Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili

Size: px
Start display at page:

Download "Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili"

Transcription

1 Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili 1. 2-Muhtasari wa Ukurasa wa Ripoti ya Miaka minne ya Bodi Kuu ya Kanisa & Jamii Kamati ya Kawaida ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa Ripoti ya Kwanza: Mapitio Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa ripoti ya Pili: Mabadiliko katika Mwitikio wa Mabadiliko ya Sheria ya Humu Humu Kamati Kuu ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa Ripoti ya Tatu Mapendekezo kutoka katika Kongamano Kuu la Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari Wa Ripoti Ya Jopo Kazi la Mifumo ya Kanisa Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Marekebisho ya utaratibu wa Usalama wa Kustaafu kwa viongozi wa Dini Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Utaratibu wa Kustaafu kwa Usalama wa Watumishi Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Mpango wa Ulinzi wa Kina (CPP) wa Maombi kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Mpango wa Mchango wa Kustaafu wa Watumishi uiliofafanuliwa Nyumba ya Uchapishaji ya Muungano wa Kimethodisti (UMPH) , Muhtasari wa ripoti

2 1. 2-Muhtasari wa Ukurasa wa Ripoti ya Miaka minne ya Bodi Kuu ya Kanisa & Jamii Bodi Kuu ya Kanisa & Jamii (GBCS) ni sera ya umma na utetezi wa wakala wa sheria ya jamii wa Muungano wa Kanisa la Kimedhodisti. Wajibu mkuu wa wakala ni kutafuta utekelezaji wa Kanuni za Jamii na tamko la sera ya Mkutano Mkuu katika matatizo ya jamii ya Kikristo. GBCS huendesha kazi zake kupitia programu ya elimu ya utafiti, mshahidi anayeongea kwa uwazi, na kitendo kwa masuala ya ustawi wa binadamu, haki, amani na umahiri wa uumbaji. Maeneo ya msingi ya GBCS ya huduma ni Uundaji wa Utetezi,Uundaji wa Elimu & Uongozi, Umoja wa Mataifa & Masuala ya Kimataifa, na kuweka rasilimali katika maeneo haya katika dhehebu. Makao makuu ya GBCS ni Jengo la Muungano wa Kimedhodisti, ambalo inalimiliki katika Washington, D.C. pia inatunza afisi katikakituo cha Kanisa cha Umoja wa Mataifa katika New York City. Ufahamu na matendo katika masuala ya binadamu ulimwenguni na upendo wa amani na haki zinazoelezea huduma jumla ya utetezi wa GBCS. GBCS inaita kanisa kufanya haki kwa kuunganisha imani ya kibiblia kwa matendo. Wakala wanawapatia dhehebu sauti katika viwango vya taifa na kimataifa. Pia inatoa elimu na mafunzo yote kwa mtu binafsi na kupitia kwa rasilimali ambazo zinaangazia matatizo bainifu ya jamii na kuhamasisha mwitikio ili kurekebisha dhuluma. Uhamasishaji huu ulifanyika katika miaka minnemarekani katika vijisehemu kadhaa vya historia ya sheria. Inaendelea kimataifa kuhusiana na Malengo ya Mandeleo ya Milenia(MDG) ilipitishwa na wanachama wa majimbo 190 ya Umoja wa Mataifa. Katika hali zote mbili, uhamasishaji unajumlisha kurekebisha dhuluma kati ya mifumo ya jamii, kisiasa, na uchumi- malengo ya kipindi kirefu ya dhehebu ambalo liliandika Ukiri wa kwanza wa Jamii zaidi ya miaka 100 iliyopita. Kwa kutoa shahidi anayeongea ukweli, wakala unajitahidi kuhamazisha muunganisho wa Muungano wa Kimethodisti kwa niaba ya vipaumbele vilivyowekwa na Mkutano 2

3 Mkuu katika utakatifu wa jamii. Ili kutimiza matokeo makubwa ya kijamii, kiroho, na kisiasa na mirengo iliyoratibiwa miongoni mwa Umoja wa Kimedhodisti kutoka kwa mikutano tofauti kote ulimwenguni huhitaji juhudi za wakala ambao wanashubiri maeneo hayo. GBCS iliongoza kwa ufanisi Muungano wa Kimethodisti kwa msaada muhimu kutokamarekani.sheria ambayo inaboresha maisha ya watu. Inayotambulika zaidi miongoni hizi ni udhibiti wa tobako na Utawala wa Marekani wa Chakula na dawa za kulevya na mabadiliko ya mfumo wa taifa wa utunzaji. Ya kwanza itaokoa maisha ya watu na kuwalinda watu wachanga kutokana na biashara ya kuathiriwa na ulaji huo. Ya pili italeta zaidi ya watu milioni 30 ambao hawakupata bima hapo awali chini ya ulinzi wa bima. Kazi ya wakala kwenye sehemu hii na vijisehemu vingine vya sheria vitafanya utofauti muhimu kwamuungano wa Kimethodisti kwa kupunguza gharama za makanisa ya ndani, kuondoa ugonjwa na vifo vinavyoletwa na athari kali za tobako, na kuangazia kutolingana ambako kunaweka wale walio kwenye ukingo kwa hatari. Mafanikio ya maili hizi za kihistoria yanagundulika lakini huduma ya haki haiwezi kutulia kwenye lareli hizi ikiwa bado tuna ukosefu wa makao, umaskini, na ukiukaji wa upendeleo unaendelea kuharibu maono ya Mungu kwa dunia. Kufanya wanafunzi wa Yesu Kristo kwa mageuzi ya ulimwengu ni jukumu la Bodi Kuu ya kanisa & Jamii. Kuondoa sababu za kimfumo za dhuluma ambazo zinatesa kwa uchache, ya mwisho, na kupoteza mageuzi ya dunia. Mnamo 2008, Mkutano Mkuu ulimiliki Maeneo Manne ya Mtazamo: kupambana na magonjwa ya umaskini kwa kuboresha afya kote ulimwenguni; kushirikiana katika huduma na wasiojiweza; kuunda sehemu mpya za watu wapya na uwekaji upya umuhimu wa waumini waliopo; kuandaa viongozi Wakristo walio na kanuni za kanisa na ulimwengu. Haya yote ni mashamba ya mizabibu ambayo GBCS imekuwa ikifanya kazi kwa miongo. 3

4 Baada ya Mkutano Mkuu wa 2008, GBCS ilirekebisha vipaumbele vyake ili kusisitiza kwa uwazi msaada wake wa maeneo lengwa. Hii ilikuwa ya moja kwa moja kwa sababu mtazamo wa maeneo unalingana na majukumu ya Kinidhamu yaliyopo ya wakala. Ni eneokazi la Ustawi wa Binadamu, kwa mfano, iliyohusishwa tayari katika huduma ya HIV/UKIMWI, iliongeza matakwa mengine ya afya ulimwenguni inayoangazia wanawake na familia. Zaidi ya hayo, upanuzi wa mafanikio kupitia ruzuku kutoka nje ya Huduma ya Fedha Ulimwenguni, kutoridhisha jitihada ya wakala ili kuonyesha usimamiaji wa kifedha. GBCS inashiriki katika huduma za wakala wa ndani zinazohusiana na Afya Ulimwenguni, Huduma iliyo na umaskini na Maendeleo ya Uongozi. Majukumu mengi ya Kinidhamu za GBCS, hata hivyo, huenda zaidi ya Maeneo Manne ya Mtazamo. Hii inajumlisha kukomesha mateso na hukumu ya kifo, na kumaliza vita. GBCS umekuwa mfano wa msimamizi wa rasilimali zilizopangiwa huduma yake. Inatumia fedha zake kulingana na miongozo mwafaka na utaratibu wa uhasibu na Muungano wa Kanisa la Kimedhodisti kwa kuthibitishwa na ukaguzi wa nje wa kila mwaka. Uthibitisho muhimu katika eneo la usimamizi wa kifedha uliotokea mnamo Oktoba Mahakama Makuu ya Washington, D.C, ilitoa uamuzi kuwa GBCS, ni wakala wa mtangulizi na Bodi zao husika za Wakurugenzi imeangalia kwenye uwajibikaji wa maadili yanahusu Jengo la Muungano wa Kimedhodisti. Uamuzi ulimaliza kesi ya kisheria ya muda mrefu wa miaka ambayo ilieneza kupitia Mikutano Mikuu miwili. Kesi ya Mahakama ilianza wakati GBCS ilipouliza ufafanuzi wa uamuzi ikiwa Muungano Jengo la Kimedhodisti fedha zinatumika ipasavyo. Jibu la mahakama lilisisitiza ndiyo. Jaji wa Mahakama Makuu Rhonda Reid Winston alifanya uamuzi kwa upande wa Muungano wa Bodi Kuu ya Kanisa la Kimedhodisti na Jamii (GBCS) ikiamua kuwa fedha zilizopeanwa mapema karne ya 20 ili kujenga Muungano wa Jengo la Kimedhodisti katika Mlima wa Capitol hayakukusudiwa kufanya kazi pekee katika 4

5 maeneo ya ukadiriaji na pombe. Muungano wa Jengo la Kimedhodisti ulifunguliwa katika 1923, miaka kumi na miwili kabla Mahakama Makuu Jengo mlango ufuatao. Katika uchambuzi wake, Jaji Reid Winston alipata ushahidi wazi na wa kushawishii kuwa madhehebu ya GBCS wakala mtangulizi hawakuzuiwa ipasavyo kwa ajili ya matatizo ya ukadiriaji na pombe. Hata baadhi ya [wapinzani] ushahidi wa binafsi unaonyesha kukosekana kwa uzuizi wa zawadi, alisema. Ushahidi unaonyesha wazi kuwa kwa miaka hiyo yote, Bodi pia ziliidhinishwa kwa, na kufanya, utendaji wa kazi kubwa katika masuala mengine tabia za umma, Jaji Reid Winston aliandika. Muungano wa Kimethodisti wa Mkutano Mkuu umetangaza upinzani wake kwa hukumu ya kifo, vita, kamari, picha za ngono, pombe na matumizi ya tobako, ubaguzi wa rangi, mateso ya kidini, na matendo mengine maovu. Pia imetangaza msaada wake kwa mazingira safi, ubora, elimu, amani, utengano baina ya kanisa na jimbo, ugavi sawa wa rasilimali, na mwisho mwingine wa mapendekezo ya jamii. Historia imethibitisha hii kuwa juhudi za kipindi kirefu, ana historia ya sasa imethibitisha kuwa maendeleo yanaweza kupatikana kupitia kwa kujitolea na kuwa mwaminifu kwa maono ya Mungu. Karne nusu iliyopita imeonyesha hatua kubwa za mbele kwa kupitia kwa vuguvugu la haki za uraia, vuguvugu la wanawake, vuguvugu la mazingira ya haki, mirengo ya kumaliza unyanyasaji na silaha za niuklea, na vuguvugu la haki na hadhi ya watu. Haya ni maadili makuu na ya kiroho. Muungano wa Kanisa la Kimedhodisti imekuwa sehemu muhimu ya juhudi hizi. Bodi Kuu ya Kanisa &Jamii hucheza jukumu muhimu katika kuwezesha kuhusika katika Muungano wa Kimethodisti katika vuguvugu la haki ya jamii kote ulimwenguni. Mabadiliko duniani yalikuwepo kwa karne nyingi na vita, njaa, tauni, na plegi itafanikishwa tu kwa kufanyakazi katika viwango vyote katika kanisa, na mtazamo ulioshirikishwa kama vile ile iliyoko katika Maeneo Manne ya Mtazamo. Hata hivyo, hayo ni tu: maeneo manne pekee. Imani yetu inatuongoza kuwaangazia mengi zaidi ya matumaini yoyote ya mabadiliko ya ukweli kutokea. 5

6 Hilo ni jukumu la Bodi Kuu ya Kanisa &Jamii. Wakala wetu wanachimbua udongo na kupanda mbegu ambazo zitazalisha mimea ambayo hutoa salfu za kuponya ambazo zinarekebisha hali ambazo zinaamuru mabadiliko. Huduma za rehema ni muhimu kwa muda mfupi, lakini huduma za haki zinahitajika kwa mabadiliko ya ukweli. 6

7 2. Kamati ya Kawaida ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa Ripoti ya Kwanza: Mapitio... wakati ambapo Mmiliki wa mbinguni na ardhi alikuleta katika uhai na akakuweka katika ulimwengu huu, alikuweka hapa si kama mwenyeji, lakini kama msimamizi... John Wesley 1760, Mwito wa usimamizi wa Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya (GBPHB) imekuwepo kwa zaidi ya karne moja-huku ikitoa uwekezaji na huduma za manufaa kulingana na kanuni za Kanisa la Mwungano wa Methodisti. Tunawatunza watumishi wa Mungu Marekani na, leo, kote ulimwenguni. Tunalenga ustaafu, afya, ulemavu na hata mipango ya manufaa ya kifo kwa wachungaji, wa waajiriwa wa wakala za kawaida, na kuweza kuwaweka waajiriwa wa makanisa ya humuhumu pamoja na taasisi zinazohusiana na UMC Marekani makongamano ya kila mwaka. Na pia tunaanzisha programu za malipo ya uzeeni kwa wachungaji waliostaafu na waume au wake wao wanaoishi bado katika makongamano ya kati. Marekani Manufaa ya malipo ya uzeeni Sisi tupo taasisi kuu ya kifedha kwa uwekaji akiba wa muda-mrefu na msaada wa kustaafu kwa kulinganisha na maadili ya UNC ndani ya nchi ya Amerika kwa watu wapatao 91,000 wa wachungaji ya UMC na kuweza kuwafaa wale waajiriwa. Uanzilishaji wa Malipo ya Uzeeni ya Kongamano la Kati Uanzilishaji wa Malipo ya Uzeeni ya Kongamano la Kati (CCPI) latoa msaada wa kustaafu kwa wachungaji katika makongamano 71 nje ya Marekani. Kwa wale watumishi wa Kristo ambao wamejitolea maisha yao katika huduma Kanisani CCPI husaidia kuwapa tumaini za siku zao za usoni za ustaafu. Ingawaje makongamano mengi ya kati yanakua mara nyingi yanang ang ana na kutoa msaada unaotosha kwa Wachungaji wakati wa miaka yao ya huduma kazini. CCPI inaweza kukutana na kila askofu pamoja na uongozi wa malipo ya uzeeni katika kila kongamano. Programu za malipo ya uzeeni za CCPI, sasa zinaenedelea katika operesheni na zinafadhiliwa, zinachukuwa waliostaafu 984 na waume au wake wao ambao bado wanaishi. Sehemu nyingi za kijiografia zinazohudumiwa na UMC kote ulimwenguni hazina mifumo ya malipo ya uzeeni inayofadhiliwa na serikali; bila msaada wa Kanisa, Wachungaji mara nyingi hawana msaada wa kifedha kabisa wakati wanapostaafu. CCPI hutoa ufadhili kwa msaada wa moja kwa moja wa malipo ya uzeeni, na muhimu zaidi, pia elimu na utoaji malipo ambayo husaidia katika kila kongamano wakati linapoendeleza programu yake ya malipo ya uzeeni kwa kujifadhili yenyewe na kwa kujiendeleza yenyewe. CCPI inatarajia kwamba Wachungaji wote wa kongamano la kati watakuwa na mfumo fulani wa msaada wa malipo ya uzeeni kufikia mwisho wa Jopo Kazi la Mifumo ya Kanisa (CSTF) CSTF, kwa pamoja iliyoitishwa na GBPHB na Kamati ya Kawaida ya Elimu ya Juu na Huduma (GBHEM) kama ilivyoelekezwa na Kongamano la Kawaida la 2008 lililotolewa katika ripoti ya 2001 kuhusu athari ya mifumo ya kuajiriwa ya UMC kuhusu afya ya 7

8 wachungaji. Wakati ripoti ya CSTF na maswala ya kisheria yanapoangazia maswala ya kiafya ya wachungaji wa Marekani, vilevile yanayotokana na haya kuhusu afya ya wachungaji kote ulimwenguni. CSTF inaamini ya kwamba wakati umefika ambao ulihitaji mabadiliko katika athari ya mifumo ya Kanisa katika afya ya Wachungaji kupatia nguvu huduma na kuendeleza mwito wa Kanisa. Bila ya dhehebu-shukrani pana kutokana na thamani ya huduma yenye afya na kujitolea katika kubadilisha zile athari zinazotuathiri vibaya, tunahatarisha uwezo wetu wa kuendelea na kupatia nguvu mwito wetu wa mwunganisho, kote ulimwenguni. Ripoti ya mwisho ya CSTF imejumuishwa katika sehemu hii. GBPHB inaleta uwekaji sheria kulingana na mapendekezo ya CSTF. Mipango ya Ustaafu Lengo sanifu la mpango wa ustaafu ni kutoa ustaafu salama kwa washiriki katika gharama endelevu kwa makongamano na makanisa. Katika kujibu maombi ya kongamano ya kuweza kuangalia machaguo yanayowezekana na yanayopatikana ili kudhibiti gharama huku ikiendeleza mpango, tuliweza kuchunguza mpango wa malipo ya uzeeni kutoka kwa mshiriki na mitazamo ya kongamano huku ukitambua maadili ya kila aliyetamani kufanya hivyo na katika msawazisho upi. Kutokana na haya, tunaleta machaguo sanifu ya ustaafu kwa Kongamano Kubwa la 2012 ili yaweze kutiliwa maanani. GBPHB inapendekeza chaguo la kuunganisha kiungo cha faida kilichofasiliwa pamoja na kiungo cha mchango kilichofasiliwa kinachokaribiana sana na programu ya usalama ya ustaafu wa wachungaji wa sasa (CRSP) lakini kwa gharama ya chini zaidi na manufaa. Chaguo la pili ni mchango fasiliwa-wa mpango tu. Kati ya machaguo haya yaliyopendekezwa yote hayapunguzi manufaa ambayo tayari yanalipiwa au yale ambayo yanafaidisha. Kanisa litaweza kutathmini machaguo sanifu ya mpango pamoja na kuweza kutambua ni maadili yapi ambayo ni muhimu zaidi huku likisawazisha mahitaji ya washiriki walio na mahitaji ya makongamano. Gharama ya Operesheni Kulingana na Kitabu cha Mwanafunzi, GBPHB haipokei fedha zozote za kawaida za Kanisa. Gharama zetu za operesheni zinatokana na ujira wa uwekezaji na hupitia katika usimamizi wa uwekezaji, hifadhi ya benki, na kufadhili gharama za kiutawala zinazohusiana na mipango ambayo tunatekeleza. Uwekezaji wa Uwajibikaji Kijamii Ufikivu wa Kilimwengu- Mwekezaji Mkubwa zaidi wa kidhehebu wa marekani Huku tukiwa na takribani bilioni 17 $ katika rasilimali zetu ambazo tunasimamia, sisi ndio tulio na fuko la fedha la kidhehebu la malipo ya uzeeni kubwa zaidi katika nchi ya Marekani na tunaorodheshwa 80 bora miongoni mwa mipango ya malipo ya uzeeni bora 100. Fedha zetu za uwekezaji mara kwa mara huwa zinatimiza au kuzidi matoleo yale ya uwekezaji tulioweka. Tunaangalia wajibu wetu kama imani takatifu, huku tukisimamia ustaafu na rasilimali za mpango wa manufaa na uwekezaji wa kitaasisi ya Kanisa na mashirika mengine yanayohusiana na UMC. Programu yetu ya Kukopesha kwa Kusudio ya Kijamii kwa kuleta ubora imeweza kufadhili karibu bilioni 1.5$ katika programu zinazotoa ufikivu bora zaidi wa upangaji nyumba nafuu, ufadhili wa maendeleo ya jamii zinazohudumiwa kidogo nchini Marekani, na kuweza kufikia fursa za mkopo kwa wanaofanya kazi maskini katika nchi zinazoendelea. GBPHB ilikuwa ni mojawapo ya 8

9 waliotia saini waasisi 27 wa Kanuni za Umoja wa Mataifa kwa Uwekezaji wa Uwajibikaji. Uwekezaji wa Kimaadili na Upanuzi Sisi ni mchapakazi na mwajibikaji na wa kuaminika tunachunguza kampuni ambazo tunawekeza ndani, kuzishirikisha pale ambapo tunahisi hivyo, kuweka rekodi za masuluhisho ya wenye hisa ili kuweza kupasa sauti yetu au kuiongeza kwa sauti nyingine. Uwezo wetu wa kuadhiri kampuni amazo tunawekeza hutegemea na kumiliki hisa zao. Utokaji katika kampuni humaanisha uuzaji wa hisa zetu, kukatiza mawasiliano yoyote ya kuathiri, na kukomesha uhusiano wa uwekezaji. Utokaji ndio suluhisho la mwisho tu kama jitihada zetu za kujishirikisha zimeshindikana na kampuni inapuuza mwito wetu rasmi na kutoka kwa wenye hisa wa kubadilisha shughuli za biashara. Tunayo maoni ya wale walio ndani ya dhehebu kuhusiana na Israeli-Palestina na tumeweza kushirikisha Caterpillar, Hewlett Packard na Motorola katika mazungumzo. Tunaamini mikakati yetu ya ushirikishwaji inafaa na kwamba maendeleo yatafanyika. Kama tutatoka, basi hatuna tena sauti au hatuna tena nafasi kwenye mazungumzo mezani, huku tutapoteza njia muhimu sana ya kutetea haki za binadamu katikapalestina. Tutaweza pia kutupilia mbali ushirikishwaji katika maswala mengine, kama vile mazungumzo yanayoendelea na Hewlett Packard na Motorola kuhusu haki za binadamu katika nchi ya Kongo. Msimamo wa Kongamano Kubwa kuhusu kuruhusu uwekezaji katika unyumbukaji wa kufuatilia majukumu yao muhimu imeweza kuhudumia UMC vizuri; shughuli hii inafaa kubaki hivyohivyo. Kulazimisha utokaji kutaweza kuepuka kanuni za utokaji wa GBPHB, huku ukiendelezwa na wakurugenzi wetu wa kamati ili kutusaidia kutii majukumu yetu ya kikazi kwa washiriki wetu. 9

10 3. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa ripoti ya Pili: Mabadiliko katika Mwitikio wa Mabadiliko ya Sheria ya Humu Humu Uamuzi wa Baraza la Mahakamani katika majimbo 481: Kongamano la Kawaida [t]u ndilo lililo na mamlaka ya kuunda, kuanzisha, kudurusu, kurekebisha, kukatiza au kuendeleza mipango mbalimbali ya malipo ya uzeeni ya Kanisa la Mwungano wa Methodisti. Uamuzi huu wa Baraza la Mahakama unaelezea zaidi kwamba mabadiliko katika sheria ya jimbo au shirikisho huenda ikafanya baadhi ya mabadiliko katika matoleo ya mpango yanayohitajika kati ya vipindi vya Kongamano la Kawaida. Kanuni hii ilithibitishwa na Uamuzi wa Baraza la Mahakama wa Kulingana na, Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya (GBPHB) huenda ikarekebisha mipango yake ya kutekeleza na kuwenda sambamba na mahitaji ya sheria ya kijamii. Wakati huu wa kongamano la nne la kila mwaka, GBPHB ilifanya mabadiliko katika mipango mbalimbali ya malipo ya uzeeni ili kuweza kukubaliana na mabadiliko matano katika sheria tumizi. Mabadiliko haya yanahusu yafuatayo: Ufasili wa Fidia 415 Ushiriki wa Kanisa wa Methodisti wa Puerto Rico Tarehe ya Kuanza Inayohitajika Uanzilishwaji wa Kunufaisha Wasiokuwa-Familia Huduma za wavaliaji sare kuweza kutekelezwa na kifungo cha sheria cha haki ya kuajiriwa tena (USERRA). 10

11 4. Kamati Kuu ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari wa Ripoti ya Tatu Mapendekezo kutoka katika Kongamano Kuu la 2008 Kesi (inayorekebisha ya Kitabu cha Mwanafunzi cha 2000) kinaelekeza Kamati kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaaa ya Afya (GBPHB) ili kuwasilisha ripoti ya mara nne kila mwaka katika Kongamano la Kawaida kuhusiana na malipo uzeeni ya muda-mrefu na gharama za kimatibabu za yule aliyestaafu katika dhehebu. Ripoti hizi mbili, 2010 kabla-82 Ripoti ya Mpango wa Ufadhili na Manufaa ya Kimatibabu ya Aliyestaafu katika Kanisa la Mwungano wa Methodisti, vimo katika ripoti hii. Ripoti ya Mpango wa Ufadhili ya 2010 Kabla-82 Makongamano ya kila mwaka ambayo hushiriki katika mpango wa malipo ya uzeeni wa Kabla-1992 yanahitajika kukamilisha mpango wa ufadhili rasmi kila mwaka. GBPHB inahitajika kuripoti matokeo husika katika kila Kongamano la Kawaida. Makongamano ambayo yalikamilisha mipango ya ufadhili ya 2010 yanatambuliwa katika mwisho wa ripoti Hali fadhiliwa inaweza kuwa na nguvu sana. Hii ni kwa sababu hesabu halisi hutegemea fikra nyingi kuhusu matukio ya siku za usoni, ambayo yanaweza haswa kutokea kuwa tofauti Inawezekana sana kwa kongamano ambalo limeweza kufikia ufadhili wake wa 100% (au zaidi) kurudi nyuma katika hali ile ya kutofadhiliwa vizuri ama toshelevu. Kwa hivyo, ni muhimu kuweza kuendeleza mpango wa ufadhili hata baada ya kufadhiliwa kabisa Manufaa ya Kimatibabu ya Aliyestaafu katika kanisa la Mwungano wa Methodisti Kongamano Kuu la 2008 lilianzisha mahitaji kadhaa ya kutoa ripoti ya mpango wa afya wa kongamano kila mwaka, ikiwa pamoja na ukadiriaji wa kimatibabu ya aliyestaafu na mipango ya ufadhili. Ripoti hii hutoa mapitio ya gharama za kimatibabu za aliyestaafu Marekani makongamano ya kila mwaka, kwa mujibu wa ukadiriaji uliyopokelewa kutoka katika makongamano kulingana na ya Kitabu cha Mwanafunzi 2008 na muhtasari wa mapitio ya makongamano mitazamo ya mipango ya ufadhili kulingana na Kesi tatu zifuatazo ziliweza kurejelewa katika GBPHB na Kongamano la Kawaida la 2008 Kesi ya Uuguzi wa Afya ingeweza kurekebisha 334 ya Kitabu cha Mwanafunzi ili kuwahitaji wazee wa Kanisa walio na mwunganisho kamilifu kila mwaka kuweza kutoa idhibati ya utunzaji-nafsi na shughuli za uongozi wa afya Mwitikio wa GBPHB katika kesi hii unafuata. GBPHB iliweza kutilia maanani kesi ya pale ambapo ilianzisha Kituo cha Afya, ambacho kiliidhinishwa na Kile Kituo cha Afya huunga mkono afya ya uzima wa dhehebu. GBPHB haipendekezi kuanzisha upya kwa matini ya Kesi ya katika Kongamano Kuu la Hata hivyo, Kamati Kuu inadhibitisha kwamba ni muhimu kwa wazee wa kanisa kuweza kuonyesha katika hali ya kawaida ya mara kwa mara (k.m., kila 11

12 mwaka) maadili na shughuli zinazo husiana na afya kama ukamilifu katika mwito ambayo yanahitajika katika kutimiza utashi wa huduma, kama ilivyoonyeshwa katika Kesi Kesi iliyowasilishwa na Daniel Scott Hagan ambayo mwanzo iliangazia Ustaafu wa Familia ya Wachungaji iliweza kurekebishwa ili kuwelekeza GBPHB katika kutoa uelekezi halisi wa kushughulikia kusikosita kwa msingi wa kufidia familia ya wachungaji inayoishi katika UN-huku ikitoa upangaji mnamo au kabla ya Disemba na kuweza kufanya masomo na kuleta pendekezo katika Kongamano Kuu la 2012 katika mpango mbadala wa program ya usalama ya ustaafu ya wachungaji (CRSP) kwa wachungaji aliye na muda kiasi katika huduma ya kila wakati. Mwitikio wa GBPHB katika kesi hii unafuata. Familia ya Wachungaji Katika kuitikia sehemu ile ya kwanza katika kesi hii mnamo 2008, GBPHB iliweza kuchukua mchango kutoka na kutoa mwongozo katika ofisa wa manufaa wa kongamano kwa njia ya sera iliyoitwa, Matibabu ya Thamani ya Watu ambayo iliweza kudurusiwa kiasi mnamo Inatoa maelezo kwamba familia ya wachungaji inayohudumu katika kanisa moja na inayoishi katika makazi sawa fidia yao inafaa kuongezwa kwa 25%. Familia ya Wachungaji inayohudumu katika makanisa tofauti, kila moja ikikosa kutoa makazi, lakini kwa familia hiyo kuteua kuishi katika makazi sawa, fidia ya kila mmoja wao inafaa kuongezwa kwa 25%. Katika mfano wa familia ya Wachungaji inayohudumu katika makanisa tofauti na inayogawana makazi yaliyotolewa na Kanisa moja bila ya makazi kutolewa kwa yule mwingine, yule wachungaji pekee ambaye kanisa lake linatoa makazi ndiye ambaye fidia yake itaongezwa kwa 25%. Wachungaji wa Muda-Mfupi wa Huduma ya Kila wakati Katika kuitikia sehemu ya pili ya Kesi, GBPHB imeweza kuwasilisha kesi katika Kongamano Kuu la 2012 ikitoa machaguo mawili sanifu ya mpango wa ustaafu. Sanifu zote hazijumuishi kushiriki kwa wale wachungaji wanahudumu kwa kipindi cha muda kifupi zaidi kikilinganishwa na nusu ya wakati wa huduma huku ikiruhusu makongamano binafsi na vitengo vinayvo lipia-mshhara ule unyumbukaji wa kufadhili mpango wa uwekezaji wa kibinafsi wa Muungano wa Methodisti kwa wale wachungaji na kuchagua kiwango cha mchango na aina yake Sanifu zote zinasema kwamba wachungaji anayehudumu angaa muda nusu wa muda uliyowekwa katika huduma anapokea manufaa chini ya mpango wa lazima, kulingana na huduma ambayo anatoa. Kesi (ADCA p. 640) Bajeti la Kanisa Kuu lilielekeza kwamba GBPHB na Baraza la Kawaida Fedha na Utawala (GCSA) iweze kuendelea kwa pamoja kusoma malipo ya uzeeni na manufaa ya afya kwa askofu, ili kuchunguzia machaguo yote ya mpango wa siku za usoni za uwekaji akiba na kupiga ripoti matokeo yao na mapendekezo katika Kongamano Kuu la Katika kuitikia, GBPHB na GCFA iliweza kufanya kazi pamoja katika kusoma manufaa ya askofu na ripoti zao kama ifuatavyo. Manufaa ya Malipo ya Uzeeni Askofu wa kongamano wakati kupokea malipo ya uzeeni katika programu malipo ya Uzeeni ya Kando ya Episkopali ya Ulimwenguni. Askofu waliowekewa mipaka kwa sasa 12

13 washiriki katika Programu ya Usalama ya Ustaafu wa Wachungaji (CRSP) kando kando ya wale wachungaji wengine wengi Chini ya CRSP, malipo ya uzeeni ya askofu ni kwa mujibu wa fomula sawa na ile ya malipo ya uzeeni ya wale wachungaji wengine. Hata hivyo fidia iliyotumiwa katika fomula ni fidia mwisho kwa miaka ya huduma ukiwa askofu huku ni Fidia ya Wastani ya Kidhehebu kwa miaka ya huduma kama wachungaji wengine kuliko askofu. Hii inatambua nguvu zile zilizoongezwa na kuwekwa kwa askofu na inabeba ule utamaduni kutoka katika mpango wa malipo ya uzeeni wa huduma ya awali. Katika kufikia pale ambapo CRSP imefikia, hakuna mabadiliko ambayo yamependekezwa katika msingi ule wa fidia kwa miaka ya huduma kama askofu. GBPHB imeweza kuwasilisha kwa Kongamano Kuu la Kesi mbili ambazo zitaweza kubadilisha manufaa ya ustaafu ya wachungaji. Chini ya ama mpango pendekezwa, gharama ya askofu inatarajiwa kuwa chini zaidi kuliko kama ilivyo CRSC leo. Manufaa ya Afya Askofu wote waliowekewa mipaka na wale wa kongamano la kati kwa sasa wanashiriki katika mipango sawa ya afya kama tu wafanyikazi wa wakala wa kawaida wanopokea fedha za kawaida kutoka katika Kanisa. Mipango hii ya afya hutoa manufaa yanayolinganishwa na yale yaliyotolewa na waajiriwa wengine wakubwa. Askofu wenyewe ni kundi dogo la umri wa kubwa-kuliko-wastani ambayo inamaanisha mpango mwingine wa kando unaogusia tu askofu ambao utakuwa ghali zaidi kuliko mtazamo wa sasa wa kuwajumuisha katika wakala wa kawaida mipango ya afya. Hakuna mabadiliko katika manufaa ya afya ya askofu ambayo yamependekezwa. 13

14 5. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Muhtasari Wa Ripoti Ya Jopo Kazi la Mifumo ya Kanisa Jopo Kazi La Mifumo Ya kanisa(cstf) liliwekwa kwa pamoja na Kamati Kuu Ya Malipo Ya Uzeeni na Manufaa Ya Afya (GBPHB) na Kamati Kuu Ya Elimu Ya Juu Na Huduma (GBHEM) Kutokana na Uelekezi Wa Kongamano La Kawaida La 2008 ili Kufanya masomo ya athari ya mifumo ya ajira kwa kanisa kuhusu afya ya Wachungaji- Kimwili, Kihisia, Kiroho, Kijamii na afya ya Kifedha-na kutoa ripoti ya matokeo na mapendekezo katika kongamano Kubwa la CSTS ambayo ina wanachama 21 ilikuwa na mwenyekiti wake Askofu Hope Morgan Ward (Kongamano La Kila Mwaka La Mississipi) na ikahitimisha mchakato wa utafiti uliokuwa na awamu mbalimbali mnamo 2010, huku ikitambua masiala 13 yanayoathiri afya ya Wachungaji Ripoti ifuatayo inayo mapendekezo yanayo husiana na maswala ya kisheria ya kongamano hilo kubwa la 2012 GBPHB inaleta pamoja maswala ya kisheria yanayolingana na mapendekezo ya CSTF Uchunguzi wa CSTF Malengo, Matokeo, Marejeleo, na mapendekezo yanafafanuliwa katika ripoti kwa mujibu wa uwekaji sheria wa Kongamano Kubwa la 2012 ili kuangazia mifumo na shughuli ya Kanisa iliyo na dhamira ya kipindi cha muda mrefu cha kuboresha afya ya kilaji na, kwa Kuendelea, ile ya waumini na UMC yenyewe. Huku kukiwa na msingi thabiti katika utafiti, CSTF iliweza kupima, kubainisha, na kuunda mapendekezo yake kuhusu afya ya wachungaji, kwa kuhusisha viungo mbalimbali vya UMC na kuelewa museto wao mpana wa maombi na hekima ya mwunganisho. Katika kusikiliza vipindi hivyo, matokeo ya utafiti na mapendekezo ya simu yaliweza kuwasilishwa ili kufanyiwa utakmini na maoni kutolewa kutoka kwa wale manaoishi na kufanya kazi katika mifumo ya Kanisa. Usorovea wa Wachungaji Ulionyesha Masiala Kumi na matatu ya Afya Utafiti wa ziada uliishilia katika usorovea wa wachungaji 1, 006, ambao ulitambua masiala makuu 13 yaliyohusiana ndani kwa ndani kwa kiwango cha juu na afya: Ubinafsi mkuu Nyendo za kula huku ukifanya kazi ambazo huhusisha mara nyingi chakula Msawazisho wa kazi/maisha Kutosheka kwa kazi Fedha za kibinafsi Matakwa ya nje na maisha ya kijamii Uhusiano na waumini Wafuatilizi wa mchakato huu wa miadi Kutosheka kwa kindoa na familia Changamoto zilizopo katika huduma 14

15 Kuishi kiukweli Elimu na matayarisho ya huduma Mabadiliko ya miadi na kubadilishwa makao Mapendekezo ya CSTS Mapendekezo yale matano yaliyotokana na CSTS yananuia kuhakikisha kuwa na Wachungaji stadi, wanaotunzwa, na wanaoendelea vizuri ambao wana uwezo wa kuishi kiukweli, kwa uwajibikaji na kwa ufanisi. Wanavuta na kupata uhusiano wao wa kimwunganisho katika jamii inayowaamini kama sehemu moja muhimu kwa afya ya Wachungaji. Mapendekezo ya CSTF yalikuwa ni kuboresha afya ya Wachungaji ambayo inaelekezwa katika sehemu tano: Kuingia katika huduma uchunguzi wenye nguvu zaidi wa wale wanaoingia katika huduma; uwastanishaji na utiaji nguvu wa programu wa kuishi wakati wa kipindi kile kilichowekwa; kutoa uwezo wa kufuatilia ajira mnasihi wa muda mrefu na/au mwongozo wa kiroho kwa wachungaji, mbali na yule Msimamizi wa Wilaya Miongozo ya msawazisho wa kazi/maisha ya afya yanayopigia debe na kufuatilia afya ya wachungaji na wema wao; kuzoeana na kustawisha rasilimali za kongamano; kutoa msaada kwa wachungaji, mume au mke wake, na familia Ule mpangilio wa mambo na utoaji- miadi matumizi ya miadi ya muda mrefu katika kuendeleza kule kutilia maanani kwa wachungaji na, kwa kiasi fulani, kutilia mkazo muunganisho; kuhimiza matumizi ya wachungaji wa mpito Mifumo ya usimamizi ufasili wajibu wa Msimamizi wa Wilaya Kutekeleza huduma iliyo na upako ule mpito wa kujitolea wa kutoka katika huduma kwa neema iliyo na upako Huku ripoti CSTF pamoja na uwekaji sheria zake ikiangazia afya ya Wachungaji wamarekani, imeweza kutoa ombi na kuashiria kwa ujumla afya ya wachungaji kote ulimwenguni CSTF inaamini kwamba muda umefika wa kuwa na mwingiliano wa mifumo ya Kanisa na afya ya wachungaji ili kuweza kuangazia maswala yanayo wahusu na mabadiliko yanayohitajika ili kuwezesha mwito wa Kanisa kuweza kufikiwa. Afya ya wachungaji inatuathiri sote na inaweza kupatia nguvu huduma yetu. Bila ya shukrani ya dini pana kwa manufaa ya thamani ya huduma yenye afya na kujitolea katika mabadiliko ambayo yanatuathiri vibaya, tunajihatarisha haswa uwezo wetu wa kuweza kuendelea na kutia nguvu mwito wetu wa mwunganisho wa ulimwengu. Ripoti kamilifu ya CSTF katika Kongamano Kubwa la 2012 yafuata. 15

16 6. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Marekebisho ya utaratibu wa Usalama wa Kustaafu kwa viongozi wa Dini Dua hii linapendekeza marekebisho mbalimbali ya kiufundi na mafanikio ya utaratibu wa viongozi wa dini Kustaafu kwa Usalama (CRSP). Marekebisho haya lazima kuwa na nguvu kabla mapendekezo yale ya CRSP ya Baraza Kuu 2012 kuwa na ufanisi. Hakuna mabadiliko ya athari kwa malipo ya sasa. I. Mkuu wa Mabadiliko Inahitaji kuwa kama mkutano wa mwaka hautalipa kiasi kamili kinachohitajika kwa ajili ya ufadhili wa faida, michango kwanza ya kulipa itatengwa kwanza kwa Mpango wa kabla ya 82 (Pre-82) kwa sababu, kwa Mawaziri wa fedha mali ya Pensheni na Mpango wa malipo (MPP) kama mchango ni kutokana, na mwisho kwa sehemu ya faida ya CRSP. Kusuluhisha ufafanuzi wa ulemavu kuomba si tu kw kazi, lakini pia kwa washiriki ambao wanaweza kuwa walemavu baada ya kuondoa haja ya usambazaji mapema. Huongeza Sheria ya utoaji wa hiari kutoka moyo kutoa faida ya pensheni kwa watu wanaotoa huduma za kijeshi walio uawa au walemavu kabla ya kurudi kufanya kazi. Hupunguza mpango wa mdhamini wa tatu na hali ambazo mdhamini kushindwa kutimiza majukumu yake. Inaruhusu mshiriki kwa jina moja tu kwa ajili ya mipango ya walengwa wadogo wa CRSP. Kutoa na kudhibiti habari za kisasa za mpango wa mabadiliko yanayohitajika kisheria. Hufanya ufafanuzi mkubwa usio na masahihisho. II. Mabadiliko ya CRSP Inaruhusu viongozi wa dini kujiondoa kwa hiari yao kulingana na tarakimu kwa wateule kubadili sehemu yao ya CRSP kwa faida katika akaunti ya mchango. Inasema faida itaanza tu baada ya Maombi ya Manufaa kuwasilishwa. Itafafanua jinsi mapato ya michango iliyokesakana itahesabiwa. hupunguza uwezo wa Bodi ya Generali ya kulazimisha malipo kwa kuchukua fedha kutoka akaunti ya mdhamini kupitia mpango wa pamoja na Bodi ya General. Inahitaji Mkuu wa Bodi ya wadhamini kutoa taarifa yote ya mpango wa kusimamishwa mapendekezo ya hesabu za faida wakati mpango wa wadhamini wa mfuko wa faida yao ya CRSP. 16

17 hupunguza wajibu wa zamani kabla III. Mabadiliko ya Mpango wa Mawaziri wa malipo ya uzeeni (MPP) MPP ni mtangulizi wa CRSP. MPP ina mabaki ya akaunti, sehemu ambayo lazima kubadilishwa kutegemea kustaafu. waziwazi inahitaji mpango wadhamini kutoa mchango wa ziada kama MPP wa mwaka kwa sababu fedha hazitoshi (kwa mfano, kutokana na hasara ya uwekezaji). Inahitaji washiriki wapya kustaafu kwa hasa 65% ya akaunti ya usawa wao, kupunguza dhima ya uwezekano wa mikutano. Hivi sasa, MPP inahitaji washiriki kutoa angalau 65% ya urari wa akaunti zao baada ya kustaafu, lakini wengi hutoa zaidi. Hakuna mabadiliko kwa malipo ambayo tayari yanapokewa. IV. Mpango wa Mabadiliko kabla 82 Kabla ya 82 ni mtangulizi wa MPP. Faida ni kulingana na viwango vya huduma ya zamani vilivyowekwa na mikutano ya kila mwaka. Viwango vya huduma ya zamani haviwezi kupungua. hupunguza mahitaji ya huduma ya zamani kuwa angalau kiwango cha 0.8% ya Fidia (Baraza la Mahakama awali ilipiniga chini ya mahitaji ya ongezeko 2% chini ya kila mwaka), kuruhusu kila mkutano wa busara kuweka viwango vya ngazi. inaendelea kuruhusu mikutano ya kuongeza asilimia ya faida kwa kiwango cha huduma ya zamani ya mchumba kuishi, lakini kama faida si tayari kikamilifu unafadhiliwa, mikutano bila haja ya gharama kwa mfuko. Inaruhusu kuunganisha mikutano kudumisha tofauti za zamani kwa viwango vya huduma na faida yamchumba ya kuishi, badala ya kuhitaji mkutano mpya kwa kutumia kiwango cha juu zaidi ya mikutano ya kuunganisha, ambayo inaweza kukatisha motishawa kuungana mkutano huo bila manufaa ya kifedha. 17

18 7. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Utaratibu wa Kustaafu kwa Usalama wa Watumishi Hii ni moja ya pinzani mbili kufadhiliwa na GBPHB kuchukua nafasi ya mpango wa kustaafu, wa viongozi wa dini (CRSP). Mapendekezo ya mpango huu ni kupendekeza kwa sababu ni pamoja na maisha ya mapato kwa viongozi wa dini, ambayo Kanisa daima inathamini. Mpango huu hupunguza faida na gharama ya kusaidia kukabiliana na mkutano wa masuala ya fedha. Madhumuni ya mabadiliko ni mapendekezo ya uwakili kwa usawa kati ya utoshelevu wa manufaa kwa washiriki na kuendesha kwa ajili ya Kanisa. I. Kijumla Kwa nini Kanisa ina haja ya kubadili mipango yake ya kustaafu? Kanisa linakabiliwa na shinikizo kubwa ya fedha kama uanachama unapungua na gharama za kanisa kwa ajili ya vitu, kama vile ujenzi wa ukarabati na madeni, inavyo ongezeka. Shinikizo hizi za fedha ziimekuwa nyingi na mtikisiko wa soko hivi karibuni, ambao ulipunguza thamani ya mali ya mpango wa kustaafu, ikiwa ni pamoja na ile ya mfuko wa pensheni na michango. Kupungua kwa mali kwa upande unasababishwa na ongezeko la michango inayohitajika na mikutano. Idadi ya maafisa katika mkutano wamesema wanahitaji unafuu-siyo tu sasa lakini kwa misingi ya muda mrefu kama Kanisa itanufaidi nyuso na matarajio ya wanachama kuendelea kushuka kwa wafuasi Marekani. II. Nani wanashikiliwa? Mabadiliko haya ya kustaafu kwa viongozi wa dini yana athiri kazi Marekani. Mpango mpya wa miundo uanapaswa kuwa na kiasi kidogo cha athari kwa washiriki wanaokaribia kustaafu kwani watakuwa na miaka michache chini ya mipango mipya. Zaidi ya hayo, wakati huduma chini ya mpango wa sasa wa CRSP DB itakuwa waliohifadhiwa, madhehebu ya Fidia kutumika katika faida bila kuwa waliohifadhiwa wanastaafu. Hakuna hata mapendekezo yanayopunguza faida sasa kuwa tayari kulipwa. Hata hivyo, baadhi ya mabadiliko inaweza kuathiri ongezeko la baadaye au kiasi kwamba inaweza kuachishwa. Pendekezo na Umuhimu CRSP currently includes both defined benefit (DB) and defined contribution (DC) elements. Katika thamani ya kwamba maeneo ya Kanisa juu ya maisha ya mapato na usalama wa kifedha kwa ajili ya viongozi wa dini, dua hii inaendelea kutoa DB na DC. Pia kwa ufanisi zaidi hutoa usawa hata wakati uwekezaji unapungua baada ya muda. Kwa mfano, washiriki katika mipango ya DC wananaweza kuwa na mizani ambayo ni ya juu zaidi kuliko wengine, kulingana na hali ya soko uwekezaji wao uzoefu katika huduma yao. Dua mbadala ni mpango wa DC tu. 18

19 Ifuatayo ni kulinganisha kwa haraka mipango DB dhidi ya DC. Faida (DB) Mchango (DC) Pensheni kwa kila mwezi Kuchunguza pesa zilizosalia baad ya kustafu Kuhesabika kwa kutumia njia Mchango na uelekezaji na faida / hasara Faida za kimaisha Pesa zilizo salia Udhamini unapungua Wadhamini watakavyo saidia Wadhamini wanapata hasara Washirika wanatarajia hasara Kiasi cha faida chaenda kwa mchumba Pesa zilizosalia zaenda kwa walio hai Faida inakwisha baada ya kifo cha mchumba Faida zaisha pesa zikiisha III. Maelezo ya pendekezo Mpango wa Toleo la msingi Toleo CRSP leo Mpango ulio bunio DB Faida 1.25% ya DAC* kila mwaka wa kufanya kazi 1.00% ya DAC* kila mwaka wa kufanya kazi DC Mchangio 3% wa muhusika wa kazi 2% ya muhusika wa kazi DC Mchangio wa usawa N/A 100% muhusika anavyotoa na 1% faida ya muhusika *DAC ni madhehebu Wastani wa Fidia. Fidia ya mwisho ni kutumika kwa miaka ya huduma kama Askofu. Kulinganisha gharama Dua hili lilipendekeza badala dua la DC mpango wa kuwakilisha akiba wastani ya gharama za juu zaidi ya 15% kwa CRSP ya leo. Gharama ya akiba zitatofautiana kwa mkutano ili kutegemea fidia ya wastani ya kila mshiriki. Kulinganisha faida Wataalamu wengi wanasema kuwa mshiriki anahitaji kustaafu ili nafasi ya mapato ya kutosha kwa angalau 80% ya fidia yake anayo ipata katika mwaka kabla ya kustaafu. Vyanzo vya mapato ya kustaafu ni pamoja na kustaafu kwa mipango ya mshiriki, Usalama wa Jamii na akiba zao za kibinafsi. Kufuatia ni asilimia inayokadiriwa kuwa asilimia ya fidia kwa mpango unavyopendekezwa katika nafasi ya kustaafu kwa viongozi wa dini kwa ngazi ya chini, kati au ya juu ya fidia, kuchukua mtumishi aliyemaliza miaka 30 ya huduma, amechangia (ikiwa inatumika) na mizani akaunti ya 7% atakaporudi. Makadirio haya ni pamoja na Usalama wa Jamii. Fidia ya Kustaafu Faida ya Mwaka (% Fidia) CRSP ya leo Mpango uliopendekezwa DB + DC Mpango $40,000 $47,600 (119%) $39,600 (99%) $62,000 (DAC) $53,300 (86%) $45,900 (74%) $90,000 $61,200 (68%) $53,100 (59%) 19

20 IV. Sehemu nyingine za Maombi Kustahiki: Ni wale tu viongozi wa dini wanao hudumia angalau nusu ya muda watakuwa na haki ya kupata faida. Mikutano au makanisa yanaweza kutoa wateule kutoa faida chini ya Umoja wa Mpango wa Uwekezaji binafsi wa Methodisti kwa viongozi wa dini ambao wametumikia chini ya nusu ya muda. Faida ya mchumba anayeishi: Hivi sasa, wastaafu wa ndoa hupokea faida ya thamani ya zaidi ya wastaafu wasipoelewa kwa sababu inatoa ruzuku kwa faida ya Kanisa kuendelea kwa viongozi wa dini wana ndoa. Mapendekezo ya mpango wa kupunguza faida kwa wastaafu washiriki, ndoa wakati bado ni hai na akaunti kwa ajili ya gharama za kutoa faida kwa wanandoa na kufanya faida kulinganishwa kwa thamani kwa washiriki wasio olewa. Faida ya Watoto na watu wazima walemavu: DB ilipendekeza na DC ni pamoja na mpango wa utoaji wa kuruhusu watoto walemavu wa watu wazima washiriki kwa kuchangia kwa njia ya upili. Baada ya kufa kwa mke wa mshiriki, walemavu na watu wazima au watoto wataendelea kupokea manufaa DB kwa maisha. Faida ya mshiriki ingekuwa hapo awali kupunguzwa kulipa kwa faida hii ya ziada. Mabadiliko ya Mpango wa Mawaziri wa Pensheni (MPP): MPP ni mtangulizi kwa CRSP. Dua wazi inahitaji mpango wa wafadhili kutoa mchango wa ziada kama MPP ya mwaka haitoshi (kwa mfano, kutokana na uwekezaji hasara). Aidha, ombi litahitaji washiriki wapya kustaafu hasa 65% ya akaunti ya usawa wao, badala ya angalau 65% ya akaunti ya usawa wao. Hii inapunguza uwezekano wa dhima ya mikutano ambayo ina haja ya mfuko huu. Mpango wa Mabadiliko kabla ya 82: Mpango kabla ya 82 ni mtangulizi wa MPP. Dua hii ingekuwa kuondoa masharti kwamba kima cha chini cha huduma ya kiwango cha angalau 0.8% ya Fidia, kuruhusu kila mkutano wa busara kuweka viwango vya ngazi. Kama mkutano ulichagua kuongeza kiwango, gharama ya faida itaongezeka bila haja ya kuwa inafadhiliwa kikamilifu. Dua pia itasaidia kuunganisha mikutano ya kudumisha viwango tofauti, badala ya kuhitaji kiwango cha juu zaidi ya mikutano ya kuunganisha kutumika, ambayo inaweza kukatisha moyo kuungana. Hakuna viwango vya huduma ya zamani vitapungua. 20

21 8. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Mpango wa Ulinzi wa Kina (CPP) wa Maombi kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa 2012 Mpango wa Ulinzi wa Kina (CPP) ni lazima kwa muda mrefu wa ulemavu na manufaa ya kifo (bima ya maisha) kwa mpango wa viongozi wa dini wanaostahili nchini Marekani, ikiwa ni pamoja na maaskofu wa Marekani. Bodi ya Mkuu wa malipo ya uzeeni na Afya (GBPHB) inapendekeza mabadiliko sita yafuatayo ili kuunda mpango, yaani, faida ya mabadiliko katika utoshelevu wa marekebisho ya kusaidia mizania ya faida na mpango wa gharama na uendelevu. Mapendekezo ya marekebisho pia ni pamoja na marekebisho kadhaa ya kiufundi na marekebisho bora kwa lugha ya mpango wa utawala na utendaji wake. I. Mabadiliko kwa Faida ya Ulemavu wa muda mrefu A. Kupunguza urefu wa kiwango cha juu cha faida ya ulemavu kwa kwa madai ya miezi 24 kwa washiriki walio na madhara kali za akili. Sasa hakuna upeo mrefu wa faida kwa madai ya afya ya akili, zaidi ya kikomo cha umri, ingawa kikomo ni miezi 24 - huu ni mfano katika sekta ya bima. Kikomo bila kuomba na hali fulani tu kitatumika kwa maradhi yanayoweza kutibiwa na Chama cha Marekani cha afya ya akili. B. Marekebisho ya kukabiliana na (kupunguza) mapato ya faida kwa ulemavu (baada ya miezi 24 ya ulemavu). Hivi sasa, faida ya CPP ni kupunguza kwa dola 1 kwa kila $1 ya mapato, na kujenga motisha kidogo kwa ajili ya wadai kufanya kazi sehemu ya muda kama njia ya mpito wa kazi. Chini ya marekebisho ya faida hii itapungua tu $0.50 kwa kila $1 ya mapato hadi 100% ya fidia ya mshiriki kabla ya ulemavu, baadhi ya kutoa motisha kwa kazi sehemu ya muda ya mpito. Kiasi zaidi ya 100% ya mapato kabla ya ulemavu kitabaki kwa ajili ya kukabiliana na dola. C. kuimarisha faida kurudi - kwa-kazi na mchakato wa wadai walemavu. (1) Mzushi : kupunguza 10% ya manufaa ya ulemavu kwa wadai wanaokataa kushiriki katika mpango wa kurudi-kwa-kazi. (2) Mpango wa mdhamini (mkutano wa kila mwaka) motisha, katika hali ya ruzuku, kwa ajili ya ushirikiano katika mpango wa kurudi-kwa-kazi. Mfadhili wa CPP kurudisha mpango hadi chini ya 40% ya wastani wa fidia (DAC) au 50% ya kabla ya ulemavu mshahara kukabiliana na sehemu ya mshahara kulipwa kwa mdai kurudi. D. Kupunguza katika muda wa faida ulemavu kwa zaidi ya umri 62. Hivi sasa, mpango hutoa hadi miaka 5 ya faida ya ulemavu kwa wadai wa umri 60 au zaidi (hadi miaka 72). Marekebisho bila kuanzisha ratiba ya muda (hapa chini) kwa wale ambao ni umri wa 21

22 miaka 62 au zaidi. Ratiba hii ni karibu zaidi iliyokaa na umri wa kustaafu kawaida chini ya Sheria ya Hifadhi ya Jamii, na kawaida ya viwanda. Miaka katika tarehe ya ulemavu wa Wakati wa usaidizi CPP 62 Miezi Miezi Miezi Miezi Miezi Miezi Miezi na zaidi Miezi 12 au hadi miaka 72, yoyote ijayo mbele II. Mabadiliko ya mafao ya kifo A. Huduma inayostahili kwa kustahili kwa faida ya kifo. Hivi sasa, kwa kustahili kwa manufaa ya kifo katika kustaafu, mshiriki lazima kustaafu (kuliko mengine chini ya utawala wa miaka 20) miaka 5 ya mwisho 10 ya huduma kama mshiriki katika CPP, au miaka 25 ya jumla kama mshiriki katika CPP. Hii itahitaji marekebisho kwa mshiriki anaye staafu, zaidi chini ya utawala wa miaka 20, na ama 12 ya miaka ya mwisho 15 ya huduma kama mshiriki katika CPP, au miaka 25 ya jumla kama mshiriki katika CPP. Kuongezeka katika miaka ya chanjo, kutoka miaka 5 hadi 12, itakuwa kudumu kwa muda juu ya kuzuia washiriki wakubwa wa sasa kupoteza kustahiki. Mabadiliko inaendelea kuheshimu huduma ya muda mrefu katika wakati wa kuendeleza mpango wa baadaye. B. Mabadiliko ya faida ya kifo kwa waliojiuzulu kiasi kutoka asilimia ya DAC kwa kiasi fulani ya dola inaonekana katika jedwali hapa chini. Faida ya sasa Bajeti iliyopangwa Kifo cha muhusika aliyestaafu 30% ya DAC $20,000 Kifo cha mchumba wa muhusika aliyestaafu 20% ya DAC $15,000 Kifo cha muhusika aliyeuhai 15% ya DAC $10,000 Kifo cha muhusika mtoto wa muhisika (aliye chini ya miaka 19) 10% ya DAC $8,000 Mapendekezo ya kiasi cha dola za kudumu inaweza kuwa na ongezeka kwa mfumuko wa bei mara kwa mara katika Mkutano Mkuu. Washiriki waliostaafu tayari kunawiri faida ya sasa, yaani, asilimia ya DAC. III. Mabadiliko ya Kiufundi katika Mpango wa lugha 22

23 Mapendekezo ya marekebisho pia ni pamoja na mabadiliko kadhaa ya kiufundi, ambayo ni masahihisho na marekebisho ya utawala na uendeshaji bora katika lugha ya mpango wa mahitaji ya uendeshaji na kanuni za sekta, ikiwa ni pamoja na: A. kwamba wanachama wa Mikutano ya Kati kuteuliwa Mikutano ya Mwaka na mashirika ya Marekani kwa jumla wana haki ya kushiriki katika CPP. B. Kuweka njia ya malipo ya mafao ya kifo kuwa ni faida moja ya jumla badala ya awamu ya kila mwezi. C. Kuhakikisha kwamba CPP haita kulipa zaidi ya 3% ya fidia kwa mshiriki kama mchango wa mpango wa kustaafu. D. Kuahirisha faida katika kesi ya udanganyifu au matumizi mabaya. E. Kuhihitisha kwamba mpango uko wa kupunguza faida katika kesi yoyote ya kuokoa malipo yaliyo tolewa zaidi. F. Kuhihitisha kwamba wachumba walio hai hawajawekewa vikwazo katika kutambua watakao pata faida. 23

24 9. Kamati Kuu ya Malipo ya Uzeeni na Manufaa ya Afya Mpango wa Mchango wa Kustaafu wa Watumishi uiliofafanuliwa Hii ni moja ya pinzani mbili kufadhiliwa na GBPHB kuchukua nafasi ya viongozi wa dini ya sasa katika mpango wa kustaafu - Mpango wa Usalama wa Kustafau (CRSP). Mpango huu unapendekezwa kwa kusitisha ongezeko ya madeni ya pensheni ya baadaye, lakini mpango wa wengine ( chini ya gharama kubwa ya CRSP sasa) ulipendekeza kwa ajili ya mapato ya maisha ya viongozi wa dini. Mipango yote itapunguza faida na gharama ya kusaidia kukabiliana na matatizo ya mkutano wa kifedha. Madhumuni ya kuchukua nafasi ya mpango wa sasa ni uwakili kwa kuleta usawa kati ya utoshelevu wa manufaa kwa washiriki, na kuendesha maendeleo kwa ajili ya Kanisa. I. Kwa Upeo Kwa nini Kanisa ina haja ya kubadili mipango yake ya kustaafu? Kanisa inakabiliwa na shinikizo kubwa ya fedha kwa sababu uanachama unapungua na gharama za kanisa kwa ajili ya vitu, kama vile ujenzi wa ukarabati na madeni, zinaongezeka. Shinikizo hizi za fedha zimekuwa kubwa na kutokana na mtikisiko wa soko hivi karibuni, ambao ulipungua thamani ya mali na mpango wa kustaafu, ikiwa na pamoja na kutumika kwa manufaa ya mfuko wa pensheni na mali ya miaka. Kupungua kwa mali kwa upande unasababishwa na ongezeko la michango inahitajika na mikutano. Idadi ya maafisa wa faida ya mkutano wamesema wanahitaji misaada si tu sasa lakini kwa misingi ya muda mrefu kama Kanisa itaendelea na matarajio ikizingatia idadi ya uanachama kuendelea kushuka Marekani. II. Nani ataathiriwa? Mabadiliko haya ya mafao ya kustaafu kazi yanaathari kwa viongozi wa dini Marekani. Mpango mpya wa miundo unapaswa kuwa na kiasi kidogo cha athari kwa washiriki wanaokaribia kustaafu kwani watakuwa na miaka michache chini ya mipango mipya. Hakuna mapendekezo yanayopunguza faida zinazolipwa sasa. Hata hivyo, baadhi ya mabadiliko inaweza kuathiri ongezeko baadaye kwa faida hizi au kiasi kwamba inaweza kuwa mapato. Pendekezo na Sababu CRSP sasa ni pamoja na faida (DB) na mchango wa vipengele vya (DC). Mapendekezo ya mpango huu ni mpango wa DC-tu. 24

25 Ifuatayo ni mlinganisho wa haraka wa mipango DB dhidi ya DC. Faida (DB) Mchango (DC) Pension ya kila mwezi Mabaki yanachunguzwa wakati wa kustaafu Inahesabiwa kwa kanuni Faida na hasara ya mapato na uwekezaji Faida za kimaisha Mabaki ya akaunti Mpango wa wadhamini usio dhabiti Mpango unaotarajiwa wa wadhamini Hasara watakayopata wadhamini Washirika wanakabiliwa na hasara ya muda mrefu Kipande cha faida chaendelea kwa Mabaki ya akaunti yanaenda kwa wanaoridhi mchumba Faida kuisha kwa kifo cha mshitika na Faida inaisha mapato yakiisha mchumba wake III. Maelezo ya Pendekezo Masharti ya msingi wa Mpango Matoleo CRSP Leo DC Pekee DB Muundo wa Faida 1.25% of DAC* kwa kila N/A mwaka wa kazi DC matoleo yasio sambamba 3% ya mshiriki anazotoa 8% ya mchango wa DAC ya Mshiriki DC matoleo sambamba N/A 100% ya UMPIP ya mshirika hadi 2% ya fidia ya mshiriki *DAC ni Wastani wa Fidia. Fidia ya mwisho ya kutumika kwa miaka ya huduma kama Askofu. Ulinganisho wa Gharama Dua hii na mbadala wa dua-db ilipendekeza pamoja na mpango wa DC - kuwakilisha akiba ya wastani wa gharama za juu zaidi ya 15% ya CRSP ya leo. Gharama ya akiba itatofautiana na mkutano wa kila fidia kulingana na fidia ya wastani wa kila mkutano. Ulinganisho wa faida Wataalamu wengi wanasema kuwa mahitaji ya kutosha ya kustaafu ya mshiriki yanafaa kuwa angalau 80% ya fidia yeye alipokea katika mwaka kabla ya kustaafu. Vyanzo vya mapato ya kustaafu ni pamoja na mipango ya kustaafu kwa mshiriki, Usalama wa Jamii na akiba zao binafsi. Kufuatia ni asilimia ya makadirio ya fidia ya mpango wa DC-tu bila kuchukua nafasi ya kustaafu kwa viongozi wa dini wa ngazi ya chini, kati au ya juu ya fidia, kuchukua watumishi wamemaliza miaka 30 ya huduma, wamechangia sawa kabisa (ikiwa inatumika) na salio la akaunti ilipata faida ya 7%. Makadirio haya ni pamoja na Usalama wa Jamii. Fidia katika kustaaafu Faida ya mwaka (% Fidia) CRSP Leo DC mango unaopendekezwa $40,000 $47,600 (119%) $33,200 (83%) $62,000 (DAC) $53,300 (86%) $39,700 (64%) $90,000 $61,200 (68%) $51,300 (57%) 25

26 IV. Vipengele vingine vya Maombi haya Uhakiki: Ni wale tu viongozi wa dini wanaohudumia angalau nusu ya muda watakuwa na haki ya kupata faida ya chini ya mpango wa mapendekezo. Mikutano au makanisa yanaweza kuteua kutoa faida chini ya Umoja wa Mpango wa Uwekezaji wa binafsi wa Methodisti kwa viongozi wa dini ambao wanaotumikia chini ya nusu ya muda. Mabadiliko kwa Mpango wa Pensheni ya Watumishi (MPP): MPP ni mtangulizi wa CRSP. Dua wazi inahitaji mpango wa wafadhili kutoa mchango wa ziada kama Mapato ya MPP hayatoshi (kwa mfano, kutokana na hasara ya uwekezaji). Aidha, ombi itahitaji kustaafu washiriki wapya hasa matoleo 65% ya akaunti ya usawa wao, badala ya angalau 65% ya akaunti ya usawa wao. Hii inapunguza uwezekano wa dhima ya mikutano ambayo ina haja ya mfuko ya mapokeo haya. Mabadiliko kabla ya 82: Mpango kabla ya 82 ni mtangulizi wa MPP. Hii inaweza kuondoa malalamiko kwamba mahitaji ya huduma ya kiwango cha chini cha kuwa angalau 0.8% ya Fidia ya Wastani ya Mkutano, kuruhusu kila mkutano wa busara kuweka viwango vya ngazi. Kama mkutano ulichagua kuongeza kiwango na gharama ya faida kuongezeka bila haja ya kuwa unafadhiliwa kikamilifu. Dua pia itasaidia kuunganisha mikutano ya kudumisha viwango tofauti, badala ya kuhitaji kiwango cha juu zaidi ya mikutano ya kuunganisha ya kutumika, ambayo inaweza kukatisha moyo kuungana kwa mkutano huo kuwa vinginevyo manufaa kifedha. Hakuna viwango vya huduma ya zamani vitapungua. 26

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment Background 1. On 4 th September, 2012, the Energy and Water Utilities

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia HakiElimu & Policy Forum KUUELEWA MCHAKATO.indd a 1/20/10 11:00:56 AM KUUELEWA MCHAKATO.indd b 1/20/10 11:00:57 AM Kuuelewa Mchakato wa

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia IDARA YA KUFIKIA HUDUMA ZA AFYA VERMONT Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia GreenMountainCare MIASHA YENYE AFYA BORA ZAIDI Jedwali la Yaliyomo Jedwali la Yaliyomo... 2 Karibu kwenye Programu ya

More information

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII SHERIA KATIKA LUGHA RAHISI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA (TANGANYIKA LAW SOCIETY) KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

ORDER NO BACKGROUND

ORDER NO BACKGROUND In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MFUMO WA RUZUKU YA MAENDELEO YA MTAJI WA SERIKALI ZA MITAA (LDCDG) UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI Kijitabu cha Mshiriki

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda WARAKA WA TAARIFA YA MRADI (PID) HATUA YA TATHMINI TAARIFA NA..: AB4376 Jina la Mradi Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda AFRIKA Sekta Madini na Uchimbaji mwingine (100%) Namba ya

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

Shabaha ya Mazungumzo haya

Shabaha ya Mazungumzo haya Karibu Katika Mazungumzo Kuhusu Mchakato wa Uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii CCMP/UMOJA Shabaha ya Mazungumzo haya Kuwafahamisha viongozi wa makanisa kuhusu Mchakato wa CCMP ambao umekuwa ukitumika

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wapilipili Tanzania Wildlife Division, Tanzania Wildlife

More information

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Child Abuse & Neglect 43(2015)8 21 Orodha Yaliyomo inapatikana katika ScienceDirect Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Nakala ya Utafiti Mbinu za kuimarisha mifumo ya ulinzi wa mtoto kuanzia chini kwenda

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12 Human Rights Are Universal And Yet... Episode 07 Title : The right to food drought and famine in Ethiopia Author : Tedla Getachew Editor : Aude Gensbittel, Pendo Paul Translator : Anne Thomas Proofreader:

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu BLOOD PRESSURE UK Shinikizo la damu ndicho chanzo kikubwa cha ulemavu na vifo vya mapema kule Uingereza, kupitia kiharusi, mshtuko wa moyo na maradhi ya moyo.

More information

Kuwafikia waliotengwa

Kuwafikia waliotengwa Kuwafikia waliotengwa Kuwafikia waliotengwa Muhtasari Chapisho la UNESCO 2 M U H T A S A R I R I P O T I Y A U S I M A M I Z I W A K I M A T A I F A W A M R A D I W A E L I M U K W A W O T E 2 0 1 0 Ripoti

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) Dar es Salaam Oktoba 2007 YALIYOMO ORODHA YA VIFUPISHO DIBAJI SHUKRANI MUHTASARI RASMI SURA

More information

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 W N S E Muhtasari Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 Kuinuka kwa Nchi za Kusini: Maendeleo ya Binadamu katika Ulimwengu Anuwai Empowered lives. Hati ya kunakili 2013 na Mradi wa Maendeleo ya Umoja wa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) TOLEO LA PILI Dar es Salaam, Oktoba, 2007 i ii JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI

More information

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2009/2010 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu

More information

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA NGUZO KUMI ZA KWANZA (MFUMO WA UTEKELEZAJI) NGUZO YA 1 DIRA YA TAIFA YA KWANZA 1.1 Kupitisha Dira ya KWANZA SHUGHULI MAJUKUMU MUDA MHUSIKA MKUU 1. AZIMIO LA KWANZA 2. mpango wa utekelezaji wa KWANZA 3.

More information

Mipango ya miradi katika udugu

Mipango ya miradi katika udugu Partnerschaftlich Projekte planen Mipango ya miradi katika udugu 2 Dibaji... 3 Utangulizi... 4 I. Nafasi ya (Wajibu wa) Fedha katika Udugu: Mtazamo wa Ki-indonesi... 5 II. Namna UEM Inavyowezesha Miradi

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHESHIMIWA MUSTAFA HAIDI MKULO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized!. viromen-alsc:a.. Environmental & Social MRADI WA UMEME WA GESI YA * Assessment & Management

More information

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition

More information

HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE

HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE SAUTIZETU HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE 01 SAUTIZETU HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE SAUTI ZETU Huduma za Afya kwa wote THE OPEN SOCIETY INITIATIVE FOR EASTERN AFRICA (OSIEA) (JAMII WAZI YA MPANGO WA AFRIKA MASHARIKI)

More information

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ukristo leo unadhihirisha waumini karibu bilioni mbili katika maelfu ya madhehebu tofauti na tofauti na madhehebu. Kati ya hizi, zaidi ya 500 madhehebu

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Draft 03 MWENGE KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MWENGE

Draft 03 MWENGE KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MWENGE MWENGE KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MWENGE MPANGO MKAKATI WA MIAKA MITANO WA MAENDELEO YA KANISA 2013-2017 i YALIYOMO 1. UTANGULIZI... 1 1.1 Lengo kuu... 1 1.2 Historia kwa ufupi... 1 1.3 Malengo ya

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI MWONGOZO KWA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA WASTANI WANAOUZA BIDHAA NJE YA NCHI TOLEO LA PILI Geneva 2011 ii IKISIRI YA HUDUMA YA HABARI ZA BIASHARA ID=42653 2011 F-09.03

More information

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato 1 Mafungu yote yaliyonukuliwa kwa ruhusa kutoka katika Biblia ya Kiswahili Union Version 1952 (Ilishahihishwa 1989) ISBN 978 Haki miliki 2013 Haki zote zimeifadhiwa

More information

Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi

Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi PAN AFRICAN PARLIAMENT PARLEMENT PANAFRICAIN البرلمان PAN- PARLAMENTO األفريقي AFRICANO Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi Julai 21 22, 2011 Bunge la

More information

Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza

Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania 2015 2016 Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa,

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 AEG swahili Bahari ya Aegean Brosha ya maelezo hii ni kwa watu wanaofikiria kuvuka bahari ya Aegean kati ya Ugiriki na Uturuki.Kuvuka kihramu ni uhalifu katika

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo, HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU, KWENYE SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA HAMSINI YA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, TAREHE 08 JUNI 2008, MSIMBAZI CENTRE, DAR ES SALAAM Mhashamu

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA TWN Third World Network 1. WEMA ni nini? Mahindi yanayotumia maji kwa ufanisi yajulikanayo kwa kingereza kama Water Efficient Maize for Africa (WEMA) ni mpango

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI MFUMO WA TATHMINI WA TAARIFA (IRM): TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI 2014 2016 Ngunga Greyson Tepani Mtafiti wa IRM Taarifa ya Mwishoni mwa Utekelezaji 2014-2016 First End-of-Term Report INDEPENDENT

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Shukrani Ripoti

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWA WANANCHI, TAREHE 31 JULAI 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWA WANANCHI, TAREHE 31 JULAI 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWA WANANCHI, TAREHE 31 JULAI 2001 Leo napenda nizungumze nanyi kuhusu umuhimu wa kuweka akiba, na umuhimu wa kulipa

More information

TANGA CEMENT PLC ANNUAL REPORT TAARIFA YA MWAKA.

TANGA CEMENT PLC ANNUAL REPORT TAARIFA YA MWAKA. TANGA CEMENT PLC 2016 ANNUAL REPORT TAARIFA YA MWAKA www.simbacement.co.tz ANNUAL REPORT 2016 ANNUAL REPORT2016 TAARIFA YA MWAKA 2016 TAARIFA YA MWAKA 2016 02 ANNUAL REPORT 2016 Chairperson s Statement

More information