NAFASI ZA MASOMO MASOMO YA ASUBUHI
|
|
- Terence Barnett
- 6 years ago
- Views:
Transcription
1 NAFASI ZA MASOMO Shule yetu, iliyoanza mwaka 1974, inazingatia taaluma na maadili kwa kufuata sera ya elimu ya Kanisa Katoliki. Ni ya mchepuo wa biashara. Inapokea wanafunzi wa kike na wa kiume, wa kutwa na wa bweni, bila kubagua yeyote. Iko katikati ya Manispaa ya Morogoro, kando ya barabara kuu ya zamani ya kwenda Dar es Salaam. Iko jirani kabisa na taasisi zote zinazotoa huduma muhimu (nyumba za ibada, hospitali ya rufaa, posta kuu, benki, shesheni ya reli ya kati, kituo cha mabasi ya mjini n.k.) Pamoja na kuwaahidia juhudi endelevu za kuboresha huduma, tunawatangazia nafasi zifuatazo za masomo ya sekondari. MASOMO YA ASUBUHI PRE-FORM I: Wanaohitaji kujiandaa miezi mitatu ili kujiunga na kidato cha kwanza mwakani katika shule yoyote, masomo yatatolewa kuanzia tarehe saa 2:00 asubuhi (darasa likijaa, wengine watasoma mchana). Ada ni Tsh. 90,000. Wanaohitaji kukaa bweni watapata nafasi katika vituo vifuatavyo: wavulana Malati Secondary School (mtaa wa Bigwa) tu - wasichana Savannah Girls Centre (Mzumbe) tu. Hao waongeze Tsh. 160,000. Jumla ni Tsh. 250,000. Inatakiwa kulipwa kwa mkupuo mmoja. FORM I: KUINGIA KIDATO CHA KWANZA (Civics, History, Geography, English, Kiswahili, Biology, Chemistry, Physics na Mathematics). Kutakuwa na masomo ya Book Keeping na Commerce pia. Wanaotaka kujiunga wawe wamezaliwa si kabla ya mwaka 2000 na kufaulu mtihani wa darasa la saba mwaka 2015 au Usaili utafanyika tarehe saa 2:00 asubuhi. Washindi watatangazwa baada ya siku tatu na kuanza masomo tarehe Ada yao ni Tsh. 600,000 kwa mwaka. Kwa kukaa bweni wataongeza Tsh. 600,000. Jumla ni Tsh. 1,200,000. Inaweza kulipwa kwa mikupuo minne. FORM V: KUINGIA KIDATO CHA TANO (History, Kiswahili na Language; au History, Geography na Kiswahili; au History, Geography na Language; au History, Geography na Economics; au Economics, Geography na Mathematics; au Chemistry, Biology na Geography). Wanaotaka kujiunga wawe: wamezaliwa si kabla ya mwaka 1995; wamefaulu (A, B+, B, C au D) English; wamepata credits (A, B+, B au C) katika masomo waliyoyachagua walipofanya au waliporisiti mtihani wa kidato cha nne; wamepata credit ya tatu mwaka 2015 au Usaili utategemea vyeti tu (cha kuzaliwa au cha kumaliza shule na hati za matokeo ya kidato cha nne). Washindi watatangazwa tarehe na wataanza masomo tarehe Ada ni Tsh. 700,000 kwa mwaka. Kwa kukaa bweni wataongeza Tsh. 600,000 (nafasi ni chache: watapewa watakaowahi kulipa). Jumla ni Tsh. 1,300,000. Inaweza kulipwa kwa mikupuo minne.
2 MASOMO YA MCHANA A. KWA WASIOWAHI KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE Ni kwa wale watakaofanya mtihani wa maarifa (maarufu kama Q.T.) na mitihani mingine ya taifa kama watahiniwa wa kujitegemea. Masomo yao yataanza tarehe Ni kuanzia alasiri (Jumamosi kuanzia asubuhi). Ada ni Tsh. 400,000 kwa mwaka. Inatakiwa kulipwa kwa mkupuo mmoja. Bweni halina nafasi kwa ajili yao. P I: KUJIANDAA MIAKA MIWILI KWA MTIHANI WA MAARIFA (Civics, History, Geography, English, Kiswahili, Biology na Mathematics; au Civics, History, Geography, English, Kiswahili, Commerce na Book Keeping). I-II: KUJIANDAA MWAKA MMOJA KWA MTIHANI WA MAARIFA (Civics, History, Geography, English na Kiswahili). P III: KUJIANDAA MIAKA MIWILI TENA KWA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (Civics, History, Geography, English, Literature, Kiswahili, Biology na Mathematics; au Civics, History, Geography, English, Literature na Kiswahili). Wanaotaka kujiunga wawe na elimu inayolingana na ile ya kidato cha pili. III-IV: KUJIANDAA MWAKA MMOJA KWA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (Civics, History, Geography, English na Kiswahili). Wanaotaka kujiunga wawe wamefaulu mtihani wa maarifa. B. KWA WALIOKWISHAFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (HATA KAMA WAMEFELI) Ni kwa wale wanaotaka kurudia mtihani wa taifa wa kidato cha nne. Masomo yao yataanza tarehe Ni kuanzia alasiri (Jumamosi kuanzia asubuhi). Ada ni Tsh. 400,000 kwa mwaka. Inatakiwa kulipwa kwa mkupuo mmoja. Bweni halina nafasi kwa ajili yao. T (= TARATIBU): KUJIANDAA MIAKA MIWILI KURISITI MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (Civics, History, Geography, English, Kiswahili, Biology na Mathematics; au Civics, History, Geography, English, Kiswahili, Commerce na Book Keeping; au Civics, History, Geography, English na Kiswahili). H (= HARAKA): KUJIANDAA MWAKA MMOJA KURISITI MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (Civics, History, Geography, English na Kiswahili). C. KUJIANDAA MWAKA MZIMA KWA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA V-VI (History, Kiswahili na Language; au History, Geography na Kiswahili; au History, Geography na Language). Wanaotaka kujiunga wawe wamepata credits (A, B+, B au C) walau tatu katika masomo yoyote walipofanya au waliporisiti mtihani wa kidato cha nne. Wawe pia wamepata walau D katika somo la English. Masomo yao yataanza tarehe Ni kuanzia alasiri (Jumamosi kuanzia asubuhi). Ada ni Tsh. 600,000 kwa mwaka. Inatakiwa kulipwa kwa mkupuo mmoja. Bweni halina nafasi kwa ajili yao. MAELEZO MUHIMU KWA WOTE Wakristo wa madhehebu yote wanatakiwa kusoma pia Bible Knowledge au Divinity; kwa wengine ni hiari. Mbali na fomu, malipo yoyote yanatolewa risiti katika ofisi ya mhasibu; nje ya hapo malipo si halali, na shule haihusiki nayo, hata kama aliyepewa pesa ni mwalimu. Jihadhari sana. Ada inatakiwa kulipiwa benki; akaunti zenye jina la shule ziko MKOMBOZI C.B., namba , pia K.C.B., namba Ukishindwa kulipia huko, unaweza kutumia pia akaunti ya N.B.C., namba , jina T.E.C. Mchikichini. Zaidi ya ada hakuna mchango unaodaiwa na shule. Uijaze fomu vizuri na kuitunza hadi utakapoirudisha imeambatana na kivuli cha hati ya matokeo ya mtihani wa kidato cha nne (pamoja na ya kurisiti). Ulete pia vocha ya ada uliyolipia benki ili tuweke kumbukumbu na kukupa risiti yetu. Ukipenda, ujitengenezee kwanza kivuli cha vocha hiyo.
3 P. O. Box 677 MOROGORO SHERIA ZA SHULE 1. Sheria za kiutu 1.1. Uwahi shuleni muda uliopangwa Uimbe kwa heshima, hali umesimama pamoja na kundi linalokuhusu, wimbo wa taifa unaotumiwa na shule kama sala ya pamoja kila siku kabla ya kuanza masomo Uwepo muda wote wa masomo na wa kazi ukifuata ratiba ya shule ndani na nje ya darasa ulilopangiwa Uheshimu picha takatifu, bendera na picha za viongozi wa nchi Uwe na tabia njema na utiifu kwa walimu, wafanyakazi na majirani wa shule, wanafunzi wenzako na binadamu yeyote Ukifikiwa au kukutana na mwalimu au mtu yeyote anayekuzidi umri usimame kumsalimia Ukiitwa na mwalimu yeyote umuitikie mara Uwe daima safi (mwili, nguo na vitu vyote unavyotumia) Uwe na nywele fupi; usifuge ndevu Usijirembe kwa kutia nywele dawa, kujichora, kutia wanja n.k Usiache kucha ndefu wala kupaka rangi au hina Usivae kofia, jaketi, viatu vya ghorofa wala mapambo yoyote (herini, bangili, mikufu n.k.) Uvae daima sare ukiwa shuleni (hata wakati wa likizo), ukitoka kwa shughuli za kishule, ukienda hospitalini, ukisafiri kufika shuleni au kurudi nyumbani, n.k Usionekane katika mazingira ya wasiwasi (klabu, kumbi za starehe, nyumba za wageni n.k.) Usijihusishe na ulevi na uvutaji wa aina yoyote Usiwe na urafiki wa kimapenzi; hata hivyo ukipata mimba utakubaliwa likizo ya uzazi, usije ukaua mimba Ukae mahali pako katika darasa ulilopangiwa, pasipo kuhamahama wala kuchanganyikana na jinsia nyingine Ufanye kwa bidii kazi za aina zote, ukishirikiana na wenzako katika usafi na utunzaji wa mazingira Ulinde mali yako binafsi na ya shule (majengo, madawati, vitabu na vifaa vingine utakavyopewa) Usitoe dawati nje ya jengo lake pasipo agizo au ruhusa Utambue ni marufuku kuiba, kugombana, kupigana, kutumia lugha chafu, kuchonganisha, kuchochea vurugu na kufanya mgomo Usitembelee nyumba za walimu na wafanyakazi wengine wala bweni la jinsia tofauti Usitoroke shule, bali utoe taarifa kama utashindwa kuhudhuria masomo Usilete shuleni simu, redio n.k. la sivyo utafukuzwa mara moja Uombe ruhusa ukitaka kuleta shuleni magazeti, majarida, vitini, vitabu n.k Ukubali mamlaka ya wanafunzi viongozi katika kushauri, kuonya na hata kuadhibu kabla tatizo lako halijaufikia utawala wa shule Usikatae adhabu. 2. Sheria za kitaaluma 2.1. Uwe msikivu na mtekelezaji wa maagizo na mashauri ya walimu Ukamilishe kazi zote zinazotolewa na walimu kwa wakati unaotakiwa Uwe mtulivu muda wote darasani, mwalimu awepo au asiwepo vilevile Ushirikiane vema na walimu pamoja na wanafunzi wenzako ili kupata msaada wa kitaaluma Ujitahidi kufanya vizuri mitihani ya mara kwa mara, usije ukaondolewa shuleni kwa kutoifanya mara tatu mfululizo (hata kama umeruhusiwa kwa shida maalumu) au kwa kutofikia mara mbili mfululizo wastani wa alama 45 kwa jumla ya masomo yote Utambue ni kosa kubwa kuibia, kusaidiwa au kusaidia katika mtihani wowote. 3. Sheria za nyongeza kwa wanaokaa bweni (hata la nje) 3.1. Uvae sare ya bweni muda wote, bila ya kuichanganya na vazi lingine wala urembo wowote Uombe ruhusa ukihitaji kurudi bwenini wakati wa vipindi darasani Uzingatie muda wa chakula kwa sababu huruhusiwi kukipeleka bwenini Usiwasiliane na mtu yeyote bila ya mkuu wa bweni kujua Usimpokee mgeni yeyote tofauti na walioandikwa na mzazi, wala nje ya siku za kutembelewa, tena upate kwanza ruhusa ya mkuu wa bweni na usimuingize bwenini Usiende nje bila ya ruhusa maalumu; ukienda kwenye ibada uvae sare na kurudi shuleni mara, bila ya kupitia sehemu nyingine Usipige pasi ndani ya majengo wala kutumia vibatari au mishumaa. 4. Adhabu 4.1. Ukikosa kufika shuleni siku 30 mfululizo bila ya taarifa utaachishwa masomo Ukikwepa mtihani wa somo lolote, na vilevile kwa kuibia, kusaidiwa au kusaidia wakati wa kuufanya, utaandikiwa alama sifuri (0%) katika matokeo yako Kwa baadhi ya makosa utapewa kwanza maonyo mawili, ambayo yataandamana na adhabu shuleni na kudai uandike barua ya kukiri kosa na kuahidi hutalirudia Kwa makosa makubwa zaidi hutapewa maonyo, bali utasimamishwa kwa siku au wiki kadhaa, kama si kufukuzwa shule Ukifukuzwa bweni hutaruhusiwa kuendelea na masomo kama mwanafunzi wa kutwa Ukipoteza au kuharibu kitabu au kitu chochote cha shule utatakiwa kununua kipya na kurejesha, la sivyo hutarudishiwa fedha za tahadhari Vitu visivyotakiwa shuleni vikinyang anywa na uongozi hutarudishiwa.
4 OMBI LA KUANDALIWA MIEZI MITATU KWA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2017 EBU, JAZA SEHEMU ZOTE KWA UKAMILIFU, SI KWA KUBAHATISHA. UONGO WOWOTE HAUTASAMEHEWA! JINA LA KWANZA JINA LA MWISHO JINA LA KATI JINSIA TAIFA KABILA ULIMALIZA LINI DARASA LA SABA? ULIMALIZA KATIKA SHULE IPI? KAMA HUKAI NA WAZAZI, ANAYEKULEA NI NANI KWAKO? JINA LA HUYO MLEZI TAMKO LA MWANAFUNZI: Kisha kusoma sheria za shule, nimezikubali kwa moyo. Basi, naahidi kuzizingatia kwa makini muda wote nitakaokuwa shuleni na kwamba nitashirikiana na viongozi wake kwa kupokea malezi watakayonipatia kama mwanafunzi, nisidai mambo ya pekee kwa msingi wa umri, asili, kabila n.k. Nikihitaji kuhama darasa, bweni au shule.nitatoa kwanza taarifa. TAMKO LA MZAZI/MLEZI WA MWANAFUNZI ASIYEJITEGEMEA: Mimi,, nikiwa mzazi/mlezi wake, nathibitisha kuwa ameelewa na kukubali sheria za shule. Kwa jinsi ninavyomfahamu naamini ataweza kuzishika vizuri. Isipotokea hivyo, niko tayari kukubali uamuzi wowote ambao uongozi wa shule utachukua juu yake. Kwa kumuandikisha katika shule hii naomba Kanisa Katoliki linisaidie kumlea mwanangu, ambaye ni mfuasi wa dini ya., madhehebu ya. Uijaze vizuri na kuitunza hadi siku utakapoturudishia imeambatanishwa na vocha ya ada uliyolipia benki (akaunti ziko MKOMBOZI C.B., namba ; pia K.C.B., namba Ukishindwa kulipia huko, unaweza kutumia pia akaunti ya N.B.C., namba , jina T.E.C. Mchikichini) ili tuweke kumbukumbu na kukupa risiti yetu. Ukipenda, ujitengenezee kwanza kivuli cha vocha hiyo. Ada ya masomo ni Tsh. 90,000 tu. Wanaohitaji kukaa bweni watapata nafasi katika vituo vifuatavyo: wavulana Malati Secondary School (mtaa wa Bigwa) tu - wasichana Savannah Girls Centre (Mzumbe) tu. Hao waongeze Tsh. 160,000. Jumla ni Tsh. 250,000. Inatakiwa kulipwa kwa mkupuo mmoja. Masomo yataanza tarehe
5 JIMBO KATOLIKI LA MOROGORO Amekubaliwa tarehe... OMBI LA KUINGIA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2017 Ajiunge na darasa la Form I, mkondo... EBU, JAZA SEHEMU ZOTE KWA UKAMILIFU, SI KWA KUBAHATISHA. UONGO WOWOTE HAUTASAMEHEWA! JINA LA KWANZA, LA KATI NA LA MWISHO (KAMA KATIKA CHETI CHA KUZALIWA) JINSIA TAIFA KABILA ULIMALIZA KATIKA SHULE IPI? KAMA HUKAI NA WAZAZI, ANAYEKULEA NI NANI KWAKO? JINA LA MLEZI WAKO ULIMALIZA LINI DARASA LA SABA? TAMKO LA MWANAFUNZI: Kisha kusoma sheria za shule, nimezikubali kwa moyo. Basi, naahidi kuzizingatia kwa makini muda wote nitakaokuwa shuleni na kwamba nitashirikiana na viongozi wake kwa kupokea malezi watakayonipatia kama mwanafunzi, nisidai mambo ya pekee kwa msingi wa umri, asili, kabila n.k. Nikihitaji kuhama darasa, bweni au shule. nitatoa kwanza taarifa. NYONGEZA KWA MWANAFUNZI MKRISTO: Naahidi kufanya bidii katika masomo ya Bible Knowledge na Dini. TAMKO LA MZAZI/MLEZI WA MWANAFUNZI ASIYEJITEGEMEA: Mimi,, nikiwa mzazi/mlezi wake, nathibitisha kuwa ameelewa na kukubali sheria za shule. Kwa jinsi ninavyomfahamu naamini ataweza kuzishika vizuri. Isipotokea hivyo, niko tayari kukubali uamuzi wowote ambao uongozi wa shule utachukua juu yake. Vilevile naahidi kumhamisha ikiwa atakosa mara mbili mfululizo kufikia wastani uliopangwa na kikao cha wazazi (45% kwa masomo yote). Kwa kumuandikisha katika shule hii, naomba Kanisa Katoliki linisaidie kumlea mwanangu, ambaye ni mfuasi wa dini ya, madhehebu ya Fomu hii inakupa haki ya kushiriki usaili tarehe ; mahali ni shuleni hapo, muda ni saa 2:00 asubuhi. Uijaze vizuri na kuirudisha siku ya usaili pamoja na picha yako ya hivi karibuni katika chumba cha mtihani. Usaili utafanyika kwa lugha ya Kiswahili kulingana na elimu ya shule za msingi (Kiswahili, Kiingereza, Hisabati, Sayansi na Maarifa): kila mara watachaguliwa waliofanya vizuri zaidi. Matokeo yatapatikana baada ya siku tatu hapa na katika tovuti ya shule ( Kuanzia hapo maelekezo ya kujiunga yatapatikana ofisini mwa mhasibu na katika tovuti hiyo. Baada ya kujaza hivyo mikondo minne usitegemee kupata nafasi hapa kwa njia nyingine, ila baadhi watachaguliwa kusoma katika shule nyingine za mtandao wetu: Malati na Askofu Adrian Mkoba.
6 OMBI LA KUJIUNGA NA MASOMO YA JIONI (P I, I-II, P III, III-IV, P IV) Ajiunge na darasa la..., mkondo... EBU, JAZA SEHEMU ZOTE KWA UKAMILIFU, SI KWA KUBAHATISHA. UONGO WOWOTE HAUTASAMEHEWA! JINA ULILOTUMIA KWA MITIHANI YA TAIFA JINSIA TAIFA KABILA KAMA ULIANZA SEKONDARI, ULISOMA MPAKA KIDATO CHA NGAPI? ULIMALIZA LINI DARASA LA SABA? JE, ULIFANYA MTIHANI WA MAARIFA (=Q.T.)? JE, ULIFAULU? KAMA UMESHAFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE, ANDIKA A, B+, B, C NA D ULIZOPATA: CIVICS... HISTORY... GEOGRAPHY... ENGLISH... KISWAHILI... PHYSICS... CHEMISTRY... BIOLOGY... MATHEMATICS... BIBLE KNOWLEDGE... MENGINEYO (UYATAJE) 1)... 2)... 3)... KAMA UNAJITEGEMEA, UNAFANYA KAZI GANI? KAMA HUJITEGEMEI WALA HUKAI NA WAZAZI, ANAYEKULEA NI NANI KWAKO? JINA LA MLEZI WAKO TAMKO LA MWANAFUNZI: Kisha kusoma sheria za shule, nimezikubali kwa moyo. Basi, naahidi kuzizingatia kwa makini muda wote nitakaokuwa shuleni na kwamba nitashirikiana na viongozi wake kwa kupokea malezi watakayonipatia kama mwanafunzi, nisidai mambo ya pekee kwa msingi wa umri, asili, kabila n.k. Nikitaka kuhama darasa, bweni au shule, nitatoa kwanza taarifa. NYONGEZA KWA MWANAFUNZI MKRISTO: Naahidi kufanya bidii katika masomo ya Bible Knowledge na Dini..... TAMKO LA MZAZI/MLEZI WA MWANAFUNZI ASIYEJITEGEMEA: Mimi,, nikiwa mzazi/mlezi wake, nathibitisha kuwa ameelewa na kukubali sheria za shule. Kwa jinsi ninavyomfahamu naamini ataweza kuzishika vizuri. Isipotokea hivyo, niko tayari kukubali uamuzi wowote ambao uongozi wa shule utachukua juu yake. Kwa kumuandikisha katika shule hii, naomba Kanisa Katoliki linisaidie kumlea mwanangu, ambaye ni mfuasi wa dini ya, madhehebu ya... Uijaze vizuri na kuitunza hadi utakapoirudisha imeambatana na kivuli cha hati ya matokeo ya mtihani wa kidato cha nne (pamoja na ya kurisiti). Ulete pia vocha ya ada uliyolipia benki ili tuweke kumbukumbu na kukupa risiti yetu. Ukipenda, ujitengenezee kwanza kivuli cha vocha hiyo. Akaunti yenye jina la shule iko MKOMBOZI C.B., namba ; pia K.C.B., namba Ukishindwa kulipia huko, unaweza kutumia pia akaunti ya N.B.C., namba , jina T.E.C. Mchikichini. Masomo yataanza tarehe : watapata nafasi watakayowahi kuleta vitu hivyo ofisini mwa mhasibu hata kabla ya tarehe hiyo. Baada yake usilipe benki kabla hujawasiliana na ofisi hiyo ili kuhakikisha kama nafasi ipo bado.
7 JIMBO KATOLIKI LA MOROGORO OMBI LA KUINGIA KIDATO CHA TANO MWAKA 2017 Ajiunge na darasa la Form V, kombi... EBU, JAZA SEHEMU ZOTE KWA UKAMILIFU, SI KWA KUBAHATISHA. UONGO WOWOTE HAUTASAMEHEWA! JINA ULILOTUMIA KWA MITIHANI YA TAIFA TAIFA KABILA ULIMALIZA LINI KIDATO CHA NNE? UMERISITI MARA NGAPI? ANDIKA A, B+, B, C NA D ULIZOPATA KATIKA KUFANYA AU KURISITI MTIHANI WA KIDATO CHA NNE: JINSIA CIVICS... HISTORY... GEOGRAPHY... ENGLISH... KISWAHILI... PHYSICS... CHEMISTRY... BIOLOGY... MATHEMATICS... BIBLE KNOWLEDGE... MENGINEYO (UYATAJE) 1)... 2)... 3)... 4)... 5)... ANDIKA SANDUKUNI NAMBA YA KOMBI UNAYOTAKA KUFUNDISHWA KATI YA HIZI ZIFUATAZO: 1) HKL (History, Kiswahili, Language) 2) HGK (History, Geography, Kiswahili) 3) HGL (History, Geography, Language) 4) HGE (History, Geography, Economics) 5) EGM (Economics, Geography, Mathematics) KAMA UNAJITEGEMEA, UNAFANYA KAZI GANI? KAMA HUJITEGEMEI WALA HUKAI NA WAZAZI, ANAYEKULEA NI NANI KWAKO? JINA LA MLEZI WAKO TAMKO LA MWANAFUNZI: Kisha kusoma sheria za shule, nimezikubali kwa moyo. Basi, naahidi kuzizingatia kwa makini muda wote nitakaokuwa shuleni na kwamba nitashirikiana na viongozi wake kwa kupokea malezi watakayonipatia kama mwanafunzi, nisidai mambo ya pekee kwa msingi wa umri, asili, kabila n.k. Nikitaka kuhama darasa, bweni au shule, nitatoa kwanza taarifa. NYONGEZA KWA MWANAFUNZI MKRISTO: Naahidi kufanya bidii katika masomo ya Divinity na Dini. TAMKO LA MZAZI/MLEZI WA MWANAFUNZI ASIYEJITEGEMEA: Mimi,, nikiwa mzazi/mlezi wake, nathibitisha kuwa ameelewa na kukubali sheria za shule. Kwa jinsi ninavyomfahamu naamini ataweza kuzishika vizuri. Isipotokea hivyo, niko tayari kukubali uamuzi wowote ambao uongozi wa shule utachukua juu yake. Vilevile naahidi kumhamisha ikiwa atakosa mara mbili mfululizo kufikia wastani uliopangwa na kikao cha wazazi (45% kwa masomo yote). Kwa kumuandikisha katika shule hii, naomba Kanisa Katoliki linisaidie kumlea mwanangu, ambaye ni mfuasi wa dini ya, madhehebu ya... Uijaze vizuri na kuirudisha pamoja na vivuli vya vyeti vyako vya kuzaliwa na kumaliza shule na hati ya matokeo (hati halisi, si matokeo yaliyopakuliwa kutoka tovuti ya NECTA). Usaili utategemea vivuli hivyo tu. Matokeo yatatangazwa tarehe , saa 2:00 asubuhi. Watakaochaguliwa wataanza masomo tarehe Baada ya wiki moja, wale wa akiba wataweza wakapewa nafasi kama hao wa kwanza hawataripoti mapema.
8 JIMBO KATOLIKI LA MOROGORO OMBI LA KUANDALIWA MWAKA MMOJA KWA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2018 Ajiunge na darasa la V-VI, mkondo... EBU, JAZA SEHEMU ZOTE KWA UKAMILIFU, SI KWA KUBAHATISHA. UONGO WOWOTE HAUTASAMEHEWA! JINA ULILOTUMIA KWA MTIHANI WA TAIFA TAIFA KABILA JINSIA ULIMALIZA LINI KIDATO CHA NNE? ANDIKA A, B+, B, C NA D ULIZOPATA KATIKA KUFANYA AU KURISITI MTIHANI WA KIDATO CHA NNE: CIVICS... HISTORY... GEOGRAPHY... ENGLISH... KISWAHILI... PHYSICS... CHEMISTRY... BIOLOGY... MATHEMATICS... BIBLE KNOWLEDGE... MENGINEYO (UYATAJE) 1)... 2)... 3)... ANDIKA SANDUKUNI NAMBA YA KOMBI UNAYOTAKA KUFUNDISHWA KATI YA HAYA YAFUATAYO: 1) HKL (History, Kiswahili, English) 2) HGK (History, Geography, Kiswahili) 3) HGL (History, Geography, English) KAMA UNAJITEGEMEA, UNAFANYA KAZI GANI? KAMA HUJITEGEMEI WALA HUKAI NA WAZAZI, ANAYEKULEA NI NANI KWAKO? JINA LA MLEZI WAKO TAMKO LA MWANAFUNZI: Kisha kusoma sheria za shule, nimezikubali kwa moyo. Basi, naahidi kuzizingatia kwa makini muda wote nitakaokuwa shuleni na kwamba nitashirikiana na viongozi wake kwa kupokea malezi watakayonipatia kama mwanafunzi, nisidai mambo ya pekee kwa msingi wa umri, asili, kabila n.k. Nikitaka kuhama darasa, bweni au shule, nitatoa kwanza taarifa. NYONGEZA KWA MWANAFUNZI MKRISTO: Naahidi kufanya bidii katika masomo ya Divinity na Dini..... TAMKO LA MZAZI/MLEZI WA MWANAFUNZI ASIYEJITEGEMEA: Mimi,, nikiwa mzazi/mlezi wake, nathibitisha kuwa ameelewa na kukubali sheria za shule. Kwa jinsi ninavyomfahamu naamini ataweza kuzishika vizuri. Isipotokea hivyo, niko tayari kukubali uamuzi wowote ambao uongozi wa shule utachukua juu yake. Kwa kumuandikisha katika shule hii, naomba Kanisa Katoliki linisaidie kumlea mwanangu, ambaye ni mfuasi wa dini ya, madhehebu ya... Uijaze na kuitunza hadi utakapoirudisha imeambatana na kivuli cha hati ya matokeo ya mtihani wa kidato cha nne (pamoja na ya kurisiti). Ulete pia vocha ya ada uliyolipia benki ili tuweke kumbukumbu na kukupa risiti yetu. Ukipenda, ujitengenezee kwanza kivuli cha vocha hiyo. Ada ya masomo ya mchana ni Tsh. 300,000 kwa mwaka. Inatakiwa kulipwa kwa mkupuo mmoja katika akaunti yenye jina la shule huko MKOMBOZI C.B., namba ; pia K.C.B., namba Ukishindwa kulipia huko, unaweza kutumia pia akaunti ya N.B.C., namba , jina T.E.C. Mchikichini.
9 FOMU YA KUKUBALI MASHARTI YA BWENI JINA LA MWANAFUNZI.. FORM.. TAMKO LA MWANAFUNZI: Kisha kusoma sheria za shule, nimezikubali kwa moyo. Basi, naahidi kuzizingatia kwa makini muda wote nitakaokuwa bwenini na kwamba nitashirikiana na viongozi wake kwa kupokea malezi watakayonipatia kama mwanafunzi, nisidai mambo ya pekee kwa msingi wa umri, asili, kabila n.k.... TAMKO LA MZAZI/MLEZI: Mimi,, nikiwa mzazi/mlezi wake, nathibitisha kuwa ameelewa na kukubali sheria za shule. Kwa jinsi ninavyomfahamu naamini ataweza kuvishika vilivyo. Isipotokea hivyo, niko tayari kukubali uamuzi wowote ambao uongozi wa shule utachukua juu yake. Kwa kumuandikisha katika bweni hilo, naomba Kanisa Katoliki linisaidie kumlea mwanangu, ambaye ni mfuasi wa dini ya..., madhehebu ya... Naomba aruhusiwe siku ya... aende kusali katika kanisa la... (au katika msikiti wa......). Kwa kumuombea ruhusa nachukua mimi jukumu la matendo yake akiwa nje ya shule siku hiyo. Wakati wa likizo atakuwa anakwenda... Asipoweza kurudi shuleni siku iliyopangwa au nikitaka ahame bweni, nitatoa taarifa mwenyewe. Ndugu wa karibu wanaoruhusiwa kumtembelea ni: 1) ) ) ) Anwani.. Simu Tarehe...
Information for assessors (do not distribute this page to participants):
R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI NAMBA ZA SIMU: Mkuu Wa Shule: 0784524029 / 0766805826. Makamu Mkuu Wa Shule: 0714356735 / 0767356735. SHULE YA SEKONDARI
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA
SIMU NA: (027) 2642082 TANGA (OFISI) 0784 889 099 TANGA (NYUMBANI) Tovuti: www.tangaschool.sc.tz Barua pepe: tangaschool@yahoo.com JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA
More informationHALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA
HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA E- mail: uchilesekondari@yahoo.com P.O. BOX 582 Mob: +255 (0) 752 476 389 SUMBAWANGA KUMB. NA. USS/JOINING/F.V/03 10 Juni 2017...... YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO
More informationFOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO
FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO SEHEMU A (TAARIFA ZA MWANAFUNZI) Picha ya mwanafunzi na aje na picha tatu Jina kamili (majina matatu). Tarehe ya kuzaliwa.. Uraia.. Jinsia Anuani ya mwanafunzi... Shule
More informationKumb.Na.BSS/A.6/33 Tarehe: 18 Juni 2018 YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2018/2019
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Shule ya Sekondari Bagamoyo Simu ya mkononi: +255 769 397 926 : +255 658
More informationOFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA SANDUKU LA POSTA 569 IRINGA TANZANIA Kumb... MZAZI/MLEZI WA...... YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA. SHULE YA SEKONDARI KAHORORO, S. L. P 198, BUKOBA. Tarehe 14/5/2018 MKOA WA KAGERA
More informationSHULE YA SEKONDARI KIBAHA S.L.P 30053, KIBAHA SIMU NA Kibaha
Kumb.Na.KSS/. Tarehe:.. Ndugu:.. SHULE YA SEKONDARI KIBAHA S.L.P 30053, KIBAHA SIMU NA. 023-2402143 e-mail Kibaha Secondary@kec.or.tz www.kec.or.tz TAARIFA YA KUCHAGULIWA KUINGIA KIDATO CHA TANO 2018 Ninayo
More informationJAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS-TAMISEMI Namba za Simu Mkuu wa Shule: 0742 770 656 Makamu Mkuu wa Shule: 0767 312 266 Matron: 0766 464 076 Shule ya Sekondari Nsimbo, S.L.P.304, MPANDA. Kumb.
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU NAMBA ZA SIMU. MKUU WA SHULE: 0754 912 801 MAKAMU MKUU WA SHULE: 0765620813/0714556568 MATRON
More informationARCHDIOCESE OF MWANZA
ARCHDIOCESE OF MWANZA Bukumbi Girls Secondary School P.O.Box 561 MWANZA. Tel: No. 0756312183/0755280924/0767643605/0732981368 Email: bukumbigirlssec@gmail.com Website: www.bukumbigss.weebly.com YAH: MWONGOZO
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA Namba za simu: Mkuu wa shule: 0757 576 565 Makamu Mkuu wa shule: 0757 912 846 Matron: 0757 322 100 Walimu wa
More informationYA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAMISEMI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAMISEMI Namba za simu Shule ya Sekondary Mawelewele Mkuu wa shule: 0763401829 S.L.P 459, Makamu mkuu wa shule: 07523331155 IRINGA. Matron/Patron: Kumb.
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. OFISI YA RAIS- TAMISEMI.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. OFISI YA RAIS- TAMISEMI. Namba za simu: SHULE YA SEKONDARI ANNA MKAPA, S. L. P 8824, MOSHI. TAREHE... MKUU WA SHULE : 0688 460 242/ 0754 824 621 MAKAMU MKUU WA SHULE: 0787
More informationYAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KAREMA KIDATO CHA TANO MWAKA 2018
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA SHULE YA SEKONDARI KAREMA Namba za simu: Mkuu wa shule: 0763414888/0784244108
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA Email: Galanossecondary@gmail.com SHULE YA SEKONDARI GALANOS, Website: www.galanos.sc.tz
More informationJAMHURI YA MUUNGANO IVA TANZANIA
JAMHURI YA MUUNGANO IVA TANZANIA OFISI YA RAIS.TAMISEMI Namba za simu Mkuu wa shule 0784684613 S.L.P 23, Makamu Mkuu wa shule 0717134781 Shule Ya Sekondari Nyanduga, Tarime-Rorya, Patron: 0753379801 Email:
More informationJAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI Namba za simu Shule ya sekondari Mkingaleo Mkuu wa shule -0716544244 S.L.P 1802 Makamu Mkuu wa shule -0713788225 Tarehe Matroni/Patroni-0764435107/0718495791
More informationKumb.Na.HVEMS/JI/BT/018 Novemba 17, YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE CHINI YA TAASISI YA ROCK MEMORIAL EDUCATION TRUST 2018
Hills View Catholic Diocese of Tanga Magunga District Hospital Road Mob:+255-784808420, +255 718 661681, +255 714901004 www.rmet.ac.tz, email: saroce2013@gmail.com KOROGWE, TANZANIA Kumb.Na.HVEMS/JI/BT/018
More informationYAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI WERUWERU HALMASHAURI YA MOSHI MKOA WA KILIMANJARO MWAKA 2018
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOSHI SHULE YA SEKONDARI WERUWERU Nambari ya simu 073-2744003/0759 659681 Email:weruweru23@gmail.com
More informationHati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)
102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako
More informationSERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH
Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017
More informationKAWAWA JKT HIGH SCHOOL PO.BOX 213 MAFINGA IRINGA PHONE MOBILE, , , ,
KAWAWA JKT HIGH SCHOOL PO.BOX 213 MAFINGA IRINGA PHONE MOBILE,0762-785899, 0765 752082, 0758 767533, EMAIL: kawawa.highschool@yahoo.com Kumb Na. 841KJ/KAWSS/2540 6 Namba ya Fomu. Tarehe.. FOMU YA USAJILI
More informationHuduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig
KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1
More informationJAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA SHULE YA SEKONDARI RUNGWA
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA SHULE YA SEKONDARI RUNGWA FOMU YA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE 2018/2019 S.L.P 504, Namba za simu MPANDA Mkuu
More information2018/2019 OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA TANDAHIMBA SHULE YA SEKONDARI TANDAHIMBA, S.L.P 74, 0716 / 0784 143550 12/05/2018 Kumb. Na. TSS/HS/2018/VOL. I Mwanafunzi.. S.L.P....
More informationJifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti
Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu
More informationUfanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania
Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey
More informationGOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)
GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited
More informationHuman Rights Are Universal And Yet...
Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,
More informationGOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)
GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited
More informationHatari, Haki za Usalama katika Bahari 03
Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 AEG swahili Bahari ya Aegean Brosha ya maelezo hii ni kwa watu wanaofikiria kuvuka bahari ya Aegean kati ya Ugiriki na Uturuki.Kuvuka kihramu ni uhalifu katika
More informationMwongozo wa Familia wa Kujifunza
Shule za umma za kata ya Fayette 1 Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Muhtasari wa yale watoto wanastahili kufahamu na kuweza kufanya na njia za familia kuongeza masomo nyumbani. Tunaamini familia ni wenzetu.
More informationTufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?
Tufundishane! Let s teach each other! This newsletter is published by The Foundation for Tomorrow and is meant to be a venue for teachers and schools to share and learn from each other s best practices.
More informationKifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia
: Maelekezo ya kutumia Kupatwa kamili kwa jua Jumatatu, 21 Agosti 2017 Agreement v1.4 Mar 2014 2014-2017 Eclipse2017.org, Eclipse2017.org, inc. inc. TERMS AND CONDITIONS FOR USE OF SOLAR VIEWER Please
More informationTIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA
TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246, P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@ twiga.com 01 June 2001 Benefits of Loan Repayment As the date of repayment nears, 15 June, groups are busy preparing crops, digging
More informationElimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani
Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh
More informationAzimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu
The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA
More informationEarly Grade Reading Assessment for Kenya
EDDATA II Early Grade Reading Assessment for Kenya Baseline Instruments: Kiswahili and English EdData II Technical and Managerial Assistance, Task Number 4 Contract Number EHC-E-01-04-00004-00 Strategic
More informationTIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees
TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST
More informationJUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1
The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA
More informationEllen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar
Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ukristo leo unadhihirisha waumini karibu bilioni mbili katika maelfu ya madhehebu tofauti na tofauti na madhehebu. Kati ya hizi, zaidi ya 500 madhehebu
More informationKANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI
Swahili TANGAZO LA MATARAJIO NA JUKUMU KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI Lengo letu ni kuwezesha mazingira ya jumuiya ya ushirikiano yanayowapatia wanafunzi wote kwa kila kiwango fursa ya kufikia
More informationSautiElimu. Sauti Yako Isikike
SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian
More informationMwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara
Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA
More informationUTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO
UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery
More informationNilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania
Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza
More informationUtumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania
Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted
More informationAdhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu
Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Nabii Musa alipotoka mlima Sinai kupewa amri kumi za Mungu zilizoko kwenye kitabu cha Kutoka 20:1 17, Mungu alimpa na sharia zingine ambazo lengo lake
More informationSera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji
Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na
More informationusudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-
Kusudi la Maisha hawatakuambia nini walihitimisha kupitia uchunguzi au hoja ya uchambuzi. Katika hali nyingi, hakika wao kukuambia nini mtu mwingine alisema... Au wao watakuambia nini kawaida kudhaniwa
More informationMhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,
HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU, KWENYE SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA HAMSINI YA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, TAREHE 08 JUNI 2008, MSIMBAZI CENTRE, DAR ES SALAAM Mhashamu
More informationTIST HABARI MOTO MOTO
TIST HABARI MOTO MOTO Tel. +255784-537720/+255717-062960/+255782-250947, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@tist.org May 2010 Cash Payments for Trees Clean Air Action has developed a way to pay the groups
More informationUNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013
www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper
More informationUfunguo wa Kutaalamika Haraka
0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11
More informationUpande 1.0 Bajeti yako
Upande 1.0 Bajeti yako Bajeti (Budget) ni muhustari wa njisi wewe (na familia yako) mnavyopata na kutumia pesa. Inaunganisha pesa zinazoingia nyumbani kwako (Kipato/ income) na zile unazotumia (matumizi/expenses).
More informationMACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI
This booklet on Becoming a Parent was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at. MACHAGUO
More informationMATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza
1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa
More informationTIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO
TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of
More informationKijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia
IDARA YA KUFIKIA HUDUMA ZA AFYA VERMONT Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia GreenMountainCare MIASHA YENYE AFYA BORA ZAIDI Jedwali la Yaliyomo Jedwali la Yaliyomo... 2 Karibu kwenye Programu ya
More informationMTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya
Jina Nambari.. Shule... 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI / AGOSTI. 2007 MUDA: SAA 2 ½ MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya 102/3 KISWAHILI FASIHI
More informationCGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania
CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania Questionnaire for Individual Household Members/Dodoso kwa mwanakaya binafsi This questionnaire will be administered to
More information4. Kanuni za Petroli (Ushiriki wa Watanzania) za mwaka 2017 zilianza kutumika rasmi tarehe 5 Novermba Shughuli za Petroli za kwanza ni
MWONGOZO WA JINSI YA KUWASILISHA MAOMBI YA KUWEKWA KWENYE KANZIDATA YA WATANZANIA WENYE UWEZO WA KUUZA BIDHAA AU KUTOA HUDUMA (LSSP) KWENYE SHUGHULI ZA MAFUTA NA GESI ASILIA NCHINI Utangulizi 1. Mamlaka
More informationUtangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu
Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu BLOOD PRESSURE UK Shinikizo la damu ndicho chanzo kikubwa cha ulemavu na vifo vya mapema kule Uingereza, kupitia kiharusi, mshtuko wa moyo na maradhi ya moyo.
More information5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:
HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban
More informationKIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI
KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY (LSF) 1 KIMEANDALIWA NA Chama Cha Wanasheria Tanzania
More informationRoho Mtakatifu Ni Nini?
Roho Mtakatifu Ni Nini? kwa ajili ya mkutano. Mkutano huu utakuwa tofauti, kidogo na ile ya kawaida tunayokuwa nayo hapa. Kwa kawaida, kila wakati tunapokuja pamoja hapa, ni mkutano kwa wa kwa ajili ya
More informationKocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.
Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa mabingwa itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Mkuu Inahitaji dhabihu. Unahitaji kujisukuma hadi mwisho wako. Lakini nakupa ahadi hii,
More informationMisamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?
Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.
More informationORDER NO BACKGROUND
In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND
More informationIn the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment
In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for
More informationKITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO
KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa
More informationKufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007
Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 1. Utangulizi Changamoto kuu iliyopo kuhusiana na Elimu ya msingi nchini Tanzania kwa sasa ni namna
More informationYaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!
Yaliyomo Kuhusu kitabu hiki Kuhusu kitabu hiki.........................................................1 Unapojisikia vibaya.........................................................2 Unapoanza kuwa mzima
More informationElimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini...
Elimu Bora, lakini... Shukrani za dhati kwa wote waliotusaidia katika kutayarisha kijitabu hiki: Nsa Kaisi, Mshauri wa Rais, kwa mchango wake mkubwa wa mawazo Wafanyakazi wote wa HakiElimu 2003-2004 Many
More informationMpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi
Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari
More informationWIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA 2007 i WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA
More informationPDF created with pdffactory trial version
المملكة العربية السعودية وزارة التعليم العالي الجامعة الا سلامية بالمدينة المنورة عمادة البحث العلمي قسم الترجمة تعريف موجز بالا سلام بل( لغة السواحلية) ١ بسم االله الرحمن الرحیم MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU
More informationKuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo
Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Mazoezi ya wenye umri wa miaka 11-14 Hivi Ndivyo Nilivyo kwa wenye umri wa miaka 11-14 Kuhusu Hivi Ndivyo Nilivyo Ikiwa
More informationMUONGOZO WA UTUNZAJI WA URITHI WA UTAMADUNI 1 SECURITY AT MUSEUMS
MUONGOZO WA UTUNZAJI WA URITHI WA UTAMADUNI 1 SECURITY AT MUSEUMS Reproduction is authorized, providing that appropriate mention is made of the source, and copies sent to the (Paris), address below. This
More informationLUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI
LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI SIKOMBE YIZUKANJI YORADI TASNIFU YA KISWAHILI KWA MINAJILI YA KUTUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI (MA. KISWAHILI) KITIVO CHA SANAA
More informationIn the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment
In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment Background 1. On 4 th September, 2012, the Energy and Water Utilities
More informationUfundishaji wa lugha nyingine
CHUO CHA ELIMU CHA KIMATAIFA OFISI YA ELIMU YA KIMATAIFA Ufundishaji wa lugha nyingine Na Elizabeth B. Bernhardt ELIMU MAZOEA KITABU NA. 20 1 Chuo cha Elimu cha Kimataifa (The International Academy of
More informationVijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre
Shangazi Stella Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO Training and Research Support Centre Zimbabwe Shangazi Stella Kiongozi cha Mwezeshaji
More informationTANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora
K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012
More informationElimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi
Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Gervas Zombwe 1 1. Utangulizi Katika mazingira ya kawaida kabisa ndani ya jamii yetu, Imezoeleka kusikia au kuona watu wakioanisha dhana ya elimu
More informationMWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI
MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality
More informationSiku ya kwanza. Mguso wa ngozi-kwa-ngozi (Ulezi wa kangaruu) Mtoto wako anaweza kuhisi mdundo wa moyo wako
Siku ya kwanza Baada tu ya mtoto kuzaliwa ni wakati wa kufurahia, lakini pia ni wa kuchosha. Kujua vitu vichache kuhusu kunyonyesha hufanya siku ya kwanza kuwa rahisi kidogo. Baada ya kujifungua Wakati
More informationUNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI
UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump
More informationUzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania
Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wapilipili Tanzania Wildlife Division, Tanzania Wildlife
More informationNamba ya moduli 3 Kuangalia sanaa
Rasilimali za Msingi Mafunzo Ya Jamii Na Sanaa Namba ya moduli 3 Kuangalia sanaa Sehemu ya 1 Kuchunguza Kazi za Sanaa zionekanazo Sehemu ya 2 Kuandaa Shughuli za Sanaa kwa Vitendo- Sehemu ya 3 Kutumia
More informationMazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006
Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Imechapishwa na: The Atlas Alliance Schweigaardsgt 12 SLP 9218 Grønland 0134 Oslo, Norway Simu: +47
More informationNa Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4
;II. -~ ~.! ~ l Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ~n.~ SURA YA KWANZA SHERIA YA ARDHI 1 UTANGULIZI Sura hii itaiangalia ARDHI na umuhimu wake katika maisha ya binadamu. Ardhi ni rasilimali
More informationUnited Pentecostal Church June 2017
Kwa Nini Tusali? Jarida la Maombi ya Wanawake Kimataifa "Chagua" Ladies Prayer International kwa Facebook United Pentecostal Church June 2017 Tuko na wafuasi Facebook katika Marekani, Hong Kong, Philippines,
More informationMipango ya miradi katika udugu
Partnerschaftlich Projekte planen Mipango ya miradi katika udugu 2 Dibaji... 3 Utangulizi... 4 I. Nafasi ya (Wajibu wa) Fedha katika Udugu: Mtazamo wa Ki-indonesi... 5 II. Namna UEM Inavyowezesha Miradi
More informationTheolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College
Theolojia 1 Ujumla Mike Taylor Semester 1 2014-2015 Munguishi Bible College MIKE TAYLOR 2014 THEOLOJIA 1 i THEOLOJIA Utangulizi! 1 1. Kumfahamu Mungu katika Injili! 3 1.1. Mawazo Makuu 3 1.2. Maana ya
More informationBanana Investments Ltd
Toleo la 21 Jarida litolewalo na; Banana Investments Ltd TOLEO NAMBA 21 HALIUZWI APRIL JUNE HALIUZWI BODI YA WAHARIRI YALIYOMO Augustine Minja Mwenyekiti 078 5451 004 Gerald Lyimo Mjumbe Beatha Anthony
More informationKUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA
KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA Toleo la kwanza 2012 Mwandishi: USAID DELIVER PROJECT Wachangiaji: Gary Steele, John Snow, Inc. and Judith
More information