JAMHURI YA MUUNGANO IVA TANZANIA
|
|
- Emery Reed
- 6 years ago
- Views:
Transcription
1 JAMHURI YA MUUNGANO IVA TANZANIA OFISI YA RAIS.TAMISEMI Namba za simu Mkuu wa shule S.L.P 23, Makamu Mkuu wa shule Shule Ya Sekondari Nyanduga, Tarime-Rorya, Patron: Tarehe 15,Mei,2O1B Mzazi /Mlen wa Mwanafunzi S.L.P YAH: MAELEKEZO YAKUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI NYANDUGA HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA, MKOA MARA, MWAKA 2018 l.nafurahi kukutaarifu kuwa mwanao amechaguliwa kujiunga na kidato cha Tano katika shule hii m*aka 2Ol8.tahasusi ya... Shule ya sekondari Nyanduga ipo umbali wa kilometa 11 Magharibi mwa barabara kuu ya mwanza-sirari. Ukitokea Mwanza unawenza kushuka Mika na kupanda magari ya Tarime- Utegi au Unaweza kwenda mpaka Tarime na kuchukua magari ya Utegi kwa gharama ya shilingi 2,500/:Ukifika utegi kuna usafiri wa bodaboda mpaka shuleni kwa gharama ya shilingi elfu moja. Muhula wa masomo unaanza tarehe...hivyo mwanafunzi anatakiwa kuripoti shuleni tarehe Ndugu mzazilmlez shule hii haitoi kabisa chakula tofauti na kile kinachotumiwa na wanafunzi wote kwa mwanafunzi mmojammoja(special diet). Vyakula vinavyotumika hapa shuleni ni ugali maharage, wali maharagwe,pia nylma kadri ratiba yao atakavyoikuta hapa shuleni. Mara mwanafunzi afikapo shuleni aripoti kwa Makamu Mkuu wa Shule kwa mapokezi na usajili ndani ya masaa ya kazi. Makamu Mkuu wa shule atahakikisha kwamba mwanafunzi amekuja na stakabadhi za malipo kutoka benki. Page 1 of 9
2 2.O MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA 2.L SARE YA SHULE a) Sare ya shule hii ni: i. Mashati mawili meupe za mikono mirefu na zenye mfuko mmoja tu.( nembo atawekewa hapa shuleni) ii. Suruali mbili, moja lenye rangi ya ugoro, ya pili ni lenye rangi ya dark blue ( suruali inatakiwa na marinda mawili kila upande,upana wa chini iwe futi(size) 16,iwe na tum up) iii. T-Shirt mbili zenye kola iv. Aje na sweta moja lenye rangi ya ugoro la kuvaa wakati wa baridi yenye shepu( alama) ya V shingoni b) Sare ya michezo kwa shule hii ni bukta na fulana(t-shirt) bluu, pamoja na viatu vya michezo. c) Viatu vya shule ni vyeusi vya kufunga na karnba vyenye visigino vifupi d) Soksijozi mbili vyeusi na khaki za shule. e) Mkanda wa kuvalia suruali ni mweusi wa ngozi. 0 Nguo za kushindia (shamba dress) ni ya rangi ya kijivu iwe na marinda mawili kila upande,upana wa chini iwe futi(size)l6,iwe na turn up. NB Uongozi wa shule inashauri sare zifuatazo za shule zichukuliwe sehemu moja kwenye duka na fundi walioko sentani karibu na shule. kwa lengo la kuepuka tatizo la kushona rangi isiyo takiwa na mtindo usiyotakiwa. sare hizo ni: suruali kwa shilingi 17,500/=kwa moja, T- Shirt zenye kola kwa gharama shilingi 10,000/= kwa moja.( hizi hela ni za kuleta mkononi) 2.2 ADA NA MICHANGO YA SHULE A. Ada ya shule kwa mwaka ni shilingi 70,0001: kwa muhula ni shilling 35,000/:unaweza kulipa yote kwa maramoja au kwa muhula.fedha hizo zilipwe kwenye akaunti ya shule A/C Na yenye jina la Nyanduga secondary school ( Recurrent A/C) Na michango mingine ilipwe kwenye A/C Na yenye jina Ia Nyanduga secondary school Development A/C (tafadhali andika jina a mwanafunzi kwenye pay in slip) B. MICHANGO INAYOTAKIWA KULIPWA NA KILA MZAZIIMLEZT. i) Shilingi 15,000/= kwa ajili ya ukarabati wa samani. 'ii) Shilingi 6,000/: kwa ajili ya kitambulisho na picha. (aje nayo mkononi) iii) Shilingi 20,0001= kwa ajili ya taaluma kwa mwaka na shilingi10,000/= kwa muhula iv)shilingi 30,000/:kwa ajili ya kuwalipa wapishi, walinzi na vibarua wengine kwa mwaka.shilingi I 5,000/: kwa muhula ir; Stritingi 40001= kwa ajili ya nembo ya shule (kwenye mashati mawili meupe, na t-shirt mbili zenye kola) (aje nayo mkononi) vi)shilingi 10,000/: kwa ajili ya huduma yakwanzana matibabu. (aje nayo mkononi) vii) Miundombinu ya maji 15,000/: viii) Dawa ya choo lita 5 ix) Shilingi 50OO/= Ya Tahadhari (Haitarejeshwa) Page 2 of 9
3 MUHIMUz?edha zote zilipwe benki isipokuwa gale galigoelekezua kupokeleuq. mkononi na sio aingineugo. C. MAIIITAJI MUHIMU AMBAYO MWANAFUNZI ANAPASWA KULETA SHI]LENI NI: D Ream ya karatasi ainayadouble A I (kwa mwaka) ii) Vitabu vya masomo ya tahasusi( orodha imeambatanishwa) iii) Godoro la upana wa futi 2.5x6 iv) Shuka mbili, rangi ya pinki au blue bahari(light blue) v) Vyombo vya chakula (sahani, bakuli,kijiko na kikombe). vi) Sanduku na kufuli kwa ajili ya kutunza vitu vyake vii)chandarua viii) Ndoo ya maji lita 20 kwa matumizi ya mwanafunzi ix) Dumu yalitatano la kutunza maji ya kunywa. x) D-light ndogo ya solar ya kutumia umeme ukikatika. xi) Kwanja ljembe 1 lenye mpini,reki I lenye mpini,ufagio yenye mpini laini wa ndani moja na Ufagio wa nje ainaya chelewa yenye mpini xii)aje na flat file moja kwa ajili ya kumtunzia nyaraka zake muhimu xiii) Wasilisha vivuli vya cheti cha kuzaliwa na result slip ya matokeo ya kidato cha nne. xiv) Toilet paper zakutosha, kwa matumizi yake,kuanziatano (aje nazo). xv) Dumu ya lita 20 ya kuchotea maji xvi) Pia usisahau kumpa mwanao fedha kidogo kwa ajili ya matumizi yake binafsi 3 MAKOSA YATAKAYOSABABISHA MWANAFUNZI KUFUKUZWA SHULE. i) Wizi Kutohudhuria masomo kwa zaidi ya siku 90 bila taarifa./utoro id iii) ir) Kugoma au kuhamasisha mgomo Kutoa lugha chafu kwa wanafuruiwenzake au walimu au walezi au jamii kwa ujumla v) Kupigana mwanafunzi kwa mwanafunzi, kumpiga mwalimu au na mtu yeyote yule. vi) Kusukalkunyoa mtindo usiokubalika shuleni.wanafunzi wote wanatakiwa kuwa na nywele fupi wakati wote wawepo shuleni. vii) Kufuga ndevu viii) Ulevi au unywaji wa pombe na matumizi ya madawa ya kulevya. ix) Uwtaji wa sigara x) Uasherati,uhusiano wa jinsia moja, kuoa au kuolewa xi) Kupata ujauzito au kutoa mimba xii) Kushiriki matendo ya uhalifu, siasa na matendo yoyote yale yanayovunja sheria zanchi. xiii) Kusababisha mimba au kumpa mimba msichana xiv) Kutembelea majumba ya starehe na nyumba zaktialawageni. xv) Kumiliki/kukutwa na simu ya mkononi katika mazingira ya shule. xvi) Kudharau ya bendera yataifa xvii) Kufanya jaribio lolote la kujiua au kutishia kujiua kama kunywa sumu n.k xviii) Uharibifu wa mali ya Umma kwa makusudi Page 3 of 9
4 MAKOSA MENGINE AMBAYO MWANAFUNZI APASWI KUYAFANYA AKIWA SHULENI NI: i) ii) iii) iv) v) vi) vii) viii) ix) x) xi) xii) xiii) xiv) xv) xvi) Kuvaa mavazi yasio sare za shule akiwa shuleni Kufuga kuchandefu na nywele ndefu. Kuiga mitindo ya kiuni isiyofaa.(eg Kuvaa kata-k). Kuchubua ngoziyamwili kwa kutumia madawa. Kwenda nje ya shule bila kuvaa sare ya shule. Kwenda nje ya shule bila ruhusa. Kuvaa kofia /bangili na mapambo mengineyasio sehemu ya sare ya shule. Kuwa na kamera na radio shuleni.(au kifaa chochote kinacho tumia umeme) Kutembelewa na wageni zaidi ya mara moja kwa mwezi ( siku ya jumamosi na jumapili ya kila mwisho wa mwezi ndiyo inaruhusiwa) Kukiuka RATIBA au utaratibu wa shule. Kupeleka wageni bwenini. Kwenda kwenye nyumba za walimu au wafanyakazi wengine bila ruhusa /sababu ya muhimu. Kula darasani/bwenini au kutunza aina yoyote ya chakula bwenini au kula kiporo. Kunyoa kipara au mtindo usiotakiwa. Kuvaa suruali bila mkanda. Kwenda jikoni/bwaloni na bukta au vesti. Tafadhali soma kwa makini maelezol maagizo haya na kuyatekeleza kikamilifu Nakutakia kila la kheri na safari njema I{ARIBU SANA SHULE YA SEKONDARI UYEUPUCE TsEltrt LAMECK LAWI OTIENO MKUU WA SHULE ' IIID'AtrTIII 'I!EIDgP-il' t---bc r & rart{e - fam-tllr* - Page 4 of 9
5 VIAMBATANISHO Kiambatanisho A SHULE YA SEKONDARI NYANDUGA (A I HTSTORTA/TAARTFA ya MWANAFUNZT 1. JinaLaUkoo......JinaLakwanza... JinaLaKati JinaLaM"zzilMlezi......: KamaNi Mlezi: Uhusiano......Namba Ya Simu Anwani Ya Kudumu Y amzazilmlezi Mahali Mwanafunzi Alipozaliwa: Mtaa wa/kuiji Cha... Kata ya...wilaya ya.mkoa Wa Dini....Dhehebu Unaingia Kidato Cha Tarehe/IVlwaka. 8. Kutoka ShuleYaSekondari...:...Wilaya....Mkoa... 9.Mzazi Wako Anafa ny a Kazi Ya Aj iralmkul i malb iashara Mahal i. 10. Usafiri Kutoka Hapa Shuleni Hadi Nyumbani Kwenu Ni: (Toa Maelezo) Ndugu Wengine Ambao Wanaweza Kupelekewa Habari Nzuri Juu Yako/IVlaswalaYaShule Ni: i uhusiano......namba Za Simu... ii....uhusiano......namba Za Simu. iii......uhusiano... NambaZa Simu Kabla Hujaja Hapa Shuleni Umepimwa Na Daktari? Ndiyo/Flapana Ni Ugonjwa Upi Ni Wa Kudumu Kwako I 3. Sifa Maalumu Kama UnazoNo Unalipiwa/Utalipiwa Karo Na :(Taja Jina Anwani Yake Na Namba Za Simu) 15. Taarifa ZaWazazi Wako: Wapo( )Wamefariki( ) (Weka Alama Ya Vyema Panapohusika) Page 5 of 9
6 Nakiri Kuwa Maelezo Yaliopo Hapo Juu Ni Sahihi. Saini Ya Mwanafunzi Saini Ya MzazlMlezi MUHIMU;Mwanafunzi aje na picha zapassport nne(4) za wazazina ndugu wa karibu wanaoweza kumtembelea shuleni/kupewa taarifa yoyote kuhusu mwanafunzi, pamoja na namba zao SAHIHI za simu na nruapatikana muda wote. Mwanafunzi HASITUAITDIKIE namba yake ya simu akidai niyawazazi/waleziwake. BANDIKA PICHA ZA NDUGU WA KARIBU HAPA Jina: Uhusiano: Namba ya simu: Page 6 of 9
7 r tl il' ll Kiambatanisho B I SHULE YA SEKOIYDARI NYANDUGA i I MEDICAL EXAMINATION FORM (To be filled by an Authorized Government Medical Oflicer (Shartt ijazwe na Mganga Mkuu wa hospitali ya Serikali) Full name (Student).. Age....Height (in cms)...weight (in kgs) Blood count... (Red and White Stool Examination Urine analysis Syphilis and other V.D T.B and Leprosy Test Eye Test EarTest. 8. Chest Test. 9. Abdominal Test Blood Group (very crucial) Spleen.. I 2. H.I.V Test, Positive......Negative......(Tick where necessary) Additional information eg Physical defects or impairment, infections, chronic or family Diseases (eg Sickle cell)...;... I(Fullname)... Advanced Secgrndary Education. Designation... Station... Signature... Date...Rubber Stamp.....certifrthattheabovestudentisfit/isnotfittopursue Page 7 of 9
8 Kiambatanisho C SHULE YA SEKONDARI NYANDUGA KIAPO(HATII YA KUKUBALI KIAPO CHA MWANAFUNZI. Mimi (Jina La Mwanafunzi)......Nakubali Kwa Dhati Kabisa Nafasi Niliyopewa Na Taifa Kujiunga Na kidato cha tano katika Shule ya sekondari nyanduga ilioko wilayani Rorya Mkoa wa Mara. Naahidi Kufuata Sheria Zote Za Shule Na Taratibu ZoteKama Zilivyotolewa Na ZitakavyotolewaNa Uongozi Wa Shule Ya Sekondari Nyanduga. Saini Ya Mwanafunzi Tarehe KIAPO CHA MZAZIIMLEZI Mimi (Jina lamzazilmlezi)... Wa Mwanafunzi... Ambaye Ni Mzazil\llezi...Nimeyasoma Masharti Na Sheria Zote Za Shule Ya Sekondari Nyanduga ilioko wilayani Rorya Mkoa wa Mara Ambako Kijana Wangu Amechaguliwa Kujiunga na kidato cha tano.naahidi Kwamba Nitamhimiza Mwanangu Kufuata Sheria Na Taratibu Zote Za Shule. Aidha Naahidi Kushirikiana Na Uongozi Wa Shule Katika Malezi Bora ya Mwanangu Ili Baadaye Awe Raia Bora Na Mweme Wa Taifa Letu.Pia naahidi kumlipia ada na michango mingine ya shule. Saini YaMzazilMlezi... Tarehe Page 8 of 9
9 Kiambatanisho D SHULERYASEK.TT"#ff J["HiXtfr,*.,o Kila mwanafunzi anatakiwa kununua anghalau vitabu viwili kwa kila tahasusi HISTORY 1. Essentials in Advanced level History Paper 2 Based in new (2010) Syllabus, Written by Saleh Yasin 2. Contemporary History Events Volume l.writen by Shibitali CK. Tumain, Shibitali and Son Publisher. GEOGRAPHY l. Practical Geography A-Level by Kamil Z 2. An Intergraded Regional Studies On Human And Economic Geography Advanced Level Paper 2 by Msabila D.T 3. A Comprehensive Approach To Physical I Geography By Msabila D.T 4. Physical Geography Alive By Kamili.Z 5. Practical Geography By Njiku.C ENGLISH 1. Advanced Level English:A Practical Approach(Second Edition) by Nicholous Asheli. (Paper one) 2. Advanced Level English:A Practical A proach(second Edition) by Nicholous Asheli. (Paper two) 3. Oxford Advanced Learner's Dictionary KISWAHILI l.nadharia ya Fasihi Kldato cha 5 & 6 by J.A Maseko 2. Jikumbushe Kiswahili 2Kidato cha5&6 Maswali na majibu by Eliupendo W.Mbise na Leonard Mbikilwa. 3. Kivuli kinaishi-tamthiiya by Said Mohamed PHYSICS 1. TOM DUNCAN, S. CHAND'S For Class XI and XII, 2. ' ADVANCED LEVEL PHYSICS ( Principle of Physics) By M.Nelkon, 3. COMPRETMNSIVEPHYSICS. 4. Review Physics One and Two. 5. Graph Pads {Two) 4. Mathematical Set And Non Programmable Scientific Calculator kwa wanafunzi *cfiepuo (PGM) 5. Wrist Watch. MATHEMATrcS 1. Pure Mathematicsl& 2 by Backhouse.J.K 2. Advanced Level pure mathematics (Fourth edition)by Tranter,CJ 3. S Chand's Mathematics Revised By Dass.H.K (Viambatanlsho ArBrna C aijazwe na kuntdishwo,. shuleni) Page 9 of 9
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI NAMBA ZA SIMU: Mkuu Wa Shule: 0784524029 / 0766805826. Makamu Mkuu Wa Shule: 0714356735 / 0767356735. SHULE YA SEKONDARI
More informationJAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI Namba za simu Shule ya sekondari Mkingaleo Mkuu wa shule -0716544244 S.L.P 1802 Makamu Mkuu wa shule -0713788225 Tarehe Matroni/Patroni-0764435107/0718495791
More informationHALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA
HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA E- mail: uchilesekondari@yahoo.com P.O. BOX 582 Mob: +255 (0) 752 476 389 SUMBAWANGA KUMB. NA. USS/JOINING/F.V/03 10 Juni 2017...... YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO
More informationOFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA SHULE YA SEKONDARI TOSAMAGANGA SANDUKU LA POSTA 569 IRINGA TANZANIA Kumb... MZAZI/MLEZI WA...... YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. OFISI YA RAIS- TAMISEMI.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. OFISI YA RAIS- TAMISEMI. Namba za simu: SHULE YA SEKONDARI ANNA MKAPA, S. L. P 8824, MOSHI. TAREHE... MKUU WA SHULE : 0688 460 242/ 0754 824 621 MAKAMU MKUU WA SHULE: 0787
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU NAMBA ZA SIMU. MKUU WA SHULE: 0754 912 801 MAKAMU MKUU WA SHULE: 0765620813/0714556568 MATRON
More informationKumb.Na.BSS/A.6/33 Tarehe: 18 Juni 2018 YAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2018/2019
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Shule ya Sekondari Bagamoyo Simu ya mkononi: +255 769 397 926 : +255 658
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA
SIMU NA: (027) 2642082 TANGA (OFISI) 0784 889 099 TANGA (NYUMBANI) Tovuti: www.tangaschool.sc.tz Barua pepe: tangaschool@yahoo.com JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA Email: Galanossecondary@gmail.com SHULE YA SEKONDARI GALANOS, Website: www.galanos.sc.tz
More informationSHULE YA SEKONDARI KIBAHA S.L.P 30053, KIBAHA SIMU NA Kibaha
Kumb.Na.KSS/. Tarehe:.. Ndugu:.. SHULE YA SEKONDARI KIBAHA S.L.P 30053, KIBAHA SIMU NA. 023-2402143 e-mail Kibaha Secondary@kec.or.tz www.kec.or.tz TAARIFA YA KUCHAGULIWA KUINGIA KIDATO CHA TANO 2018 Ninayo
More informationJAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS-TAMISEMI Namba za Simu Mkuu wa Shule: 0742 770 656 Makamu Mkuu wa Shule: 0767 312 266 Matron: 0766 464 076 Shule ya Sekondari Nsimbo, S.L.P.304, MPANDA. Kumb.
More informationJAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA SHULE YA SEKONDARI RUNGWA
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA SHULE YA SEKONDARI RUNGWA FOMU YA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE 2018/2019 S.L.P 504, Namba za simu MPANDA Mkuu
More informationYAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI WERUWERU HALMASHAURI YA MOSHI MKOA WA KILIMANJARO MWAKA 2018
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOSHI SHULE YA SEKONDARI WERUWERU Nambari ya simu 073-2744003/0759 659681 Email:weruweru23@gmail.com
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA. SHULE YA SEKONDARI KAHORORO, S. L. P 198, BUKOBA. Tarehe 14/5/2018 MKOA WA KAGERA
More information2018/2019 OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA TANDAHIMBA SHULE YA SEKONDARI TANDAHIMBA, S.L.P 74, 0716 / 0784 143550 12/05/2018 Kumb. Na. TSS/HS/2018/VOL. I Mwanafunzi.. S.L.P....
More informationInformation for assessors (do not distribute this page to participants):
R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA Namba za simu: Mkuu wa shule: 0757 576 565 Makamu Mkuu wa shule: 0757 912 846 Matron: 0757 322 100 Walimu wa
More informationYAH: MAAGIZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KAREMA KIDATO CHA TANO MWAKA 2018
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA SHULE YA SEKONDARI KAREMA Namba za simu: Mkuu wa shule: 0763414888/0784244108
More informationYA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAMISEMI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS - TAMISEMI Namba za simu Shule ya Sekondary Mawelewele Mkuu wa shule: 0763401829 S.L.P 459, Makamu mkuu wa shule: 07523331155 IRINGA. Matron/Patron: Kumb.
More informationFOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO
FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO SEHEMU A (TAARIFA ZA MWANAFUNZI) Picha ya mwanafunzi na aje na picha tatu Jina kamili (majina matatu). Tarehe ya kuzaliwa.. Uraia.. Jinsia Anuani ya mwanafunzi... Shule
More informationARCHDIOCESE OF MWANZA
ARCHDIOCESE OF MWANZA Bukumbi Girls Secondary School P.O.Box 561 MWANZA. Tel: No. 0756312183/0755280924/0767643605/0732981368 Email: bukumbigirlssec@gmail.com Website: www.bukumbigss.weebly.com YAH: MWONGOZO
More informationKumb.Na.HVEMS/JI/BT/018 Novemba 17, YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE CHINI YA TAASISI YA ROCK MEMORIAL EDUCATION TRUST 2018
Hills View Catholic Diocese of Tanga Magunga District Hospital Road Mob:+255-784808420, +255 718 661681, +255 714901004 www.rmet.ac.tz, email: saroce2013@gmail.com KOROGWE, TANZANIA Kumb.Na.HVEMS/JI/BT/018
More informationKAWAWA JKT HIGH SCHOOL PO.BOX 213 MAFINGA IRINGA PHONE MOBILE, , , ,
KAWAWA JKT HIGH SCHOOL PO.BOX 213 MAFINGA IRINGA PHONE MOBILE,0762-785899, 0765 752082, 0758 767533, EMAIL: kawawa.highschool@yahoo.com Kumb Na. 841KJ/KAWSS/2540 6 Namba ya Fomu. Tarehe.. FOMU YA USAJILI
More informationHati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)
102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako
More informationGOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)
GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited
More informationGOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)
GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited
More informationNAFASI ZA MASOMO MASOMO YA ASUBUHI
NAFASI ZA MASOMO Shule yetu, iliyoanza mwaka 1974, inazingatia taaluma na maadili kwa kufuata sera ya elimu ya Kanisa Katoliki. Ni ya mchepuo wa biashara. Inapokea wanafunzi wa kike na wa kiume, wa kutwa
More informationHuduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig
KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1
More informationSERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH
Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017
More informationEarly Grade Reading Assessment for Kenya
EDDATA II Early Grade Reading Assessment for Kenya Baseline Instruments: Kiswahili and English EdData II Technical and Managerial Assistance, Task Number 4 Contract Number EHC-E-01-04-00004-00 Strategic
More informationJifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti
Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu
More informationMwongozo wa Familia wa Kujifunza
Shule za umma za kata ya Fayette 1 Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Muhtasari wa yale watoto wanastahili kufahamu na kuweza kufanya na njia za familia kuongeza masomo nyumbani. Tunaamini familia ni wenzetu.
More informationHuman Rights Are Universal And Yet...
Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,
More informationCGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania
CGAP Smallholder Household Survey in Tanzania / Utafiti wa kaya ndogondogo Tanzania Questionnaire for Individual Household Members/Dodoso kwa mwanakaya binafsi This questionnaire will be administered to
More informationUpande 1.0 Bajeti yako
Upande 1.0 Bajeti yako Bajeti (Budget) ni muhustari wa njisi wewe (na familia yako) mnavyopata na kutumia pesa. Inaunganisha pesa zinazoingia nyumbani kwako (Kipato/ income) na zile unazotumia (matumizi/expenses).
More informationUTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO
UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery
More information13 APRILI, 2012 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A
BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Jenista J. Mhagama) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA
More informationMWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI
MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality
More informationMKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada
Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA
More informationKITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO
KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa
More informationHati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E)
102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI/AGOSTI 2011 MUDA: 2 ½ Kiswahili Fasihi Hati ya Kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya.( K.C.S.E) MAAGIZO Jibu maswali manne pekee Swali la kwanza ni lazima Maswali
More informationKifaa Maalum cha Kutazamia Jua: Maelekezo ya kutumia
: Maelekezo ya kutumia Kupatwa kamili kwa jua Jumatatu, 21 Agosti 2017 Agreement v1.4 Mar 2014 2014-2017 Eclipse2017.org, Eclipse2017.org, inc. inc. TERMS AND CONDITIONS FOR USE OF SOLAR VIEWER Please
More informationUfanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania
Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey
More informationSautiElimu. Sauti Yako Isikike
SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian
More informationTIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees
TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST
More informationMpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi
Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari
More informationMwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara
Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo
More informationNilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania
Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza
More informationKANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI
Swahili TANGAZO LA MATARAJIO NA JUKUMU KANUNI ZA MAADILI MWONGOZO WA WANAFUNZI Lengo letu ni kuwezesha mazingira ya jumuiya ya ushirikiano yanayowapatia wanafunzi wote kwa kila kiwango fursa ya kufikia
More informationHatari, Haki za Usalama katika Bahari 03
Hatari, Haki za Usalama katika Bahari 03 AEG swahili Bahari ya Aegean Brosha ya maelezo hii ni kwa watu wanaofikiria kuvuka bahari ya Aegean kati ya Ugiriki na Uturuki.Kuvuka kihramu ni uhalifu katika
More informationSANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO
KISWAHILI SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO KITABU CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO YALIYOMO UTANGULIZI v MPANGILIO WA MASOMO YA KISWAHILI: KIDATO CHA TANO 1 FUNZO: Fasihi (Ukurasa
More informationJUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1
The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA
More informationBUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma
More informationKuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo
Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Mazoezi ya wenye umri wa miaka 11-14 Hivi Ndivyo Nilivyo kwa wenye umri wa miaka 11-14 Kuhusu Hivi Ndivyo Nilivyo Ikiwa
More informationMheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;
HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri
More informationIn the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment
In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for
More informationTufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?
Tufundishane! Let s teach each other! This newsletter is published by The Foundation for Tomorrow and is meant to be a venue for teachers and schools to share and learn from each other s best practices.
More informationAzimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu
The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA
More informationN09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q
N09/2/ABSWA/HP1/SWA/TZ0/XX/Q 88092387 SWAHILI B HIGHER LEVEL PAPER 1 SOUAHÉLI B NIVEAU SUPÉRIEUR ÉPREUVE 1 SUAHILI B NIVEL SUPERIOR PRUEBA 1 Tuesday 3 November 2009 (morning) Mardi 3 novembre 2009 (matin)
More informationMTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya
Jina Nambari.. Shule... 102/3 KISWAHILI FASIHI KARATASI YA 3 JULAI / AGOSTI. 2007 MUDA: SAA 2 ½ MTIHANI WA MWIGO WILAYA YA BUTERE MUMIAS-2007 Hati ya kuhitimu Elimu ya Sekondari Kenya 102/3 KISWAHILI FASIHI
More informationElimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani
Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh
More informationHii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao cha Ishirini na Tatu - Tarehe 14 Julai, 2003 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Naibu
More informationMACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI
This booklet on Becoming a Parent was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at. MACHAGUO
More informationPDF created with pdffactory trial version
المملكة العربية السعودية وزارة التعليم العالي الجامعة الا سلامية بالمدينة المنورة عمادة البحث العلمي قسم الترجمة تعريف موجز بالا سلام بل( لغة السواحلية) ١ بسم االله الرحمن الرحیم MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU
More informationWaandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN
KIONGOZI CHA SHERIA Hakimiliki 2008 Kimetolewa na: Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) Waandishi: wa Toleo la 5 Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau Toleo la 5: 2008 ISBN
More informationHii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA. Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel
More informationPYRINEX. 1 Liter INSECTICIDE
PYRINEX GUARANTEE (DHAMANA): Chloropyrifos 480 g/1, EC OPEN HERE A broad spectrum Insecticide/Acaricide with contact, ingestion and fumigant action for control of a wide range of pests on Maize, Coffee,
More informationRIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR.
RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR. SEHEMU YA KWANZA 1.0 UTANGULIZI. Kamati Teule ya Kuchunguza Upotevu wa Nyaraka
More informationMAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI
MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha
More informationUtangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu
Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu BLOOD PRESSURE UK Shinikizo la damu ndicho chanzo kikubwa cha ulemavu na vifo vya mapema kule Uingereza, kupitia kiharusi, mshtuko wa moyo na maradhi ya moyo.
More informationHii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NNE Kikao cha Thealathini na Sita Tarehe 29 Julai, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika
More informationMWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18
MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2
More information5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:
HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban
More informationNa Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4
;II. -~ ~.! ~ l Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ~n.~ SURA YA KWANZA SHERIA YA ARDHI 1 UTANGULIZI Sura hii itaiangalia ARDHI na umuhimu wake katika maisha ya binadamu. Ardhi ni rasilimali
More informationUzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania
Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wapilipili Tanzania Wildlife Division, Tanzania Wildlife
More informationDeputy Minister for Finance
ISSN: 1821-6021 Vol XI - No - 34 DID YOU KNOW? A procuring entity is?s required to use suppliers pliers?pliers?pliers?pliers among those awarded ed?ed?ed?ed framework agreements by GPSA for procurement?ents
More informationKIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI
KIJARIDA JUU YA HAKI ZA RAIA KATIKA MFUMO JINAI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY (LSF) 1 KIMEANDALIWA NA Chama Cha Wanasheria Tanzania
More informationJHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI
JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika
More informationBUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI. Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A
BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, 2016 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alikalia Kiti HATI ZA KUWASILISHA
More informationYaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!
Yaliyomo Kuhusu kitabu hiki Kuhusu kitabu hiki.........................................................1 Unapojisikia vibaya.........................................................2 Unapoanza kuwa mzima
More informationKijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia
IDARA YA KUFIKIA HUDUMA ZA AFYA VERMONT Kijitabu cha Maelezo cha Programu ya Famasia GreenMountainCare MIASHA YENYE AFYA BORA ZAIDI Jedwali la Yaliyomo Jedwali la Yaliyomo... 2 Karibu kwenye Programu ya
More informationMATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza
1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa
More informationTIST HABARI MOTO MOTO. Benefits of Loan Repayment. Faida za ulipaji wa mikopo U OTESHAJI W A M ITI Y A M ATUNDA
TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246, P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@ twiga.com 01 June 2001 Benefits of Loan Repayment As the date of repayment nears, 15 June, groups are busy preparing crops, digging
More informationORDER NO BACKGROUND
In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND
More informationMisamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?
Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.
More informationHii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NNE. Kikao cha Nane Tarehe 23 Juni, 2006
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NNE Kikao cha Nane Tarehe 23 Juni, 2006 (Ulianza Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta)
More information4. Kanuni za Petroli (Ushiriki wa Watanzania) za mwaka 2017 zilianza kutumika rasmi tarehe 5 Novermba Shughuli za Petroli za kwanza ni
MWONGOZO WA JINSI YA KUWASILISHA MAOMBI YA KUWEKWA KWENYE KANZIDATA YA WATANZANIA WENYE UWEZO WA KUUZA BIDHAA AU KUTOA HUDUMA (LSSP) KWENYE SHUGHULI ZA MAFUTA NA GESI ASILIA NCHINI Utangulizi 1. Mamlaka
More informationMUONGOZO WA UTUNZAJI WA URITHI WA UTAMADUNI 1 SECURITY AT MUSEUMS
MUONGOZO WA UTUNZAJI WA URITHI WA UTAMADUNI 1 SECURITY AT MUSEUMS Reproduction is authorized, providing that appropriate mention is made of the source, and copies sent to the (Paris), address below. This
More informationLUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI
LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI SIKOMBE YIZUKANJI YORADI TASNIFU YA KISWAHILI KWA MINAJILI YA KUTUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI (MA. KISWAHILI) KITIVO CHA SANAA
More informationPicha ni hati miliki ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Watoto(PCD), Imperial College London. Maelezo
Mwongozo wa kufundisha afya katika shule na jamii kupitia wafanyakazi wa afya Hati zifuatazo zimeandikwa kwa ushirikiano kati ya Partnership for child Development (PCD) yani Ushirikiano wa Maendeleo ya
More informationTIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO
TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of
More informationKENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS
KENYA NATIONAL EXAMINATION COUNCIL REVISION MOCK EXAMS 2016 TOP NATIONAL SCHOOLS ALLIANCE BOYS HIGH SCHOOL KISWAHILI KARATASI YA 2 SCHOOLS NET KENYA Osiligi House, Opposite KCB, Ground Floor Off Magadi
More informationNamba ya moduli 3 Kuangalia sanaa
Rasilimali za Msingi Mafunzo Ya Jamii Na Sanaa Namba ya moduli 3 Kuangalia sanaa Sehemu ya 1 Kuchunguza Kazi za Sanaa zionekanazo Sehemu ya 2 Kuandaa Shughuli za Sanaa kwa Vitendo- Sehemu ya 3 Kutumia
More informationJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi
More informationKUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA
KUWEZESHA MBINU ZA UZUIAJI MIMBA KATIKA SUHULA ZA AFYA: MASWALI 10 KWA VIKUNDI VYA JAMII KUZINGATIA Toleo la kwanza 2012 Mwandishi: USAID DELIVER PROJECT Wachangiaji: Gary Steele, John Snow, Inc. and Judith
More informationTIST HABARI MOTO MOTO
TIST HABARI MOTO MOTO Tel. +255784-537720/+255717-062960/+255782-250947, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@tist.org May 2010 Cash Payments for Trees Clean Air Action has developed a way to pay the groups
More information3 FEBRUARI, 2015 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE. Kikao cha Saba - Tarehe 3 Februari, 2015
BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Saba - Tarehe 3 Februari, 2015 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA
More informationTANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora
K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012
More informationBanana Investments Ltd
Toleo la 21 Jarida litolewalo na; Banana Investments Ltd TOLEO NAMBA 21 HALIUZWI APRIL JUNE HALIUZWI BODI YA WAHARIRI YALIYOMO Augustine Minja Mwenyekiti 078 5451 004 Gerald Lyimo Mjumbe Beatha Anthony
More information