HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011.

Size: px
Start display at page:

Download "HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA 2011."

Transcription

1 Saint Augustine University of Tanzania From the SelectedWorks of Daudi Mwita Nyamaka Mr. Winter December 9, 2011 HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA Daudi Mwita Nyamaka, Mr. Available at:

2 HISTORIA, MAENDELEO NA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA TANGU UHURU HADI MIAKA HAMSINI YA UHURU 9 DESEMBA Mada kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Tanzania Bara (Tanganyika) yaliyoandaliwa kwa ushirikiano wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Kanda ya Ziwa na Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino cha Mwanza na Kufanyika katika ukumbi wa M13 SAUT tarehe 9 Dec Daudi Mwita Nyamaka-Mhadhiri Msaidizi SAUT, Mtafiti na Mchambuzi mambo ya Kikatiba. 1. UTANGULIZI Dunia ya leo imejikita zaidi katika demokrasia. Demokrasia kwa ufupi ni dhana inayolenga ushiriki wa wananchi katika kuweka misingi sahihi ya uendeshaji wa nchi wenyewe wao wakiwa ndio msingi wa mamlaka yote ya nchi na walio na uwezo wa mwisho wa kuipa serikali madaraka na mamlaka yake. Ushiriki wao huwa aidha wa moja kwa moja au wa uwakilishi. 1 Moja ya misingi mikuu inayolenga kukuza demokrasia ya namna hii ni Katiba ya Nchi. Katiba ni msingi mkuu wa uendeshji wa nchi, ukuaji wa demokrasia na utawala wa sheria. Yenyewe ndiyo sheria kuu na ambayo kwayo sheria zote nyinginezo hupata uhalali na hufungamana. 2 Katiba kama utaratibu muafaka wa jamii husika huweka bayana misingi ya utawala, vyombo vya utawala, na mgawanyo wa madaraka baina ya vyombo vikuu vya dola- yaani Bunge, Mahakama na Serikali (Watendaji wakuu) Kubwa zaidi, Katiba ndiyo inayoainisha nafasi waliyonayo wananchi katika kuweka utaratibu wa kuendesha nchi yao. 3 Kwa muda mrefu sasa, hasa baada ya mabadiliko ya sera za kiuchumi na kuanguka kwa mfumo wa chama kimoja na kuingia katika mfumo wa vyama vingi, umma wa Wa-tanzania umeghubikwa na hoja mbalimbali za msingi sana kuhusu mustakabali wa taifa letu la Tanzania. Moja ya hoja ambazo zimekamata sana fikra za 1 Taz. Ibara ya 1 ya Katiba ya Jamhuri ya Watu wa Kenya, Taz. Ibara ya 2 (1-4), Ibid. 3 Taz. Ibara ya 105 Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 na Ibara 39 Katiba ya Zanzibari 1984 utaona mkanganyiko na hivyo kushindwa kuelewa ni ipi Katiba yenye nguvu kati hizi mbili. 1

3 wengi katika umma wa Watanzania ni suala la kuwepo kwa Katiba Mpya. Makongamano na warsha mbalimbali zimeitishwa kuijadili Katiba na madai mbalimbali yametolewa yakikosoa muundo wa Katiba iliyopo Tanzania, kulingana na mazingira tuliyonayo na hivyo kudai kuitishwa kwa kongamano la kikatiba nchini ili kuunda Katiba Mpya, na matunda yake imekuwa ni kutungwa kwa Sheria ya Marekebisho ya Katiba 2011 ambayo hata hivyo inalalamikiwa sana kwa kutungwa bila kuwapa watanzania nafasi ya kushiriki na pia kumrundikia Rais madaraka yote bila hata kuwashirikisha wapiga kura wake. 4 Ni jambo lisiloshaka kwamba, katika jamii tuliyo nayo hivi leo demokrasia na utawala wa kidemokrasia ni moja ya dhana muhimu sana zinazoleta mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi yoyote. Demokrasia na utawala wa kidemokrasia sio tu vichochezi vya maendeleo bali ni mihimili mikubwa ya kupambana na umaskini hasa katika nchi kama Tanzania na nyinginezo. Pasipokuwepo na demokrasia na utawala unaojali demokrasia na kanuni ambatanishi kama vile utawala wa sheria, heshima kwa haki za binadamu na utawala bora, uwezekano wa kupambana na umaskini na ufukara ni ndoto sana. Taifa lolote lisilojali demokrasia ya dhati huanguka ama hubaki maskini na tegemezi kwa vile huwa limeua fursa muhimu mbadala ambazo kama zingepewa nafasi, zingeleta matokeo chanya katika maendeleo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii. Maadili huporomoka katika jamii na uzalendo husikika tu kama hadithi miongoni mwa watu. Ubinafsi hutawala na hapo ndipo unaposikia chukua chako mapema, ama hata kwa wale wengine wanaopigana kwa hoja kuelekea Ikulu wanapopewa fursa tu ya kuteua wanachama wao kuwa wabunge viti maalumu huishia kuteuwa wapendwa wao, ama kweli tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele. Ili Taifa libadilike kiuchumi, kisiasa na kijamii ni lazima watu washirikishwe kikamilifu katika kuandaa mazingira ya mabadiliko hayo na hasa ushirikishwaji katika kuweka misingi imara ya mabadiliko yenye manufaa na yanayolenga mbali na upeo wa leo. Ushirikishwaji sahihi wa umma katika kuweka misingi ya kuiendesha jamii ndicho chanzo pekee cha kuimarisha demokrasia ya 4 Taz. Sehemu ya Tatu ambapo Rais anapewa mamlaka ya kuunda Tume kuchagua wanatume na kuwaandalia hadidu za rejea. Lakin ingekuwa busara kuwapa wananchi nafasi ya ya kuchagua wanatume kadhaa na kumpa Rais kuwathibitisha miongoni mwao na hata hadidu za rejea wapewe mamlaka watu wa Tume waaandae wenyewe. 2

4 kweli na kijito cha haki, uhuru na usawa katika jamii. Katika hali hiyo, ndipo dhana ya kuwa mamlaka yote iko kwa umma na kwamba serikali itapata mamlaka yake toka kwa huo umma huleta maana. 5 Ni hakika na dhahiri sikuzote kuwa, Wananchi ndio wenye nchi. Hata hivyo, kama misingi ya wananchi kuwa na nchi haikutokana na ridhaa yao, mara zote msemo huo hubadilika na kuwa watawala ndio wenye nchi na wala nchi na wananchi sio wenye nchi na wala si wala nchi. 6 Ili wananchi wawe ndio wenye nchi na wenye mamlaka ya mwisho juu ya mustakabali wa mambo yahusuyo nchi na rasilimali zake, utashi wa kisiasa na uchumi, basi ni lazima uwepo mfumo imara uliotokana na ridhaa yao na unaoweka bayana kanuni na taratibu za msingi na za kidemokrasia kuhusu hatima au mustakabali wa taifa lao na maendeleo yao kwa ujumla. Msingi huo mkuu wa mfumo huo muafaka si mwingine bali ni Katiba ya nchi. Kukosekana kwa katiba yenye ridhaa halisi ndicho chanzo kikubwa cha kuparanganyika kwa jamii na kudumaa kwa maendeleo na ustawi wao hasa katika nchi nyingi za dunia ya tatu na hasa Afrika. Tukitii misingi hii ya ushirikishwaji na kujenga maadili katika jamii, basi ndipo twaweza kujinadi kwa kauli mbiu tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele. Kwa nini basi yahitajiwa Katiba madhubuti katika nchi? Kwa uchache, ziko sababu takribani nne ambazo twaweza kuzibainisha hapa kwa nini Katiba yoyote ya nchi lazima iwe madhubuti na imara. Hata hivyo, umadhubuti wa Katiba hutokana na ridhaa ya wananchi yaani yenyewe lazima itokane na matakwa yao. Sababu ya kwanza ni kwamba Katiba itokanayo na umma hutoa uthibitisho na uhakikisho kwa umma kuwa, sura na utaratibu wa uundwaji wa serikali utatokana na namna au utaratibu ule ambao wao (umma) wameukubali na kuridhia kitaifa yaani Katiba. Katiba ndiyo inayoweka bayana mihimili ya utawala wa dola na kwamba mihimili hiyo hujitegemea yenyewe. 7 5 Taz. Ibara ya 8 ya Katiba ya Tanzania, Taz See also, Makaramba, (op. cit. note 1at p. x. 6 Taz. Nyamaka, D. Mwita, Social Contract Theory of John Locke ( ), in the Contemporary World; SAUT LAW JOURNAL, VOL 1 NO , PP Taz. Ibara ya 3 ya Katiba ya Jamhuri ya Watu wa Kenya, Serikali yoyote itakayo ingia madarakani kinyume na misingin ya Katiba ni batili. Kununua kura, kuiba kura na mengine vyote ni ubatili mtupu na ulaghai kwa wananchi. 3

5 Pili, uwepo wa katiba madhubuti itokanayo na umma ni kiashiria kwa wananchi kuwa utawala wa sheria na heshima kwa binadamu na misingi yote ya haki italindwa na kuhifadhiwa ndani ya Katiba na kwa mujibu wa Katiba hiyo serikali itatekeleza wajibu wake. Kwa hali hiyo, ni mwiko kwa serikali kutumia madaraka yake isivyo halali na au kwa mabavu na pia haitaweza kamwe kufanya maamuzi kandamizi au kutunga sheria au sera yoyote kandamizi na inayokiuka misingi ya haki kama ilivyobainishwa ndani ya Katiba. Kufanya hivyo kutakuwa kukiuka matakwa ya wananchi (umma) ambao kwao mamlaka ya mwisho ya utawala wa nchi hukaa. Tatu, Kama sheria mama (grundnorm or the basic law) Katiba iliyo madhubuti hutoa hakikisho kwa umma kwamba, sheria zote, maelekezo yote yenye nguvu ya kisheria na kiutawala, sera zote na kanuni zozote zile, lazima zifungamane na kupata uhalali wake kutokana na Katiba waliyoiridhia wananchi wenyewe. 8 Kwa hali hiyo Katiba hutoa hakikisho la jamii huru na vilevile huihakikishia jamii hiyo uhuru, uwiano na fursa sawa katika shughuli zozote zile, ziwe za kiuchumi, kijamii au kisiasa. Hivyo, Katiba huweka mazingira yenye kanuni na taratibu sawia kuhusu ukuaji na ustawi wa jamii husika. Taratibu kama za uchaguzi huru na wa haki unaojali uwazi na unaotoa mwanya wa asiyeridhika kuwasilisha hoja zake mbele ya chombo huru cha utoaji haki (yaani mahakama) bila kikwazo chochote au gharama kubwa, ni sehemu muhimu ya Katiba iliyo madhubuti. 9 Nne, Katiba iliyo madhubuti huwa ni msingi mkubwa wa utawala bora, na unao zingatia uwazi, uwajibikaji na utawala wa sheria, dhana ambazo kwa pamoja ni misingi mikubwa ya demokrasia na maendeleo ya nchi. 10 Kwa sababu hizo, uwepo wa Katiba madhubuti itokanayo na ridhaa ya wananchi wote na inayotoa uhakikisho wa mazingira ya uwanja wenye uwiano sawa 8 Taz. Ibara ya 2 (4) Katiba ya Jamhuri ya Watu wa Kenya 2010 na Ibara 64 (5) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 4 Katiba ya Zanzibari, 1984, Ibara ya 2 Katiba ya Ghana, sehemu ya kwanza Katiba ya Uganda Ibara 2. 9 Katiba iliyo madhubuti na imara hutokana na watu wenyewe. Taz. Nyamaka, D. Mwita, Processes and Institutions of Constitution-making with Refernce to Tanzania; SAUT LAW JOURNAL VOL 1 NO 2, Tazama kitabu kilichoandikwa na John Hatchard, Muna Ndulo & Peter Slinn, Comparative Constitutionalism and Good Governance in the Commonwealth: An Eastern and Southern African Perspective - (Frontmatter)- Available from (As accessed on 31 st July 2008). 4

6 na wa ushindani, ni hatua muhimu sana katika ukuaji wa demokrasia ya kweli hasa katika zama hizi za mfumo wa vyama vingi Tanzania. Tunaposherehekea miaka hamsini ya uhuru wa Tanzania Bara hatuna budi kuitazama historia ya Katiba, tulivyoanza toka mikononi mwa wakoloni, tulipo tunapoelekea na sababu sababishi kwa Katiba mbalimbali katika vipindi tofauti toka uhuru mpaka sasa. 2 HISTORIA NA MFULULIZO WA MATUKIO MBALIMBALI YALIYOPELEKEA KUUNDWA KWA KATIBA NCHINI TANZANIA TANGU UHURU HADI SASA Ni jambo murua kuweka bayana kwamba, maendeleo ya kikatiba katika nchi ya Tanzania yametokana na mabadiliko mbalimbali yaliyokuwa yakitokea katika nchi, na hivyo kusababisha kuundwa (enactment) au kurekebishwa (amendment) kwa muundo wa Katiba katika wakati husika. Vipo, kwa uchache, vipindi vikuu vitano vilivyoambatana na kuundwa kwa katiba mpya kabisa nchini na vipindi kumi na nne vya kufanyia tu marekebisho Katiba iliyopo.leo tunapoadhimisha miaka hamsini ya uhuru wa Tanganyika tupo katika kipindi cha sita kuelekea kuunda Katiba mpya. Vipindi hivi vya kihistoria viliashiria mabadiliko ya msingi na ya kina sana ya muundo wa katiba ya nchi kwa vile mabadiliko hayo, yaliingia chini na ndani kabisa ya mizizi ya Taifa na mustakabali wake. Matukio ya msingi yaliyopelekea kuwepo kwa mazingira yaliyohitaji mabadiliko ya kikatiba na hivyo kujenga vipindi hivyo vya kihistoria ni kama yanavyoelezwa hapa chini: i) Katiba ya Tanganyika 1961 Kupatikana kwa Uhuru wa Tanganyika Tunapoizungmzia Katiba hii hatuna budi kukumbuka Azimio la Tabora (Busara) 1958 ambapo wazalendo watanganyika walimuunga mkono Mwalimu Nyerere kutumia busara na si nguvu kudai Uhuru wa Tanganyika. Historia inatuambia wakoloni walimshitaki Mwalimu Nyerere kwa kile walichokiita kuwa ni Uchochezi na kutakiwa kulipa faini shilingi elfu tatu ama kenda jela miezi sita, lakini wazalendo walichanga na kumnusuru Mwalimu Nyerere kwenda jela, mbio na harakati za busara zikasonga mbele hata kuleta uhuru tarehe 9 Disemba Tukio hili la uhuru 5

7 wa Tanganyika liliweka mazingira ya kipindi cha mpito kutokana na mabadiliko ya kiutawala toka kwa Wakoloni Waingereza kwenda kwa Wazalendo wa Tanganyika hasa kupitia tamko rasmi la serikali ya kikoloni -Tanganyika Constitution Order in Council of , ambalo ndilo lililoidhinisha kuwepo kwa serikali huru ya Tanganyika na Katiba yake (the Independence Constitution) 12 mnamo mwezi Disemba, 1961.Kwa jinsi hiyo, kupatikana kwa uhuru wa Tanganyika mwaka 1961 kulileta fursa ya kipekee ya mabadiliko ya baadae ya katiba, hasa kutokana na ulazima wa kuweka mambo na hatima ya Taifa huru la Tanganyika chini ya utawala huru wa Watanganyika. Hata hivyo, umuhimu wa mabadiliko ya kikatiba baada ya uhuru haukuwa umefichika. Kwa wakati ule, katiba iliyoleta uhuru (yaani the Independence Constitution) 13 ilikuwa na muundo uliofuata mfumo wa Kiingereza (Westminster). Katika mfumo huu Malkia wa Uingereza (au mfalme) bado anabakia mtawala ila si mtendaji mkuu. Waziri mkuu ndiye anayeunda serikali na kuwa mtendaji mkuu. Kwa hali hiyo Tanganyika ilikuwa bado na kivuli cha Malkia kwa mbali. Kwa upande wa siasa za vyama, kimsingi, katiba hii ya kwanza ya Tanganyika ilikuwa ni ya vyama vingi. Hata hivyo, kwa vile Katiba hii ilitengenezwa na kupewa Tanganyika chini ya Serikali ya Malkia wa Uingereza enzi hizo, wataalamu wa mambo ya katiba wanatanabaisha kwamba, katiba hii, ilikuwa ni ya namna tu ya kuleta makubaliano au maridhiano kati ya wakoloni na wazalendo wa Kitanganyika lengo hasa likiwa ni kutoa hakikisho la kuwepo dola huru la Tanganyika. 14 Chini ya Katiba hii ya uhuru, dhana kubwa ya bunge kuwa chombo chenye mamlaka ya juu (supremacy of the parliament) ilijikita ndani yake pamoja na ile ya kuhakikisha kuwepo kwa uhuru wa mahakama (independence of the judiciary.) 15 Uwepo wa dhana hizi muhimu katika katiba ya uhuru lilikuwa jambo lisiloepukika hasa kutokana na msisimko mkubwa 11 Taz. Government Notice No. 415 of 1/12/ Taz. S.I. 1961, No ibid 14 Taz. Fimbo, G.M. Towards Separation of Powers in a New Democracy : Tanzania, (1995) 22 (1&2) The African Review, pp Taz Makaramba, (op. cit. note 1) 6

8 ambao wapigania uhuru walikuwa nao na hivyo serikali ya kikoloni isingependa kuona mabadiliko yatakayo leta madhara hasa kwa maslahi yao baada ya uhuru. Maslahi yoyote yanalindwa dhidi ya ukandamizi wa serikali kama bunge na mahakama zikiwa huru na zikitenda kazi zake ipasavyo. Hivyo serikali ya kikoloni ililiona jambo hilo na kuliweka ndani ya katiba hata kama wao hawakuwatendea hivyo Watanganyika kipindi cha ukoloni. ii) Katiba ya Jamhuri ya Tanganyika 1962 Kipindi cha pili kilicholeta mazingira mbadala yaliyohitaji mabadiliko ya katiba Tanzania (Tanganyika) kilikuja mwaka Mwaka mmoja tu baada ya uhuru kulitokea mabadiliko ya msingi sana ya kiserikali na utawala kwa ujumla. Tanganyika ilikuwa Jamhuri inayojitawala yenyewe na hivyo kuondokana na mfumo wa Katiba yenye mfumo wa kikoloni (Westminister). Badala ya kuendelea kuwa na Malkia pamoja na Waziri mkuu (ambaye ndiye mtendaji mkuu na kiongozi wa serikali), Tanganyika iliachana na mfumo huo na kuamua kujiingiza katika mfumo wa U-rais, huku rais akiwa ndiye mkuu wa nchi na mwenye madaraka ya kuteua serikali na vyombo vinginevyo. Hivyo, kunako mwaka 1962, Tanganyika ilibadilisha Katiba ya kwanza na kuunda Katiba mpya ya Jamhuri ya Tanganyika (The Republican Constitution, 1962). 16 Kwa hali hiyo, Malkia wa Uingereza hakuwa tena na fursa ya kuongoza dola huru la Tanganyika kupitia mlango wa nyuma. Yamkini kubadili katiba ilikuwa ni moja ya njia za kuudhihirishia ulimwengu kuwa Tanganyika huru yapaswa na yaweza kujitawala yenyewe. Hivyo tangu mwaka 1962, Tanganyika ikawa inafuata mfumo wa utawala wa U-rais, Rais akiwa amechaguliwa na umma. Ni muhimu pia kuweka bayana kwamba, kuundwa kwa katiba mpya ya Jamhuri Tanganyika mwaka 1962 kulikuwa ni mwanzo wa kulimbikiza madaraka mengi kwa rais wa Jamhuri. Kwa mfano, licha ya kuwa mkuu wa nchi, rais ndiye aliyekuwa mkuu wa serikali na ndiye aliyeunda serikali. Ndiye aliyekuwa amiri jeshi mkuu, mteua mawaziri 16 Ibid. Tazama pia McAuslan, W.B., The Republican Constitution of Tanganyika, (1964) 13 International & Comparative Law Quarterly,

9 pamoja na wakuu wengine wa ngazi ya juu serikalini. Kulingana na msomi mmoja wa mambo ya Katiba, Profesa Okoth-Ogendo, kwa nchi nyingi za kiafrika, mara baada ya uhuru hali iligeuka na mazingira yote yakageuka kuelekea uanzishwaji wa dola la ki-rais ( imperial presidency ). 17 Ni muhimu pia tuweke bayana kwamba utaratibu mzima wa kuibadilisha Katiba ya Uhuru na kuanzisha katiba mpya ya Jamhuri ya Tanganyika haikufuata taratibu za kikawaida za kuunda katiba yaani ushirikishi wa umma. Hakukuwepo na mkutano au kongamano la katiba. Kilichofanyika ni kwamba, Bunge ndilo lililotumiwa hasa baada ya kujivika kilemba cha Bunge la Katiba (a constituent Assembly) 18 na hivyo kupitia mbinu hii likajipatia mamlaka ya kutunga Katiba mpya ya Jamhuri ya Tanganyika. 19 Wabunge 71 wa TANU walijigeuza na kuwa bunge maalumu la kutunga Katiba, na hivyo wananchi wa kawaida hawakushirikishwa moja kwa moja. iii) Katiba ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibari 1964 Jambo la tatu lililopelekea kipindi kingine muhimu cha mabadiliko ya hali ya kisiasa na kiutawala na ambayo yaliathiri mfumo mzima na hata katiba ya nchi ni Muungano wa Jamhuri ya watu wa Tanganyika na ile ya watu wa Zanzibar mwaka Mnamo mwaka 1963 Zanzibar ilipata uhuru toka kwa mwingereza lakini bado Sultani alibaki kuwa mtawala na hivyo kupelekea mapinduzi ya kuuondoa utawala wa Sultani Zanzibari. Mara baada ya mapinduzi hapakuwa tena na Katiba Zanzibari badala yake nchi iliongozwa kwa Amri za Rais (Presidential Decrees). 21 Kwa utashi wa viongozi wa Tanganyika na Zanzibari na kwa masilahi ya mataifa haya mawili hasa ulinzi, inavyosemekena, ilionekana ni muhimu 17 Taz. Okoth-Ogendo, H.W.O Constitutions Without Constitutionalism: Reflections on an African Political Paradox in Shivji, I.G., (ed.) State and Constitutionalism: An African Debate on Democracy, Human Rights & Constitutionalism Series, No.1, Southern African Political Economy Series (SAPES) Trust, Harare, Zimbabwe, Tazama Sheria ya Bunge la Katiba Namba 66 ya Mwaka Taz. Makaramba, (op. cit note 1) 20 Taz. Sheria Namba 22 ya Mwaka 1964 (the Union of Zanzibar and Tanganyika Law, 1964) 21 Tanz. Nyamaka, D. Mwita, Processes and Institutions of Constitution-making with Refernce to Tanzania, op cit. 8

10 kuungana na kuwa nchi moja. Muungano huu ulipelekea kufanyiwa marekebisho makubwa Katiba iliyokuwepo Tanganyika (yaani ile ya 1962) na kupatikana kwa kile kinachojulikana kama sheria ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (the Acts of the Union, ) ambayo imejumuisha pia jedwali la mkataba wa Muungano au kwa lugha nyingine (Articles of Union). Kulingana maoni ya wataalam na wazamivu wa sheria jedwali hili lina nguvu ya kikatiba. 23 Sehemu ya VII ya mkataba huu wa Tanganyika na Zanzibar, na ambao uliridhiwa na mabunge ya pande zote mbili, ilimtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, akiisha kubaliana na Makamu wa Rais katika jambo hilo la kuunganisha nchi hizi husika, kufanya mambo mawili makubwa na ya muhimu sana. Mambo hayo yalikuwa:- I) Kuteua Tume ya Katiba (Constitutional Commission) ambayo itakuwa na jukumu la kutoa mapendekezo ya muundo wa katiba mpya ya Jamhuri ya muungano na; II) Kuitisha Bunge la Katiba (a Constituent Assembly) litakalokuwa na wawakilishi toka pande zote mbili za Muungano na ambao watakutana ndani ya mwaka mmoja wa kuanza kwa muungano, ili kujadili mapendekezo husika na kuipitisha Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano. Hii ilitazamiwa kuwa katiba ya muda ambayo iliweka utaratibu wa kuandaa Katiba ya kudumu kwa kuunda tume kuhakikisha ushiriki wa wananchi unakuwepo. Tume hii ilikuwa chini mheshimiwa Rashidi Mfaume Kawawa. Hata hivyo, kipindi hiki mahususi cha uteuzi wa Tume ndani ya mwaka mmoja kama kilivyo elezwa katika sehemu ya VII ya mkataba wa Muungano (Articles of Union) kilifanyiwa marekebisho mwaka 1965 kufuatia sheria ya Bunge la Katiba 24 na 22 Namba. 22 ya mwaka See Shivji, I.G. The Legal Foundation of the Union in Tanzania s Union and Zanzibar Constitutions, Professorial inaugural Lecture, DUP, Dar-es-Salaam, See also Kabudi, P.J.A.M., International Law Examination of the Union of Tanganyika and Zanzibar: A Federal or Unitary State? L.L.M. Dissertation, University of Dar-es-Salaam (1986) (mimeo) See also section 1 of the the Constituent Assembly Act, 1965, Act. No. 18 of Taz. Kifungu cha 2 cha sheria ya Bunge la Katiba (the Constituent Assembly Act), 1965, Act. Namba 18 of

11 kumfanya Rais, akiwa amekubaliana na Makamu wake ambaye ndiye Rais wa Zanzibar, ateue Tume na kuitisha Bunge la Katiba pale anapoona ni wakati muafaka. Kwa kuzingatia utaratibu huu uliooneshwa hapo juu, ni dhahiri kuwa, mchakato mzima wa kuipata katiba hata kipindi hiki cha Muungano bado haukufuata misingi ile halisi ya ushirikishwaji umma, jambo ambalo limerithiwa mpaka leo. Kwa mfano, badala ya kuitishwa kwa mkutano wa, au Kongamano la Katiba (a constitutional conference), hekima ya wakati ule ilielekeza Rais wa Muungano avishwe madaraka ya kuteua Tume ya Katiba itakayoleta mapendekezo mezani na aitishe Bunge la Katiba litakalo yapitia na kutunga Katiba ya Muungano. Hata hivyo sharti lilitaka amshirikishe makamu wake ambaye alikuwa Rais wa Zanzibar. Ili kuyafungamanisha haya yote sawa sawa na Mkataba wa Muungano (the Acts of the Union), iliyokuwa Katiba ya Tangnyika ya mwaka 1962 ilibadilishwa na kuitwa katiba ya muda (the Interim Constitution of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, 1964). 25 Jina la dola mpya nalo lilibadilishwa mara baada ya Muungano na kuitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 26 Katiba hii ilianzishwa kwa tamko la Rais na kuridhiwa na bunge la Tanganyika na Baraza la Wawakilishi Zanzibari. iv) Katiba ya Muda 1965 Baada ya kupitishwa kwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na Katiba ya Tanganyika kufanyiwa marekebisho kukidhi haja ya sura mpya ya dola, mnamo mwaka 1965 Katiba ya Muda ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (The Interim Constitution of Tanzania) ilipitishwa. 27 Kupitishwa kwa Katiba hii ya mpito ya mwaka 1965 kulileta sura mpya ya mambo katika siasa za Tanzania. Kwanza, Katiba hii ambayo ilipitishwa na Bunge la Katiba, ilileta mabadiliko ya kipekee katika nyanja ya siasa za nchi na uendeshwaji wa shughuli zote za kisiasa Tanzania, nchi ambayo ndiyo kwanza tu ilikuwa ikilea mfumo mchanga wa demokrasia ya vyama vingi. Pili, mabadiliko haya ya kipekee yalilenga kusimika mfumo tofauti kabisa wa kisiasa na 25 Tz. Sheria No. 22 ya 1964; pia taz. Makaramba, (op. cit. note 1) 26 Tz. Sheria Namba 61 ya mwaka Tz. Sheria Namba 43 ya Mwaka 1965 kama ilivyorekebshwa na sheria Namba 21 na Namba 45 zote za mwaka

12 kiuchumi Tanzania, kinyume na matarajio ya awali kipindi cha mwanzoni cha uhuru. Kwa mujibu wa Katiba hii ya mpito ya mwaka 1965, na kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya Tanzania huru, vyama vyote vya siasa isipokuwa tu vile vilivyokuwa madarakani Tanzania Bara yaani (Tanganyika African National Union (TANU)) na Tanzania Visiwani (Afro-Shirazi Party (ASP)) vilisitishwa. Lengo hasa lilikuwa kuleta mfumo wa chama kimoja katika Jamhuri nzima ya Muungano wa Tanzania, azma ambayo waasisi wa Taifa la Tanganyika na Chama cha TANU walikuwa nayo tangu mwaka Kwa mtindo huo, bila kujadili mabadiliko mengineyo kama yale ya kuanzishwa kwa Azimio la Arusha na Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea mwaka 1967, mnamo mwaka ule wa 1975, Vyama vya TANU na ASP vilijikita ndani ya Katiba kwa mstari wa mbele na mamlaka yote. Dhana ya bunge kushika hatamu ya juu (supremay of parliarment) iligeuzwa na kumezwa na dhana mpya ya Chama kushika hatamu (party supremacy). 28 Kwa hali hiyo, vyombo vinginevyo vyovyote viliwajibika kwa chama tawala na matakwa yake. Katiba hii ilitokana na mchakato wa tume ya Rais ya Katiba iliyokusanya maoni kwa baadhi ya wananchi. Katiba hii ilitamka bayana chama kushika hatamu ya uongozi na nchi ambapo halmshauri kuu ya TANU (NEC) ikawa na nguvu kuliko bunge na hata katiba yenyewe. Lakini pia mambo ya muungano yakaanza kuongezeka na uhuru (autonomy) ya serikali ya Zanzibar ukaghubikwa na utata na kuwa moja ya kero za muungano hata leo. v) Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 Kuunganika kwa Chama cha TANU na ASP mwaka 1977 tarehe 5 ya mwezi Februari na kuzaliwa chama kipya cha CCM (Chama Cha Mapinduzi), hili lilikuwa tukio jingine la kipekee sana lililokamilisha ustadi wa wakongwe wa siasa za Tanzania na ambalo liliweka mazingira mapya ya kisiasa na kiuchumi yaliyohitaji Katiba mpya. Hivyo mnamo mwaka huo wa 1977, 28 Taz. Kifungu cha 3(3) na (4) cha sheria Namba 8 ya Mwaka

13 miaka 12 baada ya kupitishwa kwa Katiba ya Muda ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1965, ilipitishwa katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 ambayo ndiyo iliyopo hadi sasa, japo imeshafanyiwa marekebisho ya msingi kumi na nne mpaka leo tunapoadhimisha miaka hamsini ya uhuru wa Tanzania Bara. Ndani ya Katiba hii, mtizamo na sura ya kisiasa iliyokuwa imejengwa kwa miaka 12 na Katiba ile ya muda ya mwaka 1965 uliendelezwa na chama kipya cha Mapinduzi (CCM) kilijikuta kama chama pekee na kilichoshika hatamu Tanzania Bara na Visiwani. Katiba hii ilipatikana kutokana na tume ya Rais iliyokuwa na wajumbe 20, kwa idadi sawa toka pande zote za muungano ikiongozwa na Sheikh Thabit Kombo akisaidiwa na Pius Msekwa kama katibu wa tume hii ya Rais. Hata hivyo tume hii ni ileile iliyotunga katiba ya CCM. Katiba hii ilipitishwa ndani ya masaa matatu na bunge maalumu lililoteuliwa na Rais kutokana na bunge la kawaida. Pamoja na kupatikana kwa Katiba yenye chama kimoja tu Bara na Visiwani, tabia ile iliyorithiwa tangu mwanzo wa mabadiliko ya Katiba miaka ya nyuma haikufichwa bali iliwekewa mazingira mazuri zaidi na yaliyowaondoa wengi katika ushiriki. Kwa wakati huo, kwa mfano, Kamati ya Chama ambayo ilikuwa imehusika katika jukumu la kuandaa na kuwasilisha mapendekezo ya kuwepo kwa Chama kimoja tu kwa pande zote za Muungano ndiyo iliyogeuzwa kwa maagizo ya Kamati Kuu ya Chama (National Executive Committee (NEC)) kufanyika kuwa Tume ya Katiba (Constitutional Commission) na kutakiwa kuandaa na kuwasilisha mapendekezo ya Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ripoti ya mapendekezo hayo yaliwasilishwa kwa Kamati Kuu ya Chama (NEC) na sio Bunge kwa vile chama ndicho kilicho kuwa na maamuzi ya mwisho. Ndipo baadae, NEC ikaliagiza baraza la mawaziri (cabinet) kuandaa rasimu ya muswada ambao ungewasilishwa kwa Bunge la Katiba (constituent assembly) kuhusu kutungwa kwa Katiba Mpya. Muswada huo ukapitishwa moja kwa moja Bungeni na Katiba mpya ikapatikana mwaka Mfumo wa chama kimoja ukazidi kujikita na dhana yake ya Chama 12

14 kushika hatamu ikaneemeka zaidi. Kwa hali hii ni dhahiri kuwa hata Katiba tuliyo nayo hivi leo haikuwashirikisha wananchi wote kwani si wote waliokuwa wanachama wa chama tawala. Hivyo utaratibu wa kutunga Katiba mpya kwa kuitisha kongamano la Katiba (constitutional conference) haujawahi kufanyika wala kuwa sehemu ya desturi nchini Tanzania hadi leo. 3 MABADILIKO NA MABORESHO KATIKA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 1977 (AMENDMENTS). I. Mabadiliko ya Kwanza 1979 Mabadiliko ya kwanza katika Katiba ya mwaka 1977 yalifanyika mwaka 1979 yakilenga hasa kwa ukuu kuanzishwa kwa mahakama ya rufani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yenye mamlaka katika pande zote za Muungano. Hii ilichangiwa pia na kuanguka kwa jumuiya ya Afrika Mashariki ya 1967 hivyo mifumo yote ikiwemo ya kimahakama kurudi kwa dola husika. II. Mabadiliko ya Pili ya 1980 Mabadiliko ya pili yalifanyika mwaka 1980 yakilenga kutatua kero mbalimbali za Muungano hasa kwa upande wa Zanzibar. Hata hivyo mabadiliko haya hayakutatua kero hizo kama ilivyotarajiwa. III. Mabadiliko ya Tatu 1980 Mwaka huo huo yalikuja tena mabadiliko mengine, yawezekena hii ilitokana na ubovu wa Katiba ama uchanga wa Taifa na ukuaji wake uliohitaji mtazamo shirikishi kwa watu wa Tanzania, na hilo halikufanyika ipasavyo. Katiba iliyoshirkisha watu huwa madhubuti na imara yenye kuhimiri mabadiliko ya kiuchumi, siasa na jamii maana hulenga vizazi vyote. IV. Mabadiliko ya Nne

15 Mabadiliko ya nne ya Katiba ya 1977 yalikusudia kuboresha taratibu za kuteua wakuu wa mikoa na wilaya, hata hivyo mabadiliko haya hayakuweka bayana uwajibikaji wa wakuu hawa. V. Mabadiliko ya Tano 1984 Mabadiliko ya tano yalifuatia mahitaji ya watanzania kuwepo na ustawi na uangalizi wa haki za binadamu katika Katiba na hivyo kuingiza tamko la haki za binadamu katika Katiba. Sehemu ya tatu ya Katiba hii inajumuisha tamko la haki za binadamu. VI. Mabadiliko ya Sita 1990 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilianzishwa na mabadiliko haya ya mwaka 1990 yakiwa ni mabadiliko ya sita katika Katiba ya mwaka Kabla ya tume hii masuala ya uchaguzi yalikuwa chini ya uangalizi wa Chama (CCM). Lengo la kuanzisha tume ilikuwa kusimamia uchaguzi mkuu wa vyama vingi wa VII. Mabadiliko ya Saba 1990 Ndani ya mwaka huu yalikuja mabadiliko mengine tena yakilenga kuweka utaratibu wa kuwa na mgombea mmoja wa urais upande wa Zanzibar kuundoa utaratibu wa awali ambao ulilalamikiwa. VIII. Mabadiliko ya Nane 1992 Mantiki ya mabadiliko ya mwaka 1992 ilikuwa ni kuruhusu tena mfumo wa vyama vingi nchini. Hii ilitokana na mwelekeo wa magharibi na msukumo wa wakubwa wa dunia waliotaka demokrasia ijikite katika vyama vingi vya siasa. Hata mfumo wa Bunge pia ulibadilika kwa kuruhusu viti maalumu kwa wanawake kwa asilimia 15 na viti vitano kwa baraza la wawakilishi ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. IX. Mabadiliko ya Tisa 1992 Muda mfupi tu mara baada ya mabadiliko ya nane, yalitokea tena mabadilko ya tisa yakirekebisha taratibu za chaguzi za Rais wa Muungano, tamko kwamba Rais 14

16 anaweza kuondolewa kwa kura ya Bunge kwa kukosa imani nae na kuanzisha nafasi ya Waziri Mkuu kikatiba. X. Mabadiliko ya Kumi 1993 Tume ya Taifa ya Uchaguzi iliyoanzishwa katika mabadiliko ya sita ya mwaka 1990 ilipewa mamlaka kikatiba kusimamia chaguzi za madiwani na hivyo chaguzi hizo kufanyika pamoja na uchaguzi mkuu wa Rais na Wabunge. XI. Mabadiliko ya Kumi na Moja 1994 Mabadiliko haya yalileta utaratibu wa kuwa na mgombea mwenza kwa nafasi ya Urais ambaye huwa makamu wa Rais mara baada kushinda uchaguzi mkuu. Na kwa mantiki hii basi mabadiliko haya yaliweka ukomo kwa Rais wa Zanzibar kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. XII. Mabadiliko ya Kumi na Mbili 1995 Kiapo kwa Rais, makamu wake, Waziri Mkuu na Rais wa Zanzibar kuulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kiliwekwa na mabadilko haya. Na ukomo wa Rais kuwa vipindi viwili tu ulianzishwa na mabadilko haya. XIII. Mabadiliko ya Kumi na Tatu 2000 Hapa mfumo wa kumpata mshindi katika kinyang anyiro cha Urais kwa kupata kura nyingi zaidi ya wapinzani wake. Kabla ya mabadiliko haya Rais alipatikana kwa kupata walau asilimia 51 ya kura zote. Kadhalika Rais alipewa mamlaka kikatiba kuteua watu kumi kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kadhalika Viti maalumu vya wanawake bungeni viliongezwa kufika asilimia 20. XIV. Mabadiliko ya Kumi na Nne 2005 Hapa viti maalumu vya wanawake bungeni viliongezwa tena mpaka asilimia 30. Lakini pia uhuru wa kuabudu, uhuru wa kushiriki na watu wengine, uhuru wa maoni na kujieleza viliwekwa bayana na kuondoa vizuizi vyote (clawback clauses) 15

17 vilivyokuwepo kwenye Katiba. Kadhalika wabunge wa viti maalumu waliteuliwa sasa kwa uwiano wa ushindi wa kila chama majimboni. 4 CHANGAMOTO KUU KUELEKEA KATIBA MPYA TANZANIA a) Umiliki wa Katiba Katika kutizama dhana ya umiliki wa Katiba kama tulivyoona hapo juu, ili kupata uhalali wa Katiba [Legitimacy of Constitution] ni lazima Wananchi wawe wamiliki wa Katiba hiyo. Swali la msingi linaloibuka ni kuhusu jinsi Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 ilivyotungwa na ikiwa wananchi wa Tanzania walishirikishwa katika kuitunga. Kisha ni vema kutizama ikiwa wananchi wanaifahamu Katiba yao. Jambo lingine la msingi ambalo husahaulika mara kwa mara ni kuhusu nafasi ya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 katika Muungano. b) Umiliki wa Taifa Leo tarehe 9 desemba 2011 tunapoadhimisha miaka hamsini ya uhuru wa Tanganyika, kaulimbiu ni tumeweza, tumethubutu na tunasongambele. Yamkini kauli mbiu hii inatazama lami toka mtwara mpaka mwanza bila kufikiri ni maliasili kiasi gani tumezigawa bure ama kwa bei ya kutupa kwa wawekezaji toka nje na zingetumika ipasavyo na kiuzalendo kwa masilahi ya taifa basi tungeweza, tungethubutu na tungesongambele kutoa huduma za jamii kama afya, elimu, maji nishati na hata miundombinu kwa kila mtanzania na hivyo kauli mbiu hii ingeakisi uhalisia na kupanda mbegu ya uzalendo kwa vizazi vya Tanzania. Uzalendo wa kweli na wa dhati huzaliwa, hujengwa na kudumishwa pale ambapo kuna heshima katika misingi ya usawa na wananchi kuwa na nafasi katika kumiliki raslimali za nchi. Swali linalozuka mara nyingi hutokana na wananchi kuhoji mara kwa mara serikali ni nini? ile inayoitwa mali ya umma kwa kawaida huwa ni ya nani? Ikiwa wawakilishi wa wananchi [Bunge] hawana ruhusa ya kuona [mathalan] 16

18 mikataba ya nchi na wawekezaji, mfano mikataba ya madini, n.k swali linabaki je, Umma ni nani? Matabaka yanayojengeka katika jamii kutokana na mfumo mpya wa elimu unaoifanya elimu kuwa bidhaa badala ya haki ya msingi; afya na huduma za kijamii nazo kukosa udhibiti wa kutosha huku walio wengi wakikosa huduma muhimu na wachache kufaidi yote haya ni mazingira ya kuua na kudidimiza uzalendo katika taifa. c) Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Katika kipengele hiki kumekuwa na utata mkubwa zaidi. Kumekuwa na hoja nyingi na maswali mengi ambayo hayajajibiwa. Kuhusu Bunge la Muungano kutunga sheria zisizokuwa na nguvu Zanzibar, kuhusu wabunge toka Zanzibar kushiriki katika kutunga sheria zinazohausu mambo yasiyo ya muungano, n.k. Pili maswali mengine yamehoji Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo haina mamlaka ya kisheria kufanya shughuli zake Zanzibar hata kama ni kuhusu suala la Muungano, na nafasi ya Mahakama ya Rufani hasa baada ya Mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar ya 1984 yaliyofanywa na Baraza la wawakililishi Mwaka Sura nzima ya Nne ya Katiba ya Sasa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepitwa na wakati na inapaswa kufanyiwa marekebisho makubwa ikiwa ni pamoja na kutambua nafasi ya Makamu wa Kwanza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar. 29 d) Ushiriki wa Wananchi Katika Uongozi wa Nchi Miongoni mwa changamoto nyingine za msingi ni suala zima la ushiriki wa wananchi katika uongozi wa nchi. Hii ni pamoja na kuhoji usahihi wa mfumo mzima wa uchaguzi, uhuru wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, na mamlaka ya Mahakama katika kuhoji na kuamua kuhusu matokeo ya uchaguzi wa Rais. Hoja ya ushiriki ikienda mbali zaidi inahoji ikiwa kweli kuna demokrasia kwa kuwanyima wananchi nafasi ya kuchaguliwa ikiwa hawapendelei kujiunga na chama fulani cha siasa. Suala la Mgombea huru nalo limetia dosari hata Uhuru wa Mahakama pale ambapo Mahakama ya Rufani ilipoacha kutumia mamlaka 29 Taz. Ibara ya 39 Katiba ya Zanzibari,

19 yake kisheria ya kutafsiri sheria na badala yake kuliachia Bunge. Katiba hii tuliyonayo haitoi nafasi ya jinsi ya kuiwajibisha Mahakama pale inapoacha kutumia mamlaka iliyopewa. e) Uhusiano Kati ya Dola na Mwananchi Mwananchi wa kawaida hujiuliza mara kwa mara je ni nini wajibu wa polisi na Askari mgambo? Je haki ni nini na mahakama ni chombo cha namna gani? Maswali yote haya yana mwelekeo wa kuashiria kwamba wananchi wanahoji imani yao kwa vyombo vya utendaji haki. Kwa sababu hiyo tatizo la wananchi kujichukulia sheria mikononi linaendelea kuwepo kutokana na [pamoja na sababu nyingine] wananchi kutokuwa na imani na vyombo vya utoaji haki. Katiba haijaweza kutoa majibu kuhusu hali ya uadui/uhasama unaoendelea kujengeka kati ya vyombo vya dola na raia. 30 f) Haki za Binadamu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kwa mara ya kwanza ilitoa ulinzi kwa baadhi ya haki za binadamu mwaka 1984 na zikaanza rasmi kutekelezwa mwaka Hata hivyo, haki za binadamu katika Katiba bado hazina ulinzi wa utosha. Kwa upande wa Zanzibar Kwa Mfano, Baraza la Wawakilishi kwa sasa haliwezi kubadili kifungu chochote cha haki za binadamu mpaka tu pale amabapo ridhaa ya wananchi kupitia kura ya maoni itakuwa imepatikana. Pamoja na kuwepo kwa ibara zinazotoa ulinzi kwa haki za binadamu, Katiba ya Tanzania bado ni dhaifu katika kuzilinda, na wakati mwingine katiba hiyo hiyo ina ibara zinazopingana. Ibara ya 30 ya Katiba inaruhusu uvunjaji wa Haki uendelee hata baada ya hukumu ya mahakama hadi pale bunge litakapokuwa limetunga sheria husika au muda utakaokuwa umetolewa na Mahakama. g) Dira/Lengo Mahususi la Taifa 30 Mwaka 2009 LHRC ilitoa taarifa kuhusu Askari Polisi aliyeuliwa na wananchi wenye hasira kali! Wanachi kuvamia vituo vya polis, wananchi kuchoma mahakama n.k 18

20 Ibara ya 3 ya Katiba inasema kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi ya kidemokrasia na ya kijamaa isiyokuwa na dini, yenye kufuata mfumo wa vyama vingi. Lengo la Ibara hii ilikuwa ni kutoa taswira na mwelekeo wa Taifa la Tanzania. Hata hivyo mwelekeo huu ni potofu kutokana na sera kinyume za ubinafsishaji na mfumo wa soko huria. Kwa sasa swali linalojengeka ni kuhusu mustakabali wa taifa la Tanzania, je ni wapi tunataka kwenda kama taifa? Kukosekana kwa lengo Mahususi au Dira ya Taifa kunasababibishwa na Katiba iliyopo. Ibara ya 9 inasisitiza utekelezaji wa misingi ya kijamaa ambayo ni kuweka njia kuu zote za uchumi mikononi mwa umma, pia ibara ndogo ya (c) inasema kuwa shughuli za serikali zinatekelezwa kwa njia ambazo zitahakikisha kwamba utajiri wa taifa unaendelezwa, unahifadhiwa, na unatumiwa kwa manufaa ya wananchi wote kwa ujumla na pia kuzuia mtu kumnyonya mtu mwingine, haya yote yamepuuzwa na kuifanya Katiba iliyopo kuonekana kuwa imepitwa na wakati, bado haitoi jibu la swali linaloulizwa sasa, Je, ni nini dira ya Taifa la Tanzania? 5 HITIMISHO NA MTAZAMO WA MBELE Kama tulivyotanabaisha hapo juu, kwa muda wa zaidi ya miongo miwili sasa, na zaidi baada ya kuanzishwa mfumo wa demokrasia ya vyama vingi Tanzania mwaka 1992, kumekuwepo kilio cha wengi kuhusu Katiba mpya. Kilio hiki kimejikita katika msingi wa hoja mbalimbali za msingi na hasa ile inayolenga kuwa uhalali wa Katiba kama sheria mama ni lazima utokane na ridhaa ya wananchi au Umma. 31 Kwa maneno mengine, kama alivyowahi kusema Jaji Mwalusanya, msingi na chanzo kikuu cha katiba ni watu. 32 Hata hivyo, kama maneno haya yatatizamwa katika nuru ya historia ya Katiba Tanzania kama tulivyo fanya hapo juu, itabainika wazi kuwa, Katiba tuliyonayo hivi sasa haikutokana na watu (umma) wa Watanzania na hivyo si Katiba ya Watu (Umma). 33 Hii ni kutokana na ukweli kuwa Katiba hii imetokana na mapendekezo ya Kamati Kuu ya Chama kilichokuwa kimeshika hatamu zote za kisiasa na ambacho si kila mwananchi alikuwa 31 Taz. Mwalusanya, J. Conditions for the Functioning of a Democratic Constitution, in Mtaki, C.K & Okema, M., Constitutional Reforms and Democratic Governance in Tanzania, Friedrich Naumann Stiftung, pp.21-36, at Ibid 33 Ibid 19

21 mwanachama wake. Mapendekezo hayo ndiyo yaliyowasilishwa bungeni na bunge likiwa limekaa kama bunge la Katiba kuyapitisha. 34 Hakukuwepo na kongamano lolote la Katiba. Tunapoadhimisha miaka hamsini ya uhuru ikiambatana na mchakato wa kuelekea katiba mpya tuyatafakari haya na kujipanga sawa tusivae viatu vya mkoloni ama maoni ya chama kimoja kama ilivyowahi tokea na kuminya uhalali wa katiba yetu. Mwisho, tusisahau ya kwamba katiba ni maridhiano ya kitaifa juu ya mustakabali wa Taifa la leo na la kesho yafikiwayo na wananchi wenyewe kwa hiari bila shuruti ama ushawishi, na hivyo Katiba ni watu, ni ya watu na si ya mtawala ama mali ya watawala. Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania, Mungu libariki jiji lako SAUT... MAREJEO MBALIMBALI i) ARD, Inc. Report, Democracy and Governance Assessment of Tanzania Transitions from the Single-Party State A Report submitted to the United States Agency for International Development, (2003) ii) Fimbo, G.M. Towards Separation of Powers in a New Democracy : Tanzania, (1995) 22 (1&2) The African Review, pp iii) iv) Fombad, C.M., Challenges to Constitutionalism and Constitutional Rights in Africa and the Enabling Role of Political Parties: Lessons and Perspectives from Southern Africa (2007) 55 American Journal of Comparative Law Kabudi, P.J.A.M., International Law Examination of the Union of Tanganyika and Zanzibar: A Federal or Unitary State? L.L.M. Dissertation, University of Dar-es-Salaam (1986) (mimeo) v) Okoth-Ogendo, H.W.O Constitutions Without Constitutionalism: Reflections on an African Political Paradox in Shivji, I.G., (ed.) State and Constitutionalism: An African Debate on Democracy, Human Rights & Constitutionalism Series, No.1, Southern African Political Economy Series (SAPES) Trust, Harare, Zimbabwe, vi) Makaramba, V.R., A new Constitutional Order for Tanzania? Why and How, Friedrich Ebert Stiftung/ Tanganyika Law Society, (1997) 34 Ibid 20

22 vii) Mwalusanya, J. Conditions for the Functioning of a Democratic Constitution, in Mtaki, C.K & Okema, M., Constitutional Reforms and Democratic Governance in Tanzania, Friedrich Naumann Stiftung viii) McAuslan, W.B., The Republican Constitution of Tanganyika, (1964) 13 International & Comparative Law Quarterly, ix) Rev. Christopher Mitikila v. Attorney General, [1995]TLR 31 x) Shivji, I.G. Constitutional Limits of Parliamentary Powers The Tanzania Lawyer (Special edition) October, (2003) xi) xii) Shivji, I.G. The Legal Foundation of the Union in Tanzania s Union and Zanzibar Constitutions, Professorial inaugural Lecture, DUP, Dar-es- Salaam, Jjuuko, F. na Muriuki, G., Shirikisho Ndani ya Shirikisho: Uzoefu wa Muungano wa Tanzania na Mchakato wa Kuiunganisha Afrika Mashariki. Taarifa ya Ujumbe wa Kituo cha Katiba Nchini Tanzania kutafuta ukweli wa Mambo., Kampala,

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA

MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA KIGODA CHA TAALUMA CHA MWALIMU NYERERE MIONGOZO MIWILI KUPAA NA KUTUNGULIWA KWA AZIMIO LA ARUSHA Yamekusanywa na kuhaririwa na: Bashiru Ally Saida Yahya-Othman Issa Shivji CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Martha Qorro 1 1.0 Utangulizi Elimu ni suala la jamii ambalo mipango na taratibu zake zinahitaji kushirikisha wadau

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ;II. -~ ~.! ~ l Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ~n.~ SURA YA KWANZA SHERIA YA ARDHI 1 UTANGULIZI Sura hii itaiangalia ARDHI na umuhimu wake katika maisha ya binadamu. Ardhi ni rasilimali

More information

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to

More information

K. M a r k s, F. E n g e l s

K. M a r k s, F. E n g e l s W a (any a kazi wa nchi zote, unganeni! K. M a r k s, F. E n g e l s Maelezo ya chama cha kikomunist Idara ya Maendcleo Moscow Tafsiri hii ya "Maelezo ya Chama cha Kikomunist" inatokana na maandishi

More information

ORDER NO BACKGROUND

ORDER NO BACKGROUND In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

AZAKI PIGA KURA UCHAGUZI MKUU TANZANIA OKTOBA. #TanzaniaTuitakayo OKTOBA 2015 ILANI YA UCHAGUZI YA AZAKI TANZANIA.

AZAKI PIGA KURA UCHAGUZI MKUU TANZANIA OKTOBA. #TanzaniaTuitakayo OKTOBA 2015 ILANI YA UCHAGUZI YA AZAKI TANZANIA. ILANI YA UCHAGUZI YA AZAKI TANZANIA AZAKI. #TanzaniaTuitakay PIGA KURA UCHAGUZI MKUU TANZANIA OKTOBA 2015 Tvuti: http://www.thrd.r.tz/ Barua pepe: thrddefenders@gmail.cm Sanduku la Psta: 105926 Mahali:

More information

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN KIONGOZI CHA SHERIA Hakimiliki 2008 Kimetolewa na: Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) Waandishi: wa Toleo la 5 Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau Toleo la 5: 2008 ISBN

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII SHERIA KATIKA LUGHA RAHISI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA (TANGANYIKA LAW SOCIETY) KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017

NGUO MPYA ZA UKOLONI. Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika. Agosti 2017 TAARIFA Agosti 2017 NGUO MPYA ZA UKOLONI Mikataba ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika Jumuiya ya Jamii ya 2007: Wajumbe wanaadhamana Nairobi dhidi ya EPAs. SwissInfo Tangu mwaka

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

Je! imezingatia maslahi ya mkulima mdogo?

Je! imezingatia maslahi ya mkulima mdogo? Toleo NO. 044 Januari Machi 2014 Bei Shs. 500/= ISSN 0856-5937 Rasimu ya katiba mpya: Je! imezingatia maslahi ya mkulima mdogo? Yaliyomo Uk. 9 Uk. 11 Uk. 13 MVIWATA yapata wawakilishi wawili ndani ya Bunge

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI

KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY (LSF) 1 KIMEANDALIWA NA Chama Cha Wanasheria Tanzania

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo, HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU, KWENYE SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA HAMSINI YA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, TAREHE 08 JUNI 2008, MSIMBAZI CENTRE, DAR ES SALAAM Mhashamu

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2009/2010 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu

More information

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya Nordic Journal of African Studies 9(2): 49-59 (2000) Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya UTANGULIZI Tukichunguza hazina ya uhakiki uliofanywa katika taaluma

More information

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia HakiElimu & Policy Forum KUUELEWA MCHAKATO.indd a 1/20/10 11:00:56 AM KUUELEWA MCHAKATO.indd b 1/20/10 11:00:57 AM Kuuelewa Mchakato wa

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI SIKOMBE YIZUKANJI YORADI TASNIFU YA KISWAHILI KWA MINAJILI YA KUTUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI (MA. KISWAHILI) KITIVO CHA SANAA

More information

Shabaha ya Mazungumzo haya

Shabaha ya Mazungumzo haya Karibu Katika Mazungumzo Kuhusu Mchakato wa Uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii CCMP/UMOJA Shabaha ya Mazungumzo haya Kuwafahamisha viongozi wa makanisa kuhusu Mchakato wa CCMP ambao umekuwa ukitumika

More information

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ukristo leo unadhihirisha waumini karibu bilioni mbili katika maelfu ya madhehebu tofauti na tofauti na madhehebu. Kati ya hizi, zaidi ya 500 madhehebu

More information

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR.

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR. RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR. SEHEMU YA KWANZA 1.0 UTANGULIZI. Kamati Teule ya Kuchunguza Upotevu wa Nyaraka

More information

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI MFUMO WA TATHMINI WA TAARIFA (IRM): TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI 2014 2016 Ngunga Greyson Tepani Mtafiti wa IRM Taarifa ya Mwishoni mwa Utekelezaji 2014-2016 First End-of-Term Report INDEPENDENT

More information

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Spika,

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Spika, HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, WASANII NA MICHEZO, MHESHIMIWA JOSEPH OSMUND MBILINYI (MB), KUHUSU BAJETI YA WIZARA HIYO KWA MWAKA WA FEDHA

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi

Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Gervas Zombwe 1 1. Utangulizi Katika mazingira ya kawaida kabisa ndani ya jamii yetu, Imezoeleka kusikia au kuona watu wakioanisha dhana ya elimu

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12

Pronunciation: Mä-hret Zäläke Ndal-ka-tscho Molla Mare Gebre-gzabiär 1/12 Human Rights Are Universal And Yet... Episode 07 Title : The right to food drought and famine in Ethiopia Author : Tedla Getachew Editor : Aude Gensbittel, Pendo Paul Translator : Anne Thomas Proofreader:

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 W N S E Muhtasari Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 Kuinuka kwa Nchi za Kusini: Maendeleo ya Binadamu katika Ulimwengu Anuwai Empowered lives. Hati ya kunakili 2013 na Mradi wa Maendeleo ya Umoja wa

More information

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO. Rais.

ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO. Rais. ORODHA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI SPIKA MHE. PANDU AMEIR KIFICHO 1.Mhe. Kamal Basha Pandu 2.Mhe. Ali Mzee Ali 3.Mhe. Shamsi Vuai Nahodha Naibu Spika/Jimbo la Rahaleo. Mwenyekiti wa Baraza/Uteuzi

More information

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine.

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine. HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWENYE IBADA YA KUWEKWA WAKFU NA KUINGIZWA KAZINI ASKOFU MARTIN FATAELI SHAO WA DAYOSISI YA KASKAZINI YA KANISA LA

More information

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya

MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya Jina Nambari.. Shule... 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI / AGOSTI. 2007 MUDA: SAA 2 ½ MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya 102/3 KISWAHILI FASIHI

More information

KUCHUNGUZA MASUALA YA KISIASA KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: MFANO WA KUSADIKIKA NA KUFIKIRIKA

KUCHUNGUZA MASUALA YA KISIASA KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: MFANO WA KUSADIKIKA NA KUFIKIRIKA KUCHUNGUZA MASUALA YA KISIASA KATIKA RIWAYA ZA SHAABAN ROBERT: MFANO WA KUSADIKIKA NA KUFIKIRIKA BIBIANA MASSAWE AMBROSE TASINIFU ILIYOWASILISHWA KWA AJILI YA KUTIMIZA SHARTI PEKEE LA KUTUNUKIWA DIGRII

More information

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA Maagizo (a) Andika jina lako na namba yako katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (b) Tia sahihi yako na tarehe ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (c) Jibu maswali

More information

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)

More information

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika (A Summary Of Arguments For And Against Individual Communion Cups) Na J D Logan Communion Cups) 1 Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi

More information

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition

More information

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili 1. 2-Muhtasari wa Ukurasa wa Ripoti ya Miaka minne ya Bodi Kuu ya Kanisa & Jamii............................... 2 2. Kamati ya Kawaida ya Malipo ya

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza

Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa, na vilevile wale walioyapoteza Utafiti wa mazingira ya haki za jamii za Wafanyakazi wa Ngono na LGBTI nchini Tanzania 2015 2016 Ripoti hii ni kwa heshima ya wale wanaharakati wengi wa Tanzania ambao ndio binafsi wanaopitia hali iliyoangaziwa,

More information

Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi

Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi PAN AFRICAN PARLIAMENT PARLEMENT PANAFRICAIN البرلمان PAN- PARLAMENTO األفريقي AFRICANO Kufanya Uwekezaji kuwa wa Manufaa kwa Afrika: Jibu la Mbunge kuhusu Unyakuzi wa Ardhi Julai 21 22, 2011 Bunge la

More information

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA SOMO LA KWANZA UTANGULIZI KWA TORA For videos, study guides and other resources, visit Third Millennium Ministries at thirdmill.org. 2014 nathird Millennium Ministries Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma

More information

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUHTASARI WA UTANGULIZI WA THIOLOGIA YA USHIRIKA WA NAFSI TATU ZA UUNGU. GRACE COMMUNION INTERNATIONAL LIVING AND SHARING THE GOSPEL MUNGU ANADHIHIRISHWA NA

More information

3 FEBRUARI, 2015 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE. Kikao cha Saba - Tarehe 3 Februari, 2015

3 FEBRUARI, 2015 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE. Kikao cha Saba - Tarehe 3 Februari, 2015 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Saba - Tarehe 3 Februari, 2015 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA

More information

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Thelathini na Tisa Tarehe 1 Juni, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Thelathini na Tisa Tarehe 1 Juni, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA Kikao cha Thelathini na Tisa Tarehe 1 Juni, 2017 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA:

More information

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Child Abuse & Neglect 43(2015)8 21 Orodha Yaliyomo inapatikana katika ScienceDirect Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Nakala ya Utafiti Mbinu za kuimarisha mifumo ya ulinzi wa mtoto kuanzia chini kwenda

More information

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato 1 Mafungu yote yaliyonukuliwa kwa ruhusa kutoka katika Biblia ya Kiswahili Union Version 1952 (Ilishahihishwa 1989) ISBN 978 Haki miliki 2013 Haki zote zimeifadhiwa

More information

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wapilipili Tanzania Wildlife Division, Tanzania Wildlife

More information