Ndugu na dada zangu wapendwa,

Size: px
Start display at page:

Download "Ndugu na dada zangu wapendwa,"

Transcription

1 UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, MEI 2014 Na Rais Thomas S. Monson Upendo Asili ya Injili Hakika hatuwezi kumpenda Mungu kama hatuwapendi wasafiri wenzetu katika safari hii ya maisha duniani. ninafurahia mawazo yanayoonyeshwa katika hili shairi fupi: Nimelia usiku mzima Kwa ukosefu wa maono Hayo kwa mahitaji ya mtu yalinifanya mimi kipofu. Lakini kamwe sijaweza Kusikia athari ya majuto Kwa kuwa mkarimu kiasi. 5 Ndugu na dada zangu wapendwa, wakati Mwokozi wetu alipohudumu miongoni mwa wanadamu, Yeye aliulizwa na wakili aliyetaka kujua, Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu? Mathayo imeandikwa kwamba Yesu alijibu: Yesu akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote. Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza. Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako. 1 Marko anamalizia tukio kwa kauli ya Mwokozi: Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi. 2 Hakika hatuwezi kumpenda Mungu kama hatuwapendi wasafiri wenzetu katika safari ya hapa duniani. Vile vile, sisi hatuwezi kikamilifu kuwapenda wenzetu kama sisi hatumpendi Mungu, Baba wa sisi sote. Mtume Yohana alitwambia sisi, Na amri hii tumepewa na yeye, ya kwamba yeye ampendaye Mungu, ampende na ndugu yake pia. 3 Sisi sote ni watoto wa kiroho wa Baba yetu wa Mbinguni, hivyo basi, sisi ni kaka na dada. Tunapokuwa na ukweli huu katika mawazo yetu, kuwapenda watoto wote wa Mungu kutakuwa rahisi. Hakika, upendo ni asili kabisa ya injili, na Yesu Kristo ni Mfano wetu. Maisha yake ni urithi wa upendo. Wagonjwa aliwaponya; waliogandamizwa aliwainua; mwenye dhambi alimwokoa. Mwishoni kundi la watu wenye hasira likaangamiza maisha Yake. Na bado kuna mwangwi kutoka kilima cha Golgotha ya maneno: Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. 4 maonyesho ya kipeo katika huruma na upendo wa maisha ya duniani. Kuna sifa nyingi ambazo ni maonyesho ya upendo, kama vile ukarimu, subira, kujitolea, kuelewa, na msamaha. Katika mahusiano yetu yote, sifa hizi na zinginezo kama hizo zitasaidia kufanya kuwa wazi upendo katika mioyo yetu. Kwa kawaida upendo wetu utaonyeshwa katika mainginiliano yetu na wengine ya siku hadi siku. Kitakachokuwa muhimu sana kitakuwa uwezo wetu wa kutambua mahitaji ya mtu na kisha kujibu. Mimi daima Hivi majuzi nilifahamishwa juu ya mfano wa kugusa sana wa upendo mkarimu mmoja ambao ulikuwa na matokeo yasiyotarajiwa. Ulikuwa mwaka 1933, ambapo kwa sababu ya Mdororo Mkuu, nafasi za ajira zilikuwa nadra. Eneo lilikuwa sehemu ya mashariki mwa Marekani. Arlene Biesecker alikuwa tu ndiye alikuwa amehitimu kutoka shule ya upili. Baada ya kutafuta ajira kwa muda mrefu, yeye hatimaye aliweza kupata kazi katika kiwanda cha nguo kama mshonaji. Wafanya kazi wa kiwanda walikuwa wanalipwa tu kwa vile vipande walivyoshona pamoja kwa ukamilifu kila siku. Jinsi vipande vingi walivyoshona, ndivyo walivyolipwa. Siku moja baada ya kuanza kazi katika kiwanda, Arlene alipambana na utaratibu ambao ulimkanganya na kumvunja moyo. Yeye alikaa kwenye mashini akijaribu kufumua majiribio yaliyoshindikana ili kukamilisha kipande ambacho alikuwa anafanyia kazi. Ilionekana kama hamna mtu wa kumsaidia, kwani washonaji wengine walikuwa wanaharakisha kukamilisha vipande vingi inavyowezekana. Arlene alihisi kukosa usaidizi na matumaini. Kimya, alianza kulia. 1

2 Upande mwengine kutoka kwa Arlene alikaa Bernice Rock. Alikuwa mzee na mwenye ujuzi zaidi kama mshonaji. Akiangalia masumbuko ya Arlene, Bernice aliacha kazi yake mwenyewe na kwenda upande wa Arlene, kwa ukarimu kutoa maelezo na msaada. Alikaa mpaka Arlene akapata kujiamini na kuweza kukamilisha kipande kimoja. Bernice akarudi kwa mashini yake, baada ya kukosa nafasi ya kukamilisha vipande vingi sana ambavyo angeweza kutengeneza, kama hangesaidia. Kwa tendo hili moja la upendo wa dhati, Bernice na Arlene wakawa marafiki wa maisha. Wote wakaolewa na kuwa na watoto. Wakati fulani katika miaka ya 1950, Bernice, ambaye alikuwa mshiriki wa Kanisa, alimpatia Arlene na familia yeke nakala ya Kitabu cha Mormoni. Mnamo 1960, Arlene na mumewe na watoto wake walibatizwa kama washiriki wa Kanisa. Baadaye walifunganishwa katika hekalu la Mungu. Kama matokeo ya ukarimu ulioonyeshwa na Bernice alipokwenda kusaidia mtu ambaye yeye hakumjua lakini ambaye alikuwa kwenye masumbuko na alihitaji msaada, watu wasio na hesabu, wote walio hai na wafu, sasa wanafurahia ibada za ukoaji ya injili. Kila siku ya maisha yetu sisi tunapatiwa nafasi za kuonyesha upendo na ukarimu kwa wale walio karibu nasi. Alisema Rais Spencer W. Kimball: Sisi sharti tukumbuke kwamba wale watu tuliokutana nao katika bustani, ofisi, lifti, na mahali pengine katika sehemu ya wanadamu Mungu ametupa sisi nafasi ya kupenda na ya kuhudumu. Itatusaidia kidogo kuongea juu ya undugu mkuu wa wanadamu kama hatuwezi kutuwathamini wale ambao waliokaribu nasi kama kaka na dada zetu. 6 Kila mara nafasi zetu za kuonyesha upendo wetu huja bila kutarajiwa. Mfano wa nafasi kama hizo ilitokea kwenye makala ya gazeti katika Oktoba ya Nilikuwa nimevutiwa na upendo na ukarimu kama huo uliosemwa hapo ambao nimeweka makala iliyokatwa katika faili zangu kwa zaidi ya miaka 30. Makala yanaonyesha kwamba ndege ya Alaska Airlines ya moja kwa moja kutoka Anchorage, Alaska, hadi Seatle, Washington---ikibeba abiria iligeuezwa kwenda mji mdogo wa Alaska ili kumsafirisha mtoto aliyejeruhiwa sana. Mvulana wa miaka miwili alikuwa amekatwa mshipa wa damu katika mkono wake wakati aliangukia kipande cha kioo akicheza karibu na nyumbani kwao. Mji ulikuwa maili 450 (725 kilometa) kusini mwa Anchorage na kwa hakika haikuwa njia ya safari za ndege. Hata hivyo, wahudumu wa hospitali huko walituma maombi ya msaada, na kwa hivyo ndege iligeuzwa kwenda kumchukua mtoto huyu na kumpeleka Seatle ili kwamba aweze kupata matibabu katika hospitali. Wakati ndege ilipotua katika mji mdogo, wahudumu wa hospital walimtaarifu rubani kwamba mvulana alikuwa anavuja damu sana na hangeweza kusafiri hadi Seatle. Maamuzi yalifanywa ya kusafiri maili 200 (320 kilometa) mbali na njia hadi Juneau, Alaska, mji ulio karibu wenye hospitali. Baada ya kumsafirisha mvulana hadi Juneau, ndege ilielekea Seatle, sasa ikiwa masaa mengi kama imechelewa. Hakuna abiria hata mmoja ambaye alilalamika, hata ingawa wengi wao walikosa miadi yao na ndege miunganisho. Kwa kweli, dakika na masaa yaliposonga mbele, walifanya michango, kupata kiwango kikubwa kwa mvulana na familia yake. Ndege ilipokuwa karibu kutua katika Seatle, abiria walijawa na furaha wakati rubani alipotangaza kwamba amepokea habari kwa njia ya redio kwamba mvulana atakuwa salama. 7 Akilini mwangu yanakuja maneno ya maandiko: Lakini hisani ni upendo msafi wa Kristo,... na yeyote atakayepatikana nayo katika siku ya mwisho, itakuwa vyema kwake. 8 Ndugu na kina dada, baadhi ya nafasi kubwa za kuonyesha upendo wetu zitakuwa katika kuta za nyumbani mwetu wenyewe. Upendo unafaa kuwa kitovu cha maisha ya familia, na hali mara nyingi sivyo. Kunaweza kuwa na ukosefu wa subira, mabishano mengi, vita vingi sana, majonzi mengi sana. Rais Gordon B. Hinckley alisikitika: Kwa nini [wale] tunaowapenda [sana] wanakuwa kila mara wanalengwa wa maneno yetu makali? Kwa nini [sisi] wakati mwengine tunasema kama kwa visu ambavyo vinakata upesi? 9 Majibu ya maswali haya yanaweza kuwa tofauti kwa kila mmoja wetu, na hali jambo la msingi ni kwamba sababu hazijalishi. Kama sisi tutaweka amri ya kupendana mmoja na mwengine, sisi sharti tutendeane kwa ukarimu na heshima. Kwa kweli kutakuwa na nyakati ambapo nidhamu inahitajika kutolewa acha sisi tukumbuke, hata hivyo, ushauri unaopatikana katika Mafundisho na Maagano hasa, ambapo inakuwa ni muhimu kwetu sisi kurudiana mmoja na mwengine, sisi baadaye kuonyesha ongezeko la upendo. 10 Mimi ningetumaini kwamba sisi tungejitahidi daima kuwa wazingativu na kuwa wasikivu kwa mawazo na hisia na hali za wale walio karibu nasi. Acha sisi tusidharau au tusipuuze. Badala yake, acha tuwe na huruma na wenye kutia moyo. Sisi ni sharti tuwe makini kwamba tusiharibu kujiamini kwa mtu mwengine kupitia maneno au matendo ya kiholela. Msamaha unafaa kwenda pamoja bega kwa bega na upendo. Katika familia zetu, vile vile na marafiki zetu, kunaweza kuwa na hisia za kuumizwa na kutoelewana. Tena, haijalishi sana jambo ni ndogo kiasi gani. Haiwezi na haifai kuachwa kuharibu, kereketa, na hatimaye kuangamiza. Lawama huacha vidonda kuwa wazi. Msamaha pekee ndio huponya. Mwanamke mwema ambaye kwa sasa ameshaaga dunia alizungumza nami siku moja na bila kutarajia alisimulia majuto fulani. Aliongea 2

3 juu ya tukio ambalo lilitokea miaka mingi iliyopita mapema na lilihusisha mkulima jirani, wakati mmoja rafiki mwema lakini ambaye yeye na mumewe walikuwa wamekosana mara nyingi. Siku moja mkulima aliomba atumie njia ya mkato kupitia katika shamba lake ili afike shambani mwake. Wakati huu alitua katika usimulizi wake kwangu na, kwa sauti ya kutetemeka, alisema, Ndugu Monson, mimi sikumuacha yeye apitie kwenye shamba letu wakati huo au siku zote bali nilimhitaji yeye achukue njia ndefu kwa miguu kufikia shamba lake. Mimi nilikuwa na makosa, na mimi najuatia hayo. Ameshaenda sasa, lakini eh, mimi natamani ningesema kwake, Nimekosa sana. Jinsi gani natamani ningepata nafasi ya pili ya kuwa mkarimu. Nilipokuwa ninamsikiliza, kulikuja katika akili yangu utambuzi wa kuhuzunisha wa John Greenleaf Whittier: Kati ya maneno yote ya huzuni ya ulimi au kalamu, cha kuhuzunisha sana ni: Ingeweza kuwa! 11 Ndugu na kina dada, tunapowatendea wengine kwa upendo na ukarimu wa kuzingatia, sisi tutaepuka majuto kama hayo. Upendo unaonyeshwa kwa njia nyingi za kutambulika: tabasamu, kupunga mkono, neno la ukarimu, pongezi. Maonyesho mengine yanaweza kuwa si wazi sana, kama vile kuonyesha upendeleo wa shughuli za wengine, kufundisha kanuni kwa ukarimu na subira, kutembelea mtu ambaye ni mgonjwa au hajiwezi kutoka nyumbani. Maneno na vitendo hivi, na vingine vingi, vinaweza kuwasilisha upendo. Dale Carnegie, mtunzi Mmarekani maafuru na mhadhiri, aliamini kwamba kila mtu anayo ndani yake uwezo wa kuongeza jumla ya furaha ya ulimwengu... kwa kutoa maneno machache ya shukrani ya kweli kwa mtu ambaye ni mpweke au amevunjika moyo. Alisema, Labda utaweza kusahau kesho maneno ya ukarimu unayosema leo, lakini mpokeaji ataweza kuyafurahia katika maisha yake yote. 12 Na tuanze sasa, siku ya leo, kuonyesha upendo kwa watoto wote wa Mungu, iwe wao ni wanafamilia wetu, marafiki zetu, watu tunaofahamiana, au hata wageni tu. Tunapoamka kila asubuhi, acha sisi tuamue kujibu kwa upendo na ukarimu kwa kile chochote kinachoweza kuja njia yetu. Zaidi ya ajili ya ufahamu, ndugu na kina dada, ni upendo wa Mungu kwetu sisi. Kwa sababu ya upendo huu. Yeye alimtuma Mwanawe, ambaye alitupenda sisi ya kutosha kutoa maisha Yake kwa ajili yetu, kwamba tuweze kupata uzima wa milele. Tulipokuja kuelewa kipawa hiki kisischokuwa na kifani, mioyo yetu itajawa na upendo kwa Baba yetu wa Milele, kwa Mwokozi wetu, na kwa wanadamu wote. Kwamba hiyo iwe hivyo ndiyo maombi yangu ya dhati katika jina takatifu la Yesu Kristo, amina MUHTASARI 1. Mathayo 22: Marko12: Yohana 4: Luka 23:34 5. Mtunzi hajulikani, katika Richard L. Evance, The Quality of Kindness, Improvement Era 6. The Teachings of Spencer W. Kimball, ed. Edward L. Kimball (1982), Ona Injured Boy Flown to Safety, Daily Sitka Sentinel (Alaska), Oct. 22, Moroni 7: Gordon B. Hinckley, Let Love Be the Lodestar of Your Life, Ensign, Mei 1989, Ona Mafundisho na Maagano 121: Maud Muller, in The Complete Poetical Works of John Greenleaf Whittier (1878), 206; emphasis added. 12. Dale Carnegie, in, for example, Larry Chang, Wisdom for the Soul (2006), 54 Mafundisho ya Wakati Wetu Kuanzia Mei 2014 hadi Oktoba 2014, masomo ya Ukuhani wa Melkizedeki na Muungano wa Usaidizi wa Kina mama katika Jumapili ya nne lazima yaandaliwe toka kwenye moja ya maongezi yaliyotolewa kwenye mkutano mkuu wa Aprili Mwezi Oktoba 2014, maongezi yanaweza kuchukuliwa toka kwenye mkutano mkuu wa Aprili 2014 au Oktoba Marais wa wilaya na vigingi lazima wachague ni maongezi gani yatatumika kwenye maeneo yao, au wanaweza kutoa majukumu kwa maaskofu au maraisi wa tawi. Hotuba zinapatikana kwa lugha nyingi katika conference.lds.org na Intellectual Reserve, Inc. Haki zote zimehifadhiwa. Printed in USA. English approval: 6/13. Translation approval: 6/13. Tafsiri ya First Presidency Message, May Swahili

4 UJUMBE WA MWALIMU MTEMBELEZI, MEI 2014 Ndugu na dada zangu, baadhi yenu mlialikwa katika mkutano huu na wamisionari wa Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho. Hao wamisionari huenda tayari walishawaalika kufanya chaguzi za kuweka maagano na Mungu kwa njia ya ubatizo. Wengine mnasikiliza kwa sababu mliitikia wito wa mzazi, mke, au huenda mtoto, uliotolewa kwenu kwa matumaini kwamba mtachagua kuweka maagano ambayo tayari mmeweka na Mungu katika ya maisha yako. Baadhi yenu ambao mnasikiliza tayari mmeshafanya uchaguzi wa kurudi kumfuata Mwokozi na leo mnahisi furaha ya kumkaribisha. Yoyote yule na popote ulipo, katika mkono wako unashikilia furaha ya watu wengi zaidi ya vile unavyofikiria. Kila siku na kila saa unaweza kuchagua kuweka au kushika agano na Mungu. Popote ulipo katika njia ya kurithi zawadi ya uzima wa milele, una nafasi ya kuwaonyesha watu wengi njia ya furaha kubwa. Unapochagua kama utafanya ama utaweka agano na Mungu, unachagua kama utaacha Na Rais Henry B. Eyring Mshauri wa Kwanza katika Urais wa Kwanza Urithi wa Tumaini Lisilo na Gharama urithi wa tumaini kwa wale ambao huenda wakafuata mfano wako. Wewe na mimi tumebarikiwa na ahadi ya urithi kama huo. Ninawajibika kwa ajili ya wingi wa furaha yangu maishani kwa mtu ambaye sikuwahi kutana naye katika maisha ya duniani. Alikuwa yatima ambaye alikuwa mmoja wa mababu zangu. Aliniachia urithi wa tumaini wa thamani mno. Acheni niwaelezee jukumu alilotekeleza katika kujenga urithi huo kwa ajili yangu. Jina lake lilikuwa Heinrich Eyring. Alizaliwa katika utajiri mwingi. Baba yake, Edward, alikuwa na ardhi kubwa huko Coburg, ambayo sasa ni Ujerumani. Mama yake aliitwa Viscountess Charlotte Von Blomberg. Babake alikuwa mlinzi wa ardhi kwa ajili ya Mfalme wa Prussia. Heinrich alikuwa mtoto wa kwanza wa Charlotte na Edward. Charlotte aliaga dunia akiwa na umri wa miaka 31, baada ya kuzaliwa kwa mtoto wake wa tatu. Edward aliaga dunia punde baadaye, akiwa amepoteza nyumba zake na mali yake yote katika biashara iliyoanguka. Alikuwa na umri wa miaka 40 peke yake. Aliwaacha watoto watatu mayatima. Heinrich, babu yangu, alikuwa amewapoteza wazazi wake wote na urithi mkubwa wa kidunia. Hakuwa na hela. Aliandika katika historia yake kwamba alihisi kwamba tumaini lake la maisha mazuri lilikuwa kwenda Marekani. Ingawa hakuwa na familia wala marafiki kule, alikuwa na hisia ya tumaini kuhusu kwenda Marekani. Kwanza alikwenda katika Jiji la New York. Baadaye alihamia St. Louis, Missouri. Huko St. Louis mmoja wa wafanyakazi wenzake alikuwa ni Mtakatifu wa Siku za Mwisho. Kutoka kwake alipata kijitabu kilichoandikwa na Mzee Parley P. Pratt. Alikisoma na kisha akajifunza kila kitu angepata kuhusu Watakatifu wa Siku za Mwisho. Aliomba kujua kama ni kweli kulikuwa na malaika ambao waliwajia binadamu, kama kulikuwa na nabii aliye hai, na kama alikuwa amepata dini ya kweli. Baada ya miezi miwili ya kujifunza na kuomba kwa makini, Heinrich alikuwa na ndoto ambayo aliambiwa abatizwe. Mtu ambaye jina lake na mamlaka ya ukuhani ninaheshimu, Mzee William Brown, angetekeleza agizo hili. Heinrich alibatizwa katika bwawa la maji ya mvua mnamo Machi, 11, 1855, saa 7:30 asubuhi. Ninaamini kwamba Heinrich alijua wakati huo kwamba kile ninawafunza hivi leo ni kweli. Alijua kwamba furaha ya uzima wa milele huja kupitia uhusiano wa familia ambao huendelea milele. Hata wakati alikuwa amepata mpango wa furaha wa Bwana hivi karibuni, alijua kwamba tumaini lake la furaha ya milele lilitegemea 1

5 chaguo la kibinafsi la wengine kufuata mfano wake. Tumaini lake la furaha ya milele lilitegemea watu ambao bado hawakuwa wamezaliwa. Kama sehemu ya urithi wa familia yetu ya tumaini, aliaacha jarida la historia kwa kizazi chake. Katika jarida hilo la historia ninaweza kuhisi upendo wake kwa wale miongoni mwetu ambao wangemfuata. Kutoka kwa maneno yake ninahisi tumaini lake kwamba kizazi chake kingechagua kumfuata kwenye njia kurudi nyumbani kwetu mbinguni. Alijua kwamba haingekuwa chaguo moja kuu kufanya hivyo lakini chaguo nyingi ndogo ndogo. Ninanukuu toka kwenye historia yake: Kutoka mara ya kwanza nilimsikia Mzee Andrus akizungumza daima nimehudhuria mkutano wa Watakatifu wa Siku za Mwisho na nyakati ambazo nimeshindwa kuhudhuria mkutano, wakati huohuo ukiwa ni wajibu wangu kufanya hivyo. Ninaandika haya katika jarida langu ili kwamba watoto wangu waweze kuiga mfano wangu na kamwe wasipuuze wajibu huu muhimu kukusanyika pamoja na Watakatifu. 1 Heinrich alijua kwamba katika mikutano ya sakramenti tungeweza kufanya upya ahadi yetu kumkumbuka Mwokozi daima na kupata Roho Wake kuwa nasi. Ni roho hiyo ambayo ilimhimili kwenye misheni yake ambako aliitwa miezi michache tu baada ya kukubali agano la ubatizo. Aliacha kama urithi wake mfano wake wa kubaki mwaminifu kwa misheni yake kwa miaka sita katika sehemu ambayo wakati huo iliitwa Indian Territories. Ili kupokea kuachiliwa kwake kutoka misheni yake, alitembea kutoka Oklahoma hadi Jiji la Salt Lake, umbali wa takribani maili 1,100 (1,700km). Muda mfupi baadaye aliitwa na nabii wa Mungu kuhama na kwenda Utah kusini. Kutoka hapo alikubali wito mwingine kuhudumu misheni katika nchi yake ya kuzaliwa, Ujerumani. Kisha alikubali aliko la Mtume wa Bwana Yesu Kristo kusaidia kujenga makoloni ya Watakatifu wa Siku za Mwisho kule Mexico kaskazini. Kutoka hapo aliitwa kwenda Jiji la Mexico kama mmisionari wa muda. Alitekeleza wito huu. Amezikwa katika mavani madogo kule Colonia Juárez, Chihuahua, Mexico. Nasoma mambo haya si kudai ukuu kwa ajili yake ama kwa ajili ya yale aliyofanya ama kwa ajili ya kizazi chake. Ninayasoma ili kumheshimu kwa ajili ya mfano wake wa imani na tuamini ambalo lilikuwa moyoni mwake. Alikubali miito hii kwa sababu ya imani yake kwamba Kristo aliyefufuka na Baba yetu wa Mbinguni walikuwa wamemjia Joseph Smith katika kichaka cha miti katika jimbo la New York. Alizikubali kwa sababu alikuwa na imani kwamba funguo za ukuhani katika Kanisa la Bwana zilikuwa zimerejeshwa na uwezo wa kuunganisha familia milele, kama tu wangekuwa na imani ya kutosha kuweka maagano yao. Kama Heinrich Eyring, babu yangu, huenda ukawa wa kwanza katika familia yako kuongoza njia kuelekea kwa uzima wa milele kwenye njia ya maagano matakatifu yaliyofanywa na kuwekwa kwa bidii na imani. Kila agano linaleta majukumu na ahadi. Kwa kila mmoja wetu, kama tu vile yalivyokuwa kwa Heinrich, majukumu hayo wakati mwingine huwa ni rahisi lakini mara nyingi huwa ni ngumu. Lakini kumbuka, majukumu lazima wakati mwingine yawe magumu kwa sababu malengo yao ni kutusongesha kwenye njia ya kuishi milele na Baba wa Mbinguni na Mwana Wake Mpendwa, Yesu Kristo. Unakumbuka maneno kutoka katika kitabu cha Ibrahimu: Na hapo akasimama mmoja miongoni mwao ambaye alifanana na Mungu, naye akasema kwa wale waliokuwa pamoja naye: Sisi tutakwenda chini, kwani kuna nafasi huko, nasi tutachukua vifaa hivi, nasi tutaifanya dunia mahali ambapo hawa watapata kukaa; Nasi tutawajaribu kwa njia hii, ili kuona kama wao watafanya mambo yote yale ambayo Bwana Mungu wao atawaamuru; Na wao ambao watatunza hali yao ya kwanza wataongezewa; na wao ambao hawatatunza hali yao ya kwanza hawatapata utukufu katika ufalme ule ule pamoja na wale walioitunza hali yao ya kwanza; nao wale watakaoitunza hali yao ya pili watapata kuongezewa utukufu juu ya vichwa vyao kwa milele na milele. 2 Kutunza hali yetu ya pili kunategemea kufanya kwetu maagano na Mungu na kwa imani kutekeleza majukumu ambayo yanatutarajia. Inahitaji imani katika Yesu Kristo kama Mwokozi wetu kuweka maagano takatifu kwa maisha yetu yote. Kwa sababu Adamu na Hawa walianguka, kila mmoja wetu hupitia majaribio, mateso, na kifo kama urithi wetu. Hata hivyo, Baba yetu mpendwa wa Mbinguni alitupa karama ya Mwanawe Mpendwa, Yesu Kristo, kama Mwokozi wetu. Karama hiyo kuu na baraka ya Upatanisho wa Yesu Kristo unaleta urithi kwa kila mtu: ahadi ya Ufufuo na uwezekano wa uzima wa milele kwa wote wazaliwao. Baraka kuu ya zote za Mungu, uzima wa milele, itatujia tu tunapofanya maagano yanayowezeshwa katika Kanisa la kweli la Yesu Kristo na watumishi wake walio na mamlaka. Kwa sababu ya Kuanguka, sote tunahitaji matokeo ya kusafisha ya ubatizo na kuwekelewa mikono ili kupokea karama ya Roho Mtakatifu. Ibada hizi lazima zifanywe na wale ambao wana mamlaka sahihi ya ukuhani. Kisha, kwa usaidizi wa Roho ya Kristo na Roho Mtakatifu, tunaweza kuweka maagano yote tunayofanya na Mungu, hasa yale ambayo yanatolewa katika mahekalu Yake. Ni kwa njia hii peke yake, na kwa usaidizi huo, yeyote anaweza kudai urithi 2

6 wake wa haki kama mtoto wa Mungu katika familia milele. Kwa baadhi wanaonisikiliza, hiyo inaweza kuonekana kuwa ndoto isiyowezekana kabisa. Mmewaona wazazi waaminifu wakihuzunika kwa ajili ya watoto wao ambao wamekataa ama ambao wamechagua kuvunja maagano yao na Mungu. Lakini wazazi hao wanaweza kupata faraja na tumaini kutoka kwa yale wazazi wengine wamepitia. Watoto wa Alma na Mfalme Mosia walitubu kutoka kwa uasi wao mkuu dhidi ya maagano na amri za Mungu. Alma Mdogo alimuona mwanawe Koriantoni akigeuka kutoka kwa kutenda dhambi mbaya sana hadi kwa utumishi wa imani. Kitabu cha Mormoni kinarekodi muujiza wa Walamani kutofuata tena utamaduni wa kuchukia haki na kuahidi hadi kifo kudumisha amani. Malaika alitumwa kwa Alma mdogo na wana wa Mosia. Malaika alikuja kwa sababu ya imani na maombi ya akina baba zao na ya watu wa Mungu. Kutoka kwa mifano hiyo ya uwezo wa Upatanisho kushawishi fikira na hisia za watu, mnaweza kupokea ujasiri na faraja. Bwana ametupa sote chanzo cha tumaini tunapopambana kuwasaidia wale tunaowapenda kukubali urithi wao wa milele. Ametupa ahadi tunapozidi kujaribu kuwakusanya watu Kwake, hata wakati wanapinga aliko Lake kufanya hivyo. Kupinga kwao kunamhuzunisha, lakini kamwe hakomi, nasi hatupaswi kukoma. Anatoa mfano mkamilifu kwetu sisi na upendo Wake unaoendelea: Na tena, mara ngapi ningemkusanya kama vile kuku hukusanya vifaranga wake chini ya mabawa yake, ndio, Ee ninyi watu wa nyumba ya Israeli, ambao mmeanguka; ndio, Ee ninyi mnaoishi Yerusalemu, kama vile wale ambao wameangamizwa; mara ngapi ningekuwa nimewakusanya kama vile kuku avikusanyavyo vifaranga vyake, na hamnikubali. 3 Tunaweza kuegemea hamu hiyo isiyokwisha ya Mwokozi kurudisha kila mmoja wa watoto wa kiroho wa Baba wa Mbinguni nyumbani kwao kuwa Naye. Kila mzazi, akina babu, na wahenga waaminifu wanashiriki katika hamu hii. Baba wa Mbinguni na Mwokozi ni mifano yetu mikamilifu ya kile ambacho tunaweza kufanya na lazima tufanye. Kamwe hawatulazimishi kuchagua wema kwa sababu wema lazima ichaguliwe. Wao hufanya ili tuweze kutambua kile ambacho ni chema, na hutusaidia kuona kwamba matunda yake ni mazuri. Kila mtu azaliwaye duniani hupokea Mwanga wa Kristo, ambao hutusaidia kuona na kuhisi kile ambacho ni cha haki na kile ambacho ni kibaya. Mungu ametuma watumishi binaadamu ambao wanaweza, kupitia Roho Mtakatifu, kutusaidia kutambua kile angetaka tufanye na kile ambacho amekataza. Mungu hufanya iwe ya kuvutia kuchagua haki kwa kuturuhusu kuhisi madhara ya uchaguzi wetu. Kama tukichagua haki, tutapata furaha- hatimaye wakati huo Tukichagua mabaya, kunakuja huzuni na majuto baada ya muda. Madhara hayo hakika huja. Hata hivyo mara nyingi huchelewa kwa makusudi. Kama baraka zingekuja mara moja, kuchagua haki hakungejenga imani. Na kwa sababu huzuni pia wakati mwingine hucheleweshwa vikubwa, huchukua imani kuhisi haja ya kuomba msamaha kwa dhambi mapema badala ya baada ya kuhisi madhara yake na huzuni na uchungu. Baba Lehi alihuzunika juu ya chaguo zilizofanywa na baadhi ya wanawe na familia zao. Alikuwa mtu mzuri sana na mwenye haki - nabii wa Mungu. Mara nyingi alishuhudia Mwokozi wetu, Yesu Kristo, kwao. Alikuwa mfano wa utii na utumishi wakati Bwana alimwita kuacha mali yake yote ya kidunia ili kuokoa familia yake kutokana na maangamizi. Mwishoni mwa maisha yake, alikuwa bado anawashuhudia watoto wake. Kama Mwokozi na licha ya uwezo wake wa kubainisha mioyo yao na kuona siku za usoni za kusikitisha na za ajabu Lehi aliendelea kusaidia familia yake ili kuwaleta kwa wokovu. Hivi leo mamilioni ya watoto wa Baba Lehi wanatoa sababu ya tumaini lake kwa ajili yao. Unaweza kufanya nini ili kujifunza kutoka kwa mfano wa Lehi? Tunaweza kufanya hivyo kwa kujifunza maandiko kwa maombi na kwa uchunguzi. Napendekeza kwamba ufikirie kuhusu muda mfupi na muda mrefu unapojaribu kutoa urithi wa tumanini kwa familia yako. Katika muda mfupi, kutakuwa na matatizo na Shetani atatumia nguvu zake kutujaribu. Na kuna vitu vya kusubiri kwa uvumilivu, kwa imani, mkijua ya kwamba Bwana hutenda kwa wakati Wake mwenyewe na katika njia Yake mwenyewe. Kuna vitu unavyoweza kufanya mapema, wakati wale uwapendao ni wadogo. Kumbuka kwamba maombi ya familia ya kila siku, kujifunza maandiko kwa familia, na kushirikisha ushuhuda wetu katika mkutano wa sakramenti ni rahisi na ina mdhara zaidi wakati watoto ni wadogo. Watoto wadogo mara nyingi huwa na mvutio zaidi kwa Roho kuliko vile tunavyotambua. Wakati wamekuwa kiasi, watakumbuka nyimbo walizoimba na wewe. Hata zaidi ya muziki, watakumbuka maneno ya maandiko na ushuhuda. Roho Mtakatifu anaweza kuleta mambo yote kwa kumkumbuka yao, lakini maneno ya maandiko na nyimbo itakumbukwa kwa muda mrefu zaidi. Kumbukumbu hizo zitawashawishi kurudi wanapotanga kwa muda, pengine kwa miaka, kutoka kwa njia inayoelekeza nyumbani kwa uzima wa milele. Tutahitaji kufikiria juu ya muda mrefu wakati wale tunaowapenda wanahisi ushawishi wa dunia na 3

7 wingu la shaka likionekana kushinda imani yao. Tuna imani tumaini na hisani kutuongoza na kuwapa nguvu. Nimeona kwamba kama mshauri kwa manabii hai wawili wa Mungu. Ni watu wenye sifa za kipekee zaidi. Hata hivyo wanaonekana kushiriki matumaini thabiti. Wakati mtu akileta jambo la wasiwasi kuhusu kitu katika Kanisa, majibu yao ya mara kwa mara ni Ee, mambo yatakuwa sawa. Wao hujua zaidi kuhusu tatizo hilo kwa kiwango kikubwa kuliko watu wanaoleta jambo hilo. Pia wanajua jinsi Bwana hufanya vitu, na hivyo wao daima huwa na matumaini kuhusu ufalme Wake. Wanajua anaongoza kanisa. Ana nguvu zote na anajali. Kama Ukimkubali awe kiongozi wa familia yako, mambo yatakuwa sawa. Baadhi ya wajukuu wa Heinrich Eyring hawajafuata njia ya wema. Lakini wengi wa wajukuu wake huenda mahekalu ya Mungu saa 12:00 asubuhi kuwafanyia maagizo mababu ambao hawajawahi kukutana nao. Wao huenda kwa sababu ya urithi wa tumaini alioacha. Aliacha urithi ambao unadaiwa na wengi wa kizazi chake. Baada ya yote tunayoweza kufanya katika imani, Bwana atahalalisha matumaini yetu kwa baraka kubwa zaidi kwa ajili ya familia zetu kuliko tunavyoweza kufikiria. Anataka mazuri kwa ajili yao na kwa ajili yetu, kama watoto Wake. Sisi sote ni watoto wa Mungu aliye hai. Yesu wa Nazareti ni Mwana Wake Mpendwa na Mwokozi wetu aliyefufuka. Hili ni Kanisa Lake. Ndani yake kuna funguo za ukuhani, na hivyo basi familia zinaweza kuwa milele. Huu ni urithi wetu wa tumanini. Nashuhudia kwamba ni kweli katika jina la Yesu Kristo, amina. MUHTASARI 1. Ona Henry Eyring reminiscences, 1896, typescript, Church History Library, Ibrahimu 3: Nefi 10: na Intellectual Reserve, Inc.Haki zote zimehifadhiwa. Printed in USA. English approval: 6/13. Translation approval: 6/13. Tafsiri ya Visiting Teaching Message, May Swahili

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa, UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, MEI 2013 Utiifu Huleta Baraka Elimu ya ukweli na majibu ya maswali makuu huja kwetu tunapokuwa watiifu kwa amri za Mungu. Ndugu na dada zangu wapendwa, nina shukrani jinsi gani

More information

"ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28.

ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu. Waebrania 9:28. KUJA KWA KRIST0 MARA YA PILI "ATATOKEA MARA YA PILI, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu." Waebrania 9:28. Mara nyingi sana kuja kwa Kristo mara ya pili huangaliwa tu kama fundisho la dini. Ni

More information

Information for assessors (do not distribute this page to participants):

Information for assessors (do not distribute this page to participants): R&P Cultural Orientation Model Assessment Written Version Swahili Information for assessors (do not distribute this page to participants): This written version of the Model Cultural Orientation (CO) Assessment

More information

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI

GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI GRACE COMMUNION INTERNATIONAL KANUNI YA IMANI Utambulisho Grace Communion International ni muungano wa washiriki kutoka pembe mbali mbali za dunia hasa nchi zenye washiriki kwa sasa ni 100. Wito wetu ni

More information

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI

MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU 1 WETU NA VYOTE VILIVYO HAI Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Mwanzo 1:1 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi. Wakolosai

More information

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT

Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT Ushindi ndani ya Kristo W. W. PRESCOTT 1 Ushindi Ndani ya Kristo Na W. W. Prescott Mfasiri: M. Mwamalumbili Victory in Christ - Kiswahili 2 Yaliyomo Alinipenda Mimi Aliishi kwa ajili Yangu Mimi Alikufa

More information

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO.

MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUNGU ANADHIHIRISHWA KUPITIA KWA YESU KRISTO. MUHTASARI WA UTANGULIZI WA THIOLOGIA YA USHIRIKA WA NAFSI TATU ZA UUNGU. GRACE COMMUNION INTERNATIONAL LIVING AND SHARING THE GOSPEL MUNGU ANADHIHIRISHWA NA

More information

Agano Lililofunikwa Kwa Damu

Agano Lililofunikwa Kwa Damu Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The Blood-Sealed Covenant) 1 Agano Lililofunikwa Kwa Damu na Ellis Forsman Oktoba 14, 2012 Agano Lililofunikwa Kwa Damu (The

More information

United Pentecostal Church June 2017

United Pentecostal Church June 2017 Kwa Nini Tusali? Jarida la Maombi ya Wanawake Kimataifa "Chagua" Ladies Prayer International kwa Facebook United Pentecostal Church June 2017 Tuko na wafuasi Facebook katika Marekani, Hong Kong, Philippines,

More information

KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA

KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA KITABU CHA KUONGOZA FAMILIA Kimechapishwa na Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu la Siku za Mwisho Mjini Salt Lake, Utah 1992, 1999, 2001, 2006 na Intellectual Reserve, Inc.

More information

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w

walozaliwa, si kwa damu, wala mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, mbali kwa Mungu. Sisi sio tena binadamu wa kawaida tu kwa sababu sisi ni w MAMLAKA Tunamshukuru Bwana kwa vile alivyo na yale aliyoyatenda. Tukiweza tu kumfikiria hata tukiwa na mahitaji mbalimbali, yeye atatutimizia. Tusiwatazame watu, tusijitazame sisi wenyewe, tumtazame Mungu

More information

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu

Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu 134 Kuiponya Picha Tuliyonayo Kuhusu Mungu Picha tuliyonayo kuhusu Mungu ni mojawapo ya kizuizi kikubwa cha kupata uponyaji wetu. Mara nyingi huwa hatujui vizuri kwamba Mungu anatupenda kwa hivyo angependa

More information

Ndugu na dada zangu wapendwa,

Ndugu na dada zangu wapendwa, UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, NOVEMBA 2011 Na Rais Thomas S. Monson Simama Pahali Patakatifu Mawasiliano na Baba yetu aliye Mbinguni pamoja na maombi yetu Kwake na maongozi Yake kwetu ni muhimu ili tuweze

More information

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha

UTARATIBU WA KANISA. 2 Jambo la kwanza ninalotaka kusema ni kwamba mchungaji. 3 Sisi tunaamini katika Kanisa la kimitume, tukifundisha UTARATIBU WA KANISA Tumemaliza hivi punde ule mkutano mkubwa wa siku, tano usiku kwenye Maskani, ambapo, kwa neema ya Mungu na kwa msaada Wake, nimejaribu sana, kwa Maandiko, kuliweka Kanisa la Bwana Yesu

More information

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke-

usudi la Maisha Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi, na kupishana usiku na mchana, kuna kweli ishara kwa wenye akili, ambaye mkumbuke- Kusudi la Maisha hawatakuambia nini walihitimisha kupitia uchunguzi au hoja ya uchambuzi. Katika hali nyingi, hakika wao kukuambia nini mtu mwingine alisema... Au wao watakuambia nini kawaida kudhaniwa

More information

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23

WEWE NI NANI? Toleo X Toleo Ukweli wa Injeli Toleo 23 Toleo X Toleo 23 WEWE NI NANI? (Habari ifuatayo ni hadithi ya mambo ambayo yamenakiliwa katika Matendo 19:10-20 SUV). Paulo mtume wa Yesu Kristo alihubiri katika mji wa Efeso kwa miaka miwili. Katika muda

More information

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E)

Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) 102/3 KISWAHILI KARATASI YA 3 Fasihi Julai/Agosti 2013 MUDA : SAA 2 ½ Hati ya kuhitimu kisomo Kenya (K.C.S.E) Kiswahili Karatasi 3 Julai/ Agosti Muda: Saa 2 ½ MAAGIZO: Andika jina lako na nambari yako

More information

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE

IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE IMANI NA MATENDO ELLEN G. WHITE IMANI NA MATENDO IMANI NA MATENDO Hotuba na Makala za Ellen G. White Masomo kutoka katika Hotuba zake Kumi na Tisa zilizotolewa Nzima au kwa Sehemu kuanzia mwaka 1881

More information

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka

Ufunguo wa Kutaalamika Haraka 0 Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Ufunguo wa Kutaalamika Haraka Kijitabu Kielelezo; Nakala ya Bila Malipo Yaliyomo 1 Yaliyomo Utangulizi...04 Habari Fupi Kuhusu...08 Fumbo la Ulimwengu wa Ng ambo ya Pili...11

More information

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala

United Pentecostal Church April Kushangilia Kwa Sala Kushangilia Kwa Sala Jarida la Maombi ya Wanawake Kimataifa Kushangilia Kwa Sala Na Wanda Fielder United Pentecostal Church April 2017 Kuwa alimfufua katika kanisa tangu kuzaliwa, daima aliamini Neno la

More information

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College

Theolojia Ujumla. Mike Taylor Semester Munguishi Bible College Theolojia 1 Ujumla Mike Taylor Semester 1 2014-2015 Munguishi Bible College MIKE TAYLOR 2014 THEOLOJIA 1 i THEOLOJIA Utangulizi! 1 1. Kumfahamu Mungu katika Injili! 3 1.1. Mawazo Makuu 3 1.2. Maana ya

More information

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar

Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ellen White, waasisi wa Kiadventista,na Sabato Lunar Ukristo leo unadhihirisha waumini karibu bilioni mbili katika maelfu ya madhehebu tofauti na tofauti na madhehebu. Kati ya hizi, zaidi ya 500 madhehebu

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level. SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 www.xtremepapers.com UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level *9257224991* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2013 Additional Materials: Answer Booklet/Paper

More information

Kiu Cha umtafuta Mungu

Kiu Cha umtafuta Mungu ZAIDI YA NAKALA MILLION 3 ZIMECHAPISHWA KATIKA LUGHA 59 KOTE DUNIANI K Kiu Cha umtafuta Mungu Huduma ya Daktari Richard A. Bennett ilianza katika mabaraza ya miji. Akiwa mwanafunzi chuoni, alikumbana na

More information

# 18 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa

# 18 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa 119 Uponyaji Kutokana na Kukataliwa Kukataliwa ni mojawapo ya mitindo ya Shetani ya ukandamizaji. Kukataliwa kunaweza kumzuia mwenye dhambi kumjia Mungu ili apate wokovu na kumzuia Mkristo kuufikia uwezo

More information

MSAMAHA NA UPATANISHO

MSAMAHA NA UPATANISHO Hakimiliki 2007-2017 na Jonathan Menn. Haki zote zimehifadhiwa. MSAMAHA NA UPATANISHO na Jonathan M. Menn B.A., Chuo Kikuu cha Wisconsin-Madison, 1974 J.D., Cornell Law School, 1977 M.Div., Trinity Evangelical

More information

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1

Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia. Ellis Forsman. Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1 Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia na Ellis Forsman Inavyodaiwa na Wanao changanya Biblia (Alleged Bible Contradictions) 1 Inavyodaiwa na wanaochanganya Biblia na Ellis Forsman Oktoba 8, 2011 Inavyodaiwa

More information

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema,

NGUVU. Utangulizi. Yesu alisema, NGUVU Utangulizi Kwas miaka mingi nimemtafuta Bwana ili aachilie mazingira mazuri ya uwepo wake, nguvu na utukufu wake kudhihirika. Tumeona na kujua matokeo ya yale Bwana ametufunulia. Ikiwa unatafuta

More information

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen

WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen 1 Index latest update 26. feb. 2008 WAFUNAJI WA NAFSI ABC By Vagn Rasmussen Translation by Lydia Madsen Wafunaji wa nafsi ABC Mark 16:15-20 Huduma/uiinjilisti Wakristo wachache sana wameitikia mwito wa

More information

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika

Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi Ya Vikombe Vingi Vya Ushirika (A Summary Of Arguments For And Against Individual Communion Cups) Na J D Logan Communion Cups) 1 Mukhtasari Wa Mabishano Kwa Na Dhidi

More information

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1

Watumishi Wa Kristo. Ellis P. Forsman. Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1 Watumishi Wa Kristo na Ellis P. Forsman Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 1 Watumishi Wa Kristo na Ellis P. Forsman Oktoba 14, 2011 Watumishi Wa Kristo (Servants Of Christ) 2 Sisi ni watumishi Watumishi

More information

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com

MELKISEDECK LEON SHINE. katoliki.ackyshine.com katoliki.ackyshine.com SALA ZA ASUBUHI Kwa jina la Baba.. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,Mwana na Roho. Nilinde tena siku hii,niache dhambi nikutii.naomba sana

More information

Roho Mtakatifu Ni Nini?

Roho Mtakatifu Ni Nini? Roho Mtakatifu Ni Nini? kwa ajili ya mkutano. Mkutano huu utakuwa tofauti, kidogo na ile ya kawaida tunayokuwa nayo hapa. Kwa kawaida, kila wakati tunapokuja pamoja hapa, ni mkutano kwa wa kwa ajili ya

More information

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA

UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA UKUFUNZI WENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA Dynamic Churches International Simeon Oyui P. O. Box 798-00515 Bukubura, Nairobi, Kenya EAST AFRICA Email: ncc_africa@yahoo.com Dynamic Churches International 164 Stonegate

More information

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally

Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo. Na Andrew Connally Mafundisho Ya Msingi Wa Kikristo Na Andrew Connally 1 YALIYOMO Milango ya Kitabu: Ukurasa: 1. Mungu-Kuwako kwake na hali yake 03 2. Huyo Kristo-Nafsi yake na kazi yake 12 3. Maandiko Matakatifu ni yenye

More information

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu?

Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? (Attitude Towards Christ Do you Honor Him?) Na Ellis P. Forsman (4-Attitude Towards Christ - Do you Honor Him) 1 Nia Dhidi Ya Kristo Je Unamheshimu? (Attitude Towards

More information

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010

Uongozi Siri Na Larry Chkoreff. Version 1.2 Desemba 2010 Uongozi Siri Na Larry Chkoreff Version 1.2 Desemba 2010 Kimetafsiriwa na kuchapishwa na: Cistern Materials Translation & Publishing Center, Nairobi, Kenya Barua pepe: info@cisternmaterialscenter.com www.cisternmaterialscenter.com

More information

Maisha Yaliyojaa Maombi

Maisha Yaliyojaa Maombi (A Prayer-Filled Life) na Terry Warford (A Prayer-Filled Life) 1 (A Prayer-Filled Life) na Terry Warford Nov 5, 2011 (A Prayer-Filled Life) 2 Sura ya nne nay a tano ya kitabu cha Ufunuo ni vifungu vinavyovutia.

More information

Maisha Ya Mkristo Ni Nini?

Maisha Ya Mkristo Ni Nini? Maisha Ya Mkristo Ni Nini? na Ellis P. Forsman Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What Is The Christian Life?) 1 Maisha Ya Mkristo Ni Nini? na Ellis P. Forsman Oktoba 17, 2011 Maisha Ya Mkristo Ni Nini? (What

More information

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1

Silaha Za Shetani. Ellis Forsman. Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1 Silaha Za Shetani na Ellis Forsman Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 1 Silaha Za Shetani na Ellis Forsman Oktoba 15, 2012 Silaha Za Shetani (The Devices of Satan) 2 Silaha Za Shetani 2 Kor. 2:11

More information

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?

KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU? KAMA MUNGU YU PAMOJA NASI, BASI YAKO WAPI MATENDO YAKE YA AJABU?, Asante, Ndugu Neville, na habari za jioni, marafiki. Nimerudi tena. Sikupata ila masaa manne asubuhi ya leo. Hiyo ni aibu. Na baada ya

More information

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia

Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia 34567 APRILI 15, 2013 Juni 3-9 Pata Manufaa Kamili kwakusomabiblia UKURASAWA 3 NYIMBO ZA KUTUMIWA: 114, 113 Juni 10-16 Jinufaishe na Uwanufaishe Wengine kwa KutumiaNenolaMungu UKURASAWA 18 NYIMBO ZA KUTUMIWA:

More information

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1

Kifo Na Mbingu. (Death And Heaven) Ellis P. Forsman. Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 1 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman Oktoba 11, 2011 Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) 2 Kifo

More information

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE

BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE Toleo 10 BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE UBATIZO WA MUUMINI Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa

More information

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu

Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu na Ellis P. Forsman God) 1 Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu na Ellis P. Forsman Oktoba 7, 2011 God) 2 Tafuteni Kwanza Ufalme Wa Mungu Mat. 6:24-34 Yesu alitoa maelezo haya

More information

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai.

WAKOLOSAI MTAALA. B. Maoni: Tunapendekeza uwe na fafanuzi (commentary) yoyote yenye kushikilia mafundisho ya awali (conservative) katika Wakolosai. WAKOLOSAI MTAALA I. MAELEZO KWA UJUMLA. A. Mwalimu: Don Walker B. Mkalimani: Chris Mwakabanje C. Kila darasa linachukua takribani dakika 38. II. III. MAELEZO NA MALENGO. A. Kujifunza kwa kina Waraka kwa

More information

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI?

JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? JOE CREWS 1 JE, YAWEZEKANA KUISHI BILA KUTENDA DHAMBI? Na Joe Crews (Hotuba Na. 16 ya Mambo ya Kweli Yanayoshangaza) Mfasiri: M. Mwamalumbili Is It Possible To

More information

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa.

B. Wanafunzi watapata ufahamu mkubwa wa kitabu hiki, na jinsi kinavyofundisha kuhusu kanisa. Waefeso Mtaala I. Habari kwa Ujumla A. Mkufunzi: Don Walker na kutafsiriwa na Chris Mwakabanje B. Kila darasa ni takribani dakika 38. II. Maelezo na Kusudi A. Mafunzo haya ni uchambuzi wa kina katika Waefeso,

More information

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14).

Uponyaji Wa Laana. (Kumb. 28:1-14). 41 Uponyaji Wa Laana Ijapokuwa baraka ni kinyume cha laana, kuna mambo yanayofanana katika vitu hivyo. Ni maneno yaliyotajwa, yaliyoamriwa, au kuandikwa katika Biblia kwa nguvu na mamlakao ya kiroh kwa

More information

Human Rights Are Universal And Yet...

Human Rights Are Universal And Yet... Human Rights Are Universal And Yet... Episode 05 Title : The right to education Author : Julien Adayé Editor : Aude Gensbittel Translator : Anne Thomas, Eric Ponda Proofreader: Pendo Paul Characters (sounds,

More information

Oktoba-Desemba

Oktoba-Desemba Oktoba-Desemba 2014 1 Habari za Unabii wa Biblia 8 13 24 Katika toleo hili: 25 28 33 3 MwanaFiladelfia wa Karne ya 21 ni nani? Je, Yesu alifundisha kwamba kungekuwepo na tofauti kubwa baina ya Wakristo

More information

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa.

Kocha Mkuu. mabingwa. itakuwa INASTAHILI. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa. itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Ili Kutoa mafunzo kwa wanafunzi wako kuwa mabingwa itakuwa ya kuumiza. Itachukua muda. Itahitaji moyo wa kujitoa. Mkuu Inahitaji dhabihu. Unahitaji kujisukuma hadi mwisho wako. Lakini nakupa ahadi hii,

More information

Mutugi Kamundi. Jemma Kahn. Kiswahili. Demane na pacha wake. Author - South African Folktale

Mutugi Kamundi. Jemma Kahn. Kiswahili. Demane na pacha wake. Author - South African Folktale You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way: Demane na pacha wake Author - South African Folktale Adaptation -

More information

MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA

MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA 133 134 MAHUBIRI TUNAYOWEZA KUONA Ni heri nione mahubiri kuliko kusikia moja siku yeyote ile. Ni heri mtu atembee nami kuliko kunionyesha njia. Jicho ni mwanafunzi mzuri na mwenye hamu kuliko sikio. Mausia

More information

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu.

Tazama Yuaja. Kuhusu Toleo Hili. Umuhimu wa Mafundisho ya Biblia. Nguvu katika neno la Mungu. Tazama Yuaja Kuhusu Toleo Hili. Kuna makanisa mengi duniani yanayo dai kuwa yanafundisha ukweli. Yote pia yana mafundisho tofauti yaliyo mafundisho na desturi ya watu. Muungano wa makanisa na uwongozi

More information

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW

UNABII WA BIBLIA. CBM Publishing 32 Blenheim Road, Far Cotton Northampton, England. NN4 8NW Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO

RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI MWANDISHI: SALEH M. KYAMBO 1 RISALA FUPI copyright Hidaya Creativity, publishing Department. P.O. BOX 44799, 00100, GPO, NAIROBI-KENYA. Haki

More information

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu

Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Adhabu ya jino kwa jino na Musitakabali wa imani zetu Nabii Musa alipotoka mlima Sinai kupewa amri kumi za Mungu zilizoko kwenye kitabu cha Kutoka 20:1 17, Mungu alimpa na sharia zingine ambazo lengo lake

More information

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba

YEHOVA-YIRE 1. 2 Baba yetu wa Mbinguni, tunakikaribia Kiti Chako cha. 3 Tunakushukuru kwa kutuzuru jana jioni. Tunaomba YEHOVA-YIRE 1 Na tuendelee kusimama tu kwa muda kidogo wakati, tumeinamisha vichwa vyetu kwa maombi. Tunapoinamisha vichwa vyetu, sijui ni wangapi usiku huu wangetaka kukumbukwa katika maombi, una jambo

More information

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI

VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI VITAMBULISHO VITA NO DHA HIRI VYA KA NISA LA KWELI LA MUNGU ALIYE HAI Asante, Ndugu Neville, Bwana akubariki. Bila shaka ni, majaliwa kuwa hapa usiku wa leo. Nina furaha sana ya kwamba Mungu alituruhusu

More information

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA

Tora UTANGULIZI KWA TORA SOMO LA KWANZA SOMO LA KWANZA UTANGULIZI KWA TORA For videos, study guides and other resources, visit Third Millennium Ministries at thirdmill.org. 2014 nathird Millennium Ministries Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI

MACHAGUO YA UZAZI KUFIKIRIA KUWA MZAZI This booklet on Becoming a Parent was developed by the Tanzania Home Economics Association with support from Our Bodies Ourselves. Other booklets and more information on the project are available at. MACHAGUO

More information

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10.

MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10. 6-15 Mei 2005. MWONGOZO WA NAMNA YA KUHAMASISHA MAOMBI YA MCHANA NA USIKU YA SIKU 10. Kujenga kifuniko cha maombi juu ya mabara yote ya ulimwengu. Kufurikisha Jamii zetu kwa Maombi. Anzisha vituo vitakavyofukuta

More information

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani?

Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? na Ellis P. Forsman Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? (Why Did Jesus Die On The Cross?) 1 Kwa Nini Yesu Alikufa Msalabani? na Ellis P. Forsman Oktoba 17, 2011 Kwa Nini Yesu

More information

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB

Tumaini Kwa Afrika. Thomas Schirrmacher. Hoja 66. Dibaji na Prof. Mchungaji Dk. Thomas K. Johnson. Thomas Schirrmacher Tumaini Kwa Afrika TASCM RVB Tunawezaje kudhihirisha msingi wa Kibiblia wa tumaini letu na kulithibitisha kwa Wakristo na kwa wasioamini walioshirikishwa? Tunawezaje kutamka matumaini yetu kwa Wabunge, kwa wafanya biashara au kwa

More information

Iliyoendelea sana. Kitengo cha 2. Kitabu cha mwanafunzi Iliyoendelea sana

Iliyoendelea sana. Kitengo cha 2. Kitabu cha mwanafunzi Iliyoendelea sana Iliyoendelea sana Kitengo cha 2 Kitabu cha mwanafunzi Iliyoendelea sana Mungu hutumia neno lake kuongea nasi kila wiki. Je, Mungu anakuambia nini el día de Leo? 1 Suala la spishi zinazotishiwa #01 Oo.

More information

Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves)

Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves) Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves) Na Ellis P. Forsman Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu (Watch Out for Wolves) 1 Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu Na Ellis P. Forsman Oktoba 7, 2011 Kuwa Macho Na Mbwa Mwitu

More information

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI

UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI Toleo 14 BIBLICAL INSTRUCTION AND ENCOURAGEMENT FOR THE MAFUNDISHO YA BIBLIA NA HIMIZO KWA MISSION FIELD WORLDWIDE. KAZI YA KIMISHENI ULIMWENGUNI KOTE UJASIRI WA YOHANA MBATIZAJI Hazina ya maelezo kutoka

More information

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU?

KWA NINI SISI SI MADHEHEBU? KWA NINI SISI SI MADHEHEBU? Nimejaliwa kurudi mimbarani tena baada ya kama,, nadhani, karibu kutokuwepo kwa muda wa miezi mitatu. Kindi wamekuwa na wakati mgumu, na mimi pia. Loo, nimeburudika, hata hivyo,

More information

Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza

Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza 143 Kufunga Milango - Uponyaji Kutokana na Athari za Giza Zaidi ya thuluthi moja ya huduma ya Yesu ya uponyaji ilihusu kuwaweka watu huru kutokana na nguvu za giza. Sisi ambao ni wanafunzi wake, je, tunatarajia

More information

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji!

Yaliyomo. Kuhusu kitabu hiki. Hautakuwa peke yako. Mfumo wa msaada ni wa manufaa sana wazazi wote wanahitaji! Yaliyomo Kuhusu kitabu hiki Kuhusu kitabu hiki.........................................................1 Unapojisikia vibaya.........................................................2 Unapoanza kuwa mzima

More information

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven)

Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Kifo Na Mbingu (Death And Heaven) Na Ellis P. Forsman The Rapture And Millennialism 1 Kifo Na Mbingu Na Ellis P. Forsman Octoba 11, 2011 The Rapture And Millennialism 2 Kifo Na Mbingu Heb. 9:27 Ili kufika

More information

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO

MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO MASWALI NA MAJIBU JUU YA KITABU CHA MWANZO Sasa, kama ye yote ana swali lo lote wanalotaka kulileta,, basi, hebu yasogezeni tu juu hapa, acha mtoto fulani ayalete au vyo vyote mtakavyo. Au, labda, tukimaliza

More information

Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele. Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101. Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana

Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele. Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101. Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana JANUARI 15, 2014 34567 MAKALA ZA FUNZO MACHI 3-9 Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele UKURASA WA 7 NYIMBO: 106, 46 MACHI 10-16 Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme Inakuhusuje? UKURASA WA 12 NYIMBO: 97, 101 MACHI

More information

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown. General Editors.

Kanuni. Muhimu za Kujifunza Biblia. Mchungaji Drue Freeman. Dan Hawkins & Joseph Brown.   General Editors. Kanuni Muhimu za Kujifunza Biblia na Mchungaji Drue Freeman General Editors Dan Hawkins & Joseph Brown a publication of www.villageministries.org Kanuni Muhimu za Kujifunza Biblia 2013 na Village Ministries

More information

MAFUNDISHO YA UMISHENI

MAFUNDISHO YA UMISHENI MAFUNDISHO YA UMISHENI UINJILISTI NA UANAFUNZI Muhtasari: Elekeza kwa mada ilioko hapa chini nayo itakuelekeza kwa mada hiyo. I. Lengo la Sehemu Hii II. Uhusiano kati ya Uinjilisti na Uanafunzi III. Kwa

More information

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

Na Itafunika Wingi Wa Dhambi Na Itafunika Wingi Wa Dhambi na Ellis Forsman Na Itafunika Wingi Wa Dhambi (And Shall Hide A Multitude Of Sins) 1 Na Itafunika Wingi Wa Dhambi na Ellis Forsman Oktoba 10, 2011 Na Itafunika Wingi Wa Dhambi

More information

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI

JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI JHSPH MAADILI YA KUFANYA UTAFITI WA MASUALA YA BINAADAMU MUONGOZO WA MAFUNZO YA UTAFITI Mwongozo huu utatumika kama njia ya kuwafunza watafiti watakaohusika na utafiti unaohusu binadamu. Muongozo huu utatumika

More information

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti

Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Jifunze kusimamia pesa zako nchini Uskoti Mradi wa kujua kuhusu Pesa Aprili 2011 FLP - Swahili Mradi wa kujua kuhusu Pesa Ipindi vyetu vya maelezo vya bure, warsha na kozi hutoa fursa ya kujifunza kuhusu

More information

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE

KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE KUTAMBUA SIKU YA KO NA UJUMBE WAKE Habari za asubuhi, wapendwa. Hebu na tuendelee, kusimama kwa muda kidogo tu. Mungu mpendwa, sisi, tulio kwenye wakati wa mahangaiko na kakara za maisha, tumetulia kwa

More information

FORWARD BY DANIEL SZMIOT

FORWARD BY DANIEL SZMIOT FORWARD BY DANIEL SZMIOT 2017 marks the 40th anniversary of the start of Lighthouse Ministry. As in all wars, soldiers continue to fight the battle for the body, mind, will, and emotions. We as Christian

More information

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org (

Haja Ya Dini. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Featured Category: Published on Al-Islam.org ( Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Haja Ya Dini Haja Ya Dini Author(s): Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi [3] Publisher(s): Bilal Muslim Mission of Tanzania [4] Katika kijitabu

More information

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1

Mzabibu Na Matawi. (The Vine And The Branches) Ellis P. Forsman. Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1 Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) na Ellis P. Forsman Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) 1 Mzabibu Na Matawi (The Vine And The Branches) na Ellis P. Forsman Oktoba 15, 2011 Mzabibu

More information

Kwa Kongamano Kuu 2016

Kwa Kongamano Kuu 2016 The Upper Room za Kwa Kongamano Kuu 2016 Selected from The Upper Room Disciplines with Invited Writers SIKU 60 ZA SALA Kwa Kongamano Kuu 2016 2016 na Upper Room Books. Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu

More information

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu.

maombi, kabla tu hatujalifungua Neno hili la Kiungu. ALAMA YA MNYAMA Sasa, kesho usiku Daima tunaonyesha jambo moja,, Bwana Yesu Kristo, ni hivyo tu, na lo lote ambalo ni mapenzi Yake ya Kiungu kwetu kufanya. Lakini kama ni mapenzi Yake ya Kiungu kesho usiku,

More information

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI?

JE! MUNGU ANAMPA MWANAMKE HAKI YA KUTOA MIMBA IWAPO NI MHANGA WA UBAKAJI? Jarida la Dunia Yerusalemu Mpya Mchungaji Tony Alamo Makanisa Ulimwenguni Kote Taifa la Kikristo la Alamo Mchungaji Tony na Susan Alamo, Okestra, na kwaya katika kipindi chao cha kimataifa cha televisheni.

More information

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23)

GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER. (Made under Section 23) GOVERNMENT NOTICE No... PUBLISHED ON THE ELECTRICITY ACT, (CAP.131) ORDER (Made under Section 23) THE ELECTRICITY (STANDARDIZED SMALL POWER PROJECTS TARIFF) ORDER, 2016 citation 1. This Order may be cited

More information

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA

ONYO LA MWISHO KWA DUNIA ONYO LA MWISHO KWA DUNIA Mpango wa Ulimwengu Mpya Unakuja!. Viongozi wa Ulimwengu. Jinsi ya kuukwepa usiwe wanautaka mhanga. Unaungwa mkono na. Kuanguka kwake ghafula wengi na kwa ukamilifu. Ulitabiriwa

More information

Makasisi. Waingia Uislamu

Makasisi. Waingia Uislamu 1 Makasisi Waingia Uislamu 2 KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU MAKASISI WAINGIA UISLAMU Yaliyomo 1. KASISI YUSUFU ESTES ALIYEKUWA MFANYABIASHARA WA KIKRISTO & MUHUBIRI (USA)...

More information

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level

UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level UNIVERSITY OF CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level * 899145 4 672* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2010 Additional Materials: Answer Booklet/Paper READ

More information

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine.

wasiofaa. Naomba sana kila raia afanye bidii awezavyo kumkaribia Mwenyezi Mungu vile anavyoona inafaa, lakini asipitishe hukumu juu ya wengine. HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA, KWENYE IBADA YA KUWEKWA WAKFU NA KUINGIZWA KAZINI ASKOFU MARTIN FATAELI SHAO WA DAYOSISI YA KASKAZINI YA KANISA LA

More information

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1

Aina Tatu Za Ibada. Ellis Forsman. Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1 Aina Tatu Za Ibada na Ellis Forsman Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 1 Aina Tatu Za Ibada na Ellis Forsman Octoba 15, 2011 Aina Tatu Za Ibada (Three Kinds Of worship) 2 Aina Tatu Za Ibada Yoh.

More information

IM ETUPASA KUTIMIZA HA KI YOTE

IM ETUPASA KUTIMIZA HA KI YOTE IM ETUPASA KUTIMIZA HA KI YOTE Daima ni majaliwa kuja kwenye nyumba ya Bwana., Kamwe, maishani mwangu, sijaona wakati mmoja nilijutia kuja kwenye nyumba Yake. Ni ninii Lakini ninadhani asubuhi ya leo ndio

More information

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi. Iliyoendelea sana

Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu. Iliyoendelea sana. Kitabu cha mwanafunzi. Iliyoendelea sana kitengo cha 3 Iliyoendelea sana Iliyoendelea sana Mabingwa kwa ajili ya tunda la Roho Mtakatifu Iliyoendelea sana Kitabu cha mwanafunzi Kuwa bingwa.wewe na mimi lazima tujifunze kuishi kwa tunda la Roho

More information

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO

TIST HABARI MOTO MOTO MAANDALIZI YA MWAKA 2000 Y2K PREPARATIONS SASA NI WAKATI WA KUANZA KUPANDA MBEGU ZAKO TIST HABARI MOTO MOTO Tel. 026-2322246 P.O.BOX 53 MPWAPWA E-Mail tist@twiga.com 01 October 2000 Y2K PREPARATIONS Holes and Seedlings made ready for the year 2000 programme By Gayo Mhila The process of

More information

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa

Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa na Ellis P. Forsman Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa (Reconciled-Justified-Sanctified) 1 Patanishwa, Hesabiwa Haki, Takaswa na Ellis P. Forsman Oktoba 14, 2011 Patanishwa,

More information

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo

Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Kuwawezesha wasichana kwa kuboresha kujikubali na kujithamini Hivi Ndivyo Nilivyo Mazoezi ya wenye umri wa miaka 11-14 Hivi Ndivyo Nilivyo kwa wenye umri wa miaka 11-14 Kuhusu Hivi Ndivyo Nilivyo Ikiwa

More information

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu

Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu Utangulizi wa ugonjwa wa shinikizo la damu BLOOD PRESSURE UK Shinikizo la damu ndicho chanzo kikubwa cha ulemavu na vifo vya mapema kule Uingereza, kupitia kiharusi, mshtuko wa moyo na maradhi ya moyo.

More information

2 LILE NENO LILILONENWA

2 LILE NENO LILILONENWA MAJINA YA MA KUFURU Asante, Ndugu Neville. Jambo hili lilikuwa kwa namna, fulani la la kustaajabisha kwangu. Sikutegemewa kuwepo hapa leo; bali usiku wa leo ni usiku wa Ushirika, nami nami niliona ningeshuka

More information

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato

Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Mwongozo wa Kanisa la Waadventista wa Sabato 1 Mafungu yote yaliyonukuliwa kwa ruhusa kutoka katika Biblia ya Kiswahili Union Version 1952 (Ilishahihishwa 1989) ISBN 978 Haki miliki 2013 Haki zote zimeifadhiwa

More information