FORWARD BY DANIEL SZMIOT

Size: px
Start display at page:

Download "FORWARD BY DANIEL SZMIOT"

Transcription

1

2 FORWARD BY DANIEL SZMIOT 2017 marks the 40th anniversary of the start of Lighthouse Ministry. As in all wars, soldiers continue to fight the battle for the body, mind, will, and emotions. We as Christian soldiers fight an unseen enemy I call personalities without bodies looking for someone to influence and control. Who is this enemy of our souls? Satan and his dominions. For the weapons of our warfare are divinely powerful for the pulling down of strongholds and casting out of imaginations. To our evangelical brothers this material has overtones that we think everything is an evil spirit, the demon behind every bush mentality; to our charismatic brothers who think everything supernatural is automatically from God, unknowingly may court many counterfeits; to our professionals, with all due respect, medical doctors and psychologists who think you can medicate, counsel and rehab evil is short sighted. In no way do we discount sin, freewill, forgiveness, wisdom, prayer and faith, but suggest that to some a temptation and thought is to another a bondage and stronghold of the enemy. This study and procedure manual will teach you how to fight and reclaim what is yours as a Christian. God did not raise us up to be more than conquerors to watch us lose. I believe spiritual warfare and the authority of the believer is the best kept secret in Christianity, the missing piece to the Christian puzzle. On October 7th, 1969, 7:00AM, God spoke directly to me and said, "Prepare yourself to die." I said, "Lord, forgive me and save me", just as a car came over the center line and hit us head on. One dead, one critically injured, one saved. Which one will you be? I knew that day that God was who He said He was and He had a purpose for my life. I present to you that purpose, spiritual warfare, for those of you who are saved but are not free. 2

3

4 YALIYOMO Utangulizi wa Kozi 3 Sura 1 Kuishi kutokana na Umoja na Nafasi yetu Katika Kristo 4 Katika Kristo Mimi nina... (Maandiko kuimarisha utambulisho wako kwa Kristo) 14 Hakuna kukosa upande (nusu nusu).. C. S. Lewis 15 ULINZI DHIDI YA KUINGIWA TENA NA ROHO WACHAFU Sura 2 Silaha za Mungu Kuendelea Kushuka (kuporomoka) kwa Mzunguko wa Dhambi Mavazi na Vifaa vya Vita vya Askari wa Kirumi Sura 3 Kufunga na Kufungua katika Vita vya Kiroho Maelezo ya Mapambano ya Kumfunga Shetani Maandiko ya Kumfunga Shetani kwa Majina Yake Maeneo ya Kuhoji Wakati wa Kufikiri/kutakari (Consideration Time) Sura 4 Kurejeshwa kwa Maeneo kwa ajili ya Ufalme wa Mungu Kujinyenyekeza Utaratibu wa Upinzani katika Mapigano Matunzo Baada ya Kufunguliwa kwa Mwamini Kusafisha Nyumba Karatasi ya Kazi kwa ajili ya Sura ya 4 Sura 5 Kushinda Vita Katika Ufahamu/Akili Mtu ambaye Hajazaliwa Upya baada ya Anguko Mtu Aliyezaliwa Upya kabla ya Ukombozi Mtu Aliyekombolewa Yuko Huru Karatasi ya kazi kwa ajili ya Kushinda Vita Katika Akili Sura 6 Kujenga/Kuendeleza Upambanuzi Kuzijaribu Karama za Roho, Maneno na Kazi Karatasi ya Kazi juu ya Upambanuzi Sura 7 Kujenga Upya Kituo na Maisha yako ya Ibada Ramani ya Yerusalem Mafundisho kutoka Kitabu cha Ezra Chati za Wajenzi Wapya Sura 8 Kujenga Upya Kuta na Malango ya Maisha Yako Mafundisho Kutoka Kitabu cha Nehemia Gems Kutoka kwa A. W. Tozer juu ya Kuabudu Sura 9 Kusimama katika Ushindi wa Kristo Kuchunguza Matukio kupitia Maandiko Taarifa za Huduma [Maandiko yote katika mafunzo haya yanatoka katika tafsiri ya Biblia Maandiko Matakatifu isipokuwa imeelezwa vingenevyo]

5 Utangulizi wa Kozi Lengo la Kozi: Kuelewa kanuni za vita vya kiroho na kuzitendea kazi ili kwamba tuweze kuutunza uhuru wetu katika Bwana Yesu Kristo, na baadaye, tuwe watu wanaomwabudu Yeye na tuwe watumishi wenye faida kwa heshima na utukufu wake. 1. Kozi hii imekusudiwa kuwa msaada kwa wale ambao wameyatambua mashambulizi ya adui dhidi ya maisha yao na wale waliochagua kumpinga. Imewakilishwa kama kozi ya ukombozi; hata hivyo, inaweza pia kuwa ya msaada kwa wale ambao hawajafunguliwa (kuwa huru) katika maisha yao. 2. Siyo kwamba Kozi hii imekamilisha kila kitu katika somo la ukombozi, bali imetoa majumuisho yahusuyo ukweli na mafundisho muhimu kwa wale ambao, baada ya kuwa wamefunguliwa, wamedhamiria kubakia huru na kukua katika neema na maarifa ya Bwana na Mwokozi wao Yesu Kristo. Hitaji la leo ni kwa jamii ya watakatifu wanaoshinda, wanaojua namna ya kuendeleza vita kwa ajili ya kufunguliwa kwa wale walio chini ya udanganyifu wa adui. Maisha ya Mkristo ni kuingia kwenye mapigano yasiyo na mwisho katika uwanja wa mapambano. Mkristo hawezi kuweka silaha zake chini hadi atakaposimama mbele za Bwana. Kuondoa mapambano haya katika maisha ya Mkristo ni kumfanya asizae/asiwe na matunda. Maisha ya kiroho ni moja kati ya mambo muhimu ya kiroho kwa sababu anayaishi ili kuelekea kwenye uvamizi dhidi ya maadui wa Mungu wa kiroho. Ni ombi langu Mungu ainue mashujaa wa jinsi hiyo! Watchman Nee, The Spiritual Man, Vol. 3 Huduma ya Kimataifa ya Lighthouse ni shirika ambalo kusudi lake la pekee ni kumtukuza Bwana Yesu Kristo kwa kuwezesha/kufanikisha kuwekwa huru kwa Mwili wa Kristo ulimwenguni pote kupitia ukombozi na maandalizi katika vita vya kiroho. Huduma ya Kimataifa ya Lighthouse ni shirika la kidini lisilofungamana na dhehebu (lisilozalisha faida) lenye uhusiano na Christian & Missionary Alliance Denomination. Mafunzo ya Biblia ya Ukombozi na Ushindi wa Vita vya Kiroho ya Lighthouse, yamechapishwa: Franz Reproductions, Minneapolis, MN. Chapisho la kwanza 1990 Chapisho la pili 1992 Chapisho la tatu 1994, Limepitiwa na kusahihishwa 1995; 1996, 2000 Chapisho la nne, Jipya na lililohaririwa Ushindi wa Vita vya Kiroho Chapisho la tano 2003, 2004, 2005 Chapisho la Mtandao Nakala za nyongeza za mafunzo haya yanapatikana kwa kuchangia $ Pia, ili kupata nyenzo, taarifa za ziada na ratiba za miadi na mikutano, unaweza kuwasiliana nasi kupitia: Lighthouse Ministry International P.O. Box Simu: St. Paul, MN Fax: E mail Info@lighthouseministryintl.org Ordermaterials@lighthouseministryintl.org Appointments@lighthouseministryintl.org Hostconference@lighthouseministryintl.org Prayerteam@lighthouseministryintl.org 3

6 Sura 1 Kuishi kutokana na Umoja na Nafasi yetu Ndani Kristo Kweli Kuu: Bwana wetu Yesu Kristo anashikilia wadhifa/cheo cha juu katika ulimwengu, na nikiwa mwana wa Mungu, nimeketishwa pamoja naye katika mamlaka ya pekee na ushindi dhidi ya Shetani na wafuasi wake kuzimu, Wafilipi 2:9-11, Waebrania 1:2-4. Lengo la Somo: Kuielewa mamlaka ya Kristo na kipekee kuchukua kile nilichopata kutokana na nafasi yangu katika Kristo. Andiko la Msingi/Kuu: Luka 10:19 Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru. Waefeso 1 2:7; Wakolosai 1:13-29; Wakolosai 2:1-15 A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu na Hawa Bwana Yesu Kristo aliirejesha mamlaka hiyo kwa ajili yetu. 1. Tuliumbwa ili tuitawale nchi na vyote vilivyofanywa na Mungu ndani yake. Mwanzo 1:28, - Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi. 2. Kupitia imani ya Adamu na Hawa katika maneno ya manuizo wali (na sisi pamoja nao) poteza nafasi yao ya mamlaka waliyopewa na Mungu. Waliamini na kuweka imani yao kwenye uongo: Kwamba kile Mungu alichokuwa amewapa hakikuwa kizuri, hakikukamalika, na kwamba walitaka kukataa mamlaka Yake ili kufikia mfano wa Mungu. Walitamani upambanuzi wa uongo, ujuzi wa mema na mabaya, kuliko upambanuzi wa kweli ambao unatokana na uhusiano binafsi na Mungu. Soma Mwanzo 3:1-7 [Maandiko mengi yatawasilishwa kupitia mafunzo haya. Tafadhali pata muda wa kuyaangalia, yasome na uyatafakari, na mruhusu Roho Mtakatifu kuzungumza na wewe binafsi juu ya maandiko hayo. Andika pembeni vidokezo vyako ukingoni. Hii itamruhusu Roho Mtakatifu kuitumia Kweli kwako binafsi.] 4

7 3. Moja ya matokeo ya hili, ni kwamba mtu alishindwa kufanya kile Mungu alichomwambia Kaini lazima afanye kuhusiana na adui yake wa kiroho, ambaye ilikuwa kumshinda. Je, adui huyo alikuwa ni nani? Mwanzo 4:7 Kama ukitenda vyema hutapata kibali? Usipotenda vyema dhambi inakuotea mlangoni, nayo inakutamani wewe, walakini yapasa uishinde Zingatia: Kama ulisema dhambi ndiye adui aliyepaswa kumshinda, umepata. 4. Dhara lingine lilikuwa, kwamba ulimwengu wote ulioumbwa na Mungu na kuwekwa chini ya utawala wa mwanadamu ulikuwa kwenye kifungo chini ya utawala mpya ulio kinyume cha kisheria. Ni yupi mtawala huyo aliye kinyume cha sheria? Soma Warumi 8: Zingatia: Kama uliema Shetani au Kifungo cha Dhambi umepata. B. Bwana Yesu Kristo alikuja na kurejesha mamlaka hii iliyoibiwa katika ulimwengu kupitia misheni yake ya kuharibu kazi za Shetani. 1Yohana 3:8. 1. Misheni hii ilidhihirishwa katika maisha ya Yesu kwa namna mbali mbali: Jina Lake Maana Halisi Ukombozi Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu maana yeye ndiye atakayewaokoa watu na dhambi zao. Mathayo 1:21 Útangulizi katika Huduma yake Alitumwa kuwafungua waliofungwa Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao.. na kuwaacha huru waliosetwa Luka 4:18 Maneno Yake Yalikuwa na Mamlaka kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka. Mathayo 7:29 Mahitaji Yake Moja ya tatu ya huduma ya Yesu iliyoandikwa ilikuwa kukabiliana moja kwa moja na roho wabaya. Kwa sababu amemwambia, Ewe pepo mchafu, mtoke mtu huyu Marko 5:8 2. Kurejeshwa huku kulikamilishwa pale Mungu alipomfufua Kristo. katika wafu, akamweka mkono wa kuume katika ulimwengu wa roho; juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka, na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia; akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya kanisa; ambalo ndilo mwili wake, ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote. Waefeso 1:20-23 Injili ya Bwana wetu Yesu Kristo, sifa yake, heshima yake, kutangazwa kwake na utukufu wake viko mikononi mwa Mungu na mikononi mwetu. Tumeitwa ili tuwe warithi pamoja na Bwana Mungu Wetu na tushiriki katika vita vya kiroho kwa ajili ya nafsi za wanadamu. 5

8 C. Tunapewa nafasi yetu katika Kristo pale tunapomkubali Yesu kuwa Mwokozi wetu, tunanyenyekea Kwake kama Bwana wetu na tunazaliwa upya. Kwa hiyo, Roho Mtakatifu hukaa ndani yetu na hutupa nguvu ya kuishi maisha ya ushindi kutokana na nafasi yetu katika Kristo katika ulimwengu wa Roho. Tunachukua nafasi zetu pale tunapokitumia kile tulichopewa! Tumepokea vitu vifuatavyo: Familia Mpya Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake Yohana 1:12 Nguvu Mpya Nanyi pia katika huyo mmekwisha kulisikia neno la kweli, habari njema za wokovu wenu; tena mmekwisha kumwamini yeye, na kutiwa muhuri na Roho yule wa ahadi aliye Mtakatifu. Ndiye arabuni ya urithi wetu, ili kuleta ukombozi wa milki yake, kuwa sifa ya utukufu wake. Waefeso 1:13-14 Mamlaka Mpya Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana. Na kwa kuwa ninyi mmekuwa wana, Mungu alimtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu, aliaye Aba, yaani Baba. Kama ni hivyo, wewe si mtumwa tena bali u mwana; na kama u mwana. Basi u mrithi kwa Mungu. Wagalatia 4:4-7 Ufalme Mpya Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa Pendo lake; ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi. Wakolosai 1:13-14 Nafasi Mpya Akatufufua pamoja naye, akatuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho, katika Kristo Yesu. Waefeso 2:6 Utekelezaji: Tengeneza orodha ya baraka zote za kiroho unazoweza kuzipata katika mistari iliyotangulia hapo juu na mistari ya vifungu vinavyofuata hapa chini. Kisha mwombe Mungu kukufungua macho yako ya kiroho ili kuelewa namna ya kutekeleza kweli hizo katika maisha yako. 1. Tumepewa ukamilifu katika Kristo, kwa sababu sisi tu Mwili Wake. Uzima wake unatupa maisha ya ufufuo ili kwamba tuwe na kila kitu tunachohitaji ili tuishi katika maisha ya ushindi tunapompata Kristo. Waefeso 3:19 na kujua upendo wake Kristo, upitao ufahamu kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate kutimilika kwa utimilifu wote wa Mungu. Baraka zangu za rohoni: 2. Tumejazwa kwa Roho Mtakatifu na tunashiriki asili yake ya Uungu kupitia umoja tulio nao ndani Yesu Kristo katika maeneo yote ya maisha yetu ambayo tumepewa na yako huru kwani hayamilikiwi na adui. 6

9 Wakolosai 2:9, 10 Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili. Na ninyi mmetilimilika katika yeye aliye kichwa cha enzi yote na mamlaka. 2Petro 1:3 Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia vitu vyote vipasavyo uzima na utaua, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe. Baraka zangu za Kiroho: 3. Je Bwana wetu Yesu Kristo yuko wapi? Waefeso 1:20-23 aliotenda katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamweka mkono wake kuume katika ulimwengu wa roho; juu sana kuliko ufalme, na mamlaka, na nguvu na usultani, na kila jina litajwalo wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia; akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya kanisa ambalo ndilo mwili wake, ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote. 1Petro 3:22 Naye yupo mkono wa kuume wa Mungu, amekwenda zake mbinguni, malaika na enzi na nguvu zikiisha kutitiishwa chini yake. Baraka zangu za Kiroho: 4. Je sisi tuko wapi kuhusiana na Kristo? Mungu ametufufua pamoja na Kristo na ametuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho katika Kristo Yesu. Waefeso 2:4-6 Lakini Mungu, kwa kuwa ni mwingi wa rehema, kwa mapenzi yake makuu aliyotupenda, hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu; alitufufua pamoja naye, akatuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho, katika Kristo Yesu. Baraka zangu za Kiroho: D. Yesu Kristo ameihamishia mamlaka yake kwetu katika Agizo Kuu. Katika Mathayo 28:18 & 19, Yesu anawaambia wanafunzi wake,..nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. Basi, enendeni... Maneno hayo, moja kwa moja yanadokeza uhamishaji wa mamlaka yake kwetu, wanafunzi Wake. 1. Yesu aliwaita wanafunzi wake kumi na wawili pamoja na akawapa nguvu na mamlaka kufukuza pepo wote na kuponya magonjwa yote. Je wanafunzi wake waliifanyia nini mamlaka ya Kristo? Luka 9:1 Marko 6: Mamlaka ya Kristo ilifanywa, si kwa ajili ya wale wanafunzi kumi na wawili tu, bali pia kwa ajili ya wanafunzi wengine ambao walijisalimisha Kwake kama Bwana na waliamriwa kwenda kwa Jina lake na kuhudumu. Wale Sabini walipewa mamlaka ili kuhudumu katika Jina Lake. 7

10 Utumiaji wa mamlaka hii ya kiroho, katika kulitumia Jina la Bwana Yesu Kristo, dhidi ya nguvu zote za adui, kumewafanya kutambua kuwa mamlaka ya Kristo, kwa hakika, imehamishiwa kwa wanafunzi wake. Luka 10:17-19 Ndipo wale sabini waliporudi kwa furaha, wakisema, Bwana, hata pepo wanatutii kwa jina lako. Na akawaambia, Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme. Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru. Utekelezaji: Je, unaweza kufanya nini kwenye huduma baada ya kujua kuwa Bwana wetu Yesu ameihamishia mamlaka yake kwako? Kanuni ya Mapambano: Ujasiri wetu katika kumkabili Shetani na wafuasi wake kuzimu umejikita kwenye nafasi yetu ya ushindi katika Kristo iliyo juu ya tawala na mamlaka zote. Zingatia: Kama majibu yako kwa maswali D1 na D2 yalikuwa: Kutoa pepo, kuomba kwa ajili ya wagonjwa umepata! 3. Je, Yesu aliipataje nafasi hiyo ya mamlaka kamili na ushindi dhidi ya Shetani na wafuasi wake kuzimu kwa ajili yetu? Bwana wetu Yesu, baada ya ubatizo aliongozwa kwenda nyikani kukutana na adui yetu katika mapambano ya mauti. Ili kutafuta haki yetu ya kukabiliana na adui na kutangaza kushindwa kwake, Yesu mwenyewe, kama mwanadamu alipaswa kuzishinda nguvu za Shetani. Alikutana naye kama Adamu wa pili, kama mtu mtakatifu. Aliipitia njia ya Adamu akielekea kwenye nchi ya uharibifu ya mapepo ambako Shetani alitawala. Alikuwa dhaifu, aliyechoka na mwenye njaa. Kwa ufasaha hatuwezi kuiita ni vita, kwa tafsiri ya nyakati zetu. Hata hivyo, Yesu alipambana na Shetani kupitia Neno la Mungu takatifu, kisha kwa nguvu, alimkemea, na kumwamuru Shetani kuondoka. Ni hatua iliyoandaliwa, Shetani amefunuliwa wazi wazi kama adui wa Yesu na ikiwa ni pamoja na miili yetu ya kufa. Sasa Yesu yuko tayari kuanza kuutangaza Ufalme, wa kuponya na wa ukombozi kutoka kwenye ufalme wa Shetani. Mtume Yohana anasema, Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi 1Yohana 3:8. Katika mapambano mengi dhidi ya Shetani wakati wa huduma zilizofuata, kila mara Yesu alipingana na shetani na roho zote chafu kwa maneno makali ya kukemea kwa kuwaamuru kuondoka, kutoka, na kutorudi tena. 8

11 Basi sasa turudi kwenye tukio la Luka 10 la wale wanafunzi sabini. Katika hali yao ya kusisimuka wakati wakiangalia mapepo yakikimbia katika jina Lake, Yesu anatupa sababu kwa nini adui alilazimika kutii, Akawaambia, Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama umeme. Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru. Wanafunzi hawa walitambua kwa hakika kuwa mamlaka ya Yesu imehamishiwa kwao. Shetani aliweza kutii amri ya wanafunzi vile vile, kama alivyo salimu amri kwenye mamlaka ya Yesu Kristo, Mtakatifu, Mwana wa Adamu. Katika Marko 5 tunamwona mtu aliyekuwa ameshindikana kupatiwa msaada wowote uliojulikana. Hapa Yesu aliruhusu wanafunzi wake kuona kielelezo cha mamlaka yake katika masuala mazito zaidi ya kipepo. Bila shaka alitaka waone nini mapepo yanaweza kufanya kwa mwanadamu kama yakiachwa bila kushughulikiwa. Yesu alitaka kuwaonyesha wanafunzi wake namna ya kumhurumla mtu aliyepagawa na mapepo na kuwa na shauku dhidi ya Shetani. Mtu huyu asingeweza kufungwa. Alikuwa amejaa ghadabu, hasira, aliyetengwa, mchafu, kifo na mateso vilimkabili. Mapepo yalikuwa yakijaribu kumharibu. Mtu aliyepagawa na mapepo alianguka miguuni pa Yesu na Yesu akalikemea jeshi la mapepo, akayataka yamtoke mtu yule na kuyaruhusu kuwaingia nguruwe ili kuwaonyesha wanafunzi wake kusudi la uharibifu wa mapepo yote, na pia kuonyesha nguvu za Mungu za ukombozi katika kumfungua mtu huyu. Ilikuwa ni baada ya tukio hili ndipo Yesu akawatuma wanafunzi waende na kufanya hivyo hivyo. Ni dhahiri walikuwa na wasiwasi kwa kiasi fulani. Kwa hiyo Yesu anaongeza kwenye mstari wa 19, wala hakuna kitu kitakachowadhuru. 4. Ni kwa jinsi gani, sisi kama waamini tunaitendea kazi mamlaka ya Kristo? Mamlaka ya Kristo na mamlaka yetu katika Yeye inaonyeshwa wazi wazi katika muktadha wa ukombozi. Yesu alisema kwamba, ni imani yetu Kwake ndiyo inayotupa ujasiri wa kuihamisha milima. Yesu hakusema, Ombeni kwa ajili ya milima. Katika Mathayo 17:14-21, kijana aliyepagawa pepo, ambaye wanafunzi walishindwa kumtoa, aliletwa kwa Yesu na alifunguliwa kutokana na nguvu za mapepo. Wanafunzi wakamuuliza, Kwa nini hatukuweza kumtoa?. Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amini nawaambia, mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu Mathayo 17:20. Katika kifungu hiki, ni wazi kwamba wanafunzi walikuwa na mamlaka lakini bado walikuwa wanajifunza kusimama kikamilifu katika Kristo dhidi ya adui. Ufunguo huo wa kutumia mamlaka ya Kristo katika maisha yetu ni imani. Bwana wetu alisema kwamba kiasi kidogo cha imani kilitosha kuzungumza na milima (au ngome katika maisha yetu) na kuiamuru kuondoka. Utekelezaji: Je una imani kiasi cha punje ya haradali? Je, Unaweza kuiamuru milima katika maisha yako? Ndiyo Hapana 9

12 Wanafunzi walidhihirisha kwamba hakika walikuwa na mamlaka ile ile dhidi ya ulimwengu wa mapepo. Mamlaka hiyo imetolewa kwa watumishi wa Mungu WOTE siyo tu kwa Mitume Kumi na wawili, siyo tu kwa wale sabini, Bali kwako na kwangu. ******* Kilikuwa kipindi muhimu kiasi gani katika historia ya mwanadamu! Mamlaka ya Kristo dhidi ya Shetani na mapepo yake imehamishwa kwa mafanikio makubwa MILELE NA MILELE!!!!! Je, ni nani aliyepewa mamlaka hii? Je walipewa wenye hekima na wasomi walioisomea kwa ufasaha? Hapana, bali kwa watu walio na imani kama ya mtoto ambao wamemkubali Yesu kwa Neno lake. Yesu alisisimuka sana kiasi kwamba alilipuka kwa kushangilia, Luka 10:21 Saa ile ile alishangilia kwa Roho Mtakatifu, akasema, nakushukuru, Baba, Bwana wa Mbingu na Nchi, kwa kuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili; umewafunulia watoto wachanga; naam, Baba kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza. Utekelezaji: Je, ni akina nani waliopewa imani hii? Soma Luka 10:21, kisha angalia jibu sahihi. Kwa Wakristo waliokomaa tu Kwa waamini walio na imani kama ya mtoto ambao wanamkubali Yesu kwa Neno lake 5. Mamlaka ya Kristo, imetolewa waziwazi kwetu pia, kwa ajili ya kuliadabisha Kanisa. Soma Mathayo 18:15-20, kisha tazama kama unaweza kuorodhesha hatua sahihi za kuliadabisha Kanisa. a. b. c. d. Baada ya kuchukua hatua kadhaa katika kuliadabisha kanisa; na kama mwamini habadiliki, Yesu anatuambia tuhamie kwenye ulimwengu wa roho na kuzifunga nguvu za giza zinazoathiri hali hii na kumuathiri mwamini. (Angalia Sura ya 3 Juu ya ya Mafundisho kamili ya Kufunga na Kufungua). Kanuni ya Mapambano: Mamlaka kwa Mkristo ni haki na kibali cha kulitumia JINA, Bwana Yesu Kristo, dhidi ya adui kwa sababu tumeketishwa ndani Yake kwa imani. Majibu kwa swali D5: 1. Nenda pekee yako kwa ndugu yako na umwambie kosa lake. 2. Chukua mashahidi 2 au 3 pamoja nawe. 3. Liambie Kanisa; 4. Awe kwako kama mpagani au mtoza ushuru-mpende. 6. Je, ni lini/wakati gani tunapokea mamlaka hii kumkabili Shetani na wafuasi wake kuzimu na kusinda kila wakati? Kristo aliihamishia mamlaka yake kwa Kanisa wakati wa Pentekoste akiahidi nguvu hiyo itawajia wanafunzi wake Roho Mtakatifu atakapokuja. Matendo 1:8. 10

13 7. Je, ni nani aliye chanzo cha nguvu katika maisha yako? Paulo anathibitisha chanzo cha nguvu na kushuhudia juu ya uhalisi wa nguvu hiyo katika maisha yetu. Roho Mtakatifu aliye ndani yetu ndiye chanzo pekee cha nguvu. Waefeso 3:16 Mtume Paulo anaomba, awajalieni, kwa kadri ya utajiri wa utukufu wake, kufanywa imara kwa nguvu, kwa kazi ya Roho wake katika utu wa ndani. Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani. E. Tunapomkabili Shetani na wafuasi wake katika vita vya kiroho, hatuwezi kwa nguvu au uwezo wetu wenyewe. Ni lazima tuitambue kwa hakika nguvu na nafasi yetu katika Kristo. Ndipo wale sabini waliporudi kwa furaha, wakisema, Bwana hata pepo wanatutii kwa jina lako Luka 10: Kwa sababu ya nafasi yetu katika Kristo; nguvu zote za giza ikiwa ni pamoja na Shetani mwenyewe, zaidi ya hayo, tunayo mamlaka dhidi ya kazi zake na makusudi yake. Ni katika utii unaotenda kazi katika mamlaka yetu, katika hiyo, tumefanywa kuwa washindi dhidi ya Shetani. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi 1Yohana 3:8b Katika 1Yohana 4:4, tunasoma, Ninyi; watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia. Wakolosai 2:6-10, Basi kama mlivyompokea Kristo Yesu, Bwana, enendeni vivyo hivyo katika yeye; wenye shina na wenye kujengwa katika yeye; mmefanywa imara kwa imani, kama mlivyofundishwa mkazidi kutoa shukrani. Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu wala si kwa jinsi ya kimwili. Na ninyi mmemilikiwa katika yeye aliye Kichwa cha enzi yote, na mamlaka. 2. Tunashiriki katika nafasi na mamlaka ya Kristo tangu sasa na hata milele kwa kufanyika warithi pamoja naye. Warumi 8:14-17, Kwa kuwa wote wanaongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu. Kwa kuwa hamkupokea tena roho ya utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia, Aba, yaani Baba. Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu, na kama tu watoto, basi, tu warithi; warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo; naama tukiteswa pamoja naye ili tupate na kutukuzwa pamoja naye. Ufunuo 2:26-27 inatupa kidokezo cha majukumu yetu ya baadaye, Na yeye ashindaye, na kuyatunza matendo yangu hata mwisho, NITAMPA MAMLAKA JUU YA MATAIFA, NAYE ATAWACHUNGA KWA FIMBO YA CHUMA, KAMA VYOMBO VYA MFINYANZI VIPONDWAVYO, kama mimi nami nilivyokea kwa Baba yangu. 11

14 Utekelezaji: Orodhesha mambo unayofikiri kuwa ni faida kuu mbili kwa nafasi yetu katika Kristo? 1 2 F. Tunazo nguvu kupitia silaha zetu za kiroho kubomoa/kuvunja ngome zote za adui 1. Katika namna ile ile, ambayo Jenerali anapewa mamlaka na nguvu za kijeshi kumshinda adui, sisi pia tunayo mamlaka na nguvu za Kristo kumshinda Shetani na jeshi lake. Jenerali anazo nguvu na mamlaka kupitia nafasi yake aliyopewa kutoka kwa wakuu wake. Anazo nguvu zilizopo kwa ajili ya kumshinda adui, kwa sababu anasaidiwa na jeshi lote ambalo lipo tayari kuitikia amri yake. Jenerali hatumii nguvu zake mwenyewe, bali, zaidi hutumia uwezo aliopewa. Kama mtu mwingine akichukua nafasi hiyo, anakuwa na nguvu ile ile. Katika hali hiyo hiyo, tunayo mamlaka juu ya nguvu zote za adui katika nafasi yetu iliyo katika Kristo. Tunazo silaha zenye nguvu kuliko zote katika ulimwengu kwa amri yetu tunamshinda adui. Bwana Yesu Kristo anasimama nyuma ya amri yetu kwa nguvu zake na jeshi lote la mbinguni. G. Silaha za mapambano yetu ni za kimiujiza. maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome. 2Wakorintho 10:4. 1. Hizi ni pamoja na: a. Damu ya Mwana Kondoo wa Mungu b. Jina la Bwana Yesu Kristo c. Neno la ushuhuda wetu d. Maisha yetu yaliyosulubishwa ambayo kwa imani humfanya Mwana wa Mungu mwenye nguvu kuishi kupitia sisi kwa njia ya Roho Mtakatifu. e. Neno la Mungu lenye nguvu Biblia Takatifu. Utekelezaji: Tafadhali, nukuu ni silaha zipi zimejumuishwa katika maandiko yafuatayo: Ufunuo 12:11 Damu ya Mwana Kondoo, Neno la Ushuhuda, Maisha yaliyotolewa kwa Mungu 2Wakorintho 10:3-6 Wafilipi 2: 9-11 Wagalatia 2:20 MAJIBU: Silaha za Kimungu, Jina la Bwana Yesu Kristo, Kristo anaishi ndani mwangu. 12

15 H. Tunapojinyenyekeza kwa Mungu kikamilifu, tunaweza kusimama kwa ujasiri dhidi ya Ibilisi na wafuasi wake huko kuzimu. Utekelezaji: Sisi, Kanisa, tunapaswa kuutangaza ushindi wa Kristo, na kwa Jina lake, kutangaza kushindwa na kuharibiwa kwa nguvu za giza ambazo zinasimama kinyume nasi. Waefeso 3:8-10, Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nilipewa neema hii ya kuwahubiri mataifa utajiri wake Kristo usiopimika; na kuwaangaza watu wote wajue habari za madaraka ya siri hiyo, ambayo tangu zamani zote ilisitirika, katika Mungu aliyeviumba vitu vyote; ili sasa kwa njia ya kanisa, hekima ya Mungu ilivyo ya namna nyingi ijulikane na falme na mamlaka katika ulimwengu wa roho Mwito wa mwisho vitani dhidhi ya nguvu za giza ni Uamsho! Lakini mwisho wa uamsho huo ambao utakuja kama matokeo ya ushindi dhidi ya Shetani ni ushindi wa kupaa: Miaka elfu moja ambapo Bwana Yesu Kristo atatokea na kumseta Shetani na nguvu zake zote kuzimu. Watchaman Nee, Mtu wa Rohoni (Kiroho) 13

16 Katika Kristo Mimi ni 1. Mwana wa Mungu (Warumi 8:16) 2. Nimekombolewa kutoka mikononi mwa adui (Zaburi 107:2). 3. Nimesamehewa (Wakolosai 1:13,14) 4. Nimeokolewa kwa neema kwa njia ya imani (Waefeso 2:18). 5. Nimehesabiwa haki (Warumi 5:1) 6. Nimetakaswa nimefanywa mtakatifu (1Wakorintho 6:11) 7. Kiumbe kipya (2Wakorintho 5:17) 8. Mshiriki wa asili yake ya Uungu (2Petro 1:4) 9. Nimekombolewa kutoka laana ya sheria (Wagalatia 3:13) 10. Nimefunguliwa kutoka nguvu za giza (Wakolosai 1:13). 11. Naongozwa na Roho wa Mungu (Warumi 8:14) 12. Ninalindwa kila ninapokwenda (Zaburi 91:11) 13. Ninapata mahitaji yangu yote kwa Yesu (Wafilipi 4:19). 14. Namtwika fadhaa zangu zote Yesu (1Petro 5:7) 15. Hodari katika Bwana na nguvu za uweza wake (Waefesi 6:10). 16. Nayaweza mambo yote katika Kristo anitiaye nguvu (Wafilipi 4:13). 17. Mrithi wa Mungu na mshiriki wa urithi pamoja na Kristo (Warumi 8:17) 18. Mrithi wa baraka za Ibrahimu (Wagalatia 3:13, 14). 19. Natunza na kuzifanya sheria/amri za Bwana (K/Torati 28:12) 20. Nitabarikiwa nitokapo na niingiapo (K/Torati 28:6). 21. Ni mrithi wa uzima wa milele (1Yohana 5:11-12) 22. Nimebarikiwa kwa baraka zote za rohoni (Waefeso 1:3). 23. Niliponywa kwa kupigwa kwake (1Petro 2:24). 24. Ninatumia mamlaka yangu dhidi ya adui (Luka 10:19). 25. Mimi ni kichwa, wala si mkia (K/Torati 28:13) 26. Ni zaidi ya mshindi (Warumi 8:37) 27. Naanzisha ufalme wa Mungu hapa duniani (Mathayo 16:19). 28. Mshindi kwa Damu ya Mwana Kondoo na Neno la ushuhuda (Ufunuo 12:11) 29. Namshinda Shetani kila siku (1Yohana 4:4) 30. Sivutwi na mambo yanayoonekana (2Wakorintho 4:18). 31. Natembea kwa imani na si kwa kuona (2Wakorintho 5:7) 32. Naangusha mawazo mabaya.(2wakorintho 10:4-5) 33. Nazitiisha fikra zote (2Wakorintho 10:4-5). 34. Nimegeuzwa kufanywa upya nia yangu (Warumi 12:1-2). 35. Ni mtenda kazi pamoja na Mungu (1Wakorintho 3:9). 36. Mwenye haki wa Mungu katika Kristo (2Wakorintho 5:21). 37. Ninamfanana Yesu (Waefeso 5:1). 38. Nuru ya ulimwengu (Yohana 8:12) Utekelezaji: Kila siku tafakari mambo haya; mawili au zaidi kuhusu wewe ni nani kama Mkristo. Utatiwa nguvu kukabiliana na mazingira yo yote na mapigano katika mtazamo na nguvu za Kristo. 14

17 Hakuna nafasi ya kati kati (kutopendelea upande wowote) katika ulimwengu; kila eneo, kila sekunde inamilikiwa na Mungu na Shetani Anaidai/taka. C. S. Lewis 15

18 Sura ya 2 Silaha za Mungu ULINZI DHIDI YA KUINGIWA NA MAPEPO TENA Sura zote zinazofuata zitakuandaa ili uendelee kuwa huru Kweli Kuu: Bwana Yesu Kristo ni silaha yetu. Lengo ya Kujifunza: Kukariri kila sehemu ya silaha za Mungu na kujifunza namna ya kuzivaa kila siku ili kwamba tuweze kusimama imara katika mapambano dhidi ya Shetani na kuzitambua njama zake. Andiko la Msingi/Kuu: Waefeso 6:11 Vaeni silaha zote za Mungu, ili kwamba mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani. Kifungu cha Kujifunza: Waefeso 6:10-18 A. Uwe hodari katika Bwana na uweza wa nguvu zake (Mst. 10) 1. Tunapokuwa tumetakaswa kwa Damu ya Kristo, tumewekwa huru mbali na ngome zote za adui, na kujazwa kwa Roho Mtakatifu, tunakuwa na nguvu katika Bwana. Tunawezeshwa kwa nguvu za Mungu ambazo hazitokani na sisi wenyewe. Nguvu hizi zinakuja pale Roho Mtakatifu anapokaa ndani yetu kadri tunavyojinyenyekeza kwa Mungu. Roho Mtakatifu anaachiliwa kutoka vilindi vya ndani na kutiririka kama maji yaliyo hai. Hapo ndipo tunapoishi maisha yenye uzima tele. Je, ni kweli zipi tunaweza kuzipata katika vifungu vifuatavyo? 1Yohana 1:9 1Wakorintho 16:13 2Wakorintho 12:9 Waefeso 1:18-21 Yohana 7: 38 Zaburi 18:29-36 B. Tumeamriwa kuzivaa silaha zote za Mungu ili kwamba tuweze kusimama dhidi ya njama za Shetani (Mstari 11). Je, tunaweza kudanganywa? Je, ni akina nani ambao Shetani anawatafuta? 2Korintho 11:3 1Petro 5:6-10 Majibu: Majibu: Ndiyo, Mtu wa kummeza 16

19 1. Tumepewa amri ya kuvaa na kuchukua silaha zote na kisha kusimama imara. Ni lazima tuchukue hatua hizi ikiwa tunataka kufaidika kutokana na silaha zote za Mungu. Kanuni ya Mapambano: Tunapozivaa silaha za Mungu, tutazitambua na kusimama imara dhidi ya njama za shetani (Angalia Waefeso 6:11). 2. Mwamini aliyekombolewa yuko tayari sasa kwenda vitani dhidi ya Shetani. Ni lazima awe ameandaliwa na aweze kustahimili katika mapigano. Jesse Penn-Lewis, Mpiganaji hodari wa Mungu, anayo haya ya kusema juu ya hitaji la silaha za Mungu. Hapa kuna mambo matatu juu ya kuvaa silaha za Mungu. Je, unaishi katika faida kamili ya silaha hizo? Mwamini anayezivaa silaha zote za Mungu kama kinga na ulinzi dhidi ya adui, lazima yeye mwenyewe atembee katika ushindi dhidi ya adui. Ni lazima: (1) Roho yake ikaliwe (ijazwe) kwa Roho Mtakatifu, ili atiwe nguvu na uwezo wa Mungu kusimama pasipo kuyumba; (2) Akili yake ifanywe upya (Warumi 12:2) ili kwamba ufahamu wake ujazwe na nuru ya kweli, (Waefeso 1:18) kuondoa uongo wa shetani, na kuharibu utando ambao Shetani aliuweka; hatimaye awe na akili iliyobainishwa ili kwamba kwa kutumia akili aweze kuelewa kusudi la Mungu ni lipi; (3) mwili wake unyenyekee kwa Roho (1Wakorintho 9:25-27), na utii kwenye kusudi la Mungu katika maisha na utumishi. Jesse Penn-Lewis. Vita kwa Watakatifu. C. Vita vyetu ni dhidi ya Shetani na mapepo yake katika ufalme wake wa giza (mstari 12). 1. Ufalme wa Shetani umeandaliwa katika mpangilio wa kijeshi ili kumshambulia Mkristo kwa umakini. Shetani amekuwa akitenda kinyume cha mwanadamu tangu pale kwenye Bustani ya Eden. a. Mtawala wa nguvu za dunia ni Shetani. Anautawala ufalme wake na kuhodhi vyeo mbalimbali. Hapa chini ni baadhi ya majina yake: Ibilisi WAefeso 4:27 Yule Mwovu 1Yohana 5:19 Beliari 2Wakorintho 6:15 Mungu (mtawala) wa dunia hii (2Wakorintho 4:4, Yoh.14:30 Mpinga Kristo (2Wathesalonike. 2:3-10, 1Yoh. 4:3) Joka Ufunuo 12:9 17

20 Nyoka wa zamani Mwanzo 3:1, Ufunuo 12:9 Mshitaki wa ndugu zetu Ufunuo 12:10 Shetani, adui 1Nyakati 21:1 b. Mashambulizi yanaweza kuja kutoka ngazi/viwango mbalimbali vya ufalme wa giza. 1. Wenye mamlaka, wenye uwezo Warumi 8:38; Waefeso 6:12; 1Wakorintho 15:24, Waefeso 1:21, Waefeso 3:10, Wakolosai 1:16, 2: Mamlaka, Ufalme Waefeso 1:21, Wakolosai 1:6f, 2Petro 2:1 3. Wana wawafalme, Mabwana, nguvu za giza Waefeso 6:12, (Angalia ulinganisho hapo juu) 4. Roho Wachafu/wabaya (Malaika wa Ibilisi) 1Samweli 18:10, Luka 8:27 5. Wajumbe wa Shetani Mapepo 2Wakorintho 12:7 (na mingine zaidi) 2. Adui anatuia maeneo matatu kushambulia: mwili, dunia, na nguvu za miujiza miovu. ENEO LA TATIZO SULUHISHO MASHAMBULIZI Mwili MSALABA Wagalatia 5:19-21 Warumi 6:6 Wagalatia 5:24 Dunia Yohana 15: Yohana 2:15-17 Tamaa ya macho, MSALABA Wagalatia 6:14 1Yohana 5:3-5 kujivuna/dai kwa vile tulivyo navyo Ibilisi, Mapepo Waefeso 6:12 1Petro 5:8 VITA VYA KIROHO 1Yohana 3:8 Yakobo 4:7 Mkaribieni Mungu. Mpingeni Shetani. Tunapewa mafunzo kwa ajili ya vita vya kiroho dhidi ya mataifa. 18

21 3. Je, nitawezaje kujua kuwa niko kifungoni? Kuendelea Kushuka katika mzunguko wa dhambi Na Hatua za Kufunguliwa MFULULIZO WA DHAMBI HATUA ZA KUFUNGULIWA (Yakobo 1:13-14) (Yohana 8:36) Hatua Kuelekea Kufunguliwa MAWAZO YA DHAMBI MAWAZO SAHIHI/MAZURI UCHAGUZI MBAYA UCHAGUZI SAHIHI/MZURI TABIA MBAYA KUJIZUIA KUPOTEZA MWELEKEO KUJIDHIBITI KIFUNGO UKOMBOZI Yakobo 4:7 UDHIBITI KAMILI KATIKA MAENEO YOTE YA MAISHA YAKO (Miujiza Miovu imejenga ngome-matokeo yake ni udhibiti wa mapepo-ukombozi ni muhimu ili kuwekwa huru) D. Tutaweza kupingana na kusimama katika siku ya uovu tutakapovaa silaha zote za Mungu (mstari 13). Twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama Mst Kutwaa maana yake ni kukamata/kushika. Ni picha ya askari kuweka sawa vifaa vyake vya vita, kwa hekima na katika mpangilio. Hakuna kinakachokuwa mahali pasipofaa. Hakuna kinachokosekana. 2. Silaha zote za Mungu Kila aina ya silaha inaelezewa kwa mfano wa sura ya Kristo. Tutaona ni kwa namna gani kila aina inatumika katika ushindi wetu. 3. Siku za Uovu - ni nyakati au majira ya mashambulizi makali. Ayubu alipitia siku za uovu ambazo zilisababishwa na Shetani, lakini ziliruhusiwa na Mungu ili kumjaribu, kumthibitisha, kumsaidia kupevuka na kumtengenezea unyenyekevu katika kupambanua mambo ya rohoni mtu wa Mungu aliyeandaliwa kuwahudumia wengine (Ayubu 42:8). Sasa, kwa kuwa umewekwa huru, mapambano unayokabiliana nayo yatalitimiza kusudi la Mungu. Je matokeo yake yatakuwa nini au yapi? Soma kwanza mistari ifuatayo: 1Petro 1:3-9 Kusudi la vita vya kiroho kwangu ni Muhimu: Majibu yanaweza kuwa-nifinyange na unifundishe kuomba na kupigania wengine. 19

22 4. Tunasimama imara kwa kujinyenyekeza kwa Mungu, kuchukua nafasi zetu katika Kristo na kumpinga Shetani. Tunaposimama imara tunakuwa washindi kiroho. Tunahakikishiwa kuwa mashambulizi yanakapokwisha, bado tutaendelea kusimama imara na bado tukiwa thabiti (1Petro 5:8-10). Hakuna likizo katika ulimwengu wa roho.. Hakuna bali silaha za Mungu zitatufanikisha katika mapigano haya hatari ambayo tumejiingiza. Hakuna ulinzi, hakuna tunaloweza kufanya ambalo hatimaye litatulinda dhidi ya adui huyu anayetutia hofu, mwerevu na mwenye nguvu bali ni Silaha zote za Mungu tu. Dr. Martini Lloyd Jones, Askari Mkristo E. Silaha za Mungu (Mistari 13-17) Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake Warumi 13:14. Kanuni ya Mapambano: Kuvaa kwetu silaha zote ni sifa ya msingi katika uwezo wetu wa kusimama wakati wa shambulizi la kipepo. 1. Jifunge MKANDA WA KWELI kiunoni mwako (Mstari 14) Basi simameni hali mmejifunga kweli viunoni Mst. 14. a. Kusimama ni nafasi ya ukakamavu ya askari ambayo inaonyesha kwamba hatutakiwi kutoka nje ya nafasi yetu katika jeshi. Hatufanyi kazi inayofanana, lakini tunashiriki kusudi moja la kijeshi: kulishinda jeshi la Shetani kupitia ushindi ulio katika Bwana Yesu Kristo na kuzifichua hazina kutoka gizani. Soma Isaya 45:2-3. Je, unafikiri hazina zilizofichika gizani ni zipi? MAJIBU YANAYOTARAJIWA: Waliopotea, roho za watu ambao bado hawajaokolewa, watu walio kifungoni b. Kujifunga kweli viunoni kunamaanisha kuvizungushia au kuvivalisha viuno vyetu mkanda wa Kweli. Askari wa Kirumi alivaa mkanda mpana sana. Huu ulikuwa sehemu muhimu katika vifaa vyake vya kijeshi. Katika sehemu moja kulikuwa na kitanzi kwa ajili ya upanga, kitanzi kingine kilikuwa na mijeledi/ugwe mitatu ya ngozi iliyoning inia kutoka hapo; kulikuwa pia na mfuko wa mgawo. (Angalia kielelezo kwenye ukurasa wa 28-30). c. Kweli inaakisi/ashiria Uhalisia (ukweli) ambao ni Mungu. Mungu mwenyewe ametushirikisha kile ambacho ni halisi katika maeneo yetu ya kibinadamu. Aliileta Kweli hii duniani kupitia Mwanae. Mungu anaongea kupitia Biblia Takatifu; na Mwanae; na Roho Mtakatifu kutukumbusha sisi juu ya hiyo Kweli. Soma mistari ifuatayo na uandike tafsiri yako ya neno Kweli. Yohana 8: Yohana 14:16, 17 20

23 Kweli ni. Utekelezaji: Mkanda wa hiyo Kweli unakuwa na faida pale tunapochukua msimamo usioyumba katika Neno la Mungu katika kukabiliana na uongo. Jibu kwa swali E 1c: Nafsi ya Bwana Yesu Kristo, Roho Mtakatifu ni Roho ya Kweli. 2. Kuvaa DIRII YA HAKI (Mst. 14) a. Dirii ya Kirumi ilitengenezwa kwa shaba au chuma. Ilishikiliwa kwenye mkanda kwa mijeledi/ugwe mitatu ya ngozi ambayo imeshatajwa hapo juu ambayo ilining inia kwenye mkanda. Dirii hii ilifanya kazi ya ulinzi kwa ajili ya viungo muhimu vya mwili moyo na mapafu. (Angalia kielelezo kwenye ukurasa 28-30). b. Kama sehemu ya kuhifadhi maandiko, Moyo ni lazima ulindwe. Dhamira na moyo huamua mwelekeo wa akili na tabia ya askari Mkristo; na ni lazima asishutumiwe kwa lo lote. Tunatambua umuhimu wa kutembea kwenye kweli katika mistari ifuatayo: Zaburi 19: 14, Zaburi 119:11 Mithali 4:20-23 c. Haki ni nini? Haki ni uadilifu mbele za Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo. Kristo ni kielelezo chetu cha uadilifu, usafi, hekima, na utakatifu. Tunapodai haki yake, mshitaki hawezi kutuingilia kwa mashitaka yake. Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanywa kwenu hekima itokayo kwa Mungu, na haki, na utakatifu na ukombozi; kusudi, kama ilivyoandikwa, YEYE AONAYE FAHARI NA AONE FAHARI JUU YA BWANA 1Wakorintho 1:30, 31 Je, wewe unaweza kuitafsiri haki kwa namna gani? d. Nabii Yeremiha, alitabiri hili kwenye Yeremia 23:6, na jina lake atakaloitwa ni hili, BWANA ni haki yetu. e. Baada ya kufa na kufufuka kwa Kristo, tunasoma juu ya utimilifu katika Warumi 5:18, Basi tena, kama kwa kosa moja watu wote walihukumiwa adhabu, kadhalika kwa tendo moja la haki watu wote walihesabiwa haki yenye uzima. 2Wakorintho 5:21 Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Kristo. 21

24 f. Utekelezaji: Tunapodhamiria mioyoni mwetu kutojinajisi na kudai haki ya Kristo kama yetu, tunasimama imara dhidi ya mashitaka ya Shetani. Basi tuseme nini juu ya hayo? Mungu akiwa upande wetu, ni nani aliye juu yetu? Yeye asiyemwachilia Mwana wake mwenyewe, bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote, atakosaje kutukirimia na mambo yote pamoja naye? Ni nani atajakayewashitaki wateule wa Mungu? Mungu ndiye mwenye kuwahesabia haki Warumi 8:31-33 g. Utekelezaji: Mshukuru Bwana Yesu Kristo kila siku kwamba unasimama katika haki yake. Jiwekee malengo kwamba hutajinajisi na dhambi, na dunia, au na mashitaka ya Shetani. 3. KUFUNGIWA MIGUU UTAYARI TUPATAO KWA INJILI YA AMANI AU KATIKA MIGUU YAKO KUWE NA UTAYARI AMBAO UNATOKANA NA INJILI YA AMANI (Mst. 15). a. Miguu yako ni lazima iwe imejiweka tayari kwa vita. Viatu vya Kirumi vilikuwa vya kamba za ngozi vikiwa na njumu chini ili kurahisisha utembeaji na kushikilia sana nafasi yake wakati wa kupambana na adui. (Angalia kielelezo kwenye ukurasa 28-30). Kanuni ya Mapigano: Hakuna kurudi nyuma mara unapoamua kupambana na adui. Shikilia kwa nguvu msimamo ulioutangaza. b. Utayari au Maandalizi ni nafasi tunayoipata baada ya kuelewa umuhimu kamili wa Injili ya amani, ambayo imetupatanisha na Mungu na wanadamu wenzetu. Injili hii ni tangazo la kushindwa kwa ufalme wote wa Shetani. c. Je, ni kweli ipi unaweza kuupata kuhusiana na aina hii ya silaha kutoka mistari ifuatayo? 1. Luka 12:35 2. Yohana 14:2 3. Warumi 10:15 4. Waefeso 3: Wakolosai 1: Wakolosai 3:15 22

25 d. Utekelezaji: Kutangaza msimamo wako wa ushindi katika Injili ya Amani: Ninatangaza kwamba nimenunuliwa kwa Damu ya thamani ya Bwana Yesu Kristo. Kumbukumbu za dhambi zimefutwa. Nimesamehewa na ninasimama kama mwenye haki wa Kristo. Nina amani na Mungu. Nimekubali kuwasamehe wote walionionea kwa msamaha wa Bwana wangu Yesu Kristo, na ninafuta kumbukumbu zao za mabaya waliyonitenda. Ninawabariki wale walionilaani na kuamua kuwafanyia mema wale walionifanyia mabaya. Nasimama imara katika Injili ya amani na kudai ujasiri wa Kristo kwa kuitangaza pasipo hofu Injili ambayo kwayo nimekuwa balozi wake. Majibu kwa swali E 3, b: 1. Jivike utayari. 2. Yesu ametuachia amani, na siyo moyo wa hofu na unaosumbuka.; 3. Wale wanaoleta kwa furaha taarifa za kushindwa kwa Shetani, na habari njema za Injili wanayo Miguu mizuri ; 4. Shetani na watenda kazi wake wametaarifiwa juu ya Hekima ya Mungu. 5. Tumepatanishwa na Mungu na kuwa na amani kupitia Bwana wetu Yesu Kristo. 6. Tunairuhusu amani ya Mungu kuwa mtawala (mwamuzi) katika mioyo yetu. 4. Zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya Imani ili kwa hiyo muweze kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu (mst. 16). Basi kama mlivyompokea Kristo, Yesu, Bwana, enendeni vivyo hivyo katika yeye; wenye shina na wenye kujengwa katika yeye mmefanywa imara kwa imani, kama mlivyofundishwa; mkizidi kutoa shukrani Wakolosai 2:6-7. a. Kuitwaa ngao ya imani kunamaanisha kuichukua imani kila wakati kwa ajili ya vita. Ngao ya Kirumi ilitengenezwa kwa umakini ili iweze kutumika mara moja inapohitajika. Wakati wa maandalizi ya kuingia kwenye mapambano, ngao hii ililowekwa kwenye maji ili kuzima mishale ya moto ya adui. Kwa Mkristo, Neno la Mungu ni maji ambayo yanatakiwa kuiloweka ngao ya imani yetu. Ili tuweze kutumia ngao ya imani yetu, ni lazima tujikifu wenyewe kwenye Kweli ya Neno la Mungu, kwa sababu ni hilo tu ndilo linaloweza kuzima moto wa mawazo na mashambulizi ya akili ya adui (Angalia kielelezo ukurasa 28-30). b. Imani ni nini? Imani ni tumaini la mtu binafsi katika nafsi ya Bwana Yesu Kristo. Imani ni kuwa na mtazamo wa Kristo. Ni kumwamini Yesu katika kufanikisha mahitaji yetu yote. Kwa habari ya ahadi za Mungu, imani yetu ni hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana kwa mambo yasiyoonekana. Tumechagua kuliamini Neno la Mungu hata kama halikubaliani na ufahamu, hisia, mazingira yetu au uongo wa Shetani. c. Utekelezaji: Je, ni kweli ipi juu ya ngao yako ya imani inaweza kupatikana kwenye mistari hii?: Waebrania 11:1 Mithali 30:5 Mathayo 17:

26 Marko 11:22-24 Luka 17:5-6 Majibu kwa maswali E-4, b: 1. Tafsiri/maana ya Imani; 2. Mungu na Neno lake ndio ngao yetu ya Imani; 3. Ukubwa wa wa imani kiasi cha mbegu ya haradali kinaweza kuhamisha milima na kufukuza mapepo; 4. Kuomba kwa imani huleta majibu; 5. Yesu anaeleza kazi ya kiwango kidogo cha imani kwamba ni cha muhimu sana katika vita vya kiroho. d. Kuna njia nne za kutekeleza amri ya kuitwaa ngao ya imani : 1. Kulichukua (kulisoma) Neno la Mungu kila siku ili kuimarisha ngao yako Warumi 10:17 2. Kudai ahadi za Mungu kwa imani kama msingi wa kila unalotenda Waebrania 11: Kujazwa kwa Roho Mtakatifu na kuonyesha matunda ya Roho Mtakatifu Waefeso 5:18, Wagalatia 5:22,23 4. Kuitwaa ngao ya imani mara moja (haraka) unapokuwa kwenye mapambano 1Petro 1:6,7,13 5. Wakati wote jishughulishe na masuala yanayomhusu Kristo na uwe na ushirika naye 1Petro 1:8, Wakolosai 3:1, Waebrania 12:1-2. e. Adui ana mbinu katika mikakati yake ya kututoa kwenye imani yetu. Baadhi ya mambo ya kawaida yanayoshambulia imani ni: mashaka, hofu, kutotenda, kutoamini, na utepetevu (hali ya kutojali). Hii itajadiliwa kwa kina (undani) katika sura ya tano juu ya Kushinda Vita vya Akili. f. Utekelezaji: Ninaichukua ngao yangu ya imani na kuchagua kuiamini na kuitangaza kweli ya Mungu katika maeneo ambao kuna mwako wa uongo au ushauri wa adui. 5. Kuchukua CHAPEO YA WOKOVU (Mst. 17). a. Kwa kuwa Kristo ndiye kichwa cha vitu vyote kwa ajili ya Kanisa, hivyo, Ndiye kichwa chetu. Chapeo ya Wokovu inawakilisha nafasi yetu ya ushindi; baada ya kuupata ukombozi wetu kutoka kwenye ufalme wa giza na nafasi yetu ya kudumu kama wana wa Mungu. b. Chapeo ya Kirumi ilikuwa na kibwenzi cha rangi nyekundu ya kung aa ili kumtambulisha. Kama chapeo ya Kirumi ilivyomtambulisha askari kwamba ni wa kutoka jeshi gani alilopigania, kwa hiyo wokovu wetu unatutambulisha kwa adui kama askari wa Msalaba ambao wanatembea chini ya Damu ya Mwana Kondoo. Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa Pendo lake Wakolosai 1:13 c. Akili ya mwanadamu iko vitani ambako Shetani na roho wake wabaya hupambana dhidi ya kweli kwa kupandikiza mawazo, ushauri, kutafakari vibaya, kudhania, kupotosha na fikra potofu. Ngome za adui ambazo zimekaa katika akili ziliharibiwa na kuondolewa wakati wa ukombozi, lakini sasa akili ni lazima irejeshwe kwenye hali iliyo njema ambayo Mungu aliikusudia kuijenga upya katika kweli yake. (Angalia Sura ya 5 yenye kichwa: Kushinda Vita vya Akili ). 24

27 Maana ingawa tunaenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsia ya mwili; (maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome) tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacha juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo 2Wakorintho 10:3-4. Je, mistari hii inazungumzia nini kuhusiana na akili? Wafilipi 2:12-13 Warumi 12:2 d. Bwana wetu Yesu Kristo ni mwokozi wetu kutoka kwa adui zetu. Unabii wa Zekaria kuhusu Kristo unatimizwa: Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa kuwa amewajia watu wake, na kuwakomboa. Ametusimamishia pembe ya wokovu katika mlango wa Daudi, mtumishi wake - Kama alivyosema tangu mwanzo kwa kinywa cha manabii wake watakatifu - Tuokolewe na adui zetu na mikononi mwao wote wanotuchukia; Ili kuwatendea rehema baba zetu, na kulikumbuka agano lake takatifu; Uapo aliomwapia Ibrahimu, baba yetu, Ya kwamba atatujalia sisi, tuokoke mikoni mwa adui zetu, na kumwabudu pasipo hofu, kwa utakatifu na kwa haki mbele zake ziku zote Luka 1: e. Chapeo ya wokovu inawakilisha ukombozi wetu na nafasi yetu katika Ufalme wa Nuru kama askari wa Kristo. f. Utekelezaji: Je, ni namna gani tunaweza kushughulikia mashutumu ya adui dhidi ya nafasi yetu ya ukombozi katika Kristo na ushirika wenye mshikamano tulio nao katika Kristo? 1. Usiache mawazo au mishale kuweka mizizi ambayo itakufanya utende dhambi. Yakatae mara moja yanapojua kwa mara ya kwanza, Yakobo 4:7. 2. Jifunze kuitambua tofauti kati ya fikra zako na fikra za Shetani na mapepo. Adui mara nyingi ataongea katika nafsi ya kwanza ili kukufanya ufikiri kwamba hayo ni mawazo yako. Kwa mfano: Mimi ni mtu wa kushindwa. Kama unachokisikia siyo cha kweli na hakilingani na Kweli juu ya Mungu au wewe ulivyo katika Kristo, basi hayo yanatoka kwa adui. 3. Njia ya kawaida sana ambayo Shetani anakupata ni kupitia akili yako. Kama ataipata akili yako, amekwisha kuushambulia utu wako. 2Wakorintho 10:4-5. Mara moja tambua uongo wake na ongea kweli badala yake.hii ni kanuni ya mapambano ya mashambulizi. Unavyoyapinga mapema mashambulizi, ndivyo uharibifu unakuwa mdogo. 4. Kama adui atashambulia hisia zako, zisalimishe hisia zako kwa Bwana Yesu Kristo na dai hisia na maisha yake kama mwitikio wako. Ninayeweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu Wafilipi 4:13 25

28 6. Chukua UPANGA WA ROHO ambao ni NENO LA MUNGU (Mst. 17). a. Tunatumia silaha za kujihami kwa kuongea neno la Mungu kama vile Yesu alivyofanya alipokuwa akijaribiwa nyikani, pale aliposema na Shetani, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake. Kisha Ibilisi akamwacha. Mathayo 4: Utekelezaji: Tumia mstari sahihi dhidi ya uongo au mikakati ya adui na itaharibu mpango wa Shetani dhidi yako. b. Je Mungu anasema nini juu ya nguvu na kusudi la Neno lake? 1. Wana amani nyingi waipendao sheria yako, wala hawana la kuwakwaza. Zaburi 119: Timotheo 2:15 inatupa changamoto kulitumia Neno la Mungu kwa uangalifu na usahihi, Jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu, mtenda kazi asiye na sababu ya kutahayari, ukitumia kwa halali neno la kweli. 3. Nguvu ya Neno la Mungu inaonyeshwa kwa usahihi kabisa kwenye Waebrania 4:12, Maana Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawaoz na makusudi ya moyo. c. Upanga wa Kirumi ulijulikana katika ulimwengu mzima kama upanga ukatao kuwili, mkali na silaha iliyoogopwa sana. Askari wa Kirumi hakuachana nao wakati wo wote, usiku au mchana. Ilikuwa ni silaha yake ya msingi ya ulinzi. (Angalia kielelezo kwenye ukurasa wa 30). Kwa hiyo, vivyo hivyo, tunatakiwa kuijua silaha yetu kwa kusoma na kutafakari Neno la Mungu usiku na mchana. Tunapopambana dhidi ya Shetani na majeshi yake, matumizi sahihi ya Neno la Mungu litafanikisha kumshinda. Shetani anatetemeka anaposikia Neno la Mungu. Anajua kwamba ni silaha ambayo itamsababishia yeye kukimbia. 7. KUOMBA/KUSALI WAKATI WOTE KATIKA ROHO NA KUKESHA NA KUWAOMBEA WATAKATIFU (Mstari 18) a. Ni Roho wa Mungu tu ajuaye namna tunavyopaswa kuomba. Tunapoomba, kwanza, tujisalimishe kwa Baba wa Mbinguni katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Tunamwomba atuonyeshe namna ya kuomba sawa sawa na mapenzi yake. Jipe muda kumsubiri Bwana na msikilize Yeye!!!!!!!! b. Tunapata nguvu ya kupigana na adui na tunayakomboa maeneo kutoka kwake pale tunapoomba kwa ajili ya watakatifu ambao nao wanapitia majaribu na mateso. Maombi hutusaidia tusiangukie katika mitego ya adui. Yesu alizungumza na wanafunzi wake katika kipindi cha majonzi yake makubwa, wakati alipokuwa akimwombea kila mmoja, Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho I radhi, lakini mwili ni dhaifu. Mathayo 26:41. 26

29 c. Paulo aliwataka watakatifu kuomba kwamba apata ujasiri kutangaza Injili pasipo uoga/hofu. Askari wa Kirumi alijulikana kwa ujasiri wake na kutokuwa na hofu. Waefeso 6: Kama Paulo, sisi Wakristo tunaweza kuombeana ili kwamba tupewe ujasiri tuweze kutangaza Injili pasipo hofu/uoga. d. Je, tunawezaje kujua kuwa tunaomba katika Roho? Kama unataka kuwa na uhakika kwamba unaomba katika Roho, omba kwa kutumia Neno la Mungu. Pole pole utapata uhuru zaidi na zaidi katika Roho kuomba katika mapenzi ya Mungu. e. Utekelezaji: Hapa/hizi ni kanuni za kutumia katika maombi kwa ajili yetu na wengine ili kwamba ufalme wa Mungu uweze kusonga mbele. 1. Waefeso 1: Omba kwa ajili yako kwanza na fuatia na wengine. 2. Waefeso 3:14-21 Omba kwa ajili ya uwezo, nguvu, uwepo wa Kristo, na uwezo wa kuelewa namna upendo wa Kristo unavyofanya kazi ndani ya Kanisa. 3. 2Wakorintho 4:3-4 - Mwamuru Shetani kuvua vinga/upofu wake kwenye ufahamu/akili za wasio amini, wale ambao unawoambea ili kwamba waweze kuelewa Injili na kumpokea Kristo. 4. Wafilipi 3: Omba kumjua Kristo, nguvu Zake, kuwa na ushirika naye katika mateso yake. 5. Wafilipi 4:6-7 - Omba badala ya kuogopa. 6. Ezekieli 22: Simama kama mwombezi kwa wale unaowapenda, watakatifu, na taifa kadri Roho Mtakatifu atakavyokuongoza. 7. 2Wathesalonike 1:11-12 Omba kwamba kusudi la Mungu liweze kutimizwa kupitia wewe ili Bwana wetu Yesu Kristo aweze kutukuzwa. 8. 2Wathesalonike 3:1-3 - Omba kwa ajili yako na Wakristo wengine ili kwamba muweze kukombolewa dhidi ya watu wabaya na awaimarishe kwa ajili ya vita. 9. 1Timotheo 2:1-4 - Omba kwa ajili ya viongozi na watu wote, kadri Roho Mtakatifu anakavyokuongoza, ili waweze kuokolewa. 27

30 Mavazi ya Askari wa Kirumi na Vitendea Kazi (vifaa) vya Vita Askari wa Kirumi Karne ya Kwanza Mtume Paulo kwenye Waefeso sura ya 6 anazielezea Silaha za Mungu. Katika kipindi hicho alikuwa amefungwa chini ya Askari wa Kirumi ambaye alivaa mavazi kama hayo. Mkanda wa Kirumi Mkanda wa Kweli 28

31 Silaha za Kirumi Karne ya Kwanza Dirii ya Kirumi Dirii ya Haki Viatu vya Kirumi vilivyovaliwa wakati wa vita Ngao ya Kirumi Karne ya Kwanza. 29

32 Silaha za Askari wa Kirumi Kofia (Chapeo) ya Kirumi yenye kibwenzi chekundi Kofia (Chapeo) ya Wokovu Upanga wa Kirumi Ukatao Kuwili Neno la Mungu Jeshi la Kirumi likiwa kamili na Vitendea Kazi tayari kwa Mapambano Sisi ni Askari wa Msalaba, tumeandaliwa vema kwa Silaha za Mungu. 30

33 Sura ya 3 Kufunga na Kufungua katika Vita vya Kiroho Mathayo 12:29; Capt. 16:19; Capt. 18:1 Kweli Kuu: Tumepewa mamlaka katika Kristo kumfunga Shetani na Wafuasi Wake. Lengo la Somo: Kuelewa namna ya kushiriki katika vita tulivyoamriwa na namna ya kuzifunga nguvu za giza na kuwafungua watu kutoka kwa adui kwa uongozi wa Roho Mtakatifu. Andiko la Msingi/Kuu: Mathayo 12:29..Ama awezaje mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuviteka vyombo vyake, asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Ndipo atakapoteka nyumba yake. A. Kanuni za Mapambano. 1. Wakati wote tutende kwa utii kwenye kusudi la Mungu lililofunuliwa. Usifanye tendo linalojitegemea, bali subiri kujua Kusudi la Mungu. Mistari ifuatayo inatuhamasisha kuwa watii Yakobo 1: Petro 1: Wakati wote tunatunza mfumo wa mapambano kwa kujisalimisha/kumkaribia Mungu kwanza na kumpinga Shetani Yakobok 4:7 3. Wakati wote ongea kwa sauti na adui. Bwana wetu kwa sauti alimwamuru adui kuondoka. Shetani hana uwezo wa kusoma akili zetu. Yesu aliweka kielelezo kwa ajili yetu katika mistari ifuatayo kwa kuongea kwa sauti na adui. Mathayo 4:10 Marko 8:33 Marko 9:25 Kwenye Luka 10:17 wale sabini walishangilia kwa furaha kwa jinsi mapepo yalivyowatii walionena kwa jina la Yesu. 4. Tunakuwa tunakabiliana na adui moja kwa moja, kamwe hatuko kwenye maombi. Tunakuwa kwenye nafasi ya vita tukiwa na macho yaliyo wazi wakati tunaongea moja kwa moja na Shetani na roho wake wachafu. Bwana wetu alikuwa kielelezo mara kwa mara. Vivyo hivyo, wanafunzi wake pia walifanya. Marko 9:25 Matendo 13:

34 Kanuni ya Mapambano: Vita vyote vya Kiroho vinafanyika chini ya usimamizi mzuri wa mamlaka na katika utii wa amri za Bwana wetu. B. Tumekwisha pewa funguo za ufalme ili kufunga na kufungua katika ulimwengu wa roho ili ufalme wa Mungu usonge mbele. Katika vita vya kiroho, kufunga, ni mchakato wa maongezi ya kiroho katika huo tunamfunga, tunaweka pingu miguuni, au kumzuia kutembea au kuingia Shetani na wafuasi wake kuzimu katika namna ya mtu au hali (Greek deh o-kuwa kifungoni). Ufungaji ni mchakato wa maongezi wa kiroho ambao katika huo tunaacha huru, tunavua, tunafukuza (kuruhusu kuondoka), tunayeyusha, tunasimamisha (kufunga) au tunaachisha. Utawala, ushawishi au kufanikiwa kwa shetani na wafuasi wake kuzimu ndani ya mtu aliyekusudiwa au hali. [Greek lu o kulegeza, kuvua, kuyeyusha, kumalizia (hitimisho)] C. Kanuni za Kufunga na Kufungua katika Vita vya Kiroho. 1. Mungu hatafanya kwa ajili yetu cho chote ambacho amekwisha tuandaa kukifanya wenyewe. Tumekwisha pewa uhuru wa kufanya ambao Mungu hatauingilia. Ni lazima tuchague kutumia nyenzo ambazo Mungu amekwisha tupatia. Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakwua limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni Mathayo 16:19... Kwa maana, amini, nawambia, mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtaumbia mlima huu ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisowezekana kwenu. Mathayo 17:20b 2. Ni lazima tusonge mbele dhidi ya adui chini ya amri tu. Kwa kuwa Bwana Yesu Kristo ni kamanda wetu wa wenyeji wa mbinguni, basi tunapojinyenyekeza kwake, tunamsubiri yeye kutupa maelekezo kuhusiana na vita vya kiroho. Tunakuja kwa Baba yetu wa Mbinguni katika Jina la Bwana Yesu Kristo katika maombi na kumwomba atuonyeshe namna tunavyoweza kumfunga adui na wafuasi wake kuzimu katika mazingira au mtu fulani. a. Mungu hutupa hekima kwa ajili ya vita Mithali 20:18 b. Hutuandaa Zaburi 18:33-39 c. Wale sabini walirudi na ushindi baada ya kufuata mpango wa vita Luka 10:17-23 d. Tunahamasishwa kufuatia mpango wa maisha ambao Mungu ameuandaa kwa kila mmoja wetu Waefeso 2:10 32

35 Mathayo 8:8-9: Bwana, mimi sistahili wewe uingie chini ya dari yangu; lakini sema neno tu, na mtumishi wangu atapona. Kwa maana mimi nami ni mtu niliwekwa chini ya mamlaka, mwenye askari chini yangu; nikimwambia huyu, Nenda, huenda; na huyu Njoo, huja; na mtumwa wangu, fanya hivi, hufanya. 3. Tunatakiwa kuelewa kwamba ulimwengu wote wa roho unaendeshwa na mamlaka sahihi. Bwana alimsifia yule askari kwa imani kubwa iliyo na msingi wa ufahamu wa mamlaka. Tayari tumejifunza namna gani, katika Kristo, tumekwisha pewa mamlaka dhidi ya nguvu zote za adui. Tunaweza kumfunga adui na kumfungua katika maisha yetu kutokana na utawala wake. Tunaweza pia kuchukua mamlaka dhidi ya nguvu zote za adui na kumfunga kwa wale walio chini ya mamlaka yetu. Kwa mara nyingine tena, kufunga na kufungua kwa ujumla kunategemea Kusudi la Kamanda wetu, Bwana Yesu Kristo. Ni lazima kila wakati tutafute/tufuate maelekezo/maagizo kutoka kwake kabla ya kufunga na/au kufungua. 4. Kila kujihusisha kwetu katika ulimwengu wa adui usioonekana katika ulimwengu wa roho kunafanyika kwa imani katika Mwana wa Mungu na katika Neno la Mungu. Askari aliamini kwamba hakika Yesu alikuwa Kamanda Mkuu wa ulimwengu wote wa roho na viumbe hivi vyote vitaziitikia amri zake. Alijua kwamba roho wabaya wamesababisha magonjwa kwa mtumishi wake. 5. Ni lazima pia tukubali kuamini kuwa, tumekwisha pewa mamlaka yake ili kufunga na kufungua katika ulimwengu wa roho ili mradi tunaji nyenyekeza Kwake kwa ajili ya maagizo. 6. Kufunga na Kufungua katika ulimwengu wa roho ni nyenzo tulizopewa ili kueneza Injili. Adui hupumbuza akili za wale wasioamini ili asiweze kuipokea Injili. Tunapomfunga Shetani kwenye akili, hisia, na mwili wa mtu asiyeamini, tunamsaidia ili kwamba mtu huyu aweze kuisikia kweli, aokolewe na kuwekwa huru. a. Mathayo 16:19 Hizi ndizo funguo: Kufunga na Kufungua Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakwua limefungwa mbinguni; na lo lote utkalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni. b. 2Wakorintho 4:3-4 Tunapofunga, tunamfanya Shetani ashindwe kufunga akili za mtu asiyeamini kwa hiyo anaweza kuielewa Injili. 7. Kwa kawaida tunayo mamlaka ya kufnga na kufungua kwa niaba ya wale ambao wako chini ya mamlaka yetu. Askari aliielewa mamlaka hii pale alipoongea na Yesu juu ya mtumishi wake aliyepooza. Yesu alitaka kwenda naye ili amponye mtumishi wake, na askari akadhihirisha uelewa wake juu ya mamlaka katika ulimwengu wa roho. Mathayo 8:7-8 33

36 8. Tunapoingia nyumba ya mtu mwenye nguvu kuviondoa vitu anavyovimiliki, ni lazima kwanza tumfunge mtu mwenye nguvu. Mtu huyu mwenye nguvu ni Shetani. Muktadha wa kifungu hiki ni ukombozi. Baada ya kuwa tumemfunga mtu huyu mwenye nguvu, tunaweza kuingia kwenye milki yake, kufunga watumishi wake waovu, na kuawaamuru kwenda kuzimu, ili kwamba tuweze kudai tena maeneo yetu ya maisha ambayo yalikuwa chini ya umiliki wake. Yesu ametupa amri katika mistari ifuatayo: Mathayo 12: 29 (Mstari wa msingi) Marko 3:27 9. Tunafunga na Kufungua kwa malengo. Tunamfunga mtu mwenye nguvu na kuwafungua wale walio chini ya vifungo vyake (Angalia ukurasa 40). Tunamfunga katika maeneo yafuatayo: Katika mwili au mwili wa nyama, pia, kipekee, ulimi Ufahamu au akili Nia/dhamira Hisia, huba, tamaa. 1Wathesalonike 5:23 inayaelezea maeneo mawili ambayo yanatakiwa kudhihirishwa katika kufunga. Ni maeneo yapi hayo?, Jibu: Nafsi na mwili 10. Katika kuliadabisha Kanisa, tulijifunza kuwa tunayo mamlaka ya kumfunga adui na kumfungua mtu kutoka kwenye nguvu za giza, pale Mkristo atakaposhindwa kuiitikia katika mchakato wa urejesho/ukombozi kupitia maandiko. Yesu aliuelezea mchakato katika: Mathayo 18: a. Pale ndugu yako katika Kristo anapotenda dhambi dhidi yako, Yesu alitoa hatua zilizo wazi na rahisi kusuluhisha tatizo: Hatua ya 1: Enenda ukamwonye, wewe na yeye peke yenu; akikusikia umempata nduguyo. Hatua ya 2: La kama hasikii, chukua pomoja nawe tena mtu mmoja au wawili, ili kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno lithibitike. Hatua ya 3: Na kama asipowasikiliza wao, liambie kanisa; na asipolisikiliza kanisa pia, na awe kwako kama mtu wa mataifa na mtoza ushuru. Hatua ya 4: Amini, nawaambieni, yo yote mtakayoyafunga duniani yatakuwa yamefungwa mbinguni; na yo yote mtakayoyafungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni. Tena nawaambia, ya kwamba wawili wenu watakapopatana duniani katika jambo lo lote watakaloomba, watafanyiwa na Baba aliye mbinguni. b. Yesu anatuelekeza kuchukua mamlaka dhidi ya roho za mapepo ambazo zinamzuia mtu kupokea ukombozi/urejesho. Tunaweza kufanya hivi kwa kuzifunga na kuzifungua roho ambazo zinamtesa. 11. Siku zote funga na kufungua katika Jina kamili la Bwana Yesu Kristo. Tumepewa heshima ya kuisimamia Injili, nguvu ya Mungu, kwa sababu sisi ni wateule wake. Kuna makristo wengi wa uongo na Yesu wa uongo, lakini kuna BWANA YESU KRISTO mmoja tu. 34

37 ONYO!!!!!!! Siku zote kiri dhambi zako zote unazozijua na kujisalimisha kikamilifu kwa Bwana Yesu Kristo katika maeneo yote ya maisha yako kabla ya kuingia katika vita vya kiroho. D. Utekelezaji: Namna gani tunamfunga Shetani na wafuasi wake jehanamu? Hii tunafanya kwa ajili yetu wenyewe, waamini wengine na wasioamini kama Bwana atakavyokuongoza. 1. Mfunge Shetani kama mtu mwenye nguvu, na kisha funga pepo wachafu wale ambao Bwana anakuongoza kuwafunga. Mathayo 12:29; Marko 3:27 2. Unapomfunga Shetani, ongea kwa sauti kwa ujasiri wa Roho Mtakatifu. Haya siyo maombi, bali ni tangazo la mapambano. 3. Ongea moja kwa moja na Shetani katika Jina la Bwana Yesu Kristo na chukua mamlaka dhidi yake (Luka 10:18-19). 4. Funga nguvu za Shetani zilizo katika mwili na ulimi wa mtu, ambaye hatajionyesha kuwa na nguvu kwa namna yo yote na kisha kwa maneno ufungue mwili na ulimi wa mtu kutoka vifungo vya Shetani katika Jina la Bwana Yesu Kristo. 5. Baada ya hapo, mfunge Shetani kutoka kwenye akili, dhamira, na hisia za mtu. Unaufungua ufahamu, dhamira, na hisia kutokana na kushikiliwa na Shetani. 6. Msubiri Bwana akuonyeshe kama unahitaji kumfunga Shetani kwa majina maalumu (baba wa uongo, mdanganyaji, mshitaki, mharibu n.k.). Hizi zinaweza kuwa njia ambazo adui amekuwa akizitumia kumshambulia mtu huyo. 7. Kata mawasiliano yote kati ya Shetani na roho wachafu. 8. Futa maelekezo yote ambayo yanapingana na mtu. 9. Futa laana zote ambazo zilikuwa zimewekwa kumkandamiza mtu huyu, zilizopo kwenye huduma, na huduma. 10. Kwa utulivu, subiri katika maombi ili kufikiri maeneo gani mengine ya kumfunga ambayo Baba wa Mbinguni atakutaka uyafanye. Hakikisha kuwa ufungaji umefanyika kwa kina na kwa ukamilifu. SIKU ZOTE ONGEA KATIKA JINAL LA BWANA YESU KRISTO. 11. Funga roho chafu zote ambazo Roho Mtkatifu anakuongoza kuzifunga. Fanya kwa sauti na kwa mamlaka tena. 12. Zifunge roho zile tu ambazo una uhakika Bwana kupitia Roho Mtakatifu anakuongoza kuzifunga. Mara nyingi, Mungu huruhusu mtu kupitia uchungu kwa ushawishi wa roho wabaya ili kutimiza kusudi lake. Paulo aliruhusiwa kuwa na mjumbe kutoka kwa Shetani kama mwiba katika mwili ili kumfanya aitegemee Neema ya Roho Mtakatifu, 2Wakorintho 12:

38 Maelezo ya mapambano kumfunga Shetani na wafuasi wake walioko kuzimu kwa ajili yako, au kwa ajili ya mtu mwingine katika maisha yako ambaye yuko chini ya mamlaka yako au mtu mwingine katika maisha yako ambaye umepewa ruhusa na Mungu kumfunga/kumfungua kwa niaba yao. Shetani, Ninakuja kinyume chako katika Jina la Bwana Yesu Kristo na kwa nguvu ya Damu Yake aliyoimwaga na ninachukua mamlaka dhidi yako. Ninazifunga nguvu zako katika mwili (Jim). Hutaonekana kuwa na nguvu katika mwili. Ninaufungua mwili wa (Jim) kutoka utawala wako. Ninakuamuru kuufungua mwili wake katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Shetani, Ninakufunga ulimi wako kutoka ulimi wa (Jim). Hutaweza kutumia ulimi wake kumkufuru au kumlaani Mungu. Ninaufungua ulimi wake kutoka kwako katika Jina la Bwana Yesu Kristo, na ninakuamuru kuuachilia ulimi wake katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Shetani, Ninakufunga akili zako kutoka akili, ridhaa, na hisia za (Jim) katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Ninazifungua akili/ufahamu, ridhaa na hisia za (Jim) kutoka utawala na akili zako. Ninakuamuru kuachilia ufahamu, ridhaa na hisia za (Jim). Ninakufunga wewe kama mdanganyaji, mshitaki, mjaribu, muongo, mharibu, Muuji na mnyang anyi. Ninazifunga roho (za hofu, hasira, tamaa n.k.) na roho zote ambazo zimejihusisha katika maeneo haya katika maisha (ya Jim) katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Ninakufungua uwezo wako wa kutawala dhidi ya (Jim) na ninakuamuru kumfungua na kuwa mateka katika utii wa Bwana Yesu Kristo (2Wakorintho 10:4-5). E. Mara kwa mara mwombee mtu ambaye unamfungia mtu mwenye nguvu na wafuasi wake. Muulize Roho Mtakatifu kukupa kusadiki na kutubu kwake (Yohana 16:8-11). Unaweza kudai ahadi ambazo Bwana wetu ametupa sisi kwamba, Älikuja kuwafungua waliofungwa (Luka 4:18-19) Amini, amini nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi; kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba. Nanyi mkiniomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Yohana 14:

39 MAANDIKO YA KUMFUNGA SHETANI KWA MAJINA YAKE Shetani Kama: Mshitaki, Ufunuo 12:10 Mnyama, Nyoka Mdanganyifu 2Yohana 7 Nyoka 2Wakorintho 11:3 Mjaribu Mathayo 4:3 Mharibu Ufunuo 9:11 Baba wa Uongo Yohana 8:44 Muuaji Yohana 8:44 Mwizi Yohana 10:10 Mwenye kudhuru Ayubu 1:6-11 kifedha/kiuchumi Mwenye kudhuru mwili Luka 13:13 Mharibu Ayubu 1:6-16 Mzuiaji 1Wathesalonike 2:18 Ama awezaje mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuviteka vyombo vyake; asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Ndipo atakapoiteka nyumba yake. Mathayo 12:29 37

40 MAENEO YA KUULIZA/KUHOJI MAELEZO: Vichwa vikuu wa habari huitwa VIFUNGUA-MILANGO, vimetafsiriwa kama njia ambazo zinaweza kumpa shetani mwanya katika maisha yetu. Orodha hii inakubaliana na ile iliyopo kwenye Taratibu za Mwongozo wa Mafunzo wa Lighthouse.. 1. HALI WANAYOPITIA WALIOPATWA NA KIWEWE/KIHORO: Mtoto aliyedhalilishwa Kifo Talaka Kujamiiana na ndugu wa Kukataliwa karibu Uhalifu wa nguvu Kusalitiwa Matumizi mabaya ya hisia Upweke Kutoamini Hofu Uzinzi Kudhalilishwa kimwili Kuumizwa sana Ajali mbaya Kudhalilishwa kiroho Kutengwa/Kutelekezwa Udhalilishaji kijinsia au kubakwa/najisiwa Maumivu Mwingiliano mkubwa wa kimatibabu 2. VIFUNGO VYA UKOO NA/AU LAANA: Roho zijulikanazo kutokana na ndugu kujihusisha kwenye uchawi, dini za uongo, kuabudu mizimu, laana zilitamkwa na ndugu au watu wenye mamlaka juu ya tabia ya mwamini au maumbile au uwezo, pia, kifungo cho chote cha dhambi; kama ni mtoto wa kupanga, ukoo kutoka kwa wazazi waliomzaa na wazazi wa kisheria lazima zivunjwe; vifungo vya dhambi toka pande zote mbili. (Angalia # 3 na # 4). 3. UCHAWI/UASI: Madhehebu (Cults) Kuomba kwa Shetani Kumlaani Mungu New Age (Imani Dini za Uongo potofu) Falaki/Buluji Elimu ya Nyota Yoga Madawa Shughuli za Kimazingaombwe Vitabu vya kimazingaombwe Sinema/filamu za Mazingaombwe Imani kuwasiliana na pepo Kupitisha/channeling Miujiza/uchawi Kuelea hewani Imani ya kuwasiliana na mizimu Laana Kuwa na mwili Kubashiri Tarot Cards wa binadamu Hisia za kabla Uwezo wa Unajimu (Utaalamu Maneno ya Kunuizia kutabiri wa elimu ya nyota Nguvu ya kutabiri Mikataba ya damu Dini za Mashetani Uaguzi/upigaji ramli Majinamizi Mizuka Kuita mizimu Hirizi/azama Miungu ya sanamu Kuabudu sanamu Kafara za damu Kufuru/Kashifu 4. VIFUNGO VYA DHAMBI: Kutawaliwa na kitu chochote (mfano, kileo/pombe, madawa, kafeini, pipi n.k.) Kuzoelea tabia mbaya (Mfano, kutawaliwa na ulevi wa hisia, chakula, ulaji. T.V., ngono n.k.) Madawa ya mitaani Dawa zilizoagizwa Kileo/Pombe Nikotini Ulafi Kuacha kula kunakoweza Bulumia Vurugu sababisha kifo Kulala Kuiba Majivuno Kijicho/wivu Husuda Kufuru/kashfu Kulaani Kuapa Kufanya umbea/teta Kashifu/singizia Kukosoa Kutamani Hasira Ghadabu Uchoyo Chuki Kuhukumu Ustadhi wa shughuli Kutawala Uchoyo [Hizi ni ngome chache tu ambazo zinaweza kuwepo hapa.] 38

41 5. VIFUNGO VYA HISIA/AKILI Eneo la kawaida ambalo adui hulitumia kuingia kwenye akili = ukimya/ubaridi, udanganyifu na mashambulizi ya hisia. Baadhi ya maeneo ya hisia: Upweke Wasiwasi Hatia Usumbufu Kukataliwa Kujikana Kuvunjika moyo Kujihurumia Kukosa tumaini Kukata tama Hofu (tazama # 9) Maumivu ya hisia Kukata tama Kuumizwa Hasira Gadhabu Kihoro Kulaumu/laumiwa Kujiua Kiwewe Kujiua Baadhi ya Maeneo ya Kiakili: Kuchanganyikiwa Kukosa utulivu Ulimwengu wa njozi Wasiwasi/kuvuruga Kukanusha Kusikia kitu kischokuwepo Kujidai Kuepuka Sauti Phobias Kuchanganyikiwa Mwenda wazimu/kihoro Kutoroka Ugonjwa wa akili usiotibika Multiple personalities Roho za wasiwasi = Wasiwasi wa aina yo yote (mfano, wasiwasi wa kujisumbua, mapenzi makubwa kwa mtu fulani, n.k.). Roho za ulevi = Tabia ya ulevi (Mfano, kununua kilevi, ulevi wa kulala, kucheza kamari, n.k.) [Hizi ni baadhi tu ya ngome ambazo zinaweza kuwasilishwa katika maeneo haya. Adui anaweza pia kughushi, kuzidisha nguvu, au kusababisha ukandamizaji/uzuiaji wa hisia]. 6. UCHAFU/UOVU KWENYE TENDO LA NGONO: Tamaa Uasherati Uovu Kupiga punyeto Upendaji wa starehe Uzinzi Picha za Ngono Ukaidi/upotevu Unyama/ukatili Ubakaji/Unajisi Kukera/kusumbua Kubaka Kujamiiana na ndugu wa karibu Usenge/Ubasha Roho ya usagaji Kufanya mapenzi kwenye ndoto Majinamizi Utoaji wa mimba Ukahaba Aibu ya Mapenzi Laana ya mapenzi Kukataliwa Roho za ukahaba Uvaaji wa Jinsi ya tofauti Matumizi mabaya ya Matambiko Kimapenzi (Hutumika kwenye sherehe za kimila kimapenzi Kutongoza Kutumia nguvu katika mapenzi Mashambulizi ya kimapenzi ya mapepo 7. VIFUNGO KATIKA MAENEO YA WASIFU (BINAFSI: (Majina ya roho yamekolezwa wino) Laana (Ulizonenewa na mtu/watu: Mfano Wewe ni Mpumbuvu ) Laana Binafsi (Tunausikiliza uongo wa adui na kujisemea wenyewe: Mfano Wewe ni Mbaya). Kunaweza kuwa na mifano mingi. Laana za namna hii hupelekea: Mtu kujilaumu, kukataliwa, kutojithamini, kujiona hufai, kutojitosheleza, kutoweza, kujiharibu Taswira mbaya ya mwili Bulumia Kujichukia Kuogopa kunenepa Mlo usiokidhi mahitaji Kifo Kujidhalilisha (Kujikata = Watu wanaojikata wenyewe) Kuhusika pande mbalimbali (Kwa kawaida hujihusisha na matambiko) Nafsi Mbaya za Kipepo (Mara nyingi baada ya kudhalilishwa au kujeruhiwa sana) Pale utu/heshima yetu inapokuwa imeharibika, adui anaweza kutumia: 39

42 Majivuno Kujidai Ulimwengu wa Njozi Kujitenga Kuepuka/kukimbia Hofu ya kukataliwa Kihoro/kiwewe Kujiua 8. KUTOKUSAMEHE: Kuumizwa/maumivu Maumivu ya hisia Chuki/udhia Uhasama Ulipizaji kisasi Lipiza kisasi Kukataliwa Uchungu Chuki Kuua/mauaji 9. HOFU/WOGA:[Majina mengine: Vitisho, wendawazimu, mashambulizi yenye hofu.] Hofu ya.. (Zimetajwa chache tu). Mungu (Kukana) Ukanaji/Kukataa Kutelekeza Siku za baadaye Shetani Giza Nguvu za miujiza Kifo Mashambulizi Kushindwa/feli Mafanikio Mamlaka Kukosa mwelekeo Kupoteza (mfano Wazimu Ugonjwa mtu uliyempenda) Wanaume/wanawake Maumivu Kuumizwa Kujamiiana/mapenzi Kuongea mbele ya Maji Kuzama Nyoka watu Buibui Watu Kimo (urefu) Kuendesha Ajali Kunaweza kuwa na hofu ya karibu kila kitu, kama kitazidi na kukutawala. 10. VITISHO (MAKOSA) VYA KIMAUMBILE: Kitu cho chote kilichorefushwa (kupitiliza muda wake) ambacho hakikubali kwenye uchunguzi wa kawaida wa kitabibu na matibabu ni cha kutilia shaka. Magonjwa ya kawaida ambayo yamekuwa yakihusiana na mapepo mara kwa mara ni: Pumu Saratani (Kansa) Mchafuko wa Damu Maumivu PMS High Blood Pressure Kifafa Magonjwa yanayojirudia Maumivu makali ya Uchovu wa muda mrefu Kuwa na wasiwasi Kupoteza nguvu Homa (inapokuwa siyo dalili ya kawaida Maumivu makali (Mfano, kipandauso, maumivu yanayohama) Homa (Inapokuwa siyo dalili ya kawaida) Uchovu mkali na wa muda mrefu (Hutuibia nguvu) Roho zilizoingia kupitia matibabu ya uongo/mabaya (Kwa kawaida huruhusu mapepo mengine kuingia kwenye eneo lile ambalo mengine yametoka) 11. VIZUIZI VYA KIROHO: Kumlaani Mungu Kuomba kwa Shetani Maasi/vurugu Shaka Kutosadiki Kushuku/mashaka Manung uniko/ Mshika sheria kutoridhishwa Udanganyifu/ulaghai Ubaridi/ukimya Kiinimacho Kujidai/jigamba Hasira (Mungu) Utendaji Utendaji wa jambo kwa Uchawi ukamilifu Laana Vipawa vya Uongo Kumpinga Yesu Maono ya uongo Kujitoa kwenye huduma za uongo- Mikono iliyowekwa kwenye huduma za uongo, mafuta ya upako wa uongo, kuuawa katika roho, ubatizo wa roho usio sahihi, lugha potofu, au karama nyingine potofu, roho za kucheka kwa uongo, roho za kuchanganyikiwa, kukosa utulivu, kujiweka wakfu kwa Watakatifu au Bikira Maria au ye yote mwingine zaidi ya Mungu. 40

43 12. DHAMBI ZISIZO TUBIWA (KUTOKIRI) Je, una dhambi yo yote usiyoitubia?.. Hii inaweza kukuingiza kwenye kifungo cha: Hatia Udanganyifu Majivuno Unafiki/uzandiki Kujidai/jigamba Aibu Kulaumu Kujitetea Kujilaumu Kujihesabia haki Kushika sheria Utendaji Kubishana Mawazo mabaya Maasi/vurugu Roho za kanuni/mafundisho potofu (hubadili imani yako ili kuiruhusu dhambi) 13. ROHO ZENYE USUMBUFU: Roho hizi zinaweza kutumwa ili kuendelea kukusumbua kwa: Mawazo yanayokera/umiza Mashaka Hofu/wasiwasi Kulaumu Baada ya ukombozi, roho hizi zinaweza kujaribu kumwibia mwamini ukombozi wake na kupata nafasi kwa kushambulia katika maeneo dhaifu. 14. KARAMA ZA ROHO: Je, Karama zako za kiroho ni zipi?... Je, karama hizi zimejaribiwa sawa sawa na 1Yohana 4:1-3? (Sura ya 6) Mweleze mwamini kwamba wakati wa huduma, atafundishwa namna ya kuzijaribu karama. Hapa chini ni baadhi ya miujiza ya kipepo inayoigiza: Kuigiza kunena kwa lugha Unabii wa uongo Mafunuo ya uongo Yesu/Kristo wa uongo Uponyaji wa uongo Upako wa uongo Ishara na Miujiza za kuigiza Kumwelezea vibaya Maono ya uongo Utabiri Mariamu au Yesu Mafundisho ya uongo Kanuni za Uongo Roho za dini Matambiko ya kidini Maombi ya Uongo (incannations) Maarifa ya uongo Onyo Kabla Kuna udhihirisho wa miujiza mingine mingi ya uongo. 41

44 Sura 4 Kukomboa Maeneo kwa ajili ya Ufalme wa Mungu Kweli Kuu: Mungu ametupa nyenzo za mapambano yetu ili kuteka mateka kutoka ufalme wa Shetani na kukomboa maeneo ya maisha yetu, familia zetu na jamii zetu kwa ajili ya Ufalme wa Mungu. Lengo la Somo: Kuelewa hatua tutakazopitia kutoka kwenye kifungo kwenda kwenye uhuru na kuelewa namna ya kutakasa maisha na nyumba zetu kiroho. Andiko la Msingi/Kuu: Wagalatia 5:1 Katika ungwana huo, Kristo alituandika huru, kwa hiyo, simameni wala msinaswe tena chini ya kongwa la utumwa. 1Petro 5:6-11; Yakobo 4:7 A. Vita vya Kiroho ni nini? Vita vya Kiroho ni mchakato wa kiroho ambao eneo/uwanja wake unachukuliwa kutoka kwa adui na kurejeshwa kwa ajili ya Ufalme wa Mungu. B. Uwanja wa Vita Ni mahali au uwanja wa kushindania ambao Wakristo wanapambana na adui. 1. Neno 1Yohana 2:15 2. Akili/Moyo, ridhaa, hisia na mwili wa mwamini Warumi 8: Mwenendo wa mwamini Wagalatia 5:16 4. Jamii, na nchi ya mwamini pamoja na nchi nyingine za ulimwengu (Mathayo 28:19). C. Wapiganaji Ni wale wote wanaoingia katika mapambano dhidi ya Shetani na wafuasi wake wa kuzimu. 1. Jeshi la Nuru 1Wakorintho 15:24-28, Wakolosai 1:12-13 a. Mungu Baba, kama mtawala wa ulimwengu b. Mungu Mwana, Bwana Mungu wa Miungu, Bwana Yesu Kristo ni kamanda wa jeshi la malaika wa mbinguni. 42

45 c. Mungu Roho ni Kamanda wa Vita uwanjani pamoja na sisi hapa. d. Malaika ni mashujaa wa mbinguni ambao hutusaidia sisi katika vita. e. Askari Mkristo Sisi ni mabalozi na Mashujaa wa Yesu 2Wakorintho 5: Ulimwengu wa giza Wakolosai 1:13 a. Shetani, kama anayetawala kwa nguvu katika milki ya mwanadamu na mfalme wa nguvu za anga, mungu wa mfumo wa dunia hii. b. Mapepo na roho wabaya, kama wajumbe na watenda kazi wa Shetani. c. Mtu asiyefanywa upya, kama rafiki wa Shetani. d. Ulimwengu, kama mfumo wa Shetani D. Mwongozo wa vita ni Neno la Mungu Waebrania 4:12; 2Timotheo 3:16,17. Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, shetani; kwa maana imeandikwa, msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake. Mathayo 4:10 E. Silaha 2Wakorintho 10:3-5, Ufunuo 12:11 1. Kujihami Silaha zote za Mungu Waefeso 6: a. Kweli b. Dirii ya Haki c. Injili ya Amani d. Ngao ya Imani e. Chapeo ya Wokovu f. Upanga wa Roho, Neno la Mungu g. Maombi ya Watakatifu 2. Kushambulia Ufunuo 12:11; Waebrania 4:12; Waefeso 3:10 a. Damu ya Mwana Kondoo, Bwana Yesu Kristo. b. Neno la Ushuhuda wetu c. Maisha yaliyosalimishwa katika mamlaka ya Yesu. d. Jina la Bwana Yesu Kristo, ambaye pia ni Bwana Mungu wa Wateule. e. Neno la Mungu lililonenwa/zungumzwa f. Kushiriki kikamilifu katika ushirika wa watakatifu dhidi ya nguvu za giza kuusukumia mbali ufalme wa giza na kudai Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama huko mbinguni Mathayo 6:10. g. Nguvu ya ufufuo ya Bwana Yesu Kristo ambayo ilitufufua sisi ili tukae naye katika ulimwengu wa roho. 43

46 F. Namna gani tunavyokuwa tayari kwa ajili ya mapambano? 1. Uwe karibu na Bwana kwa kukiri dhambi zote zinazojulikana. Pasiwepo na mlango wo wote wa dhambi umeachwa wazi - 1Yohana 1:9. 2. Kila siku wasamehe wale wanaokukosea. 2Wakorintho 2: Jisalimishe/jinyenyekeze katika maeneo yote ya maisha yako ya kila siku kwa Bwana Yesu Kristo Wakolosai 3: Vaa/tumia silaha zote za Mungu kwa maneno katika maombi 5. Mfunge Shetani dhidi ya akili, mwili na ulimi wako. 6. Ukiwa katika hali ya kuomba, fikiria ni maeneo gani ya vifungo unaweza kuwa nayo. Utekelezaji: Andika orodha ya ngome ambazo unasumbuka nazo. Kisha nenda kwenye ukurasa unaofuata na rudia kuangalia kila eneo ambalo roho wabaya wamekuwepo katika maisha yako. Tafadhali rejea kwenye orodha ya ngome kwenye ukurasa ORODHA YA MFANO WA NGOME Roho ya kukataliwa Roho ya kushindwa Roho za Ukoo hasira, tatizo la mazoea sugu, uzinzi, Roho ya wivu Roho ya hasira Roho ya kutawala Roho ya kujihukumu Roho ya hofu Roho ya Kiburi Roho ya kuumizwa Roho ya picha za ngono Roho ya aibu Roho ya mashaka Roho ya kuchanganyikiwa Roho ya ulimwengu wa njozi Roho ya utambuzi Roho ya uzinzi Roho ya Utendaji 44

47 KUJINYENYEKEZA MBINU ZA MAPAMBANO YA KUJIHAMI Yakobo 4:7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia. FANYA SEHEMU HII YA KWANZA KILA SIKU 1. Kila siku mtii Mungu. Maombi ya Kujinyenyekeza. Baba wa Mbinguni, ninakupa wewe umiliki wa ufahamu, hisia, ridhaa na mwili wangu. Ninakualika uwe Bwana wa maisha yangu, katika Jina la Bwana Yesu Kristo. 2. Vaa silaha za Mungu Maombi ili kuvaa silaha za Mungu. Bwana, ninazivaa silaha zako ulizonipa: Mkanda wa Kweli (Kujifunga Kweli kiunoni), Dirii ya haki, maandalizi ya Injili ya Amani, ngao ya imani, chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho (Waefeso 6:10-18). 3. Mfunge Shetani. Maelezo ya Kufunga na Kufungua. Shetani, ninakufunga. Hutakuwa na uwezo wa kutawala akili, hisia, ridhaa au mwili wangu. Ninajifungua mwenyewe kutoka kila ngome na vifungo vyote katika Jina la Bwana yesu Kristo. KAMA UMETOA NAFASI KWA ADUI, jinyenyekeze na kukiri dhambi na kisha zipinge na kuzikemea na kiziamuru zitoke roho zilizokushambulia. 4. Maombi ya Kukiri. Baba, ninakuja kwako katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Nimetoa nafasi kwa roho za.. Hazitoki kwako na wala sizitaki katika maisha yangu. Ninakiri dhambi nilizotenda katika eneo hili la maisha yangu. Nisamehe kwa kuziruhusu roho hizi kuyatawala maisha yangu. Asante kwa kunisamehe, katika Jina la Bwana Yesu Kristo. 5. Zungumza/onge hili na adui katika kujihami na kukemea: Tamko. Roho za.ninachukua mamlaka dhidi yako katika Jina la Yesu Kristo. Nimejisalimisha/nyenyekeza kwa Mungu na huwezi kukaa. Huwezi kuzipata akili au mwili wangu. Ninachukua tena kila eneo ambalo nilikupa wewe katika maisha yangu. Ninajifungua mwenyewe kutoka vifungo vya. Ninakuamuru katika Jina la Bwana Yesu Kristo kuondoka sasa. Ninakukemea na kukuamuru kwenda kwenye shimo la kuzimu sasa hivi katika Jina la Bwana Yesu Kristo. 6. Omba na umwalike Roho Mtakatifu kutawala maeneo yote ya maisha yako. Maombi ya Utakaso. Baba wa Mbinguni, nakuomba unijaze na kutawala kila eneo lililosafishwa/takaswa katika maisha yangu kwa Roho wako Mtakatifu katika Jina la Bwana Yesu Kristo. 45

48 MATUNZO BAADA YA KUKOMBOLEWA KWA MWAMINI Kwa kuwa sasa umefunguliwa kutoka kwenye vifungo, ni muhimu sana kwamba uanze kuwajibika kutunza uhuru wako. Hatua zifuatazo zitakusaidia katika utunzaji wa uhuru wako katika Bwana Yesu Kristo. 1. Wewe ni mrithi pamoja na Bwana Yesu Kristo na mshirika wa baraka na marupurupu yote kupitia kazi aliyoifanya Bwana Yesu Kristo. Mshukuru Yeye kila siku kwa ajili ya baraka zako za rohoni. Mwabudu Yeye katika maombi na kumsifu kuliko vitu vyote. 2. Jinyenyekeze kwa Bwana Yesu Kristo kila siku, na mwombe Roho Mtakatifu kukujaza. Vaa silaha za Mungu kwa kuzitamka katika maombi kila siku. Tumia Waefeso 6: Unatakiwa kuweka kumbukumbu kwa dhambi ambazo umekiri karibuni na mwalike Roho Mtakatifu kutawala maeneo yaliyotakaswa na kukujaza kabisa. Ni kazi endelevu ya Shetani kutumia mbinu mbalimbali kuwavuta watoto wa Mungu nje ya nafasi ya kushikamana na Kristo. 4. Tumia muda wako kuwa na Bwana wakoyesu Kristo kila siku katika maombi na Neno lake. Roho Mtakatifu atakufundisha na kukubadilisha akili yako kwa Neno la Mungu. Ni muhimu sana kutenga muda kwa ajili ya kuabudu, kufanya maombezi na kutafakari Neno la Mungu. 5. Kabiliana na mazingira au hali yo yote kwa ujasiri katika Kristo. Unapokabiliwa na uongo, majaribu, au mashaka, usikawie kuchukua hatua, bali, ni vema, kuikemea na kuitangaza kweli mahali penye uongo. Kumbuka kuwa upo vitani maadamu bado unaishi katika mwili huu. 6. Tunza busara/hekima na akili iliyo makini wakati wote. Kamwe usiruhusu ukimya ndipo utulie. Tathmini mawazo yako kuona kama yanakubaliana na Neno la Mungu. Fanya maamuzi yenye busara katika yale unayoya ruhusu katika akili/ufahamu na maisha yako. Mwili na akili zako ni mali ya Mungu, kwa hiyo dumisha usafi wa akili na mwili unaokubalika mbele za Mungu. 7. Jiunge na kanisa la mahali pamoja ambalo linafundisha Neno la Mungu. Muulize Bwana ili kujua namna unavyoweza kumtumikia katika kanisa lako. Ushiriki na waamini wengine, kusoma Biblia, na kuomba pamoja na kundi la waamini na kutumika; vitakusaidia kuwa imara katika Bwana. 8. Kama umefungua mlango kwa adui kwenye eneo lo lote katika akili, hisia au mwili wako, fuata hatua zilizopo kwenye kadi ya Kujisalimisha/kujinyenyekeza Kanuni za Mapambano ya Kujihami ambayo ulipewa ulipokuja kwa ajili ya ukombozi. Kumbuka kuwa ushindi na uhuru wako unadumishwa unapoendelea kudai Neno la Mungu kwa imani ambalo linasema, Basi Mwana akiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli Yohana 8:36. 46

49 G. Namna gain tunatunza Uhuru wetu? 1. Tembea katika Roho na kuwa na matunda ya Roho Mtakatifu Wagalatia 5: Omba kwa ajili ya Watakatifu Waefeso 6:18 3. Kwa ujasiri mpinge Shetani na wafuasi wake Yakobo 4:7 [Angalia kadi ya kujinyenyekeza-mwongozo wa Kushinda Vizuizi katika ukurasa wa 53] 4. Tumia karama ambazo Roho Mtakatifu amekukirimia 1Wakorintho 12, Waefeso 4: Rejesha maeneo yaliyotolewa kwa adui 2Wakorintho 10:5 6. Baada ya kujisalimisha/nyenyekeza katika kila eneo la maisha yako kwa Bwana na kurejesha maeneo ambayo shetani aliyachukua katika maisha yako, basi utatakiwa kusafisha maisha yako na nyumba kwa vitu vinavyo husiana na dhambi. K/Torati 23:14. H. Utekelezaji: Baada ya Ukombozi wa binafsi, ni wakati sasa wa kusafisha nyumba! 1. Roho Mtakatifu hujaza kila eneo lililosalimishwa katika maisha yako sasa kwamba sasa umewekwa huru. Tumeambiwa tusimhuzunishe Roho wa Mungu Waefeso 4: Tunakuwa na ushirika pamoja na Mungu Mtakatifu. Kazi, matendo na mazingira yetu yanategemea mamlaka yake, na kwa hiyo, tunatakiwa kuwa makini kumsikiliza Roho Mtakatifu kadri anavyotuongoza kuviondoa vitu kutoka maishani mwentu ambavyo vinamhuzunisha. 3. Kumbuka, Roho Mtakatifu atakujulisha kwa habari ya kazi na vitu unavyotakiwa kuviondoa. Ni nani kwetu sisi awezaye kukaa na moto ulao; ni nani kwetu sisi awezaye kukaa na moto uteketezao milele? Ni yeye aendaye kwa haki, anenaye maneno ya adili, ni yeye anayedharau faida ipatikanyo kwa dhuluma; akung utaye mikono yake asipokee rushwa; azibaye masikio yake asisikie habari za damu; afumbaye macho yake asitazame uovu. Huyu ndiye atakayekaa juu; majabali ni ngome yake; atapewa chakula chake; maji yake hayatakoma Isaya 33: Ee Mungu, unichunguze, uujue moyo wangu, Unijaribu, uyajue mawazo yangu; Uone kama iko njia iletayo majuto ndani yangu, ukaniongoze katika njia ya milele Zaburi 139:

50 4. ORODHA YA VITU VYA KUSAFISHA KATIKA NYUMBA a. Nyenzo au vifaa vya kimazingaombwe Matendo 19:17-20; K/Torati 7:25-26 Unapokuwa ndiwe mwenye mamlaka ya mwisho, unaweza kusafisha milki/mazingira yote ambayo yako chini ya umiliki wako. Musa aliharibu sanamu waliyoitengeneza wana wa Israeli baada ya kuwa amewaombea na kuwaonya K/Torati 9: b. Muziki ambao una uhusiano na dhambi au mambo ya kimazingaombwe. c. Vitabu, magazeti, Video, vipindi vya televisheni, machapisho yanayohusiana na dhambi kutoka kwenye interneti ambavyo huamsha hisia au mawazo mabaya. Neno la Mungu ndiyo kiongozi wako kila siku Wafilipi 4:8; Zaburi 119:9-11. d. Vitu vya Kisanaa/sanii vinavyomshambulia Roho wa Mungu aliye ndani yako. Unigeuze macho yangu nisitazame visivyofaa; unihuishe katika njia yako inayohusu kicho chako Zaburi 119:37. e. Vitu vilivyobuniwa, hasa kama vinatumika katika matambiko K/Torati 7:5-6 f. Kujilimbikizia mali Kuna balaa mbaya sana niliyoiona chini ya jua, nayo ni hii, mali alozoziweka mwenyewe kwa kujinyima. Mhubiri 5:13. g. Akili isiyotulia au Vitu vya Kulevya - kilevi, madawa, sigara n.k. Moja ya matunda ya Roho Mtakatifu ni kiasi, Wagalatia 5: Ondoa vitu vyote vyenye mashambulizi katika nyumba na maisha yako, kiri dhambi, kisha zuia na kuondoa roho wabaya waliopo sasa na wale wa zamani. a. Utekelezaji: Nenda chumba kwa chumba ukifanya maombi ya kukiri/kutubu na kisha fanya vita dhidi ya Shetani na wafuasi wake walioko kuzimu. ============================================== Maombi ya Kutubu/Kukiri: Baba wa Mbinguni, Ninakuja kwako kwa Jina la Bwana Yesu Kristo na kukiri kwamba nimetenda dhambi na nimeruhusu na kushiriki katika shughuli za dhambi katika eneo hili (kama hii inafaa). Nimekuwa na vitu visivyo vya kimungu. Ninakiri hii kama dhambi na ninaomba unisamehe kwa Jina la Bwana Yesu Kristo. Ninakiri kwamba dhambi imetendwa kwenye eneo hili na roho wabaya waliokuwepo na ninaomba uisafishe nyumba hii kutokana na uovu wote. Ninaikomboa nyumba hii kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, katika Jina la Bwana Yesu Kristo, Amen. Kujihami na Kukemea: Shetani, katika Jina la Bwana Yesu Kristo, ninakuja dhidi yako na wafuasi wako wa ulimwengu wa giza ambao wametawala eneo hili. Ninavunja nguvu zako dhidi ya eneo hili na ninachukua mamlaka dhidi yako na pepo wote wabaya ambao wame jiungamanisha katika eneo hili. Ninayarejesha maeneo uliyoya shikilia na ninaamuru kila roho chafu zifungwe. Ninawaamuru kufungua vifungo vyenu hapa na kuondoka eneo hili na kwenda kwenye shimo la kuzimu sasa hivi katika Jina la Bwana Yesu Kristo. 48

51 Maombi ya Kujiweka Wakfu (Kujikabidhi): Baba wa mbinguni, kwa Jina la Yesu kristo, Ninakuomba uisafishe nyumba yangu (mali, mahali) kwa Damu ya Bwana Yesus Kristo na kuimiliki kwa Roho wako Mtakatifu. Ninaitoa nyumba na mali zangu kwako. Ufalme wako uje na kusudi lako limitimizwe mahali hapa. Tuma malaika wako katika mipaka ya mali hizi katika Jina la Bwana Yesu Kristo, Amen. ============================================================== 6. Kabidhi nyumba na mali zako kwa Bwana Yesu Kristo kwa kuipaka milango mafuta kama alama ya Damu ya Mwana Kondoo. M/Walawi 8:10-12 Unapoiweka wakfu nyumba yako kwa Bwana, unatangaza kwamba nyumba yako ni TAKATIFU KWA AJILI YA BWANA. 7. Takasa na kabidhi tena nyumba yako iwe kazi endelevu. i. Tupa uchafu nje ii. Imiliki tena kwa vitu ambavyo vitampa Mungu utukufu. Mfano: Maandiko kwenye kuta, Miziki ya Kimungu n.k. I. Baada ya kutakaswa, miliki tena nyumba yako kwa hazina za Mungu. Dhamiria kurejesha tena umiliki wa nyumba na maisha yako kwa kuyaondoa mambo yenye ushawishi mbaya na kuweka yenye ushawishi mzuri. 4. Ni viwango vipi ambavyo kila mstari umeviweka kama msingi kwa ajili ya kutambua kazi zote na ushawishi ambao utatakiwa kuruhusiwa katika nyumba na maisha yetu? a. Wafilipi 4:8 b. 1Wakorintho 10:31 c. Warumi 13:14 d. Waefeso 5:10 e. 1Wakorintho 3:16 f. Warumi 14:13, 21 Majibu: a. Yoyote yaliyo kweli, yenye staha, yaliyo haki, yaliyo safi, yenye kupendeza, yenye sifa njema. b. Basi, mlapo au mnywapo, au mtendapo neno lo lote; fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu. c. Basi mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake. d. Mkihakiki ni nini impendezayo Bwana. e. Mimi ni hekalu la Roho Mtakatifu. f. Mtu asiweke kitu cho chote kumkwaza ndugu au cha kumwangusha; kama unafikiri kitu fulani ni najisi kwako, basi kwako ndivyo ilivyo; kila mmoja ana kiwango tofauti cha uhuru. 49

52 Karatasi ya kazi kwa ajili ya sura ya 4 Kurejesha/kuomboa maeneo kwa ajili ya Ufalme wa Mungu. Tafadhali chana karatasi hii na jibu maswali unapoendelea kujifunza somo hili. 1. Taja baadhi ya nira za vifungo ulivyonavyo katika maisha yako? Kwa mfano: wivu, hofu, mamlaka, wasi wasi, kukataliwa, kulaumu, hasira, uasi 2. Katika ngazi ya mtu binafsi, Je vita vya kiroho ni nini kwako? Fikiria juu ya vifungo ulivyovipitia katika maeneo ya maisha yako na nini unafanya sasa ili kubakia huru. Vita vya Kiroho kwangu mimi ni: Je umetoa nafasi kwa nira ya utumwa au kifungo cha dhambi, tena? Ni ipi? (Rejea kwenye orodha ya ngome kwenye sura 3 ya masomo ya kitabu hiki) 3. Ni maeneo yapi ambayo shetani anakushambulia mara kwa mara? Angalia maeneo. Dunia Tamaa ya kumiliki vitu vingi zaidi Akili / moyo Zimetumika kwa kubadilishana katika Bibilia Ridhaa Ninapotaka kufanya lililo jema, sifanyi Hisia Hasa hisia za Utu wa kale Kwa uongo kwamba wewe ni binadamu tu. Familia, mwenzi, ndugu Marafiki Sehemu ya kazi au mahali pengine ambao wamenishawishi kutenda dhambi Fedha Hali ya uchumi 4. Ni hatua zipi unazichukua kujiandaa kwa ajili ya vita vya kiroho dhidi ya Shetani na roho wake wachafu? Nenda ukurasa 38 na ingia kwenye vita vya kiroho katika kila eneo la kifungo ulichokitaja. a. b. c. d. 5. Tengeneza orodha ya mambo katika maisha au nyumba yako ambayo yanamhuzunisha Roho Mtakatifu: 6. Uko tayari kuweka tamko ambalo litabadilisha nyumba yako kuwa mahali patakatifu ambapo pamejaa amani na upendo wa Bwana wetu Yesus Kristo? Baada ya kuwa umesafisha nyumba yako, fanya tamko hili juu ya nyumba yako: Ninatamka kwamba nyumba yangu itakuwa huru na,, n.k. Natamka tena kwamba Yesu Kristo ni Bwana na anatawala hapa katika eneo hili/sehemu hii. 50

53 Sura ya 5 Kushinda Vita ya Akili (Ufahamu) 2Wakorintho 10:3-5; Wafilipi 2:8 Ukweli Kuu: Fahamu/akili zetu ni uwanja mahususi wa vita, ambapo vita na adui hupiganwa na ushindi hupatikana. Lengo Kuu: Kujifunza ili kuitambua mikakati ya adui dhidi ya akili zetu na namna ya kuyatoa mawazo yetu katika utumwa kuyaweka katika utii wa Kristo. Andiko la Msingi/Kuu: 2Wakorintho 10:3-5 Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili; (maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome;) tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacha juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo. A. Akili au ufahamu wa mwanadamu ni uwanja wa mapambano ambapo Shetani na pepo wabaya wanapingana na Kweli, hivyo hupingana na mwamini. Utashi na mawazo ya mwanadamu ni kama ngome ambayo pepo wabaya wanatamani kuiteka. Ni uwanja ulio wazi ambapo vita inapiganwa ili kuteka ngome ya mawazo yetu.(angalia andiko kuu na pia rejea kwenye kielelezo katika ukurasa 53). 1. Mawasiliano yote kati ya mwanadamu na majeshi ya Shetani yanatokea katikamfumo wa wazo. Mwanadamu alipoteza ushindi kwa adui wakati wa anguko kwa kutoa nafasi kwa wazo liliyopandikizwa na Shetani, kuliamini na kulitendea kazi. Baada ya hapo, Mungu akasema, kila kusudi la mawazo ya moyo/akili ya mwanadamu siku zote ni baya. Matokeo yake ilikuwa ni uharibifu, vurugu, na tabia ya uasherati ambayo ilizidi sana kiasi kwamba Mungu akaona kizazi chote cha mwanadamu kiliharibika au kilipagawa na mapepo isipokuwa familia ya Nuhu. Alilazimika kuangamiza kizazi chote isipokuwa watu wachache katika kizazi cha mwanadamu. Mwanzo 3:5-9 Mwanzo 6:5-9, Shetani amekuwa na uwezo wa kuziingia akili/fahamu zetu tangu tunapozaliwa. Ufahamu/akili ya mtu ambaye hajazaliwa upya ni ngome ya adui/shetani. Wazazi wetu au mamlaka zilitulinda baadhi yetu zaidi ya wengine. Wengine walifundishwa kufanya maamuzi mazuri na kuweka nia/dhamira dhidi ya mawazo mabaya. Bali sisi sote tumepitia uzoefu na tumeshawishiwa kwa kiasi fulani na mashambulizi ya adui dhidi ya akili/ufahamu wetu. 51

54 3. Maeneo yanayoshambuliwa yamejumuisha, mila, michakato ya elimu, uongo wa kipepo uliopandikizwa katika akili zetu, na mifumo ya imani za uongo. Biblia inaeleza hali ya akili zetu kabla ya wokovu. Angalia mistari ifuatayo kisha andika neno linaloelezea hali ya ufahamu/akili ya mwanadamu wa asili kabla ya kubadilishwa kwake. a. Warumi 1:21 b. Warumi 1:21 c. Warumi 1:28 d. Warumi 8:7 e. Wagalatia 4:3 f. Wakolosai 1:21 g. Wakolosai 1:21; Waefeso 2:3 h. Wakolosai 2:8 i. Mathayo 15:19 j. 2Wakorintho 3:14 k. 2Korintho 4:4 Majibu kwa swali A3: Iliyotiwa giza, Uzushi/upuuzi, upumbavu, upotovu, mwili ulio fungwa na roho wabaya, waliotengwa mbali na Mungu, Uadui na Mungu, watumwa na tuliodanganywa, na walionajisiwa, vipofu katika kuijua kweli ya Injili kwa kupofushwa na Shetani. UFUNGUO WA AKILI TIMAMU Mkristo anatakiwa kuiweka akili yake katika amani na Mungu wakati wote. Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini. Mtumaini Bwana siku zote, maana Bwana Yehova ni mwamba wa milele Isaya 26:3-4 Furahini katika Bwana Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu. Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu Wafilipi 4: Mtu ambaye hajaokoka ni mateka wa Shetani. Nafsi yake huongoza matendo yake. Mtu wa asili kabla hajakombolewa na Kristo hutegemea akili (kufikiri), hisia na utashi (dhamira) kama msingi wa maamuzi na tabia. Mwili ni mtumwa kwa nafsi. Mwili na tamaa zake na shauku zenye nguvu hushawishi tabia ya mtu ambaye hajakombolewa. Roho ya mtu ambaye hajaokoka inatawaliwa na nafsi. Giza hutawala katika roho na mtu ambaye hajazaliwa upya hutumia hisia, utashi wa hisia na maamuzi ya kibanadamu katika kufanya maamuzi yake. Ni rahisi kuona jinsi Shetani anavyoweza kushawishi, kudanganya, kujaribu na kumteka mwenye dhambi. Yeye ni mtumwa wa dhambi. 52

55 Warumi 6:15 inaelezea hali ya mtu ambaye hazaliwa upya: Hamjui ya kuwa kwake yeye ambaye manajitoa nafsi zenu kuwa watumwa wake katika kumtii, mmekuwa watumwa wake yule mnayemtii, kwamba ni utumishi wa dhambi uletao mauti, au kwamba ni utumishi wa utii uletao haki. Jifunze mchoro ulio hapo chini ili kuelewa zaidi. MTU AMBAYE HAJAZALIWA UPYA. 1. Nafsi Uwezo wa Kutawala 2. Mwili Chini ya Mamlaka ya Nafsi 3. Roho ya mtu Chini ya mamlaka ya mwili na nafsi BAADA YA ANGUKO Waefeso 2:1-3 53

56 B. Tendo cha kwanza/hatua ya kwanza ili kurudisha ufahamu toka kwa adui ni kutubu na kuokoka. 1. Neno toba maana yake ni kubadili mawazo Warumi 10:9, 10, 13 inaeleza, Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utakaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. Kwa kuwa, kila atakayeliitia Jina la Bwana anaokoka 2. Sasa tunao ufahamu ambao hauna uadui tena na Mungu. Warumi 8 inalinganisha kati ya ufahamu wa kimwili wenye uadui na Mungu na ufahamu wa na roho. Warumi 8:5-6, Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili; bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho. Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani. 5. Roho Mtakatifu anatumia Neno la Mungu kujenga upya na kubadilisha ufahamu wetu ili kwamba tuweze kujua kusudi la Mungu na kulifanya. 2Timotheo 3:16-17, Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki, ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema. C. Mungu anataka kuhuisha ufahamu, mioyo, nia, hisia upendo na matamanio yetu katika kiwango cha juu kama vilivyokusudiwa kuwa, ili kwamba siyo tu tumtukuze Mungu katika kufikiri kwetu, bali kama matokeo, tumtukuze Mungu katika mwenendo wetu pia. (Rejea vielelezo ukurasa wa 55 & 56). 1. Mabadiliko katika kufikiri kutapelekea mabadiliko katika tabia. Lengo ni kuwa na ufahamu wa Kristo unaoelekeza shughuli za akili na hisia zetu. 1Wakorintho 2:16, Maana ni nani aliyeifahamu nia ya Bwana, amwelimishe? Lakini sisi tunayo nia ya Kristo. Ni nini Mungu ameahidi tutafahamu kama sasa tulivyo na ufahamu wa Kristo? a. 1Wakorintho 2:12 b. Warumi 12:2 Majibu: a. Tutavijua vitu vilivyotolewa kwetu bure na Mungu. b. Tutalijua nini kusudi la Mungu katika maisha yetu. 2. Mara Roho Mtakatifu anapoingia wakati wa wokovu, anafanyika mkuu wa serikali (mtawala). Tunakuwa na Bwana mpya ambaye atatufundisha kumwamini Bwana wetu Yesut Kristo na Neno lake Takatifu. Tunaingia katika mchakato mrefu wa maisha wa utakaso ambao tutabaisilishwa tuwe katika mfano wa Kristo. Tumejifunza kuzinyenyekeza nafsi na miili yetu chini ya Mamlaka yake. Tunajifunza kwamba mawazo na hisia zetu haziwezi kuelekeza mchakato wa kufanya maamuzi katika maisha yetu. 54

57 MTU ALIYEZALIWA UPYA (Baada ya Wokovu) Chuki ROHO MTAKATIFU yupo ndani ya ROHO YA BINADAMU NAFSI MWILI Maeneo yanaweza kuwa bado Anahitaji kukombolewa Chini ya utawala/umiliki [Mathayo 17:20] Wa adui (Waefeso 4:27) [Luka 10:17-19] Mfano, hasira, tamaa n.k. Mkristo aliyeokoka anaweza asiwe huru kabisa kutoka kwenye ngome za adui katika maeneo mbali mbali ya maisha yake. Kukombolewa kutoka vifungo vya mapepo kunaweza kuwa muhimu. Kisha mwamini anaweza kumwalika Roho Mtakatifu kuyamiliki maeneo ya maisha yake ambayo adui alikuwa ameweka ngome. 55

58 MRISTO ALIYEKOMBOLEWA AMEWEKWA HURU Chuki ROHO MTAKATIFU yupo ndani ya ROHO YA BINADAMU NAFSI MWILI Roho wabaya bado wanavamia, bali sasaunajua namna ya kusimama imara Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli, nayo hiyo kweli iwawaeka huru. Yohana 8:31. D. Ufahamu/akili zinatakiwa kutekwa tena na kujenga upya katika maeneo ya hiari/ridhaa, ufahamu/akili, fikara, hisia, upendo na matamanio. 1. Ridhaa/hiari ni nyenzo/chombo cha maamuzi. Ni usukani unatoa/amua mwelekeo wa maisha. Mungu anatambua kwamba tunao uhuru/utashi/hiari wa kuamua. Haingilii utendaji wa utashi wetu, bali huiweka wazi mbele yetu kweli na kutupa uhuru kamili wa kuikubali au kuikataa. Hii ni kanuni muhimu kuielewa katika mchakato wa kurejesha utawala wa ufahamu/akili zetu. Mungu hafanyi ghafla kuchukua madaraka ya kutawala mawazo na matendo yetu. Anaweka wazi kwamba ni wajibu wetu kuteka mawazo yote kwa kutumia nyenzo alizotupatia: Neno la Mungu, Nguvu ya Damu na Jina la Bwana Yesu Kristo. Mistari ifuatayo ni muhimu: Yohana 8:31-32 Yakobo 4:7 56

59 Utekelezaji: Kwa tendo letu moja tunajinyenyekeza kwenye kusudi la Mungu, na kisha tunakuwa kwenye nafasi ya kumpinga Shetani na kurudisha ufahamu/akili zetu ili kwamba tuwe na maamuzi sahihi na ufahamu ulio bora kwa utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo. 2. au Mungu alitupatia hisia ili tuweze kuufurahia ulimwengu unaotuzunguka na kuidhihirisha furaha yetu ndani ya Mungu. Hisia zetu huitikia kwenye vichocheo vya nje kama ilivyo kwenye Roho wa Mungu aliyeko ndani. Biblia inayo mifano mingi ya miitikio ya hisia za waamini kwa kazi nzuri za Mungu, kama vile: Zaburi 149 Luka 1:47 3. Ndani ya mtu wa asili, miitikio yetu kwa kile tunachohisi au kufikiri upo katika nyanja au eneo la mihemuko (hisia) zetu. Hisia, matamanio, na upendo wetu ni sehemu ya mihemuko yetu. Jinsi tunavyozidi kuizoea mihemuko (hisia) yetu ndivyo tunavyotambua kwamba huwezi kuitegemea na huweza kubadilika na hivyo haiwezi kuwa msaada katika kuongoza maisha yetu. Mihemuko (hisia) kamwe isiwe nguvu inayotawala maisha yetu. Roho Mtakatifu anapokaa ndani yetu, huleta tunda la upendo, furaha, amani uvumilivu, upole, utu wema, fadhili, uaminifu, upole na kiasi ili kuifanya mihemuko au hisia zetu ziwe chini ya utawala wa Roho wa Mungu. Wagalatia 5:22-23 Katika Waefeso 4:26-27, Paulo anafundisha kwamba mihemuko au hisia zetu zinaweza kuwa dhambi kama hazitashughulikiwa kama Mungu anavyoongoza. Shetani hupata nafasi katika maisha yako. 4. Bwana wetu Yesu Kristo alipokuwa katika kipindi cha hisia/huzuni kali katika maisha yake, aliunyenyekeza utashi na matamanio yake kwa Mungu Baba. Kisha alipokea nguvu ili kukabili Msalaba. Tunapojaribiwa ili tuingie katika udhaifu, silika, matamanio au mihemuko yetu ya kimwili, ambayo itatupeleka nje ya kusudi la Mungu lililofunuliwa, ni lazima tulinyenyekeze kusudi letu kwa Mungu. Hisia au Mihemuko yetu ipitie katika msalaba ili isitawale maamuzi yetu. Mihemuko hii inakuwa watumishi wa kusudi la letu, ambalo ni kujinyenyekeza kwa Bwana Yesu Kristo. Katika Mathayo 26:37-42, tunaona kielelezo ambacho Yesu alikiweka kwa ajili yetu. Utoaji umefanyika pale msalabani kwa ajili ya mihemuko au hisia zetu: Na hao walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake. Tukiishi kwa Roho na tuenende kwa Roho Wagalatia 5: Bwana wetu Yesu Kristo alituonya kwamba katika familia na maisha yetu tunaweza kuwa milima na mabonde, kukataliwa na kutoelewana na wale walio karibu nasi. Alisema kwamba, njia kuelekea ushindi katika mazingira yetu ni kuchukua msalaba wetu, kuachana na agenda zetu na kujinyenyekeza kwenye kusudi lake katika maeneo yote ya maisha yetu kila siku. Hebu tusome Maneno ya Yesu yanayopatikana katika Mathayo 10: Shetani hujaribu kuamsha hisia, hamu, mapenzi, na matamanio yetu ili kwamba tuchague kutenda dhambi au anajaribu kulishinda kusudi letu kwa kulinyamazisha ili kwamba tusiweze kufanya uamuzi mzuri (2Korintho 11:13). Kusudi la Shetani ni kutupeleka mahali ambapo tutalikatia tamaa kusudi letu na kumruhusu yeye au roho chafu kutawala maeneo ya ufahamu, utashi au hisia au mihemuko yetu. Utashi wetu ni kikwazo (kizuizi) kwa adui kutuvamia. 57

60 E. Siku zote Mungu hushughulika nasi kutegemea mioyo/akili zetu. Mungu hatauacha moyo ulionyenyekea na kuvunjika/kupondeka Zaburi 51:17 Zaburi 10: Maombi ya Daudi kwenye Zaburi 51:10-12 yanapaswa kuwa yetu binafsi. Katika Isaya 57:15 Mungu Mtakatifu anasema kwamba, Hukaa na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea 2. Unyenyekevu na kupondeka ni sifa muhimu za moyo kwa ajili ya Mungu kujenga upya akili/ufahamu wetu. 3. Tunatakiwa kulipokea Neno la Mungu kwa unyenyekevu kama chanzo cha Kweli ambayo itatubadilisha na kutujenga upya ufahamu/akili zetu. 4. Tunapoukubali umoja/ushirika wetu na Kristo, tunapewa unyenyekevu wake wa moyo na tunajisikia pumziko katika nafsi na hisia zetu. Zinaacha kuwa nguvu zinazotawala maisha yetu. Ukweli huu unaelezwa waziwazi katika maagano yote, Agano Jipya la Kale: Isaya 66:2 Mathayo 11: Kanuni ya Mapambano: Ili mradi tunaendelea kumtegemea Kristo aliye hai ndani yetu katika kila hali, tutaendelea kuwa katika nafasi ya ushindi. Lengo la kwanza la Shetani dhidi ya Mkristo ni kutuondoa kutoka kwenye nafasi yetu ya ushindi na ushirika au umoja wetu na Kristo. 58

61 Tunahitaji akili zilizo huru, safi, makini na akili zenye utashi ili kwamba yale yote ambayo Mungu amekusudia kutufanyia na kupitia sisi yafanyike. 1. Muhutasari wa afya ya akili umeelezwa katika Agano la Kale Nabii Daniel. Aliishi katika jumba la Mfalme wa Babeli, penye kiti cha enzi cha Shetani. Watenda kazi wake walikuwa wachawi, waganga, watu wanaocheza na nyoka, na watabiri. Kwa imani yake ndogo Danieli aliweza kusimama mshindi na kuuendeleza Ufalme wa Mungu. Nini kiliwezesha Danieli kuwa na nguvu hiyo ya kiroho? a. Alikusudia moyoni mwake siku zote kutojinasi na vyakula vya adui, Danieli 1:8 b. Siku zote alijinyenyekeza kwa Mungu, alimwabudu Mungu mara kwa mara, alijifunza kwa makini, na aliiishi imani yake kwa ujasiri katika nyanja zote za maisha yake. Mungu alimpa/ alimkirimia nguvu ya akili inayomhofu Mungu. 2. Angalia maandiko yafuatayo na andika sifa ambazo Mungu alimpa Daniel. a. Danieli 2:14, b. Danieli 5:11-12,, c. Danieli 5:14 3. Utekelezaji: Neno la Mungu linaeleza akili iliyo tayari kwa vita ya nguvu. Tunatakiwa kudai: a. Nguvu, upendo, na akili timamu 2Timotheo 1:7 b. Akili iliyofanywa upya kwa Neno la Mungu Warumi 12:2 c. Akili iliyofanywa upya, yenye kweli, na kiasi Waefeso 4:20-32 d. Akili iliyonyenyekea, iliyo tayari kufanya kazi Wafilipi 1:27; 2:3,5 pamoja na Wakristo wengine, ili kujenga Kanisa. Wafilipi 2: 3, 5 e. Akili inayokaa katika kweli Wafilipi 4:8 f. Akili ambayo inayoyatafakari yaliyo juu Kolosai 3:2; Mathayo. 5:21 g. Akili iliyo makini na thabiti 1Wathesalonike 5:8.9. h. Akili inayofurahi siku zote/wakati wote 1Wathesalonke 5:18 i. Akili iliyo makini tayari kwa vita 1Petro 5:8 Majibu ya F2: Mafunuo, uamuzi, hekima, utambuzi, uelewa, uwezo wa kutatua matatizo magumu Kanuni ya Mapambano: Katika ulimwengu wa Roho, sheria ya kujibu mashambulizi siku zote inatenda kazi ili kupata ushindi wo wote. Kama mwanga unavyofukuza giza, ukweli ni lazima usemwe ili kuushinda uongo. 59

62 F. Itambue mitego ya hatari ambayo Shetani ameitega dhidi ya akili, utashi, na hisia zako ili kwamba uweze kuchukua silaha zake za kiroho na kwa ujasiri kuziharibu. 1. Utepetevu wa Kiroho Uhafifu huu wa hali ya akili hutoa nafasi kwa manyanyaso ya kipepo. Tunatakiwa kuendeleza mapambano ya kiakili. Tukae macho na kuwa kwenye zamu na si watepetevu, 1Petro 5:8. 2. Ukimya/ubaridi Hali hii huruhusu nguvu za nje kutuhamasisha. Tofauti ya msingi kati ya kazi ya Roho Mtakatifu na ile ya roho wachafu ni kwamba Roho Mtakatifu kamwe hatuambii tuuweke utu wetu kando; roho wachafu hututaka tusiwe watendaji ili yeye afanye badala yetu na kutufanya sisi kama roboti. Roho Mtakatifu huhitaji ushirikiano wetu wa hiari na unyenyekevu kwake. Utashi wetu lazima utende kazi siku zote bali chini ya mamlaka ya Roho Mtakatifu ili kuzuia upinzani wa kimyakimya. Zaburi 40:8 3. Ufahamu ulio mtupu ambao hukosa lengo maalumu au mwelekeo unaruhusu roho wachafu kuingiza mawazo yao. Usiruhusu hali ya ufahamu wako kuwa kati kati au kutokuwa na kitu. Biblia inasema tunatakiwa kuwa na utayari na mwelekeo katika kweli. 1Petro 1: Mawazo mabaya/wachafu Roho chafu zitajaribu mara kwa mara kuingiza mawazo mabaya/machafu. Ikiwa tunafurahia mawazo ya dhambi, inakuwa ni uamuzi wa akili na kinachofuata ni kitendo. Basi, tunatakiwa kuungama dhambi na kumpinga adui katika eneo hili. Kujaribiwa si kutenda dhambi, bali kukubali kutenda ndiyo dhambi. Yakobo 1: Misisimuko ya kuigiza ya miujiza Uwe macho na dini zenye misisimko ya kidini inayoteka utu wako. Mungu anatutaka kutembea kwa imani siyo kwa misisimko, mitazano au uzoefu wetu, Warumi 12:3; 2Wakorintho 5:7 [angalia sura ya 6 kuhusu kuendeleza/uendelezaji wa mafunuo]. 6. Vipawa vya kuigiza vinaweza kutenda kazi ndani ya mwamini aliyedanganywa na hakujifunza kuzijaribu roho kuona kwamba zinatoka kwa Mungu (Angalia Sura ya 6). 7. Kukubali mapendekezo kuhusiana na maisha yetu au ya watu wengine au ya mazingira ya baadaye Roho wachafu hutafuta kutupa uwezo wa kimiujiza katika kuzigeuza karama. Kila karama au ujumbe ni lazima ujaribiwe sawa sawa na 1Yohana 4:1-3 (Angalia sura ya 6). 8. Msukumo wa mawazo ya haraka haraka. Hali hii hupelekea hali/msukumo wa kuchukua maamuzi ya haraka. Roho wachafu huathiri akili/ufahamu kwa shinikizo na kutaka kuharakisha mambo (kusukuma) ili kutimiza agenda zao kabla ya kuchukua muda kumuuliza Bwana na kuona kama jambo hilo limeagizwa lifanyike. Mapepo humuumbia mtu matamanio yasiyo ya kawaida juu ya vitu. Hutusukuma kwa msisitzo ili kuona tunafikia matakwa au malengo wanayopendekeza. Akili/ufahamu uliathiriwa na adui hukosa utulivu na huwa na masumbuko/dhoruba. Kwa upande mwingine, Roho wa Mungu ni mpole na wa amani na hatulazimishi kutenda. Hutuongoza kimya kimya, hatua kwa hatua. Ikiwa tunahisi msukumo mkali katika akili zetu, mara nyingi hautoki kwa Mungu, Yohana 10: Msongamano wa Hisia zenye nguvu Ikiwa eneo lililorahisi kushambuliwa ni hisia zetu, tunatakiwa kuzilinda dhidi ya vitendo au misukumo inayoletwa na hisia. Njia zote za Mungu ni za amani. Kwa hakika Mungu huturuhusu kuonyesha/kueleza hisia zetu za ndani chini ya uangalizi wa Roho Wake lakini tunda wakati wote ni haki na amani. Hisia zenye nguvu zilizo mbaya (hasi) ambazo hutuibia tunda la Roho Mtakatifu hazitoki kwa Mungu. Yohana 14:27 60

63 10. Ufahamu/akili yenye wasi wasi inatambuliwa kwa kurudia mara kwa mara matukio na mawazo mabaya (hasi) yanayaoambatana na mchakato wa wazo. Mara kwa mara kuna usumbufu, wasi wasi, hofu kwa mambo yasiyojulikana, hofu ya mambo ya baadaye na matokeo halisi mwilini kama vile maumivu ya kichwa, hofu au kukosa usingizi. Neno la Mungu limeeleza kwamba tiba pekee kwa akili yenye wasiwasi ni kuzikabidhi fadhaa zako Bwana katika maombi, Wafilipi 4: Mashaka makubwa siku zote hupandikizwa na adui ili kutugeuza (kughusi) kufikiri kwetu. Adui siku zote hujaribu kuharibu imani yetu kwa Mungu na Neno lake. Roho wachafu huingiza uongo juu ya tabia ya Mungu ili tusimwamini. Pia hutufanya tuwe na mashaka kwamba sisi ni nani katika Kristo. Wauaji hawa wa imani ni lazima washughulikiwe kwa uwazi kwa kuikiri Kweli, Yohana 8: Akili iliyochanganyikiwa ni ile ambayo mitazamo miwili inayopingana imewasilishwa na hakuna hatua iliyochukuliwa kuonyesha msimamo. Uchaguzi/uamuzi thabiti (usio na mashaka) unaomini Kweli ya Neno la Mungu huzuia/hukinzana na uongo na kutowezesha kuchanganyikiwa. Yakobo 1: Ufahamu/akili ya wakati uliopita ni ufahamu ambao kila mara hukumbuka matukio mabaya (hasi) ya zamani. Mara tunapofunguliwa kutoka dhambini, mambo ya zamani, au ngome za mapepo ambazo zimetokana na maisha yetu ya zamani, tumeamriwa katika maandiko tusijishughulishe na mambo ya dhambi za kale/zamani, bali tuchuchumilie mbele kwa yale yaliyo mbele yetu, Wafilipi 3: Kanuni ya Mapambano: Njia nzuri ya kulinda/ulinzi ni mashambulizi endelevu G. Utekelezaji: Namna gani tunashinda vita vya ufahamu/akili. Jenga tabia ya kufanya matendo yafuatayo kila siku, na utashangazwa kwa mabadiliko katika akili zako. 1. Andaa ufahamu wako kwa vita kila siku. Ukubali ukweli kwamba tuko vitani dhidi ya adui anayetaka kutuibia na kutuharibu. 1Petro 1:13 2. Salimisha ufahamu, nia/utashi, hisia na mwili wako kwa Bwana Yesu Kristo kila siku na dai ufahamu wa Kristo. Vaa Silaha za Mungu 1Wakorintho 1: Jaza ufahamu/akili zako kila siku kwa Neno la Mungu. Fikiri Kweli, zungumza Kweli, na tembea katika kusudi la Mungu lililofunuliwa kwako kila siku. Zaburi 119:11 4. Linda, kupitia Roho Mtakatifu, hazina ambazo zimekabidhiwa kwako. 2Timotheo 1:

64 5. Epuka maswali ya kipumbavu na magomvi yanayoondoa kifungo cha amani. 2Timotheo 2: Jiondoe kwenye kila pando ambalo hukufubaza kiakili na kiroho. Dhamiria moyoni mwako kuto najisiwa na adui chakula. 2Timotheo 2:19, Mshukuru Mungu katika kila jambo maana hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwako. 1Thesalonike 5:18 8. Tathmini kili kitu kwa makini kulingana na Neno la Mungu. Kama hakiendani na neno la Mungu kikatae mara moja. Matendo 17:11 9. Mwombe Mungu akupe hekima kila siku. Yakobo 1: Jitoe/jikabidhi maisha katika mchakato wa muda mrefu wa kubadilisha ufahamu/akili zako katika ufahamu uliopevuka kwa kujazwa Roho Mtakatifu ambao Mungu anaweza kuutumia kwa ajili ya utukufu Wake 1Wakorintho 14:20, Warumi 12:2 Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea; Katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini. Isaya 26:3 62

65 Karatasi ya kazi kwa ajili ya sura ya 5 Kushinda Vita vya Akili (ufahamu) Tafadhali chana karatasi hii na ujibu maswali kadri unavyojifunza somo hili. Weka alama katika jibu sahai kwa maswali 1 5 kwenye orodha katika swali Je, ni eneo gani unapata mashambuli kutoka kwa adui mara kwa mara? Weka alama + Macho Masikio Hamu ya kula, kuonja Utashi dhaifu mihemuko, hisia kali Tamaa mbaya ya mapenzi Shauku ya kutafuta maarifa zaidi kama njia ya kupata hekima ya kibinadamu Mawazo/mafikara Maumbile ya Kimwili Magonjwa, Maumivu 2. Je, ni eneo gani hushambuliwa kwa nadra katika maisha yako? Weka alama X kwenye orodha iliyopo hapo juu. 3. Je unafikiri ni eneo gani ambalo kwa kawaida hushambuliwa dhidi ya kizazi cha binadamu? Weka alama C kwenye orodha iliyopo hapo juu. 4. Ni mahali gani Shetani alimshambulia mwanadamu kufikika kiwango ambacho Mungu alijuta kumuumba mwanadamu? Weka alama D kwenye orodha iliyopo hapo juu. 5. Ni maeneo gani yanayoshambuliwa katika maisha yako ambayo hushambulia maeneo yale yale ambayo yalisababisha kuharibiwa kwa kizazi cha mwanadamu (isipokuwa kwa Nuhu na familia yake)? Zungushia mduara kwenye jibu katika orodha iliyop hapo juu. 6. Je ni maeneo gani ya mashambulizi tangu utoto wako ambayo umefikia kuuamini uongo mwingi wa shetani juu ya Mungu na wengine, na Maisha? Mila (Utamaduni) Mifumo ya Elimu Uongo wa Kipepo uliopandikizwa Mifumo ya imani potofu Falsafa, Nadharia, Dini n.k. 7. Ni hatua gani ya kwanza ambayo ni lazima tuichukue kurejesha ufahamu wetu kutoka kwenye milki ya adui? Soma kitabu kingine Kutubu dhambi zetu zote 8. Weka Kweli K au Si Kweli S juu ya vitendo vifuatayo tunavyopaswa kuvifanya ili kurejesha ufahamu wetu kwa ajili ya Bwana Yesu Kristo. Kuangalia luninga kwa masaa 3 Kukiri kwa vinywa vyetu na kuamini katika mioyo yetu kwamba Yesu Kristo ni Bwana Kuitoa miili yetu kama dhabihu katika maombi kila siku Kuyajaza maisha yetu kwa falsafa za kidunia Kusikiliza sauti inayosema, mara moja hii tu au hutadhurika Kuwa tayari kila sikukwenda kushuhudia kwa yale Kristo ametufanyia Mwelekeo unaoutendea kazi uwepo wa Kristo na Neno lake kila siku katika maisha yangu. 9. Je kuna ngome katika maisha yako ambazo bado zinaathari kubwa juu yako? Onyesha eneo hilo kwa ndiyo au hapana. Ngome katika hisia/mihemuko 63

66 Ngome katika ufahamu Ngome katika mwili 10. Elezea katika maneno yako mwenyewe mchakato ambao Mungu, kwa Roho wake Mtakatifu hutenda kazi pamoja nawe kuziangusha ngome na kulifanya kila wazo mateka 11. Je ni kitu gani Kinaendelea kujengwa katika maisha yako wakati hu? Weka alama X Ujenzi Unaendelea - Utashi - Mawazo/fikara - Akili/Ufahamu - Hisia 12. Andika mambo mawili ambayo yanaathiri hisia zako za ndanin na mbili ambazo zinaathiri hisia zako kwa nje, zote, vizuri (chanya) na/au vibaya (hasi). HISIA ATHARI TOKA NDANI Mawazo Hasi ATHARI TOKA NJE 13. Malizia sentensi ifuatayo kwa kile kinachoelezea vizuri mihemuko (hisia) kunaweza kuwa na jibu zaidi ya moja. Mihemuko ni: a.hisia b. mawazo c. Upendo/huba d. Shauku 14. Toa jibu kwa maelezo yafuatayo kuhusiana na mihemuko kwa kuweka Kweli K au Si Kweli S. Mihemuko: Huweza kutawala utashi Hazina hakika Ni za asilia na kwa hiyo ni lazima wakati wote zionyeshwe 64

67 Siyo imara na hubadilika Haziwezi kuruhusiwa kutawala maamuzi yetu Ni vyombo tunavyotumia kuonyesha upendo, amani, furaha na uwepo wa Bwana katika maisha yetu. 15. Ni hisia gani zina nguvu ambazo unadhani adui anaweza kupata nafasi kwako?,, 16. Jaza nafasi zilizoacha wazi. Rejea kwenye ukurasa wa 57 #4. Hisia zetu lazima ziwekwe kwenye Ili kutoziruhusu ku maamuzi yetu. Hisia zangu lazima ziwe watumwa wangu Kama mimi ninavyojinyenyekeza kwa Bwana wangu Yesu Kristo. Majibu kwa swali 16: Msalaba, Utawala/umiliki, Utashi 17. Ni hali zipi za mioyo yetu zinamruhusu Bwana kutubadilisha na kutujenga upya akili/ufahamu, hisia, na utashi wetu? Onyesha matatu. Kiburi Ukimya Udanganyifu Unyenyekevu Mateso Uaminifu kwa Mungu 18. Ni mitego ipi ya hatari ambayo Shetani amekuwa akiitumia kukudanganya wewe? Weka X. Tafadhali rejea kwenye ukurasa 60 na 61. ukimya kiroho (kupoa kiroho) akili iliyopoa akili iliyo wazi miujiza ya uongo mawazo mabaya ifurahishayo akili iliyo na wasi wasi msukumo wa mawazo mashaka makubwa (yenye nguvu) ya haraka haraka aili iliyochanganyikiwa akili yenye wasiwasi mongamano wa hisia zenye nguvu ndoto za mchana aili inayotazama zaidi mambo yaliyopita kuliko ya sasa. aili inayofanya kazi chini ya uongozi wa karama za uongo. mwazo na mapendekezo yenye nguvu juu ya matukio ya baadaye 19. Andika matendo matatu yanayojenga unayoweza kuyatumia kushinda vita kwa ajili ya akili yako? Chagua kutoka kwenye orodha iliyopo juu eneo moja la kujadili. a. b. c. Maana, Ni nani aliyeifahamu nia ya Bwana, amwelimishe? Lakini sisi tunayo nia ya Kristo. 1Wakorintho 2:16 65

68 Sura ya 6 Kujenga Upambanuzi katika Njia za Mungu Kweli Kuu: Mungu anawapata Wakristo mafunuo ya Miujiza kutoka kwa Roho Mtakatifu jinsi tunavyokua katika imani na maarifa katika Bwana wetu Yesu Kristo na Neno lake Takatifu. Mungu pia huwaandaa watakatifu kwa karama za miujiza kwa ajili ya kuujenga Mwili wa Kristo. Lengo Kuu: Kuelewa namna ya kuzitambua na kuzijaribu roho zilizo nyuma ya neno, kipawa, udhihirisho wa miujiza na kazi zote. Maandiko ya Msingi/Makuu: Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani. 1Yohana 4:1-3 Basi, ndugu zangu, kwa habari ya karama za roho, sitaki mkose kufahamu. Mwajua ya kuwa mlipokuwa watu wa mataifa, mlichukuliwa kufuata sanamu zisizonena, kama mlivyoongozwa. Kwa hiyo nawaarifu ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu. 1Wakorintho 12:1-3 Somo hili juu ya mafunuo linaweza kufanyika kwa kutumia karatasi ya kufanyia kazi iliyoko ukurasa wa 72. Msingi wa mafunuo yote ni Neno la Mungu. 66

69 A. Mafunuo kwa Wakristo ni sifa ya kukuwezesha kudaka na kuelewa yale yasiyojulikana na yaliyofichika gizani; mwamini aliyekomaa, anayekula Neno gumu la Mungu na kulitendea kazi, inadhihirishwa kwa uwezo wake wa kutofautisha mema na mabaya. Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoezwa kupambanua mema na mabaya, Waebrania 5: Maana ya Mafunuo/maono a. Katika lugha ya asili ya Kiebrania ya Agano la Kale, kupata mafunuo/ maono ni kutambua, kutofautisha au kubagua/kutenganisha [Vine s 1985, p.60]. b. Katika Agano Jipya, neno mafunuo/maono linamaanisha kutenganisha kwa umakini, kuchunguza kwa kuangalia. Katika Mathayo 16:3 pia ni kujaribu na kudhibitisha ; Luka 12:56; na kutoa maelezo ya kimahakama ; Ebrania 4:12, Neno la Mung lijepesi kuyatambua mawazo na nia ya moyo i.e. kubagua na kupitisha hukumu juu ya mawazo na hisia. (Vine s Complete Espository Dictionary of Old and New Testament Words, Unger & White, 1985, ukurasa 171). 2. Kusudi la Mafunuo/maono a. Paulo anaomba kwamba pendo lenu lizidi kuwa jingi sana katika hekima na ufahamu wote Wafilipi 1:9. b. Kwa nini tuwe na maarifa na upambanuzi halisi? Ili kutambua na/au kuyachukua na kuyathibitisha mambo ambayo ni mazuri sana ili kwamba tuwe wakweli na tusiolaumiwa mpaka siku ya Kristo. 3. Madhumuni ya Mafunuo/maono a. Ni jambo gani lazima lihamasishe kutafuta upambanuzi? Upambanuzi lazima uhamasishwe na upendo wa Mungu na kazi zetu katika Mwili wa Kristo. Manabii wa Agano la Kale walivunjika mioyo, watu wa machozi katika maombezi waliowapenda watu wao, na kwa hiyo Mungu aliweza kuwatumia kuona na kutangaza kusudi la Mungu (Yeremia 9:1). Yesu alipambanua kutoka kwenye upendo. Kwa mfano katika suala la mtawala tajiri kijana, Biblia inasema kwamba, Akampenda, kwa hiyo Yesu angeweza kumpa maneno magumu ya mafunuo ambayo yalilifunua jambo halisi na kutoa hukumu katika hali yake, (Marko 10:21) b. Zaidi ya upendo wa Mungu na Roho Mtakatifu kutuhamasisha, upambanuzi unaweza kuwa nyezo ya migawanyiko inapokuwa mikononi mwa adui. Mkakati wa kwanza na wa muhimu ambao Shetani aliutumia dhidi ya Adamu na Hawa ilikuwa ni kuwapa mafunuo ya uongo, ujuzi wa mema na mabaya. Katika Mwanzo 3:5 neno, maarifa (kiebrania yada) maana yake kuyakinisha/hakikisha kwa kuona.. Adui hutumia mafunuo/maono mabaya katika namna ya kubashiri, hisia/onyo kabla ya tukio, ubashiri, na maarifa ya kutabiri. Katika hali hii, watu wanaotumia uwezo huu hupata maarifa pasipo upendo wa Mungu na wanahamasishwa na madhumuni mabaya. Tunda la mafunuo ya uongo ni hofu, vifungo vya kiroho, kuchanganyikiwa na laana. 67

70 Roho Mtakatifu, ambaye ndiye chombo cha mafunuo, anakubaliana na Maandiko Matakatifu. Tunaweza kutumia makubaliano haya kuhakikisha usahihi wa mafunuo. B. Bwana wetu Yesu Kristo aliifunua kila hatua ya huduma yake. Tunapoendelea kuwa na umoja Naye, Roho Mtakatifu atatupa Kweli inayotakiwa katika kupambanua na kulitimiza kusudi la Mungu. 1. Yesu alijua katika Roho yake yale ambayo wanadamu waliyafikiria ndani ya mioyo yao. Marko 2:8 2. Yesu alifunua kupitia mafunuo kamili (sawasawa) suala halisi la dhambi ndani ya Mwanamke Msamaria pasipo lawama. Yohana 4: Kwa kushikamana na uwepo wa Baba yake, Yesu aliweza kufunua kwa usahihi kila hali. Maana ya mafunuo katika Luka 12:54-57 ni Kuhukumu katika mambo ya haki. Yesu aliwakemea Wayahudi kwa kuwa na mafunuo ya ulimwengu wa mwili lakini hakuna kwa ajili ya ulimwengu wa roho. Alihusisha uhitaji wa kuwa na mafunuo sahihi kwa wakati wa sasa. C. Nabii Danieli alikuwa na kipawa cha mafunuo alichokirimiwa na Mungu, ambacho kilijidhihirisha kupitia roho wa kipekee, maarifa na utambuzi, kutafsiri ndoto, kuelezea mafumbo/miujiza na kutatua matatizo mazito. 1. Danieli alieleza kwamba mafunuo ya yale mambo ya siri si kwa uwezo wa asili ambao ulikuwepo ndani yake, lakini zaidi Mungu aliitoa kwake kwa ajili ya kulihubiri kusudi la Mungu. Danieli 2:30 Danieli 5:12 D. Wakristo katika Kanisa la Kwanza waliutambua uongozi wa Roho Mtakatifu kadri Kanisa lilivyokua. 1. Mara kwa mara, kwa ujasiri waliweza kuzitambulisha karama za uongo, madhumuni au roho za adui na kushughulika nazo na baadaye kuuhubiri Ufalme wa Mungu. Soma vifungu hivi na andika mafunuo yaliyotolewa na Mungu: a. Matendo 5:3 b. Matendo 8:29 c. Matendo 10:19-20 d. Matendo 13:9-10 e. Matendo 16: Tunapoyatendea kazi mafunuo, ni lazima tumtegemee Mungu atufunulie kwa njia ya Roho Mtakatifu kweli umuhimu au mwelekeo wa kuyafanikisha makusudi yake. Upambanuzi untolewa kwetu kama waamini kwa ajili ya kazi ya Ufalme wa Mungu na siyo kwa ajili ya maarifa binafsi au kurahisisha mambo. Majibu kwa Swali D1: a. Petro alimfunua Shetani, mwongo, ndani ya waamini ambao waliadabishwa kwa kifo. B. Filipo aliongozwa na Roho kuokoa roho/nafsi. C. Mungu alithibitisha maono ndani ya Petro ambayo yaliwaongoza watu wa mataifa katika wokovu. D. Paulo alimfunua adui ndani ya Elma na akamkemea ili kwamba Injili iweze kumfikia liwali. E. Paulo alizifunua roho chafu ya utambuzi iliyozuia Injili katika Efeso. 68

71 Maneno yanayotolewa katika upambanuzi/mafunuo kamwe hayapingani na Neno la Mungu. E. Mafuno ya kiroho lazima yaendelezwe. 1. Jinsi tunavyotembea katika Roho na kuendelea kukaa ndani yake, tunakua katika mafunuo ya kiroho. Paulo anaifundisha kweli hii katika: 1Korintho 2: Mafunuo ya kiroho ni ishara ya kukua kiroho. Mafunuo ya kiroho ni matokeo ya fahamu zote ambazo Mungu ametupa na vipawa vya Roho Mtakatifu kunyenyekezwa kwa Roho Mtakatifu kwa ajili ya hekima yake na Kweli yake iweze kujulikana. F. Karana zote za Roho Mtakatifu zinatumika na ufunuo, lakini karama ya kupambanua kati ya roho inatumika zaidi katika vita vya kiroho. Hebu tuangalie katika 1Wakorintho 12: Karama ya mafunuo au kupambanua kati ya roho, inapatikana katika orodha ya huduma ya vipawa kwa udhihirisho wa Roho kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo. Katika huduma ya ukombozi, karama hii ni ya muhimu ili kuweza kujua ni ngome gani hasa ziko katika maisha ya mtu. 2. Karama ya neno la hekima, karama ya neno la maarifa, karama ya imani, karama za kuponya, utendaji wa miujiza, karama ya unabii na karama ya aina mbalimbali za lugha na tafsiri za lugha ni karama zinazotolewa na Roho Mtakatifu ambazo hufanya kazi wakati wa vita vya kiroho kadri Bwana atakavyoona zinahitajika. G. Kanuni za Upambanuzi 1. Uwe msafi/mtakatifu, umejazwa na Roho Mtakatifu, na umevaa silaha za Mungu kabla ya kumwomba Bwana kwa ajili ya neno maalumu katika hali maalumu. Kisha subiri kwa utulivu mbele za Mungu. Angalia maelekezo maalumu yaliyopo kwenye vifungu vifuatavyo: Zaburi 25:4, 5 Zaburi 27:14 Zaburi 62: 5 2. Yeremia 23:28 inaonyesha thamani ya Neno la Mungu likipingana na ndoto. 3. Katika Zaburi 119:66 na mstari wa 99, Mwimba Zaburi anaomba mafunuo, na kisha anafunua jinsi Mungu anavyojibu maombi hayo. 4. Tunaamriwa kuchunguza kila kitu kwa makini na kuzijaribu roho. Hizi ni amri za Kimaandiko kwa kwa ajili ya kuzijaribu roho. a. 1Wakorintho 12:1-3 (Andiko kuu). b. 1Wathesalonike 5:19-22 c. 1Yohana 4:1-3 (Andiko kuu) 69

72 5. Jaribu na kutathmini neno kutoka kwa Bwana kwa Maandiko. Jaribio la msingi kwa ajili ya matendo ya miujiza na maneno tunayoyapokea wakati karama zinatenda kazi yanachuliwa kwa kuyalinganisha na Neno la Mungu. Jifunze kwa makini uhalisi Biblia, na utaweza kugundua vilivyo vya kughushi/kuigiza (Matendo 17:11). Jumbe kutoka vyanzo vingine, tunaambiwa pia katika Maandiko tuzijaribu roho ili kuona kwamba zimetoka kwa Mungu (1Yohana 4:1-3, andiko kuu) H. Utekelezaji: Kuzijaribu karama za roho, maneno na kazi 1Yohana 4:1-3 NAMNA YA KUZIJARIBU ROHO 1. Jaribio ni halali (la kweli) kwa ajili ya udhihirisho wa muujiza ambao unadaiwa kuwa umetoka kwa Mungu. 2. MAOMBI YA KUJINYENYEKEZA: Baba wa Mbinguni katika Jina la Bwana Yesu Kristo, ninakuomba unifunuliwe kwamba neno hili (au udhihirisho wa muujiza) unatoka kwako. Nitaijaribu roho iliyo nyuma ya ujumbe (karama) sawa sawa na Neno Lako. Ninaomba katika Jina la Bwana Yesu Kristo. 3. Kujaribu karama au neno, siyo muhimu kwamba kwenye utendaji. Bali kama unaijaribu roho iliyo nyuma ya karama ya lugha, basi unaweza kunena kwa lugha wakati wa jaribio. Sawa sawa na Neno la Mungu, Naijaribu roho iliyo nyuma ya ujumbe (lugha au karama), Unakiri kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili? 4. Subiri majibu ya maneno ambayo utayaongea. Ikiwa ni kutoka kwa Mungu, basi majibu yatakuwa kutoka kwa Roho wa Mungu katika maneno ya lugha yako yanayotamkwa. Ndiyo, Yesu Kristo ni/amekuja katika mwili 1Yohana 4:2. au Ndiyo, Bwana Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu ambaye amekuja katika mwili, au Ndiyo, Yesu Kristo ni Bwana 1Wakorintho 12:3. 70

73 5. Kama hakuna majibu au tamko lililo kinyume, basi neno, karama au ishara za muujiza ni uongo. Kiri kuwa umetoa nafasi kwa roho ya karama ya uongo / neno / maono / au ishara nyingine za muujiza. Neno la uongo, karama ya yongo au ishara ya muujiza wa uongo vinapaswa kutubiwa, kubatilishwa na kukemewa. Bwana wangu, ninakiri kwamba nimetoa nafasi kwa roho mchafu ambaye ameniingia kupitia (ulimi/lugha, karana au ishara nyingine) za uongo. Nisamehe mimi kwa kuziruhusu kuwa na nafasi katika maisha yangu. Sasa kemea roho hizo: Katika Jina la Bwana Yesu Kristo, nabatilisha kila neno (au karama) ya uongo. Narejesha maeneo yote niliyoyatoa kwako, (adui) katika maisha yangu na ninavunja ngome zako zote juu yangu na ninajifungua na vifungo vyote. Nakemea roho zilizo nyuma ya neno (au karama) hii na ninamuru utoke na kwenda moja kwa moja kwenye shimo la jehanamu sasa hivi, katika Jina la Bwana Yesus Kristo. 6. Mwombe Mungu akujaze katika kila eneo la maisha yako kwa Roho wake Mtakatifu. Mwombe Mungu akupe karama zilizo halisi sawa sawa na kusudi lake. 1Wakorintho 12:11. Baba wa Mbinguni, ninaomba unitakase kwa Damu ya thamani ya Bwana Yesus Kristo. Ninakualika Roho Mtakatifu kunijaza katika kila eneo la maisha yangu. Ninakuomba kwa ajili ya karama za Roho wako Mtakatifu ambazo Roho wako hunikirimia sawa na uhitaji wangu katika huduma, na ninakushukuru kwa ajili ya karama hizo katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Roho Mtakatifu ni chombo cha Mafunuo. Wakati wote anakubaliana na Maandiko Matakarifu. Tunaweza kuyatumia makubaliano haya kama udhibitisho wa usahihi wa mafunuo. Maelezo: 71

74 Karatasi ya Kazi kwa ajili ya Sura ya 6 Kuendeleza Upambanuzi Tafadhali chna (kata) karatasi hii na jibu maswali kadri unavyojifunza somo hili. 1. Orodhesha maneno mengine mengi kwa kadri unavyoweza yanayofanana na neno upambanuzi / mafunuo: 2. Katika maelezo rahisi, andika kusudi la msingi la upambanuzi/mafunuo. 3. Katika neno moja, andika madhumuni ya upambanuzi/mafunuo: Sasa kamilisha sentensi ifuatazo: Mafunuo sahihi hupelekea (huleta matokeo ya): 4. Je, Yesu angefanya nini wakati mafunuo yanatendeka? Angalia ukurasa wa 68B Baada ya kusoma mistari, chagua jibu sahihi kwa mistari. Marko 2:8 a. Yesu alijua mzizi wa dhambi ya mwanamke na alimuokoa. Yohana 4:17-18 b. Yesu aliwakemea Wayahudi kwa kutotambua wakati walio nao (wa sasa) Luka 12:54-57 c. Yesu alijua nini watu wanafikiria. 5. Katika mapitio, Danieli alifanya nini ili kuwa na akili nzuri yenye afya ambayo ilikuwa tayari kutumiwa kufunua? Angalia ukurasa wa 68C. Chunguza majibu sahihi. alikunywa mvinyo kila siku hakula adui chakula aliomba mara 7 kwa siku alitafuta ushauri kwa watu wa Mungu Alijua kuwa yeye ni bora alitembea katika unyenyekevu mbele Kiroho za Mungu na watenda kazi wenzake. 6. Nini kilisababisha Danieli kuwa na akili njema/safi? Chunguza majibu sahihi: alikuwa na karama ya neno la maarifa uelewa alielewa uganga/uchawi wa Babeli. alikuwa na uwezo wa kutafsiri ndoto aliweza kueleza siri matatizo mazito. alikuwa na maktaba kubwa ya vitabu vizuri alipewa majukumu makubwa zaidi na kupandishwa cheo. hakuweza kuondoka Ikulu kama apendavyo alijua namna ya kuendeleza ushirika wake na Mungu. aliona hali zote/kila hali kwa macho ya rohoni alipoteza umaarufu mahakamani alipata kibali kwa bosi wake Mfalme. 72

75 7. Kila karama ya kiroho neno kutoka kwa Bwana, maono, ndoto, lugha, tafsiri au unabii ni lazima vijaribiwe kwa: [Angalia ukurasa 70 & 71]. Mchungaji Wazee Neno la Mungu 8. Ni muhimu kuzijaribu roho kwa sababu: kuna karama nyingi za uongo ndani ya makanisa leo. kuna manabii wa uongo. kuna walimu wengi wa uongo kuna mafundisho mengi kuhusu mapepo yanayofundishwa leo. 9. Fikiri juu ya karama ambayo Mungu amekupa wewe kutumika ndani ya Kanisa. Inawezekana kuwa na zaidi ya moja, lakini hebu tuichunguze na kuijaribu moja tu. Malizia maelezo/semi zifuatazo: Ninafikiri Mungu amenipa karama ya. Nitalitii Neno la Mungu na kuzijaribu karama sawa sawa na 1Yohana 4:1-3. Hebu tuzijaribu roho zilizo nyuma ya karama ya kuona kama inatoka kwa Mungu au la. Umejifunza kwenye somo hili namna ya kuzijaribu roho, kwa hiyo hii ni nafasi yako kuweka kwenye utendaji jaribio hili muhimu. 10. Ikiwa unazo karama nyingine za kiroho, ni zipi hizo? Ungependa kuzijaribu? Ndiyo Hapana Kama jibu lako ni ndiyo, basi tayari unajua namna ya kufanya na unayo kazi ya kufanya katika wiki hii inayofuata. Uje na matokeo yako wiki ijayo. 73

76 Sura ya 7 Kujenga Upya Maisha na Namna yako ya Kuabudu Kweli Kuu: Kituo chetu cha Ibada, ambacho ni miili yetu, hekalu la Roho Mtakatifu, ni lazima lijengwe upya na kulindwa ili kwamba tuweze kutekeleza usanifu wetu ambao ni kuwa (kufanyika) Wamwabuduo Bwana Yesu Kristo na baadaye kutunza ushirika wa karibu sana na Yeye. Lengo Kuu: Kukijenga upya kituo cha Kuabudia na kuta za Kiroho za ulinzi katika maisha yetu ili kwamba adui asiweze kutushambulia na kutuibia tena hazina yetu ya kiroho. Maandiko ya Msingi/Makuu: Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe; maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi mtukuzeni Mungu katika miili yenu 1Wakorintho 6: Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. Wala msiifuatishe namna ya duni hii; bali mgeuzwe kwa kufanaywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yalivyo mema, ya kumpendeza na ukamilifu Warumi 12:1-2. Maandalizi ya Somo: Vifungu vya msingi kutoka kitabu cha Ezra vitatumika wakati wote wa somo hili. Ili kujiandaa kwa ajili ya somo hili, soma kitabu cha Ezra. Pia soma 2Mambo ya Nyakati 36 ili kuelewa mpangilio wa kihistoria na wa kiroho na kwa nini watu wa Mungu walikwenda utumwani/kifungoni. [Ramani ya Yerusalem ni mwakilishi wa mji katika nyakati za kujenga upya chini ya Ezra na Nehemia. Tarehe ilikadiriwa kuwa 550 K.K.] 74

77 YERUSALEM 550 K.K. 75

78 MAFUNDISHO KUTOKA KITABU CHA EZRA A. Sisi ni wateule wa Mungu tuliochukuliwa kwenda utumwani kwa sababu ya dhambi za wahenga wetu, na/au dhambi zetu, au tulikuwa wahanga wa adui kwa sababu hatukuwa na ulinzi wa kiroho. 1. Wana wa Israeli walikuwa watu wa Mungu ambao walitenda dhambi na kuasi kinyume cha Mungu. Watoto wao walikuwa wahanga wa adui na wakiangukia kwenye dhambi ya wahenga wao. Hata hivyo, Mungu aliwapelekea manabii kuwaonya na kuhubiri msamaha kwao, walikataa kumrudia Mungu. Kwa sababu ya kushupaza mioyo yao, waliishikilia mioyoni mwao dhambi ya uasi, kuabudu sanamu, na vifungo vya uchawi na uzinzi. Moyo hutenda dhambi kwa mazoea ya kufanya dhambi ambayo huteketeza upendo na huugeuza moyo mbali na Mungu, hatimaye hupelekea kwenye ukaidi/sugu na ugumu wa moyo. Ilibidi Mungu awaachilie Israeli, na baadaye Yuda katika uvamizi wa adui. 2Mambo ya Nyakati 36:9, 11, 12, Wakorintho 10:1-15. Mungu anatuonya sisi tusirudie dhambi ya Israeli. Kuna dhambi tano. Unaweza kuzitafuta katika kifungu hiki?,,,. 2. Walikwenda katika nchi ya adui na chini ya utawala wa Kishetani. Watu wa Mungu wakawa watumwa kwa Bwana wa Uongo. Walipoteza uchaguzi wao. Walikuwa kifungoni. Ni maelezo mazuri kiasi gani kwa mwamini anayerudi nyuma na kumwacha Mungu. Warumi 6:16 Wagalatia 4:9 2Wakorintho 11:3 3. Yerusalemu, mji wa Mungu kilikuwa kitovu cha Ibada. Kilitunza hazina kubwa za thamani za watu wa Mungu, walitunza ndani ya Hekalu huko Yerusalemu. Pale Mungu alipowaachilia mikononi mwa makabila ya adui, ambao walivamia na kuiba hazina zote zilizokuwamo hekaluni. Walichukua Sanduku la Agano, vibao vya torati, vitu vya ubunifu vya vita, na vyombo vya dhahabu vilivyotumika katika ibada. Yeremia 51:51 Yeremia 52:7, Maombolezo 2:7 Maombolezo 4:12-13 Maombolezo 5:6-8 Ezekieli 20:30; 22:30 4. Katika Agano Jipya, Yerusalemu unaitwa Bibi Harusi Mtakatifu wa Mungu. Sisi, tuliokombolewa na Bwana, ni Yerusalemu mpya. Kama Kanisa la Bwana Yesu Kristo, tumeungamanishwa pamoja ili kuufanya Mwili wa Kristo, ambako anakaa kwa Roho wake Mtakatifu. Roho Mtakatifu anakaa ndani yetu kwa sababu sisi ni Hekalu lake. (Angalia Maandiko ya Msingi). Paulo anatoa maelezo kidogo juu ya sisi ni akina nani kama Wakristo. Soma vifungu vifuatavyo na kisha eleza wewe ni nani machoni pa Mungu. Waefeso 1:13-14: Mimi ni Waefeso 4:16: Mimi ni 1Petro 2:9-10: Mimi ni Majibu kwa swali 1A: Kutaka mambo maovu, ibada ya sanam, ukosefu wa maadili, kumjaribu Mungu, manung uniko Majibu kwa swali 4: Mimi ni mali ya Mungu, Mimi ni sehemu ya mwili wa Kristo, Mimi ni sehemu ya uzao wa wateule, ukoo wa kikuhani, sehemu ya taifa takatifu, mali ya Mungu mwenyewe. 76

79 5. Agano Jipya linaweka wazi kwamba sisi ni mahali ambapo Mungu huweka hazina yake- Ufalme wa Mungu. Hali ya mji wa Yerusalemu kwa wakati ule unaielezea hali ya mwamini aliyetoa nafasi kwa adui, ambaye hutuibia hazina za kiroho katika maisha yetu (hekalu). Mungu aliweka hazina zake kwetu: 2Wakorintho 4:6-7 Tumetahadhariswa kukimbia dhambi ya zinaa ili tusiweze kuliharibu hekalu la Roho Mtakatifu 1Wakorintho 6: Katika maisha ya Petro, Shetani alitaka kumchapa (kumpepeta kama ngano) na kuchukua mbegu nzuri zote kutoka kwake (Luka 22:31-31). Shetani hutuibia tunda la Roho Mtakatifu, Neno la Mungu, na utambulisho wetu katika Kristo na vyombo vya dhahabu vya ibada kama vile maisha ya maombi, unyenyekevu wetu kwa Mungu kila siku, harufu nzuri ya kafara za kila siku ya miili yetu Kwake. (Angalia maandiko ya msingi). Utekelezaji: Je, malango ya maisha yako bado yako wazi kwa adui zako?.. Malango ya nchi yako yamekuwa wazi kabisa mbele ya adui zako; moto unatekeza mapingo yako. Nahumu 3:13. B. Mungu wetu ni Mungu anayetunza agano. Alituumba sisi ili tuwe na uhusiano na yeye. Hata kama watu wake wanakwenda utumwani, Mungu anaahidi kuwakomboa, kuwarejesha/kuwahuisha, na kuwaponya. 1. Nabii wa Mungu Ezekieli alitangaza kwa watu wa Mungu waliokuwa utumwani kwamba wangerudi Yerusalemu na kuondoa sanamu mbaya na machukizo ya kuabudu sanamu. Mungu aliahidi kwamba angewapa moyo mpya na kuweka roho mpya ndani yao. Aliahidi kuwapa moyo wa nyama na kuwatakasa kutoka kwenye uchafu na sanamu za namna zote. Ezekieli 11:18-20 Ezekieli 36:25-26 Yeremia 31:31, Mungu ni yule yule, Mungu anayetunza maagano. Tuko kwenye patano jipya sasa, Agano Jipya la patano, ambalo lilitiwa mhuri kwa damu ya Bwana Yesu Kristo. Yeye ni mwokozi, mkombozi, mponyaji, mtakasaji, anaganga waliovunjika, mwenye kuturejeshea makao ya kukaa/kuishi. Kila kitu kilichotutokea, kinaandaliwa ili kutuleta sisi katika ushirika na Mwana wa Mungu. Katika mistari ifuatayo, andika nini Mungu anafanya kuturejesha/huisha, na kufanya upya agano nasi, na kututuma tena upya: a. Waebrania 9:14-15 b. Waebrania 10:9-10 c. Luka 22:20 d. Tito 2:14 e. Isaya 58:12 3. Kitabu cha Ezra kinaeleza juu ya kurejeshwa kwa Hekalu, kitovu cha ibada (kuabudu) na uamsho ambao ulipelekea kurejeshwa kwa Ibada. Nehemia anaeleza juu ya kujengwa upya kwa kuta na malango ya Yerusalemu ili kulinda kitovu cha kuabudu kutoka uvamizi wa adui. Tunaweza kuona jinsi gani hii ina husika na maisha yetu kama watumwa ambao wameachiwa huru. Tunatumwa kwenda na kujenga upya kile ambacho adui alikiharibu. Majibu kwa swali B2: a. Nitakaswe dhamira yangu kwa Damu yake, b. Huanzisha agano jipya na kunitakasa, c. Yesu ananipa kikombe cha ushirika kuanzisha agano jipya katika damu yake. Hunitakasa kutoka kila matendo yasiyo ya sheria, e. hunitumia kuujenga upya uharibifu wa zamani na kuinua msingi na kurekebisha uharibifu na kurejesha makao ya kuishi. 77

80 C. Ni akina nani wajenzi wapya? Watu wote ambao Mungu amewaamsha roho zao kukwea, ili kuijenga nyumba ya Bwna, iliyoko Yerusalem Ezra 1:5. Sisi ndio wajenzi. Wale wanaotaka kuwa huru ni wajenzi. 1. Adui lazima aachie kile ambacho ameiba. Mungu alimwambia Mfalme Koreshi aliyetawala kwa nguvu za kishetani kurudisha hazina za Hekalu na kuwaachia Israeli waliotaka kurudi kujenga Hekalu. (Ezra 1:1-3, 7, 8, 11) Katika ukombozi, adui alituachilia na hazina zilirudishwa kwetu kadri Roho Mtakatifu anavyotumiliki (Efesi 5:18). Kwa vile tumewekwa huru, tumetumwa kuijenga upya madhabahu na hekelu kwa ajili ya kumwabudu Bwana wetu Yesu Kristo aliye hai. 2. Kila mmoja aliyefunguliwa anaagizwa kujenga upya. Waisraeli waliotumwa kuongoza katika kujenga madhabahu na hekalu walikuwa na majina makubwa katika lugha yao ya asili ya Kiebrania ambayo kwetu sisi leo yanaonekana kuwa na utekelezaji muhimu. a. Jeshua/Yeshua aliwajibika kuijenga upya madhabahu Yehova ni Wokovu (Angalia chati kwenye ukurasa 90). (Ezra 3:2-4) 1 Wajenzi wapya walitiwa hofu kwamba adui wangekuja na kuwavamia tena, kwa hiyo walijenga madhabahu na wakatoa sadaka asubuhi na jioni. Katika kumwabudu Mungu, hofu yao ilitoweka, na Mungu aliudhihirisha uwepo wake. (Ezra 3:3) 2 Wajenzi wapya pia walisherehekea Sikukuu ya Vibanda (Hema Takatifu-Tebanako) ili kukumbuka kwamba Mungu wao aliwakomboa kutoka utumwani na aliwalisha jangwani. (Angalia Ezra 3:4) b. Zerubabeli alijenga upya hekalu. Jina lake linamaanisha mtu anayetoka kwenye ukoo wa ufalme wa damu na ni mzao wa utumwa. Ni mmoja anayetokea moja kwa moja kwenye ukoo wa Mfalme Daudi na inaonekana ni wa uzao wa Yesu kwenye Mathayo 1:13. Mungu anampa Zerubabeli unabii wa kustaajabisha/kushtusha ambao ungetimizwa kupitia Masihi Mfalme Yesu. Hata sisi tupo kwenye uzao huo huo wa damu kwa njia ya damu ya Kristo, kwa hiyo huu ndio unabii hasa ambao tunaishi chini yake tunapozikabili nguvu za mapepo ya gizani na pete ya mamlaka ya Kristo. Hagai 2:21-23 Sema na Zerubabeli, liwali wa Yuda, ukisema, Nitazitikisa mbingu na dunia; nami nitakipindua kiti cha enzi cha falme, nami nitaziharibu nguvu za falme na mataifa; nami nitayapindua magari, na hao wapandao ndani yake; farasi na hao wawapandao wataanguka chini; kila mtu kwa upanga wa ndugu yake. Katika siku ile, asema Bwana wa Majeshi, nitakutwaa wewe, Ee Zerubabeli, mtumishi wangu, mwana wa Shealtieli, asema Bwana, nami nitakufanya kuwa kama pete yenye muhuri; kwa kuwa nimekuchagua, asema Bwana wa Majeshi. c. Wajenzi wameorodheshwa hapa. Angalia kama unaweza kupata namna utakavyotekeleza katika maisha yako binafsi kama mjenzi. Kila mmoja wao anawakilisha sura tofauti ya mjenzi mpya. Nyenzo za Mafunzo: Kila jina la mtu katika Kiebrania lina maana ambayo ni muhimu kwetu kuielewa katika hadithi ya Kibiblia ya Kujenga upya. Ili kwenda mbele zaidi katika mafunzo ya Ezra na Nehemia, tunapendekeza utumie kitabu kinachoiitwa Strong s Exhaustive Concordance of the Bible. Jaribu kuangalia kwanza maana ya majina ya watu kasha fuata nambari kuelekea nyuma ya kanuni ya Kiebrania. Hapa utaweza kuona maana yake ya asili. Wajenzi wote wa madhabahu, Hekalau, kuta na malango ni wa muhimu katika utekelezaji wetu binafsi kama wajenzi wapya wa maisha yetu ya kiroho kulinda hazina tulizo nazo ndani yetu. 78

81 Je wewe ni Mjenzi Mpya? Ezra 2:2 Ndio hawa waliokuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilsahani, Mispari, Bigwali, Rehumu, na Baana Ezra 2:2 Utekelezaji: Kadri unavyosoma orodha ya wajenzi na maana ya majina yao, jiulize maswali yafuatayo kabla ya kujibu, angalia maana kwenye maandiko. MAJINA MAANA MAANDIKO MASWALI 1. Ezra Msaidizi Yohana 14:26 Je msaidizi anaishi ndani yako? 2. Zurubabeli Liwali wa Yuda, wa uzao wa Daudi Mmoja katika ufalme wa damu wazao utumwani 1Petro 1:18-19, Yohana 8:36 Je wewe ni ufalme wa Damu? Je umekwisha wekwa huru? 3. Jeshua-Alijenga Madhabahu Yesu, Mwokozi, Yehova ni Wokovu Ufunuo 1:17 Je Yesu/Yeshua ni madhabahu yako? 4. Nehemia Alijenga kuta Bwana anafariji Yohana 14:16 Ni nani Mfariji na Msaidizi wako? 5. Seraya Yehova ni Mfalme Isaya 9:6 Je, unaye mfalme wa amani kutawala juu ya mambo ya maisha yako? 6. reelaya Kutetemeka kulikosababishwa na Yehova (Utisho sahihi wa Mungu) 7. Mordekai Myahudi, caguo la Mungu 8. Bishan Mtafutaji wa kweli ya Mungu 9. Mispari Yule anayeandika, mwandishi anayekumbuka Danieli 6:27 Wakolosai 3:12 Zaburi 119:33 1M/Nyakati 16:12, 15 Je unasimama katika utisho wa Mungu, anayeweza kukuokoa kutoka kwenye makanwa ya simba? Je umechaguliwa? Na nani? Jew ewe ni mtafutaji wa kweli ya Mungu? Je unakumbuka mambo aliyokufanyia Mungu? 10. Bigwali Muisraeli aliyerejea kwena (kurudi) nyumbani Mathayo 6:25-26 Je umekuja nyumbani kupumzika chini ya uangalizi wa Baba yako? 11. Rehumu Mwenye huruma Waefeso 3:14-19 Je una huruma zaidi sasa 12.Baana Machukizo; kujishughulikia kikatili mwenyewe Wagalatia 5:24 kwa vile umewekwa huru? Je unashughulikia maisha yako kwa kutangaza kuwa umekufa katika Kristo? Kama jibu ni Ndiyo kwa maswali haya, unafaa kuwa mjenzi mpya. Sasa ngoja tusonge mbele kujenga upya maisha yetu ili kwamba tuweze kuwa vyombo vya haki ambavyo Mungu anaweza kuvitumia. 79

82 3. Watu waliowekwa huru waliufurahia uhuru wao mpya na walikwenda kufanya mambo yao, kujenga upya maisha yao ya zamani kuliko madhabahu, hekalu na kuta za Yerusalemu. Ngoja tuangalie mtiririko wa matukio kutoka vifungu vifuatavyo: Ezra 3:1-Watu walikuwa kwenye miji yao wenyewe. Hagai 1:4-7, 12-14, Nabii anawaonya zitafakarini/zikirieni njia zenu. Hagai 2:4,5,20-23 Bwana anawatia moyo katika kazi ya kujenga upya. a. Baada ya kusoma vifungu hivi, jiulize maswali yafuatayo: 1 Je huna malengo unapoishi maisha yako ya zamani? Ndiyo Hapana 2 Je umepoteza ujasiri katika kujenga upya maisha yako ya ibada? Ndiyo Hapana 3 Je una wakati mgumu kuiona picha kubwa ya kwa nini vita ya kujenga upya lazima iendelee? Ndiyo Hapana. 4. Mungu anakutaka uelewe picha kubwa ya kiroho, kama vile Yeye alivyofanya alipompeleka Nabii Hagai kwa Wajenzi wapya wa Israeli kuwatangazia kwamba wangetumiwa kama mashujaa wa kiroho dhidi ya mataifa na kwamba wangevaa pete ya muhuri ya mamlaka ya Mungu. Nitazitikisa mbingu na dunia, nami nitakipindua kiti cha enzi cha falme, nami nitaziharibu nguvu za falme na mataifa; nami nitayapindua magari, na hao wapandao ndani yake; farasi na hao wawapandao wataanguka chini; kila mtu kwa upanga wa ndugu yake. Katika siku ile, asema Bwana wa Majeshi, nitakutwaa wewe, Ee Zerubabeli, mtumishi wangu, mwana wa Shealtieli, asema Bwana, nami nitakufanya kuwa kama pete yenye muhuri; kwa kuwa nimekuchagua. Hagai 2:22-23 Tunapewa Mafunzo kwa ajili ya Vita vya Kiroho dhidi ya Mataifa. 5. Tutakuwa na Bwana Yesu Kristo katika Jeshi Lake atakaporudi kutawala hapa duniani. Na majeshi yaliyo mbinguni yakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi. Kisha nikamwona huyo mnyama, na wafalme wa nchi, na majeshi yao, wamekutana kufanya vita na yeye aketiye juu ya farasi yule, tena na majeshi yake. Ufunuo 19:14, Kama wajenzi tunahitaji msaada wa kanisa la mahali pamoja na wazee.wajenzi waliunganishwa na wazee na manabii wa Mungu waliokuja kuwasaidia. a. Kadri unavyojenga upya maisha yako ya ibada, unahitaji msaada wa kanisa lako na watu wa Mungu waume kwa wake wanaoelewa mpango wa kujenga upya na uanafunzi. Uthabiti wa kujifunza Biblia na mafunzo ya mara kwa mara ya Biblia yatakuimarisha na kukupa hamu zaidi ya kumwabudu Mungu na kukaa kwenye Neno lake. b. Hekalu lilikamilika na kuwekwa wakfu kwa Bwana kwa sadaka na furaha. Hebu tusome namna Biblia inavyoyachambua matukio kwa ajili yetu katika Ezra 5:2; 6:

83 7. Utekelezaji: Kadri tunavyojenga madhabahu na hekalu letu kama vitovu vyetu vya ibada, furaha yetu itarejeshwa, na tutakuwa na ushirika na Mwanakondoo wa Mungu aliyechinjwa kwa ajili yetu. a. Kila siku, tunaingia kwenye uwepo wa Mngu kwa sadaka za sifa, na tunampa yeye miili yetu kama dhabihu iliyo hai. (Angalia maandiko ya msingi). b. Tunaziweka sehemu zetu zote za mwili juu ya madhabahu, na kumpa yeye umiliki kamili juu ya mambo ya maisha yetu. 2Timotheo 2:3-4 c. Katika tendo hili la kujinyenyekeza na kumwabudu Mwana Kondoo wa Mungu, Mungu Baba hujifunua kwetu na hutuwekea sisi uzima kupitia Roho Mtakatifu. Kisha tunapata kile kinachoitwa kuambatana na Baba, Mwana na Roho Mtakatifu katika umoja uliobarikiwa. Yohana 5:19-20 d. Tunafanyika kuwa watu tunaomtegemea Mungu katika umoja huu wa kweli pamoja na Mwana wa Mungu kwa Roho Mrakatifu tunapoishi siku zote madhabahuni. e. Kadri tunavyomtegemea Mungu, tunapunguza utegemezi wetu kwa binadamu. Tunajifunza kwamba ni Bwana wetu Yesu Kristo peke yake anaweza kutimiza mahitaji yetu. f. Tangaza hili kila siku: Hakuna lililo gumu, nje au ndani ambalo Bwana wangu hawezi kulitimiza kwangu leo. 81

84 Sura 8 Kujenga Kuta na Malango ya Maisha Yako Kweli Kuu: Maisha yetu yanahitaji kuta na malango mapya ya kiroho ili kutumika kama ulinzi dhidi ya uvamizi wa adui. Lengo Kuu: Kutengeneza mfumo wa nidhamu za kiroho katika maisha yetu ambayo huzalisha watu wanaomwabudu Bwana Yesu Kristo na askari waaminifu wa Msalaba. Andiko la Msingi/Kuu: Jeuri haitasikiwa tena katika nchi yako, Ukiwa na uharibifu haziatakuwa mipakani mwako; Bali utaziita kuta zako, Wokovu, na malango yako Sifa. Isaya 60:18 Vifungu vya msingi kutoka kitabu cha Nehemia vitatumika wakati wote wa kipindi hiki. Ili kujiandaa kwa ajili ya somo hili soma kitabu hiki. MAFUNZO KUTOKA KITABU CHA NEHEMIA A. Mara hazina zilipokuwa hekaluni, madhabahu na hekalu vilijengwa upya, mradi uliofuata ulikuwa kujenga kuta na malango ya mji ili kulinda kituo cha ibada kutoka uvamizi wa adui. Mji wetu (maisha) huhitaji kuta na malango mapya kutumika kama ulinzi dhidi ya uvamizi wa adui. 1. Kitabu cha Nehemia ni maelezo ya mchakato wa wana wa Israeli walioupitia kwenda kujenga upya kuta na malango ya Yerusalem ili kwamba uweze kuwa salama kutoka uvamizi. Kumbuka, thamani ya mji ilikuwa hazina yake (Nehemia 2:17). Vile vile, thamani ya maisha yetu ni kwamba tunazo hazina za rohoni katika miili yetu hii ya nyama. Shetani anataka kutuibia tena kama akiweza. 2Wakorintho 4:7 Yohana 10:10 2. Maisha yetu yanalinganishwa na mji wa Yerusalemu. Kila mji unahitaji aina fulani ya kazi, huduma, na mipangilio ili uweze kuendeshwa vizuri. Kwa mfano: serikali, vyombo vya sheria, mifumo ya elimu, mifumo ya uondoaji/utupaji, maegesho, na vituo vya ibada. Maisha yetu kwa ndani huendeshwa kama mji zaidi. Ikiwa mfumo mmoja unashindwa, basi mji mzima huathirika. Mungu alisema kwamba ameuchagua Yerusalemu ili Jina Lake Kuu likae humo. Sisi ni mahali ambapo Mungu amepachagua kukaa kwa njia ya Roho wake Mtakatifu. Anataka kuwa serikali (mtawala) wa maisha yetu, mwalimu wetu, mtakasaji wetu, mshauri wetu, mahali petu pa kimya na kituo cha ibada katika maisha yetu. 82

85 3. Roho Mtakatifu hatalazimisha mradi wa kujengwa upya kwako. Kuta za zamani (kale) ziliharibiwa au kuvunjwa kwa uharibifu wa ndani (dhambi) na mashambulizi ya nje (upinzani wa shetani). Nehemia, ambaye jina lake linamaanisha Bwana Hufariji, alikagua hali ya kuta za mji na akatengeneza mpango kwa ajili ya kuujenga upya. Aliwasilisha hayo kwa wazee na watu wa mji ambao ndio walikuwa wajenzi (Nehemia 1:3b, 2:18). Roho Mtakatifu, ambaye jina lake ni Msaidizi na Mfariji anawajibika kuangalia mchakato wa kujenga upya katika maisha yetu. Kumbuka, Yeye ni msimamizi wa kujenga upya, lakini kama Nehemia, yeye ni mpole. Hatakulazimisha. Ataiwasilisha kweli kwako, na atakukumbusha kile kinachotakiwa kufanyika, lakini lazima uchague kushirikiana na Roho Mtakatifu kila hatua ya njia zako. (Yohana 14:26) 4. Wajenzi wameelezwa katika Nehemia kama: Basi watu hao ni watumishi wako na watu wako, uliowakomboa kwa uweza wako mwingi, na kwa mkono wako hodari Nehemia 1:10 5. Kuta zinawakilisha ulinzi wa kiroho na mipaka tunayoijenga katika maisha yetu. Malango huwakilisha maeneo ya kuingilia na kutokea katika maisha yetu. a. Je kuta na malango ya maisha yako yako katika hali gani? b. Je, maisha yako yako salama kiasi gani kutoka uvamizi wa adui? 6. Vifusi vya zamani kutoka kwenye maisha ya zamani lazima viondolewe. Nehemia pia alikagua vifusi vya zamani katika mji. Ilikuwa lazima viondolewe kabla kuta hazijajengwa. Vifusi vya zamani huwakilisha mabaki kutoka kwenye maisha yetu ya zamani kabla ya ukombozi. (Katika sura ya 4, tulianza mchakato wa kuondoa vifusi vya zamani kwa kufanya usafishaji wa wa dhati wa nyumba). 7. Jina la kila mjenzi na kila lango ni muhimu kwa ajili ya utekelezaji katika maisha yetu leo. Tutayataja machache tu kama mifano tunapoufunua mpango kwa ajili ya kujenga upya maisha yetu. B. Lango la Kondoo Jenga upya ibada kwanza. Nehemia 3:1 1. Lango la Kondoo lilitumika kupeleka kondoo kwa ajili ya kafara katika viwanja vyahekalu. Lango hili lilielekea moja kwa moja Hekaluni. 2. Wajenzi wa Lango la Kondoo, alama na maana ya majina yao. MAJINA MAANA Eliashibu, kuhani mkuu Mungu atarejesha Mnara wa Mamia Kumshinda adui Mnara wa Hananeli Mungu anafadhili (ngome ya Hekalu) Kanuni ya Mapambano: Mungu amejitoa kurejesha uhusiano wetu na yeye. Muda wetu wa ibada (kuabudu) ni lazima utunzwe kwa gharama zote. Hili ndilo kusudi la msingi la vita vya kiroho. 83

86 3. Lango la Kondoo lilijengwa na makuhahni wakuu na makuhani wengine. Tunaye Kuhani wetu Mkuu anayeishi ili kuomba kwa ajili yetu katika kazi yetu ya kujenga upya. Sisi pia tumeitwa ukoo wa kikuhani na kwa hiyo tumeitwa kumtumikia milele Bwana Yesu Kristo. Mistari ifuatayo inazungumzia Kweli hii: Waebrania 4: Petro 2:9-10 Waebrania 7:25 4. Kadri tunavyomtumikia Bwana kwa kumwabudu Yesu Kristo ambaye ni Mwana Kondoo wa Mungu, tunajenga upya Lango la Kondoo na kurejesha ibada, ambayo ni wajibu wetu wa msingi. Pia tunawasilisha miili yetu kama dhabihu iliyo hai kila siku kwa Mungu, ambalo ni tendo la Kuabudu. Ngoja tuangalie mistari ifuatayo: Yohana 1:29 Waebrania 9:11-12 Ufunuo 5:12 Warumi 12:1 C. Lango la Samaki Linajenga upya Neno la Mungu katika kila fikra na shughuli za maisha yako. Nehemia 3:3 1. Samaki waliletwa kila siku kutoka Mto Yordani na Bahari ya Galilaya ili wauzwe katika soko. Watu walidamka mapema kununua samaki wapya kabla jua halijawafanya kutoa harufu au kuoza (kuchina). Hii inawakilisha jinsi Mungu anavyotukirimia kila siku katika maisha yetu. 2. Mjenzi wa Lango la Samaki alikuwa Hasena ambalo lina maanisha, mchomo (kuchoma) mwiba a. Neno la Mungu ni sehemu yetu ya chakula kipya kila siku. Neno la Mungu li hai na ni kali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili kiasi cha kugawanya nafsi na roho.. viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo. (Waebrania 4:12). Kadri tunavyotumia (kula) Neno la Mungu, ndivyo tunavyochomwa kwenye dhamira zetu ili tuweze kuacha na kushughulikia dhambi katika maisha yetu. Hii ndiyo kazi ya Roho Mtakatifu kutumia Neno la Mungu kututakasa. Yohana 16:7-8 Ni nani mwenye wajibu wa kutukumbusha/kututia hatiani sisi? b. Kadri tunavyolihifadhi Neno likiwa jipya kila siku, tunakuwa na uwezo wa kutambua kati ya mema na mabaya katika maisha yetu ya kila siku, (2Timotheo 3:16-17). Tunajifunza kuiacha/kuharibu mifupa na kula nyama. Waebrania 5:14. c. Bwana wetu aliwapa wanafunzi wake samaki walioandaliwa. Anatupa chakula chetu cha kila siku tunapokula (tumia) Neno Lake. Yohana 21: d. Utekelezaji: (i) Je, Samaki gani umemla leo? (ii) Je, ilikuwa vigumu kwako kumla lakini ana faida? (iii) (iv) Je unakula samaki mpya kila siku kutoka kwa Bwana? Je, unatembea nuruni na ndugu yako wa kike na wa kiume leo? Jibu la Swali C2a: Roho Mtakatifu 84

87 D. Lango la Kale au Lango la Yeshanan Jenga upya ulinzi dhidi ya shughuli zote najisi zinazotokana na asili ya dhambi, Shetani au dunia. Nehemia 3:6. 1. Lango hili lilijengwa upya na kuwekwa muhuri ili kwamba lisitumike! 2. Lango la Kale lilijengwa upya na Yoyada ambalo linamaanisha Kumjua Yehova. Kadri tunavyomjua Yehova zaidi, ndivyo tunavyozidi kuwa huru kutokana na tamaa zetu za zamani. Mtume Yohana anaisisitiza kweli hii katika 1Yohana 2: Maisha yetu ya kale ya dhambi ni lazima yafungiwe nje. Sasa tunafunga shughuli na mahusiano yote ambayo yanatuunganisha sisi na maisha ya zamani ya kushindwa na kufungwa. Ni kweli, yako mahusiano mengine ambayo lazima yaendelee, kama vile muungano wa kindoa, hata hivyo, tunahitaji kufanya uchunguzi katika maeneo yote ya maisha yetu na kufanya maamuzi kutoshiriki katika lo lote kutoka kwenye maisha ya utumwa. Je, tunafanyaje hili? a. Tunakubali hukumu ya kifo kwa mambo yetu ya kale kwa njia ya Msalaba wa Kristo. Warumi 6:6-7 b. Kisha, tunatembea kila siku katika maisha ya Roho wa Mungu anayeishi ndani yetu. Galatia 2:20 Galatia 5:24 c. Kila siku tunajivika utu mpya ambao ni kufanywa upya na kuwa katika mfano wa Kristo. Wakolosai 3:5-10. E. Lango la Bondeni Uwe kwenye zamu ya ulinzi dhidi ya mashambulizi ya siri na ya kijanja ya adui. Nehemia 3:13 1. Lango la Bondeni lilikuwa mahali ambapo mara kwa mara adui walishambulia kwa sababu mashambulizi ya kificho kwenye ukuta yaliwezekana. 2. Lango la Bondeni lilijengwa na Hanuni ambalo linamaanisha kunyenyekea. Hanuni na wajenzi wenzie walitoka katika mji wa Zanoa ambao maana yake kukataa, kuacha, au kusukuma pembeni. Tunapojinyenyekeza kwa Mungu na kumwomba atujaze kwa Roho wake Mtakatifu, tunakuwa na nguvu katika Bwana na katika nguvu za uweza wake na kwa hiyo tunaweza kukataa majaribu ya kijanja ya yule mwovu. Vifungu vifuatavyo vinafafanua mchakato huu: Yakobo 4:7 1Petro 5: Shetani ana mbinu za zamani katika faili lako. Atajaribu kukupiga maeneo uliyokuwa na udhaifu huko nyuma. Kaa kwenye nafasi ya ulinzi kwa ajili ya mikakati ya zamani. Kama haitafanya kazi tena, basi atafanya ujanja mwingine na atajaribu baadhi ya mikakati ya Lango la Bondeni. Jambo la muhimu ni kuwa makini na kubakia mzima, akilini kwa ajili ya vita. a. Mbinu za Lango la Bondeni ni za kijanja sana na mara nyingi hazionekani kuwa mashambulizi ya kipepo. (i) Mashambulizi ya kimwili katika namna ya kuchoka, maumivu, mkazo wa misuli n.k. (ii) Mashambulizi ya hisia/akili katika namna ya kukata tamaa, (iii) kujihurumia, upweke, kukosolewa au mtazamombaya (hasi) n.k. Mashambulizi ya kiroho katika namna ya utepetevu, manung uniko, kutojiamini, kuto amini n.k. b. Kama umepoteza uwezo wa kufurahi katika hali yo yote uliyo nayo au iliyo ndani yako, basi yawezekana umeangukia kwenye mbinu (mtego) wa Lango la Bondeni. Sasa unajua namna ya kurudisha nafasi; kunyenyekea kwa Mungu na kumpinga Shetani. c. Utekelezaji: Ni mbinu gani za kijanya adui alijaribu au anajaribu kutumia kwako? Je, utafanya nini juu ya mbinu hizo? Itambue mikakati, kisha uiweke kwenye mfumo wa utendaji wa mapambano uliyojifunza katika mafunzo haya. 85

88 F. Lango la Jaa Kila siku safisha uchafu wa dhambi. Nehemia 3:14 1. Lango la Jaa lilijengwa na Malkiya ambalo maana yake ni Mwana wa Yehova. Ni Yesu tu anaweza kuondoa dhambi kwa Damu yake ya thamani. 2. Lango hili linaelekea kwenye Bonde la Hinoni au Gehana ambalo maana yake ni Makao ya Mapepo. Dhambi zisizotubiwa zinaweza kufanyika makao ya mapepo. Wanajilisha kwenye dhambi zisizotubiwa. Mshitaki wa ndugu, Shetani, anakwenda nje kwenye jalala na kujaribu kutushitaki kwa dhambi ambazo tayari tumezitupa na kuziweka nje ya maisha yetu. 3. Kila siku uchafu kutoka mjini ulitupwa kwenye Bonde la Hinoni. Kama uchafu haukuondolewa, ungetoa harufu na kusababisha maambukizi ya magonjwa kwenye mji. Ni lazima tuwe karibu na Mungu (1Yohana 1:9). Tunasafisha uchafu wa dhambi kila siku kwa kukiri kwa Bwana dhambi zetu na kudai utakaso wa Damu ambao hutuosha. G. Lango la Chemchemi Sisi tumesafishwa/kutakaswa baada ya kuwa tulitembea katika dunia. Tunahitaji kuacha kuosha miguu yetu na kunywa kwenye chemchemi za maisha. Nehemia 3:15 1. Lango la Chemchemi lilijengwa na Shalumu ambalo linamaanisha kurejeshwa. 2. Yesu ndiye anayeturejesha. Uwe msafi/uliyetakaswa kwa kunywa maji safi ya Neno la Mungu. Tunakunywa maji kutoka kwa Yesu ambaye ni chemchemi ya uzima, Zaburi 36:9. 3. Wakazi wa Yerusalemu walikuja na kuosha miguu yao iliyojaa vumbi katika Lango la Chemchemi. Je unahisi kuwa mchafu au kuchafuliwa na dunia? Nenda kwenye maji ya Neno, jioshe na uwe safi, Waebrania 10:22. H. Lango la Maji Nenda sehemu ya ndani mara kwa mara mahali penye ukimya ili uweze kuburudishwa, Nehemia 3:15, Lango la Maji lilielekea katika Bustani ya Mfalme na kwenye Kijito cha Gihoni. Bustani ya Mfalme ilikuwa nzuri yenye kustawi karibu na birika tulivu la Siloamu ambako mfalme alikuja kufurahia ukimya na urejesho. 2. Jina la Siloamu maana yake kutuma au kupeleka. Hili ni birika lile lile ambapo Yesu alitumia udongo (matope) kwa mtu kipofu na akamwambia kwenda na kunawa katika Birika la Siloamu. Alitii na kurudi akiwa anaona. Ni katika tendo la utii wa kuja katika maji yaliyotulia ya uwepo wa Bwana ambao utayafanya upya macho yetu na kurejeshwa kikamilifu. Yesu alikwenda mara kwa mara kwenye sehemu yenye ukimya kuomba na kuburudishwa. Pata muda wa kujifunza vifungu hivi na mruhusu Roho Mtakatifu kukuhudumia. Mathayo 14:23 Marko 1:35 Marko 6:46 Yohana 9:1-11 Zaburi 23:1-3 Luka 11:1 86

89 3. Bustani ni kwa ajili ya ushirika. Mungu kwanza alikutana na Adamu katika bustani (Mwanzo 2:8; 3:8). Bustani ya Mfalme ndani ya Lango la Maji inawakilisha mahali pazuri penye ukimya. Mji wetu (maisha) lazima yawe na sehemu hii tulivu ambako tunakutana na Mfalme. Yesu alikutana na Baba Yake katika Bustani ya Mlima wa Mizeituni na Bustani ya Gethsemane. Mathayo 26:36, Lango la Maji lilielekea kwenye chanzo kikuu cha maji kwa ajili ya mji wa Yerusalemu, vijito vya Gihoni. Hapa palikuwa ni eneo la wazi ambako Maandiko yalisomwa kwa uwazi. (Nehemia 8:1, 5, 6, 10) Neno Gihoni lina maana ya kububujika. Tunahitaji kukusanyika na dada na kaka wengine ili kusoma na kutafakari Neno la Mungu. Mkusanyiko wa pamoja wa watakatifu kwa ajili ya kujifunza Neno ni kama kuja kwa bubujiko la vijito kwa kunywa. Tunalichukua Neno, furaha ya Bwana inakuwa nguvu yetu. Yohana 15:7-11. I. Lango la Farasi Jenga upya ufahamu wako kivita na jiandae kwa ajili ya vita kila siku. Nehemia 3:28 1. Lango la Farasi lilikuwa wazi wakati farasi na msafara wa Mfalme ulipotoka kwenda vitani. Farasi na msafara wa mfalme viliwekwa katika hali ya utayari kila wakati. 2. Makuhani walijenga lango hili walipokuwa hawafanyi shughuli za kikuhani. Kwanza tumeitwa kuwa watu wamwabuduo Bwana Yesu Kristo na pili, wajenzi wapya na mashujaa. Ulinzi wa mji ulikuwa endelevu. Tunapaswa kuelewa kwamba vita itakwisha tutakapofika mbinguni. Mpaka wakati huo, tumeitwa kusimama na kustahimili. Chunguza jinsi Biblia inavyoipangilia kweli hii: Luka 12:35 Waefeso 6:13 (KJV). 3. Mungu alitangaza kupitia nabii Yeremia kwamba mji utajengwa upya na hautapinduliwa tena. Utakuwa mtakatifu kwa Bwana. Yeremia 31:38-40 J. Lango la Mashariki Jenga upya tumaini lako kwa ajili ya kurejea kwa haraka kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Nehemia 3:29 1. Lango la Mashariki lilielekea moja kwa moja kwenye Hekalu. Limetajwa kwenye maandiko kama Lango ambalo kupitia hilo Bwana Yesu Kristo atakuja kuichukua nafasi yake halali/ya haki kama Mfalme wa Amani hapa duniani. Mpaka leo lingali limefungwa. Linaitwa Lango la Masihi. Ezekieli 44: Lango la Mashariki lilijengwa na Shemaya, maana yake Bwana Yehova amesikia. Tunajua kuwa Bwana anasikiliza vilio vyetu. Na uje Bwana Yesu (Ufunuo 22:20). Tumaini letu ni hakika kwamba Bwana wetu anarudi kutukusanya kwake mwenyewe. Kisha tutakuwa naye atakaporudi kutawala na kumiliki. Tunayo maisha ya baadaye yenye utukufu. 1Wakorintho 15:

90 K. Lango la Gereza, pia liliitwa Lango la Kona na Lango la Kukutania kagua kila kitu kinachotaka kuingia katika maisha yako. Nehemia 3:31 1. Lango la Gereza liliitwa pia Lango la Kukutania. Ilikuwa ni mahali hapa ndipo nyaraka zilikaguliwa kabla wageni hawajaruhusiwa kuingia ndani. Kituo cha Askari wa ulinzi kiliwekwa katika lango hili. 2. Lango la Gereza lilijengwa na Malkiya maana yake aliyechaguliwa na Mfalme au wa Mfalme. 3. Tunapaswa kukagua kwa Neno la Mungu mawazo yote, vichocheo vya kutamanisha, vitabu, muziki, au starehe ambazo zinatafuta namna ya kuingia katika ufahamu na maisha yetu. Viwango vya Mungu vinapatikana katika Neno lake. Ikiwa kuna kitu cho chote kinataka kuingia katika maisha yako kitapita katika mtihani/jaribio hili, kisha kitakuwa na faida kwako. Hatimaye, ndugu zangu, mambo yo yote yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo ya staha, yo yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote yenye kupendeza, yo yote yenye sifa njema; ukiwapo wema wo wote, ikiwapo sifa nzuri yo yote, yatafakarini hayo. Wafilipi 4:8 4. Roho Mtakatifu ni mlinzi wetu, lakini kwa pamoja tunawajibika kuzilinda hazina ambazo zimekabidhiwa/aminiwa kwetu. 2Timotheo 1:14. L. Viwango vya Munguu juu ya mji (maisha yetu) ni kwamba tuwe sifa ya Utukufu Wake, maisha yanayoangaza yaliyojaa nuru, na yakiionyesha neema yake. Amani na haki vitatawala juu ya mambo yetu. Kwa kuwa alitangulia kutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo, sawasawa na uradhi wa mapenzi yake. Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo ametuneemesha katika huyo Mpendwa Waefeso 1:5-6. na ndani yake sisi nasi tulifanywa urithi, huku tukichaguliwa tangu awali sawasawa na kusudi lake yeye, ambaye hufanya mambo yote kwa shauri la mapenzi yake. Nasi katika huyo tupate kuwa sifa ya utukufu wake, sisi tuliotangulia kumwekea Kristo tumaini letu Waefeso 1: Jeuri haitasikiwa tena katika nchi yako, ukiwa na uharibifu hazitakuwa mipakani mwako; Bali utaziita kuta zako, Wokovu, na malango yako Sifa. Jua halitakuwa nuru yako tena wakati wa mchana; Wala mwezi hautakupa nuru kwa mwangaza wake; Bali Bwana atakuwa nuru ya milele kwako, Na Mungu wako atakuwa utukufu wako Isaya 60: Tena nitawafanya wasimamizi wako wawe amani, Na hao wakutozao fedha kuwa haki Isaya 60:17c. 88

91 Kwa kuwa tunakabiria mwisho wa mafunzo ya kujenga upya malango na kuta zetu za kiroho, hebu tukumbuke kwa nini tumedhamiria kuyalinda maisha yetu kutoka uvamizi wa adui. Yote haya ni kwa ajili ya kutunza uhusiano wetu wa karibu na Bwana wetu Yesu Kristo. Mawazo juu ya Kuabudu/ibada kutoka Gems(Hazina) kutoka kwa Tozer, imeandikwa na A. W. Tozer Dondoo zimechukuliwa kutoka kwenye kazi mbalimbali za Tozer Tumeitwa Kutawala milele na Mungu. Mungu ni Roho na wale wamwabuduo yeye wanapaswa kumwabudu katika Roho na Kweli. Kwa nini Kristo alikuja? Ili kwamba awawezeshe wale wanaomwabudu kutoka kwenye uasi. Tuliumbwa kuabudu. Kuabudu na ajira ya kawaida kwa viumbe waadilifu. Kuabudu ni uadilifu ulioamriwa. Kuabudu.. hupanda au kushuka kutegemea mtazamo wetu kwa Mungu; Tuko hapa ili, kwanza tuweze kumwabudu, na pili kuwa watendaji kazi. Kazi ambazo hazibubujishi ibada hazitafanikiwa na zitakuwa kuni, nyasi, na kisiki tu katika siku ambayo kila kazi ya mtu itapimwa. Kazi ya msingi ya Roho Mtakatifu ni kuzirejesha nafsi zilizopotea katika ushirika wa dhati na Mungu kupitia kuoshwa kwa kuzaliwa upya. Kwa hakika Roho anataka kutupa karama na nguvu kwa ajili ya huduma, bali utakatifu na kuabudu katika roho kunakuja kwanza. Fanya mawazo yako kuwa mahali patakatifu. Kwa Mungu, mawazo yetu ndiyo ayapendayo. Mawazo yetu ni mapambo ndani ya mahali patakatifu ambapo tunaishi. Ikiwa mawazo yetu yametakaswa kwa damu ya Kristo, tunaishi katika chumba kisafi.. Ikiwa tunapalilia ujuzi/maarifa ya Roho, ni lazima uyashikilie mawazo yako na usiruhusu akili yako kuwa nyika/jangwa ambako kila namna ya wanyama wasio safi huzunguka na ndege huruka. Weka mbali kila tabia isiyo ya Kikristo kutoka kwako.. Anza kuufanyia kazi uwepo wa Mungu. 89

92 Na mji ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza, kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru, na taa yake ni Mwana-Kondoo. Ufunuo 21:23 Wala hapatakuwa na laana yo yote tena. Na kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana- Kondoo kitakuwamo ndani yake. Na watumwa wake watamtumikia; nao watamwona uso wake, na jina lake litakuwa katika vipaji vya nyuso zao. Wala hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja ya taa wala nuru ya jua; kwa kuwa Bwana Mungu huwatia nuru, nao watatawala hata milele na milele. Ufunuo 22:3-5 M. Uutekelezaji: Maonyo na Dokezo kwa Wajenzi wapya: 1. Tegemea upinzani wa adui. Nehemia 4: Uwe makini kila wakati, mchana na usiku. Nehemia 4:9 3. Vifusi vya zamani vitajaribu kukuzonga. Nehemia 4:10 a. Mfumo wa mawazo ya zamani Warumi 12:2 (Angalia Sura ya 5) b. Tabia mbaya Warumi 6:15-23 c. Hofu 2Timotheo 1:7 d. Mahusiano ya zamani ambayo yanakuhusisha wewe na vifungo vya maisha ya zamani. 2Wathesalonike 3:6 4. Uwiano wa mapambano na ujenzi taratibu utabadilika kadri unavyoendelea. a. Mifumo ya mapambano na ujenzi mwanzoni itaonekana kama: Pigana!-Pigana! Jenga! Pigana! Pigana! Pigana! Nehemia 4:13-16 b. Yatakuwa mabadiliko ya pole pole kadri adui anavyogundua kwamba husimami kwa kushindwa na mbinu zake au kukata tamaa. Mara utashi wako utakapokuwa umeshambuliwa, vita na ujenzi utakuwa hivi: Pigana! - Jenga! Jenga! Jenga! Pigana! Jenga Jenga! Jenga! 5. Vaa mavazi ya kujihami na silaha yako (Biblia) katika mkono mmoja wakati unajenga kwa mkono mwingine. Nehemia 4:17, Shirikiana na wajenzi wapya wengine wakati vita inapokuwa ngumu. Kumbuka vita ni ya Bwana. Nehemia 4:20 7. Ujenzi utakamilika kwa msaada wa Mungu. Nehemia 6:15-16, 1Wathesalonike 5:24 8. Kuabudu ndiyo itakuwa shughuli kubwa ya maisha. Utatakiwa kutunza usafi/utakatifu ili kwamba uweze kusherehekea/kumfurahia Bwana Yesu Kristo. Nehemia 12:27-28, 30, Lengo ni kuwajenga watu wanaomwabudu Bwana Yesu Kristo, ambao wamejaa upendo kwa Bwana asiyeonekana. Ni katika mchakato tu wa Mungu kuabudiwa ndipo/ambapo Mungu mwenyewe hujifunua kwetu. 90

93 Sura ya 9 Kusimama katika Ushindi wa Kristo Lengo Kuu: Kujua na kukariri Maandiko ya Msingi kwa ajili ya kufanikisha vita ya kiroho. Kweli Kuu: Tunashiriki kila eneo la ushindi wa Kristo pale tunapo pokea kwa imani na kutendea kazi kila kilichotolewa kwa ajili yetu. Andiko la Msingi/Kuu: Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake. Waefeso 6:10 A. Kristo ndiye Msingi wa Ushindi 1. Uliahidiwa kwenye Agano la Kale Mwanzo 3:15 2. Msalaba unatangaza Ushindi Wakolosai 2: Kristo alitukuzwa na Roho Mtakatifu alitumwa kututia nguvu ili tushiriki katika ushindi wa Kristo - Yohana 7: Kristo ameketishwa mahali penye mamlaka Zaburi 110:1 5. Huduma ya sasa ya Kristo ni kutuombea sisi Waebrania 7: Kristo ni mkuu kuliko vitu vyote (juu ya vitu vyote) Waefeso 1: Kristo ana mzigo kwa ajili ya watu wote Luka 4:18. B. Mwamini anayo nafasi ya ushindi katika Kristo. 1. Tunatambuliswha/kuthibitishwa pamoja na Kristo Wagalatia 2:20 2. Tumeketishwa pamoja na Kristo Waefeso 2:5, Tunashiriki urithi wa Kristo Warumi 8:16, Tunashiriki ushindi kamili wa Kristo dhidi ya Shetani Yoahana 16:8, Tunashiriki uzima wa Kristo kwa ubatizo wa Roho 1Wakorintho 12:13 6. Tunashiriki katika kusudi la Kristo 1Yohana 3:8 C. Rasilimali za mwamini kwa ajili ya ushindi katika Kristo 1. Tunamiliki silaha za Mungu Waefeso 6:10, Tunazo silaha zetu zenye nguvu katika Kristo 2Wakorintho 10:4 3. Tunao mfumo wa mawasiliano Waefeso 6:18 4. Tunao msaada/usaidizi wa malaika Waebrania 1:14 5. Tunazo nguvu za maombi ya pamoja (Maombi ya mapatano) Mathayo 18: 19, Tunazo nguvu za kutosha Isaya 40:31 7. Tunao ujazo na utawala wa huduma ya Roho Mtakatifu Waefeso 5:18 8. Tunayo hekima kwa ajili ya ushindi Yakobo 1:5 91

94 D. Hakika ya Ushindi ndani ya Kristo. 1. Tunalotumaini la Ushindi Warumi 15:13 2. Tunayo nguvu kuu ndani yetu 1Yohana 4:4 3. Ushindi wetu umehakikishwa (Tumehakikishiwa ushindi) 2Wakorintho 2: Sisi ni washindi na si mateka Warumi 8: E. Kanuni za uwanja wa vita kwa ajili ya ushindi 1. Vita ni vya Bwana 2Nyakati 20:15 2. Tunatumia nguvu ya Jina la Kristo lenye nguvu Wafilipi 2: Mjue adui yako halisi Waefeso 6: Mpinge Shetani Yakobo 4:7. 5. Mfunge adui kabla ya kuingia kwenye mipaka yake Mathayo 12:29 6. Sifu kabla ya ushindi 2Nyakati 20:22 7. Rejesha maeneo kutoka kwa adui Mathayo 18: Simama katika ushindi kwa imani Marko 9: F. Njia ya kwenda kwenye Ushindi 1. Tangaza utii wetu kwa Bwana Yoshua 24:15 2. Jitoe kwa Bwana Warumi 12: Weka vipaumbele Mathayo 6:33 4. Itafute kweli Yohana 8:22, Shughulikia dhambi 1Wakorintho 11:31 6. Omba kwa ajili kila jambo Wafilipi 4: Jinyenyekeze kwa Mungu. Mpinge Shetani Yakobo 4:7 G. Ushindi dhidi ya asili ya dhambi 1. Tambua wajibu wetu kuhusiana na asili ya dhambi - 1Yohana 1:8 2. Tangaza ushindi wetu dhidi ya asili ya dhambi Warumi 7: Jihesabu kuwa tumekufa kwa ajili ya dhambi Warumi 6:11 4. Jisalimisha kwenye operesheni ya kiroho Waebrania 4:12 5. Ungama dhambi zako 1Yohana 1:9 6. Acha kujiachilia wenyewe kwenye dhambi Warumi 6:13 7. Mruhusu Mungu kuzifunua dhambi kwetu Zaburi 139:23-24 H. Kuponya akili kupitia muungano wetu na Kristo 1. Akili/Ufahamu ni lazima ubadilishwe Waefeso 1:18 2. Akili/ufahamu ni lazima ufanywe upya Warumi 12:2 3. Akili/ufahamu ni lazima udhibitiwe 2Wakorintho 10:5 4. Akili/ufahamu ni lazima ujazwe na mambo mazuri Wafilipi 4:8 5. Mawazo yetu yatafakari yale yaliyo juu Wakolosai 3:2 6. Mawazo yetu yamtafakari Kristo Isaya 26:3 92

95 I. Ulinzi katika mapambano 1. Hatuwezi kuguswa 1Yohana 5:18; Luka 10:19 2. Tunao msaada wa malaika Zaburi 91:9-11 Kauli ya Kuhitimisha Katika mafunzo haya, tumejifunza namna ya kuwatunza waamini ambao wamefunguliwa kutoka utumwani/kifungoni. Tumegundua kanuni za maisha/kuishi kutokana na umoja na nafasi yetu katika Kristo. Kama askari katika Jeshi la Mungu, tumejifunza kuhusu aina mbalimbali za silaha za Mungu, na namna ya kuzivaa kila siku na kuzifanya sehemu ya mavazi yetu katika vita vyetu dhidi ya uovu. Mikakati maalumu ya kufunga na kufungua katika mapambano ya kiroho, kurejesha maeneo kwa ajili ya Ufalme wa Mungu na kushinda vita kwa ajili ya akili/ufahamu yamepitiwa/ kutathminiwa. Pia tumeangalia namna ya kujenga mafunuo/maono na masuala muhimu kadri tunavyosogea mbele na kusimama katika ushindi wa Kristo. Katika kumalizia, tunarudia maombi ambayo Paulo aliomba kwa ajili wa Wakristo katika Efeso, kwamba, Awajalieni kwa kadri ya utajiri wa utukufu wake, kufanywa imara kwa nguvu, kwa kazi ya Roho wake, katika utu wa ndani. Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo; ili mpate kufahamu pamoja na watakatifu wote jinsi ulivyo upana, na urefu, na kimo, na kina; na kuujua upendo wake Kristo upitao ufahamu kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate kutimilika kwa utimilifu wote wa Mungu. Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu; naam, atukuzwe katika Kanisa na katika Kristo Yesu hata vizazi vyote vya milele na milele. Amina. Waefeso 3:

96 Kwa taarifa zaidi au kupanga miadi kwa huduma binafsi au mkutano kwa ajili ya kanisa lako, tafadhali wasiliana na: HUDUMA YA KIMATAIFA YA LIGHTHOUSE Makao Makuu P.O. Box , St. Paul, MN 55112, USA Namba za Simu: Miadi: Mikutano Fax: Tovuti: Barua Pepe: MACHAPISHO YALIYOPO MAELEZO Mafunzo ya Biblia ya Ushindi katika Vita vya Kiroho Mafunzo ya Biblia ya wiki 9 kumuimarisha mwamini katika kanuni na utekelezaji wa vita vya kiroho. Utaratibu wa Mwongozo wa Mafunzo wa Lighthouse Utaratibu wa hatua kwa hatua wa mwongozo kumchukua mwamini aliyepagawa na mapepo kutoka kifungoni na kumweka huru Kujinyenyekeza Kadi ya Utaratibu wa Upinzani katika Mapambano - Njia rahisi ya kutunza uhuru wako katika Kristo Kijitabu cha tukomboe kutokana na mabaya (uovu) Kijitabu cha taarifa kuhusu huduma Jarida la Ishara za Uhuru Barua ya tumaini na kutia moyo kwa ajili ya kila Mkristo MAOMBI YA MCHANGO Mchango Mchango Hadi nakala 50 hakutakuwa na gharama Bure Bure 94

97

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Mwanzo 1:1 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi. Wakolosai

More information

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu. Waebrania 9:28. KUJA KWA KRIST0 MARA YA PILI "ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28. Mara nyingi sana kuja kwa Kristo mara ya pili huangaliwa tu kama fundisho la dini. Ni

More information

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI Utambulisho Grace Communion International ni muungano wa washiriki kutoka pembe mbali mbali za dunia hasa nchi zenye washiriki kwa sasa ni 100. Wito wetu ni

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College Theolojia 1 Ujumla Mike Taylor Semester 1 2014-2015 Munguishi Bible College MIKE TAYLOR 2014 THEOLOJIA 1 i THEOLOJIA Utangulizi! 1 1. Kumfahamu Mungu katika Injili! 3 1.1. Mawazo Makuu 3 1.2. Maana ya

More information

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUHTASARI WA UTANGULIZI WA THIOLOGIA YA USHIRIKA WA NAFSI TATU ZA UUNGU. GRACE COMMUNION INTERNATIONAL LIVING AND SHARING THE GOSPEL MUNGU ANADHIHIRISHWA NA

More information

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA Dynamic Churches International Simeon Oyui P. O. Box 798-00515 Bukubura, Nairobi, Kenya EAST AFRICA Email: ncc_africa@yahoo.com Dynamic Churches International 164 Stonegate

More information

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1 Silaha Za Shetani na Ellis Forsman Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1 Silaha Za Shetani na Ellis Forsman Oktoba 15, 2012 Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 2 Silaha Za Shetani 2 Kor. 2:11

More information

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

Agano Lililofunikwa Kwa Damu Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The Blood-Sealed Covenant) 1 Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Oktoba 14, 2012 Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The

More information

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa.

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa. Waefeso Mtaala I. Habari kwa Ujumla A. Mkufunzi: Don Walker na kutafsiriwa na Chris Mwakabanje B. Kila darasa ni takribani dakika 38. II. Maelezo na Kusudi A. Mafunzo haya ni uchambuzi wa kina katika Waefeso,

More information

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23 Toleo X Toleo 23 WEWE NI NANI? (Habari ifuatayo ni hadithi ya mambo ambayo yamenakiliwa katika Matendo 19:10-20 SUV). Paulo mtume wa Yesu Kristo alihubiri katika mji wa Efeso kwa miaka miwili. Katika muda

More information

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT 1 Ushindi Ndani ya Kristo Na W. W. Prescott Mfasiri: M. Mwamalumbili Victory in Christ - Kiswahili 2 Yaliyomo Alinipenda Mimi Aliishi kwa ajili Yangu Mimi Alikufa

More information

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w MAMLAKA Tunamshukuru Bwana kwa vile alivyo na yale aliyoyatenda. Tukiweza tu kumfikiria hata tukiwa na mahitaji mbalimbali, yeye atatutimizia. Tusiwatazame watu, tusijitazame sisi wenyewe, tumtazame Mungu

More information

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1 Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia na Ellis Forsman Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1 Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia na Ellis Forsman Oktoba 8, 2011 Inavyodaiwa

More information

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai.

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai. WAKOLOSAI MTAALA I. MAELEZO KWA UJUMLA. A. Mwalimu: Don Walker B. Mkalimani: Chris Mwakabanje C. Kila darasa linachukua takribani dakika 38. II. III. MAELEZO NA MALENGO. A. Kujifunza kwa kina Waraka kwa

More information

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown. General Editors.

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown.   General Editors. Kanuni Muhimu za Kujifunza Biblia na Mchungaji Drue Freeman General Editors Dan Hawkins & Joseph Brown a publication of www.villageministries.org Kanuni Muhimu za Kujifunza Biblia 2013 na Village Ministries

More information

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani?

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? na Ellis P. Forsman Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? (Why Did Jesus Die On The Cross?) 1 Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? na Ellis P. Forsman Oktoba 17, 2011 Kwa Nini Yesu

More information

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu.

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu. Tazama Yuaja Kuhusu Toleo Hili. Kuna makanisa mengi duniani yanayo dai kuwa yanafundisha ukweli. Yote pia yana mafundisho tofauti yaliyo mafundisho na desturi ya watu. Muungano wa makanisa na uwongozi

More information

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1 Watumishi Wa Kristo na Ellis P. Forsman Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1 Watumishi Wa Kristo na Ellis P. Forsman Oktoba 14, 2011 Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 2 Sisi ni watumishi Watumishi

More information

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen 1 Index latest update 26. feb. 2008 WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen Wafunaji wa nafsi ABC Mark 16:15-20 Huduma/uiinjilisti Wakristo wachache sana wameitikia mwito wa

More information

United Pentecostal Church June 2017

United Pentecostal Church June 2017 Kwa Nini Tusali? Jarida la Maombi ya Wanawake Kimataifa "Chagua" Ladies Prayer International kwa Facebook United Pentecostal Church June 2017 Tuko na wafuasi Facebook katika Marekani, Hong Kong, Philippines,

More information

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu?

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? (Attitude Towards Christ Do you Honor Him?) Na Ellis P. Forsman (4-Attitude Towards Christ - Do you Honor Him) 1 Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? (Attitude Towards

More information

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI?

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? JOE CREWS 1 JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? Na Joe Crews (Hotuba Na. 16 ya Mambo ya Kweli Yanayoshangaza) Mfasiri: M. Mwamalumbili Is It Possible To

More information

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE Toleo 10 BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE UBATIZO WA MUUMINI Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa

More information

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo Na Andrew Connally 1 YALIYOMO Milango ya Kitabu: Ukurasa: 1. Mungu-Kuwako kwake na hali yake 03 2. Huyo Kristo-Nafsi yake na kazi yake 12 3. Maandiko Matakatifu ni yenye

More information

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema,

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema, NGUVU Utangulizi Kwas miaka mingi nimemtafuta Bwana ili aachilie mazingira mazuri ya uwepo wake, nguvu na utukufu wake kudhihirika. Tumeona na kujua matokeo ya yale Bwana ametufunulia. Ikiwa unatafuta

More information

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman Oktoba 11, 2011 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 2 Kifo

More information

Maisha Ya Mkristo Ni Nini?

Maisha Ya Mkristo Ni Nini? Maisha Ya Mkristo Ni Nini? na Ellis P. Forsman Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 1 Maisha Ya Mkristo Ni Nini? na Ellis P. Forsman Oktoba 17, 2011 Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What

More information

Roho Mtakatifu Ni Nini?

Roho Mtakatifu Ni Nini? Roho Mtakatifu Ni Nini? kwa ajili ya mkutano. Mkutano huu utakuwa tofauti, kidogo na ile ya kawaida tunayokuwa nayo hapa. Kwa kawaida, kila wakati tunapokuja pamoja hapa, ni mkutano kwa wa kwa ajili ya

More information

MSAMAHA NA UPATANISHO

MSAMAHA NA UPATANISHO Hakimiliki 2007-2017 na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa. MSAMAHA NA UPATANISHO na Jonathan M. Menn B.A., Chuo Kikuu cha Wisconsin-Madison, 1974 J.D., Cornell Law School, 1977 M.Div., Trinity Evangelical

More information

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com katoliki.ackyshine.com SALA ZA ASUBUHI Kwa jina la Baba.. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,Mwana na Roho. Nilinde tena siku hii,niache dhambi nikutii.naomba sana

More information

Rahisi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Kitabu cha mwanafunzi. Rahisi

Rahisi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Kitabu cha mwanafunzi. Rahisi Rahisi kitengo cha 2 Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Rahisi Rahisi Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na Mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho Mtakatifu, na kupigana dhidi ya

More information

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika (A Summary Of Arguments For And Against Individual Communion Cups) Na J D Logan Communion Cups) 1 Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi

More information

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke- Kusudi la Maisha hawatakuambia nini walihitimisha kupitia uchunguzi au hoja ya uchambuzi. Katika hali nyingi, hakika wao kukuambia nini mtu mwingine alisema... Au wao watakuambia nini kawaida kudhaniwa

More information

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1 Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) na Ellis P. Forsman Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1 Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) na Ellis P. Forsman Oktoba 15, 2011 Mzabibu

More information

Maisha Yaliyojaa Maombi

Maisha Yaliyojaa Maombi (A Prayer-Filled Life) na Terry Warford (A Prayer-Filled Life) 1 (A Prayer-Filled Life) na Terry Warford Nov 5, 2011 (A Prayer-Filled Life) 2 Sura ya nne nay a tano ya kitabu cha Ufunuo ni vifungu vinavyovutia.

More information

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1 Aina Tatu Za Ibada na Ellis Forsman Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1 Aina Tatu Za Ibada na Ellis Forsman Octoba 15, 2011 Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 2 Aina Tatu Za Ibada Yoh.

More information

Kiumbe Kipya Katika Kristo

Kiumbe Kipya Katika Kristo Kiumbe Kipya Katika Kristo na Ellis P. Forsman Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New Creature In Christ) 1 Kiumbe Kipya Katika Kristo na Ellis P. Forsman Oktoba 15, 2011 Kiumbe Kipya Katika Kristo (The New

More information

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu 134 Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu Picha tuliyonayo kuhusu Mungu ni mojawapo ya kizuizi kikubwa cha kupata uponyaji wetu. Mara nyingi huwa hatujui vizuri kwamba Mungu anatupenda kwa hivyo angependa

More information

Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves)

Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves) Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves) Na Ellis P. Forsman Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves) 1 Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu Na Ellis P. Forsman Oktoba 7, 2011 Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu

More information

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE IMANI NA MATENDO IMANI NA MATENDO Hotuba na Makala za Ellen G. White Masomo kutoka katika Hotuba zake Kumi na Tisa zilizotolewa Nzima au kwa Sehemu kuanzia mwaka 1881

More information

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa, UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, MEI 2014 Na Rais Thomas S. Monson Upendo Asili ya Injili Hakika hatuwezi kumpenda Mungu kama hatuwapendi wasafiri wenzetu katika safari hii ya maisha duniani. ninafurahia mawazo

More information

Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu

Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu 61 62 Ufafanuzi wa Jumla Sura ya 7 Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu Kielelezo cha 7 ni picha ionekanayo ambayo inaonyesha Wakristo wakiishi Huduma

More information

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka 0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11

More information

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ukristo leo unadhihirisha waumini karibu bilioni mbili katika maelfu ya madhehebu tofauti na tofauti na madhehebu. Kati ya hizi, zaidi ya 500 madhehebu

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala Kushangilia Kwa Sala Jarida la Maombi ya Wanawake Kimataifa Kushangilia Kwa Sala Na Wanda Fielder United Pentecostal Church April 2017 Kuwa alimfufua katika kanisa tangu kuzaliwa, daima aliamini Neno la

More information

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa, UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, MEI 2013 Utiifu Huleta Baraka Elimu ya ukweli na majibu ya maswali makuu huja kwetu tunapokuwa watiifu kwa amri za Mungu. Ndugu na dada zangu wapendwa, nina shukrani jinsi gani

More information

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI Asante, Ndugu Neville, Bwana akubariki. Bila shaka ni, majaliwa kuwa hapa usiku wa leo. Nina furaha sana ya kwamba Mungu alituruhusu

More information

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven)

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman The Rapture And Millennialism 1 Kifo Na Mbingu Na Ellis P. Forsman Octoba 11, 2011 The Rapture And Millennialism 2 Kifo Na Mbingu Heb. 9:27 Ili kufika

More information

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010 Uongozi Siri Na Larry Chkoreff Version 1.2 Desemba 2010 Kimetafsiriwa na kuchapishwa na: Cistern Materials Translation & Publishing Center, Nairobi, Kenya Barua pepe: info@cisternmaterialscenter.com www.cisternmaterialscenter.com

More information

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Nabii Musa alipotoka mlima Sinai kupewa amri kumi za Mungu zilizoko kwenye kitabu cha Kutoka 20:1 17, Mungu alimpa na sharia zingine ambazo lengo lake

More information

MAFUNDISHO YA UMISHENI

MAFUNDISHO YA UMISHENI MAFUNDISHO YA UMISHENI UINJILISTI NA UANAFUNZI Muhtasari: Elekeza kwa mada ilioko hapa chini nayo itakuelekeza kwa mada hiyo. I. Lengo la Sehemu Hii II. Uhusiano kati ya Uinjilisti na Uanafunzi III. Kwa

More information

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha UTARATIBU WA KANISA Tumemaliza hivi punde ule mkutano mkubwa wa siku, tano usiku kwenye Maskani, ambapo, kwa neema ya Mungu na kwa msaada Wake, nimejaribu sana, kwa Maandiko, kuliweka Kanisa la Bwana Yesu

More information

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa na Ellis P. Forsman Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa (Reconciled-Justified-Sanctified) 1 Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa na Ellis P. Forsman Oktoba 14, 2011 Patanishwa,

More information

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI Toleo 14 BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI Hazina ya maelezo kutoka

More information

Kiu Cha umtafuta Mungu

Kiu Cha umtafuta Mungu ZAIDI YA NAKALA MILLION 3 ZIMECHAPISHWA KATIKA LUGHA 59 KOTE DUNIANI K Kiu Cha umtafuta Mungu Huduma ya Daktari Richard A. Bennett ilianza katika mabaraza ya miji. Akiwa mwanafunzi chuoni, alikumbana na

More information

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia 34567 APRILI 15, 2013 Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia UKURASAWA 3 NYIMBO ZA KUTUMIWA: 114, 113 Juni 10-16 Jinufaishe na Uwanufaishe Wengine kwa KutumiaNenolaMungu UKURASAWA 18 NYIMBO ZA KUTUMIWA:

More information

PDF created with pdffactory trial version

PDF created with pdffactory trial version المملكة العربية السعودية وزارة التعليم العالي الجامعة الا سلامية بالمدينة المنورة عمادة البحث العلمي قسم الترجمة تعريف موجز بالا سلام بل( لغة السواحلية) ١ بسم االله الرحمن الرحیم MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU

More information

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO 1 RISALA FUPI copyright Hidaya Creativity, publishing Department. P.O. BOX 44799, 00100, GPO, NAIROBI-KENYA. Haki

More information

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu.

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu. ALAMA YA MNYAMA Sasa, kesho usiku Daima tunaonyesha jambo moja,, Bwana Yesu Kristo, ni hivyo tu, na lo lote ambalo ni mapenzi Yake ya Kiungu kwetu kufanya. Lakini kama ni mapenzi Yake ya Kiungu kesho usiku,

More information

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10.

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10. 6-15 Mei 2005. MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10. Kujenga kifuniko cha maombi juu ya mabara yote ya ulimwengu. Kufurikisha Jamii zetu kwa Maombi. Anzisha vituo vitakavyofukuta

More information

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14).

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14). 41 Uponyaji Wa Laana Ijapokuwa baraka ni kinyume cha laana, kuna mambo yanayofanana katika vitu hivyo. Ni maneno yaliyotajwa, yaliyoamriwa, au kuandikwa katika Biblia kwa nguvu na mamlakao ya kiroh kwa

More information

Rahisi. Kitabu cha mwanafunzi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Rahisi

Rahisi. Kitabu cha mwanafunzi. Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Rahisi kitengo cha 3 Rahisi Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Rahisi Rahisi Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho Mtakatifu, na kupigana na dhambi

More information

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU?

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU? KWA NINI SISI SI MADHEHEBU? Nimejaliwa kurudi mimbarani tena baada ya kama,, nadhani, karibu kutokuwepo kwa muda wa miezi mitatu. Kindi wamekuwa na wakati mgumu, na mimi pia. Loo, nimeburudika, hata hivyo,

More information

Oktoba-Desemba

Oktoba-Desemba Oktoba-Desemba 2014 1 Habari za Unabii wa Biblia 8 13 24 Katika toleo hili: 25 28 33 3 MwanaFiladelfia wa Karne ya 21 ni nani? Je, Yesu alifundisha kwamba kungekuwepo na tofauti kubwa baina ya Wakristo

More information

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu na Ellis P. Forsman God) 1 Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu na Ellis P. Forsman Oktoba 7, 2011 God) 2 Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu Mat. 6:24-34 Yesu alitoa maelezo haya

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

LALA. Terry Warford. LALA (Sleep - Terry Warford) 1

LALA. Terry Warford. LALA (Sleep - Terry Warford) 1 LALA na Terry Warford LALA (Sleep - Terry Warford) 1 LALA na Terry Warford Novemba 6, 2011 LALA (Sleep - Terry Warford) 2 LALA Kulala ni sehemu muhimu katika maisha yetu ya kila siku, tukiipa akili zetu

More information

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB Tunawezaje kudhihirisha msingi wa Kibiblia wa tumaini letu na kulithibitisha kwa Wakristo na kwa wasioamini walioshirikishwa? Tunawezaje kutamka matumaini yetu kwa Wabunge, kwa wafanya biashara au kwa

More information

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi. Iliyoendelea sana

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi. Iliyoendelea sana kitengo cha 3 Iliyoendelea sana Iliyoendelea sana Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Iliyoendelea sana Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho

More information

MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA

MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA 133 134 MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA Ni heri nione mahubiri kuliko kusikia moja siku yeyote ile. Ni heri mtu atembee nami kuliko kunionyesha njia. Jicho ni mwanafunzi mzuri na mwenye hamu kuliko sikio. Mausia

More information

Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza

Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza 143 Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza Zaidi ya thuluthi moja ya huduma ya Yesu ya uponyaji ilihusu kuwaweka watu huru kutokana na nguvu za giza. Sisi ambao ni wanafunzi wake, je, tunatarajia

More information

Kwa Kongamano Kuu 2016

Kwa Kongamano Kuu 2016 The Upper Room za Kwa Kongamano Kuu 2016 Selected from The Upper Room Disciplines with Invited Writers SIKU 60 ZA SALA Kwa Kongamano Kuu 2016 2016 na Upper Room Books. Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi kitengo cha 2 Iliyoendelea sana Iliyoendelea sana Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Iliyoendelea sana Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na Mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho

More information

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU? KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?, Asante, Ndugu Neville, na habari za jioni, marafiki. Nimerudi tena. Sikupata ila masaa manne asubuhi ya leo. Hiyo ni aibu. Na baada ya

More information

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA ONYO LA MWISHO KWA DUNIA Mpango wa Ulimwengu Mpya Unakuja!. Viongozi wa Ulimwengu. Jinsi ya kuukwepa usiwe wanautaka mhanga. Unaungwa mkono na. Kuanguka kwake ghafula wengi na kwa ukamilifu. Ulitabiriwa

More information

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO Sasa, kama ye yote ana swali lo lote wanalotaka kulileta,, basi, hebu yasogezeni tu juu hapa, acha mtoto fulani ayalete au vyo vyote mtakavyo. Au, labda, tukimaliza

More information

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn

Hakimiliki na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa TAFSIRI YA BIBLIA. Mwandishi. Jonathan M. Menn TAFSIRI YA BIBLIA Mwandishi Jonathan M. Menn B.A., University of Wisconsin-Madison, 1974 J.D., Cornell Law School, 1977 M.Div., Trinity Evangelical Divinity School, 2007 Equipping Church Leaders-East Africa

More information

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba YEHOVA-YIRE 1 Na tuendelee kusimama tu kwa muda kidogo wakati, tumeinamisha vichwa vyetu kwa maombi. Tunapoinamisha vichwa vyetu, sijui ni wangapi usiku huu wangetaka kukumbukwa katika maombi, una jambo

More information

UZAO WA NYOKA. 2 Basi, usiku huu, tuna malimbuko tu ya utukufu huo mkuu. 3 Kwa uchaji tunasimama kwa imani yetu katika Uwepo

UZAO WA NYOKA. 2 Basi, usiku huu, tuna malimbuko tu ya utukufu huo mkuu. 3 Kwa uchaji tunasimama kwa imani yetu katika Uwepo UZAO WA NYOKA Mungu, Mungu aliye mkuu na mwenye nguvu, Yeye, aliyefanya mambo yote kwa nguvu za Roho Wake; na amemleta Yesu Kristo, Mwanawe wa pekee, aliyejitolea akafa kwa ajili yetu wenye dhambi, Mwenye

More information

MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara

MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara 1 MIAKA 500 YA MATENGENEZO YA KANISA NA USHUHUDA WETU Na Askofu Dr. Abednego Keshomshahara 1. UTANGULIZI Miaka 500 ya matengenezo ya Kanisa inatufanya tuangalie nyuma na kuona jinsi Mungu alivyotumia wanadamu

More information

Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele. Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101. Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana

Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele. Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101. Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana JANUARI 15, 2014 34567 MAKALA ZA FUNZO MACHI 3-9 Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele UKURASA WA 7 NYIMBO: 106, 46 MACHI 10-16 Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101 MACHI

More information

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi Na Itafunika Wingi Wa Dhambi na Ellis Forsman Na Itafunika Wingi Wa Dhambi (And Shall Hide A Multitude Of Sins) 1 Na Itafunika Wingi Wa Dhambi na Ellis Forsman Oktoba 10, 2011 Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa, UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, NOVEMBA 2011 Na Rais Thomas S. Monson Simama Pahali Patakatifu Mawasiliano na Baba yetu aliye Mbinguni pamoja na maombi yetu Kwake na maongozi Yake kwetu ni muhimu ili tuweze

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA

KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA Kimechapishwa na Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu la Siku za Mwisho Mjini Salt Lake, Utah 1992, 1999, 2001, 2006 na Intellectual Reserve, Inc.

More information

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato 1 Mafungu yote yaliyonukuliwa kwa ruhusa kutoka katika Biblia ya Kiswahili Union Version 1952 (Ilishahihishwa 1989) ISBN 978 Haki miliki 2013 Haki zote zimeifadhiwa

More information

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA SOMO LA KWANZA UTANGULIZI KWA TORA For videos, study guides and other resources, visit Third Millennium Ministries at thirdmill.org. 2014 nathird Millennium Ministries Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya Jina Nambari.. Shule... 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI / AGOSTI. 2007 MUDA: SAA 2 ½ MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya 102/3 KISWAHILI FASIHI

More information

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Ngumu. Ngumu. Kitabu cha mwanafunzi

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Ngumu. Ngumu. Kitabu cha mwanafunzi Unit 1 kitengo cha 2 Ngumu Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Ngumu Ngumu Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na Mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho Mtakatifu, na kupigana dhidi

More information

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI?

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI? Jarida la Dunia Yerusalemu Mpya Mchungaji Tony Alamo Makanisa Ulimwenguni Kote Taifa la Kikristo la Alamo Mchungaji Tony na Susan Alamo, Okestra, na kwaya katika kipindi chao cha kimataifa cha televisheni.

More information

# 18 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa

# 18 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa 119 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa Kukataliwa ni mojawapo ya mitindo ya Shetani ya ukandamizaji. Kukataliwa kunaweza kumzuia mwenye dhambi kumjia Mungu ili apate wokovu na kumzuia Mkristo kuufikia uwezo

More information

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE Habari za asubuhi, wapendwa. Hebu na tuendelee, kusimama kwa muda kidogo tu. Mungu mpendwa, sisi, tulio kwenye wakati wa mahangaiko na kakara za maisha, tumetulia kwa

More information

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org ( Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Haja Ya Dini Haja Ya Dini Author(s): Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi [3] Publisher(s): Bilal Muslim Mission of Tanzania [4] Katika kijitabu

More information

H. M. Baagil, M. D. WAMY Studies on Islam

H. M. Baagil, M. D. WAMY Studies on Islam Mazungumzo ya Mwislamu na Mkristo H. M. Baagil, M. D. WAMY Studies on Islam 1 YALIYOMO Muhtasari wa Mtunzi... 4 Utangulizi... 6 MAZUNGUMZO... 8 Biblia Takatifu... Error! Bookmark not defined. Imani ya

More information

Makasisi. Waingia Uislamu

Makasisi. Waingia Uislamu 1 Makasisi Waingia Uislamu 2 KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU MAKASISI WAINGIA UISLAMU Yaliyomo 1. KASISI YUSUFU ESTES ALIYEKUWA MFANYABIASHARA WA KIKRISTO & MUHUBIRI (USA)...

More information