Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza

Size: px
Start display at page:

Download "Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza"

Transcription

1 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania

2

3 Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza maisha yao katika hali ambayo haingestahili.

4 Publisher: UHAI EASHRI The East African Sexual Health and Rights Initiative P.O. Box , Nairobi, Kenya Tel: +254 (020) / (020) Tel: +254 (737) / (702) info@uhai-eashri.org Website: Author: Roselyn Odoyo Editor: Wanja Muguongo Field Assistants: Geofrey Mashala and Hamil Suleiman Design & Production: Black Butterfly Ltd. Printed in Nairobi, Kenya ISBN: Copyright UHAI EASHRI, 2015 This report is published by UHAI EASHRI. All rights reserved. While every attempt has been made to verify all facts, instructions and procedures, the publisher claims indemnity against results of any nature whatsoever arising from the applications thereof.

5 Jedwali la yaliomo Orodha ya vifupisho 6 Maana ya misamiati 7 Utangulizi na historia 8 Mbinu 10 Muhtasari 11 LGBTI 13 Muktadha wa kisheria na sera 15 Mazingira ya shirika la LGBTI nchini Tanzania 27 Hali halisi 41 Mjadala wa hadharani 50 Mapendekezo ya jumla 55 AFYA 57 Ufikiaji huduma ya afya kwa LGBTI na Wauzamahaba 59 Matokeo ya utafiti kuhusu changamoto za kufikia afya 60 Mapendekezo kuhusu afya 72 WAFANYIKAZI WA NGONO 74 Sheria na sera 76 Shirika la Wafanyakazi wa Ngono 87 Hali halisi 96 Kutotambulika na umma 100 Mapendekezo ya jumla 102

6 6 WATANZANIA WENGINE Orodha ya vifupisho UKIMWI (AIDS) ASHR CHRAGG CTC VVU HRDs LGBTI MOHSW MSM NACP NSCHR PSI SRHR STI SW TACAIDS TASWA TAWLA TGNP THRDC WSW ZAC ZACP Ukosefu wa Kinga Mwilini Muungano wa Afya ya Ngono na Haki za Binadamu Tume ya Haki za Binadamu na Uongozi Bora Vituo vya Ushaurinasaha na Upimaji Virusi vya Ukimwi Watetezi wa Haki za Binadamu Wasagaji, Mashoga, Jinsia mbili, Wenye jinsia tofauti na Huntha Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Wanaume Wanaofanya Mapenzi na Wanaume Mpango wa Kudhibiti UKIMWI Kamati ya Uendeshaji wa Kitaifa kuhusu Mkabiliano wa VVU Huduma za Kimataifa kuhusu Idadi ya Watu Afya ya Uzazi kuhusu Ngono na Haki Maambukizi ya Magonjwa ya Zinaa Wafanyakazi wa ngono Tume ya UKIMWI ya Tanzania Muungano wa Wafanyakazi wa ngono wa Tanzania Muungano wa Mawakili Wanawake wa Tanzania Mpango wa Mitandao ya Jinsia ya Tanzania Muungano wa Watetezi wa Haki za Binadamu wa Tanzania Wanawake Wanaofanya Mapenzi na Wanawake Tume ya UKIMWI ya Zanzibari Mpango wa Kudhibiti UKIMWI wa Zanzibari

7 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Maana ya misamiati Basha Mwanamume shoga mwenye kutumia uume wake katika ngono Batiki/ dada poa/paka la barabara/ nitombenikale Mfanyakazi wa ngono wa kike Blender Msagaji au shoga mbadilifu Bujaina Msagaji (jina linalokubalika zaidi) Changudoa Jina la kejeli kwa mfanyikazi wa ngono wa kike Dandy Kuchu mwenye madaha Danguro Nyumba ya kufanyia biashara ya ngono. DumeJike Jina la kumkejeli mwanamke aliyebadilisha jinsia Huntha Mtu mwenye na viungo viwili vya kijinsia JikeDume Jina la kejeli kwa mwanamume aliyebadilisha jinsia au msagaji aliye ndiye kama mume kwenye uhusiano Kuchu Neno linaloashiria mtu mwenye hisia za kimapenzi kwa jinsia yake lakini hutumika haswa kwa shoga Mchati Mteja Mchelechele/bwabwa/choko/chuma mboga/punga/zuria Mwanaume kuchu Mchichamwiba Kuchu mbadilifu Mchongoma Korokoro iliyo na washukiwa sita hadi wanane Msagaji Mwanamke anayeshiriki ngono na mwanamke mwengine Msengebaridi Shoga asiyetangaza hadharani ushoga wake ila ana madaha Polisi Jamii Maafisa wa polisi waliojitolea kuhudumu katika jamii yao Popo/ chips funga/malaika/ wauzanyapu/vodafasta/tigorusha /kahaba/ muuzambunye/ maharage ya Mbeya/jamvi la wageni/ chawote/ cash money Mfanyakazi wa ngono Shoga/ kisamvu cha kopo/msenge/ chakula/ hanithi/ mtotosioriziki/baradhuli(zanzibari term)/mdebwedo/ mnazi/mtoto show Mwanaume anayepokea ngono ya mkunduni; pia huitwa wa chini Shuga Neno linalokubalika zaidi kumaanisha shoga Sungu Sungu Makundi ya wanaolinda mitaa Wauzamahaba Wafanayakazi wa ngono (msamiati unaokubalika zaidi)

8 8 WATANZANIA WENGINE Utangulizi na historia Kwa kulinganisha na mavuguvugu katika nchi jirani za Uganda na Kenya, mwonekano wa mavuguvugu nchini Tanzania umesalia wa chini kwa kipindi kirefu na utetezi umeonekana kuwa wa kihafidhina kwa kiasi fulani. Ufikiaji wa afya kilikuwa ndicho chanzo kwa muda mrefu kwa utetezi nchini Tanzania. Ingawa ufikiaji wa afya ulitumiwa kama kiingilio cha utetezi nchini Kenya na Uganda, wanaharakati katika mataifa yote mawili wamefanikiwa kwa kutumia njia za mahakama kuhusu masuala yanayoathiri; haki ya nyaraka za utambulisho wa kubadilisha jinsia kama ilivyokuwa kwenye kesi ya Audrey nchini Kenya; kesi ya mahakama ya Tume ya Kitaifa ya Haki za Mashoga na Wasagaji kuhusu usajili wa mashirika ya LGBTI, pia nchini Kenya; kukamatwa kiholela, uchunguzi haramu na unyanyasaji haramu kizuizini kama ilivyokuwa katika kesi ya Victor na Oyo nchini Ugandamwaka wa 2008; na pia changamoto ya kufutiliwa mbali kwa Mswada wa Kupinga Mapenzi ya Jinsia Moja nchini Uganda. Pia kumekuwepo na hatua za kuendelea kushawishi wadau mbalimbali, kwa mfano Tume ya Kitaifa ya Kenya kuhusu Haki za Binadamu na vyombo vya habari, jambo ambalo linafua dafu. Hata hivyo, kwa zaidi ya miaka minane iliyopita, mavuguvugu ya wasagaji, mashoga, waliobadilisha jinsia, huntha na wafanyakazi wa ngono nchini Tanzania yameongezeka kwa kiasi kikubwa sawa na kiwango cha uandaaji kama vile mkakati wa sasa wa pamoja na kama kilivyo kiwango cha uwasilishaji wa ripoti mbadala kuhusu mchakato wa UPR unaoongozwa na CHESA, uundaji wa kamati ya usalama wa jamii za LGBTI na uundaji wa Muungano wa Wafanyakazi wa ngono wa Tanzania (TASWA).

9 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Lengo la kufanya uchanganuzi huu wa mazingira lilikuwa kuwezesha mashirika ya LGBTI na SW, wanaharakati na wenzao (wakiwemo wafadhili na vikundi katika mavuguvugu mengine): Kuwakilisha ukuaji wa mavuguvugu ya LGBTI na wafanyakazi wa ngono nchini Tanzania; Kuweka nyaraka za hali halisi za wana LGBTI na wafanyakazi wa ngono nchini Tanzania; Kutathmini tofauti kati ya huduma zinazotolewa na zile zinazohitajiwa na jamii za LGBTI na wafanyakazi wa ngono; Kuonyesha changamoto na faida zilizopatikana kutokana na utetezi wa haki za wanaharakati wa LGBTI na wafanyakazi wa ngono nchini Tanzania; na Kuonyesha sababu zinazochangia kuwepo kwa uhasama wa mazingira nchini Tanzania. Uchanganuzi wa mazingira umeainishwa kwa mada tano pana: 1. Muktadha wa Kisheria na Sera; 2. Mazingira ya uandaaji; 3. Hali Halisi; 4. Mjadala wa Umma; na 5. Afya.

10 10 WATANZANIA WENGINE Mbinu Utafiti huu ulitumia njia ya upimaji na maelezo kupitia mchanganyiko wa ukaguzi wa mezani na kazi ya nyanjani. Utafiti ulifanywa kupitia mijadala ya kikundi lengwa (FGD), mahojiano ya ana kwa ana na wanaharakati wa LGBTI na SW wanaowakilisha mashirika kumi na manane na ripoti ya mwisho ilihalalishwa katika mikutano miwili ya angalau wanaharakati wa wafanyakazi wa ngono 40 na LGBTI 40 wanaowakilisha mashirika Dar es Salaam, Zanzibar na maeneo mengine ya Tanzania kama vile Tanga,Iringa na Mwanza. Uchunguzi ulishirikiwa na mashirika yote yanayofahamika ya LGBTI na wafanyakazi wa ngono yaliyoainishwa chini ya sehemu tano za maudhui ya utafiti huu. Muhtasari wa matokeo ya uchunguzi huu ilikamilishwa na wanaharakati 60 wa Tanzania. Ripoti hii imejaribu kutumia vifupisho vya mashirika badala ya majina yote kikamilifu. Matumizi ya vifupisho kwa mashirika yaliyoorodheshwa yalikuwa ya maksudi kwa madhumuni ya usalama wa mashirika yenyewe. Majina ya baadhi ya watu walionukuliwa katika chapisho hili yamebadilishwa, pia kwa madhumuni ya usalama. Kutokana na kutokuwepo kwa jamii inayoonekana ya huntha, LGBT na LGBTI zinatumiwa kwa kubadilishana kuakisi ikiwa taarifa fulani zinajumuisha au hazijumuishi maoni kuhusu jamii ya huntha.

11 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Muhtasari Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Zanzibari ziliunda muungano mwaka wa 1964 ili kuwa kile kinachojulikana sasa kama Tanzania. Zanzibar kwa kuwa himaya iliyojitenga na ikiwa na silaha zake huru za kibinafsi na sheria za kuongoza. Tanzania imepakana na Rwanda,Burundi,Kenya,Uganda na Malawi na Msumbiji upande wa kusini. Kama walivyo jirani zake wa Afrika Mashariki, Tanzania ina historia ya kutawaliwa na mkoloni Mwingereza ambako ilirithi kanuni ya adhabu iliyo na sheria za maadili ambazo madhumuni yake ni kuangalia mashirika ya Tanzania yanayotumia vifungu vya maneno yenye utata kama vile vitendo kinyume cha kawaida. Mapenzi ya jinsia moja na biashara ya ngono ni haramu Tanzania bara na Zanzibar. Kutokana na mazingira yaliyopo ya kisheria, matumizi ya sheria zilizopo zinazoweza kuwalinda wana LGBTI na wafanyakazi wa ngono kwa msingi wa uraia wao hayatimizwi kikamilifu. Badala yake, yanazuiwa na fasiri halali ya sheria, kunyimwa haki msingi za binadamu za raia wote na mitazamo hasi inayotokana na misimamo mikali ya kidini ya wenye wajibu, ambayo baadaye inaelekea hadi kwenye jamii kiujumla. Hili limefanya LGBTI na wafanyakazi wa ngono nchini Tanzania kuwa katika hatari ya ukiukaji wa haki mbalimbali za binadamu ikiwemo lakini sio tu kunyanyaswa kwa kupigwa, ngono, na matusi, kukamatwa kiholela na kuwekwa kizuizini, kuzuiwa kupata haki, kufukuzwa nyumbani na kufukuzwa kwa njia isiyo ya sawa kutoka kazini licha ya kuwepo kwa Katiba ambayo inatoa ulinzi dhidi ya ukiukaji wa haki zilizotajwa. Mazingira ya sheria pia yamezuia ufikiaji wa afya kwa wanachama wa jamii za LGBTI na wafanyakazi wa ngono. Kama walivyo jirani zake, Tanzania inatambua wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume wenzao (MSM) na wafanyakazi wa ngono kama sehemu ya makundi maalum ya watu katika sera zake za kitaifa za VVU. Hata hivyo, huku utambuaji huu ukiwa umeandikwa kwenye karatasi, hauonyeshwi kwa vitendo. Katika harakati za kujaribu kufikia huduma za afya kama vile kupimwa, matibababu na ushaurinasaha wanachama wa jamii za

12 12 WATANZANIA WENGINE LGBTI na wafanyakazi wa ngono hukumbana na ubaguzi, unyanyapaa na katika hali nyingine kunyimwa huduma kwa pamoja. Kwa kiasi kikubwa, madaktari wanapuuza kuweka siri na kutimiza kiapo ambacho wanawajibikia kitaaluma.endapo huduma za afya zitakuwepo, mara nyingi huambatana na maonyo na kuwalazimisha watu kubadilika. Sera za afya zilizopo haziwatambui wasagaji, waliobadilisha jinsia wala huntha hali ambayo inadumisha utamaduni wa kupuuza jinsia kuhusiana na tofauti au sehemu mbili za aina yoyote. Mavuguvugu ya LGBTI na SW yamekua kwa kiasi kikubwa katika mwongo mmoja uliopita na mipango inaendelea ili kukua kutoka nguvu hadi nguvu. Kwa muda mrefu, jukwaa pekee la utetezi lililosemekana kuwa lenye faida lilikuwa afya. Huku afya ikisalia kuwa kiingilio thabiti katika utetezi kwa ajili ya haki za jamii hizi, mavuguvugu yanaonekana kupanua mwelekeo wake katika utambuaji wa vikwazo vinavyotokana na mazingira ya sheria, mitazamo ya wadau na mjadala wa umma. Kwa kusema hivyo, mavuguvugu bado yanashuhudiwa na matatizo machache kama vile ung`ang`aniaji wa rasilimali na fursa za ukuaji, ufikiaji mdogo wa fedha na mwonekano wa chini wa sehemu ya jamii ya waliobadilisha jinsia na huntha. Mipango ya waliobadilisha jinsia ilikuwa michache hata mavuguvugu yalipoendelea kupata kasi. Sasa kuna mashirika matatu yanayojulikana kuwa na ujumuishaji au mwelekeo imara wa waliobadilisha jinsia au GNC. Mada thabiti ya utafiti huu ni jinsi hali halisi za watu wa LGBTI na wafanyakazi wa ngono zinavyohusiana kwa sababu wahojiwa wengi waliohojiwa wakati wa utafiti huu waliweza kutoa hali halisi zinazoingiliana. Mashirika mengi yanayojihusisha na utetezi wa haki za wana LGBTI pia yanajihusisha na haki za wafanyakazi wa ngono kwa sababu ni wanachama wengi wa jamii ya LGBTI ambao pia wanajitambua kama wafanyakazi wa ngono. Kwa kila namna hii inaaminsha kuwa wana LGBTI wanakumabana na unyanyapaa mara dufu. Ripoti hii inanuia kuonyesha hali halisi za LGBTI na wafanyakazi wa ngono nchini Tanzania, kubainisha ukuaji wa mavuguvugu na kuangazia vikwazo vinavyokumba LGBTI na SW wa Tanzania katika kujaribu kuishi kwa kutobaguliwa na kutokunyanyapaliwa.

13

14

15 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Muktadha wa kisheria na sera Tanzania hutumia mfumo wa sheria za kawaida, zinazotokana na historia yake ya kikoloni chini ya utawala wa Mwingereza. Sehemu ya urithi huu inajumuisha Kanuni ya adhabu ambayo ina vifungu kuhusu makosa dhidi ya asili sawa na yale yaliyo katika kanuni za adhabu za nchi jirani za Tanzania kutokana na athari ile ile ya kihistoria. Ni dhahiri kuwa vifungu vingi vilivyomo ndani vimesalia bila kubadilishwa tangu urithi wao. Kwa mfano, kanuni ya adhabu bado hutumia lugha kama vile mpumbavu na mjinga kurejelea wenye uwezo tofauti wa akili au ukuaji. Kanuni ya Adhabu ya Tanzania na Sheria ya Agizo la Kanuni ya Zanzibar zinaharamisha tendo la ngono dhidi ya asili ambalo kitaalam linamaanisha kufanya mapenzi ambako hakukuonekana kawaida kitamaduni kama vile ngono ya sehemu ya haja kubwa. Tendo la ngono la sehemu ya haja kubwa halijumuishi mvuto wowote wa jinsia lakini hata hivyo vifungu vya sheria vinafasiriwa kuharamisha mapenzi ya jinsia moja, bila kuzingatia ridhaa, na kufanya kuadhibiwa kwa hadi kifungo cha maisha.agizo la Kanuni ya Zanzibar linaharamisha mapenzi ya jinsia moja kwa makubaliano kati ya wanaume na wanawake na linazidi kuharamisha ndoa za jinsia moja. Huku Kanuni ya Adhabu inayotumiwa Tanzania bara ikikosa kutoa waziwazi dhidi ya usagaji kama ilivyo katika Agizo la Kanuni la Zanzibari, lugha iliyotumika ina upana wa kutosha, (inarejelea watu bila kifungu mahususi, kati yawanaume kama ilivyo katika Nchi nyingine nyingi za Afrika zenye kanuni sawa za adhabu), ambayo ufasiri wake unaweza kujumuisha mapenzi ya jinsia moja kati ya wanawake. Kuna baadhi ya sheria zinazoweza kutafsiriwa kuunga mkoni haki za LGBTI haswa Katiba ambayo ndiyo sheria kuu ya nchi. Hata hivyo, huku sheria hizi zikiwa na vifungu vinavyoweza kuwa muhimu kwa kuwezesha utekelezaji wa haki za binadamu kwa watu wa LGBTI, sheria hizohizo zina vifungu ambavyo vinabakia kuwa tata kwamba ufasiri wake unaweza kusababisha vikwazo vya kufikia haki hizi kwa watu wa LGBTI au ubaguzi wa moja kwa moja. Kwa hivyo, hata sheria zinazoweza kuonekana kama zinazounga mkono zina makali kuwili yanayoweza kuegemea kokote endapo ufasiri wake utahitajika.

16 16 WATANZANIA WENGINE Athari ya vifungu VVUi husikika sio tu katika sheria nyingine na sera za kitaifa zinazotumika nchini Tanzania, bali pia kupitia chuki dhidi ya mapenzi ya jinsia moja, waliobadilisha jinsia na wafanyakazi wa ngono. Huku lugha iliyo katika sheria ikifasiriwa kuhusiana na ujinsia wa mapenzi ya jinsia moja, pia zinaathiri utambulisho wa jinsia isiyo ya kawaida kutokana na ukosefu wa kutambua na kupuuza kuhusu jinsia mbili na utofauti wa jinsia. Hili ni haswa kwa watu waliobadilisha jinsia. Kwa bahati mbaya katika hali nyingi, wenye wajibu wanaofasiri na kutekeleza sheria nchini Tanzania wanafanya hivyo kwa msingi wa ubaguzi wa kibinafsi au misimamo mikali ya kidini badala ya ufahamu na utambuzi wa haki za binadamu za kila raia, na hivyo kwa kiasi fulani kudhalilisha watu wa LGBTI. Kutokana na hayo LGBTI wa nchini Tanzania wanalazimika kuvumilia kila aina ya ukiukaji wa haki za binadamu ikiwemo; dhuluma za matusi, mapigo na ngono; kunyanyaswa; kukamatwa kiholela; kutishwa na kuuwawa; kuzuiwa kupata afya na elimu; kutolewa kazini kwa njia isiyo sawa; na kufukuzwa nyumbani. Matumizi mabaya ya mamlaka: Sungu Sungu na polisi Neno Sungu Sungu lilitumika kihistoria kumaanisha vikundi vya usalama vilivyoundwa miaka ya 1980 ili kukabili wizi wa mifugo. Hata hivyo, katika miktadha ya sasa linamaanisha wanamgambo. Polisijamii inamaanisha polisi wa jamii, ambao wana mfumo maalum unaotokana na uhusiano wa mifumo ya uongozi uliopo. Kwa mfano, Sungu Sungu ni vikundi vya usalama ambavyo ni walinzi walioteuliwa kibinafsi ilihali polisi jamii wanateuliwa na serikali ya ndani, kufunzwa na polisi, kupewa sare ili kuwezesha uhusiano na eneo fulani na kutimiza wajibu msingi wa kutekeleza sheria wenye uwajibikaji mkuu kwenye vituo vya polisi walivyopelekwa. Kuna utaratibu ambao polisijamii hutarajiwa kufuata lakini mara nyingi wameripotiwa kutenda wanavyotaka. Katika muktadha wa ripoti hii, kurejelea Sungu Sungu kunafasiriwa kwa kubadilishana na polisijamii na wanachama wa jamii za LGBTI na wafanyakazi wa ngono waliohojiwa wakati wa utafiti huu wakisema kuwa kuna tofauti ndogo sana kati ya hayo makundi mawili.

17 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Sungu Sungu waliripotiwa kama moja ya wakiukaji wakuu wa haki za binadamu kwa watu wa LGBTI. Wanachama wa jamii ya LGBT waliripotiwa kudhulumiwa kingono na kimwili, kutishwa, kukaguliwa majengo yao kinyume cha sheria na kuwekwa kizuizini kiholela. Katika hali ambazo polisi walihusika, wanaonekana kuunga mkono Sungu Sunguna kuendeleza dhuluma dhidi ya LGBTI wa Tanzania kwa kuwakamata kiholela au kuomba rushwa na/au tendo la ngono ili kuachiliwa huru. Mwaka wa 2009,Kasim alibakwa na polisi wawili na Sungu Sungu. Walimbana chini na kumbaka kwa zamu. Baadaye alienda kwenye hospitali ya MnaziMmoja ambapo alibaguliwa na wakataka fomu ya PF3 ambayo asingeweza kupata kutoka kwa polisi wale wale waliombaka. Ismail, mratibu wa YMC nchini Zanzibar Kukamatwa kiholela na kuwekwa kizuizini Kufuatia kukamatwa kiholela wana LGBT mara nyingi huvuliwa nguo na kuwekwa kizuizini katika mcho-ngoma (rumande) ambayo ni jela ya kati ya watu sita hadi wanane ambayo ni sehemu iliyoripotiwa kusababisha kubakwa na aina nyingine za dhuluma za ngono na kupigwa wakiwa chini ya ulinzi wa polisi. Sheria hazitumiwi vibaya tu na polisi na wafungwa. Sungu Sungu na polisijamii wameendelea kuwanyanyasa wanachama wa jamii ya LGBT. Kuna kesi mbalimbali (zilizoripotiwa na kutoripotiwa) za ubakaji na wizi zinazohusisha Sungu Sungu ambao licha ya kutokuwa na kiwango sawa cha mamlaka kama polisi, hutegemea mapuuza ya wanachama wengi wa jamii kutisha, kubaka na kuchukua rushwa kutoka kwenye jamii ya LGBT.

18 18 WATANZANIA WENGINE Hatuwezi kuwaripoti polisi au Sungu Sungu. Inaonekana wako juu ya sheria. Na kwa sababu tuna taarifa, haki, kujitambua, kujithamini na kujikubali kidogo, tunahofia kuwafikisha wakiukaji sheria hawa mahakamani. Max, aliyebadilisha jinsia, Dar es Salaam Ufikiaji wa haki Kutokana na utawala uliopo, ukiukaji mbalimbali wa haki za binadamu unapotokea, LGBTI nchini Tanzania hawana ufikiaji wa kutosha wa kuchukua hatua za kisheria kinyume cha vifungu vya Katiba kuhusu usawa mbele ya sheria. Hii ni kwa sababu ya hofu halisi kuwa kujaribu kupata haki kuna uwezekano wa kufunguliwa mashtaka na utawala huo huo unaopaswa kuipa ulinzi jamii hiyo ambayo ni sehemu ya raia. Ninahofia sana polisi. Nimekamatwa mara nyingi sana na kunyanyaswa. Mara nyingi nimelazimika kutoa rushwa ili kuachiliwa. Wakati mwingine wananiambia tufanye mapenzi ili kuachiliwa huru. Wakati mwingine ninapowekwa kwenye seli pamoja na wafungwa wengine, hunibaka. Ni vigumu sana. Michael, anayejitambulisha toka katika jamii ya mashoga.

19 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Jedwali la 1: Sheria inayozuia au kupinga LGBTI Sheria/Amri Vifungu vinavyozuia Athari Katiba ya Jamhuri ya Tanzania ya 1977 Kanuni ya Adhabu Sheria ya Adhabu ya Zanzibari Kipengele cha 13 (5): neno ubaguzi halitafasiriwi kwa njia ambayo litazuia Serikali kuchukua hatua za madhubuti zinazonuia kurekebisha ulemavu katika jamii. Sehemu ya 129 A: Ufafanuzi wa mwanamke kama mtu mwingine yeyote wa kike. Pale ambapo inaweza kusemekana kuwa ufafanuzi huu bado ungali mpana, katika muktadha huu inafasiri kama kutumia ufafanuzi wa kamusi. Sehemu ya 130: Ubakaji unafafanuliwa kama mwanaume kufanya mapenzi na mwanamke chini ya hali ambazo si halali kisheria bila idhini. Sehemu ya 138 A: Vitendo vya kukiuka maadili kati ya watu. Sehemu ya 154: Vitendo vya kukiuka maadili kati ya watu. Lugha inayotumiwa mwishoni mwa kifungu hiki ni tata na inaweza kutumika visivyo kuchukua hatua dhidi ya jamii za LGBTI. Kwa mfano, Ikiwa sheria inayobagua wazi dhidi ya ujinsia usio wa kawaida inapendekezwa kuwa inanunia kurekebisha ulemavu katika jamii, kama katika muktadha wa Uganda wakati Mswada wa Kupinga Mapenzi ya Jinsia Moja ulipotungwa, sehemu hii inaweza kuleta matumizi mabaya ya kutetea sheria sawa na hiyo. Haitambui wanawake au wanaume waliobadilisha jinsia au huntha kwa sabau ufafanuzi uliotafasiriwa wa kike ni mtu aliye na yai. Inafafanua ubakaji tu katika muktadha wa mapenzi ya jinsia tofauti na hivyo kutotambua ulawiti chini ya ubakaji. Ubakaji unatajwa kama adhabu ya hadi kifungo cha maisha. Ubakaji wa dhuluma ya ngono vinavyoshudiwa na shoga au wanaume wanaovutiwa na jinsi mbili katika jamii ya LGBTI nchini Tanzania mikononi mwa polisi na Sungu Sungu kwa mfano unaweza kuainishwa kama dhuluma kubwa sana ya ngono, ambayo ina kifungo cha chini sana cha hadi miaka isiyozidi thelathini. Inafafanua ukiukaji wa maadili kama kujumuisha kupiga punyeto, inapinga kuwepo kwa idhini na kukiuka haki ya faragha. Ina adhabu ya hadi kifungo cha miaka 5.

20 20 WATANZANIA WENGINE Sheria/Amri Vifungu vinavyozuia Athari Sehemu ya 154 (1) (a) na (c): Makosa yasiyo ya kawaida. Haifafanui makosa yasiyo ya kawaida wala vitendo kinyume cha asili hata hivyo inafasiriwa kama inayotumika kwa ngono ya sehemu ya haja kubwa. Sehemu ya 150: Makosa yasiyo ya kawaida. Sehemu ya 155: Jaribio la kufanya makosa yasiyo ya kawaida. Sehemu ya 151: Jaribio la kufanya makosa yasiyo ya kawaida. Sehemu ya 157: Matendo yasiyo ya uadilifu kati ya wanaume. Inaharamisha waziwazi vitendo visivyo vya maadili kati ya wanaume wawili na kuiharamisha kwa kifungo cha miaka 5, bila kuzingatia idhini na faragha. Ukosefu wa maadili umefafanuliwa katika Sheria ya Makosa ya Ngono kama kujumuisha Kupiga Punyeto. Sheria ya adhabu ya Zanzibari Sehemu ya 153: Vitendo vya usagaji. Sehemu ya 158: Muungano wa watu wa jinsia moja. Kifungu hiki kinafasiriwa na watungaji sheria na watekelezaji kama kinachotumika kwa mapenzi ya jinsia moja na kufanya adhabu kwa kifungo cha maisha Tanzania bara na hadi kifungo cha miaka 14 Zanzibari. Ingawa haielezi zaidi kuhusu kile kinachoweza kufanya jaribio inajaribu kufanya makosa yasiyo ya kawaida ya adhabu kwa angalau kifungo cha miaka 20 Tanzania bara na kifungo cha miaka 7 juu zaidi Zanzibari. Kifungu hiki kinaweza kutumiwa dhidi ya MSM ambao huenda wameshtakiwa kwa kufanya mapenzi yasiyo ya kuingiliana kimwili kama vile kupiga punyeto. Huharamisha mapenzi ya jinsia moja kati ya wanawake Zanzibari kwa adhabu ya kifungo cha miaka 5 juu zaidi au faini ya TSh.500,000. Hufanya ndoa za jinsia moja Zanzibari kuadhibiwa kwa hadi kifungo cha miaka 7.

21 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Sheria/Amri Vifungu vinavyozuia Athari Sheria ya Uhalifu wa Mtandaoni ya 2015 Sheria ya Usajili wa Kuzaliwa na Kifo Sehemu ya 14: Inasema kuwa mtu hatachapisha picha za ngono kupitia mfumo wa kompyuta. Haifafanui picha za ngono; hivyo kifungu hiki kinaweza kutumika dhidi ya mtu yeyote wa LGBTI anayechapisha picha zozote hata zake binafsi kama picha za ngono. Sehemu ya 16 inasema kuwa mtu yeyote anayechapisha taarifa za uwongo atafungwa kifungo kisichopungua miezi 6. Kifungu hiki kina madhara kwa sababu za usalama kutokana na mazingira yaliyopo ya kutunga sheria, wanachama wa jamii ya LGBTI mara nyingi hulazimika kuanza kubuni utambulisho bandia haswa kwenye mitandao ya jamii. Sehemu ya 31: Kuchunguza na kukamata. Huwapa polisi mamlaka ya kuchukua kompyuta ya mtu afisa akisemekana kuwa na sababu za kuridhisha kuamini kuwa huenda kompyuta hiyo ikatumika kama ushahidi kuthibitisha kosa. Sehemu ya 10: Mbinu ya usajili (kuzaliwa). Sehemu hii inasema kuwa kila usajili wa kuzaliwa kwa mtoto kutajumuisha nyaraka zilizoelezwa ambazo zimefafanuliwa katika sheria kama kujumuisha jinsia. Huku sheria hii ikitajwa kama iliyotungwa ili kushughulikia picha za ngono za watoto, dhuluma za mtandaoni, uigaji wa mtu mwigine mtandaoni, uzalishaji wa elektroniki wa maudhui ya ubaguzi wa rangi na ubaguzi wa wageni, ujumbe usiohitajika (yaani barua taka), kukatiza mawasiliano kinyume cha sheria,kwa kutaja machache, baadhi ya vifungu vyake ni hatari sana kwa jamii ya LGBTI kama vile vifungu kuhusu uchapishaji wa taarifa za uwongo au vifungu vinavyowapa polisi mamlaka ya kuchukua kompyuta kama ushahidi. Hii ni hatari kwa LGBTI wa Tanzania kwa sababu mara nyingi kwa sababu za usalama watu wanaweza kutumia majina tofauti kwenye mitandao ya jamii. Pia inaweza kutumiwa vibaya kwa utekelezaji wa sheria kujaribu kuwashtaki wana LGBTI kwa kutumia sheria zinazoharamisha ujinsia wa mapenzi ya jinsia moja. Sehemu hii inazuia ulinzi uliotolewa na sehemu ya 4 ya Sheria ya Mtoto 2009 kwa kusema kuwa jinsia ya mtoto inatajwa moja kwa moja wakati wa kuzaliwa, kwa kutozingatia watoto walio na jinsia mbili.

22 22 WATANZANIA WENGINE Jedwali la 2: Sheria ya Kuwezesha na Kuunga Mkono Sheria/Amri Vifungu Athari kwa LGBTI/SW Katiba ya Jamhuri ya Tanzania ya 1977 Kipengele cha 9 (a),(f) na (h): Kulingana na Ujamaa na kujitegemea. Huwajibisha mamlaka na mashirika yote ya serikali kuunda mipango na sera zao zinazohakikisha kuwa hadhi ya binadamu na haki za binadamu zimezingatiwa. Kipengele cha 11 (2) na (3): Haki ya kufanya kazi, elimu na masuala mengine. Kipengele cha12: Usawa wa binadamu. Kipengele cha11: Usawa wa watu. Kipengele cha 13: Usawa mbele ya sheria. Kinasema kuwa watu wote ni sawa mbele ya sheria na kuwa hakuna sheria itakayobagua au kufanya kazi. Kipengele cha 12: Usawa mbele ya sheria. Hulinda hadhi na haki za binadamu za raia wa LGBTI. Huipa wana LGBTI haki ya elimu na ustawi wa binafsi na haki ya kutofukuzwa katika asasi za elimu kwa msingi wa mvuto wa jinsia au utambulisho wa jinsia. Hutambua hadhi na usawa wa raia wa LGBTI. Huwapa raia wa LGBTI haki ya kupata haki na uhuru dhidi ya ubaguzi na chuki kutoka kwa mamlaka ya serikali. Hili litaangazia haswa ukiukaji mwingi hali zinazokabiliwa dhidi ya jamii ya LGBTI. Katiba ya Zanzibari Kipengele cha 14: Haki ya kuwa hai. Kinasema kuwa kila mtu ana haki ya kuishi na haki ya ulinzi wa maisha hayo na jamii kwa mujibu wa sheria. Kipengele cha 13: Haki ya kuwa hai. Kipengele cha 15: Haki ya uhuru wa mtu binafsi. Kifungu hiki kinasema kuhusu kukamatwa, kupelekwa jela, kufungiwa, kuwekwa kizuizini, kuhamishwa au kuzuiwa uhuru kinyume cha sheria. Kipengele cha 14: Haki ya uhuru wa mtu binafsi. Hulinda haki ya maisha ya wana LGBTI haswa katika muktadha wa mauaji yanayochochewa na chuki dhidi ya mapenzi ya jinsia moja,lakini pia huzungumzia haki ya maisha bora inayopaswa kuzingatiwa na kulindwa na wanajamii wengine. Kifungu hiki kinatumika haswa kwa imani potofu ya jamii dhidi ya jumuia za LGBTI kwamba kuwa na utambulisho usio wa kawaida kuwa ni haramu. Kinazungumzia dhuluma kwa msingi wa jinsia tambulisho inayoelezwa.

23 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Sheria/Amri Vifungu Athari kwa LGBTI/SW Kipengele cha 16: Haki ya faragha na usalama wa mtu. Kifungu hiki kinawajibisha mamlaka ya serikali kuweka taratibu za kisheria kwa hali ambazo haki ya faragha ya mtu inaweza kukiukwa. Kipengele cha 15: Haki ya faragha na usalama wa mtu. Kipengele cha 18: Uhuru wa maoni. Kifungu hiki kina haki ya mtu kupata taarifa ambayo inajumuisha kutafuta, kupokea na kusambaza taarifa. Kipengele cha 18 na 25(1)(b): Uhuru wa maoni. Kipengele cha 20: Uhuru wa mtu kushirikiana na wengine. Kifungu hiki kinasema kuwa kila mtu ana haki ya kukusanyika, kuunda na kujiunga na miungano na kutoa maoni hadharani kwa uhuru na amani. Kipengee cha 20 na 25 (1) (b): Uhuru wa mtu kushirikiana na wengine na haki za msingi na uhuru wa mtu. Kipengee cha 29 (1) na (2): Haki na wajibu muhimu. Kipengele cha 25 (1): Haki za msingi na uhuru wa mtu. Kipengele cha 30 (3): Mipaka wakati wa na utekelezaji, uhifadhi wa haki msingi, uhuru na wajibu. Kipengele cha 24 (2): Mipaka ya haki na uhuru na ulinzi wa haki na jukumu. Huwapa wana LGBTI haki ya faragha na haki ya kutochunguzwa kinyume cha sheria kama ilivyo katika hali mbalimbali zinazoendelea kutendeka. Huhakikisha kuwa jamii ya wanaovutiwa na mapenzi ya jinsia moja ina haki ya kuzalisha na kusambaza taarifa lakini sio kupokea taarifa. Hii ni muhimu haswa kwa kutokuwepo kwa nyenzo za VVU/UKIMWI na STI zinazoshughulikia mahitaji ya jamii. Huruhusu wana LGBTI kukusanyika, kuunda na kujiunga na mashirika ya kijamii. Inasema kuwa kila mtu bila chuki ana haki ya kuishi, uhuru wa mtu, ulinzi wa sheria, uhuru wa kuwaza, kujieleza na muungano, kumiliki mali na pia faragha ya nyumbani. Hulinda haki za msingi na ulinzi sawa wa sheria ya raia wa LGBTI. Huruhusu wana LGBTI fursa ya kupinga sheria na vifungu vinavyokiuka haki zao.

24 24 WATANZANIA WENGINE Sheria/Amri Vifungu Athari kwa LGBTI/SW Sheria ya VVU (Uzuiaji na Udhibiti) ya 2008 Sehemu ya4(1)(a), (b), (d) na (f). Sehemu ya 4(2): Wajibu mkuu. Vifungu hivi vinataja wajibu wa wadau mbalimbali katika mjadala kuhusu VVU kwa kuangazia wenye wajibu. Sehemu ya 6(3): Majukumu ya sekta. Sehemu hii inasema kuwa asasi za kiraia na mashirika ya kibinafsi yataunda na kutekeleza mipango inayonuia au kulenga kuzuia, kuwatunza wagonjwa na kudhibiti VVU kwa kushirikiana na serikali. Sehemu ya 7(1): Elimu na mipango ya umma kuhusu VVU. Huipa Wizara ya Afya jukumu la kushauriana na wadau na kuunda mipango ya elimu kuhusu unyanyapaa na ubaguzi. Sehemu ya 8: Usambazaji wa taarifa ya VVU Sehemu ya 17: Usiri wa Matibabu Sehemu ya 22: Uzuiaji na udhibiti wa Magonjwa ya Zinaa. Sehemu ya 24: Ufikiaji wa vituo vya afya. Hutoa uhamasishaji, uzuiaji, matibabu, huduma, ufikiaji na usaidizi wa VVU kama unavyoathiri raia wote wa Tanzania ambayo inajumuisha raia wa LGBTI. Pia haihimizi tamaduni hasi zinazochochea maambukizi na kuenea kwa VVU kama vile miktadha ya ubaguzi dhidi ya mapenzi ya jinsia moja na ubadilishaji wa jinsia unaolazimisha jamii ya LGBTI kujificha. Pia inaunda jukumu la serikali na viongozi wakuu la kupinga unyanyapaa na ubaguzi wa watu wote wanaoishi na VVU. Hutoa fursa ambayo jamii ya LGBTI inaweza kujihusisha na kushiriki katika uundaji na utekelezaji wa mipango inayoshughulikia jamii zao. Inaweza kutumiwa kama njia ya kujumuisha jamii za LGBTI katika mashauriano na Wizara ya Afya kwa kuunda nyenzo za elimu kuhusu unyanyapaa na ubaguzi dhidi ya watu wanaoishi na VVU ( PLWHIV). Huruhusu usambazaji wa taarifa kuhusu VVU kwa umma wakiwemo raia wa LGBTI. Huwajibisha wataalamu wa afya na wahusika wengine muhimu kuzingatia usiri wa wagonjwa wanaopimwa VVU. Hili linaweza kufasiriwa kama kujumuisha raia wa LGBTI. Huleta uimarishaji wa huduma za Magonjwa ya Zinaa. Huku ni kumaanisha kuwa jamii ya LGBTI inapaswa kuweza kufikia huduma zinazoshughulikia Magonjwa ya Zinaa. Hutoa ufikiaji wa huduma ya afya ikiwemo ARV bila ubaguzi.

25 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Sheria/Amri Vifungu Athari kwa LGBTI/SW Sheria ya Ajira na Uhusiano wa Kazi Sheria ya Watoto 2009 Kanuni ya Adhabu Sehemu ya 29: Uzuiaji wa wataalamu wa afya kunyanyapaa au kubagua. Sehemu ya 30: Uzuiaji wa aina nyingine za ubaguzi. Hutoa ulinzi wa haki za wafanyakazi. Sehemu ya 4(2), inayosema kuwa maslahi bora ya mtoto yatakuwa uzingatiaji msingi katika vitendo vyote vinavyomhusu mtoto. Sehemu ya 5: Husema kuwa mtoto ana haki ya kuishi maisha yasiyo na ubaguzi bila kujali misingi yoyote. Sehemu ya 138(C): Dhuluma kubwa ya ngono Hulinda raia wa LGBTI wanaoishi na VVU dhidi ya ubaguzi na unyanyapaa kutoka kwa wataalamu wa afya. Hulinda wana LGBTI kutoka katika ubaguzi kwa kunyimwa usajili, ushiriki katika huduma au kufukuzwa kwenye vituo vyovyote vya afya. Huruhusu wanachama wa jamii za LGBTI kujihusisha katika ajira isiyo na ubaguzi au kufutwa kazi kwa njia isiyofaa kwa msingi wa utambulisho wao wa ujinsia na jinsia. Sehemu hii inawapa watoto ambao ni huntha ulinzi kutokana na maamuzi ya matibabu ambayo mara nyingi hutoka kwa wataalamu wa matibabu na wazazi wasio na habari wakati wa kuzaliwa kwao, ili kuamua na baadaye kuidhinisha taratibu za upasuaji na matibabu kwa madhumuni ya kutambua mapema jinsia ya mtoto. Hutaja mtoto kutobaguliwa kwa misingi ya jinsia, ulemavu, hali ya afya, au kuzaliwa. Hii huwapa ulinzi watoto ambao ni huntha dhidi ya ubaguzi. Sehemu hii inatoa mwanya wa MSM ambao wanabakwa na polisi na Sungu Sungu. Inasema kuwa kujitosheleza kingono kwa mtu dhidi ya mtu mwingine bila idhini, kama ilivyoripotiwa kwa wanachama wengi wa jamii chini ya ulinzi wa polisi), inaadhibiwa kwa hadi kifungo cha juu zaidi cha miaka 30, adhabu ya viboko na faini.

26 26 WATANZANIA WENGINE Mapendekezo kuhusu Muktadha wa Kisheria na Sera 1. Elimu na uhamasishaji unaotoka miongoni mwa jamii ya LGBTI. Kuna mapuuza mengi sana miongoni mwa LGBTI wa Tanzania kuhusu haki zao za binadamu na utumiaji wa sheria. Kuna dhana potofu inayotekelezwa na waundaji sheria na mawakala na inaaminiwa na jamii, kwamba kuwa na utambulisho wa LGBTI ni haramu. Huku sheria zikiweza kubadilishwa mara nyingi dhidi ya LGBTI, kuna sheria fulani zinazoweza kutumiwa kuwatetea kama vile Katiba, Sheria ya VVU kuangazia ubaguzi na unyanyapaa katika vitu vya afya, Sheria ya Ajira na Uhusiano wa kazi ili kupinga ubaguzi katika ajira, sheria ya Kandarasi na Ardhi ili kuangazia ufukuzwaji bila ilani, n.k. 2. Mafunzo ya Haki za Binadamu na Uhamasishaji wa Polisi. Kufanya hivyo kunaweza kwa namna fulani kuwa kugumu kwa mashirika ya LGBTI kwa sababu ya hofu ya makabiliano. Hata hivyo, asasi za haki za binadamu na afya zilizotambuliwa ambazo ni washirika wa vuguvugu zinaweza kuchukua nafasi ya kuunganisha kwa kushirikiana na mashirika ya LGBTI. 3. Utumiaji wa kesi za mikakati ya njia za mahakama/upimaji.mazungumzo yanayotokana na mavunguvugu ya LGBTI wakati wa utafiti huu yalitambua haja ya kujihusisha na utetezi na ushawishi kwa kutumia mkakati wa kesi za upimaji haswa kwa kesi kama vile ufukuzwaji wa lazima na ubaguzi katika kutathmini huduma za afya. 4. Kumbukumbu ya ukiukaji wa haki za binadamu ulioshuhudiwa na pia njia ya mahakama inayohusisha jamii za LGBTI. Kumbukumbu hii inaweza kuwa zana bora sana ya utetezi katika hatua zozote ambazo mavuguvugu yanaweza kuchukua ili kubadilisha mazingira ya kisheria na pia kuongeza ufikiaji wa afya kwa wana LGBTI wanaojitambua. 5. Ushawishi wa ujumuishaji wa jamii za waliobadilisha jinsia na hunthakatika kikundi kinachoainishwa chini ya meza ya jinsia kwenye asasi mbalimbali za serikali. Hii inaweza kufanywa kupitia miradi ya elimu na uhamasishaji inayohusisha wadau wakuu kama vile kikosi cha polisi. 6. Kuwafunza mawakiliili kuelezea vyema matatizo yanayozikumba jamii za kushirikisha mijadala inayofaa katika sheria ya kesi.

27 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Mazingira ya shirika la LGBTI nchini Tanzania Rekodi za shirika: Ni nani anayeandaa na wapi Rekodi inaonyesha kuwa zaidi ya miaka 8 iliyopoita idadi ya mashirika yanayoshughulikia masuala ya LGBTI imeongezeka maradufu. Kabla ya mwaka wa 2008, mashirika kama vile lililokuwa TALESA na CPSS jijini Dar es Salaam yalikuwa mashirika mawili pekee ya LGBT yaliyojulikana kwa kufanya kazi nchini Tanzania. Vuguvugu lilianza kuimarika mwaka wa 2008 kwa kuibuka kwa TSSF na SANA na tangu wakati huo limekua hadi mashirika 16 yanayotambuliwa na jamii katika mwaka wa Masuala muhimu ya kutafakari na kujisaili kwa kina Uwepo wa mashirika katikati ya jiji Mashirika mengi yanapatikana jijini Dar es Salaam, ambao ni mji mkuu wa Tanzania. Hili linadhihirika kwa kiwango cha mikutano ambayo inaonekana kuangazia sana Dar es salaam na viunga vyake. Kuna ushahidi wa wanachama wa jamii za LGBT katika sehemu nyingine za nchi kama vile Mwanza, Tanga, Iringa, Arusha, Shinyanga, Mbeya, Pwani, Mtwara, Njombe, Tabora, Dodomana Moshi na pia mashirika kadhaa ya Dar es Salaam ambayo yaliripoti kufanya kazi nje ya Dar es Salaam. Mbali na mashirika yaliyo Zanzibari, upeo wa kazi na pia mwonekano wa watu wa LGBTI nje ya Dar es Salaam ulionekana kuwa haba.

28 28 WATANZANIA WENGINE Kuongezeka na kugawanyika Mashirika kadhaa yameibuka kwa miaka miwili hadi mitatu iliyopita. Mifano ni pamoja na YWIG, ambalo mwanzo lilikuwa chini ya muungano ulioitwa Tanzania Lesbians Association (TALESA), ambao lilijigawa katika mashirika matatu tofauti. Nchini Zanzibari, YMC inashirikisha wanachama wa zamani wa YOSOA licha ya kuwa shirika lililobuniwa VVU majuzi. Miungano imeundwa na kuvunjwa tu baada ya miezi michache. Mfano wa hili ni muungano wa Wake Up and Step Forward (WASO) uliosaidia kuwezesha uzalishaji wa Ripoti ya Human Rights Watch Report iliyoitwa Tutendee kama wanadamu ( Treat us like human beings ). Muungano wa WASO sasa haufanyi kazi kufuatia matatizo ya usajili. Badala yake, shirika linaloitwa Wake Up and Support Otherslenye vifupisho vya WASOna nembo ambayo ni mwigo uliotumiwa na muungano ambao haufanyi kazi kwa sasa lilianzishwa na mwenyeketi wa zamani wa muungano wa WASO na mkurugenzi wa zamani na mwanachama wa sasa wa shirika linaloitwa. Sababu zilizotajwa kwa uundaji wa baadhi ya mashirika mapya ni pamoja na; tofauti kwa misingi ya usimamizi na miundo ya shirika; ukosefu wa mbinu za wazi na thabiti za kusuluhisha mgogoro kikamilifu, ukosefu wa uwajibikaji wa pande zote, mifumo ya kiimla ndani ya mashirika na ukosefu wa kutumia mafunzo kutoka kwa wanaharakati wanaohudhuria mikutano mbalimbali ya kujenga uwezo. Upande wa bahari: Kuunda uhusiano kati ya Zanzibari na Tanzania bara Mashirika nchini Zanzibari ni machanga sana kwa vuguvugu. Mwanzo, shirika pekee lililojulikana kwa kazi ya haki za LGBTI nchini Zanzibari lilikuwa lile ambalo sasa halifanyi kazi ZASOSElililowalea wanaharakati waliounda mashirika matatu yanayojulikana kwa kufanya kazi ya haki za LGBTI na wafanyakazi wa ngono nchini Zanzibari. La kwanza lilikuwa ZAYEA ambalo lilibuniwa mwaka a 2011, likifuatiwa na YOSOA na YMC kubuniwa 2014 na 2015.

29 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Ingawa la kwanza kati ya mashirika matatu lilibuniwa mwaka wa 2011, kumwekuwepo na athari kubwa ambayo imetokana na ujumuishaji wa makundi maalum natume ya UKIMWI ya Zanzibari (ZAC). Kuna haja ya kuongeza mafunzo ya pamoja na uanzishaji wa uhusiano kati ya Zanzibari na Tanzania bara kutokana na muktadha na changamoto sawa zinazoikumba jamii. Kwa mfano, kuhusu suala la kufikia afya, jamii zilizo Tanzania bara zimeonekana kupata njia ya kupata hospitali na kliniki zinazotoa huduma kwa makundi maalum tofauti na Zanzibari. Kuna ongezeko la majaribio ya kujenga uwezo wa pamoja wa mashirika yanayofanya kazi katika vuguvugu. Kwa mfano ZAYEAhuko Zanzibari na AMKA Empowerment huko Dar es Salaamkwa sasa yanaendesha mpango wa ubadilishanaji ili kuwezesha mafunzo ya pamoja. Ushindani wa mwonekano Mojawapo ya vitu vilivyoangaziwa wakati wa utafiti huu ni ushindani mkubwa wa rasilimali na mwonekano kati ya mashirika nchini Tanzania. Mhimili uliotambuliwa wa ushindani huu umeripotiwa kuwa kati ya mashirika ya zamani na mashirika mapya yanayoibuka. Kwa kuwa na vita vya mamlaka ya mavuguvugu nchini Tanzania imekuwa mada sambamba wakati wa mahojiano.hii inatokana na madai mahususi ndani ya mavuguvugu haswa wale walio kwenye vyeo vya usimamizi katika baadhi ya mashirika, hujiteua mara kwa mara kwa fursa mbalimbali za kujenga uwezo na baadaye hawashiriki mafunzo. Matokeo yake ni kuwa uwezo wa pamoja wa mashirika unaendelea kudumaa. Jambo hilo hilo pia lilijitokeza katika fursa mbalimballi za ufadhili. Kulikuwepo na ripoti kuwa mara nyingi taarifa kuhusu mito inayoibuka ya mapendekezo haishirikiwi kati ya mashirika kwa mtazamo kuwa ongezeko katika mashirika yanayotuma maombi linaweza kusababisha kupungua kwa nafasi za mashirika yaliyo na haja ya mwito huo.

30 30 WATANZANIA WENGINE Ufikiaji mchache wa fedha Ufikiaji wa fedha kwa mashirika yanayoongezeka unaripotiwa kuwa mgumu kutokana na taratibu ndefu za usajili. Wafadhili wengi walisemekana kusita kufadhili mashirika mapya na yasiyosajiliwa. Kizuizi kingine cha ufikiaji wa fedha kilisemekana kuwa kikwazo cha lugha. Lugha inayozungumzwa nchini Tanzania ni Kiswahili. Hata hivyo, mawasiliano mengi kutoka kwa wale wanaoweza kuwa wafadhili kuhusu fursa za kufadhili na pia kuripoti mifumo inayosemekana kuwa katika Kiingereza, wana mahitaji madhubuti yasiyobadilika na yako katika miundo inayoonekana kuwa tata. Iliripotiwa kuwa mashirika mengi ya wafadhili, hata yale yaliyotajwa kama yanayofadhili mavuguvugu nchini Tanzania kama vile UHAI, yanaonekana kuwa bora na kuendelea kufadhili mashirika hayo hayo ili kutelekeza mashirika mapya yanayoibuka na hivyo kusababisha taharuki ndani ya vuguvugu. Mwonekano wa utambulisho wa jinsia isiyo ya kawaida Ingawa mashirika mengi yanayofanya kazi ndani ya vuguvugu yanadai kushughulikia masuala ya waliobadilisha jinsia na huntha, hakuna ratiba, mipango wala hatua katika mashirika hayo (bila kujumuisha TTI,HEAT na TAT) yanayoangazia masuala ya Waliobadilisha jinsia. Mikutano na hatua nyingi katika mashirika haya zimeundwa kwa msingi wa MSM na kwa kiasi kidogo wasagaji na wanaume wanaovutiwa na jinsia mbili.ukosefu wa jamii ya huntha na waliobadilisha jinsia kutotambulika ulitajwa kama sababu na pia mtazamo wa jamii kuhusu jinsia isiyo ya kawaida, ambao uliripotiwa kushabihiana na mvuto wa jinsia, watu ambao huenda walibadilisha jinsia, kujitambua na kuitwa MSM.hivyo, watu wanaojitambua kama waliobadilisha jinsia, haswa wanawake waliripoti kuwa wanang`ang`ana kuwa wanafaa katika mpango wa shirika kwa sababu ya aina kuu zenye vikwazo na zisizojumuisha. CHESO ilisema kuwa ilifanya utafiti uliotambua huntha waliokadiriwa 24,000 nchini Tanzania. Kwa kuwa shirika lao lina mwelekeo mahususi kuhusu watoto, waliomba kuwa mashirika yaliyo katika vuguvugu yajumuishe watu wenye jinsia mbili.

31 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Jedwali la 3 : Mashirika/vikundi vya LGBTI nchini Tanzania SANA TAT CHESO CHS TTI HEAT TSSF/CHESA WEZESHA/ LGBT VOICES SHI ZAYEA waso (Organisation) CPSS TAWG AMKA Empowerment TACEF YOSOA YMC

32 32 WATANZANIA WENGINE Uchunguzi muhimu kutoka kwenye mazingira ya anayeandaa Masuala muhimu yaliyotambuliwa ni pamoja na: Huku mashirika mengi yakiwa yameripoti kuwa yanashughulikia masuala ya LGBTI uchanganuzi wa karibu unaonyesha kuwa yanaangazia haswa eneo la mashoga/msm. Mashirika yana mwanachama mmoja au wawili ambao wanatoka kwenye jamii nyingine ndani ya mavuguvugu ya LGBTI. Kuna mashirika matatu pekee yanayoangazia masuala ya Waliobadilisha Jinsia na GNC kama jambo la msingi ambayo ni HEAT, TTInaTAT. Shirika moja pekee ndilo linaloshughulikia masuala ya huntha, CHESO ingawa linaangazia watoto wenye jinsia mbili pekee. Kipindi cha kimeshuhudia ongezeko na dharura ya mashirika mengi na ukuaji wa juu ndani ya vuguvugu. Vikundi vingi vya LGBTI vimesajiliwa kama NGO au kampuni zenye dhima. Mchakato wa usajili kwa kawaida huwa mgumu huku mashirika yakilazimika kutojumuisha malengo yoyote yanayoonyesha uhusiano wa wazi wa utetezi wa haki za binadamu na jamii ya LGBTI, kwenye nyaraka zao ili kusajiliwa. Kwa mfano, mara ya kwanza YOSOA ilipojaribu kujisajili kwa jina la Association for Sexual health and Human rights (ASHR) usajili wao ulikataliwa na walifahamishwa kuwa jina lao lilimaanisha uendelezaji wa mapenzi ya jinsia moja kwa hivyo iliwabidi wabuni jina tofauti. Mavuguvugu nchini Tanzania bado hayajapata usaidizi madhubuti na dhahiri kutoka kwenye mashirika makuu ya haki za binadamu na raia nchini Tanzania. Iliripotiwa kuwa mara nyingi, mashirika makuu yanayojidai kufanya kazi ya vuguvugu, yanatumia vibaya jamii kwa madhumuni ya kukusanya data ya kutumia kwa juhudi zao binafsi za kuchangisha pesa. Kuna mapengo mbalimbali ya uwezo haswa katika mashirika mapya zaidi. Mapengo yaliyotambuliwa yanajumuisha uandikaji wa mapendekezo, usimamizi wa nyaraka na fedha. Huku afya ikionekana na mashirika ya LGBTI kama chanzo kikuu cha utetezi, mashirika mengi yanapanga kujumuisha masuala mengine ya utetezi kama vile sheria na sera kuhusiana na elimu, ajira, nyumba na mengine kama vile CHS hata yanawazia mikakati ya kutumia mahakama kuhusu kuachishwa kazi kwa njia isiyofaa na kufukuzwa bila ilani.

33 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Jedwali la 4 : Mashirika ya LGBTI nchini Tanzania Shirika Mwaka wa Kuanzishwa Lilisajiliwa? Eneo la kufanyia kuendeshea shughuli Shughuli na Sehemu Lengwa SANA Tanzania bara Utetezi wa haki za binadamu, utetezi wa afya na ushaurinasaha na upimaji CHESA (Formerly TSSF) Amka empowerment 2014/ Tanzania bara Lina sehemu sita ambazo ni: kujenga uwezo, SRHR na VVU, Utetezi wa Haki za Binadamu, uwezo wa Kiuchumi mfano, kupitia mikopo midogo midogo, fedha zinazoongezeka na kuanzisha SACCOS, kujenga vuguvugu la kijamii na utafiti Tanzania bara na Zanzibari Utetezi kuhusu Haki zabinadamu, uwezeshaji kupitia kujenga uwezo. Na kupunguza kasi ya maambukizi ya VVU kwa makundi maalum. YWIG Tanzania bara Kupima VVU na Ushaurinasaha, utetezi wa afyana haki za binadamu TTI Tanzania bara Kujenda uwezo na mwonekana na utetezi wa Haki za Binadamu na Afya. Utafiti na kuandika ripoti Walengwa LGBTI na SW LGBTI na SW LGBTI na SW LGBTI na SW Transidentifying na GNC

34 34 WATANZANIA WENGINE Shirika LGBT voices(awali ikijulikana kama wezesha) Mwaka wa Kuanzishwa Lilisajiliwa? Eneo la kufanyia kuendeshea shughuli Shughuli na Sehemu Lengwa (2009) Tanzania bara Utetezi na uhamasishaji wa kisheria; uhamasishaji kuhusu afya na kujenga uwezo kuhusu shughuli za kuleta pato. CHESO Tanzania bara Uendelezaji wa haki za watoto wenye jinsia mbili, uhamasishaji wa masuala yanayoathiri huntha na misaada ya kisheria na utetezi kuhusu watoto wenye jinsia mbili. SHI 2010 Bado halijasajiliwa Dar es Salaam Uhamasishaji wa jamii kuhusu afya na kuishi na VVU ikiwemo vipengee vya lishe na kukabiliana na mabadiliko ya mtindo wa maisha. CHS Dar es Salaam Uhamasishaji wa wanajamii kuhusu Haki za Binadamu, ushaurinasaha na usaidizi wa kujikubali. Uwezo wa kiuchumi, utetezi wa haki za binadamu kwa SOGI, utafiti na kuandaa ripoti. TACEF Tanzania bara (Shinyanga,Arusha, Dar,Iringa,Mbeya) Afya, kuwezesha vijana, utetezi wa haki za binadamu na kushawishi sekta ya dini. Walengwa LGBTI Watoto wenye Jinsia Mbili `Mashoga na/au MSM wanaoishi na VVU LGBT GBT na SW

35 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Shirika Mwaka wa Kuanzishwa Lilisajiliwa? Eneo la kufanyia kuendeshea shughuli Shughuli na Sehemu Lengwa ZAYEA Zanzibari -Utetezi wa Haki za Binadamu, uwezeshaji wa afya na jamii. Ushaurinasaha na upimaji. -Usamabazaji wa nyenzo za VVU/UKIMWI na uhamasishaji - Uhamasishaji wa sheria ya LGBT - Huduma za rufaa - Kujenga uwezo stadi za maisha, mafunzo YMC 2015 Linashughulika kusajiliwa. CPSS CPSS ilibuniwa (kama kampuni ya dhima kwa mdhamini anayeitwacopessi group) Zanzibari Dar es Salaam HEAT 2015 Halijasajiliwa Tanzania Bara na Zanzibari Kuhamasisha familia, viongozi wa dini na serikali ya ndani. Kujenga uwezo na mafunzo kuhusu shughuli za kuleta pato, utetezi wa afya na elimu, utetezi wa haki za binadamu. Ushaurinasaha na upimaji, utetezi wa haki za binadamu na afya Kujenga uwezo, elimu ya ngono, shughuli za kuleta pato na utetezi kupitia burudani, uzima na uhamasishaji, usambazaji wa kondomu na vilainishi. Walengwa LGBT, PWIDna wauzamahaba LGB youth na SW LGBTI,SW na Trucker LGBTIQ na SW

36 36 WATANZANIA WENGINE Shirika Shirika la WASO Mwaka wa Kuanzishwa Lilisajiliwa? Eneo la kufanyia kuendeshea shughuli Shughuli na Sehemu Lengwa Tanzania Bara Utetezi wa Haki za Binadamu Ushaurinasaha na upimaji wa VVU, usambazaji wa kondomu (zikiwemo za wanawake) na vilainishi TAWG Tanga Utetezi wa VVU, ushaurinasaha na upimaji, uwezo wa kiuchumi. TAT 2014 Linashughulikwa kusajiliwa Dar es Salaam Uhamasishaji wa jamii ikiwemo wazazi wa waliobadilisha jinsia, kujikubali na utetezi wa Haki za Binadamu YOSOA Zanzibari Utetezi wa Afya na Haki za Binadamu na uwezo wa jamii na kiuchumi AGAPE 2014 Linashughulikwa kusajiliwa TASEFO 2015 Linashughulikwa kusajiliwa Iringa Lake Zone (Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geitana Msoma) Ushaurinasaha na upimwaji VVU, uwezi wa kiuchumi Utetezi wa afya, uwezo wa kiuchumi, ushaurinasaha naupimwaji, usambazaji wa kondomu na vilainishi Walengwa LGB, SW na Trucker LGBT na SW Trans identifying LGBT na SW LGBT na Wauzamahaba LGBT na SW

37 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Nani anaandaa nini? Shughuli zinazoangaziwa na mashirika mengi ni: Huduma na Taarifa za Haki za Afya ya Uzazi ya Ngono (SRHR) Kupitia utoaji huduma kama vile rufaa za asasi zilizotambuliwa kama za kirafiki, utoaji wa huduma za afya ya uzazi na ngono haswa usambazaji wa kondomu na vilainishi; utoaji wa taarifa kuhusu VVU/UKIMWI na Magonjwa ya Zinaa. Mashirika kama vile SANA na WASO hutoa huduma za VCT. Kushirikisha sera na utetezi Haswa kulingana na ongezeko la mwonekano, ujumuishaji na ushirikishaji wa jamii kama wadau katika masuala mbalimbali kama vile tamasha ya jinsia ya kila mwaka katika miaka ya awali. Afya bado inaonekana chanzo kikuu cha utetezi na ujumuishaji wa MSM na SW katika sera za VVU za kitaifa, vikundi vya LGBTI vinahusishwa kama wadau katika mjadala wa sera kama vile mipango ya mikakati ya VVU ya Kitaifa. Elimu na Ujuzi wa Kusoma na Kuandika Elimu na ujuzi wa kusoma na kuandika ulitambuliwa kutoka kwa wale waliohojiwa kama tatizo katika jamii za LGBTI. Mbali na tatizo la uchumi, kikwazo kingine kilichatambuliwa cha kufikia elimu ni unyanyapaa na ubaguzi na familia za wale ambao mvuto wao wa jinsia unajulikana. Watu wengi kutoka LGBTI waripoti kukanwa na familia zao au kulazimika kuendana na jinsia za kawaidaili kuendelea kupata elimu. Kutoka na hilo, baadhi ya mashirika yaliyohojiwa yalitaja kujenga uwezo wa kujua kusoma na kuandika na shughuli za kuleta mapato kama muhimu kwenye kazi zao. Kwa mashirika kama vile CHESO, yanafaulu kwa hili kupitia kuungwa mkono na familia zilizo na watoto wenye jinsia mbili na pia watoto wenyewe. Uwezo wa kiuchumi na shughuli za maisha za kuleta mapato Mfano mipango ya wanachama wa mashirika na pia mafunzo kuhusu elimu ya fedha.

38 38 WATANZANIA WENGINE Kuunda vuguvugu, miungano na mitandao Kumekuwepo na ongezeko katika kuunda miungano, vyama na mitandao ya kitaifa na ubia wa mikakati na mashirika ya kiraia kama vile Tume ya Haki za Binadamu na Uongozi Bora (CHRAGG)na Kamati Inayoendesha Mashirika ya Raia kuhusu VVU na pia vuguvugu la wafanyakazi wa ngono katika jitihada muhimu za kitaifa. Matukio salama na pia Asarts na burudani Uundaji wa matukio salama ya kila mara kwa mfano, mashirika kama vile SANA huwaruhusu wanachama wake na pia watu wengine kutoka kwenye jamii kukutana kwenye ofisi zake. Mwonekana kupitia burudani kama vile shughuli zinazohusishwa na HEAT kwenye shughuli mbalimbali za watu wanaovutiwa na jinsia moja na wasiovutiwa na jinsia moja na pia matukio kama vile sherehe za IDAHOT ambazo zilifanyika majuzi kule Zanzibari. Washirika Kulingana na wanachama waliohojiwa wa jamii, ingawa vikwazo kuhusu utetezi vinavyotokana na mazingira ya sheria vinafahamika, bado kuna mapengo ambayo washirika wanaweza kuangazia na njia wanazoweza kutumia ili kushawishi kwa ajili ya haki za LGBTI kwa kutumia vyeo vyao vikuu. Ilifahamika kuwa baadhi ya washirika waliotambulika kama vileuongozi Bora (CHRAGG) na Kamati Inayoendesha Mashirika ya Raia (CHRAGG) na Ubalozi wa Uingereza ambazo hutoa ripoti za kila mwaka kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Tanzania, hazijumuishi ukiukaji wa haki za wana LGBTI katika ripoti hizo. CHRAGG inaweza kuwa mshirika mkuu kwa sababu miongoni mwa shughuli zake nyingine, ilibuniwa ili kuhamasisha haki zote za binadamu kama zilizovyojumuishwa katika vyombo vya haki za binadamu vya kimataifa na kitaifa; kushauri serikali kuhusu masuala ya haki za binadamu, kupokea na kuchunguza malalamishi ya ukiukaji wa haki za binadamu, na ikihitajika kuwasilisha kesi mahakamani ili kuzuia ukiukaji wa haki za binadamu au kurejesha haki zilizonyimwa. 1 1 Katiba ya Tanzania Kipengee cha 130(1)

39 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Washirika waliopo, wa zamani na wanaoweza kuwa waliotambuliwa na wale waliohojiwa wakati wa uchanganuzi huu ni pamoja na; LGBT Denmark kuunga mkono kujenga uwezo kwa vuguvugu la LGBT kupitia mafunzo kama vile Looking In Looking Out (LILO) ambayo ni mbinu iliyobinafsishwa ili kutambua utambulisho wa jinsia na mvuto wa jinsia. Inahusisha mchakato uliowezeshwa wa kusaidia wana LGBTI. Balozi za kigeni kama vile Marekani, Uswidi na Ayalandi zilitambuliwa kama zinazoweza kuwa washirika. Hakuna kati ya mashirika yaliyowakilishwa kwenye mikutano ya uhalalishaji wa ripoti hii yalitaja kupokea uwezo au msaada wa kifedha kutoka kwenye balozi hizi kufikia leo. Baadhi ya wahojiwa waliripoti kuwa sababu ya mashirika kutopokea msaada wa kifedha ni kwa kuwa mashirika mengi hayatimizi mahitaji yaliyotajwa katika mito mbalimbali ya mapendekezo. Hata hivyo, ilitajwa kuwa msaada umepokelewa kutoka kwenye mashirika mbalimbali yanayohusiana na baadhi ya nchi. Mashirika kama hayo ni pamoja na AmfAR na USAID. Asasi za Haki za Binadamu Mifano ni pamoja na CHRAGG, ambayo ni Asasi ya Kitaifa ya Haki za Binadamu (NHRI). Iliripotiwa kuwa CHRAGG inaibuka polepole kama mshirika imara ingawa inaonekana kuwa mhafidhina katika utetezi wake wa haki za watu wa LGBTI. Muktadha wa msaada wake kwenye mavuguvugu hutumia hali za makundi maalum na mara nyingi hushauri kwa mfano juhudi za sasa zaripoti mbadala ya pamoja kabla ya UPR ya Tanzaniazinaendelea kwa uongozi wa CHESA kwa ushirikiano na CHRAGG. Mashirika mengine yaliyoorodheshwa ambayo yanatoa misaada kama hiyo ni pamoja na Muungano wa Watetezi wa Haki za Binadamu wa Tanzania (THRDC), Chama cha Mawakili Ukiangalia katika hali ya jumla, Tanzania ina rekodi nzuri, vinginevyo hakutakuwepo na sababu ya sisi kuwa mfadhili mkuu wa serikali. 2 Kamishna wa Uingereza nchini Tanzania, Msheshimiwa Diane Corner kwa kuzungumzia taharuki kati ya Tanzania na Uingereza kufuatia tishio la kuondoa UKAID baada ya kupitishwa kwa Sheria ya Kupinga Mapenzi ya Jinsia Moja nchini Uganda. 2 (mara ya mwisho ilifikiwa mnamo tarehe 2 Septemba 2015)

40 40 WATANZANIA WENGINE Wanawake cha Tanzania (TAWLA) na INERELA,shirika la dini linaloangazia ufikiaji wa huduma ya afya ikiwemo kwa wanachama wa makundi maalum. Tanzania Gender Networking Programme (TGNP) ilitajwa kama mshirika wa zamani kupitia ujumuishaji wake wa vikundi vya LGBTi katika tamasha ya jinsia ya kila mwaka, lakini siku za majuzi haijawa ikisaidia jamii waziwazi. Wabia wafadhili Vuguvugu lilitambua wabia wafadhili kama vile UHAI, AmSHeR, COC, INERELA SA, VVUOS, AIDSAlliance, amfar, USAID, OSIEA, UNAIDS na Muungano wa Wasagaji wa Afrika (CAL). Hata hivyo, pia iliripotiwa kuwa kuna haja ya wabia wafadhili kujua mashirika yanayoibuka ili kuyapa mashirika yote misaada kwa usawa ndani ya vuguvugu wala si kufadhili mashirika machache yanayojulikana.

41 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Hali halisi Baba yangu wa kambo, alijaribu kunibaka lakini hakufaulu. Ndiye aliyekuwa chanzo cha matatizo yangu yote. Kwa sababu tangu nilipozaliwa ninajua kuwa mimi ni mwanamume. Alitaka kujua haswa ikiwa mimi ni mwanamume au mwanamke. Tangu siku hiyo, siwezi kukaa katika nyumba moja naye. Siwezi kupata kazi kwa jinsi nilivyo kwa hivyo nilijiunga kwenye timu ya mpira wa miguu. Nilienda kutuma ombi la pasipoti na wakaniambia nirudi nivalie kama mwanamke. Maanzo,Trans man, mwanachama wa TAT Kuwa mwana LGBTInchini Tanzania huambatana na ukatili, dhuluma na kutengwa na wapendwa wako. Mazingira haya ya utamaduni yanajumuisha ushawishi wa dini, mfano, kutoka Uislamu hadi Ukristo na mifumo dume iliyokita mizizi. Hili linazidi kuchochewa na mitazamo na kauli za kila mara zinazoungwa mkono na serikali za kupinga LGBTI. Kwa mfano, mwaka wa 2014,Ezekiel Wenje, mjumbe, alionyesha nia ya kuandaa na kuwasilisha mswada wa kupinga mapenzi ya jinsia moja kufuatia kupitishwa kwa Sheria iliyobatilishwa ya Kupinga Mapenzi ya Jinsia Moja nchini Uganda. 3 Kunaonekana kuwepo na dhana potofu kuwa utambulisho wa LGBTI ni chaguo au ni tabia ya kujifunza. Kutona na hilo, kuna kiwango cha chini cha kukubali na baadhi ya mashirika au taasisi zinazodai kusikitika, zinahusisha masikitiko hayo na majaribio ya kurekebisha au kulazimisha wana LGBT kubadilika. Kuna mapuuza mengi sana kuhusu masuala ya utambulisho wa jinsia. Mara nyingi wanaume waliobadilisha jinsia hubandikwa jina wasagaji huku wanawake waliobadilisha jinsia mara nyingi waliitwa na kuonekana kama mashoga wanaume. 3 index.html (mara ya mwisho ilifikiwa mnamo tarehe 2 Septemba 2015)

42 42 WATANZANIA WENGINE Kujikubali na Kujitambua Hapa Tanzania usipojitokeza na kujitambua, kama kujifanya kuwa mwanamke, hukumbani na matatizo. Tatizo linatokea unapoonekana kuwa shoga au ukiwa na tabia za kike. Hata ukiwa wa kulala chini na uonekane kuwa wa kawaida hukumbani na matatizo yoyote. Victor, mwanachama anayejitambua kuwa Shoga wa shirika la LGBTI Voice Tanzania Kutokana na mazingira ya uhasama, wanachama wengi wa jamii hawapo tayari kuonekana. Kati ya wale waliojitokeza na kujitambua,wachache walijitambua kwa hiari yao huku wengi wakilazimishwa kujitambua na marafiki, familia au watu wasio na uhusiano wa moja kwa moja kama vile wale waliotangamana nao katika miktadha ya huduma za afya mfano, mtu anapoenda kupimwa VVU na kupata tiba. Nikiwa nyumbani, ninavaa nguo na kuwa na tabia kama wanafamia yangu wanavyotaka. Nikiondoka nyumbani ninaweza kufanya chochote ninachotaka kuva ninavyotaka. Bee, mwanamke aliyebadilisha Jinsia jijini Dar es Salaam Wakati mwingine raia wanaokutana nami, hunivua nguo bila sababu, hata kama nimevalia namna jamii inavyotarajia, kwa sababu wananijua na ninakoishi kupitia familia yangu, vyombo vya habari, wahudumu wa afya. Sanaa, mwanamke aliyebadilisha Jinsia Zanzibari Kutoonekana huku mara nyingi ni kwa jamii ya huntha ambao ni nadra kujulikana au kutambulika hata na jamii.

43 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Ninamjua mtu aliye na jinsia mbili huko Sinza aliye na matatizo ya haja ndogo. Sina uhakika ni sehemu zipi za siri ni kuu. Familia humficha. Anahofia kujtokeza na kujitambulisha. Hakuna mashirika au huduma au mipango kwa ajili yao. Kuna ukosefu mkubwa wa taarifa. Mwelimishaji Rika wa WASO Siasa za utambulisho: Kuhusu utamaduni kutokana na hali ya jinsia Nchini Tanzania, matumizi ya sarufi ya neno shoga katika muktadha wa kila siku linamaanisha rafiki wa kike. Hata hivyo, pia linahusishwa na mwamume shoga aliye na tabia za kike na mwanamke aliyebadilisha jinsia. Kwa sababu ya jinsia tunavyojitambulisha na tunavyojieleza, wao (jamii, polisi na Sungu Sungu) hutuita tu shoga au msagaji au msenge. Huchukua hela zetu, hupokea rushwa za fedha na ngono, hutuvua nguo, kutuchapa, kutufuata katika maeneo ya umma, na kuondoa wigi zetu. Kwa wanaume waliobadilisha jinsia, wanawavua nguo na mara nyingi kuwabaka, haswa kwa sababu ya kuwa na umbo la kike na kiume. Delilah, Mwanamke aliyebadilisha jinsia jijini Dar es Salaam Kwenye shina la ubaguzi wa kuvutiwa na jinsia moja kuna uainishaji wa jinsia na wajibu wa jinsia. Kunasemekana kuwepo kwa dhana kuwa homosexual humaanisha mwanamume anayeingiliwa wakati wa ngono ya kuingia sehemu ya haja kubwa. Mtu huyo anadhaniwa kuwa mtii na hivyo kujulikana na jamii kama anayelala chini. Hili linaakisiwa katika matumizi ya neno kama vilemsengena mionekano hasi ya neno shoga ambalo huchochea kukataliwa, kuchukiwa na kutoheshimiwa na umma mpana. Kwa bahati mbaya, hali ya jinsia inadhaniwa kuhusishwa na mitazamo ya mfumo dume ya kile kinachoonekana kuwa mwanamume yaani kuonekana mwenye nguvu na mamlaka, inafasiriwa kwa ustahimili wa chini zaidi kwa mwanamume shoga mwenye tabia za kike na kuonekana kutokuwa na maana kwa basha au wanaume shoga ambao wanatawala kingono, pia wanaojulikana kama wanaokuwa juu, wasagaji wanaume na pia kwa wanaume waliobadilisha jinsia.

44 44 WATANZANIA WENGINE Wanaokaa juu hawajioni kama shoga au sehemu ya jamii ya watu wanovutiwa na jinsia moja. Ni wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume, lakini wanasema mimi si shoga!. Hata kuwahamasisha wanaokaa juu ni vigumu. Ni vigumu kwao kujitokeza na kujitambua. Pia wanahitaji kuelimishwa ili wasijibague. Kazini, huwa hawana neno. Hata wakisema kuwa wao ni shoga, jamii hupuuza kwa kuwa wao ni dume na wana tabia ya kawaida. Mratibu wa TACEF Kutokana viwango vya juu vya ushirikina unaosababishwa kijamii, watu wenye jinsia mbili huonekana kama waovu na kunyanyapaliwa kutokana na imani kuwa uzao wao ulikuwa nuksi, laana au matokeo ya uchawi. Kimila, kuwa na jinsia mbili kunachukuliwa kama mwiko au matokeo ya uchawi na vijijini huuwa mama pamoja na mtoto. Mratibu wa CHESO Kupata nyumba LGBT kadhaa wa Tanzania wamefukuzwa kwa lazima kutoka kwenye nyumba zao na wenye nyumba au kufukuzwa kutokana na ongezeko la uhasama kutoka kwa jirani. Mara nyingi, licha ya kuwepo kwa kandarasi, (upangishaji mwingi kwa kawaida huwa angalau mwaka mmoja ambao hulipwa pesa kiasi Fulani kabla ya kuingia).

45 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Mmoja wa marafiki zangu alikuja kwenye nyumba yangu. Siku ya pili, mwenye nyumba wa nyumba yangu aliongea nami na kusema kuwa hatokubali ushoga. Nilipomuuliza kwa nini, alisema ni kwa sababu rafiki yangu alilala kwangu na akaona kuwa tulifanya mapenzi. Ninayo furaha kwa kuwa alirejesha kodi yangu kama asingalifanya hivyo, nilijua kuwa hata ningalienda kwa polisi, wasingalisaidia kwa njia yoyote. Mara ya mwisho nilipokuwa hapo simu yangu ilipoibwa, walinifukuza kwa sababu walijua nilikuwa shoga. Issa, mfanyakazi wa ngono wakiume nchini Zanzibari Baadhi ya wana LGBTI waliripoti kuwa utambulisho wa jinsia pia mara nyingi hutumiwa kwa msingi wa kuhusisha polisi licha ya kwamba hakuna uhusiano kabisa na kama vile mwenye nyumba kukataa kurejesha kodi au kutokubaliana kuhusu kodi. Pia kuna wenye nyumba wengi wanaokataa kupangisha nyumba zao kwa watu wawili wenye jinsia moja kwa kisingizio kuwa hawataki kuendeleza mapenzi ya jinsia moja, haswa pale ambapo nyumba yenyewe ina chumba kimoja cha malazi. Mwenye nyumba wangu alikuwa na tatizo nami kuhusu kodi. Alienda polisi na badala yake, akawambia kuwa mimi ni shoga. Polisi walikuja na kutisha kunitia mbaroni. Nilipowauliza kosa lilikuwa lipi, wakasema kuwa ni kwa sababu nilikuwa nikifanya tabia za usenge. Kwa kuwa nilijua haki zangu, niliwauliza ni thibitisho gani walilokuwa nalo, na nikasisitiza kuwa watu ambao huenda mwenye nyumba aliwarejelea, walikuwa marafiki zangu na hakukuwa na kosa na nilichokuwa nikifanya. Waliposisitiza, niliwaambia ikiwa nilikuwa na tatizo ningehitaji kumwita wakili wangu ambapo walibadili nia. Huo tu ndio wakati ambao mwenye nyumba akadai kuwa tatizo kuu kuwa sikuwa nimelipa kodi, ambapo haikuwa na ukweli pia. Gideon, mwanachama anayejitambua kuwa Shoga, CHESA

46 46 WATANZANIA WENGINE Familia na Marafiki Kulikuwa na maoni tofauti kutoka kwa wanajamii kuhusiana na maoni ya familia. Walioripotiwa zaidi ni wale waliopokea matukio mabaya kuanzia kwa kutengwa na mmoja wao hata kuripotiwa kwenye kituo cha polisi na baba zao.kwa upande mwingine wengine waliripoti tukio baya kwenye msingi ambao hatimaye ulilazimu kukubaliwa vyema ila katika udanganyifu kwamba si/halikuwa jambo la kujadiliwa. Zanzibar ina utamaduni wa Kiislamu ulioripotiwa kuchukua uzito wa majibu kutoka kwa wapendwa. Hii iliripotiwa kuwa suala kwa watu wa jumuiya ya LGBT na imechukuliwa kuwa hasa jambo la watu wa jinsia mbili. Zanzibar ina utamaduni wa Kiislamu ulioripotiwa kuwa na uzito mkuu katika maoni ya wanajamii. Hili liliripotiwa kuwa suala hasa kwa wanachama wa jamii ya LGBT na halikuonekana kuwa suala kuu kwa watu wenye jinsia mbili. Ninaye rafiki yangu aliyepelekwa katika kituo cha polisi na baba yake. Baba yake alisema iwapo yupo jinsi alivyo, gereza litamrekebisha. Katika gereza alibakwa na kutokana na hilo akaambukizwa VVU. Mratibu wa Sauti za LGBT Ubaguzi katika Ajira Nina Stashahada lakini nimepata ugumu zaidi kupata kazi hasa nilipokuwa na tabia yenye jamii wangetambua kama ya kike. Emmanuel, shoga na mfanyabiashara ya ngono Huku kupata kazi kuliripotiwa kuwa changamoto kwa wanachama wa jamii ya LGBTI, Kuna matukio kadhaa ambayo wanachama wa jamii waliokuwa wameajiriwa wameachishwa kazi visivyo halali au kulazimishwa kubadilisha mavazi yao na tabia zao ili kudumisha ajira.

47 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Alisema, shoga mmoja aliyekuwa muuguzi katika hospitali ya MagomeniHospital alifukuzwa kazi mnamo mwaka wa 2013 mara tu walipogundua mvuto wake wa kingono. Mratibu wa TACEF Usalama Maurice Mjomba (R.I.P) Mnamo Julai 2012,Maurice Mjomba aliyekuwa na umri wa miaka 29, mwanaharakati wa LGBT na mwanachama mwanzilishi wa SANA, shirika ambalo linapigania haki za LGBT na wafanyakazi wa ngono alinyongwa katika nyumba yake. Alinyongwa hadi kufa. Alikuwa mwanaharakati shupavu aliyechangia sana katika ukuaji wa mashirika ya LGBTI na SW, Tanzania. Ingali haijajulikana iwapo au la kifo chake kilihusiana na ubaguzi na uchunguzi wa polisi katika kifo chake haujakamilika. Wakati Maurice Mjomba alipokufa mnamo 2012,lilikuwa pigo kuu kwetu. Askari hawakujali kuchunguza. Vyombo vya habari vilichapisha kwamba lilikuwa pigo kuu kwetu. Kwamba kiongozi wa mabasha na wasagaji amekufa Mara tu polisi wanapotambua ujinsia wako, hawajali kukusaidi. Kwa hivyo viongozi walio salia wameogopa kwa sababu kilichosababisha kifo chake hakijatambuliwa na hivyo basi kuleta uwoga mkuu kwamba yeyote anaweza kulengwa Afisa mipango, SANA Usalama ni suala kuu hasa katika matukio ambayo utambulisho wa watu wenye kudhaniwa au kujulikana. Watanzania wa LGBTI wametishiwa maisha yao kwa maneno, kimwili na kudhulumiwa kingono kutoka kwa wanajamii pamoja na wanausalama kama vile polisi na Sungu Sungu. Kutokana na hayo, jamii imelazimika kujitegemea na na kuweka hatua zao wenyewe za kiusal;ama kama vile kuhamia makao ya muda kwenye eneo jingine lisilo rasmi na kufuatilia watu wapya na wanaoondoka kwenye makundi.

48 48 WATANZANIA WENGINE Mojawapo ya mbinu za kiusalama inayotumika katika mazingira ya mashirikia ni kuyapa majina mashirika. Mengi ya mashirika yamekuwa yakitumia majina yasiokinzana na uanaharakati wa haki za Watanzania wa LGBTI. Mbinu nyingine inayotumiwa ni kuunda kamati ya usalama inayojumuisha AMKA Empowerment, SANA, ZAYEA, TTI na Dar es Salaam Sisters. Kamati huchunguza ripoti za vitisho vya usalama wa LGBTI na Watetezi wa Haki za binadamu wa SW (HRDs) pamoja na uratibu wa masuluhisho yanayotokea ya dharura. Tukio la Sabri ZAYEA imenisaidia kwa kunijumuisha katika kazi yao na kunipa fursa ya kushiriki matatizo yangu. Nilikuwa nimeenda mkutano wa Changing Spaces Changing Faces (kongamano lililoandaliwa na UHAI) nilipopokea simu kutoka kwa mwanaume aliyejitambulisha kwamba rafiki yangu Issa alimpa namba yangu na kwamba tungependa kukutana naye. Nilipothibitisha kwa rafiki yangu Issa, alikataa kumpa yeyote namba yangu. Nilishuku wakati mwanamume huyo alipokuja nilipokuwa wiki iliyofuata. Nilikuwa nimeketi na mmojawapo wa rafiki zangu wa kike na alipokuja, tulizungumza kiufupi na akadokeza kwamba angependa kufanya biashara fulani namimi. Sikupata hili kuwa la kushangaza kwa sababu alikuwa amevalia vyema nami ninajulikana sana Zanzibar kama mwanamuziki. Siku iliyofuata alinipigia tena na kunisihi tukutane. Nilipoenda alipokuwa, nilimkuta akisubiri ndani ya gari. Licha ya shaka yangu ya kuingia katika gari lake, alinishawishi akiniambia kuwa hana ubaya wowote. Nilipoingia tu ndani, alifunga milangio yote ya gari na kuendesha kwa kasi kuelekea eneo jingine. Kufikia hatua hii nilikuwa nimeanza kuwa na wasiwasi na nikamuuliza alipokuwa akinipeleka lakini hakunena lolote. Aliposimama, mwanamke na mwanamume mwengine wakaingia ndani ya gari, Nilipojaribu kutoka nje, mwanamume wa pili alinisukuma ndani akisema nendamsengewewetunakujua (we know you, homosexual). Kulikuwa na mng ang ano mdogo kisha nikafaulu kutoka nje ya gari. Niliacha mkoba wangu uliokuwa na dawa. Rafiki yangu aliniona na kuniuliza ni kwa nini nilikuwa ninavuja damu. Sikuwa nimejitambua hadi alipotamka

49 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania na ikawa ndipo nilipojitambua kwamba nilikuwa na vidonda mwilini. Nilisitasita kwenda kwa polisi kwa sababu ninajulikana na litakuwa suala...na pia polisi hawangenisaidia. Mwili wangu ulivimba kila mahali na hivyo nilimuuliza rafiki yangu kunipeleka hospitalini. Hospitalini nilifahamishwa kuwa siwezi kusaidiwa bila fomu ya PF3. Katika kituo cha polisi ilichukua muda mrefu ili nipate msaada wa aina yoyote. Niliwaelezea kilichotendeka ambapo walicheka na kusema kwamba huo ni upuuzi. Niliwakataza na kuwaeleza kuwa mimi ni raia wa Zanzibar na nina haki. waliniuliza iwapo ninajua aina ya gari na nambari ya usajili na nikawaeleza kuwa ukizingatia hali, sikuangalia maelezo hayo.walisemakuwa hakuna lolote ambalo wangelifanya ila hatimaye walinipa fomu ya PF3 ili nipate msaada wa matibabu. Ingawa nilitibiwa, ni miezi miwili baadaye lakini bado ninahisi uchungu. Siwezi hata kufanya CT scan inayogharimu Tsh150,000. Rafiki zangu kutoka ZAYEA walikuja kunitembelea na wakawa wametupiwa mawe. Sasa siwezi hata kwenda hospitalini.ninanunua dawa kwa kutumia pesa zangu mwenyewe.polisi hawajafuatilia. Ninahisi walinilenga kwa sababu ninajulikana kila mahali na hasa kwa sababu ya habari katika Facebook na magazeti. Siwezi hata kutumia daladala (public transport) au teksi za kawaida. Mpenzi wangu nami tunafukuzwa kutoka katika kila nyumba.hata nilipo sasa wameanza kuzungumza na sina furaha. Sina uhuru wa kutembea.ningali katika maumivu lakini ninajikaza. Ninaishi katika uwoga kila siku. Kufikia Elimu Watoto wenye jinsia mbili wakati mwingine wamebaguliwa na kunyanyapaliwa katika taasisi za elimu. Namna zozote zilizopo hawatawekwa kwenye vikundi vya wanaume au wanawake. Hili pia hutokea kuwa tatizo katika kujiunga na shule za jinsia moja. Katika hali ya shule za mabweni, wanapooga watoto wenye jinsia mbili wanaonekana kama wasiosawa na kutokana na hilo wananyanyaswa na kunyanyapaliwa na basi kusababisha uwoga wa ndani kwa watoto hao. Mkurugenzi wa CHESO

50 50 WATANZANIA WENGINE Mjadala wa hadharani Kikundi Fulani cha habari kilikuja na kupeleleza tunachofanya. Ripota mmoja alipiga na kusema kwamba anajua tunafanya kazi na mashoga na akauliza na kutuhoji. Tulifanya mkutano na nikakubali kwamba nitafanya mahojiano. Ripota akasema kwamba angependa kujua jinsi tunavyohamasisha Ubasha na usagaji. Alitaka kurekodi. Tuliwaambia kuwa sisi ni shirika la VVU na tunafanya kazi ya key populations na iwapo alitaka basi tuzungumzie VVU/AIDS bali si kuhamasisha ubasha na usagaji. Tulimuuliza alipopata masuala hayo.tulimweleza kuwa iwapo atarekodi na kusema chochote kisichokweli tutamchukulia hatua za kisheria. Aliogopa na kuomba msamaha.wiki moja baadaye nilipigiwa simu na kuambiwa nisikize redio. Sikufahamu kuwa maafisa watatu wa ZAYEA walikuwa wamezungumza na ripota mwanamke na wakarekodiwa. Makala hayo yalikuwa hewani. Walifichua sana kuhusu kazi na masuala yetu. Nilifanya uchunguzi na kupata kwamba ripota huyo alidanganya kuwa alitoka BBC na anafanyia kazi Kenya. Katika kipindi cha redio, wasikilizaji walichangia; baadhi ya michango ilikuwa mizuri lakini mingi ilikuwa mibaya. Maoni yalikuwa kama wacha wauawe, wachomwe, wafukuzwe, na afisi ifungwe. Mama mmoja wa afisa wetu alimwambia mwanaye Nitakusomea albadir kumaanisha kwamba atamwekea laana. Waliendelea kurudia sehemu hiyo ili kupata maoni zaidi kutoka kwa umma. Mkurugenzi Mkuu wa ZAYEA

51 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Wingi wa makala yaliyoandikwa na maoni ya umma yaliyozungumzwa kuhusu ubasha na usagaji nchini Tanzania huzingatia mashoga au wasenge na hasa wakilenga wale wanaofanya mapenzi ya nyuma. Mara nyingi hili limezingatiwa hata kwa wanawake waliobadilisha ujinsia wakionyesha kupuuza namna za ujinsia na utofauti uliopo kati ya mvuto wa kingono na utambulisho wa jinsia. Maoni mengine yalizingatia wasagaji. Msamiati huu umetumiwa pia katika maoni ya kitaifa hasa katika vyombo vya habari kuzingatia wanaume waliobadilisha ujinsia. Suala lililojifunika katika maoni ya umma ni kwamba wanaojitambulisha na LGBT ni waliosoma au hutokana na hali. 4 Huku kukiwa na muelewano sawa kwamba wenye jinsia mbili huzaliwa wakiwa na jinsia mbili, bado kuna kutoelewana kuhusu ni maana ya kuwa mwenye jinsia mbili. 5 Baada ya balozi wa nyumba kumikumi kunijaribu na msichana wake, chombo cha habari cha Cloud FM kinachopenda kujadili mada kuu walikuja kunihoji. GeaHabiba, mhoji aliuliza kunihoji lakini nilikataa. Mwishowe walimhoji msichana wa balozi wa nyumba kumikumi. Siku iliyofuata kulikuwa na kipindi cha redio kilichochochea uhasama wakitaja matendo yangu kama dhambi na kuhimiza maoni ya umma. Kutokana na kipindi hicho, kila wakati ningetoka nyumbani mwangu, watu waliniita majina na kunirejelea kama msagaji. Zion, trans man, afisa wa kipindi TTI Habari kuhusu watu wa LGBT na wauzamahaba inaundwa kwa namna kwamba inazua hisia na kuchochea namna Fulani ya maoni kutoka kwa umma. Mfano ni muda ambao mswada wa kupinga Ubasha na usagaji ulipitishwa nchini Uganda, mtangazaji mmoja kwa jina Zabuda, wa East Africa Radio alichochea ubaguzi na kutamka kuwa ana habari kuhusu mabasha 4 (mara ya mwisho ilifikiwa mnamo tarehe 2 Septemba 2015) 5 html (mara ya mwisho ilifikiwa mnamo tarehe 2 Septemba 2015)

52 52 WATANZANIA WENGINE Vyombo vya habari huwasilisha masuala vibaya kuhusu watu muhimu na kuchus. Vyombo vya habari vilichangia sana katika kufunga na kuitoa kwenye usajili TSSF. Hata hivyo SANA imedhulumiwa na vyombo vya habari vilivyoripoti kwamba SANA ni danguro la watu wanaofanya mapenzi ya jinsia moja. Afisa mipango,sana Pia kuna utovu wa nidhamu mkuu katika vyombo vya habari vilivyoripotiwa kutumia mitandao ya kijamii kufikia picha za wanachama wa jamii na kuchapisha habari za uongo wanazounganisha kwenye picha hizo. Wiki iliyopita mmoja alichukuwa picha zangu nyingi nilipokuwa ninatekeleza kwenye Raj, mkahawa katika Zanzibar. Baadaye niliona gazeti likiwa na picha yangu na mada kuwa Mwone huyu si mwanamke ni mwanamme anayetikisa mambo Zanzibar (look at this person who is a man and not a woman and is shaking things up in Zanzibar). Waliandika uongo kunihusu, kuhusu nionavyokula keki kwa sharubati kila siku. Sabri, Mwanamke aliyebadilisha jinsia Zanzibar Serekali imeendelea kueneza maoni mabaya kwamba watu wa LGBTI ni mwigo wan chi za magharibi; licha ya kujumuisha MSM-wanaume wanaofanya mapenzi na wamaume kama sehemu ya jamii muhimu. Sera za afya na mbinu muhimu Tanzania. Viongozi walioheshimika katika vikundi vya haki za binadamu kama vile DK Sengondo Mvungi, kiongozi wa Chuo cha Dar es Salaam na kamishna katika Kituo cha Haki za binadamu (LHRC) na Chrispine Nabigambo pia ni kamishna katika Kituo cha Haki za binadamu (LHRC) kutaja wachache wamejiondoa katika kuhamasisha haki za watu wa LGBTI individuals na pia wameripotiwa kusimama kinyume na utambulisho wa haki za watu wa LGBTI Tanzanian. 6 Wingi wa matamko ya 6 (mara ya mwisho ilifikiwa mnamo tarehe 2 Septemba 2015)

53 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania ubaguzi kutoka kwa wabunge na wawakilishi wa serikali kama vile Sophia Simba na Bernard Membe walioripotiwa kuwa wasemaji mashuhuri walio na msingi wa kidini licha ya Tanzania kuwa nchi ya kidunia. 7 Katika matukia ambapo wanasiasa huzungumzia masuala ya LGBTI kuwa ukanushaji wa uwepo wa watu wa LGBTI nchini Tanzania. Kulikuwa na maoni tofautitofauti kutoka kwenye jamii kuhusu tabia ya wanasiasa wakati wa kampeni. Wengine waliripoti kwamba wakati wa uchaguzi, wanasiasa hufanya urafiki na LGBT na huwaita wanajamii hiyo katika mikutano ya hadhara. Hata hivyo katika tukio hilo, waliounga mkono maoni hayo walisema kwamba nia inayoonekana kwa kuwajumuisha ni kuwatumia tu wanajamii hiyo kwa sababu mwishowe hakuna linalofanywa na wanasiasa hao ili kunufaisha jamii hiyo. Kwa upande mwingine wanachama wengine wa jamii ya LGBT walisema kwamba juhudi za kuwatumia katika kampeni na katika uchaguzi huwafanya wanasiasa kujifanya rafiki ni mbinu ambayo iometibuka kwa sababu wanasiasa wanaweza kutumia ubaguzi ili kukuza mahitaji yao ya kisiasa au wabaguzi katika umma wanaoonekana kama wapiga kura. Maadili na sheria zetu haziruhusu ubasha na usagaji. Tunasimamia heshima yetu. Ni vyema kukosa msaada kuliko kuingia katika mambo yasiyofaa. Hon. Bernard K Membe akikabiliana na tahadhari za Uingereza kukata misaada kwa nchi za kiafrika na sheria za kulawiti kufuatia mswada wa kupinga ubasha na usagaji nchini Uganda Ninadhania nimekufa siku ambayo Tanzania itakubali mabasha na wasagaji na ndoa za jinsia moja. Dk Sengondo Mvungi, akikabiliana na matamko ya balozi wa Uingereza alipoiuliza Tanzania kuzingatia haki za binadamu za wanachi wa Tanzania wa LGBTI mnamo

54 54 WATANZANIA WENGINE Sikubali matamko ya balozi wa Uingereza kwamba tunafaa kutambua haki za mabasha na wasagaji. Hatulindwi na sheria za Uingereza, sisi ni nchi huru na sheria zetu wenyewe 8 Hon. Sophia Simba Maoni ya wengi hayawakilishi mtazamo wa kila Mtanzania. Maoni mengine hasa ya blogu na tovuti kadhaa wanasema kwamba mtazamo na uharamishaji wa ubasha na usagaji ni ya kujipinga. 9 Na ni ya kuharibu nguvu badala ya kuzingatia kusherehekea maafikio ya Tanzania. Kwa mfano mwenye blogu anayeitwa Mahmoud Zubeiry analalamika kwamba Zanzibar ina talanta nyingi sana ambapo talanta hazitambuliwi kwa sababu jamii inapendelea kufuatilia vitu visivyo kuwa muhimu kama talanta na ujinsia wa mtu ama tabia za kubugia mvinyo kati vingi. 10 Mapendekezo Masomo na mafunzo kwa wafanyakazi wa vyombo vya habari ili kuwezesha uripotiaji mzuri. Kwa athari kubwa wahariri na watu wanaofanya uamuzi muhimu katika vyombo vya habari pia wanahitaji kuhamasishwa. Sehemu bora ya kuwasiliana na serikali na wanaotengeneza sheria ni kukubaliana na serikali ya nmdani kabla ya kuwasiliana na serikali ya kitaifa. Kutambua na kuhamasisha wabunge wapya hasa kwa kutumia VVU kama njia ya kuingilia ili kusisitizia makundi makuu. Weka uhusiano na vyombo vya habari wanaoweza kuwa wawakilishi. Kwa mfano kwa kushikana katika jambo linalowaunganisha kama vile kuhamasisha dhidi ya kuwasilisha tena miswada ya vyombo vya habari 11 ambayo itaathiri uhuru wa kuzungumza na habari ya kusumbua vyombo vya habari. 8 (mara ya mwisho ilifikiwa mnamo tarehe 2 Septemba 2015) 9 (mara ya mwisho ilifikiwa mnamo tarehe 2 Septemba 2015) 10 (mara ya mwisho ilifikiwa mnamo tarehe 2 Septemba 2015) 11 (mara ya mwisho ilifikiwa mnamo tarehe 2 Septemba 2015)

55 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Mapendekezo ya jumla 1. Utambuzi wa uwepo wa hatua za kisheria ili kupinga ukiukwaji wa haki za binadamu k.v ubakaji, unajisi, ukamatwaji na polisi bila sababu na ufisadi. Tanzania imeidhinisha vyombo vya haki za kibinadamu vinavyoweza kuunganishwa kwenye mbinu zilizopo ili kupinga ukiukwaji unaoendelea. Madai ya kimkakati kama nafasi ya kuingilia kupindua au kubadilisha sheria zinazobagua. 12 Mikakati inahitajika katika njia zenye ufanisi zaidi katika kutafuta msaada wa kisheria ukizingatia mandhari ya Tanzania ili kujumuisha mikakati inayoweza kusababisha uwepo wa maendeleo ya uhusiano baina ya watekelezaji sheria na jamii kama vile mafunzo ya kuhamasisha. Masomo kwa wanasheria ili kuwawezesha kuwatetea wanachama wa jamii kitalaamu. Zaidi ya hayo kutambua kikundi cha wanasheria na kukubali kuidhionisha kwa niaba ya jamii ya LGBTI. 2. Uonekanaji zaidi wa baadhi ya makundi k.v jamii za wasagaji, waliobadilisha ujinsia na walio na jinsia mbili. Sasa VVUi wanachama wa jamii hizi wametengwa katika kiwango cha kitaifa na cha shirika la LGBTI. Hili linawezeshwa kupitia kwenye progamu maalum inayolenga wanachama wa jamioi hii kama vile kuhamasisha utambulisho wa waliobadilisha ujinsia katika programu ya VVU ili kutozua mhemko kati ya masuala ya waliobadilisha ujinsia na MSM. 3. Kuna hitaji la kuwa na Mbinu ya ndani na ya kitaaluma ya kuhamasisha na maendeleo mashinani ambazo niza kuendelea wala si matukio ya mara moja. 4. Uongezaji wa mabadiliko ya wafadhili wawakilishi ili kuwezesha ufikiaji kwa namna za misaada na jamii kwa kutafsiri nyaraka hadi katika Kiswahili na kuruhusu uwasilisho wa mapendekezo yanayoonyesha muktadha wa kila siku wa kilugha. 12 Vyama nchini Tanzania vingeweza kuazima mikakati inayotumika nchini Kenya kwa mfano

56 56 WATANZANIA WENGINE 5. Uongezaji wa maendeleo mashinani kwa mashirikaya utafiti na kuweka katika nyarakaukiukwaji kadha wa kadha uliokumbwa na wanachama wa jamii. Utafiti unaweza kuwezesha kuweko kwa makaratasi ya nafasi muhimu na ripoti ambazo zinaweza kwa uanaharakati. 6. Kuna hitaji la kuzijumuisha taasisi kuu za haki za binadamu na kuwapa changamoto kwa msimamo wao. Vyama vinahitaji msaada wa taasisi kuu ili kuvunja baadhi ya mipaka. Hili linaweza kuafikiwa kupitia kuweka mtandao wa washirika na kujiingiza katika ajenda za haki za binadamu kwa umoja. 7. Uhamasisho unao ongeza kampeni za ufahamisho katika changamoto za kufikia haki za binadamu za jamii ya LGBTI zinazolenga washikadau tofautu kama vile: Kwa serikali-kuwapa changamoto kwenye jukumu lao la kulinmda wananchi walio nsawa chini ya sheria. Jamii ya LGBTI Uwezo wa wanaharakati katika chama wanaweza kufaidika kutokana na makuzi ili kuwezesha uzungumzaji wa changamoto zinazokumbwa na chama. Mashirika makuu yaliyo na programu za watumuhimu na wafanyakazi wao. Viongozi wa kidini kama vile wachungaji, maimamu,kadhi n.k. Miosimamo ya kidini pakubwa huathiri tabia za kijamii kuhusu watu wa LGBTI. Kuwajumuisha viongozi wa kidini kwa kutumia afya kama namna ya kuingilia kunaweza kufaulu.

57 AFYA

58

59 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Ufikiaji huduma ya afya kwa LGBTI na Wauzamahaba Kwa kuwa imedhibitika uhusiano wa watu wa LGBT na biashara ya ngono, kupata matibabu kwa wote wawili kumekuwa kiwango cha juui cha kunyanyapaliwa katika vituo vya huduma ya afya na kubaguliwa katika ujumuishwaji wa makundi teule katika sera za afya ya kitaifa pamoja na kuondoa mikakati ya kujumuisha mahitaji ya watu waliobadilisha ujinsia na wenye jinsia mbili. Kunyanyapaa lina maana a. Kuhakiri au kuchochea, kufanyia mzaha au kudharau dhidi ya mtu au kikundi cha watu kwa misingi ya mtu au wanachama wa kikundi kinachoishi na virusi vya Ukimwi, kwa kuchapisha, kusambaza au kutoa kwenye umma; au b. Kuwasiliana na umma kwa kuashiria au umbo linalotahadharisha, la matusi, kutoheshimu, kuharibu hadhi, kudhoofisha, la ajabu na la kukera. Sehemu ya 3 ya Mswada wa 2008 wa VVU (Uzuiaji na udhibiti)

60 60 WATANZANIA WENGINE Matokeo ya utafiti kuhusu changamoto za kufikia afya Ukosefu wa nyenzo za habari na mafunzo yanayolenga jamii za LGBTI na wafanyakazi wa ngono; Hitaji kutoka kwenye taasisi za matibabu kwamba wagonjwa wanaotaka kupiwa magonjwa ya zinaa waje na wapendwa wao; Ubaguzi na kunyanyapaliwa na wauguzi; Ukosefu wa busara katika wauguzi wanaofanya kazi katika taasisi zisizoendeshwa na mashirika ya LGBTI na wafanyakazi wa ngono. Ukosefu wa kufikia vilainishi; Ukosefu wa kufikia au habari ya dawa ya PrEP (pre-exposure prophylaxis) au ya PEP (post-exposure prophylaxis); Ukosefu wa vituo maalum vya afya kwa waliobadilisha jinsiana wenye jinsia mbili. Kunyanyapaliwa watu wasio na jinsia inayokubalika. Kupuuza/Ukosefu wa fahamu kwa wauguzi kwenye masuala yanayokumba jamii. Kulingana na ripoti ya 2014 ya hatua zilizopigwa na nchi ya Tanzania kuhusu kushughulikia Ukimwi duniani 13,kiwango cha maambukizi ya VVU kwa makundi tengwa kinasalia kuwa cha juu. Kiwango cha maambukizi kwa wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume kiliripotiwa kuwa 22.2%. Kiwango cha maambukizi kwa wanawake wafanyakazi wa ngono kiliripotiwa kuwa 31.4% (mara ya mwisho ilifikiwa mnamo tarehe 2 Septemba 2015)

61 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Inanukuu kwamba idadi hizi si uwakilisho wa taifa zima. Hata hivyo inaonyesha kwamba idadi zinaonyesha kupungua kutoka kwenye idadi za hapo awali na pia inaendelea kuongea kuhusu kushuka kwa maambukizi ya VVU hadi kwenye namna kuu zakuzuia nchini 14. Huku mpango wa kimkakati wa Virusi vya Ukimwi Zanzibar (ZNSP II) 15 na mpango wa kimkakati wa Virusi vya Ukimwi (NHASP) unajumuisha wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume na wafanyakazi wa ngono kama sehemu ya makundi tengwa na vikundi vilivyo katika hatari kwenye mipango ya virusi vya Ukimwi Tanzania 16, Hatua katika uafikiaji karibu unafika kilele. Ujumuishwaji unaozungumziwa, ulinzi na hatua iliyolengwa pamoja na mazingira na muktadha ambao sera hii inatambuliwa na kuzuia. Faida yoyote iliyopatikana kutokana na ujumuishwaji wa wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume na wauzamahaba kama sehemu ya makundi tengwa inadunishwa na sheria iliyopo kwa kuharamisha ngono ya jinsia moja na biashara ya ngono, ambayo huwezesha ubaguzi, unyanyapaa na msimamo wa kidini unaotekelezwa na wauguzi wengi. Hili hasa lipo katika hospitali za serikali na vituo vya kushauri na kupima virusi (CTC). Baadhi ya manispaa ambayo yamefikia jamii ya wauzamahaba wameripotiwa kutoa misaada na mafunzo kuhusu shughuli za kuingiza mapato na hutoa huduma hizi kama namna ya kurekebisha kwa hitaji kwamba wauzamahaba wanakoma kazi hiyo. Licha ya habari na mafunzo kuhusu athari ya VVU kwa makundi tengwa, kando na mapendekezo ya kuvumilia yaliyojumuishwa kwenye ripoti au katika mikakati 17, wingi wa mashirika ya kiserikali ukijumuisha tume za kitaifa za Ukimwi zimeonekana kutozingatia maanani kupinga sheria zinazoweka mazingira mabovu kwa makundi tengwa hasa wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume na wafanyakazi wa ngono hivyo basi kuzuia 14 Ripoti ya Hatua za Kushughulikia ukimwi duniani ya tarehe 31 Machi 2014 p (mara ya mwisho ilifikiwa mnamo tarehe 2 Septemba 2015) 16 Zana ya Srera na Juhudi za Kitaifa (NCPI) 2014 pp4 inapatikana kwenye country/documents/united%20republic%20of%20tanzania%20ncpi% pdf 17 Tuchukulie kama binadamu, Ubaguzi dhidi ya wauzamahaba, makundi ya kingono na watu wanaotumia dawa za kulevya Tanzania,Waangalizi wa Haki za Binadamu Juni P.5

62 62 WATANZANIA WENGINE juhudi za kitaifa za kudhibiti na kuzuia maambukizi ya virusi vya Ukimwi. Ilisema kuwa jamii za LGBTI na wafanyakazi wa ngono zinatazamia afya kama namna ya kuingilia mjadal;a wa kuhamasisha na kutambua haki za LGBTI na wafanyakazi wa ngono. Huku ikiwa ni kweli utumizi wa afya kama namna ya kuingilia ni uhusiano mbaya unaounganishwa kwa mvuto wa kingono, utambulisho wa jinsia na biashara ya ngono kwenye kiwango cha maambukizi na kuenea kwa Virusi vya Ukimwi ambako huongeza unyanyapaa. Mwanaume shoga mwenye umri wa miaka 26 alimwita Yuri na kwenda hospitali ya Mwananyamala ambayo ni mojawapo ya hospitali za serikali Dar es Salaam mnamo mwaka wa 2013,alikuwa na chunjua za mkundu. Madaktari katika hospitali hiyo walikataa kumhudumia na badala yake daktari aliyefaa kumhudumia alianza kumhubiria na kuwaita wenzake njooni muone.muuguzi wa kumhudumia alikataa kumguza eti kwamba ubasha unaweza kumwambukiza mtoto wake ambaye hajazaliwa. Mratibu wa sauti za LGBT Hatua kadhaa zimepigwa kuelekeza kujumuisha wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume na wafanyakazi wa ngono chini ya makundi tengwa. Mashirika mengine kama vile AMKA, CHESA, SANA na YWIG yaliripotiwa kuwa baadhi ya kamati teule ya kuzuia VVU. Kuna uhamasisho unaoendelea ili kujumuisha jamii ya LGBTI chini ya mwavuli wa makundi tengwa ili kuwezesha ufikiaji. sasa wanawake walibadilisha ujinsia wameripotiwa kuwa tu na uwezo wa kufikia matibabu chini ya bendera ya Wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume ilihali wasagaji, wanaume waliobadilisha ujinsia na wanawake wanaofanya mapenzi na jinsia zote wanadhaniwa kuwa chini ya bendera ya wafanyakazi wa ngono wanapofikia huduma za matibabu. Sehemu tu zilizoripotiwa kutoa huduma kwa wanachama wa jamii za LGBTI na wauzamahaba bila ubaguizi ni mashirika machache LGBTI na wafanyakazi wa ngono (hasa katikati ya nchi ya Tanzania) kama vile SANA na WASO ambayo hutoa huduma za kushauri na kupima, japo kwa udogo.

63 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Madaktari hawawatibu wanawake wafanyakazi wa ngono kwa heshima hasa sana wakiwa wameambukizwa. Hili lipo hata katika kliniki zinazodhaniwa kuwa za kirafiki. Nimekutana na madaktari wachache walionifahamu nje ya kliniki walioendelea kunifunza na kusisitiza kwamba nikome ninachofanya na kupata kazi nyingine. Ningependelea tu iwapo nitapata matibabu na kuondoka bila masomo ya kusisitizana na kukataliwa. Mwanamke mafanyakazi wa ngono anayeishi na VVU Sera za Afya Husika, miongozo na ripoti Mpango wa ii wa kimkakati wa VVU wa Taifa la Zanzibar ( ) Ripoti ya hatua za kukabiliana na UKIMWI DUNIANI (Machi 2014) Mipangilio ya Tatu ya Sekta nyingi za Taifa la Tanzania kwa VVU/Ukimwi (2013/ /18) Miongozo ya Taifa ya Mipango kamilifu ya usaidizi wa VVU kwa makundi tengwa (Septemba 2014) Makadirio yaliyoshariwa kwa makundi tengwa na idadi kamili ya watu wa VVU Tanzania Mikakati ya Mpango wa Sekta ya Afya ya III (Julai 2009 Juni 2015) Sera za Kitaifa za Zanzibar kuhusu VVU Miongozo ya Kitaifa Kuhusu Kuthibiti UKIMWI

64 64 WATANZANIA WENGINE Vituo vya Afya vilivyotambuliwa kuwa vinaweza kufikiwa na LGBI na wafanyakazi wa ngono Iliripotiwa kuwa vituo vingi vinavyoashiria kuwa LGBTI au wafanyakazi wa ngono si vya kirafiki lakini vina nia inayoonekana kufikiwa na wanajamii. Nia hizi zimedaiwa kukusanya habari ili kuwajibikia ufadhili wa fedha uliopo au ili kupata msaada wa fedha. 1. PASADA, ambacho ni kituo cha afya kinachomilikiwa na dhehebu la katoliki inayoashiria kupeana huduma kwa UKIMWI na magonjwa ya zinaa na iliripotiwa kuwa ya kirafiki kwa jamii ya LGBTI na vile vile wafanyakazi wa ngono wa kike na kiume. Hata hivyo hawapeani huduma kama tiba ya homoni. 2. DIC Mwenge ( Wafanyakazi wa ngono wa kike)- Wanaangalia Virusi vya UKIMWI, kansa na magonjwa ya zinaa. Hawatibu. Kuna hisia tofauti kwa jamii wengine wakisema urafiki wao ni kwa sababu wanatumia jamii kwa utafiti na kukusanya data na mtazamo huu si thabiti. 3. Mwananyamala hospitali. Kuna majibu yaliyochanganyika kuhusu kufikiwa kwao. Iliripotiwa kuwa hawana uhusiano wa kirafiki vile lakini wanajaribu kukusanya data. Iliripotiwa kuwa pia hawana matibabu ya magonjwa ya zinaa kwa wafanyakazi wa ngono wa kike na kiume. 4. Magomeni. Ni hospitali ya wilaya. (MSM vilevile ya wafanyakazi wa ngono wa kike na kiume) 5. IDC posta (MSM vilevile ya wafanyakazi wa ngono wa kike na kiume) 6. Hospitali ya Seketoure iliyopo Mwanza inayoashiria kuwa ya kirafiki kwa jamii. (MSW na FSW) Hata hivyo iliripoitiwa kuwa wanafanya hivyo ili wakusanye data. Hawapeani matibabu ya bure ya magonjwa ya zinaa. 7. Palestina Sinza inayofikiwa na jamii MSM na wafanyakazi wa ngono. Mashirika kadhaa yanapeleka wanachama wao huko. Wanalenga kwa kupima VVU na magonjwa ya zinaa na kutoa husia na kupea wagonjwa madawa ya ARVs. 8. Hospitali za Zanzibar kwa sehemu wa kirafiki kwa MSM na wafanyakazi wa ngono kwa majarida lakini kwa uhalisi si hivyo. Mara nyingi wanaleta shida kwa wafanyakazi wa ngono wanapotaka kufikia matibabu au dawa. Hakuna hospitali zilizotambulika kuwa na uhusiano wa kirafiki.

65 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Ukosefu wa Kufikia ulionuiwa kwa habari Habari nyingi zinazopatikana kutoka Wizara ya Afya na vilevile vituo vya afya kadhaa yenye inaweza kutoa na kusambaza habari kwa muktadha wa jinsia tofauti. Ni kwa matukio nadra ambapo vituo vya afya hazibagui dhidi ya watu wa GBT 18 au wafanyakazi wa ngono wa kiume, baada ya kugundua utambulisho wao, hosia yao mara nyingi huwa kwa muktadha wa tabia inayojumuisha mawaidha yanayosema kuwa hao watu wanahitaji kuacha kujamiana na watu wa jinsia moja. Niliwai tembelea hospitali ya kibinafsi inayoitwa TMJ ili kupimwa. Hapo niliulizwa ikiwa nina mshirika. Pia niliulizwa mbinu ya ngono ninayofanya. Nilikataa kujibu kabisa. Nashuku mshauri aligundua kuwa mimi ni kuchu. Alipokuwa akinishauri, aliniambia niache kujamiana na waume. Sikuwai rudi huko. Sila, mfanyabiashara ya ngono wa kiume Zanzibar Kama matokeo, sehemu kubwa ya jamii ya LGBT hawajui mbinu kadhaa za kuzuia maambukizi ya virusi vya Ukimwi na magonjwa ya zinaa na wakati mwingi, wanasita kufikia habari. 18 Kama vile kwa sehemu nyingi ya utafiti huu, ni kwa ukosefu wa kuonekana kwa watu wanaojitambua kama wenye jinsia mbili, kesi zilitoka kwa watu wanaotambuliwa kama LGBT.

66 66 WATANZANIA WENGINE Wafanyakazi wa ngono wengi hawataki kwenda kwenye hospitali za serikali. Lazima tushinikize madaktari ili twende kwa wale wanaoenda. Mmoja wetu kati ya 10 wetu wanaogopa kufikia kituo cha afya au kupimwa. Wakati wafanyakazi wa ngono anapopata magonjwa ya zinaa na aende kutibiwa, si rahisi warudi tena. Ikiwa kama kupata matibabu na dawa imepeanwa, wafanyikazi wa ngono wengi wanafuata matibabu lakini wanaacha matibabu baada ya muda mfupi. Hii ni hasa wakati dalili za ugonjwa zinapoacha kuonekana kwa mgonjwa huyo, kwa mfano, kuongeza uzito ambapo uzito ulikuwa umepungua sana baada ya miezi 3 hadi 4 za kufuata masharti. Hii ni kwa sababu ya uoga wa unyanyapaa ikiwa utatambulika kwenye sehemu ya dawa au kukosa habari kamili bila kujua kuwa ukiacha kuna uwezekano wa kuwa mgonjwa zaidi. Amina, mkufunzi wa rika wa biashara ya ngono aliye Dar es Salaam Habari nyingi iliyopo iliyopokelewa na wanachama wa jamii ya LGBTI na wafanyakazi wa ngono iliripotiwa kutoka kwa: Semina za Virusi vya Ukimwi katika taasisi za elimu. Hii inatumika kwa wachache wanaofikia masomo ziada. Mafunzo ya afya yanayopewa na washirika kama AMICAL, Amref, FHI na PSI. Hizi mara nyingi hulenga wafanyakazi wa ngono. Mashirika na mikutano ya LGBTI na wauzamahaba Kuchus husita kwenda hospitalini na wanapendelea kutojua hali ya afya yao. Ikiwa kuchu atauliza kuchu mwenzake hali ya Ukimwi, mtu huyo anaweza lichukulia kibinafsi kama shutma kuwa hawana afya njema. Licha ya majadiliano, kuchu wengi bado hawataenda kupimwa. Misa, mkufunzi wa rika wa MSM Zanzibar

67 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Kutofikia dawa ya PrEP au PEP PrEP kwa urefu kuzuia mapema mambukizi na lengo lake ni kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) ikifuatiwa kugundulika mapema kwa watu walio katika hatari kubwa ya kupata virusi vya Ukimwi kwa mfamo wafanyakazi wa ngono amabo wao wanahatari kubwa ya kupata maambukizi ya Ukimwi. Kuzuia baadae (PEP) ni usemi mfupi wa matibabu yanayotolewa kwa lengo la kuzuia maambuzi yanayoweza kuwepo baada ya kupata. 19 Wafanyakazi wa ngono wengi wameonekana kutokujuwa elimu kuhusu kuwepo kwa PrEP au Pep au hawakupata ujumbe wowote, kuambiwa au kuandikiwa na wenye vipeperushi vya afya. Kwa kuwepo na hatari ya wafanyakazi wa ngono kuambukizwa virusi vya Ukimwi, ikiwa huduma hizi hazitakuwepo ni hatari na pia ni kinyume na sera za kitaifa zilizopo kuhusu kuzuia maambukizi ya virusi vya Ukimwi. Iliripotiwa kuwa kuwepo kwa PEP na PrEP ni nadra kwa ujumla na haipo kama huduma kwa wanachama kwa jamii kubwa yatanzania. Badala yake matumizi yako tu kwa wenye tajriba ya afya wenye wanafanyakazi katika mazingira ya hatari kubwa. 3 Kunyimwa Huduma za Afya Nilipeleka rafiki kwenye kliniki iliyo Changongo. Madaktari watatu walikuja kutuangalia lakini walikuwa wanakuja kutuangalia na kundoka, wakitufanya kama maonyesho. Daktari wanne aliyekuja, alituuliza nyie hamwoni haya?. Mwishowe hatukusaidiwa na hatukuwa na uwezo wa kwenda katika hospitali ya kibinafsi. Sami, mkufunzi wa rika wa MSM na biashara ya ngono Zanzibar 19 (mara ya mwisho ilifikiwa mnamo 2 Septemba 2015)

68 68 WATANZANIA WENGINE Kuna unyanyapaa na ubaguzi mwingi hasa kwa taasisi za afya zinavyomilikiwa na serikali kwa wanachama wa jamii ya LGBT na wafanyakazi wa ngono. Kuna visa kadhaa vilivyoripotiwa ambapo watu wa LGBT na wafanyakazi wa ngono walinyimwa kupimwa na/au matibabu, na kuondoka hospitalini. Watu binafsi wenye kubadili jinsia tatanishi, hasa wanawake wenye kubadili jinsia, ameripotiwa kubadili mtazamo wao ili kupata matibabu. Nilikuwa natumia mafuta yenye ambayo yananifanya nijikinge na ugonjwa wa mkundu. Nilipoenda kwa Hospitali ya Magereza, niliambiwa nahitaji kudungwa dawa Fulani, ambayo daktari alionekana wazi akisita kunidunga. Ilibidi nimeona daktari watano tofauti ili kuapata usaidizi. Nani, mwanamme anayejitambulisha kama shoga Kukosa siri na kutoboa siri Wanachama wengi wa jamii ya LGBT na wafanyakazi wa ngono wameripoti kuwa waliogopa kufikia huduma za afya Tanzania kwa sababu ya matukio ya hapo awali ambapo wafanyakazi wa hospitali na kliniki kadhaa waliwaaibisha kwa umma na kuweka wazi lengo lao la kutembelea kliniki. Kwa wenye kubadili jinsia hasa wanawake, tunasita kwenda hospitali kwa sababu ya jinsia tunayoonyesha.. Umma unatudhulumu mara kwa mara wakati wa mchana kwa hivyo tunajaribu kwenda hospitalini usiku. Hospitalini, ikiwa daktari hana uhakika wa jinsia yetu tuliozaliwa nayo, hawafichi unyanyapaa wao na usemi kama kumbe wewe ni shoga? na baadaye wanatangaza ugunduzi wao kwa kila mtu aliye katika hospitali hio. Kwa matukio kama haya, inatulazimu tutoroke ili kuzuia kuvutia makini kusikohitajika. Ni vigumu. Nisa, shoga wa kike aliye Dar es Salaam

69 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Kutofikia vilainishi Zanzibar, ikiwa utapatikana na KY utafungwa jela kwa sababu ni ya madaktari pekee.ni vigumu sana kufikia vilainishi, na baadaye tunagundua imemaliza muda wa kutumika.tunashuku kuwa wanataka kuharibu mipango yetu ya kujamiana kwa usalama. Kwa sasa, tunapata mafuta ya KY katika ZAYEA.Lakini huwa haitoshi. Tukiishiwa na vilainishi, tunatumia mafuta ya kujipaka au mafuta ya kupika bila hizo tunahatarisha kondomu kuvuja na hivyo kutokuwa salama. Kwa wafanyakazi wa ngono wa kike, tunafanya ngono ya mkundu na kupitia sehemu ya uke.kwa hivyo wakati mwigine tunatumia siagi, asali, loshoni au mate. Wengi wanatumia mate ambapo hawawezi kufikia vilainishi. Sasa, mfayakazi wa ngono wa kike, Zanzibar Ingawa vilainishi yana umuhimu wake kwa ngono ya sehemu ya kike na ngono ya mkundu, ni bahati mbaya kuwa ingawa kuna uwezekano wa kufikia mipia nchini Tanzania, hilo haliwezi kusemwa kuhusu vilainishi. Utafiti huu umetambaua sababu tatu kuu zinazozuia kufikia ambazo ni: Mtazamo wa uongo kuwa kubeba au kusambaza vilainishi si halali; Kutokuweko kwa vilainishi unayoyafanya kwa kiasi kuwa kama mazao ya soko jeusi yenye inaweza patikana kupitia mauzo ya siri kutoka milango ya nyuma hasa katika Zanzibar. Kwa mazingira ambayo vilainishi vinapatikana kwa uchache sana, huwa bei ghali. Wengi wa wanachama wa LGBT na wauzamahaba waliohojiwa waliripoti kuwa, kwa sababu ya ukosefu wa vilainishi nchini Tanzania, watu wengi wanatumia mbinu mbadala hatari kama siagi mafuta ya kupika, asali, mafuta ya vasilini na mate na kutaja tu vitu vichache.

70 70 WATANZANIA WENGINE Wanachama wa jamii ya LGBT na wafanyakzi wa ngono pia waliripoti kuwa vilainishi havikubaliki isipokuwa kupita usambazaji kutoka wenye tajriba ya dawa maalum na mashirika tawala yanayoshiriki na serikali kuhusu ratiba za kitaifa za kuthibiti virusi vya Ukimwi. Mara nyingi mashirika haya hayajaribu kufikia jamii ya GBT na wafanyakzi wa ngono ili waweze kufikia vilainishi hivi. Matokeo yake ni ripoti za uharibifu unaojirudia rudia kutokana na vilainishi hivi kumaliza muda wa kuhudumua au kupoteza ubora wake na kukataliwa na taasisi hizo hizo zinazoshirikiana na serikali kupata msaada wa fedha ili kuhakikisha watu wanapata vilainishi. Kupata kilainishi ya KY imezuiwa kwa sababu wanasema kuwa ni ya matumizi ya hospitali pekee yake. Hata maduka ya dawa hupata ugumu kuyafikia. Licha ya kuwa ICAP iliijulisha Tume ya Ukimwi ya Zanzibar (ZAC) kuhusu haya, sisi na marafiki wetu vile vile tunapata ugumu wa kuyafikia, kumiliki au kusambaza vilainishi. Mashirika yanayofanya kazi na serikali yenye yanafikia mara nyingi huacha vilainishi hivyo kumaliza muda na baadaye kuyachoma. Inasemekana waliogopa kuyasambaza kwa jamii kwa sababu kuwepo kwetu ni kuvunja sheria. Duka la dawa la FAHUD, ambalo ni duka kubwa la dawa nchini Zanzibar, linaonekana kuwa moja ya taasisi chache zinazoweza kufikiwa. Majaribio ya kununua vilainishi hapo hayazai matunda. Kwa wakati nadra ambapo mtu anaweza kununua kilainishi, tunatumia maneno fiche kama mzigo kurejelea vilainishi. Pia ni bei ghali kwa sababu moja huuzwa Tsh. 10,000. Kwa hivyo tunatumia kidogo kidogo! Mfanyakazi wa ngono wa kiume Mashirika kama vile PSI yanapendelea kuacha vilainishi yamalize muda wa kudumu kuliko kupeana kwa sababu hawataki kuunganishwa na upeanaji wa vilinishi kwa jamii. Mratibuwa ZAYEA

71 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Mahitaji ya fomu ya PF3 katika kupata huduma za afya Katika kesi zinazowahusu unyanyasaji wa kijinsia, wakati wajumbe wa GBT na jamii SW kujaribu kupata matibabu, hospitali mara nyingi zinahitaji fomu ya PF3 ambayo polisi huhitajika kutoa wakati wa kutoa taarifa au madai la kosa la jinai. Ni vigumu kupata kilichosemwa bila fomu ya kutoka kwa polisi ambao huwanyanyapaa na mara nyingi katika kesi hutafuta rushwa ili kutoa fomu ambayo inapaswa kuwa bure. Katika mwezi wa Septemba 2014, ilinibidi nihonge shillingi Tsh. 40,000 kwa maafisa Kinondoni ili nipate msaada na kupata fomu PF3 kwa mmoja wa wanachama wetu ambaye alikuwa amebakwa na wanaume watatu. Polisi walikataa kuchunguza jiyo kesi kwa zaidi au kuchukua umakini kwa sababu tulikua wafanyakazi wa ngono. Tulipokwenda Mwananyamala hospital, wao nao walitubagua na kutukana. Ilitubidi tumhonge daktari Tsh. 10,000 ili amtibu. Mkurugenzi mkuu wa KBH Sisters

72 72 WATANZANIA WENGINE Mapendekezo kuhusu afya 1. Uhamasishaji wa wahudumu wa afya ambao kwa kawaida huwa na huonyesha upendeleo na ubaguzi kwa misingi ya maoni ya kidini na binafsi. Kwa masuala maalum yanayohusu MSM. Kwa utambulisho na mahitaji yao maalum za huduma za afya. kuhusu usiri. 2. Uhamasishaji wa wafanyakazi wa ngono na jamii ya LGBTI ili kuongeza mwamko kuhusu ngono salama, upangaji wa uzazi, magonjwa ya zinaa na VVU / UKIMWI. Uhamasishaji huu pamoja na ushauri nasaha inaweza kurahisisha matumaini wa kuishi na kuunganisha afya ya ngono na usalama kama sehemu ya maisha ya kila siku wa jamii wa LGBTI na SW. 3. Utetezi wa marekebisho katika Mpango Mkakati wa Taifa wa kutafakari uhusiano wa asili na ukipishanaji katika utambulisho ya GBT na SW VVU sasa MSM ni umejumuishwa kivyake katika jamii na SW zimeandaliwa kwa namna ambayo yanashiria wafanyakazi wa ngono wanawake na hivyo ukiondoa wengine utambulisho nyingi ambazo ni ukweli halisikwa wafanyakazi wa ngono nchini Tanzania. Ikiwa ni pamoja na utambuzi huu katika sera za kitaifa inaimarisha muonekano wa jamii wa GBT na SW. 4. Kushawishi Wizara ya Afya kutoa taarifa / vifaa vya IEC juu ya kondomu na vilainishi. Hili litasaidia kurahisisha mafuta na kuondoa mapenzi ambayo watu hutumia mafuta na utambulisho wa kijinsia. Elimu hii pia huondoa ujinga katika utumizi wa vilainishi na kondomu. Kwa mfano iliripotiwa katika jamii kuwa kuna mkakati ya unyanyapaa na ubaguzi ya key populations kama vile mkakati wa kondomu kwamba bado ni katika mchakato wa rasimu. Mkakati wa kondomu kutoa taarifa kama ya umoja wa MSM na ya kondomu lakini si umoja wa masharti kwa sababu upatikanaji wa vilainishi ambayo ilikuwa inadaiwa kujadiliwa na makusudi kushoto nje kwa sababu ilikuwa kama uendelezaji wa ushoga. Taarifa nyingine ziwepo ni juu ya mpango wa uzazi. Hii ni pamoja na taarifa juu ya utambulisho wa kijinsia yaani trans na jinsia mbili ambayo itasaidia familia kukubali trans na jinsia mbili ya watu. Aidha itawezesha wazazi kuwa na uwezo wa kuhudumia mahitaji ya kibiolojia ya watoto

73 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania wao na kwenda hospitali na kuzungumza na wataalamu wa huduma wa afya ili kuwezesha zaidi uelewano juu ya utambulisho tofauti za kijinsia. Kushawishi kwa ushirikishwaji wa taarifa juu ya PEP na PREP 5. Ongezeko la uwezo wa mashirika LGBTI na SW kuwa na uwezo wa kusimamia kliniki ambayo yanaweza kutoa huduma kwa jamii.

74

75

76 76 WATANZANIA WENGINE Sheria na sera Sheria za Tanzania na Zanzibar zinafanya mambo yote yanayohusika na kazi ya ngono kuwa kosa la jinai. Hii inamaanisha sheria ya kinyume na huduma hii si wazi tu bali pia wanalenga watu na sehemu za kazi kama hiyo kama vile madanguro. Kuweko kwa sheria inayofanya kuwa kosa la jinai ni msingi wa kupinga kufikia haki. Zaidi ya hayo utambulisho wa LGBT Tanzania kwa asili umeunganishwa kwa kazi ya ngono kwa vile wengi wa wafanyao kazi ya ngono waliohojiwa wamejitambulisha kama mashoga, wenye jinsia mbili au sehemu ya jinsia kwa hivyo kuwafanya kuwa hatari ya unyanyapaa mara mbili. Matokeo yake, wafanyakazi ya ngono Tanzania katika hatari unyanyasaji na ukiukaji wa haki za kibinaamu kama vile kushikwa kiholela na kuziuliwa, kusakwa, kutukanwa, na kudhuliwa kingono na kimwili Matokeo muhimu ya unyanyasaji wa Sheria iliyopo Kunyimwa fomu za PF3, ambayo hutolewa na polisi kwa madhumuni ya kuangaliwa kiafya kufuatiwa kesi ya kudhulimiwa kingono au kimwili na ajali 1, ambapo waathiriwa wanaporipoti kesi hizo; Kushikwa kiholela holela na kuzuiliwa kwa uongo. Wakati wanaposhikwa, maafisa wanaotekelea sheria na Sungu Sungu wanaangalia wanaozurura na wasiokuwa na kazi kama kosa. Hii imetumika hata pale penye matukio ya kukamatwa ni matokeo ya uvamizi haramu kwenye danguro au wakati mwingine nyumbani mwa mtu. Sungu Sungu wasiokuwa na uwezo wowote wa kuzuilia na wanahitajika kufanya kazi chini ya usimamizi wa polisi, mara nyingi wanapuuza wengi wa wanaofanyakazi ya ngono na, kuchukua sheria mikononi mwao na kutumia sheria vibaya ingawa ni ndogo; Mmoja wetu alifukuzwa na polisi. Akaingia kwa danguro na kujifungia ndani. Walilivunja na kumnajisi. Aliporipoti kwa polisi, hakuna kitu walichokifanya. Mkufunzi mwarika wa ngono wa kibiashara

77 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Hii serikali mpya ilichukua vijana kadhaa, wakawapa elimu kuhusu polisi wa jamii. Hawa vijana sasa wanahisi ni kama wamepewa mamlaka ya kuchukua sheria mikononi mwao kwa sababu hawana kazi ya kufanya, wanatuibia na kutunajisi. MSW katika dhuluma ya Sungu Sungu Kutishwa na ulafi. Wafanyakazi wa ngono mara nyingi wanalipa rushwa au kupeana neema za kingono (ikiwamo ngono ikiwa au isiwe ukawaida ya wafanyakazi wa ngono walioathiriwa) ili waachiliwe. Mara nyingi rushwa inayotakikana huwa juu; Nilikuwa naelekea nyumbani baada ya kuwa na rafiki zangu nje usiku nilipokutana na Sungu Sungu katika Elham walionisimamisha na kuniuliza maswali kadhaa kama vile nilipokuwa naenda na kwa nini natembea pekee yangu. Niliwaambia nilikuwa kwa raha zangu na nikawaaliza kama kuna sheria inayohitaji mtu asindikizwe usiku. Waliseema mimi ni jeuri, wakanipiga na kunipeleka kwa polisi kwa kuzururazurura. Dada yangu alipokuja kunitoa walisisitiza kuwa nitapelekwa kotini kama mbinu ya kitisha rushwa. Mwishowe dada yangu alipena rushwa ya Tsh. 50,000. Sasi, mfanyakazi wa ngono wa kike mjini Dar es Salaam Kudhulumiwa kimwili na kingono ukiwa kituo cha polisi. wafanyakazi wa ngono wa kiume waliripoti kuvuliwa uchi na kutupwa kwenye seli na wafungwa wengine ambayo mara nyingi, hupelekea kubakwa mbele ya maafisa wa polisi ambao hawaingilii kati bali husema muathiriwa anastahili tuhumu inayosemwa.

78 78 WATANZANIA WENGINE Hadithi ya mfanyakazi wa ngono aliye jinsia ya kutatanisha Mapema mwaka huu (2015) nilifunga safari kuelekea Morogoro, amabao ni nje ya Dar es Salaa, kuhudhuria tukio kama mmoja wa waburudishaji. Nilimpata mteja niliyeenda naye kwenye hoteli tofauti na nikamjulisha mapokezi hoteli niliyokuwa nikikaa, kwamba niliacha simu ikipata moto kwenye chumba changu hotelini. Niliporudi kwenye mapokezi, waliniambia inaweza kuwa ni mtu akisafisha chumba changu aliyeichukua. Nilijua ni uongo kwa sababu waliniambia niwaachie ufunguo na niliporudi simu yangu haikuwepo. Waandalizi wa tukio waliita polisi walimkamata mfanyakazi wa mapokezi. Wakati huo, polisi hawakushuku kuwa utambulisho au mwelekeo wangu haukuwa unafanana. Kwa kuwa nilikaa kwenye hoteli ile kwa muda, mfayakazi wa mapokezi na meneja wa hoteli ile walinijua. Baada ya utafiti, polisi walipata simu na msafishaji na kesi ikapelekwa mahakamani. Wakati huo, polisi walinihakikishia kuwa kesi yangu nzito na wakashindwa kwa nini mfanyakazi wa hoteli hakutaka kuamua nje ya hoteli kwa kukubali kulipa kufidia simu yangu. Hata hivyo, kesi ilipokuwa ikiendelea, niliona watu kotini wakianza kufanya mambo kwa utofauti hata hakimu akaniuliza ikiwa ulihusika na kitu cha kuleta vita...ilipoendelea, habari kuhusu utambulisho wangu ilienea kwingi.nashuku hii ndio maana kesi ambao ingeamuliwa haraka ilichukua miezi mingine minne. Walishinda wakinikataza na kunioambia nirudi baadaa ya majumamawili na kunielekeza kwa ofisi tofauti. Baadaye ilikuwa wazi kuwa hawakutaka kuamua kesi yangu baada ya kugundua kuwa mimi si mtu anayeteuwa jinsia hata kama nilikuwa nimeathiriwa. Baadaye kesi yangu haikuamuliwa na ninajua ilikwa ni kwa sababu ya utambulisho wangu.

79 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Jedwali la 1: Sheria Inayotoa uwezo Sheria/Amri Masharti Athari kwa Wauzamahaba Katiba ya Jamhuri ya Tanzania ya mwaka wa 1977 Makala ya 9 (a), (f) na (h): Kutekeleza kwa Ujamaa na kujitegemea. Inawajibisha mamlaka ya serikali na wawasilishi kuelekeza ratiba na sera kuwa heshima na haki za kibinadamu zimezingatiwa. Makala ya 12: Usawa wa Binadamu. Inasema kuwa, kila mtu amezaliwa huru, sawa na ana haki ya kutambulika na kuheshimiwa. Makala ya 11: Usawa wa watu. Maelekezo yake ni sawa na yale ya katiba ya Tanzania. Makala ya 13: Usawa mbele ya sheria. Inaeka kuwa watu wote wako sawa mbele ya sheria na kuwa hakuna sheria itakayo kuwa na ubaguzi kivyake au kwa kutekelezwa. Makala ya 12: Usawa mbele ya Sheria Makala ya 14: Haki ya kuwa hai. Inasema kuwa kila mtu ana haki kuishi na haki ya kulinda maisha hayo na jumuiya kulingana na sheria. Ingawa inaweka mipaka kwa utambulisho wa mambo halali, inatoa kulindwa kwa heshima na haki za kibinadamu za Watanzania ikiwemo wafanyakazi wa ngono inapotokeza kutokuweko kwa haki, ubaguzi, vitisho na kunyanyaswa. Inatambua heshima na uaswa wa kila mtu, wafayakazi wa ngono wakiwemo. Inawapa wafanyakazi wa ngono haki kupata haki na uhuru kutokana na kubaguliwa na chuki kutoka kwa mamlaka. Hii hasa inazungumzia haki ya wafanyakazi wa ngono kuripoti na kutafuta adhabu ya dhuluma za kimwili na kingono wanazopata kwa mikono ya maafisa wa kuteleza sheria. Inalinda haki ya uhai wa watu wa Wauzamahaba hasa kwa mazingira ya hatari kadhaa za usalama wanaopata wakati wa kazi. Katiba ya Zanzibar Makala ya 13: Haki ya kuwa hai. Makala ya 15: Haki ya uhuru wa mtu binafsi. Sharti hili linaweka kinyume kushikwa kusikokuwa halali, kuwekwa jela, kuzuiliwa, kufukuzwa au kuzuiliwa uhuru kusikokuwa halali. Makala ya 14: Haki ya uhuru wa mtu binafsi. Ingawa kufanya biashara ya ngono kumefanywa kuwa kosa la jinai, sharti hili linaoengelea uhusishwaji wa mchakato kwa mazingira ya ngono ya biashara. Inaweka kuwa mkondo uliowekwa na sheria ufatwe, hili linafanya matukio kadhaa ya kushikwa kiholela na kuzuiliwa kwa wafanyakazi wa ngono wanapitishwa mara kwa mara.

80 80 WATANZANIA WENGINE Sheria/Amri Masharti Athari kwa Wauzamahaba Sheria ya VVU na UKIMWI ya 2008 (Kuzuia na Kudhibiti Makala ya 16: Haki ya faragha nay a usalama wa mtu binafsi. Sharti hili inawajibisha utawala wanachi kuweka utaratibu halali wa matukio chini ya haki ya ubinafi wa mtu utakapokiukwa. Makala ya 15: Haki ya faragha na ya usalama wa mtu binafsi. Makala ya 18: Uhuru wa maoni Hili sharti linaweka haki ya mtu kujieleza ikiwemo kutafuta, kupokea na kupata ujumbe. Makala ya 18: Uhuru wa maoni. Makala ya 20: Uhuru wa mtu kushirikiana na wengine. Sharti hili linaweka kuwa kila mtu ana haki ya kukusanyika, kuunda na kujiunga na chama au shirika kihuru na kwa amani na kutoa maoni waziwazi. Makala ya 20: Uhuru wa mtu kushirikiana na wengine. Makala ya 29 (1) and (2): Haki na wajibu muhimu. Makala ya 25 (1): Haki msingi na uhuru wa kibinafsi. Makala ya 30 (3) Mipaka dhidi ya na kutekeleza, kutunza, kwa haki msingi, uhuru na wajibu. Makala ya 24 (2): Vizuizi vya haki na uhuru na ulinzi wa haki na uwajibikaji. Sehemu ya 4(1)(a), (b), (d) na (f) na Sehemu ya 4(2): Wajibu wa jumla. Masharti haya yanaweka washika dau kadhaa kwa mjadala virusi vya UKIMWI ikilenga majukumu ya waliobeba. Inawapa wafayakazi wa ngono haki ya ubinafsi na haki ya kutofanyiwa usakaji usioukuwa hali jinzi imeripotiwa na Sungu Sungu wanaovamia maboma ya wafanya biashara kinyume na sheria. Inahakikisha wafanyakazi wa ngono wana haki ya kupeana ujumbe na pia kupokea ujumbe. Hii hasa ni inahusu ukosefu wa bidhaa za UKIMWI na STI inayohudumia mahitaji wa wafanyakazi wa ngono wa kiume. Inaruhsu wafanyakazi wa ngono kujiunga, kuunda na kuingia kwa mashirika yanayofaidi jamii. Inalinda haki msingi na kwa usawa kulinda haki za wafanyakazi wa ngono. Inawapa wafanyakazi wa ngono fursa ya kupinga sheria na masharti inayodhulumu haki zao hasa ikihusu kupata matibabu, inayohusu mmoja kuleta wanayehusika naye kimapenzi kama kizuizi.

81 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Sheria/Amri Masharti Athari kwa Wauzamahaba Sehemu ya 6(3): Majumukumu ya sekta. Sehemu inaweka kuwa vyaa vya kiraia na mashirika ya kibinafsi yataunda, kuweka mipango na kutekeleza ratiba zinazolenga kuzuia, kutunza wagonjwa na kuthibiti virusi vya Ukimwi. Sehemu ya 7(1): Elimu ya umma na ratiba za Virusi vya Ukimwi. Inaipa wizara ya Afya jukumu la kushauriana na washika dau na kuunda ratiba za elimu kuhusu unyanyapaa na ubaguzi.. Sehemu ya 8: Kupeana ujumbe kuhusu Virusi vya Ukimwi. Sehemu ya 17: Usiri wa Kimatibabu: Inawajibisha wafanyakazi wa kiafya na watu wengine wahisika kuzingatia usiri unaotakiwa kupewa wagonjwa wanaopimwa virusi vya Ukimwi. Sehemu ya 22: Kuzuiya na kudhibiti magonjwa yanayoambukizwa kupitia ngono. Inahakisha kutiwa nguvu kwa huduma za uginjwa unaosambaa kupitia ngono. Sehemu ya 24: Kufikia matibabu. Hii inahakikisha kufikia matibabu dawa za ARVs yakiwemo bila ubaguzi Sehemu ya 29: Kizuizi cha wahudumu wa afya kunyanyapaa au kubagua. Sehemu ya 30: Kupigwa marufuku kwa aina yoyote ya ubaguzi. Inawapa jukwaa ambalo jamii ya wafanyakazi wa ngono inaweza kuhusika katika kuunda na kutekeleza ratiba zinazohudumia mahitaji ya jamii. Inapeana jukwaa amabalo wafanyakazi wa ngono wanaeza husika kwa ushariano na Wizara ya Afya, kama sehemu ya makundi tengwa, kwa kuendeleza bidhaa za masomo kuhusu unyanyapaa na ubaguzi dhidi watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi. Inaruhusu kupeanwa kwa ujumbe kuhusu Virusi vya Ukimwi kwa umma, ambamo wafanyakazi wa ngono wanajumuishwa. Sharti hili linaweza kutumika kuwapa changamoto na kutafuta hatua ya kinidhamu dhidi ya wahudumu wa afya wanaofichua siri za wafanyakazi wa ngono. Hii inaamaanisha ya kuwa jamii ya LGBTI yafaa iwe na uwezo wa kufikia huduma zinazohusika na maambukizi yanayosambaa kingono. Sharti hili linaweza tumika kutekeleza haki ya kufikia kituo cha afya bila ubaguzi kw mfano wakati ambao wafanyakazi wa ngono wanaponyimwa au kufukuzwa kwa sababu ya ubaguzi ya mhudumu wa afya. Inalinda wafanyakazi wa ngono wanaoishi na Ukimwi dhidi ya kubaguliwa na wahudumu wa afya. Inalinda w wafanyakazi wa ngono dhidi ya kubaguliwa kwa kunyimwa uandikishaji, kuihusisha na huduma au kufukuzwa kutoka kwa kituo cha matibabu.

82 82 WATANZANIA WENGINE Sheria/Amri Masharti Athari kwa Wauzamahaba Masharti Sheria Maalum ya Makosa ya Kujamiana, 1988 Kodi ya adhabu. Amri ya Adhabu, Sheria ya Zanzibar Sehemu ya 12: Inarekebisha kodi ya adhabu kujumuisha kulindwa dhidi ya kudhulumiwa kingono na kujifurahisha kingono bila kuafikiana kupitia vitisho na nguvu. Sehemu ya 130: Kubakwa imeelezwa kama mwanamme kujamiana na mwanamke kwa muktadha ambao hauruhisiwi kihalali moja wapo ikiwa kutoshauriana. Na sehemu ya 140: Kunuia kubaka Sehemu ya 125: Kubakwa Na sehemu ya 126: Adhabu ya kubaka. Sehemu ya 131 A: Ubakwaji na kundi. Sehemu 127: Adhabu ya Ubakwaji na kundi Sehemu ya 138 C : Kudhulimiwa kingono kwa hatari. Inaweka adhabu kwa kudhulumiwa kingono hatari ambapo kujifurahisha kingono au mengine yamefanywa bila kuafikiana ikijumuisha kupitia vitisho na kutumia nguvu. Sehemu ya 156: Kudhuliwa kingono hatari. Sehemu ya 138 D: Kudhlumiwa kingono ambako kumeelezewa kama shambulizi la kukusudia au kutumia nguvu za kihalifu kuwanyanyasa watu wengine, au kwa kupitia maneno au matendo, kusababisha kero la kingono au kunyanyasha kama huko kwa mtu mwingine. Sehemu ya 158: Unyanyashaji wa Kingono Sehemu hii inahakisha adhabu kwa wananchi, inayojumuisha wafanyakazi wa ngono kulindewa dhidi ya dhuluma ya kingono na kutumia nguvu kwa weny wajibu. Inaweka kubaka kwa muktadha ambao mashauriano yamepatikana kwa vitisho, au kutumia nguvu. Hii inatumika kwa muktadha ambao wafanyakazi wa ngono wa kike amedhulumiwa kwa kurudia rudia na maafisa wa kutekeleza sheria na wateja. Inaadhibika kisheria kwa kufikia hata kufungwa maisha. Inaweka muktadha wa ubakwaji na kundi kama kujamiana kama kundi na inaweka adhabu ya juu kama kufungwa maisha.. Hii inatumika pale wafanyakazi wa ngono wa kike kwa kurudia rudia amedhulimiwa kingono na watekelezaji sheria na wateja. Inatoa adhabu ya dhuluma za kingono ambapo wafanyakazi wa ngono wanapitia wakiwa katika vituo vya polisi au wakifanya kazi yao.

83 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Sheria/Amri Masharti Athari kwa Wauzamahaba Kuzuia nakupambana narushwaya Sheria, 2007 Sehemu ya 139 A: Kushafirisha:Ulanguzi wa watu ambao wamefasiliwa kama manunuzi na / au kifungo cha kati ama mwanamume au mwanamke kwa nia ya ngono marufuku ngono au unyanyasaji wa kijinsia wa mtu huyo. Sehemu 172: Ulanguzi wa watu. Sehemu 143: Mahabusu katika majengo yoyote kwa nia au katika danguro Sehemu 138: Mahabusu wa kikekatikadanguroau mahali pengine. Kifungu cha 25 kinasema kwamba Mtu yeyote kuwa katika nafasi ya madaraka au mamlaka, ambaye katika utekelezaji wa madaraka yake, madai au inaweka upendeleo wa kimapenzi au kibali nyingine yoyote juu ya mtu yeyote kama sharti la kutoa ajira, kukuza haki, fursa au pengine upendeleo maalum anatenda kosa na atakuwa na hatia na hatia kwa faini ya shilingi si chini ya milioni 1 lakini si zaidi ya milioni 5 shilingi au kifungo kisichopungua miaka mitatu, lakini si zaidi ya miaka 5 aukwa wote Sehemu hii inalinda wafanyakazi wa ngono kutoka biashara ya binadamu makahaba ni mara nyingi huwa katika mazingira magumu na hatari. Waziwazi hutoa kwa ajili ya ulinzi wa wafanyakazi wa ngono kutoka hatua zisizo na idhini au unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa wateja au mtu mwingine iwapo alisema vitendo vya kuchukua nafasi katika danguro. Huwezesha adhabu ya unyanyasaji wa kijinsia ambayo wafanyakazi wa ngono ni kawaida wanakabiliwa na chini ya ulinzi wa utekelezaji wa sheria mawakala na katika mwendo wa kazi.

84 84 WATANZANIA WENGINE Jedwali la 2: Kikwazo au kupambana na sheria SW Sheria /Mkataba Masharti/kikwazo Athari Kanuni ya adhabu ya Tanzania Amri ya Sheria ya Adhabu ya Zanzibar Sehemu ya139(1)(a): Ununuzi wa ukahaba.sehemu hii hueleza kwamba mtu yeyote ambaye hununua au majaribio ya wanaopaswa mtu yeyote akiwa mwanamume au mwanamke wa umri wowoteama bilaridhaa ya mtu huyo... utendaji wa umalaya ni kosa na uadhibiwa na adhabu ya chini ya miaka kumi. Sehemu ya 134: Ununuzi wa ukahaba Sehemu 145: Mtu kiume anayeishi juu ya mapato ya ukahaba au vinavyoendelea kukusanya. Sehemu 141: Mtu kiume anayeishi juu ya mapato ya ukahaba au vinavyoendelea kukusanya. Sehemu 146 A: Mwanamke anayeishi katika au kusaidia ukahaba. Sehemu 142: Mwanamke anayeishi katika uzinzi au kusababisha ukahaba Sehemu 140: Kosa la uuzaji wa ngono. Hutoa kwamba mtu yeyote ambaye kwa kuzingatia inatoa kujali mwili wake kwa ajili ya kujamiiana anatenda kosa. Sehemu ya 147: Nguvu ya kutafuta Sehemu 143: Majengo tuhuma na nguvu ya kutafuta. Makosa ya jinai ununuzi wa huduma kutoka kwa wafanyakazi wa ngono wa kiume na wa kike. Kimsingi sheria hii ni kosa la jinai wateja,wateja na pia wafanyakazi wa ngono. Sheria hii ni kosa la jinai wanaofanya biashara ya ngono kiume na pimps, na kuifanya adhabu ya kifungo na viboko. Adhabu ni kwa uamuzi wa mahakama, ambayo ni hatari. Sheria hii inatengeneza kosa la jinai wafanyakazi wa ngono na kuifanya kosa kwa makusudi kuishi yote au sehemu ya mapato ya biashara ya ngono.lakini, haielezi kiwango cha adhabu kosa hilo linatozwa. Inasema kwamba kosa la jinai wafanyakazi wa ngono wa kiume na wa kike na inafanya kazi jinsia adhabu ya kifungo na hadi miaka mitatu Sheria hii ni hatari kwa sababu inafanya wafanyakazi wa ngono katika mazingira magumu na misako na upekuzi hata kwenye nyumba binafsi ya wafanyakazi wa ngono kulingana na tuhuma tu. Hata hivyo inatoa kwamba ili kwa kusema upekuzi kuwa uliofanywa, sheria inahitaji kibali. Kama vile hakuna msingi wa kisheria kwa ajili ya utafutaji holela na uvamizi huo kama ni mfano wa Sungu Sungu na maafisa wa polisi.

85 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Sheria /Mkataba Masharti/kikwazo Athari Sehemu148: Madanguro Sehemu144: Madanguro Sehemu 150: Majaribu ya uviaji mimba Sehemu 146: Majaribu yha uviaji mimba Sehemu 151: Kununua utoefu wa mimba. Sehemu 147: Utoaji mimba na mwanamke mwenye mimba Sehemu 176 (a): Wavivu na wenye vurugu Sehemu 181: Wavivu na wasiokuwa na mipango Sehemu 176 A: Kuweka wafanyabiashara ya ngono Sehemu 177: Wasiokuwa na mipango. Sehemu 182: Wasiokuwa na mipango. Sheria hii hufanya umiliki na usimamizi wa madanguro, ambayo ni mahali pa kazi kwa wafanyakazi wa ngono wengi, kosa hilo. Ni kosa la jinai watendaji wa afya au mtu yeyote kwamba inajaribu kusaidia mwanamke kupata salama (au salama) utoaji mimba. Sheria hii ina uwezekano wa kuhamasisha wafanyakazi wa ngono kutoa mimba kichinichini na wanaopaswa utoaji mimba usio salama. Hii ni utoaji zimeripotiwa kutumiwa na polisi na Sungu Sungu kiholela kumkamata na kumuweka kizuizini wafanyakazi wa ngono.ni hutoa dhidi kuzurura na uvivu na adhabu ya upeo wa miezi mitatu jela na faini ya Tsh.500 Tanzania Bara na kiwango cha juu ya kifungo cha miaka miwili Zanzibari. Hii inasema kwamba kosa la jinai maeneo mengi ya kazi kwa wafanyakazi wa ngono kama vile baa na hoteli na hivyo kufanya wafanyakazi wa ngono katika mazingira magumu na kufukuzwa kutoka majengo na kimwili vibaya juu ya tuhuma tu ya wafanyakazi wao kuwa ngono. Hii inaeleza kuwa iwapo mtu alikamatwa kwa misingi ya kuzurura mara ya pili, basi adhabu kwa kila wakati baada ya kukamatwa kwanza ni kutozwa kifungo cha mwaka mmoja katika Tanzania bara, na upeo wa miaka minne kwa makosa kurudia Zanzibari.

86 86 WATANZANIA WENGINE Mapendekezo Kutambua wafanyakazi wa ngono kama sehamu muhimu ya idadi ya watu kunaeza tumika kama sehemu ya kushawishi kubadilisha sheria ya kufanya hatia kazi ya ngono. Hii inaeza kuwa rahisi kusemwa kuliko kutendwa kwa kuwa sheria hizi ziko chini ya vifungu vya maadili kwa kodi za adhabu zenye ingawa urithi wa kikoloni bado zinaonekana kwa upamoja wa mtazamo na maadili ya Tanzania. Njia ya ufanisi ya kushawishi kwa hivyo itakuwa kupitia mashirika ya serikali kama vile TACAIDS na ZAC na vile vile CHRAGG yakionyesha vizuizi vya kuzuia virusi vya Ukimwi. Miundo ya mikakati ya taifa kuhusu virusi vya Ukimwi zinaweza tumika kwa dhumuni hili. Kuhamasisha polisi na maafisa wa kutekeleza sheria. Njia inayowezekana ya kuanzisha kikao na polisi inaeza kuwa vita vya kijinsia. Kwa muktadha kama vile Ethiopia, maingiliano ya kurudia rudia, ushirikiano na kukuza uhusiano na polisi ulionekana kuzaa matunda na inaweza kutumika kwa muktadha wa Tanzania pia. Mwongozo wa Mawasiliano ya kitaifa wa 2015 kwa idadi muhimu ya watu na vile vile Sheria ya Virusi vya Ukimwi ni chombo muhimu kinachoweza kutumika na wizara ya afya na ustawi wa jamii(mohsw). Kuinua uhamasishaji na ufahamu wa vyombo vya habari na waunda sheria kuhusu suala linalowakabidhi wafanyakazi wa ngono ambao ni sehemu muhimu ya idadi ya watu. Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali tawala inafaa yashauriwe na yapewe changamoto kufanya kazi na mashirika ya wafanyakazi wa ngono na wahamasishwe haki za wafanyakazi wa ngono kwa mfano Kituo cha Sheria na haki za binadamu, Tanzania.

87 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Shirika la Wafanyakazi wa Ngono Maandalizi ya ufanyakazi wa ngono huko Tanzania umeripotiwa kuwa ulianza mwaka 2007 kufuatia mkutano uliofanyika mjini Nairobi. Wakati ulianza, kulikuwa na mashirika mawili au matatu ya uendeshaji. Sisi tulikuwa na hofu sana hapo nyuma. Tena tuliweka fedha kipaumbele, hatungeweza kualika watu bila kutaja thamani ya kwamba kulikuwa na fedha kutolewa, na angalau sasa kama mkutano huu hakuna mtu aliulizia fedha taslimu. Mitandao nje ya Tanzania imesaidia pia. Mkurugenzi Mtendaji wa AMKA Tangu wakati huo kumekuwa na mashirika kadhaa ambao wamekuja kuwepo na kufanya utetezi wa haki za waendeshaji kazi ya ngono. Kuongezeka kwa idadi hii inaweza kuhusishwa na idadi ya mashirika ambayo hutetea haki za watu wanaofanya mapenzi ya jinsia moja (LGBTI), kuwa ni pamoja na wanaofanya kazi ya ngono katika majimbo yao kutokana na ukipishana ya utambulisho pamoja na changamoto. Mwezi Machi mwaka 2015, Ushirika Wa Wafanyakazi wa Ngono, Tanzania (TASWA) uliundwa kwa lengo la kutekeleza mpango wa miaka mitatu mkakati kwa utezi wa mfanyakazi wa ngono Sekretarieti inajumuisha mashirika tisa ambazo ni: Chesa; Sisters KBH; JOTO; TACEF; Warembo Forum; YWIG; Mabadiliko chanya.

88 88 WATANZANIA WENGINE Kufuatia ushirikishwaji wa MSM na wanaofanya kazi ya ngono chini ya wakazi muhimu katika Mfumo wa mkakati wa Taifa wa VVU, Serikali, kupitia TACAIDS, NACP na manispaa wamejaribu kujumwisha jumuiya za wadau wa wafanyakazi wa ngono. Wanachama wa jumuiya waliohojiwa, hata hivyo, walitoa taarifa kwamba katika kesi ya msaada vikiwemo manispaa, ni akajilaza kama msaada kwa lengo la kukarabati na kuleta mageuzi wanaofanya kazi ya ngono wakitoa msimamo kuwa kazi ya ngono, ambayo kama si kazi halali, hawawezi kuwa uchaguzi.

89 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Jedwali: Maandalizi ya Udanguro nchini Tanzania Shirika Mwaka wa kuanzishwa Kuandikishwa? Eneo la operesheni Lengo Jimbo CPSS Tanzania maeneo kuu MSW,FSW na Truckers SANA Tanzania maeneo kuu MSW,FSW na TSW TSSF/CHESA Tanzania maeneo kuu MSW,FSW na TSW na PWID POSITIVE CHANGE Dar es Salaam FSW, MSW SHI 2010 Katika maandalizi Dar es Salaam MSW KBH Sisters Dar es Salaam FSW TAWG Tanga MSW,FSW na TSW YWIG Tanzania maeneo kuu LGBT/FSW Warembo Forum Tanzania maeneo kuu FSW ZAYEA Zanzibar LGBT/SW/PWID AMKA Uwezo Tanzania maeneo kuu na MSW,FSW na TSW Zanzibar YOSOA Zanzibar LGBT/SW ZAWODE Dar es Salaam FSW na MSW TACEF Dar es Salaam MSW,FSW na TSW TTI Dar es Salaam TSW *ZABIBU (inajulikana japo kwa uchache) MAUA (inajulikana japo kwa uchache) 2013 La Morogoro MSW,FSW na TSW 2013 Uandikishaji Haijulikani Tanga MSW,FSW na TSW LGBT Voice Dar es Salaam MSW,FSW na TSW WASO Dar es Salaam MSW,FSW na TSW TAT 2014 Katika Harakati Dar es Salaam TMSW

90 90 WATANZANIA WENGINE Shirika Dar Es Salaam Sisters Mwaka wa kuanzishwa Kuandikishwa? Eneo la operesheni Lengo Jimbo 2014 Katika harakati za Dar es Salaam FSW uandikishaji AGAPE 2014 Katika harakati Iringa Pekee LGBT/SW HEAT 2015 Bado haijaandikishwa Tanzania maeneo kuu LGBTQ/SW YMC 2015 Bado haijaandikishwa Zanzibar LGBT/SW TASEFO 2015 Katika harakati Hufanya kazi kando ya ziwa LGBT/SW

91 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Changamoto katika kuunda mavuguvugu Ukosefu wa mshikamano: Kulikuwa na majibu mchanganyiko kutoka mashirika na watu binafsi waliohojiwa kuhusu kiwango cha kufanya kazi kwa pamoja. Baadhi ya mashirika wawakilishi waliohojiwa, waliarifu kuhusu ukosefu wa mshikamano na ushirikiano katika mashirika. Mengine ni pamoja na kusita kushiriki taarifa juu ya fedha ziinazopatikana na kujengea uwezo dhamana.kazi kufanyika ni nadra katika mazingira ya majumuisho. Kutokana na matokeo hayo kuna kiwango fulani cha uaminifu kati ya mashirika na wanaharakati katika harakati. Ushindani mbaya kwa rasilimali: Mashirika wanaohusika katika mwendo wa utafiti huu walisema kuwa mara nyingi kuna mengi ya kusuta. Kwa ukamilifu, inaonekana kuwa kuna ushindani kati ya mashirika makubwa na madogo. Wakati mwingine wakati tumeenda katika mikutano, baadhi yetu husema mambo mabaya juu ya mashirika mengine. Tunahitaji kusaidia kila mmoja. Tunahitaji kuwa na kubadilishana na kuanza kugawana kazi. Hatuna kupendana. Nisi, Jinsia mfanyakazi kutoka Dar es Salaam Kuna wanaharakati kadhaa ambao ni wenye uovu na basi masuala binafsi kuathiri mahusiano ya kitaaluma na kufanya lengo lao na kuathiri kazi ya wengine katika harakati. Mkurugenzi wa YOSOA Zanzibar Ukosefu wa uwezo: Iliripotiwa ya kuwa mashirika yanayochipuka huanzishwa bila ya elimu ya jinsi ya kusimamia au kuanzisha mashirika hayo. Haya huathiri uwezo wao wa kupata fursa za fedha na kwa wale ambao kufanya, inadhihirika katika ukosefu wa uwajibikaji na kutokuwa na uwezo wa kutekeleza mipango yao. Hii pia ilifanyika dhahiri katika vikao mbalimbali ambazo wafanyakazi wa ngono hawawezi kueleza masuala yanayowakabili jumuiya ambazo kwa matokeo huathiri matokeo ya utetezi nchini. Pia

92 92 WATANZANIA WENGINE iliripotiwa kwamba kuna watu wanaharakati kadhaa kwamba hawashiriki uwezo wao kujengwa na wengine wa jamii. Kama hivyo, ukuaji wa jamii bado haiwezi kumea. Ajenda mara nyingi inaendeshwa na watu wa nje:wale waliohojiwa walisema kuwa kuna ukosefu wa jumla wa kujiamini linapokuja suala la kutetea haki na kufafanua changamoto zinazowakabili wanaofanya kazi ya ngono.hii pia huathiri jamii kwa sababu ya kukosa kujiamini katika uwezo wa uongozi na kufanya mashirika / wanaharakati katika harakati, katika mazingira magumu,na watu wengine kulazimisha ajenda. Wanaongoza kwenye harakati pia wanaweza,sio lazima kuwa sehemu yao, kwa mfano katika pana jinsia harakati ambazo lugha ya kutumika ni mara nyingi kuchagua na haina kuonyesha hatma ya wafanyakazi wa ngono wanawake katika mazingira ya kazi. Changamoto katika kupata fedha: Iliripotiwa kuwa kutokana na changamoto mbalimbali wafadhili wanaweza kukabiliwa na katika kufanya kazi na mashirika katika Tanzania, kama vile, vikwazo vya lugha (ikilinganishwa na nchi nyingine za Afrika Mashariki) na upendeleo hasa kufanya kazi na mashirika maalum kujulikana, mashirika mengi ndani ya ngono harakati mfanyakazi kujisikia kutozingatiwa. Uwezo wa kutembea katika Tanzania ni nadra, uwezekano wa kukua kama fursa ya kukua ni haba. Usajili: Moja ya changamoto ukipishana ni ile ya usajili. Iliripotiwa kuwa mashirika ya wafanyakazi wa ngono kupata mchakato wa usajili vigumu kwa sababu ili kufanya hivyo wanalazimika kudhibiti malengo zilizomo katika katiba zao na kutumia afya kwa kuzingatia maneno ya wakazi ufunguo kama njia ya kuingia. Yoyote kutaja wazi ya utetezi wa haki za wafanyakazi wa ngono ni changamoto kama kukuza matokeo ya ambayo ni kunyimwa usajili. Kwa hiyo mashirika mengi kuzingatia sababu bila hadhi, waliojiandikisha ni vigumu zaidi kwa kufungua akaunti ya benki. Wengi wale wanaokwenda kujiandikisha wanajulikana katika ofisi za serikali hivyo kuwa na rushwa yao ili waweze kuruhusu kujiandikisha. Wengine wanataka kujua ambapo mashirika ni kwa sababu wanataka kuwabagua sisi. Mratibu wa TACEF

93 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Dhuluma ya watoto. Dhuluma ya watoto kwa ngono ni tatizo kwa utetezi kwa uhaki wa kazi ya ngono kwa sababu ya kukosa Tofauti katika jamii kati ya idhini ya watu wazima, uchaguzi kwa kushiriki katika kazi ya ngono na unyonyaji wa watoto kwa ngono. Hata hivyo, katika kipindi cha utafiti huu, mazingira ya mfumo dume limezungukwa na zinazotambulika kisheria ndoa za utotoni, mitala, urithi mke, kukosekana kwa usawa wa kiuchumi katika nchi na ukosefu wa upatikanaji wa elimu wote zilikuwa baadhi ya sababu zilitolewa kutokea kwa ushiriki wa watoto katika biashara ya ngono. Pia iliripotiwa kwamba mazoezi jadi wa elimu ya jinsia mapema, muundo wa kutoa mafunzo wasichana wadogo juu ya jinsi ya kujamiiana kukidhi mtu na kisha baadaye walimiminika katika vijiji ili kutambulika kama kingono kukomaa, inawafanya rahisi kulengwa ambayo wakati mwingine husababisha mimba za utotoni zaidi kuendeleza mzunguko wa matatizo. Hii ni tatizo kwa sababu watoto wengi hawawezi kujadili kwa matumizi ya kondomu, ambayo inawafanya mazingira magumu na virusi vya ukimwi na magonjwa ya zinaa, wala hawawezi ufanisi kujadili malipo zao. Kwa hiyo, jamii ina inafikri, kwamba kazi ya ngono ni kinyume cha maadili mazoezi kwamba ni kifedha motisha, huwavutia sana watoto wadogo katika mazoezi na hawawezi kuwa uchaguzi wa hiari wa kazi. Wao wanaamini kwamba kama wao kunywa maji kabla ya ngono na kukojoa baada ya ngono kisha wao kuondoa UKIMWI yoyote kwamba wateja wao wanaweza kuwa nayo. Mkurugenzi wa Warembo Forum

94 94 WATANZANIA WENGINE Waandani wa vuguvugu Mashirika jinsi ilivyoripotiwa yaliyoendewa na mashirika ya wafanyakazi wa ngono kwa msaada ni vile vile visa vya ukiukaji wa haki za binadamu ni kama: Fedha za Wanawake Tanzania watoa msaada wa fedha na kuunga mkono wafanyakazi wa ngono wa kike na kuwajumuisha kwa muungano wa wanawake. THRDC Wanajaribu kuwa saidia mara kwa mara msaada wa wao si thabiti na unateua. Wamaeripotiwa kama kusaidia MSM na kushughulikia kesi za ukiukaji wa haki za binadamu PSI kuna habari za kuchanganya kwa maana waliohojiwa walihisi kuwa PSI wanawapa msaada kwa vile wanapewa fedha kusaidia makundi tengwa. Jinsi hivyo wameripotiwa kuingilia idadi ya watu muhimu kama mbinu ya kupata fedha. Niliwapigia simu binafsi ili kupata vilainishi na kondomu. Walikataa kuwa na vilainishi na kondomu ingawa nilijitolea kulipia nauli ya kusafirisha hadi zanzibar. Wanayapeana yakiwa karibu kukamilisha muda wa kuhudumu. Mkurugenzi wa ZAYEA PASADA Afya na lengo hasa kwa magonjwa ya zinaa na Ukimwi Wanawake wa UN wanawapa nafasi na msaada wa fedha wafanyakazi wa ngono wa kike. Wanapeana msaada wa fedha kupitia Fedha za Wanawake Tanzania. Oxfam Wanawapa nafasi na msaada wa fedha. UNFPA Wanaunga mkono jamii kupitia TACAIDS na ZAC John Hopkins Wanahusika na utafiti wa sehemu muhimu ya idadi ya watu. TGNP Walikuwa wakitoa msaada. Iliripotiwa baada ya mkurugenzi wa mwisho alipotoka, hawajasaidia vuguvugu. JHPIEGO Msaada wa fedha za unaoelekezwa kwa MSM, FSW vijana na wanawake wanaoishi katika mazingira magumu. UHAI Wanawapa nafasi na msaada wa fedha FAHAMU Wanajenga nafasi na kusaidia kifedha. Vuguvugu hili pia linafanya kazi na mashirika ya serikali kama vile TACAIDS na ZAC.

95 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Mapendekezo Inafaa kuwepo na kamati ya ushauri inayosaidia TASWA kuifanya miungano kwa pamoja kuwajibika. Miundo ya jamii iimarishwe na iwezeshwe ili jamii iweze kujiamini inapoeleza maswala yake na kushughulikia haja zake. Umoja baina ya vuguvugu ili kuweka malengo sawa. ili itaimarisha vuguvugu. Kuna mashirika ya ufadhili kama vile UHAI inayolenga miungano maalum na ina mapendeleo. Hii shida hasa kwa mashirika ambayo ni machanga na ndio yameanzishwa na hayatakuwa ikiwa hazitapewa nafasi sawa na wengine. Washiriki wa ufadhili wanahitajika kuongeza lugha yao ili wafikiwe haraka. Kiswahili mara nyingi hakitazamwi sana. Inahitajika kuwepo na kusikizana baina ya vuguvugu ili waweze kukabili shida wanazokumbana nazo. Inaanza na vuguvugu, ambayo inahitaji kufanya malengo yake kuwa sawa.

96 96 WATANZANIA WENGINE Hali halisi Hali halisi ya wanachama wa jamii ya LGBT imelinganishwa kwa undani na ile ya jamii ya wanyakazi wa ngono kwa sababu wahojiwa wengi waliotambuliwa kama wanachama wa LGBT pia wametambuliwa kama wafanyakazi wa ngono. Sidhani kuwa kuna mtu yeyote anayefanya changudoa kwa hiari. Kuna viwango tofauti za wafanyabiashara wa ngono...daraja moja hadi tatu. Daraja la tatu mara nyingi huenda vijijini. Mara nyingi huchukua kazi yoyote wanayopata ambayo mara nyingine kufanya ngono vichakani ambamo kunaweza kuwa na mapaka, mbwa, nyoka, ikiwa Sungu Sungu watakuja, wanatupiga, watubake na unavumilia tu hali. Mara nyingine ukipata mteja anayelipa Tsh.5000 ataenda kuambia Sungu Sungu kwa hivyo ni heri nichukue mteja anayelipa Tsh Naficha pesa hizo kwa matako yangu au sidiria ndio wasichukue. Wakikupata, wanakuambia uwaonyeshe sehemu yako ya siri, wakipenda wanachokiona watakubaka, wasipopenda wanakupiga na kukupeleka kwa polisi. Hakuna anayependa hili. Hakuna raha. Khadija, mfanyabiashara ya ngono wa kike Zanzibari Ingawa hadithi ya jinsi walianza kazi ya ngono ilitofautiana kwa wale waliohojiwa wakati wa utafiti huu, kile kilikuwa sawa ni kuwa wafanyakazi wa ngono nchini Tanzania wanapitia unyanyapaa na ubaguzi. Ufanyikazi ya ngono Tanzania ni unakasirisha jamii kwa kuwa inachukuliwa kuwa mwiko. Kwa wafanyakazi wa ngono wa kiume, kazi inabeba unyanyapaa mara mbili kwa sababu ni ufanyikazi ya ngono umefanywa kuwa hatia na pia wanafanya ngono na waume wenzao. Tamshi la dharau linalotumika kwa muktadha wa biashara ya ngono ni changu doa ambayo mara nyingi linatafsiriwa kama mtu aliyekataliwa na jamii, serikali au asiyetamanika

97 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania kuanzisha familia. wafanyakazi wa ngono Tanzania wamepewa mtazamo na jamii yote kwa ujumla. Kama matokeo ya unyanyapaa na kufanyika kuwa hatia, wafanyakazi wa ngono wanakumbwa na dhuluma, matusi na mateso ya kimwili na vile vile kuaibishwa kwa umma mara kwa mara. Familia na Marafiki Kuna unyanyapaa mwingi katika familia kwa sababu kazi ya ngono inaonwa kuwa ya aibuna dhambi. Wale waliohojiwa walisema kuwa wale ambao familia zao zinajua tajriba zao, walitengwa au kupewa kauli ya mwisho na vitisho vya kufukuzwa na kutokuwa tena sehemu ya familia. Baadhi ya wafanyakazi wa ngono waliripoti kuwa wameoleka, kwa sababu hilo ndilo linatarajiwa kwa wanawake wakifikisha umri Fulani, lakini waliripoti kuwa bwana zao hawakujua na wengine mabwana zao walijua na wanawaunga mkono kwa sababu ya mapato inayoleta. Hii ndio kazi yangu. Sioni tofauti ya kile ninachokifanya na yale wengine wanafanya kule nje. Najivunia kazi yangu.inanipa mahitaji yote ninayohitaji katika maisha.familia na majirani hawajui ninachokifanya, lakini marafiki zangu katika vuguvugu wanajua. Sosi, mfanyabiashara ya ngono wa kike anayeishi jijini Dar es Salaam Ilikubalika kwa umoja kuwa biashara ya ngono kwa muktadha unaojadiliwa katika utafiti huu inahusu idhini ya lengo la kufanya ngono kwa faida baina watu wazima, iliripotiwa kuwa ngono ya watoto ni jambo linalotatiza kazi ya ngono Tanzania. Baadhi ya watu waliohojiwa walieleza kuwa familia na utamaduni ndio msingi unaochangia wasichana wadogo kushiriki katika kazi ya ngono. Kwa mtazamo huu mambo yanayochangia ni kama vile ndoa za mapema na mimba za mapema, ambazo zimechangia wasichana wadogo kutafuta msaada wa fedha kwa kufanya kazi ya ngono mara nyingi bila kuwa na mwamko kuhusu ngono iliyosalama au jinsi ya kukubaliana na wateja.

98 98 WATANZANIA WENGINE Familia ya wenye kufanya biashara ya ngono pia inapitia unyanyapaa na ubaguzi kwa mfano watoto walioshuleni wanonewa na kuteswa. Utamaduni Iliripotiwa kuwa Tanzania ina utamaduni wa mfume dume na kunyamazia mambo ya jinsia. Tajriba kama vile ufanyikazi ya ngono inadharauliwa na haitambuliki. wafanyakazi wa ngono kiume hawaonekani kuwa waume wa kweli ilhali wafanyakazi wa ngono wa kike wanaonwa kuwa wamekosa adabu. Hili linafanywa jambo tata na suala la kuoza watoto ( ni halali watoto wadogo wa miaka ya chini kama 14 kuoleka) na ndoa ya wake wengi madhara kwa ustawi wa uchumi. Hasa pale ambapo mume ambaye ana wake wengi ameshindwa kukimu mahitaji ya familia yake na wake wengine kwa hivyo wanaingia kwa kazi ya ngono ili kutunza familia yake na badala yake wanafukuzwa na familia inayozungumziwa wanapogundulika. Mtazamo mwingine umetolewa kwa msemo kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza ambao umetolewa kwa mila za jamii kwa jinsia inayoamini kuwa wanawake wazuri hawajiuzi. Mtazamo hasi wa jamii Kuna dhana kwamba wafanyakazi wa ngono hawajasoma au ni wajinga unaopeana mtazamo kwamba kazi ya ngono si uamuzi halisi uliofanywa na wale walio na nafasi ya kufanya uamuzi mwingine. Mahali pa Kazi wafanyakazi wa ngono wengi waliripoti kukutana na wateja wao kwa mikutano, baa, vilabuni, mtaani, vijiwe maalum (katika kambi), mtandaoni na mitandao ya kijamii, madanguro, hoteli, sokoni, basi, kokote kwenye watu wengi. Hutegemea sehemu ya kazi na pia aina ya mteja. Kuna viwango tofauti vya wafanyakazi wa ngono a na mapato tofauti. Inategemea na ile sehemu ya kufanyia kazi. Wateja wengine wa wafanyakazi wa ngono wa kiume wanauliza hao wafanyakazi wa ngono wa kiume kuchukua mtazamo wa kike, ambalo ni suala ngumu kwa sababu za usalama.

99 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Kufurushwa kwenye nyumba Wafanyakazi wa ngono wengi waliripoti kutolewa kwa kutoka kwa nyumba zao na wamiliki wa nyumba kwa hofu ya kupoteza leseni ya kukodisha nyumba zao kwa kuwepo na sharti la sheria kwa madanguro. Wamaliki wa nyumba wengi pia wanasita kuwapa nyumba wafanyakazi wa ngono nyumba kwa hofu kuwa watakuwa na mfano mbaya kwa watoto. Mashirika yenye misingi ya dini kama vile Simba wa Mungu ambao ni polisi wa Kiislamu waaminifu walio jirani hasa Zanzibar, wanapogundua mfanyakazi ya ngono anaishi kwa nyumba fulani, wanaitembelea hio nyumba na kuwatishia mmiliki wa nyumba na mfanyakazi ya ngono. Usalama Iliripotiwa kuwa usalama ni changamoto kuu kwa wafanyakazi wa ngono kwa kutazama hali mahali wanapofanyia kazi. Kumekuwa na visa kadhaa ambapo wateja wanakataa kulipa au wateja wanawashambulia. Kama ilivyotajwa hapo awali, wafanyakazi wa ngono pia wanapitia mateso na kuibiwa na Sungu Sungu na polisi. Kama matokeo, kupata haki kihalali si chaguo. Mnamo mwezi Machi, wawili wa wanachama wetu walipata mteja aliyekataa kulipia huduma yao na akawashambulia kimwili. Walipoenda kuripoti kwa polisi kwa kituo cha polisi cha Mwana Nyamala, walitukanwa na polisi alikataa kufanya uchunguzi. Mkurugenzi wa dada wa KBH

100 100 WATANZANIA WENGINE Kutotambulika na umma Nchini Tanzania Umma hautambui wanaoendeleza biashara ya Ushoga kama mojawapo za biashara. Walio katika ngazi za Serikali. Wanatambua hii kama mojawapo za biashara kwani wanaofanya kazi hizi ni watu katika jamiina idadi kwa jumla. Licha ya haya, katika umma, watu hawa wakitaka wajulikane kwao inakuwa ni tatizo sugu.kutotambulika na jamii itazidi ikiwa watu hawa wataendelea bado kuendeleza biashara hii kichini. Jaribio lolote la kutaka watambulike linaleta chuki na uhasama baina yao na wanajamii pamoja na viongozi Serikalini. Nchini Tanzania ikichunguzwa kwa undani jamii ya wanaofanya biashara ya ushoga wanaonekana kujenga picha mbaya kimaadili na hata kidini kwa jamii na kwa viongizi kwa upeo, kiwango kiasi cha matokeo ya upelelezi wa nia na lengo katika tofauti baina ya kukiukwa kwa haki za binadamu na uhalifu unaoendelezwa dhidi ya wanaofanya biashara hii ya ushoga katika jamii. Vyombo Vya Habari Vyombo vya habari wakati mwingine huwanyesha wanaofanya biashara ya ushoga kwa njia isiyofaa ambamo mmoja wa watu hawa hutudhulumiwa kimapenzi na hata kwa kuchapwa vibaya. Wakati mwingine wanaonyesha picha zao wakiwa katika sehemu zao za kazi na hata barabarani bila idhini yao picha hizi huchapishwa kwenye majarida na hata katika magazeti. Vyombo vya habari ni adui mkubwa wa ushoga/wa jinsia moja. Ukienda katika kilabu ijulikane wewe ni shoga watu wa habari uchikua picha yako na kivibandika mbele ya Majarida. Huvichapisha ili kuvipea umaarufu kazi ya majarida hizo. Huvichapisha Shoga. Jarida hizo ununuliwa sana kuliko zilizochapishwa zeruzeru. Wao uchukua picha hizo zetu sisi mashoga na kutuharibia jina. Toni, mmoja wa mashoga

101 Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania Mitandao ya mawasiliano pia ikapewa kipao kama mahala pa unyanyapaa. Magazeti ya tabuloidi kama vile jarida la Kiu na Ijumaa wikendi iliripotiwa kutumia ujumbe uliotolewa kwa kurasa za mtandao wa kijamii wa Facebook ya wafanyakazi wa ngono kwa magazeti. Mtu nisiyemjua aliweka jina langu kamili na nambari yangu na kunipa miadi kwa mtandao wa jamii wa Facebook iliyopelekea kudhulumiwa kwangu. Emmanuel, anayejitambulisha kama shoga na mfanyabiashara ya ngono wa kiume Wanasiasa wanatumia jamii. Kwa hivyo wakati wa kampeni za uchaguzi awachukui nafasi kali kupinga wafanyakazi wa ngono wa ngono kwa sababu wanataka kuchaguliwa na wanatumia usemi kuwa watajadili suala hilo baadaye na huo unabaki kuwa usemi wa uongo usiotekelezwa. Zaidi ya hayo kuna udanganyifu mwingi miongoni mwa wanasiasa. Wao pia ni miongoni mwa wanaofaidika na wanaogopa kujiunga nao kwa kuogopa kuonekana wanaunga mkono lakini wanatafuta huduma hio kwa siri na kuogopa. Mara nyingi ni viongozi wa kidini ambao ndio wapinzani wa msingi. Mtu yeyote anayeweza kuonekana kuunga mkono katika maongezi ya moja kwa moja katika umma hauwi thabiti. Katika maongezi ya umma sehemu kubwa huwa imerejelewa kuwa hasi hata kama mambo tofauti yaliongelewa kwa mikutano mingine. Mfano ni mikutano inayopangwa na TACEF na viongozi wa kidini ambao huonyesha hisia zao kwa mikutano lakini imesemwa watasita kutoa msimamo wao waziwazi kwa umma.

102 102 WATANZANIA WENGINE Mapendekezo ya jumla 1. Utetezi ulioelekezwa kwa afya unaoendelea. Kuwajumuisha wafanyakazi wa ngono kama sehemu muhimu ya idadi ya watuinapeana nafasi ya kushawishi kutolewa kwa pingamizi kama vile kuja na mwandani wako na vile vile mahitaji ya fomu ya PF3 ili kupata huduma za afya. 2. Ushirikiano. Mfanyakazi wa ngono atanufaika ikiwemo kujiunga na ushirika unao husu haki za bunadamu tawala, mashirika ya wanawake na mashirika ya serikali. Kwa sasa, hatua imepigwa kupitia ushirika na serikali kama vile TACAIDS na ZAC. Hata hivyo, kuedeleza ushirikano ili kuendeleza utetezi wa kutolewa kwa sharia inayofanya hatia inatakikana. 3. Utetezi wenye msingi wa sheria. Ni jambo linaloonekana wazi kuwa kufikia vituo vya matibabu ni jambo kuu kuingiza utetezi, kuna uhusiano usiokuwa wa kupinga baina ya mazingira ya sheria na kufikia kunako semwa. Ukizingatia hali ya sasa ya hatia ya kazi ya ngono, kukataa zaidi kuendeleza kuonekana kwa kazi ya ngono kunaeleweka. Kuna majukwaa yanayoweza kutumika kuimarisha uhusiano na mashirika ya kutekeleza sheria na wizara husika ili kuunganisha nguvu za kupinga dhuluma kwa mtoto na biashara ya binadamu. Katiba ni sehemu muhimu ya sheria inayoweza kutumiwa kushawishi na kutetea kutambulika kwa haki za binadamu za jamii. 4. Elimu ya ngono kwa jamii ya wafanyakazi wa ngono. wafanyakazi wa ngono hawajui kuhusu maambukizi na usambazaji wa magonjwa ya zinaa na virusi vya Ukimwi vile vile hatari ya kutumia vilainishi vyenye si vya maji. Elimu ya ngono itafaidi jamii na kuinua mwamko na uwezo wa kutekeleza haki ya kufikia huduma za afya. 5. Kuinua mwamko na uwezo wa kujenga kwa wafanyakazi wa ngono ili kuwezesha kupigania haki zao za binadamu. Polisi na maafisa wengine wa kutekeleza sheria wanafaidi kwa kutojua kwa wafanyakazi wa ngono kuhusu sheria kudhulumu haki zao za binadamu. 6. Kushawishi kujumuishwa kwa wanafanyakazi ya ngono wa kike kwa kufikia dawati ya jinsia zilizowekwa na mashirika ya kutekeleza sheria. Kwa sasa, wafanyakazia wa kike kadhaa wameripoti kutohusishwa katika huduma zilizotengwa kuwepo kupitia ukumbi wa jinsia. Hili linaweza kufanya kupata fomu ya PF3 na vile vile kupata haki.

103

104 UHAI EASHRI The East African Sexual Health & Rights Initiative P.O. Box Nairobi, Kenya T: , F: C: , E: W:

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE

HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE SAUTIZETU HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE 01 SAUTIZETU HUDUMA ZA AFYA KWA WOTE SAUTI ZETU Huduma za Afya kwa wote THE OPEN SOCIETY INITIATIVE FOR EASTERN AFRICA (OSIEA) (JAMII WAZI YA MPANGO WA AFRIKA MASHARIKI)

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Shukrani Ripoti

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

SUALA NYETI NI VURUGU Mashambulizi dhidi ya Wana LGBT katika Pwani ya Kenya H U M A N R I G H T S W A T C H

SUALA NYETI NI VURUGU Mashambulizi dhidi ya Wana LGBT katika Pwani ya Kenya H U M A N R I G H T S W A T C H SUALA NYETI NI VURUGU Mashambulizi dhidi ya Wana LGBT katika Pwani ya Kenya H U M A N R I G H T S W A T C H Suala Nyeti ni Vurugu Mashambulizi dhidi ya Wana LGBT katika Pwani ya Kenya Copyright 2015 Human

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) TOLEO LA PILI Dar es Salaam, Oktoba, 2007 i ii JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) Dar es Salaam Oktoba 2007 YALIYOMO ORODHA YA VIFUPISHO DIBAJI SHUKRANI MUHTASARI RASMI SURA

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Shukrani Ripoti

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII SHERIA KATIKA LUGHA RAHISI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA (TANGANYIKA LAW SOCIETY) KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Child Abuse & Neglect 43(2015)8 21 Orodha Yaliyomo inapatikana katika ScienceDirect Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Nakala ya Utafiti Mbinu za kuimarisha mifumo ya ulinzi wa mtoto kuanzia chini kwenda

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health Wasiojua kusoma na kuandika katika karne ya 21 hawatakuwa wale wasiojua kusoma na kuandika lakini wale ambao hawawezi kujifunza, kutojifunza na kujifunza

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

Upatikanaji wa Silaha Ndogo ndogo na Hisia za Usalama nchini Kenya: Ukadiriaji

Upatikanaji wa Silaha Ndogo ndogo na Hisia za Usalama nchini Kenya: Ukadiriaji Ripoti Maalum Upatikanaji wa Silaha Ndogo ndogo na Hisia za Usalama nchini Kenya: Ukadiriaji Manasseh Wepundi, Eliud Nthiga, Eliud Kabuu, Ryan Murray, na Anna Alvazzi del Frate Ripoti Maalum Juni 2012

More information

Kuwafikia waliotengwa

Kuwafikia waliotengwa Kuwafikia waliotengwa Kuwafikia waliotengwa Muhtasari Chapisho la UNESCO 2 M U H T A S A R I R I P O T I Y A U S I M A M I Z I W A K I M A T A I F A W A M R A D I W A E L I M U K W A W O T E 2 0 1 0 Ripoti

More information

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12 Human Rights Are Universal And Yet... Episode 07 Title : The right to food drought and famine in Ethiopia Author : Tedla Getachew Editor : Aude Gensbittel, Pendo Paul Translator : Anne Thomas Proofreader:

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)

More information

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili 1. 2-Muhtasari wa Ukurasa wa Ripoti ya Miaka minne ya Bodi Kuu ya Kanisa & Jamii............................... 2 2. Kamati ya Kawaida ya Malipo ya

More information

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03

Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 AEG swahili Bahari ya Aegean Brosha ya maelezo hii ni kwa watu wanaofikiria kuvuka bahari ya Aegean kati ya Ugiriki na Uturuki.Kuvuka kihramu ni uhalifu katika

More information

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu Nyenzo ya Mafunzo Vi Agroforestry Vi Agroforestry ni shirika la ushirikiano la maendeleo la Sweden, linalopambana dhidi ya umasikini na

More information

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY (LSF) 1 KIMEANDALIWA NA Chama Cha Wanasheria Tanzania

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa

More information

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Makala ya Mshiriki wa Mafunzo Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi International Labour Office Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi 1 Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2007 Kimechapwa mara ya kwanza 2007 Machapisho ya Ofisi ya Shirika la

More information

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA

KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA Toleo la kwanza 2012 Mwandishi: USAID DELIVER PROJECT Wachangiaji: Gary Steele, John Snow, Inc. and Judith

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 W N S E Muhtasari Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 Kuinuka kwa Nchi za Kusini: Maendeleo ya Binadamu katika Ulimwengu Anuwai Empowered lives. Hati ya kunakili 2013 na Mradi wa Maendeleo ya Umoja wa

More information

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ;II. -~ ~.! ~ l Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ~n.~ SURA YA KWANZA SHERIA YA ARDHI 1 UTANGULIZI Sura hii itaiangalia ARDHI na umuhimu wake katika maisha ya binadamu. Ardhi ni rasilimali

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized!. viromen-alsc:a.. Environmental & Social MRADI WA UMEME WA GESI YA * Assessment & Management

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

Shabaha ya Mazungumzo haya

Shabaha ya Mazungumzo haya Karibu Katika Mazungumzo Kuhusu Mchakato wa Uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii CCMP/UMOJA Shabaha ya Mazungumzo haya Kuwafahamisha viongozi wa makanisa kuhusu Mchakato wa CCMP ambao umekuwa ukitumika

More information

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MFUMO WA RUZUKU YA MAENDELEO YA MTAJI WA SERIKALI ZA MITAA (LDCDG) UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI Kijitabu cha Mshiriki

More information

HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011.

HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011. Saint Augustine University of Tanzania From the SelectedWorks of Daudi Mwita Nyamaka Mr. Winter December 9, 2011 HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia HakiElimu & Policy Forum KUUELEWA MCHAKATO.indd a 1/20/10 11:00:56 AM KUUELEWA MCHAKATO.indd b 1/20/10 11:00:57 AM Kuuelewa Mchakato wa

More information

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA NGUZO KUMI ZA KWANZA (MFUMO WA UTEKELEZAJI) NGUZO YA 1 DIRA YA TAIFA YA KWANZA 1.1 Kupitisha Dira ya KWANZA SHUGHULI MAJUKUMU MUDA MHUSIKA MKUU 1. AZIMIO LA KWANZA 2. mpango wa utekelezaji wa KWANZA 3.

More information

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2009/2010 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu

More information

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN KIONGOZI CHA SHERIA Hakimiliki 2008 Kimetolewa na: Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) Waandishi: wa Toleo la 5 Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau Toleo la 5: 2008 ISBN

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu BLOOD PRESSURE UK Shinikizo la damu ndicho chanzo kikubwa cha ulemavu na vifo vya mapema kule Uingereza, kupitia kiharusi, mshtuko wa moyo na maradhi ya moyo.

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MHESHIMIWA SOPHIA M. SIMBA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2013/14 DODOMA Mei,

More information

KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI

KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI Swahili TANGAZO LA MATARAJIO NA JUKUMU KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI Lengo letu ni kuwezesha mazingira ya jumuiya ya ushirikiano yanayowapatia wanafunzi wote kwa kila kiwango fursa ya kufikia

More information

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition

More information

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma.

Kuwa na Ukimwi ni kama vile kutakiwa kuendelea kuuzima moto unaoniunguza bila kukoma. This booklet on HIV/AIDS was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at VIRUSI VYA

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

Mwongozo wa Mwezeshaji

Mwongozo wa Mwezeshaji JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Mwongozo wa Mwezeshaji Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka lugha

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kiongozi hiki kimeandaliwa kikiwa ni sehemu ya mradi wa

More information

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA 2007 i WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

More information

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu WEMA TWN Third World Network 1. WEMA ni nini? Mahindi yanayotumia maji kwa ufanisi yajulikanayo kwa kingereza kama Water Efficient Maize for Africa (WEMA) ni mpango

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information