AZAKI PIGA KURA UCHAGUZI MKUU TANZANIA OKTOBA. #TanzaniaTuitakayo OKTOBA 2015 ILANI YA UCHAGUZI YA AZAKI TANZANIA.

Size: px
Start display at page:

Download "AZAKI PIGA KURA UCHAGUZI MKUU TANZANIA OKTOBA. #TanzaniaTuitakayo OKTOBA 2015 ILANI YA UCHAGUZI YA AZAKI TANZANIA."

Transcription

1 ILANI YA UCHAGUZI YA AZAKI TANZANIA AZAKI. #TanzaniaTuitakay PIGA KURA UCHAGUZI MKUU TANZANIA OKTOBA 2015 Tvuti: Barua pepe: Sanduku la Psta: Mahali: Nyumba namba 355, Karibu na Kitu cha Plisi Mabatini, Kijitnyama, Dar-es-salaam - Tanzania Uchaguzi Tanzania OKTOBA 2015

2 YALIYOMO SHUKRANI... 5 MAUDHUI NA MUUNDO WA ILANI... 6 SIFA ZA KIONGOZI ANAYEFAA... 8 SURA YA KWANZA DHANA NA UMUHIMU WA UCHAGUZI Dhana ya Uchaguzi Vigez vya Uchaguzi Huru na wa Haki SURA YA PILI TANZANIA TUITAKAYO Tanzania Tuitakay Mgawany wa Madaraka Utawala wa Katiba na Sheria Utawala wa Sheria Mgawany wa Madaraka Haki za Binadamu Uhuru na Haki za Kiraia Haki za Makundi Maalumu Ulinzi wa Rasilimali Muhimu za Nchi na Haki ya Maendele Nafasi na Haki za Asasi za Kiraia Huduma Za Kijamii Upatikanaji wa Huduma ya Elimu kwa Wte Huduma za Afya Huduma za Maji Safi na Salama Ushiriki na Ushirikishwaji wa Wanachi katika Maamuzi Usawa wa Kijinsia Uchumi Endelevu na Ajira Uwazi na Uwajibikaji wa vingzi wa Umma Rushwa, Ufisadi na Ubadhirifu wa mali za Umma SURA YA TATU WITO KWA WADAU Kwa Wananchi Kwa vyama vya siasa Kwa Wagmbea Tume za uchaguzi (NEC/ZEC) iv v vii i

3 3.5 Vymb vya Ulinzi na Usalama Wadau wa Kimataifa Watumishi wa serikali Vymb vya Habari Vingzi wa Dini SURA YA NNE HITIMISHO Uchaguzi Tanzania OKTOBA 2015 ii

4 VIFUPISHO ANGOZA Assciatin f Nn-Gvernmental Organizatins in Zanzibar [Jumuiya ya Mashirika yasiy ya Kiserikali Zanzibar] AZAKI Asasi Za Kiraia CHF Cmmunity Health Fund [Mfuk wa afya ya Jamii] JUKATA Jukwaa la Katiba Tanzania LHRC Legal and Human Rights Center [Kitu cha Sheria na Haki za Binadamu] FCS Fundatin fr Civil Scieties NEC Natinal Electral Cmmisin [Tume ya Taifa ya Uchaguzi] NHIF Natinal Health Insurance Fund [Mfuk wa Taifa wa bima ya Afya] OSIEA Open Sciety Initiative fr Eastern Africa SHIVYAWATA Shirikish La Vyama Vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania TAKUKURU Taasisi Ya Kuzuia Na Kupambana Na Rushwa TAMISEMI Tawala Za Mika Na Serikali Za Mitaa TCIB Tanzania Citizens Infrmatin Bureau [Shirika la Taarifa kwa wananchi Tanzania] TGNP Tanzania Gender Netwrking Prgram [Mtanda wa Jinsia Tanzania] THRDC Tanzania Human Rights Defenders Calitin [Mtanda wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania] WAHAMAZA Wanahabari wa Habari za Maendele Zanzibar YPC Yuth Partnership Cuntrywide [Shirika la Ubia wa Vijana Nchini] ZEC Zanzibar Electral Cmmissin [Tume ya Uchaguzi Zanzibar] iii

5 W SHUKRANI az la kuweka wazi matakwa ya Asasi za Kiraia (AZAKI) juu ya Tanzania tuitakay katika mfum wa ilani ya uchaguzi lilitkana na mkutan wa watetezi wa haki za binadamu ulifanyika tarehe 24/7/2015 kwa leng la kutathmini nafasi ya Asasi za Kiraia katika michakat ya kidemkrasia ikiwem uchaguzi mkuu. Mkutan huu uliazimia pamja na mamb mengine, kuundwa kwa kiksi kazi kitakachandaa rasimu ya ilani hii kwa niaba ya AZAKI. Inaleta faraja kubwa kwamba, ndt hii imeweza kutimia na kuwezesha kukamilika kwa ilani hii. Kwa sababu hii, shukrani nyingi ziwaendee wte walishiriki katika kuibua waz lenyewe. Kipekee, tunapenda kuta shukrani zetu kwa Mtanda wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) kwa kukubali kuratibu shughuli nzima ya upatikanaji wa ilani hii katika hatua zake zte. Pia shukrani zetu ziwaendee wajumbe wa timu maalum ya wanaazaki kutka asasi zifuataz ANGOZA, JUKATA, TCIB, LHRC, SHIVYAWATA, TGNP, THRDC, WAHAMAZA (Zanzibar), POLICY FORUM na YPC, iliyshiriki katika uandishi wa ilani hii. Aidha, tunawashukuru wte walijita kuweza kupitia na kuhariri kazi hii wakingzwa na Dr. Helen Kij-Bisimba. Na kwa umuhimu kabisa, tunata shukrani za dhati kwa wakurugenzi wa AZAKI walikutana tarehe 14/8/2015 kuridhia kwa pamja kuwa Ilani hii itumike rasmi na AZAKI za Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu. Vile vile, wap waliwezesha gharama za kuendesha mikutan ya wana AZAKI tangu mwanz hadi kupatikana kwa ilani hii. Pamja na, tunapenda kuwashukuru Open Sciety Initiative fr Eastern Africa (OSIEA) amba walichangia gharama za awali katika kufanikisha kazi hii. Tunata shukrani zetu pia kwa Shirika la Fundatin fr Civil Sciety kwa kujitlea kubeba gharama zte zilzbaki ili kuhakishika maleng ya Ilani hii yanafika kwa wadau wte na kwa wakati. iv

6 MAUDHUI NA MUUNDO WA ILANI I lani hii ni matakwa ya asasi za kiraia kuelekea na baada ya uchaguzi mkuu kuhusu Tanzania tuitakay. Ilani hii imetengenezwa kwa ushirikian wa Asasi za Kiraia(AZAKI) Tanzania na inalenga kuta mwngz kwa wananchi na vyama vyte vya siasa vinavyshiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kuzingatia Katiba, sheria za nchi na haki za binadamu katika mchakat mzima wa uchaguzi mkuu. Hivy basi, ilani hii ni dira na mwngz kwa wananchi, wagmbea, vyama vya siasa, serikali na wadau wengine kuzingatia mchakat wa uchaguzi uli huru, wa haki na amani. Pia ni mwngz kwa wanamba ridhaa ya kungza kuzingatia masuala ya msingi ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni yenye tija na maslahi kwa umma kwa maendele ya taifa kama yanavyainishwa katika ilani hii. Kimuund, ilani hii ina sura kuu nne. Sura ya kwanza inaelezea dhana na umuhimu wa uchaguzi. Sura hii inaelezea kwa ufasaha maana ya uchaguzi na umuhimu wake kwa maendele ya taifa letu. Aidha, sura hii inawafahamisha wananchi uzit halisi wa kura za na pia kuelezea maana ya uchaguzi huru na wa haki pamja na vigez vyake. Vile vile, sehemu hii ya kwanza inaelezea hatua muhimu za uchaguzi na changamt zake. Sura ya pili inata dira na mwngz kwa wanasiasa na vyama vya siasa, wanatafuta ridhaa ya kuwa vingzi kupitia uchaguzi. Hii ndiy sehemu maalum ya ilani inayelezea Tanzania tuitakay. Sura hii inaelezea ndt za watanzania zinazpaswa kutimizwa na vingzi na serikali itakayingia madarakani baada ya uchaguzi. Vile vile, inaelezea kwa ufasaha maana ya utawala wa katiba na sheria, mgawany wa madaraka, ulinzi na utetezi wa haki za binadamu, ulinzi na matumizi sahihi ya rasilimali za nchi, huduma za msingi kwa jamii, ushirikishwaji wa wananchi katika shughuli za umma na utawala, rushwa na ufisadi, uwajibikaji wa vingzi pamja na nafasi ya asasi za kiraia katika ulinzi wa haki na kuhimiza maendele endelevu nchini. Sura ya tatu ni mahususi kwa wit wa AZAKI kwa wadau mbalimbali nchini hususani wananchi, vyama vya siasa, wagmbea katika uchaguzi, Tume za uchaguzi, vymb vya ulinzi na usalama, vymb vya habari, vingzi wa dini, wadau wa kimataifa na watumishi wa serikali kuzingatia ushiriki kamilifu na ulinzi wa amani na haki za binadamu katika mchakat mzima wa uchaguzi na Tanzania tuitakay kwa maendele ya taifa sasa na vizazi vijavy. Sura ya nne na ambay ni ya mwish ya ilani ni hitimish. v

7 SISI NI AKINA NANI? Sisi ni Asasi za Kiraia (AZAKI) za nchini Tanzania zilizundwa na kutambulika kisheria na zinazfanya kazi katika masuala mbalimbali ya kisheria, kijamii, kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni. Kwa umja wetu tunasimamia na kuhimiza utawala wa sheria na haki za binadamu na masuala yte ya kimaendele ili kuhakikisha maisha ya mtanzania yanakuwa bra katika nyanja zte. Katika masuala binafsi, kila asasi au kwa makundi ya wanay ilani inaygusia masuala ya kiasasi, lakini kwa pamja masuala yte yenye masilahi ya pamja kama wananchi kwa maendele ya taifa tumeyawasilisha kupitia ilani hii ya uchaguzi. Kwa ujumla sisi ni watanzania, wazalend, wapenda maendele endelevu, watetezi wa haki za binadamu na wasimamizi wa utawala bra na utawala wa sheria. vi

8 Tanzania Tuitakay SIFA ZA KIONGOZI ANAYEFAA Uchaguzi ni sehemu kuu ya michakat ya kidemkrasia duniani kte. Sisi asasi za kiraia tukiwa watetezi na wasimamizi wa demkrasia, utawala bra na haki za binadamu, hatumuungi mkn mgmbea yeyte wala chama chchte cha kisiasa kinachtafuta kuingia madarakani wala hatulengi kuchukua dla. Kwa ujumla wake, uchaguzi huundwa na wadau wengi lakini makundi makuu mawili ni wapiga kura na wapigiwa kura. Ili wapiga kura waweze kuchagua kingzi atakayeweza kusimamia maendele ya nchi na kuhakikisha amani ya nchi inazidi kudumu haina budi kuwa na vigez vya kingzi bra. Vigez hivy ndiy dira inayngza asasi zte na wananchi kwa ujumla kuwapigia kura wanatafuta ridhaa ya kuingia madarakani. Kingzi Anayefaa ni Yupi? Hivy basi, kwa kutambua jamb hil, Asasi za Kiraia (AZAKI) kwa umja wetu tunakumbusha kuwa kingzi anayefaa kuingza Tanzania tuitakay ni: Mtetezi na mlinzi wa katiba na haki za binadamu. Hii ni sifa kuu kwa kingzi yeyte yule kuanzia ngazi za chini za serikali mpaka ngazi za juu. Kingzi bra ni yule anayeweza kusimamia, kutetea na kulinda haki za binadamu. Awe na utashi na busara za kiungzi na asiyekubali kupitisha na kusimamia sheria mbvu zenye kukandamiza haki za binadamu. Ni muwazi katika utendaji kazi wa serikali na anayethamini ushirikishwaji wa wananchi katika mipang ya umma kwa maendele ya taifa. Kingzi anapaswa kuwa muumini wa maendele shirikishi yatakayweza kuinua uchumi na kuten geneza mazingira rafiki ya ajira. Ni muwajibikaji na aliyetayari kufanya maamuzi yenye tija kwa taifa pamja na kuwawajibisha vingzi wengine wa umma wanapshindwa kutekeleza majukumu ya bila kuvunja sheria za nchi. Ni mwadilifu, asiyeta wala kupkea rushwa, mzalend kwa nchi yake na aliye tayari kunda mifum ya rushwa na ubadhirifu nchini. Ni mahiri katika kusimamia na kulinda rasilimali za nchi yetu ikiwem kupinga mikataba ambay haina tija kwa nchi yetu. Anayeamini kwa dhati katika misingi ya usawa wa kijinsia kwa mapana yake. vii

9 (i) (ii) (iii) (iv) Tanzania Tuitakay VIPAUMBELE VIKUU VYA AZAKI Katiba Mpya Tukukumbuke kuwa mchakat wa kuandika katiba mpya ulikwisha anza na umetumia pesa nyingi za Watanzania. Ni wazi kuwa hadi tunapkwenda kupiga kura Octba 25 mwaka huu mchakat wa Katiba mpya hautakuwa umekamilika, kwa mantiki hiy sisi wana AZAKI tunawataka wagmbea wanatafuta ridhaa ya ungzi watumie muda wa kampeni kuwahakishia watanzania kuwa wataendeleza mchakat wa upatikanaji wa katiba ya wananchi ndani ya muda wa miaka miwili. Pia wahakikishie wananchi kuwa watarurudisha misingi ya upatikanaji wa Katiba kwa kuweka mazingira yatakayheshimu mani ya wananchi na kujali ushiriki wa wananchi wte katika kutunga Katiba ya Taifa la. Sera ya Uchumi wa Kitaifa Tunataka kingzi ambaye anatambua kwamba pamja na kuwa kwenye uhuru zaidi ya miaka 50 watanzania wengi bad ni masikini licha ya kuwa Taifa hili lina utajiri mkubwa. Tunamhitaji kingzi atakayeweza kuja na sera ya Uchumi wa Taifa yenye maleng ya kulikwamua Taifa kiuchumi kwa kujenga mazigira sawa ya kiuchumi kwa watanzania wte bila kuweka matabaka ya walinach na wasinach. Tunahitaji kuna sera ya Taifa ya uchumi itakaysaidia kuliinua Taifa la kutka kwenye Taifa linaltegemea misaada na kuwa taifa linaljitegemea kiuchumi kwa kungeza uzalishaji wa ndani, kukuza viwanda vya ndani na kupunguza matumizi yasiy ya lazima ya serikali. Usimamizi wa Rasilimali za Umma Tanzania ni mjawap ya nchi zilizbarikiwa kuwa na rasilimali ambaz ni ardhi, madini, gesi asilia, mafuta, bahari, maziwa, mit, wanyama pri na misitu asilia. Katika miaka ya hivi karibuni ulinzi thabiti wa rasilimali za nchi hususani kwa mamlaka husika umeksekana nchini hali inaysababisha uptevu na ubadhirifu wa rasilimali za nchi kwa mfan, uvunaji haramu wa rasilimali misitu na bahari, umilikishwaji wa ardhi ya wazawa kinyume na sheria pamja na ujangili wa wanyamapri. Pia tumena vingzi wakiingia mikataba ya uwekezaji uvunaji na wa rasilimali isiy na tija kwa taifa. Tunawataka vingzi wte wenye kuwania nafasi za ungzi kutamka bila kifich namna watakavysimamia na kulinda rasilimali za nchi ili zitumike kwa manufaa ya Taifa na watu wake. Haki za Binadamu, Utawala wa Sheria na Mgawany wa Madaraka Tanzania kwa muda mrefu sasa imekuwa na changamt kubwa kuhusu utawala wenye kufuata misingi ya sheria, haki za binadamu na mgawany wa madaraka. Tunahitaji kuna Tanzania yenye vingzi watakaweza kusimamia utawala wa sheria, kulinda haki za binadamu na misingi ya mgawany wa madaraka. Kama njia ya kutekeleza haki za binadamu, pia tunawataka vingzi watakachaguliwa waweke nguvu zaidi kwenye kubresha huduma za msingi za kijamii kama vile elimu na afya. viii

10 SURA YA KWANZA DHANA NA UMUHIMU WA UCHAGUZI 1.0 Dhana ya Uchaguzi Haki za binadamu hususani haki za kisiasa na kiraia zinafafanua uchaguzi wa kidemkrasia kuwa ni mchakat mzima wa kupata vingzi wa ngazi mbalimbali za serikali kwa kuchaguliwa na wananchi. Uchaguzi ni mchakat wa kuwapata vingzi kwa njia ya kidemkrasia kupitia sanduku la kura. Hapa Tanzania kuna aina zifuataz za uchaguzi kwa mujibu wa Katiba na sheria; Uchaguzi mkuu amba huwawezesha wananchi kuwachagua vin gzi wakuu wa taifa Rais, wabunge na madiwani kwa Tanzania bara na kwa upande wa Zanzibar huwachagua Rais wa Zanzibar na Wajumbe wa Baraza la wawakilishi na Madiwani. Uchaguzi wa serikali za mitaa amba hujumuisha uchaguzi wa wenyeviti wa vijiji, mitaa, vitngji na wajumbe wa serikali ya kijiji na mtaa. Kwa kifupi, mchakat wa uchaguzi nchini Tanzania unajumui sha; Haki ya kuchagua na kupiga kura ambay imeainishwa katika ibara ya 5(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungan ya Tanzania ya Mwaka 1977 (tle la 2005) na Katiba ya Zanzibar ya 1984 (tle la 2010). Haki ya kuchaguliwa na kushiriki katika shughuli za utawala wa nchi kama ilivyainishwa katika ibara ya 21(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungan wa Tanzania. 1.1 Umuhimu wa Uchaguzi Uchaguzi ni mchakat muhimu sana katika taifa letu kwani ndi hatua pekee ya kidemkrasia inaywezesha kupatikana kwa vingzi wenye jukumu la kungza na kuleta maendele katika nchi husika kwa kufuata na kutekeleza sera, sheria, kanuni na maleng ya nchi. Kwa ujumla umuhimu wa uchaguzi ni; Kutekeleza dhana ya mamlaka na madaraka yte ya serikali yana tkana na wananchi kama ilivy ainishwa katika ibara ya 8(1)(a) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungan wa Tanzania. Kupata vingzi wa nchi kwa ngazi mbalimbali kwa njia ya kidemkrasia. 1

11 Dhana Na Umuhimu Wa Uchaguzi Kuheshimu utawala wa katiba na sheria kwa kutekeleza haki zilizaini shwa katika sheria na Katiba ya nchi. Kuwapa nafasi wananchi kushiriki katka shughuli za utawala wa nchi na utekelezaji wa mamb muhimu ya ujenzi na maendele ya nchi. Kuwapatia wananchi na vingzi fursa ya kujadiliana kuhusu changa mt za maisha ya watu na namna bra ya kuzitatua. Ni fursa kwa wagmbea kuwasikiliza wananchi na kunadi ilani ya vyama vya, ikiwa ni pamja na wananchi kuwawajibisha vingzi wazembe na walishindwa kutimiza maleng na mataraji ya wananchi. 1.2 Umuhimu wa Kupiga Kura Kwa kupiga kura, mwananchi anay nafasi ya kutimiza haki yake ya kikatiba ya kushiriki katika ujenzi wa maendele ya nchi na upatika naji wa huduma muhimu za kijamii na kiuchumi kwa faida yake na vizazi vijavy. Kura inata nafasi ya kidemkrasia kwake kama mwananchi kukasi misha madaraka na mamlaka ya kikatiba aliynay kwa serikali kupi tia wawakilishi. Kura inata nafasi kwa wananchi kukasimisha usimamizi wa rasili mali kwa vingzi. Kura inata fursa kwa wananchi kunufaika na matumizi ya kdi wana zlipa. Kura ikitumika vizuri inaweza kutatua matatiz ndani ya jamii. 1.3 Vigez vya Uchaguzi Huru na wa Haki Uchaguzi unapaswa kuwa huru na wa haki ili kuzingatia demkrasia na utawala wa sheria. Vifuatavy ni vigez vya uchaguzi huru na wa haki vinavypaswa kuzingatiwa katika mchakat wa uchaguzi nchini; 2

12 Dhana Na Umuhimu Wa Uchaguzi Watu wte wenye sifa na vigez vya kushiriki katika uchaguzi kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi wanashiriki kikamilifu (Universal suffrage). Kura inakuwa ni siri ya mpiga kura. (secret ballt) Uchaguzi unakuwa wa mja kwa mja yaani kura mja mtu mmja. Usawa unakuwep na kulindwa baina ya wapiga kura wte na vyama vya siasa vinavyshiriki katika uchaguzi. Uwep wa sheria za uchaguzi ziliz huru na zinazfuata misingi ya demkrasia Uwep wa ushindani wa ukweli wa kisiasa baina ya vyama vya siasa hapa nchini. 1.4 Hatua Muhimu za Mchakat wa Uchaguzi Ili uchaguzi uweze kuwa huru na wa haki lazima mchakat mzima uhusishe hatua muhimu zifuataz; (A) Maandalizi ya uchaguzi Utungwaji shirikishi wa sheria za uchaguzi na utekelezaji Uhamasishaji/elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi. Uandikishaji wa wapiga kura unazingatia vigez vya kikatiba na sheria za nchi. Kampeni za uchaguzi ili kuwapa wanananchi fursa ya kuchagua kingzi wanae mtaka. (B) Wakati wa Kupiga kura Upigaji kura uchaguzi huru, sawa na wa haki Utangazaji wa matke ya uchaguzi bila kucheleweshwa. (C) Baada ya Kura Kukubali ama kukataa matke ya uchaguzi Kupinga matke ya uchaguzi 3

13 Dhana Na Umuhimu Wa Uchaguzi 1.5 Rushwa na Matumizi ya Rasilimali za Umma Kipindi cha Uchaguzi Matumizi mabaya ya rasilimali za umma kipindi cha uchaguzi ni dhana pana, kwa kifupi ni matend yaliy kinyume cha sheria yanaytekelezwa na baadhi ya watumishi wa serikali hasa wale wenye kutaka kuwania nafasi za ungzi, au vingzi wanatamani kubakia madarakani. Mara nyingi matumizi haya yanatumika kwa leng la kusaidia vingzi kuendelea kushika dla. Kuna aina mbali mbali ya matumizi ya rasilimali za umma katika uchaguzi kama; Matumizi ya rasilimali watu Matumizi ya vymb vya habari vya umma Matumizi ya vymb vya usafiri vya umma Matumizi ya fedha za umma Matumizi ya mali nyingine za umma AZAKI zinakemea matumizi mabaya ya rasilimali za umma hasa kipindi cha uchaguzi ikiwa na leng tu la kusaidia kingzi au chama fulani kwa kuwa hii ni kinyume na misingi ya kidemkrasia na inaweza kuwa kiashiria kimja wap cha uchaguzi usi na usawa na wa haki. Pia tunakemea matumizi ya hng na rushwa kipindi cha uchaguzi hasa vipindi vya kura za mani ndani ya vyama na baadaye uchaguzi mkuu. Matumizi ya rasilimali za umma lazima yafuate misingi ya kisheria, na usawa kati ya vyama vyte vya siasa katika kampeni. Mfan matumizi ya vymb vya habari vya umma ni vyema vitumike kwa haki. 4

14 SURA YA PILI TANZANIA TUITAKAYO 2.0 Tanzania Tuitakay K ama sehemu ya kutambua na kunyesha mchang wetu muhimu kwa maendele ya Taifa, sisi wana AZAKI tumena ni vyema tukatumia fursa hii ya uchaguzi mkuu kuwakumbusha wanasiasa mamb ya msingi ambay tungependa wayape kipaumbele pindi watakapchaguliwa. Kwa ujumla, tunapenda kuna Tanzania yenye kuzingatia utawala wa katiba na sheria, kuheshimu haki za binadamu, ulinzi imara wa rasilimali za nchi, watanzania wenye kupata huduma bra za kijamii, taifa lenye kujali uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi katika mamb ya msingi, pia tungependa kuwa na Tanzania isiykumbatia ufisadi na yenye maendele ya kiuchumi ili kuta ajira na kumaliza umaskini wa watu wake. Sura hii itaeleza kwa kina Tanzania tunayitaka baaada ya uchaguzi mkuu tarehe 25 /10/ Mgawany wa Madaraka Utawala wa Katiba na Sheria Tanzania kwa muda mrefu sasa imekuwa na changamt kubwa kuhusu utawala wenye kufuata misingi ya sheria na mgawany wa madaraka. Utendaji wa vingzi wengi wa serikali hasa wanaptekeleza majukumu ya ya kiutawala umekuwa wa kutkuzingatia Katiba, sheria za nchi na wenye kukiuka haki za binadamu. Hali hii ya kutkutii na kuheshimu sheria za nchi si tu imekuwa ikijitkeza kwa vingzi bali hata kwa wananchi wenyewe Utawala wa Sheria Utawala wa sheria maana yake ni kuwa raia na vingzi wanatii na kuheshimu sheria. Sheria zte zinapaswa kutekelezwa na kupitishwa kwa uwazi na ushirikishwaji wa wananchi wte wanaathiriwa na sheria husika na pia kuhakikisha kunakuwep na matumizi sahihi ya sheria husika kwa vymb vyenye jukumu la kutekeleza sheria hiz. Aidha hauna budi kuzingatia nguz kuu tatu za utawala wa Sheria ambaz ni; Uhalali, Demkrasia na Haki za Binadamu. 5

15 Tanzania Tuitakay Tamk Kuhusu Utawala wa Sheria Ili tuweze kuwa na Tanzania yenye kuheshimu utawala wa sheria, mtu mwenye kuutaka ungzi anapaswa kuwahakikishia watanzania kuwa kutakuwa na Taifa lenye kuuzingatia utawala wa Katiba na Sheria. Tunahitaji Taifa ambal Serikali na watendaji wake pamja na mtu mmja mmja na taasisi binafsi wanawajibika na kufanya maamuzi kwa mujibu wa sheria. Kuwep na sheria nzuri, zinazjulikana na wte, zenye kuzinga tia misingi ya haki, usawa na usalama wa watu na mali za. Sheria lazima ziwe wazi vya kutsha kwa sababu watu hawawezi kutii sheria ikiwa hawazielewi sheria hiz. Tunahitaji Taifa ambal mchakat wa upatikanaji wa sheria na sera mbalimbali utazingatia uwazi na ushirikishwaji wa jamii na makundi mbalimbali ya raia nchini. Tunahitaji mfum wa utaji haki amba ni huru, imara na wenye kuzingatia weledi, muda na usawa mbele ya sheria. Tunahitaji Vingzi amba watawahakikisha watanzania wana pata katiba bra yenye kuzingatia mani ya wananchi, uwa jibikaji, utawala bra, mgawany wa madaraka na haki za binadamu. Tunahitaji kuzingatia misingi bra ya Katiba hususani mga wany wa madaraka Mgawany wa Madaraka Serikali ya Tanzania haina mgawany sahihi wa madaraka. Tumena mihimili mikuu ya dla hususani Bunge, Mahakama na Serikali vikiingiliana katika utendaji wake wa kila siku na wakati mwingine mhimili mmja kukimbia majukumu yake kwa kisingizi cha kuepusha mgngan na mhimili mwingine.utawala wa sheria unahitaji kuwa mihimili mikuu ya nchi, yaani serikali, bunge na mahakama inatenganishwa na haiingiliani katika utendaji kazi. Kutenganishwa huk kunalenga pia kuzuia watendaji katika chmb kimja kuwa na majukumu katika chmb kingine. 6

16 Tanzania Tuitakay Kwa mfan, Mbunge kuwa waziri na kushiriki vika vya serikali katika baraza la mawaziri. Dhana ya mgawany wa madaraka inaeleza kuwa mamlaka ya Serikali ni utendaji; mamlaka ya Bunge ni kutunga sheria na kusimamia utekelezaji wa shughuli za umma; na mamlaka ya Mahakama ni kutafsiri sheria na kuta haki. Hapa Tanzania dhana hii inatajwa kwenye Ibara ya 4(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungan wa Tanzania ya mwaka Tamk kuhusu Mgawany wa Madaraka Tunahitaji vingzi watakahakikisha hakutakuwa na muingilian wa kimadaraka tka mhimili mmja hadi mwingine. Mathalani, Serikali kuttawala, kuingilia ama kufanya kazi za mhimili mwingine kama Bunge na Mahakama. Leng la mgawany wa madaraka ni kungeza ufanisi na kuleta uwajibikaji wa mihimili ya dla. Tungependa Tanzania ambay mawaziri hawatkani na wabunge ili kujenga vizuri dhana ya mgawany wa madaraka na uwajibikaji. Ili kubresha vizuri majukumu ya kila mhimili kusimamia na kuwa jibisha mhimili mwingine ni vyema bunge likawa huru kwa kut kuwa na mawaziri ili kulipa nguvu ya kuwawajibisha mawaziri pale wanapshindwa kutekeleza majukumu ya kulingana na katiba na sheria za nchi. Uwep wa vymb huru vya utaji haki hasa mahakama na Tume ya Haki za Binadamu na Tume za Uchaguzi. Tanzania yenye mfum wa ungzi amba hauti mwanya kwa watumishi wa umma kushika nafasi za kisiasa. Tanzania yenye mfum wa ungzi amba hutenganisha shughuli binafsi za kibiashara na ungzi wa umma ili kuepuka mgngan wa kimaslahi. Serikali inayingia madarakani ipunguze mrundikan wa mada raka kwa watendaji wake. Endap mtu atakuwa Mbunge asiwe mkuu wa mka/wilaya wala Mjumbe kwenye Bdi za Mashirika ya umma, 7

17 Tanzania Tuitakay 2.2 Haki za Binadamu Mjawap ya misingi mikubwa ya utawala bra na wa sheria ni kuheshimiwa na kulindwa kwa haki za binadamu. Ili Taifa linekana kuwa linazingatia misingi ya utawala bra na utawala wa sheria ni muhimu kuheshimu na kulinda haki za binadamu. Haki za Binadamu ni haki za msingi ambaz mwanadamu yeyte yule bila kujali rangi, umri, ulemavu, jinsia, wadhifa, taifa wala kabila anakuwa naz kama binadamu. Haki za binadamu kama zilivyainishwa katika Tamk la Haki za Binadamu la mwaka 1948 zimegawanywa katika makundi mbali mbali kama vile haki za kiraia na kisiasa, haki za kijamii, kiuchumi na kiutamaduni haki za pamja na haki za makundi mbalimbali. Hali ya haki za binadamu hapa nchini Tanzania imekuwa siy ya kuridhisha ingawa kuna maene tumeanza kuna mabadilik madg madg. Bad Taifa linaksa uhuru wa kutsha wa mani na vymb vya habari kutkana na sababu mbalimbali hususani uwep wa sheria kandamizi na zinazzuia uhuru stahiki katika tasnia ya habari. Vile vile, wananchi wameendelea kujichukulia sheria miknni ikiwem kuua watu wanasadikiwa kuwa vibaka, kuvamia vitu vya plisi na mauaji ya watu wenye ualbin. Pia kumekuwep na mazingira magumu ya uhuru wa asasi za kiraia na vyama vya kisiasa kufanya majukumu ya kwa maendele ya taifa. Tamk Kuhusu Haki za Binadamu (i) Uhuru na Haki za Kiraia Tunahitaji vingzi watakazingatia na kuhakikisha haki za binadamu zinalindwa na serikali na vymb vyake kwa mujibu wa sheria, katiba na mikataba ya kimataifa ya haki za binadamu. Haki hizi ni rahisi sana kutekelezwa na kulindwa endap tutapata vingzi wenye nia thabiti. Serikali inapaswa kukmesha watu kukamatwa kihlela, kuwekwa kuzuizini na kuteswa. 8

18 Tanzania Tuitakay Haki ya Kuishi imekuwa ikivunjwa sana hapa Tanzania, hivy tun apenda kuna Tanzania ikipata vingzi wenye kujali na kulinda haki ya kuishi ikiwem juhudi za kunda adhabu ya kif. Tunapenda pia kuna baada ya uchaguzi Tanzania yenye kuzinga tia uhuru wa kuta mani, kujieleza na uhuru wa vymb vya habari na kupata habari. Katika kufanikisha hili vingzi watamke kuwa watata fursa ya kuzirekebisha ama kuzifuta sheria zte zinazpknya uhuru wa vymb vya habari, uhuru wa kujieleza na haki ya kupata habari. Tunahitaji tupate vingzi watakaweza kudhibiti wimbi la mauaji kwa imani za kishirikina nchini hususani mauaji ya watu wenye ualbin, wanawake na vikngwe. Tunategemea kuwa na Taifa lenye kulinda usalama wa watetezi wa haki za binadamu pamja na waandishi wa habari wanakuwa katika majukumu ya. Usawa mbele ya sheria ni mja ya haki za msingi kwa kila mtanza nia hivy tunategemea kuwa na Taifa litakalzingatia utaji wa haki sawa kwa makundi yte. (ii) Haki za Kisiasa Haki za Kisiasa ni haki za msingi katika kuta fursa kwa wananchi kushiriki katika shughuli za umma na utawala wa nchi. Kila raia ana uhuru wa kushiriki ipasavy katika serikali ya nchi yake mja kwa mja au kupitia wawakilishi wake. Ibara ya 8 na 21 za Katiba zinasisitiza kuwa mamlaka ya nchi yatatka kwa wananchi na wananchi wana haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Tamk kuhusu haki za Kisiasa Haki ya Kujumuika pamja na raia wengine ni mjawap ya haki za msingi kwa raia wa Taifa llte lile. Tunawataka vingzi wan ahitaji ridhaa ya kungza Taifa hili kuhakikisha haki hii ya kujum uika na kufanya maandaman inalindwa na kuheshimiwa. 9

19 Tanzania Tuitakay Kumekuwa na vikwaz katika kusajili na kuendesha vyama vya kiraia na kisiasa hapa nchini. Vingzi wte wenye kutaka ridhaa ya watanzania wanapaswa kuhakikisha kuwa wataweka mazingira rafiki katika kusajili na kuendesha vyama vya kiraia na kisiasa hapa nchini. Wananchi wana haki ya kushiriki katika utawala wa nchi ya. Tunahitaji Taifa litakalta mazingira ya uhuru na ushirikishwaji kwa wananchi katika utawala wa nchi. Ili kufanikisha hili, inabidi kuwep mfum wa siasa unata fursa sawa kwa wananchi wte na makundi yte ya kisiasa bila ubaguzi au upendele. Pia, ili kuwa na uchaguzi huru na wahaki tunategemea vingzi watakachagu liwa waweke mazingira sawa na wezeshi kwa wananchi kushiriki utawala wa nchi ya. Mathalani kuhakikisha nafasi ya mwananchi kugmbea kama mgmbea huru inakuwep. Katiba mpya imekuwa ni kili cha Watanzania kwa muda mrefu. wa msingi hu tunata wit kwa serikali itakayingia madarakani iwahakikishie wananchi kuwa itapitisha Katiba mpya inaytkana na mani ya wananchi. (iii) Haki za Kiuchumi Haki za kiuchumi mara nyingi hazipewi sana kipaumbele na serikali yetu na zimekuwa zikiwekwa katika sehemu ya maleng muhimu ya serikali kwenye katiba, hali inaynda uwez wa mahakama kuhji utekelezwaji wake. Haki hizi ni pamja na haki ya kufanya kazi na kupata ujira stahiki, haki ya kujiunga katika mashirikish na vyama vya wafanyakazi na waajiri, haki ya kuwa katika hali nzuri kiuchumi, haki ya afya na hifadhi ya jamii na haki ya kumiliki mali. Hali ya haki hizi hapa nchini siy ya kuridhisha kutkana na kwamba bad kuna changamt kubwa ya ajira, mazingira magumu ya wafanyakazi, na pia wananchi wamekuwa wakipknywa haki ya kumiliki mali kama ardhi, mifug nakadhalika. 10

20 Tanzania Tuitakay Tamk Kuhusu Haki za Kiuchumi Kulingana na tamk la haki za binadamu la mwaka 1948, haki zte, zinategemeana na zinalingana katika umuhimu wake. Hivy basi serikali inapaswa kupitisha katiba mpya iliytkana na mani ya wananchi inaywapa wananchi uwez wa kuhji utekelezwaji wa haki hizi za kiuchumi kama ilivy kwa haki za kiraia na kisiasa. Serikali inapaswa kuhakikisha inaweka sera, mpang mkakati na vipaumbele vinavytekelezeka kuhusu kunyanyua hali ya uchumi kwa wananchi wasi na ajira hususani kutengeneza mazingira rafiki ya ajira kwa sekta rasmi na wale wanajishughulisha kwenye ajira zisiz katika mfum rasmi, ikiwem kilim, uvuvi na ufugaji. Serikali inapaswa kuhakikisha Sheria za ardhi zinazhitaji wanan chi kushirikishwa pale ardhi inaptwaliwa na serikali kwa ajili ya shughuli za maendele na uwekezaji zinatekelezwa. Kuwep na fidia stahiki na ya wakati kulingana na bei ya sk baada ya ardhi kutwaliwa kwa mujibu wa sheria. 2.3 Haki za Makundi Maalumu Haki za makundi maalum ni haki zte zinazjumuisha haki zte za binadamu katika makundi mbalimbali ya watu wanatakiwa kupewa uangalizi maalum kwa sababu ya hali ya mazingira magumu wanaykutana nay katika jamii. Makundi haya ni kama vile watt, vijana, watu wenye ulemavu, wakimbizi, wazee, wanawake na makundi mengine madg madg katika jamii. Kwa kuwa haki za watu wali katika makundi haya zimeainishwa katika haki za binadamu, kumekuwep na usahaulifu wa mamlaka husika na wananchi kwa ujumla kuwa makundi haya yanahitaji uangalizi maalum kulingana na mazingira wanaykutana nay katika maisha. Mathalani, mauaji ya watu wenye ualbin nchini, sheria kandamizi dhidi ya wanawake na watt na pia uksefu wa hifadhi ya jamii kwa wazee na makundi mengine ya pembezni. 11

21 Tanzania Tuitakay Tamk Kuhusu Haki za Kiuchumi Serikali inayingia madarakani ihakikishe inapitisha katiba mpya iliytkana na mani ya wananchi inayainisha haki za makundi maalum na wajibu wa serikali na jamii nzima kuhusu makundi hay maalum. Utekelezaji thabiti wa mikataba mbalimbali ya haki za binadamu ambay Tanzania ni nchi mwanachama iliy mahususi kwa ajili ya watt, wazee, wakimbizi, watu wenye ulemavu, wanawake, vijana na makundi ya pembezni kama vile wafugaji asilia na wakta matunda. Serikali kupitisha sera na sheria madhubuti inaywalinda watu wenye ulemavu na isiy ya kibaguzi pamja na kuhimiza na kuwe ka miund mbinu iliy rafiki kwa watu wenye ulemavu wte kufu rahia haki za za msingi za kikatiba. Kunda au kurekebisha sheria zte na sera kandamizi dhidi ya wanawake na watt. Kuahakikisha jamii za makundi madgmadg hasa ziliz pem bezni mwa nchi na zilizsahaulika zinalindwa na zinapewa fursa ya kunufaika na rasilimali za nchi. Serikali ihakikishe inatekeleza sera za wazee na vijana kwa kutu nga sheria zitakaz simamia na kulinda haki za. Serikali ihakikishe inaweka mazingira mazuri ya wafugaji asilia na wakulima wadg wadg kutumia rasilimali za nchi ili kupun guza miggr ya mara kwa mara. 2.4 Ulinzi wa Rasilimali Muhimu za Nchi na Haki ya Maendele Haki ya ulinzi na hifadhi ya rasilimali muhimu za nchi ni mja kati ya haki muhimu katika makundi ya haki za binadamu hususani haki za kiuchumi na haki za pamja. Hivy basi, dhana ya utawala wa sheria na haki za binadamu,ni lazima izingatie ulinzi na matumizi ya rasilimali za nchi kwa maendele ya taifa. 21

22 Tanzania Tuitakay Tanzania ni mjawap ya nchi zilizbarikiwa kuwa na rasilimali ambaz ni ardhi, madini, gesi asilia, mafuta, bahari, maziwa, mit, wanyama pri na misitu asilia. Katika miaka ya hivi karibuni ulinzi thabiti wa rasilimali za nchi hususani kwa mamlaka husika umeksekana nchini hali inaysababisha uptevu na ubadhirifu wa rasilmali za nchi kwa mfan, uvunaji haramu wa rasilimali misitu na bahari, umilikishwaji wa ardhi ya wazawa kinyume na sheria pamja na ujangili wa wanyamapri. Pia tumena vingzi wakiingia mikataba ya uwekezaji, uvunaji wa rasilimali usiy na tija kwa taifa. Tunawataka vingzi wte wenye kuwania nafasi za ungzi kutamka bila kifich namna watakavysimamia na kulinda rasilimali za nchi ili zitumike kwa manufaa ya Taifa na watu wake. Tamk Kuhusu ulinzi wa rasilimali za nchi Mamlaka husika katika serikali itakayingia madarakani zizingatie na kutekeleza mikataba ya kimataifa ambay Tanzania ni mshirika inayelezea haki ya ulinzi wa rasilimali kwa manufaa ya wananchi wte na wananchi kufaidi rasilimali muhimu zanchi,kama ilivy ainishwa kwenye ibara ya 21 ibara ndg ya 1 ya mkataba wa Afr ika wa haki za binadamu na watu. Kuwapa wananchi mamlaka ya kikatiba ya kushitaki serikali maha kamani pale vingzi wanapshindwa kusimamia ipasavy rasili mali za nchi. Sheria zte zisizlinda rasilimali muhimu au zinazta mwanya kwa rasilimali za nchi kutumika bila kumnufaisha mwananchi zifu twe au kurekebishwa. Serikali ijay isimamie vizuri uvunaji, matumizi na mgawany sa wa wa rasilimali za nchi ili kuepuka miggr baina ya wawekezaji na wananchi pamja na miggr ya wenyewe kwa wenyewe kama vile miggr ya wakulima na wafugaji. Kuwep na uwazi wa mapat, matumizi na mikataba inayhusu uwekezaji kwenye rasilimali za nchi kama madini, gesi, mafuta ardhi, misitu na wanyama pri. 13

23 Tanzania Tuitakay Mamlaka za nchi zizingatie, kutekeleza na kusisitiza juu ya matu mizi mbadala ya nishati kama gesi ili kunusuru uhai wa misitu asilia na kuepusha hali ya jangwa nchini. Kwa mfan, gesi asilia iliyvumbuliwa Mtwara itumike Kwa manufaa ya wananchi wte na si kunufaisha wawekezaji pekee. 2.4 Nafasi na Haki za Asasi za Kiraia Asasi za Kiraia zimekuwa na mchang mkubwa kwa maendele ya Taifa. AZAKI zimekuwa mstari wa mbele kutetea haki na maslahi ya watanzania wte. Mara kwa mara, baadhi ya vingzi wa taifa hili wamekuwa hawathamini mchang na kazi za AZAKI hadi kuzipa majina mbalimbali kwa leng la kuzichafua. Asasi za Kiraia hazipewi kipaumbele kama wadau muhimu wa maendele katika Taifa hili. Uhuru wa AZAKI kufanya kazi za umekuwa pia ukipata vikwaz vya aina mbalimbali ikiwa ni pamja na kuwep kwa sheria kandamizi na vizuizi vya kufanya miradi mbalimbali ya maendele, ulinzi wa haki za binadamu, utawala bra na uwajibikaji. Tamk Kuhusu Nafasi ya AZAKI Tunataka vingzi watakachaguliwa wazingatie umuhimu wa kutambua na kulinda nafasi ya AZAKI kama wabia muhimu wa maendele na utawala bra wenye kuzingatia sheria katika Taifa. Wawe tayari kufanyia marekebish au kunda kabisa sheria mba limbali zinazkandamiza uhuru wa AZAKI na watetezi wa haki za binadamu hapa nchini. Kukemea baadhi ya vingzi wanatumia nyadhifa za kukanda miza na kuzuia utekelezaji wa kazi za AZAKI katika maene ya. Tunataka vingzi watakashirikisha AZAKI katika mipang mbali mbali ya maendele na kuthamini michang ya AZAKI kwa ustawi wa jamii na Taifa. Vingzi watakata uwakilishi wa AZAKI katika vymb vya maa muzi kama Bunge bila kupitia chama chchte cha siasa. Mfan Rais kutumia madaraka yake ya uteuzi wa wabunge kumteua mwa kilishi wa AZAKI asiyefungamana na chama chchte. 14

24 Tanzania Tuitakay 2.5 Huduma Za Kijamii Huduma za jamii ni haki za msingi katika kujenga jamii yenye maendele endelevu.kwa mujibu wa Katiba, serikali inapaswa kuweka mazingira wezeshi kuhakikisha huduma za kijamii zinapatikana kwa urahisi na kwa watu wte na kwa wakati. Huduma hizi ni kama vile elimu, afya, maji safi na salama. Kwa miaka zaidi ya hamsini baada ya uhuru hali ya utaji wa huduma za msingi za kijamii umekuwa si wa kuridhisha. Katika kuweka mazingira wezeshi ya upatikanaji wa huduma hizi nchini, wananchi wte wanapaswa kushirikishwa katika mipang na maamuzi kuanzia ngazi za chini hadi ngazi za juu Upatikanaji wa Huduma ya Elimu kwa Wte Haki ya elimu ni haki ya msingi ya binadamu na ni haki muhimu kwa maendele. Haki hii inahamasisha uhuru na uwez wa mtu binafsi katika kujiletea maendele. Bad miundmbinu ya shule zetu za msingi, sekndari na vyu hairuhusu upatikanaji wa elimu bra na endelevu kwa mustakabali wa Taifa. Ubra wa elimu hapa nchini kwa ngazi zte umekuwa ukishuka kutkana na sababu mbalimbali zikiwep uksefu wa walimu wenye sifa na wakutsha, miund mbinu mibvu, uksefu wa vitabu vya ziada na kiada, vifaa vya kufundishia na mazingira magumu ya kazi na uratibu na usimamizi mbvu wa sekta ya elimu. Tamk Kuhusu Elimu Tunahitaji vingzi na serikali itakay kuja na Dira ya Elimu na kuweka mikakati endelevu ya kubresha kiwang cha elimu kwa manufaa ya watanzania wte. Vingzi waweke mazingira bra ya kutlea elimu inayzingatia mahitaji ya makundi maalum na watt wenye mahitaji maalum. Kuhakikisha watt wte wenye umri wa kwenda shule wanakwe nda kwa kupiga vita ajira kwa watt wenye umri wa kuwa shule. 15

25 Tanzania Tuitakay Tunamtaka kingzi atakayejali na kubresha mishahara na mas lahi ya walimu na kunda kabisa tatiz la upungufu wa walimu kwa shule za sekndari na msingi. Kingzi atakayechaguliwa asimamie na kunda tfauti kubwa za ubra kati ya shule za serikali na zile za binafsi. Tunawataka vingzi watakachanguliwa kufuta sheria za kibaguzi zinazminya fursa ya mtt wa kike kupata elimu, baadhi ya sheria hiz ni pamja na zinazchangia mtt wa kike kulewa akiwa na umri mdg. Tunahitaji kingzi atakaye hakikisha kuwep kwa usawa wa kijin sia katika sekta ya elimu. Vingzi watakaingia madarakani wahakikishe kunakuwep na miund mbinu rafiki ya kujifunzia kwa watu wte ikiwem watu wenye ulemavu Huduma za Afya Haki ya kiwang stahiki cha maisha inatambuliwa chini ya Ibara ya 25 (1) ya Tamk la Umja wa Mataifa la Haki za Binadamu, ikiwep; Kila mtu ana haki ya kiwang cha maisha kinachkidhi afya na ustawi wake na familia yake, pamja na chakula, mavazi, makazi na matibabu na huduma muhimu za jamii.. Hali halisi ya upatikanaji wa huduma za afya nchini Tanzania hairidhishi hivy kuathiri haki ya kuishi. Bajeti ya Taifa kwa kipindi cha miaka zaidi ya 10 haijakidhi azimi la Abuja la kutenga kiasi cha asilimia 15 ya fedha za ndani kwa ajili ya bajeti ya afya. Pamja na kuwa na mipang mbalimbali ya utekelezaji, uzefu umenyesha kuwa fedha zinaztengwa na serikali hazifiki kwa wakati ili ziweze kutekeleza majukumu mbalimbali ya afya. Hivy kutkana na hali hiy sekta ya afya imekuwa na hali mbaya kwa kuksa watumishi wa kutsha, vifaa tiba, miundmbinu mibvu na mishahara midg. 16

26 Tanzania Tuitakay Tamk kuhusu huduma za AFYA Tunataka serikali itakayingia madarakani kunda tatiz la kulip ishwa fedha za matibabu wanawake wanajifungua katika zaha nati za kata na hsiptali za umma. Tungetaka kuna serikali itakay ingia madarakani ikitenga fedha za kutsha kwenye bajeti yake kwa ajili ya sekta ya afya ili kubresha huduma za afya iweze kufikia au kuzidi aslimia 15 zilizpendekezwa na Azimi la Abuja. Tunataka kuna watu wanaishi na ulemavu, virusi vya UKIMWI, watt chini ya umri wa miaka mitan na wapatiwe huduma za afya nzuri na za kutsha bure kwa hspitali zte. Tunahitaji kuna ungzi utakahakikisha kuwa magnjwa kama saratani na shinikiz la damu yaingizwe kwenye mfum wa kupata matibabu kwa njia ya Mfuk wa Bima ya Afya na Mfuk wa Afya ya Jamii (NHIF na CHF ). Tunataka serikali ijay ibreshe utaratibu wa wazee na watt kupata matibabu ya bure. Watanzania wanahitaji ungzi utaka ka maisha ya wananchi masikini kwa kupeleka wataalamu wa kutsha wa afya maene yte hasa ya vijijini. Serikali itakayingia madarakani ihakikishe inajenga nyumba za wafanyakazi kwenye zahanati zte nchini ili kusgeza huduma karibu na wananchi. Tunahitaji kuna vingzi watakahakikisha watu wenye ualibin wanapata vifaa vya kujikinga na magnjwa na minzi kama vile mafuta maalum ya ngzi na miwani ya jua. Tunahitaji kuna utaratibu wa huduma za matibabu nje ya nchi unakuwa wazi na unatlewa bila upendele. Pia serikali ibreshe huduma za afya hapa nchini ili kupunguza gharama za matibabu nje ya nchi. Tunahitaji vingzi watakalinda haki za mlaji wa madawa na vyakula dhidi ya madawa na vyakula vyenye madhara kiafya na kiwang duni. 17

27 Tanzania Tuitakay Huduma za Maji Safi na Salama Huduma ya maji ni mja wap ya huduma za msingi kwa maisha ya binadamu kwa kuwa maji ni uhai. Sera ya maji ya mwaka 2002 inaeleza kuwa madhumuni ya jumla ya sera kuhusu utaji wa huduma ya maji ni kubresha afya ya jamii na kusaidia kunda umaskini vijijini ikiwa ni pamja na kubresha upatikanaji wa maji safi salama na yakutsha.hata hivy hali halisi ya upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa mijini na vijijini imekuwa tatiz sugu. Tamk kuhusu huduma za MAJI Tunataka kuna vingzi watakachaguliwa wakihakikisha kuwa tatiz la wanawake wa mijini na vijijini kutembea umbali mkubwa kutafuta maji linapatiwa ufumbuzi. Maji yawe ni kipaumbele cha serikali ijay na kuhakikisha bajeti ya maji inangezwa ili kukidhi mahitaji. Maji yasiwe bidhaa Kama ilivy sasa, iwe ni huduma ya msingi na serikali ihakikishe wananchi wte wanaipata bila tatiz. Serikali ihakikishe inasimamia vyanz vya maji na utunzaji wa mazingira kwa kuta elimu. 2.6 Ushiriki na Ushirikishwaji wa Wananchi katika Maamuzi Kuna changamt mbalimbali zinazkabili utendaji wa mamlaka ya serikali za mitaa hadi serikali kuu. Hadi sasa mamlaka ya wananchi imeprwa na haijulikani ip wapi. Haieleweki ni namna gani wanashiriki katika maamuzi na katika shughuli za maendele na ukuaji wa uchumi wa nchi, huduma za Jamii na maisha ya kwa ujumla. Tanzania ya le, inahitaji kingzi atakayesimamia na kuweka mikakati thabiti ya uanzilishwaji na utekelezwaji wa mpang wa ubreshaji wa mfum wa serikali za mitaa ulianza mwaka 1998 amba ulilenga kupeleka madaraka kwa wananchi. Miradi mbalimbali ya maendele imeksa ushiriki kamilifu wa wananchi katika hatua za awali za uibuaji na usimamizi. 18

28 Tanzania Tuitakay Tamk kuhusu ushirikishwaji wa wananchi katika maamuzi: Serikali itakayingia madarakani ihakikishe inabresha sheria za serikali za mitaa ili ziweze kuwawajibisha vingzi wa vijiji/mitaa amba hawashirikishi wananchi kwenye zezi la kuibua, kupanga na kusimamia miradi katika maene ya Vingzi watakaingia madarakani waweke utaratibu utakazi bana serikali za mitaa/serikali kuu kuheshimu maamuzi ya vika halali vya serikali za mitaa/vijiji vilivybainisha vipaumbele vya wananchi na hivy ndivy vipewe fedha kwa utekelezaji Mingz ya usimamizi wa rasilimali za umma iliytlewa na TAMI SEMI isimamiwe na kutekelezwa kikamilifu ili wananchi washiriki kuwawajibisha vingzi wabadhirifu wa rasilimali za umma. Kuhakikisha wananchi kuanzia ngazi ya vijiji/mitaa kupitia serikali za wanashiriki ipasavy katika kutunga sera za nchi badala ya kuwa watekelezaji tu. Serikali itakayingia madarakani iwaelimishe wanachi kuhusu ulipaji kdi na ihakikishe inakusanya kdi na kutumia mapat ya kdi hiz kwa manufaa ya wananchi. 2.7 Usawa wa Kijinsia Dhana ya usawa wa jinsia inatumika pale ambap jamii imeweza kunda peng lililjengeka katika kufikia, kumiliki na kufaidi rasilimali zinazshikika na zisizshikika katika jamii husika. Kimantiki usawa wa jinsia ni hali ya maisha isiyjengeka katika kubagua mwanamke au mwanaume kutkana na jinsi au hali yake. Hapa kwetu Tanzania usawa wa jinsia unapanuka kwa kasi ndg na hivy kudhfisha demkrasia na kuathiri maendele yetu hususani vita dhidi ya umaskini. Azimi la Umja wa Afrika kupitia Mkataba wa Nyngeza wa Maput uliagiza nchi wanachama kufanya marekebish ya Katiba ili kuwezesha kufikia 50/50 usawa wa kijinsia katika Ungzi ifikap mwaka

29 Tanzania Tuitakay Tamk kuhusu usawa wa KIJINSIA Serikali itakayingia madarakani ihakikishe inawezesha kufikiwa kwa leng la 50/50 kwenye nafasi zte za ungzi Vingzi watakachaguliwa wadhibiti mfum unaruhusu wenye mali kuhdhi madaraka ya kisiasa amba unadhhfisha demkra sia shirikishi, na kuadhiri ushiriki wa Wanawake na wanaume masikini katika maamuzi ya ungzi wa taifa la katika ngazi zte. Kuweka utaratibu wa kisheria na kikatiba utakata mwngz kuwezesha makundi yte ya jamii kama wanawake, makundi ya pembezni na wenye ulemavu wa viung wanashiriki kikamilifu katika uchaguzi kama wapiga kura na kama wagmbea ungzi wa nyadhifa mbalimbali. Kupiga marufuku matumizi ya lugha za kashfa, matusi, udhalil ishaji kwenye chaguzi zte ili makundi yte yaweze kushiriki bila kikwaz. Tunataka serikali ambay itarekebisha au kunda kabisa sheria kandamizi kwa haki za mtt na mwanamke kama ile sheria ya Nda ya Uchumi Endelevu na Ajira Haki ya kupata ajira ni haki inaytambulika kikatiba, na serikali inal jukumu la kuhakikisha kuwa inaweka mazingira safi na rafiki ili kumpa nafasi mwananchi kunufaika na haki hiy. Hata hivy, ajira bad ni changamt kubwa sana Tanzania. Pamja na ngezek la wasmi nchini, pia ahadi za vingzi mbalimbali wa serikali kuweka mazingira bra ya ajira baada ya kuingia madarakani, serikali na taasisi za umma zimekuwa haziti kipaumbele na kusisitiza upatikanaji kwa wingi wa ajira na kutkuweka mazingira rafiki ya kujiajiri, hali inaysababisha hali mbaya ya kiuchumi kwa watanzania wengi hasa vijana. 20

30 Tanzania Tuitakay Kilim ambach kinaajiri watanzania zaidi ya asilimia 80 bad hakijaweza kuwakwamua wananchi wali wengi amba wameendelea kuishi katika hali isiyridhisha kiuchumi kwa kuwa wengi wa ni wakulima wadgwadg na wamekua wakitumia mbinu na nyenz duni zisiz endana na teknljia ya kilim cha kisasa. Pamja na kuwa serikali tangu kupata uhuru imekua na kauli mbiu na mikakati mbali mbali ya kuendeleza na kukuza sekta ya kilim kama vile siasa ni kilim, kilim ni uti wa mgng na pia kwa sasa kilim kwanza, bad kauli mbiu hizi hazijaweza kubadilisha hali kwa kuwa hazikutekelezwa ipasavy. Tfauti na kilim sekta nyingine za uchumi zinazweza kusaidia kuinua ajira nchini ni utalii, uvuvi, usafiri, mawasilian, viwanda na biashara, uchimbaji madini na kadhalika. Kwa kiwang fulani, baadhi ya sekta kama za usafiri zimeweza kuwaajiri vijana wengi ingawa bad wanafanya kazi katika mazingira magumu. Tamk kuhusu ajira na Uchumi Tunahitaji kuwa na vingzi wenye mipang na mikakati thabiti na inaytekelezeka ya kufufua na kuendeleza kilim cha kisasa na endelevu kwa kutumia umwagiliaji na nyez za kiteknljia za kilim cha kisasa. Inahitajika mikakati ya wazi ya namna viwanda vitakavbreshwa nchini kwa kuanza na viwanda vidg vidg vya kungeza tham ani ya maza ya kilim kama vile vya kusindika matunda, ufungaji krsh na senene, ufugaji wa nyuki na uhifadhi wa madafu na vinginevy ili kuhakikisha kuwa kilim kinakuza ajira na uchumi kwa kusafirisha maza nje ya nchi. Viwanda vilivykuwa vikizalisha maza kama vile ngu, nyama, minfu ya samaki, pamba na vinginevy vifufuliwe na kuanza kufanya kazi tena. 21

31 Tanzania Tuitakay Mazingira rafiki ya kujiajiri yatengenezwe ikiwa ni pamja na kuwawezesha wananchi kwa kuwapa mitaji, kurahisisha masharti ya kukpa pesa na nyenz muhimu, pia kuweka mitaala ya ujas iriamali na kilim bra cha kisasa katika mfum wa elimu nchini kuanzia ngazi za chini hadi vyuni. Kubresha maslahi ya wafanyakazi na wananchi walijiajiri katika sekta binafsi kwa kuwapa mtisha. 2.9 Uwazi na Uwajibikaji wa vingzi wa Umma Ili shughuli za umma ziweze kutekelezwa vema kwa maendele ya taifa zima, mazingira ya kisheria na kiutendaji yanapaswa kuwa shirikishi na wazi. Bila jamb hili, uwajibikaji wa vingzi na wananchi hautawezekana. Katika nchi yeyte inafuata misingi ya kidemkrasia, uwazi na uwajibikaji wa vingzi wa umma na wananchi kwa ujumla ni nyenz muhimu sana kwa maendele ya nchi. Vingzi wa serikali kutkuwa wawajibikaji na kukithiri kwa usiri wa maamuzi na shughuli zenye manufaa kwa umma imekuwa ni jamb la kawaida sana nchini. Bunge ambal ni mhimili mkuu unatakiwa kuisimamia na kuiwajibisha serikali kwa mujibu wa Katiba umekuwa haupewi nafasi ya kushirikishwa katika maamuzi mengi yanayfikiwa na serikali, hasa mikataba mbalimbali ambay serikali inaingia kuhusu masuala ya uwekezaji katika rasilimali za nchi. Hali hii imesababisha kukithiri kwa ufisadi, ubadhirifu na kukasimisha rasilimali za nchi kwa wageni, hali isiywanufaisha wananchi na taifa kwa ujumla. Aidha, kumekuwep na mtind wa kupeleka miswada ya sheria bungeni kwa hati ya dharura kwa masuala muhimu kama uhuru wa habari na haki ya kupata taarifa, na miswaada ya rasilimali ya gesi na mafuta. Hali hii ni usaliti kwa watanzania. 22

32 Tanzania Tuitakay Katika nchi ambay wananchi hawak katika mazingira mazuri ya kupata taarifa kwa wakati kama Tanzania, inashangaza kuwa serikali inafurahia kuendelea kuficha taarifa za msingi za utekelezaji wa shughuli za umma, sera na sheria muhimu za nchi kwa maendele ya taifa la le na vizazi vijavy. Tamk Kuhushu Uwazi na Uwajibikaji Tunahitaji vingzi amba watatetea uwazi na uwajibikaji serika lini na katika mihimili ya dla. Hii itakuwa ni pamja na kuhakiki sha kuwa miswada mbalimbali ilyandaliwa kama vile ya sheria za haki ya kupata taarifa na uhuru wa habari na sera zake zitape lekwa bungeni kwa muda mahsusi baada ya mani ya wananchi. Tunataka kuna vingzi wanapitisha na kulinda katiba mpya itkanay na mani ya wananchi. 2.8 Rushwa, Ufisadi na Ubadhirifu wa mali za Umma Tanzania katika siku za karibuni imeshuhudia kushamiri kwa tatiz la rushwa, ufisadi na matumizi mabaya ya mali za umma ulisababisha kudidimiza sana uchumi wa nchi. Rushwa ni matumizi mabaya ya madaraka au nafasi aliyenay mtu kwa ajili ya kujinufaisha. Pia, inahusisha kitend cha kumpa mtu aidha pesa, hali au mali ili akupe upendele fulani. Pia Taifa linakumbwa na tatiz la ukusanyaji na usimamizi mbvu wa mapat yatkanay na kdi. Wakati wa uchaguzi na hata baada ya chaguzi kumekuwep na vitend vya rushwa vilivykithiri hapa nchini hali inaysababisha uksekanaji wa haki na kudumaa kwa maendele ya Taifa. Kwa ujumla wake, ufisadi unajumuisha mavu au uharibifu wa namna yyte ile ikiwem matumizi mabaya ya fisi za umma au binafsi kwa manufaa ya mtu binafsi au kundi la watu. 23

33 Tanzania Tuitakay Nchini Tanzania, ingawa kuna sheria zinazdhibiti matumizi ya pesa au mali binafsi au ya umma katika chaguzi, sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa na pia taasisi maalum kwa ajili ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), utekelezaji wake umekuwa si wa kuridhisha sana hali inaysababisha kushamiri kwa vitend vya kifisadi hasa kwa vingzi wa serikali na umma huku wananchi wakiendelea kuwa mafukara. Tamk kuhusu Rushwa, Ufisadi na Ubadhirifu wa Mali za Umma Tunatakaa kuna sheria za kuzuia na kupambana na rushwa wak ati wte zinatekelezwa kikamilifu na wahusika wanachukuliwa hatua stahiki. Tunahitaji kuna uhuru na uwazi wa taasisi za kuzuia na kupam bana na rushwa katika utekelezaji wake wa kazi. Hii ni pamja na kuweka wazi ripti za rushwa na ufisadi nchini. Tunataka kuwa na kingzi mwadilifu, anayechukia rushwa, mwe nye mikakati thabiti ya kunda tatiz hili na aliyetayari kuwaji bika pale itakapbainika amehusika kwa namna yyte ile katika ufisadi. Tunataka kuwa na Taifa linalweza kumaliza rushwa kwenye ukusa nyaji wa kdi na hatimaye kukusanya kdi tka kwa makundi yte hasa makampuni makubwa ya uwekezaji badala ya kuendelea Ku muumiza mtanzania kwa kdi mbalimbali huku wakita misamaha ya kdi kwa makampuni makubwa. 24

34 SURA YA TATU WITO KWA WADAU 3.1 Kwa Wananchi Wananchi ndi wadau muhimu katika uchaguzi mkuu unatarajiwa kufanyika Octba 25 mwaka huu, hivy wanapaswa kushiriki kikamilifu katika mikutan yte ya kampeni kusikiliza sera za wagmbea wte wa vyama vya siasa ili wakati wa kupiga kura wafanye maamuzi sahihi. Vingzi wabvu huwekwa madarakani na raia wema amba huwa hawajitkezi kupiga kura. Hivy tunawahimiza wananchi walijiandikisha wajitkeze kwa wingi siku ya kupiga kura na kutimiza wajibu wa. Aidha wananchi wasikubali kwa hali yyte kurubuniwa na wanasiasa na kupteza haki ya ya kuchagua vingzi wanawataka. Baada ya serikali ya awamu ya tan kuapishwa wananchi wawe tayari kushiriki hatua zte za michakat ya maendele badala ya kuwaachia wanasiasa kuamua na kutekeleza wenyewe. Ni lazima kufuatilia Kwa karibu ili kuweza kuwawajibisha vingzi na watendaji wte amba hawatimizi majukumu na ahadi za wakati wte. 3.2 Kwa vyama vya siasa Vyama vya siasa vinapaswa kuendesha kampeni za kistaarabu zinazheshimu misingi ya sheria na siasa za ushindani ambaz zinatambua kuwa kuna kushinda na kushindwa. Kusiwep na kampeni za vitish, matusi na ubaguzi wa aina yyte na badala yake kuwep kampeni za kistaarabu zinazheshimu na zinazzingatia maadili ambay vyama vyte vya siasa vimesaini. 25

35 Wit Kwa Wadau Vyama vihakikishe vinasambaza ilani za za uchaguzi kwa wingi kwa wananchi. Pia, chama kitakachshinda kiunde serikali na kuipa jukumu la kutekeleza ahadi zte zilizandikwa kwenye ilani ya chama cha. 3.3 Kwa Wagmbea Tunawasihi wagmbea wajikite kwenye ajenda za wananchi sambamba na ilani za vyama vya na kuacha kuwahadaa wananchi kwa ahadi ambaz wanajua hawataweza kuzitimiza. Tunawataka wagmbea waache tabia ya kutumia pesa kuwahnga wananchi na njia nyingine zisizstahili kwa leng la kujipatia madaraka. 3.4 Tume za uchaguzi (NEC/ZEC) Tume za uchaguzi zifanye kazi kwa uhuru, kufuata sheria, kusimamia kanuni walizkubaliana na vyama vya siasa na kujiepusha kwa namna yyte kukipendelea chama chchte wakati wte wa mchakat wa uchaguzi. Tume zinapaswa kuhakikisha kuwa zimewapa mafunz ya uhakika mafisa na wasidizi wa uchaguzi na kuchunguza mienend ya kabla hawajawakabidhi vitu vya kazi ili kuepusha maksa yalijitkeza wakati wa kuandikisha wapiga kura. Tume za Uchaguzi zinapaswa kufanya maandalizi mapema, pia kusambaza vitendea kazi vinavytakiwa kwa wakati ili kuepusha usumbufu unaweza kujitkeza siku ya upigaji kura. 26

36 27 Wit Kwa Wadau Tume zihakikishe kuwa watu wte wenye sifa na kustahili kupiga kura amba hawakuandikishwa kupiga kura kwa sababu mbali mbali ikiwem wanafunzi wanaandikishwa katika daftari la kudumu la kupiga kura na wanapiga kura. 3.5 Vymb vya Ulinzi na Usalama Vymb vya ulinzi na usalama kufanya kazi zake kwa uweledi na tahadhari ya kutwatia hfu wananchi na wapiga kura. Vymb vya ulinzi visitumie vitish, nguvu, na silaha za kivita wakati wa mikutan ya kampeni na siku ya kupiga kura. Vymb vya usalama havipaswi kwa namna yyte kuegemea upande wwte wa chama cha siasa bali vitende haki kwa vyama vyte na wananchi wte wakiwem wagmbea mmja mmja na wala visikubali kuyumbishwa na mamlaka yyte nje ya sheria inayvipa mamlaka kutekeleza wajibu wa. Tunalishauri Jeshi la Wananchi wa Tanzania kutjihusisha na mchakat wa uchaguzi kuanzia kipindi cha maandalizi, cha kampeni, upigaji kura na baada ya upigaji kura. 3.6 Wadau wa Kimataifa Wadau wa kimataifa waendelee kuzisaidia serikali zetu kitaalamu na kifedha ili ziweze kufanikisha mchakat wa uchaguzi huru na wa haki. Wadau wa kimataifa waendelee kufanya kazi kwa karibu na Asasi za kiraia ili kufanikisha utaji wa elimu ya uraia na mpiga kura kwa wananchi. Wadau wa kimataifa wajiepushe kuingilia masuala ya ndani ya vyama vya siasa.

37 Wit Kwa Wadau 3.7 Watumishi wa serikali Watumishi wa serikali wanagmbea nyadhifa mbali mbali za kisiasa wasiruhusu na wasitumie mali za umma wakati wa michakat yte ndani ya vyama vya siasa na hata wakati wa uchaguzi mkuu. Watumishi wa umma wawe huru wakati wa mchakat wa uchaguzi mkuu na pia watumie haki ya ya kikatiba kuwachagua vingzi wanawataka bila ya kupkea shinikiz na vitish kutka kwa mtu yeyte ndani na nje ya serikali. 3.8 Vymb vya Habari Vymb vya habari na waandishi wa habari wafuate na kuzingatia maadili ya taaluma ya kwa kuhakikisha taarifa wanazzita kwa umma hazipendelei chama au mgmbea yyte bali zilenge kuchambua sera za vyama na tija yake kwa wananchi. Aidha, vymb vya habari vya umma vinavyendeshwa kwa kdi za wananchi vihakikishe kwamba vinawapatia fursa sawa wagmbea na vyama vyte vya siasa. 3.9 Vingzi wa Dini Vingzi wa dini wanapaswa kuhubiri amani kwa wafuasi wa na kujiepusha na kutamka kauli zenye mueleke wa kupendelea mgmbea au chama fulani kwenye maene ya ya ibada, majukwaani na hadharani. Hata hivy wanaweza kuta ushauri au elimu ya uraia kwa waumini wa na taifa pasip kuegemea itikadi yyte. 28

38 SURA YA NNE HITIMISHO S isi Asasi za Kiraia tukiwa ni sehemu ya wananchi na wapiga kura, tunata ilani hii iwe ni dira na mwngz kwa wananchi, wagmbea, tume za uchaguzi, vymb vya ulinzi na usalama, vyama vya siasa na wadau wengine hapa nchini. Ni imani yetu kuwa ilani hii itatumika katika kuhakikisha tunakuwa na mchakat wa uchaguzi amba ni huru, wa haki na usikuwa na matumizi ya nguvu, rushwa, hng na matumizi mabaya ya fedha na rasilimali za umma. Aidha, tunay imani pia kuwa, wagmbea, vymb vya habari, vingzi wa dini na wadau wengine wataepuka lugha za chuki na kibaguzi na uchchezi wa aina yyte. Kwa kufanya hivy, Tanzania itaweza kupata vingzi wanaheshimu utu, haki za binadamu na kuwajibika kwa wananchi amba ndi msingi kwa wananchi wanawatumikia kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi. 29

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA

More information

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA NGUZO KUMI ZA KWANZA (MFUMO WA UTEKELEZAJI) NGUZO YA 1 DIRA YA TAIFA YA KWANZA 1.1 Kupitisha Dira ya KWANZA SHUGHULI MAJUKUMU MUDA MHUSIKA MKUU 1. AZIMIO LA KWANZA 2. mpango wa utekelezaji wa KWANZA 3.

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII SHERIA KATIKA LUGHA RAHISI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA (TANGANYIKA LAW SOCIETY) KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011.

HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011. Saint Augustine University of Tanzania From the SelectedWorks of Daudi Mwita Nyamaka Mr. Winter December 9, 2011 HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia HakiElimu & Policy Forum KUUELEWA MCHAKATO.indd a 1/20/10 11:00:56 AM KUUELEWA MCHAKATO.indd b 1/20/10 11:00:57 AM Kuuelewa Mchakato wa

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) Dar es Salaam Oktoba 2007 YALIYOMO ORODHA YA VIFUPISHO DIBAJI SHUKRANI MUHTASARI RASMI SURA

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) TOLEO LA PILI Dar es Salaam, Oktoba, 2007 i ii JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHESHIMIWA MUSTAFA HAIDI MKULO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2009/2010 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo, HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU, KWENYE SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA HAMSINI YA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, TAREHE 08 JUNI 2008, MSIMBAZI CENTRE, DAR ES SALAAM Mhashamu

More information

Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza

Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania 2015 2016 Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa,

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment Background 1. On 4 th September, 2012, the Energy and Water Utilities

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Martha Qorro 1 1.0 Utangulizi Elimu ni suala la jamii ambalo mipango na taratibu zake zinahitaji kushirikisha wadau

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2018/19 1 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda WARAKA WA TAARIFA YA MRADI (PID) HATUA YA TATHMINI TAARIFA NA..: AB4376 Jina la Mradi Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda AFRIKA Sekta Madini na Uchimbaji mwingine (100%) Namba ya

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA

More information

Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi

Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi PAN AFRICAN PARLIAMENT PARLEMENT PANAFRICAIN البرلمان PAN- PARLAMENTO األفريقي AFRICANO Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi Julai 21 22, 2011 Bunge la

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MHESHIMIWA SOPHIA M. SIMBA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2013/14 DODOMA Mei,

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Je! imezingatia maslahi ya mkulima mdogo?

Je! imezingatia maslahi ya mkulima mdogo? Toleo NO. 044 Januari Machi 2014 Bei Shs. 500/= ISSN 0856-5937 Rasimu ya katiba mpya: Je! imezingatia maslahi ya mkulima mdogo? Yaliyomo Uk. 9 Uk. 11 Uk. 13 MVIWATA yapata wawakilishi wawili ndani ya Bunge

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized!. viromen-alsc:a.. Environmental & Social MRADI WA UMEME WA GESI YA * Assessment & Management

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Shukrani Ripoti

More information

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 W N S E Muhtasari Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 Kuinuka kwa Nchi za Kusini: Maendeleo ya Binadamu katika Ulimwengu Anuwai Empowered lives. Hati ya kunakili 2013 na Mradi wa Maendeleo ya Umoja wa

More information

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ;II. -~ ~.! ~ l Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ~n.~ SURA YA KWANZA SHERIA YA ARDHI 1 UTANGULIZI Sura hii itaiangalia ARDHI na umuhimu wake katika maisha ya binadamu. Ardhi ni rasilimali

More information

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI MFUMO WA TATHMINI WA TAARIFA (IRM): TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI 2014 2016 Ngunga Greyson Tepani Mtafiti wa IRM Taarifa ya Mwishoni mwa Utekelezaji 2014-2016 First End-of-Term Report INDEPENDENT

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017 TAARIFA Agosti 2017 NGUO MPYA ZA UKOLONI Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika Jumuiya ya Jamii ya 2007: Wajumbe wanaadhamana Nairobi dhidi ya EPAs. SwissInfo Tangu mwaka

More information

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA 2007 i WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

More information

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN KIONGOZI CHA SHERIA Hakimiliki 2008 Kimetolewa na: Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) Waandishi: wa Toleo la 5 Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau Toleo la 5: 2008 ISBN

More information

ORDER NO BACKGROUND

ORDER NO BACKGROUND In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia

Afya Bora, Utu na Kinga. Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Afya Bora, Utu na Kinga Ripoti ya Mashauriano ya Kiufundi 27-28 Aprili 2009, Hammamet, Tunisia Shukrani Ripoti

More information

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Spika,

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Spika, HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, WASANII NA MICHEZO, MHESHIMIWA JOSEPH OSMUND MBILINYI (MB), KUHUSU BAJETI YA WIZARA HIYO KWA MWAKA WA FEDHA

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12 Human Rights Are Universal And Yet... Episode 07 Title : The right to food drought and famine in Ethiopia Author : Tedla Getachew Editor : Aude Gensbittel, Pendo Paul Translator : Anne Thomas Proofreader:

More information

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI MWONGOZO KWA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA WASTANI WANAOUZA BIDHAA NJE YA NCHI TOLEO LA PILI Geneva 2011 ii IKISIRI YA HUDUMA YA HABARI ZA BIASHARA ID=42653 2011 F-09.03

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wapilipili Tanzania Wildlife Division, Tanzania Wildlife

More information

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Thelathini na Tisa Tarehe 1 Juni, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Thelathini na Tisa Tarehe 1 Juni, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA Kikao cha Thelathini na Tisa Tarehe 1 Juni, 2017 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA:

More information

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi

International Labour Office. Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi International Labour Office Kazi za Ndani Zenye Madhara kwa Watoto: Kijitabu cha Maelezo Mafupi 1 Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2007 Kimechapwa mara ya kwanza 2007 Machapisho ya Ofisi ya Shirika la

More information

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI b Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI 1 Mwongozo wa Uzalishaji

More information

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to

More information

MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA

MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA KIGODA CHA TAALUMA CHA MWALIMU NYERERE MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA Yamekusanywa na kuhaririwa na: Bashiru Ally Saida Yahya-Othman Issa Shivji CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

More information