Draft 03 MWENGE KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MWENGE

Size: px
Start display at page:

Download "Draft 03 MWENGE KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MWENGE"

Transcription

1 MWENGE KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MWENGE MPANGO MKAKATI WA MIAKA MITANO WA MAENDELEO YA KANISA i

2 YALIYOMO 1. UTANGULIZI Lengo kuu Historia kwa ufupi Malengo ya mkakati... 2 Rasilimali za Kiroho Rasilimali Watu Rasilimali Fedha Rasilimali Miongozo Mradi wa kusambaza kitabu cha Pambano Kuu Miradi mikuu ya ujenzi DHIMA, DIRA, NA KAULI MBIU Dhima (Mission) Dira (Vision) Kauli mbiu (Mission Statement) MPANGO MKAKATI WA MIAKA MITANO KUANZIA Mfumo wa uongozi Idadi ya washiriki na Makisio ya ukuaji wa kanisa kuanzia Mambo muhimu (Key issues) Mikakati ya kukabili changamoto zilizoainishwa MAENEO YA UTEKELEZAJI KIMKAKATI Uwakili Huduma za Kanisa Elimu Vijana Shule ya Sabato Huduma za watoto Afya Kwaya za Kanisa na vikundi vya uimbaji Ofisi ya Karani wa Kanisa Mawasiliano MIUNDO MBINU (Majengo ya kanisa, vyoo, viwanja) Hali ilivyo sasa ii

3 Maboresho ya Miundombinu (Majengo, Viwanja) Uboreshaji wa mandhari ya eneo na Jengo la Kanisa (Mwenge) Faida na Hasara za mapendekezo ya upanuzi wajengo la kanisa la sasa Ujenzi wa Jengo la matumizi anuai Majengo Kanisa Makundini Ukarabati wa nyumba ya mchungaji Ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi makao mapya ya ETC MIKAKATI YA KUPATA FEDHA KWAAJILI YA MIRADI YA MAJENGO Kuanzisha mfuko maalum wa maendeleo ya kanisa Kikosi kazi cha watu Washiriki wote wa kanisa kuhusishwa Changizo kutoka watu wa nje ya kanisa kwa njia ya harambee RAMANI YA UTEKELEZAJI Ramani yaa kila mwaka ya utekelezaji wa mpango mkakati Ramani ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi kwa mwaka BAJETI YA UTEKELEZAJI MPANGO MKAKATI VIELELEZO NA VIAMBATANISHI Ramani ya upanuzi wa Kanisa (Sehemu za office Picha au mtazamo wa kisanifu katika picha za pande tatu (3D Views photos) iii

4 1. UTANGULIZI Mpango ni mfumo wa kimaandishi unaoonesha kazi zinazotakiwa kufanywa na hatua mbalimbali za kufikia malengo yaliyowekwa kwa muda maalumu. Mpango mkakati husaidia ufanisi katika utekelezaji na kuweka mpangilio mzuri wa matumizi ya rasilimali. Pia husaidia kuratibu kazi zote ili kufikia malengo kwa kuweka vipaumbele. Ni muhimu sana kuwa na mpango mkakati kwa kuwa utatupatia mwelekeo wa ni wapi tunataka kwenda na tutafika kwa namna gani. Shughuli mbalimbali na maeneo ya kimkakati huwekwa bayana, hii inasaidia kufahamu nyenzo na raslimali zinazohitajika na namna ya kuzipata. Ugawaji wa majukumu na dhamana miongoni mwa viongozi au washiriki ni moja ya faida za kuwa na mpango kazi. Mipango mkakati huwezesha kufanya tathmini kuona kama malengo na mipango tuliyojiwekea imefanikiwa au haikufanikiwa kama ilivyopangwa. Kanisa la Mwenge limekuwa na mipango ya muda mfupi mfupi hususani kila mwaka, hali ambayo haiwezi kutoa dira endelevu kwa kanisa. Hivyo mpango huu ni hatua muhimu katika kulipatia kanisa dira ya kuliongoza katika mipango mbalimbali bila kujali mabadiliko ya uongozi yanayofanyika kila mwaka. Hii italiwezesha kanisa kuwa na mipango endelevu itakayokuwa ikitekelezwa na kila uongozi unapoingia madarakani wakati wa uhai wa mpango husika. 1.1 Lengo kuu Lengo kuu la mpango mkakati huu ni kuliongoza katika uendeshaji wa majukumu yake makubwa ambayo ni: malezi ya washiriki kiroho, uinjilisti, uwakili na majengo kwa kuweka malengo mahususi na namna ya kufikia malengo hayo ifikapo mwaka Historia kwa ufupi Kanisa la Waadventista wa Sabato Mwenge ni miongoni mwa makanisa mengi ya waadventista wa Sabato Tanzania ambalo liko katika eneo la Mwenge, kando kidogo mwa barabara mpya ya Bagamoyo, likipapakana na zahanati ya Mwenge kijijini wilaya ya Kinondoni, Jijini Dar es Salaam. Kanisa lilianza mwaka 1967 likiwa ni tawi la Shule ya Sabato Lugalo Sergeant Mess. Tawi liliendelea hadi mwaka 1980 lilipopewa hadhi ya kuwa Kundi la Shule ya Sabato. Kutokana na matatizo yaliyojitokeza ya kutokuwa na uhuru wa kuingia eneo la jeshi kufanya ibada, mwaka 1981 likawa ni kundi la Kanisa la Magomeni na kuendelea kukua hadi Juni mwaka 1985 lilipotengwa rasmi kwa kupewa hadhi ya kuwa Kanisa kamili na hivyo kutambuliwa rasmi kuwa miongoni mwa makanisa mahalia ya Waadventista wa Sabato ulimwenguni. Kanisa liliendelea kukua kwa kuanzisha makundi ambayo nayo yalitengwa kuwa makanisa. Makanisa ambayo ni zao la Mwenge ni pamoja na Ushindi, Bagamoyo, Lugalo, Tegeta, Mbezi Beach, Mbezi juu, Kerege na Bunju. Kwa sasa Kanisa lina makundi 7 ambayo ni: Bumafa, Chivilikiti, Mabwepande, Zinga, Amani, Kimele na Vikawe; pia kuna tawi moja la shule ya Sabato katika shule ya sekondari ya Lord Barden. Hadi kutengwa kuwa Kanisa, Kanisa halikuwa na nyumba ya kuabudia, hivyo juhudi zilifanyika za kutafuta kiwanja na 1

5 hatimaye kiwanja kilipatikana eneo la Mwenge na ujenzi kuanza rasmi mwaka 1989; jengo la Kanisa kwa wakati huo lilisanifiwa kuwa na uwezo wa kuchukua waumini 900 wakiwa wamekaa, ujenzi uliendelea hadi mwaka 2000 ulipokamilika. Baada ya shughuli za ujenzi kukamilika, utaratibu wa kuliweka wakfu ulifanyika. Tarehe jengo la kanisa liliwekwa wakfu rasmi; huduma hiyo ilifanywa na Mchungaji Dr. Herry Mhando. Idadi ya washiriki imekuwa ikiongezeka mwaka hadi mwaka licha ya washiriki wengine kuhamia makanisa mengine, idadi ya washiriki hadi kufikia Juni mwaka 2012 ilikuwa ni 2, Malengo ya mkakati Kwa kipindi cha kuanzia kanisa linaazimia kuwa na maeneo makuu ya kimkakati yafuatayo: A: Rasilimali za kiroho B: Rasilimali watu Lengo #1: Kuongeza washiriki kwa 100% ifikapo 2017 Lengo #2: Makundi yaliyopo sasa kuwa makanisa ifikapo 2017 (Zinga, Mabwepande, Kimele, na Bumafa) Lengo #3: Kuimarisha na kuyawezesha makundi kujitegemea ifikapo mwaka 2017 au baadaya 2017 Lengo #4: Kuwa na 60% ya washiriki wanaosoma Biblia, Lesoni ifikapo 2017 Lengo #5: Kuhakikisha kuwa 70% ya washiriki wana ufahamu mpana kuhusiana na mtindo na mwenendo wa maisha ya ki-adventista katika nyanja za afya, elimu, vyakula na vinywaji, na maburudisho. Lengo #1: Kuelimisha Wainjilisti Walei 15 wanaoweza kutumwa kama wainjilisti ifikapo mwaka Lengo #2: Kusomesha wanafunzi wawili elimu ya uchungaji ifikapo mwaka 2017 Lengo #3: Kuhakikisha kuwa asilimia tisini (90%) ya wahubiri wawe na elimu ya homilia ifikapo mwaka 2017 C: Rasilimali fedha Lengo #1: Kuhakikisha idadi ya washiriki wanaorudisha zaka na wanaotoa kwa mpango inaongezeka mara tatu zaidi ya miaka ya nyuma ifikapo 2017 Lengo #2: Kuwezesha asilimia sabini (70% ) ya washiriki wasio na ajira na wale wenye kupenda kujianjiri na kuanzisha biashara wawe na elimu ya ujasiriamali ya ujasiliamali ifikapo

6 D: Rasilimali miongozo Lengo: Kuhakikisha kuwa 100% ya washiriki wanafundishwa na kuelewa misingi 28 ya kanisa; waumini na viongozi wawe wamefundishwa kufuata sera na taratibu za kanisa, na washiriki wawe ameelimishwa kuhusu utumiaji wa maandishi ya Roho ya unabii ifikapo E: Mradi wa kusambaza kitabu cha Pambano Kuu Lengo: Kuhakikisha vitabu 20,000 vinanunuliwa na kusambazwa. F: Miradi mikuu ya ujenzi Lengo #1: Kufanya ukarabati mkubwa wa jengo la kanisa na kukamilisha ujenzi wa majengo ya ibada makundini. Lengo #2: Kukarabati nyumba ya mchungaji Lengo #3: Ujenzi wa nyumba ya mkurugenzi makao mapya ya ETC. Lengo #4: Ujenzi wa Jengo la Ustawi wa Jamii Kwa kila eneo la kimkakati malengo mahsusi yameainishwa katika jedwali hapa chini. 3

7 Rasilimali za Kiroho MPANGO MKAKATI MHUSIKA MUDA Lengo 1: Semina za uinjilisti kwa washiriki kanisani na makundini - Mzee wa kanisa Kuongeza washiriki kwa 100% mara moja kila robo -Mkuu wa ifikapo 2017 Unijilisti kwa njia ya machapisho ikihusisha masomo kwa njia huduma za kanisa ya sauti ya unabii, vitabu, vijizuu na magazeti. -Mkurugenzi Washiriki wa makundini wote Mikutano ya injili ya hadhara mitatu kwa mwaka, mmoja VOP wamejumlishwa ukifanyika kupitia radio ya Morning Star FM. Uinjilisti kupitia shule ya sabato: -Mkurugenzi wa o S/Sabato o -Kiongozi wa o uchapishaji Vikosi vya shule ya sabato Sabato za wageni Kuanzisha matawi ya kujifunza biblia kwa kaya zilizo karibu na kuhusisha wasio washiriki pia. Elimu ya dini shuleni-vipindi vya dini (uinjilisti na malezi) o kufikia kila shule iliyopo katika eneo letu la kiutawala kuimarisha utaandaaji {kila idara/ chama knsn kuweka mkakati wa kuongoa roho} -Mkurugenzi wa Elimu -Kiongozi wa Champlensia -Sabato ya kwanza ya kila mwezi -Mwezi Aprili/Juni na Septemba/Okt. -Sabato ya 2 ya robo -kila Sabato -Mei/Oktoba Lengo 2: Kutenga makundi yaliyopo sasa kuwa makanisa ifikapo 2017 kuwaandaa washirki wa makundini kujitegemea kiroho, kiuchumi na kijamii. -Kiongozi wa Kundi/mzee wa kanisa -Sabato ya kwanza ya kila mwezi. (Zinga , Mabwepande , Kimele- 2015, Bumafa- 2016, na Vikawe 2017) Lengo 3: Kuimarisha na kuyawezesha makundi kujitegemea ifikapo mwaka 2017 au baada ya hapo. Kuyajengea uwezo wa wa kuimarika, makundi mapya yaanzishwe pale tu inapobidi. Hii itatupati fursa ya kuyahudumia vyema makundi yaliyopo sasa kwa kuyawezesha kuwa na nyumba za ibada zilizokamilika na zenye kuleta utukufu kwa Mungu. Wazee wa kanisa/mchungaji Mara moja kila robo 4

8 Lengo 4: Kuwa na 60% ya washiriki wanaosoma Biblia na Lesoni ifikapo 2017 Lengo 5: Kuhakikisha kuwa 70% ya washiriki wana ufahamu mpana kuhusiana na mtindo na mwenendo wa maisha ya kiadventista katika nyanja za afya, elimu, vyakula na vinywaji, na, maburudisho. kuwatembelea washiriki nyumbani. kila mshiriki atembelewe angalau mara moja kwa mwaka. kuimarisha mfumo wa ukusanyaji wa lesoni kwa njia tofauti,,,mpesa kwa fue [[kila idara/chama itengeneze mkakati itakavyohusika na mpango]] Semina, mafundisho, na mahubiri - semina mara moja kwa mwezi muda wa mchana Wazee wa kanisa /mashemasi/... / /SS, utandaaji/ huduma Wazee wa kanisa /Mchungaji/ Kila sabato kupitia vipindi vya mchana Kila sabato kupitia vipindi vya mchana Rasilimali Watu MPANGO MKAKATI MHUSIKA MUDA Lengo 1: Kuelimisha wainjilisti walei 15 wanaoweza kutumwa kama wainjilisti ifikapo Kuimarisha mfuko wa uinjilisti hasa kwenye eneo linalohusu udhamini wa mafunzo ya uinjilisti. Mchungaji wa Mtaa N/A Lengo 2: Kusomesha mwanafunzi wawili elimu ya uchungaji ifikapo 17. Lengo 3: 90% ya wahubiri wawe na elimu ya homilia ifikapo 2017 Kutenga sehemu kidogo kutoka katika bajeti ya kanisa Kutumia washiriki wa kanisa kuchangisha pesa Semina ifanyike mara moja kwa mwaka Mchungaji wa Mtaa Mratibu wa mpango atakayechaguliwa na uongozi wa kanisa Mchungaji wa Mtaa N/A Mara moja au mbili kwa mwaka 5

9 1.3.3 Rasilimali Fedha MPANGO MKAKATI MHUSIKA MUDA Lengo 1 Kuhakikisha idadi ya washiriki wanaorudisha zaka na wanaotoa kwa mpango inaongezeka kwa Mafundisho/mahubiri/Semina za zaka na sadaka kila mwezi (wiki ya mwisho) Kiongozi/Katibu wa Uwakili na Maendeleo kanisani Mara moja kila mwezi. Wiki ya mwisho ya kila mwezi asilimia hamsini (50%) ya Mchungaji washiriki. Wazee wa Lengo 2 Kuwezesha 70% ya washiriki wasio na ajira wawe na elimu ya ujasiliamali na wale wanaopenda kuanzisha na kuendeleza biashara wawe na elimu ya ujasiriamali. Washiriki wa ndani watumike kufundisha mara moja kwa kila robo na utaratibu maalumu uwekwe kuratibu semina hizo. ATAP wahusishwe katika kufanikisha azima hii kanisa Kiongozi/Katibu wa Uwakili na Maendeleo kanisani Kiongozi wa ATAP Mara mbili kwa kila mwaka Rasilimali Miongozo MPANGO MKAKATI MHUSIKA MUDA Lengo: 1 Mahubiri/mafundisho na semina zifanyike mara mbili kwa robo Mchungaji Kila sabato Kuhakikisha kuwa 100% ya Washiriki waelezwe kuhususiana na vitabu bora na vya uhakika Wazee wa kupitia vipindi washiriki wanafundishwa na ambavyo havikuchakachuliwa. kanisa vya mchana na kuelewa masomo muhimu Kiongozi wa pia kupitia yafuatayo : Roho ya unabii mahubiri ya misingi 28 ya kanisa ibada kuu. kufuata sera na taratibu za kanisa utumiaji wa vitabu vya Roho ya Unabii. 6

10 1.3.5 Mradi wa kusambaza kitabu cha Pambano Kuu MPANGO MKAKATI MHUSIKA MUDA Lengo: 1 Kuhakikisha vitabu 20,000 vitanunuliwa na kusambazwa. Uhamasishaji na kila mshiriki ahakikishe amechangia angalau vitabu 5 kila mwaka kwa miaka mitano hadi Mkurugenzi wa Uchapishaji kanisani Mara moja kila robo ya mwaka Miradi mikuu ya ujenzi MPANGO MKAKATI MHUSIKA MUDA Lengo: 1 Kufanya ukarabati mkubwa wa jengo la kanisa na kukamilisha Kukusanya michango kutoka kwa washiriki au familia hadi 200 watakao kuwa tayari kuchangia shilingi 1,000, 000 kila mmoja kwa mwaka. Kiongozi / kamati ya majengo ujenzi wa majengo ya ibada Kwa kutumia michango kutoka kwa washiriki wote Mzee wa makundini. Changizo kutoka kwa watu mbalimbali ndani na nje ya kanisa kanisa Lengo: 2 Kukarabati nyumba ya mchungaji Lengo: 3 Ujenzi wa nyumba ya mkurugenzi makao makuu mapya ya ETC. Lengo: 4 Ujenzi wa Jengo la Ustawi wa Jamii Kutumia sehemu ya bajeti ya kanisa kadri itakavyoamuliwa na baraza la kanisa na, au mashauri ya kanisa kulingana na mgawanyo wa mtaa Michango ya washiriki Kutumia sehemu ya bajeti ya kanisa kadri itakavyoamuliwa na baraza la kanisa na au mashauri ya kanisa Michango ya washiriki Kukusanya michango kutoka kwa washiriki au familia hadi 200 watakao kuwa tayari kuchangia shilingi 1,000, 000 kila mmoja kwa mwaka. Ramani ya jengo na michoro yote iwe tayari ifikapo Septemba 2013 (Architectural drawing, Structural drawing, Plumbing drawings, Electrical drawings) Kamati ya uwakili- (Maendeleo) Kamati ya majengo Mzee wa kanisa Kamati ya majengo Mzee wa kanisa Kiongozi / kamati ya majengo kanisa la Mwenge Mzee wa kanisa Endelevu hadi lengo lifikiwe kwa kuanzia na mwaka 2013 Wakati wowote itakapohitajika Wakati wowote itakapohitajika Endelevu hadi lengo lifikiwe 7

11 2. DHIMA, DIRA, NA KAULI MBIU 2.1 Dhima (Mission) Dhima yetu ni kutekeleza agizo kuu la utume wa Yesu la Mathayo 28:19,20 na kushuhudia ujumbe wa malaika watatu wa Ufunuo 14:6-12 kwa watu wa mataifa yote ili wampokee Yesu kuwa Bwana na mwokozi wao na waweze kujiunga na kanisa la Mungu la masalio kuhudumia jamii na kujiweka tayari kwa marejeo yake mara ya pili. 2.2 Dira (Vision) Kuwa kanisa la mfano nchini Tanzania na duniani lenye kumpenda Mungu na kushuhudia upendo wake kwa ajili ya wokovu wa kila mmoja kabla ya marejeo yake mara ya pili kuwachukuwa wateule wake mbinguni (Mathayo 22:37-39). 2.3 Kauli mbiu (Mission Statement) Kutangaza injili ya milele kwa watu wote katika muktadha wa ujumbe wa malaika wa tatu wa Ufunuo 14: MPANGO MKAKATI WA MIAKA MITANO KUANZIA Mfumo wa uongozi Kanisa la Mwenge linaongozwa na Mchungaji anayesaidiana kwa karibu na wazee wa kanisa ambao wanawajibika kwa baraza la kanisa katika kuongoza shughuli za kila siku za kanisa. Kikao kikubwa cha maamuzi ya mwisho ni mashauri ya kanisa ambayo ndiyo kikao kikubwa chenye kufanya maamuzi muhimu kwa ajili ya kanisa. Muundo wa uongozi uko kama ulivyoonyeshwa kwenye mchoro hapa chini. 8

12 Baraza la Mashauri ya Kanisa Baraza la Kanisa Wazee wa Kanisa Mchungaji Maofisa wasimamizi (Karani mkuu, Mhazini, Shemasi mkuu Maofisa watendaji (Wakuu wa Idara za Kanisa) 3.2 Idadi ya washiriki na Makisio ya ukuaji wa kanisa kuanzia Kwa mujibu wa taarifa ya mwezi June 2012 kanisa la Mwenge lina washiriki wapatao Katika kipindi cha miaka mktano iliyopita idadi ya washiriki ilikuwa kama ifuatavyo: Mwaka Idadi ya washiriki June 2012 Kwa kuzingatia ukuaji wa kanisa kwa ongezeko la watani wa washiriki.. kwa mwaka. Matarajio ya ongezeko la washiriki ifikapo mwaka 2020 ni washiriki wapatao Hii inaleta changamoto ya miundo mbinu hasa jengo la ibada kukabiliana na ongezeko hili. 9

13 3.3 Mambo muhimu (Key issues) Ili kujiweka katika mazingira ya kujitambu na kuweka malengo na mbinu za kusonga mbele, mambo muhimu yameainishwa hapa chini kuonyesha uwezo wetu, udhaifu na fursa tulizo nazo. Hii itatuwezesha kupanga na kutekeleza maeneo ya vipaumbele. Uwezo tulionao Washiriki Kanisa lina idadi kubwa ya washiriki wa jinsi zote za na rika zote Kanisa lina washiriki wengi wenye taaluma na ujuzi mbalimbali Kanisa lina washiriki wenye uchumi mzuri kwa maana ni waajiriwa na wafanya biashara Kanisa lina washiriki wenye mwitikio wa kujitoa kufanya kazi ya Mungu na kuchangia maendeleo ya kanisa katika nyanja mbalimbali Mali za kanisa Kanisa lina mali kadha ikiwemo viti, meza, vyombo vya meza ya Bwana, na vyombo vya mawasiliano. Pia lina Majengo ya kanisa japo yanahitaji kukarabatiwa na viwanja vya kanisa Uzoefu (kuanzia mwaka 1981) Kanisa linauzoefu wa muda mrefu wa kuanzia mwaka 1981, hii ni takribani miaka 31 Tuko mjini kijiografia Kanisa liko sehemu nzuri kijiografia na linafikika kwa urahisi kutoka pande zote za jiji la Dar es Salaam. Udhaifu na changamoto Kanisa halina mipango endelevu Utunzaji hafifu wa kumbukumbu mbalimbali za kanisa Mawasiliano hafifu kunasababisha muingiliano wa majukumu Mahudhurio hafifu sana katika vipindi vya mchana Udhaifu katika utunzaji wa wakati kwenye ibada Udhaifu katika makabidhiano ya kazi mwisho wa mwaka, Udhaifu katika kutayarisha na kuwasilisha taarifa kwa wakati hasa za kila robo Mabadiliko ya mara kwa mara ya uongozi kwa mujibu wa taratibu zilizoainishwa na kanuni ya kanisa. Kushindwa kufahamu washiriki walipo, wanapoishi na uwezo wao kiuchumi Kufuatilia michango mbalimbali itolewayo na washiriki hususani ahadi Mahudhurio hafifu ya washiriki katika vikao vya mashauri ya kanisa 10

14 Fursa zilizopo Kuweka miradi ya kanisa kwenye maeneo tuliyonayo Kuweza kutumia rasilimali watu tulionao na rasilimali walizo nazo washiriki Tunao marafiki wetu wengi wanaoweza kutuchangia na kutusaidia Changamoto Kukusanya rasilimali fedha kutoka ndani na nje ya kanisa (zaka, sadaka, na michango mingine) Kuwafikia washiriki wote na kuwetambelea Urasimu uliopo - tukitaka kufanya mambo yetu kwa wakati tunahitaji kupitia utaratibu wa kirasimu kiuongozi Mfumo wa uchaguzi inaonekana kuwa washiriki wanachaguliwa katika nafasi mbalimbali za uongozi ni walewale karibu kila mwaka. 3.4 Mikakati ya kukabili changamoto zilizoainishwa Ili kukabiliana na changamoto zilizoainishwa, mambo yafuatayo yanapendekezwa: Kutumia madarasa ya shule ya sabato kuwafikia washiriki kwa njia ya kutembeleana Kuboresha mfumo wa uwekaji kumbukumbu wa kanisa (Database) Kuboresha mikakati ya ukusanyaji wa fesha za kanisa hasa katika maeneo ya majengo na uinjilisti. Semina zitolewe kuhusiana na uchaguzi wa maofisa wa kanisa Tuweke sehemu ya kutunza vitu na tuwaelemishe watu jinsi ya kutunza kumbukumbu Kutoa mafunzo ya utawala kwa maofisa wa kanisa Ili kuongeza na kuhamasisha utoaji wa zaka, sadaka na michango mingine, tangazo kuhusiu utoaji liwekwe kwenye jalida la matangazo (Bulletin) muda wote wa mwaka Washiriki watembelewe kuhimizwa kutoa zaka na sadaka na kufundishwa somo la uaminifu. Washiriki wote kuanzia kwa wachungaji, wazee wa kanisa na maofisa wote kuhimizwa kuzingatia uwakili wa muda katika utendaji. 4. MAENEO YA UTEKELEZAJI KIMKAKATI Kanisa litatekeleza mpango wa maendeleao unaohusisha idara zake zote za kanisa, na pia kuweka kipaumbele maeneo maalumu ya kimkakati. 4.1 Uwakili Uwakili ni eneo muhimu sana kwa ukuaji wa kanisa kiroho na kiuchumi kwa kuwa unahusisha kila kitu katika maisha ya mkristo. Baadhi ya mambo muhimu katika uwakili ambayo kanisa linapaswa kuboresha na kuongeza juhudi ni pamoja na: Uwakili wa wakati Kuwahi katika ibada za siku ya Sabato Kufuata muda katika ratiba za siku ya ibada Uwakili wa mali za bwana 11

15 Majengo ya kanisa, viti, mazingira Zaka na sadaka Uwakili wa uwezo alionao mtu/mshiriki mmoja mmoja. 4.2 Huduma za Kanisa Hudama za kanisa zinahusisha mipango inayolenga ukuaji wa kanisa kiroho na kuunganisha baadhi ya idara katika majukumu na utendaji, hii ni pamoja na kupanga: Mipango ya uinjilisti hususani mikutano ya hadhara Semina za malezi ya kanisa (kiroho) Uelimishaji kuhusiana na mambo mbalimbli ya uhai wa washiriki na kanisa kwa ujumla. 4.3 Elimu Katika kukabiliana na changamoto za elimu kwa watoto na vijana wetu, kanisa halina budi kuwa na mipango madhubuti kwa ajili ya kuanzisha shule za awali hadi za sekondary. Hivyo basi, kanisa azimia kuweka mipango ya elimu kama ifuatavyo: Kuanzisha shule ya chekechea Kuanzisha mfuko wa maendeleo ya elimu Kutoa huduma za elimu ya dini mashuleni 4.4 Vijana Vijana ni nguzo kubwa ya kanisa katika nyanja zote, hivyo wanapaswa kuandaliwa kulitumikia na kuliwezesha kanisa kupitia raslimali watu na fedha. Kwa hiyo, kanisa linakusudia kuwaimarisha vijana katika maeneo yafuatayo i. Kutoa mafunzo ya ujasiriamali ii. Kuongeza mafundisho ya kiimani ili kutengeza/kuandaa kanisa la kesho iii. Kuhamasisha vijana wengi zaidi washiriki kwenye vyama na shughuli zinazowahusu iv. Kuimarisha vyama vya vijana v. Kutumia vyama vya vijana kuwapa mafundisho ya ujuzi ili kukabiliana na changamoto za maisha 4.5 Shule ya Sabato Shule ya Sabato ni moyo na uhai wa kanisa. Kanisa linakusudia kuendelea kuboresha shule ya sabato kama ifuatavyo: i. Kuimarisha vikosi vya madarasa ya shule sabato ii. Kutembeleana na kufanya uinjilisti kule mitaani kwetu na uhamasishaji wa kusoma lesoni na biblia iii. Ualikaji wa wageni-liwe jambo la kudumu 12

16 4.6 Huduma za watoto Huduma za watoto ni jambo muhimu kwa kanisa na kwa jamii nzima. Huduma kwa watoto zinalenga kukuza imani ya watoto wakiwa hawajazaliwa hadi wafikishapo umri wa miaka 14 wakiongozwa na kukua katika maadili ya Kikristo na kutambua mfumo wa kanisa. Hivyo, kanisa litaendelea kuwapa umuhimu unaostahili watoto kwa kuwapa huduma za kiroho na kijamii ili wakue ndani ya kanisa wakiwa na madili yanayofaa wakionyesha mfano mzuri wakiwa watoto wakristo wa adventista. Hii ni kwa kuwa watoto wana upeo mwepesi wa kushika mafundisho ya injili na wana uwezo wa kuyaweka katika vitendo maishani mwao. 4.7 Afya Kanisa lina amini katika wajibu wa kumfanya Kristo ajulikane ulimwenguni ni pamoja na wajibu wa kiroho wa kutunza utu wa binadamu kwa kuhakikisha usalama wa afya yake kimwili, kiakili na na kiroho. Kanisa linakusudia kuendelea kutoa huduma za elimu ya afya kwa uana wake wote kwa nia ya kuzuia magonjwa na kutoa elimu ya afya itakayowawezesha washiriki kuwa na afya njema katika maisha yao hasa kuhusiana na vyakula, vinyaji na maburudisho. 4.8 Kwaya za Kanisa na vikundi vya uimbaji Huduma ya kwaya au nyimbo ni muhimu katika ibada kwa kuongoa roho kupitia ujumbe wa injili unaoimbwa katika nyimbo. Kanisa litadumisha huduma za kwaya na uimbaji kupitia vikundi vilivyojiambatanisha na huduma za uimbaji ili kuhakikisha kuwa nyimbo, na aina ya muziki wa dini unaimbwa na kupigwa kanisani unafuata misingi ya kiadventista. Kwa kuzingatia mafunuo na mafundisho kuhusu muziki, kanisa litasimamia weledi katika muziki wa kidini unaoimbwa na kwaya na vikundi vyote kanisani, na kuhakikisha kuwa uimbaji na upigaji wa ala za muziki usiofaa au usioendana na Biblia unaachwa mara moja, mfano midundo ya ngoma na mchanganyiko wa manyanga kwenye nyimbo unaachwa mara moja. Mkazo utawekwa katika kufundisha elimu ya muziki kwa waimbaji wote pamoja na mafunzo ya vinanda ili waimbaji waimbe nyimbo zilizochezwa kwa weledi mkubwa kwa kinanda pasipo kutumia midundo kuongoza muziki, bali muziki uongoze nyimbo. 4.9 Ofisi ya Karani wa Kanisa Hii ni ofisi muhimu sana katika uendeshaji wa shughuli za kanisa na utunzaji wa kumbukumbu.. Ofisi hii inatakiwa iwezeshwe kwa kupatiwa vifaa vya kisasa vya kufanyia kazi. Katika kipindi cha miaka mitano ijayo ofisi hi itawezeshwa kwa kupatiwa nyenzo zifuatazo: 1. Kompyuta mpya 2. Printer yenye kasi (high speed printer) 3. Machine ya kudurufia (photocopier machine) 13

17 4.10 Mawasiliano Mawasiliano ni nyenzo muhimu katika kufikisha ujumbe kwa walengwa. Ili kuwepo mawasiliano mazuri kanisani, hatuna budi kujizatiti kuwa na vifaa bora nyenye kiwango cha juu cha ufanisi. Hivyo, kanisa linakusudia kuboresha mfumo wa mawasiliano kanisani kwa kununua vifaa vya kisasa vya mawasialino vifuatayo: i. Mfumo mzima wa vipaza sauti na nyenzo zake (Complete PA system and accessories) ii. Kununua kinanda kikubwa kwa ajili ya ibada (Church Piano/Organ) iii. Kununua LCD screen 4 za dijitali iv. Kununua vifaa vya ukalimani (Translation equipments) 4.11 MIUNDO MBINU (Majengo ya kanisa, vyoo, viwanja) Kanisa linakusudia kuweka msisitizo mkubwa katika kuimarisha miundo mbinu ya kanisa hasa majengo, viwanja na huduma msingi kwa kanisa na makundi yake yote, ili kuweka mazingira mazuri ya ibada na utendaji mzuri wa kazi ya Mungu Hali ilivyo sasa Kwa sasa jengo la kanisa linachakaa na kuhitaji kufanyiwa ukarabati na marekebisha makubwa ya sakafu, kuondoa paa la Asbestos, kurekebisha madirisha na kuangalia uwezekano wa kuweka vipoza hewa (air conditioning) kwa ajili ya kukabiliana na hali ya joto la Dar es salaam. Pia kiwanja cha kanisa hakijafanyiwa landscaping na kupanga vizuri maeneo kwa ajili ya kuegesha magari. Kanisa lina choo cha kisasa ambacho kipo katika hali nzuri na kinahudumiwa vizuri kwa usafi muda wote wa wiki. Kanisa pia lina kisima cha ubatizo ambacho hakiko katika hali nzuri kiafya. Hii inaleta changamoto ya kufanya maboresho katika kisima hiki Maboresho ya Miundombinu (Majengo, Viwanja) Kwa kuzingatia mahitaji ya baadaye ya kanisa, na hali ya sasa ya uchakavu wa kanisa; ni njozi yetu kuwa na mpango mkakati wa kuwezesha kanisa kuwa na nyumba nzuri ya ibada. Njozi hii ni pamoja na kufanya ukarabati mkubwa wa jengo la ibada la sasa kwa kuliongeza (kulipanua) au kwa kwenda juu (vertical extension) au kwa kulipanua kiusambamba (horizontal extension). Hii itaendana na uandaaji wa eneo la kanisa kwa ajili ya kutengeza mandhari ya eneo la kanisa na maegesho ya magari (landscaping and car parking lots). Kwa upande wa makundi, ni kusudi letu kukamilisha ujenzi wa nyumba za ibada katika makundio yote na kuweka vifaa muhimu kwa ajili ya ibada Uboreshaji wa mandhari ya eneo na Jengo la Kanisa (Mwenge) Kanisa lina azimia kuweka jitihada ya kuboresha mazingira ya eneo la kanisa. Maboresho hayo yatahusisha mabadiliko makubwa kwenye jengo la kanisa na mandhari yote ya eneo la kanisa. Kanisa linakusudia kufanya ukarabati mkubwa na maboresho kwenye jengo la sasa 14

18 ili kukidhi ongezeko la washiriki, na kuweka maeneo maalumu kwa ajili ya kinda na mafundi mitambo. Katika kutekeleza nia hii, yafuatayo yapaswa yatekelezwe: Kufanya upanuzi na maboresho ya eneo la kanisa utakaohusisha mambo yafuatayo: o Kuongeza nafasi kwa ajili ya office ya karani, mchungaji, mashemasi, wazee, na wahazini kwa kuongeza kwa mita tatu sehemu ya jengo la kanisa zilipo ofisi za sasa; o Kujenga ndani kisima cha ubatizo; o Kupanua kanisa ili kuongeza nafasi kwa ajili ya kuwezesha kuchukua watu wengi zaidi. upanuzi waweza kufanyika kwa kwenda juu (vertical extension) au kwa upanda upande (horizontal extension). Faida na hasara za kila kila chaguzi zimeainishwa katika kipengele na o Kuboresha sakafu kwa kuweka sakafu mpya ya kisasa na yenye kudumu muda mrefu; o Kurekebisha paa la kanisa na kuondoa asbestos; o Kutengeneza mandhari ya eneo la kanisa (landscaping); o Kujenga mfumo wa kutolea maji ya mvua; o Kuweka vipoza hewa kwenye ofisi zote za kanisa. Kufanya matengenezo ya uzio kwa kupaka rangi na kuweka bango elekezi la mawasiliano; Kutengeneza au kuboresha barabara ya kuingilia kanisani kwa kuweka moram na kushindilia; Kuweka uzio katika nyumba ya mchungaji. Kuweka uzio katika nyumba ya mlinzi (a) Sehemu ya kanisa ilivyo kwa sasa (b) Kisima cha ubatizo kinavyoonekana kwa sasa Faida na Hasara za mapendekezo ya upanuzi wajengo la kanisa la sasa Upanuzi kwenda juu (Vertical extension) Faida zake Matumizi mazuri ya nafasi ya juu (good use of sky space) na eneo la kanisa halitapungua Jengo la kanisa litakuwa na mwonekano mzuri (aesthetics) 15

19 Changamoto zake Zinahitaji fedha nyingi kwa wakati mmoja ili kutekeleza Kanisa halitakuwa likitumika kwa ibada wakati wa ujenzi, hii itasababisha kanisa kuingia gharama kukodisha mahema ili kufanyia ibada nje wakati ujenzi ukiendelea kwa kipindi chote. Ujenzi lazima ufanyike wote kwa mara moja Upanuzi kwenda upende upande (Horizontal l extension) Faida zake Ibada wakati wa ujenzi zitaendelea ndani ya kanisa Haihitaji uwekezaji mkubwa sana na ujenzi unaweza kufanywa kwa awamu Changamoto zake Nafasi ya eneo la kanisa itapunguka Mwonekana wa kanisa hautakuwa mzuri (aesthetics) Ujenzi wa Jengo la matumizi anuai Ujenzi wa jengo kubwa la kisasa kwa matumizi mbalimbali ya kanisa ikiwa ni pamoja na sehemu ya ibada kwa watoto unapaswa kutekelezwa ili kukabiliana na baadhi ya changamoto zilizoanishwa hapo juu. Kwa mfano, jengo hilo litakapokamilika litakuwa limepatia ufumbuzi tatizo la ufinyu wa ofisi za idara za uangalizi (Ofisi ya wazee, karani wa kanisa, mhazini) na store kwa ajili ya utunzaji wa vifaa vya kanisa. Hivyo, basi michoro na mipango ambayo ilikwishaanza miaka ya nyuma inapaswa iendelezwe. Gharama isiwe ni kikwazo cha kutokuanza kwa mradi huu. Kwa kuwa tayari kanisa lilishaingia gharama kubwa kusanifu michoro ya jengo husika, inapendekezwa kwamba michoro ya usanifu ujenzi wa jengo upitishwe rasmi na kanisa ili taratibu zingine za kutafuta vibali vya ujenzi kutoka mamlaka za manispaa ziweze kuendelea. Ni vyema mradi huu usikwamishwe kwa sababu za matumizi ya jengo kwani matumizi yanaweza kubadilishwa pasipo kukwamisha mradi husika Majengo Kanisa Makundini Ni kusudi la Kanisa kuhakikisha kuwa ujwnzi wa majengo ya ibada makundini unakamilika kwa ukamilifu ili ibada zifanyike katika nzuri na yenye utukufu. Hivyo, majengo ya kanisa katika makundi yaliyoainishwa katika vipengle hapa chini yatakamilishwa kwa kuwekewa sakafu, madirisha na viti ili yafae kwa ibada. Gharama za kukamisha ujenzi wa majengo haya zimeainishwa katika jedwali la gharama za utekelezaji mpango mkakati. 16

20 Bumafa Chivilikiti Mabwepande Zinga Amani Kimele Mnyambe Mpekeso Ukarabati wa nyumba ya mchungaji Kulingana na sera za kanisa, mtaa unapaswa kumjengea na ama kukarabati nyumba ya mchungaji. Hivyo, Kanisa la Mwenge litachangia sehemu yake kwenye ukarabati wa nyumba ya mchungaji pale itakapohitajika kulingana na mgawanyo wa uchangiaji katika mtaa wa Mwenge Ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi makao mapya ya ETC Kanisa litachukua jukumu la kuchangia sehemu yake kwenye mchango wa mtaa pale gharama halisi za ujenzi huo zitakapokuwa zimeainishwa na kugawanywa kwenye makanisa ya mtaa wa. Mchungaji wa mtaa anapaswa kuulizia gharama hizi kutoka ofisi ya Konferensi. 5. MIKAKATI YA KUPATA FEDHA KWAAJILI YA MIRADI YA MAJENGO Ili kutekeleza mipango yote iliyoainishwa katika mpango huu, kiasi kikubwa cha fedha kinahitajika. Fedha hizi zinapaswa kutafutwa kutoka vyanzo mbalimbali, wahusika wakuu wakiwa ni washiriki wenyewe. Pia kunahitajika mikakati mahususi kuhakikisha yote yaliyopangwa na kukubaliwa na washiriki yanatekelezwa kwa ufanisi mkubwa. Mapendekezo ya kupata fedha ni yafuatayo: 1. Kuanzisha mfuko maalum kwa ajili ya miradi ya maendeleo ya kanisa utakao hamasishwa na idara ya uwakili kwa kushirikiana na idara ya majengo 2. Kuwa na kikosi kazi cha washiriki wachache watakaoongoza changizo za ujenzi. 3. Kuwashirikisha washiriki wote katika kuchangia shughuli za maendeleo ya kanisa. 4. Kuendesha harambee za kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi 5.1. Kuanzisha mfuko maalum wa maendeleo ya kanisa Inapendekezwa kuanzishwa kwa mfuko maalum wa maendeleo ya kanisa. Mfuko huu utakuwa maalumu kwa ajili ya miradi mikubwa ya ujenzi wa makanisa na jengo la huduma kwa matumizi anuai. Washiriki wataombwa kuchangia katika mfuko huu kila wiki kwa kadri wanavyobarikiwa, na pia kuwe na changizo maalumu kwa ajili hiyo. 17

21 5.2 Kikosi kazi cha watu Ili kuwezesha kazi ya ujenzi wa jengo la matumizi mbalimbali unafanyika, kuwe na kikosi ongozi cha watu au familia 100 hadi 200 zitakazoombwa kuchangia kila mtu/familia kuanzia kiasi cha shilingi 1,000,000 kwa mwaka; lengo ni kukusanya kiasi cha Shilingi 100,000,000 hadi 200,000,000 kwa mwaka kinachohitajika kwa kuanzia ili kutekeleza miradi mikubwa ya ujenzi ambayo itatekelezwa kwa kufuata kipaumbele kwa kuanzia na: 1. Maboresho na upanuzi wa jengo la kanisa, na 2. ujenzi wa jengo la matumizi mbalimbali. 5.3 Washiriki wote wa kanisa kuhusishwa Kwa kuwa ushiriki wa washiriki wote ni muhimu kwa kila kazi ya kanisa, washiriki wote watakuwa sehemu ya kuchangia kwa kutumia njia mbalimbali zifuatazo: Fomu za kuchangisha watu mbalimbali kwa kila mshiriki (wasio washiriki wa mwenge, na pia kwa watu wengine wa madhehebu mengine na kwa marafiki) kwa kuomba vibali vya kitaifa na kanisa. Uchangiaji kwa njia ya simu i.e. tuma neno Mwenge kwenda kwa kutumia mitandao ya simu iliyopo kama vodacom, airtel n.k. Uuzaji wa bidhaa za kanisa kwa bei ya juu kidogo kwa washiriki na watu wengine i.e Tshirts, Kalenda n.k. Washiriki wa mwenge wa zamani kuhusishwa (ndani na nje ya nchi). Kuweka Magoli kwa kila mshiriki/familia Kila mshiriki apeleke kadi maalumu zilizochapwa majina kwa watu watano wa karibu (wasiwe washiriki wa mwenge na au wawe ni marafiki, wafanyakazi wenzetu katika sehemu za kazi n.k) Kutoa matangazo ya changizo kupitia Morning Star radio 5.4 Changizo kutoka watu wa nje ya kanisa kwa njia ya harambee Kanisa halijatumia ipasavyo fursa ya kufanya harambee za uchangiaji zenye kuwahusisha watu wasio washiriki wa kanisa la waadventista wasabato katika kuchangia shughuli za maendeleo. Hivyo, inapendekezwa kwamba njia hii itumike pia kama sehemu ya mkakati wa kukusanya pesa. Harambee iliyotayarishwa vizuri kwa kuwaalika watu wenye nafasi kubwa serikalini na katika taasisi za umma na watu binafsi ifanyike, hii itakuwa katika mfumo ufuatao: Ifanyike nje ya eneo la kanisa Iwe ni katika mfumo wa chakula cha jioni (dinner) Michoro ya kanisa na model zake iwe tayari wakati wa harambee Kamati maalumu iundwe kuandaa harambee hii ili kuangalia sehemu ya kufanyia harambee, watu wa kualikwa, utaratibu utakaotumika unaozingatia misingi ya kanisa n.k 18

22 6. RAMANI YA UTEKELEZAJI 6.1 Ramani ya kila mwaka ya utekelezaji wa mpango mkakati A: RASILIMALI ZA KIROHO IDARA HUSIKA Lengo 1: Kuongeza washiriki kwa 100% ifikapo % 20% 20% 20% 20% Wazee wa Kanisa Mchungaji Lengo 2: Kutenga makundi yaliyopo sasa kuwa makanisa ifikapo 2017 Zinga M'Pande Kimele Bumafa Vikawe Huduma Lengo 3: Kuimarisha na kuyawezesha makundi kujitegemea ifikapo mwaka 2017 au baada ya Shule ya Sabato Zinga M'Pande Kimele Bumafa Vikawe hapo. Lengo 4: 15% Wazee wa Kanisa i). Kuwa na 60% ya washiriki wanaosoma Biblia na Lesoni ifikapo % 15% 15% 15% Huduma Shule ya Sabato ii). Kuhakikisha kuwa 70% ya washiriki wana ufahamu mpana kuhusiana na mtindo na mwenendo wa 10% 15% 15% 15% 15% Afya na Kiasi maisha ya ki-adventista katika nyanja za afya, elimu, vyakula na vinywaji, na, maburudisho. Elimu Uwakili B: RASILIMALI WATU Lengo 1: Kuelimisha wainjilisti walei 15 wanaoweza kutumwa kama wainjilisti ifikapo Wazee wa Kanisa Mchungaji Huduma Wazee wa Kanisa Mchungaji Lengo 2: Kusomesha mwanafunzi wawili elimu ya uchungaji ifikapo 17 Hezron Mgwenya & Nathaniel Huduma Lengo 3: 90% ya wahubiri wawe na elimu ya homilia ifikapo % 15% 20% 20% 20% Mchungaji 19

23 C: RASILIMALI FEDHA Lengo 1: Kuhakikisha idadi ya washiriki wanaorudisha zaka na wanaotoa kwa mpango inaongezeka kwa asilimia hamsini (50%) ya washiriki. Lengo 2: Kuwezesha 70% ya washiriki wasio na ajira wawe na elimu ya ujasiliamali na wale wanaopenda kuanzisha na kuendeleza biashara wawe na elimu ya ujasiriamali. D: RASILIMALI MIONGOZO Lengo1: Kuhakikisha kuwa 100% ya washiriki wanafundishwa na kuelewa masomo muhimu yafuatayo : misingi 28 ya kanisa kufuata sera na taratibu za kanisa utumiaji wa vitabu vya Roho ya Unabii IDARA HUSIKA 10% 10% 10% 10% 10% Mchungaji Wazee wa Kanisa Uwakili 10% 15% 15% 15% 15% ATAP Uwakili Huduma za wanawake Mchungaji Wazee wa Kanisa Roho ya Unabii 20% 20% 20% 20% 20% Idara ya huduma E: MRADI WA KUSAMBAZA KITABU CHA PAMBANO KUU Lengo 1: Kuhakikisha vitabu 20,000 vitanunuliwa na kusambazwa F: MIRADI MIKUU YA UJENZI Lengo 1: Kufanya ukarabati mkubwa wa jengo la kanisa na kukamilisha ujenzi wa majengo ya ibada makundini. Lengo 2: Kukarabati nyumba ya mchungaji Lengo 3: Ujenzi wa nyumba ya mkurugenzi makao makuu mapya ya ETC. Lengo 4: Ujenzi wa Jengo la Ustawi wa Jamii Mwenge kukusanya 200,000,000 na kuanza upanuzi wa ofisi za kanisa Kuendelea kukusanya fedha za ujenzi Kuanza upanuzi na maboresho ya kanisa Kuendelea na ujenzi Kukamilish a maboresho na upanuzi wote Wazee wa Kanisa Roho ya Unabii Wazee wa Kanisa Majengo Uwakili Kwa kadri ya mahitaji kwa mwaka husika Wazee wa Kanisa Majengo Wazee wa Kanisa Kadri ya bajeti itakayoletwa na conference kwa kuzingatia mgawanyo Mchungaji wa uchangiaji kimtaa Kuandaa na kukamilisha michoro yote ya usanifu 20

24 6.2 Ramani ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi kwa mwaka 2013 F: MIRADI MIKUU YA UJENZI Lengo #1: Kufanya ukarabati mkubwa na upanuzi wa jengo la kanisa na kukamilisha ujenzi wa majengo ya kuabudia makundini Kutengeneza 3D model ya kanisa litakapokamilika (3D Physical Model) Kuandaa utaratibu wa kukusanya fedha kwa njia ya familia , na michango ya washiriki Kuandaa utaratibu wa kukusanya fedha kwa njia ya kuchangisha kutumia kadi kutoka kwa watu wa nje ya kanisa. Kuandaa utaratibu wa kukusanya fedha kwa njia ya "majengo day" ndani ya kanisa Kuandaa utaratibu wa kukusanya fedha kwa njia ya "majengo day" ndani ya kanisa na nje ya kanisa. Kuandaa utaratibu wa kukusanya fedha kwa njia SMS namba maalum. Ukusanyaji wa fedha za kutekeleza mradi Kuanza ujenzi wa upanuzi wa ofisi za kanisa Lengo #2 : Kukarabati nyumba ya mchungaji Lengo # 3: Ujenzi wa nyumba ya mkurugenzi makao makuu mapya ya ETC Lengo # 4: Ujenzi wa Jengo la ustawi wa jamii i). Kupitia upya michoro iliyopo kuona kama inakidhi haja za sasa na wakati ujao ili kufanya marekebisho pale inapobidi. ii). Kuandaa michoro mipya (kama kutakuwa na mabadiliko) iii). Kuandaa michoro ya kihandisi (structural engineering drawings). iv). Kuandaa michoro ya mfumo wa maji v). Kuandaa michoro ya mfumo wa umeme JANUARI FEBRUARI MACHI APRILI MEI JUNI Wk1 Wk2 Wk3 Wk4 W1 Wk2 Wk3 Wk4 Wk1 Wk2 Wk3 Wk4 Wk1 Wk2 Wk3 Wk4 Wk1 Wk2 Wk3 Wk4 Wk1 Wk2 Wk3 Wk4 Pale itakapohitajika Pale itakapohitajika 21

25 F: MIRADI MIKUU YA UJENZI Lengo #1: Kufanya ukarabati mkubwa na upanuzi wa jengo la kanisa na kukamilisha ujenzi wa majengo ya kuabudia makundini Kutengeneza 3D model ya kanisa litakapokamilika Kuandaa utaratibu wa kukusanya fedha kwa njia ya familia , na michango ya washiriki Kuandaa utaratibu wa kukusanya fedha kwa njia ya kuchangisha kutumia kadi kutoka kwa watu wa nje ya kanisa Kuandaa utaratibu wa kukusanya fedha kwa njia ya "majengo day" ndani ya kanisa Kuandaa utaratibu wa kukusanya fedha kwa njia ya "majengo day" ndani ya kanisa na nje ya kanisa Kuandaa utaratibu wa kukusanya fedha kwa njia SMS namba maalum Ukusanyaji wa fedha za kutekeleza mradi Kuanza ujenzi wa upanuzi wa ofisi za kanisa Lengo #2 : Kukarabati nyumba ya mchungaji Lengo # 3: Ujenzi wa nyumba ya mkurugenzi makao makuu mapya ya ETC Lengo # 4: Ujenzi wa Jengo la ustawi wa jamii i). Kupitia upya michoro iliyopo kuona kama inakidhi haja za sasa na wakati ujao ili kufanya marekebisho pale inapobidi. ii). Kuandaa michoro mipya (kama kutakuwa na mabadiliko) iii). Kuandaa michoro ya kihandisi (structural engineering drawings). iv). Kuandaa michoro ya mfumo wa maji JULAI AGOSTI SEPTEMBA OCTOBA NOVEMBA DESEMBA Wk 1 Wk2 Wk3 Wk4 Wk 1 Pale itakapohitajika Pale itakapohitajika Wk 2 Wk 3 Wk4 Wk1 Wk2 Wk3 Wk4 Wk1 Wk2 Wk3 Wk4 Wk1 Wk2 Wk3 Wk4 Wk1 Wk2 Wk3 Wk4 v). Kuandaa michoro ya mfumo wa umeme 22

26 7. BAJETI YA UTEKELEZAJI MPANGO MKAKATI 7.1 MAJENGO YA IBADA MAKUNDINI KUNDI LA BUMAFA Maelezo SHS. 1. Kuweka sakafu 2. Kupiga lipu (plaster) ndani na nje ya jengo 3. Kuweka grill kwenye madirisha 4. Kuweka milango 5. Kujenga choo Jumla ya gharama inayohitajika 11,403, KUNDI LA CHIVILIKITI 1. Kuweka lipu ndani na nje 2. Kuweka madirisha 3. Kuweka milango Jumla ya gharama inayohitajika 5,170, KUNDI LA MABWEPANDE 1. Kupiga lipu na kuziba nyufa 2. Kuweka umeme 3. Kufanya marekebisho ya mimbari Jumla ya gharama inayohitajika 1,300, KUNDI LA ZINGA Kufuatilia fidia kwa kuwa sehemu ya Kanisa iko katika hifadhi ya barabara. Hivyo kwa sasa hakuna shughuli za ujenzi zinazohitajika Jumla ya gharama inayohitajika 0.00 KUNDI LA AMANI 1. Kuweka sakafu 2. Kuweka lipu ya ndani na nje 3. Kufanya ukarafati wa choo kwa kuziba nyufa 4. Kubadilisha mlango mmoja wa choo 5. Kuweka milango Jumla ya gharama inayohitajika 4,361,

27 KUNDI LA KIMELE 1 Kuweka lipu ndani na nje ya jengo 2 Kweka milango (frame na milango) 3 Kuweka madirisha 4 Kuta za ndani za kutenganisha 5 Kukarabati nyufa kwenye choo Jumla ya gharama inayohitajika 7,290, KANISA LA MNYAMBE 1 Ujenzi wa kanisa lenye uwezo wa kuchukua waumini 200 waliokaa vitini Jumla ya gharama inayohitajika 29,524, JUMLA KUU KWA MAKUNDI YOTE 59,049, NB: Mchanganuo wa gharama kwa kila kipengele utatolewa na idara ya majengo (Sehemu hii ni kwa ajili ya kuweka bajeti nzima ya kutekeleza mpango huu) 24

28 7.2 GHARAMA ZA MABORESHO YA MAZINGIRA YA KANISA LA MWENGE 25

29 8. VIELELEZO NA VIAMBATANISHI 8.1 Ramani ya upanuzi wa Kanisa (Sehemu za office) Picha 1: Sehemu ya chini (Ground floor) ikionyesha offisi ofisi za kanisa na kisima cha ubatizo 26

30 Picha 2: Sehemu ya juu (First floor) ikionyesha ofisi za mbalimbali za kanisa 27

31 8.2 Picha au mtazamo wa kisanifu katika picha za pande tatu (3D Views photos) Picha 3: Mwonekano wa Kanisa upande wa kuingilia kwenye ofisi mpya Picha 4: Mwonekano wa Kanisa upande wa mbele 28

32 Picha 5: Mwonekano wa Kanisa upande wa kushoto Picha 6: Mwonekano wa Kanisa kwa ndani 29

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment Background 1. On 4 th September, 2012, the Energy and Water Utilities

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

ORDER NO BACKGROUND

ORDER NO BACKGROUND In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI TAARIFA YA MAFANIKIO CHINI YA UONGOZI WA MHE. SOSPETER MUHONGO (MB) KATIKA SEKTA NDOGO YA UMEME Disemba, 014 A. MAFANIKIO 1. Kuongezeka kwa uzalishaji

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA NGUZO KUMI ZA KWANZA (MFUMO WA UTEKELEZAJI) NGUZO YA 1 DIRA YA TAIFA YA KWANZA 1.1 Kupitisha Dira ya KWANZA SHUGHULI MAJUKUMU MUDA MHUSIKA MKUU 1. AZIMIO LA KWANZA 2. mpango wa utekelezaji wa KWANZA 3.

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA

More information

3. Mheshimiwa Spika, 4. Mheshimiwa Spika,

3. Mheshimiwa Spika, 4. Mheshimiwa Spika, HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI, MHESHIMIWA JOHN POMBE MAGUFULI, (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2007/08 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato 1 Mafungu yote yaliyonukuliwa kwa ruhusa kutoka katika Biblia ya Kiswahili Union Version 1952 (Ilishahihishwa 1989) ISBN 978 Haki miliki 2013 Haki zote zimeifadhiwa

More information

Shabaha ya Mazungumzo haya

Shabaha ya Mazungumzo haya Karibu Katika Mazungumzo Kuhusu Mchakato wa Uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii CCMP/UMOJA Shabaha ya Mazungumzo haya Kuwafahamisha viongozi wa makanisa kuhusu Mchakato wa CCMP ambao umekuwa ukitumika

More information

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MFUMO WA RUZUKU YA MAENDELEO YA MTAJI WA SERIKALI ZA MITAA (LDCDG) UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI Kijitabu cha Mshiriki

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHESHIMIWA MUSTAFA HAIDI MKULO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

Mipango ya miradi katika udugu

Mipango ya miradi katika udugu Partnerschaftlich Projekte planen Mipango ya miradi katika udugu 2 Dibaji... 3 Utangulizi... 4 I. Nafasi ya (Wajibu wa) Fedha katika Udugu: Mtazamo wa Ki-indonesi... 5 II. Namna UEM Inavyowezesha Miradi

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA 2007 i WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized!. viromen-alsc:a.. Environmental & Social MRADI WA UMEME WA GESI YA * Assessment & Management

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili

Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili Summaries of GC Reports 2012, Vol. 2, Sec. 1, Swahili 1. 2-Muhtasari wa Ukurasa wa Ripoti ya Miaka minne ya Bodi Kuu ya Kanisa & Jamii............................... 2 2. Kamati ya Kawaida ya Malipo ya

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA RIPOTI YA HUDUMA ZA AFYA TANZANIA BARA 2004 Imetayarishwa na: Idara ya Tiba Afya Makao Makuu P.O. Box 9083, DAR ES SALAAM June 2005 Yaliyomo Ukurasa Vifupisho

More information

TIST HABARI MOTO MOTO

TIST HABARI MOTO MOTO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. +255784-537720/+255717-062960/+255782-250947, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@tist.org May 2010 Cash Payments for Trees Clean Air Action has developed a way to pay the groups

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue? Tufundishane! Let s teach each other! This newsletter is published by The Foundation for Tomorrow and is meant to be a venue for teachers and schools to share and learn from each other s best practices.

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) Dar es Salaam Oktoba 2007 YALIYOMO ORODHA YA VIFUPISHO DIBAJI SHUKRANI MUHTASARI RASMI SURA

More information

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) TOLEO LA PILI Dar es Salaam, Oktoba, 2007 i ii JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2009/2010 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu

More information

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia HakiElimu & Policy Forum KUUELEWA MCHAKATO.indd a 1/20/10 11:00:56 AM KUUELEWA MCHAKATO.indd b 1/20/10 11:00:57 AM Kuuelewa Mchakato wa

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 1. Utangulizi Changamoto kuu iliyopo kuhusiana na Elimu ya msingi nchini Tanzania kwa sasa ni namna

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2018/19 1 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

Deputy Minister for Finance

Deputy Minister for Finance ISSN: 1821-6021 Vol XI - No - 34 DID YOU KNOW? A procuring entity is?s required to use suppliers pliers?pliers?pliers?pliers among those awarded ed?ed?ed?ed framework agreements by GPSA for procurement?ents

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo, HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU, KWENYE SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA HAMSINI YA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, TAREHE 08 JUNI 2008, MSIMBAZI CENTRE, DAR ES SALAAM Mhashamu

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition

More information

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza 1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa

More information

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa

Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Child Abuse & Neglect 43(2015)8 21 Orodha Yaliyomo inapatikana katika ScienceDirect Unyanyasaji wa Watoto & Kutelekezwa Nakala ya Utafiti Mbinu za kuimarisha mifumo ya ulinzi wa mtoto kuanzia chini kwenda

More information

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

TANGA CEMENT PLC ANNUAL REPORT TAARIFA YA MWAKA.

TANGA CEMENT PLC ANNUAL REPORT TAARIFA YA MWAKA. TANGA CEMENT PLC 2016 ANNUAL REPORT TAARIFA YA MWAKA www.simbacement.co.tz ANNUAL REPORT 2016 ANNUAL REPORT2016 TAARIFA YA MWAKA 2016 TAARIFA YA MWAKA 2016 02 ANNUAL REPORT 2016 Chairperson s Statement

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI NAMBA ZA SIMU: Mkuu Wa Shule: 0784524029 / 0766805826. Makamu Mkuu Wa Shule: 0714356735 / 0767356735. SHULE YA SEKONDARI

More information

IBADA NA UMOJA WA KANISA Na Mchg. Dkt. Msafiri Mbilu

IBADA NA UMOJA WA KANISA Na Mchg. Dkt. Msafiri Mbilu 1 IBADA NA UMOJA WA KANISA Na Mchg. Dkt. Msafiri Mbilu SOMO LA I Kama kuna nyakati katika Historia ya Kanisa ambazo tunapaswa kuangalia kwa undani juu ya IBADA NA UMOJA WA KANISA, ni sasa. Sababu kubwa

More information

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira

Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Moduli ya kwanza Uhamasishaji Jamii juu ya Afya ya Mazingira Kimechapishwa kutokana na Mwongozo wa Jamii juu ya Afya ya Mazingira Jeff Conant na Pam Fadem i COBIHESA

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wapilipili Tanzania Wildlife Division, Tanzania Wildlife

More information

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda WARAKA WA TAARIFA YA MRADI (PID) HATUA YA TATHMINI TAARIFA NA..: AB4376 Jina la Mradi Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda AFRIKA Sekta Madini na Uchimbaji mwingine (100%) Namba ya

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MHESHIMIWA DKT. HUSSEIN ALI MWINYI (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2015/16 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika,

More information

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Msingi wa Programu zote za Uimarishaji Ubora Toleo la 1 kwa Lugha ya Kiswahili

More information

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI Utambulisho Grace Communion International ni muungano wa washiriki kutoka pembe mbali mbali za dunia hasa nchi zenye washiriki kwa sasa ni 100. Wito wetu ni

More information