Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi

Size: px
Start display at page:

Download "Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi"

Transcription

1

2 Elimu Ina Umuhimu gani katika Jamii? Kuelekea Elimu Sahihi Gervas Zombwe 1 1. Utangulizi Katika mazingira ya kawaida kabisa ndani ya jamii yetu, Imezoeleka kusikia au kuona watu wakioanisha dhana ya elimu au usomi, maadili, mwenendo au matendo ya mtu. Mathalani, mtu aliyepata elimu kwa kiwango fulani akifanya jambo la ajabu katika jamii inayomzunguka wengi husema; huyu anafanya mambo ya ajabu kama vile hakusoma. Wengi wanastaajabu. Hata katika matamshi. Kiongozi mmoja au msomi fulani akitoa matamshi ya hovyo kabisa watu huanza kuhoji usomi wake. Wengi huuliza na kushangaa kwamba, huyu bwana anasema maneno ya ajabu kama hakusoma. Kauli kama hizi ni za kawaida kabisa katika jamii yetu na tumezizoea na tunazitumia katika mazingira tunayoishi. Je usomi ni nini? Elimu nini? Mtu aliyeelimika anakuwaje? Elimu ina manufaa gani katika jamii? Malengo ya waraka huu ni kubainisha tafsiri halisi ya elimu kwa kujibu maswali haya na kushabili uhalisia wa mazingira ambamo elimu inafanya kazi. Waraka huu ni mwendelezo wa juhudi za kitaaluma za kukuza uelewa wa nini maana ya elimu, kazi za elimu na malengo ya elimu na umuhimu wa elimu katika jamii, ili jamii iwe na tafsiri sahihi. Kwa maana kwa muda mrefu sasa kumekuwa na upotoshaji wa neno elimu au kumekuwa na uelewa finyu wa maana ya elimu na malengo ya mchakato mzima wa kufundisha na kujifunza. Baadhi ya wazazi na walezi wanaitambua elimu kwa kuangalia uzuri wa shule anayosoma mtoto wao au uwezo wa mtoto kuongea lugha za kigeni kama vile Kiingeza au Kifaransa. Hivyo kwa kuwa na mtazamo kama huu wanatumia juhudi kubwa na rasilimali nyingi kuhakikisha watoto wao wanajua kiingereza tu hata kama hawana maarifa yeyote. Hili ni kundi la kwanza la wanajamii. Kundi la pili ni baadhi ya watawala na watunga sera, wanaojaribu kuitambua elimu kwa kuanngalia nyenzo na vitendea kazi vya shuleni. Kama vile idadi ya madawati, viti na samani za shule kwa ujumla. Aidha kundi hili mara nyingi linachukulia idadi ya watoto madarasni wanapoandikishwa kuwa ndio elimu yenyewe. Na mara nyingi unakuta taarifa zinazotolewa juu ya mchakato wa kujifunza zimejikita katika vitendea kazi tu na sio nini mtoto anapata awapo darasani. Mtazamo wa tatu ni ule wa kuangalia ufanisi wa wanafunzi katika mitihani ya mwisho. Ingawa hili linakaribia ukweli, bado limehamisha kwa kiwango kikubwa maana ya dhana yenyewe. Mtazamo wa kuchukulia kufaulu mitihani kuwa ndio elimu umesababisha mawazo ya wazazi, na hata walimu kutoka kwenye mchakato wa kutoa maarifa hadi mchakato wa kuhakikisha watoto wanafaulu mitihani hata kama hawajui kusoma na kuandika. Nguvu nyingi zinatumika kuwafanya watoto wakariri mitihani iliyopita ili waweze kushinda mithani ya mwisho (Sumra, 2007). Dhamira ya kujenga uelewa na tafsiri moja ya elimu na malengo ya elimu kwa wadau wa elimu, imekuja baada ya mabadiliko ya kasi kimaendeleo yanayochangiwa na utandawazi unaojengwa na 1 Gervas Zombwe ni mchambuzi wa sera, HakiElimu. Barua pepe paa@hakielimu.org au zombwe@gmail.com 1

3 nguvu ya maarifa, ubunifu na mwingiliano mkubwa wa tamaduni za jamii mabalimbali. Karibu taarifa za maendeleo za nchi zote ulimwenguni zinakubaliana kuwa elimu ni daraja pekee la maendeleo ya nchi. Kila taifa linahitaji wasomi, linahitaji watu wenye maarifa, ujuzi ubunifu na teknolojia mbalimbali zinazofanya watu kuwa wazalishaji. Bila elimu ni vigumu kwa taifa kupata maendeleo yo yote.. Na kwa sababu malengo ya elimu ulimwengu mzima ni kuleta maendeleo, ni dhahri kwamba, tafsiri sahihi na juhudi madhubuti za kuifikia azma ya kutoa elimu ya kweli kwa kila Mtanzania ni njia mojawapo ya kuharakisha maendeleo katika nchi yetu. Na ndipo tutaweza kuwashinda maaduni watatu aliosema Baba wa Taifa: ujinga, umaskini na maradhi. 2. Maana ya Elimu Wanafalsafa na wanazuoni wa sehemu mbalimbali ulimwenguni, kwa muda mwingi hata kabla ya kuzaliwa kristo wamejaribu kutoa na kufafanua maana ya elimu katika muktadha tofautitofauti. Pamoja na wingi wa fafanuzi hizo za wanafalsafa na wanazauo bado, kuna maeneo wanakutana na kukubaliana. Karibu wote wanaiona elimu kama mchakato, pili wanaiona elimu kama mabadiliko au ujenzi wa binadamu na tatu wanaiona elimu kama maisha ya mtu katika jamii. Sera ya Elimu na mafunzo ya Wizara ya Elimu nchini Tanzania inatoa maana ya elimu kuwa ni mchakato ambapo mtu hupata maarifa na ujuzi wa kujitambua na kujiweka sawa katika kupambana na mazingira na mabadiliko ya mara kwa mara ya kijamii, kisiasa na kiuchumi. Aidha ni njia ya mtu kuweza kuutambua uwezo wake kamili (URT, ETP 1995: v). Kamusi ya Webster, inafafanua elimu kuwa ni mchakato wa kufundisha au kukuza maarifa, stadi na maadili ya wanaojifunza. Elimu ni mchakato wa kuendeleza uelewa na upatikanaji wa maarifa. Uelewa huo ni ule unaofuata muundo wa sera na utekelezaji wa matakwa yaliyowekwa. Elimu hiyo hujidhihirisha kwa mabadiliko yanayotokea ndani ya mtu kufikia mahitaji ya jamii husika (Qorro; 2006). Elimu ni mfumo wa kujifunza na kufundisha unaozaa maarifa rasmi, maarifa matumizi, yaani ujuzi na stadi za maisha, pia maarifa ya upeo wa upembuzi na ubunifu, ambayo kwayo mtu hupata uwezo wa kufanya jambo jipya katika jamii (Senge ). Ishumi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, katika kitabu chake cha Philosophy of Education anafafanua mitazamo miwili ya elimu, kwanza elimu inaweza kuangaliwa kama kiwango cha mkusanyiko wa ufahamu wa mtu na ubora wa taarifa au uelewa unaomuweka juu ya mtu mwingine kiuwezo 2. Pili, elimu ni mchakato wa mwendelezo unaohusisha mtu na vitu vingi kama kupata taarifa, ujuzi na maarifa anayoweza kuyatumia katika mazingira mbali mbali kutatua matatizo na changamoto zinazomsibu (Ishumi & Nyirenda, 2002: 41). Mwalimu Nyerere alifafanua elimu kama mchakato unaomuandaa mtu aweze kukabili mazingira anayoishi. Maana mchakato huo unampatia mtu maarifa, ujuzi, maadili, stadi za maisha na uwezo wa kujitambua na kutambua majukumu yake kwenye jamii; hivyo kuwa mzalishaji na sio nyonyaji (anayejitegemea). Na maarifa, ujuzi na stadi hizi ni mwendelezo ambao hauna kikomo, na hivyo elimu ni mchakato usio na kikomo (Nyerere, 1968). Kwa kutambua hivyo Mwalimu Nyerere aliifanya dira ya elimu ya nchi kuwa elimu ya kujitegema. Kwamba elimu inapaswa kuwa mwanga wa ustawi wa jamii nzima, ichochee ushirikiano, haki na usawa katika jamii. Pia ilenge kwenye uhalisia wa maisha ya Tanzania. 2 Nyirenda & Ishumi (2002) Philosophy of Education, Conceptualising the Education Process pg 40 2

4 Hivyo Mwalimu akapendekeza mambo yafuatayo: kuleta mabadiliko ya maisha ya watu vijijni, walimu na wanafunzi wanapaswa kushirikiana katika shughuli za uzalishaji, na wanafunzi washiriki katika maamuzi ya kuzipangilia shughuli hizo ili wajifunze na wajue. Kazi za uzalishaji ziingizwe pia kwenye mitaala rasmi shuleni ili wanafunzi wapate stadi kamili za kazi na kujua na kuthamini kazi kwa kupata nadharia darasani na vitendo nje ya darasa. Hii ingewafanya kuwa wataalamu na wazalishaji pindi wamalizapo masomo. Mitihani ishushwe daraja na kwamba kumjenga mtu iwe kipaumbele badala ya kufaulu mitihani 3 tu. Watoto waanze shule wakiwa na umri wa miaka 7 ili wawe na uwezo wa kujitegemea na kujiingiza katika shughuli za uzalishaji mara wamalizapo elimu ya msingi. Na mwisho, elimu ya kujitegema iundwe na stadi zinazojitosheleza, hata elimu ya msingi ijitosheleze na kumwezesha wanafunzi kuishi pindi amalizapo, isiwe kama daraja tu la kupitia kuelekea elimu ya juu. Wanafunzi ni lazima wawe watu wenye kufikiri, wenye kuthamini kazi, wanaojitambua na wenye kujiamini, wanaoshirikiana na wenye upeo wa kubuni na kujifunza zaidi, hawa ndio watakaoiongoza jamii kwenye maendeleo ya kweli Malengo ya Elimu Malengo ya elimu na mafunzo hapa Tanzania yamebainishwa na Sera ya Elimu na Mafunzo ambayo ndio sera mama ya mfumo wa elimu hapa nchini. Sera hiyo inabainisha malengo ya elimu kwa ujumla kuwa ni kuelekeza na kukuza maendeleo na kuboresha haiba ya wananchi wa Tanzania, rasilimli zao na matumizi bora ya rasilimali hizo katika kuleta maendeleo ya mtu binafsi na ya taifa. Kuboresha utambuzi na uhifadhi wa utamaduni, mila na desturi za watu wa Tanzania. Kukuza kujifunza na matumizi bora ya kujua kusoma, kuandika na kuhesabu, maarifa na stadi za kijamii, kisayansi, kifundi, kiteknolojia, kiutaalamu na kwa aina nyingine ya ujuzi. Stadi na uelewa katika maendeleo na uboreshaji wa hali ya mtu na jamii. Kuendeleza na kukuza, kujiamini na kuwa na moyo wa kujiamini, kudadisi, weledi na heshima kwa utu na haki za binadamu na kuwa tayari kufanya kazi kwa kujiendeleza na kwa maendeleo ya taifa. Kuwezesha na kupanua upeo wa kupata, kuboreshana kukuza stadi za maisha za kiakili, kivitendo, za uzalishaji na nyinginezo zitakiwazo katika kutosheleza mahitaji yanayobadilikabadilika mara kwa mara kwa viwanda na kiuchumi. Kumwezesha kila raia kuelewa misingi ya katiba ya taifa pamoja na haki za binadamu na uraia, wajibu na majukumu yanayoendana nayo. Kukuza utashi wa kuheshimu kazi za kujiajiri na kuajiriwa na kuboresha mwenendo katika sekta za uzalishaji na huduma. Kujenga misingi ya maadili ya kitaifa na yanayokubalika,ushirikiano wa kitaifa na kimataifa, amani na sheria kwa njia ya kujifunza, kuelewa na kuzingatia vipengele vya katiba ya taifa na matamko mengine ya msingi ya kitaifa. 5 Mwaka 2005, Serikali ya Tanzania ilitoa mitaala mipya na kuandika miongozo au silabasi. Katika mitaala na miongozo hiyo malengo ya elimu yamebainishwa wazi. Kwa mfano malengo ya elimu ya msingi peke yake yako 18 kama ifuatavyo; Kupata stadi za Kusoma, Kuandika, Kuhesabu, ubunifu na kuwasiliana kwa luhga ya Kiswahili, Kiingereza na nyingine za kigeni. Kujenga ari ya kuendelea Kujifunza. Kujenga uwezo wa kufikiri kiyakinifu na kufanya maamuzi yenye mantiki. Kutatua matatizo, kwa kuwa mbunifu na kutumia mikono kuunda vitu anuai. Kutambua kuheshimu na kupenda kufaanya kazi. Kujenga tabia, mwenendo na maadili yanayokubalika katika jamii. Kutambua jinsi matukio ya zamani yanavyoathiri matukioa ya sasa na ya siku zijazo. Kujielewa na kuheshimu utu wake, nafsi yake, utashi wake na nafasi yake katika jamii, kujenga na kuthamini nidhamu binafsi na usawa wa kijinsia. 3 Kauli ya Nyerere aliyoisisitiza sana katika uhai wake hasa ndani ya kitabu chake binadamu na Maendeleo 4 Nyerere, J. (1968) Freedom and Socialism. A Selection from Writings & Speeches, Wizara ya Elimu na Utamaduni Sera ya elimu na Mafunzo 1995 ukurasa wa 1 3

5 Kuielewa na kuitunza afya yake ya watu wengine. Kuelewa, kuthamini na kutumia lugha ya Kiswahili kwa ufasaha. Kupenda na kuthamini utamaduni wa Kitanzania na utamaduni uliobora wa jamii nyingine nje ya nchi. Kutambua na kuthamini Mataifa mengine na jamii zake. Kujenga moyo wa uzalendo na upendo kwa taifa lake na kutathimini uhusianao wa amani. Kukuza uwezo binafsi wa kiakili. Kujenga ari ya kutimiza wajibu katika jamii na kutumia vyema muda wa mapumziko na kutambua, kutumia teknolojia na kuthamini mchango wake katika maendeleo ya taifa na kimataifa. 4. Uhusianao kati ya Elimu na Maendeleo Jamii kubwa inahusisha elimu na maendeleo ya watu; ni ukweli ulio wazi kwamba vitu hivi viwili havitenganishwi. Sera ya Elimu na Mafunzo pia imebainisha uhusianao huu kwa kina. Kwamba; Uhusianao baina ya elimu na maendeleo hutegemea kiasi gani aina ya elimu itolewayo na njia zitumikazo zinaweza kukidhi matazamio ya mtu binafsi na matakwa ya jamii. Falsafa elekezi ya jitihada zote za maendeleo nchini Tanzania ni kufananisha kujitegemea??. Hivi sasa malengo ya jumla ya shughuli za kijamii, kiuchumi na kisiasa yataendelea kuwa ni binadamu, yaani wananchi wote wa Tanzania bila kujali rangi, jinsia au hali zao zingine za asili. Hii inamaanisha kwamba kwa maendeleo ya Tanzania, watu wataendelea kujitegemea zaidi wao wenyewe na rasilimali zao pamoja na jitihada zao wenyewe, yaani ardhi, nguvu zao na utayari wao wa kufanya kazi kwa bidii. Kwahiyo Tanzania inawania na imejitoa kuendelea kutafuta maendeleo yanayamweka mtu kuwa ndiyo kitovu cha maendeleo hayo na katika kufanya hivyo, hujali zaidi maendeleo ya usawa na endelevu kwa siku za usoni, ili binadamu aweze kuishi kwa amani, umoja, uelewanona ushirikiano. Sharti kuwepo na kutoshelezwa kwa mahitaji ya msingi ya chakula, malazi, maji safi na salama, mazingira bora pamoja na maendeleo yenye ufanisi katika kilimo na viwanda. Watu wanategemea kunufaika kutokana na uzalishaji wa mifugo bora, uvunaji sahihi na bora wa maliasili, upanuzi wa viwanda na ubora wa viwango vya mazao ya viwanda. Hatua hizi muhimu zinatamkwa katika upanuzi na uboreshaji zaidi wa biashara, matumizi ya vyanzo vingine vya nishati ambavyo vinaweza kudumisha ufanisi katika uchukuzi na mawasilianao, usimamizi bora zaidi na utunzaji wa mazingira. Upanuzi wa fursa za kujiajiri na ajira za kulipwa utakuwa ndio tumaini kuu kwa vijana. Hali kadhalika, huduma za jamii zilizoboreshwa na zinazofanya kazi, kama vile upatikanaji wa maji safi na salama, afya na elimu zitakuwa ndizo tegemeo la kila mwananchi. Lakini kwenye jamii inayohitaji maendeleo, malengo ya elimu yaliyowekwa yanaweza yasifikiwe kwa urahisi bila sera ya jumla iliyo kamilifu ya kutekeleza mipango na shughuli zote za maendeleo (URT, ETP 1995, xi). 5. Kazi za elimu katika jamii Kazi za elimu ni matokeo au mazao yanayozaliwa kutokana na maarifa. Mchakato wa kujifunza unampa mtu maarifa anakuwa msomi. Jinsi anavyoyatumia maarifa hayo katika ulimwengu wa kazi kwa kufanya kazi au kubuni kitu ndipo tunapata mazao au matunda ya usomi. Haya hujidhihirisha kwa wasomi au watu waliopata elimu. Kutokana na maarifa na ujuzi, wanapata uwezo wa kufanya mambo mengi mapya kwa usahihi, na ubunifu mkubwa unajengeka ndani mwao. Na hivyo kuwafanya wawe watu muhimu katika kuwaongoza wenzao kwenye maendeleo 4

6 ya kweli. Tunamoishi matendo ya wasomi, kazi za wasomi, majukumu ya wasomi na shughuli mbali mbali zinazofanywa na watu waliopata elimu ndizo zinadhirisha kazi ya elimu katika jamii. Zao la kwanza muhimu sana la elimu ni kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri kwa makini na kiyakinifu. Uwezo huu ndio unaohitajika sana katika jamii ya leo. Mtu mwenye uwezo wa kufikiri ndio mwenye nguvu ya kuibua dhana mpya, kutafuta njia mbadala za kutatua matatizo na kuelekeza wenzake katika matendo sahihi. Uwezo wa kufikiri ndio unaomwongoza mtu kila siku katika utendaji wake. Mathalani, mtu anayekabiliwa na changamoto au tatizo lolote, kabla ya kulitatua ni lazima afikirie kwanza, akishafikiria ndipo anapanga njia mbadala na kuziweka kwenye matendo na tatizo linatatuliwa. Kufikiri kupita mipaka tuliyoizoe ndiko huleta maendeleo makubwa na ya haraka. Watu walioibua teknolojia hizi tuzionazo, waliongozwa kwanza na upeo wa kufikiri kiundani ndipo wakaibuka na dhana mpya. Kwa mfano, huwezi kupata wazo la kutengeneza gari bila kufikiri kiundani na kuvuka mipaka ya dhana hiyo. Au waliotengeneza ndege na kubuni dhana mpya pamoja na vifaa vingi vya kisasa tunavyotumia kila siku walianza na wazo kwanza lililofikiriwa kwa undani mno. Hakuna mafanikio yeyote duniani yanayoweza kupatikana bila kutanguliwa na fikra yakinifu zinazovuka mipaka tuliyozoea kufikiri. Tendo la kufikiri ni la kila siku na la ndani ya akili na utashi. Kazi yeyote inayofanyika kwa kutanguliwa na kufikiri huzaa matunda na huwa halisi, bila kufikiri kwanza matokeo ya juhudi za mtu mara nyingi huwa ni anguko au hasara. Ndiyo maana katika mazingira ya kawaida. Mtu akifikiri na kuibua jambo jipya lenye manufaa imezoeleka kusikai watu wakihoji hivi ulifikiri nini hadi ukafanya hivi au ulipata wapi wazo na kuandika kitu hiki cha ajabu? Mshangao huu bado ulimwengu mzima unaendelea kushanaga kuhusu wanafalsafa wa mwanzo waliofikiri vitu vingi na kanuni nyingi zilizokuja kutumiwa na wanasayansi na wajuzi kuunda vitu kama magari na ndege. Mfano mzuri ni mawazo ya Issack Newton, na wanafalsafa akina Socrate, Plato Galileo Galilei, Mwalimu Nyerere na wengine wengi. Nguvu ya kufikiri ndiyo hubadilisha dunia. Kazi za elimu pia zinajidhihirisha katika uwezo wa watu kubuni njia mbadala za kutatua matatizo yao. Ubunifu ni uwezo wa kuleta na kutengeneza njia mbadala za kufanya jambo, au kutengeneza fursa mpya iliyo bora zaidi. Taarifa nyingi za kimataifa na kitaifa zinabaini kwamba dunia ya leo ni ya wabunifu. Ulimwengu wa sayansi na teknoljia unaundwa na wabunifu. Katika jamii watu waliosoma wanatarajiwa kuwaongoza wenzao wasiosoma au wenye maarifa kidogo katika kubuni njia mbadala za kujiendeleza kama vile kubuni fursa kwa kutengeneza miradi, kubuni biashara mbambali, kuanzisha viwanda, kubuni dhana mpya zinazoelekeza kwenye mafanikio, kubuni njia nyingi za kutangaza biashara. Mfano mzuri ni makampuni mengi ya simu za mkononi, kila siku yanabuni njia mpya za kuvutia wateja kwa kutoa matangazo ya kuvutia. Ubunifu una uwanja mpana na wigo usiozibika. Wapo wabunifu wa akili wanaoibua dhana mpya kila siku zinazotumiwa na watu kujiendeleza. Wapo wabunifu wa kuunda vitu kwa mitindo mbalimbali, wapo wabunifu wa mahusiano katika jamii na mwingiliano wa watu, na wapo wabunifu wa kuvumbua vitu mbalimbali. Hawa wote ni muhimu katika ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia ambamo maarifa mapya yanaibuka kila leo na ushindani wa kibiashara unapanuka kila siku. Kazi ya elimu ni kujenga watu wanaojitambua na kujithamini. Kujitambua ni jambo la msingi sana katika maisha. Kujitambua huko kunaendana na uwezo wa mtu kujua yeye ni nani anawajibu gani katika jamii. Anapaswa kufanya nini kwa manufaa yake, familia na jamii kwa ujumla. Mtu akijitambua atakuwa na uwezo wa kufanya mambo yanayokubalika katika jamii. Kwa mfano, atawajibika ipasavyo kuanzia nyumbani hadi ofisini. Atatii sheria za nchi, atatawala maumbile yake, atakuwa mzalishaji katika jamii yake, atatumia haki yake kama raia mahali popote aendapo 5

7 kama vile kupiga kura. Kuchangia maendeleo kulipa kodi, na kuthamini kazi. Kinyume chake, mtu asiyejitambua ni sawa na gari linalosafiri usiku bila taa. Elimu ni lazima iwape watu uwezo wa kuchambua taarifa zilizopo na kubashiri matokeo ya wakati ujao ili kufanya maamuzi sahihi. Ujuzi wa kufanya maamuzi sahihi katika maisha unakuja tu pale mtu anapokuwa na uwezo wa kuchambua taarifa kiyajinifu na kubashiri nini kitatokea baadaye maamuzi fulani yatakayochukuliwa. Mathalani, kuna kampeni zinazoendelea za kupambana na UKIMWI na madawa ya kulevya, kampeni hizi zinabeba ujumbe fanya uamuzi sahihi au timiza matarajio yako. Hii inamaanisha kuwa watu wanauwezo wa kuzuia ukimwi iwapo watachambua taarifa za ukimwi na kujua matokeo ya ukimwi. Hii inanfanya mtu aache ngono zembe na kujilinda yeye na familia yakeo. Lakini pia tuna mifano mingi mizuri katika jamii imezoeleka kusikika watu wakisema, kubali ushauri lakini usikubali maamuzi. hii inamaanisha kwamba mtu anapaswa kuchambua taarifa anazopewa (ushauri) kisha kubaini matokeo yajayo kama ni mema au mabaya, ndipo anachukua uamuzi fulani. Iwapo mtu atashauriwa kuiba na yeye akakubali watu watasema huwa ana washauri wabaya, maana yake mwishoni matokeo ya wizi ni mabaya. Nguvu ya kutoa maamuzi sahihi ni msingi wa maendeleo ya nchi yeyote. Wasomi wanaopata elimu hata ya msingi tu inatosha sana kuwapa uwezo wa kufanya maamuzi sahihi. Mtoto mdogo anapokua kati ya miaka miwili hadi 3 anaweza kuambiwa na mzazi wake shika moto naye akashika bila kujau madhara yake, kwa maana hana uwezo wa kuchambua hiyo taarifa na kutabiri matokea yake. Lakini mtoto huyo huyo akifikia umri wa mika 4 na kuendelea ukimwambia jambo hilo, hawezi kulifanya; Kwa maana tayari anauwezo wa kuchambua taarifa na kujau matokeo yajayo kutokana na taarifa hiyo. Mfano huu ni halisi na dhahiri katika maisha yetu ya kila siku. Kwahiyo uwezo wa kuamua kwa wasomi au watu wanaopata elimu unapaswa kuwa mkubwa zaidi na hasa kwenye mambo nyeti ya maendeleo na maisha kwa ujumla. Maamuzi yeyote yanayofanywa na wasomi yanayoliangamiza taifa ni usaliti wa wasomi hao kwa wanajamii waliowategemea. Mtu aliyesoma anauwezo mkubwa wa kufanya maamuzi sahihi kwa sababu anaweza kutabiri matokeo ya maamuzi na kuchambua taarifa sawasawa. Kazi ya elimu pia ni kukuza uwezo wa kutatua matatizo kwa wanajamii. Uwezo wa kutatua matatizo unatokana na uwezo wa kutafuta njia mbadala na kutathimini kivitendo. Bila kutafuta njia mbadala ni vigumu kutatua matatizo. Kwa mfano, tatizo la malaria katika familia, ni rahisi msomii kutumia maarifa yake kwa utambuzi kwamba usafi wa mazingira yanayozunguka nyumbani njia mbadala ya kutatua tatizo pia kupulizia dawa na kuweka vyandarua ni njia mbadala. Tatizo la mmonyoko wa udongo mtu anaweza kutatua kwa kwa kupanda miti na kuweka matuta ya mkingamo. Hata watoto wadogo tatizo la kuchomwa miiba hasa huko vijijini kila mara waendapo shule, mtoto anafikiri kuanza kuvaa viatu au kusafisha njia anayopita kwenda shule na hapo tatizo linakwisha. Uwezo wa kutatua matatizo una ambatana na fikra yakinifu na upeo wa kuona mbali. Kila siku katika changamoto huibuka maisha. Chamgamoto hizo zinahitaji utatuzi, ndipo mtu anapaswa kuwaza na kufiria mbinu za suluhisho ya matatizo yanayomkabili. Elimu ina kazi kubwa ya kujenga watu wenye maadili mema na wenye mwenendo unaokubalika kwenye jamii. Maadili ni kitu cha msingi sana kati jamii. Bila maadili jamii haiwezi kuwa ya kistaarabu hata siku moja. Kwa mfano, msomi hata wa elimu ya msingi tu anatarajiwa awe na maadili yanayokubalika katika jamii anayoishi. Kama vile umoja, upendo mshikamano, kushirikiana katika kazi, tabia njema, kuthamini kazi na kufanya kazi kwa bidii. Mathalani tatizo la rushwa hapa Tanzania linahusishwa na kukosekana kwa maadili kwa baadhi ya viongozi na wanajamii wanaokula rushwa. Mtu mwenye maadili hawezi kukosa upendo wa 6

8 kumhudumia mgonjwa na kumwacha anakufa eti kwa sababu hajatoa sh 5000 ya hongo. Mtu mwenye maadili ya kuthamini utu na wanajamii wenzake hawezi kuwaibia wananchi mabilioni ya pesa na kuyaweka benki za nje na kuwaacha Watanzania wenzake wanakufa kwa njaa. Mtu wa namna hii tunasema hana maadili na elimu aliyopata haikumsaidia. Labda ni elimu ya cheti tu. Maadili ndiyo yanaongoza jamii, iwe maofisini kuna maadili ya kazi, na hata kwenye taasisi binafsi na za dini kuna maadili ambayo kila mmoja anapaswa kufuata. Mwenendo na matendo ya mtu hudhihirisha usomi wake na kiwango cha maadili alichonacho. Elimu inatarajiwa kuzalisha watu wanaopenda kazi na kuthamini kazi. 6 Watu wanajishughulisha na kazi za aina mbalimbali ili kujipatia kipato. Tena kazi hizo zitafanywa kwa ubunifu mkubwa na hivyo mazao yatakuwa na tija kubwa. Mathalani, watu wapende kilimo kama wako kwenye mazingira ya kulima ili wazalishe chakula kingi kwa ajili yao na jamii nyingine. Watu wafuge mifugo kwa njia za kisasa na kupata mapato mengi. Kukaa bila kazi na uvivu wa kupenda mapato bila kazi ni ushahidi kwamba elimu uliyopata ni ya cheti haikusaidia lolote. Hata kama ni ajira za ofisini ndani ya ofisi kuna kazi nyingi tena za kutumia maarifa ya hali ya juu. Kukaa ofisini bila kufanya kazi sio tafsiri ya elimu. Huo ni utwana! Elimu izalishe watu wanaotengeneza ajira na watu walioajiriwa katika sekta mbalimbali. Kuwa wataalamu na taaluma za kila namna ambazo watu wake wanapaswa kufanya ili kujiletea maendeleo. Mathalani, katika jamii tunao madakatari nao wanauwezo wa kufanya kazi za utabibu vizuri, wapo walimu wanaojenga watoto wetu kwa kuwapatia maarifa, kuamsha na kuchochea hisia za kujifunza. Wapo wahandisi wanaongoza mitambo na ujenzi wa miundo mbinu mbali mbali. Wapo wahasibu na wanauchumi wanatafsiri namba (tarakimu) kwenda kwenye uhalisia na kuona mwelekeo wa mapato na uchumi wetu. Haya ndio mazao ya elimu. Nchi bila kuwa na elimu inayozalisha watu wenye uwezo, kamwe haiwezi kupata maendeleo. Elimu inawapa wanajamii stadi za mawasiliano na kujiamini ili wawasiliane kwa usahihi na kwa manufaa. Stadi za mawasiliano ndizo msingi wa upashanaji habari. Yaani, uwezo wa kujua kuandika kusoma, kuhesabu, kujieleza na kutoa maoni katika jamii. Msomi yeyote anapaswa kuwa na ujasiri wa kujieleza, kudadisi na kuhoji mienendo isiyoenda sawa. Aidha kuhoji na kudadisi kunapaswa kuambatana na mibadala ya suluhu za matatizo. Watu wasio an uwezo wa kuhoji, kujieleza na kutumia haki ya kupata habari na kutoa habari ni mazao ya elimu dhaifu. Kuanzia elimu ya msingi hadi chuo kikuu kwa hatua mbalimbali kulingana na ngazi mtoto anapaswa kuwa na stadi hizi muhmu. Sio kuwa mtu wa kukubali kila kitu, kuona kila kitu na kunyamza, na kujivika ububu bandia. Jamii inamhitaji msomi aiongoze kweye nuru ya maendeleo kupitia michango ya mawazo katika mijadala, makongamano, katika familia na kwenye jamii kwa ujumla. Msomi aisiyefanya hivi anakuwa msaliti kwa jamii iliyomsomesha na kwa taifa zima. (Mandera: 1981) 6. Ushirikiano katika kutoa elimu sahihi Kutokana na ukweli kwamba mchakato mzima wa kujifunza na kupata elimu unalenga jamii, kwa manufaa ya jamii, ni jambo la msingi kuwa na ushirikiano katika kufikia malengo ya utoaji elimu. Mchakatao hu unagusa kila mmoja kwa nafasi yake. 6.1 Wazazi Hawa ni watu wa kwanza katika mchakato huu wakutoa elimu. Mwalimu Nyerere alishawahi kuwaweka wazazi na walimu kuwa ni watu wa kwanza katika mchakato. Nanukuu Wale wenye wajibu wa kufanya kazi na vijana wa umri mdogo wana nguvu kubwa zisizozidiwa na nguvu za 6 Nyerere, 1967 Makala za ujamaa na kujitegema katika Tanzania huru 7

9 yeyote yule kwa kutilia maanani hali ya baadaye ya jamii, Nguvu hizi zipo katika makundi mawiliwazazi na Walimu. 7 Wazazi wanajukumu la kuwalea watoto wao katika misingi bora ya maadili yanayowajega kuwa tayari kujifunza na kupokea maarifa. Shule ya kwanza ya mtoto ni mzazi maana ndiye anayekaa na mtoto tangu akiwa mdogo. Mabali na maadili mzazi anawajibu wa kumtia moyo mtoto na kufuatilia mchakato wa kujifunza wa mtoto. Pia kumpatia mtoto mahitaji ya kusomea kama vile vifa vya kujifunzia nyumbani, madaftari ya shule sare za shule na hata michango ya shule. Kujua shauku za mtoto na kujua matatizo anayoyapata katika kujifunza kwake. Kumjengea mtoto fikra za kujifunza kwa kumuonesha mifano halisi ya uzuri wa kujifunza ili aone shule ni mahali pazuri na pa manufaa kwake. Mtoto akilelewa katika mtindo huu atakuwa na hamu ya kujifunza mara zote na atakuwa tayari kujifunza na kufundishwa. 6.2 Walimu Ndio hasa watekelezaji wa mchakato mzima wa kutoa elimu. Mwalimu ndio dira ya mwelekeo wa mwanafunzi. Mwalimu anauwezo mkubwa wa kumfanya mtu aliyekuwa anaelekea kuwa daktari akawa jambazi! Pia mwalimu anauwezo wa kumrudisha kijana aliyekuwa anataka kupotea katika makundi ya wavuta bangi na machangudoa, na kuwa daktari bingwa wa kutegemewa. Ukweli huu aliujua sana Mwalimu Nyerere. Walimu ndio wanachagiza ari ya kujifunza na kuamsha hisia na mihemko ya wanafunzi. Ndio wanatoa maarifa na kuamsha hisia za ubunifu kwa wanafunzi pamoja na kujenga ari ya kujifunza kwa mwanafunzi siku zote. Walimu ndio wanaojua na kusimamia tabia na mwenendo wa wananfunzi kila siku kulingana na makuzi yao. Hivyo walimu wenye moyo, taaluma na utaalamu wa kufundisha ndio daraja la maendeleo ya mwanafunzi. Bila kuwa na walimu bora na wenye moyo ni ngumu mno kufikia malengo ya elimu na matunda ya elimu kamwe hayatabainika katika jamii. 6.3 Mitaala Ni muhimu kuwa na mitaala inayoshabihiana na mahitaji halisi ya jamii. Mitaala au miongozo isiyofaa ni kikwazo cha utoaji maarifa. Mwalimu Nyerere siku zote alisisitiza uhusiano wa elimu na maisha. Alipata kuitaja elimu kama mkombozi 8 akimaanisha kwamba elimu ni lazima imkombe mtu kwa kumpa maarifa na uwezo wa kuzikabili changamoto katika mazingira anayoishi. Hivyo mitaala inapaswa kutungwa kulingana na mahitaji yetu. Ikiwaelekeza walimu kufundisha kile kinachohitajika kwenye jamii yetu. Mathalani, mitaala inamtaka mwalimu afundishe miyeyuko ya Barafu huko ulaya mashariki au Asia, hii haitamsaidia mtoto wa msukuma au mmasai anayetaka kujua mbinu za ufugaji bora na kilimo bora. Kwa hiyo mitaala kama hii hailingani na mahitaji yetu kwani hatuna barafu zinazoyeyuka katika jamii. Hivyo uandaaji wa mitaala na miongozo ni jambo la msingi kufikia elimu inayohitajika katika jamii husika. Bila kuwa na mitaala inayoshabihiana na mahitaji yetu tutakuwa na wasomi wasio na manaufaa kwa jamaii husika. Mtu aliyesoma na kubobea katika jiografia ya miyeyuko ya barafu utaalamu wake hauna faida ya moja kwa moja katika jamii isiyo na barafu Dira na Sera sahihi Mfumo wowote wa utoaji elimu katika jamii unapaswa kuongozwa na mwelekeo sahihi wa kufikia malengo yanayojulikana, yaani dira ya elimu. Dira ndiyo inayoongoza mchakato mzima wa kujifunza na kufundisha maana kila mmoja atapita katika njia sahihi kuelekea lengo kusudiwa la taifa. Enzi za Mwalimu Nyerere dira ya elimu ya Tanzania ilikuwa ni kutoa elimu ya kujitegemea. Hivyo, michakato yote ya elimu enzi hizo ililenga kufikia lengo hilo la kumfanya mwanafunzi apate maarifa stadi na uwezo wa kuzalisha kisha ajitegemee mwenyewe katika kuishi. Kweli, wanafunzi kuanzia ngazi ya elimu ya msingi tu waliweza kuzalisha na kuishi vijijini na 7 Maneno ya Mwalimu Nyerere katika Hotuba yake ya Agosti Nyerere 1967, Education for self reliance 8

10 mijini bila taabu maana walikuwa na stadi za maisha na maarifa ya kuishi. Je dira ya elimu ya leo ni nini? Hili swali watu wengi wanajiuliza. Kukosa dira ni sawa gari linalokwenda bila dereva, haliwezi kufika maana halijui linakokwenda. Inawezekana hata katika mfumo wetu wa sasa wa elimu usio na dira sahihi ndio umezaa tatizo la utoaji elimu kiholela kila mtu na malengo yake. Wengine wanajitahidi kutafuta vyeti tu, wengine kutafuta kufaulu mtihani tu, wengine wanajitahidi kupata takwimu za uandikishaji tu, na wengine wanajitahidi kuwafunza watoto kiingereza tu. Hawa wote wanajiita wanatoa elimu. Je kwa tofauti hizi maendeleo yatafikiwa kweli? Serikali ni mdau mkubwa wa elimu. Na mchango wake katika kuhakikisha elimu inakwenda mbele ni mkubwa. Kwanza, kwa kuweka dira sahihi ya elimu, kuweka sera nzuri zinazotekelezeka, kusomesha na kuajiri walimu wa kutosha na wenye sifa, kupeleka vifaa vya kufundishia na kujifunzia shuleni na vyuoni na kusisimamia kikamilifu utekelezaji wa mipango ya elimu. Kwa kufanya hivyo ndipo elimu sahihi itaweza kutolewa. Vingineyo ni vigumu kukuta elimu sahihi au bora bila serikali kuwajibika sawasawa. 7. Hitimisho Nihitimishe kwa kunukuu tena kauli za Mwalimu Nyerere, kwamba, kwa watu masikini kama sisi elimu inafaa kuwa chombo cha ukombozi. Usemi huu bado ni hai na ndio ukweli wenyewe. Mtu anayepata maarifa ndio anayekuwa na uwezo wa kuzikabili changamoto katika mazingira yake. Mwalimu aliwahi kusema pia ukitaka kumsaidia mtu maskini somesha watoto wake. Hapa ujumbe ni uleule thamani ya elimu katika kumkomboa mtu. Na mwisho Mwalimu aliifafanua elimu kuwa.. elimu inatakiwa kuwaandaa vijana wetu kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa ambamo mabadiliko ya maendeleo yanapimwa kwa kuzingatia ubora wa maisha ya mtu na siyo majengo ya kifahari, magari, au vitu vingine vya aina hiyo (Nyerere ). 9

11 Marejeo Nyerere, J. (1968). Freedom and Socialism. A Selection from Writings & Speeches, , Dar es Salaam: Oxford University Press. This book includes The Arusha Declaration; Education for self-reliance; The varied paths to socialism; The purpose is man; and socialism and development. Nyerere, J. (1974). Freedom & Development, Uhuru Na Maendeleo, Dar es Salaam: Oxford University Press. Includes essays on adult education; freedom and development; relevance; and ten years after independence. Nyerere, J. (1977). Ujamaa-Essays on Socialism, London: Oxford University Press. Nyerere, J. (1979). Crusade for Liberation, Dar es Salaam: Oxford University Press. Nyerere, J. (1978). "Development is for Man, by Man, and of Man": The Declaration of Dar es Salaam' in B. Hall and J. R. Kidd (eds.) Adult Learning: A design for action, Oxford: Pergamon Press. Nyirenda, S. D. & Ishumi G. M. (2002). Philosophy of Education.An Introducation to concepts, Principles and Practice. Dar-es-Salaam: Dar es salaam University press Qorro M(2006). Does language of Instruction Affect Quality of Education. HakiElimu working paper serie 8. Senge, J. (2000). Schools that Learn, New York: DoubleDay Publishing Group. 10

12

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA 2007 i WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI TAASISI YA ELIMU TANZANIA MTAALA WA ELIMU YA MSINGI TANZANIA

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi

Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Elimukombozi, Lugha na Upashanaji Habari nchini Tanzania, katika Muktadha wa Utandawazi Martha Qorro 1 1.0 Utangulizi Elimu ni suala la jamii ambalo mipango na taratibu zake zinahitaji kushirikisha wadau

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007

Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 Kufafanua Upya Elimu Bora Tanzania: Kutoka Zana za Dufundishia mpaka Uwezo wa Wanafunzi 1 Oktoba 2007 1. Utangulizi Changamoto kuu iliyopo kuhusiana na Elimu ya msingi nchini Tanzania kwa sasa ni namna

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA III VI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

Ufundishaji wa lugha nyingine

Ufundishaji wa lugha nyingine CHUO CHA ELIMU CHA KIMATAIFA OFISI YA ELIMU YA KIMATAIFA Ufundishaji wa lugha nyingine Na Elizabeth B. Bernhardt ELIMU MAZOEA KITABU NA. 20 1 Chuo cha Elimu cha Kimataifa (The International Academy of

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

Shabaha ya Mazungumzo haya

Shabaha ya Mazungumzo haya Karibu Katika Mazungumzo Kuhusu Mchakato wa Uhamasishaji Maendeleo ya Kanisa na Jamii CCMP/UMOJA Shabaha ya Mazungumzo haya Kuwafahamisha viongozi wa makanisa kuhusu Mchakato wa CCMP ambao umekuwa ukitumika

More information

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(1): 18 29 (2007) Utumiaji Wa Kiswahili Na Lugha Za Jamii Kijinsia Nchini Tanzania Y.P. MSANJILA University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT This paper has attempted

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika

Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Kiswahili, utandawazi na umoja wa Afrika Stephen N. Kamau Abstract It is a fact that in the recent past, globalization has gradually taken shape in Africa and as such the continent has no choice but to

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA

TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF) KUHUSU HAKI ZA WATOTO KATIKA KATIBA MPYA Marekebisho ya 23 January 2013 YALIYOMO KURASA TAMKO LA JUKWAA LA HAKI ZA WATOTO (TCRF)... 0 KUHUSU HAKI ZA WATOTO... 0

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake

Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake Uongozi Bora Kitabu Cha Mafunzo Ya Uongozi Kwa Wanawake UONGOZI BORA Uongozi ni uwezo wa kubuni na kuyaweka maono katika vitendo. -Mshiriki katika Semina ya Mafunzo Uongozi Bora: Kitabu cha Mafunzo ya

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI

LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI LUGHA YA KISWAHILI KATIKA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI SIKOMBE YIZUKANJI YORADI TASNIFU YA KISWAHILI KWA MINAJILI YA KUTUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI (MA. KISWAHILI) KITIVO CHA SANAA

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza

MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA. Kwa Wanaoanza 1 Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara MATUMIZI YA FACEBOOK KWA BIASHARA Kwa Wanaoanza For IT Services & Web Solutions Web: Email: info@dudumizi.com Phone: 0768816728 2 Matumizi bora ya Facebook kwa

More information

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza

Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Mwongozo wa Utamaduni Toleo la Kwanza Kubadilishana Tamaduni za Kijerumani na za Kitanzania Limeandaliwa na Anna Hoppenau, Johannes Hahn, Oliva Lyimo na Lisa Bendiek German-Tanzanian Partnership (DTP)

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA,KWA WANANCHI, 30 SEPTEMBA, 2001 Leo napenda nizungumze nanyi, kwa lugha nyepesi iwezekanavyo, juu ya mahusiano tunayowania

More information

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania

KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 12(3): 296 309 (2003) KUSHUKA KWA HADHI YA LUGHA ZA JAMII NCHINI TANZANIA YOHANA P. MSANJILA University of Dar es Salaam, Tanzania ABSTRACT Lugha za jamii hapa nchini

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey

More information

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka 0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue?

Tufundishane! Mwalimu Bora In this issue: Issue 6, December Do you want to be in our next issue? Tufundishane! Let s teach each other! This newsletter is published by The Foundation for Tomorrow and is meant to be a venue for teachers and schools to share and learn from each other s best practices.

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA)

UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Empowered lives. Resilient nations. UKUZAJI WA ASALI AFRICA (HONEY CARE AFRICA) Kenya Miradi ya Equator Wanafijiji na Maendeleo Himili ya Jamii MIRADI YA UNDP EQUATOR Kote duniani, jamiii zinazidi kubuni

More information

Elimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini...

Elimu Bora, lakini... C HakiElimu Elimu bora, lakini... Elimu Bora, lakini... Shukrani za dhati kwa wote waliotusaidia katika kutayarisha kijitabu hiki: Nsa Kaisi, Mshauri wa Rais, kwa mchango wake mkubwa wa mawazo Wafanyakazi wote wa HakiElimu 2003-2004 Many

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo

Makala ya Mshiriki wa Mafunzo JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Ushauri Nasaha na Upimaji wa VVU kwa Hiari Makala ya Mshiriki wa Mafunzo Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Machi 2010 Kimetafsiriwa kutoka

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013

Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 W N S E Muhtasari Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2013 Kuinuka kwa Nchi za Kusini: Maendeleo ya Binadamu katika Ulimwengu Anuwai Empowered lives. Hati ya kunakili 2013 na Mradi wa Maendeleo ya Umoja wa

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya

Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya Nordic Journal of African Studies 9(2): 49-59 (2000) Usimulizi wa Riwaya ya Nyongo Mkalia Ini E. S. MOHOCHI University of Egerton, Kenya UTANGULIZI Tukichunguza hazina ya uhakiki uliofanywa katika taaluma

More information

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA NGUZO KUMI ZA KWANZA (MFUMO WA UTEKELEZAJI) NGUZO YA 1 DIRA YA TAIFA YA KWANZA 1.1 Kupitisha Dira ya KWANZA SHUGHULI MAJUKUMU MUDA MHUSIKA MKUU 1. AZIMIO LA KWANZA 2. mpango wa utekelezaji wa KWANZA 3.

More information

Mipango ya miradi katika udugu

Mipango ya miradi katika udugu Partnerschaftlich Projekte planen Mipango ya miradi katika udugu 2 Dibaji... 3 Utangulizi... 4 I. Nafasi ya (Wajibu wa) Fedha katika Udugu: Mtazamo wa Ki-indonesi... 5 II. Namna UEM Inavyowezesha Miradi

More information

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira

Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kilimo cha kiekolojia cha Wakulima Wadogo Hufanikisha Haki za Mazingira Kiongozi hiki kimeandaliwa kikiwa ni sehemu ya mradi wa

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza

Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Shule za umma za kata ya Fayette 1 Mwongozo wa Familia wa Kujifunza Muhtasari wa yale watoto wanastahili kufahamu na kuweza kufanya na njia za familia kuongeza masomo nyumbani. Tunaamini familia ni wenzetu.

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo,

Mhashamu Askofu Jude Thaddaeus Ruwa ichi, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania; Mwadhama Policarp Kardinali Pengo, HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU, KWENYE SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA HAMSINI YA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, TAREHE 08 JUNI 2008, MSIMBAZI CENTRE, DAR ES SALAAM Mhashamu

More information

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWA WANANCHI, TAREHE 31 JULAI 2001

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWA WANANCHI, TAREHE 31 JULAI 2001 HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWA WANANCHI, TAREHE 31 JULAI 2001 Leo napenda nizungumze nanyi kuhusu umuhimu wa kuweka akiba, na umuhimu wa kulipa

More information

Evaluation of Contextual Teaching of Kiswahili Proverbs in Secondary Schools in Kenya

Evaluation of Contextual Teaching of Kiswahili Proverbs in Secondary Schools in Kenya Evaluation of Contextual Teaching of Kiswahili Proverbs in Secondary Schools in Kenya Oduori T. Wamubi Prof. Simala, K. Inyani Profesa Mshiriki Masinde Muliro University of Science and Technology Prof.

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo

Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu. Nyenzo ya Mafunzo Mwongozo kwa familia zinazofanya kazi pamoja kwa maisha endelevu Nyenzo ya Mafunzo Vi Agroforestry Vi Agroforestry ni shirika la ushirikiano la maendeleo la Sweden, linalopambana dhidi ya umasikini na

More information

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees

TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO. Kutunza miche yako. Take care of your seedlings. Take care of your trees TIST (TANGA) HABARI MOTO MOTO Tel. +255748-537720/632013, P.O.BOX 6049 MOROGORO E-Mail info@ tist.org April 2004 Take care of your seedlings This year, thousands of seedlings have been planted in the TIST

More information

MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012

MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012 MITAZAMO KUHUSU KISWAHILI MIONGONI MWA WAZUNGUMZAJI WA KIJALUO: KIFANI CHA SHULE ZA MSINGI KATIKA KAUNTI YA MIGORI. OWALA JAEL AKINYI C50/75493/2012 TASNIFU HII IMEWASILISHWA KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJI

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu:

Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P ,Dar es Salaam. Simu: Kimesanifiwa na:- E.D.Kissuu ECOMM TANZANIA S.L.P. 21425,Dar es Salaam. Simu: +255 713 607 207 edkissuu@gmail.com Katuni zimechorwa na: Adam Lutta Babatau Inc. Box 13565 Dar es salaam, Simu:+255 713 474200

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI b Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI 1 Mwongozo wa Uzalishaji

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org ( Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Haja Ya Dini Haja Ya Dini Author(s): Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi [3] Publisher(s): Bilal Muslim Mission of Tanzania [4] Katika kijitabu

More information

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke- Kusudi la Maisha hawatakuambia nini walihitimisha kupitia uchunguzi au hoja ya uchambuzi. Katika hali nyingi, hakika wao kukuambia nini mtu mwingine alisema... Au wao watakuambia nini kawaida kudhaniwa

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo

Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo Elimu-Jumuishi Kwa Vitendo Taarifa ya Warsha Kuhusu Elimu-Jumuishi Iliyofanyika Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Kujifunza hakuna mwisho. Kazi ya vikundi imenipa fursa ya kujieleza bila kuhofia kuwa ningekosea.

More information

UHUSIANO WA MIKAKATI YA UFUNDISHAJI WA FASIHI YA WATOTO YA KISWAHILI NA UMILISI WA KUSOMA KATIKA SHULE ZA MSINGI, KASARANI, KAUNTI YA NAIROBI, KENYA

UHUSIANO WA MIKAKATI YA UFUNDISHAJI WA FASIHI YA WATOTO YA KISWAHILI NA UMILISI WA KUSOMA KATIKA SHULE ZA MSINGI, KASARANI, KAUNTI YA NAIROBI, KENYA UHUSIANO WA MIKAKATI YA UFUNDISHAJI WA FASIHI YA WATOTO YA KISWAHILI NA UMILISI WA KUSOMA KATIKA SHULE ZA MSINGI, KASARANI, KAUNTI YA NAIROBI, KENYA NA SELINA RHOBI CHACHA E55/23475/11 TASNIFU HII IMEWASILISHWA

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MFUMO WA RUZUKU YA MAENDELEO YA MTAJI WA SERIKALI ZA MITAA (LDCDG) UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI Kijitabu cha Mshiriki

More information

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health

Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health Mwongozo wa Mafunzo Yaliyochanganywaya K4Health Wasiojua kusoma na kuandika katika karne ya 21 hawatakuwa wale wasiojua kusoma na kuandika lakini wale ambao hawawezi kujifunza, kutojifunza na kujifunza

More information

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI

USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI USIMAMIZI MKUU WA UBORA WA MAHURUJI MWONGOZO KWA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA WASTANI WANAOUZA BIDHAA NJE YA NCHI TOLEO LA PILI Geneva 2011 ii IKISIRI YA HUDUMA YA HABARI ZA BIASHARA ID=42653 2011 F-09.03

More information

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA

KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUUNGANISHA VIZAZI KUPITIA RADIO MWONGOZO KUTOKA AFRIKA KWA WAANDAJI WA VIPINDI VYA RADIO WANAOFANYAKAZI NA WATOTO NA VIJANA KUWEZESHA Radio za kijamii Kutumia Tehama Mwongozo huu umeandaliwa ili kuvipa

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA

KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA KISWAHILI KARATASI YA 2 LUGHA Maagizo (a) Andika jina lako na namba yako katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (b) Tia sahihi yako na tarehe ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu. (c) Jibu maswali

More information

Kiu Cha umtafuta Mungu

Kiu Cha umtafuta Mungu ZAIDI YA NAKALA MILLION 3 ZIMECHAPISHWA KATIKA LUGHA 59 KOTE DUNIANI K Kiu Cha umtafuta Mungu Huduma ya Daktari Richard A. Bennett ilianza katika mabaraza ya miji. Akiwa mwanafunzi chuoni, alikumbana na

More information

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006

Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo. Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Mazoezi yaliyofanyika wakati wa warsha kuhusu Elimu-Jumuishi kwa Vitendo Zanzibar, 7-10 Februari 2006 Imechapishwa na: The Atlas Alliance Schweigaardsgt 12 SLP 9218 Grønland 0134 Oslo, Norway Simu: +47

More information

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of

More information