HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU MUHTASARI WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA KLASTA YA MLINGOTI TUNDURU TAREHE 27/07/2017

Size: px
Start display at page:

Download "HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU MUHTASARI WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA KLASTA YA MLINGOTI TUNDURU TAREHE 27/07/2017"

Transcription

1 HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU MUHTASARI WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA KLASTA YA MLINGOTI TUNDURU TAREHE 27/07/ WAJUMBE WALIOHUDHURIA: 1. Mh. Mbwana Mkwanda Sudi - Mwenyekiti wa Halmashauri - Mwenyekiti 2. Bw Abdallah H.Mussa - Mkurugenzi Mtendaji (W) - Katibu 3. Mh. Mfaume Wadali Halifa - Makamu wa Mwenyekiti - Mjumbe 4. Mh. Rajabu Hamisi - Diwani wa Kata ya Mbati - Mjumbe 5. Mh. Issa A. Ngajime - Diwani wa Kata ya Ligoma - Mjumbe 6. Mh. Faridu A. Khamisi - Diwani wa Kata ya Sisi kwa Sisi - Mjumbe 7. Mh. Mohamed Kasimu - Diwani wa Kata ya Nalasi Mashariki - Mjumbe 8. Mh. Yasini Masafi - Diwani wa Kata ya Nakayaya - Mjumbe 9. Mh. Ajola Hassani Ally - Diwani wa Kata ya Ligunga - Mjumbe 10. Mh. Rashid B. Tawala - Diwani wa Kata ya Kidodoma - Mjumbe 11. Mh. Said Ally Pindu - Diwani wa Kata ya Ngapa - Mjumbe 12. Mh. Nurdin Mnolela - Diwani wa kata ya Muhuwesi - Mjumbe 13. Mh. Stawa O. Timamu - Diwani wa Viti Maalum-Matemanga - Mjumbe 14. Mh. Maganga H. Zuberi - Diwani wa Kata ya Nandembo - Mjumbe 15. Mh. Twalibu S. Kalindima - Diwani wa Kata ya Mchuluka - Mjumbe 16. Mh. Kabango Halifa - Diwani wa Kata ya Nalasi Magharibi - Mjumbe 17. Mh. Kubodola Ambali - Diwani wa Kata ya Nakapanya Mjumbe 18. Mh. Ado Saidi Hitima - Diwani wa Kata ya Mchesi - Mjumbe 19. Mh. Hadija S. Kazibure - Diwani wa Viti Maalum Mtina - Mjumbe 20. Mh. Waziri M. Malapi - Diwani wa Kata ya Mtina - Mjumbe 21. Mh. Rehema Z. Nyoni - Diwani wa Viti Maalum Kidodoma - Mjumbe 22. Mh. Sharifa S. Nicco - Diwani wa Viti Maalum Ligunga - Mjumbe 23. Mh. Maimuna Bora - Diwani wa Viti Maalum Nakapanya - Mjumbe 24. Mh. Siwema A. Kalipungu - Diwani wa Viti Maalum Mlingoti - Mjumbe 25. Mh. Kilipa Kasimu - Diwani wa Mlingoti Magharibi - Mjumbe 26. Mh. Msenga S. Msenga - Diwani wa Kata ya Marumba - Mjumbe 27. Mh. Thabit Said Thabit - Diwani wa Kata ya Namwinyu - Mjumbe 28. Mh. Abdala Hatibu - Diwani wa Kata ya Mbesa - Mjumbe 29. Mh. Saidi Bwanali - Diwani wa Kata ya Masonya - Mjumbe 30. Mh. Ausi Maulidi - Diwani wa Kata ya Jakika - Mjumbe 31. Mh. Fatuma Ally Chitepete - Diwani wa Viti Maalum Mchangani - Mjumbe 32. Mh. Salima Limbalambala - Diwani wa Kata ya Namiungo - Mjumbe 33. Mh. Mtimbalugono Mkwawa- Diwani wa Kata ya Nanjoka - Mjumbe 34. Mh. Zena Wina - Diwani wa Viti Maalum - Ligoma - Mjumbe 1

2 35. Mh. Mariam Pilla - Diwani wa Viti Maalum - Mtina - Mjumbe 36. Mh. Kitanda Rashid - Diwani wa Kata ya Misechela - Mjumbe 37. Mh. Hadija M. Timamu - Diwani wa Kata ya Tuwemacho - Mjumbe 38. Mh. Rashid Omari Kaukuya - Diwani wa Kata ya Nampungu - Mjumbe 39. Mh. Richard Nakoko - Diwani wa Kata ya Mindu - Mjumbe 40. Mh. Rashid M. Usanje - Diwani wa Kata ya Namasakata - Mjumbe 41. Mh. Aindi Daruweshi - Diwani wa Viti Maalum Marumba - Mjumbe 42. Mh. Abdallah R.Abdallah - Diwani wa Kata ya Majengo - Mjumbe 43. Mh. Kaesa Hamis Rashid - Diwani wa Kata ya Matemanga - Mjumbe 44. Mh. Fatuma Mapila - Diwani wa Viti Maalum Tinginya - Mjumbe 45. Mh. Alus Mohamed - Diwani wa Viti Maalum Lukumbule - Mjumbe 46. Mh. Zainabu M. Said - Diwani wa Viti Maalum Mlingoti Magh- Mjumbe 47. Mh. Aliasa M. Mshamu - Diwani wa Kata ya Tinginya - Mjumbe 48. Mh. Fatuma M. Matonda - Diwani wa Viti Maalum Namiungo - Mjumbe 49. Mh. Simbili A. Makanyaga - Diwani wa Kata ya Majimaji - Mjumbe 50. Mh. Rashid S. Makunganya - Diwani wa Kata ya Chiwana - Mjumbe 51. Mh. Alois Mohamed Nyoni - Diwani wa Kata Mlingoti Mashariki - Mjumbe 52. Mh. Hairu Hemedi Musa - Diwani wa Kata ya Mchangani -Mjumbe 53. Mh. Daimu I. Mpakate - Mbunge wa Jimbo Tunduru Kusini -Mjumbe 54. Mh. Sikudhani Chikambo - Mbunge wa Viti Maalum Tunduru -Mjumbe WASIOHUDHURIA. 1. Mh. Eng. Ramo Makani - Mbunge wa Jimbo Tunduru Kaskazini- -Kwa taarifa 1.2 WAALIKWA 1. Mh. Juma Z. Homera Mkuu wa Wilaya Tunduru 2. Bw.Ghaibu Lingo Katibu Tawala (W) 3. BW. Brown Mwakangale Katibu wa CCM (W) 1.3 WATENDAJI WALIOHUDHURIA 1. Bi.Upendo Haule Kaimu Afisa Utumishi (W) 2. Bw. Jaffar Killo Kaimu Afisa Ugavi (W) 3. Eng. Elias Mtapima Mhandisi wa Ujenzi (W) 4. Bw.Chiza Marando Afisa Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji(W) 5. Eng. Emanuel Mfinanga Mhandisi wa Maji (W) 6. Bw. Josepph Mtauchila Kaimu Mkaguzi wa Hesabu za ndani (W) 7. Bw.Jonatham Haule Afisa Mazingira na udhibiti wa Taka Ngumu (W) 8. Bw. Eberdhard Halla Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii (W) 9. Bw. Hassan Ally Limbega Afisa Ardhi na Maliasili (W) 10. Bw. Chalale Naon Afisa Mipango Miji 11. Bw. Furahisha Miraji Kaimu Afisa Elimu wa Shule za Msingi (W) 12. Bw. Anselm Mawazo Kaimu Afisa Biashara(w) 13. Bw. Muhidini Shaibu Kaimu Mratibu TASAF (W) 14. Bw. Peredius Makuba Kaimu Afisa Mipango 15. Bi Rozina Mbena Kaimu Mweka Hazina (W) 16. Dkt. Frank Mkoma Afisa Mifugo na Uvuvi (W) 2

3 17. Dkt. George Chiwango Kaimu Mganga Mkuu (W) 18. Bw. Michael Wilima Kaimu Afisa Nyuki (W) 19. Bw.Jacob Mlelwa Katibu TSC (W) 20. Bw.Caliustus p. Mlelwa Kaimu Afisa Elimu Sekondari (W) 21. Bw.Godfrey Manyahi Afisa Tarafa Lukumbule 22. Bw.Fadhili K.Kanduru Kaimu Afisa Tarafa Nakapanya 23. Bw.Alli Hatibu Afisa Tarafa- Matemanga 24. Bw.Agustino Maneno Afisa Tarafa-Mlingoti 25. Bw.Zuberi Kanyomwa Afisa Katibu Tarafa-Nalasi 26. Bw.Zawadi A Mbeweka Kaimu Afisa Tarafa- Namasakata 27. Bw.Joshua S.John Afisa Tarafa- Nampungu SEKRETARIETI: 1. Bw. Mathew Malinga Mwandishi wa Vikao 2. Bi. Theresia E.Mallya Afisa Habari wa Halmashauri 3. Bw. Upendo Luambano Afisa Utamaduni 4. Bw.Abass T.Ali Katibu wa Kamati Mwandamizi 2.0 AGENDA ZA MKUTANO 1. Kufungua Mkutano. 2. Kuridhia Agenda 3. Kusoma na Kuthibitisha Muhtasari wa Mkutano wa tarehe Yatokanayo na Mkutano wa tarehe Mapendekezo ya makato ya Tsh.50 kwa ajili ya Elimu na Tsh 100 kwa ajili ya pembejeo kutoka kwenye mauzo ya korosho katika msimu wa 2017/2018 kwenye kikao cha baraza la madiwani la tarehe Kupokea taarifa za kamati za kudumu za Halmashauri kwa kipindi cha Aprili-Juni 2017 a. Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango b. Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira. c. Kamati ya Elimu, Afya na Maji. d. Kamati ya Kudhibiti UKIMWI (W) e. Kamati ya Maadili 7. Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri. 8. Uteuzi wa Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Halmashauri. 9. Kupitisha rasimu ya mapendekezo ya vikao Halmashauri na Kamati za kudumu za Halmashauri 10. Masuala ya Kiutumishi. 11. Kufunga Mkutano. MUHT.NA. BM 01/7/2017: KUFUNGUA MKUTANO Mwenyekiti alifungua Mkutano saa asubuhi kwa kuwakaribisha wajumbe, waalikwa na wananchi wote katika mkutano na katika hutoba yake ya ufunguzi alisisitiza mambo yafuatayo:- 3

4 Wataalam kutumia taaluma zao na uledi katika utekelezaji wa majukumu ili kutoa huduma bora kwa wananchi. Suala la ukusanyaji wa mapato ya ndani yapewe kipaumbele ili kuweza kukusanya zaidi na kutekeleza malengo yaliyowekwa na Halmashauri. Uhamasiahaji wa uchangiaji wa CHF ufanyike mara kwa mara ili wananchi waweze kupata huduma bora za Afya kwenye maeneo yao. Kuhakikisha kuwa wakulima wanaelimishwa mapema kufanyamaandalizi upulizaji wa korosho ili kuwa na uzalishaji mkubwa Kutekelezwa kwa agizo la Rais la usafi wa mazingira ufanyike na hatua za madhubuti zichukuliwe kuweka mji wa Tunduru kwenye hali ya usafi. MUHT NA BM 02/07/2017-KUPOKEA AGENDA. Katibu wa kikao aliwasilisha dondoo kumi (11) za ajenda kwa ajili ya kujadiliwa.wajumbe walizipokea dondoo za ajenda hizo na kuridhia. MUHT NA BM 03/07/2017 SALAMU ZA SERIKALI KUU Mh.Mkuu wa Wilaya ya Tunduru aliwaeleza wajumbe kuwa katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku ni vyema watendaji na Waheshimiwa Madiwani kuwa na ushirikiano wa pamoja ili kuweza kufikia malengo ya Halmashauri. Aidha katika hotuba yake alisisitiza mambo yafuatayo:- Kutuza amani na utulivu na kutoa taarifa ya za wahalifu ili hatua ziweze kuchukuliwa. Halmashauri za vijiji kushirkiana katika kubidhibit wafugaji wavamizi na kutoa taarifa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama pale wanaposhindwa kutekelezwa kazi hiyo. Menejimenti ya Halamshauri ihakikishe inatekeleza majukumu yake kwa waledi ili kuwaletea wananchi maendeleo. Kupanga siku ya kiserikali ya kusikiliza kwro za wananchi na kutafua ufumbuzi wake. MUH T.NA.BM 04/07/2017: KUSOMA NA KUTHIBITISHA MUHTASARI Muhtasari wa tarehe 26/05/2017 ulisomwa mbele ya mkutano na wajumbe waliuthibitisha kuwa ni kumbukumbu sahihi za mkutano. MUHT.NA.BM 05/07/2017-UTEKELEZAJI WA MAAZIMIO YA MKUTANO WA BARAZA WA TAREHE 26/05/ Taarifa ya uhakiki wa majina ya wazee wanaomba kusamehewa kodi ya Majengo ifanyiwe mapitio na kuwasilishwa kwenye kikao cha Kamati ya Fedha Utekelezaji, Agizo limezingatiwa, Uhakiki wa majina ya wazee walioomba kusamehewa 4

5 Kodi ya majengo ulifanyika na taarifa kuwasilishwa kwenye kikao cha Kamati ya fedha tarehe 21/07/2017 na kujadiliwa na kuridhia waombaji wote waliokidhi vigezo kusamehewa kodi ya majengo kulingana na mwongozo uliotolewa. 2. Ndugu Eusebius Grassian Haule na Edwin Felix Zuberi waitwe kwa ajili ya kutoa maelezo ni kwa nini walihusika kuuza viwanja katika eneo la Shule ya Msingi Tunduru Mchanganyiko bila ya kufuata utaratibu. Utekelezaji, Wahusika wameitwa kufika katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji (w) kabla ya tarehe 20/ 02/ 2017 kwa ajili ya kuja kutoa maelezo. Ndugu Edwin Felix Zuberi Ameitwa kwa barua kumb. Na. TUR/ 6788/ 21 ya tarehe 03/ 02/ 2017,na Ndugu Eusebius Grassian Haule ameitwa kwa barua Kumb Na.TUR/ 6788/ / 22 ya tarehe 03/ 02/ 2017 Wajumbe waliupokea utekelezaji na kutaka ufafanuzi ni kwanini watumishi hao hawakufika licha ya kuandikiwa barua. Mkurugenzi Mtendaji aliwaeleza wajumbe kuwa suala hilo amelifuatilia kwa Mkurugenzi wa Ubungo na kufanya mawasiliano ili kuweza kumruhusu mtumishi Eusebius Grassian Haule kuja Tunduru na Ndugu Felix Zubeir amestaafu hivyo taratibu za kumtafuta zinaendelea kwa ajili ya kutoa ufafanuzi wa uuzaji wa viwanja Tunduru Mchanganyiko. Wajumbe waliupokea ufafanuzi ulitolewa na kuazimia tena Azimio Kuendelea kufuatilia ili Ndugu Eusebius Grasian Haule na Edwin Felix Zuberi warudishwe Tunduru kuja kutoa maelezo ni kwani nini walihusika kuuza viwanja bila ya kufuata utaraibu eneo la Shule ya Msingi Tunduru Mchanganyiko.. MUHT NA.MB 7/07/2017- MAPENDEKEZO YA MAKATO YA TSH.50 KWA AJILI YA ELIMU NA TSH 100 KWA AJILI YA PEMBEJEO KUTOKA KWENYE MAUZO YA KOROSHO KATIKA MSIMU WA 2017/2018. Mkurugenzi Mtendaji (W) aliwasilisha mapendekezo ya kukata Tsh 50 kwa ajili ya Uboreshaji wa Miundo Mbinu ya Elimu na Tsh 100 kwa ajili ya pembejeo za korosho kutoka katika mauzo ya kila mkulima wa korosho kuanzia msimu wa 2017/2018. Mkurugenzi Mtendaji (W) aliendelea kukieleza kikao kuwa Halmashauri inakabiliwa na changamoto kubwa ya miundombinu ya Elimu karibu kila kijiji. Na kwa sasa wananchi wamehamasishwa kufyatua benki tofali ambapo mpaka sasa zaidi ya benki tofali Milioni moja kutoka katika vijiji mbalimbali vilivyotekeleza agizo la Mh. Mkuu wa Wilaya ambaye aliagiza kila kijiji kufyatua Tofali laki moja. Hivyo ili kuweza kufanikiwa kutumia benki tofali zilizopo kwa ajili ya kupunguza uhaba wa miundombinu ya shule katika shule zetu, Nawasilisha mapendekezo katika Baraza lako 5

6 la kukata Tsh 50 kwa kila kilo moja ya korosho itakayouzwa katika msimu wa 2017/2018. Endapo mapendekezo haya yatapitishwa ni dhahili kuwa miundombinu katika shule zetu itaweza kuboreshwa na hatimaye watoto wetu kusomea katika mazingira mazuri. Aidha Mkurugenzi Mtendaji (W) aliendelea kuwaeleza wajumbe kuwa Wakulima wa Tunduru wanakabiliwa na uhaba mkubwa pembejeo ambao unasababishwa na mambo mengi ikiwemo ukosefu wa fedha za kununua pembejeo katika kipindi cha kupulizia mikorosho. Msimu wa korosho unaanza mwezi wa 11 na kufungwa mwezi wa 2, katika kipindi hiki korosho zinakuwa bado hazijaanza kuchanua ambapo korosho zinachanua kuanzia mwezi 6 kwa baadhi ya maeneo. Katika kipindi hiki wakulima wengi wanakuwa hawana uwezo wa kununua pembejeo hizo. Ili kukabiliana na uhaba wa pembejeo za korosho Idara ya Kilimo inawasilisha pendekezo la kukata Tsh 100 kwa kila kilo ya korosho itakayouzwa kwa ajili ya kununua pembejeo za mkulima husika kuanzia msimu wa 2017/2018. Katika kufanikisha azima hiyo itabidi kufanya yafuatayo:- Mkulima atakayekatwa pembejeo hizi atapewa stakabadhi ya fedha alizokatwa ili itumike wakati wa kugawa pembejeo zitakazokuwa zimenunuliwa kutokana na fedha hizo. Mkulima atapewa pembejeo kulingana na uzalishaji wake na mchango wake aliochangia katika korosho alizouza. Makato ya fedha hizo yanaweza kutumika kupata mkopo wa pembejeo zingine mara mbili ya fedha tulizokata kutoka kwenye Taasisi za fedha au Mfuko wa pembejeo Taifa. Itafunguliwa A/C maalumu kwa ajili ya pembejeo ambayo itakuwa inatumika kutunza na kutoa fedha hizo kwa ajili ya pembejeo. Kutakuwa na kumbukumbu ya mauzo ya kila mkulima ili kuweza kujua mchango wa kila mkulima katika mfuko huo na ikitokea stakabadhi ya mkulima kupotea inaweza kusaidia kupewa haki yake. Itaundwa timu ya wakulima na wataalamu watakao kuwa watia sahihi katika A/C hiyo ambayo itaidhinishwa na kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango na hatimaye Baraza la Madiwani kabla ya kuanza kutekeleza majukumu hayo. Wakulima watakaohusika na zoezi hili ni wale wenye uzalishaji kuanzia kilo 200 ambapo atakuwa amechangia Tshs 20,000/= ambazo zinatosha kupata mfuko mmoja. Wajumbe waliyapokea mapendekezo hayo na kuridhia kiasi cha Tshs 100 zikatwe kwa kwa ajili ya pembejeo na Tshs 50 kwa ajili ya Elimu kutoka kwenye mauzo ya Korosho kutoka kwa wakulima wa zao la korosho. MUHT NA 7/07/2017-KUPOKEA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU ROBO YA TATU (APRILI-JUNI 2017) KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 6

7 1. Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango aliwasilisha taarifa ya Kamati yake na kuwaeleza wajumbe kuwa kamati yake iliweza kukaa vikao vyake vitatu vya kisheria kama ifuatavyo: Yatokanayo na kikao cha tarehe 19/05/ Menejimenti iwasilishe Changamoto ya ukusanyaji ushuru wa mabango kwa Katibu Tawala Mkoa ili aweze kuweka Msukumo kwenye vikao vya TANROADS (M) Utekelezaji; Barua yenye kumbukumbu Namba TDC.T.50/80/45 ya tarehe imeandikwa na kupelekwa kwa katibu TAWALA (w) majibu ya barua hiyo yatawasilishwa kikaoni pindi yatakapo rejeshwa. Wajumbe waliupokea utekelezaji huo na kuuridhia na kusisitiza ufuatiliaji uendelee kufanyika. Yatokanayo na kikao cha tarehe 19/06/2017 Taarifa kamili kuhusu utekelezaji wa uanzishwaji/uendelezaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Tunduru Iwasilishwe katika Kikao Kijacho.Utekelezaji; Imezingatiwa:- Taarifa ya utekelezaji ya uanzishwaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo Tunduru Mjini inaendelea kukamilishwa na taarifa hiyo inatakiwa kuwasilishwa kwenye kikao cha Mwezi Juai 2017 kwa ajili ya kujadiliwa. Yatokanayo na kikao cha tarehe 21/07/ Taarifa ya mchakato wa utekelezaji wa uanzishwaji/uendelezaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Tunduru ikamilishwe na kuwasilishwa kwenye kikao cha tarehe Utekelezaji Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya mji Mdogo wa Tunduru alikieleza kikao kuwa Mamlaka iliunda na kuzinduliwa, tarehe 28 Julai, 2016.Kazi iliyobaki katika utekelezaji ni kuunda Baraza la Mamlaka. Kwa mujibu wa sheria inayounda Mamlaka za miji midogo nchini, Utekelezaji wa shughuli za mamlaka za miji midogo katika nchi yetu unaanza kwa kuitisha Mkutano wa wadau (Baraza la mamlaka ya mji mdogo husika). Pia aliendelea kukieleza kikao kuwa, utekelezaji wa kazi ndani ya mipaka ya mamlaka ya mji mdogo wa Tunduru, ziliendelea kusimamiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya kwa vile tulikuwa hatujaunda baraza la mamlaka husika. Kikwazo katika kuunda baraza kwa haraka ilikuwa ni kukosa uelewa kwa baadhi ya Vipengele na hatua mbalimbali zinazotakiwa kuzingatiwa katika kuunda Mamlaka za miji midogo nchini. 7

8 Baadhi ya mambo ambayo yametusumbua kwa kiwango kikubwa kiasi cha kulazimika kufanya ufuatiliaji ni kama ifuatavyo- 1. Idadi ya Wajumbe wa baraza la mamlaka za mji mdogo ilikuwa inatatanisha. 2. Mwongozo tuliopewa kutoka Tamisemi nao ulikuwa na utata. 3. Kutokuwekwa wazi kwa taratibu za kupunguza Vitongoji ili kuwa na idadi ya wajumbe ambao Halmashauri au Mamlaka husika itakuwa na uwezo wa kuwalipa stahili zao. 4. Tulikuwa na Mkanganyiko kidogo kuhusu utaratibu au Jinsi ya kuwapata Wajumbe wa Viti maalumu wa mamlaka ya mji mdogo, ambao wanatakiwa Kutoka katika vyama vya siasa vilivyopo. Pia aliendelea kukieleza kikao kuwa Kutokana na ufuatiliaji wa kina tulioufanya katika Wilaya zilizounda Mamlaka za miji midogo nchini; Aidha kutokana na sheria inayounda mamlaka za miji midogo nchini The Local Government (District Authorities) act, 1982 Pamoja na kuwasiliana na watumishi Tamisemi, Tumeweza kubaini mambo muhimu yafuatayo: Mamlaka za Miji Midogo zilizoanzishwa katika wilaya mbalimbali,ziliunganisha vitongoji kadhaa ili kupata idadi ndogo ya vitongoji kwa lengo la kumudu gharama za kuiendesha Mamlaka inayoanzishwa.sheria kifungu namba 45 (b) inawataja wenyeviti wa Vitongoji kuwa wajumbe wa mamlaka Inayoanzishwa. Aidha kifungu namba 45 (a), sheria imeeleza kwamba Mwenyekiti na Makamu mwenyekiti wa mamlaka, watachaguliwa miongoni mwa wajumbe wa mamlaka inayoanzishwa. Sheria husika kifungu namba 45 (c) kinaeleza kwamba Halmashauri itateua waheshimiwa madiwani watatu ambao watatoka ndani ya mipaka ya mamlaka inayoanzishwa kuwa wajumbe wa baraza la mamlaka inayoanzishwa. Sheria husika kifungu namba 45 (d) kinaelekeza kuwa Mh. Mbunge wa jimbo ambamo ndani yake mamlaka inaanzishwa atakuwa Mjumbe. Sheria katika kifungu namba 45 (e) inaelekeza kwamba baraza la mamlaka ya mji mdogo linatakiwa kuwa na wajumbe wa viti maalumu ambao watakuwa robo ya wajumbe wote tajwa katika 2,3,na 4. Wajumbe wa viti maalumu Watachaguliwa kutoka katika vyama vya siasa kwa uwiano kulingana na asilimia au idadi ya wajumbe wote wa mamlaka waliopatikana kwa maelezo ya vipengele 2,3,na 4. Ina maana kwamba endapo chama A kina asilimia 20 ya Wajumbe waliopatikana kutokana na vipengele 2,3, na 4: Chama hicho A kitastahili kupewa asilimia 20 ya nafasi zote za wajumbe wa viti maalumu. Halakadhalika Kaimu Mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo Tunduru aliendelea kukieleza kikao kwamba Baada ya ufuatiliaji na kupitia vifungu muhimu vya Sheria The Local Government (District Authorities) act, 1982 Tunapenda ifahamike kwamba Mamlaka inayoanzishwa itakuwa na muundo (Composition) kama ifuatavyo: 8

9 1.Kwa maana ya Mamlaka ya mji mdogo wa Tunduru inayoundwa; Vitongoji vyote katika kila kijiji kinachounda mamlaka ya mjimdogo wa Tunduru Vinaunganishwa kuwa kitongoji kimoja, na Mwenyekiti wa Kijiji atahudhuria katika Vikao vya Mamlaka ya mji mdogo wa Tunduru kama Mwenyekiti wa Kitongoji hadi hapo Vijiji vitakapofutwa rasmi. Kwa hiyo, kutakuwa na Jumla ya Vitongoji 32, ambapo wenyeviti wa vitongoji 32 watakuwa wajumbe. 1. Mh. Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini atakuwa Mjumbe. 3. Wah. Madiwani watatu watakao teuliwa na Halmashauri watakuwa wajumbe. 4. Robo ya wajumbe wote ( = 36) ambayo ni wajumbe 9 watakuwa wajumbe wa viti maalumu kutoka katika vyama vya siasa. 5. Kutakuwa na mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa mamlaka ambao watachaguliwa miongoni mwa wajumbe wa mamlaka inayoanzishwa. Kwa mujibu wa sheria, siku ya kwanza ya utekelezaji wa shughuli za Mamlaka ya mji mdogo, Mtendaji mkuu wa Mamlaka anatakiwa kuitisha Mkutano wa wadau au Baraza la mamlaka ya mji mdogo wa Tunduru, ambalo miongoni mwa shughuli za kufanya zitakuwa kumchagua Mwenyekiti na Makamu mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Tunduru. Pia alihitimisha kwa kusisitiza kuwa, Halmashauri inatakiwa kuwateua waheshimiwa madiwani watatu, Mtendaji Mkuu kwa kushauriana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya. Mtendaji Mkuu ataitisha Mkutano wa kwanza wa Baraza mapema kadiri itakavyowezekana, na shughuli nyingine za Mamlaka ya mji mdogo wa Tunduru zitaendelea kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa kisheria. Wajumbe waliupokea ufafanuzi huo na kuuridhia kisha wakasisitiza kuwa taratibu zote zilizobakia zikamilishwe mapema ili Mamalaka hiyo ianze kufanya kazi. Wajumbe waliupokea utakalezaji huo na kuuridhia SHUGHULIZILIZOFANYWA NA KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO KATIKA KIPINDI CHA ROBO YA NNE (APRILI-JUNI 2017) KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017. Kupokea taarifa ya mapato na matumizi kwa kipindi cha robo nne (Aprili- Juni 2017) na taarifa hizo zilipokelewa na kujadiliwa kwa kina na kuridhiwa. Kupokea maombi ya Kutumia kiasi cha Tsh.230, 000, kutoka Mapato ya Ndani kwa ajili ya kujenga Vyumba vya Madarasa katika shule 6 za Msingi na kujenga Wodi 2 katika Hospitali ya Wilaya na mchanganuo wake ulikuwa kama ifuatavyo:- i) Kujenga vyumba 6 vya Madarasa katika shule za Msingi 10,000,000 kwa Tsh.60,000, na ujenzi wa vyoo 10 katika Shule za Msingi na Sekondari kwa Tsh.20,000, na kufanya jumla ya Tsh.80,000, kwa ajili ya kupuunguza changamoto ya upungufu wa miundo mbinu ya Elimu. 9

10 ii) Kujenga wodi 2 katika Hospitali ya Wilaya kwa Tsh.150, 000, Aidha aliendelea kukifahamisha kikao kuwa Hospitali ya Wilaya inakabiliwa na changamoto ya kuwa na msongamano wa wagonjwa katika wodi zake kutokana na kuhudumia idadi kubwa ya watu ikilinganishwa na uwezo wake. Hivyo ili kuboresha utoaji wa huduma ya afya katika hospitali ya Wilaya Halmashauri inaomba idhini ya kutumia Tsh.150,000, kutoka katika mapato yake ya ndani (Own Source) ili kuanza ujenzi wa wodi 2 za wagonjwa wa upasuaji kwa ajili ya Wanaume 1 na wanawake 1 katika Hospitali ya Wilaya. Kupokea ombi la kuwatumia Askari Polisi kuendesha magari ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Askari hao ni E. 406 CPL Hamisi na F CPL Gwalugano ombi ambalo liliridhiwa. Kupitisha Mpango na Sheria Ndogo za usimamizi Shirikishi wa Misitu wa Kijiji cha Ngapa.mpango ambao uliridhiwia Kupokea ombi la kupitia mkataba wa nyuma na mapendekezo mapya ya gharama za upangishaji wa majengo ya Zahanati ya Tunduru (Tunduru Dispensary) ombi ambalo liliridhiwa. Kupokea taarifa ya uendeshaji wa Shule ya Ufundi Stadi Mataka na mapendekezo yaliyoafikiwa ni pamoja na a) Shule ya msingi na Ufundi iendelee kutoa huduma zake kama yalivyo malengo ya usajili wake. b) Zifanyike jitihada za kuiboresha na kuiendeleza shule ya ufundi ili kukidhi haja ya kuwa kituo cha VETA kwakuwa tayari Mamlaka ya VETA imeshafanya ukaguzi wa kituo kwa ajili ya usajili na tayari walimwandikia Mkurugenzi kuridhia usajili wa kuwa kituo cha VETA. c) Madarasa ya ufundi yaliyochukuliwa na Shule ya Sekondari Mataka yarejeshwe. d) Ifanyike juhudi ya kuhimiza wananchi kujenga majengo ya mabweni katika shule ya Sekondari Mataka ili kufanya wanafunzi wapate mahala pazuri pa kuishi wakiwa shuleni.hata hivyo Afisa Elimu Wilaya alikiitimishia kikao kuwa, ni vyema kama Maagizo hayo ya Mkuu wa Wilaya yafanyiwe kazi kwa mamlaka zilizopo kwa kushirikiana na wananchi na wazazi ili kuhakikisha wanafunzi wanapata mahali pakuishi na shule ya Msingi na Ufundi Mataka iendelee na taratibu zake kama kawaida. Kupokea taarifa ya Upimaji wa maeneo ya Shule kutokana na agizo la Katibu Mkuu OR TAMISEMI. Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru ina shule za msingi 150, kati ya hizo 149 ni za serikali na 1 ni ya binafsi. Kupokea taarifa ya Ukusanyaji wa Ada za Mazingira kati ya Halmashauri na Baraza la Mazingira la Taifa (NEMC) ambapo wajumbe waliridhia Kupokea taarifa ya kuandaa makubaliano ya pamoja (Memorandum of Understanding) kati ya Halmashauri ya Wilaya ya tunduru na asasi ya HAKIELIMU makubaliano ambayo yaliridhiwa. Kupokea taarifa ya Mbio za Mwenge wa uhuru wilayani Tunduru mwaka 2017 Kupokea taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) ambapo Halamshauriilipata hati inayoridhisha. Kupokea mapendekezo ya matumizi ya fedha Tsh 41,223,000 kwa ajili ya kufufua vituo vya kuchotea maji na mchanganuo wa matumizi ya fedha hizo ulikuwa kama ifuatavyo: 10

11 NA JINA LA KIJIJI KAZI ZINAZO KUSUDIWA KIASI KINACHOPENDEKE ZWA MAELEZO 1 Kituo cha Afya cha Mkasale 2 Namwinyu sekondari Ujenzi wa mnara mdogo Ununuzi wa Tank la lita 5000 Ununuzi wa Bomba na viungo Kufunga mfumo wa Solar Na Pampu Ujenzi wa Mnara mdogo Ununuzi wa Tank la lita 5000 Ununuzi wa bomba na viunganishi Ununuzi wa solar na pampu yake 11,361, Kisima tayari kilishachimbwa bado hakijaendelezwa 7,090, Kisima kilichimbwa lakini bado hakijaendelezwa 3 Marumba sekondari Kununua riser 2,160, Kisima cha shule kimeharibika, kwa sasa shule haina kisima chchote kwa ajili ya huduma ya maji. 4 Kitalo Ujenzi wa mnara mdogo Ununuzi wa Tank dogo Ununuzi wa bomba na viungo Ununuzi wa pampu Uwekaji wa umeme 9,250, Kuna kisima ambacho kinaweza kufungwa pampu ya kutumia umeme 5 Kituo cha Afya cha Nakapanya Ujenzi wa mnara mdogo Ununuzi wa Tank Ununuzi wa bomba mbalimbali Viunganishio Uwekaji wa solar Ununuzi wa Pampu 11,361, Kuna kisima ambacho kinaweza kufungwa pampu ya kutumia umeme JUMLA 41,223, Kupokea Maombi ya Kubadilisha Matumizi ya Fedha za Ruzuku ya Maendeleo ya Halmashauri (LGDG) Kiasi cha Tsh.15, 000, zilizotengwa na Kupokelewa 11

12 Na Halmashauri Katika Mwaka Wa Fedha 2016/2017 ziende kujenga Choo Stendi Kuu Ya Mabasi Tunduru Mjini. Kupitisha Mpango wa Manunuzi kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 Kupokea taarifa ya Maamuzi ya Bodi ya Zabuni katika Mradi wa Ujenzi wa Wodi Mbili (2) Hospitali ya Wilaya Tunduru ambapo Force Akaunti Ilipendekezwa kutumika na Wajumbe waliridhia. Kupokea Taarifa ya Wapangaji wa Mabanda ya Biashara Halmashauri ya Tunduru Kupokea taarifa ya mgao wa pembejeo za Korosho zenye ruzuku ya serikali msimu wa 2017/2018 Kupokea taarifa ya Idara ya Utawala na Utumishi kwa kipindi cha aprili-juni 2017.taarifa hiyo ilijikita katika utekelezaji wa shughuli zifuatazo:- - Kupokea watumishi wa ajira mpya.hadi kufikia tarehe 30 June, 2017 ilipokea jumla 18. Watumishi 15 kwa Idara ya Elimu Sekondari waliopangiwa na TAMISEMI mwajiriwa 1 hajaripoti, mtumishi 1 Idara ya Elimu Msingi,Mtumishi 1 wa Idara ya Afya na mtumishi 1 Idara ya Maendeleo ya Jamii kwa kibali cha ajira mpya kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, chenye Kumb.Na.CB.170/367/01/G/35 cha tarehe 26/06/2015. Watumishi wa Idara ya elimu msingi na maendeleo ya jamii ni miongoni mwa watumishi walikuja kuripoti awali na kabla utaratibu wa ajira zao kukamilika Serikali Ilisitisha ajira zao, na baada ya Serikali kutoa tena maelekezo walikuja kuripoti upya. Watumishi wote wamepata mishahara isipokuwa wawili.taarifa za watumishi hawa ni kama ifuatavyo: Idara ya Elimu Msingi Na Jina Cheo 1 Flaviana Clemence Kitago Afisa Michezo II Idara ya Maendeleo ya Jamii Mtumishi wa Idara ya Maendeleo ya Jamii yupo 1, mtumishi huyu bado hajapata mshahara suala lake limefanyiwa kazi na tunasubiri majibu kutoka utumishi. Mtumishi huyo ni Na Jina Cheo 1 Ligobert Wile. Jussa Fundi Sanifu II (Maendeleo Ya Jamii) Idara ya Elimu Sekondari Na. Jina Cheo 1 Happy Sylvery Chacha Mwalimu Daraja la III C 2 Tatu Godson Karigo Mwalimu Daraja la III B 3 Gabriel Peter Saigarai Mwalimu Daraja la III B 4 Shaphy Hassan Mrumbi Mwalimu Daraja la III B 5 Zakaria Nuru Kirway Mwalimu Daraja la III C 6 Maulid Abasi Ramadhani Mwalimu Daraja la III B 7 Jacklina Tarimo Apolinary Mwalimu Daraja la III B 12

13 8 William Felician Francis Mwalimu Daraja la III B 9 Alistides Juuko Vicent Mwalimu Daraja la III C 10 Juliana Grayson Mrutu Mwalimu Daraja la III B 11 Johari Juma Mapunda Mwalimu Daraja la III C 12 Apronia Isdory Kitindi Mwalimu Daraja la III B 13 Jane Losieku Maando Mwalimu Daraja la III B 14 Jacob Magesa Muhoni Mwalimu Daraja la III B Mtumishi mmoja wa Idara ya Elimu Sekondari taratibu zake za ajira bado hazijakamilika kutokana na kutokuwa na kiapo cha majina na ameshaelekezwa kufuatilia kiapo hicho ili aweze kupata mshahara. Mtumishi huyo ni; Na Jina Cheo 1 Edwin Rwegoshola Cyrius Mwalimu Daraja la III B IDARA YA AFYA Idara ilipangiwa watumishi 2 aliripoti Mtumishi mmoja ambaye taratibu zake za ajira bado hazijakamilika kutokana na mtumishi huyu kuonekana kwenye mfumo kuwa alishajiriwa sehemu nyingine, Katibu mkuu Utumishi ameandikiwa barua kuomba aendelee kutumia check namba yake ya zamani, Hivyo tunasubiri majibu kutoka utumishi. Mtumishi huyo ni Na Jina Cheo 1 Nzobendo Simon Lucas Daktari Daraja La II Kushughulikia taarifa za watumishi aliohama.katika Kipindi hiki imepokea mtumishi mmoja wa Idara ya Afya ambaye ni; NA JINA LA MTUMISHI CHEO ALIKOTOKA 1. Emmanuel Mihayo Daktari Mwandamizi Halmashauri ya Mji Nzega Kushughulikia meshughulikia uhamisho wa watumishi 2 waliohama katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru kwenda katika mamlaka nyingine kama ifuatavyo:- NA JINA LA MTUMISHI CHEO ALIKOHAMIA 1. Alex M. Kazula Mganga Mkuu Wa Wilaya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi 2 Amina A. Mzee Mwalimu Manispaa ya Kinondoni Kushughulikia watumishi thelathini (30) waliostaafu, taarifa zao za kiutumishi zimepelekwa kwenye mifuko yao ya hifadhi ya Jamii ili waweze kulipwa mafao 13

14 yao.aidha watumishi wote wameshafutwa katika payroll ya mishahara. Watumishi hao waliostaafu ni kama ifuatavyo:- NA JINA IDARA 1 Owen Maghonela Mwalimu Msingi 2 Zuberi Mtuluko Mwalimu - Msingi 3 Esha Manjoro Mwalimu - Msingi 4 Rashidi Kibonye Mwalimu Msingi 5 Mauridi R. Msanda Mwalimu - Msingi 6 Wezae Alli Mwalimu - Msingi 7 Yahaya Chitwanga Mwalimu Msingi 8 Yusufu Zuberi Mwalimu - Msingi 9 Omari K. Katona Mwalimu -Msingi 10 Mfaume A. Linyama Mwalimu - Msingi 11 Bakari M. Mapanje Mwalimu - Msingi 12 Zuberi Mjanaheri Mwalimu - Msingi 13 Mohamedi Nyambila Mwalimu - Msingi 14 Laus Wilbart Mwalimu - Msingi 15 Besha Chitembedya Mwalimu - Msingi 16 Shaubu Ndego Mwalimu - Msingi 17 Abdalah Kisonga Mwalimu - Msingi 18 Jafari Yasini Mwalimu - Msingi 19 Akondo Nyenje Mwalimu - Msingi 20 Cosmo Hamisi Mwalimu - Msingi 21 Maimuna Daudi Mwalimu - Msingi 22 Amina Omari Mwalimu - Msingi 23 Osward Kasinje Mwalimu - Msingi 24 Alli Matola Raia Mwalimu - Msingi 25 Issa Raibu Mwalimu - Msingi 26 Bimwana Halifa Mwalimu Msingi 27 Juma Addo Mwalimu Msingi 28 Masauko Ching ang a Mwalimu Msingi 29 Subeti H. Subati Mwalimu Msingi 30 Sabinus Thadei Ndunguru Muuguzi 14

15 Kushuhulikia masuala ya kinidhamu kwa watumishi mbalimbali ambao walikuwa na makosa ya kinidhamu. Baada ya mchakato wa kinidhamu kukamilika na watumishi hao kupatikana na hatia wamepewa adhabu kwa mujibu wa Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma. Orodha yao ni kama inavyoonesha katika jedwali hapa chini:- Na Jina La Mtumishi Cheo Kosa Adhabu 1. Vahaeli Abraham Asala Mhasibu Daraja la I Utoro kazini Amepewa onyo la maandishi 2. Stanley Jackson Haule Afisa Maendeleo ya Jamii Mwandamizi (Mratibu wa TASAF). 3. Dauson Meshack Felician Afisa Mifugo Msaidizi III 4. Ibrahimu Rajabu Ally Tabibu Daraja II(Meno) 5. Hema Mathias Yohana Mhudumu wa Afya Uzembe katika kutekeleza majukumu aliyopangiwa Utoro kazini Utoro kazini Utoro kazini Hakukutwa na hatia amerudiswa kazini Amefukuzwa kazi Amefukuzwa kazi Amefukuzwa kazi Kusimamia stahiki zao za kiutumishi walizostahili ikiwa ni pamoja na gharama ya mazishi.watumishi hao wamefutwa kwenye payroll ya mishahara.watumishi hao ni; Na Jina la Mtumishi Cheo 1 Rashid Kasuguru Mwalimu Msingi 2 Salumu Mkwanda Mwalimu Msingi 3 Dunstan Namadi Mwalimu Sekondari Kushughulikia mazishi waheshimiwa Madiwani wawili waliofariki.orodha yao ni kama ifuatavyo:- Na Jina la Diwani Kata 1 Mh Sollo Zuberi Hussein Lukumbule 2 Mh Mnomba Rashid Kazembe Kalulu 15

16 Kupoka taarifa ya mtumishi aliyeacha kazi.katika kipindi hiki Mtumishi mmoja wa Idara ya Fedha na Biashara ameacha kazi Na Jina La Mtumishi Cheo 1 May Juma Mautila Mhasibu msaidizi Kusimamia shughuli zote za wiki ya utumishi wa umma iliyoazimishwa kuanzia tarehe 14/06/2017 na kuisha tarehe 23/06/2017 kama ilivyoagizwa na Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Kwa Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Ratiba ya Maadhimisho hayo ilikuwa kama ifuatavyo:- TAREHE MUDA TARAFA MAHALI 19/06/2017 3:00-6:00 Asubuhi Matemanga Matemanga 7:00-10:30 Mchana Nampungu Nandembo 20/06/2017 3:00-6:00 Asubuhi Lukumbule Lukumbule 7:00-10:30 Mchana Nalasi Mbesa 21/06/2017 4:00-6:00 Asubuhi Namasakata Ligoma 22/06/2017 4:00-6:00 Asubuhi Nakapanya Nakapanya 23/06/2017 7:30-10:30 Mlingoti Baraza la Idi Kuhakiki Majina ya Watumishi katika Mfumo Mpya wa Ulipaji Mishahara wa Serikali.Katika kipindi hiki Idara iliendesha Zoezi la Uhakiki wa majina ya watumishi katika mfumo mpya wa malipo ya mishahara ya watumishi,zoezi hili limeagiza na Katibu Mkuu- Hazina. Zoezi hilo lilikuwa linahusisha kufananisha majina ya akaunti za benki na yale ya kwenye payroll ya watumishi. Zoezi hilo lilikamilika kwa asilimia kubwa kwa ushirikiano wa wakuu wa Idara zote za Halmashauri.Zoezi hili bado linaendelea kwa watumishi ambao bado wanasubiri viapo vyao vya majina kwa wale waliokosewa majina kutoka Msajili wa majina kutoka Wizara ya Ardhi ili wawasilishe na majina yao yaweze kufanana. Kufanya ulinganisho wataarifa za Watumishi na zile za kwenye Vitambulisho vya Taifa (NIDA).Katika kipindi hiki Idara ilifanya Zoezi la ulinganisho wa taarifa za kiutumishi na zile zilizopo kwenye vitambulisho vya kitaifa (NIDA). Zoezi hilo limeanza tarehe 19/06/2017 na tunatarajia kumaliza tarehe 11/07/2017. Zoezi hili liliagizwa na Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, zoezi hili linaendelea kwa mafanikio makubwa kwa ushirikiano na Wakuu wa Idara. Idara inatoa pongezi kwa Wakuu wa Idara na Vitengo wote kwa ushirikiano wao katika mazoezi haya muhimu. Kutembelea Vijiji na Kata.Idara ilitembelea Kata ya Muhuwesi kuhudhuria kikao cha WDC Muhuwesi kwaajili ya kutoa maelekezo ya taratibu za uanzishaji wa kijiji Kipya cha mwangaza kutoka Kijiji mama cha Msagula, Vile vile Ofisi ilitembelea Kijiji cha National Housing kwajili ya kuhudhuria kikao cha Halmashauri ya kijiji na Mkutano Mkuu wa Kijiji kwaajili ya kutoa maelekezo ya umuhimu wa kukaa vikao vya kisheria,aidha ofisi ilitembelea kijiji cha Sisi kwa Sisi kwaajili ya kukamilisha taratibu za kumuondoa Mwenyekiti wa Kijiji madarakani. 16

17 Kupokea maombi ya kuajiri vibarua kwa mkataba na Ndugu Ally Mohamed Nasibu, Mohamed Said Kaosela na Selemani Yasin walipendekezwa kuajiriwa kwa mkataba na Tshs 450,000 zitalipwa kila mwezi 17

18 Kupokea Mapendekezo ya Ratiba ya Vikao Vya Halmashauri kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 na mapendekezo hayo yalikuwa kama ifuatavyo:- N A AINA YA KIKAO AGST SEPT OKT NOV DIS JAN FEB MACH APRIL MEI JUNI JULAI 1 CMT KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO KAMATI YA ELIMU, AFYA NA MAJI KAMATI YA MASUALA YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA KAMATI YA MAADILI KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI KAMATI YA KUGAWA ARDHI 8 BODI YA AJIRA BODI YA VILEO BARAZA LA MADIWANI

19 Angalizo Vikao vya Bajeti vinafanyika mwezi Februari kutegemea maandalizi ya Bajeti. Vikao vya Hesabu za mwisho vinafanyika mwezi septemba kutegemea mwongozo. Bodi ya Ajira hutegemea upatikanaji wa vibali vya ajira/upandaji wa madaraja. Vikao vya Ugawaji wa Ardhi hutegemea mahitaji ya ugawaji wa Ardhi. 19

20 Kupokea taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Robo ya Nne ( Aprili-Juni) 2016/2017 Kupokea taarifa ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo uliofanywa na wajumbe wa Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango Robo ya Tatu na ya Nne Mwaka wa Fedha 2016/2017. Kupokea Taarifa ya manunuzi kwa kipindi cha robo Aprili-Juni Kupokea taarifa ya utekelezaji wa kitengo cha sheria kwa kipindi cha Aprili-Juni 2017 na kazi zilizotekelezwa ni kama ifuatavyo:- Kutoa ushauri mbalimbali wa kisheria kwa Mkurugenzi Mtendaji (W) Kutoa mafunzo kwa baadhi ya Serikali za vijiji na mabaraza ya kata kwa lengo la kuwajengea uwezo katika shughuli zao za kila siku na utoaji wa haki. Kata iliyopatiwa mafunzo kwa robo ya nne ni Lukumbule.Hata hivyo katika robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kitengo kimepanga kuanza na Kata za Namakambale,Nakapanya,Muhuwesi,Masonya na Nakayaya Mashariki. Kusimamia Mikataba mbalimbali ya wapangaji walio katika majengo yanaoyo milikiwa na Halmashauri ikiwa ni pamoja na kuongeza viwango vya Kodi ya Pango Kusimamia Uendeshaji wa Mashauri wa Mahakamani.Mashauri hayo yalikuwa kama ifuatavyo:- S/N KESI NA. WAHUSIKA MAHAKAMA MALALAMIKO MAELEZO 3/2016 ABIBI MZEE SHOMARI VS.1. ALMALID,2, YUSUFU BARUTI, 3. HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU BARAZA ARDHI NYUMBA WILAYA TUNDURU LA NA LA YA KUVAMIWA ARDHI YAKE Kwamba Taasisi ya waislamu ya Almalidi imepewa haki ya kumiliki eneo bila muhusika kushirikishwa wala kulipwa fidia ya eneo lake. Yusufu Baruti anatuhumiwa kuiuzia Taasisi eneo huku akijua eneo hilo si lake.halmashauri imejumuishwa kama mdaiwa namba mbili. Shauri hili limepangwa kusikilizwa Tarehe 4/08/ /2016 BAKARI MAKUMBUSYA VS. 1.MPUNDA SINABEI, 2.HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU BLNW KURUDISHIWA ENEO Kwamba Mpunda Sinabei amevamia eneo la mlalamikaji na Halmashauri ikammpa hati ya umiliki Inasikilizwa, Shahidi wa Halmshauri ambae ni Afisa Aridhi anatakiwa tarehe 05/07/

21 3 11/2017 SEIFU HASSANI DAUDA BLNW FIDIA Anapinga kulipwa fidia na Halmahauri kwa madai kuwa ni kidogo Shauri limepangwa kutajwa tarehe 03/08/ /2016 State Business Centre Vs TDC MAHAKAMA KUU SONGEA Ukiukwaji mkataba uwakala wa wa Halmashauri iliamuriwa na Mahakama ya Wilaya kumlipa mzabuni jumla ya Milioni 400 kwa kuvunja mkataba. Kuendelea kusikilizwa tarehe 10/07/ /2017 AUPHI SELEMANI vs FATU RASHIDI Mdaiwa wa kwanza na HALMASHAURI YA WILAYA TUNDURU kama mdaiwa wa pili. BARAZA LA NYUMBA NA ARDHI WILAYA UVAMIZI ENEO LAKE. WA Madai ana anadai kuwa yeye ndiye mmiliki halali wa eneo analo ishi mdaiwa Hivyo halmashauri imejumuishwa ili kutoa ushahidi ni nani mmiliki halali Shauri limepangwa kutajwa tarehe 03/08/ /2017 YASINI ZUBERI NYAHALI DHIDI YA ISSA MUSSA MWICHANDE mdaiwa wa kwanza. HAJI MOHAMED Mdaiwa wa pili na HALMASHAURI YA WILAYA TUNDURU Mdaiwa wa tatu BARAZA LA NYUMBA NA ARDHI WILAYA UVAMIZI ENEO LAKE. WA Mdai anadai yeye ndiye mmiliki halali wa eneo lenye Namba 198 Kitalu O Tunduru Mjini na kwamba Msahtakiwa wa kwanza na wapili wamevamia na kuenga makazi. Shauri limepangwa kutajwa tarehe 03/08/2017 Kupokea taarifa ya Kitengo cha TEHAMA kwa Kipindi cha Aprili -Juni 2017 Katika kipindi hiki, kitengo kimefanikiwa kutekeleza shughuli mbalimbali kwenye eneo la TEHAMA. Miongoni mwa shughuli hizi ni pamoja na: i). Kitengo kimeweza kufanya matengenezo maalum (special maintenance works) ya vifaa anuai vya TEHAMA vilivyopo kwenye Idara na Vitengo mbalimbali vya Halmashauri kwa lengo la kuhuisha vilivyokufa na kukarabati vilivyo na dosari. ii). Kwa kushirikiana na Idara ya Elimu Msingi, kitengo kimefanikiwa kuingiza VITUO TEULE kwenye mfumo wa kutunza taarifa za wanafunzi wa shule za msingi wa PReM (Primary 21

22 Records Manager) vitakavyotumika kuhifadhi mitihani ya Watahiniwa wa Darasa la Nne na Darasa la Saba kwa ngazi ya Wilaya. iii). Kwa kushirikiana na Idara ya Elimu Msingi, kitengo kimeweza kusimamia zoezi la uingizaji taarifa za wanafunzi wa Darasa la kwanza wa shule zote za msingi za Halmashauri katika Mfumo wa PReM unaosimamiwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA). Aidha, kitengo kimeweza kutoa maelekezo kwa Maafisa Elimu Msingi (Taaluma) juu ya namna ya kuweza kumuhamisha mwanafunzi kutoka shule moja kwenda shule nyingine ndani na nje ya Wilaya/ Mkoa kwa kutumia mfumo huo wa PReM. iv). Kwa kushirikiana na Idara ya Fedha, kitengo kimeweza kusimamia kwa ukaribu mfumo wa ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri wa LGRCIS (Local Government Revenue Collection Information System) uliosanifiwa na kutengenezwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI pamoja na ule wa Ukusanyaji mapato ya Hospitali wa GoT HoMIS (Government of Tanzania - Hospital Management Information System). v). Kwa kushirikiana na kitengo cha Ukaguzi wa ndani, kitengo kimefanikiwa kutoa mafunzo kwa wakuu wa Idara na Vitengo vya Halmashauri juu ya namna ya kubaini na kukabiliana na Vihatarishi (Risks) mbalimbali vinavyoweza kuathiri mifumo na taarifa anuai zilizopo kwenye Idara na Vitengo vya Halmashauri. vi). Kitengo kimeendelea kutoa msaada wa kiufundi (Technical Support) kwa watumiaji wa Mifumo mbalimbali ya TEHAMA inayotumiwa na Idara na Vitengo mbalimbali vya Halmashauri. Eneo la Uhusiano wa Umma Katika Kipindi cha Aprili - Juni 2017 Kitengo eneo hili limeweza kutekeleza kazi kama ifuatavyo:- i. Kupiga picha matukio mbalimbali ya Halmashauri ikiwa ni pamoja na matukio ya Sikukuu ya Wafanyakazi (Mei Mosi), Mbio za Mwenge wa Uhuru 2017, Ukaguzi wa miradi ya maendeleo, Siku ya kuchangia damu kitaifa, pamoja na Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma. ii. Kusimamia na kuhuisha Tovuti ya Halmashauri na Kurasa za mitandao ya kijamii ya Halmashauri ya Facebook na TwitterKatika kipindi cha robo ya nne ya mwaka wa fedha 2016/2017 kitengo kimeendelea kufanya kazi ya kusimamia, kuhuisha na kuweka taarifa, matukio na picha mbalimbali katika tovuti ya halmashauri inayopatikana kwa anuani ya na kwenye kurasa mbalimbali za mitandao ya kijamii ya Facebook, Twitter na Youtube zinazomilikiwa na Halmashauri ili kuhakikisha umma unahabarika kwa kazi anuai zinazofanywa na Halmashauri. iii. Kukusanya na kuandika taarifa mbalimbali na kuziweka katika tovuti ya Halmashauri iv. na kurasa za mitandao ya kijamii inayotumiwa na Halmashauri ya wilaya ya Tunduru Kitengo kimefanikiwa kukusanya na kuandika taarifa mbalimbali ikiwa ni pamoja na taarifa za sekta za Maji, Afya, na Maendeleo ya Jamii (TASAF) v. Kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni pamoja na ukaguzi wa miradi ya wananchi waliofanikiwa kupitia mradi wa kunusuru kaya maskini TASAF katika vijiji vya Mpanji na Nangunguru. Kupokea taarifa ya uhakiki ya majina ya wazee walioleta maombi ya kusamehewa kodi ya majengo na wananchi wa waliokidhi vigezo wajumbe waliridhia kusamehewa kodi ya majengo Kupokea taarifa ya kupata Mwekezaji wa Uwindaji wa Kitalii katika Jumuiya ya Nalika na Mkataba ulisainiwa kati ya Jumuiya ya Nalika na THE BEST LUXURY SAFARIS LTD na Mkataba huu ulisainiwa tarehe 15/07/2017 na ukomo wake ni 31/12/2021 Wajumbe waliipokea taarifa ya Kamati na Kuijadili kwa kina na kutaka kupata ufafanuzi wa mambo yafuatayo:- HOJA Kwa nini ukusanyaji wa mapato bado hauiridhishi? 22

23 Kwa nini kuna migogoro maeneo ya shule? Kwa nini kuna kusuasua kwa uendelezaji wa Mji Mdogo Tunduru Mjini? Kwa nini Mabraza ya Kata hayajapewa mafunzo katika kutekeleza shughuli zake. Kuweka kwenye Bajeti rambirambi za Waheshimiwa Madiwani? Ufafanuzi wa hoja Kuhusu ukusanyaji wa mapato kutokuridhika Wajumbe walifaamishwa kuwa mapao hayo yameshuka kutokana na asilimia ya mapato kushushwa kutoka asilimia 3% badala ya asilimia 5% ambayo bajeti iliodhinishwa kwenye bajeti ya Halmashauri hivyo ni lazima utafanyika msawazo wa makusanyo ya mapato:- Kuhusu kuwepo kwa migogoro maeneo ya shule ilielezwa kuwa migogoro mingi inasababishwa na wananchi wenyewe wa maeneo hayo hata hivyo Elimu na upimaji wa maeneo ya shule umeanza Kufanya hivyo itasaidia kutapunguza migogoro kwenye maeneo hayo Kuhususu uendelezaji wa mji mdogo wa Tunduru Mjini Wajumbe walifahamishwa ufuatiliaji wa uendelezaji wa mji unafanyika na kwa sasa hatua iliyobaki ni kuundwa kwa baraza la mji mdogo ili iweze kutekelezwa majukumu yake na kuweza kutoa huduma. Kuhusu rambi rambi za waheshimiwa madiwani kuendana na uhalisia wajube walifahamishwa kuwa suala hili litawekewa kupaumbele kwenye bajeti za Halmashauri. Wajumbe waliupokea ufafanuzi uliotolewa na kuridhia. 2. Kamati ya Elimu,Afya na Maji Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu,Afya na Maji aliwasilisha taarifa ya kamati yake na kuwaeleza wajumbe kuwa kamati yake ilikaa kikao chake cha kisheria tarehe 11/07/2017 na kujadili kwa kina taarifa za utekelezaji wa kazi za Idara ya Elimu Msingi,Elimu Sekondari,Maendeleo ya Jamii,TSC,Uthibiti na ubora wa Shule,Idara ya Maji na Afya. Aidha Mwenyekiti wa Huduma za Jamii aliendelea kukieleza kikao kuwa Kamati yake pia ilipitia kwa kina utekelezaji wa maazimio kama ifuatavyo:- 1. Kumchukulia hatua za kinidhamu Mtumishi Enjo wa Zahanati ya Muhuwesi kutokana na kushindwa kuwahudumia wananchi wa maeneo hayoutekelezaji, Mtumishi Enjo wa Zahanati ya Muhuwesi aliitwa kwenye mamlaka ya Kinidhamu.Mamlaka hiyo imejiridhisha uwepo wa malalamiko hayo na kumtaka kujieleza kwa maandishi.baada ya kupokea taarifa kutoka kwa mtumishi huyo Mamlaka ya Kinidhamu imetoa onyo kwa mtumishi huyo kwa maandishi kwa barua yenye kumbukumbu namba imekumbusha H/PF.2/16 Ya tarehe Wajumbe waliupokea utekelezaji na kuridhia 2. Taarifa ya utekelezaji wa kazi za Idara ya Elimu Sekondari kwa kipindi cha Januari- Machi 2017 iwasilishwe upya kwenye kikao cha tarehe 12/04/2017 taarifa hiyo iwe imejumuisha taarifa ya kutenguliwa kwa wakuu wa 10 wa Shule za Sekondari. 23

24 Utekelezaji;Taarifa ya Elimu Sekondari kwa kipindi cha Januari-Machi 2017 iliwaasilishwa mbele ya kikao na ikifafanua utekelezaji wa kazi za Idara kwa kipindi cha Januari-Machi 2017 na taarifa ya walimu walioshushwa vyeo na orodha yao ni kama ifuatavyo:- NA JINA LA MTUMISHI KITUO CHA KAZI 1 Selemani H. Nanyata Nakapanya 2 Robert G. Nanjenu Namasakata 3 Ester A. Hyera Lukumbule 4 Bruno A. Ndomba Ligunga 5 Cleophace M. Mgaya Marumba 6 Issa A. Mapunda Matemanga 7 Asente E. Komba Kidodoma 8 Hassani H. Milanzi Frankweston 9 Isaack Haule Mchoteka 10 Mathias P. Katto Mbesa Wajumbe waliupokea utekelezaji na kuridhia. Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu,Afya na Maji aliendelea kukieleza kikao kuwa Kamati yake pia ilipokea taarifa za utekelezaji wa kazi za Idara zilizo chini ya kamati hii na utekelezaji wa kazi ulikuwa ni wa kipindi cha Aprili-Juni,2017. Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu,Afya na Maji aliendelea kukieleza kikao kuwa Kamati yake pia ilipokea taarifa za utekelezaji wa kazi za Idara zilizo chini ya kamati hii na utekelezaji wa kazi ulikuwa ni wa kipindi cha Oktoba Disemba, 2016 na Idara hizo zilikuwa kama ifuatavyo: Idara ya Elimu Msingi Idara ya Elimu Sekondari Idara ya Maji Mamlaka ya Maji Tunduru Mjini TSC Idara ya Afya Uthibiti ubora wa shule Wajumbe waliipokea taarifa na kuijadili kwa kina na kutaka kupata ufafanuzi wa mambo yafuatayo:- Hoja Ni kwa nini shule za Mjini ufaulu wake hauridhishi? Ni ka nini mahitimisho wa watumishi yanatofautiana wakati wametenda kosa la aina moja Ni kwa nini wateja wengi wa maji hawana mita hapa Tunduru mjini? Ufafanuzi wa hoja. Kuhusu shule za mjini kutofaulisha vizuri Wajumbe walifahamishwa kuwa kuna sababu nyingi znazochangia wanafunzi kutofaululu vizuri ni pamoja na wanafunzi wenyewe,mazingira ya shule na walimu kutoshirikiana kama kama muhimili mmoja 24

25 kwenye utoaji wa elimu hivyo huchangia uwepo wa utoro sugu kwa wanafunzi na kushindwa kutimiza malengo ya kitaaluma Kuhusu mahitimisho ya nidhamu kutofautiana wakati watumishi wametenda kosa moja Wajumbe walifahamishwa kuwa utofauti huo unatokana na utendaji wa haki kwa watumishi baada ya tume ya Uchunguzi kuwahoji watumishi wenye makosa na kujiridhisha na hapo ndio utofauti unapotokea wakati wa kutoa hukumu mbalimbali kwa watumishi. Kuhusu wateja wa maji kukosa mita ilielezwa kuwa Mamlaka ya Maji kwa sasa imeweka mkakati wa kuwafungia mita wateja angalau 25 kila kupitia mapato yanayokusanywa ili kuweza kuondoka changamoto hiyo na Mamlaka kuweza kukusanya mapato zaidi na kutoa huduma bora kwa wananchi. Wajumbe waliupokea ufafanuzi uliotolewa na kuridhia. 3. Kamati ya Maadili. Katibu wa Kamati ya Maadili alikieleza kikao kuwa taarifa ya Kamati ya Maadili itajadiliwa kwa kina kwenye taarifa za kiutumishi-rejea kiambatanisho A. 4. Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira aliwasilisha taarifa ya Kamati yake na kuwaeleza wajumbe kuwa kamati yake ilikaa kikao chake cha kisheria tarehe 14/07/2017 na kujadili kwa kina taarifa za utekelezaji wa kazi za idara zilizopo katika Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira Idara hizo ni Idara ya Ujenzi, Idara Mipango Takwimu na Ufuatiliaji, Idara ya Kilimo ushirika na Umwagiliaji, Kitengo cha Biashara, Idara ya Ardhi Maliasili, Kitengo cha ufugaji nyuki na Idara ya Mifugo na Uvuvi. Aidha aliendelea kuwaeleza wajumbe kuwa utekelezaji wa kazi Idara ilihusisha utekelezaji wa shughuli mbalimbali kwa kipindi cha robo ya Pili (Aprili-Juni 2017) kwa mwaka wa fedha 2016/2017 Pia Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira aliendelea kukifahamisha kikao kuwa Kamati yake ilipokea utekelezaji wa maagizo kama ifuatavyo:- 1. Mwanasheria wa Halmashauri ahakikishe kuwa kesi ya kiwanja na 115 kitalu A ifunguliwe na taarifa iwasilishwe kikao kijacho.utekelezaji; Shauri Na 115 la mwaka 2017 limefunguliwa Baraza la Ardhi la Wilaya.Washitakiwa ni Nonath Nkya na HTT INFRANCO LTD na shauri hili litatajwa tena tarehe 05/09/2017 Wajumbe waliupokea utekelezaji huo na kuridhia. 2. Kampuni ya Dangote iendelee kukumbushwa kufungua tawi la kuuza Saruji Tunduru Mjini ili wananchi wapate huduma kwa urahisi Utekelezaji; Kampuni ya Dangote imeandikiwa barua yenye Kumb Na BA.23/193/01/23 ya tarehe 04/07/2017ya kukumbushwa kufungua tawi la kuuza Saruji Tunduru Mjini. Wajumbe waliupokea utekelezaji huo na kuujadili na kubaini kwamba utaratibu wa kufungua Tawi la kuuzia saruji Tunduru Mjini kwa kusimamiwa na Halmashauri una changamoto nyingi, ikizingatiwa kuwa jukumu kubwa la Halmashauri ni kutoa Huduma kwa wananchi na sio kufanya Biashara, hivyo wajumbe kwa pamoja wamekubaliana kufunga Hoja hiyo. 25

26 3. Taarifa ya ununuzi wa Trekta la kuzolea takataka iwasilishwe katika kikao cha tarehe 14/07/2017.Utekelezaji; utaratibu wa ununuzi wa trekta la kuzolea takata umefikia hatua ya ya kuwashindanisha bei Wazabuni umekamilika na SUMA JKT ameshinda zabuni hiyo kwa M.40. Aidha changamoto iliyopo ni kwamba, fedha zilizo tengwa kwenye Bajeti ni Tshs M. 33 Halmashauri inaendele kutafuta Tshs M.7 kwa ajili ya kukamilisha malipo hayo. Wajumbe waliupokea utekelezaji huo na kusisitiza kuwamchakato wa kutafuta fedha zilizosalia ufanye haraka ili ununuzi wa trekta la kuzolea takataka Ukamilike. 4. Mkuu wa Wilaya aalikwe kwenye Baraza la Madiwani Robo ya Tatu kuja kutoa ufafanuzi wa kina juu ya suala la kuwaondoa wafugaji Tunduru. Utekelezaji; Mkuu wa Wilaya alialikwa kwa barua Kumb Na ya tarehe TDC.C.20./16/8 na kuhuhudhuria Mkutano huo. Wajumbe waliupokea utekelezaji huo, na kuthibitisha kuwa maelekezo ya namna ya kudhibiti wafugaji wenye makundi makubwa yafuatayo yalitolewa kwenye salamu za Serikali Kuu kwenye mkutano wa robo ya tatu kwa mwaka wa Fedha 2016/2017 Baada ya wajumbe kujadili kwa kina walibaini kuwa tatizo la uvamizi wa wafugaji wenye makundi makubwa kwenye Halmashauri ya Tunduru limekuwa kubwa na endelevu kwenye maeneo yote ya Halmashauri ya Tunduru wajumbe walipendekeza Iundwe Kamati ya wajumbe 4 kwenda vijijini kwenye maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya wafugaji wenye makundi makubwa ili kukutana Serikali za Vijiji na kamati za Mazingira za kata na vijiji ili kupata maoni na mapendekezo halisi ya kuwapokea/kuwaondoa wafugaji kwenye maeneo hayo na taarifa hiyo kuasilishwa na kupitiwa kwenye vikao vya kisheria ili kuweza kuwasilisha mapendekezo hayo ngazi za juu ili ziweze kuchukua hatua stahiki. Pia Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira aliwaeleza Wajumbe kuwa kmati yake iliweza kuridhia Kupitisha eneo la Ujenzi Kampasi ya Chuo Kikuu cha Sokoine baada ya taratibu kwenye jijiji husika kuridhia kutoa eneo hilo kwa ajili ya ujenzi wa kamapasi ya chuo kikuu cha sokoine (SUA). Wajumbe walipokea taarifa ya Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira na kutaka kupata ufafanuzi wa mambo yafuatayo:- Kwa nini wananchi anacheleweshewawa kulipwa vifuta jasho kutokana wanyama waharibifu wa mazao yao. Ni lini taarifa ya Kamati teule iliyoundwa ka ajili ya ufuatiliaji wa wafugaji wenye makundi makubwa vijiji itawasilisha taarifa yake kwenye Vikao vya kisheria. Ni lini pembejeo za maji zitagawiwa kwenye vijiji. Ufafanuzi wa hoja Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira aliwaeleza Wajumbe kuwa suala la kulipwa kwa kifuta jasho kwa wananchi ni suala la wizara ya Maliasili na Utalii kuwalipa wananchi kwa wakati lakini changamoto inayojitokeza ni kuwa tathimini na malipo huchukua muda hivyo Idara husika itaendelea kuikumbusha wizara kulipa madai hayo kwa wakati. Kuhusu Kamati teule iliyoundwa kwa ajili ya kukusanya maoni ya wananchi waloathirika na makundi makubwa ya mifugo (Ngo ombe) Wajumbe walifahamishwa kuwa baada tu ya zoezi la ufuatiliaji kufanyika taarifa itawasilishwa kwenye Vikao vya kisheria. Kuhusu ugawaji wa dawa za maji Wajumbe walifahamishwa kuwa zoezi hilo litafanyika kulingana na mgao wa dawa na zoezi hilo litafanyika kwa ufanisi. 26

27 Wajumbe waliupokea ufafanuzi uliotolewa hatimaye waliazimia:- Azimio Taarifa ya Tume iliyoundwa kwa ajili ya kukusanya maoni ya wananchi waloathirika na makundi makubwa ya mifugo (Ngo ombe) iwasilishwe kwenye kikao kijacho:- 5. Kamati ya Kudhibiti Ukimwi Mwenyekiti wa Kamati ya Kudhibiti Ukimwi Wilaya aliwasilisha taarifa ya kamati yake na kuwaeleza wajumbe kuwa kamati yake ilikaa kikao chake cha kisheria tarehe 19/07/2017 na kujadili kwa kina taarifa za utekelezaji wa kazi za idara zilizopo chini ya Kamati yake na taarifa ilihusisha utekelezaji wa maazimio ya kikao cha tarehe 20/04/2017 na utekelezaji wake ulikuwa kama ifuatavyo:- 1. Agizo lililotaka Kikundi cha UPENDO na TAAS kuwasilisha bajeti ya usajili kwenye kikao cha tarehe 19/07/2017 ili kamati ione namna ya kupata fedha kwa ajili ya usajili wa vikundi hivyo na kuweza kutoa huduma lilitekelezwa na Kikundi cha UPENDO na TAAS wameandikiwa Barua yenye Kumb Na TDC.A.70/35 ya tarehe 15/05/2017 kuwasilisha bajeti zao kwa ajili ya usajili wa vikundi na bajeti ya usajili wa Vikundi vyote viwili kwa Tshs 1,800,000/. Wajumbe baada ya kufanya uchambuzi wa gharama halisi kwa kila kikundi na kuona Tshs 1,240,000/= zinatosha kusajili vikundi vyote viwili na usimamizi ufanywe na Idara ya Maendeleo ya Jamii Wajumbe waliupokea utekezaji na kuridhia. 2. Asasi zote ambazo hazijasijiliwa kwa sheria mpya waandikiwe barua ya kuwakumbusha kusajili Asasi zao na wakishindwa kusajili asasi hizo hatua za kisheria zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kuzifuta kwa zile zilizochini ya Halmashauri na kwa zile ambazo zipo kwenye Mamlaka zingine taarifa itolewa kwenye mamlaka zao ili kuweza kuchukua hatua.utekelezaji; Barua yenye Kumb Na TDC.A/70/35 ya tarehe 03/05/2017 zimeandikiwa Asasi kwa ajili ya kukumbushwa kufanya usajili kwa sheria mpya. Wajumbe waliupokea waliupokea utekelezaji na kuridhia. 3. Mwenyekiti wa Mtandao wa Asasi Tunduru aandikiwe barua ya kutohudhuria vikao vya Kamati ya Kudhibiti UKIMWI hadi hapo asasi yake itakapotimiza masharti ya usajili na uchaguzi wa Viongozi wa Asasi hiyo.utekelezaji; Barua yenye Kumb Na TDC.A/70/35 ya tarehe 03/05/2017 ameandikiwa Mwenyekiti wa MATU kutokuhudhuria vikao hadi hapo asasi yake itakapotimiza masharti ya usajili na uchaguzi wa Viongozi wa Asasi hiyo. Wajumbe waliupokea utekelezaji na kuridhia. Aidha Mwenyekiti wa Kamati ya kudhibiti UKIMWI alikieleza kikao kuwa Kamati yake pia ilijadili changamoto za mapambano dhidi ya ukimwi na namna ya kukabiliana na changamoto 27

28 hizo kwa wananchi kwa kutoa elimu ya Afya Hospitali ya Wilaya,Zahanati na Vituo vya Afya na aliwasihi Waheshimiwa Madiwani,Wataalamu na Wananchi kupima Afya za. Wajumbe waliipokea taarifa ya Kamati ya Kudhibiti UKIMWI na kuijadili kwa kina na kusisitiza kuwa jukumu la mapambano dhidi ya UKIMWI ni kwa watu wote na sio kuiachia Kamati kudhibiti UKIMWI majukumuhayo hivyo ni vyema kila mdau kwa nafasi yake anawajibika katika mapambano dhidi ya maambukizi UKIMWI katika jamii zao. Pia walisisitiza kuwa ni vyema elimu ajenda ya mambo ya UKIMWI iwe ajenda ya kudumu kwenye mikutano mbalimbali ofisi kuu ya Halmshauri, Kata na vijiji. Wajumbe waliipokea taarifa ya Kamati ya Kudhibiti UKIMWI na kuridhia na kusisitiza kuwa mapambano dhidi ya UKIMWI ni jukumu la watu wote hivyo mshikamano kwa ngazi zote ufanyike kwenye mapambano hayo. MUHT BM 09/07/2017-UCHAGUZI WA MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI. Mkurugenzi Mtendaji (W) wa Halmashauri (Katibu wa Kikao) alitoa maelezo kuwa amewandikia Makatibu wa Vyama vya vya CCM na CUF Wilaya kuwasilisha majina y wagombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri.Vyama vyote viwili (2) vyenye wawakilishi wa Madiwani viliwasilisha majina ya wagombea kama ifuatavyo:- 1. Mfaume Wadali Halifa Chama cha Mapinduzi 2. Eliasa Mshamu Chama cha Wananchi CUF Msimamizi wa uchaguzi alianza kumkaribisha Mh.Mfaume Wadali Halifa wa Chama cha CCM aliitwa ukumbuni na kujieleza kwa wapiga kura juu ya azma yake ya kugombea nafasi hiyo na kuomba kura na alipo maliza kujieleza.hakuna mjumbe aliyeuliza swali. Baada ya wagombea kujieleza Msimamizi wa uchaguzi alitangaza idadi ya wapiga ambao walikuwa 53 na kura ya siri ilipigwa. - Kura zilizopigwa 53 - Kura zilizipigwa 53 - Kura zilizoharinika hakuna Matokeo - Mh. Eliasa Mshamu CUF aliapata kura 16 - Mh. Mfaume Wadali Halifa CCM alipata kura 37 Msimamizi wa uchaguzi (Mkurugenzi Mtendaji) alimtangaza Mh. Mfaume Wadali Halifa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri kwa kushinda nafasi hiyo na kupata kura 37 Wajumbe waliipokea taarifa hiyo na kuridhia. 28

29 MUHT.NA BM 09/07/2017-UTEUZI WA WAJUMBE WA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI. Mwenyekiti wa Halmashauri alitangaza orodha ya wajumbe wa Kamati za Kudumu za Halamhauri ambazo zitadumu kwa mwaka mmoja na mchanganuo wa Wajumbe kwa kila Kamati ulikuwa kama ifuatavyo:- KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO. NA JINA LA DIWANI ATOKAKO CHEO 1 MH.MBWANA M.SUDI MCHOTEKA MWENYEKITI 2 MH.ENG. RAMO MAKANI CHELEWENI MJUMBE 3 MH. IDDI MPAKATE SEMENI MJUMBE 4 MH. MFAUME WADALI HALIFA NAMAKAMBALE MJUMBE 5 MH. NURDUNI MNOLELA MUHUWESI MJUMBE 6 MH. NGAJIME ABBAS ISSA LIGOMA MJUMBE 7 MH. RASHID KITANDA MISECHELA MJUMBE 8 MH. FARIDU KHAMIS SISI KWA SISI MJUMBE 9 MH. KAESA HAMIS RASHID MATEMANGA MJUMBE 10 MH. AINDI DARUWESHI MARUMBA MJUMBE 11 MH. SIKUDHANI CHIKAMBO NAMPUNGU MJUMBE 12 MH.HADIJA KAZIBURE MTINA MJUMBE 13 MH. ABDALAH R.ABDALAH MAJENGO MJUMBE KAMATI YA ELIMU,AFYA NA MAJI NA JINA LA DIWANI ATOKAKO CHEO 1 MH. NGAJIME ABAS ISSA LIGOMA MJUMBE 2 MH. SIWEMA KALIPUNGU MLINGOTI MJUMBE 3 MH. RASHID BAKARI TAWALA KIDODOMA MJUMBE 4 MH. MAGANGA H. ZUBERI NANDEMBO MJUMBE 5 MH. BWANALI S. ALLY MASONYA MJUMBE 6 MH. KUBODOLLA AMBALI NAKAPANYA MJUMBE 7 MH. ADO HITIMA MCHESI MJUMBE 8 MH. HADIJA TIMAMU TUWEMACHO MJUMBE 9 MH. MTIMBALUGONO R.MKWAWA NANJOKA MJUMBE 10 MH. RAJABU HAMISI MUSA MBATI MJUMBE 11 MH. KHATIBU MFAUME MBESA MJUMBE 12 MH. KABANGO SANDALI N/MAGHARIBI MJUMBE 13 MH. ZENA HARIDI WINA LIGOMA MJUMBE 14 MH. ALUS MOHAMED ALLY LUKUMBULE MJUMBE 15 MH. STAWA O.TIMAMU MATEMANGA MJUMBE 16 MH. MARIAM MOHAMED PILLAH MTINA MJUMBE 29

30 17 MH.FATUMA M.MATONDA NAMIUNGO MJUMBE 18 MH. MSENGA S.MSENGA MARUMBA MJUMBE 19 MH.HAIRU HEMEDI MUSSA MCHANGANI MJUMBE 20 MH. AUSI M. AUSI JAKIKA MJUMBE 21 MH. MASAFI ALLY YASINI NAKAYAYA MJUMBE 22 LUKUMBULE MJUMBE KAMATI YA MASUALA YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA NA JINA LA DIWANI ATOKAKO CHEO 1 MH. MNOLELA NURDIN YASINI MUHUWESI MJUMBE 2 MH. ALOIS M. NYONI M/MASHARIKI MJUMBE 3 MH. SAID ALLI PINDU NGAPA MJUMBE 4 MH. THABIT S. THABITI NAMWINYU MJUMBE MLINGOTI 5 MH. KILIPA KASIM HALIFA M/MAGHARIBI MJUMBE 6 MH. ALIASA MOHAMEDI MSHAMU TINGINYA MJUMBE 7 MH. SIMBILI MAKANYAGA MAJIMAJI MJUMBE 8 MH. SAID K.TWALIBU MCHULUKA MJUMBE NALASI 9 MH. MOHAMED K. YALISI MASHARIKI MJUMBE 10 MH.SHARIFA NICO LIGUNGA MJUMBE 11 MH.REHEMA ZAKARIA NYONI KIDODOMA MJUMBE 12 MH. MAIMUNA MOHAMED BORA MUHUWESI MJUMBE 13 MH. FATUMA HASHIMU MAPIRA TINGINYA MJUMBE 14 MH. FATUMA ALLY CHITEPETE MCHANGANI MJUMBE 15 MH. ZAINAB MUSA SAIDI M/MAGHARIBI MJUMBE 16 MH. RASHIDI MUSSA USANJE NAMASKATA MJUMBE 17 MH. RASHID OMARI KAUKUYA NAMPUNGU MJUMBE 18 MH. RICHARD NAKOKO MINDU MJUMBE 19 MH. SALIMA LIMBALAMBA LA NAMIUNGO MJUMBE 20 MH. WAZIRI SAID MARAPI MTINA MJUMBE 21 MH. RASHID SUED MAKUNGANYA CHIWANA MJUMBE 22 KALULU MJUMBE 23 MH.AJOLA H.ALLY LIGUNGA MJUMBE KAMATI YA KUUDHIBITI UKIMWI NA JINA LA DIWANI ATOKAKO CHEO 1 MH. MFAUME WADALI HALIFA NAMAKAMBALE MWENYEKITI 2 MH.ENG. RAMO MAKANI (MB) CHELEWENI MJUMBE 30

31 3 MH. IDDI MPAKATE (MB) SEMENI MJUMBE 4 MH SIKUDHANI CHIKAMBO (MB) NAMPUNGU MJUMBE 5 MH. SIWEMA KALIPUNGU MLINGOTI MJUMBE 6 MH. MAIMUNA BORA MUHUWESI MJUMBE 7 MH. FATUMA MATONDA NAMIUNGO MJUMBE 8 MH. REHEMA Z. NYONI KIDODOMA MJUMBE 9 MH. RICHARD NAKOKO MINDU MJUMBE 10 MH. RASHID SUED MAKUNGANYA CHIWANA MJUMBE 11 MH.STAWA TIMAMU MATEMANGA MJUMBE KAMATI YA MAADILI NA JINA LA DIWANI ATOKAKO CHEO 1 MH.RASHI KITANDA MISECHELA MWENYEKITI 2 MH. KHATIBU MFAUME MBESA MJUMBE 3 MH. SALIMA LIMBALAMBA NAMIUNGO MJUMBE 4 MH. RASHID KAUKUYA NAMPUNGU MJUMBE 5 MH. HADIJA M. TIMAMU TUWEMACHO MJUMBE BODI YA AJIRA NA JINA LA DIWANI ATOKAKO CHEO 1 ADDO SAIDI HITIMA MCHESI MJUMBE ALAT MKOA NA JINA LA DIWANI ATOKAKO CHEO 1 MH.MBWANA M.SUDI MCHOTEKA MJUMBE 2 MH. RASHIDI USANJE NAMASKATA MJUMBE 3 MH. SHARIFA NICCO LIGUNGA MJUMBE BODI YA VILEO NA JINA LA DIWANI ATOKAKO CHEO 1 MH.MBWANA M.SUDI MCHOTEKA MWENYEKITI 2 MH. ALUS MOHAMED ALLY LUKUMBULE MJUMBE 3 MH. HAIRU MUSSA MCHANGANI. MJUMBE KAMATI YA UGAWAJI ARDHI NA JINA LA DIWANI ATOKAKO CHEO 1 MH. AUSI MAURIDI AUSI JAKIKA MJUMBE 2 MH. MARIAMU PILLA MTINA MJUMBE MFUKO WA JIMBO TUNDURU KUSINI NA JINA LA DIWANI ATOKAKO CHEO 1 MH. IDDI MPAKATE SEMENI MWENYEKITI 2 MH. ZENA H. WINA LIGOMA MJUMBE 31

32 3 MH.WAZIRI MARAPI MTINA MJUMBE MFUKO WA JIMBO TUNDURU KASKAZINI NA JINA LA DIWANI ATOKAKO CHEO 1 MH.ENG. RAMO MAKANI CHELEWENI MWENYEKITI 2 MH. THABITI S. THABITI NAMWINYU MJUMBE 3 FATUMA H. MAPIRA TINGINYA MJUMBE Aidha kila Kamati iliweza kupiga kura na kuwachagua wenyeviti wa Kamati kulingana na Kanuni za kudumu za uendeshaji shughuli za Halamshauri na Uteuzi wa wenyeviti wa Kamati hizo ni kama ifuatavyo:- 1. Kamati ya Elimu Mwenyeyiki Mh. Abass I. Ngajime 2. Kamati ya Masuala ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira Mweyekiti Mh. Nurdini Mnolela 3. Kamati ya Maadili Mwenyekiti Rashid Kitanda. Wajumbe wa waliridhia mapendekezo hayo:- MUHT.BM /10/07/2017-KUPITISHA RASIMU YA MAPENDEKEZO YA VIKAO HALMASHAURI NA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI. Mkurugenzi Mtendaji aliwasilisha Mapendekezo ya rasimu ya Ratiba ya Vikao kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kwa ajili uendeshaji wa shughuli za vikao vya Halmashauri na Mapendekezo hayo yalikuwa kama ifuatavyo: 32

33 MAPENDEKEZO YA RATIBA YA VIKAO VYA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA NA AINA YA KIKAO AGST SEPT OKT NOV DIS JAN FEB MACH APRIL MEI JUNI JULAI 1 CMT KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO KAMATI YA ELIMU, AFYA NA MAJI KAMATI YA MASUALA YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA KAMATI YA MAADILI KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI KAMATI YA KUGAWA ARDHI 8 BODI YA AJIRA BODI YA VILEO BARAZA LA MADIWANI Angalizo Vikao vya Bajeti vinafanyika mwezi Februari kutegemea maandalizi ya Bajeti. Vikao vya Hesabu za mwisho vinafanyika mwezi septemba kutegemea mwongozo. Bodi ya Ajira hutegemea upatikanaji wa vibali vya ajira/upandaji wa madaraja. Vikao vya Ugawaji wa Ardhi hutegemea mahitaji ya ugawaji wa Ardhi. 33

34

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2015 Citation 1. This Order may be cited

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18

MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2017/18 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2016 ISBN 978-9987 - 829-02 - 9 ii YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 2.0 MABORESHO YA MFUMO WA KIBAJETI... 2

More information

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment

In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment In the matter of an Application by the KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA) For a Tariff and Charges Adjustment Background 1. On 17 th May 2011 KUWASA submitted an application for

More information

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada

MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA PRO-ROUTES. Ombi kwa ajili ya fedha za umma wa mradi wa ziada Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Résumé non technique Version Swahili MKAKATI ATHARI YA MAZINGIRA NA KIJAMII YA KAZI YA

More information

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Songa kwenye kilele cha upeo. Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Songa kwenye kilele cha upeo Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa Masuala ya Msingi na Ujuzi juu ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa United Republic of Tanzania Photos provided

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU

TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TAARIFA FUPI KUHUSU SERA YA TAIFA YA ELIMU TANZANIA EDUCATION NETWORK / MTANDAO WA ELIMU TANZANIA () 1.0 USULI Tanzania, sawa na nchi nyingine, ilitia saini Malengo ya Maendeleo ya Milenia na Malengo ya

More information

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari Rakesh Rajani na George Omondi HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003. 6S Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) Muhtasari

More information

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment

In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment In the matter of Application by the TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA) For a Multi-Year Tariff Adjustment Background 1. On 4 th September, 2012, the Energy and Water Utilities

More information

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH

SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Eneo La Huduma: Huduma Ya Ushirika Wa Biashara Kichwa: Sera Ya Mipango Ya Msaada Wa Kifedha SERA & TARATIBU YA YALE NEW HAVEN HEALTH Tarehe Kupitishwa: 09/20/2013 Tarehe Ya Ufanisi: 09/20/2013 1/1/2017

More information

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu

Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu The Human Rights Centre Uganda Azimio la Mkutano Mkuu 53/144 (8 Machi 1999) Azimio la Umoja wa Mataifa Kuhusu Watetezi wa Haki za Binadamu AZIMIO KUHUSU HAKI NA WAJIBU WA MTU BINAFSI, VIKUNDI NA JUMUIYA

More information

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM)

TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 TAFSIRI RAHISI YA MPANGO WA MAENDELEO YA AFYA YA MSINGI (MMAM) 2007-2017 Kimetolewa na Sikika (Zamani YAV) S.L.P 12183 Dar Es Salaam

More information

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria;

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.); Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge wote mliohudhuria; HOTUBA YA BALOZI MHANDISI JOHN W.H. KIJAZI, KATIBU MKUU KIONGOZI, WAKATI WA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI KWA MWAKA 2017, UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE, DODOMA, SEPTEMBA 7, 2017 Mheshimiwa Waziri

More information

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014

TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI KAZI IDARA YA UTAWALA BORA 2013/2014 15 JULAI, 2014 1 YALIYOMO YALIYOMO... i MUHTASARI... ii SURA YA KWANZA... 1 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 Kuhusu Tume... 1 1.1.1 Dira ya Tume...

More information

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig

Huduma kwa wateja kupitia barua pepe na ujumbe mfupi Fig KITINI CHA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA SIMU YA KIGANJANI KATI YA BARAZA LA FAMASI NA WAMILIKI WA MADUKA NA WATAALAMU WA DAWA YALIYOMO UTANGULIZI... 3 SEHEMU YA KWANZA: MALIPO YA KUHUISHA VIBALI... 4 1.1

More information

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi

Miradi na jamii. 3.1 Utangulizi 3.1 Utangulizi Miradi na jamii Lengo la sura hii ni mapitio ya mazingira pana ambayo chini ya ardhi kwa ajili ya maendeleo vijijini upatikanaji wa maji inafaa. majadiliano wakapanga meneja, au kiongozi

More information

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora

TANZANIA OSAKA ALUMNI. Kitabu cha Mbinu Bora K I T A B U C H A M B I N U B O R A C H A T O A U k u r a s a 1 TANZANIA OSAKA ALUMNI Kitabu cha Mbinu Bora Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa P.O. Box 1923, Dodoma. Novemba, 2012

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA

NGUZO KUMI ZA KILIMO KWANZA NGUZO KUMI ZA KWANZA (MFUMO WA UTEKELEZAJI) NGUZO YA 1 DIRA YA TAIFA YA KWANZA 1.1 Kupitisha Dira ya KWANZA SHUGHULI MAJUKUMU MUDA MHUSIKA MKUU 1. AZIMIO LA KWANZA 2. mpango wa utekelezaji wa KWANZA 3.

More information

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia

Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia Kuuelewa Mchakato wa Bajeti Tanzania Mwongozo wa Asasi za Kiraia HakiElimu & Policy Forum KUUELEWA MCHAKATO.indd a 1/20/10 11:00:56 AM KUUELEWA MCHAKATO.indd b 1/20/10 11:00:57 AM Kuuelewa Mchakato wa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHESHIMIWA MUSTAFA HAIDI MKULO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

3. Mheshimiwa Spika, 4. Mheshimiwa Spika,

3. Mheshimiwa Spika, 4. Mheshimiwa Spika, HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI, MHESHIMIWA JOHN POMBE MAGUFULI, (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2007/08 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI

MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 MWONGOZO WA UTUNGAJI WA SHERIA NDOGO NA USHIRIKI WA WANANCHI 2012 Kitabu hiki kimetayarishwa na Shirika la Equality for Growth (EfG) Equality

More information

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio.

KUHUSU AFRODAD. Dira ya AFRODAD. Dhamira ya AFRODAD. AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. KUHUSU AFRODAD Dira ya AFRODAD AFRODAD inalenga mchakato sawa na endelevu wa maendeleo kuelekea Afrika yenye mafanikio. Dhamira ya AFRODAD Kupata sera zitakazorekebisha migogoro ya madeni ya Afrika kulingana

More information

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi

Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania. Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) katika Tanzania Modeli wa Ukodishaji Mradi Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini (PUMMV) Programu ya Uendelezaji Mifumo ya Maji Vijijini

More information

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized

JAMHURI YA KENYA. Mkakati wa Ushirikiano MUKHTASARI FY Public Disclosure Authorized. Public Disclosure Authorized horized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized JAMHURI YA KENYA Mkakati wa Ushirikiano FY2014-2018 MUKHTASARI Mkakati wa Ushirikiano wa Jamhuri ya Kenya

More information

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07

Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo wa Lugha Rahisi wa Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa MKUKUTA 2006/07 Mwongozo huu Umeandaliwa na Hakikazi Catalyst kwa niaba ya Wizara ya Fedha na Uchumi. Desemba 2007 Dibaji Ripoti ya Mwaka ya

More information

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara

Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Mwongozo kwa Lugha Rahisi wa Sera ya Maendeleo ya Ushirika na Sheria ya Vyama vya Ushirika Tanzania Bara Umetayarishwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania kwa Kushirikiana na Idara ya Maendeleo

More information

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2009/2010 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu

More information

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko

TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko TANZANIA MARKETS PAN Sera zinazoboresha masoko UPOTEVU WA MAZAO YA NAFAKA BAADA YA MAVUNO: CHANGAMOTO NA UBORESHAJI Usuli Kuna makubaliano ya jumla kwamba marekebisho ya sera zinazohusu sekta ya kilimo,

More information

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA

KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI TANZANIA NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? NI UFUMBUZI KATIKA KUSHIRIKISHA JAMII? Februari, 2013 Februari, 2013 SHUKURANI

More information

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE

HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE HOTUBA YA WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU: KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU MHE. JENISTA MHAGAMA (MB), KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA NA USALAMA MAHALI PA KAZI DUNIANI DODOMA, 28 APRILI

More information

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO

UTANGULIZI ANUANI NA MANDHARI YA CHUO UTANGULIZI International Montessori Teachers College (IMTC), ni chuo kilichoanzishwa hapa nchini Tanzania mwaka 2012 na kinatoa kozi ya kimataifa ya ualimu wa watoto wadogo (yaani child care and nursery

More information

ORDER NO BACKGROUND

ORDER NO BACKGROUND In the matter of an Application by the DAR ES SALAAM URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DAWASA) For a Tariff Adjustment, Submitted on January 8 th, 2008 (TR-W-08-001) ORDER NO. 08-001 1.0 BACKGROUND

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MPANGO KAZI WA USHIRIKI WA MTOTO TANZANIA 2014-2019 JANUARI, 2014 Dibaji Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Idadi

More information

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY

MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY HABARI ISSN 1821-5335 Makala Maalum Miaka 15 ya Foundation for Civil Society MAADHIMISHO YA MIAKA 15 YA FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY Uwezeshaji wa moja ya sekta madhubuti za asasi za kiraia barani Afrika

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2018/19 1 I. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA WA ELIMUMSINGI DARASA LA I NA LA II JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI TEKNOLOJIA NA UFUNDI MTAALA

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA. Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. TOLEO Na. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Ifahamu Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo TOLEO Na. 1, Desemba, 2012 Yaliyomo Orodha ya Vifupisho -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------3

More information

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)]

Azimio lililopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 18 Desemba 2013 [juu ya taarifa ya Kamati ya Tatu (A/68/456/Add.2)] This unofficial translation is provided by the International Service for Human Rights Umoja wa Mataifa A/AZI/68/ Ugaw Jumla Mkutano Mkuu 30 Januari 2014 Kikao cha Sitini na Nane Dondoo ya Ajenda 69(b)

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA SIMU NA: (027) 2642082 TANGA (OFISI) 0784 889 099 TANGA (NYUMBANI) Tovuti: www.tangaschool.sc.tz Barua pepe: tangaschool@yahoo.com JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI HALMASHAURI YA

More information

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi

Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Dibaji ya Mwenyekiti wa Kamati ya Pamoja ya Uongozi Mwaka wa nne wa utekelezaji wa Mpango wa Msaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP 2011-2016) nchini Tanzania ulikuwa na mafanikio makubwa lakini

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA

More information

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI

RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI International Records Management Trust RIPOTI YA WARSHA KUHUSU HABARI KWA AJILI YA UWAJIBIKAJI ukumbi wa British Council Tanzania Auditorium Machi 27-28, 2000 Dar es Salaam, Tanzania warsha imeandaliwa

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI TAARIFA YA MAFANIKIO CHINI YA UONGOZI WA MHE. SOSPETER MUHONGO (MB) KATIKA SEKTA NDOGO YA UMEME Disemba, 014 A. MAFANIKIO 1. Kuongezeka kwa uzalishaji

More information

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI

Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI David M. Mwayafu, Richard Kimbowa, Kristy Graham Mwongozo wa Kutathimini mifumo ya Ugawanaji wa faida na Mapato Katika Miradi ya Jamii ya MKUHUMI Na: David M. Mwayafu, Richard Kimbowa (Uganda Coalition

More information

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada?

Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? Policy brief TZ.12/2010K Misamaha ya kodi Tanzania: Je, ni mikubwa sana na kutufanya tuwe tegemezi kwa misaada? 1. Utangulizi Kila mwaka Bunge la Tanzania hupitia na kuchanganua kwa makini bajeti ya Serikali.

More information

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo:

5. Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilijadili kwa kina Miswada ifuatayo: HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI WA KUTOA HOJA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE DODOMA TAREHE 29 AGOSTI 2008 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, leo ni takriban

More information

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO

KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO KITEGO CHA MAREKEBISHO NA HAKI ZA MTOTO Mwaka 2009 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria mpya ya Mtoto ambayo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa haki na ustawi wa

More information

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI

TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI MFUMO WA TATHMINI WA TAARIFA (IRM): TANZANIA TAARIFA YA MWISHO WA UTEKELEZAJI 2014 2016 Ngunga Greyson Tepani Mtafiti wa IRM Taarifa ya Mwishoni mwa Utekelezaji 2014-2016 First End-of-Term Report INDEPENDENT

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA SERIKALI KUTOKA KWENYE SEKTA MBALI MBALI ILIYOWASILISHWA KWENYE KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI MKOA (RCC) TAREHE

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA SERIKALI KUTOKA KWENYE SEKTA MBALI MBALI ILIYOWASILISHWA KWENYE KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI MKOA (RCC) TAREHE TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA SERIKALI KUTOKA KWENYE SEKTA MBALI MBALI ILIYOWASILISHWA KWENYE KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI MKOA (RCC) TAREHE 28/9/2017. SEKTA YA ELIMU Mkoa wa Lindi wenye halmashauri

More information

Deputy Minister for Finance

Deputy Minister for Finance ISSN: 1821-6021 Vol XI - No - 34 DID YOU KNOW? A procuring entity is?s required to use suppliers pliers?pliers?pliers?pliers among those awarded ed?ed?ed?ed framework agreements by GPSA for procurement?ents

More information

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI

KIMAZINGIRA NA KIJAMII NA MPANGO WA UDHIBITI Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized Public Disclosure Authorized!. viromen-alsc:a.. Environmental & Social MRADI WA UMEME WA GESI YA * Assessment & Management

More information

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA

MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA MAPENDEKEZO YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA TANZANIA KUHUSU JINSI YA KUINGIZA MASUALA YA USAWA WA JINSIA KATIKA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA NINI MISINGI YA USAWA

More information

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII

HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII HAKI NA TARATIBU ZA AJIRA, KAZI NA HIFADHI YA JAMII SHERIA KATIKA LUGHA RAHISI KIMETOLEWA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA (TANGANYIKA LAW SOCIETY) KWA UFADHILI WA TAASISI YA LEGAL SERVICE FACILITY

More information

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Thelathini na Tisa Tarehe 1 Juni, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Thelathini na Tisa Tarehe 1 Juni, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA Kikao cha Thelathini na Tisa Tarehe 1 Juni, 2017 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA:

More information

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano.

Dodoma ambako kikao cha Bunge kinaendelea kuja kushiriki japo sehemu ya uzinduzi wa mkutano. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHE. DKT. PHILIP I. MPANGO (MB) WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI NA NAMNA BORA YA KUPIMA HALI YA UMASKINI AFRIKA,

More information

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI

UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MFUMO WA RUZUKU YA MAENDELEO YA MTAJI WA SERIKALI ZA MITAA (LDCDG) UFUATILIAJI WA MIRADI NA TATHMINI Kijitabu cha Mshiriki

More information

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda WARAKA WA TAARIFA YA MRADI (PID) HATUA YA TATHMINI TAARIFA NA..: AB4376 Jina la Mradi Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali ya Madini Ukanda AFRIKA Sekta Madini na Uchimbaji mwingine (100%) Namba ya

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) Dar es Salaam Oktoba 2007 YALIYOMO ORODHA YA VIFUPISHO DIBAJI SHUKRANI MUHTASARI RASMI SURA

More information

4. Kanuni za Petroli (Ushiriki wa Watanzania) za mwaka 2017 zilianza kutumika rasmi tarehe 5 Novermba Shughuli za Petroli za kwanza ni

4. Kanuni za Petroli (Ushiriki wa Watanzania) za mwaka 2017 zilianza kutumika rasmi tarehe 5 Novermba Shughuli za Petroli za kwanza ni MWONGOZO WA JINSI YA KUWASILISHA MAOMBI YA KUWEKWA KWENYE KANZIDATA YA WATANZANIA WENYE UWEZO WA KUUZA BIDHAA AU KUTOA HUDUMA (LSSP) KWENYE SHUGHULI ZA MAFUTA NA GESI ASILIA NCHINI Utangulizi 1. Mamlaka

More information

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara)

Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Ripoti Fupi ya Nchi kuhusu Kazi Zenye Staha TANZANIA (bara) Hakimiliki Shirika la Kazi Duniani 2010 Toleo la kwanza 2010 Machapisho ya Ofisi

More information

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR.

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR. RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KUCHUNGUZA UPOTEVU WA NYARAKA ULIOTOKEA KATIKA TAASISI YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU ZA TAIFA ZANZIBAR. SEHEMU YA KWANZA 1.0 UTANGULIZI. Kamati Teule ya Kuchunguza Upotevu wa Nyaraka

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA SITA Kikao cha Ishirini na Mbili Tarehe 6 Julai, 2009 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MHESHIMIWA SOPHIA M. SIMBA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2013/14 DODOMA Mei,

More information

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI

MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA 2005 YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI MAKUBALIANO YA ULINZI NA UKUZAJI WA VIELELEZO VYA TAMADUNI ANUWAI Paris, 20 Oktoba 2005 Kongamano Kuu la Umoja wa Mataifa linalohusisha

More information

Kutetea Haki za Binadamu

Kutetea Haki za Binadamu Kutetea Haki za Binadamu Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu Toleo la pili i Kutetea Haki za Binadamu: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa Haki za Binadamu (Toleo la pili) 2012 East and

More information

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN

Waandishi: wa Toleo la 5. Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau. Toleo la 5: 2008 ISBN KIONGOZI CHA SHERIA Hakimiliki 2008 Kimetolewa na: Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) Waandishi: wa Toleo la 5 Scholastica Jullu Athanasia A. Soka Safina Hassan Mary Njau Toleo la 5: 2008 ISBN

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( )

MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI ( ) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU MKAKATI WA PILI WA TAIFA WA KUDHIBITI UKIMWI (2008 2012) TOLEO LA PILI Dar es Salaam, Oktoba, 2007 i ii JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA. Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA. Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Pili - Tarehe 14 Aprili, 2010 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel

More information

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU

MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA WAJIBU WA Serikali za Mitaa Kimetayarishwa na Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum Kimehaririwa

More information

13 APRILI, 2012 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

13 APRILI, 2012 BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA. Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA SABA Kikao cha Nne Tarehe 13 Aprili, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Jenista J. Mhagama) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa

More information

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR

ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI KWA UCHUMI WA ZANZIBAR MUHTASARI WA RIPOTI YA YA MWISHO. JULY 2012 for Page i Muhtasari Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini

More information

Govt increases vetting threshold of contracts

Govt increases vetting threshold of contracts > ISSN: 1821-6021 Vol IX - No. 19 May 10, Free with Daily News every Tuesday DID YOU KNOW? NEWS IN Numbers?

More information

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document)

Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NNE Kikao cha Thealathini na Sita Tarehe 29 Julai, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika

More information

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE. Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA NANE Kikao cha Ishirini na Nane Tarehe 16 Julai, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma

More information

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA MAREKANI UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU VIKWAZO VYA KULINDA MAISHA KATIKA USAIDIZI WA KIMATAIFA WA AFYA KWA MSAADA WA KIMATAIFA UNAOFADHILIWA NA 30 SEPTEMBA, 2017 UTANGULIZI Tarehe 23 Januari, 2017, Rais Donald Trump

More information

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania

Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Ufanisi katika Ufundishaji kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini Tanzania Desemba 2014 1 Shukurani Ripoti hii iliandikwa na Dk. Mkumbo. Ushauri wa kitaalamu ulitolewa na Elizabeth Missokia na Godfrey

More information

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania

Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Mwongozo wa Utekelezaji wa Njia za S5-UUE (KAIZEN)-UUU Tanzania Msingi wa Programu zote za Uimarishaji Ubora Toleo la 1 kwa Lugha ya Kiswahili

More information

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji

Sera ya Faragha. Upeo. Aina za Data na Mbinu za Ukusanyaji Sera ya Faragha Katika Sera hii ya Faragha ( Sera ), sisi, Qualcomm Incorporated na makampuni yetu tanzu (kwa pamoja sisi au yetu ), tunatoa maelezo kuhusu jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuchakata, na

More information

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania

Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Taarifa Kuhusu Hali ya Uchumi wa Tanzania Benki Kuu ya Tanzania Septemba 2016 YALIYOMO 1.0 HALI YA UCHUMI WA TANZANIA... 3 1.1 UKUAJI WA UCHUMI... 3 1.2 MATAZAMIO YA UKUAJI WA UCHUMI MWAKA 2016... 4 1.3

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA RIPOTI YA HUDUMA ZA AFYA TANZANIA BARA 2004 Imetayarishwa na: Idara ya Tiba Afya Makao Makuu P.O. Box 9083, DAR ES SALAAM June 2005 Yaliyomo Ukurasa Vifupisho

More information

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4

Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ;II. -~ ~.! ~ l Na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Toleola4 ~n.~ SURA YA KWANZA SHERIA YA ARDHI 1 UTANGULIZI Sura hii itaiangalia ARDHI na umuhimu wake katika maisha ya binadamu. Ardhi ni rasilimali

More information

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani

Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere Rakesh Rajani HakiElimu: Mfululizo wa Mada za Uchambuzi Namba. 2003.4S Elimu ya Msingi inaelekea Upande Sahihi? Kufikiri na Nyerere 1 Rakesh

More information

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MOJA. Kikao cha Hamsini na Tatu Tarehe 19 Juni, (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi)

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MOJA. Kikao cha Hamsini na Tatu Tarehe 19 Juni, (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Hamsini na Tatu Tarehe 19 Juni, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU

More information

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI. Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI. Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA PILI Kikao cha Nne - Tarehe 29 Januari, 2016 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alikalia Kiti HATI ZA KUWASILISHA

More information

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1

JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 The Human Rights Centre Uganda JUA HAKI ZAKO, SEHEMU YA 1 AZIMIO LA KIMATAIFA JUU YA HAKI ZA KIBINADAMU SURA YA NNE YA KATIBA YA JAMHURI YA UGANDA YA 1995: MASIMULIZI YALIYOFASIRIWA KWA URAHISI NA KUFUPISHWA

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISI-TAMISEMI HALMASHAURI YA WILAYA BUMBULI NAMBA ZA SIMU: Mkuu Wa Shule: 0784524029 / 0766805826. Makamu Mkuu Wa Shule: 0714356735 / 0767356735. SHULE YA SEKONDARI

More information

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania

Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Nilikua na Ndoto ya Kumaliza Shule Changamoto za Elimu ya Sekondari Tanzania Kwa toleo neno la waraka huu, tafadhali email:crd@hrw.org FEBRUARI 2017 ISBN: 978-1-6231-34464 Nilikua na Ndoto ya Kumaliza

More information

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania

Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Uzio wa pilipili unazuia tembo kuvamia mazao shambani! Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wa pilipili Tanzania Jinsi ya kujenga na kudumisha uzio wapilipili Tanzania Wildlife Division, Tanzania Wildlife

More information

Draft 03 MWENGE KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MWENGE

Draft 03 MWENGE KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MWENGE MWENGE KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MWENGE MPANGO MKAKATI WA MIAKA MITANO WA MAENDELEO YA KANISA 2013-2017 i YALIYOMO 1. UTANGULIZI... 1 1.1 Lengo kuu... 1 1.2 Historia kwa ufupi... 1 1.3 Malengo ya

More information

SautiElimu. Sauti Yako Isikike

SautiElimu. Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike SautiElimu Sauti Yako Isikike Mtayarishaji : Godfrey Telli Mchangiaji : Robert Mihayo Mhariri : Rakesh Rajani Shukrani za dhati kwa timu ya waandaaji wa SautiElimu 1-10: Lilian

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MHESHIMIWA MHANDISI DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO KWA

HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MHESHIMIWA MHANDISI DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO KWA HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO MHESHIMIWA MHANDISI DKT. CHARLES JOHN TIZEBA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO KWA MWAKA 2018/2019 YALIYOMO 1.0 UTANGULIZI... 1 1.1 HALI

More information

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania

Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Kubadili Sheria Za Mbegu Na Ulinzi Wa Aina Za Mbegu Na Mimea Nchini Tanzania Athari Zake Kwa Mifumo Ya Mbegu Inayosimamiwa Na Wakulima Na Kwa Wakulima Wadogo April 2016 CONTENTS UTANGULIZI 3 MAELEZO YA

More information

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI

Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI b Uhakika wa Mbegu kwa Uhakika wa Chakula MWONGOZO WA UZALISHAJI WA MBEGU ZA ASILI ZA MAHINDI 1 Mwongozo wa Uzalishaji

More information

UTANGULIZI. 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote nitumie fursa hii kuungana na

UTANGULIZI. 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote nitumie fursa hii kuungana na HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA, MHESHIMIWA STEPHEN MASATO WASIRA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA KWA MWAKA 2008/2009 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa

More information