitishwa na mwaajiriwa wa shule utachukuliwa kuwa kama kukosa kufuata maagizo, na utahitaji mwanafunzi kuadhibiwa. 28

33 4.0 KIUKAJI ZA KANUNI ZA MAADILI KWA WANAFUNZI-KUENDELEA ILANI ANDAMANAJI (KIUKAJI ZA SERA)-KUENDELEA KUCHELEWA, KUACHILIWA MAPEMA, NA KUTOKUJA Wanafunzi wote wanatarajiwa kuhudhuria shule kwa utaratibu. Wanafunzi wasiokuja shuleni wanahitajiwa kuwa na sababu halali. Tukio la kutokuja linafasiliwa kama: Kuchelewa kunafasiliwa kama kufika baada ya wakati rasmi wa kuanza na kukosa chini ya ama sawa na 35% (asilimia thelathini na tano) ya siku ya shule; ama Kutokuja kunafasiliwa kama kutokuweko kwa nusu siku (36% - 84% ya siku ya shule) ama siku nzima (85% - 100% ya shule). Taratibu za kuripoti: Ndani ya siku 3 (tatu) baada ya kurudi shuleni, mwanafunzi atamkabidhi mwaajiriwa mteule barua ndogo, ikiwa na sahihi ya mzazi/msimamizi wake ama mtaalamu wa kimatibabu aliye na leseni. Hii barua itakuwa na haya mambo: Tarehe ya siku hii; Majina ya kwanza na ya mwisho ya mwanafunzi (yaandikwe kwa njia inayosomeka vizuri); Tarehe ya/za kutokuweko (sio tu siku za wiki); Sababu ya/za kutokuweko; na Sahihi ya mzazi/msimamizi. Mzazi/msimamizi anaweza kuwasilisha kupitia barua pepe picha ama nakala iliyopigwa picha, barua iliyo na sahihi yake. Kwa sababu za kimatibabu, ni lazima mzazi/msimamizi awasilishe sababu asili ya kimatibabu, amabayo yaweza kuitishwa kutoka kwa mtalamu wa kimatibabu mwenye leseni kutosheleza mahitaji ya rekodi za mzazi/msimamizi. Sababu za kimatibabu zinazowasilishwa kutoka kwa ofisi ya mtaalamu wa kimatibabu aliye na leseni kwa njia ya faksi zitakubaliwa pia. Kama barua iliyosahihishwa haitapokelewa shuleni ndani ya siku (tatu) 3, hilo tukio la kutokuweko litachukuliwa kuwa kama halikukubalishwa. Taratibu za ziada ni pamoja na hizi: Kuachiliwa mapemal kunafasilwa kama kuondoka shuleni ama programu kabla ya mwisho wa siku ya masomo. Kwa hali hama hizi, mwanafunzi ni lazima asahihishiwe kuingia na kutoka kwa shule na mzazi/msimamizi ama mtu mzima aliyeidhinishwa awali. Kuwasili kwa kuchelewa ama kuondoka mapema kutahesabiwa kama kuchelewa ama kutokuja kulingana na akati wa kufika na kuondoka. Kwa kila hali, masharti ya barua iliyosahihishwa yatakuwepo. Kama mwanafunzi atatumwa nyumbani kutoka shuleni kwa sababu ya ugonjwa, atakubaliwa kutokuwepo kwa hiyo siku; hata hivyo, kama huyo mwanafunzi hatakuwepo kwa siku zinazofuatana, masharti ya barua iliyosahihishwa yatakuwepo kwa hizo siku za kufuata. Kama mtoto ana ugonjwa sugu, mzazi/msimamizi anaweza kuomba fomu za ziada za wazazi kwa kuwasiliana na Mkurugenzi wa Maswala ya Wanafunzi-Director of Student Personnel kwa ofisi ya IAK Support Services. Kutokuweko kulioruhusishwa: Kwa mujibu wa sheria za jimbo na/ama sera za bodi, matukio ya kutokuweko yatahesabiwa kuwa na ruhusa kwa namna hizi: 29

34 4.0 KIUKAJI ZA KANUNI ZA MAADILI KWA WANAFUNZI-KUENDELEA ILANI ANDAMANAJI (KIUKAJI ZA SERA)-KUENDELEA Kutokuweko kwa sababu ya ugonjwa: Mzazi/msimamizi anaweza kuandika jumla ya barua (kumi) 10 zilizosahihishwa kila mwaka kwa kukosekana kwa sababu ya ugonjwa. Zaidi ya hii jumla, mwanafunzi atahitajika kutoa barua ya mtaalamu wa kimatibabu aliye na leseni (daktari, daktari wa meno, daktari wa akili, na kadhalika.) kwa kila kutokuweko kwa ziada kwa mwaka wa shule ili kupata ruhusa. Kuchelewa kwa sababu ya ugonjwa: Mzazi/msimamizi anaweza kuandika jumla ya barua (kumi) 10 zilizosahihishwa kila mwaka kwa kuchelewa kwa sababu ya ugonjwa. Zaidi ya hii jumla, mwanafunzi atahitajika kutoa barua ya mtaalamu wa kimatibabu aliye na leseni (daktari, daktari wa meno, daktari wa akili, na kadhalika.) kwa kila kutokuweko kwa ziada kwa mwaka wa shule ili kupata ruhusa. Kifo kwa jamii ya karibu ya mwanafunzi: Istilahi jamii ya karibu inamaanisha mzazi/msimamizi, - mzazi wa kambo, babu, nyanya, ndugu, ndugu wa kambo, ama mtu mwingine yeyote anayeishi kwa nyumba ya mwanafunzi. Barua ya mzazi/msimamizi wa mwanafunzi itahitajika. Siku kuu na shughuli za kidini: Barua ya mzazi/msimamizi wa mwanafunzi itahitajika Teuzi za daktari wa kawaida na meno: Mwanafunzi atapewa ruhusa kiasi kinachofaa kutimiza hizi teuzi pamoja na muda wa usafiri kwenda na kurudi. Siku na wakati wa uteuzi ni lazima udhihirishwe na daktari wa kawaida ama wa meno na usahihishwe halafu utumwe kutoka ofisini kwa kupiga picha asili ama kwa faksi. Ruhusa kutoka kwa daktari wa kawaida na wa meno: Ruhusa ya aina hii itaonyesha tarehe na/ama jumla ya siku amabazo mwanafunzi atahitaji ruhusa. Dharura za kijamii: Matukio yatakayohitaji kushughulikiwa mara moja hayatazidi matukio (matatu) 3) ya jumla kila mwaka wa shule, kulingana na idhini ya Mwalimu mkuu. Kutembelea viuo vikuu: Jumla ya matembezi matembezi (matatu) 3 kwa viuo vikuu yatakubalishwa kwa wanafunzi wa vidato vya tatu na nne. Ushahidi wa maandishi kutoka kwa chuo kikuu kinachotembelewa utahitajika. Maonyesho ya Jimbo la Kentucky: Siku moja (1) itakubalishwa kwa sababu ya kuhudhuria maonyesho kwa mujibu wa KRS (6). Uwepo Kortini unaohitaji mwanafunzi kuhudhuria: Mwanafunzi atapewa ruhusa kuhudhuria shughuli za korti kwa kiasi cha muda unaohitajika kumaliza hio shughuli pamoja na muda unaofaa kusafiri kortini na kurudi. Kujiunga na jeshi kwa vita: Mwanafunzi atapewa ruhusa kutokuwepo shuleni kutoka siku kabla ya, na siku ya mzazi kuondoka kujiunga na jeshi kwa vita. Likizo iliyoidhinishwa kutoka kwa jeshi: Mwanafunzi atapewa ruhusa kutokuwepo kwa mpaka siku (kumi) kwa sababu ya kumtembelea mzazi/msimamizi anayehudumu kwa jeshi la Marekani nje ya nchi na ambaye ako likizoni. Kurejea kutoka kwa jeshi: Mwanafunzi atapewa ruhusa kutokuwepo shuleni kwa siku ya, na ifuatayo kurejea kwa mzazi/msimamizi kutoka kwa jeshi. Nafasi za kujiendeleza kielimu (EHOs): Kwa mujibu wa KRS (2), hadi (siku) 10 za shule zaweza kutumiwa kufuatilia nafasi ya kujiendeleza kielimu kufuatana na mwongozo wa Mkurugenzi wa Maswala ya Wanafunzi wa FCPS kuhusu dhamana yake. Nafasi kama hizo ni pamoja na, bila kuepuka, kushiriki kwa mpango wa kubadilishana wanafunzi kutoka nchi zingine ama masomo zaidi kwa muda mfupi, masomo ya kutenda, ama program ya kusisitiza masomo ya msingi (Kiingereza, sayansi, hesabu, masomo ya jumuia, lugha ya kigeni, ama sanaa). Mwanafunzi atakayepata ruhusa kufuatilia nafasi hii atapata fursa ya kufanya kazi ya shule atakayokuwa amekosa bila kuadhiri alama yake vibaya kwa sababu ya kutokuweko ama kutoshiriki. Kwa maelezo zaidi kuhusu EHO, ona sera za bodi Sababu zingine rasmi zinafuata uamuzi wa Mwalimu mkuu. Kufanya kazi ulioikosa kwa sababu ya kutokuwepo kwa ruhusa kunakubaliwa kila wakati. Kutokuweko bila ruhusa: Kila kutokuwepo bila sababu zinazokubalika kunachukuliwa kuwa kama kutokuweko bila ruhusa. 30

35 4.0 KIUKAJI ZA KANUNI ZA MAADILI KWA WANAFUNZI-KUENDELEA ILANI ANDAMANAJI (KIUKAJI ZA SERA)-KUENDELEA Kazi ya ziada kuchukua nafasi ya uliyoikosa kwa kutokuweko bila ruhusa yaweza kukubaliwa kutoka kwa mwanafunzi kama Mwalimu mkuu, baada ya kushauriana na mwalimu, ataiidhinisha hiyo kazi. Kwa mwanafunzi asiyekuwepo bila ruhusa kwa sababu ya kusimamishwa, kazi ya ziada itapewa alama mwafaka. KIUKAJI ZA SERA ZA TEKNOLOJIA Matumizi ya uajibikaji ya komputa, program zake, vidude vya elektroniki, raslimali za mtandao, ama mitambo inayomilikiwa ama kutolewa na wilaya kwa matumizi ya kielimu yanaelezewa kwa sera ya FCPS inayojulikana kama Sera ya Matumizi Yanayokubalika- Acceptable Use Sera (AUP). Wanafunzi wanaokiuka AUP ya shule yao, iliyopitishwa na kamati ya SBDM, watapata adhabu sawa na kanuni za Mwongozo kuhusu tabia sawa nje ya mtandao na viongozi wa shule watatoa uamuzi wa mwisho. SILAHA ZA KIMCHEZO NA VIMULIKAJI VYA LASER Kuwakilisha silaha ya kimchezo mwigizo wa silaha kama silaha halisi na/ama kuitumia kuhofisha, kuogofya, ama kutisha mtu yeyote kutachukuliwa kama silaha halisi/ ya kweli ilitumiwa kulingana na sheria za nchi na jimbo. Vimulikaji vya aina ya Laser na aina zingine za silaha za kimchezo zaweza kuchukuliwa kama vyombo hatari. Mwanafunzi hana ruhusa, wakati wowote ule, kuwa na kimulikaji cha laser ama silaha ya kimchezo akiwa kwa eneo la shule, kwa basi la shulei, ama anapohudhuria shughuli inayodhaminiwa na shule ama kitendo kinachohusu shule. Kukataa kupeana silaha ya kimchezo ama kimulikaji cha laser kwa mwaajiriwa wa shule ukiulizwa utachukuliwa kama kukosa kufuata maagizo yao. UTOORO NA UTOORO WA MARA KWA MARA Mwanafunzi yeyote wa shule ya umma amabaye hajafikisha miaka, (ishirini na moja) 21 na ambaye hajakuweko kwa shule bila ruhusa halali kwa siku (tatu) 3 ama zaidi, ama kuchelewa kwa shule bila sababu halali kwa siku (tatu) 3 ama zaidi, atachukuliwa kuwa mtooro. Mwanafunzi ambayeameripotiwa kuwa mtooro mara 2 (mbili) ama zaidi atachukuliwa kuwa mtooro wa mara kwa mara; kwa hivyo, istilahi mtooro wa mara kwa marat unamaanisha kutokuweko mara 6 (sita) ama zaidi bila ruhusa. Waajiriwa wa shule watafuata taratibu hizi kuhusu utooro wa wanafunzi wa kawaida na ule wa mara kwa mara: Taratibu za kuhesabu utooro: Mwanafunzi akiwa mtooro, mzazi/msimamizi anaweza kupokea ujumbe mfupi kwa simu, simu, ama barua pepe kutoka kwa dude la kujiendesha lilalotuma jumbe za kielektroniki. Uamuzi ukifanywa kuwa mwanafunzi amefikisha tooro 6 (sita) bila ruhusa, shule zinahimizwa kuwasiliana na wazazi/wasimamizi kuwajulisha kuhusu sera za sasa za wilaya kuhusu uhudhuriaji wa shule. Kwa kesi kama hizi mzazi/msimamizi atatumiwa barua kuhusu sera za utooro na adhabu za tooro zikijumuika. Pendekezo la utooro litatumwa kutoka kwa shule kwa Idara ya Maswala ya Wanafunzi ya FCPS ya IAKSS kama mwanafunzi amekuwa mtooro wa mara kwa mara na shule imeweka rekodi kuonyesha hatua iliyochukua kurekebisha shida ya uhudhuriaji. Uamizi ukifanywa kuwa mwanafunzi amefikisha tooro 9 (tisa) bila ruhusa, barua itatumiwa mzazi/msimamizi kumjulisha kuhusu adhabu ya kujumlisha hizi tooro. Uamuzi ikifanywa kuwa mwanafunzi amefikisha tooro 12 (kumi na mbili) bila ruhusa, shule ama Ofisi ya Maswala ya Wanafunzi ya -FCPS Pupil Personnel Office-ya IAKSS itatuma barua ya onyo la mwisho kwa mzazi/msimamizi kumjulisha kuhusu uwezekano wa adhabu ya kisheria kuhusiana na jumla ya hizi tooro. 31

36 4.0 KIUKAJI ZA KANUNI ZA MAADILI KWA WANAFUNZI-KUENDELEA ILANI ANDAMANAJI (KIUKAJI ZA SERA)-KUENDELEA Taratibu za kuhesabu kutokuweko: Mwanafunzi aspokuwepo, mzazi/msimamizi anaweza kupokea ujumbe mfupi kwa simu, simu, ama barua pepe kutoka kwa dude la kujiendesha lilalotuma jumbe za kielektroniki. Uamuzi ukufanywa kuwa mwanafunzi amekosa kufika shuleni mara 3 (tatu) bila ruhusa, shule zinahimizwa kuwasiliana na wazazi/wasimamizi kuwajulisha kuhusu sera za sasa za wilaya kuhusu uhudhuriaji wa shule. Kwa kesi kama hizi mzazi/msimamizi atatumiwa barua kuhusu sera za kukosa kuhudhuria na adhabu zake tabia hii ikiendelea. Uamuzi ukufanywa kuwa mwanafunzi amekosa kufika shuleni mara 6 (sita) bila ruhusa, barua itatumiwa mzazi/msimamizi kumjulisha kuhusu hii tabia na adhabu za kuendelea kujumlisha visa vya kutofika shuleni bila ruhusa. Pendekezo la utooro litatumwa kutoka kwa shule kwa Idara ya Maswala ya Wanafunzi ya FCPS ya IAKSS kama mwanafunzi amekuwa mtooro wa mara kwa mara na shule imeweka rekodi kuonyesha hatua iliyochukua kurekebisha shida ya uhudhuriaji. Uamuzi ikifanywa kuwa mwanafunzi amefikisha jumla ya visa 9 (kumi na mbili) vya kutokuweko bila ruhusa, shule ama Ofisi ya Maswala ya Wanafunzi ya -FCPS Pupil Personnel Office-ya IAKSS itatuma barua ya onyo la mwisho kwa mzazi/msimamizi kumjulisha kuhusu uwezekano wa adhabu ya kisheria kuhusiana na jumla ya hivi visa vya kutokuweko. Pendekezo za Utooro: Bada ya mzazi/msimamizi kutumiwa kwa barua ama kupashwa mkononi onyo la mwisho na visa vya kutohudhuria bila ruhusa vinaendelea kuongezaka ama mwanafunzi ametambuliwa kuwa mtooro wa mara kwa mara, Ofisi ya Maswala ya Wanafunzi ya FCPS- Personnel Office-ya IAKSS na/ama mwaajiriwa wa shule personnel anaweza kufika nyumbani kwa mwanafunzi kuchunguza ama aandike ripoti kuonyesha kutokuwa na uwezo wa kufanya hivyo. Kama uhudhuriaji hautaimarika, Ofisi ya Maswala ya Wanafunzi ya FCPS-Personnel Office-ya IAKSS itaendelea kwa mujibu wa taratibu za KRS ama 922 KAR 1:330 kutafuta suluhisho kisheria. Watu ambao waweza kuajibika kuhusu utooro wa kawaida ama wa mara kwa mara: Mzazi, msimamizi, ama mlinzi wa mwanafunzi ambaye hajafikisha miaka 18 (kumi na minane) anaweza kuwajibika mwanafunzi akikosa kutii kanuni za utooro shuleni. Mwanafunzi aliyetimisha miaka 18 (kumi na minane), lakini bado kutimisha miaka 21 (ishirini na moja) anaweza kuwajibika akikosa kutii kanuni za utooro shuleni. Msimamizi wa mwanafunzi ambaye hajatimisha miaka 21 (ishirini na moja) aliyeteuliwa na korti anaweza kuwajibika mwanafunzi akikosa kutii kanuni za utooro shuleni. Adhabu za wawajibikaji wanaokosa kutii sheria za jimbo: Lalamiko la Uhalifu (KRS ): Mzazi, msimamizi, ama mlinzi yeyote anayekosa kutii sheria za utooro kwa makusudi atatozwa faini ya $100 (mia moja) kufuata hatia ya kwanza na $250 (mia mbili na hamsini) kwa hatia ya pili. Kila hatia kufuata ya kwanza itachukuliwa kuwa kosa dogo la Kitengo cha B (Class B). Lalamiko la Vijana (KRS ): Hatua zaweza kuchukuliwa dhidi ya mwanafunzi yeyote anayekosa kuhudhuria shule na kuwa mtooro. Beza ya Kimasomo: Ripoti ya beza ya kimasomo yaweza kujazwa kwa ofisi ya Wizara ya Jamii na Watoto ya Kentucky. Sera ya bodi itatumiwa kuamua ni tabia ipi inayoweza kuruhusiwa ili kukosa kuhudhuria shule (ona Sehemu 4.02). 32

37 4.0 KIUKAJI ZA KANUNI ZA MAADILI KWA WANAFUNZI-KUENDELEA ILANI ANDAMANAJI (KIUKAJI ZA SHERIA) KIUKAJI ZA KIHALIFU Wanafunzi waweza kushtakiwa kwa ukiukaji wa kihalifu juu ya kiukaji za kanuni za uadilifu kwa wanafunzi. Mashtaka na taratibu za korti kuhusu kiukaji za kihalifu ziko nje ya mamlaka ya FCPS Shule za Umma za Kata ya Fayette na zinaweza kuendelea sambamba na adhabu za shule sanctions kwa kiukaji zizi hizo. Shule ama waajiriwa wa bodi wanaojua ama wana sababu ya kuamini kuwa mwanafunzi ni mwathiriwa wa ukiukaji wa kitendo cha uhalifu chini ya KRS Sura ya 508 (shambulio, kuhatarishwa, tishio la kigaidi, ama unyemeleaji) uliotekelezwa na mwanafunzi mwingine akiwa kwa eneo la shule, kwa magari ya shule ama kwa shughuli iliyodhaminiwa na shule wanahitajika kupiga ripoti mara moja (kwa usemi ama maandishi) kwa Mwalimu mkuu wa shule anayohudhuria mwadhiriwa. Mwalimu mkuu atamjulisha mzazi/msimamizi ama wengine walio na jukumu ya ulinzi juu ya mwanafunzi, mkurugenzi wa shule na Idara ya Utunzaji Sheria ya FCPS. Kabla ya masaa masaa 48 (arobaini na nane), kuisha, Mwalimu mkuu atafuata hiyo ripoti ya kwanza na ripoti ya kuandikwa iliyo na jina na anwani ya mwanafunzi anayeaminikwa kuwa mwadhiriwa wa kitendo cha uhalifu pamoja na jina na anwani ya mzazi au wazazi/msimamizi au wasimamizi wake, umri wa mwanafunzi, jinsi ya uhalifu, na jina na Anwani ya mwanafunzi anayeaminiwa kuwa mtekelezaji wa huo uhalifu. Kadri ya uwezo, shule na waajiriwa wa bodi wanafaa kuchukua hatua zote kulinda utambulisho wa mlalamishi wakati wa kuandika ripoti, kuchunguza, ama kuadhibu mwanafunzi kwa hatia kama hiyo. Juu ya haya, Mwalimu mkuu wa shule ataendelea kufuata kanuni za kudumisha nidhamu sambamba na Mwongozo. POMBE, DAWA ZA KULEVYA, DAWA ZA KUSANIDIWA, NA BIDHAA ZINAZOLEWESHA Hakuna mwanafunzi atakayemiliki, tumia, kuwa chini ya nguvu ya, uza, ama hamisha vinywaji vya kulewesha, mihadarati, madawa ya kulevya, miigizo ya madawa ya kulevya, madawa ya kulevya bandia, ama bidhaa zingine za kulevya, ama kumiliki, kuuza, ama kusafirisha vyombo vya kutumia na madawa kwa eneo la shule, ukiwa njiani kuelekea ama kutoka shuleni, ama kwa eneo lolote ambapo shughuli za shule zinaendelea. Kwa sababu ya tofauti za viwango vya kukomaa baina ya wanafunzi wa shule za msingi, waalimu wakuu wa hizo shule wanaweza kutekeleza sera za madawa ya kulevya, pombe, bidhaa za kulewesha kwa nji isiyo kali kiasi cha ilivyoelezewa hapa. Ufafanuzi wa Madawa: Istilahihi bidhaa zilizowekewa vikwazo inamaanisha bidhaa yoyote ama ingine yote ya awali inayotajwa kwa Sura ya 218A ya Sheria Zilizobadilishwa za Kentucky-Kentucky Revised Statutes- ama bidhaa ingine yoyote ambayo yaweza kuongezwa na Wizara ya Jamii na Watoto ya Kentucky kwa mujibu wa kanuni za KRS 218A.020 ama KRS (2). Madawa pia yataamanisha bidhaa yoyote ambayo inaweza kulewesha, pamoja na madawa ya kusanidiwa ama bidhaa zingine bila kujali zinavyonywewa ama kutumiwa, pamoja na kunusa, kumeza kwa mdomo, na/ama kujidunga. Madawa pia yatamaanisha bidhaa yoyote tete ambayo ni marufuku kama inavyofafanuliwa kwa KRS inayotumiwa ama kukusudiwa kwa njia haribifu ama ya kulewesha. Utumizi wa madawa yalioagiziwa na daktari wa kawaida ama wa meno hayatachukuliwa kama ukiukaji sera ya bodi kuhusu madawa. Umilikaji, matumizi, ama kuwa chini ya nguvu ya: Hatia ya Kwanza: Hatia ya kwanza ya kumiliki, kutumia, ama kuwa chini ya nguvu ya madawa, pombe ama bidhaa inayoweza kulewesha itakuwa na adhabu ya kusimamishwa kwa siku 10(kumi). Siku tano (5) za kusimamishwa huku zitaahirishwa na kutotekelezwa kwa siku zinazobaki kwa mwaka wa shule, kama jamii, kwa gharama yake: 33

38 4.0 KIUKAJI ZA KANUNI ZA MAADILI KWA WANAFUNZI-KUENDELEA ILANI ANDAMANAJI (KIUKAJI ZA SHERIA) o o Itatafuta ama kukubali pendekezo la kuchunguzwa kwa mwanafunzi kuhusu matumizi yake ya pombe ama madawa kutoka kwa mtaalamu wa utawaliwaji wa kemikali aliye na leseni na ambaye anakubalika kwa wilaya ya shule, na mwanafunzi amalize ama aonyeshe juhudi ya haki kushiriki kwa mpango wa kumsaidia kuishinda hio tabia. Barua kutoka kwa huyo mtaalamu kudhibitisha kuwa Uchunguzi ulimalizika ama mwanafunzi alifika pale utahitajika kabla ya kurejea shuleni; na Akubaliane na masharti ya ziada yatakayohitajika baada ya uchunguzi. Kukosa kufuata haya masharti kutakuwa na matokeo ya kuzirudisha zile siku 5 (tano) zilizoahirishwa kufuata kusimamishwa. Pendekezo lolote la uchunguzi litamalizwa ndani ya siku 15 (kumi na tano) za mwezi kutoka siku ya kwanza ya kusimamishwa. Siku ambazo mwanafunzi atakuwa kwa matibabu ya kutumia kemikali kwa kitua kinachotambulika utachukuliwa kama kutokuweko kwa ruhusa. Hatia ya Pili: Hatia ya pili ya kumiliki, kutumia, ama kuwa chini ya nguvu ya madawa, pombe ama bidhaa inayoweza kulewesha itakuwa na adhabu ya kusimamishwa kwa siku 10 (kumi). Siku tano (5) za kusimamishwa huku zitaahirishwa na kutotekelezwa kwa siku zinazobakia kwa mwaka wa shule, kama jamii itadhibitisha hatua za kujaribu kufuata masharti yanayokubaliwa kwa hatia ya kwanza na, jamii, kwa gharama yake: o o o Itatafuta ama kukubali pendekezo la kuchunguzwa kwa mwanafunzi kuhusu matumizi yake ya pombe ama madawa kutoka kwa mtaalamu wa utawaliwaji wa kemikali aliye na leseni na ambaye anakubalika kwa wilaya ya shule, na mwanafunzi amalize ama aonyeshe juhudi ya haki kushiriki kwa mpango wa kumsaidia kuishinda hio tabia na Aonyeshe ushahidi wa maandishi kutoka kwa mtaalamu aliyefanya uchunguzi ama mwanafunzi alifika kupata Uchunguzi wakati wa kurejea shuleni; na Akubaliane na masharti ya ziada yatakayohitajika baada ya uchunguzi. Kukosa kufuata haya masharti kutakuwa na matokeo ya kuzirudisha zile siku 5 (tano) zilizoahirishwa kufuata kusimamishwa. Hatia ya Tatu: Hatia ya tatu ya kumiliki, kutumia, ama kuwa chini ya nguvu ya madawa, pombe ama bidhaa inayoweza kulewesha ndani ya miaka 3 (tatu) itafuatwa na kusimamishwa mara moja kwa siku 10 (kumi) na pendelezo la kufukuzwa kwa mkurugenzi kutoka kwa mwalimu mkuu. Juu ya haya, jamii kwa gharama yake, ita: o o o Itatafuta ama kukubali pendekezo la kuchunguzwa kwa mwanafunzi kuhusu matumizi yake ya pombe ama madawa kutoka kwa mtaalamu wa utawaliwaji wa kemikali aliye na leseni na ambaye anakubalika kwa wilaya ya shule, na mwanafunzi amalize ama aonyeshe juhudi ya haki kushiriki kwa mpango wa kumsaidia kuishinda hio tabia na Aonyeshe ushahidi wa maandishi kutoka kwa mtaalamu aliyefanya uchunguzi ama mwanafunzi alifika kupata Uchunguzi wakati wa kurejea shuleni; na Akubaliane na masharti mengine yaliyochaguliwa kulingana na matakwa ya kufuata uchunguzi. Uuzaji ama uhamishaji: Uuzaji wa, uhamishaji wa, ama dhamira ya kuuza ama kuhamisha, vinywaji vya kulewesha, mihadarati, madawa ya kulevya, madawa bandia ya kulevya, miigizo ya madawa ya kulevya, ama bidhaa zingine za kulewesha utafuata na kusimamishwa mara moja kwa siku 10 (kumi) na pendekezo la kufukuzwa shule kwa mkurugenzi kutoka kwa mwalimu mkuu, msimamizi wa shule, ama mkuu wa maswala ya wanafunzi. Siku za kusimamishwa zaweza kuondolewa mwanafunzi akisajiliwa kwa shule ya mbadala na kufuata idhini ya mwalimu mkuu. Wazazi/wasimamizi na wanafunzi wanahimizwa kushiriki kwa vikao vya elimu vinavyohusu hatia hususan kwa gharama yao. Kwa maelezo zaidi kuhusu vikao vya elimu hususan, wasiliana na shule. 34

39 4.0 KIUKAJI ZA KANUNI ZA MAADILI KWA WANAFUNZI-KUENDELEA ILANI ANDAMANAJI (KIUKAJI ZA SHERIA)-KUENDELEA. UONEVU Uonevu unamaanisha tabia yoyote isiyofurahisha iwe kwa namna ama jinsi ya kuongea, kuguza, ama ya kijumuiya na imbayo inahusisha ukosefu wa usawa wa amri ama nguvu na ambayo inarudiwa ama ina uwezo wa kurudiwa hivi: o o o Kwa eneo la shule, jinsi za usafiri zinazothaminiwa na shule Kwa shughuli iliyothaminiwa na shule Ama inayotatiza shughuli ya masomo Uonevu ni vitendo vya makusudi vya, vitendo vya kukera vya mara kwa mara, maneno ama tabia zingine zinazohusu kutokuwa na urari wa nguvu. Hivi vitendo ni pamoja na, bila kuepuka, matusi, kukejeli, kutishia, ubaguzi wa kijumuia, na uonevu unaofanyika kwa mtandao. Uonevu wa Cyber ni utumizi wa Teknologia ya Mawasiliano ya Habari-Informaion and Communications Technology-(ICT), haswa simu za mkononi na mtandao, kwa lengo la kumkasirisha mtu mwingine kwa makusudi. Uonevu wa Cyber ni tengo ama aina ya uonevu. Uonevu wa Cyber unaweza kuwakilisha aina nyingi za tabia zisizokubalika, pamoja na usumbufu, vitisho na matusi, na kama uonevu wa uso kwa uso, uonevu wa Cyber una nia ya kusababisha dhiki na madhara. Uonevu unaweza kuwa wa kimwili, matamshi, hisia ama ngono. Juu ya uonevu, wanafunzi hawatajihusisha na tabia kama kuhaze, kuhatarisha, kuchochesha, kuwatumia wengine vibaya kwa vitendo na maneno (pamoja na waajiriwa), ama tabia zingine zinazovuruga njia ya mwanafunzi kupata elimu ama yana madhara kwa ustawi wake. Tabia yoyote kama hii ni haribifu kwa masomo na hutia kizuizi kwa uwezo wa wanafunzi wengine kupata faida zote za elimu zilizopo. Haya masharti hayana maana ambayo yaweza kutafsiriwa kumaanisha upigaji marufuku wa ubadilishanaji wa maoni ama mjadala, haki ambazo zinalindwa kwa katiba za jimbo na za nchi, na ambapo maoni yanayojadiliwa hayaadhiri elimu kwa undani ama kwa njia kubwa; hata hivyo, wanafunzi watakaokiuka hii sera watachukuliwa hatua zifaazo kiadhabu. Mwanafunzi ambaye anaamini kuwa ni mwasiriwa wa uonevu, kuhaze, ama ukiukaji mwingine wa kanuni za maadili ya mwanafunzi anafaa kuripoti mara moja kwa Mwalimu yeyote, mshauri, ama kiongozi shuleni. Madai ya unyanyasaji ama ubaguzi yatashughulikiwa kwa mujibu wa sera ya bodi UNYANYASAJI/UBAGUZI Bodi ya Elimu ya Kata ya Fayette imepitiza sera zinazopiga marufuku unyanyasaji na unyimanaji wa nafasi sawa za elimu kwa wanafunzi. No ubaguzi is allowed on the basis of rangi, colama, national amaigin, umri, religion, jinsia, gender identity, jinsiaual amaientation, ama ulemavu. Tabia Marufuku: Tabia na/ama vitendo marufuku chini ya sera hizi ni pamoja na, bila kuepuka, ni hivi: Matusi, hadithi, mizaha, picha, ama vifaa vinavyokera mtu kwa misingi ya rangi, asili ya kitaifa, umri, dini, jinsia, utambulisho wa kingono, mwelekeo wa ngono, ama ulemavu. Uguzaji usiotakikana, kusogea mtu kwa lengo la ngono kama yeye hataki, maombi ya kushiriki kingono, na kueneza uvumi wa kingono. Watu wa jinsia moja kukejeliwa na wale wa jinsia tofauti. Kuzuia maendeleo ya mwanafunzi kwa kudunisha uwezo wake kufanya kazi inayotakikana kwa misingi ya vikundi vilivyotajawa hapa juu.. 35

40 4.0 KIUKAJI ZA KANUNI ZA MAADILI KWA WANAFUNZI-KUENDELEA ILANI ANDAMANAJI (KIUKAJI ZA SHERIA)-KUENDELEA Kuweka vizuizi kwa nafasi za mwanafunzi kufikia vyombo vya elimu (kama, komputa), kwa misingi ya vikundi vilivyotajawa hapa juu. Kukejeli uchaguzi wa somo wa mwanafunzi kwa misingi ya vikundi vilivyotajawa hapa juu. Ulipizaji wa kisasi dhidi ya mtu yeyote anayeripoti ama kushuhudia vitendo vya unyanyasaji ama ubaguzi ni hatia ya Daraja la III. Mwanafunzi ama mzazi akiamini kuwa mwanafunzi amenyanyaswa ama kubaguliwa, anaweza kuandikisha lalamiko akitumia utaratibu wa Fayette County Board of Education Harassment/discrimination Complaint Taratibu [FCPS ]. Nakala ya huu utaratibu unapatikana kwa ofisi ya mwalimu mkuu kwa kila shule, kwa ofisi ya Mkurugenzi wa Shule (IAKSS), ama kwa mtanadao HATIA DHIDI YA WAFANYIKAZI WA SHULE Hakuna mwanafunzi atakayekubaliwa kushambulia, kutishia shambulizi, ama kumtumia mtu mwingine vibaya kimwili ama kwa maneno wafanyikazi wa wilaya ya shule ama kuiba ama kuumbua, kuharibu, ama kuadhiri-kwa makusudi-mali ya binafsi ama ya wafanyikazi wa shule kwa eneo la shule, nje ya eneo la shule, ama kwa shughuli zilizodhaminiwa na shule [KRS (1)(b), na ]. VITISHO VYA FUJO, SHAMBULIZI, NA KIGAIDI Bodi ya Elimu ya Kata ya Fayette imepitisha sera za kuhakikisha kuwa wanafunzi, waalimu na wafanyikazi wengine wa shule hawatatishwa ama kushambuliwa kutokana na tabia za wanafunzi. Mwanafunzi yeyote amabaye atatisha, kushambulia, kugonga, ama kumtumia vibaya mwanafunzi mwingine atachukuliwa hatua ya nidhamu ifaayo, amabayo yaweza kuwa kusimamishwa ama kufukuzwa kutoka kwa shule, na/ama hatua za kisheria. Tabia na/ama vitendo marufuku chini ya sera hizi ni pamoja na, bila kuepuka, ni hivi: Semi ama maandishi ama ishara za mikono na wanafunzi zinazoonyesha dhamira ya kusababisha madhara kwa wenyewe, wengine ama mali (pamoja na kuweka orodha ya watu wa kudhuru- hit list ). Shambulio la wanafunzi linalosababisha madhara kwa wenyewe kimakusudi, wengine ama mali. Kitendo cha kutishia fujo ama vurugu kwa mtu mwingine. Kufanya, ama kuhusika kwa kufanya, tisho la bomu ama silaha ya kemikali, kibayolojia ama nyuklia lililowekwa kwa ama liko karibu kulipuka explode ndani ya jengo la shule, ebneo la shule, kwa basi la shule, kwa kituo cha basi ama kwa shughuli zilizodhaminiwa na shule. Mwanafunzi akiaminiwa kuwa amefanya tisho la madhara dhidi ya mwanafunzi mwingine, mwalimu ama mfanyikazi mwingine wa shule, shule ama wilaya itachukua hatua mwafaka kuchunguza kitendo hicho na kuchukua hatua mwafaka za kinidhamu na/ama hatua za sheria. Taratibu za kuchunguza na kujibu vitisho vya madhara ni pamoja na, bila kuepuka: Kumtoa mwanafunzi kutoka kwa darasa na/ama magari ya wilaya tukingojea hatua zingine za kinidhamu amabazo zaweza kufuata. Mwalimu mkuu ama mteule wake kuchunguza kisa hicho. Pendekezo la kufanyiwa uchunguzi wa tisho kama itakakinavyo kwa mujibu wa taratibu za FCPS kuhusu maswala haya. Huu uchunguzi unaweza kuhusisha mwanafunzi kuhojiwa na daktari wa akili wa shule, mshauri wa shule, ama wataalamu wengine walioajiriwa kwa shule, na/ama waajiriwa wa wilaya kama itakakinavyo. Arafa ya, na uwezekano wa uchunguzi wa ziada, wa maafisa wa utunzaji wa sheria wa FCPS. Arafa kwa wazazi/wasimamizi na wengine kwa mujibu wa sheria na sera za jimbo na bodi. 36

41 4.0 KIUKAJI ZA KANUNI ZA MAADILI KWA WANAFUNZI-KUENDELEA ILANI ANDAMANAJI (KIUKAJI ZA SHERIA)-KUENDELEA SILAHA NA VYOMBO HATARI Kwa sababu ya tofauti za viwango vya kukomaa vya wanafunzi wa shule za msingi, walimu wakuu wa hizo shule waweza kutekeleza sera za silaha na vyombo hatari kwa njia zisizo kali na tofauti na zilizozungumziwa hapa; pasipo hivyo, wanafunzi watakaojihusisha na tabia hizi watapata pendekezo la kufukuzwa: Bunduki/Kilipuzi: Ili kutii sheria ya nchi kuhusu bunduki na vilipuzi iitwayo Gun-Free Schools Act Shule zisizokulisha bunduki), na kwa sababu ya tengo hili, bunduki/kilipuzi zinaeleweka hivi: o o o o o o Silaha yoyote ambayo ita- ama iliyoundwa ama yaweza kurekebishwa kwa urahisi kurusha kidude kwa kitendo cha kulipuka. Umbile ama kipokezi cha silaha yoyote iliyotajwa hapa juu. Dude lolote la kupunguza sauti ya mlipuko wa bunduki. Kilipuzi chochote, kichomekaji, ama gesi ya sumu: 1) Bomu; 2) Guruneti; 3) Kombora iliyo na kipeperushi cha uzani wa zaidi ya aunsi (nne); 4) Kombora iliyo na kilipuzi ama kichomekaji kilicho na uzani zaidi ya aunsi 1/4 (robo); ama 5) Dude dogo la aina sawa. Silaha yoyote amabayo ita-, ama yaweza kubadilishwa kwa rahisi, kurusha risasi kwa kitendo cha kulipuka ama kipeperushi kingine na amabayo ina kipipa kilicho na shimo la upana unaozidi 1/2" (nusu inchi). Mchanganyiko wowote wa sehemu zilizoundwa ama kukusudiwa kutumiwa kurekebisha kifaa chochote kuwa kiharibifu kulingana na mifano iliyozungumziwa hapa juu, na ambao kutoka kwake kifaa cha hatari chaweza kuundwa kwa urahisi. Mmwanafunzi anayeleta silaha/kilipuzi kwa mali ya shule ama shughuli ya shule atasimamishwa kutoka shuleni kwa siku 10 (kumi) na mkurugenzi ataripoti kisa hicho kwa bodi ili mwanafunzi afukuzwe, kwa muda amao waweza kuwa ama kufikia mwaka1 (mmoja). Bodi yaweza kufanya mabadilisho kwa haya mapendekezo kesi kwa kesi. Mwalimu mkuu ataripoti kisa kama hicho, pamoja na vili vinavyohusu wanafunzi wa shule za msingi, kwa mkurugenzi. Juu ya hayo, mwalimu mkuu ataandika ripoti ya lalamiko/hatia na Idara ya Utunzaji wa Sheria ya FCPS kwa kila kisa. Mkurugenzi ama mteule wake ataamua kuwa mwanafunzi aliyehusika ana ulemavu unaotambuliwa. Visa vinavyohusu wanafunzi walio na ulemavu vitashughulikiwa na kamati mwafaka ya Kuingia na Kutoka (ARC) na kuamuliwa kulingana na kesi kwa kesi kwa mujibu wa sheria za nchi nzima na jimbo, ambapo mwanafunzi bila ulemavu kama huo atapendekezwa kwa bodi kwa kesi ya kufukuzwa. Silaha Hatari (Bali na Bunduki/Kifaa Kilipuzi): Kwa kuzingatia ysalama wa wanafunzi wote na waajiriwa, umiliki wa Silaha Hatari, kwa mujibu wa Sehemu 4.01, ni hatia kali. Mwanafunzi yeyote wa shule ya kati ama ya upili atakayepatikana na silaha kama hiyo atasimamishwa kutoka shuleni kwa siku 10 (kumi) kwa kila tukio. Mwalimu mkuu ataripoti kisa kama hicho kwa mkurugenzi. Wateule wa mkurugenzi wataamua kuwa huyo mwanafunzi ama wanafunzi waliohusika wana ulemavu uliotambuliwa. Juu ya hayo, mwalimu mkuu ataandikisha ripoti ya lalamiko/hatia na Idara ya Utunzaji wa Sheria ya FCPS kwa kila kisa, pamoja na vile vinavyohusu wanafunzi wa shule za msingi. Mkurugenzi ama mteule wake ataamua kuwa mwanafunzi aliyehusika ana ulemavu unaotambuliwa. Visa vinavyohusu wanafunzi walio na ulemavu vitashughulikiwa na kamati mwafaka ya Kuingia na Kutoka (ARC) na kuamuliwa kulingana na kesi kwa kesi kwa mujibu wa sheria za nchi nzima na jimbo, ambapo mwanafunzi bila ulemavu kama huo atapendekezwa kwa bodi kwa kesi ya kufukuzwa. 37

42 Chombo Hatari: Mwanafunzi yeyote aliye na Chombo Hatari, kama inavyotambuliwa kwa Sehemu 4.01 (pamoja na kisu cha mfukoni cha kawaida), anaweza kusimamishwa kutoka shuleni kwa mpaka siku10 (kumi), na anaweza kupata pendekezo la kufukuzwa. Juu ya matokeo ya kinidhamu yaliyoguziwa hapa, wanafunzi wanaweza kuletewa mashtaka kortini kwa kuwa na milki ya silaha hatari ama vyombo hatari kwa mali ya shule ama kwa ziara iliyodhaminiwa na shule, bila kujali kuwa kama iko wazi ama imefichwa kulingana na KRS

43 5.0 CHAGUO ZA KUKIDHI TABIA 5.01 FAFANUZI NA MIFANO Waajiriwa wa shule wana chaguo kadhaa wanapokumbaliana na tabia sumbufu. Chaguo moja ni suluhu za usaidizi na linguine ni la kutumia mbinu za kinidhamu za kawaida. Isipokuwa kwa kesi ya kuhatarisha usalama kwa karibu ama vitendo haramu, haya mambo ni lazima yatekelezwe madarasani na vituo vingine kabla ya kufanya mapendekezo ofisini. Waajiriwa na viongozi wanahimizwa kutekeleza suluhu za usaidizi ama adhabu za kiwango cha chini kila iwezekanvyo kabla ya kuangalia suluhu amabazo zinahusu kumtoa mwanafunzi kutoka darasani. Suluhu za usaidizi zinaweza kutumiwa pekee ama pamoja na suluhu zingine za kawaida. Maazimio ya kiukaji za kanuni za maadili ya wanafunzi (ona Sehemu 4.01) ni pamoja na: SULUHU SAIDIZI (SI RASMI; KITUO AMA SEHEMU YA SHULE) MAKUBALIANO AMA MPANGO: Hili azimio linamaanisha makubaliano, kwa maandishi, kuhusu tabia ya mwanafunzi, na ama bila hatua ingine iliyoahirishwa, inayohusishwa na kipindi cha wakati ambacho ushahidi wa kuimarika kwa tabia kutaangaliwa. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Makubaliano, kwa maandishi na kwa hiari, ( kandarasi ya tabia ama kubaliano la bila kandarasi ) yanayoeleza matarajio ya mwanafunzi, mwalimu, na kwa wakati mwingine, mzazi/msimamizi, na kwa kawaida huwa na: 1) Tabia ya/za kulengwa; 2) Zawadi ya kufuata kwa mafanikio; na 3) Adhabu za kuvunja makubaliano. Mpango wa tabia inayotumia mpangilio hususan unaohimiza kupunguza tabia haribifu na kuzidisha tabia nzuri na kwa kawaida huwa na: 1) Tabia ya/za kulengwa; 2) Usaidizi kwa mazingara; 3) Maelezo kuhusu usaidizi ama suluhu za wafanyikazi; 4) Maoni ya kutia nguvu; na 5) Taratibu za kusimamia na kupima ufanisi wa huu mpango. KIKUNDI CHA KITABIA: Hili azimio linahusu maelezo ya kikundi yanayohusiana hususan na haja za mwanafunzi. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Vikundi vilivyoundwa kulingana na mada kwa kuangazia maswala hususan kama uwiano mwema na wengine, kukidhi hasira, uonevu, kupigana, vitendo vya genge, elimu kuhusu tumbako ama kukoma kuvuta sigara, kutumia madawa yanayofungua njia ya uraibu, kukamatwa, vitendo vya ngono, upendeleo na ubaguzi, utooro, mwanafunzi kutofaulu, kukosa kujiamini na kuzoea mazingara ya shule na mabadiliko yaliyo kawaida shuleni. Vitendo vya kurejesha upya. Mipango ya kuimarisha afya. MKUTANO, ONYO, AMA KARIPIO: Azimio hili linamaanisha mazungumzo yoyote ama onyo lisilo rasmi linalowasilishwa kwa mwanafunzi ndani ya mkutano mzazi/msimamizi akiwepo ama asipokuwepo. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Mazungumzo yasiyo rasmi na mwanafunzi. Onyo la mdomo kwa mwanafunzi. Mikutano ya baada ya darasa ama shule na mwanafunzi na mzazi/msimamizi. Mazungumzo ya uso kwa uso na mzazi/msimamizi ama kwa simu. USHIRIKIANO WA NYUMBANI/SHULE: Hili azimio linamaanisha hatua yoyote inayotumiwa kuanzisha ushirika wa kuingiliana baina ya shule na nyumbani ili kuleta matokeo yakitabia yaliyoafikiwa awali kwa muda ulioafikiwa awali pia. 39

44 Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Ripoti ya tabia ya kila siku. Ilani ya kupeleka nyumbani kila siku. Kuongezeka kwa uwepo wa mzazi/msimamizi shuleni. UPATANISHI AMA USHAURI: Hili azimio linamaanisha kuitisha usaidizi wa mwanafunzi mmoja ama wengi, waalimu, waajiriwa, ama watu wazima kumsaidia mwanafunzi afikie suluhu ya tabia haribifu. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Upatanishi wa watu wawili wa rika moja ama vikundi viwili vya watu wa rika moja ndani ya mpango wa nidhamu shuleni amabao unawawezesha wanafunzi kutatua maswala na migogoro wenyewe. Upatanishi rejeshi ndani wa mfumo unaoendelezwa na mtaalamu ambapo washiriki kwa kisa wanafikiria juu ya matokeo yanayotarajiwa na yasiyotarajiwa kutokana na vitendo vyao na kuamua kuhusu suluhu za baina ya watu kwa sababu za kurekebisha madhara na kurejesha husiano njema. Ushauri unaofanyika shuleni ndani ya mpango kama Check In/Check Out ama Check and Connect unaohusisha mpango ulioundwa kwa sababu ya kujenga husiano baina ya mwanafunzi na watu wazima ili kuwapa motisha wanafunzi kuachana na tabia haribifu ili wafanikiwe shuleni. PENDEKEZO ZA HUDUMA: Hili azimio linamaanisha pendekezo mwanafunzi analopokea ama anapimwa ili kujua ni huduma zipi zitafaa na mshauri, mfanyikazi wa jumuia, ama mtaalamu mwingine wa akili kwa usaidizi na mbinu zaidi. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Pendekezo kwa mshauri wa shule, mfanyikazi wa jumuia, ama msimamizi wa Family Resource/Youth Service Center (FRYSC) amabaye hufanya kazi na wanafunzi na jamii zao kutambua na kusuluhisha haja za kimwili, hisia, ama kielimu ama hali ambazo zaweza kutatiza maendeleo ya mwanafunzi shuleni na kwa maisha. Pendekezo kwa ajenti wa afya ya akili/huduma kufanya kazi na mhudumu wa jamii ambaye taaluma yake ni kutibu watoto na vijana walio na shida za kitabia na kihisia. Pendekezo kwa timu shuleni (ama sawa) ambayo yaweza kuwashirikisha viongozi, waalimu, waajiriwa wasaidizi, wataalamu, mzazi na mwanafunzi kwa mpango unaowasaidia wanafunzi kutafuta suluhu na mbinu zitakazowawezesha kupata manufaa bora kutoka kwa masomo yao. KUFUNZA MATARAJIO TENA: Hili azimio linamaanisha masomo, zoezi, mradi, ama kazi yoyote ambayo hufunza tena ujuzi ufaao kwa mwanafunzi kufaulu kwa eneo ambalo amekubaliana na shida. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Kutangulisha tena kwa kiwango cha darasa, shulel, ama wilaya, matarajio na kiongozi ama mwalimu. Zoezi spesheli kumsaidia mwanafunzi aelewe upya kuhusu matarajio. PUMZIKO- TIME-OUT AMA KUPOA- COOL-OFF : Hili azimio linamaanisha kutolewa kwa mwanafunzi, kwa muda mfupi, kutoka kituo cha masomo akiwa na ama bila kupatiwa zoezi. Time-outs ama cool-offs zaweza kuhitajika ama kupeanwa kama mapumziko kuwasaidia wanafunzi kukidhi hisia na kuwapa fursa ya kupoa ama kubadilisha lengo. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Time Out/Cool-Off ya timu kumpa mwanafunzi kwa kipindi cha wakati usiozidi dakika (kumi na tano) kwa darasa linguine mbali na lile la kawaida ama shughuli. Time Out/Cool-Off ya ofisi kumpa mwanafunzi kwa kipindi cha wakati usiozidi dakika (kumi na tano) kwa eneo linalosimamiwa mbali na darasa ama shughuli ya kawaida. 40

45 SULUHU SAIDIZI (RASMI; KIWANGO CHA WILAYA) MFUMO WA ELIMU MBADALA: Hili azimio linamaanisha mpango ambao haja yake ni kutimiza haja za wanafunzi ambazo haziwezi kutimizwa kwa madarasa ya kawaida ila tu kwa kuwasajili wanafunzi kwa madarasa ya mbadala, vituo, ama viuo ambavyo muundo wake ni kuponya matokeo ya masomo, kuimarisha tabia, ama kutwaa mazingara ya kusoma ya kiwango cha juu kiasi [KRS (1)(a)]. ADHABU ZA KAWAIDA (KISICHO RASMI; KITUO AMA KIWANGO CHA SHULE) FAINI YA KIMASOMO: Hili azimio linamaanisha kuhitaji zoezi ama somo la mbadala kutoka kwa mwanafunzi ili kuthibitisha kuelewa/uhodari. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Kupoteza kutambuliwa kwa kazi iliyofanywa kwa sababu ya tabia mbaya shuleni (kama kuibia ama kudanganya) hadi zoezi la mbadala liwasilishwe. Kupoteza kutambuliwa kwa kazi iliyofanywa darasani kwa sababu ya tabia mbaya kuhusu uhudhuriaji (kama kuzidisha kiwango cha kutokuweko bila ruhusa) hadi masharti ya utambulishi wa hiyo kazi yatimizwe. KUTIWA KIZUIZINI: Hili azimio linamaanisha kuhitaji mwanafunzi ajisalimishe kwa pahali palipokubaliwa wakati masomo hayaendelei. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Kabla ama baada ya kutiwa kizuizini shuleni. Kutiwa kizuizini wakati wa chakula cha mchana. Kutiwa kizuizin siku ya Jumamosi. KUNYANG ANYWA MALI: Hili azimio linamaanisha, kwa muda mfupi, (ama daima, kulingana na hali) kusalimisha mali ama bidhaa kwa waajiriwa wa shule wakiuliza. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Kunyang anywa kifaa wakati mwanafunzi anapochukuliwa kutoka shuleni. Kunyang anywa kifaa wakati mzazi/msimamizi anamchukua mwanafunzi kutoka shuleni. Kuhitaji ubadilishaji wa mavazi. UKOMBOZI: Hili azimio linamaanisha kumkubalisha mwanafunzi ama mzazi/msimamizi wake kufidia Kufuatana na kitendocident ambacho kilimwadhiri ama klimhusisha mwanafunzi mwingine, mwalimu, mwajiriwa ama maslahi ya shule, kwa kawaida, badala ya adhabu aina ingine. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Barua za kuomba msamaha. Kumaliza barua za kukiri makosa. Mzazi/msimamizi kulipa hasara iliyosababishwa. RATIBA KUBADILIKA: Hili azimio linahusu kubadilika kwa ratiba ya shule ya mwanafunzi ya kudumu. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Kubadilika kwa wakati wa somom la mwalimu sawa. Kubadilika kwa mwalimu na darasa sawa. Kubadilika kwa darasa. 41

46 KUKATALIWA KWA FADHILA YA SHULE: Hili azimio linamaanisha kukatazwa kwa muda mfupi, mwanafunzi kuhudhuria, kushiriki kwa, ama kunufaika kutoka kwa shughuli isiyohusiana moja kwa moja na elimu ama kazi ya shule. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Kusimamishwa kutoka kwa basi (kukatazwa kusafiri kwa magari ya ama yaliyoandaliwa na wilaya, kwa muda mfupi). Kupoteza fadhila (mwanafunzi kukatazwa kuhudhuria, kushiriki kwa ama kunufaika kutoka kwa shughuli isiyohusiana moja kwa moja na elimu ambayo si haki ya mwanafunzi, kama kutenguliwa kwa kibali cha kuegeza gari shuleni). Kunyimwa uhakiki wa kushiriki kwa mchezo ama kilabu kwa sababu za kinidhamu. FAINI YA HUDUMA: Hili azimio linamaanisha huduma isiyolipishwa kwa manufaa ya shule ama umma kwa kipindi cha muda iliokubalianwa kwa awali na inayotekelezwa nje ya masaa ya shule kama sehemu (ama nzima) ya adhabu ya ukiukaji wa kanuni za maadili kwa mwanafunzi. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Kumweka mwanafunzi kwa kinachojulikana kama wamak detail kutoa grafiti baada ya kushikwa kwa kitendo cha tagging -kuchora- kwa sehemu ya Kabati za wanafunzi. Ushiriki wa mbadala kwa huduma kwa jamii isiyolipwa nje ya masaa ya shule. KUTOLEWA KWA SHULE: Hili azimio linamaanisha kitendo chochote cha kumwondoa, kwa muda mfupi, mwanafunzi kutoka mazingara yake ya kawaida kielimu wakati wa masomo kwa muda unaozidi dakika (kumi na tano) kwa kila kisa. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Mpango wa mbadala uitwao In-School Alternative Placement (I.S.A.P.). Mpango wa Suspension and Failure Eliminated (S.A.F.E.). Mpango wa In-School Suspension (I.S.S.). Kupelekwa kwa darasa tofauti. Kupelekwa kwa eneo linguine linalosimamiwa ndani ya shule. ILANI: Haya maazimio hayahusu kutolewa kutoka mipango iliyopangwa, kutembelewa na mshauri kwa hisani ya mwanafunzi, na kadhalika. ADHABU ZA KAWAIDA (RASMI; KIWANGO CHA SHULE) KUSIMAMISHWA NJE YA SHULE: Hili azimio linamaanisha mwanafunzi, kwa muda mfupi, kutolewa kutoka madarasa yote ya shule za umma na shughuli zozote zinazodhaminiwa na shule, kwa muda usiozidi jumla ya siku 10 (kumi) za shule kwa kila kesi. Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Kutolewa kwa muda mfupi kwa siku 1 (moja) ya shule hadi siku 5 (tano) za shule kwa jumla kwa kila kesi. Kutolewa kwa kiwango cha kati kwa siku 6 (six) za shule hadi siku 10 (kumi) za shule kwa jumla kwa kila kesi. TRADITIONAL CONSEQUENCES (FAMAMAL; DISTRICT LEVEL) KUFUKUZWA; KUPOKEA HUDUMA: Hili azimio linamaanisha kutolewa kwa mwanafunzi kutoka kwa shule yake na kuwekwa kwa kituo cha mbadala ambapo huduma za kielimu zitaendelezwa. KUFUKUZWA; KUTOPOKEA HUDUMA: Hili azimio linamaanisha kuondolewa kwa haki na wajibu wa mwanafunzi kuhudhuria shule ya umma, chini ya masharti yaliyowekwa na bodi, kwa muda usiozidi siku zilizosalia kwa mhula ama mwaka wa shule na mwaka 1 (mmoja) wa ziada wa kuhudhuria. 42

47 Mifano, na ingine isiyokuwemo, ni hii: Kutolewa kwa muda mrefu kwa kipindi ambacho kiwango chake cha chini ni mwaka 1 (mmoja) wa kalenda kwa kesi zinazohusu silaha. Kutolewa kwa muda mrefu unaotoshana na nambari ya siku sawa na mwaka 1 (mmoja) wa shule (usiozidi mihula 2 (miwili)) kwa visa vya aina nyingine ILANI ANDAMANAJI ADHABU KALI Adhabu kali inafafanuliwa kuwa kitendo cha makusudi kinachosababisha uchungu kwa mwili wa mwanafunzi kwa njia yoyote bali na kitendo cha kumguza mtoto kwa kawaida kwa sababu ya kumlinda huyo mtoto ama wengine kutokakwa hatari iliyo karibu [FCPS ]. Vitendo hivi ni marufuku katika Shule za Umma za Kata ya Fayette. VYUMBA VYA I.S.S. /VYUMBA VYA S.A.F.E. Hatua za kinidhamu zinazopendekezwa kutumiw na viongozi badala ya kusimamishwa nje ya shule ni pamoja na In-Shule Suspension (I.S.S.) Room ama Suspension na Failure Eliminated (S.A.F.E.). Hii hatua huhusisha kumtoma mwanafunzi, kwa muda mfupi, kutoka ratiba ya kawaida ya shule yake na ndio adhabu ya juu kabisa ya kinidhamu shuleni. Wanafunzis waliosimamishwa ndani ya shule (kama I.S.S., S.A.F.E) wanasimamiwa kila wakati na wanahitajika kukamilisha kazi yao ya kawaida darasani. Juu ya hayo, mwalimu wa I.S.S. ama S.A.F.E. na mwanafunzi watazungumzia tabia iliyosababisha pendekezo la kusimamishwa na suluhu zifaazo kuchukuliwa baadaye kurekebisha tabia. MASHARTI YA KAWAIDA YA KUSHIRIKI KWA SHUGHULI ZA KIMICHEZO Maelezo zaidi yanaweza kupatikana katika mtandao sehemu ya FCPS: Kuwakilisha shule mojawapo ya mashule ya umma ya Kata ya Fayette kwa shughuli isiyo ya masomo hususan ni fadhila inayohitaji washiriki wote kwa njia inayowaletea wenyewe, mashule, na wilaya nzima sifa. Wanafunzi walio na ulemavu watapata nafasi sawa kushiriki kwa shughuli na huduma zisizohusu masomo hususan, pamoja na, bila kuepuka, michezo/riadha, riadha baina ya madarasa yenyewe na vilabu. Ni vizuri kutilia maanani kuwa wilaya yaweza kuhitaji kiwango fulani cha ujuzi/uhodari kutoka kwa mwanafunzi ili kuweza kushiriki kwa program ya mashindano ama inayohitaji viwango fulani, bora tu masharti haya yasiwe ya kubaguwa. Masharti ya Kimasomo. Bila baraza ya shule ya SBDM kupitisha sera tofauti kuhusu masharti ya kielimu, haya yatazingatiwa: o o Wanafunzi wa madarasa ya 6 (sita) hadi 12 (kumi na mbili) watafuzu kushiriki kwa shughuli zisizo za masomo hususan kama watakuwa na alama ya wastani ya 2.0 kutoka kipindi cha utahini kilicho tangulia. Kwa kukotoa alama ya wastani, alama ya chini zaidi haitatumiwa kama mwanafunzi anachukua mzigo mzima wa masomo yanayostahili kwa huo mhula (maana yake: masomo 6 [sita] kwa darasa la 9 [tisa] hadi 12 [kumi na mbili]; masomo saba [7] kwa darasa la 6 [sita] hadi 8 [nane]). Juu ya hayo, wanafunzi wa darasa la 6 (sita) hadi 12 (kumi na mbili) ni lazima wawe hawaanguki masomo 4 (manne); wanafunzi wa darasa la 6 (sita) hadi 8 (nane) wawe hawaanguki masomo 5 (tano). Kwa kesi za ratiba za vikundi, mwanafunzi ni lazima apate alama ya kupita kwa kadri ya 2/3 (mbili-tatu) ya masomo yake. 43

48 Masharti ya Tabia. Sera za baraza ya SBDM ni lazima ziwe ndani ya hii mipaka: Mwanafunzi aliyesimamishwa kutoka shuleni hatakubaliwa kushiriki kwa mazoezi ama shughuli zingine zozote wakati wa kusimamishwa (ona Sehemu 6.02). Ushiriki kwa Riadha wa Kiwango cha Shule ya Upili kwa Wanafunzi wa Darasa la 7 na 8 o Wanafunzi wa darasa la 7 (saba) na 8 (nane) pekee ndio wanaoruhusiwa kujaribu kujiunga na timu ya shule ya upili. Ndio kufuzu kujaribu, wanafunzi ni lazima wakubaliane na masharti yote ya Muungano wa Kimichezo wa Shule za Upili za Kentucky-Kentucky High School Athletic Association (KHSAA) pamoja na kupatiana hizi hati kwa mkurugenzi wa riadha wa shule za upili: Fomu iliyojazwa na Daktari ya mtihani wa mwili. Fomu iliyojazwa na kusahihishwa na mzazi ya ruhusa. Ripoti ya alama ya sasa inayoonyesha, kuwa alama zake zinaridhisha masharti ya alama za kupita za shule ya kati ama ya upili zijulikanazo kama Grade Point Average (GPA) (alama za juu zitatumiwa) kufuzu kushiriki katika shule ya upili. Ratiba ya michezo na mazoezi ya shule ya kati, kama ifaavyo. o o o Mkurugenzi wa riadha ataweka faili ya hizi hati za kila mwanafunzi anayeshiriki kwa timu ya shule ya upili kwa mwaka wa shule. Wanafunzi wa shule ya kati hawana ruhusa, kwa wakati wowote, kukosa sehemu ya siku ya shule kushiriki na timu ya shule ya upili bali na mashindano ya wilaya, mkoa, ama jimbo ama na ruhusa kutoka mwalimu mkuu wa shule ya kati kabla ya kuhudhuria. Kushiriki kwa riadha kwa wanafunzi wa darasa la 7 (saba) na 8 (nane) kumepangwa kwa mujibu wa michezo iliyoko kwa shule za kati na za upili (futboli, mpira wa nyavu, mpira wa vikapu, na track*), michezo ya timu inayopatikana kwa shule ya upili pekee (baseboli, softboli, na soka) na michezo ya kibinafsi inayopatikana kwa shule ya upili pekee (mbio ndefu, kuogelea, golfu, tenisi, miereka, na track*). Mwanafunzi kushiriki kwa mchezo wa kibinafsi unaopatikana kwa shule ya upili pekee kutafuata uwezo wa mwanafunzi kuonyesha uhodari wa kiwango kitakachomwezesha kushindana kwa mashindano na/ama mechi kulingana na ufafanuzi wa KHSAA wa tukio. *Kushirikii kwa riadha kwa shule ya na ya upili na kuwa na uhodari wa kuweza kushiriki kwa kwa michezo ya KHSAA ni jambo la pekee linalowawezasha hawa wanafunzi kushiriki kwa shule ya kati na ya upili pia. o o o Wanafunzi wa shule ya kati hawatakosa mazoezi au michezo ya kiwango chao ili kushiriki kwa mazoezi ama michezo ya shule ya upil. Ushiriki kwa mazoezi na michezo ya shule ya kati yatakuwa na umuhimu wa kwanza. Mwanafunzi wa shule ya kati atakayekosa mazoezi au/na michezo ya kiwango chake kushiriki kwa kwa shule ya upili atatolewa kutoka ushiriki wa shule ya upili. Wanafunzi wa darasa la 6 (sita), 7 (saba), na 8 (nane) watakaorudia darasa hawatashiriki kwa riadha kwa mwaka wanaorudia. Jukumu la kuhakikisha kuwa mwanafunzi anazingatia masomo yake kila wiki ni la mkurugenzi wa riadha wa shule ya upili kwa wakati wote ambao mwanafunzi atakuwa akishiriki kwa timu ya shule ya upili. Mkurugenzi wa riadha atawapatia walimu wakuu wa shule za kati orodha ya wanafunzi wa shule za kati wanaoshiriki kwa shule za upili. Waalimu wakuu wa shule za kati watamtumia mkurugenzi wa riadha alama za wanafunzi wanaoshiriki kwa shule ya upili kila wiki. Mkurugenzi wa riadha atatumia alama ya juu ya kila wiki (kiwango cha kati ama cha upili) kuamua kama hao wanafunzi wanazingatia masomo yao vipasavyo ili kudumisha ushiriki wao kwa riadha kwa shule ya upili. Waalimu wakuu wa shule za kati watamuarifu mkurugenzi wa riadha wa shule ya upili kuhusu katua yoyote ya kinidhamu iliyochukuliwa dhidi ya mwanafunzi wa shule ya kati anayeshiriki kwa riadha katika shule ya upili. Mkurugenzi wa riadha wa shule ya upili atatekeleza hiyo ama hizo hatua za kinidhamu dhidi ya huyo mwanafunzi wa shule ya kati kulingana na vinavyohusiana na ushirki katika shule ya upili. 44

49 Mkurugenzi wa riadha wa shule ya upili atamuarifu mwalimu mkuu wa shule ya kati kuhusu hatua yoyote kinidhamu iliyochukuliwa dhidi ya mwanafunzi wa shule ya kati anayeshiriki kwa riadha kwa timu ya shule ya upili. KUTENGULIWA KWA LESENI YA DEREVA Ndani ya jimbo, wanafunzi wote ni lazima waonyeshe ushahidi wa ombi la kupata leseni ya dereva, leseni ya muda mfupi, ama kibali cha kujifunza kuendeha gari. Kiongozi wa shule atamuarifu mkurugenzi wa mashule kuhusu mwanafunzi yeyoyote aliye chini ya miaka 18 (kumi na nane) aliyewacha shule, alifikisha visa 9 (tisa) ama zaidi vya kukosa shule bila ruhusa, ama aliyeadhirika vibaya kimasomo. Istilahi aliyeadhirika vibaya kimasomo inamaanisha kuwa mwanafunzi amepata alama ya kuanguka kwa kiwango cha chini, masomo 4 (manne), ama kipimo sawa na masomo 4 (manne), yaliyochukuliwa kwa muhula iliopita. Mkurugenzi wa mashule ama mteule wake ameamriwa kuripoti majina pamoja na nambari spesheli (social security numbers) za wanafunzi walioadhirika vibaya kimasomo kwa Wizara ya Usafirishaji ya Kentucky (Kentucky Transpamatation Cabinet). Wizara yaweza kukatalia mbali maombi ya wanafunzi kama hawa kupata vibali vya kujifunza kuendesha gari, ama kuwanyang anya fadhila za uendeshaji gari (leseni ya dereva, leseni za muda mfupi, ama vibali vya dereva) CHATI ZA KUKIDHI TABIA Kulingana na tofauti za umris na kiwango cha masomo cha wanafunzi, jukumu zoa kutokana na vitendo vyao pia ni tofauti. Kwa hivyo, namana kadhaa za maazimi, pamoja na chaguo saidizi na zile za kawaida, zimeelezewa kwa chati ndani ya kurasa zinazofuata. Wanafunzi wa shule toto: Chaguo za kinidhamu zinazofafanuliwa hapa haziwahusu wanafunzi wa shule toto hususan na zinafaa kubadilishwa vifaavyo kulingana na haja za kukuwa kwa hawa watoto na masharti ya IEP sambamba na umri wao. Wataalamu na viongozi wa FCPS Preshule Program watahusika kwa kubuni na kusimamia hatua zozote za kinidhamu/urekebishaji wa wanafunzi wa shule toto. Wanafunzis wa kiwango cha K-12: Kila chati inaonyesha msafa wa chaguo amabazo zaweza kutumiwa na waajiriwa wa shule kuhusu kiukaji za kanuni za maadili kwa mwanafunzi kwa mara ya kwanza na kiukaji za kufuata, kama ifaavyo. Chati zipo kwa viwango vya msingi, kati, na shule ya upili. Kila chati inatenga kiukaji kwa mujibu wa daraja kwanzia na kiukaji zisizo kali (Daraja la I) hadi zile kali kabisa (Daraja la IV). Kiukaji zitaorodheshwa kwa wima, na chaguo za kukidhi tabia kwa mlalo. Wakitumia hizi chati kama mwongozo, waajiriwa wa FCPS watatumia busara kuchunguza kila kisa kwa urefu na upana kabla ya kutwaa nidhamu. Chaguo saidizi na adhabu zisizo kali sana zinafaa kutumiwa kabla ya kuendelea kwa chaguo zinazoelekeza kuwatoa wanafunzi kutoka mahala pa masomo. Kama kufuata huu mwelekeo hautaleta matokeo yanayokusudiwa, hatua zingine zinazoendelea kupandisha ukali wa adhabu zitachukuliwa, haswa kama tabia mbaya haitaimarika kwa kutumia hizi hatua za adhabu isiyo kali sana. Viongozi wanafaa kuzingatia hali zinazoweza kudunisha uwezo wa mwanafunzi kutii kama umri, kiwango cha kukomaa, ulemavu, na/ama hali zingine mwafaka wakati wa kuamua hatua za kuchukuliwa dhidi ya mwanafunzi juu ya hatua zingine za ziada. Hatua ya kuwasimamisha wanafunzi wa shule ya msingi itachukuliwa kwa visa vya kando pekee ambapo usalama wa mtoto na wengine umehatarishwa [FCPS ]. 45

50 5.0. CHAGUO ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA CHATI ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA 46

51 5.0 CHAGUO ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA CHATI ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA 47

52 5.0 CHAGUO ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA 5.03 CHATI ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA 48

53 5.0 CHAGUO ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA 5.03 CHATI ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA 49

54 5.0 CHAGUO ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA 5.03 CHATI ZA KUKIDHI TABIA 50

55 5.0 CHAGUO ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA 5.03 CHATI ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA 51

56 5.0 CHAGUO ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA 5.03 CHATI ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA 52

57 5.0. CHAGUO ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA CHATI ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA 53

58 5.0 CHAGUO ZA KUKIDHI TABIA-KUENDELEA BEHAVIAMA MANUMRIMENT CHARTSKUENDELEA. 54

59 6.0 TARATIBU ZA KUDHIBITI TABIA Wanafunzi amabao hatua za kinidhamu dhidi yao zimechukuliwa na waajiriwa wa shule kuhusu ukiukaji wa kanuni za maadili wana haki ya kusikizwa bila malalamishi yao kutupiliwa mbali Kufuatana na sheria za jimbo na/ama sera za Bodi ya Elimu ya Kata ya Fayette HATUA MWAFAKA (HATUA ZISIZO RASMI) Kwa hatia za kiwango cha chini ambapo hatua za urekebisho zimechukuliwa na mwalimu ama mwaajiriwa aliye na jukumu za usimamizi juu ya mwanafunzi, hakuna hatua hususan zinazohitajika; hata hivyo, hizi taratibu zinapendekezwa. Mwalimu ama mwaajiriwa anafaa: Kumjulisha mwanafunzi kwa mdomo ama barua kuhusu shtaka/mashtaka dhidi yake. Kukutana na mwanafunzi ndani ya wakati unaofaa. Kuzungumzia shtaka/mashtaka na mwanafunzi. Kumpa mwanafunzi fursa ya kujibu shtaka/mashtaka. Kuamua kuhusu hatua gani, ikihitajika, itachukuliwa kuleta suluhuhisho. Kuwasiliana kuhusu hatua itakayochukuliwa, ikihitajika, na mwanafunzi na mzazi (ikikubaliwa kuwa mwafaka). Kuandika hatua iliyochukuliwa. Kwa hatia za kiwango cha chini ambapo hatua za urekebisho zimechukuliwa na mwalimu mkuu ama mteule wake, hakuna hatua hususan zinazohitajika; hata hivyo, hizi taratibu zitatumiwa kutatua pendekezo la nidhamu. Mwalimu mkuu ama mteule wake ata: Kutana na mwanafunzi ndani ya wakati ufaao. Zungumzia shtaka/mashtaka yaliyomo kwa pendekezo na mwanafunzi. Mpa mwanafunzi nafasi ya kujibu shtaka/mashtaka. Amua hatua itakayochukuliwa, ikihitajika, kutatua pendekezo. Wasiliana kuhusu hatua itakayochukuliwa, ikihitajika, na aliyefanya pendekezo, mwanafunzi na mzazi. Andika hatua iliyochukuliwa kwa Infinite School HATUA MWAFAKA (KUSIMAMISHWA) Mwalimu mkuu, mdogo wa mwalimu mkuu, ama mkurugenzi anaweza kusimamisha wanafunzis kufuatia hatia zinazopatikana kwa Sehemu 4.01 ya Mwelekeo. Mwanafunzi atapewa usikizaji wa kesi usio rasmi kabla ya kusimamishwa. Urefu wa kusimamishwa waweza kuwa mpaka siku 10 (kumi) za shule kwa kila tukio. Kusimamishwa kwa zaidi ya siku 10 (kumi) za shule kutafanywa na mkurugenzi pekee. Hatua mwafaka zitachukuliwa kabla ya usimamisho isipokuwa usimamisho wa mara moja utahitajika kulinda watu ama mali. Kwa visa kama hivi, usikizaji wa kesi utafanyika haraka iwezekanavyo, lakini kwa kila kesi, ndani ya muda usiozidi siku 3 (tatu) baada ya kusimamishwa. Hizi taratibu zitazingatiwa wakati mwanafunzi Anakaribia kusimamishwa: Kila hatua ya moyo mwema itachukuliwa kuwasiliana na mzazi kwa simu. Mwanafunzi atajulishwa kwa mdomo ama barua kuhusu shtaka/mashtaka yanayohusika. Kama mwanafunzi atakanusha shtaka/mashtaka, atapewa maelezo kamili kuhusu ushahidi uliyopo kuthibitisha shtaka/mashtaka. Mwanafunzi atapewa nafasi ya kutosha kujitetea dhidi ya shtaka/mashtaka. 55

60 6.0 TARATIBU ZA KUDHIBITI TABIA-KUENDELEA 6.02 HATUA MWAFAKA (USIMAMISHWAJI)-KUENDELEA. Mwanafunzi na mzazi/msimamizi watajulishwa kuhusu kusimamishwa mara moja. Mwanafunzi atapewa barua ya kusimamishwa na kiongozi. Nakala ya barua ya kusimamishwa itatumwa kwa mzazi/msimamizi. Usimamishwaji wowote kutoka kwa mwalimu mkuu unaweza kuchunguzwa na mkurugenzi wa shule ama wa mashule kulingana na taratibu za rufaa za Mwelekeo (ona Sehemu 7.02). ILANI: Masharti ya ziada yamo kuhusu wanafunzi walio na ulemavu (ona Sehemu 6.04). Istilahi za usimamishwaji zitakuwa pamoja na: Mwanafunzi aliyesimamishwa hataruhusiwa kuingia maeneo ama majumba yoyote ya Shule za Umma za Kata ya Fayette (FCPS), pamoja na vituo vya teknolojia, bila kuandamana na mzazi na akiwa na barua ya kiongozi. Mwanafunzi hatahudhuria ama kushiriki kwa program yoyote ama shughuli ya shule, wakati wa ama baada ya shule, na hataruhusiwa kusafiri ndani ya basi la shule. Kazi yote na yoyote ya ziada ni lazima ikamilishwe ndani ya wakati sawa na kazi ingine yoyote ya ziada kama inavyoelezewa ndani ya Mwongozo (ona Sehemu 4.02). ILANI: Uvunjaji wa masharti ya usimamishwaji waweja kusababisha hatua zaidi kinidhamu HATUA MWAFAKA (UFUKUZWAJI) Mwanafunzi anaweza kufukuzwa na Bodi ya Elimu ya Kata ya Fayette pekee. Ufukuzaji wa aina hii utakuwa na huduma ama bila huduma. Ufukuzwaji wowote wa aina hii utafanywa kufuata pendekezo la mkurugenzi. Pendekezo za ufukuzwaji zaweza kufanywa na mwalimu mkuu kwa mkurugenzi kkuu, mkurugenzi wa shule, ama mkurugenzi wa maswala ya wanafunzi. Kwa kesi ambayo mwanafunzi ameleta bunduki/kilipuzi kwa shule, ufukuzwaji waweza kuwa mpaka ama pamoja na mwaka 1 (mmoja) mzima (ona Sehemu 4.03). Kufukuzwa kutokana na hatia zingine waweza kuongeza siku za ufukuzwaji hadi kiasi cha siku sawa na mwaka 1 (mmoja) wa shule, bila kuzidi mihula 2 (miwili). Taratibu zifuatazo zitazingatiwa wakati mwanafunzi anatazama ufukuzwaji: Pendekezo litaandikwa na kutiwa nguvu na kweli zozote na bidhaa zinazohusika na hatua/sababu ya kufukuzwa. Kesi itazungumziwa pamoja na mkurugenzi wa shule. Baada ya mkurugenzi kupitia pendekezo, bodi yaweza kupata pendekezo la kufukuza. Kama pendekezo kama hili litafanywa, mkurugenzi atatuma barua kwa mzazi/msimamizi wa mwanafunzi chini ya umri wa miaka 18 (kumi na nane) itakayo kuwa na: 1) Tamko la shtaka/mashtaka dhidi ya mwanafunzi; na 2) Tarehe, wakati, na pahali pa kesi kusikizwa na bodi. Mwanafunzi na mzazi/msimamizi waweza kuwepo kwa kesi na wawezaa kuwakilishwa na wakili wakati wa kesi. Kama mwanafunzi ama mzazi/msimamizi angetaka kuwakilishwa na mwakilishaji ama wakili, jina na nambari ya simu yake ni lazima iwasilishwe kwa mkuruhenzi kabla ya kesi kuanza. Kama mwanafunzi na mzazi/msimamizi angependa kukiri makosa na kukubali ufukuzwaji kama adhabu ya tabia yake badala ya kesi nzima kwa kikao cha bodi, kuna utaratibu wa kufuata. Maswali kuhusu utaratibu yaweza kuelekezwa kwa mkurugenzi wa shule, mkurugenzi wa maswala ya wanafunzi, ama mkurugenzi mkuu. 56

61 6.0 TARATIBU ZA KUDHIBITI TABIA-KUENDELEA 6.04 ILANI ANDAMANAJI MIKUTANO YA WAZAZI Mwanafunzi akiendelea na tabia mbaya shuleni ama kwa basi, kiongozi ataitisha na kuongoza mkutano mwanafunzi, mzazi/msimamizi, na waajiriwa mwafaka wa shule personnel, ikihitajika. Wakati wa mkutano utakuwa sawa kwa mzazi/msimamizi. Kama mzazi/msimamizi hawezi kuhudhuria mkutano, unaweza kuahirishwa ama mzazi/msimamizi anaweza kuzungumzia hilo pendekezo na mwajiriwa wa shule kwa njia ingine (kama simu ama mkutano tofauti). Kama mwanafunzi atapata pendekezo kutokana na kiukaji kadhaa kwa muda mfupi, mkutano mmoja na mzazi/msimamizi waweza kutosha. Kila juhudi itafanywa kuhakikisha ushiriki wa mzazi/msimamizi kwa mkutano wowote kama huu. Lengo la mkutano ni kutambua sababu ya/za mwanafunzi kuwa na tabia mbaya, kufikia suluhu ya haki, na kujaribu kuimarisha tabia ya mwanafunzi. Kwa mkutano, mwanafunzi atapatiwa nafasi ya kuelezea shida na kupendekeza suluhu. Mzazi/msimamizi na waajiriwa wa shule watapewa nafasi sawa. Ripoti za mwanafunzi za kimasomo na kinidhamu zitakuwepo wakati wa mkutano kusaidia kutafuta suluhu. Ripoti ndogo ya uamuzi/maamuzi yatakayofikiwa wakati wa mkutano yatawekwa kwa faili ya nidhamu ya mwanafunzi. Maamuzi yote yatakuwa na ufuatilio kubainisha kama mwanafunzi amefanya juhudi yoyote kuendelea kufikia lengo lililoazimiwa kwa mkutano. Kufuatia hatia ambayo yaweza kuhatarisha usalama wa wengine, inaweza kuwa muhimu kufanya mkutano baada ya hatua ya kinidhamu kuchukuliwa. USIMAMISHWAJI/UFUKUZWAJI WA WANAFUNZI WALIO NA ULEMAVU Ni muhimu kutilia maanani hali ya wanafunzi walio na ulemavu kabla ya kuchukua hatua za kinidhamu. Mara nyingi, wanafunzi kama hawa hujipata kwa shida za kinidhamu kwa sababu ya hali yao ya kipekee kutokana na ulemavu wao; kwa hivyo, mwanafunzi anaweza kuwa na mpango wa kibinafsi kusuluhisha shida-behavior Intervention Plan (BIP). Kama nidhamu zaidi itahitajika dhidi ya tabia mbaya, walimu wakuu wanafaa kutumia hatua zinazoelezewa kwa Mwelekeo. Chaguo za mbadala bali na usimamishwaji wa nje ya shule ni pamoja na usimamishwaji wa ndani ya shule-in-school Suspension (S.A.F.E.), kuzuiwa, kuzuiwa Jumamosi, na zingine kama hizi kama zinavyohitajika. Usimamishwaji waweza kutumiwa kwa wanafunzis walio na ulemavu na walio na mipango wa Section 504 Plans ama ADA Plans kwa mujibu wa kanuni. Kama mwanafunzi Aliya na ulemavu atafikisha siku 10 (kumi) za kusimamishwa, kamati ya Kuingia na Kutoka-Admissions and Release Committee-(ARC) ama kamati ya Committee-itakutana kuzungumzia haja za kitabia za mwanafunzi. HAKI YA KUWAKILISHWA NA WAKILI Mtu yeyote ambaye hatua ya kinidhamu imechukuliwa dhidi yake ana haki ya kuwakilishwa na wakili kwa gharama yake. 57

62 6.0 TARATIBU ZA KUTHIBITI TABIA-KUENDELEA ILANI ANDAMANAJI-KUENDELEA. HUU UKURASA UMEACHWA WAZI KWA MAKUSUDI. 58

63 7.0 MANUNG UNIKO NA RUFAA 7.01 MANUNG UNIKO YA WANAFUNZI Mwanafunzi ama mzazi akiwa na wasiwasi wa kielimu, anaweza kufungua faili ya lalamiko akitumia fomu ya kufanya hivyo-fayette County Board of Education s Grievance Guideline [FCPS AP.1]. Nakala ya taratibu ya kufungua lalamiko dhidi ya waajiriwa wa shule inapatikana shuleni, kwa ofisi ya mkurugenzi wa shule (IAKSS), ama kwa mtanadao ILANI: Kwa madai ya unyanyasaji ama ubaguzi, ni lazima kutumia suluhu ya aina nyingine (ona Sehemu 4.03). Baada ya kupokea lalamiko, hizi hatua zitafuatwa: Hatua ya1 (Mwalimu): Hatua ya 2 (Mwalimu mkuu): Hatua ya 3 (Mkurugenzi wa Shule): Hatua ya 4 (Mkurugenzi mkuu) Hatua ya 5 (Bodi): Mwanafunzi ama mzazi atazungumzia swala na mwalimu kupata suluhisho. Kama swala haliwezi kusuluhishwa an mwalimu ndani ya siku 5 (tano ) za shule baada ya mazungumzo na mwanafunzi ama mzazi/msimamizi, mwasiriwa aweza kumfahamisha mwalimu mkuu wa shule. Kama uamuzi wa mwalimu mkuu haumridhishi mwasiriwa, anaweza kuanzisha lalamiko rasmi kwa maandishi ndani ya siku 5 (tano) za shule baada ya kupata uamuzi wa mwalimu mkuu kwa mkurugenzi wa shule anayefaa. Kama mwasiriwa haridhishwi na uamuzi wa mkurugenzi wa kiwango cha shule, anaweza kuanzisha lalamiko kwa kumwandikia rasmi mkurugenzi mkuu ndani ya siku 5 (tano) za shule baada ya uamuzi. Kama mkurugenzi mkuu hataweza kusuluhisha lalamiko, mwanafunzi ama mzazi anaweza kuandikia bodi rufaa ndani ya siku 5 (tano) za shule baada ya uamuzi wa mkurugenzi mkuu. Bodi itasikiza rufaa kwa wakati ufaao kwa mkutano spesheli ama mkutano wa kawaida wa bodi, kulingana na maoni yao. Kwa kila hatua ya taratibu ya lalamiko, kiongozi aliyeteuliwa atamwarifu mwanafunzi ama mzazi/msimamizi kuhusu uamuzi wake ndani ya siku 5 (tano) za shule baada ya kupata lalamiko. Kama mwanafunzi ama mzazi/msimamizi na kiongozi huyu watakutana kuzungumzia hili swala, kiongozi anaweza kumwarifu mwanafunzi ama mzazi/msimamizi kuhusu uamuzi wake mwisho wa mkutano RUFAA ZA USIMAMISHWAJI Wakati mwanafunzi ama mzazi/msimamizi anapo kata rufaa ya usimamishwaji, hiyo rufaa itafanywa kwa mwalimu mkuu, mkurugenzi wa kiwango cha shule, ama mkurugenzi mkuu ndani ya siku (tano) za shule kutoka Tarehe ya barua ya usimamishwaji. Utaratibu wa rufaa ni sawa na unaotumiwa kwa malalamiko hapa juu; hata hivyo, mchakato huanza kwa hatua ambapo usimamishwaji ulianza. Kama mwanafunzi ama mzazi/msimamizi atakata rufaa ya usimamishaji, mwanafunzi atabaki kuwa kwa usimamishwaji hadi siku ziishe. Kama usimamishwaji utatupiliwa mbali kwa kiwango chochote cha rufaa, rekodi yote ya usimamishwaji itatupiliwa mbali kutoka faili ya mwanafunzi na atakubaliwa kufanya kazi aliyoikosa ili apate alama kwa mujibu wa sera za wilaya kuhusu kufanya kazi ya ziada. 59

64 7.0 MALALAMIKO NA RUFAA-KUENDELEA RUFAA ZA MWANAFUNZI-KUENDELEA. HUU UKURASA UMEACHWA WAZI KWA MAKUSUDI. 60

65 8.0 MAELEZO MENGINE Maelezo mengine amabayo yanaweza kuhusu mchakato wa kukidi tabia kwa njia ya moja kwa moja ama isiyo ya moja kwa moja ndani ya wilaya ni pamoja na, bila kuepuka, haya: 8.01 UANGALIZI WA ELEKTRONIKI Uangalizi wa video unaweza kutumiwa kuimarisha mpangilio, usalama na ulizi wa wanafunzi, waajiriwa na mali. Sehemu ambazo zaweza kuwa chini ya uangalizi wa elektroniki ndani ya wilaya ni pamoja na, bila kuepuka, ni hizi: Mashule: Video ya uangalizi yaweza kutumiwa ndani ama karibu na majumba ya shule. Picha na sauti kutoka kwa video itahifathiwa na kila shule inayoshiriki. Mabasi: Mabasi yote ya Shule za Umma za Kata ya Fayette yana vyombo vya kurekodi video. Video ni za rangi na zina sauti pia. Hizi video zaweza kutumiwa kunakili vitendo na wajibu wa mambo yanayofanyika kwa mabasi USAJILI WA MSIMAMIZI/MZAZI ASIYEISHI NA MTOTO Kwa sababu za shule, makazi ya mtoto si lazzima yawe ya mzazi/wazazi wa mtoto, na ikiwa mtoto anaishi kwa kudumu kwa makazi ya mtu mwingine, basi hayo makazi yatachukuliwa kuwa ndio makazi ya huyo mtoto kwa sababu za shule. Wanafunzi wote watahudhuria shule zilizoteuliwa kulingana na jiografia ya wanapoishi. Kwa kesi ambazo ulinzi wa mtoto unawashirikisha wazazi wote wawili, mwanafunzi atahudhuria shule iliyo kwa eneo ambalo ni makazi ya mzazi ambaye huishi na mtoto. Kama, kulingana na agizo la korti mtoto anaishi na wazazi/wasimamizi wote wawili kwa makazi tofauti kwa muda sawa, wazazi/wasimamizi wanaweza kuchagua ni ipi baina ya shule 2 (mbili) zilizoteuliwa mtoto atakayohudhuria. Tangazo kutoka kwa mwandisi wa cheti ya sheria yamzazi asieishi na mtoto ama Msimamizi ambaye si mzazi anayemsajili Mwanafunzi kwa Shule za Umma za Kata ya Fayette (Tangazo la mwandisi wa cheti ya sheria wakati wa Usajili) litatumiwa wakati mzazi anayeishi na mtoto anapomruhusu mtoto kuishi na mzazi asiyeishi naye ama mtu amabaye si mzazi wa mtoto. Kwa sababu sheria za uhudhuruaji wa lazima zinahitaji kusajiliwa kwa watoto walio na umri wa kwenda shuleni na mtu yeyote aliye na ulinzi ama amri juu ya mwanafunzi, hili tangazo litakubalika kwa sababu kumwelimisha mtoto mradi awe anaishi na mzazi asiye na ulinzi juu yake ama mtu aliye na ulinzi ama amri juu ya mtoto. Mtu aliye na ulinzi, amri ama usimamizi atakuwa na mamlaka ya kufanya maamuzi yoyote na yote ya kielimu yanayomhusu mtoto, na hayo mamlaka yatakuwa pamoja na, bila kuepuka, usajili, huduma ya matibabu, mambo ya masomo, shughuli nje ya darasa, usafiri wa huyo mwanafunzi, kuchukuliwa kwa mwanafunzi, kutayarisha fomu ya dharura, maamuzi ya ziara za shule, maamuzi ya usafirishaji, hatua za kinidhamu, shughuli za uhudhuruaji na maswala mengine yote ya kielimu. Sambamba na haya mamlaka, lazima mtoto aishi na mtu aliye na ulinzi, amri ama usimamizi, kama huyo mtoto atahudhuria shule iliyoteuliwa kwa mujibu wa makazi ya msimamizi. Mtu atakayechukua ulinzi, amri ama usimamizi wa mwanafunzi atafanya maamuzi yote ya kisheria, kielimu, na pia atakuwa na jukumu la kukabiliana na matokeo yoyote ya kisheria kutokana na maamuzi ya kimatibabu ama kielimu na kutokana na shida za kutohudhuria. Tanagazo kama hili laweza kuvunjwa na mzazi aliye na ulinzi, mwanafunzi akitimisha umri wa miaka kumi na minane ama kwa kuwepo kwa hali zingine za kisheria. Juu ya haya, mtu aliye na ulinzi ama amri juu ya mwanafunzi anaweza kuarifu shule kuwa hana ulinzi ama amri juu ya mwanafunzi tena kwa wakati wowote kwa kujaza na kusahihisha Kukataliwa kwa Ulinzi -Renunciation of Custody ama Amri -Charge na kuweka huko kukataliwa kwa faili ya mwanafunzi. Mtoto basi atahitajika kuhudhuria shule iliyoteuliwa kulingana na makazi ya mzazi/wazazi walio na ulinzi ama mtu wa baadaye atakayetwaa ulinzi ama amri juu ya mwanafunzi. Ukamilishaji wa hilo tangazo unahitaji faili za sense ya shule zitambue mtu aliye na ulinzi ama amri, badala ya mzazi. 61

66 8.0 MAELEZO MENGINE-KUENDELEA SHUGHULI ZA NJE YA ENEO LILILOTEULIWA Wanafunzi wote wanatarajiwa kuhudhuria shule zilizoteuliwa kulingana na joigrafia ya makazi yao. Shughuli za nje ya eneo teule zitaangaliwa tu kama kufanya hivyo hakutasababisha msongomano ndani ya shule pokeaji juu ya asilimia ya kiwango kilichokubalishwa. Ufuatao ni mpitio wa mchakato wa kufuata kushughulikia maswala ya nje ya eneo maswali ya undani kuhusu huu mchakato yanafaa kuelekezwa kwa Idara ya Maswala ya Wanafunzi ya FCPS-FCPS Department of Pupil Personnel kwa (859) Waalimu wakuu watathibitisha kama wanafunzi waliokubaliwa kushiriki kwa mpango wa nje ya eneo wanatimiza masharti yote yanayohitajika pamoja na uhudhuriaji wa kila siku, tabia inayokubalika, na kuendelea vizuri kimasomo kabla ya kukubaliwa upya kuendelea kwa mpango huu. Idhini ya nje ya eneo itashughulikiwa kwa sababu za kuipitisha mradi tu haya masharti yatimiziwe na kama kubadilisha shule hakutasababisha msongomano kwa shule inayoombwa. Mkusanyiko wa idadi ya watu shuleni: kubadilisha shule hakusababishi msongomano kwa shule pokezi. Kama jamii zitaondoka: Mwanafunzi wa darasa la 5 (tano), 8 (nane), ama 12 (kumi na mbili) anayehama kutoka eneo la shule moja hadi lingine anaweza kuendelea kwa shule ya makazi yake ya awali mpaka mwisho wa darasa hilo. Wanafunzis wanahitajika kuwa na kubalio la ombi la nje ya eneo kwa faili zao. Jamii ambayo mtoto wake atahama kutoka enoe moja la uhudhuriaji hadi linguine ndani ya Shule za Umma za Kata ya Fayette anaweza kumaliza mwaka wa shule kwa shule ambayo mwanafunzi anahudhuria kwa sasa. Kwa mwaka wa shule unaofuata, mwanafunzi ni lazima asajiliwe kwa shule inayohudumia makazi yake. Wanafunzis wanahitajika kuwa na kubalio la ombi la nje ye eneo kwa faili zao. Mwanafunzi ambaye jamii yake itakuwa ikihama kutoka eneo moja la uhudhuriaji hadi linguine ndani ya Shule za Umma za Kata ya Fayette kabla ya Oktoba 31 anaweza kukubalishwa kuanza mwaka wa shule kwa shule inayohudumia eneo ambalo jamii inakusudia kuhamia. Waajiriwa wa wilaya: Mwanafunzi amabaye mzazi/msimamizi wake ni mwajiriwa wa Shule za Umma za Kata ya Fayette kwa nusu-wakati ama zaidi anaweza kuhudhuria shule ama chuo ambapo mzazi/msimamizi ameajiriwa. Ndugu: Mwanafunzi ambaye ana ndugu aliye sajiliwa kwa shule inayoombwa KUZUIWA NA KUTENGWA Kuzuiwa kunamaanisha kizuizi cha kibinafsi kinachokatisha mwendo ama kinachopunguza uwezo wa mwanafunzi kuendesha kiwiliwili chake, mikono, miguu, ama kichwa kwa urahisi. Utumizi wa kizuizi na waajiriwa wote wa shule unaruhusiwa wakati tabia ya mwanafunzi inatishia hatari ya karibu ama madhara kwake ama wengine kwa hali ambazo ni wazi kuwa za dharura isiyoepukika. Kwa hali kama hizi, waajiriwa wa shule personnel amabao hawajapata mafunzo yajulikanayo kama core team training (Sehemu 8.05) wanaweza kuwazuiya wanafunzi, lakini watawaita wale waliopata hayo mafunzo haraka iwezekanavyo. 62

67 8.0 MAELEZO MENGINE-KUENDELEA KUZUIWA NA KUTENGWA Kutengwa kunamaanisha kufungiwa kwa mwanafunzi peke yake, bila hiari yake, ndani ya chumba ama eneo ambalo huyo mwanafunzi amezuiwa kuondoka, bali si sawa na vipindi ambavyo Mwalimu humwambia mwanafunzi aondoke darasani kwa muda- timeouts, utiwaji kizuizini unaosimamiwa ndani ya shule, usimamishwaji wa nje ya shule. Utekelezaji unaweza kufanyika tu kama: tabia ya mwanafunzi inatishia hatari ya madhara kwake ama wengine, mbinu zingine zilizolegea kidogo hazikufaulu kuhitimisha hatari ya karibu ya madhara, mwanafunzi anasimamiwa na kunagaliwa wakati wote wa kutengwa na waajiriwa wamepata mafunzo mwafaka kutumia mbinu ya kutenga MICHEZO ILIYOKUBALISHWA na MICHEZO ISIYOKUBALISHWA Michezo ya baina ya mashule iliyokubalishwa kwa sasa na inayodhibitiwa na Muungano wa Riadha wa Shule za Upili za Kentucky (KHSAA) na Bodi ya Elimu ya Kata ya Fayette ni pamoja na baseboli, mpira wa vikapu, mbio za nyika, futboli, gofu, kadanda, softboli ya kurusha upesi, softboli ya kurusha pole, kuogelea, tenisi, mbio za sakafuni, mpira wa nyavu, na miereka ( timu za michezo iliyokubalishwa ). Ingawaje kuna vilabu vingine ama timu za michezo amabazo zaweza kuonekana kama zinahusiana na shule za kati/upili, vikundi kama hivyo vinaendelezwa huru na shule za upili/kati, wilaya, na KHSAA, hata kama wengi, ama washiriki/wachezaji wote wanahudhuria shule ya upili/kati ama shule ingine ndani ya wilaya, ama kama wathamini/makocha ni waajiriwa wa bodi. Washiriki wa vilabu kama hivyo, ama wachezaji wa timu kama hizo, hawatashirikishwa kwa bima ya riadha ama bima ya KHSAA dhidi ya janga. Kushiriki kwa mwanafunzi kwa timu kama hiyo kunaweza kuhusisha kushikana na, ama kusimamiwa na, watu wanaodai kuwa na utaalamui na/ama ujuzi kuhusu mchezo fulani, lakini ambao wana ama hawana ujuzi wa huo mchezo. Juu ya haya, kuwafanyia usuli watu wanaohusika na timu hizi waweza kuwa mgumu, pamoja na usuli kuhusu rekodi ya uhalifu, kabla ya kujihusisha na wanachama wa timu, kinyume na usuli wa kawaida na wa uhalifu unaohitajika kutoka kwa wafanyikazi na wafanyikazi wa kujitolea wa Shule za Umma za Kata ya Fayette kabla ya kuruhusiwa kuingiliana na ama kuwasimamima wanafunzi. Bila kujali kama ni kubwa ama ndogo, uwezekano wa jeraha huwepo kila wakati kwa michezo inayohusu kuguzana kimwili. Hata kama mchezo hauhusishi kuguzana kimwili haswa, unaweza kuhusikana na hatari kadhaa zinazojulikana na zisizojulikana kutokana na mazoezi na/ama kuungana. Wanafunzi na wazazi/wasimamizi wanaonywa kuwa kuna uwezekano kuwa uchunguzi wa kimatibabu hauhitajiki kabla ya wachezaji kujiunga na timu, na pia kuna uwezekano kuwa hakuna daktari wa matibabu ama mkufunzi wakati wa mazoezi ama michezo ya timu. Ushiriki waweza kuwa kwa eneo la shule ama nje ya eneo la shule, na waweza kuhusisha, bila kukomea kwa, vikao vya mazoezi, mashindano, mikutano, shughuli zingine (sherehe, vitendo vya kuchanga pesa, na kadhalika), kusafiri kuelekea na kutoka kwa hizi shughuli, na ziara za kulala usiku. Kwa habari kuhusu shughuli za aina hii katika shule hususan, tafadhali wasiliana na mwalimu mkuu UCHUNGUAJI WA MALI NA MTU Watu walio na mamlakal (wanafafanuliwa kama mwalimu mkuu ama mtu aliyeidhinishwa kuwa na jukumu la moja kwa moja kuhusu tabia ya mwanafunzi) wana haki kuwachungua wanafunzi, mali yao, locker, dawati, magari, vidude vya elektroniki, ama mali yao, kama kuna tuhuma ya haki kuwa uchunguaji waweza kufunua ushahidi kuwa mwanafunzi amavunja kanuni ya shule, sera ya bodi, ama sheria. Uchunguaji wa mwanafunzi mwenyewe utafanyika tu kwa amri ya mwalimu mkuu ama mteule. Haja ya uchunguaji ni kulinda usalama na mali ya wengine. Juu ya haya, mali ya shule, kama locker na dawati 63

68 8.0 MAELEZO MENGINE-KUENDELEA UCHUNGUAJI WA MALI NA MTU yanayotumiwa kwa pamoja na shule na mwanafunzi, yanaweza kuchunguliwa mara kwa mara ili kuendeleza mchakato wa masomo wa shule. Afisaa wa shule hana ruhusa kumchungua mwanafunzi yeyote kwa uchi. Utumizi wa mbwa zilizopata mafunzo spesheli kutafuta bidhaa haramu na marufuku kwa mali yanayomilikiwa ama kutunzwa na bodi yaweza kutumiwa. Tahadhari kutoka kwa mbwa aliyepata mafunzo ya aina hii kutokana na kitu ama eneo itakuwa sababu tosha kuchungua zaidi. Hakuna jambo ndani ya Mwelekeo litakalomzuia mwanafunzi kutochunguliwa na chombo cha kusimama ama kidude cha elektroniki cha mkononi. Sauti kutoka kidude kuashiria uwezekano wa uwepo wa bidhaa haramu itakuwa tosha kuanzisha uchunguaji wa kiasi cha juu zaidi. ILANI: Mwajiriwa wa shule ni lazime aweze kupatiana sababu za kutosha kuhusu tuhuma MAHITAJI YA KUMWONDOA MWANAFUNZI Mwanafunzi aliyefikisha umri wa miaka 18 (kumi na nane) anayetaka kuwacha shule na asitishe elimu yake, anaweza kujiondoa tu baada ya kuchukua hizi hatua mbili: Ilani iliyoandikwa na mwanafunzi kuonyesha hamu yake kujiondoa ni lazime ipokelewe shuleni. Fomu ya kawaida ni lazima ijazwe kabla ya mwanafunzi aliyetimisha umri wa miaka 18 (kumi na nane ) ama zaidi kujiondoa shuleni. Kwa wakati wa kujiondoa, nakala 1 (moja) ya fomu hiyo itawekwa kwa faili ya mwanafunzi. 64

69 9.0 MATANGAZO NA ILANI ZA MWAKA 9.01 FERPA/KFERPA Kwa mujibu wa sheria ya Family Educational Rights and Privacy Act of 1974 ( FERPA ) na KRS ( KFERPA ), kila mwanafunzi aliye zaidi ya umri wa miaka 18 (kumi na nane) ama mzazi wake, kama mwanafunzi ana umri wa chini ya miaka 18 (kumi na nane) ama ni mtegemezi wa mzazi, ana haki: 1). Kukagua na kupitia rekodi za elimu za mwanafunzi; na 2). Kupigania kurekebisha ripoti yoyote isiyo sahihi ama inayopotosha ndani ya hizo ripoti na kuomba hayo makossa kurekebishwa na maneno yanayopotosha kutupiliwa mbali. Kwa sababu za kufikia rekodi za mwanafunzi, mzazi anafafanuliwa kama: mzazi asili, msimamizi, mlinzi wa kisheria, ama mtu anayehudumu kama mzazi wa mwanafunzi wakati mzazi ama msimamizi hayupo. Mzazi wa asili awe ni mama ama baba, ana mamlaka kutimiza haki zake zilizomo ndani ya hii sera isipokuwa shule zimepokea amri ya korti inayoamrisha kinyume cha hizi haki. Istilahi rekodi za elimu inamaanisha vyeti na bidhaa zingine zinazohusiana moja kwa moja na mwanafunzi amabazo zinakusanywa, kuhufathiwa, ama kutumiwa na FCPS. Hizi ni pamoja na rekodi zinazohifathiwa na maajenti wengine na watu ambao wamemhudumia mwanafunzi kwa niaba ya FCPS. Rekodi za elimu ni pamoja na, bila kuepuka: 1) Data ya binafsi na ya jamii; 2) Data ya utahini na alama zake, pamoja na kipawa, mafanikio, uerevu, ubinafsi, uchunguzi watabia, na maneno mengine ya kupima; 3) Ripoti za kimatibabu, kisaikolojia, na za juu juu (kama zimezungumziwa kwa uwazi); 4) Rekodi zote za mafanikio shuleni ripoti za maendeleo; 5) Potifolio ya mwanafunzi; 6) Rekodi zote za nidhamu; 7) Rekodi za mikutano na wanafunzi na/ama wazazi; 8) Nakala za barua kumhusu mwanafunzi; 9) Picha zozote ama video ya mwanafunzi; na 10) Maneno mengine ama data inayotumiwa kufanya kazi na mwanafunzi ama inayohitajika na kanuni za shirikisho na jimbo. Bali na waajiriwa wa shule, wajitoleaji walioidhinishwa, wanakandarasi na wafanyi biashara, na maajenti wengineo waliokubalishwa na sheria za shirikisho, hakuna mtu anayeweza kukagua ama kupitia rekodi za kielimu za mwanafunzi bila idhini ya mwanafunzi, kama ana umri wa miaka 18 (kumi na nane); ama mzazi, kama mwanafunzi ana umri wa chini ya miaka 18 (kumi na nane) ama ni mtegemezi wa mzazi; ama bila amri ya korti iliyotwaliwa kihalali. Kufuatia ombi, wilaya itawafichulia maafisa wa wilaya ingine ya shule rekodi za mwanafunzi, bila idhini, ambapo mwanafunzi anapojaribu ama anakusudia kusajiliwa. Istilahi "dairektoria ya habari" inamaanisha jina la mwanafunzi, anwani, simu, Tarehe na pahala pa kuzaliwa, ushiriki kwa michezo na shughuli zinazotambuliwa na shule, urefu na uzani wa wanatimu wa timu za riadha, Tarehe za uhudhuriaji, shahada zilizopokewa, somo analolifuatilia mwanafunzi, na chuo cha karibuni sana alochokihudhuria mwanafunzi, inayopatikana kwa rekodi za elimu chini ya ulinzi wa shule za umma [KRS (1)]. Dairektoria ya habari haina rekodi za elimu. Dairektoria ya habari itafunuliwa, kufuatia ombi la kuandikwa, kwa wanahabari, miungano ya riadha, watoaji wa elimu ya viuo vikuu, kamati zinazohusika na udhamini ama kujiunga na viuo vikuu, ama mashirika rasmi kama tu hiyo hata ya data ina uhusiano na sababu halali ya kielimu. Dairektoria ya habari yaweza kupatianwa kwa maajenti rasmi wa kulinda usalama kwa idhini ya mkurugenzi ama mteule wake. Wilaya yaweza kufunua habari ndani ya diarektoria isipokuwa ipate arifa ya kuandikwa ya kinyume kabla ya Oktoba 1 ya kila mwaka wa shule ama ndani ya siku 30 (thelathini) baada ya usajili baada ya Octoba 1. Dairektoria ya habari yaweza kukusanyisha: 1) Jina, anwani, nambari ya simu na tarehe ya kuzaliwa ya mwanafunzi; 2) Kushiriki kwa shughuli na michezo inayotambuliwa rasmi (pamoja na uzani na urefu); 3) Tarehe za kuhuduria FCPS; 4) Shahada, vyeti/diploma, na kutambuliwa rasmi (pamoja na lakini bila kuepuka, kuwa kwa orodha ya sifa na kupata alama za uhodari/za juu zaidi); na 5) Chuo cha usajili wa mwsho kabla ya kujiunga na FCPS (ona FCPS Confidentiality and Non-Discrimination Handbook (Kitabu cha Shule za Umma za Kata ya Fayette kuhusu Usiri na Kutobagua) kwa Dairektoria ya habari haina rekodi za elimu. Waandikishaji wa Kijeshi: Kulingana na sheria ya sasa, waandikishaji wa Kijeshi wa majeshi ya Marekani wana idhini kupata habari kuhusu jina, anwani na nambari za simu za wanafunzi wa shule za 65

70 9.0 MATANGAZO NA ILANI ZA MWAKA-KUENDELEA FERPA/KFERPA-KUENDELEA. upili. Mzazi ama mwanafunzi anaweza kuchagua kama hii habari itakuwa wazi ama isifichuliwe. Kuomba waandikishaji wasipate hii habari kumhusu mwanafunzi, fomu inayojulikana kama Release of Infamamation to Military Recruiters Opt-Out Form ni lazima ijazwe (inapatikana kwa kila shule; ona pia Sehemu 10.03) na kutumwa kwa ofisi ya mkurugenzi. Uhalali wa hili ombi la kutopatiana habari utabakia hadi mzazi ama mwanafunzi kulitupilia mbali. Kila mzazi na mwanafunzi aliyetimiza masharti ana haki ya kuandika lalamiko kwa Idara ya Elimu ya Marekani-United States Department of Education kama anaamini kuwa amenyimwa haki yake kukagua rekodi za mwanafunzi, kama inavyokubalishwa kwa sera za bodi 09.14, kimakosa. Kila mzazi na mwanafunzi aliyetimiza masharti anaweza kukagua nakala ya sera za bodi na kitabu cha FCPS kuhusu siri na kutobagua-confidentiality and Non-Discrimination Handbook kitengo cha rekodi za mwanafunzi kwa mtandao wa wilaya Kupigania Habari Iliyomo/Ukweli wa Rekodi: Wakati ukufika ambapo upiganiaji wa habari iliyomo ama ukweli kuhusu rekodi za mwanafunzi kwa msingi wa kuwa hiyo habari si sahihi, inapotosha, ama kwa njia zingine inakiuka usiri ama haki zingine za the mwanafunzi utatakikana, Fomu SRF 119 (ipatikanayo kwa ofisi ya mwalimu mkuu) ni lazima ijazwe na mzazi wa mwanafunzi ama mwanafunzi aliyetimiza masharti ni lazima apewe nafasi ya kesi kufanyika ikiongozwa na kiongozi mwafaka atakayeteuliwa na mkurugenzi, atakayejulikana kama afisa msikizi kesi. Kesi itafanyika kwa muda unaofaa baada ya mkurugenzi kupokea ombi la kesi kama hii na mzazi wa mwanafunzi na/ama mwanafunzi aliyetimiza masharti watafahamishwa kuhusu tarehe, pahali, na wakati wa kesi kwa kutilia maanani kuwapa muda wa kutosha kabla ya kesi kuanza. Mzazi wa mwanafunzi ama mwanafunzi aliyetimiza masharti atapata nafasi ya kutosha na ya haki kutwaa ushahidi mwafaka na kesi na anaweza kusaidiwa ama kuwakilishwa na watu atakaowachagua, pamoja na wakili, kwa gharama yake. Kama, kutokana na kesi, bodi, kupitia kwa afisa msikizi kesi, itaamuwa kuwa habari haina makosa, haipotoshi ama kwa aina ingine kukiuka usiri ama haki zingine za mwanafunzi, itamjulisha mzazi ama mwanafunzi aliyetimiza masharti kuhusu haki ya kuweka ndani ya rekodi za elimu ya mwanafunzi ilani ya kutoa Maoni ya habari iliyomo ndani ya rekodi za elimu na/ama kueleza sababu zozote kinyume na uamuzi wa afisaa msikizi kesi. Maelezo yoyote kama hayo yatakayowekwa ndani ya rekodi za elimu ya mwanafunzi yatahifadhiwa na bodi kama sehemu ya rekodi za elimu za mwanafunzi kwa wakati wote amabao hizo rekodi ama sehemu zake zinazopiganiwa zinahifadhiwa na bodi. Kama rekodi za elimu za mwanafunzi ama sehemu zake zinazopiganiwa zitafichuliwa na bodi kwa mtu mwingine yeyote, hayo maelezo pia yatafichuliwa kwa huyo mtu. Afisaa msikizi kesi ataandika uamuzi wake kwa wakati ufaao baada ya kesi kutamatishwa [34 CFR 99.22(e)]. Uamuzi wa afisaa msikizi kesi utafanywa kwa nguvu ya ushahidi uliyotolewa kwa kesi pekee na utajumuisha ushahidi huo pamoja na muhtasari wa sababu za kufikia huo uamuzi. Wazazi na wanafunzi wanaoamini kuwa haki zao zimekiukwa wanaweza kuanzisha lalamiko rasmi kwa kuandika baru a hapa: Family Policy Compliance Office U.S. Department of Education 400 Maryland Avenue SW Washington, D.C (202) (VOICE) (800) (TDD) 66

71 9.0 MATANGAZO NA ILANI ZA MWAKA-KUENDELEA MAREKEBISHO YA ULINZI WA HAKI ZA WANAFUNZI Chini ya sheria ya shirikisho ijulikanayo kama Protection of Pupil Rights Amendment of 1998 ( PPRA ), wazazi na wanafunzi waliotimiza masharti watafahamishwa kuhusu na kupewa fursa ya kujiondoa kutoka kushiriki kwa tafiti, chambuzi, michunguzo ya kimwili miingilifu ama chunguzi zingine (bali na kusikia, kuona ama wa skoliosisi), ama mitihani inayofichua maneno yaliyolindwa. Hii sheria pia inahusu kukusanya, kufichua, ama kutumia habari ya mwanafunzi na vikundi vya nje kwa sababu za kibiashara. Wazazi na wanafunzi waliotimiza masharti wanaweza kukagua, baada ya kuandika ombi na kabla kutumia, bidhaa ama vyombo vinavyotumiwa kwa ukusanyaji, ufichuaji, ama utumizi wa maneno yanayolindwa. PPRA inawapa wazazi na wanafunzi waliotimiza masharti (wale walio na umri wa miaka 18 ama zaidi ama waliofikisha umri wa kujiwakilisha) haki fulani kuhusu kufanywa kwa tafiti, ukusanyaji na utumizi wa maneno kwa sababu za biashara, na chunguzi fulani za kimatibabu. Baadhi ya hizi ni haki za: Idhini kabla ya wanafunzi kuhitajika kushiriki kwa utafiti unaohsu 1 (moja) ama zaidi ya hizi sehemu zinazolindwa ( utafiti wa maneno yanayolindwa ) kama huo utafiti wote ama sehemu yake imedhaminiwa na programu mojawapo ya Idara ya Elimu ya Marekani: o Uhusiano wa kisiasa ama kidini wa mwanafunzi ama mzazi wa mwanafunzi; o Shida za kiakili ama kisaikolojia za mwanafunzi ama jamii ya mwanafunzi; o Tabia za jinsia ama mitazamo; o Tabia haramu, kukosa uwiano wa kijumuiya, kujishtaki, ama kudunisha; o Tathmini za wengine waliohojiwa na walio na uhusiano wa karibu wa kijamii zisizopendeza; o Husiano za fadhila zinazotambuliwa kama zile za mawakili, madaktari, ama wahubiri; o o Vitendo vya kidini, husiano, ama imani ya mwanafunzi ama ya mzazi wa mwanafunzi; ama Mapato (bali na yanayohitajika kisheria ili kudhibitisha kufuzu kushuriki kwa mpango fulani ama kupata usaidizi wa kifedha kwa mpango kama huo). Pata ilani na fursa ya mwanafunzi kujiondoa kutoka kwa: o o o Utafiti wa habari yoyote inayolindwa, bila kujali chanzo cha udhamini; Uchunguzi wowote usio wa dharura, uchunguzo wa kimwili muingilifu ama uchunguzi unaohitajika kwa sababu za uhudhuriaji, unaopewanwa na shule ama ajenti wake, na si lazima kulinda afya na usalama wa mwanafunzi (isipokuwa wa kusikia, kuona, ama skoliosisi, ama uchunguzo wowte wa kimwili ama chunguzo zinazokubaliwa ama hitajika na sheria ya jimbo); na Shughuli zinazohusu ukusanyaji, ufunuzi, ama utumizi wa habari ya kibinafsi iliyopatikana kutoka wanafunzi kwa sababu ya kutangaza ama kuuza ama kwa njia ingine kusambaza habari kwa wengine. Kukagua, baada ya ombi na kabla ya kutumia: o o o Tafiti za habari inayolindwa ya wanafunzi; Vifaa vinavyotumiwa kukusanya habari ya kibinafsi kutoka kwa wanafunzi kwa yoyote ya sababu za hapa awali za utangazaji, kuuza, ama usambazaji mwingine; na Mambo ya mafundisho yanayotumiwa kama sehemu ya mtaala wa kielimu. Wilaya pia itawaarifu wazazi na wanafunzi waliotimiza masharti, kwa kiwango cha chini, kila mwaka katika kila mwanzo wa mwaka wa shule kuhusu Tarehe hususan ama za karibu na shughuli zilizoguziwa hapa juu. Arafa itampatia mwanafunzi fursa ya kujiondoa kutoka kushiriki kwa hizo shughuli. Wazazi na wanafunzi wanaoamini kuwa haki zao zimekiukwa wanaweza kuanzisha lalamiko rasmi kwa kuandika baru a hapa: Family Policy Compliance Office U.S. Department of Education 400 Maryland Avenue SW Washington, D.C

72 68

73 9.0 MATANGAZO NA ILANI ZA MWAKA-KUENDELEA 9.03 KUTOBAGUA Ni sera ya Shule za Umma za Kata Fayette kutobagua kwa misingi ya rangi, asili ya kitaifa, umri, dini, jinsia, utambulizi wa jinsia, mwelekeo wa jinsia, ulemavu, ama msingi wowote ule ndani ya sheria za taifa ama jimbo kama inavyohitajika na sehemu zijulikanazo kama Titles VI na VII za sheria ziitwazo Civil Rights Act of 1964 (Sheria ya Haki za Raia ya 1964), Title IX ya Education Amendments of 1972 (Marekebisho ya Elimu ya 1972), Individuals with Disabilities Education Act of 1997 (Watua walio na Ulemavu wa 1972), 2004 ( IDEA ), Sehemu 504 ya Rehabilitation Act ya 1973 ( Sehemu 504 ), Americans with Disabilities Act of 1990 ( ADA ), ADA Amendments Act ya 2008 ( ADAAA ) na McKinney-Vento Homeless Assistance Act of Maswali kuhusu kufuata yoyote ya hazi sheria yanafaa kuelekezwa kwa: Maswali pia yaweza kuelekezwa kwa: Civil Rights Compliance Officer Fayette County Public Schools 701 E. Main St. Lexington, KY (859) Office of Civil Rights U.S. Department of Education 400 Maryland Ave. SW Washington, DC ELIMU SPESHELI NA KUTAFUTA MTOTO Kwa kufuata sheria za nchi na za jimbo, Elimu ya Bure na Inayofaa-Free and Appropriate Education (FAPE) kwa Mazingara yaliyo na Uzuifu wa Chini kabisa-least Restrictive Environment (LRE) yamo katika Shule za Umma za Kata ya Fayette kwa watoto wote wa umri wa chini ya kuanza shule na wale waliofikisha umri wa kuingia shule na walio na ulemavu unaotambuliwa wanaoishi ndani ya eneo la wilaya. Pia, kwa mujibu wa sheria za nchi na jimbo, wilaya ya shule inao mfumo wa hali ya juu uitwao- Child Find- (Kutafuta Mtoto) unaotambua, kuweka na kupima watoto wote walio na ulemavu wanaoishi ndani ya mipaka ya wilaya ya shule, pamoja na watoto walio na ulemavu na ambao hawana makazi, watoto ambao wanatunzwa na jimbo ama watoto walemavu wanaohudhuria shule za kibinafsi, bila kujali ukali wa ulemavu wao, na walio na haja ya elimu spesheli na huduma andamizi. Mapendekezo ya kupokea elimu spesheli na huduma andamizi yaweza kufanywa na wazazi, waajiriwa wa shule ama wanajumuiya. Kwa maelezo zaidi, wasiliana na Mwalimu wa darasa, Mwalimu we elimu spesheli, mshauri, mwalimu mkuu ama Mkurugenzi wa Elimu Spesheli. Raslimali zingine za manufaa kwa wazazi/wasimamizi ni: Mkurugenzi wa Elimu Spesheli Shule za Umma za Kata ya Fayette 701 E. Main St. Lexington, KY (859) Jimbo la Kentucky Idara ya Elimu Huduma za Elimu Spesheli 69

74 9.0 MATANGAZO NA ILANI ZA MWAKA-KUENDELEA 9.05 KUTUMIA FADHILA ZA UMMA AMA BIMA (MEDICAID) Tangazo la Mwaka kuhusu Idhini ya Wilaya ya Shule kutumia Fadhila za Umma ama Bima (Medicaid) chini ya 34 CFR & (d)(2)(iv) Sheria ya nchi ijulikanayo kama Sheria ya Elimu ya Watu walio na Ulemavu-Individuals with Dissabilities Education Act- (IDEA) inawapa wazazi wa watoto wa IDEA haki fulani kuhusiana na utumizi wa wilaya ya shule wa fadhila za umma ama bima, kama Medicaid. Wakati mwingine wilaya za shule huwauliza wazazi kama zinaweza kutumia fadhila zao za umma ama bima kwa huduma fulani zizazopeanwa shuleni. IDEA inawapa wazazi haki zifuatazo kuhusu hila swala: Wazazi wana haki ya kupokea ilani hii kwa lugha wanayoielewa. Hii ina maana kuwa tangazo la mwaka ni lazima liandikwa kwa lugha wazi. Pia inamaanisha kuwa hio ilani ni lazime ipatiwanwe kwa lugha asili ya mzazi ama aina ingine ya mawasiliano inayotumiwa na hoa wazazi, isipokuwa hakuna uwezekano wa kufanya hivyo. Wazazi ni lazima watoe idhini kabla ya habari ya siri ya watoto wao kufichuliwa. Wilaya ya shule ni lazima ipate ruhusa ya mzazi chini ya Sheria ya Elimu ya Jamii kuhusu Haki na Usiri-Family Educational Rights and Privacy Act- (FEPRA), 34 CFR Tengo la 99, na IDEA, inayopatikana kwa 34 CFR , kabla ya wilaya ya shule kuweza kufichua maneno ya utambulizi wa binafsi ya mtoto kwa ofisi ya jimbo inayohusika na fadhila za umma ama mpango wa bima (Medicaid). Mtoto chini ya IDEA ana haki ya elimu spesheli na huduma andamanaji bila gharama yoyote kwa mzazi. Kwa huduma yoyote inayohitajika ili kuwezasha Elimu ya Umma inayofaa na ya Bure-Free Appropriate Public Education- (FAPE) kwa mtoto aliyetimiza masharti ya IDEA, wilaya ya shule: o Haiwezi kuwahitaji wazazi wa kujisajili kwa fadhila za umma ama mpango wa bima kabla ya mtoto kupata FAPE. o Haiwezi kuhitaji mzazi alipie gharama ya ama kama sehemu ya kupata huduma zinazopatikana shuleni. Hata hivyo, wilaya inaweza kulipa gharama ambayo kwa kawaida mzazi angelipia. o Haiwezi kutumia fadhila za umma za mtoto kama kufanya hivyo kwaweza: Kupunguza muda wa jumla wa bima ama huduma ingine ile; Kusababisha familia kugharamia huduma ambayo kwa kawaida inelipiwa na fadhila za umma ama bima, amabayo mwanafunzi huhitaji nje ya shule; Kuongeza bei ama kukatishwa kwa fadhila za umma ama bima; ama Kuhatarisha ufuzu wa mtoto kupata fadhila za kinyumbani ama jumuiya, kutokana na gharama za kiafya kwa jumla. Wazazi wanaweza kuondoa idhini ya kufichua habariya usiri ya mtoto wakati wowote. Kama wazazi watakataa kuidhinisha, ama wataondoa idhini, wilaya ya shule bado ni lazima impatie mtoto huduma anazohitaji bila gharama kwa wazazi. Wilaya ya shule bado ina jukumu la kumpa mtoto FAPE na ni lazima impe huduma anazohitaji, hata kama wilaya haiwezi tena kutumia fadhila za umma ama bima ya mzazi. 70

75 10.0 FOMU MAELEZO YA KUONDOLEWA KUTOKA DAIREKTORIA YA FERPA Shule za Umma za Kata ya Fayette Fomu ya Kuondolewa Kutoka kwa Dairektoria ya Habari ya FERPA Kwa Wanafunzi Wote Jaza hii fomu kuhakikisha haki yako ya usiri. Wilaya imeamua kuwa jina, anwani, anwani ya barua pepe, nambari ya simu, tarehe na pahali pa kuzaliwa, habari kuhusu ushiriki wa mwanafunzi katika shughuli zinazotambuliwa rasmi na michezo, uzani na urefu wa mwanafunzi (kama ni mwanatimu wa riadha), tarehe za uhudhuriaji wa mwanafunzi, kiwango cha darasa, tuzo na zawadi, picha (isipokuwa rekodi za video), na masomo anayozingatia mwanafunzi kama habari ya dairektoria, amabayo inamaanisha chini ya sheria ya Family Education Rights and Privacy Act ( FERPA ) huwa hii habari inaweza kusambazwa bila idhini yako. Kama hutaki hii habari isambazwe kwa watu wanao omba habari ya dairektoria, mzazi/msimamizi ama mwanafunzi aliyetimiza masharti (umri wa miaka 18 ama zaidi) ni lazima atie sahihi kwaa hii fomu na airudishe kwa ofisi ya shule ndani ya mwezi mmoja baada ya usajili. Hili ombi la kuondolewa litabaki kwa kipindi cha mwaka huu wa shule pekee. Nimeamua hapa kutumia haki yangu kwa mujibu wa sheria za nchi na za jimbo kwa kuomba kuwa jina, anwani, anwani ya barua pepe, nambari ya simu, tarehe na pahali pa kuzaliwa, habari kuhusu ushiriki wa mwanafunzi katika shughuli zinazotambuliwa rasmi na michezo, uzani na urefu wa mwanafunzi (kama ni mwanatimu wa riadha), tarehe za uhudhuriaji wa mwanafunzi, kiwango cha darasa, tuzo na zawadi, picha (isipokuwa rekodi za video), na masomo anayozingatia mwanafunzi ya (jina la mwanafunzi), ambaye sasa ni mwanafunzi wa (jina la shule), yasisambazwe bila idhini ya kuandikwa kabla ya usambazaji. Ninaelewa na kukiri kwamba hili ombi la kuondolewa litakuwa na nguvu kwa mwaka huu wa shule pekee. Ninaelewa kuwa litamtenga mwanafunzi wangu kutoka kwa vichapisho kama picha/dairektoria ya habari na kuwa habari ya mwanafunzi wangu haitachapishwa kwa njia yoyote pamoja na vichapisho vya wilaya kama vigazeti, vitabu vya mwaka, kurasa mtandaoni, barua za habari, magazeti, na kadhalika. Imesahihishwa na (Chagua moja.): mwanafunzi mwafaka mzazi/msimamizi Sahihi Jina (tafadhali usisikanishe herufi) Anwani Mji/Jimbo/ZIP Kwa maelezo ya sheria za nchi na jimbo zinazohusika na hii fomu, ona Sehemu 9.01 ya Mwongozo. 71

76 10.0 FOMU-KUENDELEA MAELEZO YA KUONDOLEWA KUTOKA DAIREKTORIA YA FERPA-KUENDELEA HUU UKURASA UMEACHWA WAZI KWA MAKUSUDI. 72

77 10.0 FOMU-KUENDELEA KUJIONDOA KUTOKA KUTUMIWA KWA MEDIA Shule za Umma za Kata ya Fayette Fomu ya Kujiondoa Kutoka kwa Kutumiwa kwa Media Kwa Wanafunzi Wote Jaza hii fomu kutumia haki yako kama hutaki mtoto wako ama kazi yake ionyeshwe kwa mtambo wa elimu wa Shule za Umma za Kata ya Fayette (FCPS), mtandao wa FCPS ama vyombo vya habari vya karibu. Wanafunzi wa Shule za Umma za Kata ya Fayette wana vipaji vya juu na wanafikia viwango vya juu kimasomo, sanaa za kutenda na kuona na riadha. Kwa mwaka wote, kutakuwa na fursa za kupata sifa kwa uwazi kutokana na fanaka za wanafunzi binafsi, vikundi vinavyohusika na shule mashule. Mifano ya fursa za aina hii ya kupata sifa mbele ya umma ni pamoja na, bila kuepuka, vigazeti vya shule, tangazaji za Mtambo wa 13-Channel 13-habari zinazowaangazia watu fulani, matangazo na picha kwa vichapisho vya wilaya ya shule, na kutumiwa na magazeti ya karibu, utangazaji wa redio na mitambo mingine. Kama hutaki mtoto wako ama kazi yake kuonekana kwa umma kama picha, habari za kawaida, utangazaji wa sauti/video, na/ama kuhojiwa, mwanafunzi ama mzazi/msimamizi ni lazima atie sahihi kwa hii fomu na airudishe kwa ofisi ya shule ndani ya mweji mmoja baada ya usajili. Hili ombi la kuondolewa litakuwa na nguvu kwa huu mwaka wa shule pekee. Jina la Mwanafunzi: Jina la Mzazi/Msimamizi: Sahihi ya Mzazi/Msimamizi: Tarehe: 73

78 10.0 FOMU-KUENDELEA KUONDOLEWA KUTOKA KWA MEDIA-KUENDELEA. HUU UKURASA UMEACHWA WAZI KWA MAKUSUDI. 74

79 10.0 FOMU-KUENDELEA KUONDOLEWA KUTOKA WAANDIKISHAJI WA JESHI Shule za Umma za Kata ya Fayette Fomu ya Kuondolewa Kutoka Mwandikishaji wa Jeshi Kwa Wanafunzi wa Shule ya Upili Pekee Jaza hii fomumkuhakikisha haki yahoo ya usiri. Chini ya sheria za sasa, waandikishaji wa jeshi la Marekani wanawaza kupata majina, anwani, na nambari za simu za wanafunzi wa shule za upili. Mzazi, msimamizi ama mwanafunzi anaweza kuchagua habari hii isifichuliwe. Kuomba kwamba waandikishaji wa jeshi wasipate habari ya mwanafunzi, tafadhali fahamisha Wilaya ya Shule za Umma za Kata ya Fayette kwa kutuma hii fomu kwa Ofisi ya Mkurugenzi wa Shule za Umma za Kata ya Fayette, 1126 Russell Cave Road, Lexington, KY Hili ombi la kuondolewa litabakia mpaka liondolewe na mzazi/msimamizi ama mwanafunzi. Fomu ya Kuondolewa kutoka Uandikishwaji wa Kijeshi Naomba kujiondoa kutoka habari ya mtoto wangu kuwachiliwa kwa waandikishaji wa jeshi. Naelewa kuwa hili ombi litabaki hadi niliondoe kwa kuwasiliana na Shule za Umma za Kata ya Fayette kwa kuwaandikia kuhusu uamuzi wangu. Tarehe: Jina la Mwanafunzi: Alama ya Sasa: Shule ya Mwanafunzi: Jina la Mzazi/Msimamizi: Sahihi: Fomu ya Mwanafunzi Kujiondoa kutoka kwa Waandikishaji wa Jeshi Naomba kuwa habari yangu isiwachiliwe kwa waandikishaji wa kijeshi. Naelewa kuwa hili ombi litabaki hadi nitakalolivunja kwa kujulisha Shule za Umma za Kata ya Fayette kwa kuandika kuhusu uamuzi wangu. Tarehe: Jina la Mwanafunzi: Alama ya Sasa: Shule ya Mwanafunzi: Sahihi: 75

80 10.0 FOMU-KUENDELEA KUONDOLEWA KUTOKA WAANDIKISHAJI WA JESHI-KUENDELEA HUU UKURASA UMEACHWA WAZI KWA MAKUSUDI. 76

81 MAELEZO YA KUWASILIANA NASHULE/PROGRAMU SHULE ZA UMMA ZA KATA YA FAYETTE Anwani ya Kwanza ya kutuma barua: 1126 Russell Cave Road, Lexington KY Anwani ya makao makuu ya wilaya: 701 E. Main Street, Lexington KY SHULE ZA MSINGI Academy for Leadership at Millcreek 1212 Reva Ridge Way, (859) Arlington 122 Arceme Avenue, (859) Ashland 195 N. Ashland Avenue, (859) Athens-Chilesburg 930 Jouett Creek Drive, (859) Booker T. Washington 707 Howard Street, (859) Breckinridge 2101 St. Mathilda Drive, (859) Cardinal Valley 218 Mandalay Road, (859) Cassidy 1125 Tates Creek Road, (859) Clays Mill 2319 Clays Mill Road, (859) Coventry Oak 2441 Huntly Place (859) Deep Springs 1919 Brynell Drive, (859) Dixie Magnet Elementary 1940 Eastland Parkway, (859) Garden Springs 2151 Garden Springs Drive, (859) Garrett Morgan 1150 Passage Mound Way (859) Glendover 710 Glendover Road, (859) Harrison 161 Bruce Street, (859) James Lane Allen 1901 Appomattox Road, (859) Julius Marks 3277 Pepperhill Road, (859) Lansdowne 336 Redding Road, (859) Liberty 2585 Liberty Road, (859) Mary Todd 551 Parkside Drive, (859) Maxwell Spanish 301 Woodland Avenue, (859) Immersion Magnet Meadowthorpe 1710 N. Forbes Road, (859) Northern 340 Rookwood Parkway, (859) Picadome 1642 Harrodsburg Road, (859) Rosa Parks 1251 Beaumont Centre Lane, (859) Russell Cave 3375 Russell Cave Road, (859) Snaersville 3025 Snaersville Road, (859) Southern 340 Wilson Downing Road, (859) Squires 3337 Squire Oak Drive, (859) Stonewall 3215 Cornwall Drive, (859) Tates Creek 1113 Centre Parkway, (859) Veterans Park 4351 Clearwater Way, (859) Wellington 3280 Keithshire Way, (859) William Wells Brown 555 E. Fifth Street, (859) Yates 695 East New Circle Road, (859) SHULE ZA KATI Beaumont 2080 Georgian Way, (859) Bryan Station 1865 Wickland Drive, (859) Crawford 1813 Charleston Drive, (859) Edythe J. Hayes 260 Richardson Place, (859) Jessie M. Clark 3341 Clays Mill Road, (859)

82 SHULE/PROGRAM CONTACT INFAMAMATIONKUENDELEA. Leestown 2010 Leestown Road, (859) Lexington Traditional Magnet 350 N. Limestone, (859) Mamaton 1225 Tates Creek Road, (859) SCAPA at Bluegrass 400 Lafayette Parkway, (859) Southern 400 Wilson Downing Road, (859) Tates Creek 1105 Centre Parkway, (859) Winburn 1060 Winburn Drive, (859) SHULE ZA UPILI Bryan Station 201 Eastin Road, (859) Frederick Douglass 2000 Winchester Road, (859) Henry Clay 2100 Fontaine Road, (859) Lafayette 401 Reed Lane, (859) Paul Laurence Dunbar 1600 Man O War Boulevard, (859) Tates Creek 1111 Centre Parkway, (859) VIUO VYA UFUNDI Eastside Technical Center 2208 Liberty Road, (859) Locust Trangi AgriScience Farm 3591 Leestown Road, (859) Southside Technical Center 1800 Harrodsburg Road, (859) OTHER ACADEMIC PROGRAMS Carter G. Woodson Academy 1813 Charleston Drive, (859) Martin Luther King Jr. Academy 2200 Liberty Road, (859) Opportunity Middle College 470 Cooper Drive, (859) The Stables 4089 Iron Works Pike, (859) STEAM Academy 123 East Sixth Street, (859) The Learning Center (TLC) at Linlee 2420 Spurr Road, (859) NAMBARI ZA KUWASILIANA NA USAFIRI WA BASI Kituo cha Miles Point Meneja wa Usafiri (859) Mwelekezi (859) Feksi (859) Kituo cha Liberty Road Meneja wa Usafiri (859) Mwelekezi (859) Feksi (859) Kuelekeza Msimamizi (859) Elimu Spesheli (859) Kishule (859) CBI & Shughuli (859) Feksi (859) NAMBARI ZINGINE ZA KUWASILIANA Ziara za Shule (859) Maombi ya Usalama\Mafunzo\Dereva (859)

83 Kata ya Fayette Halmashauri yaelimu Melissa Bacon, Mwenyekiti Raymond Daniels, Makamu Mwenyekiti Douglas Barnett Daryl Love Stephanie Spires Emmanuel Caulk, Mkurugenzi ENEO LA MASHULE YA FURSA SAWIA

84

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia IDARA YA KUFIKIA HUDUMA ZA AFYA VERMONT Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia GreenMountainCare MIASHA YENYE AFYA BORA ZAIDI Jedwali la Yaliyomo Jedwali la Yaliyomo... 2 Karibu kwenye Programu ya

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia : Maelekezo ya kutumia Kupatwa kamili kwa jua Jumatatu, 21 Agosti 2017 Agreement v1.4 Mar 2014 2014-2017 Eclipse2017.org, Eclipse2017.org, inc. inc. TERMS AND CONDITIONS FOR USE OF SOLAR VIEWER Please

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI NAMBA ZA SIMU: Mkuu Wa Shule: 0784524029 / 0766805826. Makamu Mkuu Wa Shule: 0714356735 / 0767356735. SHULE YA SEKONDARI

More information

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 AEG swahili Bahari ya Aegean Brosha ya maelezo hii ni kwa watu wanaofikiria kuvuka bahari ya Aegean kati ya Ugiriki na Uturuki.Kuvuka kihramu ni uhalifu katika

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO

FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO SEHEMU A (TAARIFA ZA MWANAFUNZI) Picha ya mwanafunzi na aje na picha tatu Jina kamili (majina matatu). Tarehe ya kuzaliwa.. Uraia.. Jinsia Anuani ya mwanafunzi... Shule

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Shule za umma za kata ya Fayette 1 Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Muhtasari wa yale watoto wanastahili kufahamu na kuweza kufanya na njia za familia kuongeza masomo nyumbani. Tunaamini familia ni wenzetu.

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue? Tufundishane! Let s teach each other! This newsletter is published by The Foundation for Tomorrow and is meant to be a venue for teachers and schools to share and learn from each other s best practices.

More information

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu BLOOD PRESSURE UK Shinikizo la damu ndicho chanzo kikubwa cha ulemavu na vifo vya mapema kule Uingereza, kupitia kiharusi, mshtuko wa moyo na maradhi ya moyo.

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY (LSF) 1 KIMEANDALIWA NA Chama Cha Wanasheria Tanzania

More information

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa

More information

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Child Abuse & Neglect 43(2015)8 21 Orodha Yaliyomo inapatikana katika ScienceDirect Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Nakala ya Utafiti Mbinu za kuimarisha mifumo ya ulinzi wa mtoto kuanzia chini kwenda

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA SANDUKU LA POSTA 569 IRINGA TANZANIA Kumb... MZAZI/MLEZI WA...... YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA

More information

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA E- mail: uchilesekondari@yahoo.com P.O. BOX 582 Mob: +255 (0) 752 476 389 SUMBAWANGA KUMB. NA. USS/JOINING/F.V/03 10 Juni 2017...... YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Kumb.Na.BSS/A.6/33 Tarehe: 18 Juni 2018 YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2018/2019

Kumb.Na.BSS/A.6/33 Tarehe: 18 Juni 2018 YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2018/2019 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Shule ya Sekondari Bagamoyo Simu ya mkononi: +255 769 397 926 : +255 658

More information

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)

More information

Ufundishaji wa lugha nyingine

Ufundishaji wa lugha nyingine CHUO CHA ELIMU CHA KIMATAIFA OFISI YA ELIMU YA KIMATAIFA Ufundishaji wa lugha nyingine Na Elizabeth B. Bernhardt ELIMU MAZOEA KITABU NA. 20 1 Chuo cha Elimu cha Kimataifa (The International Academy of

More information

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA 2007 i WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

More information

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi International Labour Office Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi 1 Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2007 Kimechapwa mara ya kwanza 2007 Machapisho ya Ofisi ya Shirika la

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa mabingwa itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Mkuu Inahitaji dhabihu. Unahitaji kujisukuma hadi mwisho wako. Lakini nakupa ahadi hii,

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA SIMU NA: (027) 2642082 TANGA (OFISI) 0784 889 099 TANGA (NYUMBANI) Tovuti: www.tangaschool.sc.tz Barua pepe: tangaschool@yahoo.com JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA

More information

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS-TAMISEMI Namba za Simu Mkuu wa Shule: 0742 770 656 Makamu Mkuu wa Shule: 0767 312 266 Matron: 0766 464 076 Shule ya Sekondari Nsimbo, S.L.P.304, MPANDA. Kumb.

More information

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya Jina Nambari.. Shule... 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI / AGOSTI. 2007 MUDA: SAA 2 ½ MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya 102/3 KISWAHILI FASIHI

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA Toleo la kwanza 2012 Mwandishi: USAID DELIVER PROJECT Wachangiaji: Gary Steele, John Snow, Inc. and Judith

More information

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN KIONGOZI CHA SHERIA Hakimiliki 2008 Kimetolewa na: Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) Waandishi: wa Toleo la 5 Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau Toleo la 5: 2008 ISBN

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Mazoezi ya wenye umri wa miaka 11-14 Hivi Ndivyo Nilivyo kwa wenye umri wa miaka 11-14 Kuhusu Hivi Ndivyo Nilivyo Ikiwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA. SHULE YA SEKONDARI KAHORORO, S. L. P 198, BUKOBA. Tarehe 14/5/2018 MKOA WA KAGERA

More information

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili 1. 2-Muhtasari wa Ukurasa wa Ripoti ya Miaka minne ya Bodi Kuu ya Kanisa & Jamii............................... 2 2. Kamati ya Kawaida ya Malipo ya

More information

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 1. Utangulizi Changamoto kuu iliyopo kuhusiana na Elimu ya msingi nchini Tanzania kwa sasa ni namna

More information

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo Taarifa ya Warsha Kuhusu Elimu-Jumuishi Iliyofanyika Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Kujifunza hakuna mwisho. Kazi ya vikundi imenipa fursa ya kujieleza bila kuhofia kuwa ningekosea.

More information

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Imechapishwa na: The Atlas Alliance Schweigaardsgt 12 SLP 9218 Grønland 0134 Oslo, Norway Simu: +47

More information

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji! Yaliyomo Kuhusu kitabu hiki Kuhusu kitabu hiki.........................................................1 Unapojisikia vibaya.........................................................2 Unapoanza kuwa mzima

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ;II. -~ ~.! ~ l Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ~n.~ SURA YA KWANZA SHERIA YA ARDHI 1 UTANGULIZI Sura hii itaiangalia ARDHI na umuhimu wake katika maisha ya binadamu. Ardhi ni rasilimali

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA

More information

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza 1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa

More information

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu Nyenzo ya Mafunzo Vi Agroforestry Vi Agroforestry ni shirika la ushirikiano la maendeleo la Sweden, linalopambana dhidi ya umasikini na

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka 0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11

More information

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre Shangazi Stella Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO Training and Research Support Centre Zimbabwe Shangazi Stella Kiongozi cha Mwezeshaji

More information

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII SHERIA KATIKA LUGHA RAHISI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA (TANGANYIKA LAW SOCIETY) KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY

More information

Early Grade Reading Assessment for Kenya

Early Grade Reading Assessment for Kenya EDDATA II Early Grade Reading Assessment for Kenya Baseline Instruments: Kiswahili and English EdData II Technical and Managerial Assistance, Task Number 4 Contract Number EHC-E-01-04-00004-00 Strategic

More information

Mipango ya miradi katika udugu

Mipango ya miradi katika udugu Partnerschaftlich Projekte planen Mipango ya miradi katika udugu 2 Dibaji... 3 Utangulizi... 4 I. Nafasi ya (Wajibu wa) Fedha katika Udugu: Mtazamo wa Ki-indonesi... 5 II. Namna UEM Inavyowezesha Miradi

More information

Siku ya kwanza. Mguso wa ngozi-kwa-ngozi (Ulezi wa kangaruu) Mtoto wako anaweza kuhisi mdundo wa moyo wako

Siku ya kwanza. Mguso wa ngozi-kwa-ngozi (Ulezi wa kangaruu) Mtoto wako anaweza kuhisi mdundo wa moyo wako Siku ya kwanza Baada tu ya mtoto kuzaliwa ni wakati wa kufurahia, lakini pia ni wa kuchosha. Kujua vitu vichache kuhusu kunyonyesha hufanya siku ya kwanza kuwa rahisi kidogo. Baada ya kujifungua Wakati

More information

Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza

Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania 2015 2016 Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa,

More information

Mwongozo wa Mwezeshaji

Mwongozo wa Mwezeshaji JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Mwongozo wa Mwezeshaji Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka lugha

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health Wasiojua kusoma na kuandika katika karne ya 21 hawatakuwa wale wasiojua kusoma na kuandika lakini wale ambao hawawezi kujifunza, kutojifunza na kujifunza

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS

KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS ALLIANCE BOYS HIGH SCHOOL KISWAHILI KARATASI YA 2 SCHOOLS NET KENYA Osiligi House, Opposite KCB, Ground Floor Off Magadi

More information

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Makala ya Mshiriki wa Mafunzo Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

Shabaha ya Mazungumzo haya

Shabaha ya Mazungumzo haya Karibu Katika Mazungumzo Kuhusu Mchakato wa Uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii CCMP/UMOJA Shabaha ya Mazungumzo haya Kuwafahamisha viongozi wa makanisa kuhusu Mchakato wa CCMP ambao umekuwa ukitumika

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA Maagizo (a) Andika jina lako na namba yako katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (b) Tia sahihi yako na tarehe ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (c) Jibu maswali

More information

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Gervas Zombwe 1 1. Utangulizi Katika mazingira ya kawaida kabisa ndani ya jamii yetu, Imezoeleka kusikia au kuona watu wakioanisha dhana ya elimu

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012

MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012 MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012 TASNIFU HII IMEWASILISHWA KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJI

More information

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI Namba za simu Shule ya sekondari Mkingaleo Mkuu wa shule -0716544244 S.L.P 1802 Makamu Mkuu wa shule -0713788225 Tarehe Matroni/Patroni-0764435107/0718495791

More information

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q 88092387 SWAHILI B HIGHER LEVEL PAPER 1 SOUAHÉLI B NIVEAU SUPÉRIEUR ÉPREUVE 1 SUAHILI B NIVEL SUPERIOR PRUEBA 1 Tuesday 3 November 2009 (morning) Mardi 3 novembre 2009 (matin)

More information