Upande 1.0 Bajeti yako

Size: px
Start display at page:

Download "Upande 1.0 Bajeti yako"

Transcription

1 Upande 1.0 Bajeti yako Bajeti (Budget) ni muhustari wa njisi wewe (na familia yako) mnavyopata na kutumia pesa. Inaunganisha pesa zinazoingia nyumbani kwako (Kipato/ income) na zile unazotumia (matumizi/expenses). Siyo lazima Bajeti iwe sawa na pesa unazozipata na kuzitumia kutokana na hizi nambari kubadilika. Bajeti yako inapaswa kuwa lengo unalojiwekea ambalo unajitahidi kwenda sambamba nalo. Kwa nini ni muhimu kuwa na bajeti? Inakusaidia kutambua ni wapi utumie pesa zako Inakusaidia kuamua unavyotumia pesa zako katika siku za mbeleni Inakusaidia kutunza pesa zako Inakuweka katika nafasi ya kuzuia pesa zako KIPATO Orodhesha sehemu zote kiapato chako kitatokea kwa mwezi ujao(hauhitaji kuorodhesha viwango vya pesa baado):

2 MATUMIZI Matumizi (Expenses) ni vitu vyote vinavyokulazimu kutumia pesa zako. Zipo aina mbili za matumizi: Fixed Expenses (Matumizi yasiyobadilika) na Flexible Expenses (Matumizi yanayobadilika). Matumizi yasiyobadilika ni yale yasiyoweza kubadilika mwezi hadi mwezi. Matumizi yanayobadilika ni matumizi yale unayoweza kuyabadilisha ikibidi kufanya hivyo. Viwango vya pesa unavyotumia katika matumizi yanayobadilika vinaweza kuwa tofauti kila mwezi. Matumizi yasiyobadilika Tengeneza orodha ya matumizi yasiyobadilika utakayokuwa nayo mwezi ujao(hauhitaji kuorodhesha viwango baado). Kumbuka kwamba matumizi yasiyobadilika ni yale yasiyotofautiana mwezi hadi mwezi. KODI 2

3 Matumizi yanayobadilika Tengeneza orodha ya matumizi yanayobadilika unayoweza kuwa nayo mwezi ujao(hauhitaji kuorodhesha viwango baado). Kumbuka matumizi yanayobadilika ni yale unayoweza kuyazuia aidha kwa kutotoa pesa au kwa kutumia pesa kiasi. CHAKULA MAHITAJI vs. MATAKWA Ni muhimu kuweza kuelezea tofauti kati ya mahitaji (Needs) na matakwa (Wants). Mahitaji ni kitu ambacho ni LAZIMA uwe nacho. Mifano ya mahitaji ni umeme, kodi ya nyumba na chakula. Matakwa ni vile vitu ambavyo ungependa kuwa navyo ili kuboresha au kurahisisha maisha. Mifano yake ni kama kufunga cable au ungo vya TV, soda, na pipi au peremende. Unapokuwa unataka kununua kitu unapaswa kufikiria kama kweli unakihitaji. Hii inaweza kuwa ngumu lakini utashitushwa na wingi wa vitu ambavyo ungeweza kununua visivyo mahitaji ya kweli. Kama kitu haukihitaji kweli ni bora ukatunza pesa kwa ajili ya siku za mbeleni. Unapaswa kutumia pesa kwenye mahitaji kabla ya matakwa. Need ni kitu ambacho ni lazima uwe Want ni kitu ambacho ungependa kwa ajili ya kuboresha au kurahisisha maisha.. 3

4 Kazi: Mahitaji na Matakwa yako Orodha ya Mahitaji: Mahitaji Ni muhimu kiasi gani kuwa nacho? Orodha ya Matakwa: Matakwa Ni kiasi gani unakitaka? 4

5 Matakwa ambayo sitanunua: Kutoka kwenye Orodha ya juu, tambua ambavyo hautanunua mwezi huu. Matakwa Nitakayonunua: 5

6 Kutoka kwenye Ordha ya juu tambua baadhi ya vile utakavyonunua mwezi huu JILIPE MWENYEWE AKIBA Umeweka akiba kama matumizi? Umeiweka wapi, katika matumiziyasiyobadilika au yanayobadilika? Unapopangilia bajeti yako unatakiwa kuweka baadhi ya akiba zako kama, atumizi yasiyobadilika. Hizi ni pesa unazojitolea ahadi mwenyewe ya kuziweka kama akiba kila mwezi. Kujilipa mwenyewe yamanisha kwamba kuweka akiba ndiyo jambo la kwanza kutekeleza kila mwezi na siyo la mwisho. Bajeti nzuri yapaswa kuwa na kiasi cha kutosha kukidhi matumizi yako ya kwaida, pesa taslimu kwa ajili ya matumizi ambayo hayakutalajiwa na akiba ya kutosha kwa ajili ya wakati ujao. Miezi Fulani utaweza kuwa na akiba zaidi. Miezi kadha hutaweza kuweka akiba kabisa. Lakini kila mwezi unapaswa kujaribu kuweka akiba angalau kiasi. UTUMAJI PESA KUTUMA PESA NYUMBANI Sasa baada ya kufika Marekani, unaweza kutaka kutuma pesa nyumbani kwa wanafamilia. Hilo ni jambo la kawaida na linaloeleweka. Hata hivyo ni muhimu usitume pesa zaidi ya uwezo wako. Hii ina maana kwamba baada ya kutambua matumizi yako kwa ujumla na kipato chako, kama kuna pesa inayosalia, unaweza kuweka katika bajeti unaweza kuongezea pesa ya kutuma nyumbani. Uwe makini usitume pesa zaidi ya uwezo wako. Ukifanya hivyo unaweza kulipia bili zako au ukose pesa ya kulipia mambo muhimu. 6

7 Wakati mwingine, inaweza kuwa ngumu sana kutuma pesa ukiwa ndo umefika Marekani kwa sababu unaweza ukawa baado hauna kazi, na unaweza kutakiwa kutumia pesa kuanza maisha (mfano kununua nguo, vitu vya ndani ya nyumba yako ). Katika hali kama hii, wakati mwingine ni bora zaidi usubiri hadi utakapojua kipato na matumizi yako ni kiasi gaini kwa mwezi kabla ya kutuma pesa nyumbani. 7

8 MONTHLY BUDGET WORKSHEET KARATASI YA BAJETI YA MWEZI INCOME/KIPATO Monthly Income KIPATO KWA MWEZI Mshahara wako $ Mshahara wa mke $ Msaada wa pesa wa serikali $ Msaada wa pesa kutoka LFS $ Food Stamps/Msaada wa kulipa chakula $ Usitawi wa jamii(ssi) Matunzo ya watoto Kipato kingine $ Kipato kingine $ Kipato kwa ujumla $ Amount KIASI One Time Income KIPATO CHA WAKATI MMOJA Msaada wa dharula (Unatolewa na LFS) $ Pesa ya mapokezi (Inatolewa na LFS) $ Amount Kiasi Kipato kwa ujumla $ 8

9 EXPENSES/MATUMIZI (Inaunganisha kila kitu kutoka kwenye orodha ya Mahitaji na Matakwa yakununua hapo juu) Fixed/Yasiyobadilika Matumizi kwa mwezi Kiasi Kodi ya nyumba $ Maji/majitaka/mengineyo $ (Kadilia) Simu(Hudumaza kawaida/siyo masafa marefu) $ Pesa za usafiri(basi) $ Matunzo ya watoto $ Akiba $ Mengine $ Mengine $ Jumla ya matumizi yasiyobadilika $ 9

10 Flexible/Yanayobadilika Matumizi kwa mwezi Chakula $ Simu (Masafa marefu) $ Umeme $ Mavazi $ Elimu $ Vifaa vya Shule $ Usafi wa mwili (Sabuni, shampoo, dawa ya mswaki..) $ Huduma za afya (Dawa) $ Kadi za simu $ Kutuma pesa nyumbani $ Kufua $ Mkopo wa usafiri $ Mengine Mengine Jumla ya matumizi $ 10

11 Bajeti yako vs. Ukweli wako KUFUATILIA MATUMIZI YAKO Mwisho wa kila wiki, utaweza kujumlisha kila ulichokitumia kwenye chakula, mavazi, burudani, na matumizi ya kila aina. Mwisho wa mwezi utapata jumla ya kiasi ulichokitumia katika kila kitengo na kujaza kwenye karatasi ya muhtasari wa matumizi kama ifuatavyo hapa chini. Ukiisha rekodi kila unachokitumia kwa wastani wa mwezi, unatakiwa kuipitia bajeti yako sasa ili uhakikishe kwamba inakubalika. Kama bajeti na matumizi yako haviendi sambamba, utahitaji kubadilisha kimoja wapo au vyote. Kodi Umeme Utunzaji Watoto Akiba Chakula Mavazi Burudani Wiki1 $ $ $ $ $ $ $ Wiki 2 $ $ $ $ $ $ $ Wiki 3 $ $ $ $ $ $ $ Wiki 4 $ $ $ $ $ $ $ Jumla $ $ $ $ $ $ $ 11

12 MAPITIO YA BAJETI vs MATUMIZI Je mpango wa matumizi uko sawa na matumizi halisi? Kama sivyo, ulitumia kidogo au zaidi ya vile ulivyotarajia? Sababu ni zipi? Ni vipi utaweza kuboresha mipango yako mwezi ujao? Andika baadhi ya majibu ya swali hili hapo chini: KUIMARISHA BAJETI YAKO Kipato Ni maoni gani kwa ajili ya kuongezea kipato? Utumiaji Ni maoni gani kwa ajili ya kupunguza matumizi? 12

13 ONGEZA KIPATO CHAKO Njia moja ya kuimarisha bajeti yako na kupata pesa zaidi za akiba au za kutumia ni kuongeza kipato. Mara huwa ni vigumu kupata kazi inayolipa zaidi. Pamoja na hayo, huwa kuna vitu tunavyoweza kufanya kuongeza kipato chetu kiana. Zaidi ya njia tulizojifunza darasani, njia za kupunguza matumizi zinajumlisha: Tumika masaa zaidi: Ukitumika zaidi ya masaa 40 kwenye kazi moja unatakiwa kulipwa pesa zaidi ya kiwango chako cha kawaida kwa saa moja. Hii inaitwa working overtime-kutumika muda wa ziada na boss wako anapaswa kukulipa and your boss 1.5 X ya pesa unazotumikia kawaida. Kawaida kama unapata $8.00 kwa saa unaweza kulipwa $12.00 kwa saa kwa muda wowote uliotumika juu ya masaa 40. Mke kufanya kazi: Kipato cha familia yako kitaongezeka sana kama watu wazima wote kwenye mji wanafanya kazi. Kama kufanya kazi nje ja mji haikubaliki katika utamaduni wenu, nyongeza ya kipato inayotokana na kufanya kazi nyumbani au ya ziada itarahisisha kulipa bili zako au kuweka akiba ya familia kwa ajili ya wakati ujao. ELimu: Kurudi shuleni kukamilisha sekondari ya juu, chuo kikuu au masomo mengine ni moja ya njia nzuri za kuongeza kipato cha familia yako. Misaada ya Serikali: Kama kipato chako kiko chini au unayo familia kubwa kuna uwezekano wa kukubaliwa misaada ya serikali. Kutokana na kipato chako na ukubwa wa familia yako unaweza kustahili kupewa: Cash Assistance(Msaada wa pesa taslimu): Kusaidia katika matumizi ya kila siku Food Stamps Kusaidia kulipia chakula Rental Assistance kusaidia kulipa kodi ya nyumba Medical Assistance kusaidia kupata bima ya afya ya bure. Zana za kujaribu: 211 (taarifa kuhusu msaada uwezekanao) Mengine? 13

14 KUPUNGUZA MATUMIZI Inaweza kuwa ngumu kwa watu wengi kuongeza kipato chao sana. Kwa walio wengi, ni rahisi zaidi kudhibiti kiasi cha pesa wanachotumia kuliko kupata kazi inayolipa zaidi au kutumika masaa mengi. Zaidi ya njia tulizojifunza darasani, njia za kupunguza matumizi ni: Kumbuka kwamba wakati unapojaribu kuweka akiba ya pesa hata $1 au $5 kwa siku itageuka kuwa pesa nyingi Tembea na pesa taslimu kidogo tu ili usishikwe na majaribu ya kutumia. Kula nyumbani au uende na chakula chako badala ya kula nje. Lipa bili zako kwa wakati ili usilazimike kulipishwa pesa za kuchelewa. Jihadhari matumizi madogo madogo kama soda, pipi na chipsi. Tumia kuponi. Nunua vitu vya mnada, lakini uendelee kuhemea. Hemea kwenye maduka yanye punguzo (Maduka yanayouza vitu dollar moja). Hemea kulingana na mahitaji yako, siyo na matakwa. Usikubaki kushaurishwa na mtu kununua kitu ambacho hauhitaji. Kama umenunua au umekubali kitu ambacho hauhitaji kirudishe au usimamishe hiyo huduma. Uwe makini na bajeti yako iliyoandikwa. Hemea wakati wa bei nzuri kama unafikiria kununua kitu chenye gharama. Tunza risiti za vitu ulivyonunua ili uweze kuvirudisha ukiwa na tatizo. Epuka mitego ya matumizi! Kumbuka Kutunza risiti zako! 14

15 SPENDING TRAPS/MITEGO YA MATUMIZI Mitego ya matumizi ni bidhaa au huduma ziishiyazo kukugharimu zaidi ya thamani yake au ambavyo haukutegemea. Mara nyingi hizi huduma huonekana ni za bei nafuu lakini kabla hujakubaliana na moja wapo unapaswa kuelewa gharama zake kikweli. Check-Cashing and Money Orders Kupewa pesa taslimu za cheki na Hawala za pesa Maduka yanayotoa pesa taslimu za cheki uliyopewa hutoza pesa nyingi ili upewe pesa taslimu. Ada inakuwa mara nyingi sawa na asilimia 8% za pesa wanazokupa. Kwa mfano, kama ulikuwa na cheki ya $100 na ukaipeleka kwenye duka linalotoa pesa taslimu kwa ajili ya cheki utatakiwa kulipa $8 ili kupata pesa zako taslimu. Credit Card Interest and Fees/Riba na Ada za kadi ya mkopo Kama tutakavyoyazungumzia baadae, kutumia kadi za mkopo kwa busara yaweza kuwa muhimu wakati ujao kifedha. Ni rahisi sana kujikuta kwenye matatizo makubwa kutokana na kadi za mkopo. IKama ni lazima ulipe riba ya kadi yako ya mkopo unaweza kujiingiza kwemye madeni makubwa ambayo ni vigumu kuyaepuka. Wakati huo huo ni vyema kulipa deni la kadi yako ya mkopo kila mwezi (ili usilazimike kulipa riba). Na unapaswa kulipa kiwango cha chini. Kama hukufanya hivyo, utalipishwa riba na ada, mara nyingi $15 or $20 kila wakati. Over Drawing Accounts/Kuchukua pesa zaidi kwenye akaunti Hii hutokea unapo andika cheki au kujaribu kuchukua pesa kwenye mashine ya ATM ukiwa hauna pesa zilizosalia kwenye akaunti yako. Ukifanya hivyo, benki itakutoza ada ya juu sana. Mara nyingi ada inaweza kuwa kubwa zaidi ya cheki uliyoandika. Payday Loans/Mikopo ya kulipa kwa siku Mikopo ya kulipa kwa siku ni miongoni mwa mitego ya matumizi mibaya zaidi. Kama unahitaji pesa angalau siku mbili kabla ya kulipwa, wakopeshaji wa kulipwa kwa siku watakutaka uandike cheki ambayo hawatachukulia pesa taslimu hadi utakapopokea cheki yako ya malipo. Hata hivyo, kama unahitaji $100 kabla ya siku yako nyingine ya malipo, 15

16 watakutaka uandike cheki ya $125. Kwa hiyo kukopa $100 kwa wiki itakugharimu $25 za ziada! Ni karibu riba ya asilimia 1,300%! Rent-to-Own/Kodi hadi Umuliki Maduka ya Kodi hadi umiliki ni mtego mwingine mbaya wa matumizi. Haya maduka yanakuuzia vifaa vya ndani ambavyo hauna uwezo wa kuvilipia bei yake kwa ujumla. Kila mwezi unatoa sehemu ya malipo.hata hivyo, haya maduka yanatoza faida au riba kubwa. Hadi kufikia muda wa kumiliki kifaa ulichouziwa, utakuwa umelipa kati ya mara 3 hadi 10 zaidi ya thamani yake! Interest Free Purchases/Mauzo bila riba Baadhi ya maduka yanatangaza kwamba unaweza kununua kitu, ukalipa baadae na usilipe riba kwa muda wa miaka miwili. Unapaswa kuwa makini na hizi ahadi kwa sababu utakapotakiwa kulipa riba itakuwa ya juu sana. Kama utanunua kitu bila riba kwa mwaka mmoja au miwili, unatakiwa kukilipia kwa ujumla katika ule muda ambao hautakiwi kulipa riba. 16

17 Upande 2.0 Shopping/ Grocery Ununuzi/Biashara ya vyakula THE SUPERMARKET NI NINI? NI DUKA KUBWA LINALOUZA VIFAA NA VYAKULA Maduka mengi yanayouza vyakula Marekani yanakuwa na sehemu ya vyakula, bucha, sehemu ya kutengeneza mikate, matunda na mbogamboga, na vyote katika ndani ya duka moja. Unaweza kwenda kwenye soko kubwa kila unapohitaji yaliyo mengi yanafungua masaa 24. Katika maeneo mengi, utakuwa na chaguo la maduka makubwa mawili. Kila moja wapo litakuwa na vyakula vyako vya msingi na vitu kadha wa kadha, vinavyoongezea baadhi ya vitu maalum na vya asili. Maduka mengine: Specialty Stores/Maduka maalum: Zaidi ya maduka makubwa, yapo maduka madogo madogo maalum yanayohusika na aina chache za vitu mfano kama bucha na masoko ya vitu vya asili. Small neighborhood markets/masoko madogo ya mitaani: Mitaa mingi inakuwa na maduka madogo yanayouza vitu vya msingi (mikate, maziwa, jibini au chizi). Haya maduka yanafaa lakini yanakuwa na gharama kuliko maduka makubwa. Specialty Stores/Maduka maalum: Wakati yapo maduka maalum au ya asili yanayouza vitu visivyopatikana katika maduka makubwa ya kawaida (Masoko ya vitu kutoka asia, maduka ya kiafrika ). Watu wanaojitolea wanaweza kusaidia familia kujua haya maduka yalipo. UNDERSTANDING PRICING/KUELEWA BEI Store brands/matoleo ya duka: Mara nyingi yanakuwepo matoleo mengi ya kila bidhaa moja maalum. Maduka makubwa 17

18 yaliyo mengi yanakuwa na matoleo yake (mfano Kroger), ambayo yanakuwa ya bei nafuu kuliko mengine. Matoleo mengine mengi yanafanana katika maduka mengi na yote ya na ubora unaokubalika na ni salama kwa matumizi. Buying in bulk/kununua vitu kwa wingi: Njia nyingine nzuri ya kuweza kuweka akiba ya hela ni kununua vitu kwa wingi. Hii ni njia bora ya kuweka akiba ya hela kwa sababu unaweza kufaidika na punguzo litokanalo na kununua vitu kwa wingi. Na utahifadhi vile utakavyovihitaji kwa baadae, hasa hasa unavyovitumia sana, au vitu visivyoharibika haraka. Maduka makubwa yanauza bidhaa zake kwa njia nyingi. Hata kama alama inasema Mnada, unapaswa kuelewa utakachikipata kwa hela yako. Kwa mfano, maduka makubwa yanakuvuta kwa kutumia vitu kama 2 for $5. Ukisoma alama kwa undani inaweza ikawa kwamba unaweza kununua kitu kimoja kwa bei ya mnada. Kingine, kunaweza kuwa Nunua moja, pata moja bure. Hii ina maana kwamba unalipa bei kamili kwa ajili ya kitu cha kwanza halafu unaongezewa kingine bila malipo. <Mifano ya vitambulisho> 18

19 Coupons/Kuponi: Kuponi ni vipande vidogo vya karatasi vinavyotangaza bidhaa za maduka makubwa. Unazipeleka kwenye maduka na unazitumia kupata punguzo kwenye bidhaa fulani. Kuponi ni sawa na pesa taslimu. Kwa mfano, kama unayo kuponi ya dola $1.00 kwenye boxi ya nafaka, muuzaji ataipokea kuponi kama ambavyo ingelikuwa ni pesa taslimu. Ufikapo kaunta, kabidhi kuponi zako kwa muuzaji, atazikagua na mashine na kasha kukutoza pesa inayobaki kwa ajili ya kitu kile ulichonunua. Kuponi zinapatikana kwa njia nyingi tofauti. Tovuti za maduka na ekuponi Mitandao ya tovuti inayouza kuponi Gazeti la sunday Vipeperushi vy maduka makubwa vya katikati ya wiki Tovuti za viwanda au watengenezaji Eneo la kuponi kwenye maduka Kuponi za risiti (nyuma ya risiti yako) Njia ya posta Store discount cards/kadi za punguzo za duka: Kadi ya uaminifu, kadi za zawadi, kadi za pointi, kadi za heri, kadi ya klabu ni kadi ya karatasi au plastiki, ambayo inafanana na kadi ya mkopo au kadi ya benki, inamtambulisha mwenyenayo kama mwanachama katika mpango wa uaminifu. Ni njia ambayo maduka makubwa yanatumia kukuhamasisheni kuendelea kuhemea kwao. Kwa kutumia hiyo kadi unapata bei nzuri na punguzo kwa baadhi ya bidhaa. Kujua kama bidhaa zimepunguzwa bei, tazama katika vipeperushi vya duka au chunguza bei kwenye rafu (note to volunteer: explain how items have a price for use with, and without loyalty card. And you only get discount when card it presented at each purchase). Kupata kadi ni rahisi na ni bure. Jaza tu fomu ya kujiunga kwenye meza ya huduma kwa wateja, na utakuwa tayari kuanza kuitumia kadi. Uje na kadi yako kila mara unapokuja kuhemea na uimuonyeshe muuzaji; lakini usiwe na hofu, unaweza kupewa 19

20 nyingine ukiipoteza. Pitisha kadi yako kwenye mashine au uimukabidhi muuzaji. Punguzo lako litakatwa kwenye malipo yako. Comparison shopping/kufananisha mahemezi: Ukubwa wa furushi haumanishi bei bora zaidi. Wakati mwingine kununulia pamoja vinatoa bei nafuu, wakati mwingine vinakuwa na bei ya juu. Njia moja tu ya uhakika ni kufananisha bei za kila kipimo. Kawaida vipimo vinakuwa katika aunsi au paundi. Maduka mengi yanabandika bei kwenye rafu, hali ambayo inarahisisha ufananishaji. Kitambulisho cha bei kitakuonyesha ni kiasi gain kila kipimo cha hiyo bidhaa kinauzwa. Mahemezi na bajeti Hakikisha kwamba mahemezi yanakwenda sambamba ba bajeti yako, (Mahitaji vs Matakwa) Unayo maelfu ya vyakula ya kuchagua katika duka, kwa hiyo ni rahisi kujisahau na kununua vingi, kununua vitu unavyovitaka lakini ambavyo huvihitaji, au kusahau kitu ambacho unakihitaji kweli. Andaa orodha ya vitu utakavyonunua kabla ya kwenda dukani. Kuandaa orodha inaokoa muda nakusaidiakuhakikisha unanua kile unachokihitaji. Amua ni pesa kiasi gain unazoweza kutumia katika bajeti yako KABLA ya kwenda dukani. Kwa mfano kama unanunua chakula kila wiki, jua ni kiasi gain unaweza kutumia kwa wiki, na utumie hicho kiasi tu. Kama hauna pesa kwa ajili ya kila kitu kilichoko kwenye orodha yako, amua vilivyomuhimu na uvinunue hivyo (vitu kama mkate, maziwa, mbogamboga, mchele ) na usinunue vitu ambavyo havina umuhimu na visivyo kwenye orodha yako ya mahitaji (Vitu kama soda, pipi). Jumlisha mahemezi yako kadiri unavyokwenda Mashine ndogo ya mahesabu inaweza kukusaidia kufuatilia ni kiasi gani cha pesa umetumia kadiri unavyohemea. Jumlisha bei ya kila kitu unapokiweka kwenye torori au kikapo chako. Utaweza kujua kiurahisi ulizojumlisha kabla kufika kwenye eneo la malipo au mbele ya muuzaji. Ni MUHIMU SANA kufuatilia mahemezi yote uliyoyafanya na kadi yako ya chalula (Food Stamp Card) ili uweze kujua ni pesa kiasi gani ulizobaki nazo kwenye 20

21 kadi yako!!!!! Hivi unaweza kuvifanya kwa kutunza na kujumlisha risiti zote za mahemezi ya kadi. Kujua salio kwenye kadi, tazama upande unaofuata hapo chini juu ya kadi ya chakula (Food Stamps). Kupangilia kabla na kuchukua maamuzi mazuri Kingine, pangilia mapishi unayotaka yako katika siku chache zijazo na uorodheshe viuongo utakavyohitaji. Nunua vyakula vya kutosha vitakavyokufikisha siku ya mahemezi mengine na huku ukihakikisha kwamba hautumii pesa zaidi ya zile ulizopanga kwenye bajeti yako. Unaweza kutumia mashine ya mahesabu kujumlisha vitu kadiri unavyoviweka kwenye torori yako. Hata kama unayo orodha, unahitaji kuchukua maamuzi kadhaa sokoni. Inasaidia unapofikiria kama mpishi. Mpishi mzuri anatengeneza orodha ya viungo, lakini anaangalia nyama na mazao kujua vilivyo vibichi na vinavyouzwa vizuri zaidi. Kama mapishi fulani yanahitaji kitunguu lakini kikawa siyo kizuri au hakipo dukani, mpishi atachagua aina nyingine ya kitungu kilicho bora zaidi. Au kama kuna samaki iliyo mbichi zaidi, mpishi anaweza kuipendelea kuliko ile iliyoko kwenye orodha ya mahemezi. FOOD STAMPS/KADI YA CHAKULA Unavyoweza au Usivyoweza kununua na kadi ya Chakula (Food Stamps). Kwa kutumia kadi yako ya chakula (Food Stamp) unaweza kununua vyakula unatumia kama: Maziwa na vitu vyote vitokanavyo na maziwa; nyama, samaki, kuku, mayayi na maharage; nafaka, mchele, tambi na vitu vingine vya mbegu; viungo vyote vinavyotumika kuchoma au kupika; matundana mbogamboga; vyakula vya baridi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani; barafu na maji kwa ajili ya matumizi ya binadamu; maziwa ya watoto, baadhi ya vyakula maalum vya lishe au vya watu wenye kisukari na vyakula asilia au vyakula hai, mbegu za bustani na mazao ya vyakula vya kupanda nyumbani. Kwa kutumia kadi yako ya chakula (Food Stamp) huwezi kununua vifuatavyo: Aina yoyote ya vileo, pombe au mvinyu; aina yoyote ya tumbaku; bidhaa zote zisizo za vyakula kama vitu vya kusafishia, sabuni na bidhaa za karatasi, nepi; madawa kama aspirin, dawa za kikohozi na vitamini, vifaa vya kutunzia 21

22 vyakula kama majagi na mitungi ya kupozea, vyakula vya moto vilivyo tayari kuliwa, na vyakula ambavyo siyo vyakutumiwa na binadamu kama vyakula vya wanyama. Kwa vitu ambavyo huwezi kununua na kadi yako ya chakula, utapaswa kulipa pesa taslimu. Checking balance on Food Stamps/Kuangalia salio kwenye kadi yako ya chakula: Njia nzuri ya kufuatilia salio la kadi yako ni kufuatilia kwa makini matumizi yako yote. Unaweza pia kuita namba iliyoko upande wa pili wa kadi kujua salio (japo unaweza kufanya hivyo kama mara 3 tu kwa mwezi). Inawezekana pia kufuatilia salio lako kwenye mtandao lakini utahitaji kujisajili na kuwa na jina na ufunguo wa siri. Jina la kadi hapa Colorado ni Quest card. TAXES ON NON-FOOD ITEMS/USHURU WA BIDHAA ZISIZO ZA VYAKULA (Vipi vilipavyo ushuru na visivyolipa ushuru) Vitu ambavyo havilipi ushuru ni pamoja na vyakula kwa ajili ya matumizi ya nyumbani. Mifano, lakini siyo hiyo tu, nyama, kuku, samaki, mikate, nafaka, mbogamboga, matunda, juisi ya matunda au mbogamboga, maziwa na vitu vitokanavyo na maziwa, kahawa, chai, nazi, pipi, jojo, viungo, vinywaji baridi, keki, chipsi, vyakula maalum, vyakula vilivyorutubishwa, maziwa ya watoto, vitu vilivyotengenezwa kuwa vyakula (kwa mfano mafuta ya nguruwe, mafuta yatokanayo na mbogamboga). Vitu vinavyolipa ushuru hadi asilimia 3.62% ni pamoja na uuzaji na ununuzi wa bidhaa za matibabu kama vitamini na madini vinavyouzwa kama mbadala vyakula mbadala, vitu vinavyosaidia afya kama aspirin, dawa za kikohozi, dawa za mafua vitu vinavyozuia asidi. Vyakula mbadala, visaidizi vya afya, na dawa za kunua madukani vinalipa ushuru kwa viwango vya asilimia 3.62%. Bidhaa za vyakula zisizouzwa kwa ajili ya matumizi ya binadamu zinalipiwa ushuru katika viwango vya asilimia 3.62%. Mifano inaweza kuwa vyakula vya wanyama, mbegu kwa ajili ya ndege, na vyakula vingine vya wanyama. 22

23 Vitu vinavyochukuliwa kama vyakula chini ya mpango wa serikali kuu wa Food Stamp lakini ambavyo havikubaliki kama vyakula vinavyoweza kuuzwa na kusamehewa ushuru isipokuwa vikinunuliwa kwa kadi ya vyakula au vocha au cheki za WIC ni: Maji yenye dioksidi ya kaboni yanayouzwa kwenye mitungi (Kwa mfano maji yenye viputo vidogo vidogo au maji ya seltzer). Pipi/jojo. Mbegu na mazao ya kukuza vyakula. Saladi/kachumbari iliyotengenezwa inayohitaji kutiwa baridi, iwe imetengenezwa na duakani au kwenye ghala, au watengenezaji wanaouza au kuwalanguzia wauzaji. Salad bars. Sandwichi za baridi Trei za deli Chakula kilichopikwa au chakula kinachouzwa kwa ajili ya matumizi ya papo hapo. 23

24 Upande 3.0 Banking/Kutumia Benki UTARATIBU WA KUTUMIA BENKI Ili kuishi kulingana na bajeti yako na usimamie pesa zako kwa njia iliyo mwafaka kwako, utahitaji kufungua akaunti katika benki au umoja wa mikopo. Disadvantages of Using Cash/Kasoro za kutumia pesa taslimu Kutembea na pesa nyingi na kulipia kila kitu na pesa taslimu yaweza kuwa hatari, usumbufu na ghali sana. Ubaya wa kutumia pesa taslimu ni: Siyo salama (unsafe) kwa sababu pesa taslimu zikipotea au zikaibiwa, huwezi kuzipata tena. Ni usumbufu (inconvenient) kwa sababu unalazimika kutembea na pesa nyingi kama una mpango wa kununua kitu cha gharama na kila unapohitaji pesa zaidi lazima wende nyumbani kuzichukua. Ni gharama (expensive) kwa sababu utapaswa kulipa ili upewe pesa taslimu badala ya cheki zako na hawala za fedha. Advantages of Banks and Credit Unions/Faida za Benki na Vyama vya Mikopo Benki na Vyama vya mikopo ni biashara zinazotoa sehemu zilizo salama na rahisi kutunza pesa. Zinatoa huduma nyingi tofauti zinazofanya usimamizi wa pesa zako salama na rahisi zaidi kuliko kutumia pesa taslimu.. Benki na vyama vya mikopo viko salama (safe) kwa sababu serikali ya Marekani inavipa bima karibu vyote. Kwa njia hiyo, kama benki itashindwa kukurudishia pesa zako, serikali ya Marekani itakulipa.hii inaitwa bima ya FDIC. Unatakiwa kuhakikisha kwamba kila unayemupa pesa zako anayo hii aina ya bima.. Benki na vyama vya mikopo ni rahisi (easy) kwa sababu vilivyo vingi vinayo maeneo mengi unapoweza kuchukulia pesa zako. Cheki zinarahisisha pia kulipia au kununua vitu vya gharama. Benki na vyama vya mikopo vyaweza kutokuwa na gharama ( cheap) kwa sababu, ikuchagua iliyo sahihi, hawatakulipisha ukifungua akaunti au ukichukua pesa zako. Hata kukiwa na ada itakuwa ndogo kuliko kutumia biashara zinazotoa pesa taslimu kwa ajili ya cheki au kununua hawala za fedha. Tofauti kati ya Benki na vyama vya mikopo Tofauti kubwa kati ya benki na chama cha kukopa ni vile ambavyo benki zinajaribu kuzalisha pesa lakini vyama vya kukopa havifanyi hivyo. Hiyo ina 24

25 maana kwamba vyama vya kukopa vinatoa huduma kwa gharama nafuu kuliko benki. AINA ZA AKAUNTI Zipo aina tatu za akaunti za benki au za vyama vya mikopo tutakazozungumzia, Checking Accounts/Akaunti matumizi ya kila siku, Savings Accounts/Akaunti ya Akiba na Mutual Funds/Hazina ya ubia. Kila moja ya hizi akaunti ni tofauti na inapaswa kutumiwa kwa sababu zilizotofauti. Unaweza hata kutaka zaidi ya akaunti moja. Tutazungumzia hizi akaunti kwa kirefu zaidi. Unatakiwa kuweka pesa za matumizi ya kila siku katika akaunti ya checking account. Unatakiwa kuweka pesa usizohitaji katika akaunti ya akiba. Savings Kama huwezi kutumia akaunti ya akiba kwa sababu za kidini au hautahitaji pesa kwa muda unaweza kufungua akaunti ya Mutual Fund. Akaunti ya matumizi ya kila siku Akaunti ya checking inapaswa kutumiwa kwa ajili ya pesa unazohitaji kuzifikia kila siku. Pesa utakazotumia kulipa kodi ya nyumba, pesa unazodaiwa, chakula na matumizi mengine zinatakiwa kuwa kwenye akaunti ya Checking. Akaunti za checking ni bora zaidi kwa matumizi ya kila siku kwa sababu zinakupa urahisi wa kufikia fedha zako. Unaweza ukapata pesa taslimu kwenye benki au mashine ya ATM au andika cheki kulipa bili. Kabla ya kuchagua akaunti ya matumizi ya kila siku (checking) unatakiwa kulinganisha: Minimum Balance/Baki ya chini: Baadhi ya benki na vyama vya mikopo vinalazimisha kuacha kiasi Fulani cha pesa katika akaunti yako. Ukiwa na pesa kidogo katika akaunti yako wanakutoza ada. Kadiri baki inavyokuwa ndogo inakuwa bora zaidi. 25

26 Fees/Ada: o Annual Fees/Ada za mwaka: Benki tofauti zinatoza viwango tofauti vya pesa kwa ajili ya kufungua akaunti. Baadhi ya zinatoa huduma hiyo bure wakati zingine zinatoza ada ya mwezi au ya mwaka. o ATM Fees/Ada za mashine ya ATM: Baadhi ya benki zinatoza ada kwa kutumia mashine zake za ATM. Kama utajaribu kutumia ATM ya benki nyingine, ada itakuwa kubwa. o Overdraft Fee/Ovadrafti (Sawa na deni katika akaunti): Kama utajaribu kuchukua pesa nyingi kwenye akaunti yako zaidi ya zile ulizonazo, benki itakutoza ada ya ovadrafti. Number of Transaction/Idadi ya shughuli za biashara: Baadhi ya benki zinaruhusu kuandika cheki au kuchukua pesa mara kadhaa kwa mwezi. Ukiandika cheki zaidi ya zile unazoruhusiwa basi benki inaweza kukutoza ada ya ziada. Akaunti ya akiba Akaunti ya akiba ni sehemu ya kuhifadhi pesa kwa ajili ya wakati ujao. Ukiweka pesa kwenye akaunti ya akiba, benki zinakulipa pesa ambazo zinajulikana kama riba kwa kipindi chote utakachoacha pesa kwney akaunti. Hivyo pesa zako zinaongezeka! Zipo aina tofauti za akaunti za akiba. Yapo mambo machache yakuzingatia unapo amua ni akaunti gaini ya akiba inayokufa zaidi. The interest rate/kiwango cha riba: Kumbuka toka somo la 1, unapoweka pesa benki, benki inazitumia zile pesa kwa kipindi chote zitakuwa kwenye akaunti yako. Benki itakulipa kwa kuiruhusu kutumia pesa zako. Kiwango cha pesa wanazokulipa kinaitwa riba. Baadhi ya akaunti za akiba zinalipa riba zaidi ya zingine. Unatakiwa kuchagua akaunti inayotoa riba ya juu unayoweza kupata. Minimum Balance/Baki ya chini: baadhi ya benki au vyama vya mikopo vinalazimisha kuacha angalau kiasi Fulani cha pesa kwenye akaunti. Ukiwa na pesa kidogo ya zile kwenye akaunti yako, wanakutoza ada. 26

27 o Fees/Ada: o Annual Fees/Ada za mwaka: Benki tofauti zinatoza viwango tofauti vya pesa kwa ajili ya kufungua akaunti. Baadhi ya zinatoa huduma hiyo bure wakati zingine zinatoza ada ya mwezi au ya mwaka. o ATM Fees/Ada ya mashine za ATM: Baadhi ya benki zinatoza ada kwa kutumia mashine zake za ATM. Kama utajaribu kutumia ATM ya benki nyingine, ada itakuwa kubwa. o Overdraft Fee/Ada ya ovadrafti (Sawa na deni katika akaunti): Kama utajaribu kuchukua pesa nyingi kwenye akaunti yako zaidi ya zile ulizonazo, benki itakutoza ada ya ovadrafti. Terms/Mihula: Zipo akaunti ambazo ukiweka hela kwenye akaunti unapaswa kuziacha zikae kwa muda Fulani. Wakati mwingine inaweza kuwa mwezi mmoja, wakati mwingine mwaka mmoja, wakati mwingine miaka mingi. Ukijaribu kuchukua pesa zako kabla ya muhula kuisha, wanakutoza ada kubwa sana. 27

28 KARATASI YA TAARIFA ZA AKAUNTI ZA BENKI Hapo chini ni orodha ya akaunti za akiba na matumizi ya kila siku katika benki muhimu San Diego. Kwa kuzingatia kwamba benki inalo tawi katika maeneo unayoishi, ada, viwango vya riba na baki ya chini unatakiwa uchague akaunti inayokufaa zaidi. Zipo aina nyingi za akaunti zinazopatika San Diego na The International Rescue Committee haiwezi kupendekeza akaunti fulani juu ya zingine, kwa hiyo unatakiwa kuangalia uwezekano mwingine. Checking Accounts/Akaunti ya matumizi ya kila siku Bank Benki Minimum Balance Baki ya chini Interest Rate Kiwango cha riba Free Checks per Month Cheki za bure kwa mwezi Annual Fee Ada ya mwaka ATM Fees Ada ya ATM Overdraft Fee Ada ya ovadrafti Number of Locations Idadi ya matawi 28

29 29

30 Savings Accounts/Akaunti ya Akiba Bank Benki Minimum Balance Baki ya chini Interest Rate Kiwango cha riba Annual Fee Ada ya mwaka ATM Fees Ada ya ATM Overdraft Fee Ada ya ovadrafti Number of Locations Idadi ya matawi 30

31 Mutual Funds/Hazina ya ubia Akaunti za akiba ndiyo njia rahisi ya kuweka akiba ya pesa na kuzifanya pesa zako ziongezeke kwa ajili ya mahitaji yako ya muda mrefu. Hata kama dini yako haitakuruhusu kukubari riba itokayo katika akaunti yako ya akiba, pesa zako zitaendelea kuongezeka katika hazina ya ubia. Kama unazo pesa nyingi katika akaunti yako akiba unaweza kuamua kuweka kiasi katika hazina ya ubia kwa kuwa zinaweza kuongezeka haraka kuliko katika akaunti ya akiba. Lakini hili halitokei kila wakati. Unapowekeza pesa zako katika hazina ya ubia unakuwa umenunua sehemu ndogo ya biashara kubwa sana. Biashara inavyokuwa ndivyo na pesa zako zinavyoongezeka. Zipo hazina nyingi za ubia unapoweza kuweka pesa zako.s the businesses grow, so does your money. Hazina za ubia zina utata kuliko akaunti za akiba kwa sababu biashara unayonunua ukifanya vibaya unaweza kupoteza pesa zako. Kwa sababu zina utata zaidi unatakiwa kupata taarifa zaidi kabla ya kuweka pesa zako katika hazina za ubia. Kama unahitaji taarifa zaidi uliza case manager wako IRC. 31

32 UJUZI WA KUTUMIA BENKI Opening an Account/Kufungua Akaunti Kabla ya kufungua aina yoyote ya akaunti katika benki au chama cha mkopo unatika kuhakikisha kwamba hiyo akaunti inakufaa. Unatakiwa kufahamu yafuatayo: The interest rate/kiwango cha riba: Kumbuka toka somo la 1, unapoweka pesa benki, benki inazitumia zile pesa kwa kipindi chote zitakuwa kwenye akaunti yako. Benki itakulipa kwa kuiruhusu kutumia pesa zako. Kiwango cha pesa wanazokulipa kinaitwa riba. Baadhi ya akaunti za akiba zinalipa riba zaidi ya zingine. Unatakiwa kuchagua akaunti inayotoa riba ya juu unayoweza kupata. Minimum balance/baki ya chini: Kumbuka, baki ya chini ni kiasi kidogo kabisa cha pesa unachoruhusiwa kuwa nacho benki. Ukienda chini ya kile kiasi, benki itakutoza ada. Kama baki ya chini ni zaidi ya pesa unazoweza kuacha benki, unatakiwa kutafuta benki au akaunti nyingine. Fees/Ada: Baadhi ya benki zinatoza ada kufungua akaunti. Zingine zinatoza ada kila mwezi. Kama benki ina ada ya juu unaweza kuacha kufungua akaunti nao. Number of Transactions/Idadi ya shughuli za biashara: Baadhi ya benki zinaruhusu kuandika idadi Fulani ya cheki au kuchukua pesa mara kadhaa kwa mwezi. Kufungua akaunti unatakiwa kwenda benki na kuzungumza na mfanya kazi wa benki. Ukienda unavyotakiwa kuwa navyo ni: Namba yako ya Social Security Vitambulisho vya aina mbili (Angalau kimoja chenye picha yako, baadhi ya benki zinaomba vitambulisho viwili vyenye picha) Kielelezo cha anwani yako (Hati ya madai ya karibu inatosha) 32

33 Kuandika cheki Unapomwandikia cheki mtu ni sawa na kumpa pesa taslimu. Wanapopeleka cheki yako kwenye benki zao pesa zitachukuliwa moja kwa moja kutoka kwenye akaunti yako. Benki itaweka jina na anwani yako hapa Unaandika jina la unayemlipa hapa Unaandika tarehe ya siku ya siku unapoandika cheki hapa Benki itaweka namba ya cheki hapa. Kila cheki ina namba tofauti inayoanza na 1. The IRC th Street #5 San Diego, CA Date: 101 PAY TO THE ORDER OF: $ Dollars San Diego National Bank 3526 University Ave, San Diego, CA Memo: [: ]: Unaweza kuandika maelezo madogo kuhusu sababu ya cheki. Kama unalipa bili andika namba ya akaunti ya hiyo bili. Andika kiasi cha cheki kwa maneno hapa. Unaweza kuandika senti kwa kifupi. Kwa mfano unaweza kuandika 40/100. Baada ya kuandika kiasi, chora msitari mwishoni ili mtu yeyote asibadilishe ulivyoandika. Unasai cheki hapa Andika kiasi cha cheki kwa tarakimu hapa 33

34 Activity/Zoezi: Writing a Check/Kuandika cheki Jaribu kujaza cheki ifuatayo hapo chini kama vile ungelikuwa unahemea katika duka la Ralph s na umenutumia $51.50 kwenye chakula. Your name th Street San Diego, CA Date: 101 PAY TO THE ORDER OF: $ Dollars San Diego National Bank 3526 University Ave, San Diego, CA Memo: [: ]:

35 Withdrawing Cash/Kuchukua pesa taslimu Unapoandika cheki, unachukua pesa kwenye akaunti yako kumlipa mtu mwingine. Zipo njia zingine mbili za kuchukua pesa kwenye akaunti yako.unaweza kwenda kwenye tawi la benki na kumuomba (teller) mfanyakazi wa benki kuchukua pesa toka kwenye akaunti yako. The teller ni mfanyakazi wa benki na yupo kujibu maswali yako uliyonayo. Kama hautaki kusubiri kwenye mustari au kama hauwezi kwenda benki unaweza kutumia (Automatic Teller Machine) mashine maalum ya benki. Zinaitwa pia ATMs. ATMs ni mashine zitakazochukua pesa kutoka kwenye akaunti yako kwa niaba yako. Zipo ATMs katika kila eneo la mji ili ziweze kufikiwa kiurahisi na haraka kuliko kwenda benki. Matatizo ya ATMs ni kama: Kuwa na urahisi wa kuzifikia pesa zako huweza kupelekea kununua vitu ambavyo kwa kweli hauhitaji. Kila ATM inamilikiwa na benki. Kama utatumia ATM ambayo haimilikiwi na benki yako, watakutoza dola $2 au $3 kutumia mashine. Kama utatumia hizi ATMs sana inaweza kukugharimu pesa nyingi. Unatakiwa kutafuta ATMs zenye maandishi ya jina la benki yako. 35

36 Depositing Money in Your Account/Kuweka pesa kwenye akaunti yako Deposit Slips/Stakabadhi za amana Kuweka pesa kwenye akaunti yako unatakiwa kujaza stakabadhi ya amana. Unakabidhi stakabadhi ya amana kwa mfanyakazi wa benki au ATM pamoja na pesa taslimu au cheki unazoweka. Utakuta stakabadhi nyuma ya kitabu chako cha cheki pamoja na taarifa zako zikiwa Kumbuka, kama hauna uhakika jinsi ya kujaza fomu, mfanyakazi wa benki (teller) yupo kujibu maswali yako. zimechapwa hapo. Kama hauna zenye taarifa zako, benki itakuwa nazo stakabadhi ambazo hazijajazwa. Kama unatumia stakabadhi ya amana ambayo haijajazwa, hakikisha unaweka taarifa zako zote ili benki ielewe kamba ni pesa zako! Andaka namba ya akaunti yako hapa. Kama haujui namba yako, muulize mfanyakazi wa benki Unaweka alama pembeni ya aina ya akaunti unapotaka kuweka pesa Unaweka tarehe ya siku unayoweka pesa Andika kiasi cha kila cheki unayoweka katika kila moja ya hizi boxi Weka senti hapa. Deposit (check one): Checking Saving Date Checks Checking or Savings Account Number Name: Address: Signature: X Cash Subtotal Less Cash Back Total $ Andika kiasi cha pesa taslimu unazoweka Jumlisha pesa zote ulizoweka Andika jina lako, anwani na usaini hapa. Kama unataka mfanyakzi wa benki akurudishie pesa, andika ni kiasi gani unataka hapa. 36 Weka jumla ya cheki zote na pesa taslimu unazoweka hapa.

37 Activity/Zoezi: Depositing Money/Kuweka pesa Jaribu kujaza stakabadhi ya amana hapo chini kama vile ungelikuwa unaweka cheki mbili, moja ya dola $ na nyingine ya $40.00 katika akaunti yako ya matumizi ya kila siku. Unataka pia mfanyakazi wa benki akurudishie dola $40 taslimu. Namba yako ya akaunti ni Deposit (check one): Checking Saving Checking or Savings Account Number Date Checks Name: Address: Signature: X Cash Subtotal Less Cash Back Total $ 37

38 Endorsing Checks/Wekea mkono au sahihi cheki Unapoweka cheki uliyoandikiwa benki, unapaswa kusaini nyuma ili itambue kwamba ilikuwa ni wewe. Hii inaitwa kuwekea kuwekea mkono au sahihi cheki. KUWA MAKINI! Cheki ikiisha wekewa sahihi mtu yeyote anaweza kuibadilisha na pesa taslimu. Kwa hiyo, subiri hadi utakapo kuwa benki ili uweke sahihi yako! Tumia kila wakati karamu yenye rangi nyeusi au blu. Weka sahihi yako pale palipo andikwa Endorse here tu. Weka jina lako vile vile linavyoonekana kwenye ule mustari usemao Pay to the Order Of upande wa mbele wa cheki. Andika namba ya akaunti chini ya sahihi yako. Kama unataka kuweka cheki, andika For Deposit Only juu ya sahihi yako na uweke namba ya akaunti yako chini ya sahihi yako. Kama unataka kuweka sahihi lakini cheki iende kwa mtu mwingine, andika Pay to the Order Of ufuatishe jina la mtu unayetaka ile cheki iende kwake. Halafu weka jina lako chini yake. ENDORSE HERE WEKA SAHIHI YAKO HAPA Do not write, stamp, or sign below this line. Reserved for Financial Institution Use. 38

39 Balancing Your Checkbook/Kusawazisha kitabu chako cha hundi Kama unayo akaunti ya matumizi ya kila siku, kiasi cha pesa katika hiyo akaunti yako kitabadilika sana kwa kipindi cha mwezi. Unapaswa kufahamu vizuri ni kiasi gani cha pesa ulichonacho kwenye akaunti yako ili uhakikishe haundiki cheki inayozidi pesa ulizonazo. Kufanya hivyo, unapaswa kufuatilia kwa makini kila unapochukua pesa kwenye akaunti yako, unapoandika cheki au kuongeza pesa kwenye akaunti yako. Kufuatilia kiasi cha pesa ulichonacho kwenye akaunti yako inaitwa kusawazisha kitabu chako cha hundi/cheki. Kama kuna tatizo unaposawazisha kitabu chako cha hundi unaweza kupiga simu benki. Namba ya simu itakuwa kwenye kadi yako ya ATM au taarifa yako ya benki. Kama utaandika cheki/hundi yenye thamani ya pesa zaidi ya ulizonazo benki, inaitwa kurudishiwa cheki. Ukirudishiwa cheki, benki inakutoza ada ya ziada, inaweza kufunga akaunti yako na kukuweka kwenye orodha ya ChexSystems. Hii itaathiri kiwango cha kuaminiwa kwenye mikopo na inaweza kusababisha kuwa vigumu kwako kufungua akaunti na benki nyingine kwa kipindi cha miaka mitano. 39

40 How To Balance Your Check Book/Jinsi unavyosawazisha kitabu chako cha hundi Kufuatilia cheki zako, pesa unazoweka na kutoa benki, tumia rejesta ya cheki inayokuja na cheki zako. Kutumia rejesta ya cheki, fuata hatua zifuatazo: 1) Kama unaandika cheki andika namba za cheki kwanza. 2) Andika tarehe 3) Andika maelezo kwa kifupi ya kile unachokifanyar. Kama ni pesa unachukua kwenye akaunti yako andika uliyemlipa au ulichozichukulia (kodi, mavazi, chakula). Kama unaongeza pesa kwenye akaunti yako andika pesa zimetoka wapi (malipo ya kazini, zawadi). 4) Kama umetoa pesa kwenye akaunti yako au kuandika cheki weak kiasi katika mnara wa malipo/mtoe ( Payment/Debit ). 5) Kama unaongeza pesa kwenye akaunti yako weka kiasi katika mnara wa Kuweka/Mkopo (Deposit/Credit). 6) Andika kiasi cha nyongeza au pungufu katika mnara wa wa mwisho. Toa au ongeza kiasi kwenye baki halafu weka baki mpya kwenye mustari unaofuata. Kama unarekodi cheki weka namba hapa. Andika neno moja au mawili ya maelezo ya nani uliyemwandikia cheki, kwa nini umechukua au kuweka pesa kwenye akaunti yako. Andika kiasi cha pesa zozote unazoweka kwenye akaunti yako hapa. Pesa zinazoingia tu ndizo zinazowekwa katika huu mnara. Number Date Transaction Description Payment/Debit Deposit/Credit Balance Andika tarehe hapa Andika kiasi cha pesa unachotoa kwenye akaunti yako hapa. Kumbuka kuweka cheki na pesa taslimu ulizochukua kwenye ATM au kupewa na mfanyakazi wa benki. Pesa zinazotoka tu ndizo 40 zinazowekwa katika huu mnara Andika kiasi cha pesa ulizonazo kwa sasa kwenye akaunti yako katika mnara huu wa rangi ya kijivu. Halafu andika kiasi cha pesa unazoongeza au kutoa kwenye eneo la rangi nyeupe. Ongeza au toa hicho kiasi kujua baki yako.

41 Activity/Zoezi: Balancing Your Checkbook/Kusawazisha kitabu cha hundi Jaribu kurekodi shughuli za pesa zifuatazo na usawazishe kitabu cha hundi kifuatacho hapo chini. Tutafanya huu mfano kwa pamoja kama darasa. Chukulia kwamba unaanza na baki ya dola $700. Novemba 3 uliandika cheki ya mwenye nyumba ya dola $ Novemba 7 ulilipwa cheki ya $ Novemba 10 uliandika cheki (namba 125) ya $48.87 ya Ralph s. Number Date Transaction Description Payment/Debit Deposit/Credit Balance $ Sasa jaribu kufanya mfano huu pekee yako. Unaanza na baki ya $ Desemba 1 ulilipwa $ Desemba 4 unachukua $75 taslimu kutoka benki Desemba 6 unaandika cheki namba 126 kulipa deni la kadi yako ya mkopo ya dola $ Number Date Transaction Description Payment/Debit Deposit/Credit Balance 41

42 Upande 4.0 Credit/Mkopo Katika upande huu tutazungumzia mkopo ni nini, umuhimu wake, kwa nini unauhitaji na jinsi unavyoweza kutumiwa. BASIC DEFINITION/UFAFANUZI WA MSINGI Mkopo ni mapatano juu ya malipo ya taratibu ambayo kawaida hufanyika kati ya taasisi za fedha kama benki au kampuni za kadi za mikopo. Hizi kampuni mara nyingi huitwa wakopeshaji kwa sababu zinakopesha pesa. Kwa kifupi, ni sehemu ambayo mkopeshaji anakupa pesa kwa sasa na kubadilishana pesa kwa baadae. Benki zinafanya hivyo kwa masharti mawili: 1. Wakopeshaji wanaamini kwamba wewe ni mwaminifu na kwamba utazirudisha pesa; 2. Wakopeshaji watatoza ada kwa kufanya hivi. Credit/Mkopo ni wakati benki au kampuni nyingine inakukopesha pesa na kukuamini kwamba utazirudisha. Ili uwe mwaminifu kwa mtazamo wa wakopeshaji unapaswa au kuendeleza historia ya kukopesha pesa na kuzirudisha baada ya muda. Kadiri unavyozidi kufanya hivi, ndivyo mkopeshaji atakuamini. Wakopeshaji hupanga ada kwa misingi ya jinsi wanavyoamini wewe ni mwaminifu. Kawaida, wakikuamini zaidi ada inakuwa ndogo. CREDIT BASICS/MISINGI YA MIKOPO Marekani, mkopo ni muhimu sana. Unatumika kama msingi wa kununua bidhaa zilizo nyingi na huduma. Mara nyingi watu wanakuwa hawana pesa za kutosha kununua bidhaa Fulani na huduma, kama meza, mashine za kufulia na kukaushia nguo, magari, nyumba, simu, au matengenezo. Mtu anapaswa kutumia mkopo kununua hizi bidhaa na huduma, ambavyo ni sawa na kukopesha pesa za kununua bidhaa au huduma kwa wakati huu na kulipa zile pesa kwa baadae. Kwa mfano, kujenga mkopo ni sawa na kujenga nyumba inachukua muda, vinapaswa kufanyika kwa uangalifu, na vinapaswa kuwa na msingi imara. Unapojengwa vizuri unakuwa imara Sana. 42

43 HOW IS CREDIT USED/MKOPO UNAVYOTUMIWA Tutazame mfano kama wakunua gari. Mohamed anaamua ni gari gain anayotaka kununua moja kwa moja kutoka kwa mtu mwingine au kutoka kwa mfanyabiashara. Anafahamu kuwa inauzwa $15,000, lakini hana kiasi hicho cha pesa. Ili ainunue, Mohamed anapaswa kuzungumza na mkopeshaji ambaye atapaswa kutoa kulipia gari. Hizi pesa anapewa mmiliki wa gari au muuza magari. Lazima sasa Mohamed arudishe zile pesa kwa mkopeshaji. Swali ni kama mkopeshaji atazimpa pesa Mohamed? Mkopeshaji ataweza kuamini kwamba Mohamed atarudisha pesa? Swali la kwanza atakalouliza mkopeshaji ni kama Mohamed aliwahi kuazima pesa kabla. Kama ndiyo, sasa watauliza ni wapi ili wachunguze. Watabaini kama Mohamed alizingatia muda katika malipo yake au hapana. Kama Mohamed aliazima pesa mara nyingi na kuzilipa kwa muda sasa atakuwa ana kitu kinachoitwa historia nzuri ya mkopo. Kama hakufanya hivyo, basi atakuwa ana historia mbaya ya mkopo. Inaweza kuwa kwamba Mohamed hajawahi kuazima pesa na hana historia ya mkopo. Tutazame yote matatu: 1. Historia nzuri ya mkopo Katika hali kama hii, mkopeshaji ataelekea kumpa pesa Mohamed. 2. Historia mbaya ya mkopo Katika hali kama hii, mkopesahji hatampa pesa Mohamed. 3. Hakuna historia ya mkopo Katika hali kama hii, mkopeshaji anaweza kumpa pesa kidogo tu Mohamed ili aweze kujenga historia ya mkopo. Mohamed anaweza kuhitaji kununua gari ndogo. Hii ndiyo maana mkopo ni muhimu sana. Unaonyesha historia ya kulipa mikopo. Inaweza kuwa nzuri au mbaya. Kama wewe ni mzuri wa kulipa mikopo yako, mkopo unaweza kuwa mzuri kwa sababu unakuwezesha kuazima pesa. Kama una mkopo mbaya, inaweza kusababisha kuwa ngumu au kushindikana kuazima pesa. Different uses of the word Credit Matumizi mbali mbali ya neo mkopo Credit Card/Kadi ya mkopo: Kadi ndogo ya plastiki yenye namba maalum inayotolewa na mkopeshaji ambayo inakuwezesha kuazima pesa. Zilizozoeleka ni kutoka VISA, Mastercard or Discover. 43

44 Credit Agency/Wakala wa mkopo: ni kampuni inayofuatilia historia ya mkopo. Zinatoa pointi kwa wakopeshaji kuonyesha kwamba una historia nzuri, mbaya au hauna kabisa historia ya mkopo. Credit Score/Pointi za mkopo: nambari zinazoonyesha jinsi mkopo ulivyo mzuri au mbaya Credit Report/Ripoti ya mkopo: Wakala wa mikopo anatoa ripoti na pointi za mkopo kwa wakopeshaji, ambayo inaunganisha historia ya mkopo. Kadi za mkopo Ripoti/pointi za mkopo Wakala mikopo CREDIT SCORE/POINTI ZA MKOPO Sehemu muhimu ya ripoti ya mkopo itakuwa pointi za mkopo. Pointi zako za mkopo ni namba inayoonyesha jinsi ulivyo katika kulipa pesa ulizoazima kwa mkopeshaji. Kampuni za kadi za mikopo, benki au vyama vya mikopo vvote vitatumia namba hii kuamua kama vinaweza kukukopesha pesa. Inakuwa mahali Fulani kati ya 100 na 900. Pointi zikiwa nyingi, mkopo unakuwa mzuri. Hii hapa ni maana ya pointi za mkopo: 700 to 800: Mkopo ulio bora sana 600 to 700: Mkopo mzuri 550 to 599: Mkopo mbaya 100 to 549: Mkopo mbaya sana 44

45 Ukiwa na pointi nzuri za mkopo, benki na biashara zingine zitakukopesha pesa na kukutoza riba na ada ndogo. Kupata mkopo itakuwa rahisi na bei nafuu. Kwa hiyo ni vipi wakala wa mikopo anatoa pointi zako za mkopo? 45

46 Credit Diagram Mchoro wa mkopo Collection Agencies/ Wakala wa ukusanyaji Credit Agencies/Wakala wa mikopo: TransUnion Experian Equifax Utilities/Hudum a za umma Gas Electric Phone Landlord/Rent Mwenyenyumba /Kodi Loans/Miko po IOM Loan Car Loan School Loan Home Loan Bank Loan Credit Cards Kdai za mikopo VISA* Mastercard Discover Store Cards (gas, department store, etc.) Bank Cards Other Mengineyo Medical Bills Parking Tickets Subscriptions Checks credit Reports only negative credit Checks credit Reports positive and negative Checks credit Reports positive and negative credit Sometimes checks credit Reports only negative credit Kama mchoro unavyoonyasha, mikopo na kadi za mikopo ripoti mikopo mizuri. Kwa mara nyingine, njia pekee ya kujenga mkopo wako ni kuazima pesa na kuzilipa! *Note: Benki yako inaweza kukupa Kadi yenye nembo ya Visa. Kutumia hii kadi ni sawa na kuandika cheki, na pesa inatoka kwenye akaunti yako ya benki. Hii siyo kadi ya mkopo, huwezi kuazima pesa, na haikusaidii kujenga mkopo. What Are the Different Kinds of Credit? Ni zipi aina tofauti za mkopo? Unaweza kupata mkopo katika njia tofauti. Aina zilizozoeleka ni: Credit Cards/Kadi za mikopo Buying a home/kununua nyumba: Wakopeshaji watakupa rehani ili uweze kununua nyumba. Kawaida unailipa benki kwa muda wa miaka

47 Buying a car/kununua gari: Wakopeshaji watakupa mikopo ya kununua gari. Buying major appliances/kununua vifaa muhimu vya ndani: Wakopeshaji watakupa mikopo ya kununua mashine za kufulia na kukaushia nguo, kipozeo, mashine ya kuosha vyombo na jiko. College/Shule: Serikali na wakopeshaji watakupa mikopo ya kwenda shule. 47

48 THE IMPORTANCE OF CREDIT UMUHIMU WA MKOPO Kuwa na mkopo na kujua kuusimamia ni moja ya ujuzi wa kifedha muhimu zaidi unaoweza kuwa nao. Kama unatumia mkopo kwa hekima inaweza kukusaidia kuyafikia malengo yako kifedha. Kama utatumia mkopo visivyo unaweza kukuathiri vibaya wewe na familia yako. Hizi hapa takwimu mbili kukuonyesha jinsi mkopo unavyoweza kuwa mzuri au mbaya: 68% ya Marekani wanamiliki nyumba zao (US Census Bureau). Walio wengi kati yao walikopesha pesa kununua nyumba zao. Miaka 30 ijayo, 38% ya familia za kimarekani watatangaza kufirisika (zaidi ya mmoja kwa kila watu watatu). The Benefits of Credit/Faida za mkopo Bankruptcy/Taflisi ina maana kwamba huwezi kulipa deni lako. Kutangaza kufilisika yamaanisha kwamba hulazimiki kulipa hili deni. Pamoja na hayo, kutangaza kufilisika vitaathiri viwango vyako vya mkopo kwa muda wa miaka saba. Itakuwa vigumu sana kuazima pesa yoyote kwa wakati huu. Pili, maamuzi yote kuhusu hali ya kifedha yatatoka mikononi mwako na kuwekwa katika mikono ya hakimu. Tatu, hakimu atatoa amri ya kutokuruhusu kusimamia nyingi kati ya mali zako. Tayari tumezungumzia faida muhimu za mkopo: Nyumba, gari, elimu: mkopo unakusaidia kununua vitu kama nyumba, gari ambavyo usingeweza kuvilipia kama ungelitakiwa kulipia vyote kwa pamoja. Kufaa kwake: Badala ya kutembea na pesa taslimu unaweza kununua vitu kwa kutumia kadi yako. Dharura: Kuwa na mkopo inakupa uwezekano wa kutumia zaidi kwa wiki au mwezi kuliko uwezo wako wa kawaida. Kama una dharura ya muda mfupi, mkopo unaweza kukusaidia kununua unachokihitaji, hata kama ulikuwa hauna uwezo wa kukinunua kwa wakati huu. Kwa mfano, kama kipozeo chako kikiharibika au mtu mmoja katika familia yako akaumwa na akatikiwa kwenda hospitali. 48

49 The Dangers of Credit/Hatari za mkopo Tayari tumezungumzia pia hatari kubwa za kutumia mkopo. Moja kati ya wa Marekani watatu watafilisika katika miaka 30 ijayo. Matumizi mabaya ya mkopo ndiyo chanzo kikubwa cha kufilisika. Hii ni kwa sababu: Watu wengi hawatumii kwa hekima kwa sababu hawatakiwi kulipia wanavyovitaka papo hapo. Ukiwa na kadi ya mkopo ni rahisi kutumia zaidi ya ulivyotakiwa. Kununua vitu kwa mkopo leo yamaanisha kwa utatakiwa kulipia hivyo vitu na kipato chako cha siku zijazo. Kama unanua chakula cha usiku kwa kutumia kadi yako ya mkopo leo unaweza kukilipia kesho, wiki ijayo, mwezi ujao, hata mwaka kesho. kama unalipa ada na riba inaweza kuwa gharama kubwa. Kama unanua kitu kwa dola $100 kutumia mkopo na kurudisha pesa kwa muda mrefu unaweza kuishia kulipa dola $150, $200 au zaidi kwa kitu ambacho kingekugharimu dolar $100 tu. How Much Can Buying on Credit Cost? Ni kiasi gani unaweza kununua kwa gharama ya mkopo? Kama unazo dola $500 kwenye kadi yako ya mkopo na malipo ya chini ya dola $10 kwa mwezi na riba ya asilimia 18% kwenye kadi yako ya mkopo itakuchukua miaka 8 kumaliza kulipa unavyoidaiwa. Kwa muda huo utakuwa umelipa dola $440 za riba. Kwa hiyo ulichokinunua kwa dola $500 kilikugharimu $940! Familia nyingi za kimarekani zinatumia mkopo kununua wanavyovitaka lakini hawana uwezo navyo. Ni rahisi kuendelea kununua vitu ambavyo hauna uwezo navyo kwa mkopo hadi utakaposhindwa kulipa mikopo yako. Hapa ndipo mkopo unapoweza kugeuka jinamizi. Utaratibu mzuri ni kutonunua kamwe kitu ambacho haukihitaji kweli kwa mkopo labda kama ungekilipia mwezi huo. CREDIT REPORTS/RIPOTI ZA MIKOPO Benki na kampuni zingine hazitakuacha uazime moja kwa moja pesa kwao. Watawapa mkopo watu wanaofikiria 49 Ripoti ya mkopo inaonyesha ulivyolipia deni la kadi yako ya mkopo na mikopo mingine.

50 watarudisha pesa zao tu. Kuamua kama utawalipa hizi kampuni zinaangalia ulivyoshughulikia mikopo ipindi kilichopita. Hapa ndipo inapotumiwa ripoti yako ya mkopo. Kama unataka kununua nyumba, kununua gari, kukodi nyumba, kununua mpango wa simu ya mkononi kwanza muuzaji atapiga simu kuulizia ripoti yako ya mkopo kutoka kwa wakala wa mikopo. Ripoti ya mkopo ni muhtasari wa nyakati zote ulizojikopesha pesa katika maisha yako (ukiwa Marekani). Itaorodhesha kiasi ulichojikopesha, kama ulilipa kwa muda na kiasi unachodaiwa kwa muda huu. Itaonyesha ni mara ngapi ulichelewesha malipo na kama ulichelewa siku 30, 60, 90 au zaidi. Ripoti ya mkopo haitoi rekodi ya taarifa kuhusu rangi yako, dini yako, historia ya afya yako, utaratibu wa maisha yako, rekodi ya makosa ya jinai, au siasa. Ripoti za mikopo zinaandaliwa na kampuni tatu za mikopo: Equifax, Experian, and TransUnion. Kampuni zilizokukopesha pesa zinawapa taarifa hizi. Taarifa ya mkopo inaorodhesha taarifa zitakazomsaidia mtu kuamua kama atakupa mkopo au la. Taarifa zinazoorodheshwa zinaunganisha: Identifying information/taarifa za utambulisho: jina lako, anwani ya sasa na ya zamani, namba ya simu, namba ya Social Security, tarehe ya kuzaliwa, mwajili wako wa sasa na wa zamani. Credit information/taarifa za mkopo: Taarifa kuhusu kadi za mkopo, mikopo ya shule, na mikopo mingine. Kwa mfano, mkopo wa IOM utaorodheshwa kwenye ripoti yako ya mikopo. Taarifa maalum zinahusu: Malipo yanafanyika kwa muda unaotakiwa? Kama hapana, yanacheleweshwa siku 30, 60, 90+ au zaidi? Ukikamilisha malipo ya mkopo wa IOM, hili litaonekana katika ripoti yako mikopo pia. Tarehe uliofunguliwa Tarehe ulipofungwa Kiasi unachodaiwa Baki Malipo kwa mwezi Ukusanyaji (wakati kampuni inayokudai inapoita mawakala wa ukusanyaji kwa sababu haulipi) Kunyanganywa (kampuni inapokunyanganya kitu ilichokuuzia kwa sababu umeshindwa kulipa) Ukusanyaji, kunyanganywa na ucheleweshwaji wa malipo unaojirudia ni vitu vibaya sana katika ripoti yako ya mkopo. Vikiwa vingi vitakusababishia ugumu wa kupata mkopo. Public record information/rekodi ya taarifa za serikali: rekodi za kufilisika, nyumba kufungwa, ushuru unaodaiwa au ambao haukulipiwa, uamuzi wakifedha wa mahakama, na pesa za malezi ya watoto ambazo baado zinadaiwa. 50

51 Inquiries/Maulizo: majina ya wale walioomba nakala ya ripoti yako ya mikopo na tarehe walipoyiomba. Kampuni haiwezi kuomba ripoti yako ya mikopo bila ridhaa yako (kwa maandishi au kwa mdomo). Kwa mfano, kama unafanya maombi ya ripoti yako ya mikopo au ripoti yako ya mikopo inapovutwa ili upate taarifa kuhusu kununua gari. Maulizo mengi yanweza kuathiri mkopo wako kwa sababu inaonekana unahangaika kupata mkopo. Credit score/pointi za mkopo: namba inayotumiwa kutabiri jinsi mtu anavyoelekea katika kulipa kwake mkopo mpya. Pointi za mkopo zitazungumziwa kwa upana wakati ujao. How to order your credit report/namna ya kuomba ripoti ya mkopo: Getting Your Report/Kupata ripoti yako Kwa mjibu wa sheria, wanunuzi wote Marekani wanahaki yakupewa ripoti ya mkopo (1) bure kwa mwaka kutoka kila moja ya ofisi kubwa za mikopo: Trans Union, Equifax and Experian. Ni rahisi sana kuziomba: Phone: 1(877) Address: P.O. Box , Atlanta, GA Web Site: Au omba ripoti yako ya mkopo kutoka kwa mmoja kati ya mawakala watatu wa mikopo: Experian EXPERIAN ( ) Equifax Trans Union Corporation Utahitaji kutoa jina lako, namba yako ya social security, tarehe ya kuzaliwa, na anwani. Unaweza kuomba ripoti zote tatu kwa wakati mmoja, au moja kila miezi nne. Checking for mistakes/kuchunguza makosa: Chunguza kwa makini makosa katika ripoti yako ya mkopo na uhakikishe yanasahihishwa. Kwaida ripoti ya mkopo inaunganishwa na taarifa juu ya namna ya kusahihisha makosa. Anzia kupiga simu kwa wakala wa mikopo (namba zimeorodheshwa hapo juu). Kwaida inafuata barua inayoelezea/fafanua kosa. Unaweza kuhitaji kuambatanisha cheki zilizobatilishwa au vielelezo vingine vya malipo. Mfano 51

52 wa barua ya kuwatumia wakala wa mikopo kwa ajili ya kusahihisha makosa inapatikana katika kiambatanisho. Kama wakala wa mikopo hatasahihisha kosa na baado wewe unaamini lipo kosa, wapigie simu wakopeshaji moja kwa moja na uwaombe wawatumie mawakala wakuripoti mikopo taarifa sahihi. Tuangalie mfano wa ripoti ya mikopo katika kiambatanisho tuone inavyofanana. The Cost of Buying a Home/Gharama ya kununua nyumba: MALIPO KWA MWEZI KWA REHANI YA MIAKA 30 ISIYOBADILIKA Mortgage/ Rehani ni mkopo mkubwa unaotumika kununua nyumba. Unatunza pesa kwa ajili ya malipo ya kwanza, benki inakununulia nyumba, halafu unailipa benki taratibu, kawaida kwa miaka 30. Tutazame jinsi viwango vya riba ulivyonavyo kwenye rehani yako vinavyoweza kuathiri malipo yako kwa mwezi Kumbuka: Hii chati haiunganishi ada ya umiliki wa nyumba inayoweza kuombwa kwenye nyumba za condos Loan Amounts Kiasi cha mkopo Interest Rates/Viwango vya riba 5.5% 6% 6.5% 7% 7.5% 8% 8.5% 9% 9.5% $20,000 $114 $120 $126 $133 $140 $147 $154 $161 $168 $40,000 $227 $240 $253 $266 $280 $294 $308 $322 $336 $60,000 $341 $360 $380 $399 $420 $440 $461 $483 $505 $80,000 $454 $480 $506 $532 $559 $587 $615 $644 $673 $100,000 $568 $600 $632 $665 $699 $734 $769 $805 $841 $150,000 $852 $1049 $1261 $200,000 $1136 $1398 $1682 $250,000 $1419 $1748 $2102 $300,000 $1703 $2098 $2523 $350,000 $1987 $2447 $2943 $400,000 $2271 $2797 $3363 $450,000 $2555 $3147 $3784 $500,000 $2839 $3496 $4204 $800,000 $4542 $5594 $6727 $2,000,000 (2 MILLION!) $11,356 $13,984 $

53 Kama unavyoona, kiwango cha riba kinavyokuwa kidogo, malipo kwa mwezi kwa ajili ya rehani yako ndivyo yanavyokuwa madogo. Pointi za mkopo wako zikiwa nzuri, kiwango chako cha riba kitakuwa kidogo! 53

54 Tutazame mfano wa tofauti katika kupata mkopo wa nyumba kwa watu watatu. Azra anakwenda benki. Anataka kununua nyumba. Mfanyakazi wa benki anavuta ripoti yake ya mkopo kutoka kwa wakala wa mkopo na anakuta kwamba pointi zake zinakaribia 800. Pointi zake za mkopo zinaonyesha kwamba anaweza kuwa kivutio kwa mkopeshaji na anaweza kupata mkopo kwa riba ndogo ya asilimia (5.5%). Kwa sababu anazo pointi nyingi za mkopo, itakuwa rahisi sana kuweka pamoja fomu za mkopo na dalali hatozi ada kubwa. Bila kuchukua muda mrefu, Azra anaweza kuhamia nyumba yake mpya! Pili Kalel anakwenda benki ile. Anataka kununua nyumba. Pointi zake za mkopo siyo nzuri kama za Azra lakini siyo mbaya sana. Ziko kati ya Anaweza kupata mkopo lakini riba itakuwa kubwa na mkopo hautakuwa rahisi. Labda atalazimika kutoa nakala za karatasi anazopokelea mshahara na taarifa za benki. Labda wadhamini watahitaji kuitwa. Inaomba mambo ya ziada kuhakikisha kwamba ataulipa mkopo. Kwa sababu ni kazi nyingi, pamoja na riba ya juu sana, benki itatoza ada kubwa na itachukua muda mrefu kabla hajahamia kwenye nyumba yake mpya. Zaidi ya kuangalia pointi zako za mkopo, uanpokwenda kununua nyumba, mkopeshaji/dalali atakuuliza maswali ili atambue kama unakubalika kupewa mkopo: Kipato chako ni kiasi gani? Historia yako ya kazi iko je? Una historia ya mkopo? Unalipa madeni yako kwa muda? Una akiba ya pesa kwenye akaunti yako ya benki kwa ajili ya malipo ya kwanza na gharama za kufunga? (kawaida malipo ya kwanza ni kati ya asilimia 5-20% ya bei ya kununua) Una madeni gani kwa wakati huu? Utayaweza malipo ya mwezi? Malipo yanategemeana na kiasi cha mkopo, riba, na muda wa malipo (kawaida miaka 30). Wanaweza pia kuongeza ada ya umiliki wa nyumba. Tatu, Ibrahim anakwenda benki ile ile. Anataka kununua nyumba. Mfanyakazi wa benki anavuta ripoti yake ya mkopo na anagundua kwamba pointi zake ni 300 na ana taarifa ya kulisika kwenye ripoti yake. Ni mara chache amefanya malipo yake kwa muda, na malipo mengi yalicheleweshwa kwa zaidi ya siku 90. Mfanyakazi wa benki hawezi kumpa mkopo kwa sababu mkopo wake ni mbaya sana! Atatakiwa kumaliza miaka mingi akiboresha mkopo wake kabla ya kununua nyumba. Tutazama njia za kujenga na kuboresha mkopo. 54

55 HOW TO GET A GOOD (OR BETTER) CREDIT SCORE NAMNA YA KUPATA POINTI NZURI ZA MKOPO Kama unavyoweza kuelezea, kuwa na ripoti nzuri ya mkopo yaweza kuwa muhimu sana kwa ajili ya malengo yako ya muda mrefu. Utatakiwa kujifunza namna ya kusimamia mkopo wako ili, wakati ukiwa mwafaka, unaweza kuazima pesa za shule, gari au hata nyumba. Hizi hapa hatua muhimu zaidi unazoweza kuchukua kujenga au kuimarisha pointi zako za mkopo. Kumbuka, pointi za mkopo zinavyokuwa nyingi, ndivyo inavyokuwa rahisi kupata mkopo mbeleni. Unapokopesha pesa utalipa riba ndogo. Lipa madeni yako kwa wakati kila mara. Hata kama unalipa kiwango cha chini ni muhimu sana ulipe angalau hicho kiasi kwa wakati. Hii ni pamoja na deni la kadi yako ya mkopo, malipo ya mkopo, malipo kwa ajili ya huduma za umma, na kodi ya nyumba. Deni la International Organization of Migration (IOM) mkopo wa nauli ya ndege iliyokuleta Amerika. Ideas for paying your bills on time/mawazo ya kulipa deni kwa wakati : Weka alama kwenye kalenda ni lini unapaswa kulipa deni kila mwezi Lipa madeni moja kwa moja kutoka kwenye akaunti yako ya matumizi ya kila siku kila mwezi (lakini kumbuka kuhakikisha kuna pesa za kutosha kulipa deni kwenye akaunti yako). Mafuta ya gari, umeme, simu, bima na makampuni mengine mara nyingi yanaruhusu wateja wake kulipa kwa njia hii. Ukienda nje ya mji, fanya mpango wa kulipa madeni kwa wakati (lipa kabla ya muda, nk.) Ukipata taarifa juu ya malipo yaliyochelewa, ni muhimu sana kulipa deni papo! Make More Than Your Minimum Payments/Lipa zaidi ya kima cha chini cha malipo. Ukilipa kima cha chini tu itakuchukuwa miaka mingi kulipia ulivyonunua. Spend wisely/tumia kwa makini. Nunua ulivyo na uwezo navyo tu. Ni rahisi sana kuweka kitu kwenye mkopo kama hauna uwezo nacho kwa sasa. Lakini kumbuka, kadiri vitu vinavyokaa muda mrefu kwenye kadi yako ya mkopo ndivyo unavyolipa riba kubwa na ndivyo vitu ulivyonunua vinavyopanda bei. Kama leo hauna 55

56 uwezo wa dola $50 kwa ajili ya kitu, huenda kesho usipate dola $75 kwa ajili ya kitu kile kile! Use Credit/Tumia mkopo. Kutokopesha pesa haikusaidii kupata pointi nzuri za mkopo kwa sababu makampuni hayatajua cha kutegemea. Hii haina maana kwamba utatakiwa kutumia pesa usizokuwa nazo. Increasing Your Credit Score Kuongeza pointi zako za mkopo Kulipa madeni kwa muda kila mwezi Kutumia pesa kwenye mahitaji na mikopo kabla ya kutumia kwenye matakwa. Kutumia mkopo kwa uangalifu Kulipa baki yote kwenye kadi za mkopo kila mwezi Kutumia kadi za mkopo kwenye mahemezi pale unapokuwa na pesa taslimu zinazotosha mahemezi hayo Kupunguza deni Decreasing Your Credit Score Kupunguza pointi zako za mkopo Kudai kiasi kikubwa kinachowezekana Kutokulipa madeni Kuchelewa kulipa madeni Kutangaza kufilisika Caution/Tahadhari: Kaa mbali na makampuni yanayorekebisha mokpo Credit Repair! 56

57 CREDIT CARDS/KADI ZA MKOPO Kuwa na kadi ya mkopo ndiyo aina ya mkopo ya kawaida watu wanayotumia. Zipo taarifa za msingi kuhusu kadi za mkopo unazohitaji kujua kabla ya kufikiria kujisajiri kupata moja. CHOOSING A CREDIT CARD KUCHAGUA KADI YA MKOPO Islam and Credit Cards/Uislamu na kadi za mkopo Kwa waislamu, inawezekana kuwa na kadi ya mkopo, lakini hatua kali zinapaswa kuchukuliwa kuepuka kuchelewa kulipa baki yote kwa ujumla, ili kutokusababisha riba. (Kutoka Muslim-investor.com) Unapofikiria kuhusu kujisajiri kupata kadi ya mkopo unatakiwa kuhakikisha unajua unachokubali. Baadhi ya kadi za mkopo zinatoza ada na riba za juu zaidi ya zingine. Kwa hiyo unatakiwa kulinganisha angalau mbili kabla ya kuweka sahihi. Nyumba ya kila kadi ya mkopo inayouzwa ipo boxi yenye taarifa muhimu kuhusu kadi ya mkopo. Unatakiwa kuzisoma hizi taarifa kwa makini ili upate moja yenye riba ndogo, isiyolipisha ada na inayotoa kipindi kirefu cha uvumilivu. Ukielewa sheria na taratibu za kadi ya mkopo unaweza kuepuka kulipa ada na gharama zingine. Credit Limit/Mpaka wa mkopo Kuwa na kadi ya mkopo yamaanisha kukubaliwa kuazima kiasi Fulani cha pesa wakati wowote. Hii inaitwa mpaka wa mkopo wako. Wakati wowote unapolipa unachodaiwa unaruhusiwa kukopesha kadi ule mpaka wa mkopo Remember/Kumbuka: Jaribu kulipa baki yako kwa ujumla kila mwezi. Lakini, bila kujali lolote, lipia kadi yako ya mkopo kima chako cha chini. Ukisahau kulipa kima chako cha chini, kampuni ya kadi za mikopo itakutoza ada ya kuchelewa na riba ya ziada. Hii inaongeza gharama zaidi. Kama una matatizo ya kulipa madeni yako, wapigie simu wakopeshaji wako kabla ya kushindwa malipo. 57 wako tena. Kwa hiyo, mpaka wa mkopo wako ulikuwa ni dola $1,000 na ulikuwa unadaiwa dola $500 unaweza kuazima zingine dola $500. Ukilipa dola $500 ulizokuwa unadaiwa unaweza sasa kuazima dola $1000 kamili. Lakini ukitumia zaidi ya mpaka wa mkopo wako unavyokuruhusu, unapaswa kulipa ada kuvuka ule mpaka wako.

58 Kwa mfano: Mpaka wa mkopo wako ni dola $1,000. Ukinunua gari lilotumika kwa gharama ya dola $1,200 na kadi yako ya mkopo. Taarifa yako ya benki inayofuata itaonyesha ada ya kuvuka mpaka. Hii inaweza kuwa dolahis $30, $40, au $50! Utatakiwa kulipa hii ada kila mwezi utakaokuwa umevuka mpaka wa mkopo wako. Interest Rate/Kiwango cha riba Usipolipa kiasi chote cha pesa unazodaiwa mwezi wa kwanza utatozwa riba juu ya kile unachodaiwa kila mwezi baada ya hapo. Kama utalipa kima cha chini baado utatozwa riba juu kile unachodaiwa ambacho hukulipia. Hii ada (ambayo inaitwa pia finance fee) inakuwa mara nyingi karibu asilimia 1% au 2% ya kile unachodaiwa kila mwezi. Hii ina maana kwamba riba kwa mwaka inakuwa kati ya asilimia 12% na 24%. KIwango cha riba kinaitwa pia Annual Percent Rate (APR). Hata riba za chini zinaweza kugeuka kuwa malipo ya riba za juu (finance fees)! Kwa mfano: kadi nyingi za mkopo zinatangaza 0% ya riba ya APR. Lakini ukisoma mandishi madogo yaliyochapishwa, mara nyingi utagunduwa kwamba viwango vya riba vinaweza kubadilika haraka sana. Ukichelewesha malipo mara moja tu kwa ajili ya moja ya kadi/mkopo wako, kiwango cha riba kinaweza uongezeka hadi asilimia 12%, 18%, hata 24% au zaidi! Kwa hiyo, kwa dola $200 za nguo, ni rahisi kujikuta unatumia dola $36 za ziada kwenye riba! Annual Fee/Ada ya mwaka Baadhi ya kadi za mkopo zinakutoza ada kwa kuwa nayo kila mwaka. Kampuni nyingi hazifanyi hivyo. Unapokuwa unatafuta kununua kadi unatakiwa kuangalia isiyokuwa na ada ya mwaka. Grace Period/Kipindi cha kuvumiliwa Hii ni idadi ya siku baada ya kupokea taarifa kwamba kampuni ya kadi ya mkopo itaanza kukutoza riba. Ukilipa kabla ya muda kuisha hautatozwa riba. 58

59 Minimum Payments/Malipo ya chini kabisa Kila mwezi unapaswa kulipa kiasi Fulani kama sehemu ya kile unachodaiwa. Hichi kinaitwa malipo yako ya chini kabisa na huwa mara nyingi kama dola $20 kila mwezi. Usipolipa hata hicho kiasi kidogo, kampuni ya kadi za mkopo itakutoza ada ya kuchelewa. Hii ada inaweza kuwa kati ya dola $15 na $30 kila mwezi usipolipa. Example/Mfano: Baki ya kadi yako ya mkopo ni dola $1,000, kwa riba APR ya asilimia 18%. Malipo yako ya chini kabisa ni dola $30. Ukitoa malipo ya chini kabisa tu kila mwezi, utalipa kwa ujumla dola $698 za riba kwa muda takribani wa miaka minane! Kama Usipotoa hata malipo ya chini kabisa, utaishia kuharibu pesa nyingi zaidi katika ada za ucheleweshwaji. Balance/Baki Baki yako ni kiasi unachodaiwa kwenye kadi yako ya mkopo. Ukilipa kiasi chote kwa ujumla baki yako itakuwa dola $0. Usipolipa kwa ujumla kiasi chote unachodaiwa baki yako inaweza kuendelea kuongezeka. CREDIT CARD STATEMENTS/TAARIFA ZA KADI ZA MKOPO Kila mwezi utapokea taarifa ya kadi ya mkopo ambayo ni muhtasari wa kila kitu kilichotokea katika akaunti yako. Unatakiwa kuutazama huu mhutasari na kuhakikisha kwamba unakubaliana na kila kitu kinachojionyesha katika taarifa. Kama ilivyo benki, makampuni ya kadi za mikopo wakati zinafanya makosa. Kama utakuta kitu katika taarifa yako na ni kitu ambacho hauna ku Kumbuka kutunza rekodi zako! mb uku 59

60 mbu ya kukinunua na kadi yako ya mkopo unatakiwa kuipigia simu kampuni yako ya kadi ya mkopo papo hapo. Tutazame mfano wa taarifa ya kadi ya mkopo kwenye kiambatanisho ili tuone inavyofanana taarifa. Record Keeping/Kutunza rekodi Baada ya kuchunguza taarifa ya kadi yako ya mkopo unatakiwa kuitunza taarifa yako kwa kufuata ule mtindo wa kutunza nyaraka tuliokufundisha. Kila mwezi weka taarifa yako kwa kufuata mtindo wa kutunza vitu tuliokufundisha. Hii itakuwasaidia wakati unapokwenda kufuatilia taxes, kuomba mkopo, au ukitaka kuanzisha biashara yako. Ukilazimika kumpa mtu nakala ya taarifa yako, hakikisha unabaki na karatasi halisi au nakala. 60

61 IDENTITY THEFT/WIZI WA UTAMBULISHO Wizi wa utambulisho ni swala zito kabisa. Wizi wa utambulisho ni pale mtu mwingine anapotumia jina lako, anwani yako, tarehe yako ya kuzaliwa, namba ya social security na/au jina la ubatizo la mama yako katika mambo yasiyo halali kama kutumia akaunti yako ya benki au kadi ya mkopo kwa jina lako, kupata mikopo, kununua gari, kupata misaada ya kijamii kwa jina lako. Hili linaweza kuharibu mkopo wako na kuwa ngumu kurekebisha. Haya ni mambo unayotakiwa kufanya kuepuka wizi wa utambulisho: Chana chana karatasi za maombi ya mkopo, risiti za kadi ya mkopo, nyaraka zenye taarifa za madeni au za kifedha usizozitaka kabla ya kuviweka kwenye kopo la takataka. Toa barua zako kwenye sanduku la barua siku ile ile zinapoletwa. Leta barua zinazokwenda nje kwenye masunduku ya posta ya kukusanyia barua au kwenye ofisi ya posta iliyokaribu. Usiziache katika masanduku ya barua yasiyo salama. Kamwe usitoe taarifa zako binafsi kwa njia ya simu labda uwe umpiga simu hiyo mwenyewe. Kamwe usiache risiti kwenye mashine za benki, etc. Zichanechane wakati hauzihitaji tena. Weka kichwani namba yako ya social security na namba zote za siri. Usiziandike popote halafu ukaweka kwenye mkoba wako au pochi. Saini kwenye kadi kadi zote za mkopo unapozipata au uandike tazama kitambulisho ( see ID ) badala ya sahihi. Pitia taarifa za benki za mwezi na utunze risiti zote za kadi za mkopo Toa kadi za mkopo za ziada na vitambulisho kwenye pochi yako. Futa kadi zote za mkopo usizozitumia. Tunza orodha ya kadi zote za mkopo unazozitumia pamoja na namba za simu za kuita zikipotea Kadi yako mkopo ikiisha muda wake na usipopokea nyingine mpya kwa njia ya posta, pigia simu kampuni ya kadi za mkopo papo. Omba ripoti ya mkopo na uyipitie walau mara moja kwa mwaka. Sahihisha makosa yoyote. 61

62 Toa taarifa kwenye kampuni yako ya kadi ya mkopo na benki unapobaadilisha anwani na namba za simu Ripoti kwenye kampuni kadi za mkopo zilizopotea au kuibiwa papo hapo Zijue barua na simu zinazoahidi zawadi kupata taarifa zako binafsi. Zikisikika kuwa nzuri sana kuelekea ukweli, mara nyingi zinakuwa kweli! Unapopokea ripoti yako ya mkopo unatakiwa kuhakikisha umeichunguza kwamba haina makosa. Kama kuna kitu chochote usichokubaliana nacho kwenye ripoti yako ya mkopo, unaweza kujaribu kuomba kiondolewe. Taarifa zaidi zimetolewa katika kiambatanisho kuhusu kusahihisha makosa ya mkopo au zungumza na mkufunzi wako. Kitu bora zaidi ni kujaribu kuzuia wizi wa utambulisho katika nafasi ya kwanza. Ukihisi kwamba utambulisho wako umeibiwa, unaweza kuwasiliana na namba zifuatazo: Ofisi ya Sheriff iliyoko karibu Equifax: Experian: TransUnion:

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza 1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu BLOOD PRESSURE UK Shinikizo la damu ndicho chanzo kikubwa cha ulemavu na vifo vya mapema kule Uingereza, kupitia kiharusi, mshtuko wa moyo na maradhi ya moyo.

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania

CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania Questionnaire for Individual Household Members/Dodoso kwa mwanakaya binafsi This questionnaire will be administered to

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

TIST HABARI MOTO MOTO

TIST HABARI MOTO MOTO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. +255784-537720/+255717-062960/+255782-250947, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@tist.org May 2010 Cash Payments for Trees Clean Air Action has developed a way to pay the groups

More information

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Shule za umma za kata ya Fayette 1 Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Muhtasari wa yale watoto wanastahili kufahamu na kuweza kufanya na njia za familia kuongeza masomo nyumbani. Tunaamini familia ni wenzetu.

More information

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA Toleo la kwanza 2012 Mwandishi: USAID DELIVER PROJECT Wachangiaji: Gary Steele, John Snow, Inc. and Judith

More information

Siku ya kwanza. Mguso wa ngozi-kwa-ngozi (Ulezi wa kangaruu) Mtoto wako anaweza kuhisi mdundo wa moyo wako

Siku ya kwanza. Mguso wa ngozi-kwa-ngozi (Ulezi wa kangaruu) Mtoto wako anaweza kuhisi mdundo wa moyo wako Siku ya kwanza Baada tu ya mtoto kuzaliwa ni wakati wa kufurahia, lakini pia ni wa kuchosha. Kujua vitu vichache kuhusu kunyonyesha hufanya siku ya kwanza kuwa rahisi kidogo. Baada ya kujifungua Wakati

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia

Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia IDARA YA KUFIKIA HUDUMA ZA AFYA VERMONT Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia GreenMountainCare MIASHA YENYE AFYA BORA ZAIDI Jedwali la Yaliyomo Jedwali la Yaliyomo... 2 Karibu kwenye Programu ya

More information

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji! Yaliyomo Kuhusu kitabu hiki Kuhusu kitabu hiki.........................................................1 Unapojisikia vibaya.........................................................2 Unapoanza kuwa mzima

More information

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 AEG swahili Bahari ya Aegean Brosha ya maelezo hii ni kwa watu wanaofikiria kuvuka bahari ya Aegean kati ya Ugiriki na Uturuki.Kuvuka kihramu ni uhalifu katika

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia

Kifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia : Maelekezo ya kutumia Kupatwa kamili kwa jua Jumatatu, 21 Agosti 2017 Agreement v1.4 Mar 2014 2014-2017 Eclipse2017.org, Eclipse2017.org, inc. inc. TERMS AND CONDITIONS FOR USE OF SOLAR VIEWER Please

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI

Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI C O U N S E N U T H I n f o rmation series No. 6 Toleo la Kwanza, March, 2004 Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI MATUMIZI

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wapilipili Tanzania Wildlife Division, Tanzania Wildlife

More information

Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI VIDOKEZO MUHIMU KATIKA UNUNUZI NA USALAMA WA CHAKULA

Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI VIDOKEZO MUHIMU KATIKA UNUNUZI NA USALAMA WA CHAKULA Lishe na Ulaji Bora kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI VIDOKEZO MUHIMU KATIKA UNUNUZI NA USALAMA WA CHAKULA COUNSENUTH NA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA, June, 2004 VIDOKEZO MUHIMU KATIKA UNUNUZI

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA

TIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246, P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@ twiga.com 01 June 2001 Benefits of Loan Repayment As the date of repayment nears, 15 June, groups are busy preparing crops, digging

More information

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI This booklet on Becoming a Parent was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at. MACHAGUO

More information

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of

More information

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka 0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11

More information

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q

N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q 88092387 SWAHILI B HIGHER LEVEL PAPER 1 SOUAHÉLI B NIVEAU SUPÉRIEUR ÉPREUVE 1 SUAHILI B NIVEL SUPERIOR PRUEBA 1 Tuesday 3 November 2009 (morning) Mardi 3 novembre 2009 (matin)

More information

Early Grade Reading Assessment for Kenya

Early Grade Reading Assessment for Kenya EDDATA II Early Grade Reading Assessment for Kenya Baseline Instruments: Kiswahili and English EdData II Technical and Managerial Assistance, Task Number 4 Contract Number EHC-E-01-04-00004-00 Strategic

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA SIMU NA: (027) 2642082 TANGA (OFISI) 0784 889 099 TANGA (NYUMBANI) Tovuti: www.tangaschool.sc.tz Barua pepe: tangaschool@yahoo.com JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA E- mail: uchilesekondari@yahoo.com P.O. BOX 582 Mob: +255 (0) 752 476 389 SUMBAWANGA KUMB. NA. USS/JOINING/F.V/03 10 Juni 2017...... YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO

More information

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika (A Summary Of Arguments For And Against Individual Communion Cups) Na J D Logan Communion Cups) 1 Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi

More information

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Mazoezi ya wenye umri wa miaka 11-14 Hivi Ndivyo Nilivyo kwa wenye umri wa miaka 11-14 Kuhusu Hivi Ndivyo Nilivyo Ikiwa

More information

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi International Labour Office Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi 1 Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2007 Kimechapwa mara ya kwanza 2007 Machapisho ya Ofisi ya Shirika la

More information

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI b Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI 1 Mwongozo wa Uzalishaji

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA. SHULE YA SEKONDARI KAHORORO, S. L. P 198, BUKOBA. Tarehe 14/5/2018 MKOA WA KAGERA

More information

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment Background 1. On 4 th September, 2012, the Energy and Water Utilities

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

KILIMO CHA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU TWAUMU (SWAUMU)

KILIMO CHA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU TWAUMU (SWAUMU) 2016/2017 TEMBELEA ACKYSHINE.COM/SHOP KUPATA MAJARIDA MENGINE KILIMO CHA VITUNGUU MAJI NA VITUNGUU TWAUMU (SWAUMU) Kutoka ackyshine.com/shop Melkisedeck Shine KILIMO CHA VITUNGUU (VITUNGUU MAJI) Vitunguu

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

Deputy Minister for Finance

Deputy Minister for Finance ISSN: 1821-6021 Vol XI - No - 34 DID YOU KNOW? A procuring entity is?s required to use suppliers pliers?pliers?pliers?pliers among those awarded ed?ed?ed?ed framework agreements by GPSA for procurement?ents

More information

UMRI WA MAKAMO NA KUKOMA KWA HEDHI

UMRI WA MAKAMO NA KUKOMA KWA HEDHI This booklet on menopause was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at http://www.ourbodiesourselves.org/tanzania.

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHESHIMIWA MUSTAFA HAIDI MKULO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya Jina Nambari.. Shule... 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI / AGOSTI. 2007 MUDA: SAA 2 ½ MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya 102/3 KISWAHILI FASIHI

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI NAMBA ZA SIMU: Mkuu Wa Shule: 0784524029 / 0766805826. Makamu Mkuu Wa Shule: 0714356735 / 0767356735. SHULE YA SEKONDARI

More information

Ni kwa nini mkulima awe maskini?

Ni kwa nini mkulima awe maskini? Jarida la kilimo endelevu Afrika Mashariki Ni kwa nini mkulima awe maskini? Swali hili limekuwa likijirudia mara kwa mara. Kwa watu walio wengi hata wakulima wenyewe, wana majibu mengi sana ambayo wamekuwa

More information

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI MWONGOZO KWA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA WASTANI WANAOUZA BIDHAA NJE YA NCHI TOLEO LA PILI Geneva 2011 ii IKISIRI YA HUDUMA YA HABARI ZA BIASHARA ID=42653 2011 F-09.03

More information

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre

Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO. Training and Research Support Centre Shangazi Stella Vijana wanazungumza kuhusu ujinsia, maisha na uhusiano VIJANA WANAZUNGUMZA KUHUSU NGONO, MAISHA NA UHUSIANO Training and Research Support Centre Zimbabwe Shangazi Stella Kiongozi cha Mwezeshaji

More information

Wewe Maisha Yako Ndoto Zako. Kitabu cha Vijana Balehe

Wewe Maisha Yako Ndoto Zako. Kitabu cha Vijana Balehe Wewe Maisha Yako Ndoto Zako Kitabu cha Vijana Balehe Wewe, Maisha Yako, Ndoto Zako: Kitabu cha Vijana Balehe Catherine Watson na Ellen Brazier Shukurani Kitabu cha Wewe, Maisha Yako, Ndoto Zako ni tafsiri

More information

Muongozo wa utatuzi. Kwa wasimamizi wa malaria RDTs 06/11/16. MALARIA Rapid Diagnostic Test

Muongozo wa utatuzi. Kwa wasimamizi wa malaria RDTs 06/11/16. MALARIA Rapid Diagnostic Test Muongozo wa utatuzi Kwa wasimamizi wa malaria RDTs MALARIA Rapid Diagnostic Test Device Umetengenezwa na FIND kwa kushirikiana na Johns Hopkins Bloomberg Shule ya Afya ya Jamii (JHSPH), ubia wa malaria

More information

Ufundishaji wa lugha nyingine

Ufundishaji wa lugha nyingine CHUO CHA ELIMU CHA KIMATAIFA OFISI YA ELIMU YA KIMATAIFA Ufundishaji wa lugha nyingine Na Elizabeth B. Bernhardt ELIMU MAZOEA KITABU NA. 20 1 Chuo cha Elimu cha Kimataifa (The International Academy of

More information

Mfumo na maelezo ya kina ya mpango wa kimataifa wa viwango vya chakula kwa wenye matatizo ya kumeza (IDDSI) Juni 2017

Mfumo na maelezo ya kina ya mpango wa kimataifa wa viwango vya chakula kwa wenye matatizo ya kumeza (IDDSI) Juni 2017 VYAKULA VYA KAWAIDA LAINI NA UKUBWA WA TONGE LA KUNG ATA VILIVYOSAGW A NA VITEPE VILIVYO PONDW A VYA MAJIMAJI VIZITO SANA VIZITO KIASI VIZITO KIDOGO VYEPESI VYEPESI SANA VINYWAJI Mfumo na maelezo ya kina

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 W N S E Muhtasari Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 Kuinuka kwa Nchi za Kusini: Maendeleo ya Binadamu katika Ulimwengu Anuwai Empowered lives. Hati ya kunakili 2013 na Mradi wa Maendeleo ya Umoja wa

More information

Bustani 10,000 Katika Afrika. Alberto Prina

Bustani 10,000 Katika Afrika. Alberto Prina Bustani 10,000 Katika Afrika Alberto Prina K i j i t a b u Timu ya wahariri: Abderrahmane Amajou, Typhaine Briand, Roba Bulga Jilo, Davide Dotta, Emanuele Dughera, Michela Lenta, Velia Lucidi, Irene Marocco,

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2018/19 1 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)

More information

FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO

FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO SEHEMU A (TAARIFA ZA MWANAFUNZI) Picha ya mwanafunzi na aje na picha tatu Jina kamili (majina matatu). Tarehe ya kuzaliwa.. Uraia.. Jinsia Anuani ya mwanafunzi... Shule

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke- Kusudi la Maisha hawatakuambia nini walihitimisha kupitia uchunguzi au hoja ya uchambuzi. Katika hali nyingi, hakika wao kukuambia nini mtu mwingine alisema... Au wao watakuambia nini kawaida kudhaniwa

More information

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12 Human Rights Are Universal And Yet... Episode 07 Title : The right to food drought and famine in Ethiopia Author : Tedla Getachew Editor : Aude Gensbittel, Pendo Paul Translator : Anne Thomas Proofreader:

More information

MUONGOZO WA UTUNZAJI WA URITHI WA UTAMADUNI 1 SECURITY AT MUSEUMS

MUONGOZO WA UTUNZAJI WA URITHI WA UTAMADUNI 1 SECURITY AT MUSEUMS MUONGOZO WA UTUNZAJI WA URITHI WA UTAMADUNI 1 SECURITY AT MUSEUMS Reproduction is authorized, providing that appropriate mention is made of the source, and copies sent to the (Paris), address below. This

More information

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa mabingwa itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Mkuu Inahitaji dhabihu. Unahitaji kujisukuma hadi mwisho wako. Lakini nakupa ahadi hii,

More information

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma.

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma. This booklet on HIV/AIDS was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at VIRUSI VYA

More information

Kiu Cha umtafuta Mungu

Kiu Cha umtafuta Mungu ZAIDI YA NAKALA MILLION 3 ZIMECHAPISHWA KATIKA LUGHA 59 KOTE DUNIANI K Kiu Cha umtafuta Mungu Huduma ya Daktari Richard A. Bennett ilianza katika mabaraza ya miji. Akiwa mwanafunzi chuoni, alikumbana na

More information

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey

More information

2 Usimamizi wa Rutuba ya Udongo Tanzania Organic Agriculture Movement

2 Usimamizi wa Rutuba ya Udongo Tanzania Organic Agriculture Movement Mwongozo wa Mafunzo ya Kilimo-Hai Afrika Mwongozo kwa Wakufunzi 2 Usimamizi wa Rutuba ya Udongo Tanzania Organic Agriculture Movement CHAPISHO YALIYOMO Mchapishaji: FiBL, Research Institute of Organic

More information

AMMA KWA AFRIKA RATIBA/ITIKADI. Ratiba Maalum ya Kutibu Magonjwa Maambukizi na Hususan Fikra Zinazoleta Pooza Mwili na Akili

AMMA KWA AFRIKA RATIBA/ITIKADI. Ratiba Maalum ya Kutibu Magonjwa Maambukizi na Hususan Fikra Zinazoleta Pooza Mwili na Akili AMMA KWA AFRIKA RATIBA/ITIKADI Ratiba Maalum ya Kutibu Magonjwa Maambukizi na Hususan Fikra Zinazoleta Pooza Mwili na Akili Notisi Maalum Matibabu, kama sayansi, ni somo linaloendeleza uwekezaji. Ujuzi

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili 1. 2-Muhtasari wa Ukurasa wa Ripoti ya Miaka minne ya Bodi Kuu ya Kanisa & Jamii............................... 2 2. Kamati ya Kawaida ya Malipo ya

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

KUPWA NA KUJAA KWA BAHARI. (TIDES AND TIME)

KUPWA NA KUJAA KWA BAHARI. (TIDES AND TIME) KUPWA NA KUJAA KWA BAHARI. (TIDES AND TIME) Ili kuona athari ya mwezi kwa ratiba za kujaa na kupwa kwa bahari na jinsi mawimbi ya bahari yanavyohusika na mwezi mwandamo, nilichukua hatua zifuatazo: Kwanza

More information

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII SHERIA KATIKA LUGHA RAHISI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA (TANGANYIKA LAW SOCIETY) KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY

More information

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MFUMO WA RUZUKU YA MAENDELEO YA MTAJI WA SERIKALI ZA MITAA (LDCDG) UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI Kijitabu cha Mshiriki

More information

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017 TAARIFA Agosti 2017 NGUO MPYA ZA UKOLONI Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika Jumuiya ya Jamii ya 2007: Wajumbe wanaadhamana Nairobi dhidi ya EPAs. SwissInfo Tangu mwaka

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information